{"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakisema, \"Ninyi mtasema hivi: Wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba sisi tukiwa tumelala. \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܗܘܢ ܐܡܪܘ ܕܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܬܘ ܓܢܒܘܗܝ ܒܠܠܝܐ ܟܕ ܕܡܟܝܢ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ikiwa ninazifanya, hata kama hamniamini, walau ziaminini hizo kazi mpate kujua na kutambua kwamba Baba yuko ndani yangu, nami niko ndani yake.\" \t ܐܢ ܕܝܢ ܥܒܕ ܐܢܐ ܐܦܢ ܠܝ ܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗܘܢ ܠܥܒܕܐ ܗܝܡܢܘ ܕܬܕܥܘܢ ܘܬܗܝܡܢܘܢ ܕܐܒܝ ܒܝ ܘܐܢܐ ܒܐܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nionyesheni fedha ya kulipia kodi.\" Nao wakamtolea sarafu ya fedha. sarafu ya fedha. \t ܚܘܐܘܢܝ ܕܝܢܪܐ ܕܟܤܦ ܪܫܐ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܩܪܒܘ ܠܗ ܕܝܢܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, tutakaposimama mbele ya Bwana Yesu wakati atakapokuja, fahari ya ushindi wetu itakuwa nini? Itakuwa ni ninyi wenyewe; ninyi ndio tumaini letu na furaha yetu. \t ܐܝܢܘ ܓܝܪ ܤܒܪܢ ܘܚܕܘܬܢ ܘܟܠܝܠܐ ܕܫܘܒܗܪܢ ܐܠܐ ܐܢ ܐܢܬܘܢ ܩܕܡ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܒܡܐܬܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunajua kwamba tunaishi katika umoja na Mungu, naye Mungu anaishi katika umoja nasi, kwani yeye ametupa Roho wake. \t ܘܒܗܕܐ ܝܕܥܝܢܢ ܕܒܗ ܡܩܘܝܢܢ ܘܗܘ ܡܩܘܐ ܒܢ ܕܡܢ ܪܘܚܗ ܝܗܒ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Gayo, mwenyeji wangu, pamoja na kanisa lote linalokutana kwake, anawasalimu. Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto, wanawasalimu. \t ܫܐܠ ܒܫܠܡܟܘܢ ܓܐܝܘܤ ܡܩܒܠܢܝ ܘܕܟܠܗ ܥܕܬܐ ܫܐܠ ܒܫܠܡܟܘܢ ܐܪܤܛܘܤ ܪܒܝܬܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܘܩܘܐܪܛܘܤ ܐܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akaamka, akaukemea ule upepo na kuyaamrisha mawimbi ya ziwa, \"Kimya! Tulia!\" Hapo upepo ukakoma, kukawa shwari kabisa. \t ܘܩܡ ܘܟܐܐ ܒܪܘܚܐ ܘܐܡܪ ܠܝܡܐ ܫܠܝ ܙܓܝܪ ܐܢܬ ܘܫܠܝܬ ܪܘܚܐ ܘܗܘܐ ܢܘܚܐ ܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akaondoka pamoja naye. Watu wengi sana wakamfuata, wakawa wanamsonga kila upande. \t ܘܐܙܠ ܥܡܗ ܝܫܘܥ ܘܕܒܝܩ ܗܘܐ ܠܗ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܘܚܒܨܝܢ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, matendo ya kidunia yanajulikana: uzinzi, uasherati, ufisadi; \t ܝܕܝܥܝܢ ܐܢܘܢ ܓܝܪ ܥܒܕܘܗܝ ܕܒܤܪܐ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܙܢܝܘܬܐ ܛܢܦܘܬܐ ܨܚܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili. \t ܘܟܠ ܕܠܐ ܫܩܠ ܙܩܝܦܗ ܘܐܬܐ ܒܬܪܝ ܠܐ ܫܘܐ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alisema maneno hayo kwenye chumba cha hazina alipokuwa anafundisha Hekaluni. Wala hakuna mtu aliyemtia nguvuni, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado. \t ܗܠܝܢ ܡܠܐ ܡܠܠ ܒܝܬ ܓܙܐ ܟܕ ܡܠܦ ܒܗܝܟܠܐ ܘܠܐ ܐܢܫ ܐܚܕܗ ܠܐ ܓܝܪ ܥܕܟܝܠ ܐܬܬ ܗܘܬ ܫܥܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao Wayahudi waliunga mkono mashtaka hayo wakisema kwamba hayo yote yalikuwa kweli. \t ܐܪܝܒܘ ܕܝܢ ܥܠܘܗܝ ܐܦ ܗܢܘܢ ܝܗܘܕܝܐ ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܕܗܠܝܢ ܗܟܢܐ ܐܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtendeeni kama alivyowatendea ninyi; mlipeni mara mbili kwa yale aliyoyatenda. Jazeni kikombe chake kwa kinywaji kikali mara mbili zaidi ya kile alichowapeni. \t ܦܘܪܥܘܗ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܗܝ ܦܪܥܬ ܘܥܘܦܘ ܠܗ ܐܥܦܐ ܥܠ ܥܒܕܝܗ ܒܟܤܐ ܗܘ ܕܡܙܓܬ ܡܙܘܓܘ ܠܗ ܐܥܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa bado njiani, watumishi wake walikutana naye, wakamwambia kwamba mwanawe alikuwa mzima. \t ܟܕ ܕܝܢ ܢܚܬ ܗܘܐ ܐܪܥܘܗܝ ܥܒܕܘܗܝ ܘܤܒܪܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܒܪܟ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kabla ya kuondoka aliwaita watumishi wake kumi, akawapa kiasi cha fedha kila mmoja na kumwambia: Fanyeni nazo biashara mpaka nitakaporudi. \t ܘܩܪܐ ܥܤܪܐ ܥܒܕܘܗܝ ܘܝܗܒ ܠܗܘܢ ܥܤܪܐ ܡܢܝܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܬܬܓܪܘ ܥܕ ܐܬܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu hawa wote walikufa wakiwa na imani. Walikufa kabla ya kupokea mambo ambayo Mungu alikuwa ameahidi, lakini kwa mbali waliyaona, wakashangilia, na kukiri wazi kwamba wao walikuwa wageni na wakimbizi duniani. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܡܝܬܘ ܗܠܝܢ ܟܠܗܘܢ ܘܠܐ ܢܤܒܘ ܡܘܠܟܢܗܘܢ ܐܠܐ ܡܢ ܪܘܚܩܐ ܚܙܐܘܗܝ ܘܚܕܝܘ ܒܗ ܘܐܘܕܝܘ ܕܐܟܤܢܝܐ ܐܢܘܢ ܘܬܘܬܒܐ ܒܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, makuhani wakuu na Baraza lote wakatafuta ushahidi wa uongo dhidi ya Yesu wapate kumwua, \t ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܕܝܢ ܘܩܫܝܫܐ ܘܟܢܘܫܬܐ ܟܠܗ ܒܥܝܢ ܗܘܘ ܥܠ ܝܫܘܥ ܤܗܕܐ ܐܝܟ ܕܢܡܝܬܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mtu akiwa na mali za hapa duniani, halafu akamwona ndugu yake ana shida, lakini akawa na moyo mgumu bila kumwonea huruma, anawezaje kusema kwamba anampenda Mungu? \t ܘܐܝܢܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܩܢܝܢܐ ܕܥܠܡܐ ܘܢܚܙܐ ܠܐܚܘܗܝ ܕܤܢܝܩ ܘܢܐܚܘܕ ܪܚܡܘܗܝ ܡܢܗ ܐܝܟܢܐ ܐܝܬ ܒܗ ܚܘܒܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila wakati tumekuwa tukichukua mwilini mwetu kifo cha Kristo, ili uhai wake Yesu pia udhihirike katika miili yetu. \t ܒܟܠܙܒܢ ܡܝܬܘܬܗ ܕܝܫܘܥ ܒܦܓܪܝܢ ܫܩܝܠܝܢܢ ܕܐܦ ܚܝܘܗܝ ܕܝܫܘܥ ܒܦܓܪܝܢ ܢܬܓܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikamwona mnyama mwingine anatoka ardhini. Alikuwa na pembe mbili kama pembe za kondoo, na aliongea kama joka. \t ܘܚܙܝܬ ܚܝܘܬܐ ܐܚܪܬܐ ܕܤܠܩܐ ܡܢ ܐܪܥܐ ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܬܪܬܝܢ ܩܪܢܢ ܘܕܡܝܐ ܠܐܡܪܐ ܘܡܡܠܠܐ ܗܘܬ ܐܝܟ ܬܢܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakisema: Mtu huyu alianza kujenga, lakini hakumalizia. \t ܘܐܡܪܝܢ ܕܗܢܐ ܓܒܪܐ ܫܪܝ ܠܡܒܢܐ ܘܠܐ ܐܫܟܚ ܠܡܫܠܡܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Maria!\" Naye Maria akageuka, akamwambia kwa Kiebrania, \"Raboni\" (yaani \"Mwalimu\"). \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܡܪܝܡ ܘܐܬܦܢܝܬ ܘܐܡܪܐ ܠܗ ܥܒܪܐܝܬ ܪܒܘܠܝ ܕܡܬܐܡܪ ܡܠܦܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini hamtakuwa nami siku zote.\" \t ܒܟܠܙܒܢ ܓܝܪ ܡܤܟܢܐ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܥܡܟܘܢ ܠܝ ܕܝܢ ܠܐ ܒܟܠܙܒܢ ܐܝܬ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Kama nimesema vibaya, onyesha huo ubaya; lakini ikiwa nimesema vema, mbona wanipiga?\" \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢ ܒܝܫܐܝܬ ܡܠܠܬ ܐܤܗܕ ܥܠ ܒܝܫܬܐ ܘܐܢ ܕܝܢ ܫܦܝܪ ܠܡܢܐ ܡܚܝܬܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo mwanamke huyo akiishi na mwanamume mwingine wakati mumewe yungali hai, ataitwa mzinzi; lakini mumewe akifa, mwanamke huyo yu huru kisheria, na akiolewa na mwanamume mwingine, yeye si mzinzi. \t ܐܢ ܕܝܢ ܟܕ ܚܝ ܒܥܠܗ ܬܩܦ ܠܓܒܪ ܐܚܪܝܢ ܗܘܬ ܠܗ ܓܝܪܬܐ ܐܢ ܕܝܢ ܢܡܘܬ ܒܥܠܗ ܐܬܚܪܪܬ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܘܠܐ ܐܝܬܝܗ ܓܝܪܬܐ ܐܢ ܬܗܘܐ ܠܓܒܪܐ ܐܚܪܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaendea wale wanafunzi, akawakuta wamelala. Akamwambia Petro, \"Ndiyo kusema hamkuweza kukesha pamoja nami hata saa moja? \t ܘܐܬܐ ܠܘܬ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܫܟܚ ܐܢܘܢ ܟܕ ܕܡܟܝܢ ܘܐܡܪ ܠܟܐܦܐ ܗܟܢܐ ܠܐ ܐܫܟܚܬܘܢ ܚܕܐ ܫܥܐ ܕܬܫܗܪܘܢ ܥܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuta za mji huo zilikuwa zimejengwa juu ya mawe ya msingi kumi na mawili, na juu ya mawe hayo yalikuwa yameandikwa majina na mitume kumi na wawili wa Mwanakondoo. \t ܘܫܘܪܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܐܝܬ ܠܗ ܫܬܐܤܐ ܬܪܬܥܤܪܐ ܘܥܠܝܗܝܢ ܬܪܥܤܪ ܫܡܗܐ ܕܫܠܝܚܘܗܝ ܕܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini tumshukuru Mungu anayetupatia ushindi kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܛܝܒܘ ܕܝܢ ܠܐܠܗܐ ܕܝܗܒ ܠܢ ܙܟܘܬܐ ܒܝܕ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, muwe waangalifu jinsi mnavyoishi: Msiishi kama wapumbavu, bali kama wenye hekima. \t ܚܙܘ ܗܟܝܠ ܐܝܟܢܐ ܬܗܠܟܘܢ ܙܗܝܐܝܬ ܠܐ ܐܝܟ ܤܟܠܐ ܐܠܐ ܐܝܟ ܚܟܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakamwuliza, \"Unataka tuiandae wapi?\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܘ ܠܗ ܐܝܟܐ ܨܒܐ ܐܢܬ ܕܢܛܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wengine wakamwambia Yesu, \"Wafuasi wa Yohane mbatizaji hufunga mara nyingi na kusali; hata wafuasi wa Mafarisayo hufanya vivyo hivyo. Lakini wafuasi wako hula na kunywa.\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܡܢܐ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܝܘܚܢܢ ܨܝܡܝܢ ܐܡܝܢܐܝܬ ܘܡܨܠܝܢ ܐܦ ܕܦܪܝܫܐ ܕܝܠܟ ܕܝܢ ܐܟܠܝܢ ܘܫܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa! \t ܕܐܝܬ ܠܗ ܐܕܢܐ ܢܫܡܥ ܡܢܐ ܪܘܚܐ ܡܡܠܠ ܠܥܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wazee! Mimi niliye mzee ninalo ombi moja kwenu wazee wenzangu. Mimi mwenyewe nilishuhudia kwa macho yangu mateso ya Kristo na natumaini kuushiriki ule utukufu utakaofunuliwa. Mimi nawaombeni \t ܒܥܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܡܢ ܩܫܝܫܐ ܕܐܝܬ ܒܟܘܢ ܐܢܐ ܩܫܝܫܐ ܚܒܪܟܘܢ ܘܤܗܕܐ ܕܚܫܘܗܝ ܕܡܫܝܚܐ ܘܫܘܬܦܐ ܕܫܘܒܚܗ ܗܘ ܕܥܬܝܕ ܕܢܬܓܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jitahidini kuishi kwa amani na watu wote. Ishini maisha ya utakatifu, kwa sababu hakuna mtu atakayemwona Bwana bila ya maisha kama hayo. \t ܗܪܛܘ ܒܬܪ ܫܠܡܐ ܥܡ ܟܠ ܐܢܫ ܘܒܬܪ ܩܕܝܫܘܬܐ ܕܒܠܥܕܝܗ ܐܢܫ ܠܡܪܢ ܠܐ ܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo ndivyo pia walivyo watu hawa. ndoto zao huwaongoza katika kuichafua miili yao wenyewe, kuyadharau mamlaka ya Mungu na kuvitukana viumbe vitukufu vya huko juu. \t ܒܗ ܒܕܡܘܬܐ ܐܦ ܗܠܝܢ ܕܒܚܠܡܐ ܡܫܬܪܓܪܓܝܢ ܠܒܤܪܐ ܡܢ ܡܛܢܦܝܢ ܠܡܪܘܬܐ ܕܝܢ ܛܠܡܝܢ ܘܠܬܫܒܘܚܬܐ ܡܓܕܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wale wanafunzi wengine walikuja pwani kwa mashua huku wanauvuta wavu uliojaa samaki; hawakuwa mbali na nchi kavu, ila walikuwa yapata mita mia moja kutoka ukingoni. \t ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܬܠܡܝܕܐ ܒܤܦܝܢܬܐ ܐܬܘ ܠܐ ܓܝܪ ܪܚܝܩܝܢ ܗܘܘ ܤܓܝ ܡܢ ܐܪܥܐ ܐܠܐ ܐܝܟ ܡܐܬܝܢ ܐܡܝܢ ܘܢܓܕܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܠܡܨܝܕܬܐ ܗܝ ܕܢܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwaambieni kwamba tutateswa; na kama mjuavyo ndivyo ilivyotukia. \t ܐܦ ܟܕ ܠܘܬܟܘܢ ܗܘܝܢ ܓܝܪ ܩܕܡܢ ܐܡܪܢ ܠܟܘܢ ܕܥܬܝܕܝܢܢ ܠܡܬܐܠܨܘ ܐܝܟܢܐ ܕܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Sasa Bwana, umetimiza ahadi yako, waweza kumruhusu mtumishi wako aende kwa amani. \t ܡܟܝܠ ܫܪܐ ܐܢܬ ܠܗ ܠܥܒܕܟ ܡܪܝ ܐܝܟ ܡܠܬܟ ܒܫܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kabila la Zabuloni, kumi na mbili elfu; kabila la Yosefu, kumi na mbili elfu, na kabila la Benyamini, kumi na mbili elfu. \t ܡܢ ܫܪܒܬܗ ܕܙܒܘܠܘܢ ܬܪܥܤܪ ܐܠܦܝܢ ܡܢ ܫܪܒܬܗ ܕܝܘܤܦ ܬܪܥܤܪ ܐܠܦܝܢ ܡܢ ܫܪܒܬܗ ܕܒܢܝܡܝܢ ܬܪܥܤܪ ܐܠܦܝܢ ܚܬܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini nawaambieni, Eliya amekwisha kuja nao hawakumtambua, bali walimtendea jinsi walivyotaka. Mwana wa Mtu atateswa vivyo hivyo mikononi mwao.\" \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܕܗܐ ܐܠܝܐ ܐܬܐ ܘܠܐ ܝܕܥܘܗܝ ܘܥܒܕܘ ܒܗ ܟܠ ܡܐ ܕܨܒܘ ܗܟܢܐ ܐܦ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܥܬܝܕ ܕܢܚܫ ܡܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha mmoja wa wale wazee akaniambia, \"Usilie! Tazama! Simba wa kabila la Yuda, mjukuu maarufu wa Daudi, ameshinda. Yeye anaweza kuivunja mihuri yake saba na kukifungua hicho kitabu.\" \t ܘܚܕ ܡܢ ܩܫܝܫܐ ܐܡܪ ܠܝ ܠܐ ܬܒܟܐ ܗܐ ܙܟܐ ܐܪܝܐ ܡܢ ܫܒܛܐ ܕܝܗܘܕܐ ܥܩܪܐ ܕܕܘܝܕ ܢܦܬܚ ܟܬܒܐ ܘܛܒܥܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali. \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܩܥܕ ܥܠ ܒܘܪܟܘܗܝ ܘܨܠܝ ܘܟܠܗܘܢ ܐܢܫܐ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara watu wakaja wamemchukua mtu mmoja aliyepooza maungo, amelala kitandani; wakajaribu kumwingiza ndani wamweke mbele ya Yesu. \t ܘܐܢܫܐ ܐܝܬܝܘ ܒܥܪܤܐ ܓܒܪܐ ܚܕ ܡܫܪܝܐ ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܕܢܥܠܘܢ ܢܤܝܡܘܢܝܗܝ ܩܕܡܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika wa nne akamwaga bakuli lake juu ya jua. Jua likapewa nguvu ya kuwachoma watu kwa moto wake. \t ܘܡܠܐܟܐ ܕܐܪܒܥܐ ܐܫܕ ܙܒܘܪܗ ܥܠ ܫܡܫܐ ܘܐܬܝܗܒ ܠܗ ܕܢܚܡ ܠܒܢܝܢܫܐ ܒܢܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda. \t ܘܗܘ ܢܘܗܪܐ ܒܚܫܘܟܐ ܡܢܗܪ ܘܚܫܘܟܐ ܠܐ ܐܕܪܟܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo akawauliza, \"Na ninyi je, mwasema mimi ni nani?\" Petro akajibu, \"Wewe ndiwe Kristo wa Mungu.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܡܢܘ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܝܬܝ ܥܢܐ ܫܡܥܘܢ ܘܐܡܪ ܡܫܝܚܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akaitwaa ile mikate saba na vile visamaki, akamshukuru Mungu, akavimega, akawapa wanafunzi, nao wakawagawia watu. \t ܘܫܩܠ ܠܗܠܝܢ ܫܒܥܐ ܠܚܡܝܢ ܘܠܢܘܢܐ ܘܫܒܚ ܘܩܨܐ ܘܝܗܒ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܬܠܡܝܕܐ ܝܗܒܘ ܠܟܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya masomo katika kitabu cha Sheria ya Mose na katika maandiko ya manabii, wakuu wa lile sunagogi waliwapelekea ujumbe huu: \"Ndugu, kama mnalo jambo la kuwaambia watu ili kuwapa moyo, semeni.\" \t ܘܒܬܪ ܕܐܬܩܪܝ ܢܡܘܤܐ ܘܢܒܝܐ ܫܠܚܘ ܠܗܘܢ ܩܫܝܫܐ ܕܟܢܘܫܬܐ ܘܐܡܪܘ ܓܒܪܐ ܐܚܝܢ ܐܢ ܗܘ ܕܐܝܬ ܠܟܘܢ ܡܠܬܐ ܕܒܘܝܐܐ ܡܠܠܘ ܥܡ ܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nimempa muda wa kutubu dhambi zake, lakini hataki kuachana na uzinzi wake. \t ܘܝܗܒܬ ܠܗ ܙܒܢܐ ܠܬܝܒܘܬܐ ܘܠܐ ܨܒܝܐ ܠܡܬܒ ܡܢ ܙܢܝܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mathalan: watu wa mataifa mengine hawana Sheria ya Mose; lakini kila wanapotimiza matakwa ya Sheria wakiongozwa na dhamiri zao, wao wenyewe wanakuwa kipimo cha Sheria ingawa hawaijui Sheria. \t ܐܢ ܓܝܪ ܥܡܡܐ ܕܢܡܘܤܐ ܠܝܬ ܠܗܘܢ ܡܢ ܟܝܢܗܘܢ ܢܥܒܕܘܢ ܕܢܡܘܤܐ ܗܢܘܢ ܕܟܕ ܢܡܘܤܐ ܠܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܠܢܦܫܗܘܢ ܗܘܘ ܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana pepo wachafu waliokuwa wamewapagaa watu wengi waliwatoka wakipiga kelele kubwa; na pia watu wengi waliokuwa wamepooza viungo na waliolemaa waliponywa. \t ܤܓܝܐܐ ܓܝܪ ܕܐܚܝܕܢ ܗܘܝ ܠܗܘܢ ܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ ܩܥܝܢ ܗܘܘ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܘܢܦܩܢ ܗܘܝ ܡܢܗܘܢ ܘܐܚܪܢܐ ܡܫܪܝܐ ܘܡܚܓܪܐ ܐܬܐܤܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninayo mengi ya kusema na kuhukumu juu yenu. Lakini yule aliyenituma ni kweli; nami nauambia ulimwengu mambo yale tu niliyoyasikia kutoka kwake.\" \t ܤܓܝ ܐܝܬ ܠܝ ܥܠܝܟܘܢ ܠܡܐܡܪ ܘܠܡܕܢ ܐܠܐ ܡܢ ܕܫܕܪܢܝ ܫܪܝܪ ܗܘ ܘܐܢܐ ܐܝܠܝܢ ܕܫܡܥܬ ܡܢܗ ܗܠܝܢ ܗܘ ܡܡܠܠ ܐܢܐ ܒܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Neno akawa mwanadamu, akakaa kwetu. Nasi tumeuona utukufu wake, utukufu wake yeye aliye Mwana wa pekee wa Baba; amejaa neema na ukweli. \t ܘܡܠܬܐ ܒܤܪܐ ܗܘܐ ܘܐܓܢ ܒܢ ܘܚܙܝܢ ܫܘܒܚܗ ܫܘܒܚܐ ܐܝܟ ܕܝܚܝܕܝܐ ܕܡܢ ܐܒܐ ܕܡܠܐ ܛܝܒܘܬܐ ܘܩܘܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tangu siku hiyo viongozi wa Wayahudi walifanya mipango ya kumwua Yesu. \t ܘܡܢ ܗܘ ܝܘܡܐ ܐܬܚܫܒܘ ܗܘܘ ܕܢܩܛܠܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu mwenyewe alitutayarishia mabadiliko hayo, naye ametupa Roho wake awe dhamana ya yote aliyotuwekea. \t ܘܕܡܥܬܕ ܠܢ ܠܗ ܠܗܕܐ ܐܠܗܐ ܗܘ ܗܘ ܕܝܗܒ ܠܢ ܪܗܒܘܢܐ ܕܪܘܚܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunajua kwamba sisi ni wake Mungu ingawa ulimwengu wote unatawaliwa na yule Mwovu. \t ܝܕܥܝܢܢ ܕܡܢ ܐܠܗܐ ܚܢܢ ܘܥܠܡܐ ܟܠܗ ܒܒܝܫܐ ܗܘ ܤܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nikodemo akamwuliza, \"Mambo haya yanawezekanaje?\" \t ܥܢܐ ܢܝܩܕܡܘܤ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܝܟܢܐ ܡܫܟܚܢ ܗܠܝܢ ܠܡܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale walinzi wakazichukua zile fedha, wakafanya kama walivyofundishwa. Habari hiyo imeenea kati ya Wayahudi mpaka leo. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܟܕ ܢܤܒܘ ܟܤܦܐ ܥܒܕܘ ܐܝܟ ܕܐܠܦܘ ܐܢܘܢ ܘܢܦܩܬ ܡܠܬܐ ܗܕܐ ܒܝܬ ܝܗܘܕܝܐ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuhani Mkuu akasimama, akamwuliza Yesu, \"Je, hujibu neno? Watu hawa wanashuhudia nini dhidi yako?\" \t ܘܩܡ ܪܒ ܟܗܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܠܐ ܡܕܡ ܡܦܢܐ ܐܢܬ ܦܬܓܡܐ ܡܢܐ ܡܤܗܕܝܢ ܥܠܝܟ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na sisi tuko thabiti mbele ya Mungu kwani tuna hakika kwamba tukimwomba chochote kadiri ya mapenzi yake, yeye hutusikiliza. \t ܘܗܕܐ ܦܪܗܤܝܐ ܐܝܬ ܠܢ ܠܘܬܗ ܕܟܠ ܕܫܐܠܝܢܢ ܠܗ ܐܝܟ ܨܒܝܢܗ ܫܡܥ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kanisa ni mwili wa Kristo, na ukamilifu wake yeye anayekamilisha vitu vyote kila mahali. \t ܕܐܝܬܝܗ ܓܘܫܡܗ ܘܫܘܡܠܝܐ ܕܗܘ ܕܟܠ ܒܟܠ ܡܫܡܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Martha alikuwa anashughulika na mambo mengi. Basi, akamwendea Yesu, akamwambia, \"Bwana, hivi hujali kwamba dada yangu ameniacha nishughulike peke yangu? Mwambie basi, anisaidie.\" \t ܡܪܬܐ ܕܝܢ ܥܢܝܐ ܗܘܬ ܒܬܫܡܫܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܘܐܬܬ ܐܡܪܐ ܠܗ ܡܪܝ ܠܐ ܒܛܝܠ ܠܟ ܕܚܬܝ ܫܒܩܬܢܝ ܒܠܚܘܕܝ ܠܡܫܡܫܘ ܐܡܪ ܠܗ ܡܥܕܪܐ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alisema: \"Katika mji mmoja kulikuwa na hakimu ambaye hakuwa anamcha Mungu wala kumjali binadamu. \t ܕܝܢܐ ܚܕ ܐܝܬ ܗܘܐ ܒܡܕܝܢܬܐ ܚܕܐ ܕܡܢ ܐܠܗܐ ܠܐ ܕܚܠ ܗܘܐ ܘܡܢ ܒܢܝܢܫܐ ܠܐ ܡܬܟܚܕ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akakileta katika sinia, akampa msichana naye msichana akampa mama yake. \t ܘܐܝܬܝ ܒܦܝܢܟܐ ܘܝܗܒ ܠܛܠܝܬܐ ܘܗܝ ܛܠܝܬܐ ܝܗܒܬ ܠܐܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mwanamke mmoja Msamaria akafika kuteka maji. Yesu akamwambia, \"Nipatie maji ninywe.\" \t ܘܐܬܬ ܐܢܬܬܐ ܡܢ ܫܡܪܝܢ ܕܬܡܠܐ ܡܝܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܗܒ ܠܝ ܡܝܐ ܐܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, kutoka katika mtu huyo mmoja, Abrahamu, ambaye alikuwa kama amekufa, walitokea watu wengi wasiohesabika kama vile nyota za mbinguni na mchanga wa pwani. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܡܢ ܚܕ ܕܒܛܠ ܒܤܝܒܘܬܐ ܐܬܝܠܕܘ ܤܓܝܐܐ ܐܝܟ ܟܘܟܒܐ ܕܒܫܡܝܐ ܘܐܝܟ ܚܠܐ ܕܥܠ ܤܦܬܗ ܕܝܡܐ ܕܡܢܝܢ ܠܝܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni hakika sivyo; lakini nanyi, hali kadhalika, msipotubu, mtaangamia kama wao. \t ܠܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܕܐܦ ܟܠܟܘܢ ܐܠܐ ܬܬܘܒܘܢ ܗܟܢܐ ܬܐܒܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nani, basi, awezaye kuushinda ulimwengu? Ni yule anayeamini kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu. \t ܡܢܘ ܓܝܪ ܕܙܟܐ ܠܗ ܠܥܠܡܐ ܐܠܐ ܗܘ ܕܡܗܝܡܢ ܕܝܫܘܥ ܒܪܗ ܗܘ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini isiwe hivyo kati yenu; bali, yule aliye mkuu kati yenu ni lazima awe mdogo wa wote, na aliye kiongozi lazima awe kama mtumishi. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܠܐ ܗܟܢܐ ܐܠܐ ܐܝܢܐ ܕܪܒ ܒܟܘܢ ܢܗܘܐ ܐܝܟ ܙܥܘܪܐ ܘܐܝܢܐ ܕܪܫܐ ܗܘ ܐܝܟ ܡܫܡܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akawawekea mikono, kisha akaondoka mahali hapo. \t ܘܤܡ ܐܝܕܗ ܥܠܝܗܘܢ ܘܐܙܠ ܡܢ ܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jua lilipokuwa linatua, wote waliokuwa na wagonjwa wao mbalimbali waliwaleta kwake; naye akaweka mikono yake juu ya kila mmoja wao, akawaponya wote. \t ܡܥܪܒܝ ܫܡܫܐ ܕܝܢ ܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܟܪܝܗܐ ܕܟܪܝܗܝܢ ܒܟܘܪܗܢܐ ܡܫܚܠܦܐ ܐܝܬܝܘ ܐܢܘܢ ܠܘܬܗ ܗܘ ܕܝܢ ܥܠ ܚܕ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܐܝܕܗ ܤܐܡ ܗܘܐ ܘܡܐܤܐ ܗܘܐ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana hukumu yake ni ya kweli na ya haki. Amemhukumu yule mzinzi mkuu ambaye alikuwa ameipotosha dunia kwa uzinzi wake. Amemwadhibu kwa sababu ya kumwaga damu ya watumishi wake!\" \t ܡܛܠ ܕܫܪܝܪܝܢ ܘܟܐܢܝܢ ܕܝܢܘܗܝ ܡܛܠ ܕܕܢ ܠܙܢܝܬܐ ܪܒܬܐ ܐܝܕܐ ܕܚܒܠܬ ܠܐܪܥܐ ܒܙܢܝܘܬܗ ܘܬܒܥ ܕܡܐ ܕܥܒܕܘܗܝ ܡܢ ܐܝܕܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote wawili walikuwa wanyofu mbele ya Mungu, wakiishi kwa kufuata amri na maagizo yote ya Bwana bila lawama. \t ܬܪܝܗܘܢ ܕܝܢ ܙܕܝܩܝܢ ܗܘܘ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܘܡܗܠܟܝܢ ܒܟܠܗܘܢ ܦܘܩܕܢܘܗܝ ܘܒܟܐܢܘܬܗ ܕܡܪܝܐ ܕܠܐ ܥܕܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Kristo kutoka wafu anaishi ndani yenu, basi huyo aliyemfufua Kristo kutoka wafu ataipa uzima miili yenu yenye hali ya kufa; atafanya hivyo kwa njia ya Roho wake akaaye ndani yenu. \t ܘܐܢ ܪܘܚܗ ܕܗܘ ܡܢ ܕܐܩܝܡ ܠܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܥܡܪܐ ܒܟܘܢ ܗܘ ܡܢ ܕܐܩܝܡܗ ܠܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܐܦ ܠܦܓܪܝܟܘܢ ܡܝܬܐ ܢܚܐ ܡܛܠ ܪܘܚܗ ܕܥܡܪܐ ܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa nimewaambieni mambo ya kidunia nanyi hamniamini, mtawezaje kuamini nikiwaambieni mambo ya mbinguni? \t ܐܢ ܕܒܐܪܥܐ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܘܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܝܟܢܐ ܐܢ ܐܡܪ ܠܟܘܢ ܕܒܫܡܝܐ ܬܗܝܡܢܘܢܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo Saulo alikuwa akizidisha vitisho vikali vya kuwaua wafuasi wa Bwana. Alikwenda kwa Kuhani Mkuu, \t ܫܐܘܠ ܕܝܢ ܥܕܟܝܠ ܡܠܐ ܗܘܐ ܠܘܚܡܐ ܘܚܡܬܐ ܕܩܛܠܐ ܥܠ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni atawatetea upesi. Hata hivyo, je, kutakuwako na imani duniani wakati Mwana wa Mtu atakapokuja?\" \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܢܥܒܕ ܬܒܥܬܗܘܢ ܒܥܓܠ ܒܪܡ ܢܐܬܐ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܘܢܫܟܚ ܟܝ ܗܝܡܢܘܬܐ ܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kati yao, na wakati huo ndipo watakapofunga.\" \t ܢܐܬܘܢ ܕܝܢ ܝܘܡܬܐ ܟܕ ܢܬܬܪܝܡ ܚܬܢܐ ܡܢܗܘܢ ܗܝܕܝܢ ܢܨܘܡܘܢ ܒܗܢܘܢ ܝܘܡܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wanafunzi wake walipoona hayo wakasema, \"Bwana, tutumie panga zetu?\" \t ܟܕ ܚܙܘ ܕܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܥܡܗ ܡܕܡ ܕܗܘܐ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܪܢ ܢܡܚܐ ܐܢܘܢ ܒܤܝܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Kuna jambo moja nililofanya, nanyi mnalistaajabia. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܚܕ ܥܒܕܐ ܥܒܕܬ ܘܟܠܟܘܢ ܡܬܕܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Frugia na Pamfulia, Misri na sehemu za Libya karibu na Kurene; wengine wetu ni wageni kutoka Roma, \t ܘܕܡܢ ܐܬܪܐ ܕܦܪܘܓܝܐ ܘܕܦܡܦܘܠܝܐ ܘܕܡܨܪܝܢ ܘܕܐܬܪܘܬܐ ܕܠܘܒܐ ܕܩܪܝܒܝܢ ܠܩܘܪܝܢܐ ܘܐܝܠܝܢ ܕܐܬܘ ܡܢ ܪܗܘܡܐ ܝܗܘܕܝܐ ܘܓܝܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa yote yaliyotawanyika kila mahali duniani, yaani Gogu na Magogu. Shetani atawakusanya pamoja kwa ajili ya vita; nao watakuwa wengi kama mchanga wa pwani. \t ܘܢܦܘܩ ܠܡܛܥܝܘ ܠܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܒܐܪܒܥ ܙܘܝܬܗ ܕܐܪܥܐ ܠܓܘܓ ܘܠܡܓܘܓ ܘܠܡܟܢܫܘ ܐܢܘܢ ܠܩܪܒܐ ܐܝܠܝܢ ܕܡܢܝܢܗܘܢ ܐܝܟ ܚܠܐ ܕܝܡܐ 9 ܘܤܠܩܘ ܥܠ ܦܬܝܗ ܕܐܪܥܐ ܘܚܕܪܘܗ ܠܡܕܝܢܬܐ ܕܡܫܪܝܬܐ ܕܩܕܝܫܐ ܘܠܡܕܝܢܬܐ ܚܒܝܒܬܐ ܘܢܚܬܬ ܢܘܪܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܘܐܟܠܬ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye alitupa habari za upendo wenu mliojaliwa na Roho. \t ܘܗܘ ܐܘܕܥܢ ܚܘܒܟܘܢ ܕܒܪܘܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Petro akamjibu, \"Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani, na hata kufa.\" \t ܫܡܥܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܡܪܝ ܥܡܟ ܡܛܝܒ ܐܢܐ ܘܠܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܘܠܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, mwanamke ataokolewa kwa kupata watoto, kama akidumu katika imani, upendo, utakatifu na unyofu. \t ܚܝܐ ܕܝܢ ܒܝܕ ܝܠܕܝܗ ܐܢ ܢܩܘܘܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܒܚܘܒܐ ܘܒܩܕܝܫܘܬܐ ܘܒܢܟܦܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ingawa wanajua kuna Mungu, lakini hawampi heshima anayostahili, wala hawamshukuru. Badala yake, fikira zao zimekuwa batili na akili zao tupu zimejaa giza. \t ܡܛܠ ܕܝܕܥܘ ܠܐܠܗܐ ܘܠܐ ܐܝܟ ܕܠܐܠܗܐ ܫܒܚܘܗܝ ܘܐܘܕܝܘ ܠܗ ܐܠܐ ܐܤܬܪܩܘ ܒܡܚܫܒܬܗܘܢ ܘܐܬܚܫܟ ܠܒܗܘܢ ܕܠܐ ܡܤܬܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nitajivuna basi, ingawa haifai! Lakini sasa nitasema juu ya maono na ufunuo alivyonijalia Bwana. \t ܠܡܫܬܒܗܪܘ ܘܠܐ ܐܠܐ ܠܐ ܦܩܚ ܐܬܐ ܐܢܐ ܠܝ ܓܝܪ ܠܚܙܘܢܐ ܘܠܓܠܝܢܘܗܝ ܕܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule aliyenituma, anao uzima wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima. \t ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܡܢ ܕܫܡܥ ܡܠܬܝ ܘܡܗܝܡܢ ܠܡܢ ܕܫܕܪܢܝ ܐܝܬ ܠܗ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܘܠܕܝܢܐ ܠܐ ܐܬܐ ܐܠܐ ܫܢܝ ܠܗ ܡܢ ܡܘܬܐ ܠܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yerusalemu ya juu mbinguni ni mji ulio huru, nao ni mama yetu. \t ܗܝ ܕܝܢ ܐܘܪܫܠܡ ܥܠܝܬܐ ܚܐܪܬܐ ܗܝ ܕܐܝܬܝܗ ܐܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Watu wawili walipanda kwenda Hekaluni kusali: mmoja Mfarisayo, na mwingine mtoza ushuru. \t ܬܪܝܢ ܓܒܪܝܢ ܤܠܩܘ ܠܗܝܟܠܐ ܠܡܨܠܝܘ ܚܕ ܦܪܝܫܐ ܘܐܚܪܢܐ ܡܟܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akawaona malaika wawili waliovaa mavazi meupe, wameketi pale mwili wa Yesu ulipokuwa umelazwa, mmoja kichwani na wa pili miguuni. \t ܘܚܙܬ ܬܪܝܢ ܡܠܐܟܐ ܒܚܘܪܐ ܕܝܬܒܝܢ ܚܕ ܡܢ ܐܤܕܘܗܝ ܘܚܕ ܡܢ ܪܓܠܘܗܝ ܐܝܟܐ ܕܤܝܡ ܗܘܐ ܦܓܪܗ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu yeyote akiungana na Kristo huwa kiumbe kipya, mambo ya kale yamepita, hali mpya imefika. \t ܟܠ ܡܢ ܕܒܡܫܝܚܐ ܗܘ ܗܟܝܠ ܒܪܝܬܐ ܗܘ ܚܕܬܐ ܥܬܝܩܬܐ ܥܒܪ ܠܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote wakashangazwa na uwezo mkuu wa Mungu. Wale watu walipokuwa bado wanashangaa juu ya mambo yote aliyofanya, Yesu aliwaambia wanafunzi wake, \t ܘܐܬܕܡܪܘ ܟܠܗܘܢ ܒܪܒܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܘܟܕ ܟܠܢܫ ܡܬܕܡܪ ܗܘܐ ܥܠ ܟܠ ܕܥܒܕ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, nitawapeni mfano kutoka maisha yetu ya kila siku. Fikirini juu ya mkataba kati ya watu wawili. Mkataba ukisha fanyika na kutiwa sahihi hapana mtu anayeuweka kando au kuuongezea kitu. \t ܐܚܝ ܐܝܟ ܕܒܝܬ ܒܢܝܢܫܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܕܝܬܩܐ ܕܒܪܢܫܐ ܕܐܫܬܪܪܬ ܐܢܫ ܠܐ ܡܤܠܐ ܐܘ ܡܫܚܠܦ ܒܗ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila kuhani mkuu huchaguliwa kutoka miongoni mwa watu kwa ajili ya kumtumikia Mungu kwa niaba yao, kutolea zawadi na tambiko kwa ajili ya dhambi zao. \t ܟܠ ܪܒ ܟܘܡܪܐ ܓܝܪ ܕܡܢ ܒܢܝܢܫܐ ܗܘܐ ܚܠܦ ܒܢܝܢܫܐ ܩܐܡ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܕܐܠܗܐ ܐܢܝܢ ܕܢܩܪܒ ܩܘܪܒܢܐ ܘܕܒܚܐ ܚܠܦ ܚܛܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane mbatizaji akiwa gerezani alipata habari juu ya matendo ya Kristo. Basi, Yohane akawatuma wanafunzi wake, \t ܝܘܚܢܢ ܕܝܢ ܟܕ ܫܡܥ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܥܒܕܘܗܝ ܕܡܫܝܚܐ ܫܕܪ ܒܝܕ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akiongozwa na Roho Mtakatifu, Simeoni aliingia Hekaluni; na wazazi wa Yesu walipomleta Hekaluni mtoto wao ili wamfanyie kama ilivyotakiwa na Sheria, \t ܗܘ ܗܢܐ ܐܬܐ ܗܘܐ ܒܪܘܚܐ ܠܗܝܟܠܐ ܘܟܕ ܡܥܠܝܢ ܠܗ ܐܒܗܘܗܝ ܠܝܫܘܥ ܛܠܝܐ ܕܢܥܒܕܘܢ ܚܠܦܘܗܝ ܐܝܟܢܐ ܕܦܩܝܕ ܒܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayekula mwili wangu na kunywa damu yangu anao uzima wa milele nami nitamfufua siku ya mwisho. \t ܡܢ ܕܐܟܠ ܕܝܢ ܡܢ ܦܓܪܝ ܘܫܬܐ ܡܢ ܕܡܝ ܐܝܬ ܠܗ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܘܐܢܐ ܐܩܝܡܝܘܗܝ ܒܝܘܡܐ ܐܚܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nami nikamjibu: Bwana, wao wanajua wazi kwamba mimi ni yule aliyekuwa anapitapita katika masunagogi na kuwatia nguvuni na kuwapiga wale waliokuwa wanakuamini. \t ܘܐܢܐ ܐܡܪܬ ܡܪܝ ܐܦ ܗܢܘܢ ܝܕܥܝܢ ܕܐܢܐ ܡܫܠܡ ܗܘܝܬ ܠܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܘܡܚܐ ܗܘܝܬ ܒܟܠ ܟܢܘܫܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܗܝܡܢܝܢ ܗܘܘ ܒܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kajifunzeni maana ya maneno haya: Nataka huruma, wala si dhabihu. Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi.\" \t ܙܠܘ ܝܠܦܘ ܡܢܘ ܚܢܢܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܘܠܐ ܕܒܚܬܐ ܠܐ ܓܝܪ ܐܬܝܬ ܕܐܩܪܐ ܠܙܕܝܩܐ ܐܠܐ ܠܚܛܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipofika kwenye mipaka ya Musia, walijaribu kuingia mkoani Bithunia, lakini Roho wa Yesu hakuwaruhusu. \t ܘܟܕ ܐܬܘ ܠܡܘܤܝܐ ܐܬܪܐ ܨܒܝܢ ܗܘܘ ܕܢܐܙܠܘܢ ܡܢ ܬܡܢ ܠܒܝܬܘܢܝܐ ܘܠܐ ܐܦܤܬ ܠܗܘܢ ܪܘܚܗ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili ninyi nyote, kwa nia moja na sauti moja, mumtukuze Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܕܒܚܕ ܪܥܝܢ ܘܒܚܕ ܦܘܡ ܬܫܒܚܘܢ ܠܐܠܗܐ ܐܒܘܗܝ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wewe! Si ulijidai kulivunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu? Sasa jiokoe mwenyewe. Kama wewe ni Mwana wa Mungu, basi shuka msalabani!\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܤܬܪ ܗܝܟܠܐ ܘܒܢܐ ܠܗ ܠܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܦܨܐ ܢܦܫܟ ܐܢ ܒܪܗ ܐܢܬ ܕܐܠܗܐ ܘܚܘܬ ܡܢ ܙܩܝܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mtu anataka kuleta ubishi juu ya jambo hili, basi, na ajue kwamba sisi hatuna desturi nyingine, wala makanisa ya Mungu hayana desturi nyingine. \t ܐܢ ܐܢܫ ܕܝܢ ܡܬܚܪܐ ܥܠ ܗܠܝܢ ܠܢ ܠܝܬ ܥܝܕܐ ܐܝܟ ܗܢܐ ܘܠܐ ܠܥܕܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kama jicho lako likikukosesha, ling'oe na kulitupa mbali nawe. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa chongo, kuliko kutupwa katika moto wa Jehanamu ukiwa na macho yako yote mawili. \t ܘܐܢ ܗܘ ܕܥܝܢܟ ܡܟܫܠܐ ܠܟ ܚܨܝܗ ܘܫܕܝܗ ܡܢܟ ܛܒ ܗܘ ܠܟ ܕܒܚܕܐ ܥܝܢܐ ܬܥܘܠ ܠܚܝܐ ܘܠܐ ܟܕ ܐܝܬ ܠܟ ܬܪܬܝܢ ܥܝܢܝܢ ܬܦܠ ܒܓܗܢܐ ܕܢܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa bado anasema hivyo, wingu jeupe likawafunika, na sauti ikasikika kutoka katika hilo wingu: \"Huyu ni Mwanangu mpendwa, ninayependezwa naye, msikilizeni.\" \t ܘܥܕ ܗܘ ܡܡܠܠ ܗܐ ܥܢܢܐ ܢܗܝܪܬܐ ܐܛܠܬ ܥܠܝܗܘܢ ܘܩܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܥܢܢܐ ܕܐܡܪ ܗܢܘ ܒܪܝ ܚܒܝܒܐ ܕܒܗ ܐܨܛܒܝܬ ܠܗ ܫܡܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ninyi wenyewe mwajua kwamba Siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajavyo usiku. \t ܐܢܬܘܢ ܓܝܪ ܫܪܝܪܐܝܬ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܝܘܡܗ ܕܡܪܢ ܐܝܟ ܓܢܒܐ ܒܠܠܝܐ ܗܟܢܐ ܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sehemu ya Maandiko Matakatifu aliyokuwa anasoma ilikuwa hii: \"Alikuwa kama kondoo anayepelekwa kuchinjwa; kimya kama vile mwana kondoo anaponyolewa manyoya, yeye naye hakutoa sauti hata kidogo. \t ܦܤܘܩܐ ܕܝܢ ܕܟܬܒܐ ܕܩܪܐ ܗܘܐ ܒܗ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܗܢܐ ܐܝܟ ܐܡܪܐ ܠܢܟܤܬܐ ܐܬܕܒܪ ܘܐܝܟ ܢܩܝܐ ܩܕܡ ܓܙܘܙܐ ܫܬܝܩ ܗܘܐ ܘܗܟܢܐ ܠܐ ܦܬܚ ܦܘܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, msiwe na wasiwasi: Tutakula nini, tutakunywa nini, tutavaa nini! \t ܠܐ ܗܟܝܠ ܬܐܨܦܘܢ ܐܘ ܬܐܡܪܘܢ ܡܢܐ ܢܐܟܘܠ ܐܘ ܡܢܐ ܢܫܬܐ ܐܘ ܡܢܐ ܢܬܟܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tunajivunia kitu kimoja: dhamiri yetu inatuhakikishia kwamba tumeishi ulimwenguni hapa, na hasa kati yenu, kwa unyenyekevu na unyofu tuliojaliwa na Mungu; hatukuongozwa na hekima ya kibinadamu bali neema ya Mungu. \t ܫܘܒܗܪܢ ܓܝܪ ܗܢܘ ܤܗܕܘܬܐ ܕܪܥܝܢܢ ܕܒܦܫܝܛܘܬܐ ܘܒܕܟܝܘܬܐ ܘܒܛܝܒܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܐܬܗܦܟܢ ܒܥܠܡܐ ܘܠܐ ܒܚܟܡܬܐ ܕܦܓܪܐ ܘܝܬܝܪܐܝܬ ܠܘܬܟܘܢ ܕܝܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikatazama, na wakati Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa sita, kukawa na tetemeko kubwa la ardhi; jua likawa jeusi kama gunia; mwezi wote ukawa mwekundu kama damu; \t ܘܚܙܝܬ ܟܕ ܦܬܚ ܛܒܥܐ ܕܫܬܐ ܘܢܘܕܐ ܪܒܐ ܗܘܐ ܘܫܡܫܐ ܐܝܟ ܤܩܐ ܕܤܥܪܐ ܐܘܟܡ ܗܘܐ ܘܤܗܪܐ ܟܠܗ ܗܘܐ ܠܗ ܐܝܟ ܕܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mna matatizo mengine, yapelekeni katika kikao halali. \t ܘܐܢ ܗܘ ܕܡܕܡ ܐܚܪܝܢ ܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܕܘܟܬܐ ܕܝܗܝܒܐ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܠܟܢܘܫܝܐ ܡܫܬܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akatupilia mbali vazi lake, akaruka juu, akamwendea Yesu. \t ܗܘ ܕܝܢ ܤܡܝܐ ܫܕܐ ܠܒܫܗ ܘܩܡ ܐܬܐ ܠܘܬ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kujigamba ati unayo Sheria ya Mungu, je huoni kwamba kwa kuivunja Sheria unamdharau Mungu? \t ܘܐܢܬ ܕܡܫܬܒܗܪ ܐܢܬ ܒܢܡܘܤܐ ܒܗܘ ܕܥܒܪ ܐܢܬ ܥܠ ܢܡܘܤܐ ܠܐܠܗܐ ܗܘ ܡܨܥܪ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipanda mashua, na wanafunzi wake wakaenda pamoja naye. \t ܘܟܕ ܤܠܩ ܝܫܘܥ ܠܤܦܝܢܬܐ ܤܠܩܘ ܥܡܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila sikukuu ya Pasaka, ilimlazimu Pilato kuwafungulia mfungwa mmoja. \t ܥܝܕܐ ܓܝܪ ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܢܫܪܐ ܠܗܘܢ ܚܕ ܒܥܕܥܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila kitu ni safi kwa watu walio safi; lakini hakuna chochote kilicho safi kwa wale waliochafuliwa na wasioamini, maana dhamiri na akili zao zimechafuliwa. \t ܟܠܡܕܡ ܓܝܪ ܕܟܐ ܗܘ ܠܕܟܝܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܝܢ ܕܡܤܝܒܝܢ ܘܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܡܕܡ ܕܕܟܐ ܠܝܬ ܠܗܘܢ ܐܠܐ ܡܤܝܒ ܗܘ ܪܥܝܢܗܘܢ ܘܬܐܪܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zamani ninyi mlikuwa gizani, lakini sasa ninyi mko katika mwanga kwa kuungana na Bwana. Ishini kama watoto wa mwanga: \t ܐܝܬܝܟܘܢ ܗܘܝܬܘܢ ܓܝܪ ܡܢ ܠܘܩܕܡ ܚܫܘܟܐ ܗܫܐ ܕܝܢ ܢܘܗܪܐ ܐܢܬܘܢ ܒܡܪܢ ܐܝܟ ܒܢܝ ܢܘܗܪܐ ܗܟܝܠ ܗܟܢܐ ܗܠܟܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja wenu anaposema, \"Mimi ni wa Paulo\", na mwingine, \"Mimi ni wa Apolo\", je, hiyo haionyeshi kwamba mnaishi bado kama watu wa dunia hii tu? \t ܡܐ ܕܐܡܪ ܓܝܪ ܐܢܫ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܐܢܐ ܕܦܘܠܘܤ ܐܢܐ ܘܐܚܪܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܐܦܠܘ ܐܢܐ ܠܐ ܗܐ ܦܓܪܢܐ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kila mmoja anao mzigo wake mwenyewe wa kubeba. \t ܟܠܢܫ ܓܝܪ ܡܘܒܠܐ ܕܢܦܫܗ ܢܫܩܘܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vilevile maandishi haya yalikuwa yameandikwa na kuwekwa juu yake: \"Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi.\" \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܐܦ ܟܬܒܐ ܕܟܬܝܒ ܠܥܠ ܡܢܗ ܝܘܢܐܝܬ ܘܪܗܘܡܐܝܬ ܘܥܒܪܐܝܬ ܗܢܘ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ewe Bethlehemu katika nchi ya Yuda, kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa Yuda; maana kwako atatokea kiongozi atakayewaongoza watu wangu, Israeli.\" \t ܐܦ ܐܢܬܝ ܒܝܬ ܠܚܡ ܕܝܗܘܕܐ ܠܐ ܗܘܝܬܝ ܒܨܝܪܐ ܒܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܐ ܡܢܟܝ ܓܝܪ ܢܦܘܩ ܡܠܟܐ ܕܗܘ ܢܪܥܝܘܗܝ ܠܥܡܝ ܐܝܤܪܐܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati mmoja wanafunzi wa Yohane na wanafunzi wa Mafarisayo walikuwa wanafunga. Basi, watu wakaja, wakamwuliza Yesu, \"Kwa nini wanafunzi wa Yohane na wa Mafarisayo wanafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?\" \t ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܝܢ ܕܝܘܚܢܢ ܘܦܪܝܫܐ ܨܝܡܝܢ ܗܘܘ ܘܐܬܘ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܡܢܐ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܝܘܚܢܢ ܘܕܦܪܝܫܐ ܨܝܡܝܢ ܘܬܠܡܝܕܝܟ ܕܝܠܟ ܠܐ ܨܝܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipoingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuliza kwa faragha, \"Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa?\" \t ܟܕ ܥܠ ܕܝܢ ܠܒܝܬܐ ܝܫܘܥ ܫܐܠܘܗܝ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܒܠܚܘܕܝܗܘܢ ܠܡܢܐ ܚܢܢ ܠܐ ܐܫܟܚܢ ܠܡܦܩܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipita kituo cha kwanza cha ulinzi na cha pili, halafu wakafika kwenye mlango wa chuma wa kuingilia mjini. Huo mlango ukawafungukia wenyewe, nao wakatoka nje. Wakawa wanatembea katika barabara moja na mara yule malaika akamwacha Petro peke yake. \t ܘܟܕ ܥܒܪܘ ܡܛܪܬܐ ܩܕܡܝܬܐ ܘܕܬܪܬܝܢ ܐܬܘ ܥܕܡܐ ܠܬܪܥܐ ܕܦܪܙܠܐ ܘܐܬܦܬܚ ܠܗܘܢ ܡܢ ܨܒܘܬ ܢܦܫܗ ܘܟܕ ܢܦܩܘ ܘܥܒܪܘ ܫܘܩܐ ܚܕ ܦܪܩ ܡܢ ܠܘܬܗ ܡܠܐܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri yako wewe uliyesadiki kwamba yatatimia yale Bwana aliyokwambia.\" \t ܘܛܘܒܝܗ ܠܐܝܕܐ ܕܗܝܡܢܬ ܕܗܘܐ ܫܘܠܡܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܬܡܠܠ ܥܡܗ ܡܢ ܠܘܬ ܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema lugha mbalimbali kadiri Roho alivyowawezesha. \t ܘܐܬܡܠܝܘ ܟܠܗܘܢ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܘܐܩܦܘ ܗܘܘ ܠܡܡܠܠܘ ܒܠܫܢ ܠܫܢ ܐܝܟ ܡܐ ܕܪܘܚܐ ܝܗܒ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܠܡܡܠܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa mtini jifunzeni mfano huu: Mara tu matawi yake yanapoanza kuwa laini na kuchanua majani, mnajua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia. \t ܡܢ ܬܬܐ ܕܝܢ ܝܠܦܘ ܦܠܐܬܐ ܕܡܚܕܐ ܕܤܘܟܝܗ ܪܟܢ ܘܦܪܥܝܢ ܛܪܦܝܗ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܡܛܐ ܩܝܛܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake yatakuwa mema; ufanyeni kuwa mbaya na matunda yake yatakuwa mabaya. Mti hujulikana kwa matunda yake. \t ܐܘ ܥܒܕܘ ܐܝܠܢܐ ܫܦܝܪܐ ܘܦܐܪܘܗܝ ܫܦܝܪܐ ܐܘ ܥܒܕܘ ܐܝܠܢܐ ܒܝܫܐ ܘܦܐܪܘܗܝ ܒܝܫܐ ܡܢ ܦܐܪܘܗܝ ܗܘ ܓܝܪ ܡܬܝܕܥ ܐܝܠܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Kweli nawaambieni, msipokula mwili wa Mwana wa Mtu na kunywa damu yake, hamtakuwa na uzima ndani yenu. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܠܐ ܬܐܟܠܘܢ ܦܓܪܗ ܕܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܘܬܫܬܘܢ ܕܡܗ ܠܝܬ ܠܟܘܢ ܚܝܐ ܒܩܢܘܡܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipofika waliwaombea hao waumini ili wampokee Roho Mtakatifu; \t ܘܢܚܬܘ ܘܨܠܝܘ ܥܠܝܗܘܢ ܐܝܟ ܕܢܩܒܠܘܢ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Masadukayo wasemao kwamba hakuna ufufuo walimwendea Yesu, wakamwuliza, \t ܘܐܬܘ ܙܕܘܩܝܐ ܠܘܬܗ ܗܢܘܢ ܕܐܡܪܝܢ ܕܩܝܡܬܐ ܠܝܬ ܘܡܫܐܠܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܘܐܡܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kusikia hayo, walibatizwa kwa jina la Bwana Yesu. \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܫܡܥܘ ܥܡܕܘ ܒܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kama lile agano la kwanza halingalikuwa na dosari, hakungalikuwa na haja ya agano la pili. \t ܐܠܘ ܓܝܪ ܐܝܬܝܗ ܗܘܬ ܩܕܡܝܬܐ ܕܠܐ ܪܫܝܢ ܠܝܬ ܗܘܐ ܐܬܪܐ ܠܗܕܐ ܕܬܪܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mungu anataka mweze kuyakomesha maneno ya kijinga ya watu wasio na akili kwa matendo mema mnayofanya. \t ܕܗܟܢܐ ܗܘ ܨܒܝܢܐ ܕܐܠܗܐ ܕܒܥܒܕܝܟܘܢ ܫܦܝܪܐ ܬܤܟܪܘܢ ܦܘܡܐ ܕܤܟܠܐ ܗܢܘܢ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa njia yake, ninyi mnamwamini Mungu aliyemfufua kutoka wafu na kumpa utukufu; na hivyo imani na matumaini yenu yako kwa Mungu. \t ܐܝܠܝܢ ܕܒܐܝܕܗ ܗܝܡܢܬܘܢ ܒܐܠܗܐ ܗܘ ܕܐܩܝܡܗ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܘܝܗܒ ܠܗ ܫܘܒܚܐ ܕܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܘܤܒܪܟܘܢ ܢܗܘܐ ܥܠ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaendelea kuwaambia, \"Je, watu huwasha taa wakaileta ndani na kuifunika kwa pishi au kuiweka mvunguni? La! Huiweka juu ya kinara. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܠܡܐ ܐܬܐ ܫܪܓܐ ܕܬܚܝܬ ܤܐܬܐ ܢܬܬܤܝܡ ܐܘ ܬܚܝܬ ܥܪܤܐ ܠܐ ܗܘܐ ܕܥܠ ܡܢܪܬܐ ܢܬܬܤܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakakusanya vipande vya mikate ya shayiri walivyobakiza wale watu waliokula, wakajaza vikapu kumi na viwili. \t ܘܟܢܫܘ ܘܡܠܘ ܬܪܥܤܪ ܩܘܦܝܢܝܢ ܩܨܝܐ ܐܝܠܝܢ ܕܝܬܪܘ ܠܗܢܘܢ ܕܐܟܠܘ ܡܢ ܚܡܫܐ ܠܚܡܝܢ ܕܤܥܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, huyu si yule seremala mwana wa Maria, na ndugu yao kina Yakobo, Yose, Yuda na Simoni; Je, dada zake si wanaishi papa hapa kwetu?\" Basi, wakawa na mashaka naye. \t ܠܐ ܗܘܐ ܗܢܐ ܢܓܪܐ ܒܪܗ ܕܡܪܝܡ ܘܐܚܘܗܝ ܕܝܥܩܘܒ ܘܕܝܘܤܐ ܘܕܝܗܘܕܐ ܘܕܫܡܥܘܢ ܘܠܐ ܗܐ ܐܚܘܬܗ ܬܢܢ ܠܘܬܢ ܘܡܬܟܫܠܝܢ ܗܘܘ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Lakini, juu ya siku au saa hiyo, hakuna mtu ajuaye itakuja lini; wala malaika wa mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake ndiye ajuaye. \t ܥܠ ܝܘܡܐ ܕܝܢ ܗܘ ܘܥܠ ܫܥܬܐ ܗܝ ܐܢܫ ܠܐ ܝܕܥ ܐܦܠܐ ܡܠܐܟܐ ܕܫܡܝܐ ܐܠܐ ܐܒܐ ܒܠܚܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Demetrio aliwakusanya hao wafanyakazi pamoja na wengine waliokuwa na kazi kama hiyo, akawaambia, \"Wananchi, mnafahamu kwamba kipato chetu kinatokana na biashara hii. \t ܗܢܐ ܟܢܫ ܐܢܘܢ ܠܒܢܝ ܐܘܡܢܘܬܗ ܟܠܗܘܢ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܦܠܚܝܢ ܥܡܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܓܒܪܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܬܐܓܘܪܬܢ ܟܠܗ ܡܢ ܗܢܐ ܗܝ ܦܘܠܚܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani; wengine wakatandaza matawi ya miti waliyoyakata mashambani. \t ܤܓܝܐܐ ܕܝܢ ܡܫܘܝܢ ܗܘܘ ܢܚܬܝܗܘܢ ܒܐܘܪܚܐ ܘܐܚܪܢܐ ܦܤܩܝܢ ܗܘܘ ܤܘܟܐ ܡܢ ܐܝܠܢܐ ܘܡܫܘܝܢ ܒܐܘܪܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipompata, alimleta Antiokia. Nao wote wawili walikaa na lile kanisa kwa mwaka wote mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. Huko Antiokia, ndiko, kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa Wakristo. \t ܘܟܕ ܐܫܟܚܗ ܐܝܬܝܗ ܥܡܗ ܠܐܢܛܝܟܝܐ ܘܫܢܬܐ ܟܠܗ ܐܟܚܕܐ ܟܢܝܫܝܢ ܗܘܘ ܒܥܕܬܐ ܘܐܠܦܘ ܥܡܐ ܤܓܝܐܐ ܡܢ ܗܝܕܝܢ ܩܕܡܝܬ ܐܬܩܪܝܘ ܒܐܢܛܝܘܟܝ ܬܠܡܝܕܐ ܟܪܤܛܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo. \t ܘܟܕ ܗܘ ܫܡܥܘܢ ܡܬܢܛܪ ܗܘܐ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܨܠܘܬܐ ܐܡܝܢܬܐ ܡܬܩܪܒܐ ܗܘܬ ܡܢ ܥܕܬܐ ܚܠܦܘܗܝ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mwana wa Mtu hakuja kutumikiwa, ila alikuja kutumikia, na kutoa maisha yake kuwa fidia ya watu wengi.\" \t ܐܦ ܒܪܗ ܓܝܪ ܕܐܢܫܐ ܠܐ ܐܬܐ ܕܢܫܬܡܫ ܐܠܐ ܕܢܫܡܫ ܘܕܢܬܠ ܢܦܫܗ ܦܘܪܩܢܐ ܚܠܦ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nimefanya bidii katika mashindano, nimemaliza safari yote na imani nimeitunza. \t ܐܓܘܢܐ ܫܦܝܪܐ ܐܬܟܬܫܬ ܘܪܗܛܝ ܫܠܡܬ ܘܗܝܡܢܘܬܝ ܢܛܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: Mmoja hupanda na mwingine huvuna. \t ܒܗܕܐ ܓܝܪ ܐܝܬܝܗ ܡܠܬܐ ܕܫܪܪܐ ܕܐܚܪܝܢ ܗܘ ܙܪܥ ܘܐܚܪܝܢ ܚܨܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakaanza kumshtaki wakisema: \"Tulimkuta mtu huyu akiwapotosha watu wetu, akipinga kulipa kodi kwa Kaisari na kujiita ati yeye ni Kristo, Mfalme.\" \t ܘܫܪܝܘ ܐܟܠܝܢ ܩܪܨܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗܢܐ ܐܫܟܚܢ ܕܡܛܥܐ ܥܡܢ ܘܟܠܐ ܕܟܤܦ ܪܫܐ ܠܩܤܪ ܠܐ ܢܬܠ ܘܐܡܪ ܥܠ ܢܦܫܗ ܕܡܠܟܐ ܗܘ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, watu walipokusanyika pamoja, Pilato akawauliza, \"Mwataka nimfungue yupi kati ya wawili hawa, Baraba ama Yesu aitwae Kristo?\" \t ܘܟܕ ܟܢܝܫܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܦܝܠܛܘܤ ܠܡܢ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܫܪܐ ܠܟܘܢ ܠܒܪ ܐܒܐ ܐܘ ܠܝܫܘܥ ܕܡܬܩܪܐ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwambieni mwenye nyumba: Mwalimu anakuuliza, kiko wapi kile chumba ambamo nitakula Pasaka pamoja na wanafunzi wangu? \t ܘܐܝܟܐ ܕܥܐܠ ܐܡܪܘ ܠܡܪܗ ܕܒܝܬܐ ܪܒܢ ܐܡܪ ܐܝܢܘ ܒܝܬ ܡܫܪܝܐ ܐܝܟܐ ܕܐܟܘܠ ܦܨܚܐ ܥܡ ܬܠܡܝܕܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ghafla, sauti ikasikika kutoka angani; sauti iliyokuwa kama ya upepo mkali, ikajaza ile nyumba yote walimokuwa wamekaa. \t ܗܘܐ ܡܢ ܫܠܝܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܩܠܐ ܐܝܟ ܪܘܚܐ ܥܙܝܙܬܐ ܘܐܬܡܠܝ ܗܘܐ ܡܢܗ ܟܠܗ ܒܝܬܐ ܗܘ ܕܒܗ ܝܬܒܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa huko, siku yake ya kujifungua ikawadia, \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܬܡܢ ܐܢܘܢ ܐܬܡܠܝܘ ܝܘܡܬܗ ܕܬܐܠܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo alipofika kwenye ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu. \t ܘܟܕ ܡܛܝ ܦܘܠܘܤ ܠܕܪܓܐ ܛܥܢܘܗܝ ܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܡܛܠ ܩܛܝܪܐ ܕܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nikiwa na matumaini hayo, nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu. \t ܘܒܗܢܐ ܬܘܟܠܢܐ ܨܒܐ ܗܘܝܬ ܡܢ ܩܕܝܡ ܕܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܕܐܥܝܦܐܝܬ ܬܩܒܠܘܢ ܛܝܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ikiwa ninawafukuza pepo kwa nguvu ya Roho wa Mungu, basi jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu. \t ܘܐܢ ܒܪܘܚܐ ܕܐܠܗܐ ܐܢܐ ܡܦܩ ܐܢܐ ܕܝܘܐ ܩܪܒܬ ܠܗ ܥܠܝܟܘܢ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo ofisa akamwambia, \"Mheshimiwa, sistahili uingie nyumbani mwangu. Lakini sema tu neno, na mtumishi wangu atapona. \t ܥܢܐ ܩܢܛܪܘܢܐ ܗܘ ܘܐܡܪ ܡܪܝ ܠܐ ܫܘܐ ܐܢܐ ܕܬܥܘܠ ܬܚܝܬ ܡܛܠܠܝ ܐܠܐ ܒܠܚܘܕ ܐܡܪ ܒܡܠܬܐ ܘܢܬܐܤܐ ܛܠܝܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliposikia kwamba ni Yesu wa Nazareti aliyekuwa anapita mahali hapo, alianza kupaaza sauti, \"Yesu, Mwana wa Daudi, nihurumie!\" \t ܘܫܡܥ ܕܝܫܘܥ ܗܘ ܢܨܪܝܐ ܘܫܪܝ ܠܡܩܥܐ ܘܠܡܐܡܪ ܒܪܗ ܕܕܘܝܕ ܐܬܪܚܡ ܥܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakisema, \"Ole! Ole kwa mji huu mkuu. Ulizoea kuvalia nguo za kitani, za rangi ya zambarau na nyekundu, na kujipamba kwa dhahabu, mawe ya thamani na lulu! \t ܘܐܡܪܝܢ ܘܝ ܘܝ ܡܕܝܢܬܐ ܪܒܬܐ ܕܡܥܛܦܐ ܒܘܨܐ ܘܐܪܓܘܢܐ ܘܙܚܘܪܝܬܐ ܕܡܕܗܒܢ ܒܕܗܒܐ ܘܟܐܦܐ ܝܩܝܪܬܐ ܘܡܪܓܢܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanafunzi hamshindi mwalimu wake, lakini kila mwanafunzi akisha hitimu huwa kama mwalimu wake. \t ܠܝܬ ܬܠܡܝܕܐ ܕܝܬܝܪ ܡܢ ܪܒܗ ܟܠܢܫ ܓܝܪ ܕܓܡܝܪ ܢܗܘܐ ܐܝܟ ܪܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Saidianeni kubeba mizigo yenu na hivyo mtatimiza sheria ya Kristo. \t ܘܛܥܢܘ ܝܘܩܪܐ ܕܚܕܕܐ ܕܗܟܢܐ ܡܡܠܝܬܘܢ ܢܡܘܤܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ikiwa kukataliwa kwao kulisababisha ulimwengu upatanishwe na Mungu, itakuwaje wakati watakapokubaliwa na Mungu? Wafu watafufuka! \t ܐܢ ܓܝܪ ܡܤܬܠܝܢܘܬܗܘܢ ܬܪܥܘܬܐ ܠܥܠܡܐ ܗܘܬ ܟܡܐ ܗܟܝܠ ܦܘܢܝܗܘܢ ܐܠܐ ܚܝܐ ܕܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa akipita, akamwona Lawi mwana wa Alfayo, ameketi katika ofisi ya ushuru. Yesu akamwambia, \"Nifuate!\" Lawi akasimama, akamfuata. \t ܘܟܕ ܥܒܪ ܚܙܐ ܠܠܘܝ ܒܪ ܚܠܦܝ ܕܝܬܒ ܒܝܬ ܡܟܤܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܬܐ ܒܬܪܝ ܘܩܡ ܐܙܠ ܒܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao wapelelezi wakamwambia, \"Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo ya kweli; tunajua kwamba wewe huna ubaguzi; wewe wafundisha ukweli juu ya njia ya Mungu. \t ܘܫܐܠܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܠܦܢܐ ܝܕܥܝܢܢ ܕܬܪܝܨܐܝܬ ܡܡܠܠ ܐܢܬ ܘܡܠܦ ܘܠܐ ܢܤܒ ܐܢܬ ܒܐܦܐ ܐܠܐ ܒܩܘܫܬܐ ܐܘܪܚܐ ܕܐܠܗܐ ܡܠܦ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaambia, \"Nimetamani sana kula Pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa kwangu. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܪܓܬܐ ܪܓܬܢܝ ܕܗܢܐ ܦܨܚܐ ܐܟܘܠ ܥܡܟܘܢ ܩܕܡ ܕܐܚܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko, Kristo anatawala juu ya kila tawala, mamlaka, enzi na ukuu; anatawala juu ya kila cheo kiwezacho kutajwa katika ulimwengu huu na katika ulimwengu ujao. \t ܠܥܠ ܡܢ ܟܠܗܝܢ ܐܪܟܘܤ ܘܫܘܠܛܢܐ ܘܚܝܠܐ ܘܡܪܘܬܐ ܘܠܥܠ ܡܢ ܟܠ ܫܡ ܕܡܫܬܡܗ ܠܐ ܒܠܚܘܕ ܒܥܠܡܐ ܗܢܐ ܐܠܐ ܐܦ ܒܕܥܬܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao wakapaaza sauti: \"Mwondoe! Mwondoe! Msulubishe!\" Makuhani wakuu wakajibu, \"Sisi hatuna Mfalme isipokuwa Kaisari!\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܩܥܝܢ ܗܘܘ ܫܩܘܠܝܗܝ ܫܩܘܠܝܗܝ ܨܠܘܒܝܗܝ ܨܠܘܒܝܗܝ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܦܝܠܛܘܤ ܠܡܠܟܟܘܢ ܐܙܩܘܦ ܐܡܪܝܢ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܠܝܬ ܠܢ ܡܠܟܐ ܐܠܐ ܐܢ ܩܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipomaliza kusema hayo yote, aliwaambia wanafunzi wake, \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܫܠܡ ܝܫܘܥ ܟܠܗܝܢ ܡܠܐ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Daudi alisema juu yake hivi: Nilimwona Bwana mbele yangu daima; yuko nami upande wangu wa kulia, na hivyo sitatikisika. \t ܕܘܝܕ ܓܝܪ ܐܡܪ ܥܠܘܗܝ ܡܩܕܡ ܗܘܝܬ ܚܙܐ ܠܡܪܝ ܒܟܠܙܒܢ ܕܥܠ ܝܡܝܢܝ ܗܘ ܕܠܐ ܐܙܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa anaingia mjini Kafarnaumu, ofisa mmoja Mroma alimwendea, akamsihi \t ܟܕ ܥܠ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܠܟܦܪܢܚܘܡ ܩܪܒ ܠܗ ܩܢܛܪܘܢܐ ܚܕ ܘܒܥܐ ܗܘܐ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokaribia kufika Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili, \t ܘܟܕ ܡܛܝ ܠܒܝܬ ܦܓܐ ܘܒܝܬ ܥܢܝܐ ܥܠ ܓܢܒ ܛܘܪܐ ܕܡܬܩܪܐ ܕܒܝܬ ܙܝܬܐ ܫܕܪ ܬܪܝܢ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mtu akijaribu kuwadhuru, moto hutoka kinywani mwao na kuwaangamiza adui zao; na kila mtu atakayejaribu kuwadhuru atakufa namna hiyo. \t ܘܡܢ ܕܒܥܐ ܕܢܗܪ ܐܢܘܢ ܢܦܩܐ ܢܘܪܐ ܡܢ ܦܘܡܗܘܢ ܘܐܟܠܐ ܠܒܥܠܕܒܒܝܗܘܢ ܘܠܐܝܢܐ ܕܨܒܐ ܕܢܗܪ ܐܢܘܢ ܗܟܢ ܝܗܝܒ ܠܗܘܢ ܠܡܬܩܛܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jifungeni nira yangu, mkajifunze kwangu, maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtatulizwa rohoni mwenu. \t ܢܝܪܝ ܓܝܪ ܒܤܝܡ ܗܘ ܘܡܘܒܠܝ ܩܠܝܠܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliyekuwa akiiba, asiibe tena, bali na aanze kufanya kazi njema kwa mikono yake, apate kuwa na kitu cha kumsaidia mtu aliye maskini. \t ܘܐܝܢܐ ܕܓܢܒ ܗܘܐ ܡܟܝܠ ܠܐ ܢܓܢܘܒ ܐܠܐ ܢܠܐܐ ܒܐܝܕܘܗܝ ܘܢܦܠܘܚ ܛܒܬܐ ܕܢܗܘܐ ܠܗ ܠܡܬܠ ܠܡܢ ܕܤܢܝܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wala kwa dunia, maana ni kiti chake cha kuwekea miguu; wala kwa Yerusalemu, maana ni mji wa Mfalme mkuu. \t ܘܠܐ ܒܐܪܥܐ ܕܟܘܒܫܐ ܗܝ ܕܬܚܝܬ ܪܓܠܘܗܝ ܐܦܠܐ ܒܐܘܪܝܫܠܡ ܕܡܕܝܢܬܗ ܗܝ ܕܡܠܟܐ ܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wadanganyifu wengi wamezuka duniani, watu ambao hawakiri kwamba Yesu Kristo amekuja kwetu akawa binadamu. Mtu asemaye hivyo ni mdanganyifu na ni Adui wa Kristo. \t ܡܛܠ ܕܤܓܝܐܐ ܡܛܥܝܢܐ ܢܦܩܘ ܒܗ ܒܥܠܡܐ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܘܕܝܢ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܬܐ ܒܒܤܪ ܗܢܐ ܐܝܬܘܗܝ ܡܛܥܝܢܐ ܘܐܢܛܝܟܪܝܤܛܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni lini tulikuona ukiwa mgonjwa au mfungwa nasi tukaja kukutazama? \t ܘܐܡܬܝ ܚܙܝܢܟ ܟܪܝܗܐ ܐܘ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܘܐܬܝܢ ܠܘܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nimewapa ule ujumbe ulionipa nao wameupokea; wanajua kwamba kweli nimetoka kwako, na wanaamini kwamba wewe ulinituma. \t ܕܡܠܐ ܕܝܗܒܬ ܠܝ ܝܗܒܬ ܠܗܘܢ ܘܗܢܘܢ ܩܒܠܘ ܘܝܕܥܘ ܫܪܝܪܐܝܬ ܕܡܢ ܠܘܬܟ ܢܦܩܬ ܘܗܝܡܢܘ ܕܐܢܬ ܫܕܪܬܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa akisema hayo, mwanamke mmoja katika lile kundi la watu, akasema kwa sauti kubwa: \"Heri tumbo lililokuzaa, na maziwa yaliyokunyonyesha!\" \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܡܡܠܠ ܗܘܐ ܐܪܝܡܬ ܐܢܬܬܐ ܚܕܐ ܩܠܗ ܡܢ ܟܢܫܐ ܘܐܡܪܬ ܠܗ ܛܘܒܝܗ ܠܟܪܤܐ ܕܛܥܢܬܟ ܘܠܬܕܝܐ ܕܐܝܢܩܘܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Timotheo alikuwa na sifa kubwa kati ya wale ndugu wa Lustra na Ikonio. \t ܘܟܠܗܘܢ ܬܠܡܝܕܐ ܕܡܢ ܠܘܤܛܪܐ ܘܡܢ ܐܝܩܢܘܢ ܡܤܗܕܝܢ ܗܘܘ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kuwaaga, hao wajumbe walielekea Antiokia ambako waliita mkutano wa waumini, wakawapa hiyo barua. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܕܐܫܬܠܚܘ ܐܬܘ ܠܐܢܛܝܟܝܐ ܘܟܢܫܘ ܟܠܗ ܥܡܐ ܘܝܗܒܘ ܐܓܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mheshimiwa, wakati nilipokuwa njiani, saa sita mchana, niliona mwanga mkubwa kuliko wa jua ukiangaza kutoka mbinguni, ukanizunguka mimi na wale wasafiri wenzangu. \t ܒܦܠܓܗ ܕܝܘܡܐ ܒܐܘܪܚܐ ܚܙܝܬ ܡܢ ܫܡܝܐ ܐܘ ܡܠܟܐ ܕܐܙܠܓ ܥܠܝ ܘܥܠ ܟܠ ܕܥܡܝ ܗܘܘ ܢܘܗܪܐ ܕܡܝܬܪ ܡܢ ܕܫܡܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye akasema, \"Wayahudi wamepatana wakuombe umpeleke Paulo Barazani wakijisingizia kwamba Baraza lingependa kupata habari kamili zaidi juu yake. \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܥܠܝܡܐ ܝܗܘܕܝܐ ܐܬܚܫܒܘ ܕܢܒܥܘܢ ܡܢܟ ܕܬܚܬ ܠܦܘܠܘܤ ܡܚܪ ܠܟܢܫܗܘܢ ܐܝܟ ܨܒܝܢ ܡܕܡ ܝܬܝܪ ܕܢܐܠܦܘܢ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, Kristo ndiye aliyeratibisha agano jipya ili wale walioitwa na Mungu wazipokee baraka za milele walizoahidiwa. Watazipata, kwani kifo kimetokea ambacho huwakomboa watu kutoka yale makosa waliyofanya wakati wa lile agano la kale. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܗܘ ܗܘܐ ܡܨܥܝܐ ܕܕܝܬܩܐ ܚܕܬܐ ܕܒܡܘܬܗ ܗܘ ܗܘܐ ܦܘܪܩܢܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܥܒܪܘ ܥܠ ܕܝܬܩܐ ܩܕܡܝܬܐ ܕܢܤܒܘܢ ܡܘܠܟܢܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܬܩܪܝܘ ܠܝܪܬܘܬܐ ܕܠܥܠV"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Kuhani Mkuu akasimama katikati yao, akamwuliza Yesu, \"Je, hujibu neno? Watu hawa wanashuhudia nini dhidi yako?\" \t ܘܩܡ ܪܒ ܟܗܢܐ ܒܡܨܥܬܐ ܘܫܐܠܗ ܠܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܐ ܡܦܢܐ ܐܢܬ ܦܬܓܡܐ ܡܢܐ ܡܤܗܕܝܢ ܥܠܝܟ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi hutazama mambo kwa nje tu. Je, yupo mtu yeyote anayedhani kwamba yeye ni wa Kristo? Sawa! Basi, afikirie vilevile kwamba sisi pia ni wa Kristo kama yeye alivyo wa Kristo. \t ܒܦܪܨܘܦܐ ܚܝܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܢ ܐܢܫ ܬܟܝܠ ܥܠ ܢܦܫܗ ܕܕܡܫܝܚܐ ܗܘ ܗܢܐ ܢܕܥ ܡܢ ܢܦܫܗ ܕܐܝܟ ܕܗܘ ܕܡܫܝܚܐ ܗܟܢܐ ܐܦ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana mwanamke hufunika kichwa chake, iwe ishara ya mamlaka yaliyo juu yake, na pia kwa sababu ya malaika. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܚܝܒܐ ܐܢܬܬܐ ܕܫܘܠܛܢܐ ܢܗܘܐ ܥܠ ܪܫܗ ܡܛܠ ܡܠܐܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliwaimarisha waumini wa miji hiyo na kuwatia moyo wabaki imara katika imani. Wakawaambia, \"Ni lazima sisi sote tupitie katika taabu nyingi ili tuingie katika ufalme wa Mungu.\" \t ܟܕ ܡܫܪܪܝܢ ܗܘܘ ܢܦܫܬܗܘܢ ܕܬܠܡܝܕܐ ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗܘܢ ܕܢܩܘܘܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܠܗܘܢ ܕܒܐܘܠܨܢܐ ܤܓܝܐܐ ܘܠܐ ܠܡܥܠ ܠܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akamwambia, \"Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini; maana imeandikwa: Mungu atawaamuru malaika wake kwa ajili yako; watakuchukua mikononi mwao, usije ukajikwaa kwenye jiwe.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢ ܒܪܗ ܐܢܬ ܕܐܠܗܐ ܫܕܝ ܢܦܫܟ ܠܬܚܬ ܟܬܝܒ ܓܝܪ ܕܠܡܠܐܟܘܗܝ ܢܦܩܕ ܥܠܝܟ ܘܥܠ ܐܝܕܝܗܘܢ ܢܫܩܠܘܢܟ ܕܠܐ ܬܬܩܠ ܒܟܐܦܐ ܪܓܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Paulo akamwambia, \"Mungu mwenyewe atakupiga kofi wewe uliye kama ukuta uliopakwa chokaa! Unawezaje kukaa hapo ili unihukumu kisheria na huku wewe mwenyewe unaivunja Sheria kwa kuamuru nipigwe?\" \t ܘܦܘܠܘܤ ܐܡܪ ܠܗ ܥܬܝܕ ܗܘ ܐܠܗܐ ܕܢܡܚܝܟ ܐܤܬܐ ܡܚܘܪܬܐ ܘܐܢܬ ܝܬܒ ܐܢܬ ܕܐܢ ܐܢܬ ܠܝ ܐܝܟ ܕܒܢܡܘܤܐ ܟܕ ܥܒܪ ܐܢܬ ܥܠ ܢܡܘܤܐ ܘܦܩܕ ܐܢܬ ܕܢܡܚܘܢܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Paulo akamchagua Sila, na baada ya ndugu wa mahali hapo kumweka chini ya ulinzi wa neema ya Bwana, akaondoka. \t ܦܘܠܘܤ ܕܝܢ ܓܒܐ ܠܗ ܠܫܝܠܐ ܘܢܦܩ ܟܕ ܡܓܥܠ ܡܢ ܐܚܐ ܠܛܝܒܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Barnaba akaitwa Zeu, na Paulo, kwa vile yeye ndiye aliyekuwa anaongea, akaitwa Herme. \t ܘܫܡܝܘ ܗܘܘ ܠܒܪܢܒܐ ܡܪܐ ܐܠܗܐ ܘܠܦܘܠܘܤ ܗܪܡܝܤ ܡܛܠ ܕܗܘ ܡܫܪܐ ܗܘܐ ܒܡܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtajionea wenyewe kwamba Kristo anasema ndani yangu. Kwenu Kristo si dhaifu; bali nguvu yake yafanya kazi miongoni mwenu. \t ܡܛܠ ܕܒܘܩܝܐ ܒܥܝܬܘܢ ܕܡܫܝܚܐ ܕܡܡܠܠ ܒܝ ܗܘ ܕܠܐ ܗܘܐ ܡܚܝܠ ܒܟܘܢ ܐܠܐ ܚܝܠܬܢ ܗܘ ܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokwisha sema hayo mlinzi mmoja aliyekuwa amesimama hapo akampiga kofi akisema, \"Je, ndivyo unavyomjibu Kuhani Mkuu?\" \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܚܕ ܡܢ ܕܚܫܐ ܕܩܐܡ ܗܘܐ ܡܚܝܗܝ ܥܠ ܦܟܗ ܠܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܗܟܢܐ ܝܗܒ ܐܢܬ ܦܬܓܡܐ ܠܪܒ ܟܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kizazi kiovu kisicho na uaminifu! Mnataka ishara, lakini hamtapewa ishara yoyote isipokuwa tu ile ya Yona.\" Basi, akawaacha, akaenda zake. \t ܫܪܒܬܐ ܒܝܫܬܐ ܘܓܝܪܬܐ ܐܬܐ ܒܥܝܐ ܘܐܬܐ ܠܐ ܡܬܝܗܒܐ ܠܗ ܐܠܐ ܐܬܗ ܕܝܘܢܢ ܢܒܝܐ ܘܫܒܩ ܐܢܘܢ ܘܐܙܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Haidhuru, inuka sasa; simama wima. Nimekutokea ili nikuweke rasmi kuwa mtumishi wangu. Utawathibitishia watu wengine mambo uliyoyaona leo na yale ambayo bado nitakuonyesha. \t ܘܐܡܪ ܠܝ ܩܘܡ ܥܠ ܪܓܠܝܟ ܡܛܠ ܗܕܐ ܓܝܪ ܐܬܚܙܝܬ ܠܟ ܕܐܩܝܡܟ ܡܫܡܫܢܐ ܘܤܗܕܐ ܕܡܕܡ ܕܚܙܝܬܢܝ ܘܕܥܬܝܕ ܐܢܬ ܕܬܚܙܝܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Au wale kumi na wanane walioangukiwa na mnara kule Siloamu wakafa; mnadhani wao walikuwa wakosefu zaidi kuliko wengine wote walioishi Yerusalemu? \t ܐܘ ܗܢܘܢ ܬܡܢܬܥܤܪ ܕܢܦܠ ܥܠܝܗܘܢ ܡܓܕܠܐ ܒܫܝܠܘܚܐ ܘܩܛܠ ܐܢܘܢ ܤܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܚܛܝܝܢ ܗܘܘ ܝܬܝܪ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܒܢܝܢܫܐ ܕܥܡܪܝܢ ܒܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipomwona Petro akiota moto, alimtazama, akamwambia, \"Hata wewe ulikuwa pamoja na Yesu Mnazareti.\" \t ܚܙܬܗ ܕܫܚܢ ܘܚܪܬ ܒܗ ܘܐܡܪܐ ܠܗ ܘܐܦ ܐܢܬ ܥܡ ܝܫܘܥ ܗܘܝܬ ܢܨܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini kama alichojenga kitaunguzwa, basi, atapoteza tuzo lake; lakini yeye mwenyewe ataokolewa kana kwamba ameponyoka kutoka motoni. \t ܘܐܝܢܐ ܕܥܒܕܗ ܢܐܩܕ ܢܚܤܪ ܗܘ ܕܝܢ ܢܫܬܘܙܒ ܗܟܢܐ ܕܝܢ ܐܝܟ ܕܡܢ ܢܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, walikwenda kwa makuhani wakuu na wazee, wakasema, \"Sisi tumeapa kwamba hatutaonja chochote kwa vinywa vyetu mpaka hapo tutakapokuwa tumemuua Paulo. \t ܘܐܬܩܪܒܘ ܠܘܬ ܟܗܢܐ ܘܠܘܬ ܩܫܝܫܐ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܕܚܪܡܐ ܐܚܪܡܢ ܥܠܝܢ ܕܡܕܡ ܠܐ ܢܛܥܡ ܥܕܡܐ ܕܢܩܛܘܠ ܠܦܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mtu huko Efeso, Myahudi na asiye Myahudi, alisikia juu ya tukio hilo. Wote waliingiwa na hofu, wakalitukuza jina la Bwana Yesu. \t ܘܗܕܐ ܐܬܝܕܥܬ ܗܘܬ ܠܟܠܗܘܢ ܝܗܘܕܝܐ ܘܐܪܡܝܐ ܕܥܡܪܝܢ ܒܐܦܤܘܤ ܘܢܦܠܬ ܕܚܠܬܐ ܥܠ ܟܠܗܘܢ ܘܡܬܪܡܪܡ ܗܘܐ ܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Mbweha wana mapango, na ndege wana viota; lakini Mwana wa Mtu hana mahali pa kupumzikia.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܠܬܥܠܐ ܢܩܥܐ ܐܝܬ ܠܗܘܢ ܘܠܦܪܚܬܐ ܕܫܡܝܐ ܡܛܠܠܐ ܒܪܗ ܕܝܢ ܕܐܢܫܐ ܠܝܬ ܠܗ ܐܝܟܐ ܕܢܤܡܘܟ ܪܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi ndugu zake wakamwambia, \"Ondoka hapa uende Yudea ili wanafunzi wako wazione kazi unazozifanya. \t ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܐܚܘܗܝ ܠܝܫܘܥ ܫܢܐ ܠܟ ܡܟܐ ܘܙܠ ܠܝܗܘܕ ܕܢܚܙܘܢ ܬܠܡܝܕܝܟ ܥܒܕܐ ܕܥܒܕ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipoisoma hiyo barua, maneno yake yaliwatia moyo, wakafurahi sana. \t ܘܟܕ ܩܪܘ ܚܕܝܘ ܘܐܬܒܝܐܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu ameyachagua yale ambayo kwa fikira za dunia ni mambo yaliyo duni na yanayodharauliwa, mambo ambayo hata hayakuwako, ili kwa hayo ayafutilie mbali yale ambayo kwa fikira za binadamu ni mambo ya maana. \t ܘܓܒܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܒܨܝܪ ܛܘܗܡܗܘܢ ܒܥܠܡܐ ܘܠܡܤܠܝܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܠܝܬ ܐܢܘܢ ܕܢܒܛܠ ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Marafiki zake wote pamoja na wale wanawake walioandamana naye kutoka Galilaya, walisimama kwa mbali kutazama tukio hilo. \t ܘܩܝܡܝܢ ܗܘܘ ܡܢ ܪܘܚܩܐ ܟܠܗܘܢ ܝܕܘܥܘܗܝ ܕܝܫܘܥ ܘܢܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܬܝ ܗܘܝ ܥܡܗ ܡܢ ܓܠܝܠܐ ܘܚܙܝܢ ܗܘܘ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ama hakika, mpatanishi hahitajiwi ikiwa jambo lenyewe lamhusu mtu mmoja; na Mungu ni mmoja. \t ܡܨܥܝܐ ܕܝܢ ܠܐ ܗܘܐ ܕܚܕ ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܚܕ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipotambua hivyo alikwenda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa Maria mama yake Yohane aitwaye Marko. Humo watu wengi walikuwa wamekusanyika wakisali. \t ܘܟܕ ܐܤܬܟܠ ܐܬܐ ܠܗ ܠܒܝܬܐ ܕܡܪܝܡ ܐܡܗ ܕܝܘܚܢܢ ܗܘ ܕܐܬܟܢܝ ܡܪܩܘܤ ܡܛܠ ܕܐܚܐ ܤܓܝܐܐ ܬܡܢ ܟܢܝܫܝܢ ܗܘܘ ܘܡܨܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara akatokea mle ndani ya sunagogi mtu mmoja mwenye pepo mchafu, \t ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܒܟܢܘܫܬܗܘܢ ܓܒܪܐ ܕܐܝܬ ܒܗ ܪܘܚܐ ܛܡܐܬܐ ܘܩܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nayajua mambo yako yote! Najua kwamba wewe si baridi wala si moto. Afadhali ungekuwa kimojawapo: baridi au moto. \t ܝܕܥ ܐܢܐ ܥܒܕܝܟ ܠܐ ܩܪܝܪܐ ܐܢܬ ܘܠܐ ܚܡܝܡܐ ܕܘܠܐ ܗܘܐ ܕܐܘ ܩܪܝܪܐ ܬܗܘܐ ܐܘ ܚܡܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nami nikamjibu, \"Mheshimiwa, wewe wajua!\" Naye akaniambia, \"Hawa ni wale waliopita salama katika ule udhalimu mkuu. Waliyaosha mavazi yao katika damu ya Mwanakondoo, yakawa meupe kabisa. \t ܘܐܡܪܬ ܠܗ ܡܪܝ ܐܢܬ ܝܕܥ ܐܢܬ ܘܐܡܪ ܠܝ ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܐܬܘ ܡܢ ܐܘܠܨܢܐ ܪܒܐ ܘܚܠܠܘ ܐܤܛܠܝܗܘܢ ܘܚܘܪܘ ܐܢܝܢ ܒܕܡܐ ܕܐܡܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo, nilimwona malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa na uwezo mkuu, na dunia ikamulikwa na mng'ao wake. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܚܙܝܬ ܐܚܪܢܐ ܡܠܐܟܐ ܕܢܚܬ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܫܘܠܛܢܐ ܪܒܐ ܘܐܪܥܐ ܢܗܪܬ ܡܢ ܬܫܒܘܚܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipomwona, wakamwabudu, ingawa wengine walikuwa na mashaka. \t ܘܟܕ ܚܙܐܘܗܝ ܤܓܕܘ ܠܗ ܡܢܗܘܢ ܕܝܢ ܐܬܦܠܓܘ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akisema, \"Mheshimiwa, mtumishi wangu amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza na anaumwa sana.\" \t ܘܐܡܪ ܡܪܝ ܛܠܝܝ ܪܡܐ ܒܒܝܬܐ ܘܡܫܪܝ ܘܒܝܫܐܝܬ ܡܫܬܢܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu mmoja aitwaye Lazaro, mwenyeji wa Bethania, alikuwa mgonjwa. (Kijiji cha Bethania kilikuwa mahali walipokaa Maria na Martha, dada yake. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܚܕ ܕܟܪܝܗ ܠܥܙܪ ܡܢ ܒܝܬ ܥܢܝܐ ܩܪܝܬܐ ܐܚܘܗ ܕܡܪܝܡ ܘܕܡܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mko kama makaburi yaliyopakwa chokaa ambayo kwa nje yanaonekana kuwa mazuri, lakini ndani yamejaa mifupa ya maiti na kila namna ya uchafu. \t ܘܝ ܠܟܘܢ ܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܕܕܡܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܩܒܪܐ ܡܟܠܫܐ ܕܡܢ ܠܒܪ ܡܬܚܙܝܢ ܫܦܝܪܐ ܡܢ ܠܓܘ ܕܝܢ ܡܠܝܢ ܓܪܡܐ ܕܡܝܬܐ ܘܟܠܗ ܛܢܦܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Petro alimwinua, akamwambia, \"Simama, kwa maana mimi ni binadamu tu.\" \t ܘܫܡܥܘܢ ܐܩܝܡܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܩܘܡ ܠܟ ܘܐܦ ܐܢܐ ܒܪܢܫܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Shuka upesi na wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana ni mimi niliyewatuma.\" \t ܩܘܡ ܚܘܬ ܘܙܠ ܥܡܗܘܢ ܟܕ ܠܐ ܡܬܦܠܓ ܪܥܝܢܟ ܡܛܠ ܕܐܢܐ ܗܘ ܫܕܪܬ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale ndugu walipogundua jambo hilo walimchukua Saulo, wakampeleka Kaisarea, wakamwacha aende zake Tarso. \t ܘܟܕ ܝܕܥܘ ܐܚܐ ܐܝܬܝܘܗܝ ܒܠܠܝܐ ܠܩܤܪܝܐ ܘܡܢ ܬܡܢ ܫܕܪܘܗܝ ܠܛܪܤܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutoka huko walisafiri kwa meli wakarudi Antiokia ambako hapo awali walikuwa wamewekwa chini ya ulinzi wa neema ya Mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameitimiza. \t ܘܡܢ ܬܡܢ ܪܕܘ ܒܝܡܐ ܘܐܬܘ ܠܗܘܢ ܠܐܢܛܝܟܝܐ ܡܛܠ ܕܡܢ ܬܡܢ ܡܓܥܠܝܢ ܗܘܘ ܠܛܝܒܘܬܗ ܕܡܪܝܐ ܠܥܒܕܐ ܗܘ ܕܫܠܡܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Enyi watumishi wa nyumbani, watiini wakuu wenu kwa heshima yote, wawe wema na wapole au wenye kuchukiza. \t ܘܐܝܠܝܢ ܥܒܕܐ ܕܐܝܬ ܒܟܘܢ ܐܫܬܥܒܕܘ ܠܡܪܝܟܘܢ ܒܕܚܠܬܐ ܠܐ ܒܠܚܘܕ ܠܛܒܐ ܘܠܡܟܝܟܐ ܐܠܐ ܐܦ ܠܩܫܝܐ ܘܠܥܤܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini watu hawa hutukana chochote wasichokielewa; mambo yaleyale wanayoyajua kwa silika kama vile wanyama wanayoyajua ndiyo yanayowaangamiza. \t ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܒܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢ ܡܓܕܦܝܢ ܒܐܝܠܝܢ ܕܝܢ ܕܟܝܢܐܝܬ ܐܝܟ ܚܝܘܬܐ ܚܪܫܬܐ ܡܦܤܝܢ ܒܗܝܢ ܡܬܚܒܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Mpanzi wa zile mbegu nzuri ni Mwana wa Mtu. \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܘ ܕܙܪܥ ܙܪܥܐ ܛܒܐ ܐܝܬܘܗܝ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko Korintho, alimkuta Myahudi mmoja aitwaye Akula, mzaliwa wa Ponto. Akula pamoja na mkewe aitwaye Priskila, walikuwa wamerudi kutoka Italia siku hizohizo kwa sababu Kaisari Klaudio alikuwa ameamuru Wayahudi wote waondoke Roma. Paulo alikwenda kuwaona, \t ܘܐܫܟܚ ܬܡܢ ܓܒܪܐ ܚܕ ܝܗܘܕܝܐ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܐܩܠܘܤ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܡܢ ܦܢܛܘܤ ܐܬܪܐ ܕܒܗ ܒܗܘ ܙܒܢܐ ܐܬܐ ܗܘܐ ܡܢ ܐܬܪܐ ܕܐܝܛܠܝܐ ܗܘ ܘܦܪܝܤܩܠܐ ܐܢܬܬܗ ܡܛܠ ܕܦܩܕ ܗܘܐ ܩܠܘܕܝܘܤ ܩܤܪ ܕܢܦܩܘܢ ܟܠܗܘܢ ܝܗܘܕܝܐ ܡܢ ܪܗܘܡܐ ܘܐܬܩܪܒ ܠܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa Wayahudi nimeishi kama Myahudi ili niwapate Wayahudi; yaani, ingawa mimi siko chini ya Sheria, nimejiweka chini ya Sheria kwao, ili niwapate hao walio chini ya Sheria. \t ܘܗܘܝܬ ܥܡ ܝܗܘܕܝܐ ܐܝܟ ܝܗܘܕܝܐ ܕܠܝܗܘܕܝܐ ܐܬܪ ܘܥܡ ܕܬܚܝܬ ܢܡܘܤܐ ܐܢܘܢ ܗܘܝܬ ܐܝܟ ܕܬܚܝܬ ܢܡܘܤܐ ܕܠܐܝܠܝܢ ܕܬܚܝܬ ܢܡܘܤܐ ܐܢܘܢ ܐܬܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, Yesu akawaambia mfano huu: \"Mtu mmoja alikuwa na mtini katika shamba lake. Mtu huyu akaenda akitaka kuchuma matunda yake, lakini akaukuta haujazaa hata tunda moja. \t ܘܐܡܪ ܡܬܠܐ ܗܢܐ ܬܬܐ ܐܝܬ ܗܘܬ ܠܐܢܫ ܕܢܨܝܒܐ ܒܟܪܡܗ ܘܐܬܐ ܒܥܐ ܒܗ ܦܐܪܐ ܘܠܐ ܐܫܟܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayezitii amri za Mungu anaishi katika muungano na Mungu na Mungu anaishi katika muungano naye. Kwa njia ya Roho ambaye Mungu ametujalia, sisi twajua kwamba Mungu anaishi katika muungano nasi. \t ܘܐܝܢܐ ܕܢܛܪ ܦܘܩܕܢܘܗܝ ܒܗ ܡܬܢܛܪ ܘܗܘ ܫܪܐ ܒܗ ܘܒܗܕܐ ܡܤܬܟܠܝܢܢ ܕܫܪܐ ܒܢ ܡܢ ܪܘܚܗ ܗܝ ܕܝܗܒ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Kwa sababu ya neno hilo, nenda. Pepo amemtoka binti yako!\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܙܠܝ ܡܛܠ ܗܕܐ ܡܠܬܐ ܢܦܩ ܠܗ ܫܐܕܐ ܡܢ ܒܪܬܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuhusu ndugu Apolo, nimemsihi sana aje kwenu pamoja na ndugu wengine, lakini hapendelei kabisa kuja sasa ila atakuja mara itakapowezekana. \t ܡܢ ܐܦܠܘ ܕܝܢ ܐܚܝ ܤܓܝ ܒܥܝܬ ܡܢܗ ܕܢܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܥܡ ܐܚܐ ܘܟܒܪ ܠܐ ܗܘܐ ܨܒܝܢܐ ܕܢܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܐܡܬܝ ܕܝܢ ܕܢܗܘܐ ܠܗ ܐܬܪܐ ܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Salamu zangu kwa Ampliato, rafiki yangu katika kuungana na Bwana. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܐܡܦܠܝܘܤ ܚܒܝܒܝ ܒܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Yupo hapa mtoto mmoja aliye na mikate mitano ya shayiri na samaki wawili; lakini hivi vyatosha nini kwa watu wengi kama hawa?\" \t ܐܝܬ ܬܢܢ ܛܠܝܐ ܚܕ ܕܐܝܬ ܥܠܘܗܝ ܚܡܫ ܓܪܝܨܢ ܕܤܥܪܐ ܘܬܪܝܢ ܢܘܢܝܢ ܐܠܐ ܗܠܝܢ ܡܢܐ ܐܢܘܢ ܠܗܠܝܢ ܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kumbukeni pia Sodoma na Gomora, na miji ya kandokando yake; wenyeji wake walifanya kama wale malaika; walifanya uzinzi na mambo yaliyo kinyume cha maumbile, wakapewa hukumu ya moto wa milele, iwe onyo kwa watu wote. \t ܐܝܟܢܐ ܕܤܕܘܡ ܘܥܡܘܪܐ ܘܡܕܝܢܬܐ ܕܚܕܪܝܗܝܢ ܕܒܗ ܒܕܡܘܬܐ ܕܗܠܝܢ ܙܢܝ ܘܐܙܠ ܒܬܪ ܒܤܪܐ ܐܚܪܢܐ ܤܝܡܢ ܬܚܝܬ ܬܚܘܝܬܐ ܕܢܘܪܐ ܕܠܥܠܡ ܟܕ ܡܚܝܒܢ ܠܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Zakayo akasimama akamwambia Yesu, \"Sikiliza Bwana! Mimi nitawapa maskini nusu ya mali yangu, na kama nimenyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne.\" \t ܩܡ ܕܝܢ ܙܟܝ ܘܐܡܪ ܠܝܫܘܥ ܗܐ ܡܪܝ ܦܠܓܘܬ ܢܟܤܝ ܝܗܒ ܐܢܐ ܠܡܤܟܢܐ ܘܠܟܠܢܫ ܡܕܡ ܕܓܠܙܬ ܚܕ ܒܐܪܒܥܐ ܦܪܥ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akapaza sauti akisema, \"Yesu, Mwana wa Daudi, nihurumie!\" \t ܘܩܥܐ ܘܐܡܪ ܝܫܘܥ ܒܪܗ ܕܕܘܝܕ ܐܬܪܚܡ ܥܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo watamwona Mwana wa Mtu akija katika mawingu kwa nguvu nyingi na utukufu. \t ܘܗܝܕܝܢ ܢܚܙܘܢܝܗܝ ܠܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܟܕ ܐܬܐ ܒܥܢܢܐ ܥܡ ܚܝܠܐ ܪܒܐ ܘܥܡ ܫܘܒܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Namshukuru Mungu aliyeweka ndani ya moyo wa Tito hamu hiyo niliyo nayo mimi ya kuwasaidia. \t ܛܝܒܘ ܕܝܢ ܠܐܠܗܐ ܕܝܗܒܗ ܚܦܝܛܘܬܐ ܗܕܐ ܚܠܦܝܟܘܢ ܒܠܒܗ ܕܛܛܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakamjibu, \"Sisi ni wazawa wa Abrahamu, na hatujapata kamwe kuwa watumwa wa mtu yeyote yule. Una maana gani unaposema: mtakuwa huru?\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܙܪܥܗ ܚܢܢ ܕܐܒܪܗܡ ܘܡܢ ܡܬܘܡ ܥܒܕܘܬܐ ܠܐܢܫ ܠܐ ܦܠܝܚܐ ܠܢ ܐܝܟܢܐ ܐܡܪ ܐܢܬ ܕܬܗܘܘܢ ܒܢܝ ܚܐܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu. \t ܘܗܘܬ ܗܘܬ ܦܠܓܘܬܐ ܒܟܢܫܐ ܡܛܠܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu. \t ܘܢܤܒܘ ܩܛܠܘܗܝ ܘܐܦܩܘܗܝ ܠܒܪ ܡܢ ܟܪܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wale wanaotaka kutajirika huanguka katika majaribu, na kunaswa katika mtego wa tamaa nyingi mbaya za kipumbavu, ambazo huwavuta mpaka kwenye uharibifu na maangamizi. \t ܐܝܠܝܢ ܕܝܢ ܕܨܒܝܢ ܠܡܥܬܪ ܢܦܠܝܢ ܒܢܤܝܘܢܐ ܘܒܦܚܐ ܘܒܪܓܝܓܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܕܤܟܠܢ ܘܡܤܓܦܢ ܘܡܛܒܥܢ ܠܒܢܝܢܫܐ ܒܚܒܠܐ ܘܒܐܒܕܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamjibu: Kwa sababu hakuna mtu aliyetuajiri. Yeye akawaambia, Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu. \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܕܠܐ ܐܢܫ ܐܓܪܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܠܟܪܡܐ ܘܡܕܡ ܕܘܠܐ ܢܤܒܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini twamwona Yesu ambaye alifanywa kwa kitambo kidogo kuwa chini zaidi kuliko malaika, ili kwa neema ya Mungu afe kwa ajili ya watu wote. Sasa tunamwona ametawazwa kwa utukufu na heshima kwa sababu ya kifo alichoteseka. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܡܟ ܩܠܝܠ ܡܢ ܡܠܐܟܐ ܚܙܝܢܢ ܕܗܘܝܘ ܝܫܘܥ ܡܛܠ ܚܫܐ ܕܡܘܬܗ ܘܬܫܒܘܚܬܐ ܘܐܝܩܪܐ ܤܝܡ ܒܪܝܫܗ ܗܘ ܓܝܪ ܒܛܝܒܘܬܗ ܐܠܗܐ ܚܠܦ ܟܠܢܫ ܛܥܡ ܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mlikuwa wenye furaha; sasa kumetokea nini? Naapa kwamba wakati ule mngaliweza hata kuyang'oa macho yenu na kunipa mimi. \t ܐܝܟܘ ܗܟܝܠ ܛܘܒܟܘܢ ܤܗܕ ܐܢܐ ܓܝܪ ܥܠܝܟܘܢ ܕܐܠܘ ܡܫܟܚܐ ܗܘܬ ܥܝܢܝܟܘܢ ܚܨܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܘܝܗܒܝܢ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja wa wanafunzi, ambaye Yesu alikuwa anampenda sana, alikuwa ameketi karibu na Yesu. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܚܕ ܕܤܡܝܟ ܗܘܐ ܒܥܘܒܗ ܗܘ ܕܪܚܡ ܗܘܐ ܠܗ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Paulo akasema, \"Sina wazimu mheshimiwa Festo: Ninachosema ni ukweli mtupu. \t ܐܡܪ ܦܘܠܘܤ ܠܐ ܫܢܝܬ ܢܨܝܚܐ ܦܗܤܛܘܤ ܐܠܐ ܡܠܝ ܫܪܪܐ ܘܬܩܢܘܬܐ ܡܡܠܠ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maofisa wengine wa huo mkoa wa Asia, waliokuwa rafiki zake, walimtumia Paulo ujumbe wakimsihi asijihatarishe kwa kwenda kwenye ukumbi wa michezo. \t ܘܐܦ ܪܫܐ ܕܐܤܝܐ ܡܛܠ ܕܪܚܡܘܗܝ ܗܘܘ ܫܕܪܘ ܒܥܘ ܡܢܗ ܕܠܐ ܢܬܠ ܢܦܫܗ ܕܢܥܘܠ ܠܬܐܛܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye alitueleza jinsi alivyokuwa amemwona malaika amesimama nyumbani mwake na kumwambia: Mtume mtu Yopa akamwite mtu mmoja aitwaye Simoni, kwa jina lingine Petro. \t ܘܐܫܬܥܝ ܠܢ ܐܝܟܢܐ ܚܙܐ ܒܒܝܬܗ ܡܠܐܟܐ ܕܩܡ ܘܐܡܪ ܠܗ ܕܫܕܪ ܠܝܘܦܐ ܡܕܝܢܬܐ ܘܐܝܬܐ ܠܫܡܥܘܢ ܕܡܬܩܪܐ ܟܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe na hakika kwamba uvumilivu wenu utawategemeza mpaka mwisho, mpate kuwa wakamilifu na watimilifu, bila kupungukiwa chochote. \t ܠܗ ܕܝܢ ܠܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܢܗܘܐ ܠܗ ܥܒܕܐ ܡܫܡܠܝܐ ܕܬܗܘܘܢ ܓܡܝܪܝܢ ܘܡܫܠܡܢܝܢ ܘܒܡܕܡ ܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܚܤܝܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nimefanywa kuwa mtumishi wa Habari Njema kwa neema ya pekee aliyonijalia Mungu kwa uwezo wake mkuu. \t ܗܘ ܕܐܢܐ ܗܘܝܬ ܡܫܡܫܢܗ ܐܝܟ ܡܘܗܒܬܐ ܕܛܝܒܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܕܐܬܝܗܒܬ ܠܝ ܡܢ ܡܥܒܕܢܘܬܐ ܕܚܝܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini msipoadhibiwa kama wana wengine, basi, ninyi si wanawe, bali ni wana haramu. \t ܘܐܢ ܕܠܐ ܡܪܕܘܬܐ ܐܢܬܘܢ ܗܝ ܕܒܗ ܡܬܪܕܐ ܟܠܢܫ ܗܘܝܬܘܢ ܠܟܘܢ ܢܘܟܪܝܐ ܘܠܐ ܒܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkumbuke Yesu Kristo aliyefufuliwa kutoka wafu, aliyekuwa wa ukoo wa Daudi, kama isemavyo Habari Njema ninayoihubiri. \t ܐܬܕܟܪ ܠܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܩܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܢ ܙܪܥܐ ܕܕܘܝܕ ܐܝܟ ܐܘܢܓܠܝܘܢ ܕܝܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akamwekea tena mikono machoni, naye akakaza macho, uwezo wake wa kuona ukamrudia, akaona kila kitu sawasawa. \t ܬܘܒ ܤܡ ܐܝܕܗ ܥܠ ܥܝܢܘܗܝ ܘܬܩܢ ܘܚܙܐ ܗܘܐ ܟܠ ܡܕܡ ܢܗܝܪܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wanafunzi wakamwuliza, \"Mbona walimu wa Sheria wanasema ati ni lazima kwanza Eliya aje?\" \t ܘܫܐܠܘܗܝ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܤܦܪܐ ܐܡܪܝܢ ܕܐܠܝܐ ܘܠܐ ܕܢܐܬܐ ܠܘܩܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tumekuja hapa kuwaleteeni Habari Njema: jambo lile Mungu alilowaahidia babu zetu amelitimiza sasa kwa ajili yetu sisi tulio wajukuu wao kwa kumfufua Yesu kutoka wafu. \t ܘܐܦ ܚܢܢ ܗܐ ܡܤܒܪܝܢܢ ܠܟܘܢ ܕܫܘܘܕܝܐ ܗܘ ܕܗܘܐ ܠܘܬ ܐܒܗܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hiyo Sheria ilikuwa kama mlezi wetu mpaka alipokuja Kristo, ili kwa njia ya imani, tukubaliwe kuwa waadilifu. \t ܢܡܘܤܐ ܗܟܝܠ ܬܪܐܐ ܗܘܐ ܠܢ ܠܘܬ ܡܫܝܚܐ ܕܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܢܙܕܕܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipoinuka akamwuliza huyo mwanamke, \"Wako wapi wale watu? Je, hakuna hata mmoja aliyekuhukumu?\" \t ܟܕ ܕܝܢ ܐܬܦܫܛ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗ ܠܐܢܬܬܐ ܐܝܟܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܠܐ ܐܢܫ ܚܝܒܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipopata habari hiyo, aliondoka mahali pale kwa mashua, akaenda mahali pa faragha peke yake. Lakini watu walipata habari, wakamfuata kwa miguu toka mijini. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܟܕ ܫܡܥ ܫܢܝ ܡܢ ܬܡܢ ܒܐܠܦܐ ܠܐܬܪܐ ܚܘܪܒܐ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܟܢܫܐ ܐܙܠܘ ܒܬܪܗ ܒܝܒܫܐ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri. \t ܢܡܘܤܐ ܡܕܝܢ ܩܕܝܫ ܗܘ ܘܦܘܩܕܢܐ ܩܕܝܫ ܗܘ ܘܟܐܝܢ ܘܛܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja wa wale waliokuwa wameketi pamoja na Yesu akasema, \"Ana heri mtu yule atakayekula chakula katika Ufalme wa Mungu.\" \t ܟܕ ܫܡܥ ܕܝܢ ܚܕ ܡܢ ܗܢܘܢ ܕܤܡܝܟܝܢ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܛܘܒܘܗܝ ܠܡܢ ܕܢܐܟܘܠ ܠܚܡܐ ܒܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliye shambani asirudi nyuma kuchukua vazi lake. \t ܘܡܢ ܕܒܚܩܠܐ ܗܘ ܠܐ ܢܬܗܦܟ ܠܒܤܬܪܗ ܕܢܫܩܘܠ ܠܒܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hakuna \"Habari Njema\" nyingine. Ukweli ni kwamba wako watu wanaowavurugeni, watu wanaotaka kuipotosha Habari Njema ya Kristo. \t ܐܝܕܐ ܕܠܐ ܐܝܬܝܗ ܐܠܐ ܐܢܫܐ ܗܘ ܐܝܬ ܕܕܠܚܝܢ ܠܟܘܢ ܘܨܒܝܢ ܕܢܫܚܠܦܘܢ ܤܒܪܬܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu waliokuwa wamesimama pale wakamwambia Paulo, \"Unamtukana Kuhani Mkuu wa Mungu!\" \t ܘܐܝܠܝܢ ܕܩܝܡܝܢ ܗܘܘ ܬܡܢ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܟܗܢܐ ܕܐܠܗܐ ܡܨܚܐ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi yetu ni Waparthi, Wamedi na Waelami; wengine ni wenyeji wa Mesopotamia, Yudea, Kapadokia, Ponto na Asia, \t ܦܪܬܘܝܐ ܘܡܕܝܐ ܘܐܠܢܝܐ ܘܐܝܠܝܢ ܕܥܡܪܝܢ ܒܝܬ ܢܗܪܝܢ ܝܗܘܕܝܐ ܘܩܦܘܕܩܝܐ ܘܕܡܢ ܐܬܪܐ ܕܦܢܛܘܤ ܘܕܐܤܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akawaita kwake akisema: \"Waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mungu ni kwa ajili ya watu kama hawa. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܩܪܐ ܐܢܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܫܒܘܩܘ ܛܠܝܐ ܐܬܝܢ ܠܘܬܝ ܘܠܐ ܬܟܠܘܢ ܐܢܘܢ ܕܕܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܐܝܟ ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܕܝܠܗܘܢ ܗܝ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, ikiwa jamaa moja imegawanyika makundimakundi yanayopingana, jamaa hiyo itaangamia. \t ܘܐܢ ܒܝܬܐ ܥܠ ܢܦܫܗ ܢܬܦܠܓ ܠܐ ܡܫܟܚ ܒܝܬܐ ܗܘ ܠܡܩܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Rafiki, fanya ulichokuja kufanya.\" Hapo wale watu wakaja, wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗ ܥܠ ܗܝ ܕܐܬܝܬ ܚܒܪܝ ܗܝܕܝܢ ܐܬܩܪܒܘ ܘܐܪܡܝܘ ܐܝܕܝܗܘܢ ܥܠ ܝܫܘܥ ܘܐܚܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Maandiko yasema: \"Mtu wa kwanza, Adamu, alikuwa kiumbe mwenye uhai;\" lakini adamu wa mwisho ni Roho awapaye watu uzima. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܟܬܝܒ ܗܘܐ ܐܕܡ ܒܪܢܫܐ ܩܕܡܝܐ ܠܢܦܫ ܚܝܐ ܘܐܕܡ ܐܚܪܝܐ ܠܪܘܚܐ ܡܚܝܢܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nani kati yenu awezaye kuthibitisha kuwa mimi nina dhambi? Ikiwa basi nasema ukweli, kwa nini hamniamini? \t ܡܢܘ ܡܢܟܘܢ ܡܟܤ ܠܝ ܥܠ ܚܛܝܬܐ ܘܐܢ ܫܪܪܐ ܡܡܠܠ ܐܢܐ ܐܢܬܘܢ ܠܡܢܐ ܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo kijana mkubwa akawaka hasira hata akakataa kuingia nyumbani. Baba yake akatoka nje na kumsihi aingie. \t ܘܪܓܙ ܘܠܐ ܨܒܐ ܗܘܐ ܠܡܥܠ ܘܢܦܩ ܐܒܘܗܝ ܒܥܐ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Mtu akinipenda atashika neno langu, na Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake na kukaa naye. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܢ ܕܪܚܡ ܠܝ ܡܠܬܝ ܢܛܪ ܘܐܒܝ ܢܪܚܡܝܘܗܝ ܘܠܘܬܗ ܐܬܝܢ ܚܢܢ ܘܐܘܢܐ ܠܘܬܗ ܥܒܕܝܢ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwa wameketi kulielekea kaburi. \t ܐܝܬ ܗܘܝ ܕܝܢ ܬܡܢ ܡܪܝܡ ܡܓܕܠܝܬܐ ܘܡܪܝܡ ܐܚܪܬܐ ܕܝܬܒܢ ܗܘܝ ܠܩܘܒܠܗ ܕܩܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe radhi kutumikia kwa ajili ya Bwana na si kwa ajili ya watu. \t ܘܫܡܫܘ ܐܢܘܢ ܡܢ ܟܠܗ ܢܦܫܟܘܢ ܒܚܘܒܐ ܐܝܟ ܕܠܡܪܢ ܘܠܐ ܐܝܟ ܕܠܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "hata, ingawa tulikuwa tumekufa kwa sababu ya dhambi, alitufanya hai pamoja na Kristo. Kwa neema ya Mungu ninyi mmeokolewa. \t ܟܕ ܡܝܬܝܢ ܗܘܝܢ ܒܚܛܗܝܢ ܐܚܝܢ ܥܡ ܡܫܝܚܐ ܘܒܛܝܒܘܬܗ ܦܪܩܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa vile Yesu alifanya jambo hilo siku ya Sabato, Wayahudi walianza kumdhulumu. \t ܘܡܛܠ ܗܕܐ ܪܕܦܝܢ ܗܘܘ ܝܗܘܕܝܐ ܠܝܫܘܥ ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܠܡܩܛܠܗ ܕܗܠܝܢ ܥܒܕ ܗܘܐ ܒܫܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ninawasihi mle chakula kwa maana mnakihitaji ili mweze kuendelea kuishi. Maana hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea.\" \t ܡܛܠ ܗܕܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟܘܢ ܕܬܩܒܠܘܢ ܡܐܟܘܠܬܐ ܠܩܘܝܡܐ ܕܚܝܝܟܘܢ ܡܢܬܐ ܓܝܪ ܡܢ ܪܫܐ ܕܚܕ ܡܢܟܘܢ ܠܐ ܐܒܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nilikuwa uchi, mkanivika; nilikuwa mgonjwa nanyi mkaja kunitazama; nilikuwa gerezani nanyi mkaja kunitembelea. \t ܥܪܛܠܝܐ ܗܘܝܬ ܘܟܤܝܬܘܢܢܝ ܟܪܝܗ ܗܘܝܬ ܘܤܥܪܬܘܢܢܝ ܘܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܗܘܝܬ ܘܐܬܝܬܘܢ ܠܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana awawezeshe ninyi kupendana na kuwapenda watu wote zaidi na zaidi, kama vile sisi tunavyowapenda ninyi. \t ܘܢܤܓܐ ܘܢܝܬܪ ܚܘܒܟܘܢ ܕܚܕ ܠܘܬ ܚܕ ܘܕܠܘܬ ܟܠܢܫ ܐܝܟܢܐ ܕܚܢܢ ܡܚܒܝܢܢ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maadam wengi hujivuna kwa sababu za kidunia, nami pia nitajivuna. \t ܡܛܠ ܕܤܓܝܐܐ ܡܫܬܒܗܪܝܢ ܒܒܤܪܐ ܐܦ ܐܢܐ ܐܫܬܒܗܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Filipo akianzia na sehemu hiyo ya Maandiko Matakatifu, akamweleza Habari Njema juu ya Yesu. \t ܗܝܕܝܢ ܦܝܠܝܦܘܤ ܦܬܚ ܦܘܡܗ ܘܫܪܝ ܡܢܗ ܡܢ ܗܢܐ ܟܬܒܐ ܡܤܒܪ ܠܗ ܥܠ ܡܪܢ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu. \t ܡܢ ܕܒܗܠܝܢ ܓܝܪ ܡܫܡܫ ܠܡܫܝܚܐ ܫܦܪ ܠܐܠܗܐ ܘܩܕܡ ܒܢܝܢܫܐ ܒܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, shoka liko tayari kuikata mizizi ya miti; hivyo, kila mti usiozaa matunda mazuri, utakatwa na kutupwa motoni. \t ܗܐ ܕܝܢ ܢܪܓܐ ܤܝܡ ܥܠ ܥܩܪܐ ܕܐܝܠܢܐ ܟܠ ܐܝܠܢܐ ܗܟܝܠ ܕܦܐܪܐ ܛܒܐ ܠܐ ܥܒܕ ܡܬܦܤܩ ܘܢܦܠ ܒܢܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walizima mioto mikali, waliepuka kuuawa kwa upanga. Walikuwa dhaifu lakini walipata nguvu. Walikuwa hodari katika vita wakashinda majeshi ya kigeni. \t ܘܕܥܟܘ ܚܝܠܐ ܕܢܘܪܐ ܘܐܬܦܨܝܘ ܡܢ ܦܘܡܐ ܕܤܝܦܐ ܘܐܬܚܝܠܘ ܡܢ ܟܘܪܗܢܐ ܘܗܘܘ ܚܝܠܬܢܐ ܒܩܪܒܐ ܘܤܚܦܘ ܡܫܪܝܬܐ ܕܒܥܠܕܒܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesheni, basi, kwa maana hamjui mwenye nyumba atarudi lini; huenda ikawa jioni, usiku wa manane, alfajiri au asubuhi. \t ܐܬܬܥܝܪܘ ܗܟܝܠ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܡܬܝ ܐܬܐ ܡܪܗ ܕܒܝܬܐ ܒܪܡܫܐ ܐܘ ܒܦܠܓܗ ܕܠܠܝܐ ܐܘ ܒܡܩܪܐ ܬܪܢܓܠܐ ܐܘ ܒܨܦܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, viungo vile tunavyovifikiria kuwa havistahili heshima kubwa, ndivyo tunavyovitunza kwa uangalifu zaidi; viungo vya mwili ambavyo havionekani kuwa vizuri sana, huhifadhiwa zaidi, \t ܘܐܝܠܝܢ ܕܤܒܪܝܢܢ ܕܡܨܥܪܝܢ ܐܢܘܢ ܒܦܓܪܐ ܠܗܠܝܢ ܐܝܩܪܐ ܝܬܝܪܐ ܡܤܓܝܢܢ ܘܐܝܠܝܢ ܕܕܢܘܟܦܐ ܐܢܘܢ ܐܤܟܡܐ ܝܬܝܪܐ ܥܒܕܝܢܢ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha alijaliwa kuipulizia uhai hiyo sanamu ya yule mnyama wa kwanza, hata ikaweza kuongea na kuwaua watu wote ambao hawakuiabudu. \t ܘܐܬܝܗܒ ܠܗ ܕܬܬܠ ܪܘܚܐ ܠܨܠܡܐ ܕܚܝܘܬܐ ܘܬܥܒܕ ܕܟܠ ܕܠܐ ܢܤܓܕܘܢ ܠܗ ܠܨܠܡܐ ܕܚܝܘܬܐ ܢܬܩܛܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa muda mrefu huyo hakimu hakupenda kumtetea huyo mjane; lakini, mwishowe akajisemea: Ingawa mimi simchi Mungu wala simjali binadamu, \t ܘܠܐ ܨܒܐ ܗܘܐ ܙܒܢܐ ܤܓܝܐܐ ܒܬܪܟܢ ܕܝܢ ܐܡܪ ܒܢܦܫܗ ܐܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܠܐ ܕܚܠ ܐܢܐ ܘܡܢ ܒܢܝܢܫܐ ܠܐ ܡܬܟܚܕ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hamjui kwamba wanaotumikia Hekaluni hupata chakula chao Hekaluni, na kwamba wanaotolea sadaka madhabahuni hupata sehemu ya hiyo sadaka? \t ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܝܠܝܢ ܕܒܝܬ ܩܘܕܫܐ ܦܠܚܝܢ ܡܢ ܒܝܬ ܩܘܕܫܐ ܡܤܬܝܒܪܝܢ ܘܐܝܠܝܢ ܕܠܡܕܒܚܐ ܦܠܚܝܢ ܥܡ ܡܕܒܚܐ ܦܠܓܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu. Kwa maana kila mtu anayemwendea Mungu ni lazima aamini kwamba Mungu yuko, na kwamba huwatuza wale wanaomtafuta. \t ܕܠܐ ܗܝܡܢܘܬܐ ܕܝܢ ܠܐ ܐܢܫ ܡܫܟܚ ܕܢܫܦܪ ܠܐܠܗܐ ܚܝܒ ܗܘ ܓܝܪ ܡܢ ܕܡܬܩܪܒ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܕܢܗܝܡܢ ܕܐܝܬܘܗܝ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܒܥܝܢ ܠܗ ܗܘܐ ܦܪܘܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wewe usikubali kwa maana kuna watu zaidi ya arobaini walio tayari kumvamia. Wameapa kutokula wala kunywa mpaka watakapokuwa wamemuua. Sasa wako tayari, wanangojea tu uamuzi wako.\" \t ܐܢܬ ܗܟܝܠ ܠܐ ܬܬܛܦܝܤ ܠܗܘܢ ܗܐ ܓܝܪ ܝܬܝܪ ܡܢ ܐܪܒܥܝܢ ܓܒܪܝܢ ܡܢܗܘܢ ܢܛܪܝܢ ܠܗ ܒܟܡܐܢܐ ܘܐܚܪܡܘ ܥܠ ܢܦܫܗܘܢ ܕܠܐ ܢܐܟܠܘܢ ܘܠܐ ܢܫܬܘܢ ܥܕܡܐ ܕܢܩܛܠܘܢܗ ܘܗܐ ܡܛܝܒܝܢ ܘܡܩܘܝܢ ܠܫܘܘܕܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ilikwisha semwa pia: Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka. \t ܐܬܐܡܪ ܕܡܢ ܕܫܪܐ ܐܢܬܬܗ ܢܬܠ ܠܗ ܟܬܒܐ ܕܕܘܠܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "atapokea mara mia zaidi wakati huu wa sasa nyumba, ndugu, dada, mama, watoto na mashamba pamoja na mateso; na katika wakati ujao atapokea uzima wa milele. \t ܘܠܐ ܢܩܒܠ ܚܕ ܒܡܐܐ ܗܫܐ ܒܙܒܢܐ ܗܢܐ ܒܬܐ ܘܐܚܐ ܘܐܚܘܬܐ ܘܐܡܗܬܐ ܘܒܢܝܐ ܘܩܘܪܝܐ ܥܡ ܪܕܘܦܝܐ ܘܒܥܠܡܐ ܕܐܬܐ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi ni viumbe vyake Mungu, na kwa kuungana na Kristo Yesu, alituumba kwa ajili ya kuishi maisha ya matendo mema aliyotutayarishia tuyatende. \t ܒܪܝܬܐ ܚܢܢ ܓܝܪ ܕܝܠܗ ܕܐܬܒܪܝܢ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܠܥܒܕܐ ܛܒܐ ܗܢܘܢ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܛܝܒ ܐܠܗܐ ܕܒܗܘܢ ܢܗܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walimwambia Aroni: Tutengenezee miungu itakayotuongoza njiani, maana hatujui yaliyompata Mose huyu aliyetuongoza kutoka Misri! \t ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܠܐܗܪܘܢ ܥܒܕ ܠܢ ܐܠܗܐ ܕܢܐܙܠܘܢ ܩܕܡܝܢ ܡܛܠ ܕܗܢܐ ܡܘܫܐ ܕܐܦܩܢ ܡܢ ܐܪܥܐ ܕܡܨܪܝܢ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܚܢܢ ܡܢܐ ܗܘܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana tunajua kwamba hema hii ambayo ndani yake tunaishi sasa hapa duniani, yaani mwili wetu, itakapong'olewa, Mungu atatupa makao mengine mbinguni, nyumba ya milele isiyotengenezwa kwa mikono. \t ܝܕܥܝܢܢ ܓܝܪ ܕܐܢ ܒܝܬܢ ܕܒܐܪܥܐ ܗܢܐ ܕܦܓܪܐ ܢܫܬܪܐ ܐܠܐ ܐܝܬ ܠܢ ܒܢܝܢܐ ܕܡܢ ܐܠܗܐ ܒܝܬܐ ܕܠܐ ܒܥܒܕ ܐܝܕܝܐ ܒܫܡܝܐ ܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu waliposhiba Yesu akawaambia wanafunzi wake, \"Kusanyeni vipande vilivyobaki visipotee.\" \t ܘܟܕ ܤܒܥܘ ܐܡܪ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܟܢܫܘ ܩܨܝܐ ܕܝܬܪܘ ܕܠܐ ܢܐܒܕ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Uzeni mali yenu mkawape maskini misaada. Jifanyieni mifuko isiyochakaa, na jiwekeeni hazina mbinguni ambako haitapungua. Huko wezi hawakaribii, wala nondo hawaharibu. \t ܙܒܢܘ ܩܢܝܢܟܘܢ ܘܗܒܘ ܙܕܩܬܐ ܥܒܕܘ ܠܟܘܢ ܟܝܤܐ ܕܠܐ ܒܠܝܢ ܘܤܝܡܬܐ ܕܠܐ ܓܝܙܐ ܒܫܡܝܐ ܐܝܟܐ ܕܓܢܒܐ ܠܐ ܩܪܒ ܘܤܤܐ ܠܐ ܡܚܒܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na muwe na shukrani katika kila hali. Hayo ndiyo anayotaka Mungu kwenu katika kuungana kwenu na Kristo Yesu. \t ܘܒܟܠ ܡܕܡ ܗܘܘ ܡܘܕܝܢ ܗܢܘ ܓܝܪ ܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maafa ya kwanza yamepita; bado mengine mawili yanafuata. \t ܘܝ ܚܕ ܐܙܠ ܗܐ ܬܘܒ ܐܬܝܢ ܬܪܝܢ ܘܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao waliokula walikuwa watu wapatao elfu nne. Yesu akawaaga, \t ܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܕܝܢ ܐܢܫܐ ܕܐܟܠܘ ܐܝܟ ܐܪܒܥܐ ܐܠܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Upendo uongoze maisha yenu, kama vile Kristo alivyotupenda, na kwa ajili yetu akajitoa mwenyewe kama dhabihu yenye harufu nzuri na tambiko impendezayo Mungu. \t ܘܗܠܟܘ ܒܚܘܒܐ ܐܝܟ ܕܐܦ ܡܫܝܚܐ ܐܚܒܢ ܘܐܫܠܡ ܢܦܫܗ ܥܠ ܐܦܝܢ ܩܘܪܒܢܐ ܘܕܒܚܐ ܠܐܠܗܐ ܠܪܝܚܐ ܒܤܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akakaa huko siku arubaini akijaribiwa na Shetani. Alikuwa huko pamoja na wanyama wa porini, nao malaika wakawa wanamtumikia. \t ܘܗܘܐ ܬܡܢ ܒܡܕܒܪܐ ܝܘܡܬܐ ܐܪܒܥܝܢ ܟܕ ܡܬܢܤܐ ܡܢ ܤܛܢܐ ܘܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܥܡ ܚܝܘܬܐ ܘܡܫܡܫܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܡܠܐܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye atakuambia maneno ambayo kwayo wewe na jamaa yako yote mtaokolewa. \t ܘܗܘ ܢܡܠܠ ܥܡܟ ܡܠܐ ܕܒܗܝܢ ܬܚܐ ܐܢܬ ܘܟܠܗ ܒܝܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, mpaka hivi leo kila isomwapo Sheria ya Mose akili zao huwa zimefunikwa. \t ܘܥܕܡܐ ܠܝܘܡܢܐ ܐܡܬܝ ܕܡܬܩܪܐ ܡܘܫܐ ܬܚܦܝܬܐ ܥܠ ܠܒܗܘܢ ܪܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu wa kule Roma walipopata habari zetu, wakaja kutulaki kwenye soko la Apio na Mikahawa Mitatu. Paulo alipowaona alimshukuru Mungu, akapata moyo. \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܐܚܐ ܕܬܡܢ ܢܦܩܘ ܠܐܘܪܥܢ ܥܕܡܐ ܠܫܘܩܐ ܕܡܬܩܪܐ ܐܦܝܘܤ ܦܘܪܘܤ ܘܥܕܡܐ ܠܬܠܬ ܚܢܘܢ ܘܟܕ ܚܙܐ ܐܢܘܢ ܦܘܠܘܤ ܐܘܕܝ ܠܐܠܗܐ ܘܐܬܚܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, msilaumiane ninyi kwa ninyi. Anayemlaumu ndugu yake na kumhukumu, huyo huilaumu na kuihukumu Sheria. Kama ukiihukumu Sheria, basi, wewe huitii Sheria, bali waihukumu. \t ܠܐ ܬܗܘܘܢ ܡܡܠܠܝܢ ܥܠ ܚܕܕܐ ܐܚܝ ܗܘ ܓܝܪ ܕܡܡܠܠ ܥܠ ܐܚܘܗܝ ܐܘ ܕܐܢ ܠܐܚܘܗܝ ܡܡܠܠ ܥܠ ܢܡܘܤܐ ܘܕܐܢ ܠܢܡܘܤܐ ܘܐܢ ܠܢܡܘܤܐ ܕܐܢ ܐܢܬ ܠܐ ܗܘܝܬ ܥܒܘܕܗ ܕܢܡܘܤܐ ܐܠܐ ܕܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ole wake ulimwengu kwa sababu ya vikwazo vinavyowaangusha wengine. Vikwazo hivyo ni lazima vitokee lakini ole wake mtu yule atakayevisababisha. \t ܘܝ ܠܥܠܡܐ ܡܢ ܡܟܫܘܠܐ ܐܢܢܩܐ ܓܝܪ ܕܢܐܬܘܢ ܡܟܫܘܠܐ ܘܝ ܕܝܢ ܠܓܒܪܐ ܕܒܐܝܕܗ ܢܐܬܘܢ ܡܟܫܘܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha yule mtu aliyepagawa aliwarukia wote kwa kishindo, akawashinda nguvu. Na hao watoto wa Skewa wakakimbia kutoka ile nyumba wakiwa uchi na wamejaa majeraha. \t ܘܫܘܪ ܥܠܝܗܘܢ ܓܒܪܐ ܗܘ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܒܗ ܪܘܚܐ ܒܝܫܬܐ ܘܐܬܚܝܠ ܥܠܝܗܘܢ ܘܫܦܠ ܐܢܘܢ ܘܟܕ ܫܠܝܚܝܢ ܘܦܥܝܥܝܢ ܥܪܩܘ ܡܢ ܒܝܬܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwao walio dhaifu nimejifanya dhaifu ili niwapate hao walio dhaifu. Nimejifanya kila kitu kwa wote ili nipate kuwaokoa baadhi yao kwa kila njia. \t ܗܘܝܬ ܥܡ ܟܪܝܗܐ ܐܝܟ ܟܪܝܗܐ ܕܠܟܪܝܗܐ ܐܬܪ ܠܟܠܢܫ ܟܠ ܗܘܝܬ ܕܠܟܠܢܫ ܐܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Msishike hiki,\" \"Msionje kile,\" \"Msiguse kile!\" \t ܠܐ ܠܡ ܬܩܪܘܒ ܘܠܐ ܬܛܥܡ ܘܠܐ ܬܩܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Bwana akaendelea kusema, \"Sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya. \t ܘܐܡܪ ܡܪܢ ܫܡܥܘ ܡܢܐ ܐܡܪ ܕܝܢܐ ܕܥܘܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, kuachana kwetu nanyi kulikuwa kwa muda tu, tena kuachana huko kulikuwa kwa mwili tu na si kwa roho. Kitambo kifupi baadaye, tulishikwa na hamu kubwa ya kuwaoneni tena! \t ܚܢܢ ܕܝܢ ܐܚܝܢ ܗܘܝܢ ܝܬܡܐ ܡܢܟܘܢ ܙܒܢܐ ܕܫܥܬܐ ܒܐܦܝܢ ܘܠܐ ܒܠܒܢ ܘܝܬܝܪܐܝܬ ܐܬܚܦܛܢ ܠܡܚܙܐ ܐܦܝܟܘܢ ܒܚܘܒܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, huyo mtu akaenda, akaanza kutangaza huko Dekapoli mambo yote Yesu aliyomtendea; watu wote wakashangaa. \t ܘܐܙܠ ܘܫܪܝ ܡܟܪܙ ܒܥܤܪܬ ܡܕܝܢܬܐ ܡܕܡ ܕܥܒܕ ܠܗ ܝܫܘܥ ܘܟܠܗܘܢ ܬܡܝܗܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule mwalimu wa Sheria akamjibu, \"Ni yule aliyemwonea huruma.\" Yesu akamwambia, \"Nenda ukafanye vivyo hivyo.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܗܘ ܕܐܬܪܚܡ ܥܠܘܗܝ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܙܠ ܐܦ ܐܢܬ ܗܟܢܐ ܗܘܝܬ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mjakazi mmoja alipomwona Petro ameketi karibu na moto, akamkodolea macho, akasema, \"Mtu huyu alikuwa pia pamoja na Yesu.\" \t ܘܚܙܬܗ ܥܠܝܡܬܐ ܚܕܐ ܕܝܬܒ ܠܘܬ ܢܘܪܐ ܘܚܪܬ ܒܗ ܘܐܡܪܐ ܐܦ ܗܢܐ ܥܡܗ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mitume walishuhudia kwa nguvu nyingi kufufuka kwa Bwana Yesu, naye Mungu akawapa baraka nyingi. \t ܘܒܚܝܠܐ ܪܒܐ ܡܤܗܕܝܢ ܗܘܘ ܗܢܘܢ ܫܠܝܚܐ ܥܠ ܩܝܡܬܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܛܝܒܘܬܐ ܪܒܬܐ ܐܝܬ ܗܘܬ ܥܡ ܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengine kati ya wale wafuasi wa Kaisarea walienda pamoja nasi, wakatupeleka nyumbani kwa Mnasoni ambaye tulikuwa tunakwenda kukaa naye kwa muda. Mnasoni alikuwa mwenyeji wa Kupro na alikuwa amekuwa muumini kwa siku nyingi. \t ܘܐܬܘ ܗܘܘ ܥܡܢ ܐܢܫܐ ܬܠܡܝܕܐ ܡܢ ܩܤܪܝܐ ܟܕ ܕܒܝܪܝܢ ܥܡܗܘܢ ܐܚܐ ܚܕ ܡܢ ܬܠܡܝܕܐ ܩܕܡܝܐ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܡܢܤܘܢ ܘܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܡܢ ܩܘܦܪܘܤ ܕܢܩܒܠܢ ܒܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya Sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: \"Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.\" \t ܠܢ ܕܝܢ ܡܫܝܚܐ ܙܒܢܢ ܡܢ ܠܘܛܬܐ ܕܢܡܘܤܐ ܘܗܘ ܗܘܐ ܚܠܦܝܢ ܠܘܛܬܐ ܟܬܝܒ ܓܝܪ ܕܠܝܛ ܗܘ ܟܠܡܢ ܕܡܬܬܠܐ ܒܩܝܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala tusizini kama baadhi yao walivyozini, wakaangamia siku moja watu ishirini na tatu elfu. \t ܘܐܦܠܐ ܢܙܢܐ ܐܝܟܢܐ ܕܡܢܗܘܢ ܙܢܝܘ ܘܢܦܠܘ ܒܚܕ ܝܘܡܐ ܥܤܪܝܢ ܘܬܠܬܐ ܐܠܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Kama Mungu angekuwa Baba yenu, mngenipenda mimi, maana mimi nilitoka kwa Mungu na sasa niko hapa. Sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila yeye alinituma. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܠܘ ܐܠܗܐ ܗܘܐ ܐܒܘܟܘܢ ܡܚܒܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܠܝ ܐܢܐ ܓܝܪ ܡܢ ܐܠܗܐ ܢܦܩܬ ܘܐܬܝܬ ܘܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܨܒܘܬ ܢܦܫܝ ܐܬܝܬ ܐܠܐ ܗܘ ܫܕܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sisi tunaoamini tunapata pumziko hilo aliloahidi Mungu. Kama alivyosema: \"Nilikasirika, nikaapa: Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko.\" Mungu alisema hayo ingawa kazi yake ilikuwa imekwisha malizika tangu alipoumba ulimwengu. \t ܥܐܠܝܢܢ ܕܝܢ ܠܢܝܚܬܐ ܚܢܢ ܐܝܠܝܢ ܕܗܝܡܢܢ ܐܝܟܢܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܝܟ ܕܝܡܝܬ ܒܪܘܓܙܝ ܕܠܐ ܢܥܠܘܢ ܠܢܝܚܬܝ ܕܗܐ ܥܒܕܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܡܢ ܫܘܪܝܗ ܕܥܠܡܐ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, shikilia unachoamini kati yako na Mungu wako. Heri mtu yule ambaye, katika kujiamulia la kufanya, haipingi dhamiri yake. \t ܐܢܬ ܕܐܝܬ ܒܟ ܗܝܡܢܘܬܐ ܒܢܦܫܟ ܐܚܘܕܝܗ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܛܘܒܘܗܝ ܠܡܢ ܕܠܐ ܕܢ ܢܦܫܗ ܒܡܕܡ ܕܦܪܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakamwuliza, \"Wewe ni nani?\" Yesu akawajibu, \"Nimewaambieni tangu mwanzo! \t ܐܡܪܝܢ ܝܗܘܕܝܐ ܐܢܬ ܡܢ ܐܢܬ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܦܢ ܕܫܪܝܬ ܕܐܡܠܠ ܥܡܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wanapaswa kuzingatia kwa dhamiri njema ukweli wa ndani wa imani. \t ܐܠܐ ܢܐܚܕܘܢ ܐܪܙܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܒܬܐܪܬܐ ܕܟܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wachungaji wa hao nguruwe walikimbia, wakaenda mjini. Huko walitoa habari zote na mambo yaliyowapata wale watu waliokuwa wamepagawa. \t ܘܢܦܩܬ ܟܠܗ ܡܕܝܢܬܐ ܠܐܘܪܥܗ ܕܝܫܘܥ ܘܟܕ ܚܙܐܘܗܝ ܒܥܘ ܡܢܗ ܕܢܫܢܐ ܡܢ ܬܚܘܡܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kupenda kwake mwenyewe alituzaa kwa neno lake la ukweli, ili tuwe namna ya matunda ya kwanza miongoni mwa viumbe vyake. \t ܗܘܝܘ ܨܒܐ ܘܝܠܕܢ ܒܡܠܬܐ ܕܩܘܫܬܐ ܕܢܗܘܐ ܪܫܝܬܐ ܕܒܪܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi si kama wengine ambao hufanya biashara na ujumbe wa Mungu; sisi tunahubiri kwa unyofu mbele ya Mungu, kama watu tuliotumwa na Mungu, tukiwa tumeungana na Kristo. \t ܠܐ ܗܘܝܢ ܓܝܪ ܐܝܟ ܫܪܟܐ ܕܡܡܙܓܝܢ ܡܠܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܐܠܐ ܐܝܟ ܕܒܫܪܪܐ ܘܐܝܟ ܕܡܢ ܐܠܗܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܒܡܫܝܚܐ ܡܡܠܠܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, waliutwaa mwili wa Yesu, wakaufunga sanda pamoja na manukato kufuatana na desturi ya Wayahudi katika kuzika. \t ܘܫܩܠܘܗܝ ܠܦܓܪܗ ܕܝܫܘܥ ܘܟܪܟܘܗܝ ܒܟܬܢܐ ܘܒܒܤܡܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܝܬ ܥܝܕܐ ܠܝܗܘܕܝܐ ܕܢܩܒܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana waliwasikia wakiongea kwa lugha mbalimbali wakimtukuza Mungu. Hapo Petro akasema, \t ܫܡܥܝܢ ܗܘܘ ܠܗܘܢ ܓܝܪ ܟܕ ܡܡܠܠܝܢ ܒܠܫܢ ܠܫܢ ܘܡܘܪܒܝܢ ܗܘܘ ܠܐܠܗܐ ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܫܡܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kisha akasema, \"Nawaambieni kweli, msipogeuka na kuwa kama watoto, hamtaingia kamwe katika Ufalme wa mbinguni. \t ܘܐܡܪ ܐܡܝܢ ܐܡܪܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܠܐ ܬܬܗܦܟܘܢ ܘܬܗܘܘܢ ܐܝܟ ܛܠܝܐ ܠܐ ܬܥܠܘܢ ܠܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu. Tawi haliwezi peke yake kuzaa matunda lisipokaa katika mzabibu hali kadhalika nanyi hamwezi kuzaa matunda msipokaa ndani yangu. \t ܩܘܘ ܒܝ ܘܐܢܐ ܒܟܘܢ ܐܝܟܢܐ ܕܫܒܫܬܐ ܠܐ ܡܫܟܚܐ ܕܬܬܠ ܦܐܪܐ ܡܢ ܢܦܫܗ ܐܠܐ ܡܩܘܝܐ ܒܓܦܬܐ ܗܟܢܐ ܐܦ ܠܐ ܐܢܬܘܢ ܐܠܐ ܬܩܘܘܢ ܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote. \t ܢܐܬܘܢ ܠܟܝ ܕܝܢ ܝܘܡܬܐ ܕܢܚܕܪܘܢܟܝ ܒܥܠܕܒܒܝܟܝ ܘܢܐܠܨܘܢܟܝ ܡܢ ܟܠ ܕܘܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "naye amegawanyika. Mwanamke asiyeolewa au bikira hujishughulisha na mambo ya Bwana apate kujitolea mwili na roho kwa Bwana. Lakini mwanamke aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia hii jinsi atakavyompendeza mumewe. \t ܦܘܪܫܢܐ ܕܝܢ ܐܝܬ ܐܦ ܒܝܢܬ ܐܢܬܬܐ ܠܒܬܘܠܬܐ ܐܝܕܐ ܕܠܓܒܪܐ ܠܐ ܗܘܬ ܪܢܝܐ ܒܡܪܗ ܕܬܗܘܐ ܩܕܝܫܐ ܒܦܓܪܗ ܘܒܪܘܚܗ ܘܐܝܕܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܒܥܠܐ ܪܢܝܐ ܕܥܠܡܐ ܕܐܝܟܢܐ ܬܫܦܪ ܠܒܥܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikiliza! Sasa namtupa kitandani ambapo yeye pamoja na wote waliofanya uzinzi naye watapatwa na mateso makali. Naam, nitafanya hivyo, kama wasipotubu matendo yao mabaya waliyotenda naye. \t ܗܐ ܪܡܐ ܐܢܐ ܠܗ ܒܥܪܤܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܓܝܪܝܢ ܥܡܗ ܒܐܘܠܨܢܐ ܪܒܐ ܐܠܐ ܢܬܬܘܘܢ ܡܢ ܥܒܕܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Niliandika barua fupi kwa hilo kanisa; lakini Diotrefe, ambaye hupenda kuwa kiongozi wao, hataki kabisa kunisikiliza. \t ܒܥܐ ܗܘܝܬ ܐܟܬܘܒ ܠܥܕܬܐ ܐܠܐ ܗܘ ܕܪܚܡ ܕܢܗܘܐ ܩܕܡܝܐ ܕܝܠܗܘܢ ܕܝܘܛܪܦܝܤ ܠܐ ܡܩܒܠ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wa Yohane wakaja, wakauchukua mwili wake, wakauzika. Kisha wakaenda kumpasha habari Yesu. \t ܘܩܪܒܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܫܩܠܘ ܫܠܕܗ ܩܒܪܘ ܘܐܬܘ ܚܘܝܘ ܠܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nawaambieni ninyi rafiki zangu: msiwaogope wale wanaoua mwili, wasiweze kufanya kitu kingine zaidi. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܠܪܚܡܝ ܠܐ ܬܕܚܠܘܢ ܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܩܛܠܝܢ ܦܓܪܐ ܘܡܢ ܒܬܪܟܢ ܠܝܬ ܠܗܘܢ ܡܕܡ ܝܬܝܪ ܠܡܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "naye Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani. Namwomba mpate kuwa na mzizi na msingi katika mapendo \t ܢܥܡܪ ܡܫܝܚܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܒܠܒܘܬܟܘܢ ܒܚܘܒܐ ܟܕ ܢܗܘܐ ܫܪܝܪ ܥܩܪܟܘܢ ܘܫܬܐܤܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Napenda ukae huko Efeso, kama nilivyokuomba nilipokuwa ninakwenda Makedonia. Wako watu fulani huko wanaofundisha mafundisho ya uongo. Wakomeshe watu hao. \t ܒܥܝܬ ܗܘܝܬ ܡܢܟ ܟܕ ܐܙܠ ܐܢܐ ܠܡܩܕܘܢܝܐ ܕܬܩܘܐ ܒܐܦܤܘܤ ܘܬܦܩܕ ܠܐܢܫ ܐܢܫ ܕܠܐ ܢܠܦܘܢ ܝܘܠܦܢܐ ܡܫܚܠܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Taabu tunayopata ni kidogo, tena ya muda tu: lakini itatupatia utukufu upitao matazamio yote, utukufu ambao hauna mwisho. \t ܐܘܠܨܢܗ ܓܝܪ ܕܙܒܢܐ ܗܢܐ ܟܕ ܛܒ ܙܥܘܪ ܘܩܠܝܠ ܫܘܒܚܐ ܪܒܐ ܕܠܐ ܤܟܐ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܡܛܝܒ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Maria alichukua chupa ya marashi ya nardo safi ya thamani kubwa, akampaka Yesu miguu na kuipangusa kwa nywele zake. Nyumba yote ikajaa harufu ya marashi. \t ܡܪܝܡ ܕܝܢ ܫܩܠܬ ܫܛܝܦܬܐ ܕܒܤܡܐ ܕܢܪܕܝܢ ܪܫܝܐ ܤܓܝ ܕܡܝܐ ܘܡܫܚܬ ܪܓܠܘܗܝ ܕܝܫܘܥ ܘܫܘܝܬ ܒܤܥܪܗ ܪܓܠܘܗܝ ܘܐܬܡܠܝ ܒܝܬܐ ܡܢ ܪܝܚܗ ܕܒܤܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nimewaambieni mambo haya ili furaha yangu ikae ndani yenu, na furaha yenu ikamilike. \t ܗܠܝܢ ܡܠܠܬ ܥܡܟܘܢ ܕܚܕܘܬܝ ܬܗܘܐ ܒܟܘܢ ܘܬܫܬܡܠܐ ܚܕܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sisi, kufuatana na ahadi yake, twangojea mbingu mpya na dunia mpya ambayo imejaa uadilifu. \t ܠܫܡܝܐ ܕܝܢ ܚܕܬܐ ܘܐܪܥܐ ܚܕܬܐ ܐܝܟ ܡܘܠܟܢܐ ܕܝܠܗ ܡܤܟܝܢܢ ܗܠܝܢ ܕܒܗܘܢ ܙܕܝܩܘܬܐ ܥܡܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mungu akisha wapa watu zawadi zake na kuwateua, hajuti kwamba amefanya hivyo. \t ܠܐ ܓܝܪ ܗܦܟܐ ܐܠܗܐ ܒܡܘܗܒܬܗ ܘܒܩܪܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye si kama wale makuhani wakuu wengine; hana haja ya kutoa dhabihu kila siku, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za watu. Yeye alifanya hivyo mara moja tu wakati alipojitoa yeye mwenyewe, na hiyo yatosha kwa nyakati zote. \t ܘܠܝܬ ܠܗ ܐܘܠܨܢܐ ܟܠܝܘV ܐܝܟ ܪܒܝ ܟܘܡܪܐ ܕܠܘܩܕV ܚܠܦ ܚܛܗܘܗܝ ܢܩܪܒ ܕܒܚܐ ܘܗܝܕܝܢ ܚܠܦ ܥܡܐ ܗܕܐ ܓܝܪ ܥܒܕܗ ܚܕܐ ܙܒܢ ܒܢܦܫܗ ܕܩܪܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pendaneni kidugu; kila mmoja amfikirie mwenzake kwanza kwa heshima. \t ܗܘܝܬܘܢ ܪܚܡܝܢ ܠܐܚܝܟܘܢ ܘܡܚܒܝܢ ܚܕ ܠܚܕ ܗܘܝܬܘܢ ܡܩܕܡܝܢ ܡܝܩܪܝܢ ܚܕ ܠܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Humo, wadudu wake hawafi na moto hauzimiki. \t ܐܝܟܐ ܕܬܘܠܥܗܘܢ ܠܐ ܡܝܬܐ ܘܢܘܪܗܘܢ ܠܐ ܕܥܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini huyo Melkisedeki hakuwa wa ukoo wa Lawi, hata hivyo alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa Abrahamu; tena akambariki yeye ambaye alikuwa amepewa ahadi ya Mungu. \t ܗܢܐ ܕܝܢ ܕܠܐ ܟܬܝܒ ܒܫܪܒܬܗܘܢ ܡܥܤܪܐ ܫܩܠ ܡܢ ܐܒܪܗV ܘܒܪܟܗ ܠܗܘ ܕܩܒܠ ܡܘܠܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na sasa, katika hali hii, tunaugua, tukitazamia kwa hamu kubwa kuvikwa makao yetu yaliyo mbinguni. \t ܐܦ ܥܠ ܗܕܐ ܓܝܪ ܡܬܬܢܚܝܢܢ ܘܤܘܝܢܢ ܕܢܠܒܫ ܒܝܬܢ ܕܡܢ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Theluthi moja ya wanaadamu waliuawa kwa mabaa hayo matatu yaani, moto, moshi na kiberiti, yaliyokuwa yanatoka katika vinywa vyao; \t ܘܡܢ ܗܠܝܢ ܬܠܬ ܡܚܘܢ ܐܬܩܛܠܘ ܬܘܠܬܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܘܡܢ ܢܘܪܐ ܘܡܢ ܟܒܪܝܬܐ ܘܡܢ ܬܢܢܐ ܕܢܦܩ ܡܢ ܦܘܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Lakini ukweli ni kwamba Yesu hakuwa anabatiza ila wanafunzi wake.) \t ܟܕ ܠܐ ܗܘܐ ܗܘ ܝܫܘܥ ܡܥܡܕ ܗܘܐ ܐܠܐ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafundisho ya aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao waliofundisha hayo ni Humenayo na Fileto. \t ܘܡܠܬܗܘܢ ܐܝܟ ܚܠܕܝܬܐ ܢܘܡܐ ܬܐܚܘܕ ܒܤܓܝܐܐ ܐܝܬܘܗܝ ܕܝܢ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܗܘܡܢܐܘܤ ܘܐܚܪܢܐ ܦܝܠܛܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa wale walio hai; maana wale aliowaita kwake, wanaishi naye.\" \t ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܠܐ ܗܘܐ ܕܡܝܬܐ ܐܠܐ ܕܚܝܐ ܟܠܗܘܢ ܓܝܪ ܚܝܝܢ ܐܢܘܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tuliposikia hayo, sisi na wale watu wengine waliokuwa hapo tulimsihi Paulo asiende Yerusalemu. \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܡܠܐ ܫܡܥܢ ܒܥܝܢ ܡܢܗ ܚܢܢ ܘܒܢܝ ܐܬܪܐ ܕܠܐ ܢܐܙܠ ܠܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi waliposikia hivyo wakaanguka kifudifudi, wakaogopa sana. \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܬܠܡܝܕܐ ܢܦܠܘ ܥܠ ܐܦܝܗܘܢ ܘܕܚܠܘ ܛܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alifika Bethsaida pamoja na wanafunzi wake. Huko watu wakamletea kipofu mmoja, wakamwomba amguse. \t ܘܐܬܐ ܠܒܝܬ ܨܝܕܐ ܘܐܝܬܝܘ ܠܗ ܤܡܝܐ ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗ ܕܢܩܪܘܒ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na wengine wakawakamata wale watumishi wakawatukana, wakawaua. \t ܫܪܟܐ ܕܝܢ ܐܚܕܘ ܠܥܒܕܘܗܝ ܘܨܥܪܘ ܘܩܛܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na mwingine akasema: Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja. \t ܘܐܚܪܢܐ ܐܡܪ ܐܢܬܬܐ ܢܤܒܬ ܘܡܛܠ ܗܕܐ ܠܐ ܡܫܟܚ ܐܢܐ ܕܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja. \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܗܕܡܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܤܓܝܐܐ ܚܕ ܗܘ ܕܝܢ ܦܓܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtoto akakua, akazidi kupata nguvu, akajaa hekima, na neema ya Mungu ilikuwa pamoja naye. \t ܛܠܝܐ ܕܝܢ ܪܒܐ ܗܘܐ ܘܡܬܚܝܠ ܒܪܘܚܐ ܘܡܬܡܠܐ ܚܟܡܬܐ ܘܛܝܒܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܐܝܬ ܗܘܬ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wewe unajiona kuwa kiongozi wa vipofu na mwanga kwa wale walio gizani; \t ܘܐܬܬܟܠܬ ܥܠ ܢܦܫܟ ܕܡܕܒܪܢܐ ܐܢܬ ܕܥܘܝܪܐ ܘܢܘܗܪܐ ܕܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܒܚܫܘܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wake wakamwuliza, \"Hapa nyikani itapatikana wapi mikate ya kuwashibisha watu hawa wote?\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܝܡܟܐ ܡܫܟܚ ܐܢܫ ܗܪܟܐ ܒܚܘܪܒܐ ܕܢܤܒܥ ܠܚܡܐ ܠܗܠܝܢ ܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akasikia sauti ikimwambia: \"Petro, amka uchinje, ule!\" \t ܘܩܠܐ ܐܬܐ ܠܗ ܕܐܡܪ ܫܡܥܘܢ ܩܘܡ ܟܘܤ ܘܐܟܘܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambako alikaa kwa miezi mitatu. Alipokuwa anajitayarisha kwenda Siria, aligundua kwamba Wayahudi walikuwa wanamfanyia mpango mbaya; hivyo aliamua kurudi kwa kupitia Makedonia. \t ܘܗܘܐ ܬܡܢ ܬܠܬܐ ܝܪܚܝܢ ܥܒܕܘ ܕܝܢ ܥܠܘܗܝ ܢܟܠܐ ܝܗܘܕܝܐ ܟܕ ܥܬܝܕ ܗܘܐ ܠܡܐܙܠ ܠܤܘܪܝܐ ܘܐܬܚܫܒ ܕܢܗܦܘܟ ܠܗ ܠܡܩܕܘܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "aliyomfufua nayo Kristo kutoka wafu, akamketisha kulia kwake mbinguni. \t ܕܥܒܕ ܒܡܫܝܚܐ ܘܐܩܝܡܗ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܘܐܘܬܒܗ ܡܢ ܝܡܝܢܗ ܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja, Yesu alipanda mashua pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, \"Tuvuke ziwa twende mpaka ng'ambo.\" Basi, wakaanza safari. \t ܗܘܐ ܕܝܢ ܒܚܕ ܡܢ ܝܘܡܬܐ ܤܠܩ ܝܫܘܥ ܝܬܒ ܒܤܦܝܢܬܐ ܗܘ ܘܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܢܥܒܪ ܠܗܘ ܥܒܪܐ ܕܝܡܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa! \t ܐܝܢܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܐܕܢܐ ܢܫܡܥ ܡܢܐ ܪܘܚܐ ܡܡܠܠ ܠܥܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo wakawa wanatafuta njia ya kumtia nguvuni, lakini waliwaogopa watu kwa sababu wao walimtambua yeye kuwa nabii. \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܦܪܝܫܐ ܡܬܠܘܗܝ ܝܕܥܘ ܕܥܠܝܗܘܢ ܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ndugu atamsaliti ndugu yake auawe, na baba atamsaliti mwanawe, nao watoto watawashambulia wazazi wao na kuwaua. \t ܢܫܠܡ ܕܝܢ ܐܚܐ ܠܐܚܘܗܝ ܠܡܘܬܐ ܘܐܒܐ ܠܒܪܗ ܘܢܩܘܡܘܢ ܒܢܝܐ ܥܠ ܐܒܗܝܗܘܢ ܘܢܡܝܬܘܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipomwona mama yake, na karibu naye amesimama yule mwanafunzi aliyempenda, akamwambia mama yake: \"Mama! Tazama, huyo ndiye mwanao.\" \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܚܙܐ ܠܐܡܗ ܘܠܬܠܡܝܕܐ ܗܘ ܕܪܚܡ ܗܘܐ ܕܩܐܡ ܘܐܡܪ ܠܐܡܗ ܐܢܬܬܐ ܗܐ ܒܪܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia, akamchukua mke wake nyumbani. \t ܟܕ ܩܡ ܕܝܢ ܝܘܤܦ ܡܢ ܫܢܬܗ ܥܒܕ ܐܝܟܢܐ ܕܦܩܕ ܠܗ ܡܠܐܟܗ ܕܡܪܝܐ ܘܕܒܪܗ ܠܐܢܬܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata kutoka miongoni mwenu watatokea watu ambao watasema mambo ya uongo ili kuwapotosha watu na kuwafanya wawafuate wao tu. \t ܘܐܦ ܡܢܟܘܢ ܕܝܠܟܘܢ ܢܩܘܡܘܢ ܓܒܪܐ ܡܡܠܠܝ ܡܥܩܡܬܐ ܐܝܟ ܕܢܗܦܟܘܢ ܠܬܠܡܝܕܐ ܕܢܐܙܠܘܢ ܒܬܪܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu mwenyewe ndiye mwenye kutuimarisha sisi na ninyi pia katika Kristo, na ndiye anayetuweka wakfu; \t ܐܠܗܐ ܗܘ ܕܝܢ ܡܫܪܪ ܠܢ ܥܡܟܘܢ ܒܡܫܝܚܐ ܗܘ ܕܗܘ ܡܫܚܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, tulikuwa kama watu waliohukumiwa kuuawa, ili tufundishwe kumtegemea Mungu mwenye kuwafufua wafu, badala ya kutegemea nguvu zetu sisi wenyewe. \t ܘܥܠ ܢܦܫܢ ܦܤܩܢ ܡܘܬܐ ܕܠܐ ܢܗܘܐ ܠܢ ܬܘܟܠܢܐ ܥܠ ܢܦܫܢ ܐܠܐ ܥܠ ܐܠܗܐ ܗܘ ܕܡܩܝܡ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Tuseme mmoja wenu ana mtumishi ambaye analima shambani au anachunga kondoo. Je, anaporudi kutoka shambani, atamwambia: Haraka, njoo ule chakula? \t ܡܢܘ ܕܝܢ ܡܢܟܘܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܥܒܕܐ ܕܕܒܪ ܦܕܢܐ ܐܘ ܕܪܥܐ ܥܢܐ ܘܐܢ ܢܐܬܐ ܡܢ ܚܩܠܐ ܐܡܪ ܠܗ ܡܚܕܐ ܥܒܪ ܐܤܬܡܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mbona mwaniita Bwana, Bwana, na huku hamtimizi yale ninayosema? \t ܡܢܐ ܩܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ ܡܪܝ ܡܪܝ ܘܡܕܡ ܕܐܡܪ ܐܢܐ ܠܐ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji. \t ܗܝܕܝܢ ܦܤܩܘ ܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܠܚܒܠܝܗ ܕܩܪܩܘܪܐ ܡܢ ܐܠܦܐ ܘܫܒܩܘܗ ܛܥܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walijaribu kujua nyakati na mazingira ya tukio hilo, yaani wakati alioudokezea Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao, akibashiri juu ya mateso yatakayompata Kristo na utukufu utakaofuata. \t ܘܒܨܘ ܕܒܐܝܢܐ ܙܒܢܐ ܡܚܘܝܐ ܘܡܤܗܕܐ ܪܘܚܗ ܕܡܫܝܚܐ ܕܥܡܪܐ ܒܗܘܢ ܕܥܬܝܕܝܢ ܚܫܘܗܝ ܕܡܫܝܚܐ ܘܬܫܒܘܚܬܗ ܕܡܢ ܒܬܪܟܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeyote, aliye na Mwana wa Mungu anao uzima huo; asiye na Mwana wa Mungu, hana uzima. \t ܟܠ ܕܐܚܝܕ ܠܒܪܐ ܐܚܝܕ ܐܦ ܠܚܝܐ ܘܟܠ ܕܠܐ ܐܚܝܕ ܠܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܠܝܬ ܠܗ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini neno la Bwana hudumu milele.\" Neno hilo ni hiyo Habari Njema iliyohubiriwa kwenu. \t ܘܡܠܬܗ ܕܐܠܗܢ ܩܝܡܐ ܠܥܠܡܝܢ ܘܗܕܐ ܗܝ ܡܠܬܐ ܗܝ ܕܐܤܬܒܪܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu hakuihurumia dunia ya hapo kale, bali alileta gharika kuu juu ya nchi ile ya watu wasiomcha Mungu; lakini Noa ambaye alihubiri uadilifu, Mungu alimwokoa pamoja na watu wengine saba. \t ܘܥܠ ܥܠܡܐ ܩܕܡܝܐ ܠܐ ܚܤ ܐܠܐ ܠܢܘܚ ܕܬܡܢܝܐ ܟܪܘܙܐ ܕܟܐܢܘܬܐ ܢܛܪ ܟܕ ܛܘܦܢܐ ܥܠ ܥܠܡܐ ܕܪܫܝܥܐ ܐܝܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kusudi imani ya mtu yeyote miongoni mwenu isije ikafifia kwa sababu ya taabu hizo. Ninyi mnajua kwamba tunapaswa kupata mateso. \t ܕܠܐ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܬܬܩܛܥ ܠܗ ܒܐܘܠܨܢܐ ܗܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܓܝܪ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܠܗܕܐ ܗܘ ܤܝܡܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadaye, wale sabini na wawili walirudi wamejaa furaha, wakisema, \"Bwana, hata pepo wametutii tulipolitaja jina lako.\" \t ܘܗܦܟܘ ܗܢܘܢ ܫܒܥܝܢ ܕܫܕܪ ܒܚܕܘܬܐ ܪܒܬܐ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܪܢ ܐܦ ܫܐܕܐ ܡܫܬܥܒܕܝܢ ܠܢ ܒܫܡܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akaomba kazi kwa mwananchi mtu mmoja wa huko naye akampeleka shambani mwake kulisha nguruwe. \t ܘܐܙܠ ܢܩܦ ܠܗ ܠܚܕ ܡܢ ܒܢܝ ܡܕܝܢܬܐ ܕܐܬܪܐ ܗܘ ܘܗܘ ܫܕܪܗ ܠܩܪܝܬܐ ܠܡܪܥܐ ܚܙܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zungumzeni kwa maneno ya Zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni Bwana nyimbo na zaburi kwa shukrani mioyoni mwenu. \t ܘܡܠܠܘ ܥܡ ܢܦܫܟܘܢ ܒܡܙܡܘܪܐ ܘܒܬܫܒܚܬܐ ܘܒܙܡܝܪܬܐ ܕܪܘܚܐ ܗܘܝܬܘܢ ܙܡܪܝܢ ܒܠܒܘܬܟܘܢ ܠܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuhusu wale watu wa mataifa mengine ambao wamekuwa waumini, tumekwisha wapelekea barua tukiwaambia mambo tuliyoamua: wasile chochote kilichotambikiwa miungu ya uongo, wasinywe damu, wasile nyama ya mnyama aliyenyongwa, na wajiepushe na uasherati.\" \t ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܝܢ ܕܗܝܡܢܘ ܡܢ ܥܡܡܐ ܚܢܢ ܟܬܒܢ ܕܢܗܘܘܢ ܢܛܪܝܢ ܢܦܫܗܘܢ ܡܢ ܕܕܒܝܚܐ ܘܡܢ ܙܢܝܘܬܐ ܘܡܢ ܚܢܝܩܐ ܘܡܢ ܕܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakika, ingawa hataamka ampe kwa sababu yeye ni rafiki yake, lakini, kwa sababu ya huyo mtu kuendelea kumwomba, ataamka ampe chochote anachohitaji. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܢ ܡܛܠ ܪܚܡܘܬܐ ܠܐ ܢܬܠ ܠܗ ܡܛܠ ܚܨܝܦܘܬܗ ܢܩܘܡ ܘܢܬܠ ܠܗ ܟܡܐ ܕܡܬܒܥܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nimewapa utukufu uleule ulionipa mimi, ili wawe kitu kimoja kama nasi tulivyo mmoja; \t ܘܐܢܐ ܫܘܒܚܐ ܕܝܗܒܬ ܠܝ ܝܗܒܬ ܠܗܘܢ ܕܢܗܘܘܢ ܚܕ ܐܝܟܢܐ ܕܚܢܢ ܚܕ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yosefu, mumewe, kwa vile alikuwa mwadilifu, hakutaka kumwaibisha hadharani; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri. \t ܝܘܤܦ ܕܝܢ ܒܥܠܗ ܟܐܢܐ ܗܘܐ ܘܠܐ ܨܒܐ ܕܢܦܪܤܝܗ ܘܐܬܪܥܝ ܗܘܐ ܕܡܛܫܝܐܝܬ ܢܫܪܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili wawazoeze kina mama vijana kuwapenda waume zao na watoto, \t ܘܡܢܟܦܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܛܠܝܢ ܕܢܪܚܡܢ ܒܥܠܝܗܝܢ ܘܒܢܝܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawahimizeni kwa jina la Bwana muwasomee ndugu zetu wote barua hii. \t ܡܘܡܐ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܒܡܪܢ ܕܬܬܩܪܐ ܐܓܪܬܐ ܗܕܐ ܠܟܠܗܘܢ ܐܚܐ ܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana watatokea kina Kristo wa uongo na manabii wa uongo, watafanya ishara na maajabu, ili kuwapotosha wateule wa Mungu, kama ikiwezekana. \t ܢܩܘܡܘܢ ܓܝܪ ܡܫܝܚܐ ܕܕܓܠܘܬܐ ܘܢܒܝܐ ܕܟܕܒܘܬܐ ܘܢܬܠܘܢ ܐܬܘܬܐ ܘܬܕܡܪܬܐ ܘܢܛܥܘܢ ܐܢ ܡܫܟܚܐ ܐܦ ܠܓܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu yeyote atakeyewapeni kikombe cha maji ya kunywa kwa sababu ninyi ni watu wake Kristo, hakika hatakosa kupata tuzo lake. \t ܟܠ ܕܝܢ ܕܢܫܩܝܟܘܢ ܟܤܐ ܕܡܝܐ ܒܠܚܘܕ ܒܫܡܐ ܕܕܡܫܝܚܐ ܐܢܬܘܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܢܘܒܕ ܐܓܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawe mwanangu, utaitwa, nabii wa Mungu Mkuu, utamtangulia Bwana kumtayarishia njia yake; \t ܘܐܢܬ ܛܠܝܐ ܢܒܝܗ ܕܥܠܝܐ ܬܬܩܪܐ ܬܐܙܠ ܓܝܪ ܩܕܡ ܦܪܨܘܦܗ ܕܡܪܝܐ ܕܬܛܝܒ ܐܘܪܚܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilinibidi kuwalisheni kwa maziwa, na si kwa chakula kigumu, kwani hamkuwa tayari kukipokea. Hata sasa hamko tayari. \t ܚܠܒܐ ܐܫܩܝܬܟܘܢ ܘܠܐ ܝܗܒܬ ܠܟܘܢ ܡܐܟܘܠܬܐ ܠܐ ܓܝܪ ܥܕܟܝܠ ܡܫܟܚܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܐܠܐ ܐܦܠܐ ܗܫܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi Agripa akamwambia Festo, \"Ningependa kumsikia mtu huyu mimi mwenyewe.\" Festo akamwambia, \"Utamsikia kesho.\" \t ܘܐܡܪ ܐܓܪܦܘܤ ܨܒܐ ܗܘܝܬ ܕܐܫܡܥܝܘܗܝ ܠܓܒܪܐ ܗܢܐ ܘܦܗܤܛܘܤ ܐܡܪ ܕܠܡܚܪ ܫܡܥ ܐܢܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamsulubisha, wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura waamue nani angepata nini. \t ܘܟܕ ܙܩܦܘܗܝ ܦܠܓܘ ܡܐܢܘܗܝ ܘܐܪܡܝܘ ܥܠܝܗܘܢ ܦܤܐ ܡܢܘ ܡܢܐ ܢܤܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jua huchomoza na kwa joto lake kali hukausha mimea, nayo maua yake huanguka, na uzuri wake wote huharibika. Vivyo hivyo, tajiri ataangamizwa katika shughuli zake. \t ܕܢܚ ܓܝܪ ܫܡܫܐ ܒܚܘܡܗ ܘܡܘܒܫ ܠܗ ܠܥܤܒܐ ܘܗܒܒܗ ܢܦܠ ܘܫܘܦܪܐ ܕܚܙܘܗ ܐܒܕ ܗܟܢܐ ܐܦ ܥܬܝܪܐ ܚܡܐ ܒܗܘܦܟܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja usiku, Bwana alimwambia Paulo katika maono: \"Usiogope, endelea kuhubiri tu bila kufa moyo, \t ܘܐܡܪ ܡܪܝܐ ܒܚܙܘܐ ܠܦܘܠܘܤ ܠܐ ܬܕܚܠ ܐܠܐ ܡܠܠ ܘܠܐ ܬܫܬܘܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini waumini wengine waliokuwa wa kikundi cha Mafarisayo walisimama, wakasema, \"Ni lazima watu wa mataifa mengine watahiriwe na kufundishwa kuifuata Sheria ya Mose.\" \t ܩܡܘ ܗܘܘ ܕܝܢ ܐܢܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܗܝܡܢܘ ܗܘܘ ܡܢ ܝܘܠܦܢܐ ܕܦܪܝܫܐ ܘܐܡܪܝܢ ܕܘܠܐ ܗܘ ܠܟܘܢ ܠܡܓܙܪ ܐܢܘܢ ܘܬܦܩܕܘܢ ܐܢܘܢ ܕܢܛܪܘܢ ܢܡܘܤܐ ܕܡܘܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(\"Mnajua kwamba yeye alinunua shamba kwa zile fedha alizopata kutokana na kitendo chake kiovu. Akaanguka chini, akapasuka na matumbo yake yakamwagika nje. \t ܗܢܘ ܕܩܢܐ ܠܗ ܩܪܝܬܐ ܡܢ ܐܓܪܐ ܕܚܛܝܬܐ ܘܢܦܠ ܥܠ ܐܦܘܗܝ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܐܬܦܪܬ ܡܢ ܡܨܥܬܗ ܘܐܬܐܫܕ ܟܠܗ ܓܘܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ulimpa Mwanao mamlaka juu ya watu wote ili awape uzima wa milele wote hao uliompa. \t ܐܝܟܢܐ ܕܝܗܒܬ ܠܗ ܫܘܠܛܢܐ ܥܠ ܟܠ ܒܤܪ ܕܟܠ ܡܐ ܕܝܗܒܬ ܠܗ ܢܬܠ ܠܗ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakashtuka na kushikwa na hofu wakidhani wameona mzimu. \t ܘܗܢܘܢ ܐܬܪܗܒܘ ܘܗܘܘ ܒܕܚܠܬܐ ܤܒܪܝܢ ܗܘܘ ܓܝܪ ܕܪܘܚܐ ܚܙܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wanaozingatia kutenda mema, kutafuta utukufu na heshima ya Mungu na kutokufa, watapata uzima wa milele. \t ܠܐܝܠܝܢ ܕܒܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܕܥܒܕܐ ܛܒܐ ܬܫܒܘܚܬܐ ܘܐܝܩܪܐ ܘܠܐ ܡܬܚܒܠܢܘܬܐ ܒܥܝܢ ܝܗܒ ܠܗܘܢ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni pamoja na wenzake wote walishangaa kwa kupata samaki wengi vile. \t ܬܡܗܐ ܓܝܪ ܐܚܕܗ ܗܘܐ ܘܠܟܠܗܘܢ ܕܥܡܗ ܥܠ ܨܝܕܐ ܗܘ ܕܢܘܢܐ ܕܨܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilipokwenda Yerusalemu makuhani wakuu na wazee wa Wayahudi walimshtaki na kuniomba nimhukumu. \t ܘܟܕ ܗܘܝܬ ܒܐܘܪܫܠܡ ܐܘܕܥܘ ܠܝ ܥܠܘܗܝ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܩܫܝܫܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܘܒܥܘ ܕܐܥܒܕ ܠܗܘܢ ܕܝܢܐ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akaanza safari ya kurudi kwa baba yake. Alipokuwa bado yu mbali, baba yake alimwona, na kwa moyo wa huruma alimkimbilia, akamkumbatia na kumbusu. \t ܘܩܡ ܐܬܐ ܠܘܬ ܐܒܘܗܝ ܘܥܕ ܗܘ ܪܚܝܩ ܚܙܝܗܝ ܐܒܘܗܝ ܘܐܬܪܚܡ ܥܠܘܗܝ ܘܪܗܛ ܢܦܠ ܥܠ ܨܘܪܗ ܘܢܫܩܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akatufanya sisi kuwa ufalme wa makuhani, tumtumikie Mungu, Baba yake. Kwake Yesu Kristo uwe utukufu na nguvu, milele na milele! Amina. \t ܘܥܒܕ ܠܢ ܡܠܟܘܬܐ ܟܗܢܝܬܐ ܠܐܠܗܐ ܘܐܒܘܗܝ ܘܠܗ ܬܫܒܘܚܬܐ ܘܐܘܚܕܢܐ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana aihurumie jamaa ya Onesiforo, kwa sababu aliniburudisha rohoni mara nyingi, wala hakuona haya kwa kuwa nilikuwa kifungoni, \t ܢܬܠ ܡܪܢ ܪܚܡܐ ܠܒܝܬܗ ܕܐܢܤܝܦܘܪܘܤ ܕܙܒܢܝܢ ܤܓܝܐܢ ܐܢܝܚܢܝ ܘܒܫܫܠܬܐ ܕܐܤܘܪܝ ܠܐ ܒܗܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliporudi upande mwingine wa ziwa, kundi la watu lilimkaribisha, kwa maana wote walikuwa wanamngojea. \t ܟܕ ܗܦܟ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܩܒܠܗ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܟܠܗܘܢ ܓܝܪ ܠܗ ܚܝܪܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Saulo alikaa pamoja nao, akatembelea Yerusalemu yote akihubiri neno la Bwana bila hofu. \t ܘܥܐܠ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܘܢܦܩ ܒܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro na Yohane walipokuwa bado wanawahutubia watu, makuhani na mkuu wa walinzi wa Hekalu pamoja na Masadukayo walifika. \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܡܠܐ ܡܡܠܠܝܢ ܗܘܘ ܠܥܡܐ ܩܡܘ ܥܠܝܗܘܢ ܟܗܢܐ ܘܙܕܘܩܝܐ ܘܐܪܟܘܢܐ ܕܗܝܟܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Laiti hao wanaowavurugeni wangejikatakata wenyewe! \t ܐܫܬܘܦ ܕܝܢ ܐܦ ܡܦܤܩ ܢܦܤܩܘܢ ܗܢܘܢ ܕܕܠܚܝܢ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutoka huko tulisafiri tukafika Kio kesho yake. Siku ya pili, tulitia nanga Samo na kesho yake tukafika Mileto. \t ܘܡܢ ܬܡܢ ܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܪܕܝܢ ܠܘܩܒܠ ܟܝܘܤ ܓܙܪܬܐ ܘܬܘܒ ܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܐܬܝܢ ܠܤܡܘܤ ܘܩܘܝܢ ܒܛܪܘܓܠܝܘܢ ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܐܬܝܢ ܠܡܝܠܝܛܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alitambua mara mawazo yao, akawaambia, \"Mbona mnawaza hivyo mioyoni mwenu? \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܝܕܥ ܒܪܘܚܗ ܕܗܠܝܢ ܡܬܪܥܝܢ ܒܢܦܫܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܡܬܪܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܠܝܢ ܒܠܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu ili atukomboe kutoka katika uovu wote na kutufanya watu safi walio wake yeye mwenyewe, watu walio na hamu ya kutenda mema. \t ܕܗܘ ܝܗܒ ܢܦܫܗ ܚܠܦܝܢ ܕܢܦܪܩܢ ܡܢ ܟܠ ܥܘܠܐ ܘܢܕܟܝܢ ܠܢܦܫܗ ܥܡܐ ܚܕܬܐ ܕܚܤܡ ܒܥܒܕܐ ܛܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wa Yohane walimpa habari Yohane juu ya mambo hayo yote. Naye Yohane, baada ya kuwaita wawili kati ya wanafunzi wake, \t ܘܐܫܬܥܝܘ ܠܝܘܚܢܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa mngalipaswa kuwa tayari walimu, lakini mnahitaji bado mtu wa kuwafundisheni mafundisho ya mwanzo ya ujumbe wa Mungu. Badala ya kula chakula kigumu, mnapaswa bado kunywa maziwa. \t ܚܝܒܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܓܝܪ ܡܠܦܢܐ ܠܡܗܘܐ ܡܛܠ ܕܙܒܢܐ ܠܟܘܢ ܒܝܘܠܦܢܐ ܗܫܐ ܕܝܢ ܬܘܒ ܤܢܝܩܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܬܐܠܦܘܢ ܐܝܠܝܢ ܐܢܝܢ ܟܬܝܒܬܐ ܩܕܡܝܬܐ ܕܪܝܫ ܡܠܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܘܗܘܝܬܘܢ ܠܟܘܢ ܤܢܝܩܐ ܥܠ ܚܠܒܐ ܘܠܐ ܥܠ ܡܐܟܘܠܬܐ ܫܪܝܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wanafunzi wakamwuliza, \"Mwalimu! Ni nani aliyetenda dhambi: mtu huyu, ama wazazi wake, hata akazaliwa kipofu?\" \t ܘܫܐܠܘܗܝ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܪܒܢ ܡܢܘ ܚܛܐ ܗܢܐ ܐܘ ܐܒܗܘܗܝ ܕܟܕ ܤܡܐ ܢܬܝܠܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sheria ya Wayahudi si picha kamili ya mambo yale halisi: ni kivuli tu cha mema yanayokuja. Dhabihu zilezile hutolewa daima, mwaka baada ya mwaka. Sheria yawezaje, basi, kwa njia ya dhabihu hizo, kuwafanya wale wanaoabudu wawe wakamilifu? \t ܢܡܘܤܐ ܓܝܪ ܛܠܢܝܬܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܒܗ ܕܛܒܬܐ ܕܥܬܝܕܢ ܠܐ ܗܘܐ ܩܢܘܡܐ ܕܝܠܗܝܢ ܕܨܒܘܬܐ ܡܛܠ ܗܢܐ ܟܕ ܒܟܠ ܫܢܐ ܗܢܘܢ ܟܕ ܗܢܘܢ ܕܒܚܐ ܡܬܩܪܒܝܢ ܗܘܘ ܠܐ ܡܡܬܘV ܐܫܟܚܘ ܕܢܓܡܪܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܩܪܒܝܢ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakataja majina ya watu wawili; wa kwanza Yosefu aliyeitwa Barsaba (au pia Yusto), na wa pili Mathia. \t ܘܐܩܝܡܘ ܬܪܝܢ ܠܝܘܤܦ ܕܡܬܩܪܐ ܒܪܫܒܐ ܕܐܫܬܡܝ ܝܘܤܛܘܤ ܘܠܡܬܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, kama mtumishi huyo atafikiri moyoni mwake: na kusema: Bwana wangu amekawia sana kurudi halafu aanze kuwapiga watumishi wenzake, wa kiume au wa kike, na kula, kunywa na kulewa, \t ܐܢ ܕܝܢ ܢܐܡܪ ܥܒܕܐ ܗܘ ܒܠܒܗ ܕܡܪܝ ܡܘܚܪ ܠܡܐܬܐ ܘܢܫܪܐ ܠܡܡܚܐ ܠܥܒܕܐ ܘܠܐܡܗܬܐ ܕܡܪܗ ܘܢܫܪܐ ܠܡܠܥܤ ܘܠܡܫܬܐ ܘܠܡܪܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ahadi hiyo ndiyo ileile inayotumainiwa na makabila kumi na mawili ya taifa letu, wakimtumikia Mungu kwa dhati mchana na usiku. Mheshimiwa mfalme, Wayahudi wananishtaki kwa sababu ya tumaini hilo! \t ܕܥܠ ܗܢܐ ܤܒܪܐ ܬܪܬܥܤܪܐ ܫܪܒܢ ܡܤܒܪܢ ܕܢܡܢܥܢ ܒܨܠܘܬܐ ܚܦܝܛܬܐ ܕܐܝܡܡܐ ܘܕܠܠܝܐ ܘܥܠܘܗܝ ܥܠ ܗܢܐ ܤܒܪܐ ܡܬܪܫܐ ܐܢܐ ܡܢ ܐܝܕܝ ܝܗܘܕܝܐ ܡܠܟܐ ܐܓܪܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tuseme mtu mmoja ambaye amevaa pete ya dhahabu na mavazi nadhifu anaingia katika mkutano wenu, na papo hapo akaingia mtu maskini aliyevaa mavazi machafu. \t ܐܢ ܓܝܪ ܢܥܘܠ ܠܟܢܘܫܬܟܘܢ ܐܢܫ ܕܥܙܩܬܗ ܕܕܗܒܐ ܐܘ ܕܡܐܢܘܗܝ ܫܦܝܪܐ ܘܢܥܘܠ ܡܤܟܢܐ ܒܡܐܢܐ ܨܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ole wao kina mama waja wazito na wanaonyonyesha siku hizo! \t ܘܝ ܕܝܢ ܠܒܛܢܬܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܡܝܢܩܢ ܒܗܢܘܢ ܝܘܡܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawaambia, \"Tuseme mmoja wenu anaye rafiki, akaenda kwake usiku wa manane, akamwambia: Rafiki, tafadhali niazime mikate mitatu, \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܘ ܡܢܟܘܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܪܚܡܐ ܘܢܐܙܠ ܠܘܬܗ ܒܦܠܓܘܬ ܠܠܝܐ ܘܢܐܡܪ ܠܗ ܪܚܡܝ ܐܫܐܠܝܢܝ ܬܠܬ ܓܪܝܨܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Saulo alipofika Yerusalemu alijaribu kujiunga na wale wanafunzi. Lakini wote walimwogopa, na hawakuweza kuamini kwamba yeye amekuwa mfuasi. \t ܘܐܙܠ ܠܗ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܨܒܐ ܗܘܐ ܠܡܬܢܩܦܘ ܠܬܠܡܝܕܐ ܘܟܠܗܘܢ ܕܚܠܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗ ܘܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܗܘܘ ܕܬܠܡܝܕܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote saba walikufa bila kuacha mtoto. Mwishowe yule mama mjane naye akafa. \t ܘܫܒܥܬܝܗܘܢ ܢܤܒܘܗ ܘܠܐ ܫܒܩܘ ܙܪܥܐ ܐܚܪܝܬ ܟܠܗܘܢ ܡܝܬܬ ܐܦ ܗܝ ܐܢܬܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walikuwa wakiimba wimbo wa Mose, mtumishi wa Mungu, na wimbo wa Mwanakondoo: \"Bwana Mungu Mwenye Uwezo, matendo yako ni makuu mno! Ewe Mfalme wa mataifa, njia zako ni za haki na za kweli! \t ܘܡܫܒܚܝܢ ܬܫܒܘܚܬܐ ܕܡܘܫܐ ܥܒܕܗ ܕܐܠܗܐ ܘܬܫܒܘܚܬܐ ܕܐܡܪܐ ܘܐܡܪܝܢ ܪܘܪܒܝܢ ܘܬܡܝܗܝܢ ܥܒܕܝܟ ܡܪܝܐ ܐܠܗܐ ܐܚܝܕ ܟܠ ܟܐܢܝܢ ܘܫܪܝܪܝܢ ܥܒܕܝܟ ܡܠܟܐ ܕܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa uwezo wake wa kimungu, Mungu ametujalia mambo yote tunayohitaji, ili tuishi maisha ya kumcha Mungu kwa kumjua yeye aliyetuita tuushiriki utukufu na wema wake yeye mwenyewe. \t ܐܝܟ ܡܢ ܕܟܠܗܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܝܢ ܕܚܝܠܐ ܐܠܗܝܐ ܠܘܬ ܚܝܐ ܘܕܚܠܬ ܐܠܗܐ ܝܗܒ ܒܝܕ ܫܘܘܕܥܐ ܕܗܘ ܕܩܪܐ ܠܢ ܒܬܫܒܘܚܬܐ ܕܝܠܗ ܘܡܝܬܪܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mungu, mwenye kuwapa shime wanyonge alitupa moyo sisi pia kwa kuja kwake Tito. \t ܐܠܐ ܐܠܗܐ ܗܘ ܕܡܒܝܐ ܠܡܟܝܟܐ ܒܝܐܢ ܒܡܐܬܝܬܗ ܕܛܛܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Bwana akamjibu, \"Martha, Martha, unahangaika na kusumbuka kwa mambo mengi. \t ܥܢܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܪܬܐ ܡܪܬܐ ܝܨܦܬܝ ܘܪܗܝܒܬܝ ܥܠ ܤܓܝܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Namshukuru Mungu kwamba mimi nasema kwa lugha ngeni zaidi kuliko ninyi nyote. \t ܡܘܕܐ ܐܢܐ ܠܐܠܗܐ ܕܝܬܝܪ ܡܢ ܟܠܟܘܢ ܡܡܠܠ ܐܢܐ ܒܠܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wasalimieni viongozi wenu wote pamoja na watu wa Mungu! Ndugu wa Italia wanawasalimuni. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܟܠܗܘܢ ܡܕܒܪܢܝܟܘܢ ܘܕܟܠܗܘܢ ܩܕܝܫܐ ܫܐܠܝܢ ܒܫܠܡܟܘܢ ܟܠܗܘܢ ܕܡܢ ܐܝܛܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "naye akaingia ndani ya Nyumba ya Mungu, akala ile mikate iliyowekwa mbele ya Mungu. Jambo hili lilifanyika wakati Abiathari alikuwa Kuhani Mkuu. Na ni makuhani tu peke yao waliokuwa wameruhusiwa kula mikate hiyo. Lakini Daudi aliila, tena akawapa na wenzake.\" \t ܐܝܟܢܐ ܥܠ ܠܒܝܬܗ ܕܐܠܗܐ ܟܕ ܐܒܝܬܪ ܪܒ ܟܗܢܐ ܘܠܚܡܐ ܕܦܬܘܪܗ ܕܡܪܝܐ ܐܟܠ ܗܘ ܕܠܐ ܫܠܝܛ ܠܡܐܟܠ ܐܠܐ ܐܢ ܠܟܗܢܐ ܘܝܗܒ ܐܦ ܠܐܝܠܝܢ ܕܥܡܗ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, mimi si mtu huru? Je, mimi si mtume? Je, mimi sikumwona Yesu Bwana wetu? Je, ninyi si matokeo ya kazi yangu kwa ajili ya Bwana? \t ܠܡܐ ܠܐ ܗܘܝܬ ܒܪ ܚܐܪܐ ܐܘ ܠܐ ܗܘܝܬ ܫܠܝܚܐ ܐܘ ܠܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܪܢ ܠܐ ܚܙܝܬ ܐܘ ܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܥܒܕܝ ܒܡܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "hata hivyo, kwetu sisi yuko Mungu mmoja tu: Baba, Muumba wa vyote, ambaye kwa ajili yake sisi tuko. Pia yuko Bwana mmoja tu, Yesu Kristo, ambaye kwa njia yake vitu vyote viliumbwa, na sisi twaishi kwa njia yake. \t ܐܠܐ ܠܢ ܕܝܠܢ ܚܕ ܗܘ ܐܠܗܐ ܐܒܐ ܕܟܠ ܡܢܗ ܘܚܢܢ ܒܗ ܘܚܕ ܡܪܝܐ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܟܠ ܒܐܝܕܗ ܘܐܦ ܚܢܢ ܒܐܝܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana sikusita hata kidogo kuwatangazieni azimio lote la Mungu. \t ܠܐ ܓܝܪ ܐܫܬܐܠܬ ܕܐܘܕܥܟܘܢ ܟܠܗ ܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo basi, ndugu zangu, tunalo jukumu, lakini si la kuishi kufuatana na maumbile ya kibinadamu. \t ܗܫܐ ܐܚܝ ܚܝܒܝܢܢ ܠܘ ܠܒܤܪܐ ܕܒܒܤܪ ܢܗܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Petro akasema, \"Na sisi je? Tumeacha yote tukakufuata; tutapata nini basi?\" \t ܗܝܕܝܢ ܥܢܐ ܟܐܦܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܗܐ ܐܢܚܢܢ ܫܒܩܢ ܟܠܡܕܡ ܘܐܬܝܢ ܒܬܪܟ ܡܢܐ ܟܝ ܢܗܘܐ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu akamwambia na yule aliyemwalika, \"Kama ukiwaandalia watu karamu mchana au jioni, usiwaalike rafiki zako au jamaa zako au jirani zako walio matajiri, wasije nao wakakualika nawe ukawa umelipwa kile ulichowatendea. \t ܐܡܪ ܕܝܢ ܐܦ ܠܗܘ ܕܩܪܝܗܝ ܡܐ ܕܥܒܕ ܐܢܬ ܫܪܘܬܐ ܐܘ ܐܚܫܡܝܬܐ ܠܐ ܬܗܘܐ ܩܪܐ ܪܚܡܝܟ ܐܦܠܐ ܐܚܝܟ ܐܘ ܐܚܝܢܝܟ ܘܠܐ ܫܒܒܝܟ ܥܬܝܪܐ ܕܠܡܐ ܘܐܦ ܗܢܘܢ ܢܩܪܘܢܟ ܘܢܗܘܐ ܠܟ ܦܘܪܥܢܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengine wetu walikwenda kaburini wakashuhudia yale waliyosema hao wanawake; ila yeye hawakumwona.\" \t ܘܐܦ ܐܢܫܐ ܡܢܢ ܐܙܠܘ ܠܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܘܐܫܟܚܘ ܗܟܢܐ ܐܝܟ ܡܐ ܕܐܡܪ ܢܫܐ ܠܗ ܕܝܢ ܠܐ ܚܙܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro na wenzake walikuwa wamelemewa na usingizi mzito, hata hivyo waliamka, wakauona utukufu wake, wakawaona na wale watu wawili waliokuwa wamesimama pamoja naye. \t ܘܝܩܪܘ ܗܘܘ ܠܗܘܢ ܒܫܢܬܐ ܫܡܥܘܢ ܘܗܢܘܢ ܕܥܡܗ ܘܠܡܚܤܢ ܐܬܬܥܝܪܘ ܘܚܙܘ ܫܘܒܚܗ ܘܠܗܢܘܢ ܬܪܝܢ ܐܢܫܝܢ ܕܩܝܡܝܢ ܗܘܘ ܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha. \t ܘܟܕ ܒܙܚܘ ܒܗ ܐܫܠܚܘܗܝ ܟܠܡܝܤ ܘܐܠܒܫܘܗܝ ܢܚܬܘܗܝ ܘܐܘܒܠܘܗܝ ܕܢܙܕܩܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wevi, wachoyo, walevi, wasengenyaji, wanyang'anyi, hao wote hawatashiriki Utawala wa Mungu. \t ܘܠܐ ܥܠܘܒܐ ܘܠܐ ܓܢܒܐ ܘܠܐ ܪܘܝܐ ܘܠܐ ܡܨܥܪܢܐ ܘܠܐ ܚܛܘܦܐ ܗܠܝܢ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܠܐ ܝܪܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: Anayeniamini mimi, mito ya maji yenye uzima itatiririka kutoka moyoni mwake!\" \t ܟܠ ܡܢ ܕܡܗܝܡܢ ܒܝ ܐܝܟܢܐ ܕܐܡܪܘ ܟܬܒܐ ܢܗܪܘܬܐ ܕܡܝܐ ܚܝܐ ܢܪܕܘܢ ܡܢ ܟܪܤܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokwisha sema hayo, Yesu alifadhaika sana rohoni, akasema wazi, \"Kweli nawaambieni, mmoja wenu atanisaliti!\" \t ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܝܫܘܥ ܘܐܬܥܙܙ ܒܪܘܚܗ ܘܐܤܗܕ ܘܐܡܪ ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܚܕ ܡܢܟܘܢ ܢܫܠܡܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sasa tumekuwa huru kutoka vifungo vya Sheria, kwa sababu tumekufa kuhusu lile jambo lililotufanya sisi watumwa. Sasa tunatumikia kufuatana na maisha mapya ya Roho, na si kufuatana na hali ile ya kale ya Sheria iliyoandikwa. \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܐܬܒܛܠܢ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܘܡܝܬܢ ܠܗܘ ܕܐܚܝܕ ܗܘܐ ܠܢ ܕܢܫܡܫ ܡܟܝܠ ܒܚܕܬܘܬܐ ܕܪܘܚܐ ܘܠܐ ܒܥܬܝܩܘܬ ܟܬܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni Petro, Thoma (aitwaye Pacha), na Nathanieli mwenyeji wa Kana Galilaya, wana wawili wa Zebedayo na wanafunzi wake wengine wawili, walikuwa wote pamoja. \t ܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܐܟܚܕܐ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܘܬܐܘܡܐ ܕܡܬܐܡܪ ܬܐܡܐ ܘܢܬܢܝܐܝܠ ܗܘ ܕܡܢ ܩܛܢܐ ܕܓܠܝܠܐ ܘܒܢܝ ܙܒܕܝ ܘܬܪܝܢ ܐܚܪܢܝܢ ܡܢ ܬܠܡܝܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zaidi ya hayo sisi tungekuwa mashahidi wa uongo mbele ya Mungu, maana tulisema kwamba Mungu alimfufua Kristo kutoka wafu na kumbe yeye hakumfufua--kama ni kweli kwamba wafu hawafufuliwi. \t ܡܫܬܟܚܝܢ ܚܢܢ ܕܝܢ ܐܦ ܤܗܕܐ ܕܓܠܐ ܕܐܠܗܐ ܕܐܤܗܕܢ ܥܠ ܐܠܗܐ ܕܐܩܝܡ ܠܡܫܝܚܐ ܟܕ ܠܐ ܐܩܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa ameketi juu ya mlima wa Mizeituni akielekea Hekalu, Petro, Yakobo, Yohane na Andrea wakamwuliza kwa faragha, \t ܘܟܕ ܝܬܒ ܝܫܘܥ ܒܛܘܪܐ ܕܙܝܬܐ ܠܘܩܒܠ ܗܝܟܠܐ ܫܐܠܘܗܝ ܟܐܦܐ ܘܝܥܩܘܒ ܘܝܘܚܢܢ ܘܐܢܕܪܐܘܤ ܒܠܚܘܕܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nifanye nini, basi? Nitasali kwa roho yangu, nitasali pia kwa akili yangu; nitaimba kwa roho yangu, nitaimba pia kwa akili yangu. \t ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܐܥܒܕ ܐܨܠܐ ܒܪܘܚܝ ܘܐܨܠܐ ܐܦ ܒܡܕܥܝ ܘܐܙܡܪ ܒܪܘܚܝ ܘܐܙܡܪ ܐܦ ܒܡܕܥܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena ninao kondoo wengine ambao hawamo zizini humu. Inanibidi kuwaleta hao pia, nao wataisikia sauti yangu, na kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja. \t ܐܝܬ ܠܝ ܕܝܢ ܐܦ ܥܪܒܐ ܐܚܪܢܐ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܗܘܘ ܡܢ ܛܝܪܐ ܗܢܐ ܘܐܦ ܠܗܘܢ ܘܠܐ ܠܝ ܠܡܝܬܝܘ ܐܢܘܢ ܘܢܫܡܥܘܢ ܩܠܝ ܘܬܗܘܐ ܥܢܐ ܟܠܗ ܚܕܐ ܘܚܕ ܪܥܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Labda mnafikiri kwamba mpaka sasa tumekuwa tukijitetea wenyewe mbele yenu! Lakini, tunasema mambo haya mbele ya Mungu, tukiwa tumeungana na Kristo. Mambo hayo, yote, wapenzi wangu, ni kwa ajili ya kuwajenga ninyi. \t ܠܡܐ ܬܘܒ ܤܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܠܟܘܢ ܢܦܩܝܢܢ ܪܘܚܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܒܡܫܝܚܐ ܡܡܠܠܝܢܢ ܘܟܠܗܝܢ ܚܒܝܒܝ ܡܛܠ ܒܢܝܢܐ ܗܘ ܕܝܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kila aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi, na kupata uzima wa milele. \t ܤܓܝܐܐ ܕܝܢ ܩܕܡܝܐ ܕܢܗܘܘܢ ܐܚܪܝܐ ܘܐܚܪܝܐ ܩܕܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, yule malaika aliyekuwa anasema nami alikuwa na kijiti cha dhahabu cha kupimia, kwa ajili ya kuupima huo mji, milango yake na kuta zake. \t ܘܗܘ ܕܡܡܠܠ ܗܘܐ ܥܡܝ ܐܝܬ ܗܘܐ ܥܠܘܗܝ ܩܢܝܐ ܕܡܫܘܚܬܐ ܕܕܗܒܐ ܠܡܡܫܚܗ ܠܡܕܝܢܬܐ ܘܠܫܘܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokwenda mbele kidogo, aliwaona ndugu wengine wawili: Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo. Hao walikuwa ndani ya mashua pamoja na baba yao Zebedayo, wakitengeneza nyavu zao. Basi Yesu akawaita, \t ܘܟܕ ܥܒܪ ܡܢ ܬܡܢ ܚܙܐ ܐܚܪܢܐ ܐܚܐ ܬܪܝܢ ܝܥܩܘܒ ܒܪ ܙܒܕܝ ܘܝܘܚܢܢ ܐܚܘܗܝ ܒܐܠܦܐ ܥܡ ܙܒܕܝ ܐܒܘܗܘܢ ܕܡܬܩܢܝܢ ܡܨܝܕܬܗܘܢ ܘܩܪܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipanda mlimani, akaketi pamoja na wanafunzi wake. \t ܘܤܠܩ ܝܫܘܥ ܠܛܘܪܐ ܘܬܡܢ ܝܬܒ ܗܘܐ ܥܡ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili yako yote na kwa nguvu zako zote. \t ܘܕܬܪܚܡ ܠܡܪܝܐ ܐܠܗܟ ܡܢ ܟܠܗ ܠܒܟ ܘܡܢ ܟܠܗ ܢܦܫܟ ܘܡܢ ܟܠܗ ܪܥܝܢܟ ܘܡܢ ܟܠܗ ܚܝܠܟ ܗܢܘ ܦܘܩܕܢܐ ܩܕܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwonea huruma, akanyosha mkono wake, akamgusa na kumwambia, \"Nataka, takasika!\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܬܪܚܡ ܥܠܘܗܝ ܘܦܫܛ ܐܝܕܗ ܩܪܒ ܠܗ ܘܐܡܪ ܨܒܐ ܐܢܐ ܐܬܕܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zaidi ya yote pendaneni kwa moyo wote, maana upendo hufunika dhambi nyingi. \t ܘܩܕܡ ܟܠ ܡܕܡ ܚܘܒܐ ܚܪܝܦܐ ܠܘܬ ܚܕܕܐ ܢܗܘܐ ܠܟܘܢ ܚܘܒܐ ܓܝܪ ܡܚܦܐ ܤܘܓܐܐ ܕܚܛܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo huyo mama akaja, akapiga magoti mbele yake, akasema, \"Mheshimiwa, nisaidie.\" \t ܗܝ ܕܝܢ ܐܬܬ ܤܓܕܬ ܠܗ ܘܐܡܪܬ ܡܪܝ ܥܕܪܝܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenye upendo huvumilia, hufadhili; mwenye upendo hana wivu, hajidai, wala hajivuni. \t ܚܘܒܐ ܢܓܝܪܐ ܗܝ ܪܘܚܗ ܘܒܤܝܡ ܚܘܒܐ ܠܐ ܚܤܡ ܚܘܒܐ ܠܐ ܡܫܬܓܫ ܘܠܐ ܡܬܚܬܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maadamu ninyi mmemkubali Kristo Yesu kuwa Bwana, basi, ishini katika muungano naye. \t ܐܝܟܢܐ ܗܟܝܠ ܕܩܒܠܬܘܢ ܠܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܪܢ ܒܗ ܗܠܟܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu alitambua uovu wao, akawaambia, \"Enyi \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܝܕܥ ܒܝܫܘܬܗܘܢ ܘܐܡܪ ܡܢܐ ܡܢܤܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kabla ya kuja kwake Yesu, Yohane alimtangulia akiwahubiria watu wote wa Israeli kwamba ni lazima watubu na kubatizwa. \t ܘܫܕܪ ܠܝܘܚܢܢ ܕܢܟܪܙ ܩܕܡ ܡܐܬܝܬܗ ܡܥܡܘܕܝܬܐ ܕܬܝܒܘܬܐ ܠܟܠܗ ܥܡܐ ܕܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, komesheni kabisa kila kitu kilicho ndani yenu ambacho chahusika na mambo ya kidunia: uasherati, uchafu, shauku, tamaa mbaya na uchu (ambao ni sawa na kuabudu sanamu). \t ܐܡܝܬܘ ܗܟܝܠ ܗܕܡܝܟܘܢ ܕܒܐܪܥܐ ܙܢܝܘܬܐ ܘܛܢܦܘܬܐ ܘܟܐܒܐ ܘܪܓܬܐ ܒܝܫܬܐ ܘܥܠܘܒܘܬܐ ܕܗܝ ܗܝ ܕܚܠܬ ܦܬܟܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mpenzi wangu, usifuate mfano mbaya, bali mfano mwema. Kila atendaye mema ni wa Mungu; lakini anayetenda mabaya hajapata kumwona Mungu. \t ܚܒܝܒܢ ܠܐ ܬܬܕܡܐ ܒܒܝܫܬܐ ܐܠܐ ܒܛܒܬܐ ܗܘ ܕܥܒܕ ܛܒܬܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘ ܕܥܒܕ ܒܝܫܬܐ ܠܐ ܚܙܝܗܝ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo tumekuwa tukiwaombeeni daima tangu tulipopata habari zenu. Tunamwomba Mungu awajazeni ujuzi kamili wa mapenzi yake, awajazeni hekima yote na elimu iletwayo na Roho wake. \t ܡܛܠܗܢܐ ܐܦ ܚܢܢ ܡܢ ܝܘܡܐ ܕܫܡܥܢ ܠܐ ܫܠܝܢܢ ܠܡܨܠܝܘ ܥܠܝܟܘܢ ܘܠܡܫܐܠ ܕܬܬܡܠܘܢ ܝܕܥܬܐ ܕܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܒܟܠ ܚܟܡܐ ܘܒܟܠ ܤܘܟܠ ܕܪܘܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tazama! Anakuja katika mawingu! Kila mtu atamwona, hata wale waliomchoma. Makabila yote duniani yataomboleza juu yake. Naam! Amina. \t ܗܐ ܐܬܐ ܥܡ ܥܢܢܐ ܘܢܚܙܝܢܝܗܝ ܟܠ ܥܝܢܐ ܘܐܦ ܐܝܠܝܢ ܕܕܩܪܘܗܝ ܘܢܪܩܕܢ ܥܠܘܗܝ ܟܠ ܫܪܒܬܐ ܕܐܪܥܐ ܐܝܢ ܘܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana vita vyenu si vita kati yetu na binadamu, bali ni vita dhidi ya jeshi ovu la ulimwengu wa roho; tunapigana na watawala, wakuu na wenye nguvu wanaomiliki ulimwengu huu wa giza. \t ܡܛܠ ܕܬܟܬܘܫܟܘܢ ܠܐ ܗܘܐ ܥܡ ܒܤܪܐ ܘܕܡܐ ܐܠܐ ܥܡ ܐܪܟܘܤ ܘܥܡ ܫܠܝܛܢܐ ܘܥܡ ܐܚܝܕܝ ܥܠܡܐ ܕܗܢܐ ܚܫܘܟܐ ܘܥܡ ܪܘܚܐ ܒܝܫܬܐ ܕܬܚܝܬ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nimefurahi sana ndugu kadhaa walipofika hapa, wakaiambia juu ya uaminifu wako kuhusu ukweli; naam, wewe unaishi daima katika ukweli. \t ܚܕܝܬ ܓܝܪ ܤܓܝ ܕܐܬܝܢ ܐܚܐ ܘܤܗܕܝܢ ܥܠ ܫܪܪܟ ܐܝܟ ܡܐ ܕܐܢܬ ܒܫܪܪܐ ܡܗܠܟ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayenichukia mimi, anamchukia na Baba yangu pia. \t ܡܢ ܕܠܝ ܤܢܐ ܘܐܦ ܠܐܒܝ ܤܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Bwana, wamewaua manabii wako na kubomoa madhabahu yako. Ni mimi tu peke yangu niliyebaki, nao wanataka kuniua?\" \t ܡܪܝ ܠܢܒܝܝܟ ܩܛܠܘ ܘܠܡܕܒܚܝܟ ܤܚܦܘ ܘܐܢܐ ܗܘ ܒܠܚܘܕܝ ܐܫܬܚܪܬ ܘܒܥܝܢ ܠܢܦܫܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kushuka mlimani pamoja na mitume, Yesu alisimama mahali palipokuwa tambarare. Hapo palikuwa na kundi kubwa la wanafunzi wake na umati wa watu waliotoka pande zote za Yudea na Yerusalemu na pwani ya Tiro na Sidoni. Wote walifika kumsikiliza Yesu na kuponywa magonjwa yao. \t ܘܢܚܬ ܥܡܗܘܢ ܝܫܘܥ ܘܩܡ ܒܦܩܥܬܐ ܘܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܕܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܤܘܓܐܐ ܕܟܢܫܐ ܕܥܡܐ ܡܢ ܟܠܗ ܝܗܘܕ ܘܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܘܡܢ ܤܦܪ ܝܡܐ ܕܨܘܪ ܘܕܨܝܕܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Hata kama ninajishuhudia mwenyewe, ushahidi wangu ni wa kweli kwa sababu mimi najua nilikotoka na ninakokwenda. Lakini ninyi hamjui nilikotoka wala ninakokwenda. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܦܢ ܐܢܐ ܡܤܗܕ ܐܢܐ ܥܠ ܢܦܫܝ ܫܪܝܪܐ ܗܝ ܤܗܕܘܬܝ ܡܛܠ ܕܕܝܕܥ ܐܢܐ ܡܢ ܐܝܡܟܐ ܐܬܝܬ ܘܠܐܝܟܐ ܐܙܠ ܐܢܐ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܐܝܡܟܐ ܐܬܝܬ ܘܠܐ ܠܐܝܟܐ ܐܙܠ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu aliwakataza wasimwambie mtu yeyote mambo waliyoyaona, mpaka Mwana wa Mtu atakapokuwa amefufuka kutoka wafu. \t ܘܟܕ ܢܚܬܝܢ ܡܢ ܛܘܪܐ ܡܦܩܕ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܠܐܢܫ ܠܐ ܢܐܡܪܘܢ ܡܕܡ ܕܚܙܘ ܐܠܐ ܐܢ ܡܐ ܕܩܡ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܡܢ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Awali ya yote, nasikia kwamba mnapokutana pamoja hutokea mafarakano kati yenu. Nami naamini kiasi, \t ܠܘܩܕܡ ܓܝܪ ܡܐ ܕܡܬܟܢܫܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܥܕܬܐ ܦܠܓܘܬܐ ܫܡܥ ܐܢܐ ܕܐܝܬ ܒܝܢܬܟܘܢ ܘܡܕܡ ܡܕܡ ܡܗܝܡܢ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakampiga kichwani kwa mwanzi, wakamtemea mate; wakampigia magoti na kumsujudia. \t ܘܡܚܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܥܠ ܪܫܗ ܒܩܢܝܐ ܘܪܩܝܢ ܗܘܘ ܒܐܦܘܗܝ ܘܒܪܟܝܢ ܗܘܘ ܥܠ ܒܘܪܟܝܗܘܢ ܘܤܓܕܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huduma zao za kikuhani ni mfano tu na kivuli cha yale yaliyoko mbinguni. Ndivyo pia ilivyokuwa kwa Mose. Wakati alipokuwa karibu kuitengeneza ile hema, Mungu alimwambia: \"Tengeneza kila kitu kufuatana na ule mfano ulioonyeshwa kule mlimani.\" \t ܗܢܘܢ ܕܡܫܡܫܝܢ ܠܕܡܘܬܐ ܘܠܛܠܢܝܬܐ ܕܗܠܝܢ ܕܒܫܡܝܐ ܐܝܟ ܕܐܬܐܡܪ ܠܡܘܫܐ ܟܕ ܥܒܕ ܗܘܐ ܡܫܟܢܐ ܕܚܙܝ ܘܥܒܕ ܟܠܡܕV ܒܕܡܘܬܐ ܗܝ ܕܐܬܚܙܝܬ ܠܟ ܒܛܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana, ni nani miongoni mwenu ambaye akitaka kujenga mnara hataketi kwanza akadirie gharama zake ili ajue kama ana kiasi cha kutosha cha kumalizia? \t ܡܢܘ ܓܝܪ ܡܢܟܘܢ ܕܨܒܐ ܕܢܒܢܐ ܡܓܕܠܐ ܘܠܐ ܠܘܩܕܡ ܝܬܒ ܚܫܒ ܢܦܩܬܗ ܐܢ ܐܝܬ ܠܗ ܠܡܫܠܡܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye akawaambia, \"Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܚܙܐ ܗܘܝܬ ܠܗ ܠܤܛܢܐ ܕܢܦܠ ܐܝܟ ܒܪܩܐ ܡܢ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walidhani alikuwa pamoja na kundi la wasafiri, wakaenda mwendo wa kutwa, halafu wakaanza kumtafuta miongoni mwa jamaa na marafiki. \t ܤܒܪܝܢ ܗܘܘ ܓܝܪ ܕܥܡ ܒܢܝ ܠܘܝܬܗܘܢ ܗܘ ܘܟܕ ܐܬܘ ܡܪܕܐ ܝܘܡܐ ܚܕ ܒܥܐܘܗܝ ܠܘܬ ܐܢܫܘܬܗܘܢ ܘܠܘܬ ܡܢ ܕܝܕܥ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama Yoshua angaliwapa watu hao hilo pumziko, Mungu hangalisema baadaye juu ya siku nyingine. \t ܐܠܘ ܓܝܪ ܝܫܘܥ ܒܪ ܢܘܢ ܐܢܝܚ ܗܘܐ ܐܢܘܢ ܠܐ ܐܡܪ ܗܘܐ ܡܢ ܒܬܪܟܢ ܥܠ ܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale watu waliposikia hayo, wakasema, \"Nani basi, atakayeokolewa?\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܝܠܝܢ ܕܫܡܥܘ ܘܡܢܘ ܡܫܟܚ ܠܡܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao wakaondoka, wakaeneza habari za Yesu katika nchi ile yote. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܢܦܩܘ ܐܛܒܘܗܝ ܒܟܠܗ ܐܪܥܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wanafunzi wakamwendea, wakamwambia, \"Je, unajua kwamba Mafarisayo walichukizwa waliposikia maneno yako?\" \t ܗܝܕܝܢ ܩܪܒܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܝܕܥ ܐܢܬ ܕܦܪܝܫܐ ܕܫܡܥܘ ܡܠܬܐ ܗܕܐ ܐܬܟܫܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapa ni lazima kutumia ujasiri! Mwenye akili anaweza kufafanua maana ya tarakimu ya mnyama huyo, maana ni tarakimu yenye maana ya mtu fulani. Tarakimu hiyo ni mia sita sitini na sita. \t ܗܪܟܐ ܐܝܬܝܗ ܚܟܡܬܐ ܘܕܐܝܬ ܒܗ ܗܘܢܐ ܢܚܫܒܝܘܗܝ ܠܡܢܝܢܐ ܕܚܝܘܬܐ ܡܢܝܢܐ ܗܘ ܓܝܪ ܕܒܪܢܫܐ ܫܬܡܐܐ ܘܫܬܝܢ ܘܫܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alimtoa Yesu kusudi, kwa damu yake, awe njia ya kuwaondolea watu dhambi zao kwa imani yao kwake. Alifanya hivyo ili apate kuonyesha kwamba yeye ni mwadilifu. Hapo zamani Mungu alikuwa mvumilivu bila kuzijali dhambi za watu; \t ܗܢܐ ܕܩܕܡ ܤܡܗ ܐܠܗܐ ܚܘܤܝܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܕܡܗ ܡܛܠ ܚܛܗܝܢ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܚܛܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo huyo mwanamke, akifahamu yaliyompata, akajitokeza akitetemeka kwa hofu, akajitupa chini mbele ya Yesu na kusema ukweli wote. \t ܗܝ ܕܝܢ ܐܢܬܬܐ ܟܕ ܕܚܝܠܐ ܘܪܬܝܬܐ ܕܝܕܥܬ ܡܐ ܕܗܘܐ ܠܗ ܐܬܬ ܢܦܠܬ ܩܕܡܘܗܝ ܘܐܡܪܬ ܠܗ ܟܠܗ ܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sisi tunamwakilisha Kristo, naye Mungu mwenyewe anatutumia sisi kuwasihi ninyi. Tunawaombeni kwa niaba ya Kristo, mpatanishwe na Mungu. \t ܐܝܙܓܕܐ ܚܢܢ ܗܟܝܠ ܚܠܦ ܡܫܝܚܐ ܘܐܝܟ ܗܘ ܕܐܠܗܐ ܒܥܐ ܡܢܟܘܢ ܒܐܝܕܢ ܚܠܦ ܡܫܝܚܐ ܗܟܝܠ ܒܥܝܢܢ ܐܬܪܥܘ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeyote anayetaka kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na yeyote anayeipoteza, ataiokoa. \t ܡܢ ܕܨܒܐ ܕܢܚܐ ܢܦܫܗ ܢܘܒܕܝܗ ܘܡܢ ܕܢܘܒܕ ܢܦܫܗ ܢܚܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni lipi lililo rahisi zaidi: kumwambia mtu huyu aliyepooza, Umesamehewa dhambi zako, au kumwambia, Inuka! Chukua mkeka wako utembee? \t ܐܝܕܐ ܦܫܝܩܐ ܠܡܐܡܪ ܠܡܫܪܝܐ ܕܫܒܝܩܝܢ ܠܟ ܚܛܗܝܟ ܐܘ ܠܡܐܡܪ ܕܩܘܡ ܫܩܘܠ ܥܪܤܟ ܘܗܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kwa vile ninyi mu katika mipaka hiyo, hatukuipita tulipokuja kwenu, tukiwaleteeni Habari Njema juu ya Kristo. \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܐܝܟ ܕܠܐ ܡܬܡܛܝܢܢ ܠܘܬܟܘܢ ܡܬܚܝܢܢ ܢܦܫܢ ܥܕܡܐ ܓܝܪ ܠܘܬܟܘܢ ܡܛܝܢ ܒܤܒܪܬܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vilevile yeye ni baba wa wale waliotahiriwa; lakini si kwa kuwa wametahiriwa, bali kwa sababu wanafuata njia ileile ya imani baba yetu Abrahamu aliyofuata kabla ya kutahiriwa. \t ܘܐܒܐ ܠܓܙܘܪܬܐ ܠܐ ܗܘܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܢ ܓܙܘܪܬܐ ܐܢܘܢ ܒܠܚܘܕ ܐܠܐ ܐܦ ܠܐܝܠܝܢ ܕܫܠܡܝܢ ܠܥܩܒܬܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܕܥܘܪܠܘܬܐ ܕܐܒܘܢ ܐܒܪܗܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipomaliza kufundisha, akamwambia Simoni, \"Peleka mashua mpaka kilindini, mkatupe nyavu zenu mpate kuvua samaki.\" \t ܘܟܕ ܫܬܩ ܡܢ ܡܡܠܠܗ ܐܡܪ ܠܫܡܥܘܢ ܕܒܪܘ ܠܥܘܡܩܐ ܘܐܪܡܘ ܡܨܝܕܬܟܘܢ ܠܨܝܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale mitume waliokuwa kule Yerusalemu walipopata habari kwamba wenyeji wa Samaria nao wamelipokea neno la Mungu, waliwatuma kwao Petro na Yohane. \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܫܠܝܚܐ ܕܒܐܘܪܫܠܡ ܕܩܒܠܘ ܥܡܐ ܕܫܡܪܝܐ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܫܕܪܘ ܠܘܬܗܘܢ ܠܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܘܠܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mimi nina ushahidi juu yangu ambao ni mkuu zaidi kuliko ule wa Yohane. Kwa maana kazi ninazofanya, kazi alizonipa Baba nizifanye, ndizo zinazonishuhudia kwamba Baba ndiye aliyenituma. \t ܠܝ ܕܝܢ ܐܝܬ ܠܝ ܤܗܕܘܬܐ ܕܪܒܐ ܡܢ ܕܝܘܚܢܢ ܥܒܕܐ ܓܝܪ ܕܝܗܒ ܠܝ ܐܒܝ ܕܐܫܠܡ ܐܢܘܢ ܗܢܘܢ ܥܒܕܐ ܕܥܒܕ ܐܢܐ ܤܗܕܝܢ ܥܠܝ ܕܐܒܐ ܫܠܚܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Luka, daktari wetu mpenzi, na Dema, wanawasalimuni. \t ܫܐܠ ܒܫܠܡܟܘܢ ܠܘܩܐ ܐܤܝܐ ܚܒܝܒܢ ܘܕܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Melkisedeki alikuwa mfalme wa Salemu, na kuhani wa Mungu Mkuu. Abrahamu alipokuwa anarudi kutoka vitani ambako aliwaua wafalme, Melkisedeki alikutana naye akambariki, \t ܗܢܐ ܕܝܢ ܡܠܟܝܙܕܩ ܐܝܬܘܗܝ ܡܠܟ ܫܠܝV ܟܘܡܪܐ ܕܐܠܗܐ ܡܪܝܡܐ ܘܗܘ ܐܪܥܗ ܠܐܒܪܗV ܟܕ ܗܦܟ ܡܢ ܚܪܒܐ ܕܡܠܟܐ ܘܒܪܟܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye ni mng'ao wa utukufu wa Mungu, na mfano kamili wa hali ya Mungu mwenyewe, akiutegemeza ulimwengu kwa neno lake lenye nguvu. Baada ya kuwapatia binadamu msamaha wa dhambi zao, aliketi huko juu mbinguni, upande wa kulia wa Mungu Mkuu. \t ܕܗܘܝܘ ܨܡܚܐ ܕܫܘܒܚܗ ܘܨܠܡܐ ܕܐܝܬܘܬܗ ܘܐܚܝܕ ܟܠ ܒܚܝܠܐ ܕܡܠܬܗ ܘܗܘ ܒܩܢܘܡܗ ܥܒܕ ܕܘܟܝܐ ܕܚܛܗܝܢ ܘܝܬܒ ܥܠ ܝܡܝܢܐ ܕܪܒܘܬܐ ܒܡܪܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akajibu, \"Je, uko tayari kweli kufa kwa ajili yangu? Kweli nakwambia, kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu!\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܢܦܫܟ ܚܠܦܝ ܤܐܡ ܐܢܬ ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܕܠܐ ܢܩܪܐ ܬܪܢܓܠܐ ܥܕܡܐ ܕܬܟܦܘܪ ܒܝ ܬܠܬ ܙܒܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo, Mungu wa baba zetu amemtukuza Yesu mtumishi wake. Yeye ndiye yuleyule mliyemtia mikononi mwa wakuu na kumkataa mbele ya Pilato hata baada ya Pilato kuamua kumwacha huru. \t ܐܠܗܗ ܗܘ ܕܐܒܪܗܡ ܘܕܐܝܤܚܩ ܘܕܝܥܩܘܒ ܐܠܗܐ ܕܐܒܗܬܢ ܫܒܚ ܠܒܪܗ ܝܫܘܥ ܗܘ ܕܐܢܬܘܢ ܐܫܠܡܬܘܢ ܘܟܦܪܬܘܢ ܒܗ ܩܕܡ ܐܦܘܗܝ ܕܦܝܠܛܘܤ ܟܕ ܗܘ ܙܕܩ ܗܘܐ ܕܢܫܪܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati wa mavuno ulipofika, aliwatuma watumishi wake kwa wale wakulima, ili wakachukue sehemu ya mavuno yake. \t ܟܕ ܕܝܢ ܡܛܐ ܙܒܢܐ ܕܦܐܪܐ ܫܕܪ ܠܥܒܕܘܗܝ ܠܘܬ ܦܠܚܐ ܕܢܫܕܪܘܢ ܠܗ ܡܢ ܦܐܪܐ ܕܟܪܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. \t ܗܟܢܐ ܓܝܪ ܐܚܒ ܐܠܗܐ ܠܥܠܡܐ ܐܝܟܢܐ ܕܠܒܪܗ ܝܚܝܕܝܐ ܢܬܠ ܕܟܠ ܡܢ ܕܡܗܝܡܢ ܒܗ ܠܐ ܢܐܒܕ ܐܠܐ ܢܗܘܘܢ ܠܗ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunajua kwamba kila aliye mtoto wa Mungu hatendi dhambi, kwa sababu Mwana wa Mungu humlinda salama, na yule Mwovu hawezi kumdhuru. \t ܘܝܕܥܝܢܢ ܕܟܠ ܕܝܠܝܕ ܡܢ ܐܠܗܐ ܠܐ ܚܛܐ ܗܘ ܓܝܪ ܕܝܠܝܕ ܡܢ ܐܠܗܐ ܢܛܪ ܢܦܫܗ ܘܒܝܫܐ ܠܐ ܡܬܩܪܒ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayepinga mamlaka ya viongozi anapinga agizo la Mungu; nao wafanyao hivyo wanajiletea hukumu wenyewe, \t ܡܢ ܕܩܐܡ ܗܟܝܠ ܠܘܩܒܠ ܫܘܠܛܢܐ ܠܘܩܒܠ ܦܘܩܕܢܐ ܕܐܠܗܐ ܩܐܡ ܘܗܠܝܢ ܕܩܝܡܝܢ ܠܘܩܒܠܗܘܢ ܕܝܢܐ ܢܤܒܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakazipokea fedha zao, wakaanza kumnung'unikia yule bwana. \t ܘܟܕ ܫܩܠܘ ܪܛܢܘ ܥܠ ܡܪܐ ܒܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kumbuka kwamba, katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܗܘܝܬ ܝܕܥ ܕܒܝܘܡܬܐ ܐܚܪܝܐ ܢܐܬܘܢ ܙܒܢܐ ܩܫܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Anathubutuje kusema hivyo? Anamkufuru Mungu! Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake.\" \t ܕܡܢܐ ܗܢܐ ܡܡܠܠ ܓܘܕܦܐ ܡܢܘ ܡܫܟܚ ܠܡܫܒܩ ܚܛܗܐ ܐܠܐ ܐܢ ܚܕ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema. \t ܠܐ ܕܝܢ ܝܕܥ ܗܘܐ ܡܢܐ ܐܡܪ ܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܓܝܪ ܒܕܚܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu, walirudi nyumbani, wakatayarisha manukato na marashi kuyapaka mwili wa Yesu. Siku ya Sabato walipumzika kama ilivyoamriwa na sheria. \t ܘܗܦܟ ܛܝܒ ܗܪܘܡܐ ܘܒܤܡܐ ܘܒܫܒܬܐ ܫܠܝ ܐܝܟ ܕܦܩܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akasimama, akawaita na kuwauliza, \"Mnataka niwafanyie nini?\" \t ܘܩܡ ܝܫܘܥ ܘܩܪܐ ܐܢܘܢ ܘܐܡܪ ܡܢܐ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܥܒܕ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, ni lazima mtu mwingine ajiunge nasi kama shahidi wa ufufuo wake Bwana Yesu. \t ܘܠܝܐ ܗܝ ܗܟܝܠ ܠܚܕ ܡܢ ܗܠܝܢ ܓܒܪܐ ܕܗܘܘ ܥܡܢ ܒܗܢܐ ܙܒܢܐ ܟܠܗ ܕܒܗ ܥܠ ܘܢܦܩ ܥܠܝܢ ܡܪܢ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ile sauti ikasikika tena kutoka mbinguni: Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa. \t ܘܬܘܒ ܩܠܐ ܐܡܪ ܠܝ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܡܕܡ ܕܐܠܗܐ ܕܟܝ ܐܢܬ ܠܐ ܬܤܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na katika safari hiyo ilimbidi apitie Samaria. \t ܡܥܒܕܐ ܗܘܬ ܠܗ ܕܝܢ ܕܢܐܬܐ ܢܥܒܪ ܥܠ ܒܝܬ ܫܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaandikieni ninyi watoto, kwa sababu mnamjua Baba. Nawaandikieni ninyi kina baba, kwa kuwa mnamjua yeye ambaye amekuwako tangu mwanzo. Nawaandikieni ninyi vijana kwa sababu mna nguvu; neno la Mungu limo ndani yenu na mmemshinda yule Mwovu. \t ܟܬܒܬ ܠܟܘܢ ܐܒܗܐ ܕܝܕܥܬܘܢ ܠܗܘ ܕܡܢ ܒܪܫܝܬ ܟܬܒܬ ܠܟܘܢ ܥܠܝܡܐ ܕܚܝܠܬܢܐ ܐܢܬܘܢ ܘܡܠܬܗ ܕܐܠܗܐ ܫܪܝܐ ܒܟܘܢ ܘܙܟܝܬܘܢܝܗܝ ܠܒܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawauliza wale kumi na wawili, \"Je, nanyi pia mwataka kwenda zenu?\" \t ܘܐܡܪ ܝܫܘܥ ܠܬܪܥܤܪܬܗ ܠܡܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܐܙܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mkuu wa jeshi aliwaita askari wawili akawaambia, \"Wekeni tayari askari mia mbili, wapanda farasi sabini na askari mia mbili wa mikuki, waende Kaisarea; muwe tayari kuondoka kabla ya saa tatu leo usiku. \t ܘܩܪܐ ܠܬܪܝܢ ܩܢܛܪܘܢܝܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘ ܥܬܕܘ ܪܗܘܡܝܐ ܡܐܬܝܢ ܕܢܐܙܠܘܢ ܠܩܤܪܝܐ ܘܦܪܫܐ ܫܒܥܝܢ ܘܫܕܝܝ ܒܝܡܝܢܐ ܡܐܬܝܢ ܕܢܦܩܘܢ ܡܢ ܬܠܬ ܫܥܝܢ ܒܠܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alibakiwa bado na mtu mmoja, yaani mwanawe mpendwa. Mwishowe akamtuma huyo akisema, Watamheshimu mwanangu. \t ܚܪܬܐ ܕܝܢ ܚܕ ܒܪܐ ܚܒܝܒܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܘܫܕܪܗ ܠܘܬܗܘܢ ܐܚܪܝܬ ܐܡܪ ܓܝܪ ܟܒܪ ܢܒܗܬܘܢ ܡܢ ܒܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwangu mimi si kitu nikihukumiwa na ninyi, au na mahakama ya kibinadamu; wala sijihukumu. \t ܠܝ ܕܝܢ ܗܕܐ ܒܨܝܪܘܬܐ ܗܝ ܠܝ ܕܡܢܟܘܢ ܐܬܕܝܢ ܐܘ ܡܢ ܟܠ ܒܪ ܐܢܫ ܐܠܐ ܐܦܠܐ ܐܢܐ ܢܦܫܝ ܕܐܢ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika wa pili akapiga tarumbeta yake. Na kitu kama mlima mkubwa unaowaka moto ukatupwa baharini. Theluthi moja ya bahari ikawa damu, \t ܘܕܬܪܝܢ ܙܥܩ ܘܗܘܐ ܐܝܟ ܛܘܪܐ ܪܒܐ ܕܝܩܕ ܢܦܠ ܒܝܡܐ ܘܗܘܐ ܬܘܠܬܗ ܕܝܡܐ ܕܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wanapoapa, huapa kwa mmoja aliye mkuu zaidi kuliko wao, na kiapo hicho husuluhisha ubishi wote. \t ܒܢܝܢܫܐ ܓܝܪ ܒܕܪܒ ܡܢܗܘܢ ܝܡܝܢ ܘܥܠ ܟܠ ܚܪܝܢ ܕܗܘܐ ܒܝܢܬܗܘܢ ܫܘܠܡܐ ܫܪܝܪܐ ܒܡܘܡܬܐ ܗܘܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "hata hampungukiwi kipaji chochote cha kiroho mkiwa mnangojea kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܕܠܐ ܐܬܒܨܪܬܘܢ ܒܚܕܐ ܡܢ ܡܘܗܒܬܗ ܐܠܐ ܡܤܟܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܓܠܝܢܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikamwona Mwanakondoo anavunja mhuri mmojawapo wa ile mihuri saba. Nikasikia kimoja cha vile viumbe hai vinne kikisema kwa sauti kama ya ngurumo, \"Njoo!\" \t ܘܚܙܝܬ ܟܕ ܦܬܚ ܐܡܪܐ ܚܕ ܡܢ ܫܒܥܐ ܛܒܥܝܢ ܘܫܡܥܬ ܠܚܕܐ ܡܢ ܐܪܒܥ ܚܝܘܢ ܕܐܡܪܐ ܐܝܟ ܩܠܐ ܕܪܥܡܐ ܬܐ ܘܚܙܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili ambaye ndiye atakayemsaliti Yesu, akasema, \t ܘܐܡܪ ܝܗܘܕܐ ܤܟܪܝܘܛܐ ܚܕ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܗܘ ܕܥܬܝܕ ܗܘܐ ܕܢܫܠܡܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu wa kuajiriwa ambaye si mchungaji, na wala kondoo si mali yake, anapoona mbwa mwitu anakuja, huwaacha kondoo na kukimbia. Kisha mbwa mwitu huwakamata na kuwatawanya. \t ܐܓܝܪܐ ܕܝܢ ܕܠܐ ܗܘܐ ܪܥܝܐ ܘܠܘ ܕܝܠܗ ܐܢܘܢ ܥܪܒܐ ܡܐ ܕܚܙܐ ܕܐܒܐ ܕܐܬܐ ܫܒܩ ܥܢܐ ܘܥܪܩ ܘܐܬܐ ܕܐܒܐ ܚܛܦ ܘܡܒܕܪ ܠܗ ܠܥܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jioni, jua lilipokwisha tua, wakamletea Yesu wagonjwa wote na watu waliopagawa na pepo. \t ܒܪܡܫܐ ܕܝܢ ܒܡܥܪܒܝ ܫܡܫܐ ܐܝܬܝܘ ܠܘܬܗ ܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܒܝܫܐܝܬ ܥܒܝܕܝܢ ܘܕܝܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikawa vivyo hivyo kwa ndugu wa pili, na wa tatu, mpaka wa saba. \t ܗܟܘܬ ܐܦ ܗܘ ܕܬܪܝܢ ܘܐܦ ܗܘ ܕܬܠܬܐ ܘܥܕܡܐ ܠܫܒܥܬܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikaona ishara nyingine mbinguni, kubwa na ya kushangaza. Palikuwa hapo malaika saba wenye mabaa makubwa saba ya mwisho. Kwa mabaa hayo makubwa saba, ghadhabu ya Mungu imekamilishwa. \t ܘܚܙܝܬ ܐܚܪܬܐ ܐܬܐ ܒܫܡܝܐ ܪܒܬܐ ܘܬܡܝܗܬܐ ܡܠܐܟܐ ܕܐܝܬ ܥܠܝܗܘܢ ܡܚܘܬܐ ܫܒܥ ܐܚܪܝܬܐ ܕܒܗܝܢ ܐܫܬܡܠܝܬ ܚܡܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hawakuelewa kwamba Yesu alikuwa akisema nao juu ya Baba. \t ܘܠܐ ܝܕܥܘ ܕܥܠ ܐܒܐ ܐܡܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu akijiona kuwa ni kitu, na kumbe si kitu, huyo anajidanganya mwenyewe. \t ܐܢ ܓܝܪ ܐܢܫ ܤܒܪ ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܕܡ ܟܕ ܠܐ ܐܝܬܘܗܝ ܢܦܫܗ ܡܛܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mama mmoja aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye marashi ya thamani kubwa, alimjia pale mezani alipokuwa amekaa kula chakula, akammiminia hayo marashi kichwani. \t ܩܪܒܬ ܠܗ ܐܢܬܬܐ ܕܐܝܬ ܥܠܝܗ ܫܛܝܦܬܐ ܕܡܫܚܐ ܕܒܤܡܐ ܤܓܝ ܕܡܝܐ ܘܐܫܦܥܬܗ ܥܠ ܪܫܗ ܕܝܫܘܥ ܟܕ ܤܡܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jiepushe na tamaa za ujana, fuata uadilifu, imani, upendo, amani, pamoja na watu wote ambao wanamwomba Bwana kwa moyo safi. \t ܡܢ ܟܠܗܝܢ ܪܓܝܓܬܐ ܕܛܠܝܘܬܐ ܥܪܘܩ ܘܗܪܛ ܒܬܪ ܟܐܢܘܬܐ ܘܗܝܡܢܘܬܐ ܘܚܘܒܐ ܘܫܠܡܐ ܥܡ ܐܝܠܝܢ ܕܩܪܝܢ ܠܡܪܢ ܒܠܒܐ ܕܟܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, nawaambieni ukweli: afadhali kwenu mimi niende zangu, maana nisipokwenda Msaidizi hatakuja kwenu. Lakini nikienda, basi, nitamtuma kwenu. \t ܐܠܐ ܐܢܐ ܫܪܪܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܦܩܚ ܠܟܘܢ ܕܐܢܐ ܐܙܠ ܐܢ ܓܝܪ ܐܢܐ ܠܐ ܐܙܠ ܐܢܐ ܦܪܩܠܛܐ ܠܐ ܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܐܢ ܕܝܢ ܐܙܠ ܐܫܕܪܝܘܗܝ ܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote. \t ܕܒܦܘܡܗܘܢ ܠܐ ܐܫܬܟܚܬ ܕܓܠܘܬܐ ܕܠܐ ܡܘܡ ܓܝܪ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu asema hivi: \"Wakati wa kufaa nimekusikiliza, wakati wa wokovu nikakusaidia.\" Basi, sasa ndio wakati wa kufaa, sasa ndiyo siku ya wokovu! \t ܐܡܪ ܓܝܪ ܕܒܙܒܢܐ ܡܩܒܠܐ ܥܢܝܬܟ ܘܒܝܘܡܐ ܕܚܝܐ ܥܕܪܬܟ ܗܐ ܗܫܐ ܙܒܢܐ ܡܩܒܠܐ ܘܗܐ ܗܫܐ ܝܘܡܐ ܕܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akamwambia pia: Nawe utakuwa na madaraka juu ya miji mitano. \t ܐܡܪ ܐܦ ܠܗܢܐ ܐܦ ܐܢܬ ܬܗܘܐ ܫܠܝܛ ܥܠ ܚܡܫܐ ܟܪܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Hivi, mtu akiwa na kondoo mia, akigundua kwamba mmoja wao amepotea, atafanya nini? Atawaacha wale tisini na tisa mbugani, na kwenda kumtafuta yule aliyepotea mpaka ampate. \t ܡܢܘ ܡܢܟܘܢ ܓܒܪܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܡܐܐ ܥܪܒܝܢ ܘܐܢ ܢܐܒܕ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܠܐ ܫܒܩ ܬܫܥܝܢ ܘܬܫܥܐ ܒܕܒܪܐ ܘܐܙܠ ܒܥܐ ܠܗܘ ܕܐܒܕ ܥܕܡܐ ܕܢܫܟܚܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule wa mwanamke mtumwa alizaliwa kama kawaida, lakini yule wa mwanamke huru alizaliwa kutokana na ahadi ya Mungu. \t ܐܠܐ ܗܘ ܕܡܢ ܐܡܬܐ ܒܒܤܪ ܐܬܝܠܕ ܗܘ ܕܝܢ ܕܡܢ ܚܐܪܬܐ ܒܡܘܠܟܢܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa njia yake, mimi nimepewa neema ya kuwa mtume, ili kwa ajili yake niwaongoze watu wa mataifa yote wapate kuamini na kutii. \t ܕܒܗ ܢܤܒܢ ܛܝܒܘܬܐ ܘܫܠܝܚܘܬܐ ܒܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܐܝܟ ܕܢܫܬܡܥܘܢ ܠܗܝܡܢܘܬܐ ܕܫܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana awe nawe rohoni mwako. Nawatakieni nyote neema. \t ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܥܡ ܪܘܚܟ ܛܝܒܘܬܐ ܥܡܟ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na hivyo awaokoe wale waliokuwa watumwa maisha yao yote kwa sababu ya hofu yao ya kifo. \t ܘܢܫܪܐ ܠܗܢܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܒܕܚܠܬܐ ܕܡܘܬܐ ܒܟܠܗܘܢ ܚܝܝܗܘܢ ܡܫܥܒܕܝܢ ܗܘܘ ܠܥܒܕܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima. \t ܐܢܐ ܐܢܐ ܓܦܬܐ ܕܫܪܪܐ ܘܐܒܝ ܗܘ ܦܠܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu awathibitishieni mambo haya katika makanisa. Mimi ni mzawa wa ukoo wa Daudi. Mimi ni nyota angavu ya asubuhi!\" \t ܐܢܐ ܝܫܘܥ ܫܕܪܬ ܠܡܠܐܟܝ ܕܢܤܗܕ ܒܟܘܢ ܗܠܝܢ ܩܕܡ ܥܕܬܐ ܐܢܐ ܐܢܐ ܥܩܪܐ ܘܫܪܒܬܗ ܕܕܘܝܕ ܘܥܡܗ ܘܟܘܟܒ ܨܦܪܐ ܢܗܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawajibu, \"Yule mtu aitwaye Yesu alifanya tope, akanipaka machoni na kuniambia: Nenda ukanawe katika bwawa la Siloamu. Basi, mimi nikaenda, nikanawa, nikapata kuona.\" \t ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܓܒܪܐ ܕܫܡܗ ܝܫܘܥ ܥܒܕ ܛܝܢܐ ܘܛܫ ܠܝ ܥܠ ܥܝܢܝ ܘܐܡܪ ܠܝ ܙܠ ܐܫܝܓ ܒܡܝܐ ܕܫܝܠܘܚܐ ܘܐܙܠܬ ܐܫܝܓܬ ܘܐܬܚܙܝ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kwa haraka wakazunguka katika nchi ile yote, wakaanza kuwachukua wagonjwa wamelala juu ya mikeka yao, wakawapeleka kila mahali waliposikia Yesu yupo. \t ܘܪܗܛܘ ܒܟܠܗ ܐܪܥܐ ܗܝ ܘܫܪܝܘ ܠܡܝܬܝܘ ܠܐܝܠܝܢ ܕܒܝܫܐܝܬ ܥܒܝܕܝܢ ܟܕ ܫܩܝܠܝܢ ܠܗܘܢ ܒܥܪܤܬܐ ܠܐܝܟܐ ܕܫܡܥܝܢ ܗܘܘ ܕܐܝܬܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Hakuna mtumishi awezaye kuwatumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au ataambatana na mmoja na kumdharau mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.\" \t ܠܝܬ ܥܒܕܐ ܕܡܫܟܚ ܠܬܪܝܢ ܡܪܘܢ ܠܡܦܠܚ ܐܘ ܓܝܪ ܠܚܕ ܢܤܢܐ ܘܠܐܚܪܢܐ ܢܪܚܡ ܐܘ ܠܚܕ ܢܝܩܪ ܘܠܐܚܪܢܐ ܢܫܘܛ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܦܠܚ ܠܐܠܗܐ ܘܠܡܡܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yuda alipokwisha twaa kile kipande cha mkate, akatoka nje mara. Na ilikuwa usiku. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܗܘܕܐ ܢܤܒ ܠܚܡܐ ܒܪ ܫܥܬܗ ܘܢܦܩ ܠܗ ܠܒܪ ܠܠܝܐ ܗܘܐ ܕܝܢ ܟܕ ܢܦܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ni mlango. Anayeingia kwa kupitia kwangu ataokolewa; ataingia na kutoka, na kupata malisho. \t ܐܢܐ ܐܢܐ ܬܪܥܐ ܘܒܝ ܐܢ ܐܢܫ ܢܥܘܠ ܢܚܐ ܘܢܥܘܠ ܘܢܦܘܩ ܘܪܥܝܐ ܢܫܟܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akawaambia, \"Ninyi wenyewe mnajua kwamba Myahudi yeyote amekatazwa na Sheria yake ya dini kushirikiana na watu wa mataifa mengine. Lakini Mungu amenijulisha nisimfikirie mtu yeyote kuwa najisi au mchafu. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܠܐ ܡܦܤ ܠܓܒܪܐ ܝܗܘܕܝܐ ܕܢܩܦ ܠܐܢܫܐ ܢܘܟܪܝܐ ܕܠܐ ܗܘܐ ܒܪ ܫܪܒܬܗ ܘܠܝ ܐܠܗܐ ܚܘܝܢܝ ܕܠܐ ܐܡܪ ܥܠ ܐܢܫ ܕܛܡܐ ܐܘ ܡܤܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Paulo alikata rufani, akaomba aachwe kizuizini mpaka uamuzi wa shauri hilo ufanywe na Kaisari. Kwa hiyo niliamua akae kizuizini mpaka nitakapoweza kumpeleka kwa Kaisari.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܒܥܐ ܕܢܬܢܛܪ ܠܕܝܢܗ ܕܩܤܪ ܘܦܩܕܬ ܕܢܬܢܛܪ ܥܕܡܐ ܕܐܫܕܪܝܘܗܝ ܠܘܬ ܩܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yosefu aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake, aliogopa kwenda huko. Naye baada ya kuonywa katika ndoto, alikwenda katika mkoa wa Galilaya, \t ܘܐܬܐ ܥܡܪ ܒܡܕܝܢܬܐ ܕܡܬܩܪܝܐ ܢܨܪܬ ܐܝܟ ܕܢܬܡܠܐ ܡܕܡ ܕܐܬܐܡܪ ܒܢܒܝܐ ܕܢܨܪܝܐ ܢܬܩܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu atafanya jambo la haki: atawalipa mateso wale wanaowatesa ninyi, \t ܘܐܢ ܟܐܢܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܕܢܦܪܘܥ ܐܘܠܨܢܐ ܠܐܠܘܨܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Papo hapo midomo na ulimi wake Zakariya vikafunguliwa, akawa anaongea akimsifu Mungu. \t ܘܡܚܕܐ ܐܬܦܬܚ ܦܘܡܗ ܘܠܫܢܗ ܘܡܠܠ ܘܒܪܟ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu Mungu aliifanya tohara iwe ishara ya agano. Hivyo, Abrahamu alimtahiri mtoto wake Isaka, siku ya nane baada ya kuzaliwa. Na Isaka, vivyo hivyo, alimtahiri Yakobo. Naye Yakobo aliwatendea wale mababu kumi na wawili vivyo hivyo. \t ܘܝܗܒ ܠܗ ܕܝܬܩܐ ܕܓܙܘܪܬܐ ܘܗܝܕܝܢ ܐܘܠܕ ܠܐܝܤܚܩ ܘܓܙܪܗ ܒܝܘܡܐ ܬܡܝܢܝܐ ܘܐܝܤܚܩ ܐܘܠܕ ܠܝܥܩܘܒ ܘܝܥܩܘܒ ܐܘܠܕ ܠܬܪܥܤܪ ܐܒܗܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna mtu awezaye kuja kwangu, Baba aliyenituma asipomvuta kwangu; nami nitamfufua mtu huyo Siku ya mwisho. \t ܠܐ ܐܢܫ ܡܫܟܚ ܕܢܐܬܐ ܠܘܬܝ ܐܠܐ ܐܢ ܢܓܕܗ ܐܒܐ ܕܫܕܪܢܝ ܘܐܢܐ ܐܩܝܡܝܘܗܝ ܒܝܘܡܐ ܐܚܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usiku, karibu na mapambazuko, Yesu aliwaendea wanafunzi akitembea juu ya maji. \t ܒܡܛܪܬܐ ܕܝܢ ܪܒܝܥܝܬܐ ܕܠܠܝܐ ܐܬܐ ܠܘܬܗܘܢ ܝܫܘܥ ܟܕ ܡܗܠܟ ܥܠ ܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa vile huyu pia ni wa ukoo wa Abrahamu. \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܝܘܡܢܐ ܗܘܘ ܚܝܐ ܠܒܝܬܐ ܗܢܐ ܡܛܠ ܕܐܦ ܗܢܐ ܒܪܗ ܗܘ ܕܐܒܪܗܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiye aliyewaongoza wale watu watoke Misri kwa kufanya miujiza na maajabu katika nchi ya Misri, katika bahari ya Shamu na jangwani kwa muda wa miaka arobaini. \t ܗܢܘ ܕܐܦܩ ܐܢܘܢ ܟܕ ܥܒܕ ܐܬܘܬܐ ܘܬܕܡܪܬܐ ܘܓܒܪܘܬܐ ܒܐܪܥܐ ܕܡܨܪܝܢ ܘܒܝܡܐ ܕܤܘܦ ܘܒܡܕܒܪܐ ܫܢܝܢ ܐܪܒܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafarisayo kadhaa walimjia, wakamwuliza kwa kumtega, \"Je, ni halali mume kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?\" \t ܘܩܪܒܘ ܠܘܬܗ ܦܪܝܫܐ ܘܡܢܤܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܘܐܡܪܝܢ ܐܢ ܫܠܝܛ ܠܐܢܫ ܕܢܫܪܐ ܐܢܬܬܗ ܒܟܠ ܥܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Umati wa watu ukamwuliza, \"Tufanye nini basi?\" \t ܘܡܫܐܠܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܟܢܫܐ ܘܐܡܪܝܢ ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܢܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakasema, \"Enyi wananchi wa Galilaya! Mbona mnasimama mkitazama angani? Yesu huyu ambaye amechukuliwa kutoka kwenu kwenda mbinguni atakuja tena namna hiyohiyo mliivyomwona akienda mbinguni.\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܗܘܢ ܓܒܪܐ ܓܠܝܠܝܐ ܡܢܐ ܩܝܡܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܚܝܪܝܢ ܒܫܡܝܐ ܗܢܐ ܝܫܘܥ ܕܐܤܬܠܩ ܡܢܟܘܢ ܠܫܡܝܐ ܗܟܢܐ ܢܐܬܐ ܐܝܟ ܡܐ ܕܚܙܝܬܘܢܝܗܝ ܕܤܠܩ ܠܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu ameweka katika kanisa: kwanza mitume, pili manabii, tatu walimu; kisha ameweka wale wenye kipaji cha kufanya miujiza, kuponya, kusaidia; viongozi na wenye kusema lugha ngeni. \t ܤܡ ܓܝܪ ܐܠܗܐ ܒܥܕܬܗ ܠܘܩܕܡ ܫܠܝܚܐ ܒܬܪܗܘܢ ܢܒܝܐ ܒܬܪܗܘܢ ܡܠܦܢܐ ܒܬܪܗܘܢ ܥܒܕܝ ܚܝܠܐ ܒܬܪܗܘܢ ܡܘܗܒܬܐ ܕܐܤܝܘܬܐ ܘܡܥܕܪܢܐ ܘܡܕܒܪܢܐ ܘܙܢܝܐ ܕܠܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na neema aliyonijalia Mungu, nawaambieni ninyi nyote: msijione kuwa ni kitu zaidi kuliko mnavyopaswa kuwa. Fikira zenu na ziwe na kiasi kufuatana na kipimo cha imani Mungu aliyomgawia kila mmoja. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܝܢ ܒܛܝܒܘܬܐ ܕܐܬܝܗܒܬ ܠܝ ܠܟܠܟܘܢ ܕܠܐ ܬܗܘܘܢ ܡܬܪܥܝܢ ܠܒܪ ܡܢ ܡܐ ܕܘܠܐ ܕܬܬܪܥܘܢ ܐܠܐ ܬܗܘܘܢ ܡܬܪܥܝܢ ܒܢܟܦܘܬܐ ܟܠܢܫ ܐܝܟ ܕܦܠܓ ܠܗ ܐܠܗܐ ܗܝܡܢܘܬܐ ܒܡܫܘܚܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakashika agizo hilo, lakini wakawa wanajadiliana wao kwa wao maana ya kufufuka kutoka wafu. \t ܘܐܚܕܘܗ ܠܡܠܬܐ ܒܢܦܫܗܘܢ ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܕܡܢܐ ܗܝ ܗܕܐ ܡܠܬܐ ܕܡܐ ܕܩܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa kuwa binti yake wa pekee, mwana wa pekee mwenye umri wa miaka kumi na miwili, alikuwa mahututi. Yesu alipokuwa akienda, watu wakawa wanamsonga kila upande. \t ܒܪܬܐ ܓܝܪ ܝܚܝܕܝܬܐ ܐܝܬ ܗܘܬ ܠܗ ܐܝܟ ܒܪܬ ܫܢܝܢ ܬܪܬܥܤܪܐ ܘܩܪܝܒܐ ܗܘܬ ܠܡܡܬ ܘܟܕ ܐܙܠ ܥܡܗ ܗܘ ܝܫܘܥ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܚܒܨ ܗܘܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao wanayo mamlaka ya kufunga anga, mvua isinyeshe wakati wanapotangaza ujumbe wa Mungu. Tena wanayo mamlaka ya kuzigeuza chemchemi zote za maji ziwe damu, na ya kusababisha maafa ya kila namna duniani kila mara wapendavyo. \t ܘܗܠܝܢ ܐܝܬ ܠܗܘܢ ܫܘܠܛܢܐ ܕܢܐܚܕܘܢ ܠܫܡܝܐ ܕܠܐ ܢܚܘܬ ܡܛܪܐ ܒܝܘܡܬܐ ܕܢܒܝܘܬܗܘܢ ܘܐܝܬ ܠܗܘܢ ܫܘܠܛܢܐ ܕܢܗܦܟܘܢ ܡܝܐ ܠܕܡܐ ܘܕܢܡܚܘܢ ܠܐܪܥܐ ܒܟܠ ܡܚܘܢ ܟܡܐ ܕܢܨܒܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kufanya hivyo, wakavua samaki wengi, hata nyavu zao zikaanza kukatika. \t ܘܟܕ ܗܕܐ ܥܒܕܘ ܚܒܫܘ ܢܘܢܐ ܤܓܝܐܐ ܕܛܒ ܘܡܨܛܪܝܐ ܗܘܬ ܡܨܝܕܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Apolo alipoamua kwenda Akaya, wale ndugu walimtia moyo kwa kuwaandikia wafuasi kule Akaya wampokee. Alipofika huko, aliweza kwa msaada wa neema ya Mungu, kuwasaidia sana wale ndugu waliopata kuwa waumini; \t ܘܟܕ ܨܒܐ ܕܢܐܙܠ ܠܐܟܐܝܐ ܚܦܛܘܗܝ ܐܚܐ ܘܟܬܒܘ ܠܬܠܡܝܕܐ ܕܢܩܒܠܘܢܝܗܝ ܘܟܕ ܐܙܠ ܥܕܪ ܤܓܝ ܒܝܕ ܛܝܒܘܬܐ ܠܟܠܗܘܢ ܡܗܝܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini alipouona ule upepo, aliogopa, akaanza kuzama; akalia kwa sauti, \"Bwana, niokoe!\" \t ܘܟܕ ܚܙܐ ܪܘܚܐ ܕܩܫܝܐ ܕܚܠ ܘܫܪܝ ܠܡܛܒܥ ܘܐܪܝܡ ܩܠܗ ܘܐܡܪ ܡܪܝ ܦܪܘܩܝܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku hiyo hamtaniomba chochote. Kweli nawaambieni, chochote mtakachomwomba Baba kwa jina langu, atawapeni. \t ܘܒܗܘ ܝܘܡܐ ܠܝ ܠܐ ܬܫܐܠܘܢ ܡܕܡ ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܟܠ ܡܕܡ ܕܬܫܐܠܘܢ ܠܐܒܝ ܒܫܡܝ ܢܬܠ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, naweza kuwa na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, nikafahamu siri zote na kujua kila kitu; naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima, lakini kama sina upendo mimi si kitu. \t ܘܐܢ ܬܗܘܐ ܒܝ ܢܒܝܘܬܐ ܘܐܕܥ ܐܪܙܐ ܟܠܗܘܢ ܘܟܠܗ ܝܕܥܬܐ ܘܐܢ ܬܗܘܐ ܒܝ ܟܠܗ ܗܝܡܢܘܬܐ ܐܝܟܢܐ ܕܛܘܪܐ ܐܫܢܐ ܘܚܘܒܐ ܠܝܬ ܒܝ ܠܐ ܗܘܝܬ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu hakuwa na imani nao kwa sababu aliwajua wote. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܠܐ ܡܗܝܡܢ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܢܦܫܗ ܡܛܠ ܕܗܘ ܝܕܥ ܗܘܐ ܠܟܠܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtu anayeangalia kwa makini sheria kamilifu ambayo huwapa watu uhuru, mtu anayeendelea kuizingatia, na si kuisikia tu na kuisahau baadaye, bali anaitekeleza, mtu huyo atabarikiwa katika kila kitu anachofanya. \t ܟܠ ܕܝܢ ܕܚܪ ܒܢܡܘܤܐ ܡܫܠܡܢܐ ܕܚܐܪܘܬܐ ܘܩܘܝ ܒܗ ܠܐ ܗܘܐ ܫܡܘܥܐ ܕܫܡܥܐ ܕܡܬܛܥܐ ܐܠܐ ܥܒܘܕܐ ܕܥܒܕܐ ܘܗܢܐ ܛܘܒܢܐ ܢܗܘܐ ܒܥܒܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake asubuhi na mapema alikwenda tena Hekaluni. Watu wote wakamwendea, naye akaketi akawa anawafundisha. \t ܒܨܦܪܐ ܕܝܢ ܬܘܒ ܐܬܐ ܠܗܝܟܠܐ ܘܟܠܗ ܥܡܐ ܐܬܐ ܗܘܐ ܠܘܬܗ ܘܟܕ ܝܬܒ ܡܠܦ ܗܘܐ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waamuru watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, na wawe wakarimu na walio tayari kuwashirikisha wengine mali zao. \t ܘܢܥܒܕܘܢ ܥܒܕܐ ܛܒܐ ܘܢܥܬܪܘܢ ܒܤܘܥܪܢܐ ܫܦܝܪܐ ܘܢܗܘܘܢ ܕܠܝܠܝܢ ܠܡܬܠ ܘܠܡܫܬܘܬܦܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo lililowahuzunisha zaidi lilikuwa neno alilosema kwamba hawangemwona tena. Basi, wakamsindikiza hadi melini. \t ܝܬܝܪܐܝܬ ܕܝܢ ܡܫܬܢܩܝܢ ܗܘܘ ܥܠ ܗܝ ܡܠܬܐ ܕܐܡܪ ܕܠܐ ܬܘܒ ܥܬܝܕܝܢ ܕܢܚܙܘܢ ܦܪܨܘܦܗ ܘܠܘܝܘܗܝ ܥܕܡܐ ܠܐܠܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, wao ni Waebrania? Hata mimi. Je, wao ni Waisraeli? Hata mimi. Wao ni wazawa wa Abrahamu? Hata mimi. \t ܐܢ ܥܒܪܝܐ ܐܢܘܢ ܐܦ ܐܢܐ ܐܢ ܐܝܤܪܠܝܐ ܐܢܘܢ ܐܦ ܐܢܐ ܐܢ ܙܪܥܗ ܐܢܘܢ ܕܐܒܪܗܡ ܐܦ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa niko tayari kabisa kuja kwenu mara ya tatu, na sitawasumbua. Maana ninachotafuta si mali zenu, bali ni ninyi wenyewe. Ni kawaida ya wazazi kuwawekea watoto wao akiba, na si watoto kuwawekea wazazi wao. \t ܗܐ ܗܕܐ ܕܬܠܬ ܗܝ ܙܒܢܝܢ ܕܡܛܝܒ ܐܢܐ ܕܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܘܠܐ ܐܩܪ ܥܠܝܟܘܢ ܡܛܠ ܕܠܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܕܝܠܟܘܢ ܐܠܐ ܠܟܘܢ ܠܐ ܓܝܪ ܚܝܒܝܢ ܒܢܝܐ ܠܡܤܡ ܤܝܡܬܐ ܠܐܒܗܐ ܐܠܐ ܐܒܗܐ ܠܒܢܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipowafikia wale wanafunzi wengine, waliona umati mkubwa wa watu hapo. Na baadhi ya walimu wa Sheria walikuwa wanajadiliana nao. \t ܘܟܕ ܐܬܐ ܠܘܬ ܬܠܡܝܕܐ ܚܙܐ ܠܘܬܗܘܢ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܘܤܦܪܐ ܟܕ ܕܪܫܝܢ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hofu ikawaingia jirani wote, na habari hizo zikaenea kila mahali katika milima ya Yudea. \t ܘܗܘܬ ܕܚܠܬܐ ܥܠ ܟܠܗܘܢ ܫܒܒܝܗܘܢ ܘܒܟܠܗ ܛܘܪܐ ܕܝܗܘܕ ܗܠܝܢ ܡܬܡܠܠܢ ܗܘܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wakaimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni. \t ܘܫܒܚܘ ܘܢܦܩܘ ܠܛܘܪ ܙܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msiige mitindo ya ulimwengu huu, bali Mungu afanye mabadiliko ndani yenu kwa kuzigeuza fikira zenu. Hapo ndipo mtakapoweza kuyajua mapenzi ya Mungu, kutambua jambo lililo jema, linalompendeza na kamilifu. \t ܘܠܐ ܬܬܕܡܘܢ ܠܥܠܡܐ ܗܢܐ ܐܠܐ ܐܫܬܚܠܦܘ ܒܚܘܕܬܐ ܕܪܥܝܢܝܟܘܢ ܘܗܘܝܬܘܢ ܦܪܫܝܢ ܐܝܢܐ ܗܘ ܨܒܝܢܐ ܕܐܠܗܐ ܛܒܐ ܘܡܩܒܠܐ ܘܓܡܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku zile, tangazo rasmi lilitolewa na Kaisari Augusto kuwataka watu wote chini ya utawala wake wajiandikishe. \t ܗܘܐ ܕܝܢ ܒܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܘܢܦܩ ܦܘܩܕܢܐ ܡܢ ܐܓܘܤܛܘܤ ܩܤܪ ܕܢܬܟܬܒ ܟܠܗ ܥܡܐ ܕܐܘܚܕܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu yeyote mwingine ambaye hakuwa mwamini hakuthubutu kujiunga nao. Hata hivyo, watu wengine wasiokuwa wa imani hiyo waliwasifu. \t ܘܡܢ ܐܢܫܐ ܐܚܪܢܐ ܐܢܫ ܠܐ ܡܡܪܚ ܗܘܐ ܕܢܬܩܪܒ ܠܘܬܗܘܢ ܐܠܐ ܡܘܪܒ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Au, unawezaje kumwambia mwenzako, Ndugu, ngoja nikuondoe kibanzi katika jicho lako, na huku huioni boriti iliyoko katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Toa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako, na hivyo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilicho katika jicho la ndugu yako. \t ܐܘ ܐܝܟܢܐ ܡܫܟܚ ܐܢܬ ܠܡܐܡܪ ܠܐܚܘܟ ܐܚܝ ܫܒܘܩ ܐܦܩ ܓܠܐ ܡܢ ܥܝܢܟ ܕܗܐ ܩܪܝܬܐ ܕܒܥܝܢܟ ܕܝܠܟ ܠܐ ܡܬܚܙܝܐ ܠܟ ܢܤܒ ܒܐܦܐ ܐܦܩ ܠܘܩܕܡ ܩܪܝܬܐ ܡܢ ܥܝܢܟ ܘܗܝܕܝܢ ܢܬܚܙܐ ܠܟ ܠܡܦܩܘ ܓܠܐ ܡܢ ܥܝܢܗ ܕܐܚܘܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulipokucha, wanamaji hawakuweza kuitambua nchi ile, ila waliona ghuba moja yenye ufuko; wakaamua kutia nanga huko kama ikiwezekana. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܝܘܡܐ ܤܦܢܐ ܐܝܕܐ ܗܝ ܐܪܥܐ ܠܐ ܐܫܬܘܕܥܘ ܐܠܐ ܚܪܘ ܥܠ ܓܢܒ ܝܒܫܐ ܟܢܦܐ ܚܕܐ ܕܝܡܐ ܐܝܟܐ ܕܪܢܝܢ ܗܘܘ ܕܐܢ ܡܫܟܚܐ ܢܕܚܘܢܗ ܠܐܠܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika Maandiko Matakatifu kuanzia Mose hadi manabii wote. \t ܘܫܪܝ ܗܘܐ ܡܢ ܡܘܫܐ ܘܡܢ ܟܠܗܘܢ ܢܒܝܐ ܘܡܦܫܩ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܥܠ ܢܦܫܗ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܟܬܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Kristo. Amina. \t ܛܝܒܘܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܥܡ ܪܘܚܟܘܢ ܐܚܝ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo nawaambieni, mnaposali na kuomba kitu, aminini kwamba mmekipokea, nanyi mtapewa. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܟܠ ܡܕܡ ܕܡܨܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܫܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܝܡܢܘ ܕܢܤܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܢܗܘܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "bwana wake atarudi siku asiyoitazamia na saa asiyoijua; atamkatilia mbali na kumweka fungu moja na wasioamini. \t ܢܐܬܐ ܡܪܗ ܕܥܒܕܐ ܗܘ ܒܝܘܡܐ ܕܠܐ ܤܒܪ ܘܒܫܥܬܐ ܕܠܐ ܝܕܥ ܘܢܦܠܓܝܘܗܝ ܘܢܤܝܡ ܡܢܬܗ ܥܡ ܗܢܘܢ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili kila anayemwamini awe na uzima wa milele. \t ܕܟܠ ܐܢܫ ܕܡܗܝܡܢ ܒܗ ܠܐ ܢܐܒܕ ܐܠܐ ܢܗܘܘܢ ܠܗ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana alimwambia Mose: \"Nitamhurumia mtu yeyote ninayetaka kumhurumia; nitamwonea huruma mtu yeyote ninayetaka.\" \t ܗܐ ܐܦ ܠܡܘܫܐ ܐܡܪ ܐܪܚܡ ܥܠ ܐܝܢܐ ܕܡܪܚܡ ܐܢܐ ܘܐܚܘܢ ܠܐܝܢܐ ܕܚܐܢ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mnaposali, msipayuke maneno kama watu wasiomjua Mungu. Wao hudhani kwamba Mungu atawasikiliza ati kwa sababu ya maneno mengi. \t ܘܡܐ ܕܡܨܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܡܦܩܩܝܢ ܐܝܟ ܚܢܦܐ ܤܒܪܝܢ ܓܝܪ ܕܒܡܡܠܠܐ ܤܓܝܐܐ ܡܫܬܡܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Waheshimiwa, nahisi kwamba safari hii itakuwa ya shida na hasara nyingi si kwa shehena na meli tu, bali pia kwa maisha yetu.\" \t ܘܐܡܪ ܓܒܪܐ ܚܙܐ ܐܢܐ ܕܒܐܘܠܨܢܐ ܘܒܚܘܤܪܢܐ ܤܓܝܐܐ ܗܘܝܐ ܡܪܕܝܬܢ ܠܘ ܒܠܚܘܕ ܕܡܘܒܠܗ ܕܐܠܦܢ ܐܠܐ ܐܦ ܕܢܦܫܬܢ ܕܝܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "chini ya uongozi wake, viungo vyote vya mwili hushikamana pamoja, na mwili wote hutegemezwa kwa msaada wa viungo vyake. Basi, kila kiungo kikitekeleza kazi yake ipasavyo, mwili wote hukua na kujijenga katika upendo. \t ܘܡܢܗ ܟܠܗ ܦܓܪܐ ܡܬܪܟܒ ܘܡܬܩܛܪ ܒܟܠ ܫܪܝܢ ܐܝܟ ܡܘܗܒܬܐ ܕܡܬܝܗܒܐ ܒܡܫܘܚܬܐ ܠܟܠ ܗܕܡ ܠܬܪܒܝܬܐ ܕܝܠܗ ܕܦܓܪܐ ܕܒܚܘܒܐ ܢܫܬܠܡ ܒܢܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengi wataniambia Siku ile ya hukumu: Bwana, Bwana! kwa jina lako tulitangaza ujumbe wako, na kwa jina lako tuliwatoa pepo na kufanya miujiza mingi. \t ܤܓܝܐܐ ܢܐܡܪܘܢ ܠܝ ܒܗܘ ܝܘܡܐ ܡܪܝ ܡܪܝ ܠܐ ܒܫܡܟ ܐܬܢܒܝܢ ܘܒܫܡܟ ܫܐܕܐ ܐܦܩܢ ܘܒܫܡܟ ܚܝܠܐ ܤܓܝܐܐ ܥܒܕܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja, saa tisa alasiri, Petro na Yohane walikuwa wanakwenda Hekaluni, wakati wa sala. \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܤܠܩܝܢ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܘܝܘܚܢܢ ܐܟܚܕܐ ܠܗܝܟܠܐ ܒܥܕܢܐ ܕܨܠܘܬܐ ܕܬܫܥ ܫܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wakafanya walivyoambiwa, wakawaketisha wote. \t ܘܥܒܕܘ ܗܟܘܬ ܬܠܡܝܕܐ ܘܐܤܡܟܘ ܠܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, jiwekeni chini ya Mungu; mpingeni Ibilisi naye atawakimbieni. \t ܐܫܬܥܒܕܘ ܗܟܝܠ ܠܐܠܗܐ ܘܩܘܡܘ ܠܘܩܒܠ ܤܛܢܐ ܘܥܪܩ ܡܢܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu. Kama akifanya hivyo, divai itavipasua hivyo viriba, nayo divai pamoja na hivyo viriba vitaharibika. Divai mpya hutiwa katika viriba vipya!\" \t ܘܠܐ ܐܢܫ ܪܡܐ ܚܡܪܐ ܚܕܬܐ ܒܙܩܐ ܒܠܝܬܐ ܕܠܐ ܚܡܪܐ ܡܨܪܐ ܠܙܩܐ ܘܙܩܐ ܐܒܕܢ ܘܚܡܪܐ ܡܬܐܫܕ ܐܠܐ ܪܡܝܢ ܚܡܪܐ ܚܕܬܐ ܒܙܩܐ ܚܕܬܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia tena, \"Naenda zangu nanyi mtanitafuta, lakini mtakufa katika dhambi zenu. Niendako mimi, ninyi hamwezi kufika.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܬܘܒ ܝܫܘܥ ܐܢܐ ܐܙܠ ܐܢܐ ܘܬܒܥܘܢܢܝ ܘܬܡܘܬܘܢ ܒܚܛܗܝܟܘܢ ܘܐܝܟܐ ܕܐܢܐ ܐܙܠ ܐܢܐ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo amuru kaburi lilindwe mpaka siku ya tatu ili wanafunzi wake wasije wakamwiba na kuwaambia watu kwamba amefufuka. Uongo huu wa mwisho utakuwa mbaya kuliko ule wa awali.\" \t ܦܩܘܕ ܗܟܝܠ ܡܙܕܗܪܝܢ ܒܩܒܪܐ ܥܕܡܐ ܠܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܕܠܡܐ ܢܐܬܘܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܢܓܢܒܘܢܝܗܝ ܒܠܠܝܐ ܘܢܐܡܪܘܢ ܠܥܡܐ ܕܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܩܡ ܘܬܗܘܐ ܛܘܥܝܝ ܐܚܪܝܬܐ ܒܝܫܐ ܡܢ ܩܕܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, kila anayepata pumziko aliloahidi Mungu atapumzika baada ya kazi yake kama vile pia Mungu alivyopumzika baada ya yake. \t ܐܝܢܐ ܓܝܪ ܕܥܠ ܠܢܝܚܬܗ ܐܬܬܢܝܚ ܐܦ ܗܘ ܡܢ ܥܒܕܘܗܝ ܐܝܟ ܕܐܠܗܐ ܡܢ ܕܝܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, mtu yule anayempuuza Mwana wa Mungu na kuidharau damu ya agano la Mungu iliyomtakasa, mtu anayemtukana Roho wa Mungu, anastahili kupata adhabu kali ya namna gani? \t ܟܡܐ ܤܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܡܤܡ ܒܪܫܐ ܢܩܒܠ ܐܝܢܐ ܕܕܫܗ ܠܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܘܚܫܒ ܕܡܐ ܕܕܝܬܩܐ ܕܝܠܗ ܐܝܟ ܕܟܠܢܫ ܕܒܗ ܐܬܩܕܫ ܘܨܥܪ ܠܪܘܚܐ ܕܛܝܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakiomba kwa imani mgonjwa ataponyeshwa; Bwana atampatia nafuu, na dhambi alizotenda zitaondolewa. \t ܘܨܠܘܬܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܡܚܠܡܐ ܠܗ ܠܗܘ ܕܟܪܝܗ ܘܡܩܝܡ ܠܗ ܡܪܢ ܘܐܢ ܚܛܗܐ ܥܒܝܕܝܢ ܠܗ ܡܫܬܒܩܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya Hekalu ambalo ni mwili wake. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܗܘܐ ܥܠ ܗܝܟܠܐ ܕܦܓܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara tu huyo pepo alipotolewa, mtu huyo aliyekuwa bubu akaanza kuongea tena. Watu wakashangaa na kusema, \"Jambo kama hili halijapata kuonekana katika Israeli!