Dataset Viewer
id
stringlengths 11
11
| verse_id
stringlengths 7
9
| audio
audioduration (s) 1.56
26.8
| verse_text
stringlengths 15
366
| transcript
stringlengths 13
356
|
---|---|---|---|---|
1CH_001_001 | 1CH 1:1 | Adamu, Sethi, Enoshi, | adamu sethi enoshi |
|
1CH_001_002 | 1CH 1:2 | Kenani, Mahalaleli, Yaredi, | kenani mahalaleli yaredi |
|
1CH_001_003 | 1CH 1:3 | Enoki, Methusela, Lameki, Noa. | enoki methusela lameki noa |
|
1CH_001_004 | 1CH 1:4 | Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi. | wana wa noa walikuwa shemu hamu na yafethi |
|
1CH_001_005 | 1CH 1:5 | Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi. | wana wa yafethi walikuwa gomeri magogu madai yavani tubali mesheki na tirasi |
|
1CH_001_006 | 1CH 1:6 | Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma. | wana wa gomeri walikuwa ashkenazi rifathi na togarma |
|
1CH_001_007 | 1CH 1:7 | Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu. | wana wa yavani walikuwa elisha tarshishi kitimu na rodanimu |
|
1CH_001_008 | 1CH 1:8 | Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani. | wana wa hamu walikuwa kushi misraimu putu na kanaani |
|
1CH_001_009 | 1CH 1:9 | Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani. | wana wa kushi walikuwa seba havila sabta raama na sabteka wana wa raama walikuwa sheba na dedani |
|
1CH_001_011 | 1CH 1:11 | Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi, | misraimu akawazaa waludi waanami walehabi wanaftuhi |
|
1CH_001_012 | 1CH 1:12 | Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori. | wapathrusi wakasluhi hao ndio asili ya wafilisti na wakaftori |
|
1CH_001_013 | 1CH 1:13 | Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi, | wana wa kanaani walikuwa sidoni mzaliwa wake wa kwanza na hethi |
|
1CH_001_014 | 1CH 1:14 | Wayebusi, Waamori, Wagirgashi, | wayebusi waamori wagirgashi |
|
1CH_001_015 | 1CH 1:15 | Wahivi, Waariki, Wasini, | wahivi waariki wasini |
|
1CH_001_016 | 1CH 1:16 | Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. | waarvadi wasemari na wahamathi |
|
1CH_001_017 | 1CH 1:17 | Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki. | wana wa shemu walikuwa elamu ashuru arfaksadi ludi na aramu wana wa aramu walikuwa usi huli getheri na mesheki |
|
1CH_001_018 | 1CH 1:18 | Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi. | arfaksadi akamzaa shela shela akamzaa eberi |
|
1CH_001_020 | 1CH 1:20 | Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera, | wana wa yoktani walikuwa almodadi shelefu hasarmawethi yera |
|
1CH_001_021 | 1CH 1:21 | Hadoramu, Uzali, Dikla, | hadoramu uzali dikla |
|
1CH_001_022 | 1CH 1:22 | Obali, Abimaeli, Sheba, | obali abimaeli sheba |
|
1CH_001_023 | 1CH 1:23 | Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani. | ofiri havila na yobabu wote hawa walikuwa wana wa yoktani |
|
1CH_001_024 | 1CH 1:24 | Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela, | wana wa shemu walikuwa arfaksadi shela |
|
1CH_001_025 | 1CH 1:25 | Eberi, Pelegi, Reu, | eberi pelegi reu |
|
1CH_001_026 | 1CH 1:26 | Serugi, Nahori, Tera, | serugi nahori tera |
|
1CH_001_027 | 1CH 1:27 | Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu). | tera akamzaa abramu yaani abrahamu |
|
1CH_001_028 | 1CH 1:28 | Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli. | abrahamu alikuwa na wana wawili isaki na ishmaeli |
|
