Search is not available for this dataset
text
stringlengths 0
186k
|
---|
ayatullah khamenei amesema kuwa kukaribiana kwa sikukuu ya nairuzi ya mwaka huu na siku za maulidi na kuzaliwa mtume wa mwisho muhammad (saw) na imam ja'far swadiq (as) kumeipa baraka zaidi sikukuu hiyo na amewapa mkono wa idi wananchi wa iran, wageni kutoka nje ya nchi na mataifa yote yanayosherehekea sikukuu hii na akawatakia wote mwaka uliojaa mema na ufanisi. |
don't act like you've never been to a chinese food joint. |
hobbycarbon mpya ya hali ya juu ya chuma cha pua screws sehemu za rc uwezo wa kubadilika kwa screws ya chuma ni nguvu zaidi. kwa screws za pua, mahitaji ya ukubwa wa uzi wa sehemu za kiume yanaweza kutumika. inaweza kuonekana kuwa screws chuma cha pua hutumiwa katika anuwai pana kuliko bolts za jadi za nanga. ubunifu... |
Bibi harusi alivyoumbuka wakati akiingia kwenye harusi yake - AckySHINE Blogπ Kaliπ ¨TZπ 2017π ― |
Ya Nje Madeni Ya 14006.29 13916.73 14754.06 8782.88 Usd - Milioni [+] |
angalia picha zaidi zatisha: urasa aliyemuua mtoto wa miaka 9 na ‘kutafuna ubongo |
"mastraika wa kigeni wa simba, azam na yanga, meddie kagere, obrey chirwa na david molinga ndiyo waliofunika kwa upachikaji wa mabao katika msimu wa ligi kuu bara uliomalizika jana jumapili." |
amesema licha ya mapungufu hayo wilaya ya biharamulo imekuwa na ufaulu wa miaka mitatu kitaaluma mkoani kagera kuanzia mwaka 2015-2017 kwa wastani wa aslimia 85 mpaka asilimia 92 kwa darasa la saba na asilimia 99.5 darasa la nne. |
licha ya mkurugenzi wa taasisi hiyo, joseph butiku kuitaka serikali iwachukulie hatua wahusika akisema wameonekana na kutambulika, jeshi la polisi limeonekana kupiga chenga kuzungumzia tukio hilo, ambapo kamishna wa kanda maaalum ya dar es salaam, suleiman kova alimtupia mpira kamanda wa kinondoni, camilius wambura ambaye kwa siku nzima ya jana hakupokea simu yake ya kiganjani. |
tukikuta ni mchanga tuwaombe radhi, tukikuta ni dhahabu tuwadai gharama halisi kwa mali watakayokuwa wametuibia tangu mwaka 2008. mungu ibariki tanzania. |
Vikwazo vya Umoja wa Mataifa vilivyopiga marufuku kuiuzia au kununua silaha kutoka Iran vimefikia mwisho leo kama ilivyoafikiwa na madola yenye nguvu licha ya upinzani kutoka Marekani. |
kwa upande wa uwezo wa shilingi 100 ya tanzania katika kununua bidhaa na huduma za mlaji kwa mwezi machi , 2016 umefikia shilingi 98 na senti 11 ikilinganishwa na uwezo wa shilingi 98 na senti 58 wa mwezi februari 2016. |
"""arsenal ipo moyoni mwangu wakati wote na kwa kusaini mkataba kwa miaka mingine mitano inaonyesha ni jinsi gani nimeshikamana nao na ni wajibu wao kuniwekea kila kitu vizuri." |
maamuzi 3 yatakayobadilisha maisha yako - joel nanauka |
Mmesahau mara hii kwmaba Ngeleja ni msu**********? |
nauza toyota ist ipo katika hali nzuri,imetembea km.24,500,metallic silver bei tsh.14,500,000 kama upo interested plz ni-pm |
"imechapishwa: sat, mar 31st, 2018" |
