text
stringlengths 1
464
|
---|
Ana maneno madogo madogo |
Mtoto wa kike ni wakusaidia |
Mtoto huyo ana hasira za kijinga |
Shamba lao limejaa pilipili |
Walipokonywa shamba na baba yao |
Amenunua shamba kushushe |
Wamegawiwa shamba la kwao |
Ameuza shamba la mamake |
Ameenda shambani kulinda tumbili |
Amewapeleka mbuzi shambani |
Huwa anaeka pilipili kwenye chakula |
Mpike chakula mpaka cha jioni |
Naumwa na tumbo |
Amezaliwa na kichwa kikubwa |
Ameanguka akapasuka kichwa |
Amemlenga na jiwe kichwani |
Amezaliwa na kichwa kama cha ndugu yake |
Ametupa kichwa cha mbuzi |
Kichwa cha kondoo kina mafuta |
Amenunua kichwa cha kutengenza supu |
Mwanamke aliye jifungua huwa anakunywa supu ya kichwa |
Aliambiwa achinje mbuzi peke yake |
Nilijaza maji kwenye mitungi yote |
Tulienda pamoja mpaka kwao |
Damu yake ni nyeusi |
Alipika damu ya mbuzi |
Alijaza sufuria kubwa viazi |
Maji huwa wanachota huko chini |
Waambie waje wote tukutane |
Amepewa sumu akafariki |
Ndizi zimeiva sana |
Ndizi ziko shamba lote |
Wana shamba la ndizi |
Huwa wanapendezwa na kula ndizi |
Waliambiwa wapande miwa wauze |
Huwa anapendezwa na mboga kali |
Alidungwa na miba |
Shamba lao limejaa mawe makubwa |
Alichimba mashimo akazika pesa zake |
Walizika mbegu za maharagwe bila kupanda |
Pasaka ndo hiyo imefika |
Watu wamepika maharagwe |
Nisaidie kuchota maji |
Nasafiri karibuni |
Alikula majani ya mihogo akafa |
Tukae na upendo wa kila mtu |
Mbebe kila kitu chenu na msirudi |
Ulisema matanga yalipatikana |
Alioa mtoto mdogo |
Ni mkubwa na bado hajaolewa |
Nipee champali zako nitakurudishia |
Ananidai pesa zake za mahindi |
Mahindi yamekuwa makubwa |
Huwa ananiuzia mahindi |
Mahindi yote yameliwa na kuku |
Amempa mahindi yote yako shambani |
Amemuibia mahindi yote |
Sai yote yamekauka |
Alipewa mahindi kama mahari |
Kwa kina Msafari huwa wanauza mahindi |
Uniletee mahindi choma |
Huwa anakula mahindi choma kila siku |
Mahindi yameliwa na tumbili |
Alinyimwa chakula matangani |
Nimemtumia pesa za kulipa shule |
Alikuwa akimpiga mke wake kitambo |
Kitambo kulikuwa na fisi na sungura |
Fisi amepigwa akila ng'ombe |
Natuma watoto waje uwape maji |
Nakungoja tule chakula cha moto |
Mtoto amejufunika blanketi |
Walienda kwao kuona mzee |
Anamaliza shule leo |
Ananichelewesha na nataka kwenda nyumbani |
Akiwa na pesa huwa ni mkali |
Amejificha uvunguni ndo asichapwe na mamake |
Huwa analala na pesa zake kitandani |
Baba amenitemea mate mkononi |
Amesema hataki kumuona popote |
Nimemaliza kazi yangu |
Huwa anajikuna akila kondoo |
Ana wasichana watatu |
Subsets and Splits
No saved queries yet
Save your SQL queries to embed, download, and access them later. Queries will appear here once saved.