1CH_001_029 | 1CH 1:29 | Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu, | hawa ndio waliokuwa wazao wa hagari nebayothi mzaliwa wa kwanza wa ishmaeli kedari adbeeli mibsamu |
|
1CH_001_030 | 1CH 1:30 | Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema, | mishma duma masa hadadi tema |
|
1CH_001_031 | 1CH 1:31 | Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli. | yeturi nafishi na kedema hao ndio wana wa ishmaeli |
|
1CH_001_032 | 1CH 1:32 | Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani. | wana waliozaliwa na ketura suria wa abrahamu walikuwa zimrani yokshani medani midiani ishbaki na shua wana wa yokshani walikuwa sheba na dedani |
|
1CH_001_033 | 1CH 1:33 | Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura. | wana wa midiani walikuwa efa eferi hanoki abida na eldaa wote hao walikuwa wa uzao wa ketura |
|
1CH_001_035 | 1CH 1:35 | Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora. | wana wa esau walikuwa elifazi reueli yeushi yalamu na kora |
|
1CH_001_036 | 1CH 1:36 | Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki. | wana wa elifazi walikuwa temani omari sefo gatamu na kenazi elifazi kwa timna akamzaa amaleki |
|
1CH_001_037 | 1CH 1:37 | Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza. | wana wa reueli walikuwa nahathi zera shama na miza |
|
1CH_001_038 | 1CH 1:38 | Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani. | wana wa seiri walikuwa lotani shobali sibeoni ana dishoni eseri na dishani |
|
1CH_001_039 | 1CH 1:39 | Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna. | wana wa lotani walikuwa wawili hori na homamu lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa timna |
|
1CH_001_040 | 1CH 1:40 | Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana. | wana wa shobali walikuwa alvani manahathi ebali shefo na onamu wana wa sibeoni walikuwa aiya na ana |
|
1CH_001_041 | 1CH 1:41 | Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani. | mwana wa ana alikuwa dishoni nao wana wa dishoni walikuwa hemdani eshbani ithrani na kerani |
|
1CH_001_042 | 1CH 1:42 | Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani. | wana wa eseri walikuwa bilhani zaavani na akani wana wa dishani walikuwa usi na arani |
|
1CH_001_043 | 1CH 1:43 | Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba. | hawa ndio wafalme waliotawala edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa waisraeli bela mwana wa beori ambaye mji wake ni dinhaba |
|
1CH_001_051 | 1CH 1:51 | Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi, | naye hadadi pia akafa wakuu wa edomu walikuwa timna alva yethethi |
|
1CH_001_052 | 1CH 1:52 | Oholibama, Ela, Pinoni, | oholibama ela pinoni |
|
1CH_001_053 | 1CH 1:53 | Kenazi, Temani, Mibsari, | kenazi temani mibsari |
|
1CH_001_054 | 1CH 1:54 | Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu. | magdieli na iramu hao ndio wakuu wa makabila ya edomu |
|
1CH_002_001 | 1CH 2:1 | Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli: Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zabuloni, | hawa ndio waliokuwa wana wa israeli reubeni simeoni lawi yuda isakari zabuloni |
|
1CH_002_002 | 1CH 2:2 | Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri. | dani yosefu benyamini naftali gadi na asheri |
|
1CH_002_004 | 1CH 2:4 | Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano. | tamari mkwewe yuda alimzalia wana wawili peresi na zera yuda alikuwa na jumla ya wana watano |
|