\" \t ܘܡܢ ܕܢܦܩ ܕܝܘܐ ܡܠܠ ܗܘ ܚܪܫܐ ܘܐܬܕܡܪܘ ܟܢܫܐ ܘܐܡܪܝܢ ܠܐ ܡܬܘܡ ܐܬܚܙܝ ܗܟܢܐ ܒܐܝܤܪܐܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wale wakulima walipomwona mwanawe wakasemezana wao kwa wao: Huyu ndiye mrithi; na tumuue ili tuuchukue urithi wake! \t ܦܠܚܐ ܕܝܢ ܟܕ ܚܙܐܘܗܝ ܠܒܪܐ ܐܡܪܘ ܒܝܢܬܗܘܢ ܗܢܘ ܝܪܬܐ ܬܘ ܢܩܛܠܝܘܗܝ ܘܢܐܚܘܕ ܝܪܬܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kusingiziana; ni watu wa kuchukiza kwa Mungu, wafidhuli, wenye kiburi na majivuno; hodari sana katika kutenda mabaya, na hawawatii wazazi wao; \t ܘܪܛܢܐ ܘܡܐܟܠܩܪܨܐ ܘܤܢܝܐܝܢ ܠܐܠܗܐ ܡܨܥܪܢܐ ܚܬܝܪܐ ܫܒܗܪܢܐ ܡܫܟܚܝ ܒܝܫܬܐ ܚܤܝܪܝ ܪܥܝܢܐ ܕܠܐܒܗܝܗܘܢ ܠܐ ܡܬܛܦܝܤܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, baadhi ya Mafarisayo na wafuasi wa kikundi cha Herode walitumwa ili wamtege Yesu kwa maneno yake. \t ܘܫܕܪܘ ܠܘܬܗ ܐܢܫܐ ܡܢ ܤܦܪܐ ܘܡܢ ܕܒܝܬ ܗܪܘܕܤ ܕܢܨܘܕܘܢܝܗܝ ܒܡܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana patatolewa amri, sauti ya malaika mkuu, sauti ya tarumbeta ya Mungu, naye Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni. Ndipo wale waliokufa wakiwa wanamwamini Kristo watafufuliwa kwanza. \t ܡܛܠ ܕܗܘ ܡܪܢ ܒܦܘܩܕܢܐ ܘܒܩܠܐ ܕܪܝܫ ܡܠܐܟܐ ܘܒܩܪܢܐ ܕܐܠܗܐ ܢܚܬ ܡܢ ܫܡܝܐ ܘܡܝܬܐ ܕܒܡܫܝܚܐ ܢܩܘܡܘܢ ܠܘܩܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kama Kristo hakufufuliwa, basi, imani yenu ni ya bure; mngali bado katika dhambi zenu. \t ܘܐܢ ܡܫܝܚܐ ܠܐ ܩܡ ܒܛܠܐ ܗܝ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܘܥܕܟܝܠ ܒܚܛܗܝܟܘܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, herode pamoja na maaskari wake, wakamwaibisha Yesu na kumfanyia mzaha; kisha wakamvika vazi la kifalme, wakamrudisha kwa Pilato. \t ܗܪܘܕܤ ܕܝܢ ܫܛܗ ܗܘ ܘܦܠܚܘܗܝ ܘܟܕ ܡܒܙܚ ܐܠܒܫܗ ܢܚܬܐ ܕܙܚܘܪܝܬܐ ܘܫܕܪܗ ܠܘܬ ܦܝܠܛܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tunajitahidi na kufanya kazi kwa bidii kwani tumemwekea tumaini letu Mungu aliye hai ambaye ni Mwokozi wa watu wote, na hasa wale wanaoamini. \t ܡܛܠ ܗܕܐ ܗܘ ܓܝܪ ܠܐܝܢܢ ܘܡܬܚܤܕܝܢܢ ܕܡܤܒܪܝܢܢ ܒܐܠܗܐ ܚܝܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܚܝܢܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܟܠܗܘܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܕܡܗܝܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna mashaka yoyote juu ya ukuu wa siri ya dini yetu: Alionekana katika umbo la kibinadamu alithibitishwa na Roho kuwa ni mwadilifu, akaonekana na malaika. Alihubiriwa kati ya mataifa, aliaminiwa popote ulimwenguni, akachukuliwa juu mbinguni katika utukufu. \t ܘܫܪܝܪܐܝܬ ܪܒ ܗܘ ܐܪܙܐ ܗܢܐ ܕܟܐܢܘܬܐ ܕܐܬܓܠܝ ܒܒܤܪ ܘܐܙܕܕܩ ܒܪܘܚ ܘܐܬܚܙܝ ܠܡܠܐܟܐ ܘܐܬܟܪܙ ܒܝܬ ܥܡܡܐ ܘܐܬܗܝܡܢ ܒܥܠܡܐ ܘܐܤܬܠܩ ܒܫܘܒܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa basi, sisi ni watoto wa Mungu, haifai kumfikiria Mungu kuwa kama dhahabu, fedha au hata jiwe lililochongwa na kutiwa nakshi na binadamu. \t ܐܢܫܐ ܗܟܝܠ ܕܛܘܗܡܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܗܘ ܠܐ ܚܝܒܝܢܢ ܠܡܤܒܪ ܕܠܕܗܒܐ ܐܘ ܠܤܐܡܐ ܐܘ ܠܟܐܦܐ ܕܓܠܝܦܐ ܒܐܘܡܢܘܬܐ ܘܒܝܕܥܬܐ ܕܒܪܢܫܐ ܕܡܝܐ ܐܠܗܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wasaidizi katika kanisa wanapaswa pia kuwa watu wenye tabia njema na wanyofu; wasiwe wanywaji mno wa divai au wenye tamaa ya fedha; \t ܘܐܦ ܡܫܡܫܢܐ ܗܟܢܐ ܢܗܘܘܢ ܕܟܝܢ ܘܠܐ ܢܡܠܠܘܢ ܬܪܬܝܢ ܘܠܐ ܢܗܘܘܢ ܨܠܝܢ ܠܚܡܪܐ ܤܓܝܐܐ ܘܠܐ ܢܪܚܡܘܢ ܝܘܬܪܢܐ ܛܢܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana mimi ninawapelekea ninyi manabii, watu wenye hekima na walimu; mtawaua na kuwasulubisha baadhi yao, na wengine mtawapiga viboko katika masunagogi yenu na kuwasaka katika kila mji. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܗܐ ܐܢܐ ܡܫܕܪ ܐܢܐ ܠܘܬܟܘܢ ܢܒܝܐ ܘܚܟܝܡܐ ܘܤܦܪܐ ܡܢܗܘܢ ܩܛܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܙܩܦܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܡܢܗܘܢ ܡܢܓܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܟܢܘܫܬܟܘܢ ܘܬܪܕܦܘܢ ܐܢܘܢ ܡܢ ܡܕܝܢܐ ܠܡܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mwaweza kukubali basi, Yohane ndiye Eliya ambaye angekuja. \t ܘܐܢ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܩܒܠܘ ܕܗܘܝܘ ܐܠܝܐ ܕܥܬܝܕ ܠܡܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Festo alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi na hivyo akamwuliza Paulo, \"Je, ungependa kwenda Yerusalemu na huko ukahukumiwe mbele yangu kuhusu mashtaka haya?\" \t ܦܗܤܛܘܤ ܕܝܢ ܡܛܠ ܕܨܒܐ ܗܘܐ ܕܢܪܫܐ ܛܝܒܘܬܐ ܒܝܗܘܕܝܐ ܐܡܪ ܠܗ ܠܦܘܠܘܤ ܨܒܐ ܐܢܬ ܕܬܤܩ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܬܡܢ ܥܠ ܗܠܝܢ ܬܬܕܝܢ ܩܕܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipoona kwamba huyu mtu alimjibu kwa ujasiri, akamwambia, \"Wewe huko mbali na Ufalme wa Mungu.\" Baada ya hayo, hakuna mtu aliyethubutu tena kumwuliza kitu. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܚܙܝܗܝ ܕܚܟܝܡܐܝܬ ܡܦܢܐ ܦܬܓܡܐ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܠܐ ܗܘܝܬ ܪܚܝܩ ܡܢ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܠܐ ܐܢܫ ܬܘܒ ܐܡܪܚ ܕܢܫܐܠܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliposikia kwamba Yohane ametiwa gerezani alikwenda Galilaya. \t ܟܕ ܫܡܥ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܕܝܘܚܢܢ ܐܫܬܠܡ ܫܢܝ ܠܗ ܠܓܠܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anga likatoweka kama vile karatasi inavyokunjwakunjwa; milima yote na visima vyote vikaondolewa mahali pake. \t ܘܫܡܝܐ ܐܬܦܪܫ ܘܐܝܟ ܟܬܒܐ ܐܬܟܪܟܘ ܘܟܠ ܛܘܪ ܘܟܠ ܓܙܪܬܐ ܡܢ ܕܘܟܬܗܘܢ ܐܬܬܙܝܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati hayo yatakapotokea, furahini na kucheza, maana hakika tuzo lenu ni kubwa mbinguni. Kwa maana wazee wao waliwatendea manabii vivyo hivyo. \t ܚܕܘ ܒܗܘ ܝܘܡܐ ܘܕܘܨܘ ܕܐܓܪܟܘܢ ܤܓܝ ܒܫܡܝܐ ܗܟܢܐ ܓܝܪ ܥܒܕܝܢ ܗܘܘ ܐܒܗܬܗܘܢ ܠܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na hiki kitakuwa kitambulisho kwenu: mtamkuta mtoto mchanga amevikwa nguo za kitoto, amelazwa horini.\" \t ܘܗܕܐ ܠܟܘܢ ܐܬܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܘܠܐ ܕܟܪܝܟ ܒܥܙܪܘܪܐ ܘܤܝܡ ܒܐܘܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza Yesu kwa kumjaribu, \t ܘܫܐܠܗ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܕܝܕܥ ܢܡܘܤܐ ܟܕ ܡܢܤܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mali zenu zimeoza, na nguo zenu zimeliwa na nondo. \t ܥܘܬܪܟܘܢ ܓܝܪ ܐܬܚܒܠ ܘܤܪܝ ܘܡܐܢܝܟܘܢ ܐܬܐܟܠܘ ܡܢ ܤܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Nakwambia kwa hakika, leo utakuwa pamoja nami peponi.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܕܝܘܡܢܐ ܥܡܝ ܬܗܘܐ ܒܦܪܕܝܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Asubuhi na mapema, walipokuwa wanapita, waliuona ule mtini umenyauka wote, hata mizizi. \t ܘܒܨܦܪܐ ܟܕ ܥܒܪܝܢ ܚܙܘ ܬܬܐ ܗܝ ܟܕ ܝܒܝܫܐ ܡܢ ܥܩܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hawataweza kuendelea zaidi kwa maana upumbavu wao utaonekana wazi kwa wote. Ndivyo ilivyokuwa kwa akina Yane na Yambre. \t ܐܠܐ ܠܐ ܢܐܬܘܢ ܠܩܕܡܝܗܘܢ ܫܛܝܘܬܗܘܢ ܓܝܪ ܡܬܝܕܥܐ ܗܝ ܠܟܠܢܫ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܕܗܢܘܢ ܐܬܝܕܥܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ule umati wa watu uliposikia hivyo ukayastaajabia mafundisho yake. \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܟܢܫܐ ܡܬܬܡܗܝܢ ܗܘܘ ܒܝܘܠܦܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwishowe, mfalme mmoja ambaye hakumtambua Yosefu alianza kutawala huko Misri. \t ܥܕܡܐ ܕܩܡ ܡܠܟܐ ܐܚܪܢܐ ܥܠ ܡܨܪܝܢ ܐܝܢܐ ܕܠܐ ܝܕܥ ܗܘܐ ܠܗ ܠܝܘܤܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mtu akiwauliza, kwa nini mnamfungua, mwambieni, Bwana ana haja naye.\" \t ܘܐܢ ܐܢܫ ܡܫܐܠ ܠܟܘܢ ܠܡܢܐ ܫܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܗܟܢܐ ܐܡܪܘ ܠܗ ܠܡܪܢ ܡܬܒܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Najua kwamba unanisikiliza daima. Lakini nimesema hayo kwa ajili ya watu hawa waliopo hapa ili wapate kuamini kwamba wewe ndiwe uliyenituma.\" \t ܘܐܢܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܕܒܟܠܙܒܢ ܫܡܥ ܐܢܬ ܠܝ ܐܠܐ ܡܛܠ ܟܢܫܐ ܗܢܐ ܕܩܐܡ ܐܡܪ ܐܢܐ ܗܠܝܢ ܕܢܗܝܡܢܘܢ ܕܐܢܬ ܫܕܪܬܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, ili wapate kutubu.\" \t ܠܐ ܐܬܝܬ ܕܐܩܪܐ ܠܙܕܝܩܐ ܐܠܐ ܠܚܛܝܐ ܠܬܝܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo na Barnaba waliendelea kukaa huko kwa muda mrefu. Waliongea kwa uhodari juu ya Bwana, naye Bwana akathibitisha ukweli wa ujumbe walioutoa juu ya neema yake, kwa kuwawezesha kutenda miujiza na maajabu. \t ܘܗܢܘܢ ܙܒܢܐ ܤܓܝܐܐ ܗܘܘ ܬܡܢ ܘܥܝܢ ܒܓܠܐ ܡܡܠܠܝܢ ܗܘܘ ܥܠ ܡܪܝܐ ܘܗܘ ܡܤܗܕ ܗܘܐ ܥܠ ܡܠܬܐ ܕܛܝܒܘܬܗ ܒܐܬܘܬܐ ܘܒܬܕܡܪܬܐ ܕܥܒܕ ܗܘܐ ܒܐܝܕܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipoanza kazi yake hadharani, alikuwa na umri upatao miaka thelathini, na watu walidhani yeye ni mwana wa Yosefu, mwana wa Heli. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܐܝܟ ܒܪ ܫܢܝܢ ܬܠܬܝܢ ܘܡܤܬܒܪ ܗܘܐ ܒܪ ܝܘܤܦ ܒܪ ܗܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikuwa ameandikwa juu ya paji la uso wake jina la fumbo \"Babuloni mkuu, mama wa wazinzi na wa mambo yote ya kuchukiza sana duniani.\" \t ܘܥܠ ܒܝܬ ܥܝܢܝܗ ܟܬܝܒ ܐܪܙܐ ܒܒܝܠ ܪܒܬܐ ܐܡܐ ܕܙܢܝܬܐ ܘܕܤܘܝܒܝܗ ܕܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakati mtu mmoja aliyepooza alipoletwa kwake akiwa amechukuliwa na watu wanne. \t ܘܐܬܘ ܠܘܬܗ ܘܐܝܬܝܘ ܠܗ ܡܫܪܝܐ ܟܕ ܫܩܝܠܝܢ ܠܗ ܒܝܬ ܐܪܒܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, wako baadhi yenu wasioamini.\" (Yesu alisema hivyo kwani alijua tangu mwanzo ni kina nani wasioamini, na pia ni nani atakayemsaliti.) \t ܐܠܐ ܐܝܬ ܐܢܫܐ ܡܢܟܘܢ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܝܕܥ ܗܘܐ ܓܝܪ ܝܫܘܥ ܡܢ ܩܕܝܡ ܡܢ ܐܢܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܘܡܢܘ ܗܘ ܕܡܫܠܡ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo hao wanafunzi wakafahamu kwamba alikuwa akiwaambia juu ya Yohane mbatizaji. \t ܗܝܕܝܢ ܐܤܬܟܠܘ ܬܠܡܝܕܐ ܕܥܠ ܝܘܚܢܢ ܡܥܡܕܢܐ ܐܡܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na mguu wako ukikukosesha, ukate! Afadhali kuingia katika uzima bila mguu mmoja, kuliko kuwa na miguu yote miwili na kutupwa katika moto wa Jehanamu. \t ܘܐܢ ܪܓܠܟ ܡܟܫܠܐ ܠܟ ܦܤܘܩܝܗ ܦܩܚ ܗܘ ܠܟ ܕܬܥܘܠ ܠܚܝܐ ܚܓܝܤܐ ܐܘ ܟܕ ܐܝܬ ܠܟ ܬܪܬܝܢ ܪܓܠܝܢ ܬܦܠ ܒܓܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mtu asijivunie watu. Maana kila kitu ni chenu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܠܐ ܐܢܫ ܢܫܬܒܗܪ ܒܒܢܝܢܫܐ ܟܠܡܕܡ ܓܝܪ ܕܝܠܟܘܢ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtumishi aliyekabidhiwa talanta tano akaja amechukua zile talanta tano faida, akamwambia, Bwana, ulinikabidhi talanta tano, hapa pana talanta tano zaidi faida niliyopata. \t ܘܩܪܒ ܗܘ ܕܢܤܒ ܗܘܐ ܚܡܫ ܟܟܪܝܢ ܘܩܪܒ ܚܡܫ ܐܚܪܢܝܢ ܘܐܡܪ ܡܪܝ ܚܡܫ ܟܟܪܝܢ ܝܗܒܬ ܠܝ ܗܐ ܚܡܫ ܐܚܪܢܝܢ ܐܬܬܓܪܬ ܥܠܝܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi hamkunichagua mimi; mimi niliwachagueni na kuwatuma mwende mkazae matunda, matunda yadumuyo, naye Baba apate kuwapa ninyi chochote mumwombacho kwa jina langu. \t ܠܐ ܗܘܐ ܐܢܬܘܢ ܓܒܝܬܘܢܢܝ ܐܠܐ ܐܢܐ ܗܘ ܓܒܝܬܟܘܢ ܘܤܡܬܟܘܢ ܕܐܦ ܐܢܬܘܢ ܬܐܙܠܘܢ ܬܝܬܘܢ ܦܐܪܐ ܘܦܐܪܝܟܘܢ ܢܩܘܘܢ ܕܟܠ ܕܬܫܐܠܘܢ ܠܐܒܝ ܒܫܡܝ ܢܬܠ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Lusia, mkuu wa jeshi, aliingilia kati, akamchukua kwa nguvu kutoka mikononi mwetu. \t ܐܬܐ ܕܝܢ ܠܘܤܝܘܤ ܟܠܝܪܟܐ ܘܒܩܛܝܪܐ ܤܓܝܐܐ ܡܢ ܐܝܕܝܢ ܐܥܕܝܗ ܘܠܟ ܫܕܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kila mwanamume anayesali au anayetangaza ujumbe wa Mungu huku amefunika kichwa chake, huyo anamdharau Kristo. \t ܟܠ ܓܒܪܐ ܕܡܨܠܐ ܐܘ ܡܬܢܒܐ ܟܕ ܡܟܤܝ ܪܫܗ ܡܒܗܬ ܪܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Au ni mimi tu na Barnaba ambao tunapaswa kujipatia maslahi yetu kwa kufanya kazi? \t ܐܘ ܐܢܐ ܒܠܚܘܕ ܘܒܪܢܒܐ ܠܝܬ ܠܢ ܫܘܠܛܢܐ ܕܠܐ ܢܦܠܘܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Na ninyi walimu wa Sheria, ole wenu; maana mnawatwika watu mizigo isiyochukulika, huku ninyi wenyewe hamnyoshi hata kidole kuwasaidia. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܦ ܠܟܘܢ ܤܦܪܐ ܘܝ ܕܡܛܥܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܒܢܝ ܐܢܫܐ ܡܘܒܠܐ ܝܩܝܪܬܐ ܘܐܢܬܘܢ ܒܚܕܐ ܡܢ ܨܒܥܬܟܘܢ ܠܐ ܩܪܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗܝܢ ܠܡܘܒܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo Kayafa ndiye aliyekuwa amewashauri Wayahudi kwamba ni afadhali mtu mmoja afe kwa ajili ya taifa. \t ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܕܝܢ ܩܝܦܐ ܗܘ ܕܡܠܟ ܠܝܗܘܕܝܐ ܕܦܩܚ ܕܚܕ ܓܒܪܐ ܢܡܘܬ ܚܠܦ ܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya mambo hayo, Paulo aliamua kwenda Yerusalemu kwa kupitia Makedonia na Akaya. Alisema, \"Baada ya kufika huko, itanilazimu kuona Roma pia.\" \t ܟܕ ܕܝܢ ܐܫܬܠܡ ܗܠܝܢ ܤܡ ܦܘܠܘܤ ܒܪܥܝܢܗ ܕܢܬܟܪܟ ܒܟܠܗ ܡܩܕܘܢܝܐ ܘܒܐܟܐܝܐ ܘܢܐܙܠ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܐܡܪ ܕܡܐ ܕܐܙܠܬ ܠܬܡܢ ܘܠܐ ܠܝ ܕܐܦ ܪܗܘܡܝ ܐܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Juu ya kichwa chake wakaweka shtaka dhidi yake lilioandikwa, \"Huyu ni Yesu, Mfalme wa Wayahudi.\" \t ܘܤܡܘ ܠܥܠ ܡܢ ܪܫܗ ܥܠܬܐ ܕܡܘܬܗ ܒܟܬܒܐ ܗܢܘ ܝܫܘܥ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye hakuwa huo mwanga, ila alikuja tu kuwaambia watu juu ya huo mwanga. \t ܠܐ ܗܘ ܗܘܐ ܢܘܗܪܐ ܐܠܐ ܕܢܤܗܕ ܥܠ ܢܘܗܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini watu fulani wakatokea ili wabishane na Stefano. Baadhi ya watu hao walikuwa wa sunagogi moja lililoitwa \"Sunagogi la Watu Huru\", nao walitoka Kurene na Aleksandria; wengine walitoka Kilikia na Asia. \t ܘܩܡܘ ܗܘܘ ܐܢܫܐ ܡܢ ܟܢܘܫܬܐ ܕܡܬܩܪܝܐ ܕܠܝܒܪܛܝܢܘ ܘܩܘܪܝܢܝܐ ܘܐܠܟܤܢܕܪܝܐ ܘܕܡܢ ܩܝܠܝܩܝܐ ܘܡܢ ܐܤܝܐ ܘܕܪܫܝܢ ܗܘܘ ܥܡ ܐܤܛܦܢܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, achaneni na uhasama, chuki, hasira, kelele, matusi! Achaneni na kila uovu! \t ܟܠܗ ܡܪܝܪܘܬܐ ܘܚܡܬܐ ܘܪܘܓܙܐ ܘܪܘܒܐ ܘܓܘܕܦܐ ܢܫܬܩܠܢ ܡܢܟܘܢ ܥܡ ܟܠܗ ܒܝܫܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana hawakufahamu jinsi Mungu anavyowafanya watu wawe waadilifu, na wamejaribu kuanzisha mtindo wao wenyewe, na hivyo hawakuikubali njia hiyo ya Mungu ya kuwafanya wawe waadilifu. \t ܟܐܢܘܬܗ ܓܝܪ ܕܐܠܗܐ ܠܐ ܝܕܥܘ ܐܠܐ ܒܥܘ ܕܟܐܢܘܬܐ ܕܢܦܫܗܘܢ ܢܩܝܡܘܢ ܘܡܛܠ ܗܢܐ ܠܟܐܢܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܠܐ ܐܫܬܥܒܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Kristo alitoa dhabihu moja tu kwa ajili ya dhambi, dhabihu ifaayo milele, kisha akaketi upande wa kulia wa Mungu. \t ܗܢܐ ܕܝܢ ܚܕ ܕܒܚܐ ܩܪܒ ܚܠܦ ܚܛܗܐ ܘܝܬܒ ܥܠ ܝܡܝܢܐ ܕܐܠܗܐ ܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawapeni amri mpya: pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda ninyi. \t ܦܘܩܕܢܐ ܚܕܬܐ ܝܗܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܗܘܝܬܘܢ ܡܚܒܝܢ ܚܕ ܠܚܕ ܐܝܟܢܐ ܕܐܢܐ ܐܚܒܬܟܘܢ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܬܚܒܘܢ ܚܕ ܠܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akarejea katika nchi ya Israeli. \t ܘܝܘܤܦ ܩܡ ܕܒܪ ܠܛܠܝܐ ܘܠܐܡܗ ܘܐܬܐ ܠܐܪܥܐ ܕܐܝܤܪܐܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro na Yohane walimkodolea macho, naye Petro akamwambia, \"Tutazame!\" \t ܘܚܪܘ ܒܗ ܫܡܥܘܢ ܘܝܘܚܢܢ ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܚܘܪ ܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, Kristo amegawanyika? Je, Paulo ndiye aliyesulubiwa kwa ajili yenu? Au je, mlibatizwa kwa jina la Paulo? \t ܕܠܡܐ ܐܬܦܠܓ ܠܗ ܡܫܝܚܐ ܐܘ ܠܡܐ ܦܘܠܘܤ ܐܙܕܩܦ ܥܠ ܐܦܝܟܘܢ ܐܘ ܒܫܡܗ ܕܦܘܠܘܤ ܥܡܕܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi ndugu, jihadharini asije akawako yeyote miongoni mwenu aliye na moyo mbaya hivyo na asiyeamini hata kujitenga na Mungu aliye hai. \t ܐܙܕܗܪܘ ܗܟܝܠ ܐܚܝ ܕܠܡܐ ܢܗܘܐ ܒܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܠܒܐ ܒܝܫܐ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢ ܘܬܦܪܩܘܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni kwa sababu hiyo nimeomba kuonana na kuongea nanyi, maana nimefungwa minyororo hii kwa sababu ya tumaini lile la Israeli.\" \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܒܥܝܬ ܡܢܟܘܢ ܕܬܐܬܘܢ ܘܐܚܙܝܟܘܢ ܘܐܫܬܥܐ ܠܟܘܢ ܗܠܝܢ ܡܛܠ ܤܒܪܐ ܓܝܪ ܕܐܝܤܪܝܠ ܐܤܝܪ ܐܢܐ ܒܫܫܠܬܐ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, \"Watu hawa wamelewa divai mpya!\" \t ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܡܡܝܩܝܢ ܗܘܘ ܒܗܘܢ ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܗܠܝܢ ܡܐܪܝܬܐ ܐܫܬܝܘ ܘܪܘܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipofika Kafarnaumu watu wenye kukusanya fedha ya zaka ya Hekalu walimwendea Petro, wakamwuliza, \"Je, mwalimu wenu hulipa fedha ya zaka?\" \t ܘܟܕ ܐܬܘ ܠܟܦܪܢܚܘܡ ܩܪܒܘ ܗܢܘܢ ܕܢܤܒܝܢ ܬܪܝܢ ܬܪܝܢ ܙܘܙܝܢ ܕܟܤܦ ܪܫܐ ܠܘܬ ܟܐܦܐ ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܪܒܟܘܢ ܠܐ ܝܗܒ ܬܪܝܢ ܙܘܙܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alitoka hapo akaenda kando ya ziwa Galilaya, akapanda mlimani, akaketi. \t ܘܫܢܝ ܡܢ ܬܡܢ ܝܫܘܥ ܘܐܬܐ ܥܠ ܓܢܒ ܝܡܐ ܕܓܠܝܠܐ ܘܤܠܩ ܠܛܘܪܐ ܘܝܬܒ ܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akapatana nao kuwalipa dinari moja kwa siku, kisha akawapeleka katika shamba lake la mizabibu. \t ܩܨ ܕܝܢ ܥܡ ܦܥܠܐ ܡܢ ܕܝܢܪܐ ܒܝܘܡܐ ܘܫܕܪ ܐܢܘܢ ܠܟܪܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msikishughulikie chakula kiharibikacho; kishugulikieni chakula kidumucho kwa ajili ya uzima wa milele. Mwana wa Mtu ambaye Baba amemthibitisha atawapeni chakula hicho.\" \t ܠܐ ܬܦܠܚܘܢ ܡܐܟܘܠܬܐ ܕܐܒܕܐ ܐܠܐ ܡܐܟܘܠܬܐ ܕܡܩܘܝܐ ܠܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܐܝܕܐ ܕܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܢܬܠ ܠܟܘܢ ܠܗܢܐ ܓܝܪ ܐܒܐ ܚܬܡ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kwa ajili yao mimi mwenyewe najiweka wakfu ili nao pia wafanywe wakfu katika ukweli. \t ܘܥܠ ܐܦܝܗܘܢ ܐܢܐ ܡܩܕܫ ܐܢܐ ܢܦܫܝ ܕܢܗܘܘܢ ܐܦ ܗܢܘܢ ܡܩܕܫܝܢ ܒܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakarudi kutoka kaburini, wakawapa mitume wale kumi na mmoja na wengine habari za mambo hayo yote. \t ܘܗܦܟ ܡܢ ܩܒܪܐ ܘܐܡܪܝܢ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܠܚܕܥܤܪ ܘܠܫܪܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini utasema: \"Matawi yalikatwa kusudi mimi nipandikizwe mahali pake.\" \t ܘܟܒܪ ܬܐܡܪ ܕܤܘܟܐ ܕܐܬܦܫܚ ܕܐܢܐ ܒܕܘܟܝܬܗܝܢ ܐܬܛܥܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bila shaka mmekwisha sikia kwamba Mungu, kwa neema yake, alinikabidhi kazi hii niifanye kwa faida yenu. \t ܐܢ ܫܡܥܬܘܢ ܡܕܒܪܢܘܬܐ ܕܛܝܒܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܕܐܬܝܗܒܬ ܠܝ ܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zerobabeli alimzaa Abiudi, Abiudi alimzaa Eliakimu, Eliakimu alimzaa Azori, \t ܙܘܪܒܒܠ ܐܘܠܕ ܠܐܒܝܘܕ ܐܒܝܘܕ ܐܘܠܕ ܠܐܠܝܩܝܡ ܐܠܝܩܝܡ ܐܘܠܕ ܠܥܙܘܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni Petro alipoona hayo, akapiga magoti mbele ya Yesu akisema, \"Ondoka mbele yangu, ee Bwana, kwa kuwa mimi ni mwenye dhambi!\" \t ܟܕ ܚܙܐ ܕܝܢ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܢܦܠ ܩܕܡ ܪܓܠܘܗܝ ܕܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟ ܡܪܝ ܦܪܘܩ ܠܟ ܡܢܝ ܕܓܒܪܐ ܐܢܐ ܚܛܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mshawishi akamjia, akamwambia, \"Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe mikate.\" \t ܘܩܪܒ ܗܘ ܕܡܢܤܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢ ܒܪܗ ܐܢܬ ܕܐܠܗܐ ܐܡܪ ܕܗܠܝܢ ܟܐܦܐ ܢܗܘܝܢ ܠܚܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baba yangu ambaye ndiye aliyenipa hao ni mkuu kuliko wote, wale hakuna awezaye kuwatoa mikononi mwake Baba. \t ܐܒܝ ܓܝܪ ܕܝܗܒ ܠܝ ܡܢ ܟܠ ܪܒ ܗܘ ܘܠܐ ܐܢܫ ܡܫܟܚ ܕܡܢ ܐܝܕܗ ܕܐܒܝ ܢܚܛܘܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Herode ndiye aliyekuwa amemtia Yohane nguvuni, akamfunga minyororo na kumtia gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo, ndugu yake. Sababu hasa ni \t ܗܘ ܓܝܪ ܗܪܘܕܤ ܐܚܕ ܗܘܐ ܠܝܘܚܢܢ ܘܐܤܪܗ ܘܐܪܡܝܗ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܡܛܠ ܗܪܘܕܝܐ ܐܢܬܬ ܦܝܠܝܦܘܤ ܐܚܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini mtu anayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu, atayapata. Je, mtu atafaidi nini akiupata utajiri wote wa ulimwengu na hali amepoteza maisha yake? Au, mtu atatoa kitu gani kiwe badala ya maisha yake? \t ܡܢܐ ܓܝܪ ܡܬܗܢܐ ܒܪܢܫܐ ܐܢ ܟܠܗ ܥܠܡܐ ܢܩܢܐ ܘܢܦܫܗ ܢܚܤܪ ܐܘ ܡܢܐ ܢܬܠ ܒܪܢܫܐ ܬܚܠܘܦܐ ܕܢܦܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliinuliwa juu mpaka upande wa kulia wa Mungu, akapokea kutoka kwa Baba ile zawadi aliyoahidi yaani Roho Mtakatifu; na mnachoona sasa na kusikia ni mmiminiko wa huyo Roho. \t ܘܗܘܝܘ ܕܒܝܡܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܐܬܬܪܝܡ ܘܢܤܒ ܡܢ ܐܒܐ ܫܘܘܕܝܐ ܕܥܠ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܘܐܫܕ ܡܘܗܒܬܐ ܗܕܐ ܕܗܐ ܚܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܫܡܥܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na dada zake je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi amepata wapi haya yote?\" \t ܘܐܚܘܬܗ ܟܠܗܝܢ ܠܐ ܗܐ ܠܘܬܢ ܐܢܝܢ ܐܝܡܟܐ ܠܗ ܗܟܝܠ ܠܗܢܐ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, umati wa watu ukashangazwa na mafundisho yake. \t ܡܠܦ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܓܝܪ ܐܝܟ ܡܫܠܛܐ ܘܠܐ ܐܝܟ ܤܦܪܝܗܘܢ ܘܦܪܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa pamoja naye walisikia maneno hayo, wakamwuliza, \"Je, sisi pia ni vipofu?\" \t ܘܫܡܥܘ ܡܢ ܦܪܝܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܥܡܗ ܗܘܘ ܗܠܝܢ ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܠܡܐ ܐܦ ܚܢܢ ܤܡܝܐ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka Hekaluni ikiwaambia wale malaika saba, \"Nendeni mkamwage mabakuli hayo saba ya ghadhabu ya Mungu duniani.\" \t ܘܫܡܥܬ ܩܠܐ ܪܒܐ ܡܢ ܗܝܟܠܐ ܕܐܡܪ ܠܫܒܥܐ ܡܠܐܟܝܢ ܙܠܘ ܘܐܫܘܕܘ ܫܒܥ ܙܒܘܪܝܢ ܕܚܡܬܗ ܕܐܠܗܐ ܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Roho Mtakatifu alikuwa amemhakikishia kwamba hatakufa kabla ya kumwona Masiha wa Bwana. \t ܘܐܡܝܪ ܗܘܐ ܠܗ ܡܢ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܕܠܐ ܢܚܙܐ ܡܘܬܐ ܥܕܡܐ ܕܢܚܙܐ ܠܡܫܝܚܗ ܕܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Macho yake ni kama mwali wa moto, na alikuwa amevaa taji nyingi kichwani. Alikuwa ameandikwa jina ambalo hakuna mtu alijuaye isipokuwa tu yeye mwenyewe. \t ܥܝܢܘܗܝ ܕܝܢ ܐܝܟ ܫܠܗܒܝܬܐ ܕܢܘܪܐ ܘܥܠ ܪܝܫܗ ܬܐܓܐ ܤܓܝܐܐ ܘܐܝܬ ܠܗ ܫܡܐ ܟܬܝܒܐ ܐܝܢܐ ܕܠܐ ܝܕܥ ܐܠܐ ܐܢ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi, ingawa ni waovu, mnajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri. Basi, baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi; atawapa Roho Mtakatifu wale wanaomwomba.\" \t ܘܐܢ ܐܢܬܘܢ ܕܒܝܫܐ ܐܝܬܝܟܘܢ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܘܗܒܬܐ ܛܒܬܐ ܠܡܬܠ ܠܒܢܝܟܘܢ ܟܡܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܐܒܘܟܘܢ ܡܢ ܫܡܝܐ ܢܬܠ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܫܐܠܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zaidi ya hayo yote, ndugu zangu, msiape kwa mbingu, wala kwa dunia, wala kwa kitu kingine chochote. Semeni \"Ndiyo\" kama maana yenu ni ndiyo, na \"La\" kama maana yenu ni la, na hapo hamtahukumiwa na Mungu. \t ܩܕܡ ܟܠ ܡܕܡ ܕܝܢ ܐܚܝ ܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܝܡܝܢ ܠܐ ܒܫܡܝܐ ܘܠܐ ܒܐܪܥܐ ܐܦܠܐ ܒܡܘܡܬܐ ܐܚܪܬܐ ܐܠܐ ܬܗܘܐ ܡܠܬܟܘܢ ܐܝܢ ܐܝܢ ܘܠܐ ܠܐ ܕܠܐ ܬܬܚܝܒܘܢ ܬܚܝܬ ܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jihadharini na watu, maana watawapeleka ninyi mahakamani na kuwapiga viboko katika masunagogi yao. \t ܐܙܕܗܪܘ ܕܝܢ ܡܢ ܒܢܝܢܫܐ ܡܫܠܡܝܢ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܠܒܝܬ ܕܝܢܐ ܘܒܟܢܘܫܬܗܘܢ ܢܢܓܕܘܢܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaitwaa ile mikate, akamshukuru Mungu, akawagawia watu waliokuwa wameketi; akafanya vivyo hivyo na wale samaki, kila mtu akapata kadiri alivyotaka. \t ܘܫܩܠ ܝܫܘܥ ܠܚܡܐ ܘܒܪܟ ܘܦܠܓ ܠܗܢܘܢ ܕܤܡܝܟܝܢ ܘܗܟܢܐ ܐܦ ܡܢ ܢܘܢܐ ܟܡܐ ܕܨܒܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi ya wanafunzi walikuwa wanazungumza juu ya Hekalu, jinsi lilivyopambwa kwa mawe ya thamani, pamoja na sadaka zilizotolewa kwa Mungu. Yesu akasema, \t ܘܟܕ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܐܢܫܝܢ ܥܠ ܗܝܟܠܐ ܕܒܟܐܦܐ ܫܦܝܪܬܐ ܘܒܩܘܪܒܢܐ ܡܨܒܬ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkuu wa jeshi alimwacha aende zake akimwonya asimwambie mtu yeyote kwamba amemletea habari hizo. \t ܘܫܪܝܗܝ ܟܠܝܪܟܐ ܠܥܠܝܡܐ ܟܕ ܦܩܕܗ ܕܐܢܫ ܠܐ ܢܕܥ ܕܗܠܝܢ ܒܕܩܬ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao makuhani wakuu pamoja na walimu wa Sheria walimdhihaki wakisema, \"Aliwaokoa wengine, lakini kujiokoa mwenyewe hawezi! \t ܘܗܟܢܐ ܐܦ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܓܚܟܝܢ ܗܘܘ ܚܕ ܥܡ ܚܕ ܘܤܦܪܐ ܘܐܡܪܝܢ ܐܚܪܢܐ ܐܚܝ ܢܦܫܗ ܠܐ ܡܫܟܚ ܠܡܚܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alimtumainia Mungu na kusema eti yeye ni Mwana wa Mungu; basi, Mungu na amwokoe kama anamtaka.\" \t ܬܟܝܠ ܥܠ ܐܠܗܐ ܢܦܪܩܝܘܗܝ ܗܫܐ ܐܢ ܨܒܐ ܒܗ ܐܡܪ ܓܝܪ ܕܒܪܗ ܐܢܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnapaswa kuniamini ninaposema kwamba mimi niko ndani ya Baba naye Baba yuko ndani yangu. Ama sivyo, aminini kwa sababu ya mambo ninayofanya. \t ܗܝܡܢܘ ܕܐܢܐ ܒܐܒܝ ܘܐܒܝ ܒܝ ܘܐܠܐ ܐܦܢ ܡܛܠ ܥܒܕܐ ܗܝܡܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo tumkaribie Mungu kwa moyo mnyofu na imani timilifu, kwa mioyo iliyotakaswa dhamiri mbaya, na kwa miili iliyosafishwa kwa maji safi. \t ܢܩܪܘܒ ܗܟܝܠ ܒܠܒܐ ܫܪܝܪܐ ܘܒܬܘܟܠܢܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܟܕ ܪܤܝܤܝܢ ܠܒܘܬܢ ܘܕܟܝܢ ܡܢ ܬܐܪܬܐ ܒܝܫܬܐ ܘܡܤܚܝ ܦܓܪܢ ܒܡܝܐ ܕܟܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Wakaondoka peke yao kwa mashua, wakaenda mahali pa faragha. \t ܘܐܙܠܘ ܠܐܬܪܐ ܚܘܪܒܐ ܒܤܦܝܢܬܐ ܒܠܚܘܕܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mateso na maumivu yatampata binadamu yeyote atendaye uovu. Yatawapata Wayahudi kwanza, na watu wa mataifa mengine pia. \t ܘܐܘܠܨܢܐ ܘܛܘܪܦܐ ܠܟܠ ܒܪܢܫ ܕܦܠܚ ܒܝܫܬܐ ܠܝܗܘܕܝܐ ܠܘܩܕܡ ܘܠܐܪܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote waliokuwa katika kile kikao cha Baraza walimkodolea macho Stefano, wakauona uso wake umekuwa kama wa malaika. \t ܘܚܪܘ ܒܗ ܟܠܗܘܢ ܗܢܘܢ ܕܝܬܒܝܢ ܗܘܘ ܒܟܢܘܫܬܐ ܘܚܙܘ ܦܪܨܘܦܗ ܐܝܟ ܦܪܨܘܦܐ ܕܡܠܐܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vitu vingine tulivyosikia kwa masikio yetu vinaonekana kuwa viroja kwetu. Tungependa kujua mambo haya yana maana gani.\" \t ܡܠܐ ܓܝܪ ܢܘܟܪܝܬܐ ܙܪܥ ܐܢܬ ܒܡܫܡܥܬܢ ܘܨܒܝܢܢ ܠܡܕܥ ܡܢܐ ܐܢܝܢ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Baba, kama wapenda, ukiondoe kwangu kikombe hiki; hata hivyo, mapenzi yako yatimizwe, wala siyo yangu.\" \t ܘܐܡܪ ܐܒܐ ܐܢ ܨܒܐ ܐܢܬ ܢܥܒܪܢܝ ܟܤܐ ܗܢܐ ܒܪܡ ܠܐ ܨܒܝܢܝ ܐܠܐ ܕܝܠܟ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tumeyaacha kabisa mambo yote ya aibu na ya kisirisiri. Hatuishi tena kwa udanganyifu, wala kwa kulipotosha neno la Mungu; bali tunaudhihirisha ukweli kwa kuufanya ukweli, na hivyo kujiweka chini ya uamuzi wa dhamiri za watu mbele ya Mungu. \t ܐܠܐ ܐܤܠܝܢܢ ܟܤܝܬܗ ܕܒܗܬܬܐ ܘܠܐ ܡܗܠܟܝܢܢ ܒܚܪܥܘܬܐ ܘܠܐ ܢܟܠܝܢܢ ܡܠܬܗ ܕܐܠܗܐ ܐܠܐ ܒܓܠܝܘܬܐ ܕܫܪܪܐ ܡܚܘܝܢܢ ܢܦܫܢ ܠܟܠܗܘܢ ܪܥܝܢܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akasema, \"Haya, njoo.\" Basi, Petro akashuka kutoka ile mashua, akatembea juu ya maji, akamwendea Yesu. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܬܐ ܘܢܚܬ ܟܐܦܐ ܡܢ ܐܠܦܐ ܘܗܠܟ ܥܠ ܡܝܐ ܕܢܐܬܐ ܠܘܬ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo kulikuwa na mfungwa mmoja, jina lake Baraba. \t ܐܤܝܪ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܝܢ ܐܤܝܪܐ ܝܕܝܥܐ ܕܡܬܩܪܐ ܒܪ ܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini waumini walipokusanyika na kumzunguka, aliamka akarudi mjini. Kesho yake, yeye pamoja na Barnaba walikwenda Derbe. \t ܘܟܢܫܘ ܥܠܘܗܝ ܬܠܡܝܕܐ ܘܩܡ ܥܠ ܠܡܕܝܢܬܐ ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܢܦܩ ܠܗ ܡܢ ܬܡܢ ܥܡ ܒܪܢܒܐ ܘܐܬܘ ܠܕܪܒܐ ܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Roho asema waziwazi kwamba siku za baadaye watu wengine wataitupilia mbali imani; watazitii roho danganyifu na kufuata mafundisho ya pepo. \t ܪܘܚܐ ܕܝܢ ܦܫܝܩܐܝܬ ܐܡܪܐ ܕܒܙܒܢܐ ܐܚܪܝܐ ܢܦܪܩܘܢ ܐܢܫ ܐܢܫ ܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܘܢܐܙܠܘܢ ܒܬܪ ܪܘܚܐ ܛܥܝܬܐ ܘܒܬܪ ܝܘܠܦܢܐ ܕܫܐܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, ikiwa yule asiyeamini anataka kumwacha mwenzake aliye Mkristo, basi, na amwache tu. Hapo huyo Mkristo, mume au mke, atakuwa huru. Maana Mungu amewaiteni ninyi muishi kwa amani. \t ܐܢ ܕܝܢ ܗܘ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢ ܦܪܫ ܢܦܪܘܫ ܠܐ ܡܫܥܒܕ ܐܚܐ ܐܘ ܚܬܐ ܒܗܠܝܢ ܠܫܠܡܐ ܗܘ ܩܪܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmejengwa juu ya msingi uliowekwa na mitume na manabii, naye Kristo mwenyewe ndiye jiwe kuu la msingi. \t ܘܐܬܒܢܝܬܘܢ ܥܠ ܫܬܐܤܬܐ ܕܫܠܝܚܐ ܘܕܢܒܝܐ ܘܗܘ ܗܘܐ ܪܝܫ ܩܪܢܐ ܕܒܢܝܢܐ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yapata siku nane baada ya kusema hayo, Yesu aliwachukua Petro, Yohane na Yakobo, akaenda nao mlimani kusali. \t ܗܘܐ ܕܝܢ ܒܬܪ ܡܠܐ ܗܠܝܢ ܐܝܟ ܬܡܢܝܐ ܝܘܡܝܢ ܕܒܪ ܝܫܘܥ ܠܫܡܥܘܢ ܘܠܝܥܩܘܒ ܘܠܝܘܚܢܢ ܘܤܠܩ ܠܛܘܪܐ ܠܡܨܠܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wenzangu waliuona ule mwanga lakini hawakusikia sauti ya yule aliyeongea nami. \t ܘܐܢܫܐ ܕܐܝܬ ܗܘܘ ܥܡܝ ܚܙܘ ܢܘܗܪܐ ܩܠܐ ܕܝܢ ܠܐ ܫܡܥܘ ܕܗܘ ܕܡܡܠܠ ܗܘܐ ܥܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawaruhusu. Basi, hao pepo wachafu wakatoka, wakawaingia wale nguruwe. Kundi lote la nguruwe wapatao elfu mbili likaporomoka kwenye ule mteremko mkali mpaka ziwani, likatumbukia majini. \t ܘܐܦܤ ܠܗܘܢ ܘܢܦܩ ܪܘܚܐ ܗܠܝܢ ܛܢܦܬܐ ܘܥܠ ܒܚܙܝܪܐ ܘܪܗܛܬ ܗܝ ܒܩܪܐ ܠܫܩܝܦܐ ܘܢܦܠܬ ܒܝܡܐ ܐܝܟ ܬܪܝܢ ܐܠܦܝܢ ܘܐܬܚܢܩܘ ܒܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata. \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܪܢ ܕܢܬܦܬܚܢ ܥܝܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Neno hili: \"tena\" linatuonyesha kwamba vitu vyote vilivyoumbwa vitatetemeshwa na kutoweka ili vibaki vile visivyotetemeshwa. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܕܐܡܪ ܚܕܐ ܙܒܢ ܡܚܘܝܐ ܫܘܚܠܦܐ ܕܗܢܘܢ ܕܡܬܙܝܥܝܢ ܡܛܠ ܕܥܒܝܕܐ ܐܢܘܢ ܕܢܩܘܘܢ ܗܢܘܢ ܕܠܐ ܡܬܙܝܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akaanza kuilaumu miji ambayo, ingawaje alifanya miujiza mingi humo, watu wake hawakutaka kubadili nia zao mbaya: \t ܗܝܕܝܢ ܫܪܝ ܝܫܘܥ ܠܡܚܤܕܘ ܡܕܝܢܬܐ ܐܝܠܝܢ ܕܗܘܘ ܒܗܝܢ ܚܝܠܘܗܝ ܤܓܝܐܐ ܘܠܐ ܬܒܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale Wayahudi waumini waliokuja pamoja na Petro kutoka Yopa walishangaa kuona kuwa Mungu aliwamiminia zawadi ya Roho Mtakatifu watu wa mataifa mengine pia; \t ܘܬܡܗܘ ܘܬܗܪܘ ܐܚܐ ܓܙܝܪܐ ܗܢܘܢ ܕܐܬܘ ܥܡܗ ܕܐܦ ܥܠ ܥܡܡܐ ܡܘܗܒܬܐ ܕܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܐܫܬܦܥܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pia walikwenda ili watoe sadaka: hua wawili au makinda wawili ya njiwa, kama ilivyotakiwa katika Sheria ya Bwana. \t ܘܕܢܬܠܘܢ ܕܒܚܬܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܡܝܪ ܒܢܡܘܤܐ ܕܡܪܝܐ ܙܘܓܐ ܕܫܘܦܢܝܢܐ ܐܘ ܬܪܝܢ ܦܪܘܓܐ ܕܝܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Karibu na usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakisali na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu, huku wafungwa wengine wakiwa wanasikiliza. \t ܘܒܦܠܓܗ ܕܠܠܝܐ ܦܘܠܘܤ ܘܫܝܠܐ ܡܨܠܝܢ ܗܘܘ ܘܡܫܒܚܝܢ ܗܘܘ ܠܐܠܗܐ ܘܫܡܥܝܢ ܗܘܘ ܠܗܘܢ ܐܤܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mpate kutambua jinsi uwezo wake ulivyo mkuu mno kwa ajili yetu sisi tunaoamini. Uwezo huo unaofanya kazi ndani yetu, ni sawa na nguvu ile kuu mno \t ܘܡܢܐ ܗܝ ܝܬܝܪܘܬܐ ܕܪܒܘܬܐ ܕܚܝܠܗ ܒܢ ܒܐܝܠܝܢ ܕܡܗܝܡܢܝܢܢ ܐܝܟ ܡܥܒܕܢܘܬܐ ܕܬܘܩܦܐ ܕܚܝܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wanawake walipokuwa wanakwenda zao, baadhi ya walinzi wa lile kaburi walikwenda mjini kutoa taarifa kwa makuhani wakuu juu ya mambo yote yaliyotukia. \t ܟܕ ܐܙܠܝܢ ܕܝܢ ܐܬܘ ܐܢܫܐ ܡܢ ܩܤܛܘܢܪܐ ܗܢܘܢ ܠܡܕܝܢܬܐ ܘܐܡܪܘ ܠܪܒܝ ܟܗܢܐ ܟܠ ܡܕܡ ܕܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "fahamuni kwamba, huyo anayemrudisha mwenye dhambi kutoka njia yake ya upotovu, ataiokoa roho yake kutoka kifo, na dhambi nyingi zitaondolewa. \t ܢܕܥ ܕܗܘ ܕܡܗܦܟ ܠܚܛܝܐ ܡܢ ܛܥܝܘܬܐ ܕܐܘܪܚܗ ܡܚܐ ܢܦܫܗ ܡܢ ܡܘܬܐ ܘܥܛܐ ܤܘܓܐܐ ܕܚܛܗܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa: Maria, mama yake, alikuwa ameposwa na Yosefu. Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume na mke, alionekana kuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. \t ܝܠܕܗ ܕܝܢ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܟܢܐ ܗܘܐ ܟܕ ܡܟܝܪܐ ܗܘܬ ܡܪܝܡ ܐܡܗ ܠܝܘܤܦ ܥܕܠܐ ܢܫܬܘܬܦܘܢ ܐܫܬܟܚܬ ܒܛܢܐ ܡܢ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wengi walimkemea ili anyamaze, lakini yeye akazidi kupaaza sauti, \"Mwana wa Daudi, nihurumie!\" \t ܘܟܐܝܢ ܗܘܘ ܒܗ ܤܓܝܐܐ ܕܢܫܬܘܩ ܗܘ ܕܝܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܩܥܐ ܗܘܐ ܘܐܡܪ ܒܪܗ ܕܕܘܝܕ ܐܬܪܚܡ ܥܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana Yohane alikuja, yeye alifunga na hakunywa divai, nanyi mkasema: Amepagawa na pepo! \t ܐܬܐ ܓܝܪ ܝܘܚܢܢ ܡܥܡܕܢܐ ܠܐ ܐܟܠ ܠܚܡܐ ܘܠܐ ܫܬܐ ܚܡܪܐ ܘܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܫܐܕܐ ܐܝܬ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana anayekula na kunywa bila kutambua maana ya mwili wa Bwana, anakula na kunywa hukumu yake yeye mwenyewe. \t ܡܢ ܕܐܟܠ ܓܝܪ ܘܫܬܐ ܡܢܗ ܟܕ ܠܐ ܫܘܐ ܚܘܝܒܐ ܗܘ ܠܢܦܫܗ ܐܟܠ ܘܫܬܐ ܕܠܐ ܦܪܫ ܦܓܪܗ ܕܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane alikuwa amemwambia Herode, \"Si halali kwako kumchukua mke wa ndugu yako.\" \t ܐܡܪ ܗܘܐ ܓܝܪ ܝܘܚܢܢ ܠܗܪܘܕܤ ܕܠܐ ܫܠܝܛ ܠܟ ܕܬܤܒ ܐܢܬܬ ܐܚܘܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akarudi kwa wanafunzi wale watatu, akawakuta wamelala. Basi, akamwuliza Petro, \"Simoni, je umelala? Hukuweza kukesha hata saa moja?\" \t ܘܐܬܐ ܐܫܟܚ ܐܢܘܢ ܟܕ ܕܡܟܝܢ ܘܐܡܪ ܠܟܐܦܐ ܫܡܥܘܢ ܕܡܟܬ ܠܟ ܠܐ ܐܫܟܚܬ ܚܕܐ ܫܥܐ ܠܡܬܬܥܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo akaja Yosefu mwenyeji wa Armathaya, mjumbe wa Baraza Kuu, aliyeheshimika sana. Yeye pia alikuwa anatazamia kuja kwa Ufalme wa Mungu. Basi, alimwendea Pilato bila uoga, akaomba apewe mwili wa Yesu. \t ܐܬܐ ܝܘܤܦ ܗܘ ܕܡܢ ܪܡܬܐ ܡܝܩܪܐ ܒܘܠܘܛܐ ܐܝܢܐ ܕܐܦ ܗܘ ܡܤܟܐ ܗܘܐ ܠܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܐܡܪܚ ܘܥܠ ܠܘܬ ܦܝܠܛܘܤ ܘܫܐܠ ܦܓܪܗ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana tunawaombeeni daima. Tunamwomba Mungu wetu awawezeshe muyastahili maisha aliyowaitia myaishi. Tunamwomba, kwa uwezo wake, atimize nia yenu ya kutenda mema na kukamilisha kazi yenu ya imani. \t ܡܛܠܗܢܐ ܒܟܠܙܒܢ ܡܨܠܝܢܢ ܥܠܝܟܘܢ ܕܢܫܘܝܟܘܢ ܐܠܗܐ ܠܩܪܝܢܟܘܢ ܘܢܡܠܝܟܘܢ ܟܠܗ ܨܒܝܢܐ ܕܛܒܬܐ ܘܥܒܕܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܒܚܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ole wenu, kwa sababu mko kama makaburi yaliyofichika; watu hutembea juu yake bila kufahamu.\" \t ܘܝ ܠܟܘܢ ܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܕܐܝܬܝܟܘܢ ܐܝܟ ܩܒܪܐ ܕܠܐ ܝܕܝܥܝܢ ܘܒܢܝ ܐܢܫܐ ܡܗܠܟܝܢ ܥܠܝܗܘܢ ܘܠܐ ܝܕܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipoyaona makundi ya watu, alipanda mlimani, akaketi. Wanafunzi wake wakamwendea, \t ܟܕ ܚܙܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܠܟܢܫܐ ܤܠܩ ܠܛܘܪܐ ܘܟܕ ܝܬܒ ܩܪܒܘ ܠܘܬܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilichoandika ni hiki: msishirikiane na ndugu Mkristo aliye mzinzi, mchoyo, mwenye kuabudu sanamu, mchongezi mlevi na mlaghai. Mtu wa namna hiyo, hata kula msile naye. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܕܟܬܒܬ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܬܬܚܠܛܘܢ ܐܢ ܐܝܬ ܕܡܬܩܪܐ ܐܚܐ ܘܐܝܬܘܗܝ ܙܢܝܐ ܐܘ ܥܠܘܒܐ ܐܘ ܦܠܚ ܦܬܟܪܐ ܐܘ ܡܨܥܪܢ ܐܘ ܪܘܝ ܐܘ ܚܛܘܦ ܥܡ ܐܝܢܐ ܕܗܟܢܐ ܗܘ ܐܦܠܐ ܠܚܡܐ ܠܡܐܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo tajiri, alikuwa na mateso makali huko kuzimu, akainua macho yake, akamwona Abrahamu kwa mbali na Lazaro karibu naye. \t ܘܟܕ ܡܫܬܢܩ ܒܫܝܘܠ ܐܪܝܡ ܥܝܢܘܗܝ ܡܢ ܪܘܚܩܐ ܘܚܙܐ ܠܐܒܪܗܡ ܘܠܠܥܙܪ ܒܥܘܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Kweli mmekosea kwa sababu hamjui Maandiko Matakatifu wala nguvu ya Mungu! \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܛܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܟܬܒܐ ܘܠܐ ܚܝܠܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi mnawadharau watu maskini! Je, matajiri si ndio wanaowakandamizeni na kuwapeleka mahakamani? \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܫܛܬܘܢܝܗܝ ܠܡܤܟܢܐ ܠܐ ܗܐ ܥܬܝܪܐ ܡܫܬܥܠܝܢ ܥܠܝܟܘܢ ܘܗܢܘܢ ܢܓܕܝܢ ܠܟܘܢ ܠܒܝܬ ܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao watoza ushuru wakaja pia ili wabatizwe, wakamwuliza, \"Mwalimu, tufanye nini?\" \t ܘܐܬܘ ܐܦ ܡܟܤܐ ܠܡܥܡܕ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܠܦܢܐ ܡܢܐ ܢܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja, Yesu alikuwa mahali fulani akisali. Alipomaliza kusali, mmoja wa wanafunzi wake akamwambia, \"Bwana, tunakuomba utufundishe kusali kama Yohane mbatizaji alivyowafundisha wanafunzi wake.\" \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܗܘ ܡܨܠܐ ܒܕܘܟܬܐ ܚܕܐ ܟܕ ܫܠܡ ܐܡܪ ܠܗ ܚܕ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܡܪܢ ܐܠܦܝܢ ܠܡܨܠܝܘ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܝܘܚܢܢ ܐܠܦ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo hakuna mtu aliyethubutu kusema, habari zake hadharani kwa kuwaogopa viongozi wa Wayahudi. \t ܠܐ ܕܝܢ ܐܢܫ ܓܠܝܐܝܬ ܡܡܠܠ ܗܘܐ ܥܠܘܗܝ ܡܛܠ ܕܚܠܬܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kuwasalimu, Paulo aliwapa taarifa kamili kuhusu yote Mungu aliyokuwa ametenda kati ya mataifa kwa njia ya utumishi wake. \t ܘܝܗܒܢ ܠܗܘܢ ܫܠܡܐ ܘܡܫܬܥܐ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܦܘܠܘܤ ܒܬܪ ܒܬܪ ܟܠ ܡܐ ܕܥܒܕ ܐܠܗܐ ܒܥܡܡܐ ܒܬܫܡܫܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nawaambieni, msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa maneno ya uongo hata kama ni ya kuvutia sana. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܠܐ ܐܢܫ ܢܗܘܐ ܡܛܥܐ ܠܟܘܢ ܒܦܝܤܐ ܕܡܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hufunga mizigo mizito na kuwatwika watu mabegani, lakini wao wenyewe hawataki kunyosha hata kidole wapate kuibeba. \t ܘܐܤܪܝܢ ܡܘܒܠܐ ܝܩܝܪܬܐ ܘܤܝܡܝܢ ܥܠ ܟܬܦܬܐ ܕܒܢܝ ܐܢܫܐ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܒܨܒܥܗܘܢ ܠܐ ܨܒܝܢ ܕܢܩܪܒܘܢ ܠܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu huutambua mti kutokana na matunda yake. Ni wazi kwamba watu hawachumi tini katika michongoma, wala hawachumi zabibu katika mbigili. \t ܟܠ ܐܝܠܢܐ ܓܝܪ ܡܢ ܦܐܪܘܗܝ ܗܘ ܡܬܝܕܥ ܠܐ ܓܝܪ ܠܩܛܝܢ ܡܢ ܟܘܒܐ ܬܐܢܐ ܐܦ ܠܐ ܡܢ ܤܢܝܐ ܩܛܦܝܢ ܥܢܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Wayahudi wakasema, \"Tazameni jinsi alivyompenda!\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܝܗܘܕܝܐ ܚܙܘ ܟܡܐ ܪܚܡ ܗܘܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni dhahiri kwamba mlisikia barabara habari zake, na mkiwa wafuasi wake mkafundishwa ukweli ulivyo katika Yesu. \t ܐܢ ܫܪܝܪܐܝܬ ܫܡܥܬܘܢܝܗܝ ܘܒܗ ܝܠܦܬܘܢ ܐܝܟ ܡܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܩܘܫܬܐ ܒܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu ya huo umati wa watu, hawakuweza kumpeleka karibu na Yesu. Basi, wakatoboa sehemu ya dari iliyokuwa juu ya mahali alipokuwa Yesu. Walipokwisha pata nafasi, wakamteremsha huyo mtu akiwa amelala juu ya mkeka. \t ܘܕܠܐ ܐܫܟܚܘ ܠܡܬܩܪܒܘ ܠܘܬܗ ܡܛܠ ܟܢܫܐ ܤܠܩܘ ܠܗܘܢ ܠܐܓܪܐ ܘܐܪܝܡܘ ܬܛܠܝܠܐ ܕܐܬܪ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܘܫܒܘܗ ܥܪܤܐ ܕܪܡܐ ܗܘܐ ܒܗ ܡܫܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini napenda pia mjue kwamba Kristo ni kichwa cha kila mwanamume, na mwanamume ni kichwa cha mkewe, na Mungu ni kichwa cha Kristo. \t ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܬܕܥܘܢ ܕܟܠ ܓܒܪ ܪܫܗ ܡܫܝܚܐ ܗܘ ܘܪܫܗ ܕܐܢܬܬܐ ܓܒܪܐ ܗܘ ܘܪܫܗ ܕܡܫܝܚܐ ܐܠܗܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale waumini waliotawanyika, walikwenda kila mahali wakihubiri ule ujumbe. \t ܘܗܢܘܢ ܕܐܬܒܕܪܘ ܡܬܟܪܟܝܢ ܗܘܘ ܘܡܟܪܙܝܢ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliwachukua kando wale kumi na wawili, akawaambia, \"Sikilizeni! Tunakwenda Yerusalemu na huko kila kitu kilichoandikwa na manabii kuhusu Mwana wa Mtu kitakamilishwa. \t ܘܕܒܪ ܝܫܘܥ ܠܬܪܥܤܪܬܗ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܐ ܤܠܩܝܢܢ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܡܫܬܠܡܢ ܟܠܗܝܢ ܕܟܬܝܒܢ ܒܢܒܝܐ ܥܠ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayedhani amesimama imara ajihadhari asianguke. \t ܡܟܝܠ ܡܢ ܕܤܒܪ ܕܩܡ ܢܙܕܗܪ ܕܠܐ ܢܦܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mnahukumu kwa fikira za kibinadamu, lakini mimi simhukumu mtu. \t ܐܢܬܘܢ ܦܓܪܢܐܝܬ ܕܝܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܢܐ ܠܐܢܫ ܠܐ ܕܐܢ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, unapomsaidia maskini, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki wafanyavyo katika masunagogi na njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao. \t ܐܡܬܝ ܗܟܝܠ ܕܥܒܕ ܐܢܬ ܙܕܩܬܐ ܠܐ ܬܩܪܐ ܩܪܢܐ ܩܕܡܝܟ ܐܝܟ ܕܥܒܕܝܢ ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܒܟܢܘܫܬܐ ܘܒܫܘܩܐ ܐܝܟ ܕܢܫܬܒܚܘܢ ܡܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܘܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܩܒܠܘ ܐܓܪܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akatoka mnamo saa tatu asubuhi, akaona watu wengine wamesimama sokoni, hawana kazi. \t ܘܢܦܩ ܒܬܠܬ ܫܥܝܢ ܘܚܙܐ ܐܚܪܢܐ ܕܩܝܡܝܢ ܒܫܘܩܐ ܘܒܛܝܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sasa nawaambieni ninyi watu wa mataifa mengine: Maadamu mimi nimekuwa mtume kwa watu wa mataifa mengine, ninajivunia huduma yangu, \t ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܥܡܡܐ ܐܢܐ ܕܐܝܬܝ ܫܠܝܚܐ ܕܥܡܡܐ ܠܬܫܡܫܬܝ ܡܫܒܚ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu, bila shaka mtaelewa yafuatayo, maana ninawazungumzia watu wanaojua Sheria. Sheria humtawala mtu wakati akiwa hai. \t ܐܘ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܚܝ ܠܝܕܥܝ ܢܡܘܤܐ ܓܝܪ ܡܡܠܠ ܐܢܐ ܕܢܡܘܤܐ ܫܠܝܛ ܗܘ ܥܠ ܓܒܪܐ ܟܡܐ ܕܚܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena twataabika na kufanya kazi kwa mikono yetu wenyewe. Tukitukanwa, tunawatakia baraka; tukidhulumiwa, tunavumilia; \t ܘܠܐܝܢܢ ܟܕ ܦܠܚܝܢܢ ܒܐܝܕܝܢ ܡܨܥܪܝܢ ܠܢ ܘܡܒܪܟܝܢܢ ܪܕܦܝܢ ܠܢ ܘܡܤܝܒܪܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakamtukana Mungu wa mbinguni kwa sababu ya maumivu yao na madonda yao. Lakini hawakuyaacha matendo yao mabaya. \t ܘܓܕܦܘ ܠܫܡܐ ܕܐܠܗܐ ܕܫܡܝܐ ܡܢ ܟܐܒܝܗܘܢ ܘܡܢ ܫܘܚܢܝܗܘܢ ܘܠܐ ܬܒܘ ܡܢ ܥܒܕܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, tunawaamuru kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, mjiepushe na ndugu wote walio wavivu na ambao hawafuati maagizo tuliyowapa. \t ܡܦܩܕܝܢܢ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܐܚܝ ܒܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܗܘܝܬܘܢ ܦܪܝܩܝܢ ܡܢ ܟܠ ܐܚܐ ܐܝܢܐ ܕܒܝܫ ܒܝܫ ܡܗܠܟ ܘܠܐ ܐܝܟ ܦܘܩܕܢܐ ܕܩܒܠܘ ܡܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini kwa sababu ya hatari ya uzinzi, basi, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe. \t ܐܠܐ ܡܛܠ ܙܢܝܘܬܐ ܐܢܫ ܐܢܬܬܗ ܢܐܚܘܕ ܘܐܢܬܬܐ ܠܒܥܠܗ ܬܐܚܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Yuda, mtumishi wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, nawaandikia ninyi mlioitwa na Mungu na ambao mnaishi katika upendo wa Mungu Baba, na katika ulinzi wa Yesu Kristo. \t ܝܗܘܕܐ ܥܒܕܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܚܐ ܕܝܢ ܕܝܥܩܘܒ ܠܥܡܡܐ ܩܪܝܐ ܕܒܐܠܗܐ ܐܒܐ ܪܚܝܡܝܢ ܘܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܢܛܝܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ingawa tumeadhibiwa, hatukuuawa; ingawa tunayo huzuni, twafurahi daima; ingawa tu maskini hohehahe, lakini twatajirisha watu wengi; twaonekana kuwa watu tusio na chochote, kumbe tuna kila kitu. \t ܐܝܟ ܕܟܪܝܐ ܠܢ ܘܒܟܠܙܒܢ ܚܕܝܢܢ ܐܝܟ ܡܤܟܢܐ ܘܠܤܓܝܐܐ ܡܥܬܪܝܢܢ ܐܝܟ ܕܡܕܡ ܠܝܬ ܠܢ ܘܟܠ ܡܕܡ ܐܚܝܕܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa wakienda, wakamkuta mtu mmoja jina lake Simoni, mwenyeji wa Kurene, wakamlazimisha kuuchukua msalaba wake Yesu. \t ܘܟܕ ܢܦܩܝܢ ܐܫܟܚܘ ܓܒܪܐ ܩܘܪܝܢܝܐ ܕܫܡܗ ܫܡܥܘܢ ܠܗܢܐ ܫܚܪܘ ܕܢܫܩܘܠ ܙܩܝܦܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.) \t ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܓܝܪ ܥܠܘ ܗܘܘ ܠܡܕܝܢܬܐ ܕܢܙܒܢܘܢ ܠܗܘܢ ܤܝܒܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, tunapaswa kuvikwa namna hiyo ili tusije tukasimama mbele ya Mungu bila vazi. \t ܐܠܐ ܐܦ ܡܐ ܕܠܒܫܢ ܢܫܬܟܚ ܠܢ ܥܪܛܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Shiriki katika mateso kama askari mwaminifu wa Kristo yesu. \t ܘܤܝܒܪ ܒܝܫܬܐ ܐܝܟ ܦܠܚܐ ܛܒܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ila nendeni kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo. \t ܙܠܘ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܠܘܬ ܥܪܒܐ ܕܐܒܕܘ ܡܢ ܒܝܬ ܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Atendaye mabaya atalipwa kufuatana na ubaya wake; Mungu hana ubaguzi. \t ܡܤܟܠܢܐ ܕܝܢ ܡܬܦܪܥ ܐܝܟ ܡܕܡ ܕܐܤܟܠ ܘܠܝܬ ܡܤܒ ܒܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama tunakitumaini kile ambacho hatujakiona bado, basi, tunakingojea kwa uvumilivu. \t ܐܢ ܕܝܢ ܠܡܕܡ ܕܠܐ ܡܬܚܙܐ ܡܤܒܪܝܢܢ ܒܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܡܩܘܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Palitokea manabii wa uongo kati ya watu, na vivyo hivyo walimu wa uongo watatokea kati yenu. Watu hao wataingiza mafundisho maharibifu na kumkana Bwana aliyewakomboa, na kwa njia hiyo watasababisha ghafla maangamizi yao wenyewe. \t ܗܘܘ ܕܝܢ ܐܦ ܢܒܝܐ ܕܓܠܐ ܒܥܡܐ ܐܝܟ ܕܐܦ ܒܟܘܢ ܢܗܘܘܢ ܡܠܦܢܐ ܕܓܠܐ ܐܝܠܝܢ ܕܡܥܠܝܢ ܗܪܤܝܤ ܕܐܒܕܢܐ ܘܒܡܪܐ ܕܙܒܢ ܐܢܘܢ ܟܦܪܝܢ ܟܕ ܡܝܬܝܢ ܥܠ ܢܦܫܗܘܢ ܐܒܕܢܐ ܡܤܪܗܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana watu wanaoiasi imani yao inawezekanaje kuwarudisha watubu tena? Watu hao walikwisha kuwa katika mwanga wa Mungu, walikwisha onja zawadi ya mbinguni na kushirikishwa Roho Mtakatifu; \t ܐܠܐ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܗܢܘܢ ܕܚܕܐ ܙܒܢ ܠܡܥܡܘܕܝܬܐ ܢܚܬܘ ܘܛܥܡܘ ܡܘܗܒܬܐ ܕܡܢ ܫܡܝܐ ܘܢܤܒܘ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye akawajibu, \"Kwa nini mlinitafuta? Hamkujua kwamba inanipasa kuwa katika nyumba ya Baba yangu?\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܒܥܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܠܝ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܒܝܬ ܐܒܝ ܘܠܐ ܠܝ ܕܐܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawaambia, \"Sasa choteni mkampelekee mkuu wa karamu.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘܥܘ ܡܟܝܠ ܘܐܝܬܘ ܠܪܝܫ ܤܡܟܐ ܘܐܝܬܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akawatuma wajumbe wamtangulie, nao wakaenda wakaingia kijiji kimoja cha Wasamaria ili wamtayarishie mahali. \t ܘܫܕܪ ܡܠܐܟܐ ܩܕܡ ܦܪܨܘܦܗ ܘܐܙܠܘ ܥܠܘ ܠܩܪܝܬܐ ܕܫܡܪܝܐ ܐܝܟ ܕܢܬܩܢܘܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye kuhani wa hekalu la Zeu lililokuwa nje ya mji akaleta fahali na shada za maua mbele ya mlango mkuu wa mji, na pamoja na ule umati wa watu akataka kuwatambikia mitume. \t ܘܟܘܡܪܐ ܕܡܪܐ ܐܠܗܐ ܗܘ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܒܪ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ ܐܝܬܝ ܬܘܪܐ ܘܟܠܝܠܐ ܠܬܪܥܐ ܕܕܪܬܐ ܐܬܪ ܕܫܪܝܢ ܗܘܘ ܘܨܒܐ ܗܘܐ ܕܢܕܒܚ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Petro na Yohane wakawawekea mikono hao waumini, nao wakampokea Roho Mtakatifu. \t ܗܝܕܝܢ ܤܝܡܝܢ ܗܘܘ ܥܠܝܗܘܢ ܐܝܕܐ ܘܡܩܒܠܝܢ ܗܘܘ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hatukukubaliana nao hata kidogo ili ukweli wa Habari Njema ubaki nanyi daima. \t ܐܦܠܐ ܡܠܐ ܫܥܐ ܐܬܪܡܝܢ ܠܫܘܥܒܕܗܘܢ ܕܫܪܪܗ ܕܤܒܪܬܐ ܢܩܘܐ ܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamwambia, \"Mbona hakuna yeyote katika ukoo wake mwenye jina hilo?\" \t ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܕܠܝܬ ܐܢܫ ܒܫܪܒܬܟܝ ܕܡܬܩܪܐ ܒܫܡܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninachojua tu ni kwamba Roho Mtakatifu ananithibitishia katika kila mji kwamba vifungo na mateso ndivyo vinavyoningojea. \t ܒܪܡ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܒܟܠ ܡܕܝܢܐ ܡܤܗܕ ܠܝ ܘܐܡܪ ܕܐܤܘܪܐ ܘܐܘܠܨܢܐ ܥܬܝܕܝܢ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliposikia hayo, walimtukuza Mungu. Kisha wakamwambia Paulo, \"Ndugu, unaweza kuona kwamba kuna maelfu ya Wayahudi ambao sasa wamekuwa waumini na wote hao wanashika kwa makini Sheria ya Mose. \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܫܒܚܘ ܠܐܠܗܐ ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܚܙܐ ܐܢܬ ܐܚܘܢ ܟܡܐ ܪܒܘܢ ܐܝܬ ܒܝܗܘܕ ܐܝܠܝܢ ܕܗܝܡܢܘ ܘܟܠܗܘܢ ܗܠܝܢ ܛܢܢܐ ܐܢܘܢ ܕܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tusilale usingizi kama wengine; tunapaswa kukesha na kuwa na kiasi. \t ܠܐ ܢܕܡܟ ܗܟܝܠ ܐܝܟ ܫܪܟܐ ܐܠܐ ܗܘܝܢ ܥܝܪܝܢ ܘܡܗܘܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamwuliza Yohane, \"Kama wewe si Kristo, wala Eliya, wala yule nabii, mbona wabatiza?\" \t ܘܫܐܠܘܗܝ ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܡܥܡܕ ܐܢܬ ܐܢ ܐܢܬ ܠܐ ܐܝܬܝܟ ܡܫܝܚܐ ܘܠܐ ܐܠܝܐ ܘܠܐ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa nini waniuliza mimi? Waulize wale waliosikia nini niliwaambia. Wao wanajua nilivyosema.\" \t ܡܢܐ ܡܫܐܠ ܐܢܬ ܠܝ ܫܐܠ ܠܗܢܘܢ ܕܫܡܥܘ ܡܢܐ ܡܠܠܬ ܥܡܗܘܢ ܗܐ ܗܢܘܢ ܝܕܥܝܢ ܟܠ ܡܕܡ ܕܐܡܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake Paulo alikwenda pamoja nasi kumwamkia Yakobo, na wazee wote wa kanisa walikuwako pia. \t ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܥܠܢ ܥܡ ܦܘܠܘܤ ܠܘܬ ܝܥܩܘܒ ܟܕ ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܘܬܗ ܟܠܗܘܢ ܩܫܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambao wamehatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܐܢܫܐ ܕܐܫܠܡܘ ܢܦܫܬܗܘܢ ܚܠܦ ܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa malaika wa kanisa la Thuatira andika hivi: \"Huu ndio ujumbe wa Mwana wa Mungu, ambaye macho yake yametameta kama moto, na miguu yake inang'aa kama shaba iliyosuguliwa. \t ܘܠܡܠܐܟܐ ܕܒܥܕܬܐ ܕܒܬܐܘܛܝܪܐ ܟܬܘܒ ܗܟܢܐ ܐܡܪ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܗܘ ܕܐܝܬ ܠܗ ܥܝܢܐ ܐܝܟ ܫܠܗܒܝܬܐ ܕܢܘܪܐ ܘܪܓܠܘܗܝ ܐܝܟ ܢܚܫܐ ܠܒܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akahuzunika rohoni, akasema, \"Mbona kizazi hiki kinataka ishara? Kweli nawaambieni, kizazi hiki hakitapewa ishara yoyote!\" \t ܘܐܬܬܢܚ ܒܪܘܚܗ ܘܐܡܪ ܡܢܐ ܒܥܝܐ ܐܬܐ ܫܪܒܬܐ ܗܕܐ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܬܬܝܗܒ ܠܗ ܐܬܐ ܠܫܪܒܬܐ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ukweli ni kwamba sikuwa na maana ya watu wote duniani walio wazinzi, wachoyo, walaghai na wenye kuabudu sanamu. Maana, ili kuwaepa hao wote ingewalazimu ninyi kuihama dunia hii kabisa! \t ܠܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܥܠ ܙܢܝܐ ܕܒܥܠܡܐ ܗܢܐ ܐܘ ܥܠ ܥܠܘܒܐ ܐܘ ܥܠ ܚܛܘܦܐ ܐܘ ܥܠ ܦܠܚܝ ܦܬܟܪܐ ܘܐܢ ܠܐ ܚܝܒܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܐܦ ܡܢ ܥܠܡܐ ܠܡܦܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa anashuka pwani, mtu mmoja aliyekuwa amepagawa na pepo alimjia kutoka mjini. Kwa muda mrefu mtu huyo, hakuwa anavaa nguo, wala hakuwa anaishi nyumbani bali makaburini. \t ܘܟܕ ܢܦܩ ܠܐܪܥܐ ܦܓܥ ܒܗ ܓܒܪܐ ܚܕ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ ܕܐܝܬ ܒܗ ܕܝܘܐ ܡܢ ܙܒܢܐ ܤܓܝܐܐ ܘܡܐܢܐ ܠܐ ܠܒܫ ܗܘܐ ܘܒܒܝܬܐ ܠܐ ܥܡܪ ܗܘܐ ܐܠܐ ܒܒܝܬ ܩܒܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, umeoa? Basi, usitake kuachana na mkeo. Wewe hukuoa? Basi, usitake kuoa. \t ܐܤܝܪ ܐܢܬ ܒܐܢܬܬܐ ܠܐ ܬܒܥܐ ܫܪܝܐ ܫܪܐ ܐܢܬ ܡܢ ܐܢܬܬܐ ܠܐ ܬܒܥܐ ܐܢܬܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alitembelea miji yote na vijiji, akafundisha katika masunagogi yao akihubiri Habari Njema ya Ufalme wa Mungu, na kuponya magonjwa yote na udhaifu wa kila namna. \t ܘܡܬܟܪܟ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܒܡܕܝܢܬܐ ܟܠܗܝܢ ܘܒܩܘܪܝܐ ܘܡܠܦ ܗܘܐ ܒܟܢܘܫܬܗܘܢ ܘܡܟܪܙ ܤܒܪܬܐ ܕܡܠܟܘܬܐ ܘܡܐܤܐ ܟܠ ܟܘܪܗܢܝܢ ܘܟܠ ܟܐܒܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilipofahamishwa kwamba Wayahudi walikuwa wamefanya njama za kumuua, niliamua kumleta kwako. Nikamwambia washtaki wake walete mashtaka yao mbele yako.\" \t ܘܟܕ ܐܬܒܕܩ ܠܝ ܢܟܠܐ ܒܟܡܐܢܐ ܕܥܒܕܘ ܥܠܘܗܝ ܝܗܘܕܝܐ ܡܚܕܐ ܫܕܪܬܗ ܠܘܬܟ ܘܦܩܕܬ ܠܩܛܓܪܢܘܗܝ ܕܢܐܬܘܢ ܘܢܐܡܪܘܢ ܥܡܗ ܩܕܡܝܟ ܗܘܝ ܚܠܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamhubiria neno la Bwana yeye pamoja na jamaa yake. \t ܘܡܠܠܘ ܥܡܗ ܡܠܬܐ ܕܡܪܝܐ ܘܥܡ ܟܠܗܘܢ ܒܢܝ ܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni kweli, mtu akiuambia mlima huu: Ng'oka ukajitose baharini bila kuona shaka moyoni mwake, ila akaamini kwamba mambo yote anayosema yanafanyika, atafanyiwa jambo hilo. \t ܐܡܝܢ ܓܝܪ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܡܢ ܕܢܐܡܪ ܠܛܘܪܐ ܗܢܐ ܕܐܫܬܩܠ ܘܦܠ ܒܝܡܐ ܘܠܐ ܢܬܦܠܓ ܒܠܒܗ ܐܠܐ ܢܗܝܡܢ ܕܗܘܐ ܗܘ ܡܕܡ ܕܐܡܪ ܢܗܘܐ ܠܗ ܡܕܡ ܕܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Kweli nawaambieni, mnanitafuta si kwa kuwa mmeona ishara, bali kwa sababu mlikula ile mikate mkashiba. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ ܠܐ ܗܘܐ ܡܛܠ ܕܚܙܝܬܘܢ ܐܬܘܬܐ ܐܠܐ ܕܐܟܠܬܘܢ ܠܚܡܐ ܘܤܒܥܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, twambie kama ni halali, au la, kulipa kodi kwa Kaisari!\" \t ܫܠܝܛ ܠܢ ܕܢܬܠ ܟܤܦ ܪܫܐ ܠܩܤܪ ܐܘ ܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, ni kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: \"Mambo ambayo jicho halijapata kuyaona wala sikio kuyasikia, mambo ambayo binadamu hajapata kuyafikiria moyoni, hayo ndiyo Mungu aliyowatayarishia wale wampendao.\" \t ܐܠܐ ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܥܝܢܐ ܠܐ ܚܙܬ ܘܐܕܢܐ ܠܐ ܫܡܥܬ ܘܥܠ ܠܒܐ ܕܒܪܢܫܐ ܠܐ ܤܠܩ ܡܕܡ ܕܛܝܒ ܐܠܗܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܪܚܡܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo. \t ܘܐܫܬܟܚ ܠܝ ܦܘܩܕܢܐ ܗܘ ܕܚܝܐ ܠܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini kama akiachana naye, basi abaki bila kuolewa; ama la, apatanishwe na mume wake. Mume naye asimpe talaka mkewe. \t ܘܐܢ ܬܦܪܘܫ ܬܩܘܐ ܕܠܐ ܓܒܪܐ ܐܘ ܠܒܥܠܗ ܬܬܪܥܐ ܘܓܒܪܐ ܠܐܢܬܬܗ ܠܐ ܢܫܒܘܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hata hivyo, iwe wao ndio wahubirio au mimi nihubiriye, haidhuru, hiki ndicho tunachuhubiri, na hiki ndicho mnachoamini. \t ܐܢ ܐܢܐ ܗܟܝܠ ܘܐܢ ܗܢܘܢ ܗܟܢܐ ܡܟܪܙܝܢܢ ܘܗܟܢܐ ܗܝܡܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliwaambia wanafunzi wake mbele ya watu wote, \t ܘܟܕ ܟܠܗ ܥܡܐ ܫܡܥ ܗܘܐ ܐܡܪ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, \"Kama mtu yeyote anataka kuwa mfuasi wangu, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate. \t ܗܝܕܝܢ ܐܡܪ ܝܫܘܥ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܡܢ ܕܨܒܐ ܕܢܐܬܐ ܒܬܪܝ ܢܟܦܘܪ ܒܢܦܫܗ ܘܢܫܩܘܠ ܙܩܝܦܗ ܘܢܐܬܐ ܒܬܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini haikuwa hivyo tangu mwanzo. Basi nawaambieni, yeyote atakayemwacha mke wake isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, akaoa mke mwingine, anazini.\" \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܕܡܢ ܕܫܒܩ ܐܢܬܬܗ ܕܠܐ ܓܘܪܐ ܘܢܤܒ ܐܚܪܬܐ ܓܐܪ ܘܡܢ ܕܢܤܒ ܫܒܝܩܬܐ ܓܐܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "msifadhaike upesi moyoni, na wala msitiwe wasiwasi kwa sababu ya madai kwamba Siku ya Bwana imekwisha fika. Labda inadhaniwa kwamba jambo hili limetokana na uaguzi fulani, mahubiri au barua inayosemekana kuwa imetoka kwetu. \t ܕܠܐ ܥܓܠ ܬܬܙܝܥܘܢ ܒܪܥܝܢܝܟܘܢ ܘܠܐ ܬܬܘܗܘܢ ܠܐ ܡܢ ܡܠܬܐ ܘܠܐ ܡܢ ܪܘܚܐ ܘܠܐ ܡܢ ܐܓܪܬܐ ܕܐܝܟ ܕܡܢ ܠܘܬܢ ܗܝ ܕܗܐ ܠܡ ܡܛܝ ܝܘܡܗ ܕܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akaenda nyumbani kwake, akamkuta mtoto amelala kitandani, na pepo amekwisha mtoka. \t ܘܐܙܠܬ ܠܒܝܬܗ ܘܐܫܟܚܬ ܒܪܬܗ ܟܕ ܪܡܝܐ ܒܥܪܤܐ ܘܢܦܝܩ ܡܢܗ ܫܐܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wazazi wake hawakuelewa maana ya maneno aliyowaambia. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܠܐ ܐܫܬܘܕܥܘ ܠܡܠܬܐ ܕܐܡܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili mpate kuwa watoto wa Baba yenu aliye mbinguni. Kwa maana yeye huwaangazia jua lake watu wabaya na wema, na kuwanyeshea mvua watu wanyofu na waovu. \t ܐܝܟܢܐ ܕܬܗܘܘܢ ܒܢܘܗܝ ܕܐܒܘܟܘܢ ܕܒܫܡܝܐ ܗܘ ܕܡܕܢܚ ܫܡܫܗ ܥܠ ܛܒܐ ܘܥܠ ܒܝܫܐ ܘܡܚܬ ܡܛܪܗ ܥܠ ܟܐܢܐ ܘܥܠ ܥܘܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni nani awezaye kututenga na mapendo ya Kristo? Je, ni taabu, au dhiki, au mateso, au njaa, au ukosefu wa nguo, au hatari, au kuuawa? \t ܡܢܘ ܢܦܪܫܢܝ ܡܢ ܚܘܒܗ ܕܡܫܝܚܐ ܐܘܠܨܢܐ ܐܘ ܚܒܘܫܝܐ ܐܘ ܪܕܘܦܝܐ ܐܘ ܟܦܢܐ ܐܘ ܥܪܛܠܝܘܬܐ ܐܘ ܩܢܕܝܢܘܤ ܐܘ ܤܝܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi, \t ܒܪ ܡܠܝܐ ܒܪ ܡܐܢܝ ܒܪ ܡܛܬܐ ܒܪ ܢܬܢ ܒܪ ܕܘܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ningependa ninyi nyote mseme kwa lugha ngeni lakini ningependelea hasa muwe na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, maana mtu mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, ni wa maana zaidi kuliko yule mwenye kusema lugha ngeni, isipokuwa tu kama yupo hapo mtu awezaye kuyafafanua hayo mambo asemayo, ili kanisa lipate kujengwa. \t ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܟܠܟܘܢ ܬܡܠܠܘܢ ܒܠܫܢܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܕܝܢ ܕܬܬܢܒܘܢ ܪܒ ܗܘ ܓܝܪ ܐܝܢܐ ܕܡܬܢܒܐ ܡܢ ܗܘ ܕܡܡܠܠ ܒܠܫܢܐ ܐܢ ܠܐ ܡܦܫܩ ܐܢ ܕܝܢ ܡܦܫܩ ܥܕܬܐ ܒܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mimi nikaanguka kifudifudi mbele ya miguu yake nikataka kumwabudu. Lakini yeye akaniambia, \"Acha! Mimi ni mtumishi tu kama wewe na ndugu zako; sote tunauzingatia ukweli ule alioufunua Yesu. Mwabudu Mungu! Maana ukweli alioufunua Yesu ndio unaowaangazia manabii.\" \t ܘܢܦܠܬ ܩܕܡ ܪܓܠܘܗܝ ܘܤܓܕܬ ܠܗ ܘܐܡܪ ܠܝ ܠܐ ܟܢܬܟ ܐܝܬܝ ܘܕܐܚܝܟ ܗܠܝܢ ܕܐܝܬ ܠܗܘܢ ܤܗܕܘܬܐ ܕܝܫܘܥ ܠܐܠܗܐ ܤܓܘܕ ܝܬܝܪܐܝܬ ܤܗܕܘܬܐ ܓܝܪ ܕܝܫܘܥ ܐܝܬܝܗ ܪܘܚܐ ܕܢܒܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu. \t ܐܠܐ ܒܥܒܕܐ ܛܒܐ ܐܝܟܢܐ ܕܝܐܐ ܠܢܫܐ ܕܡܫܬܘܕܝܢ ܕܚܠܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usiku, wale ndugu waliwahimiza Paulo na Sila waende Berea. Mara tu walipofika huko, walikwenda katika sunagogi la Wayahudi. \t ܐܚܐ ܕܝܢ ܒܪ ܫܥܬܗ ܒܗ ܒܠܠܝܐ ܫܪܘ ܠܦܘܠܘܤ ܘܠܫܝܠܐ ܠܒܪܘܐܐ ܡܕܝܢܬܐ ܘܟܕ ܐܬܘ ܠܬܡܢ ܥܐܠܝܢ ܗܘܘ ܠܟܢܘܫܬܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lazima kukomesha maneno yao, kwani wanavuruga jumuiya nzima kwa kufundisha mambo ambayo hawapaswi kufundisha; wanafanya hivyo kwa nia mbaya ya kupata faida ya fedha. \t ܗܢܘܢ ܕܘܠܐ ܠܡܤܟܪܘ ܦܘܡܗܘܢ ܒܬܐ ܓܝܪ ܤܓܝܐܐ ܡܚܒܠܝܢ ܘܡܠܦܝܢ ܡܕܡ ܕܠܐ ܘܠܐ ܡܛܠ ܝܘܬܪܢܐ ܛܢܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, fundisha mambo hayo na tumia mamlaka yako yote ukiwahimiza na kuwaonya wasikilizaji wako. Mtu yeyote na asikudharau. \t ܗܠܝܢ ܡܠܠ ܘܒܥܝ ܘܟܘܢ ܒܟܠ ܦܘܩܕܢ ܘܠܐ ܐܢܫ ܢܒܤܐ ܒܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikatazama, nikasikia sauti ya malaika wengi sana, idadi isiyohesabika, maelfu na maelfu. Walikuwa wamekaa kuzunguka kiti cha enzi, vile viumbe hai vinne na wale wazee; \t ܘܚܙܝܬ ܘܫܡܥܬ ܐܝܟ ܩܠܐ ܕܡܠܐܟܐ ܤܓܝܐܐ ܚܕܪܝ ܟܘܪܤܝܐ ܘܕܚܝܘܬܐ ܘܕܩܫܝܫܐ ܘܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܡܢܝܢܗܘܢ ܪܒܘ ܪܒܘܢ ܘܐܠܦ ܐܠܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wako mashahidi watatu: \t ܘܪܘܚܐ ܡܤܗܕܐ ܕܗܝ ܪܘܚܐ ܐܝܬܝܗ ܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Najua mambo yako yote. Najua upendo wako, imani yako, utumishi wako na uvumilivu wako. Wewe unafanya vizuri zaidi sasa kuliko pale awali. \t ܝܕܥ ܐܢܐ ܥܒܕܝܟ ܘܚܘܒܟ ܘܗܝܡܢܘܬܟ ܘܬܫܡܫܬܟ ܘܡܤܝܒܪܢܘܬܟ ܘܥܒܕܝܟ ܐܚܪܝܐ ܤܓܝܐܐ ܐܢܘܢ ܡܢ ܩܕܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, binti yake Herodia aliingia, akacheza, akawafurahisha sana Herode na wageni wake. Mfalme akamwambia huyo msichana, \"Niombe chochote utakacho, nami nitakupa.\" \t ܘܥܠܬ ܒܪܬܗ ܕܗܪܘܕܝܐ ܪܩܕܬ ܘܫܦܪܬ ܠܗ ܠܗܪܘܕܤ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܤܡܝܟܝܢ ܥܡܗ ܘܐܡܪ ܡܠܟܐ ܠܛܠܝܬܐ ܫܐܠܝ ܡܢܝ ܡܕܡ ܕܨܒܝܐ ܐܢܬܝ ܘܐܬܠ ܠܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "naye Abrahamu akampa sehemu ya kumi ya vitu vyote alivyokuwa navyo. (Maana ya kwanza ya jina hili Melkisedeki ni \"Mfalme wa Uadilifu\"; na, kwa vile yeye alikuwa mfalme wa Salemu, jina lake pia lina maana ya \"Mfalme wa Amani.\") \t ܘܠܗ ܦܪܫ ܐܒܪܗV ܡܥܤܪܐ ܡܢ ܟܠܡܕV ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܥܡܗ ܡܬܦܫܩ ܕܝܢ ܫܡܗ ܡܠܟܐ ܕܟܐܢܘܬܐ ܘܬܘܒ ܡܠܟ ܫܠܝV ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܠܟܐ ܕܫܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini haya yote yametendeka ili Maandiko ya manabii yatimie.\" Kisha wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܕܗܘܬ ܕܢܬܡܠܘܢ ܟܬܒܐ ܕܢܒܝܐ ܗܝܕܝܢ ܬܠܡܝܕܐ ܟܠܗܘܢ ܫܒܩܘܗܝ ܘܥܪܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mfalme alihuzunika, lakini kwa sababu ya kile kiapo chake na kwa sababu ya wale wageni karamuni, akaamuru apewe. \t ܘܟܪܝܬ ܠܗ ܠܡܠܟܐ ܡܛܠ ܕܝܢ ܡܘܡܬܐ ܘܤܡܝܟܐ ܦܩܕ ܕܢܬܝܗܒ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Sitawaacha ninyi yatima; nitakuja tena kwenu. \t ܠܐ ܫܒܩ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܝܬܡܐ ܐܬܐ ܐܢܐ ܓܝܪ ܠܘܬܟܘܢ ܩܠܝܠ ܐܚܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi siwaiti tena watumishi, maana mtumishi hajui anachofanya bwana wake. Lakini mimi nimewaita ninyi rafiki, kwa sababu nimewajulisha yote ambayo nimeyasikia kutoka kwa Baba yangu. \t ܠܐ ܡܟܝܠ ܩܪܐ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܥܒܕܐ ܡܛܠ ܕܥܒܕܐ ܠܐ ܝܕܥ ܡܢܐ ܥܒܕ ܡܪܗ ܪܚܡܝ ܕܝܢ ܩܪܝܬܟܘܢ ܡܛܠ ܕܟܠ ܕܫܡܥܬ ܡܢ ܐܒܝ ܐܘܕܥܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana Mungu alimkubali kuwa mwadilifu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܬܚܫܒܬ ܠܗ ܠܟܐܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo akawaambia, \"Mwana wa Mtu ni Bwana wa Sabato.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܡܪܗ ܗܘ ܕܫܒܬܐ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bibiarusi ni wake bwanaarusi, lakini rafiki yake bwana arusi, anayesimama na kusikiliza, hufurahi sana anapomsikia bwana arusi akisema. Ndivyo furaha yangu ilivyokamilishwa. \t ܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܟܠܬܐ ܚܬܢܐ ܗܘ ܪܚܡܗ ܕܝܢ ܕܚܬܢܐ ܗܘ ܕܩܐܡ ܘܨܐܬ ܠܗ ܚܕܘܬܐ ܪܒܬܐ ܚܕܐ ܡܛܠ ܩܠܗ ܕܚܬܢܐ ܗܕܐ ܗܟܝܠ ܚܕܘܬܐ ܕܝܠܝ ܗܐ ܡܡܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara. \t ܚܡܫ ܕܝܢ ܡܢܗܝܢ ܚܟܝܡܢ ܗܘܝ ܘܚܡܫ ܤܟܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu; ndiyo maana nimesema kwamba huyo Roho Mtakatifu atawaambieni yale atakayopata kutoka kwangu. \t ܟܠ ܡܕܡ ܕܐܝܬ ܠܐܒܝ ܕܝܠܝ ܗܘ ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܕܡܢ ܕܝܠܝ ܢܤܒ ܘܢܚܘܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Njoni mkamwone mtu aliyeniambia mambo yote niliyotenda! Je, yawezekana kuwa yeye ndiye Kristo?\" \t ܬܘ ܚܙܘ ܓܒܪܐ ܕܐܡܪ ܠܝ ܟܠ ܡܕܡ ܕܥܒܕܬ ܠܡܐ ܗܘܝܘ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama Maandiko yasemavyo: \"Kila binadamu ni kama nyasi, na utukufu wake wote ni kama maua ya porini. Nyasi hunyauka na maua huanguka. \t ܡܛܠ ܕܟܠ ܒܤܪ ܥܡܝܪܐ ܘܟܠܗ ܝܐܝܘܬܗ ܐܝܟ ܥܘܦܝܐ ܕܚܩܠܐ ܝܒܫ ܥܡܝܪܐ ܘܚܡܐ ܥܘܦܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi niliwakabidhi ninyi mambo muhimu sana ambayo mimi niliyapokea: kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na Maandiko Matakatifu; \t ܐܫܠܡܬ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܡܢ ܠܘܩܕܡ ܐܝܟ ܡܕܡ ܕܩܒܠܬ ܕܡܫܝܚܐ ܡܝܬ ܥܠ ܐܦܝ ܚܛܗܝܢ ܐܝܟܢܐ ܕܟܬܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu wa taifa hili la Israeli aliwateua babu zetu na kuwafanya wawe taifa kubwa walipokuwa ugenini kule Misri. Mungu aliwatoa huko kwa uwezo wake mkuu. \t ܐܠܗܗ ܕܥܡܐ ܗܢܐ ܓܒܐ ܠܐܒܗܬܢ ܘܐܪܝܡ ܘܐܘܪܒ ܐܢܘܢ ܟܕ ܗܘܘ ܬܘܬܒܐ ܒܐܪܥܐ ܕܡܨܪܝܢ ܘܒܕܪܥܐ ܪܡܐ ܐܦܩ ܐܢܘܢ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akatoka hapo akaenda kukaa nyumbani kwa mtu mmoja mcha Mungu aitwaye Tito Yusto. Nyumba yake Tito ilikuwa karibu na lile sunagogi. \t ܘܢܦܩ ܡܢ ܬܡܢ ܘܥܠ ܠܒܝܬܗ ܕܓܒܪܐ ܕܫܡܗ ܛܛܘܤ ܐܝܢܐ ܕܕܚܠ ܗܘܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܘܒܝܬܗ ܢܩܝܦ ܗܘܐ ܠܟܢܘܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini dhabihu hizo hufanyika kila mwaka kuwakumbusha watu dhambi zao. \t ܐܠܐ ܒܗܘܢ ܒܕܒܚܐ ܡܕܟܪܝܢ ܚܛܗܝܗܘܢ ܒܟܠ ܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao walitutangulia na kutungojea kule Troa. \t ܗܠܝܢ ܐܙܠܘ ܩܕܡܝܢ ܘܩܘܝܘ ܠܢ ܒܛܪܘܐܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikaona pepo wabaya watatu walio kama vyura, wakitoka kinywani mwa yule joka, kinywani mwa yule mnyama, na kinywani mwa yule nabii wa uongo. \t ܘܚܙܝܬ ܡܢ ܦܘܡܗ ܕܬܢܝܢܐ ܘܡܢ ܦܘܡܗ ܕܚܝܘܬܐ ܘܡܢ ܦܘܡܗ ܕܢܒܝܐ ܕܓܠܐ ܪܘܚܐ ܬܠܬ ܠܐ ܕܟܝܬܐ ܐܝܟ ܐܘܪܕܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wale ambao wangalipaswa kuwa katika Ufalme huo watatupwa nje, gizani, ambako watalia na kusaga meno.\" \t ܒܢܝܗ ܕܝܢ ܕܡܠܟܘܬܐ ܢܦܩܘܢ ܠܚܫܘܟܐ ܒܪܝܐ ܬܡܢ ܢܗܘܐ ܒܟܝܐ ܘܚܘܪܩ ܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuna tofauti baina ya zawadi ya Mungu, na dhambi ya mtu yule mmoja. Maana, baada ya kosa la mtu mmoja, Mungu alitoa hukumu; lakini baada ya makosa ya watu wengi, Mungu aliwapa zawadi yake kwa kuwasamehe. \t ܘܠܐ ܐܝܟ ܤܟܠܘܬܐ ܕܚܕ ܗܟܢܐ ܡܘܗܒܬܐ ܕܝܢܐ ܓܝܪ ܕܗܘܐ ܡܢ ܚܕ ܠܚܘܝܒܐ ܗܘܐ ܡܘܗܒܬܐ ܕܝܢ ܡܢ ܚܛܗܐ ܤܓܝܐܐ ܗܘܬ ܠܟܐܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadaye kidogo, mtu mwingine akamwona Petro, akasema, \"Wewe ni mmoja wao.\" Lakini Petro akajibu \"Bwana we; si mimi!\" \t ܘܒܬܪ ܩܠܝܠ ܚܙܝܗܝ ܐܚܪܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܦ ܐܢܬ ܡܢܗܘܢ ܐܢܬ ܟܐܦܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܐ ܗܘܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kitu kinachomtia mtu najisi si kile kiingiacho kinywani, bali kile kitokacho kinywani. Hicho ndicho kimtiacho mtu najisi.\" \t ܠܐ ܗܘܐ ܡܕܡ ܕܥܐܠ ܠܦܘܡܐ ܡܤܝܒ ܠܒܪܢܫܐ ܐܠܐ ܡܕܡ ܕܢܦܩ ܡܢ ܦܘܡܐ ܗܘ ܗܘ ܡܤܝܒ ܠܒܪܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alisema hivyo maana alijua wazi kwamba walimleta kwake kwa sababu ya wivu. \t ܝܕܥ ܗܘܐ ܓܝܪ ܦܝܠܛܘܤ ܕܡܢ ܚܤܡܐ ܐܫܠܡܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikaambiwa, \"Inakubidi tena kutangaza ujumbe wa Mungu kuhusu watu wengi, mataifa, watu wa lugha nyingi na wafalme!\" \t ܘܐܡܪ ܠܝ ܝܗܝܒ ܠܟ ܬܘܒ ܙܒܢܐ ܠܡܬܢܒܝܘ ܥܠ ܥܡܡܐ ܘܐܡܘܬܐ ܘܠܫܢܐ ܘܡܠܟܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi Wasamaria mnamwabudu yule msiyemjua, lakini sisi tunamjua huyo tunayemwabudu, kwa maana wokovu unatoka kwa Wayahudi. \t ܐܢܬܘܢ ܤܓܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܕܡ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܚܢܢ ܕܝܢ ܤܓܕܝܢ ܚܢܢ ܠܡܐ ܕܝܕܥܝܢ ܚܢܢ ܕܚܝܐ ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye akamjibu: Mapipa mia ya mafuta ya zeituni. Yule karani akamwambia: Chukua hati yako ya deni, keti haraka, andika hamsini. \t ܐܡܪ ܠܗ ܡܐܐ ܡܬܪܝܢ ܡܫܚܐ ܐܡܪ ܠܗ ܤܒ ܟܬܒܟ ܘܬܒ ܒܥܓܠ ܟܬܘܒ ܚܡܫܝܢ ܡܬܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Habari Njema imehubiriwa kwetu kama vile ilivyohubiriwa kwa hao watu wa kale. Lakini ujumbe huo haukuwafaa chochote, maana waliusikia lakini hawakuupokea kwa imani. \t ܐܦ ܚܢܢ ܓܝܪ ܐܤܬܒܪܢ ܐܝܟ ܕܐܦ ܗܢܘܢ ܐܠܐ ܠܐ ܐܘܬܪܬ ܐܢܘܢ ܠܗܢܘܢ ܡܠܬܐ ܕܫܡܥܘ ܡܛܠ ܕܠܐ ܡܡܙܓܐ ܗܘܬ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܠܗܢܘܢ ܕܫܡܥܘܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Amkeni, twendeni zetu. Tazameni! Anakuja yule atakayenisaliti.\" \t ܩܘܡܘ ܢܐܙܠ ܗܐ ܡܛܐ ܗܘ ܕܡܫܠܡ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makuhani wakuu na walinzi walipomwona wakapaaza sauti: \"Msulubishe! Msulubishe!\" Pilato akawaambia, \"Mchukueni basi, ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa maana mimi sikuona hatia yoyote kwake.\" \t ܟܕ ܕܝܢ ܚܙܐܘܗܝ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܕܚܫܐ ܩܥܘ ܘܐܡܪܝܢ ܨܠܘܒܝܗܝ ܨܠܘܒܝܗܝ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܦܝܠܛܘܤ ܕܒܪܘ ܐܢܬܘܢ ܘܙܘܩܦܘܗܝ ܐܢܐ ܓܝܪ ܠܐ ܡܫܟܚ ܐܢܐ ܒܗ ܥܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alilifanyia taifa letu ukatili, akawatendea vibaya babu zetu kwa kuwalazimisha waweke nje watoto wao wachanga ili wafe. \t ܘܐܨܛܢܥ ܥܠ ܛܘܗܡܢ ܘܐܒܐܫ ܠܐܒܗܬܢ ܘܦܩܕ ܕܢܗܘܘܢ ܡܫܬܕܝܢ ܝܠܘܕܝܗܘܢ ܕܠܐ ܢܚܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akawaambia, \"Nyakati na majira ya mambo hayo viko chini ya mamlaka ya Baba yangu, wala si shauri lenu kujua yatakuwa lini. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܘ ܠܐ ܗܘܬ ܕܝܠܟܘܢ ܗܕܐ ܠܡܕܥ ܙܒܢܐ ܐܘ ܙܒܢܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܒܐ ܤܡ ܐܢܘܢ ܒܫܘܠܛܢܐ ܕܢܦܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa msichana mmoja aitwaye Maria, mchumba wa mtu mmoja jina lake Yosefu, wa ukoo wa Daudi. \t ܠܘܬ ܒܬܘܠܬܐ ܕܡܟܝܪܐ ܠܓܒܪܐ ܕܫܡܗ ܝܘܤܦ ܡܢ ܒܝܬܗ ܕܕܘܝܕ ܘܫܡܗ ܠܒܬܘܠܬܐ ܡܪܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wayahudi wengi waliisoma ilani hiyo, maana mahali hapo aliposulubiwa Yesu palikuwa karibu na mji. Tena ilani hiyo ilikuwa imeandikwa kwa Kiebrania, Kilatini, na Kigiriki. \t ܘܠܗܢܐ ܕܦܐ ܤܓܝܐܐ ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܩܪܐܘܗܝ ܡܛܠ ܕܩܪܝܒܐ ܗܘܬ ܠܡܕܝܢܬܐ ܕܘܟܬܐ ܕܐܙܕܩܦ ܒܗ ܝܫܘܥ ܘܟܬܝܒܐ ܗܘܐ ܥܒܪܐܝܬ ܘܝܘܢܐܝܬ ܘܪܗܘܡܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kusudi ajipatie kanisa lililo takatifu na safu kabisa, kanisa lisilo na doa, kasoro au chochote cha namna hiyo. \t ܘܢܩܝܡܝܗ ܥܕܬܐ ܠܢܦܫܗ ܟܕ ܡܫܒܚܐ ܘܠܝܬ ܒܗ ܛܘܠܫܐ ܘܠܐ ܩܡܛܐ ܘܠܐ ܡܕܡ ܕܠܗܠܝܢ ܕܡܐ ܐܠܐ ܬܗܘܐ ܩܕܝܫܐ ܕܠܐ ܡܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu alikwenda Nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya Sabato, aliingia katika sunagogi, kama ilivyokuwa desturi yake. Akasimama ili asome Maandiko Matakatifu kwa sauti. \t ܘܐܬܐ ܠܢܨܪܬ ܐܝܟܐ ܕܐܬܪܒܝ ܘܥܠ ܐܝܟܢܐ ܕܡܥܕ ܗܘܐ ܠܟܢܘܫܬܐ ܒܝܘܡܐ ܕܫܒܬܐ ܘܩܡ ܠܡܩܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walistaajabu na kushangaa, wakisema, \"Je, hawa wote tunaowasikia wakisema hivi, si wenyeji wa Galilaya? \t ܬܗܝܪܝܢ ܗܘܘ ܕܝܢ ܟܠܗܘܢ ܘܡܬܕܡܪܝܢ ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܚܕ ܠܚܕ ܗܠܝܢ ܟܠܗܘܢ ܕܡܡܠܠܝܢ ܠܐ ܗܐ ܓܠܝܠܝܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, upepo mzuri wa kusi ulianza kuvuma, nao wakadhani wamefanikiwa lengo lao; hivyo wakang'oa nanga, wakaiendesha meli karibu sana na pwani ya Krete. \t ܘܟܕ ܢܫܒܬ ܪܘܚܐ ܕܬܝܡܢܐ ܘܤܒܪܘ ܕܡܡܛܝܢ ܐܝܟ ܨܒܝܢܗܘܢ ܪܕܝܢ ܗܘܘ ܚܕܪܝ ܩܪܛܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mfalme alipoingia kuwaona wageni, akamwona mtu mmoja ambaye hakuvaa mavazi ya arusi. \t ܘܥܠ ܡܠܟܐ ܕܢܚܙܐ ܤܡܝܟܐ ܘܚܙܐ ܬܡܢ ܓܒܪܐ ܕܠܐ ܠܒܝܫ ܠܒܘܫܐ ܕܡܫܬܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akawaamuru watu wakae chini. Akaitwaa ile mikate saba, akamshukuru Mungu, akaimega, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu, nao wakawagawia. \t ܘܦܩܕ ܠܟܢܫܐ ܕܢܤܬܡܟܘܢ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܢܤܒ ܗܢܘܢ ܫܒܥܐ ܠܚܡܝܢ ܘܒܪܟ ܘܩܨܐ ܘܝܗܒ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܢܤܝܡܘܢ ܘܤܡܘ ܠܟܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtapelekwa mbele ya watawala na wafalme kwa sababu yangu, mpate kutangaza Habari Njema kwao na kwa mataifa. \t ܘܩܕܡ ܗܓܡܘܢܐ ܘܡܠܟܐ ܡܩܪܒܝܢ ܠܟܘܢ ܡܛܠܬܝ ܠܤܗܕܘܬܐ ܕܝܠܗܘܢ ܘܕܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa na dhambi zenu. \t ܘܐܦ ܠܟܘܢ ܕܡܝܬܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܒܚܛܗܝܟܘܢ ܘܒܤܟܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza. \t ܘܥܠ ܬܘܒ ܝܫܘܥ ܠܟܢܘܫܬܐ ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܬܡܢ ܓܒܪܐ ܚܕ ܕܝܒܝܫܐ ܐܝܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi yao huenda katika nyumba za watu na huwateka wanawake dhaifu waliolemewa mizigo ya dhambi na ambao wanaongozwa na tamaa za kila aina; \t ܡܢܗܘܢ ܐܢܘܢ ܓܝܪ ܗܠܝܢ ܕܡܚܠܕܝܢ ܒܝܬ ܒܬܐ ܘܫܒܝܢ ܢܫܐ ܕܛܡܝܪܢ ܒܚܛܗܐ ܘܡܬܕܒܪܢ ܠܪܓܝܓܬܐ ܡܫܚܠܦܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Ninyi mmekosea sana!\" \t ܘܠܐ ܗܘܐ ܐܠܗܐ ܕܡܝܬܐ ܐܠܐ ܕܚܝܐ ܐܢܬܘܢ ܗܟܝܠ ܤܓܝ ܛܥܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala si hayo tu, ila tunafurahi pia katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ametupatanisha na Mungu. \t ܘܠܐ ܗܟܢܐ ܒܠܚܘܕ ܐܠܐ ܐܦ ܢܫܬܒܗܪ ܒܐܠܗܐ ܒܝܕ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܒܗ ܗܘ ܗܫܐ ܩܒܠܢ ܬܪܥܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, maana ya mfano huu ni hii: mbegu ni neno la Mungu. \t ܗܢܘ ܕܝܢ ܡܬܠܐ ܙܪܥܐ ܐܝܬܘܗܝ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kumbuka, basi, yale uliyofundishwa na jinsi ulivyoyasikia, uyatii na ubadili nia yako mbaya. Usipokesha nitakujia ghafla kama mwizi, na wala hutaijua saa nitakapokujia. \t ܐܬܕܟܪ ܐܝܟܢ ܫܡܥܬ ܘܢܤܒܬ ܐܙܕܗܪ ܘܬܘܒ ܘܐܢܕܝܢ ܠܐ ܬܬܥܝܪ ܐܬܐ ܐܢܐ ܥܠܝܟ ܐܝܟ ܓܢܒܐ ܘܠܐ ܬܕܥ ܐܝܕܐ ܫܥܬܐ ܐܬܐ ܥܠܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika akamjibu, \"Mimi ni Gabrieli, nisimamaye mbele ya Mungu, na nimetumwa niseme nawe, nikuletee hii habari njema. \t ܘܥܢܐ ܡܠܐܟܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢܐ ܐܢܐ ܓܒܪܝܐܝܠ ܕܩܐܡ ܐܢܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܘܐܫܬܠܚܬ ܕܐܡܠܠ ܥܡܟ ܘܐܤܒܪܟ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea: \"Isiwe hivyo Bwana! Jambo hili halitakupata!\" \t ܘܕܒܪܗ ܟܐܦܐ ܘܫܪܝ ܠܡܟܐܐ ܒܗ ܘܐܡܪ ܚܤ ܠܟ ܡܪܝ ܕܬܗܘܐ ܠܟ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mvumo wa tarumbeta na sauti ya maneno. Wale waliosikia sauti hiyo waliomba wasisikie tena neno jingine, \t ܘܠܐ ܠܩܠܐ ܕܩܪܢܐ ܘܠܩܠܐ ܕܡܠܐ ܗܘ ܕܗܢܘܢ ܕܫܡܥܘܗܝ ܐܫܬܐܠܘ ܕܠܐ ܢܬܬܘܤܦ ܢܬܡܠܠ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko walimwandalia chakula cha jioni, naye Martha akawa anawatumikia. Lazaro alikuwa mmoja wa wale waliokuwa mezani pamoja na Yesu. \t ܘܥܒܕܘ ܠܗ ܬܡܢ ܚܫܡܝܬܐ ܘܡܪܬܐ ܡܫܡܫܐ ܗܘܬ ܘܠܥܙܪ ܚܕ ܡܢ ܤܡܝܟܐ ܗܘܐ ܕܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu na wanafunzi wake walikwenda katika vijiji vya Kaisarea Filipi. Walipokuwa njiani, Yesu aliwauliza wanafunzi wake, \"Watu wanasema mimi ni nani?\" \t ܘܢܦܩ ܝܫܘܥ ܘܬܠܡܝܕܘܗܝ ܠܩܘܪܝܐ ܕܩܤܪܝܐ ܕܦܝܠܝܦܘܤ ܘܡܫܐܠ ܗܘܐ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܒܐܘܪܚܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܘ ܐܡܪܝܢ ܥܠܝ ܐܢܫܐ ܕܐܝܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zakariya alipomwona alifadhaika, hofu ikamwingia. \t ܘܐܫܬܓܫ ܙܟܪܝܐ ܟܕ ܚܙܝܗܝ ܘܕܚܠܬܐ ܢܦܠܬ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana Habari Njema inaonyesha wazi jinsi Mungu anavyowakubali watu kuwa waadilifu; jambo hili hufanyika kwa imani, tangu mwanzo mpaka mwisho. Kama ilivyoandikwa: \"Mwadilifu kwa imani ataishi.\" \t ܟܐܢܘܬܗ ܓܝܪ ܕܐܠܗܐ ܒܗ ܡܬܓܠܝܐ ܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܠܗܝܡܢܘܬܐ ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܟܐܢܐ ܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu. \t ܫܡܥ ܕܝܢ ܗܪܘܕܤ ܡܠܟܐ ܘܐܬܬܙܝܥ ܘܟܠܗ ܐܘܪܫܠܡ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya Yuda kuondoka, Yesu akasema, \"Sasa Mwana wa Mtu ametukuzwa, naye Mungu ametukuzwa ndani yake. \t ܘܐܡܪ ܝܫܘܥ ܗܫܐ ܐܫܬܒܚ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܘܐܠܗܐ ܐܫܬܒܚ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nitatenda miujiza juu angani, na ishara chini duniani; kutakuwa na damu, moto na moshi mzito; \t ܘܐܬܠ ܐܬܘܬܐ ܒܫܡܝܐ ܘܓܒܪܘܬܐ ܥܠ ܐܪܥܐ ܕܡܐ ܘܢܘܪܐ ܘܥܛܪܐ ܕܬܢܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nakuandikia wewe mwanangu mpenzi Timotheo. Nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu. \t ܠܛܝܡܬܐܘܤ ܒܪܐ ܚܒܝܒܐ ܛܝܒܘܬܐ ܘܪܚܡܐ ܘܫܠܡܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܒܐ ܘܡܢ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wa mataifa waliwaka hasira, maana wakati wa ghadhabu yako umefika, wakati wa kuwahukumu wafu. Ndio wakati wa kuwatuza watumishi wako manabii, watu wako na wote wanaolitukuza jina lako, wakubwa kwa wadogo. Ni wakati wa kuwaangamiza wale wanaoangamiza dunia.\" \t ܘܥܡܡܐ ܪܓܙܘ ܘܐܬܐ ܪܘܓܙܟ ܘܙܒܢܐ ܕܡܝܬܐ ܕܢܬܕܝܢܘܢ ܘܬܬܠ ܐܓܪܐ ܠܥܒܕܝܟ ܢܒܝܐ ܘܠܩܕܝܫܐ ܘܠܕܚܠܝ ܫܡܟ ܠܙܥܘܪܐ ܥܡ ܪܘܪܒܐ ܘܬܚܒܠ ܠܐܝܠܝܢ ܕܚܒܠܘ ܠܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bali, zingatieni kwanza Ufalme wa Mungu na matakwa yake, na hayo mengine yote mtapewa kwa ziada. \t ܠܐ ܗܟܝܠ ܬܐܨܦܘܢ ܕܡܚܪ ܗܘ ܓܝܪ ܡܚܪ ܝܨܦ ܕܝܠܗ ܤܦܩ ܠܗ ܠܝܘܡܐ ܒܝܫܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana, Roho mliyempokea si Roho mwenye kuwafanya ninyi watumwa na kuwatia tena hofu; sivyo, bali mmempokea Roho mwenye kuwafanya ninyi watoto wa Mungu, na kwa nguvu ya huyo Roho, sisi tunaweza kumwita Mungu, \"Aba,\" yaani \"Baba!\" \t ܠܐ ܓܝܪ ܢܤܒܬܘܢ ܪܘܚܐ ܕܥܒܕܘܬܐ ܬܘܒ ܠܕܚܠܬܐ ܐܠܐ ܢܤܒܬܘܢ ܪܘܚܐ ܕܤܝܡܬ ܒܢܝܐ ܕܒܗ ܩܪܝܢܢ ܐܒܐ ܐܒܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hawa ndio roho za pepo wafanyao miujiza. Ndio wanaokwenda kwa wafalme wa ulimwengu wote na kuwakusanya pamoja kwa ajili ya vita kuu Siku ile ya Mungu Mwenye Uwezo. \t ܐܝܬܝܗܝܢ ܓܝܪ ܪܘܚܐ ܕܫܐܕܐ ܐܝܠܝܢ ܕܥܒܕܢ ܐܬܘܬܐ ܕܐܙܠܢ ܥܠ ܡܠܟܐ ܕܬܐܒܝܠ ܠܡܟܢܫܘ ܐܢܘܢ ܠܩܪܒܐ ܕܝܘܡܐ ܗܘ ܪܒܐ ܕܐܠܗܐ ܐܚܝܕ ܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Jihadharini msije mkafanya matendo yenu mema mbele ya watu kusudi mwonekane nao. La sivyo, Baba yenu aliye mbinguni hatawapeni tuzo. \t ܚܘܪܘ ܕܝܢ ܒܙܕܩܬܟܘܢ ܕܠܐ ܬܥܒܕܘܢܗ ܩܕܡ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܐܝܟ ܕܬܬܚܙܘܢ ܠܗܘܢ ܘܐܠܐ ܐܓܪܐ ܠܝܬ ܠܟܘܢ ܠܘܬ ܐܒܘܟܘܢ ܕܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wameiacha njia iliyonyoka, wakapotoka na kuifuata njia aliyofuata Balaamu, mwana wa Beori, ambaye alipendelea kupata faida kwa kufanya udanganyifu, \t ܕܟܕ ܫܒܩܘ ܐܘܪܚܐ ܬܪܝܨܬܐ ܫܓܘ ܘܐܙܠܘ ܒܐܘܪܚܐ ܕܒܠܥܡ ܒܪ ܒܥܘܪ ܗܘ ܕܐܓܪܐ ܕܥܘܠܐ ܐܚܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Mafarisayo wakamwambia, \"Wewe unajishuhudia mwenyewe; kwa hiyo ushahidi wako si halali.\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܦܪܝܫܐ ܐܢܬ ܥܠ ܢܦܫܟ ܡܤܗܕ ܐܢܬ ܤܗܕܘܬܟ ܠܐ ܗܘܬ ܫܪܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nanyi waume, wapendeni wake zenu kama Kristo alivyolipenda kanisa, akajitoa mwenyewe sadaka kwa ajili yake. \t ܓܒܪܐ ܐܚܒܘ ܢܫܝܟܘܢ ܐܝܟ ܕܐܦ ܡܫܝܚܐ ܐܚܒ ܠܥܕܬܗ ܘܢܦܫܗ ܐܫܠܡ ܥܠ ܐܦܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walikuwa tayari kumuua, lakini habari zilimfikia mkuu wa jeshi la Kiroma kuwa Yerusalemu yote ilikuwa imejaa ghasia. \t ܘܟܕ ܒܥܐ ܗܘܐ ܟܢܫܐ ܠܡܩܛܠܗ ܐܫܬܡܥܬ ܠܟܠܝܪܟܐ ܕܐܤܦܝܪ ܕܟܠܗ ܡܕܝܢܬܐ ܐܬܬܙܝܥܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye, huku akichochewa na mama yake, akaomba, \"Nipe papahapa katika sinia kichwa cha Yohane mbatizaji.\" \t ܗܝ ܕܝܢ ܡܛܠ ܕܡܠܦܐ ܗܘܬ ܠܐܡܗ ܐܡܪܬ ܗܒ ܠܝ ܗܪܟܐ ܒܦܝܢܟܐ ܪܫܗ ܕܝܘܚܢܢ ܡܥܡܕܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nimewasifu sana mbele yake, na katika jambo hilo sikudanganyika. Tumewaambieni ukweli daima, na kule kuwasifia ninyi mbele ya Tito kumekuwa jambo la ukweli mtupu. \t ܕܒܡܕܡ ܕܐܫܬܒܗܪܬ ܠܗ ܥܠ ܐܦܝܟܘܢ ܠܐ ܒܗܬܬ ܐܠܐ ܐܝܟ ܕܟܠ ܡܕܡ ܩܘܫܬܐ ܡܠܠܢ ܥܡܟܘܢ ܗܟܢܐ ܐܦ ܫܘܒܗܪܢ ܕܠܘܬ ܛܛܘܤ ܒܩܘܫܬܐ ܐܫܬܟܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno. \t ܘܟܕ ܐܟܠܝܢ ܗܘܘ ܩܪܨܘܗܝ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܩܫܝܫܐ ܡܕܡ ܦܬܓܡܐ ܗܘ ܠܐ ܦܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Saulo ambaye aliitwa pia Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alimkodolea macho huyo mchawi, \t ܫܐܘܠ ܕܝܢ ܗܘ ܕܐܬܩܪܝ ܦܘܠܘܤ ܐܬܡܠܝ ܗܘܐ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܘܚܪ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama itafaa nami niende, basi, watakwenda pamoja nami. \t ܐܢ ܕܝܢ ܫܘܐ ܗܘ ܤܘܥܪܢܐ ܕܐܦ ܐܢܐ ܐܙܠ ܥܡܝ ܢܐܙܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku ya Sabato ilipofika, alianza kufundisha katika sunagogi. Wengi waliomsikia walishangaa, wakasema, \"Je, ameyapata wapi mambo haya? Ni hekima gani hii aliyopewa? Tena, anatendaje maajabu haya anayoyafanya? \t ܘܢܦܩ ܡܢ ܬܡܢ ܘܐܬܐ ܠܡܕܝܢܬܗ ܘܕܒܝܩܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwisho wa vitu vyote umekaribia. Kwa hiyo mnapaswa kuwa na utaratibu na nidhamu, ili mweze kusali. \t ܡܛܝܬ ܠܗ ܕܝܢ ܚܪܬܐ ܕܟܠ ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܬܢܟܦܘ ܘܐܬܬܥܝܪܘ ܠܨܠܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakaenda, wakamkuta mwana punda barabarani amefungwa mlangoni. Walipokuwa wakimfungua, \t ܘܐܙܠܘ ܐܫܟܚܘ ܥܝܠܐ ܕܐܤܝܪ ܥܠ ܬܪܥܐ ܠܒܪ ܒܫܘܩܐ ܘܟܕ ܫܪܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makuhani wakuu na walimu wa Sheria wakawa wanatafuta njia ya kumwua Yesu, lakini waliwaogopa watu. \t ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܤܦܪܐ ܕܐܝܟܢܐ ܢܩܛܠܘܢܝܗܝ ܕܚܠܝܢ ܗܘܘ ܓܝܪ ܡܢ ܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana ni lazima fikira tofauti ziweko miongoni mwenu, ili wale walio thabiti wapate kutambulikana. \t ܥܬܝܕܝܢ ܐܢܘܢ ܓܝܪ ܐܦ ܚܪܝܢܐ ܕܢܗܘܘܢ ܒܝܢܬܟܘܢ ܕܐܝܠܝܢ ܕܒܩܝܢ ܒܟܘܢ ܢܬܝܕܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo walioko Yudea wakimbilie milimani; wale walio mjini watoke; na wale walio mashambani wasirudi mjini. \t ܗܝܕܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܒܝܗܘܕ ܐܢܘܢ ܢܥܪܩܘܢ ܠܛܘܪܐ ܘܐܝܠܝܢ ܕܒܓܘܗ ܐܢܘܢ ܢܥܪܩܘܢ ܘܕܒܩܘܪܝܐ ܠܐ ܢܥܠܘܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nitakuokoa na watu wa Israeli na watu wa mataifa mengine ambao mimi ninakutuma kwao. \t ܘܐܦܨܝܟ ܡܢ ܥܡܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܘܡܢ ܥܡܡܐ ܐܚܪܢܐ ܕܠܘܬܗܘܢ ܡܫܕܪ ܐܢܐ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܬܡܢ ܓܒܪܐ ܚܕ ܕܬܠܬܝܢ ܘܬܡܢܐ ܫܢܝܢ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܒܟܘܪܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu akinionea aibu mimi na mafundisho yangu, Mwana wa Mtu atamwonea aibu mtu huyo wakati atakapokuja katika utukufu wake na wa Baba na wa malaika watakatifu. \t ܡܢ ܕܢܒܗܬ ܒܝ ܕܝܢ ܘܒܡܠܝ ܢܒܗܬ ܒܗ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܡܐ ܕܐܬܐ ܒܫܘܒܚܐ ܕܐܒܘܗܝ ܥܡ ܡܠܐܟܘܗܝ ܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale watu walipowasili nyumbani walimkuta yule mtumishi hajambo kabisa. \t ܘܗܦܟܘ ܗܢܘܢ ܕܐܫܬܕܪܘ ܠܒܝܬܐ ܘܐܫܟܚܘ ܠܥܒܕܐ ܗܘ ܕܟܪܝܗ ܗܘܐ ܟܕ ܚܠܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye alikuja kuniona, akasimama karibu nami, akasema: Ndugu Saulo! Ona tena. Papo hapo nikaona tena, nikamwangalia. \t ܐܬܐ ܠܘܬܝ ܘܐܡܪ ܠܝ ܫܐܘܠ ܐܚܝ ܦܬܚ ܥܝܢܝܟ ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܐܬܦܬܚ ܥܝܢܝ ܘܚܪܬ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata. \t ܘܐܝܬ ܗܘܘ ܐܢܫܝܢ ܡܢܗܘܢ ܕܨܒܝܢ ܗܘܘ ܕܢܐܚܕܘܢܝܗܝ ܐܠܐ ܠܐ ܐܢܫ ܐܪܡܝ ܥܠܘܗܝ ܐܝܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yote haya ni kwa faida yenu; ili kama vile neema ya Mungu inavyoenea kwa watu wengi zaidi na zaidi vivyo hivyo watu wengi zaidi watoe shukrani nyingi kwa utukufu wa Mungu. \t ܟܠܡܕܡ ܓܝܪ ܡܛܠܬܟܘܢ ܗܘ ܕܟܕ ܡܬܝܬܪܐ ܛܝܒܘܬܐ ܒܝܕ ܤܓܝܐܐ ܬܤܓܐ ܬܘܕܝܬܐ ܠܫܘܒܚܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule mjakazi alipomwona tena Petro, akaanza tena kuwaambia watu waliokuwa wamesimama hapo, \"Mtu huyu ni mmoja wao.\" \t ܘܚܙܬܗ ܬܘܒ ܥܠܝܡܬܐ ܗܝ ܘܫܪܝܬ ܕܬܐܡܪ ܠܐܝܠܝܢ ܕܩܝܡܝܢ ܕܐܦ ܗܢܐ ܡܢܗܘܢ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamjibu, \"Wengine wanasema wewe ni Yohane Mbatizaji, wengine Eliya na wengine mmojawapo wa manabii.\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܘ ܕܝܘܚܢܢ ܡܥܡܕܢܐ ܘܐܚܪܢܐ ܕܐܠܝܐ ܘܐܚܪܢܐ ܚܕ ܡܢ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye alikuwa mwaminifu kwa Mungu aliyemteua kufanya kazi yake kama vile Mose alivyokuwa mwaminifu katika nyumba yote ya Mungu. \t ܕܡܗܝܡܢ ܠܡܢ ܕܥܒܕܗ ܐܝܟ ܡܘܫܐ ܒܟܠܗ ܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama ukikiri kwa kinywa chako kwamba Yesu ni Bwana na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka wafu, utaokoka. \t ܘܐܢ ܬܘܕܐ ܒܦܘܡܟ ܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܘܬܗܝܡܢ ܒܠܒܟ ܕܐܠܗܐ ܐܩܝܡܗ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܬܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena yasemwa mahali fulani katika Maandiko: \"Mtu ni nini ee Mungu, hata umfikirie; mwanaadamu ni nini hata umjali? \t ܐܠܐ ܐܝܟ ܕܡܤܗܕ ܟܬܒܐ ܘܐܡܪ ܡܢܘ ܓܒܪܐ ܕܥܗܕܬܝܗܝ ܘܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܕܤܥܪܬܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo hatufi moyo; na hata kama maumbile yetu ya nje yataoza, lakini kwa ndani tunafanywa wapya siku kwa siku. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܠܐ ܡܐܢܐ ܠܢ ܐܦ ܐܢ ܒܪܢܫܢ ܓܝܪ ܒܪܝܐ ܡܬܚܒܠ ܐܠܐ ܕܡܢ ܠܓܘ ܡܬܚܕܬ ܝܘܡ ܡܢ ܝܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao wakakasirika sana, wakajadiliana jinsi ya kumtendea Yesu maovu. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܬܡܠܝܘ ܚܤܡܐ ܘܡܡܠܠܝܢ ܗܘܘ ܚܕ ܥܡ ܚܕ ܕܡܢܐ ܢܥܒܕܘܢ ܠܗ ܠܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mama akasema, \"Mheshimiwa, wewe huna chombo cha kutekea maji, nacho kisima ni kirefu; utapata wapi maji yaliyo hai? \t ܐܡܪܐ ܠܗ ܐܢܬܬܐ ܗܝ ܡܪܝ ܠܐ ܕܘܠܐ ܐܝܬ ܠܟ ܘܒܪܐ ܥܡܝܩܐ ܐܝܡܟܐ ܠܟ ܡܝܐ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamjibu Yesu, \"Sisi hatujui.\" Naye Yesu akawaambia, \"Nami pia sitawaambieni ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.\" \t ܘܕܢܐܡܪ ܡܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܕܚܠܬܐ ܗܝ ܡܢ ܥܡܐ ܟܠܗܘܢ ܓܝܪ ܐܚܝܕܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܠܝܘܚܢܢ ܕܫܪܝܪܐܝܬ ܢܒܝܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakaendelea kila siku kufundisha na kuhubiri Habari Njema ya Kristo, Hekaluni na nyumbani mwa watu. \t ܘܠܐ ܫܠܝܢ ܗܘܘ ܟܠܝܘܡ ܠܡܠܦܘ ܒܗܝܟܠܐ ܘܒܒܝܬܐ ܘܠܡܤܒܪܘ ܥܠ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akamjibu, \"Je, ni Myahudi mimi? Taifa lako na makuhani wamekuleta kwangu. Umefanya nini?\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܦܝܠܛܘܤ ܠܡܐ ܐܢܐ ܝܗܘܕܝܐ ܐܢܐ ܒܢܝ ܥܡܟ ܗܘ ܘܪܒܝ ܟܗܢܐ ܐܫܠܡܘܟ ܠܝ ܡܢܐ ܥܒܕܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Fanya bidii kuja kwangu karibuni. \t ܢܬܒܛܠ ܠܟ ܕܬܐܬܐ ܠܘܬܝ ܒܥܓܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alikuwa hajaingia kijijini, ila alikuwa bado mahali palepale Martha alipomlaki. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܠܐ ܥܕܟܝܠ ܐܬܐ ܗܘܐ ܠܩܪܝܬܐ ܐܠܐ ܒܗ ܗܘܐ ܒܗܝ ܕܘܟܬܐ ܕܐܪܥܬܗ ܡܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang'anya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu. \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܓܒܪܐ ܚܕ ܢܚܬ ܗܘܐ ܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܠܐܝܪܝܚܘ ܘܢܦܠܘ ܥܠܘܗܝ ܠܤܛܝܐ ܘܫܠܚܘܗܝ ܘܡܚܐܘܗܝ ܘܫܒܩܘܗܝ ܟܕ ܩܠܝܠ ܩܝܡܐ ܒܗ ܢܦܫܐ ܘܐܙܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Napenda kuwajulisheni kwamba ndugu yetu Timotheo amekwisha funguliwa gerezani. Kama akifika hapa mapema, nitakuja naye nitakapokuja kwenu. \t ܕܥܘ ܕܝܢ ܠܐܚܘܢ ܛܝܡܬܐܘܤ ܕܐܫܬܪܝ ܘܐܢ ܒܥܓܠ ܢܐܬܐ ܥܡܗ ܐܚܙܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamjibu, \"Wengine wanasema kuwa ni Yohane mbatizaji, wengine Eliya, wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii.\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܘ ܐܝܬ ܕܐܡܪܝܢ ܝܘܚܢܢ ܡܥܡܕܢܐ ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܐܠܝܐ ܘܐܚܪܢܐ ܐܪܡܝܐ ܐܘ ܚܕ ܡܢ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa vyovyote kila mmoja na aishi kufuatana na vipaji alivyogawiwa na Bwana, na kama alivyoitwa na Mungu. Hili ndilo agizo langu kwa makanisa yote. \t ܐܠܐ ܐܢܫ ܐܢܫ ܐܝܟ ܕܦܠܓ ܠܗ ܡܪܝܐ ܘܐܢܫ ܐܝܟ ܕܩܪܝܗܝ ܐܠܗܐ ܗܟܢܐ ܢܗܠܟ ܘܐܦ ܠܟܠܗܝܢ ܥܕܬܐ ܗܟܢܐ ܡܦܩܕ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: \"Mwenye kutaka kujivuna, basi, na ajivunie kazi ya Bwana.\" \t ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܡܢ ܕܡܫܬܒܗܪ ܒܡܪܝܐ ܢܫܬܒܗܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni akamjibu, \"Ni dhahiri kwamba yule aliyesamehewa deni kubwa zaidi atampenda zaidi yule bwana.\" Yesu akamwambia, \"Sawa.\" \t ܥܢܐ ܫܡܥܘܢ ܘܐܡܪ ܤܒܪ ܐܢܐ ܕܗܘ ܕܐܫܬܒܩ ܠܗ ܤܓܝ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܬܪܝܨܐܝܬ ܕܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye. \t ܡܢ ܕܢܩܦ ܕܝܢ ܠܡܪܢ ܗܘܐ ܥܡܗ ܚܕܐ ܪܘܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wakati ule malaika wa saba atakapotoa sauti yake, wakati atakapopiga tarumbeta yake, Mungu atakamilisha mpango wake wa siri kama alivyowatangazia watumishi wake manabii.\" \t ܐܠܐ ܒܝܘܡܬܐ ܕܡܠܐܟܐ ܕܫܒܥܐ ܡܐ ܕܥܬܝܕ ܠܡܙܥܩ ܘܐܫܬܠܡ ܐܪܙܗ ܕܐܠܗܐ ܗܘ ܕܤܒܪ ܠܥܒܕܘܗܝ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nawaambieni, mpaka hapo mbingu na dunia zitakapopita, hakuna hata nukta moja au sehemu ndogo kabisa ya Sheria itakayoondolewa, mpaka yote yametimia. \t ܐܡܝܢ ܓܝܪ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܥܕܡܐ ܕܢܥܒܪܘܢ ܫܡܝܐ ܘܐܪܥܐ ܝܘܕ ܚܕܐ ܐܘ ܚܕ ܤܪܛܐ ܠܐ ܢܥܒܪ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܥܕܡܐ ܕܟܠ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ukaweka kila kitu chini ya miguu yake, avitawale.\" Yasemwa kwamba Mungu alimweka mtu kuwa mtawala wa vitu vyote yaani bila kuacha hata kimoja. Hata hivyo, hatuoni bado mtu akivitawala vitu vyote sasa. \t ܘܟܠ ܡܕܡ ܫܥܒܕܬ ܬܚܝܬ ܪܓܠܘܗܝ ܒܗܝ ܕܝܢ ܕܟܠ ܡܕܡ ܫܥܒܕ ܠܗ ܠܐ ܫܒܩ ܡܕܡ ܕܠܐ ܡܫܥܒܕ ܗܫܐ ܕܝܢ ܠܐ ܥܕܟܝܠ ܚܙܝܢܢ ܕܟܠ ܡܕܡ ܡܫܥܒܕ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mtu akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini. \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܟܠ ܡܢ ܕܫܪܐ ܐܢܬܬܗ ܠܒܪ ܡܢ ܡܠܬܐ ܕܙܢܝܘܬܐ ܥܒܕ ܠܗ ܕܬܓܘܪ ܘܡܢ ܕܫܩܠ ܫܒܝܩܬܐ ܓܐܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu aligeuka, na alipowaona hao wanafunzi wanamfuata, akawauliza, \"Mnatafuta nini?\" Nao wakamjibu, \"Rabi (yaani Mwalimu), unakaa wapi?\" \t ܘܐܬܦܢܝ ܝܫܘܥ ܘܚܙܐ ܐܢܘܢ ܕܐܬܝܢ ܒܬܪܗ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܪܒܢ ܐܝܟܐ ܗܘܐ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutoka huko, tulikwenda mpaka Filipi, mji wa wilaya ya kwanza ya Makedonia, na ambao pia ni koloni la Waroma. Tulikaa katika mji huo siku kadhaa. \t ܘܡܢ ܬܡܢ ܠܦܝܠܝܦܘܤ ܕܗܝ ܗܝ ܪܫܐ ܕܡܩܕܘܢܝܐ ܘܐܝܬܝܗ ܩܘܠܘܢܝܐ ܗܘܝܢ ܕܝܢ ܒܗ ܒܗܕܐ ܡܕܝܢܬܐ ܝܘܡܬܐ ܝܕܝܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipofika mahali paitwapo Golgotha, maana yake, \"Mahali pa Fuvu la kichwa,\" \t ܘܐܬܘ ܠܕܘܟܬܐ ܕܡܬܩܪܝܐ ܓܓܘܠܬܐ ܗܝ ܕܡܬܦܫܩܐ ܩܪܩܦܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huna sehemu yoyote wala haki katika kazi hiyo kwa maana moyo wako hauko sawa mbele ya macho ya Mungu. \t ܠܝܬ ܠܟ ܡܢܬܐ ܐܦܠܐ ܦܤܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܗܕܐ ܡܛܠ ܕܠܒܟ ܠܐ ܗܘܐ ܬܪܝܨ ܩܕܡ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wanawake wakayakumbuka maneno yake, \t ܘܗܢܝܢ ܐܬܕܟܪܝܢ ܠܡܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baba atakuwa dhidi ya mwanawe, mwana dhidi ya baba yake; mama dhidi ya bintiye, binti dhidi ya mama yake; mama mkwe dhidi ya mke wa mwanawe na huyo dhidi ya mama mkwe wake.\" \t ܢܬܦܠܓ ܓܝܪ ܐܒܐ ܥܠ ܒܪܗ ܘܒܪܐ ܥܠ ܐܒܘܗܝ ܐܡܐ ܥܠ ܒܪܬܗ ܘܒܪܬܐ ܥܠ ܐܡܗ ܚܡܬܐ ܥܠ ܟܠܬܗ ܘܟܠܬܐ ܥܠ ܚܡܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati wa watu wengi mbinguni ikisema, \"Haleluya! Ukombozi, utukufu na nguvu ni mali yake Mungu wetu! \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܫܡܥܬ ܩܠܐ ܪܒܐ ܕܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܒܫܡܝܐ ܕܐܡܪܝܢ ܗܠܠܘܝܐ ܦܘܪܩܢܐ ܘܬܫܒܘܚܬܐ ܘܚܝܠܐ ܠܐܠܗܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: \"Nikigusa tu vazi lake, nitapona.\" \t ܐܡܪܐ ܗܘܬ ܓܝܪ ܒܢܦܫܗ ܐܦܢ ܒܠܚܘܕ ܠܡܐܢܗ ܩܪܒܐ ܐܢܐ ܡܬܐܤܝܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mjenzi wa nyumba hupata heshima zaidi kuliko hiyo nyumba yenyewe. Hali kadhalika naye Yesu anastahili heshima kubwa zaidi kuliko Mose. \t ܤܓܝܐܐ ܗܝ ܓܝܪ ܬܫܒܘܚܬܗ ܕܗܢܐ ܛܒ ܡܢ ܕܡܘܫܐ ܐܝܟܢܐ ܕܤܓܝ ܐܝܩܪܐ ܕܒܢܝܗ ܕܒܝܬܐ ܛܒ ܡܢ ܒܢܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu tunawakung'utieni. Lakini, jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia. \t ܘܐܦ ܚܠܐ ܕܕܒܩ ܠܢ ܒܪܓܠܝܢ ܡܢ ܡܕܝܢܬܟܘܢ ܢܦܨܝܢ ܚܢܢ ܠܟܘܢ ܒܪܡ ܗܕܐ ܕܥܘ ܕܩܪܒܬ ܠܗ ܥܠܝܟܘܢ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana hakawii kutimiza yale aliyoahidi kama watu wengine wanavyofikiri kuwa atakawia. Yeye ana saburi kwa ajili yenu, maana hapendi hata mmoja wenu apotee, bali huwavuta wote wapate kutubu. \t ܠܐ ܡܫܬܘܚܪ ܡܪܝܐ ܒܡܘܠܟܢܘܗܝ ܐܝܟ ܕܐܢܫܝܢ ܫܘܘܚܪܐ ܡܤܒܪܝܢ ܐܠܐ ܡܓܪ ܪܘܚܗ ܡܛܠܬܟܘܢ ܒܕܠܐ ܨܒܐ ܕܐܢܫ ܢܐܒܕ ܐܠܐ ܟܠܢܫ ܠܬܝܒܘܬܐ ܢܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini vitu vyote vitakapowekwa chini ya Utawala wa Kristo, ndipo naye Mwana atakapojiweka chini ya Mungu, aliyeweka vyote chini ya Utawala wake; ili Mungu atawale juu ya vyote. \t ܘܡܐ ܕܐܫܬܥܒܕ ܠܗ ܟܠ ܗܝܕܝܢ ܗܘ ܒܪܐ ܢܫܬܥܒܕ ܠܗܘ ܕܫܥܒܕ ܠܗ ܟܠ ܕܢܗܘܐ ܐܠܗܐ ܟܠ ܒܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipoinua macho yao hawakumwona mtu, ila Yesu peke yake. \t ܘܐܪܝܡܘ ܥܝܢܝܗܘܢ ܘܠܐܢܫ ܠܐ ܚܙܘ ܐܠܐ ܐܢ ܠܝܫܘܥ ܒܠܚܘܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu mmoja katika ule umati wa watu akamwambia, \"Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane urithi aliotuachia baba.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܕܝܢ ܐܢܫ ܡܢ ܗܘ ܟܢܫܐ ܡܠܦܢܐ ܐܡܪ ܠܐܚܝ ܦܠܓ ܥܡܝ ܝܪܬܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakafika mjini Kafarnaumu, na mara ilipofika Sabato, Yesu akaingia katika Sunagogi, akaanza kufundisha. \t ܘܟܕ ܥܠܘ ܠܟܦܪܢܚܘܡ ܡܚܕܐ ܡܠܦ ܗܘܐ ܒܫܒܐ ܒܟܢܘܫܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "yeye mwenyewe atakunywa divai ya ghadhabu ya Mungu, ambayo imemiminwa katika kikombe cha ghadhabu yake bila kuchanganywa na maji. Mtu huyo atateseka ndani ya moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu na mbele ya Mwanakondoo. \t ܐܦ ܗܘ ܢܫܬܐ ܡܢ ܚܡܪܐ ܕܚܡܬܗ ܕܡܪܝܐ ܕܡܙܝܓ ܕܠܐ ܚܠܛܐ ܒܟܤܐ ܕܪܘܓܙܗ ܘܢܫܬܢܩ ܒܢܘܪܐ ܘܟܒܪܝܬܐ ܩܕܡ ܡܠܐܟܐ ܩܕܝܫܐ ܘܩܕܡ ܐܡܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Majivuno yenu hayafai! Je, hamjui kwamba chachu kidogo huchachusha donge lote la unga? \t ܠܐ ܫܦܝܪ ܫܘܒܗܪܟܘܢ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܚܡܝܪܐ ܩܠܝܠ ܟܠܗ ܓܒܝܠܬܐ ܡܚܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wanaume hali kadhalika, wanaacha kufuata matumizi ya maumbile ya mume na mke wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume wanafanyiana mambo ya aibu, na hivyo wanajiletea wenyewe adhabu wanayostahili kwa vitendo vyao viovu. \t ܘܬܘܒ ܐܦ ܕܟܪܝܗܘܢ ܗܟܢܐ ܫܒܩܘ ܚܫܚܬܐ ܕܟܝܢܐ ܕܢܩܒܬܐ ܘܐܫܬܪܚܘ ܒܪܓܬܐ ܚܕ ܥܠ ܚܕ ܘܕܟܪܐ ܥܠ ܕܟܪܐ ܒܗܬܬܐ ܥܒܕܘ ܘܦܘܪܥܢܐ ܕܙܕܩ ܗܘܐ ܠܛܥܝܘܬܗܘܢ ܒܩܢܘܡܗܘܢ ܩܒܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu mwenyewe ndiye aliyewaunganisha ninyi na Kristo Yesu. Mungu amemfanya Kristo awe hekima yetu; kwa njia yake sisi tunapatanishwa na Mungu, tunakuwa watu wake Mungu na kukombolewa. \t ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܡܢܗ ܐܢܬܘܢ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܘ ܕܗܘܐ ܠܢ ܚܟܡܬܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܘܙܕܝܩܘܬܐ ܘܩܕܝܫܘܬܐ ܘܦܘܪܩܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli dini humfanya mtu awe tajiri sana, ikiwa anatosheka na vitu alivyo navyo. \t ܬܐܓܘܪܬܢ ܓܝܪ ܕܝܠܢ ܪܒܐ ܗܝ ܕܐܝܬܝܗ ܕܚܠܬ ܐܠܗܐ ܒܚܫܚܬܐ ܕܡܤܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara tu ule umati wa watu ulipomwona, wote walishangaa sana, wakamkimbilia wamsalimu. \t ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܟܠܗ ܟܢܫܐ ܚܙܐܘܗܝ ܘܬܘܗܘ ܘܪܗܛܘ ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na baada ya kutekeleza yote yaliyokuwa yameandikwa kumhusu yeye, walimshusha kutoka msalabani, wakamweka kaburini. \t ܘܟܕ ܫܠܡܘ ܟܠܡܕܡ ܕܟܬܝܒ ܗܘܐ ܥܠܘܗܝ ܐܚܬܘܗܝ ܡܢ ܨܠܝܒܐ ܘܤܡܘܗܝ ܒܝܬ ܩܒܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wakaja kuona yaliyotokea. Wakamwendea Yesu, wakamwona yule mtu aliyetokwa na pepo ameketi karibu na Yesu, amevaa nguo, ana akili zake, wakaogopa. \t ܘܢܦܩܘ ܐܢܫܐ ܕܢܚܙܘܢ ܡܕܡ ܕܗܘܐ ܘܐܬܘ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܘܐܫܟܚܘܗܝ ܠܓܒܪܐ ܗܘ ܕܢܦܩܘ ܫܐܕܘܗܝ ܟܕ ܠܒܝܫ ܘܡܢܟܦ ܘܝܬܒ ܠܘܬ ܪܓܠܘܗܝ ܕܝܫܘܥ ܘܕܚܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vivyo hivyo, wako pia miongoni mwenu watu wanaofuata mafundisho ya Wanikolai. \t ܗܟܢܐ ܐܝܬ ܐܦ ܠܟ ܕܐܚܝܕܝܢ ܝܘܠܦܢܐ ܕܢܐܩܘܠܝܛܐ ܗܟܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tuliposhindwa kumshawishi tulinyamaza, tukasema tu: \"Mapenzi ya Bwana yafanyike\" \t ܘܟܕ ܠܐ ܐܬܛܦܝܤ ܠܢ ܒܗܠܢ ܠܢ ܘܐܡܪܢ ܕܨܒܝܢܗ ܕܡܪܢ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kuwa hawakumwona, walirudi Yerusalemu wakimtafuta. \t ܘܠܐ ܐܫܟܚܘܗܝ ܘܗܦܟܘ ܠܗܘܢ ܬܘܒ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Neema hiyo yatufunza kuachana na uovu wote na tamaa za kidunia; tuwe na kiasi, tuishi maisha adili na ya kumcha Mungu katika ulimwengu huu wa sasa, \t ܘܪܕܝܐ ܠܢ ܕܢܟܦܘܪ ܒܪܘܫܥܐ ܘܒܪܓܝܓܬܐ ܕܥܠܡܐ ܘܢܚܐ ܒܥܠܡܐ ܗܢܐ ܒܢܟܦܘܬܐ ܘܒܟܐܢܘܬܐ ܘܒܕܚܠܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nimewaandikieni mambo haya kuhusu wale wanaotaka kuwapotosha ninyi. \t ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܟܬܒܬ ܠܟܘܢ ܡܛܠ ܐܝܠܝܢ ܕܡܛܥܝܢ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia watu mfano mwingine: \"Ufalme wa mbinguni unafanana na mbegu ya haradali aliyotwaa mtu mmoja, akaipanda katika shamba lake. \t ܐܚܪܢܐ ܡܬܠܐ ܐܡܬܠ ܠܗܘܢ ܘܐܡܪ ܕܡܝܐ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܠܦܪܕܬܐ ܕܚܪܕܠܐ ܕܢܤܒ ܓܒܪܐ ܙܪܥܗ ܒܩܪܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wanafunzi wake wakarudi, wakastaajabu sana kuona anaongea na mwanamke. Lakini hakuna mtu aliyesema: \"Unataka nini?\" au, \"Kwa nini unaongea na mwanamke?\" \t ܘܟܕ ܡܡܠܠ ܐܬܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܡܬܕܡܪܝܢ ܗܘܘ ܕܥܡ ܐܢܬܬܐ ܡܡܠܠ ܠܐ ܕܝܢ ܐܢܫ ܐܡܪ ܡܢܐ ܒܥܐ ܐܢܬ ܐܘ ܡܢܐ ܡܡܠܠ ܐܢܬ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuongea nao chochote bila kutumia mifano; lakini alipokuwa pamoja na wanafunzi wake peke yao alikuwa akiwafafanulia kila kitu. \t ܘܕܠܐ ܡܬܠܐ ܠܐ ܡܡܠܠ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܝܢ ܒܝܢܘܗܝ ܘܠܗܘܢ ܡܦܫܩ ܗܘܐ ܟܠܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu akamwambia huyo mtu, \"Simama, uende zako; imani yako imekuponya.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܩܘܡ ܙܠ ܗܝܡܢܘܬܟ ܐܚܝܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawauliza, \"Mnataka niwafanyie nini?\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܥܒܕ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama Bwana asingepunguza siku hizo, hakuna binadamu ambaye angeokolewa. Lakini kwa ajili ya wateule wake, Bwana amezipunguza siku hizo. \t ܘܐܠܘ ܠܐ ܡܪܝܐ ܕܟܪܝ ܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܠܐ ܚܝܐ ܗܘܐ ܟܠ ܒܤܪ ܐܠܐ ܡܛܠ ܓܒܝܐ ܕܓܒܐ ܟܪܝ ܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akaruka, akasimama na kuanza kutembea. Halafu akaingia pamoja nao Hekaluni, akitembea na kurukaruka huku akimtukuza Mungu. \t ܘܫܘܪ ܩܡ ܘܗܠܟ ܘܥܠ ܥܡܗܘܢ ܠܗܝܟܠܐ ܟܕ ܡܗܠܟ ܘܡܫܘܪ ܘܡܫܒܚ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "uking'aa kwa utukufu wa Mungu. Mwangaza wake ulikuwa kama wa jiwe la thamani kubwa kama yaspi, angavu kama kioo. \t ܘܐܝܬ ܠܗ ܬܫܒܘܚܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܢܘܗܪܗ ܐܝܟ ܕܡܘܬܐ ܕܟܐܦܐ ܝܩܝܪܬܐ ܐܝܟ ܝܫܦܗ ܐܝܟ ܕܘܡܝܐ ܕܩܪܘܤܛܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akapaaza sauti, \"Una nini nasi, wewe Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Najua wewe ni nani: wewe ni Mtakatifu wa Mungu!\" \t ܘܐܡܪ ܡܐ ܠܢ ܘܠܟ ܝܫܘܥ ܢܨܪܝܐ ܐܬܝܬ ܠܡܘܒܕܘܬܢ ܝܕܥ ܐܢܐ ܠܟ ܡܢ ܐܢܬ ܩܕܝܫܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi ni wenye busara, ndiyo maana hata mnawavumilia wapumbavu! \t ܡܢܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܘ ܓܝܪ ܠܡܫܬܡܥܘ ܠܚܤܝܪܝ ܪܥܝܢܐ ܟܕ ܐܢܬܘܢ ܚܟܝܡܐ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, siuthamini uhai wangu kuwa ni kitu sana kwangu. Nataka tu nikamilishe ule utume wangu na kumaliza ile kazi aliyonipa Bwana Yesu niifanye, yaani nitangaze Habari Njema ya neema ya Mungu. \t ܐܠܐ ܠܝ ܠܐ ܚܫܝܒܐ ܢܦܫܝ ܡܕܡ ܐܝܟ ܕܐܫܠܡ ܪܗܛܝ ܘܬܫܡܫܬܐ ܕܩܒܠܬ ܡܢ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܕܐܤܗܕ ܥܠ ܤܒܪܬܐ ܕܛܝܒܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alifika tena huko mjini Kana, mkoani Galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. Kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko Kafarnaumu. \t ܐܬܐ ܕܝܢ ܬܘܒ ܝܫܘܥ ܠܩܛܢܐ ܕܓܠܝܠܐ ܐܝܟܐ ܕܥܒܕ ܡܝܐ ܚܡܪܐ ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܒܟܦܪܢܚܘܡ ܥܒܕ ܡܠܟܐ ܚܕ ܕܒܪܗ ܟܪܝܗ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na, watu wote watauona wokovu utokao kwa Mungu.\" \t ܘܢܚܙܐ ܟܠ ܒܤܪ ܚܝܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi. \t ܘܐܝܢܐ ܕܝܕܥ ܛܒܬܐ ܘܠܐ ܥܒܕ ܠܗ ܚܛܗܐ ܗܘܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msiwalipe watu ovu kwa ovu, au tusi kwa tusi; bali watakieni baraka, maana ninyi mliitwa na Mungu mpate kupokea baraka. \t ܘܠܐܢܫ ܒܝܫܬܐ ܚܠܦ ܒܝܫܬܐ ܠܐ ܬܦܪܥܘܢ ܘܐܦܠܐ ܨܘܚܝܬܐ ܚܠܦ ܨܘܚܝܬܐ ܐܠܐ ܕܠܩܘܒܠܐ ܕܗܠܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܡܒܪܟܝܢ ܠܗܕܐ ܓܝܪ ܐܬܩܪܝܬܘܢ ܕܒܘܪܟܬܐ ܬܐܪܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Filipo alikuwa mwenyeji wa Bethsaida, mji wa akina Andrea na Petro. \t ܗܘ ܕܝܢ ܦܝܠܝܦܘܤ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܡܢ ܒܝܬ ܨܝܕܐ ܡܢ ܡܕܝܢܬܗ ܕܐܢܕܪܐܘܤ ܘܕܫܡܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaambia, \"Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka wafu, \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܗܟܢܐ ܟܬܝܒ ܘܗܟܢܐ ܙܕܩ ܗܘܐ ܕܢܚܫ ܡܫܝܚܐ ܘܕܢܩܘܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܠܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na ni lazima mtu kumpenda Mungu kwa moyo wote, kwa akili yote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani yake kama anavyojipenda mwenyewe. Jambo hili ni muhimu zaidi kuliko dhabihu na sadaka zote za kuteketezwa.\" \t ܘܕܢܪܚܡܝܘܗܝ ܐܢܫ ܡܢ ܟܠܗ ܠܒܐ ܘܡܢ ܟܠܗ ܪܥܝܢܐ ܘܡܢ ܟܠܗ ܢܦܫܐ ܘܡܢ ܟܠܗ ܚܝܠܐ ܘܕܢܪܚܡ ܩܪܝܒܗ ܐܝܟ ܢܦܫܗ ܝܬܝܪܐ ܗܝ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܝܩܕܐ ܘܕܒܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hayo ni maswali ya kijinga! Ukipanda mbegu, isipokufa kwanza haitaota. \t ܤܟܠܐ ܙܪܥܐ ܕܙܪܥ ܐܢܬ ܐܢ ܠܐ ܡܐܬ ܠܐ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakaanza safari, wakapitia vijijini wakihubiri Habari Njema na kuponya wagonjwa kila mahali. \t ܘܢܦܩܘ ܫܠܝܚܐ ܘܡܬܟܪܟܝܢ ܗܘܘ ܒܩܘܪܝܐ ܘܒܡܕܝܢܬܐ ܘܡܤܒܪܝܢ ܗܘܘ ܘܡܐܤܝܢ ܒܟܠ ܕܘܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wa mataifa mengine waliposikia jambo hilo walifurahi, wakausifu ujumbe wa Mungu; na wale waliokuwa wamechaguliwa kupata uzima wa milele, wakawa waumini. \t ܘܟܕ ܫܡܥܝܢ ܗܘܘ ܥܡܡܐ ܚܕܝܢ ܗܘܘ ܘܡܫܒܚܝܢ ܠܐܠܗܐ ܘܗܝܡܢܘ ܐܝܠܝܢ ܕܤܝܡܝܢ ܗܘܘ ܠܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakampa kipande cha samaki wa kuokwa. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܝܗܒܘ ܠܗ ܡܢܬܐ ܡܢ ܢܘܢܐ ܕܛܘܝܐ ܘܡܢ ܟܟܪܝܬܐ ܕܕܒܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao waliokula walikuwa wanaume elfu nne, bila kuhesabu wanawake na watoto. \t ܘܟܕ ܫܪܐ ܠܟܢܫܐ ܤܠܩ ܠܐܠܦܐ ܘܐܬܐ ܠܬܚܘܡܐ ܕܡܓܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye anayetoa ushahidi wake juu ya mambo haya asema: \"Naam! Naja upesi.\" Amina. Na iwe hivyo! Njoo Bwana Yesu! \t ܐܡܪ ܟܕ ܡܤܗܕ ܗܠܝܢ ܐܝܢ ܐܬܐ ܐܢܐ ܒܥܓܠ ܬܐ ܡܪܝܐ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa unyofu na uadilifu mbele yake, siku zote za maisha yetu. \t ܟܠܗܘܢ ܝܘܡܬܢ ܒܟܐܢܘܬܐ ܘܒܙܕܝܩܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mmesikia ya kuwa watu waliambiwa: Usizini! \t ܫܡܥܬܘܢ ܕܐܬܐܡܪ ܕܠܐ ܬܓܘܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zile zilizoanguka njiani zinaonyesha watu wale wanaosikia lile neno, halafu Ibilisi akaja na kuliondoa mioyoni mwao wasije wakaamini na hivyo wakaokoka. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܕܥܠ ܝܕ ܐܘܪܚܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܗܢܘܢ ܕܫܡܥܝܢ ܡܠܬܐ ܘܐܬܐ ܒܥܠܕܒܒܐ ܫܩܠ ܡܠܬܐ ܡܢ ܠܒܗܘܢ ܕܠܐ ܢܗܝܡܢܘܢ ܘܢܚܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akawajibu, \"Wakati wa jioni ukifika ninyi husema: Hali ya hewa itakuwa nzuri kwa maana anga ni jekundu! \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܐ ܕܗܘܐ ܪܡܫܐ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܨܚܘܐ ܗܘ ܤܡܩܬ ܓܝܪ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamwuliza Yesu, \"Mbona walimu wa Sheria wanasema kwamba ni lazima Eliya aje kwanza?\" \t ܘܡܫܐܠܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܘܐܡܪܝܢ ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܐܡܪܝܢ ܤܦܪܐ ܕܐܠܝܐ ܘܠܐ ܕܢܐܬܐ ܠܘܩܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini. \t ܚܙܘ ܐܬܬܥܝܪܘ ܘܨܠܘ ܠܐ ܓܝܪ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܡܬܝ ܗܘ ܙܒܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote wakashangaa, wakawa wanaambiana, \"Hili ni jambo la ajabu, maana kwa uwezo na nguvu anawaamuru pepo wachafu watoke, nao wanatoka!\" \t ܘܬܡܗܐ ܪܒܐ ܐܚܕ ܠܟܠܢܫ ܘܡܡܠܠܝܢ ܗܘܘ ܥܡ ܚܕܕܐ ܘܐܡܪܝܢ ܡܢܐ ܗܝ ܟܝ ܡܠܬܐ ܗܕܐ ܕܒܫܘܠܛܢܐ ܘܒܚܝܠܐ ܦܩܕܐ ܠܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ ܘܢܦܩܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa namna hiyo watajiwekea hazina ambayo itakuwa kwao msingi imara kwa wakati ujao. Hapo wataweza kujipatia uzima ambao ni uzima wa kweli. \t ܘܢܤܝܡܘܢ ܠܢܦܫܗܘܢ ܫܬܐܤܬܐ ܛܒܬܐ ܠܡܕܡ ܕܥܬܝܕ ܕܢܕܪܟܘܢ ܚܝܐ ܫܪܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mungu atawapa utukufu, heshima na amani wale wanaotenda mema; Wayahudi kwanza, na watu wa mataifa mengine pia. \t ܬܫܒܘܚܬܐ ܕܝܢ ܘܐܝܩܪܐ ܘܫܠܡܐ ܠܟܠ ܕܦܠܚ ܛܒܬܐ ܠܝܗܘܕܝܐ ܠܘܩܕܡ ܘܠܐܪܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnasafisha kikombe na bakuli kwa nje, lakini ndani mnaacha kumejaa vitu mlivyopata kwa unyang'anyi na uchoyo. \t ܘܝ ܠܟܘܢ ܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܕܡܕܟܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܪܗ ܕܟܤܐ ܘܕܙܒܘܪܐ ܠܓܘ ܕܝܢ ܡܠܝܢ ܚܛܘܦܝܐ ܘܥܘܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana Kristo alipokuwa anakuja ulimwenguni, alimwambia Mungu: \"Hukutaka dhabihu wala sadaka, lakini umenitayarishia mwili. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܟܕ ܥܐܠ ܠܥܠܡܐ ܐܡܪ ܒܕܒܚܐ ܘܩܘܪܒܢܐ ܠܐ ܨܒܝܬ ܦܓܪܐ ܕܝܢ ܐܠܒܫܬܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Bwana ni mwaminifu. Yeye atawaimarisheni na kuwalinda salama na yule Mwovu. \t ܡܗܝܡܢ ܗܘ ܕܝܢ ܡܪܝܐ ܕܗܘ ܢܢܛܪܟܘܢ ܘܢܫܘܙܒܟܘܢ ܡܢ ܒܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Pepo mchafu akifukuzwa kwa mtu, huzururazurura jangwani akitafuta mahali pa kupumzika asipate. \t ܐܡܬܝ ܕܝܢ ܕܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ ܬܦܘܩ ܡܢ ܒܪܢܫܐ ܡܬܟܪܟܐ ܒܐܬܪܘܬܐ ܕܡܝܐ ܠܝܬ ܒܗܘܢ ܘܒܥܝܐ ܢܝܚܐ ܘܠܐ ܡܫܟܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na amekuja hapa akiwa na mamlaka kutoka kwa makuhani wakuu kuwatia nguvuni wote wanaoomba kwa jina lako.\" \t ܘܗܐ ܐܦ ܗܪܟܐ ܐܝܬ ܠܗ ܫܘܠܛܢܐ ܡܢ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܕܢܐܤܘܪ ܠܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܩܪܝܢ ܫܡܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika wa nne akapiga tarumbeta yake. Ndipo theluthi moja ya jua, ya mwezi na ya nyota ikapata pigo; hata mwangaza ukapoteza theluthi moja ya mng'ao wake. Theluthi moja ya mchana ikakosa mwanga, hali kadhalika na theluthi moja ya usiku. \t ܘܕܐܪܒܥܐ ܙܥܩ ܘܒܠܥ ܬܘܠܬܗ ܕܫܡܫܐ ܘܬܘܠܬܗ ܕܤܗܪܐ ܘܬܘܠܬܐ ܕܟܘܟܒܐ ܘܚܫܟܘ ܬܘܠܬܗܘܢ ܘܝܘܡܐ ܠܐ ܚܘܝ ܬܘܠܬܗ ܘܠܠܝܐ ܗܟܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Wayahudi waliwachochea wanawake wa tabaka ya juu wa mataifa mengine ambao walikuwa wacha Mungu, na wanaume maarufu wa mji huo. Wakaanza kuwatesa Paulo na Barnaba, wakawafukuza kutoka katika eneo lao. \t ܝܗܘܕܝܐ ܕܝܢ ܓܪܓܘ ܠܪܫܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܘܠܢܫܐ ܥܬܝܪܬܐ ܐܝܠܝܢ ܕܕܚܠܢ ܗܘܝ ܥܡܗܘܢ ܠܐܠܗܐ ܘܐܩܝܡܘ ܪܕܘܦܝܐ ܥܠ ܦܘܠܘܤ ܘܥܠ ܒܪܢܒܐ ܘܐܦܩܘ ܐܢܘܢ ܡܢ ܬܚܘܡܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokwisha kula, Yesu alimwuliza Simoni Petro, \"Simoni, mwana wa Yohane! Je, wanipenda mimi zaidi kuliko hawa?\" Naye akajibu, \"Naam, Bwana; wajua kwamba mimi nakupenda.\" Yesu akamwambia, \"Tunza wana kondoo wangu.\" \t ܟܕ ܕܝܢ ܐܫܬܪܝܘ ܐܡܪ ܝܫܘܥ ܠܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܫܡܥܘܢ ܒܪ ܝܘܢܐ ܪܚܡ ܐܢܬ ܠܝ ܝܬܝܪ ܡܢ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܐܝܢ ܡܪܝ ܐܢܬ ܝܕܥ ܐܢܬ ܕܪܚܡ ܐܢܐ ܠܟ ܐܡܪ ܠܗ ܪܥܝ ܠܝ ܐܡܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambayo yalikuwa mfano wa ubatizo unaowaokoa ninyi sasa. Ubatizo si shauri la kuondoa uchafu mwilini, bali ni ahadi kwa Mungu inayofanyika katika dhamiri njema. Huwaokoeni kwa njia ya ufufuo wa Yesu Kristo, \t ܕܐܦ ܐܢܬܘܢ ܒܗ ܒܗܘ ܛܘܦܤܐ ܚܝܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܡܥܡܘܕܝܬܐ ܠܘ ܟܕ ܦܓܪܐ ܡܫܝܓܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܨܐܬܐ ܐܠܐ ܟܕ ܡܘܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܐܠܗܐ ܒܬܐܪܬܐ ܕܟܝܬܐ ܘܒܩܝܡܬܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna kitu kinachonifurahisha zaidi kuliko kusikia kwamba watoto wangu wanaishi katika ukweli. \t ܕܪܒܐ ܡܢ ܗܕܐ ܚܕܘܬܐ ܠܝܬ ܠܝ ܕܐܫܡܥ ܕܒܢܝܐ ܕܝܠܝ ܒܫܪܪܐ ܡܗܠܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri walio na huzuni, maana watafarijiwa. \t ܛܘܒܝܗܘܢ ܠܐܒܝܠܐ ܕܗܢܘܢ ܢܬܒܝܐܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro alipokuwa bado chini ukumbini, mmoja wa wajakazi wa kuhani Mkuu alikuja. \t ܘܟܕ ܫܡܥܘܢ ܠܬܚܬ ܒܕܪܬܐ ܐܬܬ ܥܠܝܡܬܐ ܚܕܐ ܕܪܒ ܟܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alikuwa Bethania, nyumbani kwa Simoni, Mkoma. Alipokuwa mezani kula chakula, mama mmoja aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye marashi ya nardo safi ya thamani kubwa alikuja, akaivunja hiyo chupa, akammiminia Yesu marashi hayo kichwani. \t ܘܟܕ ܗܘ ܐܝܬܘܗܝ ܒܒܝܬ ܥܢܝܐ ܒܒܝܬܗ ܕܫܡܥܘܢ ܓܪܒܐ ܟܕ ܤܡܝܟ ܐܬܬ ܐܢܬܬܐ ܕܐܝܬ ܥܠܝܗ ܫܛܝܦܬܐ ܕܒܤܡܐ ܕܢܪܕܝܢ ܪܫܝܐ ܤܓܝ ܕܡܝܐ ܘܦܬܚܬܗ ܘܐܫܦܥܬܗ ܥܠ ܪܫܗ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mama akajibu, \"Ni kweli, Mheshimiwa; lakini hata mbwa hula makombo yanayoanguka kutoka meza ya bwana wao.\" \t ܗܝ ܕܝܢ ܐܡܪܬ ܐܝܢ ܡܪܝ ܐܦ ܟܠܒܐ ܐܟܠܝܢ ܡܢ ܦܪܬܘܬܐ ܕܢܦܠܝܢ ܡܢ ܦܬܘܪܐ ܕܡܪܝܗܘܢ ܘܚܐܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Matokeo yake ni kwamba kizazi hiki kitaadhibiwa kwa sababu ya damu ya manabii wote iliyomwagika tangu mwanzo wa ulimwengu; \t ܕܢܬܬܒܥ ܕܡܐ ܕܟܠܗܘܢ ܢܒܝܐ ܕܐܬܐܫܕ ܡܢ ܕܐܬܒܪܝ ܥܠܡܐ ܡܢ ܫܪܒܬܐ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akasema kwa sauti kubwa, \"Umebarikiwa kuliko wanawake wote, naye utakayemzaa amebarikiwa. \t ܘܩܥܬ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܘܐܡܪܬ ܠܡܪܝܡ ܡܒܪܟܬܐ ܐܢܬܝ ܒܢܫܐ ܘܡܒܪܟ ܗܘ ܦܐܪܐ ܕܒܟܪܤܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika, kutokana na huruma mliyojaliwa ninyi, Wayahudi wanamwasi Mungu sasa ili nao pia wapokee sasa huruma ya Mungu. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܗܠܝܢ ܠܐ ܐܬܛܦܝܤܘ ܗܫܐ ܠܪܚܡܐ ܕܥܠܝܟܘܢ ܕܐܦ ܥܠܝܗܘܢ ܢܗܘܘܢ ܪܚܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tunajua kwamba Mungu alisema na Mose, lakini mtu huyu hatujui ametoka wapi!\" \t ܘܝܕܥܝܢܢ ܕܥܡ ܡܘܫܐ ܐܠܗܐ ܡܠܠ ܠܗܢܐ ܕܝܢ ܠܐ ܝܕܥܝܢܢ ܡܢ ܐܝܡܟܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kwa furaha, mshukuruni Baba aliyewawezesha ninyi kuwa na sehemu yenu katika mambo yale Mungu aliyowawekea watu wake katika utawala wa mwanga. \t ܬܘܕܘܢ ܠܐܠܗܐ ܐܒܐ ܕܐܫܘܝܢ ܠܡܢܬܐ ܕܝܪܬܘܬܐ ܕܩܕܝܫܐ ܒܢܘܗܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini nyingine zilianguka penye udongo mzuri, zikaota, zikazaa: nyingine punje mia moja, nyingine sitini na nyingine thelathini. \t ܘܐܚܪܢܐ ܢܦܠ ܒܐܪܥܐ ܛܒܬܐ ܘܝܗܒ ܦܐܪܐ ܐܝܬ ܕܡܐܐ ܘܐܝܬ ܕܫܬܝܢ ܘܐܝܬ ܕܬܠܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana yesu Kristo. \t ܛܝܒܘܬܐ ܥܡܟܘܢ ܘܫܠܡܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܒܘܢ ܘܡܢ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, mimi niliwanyonyeni kwa njia ya mjumbe yeyote niliyemtuma kwenu? \t ܠܡܐ ܒܝܕ ܐܢܫ ܐܚܪܝܢ ܕܫܕܪܬ ܠܘܬܟܘܢ ܐܬܝܥܢܬ ܥܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Umati wa watu walipoona alichofanya Paulo, ulianza kupiga kelele kwa lugha ya Kilukaonia: \"Miungu imetujia katika sura za binadamu!\" \t ܘܟܢܫܐ ܕܥܡܐ ܟܕ ܚܙܘ ܡܕܡ ܕܥܒܕ ܦܘܠܘܤ ܐܪܝܡܘ ܩܠܗܘܢ ܒܠܫܢܗ ܕܐܬܪܐ ܘܐܡܪܝܢ ܐܠܗܐ ܐܬܕܡܝܘ ܒܒܢܝ ܐܢܫܐ ܘܢܚܬܘ ܠܘܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi. \t ܘܗܠܝܢ ܢܥܒܕܘܢ ܡܛܠ ܕܠܐ ܝܕܥܘ ܘܠܐ ܠܐܒܝ ܘܠܐ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi mzee nakuandikia wewe Gayo, rafiki yangu, ninayekupenda kweli. \t ܩܫܝܫܐ ܠܓܐܝܘܤ ܚܒܝܒ ܠܗܘ ܕܐܢܐ ܡܚܒ ܐܢܐ ܒܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipoingia kaburini, walimwona kijana mmoja aliyevaa vazi jeupe, ameketi upande wa kulia; wakashangaa sana. \t ܘܥܠܝܢ ܠܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܘܚܙܝ ܥܠܝܡܐ ܕܝܬܒ ܡܢ ܝܡܝܢܐ ܘܥܛܝܦ ܐܤܛܠܐ ܚܘܪܬܐ ܘܬܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo, waliokuwa wavuvi wenzake Simoni. Yesu akamwambia Simoni, \"Usiogope; tangu sasa utakuwa ukivua watu.\" \t ܗܟܘܬ ܕܝܢ ܐܦ ܠܝܥܩܘܒ ܘܠܝܘܚܢܢ ܒܢܝ ܙܒܕܝ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܫܘܬܦܐ ܕܫܡܥܘܢ ܐܡܪ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܠܫܡܥܘܢ ܠܐ ܬܕܚܠ ܡܢ ܗܫܐ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܬܗܘܐ ܨܐܕ ܠܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akiwa safarini kwenda Yerusalemu alipitia mipakani mwa Samaria na Galilaya. \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܐܙܠ ܝܫܘܥ ܠܐܘܪܫܠܡ ܥܒܪ ܗܘܐ ܒܝܬ ܫܡܪܝܐ ܠܓܠܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Filipo akasema, \"Kama unaamini kwa moyo wako wote unaweza kubatizwa.\" Naye akajibu, \"Naam, ninaamini kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu.\" \t ܘܐܡܪ ܦܝܠܝܦܘܤ ܐܢ ܡܗܝܡܢ ܐܢܬ ܡܢ ܟܠܗ ܠܒܐ ܫܠܝܛ ܘܥܢܐ ܘܐܡܪ ܐܢܐ ܡܗܝܡܢ ܐܢܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye akaponyoka, akaiachilia ile shuka, akakimbia uchi. \t ܗܘ ܕܝܢ ܫܒܩ ܤܕܘܢܐ ܘܥܪܩ ܥܪܛܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi mwafundisha, Kama mtu anacho kitu ambacho angeweza kuwasaidia nacho baba au mama yake, lakini akasema kwamba kitu hicho ni Korbani (yaani ni zawadi kwa Mungu), \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܢ ܢܐܡܪ ܓܒܪܐ ܠܐܒܘܗܝ ܐܘ ܠܐܡܗ ܩܘܪܒܢܝ ܡܕܡ ܕܡܢܝ ܬܐܬܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku hizo, Yesu alifika kutoka Nazareti, mji wa Galilaya, akabatizwa na Yohane katika mto Yordani. \t ܘܗܘܐ ܒܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܐܬܐ ܝܫܘܥ ܡܢ ܢܨܪܬ ܕܓܠܝܠܐ ܘܐܬܥܡܕ ܒܝܘܪܕܢܢ ܡܢ ܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Juu ya msingi huo mtu anaweza kujenga kwa dhahabu, fedha au mawe ya thamani; anaweza kutumia miti, majani au nyasi. \t ܘܐܢ ܐܢܫ ܕܝܢ ܒܢܐ ܥܠ ܗܕܐ ܫܬܐܤܬܐ ܕܗܒܐ ܐܘ ܤܐܡܐ ܐܘ ܟܐܦܐ ܝܩܝܪܬܐ ܐܘ ܩܝܤܐ ܐܘ ܥܡܝܪܐ ܐܘ ܚܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, siku hizo baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza na mwezi hautaangaza. \t ܒܗܢܘܢ ܕܝܢ ܝܘܡܬܐ ܒܬܪ ܐܘܠܨܢܐ ܗܘ ܫܡܫܐ ܢܚܫܟ ܘܤܗܪܐ ܠܐ ܢܬܠ ܢܘܗܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnatoza watu zaka, hata juu ya majani yenye harufu nzuri, bizari na jira, na huku mnaacha mambo muhimu ya Sheria kama vile haki, huruma na imani. Haya ndiyo hasa mliyopaswa kuyazingatia bila kusahau yale mengine. \t ܘܝ ܠܟܘܢ ܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܕܡܥܤܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܢܢܥܐ ܘܫܒܬܐ ܘܟܡܘܢܐ ܘܫܒܩܬܘܢ ܝܩܝܪܬܗ ܕܢܡܘܤܐ ܕܝܢܐ ܘܚܢܢܐ ܘܗܝܡܢܘܬܐ ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܘܠܐ ܗܘܐ ܕܬܥܒܕܘܢ ܘܗܠܝܢ ܠܐ ܬܫܒܩܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wasaidieni watu wa Mungu katika mahitaji yao; wapokeeni wageni kwa ukarimu. \t ܗܘܝܬܘܢ ܡܫܬܘܬܦܝܢ ܠܤܢܝܩܘܬܐ ܕܩܕܝܫܐ ܗܘܝܬܘܢ ܪܚܡܝܢ ܐܟܤܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru. \t ܗܟܢܐ ܗܘܝܬܘܢ ܡܡܠܠܝܢ ܘܗܟܢܐ ܗܘܝܬܘܢ ܤܥܪܝܢ ܐܝܟ ܐܢܫܐ ܕܒܢܡܘܤܐ ܕܚܐܪܘܬܐ ܥܬܝܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܬܕܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Najua kwamba ninyi ni wazawa wa Abrahamu. Hata hivyo, mnataka kuniua kwa sababu hamuyakubali mafundisho yangu. \t ܝܕܥ ܐܢܐ ܕܙܪܥܗ ܐܢܬܘܢ ܕܐܒܪܗܡ ܐܠܐ ܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܩܛܠܢܝ ܡܛܠ ܕܠܡܠܬܝ ܠܐ ܤܦܩܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Napenda mjue jinsi ninavyofanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu, kwa ajili ya watu wa Laodikea na kwa ajili ya wote ambao hawajapata kuniona kwa macho. \t ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܬܕܥܘܢ ܐܝܢܐ ܐܓܘܢܐ ܐܝܬ ܠܝ ܚܠܦܝܟܘܢ ܘܚܠܦ ܗܢܘܢ ܕܒܠܕܝܩܝܐ ܘܚܠܦ ܫܪܟܐ ܐܝܠܝܢ ܕܦܪܨܘܦܝ ܠܐ ܚܙܘ ܒܒܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wakashangaa, wakasema, \"Ni mtu wa namna gani huyu? Hata pepo na mawimbi vinamtii!\" \t ܐܢܫܐ ܕܝܢ ܐܬܕܡܪܘ ܘܐܡܪܝܢ ܡܢܘ ܗܢܐ ܕܪܘܚܐ ܘܝܡܐ ܡܫܬܡܥܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndani kabisa katika moyo wangu naifurahia sheria ya Mungu. \t ܚܕܐ ܐܢܐ ܓܝܪ ܒܢܡܘܤܗ ܕܐܠܗܐ ܒܒܪܢܫܐ ܕܠܓܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nikasikia viumbe vyote mbinguni, duniani, chini kuzimuni na baharini--viumbe vyote ulimwenguni--vikisema: \"Kwake yeye aketiye katika kiti cha enzi, na kwa Mwanakondoo, iwe sifa na heshima na utukufu na enzi milele na milele.\" \t ܘܟܠ ܒܪܝܬܐ ܕܒܫܡܝܐ ܘܒܐܪܥܐ ܘܕܠܬܚܬ ܡܢ ܐܪܥܐ ܘܕܒܝܡܐ ܐܝܬܝܗ ܘܟܠ ܕܒܗܘܢ ܘܫܡܥܬ ܕܐܡܪܝܢ ܠܕܝܬܒ ܥܠ ܟܘܪܤܝܐ ܘܠܐܡܪܐ ܕܒܘܪܟܬܐ ܘܐܝܩܪܐ ܘܬܫܒܘܚܬܐ ܘܐܘܚܕܢܐ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Yerusalemu! We Yerusalemu! Unawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako! Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wako pamoja kama kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake, Lakini wewe umekataa. \t ܐܘܪܫܠܡ ܐܘܪܫܠܡ ܩܛܠܬ ܢܒܝܐ ܘܪܓܡܬ ܠܐܝܠܝܢ ܕܫܠܝܚܝܢ ܠܘܬܗ ܟܡܐ ܙܒܢܝܢ ܨܒܝܬ ܠܡܟܢܫܘ ܒܢܝܟܝ ܐܝܟ ܬܪܢܓܘܠܬܐ ܕܟܢܫܐ ܦܪܘܓܝܗ ܬܚܝܬ ܓܦܝܗ ܘܠܐ ܨܒܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwuliza, \"Unataka nini?\" Huyo mama akamwambia, \"Ahidi kwamba katika Ufalme wako, hawa wanangu wawili watakaa mmoja upande wako wa kulia na mwingine upande wako wa kushoto.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܡܢܐ ܨܒܝܐ ܐܢܬܝ ܐܡܪܐ ܠܗ ܐܡܪ ܕܢܬܒܘܢ ܗܠܝܢ ܬܪܝܢ ܒܢܝ ܚܕ ܡܢ ܝܡܝܢܟ ܘܚܕ ܡܢ ܤܡܠܟ ܒܡܠܟܘܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hupenda nafasi za heshima katika karamu na viti vya heshima katika masunagogi. \t ܘܪܚܡܝܢ ܪܫ ܤܡܟܐ ܒܚܫܡܝܬܐ ܘܪܫ ܡܘܬܒܐ ܒܟܢܘܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hili tunalowaambieni ni fundisho la Bwana; sisi tulio hai, ambao tutakuwa tumebaki, wakati Bwana atakapokuja, hakika hatutawatangulia wale waliokwisha fariki dunia. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܐܡܪܝܢܢ ܠܟܘܢ ܒܡܠܬܗ ܕܡܪܢ ܕܚܢܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܫܬܚܪܝܢܢ ܒܡܐܬܝܬܗ ܕܡܪܢ ܕܚܝܝܢܢ ܠܐ ܢܕܪܟ ܠܐܝܠܝܢ ܕܕܡܟܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wengi wakamwendea Pilato wakamwomba awafanyie kama kawaida yake. \t ܘܩܥܘ ܥܡܐ ܘܫܪܝܘ ܠܡܫܐܠ ܐܝܟ ܕܡܥܕ ܗܘܐ ܥܒܕ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya huyo mama pamoja na jamaa yake kubatizwa, alitualika akisema, \"Kama kweli mmeona kwamba mimi namwamini Bwana, karibuni nyumbani kwangu mkakae.\" Akatuhimiza twende. \t ܘܥܡܕܬ ܗܘܬ ܗܝ ܘܒܢܝ ܒܝܬܗ ܘܒܥܝܐ ܗܘܬ ܡܢܢ ܘܐܡܪܐ ܕܐܢ ܗܘ ܕܫܪܝܪܐܝܬ ܬܟܝܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܗܝܡܢܬ ܒܡܪܢ ܬܘ ܫܪܘ ܠܟܘܢ ܒܒܝܬܝ ܘܤܓܝ ܐܠܨܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara tu Yesu aliposhuka mashuani, mtu mmoja aliyepagawa na pepo mchafu alitoka makaburini, akakutana naye. \t ܘܟܕ ܢܦܩ ܡܢ ܤܦܝܢܬܐ ܦܓܥ ܒܗ ܡܢ ܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܓܒܪܐ ܕܐܝܬ ܒܗ ܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "tunawaandikia ninyi watu wa Mungu huko Kolosai, ndugu zetu waaminifu katika kuungana na Kristo. Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu. \t ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬ ܒܩܘܠܤܘܤ ܐܚܐ ܩܕܝܫܐ ܘܡܗܝܡܢܐ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܫܠܡܐ ܥܡܟܘܢ ܘܛܝܒܘܬܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܒܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nyote mmenunuliwa kwa bei; kwa hiyo msiwe tena watumwa wa watu. \t ܒܕܡܝܐ ܐܙܕܒܢܬܘܢ ܠܐ ܬܗܘܘܢ ܥܒܕܐ ܕܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja wa watumishi wa Kuhani Mkuu, jamaa wa yule aliyekatwa sikio na Petro, akamwuliza, \"Je, mimi sikukuona wewe bustanini pamoja naye?\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܚܕ ܡܢ ܥܒܕܐ ܕܪܒ ܟܗܢܐ ܐܚܝܢܗ ܕܗܘ ܕܦܤܩ ܗܘܐ ܫܡܥܘܢ ܐܕܢܗ ܠܐ ܐܢܐ ܚܙܝܬܟ ܥܡܗ ܒܓܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hatimaye, ndugu, tuombeeni ili ujumbe wa Bwana uzidi kuenea upesi na kupokelewa kwa heshima kama vile ulivyo kati yenu. \t ܡܢ ܗܫܐ ܐܚܝܢ ܨܠܘ ܥܠܝܢ ܕܡܠܬܗ ܕܡܪܢ ܬܗܘܐ ܪܗܛܐ ܘܡܫܬܒܚܐ ܒܟܠ ܕܘܟܐ ܐܝܟ ܕܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo walitafuta kina cha bahari kwa kuteremsha kamba iliyokuwa imefungiwa kitu kizito, wakapata kina cha mita arobaini. Baadaye wakapima tena wakapata mita thelathini. \t ܘܐܪܡܝܘ ܐܘܩܝܢܤ ܘܐܫܟܚܘ ܩܘܡܝܢ ܥܤܪܝܢ ܘܬܘܒ ܩܠܝܠ ܪܕܘ ܘܐܫܟܚܘ ܩܘܡܝܢ ܚܡܫܥܤܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Tena, Ufalme wa mbinguni umefanana na mfanyabiashara mmoja mwenye kutafuta lulu nzuri. \t ܬܘܒ ܕܡܝܐ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܠܓܒܪܐ ܬܓܪܐ ܕܒܥܐ ܗܘܐ ܡܪܓܢܝܬܐ ܛܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Barnaba na Saulo walipokwisha tumwa na Roho Mtakatifu, walishuka hadi Seleukia, na kutoka huko walipanda meli hadi kisiwa cha Kupro. \t ܘܗܢܘܢ ܟܕ ܐܫܬܠܚܘ ܡܢ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܢܚܬܘ ܠܗܘܢ ܠܤܠܘܩܝܐ ܘܡܢ ܬܡܢ ܪܕܘ ܒܝܡܐ ܥܕܡܐ ܠܩܘܦܪܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna mtu aliyekwisha mwona Mungu kamwe; lakini kama tukipendana Mungu anaishi katika muungano nasi, na upendo wake unakamilika ndani yetu. \t ܠܐܠܗܐ ܡܡܬܘܡ ܐܢܫ ܠܐ ܚܙܝܗܝ ܐܢ ܕܝܢ ܢܚܒ ܚܕ ܠܚܕ ܐܠܗܐ ܒܢ ܡܩܘܐ ܘܚܘܒܗ ܡܫܬܡܠܐ ܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mama yake Yesu na ndugu zake walifika hapo, wakasimama nje, wakampelekea ujumbe kutaka kumwona. \t ܘܐܬܘ ܐܡܗ ܘܐܚܘܗܝ ܩܝܡܝܢ ܠܒܪ ܘܫܕܪܘ ܕܢܩܪܘܢܝܗܝ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mwana wa Simeoni, mwana wa Yuda, mwana wa Yosefu, mwana wa Yonamu, mwana wa Eliakimu, \t ܒܪ ܫܡܥܘܢ ܒܪ ܝܗܘܕܐ ܒܪ ܝܘܤܦ ܒܪ ܝܘܢܡ ܒܪ ܐܠܝܩܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Imeandikwa katika Sheria: \"Bwana asema hivi: Kwa njia ya wenye kunena lugha ngeni, na kwa midomo ya wageni, nitasema na watu hawa, hata hivyo, hawatanisikiliza.\" \t ܒܢܡܘܤܐ ܟܬܝܒ ܕܒܡܡܠܠܐ ܢܘܟܪܝܐ ܘܒܠܫܢܐ ܐܚܪܢܐ ܐܡܠܠ ܥܡܗ ܥܡ ܥܡܐ ܗܢܐ ܐܦܠܐ ܗܟܢܐ ܢܫܡܥܘܢܢܝ ܐܡܪ ܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo anafanana na mtu ajengaye nyumba, ambaye amechimba chini na kuweka msingi wake juu ya mwamba; kukatokea mafuriko ya mto, mkondo wa maji ukaipiga nyumba ile, lakini haukuweza kuitikisa, kwa sababu ilikuwa imejengwa imara. \t ܕܡܐ ܠܓܒܪܐ ܕܒܢܐ ܒܝܬܐ ܘܚܦܪ ܘܥܡܩ ܘܤܡ ܫܬܐܤܐ ܥܠ ܫܘܥܐ ܟܕ ܗܘܐ ܕܝܢ ܡܠܐܐ ܐܬܛܪܝ ܡܠܐܐ ܒܒܝܬܐ ܗܘ ܘܠܐ ܐܫܟܚ ܕܢܙܝܥܝܘܗܝ ܤܝܡܐ ܗܘܬ ܓܝܪ ܫܬܐܤܬܗ ܥܠ ܫܘܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Andrea na Filipo, Batholomayo, Mathayo, Thoma, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkanani na \t ܘܐܢܕܪܐܘܤ ܘܦܝܠܝܦܘܤ ܘܒܪ ܬܘܠܡܝ ܘܡܬܝ ܘܬܐܘܡܐ ܘܝܥܩܘܒ ܒܪ ܚܠܦܝ ܘܬܕܝ ܘܫܡܥܘܢ ܩܢܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, tunaanza tena kujipendekeza? Je, tunahitaji barua ya utambulisho kwenu, au kutoka kwenu, kama watu wengine? \t ܡܫܪܝܢܢ ܠܢ ܬܘܒ ܡܢ ܕܪܝܫ ܕܢܚܘܝܟܘܢ ܡܢܐ ܚܢܢ ܐܘ ܕܠܡܐ ܤܢܝܩܝܢܢ ܐܝܟ ܐܚܪܢܐ ܕܐܓܪܬܐ ܕܦܘܩܕܐ ܢܬܟܬܒܢ ܠܟܘܢ ܥܠܝܢ ܐܘ ܕܐܢܬܘܢ ܬܟܬܒܘܢ ܬܦܩܕܘܢ ܥܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwuliza, \"Mama, kwa nini unalia? Unamtafuta nani?\" Maria, akidhani kwamba huyo ni mtunza bustani, akamwambia, \"Mheshimiwa, kama ni wewe umemwondoa, niambie ulikomweka, nami nitamchukua.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢܬܬܐ ܡܢܐ ܒܟܝܐ ܐܢܬܝ ܘܠܡܢ ܒܥܝܐ ܐܢܬܝ ܗܝ ܕܝܢ ܤܒܪܬ ܕܓܢܢܐ ܗܘ ܘܐܡܪܐ ܠܗ ܡܪܝ ܐܢ ܐܢܬ ܫܩܠܬܝܗܝ ܐܡܪ ܠܝ ܐܝܟܐ ܤܡܬܝܗܝ ܐܙܠ ܐܫܩܠܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika akaniambia pia, \"Yale maji uliyoyaona pale alipokaa yule mzinzi, ni mataifa, watu wa kila rangi na lugha. \t ܘܐܡܪ ܠܝ ܡܝܐ ܕܚܙܝܬ ܕܥܠܝܗܘܢ ܝܬܒܐ ܙܢܝܬܐ ܥܡܡܐ ܘܟܢܫܐ ܘܐܡܘܬܐ ܘܠܫܢܐ ܐܝܬܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nyumba yoyote mtakayoingia na kukaribishwa, kaeni humo mpaka mtakapoondoka katika kijiji hicho. \t ܘܠܐܝܢܐ ܒܝܬܐ ܕܥܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܬܡܢ ܗܘܘ ܘܡܢ ܬܡܢ ܦܘܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Shika kwa makini mafundisho yale ya kweli niliyokufundisha, na kubaki katika hiyo imani na huo upendo wetu katika kuungana na Kristo Yesu. \t ܢܗܘܝܢ ܠܟ ܚܘܪܐ ܡܠܐ ܚܠܝܡܬܐ ܕܫܡܥܬ ܡܢܝ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܒܚܘܒܐ ܕܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ni wazi kwamba yeye hakuja kwa ajili ya kuwasaidia malaika, bali kama yasemavyo Maandiko; \"Anawasaidia wazawa wa Abrahamu.\" \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܥܠ ܡܠܐܟܐ ܡܫܠܛ ܗܘܐ ܡܘܬܐ ܐܠܐ ܥܠ ܙܪܥܗ ܕܐܒܪܗܡ ܡܫܠܛ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeyote atakayenikana hadharani, nami nitamkana mbele ya Baba yangu aliye mbinguni. \t ܡܢ ܕܝܢ ܕܢܟܦܘܪ ܒܝ ܩܕܡ ܒܢܝܢܫܐ ܐܟܦܘܪ ܒܗ ܐܦ ܐܢܐ ܩܕܡ ܐܒܝ ܕܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapana kitu chochote kilicholaaniwa kitakachokuwa katika mji huo. Kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwanakondoo kitakuwa katika mji huo, na watumishi wake watamwabudu. \t ܘܟܠ ܚܪܡܐ ܠܐ ܢܗܘܐ ܬܡܢ ܘܟܘܪܤܝܗ ܕܐܠܗܐ ܘܕܐܡܪܐ ܒܗ ܢܗܘܐ ܘܥܒܕܘܗܝ ܢܫܡܫܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana amekwisha weka siku ambayo atauhukumu ulimwengu kwa haki kwa njia ya mtu mmoja aliyemteua. Mungu amewathibitishia wote jambo hili kwa kumfufua mtu huyo kutoka wafu!\" \t ܡܛܠ ܕܐܩܝܡ ܝܘܡܐ ܕܒܗ ܥܬܝܕ ܕܢܕܘܢ ܐܪܥܐ ܟܠܗ ܒܟܐܢܘܬܐ ܒܝܕ ܓܒܪܐ ܐܝܢܐ ܕܦܪܫ ܘܐܦܢܝ ܠܟܠ ܐܢܫ ܠܗܝܡܢܘܬܗ ܒܕܐܩܝܡܗ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunajionyesha kuwa watumishi wa Mungu kwa usafi wa moyo, elimu, uvumilivu na wema; kwa Roho Mtakatifu, kwa upendo usio na unafiki, \t ܒܕܟܝܘܬܐ ܒܝܕܥܬܐ ܒܢܓܝܪܘܬ ܪܘܚܐ ܒܒܤܝܡܘܬܐ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܒܚܘܒܐ ܕܠܐ ܢܟܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya siku tano, Kuhani Mkuu Anania aliwasili Kaisarea pamoja na wazee kadhaa na wakili mmoja wa sheria aitwaye Tertulo. Walimwendea yule mkuu wa mkoa wakamweleza mashtaka yao juu ya Paulo. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܝܘܡܬܐ ܚܡܫܐ ܢܚܬ ܚܢܢܝܐ ܪܒ ܟܗܢܐ ܥܡ ܩܫܝܫܐ ܘܥܡ ܛܪܛܠܘܤ ܪܗܛܪܐ ܘܐܘܕܥܘ ܠܗܓܡܘܢܐ ܥܠ ܦܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Kweli nawaambieni, kabla Abrahamu hajazaliwa, mimi niko.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܥܕܠܐ ܢܗܘܐ ܐܒܪܗܡ ܐܢܐ ܐܝܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika, Baba yenu wa mbinguni hapendi hata mmoja wa hawa wadogo apotee. \t ܗܟܢܐ ܠܝܬ ܨܒܝܢܐ ܩܕܡ ܐܒܘܟܘܢ ܕܒܫܡܝܐ ܕܢܐܒܕ ܚܕ ܡܢ ܙܥܘܪܐ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alianza kufundisha tena akiwa kando ya ziwa. Umati mkubwa wa watu ulimzunguka hata ikambidi aingie katika mashua na kuketi. Watu wakawa wamekaa katika nchi kavu, kando ya ziwa. \t ܬܘܒ ܕܝܢ ܫܪܝ ܗܘܐ ܡܠܦ ܥܠ ܝܕ ܝܡܐܡܢ ܕܢܥܒܕ ܓܝܪ ܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܗܘܝܘ ܐܚܝ ܘܚܬܝ ܘܐܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani, wakamwekea pia mwanzi katika mkono wake wa kulia. Wakapiga magoti mbele yake, wakamdhihaki wakisema, \"Shikamoo mfalme wa Wayahudi!\" \t ܘܓܕܠܘ ܟܠܝܠܐ ܕܥܘܙܢܝܐ ܘܤܡܘ ܒܪܫܗ ܘܩܢܝܐ ܒܝܡܝܢܗ ܘܒܪܟܘ ܥܠ ܒܘܪܟܝܗܘܢ ܩܕܡܘܗܝ ܘܡܒܙܚܝܢ ܗܘܘ ܒܗ ܘܐܡܪܝܢ ܫܠܡ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alimwokoa Loti, mtu mwema, ambaye alisikitishwa sana na mwenendo mbaya wa watu hao waasi. \t ܐܦ ܠܠܘܛ ܙܕܝܩܐ ܕܡܬܩܦܚ ܗܘܐ ܡܢ ܗܘܦܟܐ ܕܒܛܢܦܘܬܐ ܕܗܠܝܢ ܕܕܠܐ ܢܡܘܤܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܦܨܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ningependa ninyi msiwe na wasiwasi. Mtu asiye na mke hujishughulisha na kazi ya Bwana jinsi atakavyompendeza Bwana. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܕܠܐ ܨܦܬܐ ܬܗܘܘܢ ܐܝܢܐ ܓܝܪ ܕܠܝܬ ܠܗ ܐܢܬܬܐ ܪܢܐ ܒܕܡܪܗ ܕܐܝܟܢܐ ܢܫܦܪ ܠܡܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Utusamehe dhambi zetu, maana sisi tunawasamehe wote waliotukosea; wala usitutie katika majaribu.\" \t ܘܫܒܘܩ ܠܢ ܚܛܗܝܢ ܐܦ ܐܢܚܢܢ ܓܝܪ ܫܒܩܢ ܠܟܠ ܕܚܝܒܝܢ ܠܢ ܘܠܐ ܬܥܠܢ ܠܢܤܝܘܢܐ ܐܠܐ ܦܪܘܩܝܢ ܡܢ ܒܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu anayesababisha mafarakano mpe onyo la kwanza na la pili, kisha achana naye. \t ܡܢ ܓܒܪܐ ܗܪܤܝܘܛܐ ܡܢ ܒܬܪ ܚܕܐ ܙܒܢ ܘܬܪܬܝܢ ܕܡܪܬܐ ܐܢܬ ܠܗ ܐܫܬܐܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tangu kufika kwa hiyo imani, Sheria si mlezi wetu tena. \t ܟܕ ܐܬܬ ܕܝܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܠܐ ܗܘܝܢ ܬܚܝܬ ܬܪܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana mtu hukubaliwa kuwa mwadilifu kwa imani, wala si kwa kutimiza matakwa ya Sheria. \t ܡܬܪܥܝܢܢ ܗܟܝܠ ܕܒܗܝܡܢܘܬܐ ܗܘ ܡܙܕܕܩ ܒܪܢܫܐ ܘܠܐ ܒܥܒܕܐ ܕܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Afadhali uwaage watu waende mashambani na katika vijiji vya jirani, wanunue chakula.\" \t ܫܪܝ ܐܢܘܢ ܕܢܐܙܠܘܢ ܠܐܓܘܪܤܐ ܕܚܕܪܝܢ ܘܠܩܘܪܝܐ ܘܢܙܒܢܘܢ ܠܗܘܢ ܠܚܡܐ ܠܝܬ ܠܗܘܢ ܓܝܪ ܡܕܡ ܠܡܐܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Dhambi za watu wengine huonekana waziwazi, nazo zawatangulia kwenye hukumu; lakini dhambi za wengine huonekana tu baadaye. \t ܐܝܬ ܒܢܝܢܫܐ ܕܚܛܗܝܗܘܢ ܝܕܝܥܝܢ ܐܢܘܢ ܘܡܩܕܡܝܢ ܠܗܘܢ ܠܒܝܬ ܕܝܢܐ ܘܐܝܬ ܕܒܬܪܗܘܢ ܐܙܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Linalobaki ni kungojea tu kwa hofu hukumu ya Mungu na moto mkali utakaowaangamiza wote wanaompinga. \t ܐܠܐ ܥܬܝܕ ܗܘ ܕܝܢܐ ܕܚܝܠܐ ܘܛܢܢܐ ܕܢܘܪܐ ܕܐܟܠ ܠܒܥܠܕܒܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana Yohane alikuja, akafunga na wala hakunywa divai, nao wakasema: Amepagawa na pepo. \t ܐܬܐ ܓܝܪ ܝܘܚܢܢ ܕܠܐ ܐܟܠ ܘܠܐ ܫܬܐ ܘܐܡܪܝܢ ܕܝܘܐ ܐܝܬ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Roho, maji na damu; na ushahidi wa hawa watatu waafikiana. \t ܘܐܝܬܝܗܘܢ ܬܠܬܐ ܤܗܕܝܢ ܪܘܚܐ ܘܡܝܐ ܘܕܡܐ ܘܬܠܬܝܗܘܢ ܒܚܕ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vinywa vyao vimejaa laana chungu. \t ܦܘܡܗܘܢ ܡܠܐ ܠܘܛܬܐ ܘܡܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini siku ile Loti alipoondoka Sodoma, moto na kiberiti vikanyesha kama mvua kutoka mbinguni na kuwaangamiza wote. \t ܒܝܘܡܐ ܕܝܢ ܕܢܦܩ ܠܘܛ ܡܢ ܤܕܘܡ ܐܡܛܪ ܡܪܝܐ ܢܘܪܐ ܘܟܒܪܝܬܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܘܐܘܒܕ ܠܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wale ambao hawajaoana na wale walio wajane nawaambia kwamba ni vema kuendelea kuwa kama mimi nilivyo. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܝܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܝܬ ܠܗܘܢ ܢܫܐ ܘܠܐܪܡܠܬܐ ܕܦܩܚ ܠܗܘܢ ܐܢ ܢܩܘܘܢ ܐܟܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu. \t ܬܫܡܫܬܐ ܓܝܪ ܕܟܝܬܐ ܘܩܕܝܫܬܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܐܒܐ ܗܕܐ ܗܝ ܠܡܤܥܪ ܝܬܡܐ ܘܐܪܡܠܬܐ ܒܐܘܠܨܢܝܗܘܢ ܘܠܡܛܪ ܐܢܫ ܢܦܫܗ ܡܢ ܥܠܡܐ ܕܠܐ ܛܘܠܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambaye kwa njia yake tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa. \t ܗܘ ܕܒܗ ܐܝܬ ܠܢ ܦܘܪܩܢܐ ܘܫܘܒܩܢܐ ܕܚܛܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliwahubiria ujumbe wake kwa mifano mingine mingi ya namna hiyo; aliongea nao kadiri walivyoweza kusikia. \t ܒܡܬܠܐ ܕܐܝܟ ܗܠܝܢ ܡܡܠܠ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܥܡܗܘܢ ܡܬܠܐ ܐܝܟ ܕܡܫܟܚܝܢ ܗܘܘ ܠܡܫܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Petro akawaeleza kinaganaga juu ya yale yaliyotendeka tangu mwanzo: \t ܘܐܩܦ ܗܘܐ ܫܡܥܘܢ ܒܬܪ ܒܬܪ ܠܡܐܡܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tuko tayari kupata heshima na kudharauliwa, kulaumiwa na kusifiwa. Twadhaniwa kuwa waongo, kumbe twasema kweli; \t ܒܫܘܒܚܐ ܘܒܨܥܪܐ ܒܩܘܠܤܐ ܘܒܓܘܢܝܐ ܐܝܟ ܡܛܥܝܢܐ ܘܫܪܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, malaika huyo akautupa mundu wake duniani, akakata zabibu za dunia, akazitia ndani ya chombo kikubwa cha kukamulia zabibu, chombo cha ghadhabu ya Mungu. \t ܘܐܪܡܝ ܡܠܐܟܐ ܡܓܠܬܗ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܩܛܦ ܠܟܪܡܗ ܕܐܪܥܐ ܘܐܪܡܝ ܒܡܥܨܪܬܐ ܪܒܬܐ ܕܚܡܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule Mfarisayo aliyemwalika Yesu alipoona hayo, akawaza moyoni mwake, \"Kama mtu huyu angekuwa kweli nabii angejua huyu mwanamke ni wa namna gani, ya kwamba ni mwenye dhambi.\" \t ܟܕ ܚܙܐ ܕܝܢ ܦܪܝܫܐ ܗܘ ܕܩܪܝܗܝ ܐܬܚܫܒ ܒܢܦܫܗ ܘܐܡܪ ܗܢܐ ܐܠܘ ܢܒܝܐ ܗܘܐ ܝܕܥ ܗܘܐ ܡܢ ܗܝ ܘܡܐ ܛܒܗ ܕܚܛܝܬܐ ܗܝ ܐܢܬܬܐ ܗܝ ܕܩܪܒܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo. \t ܬܘܟܠܢܐ ܕܝܢ ܗܟܢܐ ܐܝܬ ܠܢ ܒܡܫܝܚܐ ܠܘܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Nabii hakosi heshima isipokuwa katika nchi yake, kwa jamaa zake na nyumbani mwake.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܠܝܬ ܢܒܝܐ ܕܨܥܝܪ ܐܠܐ ܐܢ ܒܡܕܝܢܬܗ ܘܒܝܬ ܐܚܝܢܘܗܝ ܘܒܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: \"Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia.\" \t ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܠܝܥܩܘܒ ܪܚܡܬ ܘܠܥܤܘ ܤܢܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hivyo kwamba zenu hawataweza kustahimili wala kupinga. \t ܐܢܐ ܓܝܪ ܐܬܠ ܠܟܘܢ ܦܘܡܐ ܘܚܟܡܬܐ ܐܝܕܐ ܕܠܐ ܢܫܟܚܘܢ ܠܡܩܡ ܠܩܘܒܠܗ ܟܠܗܘܢ ܒܥܠܕܒܒܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkaribisheni kwenu mtu aliye dhaifu, lakini msibishane naye juu ya mawazo yake binafsi. \t ܠܐܝܢܐ ܕܝܢ ܕܟܪܝܗ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܗܒܘ ܠܗ ܐܝܕܐ ܘܠܐ ܬܗܘܘܢ ܡܬܦܠܓܝܢ ܒܡܚܫܒܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, matumaini tuliyo nayo kwa ajili yenu ni imara; tunajua kwamba mkishiriki mateso yetu, mtashiriki pia faraja yetu. \t ܘܤܒܪܢ ܕܥܠܝܟܘܢ ܫܪܝܪ ܗܘ ܝܕܥܝܢܢ ܓܝܪ ܕܐܢ ܫܘܬܦܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܚܫܐ ܫܘܬܦܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܦ ܒܒܘܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani Rahabu aliyekuwa malaya hakuangamia pamoja na wale waliomwasi Mungu, kwa sababu aliwakaribisha wale wapelelezi. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܪܚܒ ܙܢܝܬܐ ܠܐ ܐܒܕܬ ܥܡ ܗܢܘܢ ܕܠܐ ܐܫܬܡܥܘ ܕܩܒܠܬ ܠܓܫܘܫܐ ܒܫܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni, siku ile usiku watu wawili watakuwa wanalala pamoja, mmoja atachukuliwa na yule mwingine ataachwa. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܒܗܘ ܠܠܝܐ ܬܪܝܢ ܢܗܘܘܢ ܒܚܕܐ ܥܪܤܐ ܚܕ ܢܬܕܒܪ ܘܐܚܪܢܐ ܢܫܬܒܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, msipoteze uhodari wenu, maana utawapatieni tuzo kubwa. \t ܠܐ ܗܟܝܠ ܬܘܒܕܘܢ ܓܠܝܘܬ ܐܦܐ ܕܐܝܬ ܠܟܘܢ ܕܥܬܝܕ ܠܗ ܐܓܪܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu. \t ܗܕܐ ܐܡܪܬ ܘܐܬܦܢܝܬ ܠܒܤܬܪܗ ܘܚܙܬ ܠܝܫܘܥ ܕܩܐܡ ܘܠܐ ܝܕܥܐ ܗܘܬ ܕܝܫܘܥ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana ninasema nao kwa mifano, kwa sababu wanatazama lakini hawaoni, wanasikiliza lakini hawasikii, wala hawaelewi. \t ܘܠܡܢ ܕܠܝܬ ܠܗ ܘܗܘ ܕܐܝܬ ܠܗ ܢܫܬܩܠ ܡܢܗ ܡܛܠ ܗܢܐ ܒܦܠܐܬܐ ܡܡܠܠ ܐܢܐ ܥܡܗܘܢ ܡܛܠ ܕܚܙܝܢ ܘܠܐ ܚܙܝܢ ܘܫܡܥܝܢ ܘܠܐ ܫܡܥܝܢ ܘܠܐ ܡܤܬܟܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Nenda tu, mwanao yu mzima.\" Huyo mtu akaamini maneno ya Yesu, akaenda zake. \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܙܠ ܒܪܟ ܚܝ ܗܘ ܘܗܝܡܢ ܗܘ ܓܒܪܐ ܒܡܠܬܐ ܕܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܘܐܙܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kabla ya kuumbwa ulimwengu, Mungu alituteua tuwe wake katika kuungana na Kristo ili tuwe watakatifu na bila hitilafu mbele yake. Kwa sababu ya upendo wake, \t ܐܝܟܢܐ ܕܩܕܡ ܓܒܢ ܒܗ ܡܢ ܩܕܡ ܬܪܡܝܬܗ ܕܥܠܡܐ ܕܢܗܘܐ ܩܕܝܫܐ ܘܕܠܐ ܡܘܡ ܩܕܡܘܗܝ ܘܒܚܘܒܐ ܩܕܡ ܪܫܡܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote waliokuwa hapo walimwona akitembea na kumsifu Mungu. \t ܘܚܙܐܘܗܝ ܟܠܗ ܥܡܐ ܟܕ ܡܗܠܟ ܘܡܫܒܚ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa mezani wakila, Yesu alisema, \"Kweli nawaambieni, mmoja wenu anayekula pamoja nami, atanisaliti.\" \t ܘܟܕ ܤܡܝܟܝܢ ܘܠܥܤܝܢ ܐܡܪ ܝܫܘܥ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܚܕ ܡܢܟܘܢ ܕܐܟܠ ܥܡܝ ܗܘ ܢܫܠܡܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaendelea kusema, \"Ufalme wa Mungu ni kama ifuatavyo. Mtu hupanda mbegu shambani. \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܗܟܢܐ ܗܝ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܐܝܟ ܐܢܫ ܕܢܪܡܐ ܙܪܥܐ ܒܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sauti ikasikika kutoka katika hilo wingu: \"Huyu ndiye Mwanangu niliyemchagua, msikilizeni.\" \t ܘܩܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܥܢܢܐ ܕܐܡܪ ܗܢܘ ܒܪܝ ܚܒܝܒܐ ܠܗ ܫܡܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nikiwa bado nawapeni maagizo haya, siwezi hata kidogo kuwapa ninyi hongera kuhusu haya yafuatayo: mikutano yenu ninyi waumini yaleta hasara zaidi kuliko faida. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܕܡܦܩܕ ܐܢܐ ܠܐ ܐܝܟ ܡܫܒܚ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܡܛܠ ܕܠܐ ܗܘܐ ܠܩܕܡܝܟܘܢ ܐܬܝܬܘܢ ܐܠܐ ܠܒܨܝܪܘܬܐ ܗܘ ܢܚܬܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hamjaelewa bado? Je, hamkumbuki nilipoimega ile mikate mitano kwa ajili ya wale watu elfu tano? Je, mlijaza vikapu vingapi vya makombo? \t ܠܐ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܐܤܬܟܠܬܘܢ ܠܐ ܥܗܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗܢܘܢ ܚܡܫܐ ܠܚܡܝܢ ܕܚܡܫܐ ܐܠܦܝܢ ܘܟܡܐ ܩܘܦܝܢܝܢ ܫܩܠܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato aliposikia maneno hayo akazidi kuogopa. \t ܟܕ ܫܡܥ ܕܝܢ ܦܝܠܛܘܤ ܗܕܐ ܡܠܬܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܕܚܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Washtaki wake walisimama lakini hawakutoa mashtaka maovu kama nilivyokuwa ninatazamia. \t ܘܩܡܘ ܥܡܗ ܩܛܪܓܢܘܗܝ ܘܠܐ ܐܫܟܚܘ ܡܕܡ ܪܫܝܢܐ ܒܝܫܐ ܕܢܚܘܘܢ ܥܠܘܗܝ ܐܝܟ ܡܐ ܕܤܒܪ ܗܘܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Mose aliwapa maagizo gani?\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܦܩܕܟܘܢ ܡܘܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa namna hiyo ametujalia zawadi kuu na za thamani ambazo alituahidia, ili kwa zawadi hizo mpate kuziepa kabisa tamaa mbaya zilizomo duniani, na mpate kuishiriki hali yake ya kimungu. \t ܕܒܐܝܕܝܗܝܢ ܫܘܘܕܝܐ ܪܘܪܒܐ ܘܝܩܝܪܐ ܠܟܘܢ ܝܗܒ ܕܒܝܕ ܗܠܝܢ ܬܗܘܘܢ ܫܘܬܦܐ ܕܟܝܢܐ ܐܠܗܝܐ ܟܕ ܥܪܩܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܚܒܠܐ ܕܪܓܝܓܬܐ ܕܒܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali akamwona, akapita kando. \t ܘܗܟܢܐ ܐܦ ܠܘܝܐ ܐܬܐ ܡܛܐ ܠܗܝ ܕܘܟܬܐ ܘܚܙܝܗܝ ܘܥܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu waliokwisha ponyoka katika upotovu wa ulimwengu kwa kupata kumjua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo, kisha wakakubali kunaswa na kutawaliwa tena na upotovu huo, hali yao itakuwa mbaya zaidi kuliko awali. \t ܐܢ ܓܝܪ ܟܕ ܥܪܩܘ ܡܢ ܛܢܦܘܬܗ ܕܥܠܡܐ ܒܫܘܘܕܥܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܦܪܘܩܢ ܒܗܝܢ ܒܗܠܝܢ ܟܕ ܡܬܥܪܙܠܝܢ ܬܘܒ ܡܙܕܟܝܢ ܗܘܬ ܠܗ ܚܪܬܗܘܢ ܕܒܝܫܐ ܡܢ ܩܕܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wote wawili walipokuwa wakiwaambia hayo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia \"Amani kwenu.\" \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܡܡܠܠܝܢ ܗܘܘ ܝܫܘܥ ܩܡ ܒܝܢܬܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܫܠܡܐ ܥܡܟܘܢ ܐܢܐ ܐܢܐ ܠܐ ܬܕܚܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, walipokuwa wanashuka mlimani, Yesu akawaonya: \"Msimwambie mtu mambo mliyoyaona mpaka Mwana wa Mtu atakapofufuliwa kutoka wafu.\" \t ܘܟܕ ܢܚܬܝܢ ܡܢ ܛܘܪܐ ܦܩܕ ܐܢܘܢ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܥܝܢ ܐܢܫ ܠܐ ܬܐܡܪܘܢ ܚܙܘܐ ܗܢܐ ܥܕܡܐ ܕܢܩܘܡ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܡܢ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wafundisheni kushika maagizo yote niliyowapeni. Nami nipo pamoja nanyi siku zote; naam, mpaka mwisho wa nyakati.\" \t ܘܐܠܦܘ ܐܢܘܢ ܕܢܛܪܘܢ ܟܠ ܡܐ ܕܦܩܕܬܟܘܢ ܘܗܐ ܐܢܐ ܥܡܟܘܢ ܐܢܐ ܟܠܗܘܢ ܝܘܡܬܐ ܥܕܡܐ ܠܫܘܠܡܗ ܕܥܠܡܐ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ukuhani ukibadilika ni lazima Sheria nayo ibadilike. \t ܐܠܐ ܐܝܟܢܐ ܕܗܘܐ ܫܘܚܠܦܐ ܒܟܘܡܪܘܬܐ ܗܟܢܐ ܗܘܐ ܫܘܚܠܦܐ ܐܦ ܒܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliwasimamisha mitume mbele yao, wakawauliza, \"Ninyi mmefanya jambo hili kwa nguvu gani na kwa jina la nani?\" \t ܘܟܕ ܐܩܝܡܘ ܐܢܘܢ ܒܡܨܥܬܐ ܡܫܐܠܝܢ ܗܘܘ ܠܗܘܢ ܕܒܐܝܢܐ ܚܝܠ ܐܘ ܒܐܝܢܐ ܫܡ ܥܒܕܬܘܢ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Miongoni mwao ni Humenayo na Aleksanda ambao nimewakabidhi kwa Shetani, ili wafundishwe wasimtukane Mungu. \t ܐܝܟ ܗܘܡܢܐܘܤ ܘܐܠܟܤܢܕܪܘܤ ܗܠܝܢ ܕܐܫܠܡܬ ܠܤܛܢܐ ܕܢܬܪܕܘܢ ܕܠܐ ܢܗܘܘܢ ܡܓܕܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kusoma, akafunga kile kitabu, akampa mtumishi, kisha akaketi; watu wote wakamkodolea macho. \t ܘܟܪܟ ܤܦܪܐ ܘܝܗܒܗ ܠܡܫܡܫܢܐ ܘܐܙܠ ܝܬܒ ܟܠܗܘܢ ܕܝܢ ܕܒܟܢܘܫܬܐ ܥܝܢܝܗܘܢ ܚܝܪܢ ܗܘܝ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu yeyote akianguka juu ya jiwe hilo, atavunjika vipandevipande; na likimwangukia mtu yeyote, litamsaga kabisa.\" \t ܘܟܠ ܕܢܦܠ ܥܠ ܗܝ ܟܐܦܐ ܢܬܪܥܥ ܘܟܠ ܡܢ ܕܗܝ ܬܦܠ ܥܠܘܗܝ ܬܕܪܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipofika nchi kavu waliona moto wa makaa umewashwa na juu yake pamewekwa samaki na mkate. \t ܟܕ ܕܝܢ ܤܠܩܘ ܠܐܪܥܐ ܚܙܘ ܓܘܡܪܐ ܟܕ ܤܝܡܢ ܘܢܘܢܐ ܟܕ ܤܝܡ ܥܠܝܗܝܢ ܘܠܚܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hawa wote waliendelea kujifunza kutoka kwa mitume, kuishi pamoja kidugu, kumega mkate na kusali. \t ܘܐܡܝܢܝܢ ܗܘܘ ܒܝܘܠܦܢܐ ܕܫܠܝܚܐ ܘܡܫܬܘܬܦܝܢ ܗܘܘ ܒܨܠܘܬܐ ܘܒܩܨܝܐ ܕܐܘܟܪܤܛܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nimeona na ninawaambieni kwamba huyu ndiye Mwana wa Mungu.\" \t ܘܐܢܐ ܚܙܝܬ ܘܐܤܗܕܬ ܕܗܢܘ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wale wanawali wapumbavu walipokwenda kununua mafuta, bwana arusi akafika, na wale wanawali waliokuwa tayari wakaingia pamoja naye katika jumba la arusi, kisha mlango ukafungwa. \t ܘܟܕ ܐܙܠ ܠܡܙܒܢ ܐܬܐ ܚܬܢܐ ܘܐܝܠܝܢ ܕܡܛܝܒܢ ܗܘܝ ܥܠ ܥܡܗ ܠܒܝܬ ܚܠܘܠܐ ܘܐܬܬܚܕ ܬܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri yenu ikiwa mnatukanwa kwa sababu ya jina la Kristo; jambo hilo lamaanisha kwamba Roho mtukufu, yaani Roho wa Mungu, anakaa juu yetu. \t ܘܐܢ ܡܬܚܤܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܠ ܐܦܝ ܫܡܗ ܕܡܫܝܚܐ ܛܘܒܝܟܘܢ ܕܪܘܚܐ ܡܫܒܚܬܐ ܕܐܠܗܐ ܡܬܬܢܝܚܐ ܥܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa mwili wake, Kristo aliuangamiza uadui wao; kwa msalaba wake aliziunganisha jamii hizo kuwa moja na kuzipatanisha na Mungu. \t ܘܪܥܝ ܠܬܪܝܗܘܢ ܒܚܕ ܦܓܪ ܥܡ ܐܠܗܐ ܘܒܙܩܝܦܗ ܩܛܠ ܒܥܠܕܒܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Eliya alikuwa binadamu kama sisi. Aliomba kwa moyo mvua isinyeshe, nayo haikunyesha nchini kwa muda wa miaka mitatu na miezi sita. \t ܐܦ ܐܠܝܐ ܒܪܢܫܐ ܗܘܐ ܚܫܘܫܐ ܐܟܘܬܢ ܘܨܠܝ ܕܠܐ ܢܚܘܬ ܡܛܪܐ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܠܐ ܢܚܬ ܬܠܬ ܫܢܝܢ ܘܫܬܐ ܝܪܚܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa sisi hatukuipokea roho ya ulimwengu, bali tumepokea Roho atokaye kwa Mungu ili atuwezeshe kujua yale tuliyojaliwa na Mungu. \t ܚܢܢ ܕܝܢ ܠܐ ܗܘܐ ܪܘܚܐ ܕܥܠܡܐ ܢܤܒܢ ܐܠܐ ܪܘܚܐ ܕܡܢ ܐܠܗܐ ܕܢܕܥ ܡܘܗܒܬܐ ܕܡܢ ܐܠܗܐ ܐܬܝܗܒ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wote wakapiga kelele pamoja: \"Mwondoe huyo, utufungulie Baraba!\" \t ܩܥܘ ܕܝܢ ܟܠܗ ܟܢܫܐ ܘܐܡܪܝܢ ܫܩܘܠܝܗܝ ܠܗܢܐ ܘܫܪܝ ܠܢ ܠܒܪ ܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwako ingalifanyika kule Tiro na Sidoni, watu wake wangalikwisha vaa mavazi ya gunia na kujipaka majivu zamani, ili kuonyesha kwamba wametubu. \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܘܝ ܠܟܝ ܟܘܪܙܝܢ ܘܝ ܠܟܝ ܒܝܬ ܨܝܕܐ ܕܐܠܘ ܒܨܘܪ ܘܒܨܝܕܢ ܗܘܘ ܚܝܠܐ ܐܝܠܝܢ ܕܗܘܘ ܒܟܝܢ ܟܒܪ ܕܝܢ ܒܤܩܐ ܘܒܩܛܡܐ ܬܒܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa namna hiyo mtafaulu kupewa haki kamili ya kuingia katika Utawala wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. \t ܗܟܢܐ ܓܝܪ ܥܬܝܪܐܝܬ ܡܬܝܗܒܐ ܠܟܘܢ ܡܥܠܬܐ ܕܡܠܟܘܬܐ ܕܠܥܠܡ ܕܡܪܢ ܘܦܪܘܩܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kabila la Asheri, kumi na mbili elfu; kabila la Naftali, kumi na mbili elfu; kabila la Manase, kumi na mbili elfu; \t ܡܢ ܫܪܒܬܗ ܕܐܫܝܪ ܬܪܥܤܪ ܐܠܦܝܢ ܡܢ ܫܪܒܬܗ ܕܢܦܬܠܝ ܬܪܥܤܪ ܐܠܦܝܢ ܡܢ ܫܪܒܬܗ ܕܡܢܫܐ ܬܪܥܤܪ ܐܠܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamwambia, \"Mheshimiwa, tupe daima mkate huo.\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܪܢ ܒܟܠܙܒܢ ܗܒ ܠܢ ܠܚܡܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wengine wote waliokuja kabla yangu ni wezi na wanyang'anyi, nao kondoo hawakuwasikiliza. \t ܘܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܐܬܘ ܓܢܒܐ ܐܢܘܢ ܘܓܝܤܐ ܐܠܐ ܠܐ ܫܡܥܬ ܐܢܘܢ ܥܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana ninatamani pia kuihubiri Habari Njema kwenu ninyi mlioko huko Roma. \t ܘܗܟܢܐ ܡܬܚܦܛ ܐܢܐ ܕܐܦ ܠܟܘܢ ܕܒܪܗܘܡܝ ܐܤܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akawaambia mara ya tatu, \"Amefanya kosa gani? Sioni kosa lolote kwake linalomstahili auawe; kwa hiyo nitampiga viboko, halafu nimwachilie.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܬܠܬ ܙܒܢܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܓܝܪ ܕܒܝܫ ܥܒܕ ܗܢܐ ܡܕܡ ܥܠܬܐ ܕܫܘܝܐ ܠܡܘܬܐ ܠܐ ܐܫܟܚܬ ܒܗ ܐܪܕܝܘܗܝ ܗܟܝܠ ܘܐܫܒܩܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hayo ndiyo yanayomtia mtu najisi. Lakini kula chakula bila kunawa mikono hakumtii mtu najisi.\" \t ܗܠܝܢ ܐܢܝܢ ܕܡܤܝܒܢ ܠܒܪܢܫܐ ܐܢ ܐܢܫ ܕܝܢ ܢܠܥܤ ܟܕ ܠܐ ܡܫܓܢ ܐܝܕܘܗܝ ܠܐ ܡܤܬܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliondoka Nazareti, akaenda Kafarnaumu, mji ulio kando ya bahari ya Genesareti, mpakani mwa wilaya za Zabuloni na Naftali, akakaa huko. \t ܘܫܒܩܗ ܠܢܨܪܬ ܘܐܬܐ ܥܡܪ ܒܟܦܪܢܚܘܡ ܥܠ ܝܕ ܝܡܐ ܒܬܚܘܡܐ ܕܙܒܘܠܘܢ ܘܕܢܦܬܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama nisingalifanya kwao mambo ambayo hakuna mtu mwingine amekwisha yafanya wasingalikuwa na hatia; lakini sasa wameona niliyoyafanya wakinichukia mimi, wakamchukia na Baba yangu pia. \t ܘܐܠܘ ܥܒܕܐ ܠܐ ܥܒܕܬ ܠܥܢܝܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܐܢܫ ܐܚܪܝܢ ܠܐ ܥܒܕ ܠܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܚܛܝܬܐ ܗܫܐ ܕܝܢ ܘܚܙܘ ܘܤܢܘ ܐܦ ܠܝ ܘܐܦ ܠܐܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sikuwaona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana. \t ܠܐܚܪܝܢ ܕܝܢ ܡܢ ܫܠܝܚܐ ܠܐ ܚܙܝܬ ܐܠܐ ܐܢ ܠܝܥܩܘܒ ܐܚܘܗܝ ܕܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mapendo yangu yawe kwenu katika kuungana na Kristo Yesu. \t ܘܚܘܒܝ ܥܡ ܟܠܟܘܢ ܒܡܫܝܚܐ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawauliza, \"Sura na chapa hii ni ya nani?\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܕܡܢܘ ܨܠܡܐ ܗܢܐ ܘܟܬܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamwua.\" Yesu akauliza, \"Yule mwenye shamba atawafanya nini hao wakulima? \t ܘܐܦܩܘܗܝ ܠܒܪ ܡܢ ܟܪܡܐ ܘܩܛܠܘܗܝ ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܢܥܒܕ ܠܗܘܢ ܡܪܐ ܟܪܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tazameni jinsi nilivyoandika kwa herufi kubwa, kwa mkono wangu mwenyewe. \t ܚܙܘ ܐܝܠܝܢ ܟܬܝܒܢ ܟܬܒܬ ܠܟܘܢ ܒܐܝܕܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu akikupiga shavu moja mgeuzie na la pili. Mtu akikunyang'anya koti lako mwachie pia shati lako. \t ܘܠܕܡܚܐ ܠܟ ܥܠ ܦܟܟ ܩܪܒ ܠܗ ܐܚܪܢܐ ܘܡܢ ܡܢ ܕܫܩܠ ܡܪܛܘܛܟ ܠܐ ܬܟܠܐ ܐܦ ܟܘܬܝܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao waliokula hiyo mikate walikuwa wanaume elfu tano. \t ܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܕܝܢ ܕܐܟܠܘ ܠܚܡܐ ܚܡܫܐ ܐܠܦܝܢ ܓܒܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akatuma tena mtumishi mwingine; huyu wakamuumiza kichwa na kumtendea vibaya. \t ܘܫܕܪ ܬܘܒ ܠܘܬܗܘܢ ܥܒܕܐ ܐܚܪܢܐ ܘܐܦ ܠܗܘ ܪܓܡܘܗܝ ܘܨܠܦܘܗܝ ܘܫܕܪܘܗܝ ܒܨܥܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wakamwuliza, \"Ni wapi Bwana?\" Naye akawaambia, \"Ulipo mzoga, ndipo tai watakapokusanyikia.\" \t ܥܢܘ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܐܝܟܐ ܡܪܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܝܟܐ ܕܦܓܪܐ ܬܡܢ ܢܬܟܢܫܘܢ ܢܫܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aibu kwenu! Ndiyo kusema hakuna hata mmoja miongoni mwenu mwenye hekima kiasi cha kuweza kutatua tatizo kati ya ndugu waumini? \t ܠܟܘܐܪܐ ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܗܟܢܐ ܠܝܬ ܒܟܘܢ ܐܦܠܐ ܚܕ ܚܟܝܡܐ ܕܢܫܟܚ ܢܫܘܐ ܒܝܬ ܐܚܐ ܠܐܚܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.\" \t ܐܢܐ ܐܥܡܕܬܟܘܢ ܒܡܝܐ ܗܘ ܕܝܢ ܢܥܡܕܟܘܢ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, Mungu huwajalia Roho na kutenda miujiza kati yenu ati kwa sababu mnatimiza yanayotakiwa na sheria, ama kwa sababu mnasikia Habari Njema na kuiamini? \t ܗܘ ܗܟܝܠ ܕܝܗܒ ܒܟܘܢ ܪܘܚܐ ܘܤܥܪ ܒܟܘܢ ܚܝܠܐ ܡܢ ܥܒܕܐ ܕܢܡܘܤܐ ܐܘ ܡܢ ܫܡܥܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana namtuma, ili aichangamshe mioyo yenu kwa kuwaambieni habari zetu. \t ܗܢܐ ܕܫܕܪܬ ܠܘܬܟܘܢ ܥܠܝܗ ܥܠ ܗܕܐ ܕܢܕܥ ܡܐ ܕܠܘܬܟܘܢ ܘܢܒܝܐ ܠܒܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu alipokuwa anafundisha Hekaluni alipaaza sauti na kusema, \"Ati mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe; ila yeye aliyenituma mimi ni wa kweli, nanyi hamumjui. \t ܘܐܪܝܡ ܝܫܘܥ ܩܠܗ ܟܕ ܡܠܦ ܒܗܝܟܠܐ ܘܐܡܪ ܘܠܝ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܡܢ ܐܝܡܟܐ ܐܢܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܡܢ ܨܒܘܬ ܢܦܫܝ ܠܐ ܐܬܝܬ ܐܠܐ ܫܪܝܪ ܗܘ ܡܢ ܕܫܕܪܢܝ ܗܘ ܕܐܢܬܘܢ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane akamwambia, \"Mwalimu, tumemwona mtu mmoja akitoa pepo kwa kulitumia jina lako, nasi tukajaribu kumkataza kwa kuwa yeye si mmoja wetu.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܘܚܢܢ ܪܒܝ ܚܙܝܢ ܐܢܫ ܕܡܦܩ ܫܐܕܐ ܒܫܡܟ ܘܟܠܝܢܝܗܝ ܥܠ ܕܠܐ ܢܩܦ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa anatoka Hekaluni, mmoja wa wanafunzi wake alimwambia, \"Mwalimu, tazama jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo ya ajabu!\" \t ܘܟܕ ܢܦܩ ܝܫܘܥ ܡܢ ܗܝܟܠܐ ܐܡܪ ܠܗ ܚܕ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܡܠܦܢܐ ܗܐ ܚܙܝ ܐܝܠܝܢ ܟܐܦܐ ܘܐܝܠܝܢ ܒܢܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama vile dhambi ilivyotawala kwa kifo, kadhalika neema inatawala kwa njia ya uadilifu, na kuleta uzima wa milele kwa njia ya Yesu Kristo Bwana wetu. \t ܕܐܝܟ ܕܐܡܠܟܬ ܚܛܝܬܐ ܒܡܘܬܐ ܗܟܢܐ ܬܡܠܟ ܛܝܒܘܬܐ ܒܟܐܢܘܬܐ ܠܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܒܝܕ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika jina lake mataifa yatakuwa na tumaini.\" \t ܘܒܫܡܗ ܥܡܡܐ ܢܤܒܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu ya ongezeko la uhalifu, upendo wa watu wengi utafifia. \t ܘܡܛܠ ܤܓܝܐܘܬ ܥܘܠܐ ܢܦܘܓ ܚܘܒܐ ܕܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo basi, ndugu zangu, fanyeni bidii zaidi kuufanya huo wito wenu mlioitiwa na Mungu uwe jambo la kudumu katika maisha yenu; kama mkiishi namna hiyo hamtaanguka kamwe. \t ܘܥܠ ܗܝ ܝܬܝܪܐܝܬ ܐܚܝ ܝܨܦܘ ܕܒܝܕ ܥܒܕܝܟܘܢ ܛܒܐ ܩܪܝܬܟܘܢ ܘܓܒܝܬܟܘܢ ܡܫܪܪܬܐ ܬܥܒܕܘܢ ܟܕ ܓܝܪ ܗܠܝܢ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܡܬܘܡ ܡܫܬܪܥܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, kadiri mateso ya Kristo yanavyozidi ndani yetu, ni kadiri hiyohiyo tunazidi kufarijiwa naye. \t ܐܝܟܢܐ ܓܝܪ ܕܡܬܝܬܪܝܢ ܒܢ ܚܫܘܗܝ ܕܡܫܝܚܐ ܗܟܢܐ ܒܝܕ ܡܫܝܚܐ ܡܬܝܬܪ ܐܦ ܒܘܝܐܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mwana wa Aminadabu, mwana wa Admini, mwana wa Arni, mwana wa Hesroni, mwana wa Feresi, mwana wa Yuda, \t ܒܪ ܥܡܝܢܕܒ ܒܪ ܐܪܡ ܒܪ ܚܨܪܘܢ ܒܪ ܦܪܨ ܒܪ ܝܗܘܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama alivyosema mtu mmoja: Ndani yake yeye sisi tunaishi, tunajimudu, na tuko! Ni kama washairi wenu wengine walivyosema: Sisi ni watoto wake. \t ܒܗ ܗܘ ܓܝܪ ܚܝܝܢܢ ܘܡܬܬܙܝܥܝܢܢ ܘܐܝܬܝܢ ܐܝܟ ܕܐܦ ܐܢܫܐ ܡܢ ܚܟܝܡܐ ܕܠܘܬܟܘܢ ܐܡܪܘ ܕܡܢܗ ܗܘ ܛܘܗܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akamwamuru yule jemadari amweke Paulo kizuizini, lakini awe na uhuru kiasi, na rafiki zake wasizuiwe kumpatia mahitaji yake. \t ܘܦܩܕ ܠܩܢܛܪܘܢܐ ܕܢܛܪܝܘܗܝ ܠܦܘܠܘܤ ܒܢܝܚܐ ܘܕܠܐ ܐܢܫ ܡܢ ܝܕܘܥܘܗܝ ܢܬܟܠܐ ܕܢܗܘܐ ܡܫܡܫ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo Yesu alisema, \"Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, maana umewaficha wenye hekima mambo haya, ukawafumbulia watoto wadogo. \t ܒܗܘ ܙܒܢܐ ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܡܘܕܐ ܐܢܐ ܠܟ ܐܒܝ ܡܪܐ ܕܫܡܝܐ ܘܕܐܪܥܐ ܕܟܤܝܬ ܗܠܝܢ ܡܢ ܚܟܝܡܐ ܘܤܟܘܠܬܢܐ ܘܓܠܝܬ ܐܢܝܢ ܠܝܠܘܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo alifika Derbe na Lustra, ambako aliishi mfuasi mmoja aitwaye Timotheo. Mama yake ambaye pia alikuwa mfuasi, alikuwa Myahudi; lakini baba yake alikuwa Mgiriki. \t ܘܡܛܝ ܗܘܐ ܠܕܪܒܐ ܡܕܝܢܬܐ ܘܠܠܘܤܛܪܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܬܡܢ ܬܠܡܝܕܐ ܚܕ ܕܫܡܗ ܛܝܡܬܐܘܤ ܒܪܗ ܕܝܗܘܕܝܬܐ ܚܕܐ ܡܗܝܡܢܬܐ ܘܐܒܘܗܝ ܐܪܡܝܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walinzi wa lile kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa. \t ܘܡܢ ܕܚܠܬܗ ܐܬܬܙܝܥܘ ܐܝܠܝܢ ܕܢܛܪܝܢ ܗܘܘ ܘܗܘܘ ܐܝܟ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu. \t ܘܚܙܝܢ ܗܘܘ ܕܩܐܡ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܚܓܝܪܐ ܗܘ ܕܐܬܐܤܝ ܘܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܗܘܘ ܡܕܡ ܠܡܐܡܪ ܠܘܩܒܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayekubaliwa si yule anayejisifu mwenyewe, bali yule anayesifiwa na Bwana. \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܡܢ ܕܢܦܫܗ ܡܫܒܚ ܗܘ ܗܘ ܒܩܐ ܐܠܐ ܡܢ ܕܡܪܝܐ ܢܫܒܚܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila anayemchukia ndugu yake ni muuaji; nanyi mnajua kwamba muuaji yeyote yule hana uzima wa milele ndani yake. \t ܟܠ ܓܝܪ ܕܤܢܐ ܠܐܚܘܗܝ ܩܛܠ ܐܢܫܐ ܗܘ ܘܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܟܠ ܕܩܛܠ ܐܢܫܐ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܡܩܘܝܢ ܒܗ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa huru mbali na uadilifu. \t ܟܕ ܥܒܕܐ ܗܘܝܬܘܢ ܓܝܪ ܕܚܛܝܬܐ ܡܚܪܪܐ ܗܘܝܬܘܢ ܠܟܐܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini wao wakamsihi wakisema, \"Kaa pamoja nasi, maana kunakuchwa, na usiku unakaribia.\" Basi, akaingia kijijini, akakaa pamoja nao. \t ܘܐܠܨܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܦܘܫ ܠܘܬܢ ܡܛܠ ܕܝܘܡܐ ܗܫܐ ܪܟܢ ܠܗ ܠܡܚܫܟ ܘܥܠ ܕܢܩܘܐ ܠܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vipofu na vilema walimwendea huko Hekaluni, naye Yesu akawaponya. \t ܘܩܪܒܘ ܠܗ ܒܗܝܟܠܐ ܤܡܝܐ ܘܚܓܝܤܐ ܘܐܤܝ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, tumeamua kwa pamoja kuwachagua watu kadhaa na kuwatuma kwenu pamoja na wapenzi wetu Barnaba na Paulo, \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܬܚܫܒܢ ܟܠܢ ܟܕ ܟܢܝܫܝܢܢ ܘܓܒܝܢ ܓܒܪܐ ܘܫܕܪܢ ܠܘܬܟܘܢ ܥܡ ܦܘܠܘܤ ܘܒܪܢܒܐ ܚܒܝܒܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawajibu, \"Naam, Eliya anakuja kwanza kutayarisha yote. Hata hivyo, kwa nini basi imeandikwa katika Maandiko Matakatifu kwamba Mwana wa Mtu atapatwa na mateso mengi na kudharauliwa? \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܠܝܐ ܐܬܐ ܠܘܩܕܡ ܕܟܠܡܕܡ ܢܬܩܢ ܘܐܝܟܢܐ ܟܬܝܒ ܥܠ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܕܤܓܝ ܢܚܫ ܘܢܤܬܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliwaambia, Mimi ni Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo! Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai.\" \t ܕܐܢܐ ܐܢܐ ܐܠܗܗ ܕܐܒܪܗܡ ܐܠܗܗ ܕܐܝܤܚܩ ܐܠܗܗ ܕܝܥܩܘܒ ܘܐܠܗܐ ܠܐ ܗܘܐ ܕܡܝܬܐ ܐܠܐ ܕܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Moshi wa ubani ukapanda juu, pamoja na sala za watu wa Mungu, kutoka mikononi mwake huyo malaika aliyekuwa mbele ya Mungu. \t ܘܤܠܩ ܥܛܪܐ ܕܒܤܡܐ ܒܨܠܘܬܐ ܕܩܕܝܫܐ ܡܢ ܝܕ ܡܠܐܟܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kuna sababu kadhaa za kutoweza kuoa: wengine ni kwa sababu wamezaliwa hivyo, wengine kwa sababu wamefanywa hivyo na watu, na wengine wameamua kutooa kwa ajili ya Ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea fundisho hili na alipokee.\" \t ܐܝܬ ܓܝܪ ܡܗܝܡܢܐ ܕܡܢ ܟܪܤܐ ܕܐܡܗܘܢ ܐܬܝܠܕܘ ܗܟܢܐ ܘܐܝܬ ܡܗܝܡܢܐ ܕܡܢ ܒܢܝܢܫܐ ܗܘܘ ܡܗܝܡܢܐ ܘܐܝܬ ܡܗܝܡܢܐ ܕܗܢܘܢ ܥܒܕܘ ܢܦܫܗܘܢ ܡܗܝܡܢܐ ܡܛܠ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܡܢ ܕܡܫܟܚ ܕܢܤܦܩ ܢܤܦܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengine waliofuata falsafa ya Epikuro na Stoiki walibishana naye. Wengine walisema, \"Anataka kusema nini huyu bwanamaneno?\" Kwa kuwa Paulo alikuwa anahubiri juu ya Yesu na juu ya ufufuo, wengine walisema, \"Inaonekana kama anahubiri juu ya miungu ya kigeni.\" \t ܘܐܦ ܦܝܠܤܘܦܐ ܕܡܢ ܝܘܠܦܢܗ ܕܐܦܝܩܘܪܤ ܘܐܚܪܢܐ ܕܡܬܩܪܝܢ ܤܛܘܐܝܩܘ ܕܪܫܝܢ ܗܘܘ ܥܡܗ ܘܐܢܫ ܐܢܫ ܡܢܗܘܢ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܡܢܐ ܨܒܐ ܗܢܐ ܡܠܩܛ ܡܠܐ ܘܐܚܪܢܐ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܕܐܠܗܐ ܢܘܟܪܝܐ ܡܟܪܙ ܡܛܠ ܕܠܝܫܘܥ ܘܠܩܝܡܬܗ ܡܟܪܙ ܗܘܐ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ni mdogo kuliko watu wote wa Mungu; lakini amenijalia neema yake, ili niwahubirie watu wa mataifa utajiri wake Kristo usiopimika, \t ܠܝ ܕܙܥܘܪܐ ܐܢܐ ܕܟܠܗܘܢ ܩܕܝܫܐ ܐܬܝܗܒܬ ܛܝܒܘܬܐ ܗܕܐ ܕܐܤܒܪ ܒܥܡܡܐ ܥܘܬܪܗ ܕܡܫܝܚܐ ܗܘ ܕܠܐ ܡܬܥܩܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa kuwa hutaiacha roho yangu katika kuzimu, wala kumruhusu mtakatifu wako aoze. \t ܡܛܠ ܕܠܐ ܫܒܩ ܐܢܬ ܠܢܦܫܝ ܒܫܝܘܠ ܘܠܐ ܝܗܒ ܐܢܬ ܠܚܤܝܟ ܕܢܚܙܐ ܚܒܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ziko habari za kuaminika kwamba kuna uzinzi miongoni mwenu; tena ni uzinzi mbaya ambao haujapata kuwako hata kati ya watu wasiomjua Mungu. Nimeambiwa eti mmoja wenu anaishi na mke wa baba yake! \t ܤܟܐ ܡܫܬܡܥܐ ܒܝܢܬܟܘܢ ܙܢܝܘܬܐ ܘܕܐܝܟ ܗܕܐ ܙܢܝܘܬܐ ܐܝܕܐ ܕܐܦܠܐ ܒܝܬ ܚܢܦܐ ܡܫܬܡܗܐ ܥܕܡܐ ܕܢܤܒ ܒܪܐ ܐܢܬܬ ܐܒܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, walikutana ili wafanye yale ambayo ulikusudia na kupanga tangu mwanzo kwa uwezo wako na mapenzi yako. \t ܠܡܥܒܕ ܟܠ ܡܐ ܕܐܝܕܟ ܘܨܒܝܢܟ ܩܕܡ ܪܫܡ ܕܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu ametekeleza jambo lile ambalo Sheria haikuweza kutekeleza kwa sababu ya udhaifu w binadamu. Mungu alimtuma Mwanae akiwa mwenye mwili sawa na miili yetu sisi wenye dhambi, ili aikabili dhambi, na kwa mwili huo akaiangamiza dhambi. \t ܡܛܠ ܕܡܚܝܠ ܗܘܐ ܓܝܪ ܢܡܘܤܐ ܒܝܕ ܟܪܝܗܘܬܗ ܕܒܤܪܐ ܫܕܪ ܐܠܗܐ ܠܒܪܗ ܒܕܡܘܬܐ ܕܒܤܪܐ ܕܚܛܝܬܐ ܡܛܠܬܗ ܕܚܛܝܬܐ ܕܢܚܝܒܝܗ ܠܚܛܝܬܐ ܒܒܤܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mkabidhini mtu huyo kwa Shetani ili mwili wake uharibiwe na roho yake iweze kuokolewa Siku ile ya Bwana. \t ܘܬܫܠܡܘܢܗ ܠܗܢܐ ܠܤܛܢܐ ܠܐܒܕܢܐ ܕܦܓܪܗ ܕܒܪܘܚ ܢܚܐ ܒܝܘܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu. \t ܩܢܝܛܝܢܢ ܕܝܢ ܒܗܕܐ ܕܠܐ ܐܢܫ ܢܤܝܡ ܒܢ ܡܘܡܐ ܒܗܕܐ ܪܒܘܬܐ ܕܡܫܬܡܫܐ ܡܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na wewe Kafarnaumu, unataka kujikweza mpaka mbinguni? La; utaporomoshwa mpaka Kuzimu.\" \t ܘܐܢܬܝ ܟܦܪܢܚܘܡ ܗܝ ܕܥܕܡܐ ܠܫܡܝܐ ܐܬܬܪܝܡܬܝ ܥܕܡܐ ܠܫܝܘܠ ܬܬܚܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na hivyo sote tuufikie umoja wa imani na kumjua Mwana wa Mungu; tuwe watu waliokomaa na kuufikia utimilifu wake Kristo mwenyewe. \t ܥܕܡܐ ܕܟܠܢ ܢܗܘܐ ܚܕ ܡܕܡ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܒܝܕܥܬܐ ܕܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܘܚܕ ܓܒܪܐ ܓܡܝܪܐ ܒܡܫܘܚܬܐ ܕܩܘܡܬܐ ܕܫܘܡܠܝܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nakumbuka machozi yako na ninatamani usiku na mchana kukuona, ili nijazwe furaha. \t ܘܤܘܐ ܐܢܐ ܠܡܚܙܝܟ ܘܡܬܕܟܪ ܐܢܐ ܕܡܥܝܟ ܕܐܬܡܠܐ ܚܕܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote walibatizwa katika umoja na Mose kwa lile wingu na ile bahari. \t ܘܟܠܗܘܢ ܒܝܕ ܡܘܫܐ ܥܡܕܘ ܒܥܢܢܐ ܘܒܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmojawapo alikuwa mwanamke mwenye ugonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili. \t ܐܢܬܬܐ ܕܝܢ ܚܕܐ ܕܐܝܬܝܗ ܗܘܬ ܒܡܪܕܝܬܐ ܕܕܡܐ ܫܢܝܢ ܬܪܬܥܤܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakamjibu, \"Je, wewe pia umetoka Galilaya? Haya, kayachunguze Maandiko Matakatifu nawe utaona kwamba Galilaya hakutoki kamwe nabii!\" \t ܥܢܘ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܡܐ ܐܦ ܐܢܬ ܡܢ ܓܠܝܠܐ ܐܢܬ ܒܨܝ ܘܚܙܝ ܕܢܒܝܐ ܡܢ ܓܠܝܠܐ ܠܐ ܩܐܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafarisayo na Masadukayo walimwendea Yesu, na kwa kumjaribu, wakamwomba afanye ishara itokayo mbinguni. \t ܘܩܪܒܘ ܦܪܝܫܐ ܘܙܕܘܩܝܐ ܡܢܤܝܢ ܠܗ ܘܫܐܠܝܢ ܠܗ ܐܬܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܢܚܘܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi yao walikubali wakajiunga na Paulo na Sila. Kadhalika, idadi kubwa ya Wagiriki waliomcha Mungu pamoja na wanawake wengi wa tabaka la juu, walijiunga nao. \t ܘܐܢܫܝܢ ܡܢܗܘܢ ܗܝܡܢܘ ܘܢܩܦܘ ܠܦܘܠܘܤ ܘܠܫܝܠܐ ܘܤܓܝܐܐ ܡܢ ܝܘܢܝܐ ܐܝܠܝܢ ܕܕܚܠܝܢ ܗܘܘ ܡܢ ܐܠܗܐ ܘܐܦ ܢܫܐ ܝܕܝܥܬܐ ܠܐ ܙܥܘܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa tano. Nikaona pale chini ya madhabahu ya kufukizia ubani roho za wale waliouawa kwa sababu ya ujumbe wa Mungu, na kwa sababu ya ushuhuda waliotoa. \t ܘܟܕ ܦܬܚ ܠܛܒܥܐ ܕܚܡܫܐ ܚܙܝܬ ܠܬܚܬ ܡܢ ܡܕܒܚܐ ܠܢܦܫܬܐ ܕܐܬܩܛܠ ܡܛܠ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܡܛܠ ܤܗܕܘܬܐ ܕܝܫܘܥ ܗܝ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wote wakamkamata Sosthene ambaye alikuwa kiongozi wa sunagogi, wakampiga palepale mbele ya mahakama. Lakini Galio hakujali kitendo hicho hata kidogo. \t ܘܐܚܕܘ ܗܘܘ ܟܠܗܘܢ ܚܢܦܐ ܠܤܘܤܬܢܝܤ ܩܫܝܫܐ ܕܟܢܘܫܬܐ ܘܡܚܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܩܕܡ ܒܝܡ ܘܓܐܠܝܘܢ ܡܗܡܐ ܗܘܐ ܒܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sasa, kwa kuungana na Kristo Yesu, ninyi ambao hapo awali mlikuwa mbali, mmekaribishwa kwa njia ya damu yake Kristo. \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܢܬܘܢ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܪܚܝܩܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܩܪܝܒܐ ܗܘܝܬܘܢ ܒܕܡܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mlio kwa asili watu wa mataifa mengine--mnaoitwa, \"wasiotahiriwa\" na Wayahudi ambao hujiita, \"Waliotahiriwa,\" (kwa sababu ya kile wanachoifanyia miili yao) --kumbukeni mlivyokuwa zamani. \t ܡܛܠ ܗܕܐ ܗܘܝܬܘܢ ܥܗܕܝܢ ܕܐܢܬܘܢ ܥܡܡܐ ܡܢ ܩܕܝܡ ܕܒܤܪ ܗܘܝܬܘܢ ܘܡܬܩܪܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܥܘܪܠܘܬܐ ܡܢ ܗܝ ܕܡܬܩܪܝܐ ܓܙܘܪܬܐ ܘܐܝܬܝܗ ܥܒܕ ܐܝܕܝܐ ܒܒܤܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Filipo akamwambia, \"Bwana, tuonyeshe Baba, nasi tutatosheka.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܦܝܠܝܦܘܤ ܡܪܢ ܚܘܢ ܐܒܐ ܘܟܕܘ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala si ajabu, maana hata Shetani mwenyewe hujisingizia kuwa malaika wa mwanga! \t ܘܠܝܬ ܠܡܬܕܡܪܘ ܒܗܕܐ ܐܢ ܗܘ ܓܝܪ ܕܤܛܢܐ ܡܬܕܡܐ ܒܡܠܐܟܐ ܕܢܘܗܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani Noa alionywa na Mungu juu ya mambo ya baadaye ambayo hakuweza kuyaona bado. Alimtii Mungu, akajenga ile safina ambamo aliokolewa yeye pamoja na jamaa yake. Kutokana na hayo ulimwengu ulihukumiwa, naye Noa akapokea uadilifu unaotokana na imani. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܢܘܚ ܟܕ ܐܬܡܠܠ ܥܡܗ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܬܚܙܝܢ ܗܘܝ ܕܚܠ ܘܥܒܕ ܠܗ ܩܒܘܬܐ ܠܚܝܐ ܕܒܢܝ ܒܝܬܗ ܕܒܗ ܚܝܒܗ ܠܥܠܡܐ ܘܗܘܐ ܝܪܬܐ ܕܟܐܢܘܬܐ ܕܒܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lawi akaacha yote, akamfuata. \t ܘܫܒܩ ܟܠ ܡܕܡ ܘܩܡ ܐܙܠ ܒܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Meli nazo pia, ingawa ni kubwa sana, na husukumwa na upepo mkali, huweza kugeuzwa kwa usukani mdogo sana, zikaelekea kokote nahodha anakotaka. \t ܐܦ ܐܠܦܐ ܥܫܝܢܬܐ ܟܕ ܕܒܝܪܢ ܠܗܝܢ ܪܘܚܐ ܩܫܝܬܐ ܡܢ ܩܝܤܐ ܙܥܘܪܐ ܡܬܢܬܦܢ ܠܐܬܪ ܕܚܐܪ ܨܒܝܢܗ ܕܗܘ ܕܡܕܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika wa pili akamwaga bakuli lake baharini. Nayo bahari ikawa damu tupu kama damu ya mtu aliyekufa, na viumbe vyote hai baharini vikafa. \t ܘܡܠܐܟܐ ܕܬܪܝܢ ܐܫܕ ܙܒܘܪܗ ܒܝܡܐ ܘܗܘܐ ܝܡܐ ܐܝܟ ܡܝܬܐ ܘܟܠ ܢܦܫܐ ܚܝܬܐ ܡܝܬܬ ܒܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kiongozi mmoja, Myahudi, alimwuliza Yesu, \"Mwalimu mwema, nifanye nini ili niweze kuupata uzima wa milele?\" \t ܘܫܐܠܗ ܚܕ ܡܢ ܪܫܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܠܦܢܐ ܛܒܐ ܡܢܐ ܐܥܒܕ ܕܐܪܬ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, akimpoteza mmoja, hufanyaje? Huwaacha wale tisini na tisa mlimani, na huenda kumtafuta yule aliyepotea. \t ܡܢܐ ܡܬܚܙܐ ܠܟܘܢ ܐܢ ܢܗܘܘܢ ܠܐܢܫ ܡܐܐ ܥܪܒܝܢ ܘܢܛܥܐ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܠܐ ܫܒܩ ܬܫܥܝܢ ܘܬܫܥܐ ܒܛܘܪܐ ܘܐܙܠ ܒܥܐ ܠܗܘ ܕܛܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama ilivyoandikwa katika zaburi ya pili: Wewe ni Mwanangu, mimi leo nimekuwa baba yako. \t ܗܐ ܫܡܠܝܗ ܐܠܗܐ ܠܢ ܠܒܢܝܗܘܢ ܕܐܩܝܡ ܠܝܫܘܥ ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܒܡܙܡܘܪܐ ܕܬܪܝܢ ܕܒܪܝ ܐܢܬ ܐܢܐ ܝܘܡܢܐ ܝܠܕܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mlikuwa kama kondoo waliokuwa wamepotea; lakini sasa mmemrudia Mchungaji na Mlinzi wa roho zenu. \t ܕܛܥܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܐܝܟ ܥܪܒܐ ܘܐܬܦܢܝܬܘܢ ܗܫܐ ܠܘܬ ܪܥܝܐ ܘܤܥܘܪܐ ܕܢܦܫܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yosefu alituma ujumbe kwa baba yake na jamaa yote, jumla watu sabini na tano, waje Misri. \t ܘܫܕܪ ܗܘܐ ܝܘܤܦ ܘܐܝܬܝܗ ܠܐܒܘܗܝ ܝܥܩܘܒ ܘܠܟܠܗ ܛܘܗܡܗ ܘܗܘܝܢ ܗܘܘ ܒܡܢܝܢܐ ܫܒܥܝܢ ܘܚܡܫ ܢܦܫܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na ubishi usio na kikomo kutoka kwa watu ambao akili zao zimeharibika, na ambao hawana tena ukweli. Wanadhani dini ni njia ya kujipatia utajiri. \t ܘܫܚܩܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܡܚܒܠ ܪܥܝܢܗܘܢ ܘܓܠܝܙܝܢ ܡܢ ܩܘܫܬܐ ܘܤܒܪܝܢ ܕܬܓܘܪܬܐ ܗܝ ܕܚܠܬ ܐܠܗܐ ܐܢܬ ܕܝܢ ܐܬܪܚܩ ܡܢ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mtu anayekiri kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu anaishi katika muungano na mtu huyo, naye anaishi katika muungano na Mungu. \t ܟܠ ܕܡܘܕܐ ܒܝܫܘܥ ܕܗܘܝܘ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܐܠܗܐ ܒܗ ܡܩܘܐ ܘܗܘ ܡܩܘܐ ܒܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara tu Yesu alipokwisha batizwa, alitoka majini; na ghafla mbingu zikafunguka, akaona Roho wa Mungu akishuka kama njiwa na kutua juu yake. \t ܘܗܐ ܩܠܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܐܡܪ ܗܢܘ ܒܪܝ ܚܒܝܒܐ ܕܒܗ ܐܨܛܒܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na sasa sikilizeni enyi matajiri! Lieni na kuomboleza kwa sababu ya taabu zitakazowajieni. \t ܐܘ ܥܬܝܪܐ ܐܝܠܠܘ ܘܒܟܘ ܥܠ ܕܘܘܢܐ ܕܐܬܝܢ ܥܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikapewa mwanzi uliokuwa kama kijiti cha kupimia, nikaambiwa, \"Inuka, ukalipime Hekalu la Mungu, madhabahu ya kufukizia ubani, na ukawahesabu watu wanaoabudu ndani ya Hekalu. \t ܘܐܬܝܗܒ ܠܝ ܩܢܝܐ ܕܡܘܬܐ ܕܫܒܛܐ ܘܩܐܡ ܗܘܐ ܡܠܐܟܐ ܘܐܡܪ ܩܘܡ ܘܡܫܘܚ ܠܗܝܟܠܐ ܕܐܠܗܐ ܘܠܡܕܒܚܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܤܓܕܝܢ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, leo hii ninawathibitishieni rasmi kwamba ikijatokea akapotea mmoja wenu, mimi sina lawama yoyote. \t ܘܡܛܠ ܗܢܐ ܡܤܗܕ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܝܘܡܐ ܕܝܘܡܢܐ ܕܕܟܐ ܐܢܐ ܡܢ ܕܡܐ ܕܟܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ukisema, Ndiyo, basi iwe Ndiyo; ukisema Siyo, basi iwe kweli Siyo. Chochote kinachozidi hayo hutoka kwa yule Mwovu. \t ܐܠܐ ܬܗܘܐ ܡܠܬܟܘܢ ܐܝܢ ܐܝܢ ܘܠܐ ܠܐ ܡܕܡ ܕܡܢ ܗܠܝܢ ܝܬܝܪ ܡܢ ܒܝܫܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakasema, \"Mtu huyu alisema: Ninaweza kuliharibu Hekalu la Mungu na kulijenga tena kwa siku tatu.\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܗܢܐ ܐܡܪ ܕܡܫܟܚ ܐܢܐ ܕܐܫܪܐ ܗܝܟܠܐ ܕܐܠܗܐ ܘܠܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܐܒܢܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wazazi wa Yesu walikuwa na desturi ya kwenda Yerusalemu kila mwaka wakati wa sikukuu ya Pasaka. \t ܘܐܢܫܘܗܝ ܒܟܠ ܫܢܐ ܐܙܠܝܢ ܗܘܘ ܠܐܘܪܫܠܡ ܒܥܕܥܕܐ ܕܦܨܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Roho humpa mmoja ujumbe wa hekima, na mwingine ujumbe wa elimu apendavyo Roho huyohuyo. \t ܐܝܬ ܕܝܗܝܒܐ ܠܗ ܒܪܘܚܐ ܡܠܬܐ ܕܚܟܡܬܐ ܠܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܡܠܬܐ ܕܝܕܥܬܐ ܒܗ ܒܪܘܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambaye alikufa kwa ajili yetu, ili tuishi pamoja naye, iwe tu hai au tumekufa. \t ܗܘ ܕܡܝܬ ܥܠ ܐܦܝܢ ܕܐܢ ܥܝܪܝܢܢ ܘܐܢ ܕܡܟܝܢܢ ܐܟܚܕܐ ܥܡܗ ܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao husema mambo ya ulimwengu, nao ulimwengu huwasikiliza kwani wao ni wa ulimwengu. \t ܘܗܠܝܢ ܡܢ ܥܠܡܐ ܐܢܘܢ ܡܛܠ ܗܢܐ ܡܢ ܥܠܡܐ ܡܡܠܠܝܢ ܘܥܠܡܐ ܠܗܘܢ ܫܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wapenzi wangu, msishangae kuhusu majaribio makali mnayopata kana kwamba mnapatwa na kitu kisicho cha kawaida. \t ܚܒܝܒܝ ܠܐ ܬܬܕܡܪܘܢ ܒܢܤܝܘܢܐ ܕܗܘܝܢ ܠܟܘܢ ܐܝܟ ܕܡܕܡ ܢܘܟܪܝ ܓܕܫ ܠܟܘܢ ܡܛܠ ܕܠܒܘܚܪܢܟܘܢ ܗܘ ܗܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mzozo ulizidi kuwa mwingi hata mkuu wa jeshi akaogopa kwamba Paulo angeraruliwa vipandevipande. Kwa hiyo, aliwaamuru askari wake kuingia kati ya lile kundi, wamtoe Paulo na kumrudisha ndani ya ngome. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܫܓܘܫܝܐ ܪܒܐ ܒܝܢܬܗܘܢ ܕܚܠ ܗܘܐ ܟܠܝܪܟܐ ܕܠܡܐ ܢܦܫܚܘܢܗ ܠܦܘܠܘܤ ܘܫܠܚ ܠܪܗܘܡܝܐ ܕܢܐܬܘܢ ܢܚܛܦܘܢܗ ܡܢ ܡܨܥܬܗܘܢ ܘܢܥܠܘܢܗ ܠܡܫܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mtu yeyote akija kwangu, asipowachukia baba na mama yake, mke wake, watoto, ndugu na dada zake, naam, hata na nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu. \t ܡܢ ܕܐܬܐ ܠܘܬܝ ܘܠܐ ܤܢܐ ܠܐܒܘܗܝ ܘܠܐܡܗ ܘܠܐܚܘܗܝ ܘܠܐܚܘܬܗ ܘܠܐܢܬܬܗ ܘܠܒܢܘܗܝ ܘܐܦ ܠܢܦܫܗ ܬܠܡܝܕܐ ܠܐ ܡܫܟܚ ܕܢܗܘܐ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo ndipo walipomsulubisha, na pamoja naye waliwasulubisha watu wengine wawili; mmoja upande wake wa kulia na mwingine upande wake wa kushoto, naye Yesu katikati. \t ܐܬܪ ܕܙܩܦܘܗܝ ܘܥܡܗ ܬܪܝܢ ܐܚܪܢܝܢ ܚܕ ܡܟܐ ܘܚܕ ܡܟܐ ܘܠܝܫܘܥ ܒܡܨܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ametupatia Mwokozi shujaa, mzawa wa Daudi mtumishi wake. \t ܘܐܩܝܡ ܠܢ ܩܪܢܐ ܕܦܘܪܩܢܐ ܒܒܝܬܗ ܕܕܘܝܕ ܥܒܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mwanamke alimfuata Yesu nyuma, akagusa pindo la vazi lake. Papo hapo akaponywa ugonjwa wake wa kutokwa damu. \t ܐܬܩܪܒܬ ܡܢ ܒܤܬܪܗ ܘܩܪܒܬ ܠܟܢܦܐ ܕܡܐܢܗ ܘܡܚܕܐ ܩܡܬ ܡܪܕܝܬܐ ܕܕܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, siku watu watakapofufuka, mama huyo atakuwa mke wa nani? Maana wote saba walikuwa wamemwoa.\" \t ܒܩܝܡܬܐ ܗܟܝܠ ܕܐܝܢܐ ܡܢܗܘܢ ܬܗܘܐ ܐܢܬܬܐ ܫܒܥܬܝܗܘܢ ܓܝܪ ܢܤܒܘܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Bwana akaniambia: Nenda; ninakutuma mbali kwa mataifa mengine.\" \t ܘܐܡܪ ܠܝ ܙܠ ܕܐܢܐ ܡܫܕܪ ܐܢܐ ܠܟ ܠܪܘܚܩܐ ܠܡܟܪܙܘ ܠܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kumbukeni: \"Apandaye kidogo huvuna kidogo; apandaye kwa wingi huvuna kwa wingi.\" \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܡܢ ܕܙܪܥ ܒܚܘܤܢܐ ܐܦ ܒܚܘܤܢܐ ܚܨܕ ܘܡܢ ܕܙܪܥ ܒܒܘܪܟܬܐ ܒܒܘܪܟܬܐ ܢܚܨܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo ndipo Petro alipotambua yaliyotukia, akasema, \"Sasa najua kwa hakika kwamba Bwana amemtuma malaika wake akaniokoa kutoka katika mkono wa Herode na kutoka katika mambo yale yote watu wa Israeli waliyotazamia.\" \t ܗܝܕܝܢ ܐܫܬܘܕܥ ܫܡܥܘܢ ܘܐܡܪ ܗܫܐ ܝܕܥܬ ܒܩܘܫܬܐ ܕܡܪܝܐ ܫܕܪ ܡܠܐܟܗ ܘܦܠܛܢܝ ܡܢ ܐܝܕܗ ܕܗܪܘܕܤ ܡܠܟܐ ܘܡܢ ܡܕܡ ܕܡܬܚܫܒܝܢ ܗܘܘ ܥܠܝ ܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi ni ukoo mteule, makuhani wa Mfalme, taifa takatifu; watu wake Mungu mwenyewe, mlioteuliwa kutangaza matendo makuu ya Mungu aliyewaiteni kutoka gizani akawaingizeni katika mwanga wake mkuu. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܫܪܒܬܐ ܐܢܬܘܢ ܓܒܝܬܐ ܕܡܟܗܢܐ ܠܡܠܟܘܬܐ ܥܡܐ ܩܕܝܫܐ ܟܢܫܐ ܦܪܝܩܐ ܬܤܒܪܘܢ ܬܫܒܚܬܗ ܕܗܘ ܕܩܪܟܘܢ ܡܢ ܚܫܘܟܐ ܠܢܘܗܪܗ ܡܝܬܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakufanya ubaguzi wowote kati yetu na wao; aliitakasa mioyo yao kwa imani. \t ܘܡܕܡ ܠܐ ܦܪܫ ܒܝܢܝܢ ܘܠܗܘܢ ܡܛܠ ܕܕܟܝ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܠܒܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaendelea kuwaambia, \"Kweli nawaambieni, wako wengine papa hapa ambao hawatakufa kabla ya kuuona Ufalme wa Mungu ukija kwa enzi.\" \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܝܬ ܐܢܫܐ ܕܩܝܡܝܢ ܬܢܢ ܕܠܐ ܢܛܥܡܘܢ ܡܘܬܐ ܥܕܡܐ ܕܢܚܙܘܢ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܕܐܬܬ ܒܚܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "hadi nitakapowafanya adui zako kibao cha kukanyagia miguu yako. \t ܥܕܡܐ ܕܐܤܝܡ ܒܥܠܕܒܒܝܟ ܟܘܒܫܐ ܠܪܓܠܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake akatoa fedha dinari mbili akampa yule mwenye nyumba, akamwambia, Muuguze mtu huyu; na chochote utakachotumia zaidi, nitakulipa nitakaporudi.\" \t ܘܠܨܦܪܗ ܕܝܘܡܐ ܐܦܩ ܬܪܝܢ ܕܝܢܪܝܢ ܝܗܒ ܠܦܘܬܩܝܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܝܨܦ ܕܝܠܗ ܘܐܢ ܡܕܡ ܝܬܝܪ ܬܦܩ ܡܐ ܕܗܦܟ ܐܢܐ ܝܗܒ ܐܢܐ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ingawa Yesu alifanya miujiza hii yote mbele yao, wao hawakumwamini. \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܐܬܘܬܐ ܥܒܕ ܩܕܡܝܗܘܢ ܠܐ ܗܝܡܢܘ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naona kuwa mateso ya wakati huu wa sasa si kitu kamwe kama tukiyafananisha na ule utukufu utakaodhihirishwa kwetu. \t ܡܬܪܥܐ ܐܢܐ ܓܝܪ ܕܠܐ ܫܘܝܢ ܚܫܘܗܝ ܕܙܒܢܐ ܗܢܐ ܠܬܫܒܘܚܬܐ ܐܝܕܐ ܕܥܬܝܕܐ ܕܬܬܓܠܐ ܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vaeni viatu lakini msivae kanzu mbili.\" \t ܘܟܠ ܡܢ ܕܠܐ ܢܩܒܠܘܢܟܘܢ ܘܠܐ ܢܫܡܥܘܢܟܘܢ ܡܐ ܕܢܦܩܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܬܡܢ ܦܨܘ ܚܠܐ ܕܒܬܚܬܝܐ ܕܪܓܠܝܟܘܢ ܠܤܗܕܘܬܗܘܢ ܘܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܢܗܘܐ ܢܝܚ ܠܤܕܘܡ ܘܠܥܡܘܪܐ ܒܝܘܡܐ ܕܕܝܢܐ ܐܘ ܠܡܕܝܢܬܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni kweli, mtu yeyote asiyeupokea Ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo, hataingia katika Ufalme huo.\" \t ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܡܢ ܕܠܐ ܢܩܒܠ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܐܝܟ ܛܠܝܐ ܠܐ ܢܥܘܠ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo ninyi mmekuwa mfano mzuri kwa waumini wote wa Makedonia na Akaya. \t ܘܗܘܝܬܘܢ ܕܡܘܬܐ ܠܟܠܗܘܢ ܡܗܝܡܢܐ ܕܐܝܬ ܒܡܩܕܘܢܝܐ ܘܒܐܟܐܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kuwa mkate huo ni mmoja, sisi, ingawa ni wengi, tu mwili mmoja; maana sote twashiriki mkate huohuo. \t ܐܝܟܢܐ ܕܚܕ ܗܘ ܠܚܡܐ ܗܘ ܗܟܢܐ ܟܠܢ ܚܕ ܚܢܢ ܦܓܪ ܟܠܢ ܓܝܪ ܡܢ ܗܘ ܗܘ ܚܕ ܠܚܡܐ ܢܤܒܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama akiwako mwenye kupenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni. \t ܘܐܢ ܐܝܬ ܬܡܢ ܒܪ ܫܠܡܐ ܢܬܬܢܝܚ ܥܠܘܗܝ ܫܠܡܟܘܢ ܐܢ ܕܝܢ ܠܐ ܥܠܝܟܘܢ ܢܗܦܘܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakapaaza sauti: \"Ukombozi wetu watoka kwa Mungu wetu aketiye juu ya kiti cha enzi, na kutoka kwa Mwanakondoo!