caitlyn jenner au bruce jenner baba wa super model kendall jenner na mjasiriamali kylie jenner pia ni baba wa kambo wa kim,kourtney, khloe na robert kardashian ambae alia mua kujibadilisha jinsia na kuwa mwanamke ana kuja na hii mpya mwaka huu, caitlyn ndio jina alilo lichagua baada ya kujigeuza jinsia ame sema haja ridhishwa na umaarufu wake wa mwaka 2016, kwaio ameamua 2017 ku pose bila nguo kama mwanae kim kardashian alivyo pose katika gazeti la paper magazine, |
this is a direction this country must use! |
wenger atangaza kurudi uwanjani |
weka yeye ndani uone jinsi hii maneno itakuwa!click to expand... |
msanii: rosa ree |
mwili wa mtu mwingine aliyeuawa kwenye mapigano hayo bado haujatambuliwa |
kabla kuelekea moscow, netanyahu katika taarifa alisema, mazungumzo yake na putin ni muhimu mno kwa usalama wa israel na kwamba atapinga vikali uwepo wa iran nchini syria. |
[12]. ushahidi uliotangulia, hadithi ya 6. |
Taarifa hizo zilizochapishwa katika gazeti la Tanzania Daima chini ya Kichwa Lipumba, Slaa wamshambulia Kikwete, zilimkariri Lipumba akisema, |
"takribani wote walisema waajiri wao walitaifisha hati zao za kusafiria. |
mmh!!! naona hujasema sababu za wazanzibar(uamsho) kusisia sensa ? mimi sidhani kama wanawafuata wabara hapa kuna ka mini-scene kinachenzwa.. |
‘nilikuwa kwa wajomba zetu, nchi ya jirani…’akasema |
alisema kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi yanayosababishwa na uharibifu wa mazingira ukosefu wa mvua ni jambo ambalo litakuwa linatokea mara kwa mara na hivyo akasema kuwa ili kuweza kukabiliana nalo ni wananchi wabadilike |
"23rd march 2013, 22:27" |
je ndio mwisho wa kisa hiki,….. |
magharibi: macheo [8], machwa ya jua[9], matuo ya jua [10][11] |
daahhh kwa kweli |
Makundi >> Maduka ya vitabu Sakura ukizingatia kodi ya posta |
masaa 48 yajayo yataamua. |
william @...nyc, usa: mutuz le baharia! - 18 people likes |
1valea giamaina dede ieisu keliso yaubada natuna paipaina. nakabavelamu topalimatamatana imai tomo'otoqa inavonedi inavalabubuna. |
2 thoughts on “diamond platnumz nataka kulewa (pitio la wimbo na video)” [email protected] says: november 4, 2013 at 04:58 i would be very happy if my young nieces grow up to conduct like pia did in the face of adversity. in its most recent earnings release it increased guidance for eps up $0.05 for the year to $0.79 to $0.81. so we have checked all the major uk retailers to find the very best in men wallets available. one of the things that i enjoy most doing is looking at people’s luggage and imagining what they do for a living, where they’ve been, where they’re going to and what they might be like if i knew them.branding additionally connects your goal emotionally, motivates the customer and in addition offers loyalty to the customers. my lady come up having backbone what exactly is justifiably hers. there are various kinds of phone covers available these days and they are reasonably priced as well. burberry recently issued a warning that its end of year profits might be low, and it cited the cause as a decrease in demand from the british and chinese markets. you may use your email account id for age verification but do not disclose your email password. |
Viongozi wa Kundi la Bali Nine, Andrew Chan na Myuran Sukumaran nao ni miongoni mwa waliopigwa risasi usiku wa manane. |