1CH_002_006 | 1CH 2:6 | Wana wa Zera walikuwa: Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Dara. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano. | wana wa zera walikuwa zimri ethani hemani kalkoli na dara jumla ya wana wa zera walikuwa watano |
|
1CH_002_008 | 1CH 2:8 | Mwana wa Ethani alikuwa: Azariya. | mwana wa ethani alikuwa azariya |
|
1CH_002_009 | 1CH 2:9 | Wana wa Hesroni walikuwa: Yerameeli, Ramu na Kalebu. | wana wa hesroni walikuwa yerameeli ramu na kalebu |
|
1CH_002_010 | 1CH 2:10 | Ramu alimzaa Aminadabu, na Aminadabu akamzaa Nashoni, kiongozi wa kabila la Yuda. | ramu alimzaa aminadabu na aminadabu akamzaa nashoni kiongozi wa kabila la yuda |
|
1CH_002_011 | 1CH 2:11 | Nashoni akamzaa Salmoni, Salmoni akamzaa Boazi, | nashoni akamzaa salmoni salmoni akamzaa boazi |
|
1CH_002_012 | 1CH 2:12 | Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese. | boazi akamzaa obedi obedi akamzaa yese |
|
1CH_002_013 | 1CH 2:13 | Yese akawazaa Eliabu mwanawe wa kwanza; wa pili Abinadabu, wa tatu Shimea, | yese akawazaa eliabu mwanawe wa kwanza wa pili abinadabu wa tatu shimea |
|
1CH_002_014 | 1CH 2:14 | wa nne Nethaneli, wa tano Radai, | wa nne nethaneli wa tano radai |
|
1CH_002_015 | 1CH 2:15 | wa sita Osemu, na wa saba Daudi. | wa sita osemu na wa saba daudi |
|
1CH_002_016 | 1CH 2:16 | Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na Asaheli. | dada zao walikuwa seruya na abigaili wana wa seruya walikuwa watatu abishai yoabu na asaheli |
|
1CH_002_017 | 1CH 2:17 | Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli. | abigaili alikuwa mama yake amasa ambaye baba yake alikuwa yetheri mwishmaeli |
|
1CH_002_018 | 1CH 2:18 | Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni. | kalebu mwana wa hesroni akazaa wana na mkewe azuba na pia na yeriothi hawa ndio wana azuba aliomzalia kalebu yesheri shobabu na ardoni |
|
1CH_002_019 | 1CH 2:19 | Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri. | azuba alipofariki kalebu akamwoa efrathi ambaye alimzalia huri |
|
1CH_002_020 | 1CH 2:20 | Huri akamzaa Uri, Uri akamzaa Bezaleli. | huri akamzaa uri uri akamzaa bezaleli |
|
1CH_002_021 | 1CH 2:21 | Hatimaye, Hesroni akakutana kimwili na binti wa Makiri babaye Gileadi (ambaye alimwoa alipokuwa na umri wa miaka sitini), naye akamzaa Segubu. | hatimaye hesroni akakutana kimwili na binti wa makiri babaye gileadi ambaye alimwoa alipokuwa na umri wa miaka sitini naye akamzaa segubu |
|
1CH_002_022 | 1CH 2:22 | Segubu akamzaa Yairi, ambaye alitawala miji ishirini na mitatu katika Gileadi. | segubu akamzaa yairi ambaye alitawala miji ishirini na mitatu katika gileadi |
|
1CH_002_023 | 1CH 2:23 | (Lakini Geshuri na Aramu wakateka miji ya Hawoth-Yairi, pamoja na Kenathi na viunga vyake; jumla ilikuwa miji sitini.) Wote hawa walikuwa wazao wa Makiri babaye Gileadi. | lakini geshuri na aramu wakateka miji ya hawothyairi pamoja na kenathi na viunga vyake jumla ilikuwa miji sitini wote hawa walikuwa wazao wa makiri babaye gileadi |
|
1CH_002_024 | 1CH 2:24 | Baada ya Hesroni kufa huko Efrathi, Abiya mjane wa Hesroni akamzalia Ashuru, aliye baba wa Tekoa. | baada ya hesroni kufa huko efrathi abiya mjane wa hesroni akamzalia ashuru aliye baba wa tekoa |
|
1CH_002_025 | 1CH 2:25 | Wana wa Yerameeli mzaliwa wa kwanza wa Hesroni walikuwa: Ramu mzaliwa wake wa kwanza, Buna, Oreni, Osemu na Ahiya. | wana wa yerameeli mzaliwa wa kwanza wa hesroni walikuwa ramu mzaliwa wake wa kwanza buna oreni osemu na ahiya |