\" \t ܘܩܥܝܢ ܒܩܠܐ ܪܒܐ ܘܐܡܪܝܢ ܦܘܪܩܢܐ ܠܐܠܗܢ ܘܠܕܝܬܒ ܥܠ ܟܘܪܤܝܐ ܘܠܐܡܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkuu wa karamu alipoonja hayo maji, kumbe yalikuwa yamegeuka kuwa divai. Yeye hakujua ilikotoka, (lakini wale watumishi waliochota maji walijua). Mkuu wa karamu akamwita bwana arusi, \t ܘܟܕ ܛܥܡ ܗܘ ܪܝܫ ܤܡܟܐ ܡܝܐ ܗܢܘܢ ܕܗܘܘ ܚܡܪܐ ܘܠܐ ܝܕܥ ܗܘܐ ܡܢ ܐܝܡܟܐ ܗܘܐ ܡܫܡܫܢܐ ܕܝܢ ܝܕܥܝܢ ܗܘܘ ܕܗܢܘܢ ܡܠܘ ܐܢܘܢ ܠܡܝܐ ܩܪܐ ܪܝܫ ܤܡܟܐ ܠܚܬܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yakobo alipopata habari kwamba huko Misri kulikuwa na nafaka, aliwatuma watoto wake, yaani babu zetu, waende huko Misri mara ya kwanza. \t ܘܟܕ ܫܡܥ ܝܥܩܘܒ ܕܐܝܬ ܥܒܘܪܐ ܒܡܨܪܝܢ ܫܕܪ ܗܘܐ ܠܐܒܗܬܢ ܠܘܩܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Simoni Petro akapanda mashuani, akavuta hadi nchi kavu ule wavu uliokuwa umejaa samaki wakubwa mia moja na hamsini na watatu. Na ingawa walikuwa wengi hivyo wavu haukukatika. \t ܘܤܠܩ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܘܢܓܕܗ ܠܡܨܝܕܬܐ ܠܐܪܥܐ ܟܕ ܡܠܝܐ ܢܘܢܐ ܪܘܪܒܐ ܡܐܐ ܘܚܡܫܝܢ ܘܬܠܬܐ ܘܒܗܢܐ ܟܠܗ ܝܘܩܪܐ ܠܐ ܐܨܛܪܝܬ ܡܨܝܕܬܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Haya, kamilisheni ile kazi wazee wenu waliyoianza! \t ܘܐܦ ܐܢܬܘܢ ܡܠܘ ܡܫܘܚܬܐ ܕܐܒܗܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anapaswa kuwa mkarimu na anayependa mambo mema. Anapaswa kuwa mtu mtaratibu, mwadilifu, mtakatifu na mwenye nidhamu. \t ܐܠܐ ܢܗܘܐ ܪܚܡ ܐܟܤܢܝܐ ܘܢܗܘܐ ܪܚܡ ܛܒܬܐ ܘܢܗܘܐ ܢܟܦ ܘܢܗܘܐ ܟܐܝܢ ܘܢܗܘܐ ܚܤܝܐ ܘܠܒܝܟ ܢܦܫܗ ܡܢ ܪܓܝܓܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliwaita wanafunzi wake kumi na wawili, akawapa uwezo wa kutoa pepo wachafu na kuponya magonjwa na maradhi yote. \t ܘܩܪܐ ܠܬܪܥܤܪ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܝܗܒ ܠܗܘܢ ܫܘܠܛܢܐ ܥܠ ܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ ܕܢܦܩܘܢ ܘܠܡܐܤܝܘ ܟܠ ܟܐܒ ܘܟܘܪܗܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Ibilisi akamwacha, na malaika wakaja, wakamhudumia. \t ܗܝܕܝܢ ܫܒܩܗ ܐܟܠܩܪܨܐ ܘܗܐ ܡܠܐܟܐ ܩܪܒܘ ܘܡܫܡܫܝܢ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawakataza sana wasimjulishe mtu jambo hilo. Kisha akawaambia wampe huyo msichana chakula. \t ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܩܡܬ ܛܠܝܬܐ ܘܡܗܠܟܐ ܗܘܬ ܐܝܬܝܗ ܗܘܬ ܓܝܪ ܒܪܬ ܫܢܝܢ ܬܪܬܥܤܪܐ ܘܡܬܕܡܪܝܢ ܗܘܘ ܕܘܡܪܐ ܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo alijiunga nao kama ilivyokuwa desturi yake akajadiliana nao Sabato tatu mfululizo, akatumia Maandiko Matakatifu. \t ܘܥܠ ܦܘܠܘܤ ܐܝܟܢܐ ܕܡܥܕ ܗܘܐ ܠܘܬܗܘܢ ܘܫܒܐ ܬܠܬ ܡܠܠ ܥܡܗܘܢ ܡܢ ܟܬܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Jicho ni taa ya mwili. Kama jicho lako ni zima, mwili wako wote utakuwa katika mwanga. \t ܫܪܓܐ ܕܦܓܪܐ ܐܝܬܝܗ ܥܝܢܐ ܐܢ ܥܝܢܟ ܗܟܝܠ ܬܗܘܐ ܦܫܝܛܐ ܐܦ ܟܠܗ ܦܓܪܟ ܢܗܝܪ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi ya walimu wa Sheria waliokuwa wameketi hapo wakawaza mioyoni mwao, \t ܐܝܬ ܗܘܘ ܕܝܢ ܬܡܢ ܡܢ ܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܕܝܬܒܝܢ ܘܡܬܪܥܝܢ ܗܘܘ ܒܠܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tulipokwisha fika salama kwenye nchi kavu, tuligundua kwamba kile kisiwa kinaitwa Malta. \t ܘܡܢ ܒܬܪܟܢ ܝܠܦܢ ܕܡܠܝܛܐ ܡܬܩܪܝܐ ܗܝ ܓܙܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akamwuliza maswali mengi kwa muda mrefu, lakini Yesu hakumjibu neno. \t ܘܡܠܐ ܤܓܝܐܬܐ ܡܫܐܠ ܗܘܐ ܠܗ ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܡܕܡ ܦܬܓܡܐ ܠܐ ܐܬܝܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa basi Mungu hulivika hivyo jani la shambani ambalo leo liko na kesho latupwa motoni, je, hatafanya zaidi kwenu ninyi? Enyi watu wenye imani haba! \t ܐܢ ܕܝܢ ܠܥܡܝܪܐ ܕܚܩܠܐ ܕܝܘܡܢܐ ܐܝܬܘܗܝ ܘܡܚܪ ܢܦܠ ܒܬܢܘܪܐ ܐܠܗܐ ܗܟܢܐ ܡܠܒܫ ܠܐ ܤܓܝ ܝܬܝܪ ܠܟܘܢ ܙܥܘܪܝ ܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni kweli, popote ulimwenguni Habari Njema itakapohubiriwa, kitendo hiki alichofanya kitatajwa kwa ajili ya kumkumbuka.\" \t ܘܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܟܠ ܐܝܟܐ ܕܬܬܟܪܙ ܤܒܪܬܝ ܗܕܐ ܒܟܠܗ ܥܠܡܐ ܘܐܦ ܡܕܡ ܕܥܒܕܬ ܗܕܐ ܢܬܡܠܠ ܠܕܘܟܪܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, alipofufuliwa kutoka wafu, wanafunzi wake walikumbuka kwamba alikuwa amesema hayo, wakaamini Maandiko Matakatifu na yale maneno aliyokuwa akisema Yesu. \t ܟܕ ܩܡ ܕܝܢ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܐܬܕܟܪܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܗܕܐ ܐܡܪ ܗܘܐ ܘܗܝܡܢܘ ܠܟܬܒܐ ܘܠܡܠܬܐ ܕܐܡܪ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mfarisayo mmoja aitwaye Gamalieli ambaye alikuwa mwalimu wa Sheria na aliyeheshimika sana mbele ya watu wote, alisimama mbele ya lile Baraza, akataka wale mitume watolewe nje kwa muda mfupi. \t ܘܩܡ ܗܘܐ ܚܕ ܡܢ ܦܪܝܫܐ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܓܡܠܝܐܝܠ ܡܠܦ ܢܡܘܤܐ ܘܡܝܩܪ ܡܢ ܟܠܗ ܥܡܐ ܘܦܩܕ ܕܢܦܩܘܢ ܐܢܘܢ ܠܫܠܝܚܐ ܠܒܪ ܥܕܢܐ ܙܥܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa wanajua kwamba kila ulichonipa kimetoka kwako. \t ܗܫܐ ܝܕܥܬ ܕܟܠ ܡܐ ܕܝܗܒܬ ܠܝ ܡܢ ܠܘܬܟ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa ninaihubiri Habari Njema, hilo si jambo la kujivunia; hilo ni jukumu nililopewa. Na, ole wangu kama sitaihubiri Habari Njema! \t ܐܦ ܕܡܤܒܪ ܐܢܐ ܓܝܪ ܠܝܬ ܠܝ ܫܘܒܗܪܐ ܩܛܝܪܐ ܓܝܪ ܤܝܡ ܥܠܝ ܘܝ ܠܝ ܕܝܢ ܐܠܐ ܐܤܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini unao ugumu na ukaidi wa moyo, na hivyo unajilundikia adhabu kwa Siku ile ambayo ghadhabu ya Mungu na hukumu zake za haki vitadhihirishwa. \t ܐܠܐ ܡܛܠ ܩܫܝܘܬ ܠܒܟ ܕܠܐ ܬܐܒ ܤܐܡ ܐܢܬ ܠܟ ܤܝܡܬܐ ܕܪܘܓܙܐ ܠܝܘܡܐ ܕܪܘܓܙܐ ܘܠܓܠܝܢܐ ܕܕܝܢܐ ܟܐܢܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Chukua yale mafundisho uliyonisikia nikitangaza mbele ya mashahidi wengi, uyakabidhi kwa watu wanaoaminika, ambao wataweza kuwafundisha wengine pia. \t ܘܐܝܠܝܢ ܕܫܡܥܬ ܡܢܝ ܒܝܕ ܤܗܕܐ ܤܓܝܐܐ ܗܢܝܢ ܐܓܥܠ ܠܐܢܫܐ ܡܗܝܡܢܐ ܐܝܠܝܢ ܕܡܛܝܐ ܒܐܝܕܝܗܘܢ ܐܦ ܠܐܚܪܢܐ ܠܡܠܦܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ampendaye baba au mama yake kuliko anipendavyo mimi, hanistahili. Ampendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili. \t ܡܢ ܕܪܚܡ ܐܒܐ ܐܘ ܐܡܐ ܝܬܝܪ ܡܢ ܕܠܝ ܠܐ ܫܘܐ ܠܝ ܘܡܢ ܕܪܚܡ ܒܪܐ ܐܘ ܒܪܬܐ ܝܬܝܪ ܡܢ ܕܠܝ ܠܐ ܫܘܐ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tumwelekee Yesu ambaye ndiye aliyeianzisha imani yetu na ambaye ataikamilisha. Kwa ajili ya furaha iliyokuwa inamngojea, yeye alivumilia kifo msalabani, bila kujali juu ya aibu yake, na sasa anaketi upande wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu. \t ܘܢܚܘܪ ܒܝܫܘܥ ܕܗܘ ܗܘܐ ܪܝܫܐ ܘܓܡܘܪܐ ܠܗܝܡܢܘܬܢ ܕܚܠܦ ܚܕܘܬܐ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܤܝܒܪ ܨܠܝܒܐ ܘܥܠ ܒܗܬܬܐ ܐܡܤܪ ܘܥܠ ܝܡܝܢܐ ܕܟܘܪܤܝܗ ܕܐܠܗܐ ܝܬܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alikuwa ameazimia tangu zamani kutuleta kwake kama watoto wake kwa njia ya Yesu Kristo. Ndivyo alivyopenda na kunuia. \t ܘܤܡܢ ܠܒܢܝܐ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܝܟ ܕܫܦܪ ܠܨܒܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, amri hizi: \"Usizini; Usiue; Usitamani;\" na nyingine zote, zimo katika amri hii moja: \"Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.\" \t ܘܐܦ ܗܝ ܓܝܪ ܕܐܡܪ ܕܠܐ ܬܓܘܪ ܘܠܐ ܬܩܛܘܠ ܘܠܐ ܬܓܢܘܒ ܘܠܐ ܬܪܓ ܘܐܢ ܐܝܬ ܦܘܩܕܢܐ ܐܚܪܢܐ ܒܗܕܐ ܡܠܬܐ ܡܫܬܠܡ ܕܬܪܚܡ ܠܩܪܝܒܟ ܐܝܟ ܢܦܫܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "naye Yohane, ameyasema yote aliyoyaona. Na hii ndio taarifa yake kuhusu ujumbe wa Mungu na ukweli uliofunuliwa na Yesu Kristo. \t ܗܘ ܕܐܤܗܕ ܠܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܠܤܗܕܘܬܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܟܠ ܡܐ ܕܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wale wanafunzi wengine wakamwambia, \"Tumemwona Bwana.\" Thoma akawaambia, \"Nisipoona mikononi mwake alama za misumari, na kutia kidole changu katika kovu hizo, na kutia mkono wangu ubavuni mwake, sitasadiki.\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܬܠܡܝܕܐ ܚܙܝܢ ܠܡܪܢ ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܠܐ ܚܙܐ ܐܢܐ ܒܐܝܕܘܗܝ ܕܘܟܝܬܐ ܕܨܨܐ ܘܪܡܐ ܐܢܐ ܒܗܝܢ ܨܒܥܬܝ ܘܡܘܫܛ ܐܢܐ ܐܝܕܝ ܒܕܦܢܗ ܠܐ ܡܗܝܡܢ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maandiko yasema: \"Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.\" \t ܡܛܠ ܕܟܬܝܒ ܕܗܘܝܬܘܢ ܩܕܝܫܝܢ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܐܢܐ ܩܕܝܫ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mmoja wetu amepewa neema kadiri ya kipimo alichojaliwa na Kristo. \t ܠܚܕ ܚܕ ܡܢܢ ܕܝܢ ܐܬܝܗܒܬ ܛܝܒܘܬܐ ܐܝܟ ܡܫܘܚܬܐ ܕܡܘܗܒܬܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye alihubiri akisema, \"Baada yangu anakuja mwenye uwezo zaidi kuliko mimi, ambaye mimi sistahili hata kuinama na kufungua kamba za viatu vyake. \t ܘܡܟܪܙ ܗܘܐ ܘܐܡܪ ܗܐ ܐܬܐ ܒܬܪܝ ܕܚܝܠܬܢ ܡܢܝ ܗܘ ܕܠܐ ܫܘܐ ܐܢܐ ܕܐܓܗܢ ܐܫܪܐ ܥܪܩܐ ܕܡܤܢܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamwuliza tena huyo mtu aliyekuwa kipofu, \"Maadam yeye amekufungua macho, wasemaje juu yake?\" Naye akawaambia, \"Yeye ni nabii!\" \t ܐܡܪܝܢ ܬܘܒ ܠܗܘ ܤܡܝܐ ܐܢܬ ܡܢܐ ܐܡܪ ܐܢܬ ܥܠܘܗܝ ܕܦܬܚ ܠܟ ܥܝܢܝܟ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܢܒܝܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, napenda mfahamu kwamba ile Habari Njema niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu. \t ܡܘܕܥ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܐܚܝ ܕܤܒܪܬܐ ܕܐܤܬܒܪܬ ܡܢܝ ܠܐ ܗܘܬ ܡܢ ܒܪܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliposikia hayo akamwambia Yairo, \"Usiogope; amini tu, naye atapona.\" \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܫܡܥ ܘܐܡܪ ܠܐܒܘܗ ܕܛܠܝܬܐ ܠܐ ܬܕܚܠ ܒܠܚܘܕ ܗܝܡܢ ܘܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Asiyezingatia na kudumu katika mafundisho ya Kristo, bali anayakiuka, hana Mungu. Lakini anayedumu katika mafundisho hayo anaye Baba na Mwana. \t ܟܠ ܐܝܢܐ ܕܥܒܪ ܘܠܐ ܡܩܘܐ ܒܝܘܠܦܢܗ ܕܡܫܝܚܐ ܐܠܗܐ ܠܝܬ ܒܗ ܗܘ ܕܡܩܘܐ ܒܝܘܠܦܢܗ ܗܢܐ ܘܠܐܒܐ ܘܠܒܪܐ ܐܝܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa wanapita katika ile miji waliwapa watu yale maagizo yaliyotolewa na mitume na wazee kule Yerusalemu, wakawaambia wayazingatie. \t ܘܟܕ ܐܙܠܝܢ ܗܘܘ ܒܡܕܝܢܬܐ ܡܟܪܙܝܢ ܗܘܘ ܘܡܠܦܝܢ ܠܗܘܢ ܕܢܗܘܘܢ ܢܛܪܝܢ ܦܘܩܕܢܐ ܐܝܠܝܢ ܕܟܬܒܘ ܫܠܝܚܐ ܘܩܫܝܫܐ ܕܒܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, usione haya kumshuhudia Bwana wetu, wala usione haya kwa sababu yangu mimi niliye mfungwa kwa ajili yake. Lakini shiriki katika mateso kwa ajili ya Habari Njema, kadiri ya nguvu unazopewa na Mungu. \t ܠܐ ܗܟܝܠ ܬܒܗܬ ܒܤܗܕܘܬܗ ܕܡܪܢ ܐܦܠܐ ܒܝ ܒܐܤܝܪܗ ܐܠܐ ܫܩܘܠ ܒܝܫܬܐ ܥܡ ܐܘܢܓܠܝܘܢ ܒܚܝܠܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja, ilipokuwa zamu yake ya kutoa huduma ya ukuhani mbele ya Mungu, \t ܗܘܐ ܗܘܐ ܕܝܢ ܟܕ ܡܟܗܢ ܗܘܐ ܒܛܟܤܐ ܕܬܫܡܫܬܗ ܩܕܡ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, haikumpasa Kristo kuteswa, na hivyo aingie katika utukufu wake?\" \t ܠܐ ܗܘܐ ܗܠܝܢ ܥܬܝܕ ܗܘܐ ܕܢܤܝܒܪ ܡܫܝܚܐ ܘܕܢܥܘܠ ܠܬܫܒܘܚܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Viumbe hivyo vinne vilikuwa na mabawa sita kila kimoja, na vilikuwa vimejaa macho, ndani na nje. Usiku na mchana, bila kupumzika huimba: \"Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Bwana, Mungu Mwenye Uwezo, aliyekuwako, aliyeko na anayekuja!\" \t ܐܪܒܥܬܝܗܝܢ ܚܝܘܬܐ ܟܠܚܕܐ ܡܢܗܝܢ ܩܝܡܐ ܘܐܝܬ ܠܗ ܡܢ ܛܦܪܝܗ ܘܠܥܠ ܫܬܐ ܓܦܝܢ ܚܘܕܪܢܐܝܬ ܘܡܢ ܠܓܘ ܡܠܝܢ ܥܝܢܐ ܘܫܠܝܐ ܠܝܬ ܠܗܝܢ ܐܝܡܡܐ ܘܠܠܝܐ ܠܡܐܡܪ ܩܕܝܫ ܩܕܝܫ ܩܕܝܫ ܡܪܝܐ ܐܠܗܐ ܐܚܝܕ ܟܠ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܘܐܝܬܘܗܝ ܘܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wayahudi wengi walikuwa wamefika kwa Martha na Maria kuwafariji kwa kifo cha kaka yao. \t ܘܤܓܝܐܐ ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܐܬܝܐܝܢ ܗܘܘ ܠܘܬ ܡܪܬܐ ܘܡܪܝܡ ܕܢܡܠܘܢ ܒܠܒܗܝܢ ܡܛܠ ܐܚܘܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na matakwa ya yule aliyenituma ndiyo haya: nisimpoteze hata mmoja kati ya wale alionipa, ila niwafufue wote Siku ya mwisho. \t ܗܢܘ ܕܝܢ ܨܒܝܢܗ ܕܡܢ ܕܫܕܪܢܝ ܕܟܠ ܕܝܗܒ ܠܝ ܠܐ ܐܘܒܕ ܡܢܗ ܐܠܐ ܐܩܝܡܝܘܗܝ ܒܝܘܡܐ ܐܚܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa nani? Je, yalitoka mbinguni ama kwa watu?\" Lakini wakajadiliana wao kwa wao hivi: \"Tukisema, Yalitoka mbinguni, atatuuliza, Basi, mbona hamkumsadiki? \t ܡܥܡܘܕܝܬܗ ܕܝܘܚܢܢ ܐܝܡܟܐ ܐܝܬܝܗ ܡܢ ܫܡܝܐ ܗܝ ܐܘ ܡܢ ܒܢܝܢܫܐ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܡܬܪܥܝܢ ܗܘܘ ܒܢܦܫܗܘܢ ܘܐܡܪܝܢ ܕܐܢ ܢܐܡܪ ܡܢ ܫܡܝܐ ܐܡܪ ܠܢ ܘܥܠ ܡܢܐ ܠܐ ܗܝܡܢܬܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni lazima kitawaliwe na huyo mwenye hicho kipaji. \t ܪܘܚܐ ܓܝܪ ܕܢܒܝܐ ܠܢܒܝܐ ܡܫܬܥܒܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale watu walipomkuta Yesu ng'ambo ya pili wa ziwa walimwuliza, \"Mwalimu, ulifika lini hapa?\" \t ܘܟܕ ܐܫܟܚܘܗܝ ܒܥܒܪܐ ܕܝܡܐ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܪܒܢ ܐܡܬܝ ܐܬܝܬ ܠܗܪܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akajibu, \"Tubuni na kila mmoja wenu abatizwe kwa jina la Yesu Kristo ili mpate kuondolewa dhambi zenu na kupokea ile zawadi ya Roho Mtakatifu. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܫܡܥܘܢ ܬܘܒܘ ܘܥܡܕܘ ܐܢܫ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܒܫܡܗ ܕܡܪܝܐ ܝܫܘܥ ܠܫܘܒܩܢ ܚܛܗܐ ܕܬܩܒܠܘܢ ܡܘܗܒܬܐ ܕܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyu ndiye yule aliyekwezwa na Mungu mpaka upande wake wa kulia, akawa kiongozi na Mwokozi, ili awawezeshe watu wa Israeli watubu, wapate kusamehewa dhambi zao. \t ܠܗ ܠܗܢܐ ܐܩܝܡ ܐܠܗܐ ܪܫܐ ܘܡܚܝܢܐ ܘܐܪܝܡܗ ܒܝܡܝܢܗ ܐܝܟ ܕܢܬܠ ܬܝܒܘܬܐ ܘܫܘܒܩܢ ܚܛܗܐ ܠܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zaidi ya hayo yote, zingatieni upendo kwani upendo huunganisha kila kitu katika umoja ulio kamili. \t ܘܥܡ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܚܘܒܐ ܕܗܘܝܘ ܚܙܩܐ ܕܓܡܝܪܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo lawama yote itawapateni kwa ajili ya damu yote ya watu wema iliyomwagwa juu ya ardhi. Naam, tangu kuuawa kwa Abeli ambaye hakuwa na hatia, mpaka kuuawa kwa Zakariya, mwana wa Barakia, ambaye mlimuua Hekaluni kati ya patakatifu na madhabahu. \t ܐܝܟܢܐ ܕܢܐܬܐ ܥܠܝܟܘܢ ܟܠܗ ܕܡܐ ܕܙܕܝܩܐ ܕܐܬܐܫܕ ܥܠ ܐܪܥܐ ܡܢ ܕܡܗ ܕܗܒܝܠ ܙܕܝܩܐ ܘܥܕܡܐ ܠܕܡܗ ܕܙܟܪܝܐ ܒܪ ܒܪܟܝܐ ܗܘ ܕܩܛܠܬܘܢ ܒܝܢܝ ܗܝܟܠܐ ܠܡܕܒܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, jirani zake na wale waliokuwa wanajua kwamba hapo awali alikuwa maskini mwombaji, wakasema, \"Je, huyu siye yule maskini aliyekuwa akiketi na kuomba?\" \t ܫܒܒܘܗܝ ܕܝܢ ܘܐܝܠܝܢ ܕܚܙܐ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܡܢ ܩܕܝܡ ܕܚܕܪ ܗܘܐ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܠܐ ܗܘܐ ܗܢܘ ܗܘ ܕܝܬܒ ܗܘܐ ܘܚܕܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akamwita mmoja wa watumishi, akamwuliza: Kuna nini? \t ܘܩܪܐ ܠܚܕ ܡܢ ܛܠܝܐ ܘܫܐܠܗ ܡܢܘ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wakampeleka huyo mtu aliyekuwa kipofu kwa Mafarisayo. \t ܘܐܝܬܝܘܗܝ ܠܗܘ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܤܡܝܐ ܗܘܐ ܠܘܬ ܦܪܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikilizeni, nawaambieni siri: sisi hatutakufa sote, ila sote tutageuzwa \t ܗܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܪܙܐ ܠܘ ܟܠܢ ܢܕܡܟ ܟܠܢ ܕܝܢ ܢܬܚܠܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nanyi mtaanza kumwambia: Sisi ndio wale tuliokula na kunywa pamoja nawe; na wewe ulifundisha katika vijiji vyetu. \t ܘܬܫܪܘܢ ܠܡܐܡܪ ܩܕܡܝܟ ܐܟܠܢ ܘܐܫܬܝܢ ܘܒܫܘܩܝܢ ܐܠܦܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tumshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi yake isiyo na kifani! \t ܛܝܒܘ ܕܝܢ ܠܐܠܗܐ ܥܠ ܡܘܗܒܬܗ ܕܠܐ ܡܬܡܠܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote wakapaaza sauti tena: \"Msulubishe!\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܬܘܒ ܩܥܘ ܙܩܘܦܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, msifurahi kwa sababu pepo wamewatii, bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.\" \t ܒܪܡ ܒܗܕܐ ܠܐ ܬܚܕܘܢ ܕܫܐܕܐ ܡܫܬܥܒܕܝܢ ܠܟܘܢ ܐܠܐ ܚܕܘ ܕܫܡܗܝܟܘܢ ܐܬܟܬܒܘ ܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mkiwasalimu ndugu zenu tu, je, mmefanya kitu kisicho cha kawaida? Hata watu wasiomjua Mungu nao hufanya vivyo hivyo. \t ܗܘܘ ܗܟܝܠ ܐܢܬܘܢ ܓܡܝܪܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܒܘܟܘܢ ܕܒܫܡܝܐ ܓܡܝܪ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawaendea wale wanafunzi, akawaambia, \"Je, mngali mmelala na kupumzika? Tazameni! Saa yenyewe imefika, na Mwana wa Mtu atatolewa kwa watu wenye dhambi. \t ܗܝܕܝܢ ܐܬܐ ܠܘܬ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܡܟܘ ܡܟܝܠ ܘܐܬܬܢܝܚܘ ܗܐ ܡܛܬ ܫܥܬܐ ܘܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܡܫܬܠܡ ܒܐܝܕܝܗܘܢ ܕܚܛܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Kristo sharti atawale mpaka Mungu atakapowashinda adui zake na kuwaweka chini ya miguu yake. \t ܥܬܝܕ ܗܘ ܓܝܪ ܕܢܡܠܟ ܥܕܡܐ ܕܢܤܝܡ ܒܥܠܕܒܒܘܗܝ ܟܠܗܘܢ ܬܚܝܬ ܪܓܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Viongozi vipofu! Mnatoa nzi katika kinywaji, lakini mnameza ngamia! \t ܢܓܘܕܐ ܤܡܝܐ ܕܡܨܠܠܝܢ ܒܩܐ ܘܒܠܥܝܢ ܓܡܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, mnadhani neno la Mungu limetoka kwenu ninyi au kwamba limewajieni ninyi peke yenu? \t ܐܘ ܕܠܡܐ ܡܢܟܘܢ ܗܘ ܢܦܩܬ ܡܠܬܗ ܕܐܠܗܐ ܐܘ ܠܘܬܟܘܢ ܗܘ ܒܠܚܘܕ ܡܛܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, baadhi ya matawi ya mzeituni bustanini yalikatwa, na mahali pake tawi la mzeituni mwitu likapandikizwa. Ninyi watu wa mataifa mengine ndio hilo tawi la mzeituni mwitu; na sasa mnashiriki nguvu na utomvu wa mzeituni bustanini. \t ܘܐܢ ܡܢ ܤܘܟܐ ܐܬܦܫܚ ܘܐܢܬ ܕܙܝܬܐ ܐܢܬ ܕܒܪܐ ܐܬܛܥܡܬ ܒܕܘܟܝܬܗܝܢ ܘܗܘܝܬ ܫܘܬܦܐ ܠܥܩܪܗ ܘܠܫܘܡܢܗ ܕܙܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, mnakumbuka jinsi tulivyofanya kazi na kutaabika. Tulipowaleteeni Habari Njema ya Mungu tulifanya kazi mchana na usiku kusudi tusiwe mzigo kwa mtu yeyote miongoni mwenu. \t ܥܗܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܓܝܪ ܐܚܝܢ ܕܠܐܝܢ ܗܘܝܢ ܘܥܡܠܝܢ ܒܥܒܕ ܐܝܕܝܢ ܒܠܠܝܐ ܘܒܐܝܡܡܐ ܕܥܠ ܚܕ ܡܢܟܘܢ ܠܐ ܢܐܩܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndivyo walivyojipamba hapo kale wanawake waadilifu waliomtumainia Mungu; walijiweka chini ya mamlaka ya waume zao. \t ܗܟܢܐ ܓܝܪ ܐܦ ܡܢ ܩܕܝܡ ܢܫܐ ܩܕܝܫܬܐ ܐܝܠܝܢ ܕܡܤܒܪܢ ܗܘܝ ܒܐܠܗܐ ܡܨܒܬܢ ܗܘܝ ܢܦܫܬܗܝܢ ܘܡܫܬܥܒܕܢ ܗܘܝ ܠܒܥܠܝܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakaanza kupiga kelele, \"Una shauri gani nasi, wewe Mwana wa Mungu? Je, umekuja kututesa kabla ya wakati wake?\" \t ܘܩܥܘ ܘܐܡܪܝܢ ܡܐ ܠܢ ܘܠܟ ܝܫܘܥ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܐܬܝܬ ܠܟܐ ܩܕܡ ܙܒܢܐ ܕܬܫܢܩܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walimsulubisha, kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura. \t ܘܟܕ ܙܩܦܘܗܝ ܦܠܓܘ ܢܚܬܘܗܝ ܒܦܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Si rahisi mtu kufa kwa ajili ya mtu mwadilifu; labda mtu anaweza kuthubutu kufa kwa ajili ya mtu mwema. \t ܠܡܚܤܢ ܓܝܪ ܐܢܫ ܚܠܦ ܪܫܝܥܐ ܡܐܬ ܚܠܦ ܛܒܐ ܓܝܪ ܛܟ ܡܡܪܚ ܐܢܫ ܠܡܡܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro alimfuata Yesu kwa mbali, akaingia ndani ya ya wa Kuhani Mkuu, akaketi pamoja na walinzi akiota moto. \t ܫܡܥܘܢ ܕܝܢ ܡܢ ܪܘܚܩܐ ܐܬܐ ܗܘܐ ܒܬܪܗ ܥܕܡܐ ܠܓܘ ܕܪܬܐ ܕܪܒ ܟܗܢܐ ܘܝܬܒ ܗܘܐ ܥܡ ܡܫܡܫܢܐ ܘܫܚܢ ܠܘܩܒܠ ܢܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilipokuwa jioni, akaja mtu mmoja tajiri mwenyeji wa Armathaya, jina lake Yosefu. Yeye pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu. \t ܟܕ ܗܘܐ ܕܝܢ ܪܡܫܐ ܐܬܐ ܓܒܪܐ ܥܬܝܪܐ ܡܢ ܪܡܬܐ ܕܫܡܗ ܝܘܤܦ ܕܐܦ ܗܘ ܐܬܬܠܡܕ ܗܘܐ ܠܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko alijaribiwa na Ibilisi kwa muda wa siku arubaini. Wakati huo wote hakula chochote, na baada ya siku hizo akasikia njaa. \t ܝܘܡܬܐ ܐܪܒܥܝܢ ܕܢܬܢܤܐ ܡܢ ܐܟܠܩܪܨܐ ܘܠܐ ܠܥܤ ܡܕܡ ܒܗܢܘܢ ܝܘܡܬܐ ܘܟܕ ܫܠܡ ܐܢܘܢ ܠܚܪܬܐ ܟܦܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishomi Babuloni: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli alimzaa Zerobabeli, \t ܡܢ ܒܬܪ ܓܠܘܬܐ ܕܝܢ ܕܒܒܠ ܝܘܟܢܝܐ ܐܘܠܕ ܠܫܠܬܐܝܠ ܫܠܬܐܝܠ ܐܘܠܕ ܠܙܘܪܒܒܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawatazama, akasema, \"Kwa binadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote huwezekana.\" \t ܚܪ ܒܗܘܢ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܘܬ ܒܢܝܢܫܐ ܗܕܐ ܠܐ ܡܫܟܚܐ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܟܠܡܕܡ ܡܫܟܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Maandiko Matakatifu yasemaje? Yasema: \"Mfukuze mama mtumwa pamoja na mwanawe; maana mtoto wa mtumwa hatarithi pamoja na mtoto wa mama huru.\" \t ܐܠܐ ܡܢܐ ܐܡܪ ܟܬܒܐ ܐܦܩܝܗ ܠܐܡܬܐ ܘܠܒܪܗ ܡܛܠ ܕܠܐ ܢܐܪܬ ܒܪܗ ܕܐܡܬܐ ܥܡ ܒܪܗ ܕܚܐܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo Mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa. \t ܗܘ ܕܝܢ ܦܪܝܫܐ ܟܕ ܚܙܝܗܝ ܐܬܕܡܪ ܕܠܐ ܠܘܩܕܡ ܥܡܕ ܡܢ ܩܕܡ ܫܪܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama vile tulivyofanana na yule aliyeumbwa kwa udongo, vivyo hivyo tutafanana na huyohuyo aliyetoka mbinguni. \t ܘܐܝܟ ܕܠܒܫܢ ܕܡܘܬܐ ܕܗܘ ܕܡܢ ܥܦܪܐ ܗܟܢܐ ܢܠܒܫ ܕܡܘܬܐ ܕܗܘ ܕܡܢ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu akawaambia, \"Ni nani kati yenu ambaye mtoto wake au ng'ombe wake akitumbukia shimoni, hangemtoa hata kama ni siku ya Sabato?\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܘ ܡܢܟܘܢ ܕܢܦܠ ܒܪܗ ܐܘ ܬܘܪܗ ܒܒܪܐ ܒܝܘܡܐ ܕܫܒܬܐ ܘܠܐ ܡܚܕܐ ܕܠܐ ܡܤܩ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku hiyo Mungu atamlipa kila mmoja kufuatana na matendo yake. \t ܗܘ ܕܦܪܥ ܠܟܠܢܫ ܐܝܟ ܥܒܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu akimwona ndugu yake ametenda dhambi isiyompeleka kwenye kifo anapaswa kumwombea kwa Mungu, naye Mungu atampatia uzima. Nasema jambo hili kuhusu wale waliotenda dhambi ambazo si za kifo. Lakini ipo dhambi yenye kumpeleka mtu kwenye kifo nami sisemi kwamba mnapaswa kumwomba Mungu kwa ajili ya hiyo. \t ܐܢ ܐܢܫ ܢܚܙܐ ܠܐܚܘܗܝ ܕܚܛܐ ܚܛܗܐ ܕܠܐ ܡܚܝܒ ܠܡܘܬܐ ܢܫܐܠ ܘܡܬܝܗܒܝܢ ܠܗ ܚܝܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܗܘܐ ܐܝܟ ܕܠܡܘܬܐ ܚܛܝܢ ܐܝܬ ܓܝܪ ܚܛܗܐ ܕܡܘܬܐ ܠܐ ܗܘܐ ܥܠ ܗܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܢܒܥܐ ܐܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, Mungu akipenda, nitaweza kuja kwenu na moyo wa furaha, nikapumzike pamoja nanyi. \t ܘܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܒܚܕܘܬܐ ܒܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܘܐܬܬܢܝܚ ܥܡܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wakulima wakawakamata hao watumishi; mmoja wakampiga, mwingine wakamwua na mwingine wakampiga mawe. \t ܘܐܚܕܘ ܦܠܚܐ ܠܥܒܕܘܗܝ ܘܐܝܬ ܕܡܚܐܘܗܝ ܘܐܝܬ ܕܪܓܡܘܗܝ ܘܐܝܬ ܕܩܛܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, Mungu amewaacha wafuate tamaa mbaya. Hata wanawake wanabadili matumizi yanayopatana na maumbile. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܫܠܡ ܐܢܘܢ ܐܠܗܐ ܠܟܐܒܐ ܕܨܥܪܐ ܢܩܒܬܗܘܢ ܓܝܪ ܚܠܦ ܚܫܚܬܐ ܕܟܝܢܗܝܢ ܘܒܡܕܡ ܕܠܐ ܡܟܢ ܐܬܚܫܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo yale tuliyoyaona na kuyasikia.\" \t ܠܐ ܓܝܪ ܡܫܟܚܝܢ ܚܢܢ ܕܡܐ ܕܚܙܝܢ ܘܫܡܥܢ ܕܠܐ ܢܡܠܠܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Nileteeni hapa.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܝܬܘ ܐܢܘܢ ܠܝ ܠܗܪܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa akitoka mlangoni, mtumishi mwingine wa kike akamwona, akawaambia wale waliokuwa pale, \"Mtu huyu alikuwa pamoja na Yesu wa Nazareti.\" \t ܘܟܕ ܢܦܩ ܠܤܦܐ ܚܙܬܗ ܐܚܪܬܐ ܘܐܡܪܐ ܠܗܘܢ ܕܬܡܢ ܗܘܐ ܐܦ ܗܢܐ ܥܡ ܝܫܘܥ ܢܨܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena akaniambia, \"Usiyafiche kama siri maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, maana wakati wa kutimizwa kwake umekaribia. \t ܘܐܡܪ ܠܝ ܠܐ ܬܚܬܘܡ ܡܠܐ ܕܢܒܝܘܬܐ ܕܟܬܒܐ ܗܢܐ ܙܒܢܐ ܓܝܪ ܩܪܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wakikataa kuwakaribisha, tokeni katika mji huo, nanyi mnapotoka kung'uteni mavumbi miguuni mwenu kama onyo kwao.\" \t ܘܠܡܢ ܕܠܐ ܡܩܒܠܝܢ ܠܟܘܢ ܡܐ ܕܢܦܩܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ ܗܝ ܐܦ ܚܠܐ ܡܢ ܪܓܠܝܟܘܢ ܦܨܘ ܥܠܝܗܘܢ ܠܤܗܕܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana mnapokula kila mmoja hukikalia chakula chake mwenyewe, hata hutokea kwamba baadhi yenu wana njaa, na wengine wamelewa! \t ܐܠܐ ܐܢܫ ܐܢܫ ܚܫܡܝܬܗ ܩܕܡ ܐܟܠ ܠܗ ܘܗܘܐ ܚܕ ܟܦܢ ܘܚܕ ܪܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akasema, \"Heri wewe Simoni mwana wa Yona, kwa maana si binadamu aliyekufunulia ukweli huu, ila Baba yangu aliye mbinguni. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܛܘܒܝܟ ܫܡܥܘܢ ܒܪܗ ܕܝܘܢܐ ܕܒܤܪܐ ܘܕܡܐ ܠܐ ܓܠܐ ܠܟ ܐܠܐ ܐܒܝ ܕܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nami nikauliza: Nani wewe, Bwana? Naye akaniambia: Mimi ni Yesu wa Nazareti ambaye wewe unamtesa. \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܥܢܝܬ ܘܐܡܪܬ ܡܢ ܐܢܬ ܡܪܝ ܘܗܘ ܐܡܪ ܠܝ ܐܢܐ ܗܘ ܝܫܘܥ ܢܨܪܝܐ ܕܐܢܬ ܪܕܦ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Enyi kizazi kisicho na imani! Nitakaa nanyi mpaka lini? Nitawavumilia mpaka lini? Mleteni kwangu.\" \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܘܢ ܫܪܒܬܐ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܐ ܥܕܡܐ ܠܐܡܬܝ ܐܗܘܐ ܠܘܬܟܘܢ ܘܥܕܡܐ ܠܐܡܬܝ ܐܤܝܒܪܟܘܢ ܐܝܬܐܘܗܝ ܠܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nasema ukweli, na ndiyo maana ninyi hamniamini. \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܫܪܪܐ ܡܡܠܠ ܐܢܐ ܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yu wapi basi, mwenye hekima? Yu wapi basi, mwalimu wa Sheria? Naye bingwa wa mabishano wa nyakati hizi yuko wapi? Mungu ameifanya hekima ya ulimwengu kuwa upumbavu. \t ܐܝܟܐ ܗܘ ܚܟܝܡܐ ܐܘ ܐܝܟܐ ܗܘ ܤܦܪܐ ܐܘ ܐܝܟܐ ܗܘ ܕܪܘܫܐ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܠܐ ܗܐ ܐܫܛܝܗ ܐܠܗܐ ܚܟܡܬܗ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Tegeni masikio, myasikie mambo haya: Mwana wa Mtu anakwenda kutiwa mikononi mwa watu.\" \t ܤܝܡܘ ܐܢܬܘܢ ܡܠܐ ܗܠܝܢ ܒܐܕܢܝܟܘܢ ܒܪܗ ܓܝܪ ܕܐܢܫܐ ܥܬܝܕ ܕܢܫܬܠܡ ܒܐܝܕܝ ܒܢܝ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wazazi wake walishangaa, lakini Yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote hayo yaliyotendeka. \t ܘܬܡܗܘ ܐܒܗܝܗ ܗܘ ܕܝܢ ܙܗܪ ܐܢܘܢ ܕܠܐܢܫ ܠܐ ܢܐܡܪܘܢ ܡܐ ܕܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ingekuwa afadhali kwake kufungiwa shingoni jiwe kubwa la kusagia na kutoswa baharini, kuliko kumkwaza mmoja wa wadogo hawa. \t ܦܩܚ ܗܘܐ ܠܗ ܐܠܘ ܪܚܝܐ ܕܚܡܪܐ ܬܠܝܐ ܒܨܘܪܗ ܘܫܕܐ ܒܝܡܐ ܐܘ ܕܢܟܫܠ ܠܚܕ ܡܢ ܗܠܝܢ ܙܥܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya miaka miwili, Porkio Festo alichukua nafasi ya Felisi, akawa mkuu wa Mkoa. Kwa kuwa alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi, Felisi alimwacha Paulo kizuizini. \t ܘܟܕ ܡܠܝ ܠܗ ܬܪܬܝܢ ܫܢܝܢ ܐܚܪܢܐ ܗܓܡܘܢܐ ܐܬܐ ܗܘܐ ܠܕܘܟܬܗ ܕܡܬܩܪܐ ܗܘܐ ܦܪܩܝܘܤ ܦܗܤܛܘܤ ܦܝܠܟܤ ܕܝܢ ܐܝܟ ܕܢܥܒܕ ܛܝܒܘܬܐ ܒܝܗܘܕܝܐ ܫܒܩܗ ܠܦܘܠܘܤ ܟܕ ܐܤܝܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ole wao waja wazito na wanyonyeshao siku hizo! Kwa maana kutakuwa na dhiki kubwa katika nchi, na hasira ya Mungu itawajia watu hawa. \t ܘܝ ܕܝܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܒܛܢܢ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܡܝܢܩܢ ܒܗܢܘܢ ܝܘܡܬܐ ܢܗܘܐ ܓܝܪ ܐܘܠܨܢܐ ܪܒܐ ܒܐܪܥܐ ܘܪܘܓܙܐ ܥܠ ܥܡܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.\" \t ܫܒܩܬܘܢ ܓܝܪ ܦܘܩܕܢܐ ܕܐܠܗܐ ܘܐܚܝܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܫܠܡܢܘܬܐ ܕܒܢܝ ܐܢܫܐ ܡܥܡܘܕܝܬܐ ܕܟܤܐ ܘܕܩܤܛܐ ܘܤܓܝܐܬܐ ܐܝܠܝܢ ܕܠܗܠܝܢ ܕܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Isaya alisema maneno haya kwa sababu aliuona utukufu wa Yesu, akasema habari zake. \t ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܐܫܥܝܐ ܟܕ ܚܙܐ ܫܘܒܚܗ ܘܡܠܠ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Upendo hauna kikomo kamwe. Kama kuna vipaji vya kutangaza ujumbe wa Mungu, hivyo vitatoweka siku moja; kama ni vipaji vya kusema lugha ngeni, vitakoma; kama kuna elimu, nayo itapita. \t ܚܘܒܐ ܡܡܬܘܡ ܠܐ ܢܦܠ ܢܒܝܘܬܐ ܓܝܪ ܢܬܒܛܠܢ ܘܠܫܢܐ ܢܫܬܬܩܘܢ ܘܝܕܥܬܐ ܬܬܒܛܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye atawatuma malaika wake wenye tarumbeta la kuvuma sana, nao watawakusanya wateule wake kutoka pande zote nne za dunia, toka mwisho huu wa mbingu hadi mwisho huu. \t ܘܢܫܕܪ ܡܠܐܟܘܗܝ ܥܡ ܫܝܦܘܪܐ ܪܒܐ ܘܢܟܢܫܘܢ ܠܓܒܝܐ ܕܝܠܗ ܡܢ ܐܪܒܥܬ ܪܘܚܐ ܡܢ ܪܫܗܘܢ ܕܫܡܝܐ ܘܥܕܡܐ ܠܪܫܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hivi ndivyo mnavyopaswa kusali: Baba yetu uliye mbinguni: Jina lako litukuzwe. \t ܗܟܢܐ ܗܟܝܠ ܨܠܘ ܐܢܬܘܢ ܐܒܘܢ ܕܒܫܡܝܐ ܢܬܩܕܫ ܫܡܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Wayahudi waliokuwa nyumbani pamoja na Maria wakimfariji walipomwona ameinuka na kutoka nje ghafla, walimfuata. Walidhani alikuwa anakwenda kaburini kuomboleza. \t ܐܦ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܝܗܘܕܝܐ ܕܐܝܬ ܗܘܘ ܥܡܗ ܒܒܝܬܐ ܕܡܒܝܐܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܕܚܙܘ ܠܡܪܝܡ ܕܥܓܠ ܩܡܬ ܢܦܩܬ ܐܙܠܘ ܠܗܘܢ ܒܬܪܗ ܤܒܪܘ ܓܝܪ ܕܠܩܒܪܐ ܐܙܠܐ ܠܡܒܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na ule mwanga mkali sikuweza kuona na hivyo iliwabidi wale wenzangu kuniongoza kwa kunishika mkono mpaka nikafika Damasko. \t ܘܟܕ ܠܐ ܡܬܚܙܐ ܗܘܐ ܠܝ ܡܛܠ ܬܫܒܘܚܬܗ ܕܢܘܗܪܐ ܗܘ ܐܚܕܘܢܝ ܒܐܝܕܝ ܗܢܘܢ ܕܥܡܝ ܗܘܘ ܘܥܠܬ ܠܕܪܡܤܘܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Yeyote anayemwacha mke wake na kuoa mwingine, anazini; na yeyote anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini. \t ܟܠ ܡܢ ܕܫܪܐ ܐܢܬܬܗ ܘܢܤܒ ܐܚܪܬܐ ܓܐܪ ܘܟܠ ܡܢ ܕܢܤܒ ܫܒܝܩܬܐ ܓܐܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kulikuwa na Wayahudi wengine kutoka mkoa wa Asia; hao ndio wangepaswa kuwa hapa mbele yako na kutoa mashtaka yao kama wana chochote cha kusema dhidi yangu. \t ܐܠܐ ܐܢ ܕܫܓܫܘ ܐܢܫܝܢ ܝܗܘܕܝܐ ܕܐܬܘ ܡܢ ܐܤܝܐ ܐܝܠܝܢ ܕܘܠܐ ܗܘܐ ܕܢܩܘܡܘܢ ܥܡܝ ܩܕܡܝܟ ܘܢܩܛܪܓܘܢ ܡܕܡ ܕܐܝܬ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, pamoja na ndugu hao, tumemtuma ndugu yetu mwingine ambaye mara nyingi tumempa majaribio mbalimbali, tukamwona kuwa ni mwenye hamu kubwa ya kusaidia; hata sasa amekuwa na moyo zaidi kwa sababu ana imani sana nanyi. \t ܫܕܪܢ ܕܝܢ ܥܡܗܘܢ ܐܦ ܠܐܚܘܢ ܐܝܢܐ ܕܠܢ ܒܩܐ ܒܟܠܙܒܢ ܒܤܓܝܐܬܐ ܕܚܦܝܛܐ ܗܘ ܗܫܐ ܕܝܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܚܦܝܛ ܒܬܘܟܠܢܐ ܤܓܝܐܐ ܕܥܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Inawezekanaje hamwelewi ya kwamba sikuwa nikisema juu ya mikate? Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo!\" \t ܐܝܟܢ ܠܐ ܐܤܬܟܠܬܘܢ ܕܠܐ ܗܘܐ ܥܠ ܠܚܡܐ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܐܠܐ ܕܬܙܕܗܪܘܢ ܡܢ ܚܡܝܪܐ ܕܦܪܝܫܐ ܘܕܙܕܘܩܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Simoni ambaye alikuwa amekwisha fanya uchawi wake katika mji huo kwa muda na kuwashangaza watu wa Samaria, akijiona kuwa yeye ni mtu maarufu. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܬܡܢ ܓܒܪܐ ܚܕ ܕܫܡܗ ܤܝܡܘܢ ܕܥܡܝܪ ܗܘܐ ܠܗ ܒܗ ܒܡܕܝܢܬܐ ܙܒܢܐ ܤܓܝܐܐ ܘܒܚܪܫܘܗܝ ܡܛܥܐ ܗܘܐ ܠܥܡܐ ܕܫܡܪܝܐ ܟܕ ܡܘܪܒ ܗܘܐ ܢܦܫܗ ܘܐܡܪ ܕܐܢܐ ܐܢܐ ܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "atapokea mengi zaidi wakati huu wa sasa, na kupokea uzima wa milele wakati ujao.\" \t ܘܠܐ ܢܩܒܠ ܒܐܥܦܐ ܤܓܝܐܐ ܒܗܢܐ ܙܒܢܐ ܘܒܥܠܡܐ ܕܐܬܐ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro aliendelea kuongea na Kornelio wakiwa wanaingia nyumbani ambamo aliwakuta watu wengi wamekusanyika. \t ܘܟܕ ܡܡܠܠ ܥܡܗ ܥܠ ܘܐܫܟܚ ܤܓܝܐܐ ܕܐܬܘ ܗܘܘ ܠܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo na Barnaba walipokuwa wanatoka katika ile sunagogi, wale watu waliwaalika waje tena siku ya Sabato iliyofuata, waongee zaidi juu ya mambo hayo. \t ܘܟܕ ܢܦܩܝܢ ܗܘܘ ܡܢ ܨܐܕܝܗܘܢ ܒܥܘ ܡܢܗܘܢ ܕܠܫܒܬܐ ܐܚܪܬܐ ܢܡܠܠܘܢ ܥܡܗܘܢ ܡܠܐ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia, akamwinamia \t ܟܕ ܚܙܐ ܕܝܢ ܠܝܫܘܥ ܡܢ ܪܘܚܩܐ ܪܗܛ ܤܓܕ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, yeyote atakayevunja hata amri moja ndogo kuliko zote, na kuwafundisha wengine wafanye hivyo, huyo atakuwa mdogo kabisa katika Ufalme wa mbiguni. Lakini yule atakayezishika na kuwafundisha wengine, huyo atakuwa mkubwa katika Ufalme wa mbinguni. \t ܟܠ ܡܢ ܗܟܝܠ ܕܢܫܪܐ ܚܕ ܡܢ ܦܘܩܕܢܐ ܗܠܝܢ ܙܥܘܪܐ ܘܢܠܦ ܗܟܢܐ ܠܒܢܝܢܫܐ ܒܨܝܪܐ ܢܬܩܪܐ ܒܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܟܠ ܕܝܢ ܕܢܥܒܕ ܘܢܠܦ ܗܢܐ ܪܒܐ ܢܬܩܪܐ ܒܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafarisayo na walimu wa Sheria wakaanza kunung'unika: \"Mtazameni mtu huyu! Anawakaribisha wenye dhambi, na tena anakula nao.\" \t ܘܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܪܛܢܝܢ ܗܘܘ ܘܐܡܪܝܢ ܗܢܐ ܠܚܛܝܐ ܡܩܒܠ ܘܐܟܠ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliingia Hekaluni, akawa anafundisha. Alipokuwa akifundisha, makuhani wakuu na wazee wa watu wakamwuliza, \"Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Nani amekupa mamlaka haya?\" \t ܘܟܕ ܐܬܐ ܝܫܘܥ ܠܗܝܟܠܐ ܩܪܒܘ ܠܗ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܩܫܝܫܐ ܕܥܡܐ ܟܕ ܡܠܦ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܒܐܝܢܐ ܫܘܠܛܢ ܗܠܝܢ ܥܒܕ ܐܢܬ ܘܡܢܘ ܝܗܒ ܠܟ ܫܘܠܛܢܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akamjibu, \"Acha tu iwe hivyo kwa sasa, maana kwa namna hii inafaa tuyatekeleze yale yote Mungu anayotaka.\" Hapo Yohane akakubali. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܫܒܘܩ ܗܫܐ ܗܟܢܐ ܓܝܪ ܝܐܐ ܠܢ ܕܢܡܠܐ ܟܠܗ ܟܐܢܘܬܐ ܘܗܝܕܝܢ ܫܒܩܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko alimwona mmoja wao akitendewa vibaya, akaenda kumwokoa, na kulipiza kisasi, akamuua yule Mmisri. \t ܘܚܙܐ ܠܚܕ ܡܢ ܒܢܝ ܫܪܒܬܗ ܕܡܬܕܒܪ ܒܩܛܝܪܐ ܘܬܒܥܗ ܘܥܒܕ ܠܗ ܕܝܢܐ ܘܩܛܠܗ ܠܡܨܪܝܐ ܗܘ ܕܡܤܟܠ ܗܘܐ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, tukiendelea kutenda dhambi makusudi baada ya kufahamu ukweli, hakuna dhabihu iwezayo kutolewa tena kwa ajili ya kuondoa dhambi. \t ܐܢ ܓܝܪ ܒܨܒܝܢܗ ܢܚܛܐ ܐܢܫ ܡܢ ܒܬܪ ܕܩܒܠ ܝܕܥܬܐ ܕܫܪܪܐ ܠܝܬ ܡܟܝܠ ܕܒܚܬܐ ܕܬܬܩܪܒ ܚܠܦ ܚܛܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, hakika hayo mawe yatapaza sauti.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܢ ܗܠܝܢ ܢܫܬܩܘܢ ܟܐܦܐ ܢܩܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Niigeni mimi kama ninavyomwiga Kristo. \t ܐܬܕܡܘ ܒܝ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܐܢܐ ܒܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana Maandiko yasema: \"Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.\" \t ܕܡܪܝܐ ܗܝ ܓܝܪ ܐܪܥܐ ܒܡܠܐܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane alipokuwa anamaliza ujumbe wake aliwaambia watu: Mnadhani mimi ni nani? Mimi si yule mnayemtazamia. Huyo anakuja baada yangu na mimi sistahili hata kuzifungua kamba za viatu vyake. \t ܘܟܕ ܡܫܠܡ ܗܘܐ ܝܘܚܢܢ ܬܫܡܫܬܗ ܐܡܪ ܗܘܐ ܡܢܘ ܤܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܝܬܝ ܠܐ ܗܘܝܬ ܐܢܐ ܐܠܐ ܗܐ ܐܬܐ ܒܬܪܝ ܗܘ ܕܠܐ ܫܘܐ ܐܢܐ ܕܐܫܪܐ ܥܪܩܐ ܕܡܤܢܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni Petro alikuwa na upanga; basi, akauchomoa, akamkata sikio la kulia mtumishi wa Kuhani Mkuu. Mtumishi huyo aliitwa Malko. \t ܫܡܥܘܢ ܕܝܢ ܟܐܦܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܥܠܘܗܝ ܤܦܤܪܐ ܘܫܡܛܗ ܘܡܚܝܗܝ ܠܥܒܕܗ ܕܪܒ ܟܗܢܐ ܘܫܩܠܗ ܐܕܢܗ ܕܝܡܝܢܐ ܫܡܗ ܕܝܢ ܕܥܒܕܐ ܡܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Abrahamu hakuionea mashaka ile ahadi ya Mungu; alipata nguvu kutokana na imani, akamtukuza Mungu. \t ܘܒܡܘܠܟܢܐ ܕܐܠܗܐ ܠܐ ܐܬܦܠܓ ܐܝܟ ܚܤܝܪ ܗܝܡܢܘܬܐ ܐܠܐ ܐܬܚܝܠ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܝܗܒ ܬܫܒܘܚܬܐ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Saulo akauliza, \"Ni nani wewe Bwana?\" Na ile sauti ikajibu, \"Mimi ni Yesu ambaye wewe unamtesa. \t ܥܢܐ ܗܘ ܘܐܡܪ ܡܢ ܐܢܬ ܡܪܝ ܘܡܪܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܐܢܐ ܝܫܘܥ ܢܨܪܝܐ ܗܘ ܕܐܢܬ ܪܕܦ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa malaika wa kanisa la Sarde andika hivi: \"Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aliye na roho saba za Mungu na nyota saba. Nayajua mambo yako yote; najua unajulikana kuwa na uhai kumbe umekufa! \t ܘܠܡܠܐܟܐ ܕܒܥܕܬܐ ܕܤܪܕܝܤ ܟܬܘܒ ܗܟܢܐ ܐܡܪ ܗܘ ܕܐܝܬ ܠܗ ܫܒܥ ܪܘܚܝܢ ܕܐܠܗܐ ܘܫܒܥܐ ܟܘܟܒܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܥܒܕܝܟ ܘܫܡܐ ܕܐܝܬ ܠܟ ܘܕܚܝܐ ܐܢܬ ܘܕܡܝܬܐ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala hawawezi kuthibitisha mashtaka waliyotoa juu yangu. \t ܘܠܐ ܕܢܚܘܘܢ ܡܛܝܐ ܒܐܝܕܝܗܘܢ ܩܕܡܝܟ ܥܠ ܡܕܡ ܕܗܫܐ ܡܩܛܪܓܝܢ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mwana wa Mtu ni Bwana wa Sabato.\" \t ܡܪܗ ܓܝܪ ܕܫܒܬܐ ܐܝܬܘܗܝ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alisema hivyo kwa sababu alijua wazi kwamba makuhani wakuu walimkabidhi Yesu kwake kwa sababu ya wivu. \t ܝܕܥ ܗܘܐ ܓܝܪ ܦܝܠܛܘܤ ܕܡܢ ܚܤܡܐ ܐܫܠܡܘܗܝ ܪܒܝ ܟܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Bwana wake akamwambia, Wewe ni mtumishi mwovu na mvivu! Unajua kuwa mimi huvuna mahali ambapo sikupanda, na hukusanya pale ambapo sikutawanya. \t ܥܢܐ ܡܪܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܥܒܕܐ ܒܝܫܐ ܘܚܒܢܢܐ ܝܕܥ ܗܘܝܬ ܕܚܨܕ ܐܢܐ ܐܝܟܐ ܕܠܐ ܙܪܥܬ ܘܡܟܢܫ ܐܢܐ ܡܢ ܐܝܟܐ ܕܠܐ ܒܕܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni akina nani basi, waliosikia sauti ya Mungu wakamwasi? Ni wale wote walioongozwa na Mose kutoka Misri. \t ܡܢ ܐܢܘܢ ܓܝܪ ܗܢܘܢ ܕܫܡܥܘ ܘܐܪܓܙܘܗܝ ܠܐ ܟܠܗܘܢ ܗܠܝܢ ܕܢܦܩܘ ܡܢ ܡܨܪܝܢ ܒܝܕ ܡܘܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni Mkanaani, na Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu. \t ܘܫܡܥܘܢ ܩܢܢܝܐ ܘܝܗܘܕܐ ܤܟܪܝܘܛܐ ܗܘ ܕܐܫܠܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wake wakashangaa sana wakaulizana, \"Ni nani basi, atakayeweza kuokoka?\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܡܬܕܡܪܝܢ ܗܘܘ ܘܐܡܪܝܢ ܒܝܢܝܗܘܢ ܡܢܘ ܡܫܟܚ ܠܡܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakawatuma wafuasi wao pamoja na wafuasi wa kikundi cha Herode. Wakamwuliza, \"Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu, na kwamba wafundisha njia ya Mungu kwa uaminifu; humwogopi mtu yeyote, maana cheo cha mtu si kitu kwako. \t ܘܫܕܪܘ ܠܘܬܗ ܬܠܡܝܕܝܗܘܢ ܥܡ ܕܒܝܬ ܗܪܘܕܤ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܠܦܢܐ ܝܕܥܝܢܢ ܕܫܪܝܪ ܐܢܬ ܘܐܘܪܚܐ ܕܐܠܗܐ ܒܩܘܫܬܐ ܡܠܦ ܐܢܬ ܘܠܐ ܫܩܝܠ ܐܢܬ ܨܦܬܐ ܕܐܢܫ ܠܐ ܓܝܪ ܢܤܒ ܐܢܬ ܒܐܦܐ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu. \t ܡܢ ܥܠܡ ܠܐ ܐܫܬܡܥܬ ܕܦܬܚ ܐܢܫ ܥܝܢܐ ܕܤܡܝܐ ܕܐܬܝܠܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawauliza walimu wa Sheria na Mafarisayo, \"Je, ni halali au la kumponya mtu siku ya sabato?\" \t ܘܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܤܦܪܐ ܘܠܦܪܝܫܐ ܕܐܢ ܫܠܝܛ ܒܫܒܬܐ ܠܡܐܤܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi namtumainia Mungu, na wao wanalo tumaini hilo, kwamba watu, wema na wabaya, watafufuka. \t ܘܟܕ ܐܝܬ ܠܝ ܤܒܪܐ ܥܠ ܐܠܗܐ ܐܝܢܐ ܕܐܦ ܗܢܘܢ ܗܠܝܢ ܡܤܒܪܝܢ ܕܥܬܝܕܐ ܕܬܗܘܐ ܩܝܡܬܐ ܕܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܕܟܐܢܐ ܘܕܥܘܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na mtu mmoja huko Lustra ambaye alikuwa amelemaa miguu tangu kuzaliwa, na alikuwa hajapata kutembea kamwe. \t ܘܓܒܪܐ ܚܕ ܝܬܒ ܗܘܐ ܒܠܘܤܛܪܐ ܡܕܝܢܬܐ ܕܤܓܝܦ ܗܘܐ ܒܪܓܠܘܗܝ ܚܓܝܪܐ ܕܡܢ ܟܪܤ ܐܡܗ ܕܡܡܬܘܡ ܠܐ ܗܠܟ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena Maandiko mengine yanasema: \"Watamtazama yule waliyemtoboa.\" \t ܘܬܘܒ ܟܬܒܐ ܐܚܪܢܐ ܕܐܡܪ ܕܢܚܘܪܘܢ ܒܡܢ ܕܕܩܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(G12-18) Na likajisimamia ukingoni mwa bahari. (G13-1) Kisha nikaona mnyama mmoja akitoka baharini. Alikuwa na vichwa saba na pembe kumi, na kila pembe ilikuwa na taji. Jina la kashfa lilikuwa limeandikwa juu ya vichwa hivyo. \t ܘܩܡܬ ܥܠ ܚܠܐ ܕܝܡܐ ܘܚܙܝܬ ܕܤܠܩܐ ܚܝܘܬܐ ܡܢ ܝܡܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܥܤܪ ܩܪܢܢ ܘܫܒܥ ܩܪܩܦܢ ܘܥܠ ܩܪܢܬܗ ܥܤܪܐ ܬܐܓܝܢ ܘܥܠ ܩܪܩܦܬܗ ܫܡܐ ܕܓܘܕܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako. \t ܐܡܪ ܠܗ ܡܪܗ ܐܝܘ ܥܒܕܐ ܛܒܐ ܘܡܗܝܡܢܐ ܥܠ ܩܠܝܠ ܡܗܝܡܢ ܗܘܝܬ ܥܠ ܤܓܝ ܐܩܝܡܟ ܥܘܠ ܠܚܕܘܬܗ ܕܡܪܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Najua mambo yako yote; najua bidii yako na uvumilivu wako. Najua kwamba huwezi kuwavumilia watu waovu, na kwamba umewapima wale wanaojisemea kuwa mitume na kumbe sio, ukagundua kwamba ni waongo. \t ܝܕܥ ܐܢܐ ܥܒܕܝܟ ܘܥܡܠܟ ܘܡܤܝܒܪܢܘܬܟ ܘܕܠܐ ܡܨܝܬ ܠܡܛܥܢ ܠܒܝܫܐ ܘܢܤܝܬ ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܡܪܝܢ ܢܦܫܗܘܢ ܕܫܠܝܚܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܘܠܝܬܝܗܘܢ ܘܐܫܟܚܬ ܐܢܘܢ ܕܓܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Angalieni mtu yeyote asimlipe mwingine maovu kwa maovu, ila nia yenu iwe kutendeana mema daima na kuwatendea mema watu wote. \t ܘܐܙܕܗܪܘ ܕܠܡܐ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܒܝܫܬܐ ܚܠܦ ܒܝܫܬܐ ܢܦܪܘܥ ܐܠܐ ܒܟܠܙܒܢ ܗܪܛܘ ܒܬܪ ܛܒܬܐ ܠܘܬ ܚܕܕܐ ܘܠܘܬ ܟܠܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia. \t ܗܘ ܕܒܙܒܢ ܠܝܬ ܗܘܐ ܠܟ ܒܗ ܚܫܚܘ ܗܫܐ ܕܝܢ ܐܦ ܠܟ ܐܦ ܠܝ ܛܒ ܚܫܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipofika mahali paitwapo, \"Fuvu la Kichwa,\" ndipo wakamsulubisha Yesu pamoja na wale wahalifu wawili, mmoja upande wake wa kulia na mwingine upande wake wa kushoto. \t ܘܟܕ ܐܬܘ ܠܕܘܟܬܐ ܚܕܐ ܕܡܬܩܪܝܐ ܩܪܩܦܬܐ ܙܩܦܘܗܝ ܬܡܢ ܘܠܗܢܘܢ ܥܒܕܝ ܒܝܫܬܐ ܚܕ ܡܢ ܝܡܝܢܗ ܘܚܕ ܡܢ ܤܡܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Najua kwamba hamna jema lolote ndani yangu mimi, kadiri ya ubinadamu wangu. Kwa maana, ingawa nataka kufanya jambo jema, siwezi kulitekeleza. \t ܝܕܥ ܐܢܐ ܗܘ ܓܝܪ ܕܠܐ ܥܡܪܐ ܒܝ ܗܢܘ ܕܝܢ ܒܒܤܪܝ ܛܒܬܐ ܕܐܨܒܐ ܓܝܪ ܒܛܒܬܐ ܦܫܝܩ ܠܝ ܕܐܤܥܪܝܗ ܕܝܢ ܠܐ ܡܫܟܚ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmesikia kufuru yake! Ninyi mwaonaje?\" Wote wakaamua kwamba anastahili kuuawa. \t ܗܐ ܡܢ ܦܘܡܗ ܫܡܥܬܘܢ ܓܘܕܦܐ ܡܢܐ ܡܬܚܙܐ ܠܟܘܢ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܟܠܗܘܢ ܕܢܘ ܕܚܝܒ ܗܘ ܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Divai ilipokwisha, mama yake akamwambia, \"Hawana divai!\" \t ܘܚܤܪ ܗܘܐ ܚܡܪܐ ܘܐܡܪܐ ܠܗ ܐܡܗ ܠܝܫܘܥ ܚܡܪܐ ܠܝܬ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, wakakutana pamoja. \t ܦܪܝܫܐ ܕܝܢ ܟܕ ܫܡܥܘ ܕܫܬܩ ܠܙܕܘܩܝܐ ܐܬܟܢܫܘ ܐܟܚܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu. \t ܫܡܥܘ ܗܐ ܢܦܩ ܙܪܘܥܐ ܠܡܙܪܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mafarisayo na walimu wa Sheria walikataa mpango wa Mungu uliowahusu wakakataa kubatizwa na Yohane. \t ܦܪܝܫܐ ܕܝܢ ܘܤܦܪܐ ܛܠܡܘ ܒܢܦܫܗܘܢ ܨܒܝܢܐ ܕܐܠܗܐ ܕܠܐ ܐܬܥܡܕܘ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mitume walifanya miujiza na maajabu mengi kati ya watu. Waumini walikuwa wakikutana pamoja katika ukumbi wa Solomoni. \t ܘܗܘܝܢ ܗܘܝ ܒܝܕ ܫܠܝܚܐ ܐܬܘܬܐ ܘܓܒܪܘܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܒܥܡܐ ܘܟܠܗܘܢ ܟܢܝܫܝܢ ܗܘܘ ܐܟܚܕܐ ܒܐܤܛܘܐ ܕܫܠܝܡܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika mwingine akatoka Hekaluni, na kwa sauti kubwa akamwambia yule aliyekuwa amekaa juu ya wingu, \"Tafadhali, tumia mundu wako ukavune mavuno, maana wakati wa mavuno umefika; mavuno ya dunia yameiva.\" \t ܘܐܚܪܢܐ ܡܠܐܟܐ ܢܦܩ ܡܢ ܗܝܟܠܐ ܘܩܥܐ ܒܩܠܐ ܪܒܐ ܠܕܝܬܒ ܥܠ ܥܢܢܐ ܫܕܪ ܡܓܠܬܟ ܘܚܨܘܕ ܡܛܠ ܕܐܬܬ ܫܥܬܐ ܠܡܚܨܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawaambia, \"Baba yangu anafanya kazi daima, nami pia nafanya kazi.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܒܝ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܥܒܕ ܐܦ ܐܢܐ ܥܒܕ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, shuka msalabani ujiokoe mwenyewe!\" \t ܦܨܐ ܢܦܫܟ ܘܚܘܬ ܡܢ ܙܩܝܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alituamuru kuihubiri Habari Njema kwa watu wote na kushuhudia kwamba yeye ndiye aliyeteuliwa na Mungu awe Mwamuzi wa wazima na wafu. \t ܘܦܩܕܢ ܕܢܟܪܙ ܘܢܤܗܕ ܠܥܡܐ ܕܗܢܘ ܕܐܬܦܪܫ ܡܢ ܐܠܗܐ ܕܝܢܐ ܕܚܝܐ ܘܕܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwendea huyo mama, akamshika mkono, akamwinua. Na ile homa ikamwacha, akaanza kuwatumikia. \t ܘܩܪܒ ܐܚܕܗ ܒܐܝܕܗ ܘܐܩܝܡܗ ܘܡܚܕܐ ܫܒܩܬܗ ܐܫܬܗ ܘܡܫܡܫܐ ܗܘܬ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwili una viungo vingi, kila kimoja na kazi yake. \t ܐܝܟܢܐ ܓܝܪ ܕܒܚܕ ܦܓܪܐ ܗܕܡܐ ܤܓܝܐܐ ܐܝܬ ܠܢ ܘܟܠܗܘܢ ܗܕܡܐ ܠܐ ܗܘܐ ܚܕ ܤܘܥܪܢܐ ܐܝܬ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akamwambia huyo ofisa Mroma, \"Nenda nyumbani; na iwe kama ulivyoamini.\" Na mtumishi wake akapona saa ileile. \t ܘܐܡܪ ܝܫܘܥ ܠܩܢܛܪܘܢܐ ܗܘ ܙܠ ܐܝܟܢܐ ܕܗܝܡܢܬ ܢܗܘܐ ܠܟ ܘܐܬܐܤܝ ܛܠܝܗ ܒܗ ܒܫܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna mtu anayeninyang'anya uhai wangu; mimi na nautoa kwa hiari yangu mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa na uwezo wa kuuchukua tena. Hivi ndivyo Baba alivyoniamuru nifanye.\" \t ܠܐ ܗܘܐ ܐܢܫ ܫܩܠ ܠܗ ܡܢܝ ܐܠܐ ܐܢܐ ܤܐܡ ܐܢܐ ܠܗ ܡܢ ܨܒܝܢܝ ܫܠܝܛ ܐܢܐ ܓܝܪ ܕܐܤܝܡܝܗ ܘܫܠܝܛ ܐܢܐ ܕܬܘܒ ܐܤܒܝܗ ܕܗܢܐ ܦܘܩܕܢܐ ܩܒܠܬ ܡܢ ܐܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wanaotenda dhambi waonye hadharani, ili wengine wapate kuogopa. \t ܠܐܝܠܝܢ ܕܚܛܝܢ ܩܕܡ ܟܠܢܫ ܟܘܢ ܕܐܦ ܫܪܟܐ ܕܐܢܫܐ ܢܕܚܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tufurahi na kushangilia; tumtukuze, kwani wakati wa arusi ya Mwanakondoo umefika, na bibi arusi yuko tayari. \t ܚܕܝܢܢ ܘܡܬܦܨܚܝܢܢ ܢܬܠ ܠܗ ܬܫܒܘܚܬܐ ܡܛܠ ܕܐܬܬ ܡܫܬܘܬܗ ܕܐܡܪܐ ܘܐܢܬܬܗ ܛܝܒܬ ܢܦܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo watu wawili watakuwa shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa. \t ܗܝܕܝܢ ܬܪܝܢ ܢܗܘܘܢ ܒܩܪܝܬܐ ܚܕ ܢܬܕܒܪ ܘܚܕ ܢܫܬܒܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kumtuma kwenu ndugu yetu Timotheo, ambaye ni mfanyakazi mwenzetu kwa ajili ya Mungu katika kuhubiri Habari Njema ya Kristo. Tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini, \t ܘܢܫܕܪ ܠܘܬܟܘܢ ܠܛܝܡܬܐܘܤ ܐܚܘܢ ܘܡܫܡܫܢܐ ܕܐܠܗܐ ܘܡܥܕܪܢܢ ܒܤܒܪܬܗ ܕܡܫܝܚܐ ܕܢܫܪܪܟܘܢ ܘܢܒܥܐ ܡܢܟܘܢ ܥܠ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akawaambia, \"Nendeni hadi kijiji kilicho mbele yenu na mtamkuta punda amefungwa na mtoto wake. Wafungueni mkawalete kwangu. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘ ܠܩܪܝܬܐ ܗܕܐ ܕܠܩܘܒܠܟܘܢ ܘܡܚܕܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܚܡܪܐ ܕܐܤܝܪܐ ܘܥܝܠܐ ܥܡܗ ܫܪܘ ܐܝܬܘ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala hawakutubu na kuacha kufanya mauaji, uchawi, uzinzi, na wizi. \t ܘܠܐ ܬܒܘ ܡܢ ܩܛܠܝܗܘܢ ܘܡܢ ܚܪܫܝܗܘܢ ܘܡܢ ܙܢܝܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, yule aliyekuwa amekaa juu ya wingu akautupa mundu wake duniani, na mavuno ya dunia yakavunwa. \t ܘܐܪܡܝ ܗܘ ܕܝܬܒ ܥܠ ܥܢܢܐ ܡܓܠܬܗ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܐܬܚܨܕܬ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nafurahi sana kwamba Stefana, Fortunato na Akaiko wamefika; wamelijaza pengo lililokuwako kwa kutokuwako kwenu. \t ܚܕܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܒܡܐܬܝܬܗ ܕܐܤܛܦܢܐ ܘܕܦܪܛܘܢܛܘܤ ܘܕܐܟܐܝܩܘܤ ܕܡܕܡ ܕܒܨܪܬܘܢ ܠܘܬܝ ܗܢܘܢ ܡܠܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tuseme nini? Ni hivi: watu wa mataifa ambao hawakutafuta kukubaliwa kuwa waadilifu, wamekubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani, \t ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܢܐܡܪ ܕܥܡܡܐ ܕܠܐ ܪܗܛܝܢ ܗܘܘ ܒܬܪ ܟܐܢܘܬܐ ܐܕܪܟܘ ܟܐܢܘܬܐ ܟܐܢܘܬܐ ܕܝܢ ܐܝܕܐ ܕܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pembe zile kumi ulizoziona na yule mnyama watamchukia huyo mzinzi. Watachukua kila kitu alicho nacho na kumwacha uchi; watakula nyama yake na kumteketeza kwa moto. \t ܘܥܤܪ ܩܪܢܬܐ ܕܚܙܝܬ ܠܚܝܘܬܐ ܗܠܝܢ ܢܤܢܝܢ ܠܙܢܝܬܐ ܘܚܪܒܬܐ ܘܥܪܛܠܝܬܐ ܢܥܒܕܘܢܗ ܘܒܤܪܗ ܢܐܟܠܘܢ ܘܢܘܩܕܘܢܗ ܒܢܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, msishirikiane nao. \t ܠܐ ܗܟܝܠ ܬܗܘܘܢ ܠܗܘܢ ܫܘܬܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakawakasirikia hao ndugu wawili. \t ܟܕ ܕܝܢ ܫܡܥܘ ܥܤܪܐ ܪܓܙܘ ܥܠ ܗܢܘܢ ܬܪܝܢ ܐܚܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ufalme wa mbinguni umefanana na hazina iliyofichika shambani. Mtu mmoja aliigundua, akaificha tena. Alifurahi sana hata akaenda kuuza yote aliyokuwa nayo, akalinunua shamba lile. \t ܬܘܒ ܕܡܝܐ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܠܤܝܡܬܐ ܕܡܛܫܝܐ ܒܩܪܝܬܐ ܗܝ ܕܐܫܟܚܗ ܓܒܪܐ ܘܛܫܝܗ ܘܡܢ ܚܕܘܬܗ ܐܙܠ ܙܒܢ ܟܠ ܕܐܝܬ ܠܗ ܘܙܒܢܗ ܠܩܪܝܬܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu. \t ܘܢܦܩܘ ܦܪܝܫܐ ܘܡܠܟܐ ܢܤܒܘ ܥܠܘܗܝ ܐܝܟ ܕܢܘܒܕܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akamgusa huyo mama mkono, na homa ikamwacha; akasimama, akamtumikia. \t ܘܩܪܒ ܠܐܝܕܗ ܘܫܒܩܬܗ ܐܫܬܐ ܘܩܡܬ ܘܡܫܡܫܐ ܗܘܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, wakati mmoja kulikuwa na ndugu saba. Yule wa kwanza alioa na baadaye akafa bila kuacha mtoto. \t ܫܒܥܐ ܕܝܢ ܐܚܝܢ ܐܝܬ ܗܘܘ ܩܕܡܝܐ ܢܤܒ ܐܢܬܬܐ ܘܡܝܬ ܕܠܐ ܒܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "naye Yesu akawaambia mambo mengi kwa mifano. \"Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu. \t ܘܤܓܝ ܡܡܠܠ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܒܦܠܐܬܐ ܘܐܡܪ ܗܐ ܢܦܩ ܙܪܘܥܐ ܕܢܙܪܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika wa tano akamwaga bakuli lake juu ya makao makuu ya yule mnyama. Giza likauvamia utawala wake, watu wakauma ndimi zao kwa sababu za maumivu, \t ܘܡܠܐܟܐ ܕܚܡܫܐ ܐܫܕ ܙܒܘܪܗ ܥܠ ܟܘܪܤܝܗ ܕܚܝܘܬܐ ܘܗܘܬ ܡܠܟܘܬܗ ܚܫܘܟܬܐ ܘܡܠܥܤܝܢ ܗܘܘ ܠܫܢܝܗܘܢ ܡܢ ܟܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Unawezaje kukiona kibanzi kilicho katika jicho la mwenzio, usione boriti iliyo katika jicho lako mwenyewe? \t ܡܢܐ ܕܝܢ ܚܙܐ ܐܢܬ ܓܠܐ ܕܒܥܝܢܗ ܕܐܚܘܟ ܩܪܝܬܐ ܕܝܢ ܕܒܥܝܢܟ ܠܐ ܡܬܚܙܝܐ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu Yesu aliwaambia pia mfano wa wale ambao walijiona kuwa wema na kuwadharau wengine. \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܡܬܠܐ ܗܢܐ ܠܘܩܒܠ ܐܢܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܬܟܝܠܝܢ ܥܠ ܢܦܫܗܘܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܙܕܝܩܐ ܘܒܤܝܢ ܥܠ ܟܠܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waona basi, kwamba imani yake iliandamana na matendo yake; imani yake ilikamilishwa kwa matendo yake. \t ܚܙܐ ܐܢܬ ܕܗܝܡܢܘܬܗ ܤܝܥܬ ܠܥܒܕܘܗܝ ܘܡܢ ܥܒܕܐ ܗܝܡܢܘܬܗ ܐܬܓܡܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, ingawa mimi niko mbali nanyi kwa mwili, lakini niko pamoja nanyi kwa roho, na ninafurahi kuona uthabiti kamili mnaosimama nao pamoja katika imani yenu kwa Kristo. \t ܐܦܢ ܒܒܤܪ ܓܝܪ ܦܪܝܩ ܐܢܐ ܡܢܟܘܢ ܐܠܐ ܒܪܘܚ ܥܡܟܘܢ ܐܢܐ ܘܚܕܐ ܐܢܐ ܕܚܙܐ ܐܢܐ ܡܛܟܤܘܬܟܘܢ ܘܫܪܝܪܘܬܐ ܕܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܕܒܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, wakapiga kura; kura ikampata Mathia, naye akaongezwa katika idadi ya wale mitume wengine kumi na mmoja. \t ܘܐܪܡܝܘ ܦܨܐ ܘܤܠܩܬ ܠܡܬܝܐ ܘܐܬܡܢܝ ܥܡ ܚܕܥܤܪ ܫܠܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naahidi kwa ule ukweli wa Kristo ulio ndani yangu, kwamba hakuna kitakachoweza kunizuia kujivunia jambo hilo popote katika Akaya. \t ܐܝܬܘܗܝ ܒܝ ܫܪܪܗ ܕܡܫܝܚܐ ܕܗܢܐ ܫܘܒܗܪܐ ܠܐ ܢܬܒܛܠ ܒܝ ܒܐܬܪܘܬܐ ܕܐܟܐܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Yesu mwenyewe alisema waziwazi kwamba, \"Nabii hapati heshima katika nchi yake.\" \t ܗܘ ܓܝܪ ܝܫܘܥ ܤܗܕ ܕܢܒܝܐ ܒܡܕܝܢܬܗ ܠܐ ܡܬܝܩܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, walimchukua Yesu kutoka kwa Kayafa, wakampeleka ikulu. Ilikuwa alfajiri, nao ili waweze kula Pasaka, hawakuingia ndani ya ikulu wasije wakatiwa najisi. \t ܐܝܬܝܘܗܝ ܕܝܢ ܠܝܫܘܥ ܡܢ ܠܘܬ ܩܝܦܐ ܠܦܪܛܘܪܝܢ ܘܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܨܦܪܐ ܘܗܢܘܢ ܠܐ ܥܠܘ ܠܦܪܛܘܪܝܢ ܕܠܐ ܢܬܛܘܫܘܢ ܥܕ ܐܟܠܝܢ ܦܨܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sisi tulitumaini kwamba yeye ndiye angeikomboa Israeli. Zaidi ya hayo yote, leo ni siku ya tatu tangu mambo hayo yalipotendeka. \t ܚܢܢ ܕܝܢ ܤܒܪܝܢ ܗܘܝܢ ܕܗܘܝܘ ܥܬܝܕ ܗܘܐ ܕܢܦܪܩܝܘܗܝ ܠܐܝܤܪܝܠ ܘܗܐ ܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܗܐ ܡܢ ܕܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܗܘܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesheni, simameni imara katika imani, muwe hodari na wenye nguvu. \t ܐܬܬܥܝܪܘ ܘܩܘܡܘ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܐܬܓܒܪܘ ܐܬܚܤܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sipendi kuikataa neema ya Mungu. Kama mtu huweza kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa njia ya Sheria, basi, Kristo alikufa bure! \t ܠܐ ܛܠܡ ܐܢܐ ܛܝܒܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܐܢ ܓܝܪ ܒܝܕ ܢܡܘܤܐ ܗܝ ܙܕܝܩܘܬܐ ܡܫܝܚܐ ܡܓܢ ܡܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika na ninyi mkisha fanya yote mliyoamriwa, semeni: Sisi ni watumishi tusio na faida, tumetimiza tu yale tuliyotakiwa kufanya.\" \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܡܐ ܕܥܒܕܬܘܢ ܟܠܗܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܦܩܝܕܢ ܠܟܘܢ ܐܡܪܘ ܕܥܒܕܐ ܚܢܢ ܒܛܝܠܐ ܕܡܕܡ ܕܚܝܒܝܢ ܗܘܝܢ ܠܡܥܒܕ ܥܒܕܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Festo alijibu, \"Paulo atabaki kizuizini kule Kaisarea na mimi nitakwenda huko karibuni. \t ܘܦܗܤܛܘܤ ܦܢܝ ܦܬܓܡܐ ܕܦܘܠܘܤ ܡܬܢܛܪ ܒܩܤܪܝܐ ܘܐܢܐ ܡܤܪܗܒ ܐܢܐ ܕܐܚܙܘܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nimewapa neno lako, nao ulimwengu ukawachukia, kwa sababu wao si wa ulimwengu kama vile nami nisivyo wa ulimwengu. \t ܐܢܐ ܝܗܒܬ ܠܗܘܢ ܡܠܬܟ ܘܥܠܡܐ ܤܢܐ ܐܢܘܢ ܕܠܐ ܗܘܘ ܡܢ ܥܠܡܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܢܐ ܠܐ ܗܘܝܬ ܡܢ ܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama vile mwanamke alivyotokana na mwanamume, vivyo hivyo mwanamume huzaliwa na mwanamke; kila kitu hutoka kwa Mungu. \t ܐܝܟܢܐ ܓܝܪ ܕܐܢܬܬܐ ܡܢ ܓܒܪܐ ܗܟܢܐ ܐܦ ܓܒܪܐ ܒܝܕ ܐܢܬܬܐ ܟܠܡܕܡ ܕܝܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Paulo akawawekea mikono, na Roho Mtakatifu akawashukia, wakaanza kusema lugha mbalimbali na kutangaza ujumbe wa Mungu. \t ܘܤܡ ܥܠܝܗܘܢ ܐܝܕܐ ܦܘܠܘܤ ܘܐܬܐ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܥܠܝܗܘܢ ܘܡܡܠܠܝܢ ܗܘܘ ܒܠܫܢ ܠܫܢ ܘܡܬܢܒܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakati ule nilipoimega ile mikate mitano na kuwapa watu elfu tano? Mlikusanya vikapu vingapi vya mabaki ya makombo?\" Wakamjibu, \"Kumi na viwili.\" \t ܟܕ ܗܠܝܢ ܚܡܫܐ ܠܚܡܝܢ ܩܨܝܬ ܠܚܡܫܐ ܐܠܦܝܢ ܟܡܐ ܩܘܦܝܢܝܢ ܕܩܨܝܐ ܟܕ ܡܠܝܢ ܫܩܠܬܘܢ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܬܪܥܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akamwambia, \"Hivi vyote nitakupa kama tu ukipiga magoti na kuniabudu.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܠܟ ܐܬܠ ܐܢ ܬܦܠ ܬܤܓܘܕ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ndugu, kwa damu ya Yesu tunapewa moyo thabiti wa kuingia Mahali Patakatifu. \t ܐܝܬ ܠܢ ܗܟܝܠ ܐܚܝ ܓܠܝܘܬ ܐܦܐ ܒܡܥܠܢܐ ܕܒܝܬ ܩܘܕܫܐ ܒܕܡܗ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na ajiepushe na uovu, atende mema, atafute amani na kuizingatia. \t ܢܥܒܪ ܡܢ ܒܝܫܬܐ ܘܢܥܒܕ ܛܒܬܐ ܘܢܒܥܐ ܫܠܡܐ ܘܢܪܗܛ ܒܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Si tu kwa kule kuja kwake Tito, bali pia kwa sababu ya moyo mliompa ninyi. Yeye ametuarifu jinsi mnavyotamani kuniona, jinsi mlivyo na huzuni, na mnavyotaka kunitetea. Jambo hili linanifurahisha sana. \t ܘܠܐ ܒܠܚܘܕ ܒܡܐܬܝܬܗ ܐܠܐ ܐܦ ܒܢܝܚܗ ܗܘ ܕܐܬܢܝܚ ܒܟܘܢ ܤܒܪܢ ܓܝܪ ܥܠ ܚܘܒܟܘܢ ܕܠܘܬܢ ܘܥܠ ܐܒܠܟܘܢ ܘܛܢܢܟܘܢ ܕܥܠ ܐܦܝܢ ܘܟܕ ܫܡܥܬ ܚܕܘܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܗܘܬ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine kama hayo. Nawaambieni tena kama nilivyokwisha sema: watu wanaotenda mambo hayo hawatakuwa na nafasi yao katika ufalme wa Mungu. \t ܚܤܡܐ ܩܛܠܐ ܪܘܝܘܬܐ ܙܡܪܐ ܘܟܠ ܕܠܗܠܝܢ ܕܡܝܢ ܘܐܝܠܝܢ ܕܗܠܝܢ ܤܥܪܝܢ ܐܝܟ ܕܡܢ ܠܘܩܕܡ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܐܦ ܗܫܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܠܐ ܝܪܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Andrea alimkuta kwanza Simoni, ndugu yake, akamwambia, \"Tumemwona Masiha\" (maana yake Kristo). \t ܗܢܐ ܚܙܐ ܠܘܩܕܡ ܠܫܡܥܘܢ ܐܚܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܫܟܚܢܝܗܝ ܠܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo kijana akamwambia, \"Hayo yote nimeyazingatia tangu utoto wangu; sasa nifanye nini zaidi?\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܗܘ ܥܠܝܡܐ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܢܛܪܬ ܐܢܝܢ ܡܢ ܛܠܝܘܬܝ ܡܢܐ ܚܤܝܪ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mvua ikanyesha, mito ikafurika, pepo kali zikavuma na kuipiga nyumba hiyo, nayo ikaanguka; tena kwa kishindo kikubwa.\" \t ܘܢܚܬ ܡܛܪܐ ܘܐܬܘ ܢܗܪܘܬܐ ܘܢܫܒ ܪܘܚܐ ܘܐܬܛܪܝܘ ܒܒܝܬܐ ܗܘ ܘܢܦܠ ܘܗܘܬ ܡܦܘܠܬܗ ܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wala usiseme: Nani atashuka mpaka Kuzimu (yaani, kumleta Kristo kutoka kwa wafu).\" \t ܘܡܢܘ ܢܚܬ ܠܬܗܘܡܐ ܕܫܝܘܠ ܘܐܤܩ ܠܡܫܝܚܐ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Habari hizo zikaenea kote katika Uyahudi na katika nchi za jirani. \t ܘܢܦܩܬ ܥܠܘܗܝ ܡܠܬܐ ܗܕܐ ܒܟܠܗ ܝܗܘܕ ܘܒܟܠܗ ܐܬܪܐ ܕܚܕܪܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa ndio wakati wa ulimwengu huu kuhukumiwa; sasa mtawala wa ulimwengu huu atapinduliwa. \t ܗܫܐ ܕܝܢܗ ܗܘ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܗܫܐ ܐܪܟܘܢܐ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܡܫܬܕܐ ܠܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akamwuliza tena Yesu, \"Je, hujibu neno? Tazama wanavyotoa mashtaka mengi juu yako.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܦܝܠܛܘܤ ܬܘܒ ܫܐܠܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܠܐ ܡܦܢܐ ܐܢܬ ܦܬܓܡܐ ܚܙܝ ܟܡܐ ܡܤܗܕܝܢ ܥܠܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu wote wanawasalimuni. Nanyi salimianeni kwa ishara ya mapendo ya Mungu. \t ܫܐܠܝܢ ܒܫܠܡܟܘܢ ܐܚܝܢ ܟܠܗܘܢ ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܚܕ ܕܚܕ ܒܢܘܫܩܬܐ ܩܕܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli tunaishi duniani, lakini hatupigani vita kidunia. \t ܐܦܢ ܒܒܤܪ ܓܝܪ ܡܗܠܟܝܢ ܚܢܢ ܐܠܐ ܠܐ ܗܘܐ ܕܒܤܪܐ ܦܠܚܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, ishara ya Mwana wa Mtu itaonekana angani, na hapo makabila yote duniani yatalalamika; watamwona Mwana wa Mtu akija juu ya mawingu ya angani mwenye nguvu na utukufu mwingi. \t ܘܗܝܕܝܢ ܢܬܚܙܐ ܢܝܫܗ ܕܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܒܫܡܝܐ ܘܗܝܕܝܢ ܢܪܩܕܢ ܟܠܗܝܢ ܫܪܒܬܐ ܕܐܪܥܐ ܘܢܚܙܘܢ ܠܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܕܐܬܐ ܥܠ ܥܢܢܝ ܫܡܝܐ ܥܡ ܚܝܠܐ ܘܫܘܒܚܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akajibu, \"Walioalikwa harusini wanawezaje kufunga kama bwana harusi yupo pamoja nao? Wakati wote wawapo pamoja na bwana harusi hawawezi kufunga. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܠܡܐ ܡܫܟܚܝܢ ܒܢܘܗܝ ܕܓܢܘܢܐ ܟܡܐ ܕܚܬܢܐ ܥܡܗܘܢ ܗܘ ܕܢܨܘܡܘܢ ܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wajua kwamba mtu wa namna hiyo amepotoka kabisa, na dhambi zake zathibitisha kwamba amekosea. \t ܘܗܘܝܬ ܝܕܥ ܕܡܢ ܕܗܟܢܐ ܗܘ ܡܥܩܡ ܗܘ ܘܚܛܐ ܘܗܘ ܚܝܒ ܢܦܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao Wayahudi, hali kadhalika; wakiacha utovu wao wa imani, watapandikizwa tena. Maana Mungu anao uwezo wa kuwapandikiza tena. \t ܘܗܢܘܢ ܐܢ ܠܐ ܢܩܘܘܢ ܒܚܤܝܪܘܬ ܗܝܡܢܘܬܗܘܢ ܐܦ ܗܢܘܢ ܢܬܛܥܡܘܢ ܡܫܟܚ ܓܝܪ ܐܠܗܐ ܕܬܘܒ ܢܛܥܡ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "miguu yake iling'aa kama shaba iliyosafishwa katika tanuru ya moto na kusuguliwa, na sauti yake ilikuwa, kama sauti ya poromoko la maji. \t ܘܪܓܠܘܗܝ ܒܕܡܘܬܐ ܕܢܚܫܐ ܠܒܢܝܐ ܕܡܚܡ ܒܐܬܘܢܐ ܘܩܠܗ ܐܝܟ ܩܠܐ ܕܡܝܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Lawi akamwandalia Yesu karamu kubwa nyumbani mwake; na kundi kubwa la watoza ushuru na watu wengine walikuwa wameketi pamoja nao. \t ܘܥܒܕ ܠܗ ܠܘܝ ܒܒܝܬܗ ܩܘܒܠܐ ܪܒܐ ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܕܡܟܤܐ ܘܕܐܚܪܢܐ ܕܤܡܝܟܝܢ ܗܘܘ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Paulo alimwambia yule ofisa wa jeshi na askari wake, \"Kama wanamaji hawa hawabaki ndani ya meli, hamtaokoka.\" \t ܘܟܕ ܚܙܐ ܦܘܠܘܤ ܐܡܪ ܠܩܢܛܪܘܢܐ ܘܠܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܕܐܢ ܗܠܝܢ ܒܐܠܦܐ ܠܐ ܡܟܬܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܬܚܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Solomoni ndiye aliyemjengea Mungu nyumba. \t ܫܠܝܡܘܢ ܕܝܢ ܒܢܐ ܠܗ ܒܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walileta Barazani mashahidi wa uongo ambao walisema, \"Mtu huyu haachi kamwe kusema maneno ya kupakashifu mahali hapa patakatifu na Sheria ya Mose. \t ܘܐܩܝܡܘ ܤܗܕܐ ܕܓܠܐ ܕܐܡܪܝܢ ܗܢܐ ܓܒܪܐ ܠܐ ܫܠܐ ܠܡܡܠܠܘ ܡܠܐ ܠܘܩܒܠ ܢܡܘܤܐ ܘܥܠ ܐܬܪܐ ܗܢܐ ܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kwa zawadi ya neema ya Mungu, watu wote hukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya Yesu Kristo anayewakomboa. \t ܘܡܙܕܕܩܝܢ ܒܛܝܒܘܬܐ ܡܓܢ ܘܒܦܘܪܩܢܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Utawala wa Mungu si shauri la kula na kunywa, bali unahusika na kuwa na uadilifu, amani na furaha iletwayo na Roho Mtakatifu. \t ܡܠܟܘܬܗ ܓܝܪ ܕܐܠܗܐ ܠܐ ܗܘܬ ܡܐܟܠܐ ܘܡܫܬܝܐ ܐܠܐ ܟܐܢܘܬܐ ܘܫܠܡܐ ܘܚܕܘܬܐ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mtu akamjibu, \"Ninawezaje kuelewa bila mtu kunielewesha?\" Hapo akamwalika Filipo apande juu, aketi pamoja naye. \t ܘܗܘ ܐܡܪ ܐܝܟܢܐ ܡܫܟܚ ܐܢܐ ܕܐܤܬܟܠ ܐܠܐ ܐܢ ܐܢܫ ܢܪܬܝܢܝ ܘܒܥܐ ܡܢܗ ܡܢ ܦܝܠܝܦܘܤ ܕܢܤܩ ܘܢܬܒ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wape maagizo haya, wasije wakawa na lawama. \t ܗܠܝܢ ܗܘܝܬ ܡܦܩܕ ܠܗܝܢ ܕܕܠܐ ܪܫܝܢ ܢܗܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kwa vile yule ofisajeshi alitaka kumwokoa Paulo, aliwazuia wasifanye hivyo. Aliamuru wale waliojua kuogelea waruke kutoka melini na kuogelea hadi pwani, \t ܘܩܢܛܪܘܢܐ ܟܠܐ ܐܢܘܢ ܡܢ ܗܕܐ ܡܛܠ ܕܨܒܐ ܗܘܐ ܕܢܚܐ ܠܦܘܠܘܤ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܡܫܟܚܝܢ ܗܘܘ ܠܡܪܡܝܘ ܤܚܘܐ ܦܩܕ ܠܗܘܢ ܕܒܩܕܡܝܐ ܢܤܚܘܢ ܘܢܥܒܪܘܢ ܠܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Au, anawezaje mtu kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang'anya mali yake, bila kwanza kumfunga huyo mtu mwenye nguvu? Hapo ndipo atakapoweza kumnyang'anya mali yake. \t ܐܘ ܐܝܟܢܐ ܐܢܫ ܡܫܟܚ ܕܢܥܘܠ ܠܒܝܬ ܚܤܝܢܐ ܘܡܐܢܘܗܝ ܢܒܘܙ ܐܠܐ ܐܢ ܠܘܩܕܡ ܢܐܤܪܝܘܗܝ ܠܚܤܝܢܐ ܘܗܝܕܝܢ ܒܝܬܗ ܢܒܘܙ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kuwa bandari hiyo haikuwa mahali pazuri pa kukaa wakati wa baridi, wengi walipendelea kuendelea na safari, ikiwezekana mpaka Foinike. Foinike ni bandari ya Krete inayoelekea kusini-magharibi na kaskazini-magharibi; na huko wangeweza kukaa wakati wa baridi. \t ܘܡܛܠ ܕܠܐ ܥܗܢ ܗܘܐ ܗܘ ܠܡܐܢܐ ܠܡܤܬܝܘ ܒܗ ܤܬܘܐ ܤܓܝܐܐ ܡܢܢ ܨܒܝܢ ܗܘܘ ܕܢܪܕܐ ܡܢ ܬܡܢ ܘܐܢܗܘ ܕܡܫܟܚܝܢ ܕܢܡܢܥܘܢ ܘܢܤܬܘܢ ܒܠܡܐܢܐ ܚܕ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܒܩܪܛܐ ܘܡܬܩܪܐ ܗܘܐ ܦܘܢܟܤ ܘܚܐܪ ܗܘܐ ܠܬܝܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nami nakwambia: wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala kifo chenyewe hakitaweza kulishinda. \t ܐܦ ܐܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܕܐܢܬ ܗܘ ܟܐܦܐ ܘܥܠ ܗܕܐ ܟܐܦܐ ܐܒܢܝܗ ܠܥܕܬܝ ܘܬܪܥܐ ܕܫܝܘܠ ܠܐ ܢܚܤܢܘܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akakana mbele ya wote akisema, \"Sijui hata unasema nini.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܟܦܪ ܩܕܡ ܟܠܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܡܢܐ ܐܡܪܐ ܐܢܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, Mungu hatakuwa na huruma atakapomhukumu mtu asiyekuwa na huruma. Lakini huruma hushinda hukumu. \t ܕܝܢܐ ܓܝܪ ܗܘܐ ܕܠܐ ܪܚܡܐ ܥܠ ܗܘ ܕܠܐ ܥܒܕ ܪܚܡܐ ܡܫܬܥܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܪܚܡܐ ܥܠ ܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Barnaba alitaka wamchukue pia Yohane aitwaye Marko. \t ܒܪܢܒܐ ܕܝܢ ܨܒܐ ܗܘܐ ܕܢܕܒܪ ܠܝܘܚܢܢ ܗܘ ܕܐܬܟܢܝ ܡܪܩܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale. \t ܘܫܒܩ ܐܢܘܢ ܘܐܙܠ ܬܘܒ ܨܠܝ ܕܬܠܬ ܙܒܢܝܢ ܘܠܗ ܠܡܠܬܐ ܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, kwa vile tumekubaliwa kuwa wadilifu kwa imani, basi, tunayo amani na Mungu kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܡܛܠ ܕܐܙܕܕܩܢ ܗܟܝܠ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܢܗܘܐ ܠܢ ܫܠܡܐ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "apate kuwakomboa wale waliokuwa chini ya Sheria ili sisi tufanywe wana wa Mungu. \t ܕܠܐܝܠܝܢ ܕܬܚܝܬ ܢܡܘܤܐ ܐܢܘܢ ܢܙܒܢ ܘܢܩܒܠ ܤܝܡܬ ܒܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi yao wakasema, \"Ndiye.\" Wengine wakasema, \"La! Ila anafanana naye.\" Lakini huyo aliyekuwa kipofu akasema, \"Ni mimi!\" \t ܐܝܬ ܕܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܕܗܘܝܘ ܘܐܝܬ ܕܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܠܐ ܐܠܐ ܡܕܡܐ ܕܡܐ ܠܗ ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܗܘܐ ܕܐܢܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na kijana mmoja aliyekuwa anamfuata Yesu akiwa amevaa shuka. Nao wakajaribu kumkamata. \t ܘܥܠܝܡܐ ܚܕ ܐܬܐ ܗܘܐ ܒܬܪܗ ܘܥܛܝܦ ܤܕܘܢܐ ܥܪܛܠ ܘܐܚܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwake yeye aliye Mfalme wa milele na asiyekufa, yeye aliye Mungu pekee--kwake viwe heshima na utukufu milele na milele! Amina. \t ܠܡܠܟܐ ܕܝܢ ܕܥܠܡܐ ܠܗܘ ܕܠܐ ܡܬܚܒܠ ܘܠܐ ܡܬܚܙܐ ܕܗܘܝܘ ܚܕ ܐܠܗܐ ܐܝܩܪܐ ܘܬܫܒܘܚܬܐ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Paulo alimjibu, \"Ati nini? Ingawa hatukuwa na kosa, walitupiga viboko hadharani hali sisi ni raia wa Roma. Tena, walitutia ndani na sasa wanataka kutufungulia kwa siri! Hata kidogo! Ni lazima wao wenyewe waje hapa watufungulie.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܦܘܠܘܤ ܕܠܐ ܤܟܠܘ ܢܓܕܘܢ ܠܥܝܢ ܥܠܡܐ ܟܠܗ ܠܐܢܫܐ ܪܗܘܡܝܐ ܘܐܪܡܝܘܢ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܘܗܫܐ ܡܛܫܝܐܝܬ ܡܦܩܝܢ ܠܢ ܠܐ ܓܝܪ ܐܠܐ ܗܢܘܢ ܢܐܬܘܢ ܢܦܩܘܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilipokuwa jioni, mashua ilikuwa katikati ya ziwa, naye alikuwa peke yake katika nchi kavu. \t ܟܕ ܗܘܐ ܕܝܢ ܪܡܫܐ ܤܦܝܢܬܐ ܐܝܬܝܗ ܗܘܬ ܡܨܥܬ ܝܡܐ ܘܗܘ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa mujibu huohuo, nilikwenda Damasko wakati mmoja, nikiwa na mamlaka na maagizo kutoka kwa makuhani wakuu. \t ܘܟܕ ܐܙܠ ܗܘܝܬ ܡܛܠ ܗܕܐ ܠܕܪܡܤܘܩ ܒܫܘܠܛܢܐ ܘܒܡܦܤܢܘܬܐ ܕܪܒܝ ܟܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana yeyote anayefanya anavyotaka Baba yangu aliye mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu na mama yangu.\" \t ܘܦܫܛ ܐܝܕܗ ܠܘܬ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܗܐ ܐܡܝ ܘܗܐ ܐܚܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kuungana na Kristo Yesu, Mungu alitufufua pamoja naye, tukatawale pamoja naye mbinguni. \t ܘܐܩܝܡܢ ܥܡܗ ܘܐܘܬܒܢ ܥܡܗ ܒܫܡܝܐ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akamwuliza Yesu, \"Je, wewe ni mfalme wa Wayahudi?\" Yesu akajibu, \"Wewe umesema.\" \t ܘܫܐܠܗ ܦܝܠܛܘܤ ܐܢܬ ܗܘ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢܬ ܐܡܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nakwambia kweli, hutaniona tena mpaka wakati utakaposema: Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana.\" \t ܗܐ ܡܫܬܒܩ ܠܟܘܢ ܒܝܬܟܘܢ ܚܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkimsamehe mtu, nami pia ninamsamehe. Maana ninaposamehe--kama kweli ninacho cha kusamehe--nasamehe mbele ya Kristo kwa ajili yenu, \t ܠܡܢ ܕܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܫܒܩܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܦ ܐܢܐ ܐܦ ܐܢܐ ܓܝܪ ܡܕܡ ܕܫܒܩܬ ܠܡܢ ܕܫܒܩܬ ܡܛܠܬܟܘܢ ܗܘ ܫܒܩܬ ܒܦܪܨܘܦܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waweke wakfu kwa ukweli; neno lako ni ukweli. \t ܐܒܐ ܩܕܫ ܐܢܘܢ ܒܫܪܪܟ ܕܡܠܬܟ ܕܝܠܟ ܫܪܪܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Salmoni alimzaa Boazi (mama yake Boazi alikuwa Rahabu). Boazi na Ruthi walikuwa wazazi wa Obedi, Obedi alimzaa Yese, \t ܤܠܡܘܢ ܐܘܠܕ ܠܒܥܙ ܡܢ ܪܚܒ ܒܥܙ ܐܘܠܕ ܠܥܘܒܝܕ ܡܢ ܪܥܘܬ ܥܘܒܝܕ ܐܘܠܕ ܠܐܝܫܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipouona umati wa watu unaongezeka upesi mbele yake, alimkemea yule pepo mchafu, \"Pepo unayemfanya huyu mtoto kuwa bubu-kiziwi, nakuamuru, mtoke mtoto huyu wala usimwingie tena!\" \t ܟܕ ܚܙܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܕܪܗܛ ܥܡܐ ܘܡܬܟܢܫ ܠܘܬܗ ܟܐܐ ܒܗܝ ܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܪܘܚܐ ܚܪܫܬܐ ܕܠܐ ܡܡܠܠܐ ܐܢܐ ܦܩܕ ܐܢܐ ܠܟܝ ܦܘܩܝ ܡܢܗ ܘܬܘܒ ܠܐ ܬܥܠܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baba ampenda Mwana, na humwonyesha kila kitu anachokifanya yeye mwenyewe, tena atamwonyesha mambo makuu kuliko haya, nanyi mtastaajabu. \t ܐܒܐ ܓܝܪ ܪܚܡ ܠܒܪܗ ܘܟܠܡܕܡ ܕܥܒܕ ܡܚܘܐ ܠܗ ܘܕܝܬܝܪܝܢ ܡܢ ܗܠܝܢ ܥܒܕܐ ܡܚܘܐ ܠܗ ܕܐܢܬܘܢ ܬܬܕܡܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikaa huko muda mfupi, halafu akaendelea na safari kwa kupitia sehemu za Galatia na Frugia akiwatia moyo wafuasi wote. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܬܡܢ ܝܘܡܬܐ ܝܕܝܥܐ ܢܦܩ ܘܐܬܟܪܟ ܒܬܪ ܒܬܪ ܒܐܬܪܐ ܕܓܠܛܝܐ ܘܕܦܪܘܓܝܐ ܟܕ ܡܩܝܡ ܗܘܐ ܠܟܠܗܘܢ ܬܠܡܝܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mpanzi alikwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akipanda zile mbegu, nyingine zilianguka njiani, na wapita njia wakazikanyaga, na ndege wakazila. \t ܢܦܩ ܙܪܘܥܐ ܠܡܙܪܥ ܙܪܥܗ ܘܟܕ ܙܪܥ ܐܝܬ ܕܢܦܠ ܥܠ ܝܕ ܐܘܪܚܐ ܘܐܬܕܝܫ ܘܐܟܠܬܗ ܦܪܚܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Filipo akamjibu, \"Mikate ya denari mia mbili za fedha haiwatoshi watu hawa hata kama ila mmoja atapata kipande kidogo tu!\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܦܝܠܝܦܘܤ ܕܡܐܬܝܢ ܕܝܢܪܝܢ ܠܚܡܐ ܠܐ ܤܦܩ ܠܗܘܢ ܟܕ ܩܠܝܠ ܩܠܝܠ ܚܕ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܢܤܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe, maana hakuna aliye mkuu kuliko Mungu ambaye kwa huyo angeweza kuapa. \t ܠܐܒܪܗܡ ܓܝܪ ܟܕ ܡܠܟ ܠܗ ܐܠܗܐ ܡܛܠ ܕܠܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܕܪܒ ܡܢܗ ܕܢܐܡܐ ܒܗ ܝܡܐ ܒܢܦܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Petro akasema, \"Bwana wee; sijui hata unachosema!\" Na papo hapo, akiwa bado anaongea, jogoo akawika. \t ܐܡܪ ܟܐܦܐ ܓܒܪܐ ܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܡܢܐ ܐܡܪ ܐܢܬ ܘܡܚܕܐ ܟܕ ܗܘ ܡܡܠܠ ܩܪܐ ܬܪܢܓܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena akamwapia, \"Chochote utakachoniomba, nitakupa: hata ikiwa ni nusu ya ufalme wangu.\" \t ܘܝܡܐ ܠܗ ܕܡܕܡ ܕܬܫܐܠܝܢ ܐܬܠ ܠܟܝ ܥܕܡܐ ܠܦܠܓܗ ܕܡܠܟܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Simoni Petro, mtumishi na mtume wa Yesu Kristo, nawaandikia ninyi ambao, kwa wema wake Mungu wetu, na Mwokozi Yesu Kristo, mmejaliwa imani ileile ya thamani kuu tuliyojaliwa sisi. \t ܫܡܥܘܢ ܦܛܪܘܤ ܥܒܕܐ ܘܫܠܝܚܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܗܝܡܢܘܬܐ ܫܘܝܬ ܒܐܝܩܪܐ ܥܡܢ ܐܫܬܘܝܘ ܒܙܕܝܩܘܬܐ ܕܡܪܢ ܘܦܪܘܩܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliuita ule umati wa watu, akawaambia, \"Sikilizeni na muelewe! \t ܘܩܪܐ ܠܟܢܫܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܫܡܥܘ ܘܐܤܬܟܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kama Mungu amewapa pia watu wa mataifa mengine zawadi ileile aliyotupa sisi tulipomwamini Bwana Yesu Kristo, je, mimi ni nani hata nijaribu kumpinga Mungu?\" \t ܐܢ ܗܟܝܠ ܐܠܗܐ ܫܘܝܐܝܬ ܝܗܒܗ ܡܘܗܒܬܐ ܠܥܡܡܐ ܐܝܠܝܢ ܕܗܝܡܢܘ ܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܝܟ ܕܐܦ ܠܢ ܐܢܐ ܡܢ ܗܘܝܬ ܕܐܤܦܩ ܗܘܝܬ ܕܐܟܠܐ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na huko Yerusalemu walikuwako Wayahudi, watu wamchao Mungu, waliotoka katika kila nchi duniani. \t ܐܝܬ ܗܘܘ ܕܝܢ ܓܒܪܐ ܕܥܡܪܝܢ ܒܐܘܪܫܠܡ ܕܕܚܠܝܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܝܗܘܕܝܐ ܡܢ ܟܠ ܥܡܡܐ ܕܬܚܝܬ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nikiwaacha waende nyumbani wakiwa na njaa watazimia njiani, maana baadhi yao wametoka mbali.\" \t ܘܐܢ ܗܘ ܕܫܪܐ ܐܢܐ ܠܗܘܢ ܟܕ ܨܝܡܝܢ ܠܒܬܝܗܘܢ ܥܝܦܝܢ ܒܐܘܪܚܐ ܐܢܫܐ ܓܝܪ ܡܢܗܘܢ ܡܢ ܪܘܚܩܐ ܐܬܝܐܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninayo hoja moja juu yako: wewe hunipendi tena sasa kama pale awali. \t ܐܠܐ ܐܝܬ ܠܝ ܥܠܝܟ ܕܚܘܒܟ ܩܕܡܝܐ ܫܒܩܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Petro akakana akisema, \"Wee! simjui mimi.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܟܦܪ ܘܐܡܪ ܐܢܬܬܐ ܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni lazima kwanza wathibitishwe, na wakionekana kuwa wanafaa, basi, watoe huduma yao. \t ܘܗܢܘܢ ܗܠܝܢ ܢܬܒܩܘܢ ܠܘܩܕܡ ܘܗܝܕܝܢ ܢܫܡܫܘܢ ܟܕ ܐܝܬܝܗܘܢ ܕܠܐ ܪܫܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na nikienda na kuwatayarishieni nafasi, nitarudi na kuwachukueni kwangu, ili nanyi muwe pale nilipo mimi. \t ܘܐܢ ܐܙܠ ܐܛܝܒ ܠܟܘܢ ܐܬܪܐ ܬܘܒ ܐܬܐ ܘܐܕܒܪܟܘܢ ܠܘܬܝ ܕܐܝܟܐ ܕܐܢܐ ܐܝܬܝ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܬܗܘܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Je, hamjasoma jinsi alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa? \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܘܠܐ ܗܕܐ ܩܪܝܬܘܢ ܡܕܡ ܕܥܒܕ ܕܘܝܕ ܟܕ ܟܦܢ ܗܘ ܘܐܝܠܝܢ ܕܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akaingia nyumbani kwa yule ofisa. Na alipowaona wapiga filimbi na umati wa watu wanaofanya matanga, \t ܘܐܬܐ ܝܫܘܥ ܠܒܝܬܗ ܕܐܪܟܘܢܐ ܘܚܙܐ ܙܡܪܐ ܘܟܢܫܐ ܕܡܫܬܓܫܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana huduma hii takatifu mnayoifanya si tu kwamba itasaidia mahitaji ya watu wa Mungu, bali pia itasababisha watu wengi wamshukuru Mungu. \t ܡܛܠ ܕܦܘܠܚܢܐ ܕܬܫܡܫܬܐ ܗܕܐ ܠܐ ܗܘܐ ܒܠܚܘܕ ܚܤܝܪܘܬܐ ܕܩܕܝܫܐ ܡܡܠܐ ܐܠܐ ܐܦ ܡܝܬܪ ܒܬܘܕܝܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nao watafufuka: wale waliotenda mema watafufuka na kuishi, na wale waliotenda maovu watafufuka na kuhukumiwa. \t ܘܢܦܩܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܥܒܕܘ ܛܒܬܐ ܠܩܝܡܬܐ ܕܚܝܐ ܘܐܝܠܝܢ ܕܥܒܕܘ ܒܝܫܬܐ ܠܩܝܡܬܐ ܕܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wengi mahali hapo wakamwamini. \t ܘܤܓܝܐܐ ܗܝܡܢܘ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akamwambia mfanyakazi wake: Angalia! Kwa miaka mitatu nimekuwa nikija kuchuma matunda ya mtini huu, nami nisiambulie kitu. Ukate! Kwa nini uitumie ardhi bure? \t ܘܐܡܪ ܠܦܠܚܐ ܗܐ ܬܠܬ ܫܢܝܢ ܐܬܐ ܐܢܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܦܐܪܐ ܒܬܬܐ ܗܕܐ ܘܠܐ ܡܫܟܚ ܐܢܐ ܦܤܘܩܝܗ ܠܡܢܐ ܡܒܛܠܐ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, walikuwa njiani kwenda Yerusalemu, na Yesu alikuwa anawatangulia. Wanafunzi wake walijawa na hofu, na watu waliofuata waliogopa. Yesu akawachukua tena kando wale kumi na wawili, akaanza kuwaambia yale yatakayompata: \t ܟܕ ܤܠܩܝܢ ܗܘܘ ܕܝܢ ܒܐܘܪܚܐ ܠܐܘܪܫܠܡ ܗܘ ܝܫܘܥ ܩܕܝܡ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܘܡܬܬܡܗܝܢ ܗܘܘ ܘܐܙܠܝܢ ܗܘܘ ܒܬܪܗ ܟܕ ܕܚܝܠܝܢ ܘܕܒܪ ܠܬܪܥܤܪܬܗ ܘܫܪܝ ܕܢܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܕܡ ܕܥܬܝܕ ܕܢܗܘܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena Isaya asema: \"Atatokea mtu katika ukoo wa Yese, naye atawatawala watu wa mataifa; nao watamtumainia.\" \t ܘܬܘܒ ܐܫܥܝܐ ܐܡܪ ܕܢܗܘܐ ܥܩܪܐ ܠܐܝܫܝ ܘܡܢ ܕܢܩܘܡ ܢܗܘܐ ܪܫܐ ܠܥܡܡܐ ܘܥܠܘܗܝ ܢܤܒܪܘܢ ܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kuhusu kufufuliwa kwa wafu, je, hamjasoma kitabu cha Mose katika sehemu inayohusu kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto? Mungu alimwambia Mose, Mimi ni Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo. \t ܥܠ ܡܝܬܐ ܕܝܢ ܕܩܝܡܝܢ ܠܐ ܩܪܝܬܘܢ ܒܟܬܒܐ ܕܡܘܫܐ ܐܝܟܢܐ ܡܢ ܤܢܝܐ ܐܡܪ ܠܗ ܐܠܗܐ ܐܢܐ ܐܢܐ ܐܠܗܗ ܕܐܒܪܗܡ ܘܐܠܗܗ ܕܐܝܤܚܩ ܘܐܠܗܗ ܕܝܥܩܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, kwamba kuna kufufuka kutoka wafu, hata Mose alithibitisha jambo hilo katika Maandiko Matakatifu. Katika sehemu ya Maandiko Matakatifu juu ya kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto, anamtaja Bwana kama Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo. \t ܕܩܝܡܝܢ ܕܝܢ ܡܝܬܐ ܐܦ ܡܘܫܐ ܒܕܩ ܐܕܟܪ ܓܝܪ ܒܤܢܝܐ ܟܕ ܐܡܪ ܡܪܝܐ ܐܠܗܗ ܕܐܒܪܗܡ ܘܐܠܗܗ ܕܐܝܤܚܩ ܘܐܠܗܗ ܕܝܥܩܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nafanya hivi kusudi mioyo yao ifarijiwe na kuvutwa pamoja katika upendo, ili wajazwe uthabiti mwingi uletwao na elimu ya kweli. Hapo wataijua siri ya Mungu ambayo ni Kristo mwenyewe. \t ܕܢܬܒܝܐܘܢ ܠܒܘܬܗܘܢ ܘܢܬܩܪܒܘܢ ܒܚܘܒܐ ܠܟܠܗ ܥܘܬܪܐ ܕܦܝܤܐ ܘܠܤܘܟܠܐ ܕܝܕܥܬܗ ܕܐܪܙܐ ܕܐܠܗܐ ܐܒܐ ܘܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu, mmoja wenu akipotoka kuhusu ukweli, na mwingine akamrudisha, \t ܐܚܝ ܐܢ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܢܛܥܐ ܡܢ ܐܘܪܚܐ ܕܩܘܫܬܐ ܘܢܦܢܝܘܗܝ ܐܢܫ ܡܢ ܛܥܝܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wewe unapaswa kuhubiri mafundisho safi. \t ܐܢܬ ܕܝܢ ܡܠܠ ܡܕܡ ܕܝܐܐ ܠܝܘܠܦܢܐ ܚܠܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya. \t ܐܠܐ ܐܢܫ ܐܢܫ ܡܢ ܪܓܬܗ ܗܘ ܡܬܢܤܐ ܘܡܬܪܓܪܓ ܘܡܬܢܓܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akimpata, nawaambieni kweli, humfurahia huyo kuliko awafurahiavyo wale tisini na tisa ambao hawakupotea. \t ܘܐܢ ܢܫܟܚܗ ܐܡܝܢ ܐܡܪܢܐ ܠܟܘܢ ܕܚܕܐ ܒܗ ܝܬܝܪ ܡܢ ܬܫܥܝܢ ܘܬܫܥܐ ܕܠܐ ܛܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nikitoa mali yangu yote na kuwapa maskini, na tena nikiutoa mwili wangu uchomwe, kama sina upendo hiyo hainifai chochote. \t ܘܐܢ ܐܘܟܠ ܟܠ ܕܐܝܬ ܠܝ ܠܡܤܟܢܐ ܘܐܢ ܐܫܠܡ ܦܓܪܝ ܕܢܐܩܕ ܘܚܘܒܐ ܠܐ ܢܗܘܐ ܒܝ ܡܕܡ ܠܐ ܝܬܪ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa ajili ya watu wangu, walio damu moja nami! Kama ingekuwa kwa faida yao, ningekuwa radhi kulaaniwa na kutengwa na Kristo. \t ܡܨܠܐ ܗܘܝܬ ܓܝܪ ܕܐܢܐ ܩܢܘܡܝ ܚܪܡܐ ܐܗܘܐ ܡܢ ܡܫܝܚܐ ܚܠܦ ܐܚܝ ܘܐܚܝܢܝ ܕܒܒܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na watu watawaambieni: Tazameni yuko hapa; ninyi msitoke wala msiwafuate. \t ܘܐܢ ܢܐܡܪܘܢ ܠܟܘܢ ܗܐ ܗܪܟܐ ܗܘ ܘܗܐ ܗܪ ܬܡܢ ܗܘ ܠܐ ܬܐܙܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Namtuma kwenu awapeni habari zetu mpate kuwa na moyo. \t ܕܠܗ ܫܕܪܬ ܠܘܬܟܘܢ ܥܠܝܗ ܥܠ ܗܕܐ ܕܬܕܥܘܢ ܡܐ ܕܠܘܬܝ ܘܢܒܝܐ ܠܒܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sasa naja kwako, na nimesema mambo haya ulimwenguni, ili waweze kushiriki kikamilifu furaha yangu. \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܠܘܬܟ ܐܬܐ ܐܢܐ ܘܗܠܝܢ ܡܡܠܠ ܐܢܐ ܒܥܠܡܐ ܕܬܗܘܐ ܚܕܘܬܝ ܡܫܡܠܝܐ ܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki, basi naye Kristo hakufufuka. \t ܐܢ ܡܝܬܐ ܓܝܪ ܠܐ ܩܝܡܝܢ ܐܦܠܐ ܡܫܝܚܐ ܩܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Stefano akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akatazama juu mbinguni, akauona utukufu wa Mungu na Yesu amekaa upande wa kulia wa Mungu. \t ܘܗܘ ܟܕ ܡܠܐ ܗܘܐ ܗܝܡܢܘܬܐ ܘܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܚܪ ܒܫܡܝܐ ܘܚܙܐ ܬܫܒܘܚܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܠܝܫܘܥ ܟܕ ܩܐܡ ܡܢ ܝܡܝܢܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wapenzi wangu, ikiwa Mungu alitupenda hivyo, basi, nasi tunapaswa kupendana. \t ܚܒܝܒܝ ܐܢ ܗܟܢܐ ܐܚܒܢ ܐܠܗܐ ܐܦ ܚܢܢ ܚܝܒܝܢܢ ܚܕ ܠܚܕ ܠܡܚܒܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na ya kwamba kila mmoja anayemwamini Yesu anasamehewa dhambi zote, jambo ambalo halingewezekana kwa njia ya Sheria ya Mose. \t ܘܡܢ ܟܠ ܕܠܐ ܐܫܟܚܬܘܢ ܒܢܡܘܤܐ ܕܡܘܫܐ ܕܬܙܕܕܩܘܢ ܒܗܢܐ ܟܠ ܕܡܗܝܡܢ ܡܙܕܕܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wote wakasema, \"Ndiyo kusema wewe ni Mwana wa Mungu?\" Naye akasema, \"Ninyi mnasema kwamba mimi ndiye.\" \t ܐܡܪܝܢ ܕܝܢ ܟܠܗܘܢ ܐܢܬ ܗܘ ܗܟܝܠ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܢܬܘܢ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܢܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza. \t ܚܢܢ ܗܟܝܠ ܢܚܒ ܠܐܠܗܐ ܡܛܠ ܕܗܘ ܩܕܡܝܬ ܐܚܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo na Sila walitoka gerezani, wakaenda nyumbani kwa Ludia. Huko walionana na ndugu waumini na baada ya kuwatia moyo wakaondoka. \t ܘܟܕ ܢܦܩܘ ܡܢ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܥܠܘ ܠܘܬ ܠܘܕܝܐ ܘܚܙܘ ܬܡܢ ܠܐܚܐ ܘܒܝܐܘ ܐܢܘܢ ܘܢܦܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mliipokea ile Sheria iliyoletwa kwenu na Malaika, lakini hamkuitii.\" \t ܘܩܒܠܬܘܢ ܢܡܘܤܐ ܒܝܕ ܦܘܩܕܢܐ ܕܡܠܐܟܐ ܘܠܐ ܢܛܪܬܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vaeni hali mpya ya utu ambayo imeumbwa kwa mfano wa Mungu na ambayo hujionyesha katika maisha ya kweli ya uadilifu na utakatifu. \t ܘܬܠܒܫܘܢ ܠܒܪܢܫܐ ܚܕܬܐ ܗܘ ܕܒܐܠܗܐ ܐܬܒܪܝ ܒܙܕܝܩܘܬܐ ܘܒܚܤܝܘܬܐ ܕܩܘܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, alitukuta kule Aso, tukampandisha melini, tukaenda Mitulene. \t ܟܕ ܕܝܢ ܩܒܠܢܝܗܝ ܡܢ ܬܤܘܤ ܫܩܠܢܝܗܝ ܒܐܠܦܐ ܘܐܬܝܢ ܠܡܝܛܘܠܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Mafarisayo wakamwendea, na kwa kumjaribu wakamwuliza, \"Je, ni halali mtu kumpa talaka mkewe?\" \t ܘܩܪܒܘ ܦܪܝܫܐ ܡܢܤܝܢ ܠܗ ܘܡܫܐܠܝܢ ܕܐܢ ܫܠܝܛ ܠܓܒܪܐ ܕܢܫܒܘܩ ܐܢܬܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Bwana wetu alinijalia neema yake kwa wingi, akanipa imani na upendo katika kuungana na Kristo Yesu. \t ܤܓܝܬ ܒܝ ܕܝܢ ܛܝܒܘܬܗ ܕܡܪܢ ܘܗܝܡܢܘܬܐ ܘܚܘܒܐ ܕܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku ya Sabato tulitoka nje ya mji, tukaenda kando ya mto ambapo tulidhani ya kuwa ni mahali pa kusali. Tuliketi, tukaongea na wanawake waliokusanyika mahali hapo. \t ܘܢܦܩܢ ܒܝܘܡܐ ܕܫܒܬܐ ܠܒܪ ܡܢ ܬܪܥܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܥܠ ܝܕ ܢܗܪܐ ܡܛܠ ܕܬܡܢ ܡܬܚܙܐ ܗܘܐ ܒܝܬ ܨܠܘܬܐ ܘܟܕ ܝܬܒܢ ܡܡܠܠܝܢ ܗܘܝܢ ܥܡ ܢܫܐ ܕܟܢܝܫܢ ܗܘܝ ܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akamsihi akisema, \"Binti yangu mdogo ni mgonjwa karibu kufa. Twende tafadhali, ukamwekee mikono yako, apate kupona na kuishi.\" \t ܘܒܥܐ ܗܘܐ ܡܢܗ ܤܓܝ ܘܐܡܪ ܠܗ ܒܪܬܝ ܒܝܫܐܝܬ ܥܒܝܕܐ ܬܐ ܤܝܡ ܐܝܕܟ ܥܠܝܗ ܘܬܬܚܠܡ ܘܬܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Napenda kujua tu kitu kimoja kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa Mungu kwa sababu ya kutimiza matakwa ya Sheria ama kwa sababu ya kuisikia na kuiamini Habari Njema? \t ܗܕܐ ܒܠܚܘܕ ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܐܕܥ ܡܢܟܘܢ ܡܢ ܥܒܕܐ ܕܢܡܘܤܐ ܢܤܒܬܘܢ ܪܘܚܐ ܐܘ ܡܢ ܫܡܥܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ila mara tu alipofika Roma, alianza kunitafuta kwa bidii mpaka akanipata. \t ܐܠܐ ܐܦ ܟܕ ܐܬܐ ܠܪܗܘܡܝ ܒܚܦܝܛܘܬܐ ܒܥܢܝ ܘܐܫܟܚܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mungu alimfufua kutoka wafu akamwokoa katika maumivu ya kifo kwa maana haingewezekana kabisa kifo kimfunge. \t ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܐܩܝܡܗ ܘܫܪܐ ܚܒܠܝܗ ܕܫܝܘܠ ܡܛܠ ܕܠܐ ܡܫܟܚܐ ܗܘܬ ܕܢܬܬܚܕ ܒܗ ܒܫܝܘܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Toa msaada wako kwa siri, na Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza. \t ܐܝܟ ܕܬܗܘܐ ܙܕܩܬܟ ܒܟܤܝܐ ܘܐܒܘܟ ܕܚܙܐ ܒܟܤܝܐ ܗܘ ܢܦܪܥܟ ܒܓܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mose alisema: \"Hii ni damu inayothibitisha agano mliloamriwa na Mungu mlitii.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܢܐ ܗܘ ܕܡܐ ܕܕܝܬܩܐ ܗܝ ܕܐܬܦܩܕܬ ܠܟܘܢ ܡܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa sababu Mwanakondoo aliye katikati ya kiti cha enzi atakuwa mchungaji wao, naye atawaongoza kwenye chemchemi za maji ya uzima. Naye Mungu atayafuta machozi yote machoni mwao.\" \t ܡܛܠ ܕܐܡܪܐ ܕܒܡܨܥܬ ܟܘܪܤܝܐ ܢܪܥܐ ܐܢܘܢ ܘܢܫܒܠ ܐܢܘܢ ܨܝܕ ܚܝܐ ܘܨܝܕ ܥܝܢܬܐ ܕܡܝܐ ܘܢܠܚܐ ܟܠ ܕܡܥܐ ܡܢ ܥܝܢܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu aliye msingi wa saburi na faraja yote, awajalieni ninyi kuwa na msimamo mmoja kufuatana na mfano wake Kristo Yesu, \t ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܕܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܘܕܒܘܝܐܐ ܢܬܠ ܠܟܘܢ ܕܫܘܝܘܬܐ ܬܬܚܫܒܘܢ ܚܕ ܥܠ ܚܕ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao wakamwambia, \"Sisi hatujapokea barua yoyote kutoka Yudea, wala hakuna ndugu yeyote aliyefika hapa na kutoa habari rasmi au kusema chochote kibaya juu yako. \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܗܢܘܢ ܚܢܢ ܐܓܪܬܐ ܥܠܝܟ ܠܐ ܩܒܠܢ ܡܢ ܝܗܘܕ ܘܠܐ ܐܢܫ ܡܢ ܐܚܐ ܕܐܬܘ ܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܐܡܪܘ ܠܢ ܡܕܡ ܕܒܝܫ ܥܠܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana hapa duniani hatuna mji wa kudumu; lakini tunautafuta ule unaokuja. \t ܠܝܬ ܠܢ ܓܝܪ ܡܕܝܢܬܐ ܕܡܩܘܝܐ ܗܪܟܐ ܐܠܐ ܠܐܝܕܐ ܕܥܬܝܕܐ ܡܤܟܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simeoni alimpokea mtoto Yesu mikononi mwake huku akimtukuza Mungu na kusema: \t ܩܒܠܗ ܥܠ ܕܪܥܘܗܝ ܘܒܪܟ ܠܐܠܗܐ ܘܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikamwona malaika mwingine akipanda juu kutoka mashariki akiwa na mhuri wa Mungu aliye hai. Akapaaza sauti na kuwaambia hao malaika wanne waliokabidhiwa jukumu la kuiharibu nchi na bahari, \t ܘܚܙܝܬ ܐܚܪܢܐ ܡܠܐܟܐ ܕܤܠܩ ܡܢ ܡܕܢܚܝ ܫܡܫܐ ܘܐܝܬ ܠܗ ܚܬܡܐ ܕܐܠܗܐ ܚܝܐ ܘܩܥܐ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܠܐܪܒܥܐ ܡܠܐܟܐ ܗܢܘܢ ܕܐܬܝܗܒ ܠܗܘܢ ܕܢܗܪܘܢ ܠܐܪܥܐ ܘܠܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watampiga mijeledi, watamuua; lakini siku ya tatu atafufuka.\" \t ܘܢܢܓܕܘܢܝܗܝ ܘܢܨܥܪܘܢܝܗܝ ܘܢܩܛܠܘܢܝܗܝ ܘܠܝܘܡܐ ܕܬܠܬܐ ܢܩܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, Barnaba alikwenda Tarso kumtafuta Saulo \t ܘܗܘ ܢܦܩ ܗܘܐ ܠܛܪܤܘܤ ܠܡܒܥܐ ܠܫܐܘܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu, hali akijua yote yatakayompata, akatokea, akawauliza, \"Mnamtafuta nani?\" \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܕܝܕܥ ܗܘܐ ܟܠ ܡܕܡ ܕܐܬܐ ܥܠܘܗܝ ܢܦܩ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܡܢ ܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tufanye karamu hiyo si kwa chachu ile ya kale, chachu ya ubaya na uovu, bali kwa mkate usiotiwa chachu, mkate wa usafi na kweli. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܢܥܒܕ ܥܕܥܕܐ ܠܐ ܒܚܡܝܪܐ ܥܬܝܩܐ ܘܠܐ ܒܚܡܝܪܐ ܕܒܝܫܘܬܐ ܘܕܡܪܝܪܘܬܐ ܐܠܐ ܒܚܡܝܪܐ ܕܕܟܝܘܬܐ ܘܕܩܕܝܫܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "La sivyo, baada ya kuweka msingi na kushindwa kumaliza, watu watamcheka \t ܕܠܐ ܟܕ ܢܤܝܡ ܫܬܐܤܬܐ ܘܠܐ ܢܫܟܚ ܠܡܫܠܡܘ ܟܠ ܕܚܙܝܢ ܢܗܘܘܢ ܡܒܙܚܝܢ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo watu wakamjibu, \"Una wazimu wewe! Nani anataka kukuua?\" \t ܡܢܐ ܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܩܛܠܢܝ ܥܢܐ ܟܢܫܐ ܘܐܡܪܝܢ ܕܝܘܐ ܐܝܬ ܠܟ ܡܢܘ ܒܥܐ ܠܡܩܛܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Shukrani kwa Mungu afanyaye hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo! Hii basi, ndiyo hali yangu: mimi binafsi, kwa akili yangu, ninaitumikia sheria ya dhambi. \t ܡܘܕܐ ܐܢܐ ܠܐܠܗܐ ܒܝܕ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܫܐ ܗܟܝܠ ܐܢܐ ܒܪܥܝܢܝ ܥܒܕܐ ܐܢܐ ܕܢܡܘܤܐ ܕܐܠܗܐ ܒܒܤܪܝ ܕܝܢ ܐܝܬܝ ܥܒܕܐ ܕܢܡܘܤܐ ܕܚܛܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Unazijua amri: Usizini; Usiue; Usiibe; Usitoe ushahidi wa uongo; Usidanganye; Waheshimu baba na mama yako.\" \t ܦܘܩܕܢܐ ܝܕܥ ܐܢܬ ܠܐ ܬܓܘܪ ܠܐ ܬܓܢܘܒ ܠܐ ܬܩܛܘܠ ܘܠܐ ܬܤܗܕ ܤܗܕܘܬܐ ܕܓܠܬܐ ܠܐ ܬܛܠܘܡ ܝܩܪ ܠܐܒܘܟ ܘܠܐܡܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu aliopendezwa nao!\" \t ܬܫܒܘܚܬܐ ܠܐܠܗܐ ܒܡܪܘܡܐ ܘܥܠ ܐܪܥܐ ܫܠܡܐ ܘܤܒܪܐ ܛܒܐ ܠܒܢܝ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kusema yale aliyotaka watu wasikie, Yesu alikwenda Kafarnaumu. \t ܘܟܕ ܫܠܡ ܡܠܐ ܟܠܗܝܢ ܠܡܫܡܥܬܗ ܕܥܡܐ ܥܠ ܝܫܘܥ ܠܟܦܪܢܚܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mintarafu utakatifu wake wa kimungu, alithibitishwa kwa uwezo mkuu kwamba ni Mwana wa Mungu kwa kufufuliwa kutoka wafu. \t ܘܐܬܝܕܥ ܒܪܐ ܕܐܠܗܐ ܒܚܝܠ ܘܒܪܘܚ ܩܕܘܫ ܕܩܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamaliza kwa kusema \"Ndivyo ilivyo kwa mtu anayejilundikia mali kwa ajili yake mwenyewe, lakini si tajiri mbele ya Mungu.\" \t ܗܟܢܐ ܗܘ ܡܢ ܕܤܐܡ ܠܗ ܤܝܡܬܐ ܘܒܐܠܗܐ ܠܐ ܥܬܝܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja wa hao wazee akaniuliza, \"Hawa waliovaa mavazi meupe ni watu gani? Na wametoka wapi?\" \t ܘܥܢܐ ܚܕ ܡܢ ܩܫܝܫܐ ܘܐܡܪ ܠܝ ܗܠܝܢ ܕܥܛܝܦܝܢ ܐܤܛܠܐ ܚܘܪܬܐ ܡܢ ܐܢܘܢ ܘܡܢ ܐܝܟܐ ܐܬܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamaliza kwa kusema, \"Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa.\" \t ܤܓܝܐܝܢ ܐܢܘܢ ܓܝܪ ܩܪܝܐ ܘܙܥܘܪܝܢ ܓܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ile mbegu iliyopandwa penye mawe ni mfano wa mtu asikiaye ujumbe huo na mara akaupokea kwa furaha. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܥܠ ܫܘܥܐ ܐܙܕܪܥ ܗܘ ܗܘ ܕܫܡܥ ܡܠܬܐ ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܒܚܕܘܬܐ ܡܩܒܠ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao Maria Magdalene na Maria mama yake Yose walipaona hapo alipolazwa. \t ܘܙܒܢ ܝܘܤܦ ܟܬܢܐ ܘܐܚܬܗ ܘܟܪܟܗ ܒܗ ܘܤܡܗ ܒܩܒܪܐ ܕܢܩܝܪ ܗܘܐ ܒܫܘܥܐ ܘܥܓܠ ܟܐܦܐ ܥܠ ܬܪܥܗ ܕܩܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wanaoshinda, na wale watakaozingatia mpaka mwisho kutenda ninayotaka, nitawapa mamlaka juu ya mataifa. \t ܘܕܙܟܐ ܘܢܛܪ ܥܒܕܝ ܐܬܠ ܠܗ ܫܘܠܛܢܐ ܥܠ ܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana nguvu ya farasi hao ilikuwa vinywani mwao na katika mikia yao. Mikia yao ilikuwa na vichwa kama nyoka, na waliitumia hiyo kuwadhuru watu. \t ܡܛܠ ܕܫܘܠܛܢܐ ܕܪܟܫܐ ܒܦܘܡܗܘܢ ܘܐܦ ܒܕܘܢܒܝܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kristo hakuwa na dhambi, lakini Mungu alimfanya ahusike na dhambi kwa ajili yetu, ili sisi kwa kuungana naye, tupate kuushiriki uadilifu wake Mungu. \t ܗܘ ܓܝܪ ܕܠܐ ܝܕܥ ܗܘܐ ܚܛܝܬܐ ܡܛܠܬܟܘܢ ܚܛܝܬܐ ܥܒܕܗ ܕܚܢܢ ܢܗܘܐ ܒܗ ܙܕܝܩܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Kwa kusema hivyo, alionyesha jinsi Petro atakavyokufa na kumtukuza Mungu.) Kisha akamwambia, \"Nifuate.\" \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܕܢܚܘܐ ܒܐܝܢܐ ܡܘܬܐ ܥܬܝܕ ܕܢܫܒܚ ܠܐܠܗܐ ܘܟܕ ܐܡܪ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܬܐ ܒܬܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akaenda, akaligusa lile jeneza, na wale waliokuwa wanalichukua wakasimama. Halafu akasema, \"Kijana! Nakuamuru, amka!\" \t ܘܐܙܠ ܩܪܒ ܠܥܪܤܐ ܘܗܢܘܢ ܕܫܩܝܠܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܩܡܘ ܘܐܡܪ ܥܠܝܡܐ ܠܟ ܐܡܪ ܐܢܐ ܩܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao. \t ܘܡܬܟܫܠܝܢ ܗܘܘ ܒܗ ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܝܬ ܢܒܝܐ ܕܨܥܝܪ ܐܠܐ ܒܡܕܝܢܬܗ ܘܒܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akatazama pande zote, akawaambia wanafunzi wake, \"Jinsi gani itakavyokuwa vigumu kwa matajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu!\" \t ܚܪ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܒܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܟܡܐ ܥܛܠܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬ ܠܗܘܢ ܢܟܤܐ ܕܢܥܠܘܢ ܠܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakawa wanakuja mbele yake na kusema: \"Shikamoo, Mfalme wa Wayahudi!\" Wakampiga makofi. \t ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܫܠܡ ܠܟ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܘܡܚܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܥܠ ܦܟܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka katika kiti cha enzi ikisema, \"Tazama! Mungu amefanya makao yake kati ya watu. Atakaa kati yao, nao watakuwa watu wake, naye atakuwa Mungu wao. \t ܘܫܡܥܬ ܩܠܐ ܪܒܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܐܡܪ ܗܐ ܡܫܪܝܐ ܕܐܠܗܐ ܥܡ ܒܢܝܢܫܐ ܘܫܪܐ ܥܡܗܘܢ ܘܗܢܘܢ ܥܡܐ ܕܝܠܗ ܢܗܘܘܢ ܘܗܘ ܐܠܗܐ ܥܡܗܘܢ ܘܢܗܘܐ ܠܗܘܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, mambo hayo yote ni mfano tu kwetu; yanatuonya sisi tusitamani ubaya kama wao walivyotamani. \t ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܛܘܦܤܐ ܠܢ ܗܘ ܗܘܘ ܕܠܐ ܗܘܝܢ ܪܓܝܢ ܒܝܫܬܐ ܐܝܟܢܐ ܕܗܢܘܢ ܪܓܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sauti ikasikika kutoka mbinguni: \"Wewe ni Mwanangu mpendwa, nimependezwa nawe.\" \t ܘܩܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܐܢܬ ܗܘ ܒܪܝ ܚܒܝܒܐ ܒܟ ܐܨܛܒܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliposhindwa kulipa madeni yao, huyo mtu aliwasamehe wote wawili. Sasa ni yupi kati ya hao wawili atampenda zaidi huyo bwana?\" \t ܘܕܠܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܠܡܦܪܥ ܠܬܪܝܗܘܢ ܫܒܩ ܐܝܢܐ ܗܟܝܠ ܡܢܗܘܢ ܝܬܝܪ ܢܚܒܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipoona akihuzunika hivyo, akasema, \"Jinsi gani ilivyo vigumu kwa matajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu! \t ܘܟܕ ܚܙܐ ܝܫܘܥ ܕܟܪܝܬ ܠܗ ܐܡܪ ܐܝܟܢܐ ܥܛܠܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬ ܠܗܘܢ ܢܟܤܐ ܕܢܥܠܘܢ ܠܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wasiendelee kushikilia hadithi tupu za Kiyahudi na maagizo ya kibinadamu yanayozuka kwa watu walioukataa ukweli. \t ܘܠܐ ܢܬܪܡܘܢ ܠܫܘܥܝܬܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܘܠܦܘܩܕܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܕܤܢܝܢ ܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kuonekana, nzige hao walikuwa kama farasi waliowekwa tayari kwa vita. Juu ya vichwa vyao walikuwa na taji zilizo kama za dhahabu, na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu. \t ܘܕܡܘܬܐ ܕܩܡܨܐ ܐܝܟ ܕܡܘܬܐ ܕܪܟܫܐ ܕܡܛܝܒܝܢ ܠܩܪܒܐ ܘܥܠ ܪܫܝܗܘܢ ܐܝܟ ܟܠܝܠܐ ܕܕܡܘܬܐ ܕܕܗܒܐ ܘܐܦܝܗܘܢ ܐܝܟ ܐܦܐ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kwa sababu ya Lazaro Wayahudi wengi waliwaasi viongozi wao, wakamwamini Yesu. \t ܡܛܠ ܕܤܓܝܐܐ ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܡܛܠܬܗ ܐܙܠܝܢ ܗܘܘ ܘܡܗܝܡܢܝܢ ܒܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akatoka akiwa amejichukulia msalaba wake kwenda mahali paitwapo \"Fuvu la Kichwa\", (kwa Kiebrania Golgotha). \t ܟܕ ܫܩܝܠ ܙܩܝܦܗ ܠܕܘܟܬܐ ܕܡܬܩܪܝܐ ܩܪܩܦܬܐ ܥܒܪܐܝܬ ܕܝܢ ܡܬܐܡܪܐ ܓܓܘܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakasimama, wakamtoa nje ya mji wao uliokuwa umejengwa juu ya kilima, wakampeleka mpaka kwenye ukingo wa kilima hicho ili wamtupe chini. \t ܘܩܡܘ ܐܦܩܘܗܝ ܠܒܪ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ ܘܐܝܬܝܘܗܝ ܥܕܡܐ ܠܓܒܝܢܐ ܕܛܘܪܐ ܗܘ ܕܡܕܝܢܬܗܘܢ ܒܢܝܐ ܗܘܬ ܥܠܘܗܝ ܕܢܫܕܘܢܝܗܝ ܡܢ ܫܩܝܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naja kwako upesi! Linda, basi, ulicho nacho sasa, ili usije ukanyang'anywa na mtu yeyote taji yako ya ushindi. \t ܐܬܐ ܐܢܐ ܡܚܕܐ ܐܚܘܕ ܗܘ ܡܐ ܕܐܝܬ ܠܟ ܕܠܐ ܐܢܫ ܢܤܒ ܟܠܝܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watoto wangu, ninawaandikieni mambo haya, kusudi msitende dhambi. Lakini, ikijatokea mtu akatenda dhambi, tunaye mmoja ambaye hutuombea kwa Baba, ndiye Yesu Kristo aliye mwadilifu kabisa. \t ܒܢܝ ܗܠܝܢ ܟܬܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܬܚܛܘܢ ܘܐܢ ܐܢܫ ܢܚܛܐ ܐܝܬ ܠܢ ܦܪܩܠܛܐ ܠܘܬ ܐܒܐ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܙܕܝܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipanda kilimani, akawaita wale aliowataka. Basi, wakamwendea, \t ܘܤܠܩ ܠܛܘܪܐ ܘܩܪܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܨܒܐ ܘܐܬܘ ܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwingine akasema: Nimenunua ng'ombe jozi tano wa kulima; sasa nimo njiani kwenda kuwajaribu; nakuomba uniwie radhi. \t ܐܚܪܢܐ ܐܡܪ ܚܡܫܐ ܙܘܓܝܢ ܬܘܪܐ ܙܒܢܬ ܘܐܙܠ ܐܢܐ ܕܐܒܩܐ ܐܢܘܢ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟ ܫܒܘܩܝܢܝ ܕܡܫܬܐܠ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafundisha desturi ambazo sisi raia wa Roma haturuhusiwi kuzikubali wala kuzifuata.\" \t ܘܡܟܪܙܝܢ ܠܢ ܥܝܕܐ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܦܤ ܠܢ ܠܡܩܒܠܘ ܘܠܡܥܒܕ ܡܛܠ ܕܪܗܘܡܝܐ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana, yote yanayoweza kujulikana juu ya Mungu ni wazi kwao; maana Mungu mwenyewe ameyadhirisha. \t ܡܛܠ ܕܝܕܝܥܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܓܠܝܐ ܗܝ ܒܗܘܢ ܐܠܗܐ ܓܝܪ ܓܠܗ ܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama mtu hawatunzi watu wa jamaa yake, hasa wale wa nyumbani kwake, basi, mtu huyo ameikana imani, na ni mbaya zaidi kuliko mtu asiyeamini. \t ܐܢ ܐܢܫ ܓܝܪ ܕܐܝܠܝܢ ܕܕܝܠܗ ܐܢܘܢ ܘܝܬܝܪܐܝܬ ܕܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܒܢܝ ܒܝܬܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܠܐ ܝܨܦ ܗܢܐ ܟܦܪ ܠܗ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܒܝܫ ܗܘ ܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ujumbe wa Kristo ukae ndani yenu pamoja na utajiri wake wote. Fundishaneni na kushauriana kwa hekima yote. Imbeni zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni Mungu mioyoni mwenu kwa shukrani. \t ܕܡܠܬܗ ܬܥܡܪ ܒܟܘܢ ܥܬܝܪܐܝܬ ܒܟܠ ܚܟܡܐ ܘܗܘܝܬܘܢ ܡܠܦܝܢ ܘܪܕܝܢ ܢܦܫܟܘܢ ܒܡܙܡܘܪܐ ܘܒܬܫܒܚܬܐ ܘܒܙܡܝܪܬܐ ܕܪܘܚܐ ܘܒܛܝܒܘܬܐ ܗܘܝܬܘܢ ܙܡܪܝܢ ܒܠܒܘܬܟܘܢ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyu alikuwa pamoja na Sergio Paulo, mkuu wa kile kisiwa, ambaye alikuwa mtu mwelewa sana. Sergio Paulo aliwaita Barnaba na Saulo ili asikie neno la Mungu. \t ܗܢܐ ܕܒܝܩ ܗܘܐ ܠܓܒܪܐ ܚܟܝܡܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܐܢܬܘܦܛܘܤ ܘܡܬܩܪܐ ܗܘܐ ܤܪܓܝܘܤ ܦܘܠܘܤ ܘܩܪܐ ܗܘܐ ܐܢܬܘܦܛܘܤ ܠܫܐܘܠ ܘܠܒܪܢܒܐ ܘܒܥܐ ܗܘܐ ܕܢܫܡܥ ܡܢܗܘܢ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akasema, \"Baba yangu, kwako mambo yote yanawezekana. Uniondolee kikombe hiki; lakini isiwe kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe.\" \t ܘܐܡܪ ܐܒܐ ܐܒܝ ܟܠ ܡܕܡ ܡܫܟܚ ܐܢܬ ܐܥܒܪ ܡܢܝ ܟܤܐ ܗܢܐ ܐܠܐ ܠܐ ܨܒܝܢܝ ܕܝܠܝ ܐܠܐ ܕܝܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana wengine wamejidai kuwa na hiyo elimu, na matokeo yake wamepoteza imani. Nawatakieni nyote neema! \t ܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܡܫܬܘܕܝܢ ܠܗ ܛܥܘ ܠܗܘܢ ܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܛܝܒܘܬܐ ܥܡܟ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo walikata nanga na kuziacha baharini, na wakati huohuo wakazifungua kamba zilizokuwa zimeufunga usukani, kisha wakatweka tanga moja mbele kushika upepo, wakaelekea ufukoni. \t ܘܦܤܩܘ ܐܘܩܝܢܤ ܡܢ ܐܠܦܐ ܘܐܪܦܝܘ ܐܢܝܢ ܒܝܡܐ ܘܫܪܘ ܪܟܒܐ ܕܤܘܟܢܐ ܘܬܠܘ ܐܪܡܢܘܢ ܙܥܘܪܐ ܠܪܘܚܐ ܕܢܫܒܐ ܘܪܕܝܢ ܗܘܘ ܠܐܦܝ ܝܒܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wengine ni kama zile mbegu zilizopandwa katika udongo mzuri. Hawa hulisikia hilo neno, wakalipokea, wakazaa matunda: wengine thelathini, wengine sitini na wengine mia moja.\" \t ܘܗܢܘܢ ܕܒܐܪܥܐ ܛܒܬܐ ܐܙܕܪܥܘ ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܕܫܡܥܝܢ ܡܠܬܐ ܘܡܩܒܠܝܢ ܘܝܗܒܝܢ ܦܐܪܐ ܒܬܠܬܝܢ ܘܒܫܬܝܢ ܘܒܡܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kama wasiojulikana, kumbe twajulikana kwa wote, kama waliokufa, lakini mwonavyo, sisi ni wazima kabisa. \t ܐܝܟ ܠܐ ܝܕܝܥܐ ܘܝܕܝܥܝܢܢ ܐܝܟ ܡܝܬܝܢܢ ܘܗܐ ܚܝܝܢ ܚܢܢ ܐܝܟ ܕܡܬܪܕܝܢܢ ܘܠܐ ܡܝܬܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo nilitazama nikaona mlango umefunguliwa mbinguni. Na ile sauti niliyoisikia pale awali ambayo ilikuwa kama sauti ya tarumbeta, ikasema, \"Njoo hapa juu nami nitakuonyesha mambo yatakayotukia baadaye.\" \t ܡܢ ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܚܙܝܬ ܘܗܐ ܬܪܥܐ ܦܬܝܚܐ ܒܫܡܝܐ ܘܩܠܐ ܗܘ ܕܫܡܥܬ ܐܝܟ ܫܝܦܘܪܐ ܡܠܠ ܥܡܝ ܠܡܐܡܪ ܤܩ ܠܗܪܟܐ ܘܐܚܘܝܟ ܡܐ ܕܝܗܝܒ ܠܡܗܘܐ ܒܬܪ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mtumishi mwingine akaja, akasema: Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa, \t ܘܐܬܐ ܐܚܪܢܐ ܘܐܡܪ ܡܪܝ ܗܐ ܡܢܝܟ ܗܘ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܘܬܝ ܟܕ ܤܝܡ ܒܤܕܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nyingine zilianguka penye mawe pasipokuwa na udongo mwingi. Mbegu hizo ziliota mara kwa kuwa udongo haukuwa na kina. \t ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܢܦܠ ܥܠ ܫܘܥܐ ܐܝܟܐ ܕܠܝܬ ܐܪܥܐ ܤܓܝ ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܒܠܨ ܡܛܠ ܕܠܝܬ ܗܘܐ ܥܘܡܩܐ ܕܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sidhani kwamba mimi ni mdogo kuliko hao \"mitume wakuu.\" \t ܪܢܐ ܐܢܐ ܓܝܪ ܕܡܕܡ ܠܐ ܒܨܪܬ ܡܢ ܫܠܝܚܐ ܐܝܠܝܢ ܕܛܒ ܡܝܬܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao walidhani kwamba alikuwa amesema juu ya kulala usingizi, kumbe alikuwa amesema juu ya kifo cha Lazaro. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܥܠ ܡܘܬܗ ܘܗܢܘܢ ܤܒܪܘ ܕܥܠ ܡܕܡܟܐ ܗܘ ܕܫܢܬܐ ܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kusema hayo watu wengi walimwamini. \t ܟܕ ܗܠܝܢ ܡܡܠܠ ܗܘܐ ܤܓܝܐܐ ܗܝܡܢܘ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mtakapoona Chukizo Haribifu limesimama mahali ambapo si pake, (msomaji na atambue maana yake!) Hapo watu walioko Yudea wakimbilie milimani. \t ܡܐ ܕܝܢ ܕܚܙܝܬܘܢ ܐܬܐ ܛܢܦܬܐ ܕܚܘܪܒܐ ܗܝ ܕܐܡܝܪܐ ܒܕܢܝܐܝܠ ܢܒܝܐ ܕܩܝܡܐ ܐܝܟܐ ܕܠܐ ܘܠܐ ܗܘ ܕܩܪܐ ܢܤܬܟܠ ܗܝܕܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܒܝܗܘܕ ܐܢܘܢ ܢܥܪܩܘܢ ܠܛܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maafa ya pili yamepita; lakini tazama! Maafa ya tatu yanafuata hima. \t ܗܐ ܬܪܝܢ ܘܝ ܐܙܠܘ ܘܗܐ ܘܝ ܕܬܠܬܐ ܐܬܐ ܡܚܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Hili ndilo agano nitakalofanya nao, katika siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika akilini mwao.\" \t ܗܕܐ ܗܝ ܕܝܬܩܐ ܕܐܬܠ ܠܗܘܢ ܡܢ ܒܬܪ ܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܐܡܪ ܡܪܝܐ ܐܬܠܝܘܗܝ ܠܢܡܘܤܝ ܒܡܕܥܝܗܘܢ ܘܥܠ ܠܒܘܬܗܘܢ ܐܟܬܒܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wakaondoka, wakaenda mjini, wakakuta kila kitu sawa kama Yesu alivyokuwa amewaambia. Wakaandaa karamu ya Pasaka. \t ܘܢܦܩܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܬܘ ܠܡܕܝܢܬܐ ܘܐܫܟܚܘ ܐܝܟܢܐ ܕܐܡܪ ܠܗܘܢ ܘܛܝܒܘ ܦܨܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hao askari wakashauriana: \"Tusiipasue, ila tuipigie kura itakuwa ya nani.\" Jambo hilo lilifanyika ili yatimie Maandiko Matakatifu yasemayo: \"Waligawana mavazi yangu, na nguo yangu wakaipigia kura.\" Basi, ndivyo walivyofanya hao askari. \t ܘܐܡܪܘ ܚܕ ܠܚܕ ܠܐ ܢܤܕܩܝܗ ܐܠܐ ܢܦܤ ܥܠܝܗ ܡܦܤ ܕܡܢܘ ܬܗܘܐ ܘܫܠܡ ܟܬܒܐ ܕܐܡܪ ܕܦܠܓܘ ܢܚܬܝ ܒܝܢܬܗܘܢ ܘܥܠ ܠܒܘܫܝ ܐܪܡܝܘ ܦܤܐ ܗܠܝܢ ܥܒܕܘ ܐܤܛܪܛܝܘܛܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna kitu kinachoingia ndani ya mtu toka nje ambacho chaweza kumtia mtu najisi. Lakini kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia mtu najisi.\" \t ܠܝܬ ܡܕܡ ܕܠܒܪ ܡܢ ܒܪܢܫܐ ܗܘ ܘܥܐܠ ܠܗ ܕܡܫܟܚ ܡܤܝܒ ܠܗ ܐܠܐ ܡܕܡ ܕܢܦܩ ܡܢܗ ܗܘ ܗܘ ܡܤܝܒ ܠܒܪ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, mimi sikutumia hata mojawapo ya haki hizo. Na wala siandiki nijipatie haki hizo; kwangu mimi ni afadhali kufa kuliko kumfanya yeyote aone kwamba najisifu bure. \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܠܐ ܐܬܚܫܚܬ ܒܚܕܐ ܡܢ ܗܠܝܢ ܘܠܘ ܡܛܠ ܗܕܐ ܟܬܒܬ ܕܗܟܢܐ ܢܗܘܐ ܠܝ ܦܩܚ ܠܝ ܓܝܪ ܕܡܡܬ ܐܡܘܬ ܘܠܐ ܕܐܢܫ ܫܘܒܗܪܝ ܢܤܪܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakapaza sauti wakisema, \"Yesu Mwalimu, tuonee huruma!\" \t ܘܐܪܝܡܘ ܩܠܗܘܢ ܘܐܡܪܝܢ ܪܒܢ ܝܫܘܥ ܐܬܪܚܡ ܥܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana tunathubutu kusema: \"Bwana ndiye msaada wangu, sitaogopa. Binadamu atanifanya nini?\" \t ܘܐܝܬ ܠܢ ܕܢܐܡܪ ܬܟܝܠܐܝܬ ܡܪܝ ܡܥܕܪܢܝ ܠܐ ܐܕܚܠ ܡܢܐ ܥܒܕ ܠܝ ܒܪܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo ningependelea wajane vijana waolewe, wapate watoto na kutunza nyumba zao ili adui zetu wasipewe nafasi ya kusema mambo maovu juu yetu. \t ܨܒܐ ܐܢܐ ܗܟܝܠ ܕܐܝܠܝܢ ܕܛܠܝܢ ܢܙܕܘܓܢ ܘܢܐܠܕܢ ܒܢܝܐ ܘܢܕܒܪܢ ܒܬܝܗܝܢ ܘܠܐ ܢܬܠܢ ܠܒܥܠܕܒܒܐ ܐܦܠܐ ܚܕܐ ܥܠܬܐ ܕܨܘܚܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kusema hayo, Martha alikwenda kumwita Maria, dada yake, akamwabia faraghani, \"Mwalimu yuko hapa, anakuita.\" \t ܘܟܕ ܐܡܪܬ ܗܠܝܢ ܐܙܠܬ ܩܪܬ ܠܡܪܝܡ ܚܬܗ ܟܤܝܐܝܬ ܘܐܡܪܐ ܠܗ ܪܒܢ ܐܬܐ ܘܩܪܐ ܠܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu akawaambia wanafunzi wake, \"Siku zinakuja ambapo mtatamani kuona mojawapo ya siku za Mwana wa Mtu, lakini hamtaiona. \t ܘܐܡܪ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܢܐܬܘܢ ܝܘܡܬܐ ܕܬܬܪܓܪܓܘܢ ܠܡܚܙܐ ܚܕ ܡܢ ܝܘܡܬܐ ܕܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܘܠܐ ܬܚܙܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipowaona Petro na Yohane wakiingia Hekaluni, aliwaomba wampe chochote. \t ܗܢܐ ܟܕ ܚܙܐ ܠܫܡܥܘܢ ܘܠܝܘܚܢܢ ܕܥܐܠܝܢ ܠܗܝܟܠܐ ܒܥܐ ܗܘܐ ܡܢܗܘܢ ܕܢܬܠܘܢ ܠܗ ܙܕܩܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi msiitwe kamwe Mwalimu, maana mwalimu wenu ni mmoja tu, nanyi nyote ni ndugu. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܠܐ ܬܬܩܪܘܢ ܪܒܝ ܚܕ ܗܘ ܓܝܪ ܪܒܟܘܢ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܟܠܟܘܢ ܐܚܐ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo awali Herode mwenyewe alikuwa ameamuru Yohane atiwe nguvuni, akamfunga gerezani. Herode alifanya hivyo kwa sababu ya Herodia ambaye Herode alimwoa ingawaje alikuwa mke wa Filipo, ndugu yake. \t ܗܘ ܓܝܪ ܗܪܘܕܤ ܫܕܪ ܗܘܐ ܐܚܕܗ ܠܝܘܚܢܢ ܘܐܤܪܗ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܡܛܠ ܗܪܘܕܝܐ ܐܢܬܬ ܦܝܠܝܦܘܤ ܐܚܘܗܝ ܗܝ ܕܢܤܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliyajua mawazo yao, akasema, \"Kwa nini mnawaza mabaya mioyoni mwenu? \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܝܕܥ ܡܚܫܒܬܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܡܬܚܫܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܝܫܬܐ ܒܠܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe basi, na tamaa ya kupata vipaji muhimu zaidi. Nami sasa nitawaonyesheni njia bora zaidi kuliko hizi zote. \t ܐܢ ܕܝܢ ܛܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܡܘܗܒܬܐ ܪܘܪܒܬܐ ܐܢܐ ܬܘܒ ܐܚܘܝܟܘܢ ܐܘܪܚܐ ܕܡܝܬܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawageukia, akitazamia kupata kitu kutoka kwao. \t ܗܘ ܕܝܢ ܚܪ ܒܗܘܢ ܟܕ ܤܒܪ ܗܘܐ ܠܡܤܒ ܡܢܗܘܢ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengine walisema, \"Mtu huyu ni Eliya.\" Wengine walisema, \"Huyu ni nabii kama mmojawapo wa manabii wa kale.\" \t ܐܚܪܢܐ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܕܐܠܝܐ ܗܘ ܘܐܚܪܢܐ ܕܢܒܝܐ ܗܘ ܐܝܟ ܚܕ ܡܢ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawaambia, \"Mwenye masikio na asikie!\" \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܐܕܢܐ ܕܢܫܡܥ ܢܫܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, nanyi pia muwe tayari, kwa maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia.\" \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܗܘܘ ܡܛܝܒܝܢ ܕܒܫܥܬܐ ܕܠܐ ܤܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܢܐܬܐ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Upendo maana yake ni kuishi kwa kuzitii amri zake Mungu. Amri niliyoisikia tangu mwanzo ndiyo hii: mnapaswa nyote kuishi katika upendo. \t ܘܗܢܐ ܐܝܬܘܗܝ ܚܘܒܐ ܕܢܗܠܟ ܐܝܟ ܦܘܩܕܢܘܗܝ ܗܢܐ ܦܘܩܕܢܐ ܐܝܬܘܗܝ ܐܝܟ ܡܐ ܕܫܡܥܬܘܢ ܡܢ ܫܘܪܝܐ ܕܒܗ ܗܘܝܬܘܢ ܡܗܠܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. Yesu akawaambia, \"Mfungueni, mkamwache aende zake.\" \t ܘܢܦܩ ܗܘ ܡܝܬܐ ܟܕ ܐܤܝܪܢ ܐܝܕܘܗܝ ܘܪܓܠܘܗܝ ܒܦܤܩܝܬܐ ܘܐܦܘܗܝ ܐܤܝܪܢ ܒܤܘܕܪܐ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܫܪܐܘܗܝ ܘܫܒܘܩܘ ܐܙܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Yesu akawajibu, \"Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܝܘܠܦܢܝ ܠܐ ܗܘܐ ܕܝܠܝ ܐܠܐ ܕܗܘ ܕܫܕܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana mimi niko pamoja nawe. Hakuna mtu atakayejaribu kukudhuru maana hapa mjini pana watu wengi walio upande wangu.\" \t ܡܛܠ ܕܐܢܐ ܥܡܟ ܐܢܐ ܘܐܢܫ ܠܐ ܡܫܟܚ ܠܡܗܪܘܬܟ ܘܥܡܐ ܤܓܝܐܐ ܐܝܬ ܠܝ ܒܡܕܝܢܬܐ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye ni Roho wa kweli. Ulimwengu hauwezi kumpokea kwa sababu hauwezi kumwona wala kumjua. Lakini ninyi mnamjua kwa sababu anabaki nanyi na yu ndani yenu. \t ܪܘܚܐ ܕܫܪܪܐ ܗܘ ܕܥܠܡܐ ܠܐ ܡܫܟܚ ܠܡܩܒܠܘܬܗ ܡܛܠ ܕܠܐ ܚܙܝܗܝ ܘܠܐ ܝܕܥܗ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܕܠܘܬܟܘܢ ܥܡܪ ܘܒܟܘܢ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Enyi watu wenye imani haba; mbona mnaogopa?\" Basi, akainuka, akazikemea pepo na mawimbi; kukawa shwari kabisa. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܠܡܢܐ ܕܚܘܠܬܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܙܥܘܪܝ ܗܝܡܢܘܬܐ ܗܝܕܝܢ ܩܡ ܘܟܐܐ ܒܪܘܚܐ ܘܒܝܡܐ ܘܗܘܐ ܫܠܝܐ ܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, mnajua kwamba sisi tuliobatizwa tukaungana na Kristo Yesu, tulibatizwa na kuungana na kifo chake. \t ܐܘ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܝܠܝܢ ܕܥܡܕܢ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܡܘܬܗ ܗܘ ܥܡܕܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakumbukeni wale waliofungwa kana kwamba mmefungwa pamoja nao. Wakumbukeni wale wanaoteseka kana kwamba nanyi mnateseka kama wao. \t ܥܗܕܘ ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܤܝܪܝܢ ܐܝܟ ܗܘ ܕܥܡܗܘܢ ܐܤܝܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܬܕܟܪܘ ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܠܝܨܝܢ ܐܝܟ ܐܢܫܐ ܕܒܤܪܐ ܠܒܝܫܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kumwita mtu alete taa, huyo askari wa gereza alikimbilia ndani, akajitupa mbele ya miguu ya Paulo na Sila huku akitetemeka kwa hofu. \t ܘܐܢܗܪ ܠܗ ܫܪܓܐ ܘܫܘܪ ܘܥܠ ܟܕ ܪܐܬ ܘܢܦܠ ܥܠ ܪܓܠܝܗܘܢ ܕܦܘܠܘܤ ܘܕܫܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa nguvu ya miujiza na maajabu, na kwa nguvu ya Roho wa Mungu. Basi, kwa kusafiri kila mahali, tangu kule Yerusalemu mpaka Iluriko, nimeihubiri kikamilifu Habari Njema ya Kristo. \t ܒܚܝܠܐ ܕܐܬܘܬܐ ܘܕܬܕܡܪܬܐ ܘܒܚܝܠܐ ܕܪܘܚܗ ܕܐܠܗܐ ܐܝܟܢܐ ܕܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܐܬܟܪܟ ܥܕܡܐ ܠܐܠܘܪܝܩܘܢ ܘܐܡܠܐ ܤܒܪܬܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Wayahudi wengine walipinga jambo hilo, nami nikalazimika kukata rufani kwa Kaisari, ingawa sikuwa na chochote cha kuwashtaki wananchi wenzangu. \t ܘܟܕ ܩܝܡܝܢ ܗܘܘ ܠܘܩܒܠܝ ܝܗܘܕܝܐ ܐܬܐܠܨܬ ܕܐܩܥܐ ܒܓܢ ܩܤܪ ܠܐ ܐܝܟ ܐܝܬ ܠܝ ܕܐܩܛܪܓ ܒܡܕܡ ܠܒܢܝ ܥܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo, watu walikuwa wakipeleka wagonjwa barabarani na kuwalaza juu ya vitanda na mikeka ili Petro akipita, walau kivuli chake kiwaguse baadhi yao. \t ܐܝܟܢܐ ܕܒܫܘܩܐ ܡܦܩܝܢ ܗܘܘ ܠܟܪܝܗܐ ܟܕ ܪܡܝܢ ܗܘܘ ܒܥܪܤܬܐ ܕܐܡܬܝ ܕܢܗܘܐ ܐܬܐ ܫܡܥܘܢ ܐܦܢ ܛܠܢܝܬܗ ܬܓܢ ܥܠܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na hivyo navumilia kila kitu kwa ajili ya wateule wa Mungu, ili wao pia wapate ukombozi upatikanao kwa njia ya Yesu Kristo, na ambao huleta utukufu wa milele. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܟܠܡܕܡ ܡܤܝܒܪ ܐܢܐ ܡܛܠ ܓܒܝܐ ܕܐܦ ܗܢܘܢ ܢܫܟܚܘܢ ܚܝܐ ܕܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܥܡ ܫܘܒܚܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kama mkuu wa mkoa akijua jambo hili, sisi tutasema naye na kuhakikisha kuwa ninyi hamtapata matatizo.\" \t ܘܐܢ ܐܫܬܡܥܬ ܗܕܐ ܩܕܡ ܗܓܡܘܢܐ ܚܢܢ ܡܦܝܤܝܢ ܚܢܢ ܠܗ ܘܠܟܘܢ ܕܠܐ ܨܦܬܐ ܥܒܕܝܢ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Hapa natumia lugha ya kawaida ya watu kwa sababu ya udhaifu wenu wenyewe.) Kama vile wakati fulani mlivyojitolea ninyi wenyewe kutumikia uchafu na uhalifu kwa ajili ya uovu, vivyo hivyo sasa jitoleeni nafsi zenu wenyewe kutumikia uadilifu kwa ajili ya utakatifu. \t ܐܝܟ ܕܒܝܬ ܒܢܝܢܫܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܡܛܠ ܟܪܝܗܘܬܐ ܕܒܤܪܟܘܢ ܕܐܝܟܢܐ ܕܛܝܒܬܘܢ ܗܕܡܝܟܘܢ ܠܥܒܕܘܬܐ ܕܛܢܦܘܬܐ ܘܕܥܘܠܐ ܗܟܢܐ ܐܦ ܗܫܐ ܛܝܒܘ ܗܕܡܝܟܘܢ ܠܥܒܕܘܬܐ ܕܟܐܢܘܬܐ ܘܕܩܕܝܫܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote. \t ܘܡܕܒܪ ܒܝܬܗ ܫܦܝܪ ܘܐܚܝܕ ܒܢܘܗܝ ܒܫܘܥܒܕܐ ܒܟܠܗ ܕܟܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake, walipokuwa wanatoka Bethania, Yesu aliona njaa. \t ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܟܕ ܢܦܩ ܡܢ ܒܝܬ ܥܢܝܐ ܟܦܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Au je, tunataka kumfanya Bwana awe na wivu? Mnadhani tuna nguvu zaidi kuliko yeye? \t ܐܘ ܕܠܡܐ ܡܛܢܘ ܡܛܢܝܢܢ ܠܡܪܢ ܕܠܡܐ ܚܤܝܢܝܢܢ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zamu yake ya kuhudumu ilipokwisha, alirudi nyumbani. \t ܘܟܕ ܐܬܡܠܝܘ ܝܘܡܬܐ ܕܬܫܡܫܬܗ ܐܙܠ ܠܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja Yesu alikuwa amesimama kando ya ziwa Genesareti, na watu wengi walikuwa wamemzunguka wakisongana wanalisikiliza neno la Mungu. \t ܗܘܐ ܕܝܢ ܟܕ ܟܢܫ ܥܠܘܗܝ ܟܢܫܐ ܠܡܫܡܥ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܗܘ ܩܐܡ ܗܘܐ ܥܠ ܝܕ ܝܡܬܐ ܕܓܢܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengi wao wakasema, \"Ana pepo; tena ni mwendawazimu! Ya nini kumsikiliza?\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܤܓܝܐܐ ܡܢܗܘܢ ܕܕܝܘܐ ܐܝܬ ܠܗ ܘܡܫܢܐ ܫܢܐ ܡܢܐ ܫܡܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo. \t ܛܝܒܘܬܐ ܥܡܟܘܢ ܘܫܠܡܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܒܘܢ ܘܡܢ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mwana wa Maathi, mwana wa Matathia, mwana wa Shemeni, mwana wa Yoseki, mwana wa Yuda, \t ܒܪ ܡܐܬ ܒܪ ܡܛܬ ܒܪ ܫܡܥܝ ܒܪ ܝܘܤܦ ܒܪ ܝܗܘܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa anasafiri, alikuwa akijisomea kitabu cha nabii Isaya. \t ܘܟܕ ܗܦܟ ܕܢܐܙܠ ܝܬܒ ܗܘܐ ܥܠ ܡܪܟܒܬܐ ܘܩܪܐ ܗܘܐ ܒܐܫܥܝܐ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana sisi tunashirikiana na Kristo ikiwa tutazingatia kwa uthabiti tumaini tulilokuwa nalo mwanzoni. \t ܐܬܚܠܛܢ ܓܝܪ ܥܡ ܡܫܝܚܐ ܐܢ ܡܢ ܪܝܫܝܬܐ ܘܥܕܡܐ ܠܐܚܪܝܬܐ ܒܗ ܒܩܝܡܐ ܗܢܐ ܫܪܝܪܐ ܢܚܡܤܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanapenda kuwa walimu wa Sheria, lakini hawaelewi maneno yao wenyewe au mambo wanayosisitiza. \t ܒܕܒܥܘ ܠܡܗܘܐ ܡܠܦܢܐ ܕܢܡܘܤܐ ܟܕ ܠܐ ܡܤܬܟܠܝܢ ܡܕܡ ܕܡܡܠܠܝܢ ܘܠܐ ܡܕܡ ܕܥܠܘܗܝ ܡܬܚܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tusijivune, tusichokozane wala kuoneana wivu. \t ܘܠܐ ܢܗܘܐ ܤܪܝܩܝ ܫܘܒܚܐ ܕܡܩܠܝܢ ܚܕ ܥܠ ܚܕ ܘܚܤܡܝܢ ܚܕ ܒܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Unasema: \"Msizini,\" na huku wewe unazini; unachukia sanamu za miungu hali wewe unajitajirisha kwa kuiba katika nyumba za miungu. \t ܘܕܐܡܪ ܐܢܬ ܕܠܐ ܢܓܘܪܘܢ ܐܢܬ ܓܐܪ ܐܢܬ ܘܐܢܬ ܕܫܐܛ ܐܢܬ ܦܬܟܪܐ ܡܚܠܨ ܐܢܬ ܒܝܬ ܡܩܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akatoka, na kama ilivyokuwa desturi yake, akaenda katika mlima wa Mizeituni; wanafunzi wake wakamfuata. \t ܘܢܦܩ ܘܐܙܠ ܐܝܟ ܕܡܥܕ ܗܘܐ ܠܛܘܪܐ ܕܒܝܬ ܙܝܬܐ ܘܐܙܠܘ ܒܬܪܗ ܐܦ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliona kwamba baadhi ya wanafunzi wake walikula mikate kwa mikono najisi, yaani bila kunawa. \t ܘܚܙܘ ܐܢܫܝܢ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܐܟܠܝܢ ܠܚܡܐ ܟܕ ܠܐ ܡܫܓܢ ܐܝܕܝܗܘܢ ܘܐܬܥܕܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Mafarisayo wakamwuliza mtu huyo, \"Umepataje kuona?\" Naye akawaambia, \"Alinipaka tope machoni, nami nikanawa na sasa naona.\" \t ܘܬܘܒ ܫܐܠܘܗܝ ܦܪܝܫܐ ܐܝܟܢܐ ܐܬܚܙܝ ܠܟ ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܛܝܢܐ ܤܡ ܥܠ ܥܝܢܝ ܘܐܫܝܓܬ ܘܐܬܚܙܝ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akawafukuza kutoka mahakamani. \t ܘܛܪܕ ܐܢܘܢ ܡܢ ܒܝܡ ܕܝܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Herode akatuma mtu gerezani amkate kichwa Yohane. \t ܘܫܕܪ ܦܤܩܗ ܪܫܗ ܕܝܘܚܢܢ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na tangu wakati huo Yuda akawa anatafuta nafasi ya kumsaliti. \t ܘܡܢ ܗܝܕܝܢ ܒܥܐ ܗܘܐ ܠܗ ܦܠܥܐ ܕܢܫܠܡܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Umati mkubwa wa watu ulimfuata kwa sababu watu hao walikuwa wameona ishara alizokuwa akifanya kwa kuwaponya wagonjwa. \t ܘܐܙܠܘ ܒܬܪܗ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܡܛܠ ܕܚܙܝܢ ܗܘܘ ܐܬܘܬܐ ܕܥܒܕ ܒܟܪܝܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watapigana na Mwanakondoo, lakini Mwanakondoo pamoja na wale aliowaita na kuwachagua, ambao ni waaminifu, atawashinda kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme.\" \t ܗܠܝܢ ܥܡ ܐܡܪܐ ܢܩܪܒܘܢ ܘܐܡܪܐ ܢܙܟܐ ܐܢܘܢ ܡܛܠ ܕܡܪܐ ܗܘ ܕܡܪܘܬܐ ܘܡܠܟ ܡܠܟܐ ܘܕܥܡܗ ܩܪܝܐ ܘܓܒܝܐ ܘܡܗܝܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu mmoja alimjia Yesu, akamwuliza, \"Mwalimu, nifanye kitu gani chema ili niupate uzima wa milele?\" \t ܘܐܬܐ ܚܕ ܩܪܒ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܠܦܢܐ ܛܒܐ ܡܢܐ ܕܛܒ ܐܥܒܕ ܕܢܗܘܘܢ ܠܝ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Maana, katika kuungana na Kristo ametubariki kwa kutujalia zawadi zote za kiroho mbinguni. \t ܡܒܪܟ ܗܘ ܐܠܗܐ ܐܒܘܗܝ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܘ ܕܒܪܟܢ ܒܟܠ ܒܘܪܟܢ ܕܪܘܚ ܒܫܡܝܐ ܒܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mwana wa Mtu alikuja kuwaokoa wale waliopotea. \t ܐܬܐ ܓܝܪ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܕܢܚܐ ܡܕܡ ܕܐܒܝܕ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkaribieni Mungu, naye atakuja karibu nanyi. Osheni mikono yenu enyi wakosefu! Safisheni mioyo yenu enyi wanafiki! \t ܘܩܪܘܒܘ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܘܢܬܩܪܒ ܠܟܘܢ ܕܟܘ ܐܝܕܝܟܘܢ ܚܛܝܐ ܩܕܫܘ ܠܒܘܬܟܘܢ ܦܠܝܓܝ ܢܦܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Pilato akaamua kwamba matakwa yao yatimizwe. \t ܦܝܠܛܘܤ ܕܝܢ ܦܩܕ ܕܬܗܘܐ ܫܐܠܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini hawakuwa na la kufanya, maana watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini kabisa. \t ܘܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܗܘܘ ܡܢܐ ܢܥܒܕܘܢ ܠܗ ܟܠܗ ܓܝܪ ܥܡܐ ܬܠܐ ܗܘܐ ܒܗ ܠܡܫܡܥܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa yanadumu haya matatu: imani, tumaini na upendo; lakini lililo kuu kupita yote ni upendo. \t ܗܠܝܢ ܐܢܝܢ ܓܝܪ ܬܠܬ ܕܡܟܬܪܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܘܤܒܪܐ ܘܚܘܒܐ ܕܪܒ ܕܝܢ ܡܢܗܝܢ ܚܘܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, Abrahamu baba yetu alipataje kukubalika mbele yake Mungu? Kwa matendo yake, wakati alipomtoa mwanae Isaka sadaka juu ya madhabahu. \t ܐܒܘܢ ܐܒܪܗܡ ܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܥܒܕܐ ܐܙܕܕܩ ܕܐܤܩ ܠܐܝܤܚܩ ܒܪܗ ܥܠ ܡܕܒܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndivyo ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: \"Sauti ya mtu imesikika jangwani: Mtayarishieni Bwana njia yake; nyosheni mapito yake. \t ܐܝܟܢܐ ܕܟܬܝܒ ܒܟܬܒܐ ܕܡܠܐ ܕܐܫܥܝܐ ܢܒܝܐ ܕܐܡܪ ܩܠܐ ܕܩܪܐ ܒܚܘܪܒܐ ܛܝܒܘ ܐܘܪܚܗ ܕܡܪܝܐ ܘܬܪܘܨܘ ܒܦܩܥܬܐ ܫܒܝܠܐ ܠܐܠܗܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, sasa hivi shoka limewekwa tayari kukata mizizi ya miti. Kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni.\" \t ܗܐ ܕܝܢ ܢܪܓܐ ܤܝܡ ܥܠ ܥܩܪܐ ܕܐܝܠܢܐ ܟܠ ܐܝܠܢܐ ܗܟܝܠ ܕܦܐܪܐ ܛܒܐ ܠܐ ܥܒܕ ܡܬܦܤܩ ܘܒܢܘܪܐ ܢܦܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake, Yohane alikuwa tena mahali hapo pamoja na wanafunzi wake wawili. \t ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܩܐܡ ܗܘܐ ܝܘܚܢܢ ܘܬܪܝܢ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo watu wengine wote, watu wa mataifa yote niliowaita wawe wangu, watamtafuta Bwana. \t ܐܝܟ ܕܢܒܥܘܢ ܫܪܟܗܘܢ ܕܒܢܝܢܫܐ ܠܡܪܝܐ ܘܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܬܩܪܝ ܫܡܝ ܥܠܝܗܘܢ ܐܡܪ ܡܪܝܐ ܕܥܒܕ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alitoka hapo, akaenda katika sunagogi lao. \t ܘܫܢܝ ܡܢ ܬܡܢ ܝܫܘܥ ܘܐܬܐ ܠܟܢܘܫܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe.\" \t ܘܐܢ ܠܐ ܢܗܝܡܢ ܒܗ ܗܘ ܒܗܝܡܢܘܬܗ ܡܩܘܐ ܕܢܟܦܘܪ ܓܝܪ ܒܢܦܫܗ ܠܐ ܡܫܟܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, ndugu zangu, mnapokutana kula chakula cha Bwana, kila mmoja amngoje mwenzake. \t ܡܟܝܠ ܐܚܝ ܐܡܬܝ ܕܡܬܟܢܫܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܐܟܠ ܗܘܝܬܘܢ ܡܩܘܝܢ ܚܕ ܠܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro alipokuwa anasafirisafiri kila mahali alifika pia kwa watu wa Mungu waliokuwa wanaishi Luda. \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܡܬܟܪܟ ܗܘܐ ܫܡܥܘܢ ܒܡܕܝܢܬܐ ܢܚܬ ܐܦ ܠܘܬ ܩܕܝܫܐ ܕܥܡܪܝܢ ܒܠܘܕ ܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msistaajabie jambo hili; maana wakati unakuja ambapo wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake, \t ܕܒܪܗ ܗܘ ܕܝܢ ܕܐܢܫܐ ܠܐ ܬܬܕܡܪܘܢ ܒܗܕܐ ܕܐܬܝܐ ܫܥܬܐ ܐܡܬܝ ܕܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܒܩܒܪܐ ܐܢܘܢ ܢܫܡܥܘܢ ܩܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kama mtu akija kwenu bila kuwaleteeni mafundisho hayo, msimkaribishe nyumbani kwenu, wala msimsalimu. \t ܐܢ ܐܢܫ ܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܘܗܢܐ ܝܘܠܦܢܐ ܠܐ ܡܝܬܐ ܠܐ ܬܩܒܠܘܢܝܗܝ ܒܒܝܬܐ ܘܚܕܝ ܠܟ ܠܐ ܬܐܡܪܘܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika mwingine msimamizi wa moto, akatoka madhabahuni akamwambia kwa sauti kubwa yule malaika mwenye mundu wenye makali, \"Nawe tia huo mundu wako mkali, ukakate vichala vya mizabibu ya dunia, maana zabibu zake zimeiva!\" \t ܘܐܚܪܢܐ ܡܠܐܟܐ ܢܦܩ ܡܢ ܡܕܒܚܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܫܘܠܛܢܐ ܥܠ ܢܘܪܐ ܘܩܥܐ ܒܩܠܐ ܪܒܐ ܠܕܐܝܬ ܠܗ ܡܓܠܬܐ ܚܪܝܦܬܐ ܫܕܪ ܐܢܬ ܡܓܠܬܟ ܚܪܝܦܬܐ ܘܩܛܘܦ ܠܤܓܘܠܐ ܕܟܪܡܗ ܕܐܪܥܐ ܡܛܠ ܕܪܒܝ ܥܢܒܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote, wakiwa na mshangao mkubwa wakaanza kukimbilia mahali palipoitwa \"Ukumbi wa Solomoni,\" ambapo yule mtu alikuwa bado anaandamana na Petro na Yohane. \t ܘܟܕ ܐܚܝܕ ܗܘܐ ܠܫܡܥܘܢ ܘܠܝܘܚܢܢ ܪܗܛ ܟܠܗ ܥܡܐ ܟܕ ܬܗܝܪ ܠܘܬܗܘܢ ܠܐܤܛܘܐ ܕܡܬܩܪܐ ܕܫܠܝܡܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mungu si Mungu wa fujo, ila wa amani. \t ܡܛܠ ܕܐܠܗܐ ܠܐ ܗܘܐ ܕܫܓܘܫܝܐ ܐܠܐ ܕܫܠܡܐ ܐܝܟ ܕܒܟܠܗܝܢ ܥܕܬܐ ܕܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia jinsi atakavyompendeza mkewe, \t ܘܐܝܢܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܐܢܬܬܐ ܝܨܦ ܕܥܠܡܐ ܕܐܝܟܢܐ ܢܫܦܪ ܠܐܢܬܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana mnajua kwamba ninyi mlikombolewa katika mwenendo wenu usiofaa ambao mliupokea kutoka kwa wazee wenu, si kwa vitu vyenye kuharibika: kwa fedha na dhahabu; \t ܟܕ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܠܐ ܒܟܤܦܐ ܕܒܠܐ ܘܠܐ ܒܕܗܒܐ ܐܬܦܪܩܬܘܢ ܡܢ ܥܒܕܝܟܘܢ ܤܪܝܩܐ ܗܢܘܢ ܕܩܒܠܬܘܢ ܡܢ ܐܒܗܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ole wenu ninyi mlio matajiri, maana mmekwisha pata faraja yenu. \t ܒܪܡ ܘܝ ܠܟܘܢ ܥܬܝܪܐ ܕܩܒܠܬܘܢ ܒܘܝܐܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale mitume waliporudi, walimweleza yote waliyoyafanya. Yesu akawachukua, wakaenda peke yao mjini Bethsaida. \t ܘܟܕ ܗܦܟܘ ܫܠܝܚܐ ܐܫܬܥܝܘ ܠܝܫܘܥ ܟܠܡܕܡ ܕܥܒܕܘ ܘܕܒܪ ܐܢܘܢ ܒܠܚܘܕܝܗܘܢ ܠܐܬܪܐ ܚܘܪܒܐ ܕܒܝܬ ܨܝܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa nini hamwelewi hayo ninayosema? Ni kwa kuwa hamwezi kuusikiliza ujumbe wangu. \t ܡܛܠ ܡܢܐ ܡܠܬܝ ܠܐ ܡܫܬܘܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܠ ܕܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܫܡܥܝܢ ܡܠܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kanisa linalokutana nyumbani kwako, na wewe dada Afia, na askari mwenzetu Arkupo. \t ܘܠܐܦܝܐ ܚܒܝܒܬܢ ܘܠܐܪܟܝܦܘܤ ܦܠܚܐ ܕܥܡܢ ܘܠܥܕܬܐ ܕܒܒܝܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani watu wa Israeli walivuka bahari ya Shamu, kana kwamba ilikuwa nchi kavu; lakini Wamisri walipojaribu kufanya hivyo walikufa maji. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܥܒܪܘ ܝܡܐ ܕܤܘܦ ܐܝܟ ܕܥܠ ܐܪܥܐ ܝܒܝܫܬܐ ܘܒܗ ܐܬܒܠܥܘ ܡܨܪܝܐ ܟܕ ܐܡܪܚܘ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akawaambia, \"Tuseme mmoja wenu ana kondoo wake ambaye ametumbukia shimoni; je, hatamshika na kumtoa humo siku ya Sabato? \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܘ ܡܢܟܘܢ ܓܒܪܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܥܪܒܐ ܚܕ ܘܐܢ ܢܦܠ ܒܚܒܪܐ ܒܝܘܡܐ ܕܫܒܬܐ ܠܐ ܐܚܕ ܘܡܩܝܡ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Upate fanaka na miaka mingi duniani.\" \t ܕܢܗܘܐ ܠܟ ܕܫܦܝܪ ܘܢܐܪܟܘܢ ܚܝܝܟ ܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na zile zilizoanguka kwenye udongo mzuri ndio watu wale wanaolisikia lile neno, wakalizingatia kwa moyo mwema na wa utii. Hao huvumilia mpaka wakazaa matunda. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܒܐܪܥܐ ܛܒܬܐ ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܒܠܒܐ ܫܦܝܐ ܘܛܒܐ ܫܡܥܝܢ ܡܠܬܐ ܘܐܚܕܝܢ ܘܝܗܒܝܢ ܦܐܪܐ ܒܡܤܝܒܪܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikukuu ya Wayahudi ya Pasaka ilikuwa imekaribia; hivyo Yesu akaenda Yerusalemu. \t ܘܩܪܝܒ ܗܘܐ ܦܨܚܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܘܤܠܩ ܠܐܘܪܫܠܡ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kwa vile yeye mwenyewe ni dhaifu, anapaswa kutolea dhabihu si tu kwa ajili ya watu, bali pia kwa ajili ya dhambi zake. \t ܘܡܛܠܬܗ ܚܝܒ ܗܘ ܕܐܝܟܢܐ ܕܚܠܦ ܥܡܐ ܗܟܢܐ ܐܦ ܚܠܦ ܢܦܫܗ ܢܩܪܒ ܥܠ ܚܛܗܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili mtu anayemtumikia Mungu awe mkamilifu, na tayari kabisa kufanya kila tendo jema. \t ܕܢܗܘܐ ܓܡܝܪ ܒܪܢܫܐ ܕܐܠܗܐ ܘܠܟܠ ܥܒܕ ܛܒ ܡܫܠܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo watu wakamletea Yesu kipofu mmoja ambaye alikuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo. Yesu akamponya hata, akaweza kusema na kuona. \t ܗܝܕܝܢ ܩܪܒܘ ܠܗ ܕܝܘܢܐ ܚܕ ܕܚܪܫ ܘܥܘܝܪ ܘܐܤܝܗ ܐܝܟܢܐ ܕܚܪܫܐ ܘܤܡܝܐ ܢܡܠܠ ܘܢܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, ila mwanamke aliumbwa kwa ajili ya mwanamume. \t ܘܐܦܠܐ ܓܝܪ ܓܒܪܐ ܐܬܒܪܝ ܡܛܠ ܐܢܬܬܐ ܐܠܐ ܐܢܬܬܐ ܡܛܠ ܓܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Sasa, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyaje hao wakulima?\" \t ܡܐ ܕܐܬܐ ܗܟܝܠ ܡܪܗ ܕܟܪܡܐ ܡܢܐ ܢܥܒܕ ܠܦܠܚܐ ܗܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme ambao bado hawajaanza kutawala. Lakini watapewa mamlaka ya kutawala kwa muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. \t ܘܥܤܪ ܩܪܢܢ ܕܚܙܝܬ ܥܤܪܐ ܡܠܟܝܢ ܐܢܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܠܟܘܬܐ ܠܐ ܥܕܟܝܠ ܢܤܒܘ ܐܠܐ ܫܘܠܛܢܐ ܐܝܟ ܡܠܟܐ ܚܕܐ ܫܥܬܐ ܫܩܠܝܢ ܥܡ ܚܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mwanamke ambaye huishi maisha ya anasa, huyo amekufa, ingawa yu hai. \t ܐܝܕܐ ܕܝܢ ܕܦܠܚܐ ܐܤܛܪܢܝܐ ܡܝܬܐ ܗܝ ܟܕ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kama utukufu wa Mungu umefunuliwa ndani ya Mwana, basi, naye Mungu ataudhihirisha utukufu wa Mwana ndani yake mwenyewe, na atafanya hivyo mara. \t ܘܐܢ ܐܠܗܐ ܐܫܬܒܚ ܒܗ ܘܐܦ ܐܠܗܐ ܡܫܒܚ ܠܗ ܒܗ ܘܡܚܕܐ ܡܫܒܚ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia. \t ܗܕܐ ܦܠܐܬܐ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܠܐ ܝܕܥܘ ܡܢܐ ܡܠܠ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao wachungaji walipomwona mtoto huyo wakawajulisha wote habari waliyokuwa wamesikia juu yake. \t ܘܟܕ ܚܙܘ ܐܘܕܥܘ ܠܡܠܬܐ ܕܐܬܡܠܠܬ ܥܡܗܘܢ ܥܠܘܗܝ ܥܠ ܛܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watauona uso wake, na jina lake litaandikwa juu ya paji za nyuso zao. \t ܘܢܚܙܘܢ ܐܦܘܗܝ ܘܫܡܗ ܥܠ ܒܝܬ ܥܝܢܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ile mbegu iliyopandwa katika udongo mzuri ni mfano wa mtu ausikiaye ujumbe huo na kuuelewa, naye huzaa matunda; mmoja mia, mwingine sitini na mwingine thelathini.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܥܠ ܐܪܥܐ ܛܒܬܐ ܐܙܕܪܥ ܗܘ ܗܘ ܕܫܡܥ ܡܠܬܝ ܘܡܤܬܟܠ ܘܝܗܒ ܦܐܪܐ ܘܥܒܕ ܐܝܬ ܕܡܐܐ ܘܐܝܬ ܕܫܬܝܢ ܘܐܝܬ ܕܬܠܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu kwamba Abrahamu alikuwa na watoto wawili: mmoja kwa mwanamke mtumwa, na wa pili kwa mwanamke huru. \t ܟܬܝܒ ܓܝܪ ܕܠܐܒܪܗܡ ܬܪܝܢ ܒܢܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܚܕ ܡܢ ܐܡܬܐ ܘܚܕ ܡܢ ܚܐܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye hufunguliwa. \t ܟܠ ܓܝܪ ܕܫܐܠ ܢܤܒ ܘܕܒܥܐ ܡܫܟܚ ܘܠܐܝܢܐ ܕܢܩܫ ܡܬܦܬܚ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu na wanafunzi wake walipokaribia Yerusalemu na kufika Bethfage katika mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili, \t ܘܟܕ ܩܪܒ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܐܬܐ ܠܒܝܬ ܦܓܐ ܥܠ ܓܢܒ ܛܘܪܐ ܕܙܝܬܐ ܫܕܪ ܝܫܘܥ ܬܪܝܢ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Onyesheni basi kwa matendo, kwamba mmetubu kweli. \t ܥܒܕܘ ܗܟܝܠ ܦܐܪܐ ܕܫܘܝܢ ܠܬܝܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mambo hayo yaliyowapata wao ni kielelezo kwa wengine, na yaliandikwa ili kutuonya sisi, ambao mwisho wa nyakati unatukabili. \t ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܟܠܗܝܢ ܕܓܕܫ ܠܗܘܢ ܠܛܘܦܤܢ ܗܘܝ ܘܐܬܟܬܒ ܡܛܠ ܡܪܕܘܬܐ ܕܝܠܢ ܕܚܪܬܗܘܢ ܕܥܠܡܐ ܥܠܝܢ ܡܛܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anakuja pamoja na Onesimo, ndugu yetu mpenzi na mwaminifu, ambaye ni mwananchi mwenzenu. Watawapeni habari za mambo yote yanayofanyika hapa. \t ܥܡ ܐܢܤܝܡܘܤ ܐܚܐ ܡܗܝܡܢܐ ܘܚܒܝܒܐ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܢܟܘܢ ܗܢܘܢ ܢܘܕܥܘܢܟܘܢ ܡܕܡ ܕܠܘܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, nawaambieni Kristo aliwatumikia Wayahudi apate kuonyesha uaminifu wa Mungu, na zile ahadi Mungu alizowapa babu zetu zipate kutimia; \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܫܡܫ ܓܙܘܪܬܐ ܚܠܦ ܫܪܪܗ ܕܐܠܗܐ ܐܝܟܢܐ ܕܢܫܪ ܡܘܠܟܢܐ ܕܐܒܗܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliposikia hayo watu wote na watoza ushuru waliusifu wema wa Mungu; hao ndio wale waliokuwa wameupokea ubatizo wa Yohane. \t ܘܟܠܗ ܥܡܐ ܕܫܡܥܘ ܐܦ ܡܟܤܐ ܙܕܩܘ ܠܐܠܗܐ ܕܥܡܕܘ ܡܥܡܘܕܝܬܗ ܕܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili. \t ܬܘܒ ܤܓܝ ܐܝܬ ܠܝ ܠܡܐܡܪ ܠܟܘܢ ܐܠܐ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܐܚܕ ܗܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninayo bado mengi ya kukwambia, lakini sipendi kuyaandika kwa kalamu na wino. \t ܤܓܝܐܬܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܝ ܠܡܟܬܒ ܠܟ ܐܠܐ ܠܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܕܒܝܕ ܕܝܘܬܐ ܘܩܢܝܐ ܐܟܬܘܒ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huohuo alikuwa anatumaini kwamba Paulo angempa fedha. Kwa sababu hii alimwita Paulo mara kwa mara na kuzungumza naye. \t ܤܒܪ ܗܘܐ ܓܝܪ ܕܫܘܚܕܐ ܡܬܝܗܒ ܗܘܐ ܠܗ ܡܢ ܦܘܠܘܤ ܡܛܠ ܗܕܐ ܐܦ ܐܡܝܢܐܝܬ ܡܫܕܪ ܗܘܐ ܡܝܬܐ ܠܗ ܘܡܡܠܠ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Jihadharini, msije mkadanganyika. Maana wengi watatokea na kulitumia jina langu wakisema: Mimi ndiye, na, Wakati ule umekaribia. Lakini ninyi msiwafuate! \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܚܙܘ ܠܡܐ ܬܛܥܘܢ ܤܓܝܐܐ ܓܝܪ ܢܐܬܘܢ ܒܫܡܝ ܘܢܐܡܪܘܢ ܕܐܢܐ ܐܢܐ ܡܫܝܚܐ ܘܙܒܢܐ ܩܪܒ ܠܐ ܕܝܢ ܬܐܙܠܘܢ ܒܬܪܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ndugu zangu, muwe na subira mpaka Bwana atakapokuja. Tazameni mkulima anavyongoja kwa subira mimea yake itoe mavuno mazuri. Yeye hungojea kwa subira mvua za masika na za vuli. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܐܚܝ ܐܓܪܘ ܪܘܚܟܘܢ ܥܕܡܐ ܠܡܐܬܝܬܗ ܕܡܪܝܐ ܐܝܟ ܐܟܪܐ ܕܡܤܟܐ ܠܦܐܪܐ ܝܩܝܪܐ ܕܐܪܥܗ ܘܡܓܪ ܪܘܚܗ ܥܠܝܗܘܢ ܥܕܡܐ ܕܢܤܒ ܡܛܪܐ ܒܟܝܪܝܐ ܘܠܩܝܫܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakaenda. Huyo mwenye shamba akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya vivyo hivyo. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܙܠܘ ܘܢܦܩ ܬܘܒ ܒܫܬ ܘܒܬܫܥ ܫܥܝܢ ܘܥܒܕ ܗܟܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni; kila utakachofunga duniani, kitafungwa pia mbinguni; kila utakachofungua duniani, kitafunguliwa pia mbinguni.\" \t ܠܟ ܐܬܠ ܩܠܝܕܐ ܕܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܘܟܠ ܡܕܡ ܕܬܐܤܘܪ ܒܐܪܥܐ ܢܗܘܐ ܐܤܝܪ ܒܫܡܝܐ ܘܡܕܡ ܕܬܫܪܐ ܒܐܪܥܐ ܢܗܘܐ ܫܪܐ ܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika akamwambia, \"Usiogope Maria, kwa maana Mungu amekujalia neema. \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܠܐܟܐ ܠܐ ܬܕܚܠܝܢ ܡܪܝܡ ܐܫܟܚܬܝ ܓܝܪ ܛܝܒܘܬܐ ܠܘܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa mtini jifunzeni mfano huu: Mara tu matawi yake yanapoanza kuwa laini na kuchanua majani, mnajua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia. \t ܡܢ ܬܬܐ ܕܝܢ ܝܠܦܘ ܦܠܐܬܐ ܕܡܐ ܕܪܟ ܤܘܟܝܗ ܘܦܪܥܘ ܛܪܦܝܗ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܡܛܐ ܩܝܛܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naongea nanyi, watu wenye busara; jiamulieni wenyewe hayo nisemayo. \t ܐܝܟ ܕܠܚܟܝܡܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܘܢܘ ܐܢܬܘܢ ܡܕܡ ܕܐܡܪ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Imekuwaje, basi, kwamba kila mmoja wetu anawasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe? \t ܐܝܟܢܐ ܚܢܢ ܫܡܥܝܢ ܚܢܢ ܐܢܫ ܐܢܫ ܠܫܢܗ ܕܒܗ ܝܠܝܕܝܢ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mshahara wangu ni kitu gani, basi? Mshahara wangu ni fursa ya kuihubiri Habari Njema bure, bila kudai haki ninazostahili kwa kuihubiri. \t ܐܝܢܐ ܗܘ ܗܟܝܠ ܐܓܪܝ ܕܟܕ ܡܤܒܪ ܐܢܐ ܕܠܐ ܢܦܩܬܐ ܐܥܒܕܝܗ ܠܤܒܪܬܗ ܕܡܫܝܚܐ ܘܠܐ ܐܬܚܫܚ ܒܫܘܠܛܢܐ ܕܝܗܒ ܠܝ ܒܐܘܢܓܠܝܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sasa, kwa kifo cha Mwanae aliyeishi hapa duniani, Mungu amewapatanisha naye, kusudi awalete mbele yake mkiwa watakatifu, safi na bila lawama. \t ܒܦܓܪܐ ܕܒܤܪܗ ܘܒܡܘܬܗ ܕܢܩܝܡܟܘܢ ܩܕܡܘܗܝ ܩܕܝܫܝܢ ܕܠܐ ܡܘܡ ܘܕܠܐ ܪܫܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo akaja mama mmoja mjane maskini, akatoa sarafu mbili ndogo za fedha. \t ܘܐܬܬ ܐܪܡܠܬܐ ܚܕܐ ܡܤܟܢܬܐ ܐܪܡܝܬ ܬܪܝܢ ܡܢܝܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܫܡܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyang'anyi? \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܝܟ ܕܥܠ ܓܝܤܐ ܢܦܩܬܘܢ ܒܤܝܦܐ ܘܒܚܘܛܪܐ ܕܬܐܚܕܘܢܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akawaambia, \"Wapeni ninyi chakula.\" Wakamjibu, \"Hatuna chochote ila mikate mitano na samaki wawili. Labda twende wenyewe tukawanunulie chakula watu wote hawa!\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܗܒܘ ܠܗܘܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܐܟܠ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܝܢ ܠܝܬ ܠܢ ܝܬܝܪ ܡܢ ܚܡܫܐ ܠܚܡܝܢ ܘܬܪܝܢ ܢܘܢܝܢ ܐܠܐ ܐܢ ܐܙܠܢܢ ܘܙܒܢܢ ܤܝܒܪܬܐ ܠܗܢܐ ܟܠܗ ܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana Yesu Kristo awe vazi lenu; msishughulikie tena tamaa zenu za maumbile na kuziridhisha. \t ܐܠܐ ܠܘܒܫܘܗܝ ܠܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܠܐ ܬܐܨܦܘܢ ܕܒܤܪܟܘܢ ܠܪܓܝܓܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baba, ulitukuze jina lako.\" Hapo sauti ikasema kutoka mbinguni, \"Nimelitukuza, na nitalitukuza tena.\" \t ܐܒܐ ܫܒܚ ܫܡܟ ܘܩܠܐ ܐܫܬܡܥ ܡܢ ܫܡܝܐ ܫܒܚܬ ܘܬܘܒ ܡܫܒܚ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana wakati huo kutakuwa na dhiki ambayo haijatokea tangu Mungu alipoumba ulimwengu mpaka leo, wala haitatokea tena. \t ܢܗܘܐ ܓܝܪ ܒܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܐܘܠܨܢܐ ܕܠܐ ܗܘܐ ܐܟܘܬܗ ܡܢ ܪܝܫ ܒܪܝܬܐ ܕܒܪܐ ܐܠܗܐ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܘܠܐ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno hayo, wakasema, \"Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!\" \t ܤܓܝܐܐ ܕܝܢ ܡܢ ܟܢܫܐ ܕܫܡܥܘ ܡܠܘܗܝ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܗܢܘ ܫܪܝܪܐܝܬ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, \"Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.\" \t ܘܡܬܚܫܒܝܢ ܗܘܘ ܚܕ ܥܡ ܚܕ ܘܐܡܪܝܢ ܕܠܚܡܐ ܠܝܬ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye hufunguliwa. \t ܟܠ ܓܝܪ ܕܫܐܠ ܢܤܒ ܘܕܒܥܐ ܡܫܟܚ ܘܕܢܩܫ ܡܬܦܬܚ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nimewatuma ndugu zetu hao, ili fahari yetu juu yenu ionekane kwamba si maneno matupu, na kwamba mko tayari kabisa na msaada wenu kama nilivyosema. \t ܫܕܪܬ ܕܝܢ ܠܐܚܐ ܕܠܐ ܢܤܬܪܩ ܫܘܒܗܪܢ ܕܐܫܬܒܗܪܢ ܒܟܘܢ ܥܠ ܗܕܐ ܨܒܘܬܐ ܕܐܝܟܢܐ ܕܐܡܪܬ ܬܗܘܘܢ ܡܛܝܒܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Amepewa uwezo wa kujivalia nguo ya kitani safi, iliyotakata na yenye kung'aa!\" (Nguo hiyo ya kitani safi ni matendo mema ya watu wa Mungu.) \t ܘܐܬܝܗܒ ܠܗ ܕܬܬܥܛܦ ܒܘܨܐ ܕܟܝܐ ܘܢܗܝܪܐ ܒܘܨܐ ܓܝܪ ܬܪܝܨܬܐ ܐܢܝܢ ܕܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kila mmoja kula chakula cha kutosha, walipunguza uzito wa meli kwa kutupa nafaka baharini. \t ܘܟܕ ܤܒܥܘ ܡܐܟܘܠܬܐ ܐܩܠܘ ܡܢ ܐܠܦܐ ܘܫܩܠܘ ܚܛܐ ܘܫܕܘ ܒܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Labda Onesimo aliondoka kwako kwa kitambo tu, kusudi uweze tena kuwa naye daima. \t ܟܒܪ ܕܝܢ ܐܦ ܡܛܠ ܗܕܐ ܫܢܝ ܕܫܥܬܐ ܕܠܥܠܡ ܬܐܚܕܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ile sauti ikasikika tena ikimwambia: \"Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa!\" \t ܘܬܘܒ ܕܬܪܬܝܢ ܙܒܢܝܢ ܩܠܐ ܗܘܐ ܠܘܬܗ ܐܝܠܝܢ ܕܐܠܗܐ ܕܟܝ ܐܢܬ ܠܐ ܬܤܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi walikuwa wamesahau kuchukua mikate; walikuwa na mkate mmoja tu katika mashua. \t ܘܛܥܘ ܕܢܤܒܘܢ ܠܚܡܐ ܘܐܠܐ ܚܕܐ ܓܪܝܨܬܐ ܠܝܬ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܒܤܦܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili nawe uweze kujionea mwenyewe ukweli wa mambo yale uliyofundishwa. \t ܕܬܕܥ ܫܪܪܐ ܕܡܠܐ ܕܐܬܬܠܡܕܬ ܠܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipoingia nyumbani, vipofu hao wawili wakamwendea, naye akawauliza, \"Je, mnaamini kwamba naweza kuwafanyia jambo hilo?\" Nao wakamjibu, \"Naam, Mheshimiwa.\" \t ܘܟܕ ܐܬܐ ܠܒܝܬܐ ܩܪܒܘ ܠܗ ܗܢܘܢ ܤܡܝܐ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܡܗܝܡܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܡܫܟܚ ܐܢܐ ܗܕܐ ܠܡܥܒܕ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܝܢ ܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo nikasema: Niko hapa ee Mungu, tayari kufanya mapenzi yako kama ilivyoandikwa juu yangu katika kitabu cha Sheria.\" \t ܗܝܕܝܢ ܐܡܪܬ ܕܗܐ ܐܢܐ ܐܬܐ ܐܢܐ ܕܒܪܝܫ ܟܬܒܐ ܟܬܝܒ ܥܠܝ ܕܐܥܒܕ ܨܒܝܢܟ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ombeni ili mambo hayo yasitukie nyakati za baridi. \t ܨܠܘ ܕܝܢ ܕܠܐ ܢܗܘܐ ܥܪܘܩܝܟܘܢ ܒܤܬܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwana wa Mtu akaja, anakula na kunywa, nao wakasema: Mtazameni huyu, mlafi na mlevi, rafiki yao watoza ushuru na wahalifu! Hata hivyo, hekima ya Mungu inathibitishwa kuwa njema kutokana na matendo yake.\" \t ܐܬܐ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܐܟܠ ܘܫܬܐ ܘܐܡܪܝܢ ܗܐ ܓܒܪܐ ܐܟܘܠܐ ܘܫܬܐ ܚܡܪܐ ܘܪܚܡܐ ܕܡܟܤܐ ܘܕܚܛܝܐ ܘܐܙܕܕܩܬ ܚܟܡܬܐ ܡܢ ܥܒܕܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, \"Kwa sababu hiyo nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula mnachohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu. \t ܘܐܡܪ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܡܛܠ ܗܢܐ ܠܟܘܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܐ ܬܐܨܦܘܢ ܠܢܦܫܟܘܢ ܡܢܐ ܬܐܟܠܘܢ ܘܠܐ ܠܦܓܪܟܘܢ ܡܢܐ ܬܠܒܫܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu mwema hutoa mambo mema katika hazina yake njema; na mtu mbaya hutoa mambo mabaya katika hazina yake mbaya. \t ܓܒܪܐ ܛܒܐ ܡܢ ܤܝܡܬܐ ܛܒܬܐ ܡܦܩ ܛܒܬܐ ܘܓܒܪܐ ܒܝܫܐ ܡܢ ܤܝܡܬܐ ܒܝܫܬܐ ܡܦܩ ܒܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, watu waliposikia hayo, walichomwa moyo, wakawauliza Petro na wale mitume wenzake: \"Ndugu zetu, tufanye nini?\" \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܗܠܝܢ ܐܬܓܢܚܘ ܒܠܒܗܘܢ ܘܐܡܪܘ ܠܫܡܥܘܢ ܘܠܫܪܟܐ ܕܫܠܝܚܐ ܡܢܐ ܢܥܒܕ ܐܚܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wale wote waliokuwa wamekusanyika hapo kwa ajili ya tukio hilo, walipoona hayo yaliyotukia, walirudi makwao wakijipiga vifua kwa huzuni. \t ܘܟܠܗܘܢ ܟܢܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܟܢܝܫܝܢ ܗܘܘ ܠܚܙܬܐ ܗܕܐ ܟܕ ܚܙܘ ܡܕܡ ܕܗܘܐ ܗܦܟܘ ܟܕ ܛܪܦܝܢ ܥܠ ܚܕܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akampeleka Simoni kwa Yesu. Naye Yesu akamtazama Simoni akasema, \"Wewe ni Simoni mwana wa Yohane. Sasa utaitwa Kefa.\" (maana yake ni Petro, yaani, \"Mwamba.\") \t ܘܐܝܬܝܗ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܘܚܪ ܒܗ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܐܢܬ ܗܘ ܫܡܥܘܢ ܒܪܗ ܕܝܘܢܐ ܐܢܬ ܬܬܩܪܐ ܟܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nimewaambieni hayo kusudi msiiache imani yenu. \t ܗܠܝܢ ܡܠܠܬ ܥܡܟܘܢ ܕܠܐ ܬܬܟܫܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alitoka hapo akaenda mkoani Yudea na hata ng'ambo ya mto Yordani. Umati wa watu ukamwendea tena, naye akawafundisha tena kama ilivyokuwa desturi yake. \t ܘܩܡ ܡܢ ܬܡܢ ܘܐܬܐ ܠܬܚܘܡܐ ܕܝܗܘܕ ܠܥܒܪܐ ܕܝܘܪܕܢܢ ܘܐܙܠܘ ܠܬܡܢ ܠܘܬܗ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܘܡܠܦ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܬܘܒ ܐܝܟ ܕܡܥܕ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini askari mmoja alimtoboa ubavuni kwa mkuki, na mara ikatoka damu na maji. \t ܐܠܐ ܚܕ ܡܢ ܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܡܚܝܗܝ ܒܕܦܢܗ ܒܠܘܟܝܬܐ ܘܡܚܕܐ ܢܦܩ ܕܡܐ ܘܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa, na baada ya Paulo na Barnaba kujadiliana nao, ikaamuliwa Paulo na Barnaba pamoja na waumini kadhaa wa lile kanisa la Antiokia waende Yerusalemu kuwaona wale mitume na wazee kuhusu jambo hilo. \t ܘܗܘܐ ܫܓܘܫܝܐ ܤܓܝܐܐ ܘܒܥܬܐ ܠܦܘܠܘܤ ܘܠܒܪܢܒܐ ܥܡܗܘܢ ܘܗܘܬ ܕܢܤܩܘܢ ܦܘܠܘܤ ܘܒܪܢܒܐ ܘܐܚܪܢܐ ܥܡܗܘܢ ܠܘܬ ܫܠܝܚܐ ܘܩܫܝܫܐ ܕܒܐܘܪܫܠܡ ܡܛܠ ܗܕܐ ܒܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kadhalika nanyi vijana mnapaswa kujiweka chini ya mamlaka ya wazee. Ninyi nyote mnapaswa kuwa na unyenyekevu mpate kutumikiana; maana Maandiko Matakatifu yasema: \"Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwajalia neema wanyenyekevu.\" \t ܘܐܢܬܘܢ ܥܠܝܡܐ ܐܫܬܥܒܕܘ ܠܩܫܝܫܝܟܘܢ ܘܐܬܥܛܦܘ ܚܝܨܐܝܬ ܡܟܝܟܘܬ ܪܥܝܢܐ ܠܘܬ ܚܕܕܐ ܡܛܠ ܕܐܠܗܐ ܤܩܘܒܠܐ ܗܘ ܕܐܝܠܝܢ ܕܡܬܬܪܝܡܝܢ ܘܠܡܟܝܟܐ ܝܗܒ ܛܝܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, Eliya hakutumwa kwa mjane yeyote ila kwa mwanamke mjane wa Sarepta, Sidoni. \t ܘܠܘܬ ܚܕܐ ܡܢܗܝܢ ܠܐ ܐܫܬܕܪ ܐܠܝܐ ܐܠܐ ܠܨܪܦܬ ܕܨܝܕܢ ܠܘܬ ܐܢܬܬܐ ܐܪܡܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengi waliyakubali maneno yake, wakabatizwa. Watu wapatao elfu tatu wakaongezeka katika kile kikundi siku hiyo. \t ܘܐܢܫܝܢ ܡܢܗܘܢ ܥܬܝܕܐܝܬ ܩܒܠܘ ܡܠܬܗ ܘܗܝܡܢܘ ܘܥܡܕܘ ܘܐܬܬܘܤܦܘ ܒܗܘ ܝܘܡܐ ܐܝܟ ܬܠܬܐ ܐܠܦܝܢ ܢܦܫܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa: \"Bwana, usiwalaumu kwa sababu ya dhambi hii.\" Baada ya kusema hivyo, akafa. \t ܘܟܕ ܤܡ ܒܘܪܟܐ ܩܥܐ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܘܐܡܪ ܡܪܢ ܠܐ ܬܩܝܡ ܠܗܘܢ ܗܕܐ ܚܛܝܬܐ ܘܟܕ ܗܕܐ ܐܡܪ ܫܟܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akauambia umati wa watu pamoja na wanafunzi wake, \t ܗܝܕܝܢ ܝܫܘܥ ܡܠܠ ܥܡ ܟܢܫܐ ܘܥܡ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ole wenu ninyi Mafarisayo, kwa sababu mnapenda kuketi mbele mahali pa heshima katika masunagogi, na kusalimiwa kwa heshima hadharani. \t ܘܝ ܠܟܘܢ ܦܪܝܫܐ ܕܪܚܡܝܢ ܐܢܬܘܢ ܪܝܫ ܡܘܬܒܐ ܒܟܢܘܫܬܐ ܘܫܠܡܐ ܒܫܘܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na, amri yake ndiyo hii: Kumwamini Mwanae Kristo, na kupendana kama alivyotuamuru. \t ܘܗܢܐ ܗܘ ܦܘܩܕܢܗ ܕܢܗܝܡܢ ܒܫܡܐ ܕܒܪܗ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܢܚܒ ܚܕ ܠܚܕ ܐܝܟ ܕܦܩܕܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, hekima ya Mungu imethibitishwa kuwa njema na wote wale wanaoikubali.\" \t ܘܐܙܕܕܩܬ ܚܟܡܬܐ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܒܢܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja wa wale wahalifu waliotundikwa msalabani, alimtukana akisema: \"Je, si kweli kwamba wewe ndiwe Kristo? Basi, jiokoe mwenyewe, utuokoe na sisi pia.\" \t ܚܕ ܕܝܢ ܡܢ ܗܢܘܢ ܥܒܕܝ ܒܝܫܬܐ ܕܨܠܝܒܝܢ ܗܘܘ ܥܡܗ ܡܓܕܦ ܗܘܐ ܥܠܘܗܝ ܘܐܡܪ ܐܢ ܐܢܬ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܦܨܐ ܢܦܫܟ ܘܦܨܐ ܐܦ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokwisha pokea hiyo siki, akasema, \"Yametimia!\" Kisha akainama kichwa, akatoa roho. \t ܟܕ ܕܝܢ ܫܩܠ ܗܘ ܚܠܐ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܗܐ ܡܫܠܡ ܘܐܪܟܢ ܪܫܗ ܘܐܫܠܡ ܪܘܚܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnapendelea lipi? Nije kwenu na fimbo, ama nije na moyo wa upendo na upole? \t ܐܝܟܢܐ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܚܘܛܪܐ ܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܐܘ ܒܚܘܒܐ ܘܒܪܘܚܐ ܡܟܝܟܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nazo nyota za mbingu zikaanguka juu ya ardhi kama matunda ya mtini yasiyokomaa yaangukavyo wakati mti wake unapotikiswa na upepo mkali. \t ܘܟܘܟܒܐ ܕܫܡܝܐ ܢܦܠܘ ܥܠ ܐܪܥܐ ܐܝܟ ܬܬܐ ܕܫܕܝܐ ܦܩܘܥܝܗ ܡܢ ܪܘܚܐ ܥܫܝܢܬܐ ܡܐ ܕܡܬܬܙܝܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mimea ilipoota na kuanza kuchanua, magugu pia yakaanza kuonekana. \t ܟܕ ܕܝܢ ܝܥܐ ܥܤܒܐ ܘܥܒܕ ܦܐܪܐ ܗܝܕܝܢ ܐܬܚܙܝܘ ܐܦ ܙܝܙܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Mbona waniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake. \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܡܢܐ ܩܪܐ ܐܢܬ ܠܝ ܛܒܐ ܠܝܬ ܛܒܐ ܐܠܐ ܐܢ ܚܕ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipofika pande za Kaisarea Filipi, aliwauliza wanafunzi wake, \"Watu wanasema Mwana wa Mtu kuwa ni nani?\" \t ܟܕ ܕܝܢ ܐܬܐ ܝܫܘܥ ܠܐܬܪܐ ܕܩܤܪܝܐ ܕܦܝܠܝܦܘܤ ܡܫܐܠ ܗܘܐ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܡܢܘ ܐܡܪܝܢ ܥܠܝ ܐܢܫܐ ܕܐܝܬܝ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Abrahamu alikuwa akingojea mji wenye misingi imara, mji ambao Mungu mwenyewe ndiye fundi aliyeubuni na kuujenga. \t ܡܤܟܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܠܡܕܝܢܬܐ ܕܫܬܐܤܬܐ ܐܝܬ ܠܗ ܕܐܘܡܢܗ ܘܥܒܘܕܗ ܐܠܗܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipitia sehemu za Frugia na Galatia kwani Roho Mtakatifu hakuwaruhusu kuhubiri huo ujumbe mkoani Asia. \t ܗܠܟܘ ܕܝܢ ܒܦܪܘܓܝܐ ܘܒܓܠܛܝܐ ܐܬܪܘܬܐ ܘܟܠܬ ܐܢܘܢ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܕܠܐ ܢܡܠܠܘܢ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܒܐܤܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Petro, akiwa pamoja na wale mitume wengine, akajibu, \"Lazima tumtii Mungu, na siyo binadamu. \t ܥܢܐ ܫܡܥܘܢ ܥܡ ܫܠܝܚܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐܠܗܐ ܘܠܐ ܠܡܬܛܦܤܘ ܝܬܝܪ ܡܢ ܕܠܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, nawasihi: fuateni mfano wangu. \t ܒܥܐ ܐܢܐ ܗܟܝܠ ܡܢܟܘܢ ܕܒܝ ܬܬܕܡܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mpumbavu wee! Je, wataka kuonyeshwa kwamba imani bila matendo imekufa? \t ܨܒܐ ܐܢܬ ܕܝܢ ܕܬܕܥ ܐܘ ܒܪܢܫܐ ܚܠܫܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܕܠܐ ܥܒܕܐ ܡܝܬܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi wapenzi wangu, kumbukeni yale mliyoambiwa hapo awali ni mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܚܒܝܒܝ ܐܬܕܟܪܘ ܠܡܠܐ ܐܝܠܝܢ ܕܩܕܡ ܐܬܐܡܪ ܡܢ ܫܠܝܚܘܗܝ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Nawaambieni kweli, Mwana wa Mtu atakapoketi katika kiti cha enzi cha utukufu wake katika ulimwengu mpya, ninyi mlionifuata mtaketi katika viti kumi na viwili mkiyahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܢܬܘܢ ܕܐܬܝܬܘܢ ܒܬܪܝ ܒܥܠܡܐ ܚܕܬܐ ܡܐ ܕܝܬܒ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܥܠ ܬܪܢܘܤ ܕܫܘܒܚܗ ܬܬܒܘܢ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܥܠ ܬܪܥܤܪ ܟܘܪܤܘܢ ܘܬܕܘܢܘܢ ܬܪܥܤܪ ܫܒܛܐ ܕܐܝܤܪܐܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo Mfarisayo akasimama, akasali kimoyomoyo: Ee Mungu, nakushukuru kwa vile mimi si kama watu wengine: walafi, wadanganyifu au wazinzi. Nakushukuru kwamba mimi si kama huyu mtoza ushuru. \t ܘܗܘ ܦܪܝܫܐ ܩܐܡ ܗܘܐ ܒܝܢܘܗܝ ܠܢܦܫܗ ܘܗܠܝܢ ܡܨܠܐ ܗܘܐ ܐܠܗܐ ܡܘܕܐ ܐܢܐ ܠܟ ܕܠܐ ܗܘܝܬ ܐܝܟ ܫܪܟܐ ܕܐܢܫܐ ܚܛܘܦܐ ܘܥܠܘܒܐ ܘܓܝܪܐ ܘܠܐ ܐܝܟ ܗܢܐ ܡܟܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wa kila kabila, lugha, taifa na rangi wataziangalia maiti hizo kwa muda wa siku tatu na nusu, na hawataruhusu zizikwe. \t ܘܚܙܝܢ ܡܢ ܐܡܘܬܐ ܘܫܪܒܬܐ ܘܠܫܢܐ ܘܥܡܡܐ ܠܫܠܕܝܗܘܢ ܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܘܦܠܓܗ ܘܠܫܠܕܝܗܘܢ ܠܐ ܢܫܒܩܘܢ ܠܡܬܬܤܡܘ ܒܩܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Daudi mwenyewe akiongozwa na Roho Mtakatifu alisema: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia, Mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.\" \t ܗܘ ܓܝܪ ܕܘܝܕ ܐܡܪ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܕܐܡܪ ܡܪܝܐ ܠܡܪܝ ܬܒ ܠܟ ܡܢ ܝܡܝܢܝ ܥܕܡܐ ܕܐܤܝܡ ܒܥܠܕܒܒܝܟ ܟܘܒܫܐ ܬܚܝܬ ܪܓܠܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnaposimama kusali, sameheni kila mtu aliyewakosea chochote, ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe ninyi makosa yenu. \t ܘܡܐ ܕܩܝܡܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܨܠܝܘ ܫܒܘܩܘ ܡܕܡ ܕܐܝܬ ܠܟܘܢ ܥܠ ܐܢܫ ܕܐܦ ܐܒܘܟܘܢ ܕܒܫܡܝܐ ܢܫܒܘܩ ܠܟܘܢ ܤܟܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Twambie mambo haya yatatukia lini? Ni ishara gani itakayoonyesha kwamba mambo haya karibu yatimizwe?\" \t ܐܡܪ ܠܢ ܐܡܬܝ ܗܠܝܢ ܢܗܘܝܢ ܘܡܢܐ ܐܬܐ ܡܐ ܕܩܪܝܒܢ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܠܡܫܬܠܡܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, nawaandikia ninyi watu wa Mungu huko Efeso, mlio waaminifu katika kuungana na Kristo Yesu. \t ܦܘܠܘܤ ܫܠܝܚܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܒܐܦܤܘܤ ܩܕܝܫܐ ܘܡܗܝܡܢܐ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akaingia Hekaluni, akawafukuza nje watu waliokuwa wanauza na kununua vitu ndani ya Hekalu; akazipindua meza za wale waliokuwa wanavunja fedha, na viti vya wale waliokuwa wanauza njiwa. \t ܘܥܠ ܝܫܘܥ ܠܗܝܟܠܐ ܕܐܠܗܐ ܘܐܦܩ ܠܟܠܗܘܢ ܕܙܒܢܝܢ ܘܡܙܒܢܝܢ ܒܗܝܟܠܐ ܘܤܚܦ ܦܬܘܪܐ ܕܡܥܪܦܢܐ ܘܟܘܪܤܘܬܐ ܕܗܢܘܢ ܕܡܙܒܢܝܢ ܝܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana hatukuleta kitu chochote hapa duniani, wala hatutachukua chochote. \t ܡܕܡ ܓܝܪ ܠܐ ܐܥܠܢ ܠܥܠܡܐ ܘܝܕܝܥܐ ܕܐܦܠܐ ܕܢܦܩ ܡܢܗ ܡܫܟܚܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walimu wa Sheria na Mafarisayo wakaanza kujiuliza: \"Nani huyu anayemkufuru Mungu kwa maneno yake? Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi ila Mungu peke yake!\" \t ܘܫܪܝܘ ܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܡܬܚܫܒܝܢ ܘܐܡܪܝܢ ܡܢܘ ܗܢܐ ܕܡܡܠܠ ܓܘܕܦܐ ܡܢܘ ܡܫܟܚ ܠܡܫܒܩ ܚܛܗܐ ܐܠܐ ܐܢ ܐܠܗܐ ܒܠܚܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya siku nyingi kupita, Wayahudi walikusanyika na kufanya mpango wa kumwua Saulo. \t ܘܟܕ ܤܓܝܘ ܠܗ ܬܡܢ ܝܘܡܬܐ ܥܒܕܘ ܥܠܘܗܝ ܢܟܠܐ ܝܗܘܕܝܐ ܕܢܩܛܠܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wale wazee ishirini na wanne walioketi mbele ya Mungu katika viti vyao vya enzi, wakaanguka kifudifudi, wakamwabudu Mungu, \t ܘܥܤܪܝܢ ܘܐܪܒܥܐ ܩܫܝܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܩܕܡ ܐܠܗܐ ܝܬܒܝܢ ܥܠ ܟܘܪܤܘܬܗܘܢ ܢܦܠܘ ܥܠ ܐܦܝܗܘܢ ܘܤܓܕܘ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Chukueni kwa mfano, kunguru: hawapandi, hawavuni wala hawana ghala yoyote. Hata hivyo, Mungu huwalisha. Ninyi mna thamani zaidi kuliko ndege! \t ܐܬܒܩܘ ܒܢܥܒܐ ܕܠܐ ܙܪܥܝܢ ܘܠܐ ܚܨܕܝܢ ܘܠܝܬ ܠܗܘܢ ܬܘܢܐ ܘܒܝܬ ܩܦܤܐ ܘܐܠܗܐ ܡܬܪܤܐ ܠܗܘܢ ܟܡܐ ܗܟܝܠ ܐܢܬܘܢ ܝܬܝܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܦܪܚܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakika hutatoka huko nakwambia, mpaka utakapomaliza kulipa senti ya mwisho.\" \t ܘܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܕܠܐ ܬܦܘܩ ܡܢ ܬܡܢ ܥܕܡܐ ܕܬܬܠ ܫܡܘܢܐ ܐܚܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akauita umati wa watu pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, \"Mtu yeyote akitaka kuwa mfuasi wangu, lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate. \t ܘܩܪܐ ܝܫܘܥ ܠܟܢܫܐ ܥܡ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢ ܕܨܒܐ ܕܢܐܬܐ ܒܬܪܝ ܢܟܦܘܪ ܒܢܦܫܗ ܘܢܫܩܘܠ ܙܩܝܦܗ ܘܢܐܬܐ ܒܬܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yule ofisa alivutiwa zaidi na maoni ya nahodha na ya mwenye meli kuliko yale aliyosema Paulo. \t ܩܢܛܪܘܢܐ ܕܝܢ ܠܩܘܒܪܢܛܐ ܘܠܡܪܗ ܕܐܠܦܐ ܫܡܥ ܗܘܐ ܝܬܝܪ ܡܢ ܡܠܘܗܝ ܕܦܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini tunapaswa kukumbuka kwamba sheria haziwekwi kwa ajili ya watu wema, bali kwa ajili ya wahalifu na wasiotii, wasiomcha Mungu na wenye dhambi, watu wasio na dini na wa kidunia. Watu wanaowaua baba na mama zao, au wauaji wowote wale; \t ܟܕ ܝܕܥ ܕܠܟܐܢܐ ܢܡܘܤܐ ܠܐ ܤܝܡ ܐܠܐ ܠܥܘܠܐ ܘܠܡܪܘܕܐ ܘܠܪܫܝܥܐ ܘܠܚܛܝܐ ܘܠܥܢܬܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܕܟܝܢ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܡܚܝܢ ܠܐܒܗܝܗܘܢ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܡܚܝܢ ܠܐܡܗܬܗܘܢ ܘܠܩܛܘܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akasema, \"Msimsumbue huyu mama! Mwacheni ayaweke kwa ajili ya siku ya mazishi yangu. \t ܐܡܪ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܫܒܘܩܝܗ ܠܝܘܡܐ ܕܩܒܘܪܝ ܢܛܪܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo umati huo wa watu ulimlaki, maana wote walisikia kwamba Yesu alikuwa amefanya ishara hiyo. \t ܘܡܛܠ ܗܕܐ ܢܦܩܘ ܠܩܘܒܠܗ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܕܫܡܥܘ ܕܐܬܐ ܗܕܐ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha sisi tulio hai wakati huo tutakusanywa pamoja nao katika mawingu kumlaki Bwana hewani. Na hivyo tutakuwa daima pamoja na Bwana. \t ܘܗܝܕܝܢ ܚܢܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܫܬܚܪܝܢܢ ܕܚܝܝܢܢ ܢܬܚܛܦ ܥܡܗܘܢ ܐܟܚܕܐ ܒܥܢܢܐ ܠܐܘܪܥܗ ܕܡܪܢ ܒܐܐܪ ܘܗܟܢܐ ܒܟܠܙܒܢ ܥܡ ܡܪܢ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipoketi kula chakula pamoja nao, akachukua mkate, akaubariki, akaumega, akawapa. \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܐܤܬܡܟ ܥܡܗܘܢ ܢܤܒ ܠܚܡܐ ܘܒܪܟ ܘܩܨܐ ܘܝܗܒ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Bwana Yesu alipokwisha sema nao, akachukuliwa mbinguni, akaketi upande wa kulia wa Mungu. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܡܪܢ ܡܢ ܒܬܪ ܕܡܠܠ ܥܡܗܘܢ ܠܫܡܝܐ ܤܠܩ ܘܝܬܒ ܡܢ ܝܡܝܢܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu alibaki mjane hadi wakati huo akiwa mzee wa miaka themanini na minne. Wakati huo wote alikaa Hekaluni akifunga na kusali usiku na mchana. \t ܘܗܘܬ ܐܪܡܠܬܐ ܐܝܟ ܫܢܝܢ ܬܡܢܐܝܢ ܘܐܪܒܥ ܘܠܐ ܦܪܩܐ ܗܘܬ ܡܢ ܗܝܟܠܐ ܘܒܨܘܡܐ ܘܒܨܠܘܬܐ ܦܠܚܐ ܗܘܬ ܒܐܝܡܡܐ ܘܒܠܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akasema, \"Tazameni! Ninaona mbingu zimefunuliwa na Mwana wa Mtu amesimama upande wa kulia wa Mungu.\" \t ܘܐܡܪ ܗܐ ܚܙܐ ܐܢܐ ܫܡܝܐ ܟܕ ܦܬܝܚܝܢ ܘܠܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܟܕ ܩܐܡ ܡܢ ܝܡܝܢܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akakaripiwa kwa ajili ya uovu wake. Punda ambaye hasemi alinena kwa sauti ya binadamu, akaukomesha wazimu wa huyo nabii. \t ܡܟܤܢܘܬܐ ܕܝܢ ܕܗܘܬ ܠܗ ܠܡܬܥܒܪܢܘܬܗ ܐܬܢܐ ܕܠܐ ܩܠܐ ܕܒܩܠܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܡܠܠܬ ܟܠܬ ܠܫܛܝܘܬܗ ܕܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Salamu zangu ziwafikie Priska na Akula, wafanyakazi wenzangu katika utumishi wa Kristo Yesu. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܦܪܝܤܩܠܐ ܘܕܐܩܠܤ ܦܠܚܐ ܕܥܡܝ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wewe unayo saburi, umestahimili taabu nyingi kwa ajili ya jina langu, wala hukuvunjika moyo. \t ܘܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܐܝܬ ܠܟ ܘܛܥܢܬ ܡܛܠ ܫܡܝ ܘܠܐ ܠܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Petro akamwambia Yesu, \"Bwana, ni vizuri sana kwamba tupo hapa! Ukipenda nitajenga vibanda vitatu: kimoja chako, kimoja cha Mose na kimoja cha Eliya.\" \t ܥܢܐ ܕܝܢ ܟܐܦܐ ܘܐܡܪ ܠܝܫܘܥ ܡܪܝ ܫܦܝܪ ܗܘ ܠܢ ܕܬܢܢ ܢܗܘܐ ܘܐܢ ܨܒܐ ܐܢܬ ܢܥܒܕ ܬܢܢ ܬܠܬ ܡܛܠܝܢ ܚܕܐ ܠܟ ܘܚܕܐ ܠܡܘܫܐ ܘܚܕܐ ܠܐܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Au je, Mungu nu Mungu wa Wayahudi tu, ama pia wa watu wa mataifa mengine? Naam, wa mataifa mengine pia. \t ܠܡܐ ܓܝܪ ܐܠܗܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܗܘ ܒܠܚܘܕ ܘܕܥܡܡܐ ܠܐ ܐܝܢ ܐܦ ܕܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܒܝ ܪܚܡ ܠܝ ܕܐܢܐ ܤܐܡ ܐܢܐ ܢܦܫܝ ܕܬܘܒ ܐܤܒܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana bado mu watu wa kidunia. Je, si kweli kwamba bado uko wivu na magombano kati yenu? Mambo hayo yanaonyesha wazi kwamba ninyi bado ni watu wa kidunia, mnaishi mtindo wa kidunia. \t ܥܕܟܝܠ ܓܝܪ ܒܒܤܪ ܐܢܬܘܢ ܐܝܟܐ ܓܝܪ ܕܐܝܬ ܒܟܘܢ ܚܤܡܐ ܘܚܪܝܢܐ ܘܦܠܓܘܬܐ ܠܐ ܗܐ ܦܓܪܢܐ ܐܢܬܘܢ ܘܒܒܤܪ ܡܗܠܟܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo niliwakasirikia watu hao nikasema, Fikira za watu hawa zimepotoka, hawajapata kamwe kuzijua njia zangu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܡܐܢܬ ܠܝ ܒܕܪܐ ܗܘ ܘܐܡܪܬ ܕܥܡܐ ܗܘ ܕܛܥܐ ܠܒܗܘܢ ܘܗܢܘܢ ܠܐ ܝܕܥܘ ܐܘܪܚܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, tuombeeni na sisi pia. \t ܐܚܝ ܨܠܘ ܥܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana popote pale wanapokusanyika wawili au watatu kwa jina langu, mimi nipo hapo kati yao.\" \t ܐܝܟܐ ܓܝܪ ܕܬܪܝܢ ܐܘ ܬܠܬܐ ܟܢܝܫܝܢ ܒܫܡܝ ܬܡܢ ܐܢܐ ܒܝܢܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wanawake wazee kama mama yako, na wasichana kama dada zako, kwa usafi wote. \t ܘܠܩܫܝܫܬܐ ܐܝܟ ܐܡܗܬܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܛܠܝܢ ܐܝܟ ܕܠܐܚܘܬܟ ܒܟܠܗ ܕܟܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, wale wanaoteseka kufuatana na matakwa ya Mungu, wanapaswa, kwa matendo yao mema, kujiweka chini ya Muumba wao ambaye ni wa kuaminika kabisa. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܝܠܝܢ ܕܚܫܝܢ ܐܝܟ ܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܢܓܥܠܘܢ ܠܗ ܢܦܫܬܗܘܢ ܒܥܒܕܐ ܫܦܝܪܐ ܐܝܟ ܕܠܒܪܘܝܐ ܡܗܝܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kabla ya kujaliwa imani, Sheria ilitufanya wafungwa mpaka imani hiyo iliyokuwa inakuja ifunuliwe. \t ܥܕܠܐ ܕܝܢ ܬܐܬܐ ܗܝܡܢܘܬܐ ܢܡܘܤܐ ܢܛܪ ܗܘܐ ܠܢ ܟܕ ܚܒܝܫܝܢܢ ܠܗܝܡܢܘܬܐ ܕܥܬܝܕܐ ܗܘܬ ܠܡܬܓܠܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa wanakula, Yesu alitwaa mkate, akashukuru, akaumega na kuwapa wanafunzi wake akisema, \"Twaeni; huu ni mwili wangu.\" \t ܘܟܕ ܗܢܘܢ ܠܥܤܝܢ ܢܤܒ ܝܫܘܥ ܠܚܡܐ ܘܒܪܟ ܘܩܨܐ ܘܝܗܒ ܠܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܤܒܘ ܗܢܐ ܐܝܬܘܗܝ ܦܓܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Papo hapo malaika wa Bwana akamwangusha Herode chini kwa sababu hakumpa Mungu hizo sifa. Akaliwa na wadudu, akafa. \t ܘܚܠܦ ܕܠܐ ܝܗܒ ܬܫܒܘܚܬܐ ܠܐܠܗܐ ܒܗ ܒܫܥܬܐ ܡܚܝܗܝ ܡܠܐܟܗ ܕܡܪܝܐ ܘܪܦܬ ܒܬܘܠܥܐ ܘܡܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila Kuhani Mkuu ameteuliwa kumtolea Mungu vipawa na dhabihu, na hivyo Kuhani Mkuu wetu lazima pia awe na kitu cha kutolea. \t ܟܠ ܪܒ ܟܘܡܪܐ ܓܝܪ ܕܩܐV ܕܢܩܪܒ ܩܘܪܒܢܐ ܘܕܒܚܐ ܡܛܠ ܗܢܐ ܙܕܩܐ ܗܘܬ ܐܦ ܠܗܢܐ ܕܢܗܘܐ ܐܝܬ ܠܗ ܡܕV ܕܢܩܪܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu na wanafunzi wake walikuwa mezani kwa chakula cha jioni. Ibilisi alikwisha mtia Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti, nia ya kumsaliti Yesu. \t ܘܟܕ ܗܘܬ ܚܫܡܝܬܐ ܪܡܐ ܗܘܐ ܠܗ ܠܤܛܢܐ ܒܠܒܗ ܕܝܗܘܕܐ ܒܪ ܫܡܥܘܢ ܤܟܪܝܘܛܐ ܕܢܫܠܡܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kabila la Simeoni, kumi na mbili elfu, kabila la Lawi, kumi na mbili elfu, kabila la Isakari, kumi na mbili elfu; \t ܡܢ ܫܪܒܬܗ ܕܫܡܥܘܢ ܬܪܥܤܪ ܐܠܦܝܢ ܡܢ ܫܪܒܬܗ ܕܐܝܤܟܪ ܬܪܥܤܪ ܐܠܦܝܢ ܡܢ ܫܪܒܬܗ ܕܠܘܝ ܬܪܥܤܪ ܐܠܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao. \t ܓܒܪܐ ܐܚܒܘ ܢܫܝܟܘܢ ܘܠܐ ܬܗܘܘܢ ܡܪܝܪܝܢ ܥܠܝܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao wakamjibu, \"Mwamini Bwana Yesu nawe utaokolewa pamoja na jamaa yako yote.\" \t ܘܗܢܘܢ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܗܝܡܢ ܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܬܚܐ ܐܢܬ ܘܒܝܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sisi tunajua na tunaamini upendo alio nao Mungu kwetu sisi. Mungu ni upendo, na kila mtu aishiye katika upendo, anaishi katika muungano na Mungu, na Mungu anaishi katika muungano naye. \t ܘܚܢܢ ܗܝܡܢܢ ܘܝܕܥܢ ܚܘܒܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܠܐܠܗܐ ܨܐܕܝܢ ܐܠܗܐ ܓܝܪ ܚܘܒܐ ܗܘ ܘܟܠ ܕܡܩܘܐ ܒܚܘܒܐ ܒܐܠܗܐ ܡܩܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi huyachunguza Maandiko Matakatifu mkidhani kwamba ndani yake mtapata uzima wa milele; na kumbe maandiko hayohayo yananishuhudia! \t ܒܨܘ ܟܬܒܐ ܕܒܗܘܢ ܡܤܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܘܗܢܘܢ ܤܗܕܝܢ ܥܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Hapo yule bwana akamjibu mmoja wao, Rafiki, sikukupunja kitu! Je, hukupatana nami mshahara wa denari moja? \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܚܕ ܡܢܗܘܢ ܚܒܪܝ ܠܐ ܡܥܘܠ ܐܢܐ ܒܟ ܠܐ ܗܘܐ ܒܕܝܢܪ ܩܨܬ ܥܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakawafanya Yasoni na wenzake watoe dhamana, kisha wakawaacha waende zao. \t ܘܢܤܒܘ ܥܪܒܐ ܡܢ ܐܝܤܘܢ ܘܐܦ ܡܢ ܐܚܐ ܘܗܝܕܝܢ ܫܪܘ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Nathanieli akamwuliza Filipo, \"Je, kitu chema chaweza kutoka Nazareti?\" Filipo akamwambia, \"Njoo uone.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܢܬܢܝܐܝܠ ܡܢ ܢܨܪܬ ܡܫܟܚ ܡܕܡ ܕܛܒ ܢܗܘܐ ܐܡܪ ܠܗ ܦܝܠܝܦܘܤ ܬܐ ܘܬܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Herode akasema, \"Huyo Yohane nilimkata kichwa; sasa ni nani huyu ninayesikia habari zake?\" Akawa na hamu ya kumwona. \t ܘܐܡܪ ܗܪܘܕܤ ܪܫܗ ܕܝܘܚܢܢ ܐܢܐ ܦܤܩܬ ܡܢܘ ܕܝܢ ܗܢܐ ܕܗܠܝܢ ܫܡܥ ܐܢܐ ܥܠܘܗܝ ܘܨܒܐ ܗܘܐ ܕܢܚܙܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nawaambieni, yeyote atakayempa mmojawapo wa wadogo hawa kikombe cha maji baridi kwa sababu ni mfuasi wangu, hatakosa kamwe kupata tuzo lake.\" \t ܡܢ ܕܡܩܒܠ ܢܒܝܐ ܒܫܡ ܢܒܝܐ ܐܓܪܐ ܕܢܒܝܐ ܢܤܒ ܘܡܢ ܕܡܩܒܠ ܙܕܝܩܐ ܒܫܡ ܙܕܝܩܐ ܐܓܪܐ ܕܙܕܝܩܐ ܢܤܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi ya wale walimu wa Sheria wakasema, \"Mwalimu, umejibu vema kabisa.\" \t ܘܥܢܘ ܐܢܫܝܢ ܡܢ ܤܦܪܐ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܠܦܢܐ ܫܦܝܪ ܐܡܪ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akampata mwana punda mmoja akapanda juu yake kama yasemavyo Maandiko: \t ܐܫܟܚ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܚܡܪܐ ܘܝܬܒ ܥܠܘܗܝ ܐܝܟܢܐ ܕܟܬܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu yeyote asiyeitii Sheria ya Mose, huuawa bila ya huruma kukiwa na ushahidi wa watu wawili au watatu. \t ܐܢ ܓܝܪ ܐܝܢܐ ܕܥܒܪ ܥܠ ܢܡܘܤܐ ܕܡܘܫܐ ܥܠ ܦܘܡ ܬܪܝܢ ܘܬܠܬܐ ܤܗܕܝܢ ܕܠܐ ܪܚܡܝܢ ܡܐܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na mara nyingi pepo huyo amemwangusha motoni na majini, ili amwangamize kabisa. Basi, ikiwa waweza, utuhurumie na kutusaidia!\" \t ܘܙܒܢܝܢ ܤܓܝܐܢ ܐܪܡܝܬܗ ܒܢܘܪܐ ܘܒܡܝܐ ܕܬܘܒܕܝܘܗܝ ܐܠܐ ܡܕܡ ܕܡܫܟܚ ܐܢܬ ܥܕܪܝܢܝ ܘܐܬܪܚܡ ܥܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wanaotenda dhambi bila kuijua Sheria ya Mose wataangamia ingawaje hawajui Sheria. Na wale wanaotenda dhambi wakiwa wanaijua Sheria watahukumiwa kisheria. \t ܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܕܠܐ ܢܡܘܤܐ ܚܛܘ ܐܦ ܕܠܐ ܢܡܘܤܐ ܢܐܒܕܘܢ ܘܐܝܠܝܢ ܕܒܢܡܘܤܐ ܚܛܘ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܢܬܕܝܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kila mtu aliye na tumaini hili katika Kristo, hujiweka safi kama vile Kristo alivyo safi kabisa. \t ܘܟܠ ܐܝܢܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܥܠܘܗܝ ܗܢܐ ܤܒܪܐ ܡܕܟܐ ܢܦܫܗ ܐܝܟ ܕܗܘ ܕܟܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Pilato akaitisha mkutano wa makuhani wakuu, viongozi na watu, \t ܩܪܐ ܕܝܢ ܦܝܠܛܘܤ ܠܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܠܐܪܟܘܢܐ ܘܠܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake asubuhi Yesu aliondoka akaenda mahali pa faragha. Watu wakawa wanamtafuta, na walipofika mahali alipokuwa, wakajaribu kumzuia ili asiondoke kwao. \t ܘܠܨܦܪܗ ܕܝܘܡܐ ܢܦܩ ܐܙܠ ܠܗ ܠܐܬܪܐ ܚܘܪܒܐ ܘܟܢܫܐ ܒܥܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܘܐܬܘ ܥܕܡܐ ܠܘܬܗ ܘܐܚܕܘܗܝ ܕܠܐ ܢܐܙܠ ܠܗ ܡܢ ܠܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini huyo kijana akawaambia, \"Msishangae. Mnamtafuta Yesu wa Nazareti aliyesulubiwa. Amefufuka, hayumo hapa. Tazameni mahali walipokuwa wamemlaza. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܝܢ ܠܐ ܬܕܚܠܢ ܠܝܫܘܥ ܢܨܪܝܐ ܒܥܝܢ ܐܢܬܝܢ ܗܘ ܕܐܙܕܩܦ ܩܡ ܠܗ ܠܐ ܗܘܐ ܬܢܢ ܗܐ ܕܘܟܬܐ ܐܝܟܐ ܕܤܝܡ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wote, kwa namna moja, wakaanza kuomba radhi. Wa kwanza akamwambia mtumishi: Nimenunua shamba, kwa hiyo sina budi kwenda kuliangalia; nakuomba uniwie radhi. \t ܘܫܪܝܘ ܡܢ ܚܕ ܟܠܗܘܢ ܠܡܫܬܐܠܘ ܐܡܪ ܠܗ ܩܕܡܝܐ ܩܪܝܬܐ ܙܒܢܬ ܘܐܠܝܨ ܐܢܐ ܕܐܦܘܩ ܐܚܙܝܗ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟ ܫܒܘܩܝܢܝ ܕܡܫܬܐܠ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "tangu kumwagwa damu ya Abeli mpaka kifo cha Zakariya ambaye walimuua kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Naam, hakika kizazi hiki kitaadhibiwa kwa matendo haya. \t ܡܢ ܕܡܗ ܕܗܒܝܠ ܥܕܡܐ ܠܕܡܗ ܕܙܟܪܝܐ ܗܘ ܕܐܬܩܛܠ ܒܝܢܝ ܗܝܟܠܐ ܠܡܕܒܚܐ ܐܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܡܬܬܒܥ ܡܢ ܫܪܒܬܐ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa muda wa siku arobaini baada ya kifo chake aliwatokea mara nyingi kwa namna ambazo zilithibitisha kabisa kwamba alikuwa hai. Walimwona, naye aliongea nao juu ya ufalme wa Mungu. \t ܗܢܘܢ ܕܐܦ ܚܘܝ ܠܗܘܢ ܢܦܫܗ ܟܕ ܚܝ ܡܢ ܒܬܪ ܕܚܫ ܒܐܬܘܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܒܝܘܡܝܢ ܐܪܒܥܝܢ ܟܕ ܡܬܚܙܐ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܘܐܡܪ ܥܠ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna mashaka hata kidogo kwamba anayebariki ni mkuu zaidi kuliko yule anayebarikiwa. \t ܕܠܐ ܚܪܝܢܐ ܕܝܢ ܗܘ ܕܒܨܝܪ ܡܬܒܪܟ ܡܢ ܗܘ ܕܡܝܬܪ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu hakujibu neno, hata pilato akashangaa. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܡܕܡ ܦܬܓܡܐ ܠܐ ܝܗܒ ܐܝܟܢܐ ܕܢܬܕܡܪ ܦܝܠܛܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Utawala wa Mungu si shauri la maneno matupu, bali ni nguvu. \t ܡܠܟܘܬܗ ܓܝܪ ܕܐܠܗܐ ܠܐ ܗܘܬ ܒܡܠܬܐ ܐܠܐ ܒܚܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wamekosea kuhusu dhambi kwa sababu hawaniamini; \t ܥܠ ܚܛܝܬܐ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutoka Troa, tulisafiri kwa meli moja kwa moja mpaka Samothrake, na kesho yake tukatia nanga Neapoli. \t ܘܪܕܝܢ ܡܢ ܛܪܘܐܤ ܘܬܪܨܢ ܠܤܡܬܪܩܐ ܘܡܢ ܬܡܢ ܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܐܬܝܢ ܠܢܐܦܘܠܝܤ ܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Manabii wote waliongea juu yake kwamba kila mtu atakayemwamini atasamehewa dhambi zake zote kwa jina lake.\" \t ܘܥܠܘܗܝ ܐܤܗܕܘ ܟܠܗܘܢ ܢܒܝܐ ܕܟܠܡܢ ܕܡܗܝܡܢ ܒܫܡܗ ܢܩܒܠ ܫܘܒܩܢ ܚܛܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na Mlawi mmoja, mzaliwa wa Kupro, jina lake Yosefu, ambaye mitume walimwita jina Barnaba (maana yake, \"Mtu mwenye kutia moyo\"). \t ܝܘܤܦ ܕܝܢ ܗܘ ܕܐܬܟܢܝ ܒܪܢܒܐ ܡܢ ܫܠܝܚܐ ܕܡܬܬܪܓܡ ܒܪܐ ܕܒܘܝܐܐ ܠܘܝܐ ܡܢ ܐܬܪܐ ܕܩܘܦܪܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Sheria yote hutimizwa katika kushika amri hii moja: \"Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.\" \t ܟܠܗ ܓܝܪ ܢܡܘܤܐ ܒܚܕܐ ܡܠܬܐ ܡܬܡܠܐ ܒܗܝ ܕܬܚܒ ܠܩܪܝܒܟ ܐܝܟ ܢܦܫܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakaimba wimbo huu mpya: \"Wewe unastahili kukitwaa hicho kitabu na kuivunja mihuri yake. Kwa sababu wewe umechinjwa, na kwa damu yako umemnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, lugha, jamaa na taifa. \t ܕܡܫܒܚܝܢ ܬܫܒܘܚܬܐ ܚܕܬܐ ܘܐܡܪܝܢ ܫܘܝܬ ܗܘ ܠܡܤܒܝܘܗܝ ܠܟܬܒܐ ܘܠܡܫܪܐ ܛܒܥܘܗܝ ܥܠ ܕܐܬܢܟܤܬ ܘܙܒܢܬܢ ܒܕܡܟ ܠܐܠܗܐ ܡܢ ܟܠ ܫܪܒܬܐ ܘܥܡܡܐ ܘܐܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu hawa wananung'unika daima na kuwalaumu watu wengine. Hufuata tamaa zao mbaya, hujigamba na kuwasifu watu wengine mno kusudi wafaulu katika mipango yao. \t ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܕܡܪܛܢܝܢ ܘܥܕܠܝܢ ܒܟܠ ܨܒܘܢ ܟܕ ܐܝܟ ܪܓܝܓܬܐ ܕܝܠܗܘܢ ܡܗܠܟܝܢ ܘܦܘܡܗܘܢ ܡܡܠܠ ܓܢܝܚܬܐ ܘܡܫܒܚܝܢ ܠܦܪܨܘܦܐ ܡܛܠ ܝܘܬܪܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kina mama wawili watakuwa wanasaga nafaka, mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa. \t ܘܬܪܬܝܢ ܢܗܘܝܢ ܛܚܢܢ ܒܪܚܝܐ ܚܕܐ ܡܬܕܒܪܐ ܘܚܕܐ ܡܫܬܒܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yuda alikuwa mmoja wa kikundi chetu maana alichaguliwa ashiriki huduma yetu. \t ܡܛܠ ܕܡܢܐ ܗܘܐ ܥܡܢ ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܦܤܐ ܒܬܫܡܫܬܐ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Kama unapenda kuwa mkamilifu, nenda ukauze mali yako uwape maskini hiyo fedha, nawe utakuwa na hazina mbinguni, kisha njoo unifuate.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢ ܨܒܐ ܐܢܬ ܓܡܝܪܐ ܠܡܗܘܐ ܙܠ ܙܒܢ ܩܢܝܢܟ ܘܗܒ ܠܡܤܟܢܐ ܘܬܗܘܐ ܠܟ ܤܝܡܬܐ ܒܫܡܝܐ ܘܬܐ ܒܬܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala, si wazawa wote wa Abrahamu ni watoto wake wa kweli. Ila, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: \"Wazao wake watatokana na Isaka.\" \t ܐܦܠܐ ܡܛܠ ܕܡܢ ܙܪܥܗ ܐܢܘܢ ܕܐܒܪܗܡ ܟܠܗܘܢ ܒܢܝܐ ܡܛܠ ܕܐܬܐܡܪ ܕܒܐܝܤܚܩ ܢܬܩܪܐ ܠܟ ܙܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana utamshuhudia kwa watu wote ukiwaambia yale uliyoyaona na kuyasikia. \t ܘܬܗܘܐ ܠܗ ܤܗܕܐ ܠܘܬ ܟܠܗܘܢ ܒܢܝܢܫܐ ܥܠ ܟܘܠ ܡܐ ܕܚܙܝܬ ܘܫܡܥܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mpanzi hupanda neno la Mungu. \t ܙܪܘܥܐ ܕܙܪܥ ܡܠܬܐ ܙܪܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Siku moja nikiwa nasali mjini Yopa, niliona maono; niliona kitu kama shuka kubwa likishushwa chini kutoka mbinguni likiwa limeshikwa pembe zake nne, likawekwa kando yangu. \t ܕܟܕ ܡܨܠܐ ܗܘܝܬ ܒܝܘܦܐ ܚܙܝܬ ܒܚܙܘܐ ܕܢܚܬ ܗܘܐ ܡܐܢܐ ܚܕ ܐܝܢܐ ܕܕܡܐ ܗܘܐ ܠܟܬܢܐ ܘܐܤܝܪ ܗܘܐ ܒܐܪܒܥ ܩܪܢܬܗ ܘܫܐܒ ܗܘܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܘܐܬܐ ܥܕܡܐ ܠܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, simameni imara! Ukweli uwe kama ukanda kiunoni mwenu, uadilifu uwe kama vazi la kujikinga kifuani, \t ܩܘܡܘ ܗܟܝܠ ܘܚܙܘܩܘ ܚܨܝܟܘܢ ܒܩܘܫܬܐ ܘܠܒܫܘ ܫܪܝܢܐ ܕܙܕܝܩܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Waache wafu wazike wafu wao; bali wewe nenda ukatangaze Ufalme wa Mungu.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܫܒܘܩ ܡܝܬܐ ܩܒܪܝܢ ܡܝܬܝܗܘܢ ܘܐܢܬ ܙܠ ܤܒܪ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usiku, kabla ya siku ile ambayo Herode angemtoa Petro hadharani, Petro alikuwa amelala kati ya askari wawili. Alikuwa amefungwa minyororo miwili, na walinzi walikuwa wanalinda lango la gereza. \t ܘܒܗ ܒܗܘ ܠܠܝܐ ܕܠܨܦܪܐ ܥܬܝܕ ܗܘܐ ܕܢܫܠܡܝܘܗܝ ܟܕ ܕܡܟ ܗܘܐ ܫܡܥܘܢ ܒܝܬ ܬܪܝܢ ܐܤܛܪܛܝܘܛܝܢ ܘܐܤܝܪ ܗܘܐ ܒܬܪܬܝܢ ܫܫܠܢ ܘܐܚܪܢܐ ܢܛܪܝܢ ܗܘܘ ܬܪܥܐ ܕܒܝܬ ܐܤܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilikuwa Ijumaa, siku ya Maandalio. Kwa hiyo, kusudi miili isikae msalabani siku ya Sabato, maana siku hiyo ya Sabato ilikuwa siku kubwa, Wayahudi walimwomba Pilato miguu ya hao waliosulubiwa ivunjwe na miili yao iondolewe. \t ܝܗܘܕܝܐ ܕܝܢ ܡܛܠ ܕܥܪܘܒܬܐ ܗܘܬ ܐܡܪܝܢ ܠܐ ܢܒܘܬܘܢ ܦܓܪܐ ܗܠܝܢ ܥܠ ܙܩܝܦܝܗܘܢ ܡܛܠ ܕܫܒܬܐ ܢܓܗܐ ܝܘܡܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܪܒܐ ܝܘܡܐ ܕܫܒܬܐ ܗܝ ܘܒܥܘ ܡܢ ܦܝܠܛܘܤ ܕܢܬܒܪܘܢ ܫܩܝܗܘܢ ܕܗܢܘܢ ܙܩܝܦܐ ܘܢܚܬܘܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao wakajadiliana hivi: \"Tukisema yalitoka mbinguni, yeye atatuuliza: Mbona hamkumsadiki? \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܡܬܚܫܒܝܢ ܗܘܘ ܒܢܦܫܗܘܢ ܘܐܡܪܝܢ ܕܐܢ ܢܐܡܪ ܡܢ ܫܡܝܐ ܐܡܪ ܠܢ ܘܡܛܠ ܡܢܐ ܠܐ ܗܝܡܢܬܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote anaonipa Baba watakuja kwangu; nami sitamtupa nje yeyote anayekuja kwangu, \t ܟܠ ܕܝܗܒ ܠܝ ܐܒܝ ܠܘܬܝ ܢܐܬܐ ܘܡܢ ܕܠܘܬܝ ܢܐܬܐ ܠܐ ܐܦܩܗ ܠܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokwenda mbele kidogo, aliwaona Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo. Nao pia walikuwa ndani ya mashua yao wakizitengeneza nyavu zao. \t ܘܟܕ ܥܒܪ ܩܠܝܠ ܚܙܐ ܠܝܥܩܘܒ ܒܪ ܙܒܕܝ ܘܠܝܘܚܢܢ ܐܚܘܗܝ ܘܐܦ ܠܗܘܢ ܒܤܦܝܢܬܐ ܕܡܬܩܢܝܢ ܡܨܝܕܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Si sawa kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܠܐ ܫܦܝܪ ܠܡܤܒ ܠܚܡܐ ܕܒܢܝܐ ܘܠܡܪܡܝܘ ܠܟܠܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ndiye aliyetutia mhuri wa kuwa mali yake yeye na kutujalia Roho mioyoni mwetu kama dhamana ya mambo yote ambayo ametuwekea. \t ܘܚܬܡܢ ܘܝܗܒ ܪܗܒܘܢܐ ܕܪܘܚܗ ܒܠܒܘܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ahadi yenyewe ni hii: \"Nitakujia wakati maalum, naye Sara atapata mtoto.\" \t ܕܡܘܠܟܢܐ ܓܝܪ ܐܝܬܝܗ ܡܠܬܐ ܗܕܐ ܕܒܙܒܢܐ ܗܢܐ ܐܬܐ ܘܢܗܘܐ ܒܪܐ ܠܤܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliwaambia, \"Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwaminini Mungu, niaminini na mimi pia. \t ܠܐ ܢܬܕܘܕ ܠܒܟܘܢ ܗܝܡܢܘ ܒܐܠܗܐ ܘܒܝ ܗܝܡܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa bado anaongea, watu walifika kutoka nyumbani kwa yule ofisa wa sunagogi, wakamwambia, \"Binti yako amekwisha kufa. Ya nini kuendelea kumsumbua Mwalimu?\" \t ܘܥܕ ܗܘ ܡܡܠܠ ܐܬܘ ܡܢ ܕܒܝܬ ܪܒ ܟܢܘܫܬܐ ܘܐܡܪܝܢ ܕܒܪܬܟ ܡܝܬܬ ܠܡܢܐ ܡܟܝܠ ܡܥܡܠ ܐܢܬ ܠܡܠܦܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao pepo wakamsihi asiwaamuru wamtoke na kwenda kwenye shimo lisilo na mwisho. \t ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗ ܕܠܐ ܢܦܩܘܕ ܠܗܘܢ ܠܡܐܙܠ ܠܬܗܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini malaika akaniambia, \"Kwa nini unashangaa? Mimi nitakuambia maana iliyofichika ya mwanamke huyu na mnyama huyo amchukuaye ambaye ana vichwa saba na pembe kumi. \t ܘܐܡܪ ܠܝ ܡܠܐܟܐ ܠܡܢܐ ܐܬܕܡܪܬ ܐܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܪܐܙܐ ܕܐܢܬܬܐ ܘܕܚܝܘܬܐ ܕܛܥܝܢܐ ܠܗ ܕܐܝܬ ܠܗ ܫܒܥܐ ܪܫܝܢ ܘܥܤܪ ܩܪܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Sikilizeni! Tunakwenda Yerusalemu, na huko Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na walimu wa Sheria, nao watamhukumu auawe. \t ܗܐ ܤܠܩܝܢ ܚܢܢ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܡܫܬܠܡ ܠܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܠܤܦܪܐ ܘܢܚܝܒܘܢܝܗܝ ܠܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nia yangu imekuwa daima kuihubiri Habari Njema popote pale ambapo jina la Kristo halijapata kusikika, nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine. \t ܟܕ ܡܬܚܦܛ ܐܢܐ ܐܤܒܪ ܠܐ ܟܪ ܕܐܬܩܪܝ ܫܡܗ ܕܡܫܝܚܐ ܕܠܐ ܐܒܢܐ ܥܠ ܫܬܐܤܬܐ ܢܘܟܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini walipouamini ujumbe wa Filipo juu ya Habari Njema ya Ufalme wa Mungu na jina la Yesu Kristo, walibatizwa, wanawake na wanaume. \t ܟܕ ܕܝܢ ܗܝܡܢܘ ܠܦܝܠܝܦܘܤ ܕܡܤܒܪ ܗܘܐ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܒܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܥܡܕܝܢ ܗܘܘ ܓܒܪܐ ܘܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sasa wanataka nchi iliyo bora zaidi, yaani nchi ya mbinguni. Ndiyo maana Mungu haoni haya wakimwita yeye Mungu wao, kwa sababu yeye mwenyewe amekwisha watayarishia mji. \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܝܕܝܥܐ ܕܠܕܛܒܐ ܡܢܗ ܪܓܝܢ ܗܘܘ ܠܗܝ ܕܐܝܬܝܗ ܒܫܡܝܐ ܡܛܠ ܗܢܐ ܠܐ ܢܟܦ ܐܠܗܐ ܕܐܠܗܗܘܢ ܢܬܩܪܐ ܛܝܒ ܠܗܘܢ ܓܝܪ ܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala ulimwengu wa juu, wala wa chini kabisa. Hakuna kiumbe chochote kitakachoweza kututenga na upendo wa Mungu kwetu kwa njia ya Kristo Yesu Bwana wetu. \t ܘܠܐ ܪܘܡܐ ܘܠܐ ܥܘܡܩܐ ܐܦܠܐ ܒܪܝܬܐ ܐܚܪܬܐ ܬܫܟܚ ܬܦܪܫܢܝ ܡܢ ܚܘܒܗ ܕܐܠܗܐ ܕܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliwachukua pia watu wengine wawili, wahalifu, wauawe pamoja naye. \t ܘܐܬܝܢ ܗܘܘ ܥܡܗ ܬܪܝܢ ܐܚܪܢܝܢ ܥܒܕܝ ܒܝܫܬܐ ܕܢܬܩܛܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu aliposikia hayo, alitoka Yudea akarudi Galilaya; \t ܘܫܒܩܗ ܠܝܗܘܕ ܘܐܙܠ ܠܗ ܬܘܒ ܠܓܠܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye aliingia ndani ya nyumba ya Mungu, akachukua ile mikate iliyowekwa mbele ya Mungu, akala na kuwapa wenzake. Kisheria, ni makuhani tu peke yao ndio walioruhusiwa kula mikate hiyo.