"akizungumza wakati wa uzinduzi huo mkurugenzi mtendaji , mtengaji wa prime time promotions joseph kusaga alisema "" tutaendelea na harakati zetu za kuendeleza vipaji kutoka kwa wasanii wapya na wanaoibukia katika kizazi kipya wakati wa tamasha la fiesta 2016 kama ambavyo tulifanya awali wakati wa tamasha la dance la fiesta , fiesta super star na bonanza la soko la fiesta." |
Lakini hakikisha unamfahamu vizuri, ili kukuza kweli jambo jema ndani yake. |
Senegal walicharaza Tanzania mabao 2-0 katika mechi ya ufunguzi kabla ya Kenya kupokea kichapo sawia kutoka kwa Algeria. |
"mke kwa upande wake anaona wifi yake ni kikwazo, yeye anataka siasa yake anayoipenda yeye na mume wake.anataka uamuzi na uhuru kama familia tegemezi. kwahapa wengine wanajisahau kabisa kuwa familia hii ni chimbuko la familia juu, yaani familia kuu, na ya kuwa matunda aliyoyakuta huenda yametokana na jasho la familia kuu na wanafamilia akiwemo huyo wifi yake." |
tunaishi maisha yetu yote kutoka kwa wingu moja hadi vingine. hewa imejaa maji ya chumvi yanayotoka baharini, nyeusi za kaboni nyeusi kutoka kwa moto na uzalishaji wa vumbi kutoka kwa sekta nzito. kawaida kila kitu chafu katika aerosols haonekani kwetu - lakini sio kwa satellites ya nasa na sensorer ya ardhi! |
“Tunajua Yanga wametoka kushinda mabao 2-0 dhidi ya BDF XI ya Botswana. |
PARIS :Ulaya kuwekea Iran vikwazo vya kiuchumi |
MySQL anatumia aina mbalimbali data kuvunjwa katika makundi matatu: numeric, tarehe na muda, na aina kamba. |
...mkambala akiingizwa theatre. |
tunazozipata wakati hata kule nyumbani mkeo humnunuliagi nguo, niwaombe |
prof. mbarawa atoa mwezi mmoja kwa wafanyabiashara jnia |
"huruma yangu inanimaliza | jamiiforums | the home of great thinkers |
duckula ni moja ya kulipa kwa simu mikopo slots kuhusu vampires na ghouls. hii online yanayopangwa ni msingi cartoon maarufu kutoka mwishoni mwa miaka ya 1980 wa jina sawa. mwongozo imefanya yanayopangwa toleo la simu kwa ajili ya wachezaji walio daima juu ya hoja. soma uchambuzi chini kujua zaidi. |
Watakuwa na uwezo wa kuchagua kipenzi, kama vile mambo mengine kwa ajili yao. |
"adolf mkenda akiongea na wawakilishi kutoka kampuni ya agricom afrika ltd walioshiriki maonesho ya bidhaa za viwanda vya tanzania nchini kenya yanayoendelea katika kituo cha mikutano cha kimataifa cha kenyatta jijini nairobi, kenya tarehe 27 aprili 2018. |
atinga rwanda |
"kwa hiyo, kosa letu ni kuboresha elimu, kutengeza miundombinu mizuri, mpaka inapelekea kuwa tunaongoza kwa hamsini bora. |
The staff actually interacts with the users? ilitumwa zaidi ya mwaka mmoja uliopita |
kuangalia posts kwenye mwisho mbele yoyote ya 42 lugha, tu bonyeza kwenye orodha ya kushuka chini katika kona ya juu upande wa kushoto wa kila ukurasa wa mtandao wa jukwaa. unaweza kuweka lugha ya mwisho ya nyuma wakati wa kujiandikisha kama mtumiaji mpya. |
msaada wa kisheria,hasa sheria za kazi na ajira jukwaa la sheria (the law forum) 4 apr 22, 2019 |
jaribio la kwanza la kufanyika kwa mazungumzo ya amani mjini geneva lilishindikana mwezi juni, bila ya pande zinazohasimiana kukaa pamoja kwenye chumba kimoja. mwezi uliopita, serikali ya rais wa yemen, abed-rabbo mansour hadi ilijiondoa kwenye mazungumzo ambayo yalikuwa yafanyike oman, ikisisitiza kwanza waasi waondoke kwenye maeneo inayoyadhibiti. |