|
1CH_002_026 | 1CH 2:26 | Yerameeli alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara, aliyekuwa mama yake Onamu. | yerameeli alikuwa na mke mwingine aliyeitwa atara aliyekuwa mama yake onamu |
|
1CH_002_027 | 1CH 2:27 | Wana wa Ramu mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli walikuwa: Maasi, Yamini na Ekeri. | wana wa ramu mzaliwa wa kwanza wa yerameeli walikuwa maasi yamini na ekeri |
|
1CH_002_028 | 1CH 2:28 | Wana wa Onamu walikuwa: Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa: Nadabu na Abishuri. | wana wa onamu walikuwa shamai na yada wana wa shamai walikuwa nadabu na abishuri |
|
1CH_002_029 | 1CH 2:29 | Mke wa Abishuri aliitwa Abihaili, ambaye alimzalia Abani na Molidi. | mke wa abishuri aliitwa abihaili ambaye alimzalia abani na molidi |
|
1CH_002_030 | 1CH 2:30 | Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa bila kuzaa watoto. | wana wa nadabu walikuwa seledi na apaimu lakini seledi alikufa bila kuzaa watoto |
|
1CH_002_031 | 1CH 2:31 | Apaimu akamzaa: Ishi ambaye alikuwa baba wa Sheshani. Sheshani akamzaa Alai. | apaimu akamzaa ishi ambaye alikuwa baba wa sheshani sheshani akamzaa alai |
|
1CH_002_032 | 1CH 2:32 | Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa: Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa bila kuzaa watoto. | wana wa yada nduguye shamai walikuwa yetheri na yonathani yetheri alikufa bila kuzaa watoto |
|
1CH_002_033 | 1CH 2:33 | Wana wa Yonathani walikuwa: Pelethi na Zaza. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yerameeli. | wana wa yonathani walikuwa pelethi na zaza hawa ndio waliokuwa wazao wa yerameeli |
|
1CH_002_034 | 1CH 2:34 | Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila wasichana tu. Alikuwa na mtumishi Mmisri aliyeitwa Yarha. | sheshani hakuwa na watoto wa kiume ila wasichana tu alikuwa na mtumishi mmisri aliyeitwa yarha |
|
1CH_002_035 | 1CH 2:35 | Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai. | sheshani akamwoza huyu mtumishi wake yarha binti yake akamzalia mwana jina lake atai |
|
1CH_002_036 | 1CH 2:36 | Atai akamzaa Nathani, Nathani akamzaa Zabadi, | atai akamzaa nathani nathani akamzaa zabadi |
|
1CH_002_037 | 1CH 2:37 | Zabadi akamzaa Eflali, Eflali akamzaa Obedi, | zabadi akamzaa eflali eflali akamzaa obedi |
|
1CH_002_038 | 1CH 2:38 | Obedi akamzaa Yehu, Yehu akamzaa Azaria, | obedi akamzaa yehu yehu akamzaa azaria |
|
1CH_002_039 | 1CH 2:39 | Azaria akamzaa Helesi, Helesi akamzaa Eleasa, | azaria akamzaa helesi helesi akamzaa eleasa |
|
1CH_002_040 | 1CH 2:40 | Eleasa akamzaa Sismai, Sismai akamzaa Shalumu, | eleasa akamzaa sismai sismai akamzaa shalumu |
|
1CH_002_041 | 1CH 2:41 | Shalumu akamzaa Yekamia, naye Yekamia akamzaa Elishama. | shalumu akamzaa yekamia naye yekamia akamzaa elishama |
|
1CH_002_042 | 1CH 2:42 | Wana wa Kalebu nduguye Yerameeli walikuwa: Mesha mzaliwa wake wa kwanza alimzaa Zifu, naye mwanawe Maresha akamzaa Hebroni. | wana wa kalebu nduguye yerameeli walikuwa mesha mzaliwa wake wa kwanza alimzaa zifu naye mwanawe maresha akamzaa hebroni |
|
1CH_002_043 | 1CH 2:43 | Hebroni alikuwa na wana wanne: Kora, Tapua, Rekemu na Shema. | hebroni alikuwa na wana wanne kora tapua rekemu na shema |
|
1CH_002_044 | 1CH 2:44 | Shema alikuwa baba yake Rahamu na Rahamu alikuwa baba wa Yorkeamu na Rekemu alikuwa baba wa Shamai. | shema alikuwa baba yake rahamu na rahamu alikuwa baba wa yorkeamu na rekemu alikuwa baba wa shamai |