\" \t ܕܥܠ ܠܒܝܬܗ ܕܐܠܗܐ ܘܠܚܡܐ ܕܦܬܘܪܗ ܕܡܪܝܐ ܢܤܒ ܐܟܠ ܘܝܗܒ ܠܐܝܠܝܢ ܕܥܡܗ ܗܘ ܕܠܐ ܫܠܝܛ ܗܘܐ ܠܡܐܟܠ ܐܠܐ ܠܟܗܢܐ ܒܠܚܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata walijaribu kutuzuia kuwahubiria watu wa mataifa mengine ujumbe utakaowaletea wokovu. Ndivyo walivyokamilisha orodha ya dhambi zote walizotenda siku zote. Lakini sasa hasira ya Mungu imewaangukia. \t ܕܟܠܝܢ ܠܢ ܕܢܡܠܠ ܥܡ ܥܡܡܐ ܕܢܚܘܢ ܠܡܫܠܡܘ ܚܛܗܝܗܘܢ ܒܟܠܙܒܢ ܡܛܝ ܕܝܢ ܥܠܝܗܘܢ ܪܘܓܙܐ ܥܕܡܐ ܠܚܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika siku zile za mwisho, asema Bwana, nitawamiminia binadamu wote Roho wangu. Watoto wenu, wanaume kwa wanawake, watautangaza ujumbe wangu; vijana wenu wataona maono, na wazee wenu wataota ndoto. \t ܢܗܘܐ ܒܝܘܡܬܐ ܐܚܪܝܐ ܐܡܪ ܐܠܗܐ ܐܫܘܕ ܪܘܚܝ ܥܠ ܟܠ ܒܤܪ ܘܢܬܢܒܘܢ ܒܢܝܟܘܢ ܘܒܢܬܟܘܢ ܘܓܕܘܕܝܟܘܢ ܚܙܘܢܐ ܢܚܙܘܢ ܘܩܫܝܫܝܟܘܢ ܚܠܡܐ ܢܚܠܡܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakafika Yerusalemu. Yesu akaingia Hekaluni, akaanza kuwafukuza nje watu waliokuwa wanauza na kununua vitu humo ndani. Akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadilishana fedha na viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa. \t ܘܥܠ ܝܫܘܥ ܠܗܝܟܠܐ ܕܐܠܗܐ ܘܫܪܝ ܕܢܦܩ ܠܐܝܠܝܢ ܕܙܒܢܝܢ ܘܡܙܒܢܝܢ ܒܗܝܟܠܐ ܘܗܦܟ ܦܬܘܪܐ ܕܡܥܪܦܢܐ ܘܟܘܪܤܘܬܐ ܕܗܢܘܢ ܕܡܙܒܢܝܢ ܝܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akamwambia, \"Bwana, ikiwa ni wewe kweli, amuru nitembee juu ya maji nije kwako.\" \t ܘܥܢܐ ܟܐܦܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܪܝ ܐܢ ܐܢܬ ܗܘ ܦܩܘܕ ܠܝ ܐܬܐ ܠܘܬܟ ܥܠ ܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, mmesahau yale maneno ya kutia moyo ambayo Mungu anawataja ninyi kuwa wanawe? \"Mwanangu, usidharau adhabu ya Bwana, wala usife moyo anapokukanya. \t ܘܛܥܝܬܘܢܝܗܝ ܠܝܘܠܦܢܐ ܐܝܢܐ ܕܐܝܟ ܕܠܒܢܝܐ ܐܡܪ ܠܟܘܢ ܒܪܝ ܠܐ ܬܗܡܐ ܡܢ ܡܪܕܘܬܗ ܕܡܪܝܐ ܘܠܐ ܬܪܦܐ ܢܦܫܟ ܐܡܬܝ ܕܡܢܗ ܡܬܟܘܢ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo. \t ܛܝܒܘܬܐ ܥܡܟܘܢ ܘܫܠܡܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܒܘܢ ܘܡܢ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kuwa Mwenyezi Mungu amenitendea makuu, jina lake ni takatifu. \t ܕܥܒܕ ܠܘܬܝ ܪܘܪܒܬܐ ܗܘ ܕܚܝܠܬܢ ܘܩܕܝܫ ܫܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulipokucha, ulitokea wasiwasi mkubwa kati ya wale askari kuhusu yaliyokuwa yamempata Petro. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܨܦܪܐ ܗܘܐ ܗܘܐ ܪܘܒܐ ܤܓܝܐܐ ܒܝܬ ܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܥܠ ܫܡܥܘܢ ܕܡܢܐ ܗܘܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Roho aliniambia niende pamoja nao bila kusita. Hawa ndugu sita waliandamana nami pia kwenda Kaisarea na huko tuliingia nyumbani mwa Kornelio. \t ܘܐܡܪ ܠܝ ܪܘܚܐ ܕܙܠ ܥܡܗܘܢ ܕܠܐ ܦܘܠܓܐ ܘܐܬܘ ܥܡܝ ܐܦ ܗܠܝܢ ܫܬܐ ܐܚܝܢ ܘܥܠܢ ܠܒܝܬܗ ܕܓܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Lakini hakuna mtu ajuaye siku au saa hiyo itakuja lini; wala malaika wa mbinguni, wala Mwana; Baba peke yake ndiye ajuaye. \t ܥܠ ܕܝܢ ܝܘܡܐ ܗܘ ܘܥܠ ܫܥܬܐ ܗܝ ܐܢܫ ܠܐ ܝܕܥ ܐܦܠܐ ܡܠܐܟܐ ܕܫܡܝܐ ܘܠܐ ܒܪܐ ܐܠܐ ܐܢ ܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, baadaye Yesu alimkuta huyo aliyeponywa Hekaluni, akamwambia, \"Sasa umepona; usitende dhambi tena, usije ukapatwa na jambo baya zaidi.\" \t ܒܬܪ ܙܒܢ ܐܫܟܚܗ ܝܫܘܥ ܒܗܝܟܠܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܗܐ ܚܠܝܡ ܐܢܬ ܬܘܒ ܠܐ ܬܚܛܐ ܕܠܡܐ ܢܗܘܐ ܠܟ ܡܕܡ ܕܒܝܫ ܡܢ ܩܕܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikujua la kufanya kuhusu shauri hilo. Basi, nilimwuliza Paulo kama angependa kwenda mahakamani kule Yerusalemu kwa ajili ya mashtaka hayo. \t ܘܡܛܠ ܕܠܐ ܩܐܡ ܗܘܝܬ ܐܢܐ ܥܠ ܒܥܬܐ ܕܗܠܝܢ ܐܡܪܬ ܗܘܝܬ ܠܦܘܠܘܤ ܕܐܢ ܒܥܐ ܐܢܬ ܕܬܐܙܠ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܬܡܢ ܬܬܕܝܢ ܥܠ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, dhambi haitawatawala ninyi tena, kwani hamko chini ya Sheria, bali chini ya neema. \t ܘܚܛܝܬܐ ܠܐ ܡܫܬܠܛܐ ܥܠܝܟܘܢ ܠܐ ܓܝܪ ܐܝܬܝܟܘܢ ܬܚܝܬ ܢܡܘܤܐ ܐܠܐ ܬܚܝܬ ܛܝܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, Mungu hakuacha kujidhihirisha kwa mambo mema anayowatendea: huwanyeshea mvua toka angani, huwapa mavuno kwa wakati wake, huwapa chakula na kuijaza mioyo yenu furaha.\" \t ܟܕ ܠܐ ܫܒܩ ܢܦܫܗ ܕܠܐ ܤܗܕܘ ܒܕܥܒܕ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܛܒܬܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܘܡܚܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܡܛܪܐ ܘܡܪܒܐ ܗܘܐ ܦܐܪܐ ܒܙܒܢܝܗܘܢ ܘܡܠܐ ܗܘܐ ܬܘܪܤܝܐ ܘܒܤܝܡܘܬܐ ܠܒܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani Yakobo alipokuwa karibu kufa, aliwabariki kila mmoja wa wana wa Yosefu, akamwabudu Mungu akiegemea ile fimbo yake. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܟܕ ܡܐܬ ܝܥܩܘܒ ܒܪܟ ܠܟܠ ܚܕ ܚܕ ܡܢ ܒܢܘܗܝ ܕܝܘܤܦ ܘܤܓܕ ܥܠ ܪܝܫ ܚܘܛܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wake wakamwuliza Yesu maana ya mfano huo. \t ܘܫܐܠܘܗܝ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܡܢܘ ܡܬܠܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msiwe na deni kwa mtu yeyote, isipokuwa tu deni la kupendana. Ampendaye jirani yake ameitekeleza Sheria. \t ܘܠܐܢܫ ܡܕܡ ܠܐ ܬܚܘܒܘܢ ܐܠܐ ܚܕ ܠܚܕ ܠܡܚܒܘ ܡܢ ܕܡܚܒ ܓܝܪ ܚܒܪܗ ܢܡܘܤܐ ܡܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ikatokea kwamba huyo maskini akafa, malaika wakamchukua, wakamweka karibu na Abrahamu. Na yule tajiri pia akafa, akazikwa. \t ܗܘܐ ܕܝܢ ܘܡܝܬ ܗܘ ܡܤܟܢܐ ܘܐܘܒܠܘܗܝ ܡܠܐܟܐ ܠܥܘܒܗ ܕܐܒܪܗܡ ܐܦ ܗܘ ܕܝܢ ܥܬܝܪܐ ܡܝܬ ܘܐܬܩܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na duara la viti ishirini na vinne kukizunguka kiti cha enzi, na juu ya viti hivyo wazee ishirini na wanne walikuwa wameketi wamevaa mavazi meupe na taji za dhahabu vichwani. \t ܘܚܕܪ ܟܘܪܤܝܐ ܟܘܪܤܘܬܐ ܥܤܪܝܢ ܘܐܪܒܥܐ ܘܥܠܝܗܘܢ ܕܝܢ ܕܟܘܪܤܘܬܐ ܥܤܪܝܢ ܘܐܪܒܥܐ ܩܫܝܫܝܢ ܕܝܬܒܝܢ ܕܥܛܝܦܝܢ ܡܐܢܐ ܚܘܪܐ ܘܥܠ ܩܪܩܦܬܗܘܢ ܟܠܝܠܐ ܕܕܗܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na maadui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake. \t ܘܒܥܠܕܒܒܘܗܝ ܕܓܒܪܐ ܒܢܝ ܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaanza kuwaambia, \"Jihadharini msije mkadanganywa na mtu. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܫܪܝ ܠܡܐܡܪ ܠܗܘܢ ܚܙܘ ܕܠܡܐ ܐܢܫ ܢܛܥܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja Yesu alikuwa akifundisha. Mafarisayo na walimu wa Sheria kutoka katika kila kijiji cha Galilaya, Yudea na Yerusalemu, walikuwa wameketi hapo. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye kwa ajili ya kuponyea wagonjwa. \t ܘܗܘܐ ܒܚܕ ܡܢ ܝܘܡܬܐ ܟܕ ܡܠܦ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܝܬܒܝܢ ܗܘܘ ܦܪܝܫܐ ܘܡܠܦܝ ܢܡܘܤܐ ܕܐܬܘ ܗܘܘ ܡܢ ܟܠ ܩܘܪܝܐ ܕܓܠܝܠܐ ܘܕܝܗܘܕ ܘܕܐܘܪܫܠܡ ܘܚܝܠܐ ܕܡܪܝܐ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܠܡܐܤܝܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Kweli nakwambia, mtu asipozaliwa upya hataweza kuuona ufalme wa Mungu.\" \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܕܐܢ ܐܢܫ ܠܐ ܡܬܝܠܕ ܡܢ ܕܪܝܫ ܠܐ ܡܫܟܚ ܕܢܚܙܐ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, usiiharibu kazi ya Mungu kwa sababu ya ubishi juu ya chakula. Vyakula vyote ni halali, lakini haifai kula chakula ambacho kitamfanya mtu aanguke katika dhambi. \t ܘܠܐ ܡܛܠ ܡܐܟܘܠܬܐ ܢܫܪܐ ܥܒܕܐ ܕܐܠܗܐ ܟܠܡܕܡ ܓܝܪ ܕܟܐ ܗܘ ܐܠܐ ܒܝܫ ܗܘ ܠܒܪܢܫܐ ܕܒܬܘܩܠܬܐ ܐܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini sasa, wakati huu, anazikabili dhambi za watu apate kuonyesha uadilifu wake. Kwa namna hiyo Mungu mwenyewe huonyesha kwamba yeye ni mwadilifu na kwamba humkubali kuwa mwadilifu mtu yeyote anayemwamini Yesu. \t ܒܐܬܪܐ ܕܝܗܒ ܠܢ ܐܠܗܐ ܒܡܓܪܬ ܪܘܚܗ ܠܬܚܘܝܬܐ ܕܟܐܢܘܬܗ ܕܒܙܒܢܐ ܗܢܐ ܕܗܘ ܢܗܘܐ ܟܐܢܐ ܘܢܙܕܩ ܒܟܐܢܘܬܐ ܠܡܢ ܕܒܗܝܡܢܘܬܐ ܗܘ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao. \t ܗܢܝܢ ܕܝܢ ܚܟܝܡܬܐ ܢܤܒ ܡܫܚܐ ܒܡܐܢܐ ܥܡ ܠܡܦܕܝܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Yesu akasema, \"Je, si watu kumi walitakaswa? Wale tisa wako wapi? \t ܥܢܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܐ ܗܘܐ ܥܤܪܐ ܗܘܝܢ ܗܠܝܢ ܕܐܬܕܟܝܘ ܐܝܟܐ ܐܢܘܢ ܬܫܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wake wakakumbuka kwamba Maandiko yasema: \"Upendo wangu kwa nyumba yako waniua.\" \t ܘܐܬܕܟܪܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܟܬܝܒ ܕܛܢܢܗ ܕܒܝܬܟ ܐܟܠܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yahusu sasa vyakula vilivyotambikiwa sanamu: Tunajua kwamba sisi sote tuna ujuzi, lakini ujuzi huo huwafanya watu wawe na majivuno; lakini mapendo hujenga. \t ܥܠ ܕܒܚܐ ܕܝܢ ܕܦܬܟܪܐ ܝܕܥܝܢܢ ܕܒܟܠܢ ܐܝܬ ܝܕܥܬܐ ܘܝܕܥܬܐ ܡܚܬܪܐ ܚܘܒܐ ܕܝܢ ܒܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Baraba alikuwa ametiwa ndani kwa kusababisha uasi katika mji na pia kwa sababu ya kuua.) \t ܗܘ ܐܝܢܐ ܕܡܛܠ ܐܤܛܤܝܤ ܕܗܘܬ ܒܡܕܝܢܬܐ ܘܩܛܠܐ ܪܡܐ ܗܘܐ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu. Humtumikia Mungu mchana na usiku katika Hekalu lake; naye aketiye juu ya kiti cha enzi atatandaza hema lake juu yao kuwalinda. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܩܕܡ ܟܘܪܤܝܐ ܕܐܠܗܐ ܘܡܫܡܫܝܢ ܠܗ ܐܝܡܡܐ ܘܠܠܝܐ ܒܗܝܟܠܗ ܘܕܝܬܒ ܥܠ ܟܘܪܤܝܐ ܢܓܢ ܥܠܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote waliomsikia walishangazwa na mafundisho yake, maana hakuwa anafundisha kama walimu wao wa Sheria, bali kama mtu mwenye mamlaka. \t ܘܬܡܝܗܝܢ ܗܘܘ ܒܝܘܠܦܢܗ ܡܠܦ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܓܝܪ ܐܝܟ ܡܫܠܛܐ ܘܠܐ ܐܝܟ ܤܦܪܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu hao hufundisha kwamba ni makosa kuona na pia kula vyakula fulani. Lakini Mungu aliviumba vyakula hivyo, ili wale walio waumini na ambao wanapata kuujua ukweli, wavitumie kwa shukrani. \t ܘܟܠܝܢ ܠܡܙܕܘܓܘ ܘܡܦܪܩܝܢ ܡܢ ܡܐܟܠܬܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܠܗܐ ܒܪܐ ܐܢܝܢ ܠܚܘܫܚܐ ܘܠܬܘܕܝܬܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܗܝܡܢܝܢ ܘܝܕܥܝܢ ܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, habari hiyo ikaenea miongoni mwa wale ndugu kwamba mwanafunzi huyo hafi. Lakini Yesu hakumwambia kwamba mwanafunzi huyo hafi, ila, \"Kama nataka abaki mpaka nitakapokuja, yakuhusu nini?\" \t ܘܢܦܩܬ ܗܕܐ ܡܠܬܐ ܒܝܬ ܐܚܐ ܕܗܘ ܬܠܡܝܕܐ ܠܐ ܡܐܬ ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܠܐ ܗܘܐ ܕܠܐ ܡܐܬ ܐܡܪ ܐܠܐ ܕܐܢ ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܢܩܘܐ ܗܢܐ ܥܕܡܐ ܕܐܬܐ ܐܢܐ ܠܟ ܡܐ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Timotheo akija, angalieni asiwe na hofu yoyote wakati yupo kati yenu, kwani anafanya kazi ya Bwana kama mimi. \t ܐܢ ܕܝܢ ܢܐܬܐ ܨܐܕܝܟܘܢ ܛܝܡܬܐܘܤ ܚܙܘ ܕܕܠܐ ܕܚܠܐ ܢܗܘܐ ܠܘܬܟܘܢ ܥܒܕܐ ܓܝܪ ܕܡܪܝܐ ܦܠܚ ܐܟܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni Petro akamjibu, \"Bwana, tutakwenda kwa nani? Wewe unayo maneno yaletayo uzima wa milele. \t ܥܢܐ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܘܐܡܪ ܡܪܝ ܠܘܬ ܡܢ ܢܐܙܠ ܡܠܐ ܕܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܐܝܬ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tusichoke kutenda mema; maana tusipolegea tutavuna mavuno kwa wakati wake. \t ܘܟܕ ܥܒܕܝܢܢ ܕܛܒ ܠܐ ܗܘܬ ܡܐܢܐ ܠܢ ܢܗܘܐ ܓܝܪ ܙܒܢܐ ܕܢܚܨܘܕ ܘܠܐ ܬܡܐܢ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipofika Yerusalemu walikaribishwa na kanisa, mitume na wazee; nao wakawapa taarifa juu ya yote Mungu aliyoyafanya pamoja nao. \t ܘܟܕ ܐܬܘ ܠܐܘܪܫܠܡ ܐܬܩܒܠܘ ܡܢ ܥܕܬܐ ܘܡܢ ܫܠܝܚܐ ܘܡܢ ܩܫܝܫܐ ܘܐܫܬܥܝܘ ܠܗܘܢ ܟܠ ܡܐ ܕܥܒܕ ܥܡܗܘܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akasema, \"Bado niko nanyi kwa muda mfupi, kisha nitamwendea yule aliyenituma. \t ܘܐܡܪ ܝܫܘܥ ܩܠܝܠ ܬܘܒ ܙܒܢܐ ܥܡܟܘܢ ܐܢܐ ܘܐܙܠ ܐܢܐ ܠܘܬ ܡܢ ܕܫܕܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika akamwendea, akamwambia, \"Salamu Maria! Umejaliwa neema nyingi! Bwana yu pamoja nawe.\" \t ܘܥܠ ܠܘܬܗ ܡܠܐܟܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܫܠܡ ܠܟܝ ܡܠܝܬ ܛܝܒܘܬܐ ܡܪܢ ܥܡܟܝ ܒܪܝܟܬ ܒܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akawaambia, \"Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܝܬ ܠܝ ܡܐܟܘܠܬܐ ܕܐܟܘܠ ܐܝܕܐ ܕܐܢܬܘܢ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akakumbuka maneno aliyoambiwa na Yesu: \"Kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu.\" Basi, akatoka nje akalia sana. \t ܗܝܕܝܢ ܫܪܝ ܠܡܚܪܡܘ ܘܠܡܐܡܐ ܕܠܐ ܝܕܥܢܐ ܠܗ ܠܓܒܪܐ ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܩܪܐ ܬܪܢܓܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Sasa roho yangu imefadhaika, na niseme nini? Je, niseme: Baba, usiruhusu saa hii inifikie? Lakini ndiyo maana nimekuja--ili nipite katika saa hii. \t ܗܫܐ ܢܦܫܝ ܗܐ ܫܓܝܫܐ ܘܡܢܐ ܐܡܪ ܐܒܝ ܦܨܢܝ ܡܢ ܗܕܐ ܫܥܬܐ ܐܠܐ ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܬܝܬ ܠܗܕܐ ܫܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hayo ndiyo mambo Mungu aliyotufunulia kwa njia ya Roho wake. Maana Roho huchunguza kila kitu hata mambo ya ndani kabisa ya Mungu. \t ܠܢ ܕܝܢ ܓܠܐ ܐܠܗܐ ܒܪܘܚܗ ܪܘܚܐ ܓܝܪ ܟܠܡܕܡ ܒܨܝܐ ܐܦ ܥܘܡܩܘܗܝ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vivyo hivyo, ni lazima mwanga wenu uangaze mbele ya watu, ili wayaone matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.\" \t ܗܟܢܐ ܢܢܗܪ ܢܘܗܪܟܘܢ ܩܕܡ ܒܢܝܢܫܐ ܕܢܚܙܘܢ ܥܒܕܝܟܘܢ ܛܒܐ ܘܢܫܒܚܘܢ ܠܐܒܘܟܘܢ ܕܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadaye, Yesu alikuwa amekaa mezani, nyumbani kwa Lawi, kula chakula. Watoza ushuru wengi na wenye dhambi walikuwa wamemfuata Yesu na wengi wao wakawa wamekaa mezani pamoja naye na wanafunzi wake. \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܤܡܝܟ ܒܒܝܬܗ ܤܓܝܐܐ ܡܟܤܐ ܘܚܛܝܐ ܤܡܝܟܝܢ ܗܘܘ ܥܡ ܝܫܘܥ ܘܥܡ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܓܝܪ ܤܓܝܐܐ ܘܐܬܘ ܒܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya miaka kumi na minne, nilikwenda tena Yerusalemu pamoja na Barnaba; nilimchukua pia Tito pamoja nami. \t ܬܘܒ ܕܝܢ ܡܢ ܒܬܪ ܐܪܒܥܤܪܐ ܫܢܝܢ ܤܠܩܬ ܠܐܘܪܫܠܡ ܥܡ ܒܪܢܒܐ ܘܕܒܪܬ ܥܡܝ ܠܛܛܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku zilipotimia za Yosefu na Maria kutakaswa kama walivyotakiwa na Sheria ya Mose, wazazi hao walimchukua mtoto, wakaenda naye Yerusalemu ili wamweke mbele ya Bwana. \t ܘܟܕ ܐܬܡܠܝܘ ܝܘܡܬܐ ܕܬܕܟܝܬܗܘܢ ܐܝܟ ܢܡܘܤܐ ܕܡܘܫܐ ܐܤܩܘܗܝ ܠܐܘܪܫܠܡ ܕܢܩܝܡܘܢܝܗܝ ܩܕܡ ܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hao watu waliomkamata Yesu walimpeleka nyumbani kwa Kayafa, Kuhani Mkuu, walikokusanyika walimu wa Sheria na wazee. \t ܘܗܢܘܢ ܕܐܚܕܘܗܝ ܠܝܫܘܥ ܐܘܒܠܘܗܝ ܠܘܬ ܩܝܦܐ ܪܒ ܟܗܢܐ ܐܝܟܐ ܕܤܦܪܐ ܘܩܫܝܫܐ ܟܢܝܫܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na wawe na mamlaka ya kuwafukuza pepo. \t ܘܕܢܗܘܘܢ ܫܠܝܛܝܢ ܕܢܐܤܘܢ ܟܪܝܗܐ ܘܢܦܩܘܢ ܕܝܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mtu hupewa mwangaza wa Roho kwa faida ya wote. \t ܠܐܢܫ ܐܢܫ ܕܝܢ ܡܬܝܗܒ ܠܗ ܓܠܝܢܐ ܕܪܘܚܐ ܐܝܟ ܕܥܕܪܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha baadhi ya walimu wa Sheria na Mafarisayo wakamwambia Yesu, \"Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.\" \t ܗܝܕܝܢ ܥܢܘ ܐܢܫܐ ܡܢ ܤܦܪܐ ܘܡܢ ܦܪܝܫܐ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܠܦܢܐ ܨܒܝܢ ܚܢܢ ܕܢܚܙܐ ܡܢܟ ܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini pepo mbaya aliwajibu, \"Ninamfahamu Yesu, ninamjua pia Paulo, lakini ninyi ni nani?\" \t ܘܥܢܐ ܫܐܕܐ ܗܘ ܒܝܫܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܝܫܘܥ ܡܫܬܘܕܥ ܐܢܐ ܘܠܦܘܠܘܤ ܝܕܥ ܐܢܐ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܡܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Awali, kabla ya watu kadhaa waliokuwa wametumwa na Yakobo kuwasili hapo, Petro alikuwa akila pamoja na watu wa mataifa mengine. Lakini, baada ya hao watu kufika, aliacha kabisa kula pamoja na watu wa mataifa mengine, kwa kuogopa kikundi cha waliosisitiza tohara. \t ܕܥܕܠܐ ܢܐܬܘܢ ܐܢܫܐ ܡܢ ܠܘܬ ܝܥܩܘܒ ܥܡ ܥܡܡܐ ܐܟܠ ܗܘܐ ܟܕ ܐܬܘ ܕܝܢ ܢܓܕ ܗܘܐ ܢܦܫܗ ܘܦܪܫ ܡܛܠ ܕܕܚܠ ܗܘܐ ܡܢ ܗܢܘܢ ܕܡܢ ܓܙܘܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa anaingia Yerusalemu, mji wote ukajaa ghasia. Watu wakawa wanauliza, \"Huyu ni nani?\" \t ܘܟܕ ܥܠ ܠܐܘܪܫܠܡ ܐܬܬܙܝܥܬ ܟܠܗ ܡܕܝܢܬܐ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܡܢܘ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sasa na tumsifu Mungu! Yeye anaweza kuwaimarisheni katika ile Habari Njema niliyohubiri juu ya ujumbe wa Yesu Kristo, na katika ile siri iliyofunuliwa na ambayo ilikuwa imefichika kwa karne nyinyi zilizopita. \t ܐܬܓܠܝ ܕܝܢ ܒܙܒܢܐ ܗܢܐ ܒܝܕ ܟܬܒܐ ܕܢܒܝܐ ܘܒܦܘܩܕܢܗ ܕܐܠܗܐ ܕܠܥܠܡ ܐܬܝܕܥ ܠܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܠܡܫܡܥܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wakamwuliza Yesu, \"Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi. \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܠܦܢܐ ܗܕܐ ܐܢܬܬܐ ܐܬܬܚܕܬ ܓܠܝܐܝܬ ܒܗ ܒܤܘܥܪܢܐ ܕܓܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliwalazimisha wote, wadogo na wakubwa, matajiri na maskini, watu huru na watumwa, watiwe alama juu ya mikono yao ya kulia au juu ya paji za nyuso zao. \t ܘܬܥܒܕ ܠܟܠܗܘܢ ܙܥܘܪܐ ܘܪܘܪܒܐ ܥܬܝܪܐ ܘܡܤܟܢܐ ܡܪܝܐ ܘܥܒܕܐ ܕܢܬܝܗܒ ܠܗܘܢ ܪܘܫܡܐ ܥܠ ܐܝܕܝܗܘܢ ܕܝܡܝܢܐ ܐܘ ܥܠ ܒܝܬ ܥܝܢܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alifanya hivyo kusudi matakwa ya haki ya Sheria yatekelezwe kikamilifu ndani yetu sisi ambao tunaishi, si kwa nguvu za kibinadamu, bali kwa nguvu ya Roho. \t ܕܟܐܢܘܬܐ ܕܢܡܘܤܐ ܒܢ ܬܬܡܠܐ ܕܠܐ ܗܘܐ ܒܒܤܪ ܡܗܠܟܝܢܢ ܐܠܐ ܒܪܘܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakafika nyumbani kwa ofisa wa sunagogi naye Yesu akasikia makelele, kilio na maombolezo mengi. \t ܘܐܬܘ ܠܒܝܬܐ ܕܗܘ ܪܒ ܟܢܘܫܬܐ ܘܚܙܐ ܕܪܗܝܒܝܢ ܘܒܟܝܢ ܘܡܝܠܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ninyi ni chumvi ya dunia! Lakini chumvi ikipoteza ladha yake itakolezwa na nini? Haifai kitu tena, ila hutupwa nje na kukanyagwa na watu. \t ܐܢܬܘܢ ܐܢܘܢ ܡܠܚܗ ܕܐܪܥܐ ܐܢܗܘ ܕܝܢ ܕܡܠܚܐ ܬܦܟܗ ܒܡܢܐ ܬܬܡܠܚ ܠܡܕܡ ܠܐ ܐܙܠܐ ܐܠܐ ܕܬܫܬܕܐ ܠܒܪ ܘܬܬܕܝܫ ܡܢ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, Siku ya Hukumu ninyi mtapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Tiro na Sidoni. \t ܒܪܡ ܠܨܘܪ ܘܠܨܝܕܢ ܢܗܘܐ ܢܝܚ ܒܕܝܢܐ ܐܘ ܠܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipojua kwamba Yesu alikuwa chini ya utawala wa Herode, akampeleka kwa Herode, ambaye wakati huo alikuwa Yerusalemu. \t ܘܟܕ ܝܕܥ ܕܡܢ ܬܚܝܬ ܫܘܠܛܢܐ ܗܘ ܕܗܪܘܕܤ ܫܕܪܗ ܠܘܬܗ ܕܗܪܘܕܤ ܡܛܠ ܕܒܐܘܪܫܠܡ ܗܘܐ ܒܗܢܘܢ ܝܘܡܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana akamwambia: Vua viatu vyako maana hapa unaposimama ni mahali patakatifu. \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܪܝܐ ܫܪܝ ܡܤܢܝܟ ܡܢ ܪܓܠܝܟ ܐܪܥܐ ܓܝܪ ܕܩܐܡ ܐܢܬ ܒܗ ܩܕܝܫܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye hutoa huduma ya Kuhani Mkuu katika Mahali Patakatifu sana, yaani ndani ya ile hema ya kweli iliyojengwa na Bwana, siyo na binadamu. \t ܘܗܘܐ ܡܫܡܫܢܐ ܕܒܝܬ ܩܘܕܫܐ ܘܕܡܫܟܢܐ ܕܫܪܪܐ ܗܘ ܕܩܒܥ ܐܠܗܐ ܘܠܐ ܒܪܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakamwuliza, \"Basi, wewe ni nani? Wasema nini juu yako mwenyewe? Tuambie, ili tuwapelekee jibu wale waliotutuma.\" \t ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܘܡܢܘ ܐܢܬ ܕܢܬܠ ܦܬܓܡܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܫܕܪܘܢ ܡܢܐ ܐܡܪ ܐܢܬ ܥܠ ܢܦܫܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati mtoto huyo alipokuwa anamjia Yesu, yule pepo alimwangusha chini na kumtia kifafa. Lakini Yesu akamkemea yule pepo mchafu akamponya mtoto na kumkabidhi kwa baba yake. \t ܘܟܕ ܡܩܪܒ ܠܗ ܐܪܡܝܗ ܕܝܘܐ ܗܘ ܘܡܥܤܗ ܘܟܐܐ ܝܫܘܥ ܒܪܘܚܐ ܗܝ ܛܢܦܬܐ ܘܐܤܝܗ ܠܛܠܝܐ ܘܝܗܒܗ ܠܐܒܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akaendelea kutazama amwone huyo aliyefanya hivyo. \t ܘܚܐܪ ܗܘܐ ܕܢܚܙܐ ܡܢܘ ܗܕܐ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa malaika wa kanisa la Efeso andika hivi: \"Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye ashikaye nyota saba katika mkono wake wa kulia, na ambaye hutembea katikati ya vinara saba vya taa vya dhahabu. \t ܘܠܡܠܐܟܐ ܕܒܥܕܬܐ ܕܐܦܤܘܤ ܟܬܘܒ ܗܟܢܐ ܐܡܪ ܗܘ ܕܐܚܝܕ ܫܒܥܐ ܟܘܟܒܝܢ ܒܐܝܕܗ ܗܘ ܕܡܗܠܟ ܒܝܢܬ ܡܢܪܬܐ ܕܕܗܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hawa wamepotoka kabisa mbali na ukweli, na wanatia imani ya watu wengine katika wasiwasi kwa kusema ati ufufuo wetu umekwisha fanyika. \t ܗܠܝܢ ܕܛܥܘ ܡܢ ܫܪܪܐ ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܕܩܝܡܬܐ ܕܡܝܬܐ ܗܘܬ ܠܗ ܘܗܝܡܢܘܬܐ ܕܐܢܫ ܐܢܫ ܡܗܦܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Karibu na mahali hapo kulikuwa na nguruwe wengi wakichungwa. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܠܗܠ ܡܢܗܘܢ ܒܩܪܐ ܕܚܙܝܪܐ ܤܓܝܐܐ ܕܪܥܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye hakumjua huyo mtu aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na umati mkubwa wa watu. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܐܬܐܤܝ ܠܐ ܝܕܥ ܗܘܐ ܡܢܘ ܝܫܘܥ ܓܝܪ ܐܬܓܢܝ ܗܘܐ ܠܗ ܒܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܒܕܘܟܬܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamfunga pingu, wakamchukua, wakamkabidhi kwa Pilato, mkuu wa mkoa. \t ܘܐܤܪܘܗܝ ܘܐܘܒܠܘܗܝ ܘܐܫܠܡܘܗܝ ܠܦܝܠܛܘܤ ܗܓܡܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kila mmoja kwa mpango wake: Kristo kwanza, halafu wale walio wake Kristo wakati Kristo atakapokuja. \t ܐܢܫ ܐܢܫ ܒܛܟܤܗ ܪܫܝܬܐ ܗܘܐ ܡܫܝܚܐ ܒܬܪܟܢ ܐܝܠܝܢ ܕܕܡܫܝܚܐ ܐܢܘܢ ܒܡܐܬܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokwisha sema hayo, wapinzani wake waliona aibu lakini watu wengine wote wakajaa furaha kwa sababu ya mambo yote aliyotenda. \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܗܘܐ ܒܗܬܝܢ ܗܘܘ ܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܩܝܡܝܢ ܗܘܘ ܠܩܘܒܠܗ ܘܟܠܗ ܥܡܐ ܚܕܐ ܗܘܐ ܒܟܠܗܝܢ ܬܡܝܗܬܐ ܕܗܘܝܢ ܗܘܝ ܒܐܝܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu. \t ܗܝܕܝܢ ܦܬܚ ܪܥܝܢܗܘܢ ܠܡܤܬܟܠܘ ܟܬܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, wote kwa jumla, wakasimama, wakampeleka Yesu mbele ya Pilato. \t ܘܩܡܘ ܟܠܗ ܟܢܫܗܘܢ ܘܐܝܬܝܘܗܝ ܠܘܬ ܦܝܠܛܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipoanza kupata akili akafikiri: Mbona kuna wafanyakazi wengi wa baba yangu wanaokula na kusaza, nami ninakufa njaa? \t ܘܟܕ ܐܬܐ ܠܘܬ ܢܦܫܗ ܐܡܪ ܟܡܐ ܗܫܐ ܐܓܝܪܐ ܐܝܬ ܒܝܬ ܐܒܝ ܕܝܬܝܪ ܠܗܘܢ ܠܚܡܐ ܘܐܢܐ ܗܪܟܐ ܠܟܦܢܝ ܐܒܕ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama mtu hakosi katika usemi wake, basi, huyo ni mkamilifu, na anaweza kutawala nafsi yake yote. \t ܤܓܝܐܬܐ ܓܝܪ ܡܫܬܪܥܝܢܢ ܟܠܢ ܟܠ ܕܒܡܠܬܐ ܠܐ ܫܪܥ ܗܢܐ ܐܝܬܘܗܝ ܓܒܪܐ ܓܡܝܪܐ ܕܡܫܟܚ ܢܫܥܒܕ ܐܦ ܟܠܗ ܦܓܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo, nawaambieni, watu watasamehewa dhambi na kufuru zao zote, lakini hawatasamehewa dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܟܠ ܚܛܗܝܢ ܘܓܘܕܦܝܢ ܢܫܬܒܩܘܢ ܠܒܢܝܢܫܐ ܓܘܕܦܐ ܕܝܢ ܕܥܠ ܪܘܚܐ ܠܐ ܢܫܬܒܩ ܠܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika ninyi ndugu zangu: ninyi pia mmekufa kuhusu Sheria kwa kuwa ninyi ni sehemu ya mwili wa Kristo; sasa mmekuwa wake yeye aliyefufuliwa kutoka wafu ili tupate kuzaa matunda mema kwa ajili ya Mungu. \t ܘܗܫܐ ܐܚܝ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܡܝܬܬܘܢ ܠܢܡܘܤܐ ܒܦܓܪܗ ܕܡܫܝܚܐ ܕܬܗܘܘܢ ܠܐܚܪܝܢ ܐܝܢܐ ܕܩܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܕܬܬܠܘܢ ܦܐܪܐ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka. \t ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܬܡܢ ܠܡܦܐܕܐ ܕܢܘܪܐ ܤܓܝܐܐ ܒܥܠܝܬܐ ܗܝ ܕܟܢܝܫܝܢ ܗܘܝܢ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makuhani wakuu waliamua pia kumwua Lazaro, \t ܘܐܬܪܥܝܘ ܗܘܘ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܕܐܦ ܠܠܥܙܪ ܢܩܛܠܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.\" \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܝܕܥ ܐܢܐ ܠܗ ܕܡܢ ܠܘܬܗ ܐܢܐ ܘܗܘ ܫܕܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawachukua Petro na wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuwa na huzuni na mahangaiko. \t ܘܕܒܪ ܠܟܐܦܐ ܘܠܬܪܝܗܘܢ ܒܢܝ ܙܒܕܝ ܘܫܪܝ ܠܡܬܟܡܪܘ ܘܠܡܬܥܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo basi, kipaji cha kusema lugha ngeni ni ishara, si kwa ajili ya watu wenye imani, bali kwa ajili ya wale wasioamini; lakini kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni kwa ajili ya wale wanaoamini na si kwa ajili ya wasioamini. \t ܡܕܝܢ ܠܫܢܐ ܠܐܬܐ ܗܘ ܤܝܡܝܢ ܠܐ ܠܡܗܝܡܢܐ ܐܠܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܢܒܝܘܬܐ ܕܝܢ ܠܐ ܗܘܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܐܠܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܗܝܡܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kama kwa kutotii kwa mtu mmoja watu wengi walifanywa wenye dhambi, kadhalika kutii kwa mtu mmoja kutawafanya wengi wakubaliwe kuwa waadilifu. \t ܐܝܟܢܐ ܓܝܪ ܕܡܛܠ ܠܐ ܡܫܬܡܥܢܘܬܗ ܕܚܕ ܒܪܢܫܐ ܚܛܝܐ ܤܓܝܐܐ ܗܘܘ ܗܟܢܐ ܐܦ ܡܛܠ ܡܫܬܡܥܢܘܬܗ ܕܚܕ ܤܓܝܐܐ ܟܐܢܐ ܗܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Yesu akamjibu, \"Mama, imani yako ni kubwa; basi, ufanyiwe kama unavyotaka.\" Yule binti yake akapona tangu saa hiyo wakati huohuo. \t ܗܝܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܘ ܐܢܬܬܐ ܪܒܐ ܗܝ ܗܝܡܢܘܬܟܝ ܢܗܘܐ ܠܟܝ ܐܝܟ ܕܨܒܝܐ ܐܢܬܝ ܘܐܬܐܤܝܬ ܒܪܬܗ ܡܢ ܗܝ ܫܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mose aliamuru: Waheshimu baba yako na mama yako, na, Anayemlaani baba au mama, lazima afe. \t ܡܘܫܐ ܓܝܪ ܐܡܪ ܕܝܩܪ ܠܐܒܘܟ ܘܠܐܡܟ ܘܡܢ ܕܡܨܚܐ ܠܐܒܐ ܘܠܐܡܐ ܡܘܬܐ ܢܡܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni Petro pamoja na mwanafunzi mwingine walimfuata Yesu. Huyo mwanafunzi mwingine alikuwa anajulikana kwa Kuhani Mkuu, hivyo aliingia pamoja na Yesu ndani ya ukumbi wa Kuhani Mkuu. \t ܫܡܥܘܢ ܕܝܢ ܟܐܦܐ ܘܚܕ ܡܢ ܬܠܡܝܕܐ ܐܚܪܢܐ ܐܬܝܢ ܗܘܘ ܒܬܪܗ ܕܝܫܘܥ ܠܗܘ ܕܝܢ ܬܠܡܝܕܐ ܝܕܥ ܗܘܐ ܠܗ ܪܒ ܟܗܢܐ ܘܥܠ ܥܡ ܝܫܘܥ ܠܕܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu waovu na wadanyanyifu watazidi kuwa waovu zaidi na zaidi kwa kuwadanganya wengine na kudanganyika wao wenyewe. \t ܒܢܝܢܫܐ ܕܝܢ ܒܝܫܐ ܘܡܛܥܝܢܐ ܢܘܤܦܘܢ ܥܠ ܒܝܫܘܬܗܘܢ ܟܕ ܛܥܝܢ ܘܡܛܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo hili linatuhusu sisi pia ambao tunamwamini Mungu aliyemfufua Yesu, Bwana wetu, kutoka wafu. \t ܐܠܐ ܐܦ ܡܛܠܬܢ ܕܐܦܠܢ ܥܬܝܕ ܗܘ ܕܢܚܫܘܒ ܐܝܠܝܢ ܕܗܝܡܢܢ ܒܡܢ ܕܐܩܝܡ ܠܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakafika katika nchi ya Wagerase, ng'ambo ya ziwa. \t ܘܐܬܐ ܠܥܒܪܐ ܕܝܡܐ ܠܐܬܪܐ ܕܓܕܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote walipokuwa wamekwisha batizwa, Yesu naye alibatizwa. Na alipokuwa akisali, mbingu zilifunguka, \t ܗܘܐ ܕܝܢ ܟܕ ܥܡܕ ܟܠܗ ܥܡܐ ܘܐܦ ܝܫܘܥ ܥܡܕ ܘܟܕ ܡܨܠܐ ܐܬܦܬܚܘ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama mmoja wenu ametindikiwa hekima, basi, anapaswa kumwomba Mungu ambaye atampatia; kwani Mungu huwapa wote kwa wingi na kwa ukarimu. \t ܐܢ ܐܢܫ ܕܝܢ ܡܢܟܘܢ ܚܤܝܪ ܡܢ ܚܟܡܬܐ ܢܫܐܠ ܡܢ ܐܠܗܐ ܕܝܗܒ ܠܟܠ ܦܫܝܛܐܝܬ ܘܠܐ ܡܚܤܕ ܘܡܬܝܗܒܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo upendo wake wa moyo kwenu unaongezeka zaidi akikumbuka jinsi ninyi nyote mlivyo tayari kutii, na jinsi mlivyomkaribisha kwa hofu nyingi na kutetemeka. \t ܐܦ ܪܚܡܘܗܝ ܝܬܝܪܐܝܬ ܤܓܝܘ ܥܠܝܟܘܢ ܟܕ ܡܬܕܟܪ ܡܫܬܡܥܢܘܬܐ ܕܟܠܟܘܢ ܕܒܕܚܠܬܐ ܘܒܪܬܝܬܐ ܩܒܠܬܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Atakapokuja huyo Msaidizi nitakayemtuma kwenu kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia mimi. \t ܡܐ ܕܝܢ ܕܐܬܐ ܦܪܩܠܛܐ ܗܘ ܕܐܢܐ ܡܫܕܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܡܢ ܠܘܬ ܐܒܝ ܪܘܚܐ ܕܫܪܪܐ ܗܘ ܕܡܢ ܠܘܬ ܐܒܝ ܢܦܩ ܗܘ ܢܤܗܕ ܥܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana wazee wa kale walipata kibali cha Mungu kwa sababu ya imani yao. \t ܘܒܗܕܐ ܗܘܬ ܤܗܕܘܬܐ ܥܠ ܩܫܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nimeyaona mabaya wanayotendewa watu wangu kule Misri. Nimesikia kilio chao, nami nimekuja kuwaokoa. Basi sasa, nitakutuma Misri. \t ܡܚܙܐ ܚܙܝܬ ܐܘܠܨܢܗ ܕܥܡܝ ܕܒܡܨܪܝܢ ܘܬܢܚܬܗ ܫܡܥܬ ܘܢܚܬܬ ܕܐܦܪܘܩ ܐܢܘܢ ܘܗܫܐ ܬܐ ܐܫܕܪܟ ܠܡܨܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Herode akazidisha ubaya wake kwa kumtia Yohane gerezani. \t ܐܘܤܦ ܐܦ ܗܕܐ ܥܠ ܟܠܗܝܢ ܘܚܒܫܗ ܠܝܘܚܢܢ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawaambia, \"Iko wapi imani yenu?\" Lakini wao walishangaa na kuogopa huku wakiambiana, \"Huyu ni nani basi, hata anaamuru dhoruba na mawimbi, navyo vinamtii?\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܝܟܐ ܗܝ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܟܕ ܕܚܝܠܝܢ ܡܬܕܡܪܝܢ ܗܘܘ ܘܐܡܪܝܢ ܚܕ ܠܚܕ ܡܢܘ ܟܝ ܗܢܐ ܕܐܦ ܠܪܘܚܐ ܦܩܕ ܘܠܡܚܫܘܠܐ ܘܠܝܡܐ ܘܡܫܬܡܥܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "humpa mmoja kipaji cha kufanya miujiza, mwingine kipaji cha kusema ujumbe wa Mungu, mwingine kipaji cha kubainisha vipaji vitokavyo kwa Roho na visivyo vya Roho; humpa mmoja kipaji cha kusema lugha ngeni, na mwingine kipaji cha kuzifafanua. \t ܠܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܚܝܠܐ ܠܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܢܒܝܘܬܐ ܠܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܦܪܘܫܘܬܐ ܕܪܘܚܐ ܠܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܙܢܝܐ ܕܠܫܢܐ ܠܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܦܘܫܩܐ ܕܠܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kijana mmoja aitwaye Eutuko alikuwa ameketi dirishani wakati Paulo alipokuwa anaendelea kuhutubu. Eutuko alianza kusinzia kidogokidogo na hatimaye usingizi ukambana, akaanguka chini kutoka ghorofa ya tatu. Wakamwokota amekwisha kufa. \t ܘܝܬܒ ܗܘܐ ܥܠܝܡܐ ܚܕ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܐܘܛܟܘܤ ܒܟܘܬܐ ܘܫܡܥ ܘܛܒܥ ܒܫܢܬܐ ܝܩܝܪܬܐ ܟܕ ܐܓܪ ܗܘܐ ܒܡܠܬܐ ܦܘܠܘܤ ܘܒܫܢܬܗ ܢܦܠ ܗܘܐ ܡܢ ܬܠܬܐ ܡܕܝܪܝܢ ܘܐܫܬܩܠ ܟܕ ܡܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikukuu ya Wayahudi iitwayo Pasaka ilikuwa imekaribia. \t ܩܪܝܒ ܗܘܐ ܕܝܢ ܥܕܥܕܐ ܕܦܨܚܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye akasema: Sivyo baba Abrahamu, ila kama mtu atafufuka kutoka wafu na kuwaendea, watatubu. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܠܐ ܐܒܝ ܐܒܪܗܡ ܐܠܐ ܐܢ ܐܢܫ ܡܢ ܡܝܬܐ ܢܐܙܠ ܠܘܬܗܘܢ ܬܝܒܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivi ndivyo nilivyowaona hao farasi na wapanda farasi katika hiyo njozi: Walikuwa na ngao vifuani zilizokuwa moto mtupu, zenye rangi ya samawati na njano kama kiberiti. Vichwa vya hao farasi vilikuwa kama vya simba; na moto, moshi, na kiberiti vilikuwa vinatoka kinywani mwao. \t ܘܗܟܢܐ ܚܙܝܬ ܪܟܫܐ ܒܚܙܘܐ ܘܠܕܝܬܒܝܢ ܥܠܝܗܘܢ ܐܝܬ ܫܪܝܢܐ ܕܢܘܪܐ ܘܩܪܟܕܢܐ ܕܟܒܪܝܬܐ ܘܩܪܩܦܬܐ ܕܪܟܫܗܘܢ ܐܝܟ ܩܪܩܦܬܐ ܕܐܪܝܘܬܐ ܘܡܢ ܦܘܡܗܘܢ ܢܦܩܐ ܢܘܪܐ ܘܟܒܪܝܬܐ ܘܬܢܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mfanyalo, fanyeni kwa moyo wote, kwa sababu ya Bwana na si kwa ajili ya mtu. \t ܘܟܠ ܕܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܟܠܗ ܢܦܫܟܘܢ ܥܒܕܘ ܐܝܟ ܕܠܡܪܢ ܘܠܐ ܐܝܟ ܕܠܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hamjui kwamba ninyi ni hekalu la Mungu, na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu? \t ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܗܝܟܠܗ ܐܢܬܘܢ ܕܐܠܗܐ ܘܪܘܚܗ ܕܐܠܗܐ ܥܡܪܐ ܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watumwa wanapaswa kuwatii wakuu wao na kuwapendeza katika mambo yote. Wasibishane nao, \t ܥܒܕܐ ܠܡܪܝܗܘܢ ܢܫܬܥܒܕܘܢ ܒܟܠܡܕܡ ܘܢܫܬܦܪܘܢ ܘܠܐ ܗܘܘ ܡܥܨܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana, wengine wote wametoa sadaka zao kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mama, ingawa ni maskini, ametoa kila kitu alichohitaji kwa kuishi.\" \t ܟܠܗܘܢ ܓܝܪ ܗܠܝܢ ܡܢ ܡܐ ܕܝܬܝܪ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܐܪܡܝܘ ܒܝܬ ܩܘܪܒܢܐ ܕܐܠܗܐ ܗܕܐ ܕܝܢ ܡܢ ܚܤܝܪܘܬܗ ܟܠ ܕܩܢܝܐ ܗܘܬ ܐܪܡܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu asipochukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu. \t ܘܡܢ ܕܠܐ ܫܩܠ ܨܠܝܒܗ ܘܐܬܐ ܒܬܪܝ ܬܠܡܝܕܐ ܠܐ ܡܫܟܚ ܕܢܗܘܐ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa wa watu na sauti ya maji mengi na ya ngurumo kubwa, ikisema, \"Haleluya! Maana Bwana Mungu wetu Mwenye Uwezo ni Mfalme! \t ܘܫܡܥܬ ܩܠܐ ܐܝܟ ܕܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܘܐܝܟ ܩܠܐ ܕܡܝܐ ܤܓܝܐܐ ܘܐܝܟ ܩܠܐ ܕܪܥܡܐ ܚܝܠܬܢܐ ܕܐܡܪܝܢ ܗܠܠܘܝܐ ܡܛܠ ܕܐܡܠܟ ܡܪܝܐ ܐܠܗܐ ܐܚܝܕ ܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote walishikwa na hofu, wakawa wanamtukuza Mungu wakisema: \"Nabii mkuu ametokea kati yetu. Mungu amekuja kuwakomboa watu wake.\" \t ܘܐܚܕܬ ܕܚܠܬܐ ܠܐܢܫܐ ܟܠܗܘܢ ܘܡܫܒܚܝܢ ܗܘܘ ܠܐܠܗܐ ܘܐܡܪܝܢ ܕܢܒܝܐ ܪܒܐ ܩܡ ܒܢ ܘܤܥܪ ܐܠܗܐ ܠܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ombeni ili niweze kusema kama inavyonipasa na kwa namna itakayodhihirisha siri hiyo. \t ܕܐܓܠܝܘܗܝ ܘܐܡܠܠܝܘܗܝ ܐܝܟܢܐ ܕܘܠܐ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana, Maandiko Matakatifu yasema: \"Abrahamu alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.\" \t ܡܢܐ ܓܝܪ ܐܡܪ ܟܬܒܐ ܕܗܝܡܢ ܐܒܪܗܡ ܠܐܠܗܐ ܘܐܬܚܫܒܬ ܠܗ ܠܙܕܝܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa, nchi yote ikawa katika giza. \t ܡܢ ܫܬ ܫܥܝܢ ܕܝܢ ܗܘܐ ܚܫܘܟܐ ܥܠ ܟܠܗ ܐܪܥܐ ܥܕܡܐ ܠܫܥܐ ܬܫܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makuhani wakuu na walimu wa Sheria wakajitokeza mbele, wakatoa mashtaka yao kwa nguvu sana. \t ܩܝܡܝܢ ܗܘܘ ܕܝܢ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܤܦܪܐ ܘܥܙܝܙܐܝܬ ܐܟܠܝܢ ܗܘܘ ܩܪܨܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Hii ndiyo kazi anayotaka Mungu muifanye: kumwamini yule aliyemtuma.\" \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܢܘ ܥܒܕܐ ܕܐܠܗܐ ܕܬܗܝܡܢܘܢ ܒܡܢ ܕܗܘ ܫܕܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadaye kidogo, watu waliokuwa pale wakamwendea Petro, wakamwambia, \"Hakika, wewe pia ni mmoja wao, maana msemo wako unakutambulisha.\" \t ܡܢ ܒܬܪ ܩܠܝܠ ܕܝܢ ܩܪܒܘ ܗܢܘܢ ܕܩܝܡܝܢ ܘܐܡܪܘ ܠܟܐܦܐ ܫܪܝܪܐܝܬ ܐܦ ܐܢܬ ܡܢܗܘܢ ܐܢܬ ܐܦ ܡܡܠܠܟ ܓܝܪ ܡܘܕܥ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, akawaambia, \"Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini mimi nitakwenda kumwamsha.\" \t ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܝܫܘܥ ܘܒܬܪܟܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܥܙܪ ܪܚܡܢ ܫܟܒ ܐܠܐ ܐܙܠ ܐܢܐ ܕܐܥܝܪܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini walifika mahali ambapo mikondo miwili ya bahari hukutana, na meli ikakwama. Sehemu ya mbele ilikuwa imezama mchangani bila kutikisika. Sehemu ya nyuma ya meli ilianza kuvunjika vipandevipande kwa mapigo ya nguvu ya mawimbi. \t ܘܓܫܬ ܐܠܦܐ ܒܕܘܟܬܐ ܕܪܡܐ ܒܝܢܬ ܬܪܝܢ ܥܘܡܩܝܢ ܕܝܡܐ ܘܐܬܚܪܝܬ ܒܗ ܘܩܡ ܥܠܝܗ ܓܒܗ ܩܕܡܝܐ ܘܠܐ ܡܬܬܙܝܥ ܗܘܐ ܓܒܗ ܕܝܢ ܐܚܪܝܐ ܐܫܬܪܝ ܡܢ ܩܛܝܪܐ ܕܓܠܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawajibu, \"Hili ni jambo la kushangaza! Ninyi hamjui ametoka wapi, lakini amenifumbua macho yangu! \t ܥܢܐ ܗܘ ܓܒܪܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܒܗܕܐ ܗܘ ܗܟܝܠ ܠܡܬܕܡܪܘ ܕܐܢܬܘܢ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܐܝܡܟܐ ܗܘ ܘܥܝܢܝ ܕܝܠܝ ܦܬܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume na utampa jina Yesu. \t ܗܐ ܓܝܪ ܬܩܒܠܝܢ ܒܛܢܐ ܘܬܐܠܕܝܢ ܒܪܐ ܘܬܩܪܝܢ ܫܡܗ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtumishi huyo akarudi na kumwarifu bwana wake jambo hilo. Yule mwenye nyumba alikasirika, akamwambia mtumishi wake: Nenda upesi kwenye barabara na vichochoro vya mji, uwalete hapa ndani maskini, viwete, vipofu na waliolemaa. \t ܘܐܬܐ ܗܘ ܥܒܕܐ ܘܐܡܪ ܠܡܪܗ ܗܠܝܢ ܗܝܕܝܢ ܪܓܙ ܡܪܐ ܒܝܬܐ ܘܐܡܪ ܠܥܒܕܗ ܦܘܩ ܒܥܓܠ ܠܫܘܩܐ ܘܠܒܪܝܬܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܘܐܥܠ ܠܟܐ ܠܡܤܟܢܐ ܘܠܡܟܐܒܐ ܘܠܡܚܓܪܐ ܘܠܥܘܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema, \"Watu wangu, ondokeni kwake, ili msishirikiane naye katika dhambi zake, msije mkaipata adhabu yake. \t ܘܫܡܥܬ ܐܚܪܢܐ ܩܠܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܐܡܪ ܦܘܩܘ ܡܢ ܓܘܗ ܥܡܝ ܕܠܐ ܬܫܬܘܬܦܘܢ ܒܚܛܗܝܗ ܕܠܡܐ ܬܤܒܘܢ ܡܢ ܡܚܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, ndio kusema Mungu hatawatetea wale aliowachagua, ambao wanamlilia mchana na usiku? Je, atakawia kuwasikiliza? \t ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܠܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܢܥܒܕ ܬܒܥܬܐ ܠܓܒܘܗܝ ܕܩܪܝܢ ܠܗ ܒܐܝܡܡܐ ܘܒܠܠܝܐ ܘܡܓܪ ܪܘܚܗ ܥܠܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ulikuwa na ukuta mrefu na mkubwa, wenye milango kumi na miwili, na malaika wanangojea kumi na wawili. Majina ya wangoja milango kumi na mawili ya Israeli yalikuwa yameandikwa juu ya milango hiyo. \t ܘܐܝܬ ܠܗ ܫܘܪܐ ܪܒܐ ܘܪܡܐ ܘܐܝܬ ܠܗ ܬܪܥܐ ܬܪܥܤܪ ܘܥܠ ܬܪܥܐ ܡܠܐܟܐ ܬܪܥܤܪ ܘܫܡܗܝܗܘܢ ܟܬܝܒܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܫܡܗܐ ܕܬܪܥܤܪ ܫܒܛܐ ܕܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wewe ni Bwana na Mungu wetu, unastahili utukufu na heshima na nguvu; maana wewe uliumba vitu vyote, na kwa matakwa yako kila kitu kimepewa uhai na uzima.\" \t ܕܫܘܝܬ ܗܘ ܡܪܢ ܘܐܠܗܢ ܠܡܤܒ ܬܫܒܘܚܬܐ ܘܐܝܩܪܐ ܘܚܝܠܐ ܡܛܠ ܕܐܢܬ ܒܪܝܬ ܟܠ ܘܒܝܕ ܨܒܝܢܟ ܗܘܝ ܘܐܬܒܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawafungulia malaika hao wanne ambao walikuwa wametayarishwa kwa ajili ya saa hiyo ya siku ya mwezi huo, wa mwaka huohuo, kuua theluthi moja ya wanaadamu. \t ܘܐܫܬܪܝܘ ܐܪܒܥܐ ܡܠܐܟܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܛܝܒܝܢ ܠܫܥܬܐ ܘܠܝܘܡܐ ܘܠܝܪܚܐ ܘܠܫܢܬܐ ܕܢܩܛܠܘܢ ܬܘܠܬܐ ܕܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawa anawafundisha watu katika masunagogi yao, akasifiwa na wote. \t ܘܗܘ ܡܠܦ ܗܘܐ ܒܟܢܘܫܬܗܘܢ ܘܡܫܬܒܚ ܗܘܐ ܡܢ ܟܠ ܐܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akasema, \"Mdanganyifu wa kupindukia na mlaghai wewe! Wewe ni mtoto wa Ibilisi! Wewe ni adui wa chochote kile kilicho cha kweli; hukomi hata mara moja kujaribu kuzipotosha njia za Bwana zilizonyoka. \t ܘܐܡܪ ܐܘ ܕܡܠܐ ܟܠ ܢܟܠܝܢ ܘܟܠܗܝܢ ܒܝܫܬܐ ܒܪܗ ܕܐܟܠ ܩܪܨܐ ܘܒܥܠܕܒܒܐ ܕܟܠܗ ܟܐܢܘܬܐ ܠܐ ܫܠܐ ܐܢܬ ܠܡܥܩܡܘ ܐܘܪܚܬܗ ܬܪܝܨܬܐ ܕܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akawaambia, \"Nifuateni, nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܬܘ ܒܬܪܝ ܘܐܥܒܕܟܘܢ ܕܬܗܘܘܢ ܨܝܕܐ ܕܒܢܝ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mose alizaliwa wakati huo. Alikuwa mtoto mzuri sana. Alilelewa nyumbani kwa muda wa miezi mitatu, \t ܒܗ ܒܙܒܢܐ ܗܘ ܐܬܝܠܕ ܡܘܫܐ ܘܪܚܝܡ ܗܘܐ ܠܐܠܗܐ ܘܐܬܪܒܝ ܝܪܚܐ ܬܠܬܐ ܒܝܬ ܐܒܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa bado wanatazama juu angani, akiwa anakwenda zake, mara watu wawili waliokuwa wamevaa nguo nyeupe walisimama karibu nao, \t ܘܟܕ ܚܝܪܝܢ ܗܘܘ ܒܫܡܝܐ ܟܕ ܗܘ ܐܙܠ ܗܘܐ ܐܫܬܟܚܘ ܬܪܝܢ ܓܒܪܝܢ ܩܝܡܝܢ ܠܘܬܗܘܢ ܒܠܒܘܫܐ ܚܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa wakila, Yesu akasema, \"Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti.\" \t ܘܟܕ ܠܥܤܝܢ ܐܡܪ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܚܕ ܡܢܟܘܢ ܡܫܠܡ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafarisayo wakawauliza, \"Je, nanyi pia mmedanganyika? \t ܐܡܪܝܢ ܠܗܘܢ ܦܪܝܫܐ ܠܡܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܛܥܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Hata ndugu zake hawakumwamini!) \t ܐܦ ܠܐ ܓܝܪ ܐܚܘܗܝ ܗܝܡܢܘ ܗܘܘ ܒܗ ܒܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, Felisi, ambaye mwenyewe alikuwa anaifahamu hiyo Njia vizuri, aliahirisha kesi hiyo. Akawaambia, \"Nitatoa hukumu juu ya kesi hiyo wakati Luisa, mkuu wa jeshi, atakapokuja hapa.\" \t ܦܝܠܟܤ ܕܝܢ ܡܛܠ ܕܝܕܥ ܗܘܐ ܠܗ ܠܐܘܪܚܐ ܗܕܐ ܡܠܝܐܝܬ ܬܗܝ ܐܢܘܢ ܟܕ ܐܡܪ ܕܡܐ ܕܐܬܐ ܟܠܝܪܟܐ ܫܡܥ ܐܢܐ ܒܝܢܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msidanganyike; Mungu hafanyiwi dhihaka. Alichopanda mtu ndicho atakachovuna. \t ܠܐ ܬܛܥܘܢ ܐܠܗܐ ܠܐ ܡܬܒܙܚ ܡܕܡ ܕܙܪܥ ܓܝܪ ܒܪ ܐܢܫܐ ܗܘ ܗܘ ܚܨܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Watu hawawashi taa na kuifunika kwa chombo au kuiweka mvunguni. Lakini huiweka juu ya kinara ili watu wanapoingia ndani wapate kuona mwanga. \t ܠܐ ܐܢܫ ܡܢܗܪ ܫܪܓܐ ܘܡܚܦܐ ܠܗ ܒܡܐܢܐ ܐܘ ܤܐܡ ܠܗ ܬܚܝܬ ܥܪܤܐ ܐܠܐ ܤܐܡ ܠܗ ܠܥܠ ܡܢ ܡܢܪܬܐ ܕܟܠ ܕܥܐܠ ܢܚܙܐ ܢܘܗܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba ambaye amemtuma. \t ܕܟܠܢܫ ܢܝܩܪ ܠܒܪܐ ܐܝܟ ܕܡܝܩܪ ܠܐܒܐ ܗܘ ܕܠܐ ܡܝܩܪ ܠܒܪܐ ܠܐ ܡܝܩܪ ܠܐܒܐ ܕܫܕܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana, kama vile umeme uangazavyo toka mashariki hadi magharibi, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Mtu. \t ܐܝܟܢܐ ܓܝܪ ܕܒܪܩܐ ܢܦܩ ܡܢ ܡܕܢܚܐ ܘܡܬܚܙܐ ܥܕܡܐ ܠܡܥܪܒܐ ܗܟܢܐ ܬܗܘܐ ܡܐܬܝܬܗ ܕܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mfalme atawajibu, Kweli nawaambieni, kila kitu mlichomtendea mmojawapo wa hawa ndugu zangu wadogo, mlinitendea mimi. \t ܘܥܢܐ ܡܠܟܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܟܡܐ ܕܥܒܕܬܘܢ ܠܚܕ ܡܢ ܗܠܝܢ ܐܚܝ ܙܥܘܪܐ ܠܝ ܗܘ ܥܒܕܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akasema, \"Ondokeni hapa! Msichana huyu hakufa, amelala tu.\" Nao wakamcheka. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܦܪܘܩܘ ܠܟܘܢ ܛܠܝܬܐ ܓܝܪ ܠܐ ܡܝܬܬ ܐܠܐ ܕܡܟܐ ܗܝ ܘܓܚܟܝܢ ܗܘܘ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Si tu kwamba alikubali ombi letu, ila pia alikuwa na hamu kubwa ya kusaidia, hata akaamua kwa hiari yake mwenyewe kuja kwenu. \t ܒܥܘܬܢ ܓܝܪ ܩܒܠ ܘܡܛܠ ܕܛܒ ܒܛܝܠ ܠܗ ܡܢ ܨܒܝܢܗ ܢܦܩ ܨܐܕܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana, ni nani asiyekucha wewe? Nani asiyelitukuza jina lako? Wewe peke yako ni Mtakatifu. Mataifa yote yatakujia na kukuabudu maana matendo yako ya haki yameonekana na wote.\" \t ܡܢ ܠܐ ܢܕܚܠ ܠܟ ܡܪܝܐ ܘܢܫܒܚ ܠܫܡܟ ܡܛܠ ܕܐܢܬ ܗܘ ܒܠܚܘܕ ܚܤܝܐ ܡܛܠ ܕܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܢܐܬܘܢ ܘܢܤܓܕܘܢ ܩܕܡܝܟ ܡܛܠ ܕܬܪܝܨ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kama vile mwili bila roho umekufa, vivyo hivyo imani bila matendo imekufa. \t ܐܝܟܢܐ ܕܦܓܪܐ ܕܠܐ ܪܘܚܐ ܡܝܬ ܗܘ ܗܟܢܐ ܐܦ ܗܝܡܢܘܬܐ ܕܠܐ ܥܒܕܐ ܡܝܬܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Wenye afya hawahitaji daktari, lakini wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa. \t ܘܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܡܬܒܥܐ ܐܤܝܐ ܠܚܠܝܡܐ ܐܠܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܒܝܫ ܒܝܫ ܥܒܝܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja iliyochaguliwa, Herode akiwa amevaa mavazi rasmi na kuketi katika kiti cha kifalme aliwahutubia watu. \t ܒܝܘܡܐ ܕܝܢ ܝܕܝܥܐ ܠܒܫ ܗܘܐ ܗܪܘܕܤ ܠܒܘܫܐ ܕܡܠܟܘܬܐ ܘܝܬܒ ܥܠ ܒܝܡ ܘܡܡܠܠ ܗܘܐ ܥܡ ܟܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwenu ingalifanyika kule Tiro na Sidoni, watu wake wangalikwishavaa mavazi ya gunia kitambo, na kukaa katika majivu kuonyesha kwamba wametubu. \t ܘܝ ܠܟܝ ܟܘܪܙܝܢ ܘܝ ܠܟܝ ܒܝܬ ܨܝܕܐ ܕܐܠܘ ܒܨܘܪ ܘܒܨܝܕܢ ܗܘܘ ܚܝܠܐ ܕܗܘܘ ܒܟܝܢ ܟܒܪ ܕܝܢ ܒܤܩܐ ܘܒܩܛܡܐ ܬܒܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hawa walimfuata Yesu alipokuwa Galilaya na kumtumikia. Kulikuwa na wanawake wengine wengi waliokuja Yerusalemu pamoja naye. \t ܗܢܝܢ ܕܟܕ ܗܘ ܒܓܠܝܠܐ ܢܩܝܦܢ ܗܘܝ ܠܗ ܘܡܫܡܫܢ ܠܗ ܘܐܚܪܢܝܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܕܤܠܩ ܗܘܝ ܥܡܗ ܠܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu pia aliongeza hapo ushahidi wake kwa kufanya kila namna ya miujiza na maajabu, na kwa kuwagawia watu vipaji vya Roho Mtakatifu kadiri ya mapenzi yake. \t ܟܕ ܤܗܕ ܥܠܝܗܘܢ ܐܠܗܐ ܒܐܬܘܬܐ ܘܒܬܕܡܪܬܐ ܘܒܚܝܠܐ ܡܫܚܠܦܐ ܘܒܦܘܠܓܐ ܕܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܕܐܬܝܗܒܘ ܐܝܟ ܨܒܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana ataniokoa na mambo yote maovu, na kunichukua salama mpaka katika Utawala wake wa mbinguni. Kwake uwe utukufu milele na milele! Amina. \t ܘܢܦܨܝܢܝ ܡܪܝ ܡܢ ܟܠ ܥܒܕ ܒܝܫ ܘܢܚܝܢܝ ܒܡܠܟܘܬܗ ܕܒܫܡܝܐ ܕܠܗ ܫܘܒܚܐ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayeyashikilia maisha yake, atayapoteza; lakini anayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu, atayapata. \t ܡܢ ܕܐܫܟܚ ܢܦܫܗ ܢܘܒܕܝܗ ܘܡܢ ܕܢܘܒܕ ܢܦܫܗ ܡܛܠܬܝ ܢܫܟܚܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usikubali mtu yeyote akudharau kwa sababu wewe ni kijana, lakini jitahidi uwe mfano kwa wanaoamini: katika usemi wako, mwenendo wako, upendo, imani na maisha safi. \t ܘܠܐ ܐܢܫ ܢܒܤܐ ܥܠ ܛܠܝܘܬܟ ܐܠܐ ܗܘܝ ܕܡܘܬܐ ܠܡܗܝܡܢܐ ܒܡܠܬܐ ܘܒܗܘܦܟܐ ܘܒܚܘܒܐ ܘܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܒܕܟܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu hao ndio wale waliojiweka safi kwa kutoonana kimwili na wanawake, nao ni mabikira. Wao humfuata Mwanakondoo kokote aendako. Wamekombolewa kutoka miongoni mwa binadamu wengine, wakawa wa kwanza kutolewa kwa Mungu na kwa Mwanakondoo. \t ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܥܡ ܢܫܐ ܠܐ ܐܬܛܘܫܘ ܒܬܘܠܐ ܓܝܪ ܐܝܬܝܗܘܢ ܗܠܝܢ ܕܢܩܦܘܗܝ ܠܐܡܪܐ ܟܠ ܟܪ ܕܢܐܙܠ ܗܠܝܢ ܐܙܕܒܢܘ ܡܢ ܐܢܫܐ ܪܫܝܬܐ ܠܐܠܗܐ ܘܠܐܡܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, kwa vile wao walikuwa wanapenda sana fedha, wakamdharau Yesu. \t ܦܪܝܫܐ ܕܝܢ ܟܕ ܫܡܥܘ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܡܛܠ ܕܪܚܡܝܢ ܗܘܘ ܟܤܦܐ ܡܡܝܩܝܢ ܗܘܘ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Sauti imesikika mjini Rama, kilio na maombolezo mengi. Raheli anawalilia watoto wake, wala hataki kutulizwa, maana wote wamefariki.\" \t ܩܠܐ ܐܫܬܡܥ ܒܪܡܬܐ ܒܟܝܐ ܘܐܠܝܐ ܤܓܝܐܐ ܪܚܝܠ ܒܟܝܐ ܥܠ ܒܢܝܗ ܘܠܐ ܨܒܝܐ ܠܡܬܒܝܐܘ ܡܛܠ ܕܠܐ ܐܝܬܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hamjui kwamba miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, ambaye mlimpokea kutoka kwa Mungu? Ninyi basi, si mali yenu wenyewe. \t ܐܘ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܦܓܪܟܘܢ ܗܝܟܠܐ ܗܘ ܕܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܕܥܡܪܐ ܒܟܘܢ ܗܝ ܕܩܒܠܬܘܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܘܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܕܢܦܫܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, alienda kwa makuhani wakuu ili kumsaliti Yesu. \t ܝܗܘܕܐ ܕܝܢ ܤܟܪܝܘܛܐ ܚܕ ܡܢ ܬܪܥܤܪ ܐܙܠ ܠܘܬ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܐܝܟ ܕܢܫܠܡܝܘܗܝ ܠܗܘܢ ܠܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambapo viungo vingine havihitaji kushughulikiwa. Mungu mwenyewe ameuweka mwili katika mpango, akakipa heshima zaidi kiungo kile kilichopungukiwa heshima, \t ܐܝܠܝܢ ܕܝܢ ܗܕܡܐ ܕܐܝܬ ܒܢ ܕܡܝܩܪܝܢ ܠܐ ܡܬܒܥܐ ܠܗܘܢ ܐܝܩܪܐ ܐܠܗܐ ܓܝܪ ܡܙܓܗ ܠܦܓܪܐ ܘܝܗܒ ܐܝܩܪܐ ܝܬܝܪܐ ܠܗܕܡܐ ܐܝܢܐ ܕܙܥܘܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenye masikio na asikie! \t ܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܐܕܢܐ ܕܢܫܡܥ ܢܫܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Maandiko Matakatifu yasema hivi kwa Farao: \"Nilikufanya mfalme ili kwa njia yako, uwezo wangu ujulikane, na jina langu litangazwe popote duniani.\" \t ܐܡܪ ܓܝܪ ܒܟܬܒܐ ܠܦܪܥܘܢ ܕܠܗ ܠܗܕܐ ܐܩܝܡܬܟ ܕܐܚܘܐ ܒܟ ܚܝܠܝ ܘܕܢܬܟܪܙ ܫܡܝ ܒܐܪܥܐ ܟܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nipeni na mimi uwezo huo ili yeyote nitakayemwekea mikono, apokee Roho Mtakatifu.\" \t ܟܕ ܐܡܪ ܗܒܘ ܐܦ ܠܝ ܫܘܠܛܢܐ ܗܢܐ ܕܐܝܢܐ ܕܐܤܝܡ ܥܠܘܗܝ ܐܝܕܐ ܢܗܘܐ ܡܩܒܠ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengine wakasema, \"Acha tuone kama Eliya anakuja kumwokoa.\" \t ܫܪܟܐ ܕܝܢ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܫܒܘܩܘ ܢܚܙܐ ܐܢ ܐܬܐ ܐܠܝܐ ܠܡܦܪܩܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wengine walisimama, wakatoa ushahidi wa uongo wakisema: \t ܐܢܫܝܢ ܕܝܢ ܩܡܘ ܥܠܘܗܝ ܤܗܕܐ ܕܫܘܩܪܐ ܘܐܡܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kama mnawakopesha wale tu mnaotumaini watawalipeni, je, mtapata tuzo gani? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi wenzao ili warudishiwe kima kilekile! \t ܘܐܢ ܡܘܙܦܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܢ ܕܤܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܬܬܦܪܥܘܢ ܡܢܗ ܐܝܕܐ ܗܝ ܛܝܒܘܬܟܘܢ ܐܦ ܚܛܝܐ ܓܝܪ ܠܚܛܝܐ ܡܘܙܦܝܢ ܕܗܟܘܬ ܢܬܦܪܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zaidi ya hayo, yeye amechaguliwa na makanisa awe mwenzetu safarini wakati tunapopeleka huduma hii yetu ya upendo, huduma tunayoifanya kwa ajili ya utukufu wa Bwana na uthibitisho wa nia yetu njema. \t ܗܟܢܐ ܕܐܦ ܡܓܒܐ ܓܒܐ ܡܢ ܥܕܬܐ ܕܢܦܘܩ ܥܡܢ ܒܛܝܒܘܬܐ ܗܕܐ ܕܡܫܬܡܫܐ ܡܢܢ ܠܫܘܒܚܗ ܕܝܠܗ ܕܐܠܗܐ ܘܠܠܘܒܒܢ ܕܝܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܗܫܐ ܕܚܙܝܬܢܝ ܗܝܡܢܬ ܛܘܒܝܗܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܚܙܐܘܢܝ ܘܗܝܡܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na ishara hizi zitaandamana na wale wanaoamini: kwa jina langu watatoa pepo na watasema kwa lugha mpya. \t ܐܬܘܬܐ ܕܝܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܗܝܡܢܝܢ ܗܠܝܢ ܢܩܦܢ ܒܫܡܝ ܫܐܕܐ ܢܦܩܘܢ ܘܒܠܫܢܐ ܚܕܬܐ ܢܡܠܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini huyo mnyama akachukuliwa mateka, pamoja na nabii wa uongo aliyekuwa akifanya miujiza mbele yake. (Kwa miujiza hiyo, alikuwa amewapotosha wale waliokuwa na chapa ya huyo mnyama, na ambao walikuwa wameiabudu sanamu yake.) Huyo mnyama pamoja na huyo nabii walitupwa wote wawili, wakiwa wazimawazima, ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti. \t ܘܐܬܬܨܝܕܬ ܚܝܘܬܐ ܘܢܒܝܐ ܕܓܠܐ ܥܡܗ ܗܘ ܕܥܒܕ ܐܬܘܬܐ ܩܕܡܝܗ ܕܒܗܝܢ ܐܛܥܝ ܠܐܝܠܝܢ ܕܢܤܒܘ ܪܘܫܡܐ ܕܚܝܘܬܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܤܓܕܘ ܠܨܠܡܗ ܘܢܚܬܘ ܬܪܝܗܘܢ ܘܐܬܪܡܝܘ ܒܝܡܬܐ ܕܢܘܪܐ ܕܝܩܕܐ ܘܕܟܒܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akamwambia, \"Hata kama ni lazima nife pamoja nawe, sitakukana kamwe.\" Wale wanafunzi wengine wote wakasema vivyo hivyo. \t ܐܡܪ ܠܗ ܟܐܦܐ ܐܢ ܢܗܘܐ ܠܝ ܠܡܡܬ ܥܡܟ ܠܐ ܐܟܦܘܪ ܒܟ ܘܗܟܘܬ ܐܦ ܟܠܗܘܢ ܬܠܡܝܕܐ ܐܡܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maria Magdalene akaenda, akawajulisha wale waliokuwa pamoja na Yesu, na wakati huo walikuwa wanaomboleza na kulia. \t ܘܗܝ ܐܙܠܬ ܤܒܪܬ ܠܗܢܘܢ ܕܥܡܗ ܗܘܘ ܕܐܒܝܠܝܢ ܗܘܘ ܘܒܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Miujiza na maajabu mengi yalifanyika kwa njia ya mitume hata kila mtu akajawa na hofu. \t ܘܗܘܝܐ ܗܘܬ ܕܚܠܬܐ ܠܟܠ ܢܦܫ ܘܐܬܘܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܘܓܒܪܘܬܐ ܗܘܝܢ ܗܘܝ ܒܝܕ ܫܠܝܚܐ ܒܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikatazama, nikaona umati mkubwa wa watu wasiohesabika: watu wa kila taifa, ukoo, jamaa na lugha. Nao walikuwa wamesimama mbele ya kiti cha enzi na mbele ya Mwanakondoo, wakiwa wamevaa mavazi meupe na kushika matawi ya mitende mikononi mwao. \t ܒܬܪܟܢ ܚܙܝܬ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܐܝܢܐ ܕܠܡܢܝܢܗ ܠܝܬ ܕܡܨܐ ܗܘܐ ܡܢ ܟܠ ܥܡ ܘܫܪܒܐ ܘܐܡܘܢ ܘܠܫܢܝܢ ܕܩܝܡܝܢ ܩܕܡ ܟܘܪܤܝܐ ܘܩܕܡܘܗܝ ܕܐܡܪܐ ܘܡܥܛܦܝܢ ܐܤܛܠܐ ܚܘܪܬܐ ܘܒܐܝܕܝܗܘܢ ܕܩܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bado mnaadhimisha siku, miezi na miaka! \t ܝܘܡܐ ܘܝܪܚܐ ܘܙܒܢܐ ܘܫܢܝܐ ܢܛܪܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ndugu yako akikukosea, mwendee ukamwonye mkiwa ninyi peke yenu. Akikusikia utakuwa umempata ndugu yako. \t ܐܢ ܕܝܢ ܐܤܟܠ ܒܟ ܐܚܘܟ ܙܠ ܐܟܤܝܗܝ ܒܝܢܝܟ ܘܠܗ ܒܠܚܘܕ ܐܢ ܫܡܥܟ ܝܬܪܬ ܐܚܘܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Martha akamwambia, \"Ndiyo Bwana! Naamini kwamba wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu, yule ajaye ulimwenguni.\" \t ܐܡܪܐ ܠܗ ܐܝܢ ܡܪܝ ܐܢܐ ܡܗܝܡܢܐ ܐܢܐ ܕܐܢܬ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܕܐܬܐ ܠܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu. \t ܠܐ ܡܢ ܥܒܕܐ ܕܠܐ ܐܢܫ ܢܫܬܒܗܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Hakuna mtu anayekata kiraka kutoka katika nguo mpya na kukishonea katika nguo kuukuu. Kama akifanya hivyo, hicho kiraka kipya kitararuka kutoka hilo vazi kuukuu, nalo litaharibika zaidi. \t ܠܐ ܐܢܫ ܪܡܐ ܐܘܪܩܥܬܐ ܚܕܬܐ ܘܚܐܛ ܥܠ ܡܐܢܐ ܒܠܝܐ ܕܠܐ ܢܤܒܐ ܡܠܝܘܬܗ ܗܝ ܚܕܬܐ ܡܢ ܒܠܝܐ ܘܗܘܐ ܤܕܩܐ ܝܬܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Namjua mtu mmoja Mkristo, ambaye miaka kumi na minne iliyopita alinyakuliwa mpaka katika mbingu ya tatu. (Sijui kama alikuwa huko kwa mwili au kwa roho; Mungu ajua.) \t ܝܕܥܢܐ ܓܒܪܐ ܒܡܫܝܚܐ ܡܢ ܩܕܡ ܐܪܒܥܤܪܐ ܫܢܝܢ ܐܢ ܒܦܓܪ ܕܝܢ ܘܐܢ ܕܠܐ ܦܓܪ ܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܐܠܗܐ ܗܘ ܝܕܥ ܕܐܬܚܛܦ ܗܘ ܗܢܐ ܥܕܡܐ ܫܡܝܐ ܕܬܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Watoto wangu, bado niko nanyi kwa muda mfupi tu. Mtanitafuta, lakini sasa nawaambieni yale niliyowaambia viongozi wa Wayahudi: Niendako ninyi hamwezi kwenda! \t ܒܢܝ ܩܠܝܠ ܐܚܪܝܢ ܥܡܟܘܢ ܐܢܐ ܘܬܒܥܘܢܢܝ ܘܐܝܟܢܐ ܕܐܡܪܬ ܠܝܗܘܕܝܐ ܕܠܐܝܟܐ ܕܐܢܐ ܐܙܠ ܐܢܐ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܐܬܐ ܘܐܦ ܠܟܘܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܗܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye akawaambia, \"Kwa nini mnafadhaika? Mbona mnakuwa na mashaka mioyoni mwenu? \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܡܢܐ ܡܬܙܝܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܡܢܐ ܤܠܩܢ ܡܚܫܒܬܐ ܥܠ ܠܒܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hawakujua kuna nini mpaka ile gharika ilipotokea, ikawakumba wote. Ndivyo itakavyokuwa wakati Mwana wa Mtu atakapokuja. \t ܘܠܐ ܝܕܥܘ ܥܕܡܐ ܕܐܬܐ ܛܘܦܢܐ ܘܫܩܠ ܠܟܠܗܘܢ ܗܟܢܐ ܬܗܘܐ ܡܐܬܝܬܗ ܕܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "bwana wake atakuja siku asiyoitazamia na saa asiyoijua. \t ܘܢܦܠܓܝܘܗܝ ܘܢܤܝܡ ܡܢܬܗ ܥܡ ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܬܡܢ ܢܗܘܐ ܒܟܝܐ ܘܚܘܪܩ ܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Je, hamjapata kusoma juu ya kile alichofanya Daudi wakati alipohitaji chakula? Yeye pamoja na wenzake waliona njaa, \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܠܐ ܡܡܬܘܡ ܩܪܝܬܘܢ ܡܢܐ ܥܒܕ ܕܘܝܕ ܟܕ ܐܤܬܢܩ ܘܟܦܢ ܗܘ ܘܕܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usiku huo, Paulo aliona ono ambalo alimwona mtu mmoja wa Makedonia amesimama pale na kumwomba: \"Vuka, uje Makedonia ukatusaidie.\" \t ܘܒܚܙܘܐ ܕܠܠܝܐ ܐܬܚܙܝ ܠܦܘܠܘܤ ܐܝܟ ܓܒܪܐ ܚܕ ܡܩܕܘܢܝܐ ܕܩܐܡ ܘܒܥܐ ܡܢܗ ܟܕ ܐܡܪ ܕܬܐ ܠܡܩܕܘܢܝܐ ܘܥܕܪܝܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo tunatazamia kwa makini si vitu vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Maana vinavyoonekana ni vya muda tu; lakini vile visivyoonekana ni vya milele. \t ܕܠܐ ܚܕܝܢܢ ܒܗܠܝܢ ܕܡܬܚܙܝܢ ܐܠܐ ܒܗܠܝܢ ܕܠܐ ܡܬܚܙܝܢ ܕܡܬܚܙܝܢ ܓܝܪ ܕܙܒܢܐ ܐܢܝܢ ܕܠܐ ܡܬܚܙܝܢ ܕܝܢ ܕܠܥܠܡ ܐܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wakampeleka Yesu mpaka mahali palipoitwa Golgotha, maana yake, \"Mahali pa Fuvu la Kichwa.\" \t ܘܐܝܬܝܘܗܝ ܠܓܓܘܠܬܐ ܕܘܟܬܐ ܕܡܬܦܫܩܐ ܩܪܩܦܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu, wala nguo za mtu yeyote. \t ܟܤܦܐ ܐܘ ܕܗܒܐ ܐܘ ܢܚܬܐ ܠܐ ܪܓܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na sasa, kuhusu hao maadui wangu ambao hawapendi niwe mfalme wao, waleteni hapa, mkawaue papa hapa mbele yangu.\" \t ܒܪܡ ܠܗܢܘܢ ܒܥܠܕܒܒܝ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܨܒܘ ܕܐܡܠܟ ܥܠܝܗܘܢ ܐܝܬܘ ܐܢܘܢ ܘܩܛܠܘ ܐܢܘܢ ܩܕܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika mwingine akatoka katika Hekalu mbinguni akiwa na mundu wenye makali. \t ܘܐܚܪܢܐ ܡܠܐܟܐ ܢܦܩ ܡܢ ܗܝܟܠܐ ܕܒܫܡܝܐ ܘܥܠܘܗܝ ܐܝܬ ܡܓܠܬܐ ܚܪܝܦܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Enyi kizazi cha nyoka wenye sumu! Mnawezaje kuiepa hukumu ya moto wa Jehanamu? \t ܚܘܘܬܐ ܝܠܕܐ ܕܐܟܕܢܐ ܐܝܟܢܐ ܬܥܪܩܘܢ ܡܢ ܕܝܢܐ ܕܓܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilimleta kwa wanafunzi wako lakini hawakuweza kumponya.\" \t ܘܩܪܒܬܗ ܠܬܠܡܝܕܝܟ ܘܠܐ ܐܫܟܚܘ ܠܡܐܤܝܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani sisi tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu; vitu vinavyoonekana kutoka vitu visivyoonekana. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܓܝܪ ܡܤܬܟܠܝܢܢ ܕܐܬܬܩܢܘ ܥܠܡܐ ܒܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܗܠܝܢ ܕܡܬܚܙܝܢ ܗܘܝ ܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܬܚܙܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu peke yake ndiye mwenye kuweka Sheria na kuhukumu. Ni yeye peke yake anayeweza kuokoa na kuangamiza. Basi, wewe ni nani hata umhukumu binadamu mwenzako? \t ܚܕ ܗܘ ܤܐܡ ܢܡܘܤܐ ܘܕܝܢܐ ܕܗܘ ܡܫܟܚ ܕܢܚܐ ܘܢܘܒܕ ܐܢܬ ܕܝܢ ܡܢ ܐܢܬ ܕܕܐܢ ܐܢܬ ܠܗ ܠܩܪܝܒܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ndani yake ahadi zote za Mungu zimekuwa \"Ndiyo\". Kwa sababu hiyo, \"Amina\" yetu husemwa kwa njia ya Kristo kwa ajili ya kumtukuza Mungu. \t ܟܠܗܘܢ ܓܝܪ ܡܘܠܟܢܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܒܗ ܗܘ ܒܡܫܝܚܐ ܐܝܢ ܗܘܘ ܡܛܠ ܗܢܐ ܒܐܝܕܗ ܝܗܒܝܢܢ ܐܡܝܢ ܠܬܫܒܘܚܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Toeni kwa maskini vile vitu vilivyomo ndani, na vingine vyote vitakuwa halali kwenu. \t ܒܪܡ ܡܕܡ ܕܐܝܬ ܗܒܘܗܝ ܒܙܕܩܬܐ ܘܗܐ ܟܠܡܕܡ ܕܟܐ ܗܘ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, hata watumishi wangu, wanaume kwa wanawake, nitawamiminia Roho wangu, siku zile, nao watautangaza ujumbe wangu. \t ܘܥܠ ܥܒܕܝ ܘܥܠ ܐܡܗܬܝ ܐܫܘܕ ܪܘܚܝ ܒܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܘܢܬܢܒܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale watu ambao walikuwa tayari kumchunguza Paulo walitoweka mara. Hata yule mkuu wa jeshi aliogopa alipojua kwamba Paulo ni raia wa Roma na kwamba alikuwa amekwisha mfunga minyororo. \t ܘܡܚܕܐ ܦܪܩܘ ܠܗܘܢ ܡܢܗ ܗܢܘܢ ܕܒܥܝܢ ܗܘܘ ܠܡܢܓܕܘܬܗ ܘܕܚܠ ܟܠܝܪܟܐ ܟܕ ܝܠܦ ܕܪܗܘܡܝܐ ܗܘ ܥܠ ܕܦܟܪܗ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akaapa kwa jina la Mungu aishiye milele na milele, Mungu aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, bahari na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo. Akasema, \"Wakati wa kusubiri zaidi umekwisha! \t ܘܝܡܐ ܒܗܘ ܕܚܝ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܗܘ ܕܒܪܗ ܠܫܡܝܐ ܘܕܒܗ ܘܠܐܪܥܐ ܘܕܒܗ ܕܬܘܒ ܙܒܢܐ ܠܐ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Dumuni katika sala, na mnaposali muwe waangalifu, mkimshukuru Mungu. \t ܒܨܠܘܬܐ ܐܬܐܡܢܘ ܘܗܘܝܬܘܢ ܥܝܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܗ ܘܡܘܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mwili wote ungekuwa jicho, sikio lingekuwa wapi? Na kama mwili wote ungekuwa sikio, mtu angewezaje kunusa? \t ܐܠܘ ܓܝܪ ܟܠܗ ܦܓܪܐ ܥܝܢܐ ܗܘܐ ܐܝܟܐ ܗܘܬ ܡܫܡܥܬܐ ܘܐܠܘ ܟܠܗ ܡܫܡܥܬܐ ܗܘܐ ܐܝܟܢܐ ܡܪܝܚ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana yeye ni mtumishi wa Mungu anayefanya kazi kwa faida yako. Lakini ukifanya mabaya, basi, huna budi kumwogopa, maana anao kweli uwezo wa kutoa adhabu. Yeye ni mtumishi wa Mungu na huitekeleza ghadhabu ya Mungu kwao watendao maovu. \t ܡܫܡܫܢܐ ܗܘ ܓܝܪ ܕܐܠܗܐ ܐܠܐ ܠܟ ܠܛܒܬܐ ܘܐܢ ܒܝܫܬܐ ܥܒܕ ܐܢܬ ܕܚܠ ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܤܪܝܩܐܝܬ ܐܤܝܪ ܠܤܦܤܪܐ ܡܫܡܫܢܐ ܗܘ ܓܝܪ ܕܐܠܗܐ ܘܬܒܘܥܐ ܕܪܘܓܙܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܥܒܕܝܢ ܒܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mtu akawajibu, \"Nimekwisha waambieni, nanyi hamkusikiliza; kwa nini mwataka kusikia tena? Je, ninyi pia mnataka kuwa wafuasi wake?\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܘܠܐ ܫܡܥܬܘܢ ܡܢܐ ܬܘܒ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܫܡܥ ܠܡܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܬܠܡܝܕܐ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܗܘܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wote wakaondoka, kila mtu akaenda zake; \t ܐܙܠ ܗܟܝܠ ܟܠܚܕ ܠܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, Bwana akipenda, nitakuja kwenu upesi; na hapo ndipo nitakapojionea mwenyewe, sio tu kile wanachoweza kusema hao wenye majivuno, bali pia kila wanachoweza kufanya. \t ܐܠܐ ܐܢ ܡܪܝܐ ܨܒܐ ܒܥܓܠ ܐܬܐ ܐܢܐ ܠܘܬܟܘܢ ܘܐܕܥ ܠܐ ܡܠܬܗܘܢ ܕܗܠܝܢ ܕܡܪܝܡܝܢ ܢܦܫܗܘܢ ܐܠܐ ܚܝܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alijua kwamba walitaka kumwuliza, basi akawaambia, \"Je, mnaulizana juu ya yale niliyosema: Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona? \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܝܕܥ ܕܒܥܝܢ ܗܘܘ ܠܡܫܐܠܘܬܗ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܥܠ ܗܕܐ ܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܡ ܚܕܕܐ ܕܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܕܩܠܝܠ ܘܠܐ ܬܚܙܘܢܢܝ ܘܬܘܒ ܩܠܝܠ ܘܬܚܙܘܢܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane Mbatizaji alitokea jangwani, akahubiri kwamba ni lazima watu watubu na kubatizwa ili Mungu awasamehe dhambi zao. \t ܗܘܐ ܝܘܚܢܢ ܒܡܕܒܪܐ ܡܥܡܕ ܘܡܟܪܙ ܡܥܡܘܕܝܬܐ ܕܬܝܒܘܬܐ ܠܫܘܒܩܢܐ ܕܚܛܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawajibu, \"Kizazi kiovu kisicho na uaminifu! Mnataka ishara; hamtapewa ishara nyingine, ila tu ile ishara ya nabii Yona. \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܫܪܒܬܐ ܒܝܫܬܐ ܘܓܝܪܬܐ ܐܬܐ ܒܥܝܐ ܘܐܬܐ ܠܐ ܬܬܝܗܒ ܠܗ ܐܠܐ ܐܬܗ ܕܝܘܢܢ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tulichokiona na kukisikia ndicho tunachowatangazieni ninyi pia ili nanyi mpate kushirikiana nasi katika umoja tulio nao na Baba na Mwanae Yesu Kristo. \t ܘܡܕܡ ܕܚܙܝܢ ܘܫܡܥܢ ܡܘܕܥܝܢܢ ܐܦ ܠܟܘܢ ܕܬܗܘܐ ܠܟܘܢ ܫܘܬܦܘܬܐ ܥܡܢ ܘܫܘܬܦܘܬܢ ܕܝܢ ܕܝܠܢ ܐܝܬܝܗ ܥܡ ܐܒܐ ܘܥܡ ܒܪܗ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakaokota mabaki ya mikate na samaki pia, wakajaza vikapu kumi na viwili. \t ܘܫܩܠܘ ܩܨܝܐ ܬܪܥܤܪ ܩܘܦܝܢܝܢ ܟܕ ܡܠܝܢ ܘܡܢ ܢܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Asifiwe Bwana Mungu wa Israeli, kwani amekuja kuwasaidia na kuwakomboa watu wake. \t ܡܒܪܟ ܗܘ ܡܪܝܐ ܐܠܗܗ ܕܐܝܤܪܝܠ ܕܤܥܪ ܥܡܗ ܘܥܒܕ ܠܗ ܦܘܪܩܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sasa, ndugu, kwaherini! Muwe na ukamilifu, shikeni mashauri yangu, muwe na nia moja; kaeni kwa amani. Naye Mungu wa mapendo na amani atakuwa pamoja nanyi. \t ܡܟܝܠ ܐܚܝ ܚܕܘ ܘܐܬܓܡܪܘ ܘܐܬܒܝܐܘ ܘܐܘܝܘܬܐ ܘܫܝܢܐ ܢܗܘܐ ܒܟܘܢ ܘܐܠܗܐ ܕܚܘܒܐ ܘܕܫܠܡܘܬܐ ܢܗܘܐ ܥܡܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, tuseme basi, kwamba Sheria ni dhambi? Hata kidogo! Lakini bila Sheria, mimi nisingalijua dhambi ni kitu gani. Maana, nisingalijua ni nini hasa kutamani mabaya, kama Sheria isingalikuwa imesema: \"Usitamani.\" \t ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܐܡܪܝܢܢ ܢܡܘܤܐ ܚܛܝܬܐ ܗܘ ܚܤ ܐܠܐ ܠܚܛܝܬܐ ܠܐ ܝܠܦܬ ܐܠܐ ܒܝܕ ܢܡܘܤܐ ܠܐ ܓܝܪ ܪܓܬܐ ܝܕܥ ܗܘܝܬ ܐܠܘ ܠܐ ܢܡܘܤܐ ܕܐܡܪ ܕܠܐ ܬܪܓ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipotoka majini Roho wa Bwana akamfanya Filipo atoweke. Na huyo Mwethiopia hakumwona tena; lakini akaendelea na safari yake akiwa amejaa furaha. \t ܘܟܕ ܤܠܩܘ ܡܢ ܡܝܐ ܪܘܚܗ ܕܡܪܝܐ ܚܛܦܬ ܠܦܝܠܝܦܘܤ ܘܬܘܒ ܠܐ ܚܙܝܗܝ ܡܗܝܡܢܐ ܗܘ ܐܠܐ ܐܙܠ ܗܘܐ ܒܐܘܪܚܗ ܟܕ ܚܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wasiukute mwili wake. Wakarudi wakasema kwamba walitokewa na malaika waliowaambia kwamba alikuwa hai. \t ܘܟܕ ܠܐ ܐܫܟܚ ܦܓܪܗ ܐܬܝ ܐܡܪܢ ܠܢ ܕܡܠܐܟܐ ܚܙܝܢ ܬܡܢ ܘܐܡܪܝܢ ܥܠܘܗܝ ܕܚܝ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo. Mmepewa bure, toeni bure. \t ܟܪܝܗܐ ܐܤܘ ܘܓܪܒܐ ܕܟܘ ܘܕܝܘܐ ܐܦܩܘ ܡܓܢ ܢܤܒܬܘܢ ܡܓܢ ܗܒܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawaacha, akaenda umbali wa mtu kuweza kutupa jiwe, akapiga magoti, akasali: \t ܘܗܘ ܦܪܩ ܡܢܗܘܢ ܐܝܟ ܡܫܕܐ ܟܐܦܐ ܘܤܡ ܒܘܪܟܘܗܝ ܘܡܨܠܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ingawa pale awali mimi nilimtukana na kumtesa na kumdhulumu. Lakini Mungu alinionea huruma, kwa sababu sikuwa na imani bado, na hivyo sikujua nilichokuwa ninafanya. \t ܠܝ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܡܓܕܦܢ ܗܘܝܬ ܘܪܕܘܦ ܘܡܨܥܪܢ ܐܠܐ ܐܬܚܢܢܬ ܡܛܠ ܕܟܕ ܠܐ ܝܕܥ ܗܘܝܬ ܥܒܕܬ ܕܠܐ ܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wa mji huo waligawanyika: wengine waliwaunga mkono Wayahudi, na wengine walikuwa upande wa mitume. \t ܘܟܠܗ ܟܢܫܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܦܠܝܓ ܗܘܐ ܡܢܗܘܢ ܐܝܬ ܗܘܘ ܥܡ ܝܗܘܕܝܐ ܘܡܢܗܘܢ ܢܩܝܦܝܢ ܗܘܘ ܠܫܠܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sasa, ee Bwana, angalia vitisho vyao. Utuwezeshe sisi watumishi wako kuhubiri neno lako kwa uhodari. \t ܘܐܦ ܗܫܐ ܡܪܝܐ ܚܘܪ ܘܚܙܝ ܠܠܘܚܡܝܗܘܢ ܘܗܒ ܠܥܒܕܝܟ ܕܥܝܢ ܒܓܠܐ ܢܗܘܘܢ ܡܟܪܙܝܢ ܡܠܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Miujiza na maajabu yaonyeshayo wazi kwamba mimi ni mtume yalifanyika miongoni mwenu kwa uvumilivu wote. \t ܐܬܘܬܐ ܕܫܠܝܚܐ ܥܒܕܬ ܒܝܢܬܟܘܢ ܒܟܠ ܡܤܝܒܪܢܘ ܘܒܓܒܪܘܬܐ ܘܒܬܕܡܪܬܐ ܘܒܚܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wajane kama hao huanza kupoteza wakati wao wakizurura nyumba hata nyumba; tena ubaya zaidi ni kwamba huanza kuwasengenya watu, na kujitia katika mambo ya watu wengine, huku wakisema mambo ambayo hawangepaswa kusema. \t ܝܠܦܢ ܕܝܢ ܐܦ ܚܒܢܢܘܬܐ ܟܕ ܡܬܟܪܟܢ ܒܝܬ ܒܬܐ ܘܠܐ ܒܠܚܘܕ ܚܒܢܢܘܬܐ ܐܠܐ ܐܦ ܕܢܤܓܝܢ ܡܡܠܠܐ ܘܢܦܪܩܢ ܤܪܝܩܬܐ ܘܢܡܠܠܢ ܡܕܡ ܕܠܐ ܘܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu ndiye Kuhani Mkuu ambaye anatufaa sana katika mahitaji yetu. Yeye ni mtakatifu, hana hatia wala dhambi ndani yake; hayumo katika kundi la wenye dhambi na ameinuliwa mpaka juu mbinguni. \t ܕܐܝܟ ܗܢܐ ܓܝܪ ܟܘܡܪܐ ܐܦ ܙܕܩ ܗܘܐ ܠܢ ܕܟܝܐ ܕܠܐ ܒܝܫܘ ܘܕܠܐ ܛܘܠܫܐ ܕܦܪܝܩ ܡܢ ܚܛܗܐ ܘܡܪܝV ܠܥܠ ܡܢ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na mwanamke akisali au kutangaza ujumbe wa Mungu bila kufunika kichwa chake, anamdharau mumewe; anayefanya hivyo ni sawa tu na mwanamke aliyenyoa kichwa chake. \t ܘܟܠ ܐܢܬܬܐ ܕܡܨܠܝܐ ܐܘ ܡܬܢܒܝܐ ܟܕ ܓܠܐ ܪܫܗ ܡܒܗܬܐ ܪܫܗ ܫܘܝܐ ܗܝ ܓܝܪ ܥܡ ܗܝ ܕܓܪܝܥ ܪܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akatwaa kikombe, akashukuru akasema, \"Pokeeni, mgawanye ninyi kwa ninyi. \t ܘܢܤܒ ܟܤܐ ܘܐܘܕܝ ܘܐܡܪ ܤܒܘ ܗܢܐ ܘܦܠܓܘ ܒܝܢܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "muufuate uongozi wa watu kama hao, na uongozi wa kila mtu afanyaye kazi na kutumikia pamoja nao. \t ܕܐܦ ܐܢܬܘܢ ܬܗܘܘܢ ܡܫܬܡܥܝܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܗܟܢܐ ܐܢܘܢ ܘܠܟܠܢܫ ܕܠܐܐ ܥܡܢ ܘܡܥܕܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mtu anaona kwamba hamtendei vyema mchumba wake asipomwoa, na kama tamaa zake zinamshinda, na afanye atakavyo; waoane tu; hatakuwa ametenda dhambi. \t ܐܢ ܐܢܫ ܕܝܢ ܤܒܪ ܕܡܬܒܙܚ ܒܒܬܘܠܬܗ ܕܥܒܪ ܙܒܢܗ ܘܠܐ ܝܗܒܗ ܠܓܒܪܐ ܘܘܠܝܐ ܕܢܬܠܝܗ ܐܝܟ ܕܨܒܐ ܢܥܒܕ ܠܐ ܚܛܐ ܬܙܕܘܓ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliiondoa ile Sheria ya Wayahudi pamoja na amri zake na kanuni zake, ili kutokana na jamii hizo mbili aumbe jamii moja mpya katika umoja naye na hivyo kuleta amani. \t ܘܒܥܠܕܒܒܘܬܐ ܒܒܤܪܗ ܘܢܡܘܤܐ ܕܦܘܩܕܐ ܒܦܘܩܕܢܘܗܝ ܒܛܠ ܕܠܬܪܝܗܘܢ ܢܒܪܐ ܒܩܢܘܡܗ ܠܚܕ ܒܪܢܫܐ ܚܕܬܐ ܘܥܒܕ ܫܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeyote anayekuomba mpe, na mtu akikunyang'anya mali yako usimtake akurudishie. \t ܠܟܠ ܕܫܐܠ ܠܟ ܗܒ ܠܗ ܘܡܢ ܡܢ ܕܫܩܠ ܕܝܠܟ ܠܐ ܬܬܒܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa msaada wa neema aliyonipa Mungu, nimefaulu, kama mwashi stadi mwenye busara, kuweka msingi ambao juu yake mtu mwingine anajenga. Basi, kila mmoja awe mwangalifu jinsi anavyojenga juu yake. \t ܘܐܝܟ ܛܝܒܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܕܐܬܝܗܒܬ ܠܝ ܤܡܬ ܫܬܐܤܬܐ ܐܝܟ ܐܪܕܟܠܐ ܚܟܝܡܐ ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܥܠܝܗ ܒܢܐ ܟܠܢܫ ܕܝܢ ܢܚܙܐ ܐܝܟܢ ܒܢܐ ܥܠܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro aliwatoa nje wote, akapiga magoti, akasali. Kisha akamgeukia yule maiti, akasema, \"Tabitha, amka\" Naye akafumbua macho yake na alipomwona Petro, akaketi. \t ܫܡܥܘܢ ܕܝܢ ܐܦܩ ܠܟܠܗܘܢ ܐܢܫܐ ܠܒܪ ܘܩܥܕ ܥܠ ܒܘܪܟܘܗܝ ܘܨܠܝ ܘܐܬܦܢܝ ܠܘܬ ܫܠܕܐ ܘܐܡܪ ܛܒܝܬܐ ܩܘܡܝ ܗܝ ܕܝܢ ܦܬܚܬ ܥܝܢܝܗ ܘܟܕ ܚܙܬܗ ܠܫܡܥܘܢ ܝܬܒܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika barabarani. \t ܠܐ ܢܬܚܪܐ ܘܠܐ ܢܩܥܐ ܘܠܐ ܐܢܫ ܢܫܡܥ ܩܠܗ ܒܫܘܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunajua kwamba yule aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuweka mbele yake pamoja nanyi. \t ܘܝܕܥܝܢܢ ܕܗܘ ܡܢ ܕܐܩܝܡ ܠܡܪܢ ܝܫܘܥ ܐܦ ܠܢ ܒܝܕ ܝܫܘܥ ܢܩܝܡ ܘܢܩܪܒܢ ܥܡܟܘܢ ܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu hakuwakataa watu wake aliowateua tangu mwanzo. Mnakumbuka yasemavyo Maandiko Matakatifu juu ya Eliya wakati alipomnung'unikia Mungu kuhusu Israeli: \t ܠܐ ܕܚܩ ܐܠܗܐ ܠܥܡܗ ܐܝܢܐ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܝܕܝܥ ܗܘܐ ܠܗ ܐܘ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܟܬܒܐ ܕܐܠܝܐ ܡܢܐ ܐܡܪ ܟܕ ܩܒܠ ܗܘܐ ܠܐܠܗܐ ܥܠ ܐܝܤܪܝܠ ܘܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Angalieni maua jinsi yanavyomea. Hayafanyi kazi wala hayafumi. Hata hivyo, nawahakikishieni kwamba hata Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata kuvikwa vizuri kama ua mojawapo. \t ܐܬܒܩܘ ܒܫܘܫܢܐ ܐܝܟܢܐ ܪܒܝܢ ܕܠܐ ܠܐܝܢ ܘܠܐ ܥܙܠܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܕܐܦ ܠܐ ܫܠܝܡܘܢ ܒܟܠܗ ܫܘܒܚܗ ܐܬܟܤܝ ܐܝܟ ܚܕܐ ܡܢ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila kuhani Myahudi humhudumia Mungu kila siku, akitoa dhabibu zilezile mara nyingi, dhabibu ambazo haziwezi kuondoa dhambi. \t ܟܠ ܪܒ ܟܘܡܪܐ ܓܝܪ ܕܩܐܡ ܗܘܐ ܘܡܫܡܫ ܟܠܝܘܡ ܗܢܘܢ ܒܗܢܘܢ ܕܒܚܐ ܡܩܪܒ ܗܘܐ ܐܝܠܝܢ ܕܡܢ ܡܬܘܡ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܗܘܘ ܠܡܕܟܝܘ ܚܛܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha mitume wakarudi Yerusalemu kutoka mlima wa Mizeituni ulioko karibu kilomita moja kutoka mjini. \t ܘܡܢ ܒܬܪܟܢ ܗܦܟܘ ܠܗܘܢ ܠܐܘܪܫܠܡ ܡܢ ܛܘܪܐ ܕܡܬܩܪܐ ܕܒܝܬ ܙܝܬܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܥܠ ܓܢܒ ܐܘܪܫܠܡ ܘܦܪܝܩ ܡܢܗ ܐܝܟ ܫܒܥܐ ܐܤܛܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana tungaliweza kushtakiwa kwa kusababisha ghasia kutokana na vituko vya leo. Ghasia hii haina msingi halali na hatungeweza kutoa sababu za kuridhisha za ghasia hiyo.\" \t ܡܛܠ ܕܐܦ ܗܫܐ ܒܩܢܕܝܢܘܤ ܩܝܡܝܢܢ ܕܢܬܪܫܐ ܐܝܟ ܫܓܘܫܐ ܕܠܐ ܡܫܟܚܝܢܢ ܕܢܦܘܩ ܪܘܚܐ ܥܠ ܟܢܫܐ ܕܝܘܡܐ ܗܢܐ ܕܐܬܟܢܫܢ ܒܛܠܐܝܬ ܘܐܫܬܓܫܢ ܕܠܐ ܥܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Huelewi sasa ninachofanya lakini utaelewa baadaye.\" \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܕܡ ܕܥܒܕ ܐܢܐ ܐܢܬ ܠܐ ܝܕܥ ܐܢܬ ܗܫܐ ܒܬܪܟܢ ܕܝܢ ܬܕܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kukatokea umeme, kelele, ngurumo na tetemeko kubwa la ardhi ambalo halijapata kutokea tangu Mungu alipomuumba mtu. \t ܘܗܘܘ ܒܪܩܐ ܘܪܥܡܐ ܘܢܘܕܐ ܗܘܐ ܪܒܐ ܕܐܟܘܬܗ ܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܕܗܘܘ ܒܢܝܢܫܐ ܥܠ ܐܪܥܐ ܕܐܝܟ ܗܢܐ ܙܘܥܐ ܗܟܢܐ ܪܒ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakisema, \"Amina! Sifa, utukufu, hekima, shukrani, heshima, uwezo na nguvu viwe kwa Mungu wetu, milele na milele! Amina!\" \t ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܐܡܝܢ ܬܫܒܘܚܬܐ ܘܒܘܪܟܬܐ ܘܚܟܡܬܐ ܘܩܘܒܠ ܛܝܒܘܬܐ ܘܐܝܩܪܐ ܘܚܝܠܐ ܘܥܘܫܢܐ ܠܐܠܗܢ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Au labda unaudharau wema wake mkuu, uvumilivu wake na saburi yake, bila kutambua kwamba wema wake huo una shabaha ya kukuongoza upate kutubu? \t ܐܘ ܥܠ ܥܘܬܪܐ ܕܒܤܝܡܘܬܗ ܘܥܠ ܡܓܪܬ ܪܘܚܗ ܘܥܠ ܐܬܪܐ ܕܝܗܒ ܠܟ ܡܡܪܚ ܐܢܬ ܘܠܐ ܝܕܥ ܐܢܬ ܕܒܤܝܡܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܠܬܝܒܘܬܐ ܗܘ ܡܝܬܝܐ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, nimewapeni uwezo wa kukanyaga nyoka na ng'e, na uwezo juu ya nguvu zote za yule adui; hakuna chochote kitakachowadhuru. \t ܗܐ ܝܗܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܫܘܠܛܢܐ ܕܗܘܝܬܘܢ ܕܝܫܝܢ ܚܘܘܬܐ ܘܥܩܪܒܐ ܘܟܠܗ ܚܝܠܗ ܕܒܥܠܕܒܒܐ ܘܡܕܡ ܠܐ ܢܗܪܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye hutufariji sisi katika taabu zetu zote, ili nasi tupate kuwafariji wengine katika kila taabu kwa faraja hiyohiyo tunayopokea kutoka kwa Mungu. \t ܗܘ ܕܡܒܝܐ ܠܢ ܒܟܠܗܘܢ ܐܘܠܨܢܝܢ ܕܐܦ ܚܢܢ ܢܫܟܚ ܢܒܝܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܒܟܠ ܐܘܠܨܢܝܢ ܐܢܘܢ ܒܗܘ ܒܘܝܐܐ ܕܚܢܢ ܡܬܒܝܐܝܢܢ ܡܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hatimaye, ndugu zangu, mmejifunza kutoka kwetu namna mnavyopaswa kuishi ili kumpendeza Mungu. Na kweli mmekuwa mnaishi hivyo. Sasa tunawaombeni na kuwasihi kwa jina la Bwana Yesu mfanye vema zaidi. \t ܡܟܝܠ ܐܚܝ ܒܥܝܢܢ ܡܢܟܘܢ ܘܡܬܟܫܦܝܢܢ ܠܟܘܢ ܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܕܐܝܟ ܕܩܒܠܬܘܢ ܡܢܢ ܐܝܟܢ ܘܠܐ ܠܟܘܢ ܕܬܗܠܟܘܢ ܘܬܫܦܪܘܢ ܠܐܠܗܐ ܕܝܬܝܪܐܝܬ ܬܘܤܦܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati mmoja mimi nilikuwa hai mbali na Sheria; lakini amri ilipokuja, dhambi ilifufuka, \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܚܝ ܗܘܝܬ ܕܠܐ ܢܡܘܤܐ ܡܢ ܩܕܝܡ ܟܕ ܐܬܐ ܕܝܢ ܦܘܩܕܢܐ ܚܛܝܬܐ ܚܝܬ ܘܐܢܐ ܡܝܬܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܡܘܫܐ ܟܕ ܗܘܐ ܓܒܪܐ ܟܦܪ ܕܠܐ ܢܬܩܪܐ ܒܪܐ ܠܒܪܬܗ ܕܦܪܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana, Bwana ataitekeleza upesi hukumu yake kamili juu ya ulimwengu wote.\" \t ܡܠܬܐ ܓܪܡ ܘܦܤܩ ܘܢܥܒܕܝܗ ܡܪܝܐ ܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na hapo palikuwa na mwanamke mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa miaka kumi na minane kutokana na pepo aliyekuwa amempagaa. Kwa sababu hiyo, mwili wake ulikuwa umepindika vibaya hata asiweze kusimama wima. \t ܐܝܬ ܗܘܬ ܬܡܢ ܐܢܬܬܐ ܕܐܝܬ ܗܘܬ ܠܗ ܪܘܚܐ ܕܟܘܪܗܢܐ ܫܢܝܢ ܬܡܢܥܤܪܐ ܘܟܦܝܦܐ ܗܘܬ ܘܠܐ ܡܫܟܚܐ ܗܘܬ ܕܬܬܦܫܛ ܠܓܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wanafunzi wakamwendea Yesu kwa faragha, wakamwuliza, \"Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa yule pepo?\" \t ܗܝܕܝܢ ܩܪܒܘ ܬܠܡܝܕܐ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܠܡܢܐ ܚܢܢ ܠܐ ܐܫܟܚܢ ܠܡܐܤܝܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwishowe akafa pia yule mwanamke. \t ܘܡܝܬܬ ܒܚܪܬܐ ܐܦ ܐܢܬܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Umeme, sauti na ngurumo, vilikuwa vinatoka kwenye hicho kiti cha enzi. Taa saba za moto zilikuwa zinawaka mbele ya hicho kiti cha enzi. Taa hizo ni roho saba za Mungu. \t ܘܡܢ ܟܘܪܤܘܬܐ ܢܦܩܝܢ ܪܥܡܐ ܘܒܪܩܐ ܘܩܠܐ ܘܫܒܥܐ ܢܗܝܪܐ ܕܝܩܕܝܢ ܩܕܡܘܗܝ ܕܟܘܪܤܝܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܫܒܥ ܪܘܚܝܢ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikawaona wale malaika saba wanaosimama mbele ya Mungu wamepewa tarumbeta saba. \t ܘܚܙܝܬ ܠܫܒܥܐ ܡܠܐܟܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܩܕܡ ܐܠܗܐ ܩܝܡܝܢ ܗܘܘ ܕܐܬܝܗܒܘ ܠܗܘܢ ܫܒܥܐ ܫܝܦܘܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwao yametimia yale aliyosema nabii Isaya: Kusikia mtasikia, lakini hamtaelewa; Kutazama mtatazama, lakini hamtaona. \t ܘܫܠܡܐ ܒܗܘܢ ܢܒܝܘܬܗ ܕܐܫܥܝܐ ܕܐܡܪ ܕܫܡܥܐ ܬܫܡܥܘܢ ܘܠܐ ܬܤܬܟܠܘܢ ܘܡܚܙܐ ܬܚܙܘܢ ܘܠܐ ܬܕܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye alikwenda zake mahali pasipo na watu, akawa anasali huko. \t ܗܘ ܕܝܢ ܡܫܢܐ ܗܘܐ ܠܕܒܪܐ ܘܡܨܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa ya Mungu yaliyo ya haki. \t ܪܘܓܙܗ ܓܝܪ ܕܓܒܪܐ ܙܕܝܩܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܠܐ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Adhabu yao itakuwa kuangamizwa milele na kutengwa mbali na utukufu wake mkuu, \t ܕܗܢܘܢ ܒܕܝܢܐ ܢܬܦܪܥܘܢ ܐܒܕܢܐ ܕܠܥܠܡ ܡܢ ܦܪܨܘܦܗ ܕܡܪܢ ܘܡܢ ܫܘܒܚܐ ܕܚܝܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܛܝܒܘܬܐ ܥܡܟܘܢ ܘܫܠܡܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܒܘܢ ܘܡܢ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hekalu la Mungu mbinguni likafunguliwa, na Sanduku la Agano lake likaonekana Hekaluni mwake. Kisha kukatokea umeme, sauti, ngurumo, tetemeko la ardhi, na mvua kubwa ya mawe. \t ܘܐܬܦܬܚ ܗܝܟܠܐ ܒܫܡܝܐ ܘܐܬܚܙܝܬ ܩܝܒܘܬܐ ܕܕܝܬܩܐ ܕܝܠܗ ܒܗܝܟܠܐ ܘܗܘܘ ܒܪܩܐ ܘܪܥܡܐ ܘܩܠܐ ܘܢܘܕܐ ܘܒܪܕܐ ܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi walishangazwa na maneno yake. Yesu akawaambia tena, \"Watoto wangu, ni vigumu sana kuingia katika Ufalme wa Mungu! \t ܬܠܡܝܕܐ ܕܝܢ ܡܬܕܡܪܝܢ ܗܘܘ ܥܠ ܡܠܘܗܝ ܘܥܢܐ ܬܘܒ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܒܢܝ ܟܡܐ ܥܛܠܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܬܟܝܠܝܢ ܥܠ ܢܟܤܝܗܘܢ ܕܢܥܠܘܢ ܠܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na, licha ya mengine mengi, kila siku nakabiliwa na shughuli za makanisa yote. \t ܤܛܪ ܡܢ ܝܬܝܪܬܐ ܘܟܢܘܫܝܐ ܕܥܠܝ ܕܟܠܝܘܡ ܘܨܦܬܝ ܕܥܠ ܐܦܝ ܟܠܗܝܢ ܥܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakaenda, wakakuta sawa kama alivyowaambia. \t ܘܐܙܠܘ ܗܢܘܢ ܕܐܫܬܕܪܘ ܘܐܫܟܚܘ ܐܝܟܢܐ ܕܐܡܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mji wote ulienea ghasia; watu wakaja kutoka pande zote, wakamkamata Paulo, wakamburuta, wakamtoa nje ya Hekalu na papo hapo milango ya Hekalu ikafungwa. \t ܘܐܫܬܓܫܬ ܡܕܝܢܬܐ ܘܐܬܟܢܫܘ ܟܠܗ ܥܡܐ ܘܐܚܕܘܗܝ ܠܦܘܠܘܤ ܘܓܪܘܗܝ ܠܒܪ ܡܢ ܗܝܟܠܐ ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܐܬܬܚܕܘ ܬܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na malaika wa tatu aliwafuata hao wawili akisema kwa sauti kubwa, \"Yeyote anayemwabudu yule mnyama na sanamu yake na kukubali kutiwa alama yake juu ya paji la uso wake au juu ya mkono wake, \t ܘܐܚܪܢܐ ܡܠܐܟܐ ܕܬܠܬܐ ܢܩܦ ܠܗܘܢ ܠܡܐܡܪ ܒܩܠܐ ܪܒܐ ܐܝܢܐ ܕܤܓܕ ܠܚܝܘܬܐ ܘܠܨܠܡܗ ܘܫܩܠ ܪܘܫܡܗ ܒܝܬ ܥܝܢܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na mtu mmoja jina lake Yosefu, mwenyeji wa kijiji kimoja cha Wayahudi kiitwacho Armathaya. Alikuwa mtu mwema anayeheshimika; \t ܓܒܪܐ ܕܝܢ ܚܕ ܕܫܡܗ ܝܘܤܦ ܒܘܠܘܛܐ ܡܢ ܪܡܬܐ ܡܕܝܢܬܐ ܕܝܗܘܕ ܓܒܪܐ ܗܘܐ ܛܒܐ ܘܙܕܝܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Je, umeamini kwa kuwa nimekwambia kwamba nilikuona chini ya mtini? Utaona makubwa zaidi kuliko haya.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܥܠ ܕܐܡܪܬ ܠܟ ܕܚܙܝܬܟ ܬܚܝܬ ܬܬܐ ܡܗܝܡܢ ܐܢܬ ܕܪܘܪܒܢ ܡܢ ܗܠܝܢ ܬܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akalikamata lile joka--nyoka wa kale, yaani Ibilisi au Shetani--akalifunga kwa muda wa miaka elfu moja. \t ܘܠܒܟܗ ܠܬܢܝܢܐ ܚܘܝܐ ܩܕܡܝܐ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܐܟܠܩܪܨܐ ܘܤܛܢܐ ܘܐܤܪܗ ܐܠܦ ܫܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtakaposikia juu ya vita na fununu za vita, msifadhaike. Mambo hayo lazima yatokee, lakini mwisho wenyewe ungali bado. \t ܡܐ ܕܝܢ ܕܫܡܥܬܘܢ ܩܪܒܐ ܘܛܒܐ ܕܩܐܪܤܐ ܠܐ ܬܕܚܠܘܢ ܥܬܝܕ ܗܘ ܕܢܗܘܐ ܐܠܐ ܠܐ ܥܕܟܝܠ ܚܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nami nateseka mambo haya kwa sababu hiyo. Lakini niko bado timamu kabisa kwani namjua yule niliyemwamini, tena nina hakika kwamba yeye aweza kukilinda salama kile alichonikabidhi, mpaka Siku ile. \t ܡܛܠ ܗܕܐ ܡܤܝܒܪ ܐܢܐ ܗܠܝܢ ܘܠܐ ܒܗܬ ܐܢܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܓܝܪ ܒܡܢ ܗܝܡܢܬ ܘܡܦܤ ܐܢܐ ܕܡܛܝܐ ܒܐܝܕܘܗܝ ܓܘܥܠܢܝ ܠܡܛܪ ܠܝ ܠܝܘܡܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunawatakieni neema ya Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܛܝܒܘܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܥܡܟܘܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, Yesu akaunyosha mkono wake, akamshika na kumwambia, \"Ewe mwenye imani haba! Kwa nini uliona shaka?\" \t ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܦܫܛ ܐܝܕܗ ܡܪܢ ܘܐܚܕܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܙܥܘܪ ܗܝܡܢܘܬܐ ܠܡܢܐ ܐܬܦܠܓܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye atawaonyesheni chumba kikubwa ghorofani ambacho kimepambwa. Andalieni humo.\" \t ܘܗܐ ܗܘ ܡܚܘܐ ܠܟܘܢ ܥܠܝܬܐ ܚܕܐ ܪܒܬܐ ܕܡܫܘܝܐ ܬܡܢ ܛܝܒܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye akawajibu, \"Nendeni mjini kwa mtu fulani, mkamwambie: Mwalimu anasema, wakati wangu umefika; kwako nitakula Pasaka pamoja na wanafunzi wangu.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘ ܠܡܕܝܢܬܐ ܠܘܬ ܦܠܢ ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܪܒܢ ܐܡܪ ܙܒܢܝ ܡܛܐ ܠܗ ܠܘܬܟ ܥܒܕ ܐܢܐ ܦܨܚܐ ܥܡ ܬܠܡܝܕܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakaanza kumwomba aondoke katika nchi yao. \t ܘܫܪܝܘ ܒܥܝܢ ܡܢܗ ܕܢܐܙܠ ܠܗ ܡܢ ܬܚܘܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi ya watu wa Yerusalemu walisema, \"Je, yule mtu wanayemtafuta wamuue si huyu? \t ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܐܢܫܐ ܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܠܘ ܗܢܘ ܗܘ ܕܒܥܝܢ ܠܡܩܛܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, ikiwa katika kutafuta kukubaliwa kuwa waadilifu kwa kuungana na Kristo sisi tunaonekana kuwa wenye dhambi, je, jambo hili lina maana kwamba Kristo anasaidia utendaji wa dhambi? Hata kidogo! \t ܐܢ ܕܝܢ ܟܕ ܒܥܝܢܢ ܕܢܙܕܕܩ ܒܡܫܝܚܐ ܐܫܬܟܚܢ ܠܢ ܐܦ ܚܢܢ ܚܛܝܐ ܡܕܝܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܫܡܫܢܐ ܗܘ ܕܚܛܝܬܐ ܚܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mtu atendaye maovu anauchukia mwanga, wala haji kwenye mwanga, maana hapendi matendo yake maovu yamulikwe. \t ܟܠ ܓܝܪ ܕܤܢܝܬܐ ܥܒܕ ܤܢܐ ܠܢܘܗܪܐ ܘܠܐ ܐܬܐ ܠܢܘܗܪܐ ܕܠܐ ܢܬܟܤܤܘܢ ܥܒܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki. \t ܘܐܦܩ ܐܢܘܢ ܥܕܡܐ ܠܒܝܬ ܥܢܝܐ ܘܐܪܝܡ ܐܝܕܘܗܝ ܘܒܪܟ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokwisha amua tusafiri mpaka Italia, walimweka Paulo pamoja na wafungwa wengine chini ya ulinzi wa Yulio aliyekuwa ofisa wa jeshi katika kikosi kiitwacho \"Kikosi cha Augusto.\" \t ܘܦܩܕ ܥܠܘܗܝ ܦܗܤܛܤ ܕܢܫܬܕܪ ܠܘܬ ܩܤܪ ܠܐܝܛܠܝܐ ܘܐܫܠܡܗ ܠܦܘܠܘܤ ܘܠܐܤܝܪܐ ܐܚܪܢܐ ܥܡܗ ܠܓܒܪܐ ܚܕ ܩܢܛܪܘܢܐ ܡܢ ܐܤܦܝܪ ܤܒܤܛܐ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܝܘܠܝܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtasikia juu ya vita na fununu za vita; lakini msifadhaike, maana hayo hayana budi kutokea, lakini mwisho wenyewe ungali bado. \t ܥܬܝܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܠܡܫܡܥ ܩܐܪܤܐ ܘܫܡܥܐ ܕܩܪܒܐ ܚܙܘ ܠܐ ܬܬܕܘܕܘܢ ܘܠܐ ܓܝܪ ܕܟܠܗܝܢ ܢܗܘܝܢ ܐܠܐ ܠܐ ܥܕܟܝܠ ܫܘܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake huyo ni \"Neno la Mungu.\" \t ܘܡܥܛܦ ܡܐܢܐ ܕܙܠܝܥ ܒܕܡܐ ܘܡܬܩܪܐ ܫܡܗ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akajibu, \"Niliyoandika, nimeandika!\" \t ܐܡܪ ܦܝܠܛܘܤ ܡܕܡ ܕܟܬܒܬ ܟܬܒܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mose na Eliya wakawatokea, wakawa wanazungumza naye. \t ܘܐܬܚܙܝܘ ܠܗܘܢ ܡܘܫܐ ܘܐܠܝܐ ܟܕ ܡܡܠܠܝܢ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyu ndiye ambaye Maandiko Matakatifu yanasema: Jiwe mlilokataa ninyi waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi. \t ܗܢܘ ܟܐܦܐ ܕܐܤܠܝܬܘܢ ܐܢܬܘܢ ܒܢܝܐ ܘܗܘ ܗܘܐ ܠܪܝܫ ܩܪܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akapanda mashuani walimokuwa, na upepo ukatulia. Nao wakashangaa sana. \t ܘܤܠܩ ܠܘܬܗܘܢ ܠܤܦܝܢܬܐ ܘܫܠܝܬ ܪܘܚܐ ܘܛܒ ܡܬܕܡܪܝܢ ܗܘܘ ܘܬܗܝܪܝܢ ܒܢܦܫܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Unaweza kujihakikishia kwamba si zaidi ya siku kumi na mbili tu zimepita tangu nilipokwenda kuabudu Yerusalemu. \t ܟܕ ܡܫܟܚ ܐܢܬ ܠܡܕܥ ܕܠܝܬ ܠܝ ܝܬܝܪ ܡܢ ܬܪܥܤܪ ܝܘܡܝܢ ܕܤܠܩܬ ܠܐܘܪܫܠܡ ܠܡܤܓܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa akisema hayo, ofisa mmoja Myahudi alifika, akamwinamia na kusema, \"Binti yangu amekufa sasa hivi. Lakini, tafadhali njoo umwekee mkono wako naye ataishi.\" \t ܟܕ ܕܝܢ ܗܠܝܢ ܡܡܠܠ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܐܬܐ ܐܪܟܘܢܐ ܚܕ ܩܪܒ ܤܓܕ ܠܗ ܘܐܡܪ ܒܪܬܝ ܗܫܐ ܡܝܬܬ ܐܠܐ ܬܐ ܤܝܡ ܐܝܕܟ ܥܠܝܗ ܘܬܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huohuo, Saulo alijaribu kuliangamiza kanisa. Alikwenda katika kila nyumba, akawatoa nje waumini, wanaume kwa wanawake, akawatia gerezani. \t ܫܐܘܠ ܕܝܢ ܪܕܦ ܗܘܐ ܠܥܕܬܗ ܕܐܠܗܐ ܟܕ ܥܐܠ ܗܘܐ ܠܒܬܐ ܘܡܓܪܓܪ ܠܓܒܪܐ ܘܠܢܫܐ ܘܡܫܠܡܝܢ ܗܘܐ ܠܒܝܬ ܐܤܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wake walipokwisha vukia upande wa pili wa ziwa, walijikuta wamesahau kuchukua mikate. \t ܘܟܕ ܐܬܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܠܥܒܪܐ ܛܥܘ ܕܢܤܒܘܢ ܥܡܗܘܢ ܠܚܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana kutoka ndani, katika moyo wa mtu, hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji, \t ܡܢ ܠܓܘ ܓܝܪ ܡܢ ܠܒܐ ܕܒܢܝ ܐܢܫܐ ܢܦܩܢ ܡܚܫܒܬܐ ܒܝܫܬܐ ܓܘܪܐ ܙܢܝܘܬܐ ܓܢܒܘܬܐ ܩܛܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na mtu mmoja huko Kaisarea aitwaye Kornelio, Jemadari wa kikosi kimoja kiitwacho \"Kikosi cha Italia.\" \t ܒܩܤܪܝܐ ܕܝܢ ܐܝܬ ܗܘܐ ܓܒܪܐ ܚܕ ܩܢܛܪܘܢܐ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܩܘܪܢܠܝܘܤ ܡܢ ܤܦܝܪܐ ܗܝ ܕܡܬܩܪܝܐ ܐܝܛܠܝܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa wale wengine, (mimi binafsi, si Bwana) nasema hivi: Ikiwa mwanamume Mkristo anaye mke asiyeamini, na huyo mwanamke akakubali kuendelea kuishi naye, asimpe talaka. \t ܠܫܪܟܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܐܢܐ ܠܐ ܡܪܝ ܐܢ ܐܝܬ ܐܚܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܐܢܬܬܐ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܐ ܘܗܝ ܨܒܝܐ ܕܬܥܡܪ ܥܡܗ ܠܐ ܢܫܒܩܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikamwona malaika mmoja anashuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa kuzimu na mnyororo mkubwa mkononi mwake. \t ܘܚܙܝܬ ܐܚܪܢܐ ܡܠܐܟܐ ܕܢܚܬ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܐܝܬ ܥܠܘܗܝ ܩܠܝܕܐ ܕܬܗܘܡܐ ܘܫܝܫܠܬܐ ܪܒܬܐ ܒܐܝܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale watu walimpigia kelele za shangwe wakisema, \"Hii ni sauti ya mungu, si ya mtu.\" \t ܥܡܐ ܕܝܢ ܟܠܗ ܩܥܐ ܗܘܐ ܘܐܡܪ ܗܠܝܢ ܒܢܬ ܩܠܐ ܕܐܠܗܐ ܐܢܝܢ ܘܠܐ ܗܘܝ ܕܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akahamia katika mji uitwao Nazareti. Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii: \"Ataitwa Mnazare.\" \t ܟܕ ܕܝܢ ܫܡܥ ܕܐܪܟܠܐܘܤ ܗܘܐ ܡܠܟܐ ܒܝܗܘܕ ܚܠܦ ܗܪܘܕܤ ܐܒܘܗܝ ܕܚܠ ܕܢܐܙܠ ܠܬܡܢ ܘܐܬܚܙܝ ܠܗ ܒܚܠܡܐ ܕܢܐܙܠ ܠܐܬܪܐ ܕܓܠܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ama mtu atatoa kitu gani badala ya maisha yake? \t ܟܠ ܓܝܪ ܕܢܒܗܬ ܒܝ ܘܒܡܠܝ ܒܫܪܒܬܐ ܗܕܐ ܚܛܝܬܐ ܘܓܝܪܬܐ ܘܐܦ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܢܒܗܬ ܒܗ ܡܐ ܕܐܬܐ ܒܫܘܒܚܐ ܕܐܒܘܗܝ ܥܡ ܡܠܐܟܘܗܝ ܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane hakukataa kujibu swali hilo, bali alisema waziwazi, \"Mimi siye Kristo.\" \t ܘܐܘܕܝ ܘܠܐ ܟܦܪ ܘܐܘܕܝ ܕܠܘ ܐܢܐ ܐܢܐ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Na sasa basi, ninawaweka ninyi chini ya ulinzi wa Mungu na ujumbe wa neema yake. Yeye anao uwezo wa kuwajenga ninyi na kuwawezesha mzipate zile baraka alizowawekea watu wake. \t ܘܗܫܐ ܡܓܥܠ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܠܐܠܗܐ ܘܠܡܠܬܐ ܕܛܝܒܘܬܗ ܕܗܝ ܡܫܟܚܐ ܒܢܝܐ ܠܟܘܢ ܘܝܗܒܐ ܠܟܘܢ ܝܘܪܬܢܐ ܥܡ ܟܠܗܘܢ ܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sara kwa mfano alimtii Abrahamu na kumwita yeye bwana. Ninyi mmekuwa sasa binti zake kama mkitenda mema bila kuogopa tisho lolote. \t ܐܝܟܢܐ ܕܤܪܐ ܡܫܬܥܒܕܐ ܗܘܬ ܠܐܒܪܗܡ ܘܩܪܝܐ ܗܘܬ ܠܗ ܡܪܝ ܗܝ ܕܗܘܝܢ ܐܢܬܝܢ ܠܗ ܒܢܬܐ ܒܥܒܕܐ ܛܒܐ ܟܕ ܠܐ ܡܬܬܙܝܥܢ ܐܢܬܝܢ ܡܢ ܟܠ ܕܚܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Si lazima kuandika zaidi kuhusu huduma hiyo yenu kwa ajili ya watu wa Mungu. \t ܥܠ ܬܫܡܫܬܐ ܕܝܢ ܕܩܕܝܫܐ ܝܬܝܪܬܐ ܥܒܕ ܐܢܐ ܐܢ ܟܬܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Awali ya yote jueni kwamba siku za mwisho watakuja watu ambao mienendo yao inatawaliwa na tamaa zao mbaya. Watawadhihaki ninyi \t ܟܕ ܗܕܐ ܠܘܩܕܡ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܢܐܬܘܢ ܒܚܪܬܐ ܕܝܘܡܬܐ ܡܒܙܚܢܐ ܕܡܒܙܚܝܢ ܟܕ ܐܝܟ ܪܓܝܓܬܐ ܕܝܠܗܘܢ ܡܗܠܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikwenda kujiandikisha pamoja na mchumba wake Maria ambaye alikuwa mja mzito. \t ܥܡ ܡܪܝܡ ܡܟܝܪܬܗ ܟܕ ܒܛܢܐ ܕܬܡܢ ܢܬܟܬܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msidanganyike! Urafiki mbaya huharibu tabia njema. \t ܠܐ ܬܛܥܘܢ ܡܚܒܠܢ ܪܥܝܢܐ ܒܤܝܡܐ ܫܘܥܝܬܐ ܒܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakasema, \"Je, tunahitaji ushahidi mwingine? Sisi wenyewe tumesikia akisema kwa mdomo wake mwenyewe.\" \t ܐܡܪܝܢ ܡܢܐ ܬܘܒ ܡܬܒܥܝܢ ܠܢ ܤܗܕܐ ܚܢܢ ܓܝܪ ܫܡܥܢ ܡܢ ܦܘܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambayo msingi wake ni tumaini la kupata uzima wa milele. Mungu ambaye hasemi uongo, alituahidia uzima huo kabla ya mwanzo wa nyakati, \t ܥܠ ܤܒܪܐ ܕܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܕܡܠܟ ܐܠܗܐ ܫܪܝܪܐ ܩܕܡ ܙܒܢܘܗܝ ܕܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akaomba kibao cha kuandikia, akaandika hivi: \"Yohane ndilo jina lake.\" Wote wakastaajabu. \t ܘܫܐܠ ܦܢܩܝܬܐ ܘܟܬܒ ܘܐܡܪ ܝܘܚܢܢ ܗܘ ܫܡܗ ܘܐܬܕܡܪܘ ܟܠܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu aliwaaga wale watu, akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, \"Tufafanulie ule mfano wa magugu shambani.\" \t ܗܝܕܝܢ ܝܫܘܥ ܫܒܩ ܠܟܢܫܐ ܘܐܬܐ ܠܒܝܬܐ ܘܩܪܒܘ ܠܘܬܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܦܫܩ ܠܢ ܡܬܠܐ ܗܘ ܕܙܝܙܢܐ ܘܕܩܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nitajitahidi kuwapatieni njia ya kuyakumbuka mambo haya kila wakati, baada ya kufariki kwangu. \t ܝܨܦ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܐܦ ܐܡܝܢܐܝܬ ܗܘܐ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܕܐܦ ܡܢ ܒܬܪ ܡܦܩܢܐ ܕܝܠܝ ܥܘܗܕܢܐ ܕܗܠܝܢ ܬܗܘܘܢ ܥܒܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yuda, aliyemsaliti Yesu, alipajua mahali hapo kwani mara nyingi Yesu alikutana na wanafunzi wake huko. \t ܝܕܥ ܗܘܐ ܕܝܢ ܐܦ ܝܗܘܕܐ ܡܫܠܡܢܐ ܠܕܘܟܬܐ ܗܝ ܡܛܠ ܕܤܓܝ ܙܒܢܐ ܟܢܫ ܗܘܐ ܬܡܢ ܝܫܘܥ ܥܡ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa tunajua kwamba wewe unajua kila kitu, na huna haja ya kuulizwa maswali na mtu yeyote; kwa hiyo tunaamini kwamba umetoka kwa Mungu.\" \t ܗܫܐ ܝܕܥܝܢ ܚܢܢ ܕܟܠ ܡܕܡ ܝܕܥ ܐܢܬ ܘܠܐ ܤܢܝܩ ܐܢܬ ܕܐܢܫ ܢܫܐܠܟ ܒܗܕܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܚܢܢ ܕܡܢ ܐܠܗܐ ܢܦܩܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini watu hawa wanaosemekana kuwa ni viongozi--kama kweli walikuwa hivyo au sivyo, kwangu si kitu, maana Mungu hahukumu kwa kuangalia mambo ya nje--watu hawa hawakuwa na kitu cha kuongeza katika Habari hii Njema kama niihubirivyo. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܕܡܤܬܒܪܝܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܡܕܡ ܡܢ ܕܝܢ ܐܝܬܝܗܘܢ ܠܐ ܒܛܝܠ ܠܝ ܐܠܗܐ ܓܝܪ ܒܐܦܝ ܒܢܝܢܫܐ ܠܐ ܢܤܒ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܗܠܝܢ ܡܕܡ ܠܐ ܐܘܤܦܘ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wachungaji walipoona yote yaliyotokea walikimbia, wakaenda kuwapa watu habari, mjini na mashambani. \t ܟܕ ܚܙܘ ܕܝܢ ܪܥܘܬܐ ܡܕܡ ܕܗܘܐ ܥܪܩܘ ܘܐܫܬܥܝܘ ܒܡܕܝܢܬܐ ܘܒܩܘܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Marashi haya yangaliweza kuuzwa kwa bei kubwa, maskini wakapewa hizo fedha.\" \t ܡܫܟܚ ܗܘܐ ܓܝܪ ܕܢܙܕܒܢ ܗܢܐ ܒܤܓܝ ܘܢܬܝܗܒ ܠܡܤܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunajua kwamba Sheria huwahusu walio chini ya Sheria hiyo, hata hawawezi kuwa na kisingizio chochote, na ulimwengu wote uko chini ya hukumu ya Mungu. \t ܝܕܥܝܢܢ ܕܝܢ ܕܡܕܡ ܕܐܡܪ ܢܡܘܤܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܒܢܡܘܤܐ ܐܢܘܢ ܐܡܪ ܕܟܠ ܦܘܡ ܢܤܬܟܪ ܘܥܠܡܐ ܟܠܗ ܢܬܚܝܒ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wakamwendea, wakamwamsha wakisema, \"Bwana, tuokoe, tunaangamia!\" \t ܘܩܪܒܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܥܝܪܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܪܢ ܦܨܢ ܐܒܕܝܢ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila Jumapili kila mmoja wenu atenge kiasi cha fedha kadiri ya mapato yake, ili kusiwe na haja ya kufanya mchango wakati nitakapokuja. \t ܒܟܠ ܚܕ ܒܫܒܐ ܐܢܫ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܒܒܝܬܗ ܢܗܘܐ ܤܐܡ ܘܢܛܪ ܗܘ ܡܕܡ ܕܡܛܐ ܒܐܝܕܘܗܝ ܕܠܐ ܡܐ ܕܐܬܝܬ ܗܝܕܝܢ ܢܗܘܝܢ ܓܒܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wosia hauwezi kutekelezwa mpaka kumetokea kifo, kwani wosia hauna maana ikiwa mwenye kuufanya bado anaishi. \t ܥܠ ܡܝܬܐ ܕܝܢ ܒܠܚܘܕ ܡܫܬܪܪܐ ܡܛܠ ܕܟܡܐ ܕܚܝ ܗܘ ܕܥܒܕܗ ܠܝܬ ܒܗ ܚܫܚܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akamwambia, \"Bwana, mfano huo ni kwa ajili yetu tu, au ni kwa ajili ya watu wote?\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܡܪܢ ܠܘܬܢ ܐܡܪ ܐܢܬ ܠܗ ܠܡܬܠܐ ܗܢܐ ܐܘ ܐܦ ܠܘܬ ܟܠܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wajumbe wa Yohane walipokwisha kwenda zao, Yesu alianza kuyaambia makundi ya watu juu ya Yohane: \"Mlikwenda kule jangwani, hivi mlitaka kuona kitu gani? Mlitaka kuona unyasi unaotikiswa na upepo? \t ܟܕ ܕܝܢ ܐܙܠܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܝܘܚܢܢ ܫܪܝ ܠܡܐܡܪ ܠܟܢܫܐ ܥܠ ܝܘܚܢܢ ܡܢܐ ܢܦܩܬܘܢ ܠܚܘܪܒܐ ܠܡܚܙܐ ܩܢܝܐ ܕܡܢ ܪܘܚܐ ܡܬܬܙܝܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Bwana akajibu, \"Kama imani yenu ingekuwa ndogo hata kama chembe ndogo ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu: Ng'oka ukajipandikize baharini, nao ungewatii. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢ ܐܝܬ ܗܘܬ ܠܟܘܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܐܝܟ ܦܪܕܬܐ ܕܚܪܕܠܐ ܐܡܪܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܠܬܘܬܐ ܗܢܐ ܕܐܬܥܩܪ ܘܐܬܢܨܒ ܒܝܡܐ ܘܡܫܬܡܥ ܗܘܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu wapenzi, kumbukeni jambo hili! Kila mtu na awe mwepesi wa kusikia lakini asiwe mwepesi wa kusema wala mwepesi wa kukasirika. \t ܘܐܢܬܘܢ ܐܚܝ ܚܒܝܒܐ ܟܠܢܫ ܡܢܟܘܢ ܢܗܘܐ ܡܤܪܗܒ ܠܡܫܡܥ ܘܡܘܚܪ ܠܡܡܠܠܘ ܘܡܘܚܪ ܠܡܪܓܙ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, ninyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uzima. \t ܘܠܐ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܬܐܬܘܢ ܠܘܬܝ ܕܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܢܗܘܘܢ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, watoto wangu, msikubali kupotoshwa na mtu yeyote. Mtu atendaye matendo maadilifu ni mwadilifu kama vile Kristo alivyo mwadilifu kabisa. \t ܒܢܝ ܠܐ ܐܢܫ ܢܛܥܝܟܘܢ ܗܘ ܕܥܒܕ ܙܕܝܩܘܬܐ ܙܕܝܩܐ ܗܘ ܐܝܟ ܕܐܦ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܐܝܬܘܗܝ ܙܕܝܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana sisi tulifarijika sana. Siyo kwamba tulifarijika tu, ila pia Tito alitufurahisha kwa furaha aliyokuwa nayo kutokana na jinsi mlivyomchangamsha moyo. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܬܒܝܐܢ ܘܥܡ ܒܘܝܐܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܚܕܝܢ ܒܚܕܘܬܗ ܕܛܛܘܤ ܕܐܬܢܝܚܬ ܪܘܚܗ ܥܡ ܟܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo, Yesu alikuwa anapita katika mashamba ya ngano siku ya Sabato. Basi, wanafunzi wake wakaona njaa, wakaanza kukwanyua masuke ya ngano, wakala punje zake. \t ܒܗܘ ܙܒܢܐ ܡܗܠܟ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܒܫܒܬܐ ܒܝܬ ܙܪܥܐ ܘܬܠܡܝܕܘܗܝ ܟܦܢܘ ܘܫܪܝܘ ܡܠܓܝܢ ܫܒܠܐ ܘܐܟܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akaanguka chini na kusikia sauti ikimwambia: \"Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa?\" \t ܘܢܦܠ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܫܡܥ ܩܠܐ ܕܐܡܪ ܠܗ ܫܐܘܠ ܫܐܘܠ ܡܢܐ ܪܕܦ ܐܢܬ ܠܝ ܩܫܐ ܗܘ ܠܟ ܠܡܒܥܛܘ ܠܥܘܩܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawapokea watoto hao, akawawekea mikono, akawabariki. \t ܘܫܩܠ ܐܢܘܢ ܥܠ ܕܪܥܘܗܝ ܘܤܡ ܐܝܕܗ ܥܠܝܗܘܢ ܘܒܪܟ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakasema, \"Asifiwe Mungu! Moshi wa moto unaoteketeza mji huo utapanda juu milele na milele!\" \t ܕܬܪܬܝܢ ܐܡܪܘ ܗܠܠܘܝܐ ܘܬܢܢܗ ܤܠܩ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuadhibiwa si jambo la kufurahisha bali la kuhuzunisha. Lakini wale waliofunzwa kuwa na nidhamu mwishowe watavuna tuzo la amani kutoka katika maisha adili! \t ܟܠ ܡܪܕܘܬܐ ܕܝܢ ܒܙܒܢܗ ܠܐ ܡܤܬܒܪܐ ܕܕܚܕܘܬܐ ܗܝ ܐܠܐ ܕܟܪܝܘܬܐ ܠܚܪܬܐ ܕܝܢ ܦܐܪܐ ܕܫܠܡܐ ܘܕܙܕܝܩܘܬܐ ܝܗܒܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܒܗ ܐܬܕܪܫܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Nifuateni nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܬܘ ܒܬܪܝ ܘܐܥܒܕܟܘܢ ܨܝܕܐ ܕܒܢܝ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo Yesu akawatuma Petro na Yohane, akawaambia, \"Nendeni mkatuandalie karamu ili tupate kula Pasaka.\" \t ܘܫܕܪ ܝܫܘܥ ܠܟܐܦܐ ܘܠܝܘܚܢܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘ ܛܝܒܘ ܠܢ ܦܨܚܐ ܕܢܠܥܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akamwuliza Yesu, \"Wewe ni Mfalme wa Wayahudi?\" Yesu akamjibu, \"Wewe umesema.\" \t ܦܝܠܛܘܤ ܕܝܢ ܫܐܠܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢܬ ܗܘ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܐܡܪ ܠܗ ܐܢܬ ܐܡܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata kidogo! Mungu hubaki mwaminifu daima, ingawaje kila binadamu ni mwongo. Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: \"Kila usemapo, maneno yako ni ya haki; na katika hukumu, wewe hushinda.\" \t ܚܤ ܐܝܬܘܗܝ ܓܝܪ ܐܠܗܐ ܫܪܝܪܐ ܘܟܠ ܒܪܢܫ ܕܓܠ ܐܝܟܢܐ ܕܟܬܝܒ ܕܬܗܘܐ ܟܐܝܢ ܒܡܠܝܟ ܘܬܙܟܐ ܟܕ ܕܝܢܝܢ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nikauliza: Ni nani wewe Bwana? Naye Bwana akajibu: Mimi ni Yesu ambaye wewe unamtesa. \t ܘܐܢܐ ܐܡܪܬ ܡܢ ܐܢܬ ܡܪܝ ܘܡܪܢ ܐܡܪ ܠܝ ܐܢܐ ܗܘ ܝܫܘܥ ܢܨܪܝܐ ܕܐܢܬ ܪܕܦ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Petro na Yohane wakawajibu, \"Amueni ninyi wenyewe kama ni haki mbele ya Mungu kuwatii ninyi kuliko kumtii yeye. \t ܥܢܘ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܘܝܘܚܢܢ ܘܐܡܪܘ ܠܗܘܢ ܐܢ ܟܐܢܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܕܠܟܘܢ ܢܫܡܥ ܝܬܝܪ ܡܢ ܐܠܗܐ ܕܘܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo. \t ܟܠ ܥܘܠܐ ܓܝܪ ܚܛܝܬܐ ܗܘ ܘܐܝܬ ܚܛܗܐ ܕܠܐ ܗܘܐ ܕܡܘܬܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Simoni aling'amua kwamba kwa kuwekewa mikono ya mitume waumini walipewa Roho Mtakatifu. Hivyo aliwapa Petro na Yohane fedha akisema, \t ܘܟܕ ܚܙܐ ܤܝܡܘܢ ܕܒܤܝܡ ܐܝܕܐ ܕܫܠܝܚܐ ܡܬܝܗܒܐ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܩܪܒ ܠܗܘܢ ܟܤܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala hakuna mtu ambaye hutamani kunywa divai mpya baada ya kunywa ya zamani, kwani husema: Ile ya zamani ni nzuri zaidi.\" \t ܘܠܐ ܐܢܫ ܫܬܐ ܚܡܪܐ ܥܬܝܩܐ ܘܡܚܕܐ ܒܥܐ ܚܕܬܐ ܐܡܪ ܓܝܪ ܥܬܝܩܐ ܒܤܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikaona mbingu mpya na dunia mpya. Mbingu ile ya kwanza na dunia ile ya kwanza vilikuwa vimetoweka, nayo bahari pia haikuweko tena. \t ܘܚܙܝܬ ܫܡܝܐ ܚܕܬܬܐ ܘܐܪܥܐ ܚܕܬܐ ܫܡܝܐ ܓܝܪ ܩܕܡܝܬܐ ܘܐܪܥܐ ܩܕܡܝܬܐ ܐܙܠܘ ܘܝܡܐ ܠܝܬܘܗܝ ܬܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana yeye aliyeitwa na Bwana akiwa mtumwa huyo huwa mtu huru wa Bwana. Hali kadhalika naye aliyeitwa akiwa mtu huru, huwa mtumwa wa Kristo. \t ܐܝܢܐ ܓܝܪ ܕܥܒܕܐ ܐܬܩܪܝ ܒܡܪܢ ܡܚܪܪܐ ܗܘ ܕܐܠܗܐ ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܝܢܐ ܕܒܪ ܚܐܪܐ ܐܬܩܪܝ ܥܒܕܐ ܗܘ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Baada ya kukaa mbali kwa miaka kadhaa, nilirudi Yerusalemu ili kuwapelekea wananchi wenzangu msaada na kutoa dhabihu. \t ܠܫܢܝܢ ܕܝܢ ܤܓܝܐܢ ܐܬܝܬ ܠܘܬ ܒܢܝ ܥܡܐ ܕܝܠܝ ܕܐܬܠ ܙܕܩܬܐ ܘܐܩܪܒ ܩܘܪܒܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maadamu yeye mwenyewe yu dhaifu anaweza kuwaonea huruma wale wasiojua kitu na wanaofanya makosa. \t ܐܝܢܐ ܕܡܫܟܚ ܕܢܡܟ ܢܦܫܗ ܘܢܚܫ ܥܡ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢ ܘܛܥܝܢ ܡܛܠ ܕܐܦ ܗܘ ܟܪܝܗܘܬܐ ܠܒܝܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana amjalie huruma katika Siku ile! Nawe wajua vizuri mengi aliyonifanyia huko Efeso. \t ܢܬܠ ܠܗ ܡܪܢ ܕܢܫܟܚ ܪܚܡܐ ܠܘܬ ܡܪܢ ܒܝܘܡܐ ܗܘ ܘܟܡܐ ܕܫܡܫܢܝ ܒܐܦܤܘܤ ܝܬܝܪܐܝܬ ܝܕܥ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Sisemi mara saba tu, bali sabini mara saba. \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܠܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܥܕܡܐ ܠܫܒܥ ܐܠܐ ܥܕܡܐ ܠܫܒܥܝܢ ܙܒܢܝܢ ܫܒܥ ܫܒܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mara baada ya dhiki ya siku hizo, jua litatiwa giza, mwezi hautaangaza, nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za mbingu zitatikiswa. \t ܡܚܕܐ ܕܝܢ ܒܬܪ ܐܘܠܨܢܐ ܕܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܫܡܫܐ ܢܚܫܟ ܘܤܗܪܐ ܠܐ ܢܚܘܐ ܢܘܗܪܗ ܘܟܘܟܒܐ ܢܦܠܘܢ ܡܢ ܫܡܝܐ ܘܚܝܠܐ ܕܫܡܝܐ ܢܬܬܙܝܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake walipokuwa wakishuka kutoka kule mlimani, kundi kubwa la watu lilikutana na Yesu. \t ܘܗܘܐ ܠܝܘܡܐ ܕܒܬܪܗ ܟܕ ܢܚܬܝܢ ܡܢ ܛܘܪܐ ܦܓܥ ܒܗܘܢ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hamu yetu ni kwamba kila mmoja wenu aonyeshe bidii hiyohiyo mpaka mwisho, ili yale mnayotumainia yapate kutimia. \t ܨܒܝܢܢ ܕܝܢ ܕܐܢܫ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܗܝ ܗܕܐ ܚܦܝܛܘܬܐ ܢܚܘܐ ܠܫܘܡܠܝܐ ܕܤܒܪܟܘܢ ܥܕܡܐ ܠܚܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mpango wa Mungu ni kuwajulisha watu wake siri hii kuu na tukufu ambayo ni kwa ajili ya watu wote. Na, siri yenyewe ndiyo hii: Kristo yuko ndani yenu, na jambo hilo lamaanisha kwamba ninyi mtaushiriki utukufu wa Mungu. \t ܠܐܝܠܝܢ ܕܨܒܐ ܐܠܗܐ ܕܢܘܕܥ ܡܢܘ ܥܘܬܪܐ ܕܫܘܒܚܗ ܕܐܪܙܐ ܗܢܐ ܒܥܡܡܐ ܕܗܘܝܘ ܡܫܝܚܐ ܕܒܟܘܢ ܤܒܪܐ ܕܫܘܒܚܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, hao watu wema watamjibu mfalme Bwana, ni lini tulikuona mwenye njaa nasi tukakupa chakula, au ukiwa na kiu nasi tukakunywesha maji? \t ܗܝܕܝܢ ܢܐܡܪܘܢ ܠܗ ܗܢܘܢ ܙܕܝܩܐ ܡܪܢ ܐܡܬܝ ܚܙܝܢܟ ܕܟܦܢ ܐܢܬ ܘܬܪܤܝܢܟ ܐܘ ܕܨܗܐ ܐܢܬ ܘܐܫܩܝܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini malaika, ambao wana uwezo na nguvu zaidi kuliko hao walimu wa uongo, hawawashtaki na kuwatukana hao mbele ya Bwana. \t ܐܝܟܐ ܕܡܠܐܟܐ ܕܒܚܝܠܐ ܘܒܥܘܫܢܐ ܪܘܪܒܝܢ ܡܢܗܘܢ ܠܐ ܡܝܬܝܢ ܥܠܝܗܘܢ ܡܢ ܡܪܝܐ ܕܝܢܐ ܕܓܘܕܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mtakubali kwamba sikuwa mzigo kwenu. Lakini labda mtu mwingine atasema: \"Kwa vile Paulo ni mwerevu, amewafanyieni ulaghai.\" \t ܘܟܒܪ ܐܢܐ ܠܐ ܝܩܪܬ ܥܠܝܟܘܢ ܐܠܐ ܐܝܟ ܓܒܪܐ ܚܪܥܐ ܒܢܟܠܐ ܓܢܒܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yohane akawa anawaambia watu wengi waliofika ili awabatize: \"Enyi kizazi cha nyoka! Ni nani aliyewadokezea kwamba mngeweza kuiepuka ghadhabu inayokuja? \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܠܟܢܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܬܝܢ ܗܘܘ ܠܘܬܗ ܠܡܥܡܕ ܝܠܕܐ ܕܐܟܕܢܐ ܡܢܘ ܚܘܝܟܘܢ ܠܡܥܪܩ ܡܢ ܪܘܓܙܐ ܕܥܬܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yote hayo ni kama mwanzo wa maumivu ya kujifungua mtoto. \t ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܟܠܗܝܢ ܪܫܐ ܐܢܝܢ ܕܚܒܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa madhumuni hayo mimi nafanya kazi na kujitahidi nikiitumia nguvu kuu ya Kristo ifanyayo kazi ndani yangu. \t ܒܗܕܐ ܗܘ ܓܝܪ ܐܦ ܥܡܠ ܐܢܐ ܘܡܬܟܬܫ ܐܢܐ ܒܡܥܕܪܢܘܬܐ ܕܚܝܠܐ ܕܡܬܝܗܒ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini anayesema mabaya dhidi ya Roho Mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele.\" \t ܡܢ ܕܝܢ ܕܢܓܕܦ ܥܠ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܠܝܬ ܠܗ ܫܘܒܩܢܐ ܠܥܠܡ ܐܠܐ ܡܚܝܒ ܗܘ ܠܕܝܢܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, Daudi mwenyewe alitimiza mapenzi ya Mungu wakati wake; kisha akafa na kuzikwa karibu na wazee wake, na mwili wake ukaoza. \t ܕܘܝܕ ܓܝܪ ܒܫܪܒܬܗ ܫܡܫ ܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܘܫܟܒ ܘܐܬܬܘܤܦ ܥܠ ܐܒܗܘܗܝ ܘܚܙܐ ܚܒܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, ingawa mimi si mtumwa wa mtu yeyote, nimejifanya mtumwa wa kila mtu ili nimpatie Kristo watu wengi iwezekanavyo. \t ܟܕ ܡܚܪܪ ܐܢܐ ܓܝܪ ܡܢ ܟܠܗܝܢ ܠܟܠܢܫ ܫܥܒܕܬ ܢܦܫܝ ܕܠܤܓܝܐܐ ܐܬܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mpeni kila mtu haki yake; mtu wa ushuru, ushuru; wa kodi, kodi; na astahiliye heshima, heshima. \t ܦܪܘܥܘ ܗܟܝܠ ܠܟܠܢܫ ܐܝܟ ܕܡܬܚܝܒ ܠܗ ܠܡܢ ܕܟܤܦ ܪܫܐ ܟܤܦ ܪܫܐ ܘܠܡܢ ܕܡܟܤܐ ܡܟܤܐ ܘܠܡܢ ܕܕܚܠܬܐ ܕܚܠܬܐ ܘܠܡܢ ܕܐܝܩܪܐ ܐܝܩܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maskini miye! Nani atakayeniokoa kutoka katika mwili huu unaonipeleka kifoni? \t ܕܘܝܐ ܐܢܐ ܒܪܢܫܐ ܡܢܘ ܢܦܨܝܢܝ ܡܢ ܦܓܪܐ ܗܢܐ ܕܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mungu amewafunga watu wote katika uasi wao ili wapate kuwahurumia wote. \t ܚܒܫ ܓܝܪ ܐܠܗܐ ܠܟܠܢܫ ܒܠܐ ܡܬܛܦܝܤܢܘܬܐ ܕܥܠ ܟܠ ܐܢܫ ܢܪܚܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Labda utasema: \"Ikiwa ukosefu wa uaminifu kwa upande wangu unamdhihirisha Mungu kuwa mwaminifu zaidi na hivyo kumpatia utukufu, basi singepaswa kuhukumiwa kuwa mwenye dhambi!\" \t ܐܢ ܓܝܪ ܫܪܪܗ ܕܐܠܗܐ ܐܬܝܬܪ ܒܕܓܠܘܬܝ ܠܬܫܒܘܚܬܗ ܕܝܠܗ ܠܡܢܐ ܗܟܝܠ ܐܢܐ ܐܝܟ ܚܛܝܐ ܡܬܬܕܝܢ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo mimi nilitumwa niwe mtume na mwalimu wa watu wa mataifa, niutangaze ujumbe wa imani na ukweli. Nasema ukweli; sisemi uongo! \t ܗܝ ܕܐܢܐ ܐܬܤܝܡܬ ܟܪܘܙܗ ܘܫܠܝܚܗ ܩܘܫܬܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܘܠܐ ܡܕܓܠ ܐܢܐ ܕܗܘܝܬ ܡܠܦܢܐ ܕܥܡܡܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwuliza, \"Unataka nikufanyie nini?\" Huyo kipofu akamwambia, \"Mwalimu, naomba nipate kuona.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܡܢܐ ܨܒܐ ܐܢܬ ܐܥܒܕ ܠܟ ܗܘ ܕܝܢ ܤܡܝܐ ܐܡܪ ܠܗ ܪܒܝ ܕܐܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mungu, kwa neema yake, alikuwa ameniteua hata kabla sijazaliwa, akaniita nimtumikie. \t ܟܕ ܨܒܐ ܕܝܢ ܗܘ ܡܢ ܕܦܪܫܢܝ ܡܢ ܟܪܤ ܐܡܝ ܘܩܪܢܝ ܒܛܝܒܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaja karibu, akawaambia, \"Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. \t ܘܩܪܒ ܝܫܘܥ ܡܠܠ ܥܡܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܬܝܗܒ ܠܝ ܟܠ ܫܘܠܛܢ ܒܫܡܝܐ ܘܒܐܪܥܐ ܘܐܝܟܢܐ ܕܫܕܪܢܝ ܐܒܝ ܡܫܕܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu. \t ܘܟܕ ܐܡܪ ܗܠܝܢ ܝܫܘܥ ܢܦܩ ܠܩܕܡܘܗܝ ܕܢܐܙܠ ܠܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mpaka katika nyumba atakayoingia, mkamwambie mwenye nyumba, Mwalimu anasema: wapi chumba changu ambamo nitakula Pasaka pamoja na wanafunzi wangu? \t ܘܠܐܝܟܐ ܕܥܐܠ ܐܡܪܘ ܠܡܪܐ ܒܝܬܐ ܪܒܢ ܐܡܪ ܐܝܟܘ ܒܝܬ ܡܫܪܝܐ ܐܝܟܐ ܕܐܟܘܠ ܥܡ ܬܠܡܝܕܝ ܦܨܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mti mwema hauzai matunda mabaya, wala mti mbaya hauzai matunda mazuri. \t ܠܐ ܐܝܬ ܐܝܠܢܐ ܛܒܐ ܕܥܒܕ ܦܐܪܐ ܒܝܫܐ ܐܦ ܠܐ ܐܝܠܢܐ ܒܝܫܐ ܕܥܒܕ ܦܐܪܐ ܛܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Timotheo, mfanyakazi mwenzangu, anawasalimu. Hali kadhalika Lukio, Yasoni, na Sosipatro, wananchi wenzangu, wanawasalimu. \t ܫܐܠܝܢ ܒܫܠܡܟܘܢ ܛܝܡܬܐܘܤ ܦܠܚܐ ܕܥܡܝ ܘܠܘܩܝܘܤ ܘܐܝܤܘܢ ܘܤܘܤܝܦܛܪܘܤ ܐܚܝܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale waliotangulia kuhubiriwa Habari Njema hawakupata pumziko hilo kwa sababu hawakuamini. Wapo, basi, wengine ambao wangejaliwa kulipata. \t ܡܛܠ ܗܟܝܠ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܐܬܪܐ ܕܐܢܫ ܐܢܫ ܢܥܘܠ ܠܗ ܘܗܢܘܢ ܕܐܤܬܒܪܘ ܩܕܡܝܐ ܠܐ ܥܠܘ ܒܕܠܐ ܐܬܛܦܝܤܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote watawachukieni kwa sababu ya jina langu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, ataokolewa. \t ܘܬܗܘܘܢ ܤܢܝܐܝܢ ܡܢ ܟܠܢܫ ܡܛܠ ܫܡܝ ܐܝܢܐ ܕܝܢ ܕܢܤܝܒܪ ܥܕܡܐ ܠܚܪܬܐ ܗܘ ܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote wakashangaa na kushikwa na hofu; wakamtukuza Mungu wakisema: \"Tumeona maajabu leo.\" \t ܘܬܡܗܐ ܐܚܕ ܠܟܠܢܫ ܘܡܫܒܚܝܢ ܗܘܘ ܠܐܠܗܐ ܘܐܬܡܠܝܘ ܕܚܠܬܐ ܘܐܡܪܝܢ ܕܚܙܝܢ ܝܘܡܢܐ ܬܕܡܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini nawaambieni, Siku ya hukumu itakuwa nafuu zaidi kwa watu wa Sodoma, kuliko kwako wewe.\" \t ܒܪܡ ܐܡܪܢܐ ܠܟܝ ܕܠܐܪܥܐ ܕܤܕܘܡ ܢܗܘܐ ܢܝܚ ܒܝܘܡܐ ܕܕܝܢܐ ܐܘ ܠܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mngalikuwa watu wa ulimwengu, ulimwengu ungaliwapenda ninyi kama watu wake. Lakini kwa vile ninyi si wa ulimwengu, ila mimi nimewachagueni kutoka ulimwenguni, kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukieni. \t ܘܐܠܘ ܡܢ ܥܠܡܐ ܗܘܝܬܘܢ ܥܠܡܐ ܠܕܝܠܗ ܪܚܡ ܗܘܐ ܐܠܐ ܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܡܢ ܥܠܡܐ ܐܢܐ ܓܝܪ ܓܒܝܬܟܘܢ ܡܢ ܥܠܡܐ ܡܛܠ ܗܢܐ ܤܢܐ ܠܟܘܢ ܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, \"Pepo mchafu, mtoke mtu huyu.\") \t ܐܡܪ ܗܘܐ ܠܗ ܓܝܪ ܦܘܩ ܡܢ ܒܪܢܫܐ ܪܘܚܐ ܛܢܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akajibu, \"Atakayechovya mkate pamoja nami katika bakuli ndiye atakayenisaliti. \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܡܢ ܕܨܒܥ ܐܝܕܗ ܥܡܝ ܒܠܓܬܐ ܗܘ ܢܫܠܡܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nilijulishwa kwa njia ya ufunuo mpango wake uliofichika. (Nimeandika kwa ufupi juu ya jambo hili, \t ܕܒܓܠܝܢܐ ܐܬܝܕܥ ܠܝ ܐܪܙܐ ܐܝܟܢܐ ܕܟܬܒܬ ܠܟܘܢ ܒܙܥܘܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo mtu mmoja katika ule umati wa watu akamjibu, \"Mwalimu, nimemleta mwanangu kwako, ana pepo aliyemfanya kuwa bubu. \t ܘܥܢܐ ܚܕ ܡܢ ܟܢܫܐ ܘܐܡܪ ܡܠܦܢܐ ܐܝܬܝܬ ܒܪܝ ܠܘܬܟ ܕܐܝܬ ܠܗ ܪܘܚܐ ܕܠܐ ܡܡܠܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mnafanya mambo yaleyale aliyofanya babu yenu.\" Wao wakamwambia, \"Sisi si watoto haramu! Tunaye baba mmoja tu, yaani Mungu.\" \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܒܕܐ ܕܐܒܘܟܘܢ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܚܢܢ ܡܢ ܙܢܝܘܬܐ ܠܐ ܗܘܝܢ ܚܕ ܐܒܐ ܐܝܬ ܠܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeyote anayesikia maneno yangu lakini asifanye chochote, huyo anafanana na mtu aliyejenga nyumba juu ya udongo, bila msingi. Mafuriko ya mto yakatokea, mkondo wa maji ukaipiga nyumba ile, ikaanguka na kuharibika kabisa!\" \t ܘܗܘ ܕܫܡܥ ܘܠܐ ܥܒܕ ܕܡܐ ܠܓܒܪܐ ܕܒܢܐ ܒܝܬܗ ܥܠ ܥܦܪܐ ܕܠܐ ܫܬܐܤܬܐ ܘܟܕ ܐܬܛܪܝ ܒܗ ܢܗܪܐ ܒܪ ܫܥܬܗ ܢܦܠ ܘܗܘܬ ܡܦܘܠܬܗ ܪܒܐ ܕܒܝܬܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu. \t ܡܬܩܕܫ ܓܝܪ ܒܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܒܨܠܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, imeandikwa katika kitabu cha Zaburi: Nyumba yake ibaki mahame; mtu yeyote asiishi ndani yake. Tena imeandikwa: Mtu mwingine achukue nafasi yake katika huduma hiyo. \t ܟܬܝܒ ܓܝܪ ܒܤܦܪܐ ܕܡܙܡܘܪܐ ܕܕܝܪܗ ܬܗܘܐ ܚܪܒܐ ܘܥܡܘܪ ܠܐ ܢܗܘܐ ܒܗ ܘܬܫܡܫܬܗ ܢܤܒ ܐܚܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana mshahara wa dhambi ni kifo; lakini zawadi anayotoa Mungu ni uzima wa milele katika kuungana na Kristo Yesu, Bwana wetu. \t ܬܐܓܘܪܬܐ ܕܝܢ ܕܚܛܝܬܐ ܡܘܬܐ ܗܘ ܘܡܘܗܒܬܗ ܕܐܠܗܐ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato alishangaa kusikia kwamba Yesu alikuwa amekwisha kufa. Basi, akamwita jemadari, akamwuliza kama Yesu alikuwa amekufa kitambo. \t ܦܝܠܛܘܤ ܕܝܢ ܬܡܗ ܕܐܢ ܡܢ ܟܕܘ ܡܝܬ ܘܩܪܐ ܠܩܢܛܪܘܢܐ ܘܫܐܠܗ ܕܐܢ ܡܢ ܩܕܡ ܥܕܢܐ ܡܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maria akasema, \"Mimi ni mtumishi wa Bwana, nitendewe kama ulivyosema.\" Kisha yule malaika akaenda zake. \t ܐܡܪܐ ܡܪܝܡ ܗܐ ܐܢܐ ܐܡܬܗ ܕܡܪܝܐ ܢܗܘܐ ܠܝ ܐܝܟ ܡܠܬܟ ܘܐܙܠ ܡܠܐܟܐ ܡܢ ܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato alipokuwa amekaa katika kiti cha hukumu, mke wake akampelekea ujumbe: \"Usijitie katika shauri la mtu huyu mwema, maana leo nimeteseka sana katika ndoto kwa sababu yake.\" \t ܟܕ ܝܬܒ ܕܝܢ ܗܓܡܘܢܐ ܥܠ ܒܝܡ ܕܝܠܗ ܫܠܚܬ ܠܗ ܐܢܬܬܗ ܘܐܡܪܐ ܠܗ ܠܐ ܠܟ ܘܠܗܘ ܙܕܝܩܐ ܤܓܝ ܓܝܪ ܚܫܬ ܒܚܠܡܝ ܝܘܡܢܐ ܡܛܠܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naomba ili wote wawe kitu kimoja. Baba! Naomba wawe ndani yetu kama vile wewe ulivyo ndani yangu nami ndani yako. Naomba wawe kitu kimoja kusudi ulimwengu upate kuamini kwamba wewe ulinituma. \t ܕܟܠܗܘܢ ܢܗܘܘܢ ܚܕ ܐܝܟܢܐ ܕܐܢܬ ܐܒܝ ܒܝ ܘܐܢܐ ܒܟ ܕܐܦ ܗܢܘܢ ܒܢ ܚܕ ܢܗܘܘܢ ܕܢܗܝܡܢ ܥܠܡܐ ܕܐܢܬ ܫܕܪܬܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaandikieni mpate kujua kwamba mnao uzima wa milele ninyi mnaoamini kwa jina la Mwana wa Mungu. \t ܗܠܝܢ ܟܬܒܬ ܠܟܘܢ ܕܬܕܥܘܢ ܕܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܗܝܡܢܬܘܢ ܒܫܡܗ ܕܒܪܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Kweli mtakunywa kikombe changu, lakini kuketi kulia au kushoto kwangu si kazi yangu kupanga; jambo hilo watapewa wale waliowekewa tayari na Baba yangu.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܟܤܝ ܬܫܬܘܢ ܘܡܥܡܘܕܝܬܐ ܕܐܢܐ ܥܡܕ ܐܢܐ ܬܥܡܕܘܢ ܕܬܬܒܘܢ ܕܝܢ ܡܢ ܝܡܝܢܝ ܘܡܢ ܤܡܠܝ ܠܐ ܗܘܬ ܕܝܠܝ ܕܐܬܠ ܐܠܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܬܛܝܒܬ ܡܢ ܐܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Pontio Pilato alikuwa anatawala mkoa wa Yudea. Herode alikuwa mkuu wa mkoa wa Galilaya, na Filipo, ndugu yake, alikuwa mkuu wa mikoa ya Iturea na Trakoniti. Lusania alikuwa mkuu wa mkoa wa Abilene, \t ܒܫܢܬ ܚܡܫܥܤܪܐ ܕܝܢ ܕܡܠܟܘܬܗ ܕܛܝܒܪܝܘܤ ܩܤܪ ܒܗܓܡܢܘܬܐ ܕܦܢܛܝܘܤ ܦܝܠܛܘܤ ܒܝܗܘܕ ܟܕ ܪܫܐ ܪܒܝܥܝܐ ܗܪܘܕܤ ܒܓܠܝܠܐ ܘܦܝܠܝܦܘܤ ܐܚܘܗܝ ܪܫܐ ܪܒܝܥܝܐ ܒܐܝܛܘܪܝܐ ܘܒܐܬܪܐ ܕܛܪܟܘܢܐ ܘܠܘܤܢܝܐ ܪܫܐ ܪܒܝܥܝܐ ܕܐܒܝܠܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Haya, nendeni.\" Hapo wakawatoka watu hao, wakawaingia nguruwe. Kundi lote la nguruwe likaporomoka kwenye ule mteremko mkali, likatumbukia ziwani; nguruwe wote wakafa maji. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܙܠܘ ܘܡܚܕܐ ܢܦܩܘ ܘܥܠܘ ܒܚܙܝܪܐ ܘܟܠܗ ܒܩܪܐ ܗܝ ܬܪܨܬ ܠܥܠ ܠܫܩܝܦܐ ܘܢܦܠܘ ܒܝܡܐ ܘܡܝܬܘ ܒܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Maria aliyaweka na kuyatafakari mambo hayo yote moyoni mwake. \t ܡܪܝܡ ܕܝܢ ܢܛܪܐ ܗܘܬ ܟܠܗܝܢ ܡܠܐ ܗܠܝܢ ܘܡܦܚܡܐ ܒܠܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika kujipamba kwenu msitegemee mambo ya njenje, kama vile mitindo ya kusuka nywele, kujivalia vitu vya dhahabu na nguo maridadi. \t ܘܠܐ ܬܨܛܒܬܢ ܒܨܒܬܐ ܒܪܝܐ ܕܓܕܘܠܐ ܕܤܥܪܝܟܝܢ ܐܘ ܕܚܫܠܬܐ ܕܕܗܒܐ ܐܘ ܕܠܒܘܫܐ ܡܝܬܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, huyo mtu akasema, \"Ninaamini Bwana!\" Akamsujudia. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܡܗܝܡܢ ܐܢܐ ܡܪܝ ܘܢܦܠ ܤܓܕ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye ndiye mwenye kulitengeneza jengo lote na kulikuza hata liwe hekalu takatifu kwa ajili ya B wana. \t ܘܒܗ ܡܬܪܟܒ ܟܠܗ ܒܢܝܢܐ ܘܪܒܐ ܠܗܝܟܠܐ ܩܕܝܫܐ ܒܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usiku wa siku ya kumi na nne, tulikuwa tunakokotwa huku na huku katika bahari ya Adria. Karibu na usiku wa manane wanamaji walijihisi kuwa karibu na nchi kavu. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܐܪܒܬܥܤܪ ܝܘܡܝܢ ܕܛܥܝܢ ܘܐܬܛܪܦܢ ܒܗܕܪܝܘܤ ܝܡܐ ܒܦܠܓܗ ܕܠܠܝܐ ܤܒܪܘ ܡܠܚܐ ܕܠܐܪܥܐ ܡܬܩܪܒܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Afadhali kuacha kula nyama, kunywa divai, au kufanya chochote ambacho chaweza kumsababisha ndugu yako aanguke. \t ܫܦܝܪ ܗܘ ܕܠܐ ܢܐܟܘܠ ܒܤܪܐ ܘܠܐ ܢܫܬܐ ܚܡܪܐ ܘܠܐ ܡܕܡ ܕܡܬܬܩܠ ܒܗ ܐܚܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wale wanaoshinda nitawaketisha pamoja nami juu ya kiti changu cha enzi, kama vile mimi mwenyewe nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu juu ya kiti chake cha enzi. \t ܘܕܙܟܐ ܐܬܠ ܠܗ ܠܡܬܒ ܥܡܝ ܥܠ ܟܘܪܤܝܐ ܕܝܠܝ ܐܝܟܢܐ ܕܐܢܐ ܙܟܝܬ ܘܝܬܒܬ ܥܡ ܐܒܝ ܥܠ ܟܘܪܤܝܐ ܕܝܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa mmoja anaposema mwingine wa wasikilizaji amepata ufunuo kutoka kwa Mungu, basi, yule anayesema anyamaze. \t ܘܐܢ ܠܐܚܪܢܐ ܢܬܓܠܐ ܟܕ ܝܬܒ ܩܕܡܝܐ ܢܫܬܘܩ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msikubali kudanganywa na mtu kwa maneno matupu; maana, kwa sababu ya mambo kama hayo ghadhabu ya Mungu huwajia wote wasiomtii. \t ܕܠܡܐ ܐܢܫ ܢܛܥܝܟܘܢ ܒܡܠܐ ܤܪܝܩܬܐ ܡܛܠ ܗܠܝܢ ܗܘ ܓܝܪ ܐܬܐ ܪܘܓܙܗ ܕܐܠܗܐ ܥܠ ܒܢܝܐ ܕܠܐ ܡܬܛܦܝܤܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kumbukeni kwamba kila mtu mwenye kutenda mema, awe mtumwa au mtu huru, atapokea tuzo lake kutoka kwa Bwana. \t ܟܕ ܝܕܥܝܬܘܢ ܕܗܘ ܡܕܡ ܕܥܒܕ ܐܢܫ ܕܫܦܝܪ ܗܘ ܡܬܦܪܥ ܡܢ ܡܪܢ ܐܢ ܥܒܕܐ ܗܘ ܘܐܢ ܒܪ ܚܐܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ndugu, nasema hivi: kile kilichofanywa kwa mwili na damu hakiwezi kuushiriki Ufalme wa Mungu; na chenye kuharibika hakiwezi kuwa na hali ya kutoharibika. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܐܚܝ ܕܒܤܪܐ ܘܕܡܐ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܠܡܐܪܬ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܘܠܐ ܚܒܠܐ ܝܪܬ ܠܐ ܡܬܚܒܠܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Mungu aliyemfufua Bwana kutoka wafu atatufufua nasi pia kwa nguvu yake. \t ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܘܠܡܪܢ ܐܩܝܡ ܘܠܢ ܡܩܝܡ ܒܚܝܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jumuiya yote ya waumini ilikuwa moyo mmoja na roho moja. Hakuna hata mmoja aliyekuwa na kitu chochote akakiweka kuwa mali yake binafsi, ila waligawana vyote walivyokuwa navyo. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܠܟܢܫܐ ܕܐܢܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܗܝܡܢܘ ܗܘܘ ܚܕܐ ܢܦܫ ܘܚܕ ܪܥܝܢ ܘܠܐ ܐܢܫ ܡܢܗܘܢ ܐܡܪ ܗܘܐ ܥܠ ܢܟܤܐ ܕܩܢܐ ܗܘܐ ܕܕܝܠܗ ܐܢܘܢ ܐܠܐ ܟܠ ܡܕܡ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܓܘܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, na tukikaribie bila hofu kiti cha enzi cha Mungu, palipo na neema, ili tukajipatie huruma na neema ya kutusaidia wakati wa lazima. \t ܢܬܩܪܒ ܗܟܝܠ ܒܓܠܐ ܥܝܢ ܠܟܘܪܤܝܐ ܕܛܝܒܘܬܗ ܕܢܤܒ ܪܚܡܐ ܘܢܫܟܚ ܛܝܒܘܬܐ ܠܥܘܕܪܢܐ ܒܙܒܢܐ ܕܐܘܠܨܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo Mwethiopia akamwambia Filipo, \"Niambie, huyu nabii anasema juu ya nani? Anasema mambo haya juu yake yeye mwenyewe au juu ya mtu mwingine?\" \t ܘܐܡܪ ܗܘ ܡܗܝܡܢܐ ܠܦܝܠܝܦܘܤ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟ ܥܠ ܡܢܘ ܐܡܪܗ ܗܕܐ ܢܒܝܐ ܥܠ ܢܦܫܗ ܐܘ ܥܠ ܐܢܫ ܐܚܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma ninyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwa mwitu. \t ܙܠܘ ܗܐ ܐܢܐ ܡܫܕܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܝܟ ܐܡܪܐ ܒܝܢܝ ܕܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yohane alimgombeza Herode, mkuu wa mkoa, kwa sababu alikuwa amemchukua Herodia, mke wa ndugu yake, na kumfanya mke wake; na pia kwa ajili ya mabaya yote aliyokuwa amefanya. \t ܗܪܘܕܤ ܕܝܢ ܛܛܪܪܟܐ ܡܛܠ ܕܡܬܟܤܤ ܗܘܐ ܡܢ ܝܘܚܢܢ ܥܠ ܗܪܘܕܝܐ ܐܢܬܬ ܦܝܠܝܦܘܤ ܐܚܘܗܝ ܘܥܠ ܟܠܗܝܢ ܒܝܫܬܐ ܕܥܒܕ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akamfuata nje lakini hakujua kama hayo yaliyofanywa na huyo malaika yalikuwa ya kweli; alidhani alikuwa anaota ndoto. \t ܘܢܦܩ ܘܐܙܠ ܗܘܐ ܒܬܪܗ ܟܕ ܠܐ ܝܕܥ ܗܘܐ ܕܫܪܝܪܐ ܗܘܬ ܗܝ ܕܗܘܝܐ ܗܘܬ ܒܝܕ ܡܠܐܟܐ ܤܒܪ ܗܘܐ ܓܝܪ ܕܚܙܘܐ ܚܙܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nami Tertio, ninayeandika barua hii nawasalimuni katika Bwana. \t ܫܐܠ ܐܢܐ ܒܫܠܡܟܘܢ ܐܢܐ ܛܪܛܝܘܤ ܕܟܬܒܬ ܐܓܪܬܐ ܒܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, kila mliyosema gizani, watu watayasikia katika mwanga, na kila mliyonong'ona faraghani milango imefungwa, yatatangazwa juu ya nyumba. \t ܟܠ ܓܝܪ ܕܒܚܫܘܟܐ ܐܡܪܬܘܢ ܒܢܗܝܪܐ ܢܫܬܡܥ ܘܡܕܡ ܕܒܬܘܢܐ ܒܐܕܢܐ ܠܚܫܬܘܢ ܥܠ ܐܓܪܐ ܢܬܟܪܙ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ya kuwa mtumishi wa Yesu Kristo kwa watu wa mataifa. Ni jukumu langu la kikuhani kuihubiri Habari Njema ya Mungu ili watu wa mataifa mengine wapate kuwa dhabihu inayokubaliwa na Mungu, dhabihu iliyotakaswa na Roho Mtakatifu. \t ܕܐܗܘܐ ܡܫܡܫܢܐ ܠܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܥܡܡܐ ܘܐܦܠܘܚ ܠܐܘܢܓܠܝܘܢ ܕܐܠܗܐ ܕܢܗܘܐ ܩܘܪܒܢܐ ܕܥܡܡܐ ܡܩܒܠ ܘܡܩܕܫ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwani mwajua kwamba imani yenu ikisha stahimili, itawapatieni uvumilivu. \t ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܓܝܪ ܕܒܘܩܝܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܡܩܢܐ ܠܟܘܢ ܡܤܝܒܪܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule aliyetumwa na Mungu husema maneno ya Mungu, maana Mungu humjalia mtu huyo Roho wake bila kipimo. \t ܐܝܢܐ ܓܝܪ ܕܐܠܗܐ ܫܕܪܗ ܡܠܐ ܗܘ ܕܐܠܗܐ ܡܡܠܠ ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܒܟܝܠܐ ܝܗܒ ܐܠܗܐ ܪܘܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zamani kidogo, kulitokea mtu mmoja jina lake Theuda, akajisema kuwa mtu wa maana na watu karibu mia nne wakajiunga naye. Lakini aliuawa, kisha wafuasi wake wote wakatawanyika na kikundi chake kikafa. \t ܡܢ ܩܕܡ ܓܝܪ ܗܢܐ ܙܒܢܐ ܩܡ ܗܘܐ ܬܘܕܐ ܘܐܡܪ ܥܠ ܢܦܫܗ ܕܡܕܡ ܗܘ ܪܒ ܘܐܙܠܘ ܒܬܪܗ ܐܝܟ ܐܪܒܥܡܐܐ ܓ ܒܪܝܢ ܘܗܘ ܐܬܩܛܠ ܘܐܝܠܝܢ ܕܐܙܠܝܢ ܗܘܘ ܒܬܪܗ ܐܬܒܕܪܘ ܘܗܘܘ ܐܝܟ ܠܐ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mtu anayeamini kwamba Yesu ni Kristo, huyo ni mtoto wa Mungu; na, anayempenda mzazi humpenda pia mtoto wa huyo mzazi. \t ܟܠ ܕܡܗܝܡܢ ܕܝܫܘܥ ܐܝܬܘܗܝ ܡܫܝܚܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܝܠܝܕ ܘܟܠ ܕܡܚܒ ܠܝܠܘܕܐ ܡܚܒ ܐܦ ܠܗܘ ܕܐܬܝܠܕ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "popote waendapo husababisha maafa na mateso; \t ܫܚܩܐ ܘܕܘܘܢܐ ܒܐܘܪܚܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo kijana aliposikia hayo, alienda zake akiwa mwenye huzuni, maana alikuwa na mali nyingi. \t ܫܡܥ ܕܝܢ ܗܘ ܥܠܝܡܐ ܡܠܬܐ ܗܕܐ ܘܐܙܠ ܟܕ ܟܪܝܐ ܠܗ ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܓܝܪ ܩܢܝܢܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana nikiwahuzunisha ninyi, basi, ni nani atakayenifariji? Ni walewale niliowahuzunisha! \t ܐܢ ܐܢܐ ܓܝܪ ܡܟܪܐ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܡܢܘ ܢܚܕܝܢܝ ܐܠܐ ܗܘ ܕܐܢܐ ܐܟܪܝܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama vile mwili ulivyo mmoja wenye viungo vingi, na viungo hivyo vyote--ingawaje ni vingi--hufanya mwili mmoja, ndivyo ilivyo pia kwa Kristo. \t ܐܟܙܢܐ ܓܝܪ ܕܦܓܪܐ ܚܕ ܗܘ ܘܐܝܬ ܒܗ ܗܕܡܐ ܤܓܝܐܐ ܟܠܗܘܢ ܕܝܢ ܗܕܡܐ ܕܦܓܪܐ ܟܕ ܤܓܝܐܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܚܕ ܐܢܘܢ ܦܓܪ ܗܟܢܐ ܐܦ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila aliye mtoto wa Mungu hatendi dhambi, maana anayo hali ya kimungu ndani yake; hawezi kutenda dhambi kwa sababu yeye ni mtoto wa Mungu. \t ܟܠ ܕܐܬܝܠܕ ܡܢ ܐܠܗܐ ܚܛܝܬܐ ܠܐ ܥܒܕ ܡܛܠ ܕܙܪܥܗ ܒܗ ܐܝܬܘܗܝ ܘܠܐ ܡܫܟܚ ܠܡܚܛܐ ܕܡܢ ܐܠܗܐ ܐܬܝܠܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini maadam sasa nimemaliza kazi yangu pande hizi, na kwa kuwa kwa miaka mingi nimekuwa na nia kubwa ya kuja kwenu, \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܡܛܠ ܕܕܘܟܐ ܠܝܬ ܠܝ ܒܗܠܝܢ ܐܬܪܘܬܐ ܘܤܘܐ ܗܘܝܬ ܡܢ ܩܕܡ ܫܢܝܐ ܤܓܝܐܬܐ ܕܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wayahudi hawakunikuta nikijadiliana na mtu yeyote. Hawakunikuta nikichochea watu Hekaluni wala katika masunagogi yao, wala mahali pengine popote katika mji huo. \t ܘܠܐ ܐܫܟܚܘܢܝ ܕܡܡܠܠ ܐܢܐ ܥܡ ܐܢܫ ܒܗܝܟܠܐ ܘܐܦܠܐ ܟܢܫܐ ܕܟܢܫ ܐܢܐ ܠܐ ܒܟܢܘܫܬܗܘܢ ܘܠܐ ܒܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake, mkuu wa jeshi alitaka kujua mashtaka kamili ambayo Wayahudi walikuwa wamemwekea Paulo. Hivyo, alimfungua Paulo minyororo, akaamuru makuhani wakuu na Baraza lote wafanye kikao. Kisha alimleta Paulo, akamsimamisha mbele ya Baraza. \t ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܨܒܐ ܗܘܐ ܠܡܕܥ ܫܪܝܪܐܝܬ ܕܡܢܐ ܗܝ ܩܛܓܪܢܘܬܐ ܕܡܝܬܝܢ ܗܘܘ ܥܠܘܗܝ ܝܗܘܕܝܐ ܘܫܪܝܗܝ ܘܦܩܕ ܕܢܐܬܘܢ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܟܠܗ ܟܢܫܐ ܕܪܫܝܗܘܢ ܘܕܒܪ ܠܦܘܠܘܤ ܘܐܚܬ ܐܩܝܡܗ ܒܝܢܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kristo ni mfano wa Mungu asiyeonekana; ni mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote. \t ܗܘ ܕܗܘܝܘ ܕܡܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܕܠܐ ܡܬܚܙܐ ܘܒܘܟܪܐ ܕܟܠܗܝܢ ܒܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini nimewaandikia hapa na pale katika barua hii bila woga, nipate kuwakumbusheni juu ya mambo fulani. Nimefanya hivyo kwa sababu ya neema aliyonijalia Mungu \t ܩܠܝܠ ܕܝܢ ܡܪܚܐܝܬ ܟܬܒܬ ܠܟܘܢ ܐܚܝ ܐܝܟܢܐ ܕܐܥܗܕܟܘܢ ܒܛܝܒܘܬܐ ܕܐܬܝܗܒܬ ܠܝ ܡܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanaoufuata mwongozo huo nawatakia amani na huruma; amani na huruma kwa Israeli--Wateule wa Mungu. \t ܘܐܝܠܝܢ ܕܠܗܢܐ ܫܒܝܠܐ ܫܠܡܝܢ ܫܠܡܐ ܢܗܘܐ ܥܠܝܗܘܢ ܘܪܚܡܐ ܘܥܠ ܐܝܤܪܝܠ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kwa vile Daudi alikuwa nabii, alijua kuwa Mungu alimwapia kiapo kwamba atamtawaza mmoja wa uzawa wake kuwa mfalme mahali pake. \t ܢܒܝܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܘܝܕܥ ܗܘܐ ܕܡܘܡܬܐ ܝܡܐ ܠܗ ܐܠܗܐ ܕܡܢ ܦܐܪܐ ܕܟܪܤܟ ܐܘܬܒ ܥܠ ܟܘܪܤܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alijua kwamba Baba alikuwa amemkabidhi kila kitu, na kwamba alikuwa ametoka kwa Mungu na anarudi kwa Mungu. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܡܛܠ ܕܝܕܥ ܗܘܐ ܕܟܠ ܡܕܡ ܝܗܒ ܐܒܐ ܒܐܝܕܘܗܝ ܘܕܡܢ ܐܠܗܐ ܢܦܩ ܘܠܘܬ ܐܠܗܐ ܐܙܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana analipenda taifa letu, na ndiye aliyetujengea lile sunagogi.\" \t ܪܚܡ ܓܝܪ ܠܥܡܢ ܘܐܦ ܒܝܬ ܟܢܘܫܬܐ ܗܘ ܒܢܐ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini walipotambua kuwa yeye ni Myahudi, wote kwa sauti moja walipiga kelele: \"Mkuu ni Artemi wa Efeso!\" Wakaendelea kupayukapayuka hivyo kwa muda wa saa mbili. \t ܘܟܕ ܝܕܥܘ ܕܝܗܘܕܝܐ ܗܘ ܩܥܘ ܟܠܗܘܢ ܒܚܕ ܩܠܐ ܐܝܟ ܫܥܝܢ ܬܪܬܝܢ ܕܪܒܐ ܗܝ ܐܪܛܡܝܤ ܕܐܦܤܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa upande wangu mimi, niko karibu kabisa kutolewa dhabihu na wakati wa kufariki kwangu umefika. \t ܐܢܐ ܓܝܪ ܡܟܝܠ ܡܬܢܩܐ ܐܢܐ ܘܙܒܢܐ ܕܐܫܬܪܐ ܡܛܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawauliza, \"Mlimweka wapi?\" Wakamwambia, \"Bwana, njoo uone.\" \t ܘܐܡܪ ܐܝܟܐ ܤܡܬܘܢܝܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܪܢ ܬܐ ܚܙܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akaendelea kusema, \"Kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia najisi. \t ܡܕܡ ܕܝܢ ܕܢܦܩ ܡܢ ܒܪܢܫܐ ܗܘ ܗܘ ܡܤܝܒ ܠܒܪ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo kwanza ninyi pia mlikuwa mbali na Mungu na mlikuwa adui zake kwa sababu ya fikira zenu na matendo yenu maovu. \t ܐܦ ܠܟܘܢ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܢܘܟܪܝܐ ܗܘܝܬܘܢ ܘܒܥܠܕܒܒܐ ܒܪܥܝܢܝܟܘܢ ܡܛܠ ܥܒܕܝܟܘܢ ܒܝܫܐ ܫܝܢܟܘܢ ܗܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni nani atakayewahukumu? Hakuna! Maana Kristo ndiye aliyekufa, tena alifufuka kutoka wafu na anakaa upande wa kulia wa Mungu. Yeye anatuombea! \t ܡܢܘ ܡܚܝܒ ܡܫܝܚܐ ܡܝܬ ܘܩܡ ܘܐܝܬܘܗܝ ܥܠ ܝܡܝܢܐ ܕܐܠܗܐ ܘܒܥܐ ܚܠܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, rafiki, kama unawahukumu wengine, huwezi kamwe kujitetea haidhuru wewe ni nani. Kwa maana, kwa kuwahukumu wengine, unajilaani wewe mwenyewe kwa vile nawe unayafanya mambo yaleyale unayohukumu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܠܝܬ ܠܟ ܡܦܩ ܒܪܘܚܐ ܐܘ ܒܪܢܫܐ ܕܐܢ ܚܒܪܗ ܒܗܘ ܓܝܪ ܕܕܐܢ ܐܢܬ ܚܒܪܟ ܢܦܫܟ ܗܘ ܡܚܝܒ ܐܢܬ ܐܦ ܐܢܬ ܓܝܪ ܕܕܐܢ ܐܢܬ ܒܗܝܢ ܗܘ ܡܬܗܦܟ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wananchi wa Israeli, sikilizeni maneno haya! Yesu wa Nazareti alikuwa mtu ambaye mamlaka yake ya kimungu yalithibitishwa kwenu kwa miujiza, maajabu na ishara Mungu alizofanya kati yenu kwa njia yake, kama mnavyojua. \t ܓܒܪܐ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܫܡܥܘ ܡܠܐ ܗܠܝܢ ܝܫܘܥ ܢܨܪܝܐ ܓܒܪܐ ܕܡܢ ܐܠܗܐ ܐܬܚܙܝ ܠܘܬܟܘܢ ܒܚܝܠܐ ܘܒܐܬܘܬܐ ܘܒܓܒܪܘܬܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܠܗܐ ܥܒܕ ܒܝܢܬܟܘܢ ܒܐܝܕܗ ܐܝܟ ܕܐܢܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mwanamke akamwambia, \"Mimi sina mume.\" Yesu akamwambia, \"Umesema kweli, kwamba huna mume. \t ܐܡܪܐ ܠܗ ܠܝܬ ܠܝ ܒܥܠܐ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܫܦܝܪ ܐܡܪܬܝ ܕܠܝܬ ܠܝ ܒܥܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliwaita wale wanafunzi kumi na wawili, akaanza kuwatuma wawiliwawili. Aliwapa uwezo wa kuwatoa pepo wachafu, \t ܘܩܪܐ ܠܬܪܥܤܪܬܗ ܘܫܪܝ ܕܢܫܕܪ ܐܢܘܢ ܬܪܝܢ ܬܪܝܢ ܘܝܗܒ ܠܗܘܢ ܫܘܠܛܢܐ ܥܠ ܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ ܕܢܦܩܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ole wao waja wazito na wanaonyonyesha siku hizo! \t ܘܝ ܕܝܢ ܠܒܛܢܬܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܡܝܢܩܢ ܒܗܢܘܢ ܝܘܡܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana Mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu; \t ܘܢܗܘܘܢ ܒܢܝܢܫܐ ܪܚܡܝ ܢܦܫܗܘܢ ܘܪܚܡܝ ܟܤܦܐ ܫܒܗܪܢܐ ܪܡܐ ܡܓܕܦܢܐ ܕܠܐܢܫܝܗܘܢ ܠܐ ܡܬܛܦܝܤܝܢ ܟܦܪܝ ܒܛܝܒܘܬܐ ܪܫܝܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yote ni kazi ya Mungu mwenye kutupatanisha sisi naye kwa njia ya Kristo, akatupa nasi jukumu la kuwapatanisha watu naye. \t ܘܟܠ ܡܕܡ ܗܘܐ ܚܕܬܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܗܘ ܕܪܥܝܢ ܠܗ ܒܡܫܝܚܐ ܘܝܗܒ ܠܢ ܬܫܡܫܬܐ ܕܬܪܥܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu hao wamelieleza kanisa hapa habari za upendo wako. Tafadhali uwasaidie waendelee na safari yao kwa namna itakayompendeza Mungu, \t ܐܝܠܝܢ ܕܐܤܗܕܘ ܥܠ ܚܘܒܟ ܩܕܡ ܟܠܗ ܥܕܬܐ ܠܗܢܘܢ ܫܦܝܪ ܥܒܕ ܐܢܬ ܕܡܙܘܕ ܐܢܬ ܠܗܘܢ ܐܝܟ ܡܐ ܕܦܐܐ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawauliza, \"Mnajadiliana nini nao?\" \t ܘܡܫܐܠ ܗܘܐ ܠܤܦܪܐ ܡܢܐ ܕܪܫܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ingieni kwa kupitia mlango mwembamba. Kwa maana njia inayoongoza kwenye maangamizi ni pana, na mlango wa kuingilia humo ni mpana; waendao njia hiyo ni wengi. \t ܥܘܠܘ ܒܬܪܥܐ ܐܠܝܨܐ ܕܦܬܐ ܗܘ ܬܪܥܐ ܘܐܪܘܝܚܐ ܐܘܪܚܐ ܐܝܕܐ ܕܡܘܒܠܐ ܠܐܒܕܢܐ ܘܤܓܝܐܐ ܐܢܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܐܙܠܝܢ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mwana wa Yoshua, mwana wa Eliezeri, mwana wa Yorimu, mwana wa Mathati, mwana wa Lawi, \t ܒܪ ܝܘܤܐ ܒܪ ܐܠܝܥܙܪ ܒܪ ܝܘܪܡ ܒܪ ܡܬܝܬܐ ܒܪ ܠܘܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, iko faida kwa kila upande. Kwanza, Mungu aliwakabidhi Wayahudi ujumbe wake. \t ܤܓܝ ܒܟܠ ܡܕܡ ܠܘܩܕܡ ܕܐܬܗܝܡܢ ܡܠܘܗܝ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, katika mambo haya yote, tumepata ushindi mkubwa kwa msaada wake yeye aliyetupenda. \t ܐܠܐ ܒܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܙܟܝܝܢܢ ܒܝܕ ܡܢ ܕܐܚܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kila mnapokula mkate huu na kunywa kikombe hiki, mwatangaza kifo cha Bwana, mpaka atakapokuja. \t ܟܠ ܐܡܬܝ ܓܝܪ ܕܐܟܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܚܡܐ ܗܢܐ ܘܫܬܝܢ ܐܢܬܘܢ ܟܤܐ ܗܢܐ ܡܘܬܗ ܗܘ ܕܡܪܢ ܡܥܗܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܕܡܐ ܠܡܐܬܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wayahudi wengi walisikia kwamba Yesu alikuwa Bethania. Basi, wakafika huko si tu kwa ajili ya kumwona Yesu, ila pia wapate kumwona Lazaro ambaye Yesu alimfufua kutoka wafu. \t ܘܫܡܥܘ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܕܬܡܢ ܗܘ ܝܫܘܥ ܘܐܬܘ ܠܐ ܡܛܠ ܝܫܘܥ ܒܠܚܘܕ ܐܠܐ ܐܦ ܕܢܚܙܘܢ ܠܠܥܙܪ ܗܘ ܕܐܩܝܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane akawaambia, \"Mtu hawezi kuwa na kitu asipopewa na Mungu. \t ܥܢܐ ܝܘܚܢܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܡܫܟܚ ܒܪܢܫܐ ܠܡܤܒ ܡܢ ܨܒܘܬ ܢܦܫܗ ܡܕܡ ܐܠܐ ܐܢ ܐܬܝܗܒ ܠܗ ܡܢ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Kuhani akamwuliza Yesu juu ya wanafunzi wake na mafundisho yake. \t ܪܒ ܟܗܢܐ ܕܝܢ ܫܐܠܗ ܠܝܫܘܥ ܥܠ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܥܠ ܝܘܠܦܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Herode aliamuru ufanywe msako lakini hawakuweza kumpata. Hivyo aliamuru wale askari wahojiwe, akatoa amri wauawe. Halafu akatoka huko Yudea akaenda Kaisarea ambako alikaa. \t ܗܪܘܕܤ ܕܝܢ ܟܕ ܒܥܝܗܝ ܘܠܐ ܐܫܟܚܗ ܕܢ ܐܢܘܢ ܠܢܛܘܪܐ ܘܦܩܕ ܕܢܡܘܬܘܢ ܘܢܦܩ ܠܗ ܡܢ ܝܗܘܕ ܘܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܒܩܤܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wake walipoona hayo wakakasirika, wakasema, \"Ya nini hasara hii? \t ܚܙܘ ܕܝܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܬܒܐܫ ܠܗܘܢ ܘܐܡܪܘ ܠܡܢܐ ܐܒܕܢܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilimsihi Bwana mara tatu kuhusu jambo hili ili linitoke. \t ܘܥܠ ܗܢܐ ܬܠܬ ܙܒܢܝܢ ܒܥܝܬ ܡܢ ܡܪܝ ܕܢܦܪܩ ܡܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanamaji walitaka kutoroka, na walikwisha kuteremsha ule mtumbwi majini, wakijisingizia kwamba wanakwenda kuteremsha nanga upande wa mbele wa meli. \t ܡܠܚܐ ܕܝܢ ܒܥܘ ܠܡܥܪܩ ܡܢܗ ܡܢ ܐܠܦܐ ܘܐܚܬܘ ܡܢܗ ܠܩܪܩܘܪܐ ܠܝܡܐ ܒܥܠܬܐ ܕܢܐܙܠܘܢ ܒܗ ܘܢܐܤܪܘܢܗ ܠܐܠܦܐ ܒܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro alikaa siku kadhaa huko Yopa, akiishi kwa mtu mmoja mtengenezaji wa ngozi aitwaye Simoni. \t ܗܘܐ ܕܝܢ ܒܗ ܒܝܘܦܐ ܝܘܡܬܐ ܠܐ ܙܥܘܪܝܢ ܟܕ ܫܪܐ ܗܘܐ ܒܝܬ ܫܡܥܘܢ ܒܘܪܤܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mfalme Herode alisikia juu ya hayo yote, maana sifa za Yesu zilienea kila mahali. Baadhi ya watu walikuwa wakisema, \"Yohane Mbatizaji amefufuka kutoka wafu, ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi ndani yake.\" \t ܘܫܡܥ ܗܪܘܕܤ ܡܠܟܐ ܥܠ ܝܫܘܥ ܐܬܝܕܥ ܗܘܐ ܠܗ ܓܝܪ ܫܡܗ ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܝܘܚܢܢ ܡܥܡܕܢܐ ܩܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܡܛܠ ܗܢܐ ܚܝܠܐ ܡܤܬܥܪܝܢ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akamwambia, \"Nifuate! Waache wafu wazike wafu wao.\" \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܬܐ ܒܬܪܝ ܘܫܒܘܩ ܠܡܝܬܐ ܩܒܪܝܢ ܡܝܬܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana huyo mume asiyeamini hupokelewa kwa Mungu kwa kuungana na mkewe; na huyo mke asiyeamini hupokelewa kwa Mungu kwa kuungana na mumewe. Vinginevyo watoto wao wangekuwa si wa Mungu; kumbe sasa ni watoto wake Mungu. \t ܡܩܕܫ ܗܘ ܓܝܪ ܓܒܪܐ ܐܝܢܐ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢ ܒܐܢܬܬܐ ܕܡܗܝܡܢܐ ܘܡܩܕܫܐ ܗܝ ܐܢܬܬܐ ܐܝܕܐ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܐ ܒܓܒܪܐ ܕܡܗܝܡܢ ܘܐܢ ܠܐ ܒܢܝܗܘܢ ܛܡܐܝܢ ܐܢܘܢ ܗܫܐ ܕܝܢ ܕܟܝܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makundi ya watu waliomtangulia na wale waliomfuata wakapaaza sauti: \"Hosana Mwana wa Daudi! Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana! Hosana Mungu juu mbinguni!\" \t ܟܢܫܐ ܕܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܐܙܠܝܢ ܗܘܘ ܩܕܡܘܗܝ ܘܐܬܝܢ ܒܬܪܗ ܩܥܝܢ ܗܘܘ ܘܐܡܪܝܢ ܐܘܫܥܢܐ ܠܒܪܗ ܕܕܘܝܕ ܒܪܝܟ ܗܘ ܕܐܬܐ ܒܫܡܗ ܕܡܪܝܐ ܐܘܫܥܢܐ ܒܡܪܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana nawaambieni, wema wenu usipozidi ule wa Mafarisayo na walimu wa Sheria, hamtaingia kamwe katika Ufalme wa mbinguni. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܕܐܠܐ ܬܐܬܪ ܟܐܢܘܬܟܘܢ ܝܬܝܪ ܡܢ ܕܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܠܐ ܬܥܠܘܢ ܠܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nakuamuru mbele ya Mungu, na mbele ya Kristo Yesu atakayewahukumu watu walio hai na wafu, na kwa sababu anakuja kutawala akiwa Mfalme: \t ܡܤܗܕ ܐܢܐ ܠܟ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܘܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܘ ܕܥܬܝܕ ܠܡܕܢ ܚܝܐ ܘܡܝܬܐ ܒܓܠܝܢܐ ܕܡܠܟܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengine waliokuwa wameshughulikia mambo ya uchawi hapo awali, walikusanya vitabu vyao, wakavichoma mbele ya wote. Walikisia gharama ya vitabu hivyo, wakaona yafikia vipande vya fedha elfu hamsini. \t ܤܓܝܐܐ ܕܝܢ ܐܦ ܚܪܫܐ ܟܢܫܘ ܟܬܒܝܗܘܢ ܘܐܝܬܝܘ ܐܘܩܕܘ ܐܢܘܢ ܩܕܡ ܟܠܢܫ ܘܚܫܒܘ ܕܡܝܗܘܢ ܘܤܠܩ ܟܤܦܐ ܪܒܘܬܐ ܚܡܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna mtu awezaye kujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu. Kila mmoja huteuliwa na Mungu kuwa kuhani mkuu kama alivyokuwa Aroni. \t ܘܠܐ ܗܘܐ ܠܢܦܫܗ ܐܢܫ ܢܤܒ ܐܝܩܪܐ ܐܠܐ ܐܝܢܐ ܕܡܬܩܪܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܗܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mimi nawaambieni, msiape kamwe; wala kwa mbingu, maana ni kiti cha enzi cha Mungu; \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܠܐ ܬܐܡܘܢ ܤܟ ܠܐ ܒܫܡܝܐ ܕܟܘܪܤܝܐ ܗܘ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo akawaambia, \"Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa kifalme aliyefanya safari kwenda nchi ya mbali ili apokee madaraka ya ufalme, halafu arudi. \t ܘܐܡܪ ܓܒܪܐ ܚܕ ܒܪ ܛܘܗܡܐ ܪܒܐ ܐܙܠ ܠܐܬܪܐ ܪܚܝܩܐ ܕܢܤܒ ܠܗ ܡܠܟܘܬܐ ܘܢܗܦܘܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu, mji mtakatifu, akamweka juu ya mnara wa hekalu, \t ܗܝܕܝܢ ܕܒܪܗ ܐܟܠܩܪܨܐ ܠܡܕܝܢܬ ܩܘܕܫܐ ܘܐܩܝܡܗ ܥܠ ܟܢܦܐ ܕܗܝܟܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Utakuwa na furaha kubwa na watu wengi watashangilia kwa sababu ya kuzaliwa kwake. \t ܘܬܗܘܐ ܠܟ ܚܕܘܬܐ ܘܐܪܘܙܐ ܘܤܓܝܐܐ ܢܚܕܘܢ ܒܡܘܠܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, mlipungukiwa nini zaidi kuliko makanisa mengine, isipokuwa tu kwamba mimi kwa upande wangu sikuwasumbueni kupata msaada wenu? Samahani kwa kuwakoseeni haki hiyo! \t ܒܡܢܐ ܓܝܪ ܐܬܒܨܪܬܘܢ ܡܢ ܥܕܬܐ ܐܚܪܢܝܬܐ ܐܠܐ ܐܢ ܒܗܕܐ ܕܐܢܐ ܠܐ ܝܩܪܬ ܥܠܝܟܘܢ ܫܒܘܩܘ ܠܝ ܗܕܐ ܤܟܠܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, badala yake, ninyi ndio mnaodhulumu na kunyang'anya; tena, hayo mnawafanyia ndugu zenu! \t ܐܠܐ ܐܢܬܘܢ ܥܠܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܓܠܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܦ ܠܐܚܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana watu wa namna hiyo hawamtumikii Kristo Bwana wetu, bali wanayatumikia matumbo yao wenyewe. Kwa maneno yao matamu na hotuba za kubembeleza hupotosha mioyo ya watu wanyofu. \t ܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܗܟܢܐ ܐܢܘܢ ܠܐ ܡܫܡܫܝܢ ܠܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܠܐ ܠܟܪܤܗܘܢ ܘܒܡܠܐ ܒܤܝܡܬܐ ܘܒܒܘܪܟܬܐ ܡܛܥܝܢ ܠܒܘܬܐ ܕܦܫܝܛܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi Herodia alimchukia sana Yohane, akataka kumwua, asiweze. \t ܗܝ ܕܝܢ ܗܪܘܕܝܐ ܠܚܝܡܐ ܗܘܬ ܠܗ ܘܨܒܝܢ ܗܘܬ ܠܡܩܛܠܗ ܘܠܐ ܡܫܟܚܐ ܗܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini huyo mchawi Elima (kama alivyokuwa anaitwa kwa Kigiriki), alijaribu kuwapinga ili kumzuia huyo mkuu wa kisiwa asije akaigeukia imani ya Kikristo. \t ܩܐܡ ܗܘܐ ܕܝܢ ܠܘܩܒܠܗܘܢ ܗܘ ܗܢܐ ܚܪܫܐ ܒܪܫܘܡܐ ܕܡܬܬܪܓܡ ܫܡܗ ܐܠܘܡܤ ܡܛܠ ܕܨܒܐ ܗܘܐ ܕܢܥܩܡܝܘܗܝ ܠܐܢܬܘܦܛܘܤ ܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mpaka niwafanye adui zako kama kiti cha kuwekea miguu yako. \t ܥܕܡܐ ܕܐܤܝܡ ܒܥܠܕܒܒܝܟ ܬܚܝܬ ܪܓܠܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamwambia, \"Yesu wa Nazareti anapita.\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܝܫܘܥ ܢܨܪܝܐ ܥܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hakuna mtu aliyeweza kuufuga ulimi. Ulimi ni kitu kiovu, hakitawaliki, na kimejaa sumu inayoua. \t ܠܫܢܐ ܕܝܢ ܐܢܫ ܠܐ ܐܫܟܚ ܕܢܟܒܫܝܘܗܝ ܒܝܫܬܐ ܗܕܐ ܕܠܐ ܡܬܬܟܤܐ ܡܠܐ ܗܘ ܤܡܐ ܕܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mungu ameyapofusha macho yao, amezipumbaza akili zao; wasione kwa macho yao, wasielewe kwa akili zao; wala wasinigeukie, asema Bwana, ili nipate kuwaponya.\" \t ܕܥܘܪܘ ܥܝܢܝܗܘܢ ܘܐܚܫܟܘ ܠܒܗܘܢ ܕܠܐ ܢܚܙܘܢ ܒܥܝܢܝܗܘܢ ܘܢܤܬܟܠܘܢ ܒܠܒܗܘܢ ܘܢܬܦܢܘܢ ܘܐܤܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakatoka pale kaburini mbio, maana walitetemeka kwa hofu na kushangaa. Hawakumwambia mtu yeyote kitu, kwa sababu waliogopa mno. \t ܘܟܕ ܫܡܥ ܥܪܩ ܘܢܦܩ ܡܢ ܩܒܪܐ ܐܚܝܕ ܗܘܐ ܠܗܝܢ ܓܝܪ ܬܗܪܐ ܘܪܬܝܬܐ ܘܠܐܢܫ ܡܕܡ ܠܐ ܐܡܪܝܢ ܕܚܝܠܢ ܗܘܝ ܓܝܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alianza kusema nao kwa mifano: \"Mtu mmoja alilima shamba la mizabibu. Akalizungushia ukuta, na katikati yake akachimba kisima cha kusindikia divai, akajenga mnara pia. Akalikodisha shamba hilo kwa wakulima, akasafiri hadi nchi ya mbali. \t ܘܫܪܝ ܕܢܡܠܠ ܥܡܗܘܢ ܒܡܬܠܐ ܓܒܪܐ ܚܕ ܢܨܒ ܟܪܡܐ ܘܐܚܕܪܗ ܤܝܓܐ ܘܚܦܪ ܒܗ ܡܥܨܪܬܐ ܘܒܢܐ ܒܗ ܡܓܕܠܐ ܘܐܘܚܕܗ ܠܦܠܚܐ ܘܚܙܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakawapeleka, wakawasimamisha mbele ya Baraza. Kuhani Mkuu akawaambia, \t ܘܟܕ ܐܝܬܝܘ ܐܢܘܢ ܐܩܝܡܘ ܐܢܘܢ ܩܕܡ ܟܠܗ ܟܢܫܐ ܘܐܩܦ ܗܘܐ ܪܒ ܟܗܢܐ ܠܡܐܡܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Ni mmoja wenu ninyi kumi na wawili, anayechovya mkate pamoja nami katika bakuli. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܚܕ ܡܢ ܬܪܥܤܪ ܕܨܒܥ ܥܡܝ ܒܠܓܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wewe wapenda uadilifu na kuchukia uovu. Ndiyo maana Mungu, Mungu wako amekuweka wakfu na kukumiminia furaha kubwa zaidi kuliko wenzako.\" \t ܪܚܡܬ ܟܐܢܘܬܐ ܘܤܢܝܬ ܥܘܠܐ ܡܛܠ ܗܢܐ ܡܫܚܟ ܐܠܗܐ ܐܠܗܟ ܡܫܚܐ ܕܚܕܘܬܐ ܝܬܝܪ ܡܢ ܚܒܪܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, baadhi ya walimu wa Sheria ambao walikuwa Mafarisayo walipomwona Yesu akila pamoja na watu wenye dhambi na watoza ushuru, wakawauliza wanafunzi wake, \"Kwa nini anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?\" \t ܘܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܟܕ ܚܙܐܘܗܝ ܕܠܥܤ ܥܡ ܡܟܤܐ ܘܥܡ ܚܛܝܐ ܐܡܪܘ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܡܢܘ ܥܡ ܡܟܤܐ ܘܚܛܝܐ ܐܟܠ ܘܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake Yesu aliamua kwenda Galilaya. Basi, akamkuta Filipo, akamwambia, \"Nifuate.\" \t ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܨܒܐ ܝܫܘܥ ܠܡܦܩ ܠܓܠܝܠܐ ܘܐܫܟܚ ܠܦܝܠܝܦܘܤ ܘܐܡܪ ܠܗ ܬܐ ܒܬܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akajibu, \"Kutoka kwa wageni.\" Yesu akamwambia, \"Haya basi, wananchi hawahusiki. \t ܕܠܐ ܕܝܢ ܢܟܫܠ ܐܢܘܢ ܙܠ ܠܝܡܐ ܘܐܪܡܐ ܒܠܘܥܐ ܘܢܘܢܐ ܩܕܡܝܐ ܕܤܠܩ ܦܬܚ ܦܘܡܗ ܘܬܫܟܚ ܐܤܬܪܐ ܗܝ ܤܒ ܘܗܒ ܚܠܦܝ ܘܚܠܦܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wayahudi wakamjibu, \"Sisi tunayo Sheria, na kufuatana na Sheria hiyo, ni lazima afe, kwa sababu alijifanya kuwa Mwana wa Mungu.\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܝܗܘܕܝܐ ܠܢ ܢܡܘܤܐ ܐܝܬ ܠܢ ܘܐܝܟ ܕܒܢܡܘܤܢ ܚܝܒ ܗܘ ܡܘܬܐ ܕܥܒܕ ܢܦܫܗ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, hata kama mmoja wetu au malaika kutoka mbinguni, atawahubirieni Habari Njema tofauti na ile tuliyowahubirieni sisi, basi huyo na alaaniwe! \t ܐܦ ܐܢ ܚܢܢ ܕܝܢ ܐܘ ܡܠܐܟܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܢܤܒܪܟܘܢ ܠܒܪ ܡܢ ܡܐ ܕܤܒܪܢܟܘܢ ܢܗܘܐ ܚܪܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, sisi tunatumia lugha ya hekima kwa wale waliokomaa kiroho; lakini hekima hiyo si ya hapa duniani, wala si ya watawala wa dunia hii ambao wako katika mkumbo wa kupotea. \t ܚܟܡܬܐ ܕܝܢ ܡܡܠܠܝܢܢ ܒܓܡܝܪܐ ܚܟܡܬܐ ܠܐ ܕܗܢܐ ܥܠܡܐ ܐܦܠܐ ܕܫܠܝܛܢܘܗܝ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܕܡܬܒܛܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Utajiri, hekima na elimu ya Mungu ni kuu mno! Huruma zake hazichunguziki, na njia zake hazieleweki! Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: \t ܐܘ ܥܘܡܩܐ ܕܥܘܬܪܐ ܘܚܟܡܬܐ ܘܡܕܥܐ ܕܐܠܗܐ ܕܐܢܫ ܠܐ ܡܫ ܕܝܢܘܗܝ ܘܐܘܪܚܬܗ ܠܐ ܡܬܥܩܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akashuka mpaka Kafarnaumu katika mkoa wa Galilaya, akawa anawafundisha watu siku ya Sabato. \t ܘܢܚܬ ܠܟܦܪܢܚܘܡ ܡܕܝܢܬܐ ܕܓܠܝܠܐ ܘܡܠܦ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܒܫܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu siku ya nane walifika kumtahiri mtoto, wakataka kumpa jina la baba yake, Zakariya. \t ܘܗܘܐ ܠܝܘܡܐ ܕܬܡܢܝܐ ܘܐܬܘ ܠܡܓܙܪܗ ܠܛܠܝܐ ܘܩܪܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܒܫܡܐ ܕܐܒܘܗܝ ܙܟܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu aliye juu ya paa la nyumba asishuke kuingia nyumbani mwake kuchukua kitu. \t ܘܡܢ ܕܒܐܓܪܐ ܗܘ ܠܐ ܢܚܘܬ ܘܠܐ ܢܥܘܠ ܠܡܫܩܠ ܡܕܡ ܡܢ ܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Itakuwa kama mtu mmoja aliyetaka kusafiri ng'ambo: aliwaita watumishi wake, akawakabidhi mali yake. \t ܐܝܟ ܓܒܪܐ ܓܝܪ ܕܚܙܩ ܩܪܐ ܠܥܒܕܘܗܝ ܘܐܫܠܡ ܠܗܘܢ ܩܢܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mfukuzeni mbali nanyi huyo mwovu! \t ܠܒܪܝܐ ܕܝܢ ܐܠܗܐ ܕܐܢ ܘܫܘܩܠܘܗܝ ܠܒܝܫܐ ܡܢ ܒܝܢܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Saulo alipata habari ya mpango huo. Usiku na mchana walilinda milango ya kuingia mjini ili wapate kumwua. \t ܐܬܒܕܩ ܠܗ ܕܝܢ ܠܫܐܘܠ ܐܦܪܤܢܐ ܕܒܥܝܢ ܗܘܘ ܠܡܥܒܕ ܠܗ ܘܢܛܪܝܢ ܗܘܘ ܬܪܥܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܐܝܡܡܐ ܘܠܠܝܐ ܕܢܩܛܠܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alifedheheshwa na kunyimwa haki. Hakuna atakayeweza kuongea juu ya kizazi chake, kwa maana maisha yake yameondolewa duniani.\" \t ܒܡܘܟܟܗ ܡܢ ܚܒܘܫܝܐ ܘܡܢ ܕܝܢܐ ܐܬܕܒܪ ܘܕܪܗ ܡܢܘ ܢܫܬܥܐ ܕܡܫܬܩܠܝܢ ܚܝܘܗܝ ܡܢ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu, ambaye ninamtumikia kwa moyo wangu wote katika kuhubiri Habari Njema ya Mwanae, ni shahidi wangu kwamba ninawakumbukeni \t ܤܗܕ ܗܘ ܠܝ ܓܝܪ ܐܠܗܐ ܕܠܗ ܡܫܡܫ ܐܢܐ ܒܪܘܚ ܒܐܘܢܓܠܝܘܢ ܕܒܪܗ ܕܕܠܐ ܫܠܘܐ ܒܟܠܙܒܢ ܡܬܕܟܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܒܨܠܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa njia yake Mungu alivipatanisha naye vitu vyote naam, viumbe vyote mbinguni na duniania; alileta amani kwa damu ya Kristo msalabani. \t ܘܒܐܝܕܗ ܠܡܪܥܝܘ ܠܗ ܟܠܡܕܡ ܘܫܝܢ ܒܕܡܐ ܕܙܩܝܦܗ ܒܐܝܕܘܗܝ ܐܢ ܕܒܐܪܥܐ ܘܐܢ ܕܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hamwoni kwamba ni afadhali kwenu mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa zima liangamizwe?\" \t ܘܠܐ ܡܬܚܫܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܦܩܚ ܠܢ ܕܚܕ ܓܒܪܐ ܢܡܘܬ ܚܠܦ ܥܡܐ ܘܠܐ ܟܠܗ ܥܡܐ ܢܐܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa akitoka pale, wale Mafarisayo na walimu wa Sheria wakaanza kumshambulia vikali na kumsonga kwa maswali mengi \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܫܪܝܘ ܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܡܬܒܐܫ ܠܗܘܢ ܘܡܬܚܡܬܝܢ ܘܡܬܟܤܝܢ ܡܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hekaluni aliwakuta watu wakiuza ng'ombe, kondoo na njiwa, na wavunja fedha walikuwa wamekaa kwenye meza zao. \t ܘܐܫܟܚ ܒܗܝܟܠܐ ܠܗܠܝܢ ܕܡܙܒܢܝܢ ܬܘܪܐ ܘܥܪܒܐ ܘܝܘܢܐ ܘܠܡܥܪܦܢܐ ܕܝܬܒܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengine walidhihakiwa na kupigwa mijeledi, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa gerezani. \t ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܠܒܙܚܐ ܘܠܢܓܕܐ ܥܠܘ ܐܚܪܢܐ ܠܐܤܘܪܐ ܘܠܚܒܘܫܝܐ ܐܫܬܠܡܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnapaswa, lakini kuendelea kuwa imara na thabiti katika imani hiyo, na msikubali kusukumwa mbali na tumaini lile mlilopata wakati mlipoisikia Habari Njema. Mimi Paulo nimekuwa mtumishi wa hiyo Habari Njema ambayo imekwisha hubiriwa kila kiumbe duniani. \t ܐܢ ܬܩܘܘܢ ܒܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܟܕ ܫܪܝܪܐ ܫܬܐܤܬܟܘܢ ܘܠܐ ܡܬܬܙܝܥܝܬܘܢ ܡܢ ܤܒܪܐ ܕܐܘܢܓܠܝܘܢ ܗܘ ܕܫܡܥܬܘܢ ܕܐܬܟܪܙ ܒܟܠܗ ܒܪܝܬܐ ܕܬܚܝܬ ܫܡܝܐ ܗܘ ܕܐܢܐ ܦܘܠܘܤ ܗܘܝܬ ܡܫܡܫܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi mpaka Wayahudi walipochukuliwa mateka Babuloni, na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo. \t ܟܠܗܝܢ ܗܟܝܠ ܫܪܒܬܐ ܡܢ ܐܒܪܗܡ ܥܕܡܐ ܠܕܘܝܕ ܫܪܒܬܐ ܐܪܒܥܤܪܐ ܘܡܢ ܕܘܝܕ ܥܕܡܐ ܠܓܠܘܬܐ ܕܒܒܠ ܫܪܒܬܐ ܐܪܒܥܤܪܐ ܘܡܢ ܓܠܘܬܐ ܕܒܒܠ ܥܕܡܐ ܠܡܫܝܚܐ ܫܪܒܬܐ ܐܪܒܥܤܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Je, sikuwachagua ninyi kumi na wawili? Hata hivyo, mmoja wenu ni Ibilisi!\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܠܐ ܗܘܐ ܐܢܐ ܓܒܝܬܟܘܢ ܠܬܪܥܤܪ ܘܡܢܟܘܢ ܚܕ ܤܛܢܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jihadharini ili miongoni mwenu pasiwe na mtu mwasherati au mtu asiyemcha Mungu kama Esau, aliyeuza haki yake ya mzaliwa wa kwanza kwa mlo mmoja. \t ܐܘ ܠܡܐ ܐܢܫ ܢܫܬܟܚ ܒܟܘܢ ܕܙܢܝ ܘܪܦܐ ܐܝܟ ܥܤܘ ܕܒܚܕܐ ܡܐܟܘܠܬܐ ܙܒܢ ܒܘܟܪܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watoto, mwisho u karibu! Mlikwisha sikia kwamba adui wa Kristo anakuja, na sasa adui wengi wa Kristo wamekwisha fika, na hivyo twajua kwamba mwisho u karibu. \t ܒܢܝ ܙܒܢܐ ܗܘ ܐܚܪܝܐ ܘܐܝܟ ܡܕܡ ܕܫܡܥܬܘܢ ܕܐܬܐ ܡܫܝܚܐ ܕܓܠܐ ܘܗܫܐ ܗܘܘ ܠܗܘܢ ܤܓܝܐܐ ܡܫܝܚܐ ܕܓܠܐ ܘܡܢ ܗܕܐ ܝܕܥܝܢܢ ܕܙܒܢܐ ܗܘ ܐܚܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana akageuka na kumtazama Petro, naye Petro akakumbuka yale aliyokuwa ameambiwa na Bwana: \"Leo kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu.\" \t ܘܐܬܦܢܝ ܝܫܘܥ ܘܚܪ ܒܟܐܦܐ ܘܐܬܕܟܪ ܫܡܥܘܢ ܡܠܬܗ ܕܡܪܢ ܕܐܡܪ ܗܘܐ ܠܗ ܕܩܕܡ ܕܢܩܪܐ ܬܪܢܓܠܐ ܬܟܦܘܪ ܒܝ ܬܠܬ ܙܒܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walimwona kwa macho, lakini hawakumtambua. \t ܘܥܝܢܝܗܘܢ ܐܚܝܕܢ ܗܘܝ ܕܠܐ ܢܤܬܟܠܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, watu wengine walifika Antiokia kutoka Yudea wakaanza kuwafundisha wale ndugu wakisema, \"Kama hamtatahiriwa kufuatana na mapokeo ya Sheria ya Mose, hamtaweza kuokolewa.\" \t ܢܚܬܘ ܗܘܘ ܕܝܢ ܐܢܫܐ ܡܢ ܝܗܘܕ ܘܡܠܦܝܢ ܗܘܘ ܠܗܘܢ ܠܐܚܐ ܕܐܢ ܗܘ ܕܠܐ ܓܙܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܥܝܕܐ ܕܢܡܘܤܐ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakasema, \"Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܡܪ ܠܢ ܒܐܝܢܐ ܫܘܠܛܢܐ ܗܠܝܢ ܥܒܕ ܐܢܬ ܘܡܢܘ ܗܘ ܕܝܗܒ ܠܟ ܫܘܠܛܢܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwamba alizikwa, akafufuka siku ya tatu kama ilivyoandikwa; \t ܘܕܐܬܩܒܪ ܘܩܡ ܠܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuleni chochote kile kiuzwacho sokoni bila ya kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu; \t ܟܠܡܕܡ ܕܡܙܕܒܢ ܒܡܩܠܘܢ ܗܘܝܬܘܢ ܐܟܠܝܢ ܕܠܐ ܥܘܩܒܐ ܡܛܠ ܬܐܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, roho hao wakawakusanya hao wafalme mahali paitwapo kwa Kiebrania Harmagedoni. \t ܘܢܟܢܫ ܐܢܘܢ ܠܐܬܪܐ ܕܡܬܩܪܐ ܥܒܪܐܝܬ ܡܓܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo walimchukua Paulo, wakampeleka Areopago, wakasema, \"Tunataka kujua jambo hili jipya ulilokuwa unazungumzia. \t ܘܐܚܕܘܗܝ ܘܐܝܬܝܘܗܝ ܠܒܝܬ ܕܝܢܐ ܕܡܬܩܪܐ ܐܪܝܘܤ ܦܓܘܤ ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܫܟܚܝܢܢ ܠܡܕܥ ܡܢܘ ܗܢܐ ܝܘܠܦܢܐ ܚܕܬܐ ܕܡܟܪܙ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ulimwengu haukustahili kuwa na watu hao. Walitangatanga jangwani na mlimani, wakaishi katika mashimo na mapango ya ardhi. \t ܐܢܫܐ ܕܠܐ ܫܘܐ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܥܠܡܐ ܘܗܘܘ ܐܝܟ ܛܥܝܐ ܒܚܘܪܒܐ ܘܒܛܘܪܐ ܘܒܡܥܪܐ ܘܒܦܥܪܝܗ ܕܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wewe umewafanya wawe ufalme wa makuhani wamtumikie Mungu wetu nao watatawala duniani.\" \t ܘܥܒܕܬ ܐܢܘܢ ܠܐܠܗܢ ܡܠܟܘܬܐ ܘܟܗܢܐ ܘܡܠܟܐ ܘܢܡܠܟܘܢ ܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sasa Yesu amepewa huduma ya kikuhani iliyo bora zaidi kuliko yao, kama vile agano alilothibitisha kati ya watu na Mungu ni bora zaidi, kwani lina msingi wake katika ahadi za mambo yaliyo bora zaidi. \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܬܫܡܫܬܐ ܕܡܝܬܪܐ ܡܢ ܗܝ ܩܒܠ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܟܡܐ ܕܡܝܬܪܐ ܐܦ ܕܝܬܝܩܐ ܗܝ ܕܥܒܝܕ ܒܗ ܡܨܥܝܐ ܘܒܫܘܘܕܝܐ ܕܡܝܬܪܝܢ ܡܢ ܕܗܝ ܐܬܝܗܒܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, nikiwa nimeungana na Kristo Yesu, naweza kujivunia huduma yangu kwa ajili ya Mungu. \t ܐܝܬ ܠܝ ܗܟܝܠ ܫܘܒܗܪܐ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܠܘܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mtu yeyote anayesema kwamba ameungana na Mungu, anapaswa kuishi kama alivyoishi Yesu Kristo. \t ܗܘ ܕܐܡܪ ܕܒܗ ܐܝܬܝ ܘܠܐ ܠܗ ܕܐܝܟ ܗܠܟܬܗ ܕܝܠܗ ܢܗܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakashauriana, wakazitumia kununua shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni. \t ܘܢܤܒܘ ܡܠܟܐ ܘܙܒܢܘ ܒܗ ܐܓܘܪܤܗ ܕܦܚܪܐ ܠܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܕܐܟܤܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara nyingi niliwafanya waadhibiwe katika masunagogi yote nikiwashurutisha waikane imani yao. Hasira yangu kwao ilikuwa kubwa hata nikawasaka mpaka miji ya mbali. \t ܘܒܟܠ ܟܢܘܫܐ ܡܫܬܢܕ ܗܘܝܬ ܒܗܘܢ ܟܕ ܐܠܨ ܗܘܝܬ ܕܢܗܘܘܢ ܡܓܕܦܝܢ ܒܫܡܗ ܕܝܫܘܥ ܘܒܪܘܓܙܐ ܤܓܝܐܐ ܕܡܠܐ ܗܘܝܬ ܥܠܝܗܘܢ ܐܦ ܠܡܕܝܢܬܐ ܐܚܪܢܝܬܐ ܢܦܩ ܗܘܝܬ ܠܡܪܕܦ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nitajivunia juu ya mtu wa namna hiyo, na si juu yangu mimi binafsi, isipokuwa tu juu ya udhaifu wangu. \t ܥܠ ܗܢܐ ܐܫܬܒܗܪ ܥܠ ܢܦܫܝ ܕܝܢ ܠܐ ܐܫܬܒܗܪ ܐܠܐ ܐܢ ܒܟܘܪܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, kuna faida gani mtu kuupata utajiri wote wa dunia kwa kujipoteza au kujiangamiza yeye mwenyewe? \t ܡܢܐ ܓܝܪ ܢܬܥܕܪ ܒܪ ܐܢܫܐ ܕܢܐܬܪ ܥܠܡܐ ܟܠܗ ܢܦܫܗ ܕܝܢ ܢܘܒܕ ܐܘ ܢܚܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mnyang'anyeni hiyo fedha mkampe yule mwenye talanta kumi. \t ܤܒܘ ܗܟܝܠ ܡܢܗ ܟܟܪܐ ܘܗܒܘܗ ܠܗܘ ܕܐܝܬ ܠܗ ܥܤܪ ܟܟܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zamani Mungu aliruhusu kila taifa lifanye lilivyopenda. \t ܗܘ ܕܒܕܪܐ ܩܕܡܝܐ ܫܒܩ ܗܘܐ ܐܢܘܢ ܠܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܕܢܐܙܠܘܢ ܒܐܘܪܚܬܐ ܕܢܦܫܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilikuacha Krete ili urekebishe yale mambo ambayo hayakuwa yamekamilika bado, na kuwateua wazee wa kanisa katika kila mji. Kumbuka maagizo yangu: \t ܡܛܠܗܢܐ ܗܘ ܫܒܩܬܟ ܗܘܝܬ ܒܩܪܛܐ ܕܐܝܠܝܢ ܕܚܤܝܪܢ ܬܬܩܢ ܘܬܩܝܡ ܩܫܝܫܐ ܒܡܕܝܢܐ ܡܕܝܢܐ ܐܝܟܢܐ ܕܦܩܕܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nikasikia sauti kutoka mbinguni, sauti iliyokuwa kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo kubwa. Sauti niliyosikia ilikuwa kama sauti ya wachezaji muziki wakipiga vinubi vyao. \t ܘܫܡܥܬ ܩܠܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܐܝܟ ܩܠܐ ܕܡܝܐ ܤܓܝܐܐ ܘܐܝܟ ܩܠܐ ܕܪܥܡܐ ܪܒܐ ܩܠܐ ܐܝܢܐ ܕܫܡܥܬ ܐܝܟ ܩܝܬܪܘܕܐ ܕܢܩܫ ܒܩܝܬܪܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipofika nyumbani hakumruhusu mtu kuingia ndani pamoja naye, isipokuwa Petro, Yohane, Yakobo na wazazi wa huyo msichana. \t ܐܬܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܠܒܝܬܐ ܘܠܐ ܫܒܩ ܠܐܢܫ ܕܢܥܘܠ ܥܡܗ ܐܠܐ ܠܫܡܥܘܢ ܘܠܝܥܩܘܒ ܘܠܝܘܚܢܢ ܘܠܐܒܘܗ ܕܛܠܝܬܐ ܘܠܐܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akatwaa kikombe, akamshukuru Mungu, akawapa; nao wote wakanywa katika kikombe hicho. \t ܘܢܤܒ ܟܤܐ ܘܐܘܕܝ ܘܒܪܟ ܘܝܗܒ ܠܗܘܢ ܘܐܫܬܝܘ ܡܢܗ ܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko wazee wenu walinijaribu na kunichunguza, asema Bwana, ingawa walikuwa wameyaona matendo yangu kwa miaka arobaini. \t ܕܢܤܝܘܢܝ ܐܒܗܝܟܘܢ ܘܒܩܘ ܚܙܘ ܥܒܕܝ ܐܪܒܥܝܢ ܫܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Je, mnaamini sasa? \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܗܝܡܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kama asemavyo: \"Ee Mungu, nitawatangazia ndugu zangu matendo yako. Nitakusifu katika kusanyiko lao.\" \t ܟܕ ܐܡܪ ܐܤܒܪ ܫܡܟ ܠܐܚܝ ܘܒܓܘܗ ܕܥܕܬܐ ܐܫܒܚܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnadhani nimekuja kuleta amani duniani? Hata kidogo; si amani bali utengano. \t ܤܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܫܝܢܐ ܐܬܝܬ ܕܐܪܡܐ ܒܐܪܥܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܐܠܐ ܦܠܓܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alitumiminia Roho Mtakatifu bila kipimo kwa njia ya Yesu Kristo, Mwokozi wetu, \t ܗܝ ܕܐܫܕ ܥܠܝܢ ܥܬܝܪܐܝܬ ܒܝܕ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܚܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nasema hivi: mwenendo wenu na uongozwe na Roho, nanyi hamtafuata tena tamaa za kidunia. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܒܪܘܚܐ ܗܘܝܬܘܢ ܡܗܠܟܝܢ ܘܪܓܬܐ ܕܒܤܪܐ ܠܐ ܡܢ ܡܬܘܡ ܬܥܒܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa wengine wanayo haki ya kutazamia hayo kutoka kwenu, je, sisi hatuna haki zaidi kuliko hao? Lakini, sisi hatukuitumia haki hiyo, Badala yake, tumestahimili kila kitu ili tusiiwekee kizuizi chochote Habari Njema ya Kristo. \t ܘܐܢ ܠܐܚܪܢܐ ܐܝܬ ܠܗܘܢ ܫܘܠܛܢܐ ܥܠܝܟܘܢ ܠܐ ܠܢ ܘܠܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܐܠܐ ܠܐ ܐܬܚܫܚܢ ܒܫܘܠܛܢܐ ܗܢܐ ܐܠܐ ܟܠܡܕܡ ܡܤܝܒܪܝܢܢ ܕܒܡܕܡ ܠܐ ܢܬܟܤ ܤܒܪܬܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu ni watoto wa Mungu. \t ܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܒܪܘܚܐ ܕܐܠܗܐ ܡܬܕܒܪܝܢ ܗܠܝܢ ܒܢܝܐ ܐܢܘܢ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jueni kwamba, kama mwenye nyumba angejua saa ambayo mwizi atakuja, angekesha, wala hangeiacha nyumba yake ivunjwe. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܕܥܘ ܕܐܠܘ ܝܕܥ ܗܘܐ ܡܪܐ ܒܝܬܐ ܒܐܝܕܐ ܡܛܪܬܐ ܐܬܐ ܓܢܒܐ ܡܬܬܥܝܪ ܗܘܐ ܘܠܐ ܫܒܩ ܗܘܐ ܕܢܬܦܠܫ ܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "si kwa watu wote ila kwa wale Mungu aliokwisha wachagua wawe mashahidi wake, yaani sisi tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuka kwake kutoka wafu. \t ܠܐ ܕܝܢ ܠܟܠܗ ܥܡܐ ܐܠܐ ܠܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܢ ܐܠܗܐ ܐܬܓܒܝܢ ܕܢܗܘܐ ܠܗ ܤܗܕܐ ܕܐܟܠܢ ܥܡܗ ܘܐܫܬܝܢ ܡܢ ܒܬܪ ܩܝܡܬܗ ܕܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, alfajiri na mapema siku ya Jumapili, jua lilipoanza kuchomoza, walienda kaburini. \t ܒܫܦܪܐ ܕܝܢ ܒܚܕ ܒܫܒܐ ܐܬܝ ܠܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܟܕ ܕܢܚ ܫܡܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, kadiri ya hekima ya Mungu, watu hawawezi kumjua Mungu kwa njia ya hekima yao wenyewe. Badala yake, Mungu amependa kuwaokoa wale wanaoamini kwa njia ya kile ambacho wenye hekima wanakiona kuwa ni upumbavu, yaani ujumbe tunaohubiri. \t ܡܛܠ ܓܝܪ ܕܒܚܟܡܬܗ ܕܐܠܗܐ ܠܐ ܝܕܥ ܥܠܡܐ ܒܚܟܡܬܐ ܠܐܠܗܐ ܨܒܐ ܐܠܗܐ ܕܒܫܛܝܘܬܐ ܕܟܪܘܙܘܬܐ ܢܚܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܗܝܡܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata Simoni aliamini; baada ya kubatizwa ilikuwa akiandamana na Filipo, akastaajabia maajabu na miujiza iliyokuwa inafanyika. \t ܘܐܦ ܗܘ ܤܝܡܘܢ ܗܝܡܢ ܗܘܐ ܘܥܡܕ ܘܢܩܝܦ ܗܘܐ ܠܗ ܠܦܝܠܝܦܘܤ ܘܟܕ ܚܙܐ ܗܘܐ ܐܬܘܬܐ ܘܚܝܠܐ ܪܘܪܒܐ ܕܗܘܝܢ ܗܘܘ ܒܐܝܕܗ ܬܡܗ ܗܘܐ ܘܡܬܕܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nimewaambieni mambo hayo kwa mafumbo. Lakini wakati utakuja ambapo sitasema tena nanyi kwa mafumbo, bali nitawaambieni waziwazi juu ya Baba. \t ܗܠܝܢ ܒܦܠܐܬܐ ܡܠܠܬ ܥܡܟܘܢ ܐܬܝܐ ܕܝܢ ܫܥܬܐ ܐܡܬܝ ܕܠܐ ܐܡܠܠ ܥܡܟܘܢ ܒܦܠܐܬܐ ܐܠܐ ܥܝܢ ܒܓܠܐ ܐܒܕܩ ܠܟܘܢ ܥܠ ܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alifanya miujiza ya ajabu kwa mikono ya Paulo. \t ܘܚܝܠܐ ܪܘܪܒܐ ܥܒܕ ܗܘܐ ܐܠܗܐ ܒܐܝܕܗ ܕܦܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini endeleeni kukua katika neema na katika kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo. Utukufu uwe kwake, sasa na hata milele! Amina. \t ܗܘܝܬܘܢ ܕܝܢ ܡܬܪܒܝܢ ܒܛܝܒܘܬܐ ܘܒܝܕܥܬܐ ܕܡܪܢ ܘܦܪܘܩܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܕܐܠܗܐ ܐܒܐ ܕܠܗ ܬܫܒܘܚܬܐ ܐܦ ܗܫܐ ܘܒܟܠܙܒܢ ܘܠܝܘܡܝ ܥܠܡܐ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nisalimieni Rufo, mtu hodari sana katika kazi ya Bwana, na mama yake ambaye ni mama yangu pia. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܪܘܦܤ ܓܒܝܐ ܒܡܪܢ ܘܕܐܡܗ ܕܝܠܗ ܘܕܝܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilifurahi sana kuona kwamba baadhi ya watoto wako wanaishi katika ukweli kama Baba alivyotuamuru. \t ܚܕܝܬ ܤܓܝ ܕܐܫܟܚܬ ܡܢ ܒܢܝܟܝ ܕܡܗܠܟܝܢ ܒܫܪܪܐ ܐܝܟܢܐ ܕܦܘܩܕܢܐ ܢܤܒܢܢ ܡܢ ܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafarisayo walisikia kwamba Yesu alikuwa anabatiza na kuwapata wanafunzi wengi kuliko Yohane. \t ܝܕܥ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܕܫܡܥܘ ܦܪܝܫܐ ܕܬܠܡܝܕܐ ܤܓܝܐܐ ܥܒܕ ܘܡܥܡܕ ܝܬܝܪ ܡܢ ܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mara safarini nimekabiliwa na hatari za mafuriko ya mito, na hatari za wanyama; hatari kutoka kwa wananchi wenzangu na kutoka kwa watu wa mataifa mengine; hatari za mjini, hatari za porini, hatari za baharini, hatari kutoka kwa ndugu wa uongo \t ܒܐܘܪܚܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܒܩܢܕܝܢܘܤ ܕܢܗܪܘܬܐ ܒܩܢܕܝܢܘܤ ܕܓܝܤܐ ܒܩܢܕܝܢܘܤ ܕܡܢ ܛܘܗܡܝ ܒܩܢܕܝܢܘܤ ܕܡܢ ܥܡܡܐ ܒܩܢܕܝܢܘܤ ܗܘܝܬ ܒܡܕܝܢܬܐ ܒܩܢܕܝܢܘܤ ܗܘܝܬ ܒܚܘܪܒܐ ܒܩܢܕܝܢܘܤ ܒܝܡܐ ܒܩܢܕܝܢܘܤ ܕܡܢ ܐܚܐ ܕܓܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku ya tatu, wakaanza pia kutupa majini vifaa vya meli kwa mikono yao wenyewe. \t ܘܠܝܘܡܐ ܕܬܠܬܐ ܡܐܢܐ ܕܝܠܗ ܕܐܠܦܐ ܒܐܝܕܝܢ ܫܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mitume walitii, wakaingia Hekaluni asubuhi na mapema, wakaanza kufundisha. Kuhani Mkuu na wenzake walipofika, waliita mkutano wa Baraza kuu, yaani halmashauri yote ya wazee wa Wayahudi halafu wakawatuma watu gerezani wawalete wale mitume. \t ܘܢܦܩܘ ܥܕܢ ܫܦܪܐ ܘܥܠܘ ܠܗܝܟܠܐ ܘܡܠܦܝܢ ܗܘܘ ܪܒ ܟܗܢܐ ܕܝܢ ܘܐܝܠܝܢ ܕܥܡܗ ܩܪܘ ܠܚܒܪܝܗܘܢ ܘܠܩܫܝܫܐ ܕܐܝܤܪܝܠ ܘܫܕܪܘ ܠܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܕܢܝܬܘܢ ܐܢܘܢ ܠܫܠܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akamwambia, \"Sikiliza, usimwambie mtu yeyote, ila nenda ukajionyeshe kwa kuhani, na ukatoe sadaka iliyoamriwa na Mose kuwathibitishia kwamba umepona.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܚܙܝ ܠܡܐ ܠܐܢܫ ܐܡܪ ܐܢܬ ܐܠܐ ܙܠ ܚܘܐ ܢܦܫܟ ܠܟܗܢܐ ܘܩܪܒ ܩܘܪܒܢܐ ܐܝܟ ܕܦܩܕ ܡܘܫܐ ܠܤܗܕܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu, akiwa anayajua mawazo yao, akawaambia, \"Ufalme wowote uliogawanyika makundimakundi yanayopingana, hauwezi kudumu, na mji wowote au jamaa yoyote iliyogawanyika makundimakundi yanayopingana, itaanguka. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܝܕܥ ܡܚܫܒܬܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܟܠ ܡܠܟܘ ܕܬܬܦܠܓ ܥܠ ܢܦܫܗ ܬܚܪܒ ܘܟܠ ܒܝ ܘܡܕܝܢܐ ܕܢܬܦܠܓ ܥܠ ܢܦܫܗ ܠܐ ܢܩܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo nitawaambia: Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni mbele yangu, enyi watenda maovu. \t ܘܗܝܕܝܢ ܐܘܕܐ ܠܗܘܢ ܕܡܢ ܡܬܘܡ ܠܐ ܝܕܥܬܟܘܢ ܐܪܚܩܘ ܠܟܘܢ ܡܢܝ ܦܠܚܝ ܥܘܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mlishiriki mateso ya wafungwa, na mliponyang'anywa mali yenu mlistahimili kwa furaha, maana mlijua kwamba mnayo mali bora zaidi na ya kudumu milele. \t ܘܟܐܒ ܠܟܘܢ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܐܤܝܪܝܢ ܘܚܛܘܦܝܐ ܕܢܟܤܝܟܘܢ ܒܚܕܘܬܐ ܤܝܒܪܬܘܢ ܡܛܠ ܕܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܝܬ ܠܟܘܢ ܩܢܝܢܐ ܒܫܡܝܐ ܕܡܝܬܪ ܗܘ ܘܠܐ ܥܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliposikia hayo, alisikitika, akaenda zake akiwa na huzuni, kwa maana alikuwa na mali nyingi. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܬܟܡܪ ܒܡܠܬܐ ܗܕܐ ܘܐܙܠ ܟܕ ܥܝܝܩܐ ܠܗ ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܓܝܪ ܢܟܤܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watakieni baraka wote wanaowadhulumu ninyi; naam, watakieni baraka na wala msiwalaani. \t ܒܪܟܘ ܠܪܕܘܦܝܟܘܢ ܒܪܟܘ ܘܠܐ ܬܠܘܛܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi ndugu, msichoke kutenda mema. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܐܚܝ ܠܐ ܬܡܐܢ ܠܟܘܢ ܠܡܥܒܕ ܕܫܦܝܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mbingu na nchi za sasa zahifadhiwa kwa neno la Mungu kwa ajili ya kuharibiwa kwa moto. Zimewekwa kwa ajili ya Siku ile ambapo watu wasiomcha Mungu watahukumiwa na kuangamizwa. \t ܫܡܝܐ ܕܝܢ ܕܗܫܐ ܘܐܪܥܐ ܒܡܠܬܐ ܕܝܠܗ ܐܤܝܢܝܢ ܟܕ ܠܢܘܪܐ ܡܬܢܛܪܝܢ ܠܝܘܡܐ ܕܕܝܢܐ ܘܕܐܒܕܢܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܪܫܝܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: \"Ni vigumu kwa watu waadilifu kuokolewa; itakuwaje basi kwa wasiomcha Mungu na wenye dhambi?\" \t ܘܐܢ ܙܕܝܩܐ ܠܡܚܤܢ ܚܝܐ ܪܫܝܥܐ ܘܚܛܝܐ ܐܝܟܐ ܡܫܬܟܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliingia mjini Yeriko, akawa anapita katika njia za mji huo. \t ܘܟܕ ܥܠ ܝܫܘܥ ܘܥܒܪ ܒܐܝܪܝܚܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanga utakaowaangazia watu wa mataifa, na utukufu kwa watu wako Israeli.\" \t ܢܘܗܪܐ ܠܓܠܝܢܐ ܕܥܡܡܐ ܘܫܘܒܚܐ ܠܥܡܟ ܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kelele ziliongezeka na baadhi ya walimu wa Sheria wa kikundi cha Mafarisayo walisimama na kutoa malalamiko yao kwa nguvu: \"Hatuoni chochote kilicho kiovu katika mtu huyu; huenda ikawa kwamba roho au malaika ameongea naye.\" \t ܘܗܘܐ ܩܠܐ ܪܒܐ ܘܩܡܘ ܐܢܫܐ ܤܦܪܐ ܡܢ ܓܒܐ ܕܦܪܝܫܐ ܘܢܨܝܢ ܗܘܘ ܥܡܗܘܢ ܘܐܡܪܝܢ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢܢ ܡܕܡ ܕܒܝܫ ܒܗܢܐ ܓܒܪܐ ܐܢ ܕܝܢ ܪܘܚܐ ܐܘ ܡܠܐܟܐ ܡܠܠ ܥܡܗ ܡܢܐ ܐܝܬ ܒܗ ܒܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo makuhani wakuu na wazee wa watu walikutana pamoja katika ukumbi wa Kayafa, Kuhani Mkuu. \t ܗܝܕܝܢ ܐܬܟܢܫܘ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܤܦܪܐ ܘܩܫܝܫܐ ܕܥܡܐ ܠܕܪܬܗ ܕܪܒ ܟܗܢܐ ܕܡܬܩܪܐ ܩܝܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu, nawasihi muwafichue wote wanaosababisha mafarakano na kuwafanya watu wengine waanguke, kinyume cha mafundisho mliyofundishwa. Jiepusheni na watu hao, \t ܒܥܢܐ ܕܝܢ ܡܢܟܘܢ ܐܚܝ ܕܬܙܕܗܪܘܢ ܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܦܠܓܘܬܐ ܘܡܟܫܘܠܐ ܥܒܕܝܢ ܠܒܪ ܡܢ ܝܘܠܦܢܐ ܕܐܢܬܘܢ ܝܠܦܬܘܢ ܕܬܬܪܚܩܘܢ ܠܟܘܢ ܡܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Samahani, nilibatiza pia jamaa ya Stefana; lakini zaidi ya hawa, sidhani kama nilimbatiza mtu mwingine yeyote.) \t ܐܥܡܕܬ ܕܝܢ ܐܦ ܠܒܝܬܗ ܕܐܤܛܦܢܐ ܬܘܒ ܕܝܢ ܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܐܢ ܠܐܢܫ ܐܚܪܝܢ ܐܥܡܕܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo kale, Mungu aliwaahidia watu hii Habari Njema kwa njia ya manabii wake katika Maandiko Matakatifu. \t ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܡܠܟ ܒܝܕ ܢܒܝܘܗܝ ܒܟܬܒܐ ܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro alipokuwa bado anashangaa juu ya maana ya hilo maono alilokuwa ameliona, wale watu waliotumwa na Kornelio, baada ya kuigundua nyumba ya Simoni, walifika mlangoni, \t ܘܟܕ ܡܬܕܡܪ ܫܡܥܘܢ ܒܢܦܫܗ ܕܡܢܘ ܚܙܘܐ ܕܚܙܐ ܡܛܝܘ ܓܒܪܐ ܗܢܘܢ ܕܐܫܬܕܪܘ ܗܘܘ ܡܢ ܩܘܪܢܠܝܘܤ ܘܫܐܠܘ ܥܠ ܒܝܬܐ ܕܫܪܐ ܒܗ ܫܡܥܘܢ ܘܐܬܘ ܘܩܡܘ ܥܠ ܬܪܥܐ ܕܕܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila Baba aliyenituma ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini. \t ܕܐܢܐ ܡܢ ܢܦܫܝ ܠܐ ܡܠܠܬ ܐܠܐ ܐܒܐ ܕܫܕܪܢܝ ܗܘ ܝܗܒ ܠܝ ܦܘܩܕܢܐ ܡܢܐ ܐܡܪ ܘܡܢܐ ܐܡܠܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamwambia yule mama, \"Sisi hatuamini tu kwa sababu ya maneno yako; sisi wenyewe tumesikia, na tunajua kwamba huyu ndiye kweli Mwokozi wa ulimwengu.\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܠܐܢܬܬܐ ܗܝ ܕܡܟܝܠ ܠܐ ܗܘܐ ܡܛܠ ܡܠܬܟܝ ܡܗܝܡܢܝܢ ܚܢܢ ܒܗ ܚܢܢ ܓܝܪ ܫܡܥܢ ܘܝܕܥܢ ܕܗܢܘ ܫܪܝܪܐܝܬ ܡܫܝܚܐ ܡܚܝܢܗ ܕܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msinyimane haki zenu, isipokuwa kama mnaafikiana kufanya hivyo kwa kitambo tu, ili mpate nafasi nzuri ya kusali. Kisha rudianeni tena mara, ili Shetani asije akawajaribu kwa sababu ya udhaifu wenu. \t ܠܐ ܗܟܝܠ ܬܓܠܙܘܢ ܚܕ ܠܚܕ ܐܠܐ ܐܡܬܝ ܕܬܪܝܟܘܢ ܬܫܬܘܘܢ ܒܙܒܢ ܕܬܬܥܢܘܢ ܠܨܘܡܐ ܘܠܨܠܘܬܐ ܘܬܘܒ ܠܗ ܠܨܒܘܬܐ ܬܬܦܢܘܢ ܕܠܐ ܢܢܤܝܟܘܢ ܤܛܢܐ ܡܛܠ ܪܓܬܐ ܕܦܓܪܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakamwuliza, \"Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Nani aliyekupa mamlaka ya kufanya mambo haya?\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܒܐܝܢܐ ܫܘܠܛܢܐ ܗܠܝܢ ܥܒܕ ܐܢܬ ܘܡܢܘ ܝܗܒ ܠܟ ܫܘܠܛܢܐ ܗܢܐ ܕܗܠܝܢ ܬܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Ufalme wangu si wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu watumishi wangu wangenipigania nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini sasa ufalme wangu si wa hapa.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܡܠܟܘܬܝ ܕܝܠܝ ܠܐ ܗܘܬ ܡܢ ܗܢܐ ܥܠܡܐ ܐܠܘ ܡܢ ܥܠܡܐ ܗܘܬ ܗܢܐ ܡܠܟܘܬܝ ܡܬܟܬܫܝܢ ܗܘܘ ܡܫܡܫܢܝ ܕܠܐ ܐܫܬܠܡ ܠܝܗܘܕܝܐ ܗܫܐ ܕܝܢ ܡܠܟܘܬܝ ܕܝܠܝ ܠܐ ܗܘܬ ܡܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, hata kama kwa barua ile yangu nimewahuzunisha, sioni sababu ya kujuta. Naam, naona kwamba barua hiyo iliwatia huzuni lakini kwa muda. \t ܕܐܦܢ ܐܟܪܝܬ ܠܟܘܢ ܒܐܓܪܬܐ ܠܐ ܬܘܝܐ ܠܝ ܢܦܫܝ ܐܦܢ ܬܘܝܐ ܗܘܬ ܚܙܐ ܐܢܐ ܓܝܪ ܕܗܝ ܐܓܪܬܐ ܐܦܢ ܕܫܥܬܐ ܐܟܪܝܬ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, ikiwa uovu wetu unathibitisha kwamba Mungu anatenda kwa haki, tutasema nini? Je, tutasema kwamba anakosa haki akituadhibu? (Hapa naongea kibinadamu). \t ܐܢ ܕܝܢ ܥܘܠܢ ܟܐܢܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܡܩܝܡ ܡܢܐ ܢܐܡܪ ܠܡܐ ܥܘܠ ܗܘ ܐܠܗܐ ܕܡܝܬܐ ܪܘܓܙܗ ܐܝܟ ܒܪܢܫܐ ܗܘ ܡܡܠܠ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ukaguzi ulipoanza, akaletewa mtu mmoja aliyekuwa na deni la fedha talanta elfu kumi. \t ܘܟܕ ܫܪܝ ܠܡܤܒ ܩܪܒܘ ܠܗ ܚܕ ܕܚܝܒ ܪܒܘ ܟܟܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na minong'ono mingi katika umati wa watu. Baadhi yao walisema, \"Ni mtu mwema.\" Wengine walisema, \"La! Anawapotosha watu.\" \t ܘܪܛܢܐ ܤܓܝܐܐ ܡܛܠܬܗ ܐܝܬ ܗܘܐ ܒܟܢܫܐ ܐܝܬ ܗܘܘ ܓܝܪ ܕܐܡܪܝܢ ܕܛܒ ܗܘ ܘܐܚܪܢܐ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܠܐ ܐܠܐ ܡܛܥܐ ܠܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wasalimuni ndugu wote kwa ishara ya upendo. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܐܚܝܢ ܟܠܗܘܢ ܒܢܘܫܩܬܐ ܩܕܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Mungu aliimarisha ahadi yake kwa kiapo; na kwa namna hiyo akawaonyesha wazi wale aliowaahidia kwamba hatabadili nia yake. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܨܒܐ ܐܠܗܐ ܕܢܚܘܐ ܠܝܪܬܐ ܕܡܘܠܟܢܐ ܕܫܘܘܕܝܗ ܠܐ ܡܫܬܚܠܦ ܘܚܒܫܗ ܒܡܘܡܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakaja watu wengi sana hata nafasi yoyote ikakosekana mlangoni. Yesu alikuwa akiwahubiria ujumbe wake, \t ܐܬܟܢܫܘ ܤܓܝܐܐ ܐܝܟܢܐ ܕܠܐ ܐܫܟܚ ܐܚܕ ܐܢܘܢ ܐܦܠܐ ܩܕܡ ܬܪܥܐ ܘܡܡܠܠ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܡܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno. \t ܠܐܟܪܐ ܕܠܐܐ ܘܠܐ ܠܗ ܕܩܕܡܐ ܡܢ ܦܐܪܘܗܝ ܢܤܬܝܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Sheria haitegemei imani, ila Maandiko yasema: \"Mwenye kutimiza yanayotakiwa na Sheria ataishi.\" \t ܢܡܘܤܐ ܕܝܢ ܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܐܠܐ ܡܢ ܕܢܥܒܕ ܐܝܠܝܢ ܕܟܬܝܒܢ ܒܗ ܢܚܐ ܒܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akawaambia, \"Mmemleta mtu huyu kwangu mkisema kwamba alikuwa anawapotosha watu. Sasa sikilizeni! Baada ya kuchunguza jambo hilo mbele yenu, sikumpata na kosa lolote kuhusu mashtaka yenu juu yake. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܩܪܒܬܘܢ ܠܝ ܓܒܪܐ ܗܢܐ ܐܝܟ ܡܗܦܟ ܥܡܟܘܢ ܘܗܐ ܐܢܐ ܥܩܒܬܗ ܠܥܢܝܟܘܢ ܘܥܠܬܐ ܡܕܡ ܠܐ ܐܫܟܚܬ ܒܓܒܪܐ ܗܢܐ ܡܢ ܟܠ ܕܡܪܫܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakajimwagia vumbi juu ya vichwa vyao wakilia kwa sauti na kuomboleza: \"Ole! Ole kwako mji mkuu! Ni mji ambamo wote wenye meli zisafirizo baharini walitajirika kutokana na utajiri wake. Kwa muda wa saa moja tu umepoteza kila kitu!\" \t ܘܐܪܡܝܘ ܥܦܪܐ ܥܠ ܪܝܫܝܗܘܢ ܘܩܥܘ ܟܕ ܒܟܝܢ ܘܐܒܝܠܝܢ ܘܐܡܪܝܢ ܘܝ ܘܝ ܡܕܝܢܬܐ ܪܒܬܐ ܐܝܕܐ ܕܒܗ ܥܬܪܘ ܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬ ܠܗܘܢ ܐܠܦܐ ܒܝܡܐ ܡܢ ܐܝܩܪܗ ܕܒܚܕܐ ܫܥܐ ܚܪܒܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zakariya alichaguliwa kwa kura, kama ilivyokuwa desturi, kuingia hekaluni ili afukize ubani. \t ܒܥܝܕܐ ܕܟܗܢܘܬܐ ܡܛܝܗܝ ܕܢܤܝܡ ܒܤܡܐ ܘܥܠ ܠܗܝܟܠܗ ܕܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia, \t ܘܡܠܦ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܒܡܬܠܐ ܤܓܝ ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܒܝܘܠܦܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi ya Mafarisayo na walimu wa Sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu walikusanyika mbele ya Yesu. \t ܘܟܢܫܘ ܠܘܬܗ ܦܪܝܫܐ ܘܤܦܪܐ ܕܐܬܘ ܡܢ ܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, na katika sehemu nyingine za zaburi asema: Hutamwacha Mtakatifu wako aoze. \t ܘܬܘܒ ܐܡܪ ܒܕܘܟܬܐ ܐܚܪܬܐ ܕܠܐ ܝܗܒܬ ܠܚܤܝܟ ܕܢܚܙܐ ܚܒܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Ni mimi, msiogope!\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢܐ ܐܢܐ ܠܐ ܬܕܚܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu akawaambia, \"Hii ndiyo maana ya maneno niliyowaambia nilipokuwa pamoja nanyi: kwamba ilikuwa lazima kukamilisha yote yaliyoandikwa juu yangu katika Sheria ya Mose na katika vitabu vya manabii na katika kitabu cha Zaburi.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܠܝܢ ܐܢܝܢ ܡܠܐ ܕܡܠܠܬ ܥܡܟܘܢ ܟܕ ܠܘܬܟܘܢ ܗܘܝܬ ܕܘܠܐ ܗܘ ܕܢܫܬܠܡ ܟܠ ܡܕܡ ܕܟܬܝܒ ܒܢܡܘܤܐ ܕܡܘܫܐ ܘܒܢܒܝܐ ܘܒܡܙܡܘܪܐ ܥܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kufika mahali ambapo tuliweza kuona Kupro, tulipitia upande wake wa kusini tukaelekea Siria. Tulitia nanga katika mji wa Tiro ambapo ile meli ilikuwa ipakuliwe shehena yake. \t ܘܡܛܝܢ ܥܕܡܐ ܠܘܬ ܩܘܦܪܘܤ ܓܙܪܬܐ ܘܫܒܩܢܗ ܠܤܡܠܐ ܘܐܬܝܢ ܠܤܘܪܝܐ ܘܡܢ ܬܡܢ ܡܛܝܢ ܠܨܘܪ ܬܡܢ ܓܝܪ ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܠܐܠܦܐ ܠܡܢܚܘ ܛܥܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Na kwa nini hamwezi kujiamulia wenyewe jambo jema la kufanya? \t ܠܡܢܐ ܕܝܢ ܡܢ ܢܦܫܟܘܢ ܠܐ ܕܝܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܩܘܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye atapinga kila kitu wanachokiona watu kuwa ni mungu, au wanachokiabudu. Naam, hata ataingia na kuketi ndani ya Hekalu la Mungu akijidai kuwa Mungu. \t ܗܘ ܕܠܩܘܒܠܐ ܗܘ ܘܡܫܬܥܠܐ ܥܠ ܟܠ ܡܢ ܕܡܬܩܪܐ ܐܠܗ ܘܕܚܠܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܒܗܝܟܠܐ ܕܐܠܗܐ ܐܝܟ ܐܠܗܐ ܢܬܒ ܘܢܚܘܐ ܥܠ ܢܦܫܗ ܐܝܟ ܕܐܠܗܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akapita katikati yao, akaenda zake. \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܒܪ ܒܝܢܬܗܘܢ ܘܐܙܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akauona mtini mmoja kando ya njia, akauendea; lakini aliukuta hauma chochote ila majani matupu. Basi akauambia, \"Usizae tena matunda milele!\" Papo hapo huo mtini ukanyauka. \t ܘܚܙܐ ܬܬܐ ܚܕܐ ܒܐܘܪܚܐ ܘܐܬܐ ܠܘܬܗ ܘܠܐ ܐܫܟܚ ܒܗ ܡܕܡ ܐܠܐ ܐܢ ܛܪܦܐ ܒܠܚܘܕ ܘܐܡܪ ܠܗ ܠܐ ܢܗܘܘܢ ܒܟܝ ܬܘܒ ܦܐܪܐ ܠܥܠܡ ܘܡܚܕܐ ܝܒܫܬ ܬܬܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote waishio duniani watamwabudu isipokuwa tu wale ambao majina yao yameandikwa tangu mwanzo wa ulimwengu katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo aliyechinjwa. \t ܘܢܤܓܕܘܢ ܠܗ ܟܠܗܘܢ ܥܡܘܪܝܗ ܕܐܪܥܐ ܗܢܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܟܬܝܒܝܢ ܒܟܬܒܐ ܕܚܝܐ ܗܘ ܕܐܡܪܐ ܩܛܝܠܐ ܩܕܡ ܬܪܡܝܬܗ ܕܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Habari za Yesu zikaenea upesi kila mahali katika wilaya ya Galilaya. \t ܘܡܚܕܐ ܢܦܩ ܛܒܗ ܒܟܠܗ ܐܬܪܐ ܕܓܠܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kiongozi wa kanisa anapaswa awe mtu asiye na lawama; anapaswa awe na mke mmoja tu, awe mwenye kiasi, nidhamu na utaratibu; ni lazima awe mkarimu na anayeweza kufundisha; \t ܘܠܐ ܕܝܢ ܕܢܗܘܐ ܩܫܝܫܐ ܐܝܢܐ ܕܡܘܡܐ ܠܐ ܡܫܬܟܚ ܒܗ ܘܗܘܐ ܒܥܠܐ ܕܚܕܐ ܐܢܬܬܐ ܐܝܢܐ ܕܥܝܪ ܪܥܝܢܗ ܘܢܟܦ ܘܡܛܟܤ ܘܪܚܡ ܐܟܤܢܝܐ ܘܡܠܦܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo aliwakodolea macho wale wanabaraza, halafu akaanza kusema, \"Ndugu zangu, mpaka hivi leo nimekuwa nikiishi na dhamiri njema mbele ya Mungu.\" \t ܘܟܕ ܚܪ ܦܘܠܘܤ ܒܟܢܫܗܘܢ ܐܡܪ ܓܒܪܐ ܐܚܝ ܐܢܐ ܒܟܠ ܬܐܪܬܐ ܛܒܬܐ ܐܬܕܒܪܬ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alisimama, akaamuru wamlete mbele yake. Yule kipofu alipofika karibu, Yesu akamwuliza, \t ܘܩܡ ܝܫܘܥ ܘܦܩܕ ܕܢܝܬܘܢܝܗܝ ܠܘܬܗ ܘܟܕ ܩܪܒ ܠܘܬܗ ܫܐܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikuwa amewaponya watu wengi, na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa. \t ܤܓܝܐܐ ܓܝܪ ܡܐܤܐ ܗܘܐ ܥܕܡܐ ܕܢܗܘܘܢ ܢܦܠܝܢ ܥܠܘܗܝ ܡܛܠ ܕܢܬܩܪܒܘܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu hafanywi kuwa mwadilifu mbele yake Mungu kwa kuisikia Sheria, bali kwa kuitii Sheria. \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܫܡܘܥܘܗܝ ܕܢܡܘܤܐ ܟܐܢܝܢ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܐܠܐ ܥܒܘܕܘܗܝ ܕܢܡܘܤܐ ܡܙܕܕܩܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Epafra, mfungwa mwenzangu kwa ajili ya Kristo Yesu, anakusalimu. \t ܫܐܠ ܒܫܠܡܟ ܐܦܦܪܐ ܫܒܝܐ ܕܥܡܝ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jueni wazi, ndugu zangu, kwamba ujumbe kuhusu kusamehewa dhambi unahubiriwa kwenu kwa njia ya Yesu Kristo; \t ܕܥܘ ܗܟܝܠ ܐܚܝ ܕܒܗ ܒܗܢܐ ܡܬܟܪܙ ܠܟܘܢ ܫܘܒܩܢ ܚܛܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kama yasemavyo Maandiko: \"Bado kidogo tu, na yule anayekuja, atakuja, wala hatakawia. \t ܡܛܠ ܕܩܠܝܠ ܗܘ ܙܒܢܐ ܘܛܒ ܙܥܘܪ ܕܢܐܬܐ ܗܘ ܕܐܬܐ ܘܠܐ ܢܘܚܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nendeni mkasimame Hekaluni na kuwaambia watu kila kitu kuhusu maisha haya mapya.\" \t ܙܠܘ ܩܘܡܘ ܒܗܝܟܠܐ ܘܡܠܠܘ ܠܥܡܐ ܟܠܗܝܢ ܡܠܐ ܗܠܝܢ ܕܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maneno yako yasiwe na hitilafu yoyote ili adui zako waaibike wasipopata chochote kibaya cha kusema juu yetu. \t ܕܢܟܦܐ ܘܠܐ ܡܚܒܠܐ ܘܠܐ ܐܢܫ ܒܤܪ ܠܗ ܕܐܝܢܐ ܕܩܐܡ ܠܩܘܒܠܢ ܢܒܗܬ ܟܕ ܠܐ ܢܫܟܚ ܕܢܐܡܪ ܥܠܝܢ ܡܕܡ ܕܤܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa nini nasema hivyo? Kwa sababu eti siwapendi ninyi? Mungu anajua kwamba nawapenda! \t ܠܡܢܐ ܡܛܠ ܕܠܐ ܡܚܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܠܗܐ ܗܘ ܝܕܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Fikiria hayo ninayosema, kwani Bwana atakuwezesha uyaelewe yote. \t ܐܤܬܟܠ ܡܕܡ ܕܐܡܪ ܐܢܐ ܢܬܠ ܠܟ ܡܪܢ ܚܟܡܬܐ ܒܟܠ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, kwa neema ya Mungu mmekombolewa kwa njia ya imani. Jambo hili si matokeo ya juhudi zenu, bali ni zawadi ya Mungu. \t ܒܛܝܒܘܬܗ ܗܘ ܓܝܪ ܐܬܦܪܩܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܗܕܐ ܠܐ ܗܘܬ ܡܢܟܘܢ ܐܠܐ ܡܘܗܒܬܐ ܗܝ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wengi kati ya wale waliosikia ujumbe wao waliamini, na idadi ya waumini ikawa imefika karibu elfu tano. \t ܘܤܓܝܐܐ ܕܫܡܥܘ ܗܘܘ ܡܠܬܐ ܗܝܡܢܘ ܗܘܘ ܘܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܒܡܢܝܢܐ ܐܝܟ ܚܡܫܐ ܐܠܦܝܢ ܓܒܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa maana jinsi mnavyowahukumu wengine, ndivyo nanyi mtakavyohukumiwa; na kipimo kilekile mnachotumia kwa wengine ndicho Mungu atakachotumia kwenu. \t ܒܕܝܢܐ ܓܝܪ ܕܕܝܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܬܬܕܝܢܘܢ ܘܒܟܝܠܬܐ ܕܡܟܝܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܬܬܟܝܠ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akamwambia \"Bwana, kwa nini siwezi kukufuata sasa? Niko tayari kufa kwa ajili yako!