"mkuu wa mkoa wa kilimanjaro,mh leonidas gama akimtaja mshindi aliyejinyakulia gari aina ya vits iliyokuwa ikinadiwa kwenye tamasha la serengeti fiesta 2012,maara baada ya kuchezeshwa droo usiku huu,pichani mwanzo kulia ni mkurugenzi wa masoko kampuni ya bia ya serengeti, ephraim mafuru,muwakilishi kutoka michezo ya bahati nasibu ya taifa,abdallah mohamed akishuhudia tukio hilo,na mwisho kushoto ni mkurugenzi wa kampuni ya clouds media group,joseph kusaga pamoja na mkuu wa wilaya ya moshi mjini,mh dr msengi" |
Charles Kimei wakati anasoma taarifa yake kwenye Mkutano Mkuu wa 23 wa Wanahisa wa Benki hiyo uliofanyika Ukumbi wa Simba (AICC) jijini Arusha. |
kwamba hata wale ambao walimpinga imam (a.s.) waliathiriwa na hisia |
"guitart ni tayari kusukuma uvumbuzi, kujaribu kwenda upscale na hoteli ya nyota tano na casino katika lloret de mar, wakati pia kudumisha baadhi ya zaidi ya kawaida yake ya hoteli ya utalii habari." |
Sema: Hakika Mola wangu ameharamisha mambo machafu, yaliyodhihirika na yaliyofichika. |
Dada Chemi hakuna ubaguzi. hawa mabinti wacheza tenisi wanamatatizo ya vivwalo. Kuna mmoja walimnasa akipiga mpira wajuu na kichupi kikaenda pembeni. Ilikuwa aibu, lakini wapiga picha ndio zao siku hizi, hawaangalii mpira bali ukaaji vibaya!!Sensationalism. |
shika utosini taratibu. kuna pointi tatu sehemu hii zinazofuatana katika msitari. |
Mecidiyeköy - Mahmutbey Metro Project Bahasha za fedha zimefunguliwa |
"kila zama zina mbabe wake, hivi ndivyo unavyoweza kuzungumza baada ya utawala wa adolf hitler kumalizika." |
Na pata webisodes zote kupitia: http://www.ubongokids.com Ubongo Kids ni mfululizo mpya wa hadithi za kusisimua iliyo katika mfumo wa elimu-burudani kutoka UBONGO MEDIA ya Dar es Salaam. |
chini ya udhibiti wa shirikisho, tume ya biashara ya shirikisho inahitaji kwamba kutoa taarifa juu ya uhusiano wowote ambao hutoa fidia yoyote wakati wowote. top10supplements.com inashiriki katika mipango mbalimbali ya uuzaji, ambayo inamaanisha top10supplements.com inapata tume za kulipwa kwenye ununuzi uliofanywa kupitia viungo vyetu kwa maeneo ya wauzaji. |
kazi na kula |
"shirika la lead foundation linalojihusisha na utunzaji wa mazingira mkoani dodoma limetangazwa miongoni mwa mashirika 20, yanayoongoza katika miradi ya ustawishaji miti barani afrika. anaripoti danson kaijage, dodoma … (endelea). mashirika hayo yalitangazwa rasmi katika mkutano wa mwaka huu wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabianchi (cop26) uliofanyika hivi karibuni jijini glasgow. kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 21 novemba, 2021 na shirika hilo kwa vyombo vya habari imesema zaidi ya mashirika 3,200 ya afrika kutoka katika nchi 31 yalituma maombi kupata fedha kwa ajili ya kuendesha miradi mbalimbali ya kutunza mazingira. katika awamu ya kwanza mashirika 20 ya afrika yaliyofanya vizuri zaidi katika miradi ya kustawisha miti yamechaguliwa. kwa tanzania shirika pekee lililochaguliwa katika awamu hii ni lead foundation. “kuanzia mwaka 2011, lead foundation imefanya kazi