|
1CH_002_045 | 1CH 2:45 | Shamai akamzaa Maoni na Maoni akamzaa Beth-Suri. | shamai akamzaa maoni na maoni akamzaa bethsuri |
|
1CH_002_046 | 1CH 2:46 | Efa, suria wa Kalebu alikuwa mamaye Harani, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa Gazezi. | efa suria wa kalebu alikuwa mamaye harani mosa na gazezi harani alikuwa baba wa gazezi |
|
1CH_002_047 | 1CH 2:47 | Wana wa Yadai walikuwa: Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa na Shaafu. | wana wa yadai walikuwa regemu yothamu geshani peleti efa na shaafu |
|
1CH_002_048 | 1CH 2:48 | Maaka suria wa Kalebu alikuwa mamaye Sheberi na Tirhana. | maaka suria wa kalebu alikuwa mamaye sheberi na tirhana |
|
1CH_002_049 | 1CH 2:49 | Pia Maaka akamzaa Shaafu babaye Madmana, na Sheva babaye Makbena na Gibea. Kalebu alikuwa na binti jina lake Aksa. | pia maaka akamzaa shaafu babaye madmana na sheva babaye makbena na gibea kalebu alikuwa na binti jina lake aksa |
|
1CH_002_050 | 1CH 2:50 | Hawa ndio waliokuwa wazao wa Kalebu. Wana wa Huri, mzaliwa mkuu wao wa Efrathi, walikuwa: Shobali akamzaa Kiriath-Yearimu, | hawa ndio waliokuwa wazao wa kalebu wana wa huri mzaliwa mkuu wao wa efrathi walikuwa shobali akamzaa kiriathyearimu |
|
1CH_002_051 | 1CH 2:51 | Salma akamzaa Bethlehemu, naye Harefu akamzaa Beth-Gaderi. | salma akamzaa bethlehemu naye harefu akamzaa bethgaderi |
|
1CH_002_052 | 1CH 2:52 | Wazao wa Shobali, baba yake Kiriath-Yearimu, walikuwa: Haroe, nusu ya wakazi wa mji wa Menuhothi, | wazao wa shobali baba yake kiriathyearimu walikuwa haroe nusu ya wakazi wa mji wa menuhothi |
|
1CH_002_053 | 1CH 2:53 | pamoja na koo za Kiriath-Yearimu ambazo ni: Waithiri, Waputhi, Washumathi na Wamishrai. Kutokana na watu hawa walizaliwa Wasorathi na Waeshtaoli. | pamoja na koo za kiriathyearimu ambazo ni waithiri waputhi washumathi na wamishrai kutokana na watu hawa walizaliwa wasorathi na waeshtaoli |
|
1CH_002_054 | 1CH 2:54 | Wazao wa Salma walikuwa: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, nusu ya Wamanahathi, Wasori, | wazao wa salma walikuwa bethlehemu wanetofathi atrothbethyoabu nusu ya wamanahathi wasori |
|
1CH_003_001 | 1CH 3:1 | Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli; | hawa ndio waliokuwa wana wa daudi waliozaliwa huko hebroni mzaliwa wa kwanza alikuwa amnoni ambaye mama yake aliitwa ahinoamu wa yezreeli wa pili danieli ambaye mama yake alikuwa abigaili wa karmeli |
|
1CH_003_002 | 1CH 3:2 | wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi; | wa tatu alikuwa absalomu ambaye mama yake alikuwa maaka binti talmai mfalme wa geshuri wa nne adoniya ambaye mama yake alikuwa hagithi |
|
1CH_003_003 | 1CH 3:3 | wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla. | wa tano alikuwa shefatia ambaye mama yake alikuwa abitali wa sita alikuwa ithreamu aliyezaliwa na mke wake egla |
|
1CH_003_004 | 1CH 3:4 | Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu, | hawa sita walizaliwa huko hebroni ambako daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita daudi alitawala yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu |
|
1CH_003_005 | 1CH 3:5 | nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni. | nao hawa ndio watoto wa daudi waliozaliwa huko yerusalemu mkewe bathsheba binti amieli alimzalia shamua shobabu nathani na solomoni |
End of preview. Expand
in Data Studio
README.md exists but content is empty.
- Downloads last month
- 1,354