\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܡܪܝ ܠܡܢܐ ܠܐ ܡܫܟܚ ܐܢܐ ܕܐܬܐ ܒܬܪܟ ܗܫܐ ܢܦܫܝ ܚܠܦܝܟ ܤܐܡ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana si ninyi mtakaosema, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu. \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܐܢܬܘܢ ܡܡܠܠܝܢ ܐܠܐ ܪܘܚܐ ܕܐܒܘܟܘܢ ܡܡܠܠܐ ܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakaita kwa sauti: \"Je, kuna mgeni humu aitwaye Simoni Petro?\" \t ܘܩܪܝܢ ܗܘܘ ܬܡܢ ܘܡܫܐܠܝܢ ܕܐܢ ܫܡܥܘܢ ܕܡܬܩܪܐ ܟܐܦܐ ܗܪܟܐ ܫܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watoto wangu, upendo wetu usiwe maneno matupu, bali uwe upendo wa kweli na wa vitendo. \t ܒܢܝ ܠܐ ܢܚܒ ܚܕ ܠܚܕ ܒܡܠܐ ܘܒܠܫܢܐ ܐܠܐ ܒܥܒܕܐ ܘܒܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkizishika amri zangu mtakaa katika pendo langu, kama vile nami nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake. \t ܐܢ ܦܘܩܕܢܝ ܬܛܪܘܢ ܬܩܘܘܢ ܒܚܘܒܐ ܕܝܠܝ ܐܝܟܢܐ ܕܐܢܐ ܢܛܪܬ ܦܘܩܕܢܘܗܝ ܕܐܒܝ ܘܡܩܘܐ ܐܢܐ ܒܚܘܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo hujisemea: Nitarudi nyumbani kwangu nilikotoka. Lakini anaporudi na kuikuta tupu, imefagiwa na kupambwa, \t ܗܝܕܝܢ ܐܡܪܐ ܐܗܦܘܟ ܠܒܝܬܝ ܡܢ ܐܝܟܐ ܕܢܦܩܬ ܘܐܬܝܐ ܡܫܟܚܐ ܕܤܪܝܩ ܘܚܡܝܡ ܘܡܨܒܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, mtu ambaye dhamiri yake ni dhaifu, akikuona wewe mwenye ujuzi unakula vyakula hivyo ndani ya hekalu la sanamu, je, hatatiwa moyo wa kula vyakula vilivyotambikiwa sanamu? \t ܐܢ ܐܢܫ ܓܝܪ ܢܚܙܝܟ ܠܟ ܕܐܝܬ ܒܟ ܝܕܥܬܐ ܕܤܡܝܟ ܐܢܬ ܒܝܬ ܦܬܟܪܐ ܠܐ ܗܐ ܬܐܪܬܗ ܡܛܠ ܕܟܪܝܗ ܗܘ ܡܫܬܪܪܐ ܠܡܐܟܠ ܕܕܒܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alifanya jambo hilo kufuatana na azimio lake la milele ambalo amelifanya kwa njia ya Kristo Bwana wetu. \t ܗܝ ܕܥܬܕ ܗܘܐ ܡܢ ܥܠܡܐ ܘܥܒܕܗ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma. \t ܐܢܫ ܕܝܢ ܫܡܪܝܐ ܟܕ ܪܕܐ ܗܘܐ ܐܬܐ ܐܝܟܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܘܚܙܝܗܝ ܘܐܬܪܚܡ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akainama tena, akawa anaandika ardhini. \t ܘܬܘܒ ܟܕ ܐܬܓܗܢ ܟܬܒ ܗܘܐ ܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mtu anamsifu Demetrio; naam, ukweli wenyewe unamsifu. Nasi pia tunatoa ushahidi wetu juu yake, nawe wajua kwamba tunachosema ni kweli. \t ܥܠ ܕܡܝܛܪܝܘܤ ܐܝܬ ܗܘ ܤܗܕܘܬܐ ܡܢ ܟܠܢܫ ܘܡܢܗ ܕܥܕܬܐ ܘܡܢܗ ܕܫܪܪܐ ܐܦ ܚܢܢ ܕܝܢ ܤܗܕܝܢܢ ܘܝܕܥ ܐܢܬ ܕܤܗܕܘܬܐ ܕܝܠܢ ܫܪܝܪܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: \"Kwa ajili yako, twakikabili kifo kutwa kucha: tunatendewa kama kondoo wa kuchinjwa.\" \t ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܡܛܠܬܟ ܟܠܝܘܡ ܡܝܬܝܢܢ ܘܐܬܚܫܒܢ ܐܝܟ ܐܡܪܐ ܠܢܟܤܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati wa hukumu umefika, na hukumu hiyo inaanza na watu wake Mungu mwenyewe. Ikiwa hukumu hiyo inaanzia kwetu sisi, basi mwisho wake utakuwa namna gani kwa wale wasioamini Habari Njema ya Mungu? \t ܡܛܠ ܕܙܒܢܐ ܗܘ ܕܢܫܪܐ ܕܝܢܐ ܡܢ ܒܝܬܗ ܕܐܠܗܐ ܐܢ ܕܝܢ ܡܢܢ ܡܫܪܐ ܐܝܕܐ ܗܝ ܚܪܬܐ ܕܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܬܛܦܝܤܝܢ ܠܤܒܪܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Humo mlikuwa na madhabahu ya dhahabu kwa ajili ya kufukizia ubani, na Sanduku la Agano, ambalo lilikuwa limepakwa dhahabu pande zote, na ndani yake mlikuwa na chungu cha dhahabu kilichokuwa na mana; fimbo ya Aroni iliyokuwa imechanua majani, na vile vibao viwili vilivyoandikwa agano. \t ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܒܗ ܒܝܬ ܒܤܡܐ ܕܕܗܒܐ ܘܩܒܘܬܐ ܕܕܝܬܩܐ ܕܩܪܝܡܐ ܟܠܗ ܒܕܗܒܐ ܘܐܝܬ ܒܗ ܩܤܛܐ ܕܕܗܒܐ ܗܝ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܒܗ ܡܢܢܐ ܘܫܒܛܐ ܕܐܗܪܘܢ ܗܘ ܕܐܦܪܥ ܘܠܘܚܐ ܕܕܝܬܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo huko Yerusalemu kulikuwa na mtu mmoja, mwema na mcha Mungu, jina lake Simeoni. Yeye alikuwa akitazamia kwa hamu ukombozi wa Israeli. Roho Mtakatifu alikuwa pamoja naye. \t ܓܒܪܐ ܕܝܢ ܚܕ ܐܝܬ ܗܘܐ ܒܐܘܪܫܠܡ ܫܡܗ ܗܘܐ ܫܡܥܘܢ ܘܓܒܪܐ ܗܢܐ ܟܐܝܢ ܗܘܐ ܘܙܕܝܩ ܘܡܤܟܐ ܗܘܐ ܠܒܘܝܐܗ ܕܐܝܤܪܝܠ ܘܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܐܝܬ ܗܘܬ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati mnapokusanyika pamoja kwa jina la Bwana Yesu, nami nikiwa pamoja nanyi kwa roho, basi, kwa uwezo wa Bwana wetu Yesu, \t ܕܒܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܬܬܟܢܫܘܢ ܟܠܟܘܢ ܘܐܢܐ ܥܡܟܘܢ ܒܪܘܚ ܥܡ ܚܝܠܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, yeyote atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa. \t ܘܢܗܘܐ ܟܠ ܕܢܩܪܐ ܫܡܗ ܕܡܪܝܐ ܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana hata kama mnao maelfu ya walezi katika maisha yenu ya Kikristo, baba yenu ni mmoja tu, kwani katika maisha ya Kikristo mimi ndiye niliyewazaeni kwa kuihubiri Habari Njema. \t ܐܢ ܓܝܪ ܪܒܘ ܬܪܐܐ ܢܗܘܘܢ ܠܟܘܢ ܒܡܫܝܚܐ ܐܠܐ ܠܐ ܤܓܝܐܐ ܐܒܗܐ ܒܝܫܘܥ ܓܝܪ ܡܫܝܚܐ ܐܢܐ ܗܘ ܐܘܠܕܬܟܘܢ ܒܤܒܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nawaombea hao; siuombei ulimwengu, ila nawaombea hao ulionipa, maana ni wako. \t ܘܐܢܐ ܥܠܝܗܘܢ ܒܥܐ ܐܢܐ ܠܐ ܗܘܐ ܥܠ ܥܠܡܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܐܠܐ ܥܠ ܗܢܘܢ ܕܝܗܒܬ ܠܝ ܕܕܝܠܟ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Msiwape mbwa vitu vitakatifu wasije wakageuka na kuwararua ninyi; wala msiwatupie nguruwe lulu zenu wasije wakazikanyaga. \t ܠܐ ܬܬܠܘܢ ܩܘܕܫܐ ܠܟܠܒܐ ܘܠܐ ܬܪܡܘܢ ܡܪܓܢܝܬܟܘܢ ܩܕܡ ܚܙܝܪܐ ܕܠܡܐ ܢܕܘܫܘܢ ܐܢܝܢ ܒܪܓܠܝܗܘܢ ܘܢܗܦܟܘܢ ܢܒܙܥܘܢܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa muda wa miaka miwili mizima Paulo aliishi katika nyumba aliyoipanga yeye mwenyewe; akawa anawakaribisha wote waliofika kumsalimu. \t ܘܐܓܪ ܠܗ ܦܘܠܘܤ ܡܢ ܕܝܠܗ ܒܝܬܐ ܘܗܘܐ ܒܗ ܬܪܬܝܢ ܫܢܝܢ ܘܡܩܒܠ ܗܘܐ ܬܡܢ ܠܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܐܬܝܢ ܗܘܘ ܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, hapa petu palikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa kisha akafa bila kujaliwa watoto, akamwachia ndugu yake huyo mke wake mjane. \t ܐܝܬ ܗܘܘ ܕܝܢ ܠܘܬܢ ܐܚܐ ܫܒܥܐ ܩܕܡܝܐ ܫܩܠ ܐܢܬܬܐ ܘܡܝܬ ܘܕܠܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܒܢܝܐ ܫܒܩܗ ܐܢܬܬܗ ܠܐܚܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini joka hilo halikuweza kuwashinda, na hatimaye hapakuwa tena na nafasi mbinguni kwa ajili yake na malaika wake. \t ܘܠܐ ܐܬܡܨܝܘ ܘܠܐ ܐܬܪܐ ܐܫܬܟܚ ܠܗܘܢ ܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nitakapokuja nitayafichua mambo yote anayofanya, maneno mabaya anayotutolea na uongo anaosema juu yetu. Isitoshe, yeye hukataa kuwakaribisha hao ndugu walio safarini, na hata huwazuia watu wengine wanaotaka kuwakaribisha, na hujaribu kuwafukuzia nje ya kanisa. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܢ ܗܘ ܕܐܬܐ ܐܥܗܕ ܥܒܕܘܗܝ ܗܢܘܢ ܕܥܒܕ ܕܒܡܠܐ ܒܝܫܬܐ ܤܬܪ ܠܢ ܘܟܕ ܠܐ ܤܦܩ ܠܗ ܗܠܝܢ ܠܐ ܗܘ ܡܩܒܠ ܠܐܚܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܡܩܒܠܝܢ ܟܠܐ ܘܡܦܩ ܡܢ ܥܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mama akauacha mtungi wake pale, akaenda mjini na kuwaambia watu, \t ܘܫܒܩܬ ܩܘܠܬܗ ܐܢܬܬܐ ܘܐܙܠܬ ܠܡܕܝܢܬܐ ܘܐܡܪܐ ܠܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sasa mtu yeyote asinisumbue tena, maana alama nilizo nazo mwilini mwangu ni zile za Yesu. \t ܡܟܝܠ ܠܝ ܐܢܫ ܥܡܠܐ ܠܐ ܢܪܡܐ ܐܢܐ ܓܝܪ ܟܘܬܡܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܒܦܓܪܝ ܫܩܝܠ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna mtu atakayemfundisha mwananchi mwenzake, wala atakayemwambia ndugu yake: Mjue Bwana. Maana watu wote, wadogo na wakubwa, watanijua mimi. \t ܘܠܐ ܢܠܦ ܐܢܫ ܠܒܪ ܡܕܝܢܬܗ ܐܦܠܐ ܠܐܚܘܗܝ ܘܢܐܡܪ ܕܕܥ ܠܡܪܝܐ ܡܛܠ ܕܟܠܗܘܢ ܢܕܥܘܢܢܝ ܡܢ ܙܥܘܪܗܘܢ ܘܥܕܡܐ ܠܩܫܝܫܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala msiitwe Viongozi, maana kiongozi wenu ni mmoja tu, ndiye Kristo. \t ܘܠܐ ܬܬܩܪܘܢ ܡܕܒܪܢܐ ܡܛܠ ܕܚܕ ܗܘ ܡܕܒܪܢܟܘܢ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku hiyo mtaomba kwa jina langu, na siwaambii kwamba nitamwomba Baba kwa niaba yenu; \t ܒܗܘ ܝܘܡܐ ܕܬܫܐܠܘܢ ܒܫܡܝ ܘܠܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܢܐ ܐܒܥܐ ܡܢ ܐܒܐ ܥܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo ndipo taifa lote la Israeli litakapookolewa, kama yesemavyo Maandiko Matakatifu: \"Mkombozi atakuja kutoka Sioni, atauondoa uovu wa Yakobo. \t ܘܗܝܕܝܢ ܟܠܗ ܐܝܤܪܝܠ ܢܚܐ ܐܝܟܢܐ ܕܟܬܝܒ ܕܢܐܬܐ ܡܢ ܨܗܝܘܢ ܦܪܘܩܐ ܘܢܗܦܟ ܥܘܠܐ ܡܢ ܝܥܩܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nao wenye shughuli na dunia hii wawe kama vile hawana shughuli sana nayo. Maana ulimwengu huu, kama tuujuavyo, unapita. \t ܘܐܝܠܝܢ ܕܡܬܚܫܚܝܢ ܒܥܠܡܐ ܗܢܐ ܠܐ ܠܒܪ ܡܢ ܙܕܩܐ ܕܚܫܚܬܐ ܥܒܪ ܠܗ ܓܝܪ ܐܤܟܡܗ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Njoni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. \t ܬܘ ܠܘܬܝ ܟܠܟܘܢ ܠܐܝܐ ܘܫܩܝܠܝ ܡܘܒܠܐ ܘܐܢܐ ܐܢܝܚܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakasema, Watu hawa walioajiriwa mwisho walifanya kazi kwa muda wa saa moja tu, mbona umetutendea sawa na wao hali sisi tumevumilia kazi ngumu kutwa na jua kali? \t ܘܐܡܪܝܢ ܗܠܝܢ ܐܚܪܝܐ ܚܕܐ ܫܥܐ ܥܒܕܘ ܘܐܫܘܝܬ ܐܢܘܢ ܥܡܢ ܕܫܩܠܢ ܝܘܩܪܗ ܕܝܘܡܐ ܘܚܘܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo ndiye yule aliyeshuhudia mambo haya na kuyaandika. Nasi twajua kwamba aliyoyasema ni kweli. \t ܗܢܘ ܬܠܡܝܕܐ ܕܐܤܗܕ ܥܠ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܘܐܦ ܟܬܒ ܐܢܝܢ ܘܝܕܥܝܢ ܚܢܢ ܕܫܪܝܪܐ ܗܝ ܤܗܕܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa namna yoyote ile. Maana Siku hiyo haitakuja mpaka kwanza ule Uasi Mkuu utokee na yule Mwovu aonekane ambaye mwisho wake ni kuangamizwa kabisa. \t ܠܡܐ ܐܢܫ ܢܛܥܝܟܘܢ ܒܚܕ ܡܢ ܐܤܟܡܝܢ ܡܛܠ ܕܐܢ ܠܐ ܬܐܬܐ ܠܘܩܕܡ ܡܪܘܕܘܬܐ ܘܢܬܓܠܐ ܒܪܢܫܐ ܕܚܛܝܬܐ ܒܪܗ ܕܐܒܕܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.) \t ܠܐ ܓܝܪ ܥܕܟܝܠ ܢܦܠ ܗܘܐ ܝܘܚܢܢ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu vyakula au vinywaji, siku za sherehe, sikukuu ya Mwezi mpya au Sabato. \t ܠܐ ܗܟܝܠ ܐܢܫ ܢܕܘܕܟܘܢ ܒܡܐܟܠܐ ܘܒܡܫܬܝܐ ܐܘ ܒܦܘܠܓܐ ܕܥܐܕܐ ܘܕܪܝܫ ܝܪܚܐ ܘܕܫܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu na alipotazama na kuona umati wa watu ukija kwake, alimwambia Filipo, \"Tununue wapi mikate ili watu hawa wapate kula?\" \t ܘܐܪܝܡ ܥܝܢܘܗܝ ܝܫܘܥ ܘܚܙܐ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܕܐܬܐ ܠܘܬܗ ܘܐܡܪ ܠܦܝܠܝܦܘܤ ܐܝܡܟܐ ܢܙܒܢ ܠܚܡܐ ܕܢܐܟܠܘܢ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watu wenye dhambi, ila humsikiliza yeyote mwenye kumcha na kutimiza mapenzi yake. \t ܝܕܥܝܢ ܚܢܢ ܕܝܢ ܕܐܠܗܐ ܒܩܠܐ ܕܚܛܝܐ ܠܐ ܫܡܥ ܐܠܐ ܠܡܢ ܕܕܚܠ ܡܢܗ ܘܥܒܕ ܨܒܝܢܗ ܠܗܘ ܗܘ ܫܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Niamini; wakati unakuja ambapo hamtamwabudu Baba juu ya mlima huu, wala kule Yerusalemu. \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢܬܬܐ ܗܝܡܢܝܢܝ ܕܐܬܝܐ ܫܥܬܐ ܕܠܐ ܒܗܢܐ ܛܘܪܐ ܘܐܦ ܠܐ ܒܐܘܪܫܠܡ ܬܤܓܕܘܢ ܠܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, basi, ndugu, sisi si watoto wa mtumwa bali wa mama huru. \t ܚܢܢ ܗܟܝܠ ܐܚܝ ܠܐ ܗܘܝܢ ܒܢܝ ܐܡܬܐ ܐܠܐ ܒܢܝ ܚܐܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana akajibu, \"Ni nani basi, mtumishi aliye mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya watumishi wake ili awape chakula wakati ufaao? \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܡܢܘ ܟܝ ܐܝܬ ܪܒܝܬܐ ܡܗܝܡܢܐ ܘܚܟܝܡܐ ܕܢܩܝܡܝܘܗܝ ܡܪܗ ܥܠ ܬܫܡܫܬܗ ܕܢܬܠ ܦܪܤܐ ܒܙܒܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakika, manabii na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona ninyi wasiyaone, na kusikia yale mnayoyasikia wasiyasikie.\" \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܕܢܒܝܐ ܤܓܝܐܐ ܘܡܠܟܐ ܨܒܘ ܕܢܚܙܘܢ ܡܕܡ ܕܚܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܠܐ ܚܙܘ ܘܠܡܫܡܥ ܡܕܡ ܕܐܢܬܘܢ ܫܡܥܝܢ ܘܠܐ ܫܡܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Kristo hakuingia Mahali Patakatifu palipojengwa kwa mikono ya watu, ambapo ni mfano tu wa kile kilicho halisi. yeye aliingia mbinguni kwenyewe ambako sasa anasimama mbele ya Mungu kwa ajili yetu. \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܠܒܝܬ ܡܩܕܫܐ ܕܥܒܝܕ ܒܐܝܕܝܐ ܥܠ ܡܫܝܚܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܕܡܘܬܐ ܕܗܘ ܫܪܝܪܐ ܐܠܐ ܠܗ ܠܫܡܝܐ ܥܠ ܕܢܬܚܙܐ ܩܕV ܦܪܨܘܦܗ ܕܐܠܗܐ ܚܠܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tukiishi kwa msaada wa Roho, na tuufuate mwongozo wake. \t ܢܚܐ ܗܟܝܠ ܒܪܘܚܐ ܘܠܪܘܚܐ ܢܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ile amri ya zamani ilifutwa kwa sababu ilikuwa hafifu na isiyofaa kitu. \t ܫܘܚܠܦܐ ܕܝܢ ܕܗܘܐ ܠܦܘܩܕܢܐ ܩܕܡܝܐ ܡܛܠ ܡܚܝܠܘܬܗ ܘܕܝܘܬܪܢ ܠܝܬ ܗܘܐ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na hata kama nikiwaulizeni swali, hamtanijibu. \t ܘܐܢ ܐܫܐܠܟܘܢ ܠܐ ܡܦܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ ܦܬܓܡܐ ܐܘ ܫܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sauti hiyo ikamwambia huyo malaika wa sita mwenye tarumbeta, \"Wafungulie malaika wanne waliofungwa kwenye mto mkubwa Eufrate!\" \t ܕܐܡܪ ܠܡܠܐܟܐ ܫܬܝܬܝܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܫܝܦܘܪܐ ܫܪܝ ܠܐܪܒܥܐ ܡܠܐܟܐ ܕܐܤܝܪܝܢ ܥܠ ܢܗܪܐ ܪܒܐ ܦܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, twajua kwamba Mungu anawapenda na kwamba amewateua muwe watu wake, \t ܝܕܥܝܢܢ ܓܝܪ ܓܒܝܘܬܟܘܢ ܐܚܝ ܚܒܝܒܘܗܝ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kama yesemavyo Maandiko Matakatifu: \"Tazama! Naweka huko Sioni jiwe likwazalo, mwamba utakaowafanya watu waanguke. Mtu atakayemwamini yeye aliye hilo jiwe, hataaibishwa!\" \t ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܗܐ ܤܐܡ ܐܢܐ ܒܨܗܝܘܢ ܟܐܦܐ ܕܬܘܩܠܬܐ ܘܟܐܦܐ ܕܡܟܫܘܠܐ ܘܡܢ ܕܒܗ ܢܗܝܡܢ ܠܐ ܢܒܗܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mfalme Agripa, ninajiona mwenye bahati leo kujitetea mbele yako kuhusu yale mashtaka yote ambayo Wayahudi walikuwa wamesema juu yangu. \t ܥܠ ܟܠ ܡܐ ܕܡܬܪܫܐ ܐܢܐ ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܡܠܟܐ ܐܓܪܦܐ ܤܒܪ ܐܢܐ ܥܠ ܢܦܫܝ ܕܛܘܒܢܐ ܐܢܐ ܕܩܕܡܝܟ ܝܘܡܢܐ ܢܦܩ ܐܢܐ ܪܘܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Au je, hamjasoma katika Sheria kwamba kila siku ya Sabato makuhani huivunja Sheria Hekaluni, lakini hawafikiriwi kuwa na hatia? \t ܐܘ ܠܐ ܩܪܝܬܘܢ ܒܐܘܪܝܬܐ ܕܟܗܢܐ ܒܗܝܟܠܐ ܡܚܠܝܢ ܠܗ ܠܫܒܬܐ ܘܕܠܐ ܥܕܠܝ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na sasa pia mimi nawaambieni, msiwachukulie watu hawa hatua yoyote; waacheni! Kwa maana, ikiwa mpango huu au shughuli hii yao imeanzishwa na binadamu, itatoweka yenyewe. \t ܘܗܫܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܦܪܘܩܘ ܠܟܘܢ ܡܢ ܗܠܝܢ ܐܢܫܐ ܘܫܒܘܩܘ ܠܗܘܢ ܕܐܢ ܗܘ ܕܡܢ ܒܢܝܢܫܐ ܐܝܬܝܗ ܗܕܐ ܡܚܫܒܬܐ ܘܗܢܐ ܥܒܕܐ ܡܫܬܪܝܢ ܘܥܒܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wengi walifika kutoka katika miji ya kando kando ya Yerusalemu, wakiwaleta wagonjwa wao na wale waliokuwa na pepo wachafu, nao wote wakaponywa. \t ܐܬܝܢ ܗܘܘ ܕܝܢ ܤܓܝܐܐ ܠܘܬܗܘܢ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ ܐܚܪܢܝܬܐ ܕܚܕܪܝ ܐܘܪܫܠܡ ܟܕ ܡܝܬܝܢ ܗܘܘ ܟܪܝܗܐ ܘܐܝܠܝܢ ܕܗܘܝܢ ܗܘܝ ܠܗܘܢ ܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ ܘܡܬܚܠܡܝܢ ܗܘܘ ܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Lakini ninyi wengine mlioko huko Thuatira ambao hamfuati mafundisho yake Yezabeli, na ambao hamkujifunza kile wanachokiita Siri ya Shetani, nawaambieni kwamba sitawapeni mzigo mwingine. \t ܠܟܘܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܫܪܟܐ ܕܒܬܐܘܛܝܪܐ ܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܠܝܬ ܠܗܘܢ ܝܘܠܦܢܐ ܗܢܐ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܝܕܥܘ ܥܡܝܩܬܗ ܕܤܛܢܐ ܐܝܟ ܕܐܡܪܝܢ ܠܐ ܐܪܡܐ ܥܠܝܟܘܢ ܝܘܩܪܐ ܐܚܪܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Thoma akamjibu, \"Bwana wangu na Mungu wangu!\" \t ܘܥܢܐ ܬܐܘܡܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܪܝ ܘܐܠܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Aliye na masikio, na asikie! \t ܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܐܕܢܐ ܢܫܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikasikia sauti madhabahuni ikisema, \"Naam, Bwana Mungu Mwenye Uwezo! Hukumu zako ni za kweli na haki!\" \t ܘܫܡܥܬ ܠܡܕܒܚܐ ܕܐܡܪ ܐܝܢ ܡܪܝܐ ܐܠܗܐ ܐܚܝܕ ܟܠ ܫܪܝܪܝܢ ܘܙܕܝܩܝܢ ܕܝܢܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mvua ya mawe makubwa yenye uzito wa kama kilo hamsini kila moja, ikawanyeshea watu. Nao wakamtukana Mungu kwa sababu ya mapigo ya mvua hiyo ya mawe. Naam, pigo la mvua hiyo ya mawe lilikuwa kubwa mno. \t ܘܒܪܕܐ ܪܒܐ ܐܝܟ ܟܟܪܐ ܢܚܬ ܡܢ ܫܡܝܐ ܥܠ ܒܢܝܢܫܐ ܘܓܕܦܘ ܒܢܝܢܫܐ ܠܐܠܗܐ ܥܠ ܡܚܘܬܐ ܕܒܪܕܐ ܡܛܠ ܕܪܒܐ ܗܝ ܡܚܘܬܗ ܛܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heli alikuwa mwana wa Mathati, mwana wa Lawi, mwana wa Melki, mwana wa Yanai, mwana wa Yosefu, \t ܒܪ ܡܛܬܬ ܒܪ ܠܘܝ ܒܪ ܡܠܟܝ ܒܪ ܝܐܢܝ ܒܪ ܝܘܤܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kabla ya kuliuza lilikuwa mali yako, na baada ya kuliuza, bado hizo fedha zilikuwa zako uzitumie utakavyo. Kwa nini basi, uliamua moyoni mwako kufanya jambo la namna hii? Hukumdanganya mtu; umemdanganya Mungu!\" \t ܠܐ ܗܘܐ ܕܝܠܟ ܗܘܬ ܥܕܠܐ ܬܙܕܒܢ ܘܡܢ ܕܐܙܕܒܢܬ ܬܘܒ ܐܢܬ ܫܠܝܛ ܗܘܝܬ ܥܠ ܕܡܝܗ ܠܡܢܐ ܤܡܬ ܒܠܒܟ ܕܬܥܒܕ ܨܒܘܬܐ ܗܕܐ ܠܐ ܕܓܠܬ ܒܒܢܝ ܐܢܫܐ ܐܠܐ ܒܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kuwatazama wote waliokuwa pale, akamwambia yule mtu, \"Nyosha mkono wako.\" Naye akafanya hivyo, na mkono wake ukawa mzima tena. \t ܘܚܪ ܒܗܘܢ ܒܟܠܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗ ܦܫܘܛ ܐܝܕܟ ܘܦܫܛ ܘܬܩܢܬ ܐܝܕܗ ܐܝܟ ܚܒܪܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tumaini lenu liwaweke daima wenye furaha; muwe na saburi katika shida na kusali daima. \t ܗܘܝܬܘܢ ܚܕܝܢ ܒܤܒܪܟܘܢ ܗܘܝܬܘܢ ܡܤܝܒܪܝܢ ܐܘܠܨܢܝܟܘܢ ܗܘܝܬܘܢ ܐܡܝܢܝܢ ܒܨܠܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, nitaamuru apigwe viboko, halafu nitamwachilia.\" \t ܐܪܕܝܘܗܝ ܗܟܝܠ ܘܐܫܒܩܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote walikuwa wanatazamia kitu fulani; basi, wakaanza kujiuliza mioyoni mwao kuhusu Yohane: kuwa labda yeye ndiye Kristo. \t ܟܕ ܕܝܢ ܡܤܒܪ ܗܘܐ ܥܡܐ ܥܠ ܝܘܚܢܢ ܘܟܠܗܘܢ ܡܬܚܫܒܝܢ ܗܘܘ ܒܠܒܗܘܢ ܕܕܠܡܐ ܗܘܝܘ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndoa inapaswa kuheshimiwa na watu wote, na haki zake zitekelezwe kwa uaminifu. Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi. \t ܡܝܩܪ ܗܘ ܙܘܘܓܐ ܒܟܠ ܘܥܪܤܗܘܢ ܕܟܝܐ ܗܝ ܠܙܢܝܐ ܕܝܢ ܘܠܓܝܪܐ ܕܐܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Eliya na Mose wakawatokea, wakazungumza na Yesu. \t ܘܐܬܚܙܝܘ ܠܗܘܢ ܐܠܝܐ ܘܡܘܫܐ ܟܕ ܡܡܠܠܝܢ ܥܡ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akajibu, \"Naam, hulipa.\" Basi, Petro alipoingia ndani ya nyumba, kabla hata hajasema neno, Yesu akamwuliza, \"Simoni, wewe unaonaje? Wafalme wa dunia hukusanya ushuru au kodi kutoka kwa kina nani? Kutoka kwa wananchi ama kutoka kwa wageni?\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܝܢ ܘܟܕ ܥܠ ܟܐܦܐ ܠܒܝܬܐ ܩܕܡܗ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܢܐ ܡܬܚܙܐ ܠܟ ܫܡܥܘܢ ܡܠܟܝܗ ܕܐܪܥܐ ܡܢ ܡܢ ܢܤܒܝܢ ܡܟܤܐ ܘܟܤܦ ܪܫܐ ܡܢ ܒܢܝܗܘܢ ܐܘ ܡܢ ܢܘܟܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hao wakulima wakaambiana, Huyu ndiye mrithi, basi, tumuue ili urithi wake uwe wetu! \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܦܠܚܐ ܐܡܪܘ ܒܢܦܫܗܘܢ ܗܢܘ ܝܪܬܐ ܬܘ ܢܩܛܠܝܘܗܝ ܘܬܗܘܐ ܕܝܠܢ ܝܪܬܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmojawapo wa walimu wa Sheria alifika, akasikia mabishano yao. Alipoona kwamba Yesu aliwajibu vyema, akajitokeza akamwuliza, \"Katika amri zote ni ipi iliyo ya kwanza?\" \t ܘܩܪܒ ܚܕ ܡܢ ܤܦܪܐ ܘܫܡܥ ܐܢܘܢ ܕܕܪܫܝܢ ܘܚܙܐ ܕܫܦܝܪ ܐܬܝܒ ܠܗܘܢ ܦܬܓܡܐ ܘܫܐܠܗ ܐܝܢܘ ܦܘܩܕܢܐ ܩܕܡܝܐ ܕܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wakala, wakashiba. Wakaokota mabaki yaliyosalia wakajaza makapu saba. \t ܘܐܟܠܘ ܘܤܒܥܘ ܘܫܩܠܘ ܬܘܬܪܐ ܕܩܨܝܐ ܫܒܥܐ ܐܤܦܪܝܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kwa njia ya neno hai la Mungu, ninyi mmezaliwa upya, si kama watoto wa baba awezaye kufa, bali baba asiyekufa milele. \t ܐܝܟ ܐܢܫܐ ܕܡܢ ܕܪܝܫ ܐܬܝܠܕܬܘܢ ܠܐ ܡܢ ܙܪܥܐ ܕܒܠܐ ܐܠܐ ܡܢ ܐܝܢܐ ܕܠܐ ܒܠܐ ܒܡܠܬܐ ܚܝܬܐ ܕܐܠܗܐ ܕܩܝܡܐ ܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni. Hivyo ndivyo walivyowadhulumu manabii waliokuwako kabla yenu. \t ܗܝܕܝܢ ܚܕܘ ܘܪܘܙܘ ܕܐܓܪܟܘܢ ܤܓܝ ܒܫܡܝܐ ܗܟܢܐ ܓܝܪ ܪܕܦܘ ܠܢܒܝܐ ܕܡܢ ܩܕܡܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waangalieni ndege wa mwituni: hawapandi, hawavuni, wala hawana ghala yoyoye. Hata hivyo, Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, ninyi si wa thamani kuliko hao? \t ܚܘܪܘ ܒܦܪܚܬܐ ܕܫܡܝܐ ܕܠܐ ܙܪܥܝܢ ܘܠܐ ܚܨܕܝܢ ܘܠܐ ܚܡܠܝܢ ܒܐܘܨܪܐ ܘܐܒܘܟܘܢ ܕܒܫܡܝܐ ܡܬܪܤܐ ܠܗܘܢ ܠܐ ܗܐ ܐܢܬܘܢ ܡܝܬܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, kama mkimwona mtu fulani amekosea, basi, ninyi mnaoongozwa na Roho mwonyeni mtu huyo ajirekebishe; lakini fanyeni hivyo kwa upole, mkiwa na tahadhari msije nanyi wenyewe mkajaribiwa. \t ܐܚܝ ܐܢ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܢܬܩܕܡ ܒܤܟܠܘܬܐ ܐܢܬܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܒܪܘܚ ܐܢܬܘܢ ܐܬܩܢܘܗܝ ܒܪܘܚܐ ܡܟܝܟܬܐ ܘܗܘܝܬܘܢ ܙܗܝܪܝܢ ܕܕܠܡܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܬܬܢܤܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipomwona Nathanieli akimjia alisema juu yake, \"Tazameni! Huyo ni Mwisraeli halisi: hamna hila ndani yake.\" \t ܘܚܙܝܗܝ ܝܫܘܥ ܠܢܬܢܝܐܝܠ ܟܕ ܐܬܐ ܠܘܬܗ ܘܐܡܪ ܥܠܘܗܝ ܗܐ ܫܪܝܪܐܝܬ ܒܪ ܐܝܤܪܝܠ ܕܢܟܠܐ ܠܝܬ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baba yangu hutukuzwa kama mkizaa matunda mengi na kuwa wanafunzi wangu. \t ܒܗܕܐ ܡܫܬܒܚ ܐܒܐ ܕܦܐܪܐ ܤܓܝܐܐ ܬܝܬܘܢ ܘܬܗܘܘܢ ܬܠܡܝܕܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara vitu kama magamba vikaanguka kutoka macho ya Saulo, akaweza kuona tena. Akasimama, akabatizwa. \t ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܢܦܠ ܡܢ ܥܝܢܘܗܝ ܡܕܡ ܕܕܡܐ ܠܩܠܦܐ ܘܐܬܦܬܚ ܥܝܢܘܗܝ ܘܩܡ ܥܡܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo kipofu akatazama, akasema, \"Ninawaona watu wanaoonekana kama miti inayotembea.\" \t ܚܪ ܘܐܡܪ ܚܙܐ ܐܢܐ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܐܝܟ ܐܝܠܢܐ ܕܡܗܠܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika nanyi mtakapoona mambo haya yote yakitendeka, jueni kwamba yuko karibu sana. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܡܐ ܕܚܙܝܬܘܢ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܕܥܘ ܕܡܛܬ ܠܗ ܠܬܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nataka kuwakumbusheni mambo fulani ambayo mmekwisha yajua: kumbukeni jinsi Bwana alivyowaokoa watu wa Israeli na kuwatoa katika nchi ya Misri, lakini baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini. \t ܠܡܥܗܕܘܬܟܘܢ ܕܝܢ ܨܒܐ ܐܢܐ ܟܕ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܟܠܗܝܢ ܕܐܠܗܐ ܟܕ ܚܕܐ ܙܒܢ ܠܥܡܐ ܡܢ ܡܨܪܝܢ ܦܪܩ ܗܝ ܕܬܪܬܝܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܗܝܡܢܘ ܐܘܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa upande wangu sina habari kamili ambayo naweza kumwandikia Kaisari juu yake. Ndiyo maana nimemleta hapa mbele yenu na mbele yako mfalme Agripa, ili baada ya kumchunguza, niweze kuwa na la kuandika. \t ܘܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܡܢܐ ܐܟܬܘܒ ܥܠܘܗܝ ܠܩܤܪ ܡܛܠ ܗܢܐ ܨܒܝܬ ܠܡܝܬܝܘܬܗ ܩܕܡܝܟܘܢ ܘܝܬܝܪܐܝܬ ܩܕܡܝܟ ܡܠܟܐ ܐܓܪܦܐ ܕܡܐ ܕܐܫܬܐܠ ܕܝܢܗ ܐܫܟܚ ܡܢܐ ܐܟܬܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tuombeeni na sisi. Tuna hakika kwamba tunayo dhamiri safi, maana twataka kufanya lililo sawa daima. \t ܨܠܘ ܥܠܝܢ ܬܟܝܠܝܢܢ ܓܝܪ ܕܬܐܪܬܐ ܛܒܬܐ ܐܝܬ ܠܢ ܕܒܟܠܡܕܡ ܨܒܝܢܢ ܕܫܦܝܪ ܢܬܕܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana sisi ni viungo vya mwili wake.) \t ܡܛܠ ܕܗܕܡܐ ܚܢܢ ܕܦܓܪܗ ܘܡܢ ܒܤܪܗ ܚܢܢ ܘܡܢ ܓܪܡܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi ni rafiki zangu mkifanya ninayowaamuru. \t ܐܢܬܘܢ ܪܚܡܝ ܐܢܬܘܢ ܐܢ ܬܥܒܕܘܢ ܟܠ ܕܡܦܩܕ ܐܢܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu. \t ܕܠܐ ܬܗܘܐ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܒܚܟܡܬܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܐܠܐ ܒܚܝܠܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Kweli nawaambieni, kama mkiwa na imani bila kuwa na mashaka, mnaweza si tu kufanya hivyo, bali hata mkiuambia mlima huu: Ng'oka ukajitose baharini, itafanyika hivyo. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܢ ܬܗܘܐ ܒܟܘܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܘܠܐ ܬܬܦܠܓܘܢ ܠܐ ܒܠܚܘܕ ܗܕܐ ܕܬܬܐ ܬܥܒܕܘܢ ܐܠܐ ܐܦܢ ܠܛܘܪܐ ܗܢܐ ܬܐܡܪܘܢ ܕܐܫܬܩܠ ܘܦܠ ܒܝܡܐ ܬܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia wanafunzi wake wamtayarishie mashua moja, ili umati wa watu usije ukamsonga. \t ܘܐܡܪ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܢܩܪܒܘܢ ܠܗ ܤܦܝܢܬܐ ܡܛܠ ܟܢܫܐ ܕܠܐ ܢܚܒܨܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni dhahiri kwamba ninyi ni barua ya Kristo aliyoipeleka kwa mikono yetu. Barua yenyewe imeandikwa si kwa wino, bali kwa Roho wa Mungu hai; imeandikwa si juu ya kipande cha jiwe, bali juu ya mioyo ya watu. \t ܝܕܥܝܬܘܢ ܓܝܪ ܕܐܓܪܬܗ ܐܢܬܘܢ ܕܡܫܝܚܐ ܕܐܫܬܡܫܬ ܡܢܢ ܕܟܬܝܒܐ ܠܐ ܒܕܝܘܬܐ ܐܠܐ ܒܪܘܚܐ ܕܐܠܗܐ ܚܝܐ ܠܐ ܒܠܘܚܐ ܕܟܐܦܐ ܐܠܐ ܒܠܘܚܐ ܕܠܒܐ ܕܒܤܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hayupo hapa maana amefufuka kama alivyosema. Njoni mkaone mahali alipokuwa amelala. \t ܠܐ ܗܘܐ ܬܢܢ ܩܡ ܠܗ ܓܝܪ ܐܝܟܢܐ ܕܐܡܪ ܬܐܝܝܢ ܚܙܝܝܢ ܕܘܟܬܐ ܕܤܝܡ ܗܘܐ ܒܗ ܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na anayeapa kwa mbingu ameapa kwa kiti cha enzi cha Mungu, na kwa huyo aketiye juu yake. \t ܘܡܢ ܕܝܡܐ ܒܫܡܝܐ ܝܡܐ ܒܟܘܪܤܝܗ ܕܐܠܗܐ ܘܒܡܢ ܕܝܬܒ ܠܥܠ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja Yesu alikwenda mlimani kusali, akakesha huko usiku kucha akimwomba Mungu. \t ܗܘܐ ܕܝܢ ܒܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܢܦܩ ܝܫܘܥ ܠܛܘܪܐ ܠܡܨܠܝܘ ܘܬܡܢ ܐܓܗ ܗܘܐ ܒܨܠܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kukawa tena na mafarakano kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno haya. \t ܘܗܘܬ ܬܘܒ ܦܠܓܘܬܐ ܒܝܢܝ ܝܗܘܕܝܐ ܡܛܠ ܡܠܐ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo, Mungu amewaacha wafuate tamaa mbaya za mioyo yao na kufanyiana mambo ya aibu kwa miili yao. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܫܠܡ ܐܢܘܢ ܐܠܗܐ ܠܪܓܝܓܬܐ ܛܡܐܬܐ ܕܠܒܗܘܢ ܕܢܨܥܪܘܢ ܦܓܪܝܗܘܢ ܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipouacha umati wa watu na kuingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuliza maana ya huo mfano. \t ܟܕ ܕܝܢ ܥܠ ܝܫܘܥ ܠܒܝܬܐ ܡܢ ܟܢܫܐ ܫܐܠܘܗܝ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܥܠ ܡܬܠܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na, malaika ambao hawakuridhika na cheo chao, wakayaacha makao yao ya asili, Mungu amewafunga gizani kwa minyororo ya milele wahukumiwe Siku ile kuu. \t ܘܠܡܠܐܟܐ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܢܛܪܘ ܪܝܫܢܘܬܗܘܢ ܐܠܐ ܫܒܩܘ ܥܘܡܪܐ ܕܝܠܗܘܢ ܠܕܝܢܐ ܕܝܘܡܐ ܪܒܐ ܒܐܤܘܪܐ ܠܐ ܝܕܝܥܐ ܬܚܝܬ ܥܡܛܢܐ ܢܛܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, si mimi hasa ninayefanya kitu hicho, bali ile dhambi iliyo ndani yangu. \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܠܐ ܗܘܐ ܐܢܐ ܤܥܪ ܐܢܐ ܗܕܐ ܐܠܐ ܚܛܝܬܐ ܕܥܡܪܐ ܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama ilivyo desturi katika makanisa yote ya watu wa Mungu, wanawake wakae kimya katika mikutano ya waumini. Hawana ruhusa kusema; ila wawe watii kama isemavyo Sheria. \t ܢܫܝܟܘܢ ܒܥܕܬܐ ܢܗܘܝܢ ܫܬܝܩܢ ܠܐ ܓܝܪ ܡܦܤ ܠܗܝܢ ܕܢܡܠܠܢ ܐܠܐ ܕܢܫܬܥܒܕܢ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܢܡܘܤܐ ܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo mtu yeyote asimdharau, ila msaidieni aendelee na safari yake kwa amani ili aweze kurudi kwangu, maana mimi namngojea pamoja na ndugu zetu. \t ܠܡܐ ܗܟܝܠ ܐܢܫ ܢܫܘܛܝܘܗܝ ܐܠܐ ܠܘܐܘܗܝ ܒܫܠܡܐ ܕܢܐܬܐ ܠܘܬܝ ܡܩܘܐ ܐܢܐ ܠܗ ܓܝܪ ܥܡ ܐܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanaadamu wengine waliobaki ambao hawakuuawa na mabaa hayo, hawakugeuka na kuviacha vitu walivyokuwa wametengeneza kwa mikono yao wenyewe; bali wakaendelea kuabudu pepo, sanamu za dhahabu, fedha, shaba, mawe na miti, vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia wala kutembea. \t ܘܫܪܟܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܕܠܐ ܐܬܩܛܠܘ ܒܡܚܘܬܐ ܗܠܝܢ ܘܠܐ ܬܒܘ ܡܢ ܥܒܕ ܐܝܕܝܗܘܢ ܕܠܐ ܢܤܓܕܘܢ ܠܕܝܘܐ ܘܠܦܬܟܪܐ ܕܕܗܒܐ ܘܕܤܐܡܐ ܘܕܢܚܫܐ ܘܕܩܝܤܐ ܘܕܟܐܦܐ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܠܡܚܙܐ ܘܠܐ ܠܡܫܡܥ ܡܨܝܢ ܐܘ ܠܡܗܠܟܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika nanyi lazima mjione kuwa mmekufa kuhusu dhambi, lakini kama mnaoishi katika umoja na Mungu kwa njia ya Kristo Yesu. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܚܫܘܒܘ ܢܦܫܟܘܢ ܕܡܝܬܐ ܐܢܬܘܢ ܠܚܛܝܬܐ ܘܚܝܐ ܐܢܬܘܢ ܠܐܠܗܐ ܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zakariya akamwambia huyo malaika, \"Ni kitu gani kitakachonihakikishia jambo hilo? Mimi ni mzee, hali kadhalika na mke wangu.\" \t ܘܐܡܪ ܙܟܪܝܐ ܠܡܠܐܟܐ ܐܝܟܢܐ ܐܕܥ ܗܕܐ ܐܢܐ ܓܝܪ ܐܝܬܝ ܤܒܐ ܘܐܢܬܬܝ ܤܓܝܐܬ ܒܝܘܡܬܗ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote katika ule umati walipoona hayo, walishangaa na kuogopa; wakamtukuza Mungu aliyewapa binadamu uwezo wa namna hiyo. \t ܟܕ ܚܙܘ ܕܝܢ ܟܢܫܐ ܗܢܘܢ ܕܚܠܘ ܘܫܒܚܘ ܠܐܠܗܐ ܕܝܗܒ ܫܘܠܛܢܐ ܕܐܝܟ ܗܢܐ ܠܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanawake wawili watakuwa wakisaga nafaka pamoja; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.\" \t ܬܪܬܝܢ ܢܗܘܝܢ ܛܚܢܢ ܐܟܚܕܐ ܚܕܐ ܬܬܕܒܪ ܘܐܚܪܬܐ ܬܫܬܒܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Enyi Wagalatia, mmekuwa wajinga kweli! Ni nani aliyewaloga? Habari juu ya kusulubiwa kwake Yesu Kristo ilielezwa waziwazi mbele ya macho yenu. \t ܐܘ ܚܤܝܪܝ ܪܥܝܢܐ ܓܠܛܝܐ ܡܢܘ ܚܤܡ ܒܟܘܢ ܕܗܐ ܐܝܟ ܗܘ ܕܡܨܪ ܨܝܪ ܗܘܐ ܩܕܡ ܥܝܢܝܟܘܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܟܕ ܨܠܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nasema yale aliyonionyesha Baba, lakini ninyi mwafanya yale aliyowaambieni baba yenu.\" \t ܐܢܐ ܡܕܡ ܕܚܙܝܬ ܠܘܬ ܐܒܝ ܡܡܠܠ ܐܢܐ ܘܐܢܬܘܢ ܡܕܡ ܕܚܙܝܬܘܢ ܠܘܬ ܐܒܘܟܘܢ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliwavumilia kwa muda wa miaka arobaini kule jangwani. \t ܘܬܪܤܝ ܐܢܘܢ ܒܡܕܒܪܐ ܐܪܒܥܝܢ ܫܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tusonge mbele kwa yale yaliyokomaa na kuyaacha nyuma yale mafundisho ya mwanzo ya Kikristo. Hatuhitaji kuweka msingi tena kwa kurudia yale mafundisho ya mwanzo kama vile kuachana na matendo ya kifo, kumwamini Mungu; \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܢܫܒܘܩ ܫܘܪܝܐ ܕܡܠܬܗ ܕܡܫܝܚܐ ܘܢܐܬܐ ܠܓܡܝܪܘܬܐ ܐܘ ܠܡܐ ܬܘܒ ܫܬܐܤܬܐ ܐܚܪܬܐ ܡܪܡܝܬܘܢ ܠܬܝܒܘܬܐ ܡܢ ܥܒܕܐ ܡܝܬܐ ܘܠܗܝܡܢܘܬܐ ܕܒܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mmoja amstahi mwenzake kwa sababu ya kumcha Kristo. \t ܘܗܘܝܬܘܢ ܡܫܬܥܒܕܝܢ ܚܕ ܠܚܕ ܒܚܘܒܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Timotheo, tunawaandikia ninyi mlio kanisa la Mungu huko Korintho, na watu wote wa Mungu kila mahali katika Akaya. \t ܦܘܠܘܤ ܫܠܝܚܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܘܛܝܡܬܐܘܤ ܐܚܐ ܠܥܕܬܐ ܕܐܠܗܐ ܕܐܝܬ ܒܩܘܪܢܬܘܤ ܘܠܟܠܗܘܢ ܩܕܝܫܐ ܕܐܝܬ ܒܐܟܐܝܐ ܟܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaambia, \"Mbona mnalala? Amkeni msali, msije mkaingia katika kishawishi.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܕܡܟܝܢ ܐܢܬܘܢ ܩܘܡܘ ܨܠܘ ܕܠܐ ܬܥܠܘܢ ܠܢܤܝܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jirani na watu wa jamaa yake walipopata habari kwamba Bwana amemwonea huruma kubwa, walifurahi pamoja naye. \t ܘܫܡܥܘ ܫܒܒܝܗ ܘܒܢܝ ܛܘܗܡܗ ܕܐܤܓܝ ܐܠܗܐ ܚܢܢܗ ܠܘܬܗ ܘܚܕܝܢ ܗܘܘ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alijua mawazo yao, akawaambia, \"Enyi watu wenye imani haba! Mbona mnajadiliana juu ya kutokuwa na mikate? \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܝܕܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܡܬܚܫܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܢܦܫܟܘܢ ܙܥܘܪܝ ܗܝܡܢܘܬܐ ܕܠܚܡܐ ܠܐ ܫܩܠܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini akaniambia: \"Neema yangu inatosha kwa ajili yako; maana uwezo wangu hukamilishwa zaidi katika udhaifu.\" Basi, ni radhi kabisa kujivunia udhaifu wangu ili uwezo wake Kristo ukae juu yangu. \t ܘܐܡܪ ܠܝ ܤܦܩܐ ܠܟ ܛܝܒܘܬܝ ܚܝܠܝ ܓܝܪ ܒܟܪܝܗܘܬܐ ܗܘ ܡܬܓܡܪ ܚܕܝܐܝܬ ܗܟܝܠ ܐܫܬܒܗܪ ܒܟܘܪܗܢܝ ܕܢܓܢ ܥܠܝ ܚܝܠܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja, Yesu alikuwa anasali peke yake, na wanafunzi wake walikuwa karibu. Basi, akawauliza, \"Eti watu wanasema mimi ni nani?\" \t ܘܟܕ ܡܨܠܐ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܘܬܠܡܝܕܘܗܝ ܥܡܗ ܫܐܠ ܐܢܘܢ ܘܐܡܪ ܡܢܘ ܐܡܪܝܢ ܥܠܝ ܟܢܫܐ ܕܐܝܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana Mungu hakutupa Roho wa kutufanya tuwe waoga, bali alitupa Roho wa kutujalia nguvu, upendo na nidhamu. \t ܠܐ ܓܝܪ ܝܗܒ ܠܢ ܐܠܗܐ ܪܘܚܐ ܕܕܚܠܬܐ ܐܠܐ ܕܚܝܠܐ ܘܕܚܘܒܐ ܘܕܡܪܬܝܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hamjui kwamba watu wa Mungu watauhukumu ulimwengu? Ikiwa basi, ulimwengu utahukumiwa nanyi, kwa nini hamstahili kuhukumu hata katika mambo madogo? \t ܐܘ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܩܕܝܫܐ ܠܥܠܡܐ ܢܕܘܢܘܢ ܘܐܢ ܥܠܡܐ ܒܟܘܢ ܡܬܕܝܢ ܠܐ ܫܘܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܕܢ ܕܝܢܐ ܕܩܕܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa sababu alikuwa anawafundisha wanafunzi wake. Aliwaambia, \"Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa watu ambao watamuua; lakini siku ya tatu baada ya kuuawa atafufuka.\" \t ܡܠܦ ܗܘܐ ܓܝܪ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܡܫܬܠܡ ܒܐܝܕܝ ܐܢܫܐ ܘܢܩܛܠܘܢܝܗܝ ܘܡܐ ܕܐܬܩܛܠ ܒܝܘܡܐ ܕܬܠܬܐ ܢܩܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, wakati mmoja sisi tulikuwa wapumbavu, wakaidi na wapotovu. Tulikuwa watumwa wa tamaa na anasa za kila aina. Tuliishi maisha ya uovu na wivu; watu walituchukia nasi tukawachukia. \t ܐܦ ܚܢܢ ܓܝܪ ܡܢ ܩܕܝܡ ܕܠܐ ܪܥܝܢܐ ܗܘܝܢ ܘܕܠܐ ܦܝܤܐ ܘܛܥܝܢ ܗܘܝܢ ܘܡܫܥܒܕܝܢ ܗܘܝܢ ܠܐܪܓܝܓܬܐ ܡܫܚܠܦܬܐ ܘܒܒܝܫܘܬܐ ܘܒܚܤܡܐ ܡܬܗܦܟܝܢ ܗܘܝܢ ܘܤܢܝܐܝܝܢ ܗܘܝܢ ܐܦ ܚܕ ܠܚܕ ܤܢܝܢ ܗܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi ni watu wake Mungu; yeye aliwapenda na kuwateua. Kwa hiyo basi, vaeni moyo wa huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu. \t ܠܒܫܘ ܗܟܝܠ ܐܝܟ ܓܒܝܐ ܕܐܠܗܐ ܩܕܝܫܐ ܘܚܒܝܒܐ ܪܚܡܐ ܘܪܘܚܦܐ ܘܒܤܝܡܘܬܐ ܘܡܟܝܟܘܬ ܪܥܝܢܐ ܘܢܝܚܘܬܐ ܘܢܓܝܪܘܬ ܪܘܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mimi nitalihukumu taifa hilo litakalowafanya watumwa. Kisha nitawatoa katika nchi hiyo ili waje kuniabudu mahali hapa. \t ܘܠܥܡܐ ܕܢܦܠܚܘܢ ܥܒܕܘܬܐ ܐܕܘܢܝܘܗܝ ܐܢܐ ܐܡܪ ܐܠܗܐ ܘܡܢ ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܢܦܩܘܢ ܘܢܦܠܚܘܢ ܠܝ ܒܐܬܪܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walinzi wakawajibu, \"Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗܘܢ ܕܚܫܐ ܠܐ ܡܡܬܘܡ ܗܟܢܐ ܡܠܠ ܒܪܢܫܐ ܐܝܟ ܕܡܡܠܠ ܓܒܪܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji. \t ܘܟܠܗܘܢ ܕܫܡܥܘ ܐܬܕܡܪܘ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܐܬܡܠܠ ܠܗܘܢ ܡܢ ܪܥܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kijiji cha Bethania kilikuwa karibu na Yerusalemu umbali upatao kilomita tatu. \t ܐܝܬܝܗ ܗܘܬ ܕܝܢ ܒܝܬ ܥܢܝܐ ܥܠ ܓܢܒ ܐܘܪܫܠܡ ܟܕ ܦܪܝܩܐ ܡܢܗ ܐܝܟ ܐܤܛܕܘܬܐ ܚܡܫܬܥܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, ninyi ni utukufu wetu na furaha yetu! \t ܐܢܬܘܢ ܐܢܘܢ ܓܝܪ ܬܫܒܘܚܬܢ ܘܚܕܘܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni lazima Mwana wa Mtu atolewe kwa watu waovu, nao watamsulubisha, na siku ya tatu atafufuka.\" \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܕܥܬܝܕ ܗܘ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܕܢܫܬܠܡ ܒܐܝܕܝ ܐܢܫܐ ܚܛܝܐ ܘܢܨܛܠܒ ܘܠܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܢܩܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mitume, wazee na kanisa lote waliamua kuwachagua watu fulani miongoni mwao na kuwatuma Antiokia pamoja na Paulo na Barnaba. Basi, wakamchagua Yuda aitwaye pia Barsaba, na Sila ambao wote walikuwa wanajulikana zaidi kati ya ndugu. \t ܗܝܕܝܢ ܫܠܝܚܐ ܘܩܫܝܫܐ ܥܡ ܟܠܗ ܥܕܬܐ ܓܒܘ ܓܒܪܐ ܡܢܗܘܢ ܘܫܕܪܘ ܠܐܢܛܝܘܟܝ ܥܡ ܦܘܠܘܤ ܘܒܪܢܒܐ ܠܝܗܘܕܐ ܕܡܬܩܪܐ ܒܪ ܫܒܐ ܘܠܫܝܠܐ ܓܒܪܐ ܕܪܫܐ ܗܘܘ ܒܗܘܢ ܒܐܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu mwema hutoa yaliyo mema kutoka katika hazina bora iliyo moyoni mwake; na mtu mbaya hutoa yaliyo mabaya katika hazina mbaya iliyo moyoni mwake, kwa maana mtu huongea kutokana na yale yaliyojaa moyoni mwake. \t ܓܒܪܐ ܛܒܐ ܡܢ ܤܝܡܬܐ ܛܒܬܐ ܕܒܠܒܗ ܡܦܩ ܛܒܬܐ ܘܓܒܪܐ ܒܝܫܐ ܡܢ ܤܝܡܬܐ ܒܝܫܬܐ ܕܒܠܒܗ ܡܦܩ ܒܝܫܬܐ ܡܢ ܬܘܬܪܝ ܠܒܐ ܓܝܪ ܡܡܠܠܢ ܤܦܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akamshika mkono akasema, \"Mtoto amka!\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܦܩ ܠܟܠܢܫ ܠܒܪ ܘܐܚܕܗ ܒܐܝܕܗ ܘܩܪܗ ܘܐܡܪ ܛܠܝܬܐ ܩܘܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mkisha teseka muda mfupi, Mungu aliye asili ya neema yote na ambaye anawaiteni muushiriki utukufu wake wa milele katika kuungana na Kristo, yeye mwenyewe atawakamilisheni na kuwapeni uthabiti, nguvu na msingi imara. \t ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܕܛܝܒܘܬܐ ܗܘ ܕܩܪܢ ܠܫܘܒܚܗ ܕܠܥܠܡ ܒܝܕ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܘ ܕܝܗܒ ܠܢ ܕܟܕ ܢܤܝܒܪ ܗܠܝܢ ܐܘܠܨܢܐ ܙܥܘܪܐ ܕܢܬܚܝܠ ܘܢܫܬܪܪ ܘܢܬܩܝܡ ܒܗ ܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akasema tena, \"Kweli nawaambieni, mimi ni mlango wa kondoo. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܝܢ ܬܘܒ ܝܫܘܥ ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܢܐ ܐܢܐ ܬܪܥܗ ܕܥܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Patana na mshtaki wako upesi mkiwa bado njiani, kwenda mahakamani. La sivyo, mshtaki wako atakukabidhi kwa hakimu, naye hakimu atakukabidhi kwa askari, nawe utafungwa gerezani. \t ܗܘܝܬ ܡܬܐܘܐ ܥܡ ܒܥܠ ܕܝܢܟ ܥܓܠ ܥܕ ܥܡܗ ܐܢܬ ܒܐܘܪܚܐ ܕܠܡܐ ܒܥܠ ܕܝܢܟ ܢܫܠܡܟ ܠܕܝܢܐ ܘܕܝܢܐ ܢܫܠܡܟ ܠܓܒܝܐ ܘܬܦܠ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watiini viongozi wenu na kushika amri zao; wao huchunga roho zenu usiku na mchana, na watatoa ripoti ya utumishi wao mbele ya Mungu. Kama mkiwatii watafanya kazi zao kwa furaha, la sivyo, watazifanya kwa huzuni, na hiyo haitakuwa na faida kwenu. \t ܐܬܛܦܝܤܘ ܠܡܕܒܪܢܝܟܘܢ ܘܐܫܬܡܥܘ ܠܗܘܢ ܗܢܘܢ ܓܝܪ ܫܗܪܝܢ ܚܠܦ ܢܦܫܬܟܘܢ ܐܝܟ ܐܢܫܐ ܕܝܗܒܝܢ ܚܘܫܒܢܟܘܢ ܕܒܚܕܘܬܐ ܢܗܘܘܢ ܥܒܕܝܢ ܗܕܐ ܘܠܐ ܒܬܢܚܬܐ ܡܛܠ ܕܠܐ ܦܩܚܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakampa mchanganyiko wa divai na nyongo. Lakini Yesu alipoonja akakataa kunywa. \t ܘܝܗܒܘ ܠܗ ܕܢܫܬܐ ܚܠܐ ܕܚܠܝܛ ܒܡܪܪܬܐ ܘܛܥܡ ܘܠܐ ܨܒܐ ܠܡܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nani amekupendelea wewe? Una kitu gani wewe ambacho hukupewa? Na ikiwa umepewa, ya nini kujivunia kana kwamba hukukipewa? \t ܡܢܘ ܓܝܪ ܒܨܟ ܐܘ ܡܢܐ ܐܝܬ ܠܟ ܕܠܐ ܢܤܒܬ ܘܐܢ ܢܤܒܬ ܠܡܢܐ ܡܫܬܒܗܪ ܐܢܬ ܐܝܟ ܗܘ ܕܠܐ ܢܤܒܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, \"Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?\" \t ܘܚܙܘ ܬܠܡܝܕܐ ܘܬܗܪܘ ܘܐܡܪܝܢ ܐܝܟܢܐ ܒܪ ܫܥܬܗ ܝܒܫܬ ܬܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuhani Mkuu wa Kiyahudi huleta damu ya wanyama katika Mahali Patakatifu na kuitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi; lakini nyama za hao wanyama huteketezwa nje ya kambi. \t ܚܝܘܬܐ ܓܝܪ ܗܠܝܢ ܕܡܥܠ ܗܘܐ ܕܡܗܝܢ ܪܒ ܟܘܡܪܐ ܠܒܝܬ ܡܩܕܫܐ ܚܠܦ ܚܛܗܐ ܒܤܪܗܝܢ ܝܩܕ ܗܘܐ ܠܒܪ ܡܢ ܡܫܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja alimwendea Yesu usiku, akamwambia, \"Rabi, tunajua kwamba wewe ni mwalimu uliyetumwa na Mungu, maana hakuna mtu awezaye kufanya ishara unazozifanya Mungu asipokuwa pamoja naye.\" \t ܗܢܐ ܐܬܐ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܒܠܠܝܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܪܒܝ ܝܕܥܝܢܢ ܕܡܢ ܐܠܗܐ ܐܫܬܕܪܬ ܡܠܦܢܐ ܠܐ ܓܝܪ ܐܢܫ ܡܫܟܚ ܗܠܝܢ ܐܬܘܬܐ ܠܡܥܒܕ ܕܐܢܬ ܥܒܕ ܐܢܬ ܐܠܐ ܡܢ ܕܐܠܗܐ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mtu anayetaka kuishi maisha ya kumcha Mungu katika kuungana na Kristo Yesu lazima adhulumiwe. \t ܘܟܠܗܘܢ ܕܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܨܒܝܢ ܒܕܚܠܬ ܐܠܗܐ ܕܢܚܘܢ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܬܪܕܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Laiti ningekuwa pamoja nanyi sasa, maana ningalipata msimamo ufaao juu yenu! Nina wasiwasi sana nanyi! \t ܨܒܐ ܗܘܝܬ ܕܝܢ ܕܐܗܘܐ ܠܘܬܟܘܢ ܗܫܐ ܘܐܫܚܠܦ ܒܪܬ ܩܠܝ ܡܛܠ ܕܬܡܝܗ ܐܢܐ ܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nimekufanya ujulikane kwa watu wale ulionipa kutoka duniani. Walikuwa watu wako, nawe ukanipa wawe wangu; nao wamelishika neno lako. \t ܐܘܕܥܬ ܫܡܟ ܠܒܢܝ ܐܢܫܐ ܗܢܘܢ ܕܝܗܒܬ ܠܝ ܡܢ ܥܠܡܐ ܕܝܠܟ ܗܘܘ ܘܠܝ ܝܗܒܬ ܐܢܘܢ ܘܢܛܪܘ ܡܠܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ndivyo ilivyo pia wakati huu wa sasa: ipo idadi ya waliobaki ambao Mungu aliwateua kwa sababu ya neema yake. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܒܗܢܐ ܙܒܢܐ ܫܪܟܢܐ ܗܘ ܐܫܬܚܪ ܒܓܒܝܬܐ ܕܛܝܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia watu mfano mwingine: \"Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake. \t ܐܚܪܢܐ ܡܬܠܐ ܐܡܬܠ ܠܗܘܢ ܘܐܡܪ ܕܡܝܐ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܠܓܒܪܐ ܕܙܪܥ ܙܪܥܐ ܛܒܐ ܒܩܪܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maneno hayo waliwatia wasiwasi wakuu wa mji na kundi la watu. \t ܐܬܕܠܚܘ ܕܝܢ ܪܫܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܘܟܠܗ ܥܡܐ ܟܕ ܫܡܥܘ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliposikia hayo, waliwaka hasira, wakaanza kupiga kelele: \"Mkuu ni Artemi, wa Efeso!\" \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܗܠܝܢ ܐܬܡܠܝܘ ܚܡܬܐ ܘܩܥܝܢ ܗܘܘ ܘܐܡܪܝܢ ܪܒܐ ܗܝ ܐܪܛܡܝܤ ܕܐܦܤܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, kuhusu vipaji vya kiroho, napenda mfahamu vizuri mambo haya: \t ܥܠ ܪܘܚܢܝܬܐ ܕܝܢ ܐܚܝ ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܬܕܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii. \t ܘܐܠܐ ܡܢܐ ܢܦܩܬܘܢ ܠܡܚܙܐ ܢܒܝܐ ܐܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܘܝܬܝܪ ܡܢ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huohuo, Yesu alikuwa anawaponya watu wengi waliokuwa wanateseka kwa magonjwa na waliopagawa na pepo wabaya, akawawezesha vipofu wengi kuona tena. \t ܒܗ ܕܝܢ ܒܗܝ ܫܥܬܐ ܤܓܝܐܐ ܐܤܝ ܡܢ ܟܘܪܗܢܐ ܘܡܢ ܡܚܘܬܐ ܘܡܢ ܪܘܚܐ ܒܝܫܬܐ ܘܠܤܓܝܐܐ ܤܡܝܐ ܝܗܒ ܗܘܐ ܠܡܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Agripa akamwambia Festo, \"Mtu huyu angeweza kufunguliwa kama asingalikuwa amekata rufani kwa Kaisari.\" \t ܘܐܡܪ ܐܓܪܦܘܤ ܠܦܗܤܛܘܤ ܡܫܟܚ ܗܘܐ ܓܒܪܐ ܗܢܐ ܕܢܫܬܪܐ ܐܠܘ ܒܓܢ ܩܤܪ ܠܐ ܩܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunamwomba Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu ambaye alitupenda, na kwa neema yake akatujalia faraja ya milele na tumaini jema, \t ܗܘ ܕܝܢ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܐܠܗܐ ܐܒܘܢ ܗܘ ܕܐܚܒܢ ܘܝܗܒ ܠܢ ܒܘܝܐܐ ܕܠܥܠܡ ܘܤܒܪܐ ܛܒܐ ܒܛܝܒܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: \"Watu wote ambao hawakuambiwa habari zote wataona; nao wale ambao hawajapata kusikia, wataelewa.\" \t ܐܠܐ ܐܝܟܢܐ ܕܟܬܝܒ ܕܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܐܬܐܡܪ ܠܗܘܢ ܥܠܘܗܝ ܢܚܙܘܢܗ ܘܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܫܡܥܘ ܢܬܛܦܝܤܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunawatakieni nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܛܝܒܘܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܥܡ ܟܠܟܘܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye atayafuta machozi yao yote; maana hakutakuwako tena na kifo, wala uchungu, wala kilio, wala maumivu; maana ile hali ya kale imepita!\" \t ܘܗܘ ܢܠܚܐ ܟܠ ܕܡܥܐ ܡܢ ܥܝܢܝܗܘܢ ܘܡܘܬܐ ܠܐ ܢܗܘܐ ܡܟܝܠ ܘܠܐ ܐܒܠܐ ܘܠܐ ܪܘܒܐ ܘܠܐ ܟܐܒܐ ܬܘܒ ܢܗܘܐ ܥܠ ܐܦܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Anayewakaribisha ninyi, ananikaribisha mimi; na anayenikaribisha mimi, anamkaribisha yule aliyenituma. \t ܡܢ ܕܡܩܒܠ ܠܟܘܢ ܠܝ ܡܩܒܠ ܘܡܢ ܕܠܝ ܡܩܒܠ ܠܡܢ ܕܫܠܚܢܝ ܡܩܒܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu walimletea Yesu watoto wadogo ili awaguse, lakini wanafunzi wakawakemea. \t ܘܡܩܪܒܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܛܠܝܐ ܕܢܩܪܘܒ ܠܗܘܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܝܢ ܟܐܝܢ ܗܘܘ ܒܗܠܝܢ ܕܡܩܪܒܝܢ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndipo Ibilisi akamwambia, \"Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru jiwe hili liwe mkate.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܟܠܩܪܨܐ ܐܢ ܒܪܗ ܐܢܬ ܕܐܠܗܐ ܐܡܪ ܠܟܐܦܐ ܗܕܐ ܕܬܗܘܐ ܠܚܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi ndugu, hamko gizani, na siku hiyo haipaswi kuwajieni ghafla kama vile mwizi. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܐܚܝ ܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܒܚܫܘܟܐ ܕܗܘ ܝܘܡܐ ܐܝܟ ܓܢܒܐ ܢܕܪܟܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, mbele ya Bwana mwanamke si kitu bila mwanamume, naye mwanamume si kitu bila mwanamke. \t ܒܪܡ ܕܝܢ ܠܐ ܓܒܪܐ ܠܒܪ ܡܢ ܐܢܬܬܐ ܐܦܠܐ ܐܢܬܬܐ ܠܒܪ ܡܢ ܓܒܪܐ ܒܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu asiye na upendo hamjui Mungu, maana Mungu ni upendo. \t ܡܛܠ ܕܐܠܗܐ ܚܘܒܐ ܗܘ ܘܟܠ ܕܠܐ ܡܚܒ ܠܐ ܝܕܥ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: \"Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.\" \t ܗܠܝܢ ܓܝܪ ܗܘܝ ܕܢܬܡܠܐ ܟܬܒܐ ܕܐܡܪ ܕܓܪܡܐ ܠܐ ܢܬܬܒܪ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana hakuna ujumbe wa kinabii unaotokana na matakwa ya binadamu, bali watu walinena ujumbe wa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu. \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܒܨܒܝܢܐ ܕܒܪܢܫܐ ܐܬܬ ܡܢ ܡܬܘܡ ܢܒܝܘܬܐ ܐܠܐ ܟܕ ܡܢ ܪܘܚܐ ܩܕܝܫܐ ܡܬܢܓܕܝܢ ܡܠܠܘ ܩܕܝܫܐ ܒܢܝܢܫܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anania aliposikia hayo, akaanguka chini, akafa. Watu wote waliosikia habari ya tukio hilo waliogopa sana. \t ܘܟܕ ܫܡܥ ܚܢܢܝܐ ܗܠܝܢ ܡܠܐ ܢܦܠ ܘܡܝܬ ܘܗܘܬ ܕܚܠܬܐ ܪܒܬܐ ܒܟܠܗܘܢ ܗܠܝܢ ܕܫܡܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wakasali: \"Bwana, wewe unajua mioyo ya watu wote. Hivyo, utuonyeshe ni yupi kati ya hawa wawili uliyemchagua \t ܘܟܕ ܨܠܝܘ ܐܡܪܘ ܐܢܬ ܡܪܝܐ ܝܕܥ ܕܒܠܒܘܬܐ ܕܟܠ ܚܘܐ ܚܕ ܐܝܢܐ ܕܓܒܐ ܐܢܬ ܡܢ ܗܠܝܢ ܬܪܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, kama mkiwatendea mema wale tu wanaowatendeeni mema, mtapata tuzo gani? Hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo! \t ܘܐܢ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܛܒ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܛܐܒܝܢ ܠܟܘܢ ܐܝܕܐ ܗܝ ܛܝܒܘܬܟܘܢ ܐܦ ܚܛܝܐ ܓܝܪ ܗܟܢܐ ܥܒܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, neema tunayopewa na Mungu ina nguvu zaidi; kama yasemavyo Maandiko: \"Mungu huwapinga wenye majivuno lakini huwapa neema wanyenyekevu.\" \t ܛܝܒܘܬܐ ܕܝܢ ܝܬܝܪܬܐ ܝܗܒ ܠܢ ܡܪܢ ܡܛܠ ܗܕܐ ܐܡܪ ܕܐܠܗܐ ܡܡܟܟ ܠܪܡܐ ܘܠܡܟܝܟܐ ܝܗܒ ܛܝܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya sikukuu, walianza safari ya kurudi makwao, lakini Yesu alibaki Yerusalemu bila wazazi wake kuwa na habari. \t ܘܟܕ ܫܠܡܘ ܝܘܡܬܐ ܗܦܟܘ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܛܠܝܐ ܦܫ ܠܗ ܒܐܘܪܫܠܡ ܘܝܘܤܦ ܘܐܡܗ ܠܐ ܝܕܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane akawajibu, \"Mimi nabatiza kwa maji, lakini yuko mmoja kati yenu, msiyemjua bado. \t ܥܢܐ ܝܘܚܢܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢܐ ܡܥܡܕ ܐܢܐ ܒܡܝܐ ܒܝܢܬܟܘܢ ܕܝܢ ܩܐܡ ܗܘ ܕܐܢܬܘܢ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vifua vyao vilikuwa vimefunikwa kitu kama ngao ya chuma. Sauti ya mabawa yao ilikuwa kama sauti ya msafara wa magari ya farasi wengi wanaokimbilia vitani. \t ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܫܪܝܢܐ ܐܝܟ ܫܪܝܢܐ ܕܦܪܙܠܐ ܘܩܠܐ ܕܓܦܝܗܘܢ ܐܝܟ ܩܠܐ ܕܡܪܟܒܬܐ ܕܪܟܫܐ ܤܓܝܐܐ ܕܪܗܛܝܢ ܠܩܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tujitahidi kupata pumziko hilo, ili asiwepo yeyote miongoni mwenu atakayeshindwa, kama walivyofanya wao kwa sababu ya ukosefu wao wa imani. \t ܢܬܚܦܛ ܗܟܝܠ ܕܢܥܘܠ ܠܗܝ ܢܝܚܬܐ ܕܠܐ ܢܦܠ ܒܕܡܘܬܐ ܕܗܢܘܢ ܕܠܐ ܐܬܛܦܝܤܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kuwakabidhi mitume fedha hizo, zikagawiwa kila mmoja kadiri ya mahitaji yake. \t ܘܤܝܡܝܢ ܠܘܬ ܪܓܠܝܗܘܢ ܕܫܠܝܚܐ ܘܡܬܝܗܒ ܗܘܐ ܠܐܢܫ ܐܢܫ ܐܝܟ ܡܕܡ ܕܤܢܝܩ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na watu watahubirije kama hawakutumwa? Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: \"Ni jambo la kupendeza mno kuja kwa wale wanaohubiri Habari Njema!\" \t ܐܘ ܐܝܟܢܐ ܢܟܪܙܘܢ ܐܢ ܠܐ ܢܫܬܠܚܘܢ ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܡܐ ܝܐܝܢ ܪܓܠܝܗܘܢ ܕܡܤܒܪܝ ܫܠܡܐ ܘܕܡܤܒܪܝ ܛܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, \"Je, ni mimi?\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܫܪܝܘ ܡܬܬܥܝܩܝܢ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܚܕ ܚܕ ܠܡܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati ule ninyi mlikuwa bila Kristo; mlikuwa nje ya jamii ya Israeli; mlikuwa wageni na hamkuwa na sehemu yoyote katika lile agano la zile ahadi. Mlikuwa bila matumaini Mungu hapa duniani. \t ܘܐܝܬܝܟܘܢ ܗܘܝܬܘܢ ܒܗܘ ܙܒܢܐ ܕܠܐ ܡܫܝܚܐ ܘܢܘܟܪܝܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܡܢ ܕܘܒܪܐ ܕܐܝܤܪܝܠ ܘܐܟܤܢܝܐ ܗܘ ܠܕܝܬܩܐ ܕܡܘܠܟܢܐ ܘܕܠܐ ܤܒܪ ܗܘܝܬܘܢ ܘܕܠܐ ܐܠܗ ܒܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tangu sasa, basi, maisha yaliowabakia kuishi hapa duniani yanapaswa kuongozwa na matakwa ya Mungu, si na tamaa za kibinadamu. \t ܕܠܐ ܡܟܝܠ ܠܪܓܝܓܬܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܢܚܐ ܟܡܐ ܙܒܢܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܒܦܓܪܐ ܐܠܐ ܠܨܒܝܢܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kusali, aliwarudia wanafunzi wake, akawakuta wamelala, kwani walikuwa na huzuni. \t ܘܩܡ ܡܢ ܨܠܘܬܗ ܘܐܬܐ ܠܘܬ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܫܟܚ ܐܢܘܢ ܟܕ ܕܡܟܝܢ ܡܢ ܥܩܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwani Yohane alibatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache, ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.\" \t ܕܝܘܚܢܢ ܐܥܡܕ ܒܡܝܐ ܘܐܢܬܘܢ ܬܥܡܕܘܢ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܠܐ ܒܬܪ ܝܘܡܬܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kama hamjakuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe? \t ܘܐܢ ܒܕܠܐ ܕܝܠܟܘܢ ܠܐ ܐܫܬܟܚܬܘܢ ܡܗܝܡܢܐ ܕܝܠܟܘܢ ܡܢܘ ܢܬܠ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na ukuhani wa Walawi, watu wa Israeli walipewa Sheria. Sasa, kama huduma ya Walawi ingalikuwa kamilifu hapangekuwa tena na haja ya kutokea ukuhani mwingine tofauti, ukuhani ambao umefuata utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki, na si ule wa Aroni. \t ܐܠܘ ܗܟܝܠ ܓܡܝܪܘܬܐ ܒܝܕ ܟܘܡܪܘܬܐ ܕܠܘܝܐ ܐܝܬܝܗ ܗܘܬ ܕܒܗ ܤܝV ܢܡܘܤܐ ܠܥܡܐ ܠܡܢܐ ܡܬܒܥܐ ܗܘܐ ܟܘܡܪܐ ܐܚܪܢܐ ܕܢܩܘV ܒܕܡܘܬܗ ܕܡܠܟܝܙܕܩ ܐܡܪ ܕܝܢ ܕܒܕܡܘܬܗ ܕܐܗܪܘܢ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alijua kwamba yote yalikuwa yametimia; na, ili Maandiko Matakatifu yapate kutimia, akasema, \"Naona kiu.\" \t ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܝܕܥ ܝܫܘܥ ܕܟܠܡܕܡ ܐܫܬܠܡ ܘܕܢܬܡܠܐ ܟܬܒܐ ܐܡܪ ܨܗܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakumbushe watu wako mambo haya, na kuwaonya mbele ya Mungu waache ubishi juu ya maneno. Ubishi huo haufai, ila huleta tu uharibifu mkuu kwa wale wanaousikia. \t ܗܠܝܢ ܗܘܝܬ ܡܥܗܕ ܠܗܘܢ ܘܡܤܗܕ ܩܕܡ ܡܪܢ ܕܠܐ ܢܗܘܘܢ ܡܬܚܪܝܢ ܒܡܠܐ ܕܠܐ ܝܘܬܪܢ ܠܤܘܚܦܐ ܕܐܝܠܝܢ ܕܫܡܥܝܢ ܠܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya siku kadhaa, Yesu alirudi Kafarnaumu, watu wakapata habari kwamba alikuwa nyumbani. \t ܘܥܠ ܬܘܒ ܝܫܘܥ ܠܟܦܪܢܚܘܡ ܠܝܘܡܬܐ ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܕܒܒܝܬܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo anakuja baada yangu, lakini mimi sistahili hata kumfungua kamba za viatu vyake.\" \t ܗܢܘ ܗܘ ܕܒܬܪܝ ܐܬܐ ܘܗܘܐ ܠܗ ܩܕܡܝ ܗܘ ܕܐܢܐ ܠܐ ܫܘܐ ܐܢܐ ܕܐܫܪܐ ܥܪܩܐ ܕܡܤܢܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akawauliza, \"Sasa, nifanye nini na Yesu aitwaye Kristo?\" Wote wakasema, \"Asulubiwe!\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܦܝܠܛܘܤ ܘܠܝܫܘܥ ܕܡܬܩܪܐ ܡܫܝܚܐ ܡܢܐ ܐܥܒܕ ܠܗ ܐܡܪܝܢ ܟܠܗܘܢ ܢܙܕܩܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Uzia alimzaa Yothamu, Yothamu alimzaa Ahazi, Ahazi alimzaa Hezekia, \t ܥܘܙܝܐ ܐܘܠܕ ܠܝܘܬܡ ܝܘܬܡ ܐܘܠܕ ܠܐܚܙ ܐܚܙ ܐܘܠܕ ܠܚܙܩܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni lazima ashike kikamilifu ujumbe ule wa kuaminika kama unavyofundishwa. Ndivyo atakavyoweza kuwatia wengine moyo kwa mafundisho ya kweli na kuyafichua makosa ya wale wanaoyapinga mafundisho hayo. \t ܘܒܛܝܠ ܠܗ ܥܠ ܝܘܠܦܢܐ ܕܡܠܬܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܕܢܫܟܚ ܐܦ ܠܡܒܝܐܘ ܒܝܘܠܦܢܗ ܚܠܝܡܐ ܘܠܡܟܤܘ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܬܚܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sasa mwajivuna na kujigamba; majivuno ya namna hiyo ni mabaya. \t ܡܫܬܒܗܪܝܢ ܒܚܬܝܪܘܬܗܘܢ ܟܠ ܫܘܒܗܪܐ ܕܐܝܟ ܗܢܐ ܒܝܫܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "isipokuwa tu maneno haya niliyosema niliposimama mbele yao: Mnanihukumu leo hii kwa sababu ya kushikilia kwamba wafu watafufuliwa!\" \t ܐܠܐ ܐܢ ܗܕܐ ܚܕܐ ܡܠܬܐ ܕܩܥܝܬ ܟܕ ܩܐܡ ܐܢܐ ܒܝܢܬܗܘܢ ܕܥܠ ܩܝܡܬܐ ܕܡܝܬܐ ܡܬܕܝܢ ܐܢܐ ܝܘܡܢܐ ܩܕܡܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadaye nilikwenda katika tarafa za Siria na Kilikia. \t ܡܢ ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܐܬܝܬ ܠܐܬܪܘܬܐ ܕܤܘܪܝܐ ܘܕܩܝܠܝܩܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuna namna mbalimbali za kufanya kazi ya huduma, lakini Mungu ni mmoja, anayewezesha kazi zote katika wote. \t ܘܦܘܠܓܐ ܕܚܝܠܘܬܐ ܐܝܬ ܐܠܐ ܚܕ ܗܘ ܐܠܗܐ ܕܡܥܒܕ ܟܠ ܒܟܠܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila siku nilikuwa pamoja nanyi nikifundisha Hekaluni, wala hamkunikamata. Lakini sasa lazima Maandiko Matakatifu yatimie.\" \t ܟܠܝܘܡ ܠܘܬܟܘܢ ܗܘܝܬ ܟܕ ܡܠܦ ܐܢܐ ܒܗܝܟܠܐ ܘܠܐ ܐܚܕܬܘܢܢܝ ܐܠܐ ܕܢܫܠܡܘܢ ܟܬܒܐ ܗܘܬ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro aliukumbuka, akamwambia Yesu, \"Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani, umenyauka!\" \t ܘܐܬܕܟܪ ܫܡܥܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗ ܪܒܝ ܗܐ ܬܬܐ ܗܝ ܕܠܛܬ ܝܒܫܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana wanaanza safari yao katika utumishi wa Kristo bila kupokea msaada wowote kutoka kwa watu wasioamini. \t ܚܠܦ ܓܝܪ ܫܡܗ ܢܦܩܘ ܟܕ ܡܕܡ ܠܐ ܢܤܒܘ ܡܢ ܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika wa tatu akapiga tarumbeta yake. Na nyota kubwa ikiwaka kama bonge la moto, ikaanguka kutoka mbinguni, na kutua juu ya theluthi moja ya mito na chemchemi za maji. \t ܘܕܬܠܬܐ ܙܥܩ ܘܢܦܠ ܡܢ ܫܡܝܐ ܟܘܟܒܐ ܪܒܐ ܕܝܩܕ ܐܝܟ ܫܠܗܒܝܬܐ ܘܢܦܠ ܥܠ ܬܘܠܬܐ ܕܢܗܪܘܬܐ ܘܥܠ ܥܝܢܬܐ ܕܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Habari zake zikaenea katika mkoa wote wa Siria. Wagonjwa wote wenye maradhi ya kila namna na wale waliosumbuliwa na kila namna ya taabu: waliopagawa na pepo, wenye kifafa na watu waliokuwa wamelemaa, walipelekwa kwake; naye akawaponya wote. \t ܘܐܙܠܘ ܒܬܪܗ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܡܢ ܓܠܝܠܐ ܘܡܢ ܥܤܪܬ ܡܕܝܢܬܐ ܘܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܘܡܢ ܝܗܘܕ ܘܡܢ ܥܒܪܐ ܕܝܘܪܕܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe daima wanyenyekevu, wapole na wenye saburi; vumilianeni ninyi kwa ninyi kwa mapendo. \t ܒܟܠܗ ܡܟܝܟܘܬ ܪܥܝܢܐ ܘܢܝܚܘܬܐ ܘܢܓܝܪܘܬ ܪܘܚܐ ܘܗܘܝܬܘܢ ܡܤܝܒܪܝܢ ܚܕ ܠܚܕ ܒܚܘܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuna ukweli uliofichika katika maneno haya, nami naona kwamba yamhusu Kristo na kanisa lake. \t ܗܢܐ ܐܪܙܐ ܪܒ ܗܘ ܐܢܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܥܠ ܡܫܝܚܐ ܘܥܠ ܥܕܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Najua kwamba karibu nitauweka kando mwili huu wenye kufa, kama Bwana alivyoniambia waziwazi. \t ܟܕ ܝܕܥ ܐܢܐ ܕܥܘܢܕܢܐ ܕܦܓܪܝ ܒܥܓܠ ܗܘܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܘܕܥܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naikumbuka imani yako ya kweli, imani aliyokuwa nayo nyanya yako Loisi, na pia mama yako Eunike. Nina hakika kwamba wewe pia unayo. \t ܒܥܘܗܕܢܐ ܕܗܘܐ ܠܝ ܒܗܝܡܢܘܬܟ ܫܪܝܪܬܐ ܗܝ ܕܫܪܬ ܠܘܩܕܡ ܒܐܡܐ ܕܐܡܟ ܠܘܐܝܤ ܘܒܐܡܟ ܐܘܢܝܩܐ ܡܦܤ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܐܦ ܒܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilikuwa jioni ya siku hiyo ya Jumapili. Wanafunzi walikuwa wamekutana pamoja ndani ya nyumba, na milango ilikuwa imefungwa kwa sababu waliwaogopa viongozi wa Wayahudi. Basi, Yesu akaja, akasimama kati yao, akawaambia, \"Amani kwenu!\" \t ܟܕ ܗܘܐ ܕܝܢ ܪܡܫܐ ܕܝܘܡܐ ܗܘ ܕܚܕ ܒܫܒܐ ܘܬܪܥܐ ܐܚܝܕܝܢ ܗܘܘ ܕܐܝܟܐ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܬܠܡܝܕܐ ܡܛܠ ܕܚܠܬܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܐܬܐ ܝܫܘܥ ܩܡ ܒܝܢܬܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܫܠܡܐ ܥܡܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mama mmoja Mkaanani wa nchi hiyo alimjia, akapaaza sauti: \"Mheshimiwa, Mwana wa Daudi, nionee huruma! Binti yangu anasumbuliwa na pepo.\" \t ܘܗܐ ܐܢܬܬܐ ܟܢܥܢܝܬܐ ܡܢ ܬܚܘܡܐ ܗܢܘܢ ܢܦܩܬ ܟܕ ܩܥܝܐ ܘܐܡܪܐ ܐܬܪܚܡ ܥܠܝ ܡܪܝ ܒܪܗ ܕܕܘܝܕ ܒܪܬܝ ܒܝܫܐܝܬ ܡܬܕܒܪܐ ܡܢ ܫܐܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu wa namna hiyo, mwenye nia mbili na asiye na msimamo katika mwenendo wake wote, \t ܘܠܐ ܢܤܒܪ ܗܘ ܒܪܢܫܐ ܕܢܤܒ ܡܕܡ ܡܢ ܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Viongozi wa Wayahudi hawakusadiki kwamba mtu huyo alikuwa kipofu hapo awali na sasa anaona mpaka walipowaita wazazi wake. \t ܠܐ ܕܝܢ ܗܝܡܢܘ ܗܘܘ ܥܠܘܗܝ ܝܗܘܕܝܐ ܕܤܡܝܐ ܗܘܐ ܘܚܙܐ ܥܕܡܐ ܕܩܪܘ ܠܐܒܗܘܗܝ ܕܗܘ ܕܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwuliza, \"Imeandikwa nini katika Sheria? Unaelewaje?\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗ ܒܢܡܘܤܐ ܐܝܟܢܐ ܟܬܝܒ ܐܝܟܢܐ ܩܪܐ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akauliza, \"Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonyesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?\" \t ܡܢܘ ܗܟܝܠ ܡܢ ܗܠܝܢ ܬܠܬܐ ܡܬܚܙܐ ܠܟ ܕܗܘܐ ܩܪܝܒܐ ܠܗܘ ܕܢܦܠ ܒܐܝܕܝ ܓܝܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nanyi mmepewa uzima kamili katika kuungana naye. Yeye yuko juu ya pepo watawala wote na wakuu wote. \t ܘܒܗ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܡܫܬܡܠܝܬܘܢ ܕܗܘ ܐܝܬܘܗܝ ܪܫܐ ܕܟܠܗܝܢ ܐܪܟܘܤ ܘܫܘܠܛܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akawaacha, akatoka nje ya mji na kwenda Bethania, akalala huko. \t ܘܫܒܩ ܐܢܘܢ ܘܢܦܩ ܠܒܪ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ ܠܒܝܬ ܥܢܝܐ ܘܒܬ ܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana makanisa ya Makedonia na Akaya yemeamua kutoka mchango wao kuwasaidia watu wa Mungu walio maskini huko Yerusalem. \t ܨܒܘ ܓܝܪ ܗܠܝܢ ܕܒܡܩܕܘܢܝܐ ܘܒܐܟܐܝܐ ܕܫܘܬܦܘܬܐ ܬܗܘܐ ܠܗܘܢ ܥܡ ܡܤܟܢܐ ܩܕܝܫܐ ܕܐܝܬ ܒܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watumishi na walinzi walikuwa wamewasha moto kwa sababu kulikuwa na baridi, wakawa wanaota moto. Naye Petro alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto. \t ܘܩܝܡܝܢ ܗܘܘ ܥܒܕܐ ܘܕܚܫܐ ܘܤܝܡܝܢ ܗܘܘ ܢܘܪܐ ܕܢܫܚܢܘܢ ܡܛܠ ܕܩܪܝܫ ܗܘܐ ܩܐܡ ܗܘܐ ܕܝܢ ܐܦ ܫܡܥܘܢ ܥܡܗܘܢ ܘܫܚܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia. \t ܗܝܕܝܢ ܫܒܩܘܗܝ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܥܪܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mpaka siku ile alipochukuliwa mbinguni. Kabla ya kuchukuliwa mbinguni aliwapa maagizo kwa njia ya Roho Mtakatifu wale mitume aliowachagua. \t ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܐ ܗܘ ܕܒܗ ܐܤܬܠܩ ܡܢ ܒܬܪ ܕܦܩܕ ܗܘܐ ܐܢܘܢ ܠܫܠܝܚܐ ܐܝܠܝܢ ܕܓܒܐ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kristo alitupa uhuru akataka tubaki huru. Basi, simameni imara wala msikubali tena kuwa chini ya nira ya utumwa. \t ܩܘܡܘ ܗܟܝܠ ܒܚܐܪܘܬܐ ܗܝ ܕܡܫܝܚܐ ܚܪܪܢ ܘܠܐ ܬܬܟܕܢܘܢ ܬܘܒ ܒܢܝܪܐ ܕܥܒܕܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sipendi kupita kwenu harakaharaka na kuendelea na safari. Natumaini kukaa kwenu kwa kitambo fulani, Bwana akiniruhusu. \t ܠܐ ܓܝܪ ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܗܫܐ ܐܝܟ ܥܒܪ ܐܘܪܚܐ ܐܚܙܝܟܘܢ ܡܤܒܪ ܐܢܐ ܓܝܪ ܕܐܘܚܪ ܙܒܢܐ ܠܘܬܟܘܢ ܐܢ ܡܪܝ ܡܦܤ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu wapenzi, wakati nimo katika jitihada ya kuwaandikieni juu ya ule wokovu tunaoshiriki sote, nimeona lazima ya kuwaandikieni na kuwahimizeni mwendelee kupigana kwa ajili ya imani ambayo Mungu amewajalia watu wake mara moja tu kwa wakati wote. \t ܚܒܝܒܝ ܟܕ ܟܠܗ ܝܨܝܦܘܬܐ ܥܒܕ ܐܢܐ ܠܡܟܬܒ ܠܟܘܢ ܥܠ ܚܝܐ ܕܝܠܢ ܕܓܘܐ ܐܢܢܩܐ ܐܝܬ ܠܝ ܠܡܟܬܒ ܠܟܘܢ ܟܕ ܡܦܝܤ ܐܢܐ ܕܐܓܘܢܐ ܬܥܒܕܘܢ ܚܠܦ ܗܝܡܢܘܬܐ ܐܝܕܐ ܕܚܕܐ ܙܒܢ ܐܫܬܠܡܬ ܠܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, maana Bwana Mungu atawaangazia, nao watatawala milele na milele. \t ܘܠܠܝܐ ܠܐ ܢܗܘܐ ܬܡܢ ܘܠܐ ܢܬܒܥܐ ܠܗܘܢ ܢܘܗܪܐ ܘܫܪܓܐ ܘܢܘܗܪܗ ܕܫܡܫܐ ܡܛܠ ܕܡܪܝܐ ܐܠܗܐ ܡܢܗܪ ܠܗܘܢ ܘܡܠܟܗܘܢ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na ujumbe wake haukai ndani yenu maana hamkumwamini yule aliyemtuma. \t ܘܡܠܬܗ ܠܐ ܡܩܘܝܐ ܒܟܘܢ ܡܛܠ ܕܒܗܘ ܕܗܘ ܫܕܪ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hata hivyo, ushahidi wao haukupatana. \t ܘܐܦܠܐ ܕܝܢ ܗܟܢܐ ܫܘܝܐ ܗܘܬ ܤܗܕܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu atamsaliti ndugu yake auawe; baba atamsaliti mwanae; watoto watawashambulia wazazi wao na kuwaua. \t ܢܫܠܡ ܕܝܢ ܐܚܐ ܠܐܚܘܗܝ ܠܡܘܬܐ ܘܐܒܐ ܠܒܪܗ ܘܢܩܘܡܘܢ ܒܢܝܐ ܥܠ ܐܒܗܝܗܘܢ ܘܢܡܝܬܘܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kristo atakapokuja hakuna mtu atakayejua mahali alikotoka, lakini sisi tunajua alikotoka mtu huyu!\" \t ܐܠܐ ܠܗܢܐ ܝܕܥܝܢ ܚܢܢ ܡܢ ܐܝܡܟܐ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܕܝܢ ܐܡܬܝ ܕܐܬܐ ܠܐ ܐܢܫ ܝܕܥ ܡܢ ܐܝܡܟܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nafunga mara mbili kwa juma, natoa zaka sehemu ya kumi ya pato langu. \t ܐܠܐ ܨܐܡ ܐܢܐ ܬܪܝܢ ܒܫܒܬܐ ܘܡܥܤܪ ܐܢܐ ܟܠ ܡܕܡ ܕܩܢܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kidunia, mimi nimeuzwa kuwa mtumwa wa dhambi. \t ܝܕܥܝܢܢ ܓܝܪ ܕܢܡܘܤܐ ܕܪܘܚ ܗܘ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܒܤܪ ܐܢܐ ܘܡܙܒܢ ܐܢܐ ܠܚܛܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wananifahamu kwa muda mrefu, na wanaweza kushuhudia, kama wakipenda, kwamba tangu mwanzo niliishi kama mmoja wa kikundi chenye siasa kali zaidi katika dini yetu, yaani kikundi cha Mafarisayo. \t ܡܛܠ ܕܡܢ ܢܘܓܪܐ ܡܦܤܝܢ ܒܝ ܘܝܕܥܝܢ ܕܒܝܘܠܦܢܐ ܪܫܝܐ ܕܦܪܝܫܐ ܚܝܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo Bwana asema pia: \"Ondokeni kati yao, mkajitenge nao, msiguse kitu najisi, nami nitawapokea. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܦܘܩܘ ܡܢ ܒܝܢܬܗܘܢ ܘܐܬܦܪܫܘ ܡܢܗܘܢ ܐܡܪ ܡܪܝܐ ܘܠܛܡܐܐ ܠܐ ܬܬܩܪܒܘܢ ܘܐܢܐ ܐܩܒܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Kaka yako atafufuka.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܩܐܡ ܐܚܘܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtu aliye na huyo Roho anaweza kubainisha ubora wa kila kitu, naye mwenyewe hahukumiwi na mtu mwingine. \t ܪܘܚܢܐ ܕܝܢ ܟܠ ܡܕܡ ܕܐܢ ܘܗܘ ܡܢ ܐܢܫ ܠܐ ܡܬܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunajua kwamba hukumu ya Mungu kwa wale wanaofanya mambo kama hayo ni hukumu ya haki. \t ܘܝܕܥܝܢܢ ܕܐܝܬܘܗܝ ܕܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܒܩܘܫܬܐ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܒܗܠܝܢ ܡܬܗܦܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu amesema: Waheshimu baba yako na mama yako, na Anayemkashifu baba yake au mama yake, lazima auawe. \t ܐܠܗܐ ܓܝܪ ܐܡܪ ܝܩܪ ܠܐܒܘܟ ܘܠܐܡܟ ܘܡܢ ܕܡܨܚܐ ܠܐܒܘܗܝ ܘܠܐܡܗ ܡܡܬ ܢܡܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akageuka akamwona, akamwambia, \"Binti, jipe moyo! Imani yako imekuponya.\" Mama huyo akapona saa ileile. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܬܦܢܝ ܚܙܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܬܠܒܒܝ ܒܪܬܝ ܗܝܡܢܘܬܟܝ ܐܚܝܬܟܝ ܘܐܬܐܤܝܬ ܐܢܬܬܐ ܗܝ ܡܢ ܗܝ ܫܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu, msinung'unikiane ninyi kwa ninyi msije mkahukumiwa na Mungu. Hakimu yu karibu, tayari kuingia. \t ܠܐ ܬܬܢܚܘܢ ܚܕ ܥܠ ܚܕ ܐܚܝ ܕܠܐ ܬܬܕܝܢܘܢ ܗܐ ܓܝܪ ܕܝܢܐ ܩܕܡ ܬܪܥܐ ܩܐܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamletea bubu-kiziwi, wakamwomba amwekee mikono. \t ܘܐܝܬܝܘ ܠܗ ܚܪܫܐ ܚܕ ܦܐܩܐ ܘܒܥܐ ܗܘܘ ܡܢܗ ܕܢܤܝܡ ܥܠܘܗܝ ܐܝܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, ikiwa chakula husababisha kuanguka kwa ndugu yangu, sitakula nyama kamwe, nisije nikamfanya ndugu yangu aanguke katika dhambi. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܢ ܡܐܟܘܠܬܐ ܡܟܫܠܐ ܠܐܚܝ ܠܥܠܡ ܒܤܪܐ ܠܐ ܐܟܘܠ ܕܠܐ ܐܟܫܠ ܠܐܚܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipojiunga tena na ule umati wa watu, mtu mmoja alimwendea Yesu, akampigia magoti, \t ܘܟܕ ܐܬܘ ܠܘܬ ܟܢܫܐ ܩܪܒ ܠܗ ܓܒܪܐ ܘܒܪܟ ܥܠ ܒܘܪܟܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu watakapokuwa wanasema: \"Kila kitu ni shwari na salama\" ndipo uharibifu utakapowaangukia ghafla! Mambo hayo yatatukia ghafla kama uchungu wa uzazi unavyomjia mama anayejifungua, wala watu hawataweza kuepukana nayo. \t ܟܕ ܢܐܡܪܘܢ ܕܫܠܡܐ ܗܘ ܘܫܝܢܐ ܘܗܝܕܝܢ ܡܢܫܠܝܐ ܢܩܘܡ ܥܠܝܗܘܢ ܐܒܕܢܐ ܐܝܟ ܚܒܠܐ ܥܠ ܒܛܢܬܐ ܘܠܐ ܢܡܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nimegundua kanuni hii: ninataka kufanya jema, lakini najikuta kwamba lile lililo baya ndilo ninalochagua. \t ܡܫܟܚ ܐܢܐ ܗܟܝܠ ܠܢܡܘܤܐ ܕܫܠܡ ܠܪܥܝܢܝ ܗܘ ܕܨܒܐ ܕܢܥܒܕ ܛܒܬܐ ܡܛܠ ܕܒܝܫܬܐ ܩܪܝܒܐ ܗܝ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Hapa panahitaji akili na hekima! Hivyo vichwa saba ni vilima saba, na huyo mwanamke anaketi juu yake. Vichwa hivyo pia ni wafalme saba. \t ܗܪܟܐ ܗܘܢܐ ܠܕܐܝܬ ܠܗ ܚܟܡܬܐ ܫܒܥܐ ܪܫܝܢ ܫܒܥܐ ܐܢܘܢ ܛܘܪܝܢ ܐܝܟܐ ܕܝܬܒܐ ܐܢܬܬܐ ܥܠܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro alimfuata kwa mbali mpaka uani kwa Kuhani Mkuu, akaingia ndani pamoja na walinzi ili apate kuona mambo yatakavyokuwa. \t ܫܡܥܘܢ ܕܝܢ ܟܐܦܐ ܐܙܠ ܗܘܐ ܒܬܪܗ ܡܢ ܪܘܚܩܐ ܥܕܡܐ ܠܕܪܬܗ ܕܪܒ ܟܗܢܐ ܘܥܠ ܝܬܒ ܠܓܘ ܥܡ ܕܚܫܐ ܕܢܚܙܐ ܚܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, Abrahamu alikubaliwa kabla ya kutahiriwa ama baada ya kutahiriwa? Kabla ya kutahiriwa, na si baada ya kutahiriwa. \t ܐܝܟܢܐ ܗܟܝܠ ܐܬܚܫܒܬ ܠܗ ܒܓܙܘܪܬܐ ܐܘ ܒܥܘܪܠܘܬܐ ܠܐ ܗܘܐ ܒܓܙܘܪܬܐ ܐܠܐ ܒܥܘܪܠܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule ndugu wa pili akamwoa yule mjane, naye pia, akafa; \t ܘܢܤܒܗ ܕܬܪܝܢ ܠܐܢܬܬܗ ܘܗܢܐ ܡܝܬ ܕܠܐ ܒܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye alitolewa auawe kwa ajili ya dhambi zetu, akafufuka ili tupate kukubaliwa kuwa waadilifu na Mungu. \t ܕܗܘ ܐܫܬܠܡ ܡܛܠ ܚܛܗܝܢ ܘܩܡ ܡܛܠ ܕܢܙܕܩܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msichana akamrudia mfalme mbio akamwomba, \"Nataka unipe sasa hivi katika sinia kichwa cha Yohane mbatizaji.\" \t ܘܡܚܕܐ ܥܠܬ ܒܒܛܝܠܘܬܐ ܠܘܬ ܡܠܟܐ ܘܐܡܪܐ ܠܗ ܨܒܝܐ ܐܢܐ ܒܗܕܐ ܫܥܬܐ ܕܬܬܠ ܠܝ ܥܠ ܦܝܢܟܐ ܪܫܗ ܕܝܘܚܢܢ ܡܥܡܕܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikukuu ya Vibanda ya Wayahudi ilikuwa imekaribia. \t ܘܩܪܝܒ ܗܘܐ ܥܕܥܕܐ ܕܡܛܠܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Paulo nawasalimuni, nikiandika kwa mkono wangu mwenyewe. \t ܫܠܡܐ ܒܟܬܒܬ ܐܝܕܐ ܕܝܠܝ ܕܦܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kuwatupa katika tanuru ya moto, na huko watalia na kusaga meno. \t ܘܢܪܡܘܢ ܐܢܘܢ ܒܐܬܘܢܐ ܕܢܘܪܐ ܬܡܢ ܢܗܘܐ ܒܟܝܐ ܘܚܘܪܩ ܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, mnayo desturi kwamba mimi niwafungulie mfungwa mmoja wakati wa Pasaka. Basi, mwataka niwafungulieni Mfalme wa Wayahudi?\" \t ܥܝܕܐ ܕܝܢ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܕܚܕ ܐܫܪܐ ܠܟܘܢ ܒܦܨܚܐ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܟܝܠ ܐܫܪܐ ܠܟܘܢ ܠܗܢܐ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana mwenyewe ndiye chanzo cha amani, awajalieni amani siku zote kwa kila namna. Bwana awe nanyi nyote. \t ܗܘ ܕܝܢ ܡܪܗ ܕܫܠܡܐ ܢܬܠ ܠܟܘܢ ܫܠܡܐ ܒܟܠܙܒܢ ܒܟܠܡܕܡ ܡܪܢ ܥܡ ܟܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati Yesu alipokuwa akifundisha Hekaluni, aliuliza, \"Mbona walimu wa Sheria wanasema ya kwamba Kristo ni mwana wa Daudi? \t ܘܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܟܕ ܡܠܦ ܒܗܝܟܠܐ ܐܝܟܢܐ ܐܡܪܝܢ ܤܦܪܐ ܕܡܫܝܚܐ ܒܪܗ ܗܘ ܕܕܘܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, si kila mtu anao ujuzi huu. Maana wako watu wengine waliokwisha zoea sanamu, watu ambao mpaka hivi sasa wanapokula vyakula huviona bado kama vyakula vilivyotambikiwa sanamu. Na kwa vile dhamiri zao ni dhaifu, hutiwa unajisi. \t ܐܠܐ ܠܐ ܗܘܐ ܒܟܠܢܫ ܝܕܥܬܐ ܐܝܬ ܓܝܪ ܐܢܫܐ ܕܒܬܐܪܬܗܘܢ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܕܥܠ ܦܬܟܪܐ ܐܝܟ ܕܕܒܝܚܐ ܐܟܠܝܢ ܘܡܛܠ ܕܟܪܝܗܐ ܬܐܪܬܗܘܢ ܡܬܛܘܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakamwambia, \"Twambie! Je, wewe ndiwe Kristo?\" Lakini Yesu akawaambia, \"Hata kama nikiwaambieni, hamtasadiki; \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܢ ܐܢܬ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܐܡܪ ܠܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢ ܐܡܪ ܠܟܘܢ ܠܐ ܬܗܝܡܢܘܢܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo, Paulo aliondoka Athene, akaenda Korintho. \t ܘܟܕ ܢܦܩ ܦܘܠܘܤ ܡܢ ܐܬܢܘܤ ܐܬܐ ܠܗ ܠܩܘܪܢܬܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, makuhani wakuu na walimu wa Sheria walipoyaona maajabu aliyoyafanya Yesu, na pia watoto walipokuwa wanapaaza sauti zao Hekaluni wakisema: \"Sifa kwa Mwana wa Daudi,\" wakakasirika. \t ܟܕ ܚܙܘ ܕܝܢ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܦܪܝܫܐ ܬܕܡܪܬܐ ܕܥܒܕ ܘܛܠܝܐ ܕܩܥܝܢ ܒܗܝܟܠܐ ܘܐܡܪܝܢ ܐܘܫܥܢܐ ܠܒܪܗ ܕܕܘܝܕ ܐܬܒܐܫ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo, Yesu alivuka ziwa Galilaya (au Ziwa Tiberia). \t ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܐܙܠ ܝܫܘܥ ܠܥܒܪܐ ܕܝܡܐ ܕܓܠܝܠܐ ܕܛܒܪܝܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe na hekima katika uhusiano wenu na watu wasioamini, mkitumia vizuri kila nafasi mliyo nayo. \t ܒܚܟܡܬܐ ܗܠܟܘ ܠܘܬ ܒܪܝܐ ܘܙܒܢܘ ܩܐܪܤܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yafaa kitu gani ninyi kuwaambia hao: \"Nendeni salama mkaote moto na kushiba,\" bila kuwapatia mahitaji yao ya maisha? \t ܘܢܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܙܠܘ ܒܫܠܡܐ ܫܚܢܘ ܘܤܒܥܘ ܘܠܐ ܬܬܠܘܢ ܠܗܘܢ ܤܢܝܩܘܬܗ ܕܦܓܪܐ ܡܢܐ ܗܢܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawatakieni huruma, amani na upendo kwa wingi. \t ܪܚܡܐ ܘܫܠܡܐ ܘܚܘܒܐ ܢܤܓܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Nendeni mkamwambie Yohane mambo mnayoyasikia na kuyaona: \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘ ܐܫܬܥܘ ܠܝܘܚܢܢ ܐܝܠܝܢ ܕܫܡܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܚܙܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Filipo, nimekaa nanyi muda wote huu, nawe hujanijua? Aliyekwisha niona mimi amemwona Baba. Unawezaje basi, kusema: Tuonyeshe Baba? \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܗܢܐ ܟܠܗ ܙܒܢܐ ܥܡܟܘܢ ܐܢܐ ܘܠܐ ܝܕܥܬܢܝ ܦܝܠܝܦܐ ܡܢ ܕܠܝ ܚܙܐ ܚܙܐ ܠܐܒܐ ܘܐܝܟܢܐ ܐܢܬ ܐܡܪ ܐܢܬ ܚܘܢ ܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana. \t ܘܡܢܗܝܢ ܡܢ ܗܠܝܢ ܛܥܘ ܐܢܫܐ ܘܤܛܘ ܠܡܠܐ ܤܪܝܩܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na sisi, ya nini kujitia hatarini kila saa? \t ܘܠܡܢܐ ܐܦ ܚܢܢ ܒܟܠ ܫܥܐ ܒܩܢܕܝܢܘܤ ܩܝܡܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kumbukeni yaliyotokea siku zile za kwanza mlipoangaziwa mwanga wa Mungu. Ingawa siku zile mlipatwa na mateso mengi, ninyi mlistahimili. \t ܐܬܕܟܪܘ ܗܟܝܠ ܠܝܘܡܬܐ ܩܕܡܝܐ ܗܢܘܢ ܕܒܗܘܢ ܩܒܠܬܘܢ ܡܥܡܘܕܝܬܐ ܘܐܓܘܢܐ ܪܒܐ ܤܝܒܪܬܘܢ ܕܚܫܐ ܒܚܤܕܐ ܘܒܐܘܠܨܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja ya Sabato, Yesu alikwenda kula chakula nyumbani kwa mmoja wa viongozi wa Mafarisayo; watu waliokuwapo hapo wakawa wanamchunguza. \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܥܠ ܠܒܝܬܐ ܕܚܕ ܡܢ ܪܫܐ ܕܦܪܝܫܐ ܕܢܐܟܘܠ ܠܚܡܐ ܒܝܘܡܐ ܕܫܒܬܐ ܘܗܢܘܢ ܢܛܪܝܢ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Upanga mkali hutoka kinywani mwake, na kwa upanga huo atawashinda mataifa. Yeye ndiye atakayetawala kwa fimbo ya chuma na kuikamua divai katika chombo cha kukamulia zabibu za ghadhabu kuu ya Mungu Mwenye Uwezo. \t ܘܡܢ ܦܘܡܗܘܢ ܢܦܩܐ ܚܪܒܐ ܚܪܝܦܬܐ ܕܒܗ ܢܩܛܠܘܢ ܠܥܡܡܐ ܘܗܘ ܢܪܥܐ ܐܢܘܢ ܒܫܒܛܐ ܕܦܪܙܠܐ ܘܗܘ ܕܐܫ ܡܥܨܪܬܐ ܕܪܘܓܙܗ ܕܐܠܗܐ ܐܚܝܕ ܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, alipokuwa anakaribia lango la mji, walitokea watu wamebeba maiti ya kijana mmoja, mtoto wa pekee wa mama mjane. Watu wengi wa mji ule walikuwa pamoja na huyo mama. \t ܘܟܕ ܩܪܒ ܠܬܪܥܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܚܙܐ ܟܕ ܡܠܘܝܢ ܡܝܬܐ ܕܝܚܝܕܝܐ ܗܘܐ ܠܐܡܗ ܘܗܝ ܐܡܗ ܐܪܡܠܬܐ ܗܘܬ ܘܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܕܒܢܝ ܡܕܝܢܬܐ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato alitaka kuuridhisha huo umati wa watu; basi, akamwachilia Baraba kutoka gerezani. Akaamuru Yesu apigwe viboko, kisha akamtoa asulubiwe. \t ܦܝܠܛܘܤ ܕܝܢ ܨܒܐ ܕܢܥܒܕ ܨܒܝܢܐ ܠܟܢܫܐ ܘܫܪܐ ܠܗܘܢ ܠܒܪ ܐܒܐ ܘܐܫܠܡ ܠܗܘܢ ܠܝܫܘܥ ܟܕ ܡܢܓܕ ܕܢܙܕܩܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kaeni katika nyumba hiyo mkila na kunywa wanavyowapeni, maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msiende mara nyumba hii mara nyumba ile. \t ܒܗ ܕܝܢ ܒܒܝܬܐ ܗܘܘ ܟܕ ܠܥܤܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܫܬܝܢ ܡܢ ܕܝܠܗܘܢ ܫܘܐ ܗܘ ܓܝܪ ܦܥܠܐ ܐܓܪܗ ܘܠܐ ܬܫܢܘܢ ܡܢ ܒܝܬܐ ܠܒܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msile vyakula vilivyotambikiwa sanamu; msinywe damu; msile nyama ya mnyama aliyenyongwa; na mjiepushe na uasherati. Mtakuwa mmefanya vema kama mkiepa kufanya mambo hayo. Wasalaam!\" \t ܕܬܬܪܚܩܘܢ ܡܢ ܕܕܒܝܚܐ ܘܡܢ ܕܡܐ ܘܡܢ ܚܢܝܩܐ ܘܡܢ ܙܢܝܘܬܐ ܕܟܕ ܬܛܪܘܢ ܢܦܫܟܘܢ ܡܢ ܗܠܝܢ ܫܦܝܪ ܬܗܘܘܢ ܗܘܘ ܫܪܝܪܝܢ ܒܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wa maana si yule aliyepanda mbegu, au yule aliyemwagilia maji; wa maana ni Mungu aliyeiwezesha mbegu kuota. \t ܠܐ ܗܟܝܠ ܗܘ ܕܢܨܒ ܐܝܬܘܗܝ ܡܕܡ ܘܠܐ ܗܘ ܕܡܫܩܐ ܐܠܐ ܐܠܗܐ ܕܡܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu asemaye hivyo heri akumbuke kwamba hakuna tofauti ya yale tunayoandika katika barua wakati tuko mbali, na yale tutakayofanya wakati tutakapokuwa nanyi. \t ܐܠܐ ܗܕܐ ܢܬܪܥܐ ܡܢ ܕܗܟܢܐ ܐܡܪ ܕܐܝܟܢܐ ܕܐܝܬܝܢ ܒܡܠܬܐ ܕܐܓܪܬܢ ܟܕ ܪܚܝܩܝܢܢ ܗܟܢܐ ܐܝܬܝܢ ܐܦ ܡܐ ܕܩܪܝܒܝܢܢ ܒܥܒܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo aliyeketi juu yake alikuwa kama almasi na jiwe zuri jekundu. Upinde wa mvua ulikuwa unang'aa kama zumaridi na ulikizunguka kiti cha enzi pande zote. \t ܘܕܝܬܒ ܐܝܟ ܕܡܘܬܐ ܕܚܙܘܐ ܕܟܐܦܐ ܕܝܫܦܗ ܘܕܤܪܕܘܢ ܘܩܫܬܐ ܕܥܢܢܐ ܕܚܕܪܘܗܝ ܕܟܘܪܤܝܐ ܕܡܘܬ ܚܙܘܐ ܕܙܡܪܓܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nilipanda mbegu, Apolo akamwagilia maji; lakini aliyeiotesha mbegu ni Mungu. \t ܐܢܐ ܢܨܒܬ ܘܐܦܠܘ ܐܫܩܝ ܐܠܐ ܐܠܗܐ ܪܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakamjibu, \"Mjini Bethlehemu, mkoani Yudea. Ndivyo nabii alivyoandika: \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܘ ܒܒܝܬ ܠܚܡ ܕܝܗܘܕܐ ܗܟܢܐ ܓܝܪ ܟܬܝܒ ܒܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!\" \t ܘܛܘܒܘܗܝ ܠܡܢ ܕܠܐ ܢܬܟܫܠ ܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye, akiwa ndani angemjibu: Usinisumbue! Nimekwisha funga mlango. Mimi na watoto wangu tumelala; siwezi kuamka nikupe! \t ܘܗܘ ܪܚܡܗ ܡܢ ܠܓܘ ܢܥܢܐ ܘܢܐܡܪ ܠܗ ܠܐ ܬܗܪܝܢܝ ܕܗܐ ܬܪܥܐ ܐܚܝܕ ܗܘ ܘܒܢܝ ܥܡܝ ܒܥܪܤܐ ܠܐ ܡܫܟܚ ܐܢܐ ܕܐܩܘܡ ܘܐܬܠ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nimewapenda ninyi kama vile Baba alivyonipenda mimi. Kaeni katika pendo langu. \t ܐܝܟܢܐ ܕܐܚܒܢܝ ܐܒܝ ܐܦ ܐܢܐ ܐܚܒܬܟܘܢ ܩܘܘ ܒܪܚܡܬܝ ܕܝܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Felisi alipoisoma hiyo barua aliwauliza Paulo ametoka mkoa gani. Alipofahamishwa kwamba alikuwa ametoka mkoa wa Kilikia, \t ܘܟܕ ܩܪܐ ܐܓܪܬܐ ܡܫܐܠ ܗܘܐ ܠܗ ܕܡܢ ܐܝܕܐ ܗܘܦܪܟܝܐ ܐܝܬܘܗܝ ܘܟܕ ܝܠܦ ܕܡܢ ܩܝܠܝܩܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini akija mwenye nguvu zaidi akamshambulia na kumshinda, huyo huziteka silaha zake alizotegemea na kugawanya nyara. \t ܐܢ ܕܝܢ ܢܐܬܐ ܡܢ ܕܚܤܝܢ ܡܢܗ ܢܙܟܝܘܗܝ ܟܠܗ ܙܝܢܗ ܫܩܠ ܗܘ ܕܬܟܝܠ ܗܘܐ ܥܠܘܗܝ ܘܒܙܬܗ ܡܦܠܓ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Endeleeni kutembea katika njia iliyonyoka, ili kile kilicholemaa kisiumizwe, bali kiponywe. \t ܘܫܒܝܠܐ ܬܪܝܨܐ ܥܒܕܘ ܠܪܓܠܝܟܘܢ ܕܗܕܡܐ ܕܚܓܝܪ ܠܐ ܢܛܥܫ ܐܠܐ ܢܬܐܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Anayekuja kutoka juu ni mkuu kuliko wote; atokaye duniani ni wa dunia, na huongea mambo ya kidunia. Lakini anayekuja kutoka mbinguni ni mkuu kuliko wote. \t ܗܘ ܓܝܪ ܕܡܢ ܠܥܠ ܐܬܐ ܠܥܠ ܡܢ ܟܠ ܗܘ ܘܗܘ ܕܡܢ ܐܪܥܐ ܡܢ ܐܪܥܐ ܗܘ ܘܡܢ ܐܪܥܐ ܡܡܠܠ ܗܘ ܕܡܢ ܫܡܝܐ ܐܬܐ ܠܥܠ ܡܢ ܟܠ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, \"Na jirani yangu ni nani?\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܟܕ ܨܒܐ ܠܡܙܕܩܘ ܢܦܫܗ ܐܡܪ ܠܗ ܘܡܢܘ ܩܪܝܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, hekima ya kidunia ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwani Maandiko Matakatifu yasema: \"Mungu huwanasa wenye hekima katika ujanja wao.\" \t ܚܟܡܬܗ ܓܝܪ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܠܠܘܬܐ ܗܝ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܟܬܝܒ ܗܘ ܓܝܪ ܕܐܚܕ ܚܟܝܡܐ ܒܚܪܥܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Paulo, niliyeitwa kuwa mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Sosthene, \t ܦܘܠܘܤ ܩܪܝܐ ܘܫܠܝܚܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܘܤܘܤܬܢܤ ܐܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "muwe kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka arusini, ili wamfungulie mara atakapobisha hodi. \t ܘܗܘܘ ܕܡܝܢ ܠܐܢܫܐ ܕܡܤܟܝܢ ܠܡܪܗܘܢ ܕܐܡܬܝ ܢܦܢܐ ܡܢ ܒܝܬ ܡܫܬܘܬܐ ܕܡܐ ܕܐܬܐ ܘܢܩܫ ܡܚܕܐ ܢܦܬܚܘܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliondoka hapo pamoja na wanafunzi wake, akaenda kando ya ziwa, na umati wa watu ukamfuata. Watu hao walikuwa wametoka Yerusalemu, Yudea, \t ܘܝܫܘܥ ܥܡ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܙܠ ܠܗ ܠܘܬ ܝܡܐ ܘܥܡܐ ܤܓܝܐܐ ܡܢ ܓܠܝܠܐ ܢܩܦܗ ܗܘܐ ܘܡܢ ܝܗܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaenda akasimama karibu naye, akaikemea ile homa, nayo ikamwacha. Mara yule mama akainuka, akawatumikia. \t ܘܩܡ ܠܥܠ ܡܢܗ ܘܟܐܐ ܒܐܫܬܗ ܘܫܒܩܬܗ ܘܡܚܕܐ ܩܡܬ ܘܡܫܡܫܐ ܗܘܬ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akawaambia: \"Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwana punda amefungwa ambaye hajatumiwa na mtu. Mfungeni, mkamlete hapa. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘ ܠܩܪܝܬܐ ܗܝ ܕܠܩܘܒܠܢ ܘܟܕ ܥܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܗܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܝܠܐ ܕܐܤܝܪ ܕܐܢܫ ܡܡܬܘܡ ܠܐ ܪܟܒ ܥܠܘܗܝ ܫܪܘ ܐܝܬܐܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini katika mikutano ya waumini napendelea zaidi kusema maneno matano yenye kueleweka ili niwafundishe wengine, kuliko kusema maneno elfu ya lugha ngeni. \t ܐܠܐ ܒܥܕܬܐ ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܚܡܫ ܡܠܝܢ ܒܡܕܥܝ ܐܡܠܠ ܕܐܦ ܐܚܪܢܐ ܐܠܦ ܝܬܝܪ ܡܢ ܪܒܘ ܡܠܝܢ ܒܠܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha atawatuma malaika wake; atawakusanya wateule wake kutoka pande zote nne za dunia, kutoka mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu. \t ܗܝܕܝܢ ܢܫܕܪ ܡܠܐܟܘܗܝ ܘܢܟܢܫ ܠܓܒܘܗܝ ܡܢ ܐܪܒܥܬܝܗܝܢ ܪܘܚܐ ܡܢ ܪܫܗ ܕܐܪܥܐ ܘܥܕܡܐ ܠܪܫܗ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wakamwambia, \"Utafanya ishara gani ili tuione tupate kukuamini? Utafanya kitu gani? \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܢܐ ܐܬܐ ܥܒܕ ܐܢܬ ܕܢܚܙܐ ܘܢܗܝܡܢ ܒܟ ܡܢܐ ܤܥܪ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana akili za watu hawa zimepumbaa, wameziba masikio yao, wamefumba macho yao. La sivyo, wangeona kwa macho yao, wangesikia kwa masikio yao. Wangeelewa kwa akili zao, na kunigeukia, asema Bwana, nami ningewaponya.\" \t ܐܬܥܒܝ ܠܗ ܓܝܪ ܠܒܗ ܕܥܡܐ ܗܢܐ ܘܡܫܡܥܬܗܘܢ ܐܘܩܪܘ ܘܥܝܢܝܗܘܢ ܥܡܨܘ ܕܠܐ ܢܚܙܘܢ ܒܥܝܢܝܗܘܢ ܘܢܫܡܥܘܢ ܒܐܕܢܝܗܘܢ ܘܢܤܬܟܠܘܢ ܒܠܒܗܘܢ ܘܢܬܘܒܘܢ ܠܘܬܝ ܘܐܫܒܘܩ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule askari wa gereza alimpasha habari Paulo: \"Mahakimu wametuma ujumbe ili mfunguliwe. Sasa mnaweza kutoka na kwenda zenu kwa amani.\" \t ܘܟܕ ܫܡܥ ܪܒ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܥܠ ܐܡܪ ܠܗ ܗܝ ܗܕܐ ܡܠܬܐ ܠܦܘܠܘܤ ܕܫܕܪܘ ܐܤܛܪܛܓܐ ܐܝܟ ܕܬܫܬܪܘܢ ܘܗܫܐ ܦܘܩܘ ܙܠܘ ܒܫܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo watu fulani walikuja, wakamweleza Yesu juu ya watu wa Galilaya ambao Pilato alikuwa amewaua wakati walipokuwa wanachinja wanyama wao wa tambiko. \t ܒܗܘ ܕܝܢ ܙܒܢܐ ܐܬܘ ܐܢܫܝܢ ܐܡܪܘ ܠܗ ܥܠ ܓܠܝܠܝܐ ܗܢܘܢ ܕܦܝܠܛܘܤ ܚܠܛ ܕܡܗܘܢ ܥܡ ܕܒܚܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliondoka hapo akaenda katika kijiji chake, akifuatwa na wanafunzi wake. \t ܘܟܕ ܗܘܬ ܫܒܬܐ ܫܪܝ ܠܡܠܦܘ ܒܟܢܘܫܬܐ ܘܤܓܝܐܐ ܕܫܡܥܘ ܐܬܕܡܪܘ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܐܝܡܟܐ ܠܗ ܗܠܝܢ ܠܗܢܐ ܘܐܝܕܐ ܗܝ ܚܟܡܬܐ ܕܐܬܝܗܒܬ ܠܗ ܕܚܝܠܐ ܕܐܝܟ ܗܠܝܢ ܒܐܝܕܘܗܝ ܢܗܘܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mavazi yake yakang'aa, yakawa meupe sana, jinsi dobi yeyote duniani asingeweza kuyafanya meupe. \t ܘܒܬܪ ܫܬܐ ܝܘܡܝܢ ܕܒܪ ܝܫܘܥ ܠܟܐܦܐ ܘܠܝܥܩܘܒ ܘܠܝܘܚܢܢ ܘܐܤܩ ܐܢܘܢ ܠܛܘܪܐ ܪܡܐ ܒܠܚܘܕܝܗܘܢ ܘܐܬܚܠܦ ܠܥܢܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu anaweza kusema: \"Kwangu mimi kila kitu ni halali.\" Sawa; lakini si kila kitu kinafaa. Nakubali kwamba kila kitu ni halali kwangu lakini sitaki kutawaliwa na kitu chochote. \t ܟܠ ܫܠܝܛ ܠܝ ܐܠܐ ܠܐ ܟܠ ܦܩܚ ܠܝ ܟܠ ܫܠܝܛ ܠܝ ܐܠܐ ܥܠܝ ܐܢܫ ܠܐ ܢܫܬܠܛ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama sifanyi kazi za Baba yangu msiniamini. \t ܐܠܐ ܥܒܕ ܐܢܐ ܥܒܕܐ ܕܐܒܝ ܠܐ ܬܗܝܡܢܘܢܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu yeyote asipokaa ndani yangu hutupwa nje kama tawi litupwalo nje hata likakauka. Watu huliokota tawi la namna hiyo na kulitupa motoni liungue. \t ܐܠܐ ܕܝܢ ܐܢܫ ܡܩܘܐ ܒܝ ܡܫܬܕܐ ܠܒܪ ܐܝܟ ܫܒܫܬܐ ܕܝܒܫܐ ܘܠܩܛܝܢ ܪܡܝܢ ܠܗ ܒܢܘܪܐ ܕܬܐܩܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hujiangalia mwenyewe, kisha huenda zake, na mara husahau jinsi alivyo. \t ܚܙܐ ܓܝܪ ܢܦܫܗ ܘܥܒܪ ܘܛܥܐ ܕܐܝܟܢܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama vile siku zile yule mtoto aliyezaliwa kwa njia ya kawaida alimdhulumu yule aliyezaliwa kwa uwezo wa Roho wa Mungu, vivyo hivyo na siku hizi. \t ܘܐܝܟ ܕܗܝܕܝܢ ܗܘ ܕܝܠܝܕ ܗܘܐ ܒܒܤܪܐ ܪܕܦ ܗܘܐ ܠܗܘ ܕܒܪܘܚܐ ܗܟܢܐ ܐܦ ܗܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, kuhusu mabikira na waseja, sina amri kutoka kwa Bwana; lakini natoa maoni yangu mimi ambaye kwa huruma yake Bwana nastahili kuaminiwa. \t ܥܠ ܒܬܘܠܘܬܐ ܕܝܢ ܦܘܩܕܢܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܠܐ ܐܚܝܕ ܐܢܐ ܡܠܟܐ ܕܝܢ ܝܗܒ ܐܢܐ ܐܝܟ ܓܒܪܐ ܕܐܬܚܢܢܬ ܡܢ ܐܠܗܐ ܕܐܗܘܐ ܡܗܝܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akalia machozi. \t ܘܐܬܝܢ ܗܘܝ ܕܡܥܘܗܝ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule bwana akamwambia mtumishi: Nenda katika barabara na vichochoro vya mji uwashurutishe watu kuingia ili nyumba yangu ijae. \t ܘܐܡܪ ܡܪܐ ܠܥܒܕܗ ܦܘܩ ܠܐܘܪܚܬܐ ܘܠܒܝܬ ܤܝܓܐ ܘܐܠܘܨ ܕܢܥܠܘܢ ܕܢܬܡܠܐ ܒܝܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akaingia tena ndani ya ikulu, akamwita Yesu na kumwuliza: \"Ati wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?\" \t ܥܠ ܕܝܢ ܦܝܠܛܘܤ ܠܦܪܛܘܪܝܢ ܘܩܪܐ ܠܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢܬ ܗܘ ܡܠܟܗܘܢ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. Aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena. \t ܘܬܛܥܐ ܠܕܥܡܪܝܢ ܥܠ ܐܪܥܐ ܒܝܕ ܐܬܘܬܐ ܕܐܬܝܗܒ ܠܗ ܠܡܥܒܕ ܩܕܡ ܚܝܘܬܐ ܠܡܐܡܪ ܠܕܥܡܪܝܢ ܥܠ ܐܪܥܐ ܠܡܥܒܕ ܨܠܡܐ ܠܚܝܘܬܐ ܐܝܕܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܡܚܘܬܐ ܕܚܪܒܐ ܘܚܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani, upone kabisa ugonjwa wako.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܒܪܬܝ ܗܝܡܢܘܬܟܝ ܐܚܝܬܟܝ ܙܠܝ ܒܫܠܡܐ ܘܗܘܝܬܝ ܚܠܝܡܐ ܡܢ ܡܚܘܬܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane alikuwa kama taa iliyokuwa ikiwaka na kuangaza, nanyi mlikuwa tayari kufurahia mwanga huo kwa kitambo. \t ܗܘ ܫܪܓܐ ܗܘܐ ܕܕܠܩ ܘܡܢܗܪ ܘܐܢܬܘܢ ܨܒܝܬܘܢ ܕܬܫܬܒܗܪܘܢ ܕܫܥܬܐ ܒܢܘܗܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wanafunzi wa Yohane mbatizaji walimwendea Yesu, wakamwuliza, \"Sisi na Mafarisayo hufunga mara nyingi; mbona wanafunzi wako hawafungi?\" \t ܗܝܕܝܢ ܩܪܒܘ ܠܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܝܘܚܢܢ ܘܐܡܪܝܢ ܠܡܢܐ ܚܢܢ ܘܦܪܝܫܐ ܨܝܡܝܢ ܚܢܢ ܤܓܝ ܘܬܠܡܝܕܝܟ ܠܐ ܨܝܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Mzee nakuandikia wewe Bimkubwa mteule, pamoja na watoto wako ninaowapenda kweli. Wala si mimi tu ninayewapenda, bali pia wote wanaoujua ule ukweli wanawapenda ninyi, \t ܩܫܝܫܐ ܠܓܒܝܬܐ ܩܘܪܝܐ ܘܠܒܢܝܗ ܐܝܠܝܢ ܕܐܢܐ ܡܚܒ ܐܢܐ ܒܫܪܪܐ ܠܐ ܗܘܐ ܕܝܢ ܐܢܐ ܒܠܚܘܕܝ ܐܠܐ ܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܝܕܥܘܗܝ ܠܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona mtu aliyevalia mavazi maridadi? La hasha! Wanaovaa mavazi maridadi na kuishi maisha ya anasa, hukaa katika majumba ya wafalme! \t ܘܐܠܐ ܡܢܐ ܢܦܩܬܘܢ ܠܡܚܙܐ ܓܒܪܐ ܕܢܚܬܐ ܪܟܝܟܐ ܠܒܝܫ ܗܐ ܐܝܠܝܢ ܕܒܠܒܘܫܐ ܡܫܒܚܐ ܘܒܦܘܢܩܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܒܝܬ ܡܠܟܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walikuwa wakiuza mali na vitu vyao kisha wakagawana fedha kadiri ya mahitaji ya kila mmoja. \t ܘܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܩܢܝܢܐ ܡܙܒܢܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܘܡܦܠܓܝܢ ܗܘܘ ܠܐܢܫ ܐܢܫ ܐܝܟ ܡܕܡ ܕܤܢܝܩ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Je, hamjasoma alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa? \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܩܪܝܬܘܢ ܡܢܐ ܥܒܕ ܕܘܝܕ ܟܕ ܟܦܢ ܘܐܝܠܝܢ ܕܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, kwa damu ya Kristo, mambo makuu zaidi hufanyika! Kwa nguvu za Roho wa milele, Kristo alijitolea mwenyewe dhabihu kamilifu kwa Mungu. Damu yake itatutakasa dhamiri zetu kutokana na matendo yaletayo kifo, ili tupate kumtumikia Mungu aliye hai. \t ܟܡܐ ܗܟܝܠ ܝܬܝܪܐܝܬ ܕܡܗ ܕܡܫܝܚܐ ܕܒܪܘܚܐ ܕܠܥܠV ܢܦܫܗ ܩܪܒ ܕܠܐ ܡܘV ܠܐܠܗܐ ܢܕܟܐ ܬܐܪܬܢ ܡܢ ܥܒܕܐ ܡܝܬܐ ܕܢܫܡܫ ܠܐܠܗܐ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni kweli, mtu yeyote asiyeupokea Ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hataingia katika Ufalme huo.\" \t ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܟܠ ܕܠܐ ܢܩܒܠ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܐܝܟ ܛܠܝܐ ܠܐ ܢܥܘܠ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akajibu, \"Yasiyowezekana kwa binadamu, yanawezekana kwa Mungu.\" \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܝܠܝܢ ܕܠܘܬ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܠܐ ܡܫܟܚܢ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܡܫܟܚܢ ܠܡܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ikiwa mmefufuka pamoja na Kristo, panieni mambo ya juu, kule Kristo aliko, ameketi upande wa kulia wa Mungu. \t ܐܢ ܗܟܝܠ ܩܡܬܘܢ ܥܡ ܡܫܝܚܐ ܕܠܥܠ ܒܥܘ ܐܬܪ ܕܡܫܝܚܐ ܝܬܒ ܥܠ ܝܡܝܢܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya siku chache, yule mdogo aliuza urithi wake, akasafiri na fedha aliyopata, akaenda nchi ya mbali ambako aliitumia ovyo. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܝܘܡܬܐ ܩܠܝܠ ܟܢܫ ܗܘ ܒܪܗ ܙܥܘܪܐ ܟܠ ܡܕܡ ܕܡܛܝܗܝ ܘܐܙܠ ܠܐܬܪܐ ܪܚܝܩܐ ܘܬܡܢ ܒܕܪ ܩܢܝܢܗ ܟܕ ܚܝܐ ܦܪܚܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutoka Pafo, Paulo na wenzake walipanda meli wakaenda hadi Perga katika Pamfulia; lakini Yohane (Marko) aliwaacha, akarudi Yerusalemu. \t ܦܘܠܘܤ ܕܝܢ ܘܒܪܢܒܐ ܪܕܘ ܒܝܡܐ ܡܢ ܦܦܘܤ ܡܕܝܢܬܐ ܘܐܬܘ ܠܗܘܢ ܠܦܪܓܐ ܡܕܝܢܬܐ ܕܦܡܦܘܠܝܐ ܘܦܪܫ ܡܢܗܘܢ ܝܘܚܢܢ ܘܐܙܠ ܠܗ ܠܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akamkemea huyo pepo, naye akamtoka, na yule mtoto akapona wakati huohuo. \t ܘܟܐܐ ܒܗ ܝܫܘܥ ܘܢܦܩ ܡܢܗ ܫܐܕܐ ܘܐܬܐܤܝ ܛܠܝܐ ܡܢ ܗܝ ܫܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nami nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mwingine hapo, mwekundu. Mpanda farasi wake alikabidhiwa jukumu la kuondoa amani duniani, watu wauane, akapewa upanga mkubwa. \t ܘܢܦܩ ܤܘܤܝܐ ܤܘܡܩܐ ܘܠܕܝܬܒ ܥܠܘܗܝ ܐܬܝܗܒ ܠܗ ܠܡܤܒ ܫܠܡܐ ܡܢ ܐܪܥܐ ܕܠܚܕܕܐ ܢܢܟܤܘܢ ܘܐܬܝܗܒܬ ܠܗ ܚܪܒܐ ܪܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliposikia hivyo, wakaanza kutoweka mmojammoja, wakitanguliwa na wazee. Yesu akabaki peke yake, na yule mwanamke amesimama palepale. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܟܕ ܫܡܥܘ ܢܦܩܝܢ ܗܘܘ ܚܕ ܚܕ ܟܕ ܫܪܝܘ ܡܢ ܩܫܝܫܐ ܘܐܫܬܒܩܬ ܐܢܬܬܐ ܠܚܘܕܝܗ ܟܕ ܐܝܬܝܗ ܒܡܨܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku ya Pentekoste ilipofika, waumini wote walikuwa wamekusanyika pamoja. \t ܘܟܕ ܐܬܡܠܝܘ ܝܘܡܬܐ ܕܦܢܛܩܘܤܛܐ ܟܕ ܟܢܝܫܝܢ ܗܘܘ ܟܠܗܘܢ ܐܟܚܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mafarisayo wakawa wanasema, \"Anawatoa pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo wabaya.\" \t ܦܪܝܫܐ ܕܝܢ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܒܪܫܐ ܕܕܝܘܐ ܡܦܩ ܕܝܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Herode alipopata habari hizi alisema, \"Huyu ni Yohane! Nilimkata kichwa, lakini amefufuka.\" \t ܟܕ ܫܡܥ ܕܝܢ ܗܪܘܕܤ ܐܡܪ ܝܘܚܢܢ ܗܘ ܕܐܢܐ ܦܤܩܬ ܪܫܗ ܗܘ ܩܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mungu alimfufua kutoka wafu. \t ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܐܩܝܡܗ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Inafaa nami pia, Mheshimiwa, baada ya kuchunguza kwa makini mambo yote tangu mwanzo, nikuandikie kwa mpango, \t ܐܬܚܙܝ ܐܦ ܠܝ ܡܛܠ ܕܩܪܝܒ ܗܘܝܬ ܝܨܝܦܐܝܬ ܠܟܠܗܘܢ ܕܟܠ ܡܕܡ ܒܛܟܤܗ ܐܟܬܘܒ ܠܟ ܢܨܝܚܐ ܬܐܘܦܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni lazima yeye azidi kuwa maarufu, na mimi nipungue. \t ܠܗܘ ܗܘ ܘܠܐ ܠܡܪܒܐ ܘܠܝ ܠܡܒܨܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anapofika nyumbani, atawaita rafiki zake akiwaambia, Furahini pamoja nami, kwa sababu nimempata yule kondoo wangu aliyepotea. \t ܘܐܬܐ ܠܒܝܬܗ ܘܩܪܐ ܠܪܚܡܘܗܝ ܘܠܫܒܒܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܚܕܘ ܥܡܝ ܕܐܫܟܚܬ ܥܪܒܝ ܕܐܒܝܕ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Awali ya yote, namshukuru Mungu wangu kwa njia ya Yesu Kristo kwa ajili yenu nyote, kwa sababu imani yenu inasikika duniani kote. \t ܠܘܩܕܡ ܡܘܕܐ ܐܢܐ ܠܐܠܗܝ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܥܠ ܟܠܟܘܢ ܕܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܐܫܬܡܥܬ ܒܟܠܗ ܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko akasikia mambo ya siri ambayo binadamu hastahili kuyatamka. \t ܕܐܬܚܛܦ ܠܦܪܕܝܤܐ ܘܫܡܥ ܡܠܐ ܕܠܐ ܡܬܡܠܠܢ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܫܠܝܛ ܠܒܪܢܫܐ ܠܡܡܠܠܘ ܐܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Yoshua aitwaye Yusto, anawasalimuni. Miongoni mwa Wayahudi waliokwisha pokea imani, hawa tu peke yao, ndio wanaofanya kazi pamoja nami kwa ajili ya Utawala wa Mungu; nao wamekuwa msaada mkubwa kwangu. \t ܘܝܫܘܥ ܗܘ ܕܡܬܩܪܐ ܝܘܤܛܘܤ ܗܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܡܢ ܓܙܘܪܬܐ ܘܗܢܘܢ ܒܠܚܘܕ ܥܕܪܘܢܝ ܒܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܘܗܢܘܢ ܗܘܘ ܠܝ ܒܘܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Roho Mtakatifu akamwambia Filipo, \"Nenda karibu na gari hilo ukafuatane nalo.\" \t ܘܐܡܪܬ ܪܘܚܐ ܠܦܝܠܝܦܘܤ ܐܬܩܪܒ ܘܩܦ ܠܡܪܟܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkisha kuwa wakamilifu katika kutii, sisi tuko tayari kuadhibu kila namna ya kutotii. \t ܘܡܛܝܒܝܢܢ ܠܡܥܒܕ ܬܒܥܬܐ ܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܫܬܡܥܝܢ ܡܐ ܕܐܬܡܠܝܬ ܡܫܬܡܥܢܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, ingawa niliandika ile barua, haikuwa kwa ajili ya yule aliyekosa, au kwa ajili ya yule aliyekosewa. Niliandika kusudi ionekane wazi mbele ya Mungu jinsi mlivyo na bidii kwa ajili yetu. \t ܬܗܘܐ ܕܝܢ ܗܕܐ ܕܟܬܒܬ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܗܘܐ ܡܛܠ ܡܤܟܠܢܐ ܐܦ ܠܐ ܡܛܠ ܗܘ ܡܢ ܕܡܤܟܠ ܒܗ ܐܠܐ ܡܛܠ ܕܬܬܝܕܥ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܚܦܝܛܘܬܟܘܢ ܕܡܛܠܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akapewa habari kwamba mama na ndugu zake walikuwa nje, wanataka kumwona. \t ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܐܡܟ ܘܐܚܝܟ ܩܝܡܝܢ ܠܒܪ ܘܨܒܝܢ ܠܡܚܙܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yuda na Sila, ambao nao walikuwa manabii, walizungumza na hao ndugu kwa muda mrefu wakiwatia moyo na kuwaimarisha. \t ܘܒܡܠܬܐ ܥܬܝܪܬܐ ܚܝܠܘ ܠܐܚܐ ܘܩܝܡܘ ܐܢܘܢ ܕܒܝܬ ܝܗܘܕܐ ܘܫܝܠܐ ܡܛܠ ܕܐܦ ܗܢܘܢ ܢܒܝܐ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli Mwana wa Mtu anakwenda kuuawa kama ilivyopangwa, lakini ole wake mtu anayemsaliti.\" \t ܘܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܐܙܠ ܐܝܟܢܐ ܕܐܬܦܪܫ ܒܪܡ ܘܝ ܠܗܘ ܓܒܪܐ ܕܒܐܝܕܗ ܡܫܬܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule aliyekuwa anampiga mwenzake alimsukuma Mose kando akisema: Ni nani aliyekuweka wewe kuwa kiongozi na mwamuzi wa watu? \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܡܤܟܠ ܗܘܐ ܒܚܒܪܗ ܕܚܩܗ ܡܢ ܠܘܬܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܢܘ ܐܩܝܡܟ ܥܠܝܢ ܪܫܐ ܘܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha likatokea wingu likawafunika, na sauti ikasikika kutoka katika hilo wingu, \"Huyu ni Mwanangu mpendwa, msikilizeni.\" \t ܘܗܘܬ ܥܢܢܐ ܘܡܛܠܐ ܗܘܬ ܥܠܝܗܘܢ ܘܩܠܐ ܡܢ ܥܢܢܐ ܕܐܡܪ ܗܢܘ ܒܪܝ ܚܒܝܒܐ ܠܗ ܫܡܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza kwenye ukweli wote; maana hatasema kwa mamlaka yake mwenyewe, bali atawaambieni yote atakayosikia, na atasema mambo yatakayokuwa yanakuja. \t ܡܐ ܕܐܬܐ ܕܝܢ ܪܘܚܐ ܕܫܪܪܐ ܗܘ ܢܕܒܪܟܘܢ ܒܟܠܗ ܫܪܪܐ ܠܐ ܓܝܪ ܢܡܠܠ ܡܢ ܪܥܝܢ ܢܦܫܗ ܐܠܐ ܟܠ ܕܢܫܡܥ ܗܘ ܢܡܠܠ ܘܥܬܝܕܬܐ ܢܘܕܥܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wachungaji wa hao nguruwe walikimbia, wakatangaza jambo hilo mjini na mashambani. Watu wakafika kuona yaliyotukia. \t ܘܗܢܘܢ ܕܪܥܝܢ ܗܘܘ ܠܗܘܢ ܥܪܩܘ ܘܐܡܪܘ ܒܡܕܝܢܬܐ ܘܐܦ ܒܩܘܪܝܐ ܘܢܦܩܘ ܠܡܚܙܐ ܡܕܡ ܕܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawaambia, \"Wakati wangu ufaao haujafika bado. Lakini kwenu ninyi kila wakati unafaa. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܙܒܢܝ ܕܝܠܝ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܠܐ ܡܛܐ ܙܒܢܟܘܢ ܕܝܢ ܕܝܠܟܘܢ ܒܟܠ ܥܕܢ ܡܛܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.\" \t ܠܐ ܬܗܘܘܢ ܕܝܢܝܢ ܒܡܤܒ ܒܐܦܐ ܐܠܐ ܕܝܢܐ ܟܐܢܐ ܕܘܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato alipoarifiwa na huyo jemadari kwamba Yesu alikuwa amekwisha kufa, akamruhusu Yosefu auchukue mwili wake. \t ܘܟܕ ܝܠܦ ܝܗܒ ܦܓܪܗ ܠܝܘܤܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika waambie wanawake wazee wawe na mwenendo wa uchaji wa Mungu; wasiwe wachongezi, au watumwa wa pombe. Wanapaswa kufundisha mambo mema, \t ܘܐܦ ܩܫܝܫܬܐ ܗܟܢܐ ܕܢܗܘܝܢ ܒܐܤܟܡܐ ܕܝܐܐ ܠܕܚܠܬ ܐܠܗܐ ܘܠܐ ܢܗܘܝܢ ܐܟܠܢ ܩܪܨܐ ܘܠܐ ܢܗܘܝܢ ܡܫܥܒܕܢ ܠܚܡܪܐ ܤܓܝܐܐ ܘܢܗܘܝܢ ܡܠܦܢ ܫܦܝܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, karibishaneni kwa ajili ya utukufu wa Mungu kama naye Kristo alivyowakaribisheni. \t ܡܛܠ ܗܕܐ ܗܘܘ ܡܩܪܒܝܢ ܘܛܥܢܝܢ ܠܚܕܕܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܡܫܝܚܐ ܩܪܒܟܘܢ ܠܬܫܒܘܚܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hao wafuasi walikuwa wamejaa furaha na Roho Mtakatifu. \t ܘܬܠܡܝܕܐ ܡܬܡܠܝܢ ܗܘܘ ܚܕܘܬܐ ܘܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikuwa mtu mwema; naye pamoja na jamaa yake yote walimcha Mungu; alikuwa anafanya mengi kusaidia maskini wa Kiyahudi na alikuwa anasali daima. \t ܘܙܕܝܩ ܗܘܐ ܘܕܚܠ ܗܘܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܗܘ ܘܒܝܬܗ ܟܠܗ ܘܥܒܕ ܗܘܐ ܙܕܩܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܒܥܡܐ ܘܒܟܠܙܒܢ ܒܥܐ ܗܘܐ ܡܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usistaajabu kwamba nimekwambia kuwa ni lazima kuzaliwa upya. \t ܠܐ ܬܬܕܡܪ ܕܐܡܪܬ ܠܟ ܕܘܠܐ ܠܟܘܢ ܠܡܬܝܠܕܘ ܡܢ ܕܪܝܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakaenda, wakakuta kila kitu sawa kama Yesu alivyokuwa amewaambia; wakaandaa karamu ya Pasaka. \t ܘܐܙܠܘ ܐܫܟܚܘ ܐܝܟ ܕܐܡܪ ܠܗܘܢ ܘܛܝܒܘ ܦܨܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tunapaswa kuzingatia kwa uthabiti imani tunayoiungama. Maana tunaye Kuhani Mkuu aliyeingia mpaka kwa Mungu mwenyewe--Yesu, Mwana wa Mungu. \t ܡܛܠ ܕܐܝܬ ܠܢ ܗܟܝܠ ܪܒ ܟܘܡܪܐ ܪܒܐ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܕܤܠܩ ܠܫܡܝܐ ܢܚܡܤܢ ܒܬܘܕܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Chukua haki yako, uende zako. Napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe. \t ܤܒ ܕܝܠܟ ܘܙܠ ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܠܗܢܐ ܐܚܪܝܐ ܐܬܠ ܐܝܟ ܕܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana wakati tulipowahubirieni ile Habari Njema haikuwa kwa maneno tu, bali pia kwa nguvu na kwa Roho Mtakatifu, tukiwa na hakika kwamba ujumbe huo ulikuwa wa kweli. Mnajua jinsi tulivyoishi pamoja nanyi; tuliishi kwa manufaa yenu. \t ܡܛܠ ܕܡܤܒܪܢܘܬܢ ܠܐ ܗܘܐ ܒܡܠܐ ܒܠܚܘܕ ܗܘܬ ܠܘܬܟܘܢ ܐܠܐ ܐܦ ܒܚܝܠܐ ܘܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܘܒܦܝܤܐ ܫܪܝܪܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܝܟܢܐ ܗܘܝܢ ܒܝܢܬܟܘܢ ܡܛܠܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, nionavyo mimi, atakuwa na heri zaidi kama akibaki hivyo alivyo. Hayo ni maoni yangu, na nafikiri mimi pia ninaye Roho wa Mungu. \t ܛܘܒܝܗ ܕܝܢ ܐܢ ܗܟܢܐ ܬܩܘܐ ܐܝܟ ܪܥܝܢܝ ܕܝܠܝ ܤܒܪ ܐܢܐ ܕܝܢ ܐܦ ܐܢܐ ܕܪܘܚܐ ܕܐܠܗܐ ܐܝܬ ܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, upendo wako yameniletea furaha kubwa na kunipa moyo sana! Nawe umeichangamsha mioyo ya watu wa Mungu. \t ܚܕܘܬܐ ܓܝܪ ܤܓܝܐܬܐ ܐܝܬ ܠܢ ܘܒܘܝܐܐ ܕܒܝܕ ܚܘܒܟ ܐܬܬܢܝܚܘ ܪܚܡܐ ܕܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtumishi wa Bwana asigombane. Anapaswa kuwa mpole kwa watu wote, mwalimu mwema na mvumilivu, \t ܥܒܕܗ ܕܝܢ ܕܡܪܢ ܠܐ ܚܝܒ ܠܡܬܟܬܫܘ ܐܠܐ ܕܢܗܘܐ ܡܟܝܟ ܠܘܬ ܟܠܢܫ ܘܡܠܦܢ ܘܢܓܝܪܐ ܪܘܚܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sasa mnapaswa kuachana na mambo haya yote: hasira, tamaa, uovu; kufuru au maneno yasiyofaa yasitoke kamwe vinywani mwenu. \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܐܢܝܚܘ ܡܢܟܘܢ ܟܠܗܝܢ ܗܠܝܢ ܪܘܓܙܐ ܚܡܬܐ ܒܝܫܘܬܐ ܓܘܕܦܐ ܡܡܠܠܐ ܛܢܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maandiko yasema hivi: \"Kama mkisikia sauti ya Mungu leo, msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama wazee wenu walivyokuwa wakati walipomwasi Mungu.\" \t ܐܝܟܢܐ ܕܐܡܝܪ ܕܝܘܡܢܐ ܐܢ ܒܪܬ ܩܠܗ ܬܫܡܥܘܢ ܠܐ ܬܩܫܘܢ ܠܒܘܬܟܘܢ ܠܡܪܓܙܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipoona jinsi walivyokuwa na imani kubwa, akamwambia huyo mtu, \"Rafiki, umesamehewa dhambi zako.\" \t ܟܕ ܚܙܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܗܝܡܢܘܬܗܘܢ ܐܡܪ ܠܗܘ ܡܫܪܝܐ ܓܒܪܐ ܫܒܝܩܝܢ ܠܟ ܚܛܗܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao waliotoa habari hizo kwa mitume ni: Maria Magdalene, Yoana na Maria mama wa Yakobo, pamoja na wanawake wengine walioandamana nao. \t ܐܝܬܝܗܝܢ ܗܘܝ ܕܝܢ ܡܪܝܡ ܡܓܕܠܝܬܐ ܘܝܘܚܢ ܘܡܪܝܡ ܐܡܗ ܕܝܥܩܘܒ ܘܫܪܟܐ ܕܥܡܗܝܢ ܗܠܝܢ ܕܐܡܪ ܗܘܝ ܠܫܠܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alitambua mtego wao, akawaambia, \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܤܬܟܠ ܚܪܥܘܬܗܘܢ ܘܐܡܪ ܡܢܐ ܡܢܤܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wanafunzi hao wakamwendea Yohane na kumwambia, \"Mwalimu, yule mtu aliyekuwa pamoja nawe ng'ambo ya Yordani na ambaye wewe ulimshuhudia, sasa naye anabatiza, na watu wote wanamwendea.\" \t ܘܐܬܘ ܠܘܬ ܝܘܚܢܢ ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܪܒܢ ܗܘ ܕܥܡܟ ܗܘܐ ܒܥܒܪܐ ܕܝܘܪܕܢܢ ܕܐܢܬ ܤܗܕܬ ܥܠܘܗܝ ܗܐ ܐܦ ܗܘ ܡܥܡܕ ܘܤܓܝܐܐ ܐܬܝܢ ܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawageukia, akasema, \"Enyi kina mama wa Yerusalemu! Msinililie mimi, ila lieni kwa ajili yenu wenyewe na kwa ajili ya watoto wenu. \t ܘܐܬܦܢܝ ܝܫܘܥ ܠܘܬܗܝܢ ܘܐܡܪ ܒܢܬ ܐܘܪܫܠܡ ܠܐ ܬܒܟܝܢ ܥܠܝ ܒܪܡ ܥܠ ܢܦܫܟܝܢ ܒܟܝܝܢ ܘܥܠ ܒܢܝܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo, ndipo watu wataanza kuiambia milima: Tuangukieni! na vilima, Tufunikeni! \t ܗܝܕܝܢ ܬܫܪܘܢ ܠܡܐܡܪ ܠܛܘܪܐ ܕܦܠܘ ܥܠܝܢ ܘܠܪܡܬܐ ܕܟܤܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Enyi wanafiki! Isaya alitabiri sawa kabisa juu yenu: \t ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܫܦܝܪ ܐܬܢܒܝ ܥܠܝܟܘܢ ܐܫܥܝܐ ܘܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilipokuwa pamoja nanyi kila siku Hekaluni hamkunitia nguvuni. Lakini, huu ndio wakati wenu hasa, ndio wakati wa utawala wa giza.\" \t ܟܠܝܘܡ ܥܡܟܘܢ ܗܘܝܬ ܒܗܝܟܠܐ ܘܠܐ ܐܘܫܛܬܘܢ ܥܠܝ ܐܝܕܝܐ ܐܠܐ ܗܕܐ ܗܝ ܫܥܬܟܘܢ ܘܫܘܠܛܢܐ ܕܚܫܘܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na epukeni kila aina ya uovu. \t ܘܡܢ ܟܠ ܨܒܘ ܒܝܫܐ ܥܪܘܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakafurahi na kupatana naye kumlipa fedha. \t ܘܚܕܝܘ ܘܐܩܝܡܘ ܕܢܬܠܘܢ ܠܗ ܟܤܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenye kipaji cha kuwafariji wengine na afanye hivyo. Mwenye kumgawia mwenzake alicho nacho na afanye hivyo kwa ukarimu. Msimamizi na asimamie kwa bidii; naye mwenye kutenda jambo la huruma na afanye hivyo kwa furaha. \t ܘܐܝܬ ܕܡܒܝܐܢܐ ܗܘ ܒܒܘܝܐܗ ܘܕܝܗܒ ܒܦܫܝܛܘܬܐ ܘܕܩܐܡ ܒܪܫܐ ܒܚܦܝܛܘܬܐ ܘܕܡܪܚܡ ܒܦܨܝܚܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamvua nguo zake, wakamvika joho la rangi nyekundu. \t ܘܐܫܠܚܘܗܝ ܘܐܠܒܫܘܗܝ ܟܠܡܝܤ ܕܙܚܘܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Mimi ni njia, na ukweli na uzima. Hakuna awezaye kwenda kwa Baba ila kwa kupitia kwangu. \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢܐ ܐܢܐ ܐܘܪܚܐ ܘܫܪܪܐ ܘܚܝܐ ܠܐ ܐܢܫ ܐܬܐ ܠܘܬ ܐܒܝ ܐܠܐ ܐܢ ܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, hao makuhani wanaopokea sehemu ya kumi, ni watu ambao hufa; lakini hapa anayepokea sehemu ya kumi, yaani Melkisedeki, anasemekana kwamba hafi. \t ܘܗܪܟܐ ܒܢܝܢܫܐ ܕܡܝܬܝܢ ܢܤܒܝܢ ܡܥܤܪܐ ܠܗܠ ܕܝܢ ܗܘ ܕܐܤܗܕ ܥܠܘܗܝ ܟܬܒܐ ܕܚܝ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msaliti Yuda alikuwa amewapa ishara: \"Yule nitakayembusu ndiye; mkamateni, mkampeleke chini ya ulinzi.\" \t ܘܝܗܒ ܠܗܘܢ ܐܬܐ ܡܫܠܡܢܐ ܗܘ ܕܡܫܠܡ ܘܐܡܪ ܗܘ ܕܢܫܩ ܐܢܐ ܗܘܝܘ ܐܘܚܕܘܗܝ ܙܗܝܪܐܝܬ ܘܐܘܒܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilipofika Troa kuhubiri Habari Njema ya Kristo, nilikuta mlango u wazi kwa ajili ya kazi ya Bwana. \t ܟܕ ܐܬܝܬ ܕܝܢ ܠܛܪܘܐܤ ܒܤܒܪܬܗ ܕܡܫܝܚܐ ܘܐܬܦܬܚ ܠܝ ܬܪܥܐ ܒܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamalizia kwa kusema, \"Nawaambieni, kati ya binadamu wote hakuna aliye mkubwa zaidi kuliko Yohane Mbatizaji. Hata hivyo, yule aliye mdogo kabisa katika ufalme wa Mungu ni mkubwa zaidi kuliko yeye.\" \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܝܬ ܢܒܝܐ ܒܝܠܝܕܝ ܢܫܐ ܕܪܒ ܡܢ ܝܘܚܢܢ ܡܥܡܕܢܐ ܙܥܘܪܐ ܕܝܢ ܒܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܪܒ ܗܘ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akapokea kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na akakuta mahali palipoandikwa: \t ܘܐܬܝܗܒ ܠܗ ܤܦܪܐ ܕܐܫܥܝܐ ܢܒܝܐ ܘܦܬܚ ܝܫܘܥ ܤܦܪܐ ܘܐܫܟܚ ܕܘܟܬܐ ܐܝܟܐ ܕܟܬܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, mimi nilipokuja kwenu sikuwahubiria siri ya ujumbe wa Mungu kwa ufasaha wa lugha, au kwa hekima ya binadamu. \t ܘܐܢܐ ܐܚܝ ܟܕ ܐܬܝܬ ܠܘܬܟܘܢ ܠܐ ܒܡܡܠܠܐ ܪܘܪܒܐ ܐܦܠܐ ܒܚܟܡܬܐ ܤܒܪܬܟܘܢ ܐܪܙܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yote niliyo nayo ni yako, na yako ni yangu; na utukufu wangu umeonekana ndani yao. \t ܘܟܠ ܡܕܡ ܕܕܝܠܝ ܗܘ ܕܝܠܟ ܗܘ ܘܕܝܠܟ ܕܝܠܝ ܗܘ ܘܡܫܒܚ ܐܢܐ ܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi mmefika katika mlima wa Sioni, kwenye mji wa Mungu aliye hai. Mmefika Yerusalemu, mji wa mbinguni, ambapo wamekusanyika malaika elfu nyingi wasiohesabika. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܐܬܩܪܒܬܘܢ ܠܛܘܪܐ ܕܨܗܝܘܢ ܘܠܡܕܝܢܬܐ ܕܐܠܗܐ ܚܝܐ ܠܐܘܪܫܠܡ ܕܒܫܡܝܐ ܘܠܟܢܫܐ ܕܪܒܘܬܐ ܕܡܠܐܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Agano hili halitakuwa kama lile nililofanya na babu zao siku ile nilipowaongoza kwa mkono kutoka nchi ya Misri. Hawakuwa waaminifu kwa agano langu; na hivyo mimi sikuwajali, asema Bwana. \t ܠܐ ܐܝܟ ܗܝ ܕܝܬܩܐ ܕܝܗܒܬ ܠܐܒܗܝܗܘܢ ܒܝܘܡܐ ܕܐܚܕܬ ܒܐܝܕܗܘܢ ܘܐܦܩܬ ܐܢܘܢ ܡܢ ܐܪܥܐ ܕܡܨܪܝܢ ܡܛܠ ܕܗܢܘܢ ܠܐ ܩܘܝܘ ܒܕܝܬܩܐ ܕܝܠܝ ܐܦ ܐܢܐ ܒܤܝܬ ܒܗܘܢ ܐܡܪ ܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza. \t ܘܟܠܢܫ ܕܫܒܩ ܒܬܐ ܐܘ ܐܚܐ ܐܘ ܐܚܘܬܐ ܐܘ ܐܒܐ ܐܘ ܐܡܐ ܐܘ ܐܢܬܬܐ ܐܘ ܒܢܝܐ ܐܘ ܩܘܪܝܐ ܡܛܠ ܫܡܝ ܚܕ ܒܡܐܐ ܢܩܒܠ ܘܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܢܐܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "basi, halazimiki tena kuwasaidia wazazi wake. \t ܘܠܐ ܫܒܩܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܕܢܥܒܕ ܡܕܡ ܠܐܒܘܗܝ ܐܘ ܠܐܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano kwa mara moja; wengi wao wanaishi bado, lakini baadhi yao wamekwisha kufa. \t ܘܒܬܪܟܢ ܐܬܚܙܝ ܠܝܬܝܪ ܡܢ ܚܡܫܡܐܐ ܐܚܝܢ ܐܟܚܕܐ ܕܤܓܝܐܐ ܡܢܗܘܢ ܩܝܡܝܢ ܐܢܘܢ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܘܡܢܗܘܢ ܕܡܟܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: \t ܘܠܗܕܐ ܫܠܡܢ ܡܠܝܗܘܢ ܕܢܒܝܐ ܐܝܟ ܡܐ ܕܟܬܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ninyi mkiwa mnatuunga mkono kwa kutuombea. Hivyo neema tutakazokuwa tumepata kutokana na maombi ya watu wengi hivyo, ziwe sababu ya watu wengi zaidi kumshukuru Mungu kwa ajili yetu. \t ܒܡܥܕܪܢܘܬܐ ܕܒܥܘܬܟܘܢ ܕܥܠ ܐܦܝܢ ܕܬܗܘܐ ܡܘܗܒܬܗ ܕܠܘܬܢ ܛܝܒܘܬܐ ܕܥܒܝܕܐ ܒܐܦܝ ܤܓܝܐܐ ܘܤܓܝܐܐ ܢܘܕܘܢ ܠܗ ܥܠ ܐܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Petro akamwuliza, \"Anania, mbona Shetani ameuingia moyo wako na kukufanya umdanganye Roho Mtakatifu kwa kujiwekea sehemu ya fedha ulizopata kutokana na lile shamba? \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܚܢܢܝܐ ܡܢܘ ܕܗܟܢܐ ܡܠܐ ܤܛܢܐ ܠܒܟ ܕܬܕܓܠ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܘܬܛܫܐ ܡܢ ܟܤܦܐ ܕܕܡܝܗ ܕܩܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule mfalme akakasirika, akawatuma askari wake wakawaangamize wauaji hao na kuuteketeza mji wao. \t ܟܕ ܫܡܥ ܕܝܢ ܡܠܟܐ ܪܓܙ ܘܫܕܪ ܚܝܠܘܬܗ ܐܘܒܕ ܠܩܛܘܠܐ ܗܢܘܢ ܘܠܡܕܝܢܬܗܘܢ ܐܘܩܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu akawaelekea wafuasi wake akawaambia, \"Heri wanaoona yale mnayoyaona ninyi! \t ܘܐܬܦܢܝ ܠܘܬ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܒܠܚܘܕܝܗܘܢ ܘܐܡܪ ܛܘܒܝܗܝܢ ܠܥܝܢܐ ܕܚܙܝܢ ܡܕܡ ܕܐܢܬܘܢ ܚܙܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mimi nimekuombea ili imani yako isipungue. Nawe utakaponirudia, watie moyo ndugu zako.\" \t ܘܐܢܐ ܒܥܝܬ ܥܠܝܟ ܕܠܐ ܬܚܤܪ ܗܝܡܢܘܬܟ ܐܦ ܐܢܬ ܒܙܒܢ ܐܬܦܢܝ ܘܫܪܪ ܐܚܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe. \t ܘܒܛܠܬܘܢ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܡܛܠ ܡܫܠܡܢܘܬܐ ܕܝܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Jihadharini! Msimdharau mmojawapo wa wadogo hawa. Nawaambieni, malaika wao huko mbinguni wako daima mbele ya Baba yangu aliye mbinguni. \t ܚܙܘ ܠܐ ܬܒܤܘܢ ܥܠ ܚܕ ܡܢ ܗܠܝܢ ܙܥܘܪܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܕܡܠܐܟܝܗܘܢ ܒܫܡܝܐ ܒܟܠܙܒܢ ܚܙܝܢ ܦܪܨܘܦܗ ܕܐܒܝ ܕܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo mtaweza kuishi kama anavyotaka Bwana na kutenda daima yanayompendeza. Maisha yenu yatakuwa yenye matunda ya kila namna ya matendo mema na mtazidi kukua katika kumjua Mungu. \t ܕܬܗܠܟܘܢ ܐܝܟ ܕܙܕܩ ܘܬܫܦܪܘܢ ܠܐܠܗܐ ܒܟܠ ܥܒܕܝܢ ܛܒܝܢ ܘܬܬܠܘܢ ܦܐܪܐ ܘܬܪܒܘܢ ܒܝܕܥܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kundi la watu likajiunga nao, likawashambulia. Wale mahakimu wakawatatulia Paulo na Sila mavazi yao, wakaamuru wapigwe viboko. \t ܘܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܐܬܟܢܫܘ ܥܠܝܗܘܢ ܗܝܕܝܢ ܐܤܛܪܛܓܐ ܤܕܩܘ ܢܚܬܝܗܘܢ ܘܦܩܕܘ ܕܢܢܓܕܘܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akamwambia, \"Kila mtu huandaa divai nzuri kwanza hata wakisha tosheka huandaa ile hafifu. Lakini wewe umeiweka divai nzuri mpaka sasa!\" \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܟܠ ܐܢܫ ܠܘܩܕܡ ܚܡܪܐ ܛܒܐ ܡܝܬܐ ܘܡܐ ܕܪܘܝܘ ܗܝܕܝܢ ܐܝܢܐ ܕܒܨܝܪ ܐܢܬ ܕܝܢ ܢܛܪܬܝܗܝ ܠܚܡܪܐ ܛܒܐ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayeamini na kubatizwa ataokolewa; asiyeamini atahukumiwa. \t ܐܝܢܐ ܕܡܗܝܡܢ ܘܥܡܕ ܚܝܐ ܘܐܝܢܐ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢ ܡܬܚܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini nafurahi kwa ajili yenu kwamba sikuwako huko, ili mpate kuamini. Haya, twendeni kwake.\" \t ܘܚܕܐ ܐܢܐ ܕܠܐ ܗܘܝܬ ܬܡܢ ܡܛܠܬܟܘܢ ܕܬܗܝܡܢܘܢ ܐܠܐ ܗܠܟܘ ܠܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnajua kwamba Kristo ni mwadilifu kabisa; basi, mnapaswa kujua pia kwamba kila mtu atendaye mambo adili ni mtoto wa Mungu. \t ܐܢ ܝܕܥܬܘܢ ܕܙܕܝܩ ܗܘ ܕܥܘ ܕܐܦ ܟܠ ܕܥܒܕ ܙܕܝܩܘܬܐ ܡܢܗ ܐܝܬܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa namna hiyo, jina la Bwana wetu Yesu litapata utukufu kutoka kwenu, nanyi mtapata utukufu kutoka kwake kwa neema ya Mungu wetu na ya Bwana Yesu Kristo. \t ܕܢܫܬܒܚ ܒܟܘܢ ܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܒܗ ܐܝܟ ܛܝܒܘܬܗ ܕܐܠܗܢ ܘܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, makuhani wakuu wakamwambia Pilato, \"Usiandike: Mfalme wa Wayahudi, ila Yeye alisema, Mimi ni Mfalme wa Wayahudi.\" \t ܘܐܡܪܘ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܠܦܝܠܛܘܤ ܠܐ ܬܟܬܘܒ ܕܡܠܟܐ ܗܘ ܕܝܗܘܕܝܐ ܐܠܐ ܕܗܘ ܐܡܪ ܕܡܠܟܐ ܐܢܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, huenda na kuwachukua pepo wengine saba waovu zaidi kuliko yeye; wote huenda na kumwingia mtu yule. Hivyo, basi hali ya mtu huyo sasa huwa mbaya zaidi kuliko pale mwanzo.\" \t ܗܝܕܝܢ ܐܙܠܐ ܕܒܪܐ ܫܒܥ ܪܘܚܝܢ ܐܚܪܢܝܢ ܕܒܝܫܢ ܡܢܗ ܘܥܐܠܢ ܘܥܡܪܢ ܬܡܢ ܘܗܘܝܐ ܚܪܬܗ ܕܒܪܢܫܐ ܗܘ ܒܝܫܐ ܡܢ ܩܕܡܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilikupasa basi, kuiweka fedha yangu katika benki, nami ningelichukua mtaji wangu na faida yake! \t ܘܠܐ ܗܘܐ ܠܟ ܕܬܪܡܐ ܟܤܦܝ ܥܠ ܦܬܘܪܐ ܘܐܬܐ ܗܘܝܬ ܐܢܐ ܘܬܒܥ ܗܘܝܬ ܕܝܠܝ ܥܡ ܪܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, sasa nimekuwa adui yenu kwa sababu ya kuwaambieni ukweli? \t ܕܠܡܐ ܒܥܠܕܒܒܐ ܗܘܝܬ ܠܟܘܢ ܕܐܟܪܙܬ ܠܟܘܢ ܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ya pili inafanana na hiyo: Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe. \t ܘܕܬܪܝܢ ܕܕܡܐ ܠܗ ܕܬܪܚܡ ܠܩܪܝܒܟ ܐܝܟ ܢܦܫܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikuwa na mamlaka kamili kutoka kwa yule mnyama wa kwanza, na akautumia uwezo huo mbele ya huyo mnyama. Akailazimisha dunia yote na wote waliomo humo kumwabudu huyo mnyama wa kwanza ambaye alikuwa na jeraha la kifo lililokuwa limepona. \t ܘܫܘܠܛܢܐ ܕܚܝܘܬܐ ܩܕܡܝܬܐ ܟܠܗ ܬܥܒܕ ܩܕܡܘܗܝ ܘܬܥܒܕ ܠܐܪܥܐ ܘܠܕܥܡܪܝܢ ܒܗ ܘܢܤܓܕܘܢ ܠܚܝܘܬܐ ܩܕܡܝܬܐ ܗܝ ܕܐܬܚܠܡܬ ܡܚܘܬܐ ܕܡܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni, nanyi mtafunguliwa. \t ܫܐܠܘ ܘܢܬܝܗܒ ܠܟܘܢ ܒܥܘ ܘܬܫܟܚܘܢ ܩܘܫܘ ܘܢܬܦܬܚ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri wenye kuleta amani, maana wataitwa watoto wa Mungu. \t ܛܘܒܝܗܘܢ ܠܥܒܕܝ ܫܠܡܐ ܕܒܢܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܢܬܩܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati Apolo alipokuwa Korintho, Paulo alisafiri sehemu za bara, akafika Efeso ambako aliwakuta wanafunzi kadhaa. \t ܘܟܕ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܐܦܠܘ ܒܩܘܪܢܬܘܤ ܐܬܟܪܟ ܦܘܠܘܤ ܒܐܬܪܘܬܐ ܥܠܝܐ ܘܐܬܐ ܠܐܦܤܘܤ ܘܡܫܐܠ ܗܘܐ ܠܬܠܡܝܕܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܫܟܚ ܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya kuwapenda ndugu zenu waumini. Ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu namna mnavyopaswa kupendana. \t ܥܠ ܚܘܒܐ ܕܝܢ ܕܐܚܐ ܠܐ ܤܢܝܩܝܬܘܢ ܠܡܟܬܒ ܠܟܘܢ ܐܢܬܘܢ ܓܝܪ ܩܢܘܡܟܘܢ ܡܠܦܐ ܐܢܬܘܢ ܕܐܠܗܐ ܕܬܚܒܘܢ ܚܕ ܠܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Saulo aliinuka, na alipofumbua macho yake hakuweza kuona chochote; hivyo wale watu wakamwongoza kwa kumshika mkono mpaka mjini Damasko. \t ܘܩܡ ܫܐܘܠ ܡܢ ܐܪܥܐ ܘܠܐ ܡܬܚܙܐ ܗܘܐ ܠܗ ܡܕܡ ܟܕ ܥܝܢܘܗܝ ܦܬܝܚܢ ܗܘܝ ܘܟܕ ܐܚܝܕܝܢ ܒܐܝܕܘܗܝ ܐܥܠܘܗܝ ܠܕܪܡܤܘܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana wengi watakuja wakilitumia jina langu, wakisema, Mimi ndiye! nao watawapotosha watu wengi. \t ܤܓܝܐܐ ܓܝܪ ܢܐܬܘܢ ܒܫܡܝ ܘܢܐܡܪܘܢ ܕܐܢܐ ܐܢܐ ܘܠܤܓܝܐܐ ܢܛܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ingawa mlikuwa watumwa wa dhambi zamani, sasa lakini--namshukuru Mungu--mmetii kwa moyo wote yale maazimio na mafundisho mliyopokea. \t ܛܝܒܘ ܕܝܢ ܠܐܠܗܐ ܕܥܒܕܐ ܗܘܝܬܘܢ ܕܚܛܝܬܐ ܘܐܫܬܡܥܬܘܢ ܡܢ ܠܒܐ ܠܕܡܘܬܐ ܕܝܘܠܦܢܐ ܕܐܫܬܠܡܬܘܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule aliyenituma yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya daima yale yanayompendeza.\" \t ܘܡܢ ܕܫܕܪܢܝ ܥܡܝ ܐܝܬܘܗܝ ܘܠܐ ܫܒܩܢܝ ܒܠܚܘܕܝ ܐܒܝ ܡܛܠ ܕܐܢܐ ܡܕܡ ܕܫܦܪ ܠܗ ܥܒܕ ܐܢܐ ܒܟܠܙܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule bwana akamtuma tena mtumishi mwingine; lakini wao wakampiga huyo vilevile na kumtendea vibaya, wakamrudisha mikono mitupu. \t ܘܐܘܤܦ ܘܫܕܪ ܠܥܒܕܗ ܐܚܪܢܐ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܦ ܠܗܘ ܡܚܐܘܗܝ ܘܨܥܪܘܗܝ ܘܫܕܪܘܗܝ ܟܕ ܤܪܝܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna anayeweza kukana mambo haya. Hivyo basi, tulieni; msifanye chochote bila hadhari. \t ܡܛܠ ܗܟܝܠ ܕܠܘܩܒܠ ܗܕܐ ܐܢܫ ܠܐ ܡܫܟܚ ܠܡܐܡܪ ܘܠܐ ܠܟܘܢ ܕܬܗܘܘܢ ܫܠܝܢ ܘܠܐ ܬܥܒܕܘܢ ܡܕܡ ܒܤܘܪܗܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Napenda mkumbuke maneno yaliyosemwa na manabii watakatifu, na ile amri ya Bwana na Mwokozi mliyopewa na mitume wenu. \t ܕܬܬܥܗܕܘܢ ܠܡܠܐ ܕܩܕܡ ܐܬܐܡܪ ܡܢ ܢܒܝܐ ܩܕܝܫܐ ܘܠܦܘܩܕܢܗ ܕܡܪܢ ܘܦܪܘܩܢ ܕܒܝܕ ܫܠܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwisho nasema hivi: mnapaswa kuwa na moyo mmoja, na fikira moja; mnapaswa kupendana kidugu, kuwa wapole na wanyenyekevu ninyi kwa ninyi. \t ܫܘܠܡܐ ܕܝܢ ܕܬܗܘܘܢ ܟܠܟܘܢ ܒܐܘܝܘܬܐ ܘܗܘܝܬܘܢ ܚܫܝܢ ܥܡ ܐܝܠܝܢ ܕܚܫܝܢ ܘܪܚܡܝܢ ܚܕ ܠܚܕ ܘܗܘܝܬܘܢ ܪܚܡܬܢܝܢ ܘܡܟܝܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alishangaa sana kwa sababu ya kutoamini kwao. Kisha Yesu alivitembelea vijiji vya pale karibu akiwafundisha watu. \t ܘܡܬܕܡܪ ܗܘܐ ܒܚܤܝܪܘܬ ܗܝܡܢܘܬܗܘܢ ܘܡܬܟܪܟ ܗܘܐ ܒܩܘܪܝܐ ܟܕ ܡܠܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mawe ya msingi wa ukuta huo yalikuwa yamepambwa kwa kila aina ya mawe ya thamani. Jiwe la kwanza la msingi lilikuwa jiwe la thamani jekundu, la pili yakuti samawati, la tatu kalkedoni, la nne zamaradi, \t ܘܫܬܐܤܐ ܕܫܘܪܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܒܟܐܦܐ ܝܩܝܪܬܐ ܡܨܒܬܢ ܘܫܬܐܤܬܐ ܩܕܡܝܬܐ ܝܫܦܗ ܘܕܬܪܬܝܢ ܤܦܝܠܐ ܘܕܬܠܬ ܩܪܟܕܢܐ ܘܕܐܪܒܥ ܙܡܪܓܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Utakapokuja niletee koti langu nililoacha kwa Karpo kule Troa; niletee pia vile vitabu, na hasa vile vilivyotengenezwa kwa ngozi. \t ܒܝܬ ܟܬܒܐ ܕܝܢ ܕܫܒܩܬ ܒܛܪܘܐܘܤ ܠܘܬ ܩܪܦܘܤ ܡܐ ܕܐܬܐ ܐܢܬ ܐܝܬܝܗܝ ܘܟܬܒܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܟܪܟܐ ܕܡܓܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando. \t ܘܓܕܫ ܟܗܢܐ ܚܕ ܢܚܬ ܗܘܐ ܒܐܘܪܚܐ ܗܝ ܘܚܙܝܗܝ ܘܥܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Simoni Petro akamwashiria na kusema: \"Mwulize anasema juu ya nani.\" \t ܠܗܢܐ ܪܡܙ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܕܢܫܐܠܝܘܗܝ ܕܡܢܘ ܗܘ ܕܐܡܪ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alitaka pia kudhihirisha wingi wa utukufu wake ambao alitumiminia sisi tulio lengo la huruma yake; sisi ambao alikwisha kututayarisha kuupokea utukufu wake. \t ܘܐܫܦܥ ܪܚܡܘܗܝ ܥܠ ܡܐܢܐ ܕܪܚܡܐ ܕܡܛܝܒܝܢ ܗܘܘ ܠܐܠܗܐ ܠܬܫܒܘܚܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na hamu ya kutangaza Habari Njema ya amani iwe kama viatu miguuni mwenu. \t ܘܤܐܢܘ ܒܪܓܠܝܟܘܢ ܛܘܝܒܗ ܕܐܘܢܓܠܝܘܢ ܕܫܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Kweli nawaambieni, kila mtu anayetenda dhambi ni mtumwa wa dhambi. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪܢܐ ܠܟܘܢ ܕܟܠܡܢ ܕܥܒܕ ܚܛܝܬܐ ܥܒܕܗ ܗܘ ܕܚܛܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia watu waliokuwa wanamfuata, \"Kweli nawaambieni, sijapata kumwona mtu yeyote katika Israeli aliye na imani kama hii. \t ܟܕ ܫܡܥ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܬܕܡܪ ܘܐܡܪ ܠܕܐܬܝܢ ܥܡܗ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܦ ܠܐ ܒܐܝܤܪܐܝܠ ܐܫܟܚܬ ܐܝܟ ܗܕܐ ܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri yake mtumishi huyo ikiwa bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo. \t ܛܘܒܘܗܝ ܠܗܘ ܥܒܕܐ ܕܢܐܬܐ ܡܪܗ ܢܫܟܚܝܘܗܝ ܕܥܒܕ ܗܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "hasa wale wanaofuata tamaa mbaya za mwili na kupuuza mamlaka. Watu hao ni washupavu na wenye majivuno, huvitukana na hawaviheshimu viumbe vitukufu vya juu. \t ܝܬܝܪܐܝܬ ܕܝܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܒܬܪ ܒܤܪܐ ܒܪܓܬܐ ܕܛܡܐܘܬܐ ܐܙܠܝܢ ܘܥܠ ܡܪܘܬܐ ܡܒܤܪܝܢ ܡܪܚܐ ܘܡܫܩܠܐ ܕܡܢ ܬܫܒܘܚܬܐ ܠܐ ܙܝܥܝܢ ܟܕ ܡܓܕܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yangaliweza kuuzwa kwa fedha kiasi cha denari mia tatu, wakapewa maskini!\" Wakamkemea huyo mama. \t ܡܫܟܚ ܗܘܐ ܓܝܪ ܠܡܙܕܒܢܘ ܝܬܝܪ ܡܢ ܬܠܬܡܐܐ ܕܝܢܪܝܢ ܘܠܡܬܝܗܒܘ ܠܡܤܟܢܐ ܘܡܙܕܥܦܝܢ ܗܘܘ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, kila mmoja wetu atatoa hoja yake mbele ya Mungu. \t ܡܕܝܢ ܟܠ ܐܢܫ ܡܢܢ ܦܬܓܡܐ ܚܠܦ ܢܦܫܗ ܝܗܒ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini naogopa kwamba, kama vile yule nyoka kwa hila zake za uongo alimdanganya Hawa, fikira zenu zaweza kupotoshwa, mkauacha uaminifu wenu wa kweli kwa Kristo. \t ܕܚܠ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܠܡܐ ܐܝܟ ܕܐܛܥܝ ܚܘܝܐ ܠܚܘܐ ܒܢܟܝܠܘܬܗ ܗܟܢܐ ܢܬܚܒܠܘܢ ܪܥܝܢܝܟܘܢ ܡܢ ܦܫܝܛܘܬܐ ܕܠܘܬ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"We! Yesu wa Nazareti! Kwa nini unatuingilia? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakufahamu wewe ni nani. Wewe ni mjumbe Mtakatifu wa Mungu!\" \t ܘܐܡܪ ܫܒܘܩܝܢܝ ܡܐ ܠܢ ܘܠܟ ܝܫܘܥ ܢܨܪܝܐ ܐܬܝܬ ܠܡܘܒܕܘܬܢ ܝܕܥ ܐܢܐ ܠܟ ܡܢ ܐܢܬ ܩܕܝܫܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika ulimi ni kama moto. Umejaa maovu chungu nzima, unayo nafasi yake katika miili yetu na hueneza ubaya katika nafsi zetu zote. Huteketeza maisha yetu yote kwa moto utokao Jehanamu kwenyewe. \t ܘܠܫܢܐ ܢܘܪܐ ܗܘ ܘܥܠܡܐ ܕܚܛܝܬܐ ܐܝܟ ܥܒܐ ܗܘ ܘܗܘ ܠܫܢܐ ܟܕ ܐܝܬܘܗܝ ܒܗܕܡܝܢ ܡܟܬܡ ܠܗ ܠܟܠܗ ܦܓܪܢ ܘܡܘܩܕ ܝܘܒܠܐ ܕܫܪܒܬܢ ܕܪܗܛܝܢ ܐܝܟ ܓܝܓܠܐ ܘܝܩܕ ܐܦ ܗܘ ܒܢܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Alipokuwa na umri wa miaka arobaini aliamua kwenda kuwaona ndugu zake Waisraeli. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܒܪ ܐܪܒܥܝܢ ܫܢܝܢ ܤܠܩ ܗܘܐ ܥܠ ܠܒܗ ܕܢܤܥܘܪ ܠܐܚܘܗܝ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kutangaza mwaka wa neema ya Bwana.\" \t ܘܠܡܟܪܙܘ ܫܢܬܐ ܡܩܒܠܬܐ ܠܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Petro akateremka chini, akawaambia hao watu, \"Mimi ndiye mnayemtafuta. Kwa nini mmekuja?\" \t ܗܝܕܝܢ ܢܚܬ ܫܡܥܘܢ ܠܘܬ ܓܒܪܐ ܗܢܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢܐ ܗܘ ܕܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܝܕܐ ܗܝ ܥܠܬܐ ܕܡܛܠܬܗ ܐܬܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, sasa ukweli huo umefunuliwa kwa njia ya maandiko ya manabii; na kwa amri ya Mungu wa milele umedhihirisha kwa mataifa yote ili wote waweze kuamini na kutii. \t ܕܗܘܝܘ ܚܟܝܡܐ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܫܘܒܚܐ ܒܝܕ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܠܥܠܡܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliyaangamiza mataifa ya nchi ya Kanaani akawapa hao watu wake ile nchi kuwa mali yao. \t ܘܗܓܡ ܫܒܥܐ ܥܡܡܝܢ ܒܐܪܥܐ ܕܟܢܥܢ ܘܝܗܒ ܠܗܘܢ ܐܪܥܗܘܢ ܠܝܘܪܬܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote ule. Mwana wa pekee aliye sawa na Mungu ambaye ameungana na Baba, ndiye aliyetujulisha habari za Mungu. \t ܐܠܗܐ ܠܐ ܚܙܐ ܐܢܫ ܡܡܬܘܡ ܝܚܝܕܝܐ ܐܠܗܐ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܒܥܘܒܐ ܕܐܒܘܗܝ ܗܘ ܐܫܬܥܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha yule malaika niliyemwona akisimama juu ya bahari na juu ya nchi kavu akainua mkono wake wa kulia juu mbinguni, \t ܘܡܠܐܟܐ ܗܘ ܕܚܙܝܬ ܕܩܐܡ ܥܠ ܝܡܐ ܘܥܠ ܝܒܫܐ ܕܐܪܝܡ ܐܝܕܗ ܠܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ponyeni wagonjwa walioko huko, waambieni watu: Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu. \t ܘܐܤܘ ܠܐܝܠܝܢ ܕܟܪܝܗܝܢ ܒܗ ܘܐܡܪܘ ܠܗܘܢ ܩܪܒܬ ܥܠܝܟܘܢ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Itakuwaje basi, mtakapomwona Mwana wa Mtu akipanda kwenda kule alikokuwa kwanza? \t ܐܢ ܬܚܙܘܢ ܗܟܝܠ ܠܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܕܤܠܩ ܠܐܬܪ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܡܢ ܩܕܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wote wanaotegemea tu kutimiza yanayotakiwa na Sheria, wako chini ya laana. Maana, Maandiko Matakatifu yasema: \"Yeyote asiyeshika na kutimiza yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Sheria, yuko chini ya laana.\" \t ܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܡܢ ܥܒܕܐ ܐܢܘܢ ܕܢܡܘܤܐ ܬܚܝܬ ܠܘܛܬܐ ܐܢܘܢ ܟܬܝܒ ܓܝܪ ܕܠܝܛ ܗܘ ܟܠܡܢ ܕܠܐ ܢܥܒܕ ܟܠ ܕܟܬܝܒ ܒܢܡܘܤܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mpenzi wangu, nakutakia mafanikio mema ya kila aina; nakutakia afya njema ya mwili kama ulivyo nayo rohoni. \t ܚܒܝܒܢ ܒܟܠܡܕܡ ܡܨܠܐ ܐܢܐ ܥܠܝܟ ܕܬܨܠܚ ܘܬܗܘܐ ܚܠܝܡ ܐܝܟ ܡܐ ܕܡܨܠܚܐ ܢܦܫܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambaye alikwenda mbinguni na sasa amekaa upande wa kulia wa Mungu, anatawala juu ya malaika, wakuu na wenye enzi. \t ܗܘ ܕܐܬܥܠܝ ܠܫܡܝܐ ܘܐܝܬܘܗܝ ܥܠ ܝܡܝܢܐ ܕܐܠܗܐ ܘܐܫܬܥܒܕܘ ܠܗ ܡܠܐܟܐ ܘܫܠܝܛܢܐ ܘܚܝܠܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule mwanamke alipoona kwamba hawezi kujificha, akajitokeza akitetemeka kwa hofu, akajitupa mbele ya Yesu. Hapo akaeleza mbele ya wote kisa cha kumgusa Yesu na jinsi alivyoponyeshwa mara moja. \t ܗܝ ܕܝܢ ܐܢܬܬܐ ܟܕ ܚܙܬ ܕܠܐ ܛܥܬܗ ܐܬܬ ܟܕ ܪܬܝܬܐ ܘܢܦܠܬ ܤܓܕܬ ܠܗ ܘܐܡܪܬ ܠܥܝܢ ܥܡܐ ܟܠܗ ܡܛܠ ܐܝܕܐ ܥܠܬܐ ܩܪܒܬ ܘܐܝܟܢܐ ܡܚܕܐ ܐܬܐܤܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana, kama mkiishi kufuatana na matakwa ya maumbile ya kibinadamu, hakika mtakufa. Lakini, kama kwa njia ya Roho mnayaua matendo yenu maovu, basi, mtaishi. \t ܐܢ ܓܝܪ ܒܒܤܪ ܚܐܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܬܝܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܘ ܠܡܡܬ ܘܐܢ ܒܪܘܚ ܗܘܦܟܝ ܦܓܪܐ ܡܡܝܬܝܢ ܐܢܬܘܢ ܚܐܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku ya kwanza kabla ya Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, wanafunzi walimwendea Yesu wakamwuliza, \"Unataka tukuandalie wapi chakula cha Pasaka?\" \t ܒܝܘܡܐ ܕܝܢ ܩܕܡܝܐ ܕܦܛܝܪܐ ܩܪܒܘ ܬܠܡܝܕܐ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܐܝܟܐ ܨܒܐ ܐܢܬ ܕܢܛܝܒ ܠܟ ܕܬܠܥܤ ܦܨܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Miili ya viumbe vyote si sawa. Miili ya binadamu ni ya namna moja, ya wanyama ni ya namna nyingine, ya ndege ni ya namna nyingine na miili ya samaki pia ni ya namna nyingine. \t ܠܐ ܗܘܐ ܕܝܢ ܟܠ ܦܓܪ ܫܘܐ ܐܚܪܝܢ ܗܘ ܓܝܪ ܦܓܪܐ ܕܒܪ ܐܢܫܐ ܘܐܚܪܝܢ ܕܒܥܝܪܐ ܘܐܚܪܝܢ ܕܦܪܚܬܐ ܘܐܚܪܝܢ ܕܢܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo ndipo walipojitengenezea sanamu ya ndama, wakaitambikia na kukifanyia sherehe kitu ambacho ni kazi ya mikono yao wenyewe. \t ܘܥܒܕܘ ܠܗܘܢ ܥܓܠܐ ܒܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܘܕܒܚܘ ܕܒܚܐ ܠܦܬܟܪܐ ܘܡܬܒܤܡܝܢ ܗܘܘ ܒܥܒܕ ܐܝܕܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wake wakamwambia, \"Bwana, ikiwa amelala, basi atapona.\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܡܪܢ ܐܢ ܕܡܟ ܡܬܚܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeyote aliye mwaminifu katika mambo madogo, atakuwa mwaminifu katika mambo makubwa; na yeyote asiye mwaminifu katika mambo madogo, hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa. \t ܡܢ ܕܒܩܠܝܠ ܡܗܝܡܢ ܐܦ ܒܤܓܝ ܡܗܝܡܢ ܗܘ ܘܡܢ ܕܒܩܠܝܠ ܥܘܠ ܐܦ ܒܤܓܝ ܥܘܠ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafarisayo waliwasikia watu wakinong'ona maneno hayo juu ya Yesu. Basi, wao pamoja na makuhani wakuu wakawatuma walinzi wamtie nguvuni. \t ܘܫܡܥܘ ܦܪܝܫܐ ܠܟܢܫܐ ܕܡܡܠܠܝܢ ܥܠܘܗܝ ܗܠܝܢ ܘܫܕܪܘ ܗܢܘܢ ܘܪܒܝ ܟܗܢܐ ܕܚܫܐ ܕܢܐܚܕܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alitamani kula maganda waliyokula wale nguruwe, ila hakuna mtu aliyempa kitu. \t ܘܡܬܪܓܪܓ ܗܘܐ ܠܡܡܠܐ ܟܪܤܗ ܡܢ ܚܪܘܒܐ ܗܢܘܢ ܕܐܟܠܝܢ ܗܘܘ ܚܙܝܪܐ ܘܠܐ ܐܢܫ ܝܗܒ ܗܘܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtu yeyote anayekubali ujumbe wake anathibitisha kwamba Mungu ni kweli. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܩܒܠ ܤܗܕܘܬܗ ܚܬܡ ܕܐܠܗܐ ܫܪܝܪܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakawatia nguvuni, wakawafunga ndani ya gereza kuu. \t ܘܐܪܡܝܘ ܐܝܕܝܐ ܥܠ ܫܠܝܚܐ ܘܐܚܕܘ ܐܤܪܘ ܐܢܘܢ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, husema na watu kwa ajili ya kuwajenga, kuwafariji na kuwatia moyo. \t ܐܝܢܐ ܕܝܢ ܕܡܬܢܒܐ ܠܒܢܝܢܫܐ ܡܡܠܠ ܒܢܝܢܐ ܘܠܘܒܒܐ ܘܒܘܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ikawa kwamba baba yake Publio alikuwa amelala kitandani, mgonjwa, ana homa na kuhara. Paulo alikwenda kumwona na baada ya kusali, akaweka mikono yake juu ya mgonjwa, akamponya. \t ܐܒܘܗܝ ܕܝܢ ܕܦܘܦܠܝܘܤ ܒܐܫܬܐ ܘܒܟܐܒ ܡܥܝܐ ܟܪܝܗ ܗܘܐ ܘܥܠ ܠܘܬܗ ܦܘܠܘܤ ܘܨܠܝ ܘܤܡ ܥܠܘܗܝ ܐܝܕܗ ܘܐܚܠܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Umati wa watu ulikuwa umekaa hapo kumzunguka. Basi, wakamwambia, \"Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka kukuona.\" \t ܝܬܒ ܗܘܐ ܕܝܢ ܚܕܪܘܗܝ ܟܢܫܐ ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܗܐ ܐܡܟ ܘܐܚܝܟ ܠܒܪ ܒܥܝܢ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Yeyote atakayemkosesha mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali afungwe shingoni jiwe kubwa la kusagia na kuzamishwa kwenye kilindi cha bahari. \t ܘܟܠ ܕܢܟܫܠ ܠܚܕ ܡܢ ܗܠܝܢ ܙܥܘܪܐ ܕܡܗܝܡܢܝܢ ܒܝ ܦܩܚ ܗܘܐ ܠܗ ܕܬܗܘܐ ܬܠܝܐ ܪܚܝܐ ܕܚܡܪܐ ܒܨܘܪܗ ܘܡܛܒܥ ܒܥܘܡܩܘܗܝ ܕܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, inaposemwa: \"alipaa juu,\" ina maana gani? Maana yake ni kwamba, kwanza alishuka mpaka chini kabisa duniani. \t ܕܤܠܩ ܕܝܢ ܡܢܐ ܗܝ ܐܠܐ ܐܢ ܕܐܦ ܢܚܬ ܠܘܩܕܡ ܠܬܚܬܝܬܗ ܕܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nakuandikia Timotheo mwanangu halisi katika imani. Nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Kristo Yesu Bwana wetu. \t ܠܛܝܡܬܐܘܤ ܒܪܐ ܫܪܝܪܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܛܝܒܘܬܐ ܘܪܚܡܐ ܘܫܠܡܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܒܘܢ ܘܡܫܝܚܐ ܝܫܘܥ ܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini baba yake akawaambia watumishi wake: Haraka! Leteni nguo nzuri mkamvike! Mvisheni pete na viatu! \t ܐܡܪ ܕܝܢ ܐܒܘܗܝ ܠܥܒܕܘܗܝ ܐܦܩܘ ܐܤܛܠܐ ܪܫܝܬܐ ܐܠܒܫܘܗܝ ܘܤܝܡܘ ܥܙܩܬܐ ܒܐܝܕܗ ܘܐܤܐܢܘܗܝ ܡܤܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa hao wawili waliokuwa wamemsikia Yohane akisema hivyo, wakamfuata Yesu. \t ܚܕ ܕܝܢ ܡܢ ܗܢܘܢ ܕܫܡܥܘ ܡܢ ܝܘܚܢܢ ܘܐܙܠܘ ܒܬܪܗ ܕܝܫܘܥ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܐܢܕܪܐܘܤ ܐܚܘܗܝ ܕܫܡܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "naye akaanza kuwafundisha: \t ܘܦܬܚ ܦܘܡܗ ܘܡܠܦ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܘܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtu asiyetegemea matendo yake mwenyewe, bali anamwamini Mungu ambaye huwasamehe waovu, basi, Mungu huijali imani ya mtu huyo, na hivi humkubali kuwa mwadilifu. \t ܠܗܘ ܕܝܢ ܕܠܐ ܦܠܚ ܐܠܐ ܗܝܡܢ ܒܠܚܘܕ ܒܡܢ ܕܡܙܕܩ ܠܚܛܝܐ ܡܬܚܫܒܐ ܠܗ ܗܝܡܢܘܬܗ ܠܟܐܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wewe lakini, umeyafuata mafundisho yangu, mwenendo wangu, makusudi yangu katika maisha, imani yangu, uvumilivu wangu, upendo wangu, subira yangu, \t ܐܢܬ ܕܝܢ ܐܬܝܬ ܒܬܪ ܝܘܠܦܢܝ ܘܒܬܪ ܕܘܒܪܝ ܘܒܬܪ ܨܒܝܢܝ ܘܒܬܪ ܗܝܡܢܘܬܝ ܘܒܬܪ ܢܓܝܪܘܬ ܪܘܚܝ ܘܒܬܪ ܚܘܒܝ ܘܒܬܪ ܡܤܝܒܪܢܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ipo mithali isemayo: \"Mbwa huyarudia matapishi yake mwenyewe,\" na nyingine isemayo: \"Nguruwe aliyekwisha oshwa hugaagaa tena katika matope!\" Ndivyo ilivyo kwao sasa. \t ܓܕܫ ܠܗܘܢ ܕܝܢ ܗܠܝܢ ܕܡܬܠܐ ܫܪܝܪܐ ܕܟܠܒܐ ܕܗܦܟ ܥܠ ܬܝܘܒܗ ܘܚܙܝܪܬܐ ܕܤܚܬ ܒܥܘܪܓܠܐ ܕܤܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wanafunzi waliposikia hivyo walishangaa, wakamwuliza, \"Ni nani basi, awezaye kuokoka?\" \t ܬܠܡܝܕܐ ܕܝܢ ܟܕ ܫܡܥܘ ܬܗܝܪܝܢ ܗܘܘ ܛܒ ܘܐܡܪܝܢ ܡܢܘ ܟܝ ܡܫܟܚ ܕܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu Kristo ni yuleyule, jana, leo na milele. \t ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܬܡܠܝ ܘܝܘܡܢܐ ܗܘܝܘ ܘܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati watu walipokuwa bado wanasikiliza hayo, Yesu akawaambia mfano. (Hapo alikuwa anakaribia Yerusalemu, na watu wale walidhani kwamba muda si muda, Ufalme wa Mungu ungefika.) \t ܘܟܕ ܫܡܥܝܢ ܗܘܘ ܗܠܝܢ ܐܘܤܦ ܠܡܐܡܪ ܡܬܠܐ ܡܛܠ ܕܩܪܝܒ ܗܘܐ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܤܒܪܝܢ ܗܘܘ ܕܒܗܝ ܫܥܬܐ ܥܬܝܕܐ ܕܬܬܓܠܐ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alitoka Hekaluni, na alipokuwa akienda zake, wanafunzi wake walimwendea, wakamwonyesha majengo ya Hekalu. \t ܘܢܦܩ ܝܫܘܥ ܡܢ ܗܝܟܠܐ ܠܡܐܙܠ ܘܩܪܒܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܡܚܘܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܒܢܝܢܗ ܕܗܝܟܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nyosha mkono wako uponye watu. Fanya ishara na maajabu kwa jina la Yesu Mtumishi wako Mtakatifu.\" \t ܟܕ ܐܝܕܟ ܡܘܫܛ ܐܢܬ ܠܐܤܘܬܐ ܘܠܓܒܪܘܬܐ ܘܠܐܬܘܬܐ ܕܢܗܘܝܢ ܒܫܡܗ ܕܒܪܟ ܩܕܝܫܐ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Tuliwakatazeni waziwazi kufundisha kwa jina la mtu huyu; sasa mmeyaeneza mafundisho yenu pote katika Yerusalemu na mnakusudia kutuwekea lawama ya kifo cha mtu huyo.\" \t ܠܐ ܗܘܐ ܡܦܩܕ ܦܩܕܢ ܗܘܝܢ ܠܟܘܢ ܕܠܐܢܫ ܠܐ ܬܠܦܘܢ ܒܫܡܐ ܗܢܐ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܗܐ ܡܠܝܬܘܢܗ ܠܐܘܪܫܠܡ ܡܢ ܝܘܠܦܢܟܘܢ ܘܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܬܝܬܘܢ ܥܠܝܢ ܕܡܗ ܕܓܒܪܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, \"Kwa nini unasema na watu kwa mifano?\" \t ܘܩܪܒܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܡܢܐ ܒܦܠܐܬܐ ܡܡܠܠ ܐܢܬ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Pilato akawauliza, \"Kwa nini! Amefanya kosa gani?\" Lakini wao wakazidi kupaaza sauti, \"Msulubishe!\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܦܝܠܛܘܤ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܓܝܪ ܕܒܝܫ ܥܒܕ ܘܗܢܘܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܩܥܝܢ ܗܘܘ ܙܩܘܦܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, tunawatuma Yuda na Sila kwenu; hawa watawaambieni wao wenyewe haya tuliyoandika. \t ܘܫܕܪܢ ܥܡܗܘܢ ܠܝܗܘܕܐ ܘܠܫܝܠܐ ܕܗܢܘܢ ܒܡܠܬܐ ܢܐܡܪܘܢ ܠܟܘܢ ܗܢܝܢ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipofufuka mapema Jumapili, alijionyesha kwanza kwa Maria Magdalene, ambaye Yesu alikuwa amemtoa pepo saba. \t ܒܫܦܪܐ ܕܝܢ ܒܚܕ ܒܫܒܐ ܩܡ ܘܐܬܚܙܝ ܠܘܩܕܡ ܠܡܪܝܡ ܡܓܕܠܝܬܐ ܗܝ ܕܫܒܥܐ ܫܐܕܝܢ ܐܦܩ ܗܘܐ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, Wayahudi wa Thesalonika walipogundua kwamba Paulo alikuwa anahubiri neno la Mungu huko Berea, walikwenda huko, wakaanza kufanya fujo na kuchochea makundi ya watu. \t ܘܟܕ ܝܕܥܘ ܗܢܘܢ ܝܗܘܕܝܐ ܕܡܢ ܬܤܠܘܢܝܩܐ ܕܡܠܬܗ ܕܐܠܗܐ ܐܬܟܪܙܬ ܡܢ ܦܘܠܘܤ ܒܒܪܘܐܐ ܡܕܝܢܬܐ ܐܬܘ ܐܦ ܠܬܡܢ ܘܠܐ ܫܠܝܘ ܠܡܙܥܘ ܘܠܡܕܠܚܘ ܠܐܢܫܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hatimaye karani wa mji alifaulu kuwanyamazisha, akawaambia, \"Wananchi wa Efeso, kila mtu anajua kwamba mji huu wa Efeso ni mlinzi wa nyumba ya mungu Artemi na mlinzi wa ile sanamu iliyoanguka kutoka mbinguni. \t ܘܫܠܝ ܐܢܘܢ ܪܫܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܟܕ ܐܡܪ ܓܒܪܐ ܐܦܤܝܐ ܡܢܘ ܓܝܪ ܡܢ ܒܢܝܢܫܐ ܕܠܐ ܝܕܥ ܠܡܕܝܢܬܐ ܕܐܦܤܝܐ ܕܟܘܡܪܬܐ ܗܝ ܕܐܪܛܡܝܤ ܪܒܬܐ ܘܠܨܠܡܗ ܕܡܢ ܫܡܝܐ ܢܚܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri, \t ܟܕ ܡܝܬ ܕܝܢ ܗܪܘܕܤ ܡܠܟܐ ܐܬܚܙܝ ܡܠܐܟܐ ܕܡܪܝܐ ܒܚܠܡܐ ܠܝܘܤܦ ܒܡܨܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa anarudi mjini asubuhi na mapema, aliona njaa. \t ܒܨܦܪܐ ܕܝܢ ܟܕ ܗܦܟ ܠܡܕܝܢܬܐ ܟܦܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tangu sasa, sisi hatumpimi mtu yeyote kibinadamu. Hata kama kwa wakati mmoja tulimpima Kristo kibinadamu, sasa si hivyo tena. \t ܘܡܟܝܠ ܚܢܢ ܠܐܢܫ ܒܦܓܪ ܠܐ ܝܕܥܝܢܢ ܘܐܢ ܝܕܥܢ ܒܦܓܪ ܠܡܫܝܚܐ ܐܠܐ ܡܢ ܗܫܐ ܠܐ ܝܕܥܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninajua jinsi mlivyo na moyo wa kusaidia, na nilijivuna juu yenu kuhusu jambo hilo mbele ya watu wa Makedonia. Niliwaambia: \"Ndugu zetu wa Akaya wako tayari tangu mwaka jana.\" Hivyo, moto wenu umekwisha wahimiza watu wengi zaidi. \t ܝܕܥ ܐܢܐ ܓܝܪ ܛܘܝܒܗ ܕܪܥܝܢܟܘܢ ܘܡܛܠ ܗܢܐ ܐܫܬܒܗܪܬ ܒܟܘܢ ܠܡܩܕܘܢܝܐ ܕܐܟܐܝܐ ܥܬܝܕܐ ܗܝ ܡܢ ܐܫܬܩܕܝ ܘܛܢܢܐ ܕܝܠܟܘܢ ܠܤܓܝܐܐ ܓܪܓ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Isije ikawa kwamba watu wa Makedonia watakapokuja pamoja nami tukawakuta hamko tayari, hapo sisi tutaaibika--bila kutaja aibu mtakayopata ninyi wenyewe--kwa sababu tutakuwa tumewatumainia kupita kiasi. \t ܕܠܡܐ ܢܐܬܘܢ ܥܡܝ ܡܩܕܘܢܝܐ ܘܢܫܟܚܘܢܟܘܢ ܟܕ ܠܐ ܥܬܝܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܢܒܗܬ ܚܢܢ ܕܠܐ ܢܐܡܪ ܕܐܢܬܘܢ ܬܒܗܬܘܢ ܒܫܘܒܗܪܐ ܗܘ ܕܐܫܬܒܗܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Kristo hakujipendelea mwenyewe; ila alikuwa kama yasemavyo Maandiko: \"Kashfa zote walizokutolea wewe zimenipata mimi.\" \t ܡܛܠ ܕܐܦ ܡܫܝܚܐ ܠܐ ܗܘܐ ܠܢܦܫܗ ܫܦܪ ܐܠܐ ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܚܤܕܐ ܕܡܚܤܕܢܝܟ ܢܦܠ ܥܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akamwambia, \"Wewe hutaniosha miguu kamwe!\" Yesu akamjibu, \"Nisipokuosha hutakuwa na uhusiano nami tena.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܠܥܠܡ ܠܐ ܡܫܝܓ ܐܢܬ ܠܝ ܪܓܠܝ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢ ܠܐ ܡܫܝܓ ܐܢܐ ܠܟ ܠܝܬ ܠܟ ܥܡܝ ܡܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kabla tu Paulo hajaanza kusema, Galio aliwaambia Wayahudi, \"Sikilizeni enyi Wayahudi! Kama kweli jambo hili lingekuwa juu ya uhalifu au uovu ningekuwa tayari kuwasikilizeni. \t ܘܟܕ ܒܥܐ ܗܘܐ ܦܘܠܘܤ ܕܢܦܬܚ ܦܘܡܗ ܘܢܡܠܠ ܐܡܪ ܓܐܠܝܘܢ ܠܝܗܘܕܝܐ ܐܠܘ ܥܠ ܡܕܡ ܕܒܝܫ ܐܘ ܕܢܟܝܠ ܐܘ ܕܤܢܐ ܡܩܛܪܓܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܐܘ ܝܗܘܕܝܐ ܒܘܠܝܬܐ ܡܩܒܠ ܗܘܝܬ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo, Wayahudi walinikamata nikiwa Hekaluni, wakajaribu kuniua. \t ܘܥܠ ܐܦܝ ܗܠܝܢ ܐܚܕܘܢܝ ܝܗܘܕܝܐ ܒܗܝܟܠܐ ܘܨܒܝܢ ܗܘܘ ܠܡܩܛܠܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kama mtu atajitakasa kwa kujitenga mbali na mambo hayo yote maovu, atakuwa chombo cha matumizi ya pekee, kwa sababu amewekwa wakfu, anamfaa Bwana wake na yupo tayari kwa kila kazi njema. \t ܐܢ ܐܢܫ ܗܟܝܠ ܢܕܟܐ ܢܦܫܗ ܡܢ ܗܠܝܢ ܗܘܐ ܡܐܢܐ ܕܟܝܐ ܠܐܝܩܪܐ ܕܥܗܢ ܠܚܘܫܚܐ ܕܡܪܗ ܘܡܛܝܒ ܠܟܠ ܥܒܕ ܛܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ghafla, kulitokea mtetemeko mkuu wa ardhi ambao uliitikisa misingi ya gereza. Mara, milango yote ikafunguka na minyororo iliyowafunga hao wafungwa ikaachana. \t ܘܡܢ ܫܠܝܐ ܙܘܥܐ ܪܒܐ ܗܘܐ ܘܐܬܬܙܝܥ ܫܬܐܤܐ ܕܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܘܐܬܦܬܚܘ ܡܚܕܐ ܬܪܥܐ ܟܠܗܘܢ ܘܐܤܘܪܝܗܘܢ ܕܟܠܗܘܢ ܐܫܬܪܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Shabaha ya amri hii ni kuhimiza mapendo yatokayo katika moyo safi, dhamiri njema, na imani ya kweli. \t ܤܟܗ ܕܝܢ ܕܦܘܩܕܢܐ ܐܝܬܘܗܝ ܚܘܒܐ ܕܡܢ ܠܒܐ ܕܟܝܐ ܘܡܢ ܬܐܪܬܐ ܛܒܬܐ ܘܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܫܪܝܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo Baba mtukufu, awajalieni Roho wake atakayewapa hekima na kuwafunulieni Mungu mpate kumjua. \t ܕܐܠܗܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܒܐ ܕܬܫܒܘܚܬܐ ܢܬܠ ܠܟܘܢ ܪܘܚܐ ܕܚܟܡܬܐ ܘܕܓܠܝܢܐ ܒܝܕܥܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro alikuwa ameketi nje uani. Basi, mtumishi mmoja wa kike akamwendea, akasema, \"Wewe ulikuwa pamoja na Yesu wa Galilaya.\" \t ܟܐܦܐ ܕܝܢ ܝܬܒ ܗܘܐ ܠܒܪ ܒܕܪܬܐ ܘܩܪܒܬ ܠܘܬܗ ܐܡܬܐ ܚܕܐ ܘܐܡܪܐ ܠܗ ܐܦ ܐܢܬ ܥܡ ܝܫܘܥ ܗܘܝܬ ܢܨܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule tajiri akamwita akamwambia: Ni mambo gani haya ninayosikia juu yako? Toa hesabu ya mapato na matumizi ya mali yangu, kwa maana huwezi kuwa karani tena. \t ܘܩܪܝܗܝ ܡܪܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܢܘ ܗܢܐ ܕܫܡܥ ܐܢܐ ܥܠܝܟ ܗܒ ܠܝ ܚܘܫܒܢܐ ܕܪܒܬ ܒܝܬܘܬܟ ܠܐ ܓܝܪ ܡܫܟܚ ܐܢܬ ܡܟܝܠ ܪܒܝܬܐ ܕܬܗܘܐ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale watu waliotangulia wakamkemea wakimwambia anyamaze; lakini yeye akazidi kupaza sauti: \"Mwana wa Daudi, nihurumie;\" \t ܘܐܝܠܝܢ ܕܐܙܠܝܢ ܗܘܘ ܩܕܡܘܗܝ ܕܝܫܘܥ ܟܐܝܢ ܗܘܘ ܒܗ ܕܢܫܬܘܩ ܗܘ ܕܝܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܩܥܐ ܗܘܐ ܒܪܗ ܕܕܘܝܕ ܐܬܪܚܡ ܥܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yenyewe ni ndogo kuliko mbegu zote, lakini ikishaota huwa kubwa kuliko mimea yote. Hukua ikawa mti, na ndege wa angani huja na kujenga viota katika matawi yake.\" \t ܘܗܝ ܙܥܘܪܝܐ ܗܝ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܙܪܥܘܢܐ ܡܐ ܕܝܢ ܕܪܒܬ ܪܒܐ ܗܝ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܝܪܩܘܢܐ ܘܗܘܝܐ ܐܝܠܢܐ ܐܝܟ ܕܬܐܬܐ ܦܪܚܬܐ ܕܫܡܝܐ ܬܩܢ ܒܤܘܟܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Si kila aniambiaye, Bwana, Bwana, ataingia katika Ufalme wa mbinguni; ila ni yule tu anayetimiza mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. \t ܠܐ ܗܘܐ ܟܠ ܕܐܡܪ ܠܝ ܡܪܝ ܡܪܝ ܥܐܠ ܠܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܐܠܐ ܡܢ ܕܥܒܕ ܨܒܝܢܗ ܕܐܒܝ ܕܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na mtu mmoja mjini, jina lake Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri. \t ܓܒܪܐ ܚܕ ܕܫܡܗ ܙܟܝ ܥܬܝܪܐ ܗܘܐ ܘܪܒ ܡܟܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alitoka katika mto Yordani akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akaongozwa na Roho mpaka jangwani. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܟܕ ܡܠܐ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܗܦܟ ܡܢ ܝܘܪܕܢܢ ܘܕܒܪܬܗ ܪܘܚܐ ܠܚܘܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yohane akaenda katika sehemu zote zilizopakana na mto Yordani, akihubiri watu watubu na kubatizwa ili Mungu awaondolee dhambi. \t ܘܐܬܐ ܒܟܠܗ ܐܬܪܐ ܕܚܕܪܝ ܝܘܪܕܢܢ ܟܕ ܡܟܪܙ ܡܥܡܘܕܝܬܐ ܕܬܝܒܘܬܐ ܠܫܘܒܩܢܐ ܕܚܛܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wakamwambia, \"Hapa tuko nyikani; tutapata wapi chakula cha kuwatosha watu wengi hivi?\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܝܡܟܐ ܠܢ ܒܚܘܪܒܐ ܠܚܡܐ ܕܢܤܒܥ ܟܢܫܐ ܗܢܐ ܟܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa njia ya Sheria unajua matakwa ya Mungu na unaweza kuchagua jambo jema; \t ܕܝܕܥ ܐܢܬ ܨܒܝܢܗ ܘܦܪܫ ܐܢܬ ܘܠܝܬܐ ܕܝܠܝܦ ܐܢܬ ܡܢ ܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, kuelekea baharini ng'ambo ya mto Yordani, Galilaya nchi ya watu wa Mataifa! \t ܐܪܥܐ ܕܙܒܘܠܘܢ ܐܪܥܐ ܕܢܦܬܠܝ ܐܘܪܚܐ ܕܝܡܐ ܥܒܪܘܗܝ ܕܝܘܪܕܢܢ ܓܠܝܠܐ ܕܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakati wa mbiu ya mwisho, kwa nukta moja, kufumba na kufumbua. Maana mbiu itakapolia, wafu watafufuliwa katika hali ya kutoweza kufa tena, na sisi tutageuzwa. \t ܚܪܝܦܐܝܬ ܐܝܟ ܪܦܦ ܥܝܢܐ ܒܩܪܢܐ ܐܚܪܝܬܐ ܟܕ ܬܩܪܐ ܘܢܩܘܡܘܢ ܡܝܬܐ ܕܠܐ ܚܒܠܐ ܘܚܢܢ ܢܬܚܠܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Adhabu aliyokwisha pata kutoka kwa wengi wenu inamtosha. \t ܟܕܘ ܠܗ ܕܝܢ ܠܗܢܐ ܟܐܬܐ ܕܡܢ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hekima tunayotumia ni hekima ya siri ya Mungu, hekima iliyofichika, ambayo Mungu aliiazimia tangu mwanzo kwa ajili ya utukufu wetu. \t ܐܠܐ ܡܡܠܠܝܢܢ ܚܟܡܬܐ ܕܐܠܗܐ ܒܐܪܙ ܗܝ ܕܡܟܤܝܐ ܗܘܬ ܘܩܕܡ ܗܘܐ ܦܪܫܗ ܐܠܗܐ ܡܢ ܩܕܡ ܥܠܡܐ ܠܫܘܒܚܐ ܕܝܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Lakini yeyote anayesikia maneno yangu haya bila kuyazingatia, anafanana na mtu mpumbavu aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga. \t ܘܟܠ ܡܢ ܕܫܡܥ ܡܠܝ ܗܠܝܢ ܘܠܐ ܥܒܕ ܠܗܝܢ ܢܬܕܡܐ ܠܓܒܪܐ ܤܟܠܐ ܕܒܢܐ ܒܝܬܗ ܥܠ ܚܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakaulizana, \"Tufanye nini na watu hawa? Kila mtu anayeishi Yerusalemu anajua kwamba mwujiza huu wa ajabu umefanyika, nasi hatuwezi kukana jambo hilo. \t ܡܢܐ ܢܥܒܕ ܠܗܘܢ ܠܓܒܪܐ ܗܠܝܢ ܗܐ ܓܝܪ ܐܬܐ ܓܠܝܬܐ ܕܗܘܬ ܒܐܝܕܝܗܘܢ ܠܟܠܗܘܢ ܥܡܘܪܝܗ ܕܐܘܪܫܠܡ ܐܬܝܕܥܬ ܘܠܐ ܡܫܟܚܝܢܢ ܕܢܟܦܘܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya siku kadhaa, Paulo alimwambia Barnaba, \"Turudi tukawatembelee wale ndugu katika kila mji tulikolihubiri neno la Bwana tukajionee jinsi wanavyoendelea.\" \t ܘܒܬܪ ܝܘܡܬܐ ܐܡܪ ܦܘܠܘܤ ܠܒܪܢܒܐ ܢܬܦܢܐ ܘܢܤܥܘܪ ܠܐܚܐ ܕܒܟܠ ܡܕܝܢܐ ܕܐܟܪܙܢ ܒܗ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܢܚܙܐ ܡܢܐ ܥܒܝܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walimu wa Sheria na Mafarisayo walitaka kupata kisingizio cha kumshtaki Yesu na hivyo wakawa wanangojea waone kama angemponya mtu siku ya Sabato. \t ܘܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܢܛܪܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܕܐܢ ܗܘ ܕܡܐܤܐ ܒܫܒܬܐ ܕܢܫܟܚܘܢ ܢܐܟܠܘܢ ܩܪܨܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naandika haya kwa mkono wangu mwenyewe: Salamu kutoka kwangu, mimi Paulo. Kumbukeni kwamba niko kifungoni. Neema ya Mungu iwe nanyi. \t ܫܠܡܐ ܗܢܐ ܒܐܝܕܐ ܕܝܠܝ ܕܦܘܠܘܤ ܗܘܝܬܘܢ ܥܗܕܝܢ ܠܐܤܘܪܝ ܛܝܒܘܬܐ ܥܡܟܘܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku chache baadaye, mfalme Agripa na Bernike walifika Kaisarea ili kutoa heshima zao kwa Festo. \t ܘܟܕ ܗܘܘ ܝܘܡܬܐ ܢܚܬ ܐܓܪܦܘܤ ܡܠܟܐ ܘܒܪܢܝܩܐ ܠܩܤܪܝܐ ܕܢܫܐܠܘܢ ܫܠܡܗ ܕܦܗܤܛܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Paulo akaita kwa sauti kubwa: \"Usijidhuru mwenyewe kwa maana sisi sote tuko hapa.\" \t ܘܩܪܝܗܝ ܦܘܠܘܤ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܠܐ ܬܥܒܕ ܠܢܦܫܟ ܡܕܡ ܕܒܝܫ ܡܛܠ ܕܟܠܢ ܗܪܟܐ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zetu, wakafa. Aulaye mkate huu ataishi milele.\" \t ܗܢܘ ܠܚܡܐ ܕܢܚܬ ܡܢ ܫܡܝܐ ܠܐ ܗܘܐ ܐܝܟ ܕܐܟܠܘ ܐܒܗܝܟܘܢ ܡܢܢܐ ܘܡܝܬܘ ܡܢ ܕܐܟܠ ܗܢܐ ܠܚܡܐ ܢܚܐ ܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu aliwaita wanafunzi wake, akasema, \"Nawaonea watu hawa huruma kwa sababu kwa siku tatu wamekuwa nami, wala hawana chakula. Sipendi kuwaacha waende bila kula wasije wakazimia njiani.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܩܪܐ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܬܪܚܡ ܐܢܐ ܥܠ ܟܢܫܐ ܗܢܐ ܕܗܐ ܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܩܘܝܘ ܠܘܬܝ ܘܠܝܬ ܠܗܘܢ ܡܐ ܕܢܐܟܠܘܢ ܘܕܐܫܪܐ ܐܢܘܢ ܟܕ ܨܝܡܝܢ ܠܐ ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܠܡܐ ܢܥܘܦܘܢ ܒܐܘܪܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na hivyo mawazo ya watu wengi yataonekana wazi. Nawe mwenyewe, uchungu ulio kama upanga mkali utauchoma moyo wako.\" \t ܘܒܢܦܫܟܝ ܕܝܢ ܕܝܠܟܝ ܬܥܒܪ ܪܘܡܚܐ ܐܝܟ ܕܢܬܓܠܝܢ ܡܚܫܒܬܐ ܕܠܒܘܬܐ ܕܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na vile viumbe vinne hai vikasema, \"Amina!\" Na wale wazee wakaanguka kifudifudi, wakaabudu. \t ܘܐܪܒܥ ܚܝܘܢ ܕܐܡܪܢ ܐܡܝܢ ܘܩܫܝܫܐ ܢܦܠܘ ܘܤܓܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko kulikuwa na jemadari mmoja Mroma ambaye alikuwa na mtumishi wake aliyempenda sana. Huyu mtumishi alikuwa mgonjwa karibu kufa. \t ܥܒܕܗ ܕܝܢ ܕܩܢܛܪܘܢܐ ܚܕ ܥܒܝܕ ܗܘܐ ܒܝܫܐܝܬ ܐܝܢܐ ܕܝܩܝܪ ܗܘܐ ܥܠܘܗܝ ܘܩܪܝܒ ܗܘܐ ܠܡܡܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yuda akaenda akajadiliana na makuhani wakuu na walinzi wa Hekalu kuhusu atakavyomsaliti Yesu kwao. \t ܘܐܙܠ ܡܠܠ ܥܡ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܤܦܪܐ ܘܪܒܝ ܚܝܠܐ ܕܗܝܟܠܐ ܐܝܟ ܕܢܫܠܡܝܘܗܝ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mitume walipokutana pamoja na Yesu, walimwuliza, \"Je Bwana, wakati huu ndipo utakaporudisha ule ufalme kwa Israeli?\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܟܕ ܟܢܝܫܝܢ ܫܐܠܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܪܢ ܐܢ ܒܗܢܐ ܙܒܢܐ ܡܦܢܐ ܐܢܬ ܡܠܟܘܬܐ ܠܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtumishi wa pili akaja, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara tano ya zile fedha ulizonipa. \t ܘܐܬܐ ܕܬܪܝܢ ܘܐܡܪ ܡܪܝ ܡܢܝܟ ܚܡܫܐ ܡܢܝܢ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akamwambia yule mtu, \"Nyosha mkono wako.\" Akaunyosha, nao ukawa mzima kabisa kama ule mwingine. \t ܗܝܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘ ܓܒܪܐ ܦܫܘܛ ܐܝܕܟ ܘܦܫܛ ܐܝܕܗ ܘܬܩܢܬ ܐܝܟ ܚܒܪܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Nathanieli akamwambia, \"Mwalimu, wewe ni Mwana wa Mungu. Wewe ni Mfalme wa Israeli!\" \t ܥܢܐ ܢܬܢܝܐܝܠ ܘܐܡܪ ܠܗ ܪܒܝ ܐܢܬ ܗܘ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܐܢܬ ܗܘ ܡܠܟܗ ܕܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msichukue mifukoni mwenu dhahabu, wala fedha, wala sarafu za shaba. \t ܠܐ ܬܩܢܘܢ ܕܗܒܐ ܘܠܐ ܤܐܡܐ ܘܠܐ ܢܚܫܐ ܒܟܝܤܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hawakuweza kumshinda kwa sababu ya hekima yake na kwa sababu ya yule Roho aliyeongoza maneno yake. \t ܘܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܗܘܘ ܠܡܩܡ ܠܘܩܒܠ ܚܟܡܬܐ ܘܪܘܚܐ ܕܡܡܠܠܐ ܗܘܬ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Furahi ee mbingu, kwa sababu ya uharibifu wake. Furahini watu wa Mungu, mitume na manabii! Kwa maana Mungu ameuhukumu kwa sababu ya mambo uliyowatenda ninyi! \t ܐܬܦܨܚܘ ܥܠܝܗ ܫܡܝܐ ܘܩܕܝܫܐ ܘܫܠܝܚܐ ܘܢܒܝܐ ܡܛܠ ܕܕܢ ܐܠܗܐ ܕܝܢܟܘܢ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "asiwe mlevi au mtu wa matata, bali awe mpole, apendaye amani; asiwe mtu wa kupenda fedha; \t ܘܠܐ ܥܒܪ ܥܠ ܚܡܪܐ ܘܠܐ ܪܗܛܐ ܐܝܕܗ ܠܡܡܚܐ ܐܠܐ ܢܗܘܐ ܡܟܝܟ ܘܠܐ ܢܨܝ ܘܠܐ ܪܚܡ ܟܤܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naogopa huenda hapo nitakapokuja safari ijayo Mungu wangu atanifanya niaibike mbele yenu, nami nitaomboleza kwa ajili ya wengi wa wale waliotenda dhambi lakini hawakujutia huo uchafu, tamaa zao mbaya na uzinzi waliokuwa wamefanya. \t ܕܠܡܐ ܟܕ ܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܢܡܟܟܢܝ ܐܠܗܝ ܘܐܬܐܒܠ ܥܠ ܤܓܝܐܐ ܐܝܠܝܢ ܕܚܛܘ ܘܠܐ ܬܒܘ ܡܢ ܛܢܦܘܬܐ ܘܡܢ ܙܢܝܘܬܐ ܘܡܢ ܦܚܙܘܬܐ ܕܥܒܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtoto alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, wote walikwenda kwenye sikukuu hiyo kama ilivyokuwa desturi. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܒܪ ܫܢܝܢ ܬܪܬܥܤܪܐ ܤܠܩܘ ܐܝܟܢܐ ܕܡܥܕܝܢ ܗܘܘ ܠܥܕܥܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni wazi, basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo. \t ܡܕܝܢ ܥܠ ܡܢ ܕܨܒܐ ܗܘ ܡܪܚܡ ܘܥܠ ܡܢ ܕܨܒܐ ܡܩܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, mwenye kutawaliwa na fikira za mwili ni adui wa Mungu; haitii sheria ya Mungu, wala hawezi kuitii. \t ܡܛܠ ܕܬܪܥܝܬܐ ܕܒܤܪܐ ܒܥܠܕܒܒܘܬܐ ܗܝ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܠܢܡܘܤܐ ܓܝܪ ܕܐܠܗܐ ܠܐ ܡܫܬܥܒܕܐ ܡܛܠ ܕܠܐ ܡܫܟܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake, kundi kubwa la watu waliokuja kwenye sikukuu walisikia kuwa Yesu alikuwa njiani kuja Yerusalemu. \t ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܐܝܢܐ ܕܐܬܐ ܗܘܐ ܠܥܕܥܕܐ ܟܕ ܫܡܥܘ ܕܝܫܘܥ ܐܬܐ ܠܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao hawakuelewa hata kidogo jambo hilo; walikuwa wamefichwa maana ya maneno hayo, na hawakutambua yaliyosemwa. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܚܕܐ ܡܢ ܗܠܝܢ ܠܐ ܐܤܬܟܠܘ ܐܠܐ ܡܟܤܝܐ ܗܘܬ ܡܢܗܘܢ ܡܠܬܐ ܗܕܐ ܘܠܐ ܝܕܥܝܢ ܗܘܘ ܗܠܝܢ ܕܡܬܡܠܠܢ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambaye alikuja kuwaambia watu juu ya huo mwanga. Alikuja ili kwa ujumbe wake watu wote wapate kuamini. \t ܗܢܐ ܐܬܐ ܠܤܗܕܘܬܐ ܕܢܤܗܕ ܥܠ ܢܘܗܪܐ ܕܟܠܢܫ ܢܗܝܡܢ ܒܐܝܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamvika vazi la rangi ya zambarau, wakasokota taji ya miiba, wakamwekea kichwani. \t ܘܐܠܒܫܘܗܝ ܐܪܓܘܢܐ ܘܓܕܠܘ ܤܡܘ ܠܗ ܟܠܝܠܐ ܕܟܘܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawaambia, \"Pepo wa aina hii hawezi kutoka isipokuwa kwa sala tu.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܢܐ ܓܢܤܐ ܒܡܕܡ ܠܐ ܡܫܟܚ ܠܡܦܩ ܐܠܐ ܒܨܘܡܐ ܘܒܨܠܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakupatikana mwingine aliyerudi kumtukuza Mungu ila tu huyu mgeni?\" \t ܠܡܐ ܦܪܫܘ ܕܢܐܬܘܢ ܢܬܠܘܢ ܬܫܒܘܚܬܐ ܠܐܠܗܐ ܐܠܐ ܗܢܐ ܕܡܢ ܥܡܐ ܗܘ ܢܘܟܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Maandiko Matakatifu yasema: \"Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali.\" \t ܟܬܝܒ ܓܝܪ ܕܐܘܒܕ ܚܟܡܬܐ ܕܚܟܝܡܐ ܘܐܓܠܘܙ ܬܪܥܝܬܐ ܕܤܟܘܠܬܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wewe unaposali, ingia chumbani mwako, funga mlango, kisha umwombe Baba yako asiyeonekana. Naye Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza. \t ܐܢܬ ܕܝܢ ܐܡܬܝ ܕܡܨܠܐ ܐܢܬ ܥܘܠ ܠܬܘܢܟ ܘܐܚܘܕ ܬܪܥܟ ܘܨܠܐ ܠܐܒܘܟ ܕܒܟܤܝܐ ܘܐܒܘܟ ܕܚܙܐ ܒܟܤܝܐ ܢܦܪܥܟ ܒܓܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro ya kwamba anawatangulieni kule Galilaya. Huko mtamwona kama alivyowaambieni.\" \t ܐܠܐ ܙܠܝܢ ܐܡܪܝܢ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܠܟܐܦܐ ܕܗܐ ܩܕܡ ܠܟܘܢ ܠܓܠܝܠܐ ܬܡܢ ܬܚܙܘܢܝܗܝ ܐܝܟܢܐ ܕܐܡܪ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana imeandikwa: \"Furahi, ewe uliye tasa usiyezaa; paaza sauti wewe usiyepata kujifungua mtoto; maana watoto wa yule aliyeachwa ni wengi zaidi kuliko wa yule aliye na mume.\" \t ܟܬܝܒ ܓܝܪ ܕܐܬܒܤܡܝ ܥܩܪܬܐ ܗܝ ܕܠܐ ܝܠܕܐ ܘܐܬܦܨܚܝ ܘܓܥܝ ܗܝ ܕܠܐ ܡܚܒܠܐ ܡܛܠ ܕܤܓܝܘ ܒܢܝܗ ܕܨܕܝܬܐ ܝܬܝܪ ܡܢ ܒܢܝܗ ܕܒܥܝܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakawaweka mbele ya mitume, nao wakawaombea na kuwawekea mikono. \t ܗܠܝܢ ܩܡܘ ܩܕܡܝܗܘܢ ܕܫܠܝܚܐ ܘܟܕ ܨܠܝܘ ܤܡܘ ܥܠܝܗܘܢ ܐܝܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ndivyo asemavyo katika kitabu cha Hosea: \"Wale waliokuwa Si watu wangu nitawaita: Watu wangu! Naye Sikupendi ataitwa: Mpenzi wangu! \t ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܒܗܘܫܥ ܐܡܪ ܕܐܩܪܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܗܘܘ ܥܡܝ ܥܡܐ ܕܝܠܝ ܘܠܠܐ ܐܬܪܚܡܬ ܐܬܪܚܡܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hii Habari Njema inamhusu Mwana wa Mungu, Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye mintarafu ubinadamu wake, alikuwa mzawa wa Daudi; \t ܥܠ ܒܪܗ ܗܘ ܕܐܬܝܠܕ ܒܒܤܪ ܡܢ ܙܪܥܐ ܕܒܝܬ ܕܘܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo palikuwa na mitungi sita ya mawe, ambayo kila mmoja uliweza kuchukua kiasi cha madebe mawili au matatu. Ilikuwa imewekwa hapo kufuatana na desturi ya Kiyahudi ya kutawadha. \t ܐܝܬ ܗܘܝ ܕܝܢ ܬܡܢ ܐܓܢܐ ܕܟܐܦܐ ܫܬ ܕܤܝܡܢ ܠܬܕܟܝܬܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܕܐܚܕܢ ܬܪܝܢ ܬܪܝܢ ܪܒܥܝܢ ܐܘ ܬܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninawaandikieni ninyi watoto, kwa kuwa dhambi zenu zimeondolewa kwa jina la Kristo. \t ܟܬܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܒܢܝܐ ܕܐܫܬܒܩܘ ܠܟܘܢ ܚܛܗܝܟܘܢ ܡܛܠ ܫܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wayahudi wanataka ishara, na Wagiriki wanatafuta hekima; \t ܡܛܠ ܕܝܗܘܕܝܐ ܐܬܘܬܐ ܫܐܠܝܢ ܘܐܪܡܝܐ ܚܟܡܬܐ ܒܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Niligundua kwamba mashtaka yenyewe yalihusu ubishi juu ya sehemu kadha wa kadha za Sheria yao na hivyo sikuona kwamba amefanya chochote kinachostahili auawe au afungwe gerezani. \t ܘܐܫܟܚܬ ܕܥܠ ܙܛܡܐ ܕܢܡܘܤܗܘܢ ܪܫܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܘܥܠܬܐ ܕܫܘܝܐ ܠܐܤܘܪܐ ܐܘ ܠܡܘܬܐ ܠܝܬ ܗܘܐ ܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hatuna ruhusa kumchukua mke Mkristo katika ziara zetu, kama vile wafanyavyo mitume wengine, ndugu zake Bwana, na pia Kefa? \t ܘܠܡܐ ܠܐ ܫܠܝܛ ܠܢ ܚܬܐ ܐܢܬܬܐ ܠܡܟܪܟܘ ܥܡܢ ܐܝܟ ܫܪܟܐ ܕܫܠܝܚܐ ܘܐܝܟ ܐܚܘܗܝ ܕܡܪܢ ܘܐܝܟ ܟܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi mtu akiwaambieni, Tazama, Kristo yupo hapa! au Yupo pale! msimsadiki. \t ܗܝܕܝܢ ܐܢ ܐܢܫ ܢܐܡܪ ܠܟܘܢ ܕܗܐ ܗܪܟܐ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܘܗܐ ܗܪܬܡܢ ܠܐ ܬܗܝܡܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakilisha mlimani. Basi, hao pepo wakamsihi awaruhusu wawaingie. Naye Yesu akawapa ruhusa. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܬܡܢ ܒܩܪܐ ܕܚܙܝܪܐ ܤܓܝܐܐ ܕܪܥܝܐ ܒܛܘܪܐ ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗ ܕܢܦܤ ܠܗܘܢ ܕܒܚܙܝܪܐ ܢܥܠܘܢ ܘܐܦܤ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha huyo mnyama akaruhusiwa kusema maneno ya kujigamba na kumkufuru Mungu; akaruhusiwa kuwa na mamlaka kwa muda wa miezi arobaini na miwili. \t ܘܐܬܝܗܒ ܠܗ ܦܘܡܐ ܕܡܡܠܠ ܪܘܪܒܬܐ ܘܓܘܕܦܐ ܘܐܬܝܗܒ ܠܗ ܫܘܠܛܢܐ ܠܡܥܒܕ ܝܪܚܐ ܐܪܒܥܝܢ ܘܬܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Paulo alikaa huko akifundisha neno la Mungu kati yao kwa muda wa mwaka mmoja na nusu. \t ܝܬܒ ܗܘܐ ܕܝܢ ܫܢܬܐ ܚܕܐ ܘܝܪܚܐ ܫܬܐ ܒܩܘܪܢܬܘܤ ܘܡܠܦ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nyenyekeeni mbele ya Bwana, naye atawainueni. \t ܐܬܡܟܟܘ ܩܕܡ ܡܪܝܐ ܘܢܪܡܪܡܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu hao ambao hutukana chochote kile wasichoelewa, ni sawa na wanyama wasio na akili, ambao huzaliwa na baadaye hukamatwa na kuchinjwa! Wataangamizwa kutokana na uharibifu wao wenyewe, \t ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܕܐܝܟ ܚܝܘܬܐ ܚܪܫܬܐ ܗܘܘ ܒܟܝܢܐ ܠܚܪܒܐ ܘܠܚܒܠܐ ܟܕ ܒܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢ ܡܓܕܦܝܢ ܒܚܒܠܐ ܕܝܠܗܘܢ ܢܬܚܒܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Filipo akajikuta yuko Azoto, akapita katika miji yote akihubiri Habari Njema mpaka alipofika Kaisarea. \t ܦܝܠܝܦܘܤ ܕܝܢ ܐܫܬܟܚ ܒܐܙܘܛܘܤ ܘܡܢ ܬܡܢ ܡܬܟܪܟ ܗܘܐ ܘܡܤܒܪ ܒܡܕܝܢܬܐ ܟܠܗܝܢ ܥܕܡܐ ܕܐܬܐ ܠܩܤܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, yale makanisa yalizidi kuwa imara katika imani, na idadi ya waumini ikaongezeka kila siku. \t ܒܪܡ ܥܕܬܐ ܡܬܩܝܡܢ ܗܘܝ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܤܓܝܢ ܗܘܝ ܒܡܢܝܢܐ ܟܠܝܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mafarisayo na Wayahudi wengine wote huzingatia mapokeo ya wazee wao: hawali kitu kabla ya kunawa mikono ipasavyo. \t ܟܠܗܘܢ ܓܝܪ ܝܗܘܕܝܐ ܘܦܪܝܫܐ ܐܢ ܗܘ ܕܒܛܝܠܐܝܬ ܠܐ ܡܫܝܓܝܢ ܐܝܕܝܗܘܢ ܠܐ ܠܥܤܝܢ ܡܛܠ ܕܐܚܝܕܝܢ ܡܫܠܡܢܘܬܐ ܕܩܫܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nyingine zilianguka katika udongo mzuri, zikakua na kuzaa: moja punje thelathini, moja sitini na nyingine mia.\" \t ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܢܦܠ ܥܠ ܐܪܥܐ ܛܒܬܐ ܘܤܠܩ ܘܪܒܐ ܘܝܗܒ ܦܐܪܐ ܐܝܬ ܕܬܠܬܝܢ ܘܐܝܬ ܕܫܬܝܢ ܘܐܝܬ ܕܡܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sopatro, mwana wa Pirho kutoka Berea, aliandamana naye; pia Aristarko na Sekundo kutoka Thesalonika, Gayo kutoka Derbe, Timotheo, Tukiko na Trofimo wa mkoa wa Asia. \t ܘܢܦܩܘ ܥܡܗ ܥܕܡܐ ܠܐܤܝܐ ܤܘܦܛܪܘܤ ܕܡܢ ܒܪܘܐܐ ܡܕܝܢܬܐ ܘܐܪܤܛܪܟܘܤ ܘܤܩܘܢܕܘܤ ܕܡܢ ܬܤܠܘܢܝܩܐ ܘܓܐܝܘܤ ܕܡܢ ܕܪܒܐ ܡܕܝܢܬܐ ܘܛܝܡܬܐܘܤ ܕܡܢ ܠܘܤܛܪܐ ܘܡܢ ܐܤܝܐ ܛܘܟܝܩܘܤ ܘܛܪܘܦܝܡܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wapenzi wangu, tupendane, maana upendo hutoka kwa Mungu. Kila mtu aliye na upendo ni mtoto wa Mungu, na anamjua Mungu. \t ܚܒܝܒܝ ܢܚܒ ܚܕ ܠܚܕ ܡܛܠ ܕܚܘܒܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܗܘ ܘܟܠ ܡܢ ܕܡܚܒ ܡܢ ܐܠܗܐ ܝܠܝܕ ܘܝܕܥ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mungu ametia mioyoni mwao nia ya kutekeleza shabaha yake, yaani kwa kukubaliana wao kwa wao na kumpa huyo mnyama mamlaka yao ya kutawala, mpaka hapo neno la Mungu litakapotimia. \t ܐܠܗܐ ܓܝܪ ܝܗܒ ܒܠܒܘܬܗܘܢ ܕܢܥܒܕܘܢ ܨܒܝܢܗ ܘܢܥܒܕܘܢ ܨܒܝܢܗܘܢ ܚܕ ܘܢܬܠܘܢ ܡܠܟܘܬܗܘܢ ܠܚܝܘܬܐ ܗܝ ܥܕܡܐ ܕܢܫܬܡܠܝܢ ܡܠܘܗܝ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sheria yote ya Mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili.\" \t ܒܗܠܝܢ ܬܪܝܢ ܦܘܩܕܢܝܢ ܬܠܝܐ ܐܘܪܝܬܐ ܘܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kadiri inavyowezekana kwa upande wenu, muwe na amani na watu wote. \t ܘܐܢ ܡܫܟܚܐ ܐܝܟ ܕܡܢ ܠܘܬܟܘܢ ܥܡ ܟܠܒܪܢܫ ܫܠܡܐ ܥܒܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Yohane alikuja kwenu akawaonyesha njia njema ya kuishi, nanyi hamkumwamini; lakini watoza ushuru na waasherati walimwamini. Hata baada ya kuona hayo yote ninyi hamkubadili mioyo yenu, na hamkusadiki.\" \t ܐܬܐ ܓܝܪ ܠܘܬܟܘܢ ܝܘܚܢܢ ܒܐܘܪܚܐ ܕܟܐܢܘܬܐ ܘܠܐ ܗܝܡܢܬܘܢܝܗܝ ܡܟܤܐ ܕܝܢ ܘܙܢܝܬܐ ܗܝܡܢܘܗܝ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܐܦ ܠܐ ܟܕ ܚܙܝܬܘܢ ܐܬܬܘܝܬܘܢ ܒܚܪܬܐ ܕܬܗܝܡܢܘܢ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini itakuwaje iwapo baadhi yao hawakuwa waaminifu? Je, jambo hilo litaondoa uaminifu wa Mungu? \t ܐܢ ܡܢܗܘܢ ܓܝܪ ܠܐ ܗܝܡܢܘ ܕܠܡܐ ܒܕܠܐ ܗܝܡܢܘ ܗܝܡܢܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܒܛܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna mtu awezaye kuweka msingi mwingine badala ya ule uliokwisha wekwa, yaani Yesu Kristo. \t ܫܬܐܤܬܐ ܓܝܪ ܐܚܪܬܐ ܤܛܪ ܡܢ ܗܕܐ ܕܤܝܡܐ ܐܢܫ ܠܐ ܡܫܟܚ ܠܡܤܡ ܕܐܝܬܝܗ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Askari walitaka kuwaua wafungwa wote kwa kuogopa kwamba wangeogelea hadi pwani na kutoroka. \t ܘܨܒܘ ܗܘܘ ܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܕܢܩܛܠܘܢ ܐܢܘܢ ܠܐܤܝܪܐ ܕܠܐ ܢܪܡܘܢ ܤܚܘܐ ܘܢܥܪܩܘܢ ܠܗܘܢ ܡܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenye kufundishwa neno la Mungu na amshirikishe mwalimu wake riziki zake. \t ܢܫܬܘܬܦ ܕܝܢ ܗܘ ܕܫܡܥ ܡܠܬܐ ܠܗܘ ܡܢ ܕܡܫܡܥ ܠܗ ܒܟܠܗܝܢ ܛܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Abrahamu alimzaa Isaka, Isaka alimzaa Yakobo, Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake, \t ܐܒܪܗܡ ܐܘܠܕ ܠܐܝܤܚܩ ܐܝܤܚܩ ܐܘܠܕ ܠܝܥܩܘܒ ܝܥܩܘܒ ܐܘܠܕ ܠܝܗܘܕܐ ܘܠܐܚܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama vile Maandiko Matakatifu yasemavyo: \"Watu wa mataifa mengine wamelikufuru jina la Mungu kwa sababu yenu ninyi Wayahudi!\" \t ܫܡܗ ܓܝܪ ܕܐܠܗܐ ܡܛܠܬܟܘܢ ܗܘ ܡܬܓܕܦ ܒܝܬ ܥܡܡܐ ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo yakatimia yale Maandiko Matakatifu yasemayo: \"Abrahamu alimwamini Mungu na kwa imani yake akakubaliwa kuwa mtu mwadilifu; na hivyo Abrahamu akaitwa rafiki wa Mungu.\" \t ܘܫܠܡ ܟܬܒܐ ܕܐܡܪ ܕܗܝܡܢ ܐܒܪܗܡ ܒܐܠܗܐ ܘܐܬܚܫܒܬ ܠܗ ܠܙܕܝܩܘ ܘܪܚܡܐ ܕܐܠܗܐ ܐܬܩܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakisema, \"Tulikuta gereza limefungwa kila upande na walinzi wakilinda milango. Lakini tulipofungua hatukumkuta mtu yeyote ndani.\" \t ܐܡܪܝܢ ܐܫܟܚܢ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܕܐܚܝܕ ܙܗܝܪܐܝܬ ܘܐܦ ܠܢܛܘܪܐ ܕܩܝܡܝܢ ܥܠ ܬܪܥܐ ܘܦܬܚܢ ܘܐܢܫ ܠܐ ܐܫܟܚܢ ܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao wazee wa baraza, wakiwa wanajua kwamba Petro na Yohane walikuwa watu wasio na kisomo wala elimu yoyote, walishangaa juu ya jinsi walivyosema kwa uhodari. Wakatambua kwamba walikuwa wamejiunga na Yesu. \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܡܠܬܗ ܕܫܡܥܘܢ ܘܕܝܘܚܢܢ ܕܥܝܢ ܒܓܠܐ ܐܡܪܘܗ ܐܤܬܟܠܘ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢ ܤܦܪܐ ܘܗܕܝܘܛܐ ܐܢܘܢ ܘܬܗܪܘ ܒܗܘܢ ܘܐܫܬܘܕܥܘ ܐܢܘܢ ܕܥܡ ܝܫܘܥ ܡܬܗܦܟܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hekima itokayo juu mbinguni, kwanza ni safi; inapenda amani, upole na huwajali watu; imejaa huruma na huzaa matunda ya matendo mema; haina ubaguzi wala unafiki. \t ܚܟܡܬܐ ܕܝܢ ܕܡܢ ܠܥܠ ܕܟܝܐ ܗܝ ܘܡܠܝܐ ܫܠܡܐ ܘܡܟܝܟܐ ܘܡܫܬܡܥܢܝܐ ܘܡܠܝܐ ܪܚܡܐ ܘܦܐܪܐ ܛܒܐ ܘܕܠܐ ܦܠܓܘܬܐ ܗܝ ܘܒܐܦܐ ܠܐ ܢܤܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ningependa watu wote wawe kama mimi nilivyo; lakini kila mmoja anacho kipaji chake kutoka kwa Mungu; mmoja kipaji hiki na mwingine kile. \t ܐܢܐ ܓܝܪ ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܟܠܗܘܢ ܒܢܝܢܫܐ ܐܟܘܬܝ ܢܗܘܘܢ ܒܕܟܝܘܬܐ ܐܠܐ ܟܠܢܫ ܡܘܗܒܬܐ ܝܗܝܒܐ ܠܗ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܝܬ ܕܗܟܢܐ ܘܐܝܬ ܕܗܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana asema: Mbingu ni kiti changu cha enzi na dunia ni kiti changu cha kuwekea miguu. \t ܕܫܡܝܐ ܟܘܪܤܝ ܘܐܪܥܐ ܟܘܒܫܐ ܕܬܚܝܬ ܪܓܠܝ ܐܝܢܘ ܒܝܬܐ ܕܬܒܢܘܢ ܠܝ ܐܡܪ ܡܪܝܐ ܐܘ ܐܝܢܘ ܐܬܪܐ ܕܢܝܚܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Kristo ni mwaminifu kama Mwana mwenye mamlaka juu ya nyumba ya Mungu. Sisi ni nyumba yake kama tukizingatia uhodari wetu na uthabiti wetu katika kile tunachotumainia. \t ܡܫܝܚܐ ܕܝܢ ܐܝܟ ܒܪܐ ܥܠ ܒܝܬܗ ܘܐܝܬܘܗܝ ܒܝܬܗ ܚܢܢ ܐܢ ܥܕܡܐ ܠܚܪܬܐ ܢܐܚܘܕ ܓܠܝܘܬ ܐܦܐ ܘܫܘܒܗܪܐ ܕܤܒܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo mwenyewe alitaka kuukabili huo umati wa watu, lakini wale waumini walimzuia. \t ܘܦܘܠܘܤ ܨܒܐ ܗܘܐ ܕܢܥܘܠ ܠܬܐܛܪܘܢ ܘܟܠܐܘܗܝ ܬܠܡܝܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa njia ya mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, nayo ikasababisha kifo. Hivyo kifo kimeenea katika jumuiya yote ya binadamu, kwa maana wote wametenda dhambi. \t ܐܝܟܢܐ ܓܝܪ ܕܒܝܕ ܚܕ ܒܪܢܫܐ ܥܠܬ ܚܛܝܬܐ ܠܥܠܡܐ ܘܒܝܕ ܚܛܝܬܐ ܡܘܬܐ ܘܗܟܢܐ ܒܟܠܗܘܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܥܒܪ ܡܘܬܐ ܒܗܝ ܕܟܠܗܘܢ ܚܛܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana sote ni lazima tusimame mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mmoja apokee anayostahili kwa matendo aliyoyafanya wakati alipokuwa anaishi duniani, mema au mabaya. \t ܟܠܢ ܓܝܪ ܥܬܝܕܝܢܢ ܠܡܩܡ ܩܕܡ ܒܝܡ ܕܡܫܝܚܐ ܕܢܬܦܪܥ ܐܢܫ ܐܢܫ ܒܦܓܪܗ ܡܕܡ ܕܥܒܝܕ ܠܗ ܐܢ ܕܛܒ ܘܐܢ ܕܒܝܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu, aliyeumba ulimwengu na vyote vilivyomo, ni Bwana wa mbingu na nchi; yeye hakai katika hekalu zilizojengwa na watu. \t ܐܠܗܐ ܓܝܪ ܕܥܒܕ ܥܠܡܐ ܘܟܠ ܡܐ ܕܐܝܬ ܒܗ ܘܗܘܝܘ ܡܪܐ ܕܫܡܝܐ ܘܕܐܪܥܐ ܒܗܝܟܠܐ ܕܥܒܕ ܐܝܕܝܐ ܠܐ ܫܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mambo hayo yote yanahusika na vitu vyenye kuharibika mara tu vinapotumiwa; hayo ni maagizo na mafundisho ya kibinadamu tu. \t ܕܐܝܬܝܗܝܢ ܗܠܝܢ ܚܫܚܬܐ ܕܡܬܚܒܠܐ ܘܦܘܩܕܐ ܐܢܝܢ ܘܝܘܠܦܢܐ ܕܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hii ndiyo njia ya kujua kama mtu anaongozwa na Roho wa Mungu: Kila anayekiri kwamba Kristo alikuja, akawa binadamu, mtu huyo anaye Roho wa Mungu. \t ܒܗܕܐ ܡܬܝܕܥܐ ܪܘܚܗ ܕܐܠܗܐ ܟܠ ܪܘܚܐ ܕܡܘܕܝܢ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܬܐ ܒܒܤܪ ܡܢ ܐܠܗܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mfarisayo mmoja alimwalika Yesu kula chakula nyumbani kwake. Akaingia nyumbani mwa huyo Mfarisayo, akakaa kula chakula. \t ܐܬܐ ܕܝܢ ܒܥܐ ܡܢܗ ܚܕ ܡܢ ܦܪܝܫܐ ܕܢܠܥܤ ܥܡܗ ܘܥܠ ܠܒܝܬܗ ܕܦܪܝܫܐ ܗܘ ܘܐܤܬܡܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Upokeeni wokovu kama kofia yenu ya chuma, na neno la Mungu kama upanga mnaopewa na Roho Mtakatifu. \t ܘܤܝܡܘ ܤܢܘܪܬܐ ܕܦܘܪܩܢܐ ܘܐܚܘܕܘ ܤܝܦܐ ܕܪܘܚܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku hiyohiyo, Yesu alitoka katika ile nyumba, akaenda na kuketi kando ya ziwa. \t ܒܗܘ ܕܝܢ ܝܘܡܐ ܢܦܩ ܝܫܘܥ ܡܢ ܒܝܬܐ ܘܝܬܒ ܥܠ ܝܕ ܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waacheni wenyewe! Wao ni vipofu, viongozi wa vipofu; na kipofu akimwongoza kipofu, wote wawili hutumbukia shimoni.\" \t ܫܒܘܩܘ ܠܗܘܢ ܤܡܝܐ ܐܢܘܢ ܢܓܘܕܐ ܕܤܡܝܐ ܤܡܝܐ ܕܝܢ ܠܤܡܝܐ ܐܢ ܢܕܒܪ ܬܪܝܗܘܢ ܒܓܘܡܨܐ ܢܦܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani Isaka aliwabariki Yakobo na Esau, wapate baraka zitakazokuja baadaye. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܡܕܡ ܕܥܬܝܕ ܗܘܐ ܒܪܟ ܐܝܤܚܩ ܠܝܥܩܘܒ ܘܠܥܤܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini unaotangulia kuwako si ule mwili wa kiroho, ila ule mwili wa kawaida kisha ule mwili wa kiroho. \t ܐܠܐ ܠܐ ܗܘܐ ܠܘܩܕܡ ܪܘܚܢܝܐ ܐܠܐ ܢܦܫܢܝܐ ܘܗܝܕܝܢ ܪܘܚܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akasema, \"Enyi kizazi kisicho na imani, kilichopotoka! Nitakaa nanyi na kuwavumilia mpaka lini?\" Kisha akamwambia huyo mtu, \"Mlete mtoto wako hapa.\" \t ܥܢܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܐܘܢ ܫܪܒܬܐ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܐ ܘܡܥܩܠܬܐ ܥܕܡܐ ܠܐܡܬܝ ܐܗܘܐ ܠܘܬܟܘܢ ܘܐܤܝܒܪܟܘܢ ܩܪܒܝܗܝ ܠܟܐ ܠܒܪܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Abrahamu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori, \t ܒܪ ܝܥܩܘܒ ܒܪ ܐܝܤܚܩ ܒܪ ܐܒܪܗܡ ܒܪ ܬܪܚ ܒܪ ܢܚܘܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliondoka hapo, na alipokuwa anakwenda zake, alimwona mtu mmoja aitwaye Mathayo, ameketi katika ofisi ya ushuru. Basi, Yesu akamwambia, \"Nifuate.\" Naye Mathayo akainuka, akamfuata. \t ܘܟܕ ܥܒܪ ܝܫܘܥ ܡܢ ܬܡܢ ܚܙܐ ܓܒܪܐ ܕܝܬܒ ܒܝܬ ܡܟܤܐ ܕܫܡܗ ܡܬܝ ܘܐܡܪ ܠܗ ܬܐ ܒܬܪܝ ܘܩܡ ܐܙܠ ܒܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wananchi wenzake walimchukia na hivyo wakatuma wajumbe waende wakaseme: Hatumtaki huyu atutawale. \t ܒܢܝ ܡܕܝܢܬܗ ܕܝܢ ܤܢܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܘܫܕܪܘ ܐܝܙܓܕܐ ܒܬܪܗ ܘܐܡܪܝܢ ܠܐ ܨܒܝܢ ܚܢܢ ܕܢܡܠܟ ܥܠܝܢ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alindelea na safari yake kwenda Yerusalemu huku akipitia mijini na vijijini, akihubiri. \t ܘܪܕܐ ܗܘܐ ܒܩܘܪܝܐ ܘܒܡܕܝܢܬܐ ܟܕ ܡܠܦ ܘܐܙܠ ܠܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nani awezaye kujua mambo ya ndani ya mtu isipokuwa roho yake mtu huyo? Hali kadhalika, hakuna ajuaye mambo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu. \t ܐܝܢܐ ܗܘ ܓܝܪ ܒܪܢܫܐ ܕܝܕܥ ܕܒܒܪܢܫܐ ܐܠܐ ܐܢ ܪܘܚܐ ܕܒܪ ܕܒܗ ܗܟܢܐ ܐܦ ܕܒܐܠܗܐ ܐܢܫ ܠܐ ܝܕܥ ܐܠܐ ܐܢ ܪܘܚܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na hayo, ni lazima watu wa Mungu, yaani watu wanaotii amri ya Mungu na kumwamini Yesu, wawe na uvumilivu. \t ܗܪܟܐ ܐܝܬܝܗ ܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܕܩܕܝܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܢܛܪܘ ܦܘܩܕܢܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܘܗܝܡܢܘܬܗ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama hakuna awezaye kufafanua, basi, mwenye kusema lugha ngeni anyamaze mkutanoni, aseme na nafsi yake mwenyewe na Mungu. \t ܘܐܢ ܠܝܬ ܕܡܦܫܩ ܢܫܬܘܩ ܠܗ ܒܥܕܬܐ ܗܘ ܕܡܡܠܠ ܒܠܫܢܐ ܘܒܝܢܘܗܝ ܠܢܦܫܗ ܘܠܐܠܗܐ ܢܡܠܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Mwanzo, Neno alikuwako; naye alikuwa na Mungu, naye alikuwa Mungu. \t ܒܪܫܝܬ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܡܠܬܐ ܘܗܘ ܡܠܬܐ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܘܐܠܗܐ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܗܘ ܡܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilipokuwa mtoto mchanga nilisema kitoto, nilifahamu kitoto, nilifikiri kitoto. Lakini sasa, maadam mimi ni mtu mzima, mambo ya kitoto nimeyaacha. \t ܟܕ ܝܠܘܕܐ ܗܘܝܬ ܐܝܟ ܝܠܘܕܐ ܡܡܠܠ ܗܘܝܬ ܘܐܝܟ ܝܠܘܕܐ ܡܬܪܥܐ ܗܘܝܬ ܘܐܝܟ ܝܠܘܕܐ ܡܬܚܫܒ ܗܘܝܬ ܟܕ ܗܘܝܬ ܕܝܢ ܓܒܪܐ ܒܛܠܬ ܗܠܝܢ ܕܛܠܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nitakapokwisha tekeleza kazi hiyo na kuwakabidhi mchango huo uliokusanywa kwa ajili yao, nitawatembeleeni ninyi nikiwa safarini kwenda Spania. \t ܗܕܐ ܗܟܝܠ ܡܐ ܕܓܡܪܬ ܘܚܬܡܬ ܠܗܘܢ ܐܕܫܐ ܗܢܐ ܥܒܪ ܐܢܐ ܥܠܝܟܘܢ ܠܐܤܦܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Manabii walipeleleza kwa makini na kufanya uchunguzi juu ya wokovu huo, wakabashiri juu ya neema hiyo ambayo ninyi mngepewa. \t ܗܢܘܢ ܚܝܐ ܕܥܩܒܘ ܗܘܘ ܥܠܝܗܘܢ ܢܒܝܐ ܟܕ ܐܬܢܒܝܘ ܥܠ ܛܝܒܘܬܐ ܕܥܬܝܕܐ ܗܘܬ ܕܬܬܝܗܒ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, mwigeni Mungu, maana ninyi ni watoto wake wapenzi. \t ܗܘܝܬܘܢ ܗܟܝܠ ܡܬܕܡܝܢ ܒܐܠܗܐ ܐܝܟ ܒܢܝܐ ܚܒܝܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana mpaka sasa mmenielewa kiasi fulani tu. Tunajua kwamba katika ile Siku ya Bwana Yesu mtaweza kutuonea sisi fahari kama nasi tunavyowaonea ninyi fahari. \t ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܐܫܬܘܕܥܬܘܢ ܩܠܝܠ ܡܢ ܤܓܝ ܕܫܘܒܗܪܟܘܢ ܚܢܢ ܐܝܟ ܕܐܦ ܐܢܬܘܢ ܕܝܠܢ ܒܝܘܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naandika jambo hili kwa mkono wangu mwenyewe: Mimi Paulo nitalipa! (Tena sina haja ya kusema kwamba wewe unalo deni kwangu la nafsi yako.) \t ܐܢܐ ܦܘܠܘܤ ܟܬܒܬ ܒܐܝܕܝ ܐܢܐ ܦܪܥ ܐܢܐ ܕܠܐ ܐܡܪ ܠܟ ܕܐܦ ܢܦܫܟ ܚܝܒ ܐܢܬ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alionekana kama umeme na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji. \t ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܕܝܢ ܚܙܘܗ ܐܝܟ ܒܪܩܐ ܘܠܒܘܫܗ ܚܘܪ ܗܘܐ ܐܝܟ ܬܠܓܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, hakuna tena tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki, mtumwa na mtu huru, mwanamume na mwanamke. Nyote ni kitu kimoja katika kuungana na Kristo Yesu. \t ܠܝܬ ܝܗܘܕܝܐ ܘܠܐ ܐܪܡܝܐ ܠܝܬ ܥܒܕܐ ܘܠܐ ܒܪ ܚܐܪܐ ܠܝܬ ܕܟܪܐ ܘܠܐ ܢܩܒܬܐ ܟܠܟܘܢ ܓܝܪ ܚܕ ܐܢܬܘܢ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mfarisayo kipofu! Kisafishe kikombe ndani kwanza na nje kutakuwa safi pia. \t ܦܪܝܫܐ ܥܘܝܪܐ ܕܟܘ ܠܘܩܕܡ ܓܘܗ ܕܟܤܐ ܘܕܙܒܘܪܐ ܕܗܘܐ ܐܦ ܒܪܗܘܢ ܕܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na mara akapanda mashua pamoja na wanafunzi wake, akaenda wilaya ya Dalmanutha. \t ܘܫܪܐ ܐܢܘܢ ܘܤܠܩ ܡܚܕܐ ܠܤܦܝܢܬܐ ܥܡ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܬܐ ܠܐܬܪܐ ܕܕܠܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwanza alisema: \"Hutaki, wala hupendezwi na dhabihu na sadaka, sadaka za kuteketezwa na za kuondoa dhambi.\" Alisema hivyo ingawa sadaka hizi zote hutolewa kufuatana na Sheria. \t ܡܢ ܠܥܠ ܐܡܪ ܕܕܒܚܐ ܘܩܘܪܒܢܐ ܘܝܩܕܐ ܫܠܡܐ ܕܚܠܦ ܚܛܗܐ ܠܐ ܨܒܝܬ ܗܢܘܢ ܕܡܬܩܪܒܝܢ ܗܘܘ ܒܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi ya Mafarisayo wakawauliza, \"Mbona mnafanya jambo ambalo si halali siku ya Sabato?\" \t ܐܢܫܝܢ ܕܝܢ ܡܢ ܦܪܝܫܐ ܐܡܪܝܢ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܕܡ ܕܠܐ ܫܠܝܛ ܠܡܥܒܕ ܒܫܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo wakawaita wale mitume, wakaamuru wachapwe viboko na kuwaonya wasifundishe tena kwa jina la Yesu; kisha wakawaacha waende zao. \t ܘܐܬܛܦܝܤܘ ܠܗ ܘܩܪܘ ܐܢܘܢ ܠܫܠܝܚܐ ܘܢܓܕܘ ܐܢܘܢ ܘܦܩܕܘ ܐܢܘܢ ܕܠܐ ܢܗܘܘܢ ܡܡܠܠܝܢ ܒܫܡܐ ܕܝܫܘܥ ܘܫܪܘ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikamwona malaika mwingine anaruka juu angani akiwa na Habari Njema ya milele ya Mungu, aitangaze kwa watu wote waishio duniani, kwa mataifa yote, makabila yote, watu wa lugha zote na rangi zote. \t ܘܚܙܝܬ ܐܚܪܢܐ ܡܠܐܟܐ ܕܦܪܚ ܡܨܥܬ ܫܡܝܐ ܘܐܝܬ ܠܗ ܥܠܘܗܝ ܤܒܪܬܐ ܕܠܥܠܡ ܠܡܤܒܪܘ ܥܠ ܝܬܒܝ ܐܪܥܐ ܘܥܠ ܟܠ ܥܡ ܘܐܡܘܢ ܘܫܪܒܢ ܘܠܫܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, waonyesheni uthabiti wa upendo wenu, makanisa yapate kuona kweli kwamba fahari ninayoona juu yenu ni ya halali. \t ܡܟܝܠ ܬܚܘܝܬܐ ܕܚܘܒܟܘܢ ܘܫܘܒܗܪܢ ܕܒܟܘܢ ܒܗܘܢ ܚܘܘ ܒܦܪܨܘܦ ܥܕܬܐ ܟܠܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wenye kulia wawe kama hawalii, na wenye kufurahi wawe kama hawafurahi; wanaonunua wawe kama hawana kitu; \t ܘܐܝܠܝܢ ܕܒܟܝܢ ܐܝܟ ܠܐ ܒܟܝܢ ܘܐܝܠܝܢ ܕܚܕܝܢ ܐܝܟ ܠܐ ܚܕܝܢ ܘܐܝܠܝܢ ܕܙܒܢܝܢ ܐܝܟ ܠܐ ܡܩܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, huyo ofisa akaamuru lile gari lisimame; na wote wawili, Filipo na huyo ofisa wakashuka majini, naye Filipo akambatiza. \t ܘܦܩܕ ܗܘܐ ܕܬܩܘܡ ܡܪܟܒܬܐ ܘܢܚܬܘ ܬܪܝܗܘܢ ܠܡܝܐ ܘܐܥܡܕܗ ܦܝܠܝܦܘܤ ܠܡܗܝܡܢܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mambo ya aina hiyo ni kivuli tu cha yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye Kristo. \t ܗܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܝܢ ܛܠܢܝܬܐ ܕܐܝܠܝܢ ܕܥܬܝܕܢ ܦܓܪܐ ܕܝܢ ܡܫܝܚܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa basi, ninatenda kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba nakubali kuwa ile Sheria ni nzuri. \t ܘܐܢ ܡܕܡ ܕܠܐ ܨܒܐ ܐܢܐ ܥܒܕ ܐܢܐ ܤܗܕ ܐܢܐ ܥܠ ܢܡܘܤܐ ܕܫܦܝܪ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakati mmoja, siku ya Bwana, nilikumbwa na Roho, nikasikia nyuma yangu sauti kubwa kama sauti ya tarumbeta. \t ܘܗܘܝܬ ܒܪܘܚ ܒܝܘܡܐ ܕܚܕܒܫܒܐ ܘܫܡܥܬ ܡܢ ܒܤܬܪܝ ܩܠܐ ܪܒܐ ܐܝܟ ܫܝܦܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengine wakasema, \"Huyu ndiye Kristo!\" Lakini wengine walisema, \"Je, yawezekana Kristo akatoka Galilaya? \t ܐܚܪܢܐ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܗܢܘ ܡܫܝܚܐ ܐܚܪܢܐ ܐܡܪܝܢ ܕܠܡܐ ܡܢ ܓܠܝܠܐ ܐܬܐ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro pamoja na yule mwanafunzi mwingine wakaenda kaburini. \t ܘܢܦܩ ܫܡܥܘܢ ܘܗܘ ܬܠܡܝܕܐ ܐܚܪܢܐ ܘܐܬܝܢ ܗܘܘ ܠܒܝܬ ܩܒܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati siku hizo saba zilipokaribia kuisha, Wayahudi waliokuwa wametoka katika mkoa wa Asia walimwona Paulo Hekaluni. Wakachochea hasira kati ya kundi lote la watu, wakamtia nguvuni \t ܘܟܕ ܡܛܝ ܝܘܡܐ ܕܫܒܥܐ ܝܗܘܕܝܐ ܕܡܢ ܐܤܝܐ ܚܙܐܘܗܝ ܒܗܝܟܠܐ ܘܓܪܝܘ ܥܠܘܗܝ ܥܡܐ ܟܠܗ ܘܐܪܡܝܘ ܥܠܘܗܝ ܐܝܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kuwa amemwangalia kwa huruma mtumishi wake mnyenyekevu. Hivyo tangu sasa watu wote wataniita mwenye heri. \t ܕܚܪ ܒܡܘܟܟܐ ܕܐܡܬܗ ܗܐ ܓܝܪ ܡܢ ܗܫܐ ܛܘܒܐ ܢܬܠܢ ܠܝ ܫܪܒܬܐ ܟܠܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Siwaombei hao tu, bali nawaombea pia wote watakaoamini kutokana na ujumbe wao. \t ܘܠܐ ܗܘܐ ܥܠ ܐܦܝ ܗܠܝܢ ܒܥܐ ܐܢܐ ܒܠܚܘܕ ܐܠܐ ܐܦ ܥܠ ܐܦܝ ܐܝܠܝܢ ܕܡܗܝܡܢܝܢ ܒܝ ܒܡܠܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hotuba zangu na mahubiri yangu sikuyatoa kwa maneno ya kuvutia na ya hekima, bali kwa uthibitisho mwingi na nguvu ya Roho. \t ܘܡܠܬܝ ܘܟܪܘܙܘܬܝ ܠܐ ܗܘܬ ܒܡܦܝܤܢܘܬܐ ܕܡܠܐ ܕܚܟܡܬܐ ܐܠܐ ܒܬܚܘܝܬܐ ܕܪܘܚܐ ܘܕܚܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, fanya kama tunavyokushauri. Tunao hapa watu wanne ambao wameweka nadhiri. \t ܥܒܕ ܡܕܡ ܕܐܡܪܝܢܢ ܠܟ ܐܝܬ ܠܢ ܓܒܪܐ ܐܪܒܥܐ ܕܢܕܝܪ ܠܗܘܢ ܕܢܬܕܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akauliza: \"Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini? \t ܐܡܪ ܗܘܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܠܡܢܐ ܕܡܝܐ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܠܡܢܐ ܐܕܡܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku hiyo, baadhi ya Masadukayo walimwendea Yesu. Hao ndio wale wasemao kwamba wafu hawafufuki. \t ܒܗܘ ܝܘܡܐ ܩܪܒܘ ܙܕܘܩܝܐ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܝܬ ܚܝܬ ܡܝܬܐ ܘܫܐܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nimewaambieni mambo haya sasa kabla hayajatokea, ili yatakapotokea mpate kuamini kuwa mimi ndimi. \t ܡܢ ܗܫܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܡܢ ܩܕܡ ܕܢܗܘܐ ܕܡܐ ܕܗܘܐ ܬܗܝܡܢܘܢ ܕܐܢܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwanza kabisa, basi naomba dua, sala, maombi na sala za shukrani zitolewe kwa Mungu kwa ajili ya watu wote, \t ܒܥܐ ܐܢܐ ܗܟܝܠ ܡܢܟ ܕܡܢ ܩܕܡ ܟܠܡܕܡ ܒܥܘܬܐ ܬܗܘܐ ܡܩܪܒ ܠܐܠܗܐ ܘܨܠܘܬܐ ܘܬܚܢܢܬܐ ܘܬܘܕܝܬܐ ܚܠܦ ܟܠܗܘܢ ܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "tukiwa tunangojea siku ile ya heri tunayoitumainia, wakati utakapotokea utukufu wa Mungu Mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo. \t ܟܕ ܡܤܟܝܢܢ ܠܤܒܪܐ ܒܪܝܟܐ ܘܠܓܠܝܢܐ ܕܬܫܒܘܚܬܗ ܕܐܠܗܐ ܪܒܐ ܘܡܚܝܢܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku ya Bwana itakuja kama mwizi. Siku hiyo, mbingu zitatoweka kwa kishindo kikuu; vitu vyake vya asili vitateketezwa kwa moto, nayo dunia itatoweka pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake. \t ܐܬܐ ܕܝܢ ܝܘܡܗ ܕܡܪܝܐ ܐܝܟ ܓܢܒܐ ܗܘ ܕܒܗ ܫܡܝܐ ܡܢ ܫܠܝ ܥܒܪܝܢ ܐܤܛܘܟܤܐ ܕܝܢ ܟܕ ܝܩܕܝܢ ܢܫܬܪܘܢ ܘܐܪܥܐ ܘܥܒܕܐ ܕܒܗ ܬܫܬܟܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mna kila kitu: imani, uwezo wa kusema, elimu; bidii yote ya kutenda mema, na upendo wenu kwetu. Hivyo, tunatazamia muwe wakarimu katika huduma hii ya upendo. \t ܐܠܐ ܐܝܟܢܐ ܕܒܟܠܡܕܡ ܡܬܝܬܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܒܡܠܬܐ ܘܒܝܕܥܬܐ ܘܒܟܠ ܚܦܝܛܘ ܘܒܚܘܒܢ ܕܠܘܬܟܘܢ ܗܟܢܐ ܐܦ ܒܗܕܐ ܛܝܒܘܬܐ ܬܬܝܬܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha askari walimpeleka Yesu ndani ukumbini, katika ikulu, wakakusanya kikosi kizima cha askari. \t ܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܕܝܢ ܐܘܒܠܘܗܝ ܠܓܘ ܕܪܬܐ ܕܐܝܬܝܗ ܦܪܛܘܪܝܢ ܘܩܪܘ ܠܟܠܗ ܐܤܦܝܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa nini ninyi mnaona shida sana kuamini kwamba Mungu huwafufua wafu? \t ܡܢܐ ܕܝܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܘܠܐ ܕܢܗܝܡܢ ܕܡܩܝܡ ܐܠܗܐ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliruhusiwa kuwapiga vita na kuwashinda watu wa Mungu. Alipewa mamlaka juu ya watu wa kila kabila, ukoo, lugha na taifa. \t ܘܐܬܝܗܒ ܠܗ ܠܡܥܒܕ ܩܪܒܐ ܥܡ ܩܕܝܫܐ ܘܠܡܙܟܐ ܐܢܘܢ ܘܐܬܝܗܒ ܠܗ ܫܘܠܛܢܐ ܥܠ ܟܠܗܝܢ ܫܪܒܬܐ ܘܐܡܘܬܐ ܘܠܫܢܐ ܘܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa nini marashi hayo hayakuuzwa kwa fedha dinari mia tatu, wakapewa maskini?