kwa karibu na zaidi ya wakulima 120,000 kukomboa ardhi katika maeneo kame ya tanzania” ilisema sehemu ya taarifa hiyo ilisema kwa pamoja wameweza kustawisha zaidi ya miti milioni tisa ya asili na kukomboa zaidi ya hekta 124,000 za ardhi kwa kutumia njia mbalimbali ikiwemo njia ya kilimo msitu ya kisiki hai (fmnr) pamoja na njia uvunaji wa maji ya mvua (rwh). kwa msaada wa fedha hizo, lead foundation inategemea kuendeleza jitihada zake za kukomboa mazingira katika maeneo kame ambayo yalikuwa bado hayajafikiwa katika mkoa wa dodoma. aidha, shirika hilo litawasaidia wakulima na wafugaji kustawisha miti ili kuondokana na athari za ukame, mmomonyoko wa udongo pamoja na kurutubisha ardhi ya mashamba na malisho ya mifugo. taarifa hiyo ilibainisha kuwa miaka sita iliyopita, viongozi wa afrika walitambua kuwa uharibifu mkubwa wa takriban asilimia 65 ya ardhi ya kilimo katika bara hilo ni tishio kwa uchumi na maisha ya mamilioni ya wakulima. ilisema waligundua hivyo kutokana na athari za mabadiliko ya tabia nchi yanayosababisha uzalishaji mdogo wa mazao, mvua zisizotabirika na vipindi virefu vya ukame vinavyofanya maisha ya mamilioni ya wakulima kuwa magumu na hivyo kusababisha ongezeko kubwa la watu wanaoacha shughuli za kilimo na kukimbilia mijini kutafuta riziki. “hii ndio sababu mwaka 2015 nchi za afrika ziliahidi kukomboa hekta milioni 100 za mazingira na ardhi iliyochakaa kufikia mwaka 2030 kupitia mpango wa afr100” ilibainisha taarifa hiyo kutokana na hali hiyo maelfu ya mashirika madogo ya kiafrika yameibua miradi na njia mbalimbali za kibunifu za kukomboa mazingira ili kuleta matokeo chanya kwa faida ya afrika ya kesho. “inakadiriwa kuwa wakulima barani afrika wanamiliki karibu asilimia 70 ya ardhi yote ya afrika” ilieleza taarifa hiyo." |
"aina hii ya data ni nadra sana, ambayo imesababisha ubishani mzuri kuhusu ubiquity wa kupungua kwa wadudu. maeneo kama konza prairie (sehemu ya nsf inayofadhiliwa mtandao wa utafiti wa ikolojia wa muda mrefu) ziko kwenye safu za mbele katika kuorodhesha mifumo ya mazingira ya dunia." |
item reviewed: mrisho mpoto, kayumba kupamba uzinduzi wa bendi mpya dar" |
“Angalieni kama ile ajali iliyotokea Kijiji cha Maweni wilayani Manyoni. Mabasi mawili tena ya kampuni moja ya City Boy jinsi madereva wake walivyokuwa wazembe na kusababisha vifo vingi,” alisema. |
Visa vya watoto kutoweka vimezua hofu kote nchini huku Afisa wa Watoto Kilifi akielezea wasiwasi kuhusu alichotaja kama biashara inayotia fora ya ulanguzi wa watoto. |
"18,481,376" |
In the rare event of an erection lasting more than 4 hoursalso known as priapismseek immediate medical help to avoid long-term injury. Learn more about priapism and VIAGRA. |
namba ya oda ya jukwaa abebooks.com: 20605972246 |
Tanzania yasisitiza kuzidisha ushirikiano DRC | MPEKUZI |
mazishi ya mama yake ufoo yamepangwa kufanyika ijumaa huko machame mkoani kilimanjaro. |
ongezeko la mahitaji ya dharura laongeza kiwango cha usafirishaji shehena za usaidizi :unhcr |
wakristo walioamini katika kupata komonio |