\" \t ܠܡܢܐ ܠܐ ܐܙܕܒܢ ܡܫܚܐ ܗܢܐ ܒܬܠܬ ܡܐܐ ܕܝܢܪܝܢ ܘܐܬܝܗܒ ܠܡܤܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana Yesu pia, kusudi apate kuwatakasa watu kwa damu yake mwenyewe, aliteswa na kufa nje ya mji. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܦ ܝܫܘܥ ܕܢܩܕܫ ܠܥܡܗ ܒܕܡܗ ܠܒܪ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ ܚܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mji wote ukajaa ghasia. Wakawavamia Gayo na Aristarko, wenyeji wa Makedonia, ambao walikuwa wasafiri wenzake Paulo, wakakimbia nao mpaka kwenye ukumbi wa michezo. \t ܘܐܫܬܓܫܬ ܟܠܗ ܡܕܝܢܬܐ ܘܪܗܛܘ ܐܟܚܕܐ ܘܐܙܠܘ ܠܬܐܛܪܘܢ ܘܚܛܦܘ ܐܘܒܠܘ ܥܡܗܘܢ ܠܓܐܝܘܤ ܘܠܐܪܤܛܪܟܘܤ ܓܒܪܐ ܡܩܕܘܢܝܐ ܒܢܝ ܠܘܝܬܗ ܕܦܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilikuwa haki tupu kwamba Mungu, ambaye huumba na kutegemeza vitu vyote, alimfanya Yesu kuwa mkamilifu kabisa kwa njia ya mateso, ili awalete watoto wengi waushiriki utukufu wake. Maana Yesu ndiye anayewaongoza kwenye wokovu. \t ܝܐܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܠܗܘ ܕܟܠ ܒܐܝܕܗ ܘܟܠ ܡܛܠܬܗ ܘܒܢܝܐ ܤܓܝܐܐ ܐܥܠ ܠܬܫܒܘܚܬܐ ܕܠܪܝܫܐ ܕܚܝܝܗܘܢ ܒܚܫܗ ܢܓܡܪܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulipokucha, kikao cha wazee wa watu kilifanyika, ambacho kilihudhuriwa na makuhani wakuu na walimu wa Sheria. Yesu akaletwa mbele ya Baraza hilo. \t ܘܟܕ ܢܓܗܬ ܐܬܟܢܫܘ ܩܫܝܫܐ ܘܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܤܦܪܐ ܘܐܤܩܘܗܝ ܠܒܝܬ ܟܢܘܫܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Nikijitukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu. Baba yangu ambaye ninyi mwasema ni Baba yenu, ndiye anayenitukuza. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܢ ܐܢܐ ܡܫܒܚ ܐܢܐ ܢܦܫܝ ܫܘܒܚܝ ܠܐ ܗܘܐ ܡܕܡ ܐܝܬܘܗܝ ܐܒܝ ܕܡܫܒܚ ܠܝ ܗܘ ܕܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܠܗܢ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, watoto, kaeni ndani yake kusudi wakati atakapotokea tuwe hodari bila kuwa na sababu ya kujificha kwa aibu Siku ya kuja kwake. \t ܘܗܫܐ ܒܢܝ ܩܘܘ ܒܗ ܕܡܐ ܕܡܬܓܠܐ ܠܐ ܢܒܗܬ ܡܢܗ ܐܠܐ ܬܗܘܐ ܠܢ ܓܠܝܘܬ ܐܦܐ ܒܡܐܬܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nimewaambieni ukweli niliousikia kwa Mungu; hata hivyo, ninyi mwataka kuniua. Abrahamu hakufanya hivyo! \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܗܐ ܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܩܛܠܢܝ ܠܓܒܪܐ ܕܫܪܝܪܬܐ ܡܠܠܬ ܥܡܟܘܢ ܐܝܕܐ ܕܫܡܥܬ ܡܢ ܐܠܗܐ ܗܕܐ ܐܒܪܗܡ ܠܐ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nami nikatazama, na kumbe alikuwapo farasi mmoja hapo, rangi yake kijivu. Na jina la mpanda farasi wake lilikuwa kifo, na Kuzimu alimfuata nyuma. Hao walipewa mamlaka juu ya robo moja ya dunia, wawaue watu kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama wakali wa dunia. \t ܘܚܙܝܬ ܤܘܤܝܐ ܝܘܪܩܐ ܘܫܡܗ ܕܗܘ ܕܝܬܒ ܥܠܘܗܝ ܡܘܬܐ ܘܫܝܘܠ ܢܩܝܦܐ ܠܗ ܘܐܬܝܗܒ ܠܗ ܫܘܠܛܢܐ ܥܠ ܪܘܒܥܗ ܕܐܪܥܐ ܕܢܩܛܠ ܒܚܪܒܐ ܘܒܟܦܢܐ ܘܒܡܘܬܐ ܘܒܚܝܘܬܐ ܕܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hii ndiyo amri kuu ya kwanza. \t ܗܢܘ ܦܘܩܕܢܐ ܪܒܐ ܘܩܕܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaunyosha mkono wake, akamgusa na kusema, \"Nataka, takasika!\" Mara ule ukoma ukamwacha. \t ܘܦܫܛ ܐܝܕܗ ܝܫܘܥ ܩܪܒ ܠܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܨܒܐ ܐܢܐ ܐܬܕܟܐ ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܐܙܠ ܡܢܗ ܓܪܒܗ ܘܐܬܕܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ila nyinyi wapendeni adui zenu, na kuwatendea mema; kopesheni bila kutazamia malipo, na tuzo lenu litakuwa kubwa, nanyi mtakuwa watoto wa Mungu aliye juu. Kwa maana yeye ni mwema kwa wale wasio na shukrani na walio wabaya. \t ܒܪܡ ܐܚܒܘ ܠܒܥܠܕܒܒܝܟܘܢ ܘܐܛܐܒܘ ܠܗܘܢ ܘܐܘܙܦܘ ܘܠܐ ܬܦܤܩܘܢ ܤܒܪܐ ܕܐܢܫ ܘܢܗܘܐ ܤܓܝ ܐܓܪܟܘܢ ܘܬܗܘܘܢ ܒܢܘܗܝ ܕܪܡܐ ܕܗܘ ܒܤܝܡ ܗܘ ܥܠ ܒܝܫܐ ܘܥܠ ܟܦܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na mateso yaliyotokea wakati Stefano alipouawa, waumini walitawanyika. Wengine walikwenda mpaka Foinike, Kupro na Antiokia wakihubiri ule ujumbe kwa Wayahudi tu. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܕܐܬܒܕܪܘ ܗܘܘ ܡܢ ܐܘܠܨܢܐ ܕܗܘܐ ܗܘܐ ܥܠ ܐܤܛܦܢܘܤ ܡܛܝܘ ܗܘܘ ܥܕܡܐ ܠܦܘܢܝܩܐ ܘܐܦ ܠܐܬܪܐ ܕܩܘܦܪܘܤ ܘܠܐܢܛܝܟܝܐ ܟܕ ܥܡ ܐܢܫ ܠܐ ܡܡܠܠܝܢ ܗܘܘ ܡܠܬܐ ܐܠܐ ܒܠܚܘܕ ܥܡ ܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Niliogopa, nikaificha fedha yako katika ardhi. Chukua basi mali yako. \t ܘܕܚܠܬ ܘܐܙܠܬ ܛܫܝܬܗ ܟܟܪܟ ܒܐܪܥܐ ܗܐ ܐܝܬ ܠܟ ܕܝܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara, mkuu wa jeshi akawachukua askari na jemadari, akalikabili lile kundi la watu. Nao walipomwona mkuu wa jeshi na askari, wakaacha kumpiga Paulo. \t ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܕܒܪ ܠܩܢܛܪܘܢܐ ܘܠܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܤܓܝܐܐ ܘܪܗܛܘ ܥܠܝܗܘܢ ܘܟܕ ܚܙܘ ܠܟܠܝܪܟܐ ܘܠܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܒܗܠܘ ܡܢ ܕܡܚܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܠܦܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nimewaambieni mambo haya nikiwa bado pamoja nanyi \t ܗܠܝܢ ܡܠܠܬ ܥܡܟܘܢ ܟܕ ܠܘܬܟܘܢ ܐܝܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu. \t ܘܐܢ ܫܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܫܠܡܐ ܕܐܚܝܟܘܢ ܒܠܚܘܕ ܡܢܐ ܝܬܝܪ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܗܐ ܐܦ ܡܟܤܐ ܗܝ ܗܕܐ ܥܒܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara nyingi walimfunga kwa pingu na minyororo lakini kila mara aliweza kuikata hiyo minyororo na kuzivunja hizo pingu, wala hakuna mtu aliyeweza kumzuia. \t ܡܛܠ ܕܟܠ ܐܡܬܝ ܕܒܤܘܛܡܐ ܘܒܫܫܠܬܐ ܡܬܐܤܪ ܗܘܐ ܫܫܠܬܐ ܡܬܒܪ ܗܘܐ ܘܤܘܛܡܐ ܡܦܤܩ ܗܘܐ ܘܠܐ ܐܢܫ ܡܫܟܚ ܗܘܐ ܠܡܟܒܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu, mkoani Yudea, wakati Herode alipokuwa mfalme. Punde tu baada ya kuzaliwa kwake, wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu, \t ܟܕ ܕܝܢ ܐܬܝܠܕ ܝܫܘܥ ܒܒܝܬ ܠܚܡ ܕܝܗܘܕܐ ܒܝܘܡܝ ܗܪܘܕܤ ܡܠܟܐ ܐܬܘ ܡܓܘܫܐ ܡܢ ܡܕܢܚܐ ܠܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye atawaimarisha ninyi mpaka mwisho mpate kuonekana bila hatia Siku ile ya Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܕܗܘ ܢܫܪܪܟܘܢ ܥܕܡܐ ܠܐܚܪܝܬܐ ܕܕܠܐ ܪܫܝܢ ܬܗܘܘܢ ܒܝܘܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, amri yangu kwenu ndiyo hii: pendaneni. \t ܗܠܝܢ ܡܦܩܕ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܬܚܒܘܢ ܚܕ ܠܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huu ndio ule ujumbe Mungu alioupeleka kwa watu wa Israeli, akitangaza Habari Njema iletayo amani kwa njia ya Yesu Kristo ambaye ni Bwana wa wote. \t ܡܠܬܐ ܓܝܪ ܕܫܕܪ ܠܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܘܤܒܪ ܐܢܘܢ ܫܠܡܐ ܘܫܝܢܐ ܒܝܕ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܢܘ ܡܪܝܐ ܕܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakaanza kujadiliana, \"Tukisema, Yalitoka mbinguni, atatuuliza, Basi, mbona hamkumsadiki? \t ܘܐܬܚܫܒܘ ܒܢܦܫܗܘܢ ܘܐܡܪܘ ܕܐܢ ܢܐܡܪ ܠܗ ܕܡܢ ܫܡܝܐ ܐܡܪ ܠܢ ܘܠܡܢܐ ܠܐ ܗܝܡܢܬܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma, ananishuhudia pia.\" \t ܐܢܐ ܐܢܐ ܕܤܗܕ ܐܢܐ ܥܠ ܢܦܫܝ ܘܐܒܝ ܕܫܕܪܢܝ ܤܗܕ ܥܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao hawakujali, wakaenda zao; mmoja shambani kwake, mwingine kwenye shughuli zake, \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܒܤܘ ܘܐܙܠܘ ܐܝܬ ܕܠܩܪܝܬܗ ܘܐܝܬ ܕܠܬܐܓܘܪܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa bado wanashangaa juu ya jambo hilo, mara watu wawili waliovaa mavazi yenye kung'aa sana, wakasimama karibu nao. \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܗܢܝܢ ܬܡܝܗܢ ܥܠ ܗܕܐ ܗܐ ܬܪܝܢ ܓܒܪܝܢ ܩܡܘ ܠܥܠ ܡܢܗܝܢ ܘܡܒܪܩ ܗܘܐ ܠܒܘܫܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maskini mnao daima pamoja nanyi, lakini mimi sitakuwapo pamoja nanyi daima. \t ܒܟܠܙܒܢ ܓܝܪ ܡܤܟܢܐ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܥܡܟܘܢ ܠܝ ܕܝܢ ܠܐ ܒܟܠܙܒܢ ܐܝܬ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa sababu ukweli unakaa nasi milele. \t ܡܛܠ ܫܪܪܐ ܐܝܢܐ ܕܡܩܘܐ ܒܢ ܘܥܡܢ ܐܝܬܘܗܝ ܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao ni watumishi wa Kristo? Hata mimi--nanena hayo kiwazimu--ni mtumishi wa Kristo zaidi kuliko wao. Mimi nimefanya kazi ngumu zaidi, nimekaa gerezani mara nyingi zaidi, nimepigwa mara nyingi zaidi na nimekaribia kifo mara nyingi. \t ܐܢ ܡܫܡܫܢܐ ܐܢܘܢ ܕܡܫܝܚܐ ܒܚܤܝܪܘܬ ܪܥܝܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܝܬܝܪ ܡܢܗܘܢ ܐܢܐ ܒܠܐܘܬܐ ܝܬܝܪ ܡܢܗܘܢ ܒܡܚܘܬܐ ܝܬܝܪ ܡܢܗܘܢ ܒܐܤܘܪܐ ܝܬܝܪ ܡܢܗܘܢ ܒܡܘܬܐ ܙܒܢܝܢ ܤܓܝܐܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Moto ulikuwa umewashwa katikati ya ua, nao wakawa wameketi pamoja Petro akiwa miongoni mwao. \t ܐܘܚܕܘ ܕܝܢ ܢܘܪܐ ܡܨܥܬ ܕܪܬܐ ܘܝܬܒܝܢ ܗܘܘ ܚܕܪܝܗ ܘܝܬܒ ܗܘܐ ܐܦ ܗܘ ܫܡܥܘܢ ܒܝܢܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya maji waliingiwa na hofu, wakasema, \"Ni mzimu!\" Wakapiga kelele kwa hofu. \t ܘܚܙܐܘܗܝ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܡܗܠܟ ܥܠ ܡܝܐ ܘܐܬܬܙܝܥܘ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܕܚܙܘܐ ܗܘ ܕܓܠܐ ܘܡܢ ܕܚܠܬܗܘܢ ܩܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Barnaba alikuwa mtu mwema na mwenye kujaa Roho Mtakatifu na imani. Kundi kubwa la watu lilivutwa kwa Bwana. \t ܡܛܠ ܕܓܒܪܐ ܗܘܐ ܛܒܐ ܘܡܫܡܠܝ ܗܘܐ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܘܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܐܬܬܘܤܦ ܗܘܐ ܥܡܐ ܤܓܝܐܐ ܠܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akasema, \"Mbweha wana mapango, na ndege wana viota; lakini Mwana wa Mtu hana mahali pa kupumzikia.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܠܬܥܠܐ ܢܩܥܐ ܐܝܬ ܠܗܘܢ ܘܠܦܪܚܬܐ ܕܫܡܝܐ ܡܛܠܠܐ ܠܒܪܗ ܕܝܢ ܕܐܢܫܐ ܠܝܬ ܠܗ ܐܝܟܐ ܕܢܤܡܘܟ ܪܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika kuungana na Kristo ninyi mlitahiriwa, lakini si kwa tohara ifanywayo na watu, bali inayofanywa na Kristo mwenyewe, na ambayo inahusikana na kukombolewa kutoka katika utu wa dhambi. \t ܘܒܗ ܐܬܓܙܪܬܘܢ ܓܙܘܪܬܐ ܕܠܐ ܒܐܝܕܝܢ ܒܫܠܚ ܒܤܪܐ ܕܚܛܗܐ ܒܓܙܘܪܬܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo kanisa likawa na amani popote katika Yudea, Galilaya, na Samaria. Lilijengwa na kukua katika kumcha Bwana, na kuongezeka likitiwa moyo na Roho Mtakatifu. \t ܒܪܡ ܕܝܢ ܥܕܬܐ ܕܒܟܠܗ ܝܗܘܕ ܘܒܓܠܝܠܐ ܘܒܫܡܪܝܢ ܐܝܬ ܗܘܐ ܒܗ ܫܠܡܐ ܟܕ ܡܬܒܢܝܐ ܗܘܬ ܘܪܕܝܐ ܒܕܚܠܬ ܐܠܗܐ ܘܒܒܘܝܐܐ ܕܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܤܓܝܐ ܗܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wapenzi wangu, amri hii ninayowaandikieni si amri mpya; ni amri ileile ya zamani mliyokuwa nayo tangu mwanzo. Amri hiyo ya zamani ni ule ujumbe mliousikia. \t ܚܒܝܒܝ ܠܘ ܦܘܩܕܢܐ ܚܕܬܐ ܟܬܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܠܐ ܦܘܩܕܢܐ ܥܬܝܩܐ ܗܘ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܟܘܢ ܡܢ ܒܪܫܝܬ ܦܘܩܕܢܐ ܕܝܢ ܥܬܝܩܐ ܐܝܬܘܗܝ ܡܠܬܐ ܗܝ ܕܫܡܥܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, ujumbe wa manabii watuthibitishia jambo hilo; nanyi mwafanya vema kama mkiuzingatia, maana ni kama taa inayoangaza mahali penye giza mpaka Siku ile itakapopambazuka na mwanga wa nyota ya asubuhi utakapong'ara mioyoni mwenu. \t ܘܐܝܬ ܠܢ ܕܫܪܝܪܐ ܐܦ ܡܠܬܐ ܕܢܒܝܘܬܐ ܗܝ ܕܫܦܝܪ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܟܕ ܒܗ ܚܝܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܝܟ ܕܒܫܪܓܐ ܕܡܢܗܪ ܒܐܬܪܐ ܥܡܘܛܐ ܥܕܡܐ ܕܐܝܡܡܐ ܢܢܗܪ ܘܫܡܫܐ ܢܕܢܚ ܒܠܒܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote waliosikia mambo hayo waliyatafakari mioyoni mwao wakisema: \"Mtoto huyu atakuwa mtu wa namna gani?\" Maana, hakika nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye. \t ܘܟܠܗܘܢ ܕܫܡܥܘ ܡܬܚܫܒܝܢ ܗܘܘ ܒܠܒܗܘܢ ܘܐܡܪܝܢ ܡܢܐ ܟܝ ܢܗܘܐ ܛܠܝܐ ܗܢܐ ܘܐܝܕܗ ܕܡܪܝܐ ܐܝܬ ܗܘܬ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Na mimi nitawaulizeni swali moja; mkinijibu, basi nami nitawaambieni ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܫܐܠܟܘܢ ܐܦ ܐܢܐ ܡܠܬܐ ܚܕܐ ܘܐܢ ܬܐܡܪܘܢ ܠܝ ܘܐܦ ܐܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܒܐܝܢܐ ܫܘܠܛܢܐ ܗܠܝܢ ܥܒܕ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini njia inayoongoza kwenye uzima ni nyembamba, na mlango wa kuingilia humo ni mwembamba; ni watu wachache tu wanaoweza kuigundua njia hiyo. \t ܡܐ ܩܛܝܢ ܬܪܥܐ ܘܐܠܝܨܐ ܐܘܪܚܐ ܕܡܘܒܠܐ ܠܚܝܐ ܘܙܥܘܪܐ ܐܢܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܫܟܚܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nimekuja kuwasha moto duniani, laiti ungekuwa umewaka tayari! \t ܢܘܪܐ ܐܬܝܬ ܕܐܪܡܐ ܒܐܪܥܐ ܘܨܒܐ ܐܢܐ ܐܠܘ ܡܢ ܟܕܘ ܚܒܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, watu wakaunguzwa vibaya sana; wakamtukana Mungu aliye na uwezo juu ya mabaa hayo makubwa. Lakini hawakuziacha dhambi zao na kumtukuza Mungu. \t ܘܐܬܚܡܡܘ ܒܢܝܢܫܐ ܒܚܘܡܐ ܪܒܐ ܘܓܕܦܘ ܠܫܡܐ ܕܐܠܗܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܫܘܠܛܢܐ ܥܠ ܡܚܘܬܐ ܗܠܝܢ ܘܠܐ ܬܒܘ ܠܡܬܠ ܠܗ ܬܫܒܘܚܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilikwisha sema, na kama ilivyokuwa safari ya pili, sasa nasema tena nikiwa mbali: wale wote waliotenda uovu bila kutubu, na pia wale wengine, nitakapokuja, watakiona cha mtema kuni. \t ܡܢ ܩܕܝܡ ܐܡܪܬ ܗܘܝܬ ܠܟܘܢ ܘܬܘܒ ܡܩܕܡ ܐܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܝܟ ܕܐܦ ܬܪܬܝܢ ܙܒܢܝܢ ܕܗܘܝܬ ܠܘܬܟܘܢ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܘܐܦ ܗܫܐ ܟܕ ܪܚܝܩ ܐܢܐ ܟܬܒܢܐ ܠܗܠܝܢ ܕܚܛܘ ܘܠܫܪܟܐ ܕܐܚܪܢܐ ܕܐܢ ܐܬܐ ܬܘܒ ܠܐ ܐܚܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na jicho lako likikukosesha, ling'oe! Afadhali kuingia katika utawala wa Mungu ukiwa na jicho moja tu, kuliko kuwa na macho yako yote mawili na kutupwa katika moto wa Jehanamu. \t ܘܐܢ ܥܝܢܟ ܡܟܫܠܐ ܠܟ ܚܨܝܗ ܦܩܚ ܗܘ ܠܟ ܕܒܚܕܐ ܥܝܢܟ ܬܥܘܠ ܠܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܐܘ ܟܕ ܐܝܬ ܠܟ ܬܪܬܝܢ ܥܝܢܝܢ ܬܦܠ ܒܓܗܢܐ ܕܢܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama yasemavyo Maandiko: \"Mwenye kuona fahari na aone fahari juu ya alichofanya Bwana.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܡܫܬܒܗܪ ܒܡܪܝܐ ܢܫܬܒܗܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana sisi ni ndugu, wafanyakazi pamoja na Mungu; na ninyi ni shamba lake; ninyi ni jengo lake. \t ܥܡ ܐܠܗܐ ܓܝܪ ܦܠܚܝܢܢ ܘܦܘܠܚܢܐ ܕܐܠܗܐ ܘܒܢܝܢܐ ܕܐܠܗܐ ܐܢܬܘܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nasema hivi: mrithi, akiwa bado mtoto, hawi tofauti na mtumwa ingawaje mali yote ni yake. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܟܡܐ ܙܒܢܐ ܕܝܪܬܐ ܛܠܐ ܠܐ ܦܪܝܫ ܡܢ ܥܒܕܐ ܟܕ ܡܪܐ ܗܘ ܕܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa ameketi juu ya mlima wa Mizeituni, wanafunzi walimwendea faraghani, wakamwuliza, \"Twambie mambo haya yatatukia lini? Ni ishara gani itakayoonyesha kuja kwako na mwisho wa nyakati?\" \t ܘܟܕ ܝܬܒ ܝܫܘܥ ܥܠ ܛܘܪܐ ܕܙܝܬܐ ܩܪܒܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܒܝܢܝܗܘܢ ܘܠܗ ܐܡܪ ܠܢ ܐܡܬܝ ܗܠܝܢ ܢܗܘܝܢ ܘܡܢܐ ܗܝ ܐܬܐ ܕܡܐܬܝܬܟ ܘܕܫܘܠܡܗ ܕܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana, leo hii katika mji wa Daudi, amezaliwa Mwokozi kwa ajili yenu, ndiye Kristo Bwana. \t ܐܬܝܠܕ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܝܘܡܢܐ ܦܪܘܩܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܪܝܐ ܡܫܝܚܐ ܒܡܕܝܢܬܗ ܕܕܘܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani. \t ܦܐܪܐ ܕܝܢ ܕܙܕܝܩܘܬܐ ܒܫܝܢܐ ܡܙܕܪܥܝܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܥܒܕܝܢ ܫܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo akauambia mtini, \"Tangu leo hata milele mtu yeyote asile matunda kwako.\" Nao wanafunzi wake walisikia maneno hayo. \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܟܝܠ ܘܠܥܠܡ ܐܢܫ ܡܢܟܝ ܦܐܪܐ ܠܐ ܢܐܟܘܠ ܘܫܡܥܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܬܘ ܠܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote wawili walikimbia lakini yule mwanafunzi mwingine alikimbia mbio zaidi kuliko Petro, akatangulia kufika kaburini. \t ܘܪܗܛܝܢ ܗܘܘ ܬܪܝܗܘܢ ܐܟܚܕܐ ܗܘ ܕܝܢ ܬܠܡܝܕܐ ܪܗܛ ܩܕܡܗ ܠܫܡܥܘܢ ܘܐܬܐ ܩܕܡܝܐ ܠܒܝܬ ܩܒܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alisema atawahurumia wazee wetu, na kukumbuka agano lake takatifu. \t ܘܥܒܕ ܚܢܢܗ ܥܡ ܐܒܗܝܢ ܘܥܗܕ ܠܕܝܬܩܘܗܝ ܩܕܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye hakutenda dhambi, wala neno la udanganyifu halikusikika mdomoni mwake. \t ܗܘ ܕܠܐ ܥܒܕ ܚܛܝܬܐ ܐܦܠܐ ܢܟܠܐ ܐܫܬܟܚ ܒܦܘܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jihadhari naye kwa sababu aliupinga ujumbe wetu kwa ukali. \t ܐܦ ܐܢܬ ܕܝܢ ܐܙܕܗܪ ܡܢܗ ܛܒ ܓܝܪ ܙܩܝܦ ܠܘܩܒܠ ܡܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kila mmoja na abaki kama alivyokuwa wakati alipoitwa. \t ܟܠܢܫ ܒܩܪܝܢܐ ܕܐܬܩܪܝ ܒܗ ܢܩܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo (Yesu aliwapa hawa ndugu wawili jina Boanerge, maana yake \"wanangurumo\"), \t ܘܠܝܥܩܘܒ ܒܪ ܙܒܕܝ ܘܠܝܘܚܢܢ ܐܚܘܗܝ ܕܝܥܩܘܒ ܤܡ ܠܗܘܢ ܫܡܐ ܒܢܝ ܪܓܫܝ ܕܐܝܬܘܗܝ ܒܢܝ ܪܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zaidi ya hayo sisi tunawaheshimu wazazi wetu waliotuzaa hata wanapotuadhibu. Basi, tunapaswa kumtii zaidi Baba yetu wa kiroho ili tupate kuishi. \t ܘܐܢ ܐܒܗܝܢ ܕܒܤܪܐ ܪܕܝܢ ܗܘܘ ܠܢ ܘܒܗܬܝܢ ܗܘܝܢ ܡܢܗܘܢ ܟܡܐ ܗܟܝܠ ܚܝܒܝܢܢ ܕܢܫܬܥܒܕ ܠܐܒܘܗܝܢ ܕܪܘܚܬܐ ܘܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa mnanijua mimi mnamjua na Baba yangu pia. Na tangu sasa, mnamjua, tena mmekwisha mwona.\" \t ܐܠܘ ܠܝ ܝܕܥܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܐܦ ܠܐܒܝ ܝܕܥܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܘܡܢ ܗܫܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܘܚܙܝܬܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika wa tano akapiga tarumbeta yake. Nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka juu ya nchi kutoka mbinguni. Nayo ikapewa ufunguo wa shimo la Kuzimu. \t ܘܕܚܡܫܐ ܙܥܩ ܘܚܙܝܬ ܟܘܟܒܐ ܕܢܦܠ ܡܢ ܫܡܝܐ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܐܬܝܗܒ ܠܗ ܩܠܝܕܐ ܕܒܐܪܘܗܝ ܕܬܗܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo. \t ܘܟܠܗܝܢ ܨܒܘܬܟܘܢ ܒܚܘܒܐ ܢܗܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo yule bwana alimwita huyo mtumishi, akamwambia, Wewe ni mtumishi mbaya sana! Uliniomba, nami nikakusamehe deni lako lote. \t ܗܝܕܝܢ ܩܪܝܗܝ ܡܪܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܥܒܕܐ ܒܝܫܐ ܗܝ ܟܠܗ ܚܘܒܬܐ ܫܒܩܬ ܠܟ ܕܒܥܝܬ ܡܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili mtu yeyote asijue kwamba unafunga, ila ujulikane tu kwa Baba yako asiyeonekana. Naye Baba yako aonaye yaliyofichika atakutuza. \t ܐܝܟ ܕܠܐ ܬܬܚܙܐ ܠܒܢܝܢܫܐ ܕܨܐܡ ܐܢܬ ܐܠܐ ܠܐܒܘܟ ܕܒܟܤܝܐ ܘܐܒܘܟ ܕܚܙܐ ܒܟܤܝܐ ܗܘ ܢܦܪܥܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata kidogo! Kuhusu dhambi sisi tumekufa--tutaendeleaje kuishi tena katika dhambi? \t ܚܤ ܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܡܝܬܢ ܠܚܛܝܬܐ ܐܝܟܢܐ ܢܚܐ ܒܗ ܬܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zetu wameshinda kwa damu ya Mwanakondoo na kwa nguvu ya ukweli walioutangaza; maana hawakuyathamini maisha yao kuwa kitu sana, wakawa tayari kufa. \t ܘܗܢܘܢ ܙܟܘ ܒܕܡܐ ܕܐܡܪܐ ܘܒܝܕ ܡܠܬܐ ܕܤܗܕܘܬܗ ܘܠܐ ܐܚܒܘ ܢܦܫܗܘܢ ܥܕܡܐ ܠܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Idadi ya watu waliomwamini Bwana, wanaume kwa wanawake, iliongezeka zaidi na zaidi. \t ܘܝܬܝܪ ܡܬܬܘܤܦܢ ܗܘܘ ܐܝܠܝܢ ܕܡܗܝܡܢܝܢ ܗܘܘ ܒܡܪܝܐ ܟܢܫܐ ܕܓܒܪܐ ܘܕܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, sikilizeni! Mimi, nikiwa ninamtii Roho, nakwenda Yerusalemu bila kufahamu yatakayonipata huko. \t ܘܗܫܐ ܐܢܐ ܐܤܝܪ ܐܢܐ ܒܪܘܚܐ ܘܐܙܠ ܐܢܐ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܡܢܐ ܐܪܥ ܠܝ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipofika huko Antiokia walifanya mkutano wa kanisa la mahali hapo, wakawapa taarifa juu ya mambo Mungu aliyofanya pamoja nao, na jinsi alivyowafungulia mlango watu wa mataifa mengine mlango wa kuingia katika imani. \t ܘܟܕ ܟܢܫܘ ܟܠܗ ܥܕܬܐ ܡܫܬܥܝܢ ܗܘܘ ܟܠܡܕܡ ܕܥܒܕ ܥܡܗܘܢ ܐܠܗܐ ܘܕܦܬܚ ܬܪܥܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܠܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, ndani yake Kristo katika ubinadamu wake, umo ukamilifu wote wa Mungu, \t ܕܒܗ ܥܡܪ ܟܠܗ ܡܘܠܝܐ ܕܐܠܗܘܬܐ ܓܘܫܡܢܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Agripa akamwambia Paulo, \"Unaruhusiwa kujitetea.\" Hapo Paulo alinyosha mkono wake akajitetea hivi: \t ܘܐܡܪ ܐܓܪܦܘܤ ܠܦܘܠܘܤ ܡܦܤ ܠܟ ܠܡܡܠܠܘ ܥܠ ܐܦܝ ܢܦܫܟ ܗܝܕܝܢ ܦܘܠܘܤ ܦܫܛ ܐܝܕܗ ܘܢܦܩ ܗܘܐ ܪܘܚܐ ܘܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo alikaa bado na wale ndugu huko Korintho kwa siku nyingi. Kisha aliwaaga, akapanda meli kwenda Siria pamoja na Priskila na Akula. Huko Kenkrea, alinyoa nywele zake kwa sababu ya nadhiri aliyokuwa ameweka. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܦܘܠܘܤ ܬܡܢ ܝܘܡܬܐ ܤܓܝܐܐ ܝܗܒ ܫܠܡܐ ܠܐܚܐ ܘܪܕܐ ܒܝܡܐ ܕܢܐܙܠ ܠܤܘܪܝܐ ܘܐܬܘ ܥܡܗ ܦܪܝܤܩܠܐ ܘܐܩܠܘܤ ܟܕ ܤܦܪ ܪܫܗ ܒܩܢܟܪܐܤ ܡܛܠ ܕܢܕܪܐ ܢܕܝܪ ܗܘܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Wayahudi wakamwambia, \"Wewe hujatimiza miaka hamsini bado, nawe umemwona Abrahamu?\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܝܗܘܕܝܐ ܥܕܟܝܠ ܒܪ ܚܡܫܝܢ ܫܢܝܢ ܠܐ ܗܘܝܬ ܘܠܐܒܪܗܡ ܚܙܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, kadiri ya Sheria karibu kila kitu chaweza kutakaswa kwa damu, na dhambi nazo zaondolewa tu ikiwa damu imemwagwa. \t ܡܛܠ ܕܟܠܡܕV ܒܕܡܐ ܗܘ ܡܬܕܟܐ ܒܢܡܘܤܐ ܘܕܠܐ ܫܘܦܥ ܕܡܐ ܠܝܬ ܫܘܒܩܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maneno mabaya hata yasisikike kamwe miongoni mwenu; kila mara maneno yenu yawe ya kufaa na ambayo hujenga na kuwasaidia wengine, ili yawaneemeshe wasikilizaji wenu. \t ܟܠ ܡܠܐ ܤܢܝܐ ܡܢ ܦܘܡܟܘܢ ܠܐ ܬܦܘܩ ܐܠܐ ܐܝܕܐ ܕܫܦܝܪܐ ܘܚܫܚܐ ܠܒܢܝܢܐ ܕܬܬܠ ܛܝܒܘܬܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܫܡܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa akisema, \"Huu ni mwili wangu, unaotolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa kunikumbuka.\" \t ܘܢܤܒ ܠܚܡܐ ܘܐܘܕܝ ܘܩܨܐ ܘܝܗܒ ܠܗܘܢ ܘܐܡܪ ܗܢܘ ܦܓܪܝ ܕܥܠ ܐܦܝܟܘܢ ܡܬܝܗܒ ܗܕܐ ܗܘܝܬܘܢ ܥܒܕܝܢ ܠܕܘܟܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, Kuhani Mkuu na wenzake waliokuwa wa kikundi cha Masadukayo wa mahali hapo, wakawaonea mitume wivu. \t ܘܐܬܡܠܝ ܗܘܐ ܚܤܡܐ ܪܒ ܟܗܢܐ ܘܟܠܗܘܢ ܕܥܡܗ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܡܢ ܝܘܠܦܢܐ ܕܙܕܘܩܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wa huko walikuwa wasikivu zaidi kuliko wale wa Thesalonika. Waliupokea ule ujumbe kwa hamu kubwa, wakawa wanayachunguza Maandiko Matakatifu kila siku, ili kuona kama yale waliyosema Paulo na Sila yalikuwa kweli. \t ܚܐܪܝܝܢ ܗܘܘ ܓܝܪ ܗܢܘܢ ܝܗܘܕܝܐ ܕܬܡܢ ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܗܢܘܢ ܕܐܝܬ ܗܘܘ ܒܬܤܠܘܢܝܩܐ ܘܫܡܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗܘܢ ܡܠܬܐ ܟܠܝܘܡ ܚܕܝܐܝܬ ܟܕ ܡܦܪܫܝܢ ܗܘܘ ܡܢ ܟܬܒܐ ܕܐܢ ܗܠܝܢ ܗܟܢܐ ܐܝܬܝܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Enyi akina mama, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana. \t ܢܫܐ ܐܫܬܥܒܕܝܢ ܠܒܥܠܝܟܝܢ ܐܝܟ ܕܙܕܩ ܒܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akamwuliza mdeni mwingine: Wewe unadaiwa kiasi gani? Yeye akamjibu: Magunia mia ya ngano. Yule karani akamwambia: Chukua hati yako ya deni, andika themanini. \t ܘܐܡܪ ܠܐܚܪܢܐ ܘܐܢܬ ܡܢܐ ܚܝܒ ܐܢܬ ܠܡܪܝ ܐܡܪ ܠܗ ܡܐܐ ܟܘܪܝܢ ܚܛܐ ܐܡܪ ܠܗ ܩܒܠ ܟܬܒܟ ܘܬܒ ܟܬܘܒ ܬܡܢܐܝܢ ܟܘܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya Sila na Timotheo kuwasili kutoka Makedonia, Paulo alianza kutumia wakati wake wote kwa ajili ya kuhubiri, akawathibitishia Wayahudi kwamba Yesu ndiye Kristo. \t ܘܟܕ ܐܬܘ ܗܘܘ ܡܢ ܡܩܕܘܢܝܐ ܫܝܠܐ ܘܛܝܡܬܐܘܤ ܐܠܝܨ ܗܘܐ ܒܡܠܬܐ ܗܘ ܦܘܠܘܤ ܡܛܠ ܕܩܝܡܝܢ ܗܘܘ ܠܩܘܒܠܗ ܝܗܘܕܝܐ ܘܡܓܕܦܝܢ ܗܘܘ ܟܕ ܡܤܗܕ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܝܫܘܥ ܗܘܝܘ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa nini wakiona kibanzi kilicho jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti iliyoko jichoni mwako? \t ܡܢܐ ܕܝܢ ܚܙܐ ܐܢܬ ܓܠܐ ܕܒܥܝܢܗ ܕܐܚܘܟ ܘܩܪܝܬܐ ܕܒܥܝܢܟ ܠܐ ܒܚܪ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu aliwasimulia mfano kuonyesha kwamba ni lazima kusali daima bila kukata tamaa. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܝܢ ܐܦ ܡܬܠܐ ܕܒܟܠ ܥܕܢ ܢܨܠܘܢ ܘܠܐ ܬܡܐܢ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sisi tutaokokaje kama hatuujali wokovu mkuu kama huu? Kwanza Bwana mwenyewe aliutangaza wokovu huu, na wale waliomsikia walituthibitishia kwamba ni kweli. \t ܐܝܟܢܐ ܚܢܢ ܢܥܪܘܩ ܐܢ ܢܒܤܐ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܗܢܘܢ ܐܢܘܢ ܚܝܝܢ ܗܢܘܢ ܕܫܪܝܘ ܡܢ ܡܪܢ ܠܡܬܡܠܠܘ ܘܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܢܗ ܫܡܥܘ ܒܢ ܐܫܬܪܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Kwa sababu ya imani yenu haba. Nawaambieni kweli, kama tu mkiwa na imani, hata iwe ndogo kama mbegu ya haradali, mtaweza kuuambia mlima huu: Toka hapa uende pale, nao utakwenda. Hakuna chochote ambacho hakingewezekana kwenu.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܡܛܠ ܠܐ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܐܡܝܢ ܓܝܪ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܢ ܬܗܘܐ ܒܟܘܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܐܝܟ ܦܪܕܬܐ ܕܚܪܕܠܐ ܬܐܡܪܘܢ ܠܛܘܪܐ ܗܢܐ ܕܫܢܐ ܡܟܐ ܘܢܫܢܐ ܘܡܕܡ ܠܐ ܢܚܤܢܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani Yosefu alipokuwa karibu kufa, alinena juu ya kutoka kwa Waisraeli katika nchi ya Misri, na pia akawaachia maagizo kuhusu mifupa yake. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܝܘܤܦ ܟܕ ܡܐܬ ܥܗܕ ܠܡܦܩܬܐ ܕܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܘܦܩܕ ܥܠ ܓܪܡܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi, baada ya sikukuu ya Mikate Isiyotiwa chachu, tulipanda meli kutoka Filipi na baada ya siku tatu tukawafikia kule Troa. Huko tulikaa kwa muda wa juma moja. \t ܚܢܢ ܕܝܢ ܢܦܩܢ ܡܢ ܦܝܠܝܦܘܤ ܡܕܝܢܬܐ ܕܡܩܕܘܢܝܐ ܒܬܪ ܝܘܡܬܐ ܕܦܛܝܪܐ ܘܪܕܝܢ ܒܝܡܐ ܘܐܬܝܢ ܠܛܪܘܐܤ ܠܝܘܡܬܐ ܚܡܫܐ ܘܗܘܝܢ ܬܡܢ ܝܘܡܬܐ ܫܒܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini baadhi ya watu hao wakasema, \"Anamfukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo.\" \t ܐܢܫܐ ܕܝܢ ܡܢܗܘܢ ܐܡܪܘ ܒܒܥܠܙܒܘܒ ܪܫܐ ܕܕܝܘܐ ܡܦܩ ܗܢܐ ܕܝܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, kwa upande wenu ninyi, Kristo aliwamiminieni Roho wake. Na kama akiendelea kukaa ndani yenu, hamhitaji kufundishwa na mtu yeyote. Maana Roho wake anawafundisheni kila kitu na mafundisho yake ni ya kweli, si ya uongo. Basi shikeni mafundisho ya huyo Roho na kubaki katika muungano na Kristo. \t ܘܐܦ ܐܢܬܘܢ ܐܢ ܬܩܘܐ ܠܘܬܟܘܢ ܡܫܝܚܘܬܐ ܕܩܒܠܬܘܢ ܡܢܗ ܠܐ ܤܢܝܩܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܢܫ ܢܠܦܟܘܢ ܐܠܐ ܐܝܟ ܡܫܝܚܘܬܐ ܕܐܝܬܝܗ ܡܢ ܐܠܗܐ ܗܝ ܡܠܦܐ ܠܟܘܢ ܥܠ ܟܠܡܕܡ ܘܫܪܝܪܐ ܗܝ ܘܠܝܬ ܒܗ ܕܓܠܘܬܐ ܘܐܝܟ ܕܐܠܦܟܘܢ ܩܘܘ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nitaendelea kufanya kama ninavyofanya sasa, ili nisiwape nafasi wale wanaotafuta nafasi, nafasi ya kujivuna kwamba eti wanafanya kazi kama sisi. \t ܐܠܐ ܗܕܐ ܕܥܒܕ ܐܢܐ ܐܦ ܐܥܒܕ ܕܐܦܤܘܩ ܗܘ ܥܠܬܗܘܢ ܕܐܝܠܝܢ ܕܒܥܝܢ ܥܠܬܐ ܕܒܗܘ ܡܕܡ ܕܡܫܬܒܗܪܝܢ ܢܫܬܟܚܘܢ ܐܟܘܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama vile kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo, wake wawatii waume zao katika mambo yote. \t ܐܠܐ ܐܝܟܢܐ ܕܥܕܬܐ ܡܫܬܥܒܕܐ ܠܡܫܝܚܐ ܗܟܢܐ ܐܦ ܢܫܐ ܠܒܥܠܝܗܝܢ ܒܟܠܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama saa moja baadaye, mtu mwingine akasisitiza, \"Hakika huyu alikuwa pamoja naye; ametoka Galilaya ati.\" \t ܘܒܬܪ ܫܥܐ ܚܕܐ ܐܚܪܢܐ ܡܬܚܪܐ ܗܘܐ ܘܐܡܪ ܫܪܝܪܐܝܬ ܐܦ ܗܢܐ ܥܡܗ ܗܘܐ ܐܦ ܓܠܝܠܝܐ ܗܘ ܓܝܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao wakazidi kupiga kelele kwa nguvu sana, kwamba Yesu ni lazima asulubiwe. Mwishowe, sauti zao zikashinda. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܬܟܒܝܢ ܗܘܘ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܘܫܐܠܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܕܢܙܩܦܘܢܝܗܝ ܘܥܫܢ ܗܘܐ ܩܠܗܘܢ ܕܝܠܗܘܢ ܘܕܪܒܝ ܟܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, wale wanaoishi kufuatana na matakwa ya mwili, hutawaliwa na fikira za mwili. Lakini wale wanaoishi kufuatana na matakwa ya Roho Mtakatifu, hutawaliwa na fikira za Roho. \t ܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܒܒܤܪ ܐܢܘܢ ܕܒܤܪ ܗܘ ܡܬܪܥܝܢ ܘܐܝܠܝܢ ܕܕܪܘܚ ܐܢܘܢ ܕܪܘܚ ܗܘ ܡܬܪܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule sonara aitwaye Aleksanda amenitendea maovu mengi; Bwana atamlipa kufuatana na hayo matendo yake. \t ܐܠܟܤܢܕܪܤ ܩܝܢܝܐ ܒܝܫܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܚܘܝܢܝ ܦܪܥ ܠܗ ܡܪܢ ܐܝܟ ܥܒܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mtu amesikia juu ya utii wenu na hivyo mmekuwa sababu ya furaha yangu. Nawatakeni muwe na hekima katika mambo mema, na bila hatia kuhusu mambo mabaya. \t ܡܫܬܡܥܢܘܬܟܘܢ ܕܝܢ ܕܝܠܟܘܢ ܠܟܠ ܒܪܢܫ ܐܬܝܕܥܬ ܚܕܐ ܐܢܐ ܗܟܝܠ ܒܟܘܢ ܘܨܒܐ ܐܢܐ ܕܬܗܘܘܢ ܚܟܝܡܝܢ ܠܛܒܬܐ ܘܬܡܝܡܝܢ ܠܒܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakaondoka saa ileile, wakarudi Yerusalemu: wakawakuta wale mitume kumi na mmoja na wale wengine waliokuwa pamoja nao, wamekusanyika \t ܘܩܡܘ ܒܗ ܒܫܥܬܐ ܘܗܦܟܘ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܐܫܟܚܘ ܠܚܕܥܤܪ ܕܟܢܝܫܝܢ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Msiharibu nchi, wala bahari, wala miti, mpaka tutakapokwisha wapiga mhuri watumishi wa Mungu wetu katika paji la uso.\" \t ܘܐܡܪ ܠܐ ܬܗܪܘܢ ܠܐܪܥܐ ܘܠܐ ܠܝܡܐ ܘܐܦܠܐ ܠܐܝܠܢܐ ܥܕܡܐ ܕܢܚܬܘܡ ܠܥܒܕܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܒܝܬ ܥܝܢܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale ndugu waliomsindikiza Paulo walikwenda pamoja naye mpaka Athene. Kisha, wakarudi pamoja na maagizo kutoka kwa Paulo kwamba Sila na Timotheo wamfuate upesi iwezekanavyo. \t ܘܗܢܘܢ ܕܐܬܠܘܝܘ ܠܗ ܠܦܘܠܘܤ ܐܬܘ ܥܡܗ ܥܕܡܐ ܠܐܬܢܘܤ ܡܕܝܢܬܐ ܘܟܕ ܢܦܩܝܢ ܡܢ ܨܐܕܘܗܝ ܩܒܠܘ ܡܢܗ ܐܓܪܬܐ ܠܘܬ ܫܝܠܐ ܘܛܝܡܬܐܘܤ ܕܒܥܓܠ ܢܐܙܠܘܢ ܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mimi nawaambieni, usimlipize kisasi mtu mbaya. Mtu akikupiga kofi shavu la kulia, mgeuzie pia shavu la pili. \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܬܩܘܡܘܢ ܠܘܩܒܠ ܒܝܫܐ ܐܠܐ ܡܢ ܕܡܚܐ ܠܟ ܥܠ ܦܟܟ ܕܝܡܝܢܐ ܐܦܢܐ ܠܗ ܐܦ ܐܚܪܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, najua la kufanya, ili nitakapofukuzwa kazi, watu waweze kunikaribisha nyumbani kwao. \t ܝܕܥܬ ܡܢܐ ܐܥܒܕ ܕܡܐ ܕܢܦܩܬ ܡܢ ܪܒܬ ܒܝܬܘܬܐ ܢܩܒܠܘܢܢܝ ܒܒܬܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu ana thamani kuliko kondoo! Basi, ni halali kutenda mema siku ya Sabato.\" \t ܟܡܐ ܕܝܢ ܝܬܝܪ ܒܪܢܫܐ ܡܢ ܥܪܒܐ ܡܕܝܢ ܫܠܝܛ ܗܘ ܒܫܒܬܐ ܠܡܥܒܕ ܕܫܦܝܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ile mbegu iliyoanguka kati ya miti ya miiba, ni mfano wa mtu asikiaye huo ujumbe, lakini wasiwasi wa ulimwengu huu na anasa za mali huusonga ujumbe huo, naye hazai matunda. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܒܝܬ ܟܘܒܐ ܐܙܕܪܥ ܗܘ ܗܘ ܕܫܡܥ ܡܠܬܐ ܘܪܢܝܐ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܘܛܘܥܝܝ ܕܥܘܬܪܐ ܚܢܩܝܢ ܠܗ ܠܡܠܬܐ ܘܕܠܐ ܦܐܪܐ ܗܘܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye akajibu, \"Kama ni mwenye dhambi mimi sijui. Lakini kitu kimoja najua: Nilikuwa kipofu, na sasa naona.\" \t ܥܢܐ ܗܘ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢ ܚܛܝܐ ܗܘ ܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܚܕܐ ܕܝܢ ܝܕܥ ܐܢܐ ܕܤܡܝܐ ܗܘܝܬ ܘܗܫܐ ܗܐ ܚܙܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote walio wa dunia wako kama huyo mtu aliyeumbwa kwa udongo; wale walio wa mbinguni wako kama yule aliyetoka mbinguni. \t ܐܝܟܢܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘ ܥܦܪܢܐ ܗܟܢܐ ܐܦ ܥܦܪܢܐ ܘܐܝܟܢܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘ ܕܡܢ ܫܡܝܐ ܗܟܢܐ ܐܦ ܫܡܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo akajibu, \"Ndugu zangu, sikujua kama yeye ni Kuhani Mkuu. Maana Maandiko yasema hivi: Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܦܘܠܘܤ ܠܐ ܝܕܥ ܗܘܝܬ ܐܚܝ ܕܟܗܢܐ ܗܘ ܟܬܝܒ ܗܘ ܓܝܪ ܕܠܪܫܐ ܕܥܡܟ ܠܐ ܬܠܘܛ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kama vile kila mtu hufa mara moja tu, kisha husimama mbele ya hukumu ya Mungu, \t ܘܐܝܟܢܐ ܕܤܝV ܠܒܢܝܢܫܐ ܕܚܕܐ ܙܒܢ ܢܡܘܬܘܢ ܘܡܢ ܒܬܪ ܡܘܬܗܘܢ ܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana siku hizo ni siku za adhabu, ili yote yaliyoandikwa yatimie. \t ܕܝܘܡܬܐ ܐܢܘܢ ܗܠܝܢ ܕܬܒܥܬܐ ܕܢܫܠܡ ܟܠ ܡܐ ܕܟܬܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiye aliyewapa watu zawadi: wengine aliwajalia wawe mitume, wengine manabii, wengine wawe waeneza Habari Njema, wengine wachungaji na walimu. \t ܘܗܘ ܝܗܒ ܐܝܬ ܕܫܠܝܚܐ ܘܐܝܬ ܕܢܒܝܐ ܘܐܝܬ ܕܡܤܒܪܢܐ ܘܐܝܬ ܕܪܥܘܬܐ ܘܐܝܬ ܕܡܠܦܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akamwambia, \"Na sisi je? Tumeacha yote, tukakufuata!\" \t ܘܫܪܝ ܟܐܦܐ ܠܡܐܡܪ ܗܐ ܚܢܢ ܫܒܩܢ ܟܠ ܡܕܡ ܘܢܩܦܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sitasema nanyi tena mambo mengi, maana mtawala wa ulimwengu huu anakuja. Kwangu mimi hawezi kitu; \t ܡܟܝܠ ܠܐ ܐܡܠܠ ܥܡܟܘܢ ܤܓܝܐܬܐ ܐܬܐ ܓܝܪ ܐܪܟܘܢܗ ܕܥܠܡܐ ܘܒܝ ܠܝܬ ܠܗ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuweza kutenda miujiza hapo, ila aliwawekea mikono wagonjwa wachache, akawaponya. \t ܘܠܐ ܡܫܟܚ ܗܘܐ ܕܢܥܒܕ ܬܡܢ ܐܦ ܠܐ ܚܕ ܚܝܠܐ ܐܠܐ ܐܢ ܕܥܠ ܟܪܝܗܐ ܩܠܝܠ ܤܡ ܐܝܕܗ ܘܐܤܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku hiyo ilikuwa Ijumaa, na maandalio ya siku ya Sabato yalikuwa yanaanza. \t ܘܝܘܡܐ ܥܪܘܒܬܐ ܗܘܬ ܘܫܒܬܐ ܢܓܗܐ ܗܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "njia ya amani hawaijui. \t ܘܐܘܪܚܐ ܕܫܠܡܐ ܠܐ ܝܕܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwendeeni yeye kama mawe hai mkajengeke na kuwa nyumba ya kiroho, ambamo mtatumikia kama makuhani watakatifu, kutolea dhabihu za kiroho zenye kumpendeza Mungu kwa njia ya Yesu Kristo. \t ܘܐܦ ܐܢܬܘܢ ܐܝܟ ܟܐܦܐ ܚܝܬܐ ܐܬܒܢܘ ܘܗܘܘ ܗܝܟܠܐ ܪܘܚܢܐ ܘܟܗܢܐ ܩܕܝܫܐ ܠܡܤܩܘ ܕܒܚܐ ܪܘܚܢܐ ܕܡܩܒܠܝܢ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܒܝܕ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akasema, \"Mheshimiwa, mwonee huruma mwanangu kwa kuwa ana kifafa, tena anateseka sana; mara nyingi yeye huanguka motoni na majini. \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܪܝ ܐܬܪܚܡ ܥܠܝ ܒܪܝ ܕܐܝܬ ܠܗ ܒܪ ܐܓܪܐ ܘܒܝܫܐܝܬ ܥܒܝܕ ܟܡܐ ܓܝܪ ܙܒܢܝܢ ܒܢܘܪܐ ܢܦܠ ܘܟܡܐ ܙܒܢܝܢ ܒܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu anayependa kufanya yale anayotaka Mungu, atajua kama mafundisho yangu yametoka kwa Mungu, au mimi najisemea tu mwenyewe. \t ܡܢ ܕܨܒܐ ܕܢܥܒܕ ܨܒܝܢܗ ܡܤܬܟܠ ܝܘܠܦܢܝ ܐܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܗܘ ܐܘ ܐܢܐ ܡܢ ܨܒܘܬ ܢܦܫܝ ܡܡܠܠ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana wengi watatokea na kulitumia jina langu wakisema: Mimi ndiye Kristo, nao watawapotosha watu wengi. \t ܤܓܝܐܐ ܓܝܪ ܢܐܬܘܢ ܒܫܡܝ ܘܢܐܡܪܘܢ ܕܐܢܐ ܐܢܐ ܡܫܝܚܐ ܘܤܓܝܐܐ ܢܛܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Herode alifurahi sana alipomwona Yesu. Alikuwa amekwisha sikia habari zake, na hivyo alikuwa anatazamia kwa muda mrefu kumwona kwa macho yake mwenyewe. Zaidi ya hayo, alikuwa anatumaini kumwona Yesu akitenda mwujiza. \t ܗܪܘܕܤ ܕܝܢ ܟܕ ܚܙܝܗܝ ܠܝܫܘܥ ܚܕܝ ܛܒ ܨܒܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܠܡܚܙܝܗ ܡܢ ܙܒܢܐ ܤܓܝܐܐ ܡܛܠ ܕܫܡܥ ܗܘܐ ܥܠܘܗܝ ܤܓܝܐܬܐ ܘܡܤܒܪ ܗܘܐ ܕܡܕܡ ܐܬܐ ܢܚܙܐ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenye kipaji cha utumishi na atumikie. mwenye kipaji cha kufundisha na afundishe. \t ܘܐܝܬ ܕܬܫܡܫܬܐ ܐܝܬ ܠܗ ܒܬܫܡܫܬܗ ܘܐܝܬ ܕܡܠܦܢܐ ܗܘ ܒܝܘܠܦܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Yesu akaendelea kukua katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na Mungu na watu. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܪܒܐ ܗܘܐ ܒܩܘܡܬܗ ܘܒܚܟܡܬܗ ܘܒܛܝܒܘܬܐ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܘܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Si kwamba mimi nautegemea ushahidi wa wanadamu, lakini nasema mambo haya ili mpate kuokolewa. \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܒܪܢܫܐ ܢܤܒ ܐܢܐ ܤܗܕܘܬܐ ܐܠܐ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܐܢܬܘܢ ܬܚܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na, anaweza sasa kuwasaidia wale wanaojaribiwa na kuteswa. \t ܒܗܝ ܓܝܪ ܕܗܘ ܚܫ ܘܐܬܢܤܝ ܡܫܟܚ ܕܢܥܕܪ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܬܢܤܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kuwatangazia watu kwamba wataokolewa kwa kuondolewa dhambi zao. \t ܕܢܬܠ ܡܕܥܐ ܕܚܝܐ ܠܥܡܗ ܒܫܘܒܩܢܐ ܕܚܛܗܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote waliokuwa ndani ya mashua walimsujudia, wakasema, \"Hakika wewe ni Mwana wa Mungu.\" \t ܘܐܬܘ ܗܢܘܢ ܕܒܐܠܦܐ ܤܓܕܘ ܠܗ ܘܐܡܪܘ ܫܪܝܪܐܝܬ ܒܪܗ ܐܢܬ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mahali Yesu alipokwenda, vijijini, mijini, au mashambani, watu waliwaweka wagonjwa uwanjani, wakamsihi waguse walau pindo la vazi lake. Nao wote waliomgusa walipona. \t ܘܐܝܟܐ ܕܥܐܠ ܗܘܐ ܠܩܘܪܝܐ ܘܠܡܕܝܢܬܐ ܒܫܘܩܐ ܤܝܡܝܢ ܗܘܘ ܟܪܝܗܐ ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗ ܕܐܦܢ ܠܟܢܦܐ ܕܠܒܘܫܗ ܢܩܪܒܘܢ ܘܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܩܪܒܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܡܬܐܤܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu. \t ܐܠܐ ܗܘܘ ܩܕܝܫܝܢ ܒܟܠܗܘܢ ܗܘܦܟܝܟܘܢ ܐܝܟ ܕܩܕܝܫ ܗܘ ܡܢ ܕܩܪܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia aende zake nyumbani na kumwamuru, \"Usirudi kijijini!\" \t ܘܫܕܪܗ ܠܒܝܬܗ ܘܐܡܪ ܐܦ ܠܐ ܠܩܪܝܬܐ ܬܥܘܠ ܘܠܐ ܬܐܡܪ ܠܐܢܫ ܒܩܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea. \t ܘܫܒܘܩ ܠܢ ܚܘܒܝܢ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܚܢܢ ܫܒܩܢ ܠܚܝܒܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baba yake akamjibu: Mwanangu, wewe uko pamoja nami siku zote, na kila nilicho nacho ni chako. \t ܐܡܪ ܠܗ ܐܒܘܗܝ ܒܪܝ ܐܢܬ ܒܟܠܙܒܢ ܥܡܝ ܐܢܬ ܘܟܠܡܕܡ ܕܝܠܝ ܕܝܠܟ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mungu hakututeua ili tuangamizwe na ghadhabu yake, bali tuupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo, \t ܡܛܠ ܕܠܐ ܤܡܢ ܐܠܗܐ ܠܪܘܓܙܐ ܐܠܐ ܠܩܢܝܢܐ ܕܚܝܐ ܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vivyo hivyo, matendo mema huonekana waziwazi, na hata yale ambayo si dhahiri hayawezi kufichika. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܥܒܕܐ ܛܒܐ ܝܕܝܥܝܢ ܐܢܘܢ ܘܐܝܠܝܢ ܕܐܚܪܢܝܐܝܬ ܐܢܘܢ ܠܡܛܫܐ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Neno alikuwako ulimwenguni; na kwa njia yake ulimwengu uliumbwa, lakini ulimwengu haukumtambua. \t ܒܥܠܡܐ ܗܘܐ ܘܥܠܡܐ ܒܐܝܕܗ ܗܘܐ ܘܥܠܡܐ ܠܐ ܝܕܥܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kutiwa nguvuni, Petro alifungwa gerezani, akawekwa chini ya ulinzi wa vikundi vinne vya askari wannewanne. Herode alikusudia kumtoa hadharani baada ya sikukuu ya Pasaka. \t ܘܐܚܕܗ ܘܐܪܡܝܗ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܘܐܫܠܡ ܠܗ ܫܬܬܥܤܪ ܤܛܪܛܘܛܝܢ ܕܢܛܪܘܢܗ ܕܡܢ ܒܬܪ ܦܨܚܐ ܢܫܠܡܝܘܗܝ ܠܥܡܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule mwenye shamba akafikiri: Nitafanya nini? Nitamtuma mwanangu mpenzi; labda watamjali yeye. \t ܐܡܪ ܡܪܐ ܟܪܡܐ ܡܢܐ ܐܥܒܕ ܐܫܕܪ ܒܪܝ ܚܒܝܒܐ ܟܒܪ ܢܚܙܘܢܝܗܝ ܘܢܬܟܚܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, kuna yeyote miongoni mwenu ambaye mtoto wake akimwomba mkate, atampa jiwe? \t ܐܘ ܡܢܘ ܡܢܟܘܢ ܓܒܪܐ ܕܢܫܐܠܝܘܗܝ ܒܪܗ ܠܚܡܐ ܠܡܐ ܟܐܦܐ ܡܘܫܛ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kiumbe cha kwanza kulikuwa kama simba, cha pili kama ng'ombe, cha tatu kilikuwa na sura kama mtu, na cha nne kilikuwa kama tai anayeruka. \t ܚܝܘܬܐ ܩܕܡܝܬܐ ܕܡܝܐ ܠܐܪܝܐ ܘܚܝܘܬܐ ܕܬܪܬܝܢ ܕܡܘܬܐ ܕܥܓܠܐ ܘܚܝܘܬܐ ܕܬܠܬ ܐܝܬ ܠܗ ܐܦܐ ܐܝܟ ܕܒܪܢܫܐ ܘܚܝܘܬܐ ܕܐܪܒܥ ܕܡܘܬܐ ܕܢܫܪܐ ܕܦܪܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadaye wale wanawali wengine wakaja, wakaita: Bwana, bwana, tufungulie! \t ܒܚܪܬܐ ܕܝܢ ܐܬܝ ܐܦ ܗܢܝܢ ܒܬܘܠܬܐ ܐܚܪܢܝܬܐ ܘܐܡܪܢ ܡܪܢ ܡܪܢ ܦܬܚ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mtu yeyote atakayemfanya mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini atende dhambi, ingekuwa afadhali kwa mtu huyo kufungiwa shingoni mwake jiwe kubwa la kusagia na kutupwa baharini. \t ܘܟܠ ܡܢ ܕܢܟܫܠ ܠܚܕ ܡܢ ܗܠܝܢ ܙܥܘܪܐ ܕܡܗܝܡܢܝܢ ܒܝ ܦܩܚ ܗܘܐ ܠܗ ܐܠܘ ܪܡܝܐ ܗܘܬ ܪܚܝܐ ܕܚܡܪܐ ܒܨܘܪܗ ܘܫܕܐ ܒܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao wakamwuliza, \"Tufanye nini ili tuweze kuzitenda kazi za Mungu?\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܢܐ ܢܥܒܕ ܕܢܦܠܘܚ ܥܒܕܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeyote atakayeshinda atapokea hiki, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu. \t ܘܕܙܟܐ ܗܘ ܢܐܪܬ ܗܠܝܢ ܘܐܗܘܐ ܠܗ ܐܠܗܐ ܘܢܗܘܐ ܠܝ ܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ninawabatizeni kwa maji kuonyesha kwamba mmetubu. Lakini yule anayekuja baada yangu ana uwezo kuliko mimi. Mimi sistahili hata kubeba viatu vyake. Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto. \t ܐܢܐ ܡܥܡܕ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܒܡܝܐ ܠܬܝܒܘܬܐ ܗܘ ܕܝܢ ܕܒܬܪܝ ܐܬܐ ܚܤܝܢ ܗܘ ܡܢܝ ܗܘ ܕܠܐ ܫܘܐ ܐܢܐ ܡܤܢܘܗܝ ܠܡܫܩܠ ܗܘ ܡܥܡܕ ܠܟܘܢ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܘܒܢܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnajua ninyi wenyewe kwamba nimefanya kazi kwa mikono yangu mwenyewe, ili kujipatia mahitaji yangu na ya wenzangu. \t ܘܐܢܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܠܤܢܝܩܘܬܝ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬ ܥܡܝ ܫܡܫ ܗܠܝܢ ܐܝܕܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hiyo ni kwa wale waliotahiriwa tu, ama pia kwa wale wasiotahiriwa? Ni kwa wale wasiotahiriwa pia. Kwa maana tumekwisha sema: \"Abrahamu aliamini, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.\" \t ܗܢܐ ܗܟܝܠ ܛܘܒܐ ܥܠ ܓܙܘܪܬܐ ܗܘ ܐܘ ܥܠ ܥܘܪܠܘܬܐ ܐܡܪܝܢܢ ܓܝܪ ܕܐܬܚܫܒܬ ܠܐܒܪܗܡ ܗܝܡܢܘܬܗ ܠܟܐܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao walimwendea Filipo, mwenyeji wa Bethsaida katika Galilaya, wakasema, \"Mheshimiwa, tunataka kumwona Yesu.\" \t ܗܠܝܢ ܐܬܘ ܩܪܒܘ ܠܘܬ ܦܝܠܝܦܘܤ ܗܘ ܕܡܢ ܒܝܬ ܨܝܕܐ ܕܓܠܝܠܐ ܘܫܐܠܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܪܝ ܨܒܝܢ ܚܢܢ ܢܚܙܐ ܠܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, wa kwanza na wa mwisho.\" \t ܐܢܐ ܐܠܦ ܘܐܢܐ ܬܘ ܩܕܡܝܐ ܘܐܚܪܝܐ ܘܫܘܪܝܐ ܘܫܘܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, huko Damasko kulikuwa na mfuasi mmoja aitwaye Anania. Bwana akamwambia katika maono, \"Anania!\" Anania akaitika, \"Niko hapa, Bwana.\" \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܒܗ ܒܕܪܡܤܘܩ ܬܠܡܝܕܐ ܚܕ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܚܢܢܝܐ ܘܡܪܝܐ ܐܡܪ ܠܗ ܒܚܙܘܐ ܚܢܢܝܐ ܘܐܡܪ ܗܐ ܐܢܐ ܡܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, walianza kuchukizwa na Yakobo na Yohane. \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܥܤܪܐ ܫܪܝܘ ܪܛܢܝܢ ܥܠ ܝܥܩܘܒ ܘܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ulipojaa, watu waliuvuta pwani, wakaketi, wakachagua samaki wazuri wakawaweka ndani ya vikapu vyao, na wabaya wakawatupa. \t ܘܟܕ ܡܠܬ ܐܤܩܘܗ ܠܤܦܪܝ ܝܡܐ ܘܝܬܒܘ ܓܒܝܘ ܘܛܒܐ ܐܪܡܝܘ ܒܡܐܢܐ ܘܒܝܫܐ ܫܕܘ ܠܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu huyo alikuwa anamsikiliza Paulo alipokuwa anahubiri. Paulo alimtazama kwa makini, na alipoona kuwa alikuwa na imani ya kuweza kuponywa, \t ܗܢܐ ܫܡܥ ܠܦܘܠܘܤ ܕܡܡܠܠ ܘܟܕ ܚܙܝܗܝ ܦܘܠܘܤ ܘܐܫܬܘܕܥ ܕܐܝܬ ܒܗ ܗܝܡܢܘܬܐ ܕܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akarudi pamoja nao hadi Nazareti, akawa anawatii. Mama yake akaweka mambo hayo yote moyoni mwake. \t ܘܢܚܬ ܥܡܗܘܢ ܘܐܬܐ ܠܢܨܪܬ ܘܡܫܬܥܒܕ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܐܡܗ ܕܝܢ ܢܛܪܐ ܗܘܬ ܟܠܗܝܢ ܡܠܐ ܒܠܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo nakwambia amesamehewa dhambi zake nyingi kwa kuwa ameonyesha upendo mkubwa. Mwenye kusamehe kidogo, hupenda kidogo.\" \t ܚܠܦ ܗܕܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܕܫܒܝܩܝܢ ܠܗ ܚܛܗܝܗ ܤܓܝܐܐ ܡܛܠ ܕܐܚܒܬ ܤܓܝ ܗܘ ܕܝܢ ܕܩܠܝܠ ܡܫܬܒܩ ܠܗ ܩܠܝܠ ܡܚܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wa mataifa mengine watakuhukumu wewe Myahudi kama ukiivunja Sheria, ingawaje unayo maandishi ya Sheria na umetahiriwa, hali wao wanaitii Sheria ingawa hawakutahiriwa. \t ܘܬܕܘܢ ܥܘܪܠܘܬܐ ܕܡܢ ܟܝܢܗ ܓܡܪܐ ܢܡܘܤܐ ܠܟ ܕܒܟܬܒܐ ܘܒܓܙܘܪܬܐ ܥܒܪ ܐܢܬ ܥܠ ܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Saulo alikaa siku tatu bila kuona, na wakati huo hakula au kunywa chochote. \t ܘܠܐ ܡܬܚܙܐ ܗܘܐ ܠܗ ܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܘܠܐ ܐܟܠ ܘܠܐ ܐܫܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana watatokea kina Kristo wa uongo na manabii wa uongo. Watafanya ishara kubwa na maajabu ya kuweza kuwapotosha ikiwezekana hata wateule wa Mungu. \t ܢܩܘܡܘܢ ܓܝܪ ܡܫܝܚܐ ܕܓܠܐ ܘܢܒܝܐ ܕܟܕܒܘܬܐ ܘܢܬܠܘܢ ܐܬܘܬܐ ܪܘܪܒܬܐ ܐܝܟ ܕܢܛܥܘܢ ܐܢ ܡܫܟܚܐ ܐܦ ܠܓܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda Atalia. \t ܘܟܕ ܡܠܠܘ ܒܦܪܓܐ ܡܕܝܢܬܐ ܡܠܬܐ ܕܡܪܝܐ ܢܚܬܘ ܠܗܘܢ ܠܐܝܛܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kiapo alichomwapia Abrahamu baba yetu, ni kwamba atatujalia sisi \t ܘܡܘܡܬܐ ܕܝܡܐ ܠܐܒܪܗܡ ܐܒܘܢ ܕܢܬܠ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nayo ilisema, \"Andika katika kitabu yote unayoyaona, ukipeleke kwa makanisa haya saba: Efeso, Smurna, Pergamoni, Thuatira, Sarde, Filadelfia na Laodikea.\" \t ܕܐܡܪ ܐܝܠܝܢ ܕܚܙܝܬ ܟܬܘܒ ܒܟܬܒܐ ܘܫܕܪ ܠܫܒܥ ܥܕܬܐ ܠܐܦܤܘܤ ܘܠܙܡܘܪܢܐ ܘܠܦܪܓܡܘܤ ܘܠܬܐܘܛܝܪܐ ܘܠܤܪܕܝܤ ܘܠܦܝܠܕܠܦܝܐ ܘܠܠܕܝܩܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Alisema hivyo kwa kumjaribu Filipo, kwani alijua mwenyewe atakalofanya.) \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܟܕ ܡܢܤܐ ܠܗ ܗܘ ܓܝܪ ܝܕܥ ܗܘܐ ܡܢܐ ܥܬܝܕ ܠܡܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini wao wakapiga kelele: \"Msulubishe, msulubishe!\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܩܥܝܢ ܗܘܘ ܘܐܡܪܝܢ ܙܩܘܦܝܗܝ ܙܩܘܦܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati ulipokaribia ambapo Yesu angechukuliwa juu mbinguni, yeye alikata shauri kwenda Yerusalemu. \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܡܬܡܠܝܢ ܝܘܡܬܐ ܕܤܘܠܩܗ ܐܬܩܢ ܦܪܨܘܦܗ ܕܢܐܙܠ ܠܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanariadha yeyote hawezi kushinda na kupata zawadi ya ushindi kama asipozitii sheria za michezo. \t ܘܐܢ ܡܬܟܬܫ ܐܢܫ ܠܐ ܡܬܟܠܠ ܐܢ ܒܢܡܘܤܗ ܠܐ ܡܬܟܬܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Na yule mwanamke uliyemwona ndio ule mji mkuu unaowatawala wafalme wa dunia.\" \t ܘܐܢܬܬܐ ܐܝܕܐ ܕܚܙܝܬ ܡܕܝܢܬܐ ܪܒܬܐ ܐܝܕܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܡܠܟܘܬܐ ܥܠ ܡܠܟܝܗ ܕܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tukisema kwamba hatuna dhambi, tunajidanganya wenyewe na ukweli haumo ndani yetu. \t ܘܐܢ ܢܐܡܪ ܕܠܝܬ ܠܢ ܚܛܝܬܐ ܢܦܫܢ ܡܛܥܝܢܢ ܘܫܪܪܐ ܠܝܬ ܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sisi tunajua umuhimu wa kumcha Bwana, na hivyo tunajitahidi kuwavuta watu. Mungu anatujua waziwazi, nami natumaini kwamba nanyi pia mnatujua kinaganaga. \t ܡܛܠ ܕܝܕܥܝܢܢ ܗܟܝܠ ܕܚܠܬܗ ܕܡܪܢ ܠܒܢܝܢܫܐ ܗܘ ܡܦܝܤܝܢܢ ܠܐܠܗܐ ܕܝܢ ܓܠܝܢܢ ܤܒܪ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܐܦ ܠܡܕܥܝܟܘܢ ܕܝܠܟܘܢ ܓܠܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nao, baada ya kufufuka kwake, wakatoka makaburini, wakaingia katika Mji Mtakatifu, wakaonekana na watu wengi. \t ܘܢܦܩܘ ܘܒܬܪ ܩܝܡܬܗ ܥܠܘ ܠܡܕܝܢܬܐ ܩܕܝܫܬܐ ܘܐܬܚܙܝܘ ܠܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu huyo alikuwa akiishi makaburini wala hakuna mtu aliyeweza tena kumfunga kwa minyororo. \t ܘܥܡܪ ܗܘܐ ܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܘܒܫܫܠܬܐ ܐܢܫ ܠܐ ܡܫܟܚ ܗܘܐ ܠܡܐܤܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Paulo, mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu, na ndugu Timotheo, ninakuandikia wewe Filemoni mpendwa, mfanyakazi mwenzetu \t ܦܘܠܘܤ ܐܤܝܪܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܛܝܡܬܐܘܤ ܐܚܐ ܠܦܝܠܡܘܢ ܚܒܝܒܐ ܘܦܠܚܐ ܕܥܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, huyo ofisa aliposikia kuwa Yesu alikuwa ametoka Yudea na kufika Galilaya, alimwendea akamwomba aende kumponya mtoto wake aliyekuwa mgonjwa mahututi. \t ܗܢܐ ܫܡܥ ܕܐܬܐ ܝܫܘܥ ܡܢ ܝܗܘܕ ܠܓܠܝܠܐ ܘܐܙܠ ܠܘܬܗ ܘܒܥܐ ܗܘܐ ܡܢܗ ܕܢܚܘܬ ܘܢܐܤܐ ܠܒܪܗ ܩܪܝܒ ܗܘܐ ܓܝܪ ܠܡܡܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na mtu mmoja aliumba mataifa yote na kuyawezesha kuishi duniani kote. Aliamua na kupanga kabla kabisa lini na wapi mataifa hayo yangeishi. \t ܘܡܢ ܚܕ ܕܡ ܥܒܕ ܥܠܡܐ ܟܠܗ ܕܒܢܝܢܫܐ ܕܢܗܘܘܢ ܥܡܪܝܢ ܥܠ ܐܦܝ ܐܪܥܐ ܟܠܗ ܘܦܪܫ ܙܒܢܐ ܒܦܘܩܕܢܗ ܘܤܡ ܬܚܘܡܐ ܕܥܘܡܪܐ ܕܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote waliotangulia na wale waliofuata wakapaaza sauti zao wakisema, \"Hosana! Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana! \t ܘܗܢܘܢ ܕܩܕܡܘܗܝ ܘܗܢܘܢ ܕܒܬܪܗ ܩܥܝܢ ܗܘܘ ܘܐܡܪܝܢ ܐܘܫܥܢܐ ܒܪܝܟ ܗܘ ܕܐܬܐ ܒܫܡܗ ܕܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, wapenzi wangu, epeni ibada za sanamu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܚܒܝܒܝ ܥܪܘܩܘ ܡܢ ܦܘܠܚܢܐ ܕܦܬܟܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Je, mnaweza kuwataka wale walioalikwa arusini wafunge hali bwana arusi yuko pamoja nao? \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܒܢܘܗܝ ܕܓܢܘܢܐ ܟܡܐ ܕܚܬܢܐ ܥܡܗܘܢ ܕܬܥܒܕܘܢ ܕܢܨܘܡܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wakamwuliza, \"Baba yako yuko wapi?\" Yesu akawajibu \"Ninyi hamnijui mimi wala hamumjui Baba. Kama mngenijua mimi, mngemjua na Baba yangu pia.\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܝܟܘ ܐܒܘܟ ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܘܠܐ ܠܝ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܠܐ ܠܐܒܝ ܐܠܘ ܠܝ ܝܕܥܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܐܦ ܠܐܒܝ ܝܕܥܝܢ ܗܘܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini baada ya zile siku tatu na nusu pumzi ya uhai kutoka kwa Mungu iliwaingia, nao wakasimama; wote waliowaona wakaingiwa na hofu kuu. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܘܦܠܓܗ ܪܘܚܐ ܚܝܬܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܥܠܬ ܒܗܘܢ ܘܩܡܘ ܥܠ ܪܓܠܝܗܘܢ ܘܪܘܚܐ ܕܚܝܐ ܢܦܠܬ ܥܠܝܗܘܢ ܘܕܚܠܬܐ ܪܒܬܐ ܗܘܬ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܚܙܝܢ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaambia pia, \"Sikilizeni kwa makini mnachosikia! Kipimo kilekile mnachowapimia watu wengine, ndicho mtakachopimiwa; tena mtazidishiwa. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܚܙܘ ܡܢܐ ܫܡܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܗܝ ܟܝܠܬܐ ܕܡܟܝܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܬܬܟܝܠ ܠܟܘܢ ܘܡܬܬܘܤܦ ܠܟܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܫܡܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu aliwaita miungu wale waliopewa neno lake; nasi twajua kwamba Maandiko Matakatifu yasema ukweli daima. \t ܐܢ ܠܗܢܘܢ ܐܡܪ ܐܠܗܐ ܡܛܠ ܕܠܘܬܗܘܢ ܗܘܬ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܠܐ ܡܫܟܚ ܟܬܒܐ ܕܢܫܬܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nakuamuru mbele ya Mungu, mbele ya Kristo Yesu, na mbele ya malaika watakatifu uyazingatie maagizo haya bila kuacha hata moja, wala kumpendelea mtu yeyote katika kila unachotenda. \t ܡܤܗܕ ܐܢܐ ܠܟ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܘܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܡܠܐܟܘܗܝ ܓܒܝܐ ܕܗܠܝܢ ܬܛܪ ܘܠܐ ܢܬܩܕܡ ܪܥܝܢܟ ܠܡܕܡ ܘܠܐ ܬܤܥܘܪ ܡܕܡ ܒܡܤܒ ܒܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, yule bwana akamsifu huyo karani asiye mwaminifu, kwa kuwa alitumia busara. Kwa maana watu wa dunia hii wana busara zaidi na mambo yao kuliko watu wa mwanga.\" \t ܘܫܒܚ ܡܪܢ ܠܪܒܝܬܐ ܕܥܘܠܐ ܕܚܟܝܡܐܝܬ ܥܒܕ ܒܢܘܗܝ ܓܝܪ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܚܟܝܡܝܢ ܐܢܘܢ ܡܢ ܒܢܘܗܝ ܕܢܘܗܪܐ ܒܫܪܒܬܗܘܢ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao watakapowatieni nguvuni na kuwapeleka mahakamani, msiwe na wasiwasi juu ya yale mtakayosema; saa ile itakapofika, semeni chochote mtakachopewa, maana si ninyi mtakaosema, bali Roho Mtakatifu. \t ܡܐ ܕܡܩܪܒܝܢ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܕܢܫܠܡܘܢܟܘܢ ܠܐ ܬܩܕܡܘܢ ܬܐܨܦܘܢ ܡܢܐ ܬܡܠܠܘܢ ܘܠܐ ܬܪܢܘܢ ܐܠܐ ܡܕܡ ܕܡܬܝܗܒ ܠܟܘܢ ܒܗܝ ܫܥܬܐ ܗܘ ܡܠܠܘ ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܐܢܬܘܢ ܡܡܠܠܝܢ ܐܠܐ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na katika maono ameona mtu aitwaye Anania akiingia ndani na kumwekea mikono ili apate kuona tena.\" \t ܚܙܐ ܒܚܙܘܐ ܠܓܒܪܐ ܕܫܡܗ ܚܢܢܝܐ ܕܥܠ ܘܤܡ ܥܠܘܗܝ ܐܝܕܐ ܐܝܟ ܕܢܬܦܬܚܢ ܥܝܢܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: Binadamu hataishi kwa mikate tu, ila kwa kila neno asemalo Mungu.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܟܬܝܒ ܕܠܐ ܗܘܐ ܒܠܚܡܐ ܒܠܚܘܕ ܚܝܐ ܒܪܢܫܐ ܐܠܐ ܒܟܠ ܡܠܐ ܕܢܦܩܐ ܡܢ ܦܘܡܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mtu yeyote ni dhaifu, nami pia ni dhaifu; mtu yeyote akikwazwa, nami pia huwa na wasiwasi. \t ܡܢܘ ܡܬܟܪܗ ܘܠܐ ܐܢܐ ܡܬܟܪܗ ܐܢܐ ܡܢܘ ܡܬܟܫܠ ܘܠܐ ܐܢܐ ܝܩܕ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, msiwadharau wale waliokatwa kama matawi! Na, hata kama kuna la kujivunia, kumbukeni kwamba si ninyi mnaoitegemeza mizizi, bali mizizi ndiyo inayowategemeza ninyi. \t ܠܐ ܬܫܬܒܗܪ ܥܠ ܤܘܟܐ ܐܢ ܕܝܢ ܡܫܬܒܗܪ ܐܢܬ ܠܐ ܗܘܐ ܐܢܬ ܫܩܝܠ ܠܗ ܠܥܩܪܐ ܐܠܐ ܗܘ ܥܩܪܐ ܫܩܝܠ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala msitoe hata sehemu moja ya miili yenu iwe chombo cha kutenda uovu na dhambi. Badala yake, jitoleeni ninyi wenyewe kwa Mungu kama watu waliofufuliwa kutoka wafu; toeni nafsi zenu zote kwa Mungu kwa ajili ya uadilifu. \t ܘܐܦ ܠܐ ܬܛܝܒܘܢ ܗܕܡܝܟܘܢ ܙܝܢܐ ܕܥܘܠܐ ܠܚܛܝܬܐ ܐܠܐ ܛܝܒܘ ܢܦܫܟܘܢ ܠܐܠܗܐ ܐܝܟ ܐܢܫܐ ܕܡܢ ܡܝܬܐ ܚܝܝܬܘܢ ܘܗܕܡܝܟܘܢ ܙܝܢܐ ܢܗܘܘܢ ܠܟܐܢܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo hili lilifanyika mara tatu, kisha ile shuka ikarudishwa juu mbinguni. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܗܘܬ ܬܠܬ ܙܒܢܝܢ ܘܐܬܥܠܝ ܠܗ ܡܐܢܐ ܠܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tito ni mwenzangu; tunafanya kazi pamoja kwa ajili yenu; lakini kuhusu hawa ndugu zetu wengine, wanaokuja pamoja nao, hao ni wajumbe wa makanisa, na utukufu kwa Kristo. \t ܐܢ ܗܟܝܠ ܛܛܘܤ ܫܘܬܦܐ ܗܘ ܕܝܠܝ ܘܡܥܕܪܢܐ ܒܟܘܢ ܘܐܢ ܐܚܝܢ ܐܚܪܢܐ ܫܠܝܚܐ ܐܢܘܢ ܕܥܕܬܐ ܕܫܘܒܚܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena Isaya anathubutu hata kusema: \"Wale ambao hawakunitafuta wamenipata; nimejionyesha kwao wasiouliza habari zangu.\" \t ܐܫܥܝܐ ܕܝܢ ܐܡܪܚ ܘܐܡܪ ܕܐܬܚܙܝܬ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܒܥܐܘܢܝ ܘܐܫܬܟܚܬ ܠܐܝܠܝܢ ܕܥܠܝ ܠܐ ܫܐܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Nakwambia wewe Petro, kabla jogoo hajawika leo utakuwa umenikana mara tatu.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܫܡܥܘܢ ܕܠܐ ܢܩܪܐ ܬܪܢܓܠܐ ܝܘܡܢܐ ܥܕܡܐ ܕܬܠܬ ܙܒܢܝܢ ܬܟܦܘܪ ܕܠܐ ܝܕܥ ܐܢܬ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yule malaika akawaambia wale wanawake, \"Ninyi msiogope! Najua kwamba mnamtafuta Yesu aliyesulubiwa. \t ܥܢܐ ܕܝܢ ܡܠܐܟܐ ܘܐܡܪ ܠܢܫܐ ܐܢܬܝܢ ܠܐ ܬܕܚܠܢ ܝܕܥ ܐܢܐ ܓܝܪ ܕܠܝܫܘܥ ܕܐܙܕܩܦ ܒܥܝܢ ܐܢܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao ni wajukuu wa mababu, naye Kristo, kadiri ya ubinadamu wake, ametoka katika ukoo wao. Mungu atawalaye juu ya yote, na atukuzwe milele! Amina. \t ܘܐܒܗܬܐ ܘܡܢܗܘܢ ܐܬܚܙܝ ܡܫܝܚܐ ܒܒܤܪ ܕܐܝܬܘܗܝ ܐܠܗܐ ܕܥܠ ܟܠ ܕܠܗ ܬܫܒܚܢ ܘܒܘܪܟܢ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Pilato akamwambia, \"Basi, wewe ni Mfalme?\" Yesu akajibu, \"Wewe umesema kwamba mimi ni Mfalme. Mimi nimezaliwa kwa ajili hiyo; na kwa ajili hiyo nimekuja ulimwenguni kuwaambia watu juu ya ukweli. Kila mtu wa ukweli hunisikiliza.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܦܝܠܛܘܤ ܡܕܝܢ ܡܠܟܐ ܐܢܬ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢܬ ܐܡܪܬ ܕܡܠܟܐ ܐܢܐ ܐܢܐ ܠܗܕܐ ܝܠܝܕ ܐܢܐ ܘܠܗܕܐ ܐܬܝܬ ܠܥܠܡܐ ܕܐܤܗܕ ܥܠ ܫܪܪܐ ܟܠ ܡܢ ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܢ ܫܪܪܐ ܫܡܥ ܩܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mwana wa Yohanani, mwana wa Resa, mwana wa Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, mwana wa Neri, \t ܒܪ ܝܘܚܢܢ ܒܪ ܪܤܐ ܒܪ ܙܘܪܒܒܠ ܒܪ ܫܠܬܐܝܠ ܒܪ ܢܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sipendi mfikiri kwamba nataka kuwatisha ninyi kwa barua zangu. \t ܡܗܡܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܠܐ ܐܤܬܒܪ ܐܝܟ ܗܘ ܕܡܕܚܠܘ ܡܕܚܠ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܒܐܓܪܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akawaambia, \"Mbona mu wapumbavu kiasi hicho na mioyo yenu ni mizito hivyo kusadiki yote yaliyonenwa na manabii? \t ܗܝܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܘ ܚܤܝܪܝ ܪܥܝܢܐ ܘܝܩܝܪܝ ܠܒܐ ܠܡܗܝܡܢܘ ܒܟܠܗܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܠܠܘ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata ndugu wengine Wayahudi walimuunga mkono Petro katika kitendo hiki cha unafiki, naye Barnaba akakumbwa na huo unafiki wao. \t ܘܐܬܪܡܝܘ ܗܘܘ ܥܡܗ ܠܗܕܐ ܐܦ ܫܪܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܗܟܢܐ ܕܐܦ ܒܪܢܒܐ ܐܬܕܒܪ ܗܘܐ ܠܡܤܒ ܒܐܦܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikwishamwambia huyo pepo mchafu amtoke mtu huyo. Pepo huyo mchafu alikuwa anamvamia mtu huyo mara nyingi, na ingawa watu walimweka ndani na kumfunga kwa minyororo na pingu, lakini kila mara alivivunja vifungo hivyo, akakimbizwa na pepo huyo mchafu hadi jangwani. \t ܦܩܕ ܗܘܐ ܠܗ ܓܝܪ ܝܫܘܥ ܠܪܘܚܐ ܛܢܦܐ ܠܡܦܩ ܡܢ ܒܪܢܫܐ ܤܓܝ ܗܘܐ ܓܝܪ ܙܒܢܐ ܡܢ ܕܫܒܐ ܗܘܐ ܠܗ ܘܡܬܐܤܪ ܗܘܐ ܒܫܫܠܬܐ ܘܒܟܒܠܐ ܡܬܢܛܪ ܗܘܐ ܘܡܦܤܩ ܗܘܐ ܐܤܘܪܘܗܝ ܘܡܬܕܒܪ ܗܘܐ ܡܢ ܫܐܕܐ ܠܚܘܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala hakumruhusu mtu yeyote kufuatana naye ila Petro, Yakobo na Yohane nduguye Yakobo. \t ܘܠܐ ܫܒܩ ܠܐܢܫ ܕܢܐܙܠ ܥܡܗ ܐܠܐ ܠܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܘܠܝܥܩܘܒ ܘܠܝܘܚܢܢ ܐܚܘܗܝ ܕܝܥܩܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akamsaidia kusimama, halafu akawaita wale watu wa Mungu na wale wajane, akamkabidhi kwao akiwa mzima. \t ܘܐܘܫܛ ܠܗ ܐܝܕܗ ܘܐܩܝܡܗ ܘܩܪܐ ܠܩܕܝܫܐ ܘܠܐܪܡܠܬܐ ܘܝܗܒܗ ܠܗܘܢ ܟܕ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kama watakaopewa hayo aliyoahidi Mungu ni wale tu wanaoitii Sheria, basi, imani haina maana yoyote, nayo ahadi ya Mungu si kitu. \t ܐܠܘ ܓܝܪ ܗܠܝܢ ܕܡܢ ܢܡܘܤܐ ܗܘܘ ܝܪܬܐ ܤܪܝܩܐ ܗܘܬ ܗܝܡܢܘܬܐ ܘܡܒܛܠ ܗܘܐ ܡܘܠܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na mmekuwa mkiwatendea hivyo ndugu zenu wote kila mahali katika Makedonia. Basi, ndugu tunawaombeni mfanye hata zaidi. \t ܐܦ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܟܢܐ ܠܟܠܗܘܢ ܐܚܐ ܕܒܟܠܗ ܡܩܕܘܢܝܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܡܢܟܘܢ ܐܚܝ ܕܬܬܝܬܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, watu hao wawili walipokuwa wakiondoka, Petro alimwambia Yesu, \"Bwana, ni vizuri kwamba tupo hapa: basi, tujenge vibanda vitatu: kimoja chako, kimoja cha Mose na kimoja cha Eliya.\" --Kwa kweli hakujua anasema nini. \t ܘܟܕ ܫܪܝܘ ܠܡܦܪܫ ܡܢܗ ܐܡܪ ܫܡܥܘܢ ܠܝܫܘܥ ܪܒܝ ܫܦܝܪ ܗܘ ܠܢ ܕܗܪܟܐ ܢܗܘܐ ܘܢܥܒܕ ܬܠܬ ܡܛܠܝܢ ܠܟ ܚܕܐ ܘܠܡܘܫܐ ܚܕܐ ܘܠܐܠܝܐ ܚܕܐ ܘܠܐ ܝܕܥ ܗܘܐ ܡܢܐ ܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nanyi wake, jiwekeni chini ya mamlaka ya waume zenu, ili kama wako waume wowote wasioamini neno la Mungu, wapate kuamini kwa kuuona mwenendo wenu. Haitakuwa lazima kwenu kusema neno, \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܢܬܝܢ ܢܫܐ ܐܫܬܥܒܕܝܢ ܠܒܥܠܝܟܝܢ ܕܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܬܛܦܝܤܝܢ ܠܡܠܬܐ ܒܕܘܒܪܝܟܝܢ ܫܦܝܪܐ ܕܠܐ ܥܡܠܐ ܬܩܢܝܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawatuma Bethlehemu akisema, \"Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo. Mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu.\" \t ܘܫܕܪ ܐܢܘܢ ܠܒܝܬ ܠܚܡ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘ ܥܩܒܘ ܥܠ ܛܠܝܐ ܚܦܝܛܐܝܬ ܘܡܐ ܕܐܫܟܚܬܘܢܝܗܝ ܬܘ ܚܘܐܘܢܝ ܕܐܦ ܐܢܐ ܐܙܠ ܐܤܓܘܕ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na Mungu ampaye mkulima mbegu na mkate kwa chakula, atawapa ninyi pia mbegu mnazohitaji, na atazifanya ziote, ziwe na kuwapa mavuno mengi ya ukarimu wenu. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܝܗܒ ܙܪܥܐ ܠܙܪܘܥܐ ܘܠܚܡܐ ܠܡܐܟܘܠܬܐ ܗܘ ܢܬܠ ܘܢܤܓܐ ܙܪܥܟܘܢ ܘܢܪܒܐ ܦܐܪܐ ܕܙܕܝܩܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kadhalika, wahimize vijana wawe na kiasi. \t ܘܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܛܠܝܢ ܗܟܢܐ ܒܥܝ ܕܢܗܘܘܢ ܢܟܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, joka hilo kuu likatupwa nje. Joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia Ibilisi au Shetani. Ndiye anayeudanganya ulimwengu wote. Naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye. \t ܘܐܬܪܡܝ ܬܢܝܢܐ ܪܒܐ ܗܘ ܚܘܝܐ ܪܫܐ ܗܘ ܕܡܬܩܪܐ ܐܟܠܩܪܨܐ ܘܤܛܢܐ ܗܘ ܕܐܛܥܝ ܠܟܠܗ ܐܪܥܐ ܘܐܬܪܡܝ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܡܠܐܟܘܗܝ ܥܡܗ ܐܬܪܡܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usikubali kushindwa na ubaya, bali ushinde ubaya kwa wema. \t ܠܐ ܬܙܟܝܟܘܢ ܒܝܫܬܐ ܐܠܐ ܙܟܐܘܗ ܠܒܝܫܬܐ ܒܛܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, \"Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?\" \t ܘܕܚܠܘ ܕܚܠܬܐ ܪܒܬܐ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܚܕ ܠܚܕ ܡܢܘ ܟܝ ܗܢܐ ܕܪܘܚܐ ܘܝܡܐ ܡܫܬܡܥܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wazazi wake wakajibu, \"Tunajua kwamba huyu ni mtoto wetu, na kwamba alizaliwa kipofu. \t ܥܢܘ ܕܝܢ ܐܒܗܘܗܝ ܘܐܡܪܘ ܝܕܥܝܢܢ ܕܗܢܘ ܒܪܢ ܘܕܟܕ ܤܡܐ ܐܬܝܠܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maneno mengine: yule anayeamua kumwoa huyo mchumba wake anafanya vema; naye anayeamua kutomwoa anafanya vema zaidi. \t ܘܐܝܢܐ ܗܟܝܠ ܕܝܗܒ ܒܬܘܠܬܗ ܫܦܝܪ ܥܒܕ ܘܐܝܢܐ ܕܠܐ ܝܗܒ ܒܬܘܠܬܗ ܝܬܝܪܐܝܬ ܫܦܝܪ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Sasa ndugu zangu, nafahamu kwamba ninyi na wakuu wenu mlitenda hayo kwa sababu ya kutojua kwenu. \t ܒܪܡ ܗܫܐ ܐܚܝ ܝܕܥ ܐܢܐ ܕܒܛܘܥܝܝ ܥܒܕܬܘܢ ܗܕܐ ܐܝܟ ܕܥܒܕܘ ܪܫܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaambia, \"Hii ni damu yangu inayothibitisha agano la Mungu, damu inayomwagwa kwa ajili ya watu wengi. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܢܘ ܕܡܝ ܕܕܝܬܩܐ ܚܕܬܐ ܕܚܠܦ ܤܓܝܐܐ ܡܬܐܫܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini tukiishi katika mwanga, kama naye alivyo katika mwanga, basi tutakuwa na umoja sisi kwa sisi, na damu yake Yesu Kristo, Mwanae, inatutakasa dhambi zote. \t ܐܢ ܕܝܢ ܒܢܘܗܪܐ ܡܗܠܟܝܢܢ ܐܝܟ ܕܗܘ ܐܝܬܘܗܝ ܒܢܘܗܪܐ ܐܝܬ ܠܢ ܫܘܬܦܘܬܐ ܥܡ ܚܕܕܐ ܘܕܡܐ ܕܝܫܘܥ ܒܪܗ ܡܕܟܐ ܠܢ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܚܛܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Kama tu ungalijua zawadi ya Mungu na ni nani anayekwambia: Nipatie maji ninywe, ungalikwisha mwomba, naye angekupa maji yaliyo hai.\" \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܠܘ ܝܕܥܐ ܗܘܝܬܝ ܡܘܗܒܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܡܢܘ ܗܢܐ ܕܐܡܪ ܠܟܝ ܗܒ ܠܝ ܐܫܬܐ ܐܢܬܝ ܫܐܠܐ ܗܘܝܬܝ ܠܗ ܘܝܗܒ ܗܘܐ ܠܟܝ ܡܝܐ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nanyi wazazi, msiwachukize watoto wenu, la sivyo watakata tamaa. \t ܐܒܗܐ ܠܐ ܬܪܓܙܘܢ ܒܢܝܟܘܢ ܕܠܐ ܢܬܬܥܝܩܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, alitoka Galilaya, akaenda katika mkoa wa Yudea, ng'ambo ya mto Yordani. \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܫܠܡ ܝܫܘܥ ܡܠܐ ܗܠܝܢ ܫܩܠ ܡܢ ܓܠܝܠܐ ܘܐܬܐ ܠܬܚܘܡܐ ܕܝܗܘܕ ܠܥܒܪܐ ܕܝܘܪܕܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu wa babu zetu alimfufua Yesu baada ya ninyi kumwua kwa kumtundika msalabani. \t ܐܠܗܐ ܕܐܒܗܬܢ ܐܩܝܡ ܠܝܫܘܥ ܐܝܢܐ ܕܐܢܬܘܢ ܩܛܠܬܘܢ ܟܕ ܬܠܝܬܘܢܝܗܝ ܥܠ ܩܝܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana nawaambieni, haya maneno ya Maandiko Matakatifu: Aliwekwa kundi moja na wahalifu, ni lazima yatimie. Naam, yale yanayonihusu yanafikia ukamilifu wake.\" \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܕܐܦ ܗܕܐ ܕܟܬܝܒܐ ܘܠܐ ܕܬܬܡܠܐ ܒܝ ܕܥܡ ܥܘܠܐ ܐܬܡܢܐ ܟܠܗܝܢ ܓܝܪ ܕܥܠܝ ܐܫܬܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndivyo alivyopenda kuonyesha kwa watu wa nyakati za baadaye, ukuu wa neema yake aliyotujalia kwa ukarimu katika kuungana kwetu na Kristo Yesu. \t ܕܢܚܘܐ ܠܥܠܡܐ ܕܐܬܝܢ ܪܒܘܬܐ ܕܥܘܬܪܐ ܕܛܝܒܘܬܗ ܘܒܤܝܡܘܬܗ ܕܗܘܬ ܥܠܝܢ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu, je, mti wa mtini waweza kuzaa zeituni? Au, mzabibu waweza kuzaa tini? Chemchemi ya maji ya chumvi haiwezi kutoa maji matamu. \t ܐܘ ܕܠܡܐ ܡܫܟܚܐ ܬܬܐ ܐܚܝ ܕܙܝܬܐ ܬܥܒܕ ܐܘ ܓܦܬܐ ܬܐܢܐ ܗܟܢܐ ܐܦ ܠܐ ܡܝܐ ܡܠܝܚܐ ܡܫܟܚܝܢ ܕܢܬܥܒܕܘܢ ܚܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "aliwatuma kwa Bwana wamwulize: \"Wewe ndiye yule ajaye, au tumtazamie mwingine?\" \t ܘܩܪܐ ܝܘܚܢܢ ܠܬܪܝܢ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܫܕܪ ܐܢܘܢ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܐܢܬ ܗܘ ܗܘ ܕܐܬܐ ܐܘ ܠܐܚܪܝܢ ܗܘ ܡܤܟܝܢ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Daima twapata taabu, lakini hatugandamizwi; twapata mashaka, lakini hatukati tamaa; \t ܒܟܠܡܕܡ ܓܝܪ ܡܬܐܠܨܝܢܢ ܐܠܐ ܠܐ ܡܬܚܢܩܝܢܢ ܡܬܛܪܦܝܢܢ ܐܠܐ ܠܐ ܚܝܒܝܢ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ikiwa nimepatikana na kosa linalostahili adhabu ya kifo, siombi kusamehewa adhabu hiyo. Lakini kama hakuna ukweli katika mashtaka waliyotoa watu hawa, hakuna awezaye kunikabidhi kwao. Nakata rufani kwa Kaisari!\" \t ܘܐܢ ܤܟܠܘܬܐ ܥܒܝܕܐ ܠܝ ܐܘ ܡܕܡ ܕܫܘܐ ܠܡܘܬܐ ܠܐ ܡܫܬܐܠ ܐܢܐ ܡܢ ܡܘܬܐ ܐܢ ܕܝܢ ܠܝܬ ܡܕܡ ܨܐܕܝ ܡܢ ܗܠܝܢ ܕܡܩܛܪܓܝܢ ܠܝ ܠܐ ܐܢܫ ܝܗܒ ܠܝ ܠܗܘܢ ܡܘܗܒܬ ܒܓܢܘܗܝ ܕܩܤܪ ܩܪܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkuu wa mkoa akawauliza, \"Ni yupi kati ya hawa wawili mnayetaka nimfungue?\" Wakamjibu, \"Baraba!\" \t ܘܥܢܐ ܗܓܡܘܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܡܢ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܫܪܐ ܠܟܘܢ ܡܢ ܬܪܝܗܘܢ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܘ ܠܒܪ ܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Niliwatesa hata kuwaua wale watu waliofuata Njia hii. Niliwatia nguvuni wanaume kwa wanawake na kuwafunga gerezani. \t ܘܠܗܕܐ ܐܘܪܚܐ ܪܕܦܬ ܥܕܡܐ ܠܡܘܬܐ ܟܕ ܐܤܪ ܗܘܝܬ ܘܡܫܠܡ ܗܘܝܬ ܠܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܓܒܪܐ ܘܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutoka huko tuliendelea na safari, lakini kwa kuwa upepo ulikuwa unavuma kwa kasi kutujia kwa mbele, tulipitia upande wa kisiwa cha Kupro ambapo upepo haukuwa mwingi. \t ܘܡܢ ܬܡܢ ܪܕܝܢ ܘܡܛܠ ܕܪܘܚܐ ܤܩܘܒܠܢ ܗܘܝ ܐܬܟܪܟܢ ܥܠ ܩܘܦܪܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote wakala, wakashiba. Kisha wanafunzi wakakusanya mabaki, wakajaza vikapu kumi na viwili. \t ܘܐܟܠܘ ܟܠܗܘܢ ܘܤܒܥܘ ܘܫܩܠܘ ܬܘܬܪܐ ܕܩܨܝܐ ܬܪܥܤܪ ܩܘܦܝܢܝܢ ܟܕ ܡܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Timotheo, tunza salama yote yale uliyokabidhiwa. Jiepushe na majadiliano ya kidunia na ubishi wa kipumbavu juu ya kile wanachokiita watu wengine: \"Elimu\". \t ܐܘ ܛܝܡܬܐܐ ܐܙܕܗܪ ܒܡܕܡ ܕܐܬܓܥܠ ܠܟ ܘܥܪܘܩ ܡܢ ܒܢܬ ܩܠܐ ܤܪܝܩܬܐ ܘܡܢ ܗܦܟܬܐ ܕܝܕܥܬܐ ܕܓܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo nikawaona malaika wanne wamesimama katika pembe nne za dunia wakishika pepo nne za dunia ili upepo usivume hata kidogo: wala katika nchi, wala baharini, wala kwenye miti. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܗܕܐ ܚܙܝܬ ܐܪܒܥܐ ܡܠܐܟܝܢ ܩܝܡܝܢ ܥܠ ܐܪܒܥ ܙܘܝܬܗ ܕܐܪܥܐ ܘܐܚܝܕܝܢ ܠܐܪܒܥܬ ܪܘܚܐ ܕܠܐ ܢܫܒ ܪܘܚܐ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܠܐ ܥܠ ܝܡܐ ܘܠܐ ܥܠ ܟܠ ܐܝܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tuache kuhukumiana, bali tuazimie kutokuwa kamwe kikwazo kwa ndugu yetu au kumsababisha aanguke katika dhambi. \t ܠܐ ܡܟܝܠ ܢܕܘܢ ܚܕ ܠܚܕ ܐܠܐ ܗܕܐ ܕܘܢܘ ܝܬܝܪܐܝܬ ܕܬܘܩܠܬܐ ܠܐܚܘܟ ܠܐ ܬܤܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwani hawakuweza kustahimili amri iliyotolewa: \"Atakayegusa mlima huu, hata kama ni mnyama, atapigwa mawe.\" \t ܠܐ ܓܝܪ ܡܫܟܚܝܢ ܗܘܘ ܠܡܤܝܒܪܘ ܡܕܡ ܕܐܬܦܩܕܘ ܕܐܦܢ ܚܝܘܬܐ ܬܬܩܪܒ ܠܘܬ ܛܘܪܐ ܬܬܪܓܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na taratibu hizo Roho Mtakatifu anafundisha wazi kwamba wakati ile hema ya nje ingali ipo imesimama, njia ya kuingia Mahali Patakatifu haijafunguliwa. \t ܒܗܕܐ ܕܝܢ ܡܘܕܥܐ ܗܘܬ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܕܠܐ ܐܬܓܠܝܬ ܥܕܟܝܠ ܐܘܪܚܐ ܕܩܕܝܫܐ ܟܡܐ ܙܒܢܐ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܩܝܡܐ ܠܡܫܟܢܐ ܩܕܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, ni shauri langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. Je, ninyi hampaswi kuwahukumu wale walio katika jamii yenu ninyi wenyewe? \t ܡܐ ܠܝ ܓܝܪ ܠܡܕܢ ܠܒܪܝܐ ܐܢܬܘܢ ܠܕܠܓܘ ܕܘܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yatosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumishi kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mkubwa wa jamaa Beelzebuli, je hawatawaita watu wengine wa jamaa hiyo majina mabaya zaidi? \t ܤܦܩ ܠܗ ܠܬܠܡܝܕܐ ܕܢܗܘܐ ܐܝܟ ܪܒܗ ܘܠܥܒܕܐ ܐܝܟ ܡܪܗ ܐܢ ܠܡܪܗ ܕܒܝܬܐ ܩܪܘ ܒܥܠܙܒܘܒ ܚܕ ܟܡܐ ܠܒܢܝ ܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mahali kutakuwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi, kutakuwa na njaa na tauni. Kutakuwa na vituko vya kutisha na ishara kubwa angani. \t ܘܙܘܥܐ ܪܘܪܒܐ ܢܗܘܘܢ ܒܕܘܟܐ ܕܘܟܐ ܘܟܦܢܐ ܘܡܘܬܢܐ ܘܢܗܘܝܢ ܕܚܠܬܐ ܘܤܘܪܕܐ ܘܐܬܘܬܐ ܪܘܪܒܬܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܢܬܚܙܝܢ ܘܤܬܘܐ ܪܘܪܒܐ ܢܗܘܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata kama nikinena lugha za watu na hata za malaika, lakini kama sina upendo mimi nimekuwa tu kama sauti ya debe tupu au kengele. \t ܐܢ ܒܟܠ ܠܫܢ ܕܒܢܝܢܫܐ ܐܡܠܠ ܘܒܕܡܠܐܟܐ ܘܚܘܒܐ ܠܐ ܢܗܘܐ ܒܝ ܗܘܝܬ ܠܝ ܢܚܫܐ ܕܙܐܡ ܐܘ ܨܨܠܐ ܕܝܗܒ ܩܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna mtu yeyote aliyeweza kumjibu neno. Na tangu siku hiyo hakuna aliyethubutu tena kumwuliza swali. \t ܐܢ ܗܟܝܠ ܕܘܝܕ ܩܪܐ ܠܗ ܡܪܝܐ ܐܝܟܢܐ ܒܪܗ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, twataka mjue ukweli kuhusu wale ambao wamekwisha fariki dunia, ili msipatwe na huzuni kama watu wengine wasio na matumaini. \t ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܬܕܥܘܢ ܐܚܝ ܕܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܕܡܟܝܢ ܠܐ ܬܗܘܐ ܟܪܝܐ ܠܟܘܢ ܐܝܟ ܫܪܟܐ ܕܐܢܫܐ ܕܤܒܪܐ ܠܝܬ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hivyo, Abrahamu alihama nchi ya Kaldayo, akaenda kukaa Harani. Baada ya kifo cha baba yake, Mungu alimtoa tena Harani akaja kukaa katika nchi hii mnayokaa sasa. \t ܘܗܝܕܝܢ ܢܦܩ ܐܒܪܗܡ ܡܢ ܐܪܥܐ ܕܟܠܕܝܐ ܘܐܬܐ ܥܡܪ ܒܚܪܢ ܘܡܢ ܬܡܢ ܟܕ ܡܝܬ ܐܒܘܗܝ ܫܢܝܗ ܐܠܗܐ ܠܐܪܥܐ ܗܕܐ ܕܒܗ ܥܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܝܘܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ukuta huo ulikuwa umejengwa kwa mawe mekundu ya thamani, na mji wenyewe ulikuwa umejengwa kwa dhahabu safi, angavu kama kioo. \t ܘܕܘܡܤܐ ܕܫܘܪܗ ܝܫܦܗ ܘܡܕܝܢܬܐ ܕܕܗܒܐ ܕܟܝܐ ܒܕܡܘܬܐ ܕܙܓܘܓܝܬܐ ܕܟܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao wenyewe wameamua kufanya hivyo; lakini, kwa kweli, hilo ni jukumu lao kwa hao. Maana, ikiwa watu wa mataifa mengine wameshiriki baraka za kiroho za Wayahudi, wanapaswa nao pia kuwahudumia Wayahudi katika mahitaji yao ya kidunia. \t ܨܒܘ ܡܛܠ ܕܐܦ ܚܝܒܝܢ ܠܗܘܢ ܐܢ ܓܝܪ ܒܕܪܘܚ ܐܫܬܘܬܦܘ ܥܡܗܘܢ ܥܡܡܐ ܚܝܒܝܢ ܐܢܘܢ ܕܐܦ ܒܕܒܤܪ ܢܫܡܫܘܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakafika tena Yerusalemu. Yesu alipokuwa akitembea Hekaluni, makuhani wakuu, walimu wa Sheria na wazee walimwendea, \t ܘܐܬܘ ܬܘܒ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܟܕ ܡܗܠܟ ܗܘܐ ܒܗܝܟܠܐ ܐܬܘ ܠܘܬܗ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܤܦܪܐ ܘܩܫܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akamshika mkono, akamwambia, \"Talitha, kumi,\" maana yake, \"Msichana, nakwambia, amka!\" \t ܘܐܚܕ ܒܐܝܕܗ ܕܛܠܝܬܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܛܠܝܬܐ ܩܘܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, nimeona ni lazima kuwaomba hawa ndugu watutangulie kuja kwenu, wapate kuweka tayari zawadi yenu kubwa mliyoahidi; nayo ionyeshe kweli kwamba ni zawadi iliyotolewa kwa hiari na si kwa kulazimishwa. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܬܒܛܠ ܠܝ ܕܐܒܥܐ ܡܢ ܐܚܝ ܗܠܝܢ ܕܢܐܬܘܢ ܩܕܡܝ ܠܘܬܟܘܢ ܘܢܥܬܕܘܢ ܒܘܪܟܬܐ ܗܝ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܐܫܬܡܥܬܘܢ ܕܬܗܘܐ ܡܛܝܒܐ ܗܟܢܐ ܐܝܟ ܒܘܪܟܬܐ ܠܐ ܗܘܐ ܐܝܟ ܝܥܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kuwaangazia wote wanaokaa katika giza kuu la kifo, aongoze hatua zetu katika njia ya amani.\" \t ܠܡܢܗܪܘ ܠܐܝܠܝܢ ܕܒܚܫܘܟܐ ܘܒܛܠܠܐ ܕܡܘܬܐ ܝܬܒܝܢ ܕܢܬܪܘܨ ܪܓܠܝܢ ܒܐܘܪܚܐ ܕܫܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Roho Mtakatifu na sisi tumekubali tusiwatwike mzigo zaidi ya mambo haya muhimu: \t ܗܘܐ ܓܝܪ ܨܒܝܢܐ ܠܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܘܐܦ ܠܢ ܕܠܐ ܢܬܬܤܝܡ ܥܠܝܟܘܢ ܝܘܩܪܐ ܝܬܝܪܐ ܠܒܪ ܡܢ ܗܠܝܢ ܕܐܠܨܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Unapozikwa ni mwili wa kawaida, unapofufuliwa ni mwili wa kiroho. Kuna mwili wa kawaida na kutakuwa na mwili wa kiroho. \t ܡܙܕܪܥܝܢ ܦܓܪܐ ܢܦܫܢܝܐ ܩܐܡ ܦܓܪܐ ܪܘܚܢܝܐ ܐܝܬ ܓܝܪ ܦܓܪܐ ܕܢܦܫ ܘܐܝܬ ܦܓܪܐ ܕܪܘܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Babu zetu waliabudu juu ya mlima huu, lakini ninyi mwasema kwamba mahali pa kumwabudu Mungu ni kule Yerusalemu.\" \t ܐܒܗܝܢ ܒܗܢܐ ܛܘܪܐ ܤܓܕܘ ܘܐܢܬܘܢ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܒܐܘܪܫܠܡ ܗܘ ܐܬܪ ܕܘܠܐ ܠܡܤܓܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wawili watakuwa shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa. \t ܬܪܝܢ ܢܗܘܘܢ ܒܚܩܠܐ ܚܕ ܢܬܕܒܪ ܘܐܚܪܢܐ ܢܫܬܒܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa hiyo makuhani wakuu na Mafarisayo wakafanya kikao cha Baraza kuu, wakasema, \"Tufanye nini? Mtu huyu anafanya ishara nyingi mno. \t ܘܐܬܟܢܫܘ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܦܪܝܫܐ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܡܢܐ ܢܥܒܕ ܕܗܢܐ ܓܒܪܐ ܐܬܘܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kukaa huko siku kadhaa, nabii mmoja aitwaye Agabo alifika kutoka Yudea. \t ܘܟܕ ܐܝܬܝܢ ܬܡܢ ܝܘܡܬܐ ܤܓܝܐܐ ܢܚܬ ܗܘܐ ܡܢ ܝܗܘܕ ܢܒܝܐ ܚܕ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܐܓܒܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Fikira za mwili huleta kifo; fikira za Roho huleta uzima na amani. \t ܬܪܥܝܬܐ ܓܝܪ ܕܒܤܪܐ ܡܘܬܐ ܗܘ ܘܬܪܥܝܬܐ ܕܪܘܚܐ ܚܝܐ ܘܫܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara nyingine mlitukanwa na kufedheheshwa hadharani; mara nyingine mlikuwa radhi kuungana na wale walioteswa namna hiyohiyo. \t ܘܕܗܘܝܬܘܢ ܚܙܘܢܐ ܘܐܦ ܐܫܬܘܬܦܬܘܢ ܠܐܢܫܐ ܕܗܠܝܢ ܤܝܒܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kama akimwomba yai, je, atampa ng'e? \t ܘܐܢ ܒܪܬܐ ܢܫܐܠܝܘܗܝ ܠܡܐ ܗܘ ܥܩܪܒܐ ܡܘܫܛ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tulipokuwa pamoja nanyi tulikuwa tukiwaambieni, \"Mtu asiyefanya kazi, asile.\" \t ܐܦ ܟܕ ܠܘܬܟܘܢ ܗܘܝܢ ܓܝܪ ܗܕܐ ܡܦܩܕܝܢ ܗܘܝܢ ܠܟܘܢ ܕܟܠ ܕܠܐ ܨܒܐ ܕܢܦܠܘܚ ܐܦܠܐ ܢܠܥܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kusema hayo, akawaonyesha mikono na miguu. \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܚܘܝ ܐܢܘܢ ܐܝܕܘܗܝ ܘܪܓܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanawake wanapaswa kukaa kimya na kuwa wanyenyekevu wakati wa kujifunza. \t ܐܢܬܬܐ ܒܫܠܝܐ ܗܘܬ ܝܠܦܐ ܒܟܠ ܫܘܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Paulo akasema, \"Ubatizo wa Yohane ulikuwa wa kuonyesha kwamba watu wametubu. Yohane aliwaambia watu wamwamini yule ambaye alikuwa anakuja baada yake, yaani Yesu.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܦܘܠܘܤ ܝܘܚܢܢ ܐܥܡܕ ܡܥܡܘܕܝܬܐ ܕܬܝܒܘܬܐ ܠܥܡܐ ܟܕ ܐܡܪ ܗܘܐ ܕܢܗܝܡܢܘܢ ܒܐܝܢܐ ܕܐܬܐ ܒܬܪܗ ܕܐܝܬܘܗܝ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayeyasikia maneno yangu lakini hayashiki mimi sitamhukumu; maana sikuja kuhukumu ulimwengu bali kuuokoa. \t ܘܡܢ ܕܫܡܥ ܡܠܝ ܘܠܐ ܢܛܪ ܠܗܝܢ ܐܢܐ ܠܐ ܕܐܢ ܐܢܐ ܠܗ ܠܐ ܓܝܪ ܐܬܝܬ ܕܐܕܘܢ ܠܥܠܡܐ ܐܠܐ ܕܐܚܐ ܠܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu. \t ܘܤܪܝܩܐܝܬ ܕܚܠܝܢ ܠܝ ܟܕ ܡܠܦܝܢ ܝܘܠܦܢܐ ܕܦܘܩܕܢܐ ܕܒܢܝ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yuda, ambaye ndiye aliyetaka kumsaliti, akamwuliza, \"Mwalimu! Je, ni mimi?\" Yesu akamjibu, \"Wewe umesema.\" \t ܥܢܐ ܝܗܘܕܐ ܡܫܠܡܢܐ ܘܐܡܪ ܕܠܡܐ ܐܢܐ ܗܘ ܪܒܝ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢܬ ܐܡܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakawajibu, \"Bwana anamhitaji.\" \t ܘܐܡܪܘ ܠܗܘܢ ܕܠܡܪܢ ܡܬܒܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, acheni mwenendo wenu wa awali, yaani ule utu wenu wa kale uliokuwa unaangamizwa kwa tamaa zake danganyifu. \t ܐܠܐ ܕܬܢܝܚܘܢ ܡܢܟܘܢ ܗܘܦܟܝܟܘܢ ܩܕܡܝܐ ܠܒܪܢܫܐ ܗܘ ܥܬܝܩܐ ܕܡܬܚܒܠ ܒܪܓܝܓܬܐ ܕܛܘܥܝܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao wazazi walipokwisha fanya yote yaliyoamriwa na Sheria ya Bwana, walirudi makwao Nazareti, mkoani Galilaya. \t ܘܟܕ ܫܠܡܘ ܟܠ ܡܕܡ ܐܝܟ ܕܒܢܡܘܤܐ ܕܡܪܝܐ ܗܦܟܘ ܠܓܠܝܠܐ ܠܢܨܪܬ ܡܕܝܢܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mtu yeyote asimkosee au kumpunja mwenzake kuhusu jambo hili. Tulikwisha waambieni hayo na kuwaonya kwamba Bwana atawaadhibu wanaofanya mambo hayo. \t ܘܠܐ ܬܗܘܘܢ ܡܫܝܚܝܢ ܠܡܥܒܪ ܘܠܡܥܠܒ ܐܢܫ ܠܐܚܘܗܝ ܒܗܕܐ ܨܒܘܬܐ ܡܛܠ ܕܡܪܢ ܗܘ ܬܒܘܥܐ ܥܠ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܡܢ ܩܕܡ ܙܒܢܐ ܐܡܪܢ ܠܟܘܢ ܘܤܗܕܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo hili ni kweli. Ninakutaka uyatilie mkazo mambo haya, ili wale wanaomwamini Mungu, wawe na hamu ya kuutumia wakati wao katika kutenda mema, ambayo ni mambo mazuri na ya manufaa kwa watu. \t ܡܗܝܡܢܐ ܗܝ ܡܠܬܐ ܘܒܗܠܝܢ ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܐܦ ܐܢܬ ܗܘܝܬ ܡܫܪܪ ܠܗܘܢ ܕܢܬܒܛܠ ܠܗܘܢ ܠܡܦܠܚ ܥܒܕܐ ܛܒܐ ܐܝܠܝܢ ܕܗܝܡܢܘ ܒܐܠܗܐ ܗܠܝܢ ܐܢܝܢ ܛܒܢ ܘܡܘܬܪܢ ܠܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na tena, Watakuchukua mikononi mwao usije ukajikwaa mguu wako kwenye jiwe.\" \t ܘܥܠ ܕܪܥܝܗܘܢ ܢܫܩܠܘܢܟ ܕܠܐ ܬܬܩܠ ܪܓܠܟ ܒܟܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Aliye na masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! \"Wale wanaoshinda nitawapa ile mana iliyofichika. Nitawapa pia jiwe jeupe lililoandikwa jina jipya ambalo hakuna mtu aliyelijua isipokuwa tu wale wanaolipokea. \t ܘܕܐܝܬ ܠܗ ܐܕܢܐ ܢܫܡܥ ܡܢܐ ܪܘܚܐ ܡܡܠܠ ܠܥܕܬܐ ܕܠܕܙܟܐ ܐܬܠ ܡܢ ܡܢܢܐ ܗܘ ܕܡܛܫܝ ܘܐܬܠ ܠܗ ܚܘܫܒܢܐ ܚܘܪܐ ܘܥܠ ܚܘܫܒܢܐ ܫܡܐ ܚܕܬܐ ܕܟܬܒܐ ܕܠܐ ܐܢܫ ܝܕܥ ܐܠܐ ܗܘ ܕܢܤܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hawakufaulu kumnasa kwa neno lolote pale mbele ya watu na hivyo wakakaa kimya wakilistaajabia jibu lake. \t ܘܠܐ ܐܫܟܚܘ ܠܡܐܚܕ ܡܢܗ ܡܠܬܐ ܩܕܡ ܥܡܐ ܘܐܬܕܡܪܘ ܥܠ ܦܬܓܡܗ ܘܫܬܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bila shaka mlikwisha sikia jinsi nilivyokuwa ninaishi zamani kwa kuzingatia dini ya Kiyahudi, na jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kupita kiasi na kutaka kuliharibu kabisa. \t ܫܡܥܬܘܢ ܓܝܪ ܗܘܦܟܝ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܕܒܝܗܘܕܝܘܬܐ ܕܝܬܝܪܐܝܬ ܪܕܦ ܗܘܝܬ ܥܕܬܗ ܕܐܠܗܐ ܘܚܪܒ ܗܘܝܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadaye Elisabeti mkewe akapata mimba. Akajificha nyumbani kwa muda wa miezi mitano, akisema: \t ܘܗܘܐ ܡܢ ܒܬܪ ܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܒܛܢܬ ܐܠܝܫܒܥ ܐܢܬܬܗ ܘܡܛܫܝܐ ܗܘܬ ܢܦܫܗ ܝܪܚܐ ܚܡܫܐ ܘܐܡܪܐ ܗܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika na sisi tulipokuwa bado watoto, tulikuwa watumwa wa pepo watawala wa ulimwengu. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܚܢܢ ܟܕ ܝܠܘܕܐ ܗܘܝܢ ܬܚܝܬ ܐܤܛܘܟܤܘܗܝ ܕܥܠܡܐ ܡܫܥܒܕܝܢ ܗܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, hao wenyewe waliotahiriwa hawaishiki Sheria; huwataka ninyi mtahiriwe wapate kujivunia alama hiyo mwilini mwenu. \t ܐܦܠܐ ܓܝܪ ܗܢܘܢ ܗܠܝܢ ܕܓܙܪܝܢ ܢܛܪܝܢ ܢܡܘܤܐ ܐܠܐ ܨܒܝܢ ܕܬܬܓܙܪܘܢ ܕܒܒܤܪܟܘܢ ܕܝܠܟܘܢ ܢܫܬܒܗܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Mafarisayo wakaambiana, \"Mnaona? Hatuwezi kufanya chochote! Tazameni, ulimwengu wote unamfuata.\" \t ܦܪܝܫܐ ܕܝܢ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܚܕ ܠܚܕ ܚܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܠܐ ܡܘܬܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܕܡ ܕܗܐ ܥܠܡܐ ܟܠܗ ܐܙܠ ܠܗ ܒܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nikamsikia malaika msimamizi wa maji akisema, \"Ewe mtakatifu, Uliyeko na uliyekuwako! Wewe ni mwenye haki katika hukumu hii uliyotoa. \t ܘܫܡܥܬ ܠܡܠܐܟܐ ܕܡܝܐ ܕܐܡܪ ܙܕܝܩ ܐܢܬ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܘܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܘܚܤܝܐ ܕܗܠܝܢ ܕܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na sasa mwamngojea Mwanae ashuke kutoka mbinguni, Yesu, ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu, na ambaye anatuokoa katika ghadhabu ya Mungu inayokuja. \t ܟܕ ܡܤܟܝܬܘܢ ܠܒܪܗ ܡܢ ܫܡܝܐ ܠܝܫܘܥ ܗܘ ܕܐܩܝܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܕܗܘ ܡܦܨܐ ܠܢ ܡܢ ܪܘܓܙܐ ܕܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakatuomba lakini kitu kimoja: tuwakumbuke maskini; jambo ambalo nimekuwa nikijitahidi kutekeleza. \t ܒܠܚܘܕ ܕܠܡܤܟܢܐ ܗܘܝܢ ܥܗܕܝܢܢ ܘܐܬܒܛܠ ܠܝ ܕܗܝ ܗܕܐ ܐܥܒܕܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mto huo ulitiririka kupitia katikati ya barabara kuu ya mji. Kandokando ya mto huo kulikuwa na mti wa uzima unaozaa matunda mara kumi na mbili kwa mwaka, yaani kila mwezi; na majani yake ni dawa ya kuwaponya watu wa mataifa. \t ܘܡܨܥܬ ܫܘܩܝܗ ܡܟܐ ܘܡܟܐ ܥܠ ܢܗܪܐ ܩܝܤܐ ܕܚܝܐ ܕܥܒܕ ܦܐܪܐ ܬܪܥܤܪ ܘܒܟܠ ܝܪܚ ܝܗܒ ܦܐܪܘܗܝ ܘܛܪܦܘܗܝ ܠܐܤܝܘܬܐ ܕܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya Paulo na Barnabas kuhubiri Habari Njema huko Derbe na kupata wafuasi wengi, walifunga safari kwenda Antiokia kwa kupitia Lustra na Ikonio. \t ܘܟܕ ܡܤܒܪܝܢ ܗܘܘ ܠܒܢܝ ܡܕܝܢܬܐ ܗܝ ܬܠܡܕܘ ܗܘܘ ܠܤܓܝܐܐ ܘܗܦܟܘ ܐܬܘ ܠܗܘܢ ܠܠܘܤܛܪܐ ܡܕܝܢܬܐ ܘܠܐܝܩܢܘܢ ܘܠܐܢܛܝܟܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akawaambia watumishi wake, \"Mtu huyu ni Yohane mbatizaji, amefufuka kutoka wafu; ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi ndani yake.\" \t ܘܐܡܪ ܠܥܒܕܘܗܝ ܗܢܘ ܝܘܚܢܢ ܡܥܡܕܢܐ ܗܘ ܩܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܡܛܠ ܗܢܐ ܚܝܠܐ ܡܤܬܥܪܝܢ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote waliokuwa katika lile sunagogi waliposikia hayo walikasirika sana. \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܗܠܝܢ ܗܢܘܢ ܕܒܟܢܘܫܬܐ ܐܬܡܠܝܘ ܚܡܬܐ ܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga. \t ܠܐ ܬܤܒܪܘܢ ܕܐܬܝܬ ܕܐܪܡܐ ܫܝܢܐ ܒܐܪܥܐ ܠܐ ܐܬܝܬ ܕܐܪܡܐ ܫܝܢܐ ܐܠܐ ܚܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mwanafunzi si mkuu kuliko mwalimu wake, wala mtumishi si mkuu kuliko bwana wake. \t ܠܝܬ ܬܠܡܝܕܐ ܕܝܬܝܪ ܡܢ ܪܒܗ ܘܠܐ ܥܒܕܐ ܡܢ ܡܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Taifa moja litapigana na taifa lingine; utawala mmoja utapigana na utawala mwingine; kila mahali kutakuwa na mitetemeko ya ardhi na njaa. Mambo haya ni kama tu maumivu ya kwanza ya kujifungua mtoto. \t ܢܩܘܡ ܓܝܪ ܥܡܐ ܥܠ ܥܡܐ ܘܡܠܟܘ ܥܠ ܡܠܟܘ ܘܢܗܘܘܢ ܙܘܥܐ ܒܕܘܟܐ ܕܘܟܐ ܘܢܗܘܘܢ ܟܦܢܐ ܘܫܓܘܫܝܐ ܗܠܝܢ ܪܫܐ ܐܢܝܢ ܕܚܒܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nauliza: je, Wayahudi wamejikwaa hata wakaangamia kabisa? Hata kidogo! Kutokana na kosa lao ukombozi umewajia watu wa mataifa mengine, ili Wayahudi wapate kuwaonea wivu. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܠܡܐ ܐܬܬܩܠܘ ܐܝܟ ܕܢܦܠܘܢ ܚܤ ܐܠܐ ܒܬܘܩܠܬܗܘܢ ܕܝܠܗܘܢ ܗܘܘ ܚܝܐ ܠܥܡܡܐ ܠܛܢܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo aliokota mzigo mdogo wa kuni akawa anazitia motoni. Hapo, kwa sababu ya lile joto la moto, nyoka akatoka katika kuni akamnasa Paulo mkononi na kujishikilia hapo. \t ܘܦܘܠܘܤ ܫܩܠ ܤܘܓܐܐ ܕܚܒܘܒܐ ܘܤܡ ܥܠ ܢܘܪܐ ܘܢܦܩܬ ܡܢܗܘܢ ܐܟܕܢܐ ܡܢ ܪܬܚܐ ܕܢܘܪܐ ܘܢܟܬܬ ܒܐܝܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, \"Andika! Heri watu ambao tangu sasa wanakufa wakiwa wameungana na Bwana.\" Naye Roho asema, \"Naam! Watapumzika kutoka taabu zao; maana matunda ya jasho lao yatawafuata.\" \t ܘܫܡܥܬ ܩܠܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܐܡܪ ܟܬܘܒ ܛܘܒܝܗܘܢ ܠܡܝܬܐ ܐܝܠܝܢ ܕܥܢܕܘ ܒܡܪܢ ܡܢ ܗܫܐ ܐܝܢ ܐܡܪ ܪܘܚܐ ܡܛܠ ܕܢܬܬܢܝܚܘܢ ܡܢ ܥܡܠܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika kanisa la Antiokia kulikuwa na watu wengine waliokuwa manabii na walimu; miongoni mwao akiwa Barnaba, Simoni aitwaye pia Mweusi, Lukio wa Kurene, Manaeni ambaye alikuwa amelelewa pamoja na mfalme Herode, na Saulo. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܒܥܕܬܐ ܕܐܢܛܝܟܝܐ ܢܒܝܐ ܘܡܠܦܢܐ ܒܪܢܒܐ ܘܫܡܥܘܢ ܕܡܬܩܪܐ ܢܝܓܪ ܘܠܘܩܝܤ ܕܡܢ ܩܘܪܝܢܐ ܡܕܝܢܬܐ ܘܡܢܐܝܠ ܒܪ ܡܪܒܝܢܘܗܝ ܕܗܪܘܕܤ ܛܛܪܪܟܐ ܘܫܐܘܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tuseme kaka au dada hana nguo au chakula. \t ܘܐܢ ܐܚܐ ܐܘ ܚܬܐ ܢܗܘܘܢ ܥܪܛܠܝܝܢ ܘܚܤܝܪܝܢ ܤܝܒܪܬܐ ܕܝܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bahari ikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yake; kifo na kuzimu vikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yao. Kila mmoja akahukumiwa kufuatana na matendo yake. \t ܘܝܗܒ ܝܡܐ ܡܝܬܐ ܕܒܗ ܘܡܘܬܐ ܘܫܝܘܠ ܝܗܒܘ ܡܝܬܐ ܕܨܐܝܕܝܗܘܢ ܘܐܬܕܝܢ ܚܕ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܐܝܟ ܥܒܕܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ninyi mmekufa na uzima wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu. \t ܡܝܬܬܘܢ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܘܚܝܝܟܘܢ ܟܤܝܢ ܥܡ ܡܫܝܚܐ ܒܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܟܠ ܕܢܫܬܐ ܡܢ ܗܠܝܢ ܡܝܐ ܬܘܒ ܢܨܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamwambia yule msichana, \"Una wazimu!\" Lakini yeye akasisitiza kwamba ilikuwa kweli. Nao wakamwambia, \"Huyo ni malaika wake.\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܙܥ ܙܥܬܝ ܠܟܝ ܘܗܝ ܡܬܚܪܝܐ ܗܘܬ ܕܗܕܐ ܗܟܢܐ ܗܝ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܟܒܪ ܡܠܐܟܗ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Roho huyohuyo humpa mmoja imani, na humpa mwingine kipaji cha kuponya; \t ܠܐܚܪܢܐ ܗܝܡܢܘܬܐ ܒܗ ܒܪܘܚܐ ܠܐܚܪܢܐ ܡܘܗܒܬܐ ܕܐܤܝܘܬܐ ܒܗ ܒܪܘܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Divai mpya hutiwa katika viriba vipya! \t ܐܠܐ ܚܡܪܐ ܚܕܬܐ ܒܙܩܐ ܚܕܬܬܐ ܪܡܝܢ ܘܬܪܝܗܘܢ ܡܬܢܛܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mguu ungejisemea: \"Kwa kuwa mimi si mkono, basi mimi si mali ya mwili\", je, ungekoma kuwa sehemu ya mwili? La hasha! \t ܐܢ ܬܐܡܪ ܓܝܪ ܪܓܠܐ ܕܡܛܠ ܕܠܐ ܗܘܝܬ ܐܝܕܐ ܠܐ ܗܘܝܬ ܡܢܗ ܡܢ ܦܓܪܐ ܠܘ ܡܛܠ ܗܕܐ ܠܝܬܝܗ ܡܢܗ ܡܢ ܦܓܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usimtie katika orodha ya wajane, mjane yeyote ambaye hajatimiza miaka sitini. Tena awe amepata kuolewa mara moja tu, \t ܗܘܝܬ ܗܟܝܠ ܓܒܐ ܐܪܡܠܬܐ ܐܝܕܐ ܕܠܐ ܒܨܝܪܐ ܡܢ ܫܬܝܢ ܫܢܝܢ ܐܝܕܐ ܕܠܚܕ ܗܘ ܓܒܪܐ ܗܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wengi wa wafuasi wake waliposikia hayo, wakasema, \"Haya ni mambo magumu! Nani awezaye kuyasikiliza?\" \t ܘܤܓܝܐܐ ܕܫܡܥܘ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܡܪܝܢ ܩܫܝܐ ܗܝ ܡܠܬܐ ܗܕܐ ܡܢܘ ܡܫܟܚ ܠܡܫܡܥܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawajibu, \"Nendeni mkamwambie Yohane yale mliyojionea na kuyasikia: vipofu wanaona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa Habari njema. \t ܘܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘ ܐܡܪܘ ܠܝܘܚܢܢ ܟܠܡܕܡ ܕܚܙܝܬܘܢ ܘܫܡܥܬܘܢ ܕܤܡܝܐ ܚܙܝܢ ܘܚܓܝܪܐ ܡܗܠܟܝܢ ܘܓܪܒܐ ܡܬܕܟܝܢ ܘܚܪܫܐ ܫܡܥܝܢ ܘܡܝܬܐ ܩܝܡܝܢ ܘܡܤܟܢܐ ܡܤܬܒܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waambie wazee kwamba wanapaswa kuwa na kiasi, wawe na busara na wataratibu; wanapaswa kuwa timamu katika imani yao, upendo na uvumilivu. \t ܘܐܠܦ ܕܢܗܘܘܢ ܩܫܝܫܐ ܥܝܪܝܢ ܒܪܥܝܢܝܗܘܢ ܘܢܗܘܘܢ ܢܟܦܝܢ ܘܢܗܘܘܢ ܕܟܝܢ ܘܢܗܘܘܢ ܚܠܝܡܝܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܒܚܘܒܐ ܘܒܡܤܝܒܪܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Bwana akamjibu, \"Enyi wanafiki! Nani kati yenu hangemfungua ng'ombe au punda wake kutoka zizini ampeleke kunywa maji, hata kama siku hiyo ni ya Sabato? \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܢܤܒ ܒܐܦܐ ܚܕ ܚܕ ܡܢܟܘܢ ܒܫܒܬܐ ܠܐ ܫܪܐ ܬܘܪܗ ܐܘ ܚܡܪܗ ܡܢ ܐܘܪܝܐ ܘܐܙܠ ܡܫܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, ewe binadamu, u nani hata uthubutu kumhoji Mungu? Je, chungu chaweza kumwuliza mfinyanzi wake: \"Kwa nini umenitengeneza namna hii?\" \t ܐܢܬ ܗܟܝܠ ܡܢ ܐܢܬ ܐܘ ܒܪܢܫܐ ܕܦܬܓܡܐ ܠܐܠܗܐ ܝܗܒ ܐܢܬ ܕܠܡܐ ܐܡܪܐ ܓܒܝܠܬܐ ܠܡܢ ܕܓܒܠܗ ܕܠܡܢܐ ܗܟܢܐ ܓܒܠܬܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake, yaani siku iliyofuata ile ya Maandalio, makuhani wakuu na Mafarisayo walimwendea Pilato, \t ܠܝܘܡܐ ܕܝܢ ܕܡܚܪ ܕܐܝܬܘܗܝ ܒܬܪ ܥܪܘܒܬܐ ܐܬܟܢܫܘ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܦܪܝܫܐ ܠܘܬ ܦܝܠܛܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu kwa mfano: \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܡܬܠܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akageuka, akamwambia Petro, \"Ondoka mbele yangu Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu. Mawazo yako si ya mungu bali ni ya kibinadamu!\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܬܦܢܝ ܘܐܡܪ ܠܟܐܦܐ ܙܠ ܠܟ ܠܒܤܬܪܝ ܤܛܢܐ ܬܘܩܠܬܐ ܐܢܬ ܠܝ ܕܠܐ ܡܬܪܥܐ ܐܢܬ ܕܐܠܗܐ ܐܠܐ ܕܒܢܝ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baba hamhukumu mtu yeyote; shughuli yote ya hukumu amemkabidhi Mwana, \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܐܒܐ ܕܐܢ ܠܐܢܫ ܐܠܐ ܟܠܗ ܕܝܢܐ ܝܗܒܗ ܠܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makuhani wakuu, walimu wa Sheria na wazee walifahamu ya kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu. Kwa hiyo walijaribu kumtia nguvuni, lakini waliogopa umati wa watu. Basi, wakamwacha wakaenda zao. \t ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܠܡܐܚܕܗ ܘܕܚܠܘ ܡܢ ܥܡܐ ܝܕܥܘ ܓܝܪ ܕܥܠܝܗܘܢ ܐܡܪ ܡܬܠܐ ܗܢܐ ܘܫܒܩܘܗܝ ܘܐܙܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena maneno ya aibu, ya upuuzi au ubishi, yote hayo hayafai kwenu; maneno ya kumshukuru Mungu ndiyo yanayofaa. \t ܘܠܐ ܨܘܚܝܬܐ ܘܠܐ ܡܠܐ ܕܫܛܝܘܬܐ ܐܘ ܕܒܙܚܐ ܐܘ ܕܫܥܝܐ ܗܠܝܢ ܕܠܐ ܡܬܒܥܝܢ ܐܠܐ ܚܠܦ ܗܠܝܢ ܬܘܕܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambaye ni mpole anapowaonya wapinzani wake, kwani huenda Mungu akawajalia nafasi ya kutubu, wakapata kuujua ukweli. \t ܕܢܗܘܐ ܪܕܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܬܚܪܝܢ ܠܩܘܒܠܗ ܒܡܟܝܟܘܬܐ ܕܠܡܐ ܢܬܠ ܠܗܘܢ ܐܠܗܐ ܬܝܒܘܬܐ ܘܢܕܥܘܢ ܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao wakanyamaza, maana njiani walikuwa wamebishana ni nani aliye mkuu kati yao. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܫܬܝܩܝܢ ܗܘܘ ܐܬܚܪܝܘ ܗܘܘ ܓܝܪ ܒܐܘܪܚܐ ܚܕ ܥܡ ܚܕ ܕܡܢܘ ܪܒ ܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ombeni nipate kutoka salama miongoni mwa wale wasioamini walioko Uyahudi, nayo huduma yangu huko Yerusalem ipate kukubaliwa na watu wa Mungu walioko huko. \t ܕܐܬܦܨܐ ܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܬܛܦܝܤܝܢ ܕܒܝܗܘܕ ܘܬܫܡܫܬܐ ܕܡܘܒܠ ܐܢܐ ܠܩܕܝܫܐ ܕܒܐܘܪܫܠܡ ܬܬܩܒܠ ܫܦܝܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na hata sisi sote tulikuwa kama wao; tuliishi kufuatana na tamaa zetu za kidunia na kufanya tu mambo yale yaliyoipendeza miili na akili zetu. Kidunia, sisi kama vile pia wao, tulistahili ghadhabu ya Mungu. \t ܒܗܢܘܢ ܥܒܕܐ ܕܐܦ ܚܢܢ ܐܬܗܦܟܢ ܒܗܘܢ ܡܢ ܩܕܝܡ ܒܪܓܝܓܬܐ ܕܒܤܪܢ ܘܥܒܕܝܢ ܗܘܝܢ ܨܒܝܢܐ ܕܒܤܪܢ ܘܕܬܪܥܝܬܢ ܘܒܢܝܐ ܗܘܝܢ ܕܪܘܓܙܐ ܡܠܝܐܝܬ ܐܝܟ ܫܪܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naupa mwili wangu mazoezi magumu na kuutia katika nidhamu kamili, nisije mimi mwenyewe nikakataliwa baada ya kuwahubiria wengine. \t ܐܠܐ ܦܓܪܝ ܗܘ ܟܒܫ ܐܢܐ ܘܡܫܥܒܕ ܐܢܐ ܕܕܠܡܐ ܐܢܐ ܕܠܐܚܪܢܐ ܐܟܪܙܬ ܐܢܐ ܩܢܘܡܝ ܐܤܬܠܐ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alitambua hayo, akawaambia, \"Mbona mnajadiliana juu ya kutokuwa na mikate? Je, bado hamjafahamu, wala hamjaelewa? Je, mioyo yenu imeshupaa? \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܝܕܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܪܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܠܚܡܐ ܠܝܬ ܠܟܘܢ ܠܐ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܠܐ ܡܤܬܟܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܕܟܝܠ ܠܒܐ ܩܫܝܐ ܐܝܬ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Bwana humwadhibu kila anayempenda, humpinga kila anayekubali kuwa mwanae.\" \t ܠܡܢ ܕܪܚܡ ܓܝܪ ܡܪܝܐ ܪܕܐ ܠܗ ܘܡܢܓܕ ܠܒܢܝܐ ܐܝܠܝܢ ܕܗܘ ܨܒܐ ܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu walishangaa sana, wakasema, \"Amefanya yote vyema: amewajalia viziwi kusikia, na bubu kusema!\" \t ܘܙܗܪ ܐܢܘܢ ܕܠܐܢܫ ܠܐ ܢܐܡܪܘܢ ܘܟܡܐ ܕܗܘ ܡܙܗܪ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܗܢܘܢ ܝܬܝܪ ܡܟܪܙܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni sawa na kusema: tufanye maovu ili tupate mema! Ndivyo wengine walivyotukashifu kwa kutushtaki kwamba tumefundisha hivyo. Watahukumiwa wanavyostahili! \t ܐܘ ܕܠܡܐ ܐܝܟ ܕܡܓܕܦܝܢ ܥܠܝܢ ܘܐܡܪܝܢ ܕܐܡܪܝܢܢ ܕܢܥܒܕ ܒܝܫܬܐ ܕܢܐܬܝܢ ܛܒܬܐ ܗܢܘܢ ܕܕܝܢܗܘܢ ܢܛܝܪ ܗܘ ܠܟܐܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kwa maisha yake ya kiroho alikwenda kuwahubiria wale roho waliokuwa kifungoni. \t ܘܐܟܪܙ ܠܢܦܫܬܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܚܝܕܢ ܗܘܝ ܒܫܝܘܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo watu walimletea mtu mmoja aliyepooza mwili, amelazwa juu ya kitanda. Yesu alipoona imani yao, akamwambia huyo mtu aliyepooza, \"Jipe moyo mwanangu! Umesamehewa dhambi zako.\" \t ܘܩܪܒܘ ܠܗ ܡܫܪܝܐ ܟܕ ܪܡܐ ܒܥܪܤܐ ܘܚܙܐ ܝܫܘܥ ܗܝܡܢܘܬܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘ ܡܫܪܝܐ ܐܬܠܒܒ ܒܪܝ ܫܒܝܩܝܢ ܠܟ ܚܛܗܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Yohane nawapa onyo wote wanaosikia maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki: mtu yeyote akiongeza chochote katika mambo haya, Mungu atamwongezea mabaa yaliyoandikwa katika kitabu hiki. \t ܡܤܗܕ ܐܢܐ ܠܟܠ ܕܫܡܥ ܡܠܬܐ ܕܢܒܝܘܬܐ ܕܟܬܒܐ ܗܢܐ ܕܐܝܢܐ ܕܢܤܝܡ ܥܠܝܗܝܢ ܢܤܝܡ ܥܠܘܗܝ ܐܠܗܐ ܡܚܘܬܐ ܕܟܬܝܒܢ ܒܟܬܒܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Daudi mwenyewe anasema katika Zaburi: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia \t ܘܗܘ ܕܘܝܕ ܐܡܪ ܒܟܬܒܐ ܕܡܙܡܘܪܐ ܕܐܡܪ ܡܪܝܐ ܠܡܪܝ ܬܒ ܠܟ ܡܢ ܝܡܝܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo msichana aliitambua sauti ya Petro akafurahi mno, hata badala ya kuufungua ule mlango, akakimbilia ndani na kuwaambia kwamba Petro alikuwa amesimama nje mlangoni. \t ܘܐܫܬܘܕܥܬ ܩܠܗ ܕܫܡܥܘܢ ܘܒܚܕܘܬܗ ܠܐ ܦܬܚܬ ܠܗ ܬܪܥܐ ܐܠܐ ܗܦܟܬ ܒܪܗܛܐ ܘܐܡܪܐ ܠܗܘܢ ܫܡܥܘܢ ܗܐ ܩܐܡ ܥܠ ܬܪܥܐ ܕܕܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na tukisema, Yalitoka kwa watu, tunaogopa umati wa watu maana wote wanakubali kwamba Yohane ni nabii.\" \t ܘܕܢܐܡܪ ܡܢ ܒܢܝܢܫܐ ܕܚܠܝܢ ܐܢܚܢܢ ܡܢ ܟܢܫܐ ܟܠܗܘܢ ܓܝܪ ܐܝܟ ܢܒܝܐ ܐܚܝܕܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܠܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kweli ni jambo jema daima kuwahangaikia wengine katika mambo mema, na si tu wakati mimi nipo pamoja nanyi. \t ܫܦܝܪ ܗܘ ܕܝܢ ܕܬܬܚܤܡܘܢ ܒܫܦܝܪܬܐ ܒܟܠܙܒܢ ܘܠܐ ܐܡܬܝ ܕܠܘܬܟܘܢ ܐܢܐ ܒܠܚܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye aliingia katika Nyumba ya Mungu pamoja na wenzake, wakala ile mikate iliyowekwa mbele ya Mungu. Yeye wala hao wenzake hawakuruhusiwa kula mikate hiyo isipokuwa tu makuhani peke yao. \t ܐܝܟܢܐ ܥܠ ܠܒܝܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܠܚܡܐ ܕܦܬܘܪܗ ܕܡܪܝܐ ܐܟܠ ܗܘ ܕܠܐ ܫܠܝܛ ܗܘܐ ܠܗ ܠܡܐܟܠ ܘܠܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܥܡܗ ܐܠܐ ܐܢ ܠܟܗܢܐ ܒܠܚܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnajua kwamba Kristo alikuja kuziondoa dhambi zetu, na kwamba kwake hamna dhambi yoyote. \t ܘܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܗܘ ܕܐܬܓܠܝ ܕܢܤܒ ܚܛܗܝܢ ܘܚܛܝܬܐ ܒܗ ܠܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: \"Mungu ameifanya mioyo yao kuwa mizito, na mpaka leo hii hawawezi kuona kwa macho yao wala kusikia kwa masikio yao.\" \t ܐܝܟܢܐ ܕܟܬܝܒ ܕܝܗܒ ܠܗܘܢ ܐܠܗܐ ܪܘܚܐ ܡܕܥܪܢܝܬܐ ܘܥܝܢܐ ܕܠܐ ܢܒܚܪܘܢ ܒܗܝܢ ܘܐܕܢܐ ܕܠܐ ܢܫܡܥܘܢ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܐ ܕܝܘܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mvua ikanyesha, mito ikafurika, pepo kali zikavuma na kuipiga nyumba hiyo. Lakini haikuanguka kwa sababu ilikuwa imejengwa juu ya mwamba. \t ܘܢܚܬ ܡܛܪܐ ܘܐܬܘ ܢܗܪܘܬܐ ܘܢܫܒ ܪܘܚܐ ܘܐܬܛܪܝܘ ܒܗ ܒܒܝܬܐ ܗܘ ܘܠܐ ܢܦܠ ܫܬܐܤܘܗܝ ܓܝܪ ܥܠ ܫܘܥܐ ܤܝܡܢ ܗܘܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jinsi Yona alivyokaa siku tatu kutwa kucha tumboni mwa nyangumi, ndivyo naye Mwana wa Mtu atakavyokaa ndani ya ardhi siku tatu kutwa kucha. \t ܐܝܟܢܐ ܓܝܪ ܕܗܘܐ ܝܘܢܢ ܒܟܪܤܗ ܕܢܘܢܐ ܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܘܬܠܬܐ ܠܝܠܘܢ ܗܟܢܐ ܢܗܘܐ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܒܠܒܗ ܕܐܪܥܐ ܬܠܬܐ ܐܝܡܡܝܢ ܘܬܠܬܐ ܠܝܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Palikuwa na mtu mmoja tajiri, ambaye alikuwa anavaa mavazi ya bei kubwa sana ya rangi ya zambarau, na ya kitani safi, na kufanya sherehe kila siku. \t ܓܒܪܐ ܕܝܢ ܚܕ ܥܬܝܪܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܘܠܒܫ ܗܘܐ ܒܘܨܐ ܘܐܪܓܘܢܐ ܘܟܠܝܘܡ ܡܬܒܤܡܝܢ ܗܘܐ ܓܐܝܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wakaokota mawe ili wamtupie, lakini Yesu akajificha, akatoka Hekaluni. \t ܘܫܩܠܘ ܟܐܦܐ ܕܢܪܓܡܘܢܝܗܝ ܘܝܫܘܥ ܐܬܛܫܝ ܘܢܦܩ ܡܢ ܗܝܟܠܐ ܘܥܒܪ ܒܝܢܬܗܘܢ ܘܐܙܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini walisema, \"Tusimtie nguvuni wakati wa sikukuu, watu wasije wakafanya ghasia.\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܠܐ ܒܥܕܥܕܐ ܕܠܡܐ ܢܗܘܐ ܫܓܘܫܝܐ ܒܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mitume wakamwambia Bwana, \"Utuongezee imani.\" \t ܘܐܡܪܘ ܫܠܝܚܐ ܠܡܪܢ ܐܘܤܦ ܠܢ ܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu Wakorintho, tumezungumza nanyi kwa unyofu; mioyo yetu iko wazi kabisa. \t ܦܘܡܢ ܦܬܝܚ ܗܘ ܠܘܬܟܘܢ ܩܘܪܢܬܝܐ ܘܠܒܢ ܪܘܝܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa vyovyote hatungethubutu kujiweka au kujilinganisha na wale watu wanaojisifia wenyewe. Watu wenye kujifanya wao kuwa kipimo cha kujipimia, na watu wanaojilinganisha wenyewe kwa wenyewe, ni wapumbavu. \t ܠܐ ܓܝܪ ܡܡܪܚܝܢܢ ܕܢܚܫܘܒ ܐܘ ܕܢܦܚܡ ܢܦܫܢ ܥܡ ܗܢܘܢ ܕܡܫܒܗܪܝܢ ܢܦܫܗܘܢ ܐܠܐ ܡܛܠ ܕܗܢܘܢ ܒܗܘܢ ܠܗܘܢ ܡܦܚܡܝܢ ܠܐ ܡܤܬܟܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkono wako ukikukosesha, ukate! Afadhali kuingia kwenye uzima bila mkono mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili na kwenda katika moto wa Jehanamu. \t ܐܢ ܕܝܢ ܡܟܫܠܐ ܠܟ ܐܝܕܟ ܦܤܘܩܝܗ ܦܩܚ ܗܘ ܠܟ ܦܫܝܓܐ ܕܬܥܘܠ ܠܚܝܐ ܐܘ ܟܕ ܐܝܬ ܠܟ ܬܪܬܝܢ ܐܝܕܝܢ ܬܐܙܠ ܠܓܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nikodemo akamwuliza, \"Mtu mzima awezaje kuzaliwa tena? Hawezi kuingia tumboni mwa mama yake na kuzaliwa mara ya pili!\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܢܝܩܕܡܘܤ ܐܝܟܢܐ ܡܫܟܚ ܕܢܬܝܠܕ ܓܒܪܐ ܤܒܐ ܕܠܡܐ ܡܫܟܚ ܬܘܒ ܠܟܪܤܐ ܕܐܡܗ ܕܬܪܬܝܢ ܙܒܢܝܢ ܠܡܥܠ ܘܢܬܝܠܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ulimwengu pamoja na vitu vyake vyote vyenye kutamanika unapita; lakini mtu atendaye atakalo Mungu, anaishi milele. \t ܘܥܒܪ ܥܠܡܐ ܗܘ ܘܪܓܬܗ ܗܘ ܕܝܢ ܕܥܒܕ ܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܡܩܘܐ ܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipowasikia, akawaambia, \"Watu wenye afya hawahitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa. Sikuja kuwaita watu wema, ila wenye dhambi.\" \t ܟܕ ܫܡܥ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܤܢܝܩܝܢ ܚܠܝܡܐ ܥܠ ܐܤܝܐ ܐܠܐ ܐܝܠܝܢ ܕܒܝܫ ܒܝܫ ܥܒܝܕܝܢ ܠܐ ܐܬܝܬ ܕܐܩܪܐ ܠܙܕܝܩܐ ܐܠܐ ܠܚܛܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa kipande cha kwanza cha mkate kimewekwa wakfu, mkate wote umewekwa wakfu; mizizi ya mti ikiwa mizuri, na matawi yake huwa mazuri pia. \t ܘܐܢ ܕܝܢ ܪܫܝܬܐ ܩܕܝܫܐ ܐܦ ܓܒܝܠܬܐ ܘܐܢ ܥܩܪܐ ܩܕܝܫ ܗܘ ܐܦ ܤܘܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikatazama, na kumbe palikuwapo wingu jeupe hapo. Na juu ya wingu hilo kulikuwa na kiumbe kama mtu. Alikuwa amevaa taji ya dhahabu kichwani, na kushika mundu mkononi mwake. \t ܘܗܐ ܥܢܢܐ ܚܘܪܬܐ ܘܥܠ ܥܢܢܐ ܝܬܒ ܕܡܘܬܐ ܕܒܪܢܫܐ ܘܐܝܬ ܠܗ ܥܠ ܪܫܗ ܟܠܝܠܐ ܕܕܗܒܐ ܘܥܠ ܐܝܕܗ ܡܓܠܬܐ ܚܪܝܦܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawafundisha, \"Imeandikwa: Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa ajili ya mataifa yote! Lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi!\" \t ܘܡܠܦ ܗܘܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܟܬܝܒ ܕܒܝܬܝ ܒܝܬ ܨܠܘܬܐ ܢܬܩܪܐ ܠܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܥܒܕܬܘܢܝܗܝ ܡܥܪܬܐ ܕܠܤܛܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watoto saba wa Skewa, Kuhani Mkuu wa Kiyahudi, walikuwa miongoni mwa hao waliokuwa wanafanya hivyo. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܫܒܥܐ ܒܢܘܗܝ ܕܓܒܪܐ ܚܕ ܝܗܘܕܝܐ ܪܒ ܟܗܢܐ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܤܩܘܐ ܕܥܒܕܝܢ ܗܘܘ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule mtu akamwuliza, \"Amri zipi?\" Yesu akasema, \"Usiue, usizini, usiibe, usitoe ushahidi wa uongo, \t ܐܡܪ ܠܗ ܐܝܠܝܢ ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗ ܕܠܐ ܬܩܛܘܠ ܘܠܐ ܬܓܘܪ ܘܠܐ ܬܓܢܘܒ ܘܠܐ ܬܤܗܕ ܤܗܕܘܬ ܫܘܩܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo hawakuweza kuamini, kwani Isaya tena alisema: \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܗܘܘ ܕܢܗܝܡܢܘܢ ܡܛܠ ܕܬܘܒ ܐܡܪ ܐܫܥܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wale wenye busara wakawaambia, Hayatatutosha sisi na ninyi! Afadhali mwende dukani mkajinunulie wenyewe! \t ܥܢܝ ܗܠܝܢ ܚܟܝܡܬܐ ܘܐܡܪܢ ܠܡܐ ܠܐ ܢܤܦܩ ܠܢ ܘܠܟܝܢ ܐܠܐ ܙܠܝܢ ܠܘܬ ܐܝܠܝܢ ܕܡܙܒܢܝܢ ܘܙܒܢܝܢ ܠܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwani wewe si yule Mmisri ambaye hivi majuzi alianzisha uasi na kuwaongoza majahili elfu nne hadi jangwani?\" \t ܠܐ ܗܘܝܬ ܐܢܬ ܗܘ ܡܨܪܝܐ ܕܩܕܡ ܝܘܡܬܐ ܗܠܝܢ ܐܙܝܥܬ ܘܐܦܩܬ ܠܡܕܒܪܐ ܐܪܒܥܐ ܐܠܦܝܢ ܓܒܪܐ ܥܒܕܝ ܒܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ama hakika, hawawezi kufa tena, kwa sababu watakuwa kama malaika, na ni watoto wa Mungu kwa vile wamefufuliwa katika wafu. \t ܐܦܠܐ ܓܝܪ ܬܘܒ ܠܡܡܬ ܡܫܟܚܝܢ ܐܝܟ ܡܠܐܟܐ ܐܢܘܢ ܓܝܪ ܘܒܢܝܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܕܐܠܗܐ ܡܛܠ ܕܗܘܘ ܒܢܝܐ ܕܩܝܡܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi simruhusu mwanamke amfundishe au amtawale mwanamume; anapaswa kukaa kimya. \t ܠܐܢܬܬܐ ܓܝܪ ܠܡܠܦܘ ܠܐ ܡܦܤ ܐܢܐ ܘܠܐ ܠܡܡܪܚܘ ܥܠ ܓܒܪܐ ܐܠܐ ܬܗܘܐ ܒܫܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa tunapata taabu, basi ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu. Tukifarijika, ni kwa ajili ya kuwafariji ninyi na kuwaunga mkono mpate nguvu ya kustahimili mateso yaleyale tunayoteseka sisi. \t ܐܦܢ ܕܝܢ ܡܬܐܠܨܝܢܢ ܥܠ ܐܦܝ ܒܘܝܐܟܘܢ ܗܘ ܘܥܠ ܐܦܝ ܚܝܝܟܘܢ ܡܬܐܠܨܝܢܢ ܘܐܢ ܡܬܒܝܐܝܢܢ ܡܛܠ ܕܐܢܬܘܢ ܬܬܒܝܐܘܢ ܘܬܗܘܐ ܒܟܘܢ ܚܦܝܛܘܬܐ ܕܬܤܝܒܪܘܢ ܐܢܘܢ ܠܚܫܐ ܗܢܘܢ ܕܐܦ ܚܢܢ ܚܫܝܢܢ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, niseme nini zaidi? Wakati hauniruhusu kueleza juu ya Gedeoni, Baraki, Samsoni, Yeftha, Daudi, Samweli na manabii. \t ܘܡܢܐ ܬܘܒ ܐܡܪ ܙܥܘܪ ܗܘ ܠܝ ܓܝܪ ܙܒܢܐ ܕܐܫܬܥܐ ܥܠ ܓܕܥܘܢ ܘܥܠ ܒܪܩ ܘܥܠ ܫܡܫܘܢ ܘܥܠ ܢܦܬܚ ܘܥܠ ܕܘܝܕ ܘܥܠ ܫܡܘܐܝܠ ܘܥܠ ܫܪܟܐ ܕܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ndugu, ninyi mlio watoto wa ukoo wa Abrahamu, na wengine wote mnaomcha Mungu! Ujumbe huu wa wokovu umeletwa kwetu. \t ܓܒܪܐ ܐܚܝܢ ܒܢܝ ܫܪܒܬܗ ܕܐܒܪܗܡ ܘܐܝܠܝܢ ܕܕܚܠܝܢ ܥܡܟܘܢ ܠܐܠܗܐ ܠܟܘܢ ܗܘ ܐܫܬܕܪܬ ܡܠܬܐ ܕܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana wajane wengine wamekwisha potoka na kumfuata Shetani. \t ܥܠ ܕܗܫܐ ܓܝܪ ܫܪܝܘ ܐܢܫ ܐܢܫ ܠܡܤܛܐ ܒܬܪ ܤܛܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kuna kitu kinachomzuia sasa, nanyi mwakijua kitu hicho. Basi, huyo Mwovu ataonekana wakati wake ufaao. \t ܘܗܫܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܐ ܕܐܚܝܕ ܕܢܬܓܠܐ ܗܘ ܒܙܒܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana wengi kati yenu ni dhaifu na wagonjwa, na wengine kadhaa wamekufa. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܤܓܝܐܝܢ ܒܟܘܢ ܡܪܥܐ ܘܟܪܝܗܐ ܘܤܓܝܐܐ ܕܕܡܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Husema maneno ya majivuno na yasiyo na maana, na kutumia tamaa zao mbaya za kimwili kuwatega wale ambao wamejitenga hivi karibuni na watu waishio katika udanganyifu. \t ܟܕ ܓܝܪ ܓܘܢܚܐ ܕܤܪܝܩܘܬܐ ܡܡܠܠܝܢ ܡܫܕܠܝܢ ܒܪܓܝܓܬܐ ܛܢܦܬܐ ܕܒܤܪܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܒܡܠܐ ܩܠܝܠ ܥܪܩܝܢ ܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܒܛܥܝܘܬܐ ܡܬܗܦܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika na makuhani wakuu pamoja na walimu wa Sheria na wazee walimdhihaki wakisema, \t ܗܟܘܬ ܐܦ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܡܒܙܚܝܢ ܗܘܘ ܥܡ ܤܦܪܐ ܘܩܫܝܫܐ ܘܦܪܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kosa la Wayahudi limesababisha baraka nyingi kwa ulimwengu, na utovu wao kwa kiroho umeleta baraka nyingi kwa watu wa mataifa mengine. Basi, ni dhahiri zaidi kwamba utimilifu wao utasababisha baraka nyingi zaidi. \t ܘܐܢ ܬܘܩܠܬܗܘܢ ܗܘܬ ܥܘܬܪܐ ܠܥܠܡܐ ܘܚܝܒܘܬܗܘܢ ܥܘܬܪܐ ܠܥܡܡܐ ܟܡܐ ܗܟܝܠ ܫܘܡܠܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!\" \t ܐܠܘ ܠܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܗܘܐ ܗܢܐ ܠܐ ܡܫܟܚ ܗܘܐ ܗܕܐ ܠܡܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanga wa taa hautaonekana tena ndani yako; sauti za bwana arusi na bibi arusi hazitasikika tena ndani yako. Wafanyabiashara wako walikuwa wakuu duniani, na kwa uchawi wako mataifa yote yalipotoshwa!\" \t ܘܢܘܗܪܐ ܕܫܪܓܐ ܠܐ ܢܬܚܙܐ ܠܟܝ ܬܘܒ ܘܩܠܐ ܕܚܬܢܐ ܘܩܠܐ ܕܟܠܬܐ ܠܐ ܢܫܬܡܥ ܒܟܝ ܬܘܒ ܡܛܠ ܕܬܓܪܝܟܝ ܐܝܬ ܗܘܘ ܪܘܪܒܢܝܗ ܕܐܪܥܐ ܡܛܠ ܕܒܚܪܫܝܟܝ ܐܛܥܝܬܝ ܠܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huu ndio ushahidi Yohane alioutoa wakati viongozi wa Wayahudi kule Yerusalemu walipowatuma makuhani wa Walawi kwake wamwulize: \"Wewe u nani?\" \t ܘܗܕܐ ܗܝ ܤܗܕܘܬܗ ܕܝܘܚܢܢ ܟܕ ܫܕܪܘ ܠܘܬܗ ܝܗܘܕܝܐ ܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܟܗܢܐ ܘܠܘܝܐ ܕܢܫܐܠܘܢܝܗܝ ܐܢܬ ܡܢ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alirudi Galilaya akiwa amejaa nguvu za Roho Mtakatifu, na habari zake zikaenea katika sehemu zote za jirani. \t ܘܗܦܟ ܝܫܘܥ ܒܚܝܠܐ ܕܪܘܚܐ ܠܓܠܝܠܐ ܘܢܦܩ ܥܠܘܗܝ ܛܒܐ ܒܟܠܗ ܐܬܪܐ ܕܚܕܪܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa anaishi hapa duniani, kwa kilio kikuu na machozi, alisali na kumwomba Mungu ambaye alikuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka kifo; naye alisikilizwa kwa sababu ya kumcha Mungu. \t ܐܦ ܟܕ ܒܤܪܐ ܠܒܝܫ ܗܘܐ ܒܥܘܬܐ ܘܬܟܫܦܬܐ ܒܓܥܬܐ ܚܝܠܬܢܝܬܐ ܘܒܕܡܥܐ ܩܪܒ ܗܘܐ ܠܡܢ ܕܡܫܟܚ ܗܘܐ ܡܢ ܡܘܬܐ ܕܢܚܝܘܗܝ ܘܐܫܬܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu. \t ܡܫܠܡܢܐ ܡܤܪܗܒܐ ܚܬܝܪܐ ܪܚܡܝ ܪܓܝܓܬܐ ܛܒ ܡܢ ܚܘܒܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܡܚܕܐ ܫܒܩܘ ܡܨܝܕܬܗܘܢ ܘܐܙܠܘ ܒܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na twaweza kupokea kwake chochote tunachoomba, maana tunazitii amri zake na kufanya yale yanayompendeza. \t ܘܟܠܡܕܡ ܕܫܐܠܝܢܢ ܢܤܒܝܢܢ ܡܢܗ ܡܛܠ ܕܢܛܪܝܢܢ ܦܘܩܕܢܘܗܝ ܘܫܦܝܪܬܐ ܤܥܪܝܢܢ ܩܕܡܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika wa saba akamwaga bakuli lake hewani. Sauti kubwa ikasikika kutoka kwenye kiti cha enzi, Hekaluni, ikisema, \"Mwisho umefika!\" \t ܘܡܠܐܟܐ ܕܫܒܥܐ ܐܫܕ ܙܒܘܪܗ ܒܐܐܪ ܘܢܦܩ ܩܠܐ ܪܒܐ ܡܢ ܗܝܟܠܐ ܡܢ ܩܕܡ ܟܘܪܤܝܐ ܕܐܡܪ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni, huyu mtoza ushuru alirudi nyumbani akiwa amesamehewa. Lakini yule mwingine, sivyo. Kwa maana kila anayejikweza atashushwa, na kila anayejishusha atakwezwa.\" \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܢܚܬ ܗܢܐ ܡܙܕܩ ܠܒܝܬܗ ܝܬܝܪ ܡܢ ܗܘ ܦܪܝܫܐ ܟܠ ܐܢܫ ܓܝܪ ܕܢܪܝܡ ܢܦܫܗ ܢܬܡܟܟ ܘܟܠ ܕܢܡܟ ܢܦܫܗ ܢܬܬܪܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha ile sauti niliyokuwa nimeisikia kutoka mbinguni pale awali ikasema nami tena: \"Nenda ukakichukue kile kitabu kilichofunguliwa, kilicho mkononi mwa malaika asimamaye juu ya bahari na juu ya nchi kavu.\" \t ܘܩܠܐ ܫܡܥܬ ܡܢ ܫܡܝܐ ܬܘܒ ܕܡܡܠܠ ܥܡܝ ܘܐܡܪ ܙܠ ܤܒ ܠܟܬܒܘܢܐ ܕܒܐܝܕܗ ܕܡܠܐܟܐ ܕܩܐܡ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܥܠ ܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri yao watumishi wale ambao bwana wao atakaporudi atawakuta wanakesha! Nawaambieni hakika, huyo bwana atajifunga mkanda kiunoni, atawaketisha mezani na kuwahudumia. \t ܛܘܒܝܗܘܢ ܠܥܒܕܐ ܗܢܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܢܐܬܐ ܡܪܗܘܢ ܘܢܫܟܚ ܐܢܘܢ ܟܕ ܥܝܪܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܢܐܤܘܪ ܚܨܘܗܝ ܘܢܤܡܟ ܐܢܘܢ ܘܢܥܒܪ ܢܫܡܫ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakaziungama dhambi zao, naye akawabatiza katika mto Yordani. \t ܘܥܡܕܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗ ܒܝܘܪܕܢܢ ܢܗܪܐ ܟܕ ܡܘܕܝܢ ܒܚܛܗܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alisema \"Kweli nawaambieni, yeyote yule asiyeingia katika zizi la kondoo kwa kupitia mlangoni, bali hupenya na kuingia kwa njia nyingine, huyo ni mwizi na mnyang'anyi. \t ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܡܢ ܕܠܐ ܥܐܠ ܡܢ ܬܪܥܐ ܠܛܝܪܐ ܕܥܢܐ ܐܠܐ ܤܠܩ ܡܢ ܕܘܟܐ ܐܚܪܢܝܐ ܗܘ ܓܢܒܐ ܗܘ ܘܓܝܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmefika kwenye kusanyiko kubwa la wazaliwa wa kwanza wa Mungu, ambao majina yao yameandikwa mbinguni. Mnasimama mbele ya Mungu aliye hakimu wa wote, na mbele ya roho za watu waadilifu waliofanywa kuwa wakamilifu. \t ܘܠܥܕܬܐ ܕܒܘܟܪܐ ܕܡܬܟܬܒܝܢ ܒܫܡܝܐ ܘܠܐܠܗܐ ܕܝܢܐ ܕܟܠ ܘܠܪܘܚܬܐ ܕܟܐܢܐ ܕܐܬܓܡܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamshika mkono huyo kipofu, akampeleka nje ya kijiji. Akamtemea mate machoni, akamwekea mikono, akamwuliza, \"Je, unaweza kuona kitu?\" \t ܘܐܚܕ ܒܐܝܕܗ ܕܤܡܝܐ ܘܐܦܩܗ ܠܒܪ ܡܢ ܩܪܝܬܐ ܘܪܩ ܒܥܝܢܘܗܝ ܘܤܡ ܐܝܕܗ ܘܫܐܠܗ ܕܡܢܐ ܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܤܦܩܐ ܠܢ ܡܐܟܘܠܬܐ ܘܬܟܤܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Wayahudi wakasema, \"Sasa tunajua kweli kwamba wewe ni mwendawazimu! Abrahamu alikufa, na manabii pia walikufa, nawe wasema ati, Anayeuzingatia ujumbe wangu hatakufa milele! \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܝܗܘܕܝܐ ܗܫܐ ܝܕܥܢ ܕܕܝܘܐ ܐܝܬ ܠܟ ܐܒܪܗܡ ܡܝܬ ܘܢܒܝܐ ܘܐܢܬ ܐܡܪ ܐܢܬ ܕܡܢ ܕܡܠܬܝ ܢܛܪ ܡܘܬܐ ܠܐ ܢܛܥܡ ܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mazungumzo yenu yanapaswa kuwa daima mema na ya kuvutia, na mnapaswa kujua jinsi ya kumjibu vizuri kila mmoja. \t ܘܡܠܬܟܘܢ ܒܟܠܙܒܢ ܒܛܝܒܘܬܐ ܐܝܟ ܕܒܡܠܚܐ ܬܗܘܐ ܡܡܕܟܐ ܘܗܘܝܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܠܐܢܫ ܐܢܫ ܐܝܟܢܐ ܘܠܐ ܠܟܘܢ ܠܡܬܒܘ ܦܬܓܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mungu alinisaidia; na hivyo mpaka siku ya leo nimesimama imara nikitoa ushuhuda kwa wote, wakubwa na wadogo. Ninayosema ni yale ambayo manabii na Mose walisema yatatukia; \t ܥܕܪܢܝ ܕܝܢ ܐܠܗܐ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܐ ܗܢܐ ܘܗܐ ܩܐܡ ܐܢܐ ܘܡܤܗܕ ܐܢܐ ܠܙܥܘܪܐ ܘܠܪܒܐ ܟܕ ܡܕܡ ܠܒܪ ܡܢ ܡܘܫܐ ܘܢܒܝܐ ܠܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܐܠܐ ܐܝܠܝܢ ܕܗܢܘܢ ܐܡܪܘ ܕܥܬܝܕܢ ܕܢܗܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni. \t ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܟܕܘ ܕܟܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܛܠ ܡܠܬܐ ܕܡܠܠܬ ܥܡܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo Pilato akamwambia, \"Husemi nami? Je, hujui kwamba ninayo mamlaka ya kukufungua na mamlaka ya kukusulubisha?\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܦܝܠܛܘܤ ܥܡܝ ܠܐ ܡܡܠܠ ܐܢܬ ܠܐ ܝܕܥ ܐܢܬ ܕܫܠܝܛ ܐܢܐ ܕܐܫܪܝܟ ܘܫܠܝܛ ܐܢܐ ܕܐܙܩܦܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mume atimize wajibu alio nao kwa mkewe, naye mke atimize wajibu alio nao kwa mumewe. \t ܓܒܪܐ ܠܐܢܬܬܗ ܚܘܒܐ ܕܡܬܬܚܝܒ ܢܦܪܘܥ ܗܟܢܐ ܐܦ ܗܝ ܐܢܬܬܐ ܠܒܥܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Napenda kumjulisha kwenu dada yetu Foibe ambaye ni mtumishi katika kanisa la Kenkrea. \t ܡܓܥܠ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܠܦܘܒܐ ܚܬܢ ܕܐܝܬܝܗ ܡܫܡܫܢܝܬܐ ܕܥܕܬܐ ܕܩܢܟܪܐܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwenu ninyi mnaoamini, jiwe hilo ni la thamani kubwa; lakini kwa wale wasioamini, \"Jiwe walilokataa waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi.\" \t ܠܟܘܢ ܗܟܝܠ ܐܬܝܗܒ ܗܢܐ ܐܝܩܪܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܗܝܡܢܝܢ ܠܗܢܘܢ ܕܝܢ ܕܠܐ ܡܬܛܦܝܤܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo akamjibu, \"Namwomba Mungu kwamba, kwa muda mfupi au mrefu, si wewe tu bali wote wanaonisikia leo wapate kuwa kama nilivyo mimi, lakini bila hii minyororo.\" \t ܘܦܘܠܘܤ ܐܡܪ ܒܥܐ ܗܘܝܬ ܡܢ ܐܠܗܐ ܒܩܠܝܠ ܘܒܤܓܝ ܠܐ ܗܘܐ ܠܟ ܒܠܚܘܕ ܐܠܐ ܐܦ ܠܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܫܡܥܝܢ ܠܝ ܝܘܡܢܐ ܕܢܗܘܘܢ ܐܟܘܬܝ ܠܒܪ ܡܢ ܐܤܘܪܐ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri mtu yule asiyekuwa na mashaka nami.\" \t ܘܛܘܒܘܗܝ ܠܐܝܢܐ ܕܠܐ ܢܬܟܫܠ ܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote watawachukieni ninyi kwa sababu ya jina langu. Lakini atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa. \t ܘܬܗܘܘܢ ܤܢܝܐܝܢ ܡܢ ܟܠܢܫ ܡܛܠ ܫܡܝ ܡܢ ܕܝܢ ܕܢܤܝܒܪ ܥܕܡܐ ܠܚܪܬܐ ܗܘ ܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akasema, \"Hata nyinyi hamwelewi? \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܡܤܬܟܠܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kisha akaanza kuwapiga watumishi wenzake, akaanza kula na kunywa pamoja na walevi, \t ܘܢܫܪܐ ܠܡܡܚܐ ܟܢܘܬܗ ܘܢܗܘܐ ܐܟܠ ܘܫܬܐ ܥܡ ܪܘܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu hakuwaweka malaika wautawale ulimwengu ujao, yaani ulimwengu ule tunaoongea habari zake. \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܠܡܠܐܟܐ ܫܥܒܕ ܥܠܡܐ ܕܥܬܝܕ ܕܥܠܘܗܝ ܡܡܠܠܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mtakaposikia habari za vita na misukosuko, msitishike; maana ni lazima hayo yatokee kwanza, lakini mwisho wa yote, bado.\" \t ܘܡܐ ܕܫܡܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܩܪܒܐ ܘܫܓܘܫܝܐ ܠܐ ܬܕܚܠܘܢ ܥܬܝܕܢ ܐܢܝܢ ܓܝܪ ܗܠܝܢ ܠܘܩܕܡ ܠܡܗܘܐ ܐܠܐ ܠܐ ܥܕܟܝܠ ܡܛܬ ܚܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninawaoneeni wivu lakini ni wivu wa Mungu; maana ninyi ni kama bikira safi niliyemposa kwa mwanamume mmoja tu ambaye ndiye Kristo. \t ܛܐܢ ܐܢܐ ܓܝܪ ܒܟܘܢ ܒܛܢܢܐ ܕܐܠܗܐ ܡܟܪܬܟܘܢ ܓܝܪ ܠܓܒܪܐ ܚܕ ܒܬܘܠܬܐ ܕܟܝܬܐ ܕܐܩܪܒ ܠܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu; mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu. \t ܙܠܘ ܗܟܝܠ ܬܠܡܕܘ ܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܘܐܥܡܕܘ ܐܢܘܢ ܒܫܡ ܐܒܐ ܘܒܪܐ ܘܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati Petro alipokuwa bado anasema maneno hayo, Roho Mtakatifu aliwashukia wote waliokuwa wanasikiliza ujumbe huo. \t ܘܟܕ ܗܘ ܫܡܥܘܢ ܡܡܠܠ ܗܘܐ ܗܠܝܢ ܡܠܐ ܐܓܢܬ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܥܠ ܟܠܗܘܢ ܕܫܡܥܝܢ ܗܘܘ ܡܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, alitangulia mbio, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona Yesu, kwa maana alikuwa apitie hapo. \t ܘܪܗܛ ܩܕܡܗ ܠܝܫܘܥ ܘܤܠܩ ܠܗ ܠܬܬܐ ܦܟܝܗܬܐ ܕܢܚܙܝܘܗܝ ܡܛܠ ܕܗܟܘܬ ܥܬܝܕ ܗܘܐ ܕܢܥܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi, watoto, ni wake Mungu na mmekwisha washinda hao manabii wa uongo; maana Roho aliye ndani yenu ana nguvu zaidi kuliko roho aliye ndani ya hao walio wa ulimwengu. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܝܬܝܟܘܢ ܒܢܝܐ ܘܙܟܝܬܘܢ ܐܢܘܢ ܡܛܠ ܕܪܒ ܗܘ ܕܒܟܘܢ ܡܢ ܗܘ ܕܒܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nami nitakapoinuliwa juu ya nchi nitamvuta kila mmoja kwangu.\" \t ܘܐܢܐ ܡܐ ܕܐܬܬܪܝܡܬ ܡܢ ܐܪܥܐ ܐܓܕ ܟܠܢܫ ܠܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa namna hiyo mtajipatia sifa nzuri kutoka kwa wale wasio Wakristo, na hamtakuwa na lazima ya kuwategemea wengine kwa mahitaji yenu. \t ܕܬܗܘܘܢ ܡܗܠܟܝܢ ܒܐܤܟܡܐ ܠܘܬ ܒܪܝܐ ܘܥܠ ܐܢܫ ܠܐ ܬܤܬܢܩܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwita mtoto mmoja, akamsimamisha kati yao, \t ܘܩܪܐ ܝܫܘܥ ܛܠܝܐ ܘܐܩܝܡܗ ܒܝܢܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuhani Mkuu wa Wayahudi huingia Mahali Patakatifu kila mwaka akiwa amechukua damu ya mnyama; lakini Kristo hakuingia humo ili ajitoe mwenyewe mara nyingi, \t ܐܦܠܐ ܕܢܩܪܒ ܢܦܫܗ ܙܒܢܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܐܝܟ ܕܥܒܕ ܗܘܐ ܪܒ ܟܘܡܪܐ ܘܥܐܠ ܒܟܠ ܫܢܐ ܠܒܝܬ ܡܩܕܫܐ ܒܕܡܐ ܕܠܐ ܕܝܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote waliosikia maneno yake walistaajabia akili yake na majibu yake ya hekima. \t ܘܬܡܝܗܝܢ ܗܘܘ ܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܫܡܥܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܒܚܟܡܬܗ ܘܒܦܬܓܡܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaendelea kusema, \"Basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? Ni watu wa namna gani? \t ܠܡܢ ܗܟܝܠ ܐܕܡܐ ܠܐܢܫܐ ܕܫܪܒܬܐ ܗܕܐ ܘܠܡܢ ܕܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "naye Mungu akamteua kuwa kuhani mkuu kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki. \t ܘܐܫܬܡܗ ܡܢ ܐܠܗܐ ܪܒ ܟܘܡܪܐ ܒܕܡܘܬܗ ܕܡܠܟܝܙܕܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale watumishi wakatoka, wakaenda njiani, wakawaleta watu wote, wabaya na wema. Nyumba ya arusi ikajaa wageni. \t ܘܢܦܩܘ ܥܒܕܐ ܗܢܘܢ ܠܐܘܪܚܬܐ ܘܟܢܫܘ ܟܠ ܕܐܫܟܚܘ ܒܝܫܐ ܘܛܒܐ ܘܐܬܡܠܝ ܒܝܬ ܡܫܬܘܬܐ ܤܡܝܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Aliye na masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! \"Wale wanaoshinda nitawapa haki ya kula matunda ya mti wa uzima ulioko ndani ya bustani ya Mungu. \t ܗܘ ܕܐܝܬ ܠܗ ܐܕܢܐ ܢܫܡܥ ܡܢܐ ܪܘܚܐ ܡܡܠܠ ܠܥܕܬܐ ܘܠܕܙܟܐ ܐܬܠ ܡܢ ܩܝܤܐ ܕܚܝܐ ܠܡܐܟܠ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܒܦܪܕܝܤܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuwa na imani ni kuwa na hakika ya mambo tunayotumainia; kusadiki kabisa mambo tusiyoyaona. \t ܐܝܬܝܗ ܕܝܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܦܝܤܐ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܝܢ ܒܤܒܪܐ ܐܝܟ ܗܘ ܕܗܘܝ ܠܗܝܢ ܒܤܘܥܪܢܐ ܘܓܠܝܢܐ ܕܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܬܚܙܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, wale wema watang'ara kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Sikieni basi, kama mna masikio! \t ܗܝܕܝܢ ܙܕܝܩܐ ܢܢܗܪܘܢ ܐܝܟ ܫܡܫܐ ܒܡܠܟܘܬܗ ܕܐܒܘܗܘܢ ܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܐܕܢܐ ܕܢܫܡܥ ܢܫܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo wa kusamehe dhambi duniani.\" Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, \"Simama, chukua kitanda chako uende zako nyumbani.\" \t ܕܬܕܥܘܢ ܕܝܢ ܕܫܠܝܛ ܗܘ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܒܐܪܥܐ ܕܢܫܒܘܩ ܚܛܗܐ ܐܡܪ ܠܡܫܪܝܐ ܠܟ ܐܡܪ ܐܢܐ ܩܘܡ ܫܩܘܠ ܥܪܤܟ ܘܙܠ ܠܒܝܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha yule mwanafunzi mwingine aliyemtangulia kufika kaburini, akaingia pia ndani, akaona, akaaamini. \t ܗܝܕܝܢ ܥܠ ܐܦ ܗܘ ܬܠܡܝܕܐ ܕܐܬܐ ܩܕܡܝܐ ܠܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܘܚܙܐ ܘܗܝܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakapokuja atamkuta akifanya hivyo. \t ܛܘܒܘܗܝ ܠܥܒܕܐ ܗܘ ܕܢܐܬܐ ܡܪܗ ܢܫܟܚܝܘܗܝ ܕܥܒܕ ܗܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo hilo lilifanyika mara tatu, na mwishowe vyote vilirudishwa juu mbinguni. \t ܗܕܐ ܗܘܬ ܬܠܬ ܙܒܢܝܢ ܘܐܤܬܠܩ ܠܗ ܟܠܡܕܡ ܠܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wakati huo, Ufalme wa mbinguni utafanana na wasichana kumi waliochukua taa zao, wakaenda kumlaki bwana arusi. \t ܗܝܕܝܢ ܬܕܡܐ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܠܥܤܪ ܒܬܘܠܢ ܗܢܝܢ ܕܢܤܒ ܠܡܦܕܝܗܝܢ ܘܢܦܩ ܠܐܘܪܥ ܚܬܢܐ ܘܟܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, mmoja wao aitwaye Kayafa, ambaye alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo, akawaambia, \"Ninyi hamjui kitu! \t ܚܕ ܕܝܢ ܡܢܗܘܢ ܕܫܡܗ ܩܝܦܐ ܪܒ ܟܗܢܐ ܗܘܐ ܕܗܝ ܫܢܬܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu ni Roho, na watu wataweza tu kumwabudu kweli kwa nguvu ya Roho wake.\" \t ܪܘܚܐ ܗܘ ܓܝܪ ܐܠܗܐ ܘܐܝܠܝܢ ܕܤܓܕܝܢ ܠܗ ܒܪܘܚܐ ܘܒܫܪܪܐ ܘܠܐ ܕܢܤܓܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kuwa wewe umezingatia agizo langu la kuwa na uvumilivu, nami pia nitakutegemeza salama wakati ule wa dhiki inayoujia ulimwengu mzima kuwajaribu wote wanaoishi duniani. \t ܥܠ ܕܢܛܪܬ ܡܠܬܐ ܕܡܤܝܒܪܢܘܬܝ ܘܐܢܐ ܐܛܪܟ ܡܢ ܢܤܝܘܢܐ ܕܥܬܝܕ ܕܢܐܬܐ ܥܠ ܟܠܗ ܬܐܒܝܠ ܕܢܢܤܐ ܠܥܡܘܪܝܗ ܕܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa bado akiongea, Yairo akaletewa habari kutoka nyumbani: \"Binti yako ameshakufa, ya nini kumsumbua Mwalimu zaidi?\" \t ܘܥܕ ܗܘ ܡܡܠܠ ܐܬܐ ܐܢܫ ܡܢ ܕܒܝܬ ܪܒ ܟܢܘܫܬܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܝܬܬ ܠܗ ܒܪܬܟ ܠܐ ܬܥܡܠ ܠܡܠܦܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa sababu hiyo, kila mtu anayeyasikia maneno yangu na kuyazingatia, anafanana na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba. \t ܟܠ ܗܟܝܠ ܕܫܡܥ ܡܠܝ ܗܠܝܢ ܘܥܒܕ ܠܗܝܢ ܢܬܕܡܐ ܠܓܒܪܐ ܚܟܝܡܐ ܗܘ ܕܒܢܐ ܒܝܬܗ ܥܠ ܫܘܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa muda wa siku nyingi hatukuweza kuona jua wala nyota; dhoruba iliendelea kuvuma sana, hata matumaini yote ya kuokoka yakatuishia. \t ܘܟܕ ܐܚܕ ܠܗ ܤܬܘܐ ܝܘܡܬܐ ܝܬܝܪܐ ܘܠܐ ܫܡܫܐ ܡܬܚܙܐ ܗܘܐ ܘܠܐ ܤܗܪܐ ܘܠܐ ܟܘܟܒܐ ܤܒܪܐ ܕܚܝܝܢ ܟܠ ܟܠܗ ܐܬܦܤܩ ܗܘܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana tunaishi kwa imani, na si kwa kuona. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܗܘ ܓܝܪ ܡܗܠܟܝܢܢ ܘܠܐ ܒܚܙܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana umekuwa na waume watano, na huyo unayeishi naye sasa si mume wako. Hapo umesema kweli.\" \t ܚܡܫܐ ܓܝܪ ܒܥܠܝܢ ܗܘܘ ܠܟܝ ܘܗܢܐ ܕܐܝܬ ܠܟܝ ܗܫܐ ܠܐ ܗܘܐ ܒܥܠܟܝ ܗܕܐ ܫܪܝܪܬܐ ܐܡܪܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena asema: \"Nitamwekea Mungu tumaini langu.\" Na tena: \"Mimi niko hapa pamoja na watoto alionipa Mungu.\" \t ܘܬܘܒ ܕܐܢܐ ܐܗܘܐ ܬܟܝܠ ܥܠܘܗܝ ܘܬܘܒ ܗܐ ܐܢܐ ܘܒܢܝܐ ܕܝܗܒ ܠܝ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakapanda mashua ili wavuke kwenda Kafarnaumu. Giza lilikuwa limeingia, na Yesu alikuwa hajawafikia bado. \t ܘܝܬܒܘ ܒܤܦܝܢܬܐ ܘܐܬܝܢ ܗܘܘ ܠܥܒܪܐ ܠܟܦܪܢܚܘܡ ܘܚܫܟܬ ܗܘܬ ܠܗ ܘܠܐ ܐܬܝ ܗܘܐ ܠܘܬܗܘܢ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakawa wanahubiri Habari Njema huko. \t ܘܬܡܢ ܡܤܒܪܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba mwenye huruma na Mungu mwenye kuleta faraja yote. \t ܡܒܪܟ ܗܘ ܐܠܗܐ ܐܒܘܗܝ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܒܐ ܕܪܚܡܐ ܘܐܠܗܐ ܕܟܠ ܒܘܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mema. \t ܠܐ ܡܫܟܚ ܐܝܠܢܐ ܛܒܐ ܦܐܪܐ ܒܝܫܐ ܠܡܥܒܕ ܘܠܐ ܐܝܠܢܐ ܒܝܫܐ ܦܐܪܐ ܛܒܐ ܠܡܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana neema ya Mungu imedhihirishwa kwa ajili ya wokovu wa watu wote. \t ܐܬܓܠܝܬ ܓܝܪ ܛܝܒܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܡܚܝܬ ܟܠ ܠܒܢܝܢܫܐ ܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe na huruma kwa watu walio na mashaka; \t ܘܠܡܢܗܘܢ ܡܢ ܡܢ ܢܘܪܐ ܚܛܘܦܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, nasema mambo haya kibinadamu tu? Je, Sheria nayo haisemi hivyo? \t ܕܠܡܐ ܐܝܟ ܒܪܢܫܐ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܗܐ ܐܦ ܢܡܘܤܐ ܗܠܝܢ ܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako. \t ܐܝܟܐ ܓܝܪ ܕܐܝܬܝܗ ܤܝܡܬܟܘܢ ܬܡܢ ܢܗܘܐ ܐܦ ܠܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli. \t ܠܐ ܓܝܪ ܡܫܟܚܝܢܢ ܕܢܥܒܕ ܡܕܡ ܠܘܩܒܠ ܩܘܫܬܐ ܐܠܐ ܚܠܦ ܩܘܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Atajifungua mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu, kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.\" \t ܬܐܠܕ ܕܝܢ ܒܪܐ ܘܬܩܪܐ ܫܡܗ ܝܫܘܥ ܗܘ ܓܝܪ ܢܚܝܘܗܝ ܠܥܡܗ ܡܢ ܚܛܗܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni Petro akamwuliza, \"Bwana, unakwenda wapi?\" Yesu akajibu, \"Niendako huwezi kunifuata sasa, lakini utanifuata baadaye.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܡܪܢ ܠܐܝܟܐ ܐܙܠ ܐܢܬ ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܠܐܝܟܐ ܕܐܙܠ ܐܢܐ ܠܐ ܡܫܟܚ ܐܢܬ ܗܫܐ ܕܬܐܬܐ ܒܬܪܝ ܠܚܪܬܐ ܕܝܢ ܬܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanangu Timotheo, nakukabidhi amri hii kufuatana na maneno ya unabii yaliyosemwa zamani juu yako. Yatumie maneno hayo yawe silaha yako katika kupigana vita vizuri, \t ܗܢܐ ܦܘܩܕܢܐ ܡܓܥܠ ܐܢܐ ܠܟ ܒܪܝ ܛܝܡܬܐܘܤ ܐܝܟ ܢܒܝܘܬܐ ܩܕܡܝܬܐ ܕܗܘܝ ܥܠܝܟ ܕܬܦܠܘܚ ܒܗܝܢ ܦܠܚܘܬܐ ܗܕܐ ܫܦܝܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwani, ujumbe juu ya Kristo umethibitishwa ndani yenu, \t ܐܝܟ ܕܤܗܕܘܬܗ ܕܡܫܝܚܐ ܐܫܬܪܪܬ ܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huu ndio ushahidi Yohane alioutoa: \"Nilimwona Roho akishuka kama njiwa kutoka mbinguni na kutua juu yake. \t ܘܐܤܗܕ ܝܘܚܢܢ ܘܐܡܪ ܕܚܙܝܬ ܠܪܘܚܐ ܕܢܚܬܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܐܝܟ ܝܘܢܐ ܘܩܘܝܬ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo, Yesu alifika mkoani Yudea pamoja na wanafunzi wake. Alikaa huko pamoja nao kwa muda, akibatiza watu. \t ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܐܬܐ ܝܫܘܥ ܘܬܠܡܝܕܘܗܝ ܠܐܪܥܐ ܕܝܗܘܕ ܘܬܡܢ ܡܬܗܦܟ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܘܡܥܡܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mnaitimiza ile sheria ya Utawala kama ilivyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: \"Mpende binadamu mwenzako kama unavyojipenda wewe mwenyewe\", mtakuwa mnafanya vema kabisa. \t ܘܐܢ ܢܡܘܤܐ ܕܐܠܗܐ ܒܗܕܐ ܡܫܠܡܝܬܘܢ ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܬܪܚܡ ܠܩܪܝܒܟ ܐܝܟ ܢܦܫܟ ܫܦܝܪ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jumamosi jioni, tulikutana ili kumega mkate. Kwa vile Paulo alikuwa amekusudia kuondoka kesho yake, aliwahutubia watu na kuendelea kuongea nao hadi usiku wa manane. \t ܘܒܝܘܡܐ ܕܚܕ ܒܫܒܐ ܟܕ ܟܢܝܫܝܢܢ ܕܢܩܨܐ ܐܘܟܪܤܛܝܐ ܡܡܠܠ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܦܘܠܘܤ ܡܛܠ ܕܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܥܬܝܕ ܗܘܐ ܕܢܦܘܩ ܠܗ ܘܐܓܪ ܗܘܐ ܠܡܡܠܠܘ ܥܕܡܐ ܠܦܠܓܗ ܕܠܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake. \t ܐܬܝܬ ܓܝܪ ܕܐܦܠܘܓ ܓܒܪܐ ܥܠ ܐܒܘܗܝ ܘܒܪܬܐ ܥܠ ܐܡܗ ܘܟܠܬܐ ܥܠ ܚܡܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Herode alitaka kumwua Yohane, lakini aliogopa watu kwa sababu kwao Yohane alikuwa nabii. \t ܘܨܒܐ ܗܘܐ ܠܡܩܛܠܗ ܘܕܚܠ ܗܘܐ ܡܢ ܥܡܐ ܕܐܝܟ ܕܠܢܒܝܐ ܐܚܝܕܝܢ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sababu yenyewe ni kwamba katika pitapita yangu niliangalia sanamu zenu za ibada nikakuta madhabahu moja ambayo imeandikwa: Kwa ajili ya Mungu yule Asiyejulikana. Basi, huyo mnayemwabudu bila kujua, ndiye ninayemhubiri kwenu. \t ܟܕ ܓܝܪ ܡܬܟܪܟ ܗܘܝܬ ܘܚܙܐ ܗܘܝܬ ܒܝܬ ܕܚܠܬܟܘܢ ܐܫܟܚܬ ܥܠܬܐ ܚܕܐ ܕܟܬܝܒ ܗܘܐ ܥܠܝܗ ܕܐܠܗܐ ܓܢܝܙܐ ܗܘ ܗܟܝܠ ܕܟܕ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܚܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܠܗ ܠܗܢܐ ܐܢܐ ܡܤܒܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi hamkuwasili mlimani Sinai, ambao unaweza kushikika kama walivyofanya watu wa Israeli, hamkufika kwenye moto uwakao, penye giza, tufani, \t ܠܐ ܓܝܪ ܐܬܩܪܒܬܘܢ ܠܢܘܪܐ ܕܝܩܕܐ ܘܡܬܓܫܐ ܐܦܠܐ ܠܚܫܘܟܐ ܘܠܥܪܦܠܐ ܘܠܥܪܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Maana, kwa hakika, ndivyo Herode, Pontio Pilato, watu wa Israeli na watu wa mataifa walivyokutanika papa hapa mjini, kumpinga Yesu Mtumishi wako Mtakatifu ambaye umemtia mafuta. \t ܐܬܟܢܫܘ ܓܝܪ ܫܪܝܪܐܝܬ ܒܡܕܝܢܬܐ ܗܕܐ ܥܠ ܩܕܝܫܐ ܒܪܟ ܝܫܘܥ ܐܝܢܐ ܕܐܢܬ ܡܫܚܬ ܗܪܘܕܤ ܘܦܝܠܛܘܤ ܥܡ ܥܡܡܐ ܘܟܢܫܐ ܕܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ule umati wa watu ukawakemea na kuwaambia wanyamaze. Lakini wao wakazidi kupaaza sauti: \"Mheshimiwa, Mwana wa Daudi, utuhurumie!\" \t ܟܢܫܐ ܕܝܢ ܟܐܝܢ ܗܘܘ ܒܗܘܢ ܕܢܫܬܩܘܢ ܘܗܢܘܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܐܪܝܡܘ ܩܠܗܘܢ ܘܐܡܪܝܢ ܡܪܢ ܐܬܪܚܡ ܥܠܝܢ ܒܪܗ ܕܕܘܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengine wakasema, \"Haya si maneno ya mwenye pepo. Je, pepo anaweza kuyafumbua macho ya vipofu?\" \t ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܗܠܝܢ ܡܠܐ ܠܐ ܗܘܝ ܕܕܝܘܢܐ ܠܡܐ ܕܝܘܐ ܡܫܟܚ ܥܝܢܐ ܕܤܡܝܐ ܠܡܦܬܚܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Angalieni basi, mtu asiwapotoshe kwa udanganyifu mtupu wa hekima ya kibinadamu, ambayo chanzo chake ni mafundisho ya mapokeo ya watu na ya pepo watawala, na wala si Kristo mwenyewe! \t ܐܙܕܗܪܘ ܕܠܡܐ ܐܢܫ ܢܚܠܨܟܘܢ ܒܦܝܠܤܦܘܬܐ ܘܒܛܥܝܘܬܐ ܤܪܝܩܬܐ ܐܝܟ ܝܘܠܦܢܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܘܐܝܟ ܐܤܛܘܟܤܘܗܝ ܕܥܠܡܐ ܘܠܐ ܐܝܟ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kutoka kwa Yesu Kristo, shahidi mwaminifu, wa kwanza kufufuliwa kutoka wafu, na ambaye ni mtawala wa wafalme wa dunia. Yeye anatupenda, na kwa damu yake ametufungua kutoka vifungo vya dhambi zetu, \t ܘܡܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܤܗܕܐ ܡܗܝܡܢܐ ܒܘܟܪܐ ܕܡܝܬܐ ܘܪܫܐ ܕܡܠܟܐ ܕܐܪܥܐ ܗܘ ܕܡܚܒ ܠܢ ܘܫܪܐ ܠܢ ܡܢ ܚܛܗܝܢ ܒܕܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale. \t ܘܐܙܠ ܬܘܒ ܨܠܝ ܘܗܝ ܡܠܬܐ ܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vitu vyote ni halali, lakini si vyote vinafaa. Vitu vyote ni halali lakini si vyote vinajenga. \t ܟܠ ܡܕܡ ܫܠܝܛ ܠܝ ܐܠܐ ܠܐ ܟܠ ܡܕܡ ܦܩܚ ܟܠ ܡܕܡ ܫܠܝܛ ܠܝ ܐܠܐ ܠܐ ܟܠ ܡܕܡ ܡܒܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Paulo alikikung'utia kile kiumbe motoni na hakuumizwa hata kidogo. \t ܗܘ ܕܝܢ ܦܘܠܘܤ ܐܢܝܦ ܐܝܕܗ ܘܫܕܗ ܠܐܟܕܢܐ ܒܢܘܪܐ ܘܡܕܡ ܕܤܢܐ ܠܐ ܗܘܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtumishi wa kwanza akatokea, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara kumi ya zile fedha ulizonipa. \t ܘܐܬܐ ܩܕܡܝܐ ܘܐܡܪ ܡܪܝ ܡܢܝܟ ܥܤܪܐ ܡܢܝܢ ܐܘܬܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akaendelea kusema, \"Hakika nawaambieni, nabii hatambuliwi katika kijiji chake. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܝܬ ܢܒܝܐ ܕܡܬܩܒܠ ܒܡܕܝܢܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akajibu, \"Mheshimiwa, mimi sina mtu wa kunipeleka majini wakati yanapotibuliwa. Kila nikijaribu kuingia, mtu mwingine hunitangulia.\" \t ܥܢܐ ܗܘ ܟܪܝܗܐ ܘܐܡܪ ܐܝܢ ܡܪܝ ܠܝܬ ܠܝ ܕܝܢ ܐܢܫ ܕܡܐ ܕܐܬܬܙܝܥܘ ܡܝܐ ܢܪܡܝܢܝ ܒܡܥܡܘܕܝܬܐ ܐܠܐ ܥܕ ܐܢܐ ܐܬܐ ܐܢܐ ܐܚܪܝܢ ܡܢ ܩܕܡܝ ܢܚܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye amefanya alivyoweza; ameupaka mwili wangu marashi kuutayarisha kwa maziko. \t ܗܘ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܠܗܕܐ ܥܒܕܬ ܘܩܕܡܬ ܐܝܟ ܕܠܩܒܘܪܬܐ ܒܤܡܬ ܓܘܫܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo msichana mngoja mlango akamwuliza Petro, \"Je, nawe pia ni mmoja wa wanafunzi wa mtu huyu?\" Petro akamwambia, \"Si mimi!\" \t ܐܡܪܬ ܕܝܢ ܥܠܝܡܬܐ ܢܛܪܬ ܬܪܥܐ ܠܫܡܥܘܢ ܠܡܐ ܐܦ ܐܢܬ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܢܬ ܕܗܢܐ ܓܒܪܐ ܐܡܪ ܠܗ ܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi huwatia farasi lijamu kinywani mwao ili watutii; na kwa njia hiyo twaweza kuwaongoza kokote tunakotaka. \t ܗܐ ܓܝܪ ܦܓܘܕܐ ܒܦܘܡܐ ܕܪܟܫܐ ܪܡܝܢܢ ܐܝܟ ܕܢܫܬܥܒܕܘܢ ܠܢ ܘܟܠܗ ܓܘܫܡܗܘܢ ܡܗܦܟܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Yesu akayagusa macho yao, akasema, \"Na iwe kwenu kama mnavyoamini.\" \t ܗܝܕܝܢ ܩܪܒ ܠܥܝܢܝܗܘܢ ܘܐܡܪ ܐܝܟܢܐ ܕܗܝܡܢܬܘܢ ܢܗܘܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni Petro akamwambia, \"Bwana, nioshe, si miguu tu, bali na mikono yangu na kichwa pia.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܡܕܝܢ ܡܪܝ ܠܐ ܒܠܚܘܕ ܪܓܠܝ ܬܫܝܓ ܠܝ ܐܠܐ ܐܦ ܐܝܕܝ ܐܦ ܪܫܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia mafuta na divai; na kuyafunga halafu akampandisha juu ya punda wake akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamuuguza. \t ܘܐܬܩܪܒ ܘܥܨܒ ܡܚܘܬܗ ܘܢܨܠ ܥܠܝܗܝܢ ܚܡܪܐ ܘܡܫܚܐ ܘܤܡܗ ܥܠ ܚܡܪܗ ܘܐܝܬܝܗ ܠܦܘܬܩܐ ܘܐܬܒܛܠ ܠܗ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huohuo, kukatokea tetemeko kubwa la ardhi, sehemu moja ya kumi ya ardhi ikaharibiwa. Watu elfu saba wakauawa kwa tetemeko hilo la ardhi. Watu waliosalia wakaogopa sana, wakamtukuza Mungu wa mbinguni. \t ܘܒܫܥܬܐ ܗܝ ܗܘܐ ܙܘܥܐ ܪܒܐ ܘܚܕ ܡܢ ܥܤܪܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܢܦܠܘ ܘܐܬܩܛܠܘ ܒܙܘܥܐ ܫܡܗܐ ܕܓܒܪܐ ܐܠܦܐ ܫܒܥܐ ܘܕܫܪܟܐ ܗܘܘ ܒܕܚܠܬܐ ܘܝܗܒܘܢ ܬܫܒܘܚܬܐ ܠܐܠܗܐ ܕܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mtu katika Yerusalemu alisikia habari za tukio hilo na hivyo, kwa lugha yao, wakaliita lile shamba Hekeli Dama, maana yake, Shamba la Damu.) \t ܘܗܝ ܗܕܐ ܐܬܝܕܥܬ ܠܟܠܗܘܢ ܕܥܡܪܝܢ ܒܐܘܪܫܠܡ ܘܗܟܢܐ ܐܬܩܪܝܬ ܩܪܝܬܐ ܗܝ ܒܠܫܢܗ ܕܐܬܪܐ ܚܩܠ ܕܡܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܬܘܪܓܡܗ ܩܘܪܝܬ ܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka mbinguni ikisema: \"Sasa ukombozi utokao kwa Mungu umefika! Nguvu na Utawala wa Mungu wetu umedhihirika. Na Kristo wake ameonyesha mamlaka yake! Maana yule mdhalimu wa ndugu zetu, aliyesimama mbele ya Mungu akiwashtaki usiku na mchana, sasa ametupwa nje. \t ܘܫܡܥܬ ܩܠܐ ܪܒܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܐܡܪ ܗܐ ܗܘܐ ܫܘܘܙܒܐ ܘܚܝܠܐ ܘܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܢ ܕܐܬܪܡܝ ܡܤܘܪܐ ܕܐܚܝܢ ܗܘ ܕܡܤܪ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܠܠܝܐ ܘܐܝܡܡܐ ܩܕܡ ܐܠܗܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mwaona jinsi mtu huyu alivyokuwa maarufu. Baba Abrahamu alimpa sehemu moja ya kumi ya vitu vyote alivyoteka vitani. \t ܚܙܘ ܕܝܢ ܟܡܐ ܪܒ ܗܢܐ ܕܐܒܪܗV ܪܝܫ ܐܒܗܬܐ ܠܗ ܝܗܒ ܡܥܤܪܐ ܕܪܫܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kundi la watu wale waliokuwa pamoja naye wakati alipomwita Lazaro kutoka kaburini, akamfufua kutoka wafu, walisema yaliyotukia. \t ܘܤܗܕ ܗܘܐ ܟܢܫܐ ܗܘ ܕܥܡܗ ܗܘܐ ܕܩܪܐ ܠܠܥܙܪ ܡܢ ܩܒܪܐ ܘܐܩܝܡܗ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakajaribu tena kumkamata lakini akachopoka mikononi mwao. \t ܘܒܥܘ ܗܘܘ ܬܘܒ ܕܢܐܚܕܘܢܝܗܝ ܘܢܦܩ ܠܗ ܡܢ ܒܝܬ ܐܝܕܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mtu yeyote atakataa kuwakaribisheni au kuwasikilizeni, basi mtokapo katika nyumba hiyo au mji huo, yakung'uteni mavumbi miguuni mwenu kama onyo kwao. \t ܡܢ ܕܠܐ ܕܝܢ ܡܩܒܠ ܠܟܘܢ ܘܠܐ ܫܡܥ ܡܠܝܟܘܢ ܟܕ ܢܦܩܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܒܝܬܐ ܐܘ ܡܢ ܩܪܝܬܐ ܗܝ ܦܨܘ ܚܠܐ ܡܢ ܪܓܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliwaponya pia wote waliokuwa wanasumbuliwa na pepo wachafu. \t ܕܐܬܘ ܕܢܫܡܥܘܢ ܡܠܬܗ ܘܕܢܬܐܤܘܢ ܡܢ ܟܘܪܗܢܝܗܘܢ ܘܐܝܠܝܢ ܕܡܬܐܠܨܝܢ ܡܢ ܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ ܘܡܬܐܤܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Asifiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa huruma yake kuu alitufanya tuzaliwe upya kwa kumfufua Yesu kutoka wafu. Ametujalia tumaini lenye uzima, \t ܡܒܪܟ ܗܘ ܐܠܗܐ ܐܒܘܗܝ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܘ ܕܒܚܢܢܗ ܤܓܝܐܐ ܐܘܠܕܢ ܡܢ ܕܪܝܫ ܒܩܝܡܬܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܠܤܒܪܐ ܕܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja, tulipokuwa tunakwenda mahali pa kusali, msichana mmoja aliyekuwa na pepo mwenye uwezo wa kuagua alikutana nasi. Msichana huyo alikuwa anawapatia matajiri wake fedha nyingi kwa uaguzi wake. \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܐܙܠܝܢܢ ܠܒܝܬ ܨܠܘܬܐ ܦܓܥܬ ܒܢ ܥܠܝܡܬܐ ܚܕܐ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܪܘܚܐ ܕܩܨܡܐ ܘܥܒܕܐ ܗܘܬ ܠܡܪܝܗ ܬܐܓܘܪܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܒܩܨܡܐ ܕܩܨܡܐ ܗܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Au je, akimwomba samaki, atampa nyoka? \t ܘܐܢ ܢܘܢܐ ܢܫܐܠܝܘܗܝ ܠܡܐ ܚܘܝܐ ܡܘܫܛ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndio maana sisi tunajivunia ninyi katika makanisa ya Mungu. Tunaona fahari juu ya jinsi mnavyoendelea kuamini na kustahimili katika udhalimu wote na mateso mnayopata. \t ܐܝܟ ܕܐܦ ܚܢܢ ܒܟܘܢ ܢܗܘܐ ܡܫܬܒܗܪܝܢ ܚܢܢ ܒܥܕܬܐ ܕܐܠܗܐ ܥܠ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܘܥܠ ܡܤܝܒܪܢܘܬܟܘܢ ܕܒܟܠܗ ܪܕܝܦܘܬܟܘܢ ܘܐܘܠܨܢܝܟܘܢ ܕܡܤܝܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akasema kwa sauti kubwa, \"Simama wima kwa miguu yako!\" Huyo mtu aliyelemaa akainuka ghafla, akaanza kutembea. \t ܐܡܪ ܠܗ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܠܟ ܐܡܪ ܐܢܐ ܒܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܩܘܡ ܥܠ ܪܓܠܝܟ ܘܫܘܪ ܩܡ ܘܗܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakaliondoa lile jiwe. Yesu akatazama juu mbinguni, akasema, \"Nakushukuru Baba kwa kuwa wewe wanisikiliza. \t ܘܫܩܠܘ ܟܐܦܐ ܗܝ ܘܗܘ ܝܫܘܥ ܐܪܝܡ ܥܝܢܘܗܝ ܠܥܠ ܘܐܡܪ ܐܒܐ ܡܘܕܐ ܐܢܐ ܠܟ ܕܫܡܥܬܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena nitawapa nyota ya asubuhi. \t ܘܐܬܠ ܠܗ ܠܟܘܟܒ ܨܦܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wakawa wamesimama pale wakitazama. Nao viongozi wakamdhihaki wakisema: \"Amewaokoa wengine; sasa na ajiokoe mwenyewe, kama yeye ndiye Kristo, mteule wa Mungu!\" \t ܩܐܡ ܗܘܐ ܕܝܢ ܥܡܐ ܘܚܙܐ ܘܡܡܝܩܝܢ ܗܘܘ ܒܗ ܐܦ ܐܪܟܘܢܐ ܘܐܡܪܝܢ ܠܐܚܪܢܐ ܐܚܝ ܢܚܐ ܢܦܫܗ ܐܢ ܗܘܝܘ ܡܫܝܚܐ ܓܒܝܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao wanawake wakaingiwa na hofu, wakainama chini. Ndipo wale watu wakawaambia, \"Kwa nini mnamtafuta aliye hai kati ya wafu? \t ܘܗܘܝ ܒܕܚܠܬܐ ܘܟܦܝ ܐܦܝܗܝܢ ܒܐܪܥܐ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗܝܢ ܡܢܐ ܒܥܝܢ ܐܢܬܝܢ ܚܝܐ ܥܡ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ubarikiwe Ufalme ujao wa baba yetu Daudi. Hosana juu mbinguni!\" \t ܘܒܪܝܟܐ ܗܝ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܬܝܐ ܕܐܒܘܢ ܕܘܝܕ ܐܘܫܥܢܐ ܒܡܪܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini Yesu akaenda kwenye mlima wa Mizeituni. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܙܠ ܠܛܘܪܐ ܕܙܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akageuka, akawatazama wanafunzi wake, akamkemea Petro akisema, \"Ondoka mbele yangu, Shetani! Fikira zako si za kimungu ila ni za kibinadamu!\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܬܦܢܝ ܘܚܪ ܒܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܟܐܐ ܒܫܡܥܘܢ ܘܐܡܪ ܙܠ ܠܟ ܠܒܤܬܪܝ ܤܛܢܐ ܕܠܐ ܪܢܐ ܐܢܬ ܕܐܠܗܐ ܐܠܐ ܕܒܢܝ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wafalme wa duniani, wakuu, majemadari, matajiri, wenye nguvu, kila mtumwa na mtu huru, wakajificha mapangoni na kwenye majabali milimani. \t ܘܡܠܟܐ ܕܐܪܥܐ ܘܪܘܪܒܢܐ ܘܪܝܫܝ ܐܠܦܐ ܘܥܬܝܪܐ ܘܚܝܠܘܬܐ ܘܟܠ ܥܒܕܐ ܘܒܢܝ ܚܐܪܐ ܛܫܝܘ ܢܦܫܗܘܢ ܒܡܥܪܐ ܘܒܫܘܥܐ ܕܛܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "basi, huduma ya Roho ina utukufu mkuu zaidi. \t ܐܝܟܢܐ ܗܟܝܠ ܬܫܡܫܬܐ ܕܪܘܚܐ ܠܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܬܗܘܐ ܒܫܘܒܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Mama, usiniambie la kufanya. Saa yangu bado.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܡܐ ܠܝ ܘܠܟܝ ܐܢܬܬܐ ܠܐ ܥܕܟܝܠ ܐܬܬ ܫܥܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Dhamiri yangu hainishtaki kwa jambo lolote, lakini hiyo haionyeshi kwamba sina lawama. Bwana ndiye anayenihukumu. \t ܠܐ ܓܝܪ ܡܕܡ ܒܢܦܫܝ ܚܫܝܫ ܐܢܐ ܐܠܐ ܠܘ ܒܗܕܐ ܐܙܕܕܩܬ ܕܝܢܝ ܓܝܪ ܡܪܝܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, twaona kwamba hawakuingia huko kwa sababu hawakuamini. \t ܘܚܙܝܢܢ ܕܠܐ ܐܫܟܚܘ ܠܡܥܠ ܡܛܠ ܕܠܐ ܗܝܡܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Haifai mwanamume kufunika kichwa chake, kwa kuwa yeye ni mfano wa Mungu na kioo cha utukufu wake Mungu; lakini mwanamke ni kioo cha utukufu wa mwanamume. \t ܓܒܪܐ ܓܝܪ ܠܐ ܚܝܒ ܕܢܟܤܐ ܪܫܗ ܡܛܠ ܕܕܡܘܬܐ ܗܘ ܘܬܫܒܘܚܬܐ ܕܐܠܗܐ ܐܢܬܬܐ ܕܝܢ ܬܫܒܘܚܬܐ ܗܝ ܕܓܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Bwana alituagiza hivi: Nimekuteua wewe uwe mwanga kwa mataifa, uwe njia ya wokovu kwa ulimwengu wote.\" \t ܗܟܢܐ ܓܝܪ ܦܩܕܢ ܡܪܢ ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܤܡܬܟ ܢܘܗܪܐ ܠܥܡܡܐ ܕܬܗܘܐ ܠܚܝܐ ܥܕܡܐ ܠܤܘܦܝܗ ܕܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akisema: Nenda kwa watu hawa ukawaambie: kusikia mtasikia, lakini hamtaelewa; kutazama mtatazama, lakini hamtaona. \t ܟܕ ܐܡܪ ܕܙܠ ܠܘܬ ܥܡܐ ܗܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܫܡܥܐ ܬܫܡܥܘܢ ܘܠܐ ܬܤܬܟܠܘܢ ܘܬܚܙܘܢ ܘܠܐ ܬܒܚܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkuu wa jeshi akasema, \"Mimi nami nimekuwa raia wa Roma kwa kulipa gharama kubwa.\" Paulo akasema, \"Lakini mimi ni raia wa Roma kwa kuzaliwa.\" \t ܘܥܢܐ ܟܠܝܪܟܐ ܘܐܡܪ ܐܢܐ ܒܟܤܦܐ ܤܓܝܐܐ ܩܢܝܬܗ ܠܪܗܘܡܝܘܬܐ ܐܡܪ ܠܗ ܦܘܠܘܤ ܐܢܐ ܕܝܢ ܐܦ ܒܗ ܐܬܝܠܕܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hayo ndiyo mliyoitiwa; maana Kristo mwenyewe aliteseka kwa ajili yenu, akawaachieni mfano, ili muufuate mwenendo wake. \t ܠܗܕܐ ܓܝܪ ܐܬܩܪܝܬܘܢ ܕܐܦ ܡܫܝܚܐ ܡܝܬ ܚܠܦܝܢ ܘܫܒܩ ܠܢ ܗܢܐ ܛܘܦܤܐ ܕܐܢܬܘܢ ܒܥܩܒܬܗ ܬܗܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawauliza, \"Mnayo mikate mingapi?\" Nao wakamjibu, \"Saba.\" \t ܘܫܐܠ ܐܢܘܢ ܗܘ ܟܡܐ ܠܚܡܝܢ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܫܒܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ila, kabla ya mwisho kufika, hii Habari Njema ya Ufalme wa Mungu itahubiriwa ulimwenguni kote kama ushuhuda kwa mataifa yote. \t ܘܬܬܟܪܙ ܗܕܐ ܤܒܪܬܐ ܕܡܠܟܘܬܐ ܒܟܠܗ ܥܠܡܐ ܠܤܗܕܘܬܐ ܕܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܘܗܝܕܝܢ ܢܐܬܐ ܫܘܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, nira niwapayo mimi ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.\" \t ܫܩܘܠܘ ܢܝܪܝ ܥܠܝܟܘܢ ܘܝܠܦܘ ܡܢܝ ܕܢܝܚ ܐܢܐ ܘܡܟܝܟ ܐܢܐ ܒܠܒܝ ܘܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܢܝܚܐ ܠܢܦܫܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Joka lilipotambua kwamba limetupwa chini duniani, likaanza kumwinda yule mama aliyekuwa amejifungua mtoto wa kiume. \t ܘܟܕ ܚܙܐ ܬܢܝܢܐ ܕܐܬܪܡܝ ܥܠ ܐܪܥܐ ܪܕܦ ܠܐܢܬܬܐ ܐܝܕܐ ܕܝܠܕܬ ܕܟܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu wa kidunia hapokei mambo ya Roho wa Mungu. Kwake mtu huyo mambo hayo ni upumbavu mtupu; yanapita akili yake; maana yanaweza tu kutambuliwa kwa msaada wa Roho. \t ܒܪܢܫܐ ܓܝܪ ܕܒܢܦܫ ܗܘ ܠܐ ܡܩܒܠ ܪܘܚܢܝܬܐ ܫܛܝܘܬܐ ܐܢܝܢ ܓܝܪ ܠܗ ܘܠܐ ܡܫܟܚ ܕܢܕܥ ܕܒܪܘܚ ܡܬܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kila anayeishi na kuniamini, hatakufa kamwe. Je, waamini hayo?\" \t ܘܟܠ ܕܚܝ ܘܡܗܝܡܢ ܒܝ ܠܥܠܡ ܠܐ ܢܡܘܬ ܡܗܝܡܢܬܝ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo akajibu, \"Mimi ni Myahudi, mzaliwa wa Tarso katika Kilikia; mimi ni raia wa mji maarufu. Tafadhali, niruhusu niongee na watu. \t ܐܡܪ ܠܗ ܦܘܠܘܤ ܐܢܐ ܓܒܪܐ ܐܢܐ ܝܗܘܕܝܐ ܡܢ ܛܪܤܘܤ ܕܩܝܠܝܩܝܐ ܡܕܝܢܬܐ ܝܕܝܥܬܐ ܕܒܗ ܝܠܝܕ ܐܢܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟ ܐܦܤ ܠܝ ܠܡܡܠܠܘ ܠܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana yuleyule aliyesema: \"Usizini,\" alisema pia \"Usiue\". Kwa hiyo, hata ikiwa hukuzini lakini umeua, wewe umeivunja Sheria. \t ܗܘ ܓܝܪ ܕܐܡܪ ܕܠܐ ܬܓܘܪ ܗܘ ܐܡܪ ܕܠܐ ܬܩܛܘܠ ܐܢ ܕܝܢ ܠܐ ܓܐܪ ܐܢܬ ܐܠܐ ܩܛܠ ܐܢܬ ܗܘܝܬ ܠܟ ܥܒܪ ܥܠ ܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, mkono wa Bwana utakuadhibu: utakuwa kipofu na hutaweza kuuona mwanga wa jua kwa kitambo.\" Mara kila kitu kikawa kama ukungu na giza kwake, akaanza kwenda huku na huku akitafuta mtu wa kumshika mkono amwongoze. \t ܘܗܫܐ ܐܝܕܗ ܕܡܪܝܐ ܥܠܝܟ ܘܬܗܘܐ ܤܡܐ ܘܠܐ ܬܚܙܐ ܫܡܫܐ ܥܕܡܐ ܠܙܒܢܐ ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܢܦܠ ܥܠܘܗܝ ܥܡܛܢܐ ܘܚܫܘܟܐ ܘܡܬܟܪܟ ܗܘܐ ܘܒܥܐ ܕܡܢܘ ܢܐܚܘܕ ܒܐܝܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bali tuwapelekee barua kuwaambia wasile vyakula vilivyotiwa najisi kwa kutambikiwa sanamu za miungu; wajiepushe na uasherati; wasile mnyama yeyote aliyenyongwa, na wasinywe damu. \t ܐܠܐ ܢܫܬܠܚ ܠܗܘܢ ܕܢܗܘܘܢ ܦܪܝܩܝܢ ܡܢ ܛܡܐܘܬܐ ܕܕܒܝܚܐ ܘܡܢ ܙܢܝܘܬܐ ܘܡܢ ܕܚܢܝܩܐ ܘܡܢ ܕܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sisi tuliotangulia kumtumainia Kristo tunapaswa kuusifu utukufu wa Mungu! \t ܕܢܗܘܐ ܚܢܢ ܐܝܠܝܢ ܕܩܕܡܢ ܤܒܪܢ ܒܡܫܝܚܐ ܠܗܕܪܐ ܕܬܫܒܘܚܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Huyo mtu mashuhuri alirudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, na mara akaamuru wale watumishi aliowapa zile fedha waitwe ili aweze kujua kila mmoja amepata faida gani. \t ܘܟܕ ܢܤܒ ܡܠܟܘܬܐ ܘܗܦܟ ܐܡܪ ܕܢܩܪܘܢ ܠܗ ܗܢܘܢ ܥܒܕܘܗܝ ܕܝܗܒ ܠܗܘܢ ܟܤܦܐ ܕܢܕܥ ܡܢܐ ܟܠ ܚܕ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܐܬܬܓܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya majadiliano marefu, Petro alisimama, akasema, \"Ndugu zangu, ninyi mnafahamu kwamba hapo awali Mungu alipenda kunichagua mimi miongoni mwenu niihubiri Habari Njema, ili watu wa mataifa wapate kusikia na kuamini. \t ܘܟܕ ܗܘܬ ܒܥܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܩܡ ܫܡܥܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܓܒܪܐ ܐܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܡܢ ܝܘܡܬܐ ܩܕܡܝܐ ܡܢ ܦܘܡܝ ܕܝܠܝ ܓܒܐ ܐܠܗܐ ܕܢܫܡܥܘܢ ܥܡܡܐ ܡܠܬܐ ܕܤܒܪܬܐ ܘܢܗܝܡܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akamfikia Simoni Petro; naye Petro akasema, \"Bwana, wewe utaniosha miguu mimi?\" \t ܟܕ ܕܝܢ ܐܬܐ ܠܘܬ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܐܢܬ ܡܪܝ ܪܓܠܝ ܡܫܝܓ ܐܢܬ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mwana wa Mathusala, mwana wa Henoki, mwana wa Yaredi, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Kenani, \t ܒܪ ܡܬܘܫܠܚ ܒܪ ܚܢܘܟ ܒܪ ܝܪܕ ܒܪ ܡܗܠܠܐܝܠ ܒܪ ܩܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi basi, na tushukuru kwani tunapokea utawala usiotikisika. Tuwe na shukrani na kumwabudu Mungu kwa namna itakayompendeza, kwa ibada na hofu; \t ܡܛܠ ܗܟܝܠ ܕܩܒܠܢ ܡܠܟܘܬܐ ܕܠܐ ܡܬܙܝܥܐ ܢܐܚܘܕ ܛܝܒܘܬܐ ܕܒܗ ܢܫܡܫ ܘܢܫܦܪ ܠܐܠܗܐ ܒܬܚܡܨܬܐ ܘܒܕܚܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wale mababu walimwonea wivu Yosefu, wakamuuza utumwani Misri. Lakini Mungu alikuwa pamoja naye, \t ܘܗܢܘܢ ܐܒܗܬܢ ܛܢܘ ܒܝܘܤܦ ܘܙܒܢܘܗܝ ܠܡܨܪܝܢ ܘܐܠܗܐ ܥܡܗ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hawa wamekuwa watoto wa Mungu si kwa uwezo wa kibinadamu, wala kwa nguvu za kimwili, wala kwa mapenzi ya mtu, bali Mungu mwenyewe ndiye baba yao. \t ܐܝܠܝܢ ܕܠܘ ܡܢ ܕܡܐ ܘܠܐ ܡܢ ܨܒܝܢܐ ܕܒܤܪܐ ܘܠܐ ܡܢ ܨܒܝܢܐ ܕܓܒܪܐ ܐܠܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܬܝܠܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na awe mwenye sifa nzuri: aliyewalea watoto wake vizuri, aliyewakaribisha wageni nyumbani kwake, aliyewaosha miguu watu wa Mungu, aliyewasaidia watu wenye taabu, na aliyejitolea kufanya mambo mema. \t ܘܐܝܬ ܠܗ ܤܗܕܘܬܐ ܕܥܒܕܐ ܫܦܝܪܐ ܐܢ ܪܒܝܬ ܒܢܝܐ ܐܢ ܩܒܠܬ ܐܟܤܢܝܐ ܐܢ ܐܫܝܓܬ ܪܓܠܝܗܘܢ ܕܩܕܝܫܐ ܐܢ ܐܪܘܚܬ ܠܐܠܝܨܐ ܐܢ ܗܠܟܬ ܒܟܠ ܥܒܕ ܛܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa. \t ܐܕܡ ܓܝܪ ܐܬܓܒܠ ܠܘܩܕܡ ܘܗܝܕܝܢ ܚܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa; lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa. \t ܠܡܢ ܓܝܪ ܕܐܝܬ ܠܗ ܢܬܝܗܒ ܠܗ ܘܢܬܝܬܪ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nawaambieni kwamba watu wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi, nao wataketi karamuni pamoja na Abrahamu, Isaka na Yakobo katika Ufalme wa mbinguni. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܕܤܓܝܐܐ ܢܐܬܘܢ ܡܢ ܡܕܢܚܐ ܘܡܢ ܡܥܪܒܐ ܘܢܤܬܡܟܘܢ ܥܡ ܐܒܪܗܡ ܘܐܝܤܚܩ ܘܝܥܩܘܒ ܒܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.\" \t ܕܠܝܠܐ ܗܝ ܠܓܡܠܐ ܕܒܚܪܘܪܐ ܕܡܚܛܐ ܢܥܘܠ ܐܘ ܥܬܝܪܐ ܠܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika wa pili alimfuata huyo wa kwanza akisema, \"Ameanguka! Naam, Babuloni mkuu ameanguka! Babuloni ambaye aliwapa mataifa yote wainywe divai yake--divai kali ya uzinzi wake!\" \t ܘܐܚܪܢܐ ܕܬܪܝܢ ܢܩܝܦ ܗܘܐ ܠܗ ܘܐܡܪ ܢܦܠܬ ܢܦܠܬ ܒܒܝܠ ܪܒܬܐ ܐܝܕܐ ܕܡܢ ܚܡܬܐ ܕܙܢܝܘܬܗ ܐܫܩܝܬ ܠܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikiliza, utakuwa bubu kwa sababu huyasadiki haya maneno yatakayotimia kwa wakati wake. Hutaweza kusema mpaka hayo niliyokuambia yatakapotimia.\" \t ܡܟܝܠ ܬܗܘܐ ܫܬܝܩ ܘܠܐ ܬܫܟܚ ܠܡܡܠܠܘ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܐ ܕܗܠܝܢ ܢܗܘܝܢ ܥܠ ܕܠܐ ܗܝܡܢܬ ܠܡܠܝ ܗܠܝܢ ܕܡܬܡܠܝܢ ܒܙܒܢܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi, lakini, mlipata kumiminiwa Roho Mtakatifu na Kristo, na hivyo mnaujua ukweli. \t ܘܐܢܬܘܢ ܡܫܝܚܘܬܐ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܡܢ ܩܕܝܫܐ ܘܦܪܫܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܘ ܠܟܠ ܐܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mheshimiwa Theofilo: Watu wengi wamejitahidi kuandika juu ya mambo yale yaliyotendeka kati yetu. \t ܡܛܠ ܕܤܓܝܐܐ ܨܒܘ ܕܢܟܬܒܘܢ ܬܫܥܝܬܐ ܕܤܘܥܪܢܐ ܐܝܠܝܢ ܕܚܢܢ ܡܦܤܝܢ ܚܢܢ ܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na sasa yeye si mtumwa tu, ila ni bora zaidi ya mtumwa: yeye ni ndugu yetu mpenzi. Na wa maana sana kwangu mimi, na kwako atakuwa wa maana zaidi kama mtumwa na kama ndugu katika Bwana. \t ܠܐ ܡܟܝܠ ܐܝܟ ܥܒܕܐ ܐܠܐ ܝܬܝܪ ܡܢ ܥܒܕܐ ܐܚܐ ܚܒܝܒܐ ܕܝܠܝ ܚܕ ܟܡܐ ܕܝܠܟ ܘܒܒܤܪ ܘܒܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Ya kwanza ndiyo hii: Sikiliza, Israeli! Bwana Mungu wetu ndiye peke yake Bwana. \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܩܕܡܝ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܦܘܩܕܢܐ ܫܡܥ ܐܝܤܪܝܠ ܡܪܝܐ ܐܠܗܢ ܡܪܝܐ ܚܕ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Haya basi, nyumba yako itaachwa mahame. \t ܐܡܪܢܐ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܕܠܐ ܬܚܙܘܢܢܝ ܡܢ ܗܫܐ ܥܕܡܐ ܕܬܐܡܪܘܢ ܒܪܝܟ ܗܘ ܕܐܬܐ ܒܫܡܗ ܕܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulipokuwa jioni, wanafunzi wake walimwendea wakamwambia, \"Mahali hapa ni nyikani, na saa zimepita. Basi, uwaage watu ili waende vijijini wakajinunulie chakula.\" \t ܟܕ ܗܘܐ ܕܝܢ ܪܡܫܐ ܩܪܒܘ ܠܘܬܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܐܬܪܐ ܚܘܪܒܐ ܗܘ ܘܥܕܢܐ ܥܒܪ ܠܗ ܫܪܝ ܟܢܫܐ ܕܐܢܫܐ ܕܢܐܙܠܘܢ ܠܩܘܪܝܐ ܘܢܙܒܢܘܢ ܠܗܘܢ ܤܝܒܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, mtu akiwaambieni siku hizo: Kristo yuko hapa au Yuko pale, msimsadiki. \t ܗܝܕܝܢ ܐܢ ܐܢܫ ܢܐܡܪ ܠܟܘܢ ܗܐ ܗܪܟܐ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܐܘ ܗܪܟܐ ܠܐ ܬܗܝܡܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe ulimwengu. \t ܠܐ ܓܝܪ ܫܕܪ ܐܠܗܐ ܠܒܪܗ ܠܥܠܡܐ ܕܢܕܘܢܝܘܗܝ ܠܥܠܡܐ ܐܠܐ ܕܢܚܐ ܠܥܠܡܐ ܒܐܝܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi ya walimu wa Sheria wakaanza kufikiri, \"Mtu huyu anamkufuru Mungu!\" \t ܐܢܫܐ ܕܝܢ ܡܢ ܤܦܪܐ ܐܡܪܘ ܒܢܦܫܗܘܢ ܗܢܐ ܡܓܕܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walikuwa wanaimba wimbo mpya mbele ya kiti cha enzi na mbele ya wale viumbe hai wanne na wale wazee. Hakuna mtu aliyeweza kujifunza wimbo huo isipokuwa hao watu mia moja arobaini na nne elfu waliokombolewa duniani. \t ܘܡܫܒܚܝܢ ܐܝܟ ܬܫܒܘܚܬܐ ܚܕܬܐ ܩܕܡ ܟܘܪܤܝܐ ܘܩܕܡ ܐܪܒܥ ܚܝܘܢ ܘܩܕܡ ܩܫܝܫܐ ܘܠܐ ܐܢܫ ܐܬܡܨܝ ܠܡܐܠܦܗ ܠܬܫܒܘܚܬܐ ܐܠܐ ܐܢ ܡܐܐ ܘܐܪܒܥܝܢ ܘܐܪܒܥܐ ܐܠܦܝܢ ܙܒܝܢܝ ܡܢ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni sivyo; lakini nanyi msipotubu, mtaangamia kama wao.\" \t ܠܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܕܐܠܐ ܬܬܘܒܘܢ ܟܠܟܘܢ ܐܟܘܬܗܘܢ ܬܐܒܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Maandiko yasema: \"Wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.\" \t ܡܤܗܕ ܓܝܪ ܥܠܘܗܝ ܕܐܢܬ ܗܘ ܟܘܡܪܐ ܠܥܠV ܒܕܡܘܬܗ ܕܡܠܟܝܙܕܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ninyi nyote ni mwili wa Kristo; kila mmoja wenu ni kiungo cha mwili huo. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܦܓܪܗ ܐܢܬܘܢ ܕܡܫܝܚܐ ܘܗܕܡܐ ܒܕܘܟܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wanafunzi wake wakamwambia, \"Ahaa! Sasa unasema waziwazi kabisa bila kutumia mafumbo. \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܗܐ ܗܫܐ ܓܠܝܐܝܬ ܡܡܠܠ ܐܢܬ ܘܦܠܐܬܐ ܘܠܐ ܚܕܐ ܐܡܪ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wakati wema na upendo wa Mungu, Mwokozi wetu, ulipofunuliwa, \t ܟܕ ܕܝܢ ܐܬܓܠܝܬ ܒܤܝܡܘܬܗ ܘܡܪܚܡܢܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܡܚܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilikuwa tu baada ya miaka mitatu, ndipo nilipokwenda Yerusalemu kuonana na Kefa; nilikaa kwake siku kumi na tano. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܬܠܬ ܫܢܝܢ ܐܙܠܬ ܠܐܘܪܫܠܡ ܕܐܚܙܐ ܠܟܐܦܐ ܘܩܘܝܬ ܠܘܬܗ ܝܘܡܬܐ ܚܡܫܬܥܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa malaika wa kanisa la Pergamoni andika hivi: \"Huu ndio ujumbe wake yeye aliye na upanga mkali wenye kuwili. \t ܘܠܡܠܐܟܐ ܕܒܥܕܬܐ ܕܦܪܓܡܐ ܟܬܘܒ ܗܟܢܐ ܐܡܪ ܗܘ ܕܐܝܬ ܠܗ ܚܪܒܐ ܚܪܝܦܬܐ ܕܬܪܝܢ ܦܘܡܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hawa wote walikusanyika pamoja kusali, pamoja na wanawake kadha wa kadha, na Maria mama yake Yesu, na ndugu zake. \t ܗܠܝܢ ܟܠܗܘܢ ܐܟܚܕܐ ܐܡܝܢܝܢ ܗܘܘ ܒܨܠܘܬܐ ܒܚܕܐ ܢܦܫ ܥܡ ܢܫܐ ܘܥܡ ܡܪܝܡ ܐܡܗ ܕܝܫܘܥ ܘܥܡ ܐܚܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengine watauawa kwa upanga, wengine watachukuliwa mateka katika nchi zote; na mji wa Yerusalemu utakanyagwa na watu wa mataifa mengine, hadi nyakati zao zitakapotimia. \t ܘܢܦܠܘܢ ܒܦܘܡܐ ܕܚܪܒܐ ܘܢܫܬܒܘܢ ܠܟܠ ܐܬܪ ܘܐܘܪܫܠܡ ܬܗܘܐ ܡܬܕܝܫܐ ܡܢ ܥܡܡܐ ܥܕܡܐ ܕܢܫܠܡܘܢ ܙܒܢܐ ܕܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawajibu: Kila aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܟܠ ܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܢܬܝܗܒ ܠܗ ܘܡܢ ܗܘ ܕܠܝܬ ܠܗ ܐܦ ܗܘ ܕܐܝܬ ܠܗ ܢܬܢܤܒ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana, hata kama dhamiri yetu yatuhukumu, twajua kwamba Mungu ni mkuu zaidi kuliko dhamiri, na kwamba yeye ajua kila kitu. \t ܕܐܢ ܗܘ ܠܒܢ ܒܤܪ ܠܢ ܟܡܐ ܐܠܗܐ ܕܪܒ ܡܢ ܠܒܢ ܘܝܕܥ ܟܠܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama tu mngejua maana ya maneno haya: Nataka huruma wala si dhabihu, hamngewahukumu watu wasio na hatia. \t ܐܠܘ ܕܝܢ ܝܕܥܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܡܢܘ ܚܢܢܐ ܨܒܐ ܐܢܐ ܘܠܐ ܕܒܚܬܐ ܠܐ ܡܚܝܒܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܕܠܐ ܥܕܠܝ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Juu ya hilo Sanduku kulikuwa na viumbe vilivyodhihirisha kuweko kwa Mungu, na mabawa yao yalitanda juu ya mahali ambapo dhambi huondolewa. Lakini sasa, hatuwezi kusema kinaganaga juu ya mambo hayo. \t ܘܠܥܠ ܡܢܗ ܟܪܘܒܐ ܕܫܘܒܚܐ ܕܡܛܠܝܢ ܥܠ ܚܘܤܝܐ ܠܐ ܗܘܐ ܕܝܢ ܙܒܢܐ ܗܘ ܕܢܐܡܪ ܥܠ ܚܕܐ ܚܕܐ ܡܢ ܗܠܝܢ ܕܗܟܢܐ ܡܬܩܢܢ ܗܘܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipopata lulu moja ya thamani kubwa, alienda akauza yote aliyokuwa nayo, akainunua lulu ile. \t ܟܕ ܕܝܢ ܐܫܟܚ ܡܪܓܢܝܬܐ ܚܕܐ ܝܩܝܪܬ ܕܡܝܐ ܐܙܠ ܙܒܢ ܟܠ ܡܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܘܙܒܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nao wawili watakuwa mwili mmoja. Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja. \t ܘܢܗܘܘܢ ܬܪܝܗܘܢ ܚܕ ܒܤܪ ܡܟܝܠ ܠܐ ܗܘܘ ܬܪܝܢ ܐܠܐ ܚܕ ܒܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo Yesu alitoka Galilaya akafika katika mto Yordani, akamwendea Yohane ili abatizwe naye. \t ܗܝܕܝܢ ܐܬܐ ܝܫܘܥ ܡܢ ܓܠܝܠܐ ܠܝܘܪܕܢܢ ܠܘܬ ܝܘܚܢܢ ܕܢܥܡܕ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, mimi niliwashinda wengi wa wananchi wenzangu wa rika langu katika kuizingatia dini ya Kiyahudi, nikajitahidi sana kuyashika mapokeo ya wazee wetu. \t ܘܡܬܝܬܪ ܗܘܝܬ ܒܝܗܘܕܝܘܬܐ ܛܒ ܡܢ ܤܓܝܐܐ ܒܢܝ ܫܢܝ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܒܛܘܗܡܝ ܘܝܬܝܪܐܝܬ ܛܐܢ ܗܘܝܬ ܒܝܘܠܦܢܐ ܕܐܒܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anapaswa kuwa mmoja wa wale waliokuwa katika kundi letu wakati wote Bwana alipokuwa anasafiri pamoja nasi, tangu wakati Yohane alipokuwa anabatiza mpaka siku ile Yesu alipochukuliwa kutoka kwetu kwenda mbinguni.\" \t ܕܐܩܦ ܡܢ ܡܥܡܘܕܝܬܗ ܕܝܘܚܢܢ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܐ ܕܐܤܬܠܩ ܡܢ ܠܘܬܢ ܕܗܘ ܢܗܘܐ ܥܡܢ ܤܗܕܐ ܕܩܝܡܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, kwa mapendo Sheria yote hutimizwa. \t ܚܘܒܐ ܠܩܪܝܒܗ ܒܝܫܬܐ ܠܐ ܤܥܪ ܡܛܠ ܕܚܘܒܐ ܡܘܠܝܗ ܗܘ ܕܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, kuhusu kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa njia ya imani, yasemwa hivi: \"Usiseme moyoni mwako: Nani atapanda mpaka mbinguni? (yaani, kumleta Kristo chini); \t ܟܐܢܘܬܐ ܕܝܢ ܕܒܗܝܡܢܘܬܐ ܗܟܢܐ ܐܡܪܐ ܕܠܐ ܬܐܡܪ ܒܠܒܟ ܕܡܢܘ ܤܠܩ ܠܫܡܝܐ ܘܐܚܬ ܠܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, \"Mimi simjui mtu huyu mnayesema habari zake.\" \t ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܩܪܐ ܬܪܢܓܠܐ ܕܬܪܬܝܢ ܙܒܢܝܢ ܘܐܬܕܟܪ ܫܡܥܘܢ ܡܠܬܗ ܕܝܫܘܥ ܕܐܡܪ ܗܘܐ ܠܗ ܕܩܕܡ ܕܢܩܪܐ ܬܪܢܓܠܐ ܬܪܬܝܢ ܙܒܢܝܢ ܬܠܬ ܬܟܦܘܪ ܒܝ ܘܫܪܝ ܕܢܒܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, nawaombeni msife moyo kwa sababu ya mateso ninayopata kwa ajili yenu, maana hayo ni kwa ajili ya utukufu wenu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܫܐܠܢܐ ܕܠܐ ܬܡܐܢ ܠܝ ܒܐܘܠܨܢܝ ܕܥܠ ܐܦܝܟܘܢ ܕܗܕܐ ܗܝ ܬܫܒܘܚܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na tena: \"Enyi mataifa yote, msifuni Bwana; enyi watu wote, msifuni.\" \t ܘܬܘܒ ܐܡܪ ܫܒܚܘ ܠܡܪܝܐ ܟܠܟܘܢ ܥܡܡܐ ܫܒܚܝܗܝ ܟܠܗܝܢ ܐܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama basi, ninyi si hamjawa waaminifu mali mbaya za dunia, ni nani atakayewakabidhi zile mali za kweli? \t ܐܢ ܗܟܝܠ ܒܡܡܘܢܐ ܕܥܘܠܐ ܡܗܝܡܢܐ ܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܫܪܪܐ ܠܟܘܢ ܡܢܘ ܡܗܝܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wakati ule maalumu ulipotimia, Mungu alimtuma Mwanawe aliyezaliwa na mwanamke, akaishi chini ya Sheria \t ܟܕ ܡܛܐ ܕܝܢ ܫܘܠܡܗ ܕܙܒܢܐ ܫܕܪ ܐܠܗܐ ܠܒܪܗ ܘܗܘܐ ܡܢ ܐܢܬܬܐ ܘܗܘܐ ܬܚܝܬ ܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamwendea, wakamwambia, \"Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu unayesema ukweli mtupu, wala humjali mtu yeyote. Wala cheo cha mtu si kitu kwako, lakini wafundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu. Je, ni halali kulipa kodi kwa Kaisari, au la? Tulipe au tusilipe?\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܬܘ ܘܫܐܠܘܗܝ ܡܠܦܢܐ ܝܕܥܝܢ ܚܢܢ ܕܫܪܝܪ ܐܢܬ ܘܠܐ ܫܩܝܠ ܐܢܬ ܨܦܬܐ ܠܐܢܫ ܠܐ ܓܝܪ ܚܐܪ ܐܢܬ ܒܦܪܨܘܦܐ ܕܒܢܝ ܐܢܫܐ ܐܠܐ ܒܫܪܪܐ ܐܘܪܚܐ ܕܐܠܗܐ ܡܠܦ ܐܢܬ ܫܠܝܛ ܠܡܬܠ ܟܤܦ ܪܫܐ ܠܩܤܪ ܐܘ ܠܐ ܢܬܠ ܐܘ ܠܐ ܢܬܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Abrahamu akasema: Kama hawawasikilizi Mose na manabii, hawatajali hata kama mtu angefufuka kutoka wafu.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܐܒܪܗܡ ܐܢ ܠܡܘܫܐ ܘܠܢܒܝܐ ܠܐ ܫܡܥܝܢ ܐܦ ܠܐ ܐܢ ܐܢܫ ܡܢ ܡܝܬܐ ܢܩܘܡ ܡܗܝܡܢܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Petro alisimama pamoja na wale kumi na mmoja akaanza kuwahutubia watu kwa sauti kubwa: \"Ndugu Wayahudi nanyi nyote mnaokaa hapa Yerusalemu, sikilizeni kwa makini maneno yangu. \t ܒܬܪܟܢ ܩܡ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܥܡ ܚܕܥܤܪ ܫܠܝܚܝܢ ܘܐܪܝܡ ܩܠܗ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܓܒܪܐ ܝܗܘܕܝܐ ܘܟܠܗܘܢ ܕܥܡܪܝܢ ܒܐܘܪܫܠܡ ܗܕܐ ܬܬܝܕܥ ܠܟܘܢ ܘܨܘܬܘ ܡܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Abrahamu, baba yenu, alishangilia aione siku yangu; naye aliiona, akafurahi.\" \t ܐܒܪܗܡ ܐܒܘܟܘܢ ܡܤܘܚ ܗܘܐ ܕܢܚܙܐ ܝܘܡܝ ܘܚܙܐ ܘܚܕܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana nadhani itakuwa kichekesho kumpeleka mfungwa bila kutaja wazi mashtaka yanayomkabili.\" \t ܠܐ ܓܝܪ ܘܠܐ ܕܟܕ ܡܫܕܪܝܢܢ ܓܒܪܐ ܐܤܝܪܐ ܕܠܐ ܢܟܬܘܒ ܤܟܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule aliyekufa akaketi, akaanza kuongea. Na Yesu akamkabidhi kwa mama yake. \t ܘܝܬܒ ܗܘ ܡܝܬܐ ܘܫܪܝ ܠܡܡܠܠܘ ܘܝܗܒܗ ܠܐܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati nitakapokuja kwenu, nitawatuma wale mtakaowachagua miongoni mwenu wapeleke barua na zawadi zenu Yerusalemu. \t ܘܡܐ ܕܐܬܝܬ ܠܐܝܠܝܢ ܕܓܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗܘܢ ܐܫܕܪ ܒܐܓܪܬܐ ܕܢܘܒܠܘܢ ܛܝܒܘܬܟܘܢ ܠܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mvunaji anapata mshahara wake, na anakusanya mavuno kwa ajili ya uzima wa milele; hivyo mpandaji na mvunaji watafurahi pamoja. \t ܘܐܝܢܐ ܕܚܨܕ ܐܓܪܐ ܢܤܒ ܘܟܢܫ ܦܐܪܐ ܠܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܘܙܪܘܥܐ ܘܚܨܘܕܐ ܐܟܚܕܐ ܢܚܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtu akitembea usiku atajikwaa kwa maana mwanga haumo ndani yake.\" \t ܐܢ ܐܢܫ ܕܝܢ ܒܠܠܝܐ ܢܗܠܟ ܡܬܬܩܠ ܡܛܠ ܕܢܗܝܪܐ ܠܝܬ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mlijifunza juu ya neema ya Mungu kutoka kwa Epafra, mtumishi mwenzetu, ambaye ni mfanyakazi mwaminifu wa Kristo kwa niaba yetu. \t ܐܝܟ ܡܐ ܕܝܠܦܬܘܢ ܡܢ ܐܦܦܪܐ ܟܢܬܢ ܚܒܝܒܐ ܕܗܘ ܐܝܬܘܗܝ ܚܠܦܝܟܘܢ ܡܫܡܫܢܐ ܡܗܝܡܢܐ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu. \t ܘܐܢܫܝܢ ܡܢܗܘܢ ܐܙܠܘ ܠܘܬ ܦܪܝܫܐ ܘܐܡܪܘ ܠܗܘܢ ܡܕܡ ܕܥܒܕ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Angalia sana mambo yako mwenyewe, na mafundisho yako. Endelea kufanya hayo maana ukifanya hivyo utajiokoa mwenyewe na wale wanaokusikiliza. \t ܘܐܙܕܗܪ ܒܢܦܫܟ ܘܒܝܘܠܦܢܟ ܘܚܡܤܢ ܒܗܘܢ ܟܕ ܗܠܝܢ ܓܝܪ ܬܥܒܕ ܢܦܫܟ ܬܚܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܫܡܥܝܢ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, pana mtu yeyote miongoni mwenu aliye na shida? Anapaswa kusali. Je, yuko mwenye furaha? Anapaswa kuimba nyimbo za sifa. \t ܘܐܢ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܢܗܘܐ ܒܐܘܠܨܢܐ ܢܗܘܐ ܡܨܠܐ ܘܐܢ ܚܕܐ ܢܗܘܐ ܡܙܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila kitu hufanywa kufuatana na mpango na uamuzi wa Mungu; naye Mungu ametuteua sisi tuwe watu wake kwa mapenzi yake katika kuungana na Kristo, kufuatana na azimio alilofanya tangu mwanzo. \t ܘܒܗ ܚܢܢ ܐܬܓܒܝܢ ܐܝܟ ܕܩܕܡ ܪܫܡܢ ܘܨܒܐ ܗܘ ܕܟܠ ܤܥܪ ܐܝܟ ܬܪܥܝܬܐ ܕܨܒܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwani haya yote yanahusika na vyakula, vinywaji na taratibu mbalimbali za kutawadha. Yote hayo ni maagizo ya njenje tu; na nguvu yake hukoma wakati Mungu atakaporekebisha vitu vyote. \t ܐܠܐ ܒܡܐܟܠܐ ܘܒܡܫܬܝܐ ܒܠܚܘܕ ܘܒܡܥܡܘܕܝܬܐ ܕܙܢܝܢ ܙܢܝܢ ܕܐܝܬܝܗܝܢ ܦܘܩܕܐ ܕܒܤܪܐ ܕܤܝܡܝܢ ܥܕܡܐ ܠܙܒܢܐ ܕܬܘܪܨܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo hakuna awezaye kusema amebatizwa kwa jina langu. \t ܕܠܐ ܐܢܫ ܢܐܡܪ ܕܒܫܡܝ ܐܥܡܕܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ikiwa mimi sifahamu maana ya lugha asemayo mtu fulani, mimi ni mgeni kwake mtu huyo naye pia ni mgeni kwangu. \t ܘܐܢ ܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܚܝܠܗ ܕܩܠܐ ܗܘܐ ܐܢܐ ܠܝ ܒܪܒܪܝܐ ܠܗܘ ܕܡܡܠܠ ܘܐܦ ܗܘ ܕܡܡܠܠ ܗܘܐ ܠܗ ܠܝ ܒܪܒܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuandikishwa huku kulikuwa mara ya kwanza, wakati Kirenio alipokuwa mkuu wa mkoa wa Siria. \t ܗܕܐ ܡܟܬܒܢܘܬܐ ܩܕܡܝܬܐ ܗܘܬ ܒܗܓܡܢܘܬܐ ܕܩܘܪܝܢܘܤ ܒܤܘܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walikuta lile jiwe limeviringishwa mbali na kaburi. \t ܘܐܫܟܚ ܟܐܦܐ ܕܡܥܓܠܐ ܡܢ ܒܝܬ ܩܒܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Habari hiyo ikavuma sana katika nchi ile yote. \t ܘܢܦܩ ܛܒܐ ܗܢܐ ܒܟܠܗ ܐܪܥܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lile shamba ni ulimwengu. Zile mbegu nzuri ni watu wale ambao Ufalme ni wao. Lakini yale magugu ni wale watu wa yule Mwovu. \t ܘܩܪܝܬܐ ܐܝܬܝܗ ܥܠܡܐ ܙܪܥܐ ܕܝܢ ܛܒܐ ܒܢܝܗ ܐܢܘܢ ܕܡܠܟܘܬܐ ܙܝܙܢܐ ܕܝܢ ܐܝܬܝܗܘܢ ܒܢܘܗܝ ܕܒܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndivyo itakavyokuwa siku ile Mwana wa Mtu atakapofunuliwa. \t ܗܟܢܐ ܢܗܘܐ ܒܝܘܡܐ ܕܡܬܓܠܐ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayevunja amri mojawapo ya Sheria, atakuwa na hatia ya kuivunja Sheria yote. \t ܐܝܢܐ ܓܝܪ ܕܟܠܗ ܢܡܘܤܐ ܢܛܪ ܘܒܚܕܐ ܫܪܥ ܠܟܠܗ ܢܡܘܤܐ ܐܬܚܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni. \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܡܒܪܟ ܠܗܘܢ ܐܬܦܪܫ ܡܢܗܘܢ ܘܤܠܩ ܠܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(G13-13) Neema ya Bwana Yesu Kristo na upendo wa Mungu na umoja wa Roho Mtakatifu, viwe nanyi nyote. \t ܫܠܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܚܘܒܗ ܕܐܠܗܐ ܘܫܘܬܦܘܬܐ ܕܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܥܡ ܟܠܟܘܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama ilivyokuwa nyakati za Noa, ndivyo itakavyokuwa katika siku za Mwana wa Mtu. \t ܘܐܝܟܢܐ ܕܗܘܐ ܒܝܘܡܬܗ ܕܢܘܚ ܗܟܢܐ ܢܗܘܐ ܒܝܘܡܬܗ ܕܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokea kwake kutafanyika wakati ufaao uliopangwa na Mungu mwenye heri na aliye Mtawala pekee, Mfalme wa wafalme, na Bwana wa mabwana. \t ܗܘ ܕܥܬܝܕ ܒܙܒܢܗ ܢܚܘܝܘܗܝ ܐܠܗܐ ܡܒܪܟܐ ܘܚܝܠܬܢܐ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܡܠܟܐ ܕܡܠܟܐ ܘܡܪܐ ܕܡܪܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Juu ya vazi lake, na juu ya mguu wake, alikuwa ameandikwa jina: \"Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.\" \t ܘܐܝܬ ܠܗ ܥܠ ܡܐܢܘܗܝ ܥܠ ܥܛܡܬܗ ܫܡܐ ܟܬܝܒܐ ܡܠܟܐ ܕܡܠܟܐ ܘܡܪܐ ܕܡܪܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama anaona hataweza, atawatuma wajumbe kutaka masharti ya amani wakati mfalme huyo mwingine angali mbali. \t ܘܐܢ ܕܝܢ ܠܐ ܥܕ ܗܘ ܪܚܝܩ ܡܢܗ ܡܫܕܪ ܐܝܙܓܕܐ ܘܒܥܐ ܥܠ ܫܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu. \t ܘܝܗܘܕܐ ܤܟܪܝܘܛܐ ܗܘ ܕܐܫܠܡܗ ܘܐܬܘ ܠܒܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha mtu mwingine miongoni mwa wanafunzi wake akamwambia, \"Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu.\" \t ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܡܪ ܠܗ ܡܪܝ ܐܦܤ ܠܝ ܠܘܩܕܡ ܐܙܠ ܐܩܒܘܪ ܐܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akawaambia wote, \"Jihadharini na kila aina ya tamaa; maana uzima wa mtu hautegemei wingi wa vitu alivyo navyo.\" \t ܘܐܡܪ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܙܕܗܪܘ ܡܢ ܟܠܗ ܝܥܢܘܬܐ ܡܛܠ ܕܠܐ ܗܘܐ ܒܝܬܝܪܘܬܐ ܕܢܟܤܐ ܐܝܬ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mahali hapo palikuwa na kisima cha Yakobo, naye Yesu, kutokana na uchovu wa safari, akaketi kando ya kisima. Ilikuwa yapata saa sita mchana. \t ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܬܡܢ ܡܥܝܢܐ ܕܡܝܐ ܕܝܥܩܘܒ ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܠܐܐ ܗܘܐ ܡܢ ܥܡܠܐ ܕܐܘܪܚܐ ܘܝܬܒ ܗܘܐ ܠܗ ܥܠ ܡܥܝܢܐ ܘܐܝܬ ܗܘܝ ܫܬ ܫܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ya nini basi, Sheria? Iliongezwa hapo ili kuonyesha uhalifu ni kitu gani, mpaka atakapokuja yule mzawa wa Abrahamu aliyepewa ile ahadi. Sheria ililetwa na malaika kwa mkono wa mpatanishi. \t ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܢܡܘܤܐ ܡܛܠ ܡܤܛܝܢܘܬܐ ܐܬܬܘܤܦ ܥܕܡܐ ܕܢܐܬܐ ܙܪܥܐ ܗܘ ܕܠܗ ܗܘܐ ܫܘܘܕܝܐ ܘܐܬܝܗܒ ܗܘ ܢܡܘܤܐ ܒܝܕ ܡܠܐܟܐ ܒܐܝܕܐ ܕܡܨܥܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika safari hiyo alipitia Siria na Kilikia akiyaimarisha makanisa. \t ܘܪܕܐ ܗܘܐ ܒܤܘܪܝܐ ܘܒܩܝܠܝܩܝܐ ܘܡܩܝܡ ܥܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara tu alipokwisha twaa hicho kitabu, vile viumbe hai vinne pamoja na wale wazee ishirini na wanne walianguka kifudifudi mbele ya Mwanakondoo. Kila mmoja, alikuwa na kinubi na bakuli za dhahabu zilizojaa ubani, ambao ni sala za watu wa Mungu. \t ܘܟܕ ܫܩܠܗ ܠܟܬܒܐ ܐܪܒܥ ܚܝܘܢ ܘܥܤܪܝܢ ܘܐܪܒܥܐ ܩܫܝܫܝܢ ܢܦܠܘ ܩܕܡܘܗܝ ܕܐܡܪܐ ܟܕ ܐܝܬ ܠܟܠܚܕ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܩܝܬܪܐ ܘܙܒܘܪܐ ܕܕܗܒܐ ܕܡܠܝܐ ܒܤܡܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܝܢ ܨܠܘܬܐ ܕܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mmoja anapaswa kutumia kipaji alichojaliwa na Mungu kwa faida ya wengine, kama vile uwakili mwema wa zawadi mbalimbali za Mungu. \t ܘܟܠܢܫ ܡܢܟܘܢ ܡܘܗܒܬܐ ܕܩܒܠ ܡܢ ܐܠܗܐ ܢܫܡܫ ܒܗ ܠܚܒܪܘܗܝ ܐܝܟ ܪܒܝ ܒܬܐ ܛܒܐ ܕܛܝܒܘܬܐ ܡܦܪܫܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tunaamini, na tunajua kwamba wewe ndiwe yule Mtakatifu wa Mungu.\" \t ܘܚܢܢ ܗܝܡܢܢ ܘܝܕܥܢ ܕܐܢܬ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo, nampigia magoti Baba, \t ܘܟܐܦܢܐ ܒܘܪܟܝ ܠܘܬ ܐܒܘܗܝ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa Bethania, nyumbani kwa Simoni, aitwaye Mkoma, \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܒܒܝܬ ܥܢܝܐ ܒܒܝܬܗ ܕܫܡܥܘܢ ܓܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo aliyetaka kumsaliti Yesu, alikuwa amekwisha wapa ishara akisema: \"Yule nitakayembusu ndiye; mkamateni.\" \t ܘܝܗܒ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܐܬܐ ܝܗܘܕܐ ܡܫܠܡܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘ ܕܢܫܩ ܐܢܐ ܗܘܝܘ ܠܗ ܐܚܘܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wakati huo kaka yake alikuwa bado shambani. Alipokuwa akirudi na kukaribia nyumbani akasikia vifijo na ngoma. \t ܗܘ ܕܝܢ ܒܪܗ ܩܫܝܫܐ ܒܩܪܝܬܐ ܗܘܐ ܘܟܕ ܐܬܐ ܘܩܪܒ ܠܘܬ ܒܝܬܐ ܫܡܥ ܩܠ ܙܡܪܐ ܕܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenendo wetu uwe wa adabu kama inavyostahili wakati wa mchana; tusiwe na ulafi na ulevi, uchafu na uasherati, ugomvi na wivu. \t ܘܐܝܟ ܕܒܐܝܡܡܐ ܒܐܤܟܡܐ ܢܗܠܟ ܠܐ ܒܙܡܪܐ ܘܠܐ ܒܪܘܝܘܬܐ ܘܠܐ ܒܡܕܡܟܐ ܛܢܦܐ ܘܠܐ ܒܚܤܡܐ ܘܒܚܪܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya wale wageni kuondoka, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto, akamwambia, \"Amka! Mchukue mtoto pamoja na mama yake, mkimbilie Misri. Kaeni huko mpaka nitakapokwambia, maana Herode anakusudia kumwua huyu mtoto.\" \t ܟܕ ܕܝܢ ܐܙܠܘ ܐܬܚܙܝ ܡܠܐܟܐ ܕܡܪܝܐ ܒܚܠܡܐ ܠܝܘܤܦ ܘܐܡܪ ܠܗ ܩܘܡ ܕܒܪ ܠܛܠܝܐ ܘܠܐܡܗ ܘܥܪܘܩ ܠܡܨܪܝܢ ܘܬܡܢ ܗܘܝ ܥܕܡܐ ܕܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܥܬܝܕ ܗܘ ܓܝܪ ܗܪܘܕܤ ܠܡܒܥܝܗ ܠܛܠܝܐ ܐܝܟ ܕܢܘܒܕܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwamba alikuwa amemwambia Herode, \"Si halali kwako kuishi na huyo mwanamke!\" \t ܐܡܪ ܗܘܐ ܠܗ ܓܝܪ ܝܘܚܢܢ ܕܠܐ ܫܠܝܛ ܕܬܗܘܐ ܠܟ ܐܢܬܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Haya, basi, ndugu yangu, nifanyie jambo hilo kwa ajili ya jina la Bwana; burudisha moyo wangu kama ndugu katika Kristo. \t ܐܝܢ ܐܚܝ ܐܢܐ ܐܬܬܢܝܚ ܒܟ ܒܡܪܢ ܐܢܝܚ ܪܚܡܝ ܒܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hii ndiyo amri yangu: pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda ninyi. \t ܗܢܘ ܦܘܩܕܢܝ ܕܬܚܒܘܢ ܚܕ ܠܚܕ ܐܝܟܢܐ ܕܐܢܐ ܐܚܒܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kutumia udanganyifu wa kila namna kwa wale walio katika mkumbo wa kupotea. Hao watapotea kwa sababu hawakuupokea na kuupenda ule ukweli ili waokolewe. \t ܘܒܟܠܗ ܛܘܥܝܝ ܕܥܘܠܐ ܕܗܘܝܐ ܒܐܒܝܕܐ ܥܠ ܕܠܐ ܩܒܠܘ ܚܘܒܐ ܕܩܘܫܬܐ ܕܒܗ ܢܚܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanyang'anyi wawili walisulubishwa pia pamoja naye, mmoja upande wa kushoto na mwingine upande wa kulia. \t ܘܐܙܕܩܦܘ ܥܡܗ ܬܪܝܢ ܠܤܛܝܐ ܚܕ ܡܢ ܝܡܝܢܗ ܘܚܕ ܡܢ ܤܡܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana dhambi zake zimekuwa nyingi mno, zimelundikana mpaka mbinguni, na Mungu ameyakumbuka maovu yake. \t ܡܛܠ ܕܕܒܩܘ ܒܗ ܚܛܗܐ ܥܕܡܐ ܠܫܡܝܐ ܘܐܬܕܟܪ ܐܠܗܐ ܥܘܠܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mnajua kwamba sisi hatukuja kwenu na maneno matamu ya kubembeleza wala hatukutumia maneno ya kijanja ya kuficha ubinafsi fulani; Mungu ni shahidi! \t ܐܦܠܐ ܓܝܪ ܡܡܬܘܡ ܐܬܚܫܚܢ ܒܡܡܠܠܐ ܫܕܠܐ ܐܝܟ ܕܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܠܐ ܒܥܠܬܐ ܕܝܥܢܘܬܐ ܐܠܗܐ ܤܗܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na alipotolewa nje, binti wa Farao alimchukua, akamlea kama mtoto wake. \t ܘܟܕ ܐܫܬܕܝ ܡܢ ܐܡܗ ܐܫܟܚܬܗ ܒܪܬ ܦܪܥܘܢ ܘܪܒܝܬܗ ܠܗ ܠܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, je? Watu wa Israeli hawakukipata kile walichokuwa wanakitafuta; lakini wote walioteuliwa walikipata. Wengine walipumbazwa, \t ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܗܝ ܕܒܥܐ ܗܘܐ ܐܝܤܪܝܠ ܠܐ ܐܫܟܚ ܓܒܝܬܐ ܕܝܢ ܐܫܟܚܬ ܫܪܟܗܘܢ ܕܝܢ ܐܬܥܘܪܘ ܒܠܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati watu wa Israeli walipokutana pamoja kule jangwani, Mose ndiye aliyekuwako huko pamoja nao. Alikuwa huko pamoja na babu zetu na yule malaika aliyeongea naye mlimani Sinai; ndiye aliyekabidhiwa yale maneno yaletayo uzima atupe sisi. \t ܗܢܘ ܕܗܘܐ ܒܟܢܘܫܬܐ ܒܡܕܒܪܐ ܥܡ ܡܠܐܟܐ ܗܘ ܕܡܠܠ ܗܘܐ ܥܡܗ ܘܥܡ ܐܒܗܬܢ ܒܛܘܪܐ ܕܤܝܢܝ ܘܗܘܝܘ ܕܩܒܠ ܡܠܐ ܚܝܬܐ ܕܠܢ ܢܬܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hagari anawakilisha mlima Sinai ulioko Arabia, na ni mfano wa Yerusalemu ya sasa, ulio mtumwa pamoja na watoto wake. \t ܗܓܪ ܓܝܪ ܛܘܪܐ ܗܘ ܕܤܝܢܝ ܕܒܐܪܒܝܐ ܘܫܠܡܐ ܠܗܕܐ ܐܘܪܫܠܡ ܘܦܠܚܐ ܥܒܕܘܬܐ ܗܝ ܘܒܢܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi. \t ܗܝܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܬܕܒܪ ܡܢ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܠܡܕܒܪܐ ܕܢܬܢܤܐ ܡܢ ܐܟܠܩܪܨܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, sheria ya Roho iletayo uzima kwa kuungana na Kristo Yesu imenikomboa kutoka katika sheria ya dhambi na kifo. \t ܢܡܘܤܐ ܓܝܪ ܕܪܘܚܐ ܕܚܝܐ ܕܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܚܪܪܟ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܕܚܛܝܬܐ ܘܕܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni kweli, kizazi hiki hakitapita kabla ya mambo hayo yote kutukia. \t ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܬܥܒܪ ܫܪܒܬܐ ܗܕܐ ܥܕܡܐ ܕܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܢܗܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeyote ampendaye ndugu yake, yuko katika mwanga, na hamna chochote ndani yake kiwezacho kumkwaza mtu mwingine. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܡܚܒ ܠܐܚܘܗܝ ܒܢܘܗܪܐ ܡܟܬܪ ܘܟܫܠܐ ܠܝܬ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "uzinzi, uchoyo, uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu, kashfa, kiburi na upumbavu. \t ܥܠܘܒܘܬܐ ܒܝܫܘܬܐ ܢܟܠܐ ܨܚܢܘܬܐ ܥܝܢܐ ܒܝܫܬܐ ܓܘܕܦܐ ܫܒܗܪܢܘܬܐ ܫܛܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikuwa na binti watatu ambao walikuwa na kipaji cha unabii. \t ܘܐܝܬ ܗܘܝ ܠܗ ܒܢܬܐ ܒܬܘܠܬܐ ܐܪܒܥ ܕܡܬܢܒܝܢ ܗܘܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi ya watu waliokuwa hapo walikasirika wakajisemea, \"Kwa nini kupoteza ovyo marashi haya? \t ܐܝܬ ܗܘܘ ܕܝܢ ܐܢܫܐ ܡܢ ܬܠܡܝܕܐ ܕܐܬܒܐܫ ܠܗܘܢ ܒܢܦܫܗܘܢ ܘܐܡܪܘ ܕܠܡܢܐ ܗܘܐ ܐܒܕܢܐ ܕܗܢܐ ܒܤܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Asa alimzaa Yehoshafati, Yehoshafati alimzaa Yoramu, Yoramu alimzaa Uzia, \t ܐܤܐ ܐܘܠܕ ܠܝܗܘܫܦܛ ܝܗܘܫܦܛ ܐܘܠܕ ܠܝܘܪܡ ܝܘܪܡ ܐܘܠܕ ܠܥܘܙܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliye wa Mungu husikiliza maneno ya Mungu. Lakini ninyi hamsikilizi kwa sababu ninyi si (watu wa) Mungu.\" \t ܡܢ ܕܡܢ ܐܠܗܐ ܐܝܬܘܗܝ ܡܠܐ ܕܐܠܗܐ ܫܡܥ ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܫܡܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܛܠ ܕܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܡܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, Yesu hakutembea tena hadharani kati ya Wayahudi, bali alitoka hapo, akaenda mahali karibu na jangwa, katika mji uitwao Efraimu. Akakaa huko pamoja na wanafunzi wake. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܠܐ ܡܗܠܟ ܗܘܐ ܓܠܝܐܝܬ ܒܝܬ ܝܗܘܕܝܐ ܐܠܐ ܐܙܠ ܠܗ ܡܢ ܬܡܢ ܠܐܬܪܐ ܕܩܪܝܒ ܠܚܘܪܒܐ ܠܟܪܟܐ ܕܡܬܩܪܐ ܐܦܪܝܡ ܘܬܡܢ ܡܬܗܦܟ ܗܘܐ ܥܡ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Maana kila mmoja atakolezwa kwa moto. \t ܫܦܝܪܐ ܗܝ ܡܠܚܐ ܐܢ ܕܝܢ ܡܠܚܐ ܬܦܟܗ ܒܡܢܐ ܬܬܡܠܚ ܬܗܘܐ ܒܟܘܢ ܡܠܚܐ ܘܒܫܝܢܐ ܗܘܘ ܚܕ ܥܡ ܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Atamkatilia mbali na kumweka kundi moja na wanafiki. Huko kutakuwa na kilio na kusaga meno. \t ܢܐܬܐ ܡܪܗ ܕܥܒܕܐ ܗܘ ܒܝܘܡܐ ܕܠܐ ܤܒܪ ܘܒܫܥܬܐ ܕܠܐ ܝܕܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo mama na ndugu zake Yesu wakamjia, lakini hawakuweza kumkaribia kwa sababu ya umati wa watu. \t ܐܬܘ ܕܝܢ ܠܘܬܗ ܐܡܗ ܘܐܚܘܗܝ ܘܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܗܘܘ ܕܢܡܠܠܘܢ ܥܡܗ ܡܛܠ ܟܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ingalikuwa afadhali kwao kama wasingalijua kamwe njia hiyo ya uadilifu kuliko kujua na kisha kuiacha na kupoteza amri takatifu waliyopokea. \t ܦܩܚ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܓܝܪ ܕܠܐ ܢܫܬܘܕܥܘܢ ܠܐܘܪܚܐ ܕܙܕܝܩܘܬܐ ܐܘ ܕܟܕ ܐܫܬܘܕܥܘ ܠܒܬܪܐ ܢܗܦܟܘܢ ܡܢ ܦܘܩܕܢܐ ܩܕܝܫܐ ܕܐܫܬܠܡ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Kweli nakwambia, usiku huu, kabla jogoo hajawika mara mbili, utanikana mara tatu.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܕܐܢܬ ܝܘܡܢܐ ܒܠܠܝܐ ܗܢܐ ܩܕܡ ܕܢܩܪܐ ܬܪܢܓܠܐ ܬܪܬܝܢ ܙܒܢܝܢ ܬܠܬ ܬܟܦܘܪ ܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nayo amani ya Kristo itawale mioyoni mwenu; maana kwa ajili hiyo ninyi mmeitwa katika mwili huo mmoja. Tena muwe na shukrani! \t ܘܫܠܡܗ ܕܡܫܝܚܐ ܢܕܒܪ ܠܒܘܬܟܘܢ ܕܠܗ ܐܬܩܪܝܬܘܢ ܒܚܕ ܦܓܪ ܘܗܘܝܬܘܢ ܡܘܕܝܢ ܠܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nywele zao zilikuwa kama nywele za wanawake, na meno yao yalikuwa kama meno ya simba. \t ܘܤܥܪܐ ܐܝܬ ܠܗܘܢ ܐܝܟ ܤܥܪܐ ܕܢܫܐ ܘܫܢܝܗܘܢ ܐܝܟ ܕܐܪܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeyote anayejinyenyekesha kama mtoto huyu, huyo ndiye aliye mkubwa katika Ufalme wa mbinguni. \t ܡܢ ܗܟܝܠ ܕܡܡܟܟ ܢܦܫܗ ܐܝܟ ܗܢܐ ܛܠܝܐ ܗܘ ܢܗܘܐ ܪܒ ܒܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Salamu zangu pia kwa kanisa linalokutana nyumbani kwao. Salamu zangu zimfikie rafiki yangu Epaineto ambaye ni kwa kwanza katika mkoa wa Asia kumwamini Kristo. \t ܘܗܒܘ ܫܠܡܐ ܠܥܕܬܐ ܕܐܝܬ ܒܒܝܬܗܘܢ ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܐܦܢܛܘܤ ܚܒܝܒܝ ܐܝܢܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܪܫܝܬܐ ܕܐܟܐܝܐ ܒܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo, hao waliokufa ambao walikuwa wamehukumiwa katika maisha yao ya kimwili kama anavyohukumiwa kila mmoja, walihubiriwa Habari Njema kusudi katika maisha yao ya kiroho waishi kama aishivyo Mungu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܓܝܪ ܐܤܬܒܪ ܐܦ ܠܡܝܬܐ ܕܢܬܕܝܢܘܢ ܐܝܟ ܒܢܝܢܫܐ ܒܒܤܪ ܘܢܚܘܢ ܒܐܠܗܐ ܒܪܘܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kristo hakunituma kubatiza, bali kuhubiri Habari Njema; tena, niihubiri bila kutegemea maarifa ya hotuba za watu kusudi nguvu ya kifo cha Kristo msalabani isibatilishwe. \t ܠܐ ܓܝܪ ܫܕܪܢܝ ܡܫܝܚܐ ܠܡܥܡܕܘ ܐܠܐ ܠܡܤܒܪܘ ܠܐ ܒܚܟܡܬ ܡܠܐ ܕܠܐ ܢܤܬܪܩ ܙܩܝܦܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akiwa amehuzunika tena moyoni, akafika kaburini. Kaburi lenyewe lilikuwa pango, na lilikuwa limefunikwa kwa jiwe. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܟܕ ܡܬܥܙܙ ܒܝܢܘܗܝ ܘܠܗ ܐܬܐ ܠܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܘܗܘ ܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܡܥܪܬܐ ܘܟܐܦܐ ܤܝܡܐ ܗܘܬ ܥܠ ܬܪܥܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha hao manabii wawili wakasikia sauti kubwa kutoka mbinguni ikiwaambia, \"Njoni hapa juu!\" Nao wakapanda juu mbinguni katika wingu, maadui wao wakiwa wanawatazama. \t ܘܫܡܥܘ ܩܠܐ ܪܒܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܐܡܪ ܠܗܘܢ ܤܩܘ ܠܟܐ ܘܤܠܩܘ ܠܫܡܝܐ ܒܥܢܢܐ ܘܡܨܕܝܢ ܒܗܘܢ ܒܥܠܕܒܒܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi akasema, \"Tazama, nafanya yote mapya.\" Tena akaniambia, \"Andika hili, maana maneno haya ni ya kuaminika na ya kweli!\" \t ܘܐܙܠܬ ܘܐܡܪ ܠܝ ܕܝܬܒ ܥܠ ܟܘܪܤܝܐ ܗܐ ܚܕܬܐ ܥܒܕ ܐܢܐ ܟܠ ܘܐܡܪ ܠܝ ܟܬܘܒ ܗܠܝܢ ܡܠܐ ܡܗܝܡܢܬܐ ܘܫܪܝܪܬܐ ܐܝܬܝܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia mfano huu: \"Hakuna mtu akataye kiraka cha nguo mpya na kukitia katika vazi kuukuu; kama akifanya hivyo, atakuwa amelikata hilo vazi jipya, na hicho kiraka hakitachukuana na hilo vazi kuukuu. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܬܠܐ ܕܠܐ ܐܢܫ ܩܐܕ ܐܘܪܩܥܬܐ ܡܢ ܡܐܢܐ ܚܕܬܐ ܘܪܡܐ ܥܠ ܡܐܢܐ ܒܠܝܐ ܕܠܐ ܠܚܕܬܐ ܩܐܕ ܘܠܒܠܝܐ ܠܐ ܫܠܡܐ ܐܘܪܩܥܬܐ ܕܡܢ ܚܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawachukua Petro, Yakobo na Yohane; akaanza kufadhaika sana na kuhangaika. \t ܘܕܒܪ ܥܡܗ ܠܟܐܦܐ ܘܠܝܥܩܘܒ ܘܠܝܘܚܢܢ ܘܫܪܝ ܠܡܬܟܡܪܘ ܘܠܡܬܬܥܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipofika kwake aliwaambia, \"Mnajua jinsi nilivyotumia wakati wote pamoja nanyi tangu siku ile ya kwanza nilipofika Asia. \t ܘܟܕ ܐܬܘ ܠܘܬܗ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܡܢ ܝܘܡܐ ܩܕܡܝܐ ܕܥܠܬ ܠܐܤܝܐ ܐܝܟܢܐ ܗܘܝܬ ܥܡܟܘܢ ܟܠܗ ܙܒܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, msiwaogope watu hao. Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, na kila kilichofichwa kitafichuliwa. \t ܠܐ ܗܟܝܠ ܬܕܚܠܘܢ ܡܢܗܘܢ ܠܝܬ ܓܝܪ ܡܕܡ ܕܟܤܐ ܕܠܐ ܢܬܓܠܐ ܘܕܡܛܫܝ ܕܠܐ ܢܬܝܕܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye atawaonyesha chumba kikubwa ghorofani kilichotayarishwa na kupambwa. Tuandalieni humo.\" \t ܘܗܐ ܡܚܘܐ ܠܟܘܢ ܥܠܝܬܐ ܪܒܬܐ ܕܡܫܘܝܐ ܘܡܛܝܒܐ ܬܡܢ ܬܩܢܘ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kama vile Mose alivyomwinua juu nyoka wa shaba kule jangwani, naye Mwana wa Mtu atainuliwa juu vivyo hivyo, \t ܘܐܝܟܢܐ ܕܐܪܝܡ ܡܘܫܐ ܚܘܝܐ ܒܡܕܒܪܐ ܗܟܢܐ ܥܬܝܕ ܠܡܬܬܪܡܘ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wewe Mfalme unayafahamu mambo haya, kwa hiyo ninaweza kuongea bila uoga mbele yako. Sina mashaka kwamba matukio hayo yanajulikana kwako maana jambo hili halikutendeka mafichoni. \t ܘܐܦ ܡܠܟܐ ܐܓܪܦܘܤ ܝܬܝܪܐܝܬ ܝܕܥ ܥܠܝܗܝܢ ܕܗܠܝܢ ܘܡܛܠ ܗܢܐ ܥܝܢ ܒܓܠܐ ܡܡܠܠ ܐܢܐ ܩܕܡܘܗܝ ܡܛܠ ܕܚܕܐ ܡܢ ܗܠܝܢ ܡܠܐ ܠܐ ܤܒܪ ܐܢܐ ܕܛܥܝܢ ܠܗ ܕܠܐ ܗܘܐ ܒܛܘܫܝܐ ܤܥܝܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Si kwamba sisi tunaweza kufanya chochote kwa nguvu zetu wenyewe, ila uwezo wetu wote hutoka kwa Mungu: \t ܠܘ ܕܚܢܢ ܤܦܩܝܢܢ ܕܢܬܪܥܐ ܡܕܡ ܐܝܟ ܕܡܢ ܢܦܫܢ ܐܠܐ ܚܝܠܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na hatia; lakini sasa ninyi mwasema: Sisi tunaona, na hiyo yaonyesha kwamba mna hatia bado. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܠܘ ܤܡܝܐ ܗܘܝܬܘܢ ܠܝܬ ܗܘܬ ܠܟܘܢ ܚܛܝܬܐ ܗܫܐ ܕܝܢ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܚܙܝܢܢ ܡܛܠ ܗܢܐ ܚܛܝܬܟܘܢ ܩܝܡܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jua lilipokuwa linaanza kutua, wale kumi na wawili walimwendea wakamwambia, \"Waage watu waende kwenye vijiji na mashamba ya karibu, wakajipatie chakula na mahali pa kulala, kwa maana hapa tulipo ni nyikani.\" \t ܟܕ ܕܝܢ ܫܪܝ ܝܘܡܐ ܠܡܨܠܐ ܩܪܒܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܫܪܝ ܠܟܢܫܐ ܕܢܐܙܠܘܢ ܠܩܘܪܝܐ ܕܚܕܪܝܢ ܘܠܟܦܪܘܢܐ ܕܢܫܪܘܢ ܒܗܘܢ ܘܢܫܟܚܘܢ ܠܗܘܢ ܤܝܒܪܬܐ ܡܛܠ ܕܒܐܬܪܐ ܚܘܪܒܐ ܐܝܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa hiyo, uamuzi wangu ni huu: tusiwataabishe watu wa mataifa wanomgeukia Mungu. \t ܡܛܠ ܗܕܐ ܐܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܠܐ ܢܗܘܘܢ ܫܚܩܝܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܢ ܥܡܡܐ ܡܬܦܢܝܢ ܠܘܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu akawachukua Paulo na Sila nyumbani kwake, akawapa chakula. Yeye na jamaa yake yote wakafanya sherehe kwa vile sasa walikuwa wanamwamini Mungu. \t ܘܕܒܪ ܐܤܩ ܐܢܘܢ ܠܒܝܬܗ ܘܤܡ ܠܗܘܢ ܦܬܘܪܐ ܘܪܘܙ ܗܘܐ ܗܘ ܘܒܢܝ ܒܝܬܗ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Watendeeni wengine yale mnayotaka wao wawatendee ninyi. Hii ndiyo maana ya Sheria ya Mose na mafundisho ya manabii. \t ܟܠ ܡܐ ܕܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܢܥܒܕܘܢ ܠܟܘܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܥܒܕܘ ܠܗܘܢ ܗܢܘ ܓܝܪ ܢܡܘܤܐ ܘܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Iko miili ya mbinguni na miili ya duniani; uzuri wa miili ya mbinguni ni mwingine, na na uzuri wa miili ya duniani ni mwingine. \t ܘܐܝܬ ܦܓܪܐ ܫܡܝܢܐ ܘܐܝܬ ܦܓܪܐ ܐܪܥܢܝܐ ܐܠܐ ܐܚܪܝܢ ܗܘ ܫܘܒܚܐ ܕܫܡܝܢܐ ܘܐܚܪܝܢ ܕܐܪܥܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani. \t ܐܠܐ ܠܐ ܗܘܐ ܒܤܘܓܐܗܘܢ ܐܨܛܒܝ ܐܠܗܐ ܢܦܠܘ ܓܝܪ ܒܡܕܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kumdhihaki, walimvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha. \t ܘܟܕ ܒܙܚܘ ܒܗ ܐܫܠܚܘܗܝ ܐܪܓܘܢܐ ܘܐܠܒܫܘܗܝ ܡܐܢܘܗܝ ܘܐܦܩܘܗܝ ܕܢܙܩܦܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Heri yenu ninyi watu wakiwatukana, wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu. \t ܛܘܒܝܟܘܢ ܐܡܬܝ ܕܡܚܤܕܝܢ ܠܟܘܢ ܘܪܕܦܝܢ ܠܟܘܢ ܘܐܡܪܝܢ ܥܠܝܟܘܢ ܟܠ ܡܠܐ ܒܝܫܐ ܡܛܠܬܝ ܒܕܓܠܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nitawasamehe makosa yao, wala sitakumbuka tena dhambi zao.\" \t ܘܐܚܤܐ ܐܢܘܢ ܡܢ ܥܘܠܗܘܢ ܘܚܛܗܝܗܘܢ ܬܘܒ ܠܐ ܐܬܕܟܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Nitakuja kumponya.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢܐ ܐܬܐ ܘܐܤܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja wa wanafunzi wake aitwaye Andrea, nduguye Simoni Petro, akamwambia, \t ܐܡܪ ܠܗ ܚܕ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܢܕܪܐܘܤ ܐܚܘܗܝ ܕܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huu ndio mkate kutoka mbinguni; mkate ambao anayekula hatakufa. \t ܗܢܘ ܕܝܢ ܠܚܡܐ ܕܢܚܬ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܢܐܟܘܠ ܐܢܫ ܡܢܗ ܘܠܐ ܢܡܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu aliye chanzo cha amani na awe nanyi nyote! Amina! \t ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܕܫܠܡܐ ܢܗܘܐ ܥܡ ܟܠܟܘܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama yeye angekuwa wa hapa duninani, asingekuwa kamwe kuhani, kwani wako makuhani wengine wanaotoa sadaka kufuatana na Sheria. \t ܘܐܠܘ ܒܐܪܥܐ ܗܘܐ ܐܦܠܐ ܟܘܡܪܐ ܗܘܐ ܗܘܐ ܡܛܠ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܟܘܡܪܐ ܕܡܩܪܒܝܢ ܗܘܘ ܩܘܪܒܢܐ ܐܝܟ ܕܒܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "La mgambo likilia bila kufuata taratibu zake, nani atajiweka tayari kwa vita? \t ܘܐܢ ܩܪܢܐ ܬܩܪܐ ܩܠܐ ܕܠܐ ܦܪܝܫ ܡܢܘ ܢܬܛܝܒ ܠܩܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenye shamba akatuma mtumishi mwingine tena, na huyo wakamuua. Wengine wengi waliotumwa, baadhi yao walipigwa, na wengi wakauawa. \t ܘܫܕܪ ܬܘܒ ܐܚܪܢܐ ܐܦ ܠܗܘ ܩܛܠܘܗܝ ܘܠܤܓܝܐܐ ܥܒܕܐ ܐܚܪܢܐ ܫܕܪ ܘܡܢܗܘܢ ܡܚܘ ܡܢܗܘܢ ܕܝܢ ܩܛܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kutakuwa na ishara katika jua na mwezi na nyota. Mataifa duniani yatakuwa na dhiki kwa sababu ya wasiwasi kutokana na mshindo wa mawimbi ya bahari. \t ܘܢܗܘܝܢ ܐܬܘܬܐ ܒܫܡܫܐ ܘܒܤܗܪܐ ܘܒܟܘܟܒܐ ܘܒܐܪܥܐ ܐܘܠܨܢܐ ܕܥܡܡܐ ܘܦܘܫܟ ܐܝܕܝܐ ܡܢ ܬܘܗܬܐ ܕܩܠܐ ܕܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote wakasema, \"Damu yake na iwe juu yetu na juu ya watoto wetu!\" \t ܘܥܢܘ ܟܠܗ ܥܡܐ ܘܐܡܪܘ ܕܡܗ ܥܠܝܢ ܘܥܠ ܒܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nafikiri Mungu ametufanya sisi mitume tuwe watu wa mwisho kabisa, kama watu waliohukumiwa kuuawa, maana tumekuwa tamasha mbele ya ulimwengu wote, mbele ya malaika na watu. \t ܤܒܪ ܐܢܐ ܓܝܪ ܕܠܢ ܠܫܠܝܚܐ ܐܚܪܝܐ ܗܘ ܤܡܢ ܐܠܗܐ ܐܝܟ ܕܠܡܘܬܐ ܕܗܘܝܢ ܬܐܛܪܘܢ ܠܥܠܡܐ ܘܠܡܠܐܟܐ ܘܠܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nyingine zilianguka katika udongo mzuri, zikaota na kuzaa asilimia mia.\" Baada ya kusema hayo, akapaaza sauti, akasema, \"Mwenye masikio na asikie!\" \t ܘܐܚܪܢܐ ܢܦܠ ܒܐܪܥܐ ܛܒܬܐ ܘܫܦܝܪܬܐ ܘܝܥܐ ܘܥܒܕ ܦܐܪܐ ܚܕ ܒܡܐܐ ܗܠܝܢ ܟܕ ܐܡܪ ܩܥܐ ܗܘܐ ܕܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܐܕܢܐ ܕܢܫܡܥ ܢܫܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wakaenda wakihubiri kila mahali. Bwana akafanya kazi pamoja nao na kuimarisha ujumbe huo kwa ishara zilizoandamana nao. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܢܦܩܘ ܘܐܟܪܙܘ ܒܟܠ ܕܘܟܐ ܘܡܪܢ ܡܥܕܪ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܘܡܫܪ ܡܠܝܗܘܢ ܒܐܬܘܬܐ ܕܥܒܕܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo nitaendelea kuwakumbusheni daima mambo haya, ingawa mmekwisha yafahamu, na mko imara katika ukweli mlioupokea. \t ܘܥܠ ܗܕܐ ܠܐ ܡܡܐܢ ܐܢܐ ܡܢ ܕܡܥܗܕ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܡܝܢܐܝܬ ܥܠ ܗܠܝܢ ܟܕ ܛܒ ܐܦ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܤܡܝܟܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܠ ܫܪܪܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ole wenu ninyi iwapo watu wote wanawasifu, maana wazee wao waliwafanyia manabii wa uongo vivyo hivyo. \t ܘܝ ܠܟܘܢ ܟܕ ܢܗܘܘܢ ܐܡܪܝܢ ܥܠܝܟܘܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܕܫܦܝܪ ܗܟܢܐ ܓܝܪ ܥܒܕܝܢ ܗܘܘ ܠܢܒܝܐ ܕܕܓܠܘܬܐ ܐܒܗܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaambia, \"Nimekosa kwa kumtoa mtu asiye na hatia auawe.\" Lakini wao wakasema, \"Yatuhusu nini sisi? Hilo ni shauri lako.\" \t ܘܐܡܪ ܚܛܝܬ ܕܐܫܠܡܬ ܕܡܐ ܙܟܝܐ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܘ ܠܗ ܠܢ ܡܐ ܠܢ ܐܢܬ ܝܕܥ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawaambia waziwazi, \"Lazaro amekufa; \t ܗܝܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܦܫܝܩܐܝܬ ܠܥܙܪ ܡܝܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akaomba apatiwe barua za utambulisho kwa masunagogi ya Kiyahudi kule Damasko, ili akikuta huko wanaume au wanawake wanaofuata Njia ya Bwana, awakamate na kuwaleta Yerusalemu. \t ܘܫܐܠ ܠܗ ܐܓܪܬܐ ܡܢ ܪܒ ܟܗܢܐ ܕܢܬܠ ܠܗ ܠܕܪܡܤܘܩ ܠܟܢܘܫܬܐ ܕܐܢ ܗܘ ܕܢܫܟܚ ܕܪܕܝܢ ܒܗܕܐ ܐܘܪܚܐ ܓܒܪܐ ܐܘ ܢܫܐ ܢܐܤܘܪ ܢܝܬܐ ܐܢܘܢ ܠܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawaambia, \"Lakini sasa, yule aliye na mfuko wa fedha auchukue; na aliye na mkoba, hali kadhalika. Na yeyote asiye na upanga, auze koti lake anunue mmoja. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢ ܗܫܐ ܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܟܝܤܐ ܢܤܒ ܘܗܟܢܐ ܐܦ ܬܪܡܠܐ ܘܡܢ ܕܠܝܬ ܠܗ ܤܝܦܐ ܢܙܒܢ ܢܚܬܗ ܘܢܙܒܢ ܠܗ ܤܝܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akalia kwa sauti kubwa: \"Baba, naiweka roho yangu mikononi mwako.\" Alipokwisha sema hayo, akakata roho. \t ܘܩܥܐ ܝܫܘܥ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܘܐܡܪ ܐܒܝ ܒܐܝܕܝܟ ܤܐܡ ܐܢܐ ܪܘܚܝ ܗܕܐ ܐܡܪ ܘܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipoona kundi la watu limemzunguka, aliwaamuru wanafunzi wake waende ng'ambo ya ziwa. \t ܟܕ ܚܙܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܕܚܕܝܪܝܢ ܠܗ ܦܩܕ ܕܢܐܙܠܘܢ ܠܥܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hatujivunii kazi waliyofanya wengine zaidi ya kipimo tulichopewa; ila tunatumaini kwamba imani yenu itazidi miongoni mwenu kufuatana na kipimo alichotuwekea Mungu. \t ܘܠܐ ܡܫܬܒܗܪܝܢܢ ܠܒܪ ܡܢ ܡܫܘܚܬܢ ܒܥܡܠܐ ܕܐܚܪܢܐ ܐܠܐ ܐܝܬ ܠܢ ܤܒܪܐ ܕܟܕ ܪܒܝܐ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܒܟܘܢ ܢܬܪܘܪܒ ܐܝܟ ܡܫܘܚܬܢ ܘܢܬܝܬܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu sharti awe mtumishi wenu. \t ܘܡܢ ܕܨܒܐ ܒܟܘܢ ܕܢܗܘܐ ܩܕܡܝܐ ܢܗܘܐ ܠܟܘܢ ܥܒܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Asipokusikia, chukua mtu mmoja au wawili pamoja nawe, ili kwa mawaidha ya mashahidi wawili au watatu, kila tatizo litatuliwe. \t ܘܐܠܐ ܫܡܥܟ ܕܒܪ ܥܡܟ ܚܕ ܐܘ ܬܪܝܢ ܕܥܠ ܦܘܡ ܬܪܝܢ ܐܘ ܬܠܬܐ ܤܗܕܝܢ ܬܩܘܡ ܟܠ ܡܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliposikia sauti hiyo, kundi kubwa la watu lilikusanyika. Wote walishtuka sana kwani kila mmoja wao aliwasikia hao waumini wakisema kwa lugha yake mwenyewe. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܩܠܐ ܗܘ ܟܢܫ ܟܠܗ ܥܡܐ ܘܐܫܬܓܫ ܡܛܠ ܕܫܡܥ ܗܘܐ ܐܢܫ ܐܢܫ ܡܢܗܘܢ ܕܡܡܠܠܝܢ ܗܘܘ ܒܠܫܢܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, yuko nabii yeyote ambaye baba zenu hawakumtesa? Waliwaua hao Mungu aliowatuma watangaze kuja kwake yule Mwenye Haki. Na sasa, ninyi mmemsaliti, mkamuua. \t ܠܐܝܢܐ ܓܝܪ ܡܢ ܢܒܝܐ ܕܠܐ ܪܕܦܘ ܘܩܛܠܘ ܐܒܗܝܟܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܩܕܡܘ ܒܕܩܘ ܥܠ ܡܐܬܝܬܗ ܕܙܕܝܩܐ ܗܘ ܕܐܢܬܘܢ ܐܫܠܡܬܘܢ ܘܩܛܠܬܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakaendelea na safari, wakafika pwani ya nchi ya Wagerase inayokabiliana na Galilaya, ng'ambo ya ziwa. \t ܘܪܕܘ ܘܐܬܘ ܠܐܬܪܐ ܕܓܕܪܝܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܒܥܒܪܐ ܠܘܩܒܠ ܓܠܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawaambia, \"Anayemwacha mkewe na kuoa mwingine, anazini dhidi ya mkewe. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܟܠ ܡܢ ܕܢܫܪܐ ܐܢܬܬܗ ܘܢܤܒ ܐܚܪܬܐ ܓܐܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana wafu watakapofufuliwa hawataoa wala kuolewa, watakuwa kama malaika mbinguni. \t ܒܩܝܡܬܐ ܓܝܪ ܕܡܝܬܐ ܠܐ ܢܤܒܝܢ ܢܫܐ ܐܦܠܐ ܢܫܐ ܗܘܝܢ ܠܓܒܪܐ ܐܠܐ ܐܝܟ ܡܠܐܟܐ ܕܐܠܗܐ ܒܫܡܝܐ ܐܝܬܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliwaita wale kumi na wawili, akawapa uwezo juu ya pepo wote, na uwezo wa kuponya wagonjwa. \t ܘܩܪܐ ܝܫܘܥ ܠܬܪܥܤܪܬܗ ܘܝܗܒ ܠܗܘܢ ܚܝܠܐ ܘܫܘܠܛܢܐ ܥܠ ܟܠܗܘܢ ܫܐܕܐ ܘܟܘܪܗܢܐ ܠܡܐܤܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipomaliza kusali, pale mahali walipokuwa wamekutanika pakatikiswa, nao wote wakajazwa Roho Mtakatifu. Wote wakaanza kuhubiri neno la Mungu bila uoga. \t ܘܟܕ ܒܥܘ ܘܐܬܟܫܦܘ ܐܬܬܙܝܥ ܐܬܪܐ ܕܒܗ ܟܢܝܫܝܢ ܗܘܘ ܘܐܬܡܠܝܘ ܟܠܗܘܢ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܘܡܡܠܠܝܢ ܗܘܘ ܥܝܢ ܒܓܠܐ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana niliwaambieni mtakufa katika dhambi zenu. Kama msipoamini kwamba Mimi ndimi, mtakufa katika dhambi zenu.\" \t ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܕܬܡܘܬܘܢ ܒܚܛܗܝܟܘܢ ܐܠܐ ܓܝܪ ܬܗܝܡܢܘܢ ܕܐܢܐ ܐܢܐ ܬܡܘܬܘܢ ܒܚܛܗܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na watu waliokuwa wamepagawa na pepo wachafu walipomwona, walijitupa chini mbele yake na kupaaza sauti, \"Wewe ni Mwana wa Mungu!\" \t ܘܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬ ܗܘܝ ܠܗܘܢ ܡܚܘܬܐ ܕܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ ܡܐ ܕܚܙܐܘܗܝ ܢܦܠܝܢ ܗܘܘ ܘܩܥܝܢ ܘܐܡܪܝܢ ܐܢܬ ܗܘ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, na utukufu wa Bwana ukawaangazia pande zote. Wakaogopa sana. \t ܘܗܐ ܡܠܐܟܐ ܕܐܠܗܐ ܐܬܐ ܠܘܬܗܘܢ ܘܬܫܒܘܚܬܗ ܕܡܪܝܐ ܐܢܗܪܬ ܥܠܝܗܘܢ ܘܕܚܠܘ ܕܚܠܬܐ ܪܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Au mwaonaje? Tuseme mwanamke fulani ana sarafu kumi za fedha, akipoteza moja, atafanya nini? Atawasha taa, aifagie nyumba na kuitafuta kwa uangalifu mpaka aipate. \t ܐܘ ܐܝܕܐ ܗܝ ܐܢܬܬܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܥܤܪܐ ܙܘܙܝܢ ܘܬܘܒܕ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܘܠܐ ܡܢܗܪܐ ܫܪܓܐ ܘܚܡܐ ܒܝܬܐ ܘܒܥܝܐ ܠܗ ܒܛܝܠܐܝܬ ܥܕܡܐ ܕܬܫܟܚܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo alipofika hapa katika kujitetea kwake, Festo alisema kwa sauti kubwa, \"Paulo! Una wazimu! Kusoma kwako kwingi kunakutia wazimu!\" \t ܘܟܕ ܗܟܢܐ ܢܦܩ ܗܘܐ ܦܘܠܘܤ ܪܘܚܐ ܩܥܐ ܦܗܤܛܘܤ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܫܢܝܬ ܠܟ ܦܘܠܐ ܤܦܪܐ ܤܓܝܐܐ ܥܒܕܟ ܕܬܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asitenganishe.\" \t ܡܕܡ ܕܐܠܗܐ ܗܟܝܠ ܙܘܓ ܒܪܢܫܐ ܠܐ ܢܦܪܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Labda sina ufasaha wa lugha, lakini elimu ninayo; jambo hili tumelionyesha wazi kwenu, kila mahali na kila wakati. \t ܐܦܢ ܓܝܪ ܒܘܪܐ ܐܢܐ ܒܡܠܬܝ ܐܠܐ ܠܐ ܒܝܕܥܬܝ ܐܠܐ ܒܟܠܡܕܡ ܐܬܓܠܝܢ ܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu Anania akasema: Mungu wa babu zetu amekuchagua upate kujua matakwa yake na kumwona yule mtumishi wake mwadilifu na kumsikia yeye mwenyewe akiongea. \t ܘܐܡܪ ܠܝ ܐܠܗܐ ܕܐܒܗܬܢ ܐܩܝܡܟ ܠܡܕܥ ܨܒܝܢܗ ܘܬܚܙܐ ܠܙܕܝܩܐ ܘܬܫܡܥ ܩܠܐ ܡܢ ܦܘܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha kukazuka vita mbinguni: Mikaeli na malaika wake walipigana na hilo joka, nalo likawashambulia pamoja na malaika wake. \t ܘܗܘܐ ܩܪܒܐ ܒܫܡܝܐ ܡܝܟܐܝܠ ܘܡܠܐܟܘܗܝ ܡܩܪܒܝܢ ܥܡ ܬܢܝܢܐ ܘܬܢܝܢܐ ܘܡܠܐܟܘܗܝ ܐܩܪܒܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote wakaliabudu lile joka kwa sababu lilimpa huyo mnyama uwezo wake. Wakamwabudu pia huyo mnyama wakisema, \"Nani aliye kama huyu mnyama? Ni nani awezaye kupigana naye?\" \t ܘܤܓܕܘ ܠܬܢܝܢܐ ܕܝܗܒ ܫܘܠܛܢܐ ܠܚܝܘܬܐ ܘܤܓܕܘ ܠܚܝܘܬܐ ܠܡܐܡܪ ܡܢܘ ܕܕܡܐ ܠܚܝܘܬܐ ܗܕܐ ܘܡܢܘ ܡܫܟܚ ܠܡܩܪܒܘ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipomwona Yesu, alipiga kelele na kujitupa chini mbele yake, na kusema kwa sauti kubwa \"We, Yesu Mwana wa Mungu Aliye Juu una shauri gani nami? Ninakusihi usinitese!\" \t ܟܕ ܚܙܐ ܕܝܢ ܠܝܫܘܥ ܩܥܐ ܘܢܦܠ ܩܕܡܘܗܝ ܘܒܩܠܐ ܪܡܐ ܐܡܪ ܡܐ ܠܢ ܘܠܟ ܝܫܘܥ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܡܪܝܡܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟ ܠܐ ܬܫܢܩܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wakapiga kelele: \"La! Si huyu ila Baraba!\" Naye Baraba alikuwa mnyang'anyi. \t ܘܩܥܘ ܟܠܗܘܢ ܘܐܡܪܝܢ ܠܐ ܠܗܢܐ ܐܠܐ ܠܒܪ ܐܒܐ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܕܝܢ ܗܢܐ ܒܪ ܐܒܐ ܓܝܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Alisema hayo kumhusu Roho ambaye wale waliomwamini yeye watampokea. Wakati huo Roho alikuwa hajafika kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa bado.) \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܥܠ ܪܘܚܐ ܕܥܬܝܕܝܢ ܗܘܘ ܠܡܩܒܠܘ ܐܝܠܝܢ ܕܡܗܝܡܢܝܢ ܒܗ ܠܐ ܓܝܪ ܥܕܟܝܠ ܐܬܝܗܒܬ ܗܘܬ ܪܘܚܐ ܡܛܠ ܕܠܐ ܥܕܟܝܠ ܐܫܬܒܚ ܗܘܐ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo alipokuwa anawasubiri Sila na Timotheo huko Athene, moyo wake ulighadhibika sana alipoona jinsi mji huo ulivyokuwa umejaa sanamu za miungu. \t ܗܘ ܕܝܢ ܦܘܠܘܤ ܟܕ ܡܩܘܐ ܗܘܐ ܒܐܬܢܘܤ ܡܬܡܪܡܪ ܗܘܐ ܒܪܘܚܗ ܟܕ ܚܙܐ ܗܘܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܟܠܗ ܡܠܝܐ ܦܬܟܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati wa mavuno, mtu huyo alimtuma mtumishi wake kwa wale wakulima, akachukue sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu. Lakini wale wakulima wakampiga mtumishi huyo wakamrudisha mikono mitupu. \t ܘܒܙܒܢܐ ܫܕܪ ܥܒܕܗ ܠܘܬ ܦܠܚܐ ܕܢܬܠܘܢ ܠܗ ܡܢ ܦܐܪܐ ܕܟܪܡܐ ܦܠܚܐ ܕܝܢ ܡܚܐܘܗܝ ܘܫܕܪܘܗܝ ܟܕ ܤܪܝܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wasamaria wengi wa kijiji kile waliamini kwa sababu ya maneno aliyosema huyo mama: \"Ameniambia mambo yote niliyofanya.\" \t ܡܢ ܗܝ ܡܕܝܢܬܐ ܕܝܢ ܤܓܝܐܐ ܗܝܡܢܘ ܒܗ ܫܡܪܝܐ ܡܛܠ ܡܠܬܗ ܕܐܢܬܬܐ ܗܝ ܕܡܤܗܕܐ ܗܘܬ ܕܐܡܪ ܠܝ ܟܠܡܕܡ ܕܥܒܕܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Abrahamu akamwambia: Ndugu zako wanao Mose na manabii; waache wawasikilize hao. \t ܐܡܪ ܠܗ ܐܒܪܗܡ ܐܝܬ ܠܗܘܢ ܡܘܫܐ ܘܢܒܝܐ ܢܫܡܥܘܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkuu wa walinzi wa Hekalu na makuhani wakuu waliposikia habari hiyo wakawa na wasiwasi, wasijue yaliyowapata. \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܗܠܝܢ ܡܠܐ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܐܪܟܘܢܐ ܕܗܝܟܠܐ ܬܘܝܪܝܢ ܗܘܘ ܥܠܝܗܘܢ ܘܡܬܚܫܒܝܢ ܗܘܘ ܕܡܢܐ ܗܝ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kuhusu uadilifu, kwa sababu naenda zangu kwa Baba, nanyi hamtaniona tena; \t ܥܠ ܙܕܝܩܘܬܐ ܕܝܢ ܕܠܘܬ ܐܒܝ ܐܙܠ ܐܢܐ ܘܠܐ ܬܘܒ ܚܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote walitaka kumgusa, kwa maana nguvu ilikuwa inatoka ndani yake na kuwaponya wote. \t ܘܟܠܗ ܟܢܫܐ ܒܥܝܢ ܗܘܘ ܠܡܬܩܪܒܘ ܠܗ ܚܝܠܐ ܓܝܪ ܢܦܩ ܗܘܐ ܡܢܗ ܘܠܟܠܗܘܢ ܡܐܤܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama unavyojua, watu wote mkoani Asia wameniacha, miongoni mwao wakiwa Fugelo na Hermogene. \t ܝܕܥ ܐܢܬ ܗܕܐ ܕܗܦܟܘ ܡܢܝ ܟܠܗܘܢ ܗܠܝܢ ܕܒܐܤܝܐ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܡܢܗܘܢ ܦܘܓܠܘܤ ܘܗܪܡܓܢܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi hamkujifunza hivyo juu ya Kristo. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܠܐ ܗܘܐ ܗܟܢܐ ܝܠܦܬܘܢܝܗܝ ܠܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kusema hayo, wote wakiwa wanamtazama, alichukuliwa mbinguni; wingu likamficha wasimwone tena. \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܟܕ ܚܙܝܢ ܠܗ ܐܤܬܠܩ ܘܥܢܢܐ ܩܒܠܬܗ ܘܐܬܟܤܝ ܡܢ ܥܝܢܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wote wakapata moyo, nao pia wakala chakula. \t ܘܐܬܒܝܐܘ ܟܠܗܘܢ ܘܩܒܠܘ ܬܘܪܤܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, tamaa za kidunia hupingana na matakwa ya Roho; na matakwa ya Roho hupingana na tamaa za kidunia. Mambo hayo mawili hayaafikiani; kwa sababu hiyo hamwezi kufanya yale mnayotaka ninyi wenyewe. \t ܒܤܪܐ ܓܝܪ ܪܐܓ ܡܕܡ ܕܢܟܐ ܠܪܘܚܐ ܘܪܘܚܐ ܪܓܐ ܡܕܡ ܕܢܟܐ ܠܒܤܪܐ ܘܬܪܝܗܘܢ ܤܩܘܒܠܐ ܐܢܘܢ ܚܕ ܕܚܕ ܕܠܐ ܡܕܡ ܕܨܒܝܬܘܢ ܬܗܘܘܢ ܥܒܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara tu walipoachwa huru, Petro na Yohane walirudi kwa wenzao, wakawaeleza yale waliyoambiwa na makuhani wakuu na wazee. \t ܘܟܕ ܐܫܬܪܝܘ ܐܬܘ ܠܘܬ ܐܚܝܗܘܢ ܘܐܫܬܥܝܘ ܠܗܘܢ ܟܠ ܡܐ ܕܐܡܪܘ ܟܗܢܐ ܘܩܫܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa nafurahi, si kwa sababu mmehuzunika, ila kwa kuwa huzuni yenu imewafanya mbadili nia zenu na kutubu. Mmehuzunishwa kadiri ya mpango wa Mungu, na kwa sababu hiyo hatukuwadhuru ninyi kwa vyovyote. \t ܐܠܐ ܚܕܘܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܥܒܕܬ ܠܝ ܠܐ ܥܠ ܕܟܪܝܬ ܠܟܘܢ ܐܠܐ ܡܛܠ ܕܟܪܝܘܬܟܘܢ ܠܬܝܒܘܬܐ ܐܝܬܝܬܟܘܢ ܟܪܝܬ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܒܕܐܠܗܐ ܐܝܟܢܐ ܕܒܡܕܡ ܠܐ ܬܚܤܪܘܢ ܡܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wameiburudisha roho yangu na yenu pia. Kwa hiyo inafaa kuwakumbuka watu wa namna hii. \t ܐܢܝܚܘ ܓܝܪ ܪܘܚܝ ܕܝܠܝ ܘܕܝܠܟܘܢ ܗܘܝܬܘܢ ܗܟܝܠ ܡܫܬܘܕܥܝܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܗܟܢܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila nyumba hujengwa na mjenzi fulani--na Mungu ndiye mjenzi wa vitu vyote. \t ܟܠ ܒܝܬܐ ܓܝܪ ܡܢ ܐܢܫ ܗܘ ܡܬܒܢܐ ܗܘ ܕܝܢ ܕܒܢܐ ܟܠ ܐܠܗܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipomaliza kuwapa wanafunzi kumi na wawili maagizo, alitoka hapo, akaenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao. \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܫܠܡ ܝܫܘܥ ܠܡܦܩܕܘ ܠܬܪܥܤܪ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܫܢܝ ܡܢ ܬܡܢ ܠܡܠܦܘ ܘܠܡܟܪܙܘ ܒܡܕܝܢܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Enyi watumwa, watiini wakuu wenu wa kidunia katika mambo yote, na si tu wakati wanapowatazama kwa kuwa mnataka kujipendekeza kwao; ila fanyeni hivyo kwa moyo wote, kwa sababu ya kumcha Bwana. \t ܥܒܕܐ ܐܫܬܡܥܘ ܒܟܠܡܕܡ ܠܡܪܝܟܘܢ ܕܦܓܪܐ ܠܐ ܒܡܚܙܐ ܥܝܢܐ ܐܝܟ ܗܢܘܢ ܕܫܦܪܝܢ ܠܒܢܝܢܫܐ ܐܠܐ ܒܠܒܐ ܦܫܝܛܐ ܘܒܕܚܠܬܗ ܕܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Fanyeni hivyo si tu wakati wanapowatazama ili mjipendekeze kwao, bali tumikieni kwa moyo kama atakavyo Mungu kwa sababu ninyi ni watumishi wa Kristo. \t ܠܐ ܒܡܚܙܐ ܥܝܢܐ ܐܝܟ ܗܘ ܕܠܒܢܝܢܫܐ ܫܦܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܠܐ ܐܝܟ ܥܒܕܐ ܕܡܫܝܚܐ ܕܥܒܕܝܢ ܨܒܝܢܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu huhitilafiana: mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu; lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula tu mboga za majani. \t ܐܝܬ ܓܝܪ ܕܡܗܝܡܢ ܕܟܠܡܕܡ ܢܐܟܘܠ ܘܕܟܪܝܗ ܝܪܩܐ ܗܘ ܐܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Atawaweka kondoo upande wake wa kulia na mbuzi upande wake wa kushoto. \t ܘܢܩܝܡ ܥܪܒܐ ܡܢ ܝܡܝܢܗ ܘܓܕܝܐ ܡܢ ܤܡܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Maana mkiwasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia. \t ܐܢ ܓܝܪ ܬܫܒܩܘܢ ܠܒܢܝܢܫܐ ܤܟܠܘܬܗܘܢ ܢܫܒܘܩ ܐܦ ܠܟܘܢ ܐܒܘܟܘܢ ܕܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akadakia, \"Tufafanulie huo mfano.\" \t ܘܥܢܐ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܪܝ ܦܫܩ ܠܢ ܡܬܠܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawaambia, \"Mtakapokwisha mwinua Mwana wa Mtu hapo ndipo mtakapojua kwamba Mimi ndimi, na kwamba sifanyi chochote mimi mwenyewe, ila nasema tu yale Baba aliyonifundisha. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܬܘܒ ܝܫܘܥ ܐܡܬܝ ܕܬܪܝܡܘܢܗ ܠܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܗܝܕܝܢ ܬܕܥܘܢ ܕܐܢܐ ܐܢܐ ܘܡܕܡ ܡܢ ܨܒܘܬ ܢܦܫܝ ܠܐ ܥܒܕ ܐܢܐ ܐܠܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܠܦܢܝ ܐܒܝ ܗܟܘܬ ܗܘ ܡܡܠܠ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Haya, mmekwisha shiba! Mmekwisha kuwa matajiri! Mmekuwa wafalme bila ya sisi! Naam, laiti mngekuwa kweli watawala, ili nasi pia tuweze kutawala pamoja nanyi. \t ܡܢ ܟܕܘ ܤܒܥܬܘܢ ܠܟܘܢ ܘܥܬܪܬܘܢ ܘܒܠܥܕܝܢ ܐܡܠܟܬܘܢ ܐܫܬܘܦ ܕܝܢ ܐܡܠܟܬܘܢ ܕܐܦ ܚܢܢ ܢܡܠܟ ܥܡܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nendeni kwenye barabara na wowote wale mtakaowakuta waiteni waje arusini. \t ܙܠܘ ܗܟܝܠ ܠܡܦܩܢܐ ܕܐܘܪܚܬܐ ܘܟܠ ܡܢ ܕܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܩܪܘ ܠܡܫܬܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Kweli, Eliya atakuja kutayarisha mambo yote. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܐܠܝܐ ܐܬܐ ܠܘܩܕܡ ܕܟܠ ܡܕܡ ܢܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wekeni farasi kadhaa kwa ajili ya Paulo; mfikisheni salama kwa Felisi, mkuu wa mkoa.\" \t ܛܝܒܘ ܕܝܢ ܐܦ ܒܥܝܪܐ ܐܝܟ ܕܢܪܟܒܘܢ ܠܦܘܠܘܤ ܘܢܦܠܛܘܢܗ ܠܘܬ ܦܝܠܟܤ ܗܓܡܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana wakati huo Roho Mtakatifu hakuwa ameshukia yeyote kati yao; walikuwa wamebatizwa tu kwa jina la Bwana Yesu. \t ܠܝܬ ܗܘܐ ܓܝܪ ܥܠ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܥܕܟܝܠ ܒܠܚܘܕ ܕܝܢ ܥܡܕܝܢ ܗܘܘ ܒܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini msipowasamehe watu makosa yao, naye Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu. \t ܐܢ ܕܝܢ ܠܐ ܬܫܒܩܘܢ ܠܒܢܝܢܫܐ ܐܦܠܐ ܐܒܘܟܘܢ ܫܒܩ ܠܟܘܢ ܤܟܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nawaachieni amani; nawapeni amani yangu. Siwapi ninyi kama vile ulimwengu ufanyavyo. Msiwe na wasiwasi, wala msifadhaike. \t ܫܠܡܐ ܫܒܩ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܫܠܡܐ ܕܝܠܝ ܝܗܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܠܐ ܗܘܐ ܐܝܟܢܐ ܕܝܗܒ ܥܠܡܐ ܐܢܐ ܝܗܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܠܐ ܢܬܕܘܕ ܠܒܟܘܢ ܘܠܐ ܢܕܚܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo hili ni mfano wa nyakati za sasa. Linaonyesha kwamba zawadi na dhabihu zinazotolewa kwa Mungu haziwezi kuifanya mioyo ya wale wanaoabudu kuwa mikamilifu, \t ܘܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܡܬܠܐ ܗܢܐ ܠܙܒܢܐ ܗܘ ܕܒܗ ܩܘܪܒܢܐ ܘܕܒܚܐ ܡܬܩܪܒܝܢ ܗܘܘ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܗܘܘ ܠܡܓܡܪ ܬܐܪܬܗ ܕܡܢ ܕܡܩܪܒ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tulikuta waumini huko, tukakaa pamoja nao kwa muda wa juma moja. Waumini hao wakawa waongea kwa nguvu ya Roho, wakamwambia Paulo asiende Yerusalemu. \t ܘܟܕ ܐܫܟܚܢ ܬܡܢ ܬܠܡܝܕܐ ܩܘܝܢ ܠܘܬܗܘܢ ܝܘܡܬܐ ܫܒܥܐ ܘܗܠܝܢ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܟܠܝܘܡ ܠܦܘܠܘܤ ܒܪܘܚ ܕܠܐ ܢܐܙܠ ܠܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye akaniambia, \"Acha! Mimi ni mtumishi tu kama wewe na ndugu zako manabii na wote wanaoyatii maagizo yaliyomo katika kitabu hiki. Mwabudu Mungu!\" \t ܘܐܡܪ ܠܝ ܚܙܝ ܠܐ ܟܢܬܟ ܐܝܬܝ ܘܕܐܚܝܟ ܢܒܝܐ ܘܕܐܝܠܝܢ ܕܢܛܪܝܢ ܗܠܝܢ ܡܠܐ ܕܟܬܒܐ ܗܢܐ ܠܐܠܗܐ ܤܓܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao maofisa waliwapasha habari mahakimu juu ya jambo hilo, nao waliposikia kwamba Paulo na Sila walikuwa raia wa Roma, waliogopa. \t ܘܐܙܠܘ ܫܩܠܝ ܫܒܛܐ ܘܐܡܪܘ ܠܐܤܛܪܛܓܐ ܡܠܐ ܗܠܝܢ ܕܐܬܐܡܪ ܠܗܘܢ ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܕܪܗܘܡܝܐ ܐܢܘܢ ܕܚܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Filipo aliingia katika mji wa Samaria na kumhubiri Kristo kwa wenyeji wa hapo. \t ܦܝܠܝܦܘܤ ܕܝܢ ܢܚܬ ܠܗ ܠܡܕܝܢܬܐ ܕܫܡܪܝܐ ܘܡܟܪܙ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܥܠ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hamjui kwamba ningeweza kumwomba Baba yangu naye mara angeniletea zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika? \t ܐܘ ܤܒܪ ܐܢܬ ܕܠܐ ܡܫܟܚ ܐܢܐ ܕܐܒܥܐ ܡܢ ܐܒܝ ܘܢܩܝܡ ܠܝ ܗܫܐ ܝܬܝܪ ܡܢ ܬܪܬܥܤܪܐ ܠܓܝܘܢܝܢ ܕܡܠܐܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye atakapokuja atawathibitishia walimwengu kwamba wamekosea kuhusu dhambi, uadilifu na hukumu ya Mungu. \t ܘܡܐ ܕܐܬܐ ܗܘ ܢܟܤܝܘܗܝ ܠܥܠܡܐ ܥܠ ܚܛܝܬܐ ܘܥܠ ܙܕܝܩܘܬܐ ܘܥܠ ܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani Mose alihama kutoka nchi ya Misri bila kuogopa hasira ya mfalme; na wala hakurudi nyuma, kwani alikuwa kama mtu aliyemwona yule Mungu asiyeonekana. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܫܒܩܗ ܠܡܨܪܝܢ ܘܠܐ ܕܚܠ ܡܢ ܚܡܬܗ ܕܡܠܟܐ ܘܤܝܒܪ ܐܝܟ ܗܘ ܕܚܙܐ ܗܘܐ ܠܐܠܗܐ ܕܠܐ ܡܬܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawa anahubiri katika masunagogi ya Yudea. \t ܘܗܘ ܡܟܪܙ ܗܘܐ ܒܟܢܘܫܬܐ ܕܓܠܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya miezi mitatu tulianza tena safari yetu kwa meli moja ya Aleksandria iitwayo \"Miungu Pacha\". Meli hiyo ilikuwa imetia nanga kisiwani wakati wote wa baridi. \t ܢܦܩܢ ܕܝܢ ܒܬܪ ܝܪܚܐ ܬܠܬܐ ܘܪܕܝܢ ܒܐܠܦܐ ܐܠܟܤܢܕܪܝܬܐ ܕܐܤܬܝܬ ܗܘܬ ܒܗ ܒܓܙܪܬܐ ܘܐܝܬ ܗܘܬ ܥܠܝܗ ܐܬܐ ܕܬܐܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, dhambi ilichukua fursa iliyopatiwa na amri hiyo, ikanidanganya na kuniua. \t ܚܛܝܬܐ ܓܝܪ ܒܥܠܬܐ ܕܐܫܟܚܬ ܠܗ ܒܝܕ ܦܘܩܕܢܐ ܐܛܥܝܬܢܝ ܘܒܗ ܩܛܠܬܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Unachopanda ni mbegu tu, labda ya ngano au nafaka nyingine, na si mmea mzima ambao hutokea baadaye. \t ܘܗܘ ܡܕܡ ܕܙܪܥ ܐܢܬ ܠܐ ܗܘܐ ܗܘ ܦܓܪܐ ܕܥܬܝܕ ܠܡܗܘܐ ܙܪܥ ܐܢܬ ܐܠܐ ܦܪܕܬܐ ܥܪܛܠܝܬܐ ܕܚܛܐ ܐܘ ܕܤܥܪܐ ܐܘ ܕܫܪܟܐ ܕܙܪܥܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili yake. Lakini Yesu akawaambia, \"Msilie, kwa maana mtoto hajafa, amelala tu!\" \t ܟܠܗܘܢ ܕܝܢ ܒܟܝܢ ܗܘܘ ܘܡܪܩܕܝܢ ܥܠܝܗ ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܐ ܬܒܟܘܢ ܠܐ ܓܝܪ ܡܝܬܬ ܐܠܐ ܕܡܟܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana hayo yote ndiyo yanayohangaikiwa na watu wasiomjua Mungu. Baba yenu anajua kwamba mnahitaji vitu hivyo. \t ܗܠܝܢ ܓܝܪ ܟܠܗܝܢ ܥܡܡܐ ܗܘ ܕܥܠܡܐ ܒܥܝܢ ܐܦ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܐܒܘܟܘܢ ܝܕܥ ܕܡܬܒܥܝܢ ܠܟܘܢ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tusiwe kama Kaini ambaye, kwa kuongozwa na yule Mwovu, alimuua ndugu yake. Na, kwa nini alimuua? Kwa sababu matendo yake yalikuwa maovu, lakini yale ya ndugu yake yalikuwa mema! \t ܠܘ ܐܝܟ ܩܐܝܢ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܡܢ ܒܝܫܐ ܘܩܛܠ ܠܐܚܘܗܝ ܘܡܛܠ ܡܢܐ ܩܛܠܗ ܐܠܐ ܡܛܠ ܕܒܝܫܝܢ ܗܘܘ ܥܒܕܘܗܝ ܘܕܐܚܘܗܝ ܙܕܝܩܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeyote anayesikiliza hilo neno lakini halitekelezi, huyo ni kama mtu anayejiangalia sura yake mwenyewe katika kioo. \t ܐܢ ܐܢܫ ܓܝܪ ܢܗܘܐ ܫܡܘܥܗ ܕܡܠܬܐ ܘܠܐ ܥܒܘܕܗ ܗܢܐ ܕܡܐ ܠܗܘ ܕܚܙܐ ܐܦܘܗܝ ܒܡܚܙܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ungamanianeni dhambi zenu, na ombeaneni, ili mpate kuponywa. Sala ya mtu mwema ina nguvu ya kutenda mengi. \t ܗܘܝܬܘܢ ܕܝܢ ܡܘܕܝܢ ܤܟܠܘܬܟܘܢ ܚܕ ܠܚܕ ܘܗܘܝܬܘܢ ܡܨܠܝܢ ܚܕ ܥܠ ܚܕ ܕܬܬܐܤܘܢ ܪܒ ܗܘ ܓܝܪ ܚܝܠܗ ܕܨܠܘܬܐ ܐܝܕܐ ܕܙܕܝܩܐ ܡܨܠܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini makuhani wakuu na wazee wakawashawishi watu waombe Baraba afunguliwe na Yesu auawe. \t ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܕܝܢ ܘܩܫܝܫܐ ܐܦܝܤܘ ܠܟܢܫܐ ܕܢܫܐܠܘܢ ܠܒܪ ܐܒܐ ܠܝܫܘܥ ܕܝܢ ܕܢܘܒܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watoto wangu, kama vile mama mja mzito anavyotaabika wakati wa kujifungua, mimi nataabika tena kwa ajili yenu mpaka hapo hali yake Kristo itakapoundwa ndani yenu. \t ܒܢܝ ܐܝܠܝܢ ܕܡܢ ܕܪܝܫ ܡܚܒܠ ܐܢܐ ܥܕܡܐ ܕܢܬܬܨܝܪ ܒܟܘܢ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu ametangulia kuingia humo kwa niaba yetu, na amekuwa kuhani mkuu milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki. \t ܟܪ ܕܩܕV ܥܠ ܚܠܦܝܢ ܝܫܘܥ ܘܗܘܐ ܟܘܡܪܐ ܠܥܠV ܒܕܡܘܬܗ ܕܡܠܟܝܙܕܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, mwanajeshi gani anayelipia utumishi wake jeshini? Mkulima gani asiyekula matunda ya shamba lake la mizabibu? Mchungaji gani asiyekunywa maziwa ya mifugo yake? \t ܡܢܘ ܕܡܦܠܚ ܒܦܠܚܘܬܐ ܒܢܦܩܬܐ ܕܢܦܫܗ ܐܘ ܡܢܘ ܕܢܨܒ ܟܪܡܐ ܘܡܢ ܦܐܪܘܗܝ ܠܐ ܐܟܠ ܐܘ ܡܢܘ ܕܪܥܐ ܥܢܐ ܘܡܢ ܚܠܒܐ ܕܡܪܥܝܬܗ ܠܐ ܐܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha kukatokea sauti kwenye kiti cha enzi: \"Msifuni Mungu enyi watumishi wake wote, nyote mnaomcha, wadogo kwa wakubwa.\" \t ܘܩܠܐ ܡܢ ܟܘܪܤܝܐ ܕܐܡܪ ܫܒܚܘ ܠܐܠܗܢ ܟܠܗܘܢ ܥܒܕܘܗܝ ܘܕܚܠܝ ܫܡܗ ܟܠܗܘܢ ܙܥܘܪܐ ܥܡ ܪܘܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na pazia lililokuwa limetundikwa Hekaluni likapasuka vipande viwili. \t ܘܫܡܫܐ ܚܫܟ ܘܐܨܛܪܝ ܐܦܝ ܬܪܥܐ ܕܗܝܟܠܐ ܡܢ ܡܨܥܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye pia alikuwa na shamba lake, akaliuza; akazichukua zile fedha, akawakabidhi mitume. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܩܪܝܬܐ ܘܙܒܢܗ ܘܐܝܬܝ ܕܡܝܗ ܘܤܡ ܩܕܡ ܪܓܠܝܗܘܢ ܕܫܠܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ile ghasia ya Efeso ilipokwisha tulia Paulo aliwaita pamoja wale waumini, akawatia moyo. Kisha akawaaga, akasafiri kwenda Makedonia. \t ܘܒܬܪ ܕܫܠܝ ܫܓܘܫܝܐ ܩܪܐ ܦܘܠܘܤ ܠܬܠܡܝܕܐ ܘܒܝܐ ܐܢܘܢ ܘܢܫܩ ܐܢܘܢ ܘܢܦܩ ܐܙܠ ܠܗ ܠܡܩܕܘܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msisahau kutenda mema na kusaidiana, maana hizi ndizo dhabihu zinazompendeza Mungu. \t ܘܠܐ ܬܛܥܘܢ ܡܪܚܡܢܘܬܐ ܘܫܘܬܦܘܬܐ ܕܡܤܟܢܐ ܒܗܠܝܢ ܓܝܪ ܕܒܚܐ ܫܦܪ ܐܢܫ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akafunga siku arubaini mchana na usiku, na mwishowe akaona njaa. \t ܘܨܡ ܐܪܒܥܝܢ ܝܘܡܝܢ ܘܐܪܒܥܝܢ ܠܝܠܘܢ ܐܚܪܝܬ ܕܝܢ ܟܦܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, tulipokuwa tukiishi kimaumbile tu, tamaa mbaya zikichochewa na Sheria, zilifanya kazi katika miili yetu, na kuchuma pato la kifo. \t ܟܕ ܒܒܤܪܐ ܗܘܝܢ ܓܝܪ ܟܐܒܐ ܕܚܛܗܐ ܕܒܢܡܘܤܐ ܡܬܚܦܛܝܢ ܗܘܘ ܒܗܕܡܝܢ ܕܦܐܪܐ ܢܬܠ ܠܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Sikiliza! Naja upesi. Heri yake anayeyazingatia maneno ya unabii yaliyo katika kitabu hiki.\" \t ܘܗܐ ܐܬܐ ܐܢܐ ܒܥܓܠ ܛܘܒܘܗܝ ܠܡܢ ܕܢܛܪ ܡܠܐ ܕܢܒܝܘܬܐ ܕܟܬܒܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; kilicho muhimu ni kuzishika amri za Mungu. \t ܓܙܘܪܬܐ ܓܝܪ ܠܐ ܗܘܬ ܡܕܡ ܐܦ ܠܐ ܥܘܪܠܘܬܐ ܐܠܐ ܢܛܘܪܬܐ ܕܦܘܩܕܢܘܗܝ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote wakashangaa, wakaulizana, \"Ni mambo gani haya? Je, ni mafundisho mapya? Mtu huyu anayo mamlaka ya kuamuru hata pepo wachafu, nao wanamtii!\" \t ܘܐܬܕܡܪܘ ܟܠܗܘܢ ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܚܕ ܥܡ ܚܕ ܘܐܡܪܝܢ ܕܡܢܐ ܗܝ ܗܕܐ ܘܡܢܘ ܝܘܠܦܢܐ ܗܢܐ ܚܕܬܐ ܕܒܫܘܠܛܢܐ ܘܐܦ ܠܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ ܦܩܕ ܘܡܫܬܡܥܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tumesikia kwamba watu wengine kutoka huku kwetu waliwavurugeni kwa maneno yao, wakaitia mioyo yenu katika wasiwasi. Lakini wamefanya hivyo bila ya idhini yoyote kutoka kwetu. \t ܫܡܝܥ ܠܢ ܕܐܢܫܝܢ ܡܢܢ ܢܦܩܘ ܘܕܠܚܟܘܢ ܒܡܠܐ ܘܐܗܦܟܘ ܢܦܫܬܟܘܢ ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܕܬܗܘܘܢ ܓܙܪܝܢ ܘܢܛܪܝܢ ܢܡܘܤܐ ܐܝܠܝܢ ܕܚܢܢ ܠܐ ܦܩܕܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo, Bwana aliwachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawiliwawili, wamtangulie katika kila kijiji na mahali ambapo yeye mwenyewe alitaka kwenda. \t ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܦܪܫ ܝܫܘܥ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܚܪܢܐ ܫܒܥܝܢ ܘܫܕܪ ܐܢܘܢ ܬܪܝܢ ܬܪܝܢ ܩܕܡ ܦܪܨܘܦܗ ܠܟܠ ܐܬܪ ܘܡܕܝܢܐ ܕܥܬܝܕ ܗܘܐ ܠܡܐܙܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtu anaweza kusema: \"Wewe unayo imani, mimi ninayo matendo!\" Haya! Nionyeshe jinsi mtu anavyoweza kuwa na imani bila matendo, nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo yangu. \t ܐܡܪ ܓܝܪ ܐܢܫ ܠܟ ܐܝܬ ܠܟ ܗܝܡܢܘܬܐ ܘܠܝ ܐܝܬ ܠܝ ܥܒܕܐ ܚܘܢܝ ܗܝܡܢܘܬܟ ܕܠܐ ܥܒܕܐ ܘܐܢܐ ܡܚܘܐ ܐܢܐ ܠܟ ܗܝܡܢܘܬܝ ܡܢ ܥܒܕܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya. \t ܡܛܠ ܗܕܐ ܦܪܗܤܝܐ ܤܓܝܐܬܐ ܐܝܬ ܠܝ ܒܡܫܝܚܐ ܕܐܦܩܘܕ ܠܟ ܐܝܠܝܢ ܕܙܕܩܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alitambua mara kwamba nguvu imemtoka. Basi akaugeukia ule umati wa watu, akauliza, \"Nani aliyegusa mavazi yangu?\" \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܡܚܕܐ ܝܕܥ ܒܢܦܫܗ ܕܚܝܠܐ ܢܦܩ ܡܢܗ ܘܐܬܦܢܝ ܠܘܬ ܟܢܫܐ ܘܐܡܪ ܡܢܘ ܩܪܒ ܠܡܐܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wengi zaidi walimwamini kwa sababu ya ujumbe wake. \t ܘܤܓܝܐܐ ܗܝܡܢܘ ܒܗ ܡܛܠ ܡܠܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na amejitenga na Kristo aliye kichwa cha huo mwili. Chini ya uongozi wa Kristo, mwili wote unalishwa na kuunganishwa pamoja kwa viungo na mishipa yake, nao hukua kama atakavyo Mungu. \t ܘܠܐ ܐܚܕ ܪܫܐ ܕܡܢܗ ܟܠܗ ܦܓܪܐ ܡܬܪܟܒ ܘܡܬܩܝܡ ܒܫܪܝܢܐ ܘܒܗܕܡܐ ܘܪܒܐ ܬܪܒܝܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "La! Atamwambia: Nitayarishie chakula, ujifunge tayari kunitumikia mpaka nitakapomaliza kula na kunywa, ndipo nawe ule na unywe. \t ܐܠܐ ܐܡܪ ܠܗ ܛܝܒ ܠܝ ܡܕܡ ܕܐܚܫܡ ܘܐܤܘܪ ܚܨܝܟ ܫܡܫܝܢܝ ܥܕܡܐ ܕܐܠܥܤ ܘܐܫܬܐ ܘܒܬܪܟܢ ܐܦ ܐܢܬ ܬܠܥܤ ܘܬܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini nawaambieni, Eliya amekwisha kuja, nao wakamtendea walivyotaka kama ilivyoandikwa juu yake.\" \t ܐܠܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܦ ܐܠܝܐ ܐܬܐ ܘܥܒܕܘ ܒܗ ܟܠ ܡܐ ܕܨܒܘ ܐܝܟܢܐ ܕܟܬܝܒ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nawaambieni, wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo wafu wataisikia sauti ya Mwana wa Mungu, nao watakaoisikia, wataishi. \t ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܬܝܐ ܫܥܬܐ ܐܦ ܗܫܐ ܐܝܬܝܗ ܐܡܬܝ ܕܡܝܬܐ ܢܫܡܥܘܢ ܩܠܗ ܕܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܘܗܢܘܢ ܕܫܡܥܝܢ ܢܚܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "jua litatiwa giza, na mwezi utakuwa mwekundu kama damu, kabla ya kutokea ile siku kuu na tukufu ya Bwana. \t ܫܡܫܐ ܢܬܚܠܦ ܒܥܡܛܢܐ ܘܤܗܪܐ ܒܕܡܐ ܥܕܠܐ ܢܐܬܐ ܝܘܡܗ ܕܡܪܝܐ ܪܒܐ ܘܕܚܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunamwomba Mungu msifanye uovu wowote, lakini si kusudi tuonekane kama watu waliokwisha faulu, bali mpate kutenda mema, hata kama sisi tunaonekana kuwa tumeshindwa. \t ܒܥܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܕܠܐ ܢܗܘܐ ܒܟܘܢ ܡܕܡ ܕܒܝܫ ܐܝܟ ܕܒܘܩܝܢ ܕܝܠܢ ܢܬܚܙܐ ܐܠܐ ܕܐܢܬܘܢ ܬܗܘܘܢ ܤܥܪܝܢ ܛܒܬܐ ܘܚܢܢ ܢܗܘܐ ܐܝܟ ܡܤܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu: Kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake; \t ܘܒܗܕܐ ܝܕܥܝܢܢ ܕܡܚܒܝܢܢ ܠܒܢܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܡܐ ܕܠܐܠܗܐ ܡܚܒܝܢܢ ܘܥܒܕܝܢܢ ܦܘܩܕܢܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mfalme akamwamuru askari kukileta kichwa cha Yohane. Askari akaenda, akamkata kichwa Yohane mle gerezani, \t ܐܠܐ ܡܚܕܐ ܫܕܪ ܡܠܟܐ ܐܤܦܘܩܠܛܪܐ ܘܦܩܕ ܕܢܝܬܐ ܪܫܗ ܕܝܘܚܢܢ ܘܐܙܠ ܦܤܩܗ ܪܫܗ ܕܝܘܚܢܢ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana hakuna mtu yeyote miongoni mwetu aishiye kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna anayekufa kwa ajili yake mwenyewe \t ܠܝܬ ܓܝܪ ܐܢܫ ܡܢܢ ܕܠܢܦܫܗ ܚܝ ܘܠܝܬ ܐܢܫ ܕܠܢܦܫܗ ܡܐܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati wa karamu ulipofika alimtuma mtumishi wake awaambie walioalikwa, Njoni, kila kitu ni tayari. \t ܘܫܕܪ ܥܒܕܗ ܒܥܕܢܐ ܕܐܚܫܡܝܬܐ ܕܢܐܡܪ ܠܐܝܠܝܢ ܕܩܪܝܢ ܗܐ ܟܠܡܕܡ ܡܛܝܒ ܠܟܘܢ ܬܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa nataka kibali cha nani: cha binadamu, ama cha Mungu? Au je, nataka kuwapendeza watu? Kama ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa Kristo. \t ܗܫܐ ܓܝܪ ܠܒܢܝܢܫܐ ܗܘ ܡܦܝܤ ܐܢܐ ܐܘ ܠܐܠܗܐ ܐܘ ܠܒܢܝܢܫܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܕܐܫܦܪ ܐܠܘ ܓܝܪ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܠܒܢܝܢܫܐ ܫܦܪ ܗܘܝܬ ܥܒܕܐ ܕܡܫܝܚܐ ܠܐ ܗܘܐ ܗܘܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Je, walioalikwa arusini wanaweza kuomboleza wakati bwana arusi yupo pamoja nao? La hasha! Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kati yao; wakati huo ndipo watakapofunga. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܕܠܡܐ ܡܫܟܚܝܢ ܒܢܘܗܝ ܕܓܢܘܢܐ ܠܡܨܡ ܟܡܐ ܕܚܬܢܐ ܥܡܗܘܢ ܐܬܝܢ ܕܝܢ ܝܘܡܬܐ ܟܕ ܢܫܬܩܠ ܡܢܗܘܢ ܚܬܢܐ ܘܗܝܕܝܢ ܢܨܘܡܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini Mungu alimfufua siku ya tatu, akamfanya aonekane \t ܘܠܗ ܐܩܝܡ ܐܠܗܐ ܠܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܘܝܗܒܗ ܕܢܬܚܙܐ ܥܝܢ ܒܓܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sheria iliwekwa kwa kuandikwa juu ya vipande vya mawe. Ingawaje mwisho wake umekuwa kifo, utukufu wake ulikuwa mkuu mno hata wana wa Israeli wasiweze kuutazama uso wa Mose kwa sababu ya mng'ao wake. Tena mng'ao huo ulikuwa wa muda tu. Basi, ikiwa huduma ya kile ambacho kimesababisha kifo imefanyika kwa utukufu mwingi kiasi hicho, \t ܐܢ ܕܝܢ ܬܫܡܫܬܐ ܕܡܘܬܐ ܒܟܬܒܐ ܐܬܪܫܡܬ ܒܟܐܦܐ ܘܗܘܬ ܒܬܫܒܘܚܬܐ ܐܝܟܢܐ ܕܠܐ ܢܫܟܚܘܢ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܠܡܚܪ ܒܦܪܨܘܦܗ ܕܡܘܫܐ ܡܛܠ ܫܘܒܚܐ ܕܦܪܨܘܦܗ ܗܘ ܕܐܬܒܛܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Miguu yao iko mbioni kumwaga damu, \t ܘܪܓܠܝܗܘܢ ܩܠܝܠܢ ܠܡܐܫܕ ܕܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na mtu mwingine akamwambia, \"Nitakufuata, lakini niruhusu kwanza nikawaage wale walio nyumbani kwangu.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܐܚܪܢܐ ܐܬܐ ܒܬܪܟ ܡܪܝ ܠܘܩܕܡ ܕܝܢ ܐܦܤ ܠܝ ܐܙܠ ܐܫܠܡ ܠܒܢܝ ܒܝܬܝ ܘܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ujumbe kuhusu kifo cha Kristo msalabani ni jambo la kipumbavu kwa wale walio katika mkumbo wa kupotea, lakini kwetu sisi tulio katika njia ya wokovu ujumbe huo ni nguvu ya Mungu. \t ܡܠܬܐ ܓܝܪ ܕܙܩܝܦܐ ܠܐܒܝܕܐ ܫܛܝܘܬܐ ܗܝ ܠܢ ܕܝܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܚܝܝܢܢ ܚܝܠܐ ܗܝ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ulimfanya kwa kitambo kidogo kuwa chini zaidi kuliko malaika; ukamvika taji ya utukufu na heshima, \t ܐܡܟܬܝܗܝ ܩܠܝܠ ܡܢ ܡܠܐܟܐ ܬܫܒܘܚܬܐ ܘܐܝܩܪܐ ܤܡܬ ܒܪܝܫܗ ܘܐܫܠܛܬܝܗܝ ܒܥܒܕܐ ܕܐܝܕܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mbwa, wachawi, wazinzi, wauaji, waabudu sanamu na wote wanaopenda kusema uongo, watakaa nje ya mji. \t ܘܙܢܝܐ ܘܩܛܘܠܐ ܘܦܠܚܝ ܦܬܟܪܐ ܠܒܪ ܘܛܡܐܐ ܘܚܪܫܐ ܘܟܠ ܚܙܝܝ ܘܥܒܕܝ ܕܓܠܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu ya kuogopa kukwama kwenye miamba, waliteremsha nanga nne nyuma ya meli; wakaomba kuche upesi. \t ܘܟܕ ܕܚܝܠܝܢ ܗܘܝܢ ܕܠܡܐ ܢܫܬܟܚ ܠܢ ܒܕܘܟܝܬܐ ܕܐܝܬ ܒܗܝܢ ܫܘܥܐ ܐܪܡܝܘ ܡܢ ܚܪܬܗ ܕܐܠܦܐ ܐܘܩܝܢܤ ܐܪܒܥ ܘܡܨܠܝܢ ܗܘܘ ܕܢܗܘܐ ܝܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akisema, \"Imeandikwa: Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala; lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܟܬܝܒ ܕܒܝܬܝ ܒܝܬ ܨܠܘܬܐ ܐܝܬܘܗܝ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܥܒܕܬܘܢܝܗܝ ܡܥܪܬܐ ܕܠܤܛܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawaambia, \"Msitoze ushuru zaidi ya kima kilichowekwa.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܬܬܒܥܘܢ ܡܕܡ ܝܬܝܪ ܥܠ ܡܐ ܕܦܩܝܕ ܠܟܘܢ ܠܡܬܒܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, popote mnapokutana kufanya ibada nataka wanaume wasali, watu waliojitolea kweli na ambao wanaweza kuinua mikono yao wakisali bila hasira wala ubishi. \t ܨܒܐ ܐܢܐ ܗܟܝܠ ܕܗܘܘ ܡܨܠܝܢ ܓܒܪܐ ܒܟܠ ܕܘܟܐ ܟܕ ܡܪܝܡܝܢ ܐܝܕܝܗܘܢ ܕܟܝܐܝܬ ܕܠܐ ܪܘܓܙܐ ܘܕܠܐ ܡܚܫܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jua lilipochomoza, zilichomeka; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka. \t ܟܕ ܕܢܚ ܕܝܢ ܫܡܫܐ ܚܡ ܘܡܛܠ ܕܠܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܥܩܪܐ ܝܒܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakiwaambieni, Tazameni, yuko jangwani, msiende huko; au, Tazameni, amejificha ndani, msisadiki; \t ܐܢ ܗܟܝܠ ܢܐܡܪܘܢ ܠܟܘܢ ܗܐ ܒܚܘܪܒܐ ܗܘ ܠܐ ܬܦܩܘܢ ܐܘ ܕܗܐ ܒܬܘܢܐ ܗܘ ܠܐ ܬܗܝܡܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hayo yote yanathibitisha kwamba hukumu ya Mungu ni ya haki, na matokeo yake ninyi mtastahili Utawala wake ambao kwa ajili yake mnateseka. \t ܠܬܚܘܝܬܐ ܕܕܝܢܐ ܟܐܢܐ ܕܐܠܗܐ ܕܬܫܘܘܢ ܠܡܠܟܘܬܗ ܗܝ ܕܥܠ ܐܦܝܗ ܚܫܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jumuiya ya wenzenu walioteuliwa na Mungu hapa Babuloni wanawasalimuni. Vilevile mwanangu Marko anawasalimuni. \t ܫܐܠܐ ܫܠܡܟܘܢ ܥܕܬܐ ܓܒܝܬܐ ܕܒܒܒܠ ܘܡܪܩܘܤ ܒܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huohuo, Mafarisayo na watu wengine walimwendea Yesu wakamwambia, \"Ondoka hapa uende mahali pengine, kwa maana Herode anataka kukuua.\" \t ܒܗ ܒܗܘ ܝܘܡܐ ܩܪܒܘ ܐܢܫܐ ܡܢ ܦܪܝܫܐ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܦܘܩ ܙܠ ܠܟ ܡܟܐ ܡܛܠ ܕܗܪܘܕܤ ܨܒܐ ܠܡܩܛܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliingia mjini Yerusalemu akaenda moja kwa moja mpaka Hekaluni, akatazama kila kitu kwa makini. Lakini kwa vile ilikwisha kuwa jioni, akaenda Bethania pamoja na wale kumi na wawili. \t ܘܥܠ ܝܫܘܥ ܠܐܘܪܫܠܡ ܠܗܝܟܠܐ ܘܚܙܐ ܟܠܡܕܡ ܟܕ ܗܘܐ ܕܝܢ ܥܕܢܐ ܕܪܡܫܐ ܢܦܩ ܠܒܝܬ ܥܢܝܐ ܥܡ ܬܪܥܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vivyo hivyo, basi, hakuna hata mmoja wenu atakayekuwa mwanafunzi wangu kama asipoachilia kila kitu alicho nacho. \t ܗܟܢܐ ܟܠܢܫ ܡܢܟܘܢ ܕܠܐ ܫܒܩ ܟܠܗ ܩܢܝܢܗ ܠܐ ܡܫܟܚ ܕܢܗܘܐ ܠܝ ܬܠܡܝܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kusema hivyo, mzozo mkali ulitokea kati ya Mafarisayo na Masadukayo na mkutano ukagawanyika sehemu mbili. \t ܘܟܕ ܗܕܐ ܐܡܪ ܢܦܠܘ ܚܕ ܒܚܕ ܦܪܝܫܐ ܘܙܕܘܩܝܐ ܘܐܬܦܠܓ ܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana Mose alisema, Bwana Mungu wenu atawapelekeeni nabii kama mimi kutoka kati yenu ninyi wenyewe. \t ܡܘܫܐ ܓܝܪ ܐܡܪ ܕܢܒܝܐ ܢܩܝܡ ܠܟܘܢ ܡܪܝܐ ܡܢ ܐܚܝܟܘܢ ܐܟܘܬܝ ܠܗ ܫܡܥܘ ܒܟܠ ܡܐ ܕܢܡܠܠ ܥܡܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi hamsadiki kwa sababu ninyi si kondoo wangu. \t ܐܠܐ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܛܠ ܕܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܡܢ ܥܪܒܝ ܐܝܟܢܐ ܕܐܡܪܬ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakaogopa sana, wakawa wanaulizana, \"Huyu ni nani basi, hata upepo na mawimbi vinamtii?\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܡܢܐ ܕܚܘܠܬܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܟܢ ܘܠܡܢܐ ܠܝܬ ܒܟܘܢ ܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuwa kama walimu wao wa Sheria, bali alifundisha kwa mamlaka. \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܫܠܡ ܝܫܘܥ ܡܠܐ ܗܠܝܢ ܬܗܝܪܝܢ ܗܘܘ ܟܢܫܐ ܥܠ ܝܘܠܦܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakumbukeni viongozi wenu waliowatangazieni ujumbe wa Mungu. Fikirieni juu ya mwenendo wao, mkaige imani yao. \t ܗܘܝܬܘܢ ܥܗܕܝܢ ܠܡܕܒܪܢܝܟܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܠܠܘ ܥܡܟܘܢ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܐܬܒܩܘ ܒܫܘܠܡܐ ܕܕܘܒܪܝܗܘܢ ܘܡܪܘ ܒܗܝܡܢܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wanaotaka kuonekana wazuri kwa mambo ya mwili ndio wanaotaka kuwalazimisha ninyi mtahiriwe. Wanafanya hivyo kwa sababu moja tu: kusudi wao wenyewe wasije wakadhulumiwa kwa sababu ya msalaba wa Kristo. \t ܐܝܠܝܢ ܕܨܒܝܢ ܕܢܫܬܒܗܪܘܢ ܒܒܤܪܐ ܗܢܘܢ ܐܠܨܝܢ ܠܟܘܢ ܕܬܬܓܙܪܘܢ ܕܒܠܚܘܕ ܒܙܩܝܦܗ ܕܡܫܝܚܐ ܠܐ ܢܬܪܕܦܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Maandiko Matakatifu yasema: \"Kila mtu atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.\" \t ܟܠ ܓܝܪ ܕܢܩܪܐ ܫܡܗ ܕܡܪܝܐ ܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wewe unajisema, Mimi ni tajiri; ninajitosheleza, sina haja ya kitu chochote. Kumbe, hujui kwamba wewe ni mnyonge, unahitaji kuhurumiwa, maskini, kipofu tena uko uchi! \t ܡܛܠ ܕܐܡܪܬ ܕܥܬܝܪܐ ܐܢܬ ܘܥܬܪܬ ܘܥܠ ܡܕܡ ܠܐ ܤܢܝܩ ܐܢܐ ܘܠܐ ܝܕܥ ܐܢܬ ܕܐܢܬ ܗܘ ܡܚܝܠܐ ܘܕܘܝܐ ܘܡܤܟܢܐ ܘܥܪܛܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kesho yake Paulo aliwachukua wale watu akafanya ibada ya kujitakasa pamoja nao. Kisha akaingia Hekaluni kutoa taarifa kuhusu mwisho wa siku za kujitakasa na kuhusu dhabihu itakayotolewa kwa ajili ya kila mmoja wao. \t ܗܝܕܝܢ ܦܘܠܘܤ ܕܒܪ ܐܢܘܢ ܠܓܒܪܐ ܗܠܝܢ ܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܘܐܬܕܟܝ ܥܡܗܘܢ ܘܥܠ ܐܙܠ ܠܗܝܟܠܐ ܟܕ ܡܘܕܥ ܠܗܘܢ ܡܘܠܝܐ ܕܝܘܡܬܐ ܕܬܕܟܝܬܐ ܥܕܡܐ ܕܐܬܩܪܒ ܩܘܪܒܢܐ ܕܐܢܫ ܐܢܫ ܡܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka Ufalme wa Mungu utakapokuja.\" \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܓܝܪ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܐܫܬܐ ܡܢ ܝܠܕܐ ܕܓܦܬܐ ܥܕܡܐ ܕܬܐܬܐ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mwili huu wenye kuharibika utakapojivalia hali ya kutoharibika, na kile chenye kufa kitakapojivalia hali ya kutokufa, hapo ndipo litakapotimia lile neno lililoandikwa: \"Kifo kimeangamizwa ushindi umekamilika!\" \t ܡܐ ܕܠܒܫ ܕܝܢ ܗܢܐ ܕܡܬܚܒܠ ܠܐ ܡܬܚܒܠܢܘܬܐ ܘܗܢܐ ܕܡܐܬ ܠܐ ܡܝܘܬܘܬܐ ܗܝܕܝܢ ܬܗܘܐ ܡܠܬܐ ܗܝ ܕܟܬܝܒܐ ܕܐܬܒܠܥ ܡܘܬܐ ܒܙܟܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wale wanaoshinda, watavikwa mavazi meupe kama hao. Nami sitayafuta majina yao kutoka katika kitabu cha uzima; tena nitawakiri kwamba ni wangu mbele ya Baba yangu na mbele ya malaika wake. \t ܕܙܟܐ ܗܟܢܐ ܡܬܥܛܦ ܡܐܢܐ ܚܘܪܐ ܘܠܐ ܐܠܚܐ ܫܡܗ ܡܢ ܤܦܪܐ ܕܚܝܐ ܘܐܘܕܐ ܒܫܡܗ ܩܕܡ ܐܒܝ ܘܩܕܡ ܡܠܐܟܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Walikuwa bado hawajaelewa Maandiko Matakatifu yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka wafu). \t ܠܐ ܓܝܪ ܥܕܟܝܠ ܝܕܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢ ܟܬܒܐ ܕܥܬܝܕ ܗܘܐ ܠܡܩܡ ܡܢ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawauliza, \"Je, mmeelewa mambo haya yote?\" Wakamjibu, \"Naam.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܤܬܟܠܬܘܢ ܟܠܗܝܢ ܗܠܝܢ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܝܢ ܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu Baba aliwateua ninyi kufuatana na kusudi lake, na mmefanywa watakatifu na Roho, mpate kumtii Yesu Kristo na kusafishwa kwa damu yake. Nawatakieni neema na amani tele. \t ܐܝܠܝܢ ܕܐܬܓܒܝܘ ܒܡܩܕܡܘܬ ܝܕܥܬܗ ܕܐܠܗܐ ܐܒܐ ܒܩܕܝܫܘܬܐ ܕܪܘܚܐ ܕܢܗܘܘܢ ܠܡܫܡܥܬܐ ܘܠܪܤܤ ܕܡܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܛܝܒܘܬܐ ܘܫܠܡܐ ܢܤܓܐ ܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa makelele yao yasiyo na adabu, watu hao ni kama madoa machafu katika mikutano yenu ya karamu ya Bwana. Hujipendelea wao wenyewe tu, na wako kama mawingu yanayopeperushwa huko na huko na upepo bila ya kuleta mvua. Wao ni kama miti isiyozaa matunda hata wakati wa majira yake, wamekufa kabisa. \t ܗܠܝܢ ܐܝܬܝܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܒܢܝܚܬܗܘܢ ܟܕ ܡܟܬܡܝܢ ܡܬܦܪܦܥܝܢ ܟܕ ܕܠܐ ܕܚܠܬܐ ܢܦܫܗܘܢ ܪܥܝܢ ܥܢܢܐ ܕܠܐ ܡܛܪܐ ܕܡܢ ܪܘܚܐ ܦܗܝܢ ܐܝܠܢܐ ܕܐܘܦܝ ܐܒܗܘܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܕܠܐ ܦܐܪܐ ܕܡܝܬܘ ܬܢܝܢܘܬ ܘܤܠܩܘ ܡܢ ܥܩܪܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata. \t ܘܡܚܕܐ ܫܒܩܘ ܡܨܝܕܬܗܘܢ ܘܐܙܠܘ ܒܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hii itawapeni fursa ya kushuhudia Habari Njema. \t ܗܘܝܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܠܤܗܕܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mara viumbe vinne vilipoimba nyimbo za kumtukuza, kumheshimu na kumshukuru huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi, ambaye anaishi milele na milele, \t ܘܡܐ ܕܝܗܒ ܐܪܒܥܬܝܗܝܢ ܚܝܘܬܐ ܬܫܒܘܚܬܐ ܘܐܝܩܪܐ ܘܩܘܒܠ ܛܝܒܘܬܐ ܠܕܝܬܒ ܥܠ ܟܘܪܤܝܐ ܘܠܕܚܝ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana watu wasiomcha Mungu wamepata kujiingiza kwa siri miongoni mwetu, watu ambao, kwa faida ya maisha yao mabaya, wanaupotosha ujumbe wa neema ya Mungu wetu na kumkana Yesu Kristo aliye peke yake kiongozi na Bwana wetu. Maandiko Matakatifu yalikwisha bashiri tangu awali hukumu inayowangojea watu hao. \t ܩܢܘ ܓܝܪ ܐܢܫܝܢ ܡܥܠܢܘܬܐ ܐܝܠܝܢ ܕܡܢ ܫܘܪܝܐ ܩܕܡܘ ܐܬܟܬܒܘ ܒܚܘܝܒܐ ܗܢܐ ܐܢܫܐ ܪܫܝܥܐ ܕܠܛܝܒܘܬܗ ܕܐܠܗܢ ܡܗܦܟܝܢ ܠܛܢܦܘܬܐ ܘܒܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܡܪܐ ܐܠܗܐ ܘܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܟܦܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawatuma tena watumishi wengine, akisema, Waambieni wale walioalikwa: karamu yangu iko tayari sasa; fahali wangu na ng'ombe wanono wamekwisha chinjwa; kila kitu ni tayari, njoni arusini. \t ܬܘܒ ܫܕܪ ܥܒܕܐ ܐܚܪܢܐ ܘܐܡܪ ܐܡܪܘ ܠܡܙܡܢܐ ܕܗܐ ܫܪܘܬܝ ܡܛܝܒܐ ܘܬܘܪܝ ܘܡܦܛܡܝ ܩܛܝܠܝܢ ܘܟܠ ܡܕܡ ܡܛܝܒ ܬܘ ܠܡܫܬܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya Petro na Yohane kutoa ushuhuda wao na kuutangaza ujumbe wa Bwana, walirudi Yerusalemu. Walipokuwa wanarudi walihubiri Habari Njema katika vijiji vingi vya Samaria. \t ܫܡܥܘܢ ܕܝܢ ܘܝܘܚܢܢ ܟܕ ܤܗܕܘ ܐܢܘܢ ܘܐܠܦܘ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܗܦܟܘ ܠܗܘܢ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܒܩܘܪܝܐ ܤܓܝܐܬܐ ܕܫܡܪܝܐ ܤܒܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye akawajibu, Adui ndiye aliyefanya hivyo. Basi, watumishi wake wakamwuliza, Je, unataka twende tukayang'oe \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܓܒܪܐ ܒܥܠܕܒܒܐ ܥܒܕ ܗܕܐ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܥܒܕܘܗܝ ܨܒܐ ܐܢܬ ܢܐܙܠ ܢܓܒܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo iko hatari kwamba biashara yetu itakuwa na jina baya. Si hivyo tu, bali pia jambo hilo linaweza kuifanya nyumba ya mungu Artemi kuwa si kitu cha maana. Hatimaye sifa zake huyo ambaye Asia na dunia yote inamwabudu, zitakwisha.\" \t ܘܠܘ ܗܕܐ ܨܒܘܬܐ ܒܠܚܘܕ ܡܬܦܪܤܝܐ ܘܒܛܠܐ ܐܠܐ ܐܦ ܗܘ ܗܝܟܠܐ ܕܐܪܛܡܝܤ ܐܠܗܬܐ ܪܒܬܐ ܡܬܚܫܒ ܠܗ ܐܝܟ ܠܐ ܡܕܡ ܘܐܦ ܗܝ ܐܠܗܬܐ ܕܟܠܗ ܐܤܝܐ ܘܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܤܓܕܝܢ ܠܗ ܡܬܫܝܛܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wafanyabiashara wanamwambia: \"Faida yote uliyotazamia imetoweka, na utajiri na fahari vimekuponyoka; hutaweza kuvipata tena!\" \t ܘܐܒܟܝ ܪܓܬܐ ܕܢܦܫܟܝ ܐܙܠ ܡܢܟܝ ܘܟܠ ܕܫܡܝܢ ܘܫܒܝܚ ܐܙܠ ܡܢܟܝ ܘܠܐ ܬܘܒ ܬܚܙܝܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko, aliingia katika nyumba ya Zakariya, akamsalimu Elisabeti. \t ܘܥܠܬ ܠܒܝܬܗ ܕܙܟܪܝܐ ܘܫܐܠܬ ܫܠܡܗ ܕܐܠܝܫܒܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nanyi pia mtanishuhudia kwa kuwa mmekuwa nami tangu mwanzo. \t ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܤܗܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܡܢ ܫܘܪܝܐ ܥܡܝ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ukipeleka sadaka yako mbele ya madhabahu na hapo ukakumbuka kwamba ndugu yako ana ugomvi nawe, \t ܐܢ ܗܘ ܗܟܝܠ ܕܡܩܪܒ ܐܢܬ ܩܘܪܒܢܟ ܥܠ ܡܕܒܚܐ ܘܬܡܢ ܬܬܕܟܪ ܕܐܚܝܕ ܥܠܝܟ ܐܚܘܟ ܐܟܬܐ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msaidizi katika kanisa lazima awe na mke moja tu, na awezaye kuongoza vema watoto wake na nyumba yake. \t ܡܫܡܫܢܐ ܢܗܘܘܢ ܐܝܢܐ ܕܚܕܐ ܐܢܬܬܐ ܗܘܬ ܠܗ ܘܕܒܪ ܒܢܘܗܝ ܘܒܝܬܗ ܫܦܝܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mtu akijaribiwa, asiseme: \"Ninajaribiwa na Mungu.\" Maana Mungu hawezi kujaribiwa na uovu, wala yeye hamjaribu mtu yeyote. \t ܠܐ ܢܐܡܪ ܐܢܫ ܟܕ ܡܬܢܤܐ ܕܡܢ ܐܠܗܐ ܡܬܢܤܐ ܐܢܐ ܐܠܗܐ ܓܝܪ ܠܐ ܡܢܤܝ ܒܒܝܫܬܐ ܘܗܘ ܠܐܢܫ ܠܐ ܡܢܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na mfua fedha mmoja aitwaye Demetrio, ambaye alikuwa na kazi ya kutengeneza sanamu za nyumba ya mungu wa kike aitwaye Artemi. Shughuli hiyo iliwapatia mafundi faida kubwa. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܬܡܢ ܥܒܕ ܤܐܡܐ ܚܕ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܕܡܛܪܝܘܤ ܕܥܒܕ ܗܘܐ ܢܘܤܐ ܕܤܐܡܐ ܠܐܪܛܡܝܤ ܘܡܘܬܪ ܗܘܐ ܠܒܢܝ ܐܘܡܢܘܬܗ ܝܘܬܪܢܐ ܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hao wazee wa Baraza wakawaonya kwa ukali zaidi, halafu wakawaacha huru. Hawakuweza kuwapa adhabu kwa sababu watu wote walikuwa wakimtukuza Mungu kwa sababu ya tukio hilo. \t ܘܐܬܠܚܡܘ ܠܗܘܢ ܘܫܪܘ ܐܢܘܢ ܠܐ ܓܝܪ ܐܫܟܚܘ ܠܗܘܢ ܥܠܬܐ ܕܢܤܝܡܘܢ ܒܪܫܗܘܢ ܡܛܠ ܥܡܐ ܟܠܢܫ ܓܝܪ ܡܫܒܚ ܗܘܐ ܠܐܠܗܐ ܥܠ ܡܕܡ ܕܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe kama mimi; najaribu kuwapendeza wote kwa kila njia, bila kutafuta faida yangu mwenyewe ila faida ya wote, wapate kuokolewa. \t ܐܝܟ ܕܐܦ ܐܢܐ ܒܟܠ ܡܕܡ ܠܟܠܢܫ ܫܦܪ ܐܢܐ ܘܠܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܕܡ ܕܠܝ ܦܩܚ ܐܠܐ ܡܕܡ ܕܠܤܓܝܐܐ ܦܩܚ ܕܢܚܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii Isaya alinena juu yake aliposema: \"Sauti ya mtu imesikika jangwani: Mtayarishieni Bwana njia yake, nyoosheni vijia vyake.\" \t ܗܢܘ ܓܝܪ ܗܘ ܕܐܡܝܪ ܒܝܕ ܐܫܥܝܐ ܢܒܝܐ ܩܠܐ ܕܩܪܐ ܒܚܘܪܒܐ ܛܝܒܘ ܐܘܪܚܗ ܕܡܪܝܐ ܘܐܫܘܘ ܠܫܒܝܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walivuka ziwa, wakafika nchi ya Genesareti, wakatia nanga. \t ܘܟܕ ܥܒܪܘ ܥܒܪܐ ܐܬܘ ܠܐܪܥܐ ܕܓܢܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnapomtaja Mungu ninyi humwita Baba. Basi, jueni kwamba yeye humhukumu kila mmoja kadiri ya matendo yake, bila ubaguzi. Hivyo tumieni wakati wenu uliowabakia hapa ugenini katika kumcha Mungu. \t ܘܐܢ ܗܘ ܕܐܒܐ ܩܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܘ ܕܠܝܬ ܩܕܡܘܗܝ ܡܤܒ ܒܐܦܐ ܘܕܐܢ ܠܟܠܢܫ ܐܝܟ ܥܒܕܘܗܝ ܒܕܚܠܬܐ ܐܬܕܒܪܘ ܒܙܒܢܐ ܗܢܐ ܕܬܘܬܒܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Hivyo, mfalme Agripa, sikuweza kuwa mkaidi kwa maono hilo la mbinguni. \t ܡܛܠ ܗܕܐ ܡܠܟܐ ܐܓܪܦܐ ܠܐ ܩܡܬ ܒܚܪܝܢܐ ܠܘܩܒܠ ܚܙܘܐ ܫܡܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana mimi nilipokea kwa Bwana yale maagizo niliyowaachieni: kwamba, usiku ule Bwana Yesu aliotolewa, alitwaa mkate, \t ܐܢܐ ܓܝܪ ܩܒܠܬ ܡܢ ܡܪܢ ܗܘ ܡܕܡ ܕܐܫܠܡܬ ܠܟܘܢ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܒܗܘ ܠܠܝܐ ܕܡܫܬܠܡ ܗܘܐ ܢܤܒ ܗܘܐ ܠܚܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamwendea Yesu, wakamwona na mtu yuleyule aliyekuwa amepagawa na jeshi la pepo ameketi chini, amevaa nguo na ana akili yake sawa, wakaogopa. \t ܘܐܬܘ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܘܚܙܐܘܗܝ ܠܗܘ ܕܫܐܕܘܗܝ ܟܕ ܠܒܝܫ ܘܡܢܟܦ ܘܝܬܒ ܗܘ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܒܗ ܠܓܝܘܢ ܘܕܚܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo huyo msichana akatoka, akamwuliza mama yake, \"Niombe nini?\" Naye akamjibu, \"Kichwa cha Yohane mbatizaji.\" \t ܗܝ ܕܝܢ ܢܦܩܬ ܘܐܡܪܐ ܠܐܡܗ ܡܢܐ ܐܫܐܠܝܘܗܝ ܐܡܪܐ ܠܗ ܪܫܗ ܕܝܘܚܢܢ ܡܥܡܕܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simeoni akawabariki, akamwambia Maria mama yake, \"Mtoto huyu atakuwa sababu ya kupotea na kuokoka kwa watu wengi katika Israeli. Naye atakuwa ishara itakayopingwa na watu; \t ܘܒܪܟ ܐܢܘܢ ܫܡܥܘܢ ܘܐܡܪ ܠܡܪܝܡ ܐܡܗ ܗܐ ܗܢܐ ܤܝܡ ܠܡܦܘܠܬܐ ܘܠܩܝܡܐ ܕܤܓܝܐܐ ܒܐܝܤܪܝܠ ܘܠܐܬܐ ܕܚܪܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Muwe macho na mjihadhari na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo!\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܚܙܘ ܐܙܕܗܪܘ ܡܢ ܚܡܝܪܐ ܕܦܪܝܫܐ ܘܕܙܕܘܩܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmeishi duniani maisha ya kujifurahisha na ya anasa. Mmejinenepesha tayari kwa siku ya kuchinjwa. \t ܒܤܡܬܘܢ ܓܝܪ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܐܬܠܥܒܬܘܢ ܘܬܪܤܝܬܘܢ ܦܓܪܝܟܘܢ ܐܝܟ ܕܠܝܘܡܐ ܕܢܟܤܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Macho yao yamejaa uzinzi na uwezo wao wa kutenda dhambi hauna kikomo. Huwaongoza watu walio dhaifu mpaka mitegoni. Mioyo yao imezoea kuwa na tamaa ya mali. Wapo chini ya laana ya Mungu! \t ܟܕ ܥܝܢܐ ܐܝܬ ܠܗܘܢ ܕܡܠܝܢ ܓܘܪܐ ܘܚܛܗܐ ܕܠܐ ܡܘܦܝܢ ܟܕ ܡܫܕܠܝܢ ܠܢܦܫܬܐ ܕܠܐ ܤܡܝܟܢ ܘܠܒܐ ܕܡܕܪܫ ܒܥܠܘܒܘܬܐ ܐܝܬ ܠܗܘܢ ܒܢܝܐ ܕܠܘܛܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Saulo alizidi kupata nguvu, na kwa jinsi alivyothibitisha wazi kwamba Yesu ndiye Kristo, Wayahudi wa huko Damasko walivurugika kabisa. \t ܫܐܘܠ ܕܝܢ ܝܬܝܪ ܡܬܚܝܠ ܗܘܐ ܘܡܙܝܥ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܠܝܗܘܕܝܐ ܗܢܘܢ ܕܥܡܪܝܢ ܗܘܘ ܒܕܪܡܤܘܩ ܟܕ ܡܚܘܐ ܗܘܐ ܕܗܢܘ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ningekuwa nimeichagua kazi hii kwa hiari, basi, ningetazamia malipo; lakini maadam naifanya ikiwa ni wajibu, hiyo ina maana kwamba ni jukumu nililopewa nitekeleze. \t ܐܢ ܓܝܪ ܒܨܒܝܢܝ ܗܕܐ ܤܥܪ ܐܢܐ ܐܓܪܐ ܐܝܬ ܠܝ ܐܢ ܕܝܢ ܕܠܐ ܒܨܒܝܢܝ ܪܒܬ ܒܝܬܘܬܐ ܗܘ ܡܗܝܡܢ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawauliza, \"Na ninyi je, mwasema mimi ni nani?\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܡܢܘ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܝܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hao watumishi walipofika huko hawakuwakuta mle gerezani. Hivyo walirudi, wakatoa taarifa mkutanoni, \t ܘܟܕ ܐܙܠܘ ܐܝܠܝܢ ܕܐܫܬܕܪܘ ܡܢܗܘܢ ܠܐ ܐܫܟܚܘ ܐܢܘܢ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܘܗܦܟܘ ܐܬܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hii inamaanisha kwamba kile kilicho kizuri kimesababisha kifo changu? Hata kidogo! Iliyo ni kwamba, dhambi, ili ionekane dhahiri kuwa ni dhambi, imekitumia kile kilicho kizuri na kusababisha kifo changu. Hivyo dhambi, kwa njia ya ile amri, ilijionyesha kikamilifu jinsi ilivyo mbaya mno. \t ܛܒܬܐ ܗܟܝܠ ܠܝ ܠܡܘܬܐ ܗܘ ܗܘܬ ܚܤ ܐܠܐ ܚܛܝܬܐ ܕܬܬܚܙܐ ܕܚܛܝܬܐ ܗܝ ܕܒܛܒܬܐ ܓܡܪܬ ܒܝ ܡܘܬܐ ܕܝܬܝܪܐܝܬ ܬܬܚܝܒ ܚܛܝܬܐ ܒܦܘܩܕܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kile kikosi cha askari, mkuu wake na walinzi wa Wayahudi walimkamata Yesu, wakamfunga \t ܗܝܕܝܢ ܐܤܦܝܪ ܘܟܠܝܪܟܐ ܘܕܚܫܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܐܚܕܘܗܝ ܠܝܫܘܥ ܘܐܤܪܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliposikia habari hiyo waliungana pamoja katika kumwomba Mungu wakisema, \"Bwana, wewe ni Muumba wa mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo! \t ܘܗܢܘܢ ܟܕ ܫܡܥܘ ܐܟܚܕ ܐܪܝܡܘ ܩܠܗܘܢ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܘܐܡܪܘ ܡܪܝܐ ܐܢܬ ܗܘ ܐܠܗܐ ܕܥܒܕܬ ܫܡܝܐ ܘܐܪܥܐ ܘܝܡܡܐ ܘܟܠ ܕܐܝܬ ܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akajua ya kuwa watu walitaka kumchukua wamfanye mfalme, akaondoka tena, akaenda mlimani peke yake. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܝܕܥ ܕܥܬܝܕܝܢ ܕܢܐܬܘܢ ܢܚܛܦܘܢܝܗܝ ܘܢܥܒܕܘܢܝܗܝ ܡܠܟܐ ܘܫܢܝ ܠܗ ܠܛܘܪܐ ܗܘ ܒܠܚܘܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake tulitia nanga katika bandari ya Sidoni. Yulio alimtendea Paulo vizuri kwa kumruhusu awaone rafiki zake na kupata mahitaji yake. \t ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܡܛܝܢ ܠܨܝܕܢ ܘܐܬܚܫܚ ܩܢܛܪܘܢܐ ܒܡܪܚܡܢܘܬܐ ܠܘܬ ܦܘܠܘܤ ܘܐܦܤ ܠܗ ܕܢܐܙܠ ܠܘܬ ܪܚܡܘܗܝ ܘܢܬܬܢܝܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, baada ya kusali na kufunga zaidi, wakawawekea mikono, wakawaacha waende zao. \t ܘܒܬܪ ܕܨܡܘ ܘܨܠܝܘ ܤܡܘ ܥܠܝܗܘܢ ܐܝܕܐ ܘܫܕܪܘ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akamwendea Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. Basi, Pilato akaamuru apewe. \t ܗܢܐ ܩܪܒ ܠܘܬ ܦܝܠܛܘܤ ܘܫܐܠ ܦܓܪܗ ܕܝܫܘܥ ܘܦܩܕ ܦܝܠܛܘܤ ܕܢܬܝܗܒ ܠܗ ܦܓܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Sila aliamua kubaki. \t ܒܪܡ ܗܘܐ ܨܒܝܢܗ ܕܫܝܠܐ ܕܢܩܘܐ ܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kile kilicho kikamilifu kitakapofika, vyote visivyo vikamilifu vitatoweka. \t ܐܡܬܝ ܕܝܢ ܕܬܐܬܐ ܓܡܝܪܘܬܐ ܗܝܕܝܢ ܢܬܒܛܠ ܗܘ ܡܕܡ ܕܩܠܝܠ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilimpeleka mbele ya Baraza lao kuu nikitaka kujua kisa cha mashtaka yao. \t ܘܟܕ ܒܥܐ ܗܘܝܬ ܠܡܕܥ ܥܠܬܐ ܕܡܛܠܬܗ ܪܫܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܐܚܬܬܗ ܠܟܢܫܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo alipokwisha sema hayo, Wayahudi walijiondokea huku wakiwa wanabishana vikali wao kwa wao. \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܢܦܩܘ ܝܗܘܕܝܐ ܘܤܓܝ ܕܪܫܝܢ ܗܘܘ ܒܝܢܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtoto akimwomba baba yake samaki, je, atampa nyoka badala ya samaki? \t ܐܝܢܐ ܓܝܪ ܡܢܟܘܢ ܐܒܐ ܕܢܫܐܠܝܘܗܝ ܒܪܗ ܠܚܡܐ ܠܡܐ ܟܐܦܐ ܡܘܫܛ ܠܗ ܘܐܢ ܢܘܢܐ ܢܫܐܠܝܘܗܝ ܠܡܐ ܚܠܦ ܢܘܢܐ ܚܘܝܐ ܡܘܫܛ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tangu wakati wa Yohane mbatizaji mpaka leo hii, Ufalme wa mbinguni unashambuliwa vikali, na watu wakali wanajaribu kuunyakua kwa nguvu. \t ܡܢ ܝܘܡܝ ܝܘܚܢܢ ܕܝܢ ܡܥܡܕܢܐ ܘܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܒܩܛܝܪܐ ܡܬܕܒܪܐ ܘܩܛܝܪܢܐ ܡܚܛܦܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, ni nani kati ya hawa wawili aliyetimiza matakwa ya baba yake?\" Wakamjibu, \"Yule mtoto wa kwanza.\" Basi, Yesu akawaambia, \"Kweli nawaambieni, watoza ushuru na waasherati wataingia katika Ufalme wa Mungu kabla yenu. \t ܡܢܘ ܡܢ ܗܠܝܢ ܬܪܝܗܘܢ ܥܒܕ ܨܒܝܢܐ ܕܐܒܘܗܝ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܗܘ ܩܕܡܝܐ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܡܟܤܐ ܘܙܢܝܬܐ ܩܕܡܝܢ ܠܟܘܢ ܠܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mimi niliwajibu kwamba si desturi ya Waroma kumtoa mtu aadhibiwe kabla mshtakiwa hajakutana na washtaki wake ana kwa ana na kupewa fursa ya kujitetea kuhusu hayo mashtaka. \t ܘܐܡܪܬ ܠܗܘܢ ܕܠܝܬ ܥܝܕܐ ܠܪܗܘܡܝܐ ܕܢܬܠܘܢ ܒܪܢܫܐ ܡܘܗܒܬ ܠܩܛܠܐ ܥܕܡܐ ܕܢܐܬܐ ܒܥܠ ܕܝܢܗ ܘܢܟܤܝܘܗܝ ܒܐܦܘܗܝ ܘܢܬܝܗܒ ܠܗ ܐܬܪܐ ܠܡܦܩ ܒܪܘܚܐ ܥܠ ܡܐ ܕܡܬܪܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa yahusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa kwetu pamoja tukae naye. Ndugu, tunawaombeni sana \t ܒܥܝܢܢ ܕܝܢ ܡܢܟܘܢ ܐܚܝ ܥܠ ܡܐܬܝܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܥܠ ܟܢܘܫܝܐ ܕܝܠܢ ܕܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, makundi mengi yakawa yanaandamana pamoja na Yesu. Basi, akawageukia akawaambia, \t ܘܟܕ ܐܙܠܝܢ ܗܘܘ ܥܡܗ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܐܬܦܢܝ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akajibu, \"Jambo hili halikutukia kwa sababu ya dhambi zake yeye, wala dhambi za wazazi wake; ila alizaliwa kipofu ili nguvu ya Mungu ionekane ikifanya kazi ndani yake. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܠܐ ܗܘ ܚܛܐ ܘܠܐ ܐܒܗܘܗܝ ܐܠܐ ܕܢܬܚܙܘܢ ܒܗ ܥܒܕܘܗܝ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa kuna mtu aliyemhuzunisha mwingine, hakunihuzunisha mimi--ila amewahuzunisha ninyi nyote, na sipendi kuwa mkali zaidi. \t ܐܢ ܕܝܢ ܐܢܫ ܐܟܪܝ ܠܐ ܗܘܐ ܠܝ ܐܟܪܝ ܐܠܐ ܒܨܝܪܐ ܩܠܝܠ ܠܟܠܟܘܢ ܕܠܐ ܬܐܩܪ ܡܠܬܐ ܥܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sisi ni watu wa mchana na tunapaswa kuwa na kiasi. Tunapaswa kuvaa imani na upendo kama vazi la kujikinga kifuani, na tumaini letu la wokovu kama kofia ya chuma. \t ܚܢܢ ܕܝܢ ܕܒܢܝ ܐܝܡܡܐ ܚܢܢ ܗܘܝܢ ܥܝܪܝܢ ܒܪܥܝܢܢ ܘܠܒܝܫܝܢ ܫܪܝܢܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܘܕܚܘܒܐ ܘܢܤܝܡ ܤܢܘܪܬܐ ܕܤܒܪܐ ܕܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenye masikio na asikie!\" \t ܐܢ ܐܢܫ ܐܝܬ ܠܗ ܐܕܢܐ ܕܢܫܡܥ ܢܫܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sisi hatutajivuna kupita kiasi; kujivuna huko kutabaki katika kile kipimo cha kazi aliyotukabidhi Mungu, kazi ambayo tunaifanya pia kwenu. \t ܚܢܢ ܕܝܢ ܠܐ ܡܫܬܒܗܪܝܢܢ ܝܬܝܪ ܡܢ ܡܫܘܚܬܢ ܐܠܐ ܒܡܫܘܚܬܐ ܕܬܚܘܡܐ ܕܦܠܓ ܠܢ ܐܠܗܐ ܕܢܡܛܐ ܐܦ ܥܕܡܐ ܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alifanya mbele ya wanafunzi wake ishara nyingine nyingi ambazo hazikuandikwa katika kitabu hiki. \t ܤܓܝܐܬܐ ܕܝܢ ܐܬܘܬܐ ܐܚܪܢܝܬܐ ܥܒܕ ܝܫܘܥ ܩܕܡ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܟܬܝܒܢ ܒܟܬܒܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndio maana sikujiona nastahili hata kuja kwako; amuru tu, na mtumishi wangu atapona. \t ܡܛܠ ܗܘ ܐܢܐ ܠܐ ܫܘܝܬ ܕܠܘܬܟ ܐܬܐ ܐܠܐ ܐܡܪ ܒܡܠܬܐ ܘܢܬܐܤܐ ܛܠܝܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafarisayo na walimu wa Sheria wakawanung'unikia wafuasi wake wakisema: \"Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?\" \t ܘܪܛܢܝܢ ܗܘܘ ܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܘܐܡܪܝܢ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܠܡܢܐ ܥܡ ܡܟܤܐ ܘܚܛܝܐ ܐܟܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܫܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale watu waliokuwa wanasafiri pamoja na Saulo walisimama pale, wakiwa hawana la kusema; walisikia ile sauti lakini hawakumwona mtu. \t ܘܓܒܪܐ ܕܐܙܠܝܢ ܗܘܘ ܥܡܗ ܒܐܘܪܚܐ ܩܝܡܝܢ ܗܘܘ ܟܕ ܬܡܝܗܝܢ ܡܛܠ ܕܩܠܐ ܒܠܚܘܕ ܫܡܥܝܢ ܗܘܘ ܐܢܫ ܕܝܢ ܠܐ ܡܬܚܙܐ ܗܘܐ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tumia wakati wako na juhudi yako katika kusoma hadharani Maandiko Matakatifu, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja. \t ܥܕ ܐܬܐ ܐܢܐ ܐܬܚܦܛ ܒܩܪܝܢܐ ܘܒܒܥܘܬܐ ܘܒܝܘܠܦܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe macho; kesheni! Maana adui yenu, Ibilisi, huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mawindo. \t ܐܬܬܥܝܪܘ ܘܥܗܕܘ ܡܛܠ ܕܒܥܠܕܒܒܟܘܢ ܤܛܢܐ ܐܝܟ ܐܪܝܐ ܢܗܡ ܘܡܗܠܟ ܘܒܥܐ ܕܠܡܢܘ ܢܒܠܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini tangu kuumbwa ulimwengu, Mungu aliumba mwanamume na mwanamke. \t ܡܢ ܒܪܫܝܬ ܕܝܢ ܕܟܪܐ ܘܢܩܒܬܐ ܥܒܕ ܐܢܘܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na yale mabakuli saba yaliyokuwa yamejaa mabaa saba ya mwisho, akaja na kuniambia, \"Njoo! Mimi nitakuonyesha bibi arusi, mkewe Mwanakondoo!\" \t ܘܐܬܐ ܚܕ ܡܢ ܫܒܥܐ ܡܠܐܟܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬ ܥܠܝܗܘܢ ܫܒܥ ܙܒܘܪܝܢ ܕܡܠܝܢ ܫܒܥ ܡܚܘܬܐ ܐܚܪܝܬܐ ܘܡܠܠ ܥܡܝ ܠܡܐܡܪ ܬܐ ܐܚܘܝܟ ܠܟܠܬܐ ܐܢܬܬܗ ܕܐܡܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana akili za watu hawa zimepumbaa, wameyaziba masikio yao, wameyafumba macho yao. La sivyo, wangeona kwa macho yao. wangesikia kwa masikio yao, wangeelewa kwa akili zao, na kunigeukia, asema Bwana, nami ningewaponya. \t ܐܬܥܒܝ ܠܗ ܓܝܪ ܠܒܗ ܕܥܡܐ ܗܢܐ ܘܒܐܕܢܝܗܘܢ ܝܩܝܪܐܝܬ ܫܡܥܘ ܘܥܝܢܝܗܘܢ ܥܡܨܘ ܕܠܐ ܢܚܙܘܢ ܒܥܝܢܝܗܘܢ ܘܢܫܡܥܘܢ ܒܐܕܢܝܗܘܢ ܘܢܤܬܟܠܘܢ ܒܠܒܗܘܢ ܘܢܬܦܢܘܢ ܘܐܤܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "naye Yese alimzaa Mfalme Daudi. Daudi alimzaa Solomoni (mama yake Solomoni alikuwa mke wa Uria). \t ܐܝܫܝ ܐܘܠܕ ܠܕܘܝܕ ܡܠܟܐ ܕܘܝܕ ܐܘܠܕ ܠܫܠܝܡܘܢ ܡܢ ܐܢܬܬܗ ܕܐܘܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akamwambia Petro, \"Rudisha upanga wako alani. Je, nisinywe kikombe alichonipa Baba?\" \t ܘܐܡܪ ܝܫܘܥ ܠܟܐܦܐ ܤܝܡ ܤܦܤܪܐ ܒܚܠܬܗ ܟܤܐ ܕܝܗܒ ܠܝ ܐܒܝ ܠܐ ܐܫܬܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Amkeni! Anzeni kuishi vema, na acheni kutenda dhambi. Baadhi yenu hawamjui Mungu kabisa. Hii nawaambieni, ni aibu kubwa kwenu! \t ܐܥܝܪܘ ܠܒܟܘܢ ܙܕܝܩܐܝܬ ܘܠܐ ܬܚܛܘܢ ܐܝܬ ܓܝܪ ܐܢܫܐ ܕܝܕܥܬܐ ܕܐܠܗܐ ܠܝܬ ܒܗܘܢ ܠܒܗܬܬܟܘܢ ܗܘ ܐܡܪ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa wanafanya ibada yao kwa Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu alisema: \"Niteulieni Barnaba na Saulo kwa ajili ya kazi niliyowaitia.\" \t ܘܟܕ ܗܢܘܢ ܨܝܡܝܢ ܗܘܘ ܘܡܬܟܫܦܝܢ ܠܐܠܗܐ ܐܡܪܬ ܠܗܘܢ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܦܪܘܫܘ ܠܝ ܠܫܐܘܠ ܘܠܒܪܢܒܐ ܠܥܒܕܐ ܐܝܢܐ ܕܐܢܐ ܩܪܝܬ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Nimewaonyesheni kazi nyingi kutoka kwa Baba. Ni ipi kati ya hizo inayowafanya mnipige mawe?\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܤܓܝܐܐ ܥܒܕܐ ܫܦܝܪܐ ܡܢ ܠܘܬ ܐܒܝ ܚܘܝܬܟܘܢ ܡܛܠ ܐܝܢܐ ܥܒܕܐ ܡܢܗܘܢ ܪܓܡܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akawaambia makuhani wakuu na umati wa watu, \"Sioni kosa lolote katika mtu huyu.\" \t ܘܐܡܪ ܦܝܠܛܘܤ ܠܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܠܟܢܫܐ ܐܢܐ ܡܕܡ ܥܠܬܐ ܠܐ ܡܫܟܚ ܐܢܐ ܥܠ ܓܒܪܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na bila kwenda kwanza Yerusalemu kwa wale waliopata kuwa mitume kabla yangu, nilikwenda kwanza Arabia, kisha nikarudi tena Damasko. \t ܘܠܐ ܐܙܠܬ ܠܐܘܪܫܠܡ ܠܘܬ ܫܠܝܚܐ ܕܡܢ ܩܕܡܝ ܐܠܐ ܐܙܠܬ ܠܐܪܒܝܐ ܘܬܘܒ ܗܦܟܬ ܠܕܪܡܤܘܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao. \t ܪܥܘܬܐ ܕܝܢ ܐܝܬ ܗܘܘ ܒܗ ܒܐܬܪܐ ܕܫܪܝܢ ܗܘܘ ܬܡܢ ܘܢܛܪܝܢ ܡܛܪܬܐ ܕܠܠܝܐ ܥܠ ܡܪܥܝܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana hatujitangazi sisi wenyewe, ila tunamhubiri Yesu Kristo aliye Bwana, sisi wenyewe tukiwa watumishi wenu kwa ajili ya Yesu. \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܢܦܫܢ ܡܟܪܙܝܢܢ ܐܠܐ ܠܡܫܝܚܐ ܝܫܘܥ ܡܪܢ ܠܢܦܫܢ ܕܝܢ ܕܥܒܕܝܟܘܢ ܚܢܢ ܡܛܠ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akajibu, \"Naam, mimi ndiye. Tena, mtamwona Mwana wa Mtu amekaa upande wa kulia wa Mwenyezi, akija katika mawingu ya mbinguni.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗ ܐܢܐ ܐܢܐ ܘܬܚܙܘܢ ܠܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܕܝܬܒ ܡܢ ܝܡܝܢܐ ܕܚܝܠܐ ܘܐܬܐ ܥܠ ܥܢܢܝ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kristo anawezaje kupatana na Shetani? Muumini ana uhusiano gani na asiyeamini? \t ܐܘ ܐܝܕܐ ܫܠܡܘܬܐ ܐܝܬ ܠܡܫܝܚܐ ܥܡ ܤܛܢܐ ܐܘ ܐܝܕܐ ܡܢܬܐ ܐܝܬ ܠܕܡܗܝܡܢ ܥܡ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana, ni nani aliye mkuu: yule anayeketi mezani kula chakula, ama yule anayetumikia? Bila shaka ni yule anayeketi mezani kula chakula! Hata hivyo, mimi niko hapa kati yenu kama mtumishi. \t ܡܢܘ ܓܝܪ ܪܒ ܗܘ ܕܤܡܝܟ ܐܘ ܗܘ ܕܡܫܡܫ ܠܐ ܗܘܐ ܗܘ ܕܤܡܝܟ ܐܢܐ ܕܝܢ ܐܝܬܝ ܒܝܢܬܟܘܢ ܐܝܟ ܗܘ ܕܡܫܡܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Uteuzi wake unatokana na neema yake, na si kwa sababu ya matendo yao. Maana, kama uteuzi wake ungetegemea matendo ya watu, neema yake haingekuwa neema tena. \t ܐܢ ܕܝܢ ܒܛܝܒܘܬܐ ܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܥܒܕܐ ܘܐܢ ܠܐ ܛܝܒܘܬܐ ܠܐ ܐܝܬܝܗ ܛܝܒܘܬܐ ܐܢ ܕܝܢ ܒܥܒܕܐ ܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܛܝܒܘܬܐ ܘܐܢ ܠܐ ܥܒܕܐ ܠܐ ܐܝܬܘܗܝ ܥܒܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Nendeni mkamwambie huyo mbweha hivi: Leo na kesho ninafukuza pepo na kuponya wagonjwa, na siku ya tatu nitakamilisha kazi yangu. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܙܠܘ ܐܡܪܘ ܠܬܥܠܐ ܗܢܐ ܕܗܐ ܡܦܩ ܐܢܐ ܫܐܕܐ ܘܐܤܘܬܐ ܥܒܕ ܐܢܐ ܝܘܡܢܐ ܘܡܚܪ ܘܠܝܘܡܐ ܕܬܠܬܐ ܡܫܬܡܠܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mose ndiye aliyewaambia watu wa Israeli: Mungu atawateulieni nabii kama mimi kutoka katika ndugu zenu ninyi wenyewe. \t ܗܢܘ ܡܘܫܐ ܗܘ ܕܐܡܪ ܠܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܕܢܒܝܐ ܢܩܝܡ ܠܟܘܢ ܡܪܝܐ ܐܠܗܐ ܡܢ ܐܚܝܟܘܢ ܐܟܘܬܝ ܠܗ ܬܫܡܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, ingawa alikuwa Mwana wa Mungu, alijifunza kutii kwa njia ya mateso. \t ܘܟܕ ܛܒ ܒܪܐ ܐܝܬܘܗܝ ܡܢ ܕܚܠܬܐ ܘܚܫܐ ܕܤܒܠ ܝܠܦܗ ܠܡܫܬܡܥܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana niliwaandikia--sikutaka kuja kwenu na kuhuzunishwa na ninyi ambao ndio mngepaswa kuwa furaha yangu. Nina hakika kwamba, mimi nikifurahi, ninyi nyote pia mnafurahi. \t ܘܕܟܬܒܬ ܠܟܘܢ ܗܝ ܗܕܐ ܕܠܐ ܟܕ ܐܬܐ ܢܟܪܘܢ ܠܝ ܗܢܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܘܠܐ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܗܢܘܢ ܢܚܕܘܢܢܝ ܬܟܝܠ ܐܢܐ ܕܝܢ ܥܠ ܟܠܟܘܢ ܕܚܕܘܬܝ ܕܟܠܟܘܢ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mnajua jambo lililotukia katika nchi yote ya Wayahudi kuanzia Galilaya baada ya ule ubatizo aliohubiri Yohane. \t ܘܐܦ ܐܢܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܡܠܬܐ ܕܗܘܬ ܒܟܠܗ ܝܗܘܕ ܕܐܩܦܬ ܡܢ ܓܠܝܠܐ ܒܬܪ ܡܥܡܘܕܝܬܐ ܕܐܟܪܙ ܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtanitafuta lakini hamtaniona, maana pale nitakapokuwa ninyi hamwezi kufika.\" \t ܘܬܒܥܘܢܢܝ ܘܠܐ ܬܫܟܚܘܢܢܝ ܘܐܝܟܐ ܕܐܢܐ ܐܝܬܝ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliponihoji na kuona kwamba sikuwa na hatia yeyote, walitaka kuniacha. \t ܘܗܢܘܢ ܟܕ ܫܐܠܘܢܝ ܨܒܘ ܕܢܫܪܘܢܢܝ ܡܛܠ ܕܠܐ ܐܫܟܚܘ ܒܬܪܝ ܪܫܝܢܐ ܡܕܡ ܕܫܘܐ ܠܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ikiwa mtu ana moyo wa kusaidia, Mungu hupokea kila anachoweza kutoa: hadai zaidi. \t ܐܢ ܓܝܪ ܨܒܝܢܐ ܐܝܬܘܗܝ ܐܝܟ ܡܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܗܟܘܬ ܡܬܩܒܠ ܠܐ ܗܘܐ ܐܝܟ ܡܐ ܕܠܝܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walichokuwa wanajua ni kile tu walichosikia: \"Mtu yule aliyekuwa akitutesa hapo awali, sasa anaihubiri imani ileile aliyokuwa anajaribu kuiangamiza.\" \t ܐܠܐ ܗܕܐ ܒܠܚܘܕ ܫܡܥܝܢ ܗܘܘ ܕܗܘ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܪܕܦ ܗܘܐ ܠܢ ܗܫܐ ܗܐ ܡܤܒܪ ܗܝܡܢܘܬܐ ܗܝ ܕܡܢ ܩܕܡ ܙܒܢܐ ܡܤܚܦ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu, kwenye mnara wa Hekalu, akamwambia, \"Kama wewe ni Mwana wa Mungu, \t ܘܐܝܬܝܗ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܐܩܝܡܗ ܥܠ ܟܢܦܐ ܕܗܝܟܠܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢ ܒܪܗ ܐܢܬ ܕܐܠܗܐ ܐܪܡܐ ܢܦܫܟ ܡܟܐ ܠܬܚܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu hakosi haki; yeye hataisahau kazi mliyoifanya au upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake katika huduma mliyowapa na mnayowapa sasa watu wake. \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܥܘܠ ܐܠܗܐ ܕܢܛܥܐ ܥܒܕܝܟܘܢ ܘܚܘܒܟܘܢ ܗܘ ܕܚܘܝܬܘܢ ܒܫܡܗ ܕܫܡܫܬܘܢ ܠܩܕܝܫܐ ܘܡܫܡܫܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao wakamwuliza, \"Kwa nini basi, Mose alituagiza mwanamke apewe hati ya talaka na kuachwa?\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܡܢܐ ܗܟܝܠ ܡܘܫܐ ܦܩܕ ܕܢܬܠ ܟܬܒܐ ܕܫܘܒܩܢܐ ܘܢܫܪܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Maandiko Matakatifu yasema: \"Usimfunge ng'ombe kinywa anapopura nafaka.\" na tena \"Mfanyakazi astahili malipo yake.\" \t ܐܡܪ ܓܝܪ ܟܬܒܐ ܕܠܐ ܬܒܠܘܡ ܬܘܪܐ ܒܕܪܟܬܐ ܘܫܘܐ ܗܘ ܦܥܠܐ ܐܓܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akajibu, \"Hamjui mnaomba nini. Je, mnaweza kunywa kikombe nitakachokunywa mimi?\" Wakamjibu, \"Tunaweza.\" \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢܐ ܫܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܫܬܐ ܟܤܐ ܕܐܢܐ ܥܬܝܕ ܠܡܫܬܐ ܐܘ ܡܥܡܘܕܝܬܐ ܕܐܢܐ ܥܡܕ ܐܢܐ ܬܥܡܕܘܢ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܫܟܚܝܢ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Au, ni mfalme gani ambaye, akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine, hataketi kwanza chini na kufikiri kama ataweza, kwa askari wake elfu ishirini? \t ܐܘ ܡܢܘ ܡܠܟܐ ܕܐܙܠ ܠܩܪܒܐ ܠܡܬܟܬܫܘ ܥܡ ܡܠܟܐ ܚܒܪܗ ܘܠܐ ܠܘܩܕܡ ܡܬܪܥܐ ܕܐܢ ܡܫܟܚ ܒܥܤܪܐ ܐܠܦܝܢ ܠܡܐܪܥ ܠܗܘ ܕܐܬܐ ܥܠܘܗܝ ܒܥܤܪܝܢ ܐܠܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na hivi ni lazima yatimie yale yaliyoandikwa katika Sheria yao: Wamenichukia bure! \t ܕܬܬܡܠܐ ܡܠܬܐ ܕܟܬܝܒܐ ܒܢܡܘܤܗܘܢ ܕܤܢܐܘܢܝ ܡܓܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ipo tofauti: neema ya Mungu si kama dhambi ya Adamu. Maana, ingawa dhambi ya mtu mmoja ilisababisha kifo kwa wote, kwa fadhili ya mtu mmoja, yaani Yesu Kristo, Mungu amewazidishia wote neema na zawadi zake. \t ܐܠܐ ܠܐ ܗܘܐ ܐܝܟ ܫܘܪܥܬܐ ܗܟܢܐ ܡܘܗܒܬܐ ܐܢ ܓܝܪ ܡܛܠ ܫܘܪܥܬܗ ܕܚܕ ܤܓܝܐܐ ܡܝܬܘ ܟܡܐ ܗܟܝܠ ܝܬܝܪܐܝܬ ܛܝܒܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܘܡܘܗܒܬܗ ܡܛܠ ܚܕ ܒܪܢܫܐ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܤܓܝܐܐ ܬܬܝܬܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kubaki katika upendo wa Mungu, mkiwa mnamngojea Bwana wetu Yesu Kristo awapeni uzima wa milele kwa huruma yake. \t ܢܦܫܢ ܕܝܢ ܒܚܘܒܐ ܕܐܠܗܐ ܢܛܪ ܟܕ ܡܤܟܝܢܢ ܠܚܢܢܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܠܚܝܐ ܕܝܠܢ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu na wanafunzi wake waliondoka hapo, wakaendelea na safari kupitia wilaya ya Galilaya. Yesu hakupenda watu wajue alipokuwa, \t ܘܟܕ ܢܦܩ ܡܢ ܬܡܢ ܥܒܪܝܢ ܗܘܘ ܒܓܠܝܠܐ ܘܠܐ ܨܒܐ ܗܘܐ ܕܐܢܫ ܢܕܥ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati ujumbe ule wa kweli, yaani Habari Njema, ilipowafikieni kwa mara ya kwanza, mlipata kusikia juu ya lile tumaini linalopatikana kwake. Kwa sababu hiyo imani na upendo wenu vinategemea jambo lile mnalotumainia ambalo mmewekewa salama mbinguni. \t ܡܛܠ ܤܒܪܐ ܗܘ ܕܢܛܝܪ ܠܟܘܢ ܒܫܡܝܐ ܗܘ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܫܡܥܬܘܢ ܒܡܠܬܐ ܕܩܘܫܬܐ ܕܤܒܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili kusiweko na utengano katika mwili bali viungo vyote vishughulikiane. \t ܕܠܐ ܬܗܘܐ ܦܠܓܘܬܐ ܒܦܓܪܐ ܐܠܐ ܟܠܗܘܢ ܗܕܡܐ ܫܘܝܐܝܬ ܚܕ ܥܠ ܚܕ ܢܗܘܘܢ ܝܨܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mwanamke akamwambia, \"Mheshimiwa, nipe maji hayo ili nisione kiu tena; nisije tena mpaka hapa kuteka maji.\" \t ܐܡܪܐ ܠܗ ܐܢܬܬܐ ܗܝ ܡܪܝ ܗܒ ܠܝ ܡܢ ܗܠܝܢ ܡܝܐ ܕܠܐ ܬܘܒ ܐܨܗܐ ܘܠܐ ܗܘܝܬ ܐܬܝܐ ܕܠܝܐ ܡܢ ܗܪܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo wapenzi wangu, mkiwa mnangojea Siku ile, fanyeni bidii kuwa safi kabisa bila hatia mbele ya Mungu, na kuwa na amani naye. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܚܒܝܒܝ ܟܕ ܠܗܠܝܢ ܡܤܟܝܢ ܐܢܬܘܢ ܝܨܦܘ ܕܕܠܐ ܟܘܬܡܐ ܘܕܠܐ ܡܘܡܐ ܠܗ ܬܫܬܟܚܘܢ ܒܫܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ndugu, nawasihi mpokee kwa utulivu ujumbe huu wa kuwatieni moyo. Hii ni barua fupi tu ambayo nimewaandikieni. \t ܒܥܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܡܢܟܘܢ ܐܚܝ ܕܬܓܪܘܢ ܪܘܚܟܘܢ ܒܡܠܬܐ ܕܒܘܝܐܐ ܡܛܠ ܕܒܙܥܘܪܝܬܐ ܗܘ ܟܬܒܬ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara, Yesu akasema nao, \"Tulieni, ni mimi. Msiogope!\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܒܪܫܥܬܗ ܡܠܠ ܥܡܗܘܢ ܘܐܡܪ ܐܬܠܒܒܘ ܐܢܐ ܐܢܐ ܠܐ ܬܕܚܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wewe, mtu wa Mungu, jiepushe na mambo hayo. Zingatia uadilifu, uchaji wa Mungu, imani, mapendo, subira na unyenyekevu. \t ܐܢܬ ܕܝܢ ܐܘ ܒܪܢܫܐ ܕܐܠܗܐ ܡܢ ܗܠܝܢ ܥܪܘܩ ܘܗܪܛ ܒܬܪ ܙܕܝܩܘܬܐ ܘܒܬܪ ܟܐܢܘܬܐ ܘܒܬܪ ܗܝܡܢܘܬܐ ܘܒܬܪ ܚܘܒܐ ܘܒܬܪ ܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܘܒܬܪ ܡܟܝܟܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akamjibu, \"Imeandikwa: Usimjaribu Bwana Mungu wako.\" \t ܥܢܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܡܝܪ ܗܘ ܕܠܐ ܬܢܤܐ ܠܡܪܝܐ ܐܠܗܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akasema, \"Nawaambieni kweli, mama huyu mjane ametia zaidi katika hazina kuliko wote. \t ܘܐܡܪ ܫܪܪܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܗܕܐ ܐܪܡܠܬܐ ܡܤܟܢܬܐ ܐܪܡܝܬ ܝܬܝܪ ܡܢ ܟܠܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri yao watumishi hao ikiwa bwana wao atawakuta wanakesha hata ikiwa atarudi usiku wa manane au alfajiri. \t ܘܐܢ ܒܡܛܪܬܐ ܕܬܪܬܝܢ ܐܘ ܕܬܠܬ ܢܐܬܐ ܘܢܫܟܚ ܗܟܢܐ ܛܘܒܝܗܘܢ ܠܥܒܕܐ ܗܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawajibu, \"Mambo gani?\" Wao wakamjibu, \"Mambo yaliyompata Yesu wa Nazareti. Yeye alikuwa nabii mwenye uwezo wa kutenda na kufundisha mbele ya Mungu na mbele ya watu wote. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܥܠ ܝܫܘܥ ܗܘ ܕܡܢ ܢܨܪܬ ܓܒܪܐ ܕܗܘܐ ܢܒܝܐ ܘܚܝܠܬܢ ܗܘܐ ܒܡܠܬܐ ܘܒܥܒܕܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܘܩܕܡ ܟܘܠܗ ܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana itawajia kama mtego, wote wanaoishi duniani pote. \t ܐܝܟ ܨܦܚܬܐ ܓܝܪ ܢܨܦܚ ܥܠ ܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܝܬܒܝܢ ܥܠ ܐܦܝܗ ܕܟܠܗ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maria ndiye yule aliyempaka Bwana marashi na kumpangusa kwa nywele zake. Lazaro, kaka yake, ndiye aliyekuwa mgonjwa.) \t ܡܪܝܡ ܕܝܢ ܗܕܐ ܐܝܬܝܗ ܗܝ ܕܡܫܚܬ ܒܒܤܡܐ ܪܓܠܘܗܝ ܕܝܫܘܥ ܘܫܘܝܬ ܒܤܥܪܗ ܐܚܘܗ ܗܘܐ ܕܗܕܐ ܠܥܙܪ ܕܟܪܝܗ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote wakala, wakashiba. Kisha wakakusanya makombo, wakajaza vikapu saba. \t ܘܐܟܠܘ ܟܠܗܘܢ ܘܤܒܥܘ ܘܫܩܠܘ ܬܘܬܪܐ ܕܩܨܝܐ ܡܠܐ ܫܒܥܐ ܐܤܦܪܝܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Enyi vipofu wapumbavu! Kipi kilicho cha maana zaidi: dhahabu au Hekalu linalofanya hiyo dhahabu kuwa takatifu? \t ܤܟܠܐ ܘܤܡܝܐ ܡܢܐ ܓܝܪ ܪܒ ܕܗܒܐ ܐܘ ܗܝܟܠܐ ܕܗܘ ܡܩܕܫ ܠܗ ܠܕܗܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaja, akatwaa mkate akawapa; akafanya vivyo hivyo na wale samaki. \t ܩܪܒ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܘܫܩܠ ܠܚܡܐ ܘܢܘܢܐ ܘܝܗܒ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo hili ni wazi, kwani Mungu aliweka siku nyingine ambayo inaitwa \"Leo\". Miaka mingi baadaye Mungu alisema juu ya hiyo siku kwa maneno ya Daudi katika Maandiko yaliyokwisha tajwa: \"Kama mkisikia sauti ya Mungu leo, msiifanye mioyo yenu kuwa migumu.\" \t ܬܘܒ ܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܤܐܡ ܡܢ ܒܬܪ ܙܒܢܐ ܤܓܝܐܐ ܐܝܟܢܐ ܕܡܢ ܠܥܠ ܟܬܝܒ ܕܐܡܪ ܕܘܝܕ ܕܝܘܡܢܐ ܐܢ ܒܩܠܗ ܬܫܡܥܘܢ ܠܐ ܬܩܫܘܢ ܠܒܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, walipitia Musia, wakaenda moja kwa moja mpaka Troa. \t ܘܟܕ ܢܦܩܘ ܡܢ ܡܘܤܝܐ ܢܚܬܘ ܠܗܘܢ ܠܛܪܘܐܤ ܐܬܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vivyo hivyo, mtakapoona mambo hayo yanatendeka, mtatambua kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܡܐ ܕܚܙܝܬܘܢ ܗܠܝܢ ܕܗܘܝܢ ܕܥܘ ܕܩܪܝܒܐ ܗܝ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yosefu pia alifanya safari kutoka mjini Nazareti mkoani Galilaya. Kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa Daudi alikwenda mjini Bethlehemu mkoani Yuda alikozaliwa Mfalme Daudi. \t ܤܠܩ ܗܘܐ ܕܝܢ ܐܦ ܝܘܤܦ ܡܢ ܢܨܪܬ ܡܕܝܢܬܐ ܕܓܠܝܠܐ ܠܝܗܘܕ ܠܡܕܝܢܬܗ ܕܕܘܝܕ ܕܡܬܩܪܝܐ ܒܝܬ ܠܚܡ ܡܛܠ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܡܢ ܒܝܬܗ ܘܡܢ ܫܪܒܬܗ ܕܕܘܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake asubuhi, mahakimu waliwatuma maofisa wao wakisema, \"Wafungueni wale watu.\" \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܨܦܪܐ ܫܕܪܘ ܐܤܛܪܛܓܐ ܠܫܩܠܝ ܫܒܛܐ ܕܢܐܡܪܘܢ ܠܪܒ ܐܤܝܪܐ ܫܪܝ ܠܗܠܝܢ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kwa njia ya Yesu, tumtolee Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani sifa zinazotolewa na midomo inayoliungama jina lake. \t ܘܒܐܝܕܗ ܢܤܩ ܕܒܚܐ ܕܬܫܒܘܚܬܐ ܒܟܠܙܒܢ ܠܐܠܗܐ ܕܐܝܬܝܗ ܦܐܪܐ ܕܤܦܘܬܐ ܕܡܘܕܝܢ ܠܫܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zaidi ya hayo, inaonekana kwamba sehemu zile za mwili zinazoonekana kuwa ni dhaifu ndizo zilizo muhimu zaidi. \t ܐܠܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܐܝܠܝܢ ܗܕܡܐ ܕܡܤܬܒܪܝܢ ܕܡܚܝܠܝܢ ܥܠܝܗܘܢ ܗܘ ܤܘܢܩܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Maria akasema, \t ܘܐܡܪܬ ܡܪܝܡ ܡܘܪܒܐ ܢܦܫܝ ܠܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa mimi nashiriki chakula hicho huku namshukuru Mungu, kwa nini nilaumiwe kwa chakula ambacho kwa ajili yake nimemshukuru Mungu?\" \t ܐܢ ܐܢܐ ܒܛܝܒܘܬܐ ܡܬܚܫܚ ܐܢܐ ܡܢܐ ܡܬܓܕܦ ܐܢܐ ܥܠ ܡܕܡ ܕܐܢܐ ܡܘܕܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, hapa yupo binti wa Abrahamu ambaye Shetani alimfanya kilema kwa muda wa miaka kumi na minane. Je, haikuwa vizuri kumfungulia vifungo vyake siku ya Sabato?\" \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܕܒܪܬܗ ܗܝ ܕܐܒܪܗܡ ܘܐܤܪܗ ܐܟܠܩܪܨܐ ܗܐ ܬܡܢܥܤܪܐ ܫܢܝܢ ܠܐ ܘܠܐ ܗܘܐ ܕܬܫܬܪܐ ܡܢ ܗܢܐ ܐܤܘܪܝܐ ܒܝܘܡܐ ܕܫܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini umati huu haujui Sheria ya Mose; umelaaniwa!\" \t ܐܠܐ ܐܢ ܥܡܐ ܗܢܐ ܕܠܐ ܝܕܥ ܢܡܘܤܐ ܠܝܛܝܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwamuru: \"Usimwambie mtu yeyote; bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani, ukatoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama inavyotakiwa na Sheria ya Mose, iwe uthibitisho kwao kwamba umepona.\" \t ܘܦܩܕܗ ܕܠܐܢܫ ܠܐ ܬܐܡܪ ܐܠܐ ܙܠ ܚܘܐ ܢܦܫܟ ܠܟܗܢܐ ܘܩܪܒ ܚܠܦ ܬܕܟܝܬܟ ܐܝܟܢܐ ܕܦܩܕ ܡܘܫܐ ܠܤܗܕܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kusudi tusiwe na lawama yoyote katika utumishi wetu, hatupendi kumwekea mtu yeyote kizuio chochote. \t ܠܡܐ ܒܡܕܡ ܬܬܠܘܢ ܠܐܢܫ ܥܠܬܐ ܕܬܘܩܠܬܐ ܕܠܐ ܢܗܘܐ ܡܘܡܐ ܒܬܫܡܫܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܕܐܟܠܘ ܗܘܝܢ ܗܘܘ ܐܪܒܥܐ ܐܠܦܝܢ ܓܒܪܐ ܤܛܪ ܡܢ ܢܫܐ ܘܛܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maria aliposikia maneno hayo alifadhaika sana, akawaza: maneno haya yanamaanisha nini? \t ܗܝ ܕܝܢ ܟܕ ܚܙܬ ܐܬܪܗܒܬ ܒܡܠܬܗ ܘܡܬܚܫܒܐ ܗܘܬ ܕܡܢܐ ܗܘ ܫܠܡܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana ilimbidi awe kama ndugu zake kwa kila namna, ili awe Kuhani Mkuu wao aliye mwaminifu na mwenye huruma katika kumtumikia Mungu, ili dhambi za watu ziondolewe. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܙܕܩ ܗܘܐ ܕܒܟܠ ܡܕܡ ܢܬܕܡܐ ܠܐܚܘܗܝ ܕܢܗܘܐ ܡܪܚܡܢܐ ܘܪܒ ܟܘܡܪܐ ܡܗܝܡܢܐ ܒܕܐܠܗܐ ܘܢܗܘܐ ܡܚܤܐ ܥܠ ܚܛܗܘܗܝ ܕܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya siku ya Sabato, Maria Magdalene, Salome na Maria mama yake Yakobo walinunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu. \t ܘܟܕ ܥܒܪܬ ܫܒܬܐ ܡܪܝܡ ܡܓܕܠܝܬܐ ܘܡܪܝܡ ܕܝܥܩܘܒ ܘܫܠܘܡ ܙܒܢ ܗܪܘܡܐ ܕܢܐܬܝܢ ܢܡܫܚܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mwana wa Melki, mwana wa Adi, mwana wa Kosamu, mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri, \t ܒܪ ܡܠܟܝ ܒܪ ܐܕܝ ܒܪ ܩܘܤܡ ܒܪ ܐܠܡܘܕܕ ܒܪ ܥܝܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa safarini, waliingia katika kijiji kimoja na mwanamke mmoja, aitwaye Martha, alimkaribisha nyumbani kwake. \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܗܢܘܢ ܪܕܝܢ ܒܐܘܪܚܐ ܥܠ ܠܩܪܝܬܐ ܚܕܐ ܘܐܢܬܬܐ ܕܫܡܗ ܡܪܬܐ ܩܒܠܬܗ ܒܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wapenzi wangu, msimsadiki kila mtu asemaye kwamba ana Roho wa Mungu, bali chunguzeni kwa makini kama huyo mtu anaongozwa na Roho wa Mungu au la, Maana manabii wengi wa uongo wamezuka ulimwenguni. \t ܚܒܝܒܝ ܠܐ ܠܟܠ ܪܘܚܝܢ ܬܗܝܡܢܘܢ ܐܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܦܪܫܝܢ ܪܘܚܐ ܐܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܝܬܝܗܝܢ ܡܛܠ ܕܤܓܝܐܐ ܢܒܝܐ ܕܓܠܐ ܢܦܩܘ ܒܗ ܒܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sala yako ya shukrani yaweza kweli kuwa bora, lakini huyo mwingine haitamfaidia. \t ܐܢܬ ܓܝܪ ܫܦܝܪ ܡܒܪܟ ܐܢܬ ܐܠܐ ܚܒܪܟ ܠܐ ܡܬܒܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu watawatenga ninyi na masunagogi yao. Tena, wakati unakuja ambapo kila atakayewaua ninyi atadhani anamhudumia Mungu. \t ܢܦܩܘܢܟܘܢ ܓܝܪ ܡܢ ܟܢܘܫܬܗܘܢ ܘܬܐܬܐ ܫܥܬܐ ܕܟܠ ܕܢܩܛܘܠܟܘܢ ܢܤܒܪ ܕܩܘܪܒܢܐ ܡܩܪܒ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa ujumbe wa kweli na kwa nguvu ya Mungu. Uadilifu ndiyo silaha yetu upande wa kulia na upande wa kushoto. \t ܒܡܠܬܐ ܕܩܘܫܬܐ ܒܚܝܠܐ ܕܐܠܗܐ ܒܙܝܢܐ ܕܙܕܝܩܘܬܐ ܕܒܝܡܝܢܐ ܘܒܤܡܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lazaro alitamani kula makombo yaliyoanguka kutoka meza ya tajiri; na zaidi ya hayo, mbwa walikuwa wanakuja na kulamba vidonda vyake! \t ܘܡܬܝܐܒ ܗܘܐ ܕܢܡܠܐ ܟܪܤܗ ܡܢ ܦܪܬܘܬܐ ܕܢܦܠܝܢ ܡܢ ܦܬܘܪܗ ܕܗܘ ܥܬܝܪܐ ܐܠܐ ܐܦ ܟܠܒܐ ܐܬܝܢ ܗܘܘ ܡܠܚܟܝܢ ܫܘܚܢܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, mtu mmoja katika lile kundi akapaaza sauti, akasema, \"Mwalimu! Ninakusihi umwangalie mwanangu--mwanangu wa pekee! \t ܘܓܒܪܐ ܚܕ ܡܢ ܟܢܫܐ ܗܘ ܩܥܐ ܘܐܡܪ ܡܠܦܢܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟ ܐܬܦܢܝ ܥܠܝ ܒܪܝ ܕܝܚܝܕܝܐ ܗܘ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msimpinge Roho Mtakatifu; \t ܪܘܚܐ ܠܐ ܬܕܥܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na tukisema yalitoka kwa binadamu, watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba Yohane alikuwa nabii.\" \t ܐܢ ܕܝܢ ܢܐܡܪ ܡܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܪܓܡ ܠܢ ܥܡܐ ܟܠܗ ܡܦܤܝܢ ܓܝܪ ܕܝܘܚܢܢ ܢܒܝܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo si jambo la kushangaza ikiwa na hao watumishi wake wanajisingizia kuwa watumishi wa haki. Mwisho wao watapata kile wanachostahili kufuatana na matendo yao. \t ܠܐ ܗܘܬ ܪܒܐ ܨܒܘܬܐ ܐܢ ܐܦ ܡܫܡܫܢܘܗܝ ܡܬܕܡܝܢ ܒܡܫܡܫܢܐ ܕܙܕܝܩܘܬܐ ܗܢܘܢ ܕܚܪܬܗܘܢ ܬܗܘܐ ܐܝܟ ܥܒܕܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo baadhi ya wanafunzi wake wakaulizana, \"Ana maana gani anapotwambia: Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona? Tena anasema: Kwa kuwa ninakwenda kwa Baba!\" \t ܘܐܡܪܘ ܗܘܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܚܕ ܠܚܕ ܡܢܐ ܗܝ ܗܕܐ ܕܐܡܪ ܠܢ ܕܩܠܝܠ ܘܠܐ ܬܚܙܘܢܢܝ ܘܬܘܒ ܩܠܝܠ ܘܬܚܙܘܢܢܝ ܘܕܐܙܠ ܐܢܐ ܠܘܬ ܐܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nayajua mambo yako yote! Sasa, nimefungua mbele yako mlango ambao hakuna mtu awezaye kuufunga; najua kwamba ingawa huna nguvu sana, hata hivyo, umezishika amri zangu, umelitii neno langu wala hukulikana jina langu. \t ܝܕܥ ܐܢܐ ܥܒܕܝܟ ܘܗܐ ܝܗܒܬ ܩܕܡܝܟ ܬܪܥܐ ܦܬܝܚܐ ܐܝܢܐ ܕܠܐ ܐܢܫ ܡܨܐ ܠܡܐܚܕܗ ܡܛܠ ܕܩܠܝܠ ܚܝܠܐ ܐܝܬ ܠܟ ܘܡܠܬܝ ܢܛܪܬ ܘܒܫܡܝ ܠܐ ܟܦܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, Herode aliwaita faraghani hao wataalamu wa nyota, akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea. \t ܗܝܕܝܢ ܗܪܘܕܤ ܡܛܫܝܐܝܬ ܩܪܐ ܠܡܓܘܫܐ ܘܝܠܦ ܡܢܗܘܢ ܒܐܝܢܐ ܙܒܢܐ ܐܬܚܙܝ ܠܗܘܢ ܟܘܟܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, watume watu Yopa wakamwite mtu mmoja aitwaye Simoni, kwa jina lingine Petro. \t ܘܗܫܐ ܫܕܪ ܓܒܪܐ ܠܝܘܦܐ ܡܕܝܢܬܐ ܘܐܝܬܐ ܠܫܡܥܘܢ ܕܡܬܩܪܐ ܟܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Saulo naye alikiona kitendo hicho cha kumwua Stefano kuwa sawa. Siku hiyo kanisa la Yerusalemu lilianza kuteswa vibaya. Waumini wote, isipokuwa tu wale mitume, walilazimika kutawanyika katika sehemu za mashambani za Yudea na Samaria. \t ܫܐܘܠ ܕܝܢ ܨܒܐ ܗܘܐ ܘܡܫܘܬܦ ܗܘܐ ܒܩܛܠܗ ܘܗܘܐ ܗܘܐ ܒܗܘ ܝܘܡܐ ܪܕܘܦܝܐ ܪܒܐ ܠܥܕܬܐ ܕܒܐܘܪܫܠܡ ܘܐܬܒܕܪܘ ܟܠܗܘܢ ܒܩܘܪܝܐ ܕܝܗܘܕ ܘܐܦ ܒܝܬ ܫܡܪܝܐ ܠܒܪ ܡܢ ܫܠܝܚܐ ܒܠܚܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kubomoa kila kizuizi cha majivuno kilichowekwa kuipinga elimu ya Mungu; tunaziteka fikira zote na kuzifanya zimtii Kristo. \t ܘܤܬܪܝܢܢ ܡܚܫܒܬܐ ܘܟܠ ܪܘܡܐ ܕܡܬܬܪܝܡ ܠܘܩܒܠ ܝܕܥܬܗ ܕܐܠܗܐ ܘܫܒܝܢܢ ܟܠ ܬܪܥܝܢ ܠܡܫܡܥܬܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakasema, \"Tunamshtaki mtu huyu kwa sababu ya kuwashawishi watu wamwabudu Mungu kwa namna inayopingana na Sheria.\" \t ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܕܗܢܐ ܠܒܪ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܡܦܝܤ ܠܒܢܝܢܫܐ ܕܢܗܘܘܢ ܕܚܠܝܢ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnajua kwamba sikusita hata kidogo kuwahubiria hadharani na nyumbani mwenu na kuwafundisha chochote ambacho kingewasaidieni. \t ܘܠܐ ܒܤܝܬ ܒܡܕܡ ܕܦܩܚ ܗܘܐ ܠܢܦܫܬܟܘܢ ܕܐܟܪܙ ܠܟܘܢ ܘܐܠܦ ܒܫܘܩܐ ܘܒܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu ndiye shahidi wangu--yeye anajua moyo wangu! Mimi sikuja tena Korintho, kwa sababu tu ya kuwahurumieni. \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܠܐܠܗܐ ܡܤܗܕ ܐܢܐ ܥܠ ܢܦܫܝ ܕܡܛܠ ܕܚܐܤ ܐܢܐ ܥܠܝܟܘܢ ܠܐ ܐܬܝܬ ܠܩܘܪܢܬܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Lakini nawaambieni ninyi mnaonisikiliza: wapendeni adui zenu, watendeeni mema wale wanaowachukieni. \t ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܕܫܡܥܝܢ ܐܚܒܘ ܠܒܥܠܕܒܒܝܟܘܢ ܘܥܒܕܘ ܕܫܦܝܪ ܠܐܝܠܝܢ ܕܤܢܝܢ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu, napenda mjue ukweli huu uliofichika msije mkajiona wenye akili sana. Ukaidi wa Wayahudi ulikuwa ni wa muda tu, mpaka watu wa mataifa mengine watakapokuwa wamemfikia Mungu. \t ܨܒܐ ܐܢܐ ܓܝܪ ܕܬܕܥܘܢ ܐܚܝ ܐܪܙܐ ܗܢܐ ܕܠܐ ܬܗܘܘܢ ܚܟܝܡܝܢ ܒܪܥܝܢ ܢܦܫܟܘܢ ܕܥܘܝܪܘܬ ܠܒܐ ܡܢ ܐܬܪ ܩܠܝܠ ܗܘܬ ܠܐܝܤܪܝܠ ܥܕܡܐ ܕܢܥܘܠ ܡܘܠܝܐ ܕܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtu yeyote anayeshika neno la Mungu, huyo ndiye aliye na upendo kamili wa Mungu ndani yake. Hivi ndivyo tunavyoweza kuwa na hakika kwamba tunaungana naye: \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܢܛܪ ܡܠܬܗ ܒܗܢܐ ܡܫܠܡ ܫܪܝܪܐܝܬ ܚܘܒܗ ܕܐܠܗܐ ܒܗܕܐ ܓܝܪ ܝܕܥܝܢܢ ܕܒܗ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakazi wote wa Luda na Saroni walimwona Enea, na wote wakamgeukia Bwana. \t ܘܚܙܐܘܗܝ ܟܠܗܘܢ ܕܥܡܪܝܢ ܒܠܘܕ ܘܒܤܪܘܢܐ ܘܐܬܦܢܝܘ ܠܘܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Festo alikaa nao kwa muda wa siku nane au kumi hivi, kisha akarudi Kaisarea. Kesho yake alikwenda barazani, akaamuru Paulo aletwe ndani. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܬܡܢ ܝܘܡܬܐ ܬܡܢܝܐ ܐܘ ܥܤܪܐ ܢܚܬ ܠܗ ܠܩܤܪܝܐ ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܝܬܒ ܥܠ ܒܝܡ ܘܦܩܕ ܕܢܝܬܘܢ ܠܦܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mipango hiyo ilitekelezwa kisha ikawa desturi kwa makuhani kuingia kila siku katika hema ya nje kutoa huduma zao. \t ܘܠܡܫܟܢܐ ܒܪܝܐ ܒܟܠܙܒܢ ܥܐܠܝܢ ܗܘܘ ܟܘܡܪܐ ܘܡܫܠܡܝܢ ܗܘܘ ܬܫܡܫܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Unazijua amri: Usizini; usiue; usiibe; usitoe ushahidi wa uongo; waheshimu baba yako na mama yako.\" \t ܦܘܩܕܢܐ ܝܕܥ ܐܢܬ ܠܐ ܬܩܛܘܠ ܘܠܐ ܬܓܘܪ ܘܠܐ ܬܓܢܘܒ ܘܠܐ ܬܤܗܕ ܤܗܕܘܬܐ ܕܫܘܩܪܐ ܝܩܪ ܠܐܒܘܟ ܘܠܐܡܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo Yesu aliwatokea tena wanafunzi wake kando ya ziwa Tiberia. Aliwatokea hivi: \t ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܚܘܝ ܬܘܒ ܢܦܫܗ ܝܫܘܥ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܥܠ ܝܡܐ ܕܛܝܒܪܝܘܤ ܚܘܝ ܕܝܢ ܗܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Daima tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, wakati tunapowaombea. \t ܡܘܕܝܢܢ ܠܐܠܗܐ ܐܒܘܗܝ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܟܠܙܒܢ ܘܡܨܠܝܢܢ ܥܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Kristo alikufa, akafufuka ili wapate kuwa Bwana wa wazima na wafu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܦ ܡܫܝܚܐ ܡܝܬ ܘܚܝܐ ܘܩܡ ܕܗܘ ܢܗܘܐ ܡܪܝܐ ܠܡܝܬܐ ܘܠܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi ni wa Kristo naye Kristo ni wa Mungu. \t ܘܐܢܬܘܢ ܕܡܫܝܚܐ ܘܡܫܝܚܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ni yeye aliye hai! Nilikuwa nimekufa, lakini, tazama, sasa ni mzima milele na milele. Ninazo funguo za kifo na Kuzimu. \t ܘܕܚܝ ܘܕܡܝܬܐ ܗܘܝܬ ܘܗܐ ܚܝܐ ܐܝܬܝ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ ܘܐܝܬ ܠܝ ܩܠܝܕܐ ܕܡܘܬܐ ܘܕܫܝܘܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo Mwanamke akamwambia, \"Mheshimiwa, naona ya kuwa wewe u nabii. \t ܐܡܪܐ ܠܗ ܗܝ ܐܢܬܬܐ ܡܪܝ ܚܙܝܐ ܐܢܐ ܕܢܒܝܐ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tuseme nini basi, juu ya Abrahamu baba yetu? \t ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܐܡܪܝܢܢ ܥܠ ܐܒܪܗܡ ܪܫܐ ܕܐܒܗܬܐ ܕܐܫܟܚ ܒܒܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jitahidini sana mtu yeyote asije akapoteza neema ya Mungu. Muwe waangalifu ili mti mchungu usizuke kati yenu na kuwaua wengi kwa sumu yake. \t ܘܗܘܝܬܘܢ ܙܗܝܪܝܢ ܕܠܡܐ ܐܢܫ ܢܫܬܟܚ ܒܟܘܢ ܕܚܤܝܪ ܡܢ ܛܝܒܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܐܘ ܕܠܡܐ ܥܩܪܐ ܕܡܪܪܐ ܢܦܩ ܥܘܦܝܐ ܘܢܗܪܟܘܢ ܘܒܗ ܤܓܝܐܐ ܢܤܬܝܒܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Herode na Pilato, ambao hapo awali walikuwa maadui, tangu siku hiyo wakawa marafiki. \t ܘܒܗܘ ܝܘܡܐ ܗܘܘ ܪܚܡܐ ܦܝܠܛܘܤ ܘܗܪܘܕܤ ܥܡ ܚܕܕܐ ܒܥܠܕܒܒܘܬܐ ܗܘܬ ܓܝܪ ܡܢ ܩܕܝܡ ܒܝܢܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo. \t ܐܠܘ ܓܝܪ ܢܦܫܢ ܕܝܢܝܢ ܗܘܝܢ ܠܐ ܡܬܕܝܢܝܢ ܗܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, msiwe wapumbavu, bali jaribuni kujua matakwa ya Bwana. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܠܐ ܬܗܘܘܢ ܚܤܝܪܝ ܪܥܝܢܐ ܐܠܐ ܐܤܬܟܠܘ ܡܢܘ ܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Baba! Nataka wao ulionipa wawe pamoja nami pale nilipo, ili wauone utukufu wangu ulionipa; kwa kuwa ulinipenda kabla ya kuumbwa ulimwengu. \t ܐܒܐ ܗܢܘܢ ܕܝܗܒܬ ܠܝ ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܐܬܪ ܕܐܢܐ ܐܦ ܗܢܘܢ ܢܗܘܘܢ ܥܡܝ ܕܢܗܘܘܢ ܚܙܝܢ ܫܘܒܚܐ ܕܝܠܝ ܗܘ ܕܝܗܒܬ ܠܝ ܕܐܚܒܬܢܝ ܡܢ ܩܕܡ ܬܪܡܝܬܗ ܕܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nawaambieni kwamba hapa pana kikuu kuliko Hekalu. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܕܪܒ ܡܢ ܗܝܟܠܐ ܐܝܬ ܗܪܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Namshukuru Bwana wetu Yesu Kristo aliyenipa nguvu kwa ajili ya kazi yangu. Namshukuru kwa kuniona mimi kuwa ni mwaminifu, akaniteua nimtumikie, \t ܘܡܘܕܐ ܐܢܐ ܠܗ ܕܚܝܠܢܝ ܠܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܚܫܒܢܝ ܡܗܝܡܢܐ ܘܤܡܢܝ ܠܬܫܡܫܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtoto wako huyu aliyekula mali yako pamoja na makahaba, mara tu alipokuja umemchinjia yule ndama mnono. \t ܠܗܢܐ ܕܝܢ ܒܪܟ ܟܕ ܦܪܚ ܩܢܝܢܟ ܥܡ ܙܢܝܬܐ ܘܐܬܐ ܢܟܤܬ ܠܗ ܬܘܪܐ ܕܦܛܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani Galilaya, akifundisha katika masunagogi na kuhubiri Habari Njema juu ya ufalme wa Mungu. Aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu. \t ܘܡܬܟܪܟ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܒܟܠܗ ܓܠܝܠܐ ܘܡܠܦ ܗܘܐ ܒܟܢܘܫܬܗܘܢ ܘܡܟܪܙ ܤܒܪܬܐ ܕܡܠܟܘܬܐ ܘܡܐܤܐ ܟܠ ܟܐܒ ܘܟܘܪܗܢ ܒܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwekeeni matatizo yenu yote, maana yeye anawatunzeni. \t ܘܨܦܬܟܘܢ ܟܠܗ ܫܕܘ ܥܠ ܐܠܗܐ ܕܠܗ ܒܛܝܠ ܥܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana nyakati hizo, kabla ya gharika kuu, watu walikuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa, mpaka Noa alipoingia ndani ya ile safina. \t ܐܝܟܢܐ ܓܝܪ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܩܕܡ ܛܘܦܢܐ ܐܟܠܝܢ ܘܫܬܝܢ ܘܢܤܒܝܢ ܢܫܐ ܘܝܗܒܝܢ ܠܓܒܪܐ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܐ ܕܥܠ ܢܘܚ ܠܟܘܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini anayemchukia ndugu yake, yumo gizani; anatembea gizani, na hajui anakokwenda, maana giza limempofusha. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܤܢܐ ܠܐܚܘܗܝ ܒܚܫܘܟܐ ܐܝܬܘܗܝ ܘܒܚܫܘܟܐ ܡܗܠܟ ܘܠܐ ܝܕܥ ܠܐܝܟܐ ܐܙܠ ܡܛܠ ܕܚܫܘܟܐ ܤܡܝ ܐܢܝܢ ܥܝܢܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Si lazima waende, wapeni ninyi chakula.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܡܬܒܥܐ ܠܗܘܢ ܠܡܐܙܠ ܗܒܘ ܠܗܘܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܐܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo tunamhubiri Kristo kwa watu wote; tunawaonya na kuwafundisha wote kwa hekima yote, ili tuweze kumleta kila mmoja mbele ya Mungu akiwa amekomaa katika kuungana na Kristo. \t ܗܘ ܕܚܢܢ ܡܟܪܙܝܢܢ ܘܡܠܦܝܢܢ ܘܡܤܟܠܝܢܢ ܠܟܠ ܒܪܢܫ ܒܟܠ ܚܟܡܐ ܕܢܩܝܡ ܠܟܠ ܒܪܢܫ ܟܕ ܓܡܝܪ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Uambieni mji wa Sioni: Tazama, Mfalme wako anakujia! Ni mpole na amepanda punda, mwana punda, mtoto wa punda.\" \t ܐܡܪܘ ܠܒܪܬ ܨܗܝܘܢ ܗܐ ܡܠܟܟܝ ܐܬܐ ܠܟܝ ܡܟܝܟ ܘܪܟܝܒ ܥܠ ܚܡܪܐ ܘܥܠ ܥܝܠܐ ܒܪ ܐܬܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa ulimi sisi twamshukuru Bwana na Baba yetu. Kwa ulimi huohuo twawalaani watu, watu ambao wameumbwa kwa mfano wa Mungu. \t ܒܗ ܡܒܪܟܝܢܢ ܠܡܪܝܐ ܘܐܒܐ ܘܒܗ ܠܝܛܝܢܢ ܠܒܢܝܢܫܐ ܕܒܕܡܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܥܒܝܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Askari akamchukua huyo kijana, akamwongoza mpaka kwa mkuu wa jeshi, akasema, \"Yule mfungwa Paulo ameniita akaniomba nimlete kijana huyu kwako kwa maana ana jambo la kukwambia.\" \t ܘܕܒܪܗ ܩܢܛܪܘܢܐ ܠܥܠܝܡܐ ܘܐܥܠܗ ܠܘܬ ܟܠܝܪܟܐ ܘܐܡܪ ܦܘܠܘܤ ܐܤܝܪܐ ܩܪܢܝ ܘܒܥܐ ܡܢܝ ܕܐܝܬܐ ܗܢܐ ܥܠܝܡܐ ܠܘܬܟ ܕܐܝܬ ܠܗ ܡܕܡ ܕܢܐܡܪ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Yohane akawaambia wote, \"Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini anakuja mwenye uwezo zaidi kuliko mimi ambaye sistahili hata kumfungulia kamba za viatu vyake. Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto. \t ܥܢܐ ܝܘܚܢܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢܐ ܗܐ ܡܥܡܕ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܒܡܝܐ ܐܬܐ ܕܝܢ ܗܘ ܕܚܝܠܬܢ ܡܢܝ ܗܘ ܕܠܐ ܫܘܐ ܐܢܐ ܕܐܫܪܐ ܥܪܩܐ ܕܡܤܢܘܗܝ ܗܘ ܢܥܡܕܟܘܢ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܘܒܢܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao hufanya matendo yao yote ili watu wawaone. Huvaa tepe zenye maandishi ya Sheria juu ya panda la uso na mikononi na hupanua pindo za makoti yao. \t ܘܟܠܗܘܢ ܥܒܕܝܗܘܢ ܥܒܕܝܢ ܕܢܬܚܙܘܢ ܠܒܢܝ ܐܢܫܐ ܡܦܬܝܢ ܓܝܪ ܬܦܠܝܗܘܢ ܘܡܘܪܟܝܢ ܬܟܠܬܐ ܕܡܪܛܘܛܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Petro akamwendea Yesu, akamwuliza, \"Je, ndugu yangu akinikosea, nimsamehe mara ngapi? Mara saba?\" \t ܗܝܕܝܢ ܩܪܒ ܠܘܬܗ ܟܐܦܐ ܘܐܡܪ ܡܪܝ ܟܡܐ ܙܒܢܝܢ ܐܢ ܢܤܟܠ ܒܝ ܐܚܝ ܐܫܒܘܩ ܠܗ ܥܕܡܐ ܠܫܒܥ ܙܒܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwawezaje kuamini, hali ninyi mnapenda kupokea sifa kutoka kwenu ninyi wenyewe, wala hamtafuti sifa kutoka kwake yeye aliye peke yake Mungu? \t ܐܝܟܢܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܗܝܡܢܘ ܕܫܘܒܚܐ ܚܕ ܡܢ ܚܕ ܡܩܒܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܫܘܒܚܐ ܕܡܢ ܚܕ ܐܠܗܐ ܠܐ ܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote wakala, wakashiba. \t ܘܐܟܠܘ ܟܠܗܘܢ ܘܤܒܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baba yake na mama yake hawatajwi, wala ukoo wake hautajwi; haisemwi alizaliwa lini au alikufa lini. Anafanana na Mwana wa Mungu, na anaendelea kuwa kuhani daima. \t ܕܠܐ ܐܒܘܗܝ ܘܠܐ ܐܡܗ ܐܬܟܬܒܘ ܒܫܪܒܬܐ ܘܠܐ ܪܝܫܝܬܐ ܕܝܘܡܘܗܝ ܘܠܐ ܫܘܠܡܐ ܕܚܝܘܗܝ ܐܠܐ ܒܕܡܘܬܐ ܕܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܡܩܘܝܐ ܟܘܡܪܘܬܗ ܠܥܠV"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakafanya hivyo na kupeleka mchango wao kwa wazee wa kanisa kwa mikono ya Barnaba na Saulo. \t ܘܫܕܪܘ ܒܝܕ ܒܪܢܒܐ ܘܫܐܘܠ ܠܩܫܝܫܐ ܕܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kumsikiliza mfalme, hao wataalamu wa nyota wakaenda. Kumbe ile nyota waliyokuwa wameiona upande wa mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu ya mahali pale alipokuwa mtoto. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܟܕ ܫܡܥܘ ܡܢ ܡܠܟܐ ܐܙܠܘ ܘܗܐ ܟܘܟܒܐ ܗܘ ܕܚܙܘ ܒܡܕܢܚܐ ܐܙܠ ܗܘܐ ܩܕܡܝܗܘܢ ܥܕܡܐ ܕܐܬܐ ܩܡ ܠܥܠ ܡܢ ܐܝܟܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܛܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu tulivuka bahari ya Kilikia na Pamfulia, tukatia nanga Mura, mji wa Lukia. \t ܘܥܒܪܢ ܝܡܐ ܕܩܝܠܝܩܝܐ ܘܕܦܡܦܘܠܝܐ ܘܡܛܝܢ ܠܡܘܪܐ ܡܕܝܢܬܐ ܕܠܘܩܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܛܝܒܘܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܥܡ ܪܘܚܟܘܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tulikuwapo wakati alipopewa heshima na kutukuzwa na Mungu Baba, wakati sauti ilipomjia kutoka kwake yeye aliye Utukufu Mkuu, ikisema: \"Huyu ni Mwanangu mpenzi, nimependezwa naye.\" \t ܟܕ ܓܝܪ ܢܤܒ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܒܐ ܐܝܩܪܐ ܘܬܫܒܘܚܬܐ ܟܕ ܩܠܐ ܐܬܐ ܠܗ ܕܐܝܟ ܗܢܐ ܡܢ ܬܫܒܘܚܬܐ ܦܐܝܬ ܒܪܒܘܬܗ ܕܗܢܘ ܒܪܝ ܗܘ ܚܒܝܒܐ ܗܘ ܕܒܗ ܐܨܛܒܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nikatazama, na kumbe palikuwa na farasi mmoja mweupe hapo. Na mpanda farasi wake alikuwa na upinde, akapewa na taji. Basi, akatoka kama mshindi aendelee kushinda. \t ܘܫܡܥܬ ܘܚܙܝܬ ܘܗܐ ܤܘܤܝܐ ܚܘܪܐ ܘܕܝܬܒ ܥܠܘܗܝ ܐܝܬ ܠܗ ܩܫܬܐ ܘܐܬܝܗܒ ܠܗ ܟܠܝܠܐ ܘܢܦܩ ܙܟܝ ܘܙܟܐ ܘܕܢܙܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa basi, kwa nini kumjaribu Mungu kwa kuwatwika hao waumini mzigo ambao wala babu zetu, wala sisi hatukuweza kuubeba? \t ܘܗܫܐ ܐܢܬܘܢ ܡܢܐ ܡܢܤܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐܠܗܐ ܐܝܟ ܕܬܤܝܡܘܢ ܢܝܪܐ ܥܠ ܨܘܪܝܗܘܢ ܕܬܠܡܝܕܐ ܐܝܢܐ ܕܐܦܠܐ ܐܒܗܬܢ ܐܦܠܐ ܚܢܢ ܐܫܟܚܢ ܠܡܛܥܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Wayahudi kadhaa walikuja kutoka Antiokia na Ikonio, wakawafanya watu wajiunge nao, wakampiga mawe Paulo na kumburuta hadi nje ya mji wakidhani amekwisha kufa. \t ܐܬܘ ܕܝܢ ܠܬܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܡܢ ܐܝܩܢܘܢ ܘܡܢ ܐܢܛܝܟܝܐ ܘܫܓܫܘ ܥܠܝܗܘܢ ܠܥܡܐ ܘܪܓܡܘܗܝ ܠܦܘܠܘܤ ܘܓܪܘܗܝ ܠܒܪ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ ܡܛܠ ܕܤܒܪܝܢ ܗܘܘ ܕܡܝܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sistahili hata kuitwa mwanao. Nifanye kama mmoja wa wafanyakazi wako. \t ܘܠܐ ܡܟܝܠ ܫܘܐ ܐܢܐ ܕܒܪܟ ܐܬܩܪܐ ܥܒܕܝܢܝ ܐܝܟ ܚܕ ܡܢ ܐܓܝܪܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtu wangu aliye mwadilifu ataamini na kuishi; walakini akirudi nyuma, mimi sitapendezwa naye.\" \t ܟܐܢܐ ܕܝܢ ܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܕܝܠܝ ܢܚܐ ܘܐܢ ܡܬܩܛܥܐ ܠܗ ܠܐ ܨܒܝܐ ܒܗ ܢܦܫܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na ushike imani yako na dhamiri njema. Watu wengine hawakusikiliza dhamiri zao na hivyo wakaiharibu imani yao. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܒܬܐܪܬܐ ܛܒܬܐ ܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܠܗܕܐ ܕܚܩܘ ܡܢܗܘܢ ܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܐܤܬܪܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tukizitii amri za Mungu, basi, tunaweza kuwa na hakika kwamba tunamjua. \t ܘܒܗܕܐ ܡܪܓܫܝܢܢ ܕܝܕܥܢܝܗܝ ܐܢ ܢܛܪܝܢܢ ܦܘܩܕܢܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mungu aliondoka kati yao, akawaacha waabudu nyota za anga, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha manabii: Enyi watu wa Israeli! Si mimi mliyenitolea dhabihu na sadaka kwa muda wa miaka arobaini kule jangwani! \t ܘܗܦܟ ܐܠܗܐ ܘܐܫܠܡ ܐܢܘܢ ܕܢܗܘܘܢ ܦܠܚܝܢ ܠܚܝܠܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܒܟܬܒܐ ܕܢܒܝܐ ܠܡܐ ܐܪܒܥܝܢ ܫܢܝܢ ܒܡܕܒܪܐ ܢܟܤܬܐ ܐܘ ܕܒܚܬܐ ܩܪܒܬܘܢ ܠܝ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wanafunzi wakafahamu kwamba aliwaambia wajihadhari siyo na chachu ya mikate, bali na mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo. \t ܗܝܕܝܢ ܐܤܬܟܠܘ ܕܠܐ ܐܡܪ ܕܢܙܕܗܪܘܢ ܡܢ ܚܡܝܪܐ ܕܠܚܡܐ ܐܠܐ ܡܢ ܝܘܠܦܢܐ ܕܦܪܝܫܐ ܘܕܙܕܘܩܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokwisha sema hayo, alitazama juu mbinguni, akasema, \"Baba, saa imefika! Mtukuze Mwanao ili naye Mwana apate kukutukuza. \t ܗܠܝܢ ܡܠܠ ܝܫܘܥ ܘܐܪܝܡ ܥܝܢܘܗܝ ܠܫܡܝܐ ܘܐܡܪ ܐܒܝ ܐܬܬ ܫܥܬܐ ܫܒܚ ܒܪܟ ܕܒܪܟ ܢܫܒܚܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkuu wa jeshi aliwaamuru watu wake wampeleke Paulo ndani ya ngome, akawaambia wamchape viboko ili wapate kujua kisa cha Wayahudi kumpigia kelele. \t ܦܩܕ ܟܠܝܪܟܐ ܕܢܥܠܘܢܗ ܠܡܫܪܝܬܐ ܘܦܩܕ ܕܒܢܓܕܐ ܢܫܬܐܠ ܐܝܟ ܕܢܕܥ ܡܛܠ ܐܝܕܐ ܥܠܬܐ ܩܥܝܢ ܗܘܘ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninamshukuru Mungu wangu daima kwa ajili yenu kwa sababu amewatunukia ninyi neema yake kwa njia ya Kristo Yesu. \t ܡܘܕܐ ܐܢܐ ܠܐܠܗܝ ܒܟܠܙܒܢ ܚܠܦܝܟܘܢ ܥܠ ܛܝܒܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܕܐܬܝܗܒܬ ܠܟܘܢ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo hili ni jema na lampendeza Mungu Mwokozi wetu, \t ܗܕܐ ܓܝܪ ܫܦܝܪܐ ܘܡܩܒܠܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܡܚܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Heri yenu ninyi iwapo watu watawachukia, watawatenga, watawatukana na kuwaharibieni jina kwa ajili ya Mwana wa Mtu! \t ܛܘܒܝܟܘܢ ܡܐ ܕܤܢܝܢ ܠܟܘܢ ܒܢܝܢܫܐ ܘܡܦܪܫܝܢ ܠܟܘܢ ܘܡܚܤܕܝܢ ܠܟܘܢ ܘܡܦܩܝܢ ܫܡܟܘܢ ܐܝܟ ܒܝܫܐ ܚܠܦ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nayo saburi huleta uthabiti, na uthabiti huleta tumaini. \t ܘܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܒܘܩܝܐ ܘܒܘܩܝܐ ܤܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika mkono wake wa kulia, alikuwa na nyota saba, na kinywani mwake mlitoka upanga wenye makali kuwili. Uso wake uling'aa kama jua kali. \t ܘܐܝܬ ܠܗ ܒܐܝܕܗ ܕܝܡܝܢܐ ܫܒܥܐ ܟܘܟܒܝܢ ܘܡܢ ܦܘܡܗ ܢܦܩܐ ܪܘܡܚܐ ܚܪܝܦܬܐ ܘܚܙܬܗ ܐܝܟ ܫܡܫܐ ܡܚܘܝܐ ܒܚܝܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mpango huo ambao angeutimiza wakati utimiapo ni kukusanya pamoja viumbe vyote, kila kitu mbinguni na duniani, chini ya Kristo. \t ܠܡܕܒܪܢܘܬܐ ܕܡܘܠܝܗܘܢ ܕܙܒܢܐ ܕܟܠܡܕܡ ܡܢ ܕܪܝܫ ܢܬܚܕܬ ܒܡܫܝܚܐ ܕܒܫܡܝܐ ܘܒܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tulikwisha sema, na sasa nasema tena: kama mtu yeyote anawahubirieni Habari Njema ya aina nyingine, tofauti na ile mliyokwisha pokea, huyo na alaaniwe! \t ܐܝܟܢܐ ܕܡܢ ܠܘܩܕܡ ܐܡܪܬ ܘܗܫܐ ܬܘܒ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܐܢ ܐܢܫ ܡܤܒܪ ܠܟܘܢ ܠܒܪ ܡܢ ܡܐ ܕܩܒܠܬܘܢ ܢܗܘܐ ܚܪܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote. \t ܘܚܕ ܐܠܗܐ ܐܒܐ ܕܟܠ ܘܥܠ ܟܠ ܘܒܝܕ ܟܠ ܘܒܟܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu hao ni kama mawimbi makali ya bahari, na matendo yao ya aibu yanaonekana dhahiri kama vile mapovu ya mawimbi. Wao ni kama nyota zinazotangatanga, ambao Mungu amewawekea mahali pao milele katika giza kuu. \t ܓܠܠܐ ܥܙܝܙܐ ܕܝܡܐ ܕܒܝܕ ܪܘܥܬܗܘܢ ܡܚܘܝܢ ܒܗܬܬܗܘܢ ܟܘܟܒܐ ܡܛܥܝܢܐ ܠܗܠܝܢ ܕܥܡܛܢܐ ܕܚܫܘܟܐ ܠܥܠܡ ܠܗܘܢ ܢܛܝܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini anayempenda Mungu huyo anajulikana naye. \t ܐܢ ܐܢܫ ܕܝܢ ܡܚܒ ܠܐܠܗܐ ܗܢܐ ܐܬܝܕܥ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati ule wanafunzi walimwendea Yesu, wakamwuliza, \"Ni nani aliye mkuu katika Ufalme wa mbinguni?\" \t ܒܗܝ ܫܥܬܐ ܩܪܒܘ ܬܠܡܝܕܐ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪܝܢ ܡܢܘ ܟܝ ܪܒ ܒܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walimwomba akae nao muda mrefu zaidi, lakini hakupenda. \t ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗ ܕܢܓܪ ܠܘܬܗܘܢ ܘܠܐ ܐܬܛܦܝܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akamwambia mtu mwingine, \"Nifuate.\" Lakini huyo akasema, \"Bwana, niruhusu kwanza niende kumzika baba yangu.\" \t ܘܐܡܪ ܠܐܚܪܢܐ ܬܐ ܒܬܪܝ ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܡܪܝ ܐܦܤ ܠܝ ܠܘܩܕܡ ܐܙܠ ܐܩܒܘܪ ܐܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msilegee katika bidii, muwe wachangamfu rohoni katika kumtumikia Bwana. \t ܗܘܝܬܘܢ ܚܦܝܛܝܢ ܘܠܐ ܚܒܢܢܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܪܬܚܝܢ ܒܪܘܚ ܗܘܝܬܘܢ ܦܠܚܝܢ ܠܡܪܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakaketi, wakawa wanamchunga. \t ܘܝܬܒܝܢ ܗܘܘ ܘܢܛܪܝܢ ܠܗ ܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maandiko Matakatifu yasemaje? Yanasema: Kristo atatoka katika ukoo wa Daudi, na atazaliwa Bethlehemu, mji wa Daudi!\" \t ܠܐ ܗܘܐ ܟܬܒܐ ܐܡܪ ܕܡܢ ܙܪܥܗ ܕܕܘܝܕ ܘܡܢ ܒܝܬ ܠܚܡ ܩܪܝܬܐ ܕܝܠܗ ܕܕܘܝܕ ܐܬܐ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nikageuka nimwone huyo aliyesema nami, nikaona vinara vya taa saba vya dhahabu, \t ܘܗܦܟܬ ܠܡܕܥ ܩܠܐ ܐܝܢܐ ܕܡܠܠ ܥܡܝ ܘܟܕ ܥܛܦܬ ܚܙܝܬ ܫܒܥ ܡܢܪܢ ܕܕܗܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnamo saa tisa Yesu akalia kwa sauti kubwa, \"Eli, Eli, lema sabakthani?\" Maana yake, \"Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?\" \t ܘܠܐܦܝ ܬܫܥ ܫܥܝܢ ܩܥܐ ܝܫܘܥ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܘܐܡܪ ܐܝܠ ܐܝܠ ܠܡܢܐ ܫܒܩܬܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha mama huyo akajifungua mtoto wa kiume, ambaye atayatawala mataifa yote kwa fimbo ya chuma. Lakini mtoto akanyakuliwa na kupelekwa kwa Mungu na kwenye kiti chake cha enzi. \t ܘܝܠܕܬ ܒܪܐ ܕܟܪܐ ܗܘ ܕܥܬܝܕ ܠܡܪܥܐ ܠܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܒܫܒܛܐ ܕܦܪܙܠܐ ܘܐܬܚܛܦ ܒܪܗ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܘܠܘܬ ܟܘܪܤܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jina la Yesu na imani katika jina hilo ndivyo vilivyompa nguvu mtu huyu mnayemwona na kumfahamu. Imani kwa Yesu ndiyo iliyomponya kabisa mtu huyu kama mnavyoona nyote. \t ܘܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܫܡܗ ܠܗܢܐ ܕܚܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܘ ܐܫܪ ܘܐܤܝ ܘܗܝܡܢܘܬܐ ܕܒܗ ܝܗܒܬ ܠܗ ܗܕܐ ܚܠܝܡܘܬܐ ܩܕܡ ܟܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Baada ya muda mrefu, yule bwana alirudi, akaanza kukagua hesabu ya matumizi na mapato ya fedha yake. \t ܒܬܪ ܕܝܢ ܙܒܢܐ ܤܓܝܐܐ ܐܬܐ ܡܪܗܘܢ ܕܥܒܕܐ ܗܢܘܢ ܘܢܤܒ ܡܢܗܘܢ ܚܘܫܒܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mnafahamu kwamba hata alipotaka kuipata tena ile baraka iliyokuwa yake, alikataliwa, maana hakupata tena nafasi ya kutubu, ingawa aliitafuta kwa machozi. \t ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܓܝܪ ܕܐܦ ܡܢ ܒܬܪܟܢ ܨܒܐ ܗܘܐ ܕܢܐܪܬ ܒܘܪܟܬܐ ܘܐܤܬܠܝ ܐܬܪܐ ܓܝܪ ܠܬܝܒܘܬܐ ܠܐ ܐܫܟܚ ܟܕ ܒܕܡܥܐ ܒܥܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama siku hizo hazingalipunguzwa, hakuna binadamu yeyote ambaye angeokoka; lakini siku hizo zitapunguzwa kwa ajili ya wale walioteuliwa. \t ܘܐܠܘ ܠܐ ܐܬܟܪܝܘ ܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܠܐ ܚܝܐ ܗܘܐ ܟܠ ܒܤܪ ܡܛܠ ܓܒܝܐ ܕܝܢ ܢܬܟܪܘܢ ܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila bonde litafukiwa, kila mlima na kilima vitasawazishwa; palipopindika patanyooshwa, njia mbaya zitatengenezwa. \t ܟܠܗܘܢ ܢܚܠܐ ܢܬܡܠܘܢ ܘܟܠܗܘܢ ܛܘܪܐ ܘܪܡܬܐ ܢܬܡܟܟܘܢ ܘܢܗܘܐ ܥܪܡܐ ܠܫܦܝܐ ܘܐܬܪܐ ܥܤܩܐ ܠܦܩܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, kesho yake, Agripa na Bernike walifika kwa shangwe katika ukumbi wa mkutano wakiwa wameandamana na wakuu wa majeshi na viongozi wa mji. Festo aliamuru Paulo aletwe ndani, \t ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܐܬܐ ܐܓܪܦܘܤ ܘܒܪܢܝܩܐ ܒܙܘܚܐ ܤܓܝܐܐ ܘܥܠ ܠܒܝܬ ܕܝܢܐ ܥܡ ܟܠܝܪܟܐ ܘܪܫܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܘܦܩܕ ܦܗܤܛܘܤ ܘܐܬܐ ܦܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi maisha ya utulivu na amani pamoja na uchaji wa Mungu na mwenendo mwema. \t ܚܠܦ ܡܠܟܐ ܘܪܘܪܒܢܐ ܕܥܘܡܪܐ ܫܠܝܐ ܘܢܝܚܐ ܢܥܡܪ ܒܟܠܗ ܕܚܠܬ ܐܠܗܐ ܘܕܟܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama vile watu wote wanavyokufa kwa kujiunga na Adamu, vivyo hivyo wote watafufuliwa kwa kuungana na Kristo. \t ܐܝܟܢܐ ܓܝܪ ܕܒܐܕܡ ܟܠܗܘܢ ܒܢܝܢܫܐ ܡܝܬܝܢ ܗܟܢܐ ܐܦ ܒܡܫܝܚܐ ܟܠܗܘܢ ܚܐܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenendo wenu kati ya watu wasiomjua Mungu unapaswa kuwa mwema kabisa, ili hata watakapowasingizieni kwamba mnatenda mabaya, waweze kutambua matendo yenu mema na hivyo wamtukuze Mungu Siku ya kuja kwake. \t ܘܢܗܘܘܢ ܫܦܝܪܝܢ ܗܘܦܟܝܟܘܢ ܩܕܡ ܟܠܗܘܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܡܡܠܠܝܢ ܥܠܝܟܘܢ ܡܠܐ ܒܝܫܬܐ ܢܚܙܘܢ ܥܒܕܝܟܘܢ ܫܦܝܪܐ ܘܢܫܒܚܘܢ ܠܐܠܗܐ ܒܝܘܡܐ ܕܒܘܚܪܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akamwambia, \"Amka! Mchukue mtoto pamoja na mama yake, urudi tena katika nchi ya Israeli, maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܩܘܡ ܕܒܪ ܠܛܠܝܐ ܘܠܐܡܗ ܘܙܠ ܠܐܪܥܐ ܕܐܝܤܪܐܝܠ ܡܝܬܘ ܠܗܘܢ ܓܝܪ ܗܢܘܢ ܕܒܥܝܢ ܗܘܘ ܢܦܫܗ ܕܛܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mlango uko wazi kabisa kwa ajili ya kazi yangu muhimu hapa, ingawa wapinzani nao ni wengi. \t ܬܪܥܐ ܓܝܪ ܪܒܐ ܐܬܦܬܚ ܠܝ ܕܡܠܐ ܤܘܥܪܢܐ ܘܤܩܘܒܠܐ ܤܓܝܐܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Yesu akamwambia, \"Rudisha upanga wako alani, maana yeyote anayeutumia upanga, atakufa kwa upanga. \t ܗܝܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܗܦܟ ܤܦܤܪܐ ܠܕܘܟܬܗ ܟܠܗܘܢ ܓܝܪ ܗܢܘܢ ܕܢܤܒܘ ܤܝܦܐ ܒܤܝܦܐ ܢܡܘܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu waliokaa gizani wameona mwanga mkubwa. Nao walioishi katika nchi ya giza na kivuli cha kifo, mwanga umewaangazia!\" \t ܥܡܐ ܕܝܬܒ ܒܚܫܘܟܐ ܢܘܗܪܐ ܪܒܐ ܚܙܐ ܘܐܝܠܝܢ ܕܝܬܒܝܢ ܒܐܬܪܐ ܘܒܛܠܠܐ ܕܡܘܬܐ ܢܘܗܪܐ ܕܢܚ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yanawahusu ninyi pia: kila mume lazima ampende mkewe kama nafsi yake mwenyewe, naye mke anapaswa kumstahi mumewe. \t ܒܪܡ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܟܠ ܚܕ ܚܕ ܡܢܟܘܢ ܗܟܢܐ ܢܪܚܡ ܐܢܬܬܗ ܐܝܟ ܕܠܢܦܫܗ ܐܢܬܬܐ ܕܝܢ ܬܗܘܐ ܕܚܠܐ ܡܢ ܒܥܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akaenda kila mahali Galilaya akihubiri katika masunagogi na kufukuza pepo. \t ܘܡܟܪܙ ܗܘܐ ܒܟܠܗܝܢ ܟܢܘܫܬܗܘܢ ܒܟܠܗ ܓܠܝܠܐ ܘܡܦܩ ܫܐܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule mkuu wa kisiwa alipoona hayo, aliongoka akawa muumini; akastaajabia sana mafundisho aliyosikia juu ya Bwana. \t ܘܟܕ ܚܙܐ ܐܢܬܘܦܛܘܤ ܡܕܡ ܕܗܘܐ ܐܬܕܡܪ ܘܗܝܡܢ ܒܝܘܠܦܢܗ ܕܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maandiko Matakatifu yasema: \"Kila amwaminiye hatakuwa na sababu ya kuaibika.\" \t ܐܡܪ ܓܝܪ ܟܬܒܐ ܕܟܠ ܕܡܗܝܡܢ ܒܗ ܠܐ ܢܒܗܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa nini? Kwa sababu walitegemea matendo yao badala ya kutegemea imani. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa \t ܡܛܠ ܡܢܐ ܡܛܠ ܕܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܐܠܐ ܡܢ ܥܒܕܘܗܝ ܕܢܡܘܤܐ ܐܬܬܩܠܘ ܓܝܪ ܒܟܐܦܐ ܕܬܘܩܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Kweli nakwambia, mtu asipozaliwa kwa maji na Roho, hawezi kamwe kuingia katika ufalme wa Mungu. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܕܐܢ ܐܢܫ ܠܐ ܡܬܝܠܕ ܡܢ ܡܝܐ ܘܪܘܚܐ ܠܐ ܡܫܟܚ ܕܢܥܘܠ ܠܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini huyo mtu aliposikia hayo, alihuzunika sana kwa sababu alikuwa tajiri sana. \t ܗܘ ܕܝܢ ܟܕ ܫܡܥ ܗܠܝܢ ܟܪܝܬ ܠܗ ܥܬܝܪ ܗܘܐ ܓܝܪ ܛܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Je, hayo ni maneno yako au wengine wamekwambia habari zangu?\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܡܢ ܢܦܫܟ ܐܡܪܬ ܗܕܐ ܐܘ ܐܚܪܢܐ ܐܡܪܘ ܠܟ ܥܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipofika mjini waliingia katika chumba ghorofani ambamo walikuwa wanakaa; nao walikuwa Petro, Yohane, Yakobo, Andrea, Filipo na Thoma, Bartholomayo na Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni Zelote na Yuda mwana wa Yakobo. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܕܥܠܘ ܤܠܩܘ ܠܗܘܢ ܠܥܠܝܬܐ ܗܝ ܕܗܘܝܢ ܗܘܘ ܒܗ ܦܛܪܘܤ ܘܝܘܚܢܢ ܘܝܥܩܘܒ ܘܐܢܕܪܐܘܤ ܘܦܝܠܝܦܘܤ ܘܬܐܘܡܐ ܘܡܬܝ ܘܒܪ ܬܘܠܡܝ ܘܝܥܩܘܒ ܒܪ ܚܠܦܝ ܘܫܡܥܘܢ ܛܢܢܐ ܘܝܗܘܕܐ ܒܪ ܝܥܩܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni kama vijana waliokuwa wamekaa sokoni na kuambiana, kikundi kimoja na kingine: Tumewapigieni ngoma, lakini hamkucheza! Tumeomboleza, lakini hamkulia! \t ܕܡܝܢ ܠܛܠܝܐ ܕܝܬܒܝܢ ܒܫܘܩܐ ܘܩܥܝܢ ܠܚܒܪܝܗܘܢ ܘܐܡܪܝܢ ܙܡܪܢ ܠܟܘܢ ܘܠܐ ܪܩܕܬܘܢ ܘܐܠܝܢ ܠܟܘܢ ܘܠܐ ܒܟܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nisalimieni Filologo na Yulia, Nerea na dada yake, na Olumpa, pamoja na watu wote wa Mungu walio pamoja nao. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܦܝܠܠܓܘܤ ܘܕܝܘܠܝܐ ܘܕܢܐܪܘܤ ܘܕܚܬܗ ܘܕܐܠܘܡܦܐ ܘܕܟܠܗܘܢ ܩܕܝܫܐ ܕܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo, Yesu alishuka pamoja na mama yake, ndugu zake na wanafunzi wake, wakaenda Kafarnaumu ambako walikaa kwa siku chache. \t ܒܬܪ ܗܕܐ ܢܚܬ ܠܟܦܪܢܚܘܡ ܗܘ ܘܐܡܗ ܘܐܚܘܗܝ ܘܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܬܡܢ ܗܘܘ ܩܠܝܠ ܝܘܡܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, ndugu zangu, maadam Mungu ni mwenye huruma nyingi, nawasihi kwa moyo wote: jitoleeni nafsi zenu kwa Mungu kama tambiko iliyo hai, takatifu na yenye kupendeza. Hii ndiyo njia yenu halisi ya kumwabudu. \t ܒܥܢܐ ܗܟܝܠ ܡܢܟܘܢ ܐܚܝ ܒܪܚܡܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܕܬܩܝܡܘܢ ܦܓܪܝܟܘܢ ܕܒܚܬܐ ܚܝܬܐ ܘܩܕܝܫܬܐ ܘܡܩܒܠܬܐ ܠܐܠܗܐ ܒܬܫܡܫܬܐ ܡܠܝܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala hana wepesi wa hasira; haweki kumbukumbu ya mabaya, \t ܘܠܐ ܤܥܪ ܕܒܗܬܬܐ ܘܠܐ ܒܥܐ ܕܝܠܗ ܘܠܐ ܡܬܬܦܝܪ ܘܠܐ ܡܬܪܥܐ ܕܒܝܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yuda wa Yakobo na Yuda Iskarioti ambaye baadaye alikuwa msaliti. \t ܘܝܗܘܕܐ ܒܪ ܝܥܩܘܒ ܘܝܗܘܕܐ ܤܟܪܝܘܛܐ ܗܘ ܕܗܘܐ ܡܫܠܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na akasema: Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja? \t ܘܐܡܪ ܡܛܠ ܗܢܐ ܢܫܒܘܩ ܓܒܪܐ ܠܐܒܘܗܝ ܘܠܐܡܗ ܘܢܩܦ ܠܐܢܬܬܗ ܘܢܗܘܘܢ ܬܪܝܗܘܢ ܚܕ ܒܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, \"Mama, umeponywa ugonjwa wako.\" \t ܚܙܗ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܘܩܪܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢܬܬܐ ܫܪܝܬܝ ܡܢ ܟܘܪܗܢܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Utupe leo chakula chetu tunachohitaji. \t ܗܒ ܠܢ ܠܚܡܐ ܕܤܘܢܩܢܢ ܝܘܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kusema: \"Aliahidi kwamba atakuja! Je, sasa yuko wapi? Mambo ni yaleyale tangu babu zetu walipokufa; hali ya vitu ni ileile kama ilivyokuwa mwanzo wa ulimwengu!\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܕܐܝܟܐ ܐܝܬܘܗܝ ܡܘܠܟܢܐ ܕܡܐܬܝܬܗ ܡܢ ܟܕ ܓܝܪ ܐܒܗܬܢ ܫܟܒܘ ܟܠܡܕܡ ܗܟܢܐ ܡܟܬܪ ܡܢ ܫܘܪܝܗ ܕܒܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Bimkubwa, ninalo ombi moja kwako: tupendane. Ombi hili si amri mpya, bali ni amri ileile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo. \t ܘܗܫܐ ܡܦܝܤ ܐܢܐ ܠܟܝ ܩܘܪܝܐ ܠܐ ܗܘܐ ܐܝܟ ܦܘܩܕܢܐ ܚܕܬܐ ܟܬܒ ܐܢܐ ܠܟܝ ܐܠܐ ܗܘ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܢ ܡܢ ܫܘܪܝܐ ܕܢܚܒ ܚܕ ܠܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jitahidi kumsaidia mwana sheria Zena na Apolo ili waweze kuanza ziara zao na uhakikishe kwamba wana kila kitu wanachohitaji. \t ܥܠ ܙܢܐ ܕܝܢ ܤܦܪܐ ܘܥܠ ܐܦܠܘ ܢܬܒܛܠ ܠܟ ܕܬܠܘܐ ܐܢܘܢ ܫܦܝܪ ܕܡܕܡ ܠܐ ܢܚܤܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alitoka katika lile sunagogi, akaenda nyumbani kwa Simoni. Mama mmoja, mkwewe Simoni, alikuwa na homa kali; wakamwomba amponye. \t ܘܟܕ ܢܦܩ ܝܫܘܥ ܡܢ ܟܢܘܫܬܐ ܥܠ ܠܒܝܬܗ ܕܫܡܥܘܢ ܘܚܡܬܗ ܕܫܡܥܘܢ ܐܠܝܨܐ ܗܘܬ ܒܐܫܬܐ ܪܒܬܐ ܘܒܥܘ ܡܢܗ ܡܛܠܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliwapenda Martha, dada yake na Lazaro. \t ܡܚܒ ܗܘܐ ܕܝܢ ܗܘ ܝܫܘܥ ܠܡܪܬܐ ܘܠܡܪܝܡ ܘܠܠܥܙܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Kwanza watoto washibe; kwa maana si vizuri kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܫܒܘܩܝ ܠܘܩܕܡ ܕܢܤܒܥܘܢ ܒܢܝܐ ܠܐ ܗܘܬ ܓܝܪ ܫܦܝܪܐ ܕܢܤܒ ܠܚܡܐ ܕܒܢܝܐ ܘܢܪܡܐ ܠܟܠܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Amefanya mambo makuu kwa mkono wake: amewatawanya wenye kiburi katika mawazo ya mioyo yao; \t ܥܒܕ ܙܟܘܬܐ ܒܕܪܥܗ ܘܒܕܪ ܚܬܝܪܝ ܒܬܪܥܝܬܐ ܕܠܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wanamaji waliuvuta mtumbwi ndani, kisha wakaizungushia meli kamba na kuifunga kwa nguvu. Waliogopa kwamba wangeweza kukwama kwenye ufuko wa bahari, pwani ya Libya. Kwa hiyo walishusha matanga na kuiacha meli ikokotwe na upepo. \t ܘܟܕ ܫܩܠܢܗ ܡܚܝܨܝܢ ܗܘܝܢ ܘܡܬܩܢܝܢ ܠܗ ܠܐܠܦܐ ܘܡܛܠ ܕܕܚܠܝܢ ܗܘܝܢ ܕܕܠܡܐ ܢܦܠ ܒܡܚܬܬܗ ܕܝܡܐ ܐܚܬܢܝܗܝ ܠܐܪܡܢܘܢ ܘܗܟܘܬ ܪܕܝܢ ܗܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "aliotukirimia bila kipimo! Kwa hekima na ujuzi wake wote \t ܗܝ ܕܐܬܝܬܪܬ ܒܢ ܒܟܠ ܚܟܡܐ ܘܒܟܠ ܤܘܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vaeni silaha anazowapeni Mungu mpate kuzipinga mbinu mbaya za Ibilisi. \t ܘܠܒܫܘ ܟܠܗ ܙܝܢܐ ܕܐܠܗܐ ܐܝܟܢܐ ܕܬܫܟܚܘܢ ܠܡܩܡ ܠܘܩܒܠ ܨܢܥܬܗ ܕܐܟܠ ܩܪܨܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika walipotenda dhambi, Mungu hakuwahurumia, bali aliwatupa katika moto wa Jehanamu ambako wamefungwa wakingojea Siku ile ya Hukumu. \t ܐܢ ܓܝܪ ܐܠܗܐ ܥܠ ܡܠܐܟܐ ܕܚܛܘ ܠܐ ܚܤ ܐܠܐ ܒܫܫܠܬܐ ܕܥܡܛܢܐ ܥܓܢ ܐܢܘܢ ܒܬܚܬܝܬܐ ܘܐܫܠܡ ܐܢܘܢ ܕܢܬܢܛܪܘܢ ܠܕܝܢܐ ܕܫܘܢܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akamwambia: Vema; wewe ni mtumishi mwema. Kwa kuwa umekuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka juu ya miji kumi! \t ܐܡܪ ܠܗ ܐܝܘ ܥܒܕܐ ܛܒܐ ܕܒܩܠܝܠ ܐܫܬܟܚܬ ܡܗܝܡܢ ܬܗܘܐ ܫܠܝܛ ܥܠ ܥܤܪܐ ܟܪܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makuhani wakuu na Baraza lote wakatafuta ushahidi wa kumshtaki Yesu wapate kumwua, lakini hawakupata. \t ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܕܝܢ ܘܟܠܗ ܟܢܫܗܘܢ ܒܥܝܢ ܗܘܘ ܥܠ ܝܫܘܥ ܤܗܕܘܬܐ ܕܢܡܝܬܘܢܝܗܝ ܘܠܐ ܐܫܟܚܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo Pilato akamwuliza, \"Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?\" \t ܗܝܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܦܝܠܛܘܤ ܠܐ ܫܡܥ ܐܢܬ ܟܡܐ ܡܤܗܕܝܢ ܥܠܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mnatazamia kukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya Sheria, basi, mmejitenga mbali na Kristo; mko nje ya neema ya Mungu. \t ܐܬܒܛܠܬܘܢ ܠܟܘܢ ܡܢ ܡܫܝܚܐ ܐܝܠܝܢ ܕܒܢܡܘܤܐ ܡܙܕܕܩܝܬܘܢ ܘܡܢ ܛܝܒܘܬܐ ܢܦܠܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akasema, \"Ndugu zangu, ilikuwa lazima ile sehemu ya Maandiko Matakatifu itimie, sehemu ambayo Roho Mtakatifu, kwa maneno ya Daudi, alibashiri habari za Yuda ambaye aliwaongoza wale waliomtia Yesu nguvuni. \t ܓܒܪܐ ܐܚܝܢ ܙܕܩ ܗܘܐ ܕܢܬܡܠܐ ܟܬܒܐ ܐܝܢܐ ܕܩܕܡ ܐܡܪ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܒܦܘܡܗ ܕܕܘܝܕ ܥܠ ܝܗܘܕܐ ܗܘ ܕܗܘܐ ܡܕܒܪܢܐ ܠܗܢܘܢ ܕܐܚܕܘ ܠܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akaingia tena ndani ya ikulu, akamwuliza Yesu, \"Umetoka wapi wewe?\" Lakini Yesu hakumjibu neno. \t ܘܥܠ ܬܘܒ ܠܦܪܛܘܪܝܢ ܘܐܡܪ ܠܝܫܘܥ ܐܝܡܟܐ ܐܢܬ ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܦܬܓܡܐ ܠܐ ܝܗܒ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wewe dumu katika ukweli ule uliofundishwa, ukaukubali kabisa. Unawajua wale waliokuwa walimu wako. \t ܐܢܬ ܕܝܢ ܩܘܐ ܒܐܝܠܝܢ ܕܝܠܦܬ ܘܐܫܬܪܪܬ ܝܕܥ ܐܢܬ ܓܝܪ ܡܢ ܡܢܘ ܝܠܦܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha. \t ܗܝܕܝܢ ܦܩܕܘ ܕܢܦܩܘܢ ܐܢܘܢ ܡܢ ܟܢܫܗܘܢ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܚܕ ܠܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Abrahamu akamjibu: Kumbuka mwanangu, kwamba ulipokea mema yako katika maisha, naye Lazaro akapokea mabaya. Sasa lakini, yeye anatulizwa, nawe unateswa. \t ܐܡܪ ܠܗ ܐܒܪܗܡ ܒܪܝ ܐܬܕܟܪ ܕܩܒܠܬ ܛܒܬܟ ܒܚܝܝܟ ܘܠܥܙܪ ܒܝܫܬܗ ܘܗܫܐ ܗܐ ܡܬܬܢܝܚ ܗܪܟܐ ܘܐܢܬ ܡܫܬܢܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "yaani ilimpasa Kristo ateseke na kuwa wa kwanza kufufuka kutoka wafu, ili atangaze kwamba mwanga wa ukombozi unawaangazia sasa watu wote, Wayahudi na pia watu wa mataifa mengine.\" \t ܕܢܚܫ ܡܫܝܚܐ ܘܢܗܘܐ ܪܫܝܬܐ ܕܩܝܡܬܐ ܕܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܘܕܥܬܝܕ ܕܢܟܪܙ ܢܘܗܪܐ ܠܥܡܐ ܘܠܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kama vile kosa la mtu mmoja lilivyoleta hukumu kwa binadamu wote, kadhalika kitendo kimoja kiadilifu kinawapa uhuru na uzima. \t ܐܟܙܢܐ ܗܟܝܠ ܕܡܛܠ ܤܟܠܘܬܐ ܕܚܕ ܗܘܐ ܚܘܝܒܐ ܠܟܠܗܘܢ ܒܢܝܢܫܐ ܗܟܢܐ ܡܛܠ ܟܐܢܘܬܐ ܕܚܕ ܬܗܘܐ ܙܟܘܬܐ ܠܚܝܐ ܠܟܠܗܘܢ ܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Dema ameupenda ulimwengu huu akaniacha na kwenda zake Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia, na Tito amekwenda Dalmatia. \t ܕܡܐ ܓܝܪ ܫܒܩܢܝ ܘܐܚܒ ܥܠܡܐ ܗܢܐ ܘܐܙܠ ܠܗ ܠܬܤܠܘܢܝܩܐ ܩܪܤܩܘܤ ܠܓܠܛܝܐ ܛܛܘܤ ܠܕܠܡܛܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakasema, \"Haya Kristo, tutabirie; ni nani amekupiga!\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܐܬܢܒܐ ܠܢ ܡܫܝܚܐ ܡܢܘ ܗܘ ܕܡܚܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Namwomba Mungu, kadiri ya utajiri wa utukufu wake, awajalieni kwa uwezo wa Roho wake, nguvu ya kuwa imara ndani yenu, \t ܕܢܬܠ ܠܟܘܢ ܐܝܟ ܥܘܬܪܐ ܕܬܫܒܘܚܬܗ ܕܒܚܝܠܐ ܬܫܬܪܪܘܢ ܒܪܘܚܗ ܕܒܒܪܢܫܟܘܢ ܕܠܓܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni lini tulikuona ukiwa mgeni nasi tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika? \t ܘܐܡܬܝ ܚܙܝܢܟ ܕܐܟܤܢܝܐ ܐܢܬ ܘܟܢܫܢܟ ܐܘ ܕܥܪܛܠܝ ܐܢܬ ܘܟܤܝܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Petro, mtume wa Yesu Kristo nawaandikia ninyi wateule wa Mungu Baba, ambao mmetawanyika na mnaishi kama wakimbizi huko Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithunia. \t ܦܛܪܘܤ ܫܠܝܚܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܠܓܒܝܐ ܘܬܘܬܒܐ ܕܙܪܝܥܝܢ ܒܦܢܛܘܤ ܘܒܓܠܛܝܐ ܘܒܩܦܘܕܩܝܐ ܘܒܐܤܝܐ ܘܒܒܝܬܘܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Waheshimu Baba na mama yako,\" hii ndiyo amri ya kwanza ambayo imeongezewa ahadi, yaani, \t ܘܗܢܘ ܦܘܩܕܢܐ ܩܕܡܝܐ ܕܡܠܝܟ ܝܩܪ ܠܐܒܘܟ ܘܠܐܡܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Huyu Mose ndiye yule watu wa Israeli waliyemkataa waliposema: Ni nani aliyekuweka wewe kuwa kiongozi na mwamuzi wetu? Kwa njia ya yule malaika aliyemtokea katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto, Mungu alimtuma Mose huyo awe kiongozi na mkombozi. \t ܠܗܢܐ ܡܘܫܐ ܕܟܦܪܘ ܒܗ ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܕܡܢܘ ܐܩܝܡܟ ܥܠܝܢ ܪܫܐ ܘܕܝܢܐ ܠܗ ܠܗܢܐ ܐܠܗܐ ܪܫܐ ܘܦܪܘܩܐ ܫܕܪ ܠܗܘܢ ܒܐܝܕܝ ܡܠܐܟܐ ܗܘ ܕܐܬܚܙܝ ܠܗ ܒܤܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara tano nilichapwa vile viboko thelathini na tisa vya Wayahudi. \t ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܚܡܫ ܙܒܢܝܢ ܐܪܒܥܝܢ ܐܪܒܥܝܢ ܚܤܝܪ ܚܕܐ ܒܠܥܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini nilifadhaika sana kwa kutomkuta ndugu yetu Tito. Ndiyo maana niliwaaga wote pale nikaenda Makedonia. \t ܠܐ ܗܘܐ ܠܝ ܢܝܚܐ ܒܪܘܚܝ ܕܠܐ ܐܫܟܚܬ ܠܛܛܘܤ ܐܚܝ ܐܠܐ ܫܪܝܬ ܐܢܘܢ ܘܢܦܩܬ ܠܝ ܠܡܩܕܘܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa wanamfungua yule mwana punda, wenyewe wakawauliza, \"Kwa nini mnamfungua mwana punda huyu?\" \t ܘܟܕ ܫܪܝܢ ܠܗ ܠܥܝܠܐ ܐܡܪܝܢ ܠܗܘܢ ܡܪܘܗܝ ܡܢܐ ܫܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܝܠܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Inajulikana kwamba shomoro watano huuzwa kwa senti kumi, au sivyo? Lakini mbele ya Mungu hasahauliki hata mmoja. \t ܠܐ ܚܡܫ ܨܦܪܝܢ ܡܙܕܒܢܢ ܒܬܪܝܢ ܐܤܪܝܢ ܘܚܕܐ ܡܢܗܝܢ ܠܐ ܛܥܝܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Jihadharini na walimu wa Sheria ambao hupenda kupitapita wamevalia kanzu. Hupenda kusalimiwa na watu kwa heshima masokoni, huketi mahali pa heshima katika masunagogi na kuchukua nafasi za heshima katika karamu. \t ܐܙܕܗܪܘ ܡܢ ܤܦܪܐ ܕܨܒܝܢ ܠܡܗܠܟܘ ܒܐܤܛܠܐ ܘܪܚܡܝܢ ܫܠܡܐ ܒܫܘܩܐ ܘܪܝܫ ܡܘܬܒܐ ܒܟܢܘܫܬܐ ܘܪܝܫ ܤܡܟܐ ܒܐܚܫܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wewe, lakini, uwe macho katika kila hali; vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Habari Njema, timiza kikamilifu utumishi wako. \t ܐܢܬ ܕܝܢ ܗܘܝܬ ܥܝܪ ܒܟܠܡܕܡ ܘܤܝܒܪ ܒܝܫܬܐ ܘܥܒܕܐ ܥܒܕ ܕܡܤܒܪܢܐ ܘܬܫܡܫܬܟ ܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kama Kristo hakufufuka, basi mahubiri yetu hayana maana na imani yenu haina maana. \t ܘܐܢ ܡܫܝܚܐ ܠܐ ܩܡ ܤܪܝܩܐ ܗܝ ܟܪܘܙܘܬܢ ܤܪܝܩܐ ܐܦ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mitume na ndugu kule Yudea walisikia kwamba watu wa mataifa mengine pia walikuwa wamelipokea neno la Mungu. \t ܘܐܫܬܡܥܬ ܗܘܬ ܠܫܠܝܚܐ ܘܠܐܚܐ ܕܒܝܗܘܕ ܕܐܦ ܥܡܡܐ ܩܒܠܘ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Au, waache hawa walio hapa waseme kosa waliloliona kwangu wakati niliposimama mbele ya Baraza lao kuu, \t ܐܘ ܗܢܘܢ ܗܠܝܢ ܢܐܡܪܘܢ ܡܢܐ ܐܫܟܚܘ ܒܝ ܤܟܠܘܬܐ ܟܕ ܩܡܬ ܩܕܡ ܟܢܫܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu yeyote anayefanya anayotaka Mungu, huyo ndiye kaka yangu, dada yangu na mama yangu.\" \t ܘܐܬܟܢܫܘ ܠܘܬܗ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܐܝܟ ܕܢܤܩ ܢܬܒ ܠܗ ܒܤܦܝܢܬܐ ܒܝܡܐ ܘܟܠܗ ܟܢܫܐ ܩܐܡ ܗܘܐ ܥܠ ܐܪܥܐ ܥܠ ܝܕ ܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Timotheo, \t ܦܘܠܘܤ ܫܠܝܚܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܘܛܝܡܬܐܘܤ ܐܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala watu hawawashi taa na kuifunika kwa chungu, ila huiweka juu ya kinara ili iwaangazie wote waliomo nyumbani. \t ܘܠܐ ܡܢܗܪܝܢ ܫܪܓܐ ܘܤܝܡܝܢ ܠܗ ܬܚܝܬ ܤܐܬܐ ܐܠܐ ܥܠ ܡܢܪܬܐ ܘܡܢܗܪ ܠܟܠ ܐܝܠܝܢ ܕܒܒܝܬܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu kwa wale ambao katika maisha yao wameungana na Kristo. \t ܡܟܝܠ ܠܝܬ ܚܝܒܘܬܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܗܠܟܝܢ ܒܒܤܪ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Yerusalemu, Ee Yerusalemu! Unawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako. Mara ngapi nimejaribu kuwakusanya watoto wako kwangu, kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake, lakini hukutaka. \t ܐܘܪܫܠܡ ܐܘܪܫܠܡ ܩܛܠܬ ܢܒܝܐ ܘܪܓܡܬ ܠܐܝܠܝܢ ܕܫܠܝܚܝܢ ܠܘܬܗ ܟܡܐ ܙܒܢܝܢ ܨܒܝܬ ܕܐܟܢܫ ܒܢܝܟܝ ܐܝܟ ܕܟܢܫܐ ܬܪܢܓܘܠܬܐ ܦܪܘܓܝܗ ܬܚܝܬ ܓܦܝܗ ܘܠܐ ܨܒܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini jiepushe na ubishi wa kipumbavu, ugomvi na mabishano juu ya Sheria. Mambo hayo hayana faida yoyote na ni ya bure tu. \t ܡܢ ܒܥܬܐ ܕܝܢ ܤܟܠܬܐ ܘܡܢ ܬܫܥܝܬܐ ܕܫܪܒܬܐ ܘܡܢ ܚܪܝܢܐ ܘܡܢ ܬܟܬܘܫܐ ܕܤܦܪܐ ܐܫܬܐܠ ܝܘܬܪܢ ܓܝܪ ܠܝܬ ܒܗܝܢ ܘܤܪܝܩܢ ܐܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, Barnaba alikuja akamchukua Saulo, akampeleka kwa mitume na kuwaeleza jinsi Saulo alivyomwona Bwana njiani na jinsi Bwana alivyoongea naye. Aliwaambia pia jinsi Saulo alivyokuwa amehubiri bila uoga kule Damasko. \t ܒܪܢܒܐ ܕܝܢ ܐܚܕܗ ܘܐܝܬܝܗ ܠܘܬ ܫܠܝܚܐ ܘܐܫܬܥܝ ܠܗܘܢ ܐܝܟܢܐ ܒܐܘܪܚܐ ܚܙܐ ܠܡܪܝܐ ܘܕܐܝܟܢܐ ܡܠܠ ܥܡܗ ܘܐܝܟܢܐ ܒܕܪܡܤܘܩ ܥܝܢ ܒܓܠܐ ܡܠܠ ܒܫܡܗ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na wengine wafuate wakijishikilia kwenye mbao au kwenye vipande vya meli iliyovunjika. Ndivyo sisi sote tulivyofika salama pwani. \t ܘܠܫܪܟܐ ܥܠ ܕܦܐ ܘܥܠ ܩܝܤܐ ܐܚܪܢܐ ܕܐܠܦܐ ܐܥܒܪܘ ܐܢܘܢ ܘܗܟܢܐ ܟܠܗܘܢ ܐܫܬܘܙܒܘ ܠܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vivyo hivyo, imani peke yake bila matendo imekufa. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܗܝܡܢܘܬܐ ܕܠܐ ܥܒܕܐ ܡܝܬܐ ܗܝ ܒܠܚܘܕܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye atasema: Sijui ninyi mmetoka wapi; ondokeni mbele yangu, enyi nyote watenda maovu. \t ܘܢܐܡܪ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܝܡܟܐ ܐܢܬܘܢ ܦܪܘܩܘ ܠܟܘܢ ܡܢܝ ܦܠܚܝ ܫܘܩܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini najua kwamba hata sasa chochote utakachomwomba Mungu, atakupa.\" \t ܐܠܐ ܐܦ ܗܫܐ ܝܕܥܐ ܐܢܐ ܕܟܡܐ ܕܬܫܐܠ ܠܐܠܗܐ ܝܗܒ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi, lakini, tutashughulika na sala na kazi ya kuhubiri neno la Mungu.\" \t ܘܚܢܢ ܢܗܘܐ ܐܡܝܢܝܢ ܒܨܠܘܬܐ ܘܒܬܫܡܫܬܐ ܕܡܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na wakati huo ile mashua ilikwishafika karibu katikati ya ziwa, lakini ilikuwa inakwenda mrama kwa sababu upepo ulikuwa unaipinga. \t ܘܐܠܦܐ ܪܚܝܩܐ ܗܘܬ ܡܢ ܐܪܥܐ ܐܤܛܕܘܬܐ ܤܓܝܐܐ ܟܕ ܡܫܬܓܫܐ ܤܓܝ ܡܢ ܓܠܠܐ ܪܘܚܐ ܓܝܪ ܠܩܘܒܠܗ ܗܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kawaida wosia hutambuliwa tu kama kifo cha yule aliyeufanya huo wosia kimethibitishwa. \t ܐܝܟܐ ܓܝܪ ܕܐܝܬ ܕܝܬܩܐ ܡܘܬܐ ܗܘ ܡܚܘܝܐ ܕܗܘ ܕܥܒܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe ninyi kwa njia ya Kristo. \t ܘܗܘܝܬܘܢ ܒܤܝܡܝܢ ܚܕ ܠܘܬ ܚܕ ܘܡܪܚܡܢܝܢ ܘܗܘܝܬܘܢ ܫܒܩܝܢ ܚܕ ܠܚܕ ܐܝܟܢܐ ܕܐܠܗܐ ܒܡܫܝܚܐ ܫܒܩ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo akawaambia, \"Ninyi mnajifanya wema mbele ya watu, lakini Mungu anaijua mioyo yenu. Kwa maana kile kinachoonekana kuwa kitukufu mbele ya watu, Mungu anakiona kuwa takataka. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢܬܘܢ ܐܢܘܢ ܕܡܙܕܩܝܢ ܢܦܫܗܘܢ ܩܕܡ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܝܕܥ ܠܒܘܬܟܘܢ ܕܡܕܡ ܕܪܡ ܒܝܬ ܒܢܝܢܫܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܢܕܝܕ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana ninatamani sana kuwaoneni ili nipate kuwagawieni zawadi ya kiroho na kuwaimarisha. \t ܡܛܠ ܕܛܒ ܤܘܐ ܐܢܐ ܕܐܚܙܟܘܢ ܘܐܬܠ ܠܟܘܢ ܡܘܗܒܬܐ ܕܪܘܚ ܕܒܗ ܬܫܬܪܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akasema, \"Msimkataze, maana hakuna mtu anayefanya muujiza kwa jina langu, na papo hapo akaweza kusema mabaya juu yangu. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܠܐ ܬܟܠܘܢܝܗܝ ܠܝܬ ܓܝܪ ܐܢܫ ܕܥܒܕ ܚܝܠܐ ܒܫܡܝ ܘܡܫܟܚ ܥܓܠ ܐܡܪ ܥܠܝ ܕܒܝܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa akisali, sura yake ilibadilika, mavazi yake yakawa meupe na kung'aa sana. \t ܘܟܕ ܗܘ ܡܨܠܐ ܐܬܚܠܦ ܚܙܘܐ ܕܐܦܘܗܝ ܘܢܚܬܘܗܝ ܚܘܪܘ ܘܡܒܪܩܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Asiwepo mtu yeyote miongoni mwenu ambaye anapaswa kuteseka kwa sababu ni muuaji, mwizi, mhalifu au mwovu. \t ܒܠܚܘܕ ܠܐ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܐܝܟ ܩܛܘܠܐ ܐܘ ܐܝܟ ܓܢܒܐ ܐܘ ܐܝܟ ܥܒܕ ܒܝܫܬܐ ܢܗܘܐ ܚܐܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na alipofanywa mkamilifu, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wale wote wanaomtii, \t ܘܗܟܢܐ ܐܬܓܡܪ ܘܗܘܐ ܠܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܫܬܡܥܝܢ ܠܗ ܥܠܬܐ ܕܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala mimi sikuipokea kutoka kwa binadamu, wala sikufundishwa na mtu. Yesu Kristo mwenyewe ndiye aliyenifunulia. \t ܐܦܠܐ ܓܝܪ ܐܢܐ ܡܢ ܒܪܢܫܐ ܩܒܠܬܗ ܘܝܠܦܬܗ ܐܠܐ ܒܓܠܝܢܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja, watoza ushuru na wahalifu wengi walikwenda kumsikiliza Yesu. \t ܡܬܩܪܒܝܢ ܗܘܘ ܕܝܢ ܠܘܬܗ ܡܟܤܐ ܘܚܛܝܐ ܕܢܫܡܥܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu ya mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wanaomwasi. \t ܡܛܠ ܗܠܝܢ ܓܝܪ ܐܬܐ ܪܘܓܙܗ ܕܐܠܗܐ ܥܠ ܒܢܝܗ ܕܠܐ ܡܬܛܦܝܤܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kwa vile sisi ni watoto wa Mungu, tutapokea baraka zote Mungu alizowawekea watu wake, na tutashiriki urithi huo pamoja na Kristo; maana, tukiyashiriki mateso yake Kristo, tutaushiriki pia utukufu wake. \t ܘܐܢ ܒܢܝܐ ܐܦ ܝܪܬܐ ܝܪܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܒܢܝ ܝܪܬܘܬܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܐܢ ܢܚܫ ܥܡܗ ܐܦ ܥܡܗ ܢܫܬܒܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu anaweza kufikiria siku fulani kuwa ya maana zaidi kuliko nyingine; mtu mwingine aweza kuzifikiria siku zote kuwa sawa. Kila mmoja na afuate msimamo wa akili yake. \t ܐܝܬ ܕܕܐܢ ܝܘܡܐ ܡܢ ܝܘܡܐ ܘܐܝܬ ܕܕܐܢ ܟܠܗܘܢ ܝܘܡܬܐ ܟܠܢܫ ܕܝܢ ܒܡܕܥܐ ܕܢܦܫܗ ܢܫܬܪܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pepo waliwatoka watu wengi, wakapiga kelele wakisema: \"Wewe u Mwana wa Mungu!\" Lakini Yesu akawakemea, wala hakuwaruhusu kusema, maana walimfahamu kwamba yeye ndiye Kristo. \t ܘܢܦܩܝܢ ܗܘܘ ܐܦ ܫܐܕܐ ܡܢ ܤܓܝܐܐ ܟܕ ܡܙܥܩܝܢ ܘܐܡܪܝܢ ܕܐܢܬ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܘܟܐܐ ܗܘܐ ܒܗܘܢ ܘܠܐ ܫܒܩ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܢܐܡܪܘܢ ܕܝܕܥܝܢ ܕܗܘܝܘ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jitahidini kuwa na upendo. Vilevile fanyeni bidii ya kupata vipaji vingine vya kiroho, hasa kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu. \t ܗܪܛܘ ܒܬܪ ܚܘܒܐ ܘܛܢܘ ܒܡܘܗܒܬܐ ܕܪܘܚܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܕܝܢ ܕܬܬܢܒܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makuhani wakuu na Mafarisayo waliposikia hiyo mifano yake walitambua kwamba alikuwa anawasema wao. \t ܘܒܥܘ ܠܡܐܚܕܗ ܘܕܚܠܘ ܡܢ ܟܢܫܐ ܡܛܠ ܕܐܝܟ ܕܠܢܒܝܐ ܐܚܝܕܝܢ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakawa na mashaka naye. Lakini Yesu akawaambia, \"Nabii hakosi kuheshimiwa, isipokuwa katika nchi yake na nyumbani mwake!\" \t ܘܠܐ ܥܒܕ ܬܡܢ ܚܝܠܐ ܤܓܝܐܐ ܡܛܠ ܠܐ ܗܝܡܢܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ni mwanga, nami nimekuja ulimwenguni ili wote wanaoniamini wasibaki gizani. \t ܐܢܐ ܢܘܗܪܐ ܐܬܝܬ ܠܥܠܡܐ ܕܟܠ ܡܢ ܕܡܗܝܡܢ ܒܝ ܠܐ ܢܩܘܐ ܒܚܫܘܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ukimsifu Mungu kwa roho yako tu, atawezaje mtu wa kawaida aliye katika mkutano kuitikia sala yako ya shukrani kwa kusema: \"Amina,\" kama haelewi unachosema? \t ܘܐܢ ܠܐ ܐܢ ܡܒܪܟ ܐܢܬ ܒܪܘܚ ܗܘ ܕܡܡܠܐ ܕܘܟܬܗ ܕܗܕܝܘܛܐ ܐܝܟܢܐ ܢܐܡܪ ܐܡܝܢ ܥܠ ܬܘܕܝܬܟ ܕܝܠܟ ܡܛܠ ܕܡܢܐ ܐܡܪ ܐܢܬ ܠܐ ܝܕܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ndivyo Mungu alivyotimiza yale aliyotangaza zamani kwa njia ya manabii wote, kwamba ilikuwa lazima Kristo wake ateseke. \t ܘܐܠܗܐ ܐܝܟ ܡܕܡ ܕܩܕܡ ܐܟܪܙ ܒܦܘܡ ܟܠܗܘܢ ܢܒܝܐ ܕܢܚܫ ܡܫܝܚܗ ܡܠܝ ܗܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akatengeneza mjeledi wa kamba, akawafukuza wote nje ya Hekalu pamoja na kondoo na ng'ombe wao, akazimwaga sarafu za wenye kuvunja fedha na kupindua meza zao. \t ܘܥܒܕ ܠܗ ܦܪܓܠܐ ܡܢ ܚܒܠܐ ܘܠܟܠܗܘܢ ܐܦܩ ܡܢ ܗܝܟܠܐ ܘܠܥܪܒܐ ܘܠܬܘܪܐ ܘܠܡܥܪܦܢܐ ܘܐܫܕ ܥܘܪܦܢܗܘܢ ܘܦܬܘܪܝܗܘܢ ܗܦܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa kulikuwa giza nchini kote. \t ܘܟܕ ܗܘܝ ܫܬ ܫܥܝܢ ܗܘܐ ܚܫܘܟܐ ܥܠ ܟܠܗ ܐܪܥܐ ܥܕܡܐ ܠܫܥܐ ܬܫܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pia aliongea na kubishana na Wayahudi wasemao Kigiriki, lakini wao walijaribu kumwua. \t ܘܡܡܠܠ ܗܘܐ ܒܫܡܗ ܕܝܫܘܥ ܥܝܢ ܒܓܠܐ ܘܕܪܫ ܗܘܐ ܥܡ ܝܗܘܕܝܐ ܐܝܠܝܢ ܕܝܕܥܝܢ ܗܘܘ ܝܘܢܐܝܬ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܨܒܝܢ ܗܘܘ ܠܡܩܛܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa Yerusalemu kwa sikukuu ya Pasaka, watu wengi walimwamini walipoona ishara alizozifanya. \t ܟܕ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܒܐܘܪܫܠܡ ܒܦܨܚܐ ܒܥܕܥܕܐ ܤܓܝܐܐ ܗܝܡܢܘ ܒܗ ܕܚܙܘ ܐܬܘܬܐ ܕܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi sote tulianguka chini, nami nikasikia sauti ikiniambia kwa Kiebrania: Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa? Unajiumiza bure kama punda anayepiga teke fimbo ya bwana wake. \t ܘܢܦܠܢ ܟܠܢ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܫܡܥܬ ܩܠܐ ܟܕ ܐܡܪ ܠܝ ܥܒܪܐܝܬ ܫܐܘܠ ܫܐܘܠ ܡܢܐ ܪܕܦ ܐܢܬ ܠܝ ܩܫܐ ܗܘ ܠܟ ܠܡܒܥܛܘ ܠܥܘܩܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "naye akawateua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume, wakae naye, awatume kuhubiri \t ܘܓܒܐ ܬܪܥܤܪ ܕܢܗܘܘܢ ܥܡܗ ܘܕܢܫܕܪ ܐܢܘܢ ܕܢܟܪܙܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana aliwasaidia na idadi kubwa ya watu iliamini na kumgeukia Bwana. \t ܘܐܝܬ ܗܘܬ ܥܡܗܘܢ ܐܝܕܗ ܕܡܪܝܐ ܘܤܓܝܐܐ ܗܝܡܢܘ ܘܐܬܦܢܝܘ ܠܘܬ ܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, acheni uovu wote; uongo, unafiki, wivu na maneno ya kashfa visiweko tena. \t ܐܢܝܚܘ ܗܟܝܠ ܡܢܟܘܢ ܟܠܗ ܒܝܫܘܬܐ ܘܟܠܗ ܢܟܠܐ ܘܡܤܒ ܒܐܦܐ ܘܚܤܡܐ ܘܡܐܟܠ ܩܪܨܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo nilizuiwa mara nyingi kuja kwenu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܬܬܟܤܬ ܙܒܢܝܢ ܤܓܝܐܢ ܕܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilikuwa kawaida wakati wa Sikukuu ya Pasaka mkuu wa mkoa kuwafungulia Wayahudi mfungwa mmoja waliyemtaka. \t ܒܟܠ ܥܐܕܐ ܕܝܢ ܡܥܕ ܗܘܐ ܗܓܡܘܢܐ ܕܢܫܪܐ ܐܤܝܪܐ ܚܕ ܠܥܡܐ ܐܝܢܐ ܕܗܢܘܢ ܨܒܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, unajifanya mkuu zaidi kuliko baba yetu Abrahamu ambaye alikufa? Hata na manabii walikufa. Wewe unajifanya kuwa nani?\" \t ܠܡܐ ܐܢܬ ܪܒ ܐܢܬ ܡܢ ܐܒܘܢ ܐܒܪܗܡ ܕܡܝܬ ܘܡܢ ܢܒܝܐ ܕܡܝܬܘ ܡܢܘ ܥܒܕ ܐܢܬ ܢܦܫܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Saa ya kutukuzwa kwa Mwana wa Mtu imefika! \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܬܬ ܫܥܬܐ ܕܢܫܬܒܚ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ni mchungaji mwema. Nawajua walio wangu, nao walio wangu wananijua mimi, \t ܐܢܐ ܐܢܐ ܪܥܝܐ ܛܒܐ ܘܝܕܥ ܐܢܐ ܠܕܝܠܝ ܘܡܬܝܕܥ ܐܢܐ ܡܢ ܕܝܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika wa kwanza akapiga tarumbeta yake. Mchanganyiko wa mvua ya mawe na moto, pamoja na damu, ukamwagwa juu ya nchi. Theluthi moja ya nchi ikaungua, theluthi moja ya miti ikaungua, na majani yote mabichi yakaungua. \t ܘܗܘ ܩܕܡܝܐ ܐܙܥܩ ܘܗܘܐ ܒܪܕܐ ܘܢܘܪܐ ܕܦܬܝܟܝܢ ܒܡܝܐ ܘܐܬܪܡܝܘ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܬܘܠܬܗ ܕܐܪܥܐ ܝܩܕ ܘܬܘܠܬܐ ܕܐܝܠܢܐ ܝܩܕ ܘܟܠ ܥܤܒܐ ܕܐܪܥܐ ܝܩܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Jitahidini kuingia kwa kupitia mlango mwembamba; maana nawaambieni, wengi watajaribu kuingia lakini hawataweza. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܬܟܬܫܘ ܠܡܥܠ ܒܬܪܥܐ ܐܠܝܨܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܕܤܓܝܐܐ ܢܒܥܘܢ ܠܡܥܠ ܘܠܐ ܢܫܟܚܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana mume anayo mamlaka juu ya mkewe, kama vile Kristo alivyo na mamlaka juu ya kanisa; naye Kristo mwenyewe hulikomboa kanisa, mwili wake. \t ܡܛܠ ܕܓܒܪܐ ܪܫܗ ܗܘ ܕܐܢܬܬܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܡܫܝܚܐ ܪܫܐ ܗܘ ܕܥܕܬܐ ܘܗܘܝܘ ܡܚܝܢܐ ܕܦܓܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo Mwovu atakuja na nguvu za Shetani na kufanya kila namna ya miujiza na maajabu ya uongo, \t ܡܐܬܝܬܗ ܓܝܪ ܕܗܘ ܒܡܥܒܕܢܘܬܐ ܗܝ ܕܤܛܢܐ ܒܟܠ ܚܝܠ ܘܐܬܘܬܐ ܘܬܕܡܪܬܐ ܕܓܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkiwa na sifa hizo zote kwa wingi, zitawawezesheni kuwa watendaji na kupata faida katika kumjua Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܗܠܝܢ ܓܝܪ ܟܕ ܫܟܝܚܢ ܠܟܘܢ ܘܝܬܝܪܢ ܠܐ ܗܘܐ ܒܛܝܠܐ ܐܦܠܐ ܕܠܐ ܦܐܪܐ ܡܩܝܡܢ ܠܟܘܢ ܒܫܘܘܕܥܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msimpe Ibilisi nafasi. \t ܘܠܐ ܬܬܠܘܢ ܐܬܪܐ ܠܐܟܠ ܩܪܨܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao askari wakamwuliza, \"Na sisi tufanye nini?\" Naye akawajibu, \"Msichukue vitu vya mtu yeyote kwa nguvu wala kumshtaki yeyote kwa uongo. Toshekeni na mishahara yenu.\" \t ܘܡܫܐܠܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܦܠܚܝ ܐܤܛܪܛܝܐ ܘܐܡܪܝܢ ܡܢܐ ܢܥܒܕ ܐܦ ܚܢܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܒܐܢܫ ܬܬܛܓܪܘܢ ܘܠܐܢܫ ܠܐ ܬܥܫܩܘܢ ܘܢܤܦܩܢ ܠܟܘܢ ܐܦܤܘܢܝܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hizo zitakuwa zenu ninyi ambao kwa imani mnalindwa salama kwa nguvu ya Mungu kwa ajili ya wokovu ambao uko tayari kufunuliwa mwishoni mwa nyakati. \t ܟܕ ܢܛܝܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܚܝܠܐ ܕܐܠܗܐ ܘܒܗܝܡܢܘܬܐ ܠܚܝܐ ܕܡܛܝܒܝܢ ܕܢܬܓܠܘܢ ܠܙܒܢܐ ܐܚܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Roho akanikumba, naye malaika akanipeleka juu ya mlima mrefu sana. Akanionyesha mji mtakatifu, ukishuka kutoka kwa Mungu mbinguni, \t ܘܐܘܒܠܢܝ ܒܪܘܚ ܠܛܘܪܐ ܪܒܐ ܘܪܡܐ ܘܚܘܝܢܝ ܠܡܕܝܢܬܐ ܩܕܝܫܬܐ ܐܘܪܫܠܡ ܕܢܚܬܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܡܢ ܨܝܕ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jemadari mmoja aliyekuwa amesimama mbele yake aliona jinsi Yesu alivyolia kwa sauti na kukata roho, akasema, \"Kweli mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!\" \t ܟܕ ܚܙܐ ܕܝܢ ܩܢܛܪܘܢܐ ܗܘ ܕܩܐܡ ܗܘܐ ܠܘܬܗ ܕܗܟܢܐ ܩܥܐ ܘܫܠܡ ܐܡܪ ܫܪܝܪܐܝܬ ܗܢܐ ܓܒܪܐ ܒܪܗ ܗܘܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akawaambia, \"Nendeni ulimwenguni kote mkahubiri Habari Njema kwa kila mtu. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘ ܠܥܠܡܐ ܟܠܗ ܘܐܟܪܙܘ ܤܒܪܬܝ ܒܟܠܗ ܒܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu, mkiwa mnamwamini Bwana Yesu Kristo, Bwana wa utukufu, msiwabague watu kamwe. \t ܐܚܝ ܠܐ ܒܡܤܒ ܒܐܦܐ ܬܗܘܘܢ ܐܚܝܕܝܢ ܠܗܝܡܢܘܬܐ ܕܬܫܒܘܚܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nionyesheni sarafu. Je, sura na chapa ni vya nani?\" \t ܚܘܐܘܢܝ ܕܝܢܪܐ ܕܡܢ ܐܝܬ ܒܗ ܨܠܡܐ ܘܟܬܝܒܬܐ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܘ ܕܩܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alifika katika nchi ya Wagerasi, ng'ambo ya ziwa, na huko watu wawili waliopagawa na pepo wakakutana naye wakitokea makaburini. Watu hawa walikuwa wenye kutisha mno, hata hakuna mtu aliyethubutu kupita katika njia hiyo. \t ܘܟܕ ܐܬܐ ܝܫܘܥ ܠܥܒܪܐ ܠܐܬܪܐ ܕܓܕܪܝܐ ܐܪܥܘܗܝ ܬܪܝܢ ܕܝܘܢܐ ܕܢܦܩܝܢ ܡܢ ܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܒܝܫܐ ܕܛܒ ܐܝܟ ܕܠܐ ܐܢܫ ܢܫܟܚ ܢܥܒܪ ܒܗܝ ܐܘܪܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Nimewaambieni, lakini hamsadiki. Kazi ninazozifanya mimi kwa jina la Baba yangu zinanishuhudia. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܘܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܥܒܕܐ ܕܐܢܐ ܥܒܕ ܐܢܐ ܒܫܡܗ ܕܐܒܝ ܗܢܘܢ ܤܗܕܝܢ ܥܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeyote asiyejiunga nami, ananipinga; na yeyote asiyekusanya pamoja nami, hutawanya. \t ܡܢ ܕܠܐ ܗܘܐ ܥܡܝ ܠܘܩܒܠܝ ܗܘ ܘܡܢ ܕܠܐ ܟܢܫ ܥܡܝ ܡܒܕܪܘ ܡܒܕܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipowajia mara ya tatu aliwaambia, \"Mnalala bado na kupumzika? Sasa imetosha! Saa imefika! Mwana wa Mtu anakabidhiwa kwa watu waovu. \t ܘܐܬܐ ܕܬܠܬ ܙܒܢܝܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܡܟܘ ܡܟܝܠ ܘܐܬܬܢܝܚܘ ܡܛܬ ܚܪܬܐ ܘܐܬܬ ܫܥܬܐ ܘܗܐ ܡܫܬܠܡ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܒܐܝܕܝܗܘܢ ܕܚܛܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha. \t ܘܐܫܠܡܘܗܝ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܩܫܝܫܐ ܠܕܝܢܐ ܕܡܘܬܐ ܘܙܩܦܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, lakini mimi wanichukia kwa sababu mimi nauambia wazi kwamba matendo yake ni maovu. \t ܠܐ ܡܫܟܚ ܥܠܡܐ ܠܡܤܢܟܘܢ ܠܝ ܕܝܢ ܤܢܐ ܡܛܠ ܕܐܢܐ ܡܤܗܕ ܐܢܐ ܥܠܘܗܝ ܕܥܒܕܘܗܝ ܒܝܫܝܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule mkuu wa jeshi akamruhusu. Hivyo Paulo alisimama juu ya ngazi, akawapungia mkono wale watu na walipokaa kimya, akaanza kuongea nao kwa Kiebrania. \t ܘܟܕ ܐܦܤ ܠܗ ܩܡ ܦܘܠܘܤ ܥܠ ܕܪܓܐ ܘܐܙܝܥ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܐܝܕܗ ܘܟܕ ܒܗܠܘ ܡܠܠ ܥܡܗܘܢ ܥܒܪܐܝܬ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wapenzi wangu, sisi ni watoto wa Mungu sasa, lakini bado haijaonekana wazi jinsi tutakavyokuwa. Lakini tunajua kwamba wakati Kristo atakapotokea, tutafanana naye kwani tutamwona vile alivyo. \t ܚܒܝܒܝ ܗܫܐ ܒܢܘܗܝ ܚܢܢ ܕܐܠܗܐ ܘܠܐ ܐܬܓܠܝ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܡܢܐ ܥܬܝܕܝܢܢ ܕܢܗܘܐ ܝܕܥܝܢܢ ܕܝܢ ܕܡܐ ܕܐܬܓܠܝ ܒܕܡܘܬܗ ܗܘܝܢܢ ܘܚܙܝܢܢ ܠܗ ܐܝܟ ܡܕܡ ܕܐܝܬܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kwenu isiwe hivyo, ila anayetaka kuwa mkuu kati yenu, sharti awe mtumishi wenu. \t ܠܐ ܕܝܢ ܗܟܢܐ ܢܗܘܐ ܒܝܢܬܟܘܢ ܐܠܐ ܡܢ ܕܨܒܐ ܒܟܘܢ ܕܢܗܘܐ ܪܒܐ ܢܗܘܐ ܠܟܘܢ ܡܫܡܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nawaambieni kweli, kila mtu anayekiri hadharani kwamba yeye ni wangu, Mwana wa Mtu naye atakiri mbele ya malaika wa Mungu kwamba mtu huyo ni wake. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܕܟܠ ܕܢܘܕܐ ܒܝ ܩܕܡ ܒܢܝܢܫܐ ܐܦ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܢܘܕܐ ܒܗ ܩܕܡ ܡܠܐܟܘܗܝ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Acheni kunung'unika ninyi kwa ninyi. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܬܪܛܢܘܢ ܚܕ ܥܡ ܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wazazi wenu, ndugu, jamaa na rafiki zenu watawasaliti ninyi; na baadhi yenu mtauawa. \t ܢܫܠܡܘܢܟܘܢ ܕܝܢ ܐܒܗܝܟܘܢ ܘܐܚܝܟܘܢ ܘܐܚܝܢܝܟܘܢ ܘܪܚܡܝܟܘܢ ܘܢܡܝܬܘܢ ܡܢܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama wenyeji wa nyumba hiyo wakiipokea salamu hiyo, basi, amani yenu itakaa pamoja nao. Lakini ikiwa hawaipokei, basi amani yenu itawarudia ninyi. \t ܘܐܢ ܗܘ ܕܫܘܐ ܒܝܬܐ ܫܠܡܟܘܢ ܢܐܬܐ ܥܠܘܗܝ ܐܢ ܕܝܢ ܠܐ ܫܘܐ ܫܠܡܟܘܢ ܥܠܝܟܘܢ ܢܦܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ujumbe ule waliopewa wazee wetu na malaika ulionyeshwa kuwa kweli, hata mtu yeyote ambaye hakuufuata au hakuutii aliadhibiwa kama alivyostahili. \t ܐܢ ܓܝܪ ܡܠܬܐ ܕܐܬܡܠܠܬ ܒܝܕ ܡܠܐܟܐ ܐܫܬܪܪܬ ܘܟܠ ܕܫܡܥܗ ܘܥܒܪ ܥܠܝܗ ܩܒܠ ܦܘܪܥܢܐ ܒܟܐܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini nauliza: je, hawakuusikia huo ujumbe? Naam, waliusikia; kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: \"Sauti yao imeenea duniani kote; maneno yao yamefika mpaka kingo za ulimwengu.\" \t ܐܠܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܠܡܐ ܠܐ ܫܡܥܘ ܘܗܐ ܒܟܠܗ ܐܪܥܐ ܢܦܩܬ ܒܪܬ ܩܠܗܘܢ ܘܒܤܘܦܝܗ ܕܬܒܝܠ ܡܠܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko, tulikuta meli iliyokuwa inakwenda Foinike, hivyo tulipanda, tukasafiri. \t ܘܐܫܟܚܢ ܬܡܢ ܐܠܦܐ ܕܐܙܠܐ ܠܦܘܢܝܩܐ ܘܤܠܩܢ ܠܗ ܘܪܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipopata habari kwamba Lazaro ni mgonjwa, Yesu aliendelea kukaa mahali hapo alipokuwa kwa siku mbili zaidi. \t ܘܟܕ ܫܡܥ ܕܟܪܝܗ ܟܬܪ ܒܕܘܟܬܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܬܪܝܢ ܝܘܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini watu kadhaa waliandamana naye, wakawa waumini. Miongoni mwao walikuwa Dionisio wa Areopago, mwanamke mmoja aitwaye Damari na wengineo. \t ܘܐܢܫܝܢ ܡܢܗܘܢ ܢܩܦܘܗܝ ܘܗܝܡܢܘ ܚܕ ܕܝܢ ܡܢܗܘܢ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܕܝܢܘܤܝܘܤ ܡܢ ܕܝܢܐ ܕܐܪܝܘܤ ܦܓܘܤ ܘܐܢܬܬܐ ܚܕܐ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܕܡܪܝܤ ܘܐܚܪܢܐ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili wapate kumnasa kwa maneno yake. \t ܘܢܟܠܝܢ ܠܗ ܒܤܓܝܐܬܐ ܟܕ ܒܥܝܢ ܠܡܐܚܕ ܡܕܡ ܡܢ ܦܘܡܗ ܕܢܫܟܚܘܢ ܢܐܟܠܘܢ ܩܪܨܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akajibu, \"La, Bwana; mimi sijaonja kamwe chochote ambacho ni najisi au kichafu.\" \t ܘܫܡܥܘܢ ܐܡܪ ܚܤ ܡܪܝ ܕܡܡܬܘܡ ܠܐ ܐܟܠܬ ܟܠ ܕܡܤܝܒ ܘܛܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara wanafunzi hao wakatazama tena, lakini hawakumwona mtu mwingine, ila Yesu peke yake pamoja nao. \t ܘܡܢ ܫܠܝܐ ܟܕ ܚܪܘ ܬܠܡܝܕܐ ܠܐܢܫ ܠܐ ܚܙܘ ܐܠܐ ܠܝܫܘܥ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo. \t ܘܡܢ ܫܪܪܐ ܢܗܦܟܘܢ ܐܕܢܗܘܢ ܠܫܘܥܝܬܐ ܕܝܢ ܢܤܛܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamwashiria baba yake wapate kujua alitaka mtoto wake apewe jina gani. \t ܘܪܡܙܘ ܠܐܒܘܗܝ ܕܐܝܟܢܐ ܨܒܐ ܕܢܫܡܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "naye Yesu alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake. \t ܘܐܦ ܗܘ ܝܫܘܥ ܘܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܬܩܪܝܘ ܠܗ ܠܡܫܬܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akisema kwa sauti kubwa, \"Una shauri gani nami, wewe Yesu Mwana wa Mungu aliye juu? Kwa jina la Mungu, nakusihi usinitese!\" \t ܘܩܥܐ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܘܐܡܪ ܡܐ ܠܝ ܘܠܟ ܝܫܘܥ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܡܪܝܡܐ ܡܘܡܐ ܐܢܐ ܠܟ ܒܐܠܗܐ ܕܠܐ ܬܫܢܩܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilipowaandikia hapo awali katika hali ya huzuni na sikitiko moyoni na kwa machozi mengi, haikuwa kwa ajili ya kuwahuzunisha ninyi, bali kwa ajili ya kuwaonyesheni kwamba nawapenda mno. \t ܘܡܢ ܐܘܠܨܢܐ ܪܒܐ ܘܡܢ ܐܢܘܤܝܐ ܕܠܒܐ ܟܬܒܬ ܠܟܘܢ ܗܠܝܢ ܒܕܡܥܐ ܤܓܝܐܬܐ ܠܐ ܡܛܠ ܕܬܟܪܐ ܠܟܘܢ ܐܠܐ ܡܛܠ ܕܬܕܥܘܢ ܚܘܒܐ ܝܬܝܪܐ ܕܐܝܬ ܠܝ ܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawaambia, \"Ninyi mmejaliwa kujua siri ya Utawala wa Mungu, lakini wale walio nje wataambiwa kila kitu kwa mifano, \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܠܟܘܢ ܝܗܝܒ ܠܡܕܥ ܐܪܙܐ ܕܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܠܒܪܝܐ ܕܝܢ ܟܠ ܡܕܡ ܒܡܬܠܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Mimi ninayesema nawe, ndiye.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢܐ ܐܢܐ ܕܡܡܠܠ ܐܢܐ ܥܡܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi hampaswi kuongezewa taabu kusudi wengine wapunguziwe mzigo wao; sivyo, ila ni lazima tujali usawa na haki. \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܕܠܐܚܪܢܐ ܬܗܘܐ ܪܘܚܬܐ ܘܠܟܘܢ ܐܘܠܨܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia, \"Kweli nawaambieni, huyu mama mjane maskini ametoa zaidi kuliko wengine wote waliotia fedha katika sanduku la hazina. \t ܘܩܪܐ ܝܫܘܥ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܗܕܐ ܐܪܡܠܬܐ ܡܤܟܢܬܐ ܝܬܝܪ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܐܢܫܐ ܕܪܡܝܢ ܐܪܡܝܬ ܒܝܬ ܓܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, mnaifahamu jamaa ya Stefana; wao ni watu wa kwanza kabisa kuipokea imani ya Kikristo katika Akaya, na wamejitolea kuwatumikia watu wa Mungu. Ninawasihi ninyi ndugu zangu, \t ܒܥܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܡܢܟܘܢ ܐܚܝ ܥܠ ܒܝܬܐ ܕܐܤܛܦܢܐ ܡܛܠ ܕܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܗܢܘܢ ܐܢܘܢ ܪܫܝܬܐ ܕܐܟܐܝܐ ܘܤܡܘ ܢܦܫܗܘܢ ܠܬܫܡܫܬܐ ܕܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama basi ninyi, ingawa ni waovu, mwajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, hakika Baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi: atawapa mema wale wanaomwomba. \t ܘܐܢ ܗܟܝܠ ܐܢܬܘܢ ܕܒܝܫܐ ܐܢܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܘܗܒܬܐ ܛܒܬܐ ܠܡܬܠ ܠܒܢܝܟܘܢ ܟܡܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܐܒܘܟܘܢ ܕܒܫܡܝܐ ܢܬܠ ܛܒܬܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܫܐܠܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo ndipo kulipotokea ghasia kubwa huko Efeso kwa sababu ya hiyo Njia ya Bwana. \t ܗܘܐ ܗܘܐ ܕܝܢ ܒܗܘ ܙܒܢܐ ܫܓܘܫܝܐ ܤܓܝܐܐ ܥܠ ܐܘܪܚܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Inaposemwa, \"Alimkubali,\" haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu. \t ܘܠܐ ܗܘܐ ܡܛܠܬܗ ܒܠܚܘܕ ܐܬܟܬܒܬ ܗܕܐ ܕܐܬܚܫܒܬ ܗܝܡܢܘܬܗ ܠܟܐܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisemi kwamba ahadi ya Mungu imebatilika; maana si watu wote wa Israeli ni wateule wa Mungu. \t ܠܐ ܗܘܐ ܕܝܢ ܡܦܠ ܢܦܠܬ ܡܠܬܗ ܕܐܠܗܐ ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܟܠܗܘܢ ܕܡܢ ܐܝܤܪܝܠ ܐܝܬܝܗܘܢ ܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao hawakuelewa maana ya usemi huo. Jambo hilo lilikuwa limefichwa kwao ili wasitambue; nao wakaogopa kumwuliza juu ya msemo huo. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܠܐ ܐܫܬܘܕܥܘܗ ܠܡܠܬܐ ܗܕܐ ܡܛܠ ܕܡܟܤܝܐ ܗܘܬ ܡܢܗܘܢ ܕܠܐ ܢܕܥܘܢܗ ܘܕܚܠܝܢ ܗܘܘ ܕܢܫܐܠܘܢܝܗܝ ܥܠܝܗ ܥܠ ܡܠܬܐ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "tena niwaangazie watu wote waone jinsi mpango wa Mungu uliofichika unavyotekelezwa. Mungu aliye Muumba wa vitu vyote alificha siri hiyo yake tangu milele, \t ܘܐܢܗܪ ܠܟܠܢܫ ܐܝܕܐ ܗܝ ܡܕܒܪܢܘܬܐ ܕܐܪܙܐ ܗܘ ܕܟܤܐ ܗܘܐ ܡܢ ܥܠܡܐ ܒܐܠܗܐ ܕܟܠ ܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika wa tatu akamwaga bakuli lake katika mito na chemchemi za maji, navyo vikageuka damu. \t ܘܡܠܐܟܐ ܕܬܠܬܐ ܐܫܕ ܙܒܘܪܗ ܒܢܗܪܘܬܐ ܘܒܥܝܢܬܐ ܕܡܝܐ ܘܗܘܘ ܕܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulitokea ubishi kati ya hao mitume kuhusu nani miongoni mwao anayefikiriwa kuwa mkuu zaidi kuliko wengine. \t ܗܘܐ ܕܝܢ ܐܦ ܚܪܝܢܐ ܒܝܢܬܗܘܢ ܕܡܢ ܐܝܬ ܒܗܘܢ ܕܪܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipofika Kaisarea walimpa mkuu wa mkoa ile barua na kumweka Paulo chini ya mamlaka yake. \t ܘܐܝܬܝܘܗܝ ܠܩܤܪܝܐ ܘܝܗܒܘ ܐܓܪܬܐ ܠܗܓܡܘܢܐ ܘܐܩܝܡܘܗܝ ܩܕܡܘܗܝ ܠܦܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akauliza, \"Kwa nini? Amefanya kosa gani?\" Wao wakazidi kupaaza sauti: \"Asulubiwe!\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܓܡܘܢܐ ܡܢܐ ܓܝܪ ܕܒܝܫ ܥܒܕ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܩܥܘ ܘܐܡܪܘ ܢܙܕܩܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Watu wakiwadhulumu katika mji mmoja, kimbilieni mji mwingine. Kweli nawaambieni, hamtamaliza ziara yenu katika miji yote ya Israeli kabla Mwana wa Mtu hajafika. \t ܡܐ ܕܪܕܦܝܢ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܒܡܕܝܢܬܐ ܗܕܐ ܥܪܘܩܘ ܠܟܘܢ ܠܐܚܪܬܐ ܐܡܝܢ ܓܝܪ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܬܫܠܡܘܢ ܐܢܝܢ ܟܠܗܝܢ ܡܕܝܢܬܐ ܕܒܝܬ ܐܝܤܪܝܠ ܥܕܡܐ ܕܢܐܬܐ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watumwa ambao wakuu wao ni Wakristo wasiwadharau kwani ni ndugu zao. Badala yake, wanapaswa kuwatumikia hata vizuri zaidi, maana hao wanaopata faida kutokana na kazi yao ni waumini ambao wanawapenda. Unapaswa kufundisha na kuhubiri mambo haya. \t ܐܝܠܝܢ ܕܝܢ ܕܐܝܬ ܠܗܘܢ ܡܪܝܐ ܡܗܝܡܢܐ ܠܐ ܢܒܤܘܢ ܒܗܘܢ ܥܠ ܕܐܚܝܗܘܢ ܐܢܘܢ ܐܠܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܢܫܡܫܘܢ ܐܢܘܢ ܥܠ ܕܡܗܝܡܢܐ ܐܢܘܢ ܘܚܒܝܒܐ ܗܠܝܢ ܕܡܬܬܢܝܚܝܢ ܒܬܫܡܫܬܗܘܢ ܗܠܝܢ ܐܠܦ ܘܒܥܝ ܡܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliposhuka pwani, Yesu aliona umati mkubwa wa watu, akawahurumia, kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji. Akaanza kuwafundisha mambo mengi. \t ܘܢܦܩ ܝܫܘܥ ܚܙܐ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܘܐܬܪܚܡ ܥܠܝܗܘܢ ܕܕܡܝܢ ܗܘܘ ܠܥܪܒܐ ܕܠܝܬ ܠܗܘܢ ܪܥܝܐ ܘܫܪܝ ܗܘܐ ܠܡܠܦܘ ܐܢܘܢ ܤܓܝܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamjibu, \"Tunaweza.\" Yesu akawaambia, \"Kikombe nitakachokunywa mtakinywa kweli, na mtabatizwa kama nitakavyobatizwa. \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܫܟܚܝܢܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܟܤܐ ܕܫܬܐ ܐܢܐ ܬܫܬܘܢ ܘܡܥܡܘܕܝܬܐ ܕܥܡܕ ܐܢܐ ܬܥܡܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Mtu mmoja alifanya karamu kubwa, akaalika watu wengi. \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܓܒܪܐ ܚܕ ܥܒܕ ܐܚܫܡܝܬܐ ܪܒܬܐ ܘܩܪܐ ܠܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika ninyi mnaonekana na watu kwa nje kuwa wema, lakini kwa ndani mmejaa unafiki na uovu. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܠܒܪ ܡܬܚܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܒܢܝ ܐܢܫܐ ܐܝܟ ܙܕܝܩܐ ܘܡܢ ܠܓܘ ܡܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܘܠܐ ܘܡܤܒ ܒܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naomba ili imani hiyo unayoshiriki pamoja nasi ikuwezeshe kuwa na ujuzi mkamilifu zaidi wa baraka zote tunazopata katika kuungana kwetu na Kristo. \t ܕܬܗܘܐ ܫܘܬܦܘܬܐ ܕܗܝܡܢܘܬܟ ܝܗܒܐ ܦܐܪܐ ܒܥܒܕܐ ܘܒܝܕܥܬܐ ܕܟܠ ܛܒܢ ܕܐܝܬ ܠܟܘܢ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunajua kwamba utu wetu wa kale ulisulubiwa pamoja na Kristo, ili hali ya dhambi iharibiwe, tusiwe tena watumwa wa dhambi. \t ܝܕܥܝܢܢ ܓܝܪ ܕܒܪܢܫܢ ܥܬܝܩܐ ܐܙܕܩܦ ܥܡܗ ܕܢܬܒܛܠ ܦܓܪܐ ܕܚܛܝܬܐ ܕܬܘܒ ܠܐ ܢܫܡܫ ܠܚܛܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuna tofauti nyingine pia: hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao. \t ܘܗܢܘܢ ܗܘܘ ܟܘܡܪܐ ܤܓܝܐܐ ܡܛܠ ܕܡܝܬܝܢ ܗܘܘ ܘܠܐ ܡܫܬܒܩܝܢ ܗܘܘ ܕܢܩܘܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe na msimamo huu mioyoni mwenu: hakuna kufikiria kabla ya wakati juu ya jinsi mtakavyojitetea, \t ܤܝܡܘ ܕܝܢ ܒܠܒܟܘܢ ܕܠܐ ܬܗܘܘܢ ܡܬܝܠܦܝܢ ܠܡܦܩ ܪܘܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wa Ninewi watatokea siku ya hukumu, nao watakihukumu kizazi hiki kwamba kina hatia. Maana Waninewi walitubu kwa sababu ya mahubiri ya Yona, na kumbe hapa kuna kikuu kuliko Yona! \t ܓܒܪܐ ܢܝܢܘܝܐ ܢܩܘܡܘܢ ܒܕܝܢܐ ܥܡ ܫܪܒܬܐ ܗܕܐ ܘܢܚܝܒܘܢܗ ܕܗܢܘܢ ܬܒܘ ܒܟܪܘܙܘܬܗ ܕܝܘܢܢ ܘܗܐ ܕܪܒ ܡܢ ܝܘܢܢ ܬܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "vivyo hivyo Kristo naye alijitoa dhabihu mara moja tu kwa ajili ya kuziondoa dhambi za wengi. Atakapotokea mara ya pili si kwa ajili ya kupambana na dhambi, bali ni kwa ajili ya kuwaokoa wale wanaomngojea. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܡܫܝܚܐ ܚܕܐ ܙܒܢ ܐܬܩܪܒ ܘܒܩܢܘܡܗ ܕܒܚ ܚܛܗܐ ܕܤܓܝܐܐ ܕܬܪܬܝܢ ܕܝܢ ܙܒܢܝܢ ܕܠܐ ܚܛܗܝܢ ܡܬܚܙܐ ܠܚܝܝܗܘܢ ܕܐܝܠܝܢ ܕܡܤܟܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama ni shauri la ubishi kuhusu maneno na majina ya Sheria yenu, amueni ninyi wenyewe. Mimi sitaki kuwa hakimu wa mambo haya!\" \t ܐܢ ܕܝܢ ܙܛܡܐ ܐܢܘܢ ܥܠ ܡܠܬܐ ܘܥܠ ܫܡܗܐ ܘܥܠ ܢܡܘܤܐ ܕܝܠܟܘܢ ܐܢܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܝܢܬܟܘܢ ܐܢܐ ܓܝܪ ܠܐ ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܐܗܘܐ ܕܝܢܐ ܕܗܠܝܢ ܨܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "je, huo si ubaguzi kati yenu? Je, na huo uamuzi wenu haujatokana na fikira mbaya? \t ܠܐ ܗܐ ܐܬܦܠܓܬܘܢ ܠܟܘܢ ܒܢܦܫܟܘܢ ܘܗܘܝܬܘܢ ܡܦܪܫܢܐ ܕܡܚܫܒܬܐ ܒܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu ambaye hajakomaa bado katika imani asifanywe kuwa kiongozi katika kanisa, asije akajaa majivuno na kuhukumiwa kama vile Ibilisi alivyohukumiwa. \t ܘܠܐ ܢܗܘܐ ܛܠܐ ܬܘܠܡܕܗ ܕܠܐ ܢܬܪܝܡ ܘܢܦܠ ܒܕܝܢܗ ܕܤܛܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nawapa uzima wa milele; nao hawatapotea milele, wala hakuna mtu atakayeweza kuwatoa mkononi mwangu. \t ܘܐܢܐ ܝܗܒ ܐܢܐ ܠܗܘܢ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܘܠܐ ܢܐܒܕܘܢ ܠܥܠܡ ܘܠܐ ܐܢܫ ܢܚܛܘܦ ܐܢܘܢ ܡܢ ܐܝܕܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwani wataona jinsi mwenendo wenu ulivyo safi na wa kumcha Mungu. \t ܟܕ ܚܙܝܢ ܕܒܕܚܠܬܐ ܘܒܢܟܦܘܬܐ ܡܬܕܒܪܢ ܐܢܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamkemea, \"Nyamaza! Mtoke mtu huyu.\" \t ܘܟܐܐ ܒܗ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܤܟܘܪ ܦܘܡܟ ܘܦܘܩ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana Mungu alikuwa ameazimia mpango ulio bora zaidi kwa ajili yetu; yaani wao wangeufikia ukamilifu wakiwa pamoja nasi. \t ܡܛܠ ܕܐܠܗܐ ܩܕܡ ܚܪ ܒܥܘܕܪܢܢ ܕܝܠܢ ܕܠܐ ܒܠܥܕܝܢ ܢܬܓܡܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi wenyewe ni barua yetu; barua iliyoandikwa mioyoni mwetu kila mtu aione na kuisoma. \t ܐܓܪܬܢ ܕܝܢ ܕܝܠܢ ܐܢܬܘܢ ܐܢܘܢ ܕܟܬܝܒܐ ܒܠܒܢ ܘܝܕܝܥܐ ܘܡܬܩܪܝܐ ܡܢ ܟܠܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "hali watu wa Israeli waliokuwa wakitafuta Sheria iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu, hawakuipata. \t ܐܝܤܪܝܠ ܕܝܢ ܕܪܗܛ ܗܘܐ ܒܬܪ ܢܡܘܤܐ ܕܟܐܢܘܬܐ ܠܢܡܘܤܐ ܕܟܐܢܘܬܐ ܠܐ ܐܕܪܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tusiache ile desturi ya kukutana pamoja, kama vile wengine wanavyofanya. Bali tunapaswa kusaidiana kwani, kama mwonavyo, Siku ile ya Bwana inakaribia. \t ܘܠܐ ܢܗܘܐ ܫܒܩܝܢ ܟܢܘܫܝܢ ܐܝܟ ܕܐܝܬ ܥܝܕܐ ܠܐܢܫ ܐܢܫ ܐܠܐ ܒܥܘ ܚܕ ܡܢ ܚܕ ܝܬܝܪܐܝܬ ܟܡܐ ܕܚܙܝܬܘܢ ܕܩܪܒ ܝܘܡܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akawaambia, \"Wapeni ninyi chakula.\" Nao wakamwuliza, \"Je, twende kununua mikate kwa fedha dinari mia mbili, na kuwapa chakula?\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܒܘ ܠܗܘܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܠܥܤ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܢܐܙܠ ܢܙܒܢ ܕܡܐܬܝܢ ܕܝܢܪܝܢ ܠܚܡܐ ܘܢܬܠ ܠܗܘܢ ܠܥܤܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baba na mama yake Yesu walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto. \t ܝܘܤܦ ܕܝܢ ܘܐܡܗ ܬܡܝܗܝܢ ܗܘܘ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܡܬܡܠܠܢ ܗܘܝ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Kuhani Mkuu akararua joho lake, akasema, \"Tuna haja gani tena ya mashahidi? \t ܪܒ ܟܗܢܐ ܕܝܢ ܨܪܐ ܟܘܬܝܢܗ ܘܐܡܪ ܡܢܐ ܡܟܝܠ ܡܬܒܥܝܢ ܠܢ ܤܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote jumla, walikuwa watu wapatao kumi na wawili. \t ܗܘܝܢ ܗܘܘ ܕܝܢ ܟܠܗܘܢ ܐܢܫܐ ܬܪܥܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli mnakutana, lakini si kwa ajili ya kula chakula cha Bwana! \t ܡܐ ܗܟܝܠ ܕܡܬܟܢܫܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܘ ܐܝܟ ܕܙܕܩ ܠܝܘܡܗ ܕܡܪܢ ܐܟܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܫܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Upepo uliipiga ile meli, na kwa kuwa hatukuweza kuukabili, tukaiacha ikokotwe na huo upepo. \t ܘܐܬܚܛܦܬ ܐܠܦܐ ܘܠܐ ܐܫܟܚܬ ܕܬܩܘܡ ܠܘܩܒܠ ܪܘܚܐ ܘܝܗܒܢ ܠܐܝܕܐ ܕܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo fahamu zao zitawarudia tena, wakaponyoka katika mtego wa Ibilisi aliyewanasa na kuwafanya wayatii matakwa yake. \t ܘܢܥܗܕܘܢ ܢܦܫܗܘܢ ܘܢܦܪܩܘܢ ܡܢ ܦܚܗ ܕܤܛܢܐ ܕܒܗ ܐܬܬܨܝܕܘ ܠܨܒܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kupitia katika nchi ya Pisidia, walifika Pamfulia. \t ܘܟܕ ܐܬܟܪܟܘ ܒܐܬܪܐ ܕܦܝܤܝܕܝܐ ܐܬܘ ܠܗܘܢ ܠܦܡܦܘܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya siku chache, Felisi alifika pamoja na mkewe Drusila ambaye alikuwa Myahudi. Aliamuru Paulo aletwe, akamsikiliza akiongea juu ya kumwamini Yesu Kristo. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܩܠܝܠ ܝܘܡܬܐ ܫܕܪ ܦܝܠܟܤ ܘܕܘܪܤܠܐ ܐܢܬܬܗ ܕܐܝܬܝܗ ܗܘܬ ܝܗܘܕܝܬܐ ܘܩܪܘ ܠܗ ܠܦܘܠܘܤ ܘܫܡܥܘ ܡܢܗ ܥܠ ܗܝܡܢܘܬܐ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa Shetani anamfukuza Shetani, anajipinga mwenyewe. Basi, ufalme wake utasimamaje? \t ܘܐܢ ܤܛܢܐ ܠܤܛܢܐ ܡܦܩ ܥܠ ܢܦܫܗ ܐܬܦܠܓ ܐܝܟܢܐ ܗܟܝܠ ܩܝܡܐ ܡܠܟܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambaye anataka watu wote waokolewe na wapate kuujua ukweli. \t ܗܘ ܕܨܒܐ ܕܟܠܗܘܢ ܒܢܝܢܫܐ ܢܚܘܢ ܘܢܬܦܢܘܢ ܠܝܕܥܬܐ ܕܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Miaka arobaini ilipotimia, malaika wa Bwana alimtokea Mose katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto kule jangwani karibu na mlima Sinai. \t ܘܟܕ ܡܠܝ ܠܗ ܬܡܢ ܐܪܒܥܝܢ ܫܢܝܢ ܐܬܚܙܝ ܠܗ ܒܡܕܒܪܐ ܕܛܘܪ ܤܝܢܝ ܡܠܐܟܗ ܕܡܪܝܐ ܒܢܘܪܐ ܕܝܩܕܐ ܒܤܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ila, sisi tukisema ukweli kwa moyo wa mapendo tutakua zidi katika kila jambo kulingana na Kristo ambaye ndiye kichwa; \t ܐܠܐ ܗܘܝܢ ܫܪܝܪܝܢ ܒܚܘܒܢ ܕܟܘܠ ܡܕܡ ܕܝܠܢ ܢܪܒܐ ܒܡܫܝܚܐ ܕܗܘܝܘ ܪܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, mitume kumi na wawili waliita jumuiya yote ya wanafunzi, wakasema, \"Si vizuri sisi tuache kulihubiri neno la Mungu ili tushughulikie ugawaji wa mahitaji. \t ܘܩܪܘ ܬܪܥܤܪ ܫܠܝܚܐ ܠܟܠܗ ܟܢܫܐ ܕܬܠܡܝܕܐ ܘܐܡܪܘ ܠܗܘܢ ܠܐ ܫܦܝܪ ܕܢܫܒܘܩ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܢܫܡܫ ܦܬܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja, aitwaye Kleopa, akamjibu, \"Je, wewe ni mgeni peke yako Yerusalemu ambaye hujui yaliyotukia huko siku hizi?\" \t ܥܢܐ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܕܫܡܗ ܩܠܝܘܦܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢܬ ܗܘ ܟܝ ܒܠܚܘܕܝܟ ܢܘܟܪܝܐ ܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܕܠܐ ܝܕܥ ܐܢܬ ܡܕܡ ܕܗܘܐ ܒܗ ܒܗܢܘܢ ܝܘܡܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na tena: \"Bwana ajua kwamba mawazo ya wenye hekima hayafai.\" \t ܘܬܘܒ ܡܪܝܐ ܝܕܥ ܡܚܫܒܬܗܘܢ ܕܚܟܝܡܐ ܕܤܪܝܩܢ ܐܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makundi mengi ya watu kutoka Galilaya, Dekapoli, Yerusalemu, Yudea na ng'ambo ya mto Yordani, walimfuata. \t ܘܐܫܬܡܥ ܛܒܗ ܒܟܠܗ ܤܘܪܝܐ ܘܩܪܒܘ ܠܗ ܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܒܝܫ ܒܝܫ ܥܒܝܕܝܢ ܒܟܘܪܗܢܐ ܡܫܚܠܦܐ ܘܐܝܠܝܢ ܕܐܠܝܨܝܢ ܒܬܫܢܝܩܐ ܘܕܝܘܢܐ ܘܕܒܪ ܐܓܪܐ ܘܡܫܪܝܐ ܘܐܤܝ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo akawatazama wote kwa hasira, akaona huzuni kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao. Kisha akamwambia huyo mtu, \"Nyosha mkono wako!\" Naye akaunyosha mkono wake, ukawa mzima tena. \t ܘܚܪ ܒܗܘܢ ܒܚܡܬܐ ܟܕ ܟܪܝܐ ܠܗ ܥܠ ܩܫܝܘܬ ܠܒܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘ ܓܒܪܐ ܦܫܘܛ ܐܝܕܟ ܘܦܫܛ ܘܬܩܢܬ ܐܝܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakaamrishwa wasiharibu nyasi za nchi wala majani wala miti yoyote, bali wawaharibu wale tu ambao hawakupigwa mhuri wa Mungu katika paji la uso. \t ܘܐܬܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܠܐ ܢܗܪܘܢ ܠܥܤܒܗ ܕܐܪܥܐ ܘܠܟܠ ܝܘܪܩ ܐܦܠܐ ܠܐܝܠܢܐ ܐܠܐ ܐܢ ܠܒܢܝܢܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܠܝܬ ܠܗܘܢ ܚܬܡܐ ܕܐܠܗܐ ܒܝܬ ܥܝܢܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ingawa Mungu alikuwa amemwambia: \"Wazawa wako watatokana na Isaka.