"hofu ya obama kutotembelea eneo hili ambapo pia ndipo alipozikwa babake imeanza kudhihirika, kutokana na wito wa jamaa yake kwa wakazi wa kogelo kuwa obama ni kiongozi aliye na shughuli nyingi anayefaa kueleweka hata asipofika hapa." |
wadau wa mazingira wahimiza serikali kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki - zanzinews |
"katika hati ya mashtaka, wadai walisema kuwa makala hiyo ilikuwa na maneno yafuatayo yaliyokuwa si ya ukweli na ya kuwachafua wanaodai; ""kwa mara nyingine, serikali kupitia viongozi wake akiwamo mwanasheria mkuu wa serikali (ag), wamedai kwamba kiasi cha dola za marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika ""tegeta escrow account' si mali ya serikali na hivyo si mali ya umma. akaunti hiyo ilifunguliwa na serikali kupitia wizara ya nishati na madini, shirika la umeme tanzania (tanesco) pamoja na kampuni ya independent power tanzania limited (iptl).""" |
Shule huweza kuwa na Malengo yafuatayo; |
"again, swala la udini, ukabila na ukanda limetoka wapi?" |
na pale musa alipo mwambia kijana wake: sitoacha kuendelea mpaka nifike zinapo kutana bahari mbili, au nitaendelea kwa muda mrefu. (18:60) |
iraq - fedha ugavi m0 |
jose mourinho ni lazima abadilike ili aweze kurejesha heshima yake kama mmoja kati ya makocha bora zaidi wa mpira wa miguu kwenye ulimwengu wa sasa. klabu ya hadhi ya manchester united haitakiwi kucheza soka la uoga kiasi hiki. taswira ya ufalme ya manchester united imekuwa ikipotea tangu kuondoka kwa sir alex ferguson na sasa huenda mourinho anaizika zaidi. anatakiwa kubadilika. lakini united wanapata wanachostahili kwa mreno huyu. |
wanchekesha sana |
"baadhi ya wabunge wa bunge la taiwan,wakioshana umwamba kwa kuchapana makonde jana baada ya kupishana kauli wakati wa mjadala wa kuhusu mpango wa kupiga kura ya maoni iliyoadhimia kuidhinisha umaliziwaji wa mradi wa nne wa nyuklia katika kisiwa ambacho kinakaliwa na watu wapatao milioni 23." |
klitschko alipiga 'right hook' safi mwishoni mwa raundi hiyo ya tatu na akaendelea kutoa adhabu katika raundi ya nne. |
wana-ccm na wananchi kwa jumla wakijimwaya mwaya kucheza muziki wa taarab, kushangilia makabidhiano ya vifaa hivyo vya huduma na tiba kwa zahanati yao. |
Mkuu wa Mkoa wa Khuzestan Gholamreza Shariati amesema wakati wa Gwaride ya Majeshi ya Iran magaidi waliokuwa wamevalia sare bandia za kijeshi walianza kufyatua risasi upande wa jukwaa na pia sehemu walikokuwa wananchi. Katika hujuma hiyo watu kadhaa wasio na hatia, wakiwemo wanawake na watoto wameuawa shahidi au kujeruhiwa. |
Waliuawa wanawake, wanaume na watoto, huku idadi kubwa ya wanawake wakibakwa na kutendewa vitendo vya kikatili. |
Kamanda Mtei ameeleza kuwa polisi walikuta mwili wa marehemu ukiwa karibu na vidonge alivyotumia huku akitokwa damu nyingi sehemu za siri na kwamba polisi wanaendelea kumtafuta mtuhumiwa Hafidhi ambaye alidaiwa kukimbia baada ya tukio. "Ni kweli tukio hilo limetokea Jumamosi Aprili 26 mwaka huu eneo la Kwa Mfipa baada ya jeshi letu kutaarifiwa kuwepo kwa mwili huo na polisi walipofika na kufanya uchunguzi wake tulibaini marehemu alifariki dunia kaika jaribia la utoaji wa mimba.....hata hivyo mwili bado upo Hospitalini Tumbi kwa ajili ya uchunguzi zaidi," alisema Kamanda Mtei. |
Subsets and Splits