\" \t ܐܬܐܡܪ ܗܘܐ ܠܗ ܓܝܪ ܕܒܐܝܤܚܩ ܢܬܩܪܐ ܠܟ ܙܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kuitumia hiyo amri, dhambi ilipata fursa ya kuamsha kila aina ya tamaa mbaya ndani yangu. Maana, bila Sheria dhambi ni kitu kilichokufa. \t ܘܒܗܢܐ ܦܘܩܕܢܐ ܐܫܟܚܬ ܠܗ ܚܛܝܬܐ ܥܠܬܐ ܘܓܡܪܬ ܒܝ ܟܠ ܪܓܐ ܒܠܥܕ ܢܡܘܤܐ ܓܝܪ ܚܛܝܬܐ ܡܝܬܐ ܗܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini matokeo ya kuongozwa na Roho ni mapendo, furaha, amani, uvumilivu, wema, fadhili, uaminifu, \t ܦܐܪܐ ܕܝܢ ܕܪܘܚܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܚܘܒܐ ܚܕܘܬܐ ܫܠܡܐ ܡܓܪܬ ܪܘܚܐ ܒܤܝܡܘܬܐ ܛܒܘܬܐ ܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yuda akakubali, na akawa anatafuta nafasi nzuri ya kumkabidhi kwao bila umati wa watu kujua. \t ܘܐܫܬܘܕܝ ܠܗܘܢ ܘܒܥܐ ܗܘܐ ܦܠܥܐ ܕܢܫܠܡܝܘܗܝ ܠܗܘܢ ܒܠܥܕ ܡܢ ܟܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mimi sitajivunia kamwe chochote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo; maana kwa njia ya msalaba huo ulimwengu umesulubiwa kwangu, nami nimesulubiwa kwa ulimwengu. \t ܠܝ ܕܝܢ ܠܐ ܢܗܘܐ ܠܝ ܕܐܫܬܒܗܪ ܐܠܐ ܒܙܩܝܦܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܒܗ ܥܠܡܐ ܙܩܝܦ ܠܝ ܘܐܢܐ ܙܩܝܦ ܐܢܐ ܠܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu hakumjibu hata neno moja; hata huyo mkuu wa mkoa akashangaa sana. \t ܘܠܐ ܝܗܒ ܠܗ ܦܬܓܡܐ ܘܠܐ ܒܚܕܐ ܡܠܐ ܘܥܠ ܗܕܐ ܐܬܕܡܪ ܛܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikilizeni, nimekwisha kuwaonya kabla ya wakati. \t ܗܐ ܩܕܡܬ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Ona! Imani yako imekuponya.\" \t ܘܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗ ܚܙܝ ܗܝܡܢܘܬܟ ܐܚܝܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe, na yule aketiye juu yake. Dunia na mbingu vikatoweka mbele ya macho yake, na havikuonekana tena. \t ܘܚܙܝܬ ܟܘܪܤܝܐ ܪܒܐ ܚܘܪܐ ܘܠܕܝܬܒ ܠܥܠ ܡܢܗ ܗܘ ܕܡܢ ܩܕܡ ܐܦܘܗܝ ܥܪܩܬ ܐܪܥܐ ܘܫܡܝܐ ܘܐܬܪ ܠܐ ܐܫܬܟܚ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawajibu, La, msije labda mnapokusanya magugu, mkang'oa na ngano pia. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܠܡܐ ܟܕ ܡܓܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܙܝܙܢܐ ܬܥܩܪܘܢ ܥܡܗܘܢ ܐܦ ܚܛܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawatakieni neema na amani tele katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu. \t ܛܝܒܘܬܐ ܘܫܠܡܐ ܢܤܓܐ ܠܟܘܢ ܒܫܘܘܕܥܐ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nitakuja kwenu, baada ya kupitia Makedonia--maana nataraji kupitia Makedonia. \t ܐܬܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܠܘܬܟܘܢ ܡܐ ܕܥܒܪܬ ܡܢ ܡܩܕܘܢܝܐ ܥܒܪ ܐܢܐ ܠܗ ܓܝܪ ܠܡܩܕܘܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, kwa kuungana na Kristo mmetajirishwa katika kila kitu. Mmejaliwa elimu yote na uwezo wote wa kuhubiri, \t ܕܒܟܠ ܡܕܡ ܥܬܪܬܘܢ ܒܗ ܒܟܠ ܡܠܐ ܘܒܟܠ ܝܕܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli, kwa dhambi ya mtu mmoja kifo kilianza kutawala kwa sababu ya huyo mtu mmoja; lakini, ni dhahiri zaidi kwamba alichokifanya yule mtu mmoja, yaani Yesu Kristo, ni bora zaidi. Wote wanaopokea neema na zawadi hiyo ya kukubaliwa kuwa waadilifu, watatawala katika uzima kwa njia ya huyo mmoja, yaani Yesu Kristo. \t ܐܢ ܓܝܪ ܡܛܠ ܤܟܠܘܬܐ ܕܚܕ ܐܡܠܟ ܡܘܬܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܐܝܠܝܢ ܕܢܤܒܘ ܤܘܓܐܐ ܕܛܝܒܘܬܐ ܘܕܡܘܗܒܬܐ ܘܕܟܐܢܘܬܐ ܒܚܝܐ ܢܡܠܟܘܢ ܒܝܕ ܚܕ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, wanawake wengine wa kwetu wametushtua. Walikwenda kaburini mapema asubuhi, \t ܐܠܐ ܐܦ ܢܫܐ ܡܢܢ ܐܬܡܗܢ ܩܕܡ ܗܘܝ ܓܝܪ ܠܒܝܬ ܩܒܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni nani atakayewashtaki wateule wa Mungu? Mungu mwenyewe huwaondolea hatia! \t ܡܢܘ ܢܩܒܘܠ ܥܠ ܓܒܝܐ ܕܐܠܗܐ ܐܠܗܐ ܡܙܕܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Madhumuni yangu kuandika ile barua yalikuwa kutaka kujua kama mko tayari kutii katika kila jambo. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܓܝܪ ܟܬܒܬ ܐܦ ܕܐܕܥ ܒܢܤܝܢܐ ܐܢ ܒܟܠܡܕܡ ܡܫܬܡܥܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ikisha pandwa, huota na kuwa mmea mkubwa kuliko mimea yote ya shambani. Matawi yake huwa makubwa hata ndege wa angani huweza kujenga viota vyao katika kivuli chake.\" \t ܘܡܐ ܕܐܙܕܪܥܬ ܤܠܩܐ ܘܗܘܝܐ ܪܒܐ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܝܪܩܘܢܐ ܘܥܒܕܐ ܤܘܟܐ ܪܘܪܒܬܐ ܐܝܟ ܕܬܫܟܚ ܕܒܛܠܠܗ ܦܪܚܬܐ ܬܫܟܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na ahadi aliyotuahidia sisi ndiyo hii: uzima wa milele. \t ܘܗܢܘ ܫܘܘܕܝܐ ܕܐܫܬܘܕܝ ܠܢ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hizo zitatoweka, lakini wewe wabaki daima, zote zitachakaa kama vazi. \t ܗܢܘܢ ܢܥܒܪܘܢ ܘܐܢܬ ܩܝܡ ܐܢܬ ܘܟܠܗܘܢ ܐܝܟ ܢܚܬܐ ܢܒܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye nabii Isaya, kuhusu Israeli anapaaza sauti: \"Hata kama watoto wa Israeli ni wengi kama mchanga wa pwani, ni wachache tu watakaookolewa; \t ܐܫܥܝܐ ܕܝܢ ܐܟܪܙ ܥܠ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܕܐܢ ܢܗܘܐ ܡܢܝܢܐ ܕܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܐܝܟ ܚܠܐ ܕܒܝܡܐ ܫܪܟܢܐ ܕܡܢܗܘܢ ܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akamwambia \"Hata kama wote watakuwa na mashaka nawe na kukuacha, mimi sitakukana kamwe!\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܟܐܦܐ ܐܢ ܟܠܗܘܢ ܢܬܟܫܠܘܢ ܐܠܐ ܠܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayependa maisha yake, atayapoteza; anayeyachukia maisha yake katika ulimwengu huu, atayaweka kwa ajili ya uzima wa milele. \t ܡܢ ܕܪܚܡ ܢܦܫܗ ܢܘܒܕܝܗ ܘܡܢ ܕܤܢܐ ܢܦܫܗ ܒܥܠܡܐ ܗܢܐ ܢܛܪܝܗ ܠܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Bwana akamwambia, \"Jitayarishe uende kwenye barabara inayoitwa Barabara ya Moja kwa Moja, na katika nyumba ya Yuda umtake mtu mmoja kutoka Tarso aitwaye Saulo. Sasa anasali; \t ܘܡܪܢ ܐܡܪ ܠܗ ܩܘܡ ܙܠ ܠܫܘܩܐ ܕܡܬܩܪܐ ܬܪܝܨܐ ܘܒܥܝ ܒܒܝܬܐ ܕܝܗܘܕܐ ܠܫܐܘܠ ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܢ ܛܪܤܘܤ ܡܕܝܢܬܐ ܗܐ ܓܝܪ ܟܕ ܗܘ ܡܨܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akamjibu, \"Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.\" \t ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܕܬܪܚܡ ܠܡܪܝܐ ܐܠܗܟ ܡܢ ܟܠܗ ܠܒܟ ܘܡܢ ܟܠܗ ܢܦܫܟ ܘܡܢ ܟܠܗ ܚܝܠܟ ܘܡܢ ܟܠܗ ܪܥܝܢܟ ܘܠܩܪܝܒܟ ܐܝܟ ܢܦܫܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku nyingine ya Sabato, Yesu aliingia katika sunagogi, akafundisha. Mle ndani mlikuwa na mtu ambaye mkono wake wa kuume ulikuwa umepooza. \t ܗܘܐ ܕܝܢ ܠܫܒܬܐ ܐܚܪܬܐ ܥܠ ܠܟܢܘܫܬܐ ܘܡܠܦ ܗܘܐ ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܬܡܢ ܓܒܪܐ ܕܐܝܕܗ ܕܝܡܝܢܐ ܝܒܝܫܐ ܗܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Mafarisayo na walimu wa Sheria wakamwuliza Yesu, \"Mbona wanafunzi wako hawayajali mapokeo tuliyopokea kwa wazee wetu, bali hula chakula kwa mikono najisi?\" \t ܘܫܐܠܘܗܝ ܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܠܡܢܐ ܬܠܡܝܕܝܟ ܠܐ ܡܗܠܟܝܢ ܐܝܟ ܡܫܠܡܢܘܬܐ ܕܩܫܝܫܐ ܐܠܐ ܟܕ ܠܐ ܡܫܓܢ ܐܝܕܝܗܘܢ ܐܟܠܝܢ ܠܚܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, msivurugike akili, mkihangaika daima juu ya mtakachokula au mtakachokunywa. \t ܘܐܢܬܘܢ ܠܐ ܬܒܥܘܢ ܡܢܐ ܬܐܟܠܘܢ ܘܡܢܐ ܬܫܬܘܢ ܘܠܐ ܢܦܗܐ ܪܥܝܢܟܘܢ ܒܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mwanamume anapaswa kujua namna ya kuishi na mkewe kwa utakatifu na heshima, \t ܘܢܗܘܐ ܝܕܥ ܐܢܫ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܠܡܩܢܐ ܡܐܢܗ ܒܩܕܝܫܘܬܐ ܘܒܐܝܩܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "twateseka, lakini hatuachwi bila msaada; na ingawa tumeangushwa chini, hatukuangamizwa. \t ܡܬܪܕܦܝܢܢ ܐܠܐ ܠܐ ܡܫܬܒܩܝܢܢ ܡܤܬܚܦܝܢܢ ܐܠܐ ܠܐ ܐܒܕܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mchana na usiku alikaa makaburini na milimani akipaaza sauti na kujikatakata kwa mawe. \t ܘܒܟܠ ܙܒܢ ܒܠܠܝܐ ܘܒܐܝܡܡܐ ܒܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܘܒܛܘܪܐ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܘܩܥܐ ܗܘܐ ܘܡܨܠܦ ܢܦܫܗ ܒܟܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnatamani vitu na kwa vile hamvipati mko tayari kuua; mwatamani sana kupata vitu, lakini hamvipati, hivyo mnagombana na kupigana. Hampati kile mnachotaka kwa sababu hamkiombi kwa Mungu. \t ܡܬܪܓܪܓܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܠܝܬ ܠܟܘܢ ܘܩܛܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܛܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܠܐ ܐܬܝܐ ܒܐܝܕܝܟܘܢ ܘܢܨܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܩܪܒܐ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܠܝܬ ܠܟܘܢ ܡܛܠ ܕܠܐ ܫܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, joka likatapika maji mengi kama mto, yakamfuata huyo mama nyuma ili yamchukue. \t ܘܐܪܡܝ ܚܘܝܐ ܡܢ ܦܘܡܗ ܒܬܪ ܐܢܬܬܐ ܡܝܐ ܐܝܟ ܢܗܪܐ ܕܫܩܝܠܬ ܡܝܐ ܢܥܒܕܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana yeyote anayejikweza atashushwa, na anayejishusha, atakwezwa.\" \t ܡܛܠ ܕܟܠ ܕܢܪܝܡ ܢܦܫܗ ܢܬܡܟܟ ܘܟܠ ܕܢܡܟ ܢܦܫܗ ܢܬܬܪܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hakuna mtu awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu. \t ܕܠܐ ܢܫܬܒܗܪ ܟܠ ܒܤܪ ܩܕܡܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wakulima walipomwona tu, wakasemezana: Huyu ndiye mrithi. Basi, tumwue ili urithi wake uwe wetu. \t ܟܕ ܚܙܐܘܗܝ ܕܝܢ ܦܠܚܐ ܡܬܚܫܒܝܢ ܗܘܘ ܒܢܦܫܗܘܢ ܘܐܡܪܝܢ ܗܢܘ ܝܪܬܐ ܬܘ ܢܩܛܠܝܘܗܝ ܘܬܗܘܐ ܝܪܬܘܬܐ ܕܝܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana tulikwisha msikia akisema eti huyo Yesu wa Nazareti atapaharibu kabisa mahali hapa na kufutilia mbali desturi zile tulizopokea kutoka kwa Mose.\" \t ܚܢܢ ܓܝܪ ܫܡܥܢܝܗܝ ܕܐܡܪ ܕܝܫܘܥ ܗܢܐ ܢܨܪܝܐ ܗܘ ܢܫܪܝܘܗܝ ܠܐܬܪܐ ܗܢܐ ܘܢܚܠܦ ܥܝܕܐ ܕܐܫܠܡ ܠܟܘܢ ܡܘܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zaidi ya hayo yote, imani iwe daima kama ngao mikononi mwenu, iwawezeshe kuizima mishale ya moto ya yule Mwovu. \t ܘܥܡ ܗܠܝܢ ܤܒܘ ܠܟܘܢ ܤܟܪܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܕܒܗ ܬܬܡܨܘܢ ܚܝܠܐ ܠܡܕܥܟܘ ܟܠܗܘܢ ܓܐܪܘܗܝ ܝܩܕܐ ܕܒܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini muda wetu ulipokwisha tuliondoka. Wote pamoja na wanawake na watoto wao walitusindikiza mpaka nje ya mji. Tulipofika pwani, sote tulipiga magoti tukasali. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܝܘܡܬܐ ܢܦܩܢ ܕܢܐܙܠ ܒܐܘܪܚܐ ܘܡܠܘܝܢ ܗܘܘ ܠܢ ܟܠܗܘܢ ܗܢܘܢ ܘܢܫܝܗܘܢ ܘܒܢܝܗܘܢ ܥܕܡܐ ܠܒܪ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ ܘܩܥܕܘ ܥܠ ܒܘܪܟܝܗܘܢ ܥܠ ܝܕ ܝܡܐ ܘܨܠܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Utupe daima chakula chetu cha kila siku. \t ܗܒ ܠܢ ܠܚܡܐ ܕܤܘܢܩܢܢ ܟܠܝܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siri za moyo wake zitafichuliwa, naye atapiga magoti na kumwabudu Mungu akisema: \"Kweli Mungu yupo pamoja nanyi.\" \t ܘܟܤܝܬܐ ܕܠܒܗ ܡܬܓܠܝܢ ܘܗܝܕܝܢ ܢܦܠ ܥܠ ܐܦܘܗܝ ܘܢܤܓܘܕ ܠܐܠܗܐ ܘܢܐܡܪ ܫܪܝܪܐܝܬ ܐܠܗܐ ܐܝܬ ܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Karibu na alfajiri, Paulo aliwahimiza wote wale chakula: \"Kwa siku kumi na nne sasa mmekuwa katika mashaka na bila kula; hamjala kitu chochote. \t ܗܘ ܕܝܢ ܦܘܠܘܤ ܥܕܡܐ ܕܗܘܐ ܨܦܪܐ ܡܦܝܤ ܗܘܐ ܠܟܠܗܘܢ ܕܢܩܒܠܘܢ ܤܝܒܪܬܐ ܟܕ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܘܡܢܐ ܗܐ ܐܪܒܬܥܤܪ ܝܘܡܝܢ ܡܢ ܩܢܛܐ ܡܕܡ ܠܐ ܛܥܝܡ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, watu wote katika kile kikao cha Baraza, wakapiga kelele na kuziba masikio yao kwa mikono yao. Kisha wakamrukia wote kwa pamoja, \t ܘܩܥܘ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܘܤܟܪܘ ܐܕܢܝܗܘܢ ܘܓܙܡܘ ܥܠܘܗܝ ܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ila furahini kwamba mnashiriki mateso ya Kristo ili mweze kuwa na furaha tele wakati utukufu wake utakapofunuliwa. \t ܐܠܐ ܚܕܘ ܕܡܫܬܘܬܦܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܚܫܘܗܝ ܕܡܫܝܚܐ ܕܗܟܢܐ ܐܦ ܒܓܠܝܢܐ ܕܬܫܒܘܚܬܗ ܬܚܕܘܢ ܘܬܪܘܙܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli. \t ܠܐ ܚܕܐ ܒܥܘܠܐ ܐܠܐ ܚܕܐ ܒܩܘܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kila kilichodhihirishwa huwa mwanga. Ndiyo maana Maandiko yasema: \"Amka wewe uliyelala, fufuka kutoka wafu, naye Kristo atakuangaza.\" \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܡܝܪ ܕܐܬܬܥܝܪ ܕܡܟܐ ܘܩܘܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܘܢܢܗܪ ܠܟ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tunaamini kwamba Yesu alikufa, akafufuka; na hivyo sisi tunaamini kwamba Mungu atawaleta pamoja na Yesu wale wote waliofariki wakiwa wanamwamini. \t ܐܢ ܓܝܪ ܡܗܝܡܢܝܢܢ ܕܝܫܘܥ ܡܝܬ ܘܩܡ ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܠܗܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܕܡܟܘ ܒܝܫܘܥ ܡܝܬܐ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Askari nao walimdhihaki pia; walimwendea wakampa siki \t ܘܡܒܙܚܝܢ ܗܘܘ ܒܗ ܐܦ ܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܟܕ ܩܪܒܝܢ ܠܘܬܗ ܘܡܩܪܒܝܢ ܠܗ ܚܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kwa macho yangu nimeuona wokovu utokao kwako, \t ܕܗܐ ܚܙܝ ܥܝܢܝ ܚܢܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, hata mwenzangu Tito, ambaye ni Mgiriki, hakulazimika kutahiriwa, \t ܐܦ ܛܛܘܤ ܕܥܡܝ ܕܐܪܡܝܐ ܗܘܐ ܠܐ ܐܬܐܢܤ ܕܢܓܙܘܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walivuka ziwa, wakafika nchi ya Genesareti. \t ܘܪܕܘ ܘܐܬܘ ܠܐܪܥܐ ܕܓܢܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Mungu aonaye mpaka ndani ya mioyo ya watu, anajua fikira ya huyo Roho; kwani huyo Roho huwaombea watu wa Mungu kufuatana na mapenzi ya Mungu. \t ܕܡܐܫ ܕܝܢ ܠܒܘܬܐ ܗܘ ܝܕܥ ܡܢܐ ܗܝ ܬܪܥܝܬܐ ܕܪܘܚܐ ܕܐܝܟ ܨܒܝܢܗ ܗܘ ܕܐܠܗܐ ܡܨܠܝܐ ܚܠܦ ܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, Mwana wa Mtu ni Bwana hata wa Sabato.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܫܒܬܐ ܡܛܠ ܒܪܢܫܐ ܐܬܒܪܝܬ ܘܠܐ ܗܘܐ ܒܪܢܫܐ ܡܛܠ ܫܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hii ilikuwa ishara ya pili aliyoifanya Yesu alipokuwa anatoka Yudea kwenda Galilaya. \t ܗܕܐ ܬܘܒ ܐܬܐ ܕܬܪܬܝܢ ܥܒܕ ܝܫܘܥ ܟܕ ܐܬܐ ܡܢ ܝܗܘܕ ܠܓܠܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato aliandika ilani akaiweka juu ya msalaba. Nayo ilikuwa imeandikwa hivi: \"Yesu wa Nazareti, Mfalme wa Wayahudi.\" \t ܘܟܬܒ ܐܦ ܠܘܚܐ ܦܝܠܛܘܤ ܘܤܡ ܥܠ ܙܩܝܦܗ ܟܬܝܒ ܗܘܐ ܕܝܢ ܗܟܢܐ ܗܢܐ ܝܫܘܥ ܢܨܪܝܐ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, tukiwa bado na wakati, tuwatendee watu wote mema, na hasa ndugu wa imani yetu. \t ܗܫܐ ܗܟܝܠ ܥܕ ܙܒܢܐ ܐܝܬ ܠܢ ܢܦܠܘܚ ܛܒܬܐ ܠܘܬ ܟܠܢܫ ܝܬܝܪܐܝܬ ܠܘܬ ܒܢܝ ܒܝܬܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Yesu akaendelea kusema, \"Nami nawaambieni, jifanyieni marafiki kutokana na mali ya dunia, ili zitakapowaishieni, mweze kupokewa nao katika makao ya milele. \t ܘܐܦ ܐܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܥܒܕܘ ܠܟܘܢ ܪܚܡܐ ܡܢ ܡܡܘܢܐ ܗܢܐ ܕܥܘܠܐ ܕܡܐ ܕܓܡܪ ܢܩܒܠܘܢܟܘܢ ܒܡܛܠܝܗܘܢ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akasema, \"Baba yangu ameweka yote mikononi mwangu. Hakuna amjuaye Mwana ni nani ila Baba, wala amjuaye Baba ni nani ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana anataka kumfunulia hayo.\" \t ܘܐܬܦܢܝ ܠܘܬ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܟܠ ܡܕܡ ܐܫܬܠܡ ܠܝ ܡܢ ܐܒܝ ܘܠܐ ܐܢܫ ܝܕܥ ܡܢܘ ܒܪܐ ܐܠܐ ܐܢ ܐܒܐ ܘܡܢܘ ܐܒܐ ܐܠܐ ܐܢ ܒܪܐ ܘܠܡܢ ܕܐܢ ܢܨܒܐ ܒܪܐ ܕܢܓܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliwafukuza pepo wengi wabaya; wakawapaka mafuta wagonjwa wengi, wakawaponya. \t ܘܫܐܕܐ ܤܓܝܐܐ ܡܦܩܝܢ ܗܘܘ ܘܡܫܚܝܢ ܗܘܘ ܒܡܫܚܐ ܟܪܝܗܐ ܤܓܝܐܐ ܘܡܐܤܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo aliyekuwa tajiri akasema: Basi baba, nakuomba umtume aende nyumbani kwa baba yangu, \t ܐܡܪ ܠܗ ܡܕܝܢ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟ ܐܒܝ ܕܬܫܕܪܝܘܗܝ ܠܒܝܬ ܐܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili tusimpe nafasi Shetani atudanganye; maana twaijua mipango yake ilivyo. \t ܕܠܐ ܢܥܠܒܢ ܤܛܢܐ ܝܕܥܝܢܢ ܓܝܪ ܡܚܫܒܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msiwaogope wale wauao mwili, lakini hawawezi kuiua roho. Afadhali zaidi kumwogopa yule awezaye kuuangamiza mwili pamoja na roho katika moto wa Jehanamu. \t ܘܠܐ ܬܕܚܠܘܢ ܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܩܛܠܝܢ ܦܓܪܐ ܢܦܫܐ ܕܝܢ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܠܡܩܛܠ ܕܚܠܘ ܕܝܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܡܢ ܡܢ ܕܡܫܟܚ ܕܠܢܦܫܐ ܘܠܦܓܪܐ ܢܘܒܕ ܒܓܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Stefano akasema, \"Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni! Mungu alimtokea baba yetu Abrahamu alipokuwa kule Mesopotamia kabla hajaenda kukaa kule Harani. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܓܒܪܐ ܐܚܝܢ ܘܐܒܗܬܢ ܫܡܥܘ ܐܠܗܐ ܕܬܫܒܘܚܬܐ ܐܬܚܙܝ ܠܐܒܘܢ ܐܒܪܗܡ ܟܕ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܒܝܬ ܢܗܪܝܢ ܥܕ ܠܐ ܢܐܬܐ ܢܥܡܪ ܒܚܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani aliadhimisha siku ya Pasaka, akaamuru damu inyunyizwe juu ya milango, ili yule Malaika Mwangamizi asiwaue wazaliwa wa kwanza wa Israeli. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܥܒܕ ܦܨܚܐ ܘܪܤܤ ܕܡܐ ܕܠܐ ܢܬܩܪܒ ܠܗܘܢ ܗܘ ܕܡܚܒܠ ܗܘܐ ܒܘܟܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliyesababisha hali hiyo si Mungu ambaye amewaiteni. \t ܦܝܤܟܘܢ ܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܗܘ ܕܩܪܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mungu ni mwenye huruma nyingi. Alitupenda kwa mapendo yasiyopimika, \t ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܕܥܬܝܪ ܒܪܚܡܘܗܝ ܡܛܠ ܚܘܒܗ ܤܓܝܐܐ ܕܐܚܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu mmoja akakimbia, akachovya sifongo katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe akisema, \"Hebu tuone kama Eliya atakuja kumteremsha msalabani!\" \t ܪܗܛ ܕܝܢ ܚܕ ܘܡܠܐ ܐܤܦܘܓܐ ܚܠܐ ܘܐܤܪ ܒܩܢܝܐ ܕܢܫܩܝܘܗܝ ܘܐܡܪܘ ܫܒܘܩܘ ܢܚܙܐ ܐܢ ܐܬܐ ܐܠܝܐ ܡܚܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Amemsaidia Israeli mtumishi wake, akikumbuka huruma yake. \t ܥܕܪ ܠܐܝܤܪܝܠ ܥܒܕܗ ܘܐܬܕܟܪ ܚܢܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, moyo wangu ulifurahi; tena nilipiga vigelegele vya furaha. Mwili wangu utakaa katika tumaini; \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܬܒܤܡ ܠܒܝ ܘܪܘܙܬ ܬܫܒܘܚܬܝ ܘܐܦ ܦܓܪܝ ܢܓܢ ܥܠ ܤܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule mdogo, alimwambia baba yake: Baba, nipe urithi wangu. Naye akawagawia mali yake. \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܒܪܗ ܙܥܘܪܐ ܐܒܝ ܗܒ ܠܝ ܦܠܓܘܬܐ ܕܡܛܝܐ ܠܝ ܡܢ ܒܝܬܟ ܘܦܠܓ ܠܗܘܢ ܩܢܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kuwa sasa tumekubaliwa kuwa waadilifu kwa damu ya Kristo, ni dhahiri zaidi kwamba atatuokoa katika ghadhabu ya Mungu. \t ܟܡܐ ܗܟܝܠ ܝܬܝܪܐܝܬ ܢܙܕܕܩ ܗܫܐ ܒܕܡܗ ܘܒܗ ܢܬܦܨܐ ܡܢ ܪܘܓܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkutano huo ulipomalizika, Wayahudi wengi na watu wa mataifa mengine waliokuwa wameongokea dini ya Kiyahudi waliwafuata Paulo na Barnaba. Hao mitume waliongea nao, wakawatia moyo waendelee kuishi wakitegemea neema ya Mungu. \t ܘܡܢ ܕܐܫܬܪܝܬ ܟܢܘܫܬܐ ܤܓܝܐܐ ܝܗܘܕܝܐ ܐܙܠܘ ܒܬܪܗܘܢ ܘܐܦ ܓܝܘܪܐ ܕܕܚܠܝܢ ܗܘܘ ܡܢ ܐܠܗܐ ܘܗܢܘܢ ܡܡܠܠܝܢ ܗܘܘ ܘܡܦܝܤܝܢ ܠܗܘܢ ܕܢܗܘܘܢ ܢܩܝܦܝܢ ܠܛܝܒܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Piga mbio kadiri uwezavyo katika shindano la mbio za imani, ukajipatie tuzo la uzima wa milele, uliloitiwa wakati ulipokiri imani yako mbele ya mashahidi wengi. \t ܘܐܬܟܬܫ ܒܐܓܘܢܐ ܛܒܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܘܐܕܪܟ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܕܠܗܘܢ ܐܬܩܪܝܬ ܘܐܘܕܝܬ ܬܘܕܝܬܐ ܛܒܬܐ ܩܕܡ ܤܗܕܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanariadha hujipa mazoezi na nidhamu kali; hufanya hivyo ili wajipatie taji iharibikayo! Lakini sisi twafanya hivyo tupate taji ya kudumu daima. \t ܟܠ ܐܢܫ ܕܝܢ ܕܐܓܘܢܐ ܥܒܕ ܡܢ ܟܠ ܡܕܡ ܐܚܕ ܪܥܝܢܗ ܘܗܠܝܢ ܪܗܛܝܢ ܕܢܤܒܘܢ ܟܠܝܠܐ ܕܡܬܚܒܠ ܚܢܢ ܕܝܢ ܕܠܐ ܡܬܚܒܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nendeni upesi mkawaambie wanafunzi wake kwamba amefufuka kutoka wafu, na sasa anawatangulieni kule Galilaya; huko mtamwona. Haya, mimi nimekwisha waambieni.\" \t ܘܙܠܝܢ ܒܥܓܠ ܐܡܪܝܢ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܩܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܘܗܐ ܩܕܡ ܠܟܘܢ ܠܓܠܝܠܐ ܬܡܢ ܬܚܙܘܢܝܗܝ ܗܐ ܐܡܪܬ ܠܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mara anapomvamia, humwangusha chini na kumfanya atokwe na povu kinywani, akisaga meno na kuwa mkavu mwili wote. Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo lakini hawakuweza.\" \t ܘܐܝܟܐ ܕܡܕܪܟܐ ܠܗ ܚܒܛܐ ܠܗ ܘܡܪܥܬ ܘܡܚܪܩ ܫܢܘܗܝ ܘܝܒܫ ܘܐܡܪܬ ܠܬܠܡܝܕܝܟ ܕܢܦܩܘܢܝܗܝ ܘܠܐ ܐܫܟܚܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafundisho ya namna hiyo yanaenezwa na watu waongo wadanganyifu, ambao dhamiri zao ziko kama zimechomwa kwa chuma cha moto. \t ܗܠܝܢ ܕܒܐܤܟܡܐ ܕܓܠܐ ܡܛܥܝܢ ܘܡܡܠܠܝܢ ܟܕܒܘܬܐ ܘܟܘܝܢ ܒܬܐܪܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akayaambia tena makundi ya watu, \"Mnapoona mawingu yakitokea upande wa magharibi, mara mwasema: Mvua itanyesha, na kweli hunyesha. \t ܘܐܡܪ ܠܟܢܫܐ ܡܐ ܕܚܙܝܬܘܢ ܥܢܢܐ ܕܕܢܚܐ ܡܢ ܡܥܪܒܐ ܡܚܕܐ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܛܪܐ ܐܬܐ ܘܗܘܐ ܗܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ghafla, dhoruba kali ikatokea ziwani, hata mawimbi yakaanza kuifunika mashua. Yesu alikuwa amelala usingizi. \t ܘܗܐ ܙܘܥܐ ܪܒܐ ܗܘܐ ܒܝܡܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܠܦܐ ܬܬܟܤܐ ܡܢ ܓܠܠܐ ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܕܡܝܟ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kwa sababu ya shughuli za Wayahudi za maandalio ya Sabato, na kwa vile kaburi hilo lilikuwa karibu, wakamweka Yesu humo. \t ܘܤܡܘܗܝ ܬܡܢ ܠܝܫܘܥ ܡܛܠ ܕܫܒܬܐ ܥܐܠܐ ܗܘܬ ܘܡܛܠ ܕܩܪܝܒ ܗܘܐ ܩܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Barnaba na Paulo walipopata habari hiyo waliyararua mavazi yao na kukimbilia katika lile kundi la watu wakisema kwa sauti kubwa: \t ܒܪܢܒܐ ܕܝܢ ܘܦܘܠܘܤ ܟܕ ܫܡܥܘ ܤܕܩܘ ܢܚܬܝܗܘܢ ܘܫܘܪܘ ܘܢܦܩܘ ܠܗܘܢ ܠܘܬ ܐܟܠܘܤ ܘܩܥܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Maandiko yanasema: \"Kama niishivyo, asema Bwana kila mtu atanipigia magoti, na kila mmoja atakiri kwamba mimi ni Mungu.\" \t ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܚܝ ܐܢܐ ܐܡܪ ܡܪܝܐ ܕܠܝ ܬܟܘܦ ܟܠ ܒܪܘܟ ܘܠܝ ܢܘܕܐ ܟܠ ܠܫܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watendeeni wengine kama mnavyotaka wawatendee ninyi. \t ܘܐܝܟܢܐ ܕܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܢܥܒܕܘܢ ܠܟܘܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܗܟܘܬ ܥܒܕܘ ܠܗܘܢ ܐܦ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala usiape kwa kichwa chako, maana huwezi kuufanya hata unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi. \t ܐܦܠܐ ܒܪܫܟ ܬܐܡܐ ܕܠܐ ܡܫܟܚ ܐܢܬ ܠܡܥܒܕ ܒܗ ܡܢܬܐ ܚܕܐ ܕܤܥܪܐ ܐܘܟܡܬܐ ܐܘ ܚܘܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi hawakufahamu jambo hilo. Wakaogopa kumwuliza. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܠܡܠܬܐ ܘܕܚܠܝܢ ܗܘܘ ܕܢܫܐܠܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tumwendee huko nje ya kambi tukajitwike laana yake. \t ܘܐܦ ܚܢܢ ܗܟܝܠ ܢܦܘܩ ܠܘܬܗ ܠܒܪ ܡܢ ܡܫܪܝܬܐ ܟܕ ܫܩܝܠܝܢܢ ܚܤܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu katika ule umati wakasema, \"Huyu ni nabii Yesu, kutoka Nazareti katika mkoa wa Galilaya.\" \t ܟܢܫܐ ܕܝܢ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܗܢܘ ܝܫܘܥ ܢܒܝܐ ܕܡܢ ܢܨܪܬ ܕܓܠܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Salini daima, mkiomba msaada wa Mungu. Salini kila wakati kwa nguvu ya Roho. Kesheni bila kuchoka mkisali kwa ajili ya watu wote wa Mungu. \t ܘܒܟܠ ܨܠܘܢ ܘܒܟܠ ܒܥܘܢ ܨܠܘ ܒܟܠܙܒܢ ܒܪܘܚ ܘܒܗ ܒܨܠܘܬܐ ܗܘܝܬܘܢ ܫܗܪܝܢ ܒܟܠܥܕܢ ܟܕ ܡܨܠܝܬܘܢ ܐܡܝܢܐܝܬ ܘܡܬܟܫܦܝܢ ܥܠ ܐܦܝ ܟܠܗܘܢ ܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwake Mungu aliye peke yake mwenye hekima, uwe utukufu kwa njia ya Yesu Kristo, milele na milele! Amina. \t ܛܝܒܘܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܥܡ ܟܠܟܘܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli Mwana wa Mtu anakwenda zake kama Maandiko Matakatifu yanavyosema juu yake; lakini, ole wake mtu yule anayemsaliti Mwana wa Mtu! Ingalikuwa afadhali kwa mtu huyo kama hangalizaliwa!\" \t ܘܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܐܙܠ ܐܝܟܢܐ ܕܟܬܝܒ ܥܠܘܗܝ ܘܝ ܕܝܢ ܠܓܒܪܐ ܗܘ ܕܒܐܝܕܗ ܡܫܬܠܡ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܦܩܚ ܗܘܐ ܠܗ ܠܓܒܪܐ ܗܘ ܐܠܘ ܠܐ ܐܬܝܠܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hii ni mara yangu ya tatu kuja kwenu. \"Kila tatizo litatatuliwa kwa ushahidi wa watu wawili au watatu,\" yasema Maandiko. \t ܗܕܐ ܕܬܠܬ ܗܝ ܙܒܢܝܢ ܕܐܬܐ ܐܢܐ ܠܘܬܟܘܢ ܕܥܠ ܦܘܡ ܬܪܝܢ ܘܬܠܬܐ ܤܗܕܝܢ ܬܩܘܡ ܟܠ ܡܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kuhusu suala la wafu kufufuka, hamjasoma yale aliyowaambieni Mungu? \t ܥܠ ܩܝܡܬܐ ܕܝܢ ܕܡܝܬܐ ܠܐ ܩܪܝܬܘܢ ܡܕܡ ܕܐܬܐܡܪ ܠܟܘܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܕܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wafalme wa dunia wamefanya uzinzi pamoja naye; na wakazi wa dunia wamelewa divai ya uzinzi wake.\" \t ܕܥܡܗ ܙܢܝܘ ܡܠܟܝܗ ܕܐܪܥܐ ܘܪܘܝܘ ܟܠܗܘܢ ܥܡܘܪܝܗ ܕܐܪܥܐ ܡܢ ܚܡܪܐ ܕܙܢܝܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akalia tena kwa sauti kubwa, akakata roho. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܬܘܒ ܩܥܐ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܘܫܒܩ ܪܘܚܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulipoanza kupambazuka, Yesu alisimama kando ya ziwa, lakini wanafunzi hawakujua kwamba alikuwa yeye. \t ܟܕ ܕܝܢ ܗܘܐ ܨܦܪܐ ܩܡ ܝܫܘܥ ܥܠ ܝܕ ܝܡܐ ܘܠܐ ܝܕܥܘ ܬܠܡܝܕܐ ܕܝܫܘܥ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watoto wangu, epukaneni na sanamu za miungu. \t ܒܢܝ ܛܪܘ ܢܦܫܟܘܢ ܡܢ ܕܚܠܬ ܦܬܟܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nadhani ni jambo jema kwangu, muda wote niishio hapa duniani, kuwapeni moyo na kuwakumbusheni juu ya mambo haya. \t ܕܟܐܢܐ ܕܝܢ ܐܤܬܒܪܬ ܠܝ ܕܟܡܐ ܕܐܝܬܝ ܒܦܓܪܐ ܗܢܐ ܐܥܝܪܟܘܢ ܒܥܘܗܕܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mungu aliwalaumu watu wake aliposema: \"Siku zinakuja, asema Bwana, ambapo nitafanya agano jipya na watu wa Israeli na kabila la Yuda. \t ܪܫܐ ܠܗܘܢ ܓܝܪ ܘܐܡܪ ܕܗܐ ܝܘܡܬܐ ܐܬܝܢ ܐܡܪ ܡܪܝܐ ܘܐܓܡܘܪ ܥܠ ܒܝܬܐ ܕܒܝܬ ܐܝܤܪܝܠ ܘܥܠ ܒܝܬܐ ܕܒܝܬ ܝܗܘܕܐ ܕܝܬܩܐ ܚܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hao watu wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܪܡܝܘ ܥܠܘܗܝ ܐܝܕܝܐ ܘܐܚܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaendelea kusema, \"Kulikuwa na mtu mmoja mwenye wana wawili. \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܬܘܒ ܝܫܘܥ ܠܓܒܪܐ ܚܕ ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܒܢܝܐ ܬܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Mwaminini Mungu. \t ܘܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܬܗܘܐ ܒܟܘܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye alitoboa ukweli kwa sababu hiyo, unapaswa kuwakaripia vikali, ili wawe na imani kamilifu. \t ܘܫܪܝܪܐܝܬ ܐܝܬܝܗ ܤܗܕܘܬܐ ܗܕܐ ܡܛܠ ܗܢܐ ܩܫܝܐܝܬ ܗܘܝܬ ܡܟܤ ܠܗܘܢ ܕܢܗܘܘܢ ܚܠܝܡܝܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho i tayari lakini mwili ni dhaifu.\" \t ܐܬܬܥܝܪܘ ܘܨܠܘ ܕܠܐ ܬܥܠܘܢ ܠܢܤܝܘܢܐ ܪܘܚܐ ܡܛܝܒܐ ܦܓܪܐ ܕܝܢ ܟܪܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu alipowaambia: \"Mimi ndiye\", wakarudi nyuma, wakaanguka chini. \t ܘܟܕ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܕܐܢܐ ܐܢܐ ܐܙܠܘ ܠܒܤܬܪܗܘܢ ܘܢܦܠܘ ܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mtu ambaye si muumini akiwaalikeni nanyi mkakubali kwenda, basi, kuleni vyote atakavyowaandalieni bila kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu. \t ܐܢ ܐܢܫ ܕܝܢ ܡܢ ܚܢܦܐ ܩܪܐ ܠܟܘܢ ܘܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܐܙܠ ܟܠܡܕܡ ܕܡܬܤܝܡ ܩܕܡܝܟܘܢ ܐܟܘܠܘ ܕܠܐ ܥܘܩܒܐ ܡܛܠ ܬܐܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Kefa alipofika Antiokia nilimpinga waziwazi maana alikuwa amekosea. \t ܟܕ ܐܬܐ ܕܝܢ ܟܐܦܐ ܠܐܢܛܝܘܟܝ ܒܐܦܘܗܝ ܐܟܤܬܗ ܡܛܠ ܕܡܬܬܩܠܝܢ ܗܘܘ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyesulubiwa. Kwa Wayahudi jambo hili ni kikwazo, na kwa watu wa mataifa ni upumbavu; \t ܚܢܢ ܕܝܢ ܡܟܪܙܝܢܢ ܡܫܝܚܐ ܟܕ ܙܩܝܦ ܬܘܩܠܬܐ ܠܝܗܘܕܝܐ ܘܠܐܪܡܝܐ ܫܛܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana mara kwa mara malaika alishuka majini nyakati fulani na kuyatibua. Mtu yeyote aliyekuwa wa kwanza kuingia majini baada ya maji kutibuliwa, alipona ugonjwa wowote aliokuwa nao. \t ܡܠܐܟܐ ܓܝܪ ܒܙܒܢ ܙܒܢ ܢܚܬ ܗܘܐ ܠܗ ܠܡܥܡܘܕܝܬܐ ܘܡܙܝܥ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܠܡܝܐ ܘܐܝܢܐ ܕܩܕܡܝܐ ܢܚܬ ܗܘܐ ܡܢ ܒܬܪ ܙܘܥܐ ܕܡܝܐ ܡܬܚܠܡ ܗܘܐ ܟܠ ܟܐܒܐ ܐܝܢܐ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu wa amani awakamilishe katika kila tendo jema ili mtekeleze mapenzi yake; yeye na afanye ndani yetu kwa njia ya Kristo yale yanayompendeza mwenyewe. Utukufu uwe kwake, milele na milele! Amina. \t ܗܘ ܢܓܡܘܪܟܘܢ ܒܟܠ ܥܒܕ ܛܒ ܕܬܥܒܕܘܢ ܨܒܝܢܗ ܘܗܘ ܢܤܥܘܪ ܒܢ ܡܕܡ ܕܫܦܝܪ ܩܕܡܘܗܝ ܒܝܕ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܠܗ ܫܘܒܚܐ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na mwanamke mmoja kati ya lile kundi la watu, ambaye alikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili, ingawa alikuwa amekwisha tumia mali yake yote kwa waganga, hakuna aliyefaulu kumponya. \t ܐܢܬܬܐ ܕܝܢ ܚܕܐ ܕܬܪܝܥ ܗܘܐ ܕܡܗ ܫܢܝܢ ܬܪܬܥܤܪܐ ܗܝ ܕܒܝܬ ܐܤܘܬܐ ܟܠܗ ܩܢܝܢܗ ܐܦܩܬ ܘܠܐ ܐܫܟܚܬ ܕܡܢ ܐܢܫ ܬܬܐܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja. \t ܡܕܡ ܓܝܪ ܕܒܛܘܫܝܝ ܥܒܕܝܢ ܢܕܝܕ ܗܘ ܐܦ ܠܡܡܠܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilikuwa yapata saa sita mchana; jua likaacha kuangaza, giza likafunika nchi yote mpaka saa tisa, \t ܐܝܬ ܗܘܝ ܕܝܢ ܐܝܟ ܫܥܐ ܫܬ ܘܗܘܐ ܚܫܘܟܐ ܥܠ ܟܠܗ ܐܪܥܐ ܥܕܡܐ ܠܬܫܥ ܫܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Fahari na utajiri wa watu wa mataifa utaletwa humo ndani. \t ܘܢܝܬܘܢ ܠܗ ܬܫܒܘܚܬܐ ܘܐܝܩܪܐ ܕܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akawaalika ndani, akawapa mahali pa kulala usiku ule. Kesho yake, Petro alianza safari pamoja nao, na baadhi ya ndugu wa huko Yopa walifuatana naye. \t ܘܐܥܠ ܐܢܘܢ ܫܡܥܘܢ ܘܩܒܠ ܐܢܘܢ ܟܪ ܕܫܪܐ ܗܘܐ ܘܩܡ ܠܒܬܪܗ ܕܝܘܡܐ ܘܢܦܩ ܐܙܠ ܥܡܗܘܢ ܘܐܙܠܘ ܥܡܗ ܐܢܫ ܐܢܫ ܡܢ ܐܚܐ ܕܝܘܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo waliwahonga watu kadhaa waseme: \"Tumemsikia Stefano akisema maneno ya kumkashifu Mose na kumkashifu Mungu.\" \t ܗܝܕܝܢ ܫܕܪܘ ܠܓܒܪܐ ܘܐܠܦܘ ܐܢܘܢ ܕܢܐܡܪܘܢ ܕܚܢܢ ܫܡܥܢܝܗܝ ܕܐܡܪ ܡܠܐ ܕܓܘܕܦܐ ܥܠ ܡܘܫܐ ܘܥܠ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakiwepo watu wenye vipaji vya kusema kwa lugha ngeni, waseme wawili au watatu, si zaidi, tena mmojammoja; na aweko mtu wa kufafanua yanayosemwa. \t ܘܐܢ ܒܠܫܢܐ ܐܢܫ ܢܡܠܠ ܬܪܝܢ ܢܡܠܠܘܢ ܘܟܕ ܤܓܝ ܬܠܬܐ ܘܚܕ ܚܕ ܢܡܠܠܘܢ ܘܚܕ ܢܦܫܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi ni mashahidi wa mambo hayo. \t ܘܐܢܬܘܢ ܐܢܘܢ ܤܗܕܐ ܕܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini nawajua ninyi, najua kwamba upendo kwa Mungu haumo mioyoni mwenu. \t ܐܠܐ ܝܕܥܬܟܘܢ ܕܚܘܒܗ ܕܐܠܗܐ ܠܝܬ ܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, \"Umesamehewa dhambi zako.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܝ ܐܢܬܬܐ ܫܒܝܩܝܢ ܠܟܝ ܚܛܗܝܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ni balozi kwa ajili ya Habari Njema hiyo ingawa sasa niko kifungoni. Ombeni, basi, ili niweze kuwa hodari katika kuitangaza kama inipasavyo. \t ܗܘ ܕܐܢܐ ܐܝܙܓܕܗ ܒܫܫܠܬܐ ܕܒܦܪܗܤܝܐ ܐܡܠܠܝܘܗܝ ܐܝܟ ܕܘܠܐ ܠܝ ܠܡܡܠܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtu asiye na sifa hizo ni kipofu, hawezi kuona na amesahau kwamba alikwisha takaswa dhambi zake za zamani. \t ܗܘ ܓܝܪ ܕܠܐ ܫܟܝܚܢ ܠܗ ܗܠܝܢ ܤܡܝܐ ܐܝܬܘܗܝ ܕܠܐ ܚܙܐ ܕܛܥܐ ܕܘܟܝܐ ܕܚܛܗܘܗܝ ܩܕܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mtu mwenye nguvu anapolinda jumba lake kwa silaha, mali yake yote iko salama. \t ܐܡܬܝ ܕܚܤܝܢܐ ܟܕ ܡܙܝܢ ܢܛܪ ܕܪܬܗ ܒܫܝܢܐ ܗܘ ܩܢܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Erasto alibaki Korintho, naye Trofimo nilimwacha Mileto kwa sababu alikuwa mgonjwa. \t ܐܪܤܛܘܤ ܦܫ ܠܗ ܒܩܘܪܢܬܘܤ ܛܪܘܦܝܡܘܤ ܕܝܢ ܫܒܩܬܗ ܟܕ ܟܪܝܗ ܒܡܝܠܝܛܘܤ ܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Kuhani Mkuu Anania akaamuru wale waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wampige kofi mdomoni. \t ܘܚܢܢܝܐ ܟܗܢܐ ܦܩܕ ܠܗܢܘܢ ܕܩܝܡܝܢ ܥܠ ܓܒܗ ܕܢܡܚܘܢܗ ܠܦܘܠܘܤ ܥܠ ܦܘܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Wayahudi wengine waliokataa kuwa waumini walichochea na kutia chuki katika mioyo ya watu wa mataifa mengine ili wawapinge hao ndugu. \t ܝܗܘܕܝܐ ܕܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܬܛܦܝܤܝܢ ܗܘܘ ܓܪܓܘ ܠܥܡܡܐ ܕܢܒܐܫܘܢ ܠܗܘܢ ܠܐܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Na kuhusu mavazi, ya nini kuwa na wasiwasi? Tazameni maua ya porini jinsi yanavyostawi. Hayafanyi kazi wala hayasokoti. \t ܘܥܠ ܠܒܘܫܐ ܡܢܐ ܝܨܦܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܬܒܩܘ ܒܫܘܫܢܐ ܕܕܒܪܐ ܐܝܟܢܐ ܪܒܝܢ ܕܠܐ ܠܐܝܢ ܘܠܐ ܥܙܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakisema: \"Bwana Mungu Mwenye uwezo, uliyeko na uliyekuwako! Tunakushukuru, maana umetumia nguvu yako kuu ukaanza kutawala! \t ܠܡܐܡܪ ܡܘܕܝܢܢ ܠܟ ܡܪܝܐ ܐܠܗܐ ܐܚܝܕ ܟܠ ܕܐܝܬܘܗܝ ܘܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܕܢܤܒܬ ܒܚܝܠܟ ܪܒܐ ܘܐܡܠܟܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msidhani kwamba mtaweza kujitetea kwa kusema, Baba yetu ni Abrahamu! Nawaambieni hakika, Mungu anaweza kuyafanya mawe haya yawe watoto wa Abrahamu. \t ܘܠܐ ܬܤܒܪܘܢ ܘܬܐܡܪܘܢ ܒܢܦܫܟܘܢ ܕܐܒܐ ܐܝܬ ܠܢ ܐܒܪܗܡ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܕܡܫܟܚ ܐܠܗܐ ܡܢ ܗܠܝܢ ܟܐܦܐ ܠܡܩܡܘ ܒܢܝܐ ܠܐܒܪܗܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena nauliza: je, yawezekana kwamba watu wa Israeli hawakufahamu? Mose mwenyewe ni kwa kwanza kujibu: \"Nitawafanyeni mwaonee wivu watu ambao si taifa; nitawafanyeni muwe na hasira juu ya taifa la watu wapumbavu.\" \t ܐܠܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܠܡܐ ܠܐ ܝܕܥ ܐܝܤܪܝܠ ܩܕܡܝܐ ܡܘܫܐ ܗܟܢܐ ܐܡܪ ܐܛܢܟܘܢ ܒܥܡ ܕܠܐ ܥܡ ܘܒܥܡܐ ܕܠܐ ܡܬܛܦܝܤ ܐܪܓܙܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi, ndugu, mliitwa muwe watu huru. Lakini uhuru huo usiwe kisingizio cha kutawaliwa na tamaa za kidunia; ila mnapaswa kutumikiana kwa upendo. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܠܚܐܪܘܬܐ ܗܘ ܐܬܩܪܝܬܘܢ ܐܚܝ ܒܠܚܘܕ ܠܐ ܬܗܘܐ ܚܐܪܘܬܟܘܢ ܠܥܠܬ ܒܤܪܐ ܐܠܐ ܒܚܘܒܐ ܗܘܝܬܘܢ ܡܫܬܥܒܕܝܢ ܚܕ ܠܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafarisayo walipokusanyika pamoja, Yesu aliwauliza, \t ܟܕ ܟܢܝܫܝܢ ܕܝܢ ܦܪܝܫܐ ܫܐܠ ܐܢܘܢ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wote waliohusika walikwenda kujiandikisha, kila mtu katika mji wake. \t ܘܐܙܠ ܗܘܐ ܟܠܢܫ ܕܢܬܟܬܒ ܒܡܕܝܢܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alifanya ishara hii ya kwanza huko Kana, Galilaya, akaonyesha utukufu wake; nao wanafunzi wake wakamwamini. \t ܗܕܐ ܗܝ ܐܬܐ ܩܕܡܝܬܐ ܕܥܒܕ ܝܫܘܥ ܒܩܛܢܐ ܕܓܠܝܠܐ ܘܐܘܕܥ ܫܘܒܚܗ ܘܗܝܡܢܘ ܒܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni hekima ambayo watawala wa dunia hii hawakuielewa; maana wangalielewa, hawangalimsulubisha Bwana wa utukufu. \t ܗܝ ܕܚܕ ܡܢ ܫܠܝܛܢܐ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܠܐ ܝܕܥܗ ܐܠܘ ܓܝܪ ܝܕܥܘܗ ܠܘ ܠܡܪܗ ܕܬܫܒܘܚܬܐ ܙܩܦܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliye shambani asirudi nyuma kuchukua vazi lake. \t ܘܐܝܢܐ ܕܒܚܩܠܐ ܗܘ ܠܐ ܢܬܗܦܟ ܠܒܤܬܪܗ ܠܡܤܒ ܠܒܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama vile ulivyonituma ulimwenguni, nami pia nimewatuma wao ulimwenguni; \t ܐܝܟܢܐ ܕܠܝ ܫܕܪܬ ܠܥܠܡܐ ܐܦ ܐܢܐ ܫܕܪܬ ܐܢܘܢ ܠܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake. \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܡܢܐ ܩܪܐ ܐܢܬ ܠܝ ܛܒܐ ܠܝܬ ܛܒܐ ܐܠܐ ܐܢ ܚܕ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Umati wa watu waliokuwa wamesimama hapo walisikia sauti hiyo, na baadhi yao walisema, \"Malaika ameongea naye!\" \t ܘܟܢܫܐ ܕܩܐܡ ܗܘܐ ܫܡܥܘ ܘܐܡܪܝܢ ܪܥܡܐ ܗܘܐ ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܐܡܪܝܢ ܡܠܐܟܐ ܡܠܠ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa uitwao Eufrate. Maji yake yakakauka, na hivyo njia ilitengenezwa kwa ajili ya wafalme wa mashariki. \t ܘܡܠܐܟܐ ܕܫܬܐ ܐܫܕ ܙܒܘܪܗ ܥܠ ܢܗܪܐ ܪܒܐ ܦܪܬ ܘܝܒܫܘ ܡܘܗܝ ܕܬܬܛܝܒ ܐܘܪܚܐ ܕܡܠܟܐ ܡܢ ܡܕܢܚܝ ܫܡܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usiku hulala, mchana yu macho na wakati huo mbegu zinaota na kukua; yeye hajui inavyofanyika. \t ܘܢܕܡܟ ܘܢܩܘܡ ܒܠܠܝܐ ܘܒܐܝܡܡܐ ܘܙܪܥܐ ܢܪܒܐ ܘܢܐܪܟ ܟܕ ܗܘ ܠܐ ܝܕܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jinsi Yona alivyokuwa ishara kwa watu wa Ninewi, ndivyo pia Mwana wa Mtu atakavyokuwa ishara kwa kizazi hiki. \t ܐܝܟܢܐ ܓܝܪ ܕܗܘܐ ܝܘܢܢ ܐܬܐ ܠܢܝܢܘܝܐ ܗܟܢܐ ܢܗܘܐ ܐܦ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܠܫܪܒܬܐ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jinsi hiyohiyo, Mwana wa Mtu hakuja kutumikiwa, bali kutumikia na kutoa maisha yake kuwa fidia ya watu wengi.\" \t ܐܝܟܢܐ ܕܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܠܐ ܐܬܐ ܕܢܫܬܡܫ ܐܠܐ ܕܢܫܡܫ ܘܕܢܬܠ ܢܦܫܗ ܦܘܪܩܢܐ ܚܠܦ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati nilipojitetea kwa mara ya kwanza hakuna mtu aliyesimama upande wangu; wote waliniacha. Mungu asiwahesabie kosa hilo! \t ܒܡܦܩ ܒܪܘܚܝ ܩܕܡܝܐ ܠܐ ܐܢܫ ܗܘܐ ܥܡܝ ܐܠܐ ܟܠܗܘܢ ܫܒܩܘܢܝ ܠܐ ܬܬܚܫܒ ܠܗܘܢ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Hungekuwa na mamlaka yoyote juu yangu kama hungepewa na Mungu. Kwa sababu hiyo, yule aliyenikabidhi kwako ana dhambi kubwa zaidi.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܠܝܬ ܗܘܐ ܠܟ ܥܠܝ ܫܘܠܛܢܐ ܐܦ ܠܐ ܚܕ ܐܠܘ ܠܐ ܝܗܝܒ ܗܘܐ ܠܟ ܡܢ ܠܥܠ ܡܛܠ ܗܢܐ ܗܘ ܡܢ ܕܐܫܠܡܢܝ ܠܟ ܪܒܐ ܗܝ ܚܛܝܬܗ ܡܢ ܕܝܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Fanyeni bidii ya kuhifadhi umoja uletwao na Roho kwa kuzingatia amani iliyo kati yenu. \t ܘܗܘܝܬܘܢ ܚܦܝܛܝܢ ܠܡܛܪ ܐܘܝܘܬܐ ܕܪܘܚܐ ܒܚܙܩܐ ܕܫܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Je, Sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?\" \t ܕܠܡܐ ܢܡܘܤܐ ܕܝܠܢ ܡܚܝܒ ܠܒܪܢܫܐ ܐܠܐ ܐܢ ܢܫܡܥ ܡܢܗ ܠܘܩܕܡ ܘܢܕܥ ܡܢܐ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwenda kwangu kulitokana na ufunuo alionipa Mungu. Katika kikao cha faragha niliwaeleza hao viongozi ujumbe wa Habari Njema niliohubiri kwa watu wa mataifa. Nilifanya hivyo kusudi kazi yangu niliyokuwa nimefanya, na ile ninayofanya sasa isije ikawa bure. \t ܤܠܩܬ ܕܝܢ ܒܓܠܝܢܐ ܘܓܠܝܬ ܠܗܘܢ ܤܒܪܬܐ ܕܡܟܪܙ ܐܢܐ ܒܥܡܡܐ ܘܚܘܝܬܗ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܤܬܒܪܝܢ ܗܘܘ ܕܡܕܡ ܐܝܬܝܗܘܢ ܒܝܢܝ ܘܠܗܘܢ ܕܡ ܤܪܝܩܐܝܬ ܪܗܛܬ ܐܘ ܪܗܛ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana ninao ndugu watano, ili awaonye wasije wakaja huku kwenye mateso. \t ܚܡܫܐ ܓܝܪ ܐܚܝܢ ܐܝܬ ܠܝ ܢܐܙܠ ܢܤܗܕ ܐܢܘܢ ܕܠܐ ܐܦ ܗܢܘܢ ܢܐܬܘܢ ܠܕܘܟܬܐ ܗܕܐ ܕܬܫܢܝܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika na ninyi, maadam mna hamu ya kupata vipaji vya Roho, jitahidini hasa kujipatia vile vinavyosaidia kulijenga kanisa. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܡܛܠ ܕܛܢܢܐ ܐܢܬܘܢ ܕܡܘܗܒܬܐ ܕܪܘܚܐ ܠܒܢܝܢܐ ܕܥܕܬܐ ܒܥܘ ܕܬܬܝܬܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana yote yalioandikwa yameandikwa kwa ajili ya kutufundisha sisi ili kutokana na saburi na faraja tupewayo na Maandiko hayo Matakatifu tupate kuwa na matumaini. \t ܟܠ ܡܕܡ ܓܝܪ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܐܬܟܬܒ ܠܝܘܠܦܢܐ ܗܘ ܕܝܠܢ ܐܬܟܬܒ ܕܒܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܘܒܒܘܝܐܐ ܕܟܬܒܐ ܤܒܪܐ ܢܗܘܐ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini waliposikia ya kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria Magdalene amemwona, hawakuamini. \t ܘܗܢܘܢ ܟܕ ܫܡܥܘ ܕܐܡܪܢ ܕܚܝ ܘܐܬܚܙܝ ܠܗܝܢ ܠܐ ܗܝܡܢܘ ܐܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni walimu? Wote ni wenye kipaji cha kufanya miujiza? \t ܕܠܡܐ ܟܠܗܘܢ ܫܠܝܚܐ ܕܠܡܐ ܟܠܗܘܢ ܢܒܝܐ ܠܡܐ ܟܠܗܘܢ ܡܠܦܢܐ ܠܡܐ ܟܠܗܘܢ ܤܥܪܝ ܚܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko anangoja mpaka adui zake watakapowekwa kama kibao chini ya miguu yake. \t ܘܡܩܘܐ ܡܟܝܠ ܥܕܡܐ ܕܢܬܬܤܝܡܘܢ ܒܥܠܕܒܒܘܗܝ ܟܘܒܫܐ ܬܚܝܬ ܪܓܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pimeni kila kitu: zingatieni kilicho chema, \t ܟܠܡܕܡ ܒܩܘ ܘܕܫܦܝܪ ܐܚܘܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wakatazama wasiweze kabisa kujua anasema nani. \t ܚܪܘ ܕܝܢ ܬܠܡܝܕܐ ܚܕ ܒܚܕ ܡܛܠ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢ ܗܘܘ ܕܥܠ ܡܢܘ ܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, askari walikwenda, wakaivunja miguu ya yule mtu wa kwanza na yule wa pili ambao walikuwa wamesulubiwa pamoja na Yesu. \t ܘܐܬܘ ܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܘܬܒܪܘ ܫܩܘܗܝ ܕܩܕܡܝܐ ܘܕܗܘ ܐܚܪܢܐ ܕܐܙܕܩܦ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hezekia alimzaa Manase, Manase alimzaa Amoni, Amoni alimzaa Yosia, \t ܚܙܩܝܐ ܐܘܠܕ ܠܡܢܫܐ ܡܢܫܐ ܐܘܠܕ ܠܐܡܘܢ ܐܡܘܢ ܐܘܠܕ ܠܝܘܫܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu hao wametokea kati yetu lakini hawakuwa kweli wa kwetu na ndiyo maana walituacha; Kama wangalikuwa wa kwetu, wangalibaki nasi. Lakini waliondoka, wakaenda zao, kusudi ionekane wazi kwamba hawakuwa kamwe wa kwetu. \t ܡܢܢ ܢܦܩܘ ܐܠܐ ܠܘ ܡܢܢ ܗܘܘ ܐܠܘ ܓܝܪ ܡܢܢ ܗܘܘ ܠܘܬܢ ܡܟܬܪܝܢ ܗܘܘ ܐܠܐ ܢܦܩܘ ܡܢܢ ܕܬܬܝܕܥ ܕܠܘ ܡܢܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Yesu akawa anatembea Hekaluni katika ukumbi wa Solomoni. \t ܘܡܗܠܟ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܒܗܝܟܠܐ ܒܐܤܛܘܐ ܕܫܠܝܡܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wako wachache huko Sarde ambao hawakuyachafua mavazi yao. Hao wanastahili kutembea pamoja nami wakiwa wamevaa mavazi meupe. \t ܐܠܐ ܐܝܬ ܠܝ ܩܠܝܠ ܫܡܗܐ ܒܤܪܕܝܤ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܛܘܫܘ ܡܐܢܝܗܘܢ ܘܡܗܠܟܝܢ ܩܕܡܝ ܒܚܘܪܐ ܘܫܘܝܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, wewe unaamini kwamba yuko Mungu mmoja? Sawa! Lakini hata pepo huamini hilo, na hutetemeka kwa hofu. \t ܡܗܝܡܢ ܐܢܬ ܕܚܕ ܗܘ ܐܠܗܐ ܫܦܝܪ ܥܒܕ ܐܢܬ ܐܦ ܫܐܕܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܘܪܥܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, tunajua kwamba Kristo amekwisha fufuliwa kutoka wafu na hafi tena; kifo hakimtawali tena. \t ܝܕܥܝܢܢ ܓܝܪ ܕܡܫܝܚܐ ܩܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܘܬܘܒ ܠܐ ܡܐܬ ܘܡܘܬܐ ܠܐ ܡܫܬܠܛ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara masikio yake yakafunguka na ulimi wake ukafunguliwa, akaanza kusema sawasawa. \t ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܐܬܦܬܚ ܐܕܢܘܗܝ ܘܐܫܬܪܝ ܐܤܪܐ ܕܠܫܢܗ ܘܡܠܠ ܦܫܝܩܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayetaka kunitumikia ni lazima anifuate, hivyo kwamba popote pale nilipo mimi ndipo na mtumishi wangu atakapokuwa. Mtu yeyote anayenitumikia Baba yangu atampa heshima. \t ܐܢ ܠܝ ܐܢܫ ܡܫܡܫ ܢܐܬܐ ܒܬܪܝ ܘܐܝܟܐ ܕܐܢܐ ܐܝܬܝ ܬܡܢ ܢܗܘܐ ܐܦ ܡܫܡܫܢܝ ܡܢ ܕܠܝ ܡܫܡܫ ܢܝܩܪܝܘܗܝ ܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kisha watawatoeni ili mteswe na kuuawa. Mataifa yote yatawachukieni kwa ajili ya jina langu. \t ܗܝܕܝܢ ܢܫܠܡܘܢܟܘܢ ܠܐܘܠܨܢܐ ܘܢܩܛܠܘܢܟܘܢ ܘܬܗܘܘܢ ܤܢܝܐܝܢ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܡܛܠ ܫܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama nilivyowafanyieni. \t ܗܢܐ ܓܝܪ ܛܘܦܤܐ ܝܗܒܬ ܠܟܘܢ ܕܐܝܟܢܐ ܕܐܢܐ ܥܒܕܬ ܠܟܘܢ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܬܥܒܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana wazazi wake walisema: \"Yeye ni mtu mzima, mwulizeni.\" \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܡܪܘ ܐܒܗܘܗܝ ܕܥܠ ܠܗ ܠܫܢܘܗܝ ܠܗ ܫܐܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana kupenda sana fedha ni chanzo cha uovu wote. Watu wengine wametamani sana kupata fedha hata wakatangatanga mbali na imani, na wameivunja mioyo yao kwa huzuni nyingi. \t ܥܩܪܐ ܕܝܢ ܕܟܘܠܗܝܢ ܒܝܫܬܐ ܐܝܬܝܗ ܪܚܡܬ ܟܤܦܐ ܘܐܝܬ ܐܢܫܐ ܕܐܬܪܓܪܓܘ ܠܗ ܘܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܛܥܘ ܘܢܦܫܗܘܢ ܐܥܠܘ ܠܕܐܘܢܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Atakuja kuwaangamiza wakulima hao, na atawapa wakulima wengine hilo shamba la mizabibu.\" Watu waliposikia maneno hayo, walisema: \"Hasha! Yasitukie hata kidogo!\" \t ܢܐܬܐ ܘܢܘܒܕ ܠܦܠܚܐ ܗܢܘܢ ܘܢܬܠ ܟܪܡܐ ܠܐܚܪܢܐ ܟܕ ܫܡܥܘ ܕܝܢ ܐܡܪܘ ܠܐ ܬܗܘܐ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana mnayajua yale maagizo tuliyowapeni kwa mamlaka ya Bwana Yesu. \t ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܓܝܪ ܐܝܠܝܢ ܦܘܩܕܢܐ ܝܗܒܢ ܠܟܘܢ ܒܡܪܢ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana siku maalum ya ghadhabu yao imefika. Nani awezaye kuikabili?\" \t ܡܛܠ ܕܐܬܐ ܝܘܡܐ ܪܒܐ ܕܪܘܓܙܗܘܢ ܘܡܢܘ ܡܫܟܚ ܠܡܩܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo kusema, tutaimarishana: imani yenu itaniimarisha mimi, na yangu itawaimarisha ninyi. \t ܘܐܟܚܕܐ ܢܬܒܝܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܝܠܟܘܢ ܘܕܝܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ikiwa mimi niliye Bwana na Mwalimu, nimewaosha ninyi miguu, nanyi pia mnapaswa kuoshana miguu. \t ܐܢ ܐܢܐ ܗܟܝܠ ܡܪܟܘܢ ܘܪܒܟܘܢ ܐܫܝܓܬ ܠܟܘܢ ܪܓܠܝܟܘܢ ܟܡܐ ܐܢܬܘܢ ܚܝܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܬܫܝܓܘܢ ܪܓܠܐ ܚܕ ܕܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipofika huko alikuta Lazaro amekwisha kaa kaburini kwa siku nne. \t ܘܐܬܐ ܝܫܘܥ ܠܒܝܬ ܥܢܝܐ ܘܐܫܟܚ ܕܐܪܒܥܐ ܠܗ ܝܘܡܝܢ ܕܐܝܬܘܗܝ ܒܒܝܬ ܩܒܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malkia wa kusini atatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, naye atashuhudia kwamba kina hatia. Yeye alisafiri kutoka mbali, akaja kusikiliza maneno ya hekima ya Solomoni; kumbe hapa pana mkuu zaidi kuliko Solomoni. \t ܡܠܟܬܐ ܕܬܝܡܢܐ ܬܩܘܡ ܒܕܝܢܐ ܥܡ ܐܢܫܐ ܕܫܪܒܬܐ ܗܕܐ ܘܬܚܝܒ ܐܢܘܢ ܕܐܬܬ ܡܢ ܥܒܪܝܗ ܕܐܪܥܐ ܕܬܫܡܥ ܚܟܡܬܗ ܕܫܠܝܡܘܢ ܘܗܐ ܕܝܬܝܪ ܡܢ ܫܠܝܡܘܢ ܗܪܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tulipanda meli ya Adiramito iliyokuwa inasafiri na kupitia bandari kadhaa za mkoa wa Asia, tukaanza safari. Aristarko, mwenyeji wa Makedonia kutoka Thesalonika, alikuwa pamoja nasi. \t ܘܟܕ ܗܘܬ ܕܢܪܕܐ ܢܚܬܢ ܠܐܠܦܐ ܕܐܝܬܝܗ ܗܘܬ ܡܢ ܐܕܪܡܢܛܘܤ ܡܕܝܢܬܐ ܘܐܙܠܐ ܗܘܬ ܠܐܬܪܐ ܕܐܤܝܐ ܘܥܠ ܗܘܐ ܥܡܢ ܠܐܠܦܐ ܐܪܤܛܪܟܘܤ ܡܩܕܘܢܝܐ ܕܡܢ ܬܤܠܘܢܝܩܐ ܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini walipomfikia Yesu waliona kwamba alikwisha kufa, na hivyo hawakumvunja miguu. \t ܘܟܕ ܐܬܘ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܚܙܘ ܕܡܝܬ ܠܗ ܡܢ ܟܕܘ ܘܠܐ ܬܒܪܘ ܫܩܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huohuo Yesu akauambia huo umati wa watu waliokuja kumtia nguvuni, \"Je, mmekuja kunikamata kwa mapanga na marungu kama kwamba mimi ni mnyang'anyi? Kila siku nilikuwa Hekaluni nikifundisha, na hamkunikamata! \t ܒܗܝ ܫܥܬܐ ܐܡܪ ܝܫܘܥ ܠܟܢܫܐ ܐܝܟ ܕܥܠ ܓܝܤܐ ܢܦܩܬܘܢ ܒܤܦܤܪܐ ܘܒܚܘܛܪܐ ܕܬܐܚܕܘܢܢܝ ܟܠܝܘܡ ܠܘܬܟܘܢ ܒܗܝܟܠܐ ܝܬܒ ܗܘܝܬ ܘܡܠܦ ܘܠܐ ܐܚܕܬܘܢܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapa \"Bwana\" ni Roho; na pale alipo Roho wa Bwana ndipo ulipo uhuru. \t ܡܪܝܐ ܕܝܢ ܗܘܝܘ ܪܘܚܐ ܘܐܬܪ ܕܪܘܚܗ ܕܡܪܝܐ ܚܐܪܘܬܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa kuwa rafiki yangu amepitia kwangu akiwa safarini nami sina cha kumpa. \t ܡܛܠ ܕܪܚܡܐ ܐܬܐ ܠܘܬܝ ܡܢ ܐܘܪܚܐ ܘܠܝܬ ܠܝ ܡܕܡ ܕܐܤܝܡ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliposikia hivyo akasema, \"Ugonjwa huo hautaleta kifo, ila ni kwa ajili ya kumtukuza Mungu; ameugua ili kwa njia hiyo Mwana wa Mungu atukuzwe.\" \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܡܪ ܗܢܐ ܟܘܪܗܢܐ ܠܐ ܗܘܐ ܕܡܘܬܐ ܐܠܐ ܚܠܦ ܬܫܒܘܚܬܐ ܕܐܠܗܐ ܕܢܫܬܒܚ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܡܛܠܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadaye kidogo Yesu alikwenda katika mji mmoja uitwao Naini, na wafuasi wake pamoja na kundi kubwa la watu waliandamana naye. \t ܘܗܘܐ ܠܝܘܡܐ ܕܒܬܪܗ ܐܙܠ ܗܘܐ ܠܡܕܝܢܬܐ ܕܫܡܗ ܢܐܝܢ ܘܬܠܡܝܕܘܗܝ ܥܡܗ ܘܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama Shetani anajipinga mwenyewe, utawala wake utasimamaje? Mnasemaje, basi, kwamba ninawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli? \t ܘܐܢ ܤܛܢܐ ܥܠ ܢܦܫܗ ܐܬܦܠܓ ܐܝܟܢܐ ܬܩܘܡ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܒܒܥܠܙܒܘܒ ܡܦܩ ܐܢܐ ܕܝܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengine walisema kwamba Eliya ametokea, na wengine walisema kwamba mmojawapo wa manabii wa kale amerudi duniani. \t ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܕܐܠܝܐ ܐܬܚܙܝ ܘܐܚܪܢܐ ܕܢܒܝܐ ܡܢ ܢܒܝܐ ܩܕܡܝܐ ܩܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena watu wengi watazifuata hizo njia zao mbaya, kwa sababu yao, wengine wataipuuza Njia ya ukweli. \t ܘܤܓܝܐܐ ܢܐܙܠܘܢ ܒܬܪ ܛܢܦܘܬܐ ܕܝܠܗܘܢ ܗܠܝܢ ܕܡܛܠܬܗܘܢ ܐܘܪܚܐ ܕܫܪܪܐ ܬܬܓܕܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake tuliondoka tukaenda Kaisarea. Huko Kaisarea tulikwenda nyumbani kwa mhubiri Filipo. Yeye alikuwa mmoja wa wale saba waliochaguliwa kule Yerusalemu. \t ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܢܦܩܢ ܘܐܬܝܢ ܠܩܤܪܝܐ ܘܥܠܢ ܫܪܝܢ ܒܒܝܬܗ ܕܦܝܠܝܦܘܤ ܡܤܒܪܢܐ ܐܝܢܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܡܢ ܫܒܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa aibu nakubali kwamba sisi tulikuwa dhaifu. Iwe iwavyo, lakini kama kuna mtu yeyote anayethubutu kujivunia kitu--nasema kama mtu mpumbavu--mimi nathubutu pia. \t ܐܝܟ ܕܒܨܥܪܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܐܝܟ ܗܘ ܕܚܢܢ ܡܚܝܠܝܢܢ ܗܘ ܒܚܤܝܪܘܬ ܪܥܝܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܒܟܠܡܕܡ ܕܡܡܪܚ ܐܢܫ ܐܦ ܐܢܐ ܡܡܪܚ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliposikia akiongea nao kwa Kiebrania wakazidi kukaa kimya zaidi kuliko hapo awali. Naye Paulo akaendelea kusema, \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܕܥܒܪܐܝܬ ܡܡܠܠ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܒܗܠܘ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akamwambia mara ya pili, \"Simoni mwana wa Yohane! Je, wanipenda?\" Petro akamjibu, \"Naam, Bwana; wajua kwamba nakupenda.\" Yesu akamwambia, \"Tunza kondoo wangu.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܬܘܒ ܕܬܪܬܝܢ ܙܒܢܝܢ ܫܡܥܘܢ ܒܪ ܝܘܢܐ ܪܚܡ ܐܢܬ ܠܝ ܐܡܪ ܠܗ ܐܝܢ ܡܪܝ ܐܢܬ ܝܕܥ ܐܢܬ ܕܪܚܡ ܐܢܐ ܠܟ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܪܥܝ ܠܝ ܥܪܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, habari za imani yenu zimetutia moyo katika taabu na mateso yetu yote, \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܬܒܝܐܢ ܒܟܘܢ ܐܚܝܢ ܥܠ ܟܠܗܝܢ ܥܩܬܢ ܘܐܘܠܨܢܝܢ ܡܛܠ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Upendo umekamilika ndani yetu kusudi tuweze kuwa na ujasiri Siku ile ya Hukumu; kwani maisha yetu hapa duniani ni kama yale ya Kristo. \t ܘܒܗܕܐ ܡܫܬܠܡ ܚܘܒܗ ܥܡܢ ܕܓܠܝܘܬ ܐܦܐ ܬܗܘܐ ܠܢ ܒܝܘܡܐ ܕܕܝܢܐ ܡܛܠ ܕܐܝܟ ܕܗܘܐ ܗܘ ܗܟܢܐ ܐܦ ܚܢܢ ܐܝܬܝܢ ܒܗܢܐ ܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗ ܐܬܠܒܒܝ ܒܪܬܝ ܗܝܡܢܘܬܟܝ ܐܚܝܬܟܝ ܙܠܝ ܒܫܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake, \t ܘܐܒܐ ܕܫܠܚܢܝ ܗܘ ܤܗܕ ܥܠܝ ܠܐ ܩܠܗ ܡܡܬܘܡ ܫܡܥܬܘܢ ܘܠܐ ܚܙܘܗ ܚܙܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtumishi ambaye anajua matakwa ya bwana wake lakini hajiweki tayari kufanya anavyotakiwa, atapigwa sana. \t ܥܒܕܐ ܕܝܢ ܐܝܢܐ ܕܝܕܥ ܨܒܝܢܐ ܕܡܪܗ ܘܠܐ ܛܝܒ ܠܗ ܐܝܟ ܨܒܝܢܗ ܢܒܠܥ ܤܓܝܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Msipoona ishara na maajabu hamtaamini!\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢ ܐܬܘܬܐ ܘܬܕܡܪܬܐ ܠܐ ܬܚܙܘܢ ܠܐ ܬܗܝܡܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na wakati ufaao ulipowadia, akaudhihirisha katika ujumbe wake. Mimi nilikabidhiwa ujumbe huo nuutangaze kufuatana na amri ya Mungu, Mwokozi wetu. \t ܘܓܠܐ ܡܠܬܗ ܒܙܒܢܗ ܒܝܕ ܟܪܘܙܘܬܢ ܗܝ ܕܐܬܗܝܡܢܬ ܐܢܐ ܒܦܘܩܕܢܐ ܕܐܠܗܐ ܡܚܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawaambia wale wajumbe wa Baraza, \"Wananchi wa Israeli, tahadhari kabla ya kutekeleza hicho mnachotaka kuwatenda watu hawa! \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܓܒܪܐ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܐܙܕܗܪܘ ܒܢܦܫܟܘܢ ܘܚܙܘ ܡܢܐ ܘܠܐ ܠܟܘܢ ܠܡܥܒܕ ܥܠ ܗܠܝܢ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu aliwaongoza nje, akawauliza, \"Waheshimiwa, nifanye nini nipate kuokoka?\" \t ܘܐܦܩ ܐܢܘܢ ܠܒܪ ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܡܪܝ ܡܢܐ ܘܠܐ ܠܝ ܠܡܥܒܕ ܐܝܟ ܕܐܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo ndivyo tuwezavyo kuwa na hakika kwamba sisi ni watu wa ukweli; na hatutakuwa na wasiwasi mbele ya Mungu. \t ܘܒܗܕܐ ܡܫܬܘܕܥܝܢܢ ܕܡܢ ܫܪܪܐ ܐܝܬܝܢ ܘܩܕܡ ܕܢܐܬܐ ܗܘ ܡܦܝܤܝܢܢ ܠܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumtazama mtu aliyevaa mavazi maridadi? Watu wanaovaa mavazi maridadi hukaa katika nyumba za wafalme. \t ܘܐܠܐ ܡܢܐ ܢܦܩܬܘܢ ܠܡܚܙܐ ܓܒܪܐ ܕܢܚܬܐ ܪܟܝܟܐ ܠܒܝܫ ܗܐ ܐܝܠܝܢ ܕܪܟܝܟܐ ܠܒܝܫܝܢ ܒܝܬ ܡܠܟܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu hakumhurumia hata mwanae wa pekee, bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote. Ikiwa amefanya hivyo, je, hatatujalia pia mema yote? \t ܘܐܢ ܥܠ ܒܪܗ ܠܐ ܚܤ ܐܠܐ ܚܠܦ ܟܠܢ ܐܫܠܡܗ ܐܝܟܢܐ ܠܐ ܟܠ ܡܕܡ ܥܡܗ ܢܬܠ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mnaposali, msifanye kama wanafiki. Wao hupenda kusimama na kusali katika masunagogi na katika pembe za njia ili watu wawaone. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao. \t ܘܡܐ ܕܡܨܠܐ ܐܢܬ ܠܐ ܬܗܘܐ ܐܝܟ ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܕܪܚܡܝܢ ܠܡܩܡ ܒܟܢܘܫܬܐ ܘܒܙܘܝܬܐ ܕܫܘܩܐ ܠܡܨܠܝܘ ܕܢܬܚܙܘܢ ܠܒܢܝ ܐܢܫܐ ܘܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܩܒܠܘ ܐܓܪܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alitambua mawazo yao, akawaambia, \"Mbona mnamsumbua huyu mama? Yeye amenitendea jambo jema. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܝܕܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܡܠܐܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܠܐܢܬܬܐ ܥܒܕܐ ܫܦܝܪܐ ܥܒܕܬ ܠܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mnasema ati nawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli; je, watoto wenu huwafukuza kwa uwezo wa nani? Kwa sababu hiyo wao ndio watakaowahukumu ninyi. \t ܘܐܢ ܐܢܐ ܒܒܥܠܙܒܘܒ ܡܦܩ ܐܢܐ ܕܝܘܐ ܒܢܝܟܘܢ ܒܡܢܐ ܡܦܩܝܢ ܠܗܘܢ ܡܛܠ ܗܢܐ ܗܢܘܢ ܢܗܘܘܢ ܠܟܘܢ ܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Herode alikasirishwa sana na watu wa Tiro na Sidoni. Lakini wao walimpelekea wajumbe. Nao wakafaulu kwanza kumpata Blasto awe upande wao. Blasto alikuwa msimamizi mkuu wa ikulu ya mfalme. Kisha, wakamwendea Herode wakamwomba kuwe na amani, kwa maana nchi yao ilitegemea nchi ya mfalme kwa chakula. \t ܘܡܛܠ ܕܪܓܝܙ ܗܘܐ ܥܠ ܨܘܪܝܐ ܘܥܠ ܨܝܕܢܝܐ ܐܬܟܢܫܘ ܘܐܬܘ ܠܘܬܗ ܐܟܚܕܐ ܘܐܦܝܤܘ ܠܒܠܤܛܘܤ ܩܝܛܘܢܩܢܗ ܕܡܠܟܐ ܘܫܐܠܘ ܡܢܗ ܕܢܗܘܐ ܠܗܘܢ ܫܝܢܐ ܡܛܠ ܕܦܘܪܢܤܐ ܕܐܬܪܗܘܢ ܡܢ ܡܠܟܘܬܗ ܗܘܐ ܕܗܪܘܕܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Usiogope mji wa Sioni! Tazama, Mfalme wako anakuja, Amepanda mwana punda.\" \t ܠܐ ܬܕܚܠܝܢ ܒܪܬ ܨܗܝܘܢ ܗܐ ܡܠܟܟܝ ܐܬܐ ܠܟܝ ܘܪܟܝܒ ܥܠ ܥܝܠܐ ܒܪ ܐܬܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo ofisa akamwambia, \"Mheshimiwa, tafadhali twende kabla mwanangu hajafa.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܗܘ ܥܒܕ ܡܠܟܐ ܡܪܝ ܚܘܬ ܥܕܠܐ ܡܐܬ ܠܗ ܛܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakamtoa nje ya mji, wakampiga mawe. Wale mashahidi wakayaweka makoti yao chini ya ulinzi wa kijana mmoja jina lake Saulo. \t ܘܐܚܕܘ ܐܦܩܘܗܝ ܠܒܪ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ ܘܪܓܡܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܘܐܝܠܝܢ ܕܐܤܗܕܘ ܥܠܘܗܝ ܤܡܘ ܢܚܬܝܗܘܢ ܠܘܬ ܪܓܠܘܗܝ ܕܥܠܝܡܐ ܚܕ ܕܡܬܩܪܐ ܫܐܘܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wenye njaa amewashibisha mema, matajiri amewaacha waende mikono mitupu. \t ܟܦܢܐ ܤܒܥ ܛܒܬܐ ܘܥܬܝܪܐ ܫܪܐ ܤܦܝܩܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama Maandiko yasemavyo: \"Aliyekusanya kwa wingi hakuwa na ziada, na yule aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.\" \t ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܗܘ ܕܐܤܓܝ ܫܩܠ ܠܐ ܐܬܝܬܪ ܠܗ ܘܗܘ ܕܩܠܝܠ ܫܩܠ ܠܐ ܐܬܒܨܪ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yatatimiaje Maandiko Matakatifu yasemayo kwamba ndivyo inavyopaswa kuwa?\" \t ܐܝܟܢܐ ܗܟܝܠ ܢܬܡܠܘܢ ܟܬܒܐ ܕܗܟܢܐ ܘܠܐ ܕܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mungu hambagui mtu yeyote. \t ܠܐ ܓܝܪ ܐܝܬ ܡܤܒ ܒܐܦܐ ܠܘܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mtu aliyekuwa amepooza akainuka, akaenda nyumbani kwake. \t ܘܩܡ ܐܙܠ ܠܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwambieni Arkipo aitekeleze vizuri ile huduma aliyokabidhiwa na Bwana. \t ܘܐܡܪܘ ܠܐܪܟܝܦܘܤ ܕܐܙܕܗܪ ܒܬܫܡܫܬܐ ܗܝ ܕܩܒܠܬ ܒܡܪܢ ܕܬܗܘܐ ܡܫܡܠܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata Mikaeli, malaika mkuu, hakufanya hivyo. Katika ule ubishi kati yake na Ibilisi waliobishana juu ya mwili wa Mose, Mikaeli hakuthubutu kumhukumu Ibilisi kwa matusi; ila alisema: \"Bwana mwenyewe na akukaripie.\" \t ܡܝܟܐܝܠ ܕܝܢ ܪܝܫ ܡܠܐܟܐ ܗܘ ܕܥܡ ܐܟܠܩܪܨܐ ܟܕ ܕܐܢ ܡܡܠܠ ܗܘܐ ܡܛܠ ܦܓܪܗ ܕܡܘܫܐ ܠܐ ܐܡܪܚ ܕܢܝܬܐ ܥܠܘܗܝ ܕܝܢܐ ܕܓܘܕܦܐ ܐܠܐ ܐܡܪ ܕܢܓܥܘܪ ܒܟ ܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanasimama kwa mbali kwa sababu ya kuogopa mateso yake, na kusema, \"Ole! Ole kwako Babuloni, mji maarufu na wenye nguvu! Kwa muda wa saa moja tu adhabu yako imekupata.\" \t ܟܕ ܩܝܡܝܢ ܡܢ ܩܒܘܠ ܡܢ ܕܚܠܬܐ ܕܬܫܢܝܩܗ ܘܢܐܡܪܘܢ ܘܝ ܘܝ ܘܝ ܡܕܝܢܬܐ ܪܒܬܐ ܒܒܝܠ ܡܕܝܢܬܐ ܥܫܝܢܬܐ ܡܛܠ ܕܒܚܕܐ ܫܥܐ ܐܬܐ ܕܝܢܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama vile Baba huwafufua wafu na kuwapa uzima, vivyo hivyo naye Mwana huwapa uzima wale anaopenda. \t ܐܝܟܢܐ ܓܝܪ ܕܐܒܐ ܡܩܝܡ ܡܝܬܐ ܘܡܚܐ ܠܗܘܢ ܗܟܢܐ ܐܦ ܒܪܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܨܒܐ ܡܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo nikaona Hekalu limefunguliwa mbinguni, na ndani yake hema ionyeshayo kuwapo kwa Mungu. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܚܙܝܬ ܘܐܬܦܬܚ ܗܝܟܠܐ ܕܡܫܟܢܐ ܕܤܗܕܘܬܐ ܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati Paulo alipofika, Wayahudi waliokuwa wametoka Yerusalemu walimzunguka wakaanza kutoa mashtaka mengi mazitomazito ambayo hawakuweza kuthibitisha. \t ܘܟܕ ܐܬܐ ܚܕܪܘܗܝ ܝܗܘܕܝܐ ܕܢܚܬܘ ܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܘܪܫܐ ܤܓܝܐܐ ܘܩܫܝܐ ܡܝܬܝܢ ܗܘܘ ܒܬܪܗ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܗܘܘ ܕܢܚܘܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaenda tena ng'ambo ya mto Yordani, mahali Yohane alipokuwa akibatiza, akakaa huko. \t ܘܐܙܠ ܠܗ ܠܥܒܪܐ ܕܝܘܪܕܢܢ ܠܕܘܟܬܐ ܐܝܟܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܝܘܚܢܢ ܡܢ ܩܕܝܡ ܟܕ ܡܥܡܕ ܗܘܐ ܘܗܘܐ ܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunawaita hao wenye heri kwa sababu walivumilia. Mmesikia habari za uvumilivu wa Yobu, na mnajua jinsi Bwana alivyomtendea mwishoni. Maana Bwana amejaa huruma na rehema. \t ܗܐ ܓܝܪ ܝܗܒܝܢܢ ܛܘܒܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܤܝܒܪܘ ܫܡܥܬܘܢ ܡܤܝܒܪܢܘܬܗ ܕܐܝܘܒ ܘܚܪܬܐ ܕܥܒܕ ܠܗ ܡܪܝܐ ܚܙܝܬܘܢ ܡܛܠ ܕܡܪܚܡܢ ܗܘ ܡܪܝܐ ܘܡܪܚܦܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mambo haya yalifanyika huko Bethania, ng'ambo ya mto Yordani ambako Yohane alikuwa anabatiza. \t ܗܠܝܢ ܒܒܝܬ ܥܢܝܐ ܗܘܝ ܒܥܒܪܐ ܕܝܘܪܕܢܢ ܐܝܟܐ ܕܡܥܡܕ ܗܘܐ ܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mtumishi aliyekabidhiwa talanta mbili akaja, akatoa talanta mbili faida, akisema, Bwana, ulinikabidhi talanta mbili. Chukua talanta mbili zaidi faida niliyopata. \t ܘܩܪܒ ܗܘ ܕܬܪܬܝܢ ܟܟܪܘܗܝ ܘܐܡܪ ܡܪܝ ܬܪܬܝܢ ܟܟܪܝܢ ܝܗܒܬ ܠܝ ܗܐ ܬܪܬܝܢ ܐܚܪܢܝܢ ܐܬܬܓܪܬ ܥܠܝܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamjibu, \"Mheshimiwa, tunaomba macho yetu yafumbuliwe.\" \t ܘܐܬܪܚܡ ܥܠܝܗܘܢ ܝܫܘܥ ܘܩܪܒ ܠܥܝܢܝܗܘܢ ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܐܬܦܬܚ ܥܝܢܝܗܘܢ ܘܐܙܠܘ ܒܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakanunua nazo shamba la mfinyanzi, kama Bwana alivyoniagiza.\" \t ܘܝܗܒܬ ܐܢܘܢ ܠܐܓܘܪܤܗ ܕܦܚܪܐ ܐܝܟ ܕܦܩܕ ܠܝ ܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tumeona na kuwaambia wengine kwamba Baba alimtuma Mwanae awe Mwokozi wa ulimwengu. \t ܘܚܢܢ ܚܙܝܢ ܘܡܤܗܕܝܢܢ ܕܐܒܐ ܫܕܪ ܠܒܪܗ ܦܪܘܩܐ ܠܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni kweli, ninyi mtalia na kuomboleza, lakini ulimwengu utafurahi: mtaona huzuni lakini huzuni yenu itageuka kuwa furaha. \t ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܬܒܟܘܢ ܐܢܬܘܢ ܘܬܐܠܘܢ ܘܥܠܡܐ ܢܚܕܐ ܘܠܟܘܢ ܬܟܪܐ ܐܠܐ ܟܪܝܘܬܟܘܢ ܠܚܕܘܬܐ ܬܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tukisema kwamba hatujatenda dhambi, tutakuwa tumemfanya Mungu mwongo, na neno lake halimo ndani yetu. \t ܘܐܢ ܐܡܪܝܢܢ ܕܠܐ ܚܛܝܢ ܥܒܕܝܢܢ ܠܗ ܕܓܠܐ ܘܡܠܬܗ ܠܝܬ ܠܘܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ukali wa kifo hutokana na dhambi, nayo dhambi hupata nguvu yake katika Sheria. \t ܥܘܩܤܗ ܕܝܢ ܕܡܘܬܐ ܚܛܝܬܐ ܗܝ ܘܚܝܠܐ ܕܚܛܝܬܐ ܢܡܘܤܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Yesu akawaambia, \"Mnadhani Wagalilaya hao walikuwa wahalifu zaidi kuliko Wagalilaya wengine, ati kwa sababu wameteseka hivyo? \t ܘܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܤܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܗܠܝܢ ܓܠܝܠܝܐ ܚܛܝܝܢ ܗܘܘ ܝܬܝܪ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܓܠܝܠܝܐ ܕܗܟܢܐ ܗܘܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilimwona Bwana akiniambia: Haraka! Ondoka Yerusalemu upesi kwa maana watu wa hapa binadamu hawataukubali ushuhuda wako juu yangu. \t ܘܚܙܝܬܗ ܒܚܙܘܐ ܟܕ ܐܡܪ ܠܝ ܐܤܬܪܗܒ ܘܦܘܩ ܠܟ ܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܡܛܠ ܕܠܐ ܡܩܒܠܝܢ ܤܗܕܘܬܟ ܕܥܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu.\" \t ܡܛܠ ܕܠܐ ܥܛܠ ܠܐܠܗܐ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wanafunzi walipomfikia Yesu wakamwambia, \"Yohane Mbatizaji ametutuma kwako tukuulize: Wewe ndiye yule ajaye, au tumtazamie mwingine?\" \t ܘܐܬܘ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܝܘܚܢܢ ܡܥܡܕܢܐ ܫܕܪܢ ܠܘܬܟ ܘܐܡܪ ܐܢܬ ܗܘ ܗܘ ܕܐܬܐ ܐܘ ܠܐܚܪܝܢ ܗܘ ܡܤܟܝܢ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliposikia hivyo wakashangaa; wakamwacha, wakaenda zao. \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܐܬܕܡܪܘ ܘܫܒܩܘܗܝ ܘܐܙܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ikiwa tumeungana na Kristo Yesu, kutahiriwa au kutotahiriwa hakuna maana; cha maana ni imani ifanyayo kazi kwa mapendo. \t ܒܡܫܝܚܐ ܓܝܪ ܝܫܘܥ ܠܐ ܓܙܘܪܬܐ ܡܕܡ ܐܝܬܝܗ ܘܠܐ ܥܘܪܠܘܬܐ ܐܠܐ ܗܝܡܢܘܬܐ ܕܡܬܓܡܪܐ ܒܚܘܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jirekebisheni upya rohoni na katika fikira zenu. \t ܘܬܬܚܕܬܘܢ ܒܪܘܚܐ ܕܡܕܥܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Shomoro wawili huuzwa kwa senti tano. Lakini hata mmoja wao haanguki chini bila kibali cha Baba yenu. \t ܠܐ ܬܪܬܝܢ ܨܦܪܝܢ ܡܙܕܒܢܢ ܒܐܤܪ ܘܚܕܐ ܡܢܗܝܢ ܒܠܥܕ ܡܢ ܐܒܘܟܘܢ ܠܐ ܢܦܠܐ ܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati wa jioni ulikuwa umekwisha fika. Hiyo ilikuwa siku ya Maandalio, yaani siku inayotangulia Sabato. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܪܡܫܐ ܕܥܪܘܒܬܐ ܕܐܝܬܝܗ ܩܕܡ ܫܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi hatufanyi kama Mose ambaye alilazimika kuufunika uso wake kwa kitambaa ili watu wa Israeli wasiuone ule mwisho wa mng'ao uliokuwa unafifia. \t ܘܠܐ ܐܝܟ ܡܘܫܐ ܕܪܡܐ ܗܘܐ ܬܚܦܝܬܐ ܥܠ ܐܦܘܗܝ ܕܠܐ ܢܚܘܪܘܢ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܒܫܘܠܡܗ ܕܗܘ ܕܡܬܒܛܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ni mkate hai ulioshuka kutoka mbinguni. Mtu yeyote akila mkate huu ataishi milele. Na mkate nitakaompa ni mwili wangu ninaoutoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.\" \t ܐܢܐ ܐܢܐ ܠܚܡܐ ܚܝܐ ܕܡܢ ܫܡܝܐ ܢܚܬܬ ܘܐܢ ܐܢܫ ܢܐܟܘܠ ܡܢ ܗܢܐ ܠܚܡܐ ܢܚܐ ܠܥܠܡ ܘܠܚܡܐ ܐܝܢܐ ܕܐܢܐ ܐܬܠ ܦܓܪܝ ܗܘ ܕܥܠ ܐܦܝ ܚܝܘܗܝ ܕܥܠܡܐ ܝܗܒ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnapoona upepo wa kusi unavuma, mwasema Kutakuwa na hali ya joto na ndivyo inavyokuwa. \t ܘܡܐ ܕܢܫܒܐ ܬܝܡܢܐ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܚܘܡܐ ܗܘܐ ܘܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini usiku malaika wa Bwana aliifungua milango ya gereza, akawatoa nje, akawaambia, \t ܗܝܕܝܢ ܒܠܠܝܐ ܡܠܐܟܐ ܕܡܪܝܐ ܦܬܚ ܬܪܥܐ ܕܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܘܐܦܩ ܐܢܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, jihadharini: huu uhuru wenu usiwafanye walio na imani dhaifu waanguke katika dhambi. \t ܚܙܘ ܕܝܢ ܕܠܡܐ ܫܘܠܛܢܟܘܢ ܗܢܐ ܢܗܘܐ ܬܘܩܠܬܐ ܠܟܪܝܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Salamu zangu kwa Androniko na Yunia, wananchi wenzangu waliofungwa gerezani pamoja nami; wao wanajulikana sana kati ya mitume; tena walikuwa Wakristo kabla yangu mimi. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܐܢܕܪܘܢܝܩܘܤ ܘܕܝܘܢܝܐ ܐܚܝܢܝ ܕܗܘܘ ܫܒܝܐ ܥܡܝ ܘܝܕܝܥܝܢ ܐܢܘܢ ܒܫܠܝܚܐ ܘܒܡܫܝܚܐ ܩܕܡܝ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alisema pia mahali pengine: \"Wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.\" \t ܐܝܟ ܕܐܦ ܒܕܘܟܬܐ ܐܚܪܬܐ ܐܡܪ ܕܐܢܬ ܗܘ ܟܘܡܪܐ ܠܥܠܡ ܒܕܡܘܬܗ ܕܡܠܟܝܙܕܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama vile Baba alivyo asili ya uhai, ndivyo pia alivyomjalia Mwanawe kuwa asili ya uhai. \t ܐܝܟܢܐ ܓܝܪ ܕܠܐܒܐ ܐܝܬ ܚܝܐ ܒܩܢܘܡܗ ܗܟܢܐ ܝܗܒ ܐܦ ܠܒܪܐ ܕܢܗܘܘܢ ܚܝܐ ܒܩܢܘܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huenda kwamba huko kuna mtu ambaye hatautii huu ujumbe tunaowapelekeeni katika barua hii. Ikiwa hivyo, basi, mfichueni mtu huyo na msiwe na uhusiano wowote naye kusudi aone aibu. \t ܘܐܢ ܐܢܫ ܠܐ ܡܫܬܡܥ ܠܡܠܝܢ ܗܠܝܢ ܕܒܐܓܪܬܐ ܢܬܦܪܫ ܠܟܘܢ ܗܢܐ ܘܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܡܬܚܠܛܝܢ ܥܡܗ ܕܢܒܗܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wenyeji wa hapo hawakutaka kumpokea kwa sababu alikuwa anaelekea Yerusalemu. \t ܘܠܐ ܩܒܠܘܗܝ ܡܛܠ ܕܦܪܨܘܦܗ ܠܐܘܪܫܠܡ ܤܝܡ ܗܘܐ ܠܡܐܙܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao malaika wakamwuliza, \"Mama, kwa nini unalia?\" Naye akawaambia, \"Wamemwondoa Bwana wangu, na wala sijui walikomweka!\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܢܬܬܐ ܡܢܐ ܒܟܝܐ ܐܢܬܝ ܐܡܪܐ ܠܗܘܢ ܕܫܩܠܘܗܝ ܠܡܪܝ ܘܠܐ ܝܕܥܐ ܐܢܐ ܐܝܟܐ ܤܡܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, Yesu akamwambia, \"Nenda zako Shetani! Imeandikwa: Utamwabudu Bwana Mungu wako na kumtumikia yeye peke yake.\" \t ܗܝܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܙܠ ܠܟ ܤܛܢܐ ܟܬܝܒ ܓܝܪ ܕܠܡܪܝܐ ܐܠܗܟ ܬܤܓܘܕ ܘܠܗ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܬܦܠܘܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa basi, utawala wa Shetani umegawanyika vikundivikundi hauwezi kudumu, bali utaangamia kabisa. \t ܘܐܢ ܗܘ ܕܤܛܢܐ ܩܡ ܥܠ ܢܦܫܗ ܘܐܬܦܠܓ ܠܐ ܡܫܟܚ ܠܡܩܡ ܐܠܐ ܚܪܬܗ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu walipoiona ishara hiyo aliyoifanya Yesu, wakasema, \"Hakika huyu ndiye nabii anayekuja ulimwenguni.\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܢܫܐ ܕܚܙܘ ܐܬܐ ܕܥܒܕ ܝܫܘܥ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܫܪܝܪܐܝܬ ܗܢܘ ܢܒܝܐ ܕܐܬܐ ܠܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maria akamjibu, \"Yatawezekanaje hayo, hali mimi ni bikira?\" \t ܐܡܪܐ ܡܪܝܡ ܠܡܠܐܟܐ ܐܝܟܢܐ ܬܗܘܐ ܗܕܐ ܕܓܒܪܐ ܠܐ ܚܟܝܡ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zaidi ya hayo, wale wote waliokufa wakiwa wameungana na Kristo wamepotea kabisa. \t ܘܟܒܪ ܐܦ ܐܝܠܝܢ ܕܕܡܟܘ ܒܡܫܝܚܐ ܐܒܕܘ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kuhusu hukumu kwa sababu mkuu wa ulimwengu huu amekwisha hukumiwa. \t ܥܠ ܕܝܢܐ ܕܝܢ ܕܐܪܟܘܢܐ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܕܝܢ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipoona hivyo, alikasirika akawaambia, \"Waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mungu ni kwa ajili ya watu walio kama watoto hawa. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܚܙܐ ܘܐܬܒܐܫ ܠܗ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܫܒܘܩܘ ܛܠܝܐ ܐܬܝܢ ܠܘܬܝ ܘܠܐ ܬܟܠܘܢ ܐܢܘܢ ܕܕܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܐܝܟ ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܐܝܬܝܗ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, kama urithi ya Mungu inategemea Sheria, basi, haiwezi kutegemea tena ahadi ya Mungu. Kumbe, lakini Mungu alimkirimia Abrahamu kwa sababu aliahidi. \t ܐܢ ܕܝܢ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܗܝ ܝܪܬܘܬܐ ܡܟܝܠ ܠܐ ܗܘܬ ܡܢ ܡܘܠܟܢܐ ܠܐܒܪܗܡ ܕܝܢ ܒܡܘܠܟܢܐ ܗܘ ܝܗܒ ܠܗ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huzikwa katika hali duni, hufufuliwa katika hali tukufu; huzikwa katika hali dhaifu, hufufuliwa ukiwa wenye nguvu. \t ܡܙܕܪܥܝܢ ܒܨܥܪܐ ܩܝܡܝܢ ܒܫܘܒܚܐ ܡܙܕܪܥܝܢ ܒܟܪܝܗܘܬܐ ܩܝܡܝܢ ܒܚܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao waliendelea na safari toka Pisga hadi mjini Antiokia Pisidia. Siku ya Sabato waliingia ndani ya Sunagogi, wakakaa. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܢܦܩܘ ܡܢ ܦܪܓܐ ܘܐܬܘ ܠܐܢܛܝܟܝܐ ܡܕܝܢܬܐ ܕܦܝܤܝܕܝܐ ܘܥܠܘ ܠܟܢܘܫܬܐ ܘܝܬܒܘ ܒܝܘܡܐ ܘܫܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamwambia, \"Mwalimu, Mose alisema mtu aliyeoa akifa bila kuacha watoto, lazima ndugu yake amwoe huyo mama mjane, amzalie ndugu yake watoto. \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܠܦܢܐ ܡܘܫܐ ܐܡܪ ܠܢ ܕܐܢ ܐܢܫ ܢܡܘܬ ܟܕ ܠܝܬ ܠܗ ܒܢܝܐ ܢܤܒ ܐܚܘܗܝ ܐܢܬܬܗ ܘܢܩܝܡ ܙܪܥܐ ܠܐܚܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akamtuma tena wa tatu; huyu naye, baada ya kumwumiza, wakamfukuza. \t ܘܐܘܤܦ ܘܫܕܪ ܕܬܠܬܐ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܘܐܦ ܠܗܘ ܨܠܦܘܗܝ ܘܐܦܩܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baba anampenda Mwana na amemkabidhi vitu vyote. \t ܐܒܐ ܡܚܒ ܠܒܪܐ ܘܟܠ ܡܕܡ ܝܗܒ ܒܐܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wazazi wake walipomwona walishangaa. Maria, mama yake, akamwuliza, \"Mwanangu, kwa nini umetutenda hivyo? Baba yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa huzuni.\" \t ܘܟܕ ܚܙܐܘܗܝ ܬܡܗܘ ܘܐܡܪܬ ܠܗ ܐܡܗ ܒܪܝ ܠܡܢܐ ܥܒܕܬ ܠܢ ܗܟܢܐ ܕܗܐ ܐܒܘܟ ܘܐܢܐ ܒܛܘܪܦܐ ܤܓܝܐܐ ܒܥܝܢ ܗܘܝܢ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini Mungu alinionea huruma, ili Kristo aonyeshe uvumilivu wake wote kwangu mimi, kama mfano kwa wale wote ambao baadaye watamwamini na kupokea uzima wa milele. \t ܐܠܐ ܡܛܠ ܗܢܐ ܪܚܡ ܥܠܝ ܕܒܝ ܩܕܡܐ ܢܚܘܐ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܟܠܗ ܡܓܪܬ ܪܘܚܗ ܠܬܚܘܝܬܐ ܕܐܝܠܝܢ ܕܥܬܝܕܝܢ ܕܢܗܝܡܢܘܢ ܒܗ ܠܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mahali popote ambapo watu watakataa kuwakaribisheni au kuwasikiliza, ondokeni hapo na kuyakung'uta mavumbi miguuni mwenu kama onyo kwao.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܠܐܝܢܐ ܒܝܬܐ ܕܥܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܬܡܢ ܗܘܘ ܥܕܡܐ ܕܢܦܩܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Miongoni mwao walikuwa Maria Magdalene, Maria mama yao Yakobo na Yosefu, pamoja na mama yao wana wa Zebedayo. \t ܕܚܕܐ ܡܢܗܝܢ ܡܪܝܡ ܡܓܕܠܝܬܐ ܘܡܪܝܡ ܐܡܗ ܕܝܥܩܘܒ ܘܕܝܘܤܐ ܘܐܡܗܘܢ ܕܒܢܝ ܙܒܕܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo, fanyeni bidii ya kuongeza fadhila katika imani yenu: ongezeni elimu katika fadhila yenu, \t ܘܗܝ ܕܝܢ ܗܕܐ ܟܕ ܫܩܠܛܥܢܐ ܟܠܗ ܡܥܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܘܤܦܘ ܥܠ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܡܝܬܪܘܬܐ ܥܠ ܕܝܢ ܡܝܬܪܘܬܐ ܝܕܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Petro alipowaona watu hao akawaambia, \"Wananchi wa Israeli, kwa nini mnashangazwa na jambo hili? Mbona mnatukodolea macho kana kwamba ni kwa nguvu zetu au utakatifu wetu sisi wenyewe tumemfanya mtu huyu aweze kutembea? \t ܘܟܕ ܚܙܐ ܫܡܥܘܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܓܒܪܐ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܡܢܐ ܡܬܕܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܗܢܐ ܐܘ ܒܢ ܡܢܐ ܚܝܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܝܟ ܗܘ ܕܒܚܝܠܐ ܕܝܠܢ ܐܘ ܒܫܘܠܛܢܢ ܥܒܕܢ ܗܕܐ ܕܢܗܠܟ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaonya, \"Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.\" \t ܘܦܩܕ ܐܢܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܚܙܘ ܐܙܕܗܪܘ ܡܢ ܚܡܝܪܐ ܕܦܪܝܫܐ ܘܡܢ ܚܡܝܪܗ ܕܗܪܘܕܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi yenu wameanza kuwa na majivuno wakidhani kwamba sitakuja tena kwenu. \t ܐܝܟ ܗܘ ܕܝܢ ܕܠܐ ܐܬܐ ܐܢܐ ܠܘܬܟܘܢ ܐܬܚܬܪܘ ܐܢܫܐ ܡܢܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipomaliza kuongea, Yakobo alianza kusema: \"Ndugu zangu, nisikilizeni! \t ܘܒܬܪ ܕܫܬܩܘ ܩܡ ܝܥܩܘܒ ܘܐܡܪ ܓܒܪܐ ܐܚܝܢ ܫܘܡܥܘܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengine katika lile kundi la watu walikuwa wanapayuka kitu hiki na wengine kitu kingine. Kwa sababu ya ghasia hiyo, mkuu wa jeshi hakufaulu kujua kisa kamili. Hivyo, aliamuru watu wake wampeleke Paulo ndani ya ngome. \t ܘܩܥܝܢ ܗܘܘ ܥܠܘܗܝ ܐܢܫܐ ܡܢ ܐܟܠܘܤ ܡܕܡ ܡܕܡ ܘܡܛܠ ܩܥܬܗܘܢ ܠܐ ܡܫܟܚ ܗܘܐ ܠܡܕܥ ܐܝܕܐ ܗܝ ܫܪܝܪܬܐ ܘܦܩܕ ܗܘܐ ܕܢܘܒܠܘܢܗ ܠܡܫܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuna namna nyingi za kutumikia, lakini Bwana anayetumikiwa ni mmoja. \t ܘܦܘܠܓܐ ܕܬܫܡܫܬܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܐܠܐ ܚܕ ܗܘ ܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nimekuwa nikienda huko na huko kati yenu nikiuhubiri Ufalme wa Mungu. Sasa lakini, najua hakuna hata mmoja wenu atakayeniona tena. \t ܘܗܫܐ ܐܢܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܕܬܘܒ ܦܪܨܘܦܝ ܠܐ ܚܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܟܠܟܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܐܬܟܪܟܬ ܐܟܪܙܬ ܠܟܘܢ ܡܠܟܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maskini mnao daima pamoja nanyi; mnaweza kuwasaidia wakati wowote mnaopenda. Lakini mimi sitakuwapo pamoja nanyi daima. \t ܒܟܠܙܒܢ ܓܝܪ ܡܤܟܢܐ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܥܡܟܘܢ ܘܐܡܬܝ ܕܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܬܥܒܕܘܢ ܠܗܘܢ ܕܫܦܝܪ ܐܢܐ ܕܝܢ ܠܐ ܒܟܠܙܒܢ ܐܝܬܝ ܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wakaamua jambo hilo lisifanyike wakati wa sikukuu, kusije kukatokea ghasia kati ya watu. \t ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܠܐ ܒܥܕܥܕܐ ܕܠܐ ܢܗܘܐ ܫܓܘܫܝܐ ܒܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakasema, \"Mheshimiwa, tunakumbuka kwamba yule mdanganyifu alisema kabla ya kufa ati, Baada ya siku tatu nitafufuka. \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܪܢ ܐܬܕܟܪܢ ܕܗܘ ܡܛܥܝܢܐ ܐܡܪ ܗܘܐ ܟܕ ܚܝ ܕܡܢ ܒܬܪ ܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܩܐܡ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Solomoni alimzaa Rehoboamu, Rehoboamu alimzaa Abiya, Abiya alimzaa Asa, \t ܫܠܝܡܘܢ ܐܘܠܕ ܠܪܚܒܥܡ ܪܚܒܥܡ ܐܘܠܕ ܠܐܒܝܐ ܐܒܝܐ ܐܘܠܕ ܠܐܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha tuliagana; sisi tukapanda meli nao wakarudi makwao. \t ܘܢܫܩܢ ܠܚܕܕܐ ܘܤܠܩܢ ܠܐܠܦܐ ܘܗܦܟܘ ܗܢܘܢ ܠܒܬܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nido kusema, wale waliozaliwa kimaumbile ndio watoto wa Mungu, bali wale waliozaliwa kutokana na ahadi ya Mungu ndio watakaoitwa watoto wake. \t ܗܢܘ ܕܝܢ ܠܐ ܗܘܐ ܒܢܝܐ ܕܒܤܪܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܒܢܝܐ ܕܐܠܗܐ ܐܠܐ ܒܢܝܐ ܕܡܘܠܟܢܐ ܡܬܚܫܒܝܢ ܠܙܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mimi nawaambieni, atakayemtazama mwanamke kwa kumtamani, amekwisha zini naye moyoni mwake. \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܟܠ ܡܢ ܕܚܙܐ ܐܢܬܬܐ ܐܝܟ ܕܢܪܓܝܗ ܡܚܕܐ ܓܪܗ ܒܠܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi sisi twafundisha, si kwa maneno tuliyofundishwa kwa hekima ya binadamu, bali kwa maneno tuliyofundishwa na Roho, tukifafanua mambo ya kiroho kwa walio na huyo Roho. \t ܐܝܠܝܢ ܕܐܦ ܡܡܠܠܝܢܢ ܠܐ ܗܘܐ ܒܝܘܠܦܢܐ ܕܡܠܐ ܕܚܟܡܬܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܐܠܐ ܒܝܘܠܦܢܐ ܕܪܘܚܐ ܘܠܪܘܚܢܐ ܪܘܚܢܝܬܐ ܡܦܚܡܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa nasema nanyi kama watoto wangu, wekeni mioyo yenu wazi kama nasi tulivyofanya. \t ܐܝܟ ܕܠܒܢܝܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܦܘܪܥܘܢܝ ܚܘܒܠܝ ܕܠܘܬܟܘܢ ܘܪܘܚܘ ܚܘܒܟܘܢ ܠܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wamepotoka na hawana aibu, wamejitosa katika ufisadi; hufanya kwa pupa kila aina ya mambo ya aibu. \t ܗܢܘܢ ܕܦܤܩܘ ܤܒܪܗܘܢ ܘܐܫܠܡܘ ܢܦܫܗܘܢ ܠܦܚܙܘܬܐ ܘܠܦܘܠܚܢܐ ܕܟܠܗ ܛܢܦܘܬܐ ܒܝܥܢܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Atawaelekeza wengi wa watu wa Israeli kwa Bwana Mungu wao. \t ܘܤܓܝܐܐ ܡܢ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܢܦܢܐ ܠܘܬ ܡܪܝܐ ܐܠܗܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu waliokuwa najisi kidini waliweza kutakasika na kuwa safi waliponyunyiziwa damu ya mbuzi na ya ng'ombe pamoja na majivu ya ndama. \t ܐܢ ܓܝܪ ܕܡܐ ܕܨܦܪܝܐ ܘܕܥܓܠܐ ܘܩܛܡܐ ܕܥܓܠܬܐ ܡܬܪܤܤ ܗܘܐ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܡܬܛܡܐܝܢ ܗܘܘ ܘܡܩܕܫ ܠܗܘܢ ܠܕܘܟܝܐ ܕܒܤܪܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na bakuli akaja, akaniambia, \"Njoo, mimi nitakuonyesha adhabu aliyopewa yule mzinzi mkuu, mji ule uliojengwa juu ya maji mengi. \t ܘܐܬܐ ܚܕ ܡܢ ܫܒܥܐ ܡܠܐܟܐ ܕܐܝܬ ܥܠܝܗܘܢ ܫܒܥ ܙܒܘܪܝܢ ܘܡܠܠ ܥܡܝ ܠܡܐܡܪ ܬܐ ܒܬܪܝ ܐܚܘܝܟ ܕܝܢܐ ܕܙܢܝܬܐ ܕܝܬܒܐ ܥܠ ܡܝܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ikiwa mioyo yenu imejaa wivu, chuki na ubinafsi, basi, msijisifu na kusema uongo dhidi ya ukweli. \t ܐܢ ܕܝܢ ܚܤܡܐ ܡܪܝܪܐ ܐܝܬ ܒܟܘܢ ܐܘ ܚܪܝܢܐ ܒܠܒܝܟܘܢ ܠܐ ܬܬܚܬܪܘܢ ܥܠ ܩܘܫܬܐ ܘܬܕܓܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikamwona malaika mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa amevikwa wingu, na upinde wa mvua kichwani mwake. Uso wake ulikuwa kama jua, na miguu yake ilikuwa kama moto. \t ܘܚܙܝܬ ܐܚܪܢܐ ܡܠܐܟܐ ܕܢܚܬ ܡܢ ܫܡܝܐ ܘܡܥܛܦ ܥܢܢܐ ܘܩܫܬܐ ܕܫܡܝܐ ܥܠ ܪܫܗ ܘܚܙܘܗ ܐܝܟ ܫܡܫܐ ܘܪܓܠܘܗܝ ܐܝܟ ܥܡܘܕܐ ܕܢܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msiambatane na watu wasioamini. Je, wema na uovu vyapatana kweli? Mwanga na giza vyawezaje kukaa pamoja? \t ܘܠܐ ܬܗܘܘܢ ܒܢܝ ܙܘܓܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܐܝܕܐ ܓܝܪ ܫܘܬܦܘܬܐ ܐܝܬ ܠܙܕܝܩܘܬܐ ܥܡ ܥܘܠܐ ܐܘ ܐܝܢܐ ܚܘܠܛܢܐ ܐܝܬ ܠܢܗܝܪܐ ܥܡ ܚܫܘܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaendea, akawagusa, akasema, \"Simameni, msiogope!\" \t ܘܐܬܩܪܒ ܠܘܬܗܘܢ ܝܫܘܥ ܘܩܪܒ ܠܗܘܢ ܘܐܡܪ ܩܘܡܘ ܠܐ ܬܕܚܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenendo wao unaonyesha kwamba matakwa ya Sheria yameandikwa mioyoni mwao. Dhamiri zao zinashuhudia pia jambo hilo, maana fikira zao mara nyingine huwashtaki, na mara nyingine huwatetea. \t ܘܗܢܘܢ ܡܚܘܝܢ ܥܒܕܗ ܕܢܡܘܤܐ ܟܕ ܟܬܝܒ ܥܠ ܠܒܗܘܢ ܘܡܤܗܕܐ ܥܠܝܗܘܢ ܬܐܪܬܗܘܢ ܟܕ ܡܚܫܒܬܗܘܢ ܡܟܘܢܢ ܐܘ ܢܦܩܢ ܪܘܚܐ ܠܚܕܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nawaambieni, Siku ya hukumu mji huo utapata adhabu kubwa kuliko ile iliyoipata miji ya Sodoma na Gomora. \t ܘܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܐܪܥܐ ܕܤܕܘܡ ܘܕܥܡܘܪܐ ܢܗܘܐ ܢܝܚ ܒܝܘܡܐ ܕܕܝܢܐ ܐܘ ܠܡܕܝܢܬܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wakafanya kama Yesu alivyowaagiza, wakaandaa Pasaka. \t ܘܬܠܡܝܕܘܗܝ ܥܒܕܘ ܐܝܟܢܐ ܕܦܩܕ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܘܛܝܒܘ ܦܨܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, chemchemi moja yaweza kutoa maji matamu na maji machungu pamoja? \t ܕܠܡܐ ܡܫܟܚܐ ܕܡܢ ܚܕ ܡܒܘܥܐ ܢܦܩܘܢ ܡܝܐ ܚܠܝܐ ܘܡܪܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakaambiana, \"Je, mioyo yetu haikuwa inawaka ndani yetu wakati alipokuwa anatufafanulia Maandiko Matakatifu kule njiani?\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܚܕ ܠܚܕ ܠܐ ܗܘܐ ܠܒܢ ܝܩܝܪ ܗܘܐ ܒܓܘܢ ܟܕ ܡܡܠܠ ܥܡܢ ܒܐܘܪܚܐ ܘܡܦܫܩ ܠܢ ܟܬܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Itakuwa kama mtu anayeondoka nyumbani kwenda safari akiwaachia watumishi wake madaraka, kila mmoja na kazi yake; akamwambia mlinzi wa mlango awe macho. \t ܐܝܟ ܓܒܪܐ ܗܘ ܓܝܪ ܕܚܙܩ ܘܫܒܩ ܒܝܬܗ ܘܝܗܒ ܫܘܠܛܢܐ ܠܥܒܕܘܗܝ ܘܠܐܢܫ ܐܢܫ ܥܒܕܗ ܘܠܬܪܥܐ ܦܩܕ ܕܢܗܘܐ ܥܝܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hakuwa anatufikiria sisi aliposema hivyo? Naam, haya yaliandikwa kwa ajili yetu; kwani yule anayelima na yule anayevuna, wote wawili wana haki ya kutumaini kupata sehemu ya mavuno. \t ܐܠܐ ܝܕܝܥܐ ܕܡܛܠܬܢ ܗܘ ܐܡܪ ܘܡܛܠܬܢ ܓܝܪ ܐܬܟܬܒܬ ܡܛܠ ܕܥܠ ܤܒܪܐ ܗܘ ܘܠܐ ܠܗ ܠܟܪܘܒܐ ܕܢܟܪܘܒ ܘܐܝܢܐ ܕܡܕܪܟ ܥܠ ܤܒܪܐ ܕܥܠܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilimtuma Tukiko kule Efeso. \t ܠܛܘܟܝܩܘܤ ܕܝܢ ܫܕܪܬ ܠܐܦܤܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mungu alipokuwa anamtuma Mwanae mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, alisema: \"Malaika wote wa Mungu wanapaswa kumwabudu.\" \t ܬܘܒ ܕܝܢ ܐܡܬܝ ܕܡܥܠ ܒܘܟܪܐ ܠܥܠܡܐ ܐܡܪ ܕܠܗ ܢܤܓܕܘܢ ܟܠܗܘܢ ܡܠܐܟܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mbele ya kiti cha enzi kulikuwa na kitu kama bahari ya kioo, angavu kama jiwe linga'aalo sana. Katika pande zote za hicho kiti cha enzi na kukizunguka, kilikuwa na viumbe hai vinne. Viumbe hivyo vilikuwa vimejaa macho mbele na nyuma. \t ܘܩܕܡ ܟܘܪܤܝܐ ܝܡܐ ܕܙܓܘܓܝܬܐ ܐܝܟ ܕܘܡܝܐ ܕܓܠܝܕܐ ܘܒܡܨܥܬ ܟܘܪܤܝܐ ܘܚܕܪܘܗܝ ܕܟܘܪܤܝܐ ܐܪܒܥ ܚܝܘܢ ܕܡܠܝܢ ܥܝܢܐ ܡܢ ܩܕܡܝܗܝܢ ܘܡܢ ܒܤܬܪܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na sasa naishi, lakini si mimi tena, bali Kristo anaishi ndani yangu. Maisha haya ninayoishi sasa naishi kwa imani, imani katika Mwana wa Mungu aliyenipenda hata akayatoa maisha yake kwa ajili yangu. \t ܘܥܡ ܡܫܝܚܐ ܙܩܝܦ ܐܢܐ ܘܡܟܝܠ ܠܐ ܗܘܐ ܐܢܐ ܚܝ ܐܢܐ ܐܠܐ ܚܝ ܒܝ ܡܫܝܚܐ ܘܗܢܐ ܕܗܫܐ ܚܝ ܐܢܐ ܒܒܤܪ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܗܘ ܕܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܚܝ ܐܢܐ ܗܘ ܕܐܚܒܢ ܘܝܗܒ ܢܦܫܗ ܚܠܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiwe uliyemfanya mtumishi wako, babu yetu Daudi, aseme kwa nguvu ya Roho Mtakatifu: Kwa nini mataifa yameghadhibika? Mbona watu wamefanya mipango ya bure? \t ܘܐܢܬ ܗܘ ܕܡܠܠܬ ܒܝܕ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܒܦܘܡ ܕܘܝܕ ܥܒܕܟ ܠܡܢܐ ܪܓܫܘ ܥܡܡܐ ܘܐܡܘܬܐ ܪܢܝ ܤܪܝܩܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku sita kabla ya sikukuu ya Pasaka, Yesu alifika Bethania alikoishi Lazaro ambaye Yesu alikuwa amemfufua kutoka wafu. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܩܕܡ ܫܬܐ ܝܘܡܝܢ ܕܦܨܚܐ ܐܬܐ ܠܒܝܬ ܥܢܝܐ ܐܝܟܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܠܥܙܪ ܗܘ ܕܐܩܝܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܗܘ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akawaambia, \"Usiku huu wa leo, ninyi nyote mtakuwa na mashaka nami, maana Maandiko Matakatifu yasema: Nitampiga mchungaji, na kondoo wa kundi watatawanyika. \t ܗܝܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܢܬܘܢ ܟܠܟܘܢ ܬܬܟܫܠܘܢ ܒܝ ܒܗܢܐ ܠܠܝܐ ܟܬܝܒ ܓܝܪ ܕܐܡܚܐ ܠܪܥܝܐ ܘܢܬܒܕܪܘܢ ܥܪܒܐ ܕܥܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akamwambia: Nakuhukumu kutokana na msemo wako, ewe mtumishi mbaya! Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, ambaye huchukua yasiyo yangu na kuchuma nisichopanda. \t ܐܡܪ ܠܗ ܡܢ ܦܘܡܟ ܐܕܘܢܟ ܥܒܕܐ ܒܝܫܐ ܝܕܥ ܗܘܝܬ ܠܝ ܕܓܒܪܐ ܐܢܐ ܩܫܝܐ ܘܫܩܠ ܐܢܐ ܡܕܡ ܕܠܐ ܤܡܬ ܘܚܨܕ ܐܢܐ ܡܕܡ ܕܠܐ ܙܪܥܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye husema yale aliyoyaona na kuyasikia, lakini hakuna mtu anayekubali ujumbe wake. \t ܘܡܕܡ ܕܚܙܐ ܘܫܡܥ ܡܤܗܕ ܘܤܗܕܘܬܗ ܠܐ ܐܢܫ ܡܩܒܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ulikuwa mwanga wa watu. \t ܒܗ ܚܝܐ ܗܘܐ ܘܚܝܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܢܘܗܪܐ ܕܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamjibu, \"Ni vya Kaisari.\" Hapo Yesu akawaambia, \"Basi, mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari, na Mungu yaliyo yake Mungu.\" \t ܐܡܪܝܢ ܕܩܤܪ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܒܘ ܗܟܝܠ ܕܩܤܪ ܠܩܤܪ ܘܕܐܠܗܐ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani aliishi kama mgeni katika nchi aliyoahidiwa na Mungu. Aliishi huko katika hema kama walivyoishi Isaka na Yakobo, ambao pia walishiriki ahadi ileile. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܗܘܐ ܬܘܬܒܐ ܒܐܪܥܐ ܗܝ ܕܐܬܡܠܟܬ ܠܗ ܐܝܟ ܕܒܢܘܟܪܝܬܐ ܘܒܡܫܟܢܐ ܥܡܪ ܥܡ ܐܝܤܚܩ ܘܝܥܩܘܒ ܒܢܝ ܝܪܬܘܬܐ ܕܝܠܗ ܕܡܘܠܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makanisa yote ya Asia yanawasalimuni. Akula na Priskila pamoja na watu wote wa Mungu walio nyumbani mwao wanawasalimuni sana katika Bwana. \t ܫܐܠܢ ܒܫܠܡܟܘܢ ܥܕܬܐ ܟܠܗܝܢ ܕܒܐܤܝܐ ܫܐܠܝܢ ܒܫܠܡܟܘܢ ܤܓܝ ܒܡܪܢ ܐܩܠܘܤ ܘܦܪܝܤܩܠܐ ܥܡ ܥܕܬܐ ܕܒܒܝܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaamuru watu waketi katika nyasi. Kisha akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru Mungu. Halafu akaimega hiyo mikate, akawapa wanafunzi wake, nao wakawapa watu. \t ܘܦܩܕ ܠܟܢܫܐ ܠܡܤܬܡܟܘ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܫܩܠ ܗܢܘܢ ܚܡܫܐ ܠܚܡܝܢ ܘܬܪܝܢ ܢܘܢܝܢ ܘܚܪ ܒܫܡܝܐ ܘܒܪܟ ܘܩܨܐ ܘܝܗܒ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܗܢܘܢ ܬܠܡܝܕܐ ܤܡܘ ܠܟܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwishowe, Yesu aliwatokea wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa pamoja mezani. Akawakemea sana kwa sababu ya kutoamini kwao na ukaidi wao, maana hawakuwaamini wale waliokuwa wamemwona baada ya kufufuka. \t ܐܚܪܝܬ ܕܝܢ ܐܬܚܙܝ ܠܚܕܥܤܪ ܟܕ ܤܡܝܟܝܢ ܘܚܤܕ ܠܚܤܝܪܘܬ ܗܝܡܢܘܬܗܘܢ ܘܠܩܫܝܘܬ ܠܒܗܘܢ ܕܠܗܢܘܢ ܕܚܙܐܘܗܝ ܕܩܡ ܠܐ ܗܝܡܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara, watu wote wakiwa wanamtazama, huyo mtu akainuka, akauchukua mkeka wake, akaenda zake. Watu wote wakashangaa na kumtukuza Mungu wakisema, \"Hatujapata kamwe kuona jambo kama hili.\" \t ܘܩܡ ܒܪ ܫܥܬܗ ܘܫܩܠ ܥܪܤܗ ܘܢܦܩ ܠܥܝܢ ܟܠܗܘܢ ܐܝܟܢܐ ܕܢܬܕܡܪܘܢ ܟܠܗܘܢ ܘܢܫܒܚܘܢ ܠܐܠܗܐ ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܕܠܐ ܡܡܬܘܡ ܚܙܝܢ ܗܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawauliza tena, \"Mnamtafuta nani?\" Wakamjibu, \"Yesu wa Nazareti!\" \t ܬܘܒ ܫܐܠ ܐܢܘܢ ܝܫܘܥ ܠܡܢ ܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܘ ܠܝܫܘܥ ܢܨܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu watu wa Mungu ambao mmeitwa na Mungu, fikirini juu ya Yesu ambaye Mungu alimtuma awe Kuhani Mkuu wa imani tunayoiungama. \t ܡܟܝܠ ܐܚܝ ܩܕܝܫܐ ܕܐܬܩܪܝܬܘܢ ܒܩܪܝܢܐ ܕܡܢ ܫܡܝܐ ܚܙܐܘܗܝ ܠܗܢܐ ܫܠܝܚܐ ܘܪܒ ܟܘܡܪܐ ܕܬܘܕܝܬܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wote hawakuipokea hiyo Habari Njema. Maana Isaya alisema: \"Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?\" \t ܐܠܐ ܠܐ ܗܘܐ ܟܠܗܘܢ ܐܫܬܡܥܘ ܠܤܒܪܬܐ ܕܐܘܢܓܠܝܘܢ ܐܫܥܝܐ ܓܝܪ ܐܡܪ ܡܪܝ ܡܢܘ ܗܝܡܢ ܠܒܪܬ ܩܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakampeleka. Mara tu huyo pepo alipomwona Yesu, alimtia mtoto kifafa, naye mtoto akaanguka chini, akagaagaa na kutoka povu kinywani. Yesu akamwuliza baba yake huyo mtoto, \t ܘܐܝܬܝܘܗܝ ܠܘܬܗ ܘܟܕ ܚܙܬܗ ܪܘܚܐ ܒܪ ܫܥܬܗ ܚܒܛܬܗ ܘܢܦܠ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܡܬܒܥܩ ܗܘܐ ܘܡܪܥܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi kukatokea ubishi mkali kati yao, na wakaachana. Barnaba akamchukua Marko, wakapanda meli kwenda Kupro. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܚܪܝܢܐ ܦܪܫܘ ܚܕ ܡܢ ܚܕ ܘܒܪܢܒܐ ܕܒܪ ܠܡܪܩܘܤ ܘܪܕܘ ܒܝܡܐ ܘܐܙܠܘ ܠܗܘܢ ܠܩܘܦܪܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya siku tatu, Paulo aliwaita pamoja viongozi wa Kiyahudi wa mahali hapo. Walipokusanyika, Paulo aliwaambia, \"Wananchi wenzangu, mimi, ingawa sikufanya chochote kibaya wala kupinga desturi za wazee wetu, nilitiwa nguvuni kule Yerusalemu na kutiwa mikononi mwa Waroma. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܫܕܪ ܦܘܠܘܤ ܩܪܐ ܠܪܫܢܝܗܘܢ ܕܝܗܘܕܝܐ ܘܟܕ ܐܬܟܢܫܘ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܓܒܪܐ ܐܚܝ ܐܢܐ ܟܕ ܒܡܕܡ ܠܐ ܩܡܬ ܠܘܩܒܠ ܥܡܐ ܘܢܡܘܤܐ ܕܐܒܗܝ ܒܐܤܘܪܐ ܐܫܬܠܡܬ ܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܒܐܝܕܐ ܕܪܗܘܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Heri wale waliosamehewa makosa yao ambao makosa yao yamefutwa. \t ܕܛܘܒܝܗܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܫܬܒܩ ܠܗܘܢ ܥܘܠܗܘܢ ܘܐܬܟܤܝܘ ܚܛܗܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana tunaamini kwa moyo na kukubaliwa kuwa waadilifu; na tunakiri kwa midomo yetu na kuokolewa. \t ܠܒܐ ܓܝܪ ܕܡܗܝܡܢ ܒܗ ܡܙܕܕܩ ܘܦܘܡܐ ܕܡܘܕܐ ܒܗ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Sheria ya Mose haikuweza kukamilisha jambo lolote. Lakini sasa, mahali pake pamewekwa tumaini lililo bora zaidi ambalo kwalo tunaweza kumkaribia Mungu. \t ܡܕV ܓܝܪ ܠܐ ܓܡܪ ܢܡܘܤܐ ܥܠ ܕܝܢ ܚܠܦܘܗܝ ܤܒܪܐ ܕܡܝܬܪ ܡܢܗ ܕܒܗ ܡܬܩܪܒܝܢܢ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Asiyenipenda hashiki maneno yangu. Na neno mlilosikia si langu, bali ni lake Baba aliyenituma. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܠܐ ܪܚܡ ܠܝ ܡܠܬܝ ܠܐ ܢܛܪ ܘܡܠܬܐ ܗܕܐ ܕܫܡܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܗܘܬ ܕܝܠܝ ܐܠܐ ܕܐܒܐ ܕܫܕܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni Ufalme. \t ܠܐ ܬܕܚܠ ܓܙܪܐ ܙܥܘܪܐ ܕܨܒܐ ܐܒܘܟܘܢ ܕܢܬܠ ܠܟܘܢ ܡܠܟܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wakamwambia, \"Mwalimu! Muda mfupi tu umepita tangu Wayahudi walipotaka kukuua kwa mawe, nawe unataka kwenda huko tena?\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܪܒܢ ܗܫܐ ܝܗܘܕܝܐ ܒܥܝܢ ܗܘܘ ܠܡܪܓܡܟ ܘܬܘܒ ܐܙܠ ܐܢܬ ܠܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kweli nawaambieni, watu watasamehewa dhambi zao zote na kufuru zao zote; \t ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܟܠܗܘܢ ܚܛܗܐ ܘܓܘܕܦܐ ܕܢܓܕܦܘܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܢܫܬܒܩܘܢ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, walipofika hapa sikukawia, ila nilifanya kikao mahakamani kesho yake, nikaamuru mtu huyo aletwe. \t ܘܟܕ ܐܬܝܬ ܠܟܐ ܕܠܐ ܬܘܗܝܐ ܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܝܬܒܬ ܥܠ ܒܝܡ ܘܦܩܕܬ ܕܢܝܬܘܢܝܗܝ ܠܝ ܠܓܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunapaswa kumshukuru Mungu daima kwa ajili yenu ninyi ndugu, ninyi mnaopendwa na Bwana, kwa maana Mungu amewateua tangu mwanzo mpate kuokolewa kwa nguvu ya Roho mfanywe watu wake watakatifu kwa imani yenu katika ukweli. \t ܚܢܢ ܕܝܢ ܚܝܒܝܢܢ ܠܡܘܕܝܘ ܠܐܠܗܐ ܒܟܠܙܒܢ ܥܠ ܐܦܝܟܘܢ ܐܚܝܢ ܚܒܝܒܘܗܝ ܕܡܪܢ ܕܓܒܟܘܢ ܐܠܗܐ ܡܢ ܪܫܝܬܐ ܠܚܝܐ ܒܩܕܝܫܘܬܐ ܕܪܘܚܐ ܘܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kusema juu ya agano jipya, Mungu alilichakaza lile la kwanza; na chochote kinachochakaa na kuwa kikuukuu kitatoweka karibuni. \t ܒܗܝ ܕܐܡܪ ܚܕܬܐ ܠܩܕܡܝܬܐ ܐܥܬܩܗ ܘܐܝܢܐ ܕܥܬܩ ܘܤܐܒ ܩܪܝܒ ܗܘ ܠܚܒܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mnapofunga, msiwe na huzuni kama wanafiki. Wao hukunja nyuso zao wapate kuonekana na watu kuwa wanafunga. Nawaambieni hakika, hao wamekwisha pata tuzo lao. \t ܐܡܬܝ ܕܝܢ ܕܨܝܡܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܬܗܘܘܢ ܟܡܝܪܐ ܐܝܟ ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܡܚܒܠܝܢ ܓܝܪ ܦܪܨܘܦܝܗܘܢ ܐܝܟ ܕܢܬܚܙܘܢ ܠܒܢܝܢܫܐ ܕܨܝܡܝܢ ܘܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܩܒܠܘ ܐܓܪܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msiwe kama wao. Baba yenu anajua mnayoyahitaji hata kabla ya kumwomba. \t ܠܐ ܗܟܝܠ ܬܕܡܘܢ ܠܗܘܢ ܐܒܘܟܘܢ ܓܝܪ ܝܕܥ ܡܢܐ ܡܬܒܥܐ ܠܟܘܢ ܥܕܠܐ ܬܫܐܠܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Maandiko Matakatifu yasema: \"Tazama! Naweka huko sioni jiwe kuu la msingi, jiwe la thamani kubwa nililoliteua. Mtu atakayemwamini yeye aliye hilo jiwe, hataaibishwa.\" \t ܐܡܝܪ ܗܘ ܓܝܪ ܒܟܬܒܐ ܕܗܐ ܤܐܡ ܐܢܐ ܒܨܗܝܘܢ ܟܐܦܐ ܒܚܝܪܬܐ ܘܝܩܝܪܬܐ ܒܪܝܫ ܙܘܝܬܐ ܘܡܢ ܕܡܗܝܡܢ ܒܗ ܠܐ ܢܒܗܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, asemaye neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa, lakini yule asemaye neno la kumpinga Roho Mtakatifu, hatasamehewa, wala katika ulimwengu huu, wala katika ulimwengu ujao. \t ܘܟܠ ܡܢ ܕܢܐܡܪ ܡܠܬܐ ܥܠ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܢܫܬܒܩ ܠܗ ܟܠ ܕܝܢ ܕܥܠ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܢܐܡܪ ܠܐ ܢܫܬܒܩ ܠܗ ܠܐ ܒܥܠܡܐ ܗܢܐ ܘܠܐ ܒܥܠܡܐ ܕܥܬܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtoto wa kiume wa dada yake Paulo alisikia juu ya mpango huo; hivyo akaenda ndani ya ngome, akamjulisha Paulo juu ya njama hiyo. \t ܘܫܡܥ ܗܘܐ ܒܪ ܚܬܗ ܕܦܘܠܘܤ ܐܦܪܤܢܐ ܗܢܐ ܘܥܠ ܠܡܫܪܝܬܐ ܘܒܕܩ ܠܦܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Petro akamwuliza, \"Na sisi je? Tumeacha vitu vyote tukakufuata!\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܗܐ ܚܢܢ ܫܒܩܢ ܟܠ ܡܕܡ ܘܐܬܝܢ ܒܬܪܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa vile watu walikataa kumtambua Mungu, Mungu amewaacha katika fikira zao potovu, wakafanya yale ambayo hawangestahili kufanya. \t ܘܐܝܟ ܕܠܐ ܕܢܘ ܒܢܦܫܗܘܢ ܕܢܕܥܘܢ ܠܐܠܗܐ ܐܫܠܡ ܐܢܘܢ ܐܠܗܐ ܠܡܕܥܐ ܕܤܪܝܩܘܬܐ ܕܢܗܘܘܢ ܥܒܕܝܢ ܡܕܡ ܕܠܐ ܘܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hilo lilikuwa jambo ambalo hatukulitazamia kabisa! Kwanza walijitolea wao wenyewe kwa Bwana, kisha wakajitolea wenyewe kwetu pia, kufuatana na mapenzi ya Mungu. \t ܘܠܐ ܐܝܟ ܡܐ ܕܤܒܪܝܢ ܗܘܝܢ ܐܠܐ ܢܦܫܗܘܢ ܐܫܠܡܘ ܠܘܩܕܡ ܠܡܪܢ ܘܐܦ ܠܢ ܒܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipomaliza kusema mifano hiyo alitoka mahali hapo, \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܫܠܡ ܝܫܘܥ ܡܬܠܐ ܗܠܝܢ ܫܢܝ ܡܢ ܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kabla ya Sheria kuwako, dhambi ilikuwako ulimwenguni; lakini dhambi haiwekwi katika kumbukumbu bila sheria. \t ܥܕܡܐ ܓܝܪ ܠܢܡܘܤܐ ܚܛܝܬܐ ܟܕ ܐܝܬܝܗ ܗܘܬ ܒܥܠܡܐ ܠܐ ܚܫܝܒܐ ܗܘܬ ܚܛܝܬܐ ܡܛܠ ܕܠܝܬ ܗܘܐ ܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaendea tena, akawakuta wamelala, maana macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi. \t ܘܐܬܐ ܬܘܒ ܐܫܟܚ ܐܢܘܢ ܟܕ ܕܡܟܝܢ ܥܝܢܝܗܘܢ ܓܝܪ ܝܩܝܪܢ ܗܘܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alifanya hivyo, maana alijisemea, \"Nikigusa tu vazi lake, nitapona.\" \t ܐܡܪܐ ܗܘܬ ܓܝܪ ܕܐܦܢ ܠܠܒܘܫܗ ܩܪܒܐ ܐܢܐ ܚܝܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokwisha ondoka, waliambiana, \"Mtu huyu hakufanya chochote kinachostahili adhabu ya kifo au kifungo.\" \t ܘܟܕ ܦܪܩܘ ܡܢ ܬܡܢ ܡܡܠܠܝܢ ܗܘܘ ܚܕ ܥܡ ܚܕ ܘܐܡܪܝܢ ܕܡܕܡ ܕܫܘܐ ܠܡܘܬܐ ܐܘ ܠܐܤܘܪܐ ܠܐ ܥܒܕ ܓܒܪܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni haya kwa faida yenu, na si kwa kuwawekeeni kizuio. Nataka tu muwe na mpango unaofaa, mpate kumtumikia Bwana kwa moyo na nia moja. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܠܥܘܕܪܢܟܘܢ ܗܘ ܕܝܠܟܘܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܐ ܗܘܐ ܡܚܢܘܩܝܬܐ ܪܡܐ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܠܐ ܕܬܗܘܘܢ ܐܡܝܢܝܢ ܠܘܬ ܡܪܟܘܢ ܒܐܤܟܡܐ ܫܦܝܪܐ ܟܕ ܠܐ ܪܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika kuungana na Bwana Yesu, nina hakika kwamba hakuna kitu chochote kilicho najisi kwa asili yake; lakini, mtu akidhani kwamba kitu fulani ni najisi, basi, kwake huwa najisi. \t ܝܕܥ ܐܢܐ ܓܝܪ ܘܡܦܤ ܐܢܐ ܒܡܪܝܐ ܝܫܘܥ ܕܡܕܡ ܕܡܤܝܒ ܡܢ ܠܘܬܗ ܠܝܬ ܐܠܐ ܠܐܝܢܐ ܕܪܢܐ ܥܠ ܡܕܡ ܕܛܡܐ ܠܗܘ ܗܘ ܒܠܚܘܕ ܛܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msishiriki katika matendo yasiyofaa, ya giza bali yafichueni. \t ܘܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܡܫܬܘܬܦܝܢ ܠܘܬ ܥܒܕܐ ܕܚܫܘܟܐ ܕܦܐܪܐ ܠܝܬ ܒܗܘܢ ܐܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܡܟܘܢܝܢ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipompinga na kuanza kumtukana, aliyakung'uta mavazi yake mbele yao akisema, \"Mkipotea ni shauri lenu wenyewe; mimi sina lawama yoyote juu ya jambo hilo. Na tangu sasa nitawaendea watu na mataifa mengine.\" \t ܘܢܦܨ ܡܐܢܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢ ܗܫܐ ܐܢܐ ܕܟܐ ܐܢܐ ܐܙܠ ܐܢܐ ܠܝ ܠܘܬ ܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Habari Njema ya Yesu Kristo, Mwana wa Mungu. \t ܪܫܐ ܕܐܘܢܓܠܝܘܢ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakiwa wenye hofu na furaha kubwa, hao wanawake walitoka upesi kaburini, wakakimbia kwenda kuwaambia wanafunzi wake. \t ܘܐܙܠ ܥܓܠ ܡܢ ܩܒܪܐ ܒܕܚܠܬܐ ܘܒܚܕܘܬܐ ܪܒܬܐ ܘܪܗܛܢ ܕܢܐܡܪܢ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Angalieni mikono na miguu yangu, ya kwamba ni mimi mwenyewe. Nipapaseni mkanione, maana mzimu hauna mwili na mifupa kama mnionavyo.\" \t ܚܙܘ ܐܝܕܝ ܘܪܓܠܝ ܕܐܢܐ ܐܢܐ ܓܘܫܘܢܢܝ ܘܕܥܘ ܕܠܪܘܚܐ ܒܤܪܐ ܘܓܪܡܐ ܠܝܬ ܠܗ ܐܝܟ ܕܚܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܝܬ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mose aliwapeni ile desturi ya kutahiri. (Si kwamba desturi hiyo ilitoka kwa Mose, bali ilitoka kwa mababu). Sasa ninyi humtahiri mtu hata siku ya Sabato. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܡܘܫܐ ܝܗܒ ܠܟܘܢ ܓܙܘܪܬܐ ܠܐ ܗܘܐ ܡܛܠ ܕܡܢܗ ܗܝ ܡܢ ܡܘܫܐ ܐܠܐ ܕܡܢ ܐܒܗܬܐ ܗܝ ܘܒܫܒܬܐ ܓܙܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܪܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Acheni vikue pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia wavunaji: kusanyeni kwanza magugu mkayafunge mafungumafungu ya kuchomwa. Lakini ngano ikusanyeni mkaiweke ghalani mwangu.\" \t ܫܒܘܩܘ ܪܒܝܢ ܬܪܝܗܘܢ ܐܟܚܕܐ ܥܕܡܐ ܠܚܨܕܐ ܘܒܙܒܢܐ ܕܚܨܕܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܚܨܘܕܐ ܓܒܘ ܠܘܩܕܡ ܙܝܙܢܐ ܘܐܤܘܪܘ ܐܢܘܢ ܡܐܤܪܝܬܐ ܕܢܐܩܕܘܢ ܚܛܐ ܕܝܢ ܟܢܫܘ ܐܢܝܢ ܠܐܘܨܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwili hauna kiungo kimoja tu, bali una viungo vingi. \t ܐܦ ܦܓܪܐ ܓܝܪ ܠܐ ܗܘܐ ܚܕ ܗܕܡ ܐܠܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Daudi alipata upendeleo kwa Mungu, akamwomba Mungu ruhusa ya kumjengea makao yeye aliye Mungu wa Yakobo. \t ܗܘ ܕܐܫܟܚ ܪܚܡܐ ܩܕܡܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܘܫܐܠ ܕܢܫܟܚ ܡܫܟܢܐ ܠܐܠܗܗ ܕܝܥܩܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kundi kubwa la watu lilikuwa linakusanyika, na watu walikuwa wanamjia Yesu kutoka kila mji. Naye akawaambia mfano huu: \t ܘܟܕ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܟܢܫ ܗܘܐ ܘܡܢ ܟܠ ܡܕܝܢܢ ܐܬܝܢ ܗܘܘ ܠܘܬܗ ܐܡܪ ܒܡܬܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akawaonya wasimwambie mtu yeyote habari zake. \t ܘܟܐܐ ܒܗܘܢ ܕܠܐܢܫ ܠܐ ܢܐܡܪܘܢ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Jihadharini na manabii wa uongo. Wao huja kwenu wakionekana kama kondoo kwa nje, lakini kwa ndani ni mbwa mwitu wakali. \t ܐܙܕܗܪܘ ܡܢ ܢܒܝܐ ܕܓܠܐ ܕܐܬܝܢ ܠܘܬܟܘܢ ܒܠܒܘܫܐ ܕܐܡܪܐ ܡܢ ܠܓܘ ܕܝܢ ܐܝܬܝܗܘܢ ܕܐܒܐ ܚܛܘܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mikononi mwake alishika kitabu kidogo kimefunguliwa. Aliweka mguu wake wa kulia juu ya bahari, na wa kushoto juu ya nchi kavu, \t ܘܐܝܬ ܠܗ ܒܐܝܕܗ ܟܬܒܘܢܐ ܦܬܝܚܐ ܘܤܡ ܪܓܠܗ ܕܝܡܝܢܐ ܥܠ ܝܡܐ ܕܤܡܠܐ ܕܝܢ ܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pale ulipo mzoga, ndipo watakapokusanyika tai. \t ܐܝܟܐ ܕܐܢ ܢܗܘܐ ܦܓܪܐ ܬܡܢ ܢܬܟܢܫܘܢ ܢܫܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala hatupendi kumdanganya mtu yeyote. \t ܒܘܝܐܢ ܓܝܪ ܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܛܥܝܘܬܐ ܐܦܠܐ ܡܢ ܛܢܦܘܬܐ ܐܦܠܐ ܒܢܟܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Lakini yule aliyekabidhiwa talanta moja akaja, akasema, Bwana, najua wewe ni mtu mgumu; wewe huvuna pale ambapo hukupanda, na kukusanya pale ambapo hukutawanya. \t ܩܪܒ ܕܝܢ ܐܦ ܗܘ ܕܢܤܒ ܚܕܐ ܟܟܪܐ ܘܐܡܪ ܡܪܝ ܝܕܥ ܗܘܝܬ ܠܟ ܕܓܒܪܐ ܐܢܬ ܩܫܝܐ ܘܚܨܕ ܐܢܬ ܐܝܟܐ ܕܠܐ ܙܪܥܬ ܘܡܟܢܫ ܐܢܬ ܡܢ ܐܝܟܐ ܕܠܐ ܒܕܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mmoja, basi, na atoe kadiri alivyoamua, kwa moyo na wala si kwa huzuni au kwa kulazimishwa, maana Mungu humpenda yule mwenye kutoa kwa furaha. \t ܟܠ ܐܢܫ ܐܝܟ ܕܐܝܬ ܒܪܥܝܢܗ ܠܐ ܐܝܟ ܕܡܢ ܟܪܝܘܬܐ ܐܘ ܐܝܟ ܕܡܢ ܩܛܝܪܐ ܠܝܗܘܒܐ ܗܘ ܓܝܪ ܚܕܝܐ ܪܚܡ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia: \t ܗܝܕܝܢ ܐܬܡܠܝ ܡܕܡ ܕܐܬܐܡܪ ܒܝܕ ܐܪܡܝܐ ܢܒܝܐ ܕܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amina. \t ܠܐܠܗܐ ܕܝܢ ܗܘ ܕܡܫܟܚ ܕܢܫܪܪܟܘܢ ܒܐܘܢܓܠܝܘܢ ܕܝܠܝ ܗܘ ܕܐܬܟܪܙ ܥܠ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܓܠܝܢܐ ܕܐܪܙܐ ܕܡܢ ܙܒܢܝ ܥܠܡܐ ܡܟܤܝ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi mwafundisha ati mtu akiwa na kitu ambacho angeweza kuwasaidia nacho baba au mama yake, lakini akasema: Kitu hiki nimemtolea Mungu, \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܟܠ ܡܢ ܕܢܐܡܪ ܠܐܒܐ ܐܘ ܠܐܡܐ ܩܘܪܒܢܝ ܡܕܡ ܕܬܬܗܢܐ ܡܢܝ ܘܠܐ ܢܝܩܪ ܠܐܒܘܗܝ ܐܘ ܠܐܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tamaa ikiiva huzaa dhambi; nayo dhambi ikikomaa huzaa kifo. \t ܘܗܕܐ ܪܓܬܐ ܒܛܢܐ ܘܝܠܕܐ ܚܛܝܬܐ ܚܛܝܬܐ ܕܝܢ ܡܐ ܕܐܬܓܡܪܬ ܝܠܕܐ ܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yuda (si yule Iskarioti) akamwambia, \"Bwana, itawezekanaje wewe kujidhihirisha kwetu na si kwa ulimwengu?\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܗܘܕܐ ܠܐ ܗܘܐ ܤܟܪܝܘܛܐ ܡܪܝ ܡܢܘ ܠܢ ܥܬܝܕ ܐܢܬ ܠܡܚܘܝܘ ܢܦܫܟ ܘܠܐ ܗܘܐ ܠܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu uzima ni bora kuliko chakula, na mwili ni bora kuliko mavazi. \t ܢܦܫܐ ܓܝܪ ܝܬܝܪܐ ܡܢ ܤܝܒܪܬܐ ܘܦܓܪܐ ܡܢ ܠܒܘܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha askari wa mkuu wa mkoa wakamwingiza Yesu ndani ya ikulu, wakamkusanyikia kikosi kizima. \t ܗܝܕܝܢ ܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܕܗܓܡܘܢܐ ܕܒܪܘܗܝ ܠܝܫܘܥ ܠܦܪܛܘܪܝܢ ܘܟܢܫܘ ܥܠܘܗܝ ܠܟܠܗ ܐܤܦܝܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ikiwa tumekufa pamoja na Kristo, tunaamini kwamba tutaishi pia pamoja naye. \t ܐܢ ܗܟܝܠ ܡܝܬܢ ܥܡ ܡܫܝܚܐ ܢܗܝܡܢ ܕܥܡܗ ܥܡ ܡܫܝܚܐ ܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwalimu mmoja wa Sheria akamwendea, akamwambia, \"Mwalimu, mimi nitakufuata kokote uendako.\" \t ܘܩܪܒ ܤܦܪܐ ܚܕ ܘܐܡܪ ܠܗ ܪܒܝ ܐܬܐ ܒܬܪܟ ܠܐܬܪ ܕܐܙܠ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliye juu ya paa la nyumba yake asishuke kuchukua kitu nyumbani mwake. \t ܘܗܘ ܕܒܐܓܪܐ ܗܘ ܠܐ ܢܚܘܬ ܠܡܤܒ ܕܒܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Najua ya kuwa nikija kwenu nitawaletea wingi wa baraka za Kristo. \t ܝܕܥ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܐܡܬܝ ܕܐܬܐ ܐܢܐ ܠܘܬܟܘܢ ܒܡܘܠܝܐ ܗܘ ܕܒܘܪܟܬܐ ܕܐܘܢܓܠܝܘܢ ܕܡܫܝܚܐ ܐܬܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akawaambia watu wote, \"Mama yangu na ndugu zangu ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܐܡܝ ܘܐܚܝ ܐܝܠܝܢ ܕܫܡܥܝܢ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܥܒܕܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia tena, \"Amani kwenu! Kama vile Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma ninyi.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܝܢ ܬܘܒ ܝܫܘܥ ܫܠܡܐ ܥܡܟܘܢ ܐܝܟܢܐ ܕܫܕܪܢܝ ܐܒܝ ܐܦ ܐܢܐ ܡܫܕܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana wote walitoa kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mama, ingawa ni maskini, ametoa yote aliyokuwa nayo, ametoa kila kitu alichohitaji kwa kuishi.\" \t ܟܠܗܘܢ ܓܝܪ ܡܢ ܡܕܡ ܕܝܬܝܪ ܠܗܘܢ ܐܪܡܝܘ ܗܕܐ ܕܝܢ ܡܢ ܚܤܝܪܘܬܗ ܟܠ ܡܕܡ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܐܪܡܝܬܗ ܟܠܗ ܩܢܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alimwahidi Abrahamu na wazawa wake kwamba ulimwengu ungekuwa mali yao. Ahadi hiyo haikufanywa kwa sababu Abrahamu aliitii Sheria, bali kwa kuwa aliamini, akakubaliwa kuwa mwadilifu. \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܒܢܡܘܤܐ ܗܘܐ ܡܘܠܟܢܐ ܠܐܒܪܗܡ ܘܠܙܪܥܗ ܕܢܗܘܐ ܝܪܬܐ ܠܥܠܡܐ ܐܠܐ ܒܟܐܢܘܬܐ ܕܗܝܡܢܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Je, unayaona majengo haya makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalosalia juu ya lingine; kila kitu kitabomolewa.\" \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܚܙܐ ܐܢܬ ܗܠܝܢ ܒܢܝܢܐ ܪܘܪܒܐ ܠܐ ܡܫܬܒܩܐ ܗܪܟܐ ܟܐܦ ܥܠ ܟܐܦ ܕܠܐ ܡܤܬܬܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnaufunga mlango wa Ufalme wa mbinguni mbele ya macho ya watu. Ninyi wenyewe hamwingii ndani, wala hamwaruhusu wanaotaka kuingia waingie. \t ܘܝ ܠܟܘܢ ܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܕܐܟܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܬܐ ܕܐܪܡܠܬܐ ܒܥܠܬܐ ܕܡܘܪܟܝܢ ܐܢܬܘܢ ܨܠܘܬܟܘܢ ܡܛܠ ܗܢܐ ܬܩܒܠܘܢ ܕܝܢܐ ܝܬܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Kristo alikuja akahubiri Habari Njema ya amani kwenu ninyi watu wa mataifa mengine mliokuwa mbali na Mungu, na pia kwa Wayahudi ambao walikuwa karibu na Mungu. \t ܘܐܬܐ ܤܒܪ ܫܠܡܐ ܠܟܘܢ ܠܪܚܝܩܐ ܘܠܩܪܝܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika mafundisho yake, Yesu alisema, \"Jihadharini na walimu wa Sheria ambao hupenda kupitapita wamejivalia kanzu ndefu na kusalimiwa na watu kwa heshima sokoni; hupenda kuketi mahali pa heshima katika masunagogi, \t ܘܒܝܘܠܦܢܗ ܐܡܪ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܐܙܕܗܪܘ ܡܢ ܤܦܪܐ ܕܨܒܝܢ ܕܒܐܤܛܠܐ ܢܗܠܟܘܢ ܘܪܚܡܝܢ ܫܠܡܐ ܒܫܘܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipotoka nje, hakuweza kusema nao. Ikawa dhahiri kwao kwamba alikuwa ameona maono Hekaluni. Lakini akawa anawapa ishara kwa mikono, akabaki bubu. \t ܟܕ ܢܦܩ ܕܝܢ ܙܟܪܝܐ ܠܐ ܡܫܟܚ ܗܘܐ ܕܢܡܠܠ ܥܡܗܘܢ ܘܐܤܬܟܠܘ ܕܚܙܘܐ ܚܙܐ ܒܗܝܟܠܐ ܘܗܘ ܡܪܡܙ ܪܡܙ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܘܩܘܝ ܟܕ ܚܪܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme mmoja aliyeamua kukagua hesabu za watumishi wake. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܬܕܡܝܬ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܠܓܒܪܐ ܡܠܟܐ ܕܨܒܐ ܕܢܤܒ ܚܘܫܒܢܐ ܡܢ ܥܒܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ghafla kutatokea tetemeko kubwa la nchi; malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akalivingirisha lile jiwe, akalikalia. \t ܘܗܐ ܙܘܥܐ ܪܒܐ ܗܘܐ ܡܠܐܟܐ ܓܝܪ ܕܡܪܝܐ ܢܚܬ ܡܢ ܫܡܝܐ ܘܩܪܒ ܥܓܠ ܟܐܦܐ ܡܢ ܬܪܥܐ ܘܝܬܒ ܗܘܐ ܥܠܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo tutaweza kuihubiri Habari Njema katika nchi nyingine, mbali nanyi; na haitakuwa shauri la kujivunia kazi waliyofanya watu wengine mahali pengine. \t ܐܦ ܠܗܠ ܡܢܟܘܢ ܠܡܤܒܪܘ ܠܐ ܒܡܫܘܚܬܐ ܕܐܚܪܢܐ ܒܐܝܠܝܢ ܕܡܬܩܢܢ ܢܫܬܒܗܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri mtu anayebaki mwaminifu katika majaribu, kwani akisha stahimili atapewa tuzo la uzima ambalo Mungu aliwaahidia wale wanaompenda. \t ܛܘܒܘܗܝ ܠܓܒܪܐ ܕܡܤܝܒܪ ܢܤܝܘܢܐ ܕܡܐ ܕܐܬܒܚܪ ܢܤܒ ܟܠܝܠܐ ܕܚܝܐ ܗܘ ܕܡܠܟ ܐܠܗܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܪܚܡܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wapenzi wangu, nawasihi ninyi kama wageni na wakimbizi hapa duniani! Achaneni na tamaa za mwili ambazo hupingana na roho. \t ܚܒܝܒܝ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟܘܢ ܐܝܟ ܥܪܨܐ ܘܐܝܟ ܬܘܬܒܐ ܐܬܦܪܩܘ ܡܢ ܟܠܗܝܢ ܪܓܝܓܬܗ ܕܦܓܪܐ ܗܠܝܢ ܕܥܒܕܢ ܩܪܒܐ ܠܘܩܒܠ ܢܦܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo hilo likaipendeza jumuiya yote ya waumini. Wakawachagua Stefano, mtu mwenye imani kubwa na mwenye kujawa na Roho Mtakatifu, Filipo, Prokoro, Nikanora, Timona, Parmena na Nikolao wa Antiokia ambaye hapo awali alikuwa ameongokea dini ya Kiyahudi. \t ܘܫܦܪܬ ܗܕܐ ܡܠܬܐ ܩܕܡ ܟܠܗ ܥܡܐ ܘܓܒܘ ܠܐܤܛܦܢܘܤ ܓܒܪܐ ܕܡܠܐ ܗܘܐ ܗܝܡܢܘܬܐ ܘܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܘܠܦܝܠܝܦܘܤ ܘܠܦܪܟܪܘܤ ܘܠܢܝܩܢܘܪ ܘܠܛܝܡܘܢ ܘܠܦܪܡܢܐ ܘܠܢܝܩܠܐܘܤ ܓܝܘܪܐ ܐܢܛܝܘܟܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri walio wapole, maana watairithi nchi. \t ܛܘܒܝܗܘܢ ܠܡܟܝܟܐ ܕܗܢܘܢ ܢܐܪܬܘܢ ܠܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwani sasa tunaishi kweli ikiwa ninyi mnasimama imara katika kuungana na Bwana. \t ܘܗܫܐ ܗܘ ܚܝܝܢܢ ܐܢ ܐܢܬܘܢ ܬܬܩܝܡܘܢ ܒܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya muda wa saa tatu hivi, mke wake, bila kufahamu mambo yaliyotukia, akaingia mle ndani. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܕܗܘܝ ܬܠܬ ܫܥܝܢ ܐܦ ܐܢܬܬܗ ܥܠܬ ܟܕ ܠܐ ܝܕܥܐ ܗܘܬ ܡܢܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, ndipo mtambue ya kwamba wakati umefika ambapo mji huo utaharibiwa. \t ܡܐ ܕܝܢ ܕܚܙܝܬܘܢ ܠܐܘܪܫܠܡ ܕܚܕܝܪܝܢ ܠܗ ܚܝܠܐ ܗܝܕܝܢ ܕܥܘ ܕܩܪܒ ܠܗ ܚܘܪܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakishika nyoka au wakinywa kitu chochote chenye sumu, hakitawadhuru. Watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona.\" \t ܘܚܘܘܬܐ ܢܫܩܠܘܢ ܘܐܢ ܤܡܐ ܕܡܘܬܐ ܢܫܬܘܢ ܠܐ ܢܗܪ ܐܢܘܢ ܘܐܝܕܝܗܘܢ ܢܤܝܡܘܢ ܥܠ ܟܪܝܗܐ ܘܢܬܚܠܡܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na uthibitisho unaoonyeshwa kwa huduma hii yetu, watu watamtukuza Mungu kwa sababu ya uaminifu wenu kwa Habari Njema ya Kristo mnayoiungama, na pia kwa sababu ya ukarimu mnaowapa wao na watu wote. \t ܡܛܠ ܒܘܩܝܐ ܓܝܪ ܕܬܫܡܫܬܐ ܗܕܐ ܠܐܠܗܐ ܡܫܒܚܝܢ ܕܐܫܬܥܒܕܬܘܢ ܠܬܘܕܝܬܐ ܕܤܒܪܬܗ ܕܡܫܝܚܐ ܘܐܫܬܘܬܦܬܘܢ ܒܦܫܝܛܘܬܟܘܢ ܥܡܗܘܢ ܘܥܡ ܟܠܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, jihadharini ninyi wenyewe ili msije mkapoteza kile mlichokishugulikia, bali mpate tuzo lenu kamili. \t ܐܙܕܗܪܘ ܒܢܦܫܟܘܢ ܕܠܐ ܬܘܒܕܘܢ ܡܕܡ ܕܦܠܚܬܘܢ ܐܠܐ ܐܓܪܐ ܡܫܠܡܢܐ ܬܬܦܪܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, Maandiko yasema: \"Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula; akiwa na kiu, mpe kinywaji. Maana kwa kufanya hivyo utamfanya apate aibu kali kama makaa ya moto juu ya kichwa chake.\" \t ܘܐܢ ܟܦܢ ܒܥܠܕܒܒܟ ܐܘܟܠܝܗܝ ܘܐܢ ܨܗܐ ܐܫܩܝܗܝ ܘܐܢ ܗܠܝܢ ܬܥܒܕ ܠܗ ܓܘܡܪܐ ܕܢܘܪܐ ܬܩܒܪ ܥܠ ܩܪܩܦܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa muda wa siku nyingi tulisafiri polepole, na kwa shida tulifika karibu na Nido. Kwa sababu upepo ulikuwa bado unatupinga, tuliendelea mbele moja kwa moja tukapitia upande wa Krete karibu na rasi Salmone ambapo upepo haukuwa mwingi. \t ܘܡܛܠ ܕܝܩܝܪܐܝܬ ܪܕܝܐ ܗܘܬ ܠܝܘܡܬܐ ܤܓܝܐܐ ܠܡܚܤܢ ܡܛܝܢ ܠܘܩܒܠ ܩܢܝܕܘܤ ܓܙܪܬܐ ܘܡܛܠ ܕܠܐ ܫܒܩܐ ܗܘܬ ܪܘܚܐ ܕܢܐܙܠ ܬܪܝܨܐܝܬ ܐܬܟܪܟܢ ܥܠ ܩܪܛܐ ܠܘܩܒܠ ܤܠܡܘܢܐ ܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye akawaambia, \"Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: Chukua mkeka wako, tembea.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܘ ܕܥܒܕܢܝ ܚܠܝܡܐ ܗܘ ܐܡܪ ܠܝ ܕܫܩܘܠ ܥܪܤܟ ܘܗܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati ule mliishi kufuatana na mtindo mbaya wa ulimwengu huu, mkawa mnamtii mtawala wa pepo wenye nguvu wa anga, pepo ambao huwatawala sasa watu wasiomtii Mungu. \t ܒܗܠܝܢ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܗܠܟܬܘܢ ܗܘܝܬܘܢ ܒܗܝܢ ܐܝܟ ܥܠܡܝܘܬܗ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܘܐܝܟ ܨܒܝܢܗ ܕܪܝܫ ܫܘܠܛܢܐ ܕܐܐܪ ܘܕܪܘܚܐ ܗܕܐ ܕܡܬܚܦܛܐ ܒܒܢܝܐ ܕܠܐ ܡܬܛܦܝܤܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alimpa kila mmoja kadiri ya uwezo wake: mmoja sarafu tano za fedha ziitwazo talanta, mwingine talanta mbili na mwingine talanta moja, kisha akasafiri. \t ܐܝܬ ܕܝܗܒ ܠܗ ܚܡܫ ܟܟܪܝܢ ܘܐܝܬ ܕܬܪܬܝܢ ܘܐܝܬ ܕܚܕܐ ܐܢܫ ܐܢܫ ܐܝܟ ܚܝܠܗ ܘܚܙܩ ܡܚܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alisema: \"Hakika nitakubariki na nitakupa wazawa wengi.\" \t ܘܐܡܪ ܕܡܒܪܟܘ ܐܒܪܟܟ ܘܡܤܓܝܘ ܐܤܓܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote walishangaa na kufadhaika huku wakiulizana, \"Hii ina maana gani?\" \t ܡܬܕܡܪܝܢ ܗܘܘ ܕܝܢ ܟܠܗܘܢ ܘܬܘܝܪܝܢ ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܚܕ ܠܚܕ ܕܡܢܐ ܗܝ ܗܕܐ ܨܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu, kuna faida gani mtu kusema ana imani, lakini haonyeshi kwa vitendo? Je, hiyo imani yawezaje kumwokoa? \t ܡܢܐ ܗܢܝܢܐ ܐܚܝ ܐܢ ܐܢܫ ܐܡܪ ܕܐܝܬ ܠܝ ܗܝܡܢܘܬܐ ܘܥܒܕܐ ܠܝܬ ܠܗ ܕܠܡܐ ܡܫܟܚܐ ܗܝܡܢܘܬܗ ܕܬܚܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayejikweza atashushwa, na anayejishusha atakwezwa. \t ܡܢ ܓܝܪ ܕܢܪܝܡ ܢܦܫܗ ܢܬܡܟܟ ܘܡܢ ܕܢܡܟ ܢܦܫܗ ܢܬܬܪܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nipate kuwafanya wananchi wenzangu wawaonee ninyi wivu, na hivyo nipate kuwaokoa baadhi yao. \t ܕܠܡܐ ܐܛܢ ܠܒܢܝ ܒܤܪܝ ܘܐܚܐ ܐܢܫܝܢ ܡܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana alipomwona mama huyo, alimwonea huruma, akamwambia, \"Usilie.\" \t ܚܙܗ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܘܐܬܪܚܡ ܥܠܝܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܠܐ ܬܒܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maadamu Kristo aliteseka kimwili, nanyi pia mnapaswa kujiimarisha kwa nia hiyo yake; maana mtu akisha teseka kimwili hahusiki tena na dhambi. \t ܐܢ ܡܫܝܚܐ ܗܟܝܠ ܚܫ ܚܠܦܝܟܘܢ ܒܒܤܪ ܘܐܦ ܐܢܬܘܢ ܒܗ ܒܗܢܐ ܪܥܝܢܐ ܐܙܕܝܢܘ ܟܠܡܢ ܕܡܐܬ ܓܝܪ ܒܦܓܪܗ ܫܠܝ ܠܗ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܚܛܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na mtu yeyote akipunguza chochote katika maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, Mungu atamnyang'anya sehemu yake katika ule mti wa uzima, na sehemu yake katika mji mtakatifu, ambavyo vimeelezwa katika kitabu hiki. \t ܘܐܝܢܐ ܕܡܒܨܪ ܡܢ ܡܠܐ ܕܟܬܒܐ ܕܢܒܝܘܬܐ ܗܕܐ ܢܒܨܪ ܐܠܗܐ ܡܢܬܗ ܡܢ ܩܝܤܐ ܕܚܝܐ ܘܡܢ ܡܕܝܢܬܐ ܩܕܝܫܬܐ ܐܝܠܝܢ ܕܟܬܝܒܢ ܒܟܬܒܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hili ndilo agano nitakalofanya nao wakati nitakapoziondoa dhambi zao.\" \t ܘܗܝܕܝܢ ܬܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܝܬܩܐ ܗܝ ܕܡܢ ܠܘܬܝ ܡܐ ܕܫܒܩܬ ܠܗܘܢ ܚܛܗܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni ninyi, mtajazwa nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, katika nchi yote ya Yudea na Samaria, na hata miisho ya dunia.\" \t ܐܠܐ ܟܕ ܬܐܬܐ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܥܠܝܟܘܢ ܬܩܒܠܘܢ ܚܝܠܐ ܘܬܗܘܘܢ ܠܝ ܤܗܕܐ ܒܐܘܪܫܠܡ ܘܒܟܠܗ ܝܗܘܕ ܘܐܦ ܒܝܬ ܫܡܪܝܐ ܘܥܕܡܐ ܠܤܘܦܝܗ ܕܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, vikatokea vitu vilivyoonekana kama ndimi za moto, vikagawanyika na kutua juu ya kila mmoja wao. \t ܘܐܬܚܙܝܘ ܠܗܘܢ ܠܫܢܐ ܕܡܬܦܠܓܝܢ ܗܘܘ ܐܝܟ ܢܘܪܐ ܘܝܬܒܘ ܥܠ ܚܕ ܚܕ ܡܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mtu akiwauliza, Mbona mnafanya hivyo? Mwambieni, Bwana anamhitaji na atamrudisha hapa mara.\" \t ܘܐܢ ܐܢܫ ܢܐܡܪ ܠܟܘܢ ܡܢܐ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܕܐ ܐܡܪܘ ܠܗ ܕܠܡܪܢ ܡܬܒܥܐ ܘܡܚܕܐ ܡܫܕܪ ܠܗ ܠܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, shukrani kwa Mungu anayetuongoza daima katika msafara wa ushindi wa Kristo. Yeye hutufanya tuueneze ukweli wa Kristo kama harufu nzuri, kila mahali. \t ܛܝܒܘ ܕܝܢ ܠܐܠܗܐ ܕܒܟܠ ܙܒܢ ܚܙܬܐ ܥܒܕ ܠܢ ܒܡܫܝܚܐ ܘܓܠܐ ܒܢ ܪܝܚܐ ܕܝܕܥܬܗ ܒܟܠ ܐܬܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakasema, \"Bwana, tazama; hapa kuna panga mbili.\" Naye akasema, \"Basi!\" \t ܘܗܢܘܢ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܪܢ ܗܐ ܗܪܟܐ ܐܝܬ ܬܪܝܢ ܤܝܦܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܤܦܩܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu hawa, asema Mungu, huniheshimu kwa maneno tu, lakini mioyoni mwao wako mbali nami. \t ܥܡܐ ܗܢܐ ܒܤܦܘܬܗ ܗܘ ܡܝܩܪ ܠܝ ܠܒܗܘܢ ܕܝܢ ܤܓܝ ܪܚܝܩ ܡܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi pia mna huzuni sasa; lakini nitawajieni tena, nanyi mtajaa furaha mioyoni mwenu, na furaha hiyo hakuna mtu atakayeiondoa kwenu. \t ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܗܫܐ ܟܪܝܐ ܠܟܘܢ ܬܘܒ ܕܝܢ ܐܚܙܝܟܘܢ ܘܢܚܕܐ ܠܒܟܘܢ ܘܚܕܘܬܟܘܢ ܠܐ ܐܢܫ ܢܤܒ ܡܢܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule bwana alimwonea huruma, akamsamehe lile deni, akamwacha aende zake. \t ܘܐܬܪܚܡ ܡܪܗ ܕܥܒܕܐ ܗܘ ܘܫܪܝܗܝ ܘܚܘܒܬܗ ܫܒܩ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sasa, njia ya Mungu ya kuwakubali watu kuwa waadilifu imekwisha dhihirishwa, tena bila kutegemea Sheria. Sheria na manabii hushuhudia jambo hili. \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܕܠܐ ܢܡܘܤܐ ܟܐܢܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܐܬܓܠܝܬ ܘܡܤܗܕ ܥܠܝܗ ܗܘ ܢܡܘܤܐ ܘܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu.\" \t ܡܢ ܠܘܬ ܡܪܝܐ ܗܘܬ ܗܕܐ ܘܐܝܬܝܗ ܬܕܡܘܪܬܐ ܒܥܝܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "asidhani ya kwamba atapata chochote kile kutoka kwa Bwana. \t ܐܝܢܐ ܕܦܠܝܓ ܒܪܥܝܢܗ ܘܫܓܝܫ ܒܟܠܗܝܢ ܐܘܪܚܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa na mwingine anazini.\" \t ܘܐܢ ܐܢܬܬܐ ܬܫܪܐ ܒܥܠܗ ܘܬܗܘܐ ܠܐܚܪܢܐ ܓܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake aliwaita wanafunzi wake, na miongoni mwao akachagua kumi na wawili ambao aliwaita mitume: \t ܘܟܕ ܢܓܗܬ ܩܪܐ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܓܒܐ ܡܢܗܘܢ ܬܪܥܤܪ ܗܢܘܢ ܕܫܠܝܚܐ ܫܡܝ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu hao huupinga ukweli kama vile Yane na Yambre walivyompinga Mose. \t ܐܝܟܢܐ ܕܝܢ ܕܝܢܤ ܘܝܡܒܪܝܤ ܩܡܘ ܠܘܩܒܠ ܡܘܫܐ ܗܟܢܐ ܐܦ ܗܢܘܢ ܩܝܡܝܢ ܠܘܩܒܠ ܫܪܪܐ ܐܢܫܐ ܕܡܚܒܠ ܪܥܝܢܗܘܢ ܘܤܠܝܢ ܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mitume wakatoka nje ya ule mkutano wa halmashauri wakiwa wamejaa furaha, kwani walistahili kuaibishwa kwa ajili ya jina la Yesu. \t ܘܢܦܩܘ ܡܢ ܩܕܡܝܗܘܢ ܟܕ ܚܕܝܢ ܕܫܘܘ ܗܘܘ ܡܛܠ ܫܡܐ ܕܢܨܛܥܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa saa moja tu utajiri wako umetoweka!\" Halafu manahodha wote na wasafiri wao, wanamaji na wote wanaofanya kazi baharini, walisimama kwa mbali, \t ܡܛܠ ܕܒܚܕܐ ܫܥܐ ܐܤܬܪܩ ܥܘܬܪܐ ܕܐܝܟ ܗܢܐ ܘܟܠ ܡܕܒܪܝ ܐܠܦܐ ܘܟܠ ܐܙܠܝ ܒܐܠܦܐ ܠܕܘܟܝܬܐ ܘܐܠܦܪܐ ܘܟܠ ܕܒܝܡܐ ܦܠܚܝܢ ܡܢ ܪܘܚܩܐ ܩܡܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akaunyosha mkono wake kuelekea wanafunzi wake, akasema, \"Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu! \t ܟܠܢܫ ܓܝܪ ܕܥܒܕ ܨܒܝܢܗ ܕܐܒܝ ܕܒܫܡܝܐ ܗܘܝܘ ܐܚܝ ܘܚܬܝ ܘܐܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, yule mwalimu wa Sheria akamwambia, \"Vyema Mwalimu! Umesema kweli kwamba Mungu ni mmoja tu wala hakuna mwingine ila yeye. \t ܐܡܪ ܠܗ ܗܘ ܤܦܪܐ ܫܦܝܪ ܪܒܝ ܒܫܪܪܐ ܐܡܪܬ ܕܚܕ ܗܘ ܘܠܝܬ ܐܚܪܝܢ ܠܒܪ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mwalimu, Mose alituandikia kwamba kama ndugu ya mtu fulani akifa na kumwacha mjane wake bila watoto, ni lazima ndugu yake amchukue huyo mama mjane, amzalie watoto ndugu yake marehemu. \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܠܦܢܐ ܡܘܫܐ ܟܬܒ ܠܢ ܕܐܢ ܐܢܫ ܢܡܘܬ ܐܚܘܗܝ ܕܐܝܬ ܠܗ ܐܢܬܬܐ ܕܠܐ ܒܢܝܐ ܢܤܒ ܐܚܘܗܝ ܐܢܬܬܗ ܘܢܩܝܡ ܙܪܥܐ ܠܐܚܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Dhoruba iliendelea kuvuma na kesho yake wakaanza kutupa nje shehena ya meli. \t ܘܟܕ ܩܡ ܠܗ ܥܠܝܢ ܟܝܡܘܢܐ ܩܫܝܐ ܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܫܕܝܢ ܡܐܢܝܢ ܒܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Maandiko yasema mahali fulani kuhusu siku ya saba: \"Mungu alipumzika siku ya saba, akaacha kazi zake zote.\" \t ܐܝܟ ܕܐܡܪ ܥܠ ܫܒܬܐ ܕܐܬܢܝܚ ܐܠܗܐ ܒܝܘܡܐ ܫܒܝܥܝܐ ܡܢ ܥܒܕܘܗܝ ܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengi wao waliamini na pia wanawake wa Kigiriki wa tabaka la juu na wanaume pia. \t ܘܤܓܝܐܐ ܡܢܗܘܢ ܗܝܡܢܘ ܘܗܟܢܐ ܐܦ ܡܢ ܝܘܢܝܐ ܓܒܪܐ ܤܓܝܐܐ ܘܢܫܐ ܝܕܝܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Humo baadhi ya watu walimngojea amponye mtu huyo siku ya sabato ili wapate kumshtaki. \t ܘܢܛܪܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܕܐܢ ܡܐܤܐ ܠܗ ܒܫܒܬܐ ܢܩܛܪܓܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona!\" \t ܩܠܝܠ ܘܠܐ ܬܚܙܘܢܢܝ ܘܬܘܒ ܩܠܝܠ ܘܬܚܙܘܢܢܝ ܕܐܙܠ ܐܢܐ ܠܘܬ ܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akasema, \"Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa. \t ܐܬܬܥܝܪܘ ܗܟܝܠ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝܘܡܐ ܗܘ ܘܠܐ ܠܫܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakasema, \"Je, huyu si mwana wa Yosefu? Tunawajua baba yake na mama yake! Basi, anawezaje kusema kwamba ameshuka kutoka mbinguni?\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܠܐ ܗܘܐ ܗܢܐ ܝܫܘܥ ܒܪܗ ܕܝܘܤܦ ܗܘ ܕܚܢܢ ܝܕܥܝܢ ܠܐܒܘܗܝ ܘܠܐܡܗ ܘܐܝܟܢܐ ܐܡܪ ܗܢܐ ܕܡܢ ܫܡܝܐ ܢܚܬܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mahali hapo walikuwapo wanawake wengi wakitazama kwa mbali. Hao ndio wale waliomfuata Yesu kutoka Galilaya wakimtumikia. \t ܐܝܬ ܗܘܝ ܕܝܢ ܐܦ ܬܡܢ ܢܫܐ ܤܓܝܐܬܐ ܕܚܙܝܢ ܗܘܝ ܡܢ ܪܘܚܩܐ ܗܢܝܢ ܕܐܬܝ ܗܘܝ ܒܬܪܗ ܕܝܫܘܥ ܡܢ ܓܠܝܠܐ ܘܡܫܡܫܢ ܗܘܝ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Uzima huo ulipotokea sisi tuliuona na sasa tunasema habari zake na kuwaambieni juu ya uzima huo wa milele uliokuwa kwa Baba na uliodhihirishwa kwetu. \t ܘܚܝܐ ܐܬܓܠܝܘ ܘܚܙܝܢ ܘܤܗܕܝܢܢ ܘܡܟܪܙܝܢܢ ܠܟܘܢ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܗܢܘܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܠܘܬ ܐܒܐ ܘܐܬܓܠܝܘ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Bwana akamwambia, \"Nenda tu, kwa maana nimemchagua awe chombo changu, alitangaze jina langu kwa mataifa na wafalme wao na kwa watu wa Israeli. \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܪܝܐ ܩܘܡ ܙܠ ܡܛܠ ܕܡܐܢܐ ܗܘ ܠܝ ܓܒܝܐ ܕܢܫܩܘܠ ܫܡܝ ܒܥܡܡܐ ܘܒܡܠܟܐ ܘܒܝܬ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, Mwana wa Mtu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika wake, na hapo ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake. \t ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܝܬ ܐܢܫܐ ܕܩܝܡܝܢ ܬܢܢ ܕܠܐ ܢܛܥܡܘܢ ܡܘܬܐ ܥܕܡܐ ܕܢܚܙܘܢ ܠܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܕܐܬܐ ܒܡܠܟܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Neno la Mungu likazidi kuenea na kukua. \t ܘܤܒܪܬܐ ܕܐܠܗܐ ܡܬܟܪܙܐ ܗܘܬ ܘܪܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye akakaa kimya; hakusema hata neno moja. Kuhani Mkuu akamwuliza tena, \"Je, wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu Mtukufu?\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܫܬܝܩ ܗܘܐ ܘܡܕܡ ܠܐ ܥܢܝܗܝ ܘܬܘܒ ܫܐܠܗ ܪܒ ܟܗܢܐ ܘܐܡܪ ܐܢܬ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܒܪܗ ܕܡܒܪܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa alichojenga mtu juu ya huo msingi kitaustahimili huo moto, atapokea tuzo; \t ܘܐܝܢܐ ܕܢܩܘܐ ܥܒܕܗ ܗܘ ܕܒܢܐ ܐܓܪܗ ܢܩܒܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Jihadharini msije mkadanganywa na mtu. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܙܕܗܪܘ ܠܐ ܐܢܫ ܢܛܥܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaambia mfano huu: \"Je, kipofu anaweza kumwongoza kipofu mwenzake? La! Wote wataanguka shimoni. \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܡܬܠܐ ܠܡܐ ܡܫܟܚ ܤܡܝܐ ܠܤܡܝܐ ܠܡܕܒܪܘ ܠܐ ܬܪܝܗܘܢ ܒܓܘܡܨܐ ܢܦܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na chochote mtakachoomba kwa jina langu nitafanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. \t ܘܡܕܡ ܕܬܫܐܠܘܢ ܒܫܡܝ ܐܥܒܕ ܠܟܘܢ ܕܢܫܬܒܚ ܐܒܐ ܒܒܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: \"Nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi.\" Ahadi hiyo ni kweli mbele ya Mungu ambaye Abrahamu alimwamini--Mungu ambaye huwapa wafu uzima, na kwa amri yake, vitu ambavyo havikuwapo huwa. \t ܐܝܟܢܐ ܕܟܬܝܒ ܕܤܡܬܟ ܐܒܐ ܠܤܘܓܐܐ ܕܥܡܡܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܗܘ ܕܗܝܡܢܬ ܒܗ ܕܡܚܐ ܡܝܬܐ ܘܩܪܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܐܝܟ ܐܝܬܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mnyama ambaye alikuwa anaishi hapo awali lakini sasa haishi tena ni mfalme wa nane, naye pia ni miongoni mwa hao saba, na anakwenda zake kuharibiwa. \t ܘܬܢܝܢܐ ܘܚܝܘܬܐ ܗܝ ܕܐܝܬܝܗ ܘܠܝܬܝܗ ܘܗܝ ܕܬܡܢܝܐ ܘܡܢ ܫܒܥܐ ܗܝ ܘܠܐܒܕܢܐ ܐܙܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi nimeamua nisiwatembelee tena kuwatia huzuni. \t ܕܢܬ ܕܝܢ ܗܕܐ ܒܢܦܫܝ ܕܠܐ ܬܘܒ ܒܟܪܝܘܬܐ ܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi ni mashahidi wa mambo yote aliyotenda katika nchi ya Wayahudi na katika Yerusalemu. Walimuua kwa kumtundika msalabani; \t ܘܚܢܢ ܤܗܕܘܗܝ ܥܠ ܟܠ ܡܐ ܕܥܒܕ ܒܟܠܗ ܐܪܥܐ ܕܝܗܘܕ ܘܕܐܘܪܫܠܡ ܠܗ ܠܗܢܐ ܬܠܐܘܗܝ ܝܗܘܕܝܐ ܥܠ ܩܝܤܐ ܘܩܛܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini watu wengi waliwaona wakienda, wakawatambua. Hivyo wengi wakatoka katika kila mji, wakakimbilia huko Yesu na wanafunzi wake walikokuwa wanakwenda, wakawatangulia kufika. \t ܘܚܙܘ ܐܢܘܢ ܤܓܝܐܐ ܟܕ ܐܙܠܝܢ ܘܐܫܬܘܕܥܘ ܐܢܘܢ ܘܒܝܒܫܐ ܪܗܛܘ ܡܢ ܟܠܗܝܢ ܡܕܝܢܬܐ ܩܕܡܘܗܝ ܠܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Nyota hiyo inaitwa \"Uchungu.\") Basi, theluthi moja ya maji yakawa machungu; watu wengi wakafa kutokana na maji hayo, kwa sababu yaligeuka kuwa machungu. \t ܘܫܡܗ ܕܟܘܟܒܐ ܡܬܐܡܪ ܐܦܤܝܬܢܐ ܘܗܘܐ ܬܘܠܬܗܘܢ ܕܡܝܐ ܐܝܟ ܐܦܤܢܬܝܢ ܘܤܘܓܐܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܡܝܬܘ ܡܛܠ ܕܐܬܡܪܡܪܘ ܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenye masikio na asikie!\" \t ܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܐܕܢܐ ܕܢܫܡܥ ܢܫܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana yeye ndiye aliyetuwezesha kulihudumia Agano Jipya ambalo si agano la sheria iliyoandikwa, bali Agano la Roho. Maana sheria iliyoandikwa huleta kifo, lakini Roho huleta uzima. \t ܗܘ ܕܐܫܘܝܢ ܕܢܗܘܐ ܡܫܡܫܢܐ ܕܕܝܬܩܐ ܚܕܬܐ ܠܐ ܒܟܬܒܐ ܐܠܐ ܒܪܘܚܐ ܟܬܒܐ ܓܝܪ ܩܛܠ ܪܘܚܐ ܕܝܢ ܡܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akaupima ukuta wake pia; nao ulikuwa mita sitini kwa kipimo cha macho cha kibinadamu ambacho malaika alitumia. \t ܘܡܫܚܗ ܠܫܘܪܗ ܡܐܐ ܘܐܪܒܥܝܢ ܘܐܪܒܥ ܐܡܝܢ ܒܡܫܘܚܬܐ ܕܐܢܫܐ ܐܝܕܐ ܕܐܝܬܝܗ ܕܡܠܐܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliwaambieni: \"Siku za mwisho zitakapofika, watatokea watu watakaowadhihaki ninyi, watu wafuatao tamaa zao mbaya.\" \t ܕܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܠܟܘܢ ܕܒܚܪܬܐ ܕܙܒܢܐ ܢܗܘܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܒܙܚܝܢ ܕܐܝܟ ܪܓܝܓܬܐ ܕܝܠܗܘܢ ܐܙܠܝܢ ܒܬܪ ܪܘܫܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa uvumilivu wenu, mtayaokoa maisha yenu. \t ܒܡܤܝܒܪܢܘܬܟܘܢ ܕܝܢ ܬܩܢܘܢ ܢܦܫܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipanda mashua, akavuka ziwa na kufika katika mji wake. \t ܘܤܠܩ ܠܐܠܦܐ ܘܥܒܪ ܐܬܐ ܠܡܕܝܢܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mwanawe akamwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia. Sistahili hata kuitwa mwanao. \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܒܪܗ ܐܒܝ ܚܛܝܬ ܒܫܡܝܐ ܘܩܕܡܝܟ ܘܠܐ ܫܘܐ ܐܢܐ ܕܒܪܟ ܐܬܩܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za Ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakujaliwa. \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܠܟܘܢ ܗܘ ܝܗܝܒ ܠܡܕܥ ܐܪܙܐ ܕܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܠܗܢܘܢ ܕܝܢ ܠܐ ܝܗܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi sikumjua, lakini yule aliyenituma nikabatize watu kwa maji alikuwa ameniambia: Mtu yule utakayemwona Roho akimshukia kutoka mbinguni na kukaa juu yake, huyo ndiye anayebatiza kwa Roho Mtakatifu. \t ܘܐܢܐ ܠܐ ܝܕܥ ܗܘܝܬ ܠܗ ܐܠܐ ܡܢ ܕܫܕܪܢܝ ܕܐܥܡܕ ܒܡܝܐ ܗܘ ܐܡܪ ܠܝ ܕܐܝܢܐ ܕܚܙܐ ܐܢܬ ܕܢܚܬܐ ܪܘܚܐ ܘܡܩܘܝܐ ܥܠܘܗܝ ܗܢܘ ܡܥܡܕ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mbele ya Mungu anayevipa vitu vyote uhai, na mbele ya Yesu Kristo aliyetoa ushahidi na kukiri ukweli mbele ya Pontio Pilato, \t ܡܤܗܕ ܐܢܐ ܠܟ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܗܘ ܕܡܚܐ ܟܠ ܘܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܘ ܕܐܤܗܕ ܩܕܡ ܦܢܛܝܘܤ ܦܝܠܛܘܤ ܤܗܕܘܬܐ ܫܦܝܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kuhusu Israeli anasema: \"Mchana kutwa niliwanyoshea mikono yangu watu waasi na wasiotii.\" \t ܠܐܝܤܪܝܠ ܕܝܢ ܐܡܪ ܕܦܫܛܬ ܐܝܕܝ ܝܘܡܐ ܟܠܗ ܠܘܬ ܥܡܐ ܕܡܬܚܪܐ ܘܠܐ ܡܬܛܦܝܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmemhukumu na kumwua mtu asiye na hatia, naye hakuwapigeni. \t ܚܝܒܬܘܢ ܘܩܛܠܬܘܢ ܠܙܕܝܩܐ ܘܠܐ ܩܡ ܠܘܩܒܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kornelio alimkodolea macho huyo malaika kwa hofu, akamwambia, \"Kuna nini Mheshimiwa?\" Huyo malaika akamwambia, \"Mungu amezipokea sala na sadaka zako kwa maskini. \t ܘܗܘ ܚܪ ܒܗ ܘܕܚܠ ܘܐܡܪ ܡܢܐ ܡܪܝ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܠܐܟܐ ܨܠܘܬܟ ܘܙܕܩܬܟ ܤܠܩ ܠܕܘܟܪܢܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akimpata, atambeba mabegani kwa furaha. \t ܘܡܐ ܕܐܫܟܚܗ ܚܕܐ ܘܫܩܠ ܠܗ ܥܠ ܟܬܦܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nimekutukuza hapa duniani; nimeikamilisha ile kazi uliyonipa nifanye. \t ܐܢܐ ܫܒܚܬܟ ܒܐܪܥܐ ܥܒܕܐ ܗܘ ܕܝܗܒܬ ܠܝ ܕܐܥܒܕ ܫܠܡܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo wakawaita tena ndani, wakawaonya wasiongee tena hadharani, wala kufundisha kwa jina la Yesu. \t ܘܩܪܘ ܐܢܘܢ ܘܦܩܕܘ ܐܢܘܢ ܕܠܓܡܪ ܠܐ ܢܡܠܠܘܢ ܘܠܐ ܢܠܦܘܢ ܒܫܡ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waacheni viongozi wenu waende huko pamoja nami wakatoe mashtaka yao juu yake kama amefanya chochote kiovu.\" \t ܐܝܠܝܢ ܗܟܝܠ ܕܐܝܬ ܒܟܘܢ ܕܡܛܝܐ ܒܐܝܕܝܗܘܢ ܢܚܬܘܢ ܥܡܢ ܘܥܠ ܟܠ ܤܟܠܘ ܕܐܝܬ ܒܗ ܒܓܒܪܐ ܢܩܛܪܓܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Kwa kusema hivyo alionyesha atakufa kifo gani). \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܕܢܚܘܐ ܒܐܝܢܐ ܡܘܬܐ ܡܐܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa tatu. Nikamsikia yule kiumbe hai wa tatu akisema, \"Njoo!\" Nikatazama na kumbe palikuwapo farasi mmoja hapo, mweusi. Mpanda farasi wake alikuwa na vipimo viwili vya kupimia uzito mkononi mwake. \t ܘܟܕ ܐܬܦܬܚ ܛܒܥܐ ܕܬܠܬܐ ܫܡܥܬ ܠܚܝܘܬܐ ܕܬܠܬ ܕܐܡܪܐ ܬܐ ܘܗܐ ܤܘܤܝܐ ܐܘܟܡܐ ܘܕܝܬܒ ܥܠܘܗܝ ܐܝܬ ܡܐܤܬܐ ܒܐܝܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ikiwa mwayajua hayo, mtakuwa na heri mkiyatekeleza. \t ܐܢ ܗܠܝܢ ܬܕܥܘܢ ܛܘܒܢܐ ܐܢܬܘܢ ܐܢ ܬܥܒܕܘܢ ܐܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala msimwite mtu yeyote Baba hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu aliye mbinguni. \t ܘܐܒܐ ܠܐ ܬܩܪܘܢ ܠܟܘܢ ܒܐܪܥܐ ܚܕ ܗܘ ܓܝܪ ܐܒܘܟܘܢ ܕܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Muwe tayari! Jifungeni mkanda kiunoni, na taa zenu ziwe zinawaka; \t ܢܗܘܘܢ ܐܤܝܪܝܢ ܚܨܝܟܘܢ ܘܡܢܗܪܝܢ ܫܪܓܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waheshimuni watu wote, wapendeni ndugu zenu waumini, mcheni Mungu, mheshimuni mfalme. \t ܠܟܠܢܫ ܝܩܪܘ ܠܐܚܝܟܘܢ ܐܚܒܘ ܘܡܢ ܐܠܗܐ ܕܚܠܘ ܘܠܡܠܟܐ ܝܩܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kanisa lote pamoja na wote waliosikia habari ya tukio hilo, waliogopa sana. \t ܘܗܘܬ ܕܚܠܬܐ ܪܒܬܐ ܒܟܠܗ ܥܕܬܐ ܘܒܟܠܗܘܢ ܗܢܘܢ ܕܫܡܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mpaka sasa hamjaomba chochote kwa jina langu. Ombeni nanyi mtapata ili furaha yenu ikamilike. \t ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܠܐ ܫܐܠܬܘܢ ܡܕܡ ܒܫܡܝ ܫܐܠܘ ܘܬܤܒܘܢ ܕܬܗܘܐ ܚܕܘܬܟܘܢ ܡܫܡܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna mtu yeyote aliyetindikiwa kitu, maana waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa wanaviuza \t ܘܐܢܫ ܠܝܬ ܗܘܐ ܒܗܘܢ ܕܨܪܝܟ ܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܩܢܝܢ ܗܘܘ ܩܘܪܝܐ ܘܒܬܐ ܡܙܒܢܝܢ ܗܘܘ ܘܡܝܬܝܢ ܕܡܝܐ ܕܡܕܡ ܕܡܙܕܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama sehemu zote zingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi? \t ܐܠܘ ܕܝܢ ܟܠܗܘܢ ܚܕ ܗܘܘ ܗܕܡܐ ܐܝܟܐ ܗܘܐ ܦܓܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makuhani wakuu na Mafarisayo walikuwa wametoa amri kwamba mtu akijua mahali aliko Yesu awaarifu kusudi wamtie nguvuni. \t ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܕܝܢ ܘܦܪܝܫܐ ܦܩܕܘ ܗܘܘ ܕܐܢ ܐܢܫ ܢܕܥ ܐܝܟܘ ܢܒܕܩ ܠܗܘܢ ܐܝܟ ܕܢܐܚܕܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnajua Yesu wa Nazareti na jinsi Mungu alivyomteua kwa kummiminia Roho Mtakatifu na nguvu. Mungu alikuwa pamoja naye; yeye alikwenda huko na huko akitenda mema na kuwaponya wote waliokuwa wamevamiwa na Ibilisi. \t ܥܠ ܝܫܘܥ ܕܡܢ ܢܨܪܬ ܕܐܠܗܐ ܡܫܚܗ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܘܒܚܝܠܐ ܘܗܘܝܘ ܕܡܬܟܪܟ ܗܘܐ ܘܡܐܤܐ ܠܗܢܘܢ ܕܐܬܢܟܝܘ ܡܢ ܒܝܫܐ ܡܛܠ ܕܐܠܗܐ ܗܘܐ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akazitupa zile fedha Hekaluni, akatoka nje, akaenda akajinyonga. \t ܘܫܕܝܗܝ ܟܤܦܐ ܒܗܝܟܠܐ ܘܫܢܝ ܘܐܙܠ ܚܢܩ ܢܦܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kabila la Yuda walikuwa watu kumi na mbili elfu; kabila la Reubeni, kumi na mbili elfu, kabila la Gadi, kumi na mbili elfu; \t ܡܢ ܫܪܒܬܗ ܕܝܗܘܕܐ ܬܪܥܤܪ ܐܠܦܝܢ ܡܢ ܫܪܒܬܗ ܕܪܘܒܝܠ ܬܪܥܤܪ ܐܠܦܝܢ ܡܢ ܫܪܒܬܗ ܕܓܕ ܬܪܥܤܪ ܐܠܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mlikombolewa kutoka utumwa wa dhambi, mkawa watumwa wa uadilifu. \t ܘܟܕ ܐܬܚܪܪܬܘܢ ܡܢ ܚܛܝܬܐ ܐܫܬܥܒܕܬܘܢ ܠܟܐܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, Bwana alikaa pamoja nami, akanipa nguvu, hata nikaweza kuutangaza ujumbe wote, watu wa mataifa wausikie; tena nikaokolewa katika hukumu ya kifo kama kinywani mwa simba. \t ܡܪܝ ܕܝܢ ܩܡ ܠܝ ܘܚܝܠܢܝ ܕܒܝ ܟܪܘܙܘܬܐ ܬܫܬܠܡ ܘܢܫܡܥܘܢ ܥܡܡܐ ܟܠܗܘܢ ܕܐܬܦܨܝܬ ܡܢ ܦܘܡܐ ܕܐܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo awali ninyi mlikuwa mmemwasi Mungu, lakini sasa mmepata huruma yake kutokana na kuasi kwao. \t ܐܝܟܢܐ ܓܝܪ ܕܐܦ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܡܬܛܦܝܤܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܠܐܠܗܐ ܡܢ ܩܕܝܡ ܘܗܫܐ ܐܬܚܢܢܬܘܢ ܡܛܠ ܠܐ ܡܬܛܦܝܤܢܘܬܗܘܢ ܕܗܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ila nilianza kuhubiri kwanza kwa watu wa Damasko, halafu kwa wale wa Yerusalemu na nchi yote ya Yudea, na pia kwa watu wa mataifa mengine. Niliwahimiza wamgeukie Mungu na kuonyesha kwa vitendo kwamba wamebadilisha mioyo yao. \t ܐܠܐ ܐܟܪܙܬ ܡܢ ܠܩܘܕܡܝܢ ܠܗܢܘܢ ܕܒܕܪܡܤܘܩ ܘܠܗܢܘܢ ܕܒܐܘܪܫܠܡ ܘܕܒܟܠܗܝܢ ܩܘܪܝܐ ܕܝܗܘܕ ܘܐܦ ܠܥܡܡܐ ܐܟܪܙܬ ܕܢܬܘܒܘܢ ܘܢܬܦܢܘܢ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܘܢܥܒܕܘܢ ܥܒܕܐ ܕܫܘܝܢ ܠܬܝܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo ndipo Mwovu atakapotokea; lakini Bwana Yesu anapokuja atamuua kwa pumzi ya kinywa chake na kumwangamiza kwa mng'ao wa kuja kwake. \t ܘܗܝܕܝܢ ܢܬܓܠܐ ܥܘܠܐ ܗܘ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܢܤܝܦܝܘܗܝ ܒܪܘܚ ܦܘܡܗ ܘܢܒܛܠܝܘܗܝ ܒܓܠܝܢܐ ܕܡܐܬܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikuwa mtakatifu na mwema; lakini ninyi mlimkataa, mkataka mtu mwingine aliyekuwa muuaji afunguliwe. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܒܩܕܝܫܐ ܘܙܕܝܩܐ ܟܦܪܬܘܢ ܘܫܐܠܬܘܢ ܠܟܘܢ ܠܓܒܪܐ ܩܛܘܠܐ ܕܢܬܝܗܒ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akisema: \"Laiti ungelijua leo hii yale yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako. \t ܘܐܡܪ ܐܠܘ ܟܝ ܝܕܥܬܝ ܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܝܢ ܕܫܠܡܟܝ ܐܦܢ ܒܗܢܐ ܝܘܡܟܝ ܗܫܐ ܕܝܢ ܐܬܟܤܝ ܠܗܝܢ ܡܢ ܥܝܢܝܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mtu aliitwa akiwa ametahiriwa, basi asijisingizie kwamba hakutahiriwa; na kama alipoitwa hakuwa ametahiriwa, basi na asitahiriwe. \t ܐܢ ܟܕ ܓܙܝܪ ܐܢܫ ܐܬܩܪܝ ܠܐ ܢܗܦܘܟ ܠܗ ܠܥܘܪܠܘܬܐ ܘܐܢ ܒܥܘܪܠܘܬܐ ܐܬܩܪܝ ܠܐ ܢܓܙܘܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mpenzi wangu, wewe ni mwaminifu kila mara unapowahudumia ndugu, hata kama ni wageni. \t ܚܒܝܒܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܥܒܕ ܐܢܬ ܗܘ ܡܐ ܕܤܥܪ ܐܢܬ ܠܘܬ ܐܚܐ ܘܝܬܝܪܐܝܬ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܐܟܤܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kabla ya hayo, itambidi ateseke sana na kukataliwa na kizazi hiki. \t ܠܘܩܕܡ ܕܝܢ ܥܬܝܕ ܗܘ ܕܢܚܫ ܤܓܝܐܬܐ ܘܢܤܬܠܐ ܡܢ ܫܪܒܬܐ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Najua taabu zako; najua pia umaskini wako, ingawaje kwa kweli wewe ni tajiri; najua kashfa walizokufanyia wale wanaojiita Wayahudi lakini si Wayahudi wa kweli, bali ni kundi lake Shetani. \t ܝܕܥ ܐܢܐ ܐܘܠܨܢܟ ܘܡܤܟܢܘܬܟ ܐܠܐ ܥܬܝܪܐ ܐܢܬ ܘܠܓܘܕܦܐ ܕܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܐܡܪܝܢ ܢܦܫܗܘܢ ܝܗܘܕܝܐ ܝܗܘܕܝܐ ܟܕ ܠܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܐܠܐ ܟܢܘܫܬܐ ܕܤܛܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakaondoka, wakahubiri watu watubu. \t ܘܢܦܩܘ ܗܘܘ ܘܐܟܪܙܘ ܕܢܬܘܒܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wanaotii matakwa ya mwili hawawezi kumpendeza Mungu. \t ܘܐܝܠܝܢ ܕܒܒܤܪ ܐܢܘܢ ܠܡܫܦܪ ܠܐܠܗܐ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaambia, \"Sikilizeni! Mtakapokuwa mnakwenda mjini, mtakutana na mwanamume anayebeba mtungi wa maji. Mfuateni mpaka ndani ya nyumba atakayoingia. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܐ ܡܐ ܕܥܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܕܝܢܬܐ ܦܓܥ ܒܟܘܢ ܓܒܪܐ ܕܫܩܝܠ ܓܪܒܐ ܕܡܝܐ ܙܠܘ ܒܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Chochote kilichofichwa kitafichuliwa na siri yoyote itagunduliwa na kujulikana hadharani. \t ܠܝܬ ܓܝܪ ܡܕܡ ܕܟܤܐ ܕܠܐ ܢܬܓܠܐ ܘܠܐ ܕܡܛܫܝ ܕܠܐ ܢܬܝܕܥ ܘܢܐܬܐ ܠܓܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Ninyi mmekosea sana, kwa sababu hamjui Maandiko Matakatifu wala nguvu ya Mungu. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܠܐ ܗܘܐ ܡܛܠ ܗܕܐ ܛܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܟܬܒܐ ܘܠܐ ܚܝܠܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndivyo asemavyo Bwana, aliyefanya jambo hili lijulikane tangu kale. \t ܝܕܝܥܝܢ ܡܢ ܥܠܡ ܥܒܕܘܗܝ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye peke yake anaishi milele, katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. Kwake iwe heshima na uwezo wa milele! Amina. \t ܗܘ ܕܗܘ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܠܐ ܡܬܚܒܠ ܘܥܡܪ ܒܢܘܗܪܐ ܕܐܢܫ ܠܐ ܡܫܟܚ ܕܢܬܩܪܒ ܠܗ ܘܐܢܫ ܡܢ ܒܢܝܢܫܐ ܠܐ ܚܙܝܗܝ ܘܐܦܠܐ ܡܨܐ ܠܡܚܙܝܗ ܗܘ ܕܠܗ ܐܝܩܪܐ ܘܫܘܠܛܢܐ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunapomshukuru Mungu kwa kikombe kile cha baraka, je, huwa hatushiriki damu ya Kristo? Na tunapoumega mkate, je, huwa hatushiriki mwili wa Kristo? \t ܟܤܐ ܗܘ ܕܬܘܕܝܬܐ ܕܡܒܪܟܝܢܢ ܠܐ ܗܘܐ ܫܘܬܦܘܬܐ ܐܝܬܘܗܝ ܕܕܡܗ ܕܡܫܝܚܐ ܘܠܚܡܐ ܗܘ ܕܩܨܝܢܢ ܠܐ ܗܘܐ ܫܘܬܦܘܬܐ ܐܝܬܘܗܝ ܕܦܓܪܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkisha soma barua hii, hakikisheni kwamba inasomwa na Wakristo wa Laodikea; na ninyi fanyeni mpango mpate kuisoma barua waliyoipata kwao. \t ܘܡܐ ܕܐܬܩܪܝܬ ܐܓܪܬܐ ܗܕܐ ܠܘܬܟܘܢ ܥܒܕܘ ܕܐܦ ܒܥܕܬܐ ܕܠܕܝܩܝܐ ܬܬܩܪܐ ܘܗܝ ܕܐܬܟܬܒܬ ܡܢ ܠܕܝܩܝܐ ܩܪܐܘܗ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama Abrahamu alikubaliwa kuwa mwadilifu kutokana na matendo yake, basi, anacho kitu cha kujivunia mbele ya Mungu. \t ܐܠܘ ܓܝܪ ܐܒܪܗܡ ܡܢ ܥܒܕܐ ܐܙܕܕܩ ܗܘܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܫܘܒܗܪܐ ܐܠܐ ܠܐ ܠܘܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, mtapata tuzo gani mkivumilia mapigo mnayostahili kwa sababu ya makosa yenu? Lakini kama mnavumilia mateso hata ingawa mmetenda mema, Mungu atawapeni baraka kwa ajili hiyo. \t ܐܝܠܝܢ ܕܝܢ ܕܡܛܠ ܤܟܠܘܬܗܘܢ ܡܤܝܒܪܝܢ ܐܘܠܨܢܐ ܐܝܕܐ ܬܫܒܘܚܬܐ ܗܘܝܐ ܠܗܘܢ ܐܠܐ ܡܐ ܕܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܫܦܝܪ ܘܐܠܨܝܢ ܠܟܘܢ ܘܡܤܝܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܝܕܝܢ ܝܪܒܐ ܬܫܒܘܚܬܟܘܢ ܠܘܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini tangu wakati wa Adamu mpaka wakati wa Mose, kifo kiliwatawala hata wale ambao hawakutenda dhambi kama ile ya Adamu, ya kumwasi Mungu. Adamu alikuwa kielelezo cha yule ambaye atakuja baadaye. \t ܐܠܐ ܐܡܠܟ ܡܘܬܐ ܡܢ ܐܕܡ ܘܥܕܡܐ ܠܡܘܫܐ ܐܦ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܚܛܘ ܒܕܡܘܬܐ ܕܥܒܪ ܢܡܘܤܗ ܕܐܕܡ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܕܡܘܬܐ ܕܗܘ ܕܥܬܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huohuo, manabii kadhaa walikuja Antiokia kutoka Yerusalemu. \t ܘܒܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܐܬܘ ܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܠܬܡܢ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara tu alipotoka majini, aliona mbingu zimefunguliwa, na Roho akishuka juu yake kama njiwa. \t ܘܡܚܕܐ ܕܤܠܩ ܡܢ ܡܝܐ ܚܙܐ ܕܐܤܬܕܩܘ ܫܡܝܐ ܘܪܘܚܐ ܐܝܟ ܝܘܢܐ ܕܢܚܬܬ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mama yake akasema, \"La, sivyo, bali ataitwa Yohane.\" \t ܘܥܢܬ ܐܡܗ ܘܐܡܪܐ ܠܗܘܢ ܠܐ ܗܟܢܐ ܐܠܐ ܢܬܩܪܐ ܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walisema hivyo kumjaribu, wapate kisa cha kumshtaki. Lakini Yesu akainama chini, akaandika ardhini kwa kidole. \t ܗܕܐ ܐܡܪܘ ܟܕ ܡܢܤܝܢ ܠܗ ܐܝܟܢܐ ܕܬܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܢܩܛܪܓܘܢܝܗܝ ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܟܕ ܠܬܚܬ ܐܬܓܗܢ ܡܟܬܒ ܗܘܐ ܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Hakuna mtu atiaye kiraka cha nguo mpya katika vazi kuukuu. Maana kiraka hicho kitararua hilo vazi kuukuu, na pale palipokuwa pameraruka pataongezeka. \t ܠܐ ܐܢܫ ܪܡܐ ܐܘܪܩܥܬܐ ܚܕܬܐ ܥܠ ܢܚܬܐ ܒܠܝܐ ܕܠܐ ܬܬܘܦ ܡܠܝܘܬܗ ܡܢ ܗܘ ܢܚܬܐ ܘܢܗܘܐ ܒܙܥܐ ܝܬܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee. \t ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܝܗܒ ܠܗ ܦܓܪܐ ܐܝܟܢܐ ܕܨܒܐ ܘܠܚܕ ܚܕ ܡܢ ܙܪܥܘܢܐ ܦܓܪܐ ܕܟܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ni Mungu wa baba zako, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo! Mose akatetemeka kwa hofu na wala hakuthubutu kutazama zaidi. \t ܐܢܐ ܐܢܐ ܐܠܗܐ ܕܐܒܗܝܟ ܐܠܗܗ ܕܐܒܪܗܡ ܘܕܐܝܤܚܩ ܘܕܝܥܩܘܒ ܘܟܕ ܪܬܝܬ ܗܘܐ ܡܘܫܐ ܠܐ ܡܡܪܚ ܗܘܐ ܕܢܚܘܪ ܒܚܙܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu mmoja aitwaye Anania na mkewe Safira waliuza shamba lao vilevile. \t ܘܓܒܪܐ ܚܕ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܚܢܢܝܐ ܥܡ ܐܢܬܬܗ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܫܦܝܪܐ ܙܒܢ ܗܘܐ ܩܪܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu hawa wote walionekana kuwa mashujaa kwa sababu ya imani yao. Hata hivyo, hawakupokea yale ambayo Mungu aliwaahidia, \t ܘܗܠܝܢ ܟܠܗܘܢ ܕܗܘܬ ܥܠܝܗܘܢ ܤܗܕܘܬܐ ܒܗܝܡܢܘܬܗܘܢ ܠܐ ܩܒܠܘ ܡܘܠܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mahali hapo aliposulubiwa Yesu palikuwa na bustani, na katika bustani hiyo kulikuwa na kaburi jipya ambalo hakutiwa bado mtu yeyote ndani yake. \t ܐܝܬ ܗܘܬ ܕܝܢ ܒܗܝ ܕܘܟܬܐ ܕܐܙܕܩܦ ܒܗ ܝܫܘܥ ܓܢܬܐ ܘܒܗ ܒܓܢܬܐ ܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܚܕܬܐ ܕܐܢܫ ܥܕܟܝܠ ܠܐ ܐܬܬܤܝܡ ܗܘܐ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watamuua, lakini siku ya tatu atafufuliwa.\" Wanafunzi wakahuzunika mno. \t ܘܢܩܛܠܘܢܝܗܝ ܘܠܝܘܡܐ ܕܬܠܬܐ ܢܩܘܡ ܘܟܪܝܬ ܠܗܘܢ ܛܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Salamu zetu kwa ndugu zetu wa Laodikea; msalimuni dada Nimfa pamoja na jumuiya yote ya waumini inayokutana nyumbani kwake. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܐܚܐ ܕܒܠܕܝܩܝܐ ܘܕܢܘܡܦܐ ܘܕܥܕܬܐ ܕܒܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, vyote vipo kwa uwezo wake na kwa ajili yake. Utukufu na uwe kwake hata milele! Amina. \t ܡܛܠ ܕܟܠ ܡܢܗ ܘܟܠ ܒܗ ܘܟܠ ܒܐܝܕܗ ܕܠܗ ܬܫܒܚܢ ܘܒܘܪܟܢ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya.\" \t ܡܢ ܒܬܪ ܕܩܐܡ ܐܢܐ ܕܝܢ ܩܕܡ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܠܓܠܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hayo yote yalionekana ya kutisha mno, hata Mose akasema, \"Naogopa na kutetemeka.\" \t ܘܗܟܢܐ ܕܚܝܠ ܗܘܐ ܚܙܘܐ ܕܡܘܫܐ ܐܡܪ ܕܕܚܝܠ ܐܢܐ ܘܪܬܝܬ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mathayo na Thoma, Yakobo wa Alfayo na Simoni (aliyeitwa Zelote), \t ܘܡܬܝ ܘܬܐܘܡܐ ܘܝܥܩܘܒ ܒܪ ܚܠܦܝ ܘܫܡܥܘܢ ܕܡܬܩܪܐ ܛܢܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote walio pamoja nami wanakusalimu. Wasalimu rafiki zetu katika imani. Nawatakieni nyote neema ya Mungu. \t ܫܐܠܝܢ ܒܫܠܡܟ ܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܥܡܝ ܐܢܘܢ ܫܐܠ ܒܫܠܡܐ ܕܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܪܚܡܝܢ ܠܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܛܝܒܘܬܐ ܥܡ ܟܠܟܘܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pepo huwa anamshambulia, na mara humfanya apige kelele; humtia kifafa, na povu likamtoka kinywani. Huendelea kumtesa sana, asimwache upesi. \t ܘܪܘܚܐ ܥܕܝܐ ܥܠܘܗܝ ܘܡܢ ܫܠܝܐ ܩܥܐ ܘܡܚܪܩ ܫܢܘܗܝ ܘܡܪܥܬ ܘܠܡܚܤܢ ܦܪܩܐ ܡܢܗ ܡܐ ܕܫܚܩܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na ya pili ndiyo hii: Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.\" \t ܘܕܬܪܝܢ ܕܕܡܐ ܠܗ ܕܬܚܒ ܠܩܪܝܒܟ ܐܝܟ ܢܦܫܟ ܦܘܩܕܢܐ ܐܚܪܢܐ ܕܪܒ ܡܢ ܗܠܝܢ ܠܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana yuko Mungu mmoja, na pia yuko mmoja anayewapatanisha watu na Mungu, binadamu Kristo Yesu, \t ܚܕ ܗܘ ܓܝܪ ܐܠܗܐ ܘܚܕ ܗܘ ܡܨܥܝܐ ܕܐܠܗܐ ܘܕܒܢܝܢܫܐ ܒܪܢܫܐ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "NI kama mbegu ya haradali aliyotwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake; ikaota hata ikawa mti. Ndege wa angani wakajenga viota vyao katika matawi yake.\" \t ܕܡܝܐ ܠܦܪܕܬܐ ܕܚܪܕܠܐ ܗܝ ܕܢܤܒ ܓܒܪܐ ܐܪܡܝܗ ܒܓܢܬܗ ܘܪܒܬ ܘܗܘܬ ܐܝܠܢܐ ܪܒܐ ܘܦܪܚܬܐ ܕܫܡܝܐ ܐܩܢܬ ܒܤܘܟܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna kiumbe chochote kilichofichika mbele ya Mungu; kila kitu kimefunuliwa wazi mbele ya macho yake. Kwake, sisi sote tutapaswa kutoa hoja ya matendo yetu. \t ܘܠܝܬ ܒܪܝܬܐ ܕܛܫܝܐ ܡܢ ܩܕܡܝܗ ܐܠܐ ܟܠ ܡܕܡ ܥܪܛܠ ܘܓܠܐ ܩܕܡ ܥܝܢܘܗܝ ܕܠܗ ܝܗܒܝܢܢ ܦܬܓܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakaja wale walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakapokea kila mmoja dinari moja. \t ܘܐܬܘ ܗܢܘܢ ܕܚܕܥܤܪܐ ܫܥܝܢ ܢܤܒܘ ܕܝܢܪ ܕܝܢܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jihadharini! Kama ndugu yako akikukosea, mwonye; akitubu, msamehe. \t ܐܙܕܗܪܘ ܒܢܦܫܟܘܢ ܐܢ ܢܚܛܐ ܐܚܘܟ ܟܐܝ ܒܗ ܘܐܢ ܬܐܒ ܫܒܘܩ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo mnashuhudia na kukubaliana na matendo ya wazee wenu; maana wao waliwaua hao manabii, nanyi mnajenga makaburi yao. \t ܤܗܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܟܝܠ ܘܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܥܒܕܐ ܕܐܒܗܝܟܘܢ ܕܗܢܘܢ ܩܛܠܘ ܐܢܘܢ ܘܐܢܬܘܢ ܒܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܩܒܪܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mambo hayo ndiyo niliyoyafanya huko Yerusalemu. Mimi binafsi, nikiwa nimepewa mamlaka kutoka kwa makuhani wakuu, nilipata kuwatia gerezani wengi wa watu wa Mungu. Nao walipohukumiwa kuuawa, nilipiga kura ya kukubali. \t ܗܕܐ ܕܥܒܕܬ ܐܦ ܒܐܘܪܫܠܡ ܘܩܕܝܫܐ ܤܓܝܐܐ ܐܪܡܝܬ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܒܫܘܠܛܢܐ ܕܩܒܠܬ ܡܢ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܟܕ ܡܬܩܛܠܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗܘܢ ܐܫܬܘܬܦܬ ܠܐܝܠܝܢ ܕܚܝܒܘ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Lakini yeye ndiye babu zetu waliyemkataa kumsikiliza; walimsukuma kando, wakatamani kurudi Misri. \t ܘܠܐ ܨܒܘ ܠܡܬܕܢܝܘ ܠܗ ܐܒܗܬܢ ܐܠܐ ܫܒܩܘܗܝ ܘܒܠܒܘܬܗܘܢ ܗܦܟܘ ܠܗܘܢ ܠܡܨܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hakupatikana mtu yeyote mbinguni, wala duniani, wala chini Kuzimu, aliyeweza kukifungua hicho kitabu au kukitazama ndani. \t ܘܠܝܬ ܕܐܬܡܨܝ ܒܫܡܝܐ ܘܠܐ ܒܐܪܥܐ ܘܠܐ ܕܠܬܚܬ ܡܢ ܐܪܥܐ ܠܡܦܬܚ ܠܟܬܒܐ ܘܠܡܫܪܐ ܛܒܥܘܗܝ ܘܠܡܚܙܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara, huyo mtu aliyepooza akasimama mbele yao wote, akachukua kitanda chake akaenda zake nyumbani huku akimtukuza Mungu. \t ܘܡܚܕܐ ܩܡ ܠܥܢܝܗܘܢ ܘܫܩܠ ܥܪܤܗ ܘܐܙܠ ܠܒܝܬܗ ܟܕ ܡܫܒܚ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Filipo akakimbilia karibu na gari, akamsikia huyo mtu akisoma katika kitabu cha nabii Isaya. Hapo Filipo akamwuliza, \"Je, unaelewa hayo unayosoma?\" \t ܘܟܕ ܐܬܩܪܒ ܫܡܥ ܕܩܪܐ ܒܐܫܥܝܐ ܢܒܝܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܕܐܢ ܡܤܬܟܠ ܐܢܬ ܡܢܐ ܩܪܐ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu Theofilo, Katika kitabu cha kwanza niliandika juu ya mambo yote Yesu aliyotenda na kufundisha tangu mwanzo wa kazi yake \t ܟܬܒܐ ܩܕܡܝܐ ܟܬܒܬ ܐܘ ܬܐܘܦܝܠܐ ܥܠ ܟܠܗܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܫܪܝ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܠܡܥܒܕ ܘܠܡܠܦܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sauti kutoka mbinguni ikasema, \"Huyu ndiye Mwanangu mpendwa, nimependezwa naye.\" \t ܟܕ ܥܡܕ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܡܚܕܐ ܤܠܩ ܡܢ ܡܝܐ ܘܐܬܦܬܚܘ ܠܗ ܫܡܝܐ ܘܚܙܐ ܪܘܚܐ ܕܐܠܗܐ ܕܢܚܬܐ ܐܝܟ ܝܘܢܐ ܘܐܬܬ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tulipokuwa bado wanyonge, Kristo, wakati ulipotimia, alikufa kwa ajili yetu sisi waovu. \t ܐܢ ܕܝܢ ܡܫܝܚܐ ܡܛܠ ܟܪܝܗܘܬܢ ܒܙܒܢܐ ܗܢܐ ܚܠܦ ܪܫܝܥܐ ܡܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na kuungana kwetu na Bwana, nina tumaini kubwa kwamba ninyi hamtakuwa na msimamo tofauti nami. Tena yeyote huyo anayewavurugeni--awe nani au nani--hakika ataadhibiwa. \t ܐܢܐ ܬܟܝܠ ܐܢܐ ܥܠܝܟܘܢ ܒܡܪܢ ܕܡܕܡ ܐܚܪܝܢ ܠܐ ܡܬܪܥܝܬܘܢ ܘܐܝܢܐ ܕܕܠܚ ܠܟܘܢ ܗܘ ܢܤܝܒܪܝܘܗܝ ܠܕܝܢܐ ܡܢ ܕܐܝܬܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao mashahidi wawili ni miti miwili ya Mizeituni na taa mbili zinazosimama mbele ya Bwana wa dunia. \t ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܬܪܝܢ ܙܝܬܝܢ ܘܬܪܬܝܢ ܡܢܪܢ ܕܩܕܡ ܡܪܐ ܕܟܠܗ ܐܪܥܐ ܩܝܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote walikula chakula kilekile cha kiroho, \t ܘܟܠܗܘܢ ܚܕܐ ܡܐܟܘܠܬܐ ܕܪܘܚܐ ܐܟܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro alikuwa bado anajaribu kuelewa lile maono, na hapo Roho akamwambia, \"Sikiliza! kuna watu watatu hapa, wanakutafuta. \t ܘܟܕ ܫܡܥܘܢ ܪܢܐ ܗܘܐ ܒܚܙܘܐ ܐܡܪ ܠܗ ܪܘܚܐ ܗܐ ܓܒܪܐ ܬܠܬܐ ܒܥܝܢ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mlituma ujumbe kwa Yohane naye aliushuhudia ukweli. \t ܐܢܬܘܢ ܫܕܪܬܘܢ ܠܘܬ ܝܘܚܢܢ ܘܐܤܗܕ ܥܠ ܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Hata hivyo, Mungu Mkuu haishi katika nyumba zilizojengwa na binadamu; kama nabii asemavyo: \t ܘܡܪܝܡܐ ܠܐ ܫܪܐ ܒܥܒܕ ܐܝܕܝܐ ܐܝܟ ܕܐܡܪ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Luka peke yake ndiye aliye hapa pamoja nami. Mpate Marko uje naye, kwa maana ataweza kunisaidia katika kazi yangu. \t ܠܘܩܐ ܗܘ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܥܡܝ ܠܡܪܩܘܤ ܕܒܪ ܘܐܝܬܝܗܝ ܥܡܟ ܥܗܢ ܠܝ ܓܝܪ ܠܬܫܡܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Taifa moja litapigana na taifa lingine; ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine. Hapa na pale patakuwa na njaa na mitetemeko ya ardhi. \t ܢܩܘܡ ܓܝܪ ܥܡܐ ܥܠ ܥܡܐ ܘܡܠܟܘܬܐ ܥܠ ܡܠܟܘܬܐ ܘܢܗܘܘܢ ܟܦܢܐ ܘܡܘܬܢܐ ܘܙܘܥܐ ܒܕܘܟܐ ܕܘܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanajeshi vitani hujiepusha na shughuli za maisha ya kawaida ili aweze kumpendeza mkuu wa jeshi. \t ܠܐ ܐܢܫ ܦܠܚ ܘܡܬܦܟܪ ܒܨܒܘܬܐ ܕܥܠܡܐ ܕܢܫܦܪ ܠܗܘ ܡܢ ܕܓܒܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wasamaria walimwendea Yesu wakamwomba akae nao; naye akakaa hapo siku mbili. \t ܘܟܕ ܐܬܘ ܠܘܬܗ ܗܢܘܢ ܫܡܪܝܐ ܒܥܘ ܡܢܗ ܕܢܗܘܐ ܠܘܬܗܘܢ ܘܗܘܐ ܠܘܬܗܘܢ ܬܪܝܢ ܝܘܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamaliza kwa kusema, \"Hivyo, walio wa mwisho watakuwa wa kwanza na wa kwanza watakuwa wa mwisho.\" \t ܗܟܢܐ ܢܗܘܘܢ ܐܚܪܝܐ ܩܕܡܝܐ ܘܩܕܡܝܐ ܐܚܪܝܐ ܤܓܝܐܝܢ ܐܢܘܢ ܓܝܪ ܩܪܝܐ ܘܙܥܘܪܝܢ ܓܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alisikia kwamba walikuwa wamemfukuzia mbali, naye alipomkuta akamwuliza, \"Je, wewe unamwamini Mwana wa Mtu?\" \t ܘܫܡܥ ܝܫܘܥ ܕܐܦܩܘܗܝ ܠܒܪ ܘܐܫܟܚܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢܬ ܡܗܝܡܢ ܐܢܬ ܒܒܪܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, hao ni mitume wa uongo, wafanyakazi wadanganyifu wanojisingizia kuwa mitume wa Kristo. \t ܐܝܬܝܗܘܢ ܓܝܪ ܗܠܝܢ ܫܠܝܚܐ ܕܓܠܐ ܘܦܥܠܐ ܢܟܝܠܐ ܘܡܕܡܝܢ ܢܦܫܗܘܢ ܠܫܠܝܚܐ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu; kwani hiyo divai mpya itavipasua hivyo viriba, divai itamwagika, na viriba vitaharibika. \t ܘܠܐ ܐܢܫ ܪܡܐ ܚܡܪܐ ܚܕܬܐ ܒܙܩܐ ܒܠܝܬܐ ܘܐܢ ܕܝܢ ܠܐ ܡܒܙܥ ܚܡܪܐ ܚܕܬܐ ܠܙܩܐ ܘܗܘ ܚܡܪܐ ܡܬܐܫܕ ܘܙܩܐ ܐܒܕܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo akajibu, \"Nasimama mbele ya mahakama ya Kaisari na papa hapa ndipo ninapopaswa kupewa hukumu. Kama unavyojua vizuri, sikuwatendea Wayahudi ubaya wowote. \t ܥܢܐ ܦܘܠܘܤ ܘܐܡܪ ܥܠ ܒܝܡ ܕܩܤܪ ܩܐܡ ܐܢܐ ܗܪܟܐ ܗܘ ܙܕܩ ܠܝ ܠܡܬܕܢܘ ܠܐ ܡܕܡ ܚܛܝܬ ܠܝܗܘܕܝܐ ܐܝܟ ܕܐܦ ܐܢܬ ܝܕܥ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kwa vile wao walikuwa mafundi wa kushona mahema kama alivyokuwa yeye, Paulo alikaa nao akafanya kazi. \t ܘܡܛܠ ܕܒܪ ܐܘܡܢܘܬܗܘܢ ܗܘܐ ܫܪܐ ܠܗ ܠܘܬܗܘܢ ܘܦܠܚ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܒܐܘܡܢܘܬܗܘܢ ܕܝܢ ܠܘܠܪܐ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wakaanza kuulizana wao kwa wao ni nani kati yao atakayefanya jambo hilo. \t ܘܫܪܝܘ ܕܢܥܩܒܘܢ ܒܝܢܬܗܘܢ ܕܡܢܘ ܟܝ ܡܢܗܘܢ ܗܘ ܕܗܕܐ ܥܬܝܕ ܠܡܤܥܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mtumishi mwenzake akapiga magoti, akamwomba, Unisubiri nami nitalipa deni langu lote. \t ܘܢܦܠ ܗܘ ܟܢܬܗ ܥܠ ܪܓܠܘܗܝ ܒܥܐ ܡܢܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܓܪ ܥܠܝ ܪܘܚܐ ܘܦܪܥ ܐܢܐ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kwa upande wenu, hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. \t ܕܝܠܟܘܢ ܕܝܢ ܐܦ ܡܢܐ ܕܪܫܟܘܢ ܟܠܗܝܢ ܡܢܝܢ ܐܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku kadhaa baadaye, Maria alifunga safari akaenda kwa haraka hadi mji mmoja ulioko katika milima ya Yuda. \t ܩܡܬ ܕܝܢ ܡܪܝܡ ܒܗܘܢ ܒܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܘܐܙܠܬ ܒܛܝܠܐܝܬ ܠܛܘܪܐ ܠܡܕܝܢܬܐ ܕܝܗܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Watu wote wa Israeli wanapaswa kufahamu kwa hakika kwamba huyo Yesu mliyemsulubisha ninyi, ndiye huyo ambaye Mungu amemfanya kuwa Bwana na Kristo.\" \t ܫܪܝܪܐܝܬ ܗܟܝܠ ܢܕܥ ܟܠܗ ܒܝܬ ܐܝܤܪܝܠ ܕܡܪܝܐ ܘܡܫܝܚܐ ܥܒܕܗ ܐܠܗܐ ܠܗܢܐ ܝܫܘܥ ܕܐܢܬܘܢ ܙܩܦܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu aliondoka mezani, akaweka kando vazi lake, akachukua kitambaa na kujifunga kiunoni. \t ܩܡ ܡܢ ܚܫܡܝܬܐ ܘܤܡ ܢܚܬܘܗܝ ܘܫܩܠ ܤܕܘܢܐ ܡܚܐ ܒܚܨܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akamshukuru Mungu, akaumega, akasema: \"Huu ndio mwili wangu ulio kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa kunikumbuka.\" \t ܘܒܪܟ ܘܩܨܐ ܘܐܡܪ ܤܒܘ ܐܟܘܠܘ ܗܢܘ ܦܓܪܝ ܕܥܠ ܐܦܝܟܘܢ ܡܬܩܨܐ ܗܟܢܐ ܗܘܝܬܘܢ ܥܒܕܝܢ ܠܕܘܟܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nilimwita Tito, nikamtuma kwenu na ndugu yetu mwingine. Je, Tito aliwanyonyeni? Je, hamjui kwamba sisi tumekuwa tukiongozwa na roho yuleyule, na mwenendo wetu ni mmoja? \t ܡܢ ܛܛܘܤ ܒܥܝܬ ܘܫܕܪܬ ܥܡܗ ܠܐܚܐ ܠܡܐ ܡܕܡ ܐܬܝܥܢ ܥܠܝܟܘܢ ܛܛܘܤ ܠܘ ܒܚܕܐ ܪܘܚܐ ܗܠܟܢ ܘܒܗܝܢ ܒܥܩܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, mmekwisha mwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini? \t ܠܡܐ ܐܢܫ ܡܢ ܪܫܐ ܐܘ ܡܢ ܦܪܝܫܐ ܗܝܡܢܘ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wanafunzi wakamwendea Yesu, wakamwamsha wakisema, \"Bwana, Bwana! Tunaangamia!\" Yesu akaamka, akaikemea dhoruba na mawimbi, navyo vikatulia, kukawa shwari. \t ܘܩܪܒܘ ܐܥܝܪܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܪܒܢ ܪܒܢ ܐܒܕܝܢܢ ܗܘ ܕܝܢ ܩܡ ܘܟܐܐ ܒܪܘܚܐ ܘܒܡܚܫܘܠܐ ܕܝܡܐ ܘܢܚܘ ܘܗܘܐ ܫܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, kwa njia yake, sisi sote, Wayahudi na watu wa mataifa mengine, tunaweza kumwendea Baba katika Roho mmoja. \t ܡܛܠ ܕܒܗ ܗܘ ܗܘܐ ܠܢ ܩܘܪܒܐ ܠܬܪܝܢ ܒܚܕܐ ܪܘܚ ܠܘܬ ܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tangu hapo, Pilato akawa anatafuta njia ya kumwachilia, lakini Wayahudi wakapiga kelele: \"Ukimwachilia huyu mtu, wewe si rafiki yake Kaisari; kila mtu anayejifanya kuwa Mfalme humpinga Kaisari!\" \t ܘܡܛܠ ܗܕܐ ܨܒܐ ܗܘܐ ܦܝܠܛܘܤ ܕܢܫܪܝܘܗܝ ܝܗܘܕܝܐ ܕܝܢ ܩܥܝܢ ܗܘܘ ܕܐܢ ܠܗܢܐ ܫܪܐ ܐܢܬ ܠܐ ܗܘܝܬ ܪܚܡܗ ܕܩܤܪ ܟܠ ܡܢ ܓܝܪ ܕܢܦܫܗ ܡܠܟܐ ܥܒܕ ܤܩܘܒܠܐ ܗܘ ܕܩܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kumbukeni kwamba atawapeni tuzo lile alilowawekea watu wake. Mtumikieni Kristo Bwana! \t ܘܕܥܘ ܕܡܢ ܡܪܢ ܡܩܒܠܝܬܘܢ ܦܘܪܥܢܐ ܒܝܪܬܘܬܐ ܠܡܪܝܐ ܓܝܪ ܡܫܝܚܐ ܦܠܚܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, baadaye, wakati ule wa kuhesabiwa watu, alitokea Yuda wa Galilaya. Huyu naye, aliwavuta watu wakamfuata; lakini naye pia aliuawa, na wafuasi wake wakatawanyika. \t ܘܩܡ ܡܢ ܒܬܪܗ ܝܗܘܕܐ ܓܠܝܠܝܐ ܒܝܘܡܬܐ ܕܡܬܟܬܒܝܢ ܗܘܘ ܐܢܫܐ ܒܟܤܦ ܪܫܐ ܘܐܤܛܝ ܥܡܐ ܤܓܝܐܐ ܒܬܪܗ ܘܗܘ ܡܝܬ ܘܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܐܙܠܝܢ ܗܘܘ ܒܬܪܗ ܐܬܒܕܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Hakuna mtu yeyote auchukiaye mwili wake; badala ya kuuchukia, huulisha na kuuvika. Ndivyo naye Kristo anavyolitunza kanisa, \t ܠܐ ܓܝܪ ܐܢܫ ܡܡܬܘܡ ܤܢܐ ܦܓܪܗ ܐܠܐ ܡܬܪܤܐ ܠܗ ܘܝܨܦ ܕܝܠܗ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܡܫܝܚܐ ܕܥܕܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, ataokoka. \t ܡܢ ܕܢܤܝܒܪ ܕܝܢ ܥܕܡܐ ܠܚܪܬܐ ܗܘ ܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu alipojua jambo hilo, akatoka mahali pale. Watu wengi walimfuata, akawaponya wagonjwa wote, \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܝܕܥ ܘܫܢܝ ܠܗ ܡܢ ܬܡܢ ܘܐܙܠܘ ܒܬܪܗ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܘܐܤܝ ܠܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa Daudi anamwita yeye, Bwana, basi atakuwaje mwanawe?\" \t ܐܢ ܗܟܝܠ ܕܘܝܕ ܡܪܝ ܩܪܐ ܠܗ ܐܝܟܢܐ ܒܪܗ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walikuwa huko siku kadhaa naye Festo akamweleza mfalme kesi ya Paulo: \"Kuna mtu mmoja hapa ambaye Felisi alimwacha kizuizini. \t ܘܟܕ ܗܘܘ ܠܘܬܗ ܝܘܡܬܐ ܐܫܬܥܝ ܦܗܤܛܘܤ ܠܡܠܟܐ ܕܝܢܗ ܕܦܘܠܘܤ ܟܕ ܐܡܪ ܓܒܪܐ ܚܕ ܐܤܝܪܐ ܐܫܬܒܩ ܡܢ ܐܝܕܝ ܦܝܠܟܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika akaniambia, \"Maneno haya ni ya kweli na ya kuaminika. Bwana Mungu ambaye huwapa manabii Roho wake, alimtuma malaika wake awaonyeshe watumishi wake mambo ambayo lazima yatukie punde. \t ܘܐܡܪ ܠܝ ܗܠܝܢ ܡܠܐ ܡܗܝܡܢܢ ܘܫܪܝܪܢ ܘܡܪܝܐ ܐܠܗܐ ܕܪܘܚܬܐ ܕܢܒܝܐ ܩܕܝܫܐ ܫܕܪ ܠܡܠܐܟܗ ܠܡܚܘܝܘ ܠܥܒܕܘܗܝ ܡܐ ܕܝܗܝܒ ܠܡܗܘܐ ܒܥܓܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliendelea kupayukapayuka huku wakitikisa makoti yao na kurusha vumbi angani. \t ܘܟܕ ܡܒܓܢܝܢ ܗܘܘ ܘܡܫܕܝܢ ܗܘܘ ܡܐܢܝܗܘܢ ܘܡܤܩܝܢ ܗܘܘ ܚܠܐ ܠܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo, Apolo na Kefa, ulimwengu, maisha na kifo; mambo ya sasa na ya baadaye, yote ni yenu. \t ܐܢ ܦܘܠܘܤ ܘܐܢ ܐܦܠܘ ܘܐܢ ܟܐܦܐ ܘܐܢ ܥܠܡܐ ܘܐܢ ܚܝܐ ܘܐܢ ܡܘܬܐ ܘܐܢ ܕܩܝܡܢ ܘܐܢ ܕܥܬܝܕܢ ܟܠ ܡܕܡ ܕܝܠܟܘܢ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu kama hao hujidai kwamba wanamjua Mungu, lakini kwa matendo yao humkana. Ni watu wa kuchukiza mno na wakaidi, hawafai kwa jambo lolote jema. \t ܘܡܘܕܝܢ ܕܝܕܥܝܢ ܠܐܠܗܐ ܒܥܒܕܝܗܘܢ ܕܝܢ ܟܦܪܝܢ ܒܗ ܘܐܝܬܝܗܘܢ ܤܢܝܐܐ ܘܕܠܐ ܦܝܤ ܘܡܤܠܝܐ ܠܟܠ ܥܒܕ ܛܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mambo yale yanayotendwa katika mwanga, ukweli wake hudhihirishwa; \t ܟܠ ܡܕܡ ܓܝܪ ܡܬܟܘܢ ܡܢ ܢܘܗܪܐ ܘܡܬܓܠܐ ܘܟܠܡܕܡ ܕܓܠܐ ܢܘܗܪܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Simama, utembee? \t ܡܢܐ ܓܝܪ ܦܫܝܩ ܠܡܐܡܪ ܕܫܒܝܩܝܢ ܠܟ ܚܛܗܝܟ ܐܘ ܠܡܐܡܪ ܩܘܡ ܗܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu ya maneno haya, viongozi wa Wayahudi walizidi kutafuta njia ya kumwua Yesu: si kwa kuwa aliivunja Sheria ya Sabato tu, bali pia kwa kuwa alisema kwamba Mungu ni Baba yake, na hivyo akajifanya sawa na Mungu. \t ܘܡܛܠ ܗܕܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܒܥܝܢ ܗܘܘ ܝܗܘܕܝܐ ܠܡܩܛܠܗ ܠܐ ܒܠܚܘܕ ܕܫܪܐ ܗܘܐ ܫܒܬܐ ܐܠܐ ܐܦ ܕܥܠ ܐܠܗܐ ܕܐܒܘܗܝ ܐܝܬܘܗܝ ܐܡܪ ܗܘܐ ܘܡܫܘܐ ܗܘܐ ܢܦܫܗ ܥܡ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani yetu, yeye ametuleta katika hali hii ya neema ya Mungu ambamo sasa tunaishi. Basi, tunajivunia tumaini tulilo nalo la kushiriki utukufu wa Mungu. \t ܕܒܗ ܐܬܩܪܒܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܠܛܝܒܘܬܐ ܗܕܐ ܕܒܗ ܩܝܡܝܢܢ ܘܡܫܬܒܗܪܝܢܢ ܒܤܒܪܐ ܕܬܫܒܘܚܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi ya Wayahudi wakamwuliza Yesu, \"Utafanya muujiza gani kuonyesha kwamba unayo haki kufanya mambo haya?\" \t ܥܢܘ ܕܝܢ ܝܗܘܕܝܐ ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܡܢܐ ܐܬܐ ܡܚܘܐ ܐܢܬ ܠܢ ܕܗܠܝܢ ܥܒܕ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akiipata, atawaita rafiki na jirani zake akisema, Furahini pamoja nami, kwa sababu nimeipata ile sarafu yangu iliyopotea. \t ܘܡܐ ܕܐܫܟܚܬܗ ܩܪܝܐ ܠܪܚܡܬܗ ܘܠܫܒܒܬܗ ܘܐܡܪܐ ܠܗܝܢ ܚܕܝܝܢ ܥܡܝ ܕܐܫܟܚܬ ܙܘܙܝ ܕܐܒܝܕ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akamwambia Thoma, \"Lete kidole chako hapa uitazame mikono yangu; lete mkono wako ukautie ubavuni mwangu. Usiwe na mashaka, ila amini!\" \t ܘܐܡܪ ܠܬܐܘܡܐ ܐܝܬܐ ܨܒܥܟ ܠܗܪܟܐ ܘܚܙܝ ܐܝܕܝ ܘܐܝܬܐ ܐܝܕܟ ܘܐܘܫܛ ܒܓܒܝ ܘܠܐ ܬܗܘܐ ܠܐ ܡܗܝܡܢܐ ܐܠܐ ܡܗܝܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamjibu, \"Hatujui!\" Naye Yesu akawaambia, \"Nami pia sitawaambieni ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani. \t ܥܢܘ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܐ ܝܕܥܝܢܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܦ ܠܐ ܐܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܒܐܝܢܐ ܫܘܠܛܢܐ ܗܠܝܢ ܥܒܕ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wameneemeka sana, tena heri yao wote wanaoshiriki ufufuo huu wa kwanza. Kifo cha pili hakitakuwa na nguvu juu yao; watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, na watatawala pamoja naye kwa miaka elfu moja. \t ܛܘܒܢܐ ܗܘ ܘܩܕܝܫܐ ܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܡܢܬܐ ܒܩܝܡܬܐ ܩܕܡܝܬܐ ܘܥܠ ܗܠܝܢ ܠܝܬ ܫܘܠܛܢܐ ܠܡܘܬܐ ܬܢܝܢܐ ܐܠܐ ܢܗܘܘܢ ܟܗܢܐ ܕܐܠܗܐ ܘܕܡܫܝܚܐ ܘܢܡܠܟܘܢ ܥܡܗ ܐܠܦ ܫܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wengine ni kama zile mbegu zilizopandwa penye mawe. Mara tu wanapolisikia hilo neno hulipokea kwa furaha. \t ܘܗܢܘܢ ܕܥܠ ܫܘܥܐ ܐܙܕܪܥܘ ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܕܡܐ ܕܫܡܥܘ ܡܠܬܐ ܡܚܕܐ ܒܚܕܘܬܐ ܡܩܒܠܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kwa kuwa hali yako ni vuguvugu, si baridi wala si moto, nitakutapika! \t ܘܐܝܬܝܟ ܦܫܘܪܐ ܘܠܐ ܩܪܝܪܐ ܘܠܐ ܚܡܝܡܐ ܥܬܝܕ ܐܢܐ ܠܡܬܒܘܬܟ ܡܢ ܦܘܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mwana wa Kainani, mwana wa Arfaksadi, mwana wa Shemu, mwana wa Noa, mwana wa Lameki, \t ܒܪ ܩܝܢܢ ܒܪ ܐܪܦܟܫܪ ܒܪ ܫܝܡ ܒܪ ܢܘܚ ܒܪ ܠܡܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makoo yao ni kama kaburi wazi, ndimi zao zimejaa udanganyifu, midomoni mwao mwatoka maneno yenye sumu kama ya nyoka. \t ܩܒܪܐ ܦܬܝܚܐ ܓܓܪܬܗܘܢ ܘܠܫܢܝܗܘܢ ܢܟܘܠܬܢܝܢ ܘܚܡܬܐ ܕܐܤܦܤ ܬܚܝܬ ܤܦܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata kidogo! Ninachosema ni kwamba tambiko wanazotoa watu wasiomjua Mungu wanawatolea pepo, sio Mungu. Sipendi kamwe ninyi muwe na ushirika na pepo. \t ܐܠܐ ܗܘ ܡܕܡ ܕܕܒܚܝܢ ܚܢܦܐ ܠܫܐܕܐ ܗܘ ܕܒܚܝܢ ܘܠܐ ܠܐܠܗܐ ܠܐ ܕܝܢ ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܬܗܘܘܢ ܫܘܬܦܐ ܠܫܐܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa bado anaongea, kundi la watu likaja likiongozwa na yule aliyeitwa Yuda, mmoja wa wale mitume kumi na wawili. Yuda akaenda kumsalimu Yesu kwa kumbusu. \t ܘܥܕ ܗܘ ܡܡܠܠ ܗܐ ܟܢܫܐ ܘܗܘ ܕܡܬܩܪܐ ܝܗܘܕܐ ܚܕ ܡܢ ܬܪܥܤܪ ܐܬܐ ܩܕܡܝܗܘܢ ܘܩܪܒ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܘܢܫܩܗ ܗܕܐ ܓܝܪ ܐܬܐ ܝܗܒ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܐܝܢܐ ܕܢܫܩ ܐܢܐ ܗܘܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wa kwanza walipofika, walikuwa wanadhani watapewa zaidi; lakini hata wao wakapewa kila mmoja dinari moja. \t ܘܟܕ ܐܬܘ ܩܕܡܝܐ ܤܒܪܘ ܕܝܬܝܪ ܫܩܠܝܢ ܘܫܩܠܘ ܕܝܢܪ ܕܝܢܪ ܐܦ ܗܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakawapa barua hii: \"Sisi mitume na wazee, ndugu zenu, tunawasalimuni ninyi ndugu wa mataifa mengine mlioko huko Antiokia, Siria na Kilikia. \t ܘܟܬܒܘ ܐܓܪܬܐ ܒܐܝܕܝܗܘܢ ܗܟܢܐ ܫܠܝܚܐ ܘܩܫܝܫܐ ܘܐܚܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬ ܒܐܢܛܝܘܟܝ ܘܒܤܘܪܝܐ ܘܒܩܝܠܝܩܝܐ ܐܚܐ ܕܡܢ ܥܡܡܐ ܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Hakuna mtu anayewasha taa na kuifunika kwa pishi, bali huiweka juu ya kinara ili watu wanaoingia ndani wapate kuona mwanga. \t ܠܐ ܐܢܫ ܡܢܗܪ ܫܪܓܐ ܘܤܐܡ ܠܗ ܒܟܤܝܐ ܐܘ ܬܚܝܬ ܤܐܬܐ ܐܠܐ ܠܥܠ ܡܢ ܡܢܪܬܐ ܕܐܝܠܝܢ ܕܥܐܠܝܢ ܢܚܙܘܢ ܢܘܗܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliyaeleza na kuonyesha kwamba ilimbidi Kristo kuteswa na kufufuka kutoka wafu. Akawaambia, \"Yesu ambaye mimi namhubiri kwenu ndiye Kristo.\" \t ܟܕ ܡܦܫܩ ܗܘܐ ܘܡܚܘܐ ܕܥܬܝܕ ܗܘܐ ܡܫܝܚܐ ܕܢܚܫ ܘܕܢܩܘܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܘܗܘܝܘ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܢܐ ܕܡܤܒܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vivyo hivyo, ulimi, ingawa ni kiungo kidogo cha mwili, hujisifia makuu sana. Moto mdogo waweza kuteketeza msitu mkubwa. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܠܫܢܐ ܗܕܡܐ ܗܘ ܙܥܘܪܐ ܘܡܫܬܥܠܐ ܐܦ ܢܘܪܐ ܙܥܘܪܬܐ ܥܒܐ ܤܓܝܐܐ ܡܘܩܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Au, ile mikate saba waliyogawiwa wale watu elfu nne, je, mlikusanya vikapu vingapi vya mabaki? \t ܘܠܐ ܠܗܢܘܢ ܫܒܥܐ ܠܚܡܝܢ ܕܐܪܒܥܐ ܐܠܦܝܢ ܘܟܡܐ ܐܤܦܪܝܕܝܢ ܫܩܠܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wengine ni kama zile mbegu zilizoanguka penye miti ya miiba. Huo ni mfano wa wale wanaolisikia hilo neno, \t ܘܗܢܘܢ ܕܒܝܬ ܟܘܒܐ ܡܙܕܪܥܝܢ ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܗܢܘܢ ܕܫܡܥܘ ܡܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilikuwa mgeni nanyi hamkunikaribisha; nilikuwa mgonjwa na mfungwa nanyi hamkuja kunitazama. \t ܘܐܟܤܢܝܐ ܗܘܝܬ ܘܠܐ ܟܢܫܬܘܢܢܝ ܘܥܪܛܠܝܐ ܗܘܝܬ ܘܠܐ ܟܤܝܬܘܢܢܝ ܘܟܪܝܗܐ ܗܘܝܬ ܘܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܗܘܝܬ ܘܠܐ ܤܥܪܬܘܢܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninachotaka kusema ni hiki: Mungu alifanya agano lake akalithibitisha; Sheria ambayo ilitokea miaka mia nne na thelathini baadaye, haiwezi kulitangua hilo agano wala kuibatilisha hiyo ahadi. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܕܝܬܩܐ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܐܫܬܪܪܬ ܡܢ ܐܠܗܐ ܒܡܫܝܚܐ ܢܡܘܤܐ ܗܘ ܕܗܘܐ ܡܢ ܒܬܪ ܐܪܒܥ ܡܐܐ ܘܬܠܬܝܢ ܫܢܝܢ ܠܐ ܡܫܟܚ ܕܢܤܠܝܗ ܘܢܒܛܠ ܡܘܠܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati mmoja nanyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kwa sababu ninyi mlikuwa watu wa mataifa mengine. Lakini Mungu amewapa ninyi uzima pamoja na Kristo. Mungu ametusamehe dhambi zetu zote; \t ܘܠܟܘܢ ܕܡܝܬܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܒܚܛܗܝܟܘܢ ܘܒܥܘܪܠܘܬ ܒܤܪܟܘܢ ܐܚܝܟܘܢ ܥܡܗ ܘܫܒܩ ܠܢ ܟܠܗܘܢ ܚܛܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, hakika siku zitakuja ambapo watasema: Heri yao wale walio tasa, ambao hawakupata kuzaa wala kunyonyesha watoto! \t ܕܗܐ ܐܬܝܢ ܝܘܡܬܐ ܕܒܗܘܢ ܢܐܡܪܘܢ ܛܘܒܝܗܝܢ ܠܥܩܪܬܐ ܘܠܟܪܤܬܐ ܕܠܐ ܝܠܕ ܘܠܬܕܝܐ ܕܠܐ ܐܝܢܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikuwa amesikia habari za Yesu, na hivyo akaupenya msongamano wa watu kutoka nyuma, akagusa vazi lake. \t ܟܕ ܫܡܥܬ ܥܠ ܝܫܘܥ ܐܬܬ ܒܚܒܨܐ ܕܟܢܫܐ ܡܢ ܒܤܬܪܗ ܩܪܒܬ ܠܠܒܘܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila kitu alichoumba Mungu ni chema, wala hakuna kinachohitaji kukataliwa, bali vyote vipokelewe kwa sala ya shukrani, \t ܡܛܠ ܕܟܠ ܕܒܪܐ ܠܐܠܗܐ ܫܦܝܪ ܗܘ ܘܠܝܬ ܡܕܡ ܕܡܤܠܝ ܐܢ ܒܬܘܕܝܬܐ ܢܬܢܤܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na sasa nafurahi kuteseka kwa ajili yenu, maana kwa mateso yangu hapa duniani, nasaidia kukamilisha kile kilichopungua bado katika mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, yaani kanisa. \t ܘܚܕܐ ܐܢܐ ܒܚܫܐ ܕܥܠ ܐܦܝܟܘܢ ܘܡܡܠܐ ܐܢܐ ܚܤܝܪܘܬܐ ܕܐܘܠܨܢܘܗܝ ܕܡܫܝܚܐ ܒܒܤܪܝ ܚܠܦ ܦܓܪܗ ܕܐܝܬܘܗܝ ܥܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo. \t ܫܠܡܐ ܥܡܟܘܢ ܘܛܝܒܘܬܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܒܘܢ ܘܡܢ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika mwingine akafika, akiwa anachukua chetezo cha dhahabu, akasimama mbele ya madhabahu ya kufukizia ubani. Naye akapewa ubani mwingi autoe sadaka pamoja na sala za watu wote wa Mungu, juu ya madhabahu ya dhahabu iliyo mbele ya kiti cha enzi. \t ܘܐܚܪܢܐ ܡܠܐܟܐ ܐܬܐ ܘܩܡ ܥܠ ܡܕܒܚܐ ܘܐܝܬ ܠܗ ܦܝܪܡܐ ܕܕܗܒܐ ܘܐܬܝܗܒ ܠܗ ܒܤܡܐ ܤܓܝܐܐ ܕܢܬܠ ܒܨܠܘܬܐ ܕܟܠܗܘܢ ܩܕܝܫܐ ܥܠ ܡܕܒܚܐ ܕܩܕܡ ܟܘܪܤܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamwuliza, \"Sasa, macho yako yalipataje kufumbuliwa?\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܝܟܢܐ ܐܬܦܬܚ ܥܝܢܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wake wakaulizana, \"Je, kuna mtu aliyemletea chakula?\" \t ܐܡܪܝܢ ܬܠܡܝܕܐ ܒܝܢܝܗܘܢ ܠܡܐ ܐܢܫ ܐܝܬܝ ܠܗ ܡܕܡ ܠܡܐܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anayo mamlaka ya kuwasamehe watu dhambi duniani.\" Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, \t ܕܬܕܥܘܢ ܕܝܢ ܕܫܠܝܛ ܗܘ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܒܐܪܥܐ ܠܡܫܒܩ ܚܛܗܐ ܐܡܪ ܠܡܫܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao watu wengine wanawahangaikia ninyi, lakini nia zao si njema. Wanataka kuwatenganisha nami ili ninyi muwahangaikie wao. \t ܚܤܡܝܢ ܒܟܘܢ ܠܐ ܗܘܐ ܠܫܦܝܪܬܐ ܐܠܐ ܠܡܚܒܫܟܘܢ ܗܘ ܨܒܝܢ ܕܐܢܬܘܢ ܬܗܘܘܢ ܚܤܡܝܢ ܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli, masharti hayo yaonekana kuwa ya hekima katika namna ya ibada ya kujitakia wenyewe, unyenyekevu wa uongo na kuutendea mwili kwa ukali; lakini kwa kweli, haifai chochote kuzuia tamaa za mwili. \t ܘܡܬܚܙܝܢ ܕܐܝܬ ܒܗܝܢ ܡܠܬܐ ܕܚܟܡܬܐ ܒܦܪܨܘܦ ܡܟܝܟܘܬܐ ܘܕܚܠܬ ܐܠܗܐ ܘܕܠܐ ܚܝܤܝܢ ܥܠ ܦܓܪܐ ܠܘ ܒܡܕܡ ܕܡܝܩܪ ܐܠܐ ܒܐܝܠܝܢ ܕܚܫܚܬܐ ܐܢܝܢ ܕܒܤܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akajibu, \"Ninyi mmejaliwa kujua siri za Ufalme wa Mungu, lakini hao wengine sivyo; ila hao huambiwa kwa mifano, ili wakitazama wasiweze kuona, na wakisikia wasifahamu. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܟܘܢ ܗܘ ܝܗܝܒ ܠܡܕܥ ܐܪܙܐ ܕܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܠܗܢܘܢ ܕܝܢ ܫܪܟܐ ܒܦܠܐܬܐ ܡܬܐܡܪ ܕܟܕ ܚܙܝܢ ܠܐ ܢܚܙܘܢ ܘܟܕ ܫܡܥܝܢ ܠܐ ܢܤܬܟܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni Petro aliwaambia, \"Nakwenda kuvua samaki.\" Nao wakamwambia, \"Nasi tutafuatana nawe.\" Basi, wakaenda, wakapanda mashua, lakini usiku huo hawakupata chochote. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܐܙܠ ܐܢܐ ܐܨܘܕ ܢܘܢܐ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܦ ܚܢܢ ܐܬܝܢܢ ܥܡܟ ܘܢܦܩܘ ܘܤܠܩܘ ܠܤܦܝܢܬܐ ܘܒܗܘ ܠܠܝܐ ܡܕܡ ܠܐ ܨܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tukiko, ndugu yetu mpenzi na mtumishi mwaminifu wa Bwana, atawapeni habari zangu zote mpate kujua ninachofanya. \t ܕܬܕܥܘܢ ܕܝܢ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܡܕܡ ܕܠܘܬܝ ܘܡܕܡ ܕܤܥܪ ܐܢܐ ܗܐ ܡܘܕܥ ܠܟܘܢ ܛܘܟܝܩܘܤ ܐܚܐ ܚܒܝܒܐ ܘܡܫܡܫܢܐ ܡܗܝܡܢܐ ܒܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini naye akamjibu: Bwana, tuuache tena mwaka huu; nitauzungushia mtaro na kuutilia mbolea. \t ܐܡܪ ܠܗ ܦܠܚܐ ܡܪܝ ܫܒܘܩܝܗ ܐܦ ܗܕܐ ܫܢܬܐ ܥܕ ܐܦܠܚܝܗ ܘܐܙܒܠܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu awajalieni nguvu kwa uwezo wake mtukufu ili mweze kustahimili kila kitu kwa uvumilivu. \t ܘܒܟܠ ܚܝܠ ܬܬܚܝܠܘܢ ܐܝܟ ܪܒܘܬܐ ܕܫܘܒܚܗ ܒܟܠ ܡܤܝܒܪܢܘ ܘܒܡܓܪܬ ܪܘܚ ܘܒܚܕܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wanafunzi waliamua kila mmoja kwa kadiri ya uwezo wake apeleke chochote ili kuwasaidia wale ndugu waliokuwa wanaishi Yudea. \t ܒܪܡ ܕܝܢ ܬܠܡܝܕܐ ܐܝܟ ܡܐ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܐܢܫ ܐܢܫ ܡܢܗܘܢ ܦܪܫܘ ܕܢܫܕܪܘܢ ܠܬܫܡܫܬܐ ܕܐܚܐ ܐܝܠܝܢ ܕܥܡܪܝܢ ܒܝܗܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana popote palipo na wivu na ubinafsi hapo pana fujo na kila aina ya uovu. \t ܐܝܟܐ ܓܝܪ ܕܐܝܬ ܚܤܡܐ ܘܚܪܝܢܐ ܬܡܢ ܐܦ ܕܠܘܚܝܐ ܘܟܠܡܕܡ ܕܒܝܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mungu alipenda utimilifu wote uwe ndani yake. \t ܕܒܗ ܗܘ ܨܒܐ ܟܠܗ ܡܘܠܝܐ ܠܡܥܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hayo yote watawatendeeni ninyi kwa sababu ya jina langu, kwani hawamjui yeye aliyenituma. \t ܐܠܐ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܢܥܒܕܘܢ ܒܟܘܢ ܡܛܠ ܫܡܝ ܕܝܠܝ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢ ܠܡܢ ܕܫܕܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru Mungu, akavimega, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu. \t ܘܢܤܒ ܝܫܘܥ ܗܢܘܢ ܚܡܫܐ ܠܚܡܝܢ ܘܬܪܝܢ ܢܘܢܝܢ ܘܚܪ ܒܫܡܝܐ ܘܒܪܟ ܘܩܨܐ ܘܝܗܒ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܢܤܝܡܘܢ ܠܟܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sielewi nifanyacho, maana kile ninachotaka sikifanyi, bali kile ninachochukia ndicho nikifanyacho. \t ܡܕܡ ܕܤܥܪ ܐܢܐ ܓܝܪ ܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܘܠܐ ܗܘܐ ܡܕܡ ܕܨܒܐ ܐܢܐ ܥܒܕ ܐܢܐ ܐܠܐ ܡܕܡ ܕܤܢܐ ܐܢܐ ܗܘ ܗܘ ܥܒܕ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alitambua kwamba kuteseka kwa ajili ya Masiha kuna faida kubwa zaidi kuliko utajiri wote wa nchi ya Misri, maana alikuwa anatazamia tuzo la baadaye. \t ܘܐܬܪܥܝ ܕܡܝܬܪ ܗܘ ܥܘܬܪܐ ܕܚܤܕܗ ܕܡܫܝܚܐ ܛܒ ܡܢ ܤܝܡܬܗ ܕܡܨܪܝܢ ܚܐܪ ܗܘܐ ܓܝܪ ܒܦܘܪܥܢ ܐܓܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tumegundua kwamba mtu huyu ni wa hatari mno. Yeye huanzisha ghasia kati ya Wayahudi kila mahali duniani na pia ni kiongozi wa kile chama cha Wanazareti. \t ܐܫܟܚܢ ܓܝܪ ܠܓܒܪܐ ܗܢܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܫܚܛܢܐ ܘܡܥܝܪ ܫܓܘܫܝܐ ܠܟܠܗܘܢ ܝܗܘܕܝܐ ܕܒܟܠܗ ܐܪܥܐ ܪܫܐ ܗܘ ܓܝܪ ܕܝܘܠܦܢܐ ܕܢܨܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wakati Paulo alipoanza kuongea juu ya uadilifu, juu ya kuwa na kiasi na juu ya siku ya hukumu inayokuja, Felisi aliogopa, akasema, \"Kwa sasa unaweza kwenda; nitakuita tena nitakapopata nafasi.\" \t ܘܟܕ ܡܡܠܠ ܥܡܗܘܢ ܥܠ ܙܕܝܩܘܬܐ ܘܥܠ ܩܕܝܫܘܬܐ ܘܥܠ ܕܝܢܐ ܕܥܬܝܕ ܐܬܡܠܝ ܕܚܠܬܐ ܦܝܠܟܤ ܘܐܡܪ ܕܗܫܐ ܙܠ ܘܐܡܬܝ ܕܢܗܘܐ ܠܝ ܐܬܪܐ ܐܫܕܪ ܒܬܪܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wakajibu kama Yesu alivyokuwa amewaambia; nao wakawaacha waende zao. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܘ ܠܗܘܢ ܐܝܟ ܕܦܩܕ ܐܢܘܢ ܝܫܘܥ ܘܫܒܩܘ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kwa vile kiongozi wa kanisa ni mkurugenzi wa kazi ya Mungu, anapaswa kuwa mtu asiye na hatia. Asiwe mwenye majivuno, mwepesi wa hasira, mlevi, mkorofi au mchoyo. \t ܚܝܒ ܗܘ ܓܝܪ ܩܫܝܫܐ ܕܢܗܘܐ ܕܠܐ ܪܫܝܢ ܐܝܟ ܪܒܝܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܠܐ ܢܗܘܐ ܡܬܕܒܪ ܒܪܥܝܢ ܢܦܫܗ ܘܠܐ ܢܗܘܐ ܚܡܬܢ ܘܠܐ ܢܗܘܐ ܥܒܪ ܥܠ ܚܡܪܐ ܘܠܐ ܬܗܘܐ ܪܗܛܐ ܐܝܕܗ ܠܡܡܚܐ ܘܠܐ ܢܗܘܐ ܪܚܡ ܝܘܬܪܢܐ ܛܢܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilianza kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: \"Tazama, namtuma mjumbe wangu akutangulie; yeye atakutayarishia njia yako. \t ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܒܐܫܥܝܐ ܢܒܝܐ ܗܐ ܡܫܕܪ ܐܢܐ ܡܠܐܟܝ ܩܕܡ ܦܪܨܘܦܟ ܕܢܬܩܢ ܐܘܪܚܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mtu akiwauliza sababu, mwambieni, Bwana anawahitaji, naye atawaachieni mara.\" \t ܘܐܢ ܐܢܫ ܐܡܪ ܠܟܘܢ ܡܕܡ ܐܡܪܘ ܠܗ ܕܠܡܪܢ ܡܬܒܥܝܢ ܘܡܚܕܐ ܡܫܕܪ ܠܗܘܢ ܠܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliposikia hayo, waliacha ubishi, wakamtukuza Mungu wakisema, \"Mungu amewapa watu wa mataifa mengine nafasi ya kutubu na kuwa na uzima!\" \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܡܠܐ ܫܡܥܘ ܫܠܝܘ ܠܗܘܢ ܘܫܒܚܘ ܠܐܠܗܐ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܕܟܒܪ ܐܦ ܠܥܡܡܐ ܐܠܗܐ ܝܗܒ ܬܝܒܘܬܐ ܠܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo mama yao wana wa Zebedayo alimjia Yesu pamoja na wanawe, akapiga magoti mbele yake na kumwomba kitu. \t ܗܝܕܝܢ ܩܪܒܬ ܠܗ ܐܡܗܘܢ ܕܒܢܝ ܙܒܕܝ ܗܝ ܘܒܢܝܗ ܘܤܓܕܬ ܠܗ ܘܫܐܠܐ ܗܘܬ ܠܗ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tulipofika Yerusalemu, ndugu waumini walitupokea vizuri sana. \t ܘܟܕ ܐܬܝܢ ܠܐܘܪܫܠܡ ܩܒܠܘܢ ܐܚܐ ܚܕܝܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akauweka ndani ya kaburi lake jipya alilokuwa amelichonga katika mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango wa kaburi, akaenda zake. \t ܘܤܡܗ ܒܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܚܕܬܐ ܕܝܠܗ ܕܢܩܝܪ ܒܟܐܦܐ ܘܥܓܠܘ ܟܐܦܐ ܪܒܬܐ ܐܪܡܝܘ ܥܠ ܬܪܥܐ ܕܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܘܐܙܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Filipo akamkuta Nathanieli, akamwambia, \"Tumemwona yule ambaye Mose aliandika juu yake katika kitabu cha Sheria, na ambaye manabii waliandika habari zake, yaani Yesu Mwana wa Yosefu, kutoka Nazareti.\" \t ܘܦܝܠܝܦܘܤ ܐܫܟܚ ܠܢܬܢܝܐܝܠ ܘܐܡܪ ܠܗ ܗܘ ܕܟܬܒ ܥܠܘܗܝ ܡܘܫܐ ܒܢܡܘܤܐ ܘܒܢܒܝܐ ܐܫܟܚܢܝܗܝ ܕܝܫܘܥ ܗܘ ܒܪ ܝܘܤܦ ܡܢ ܢܨܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sisi tulio na hazina hii tuko tu kama vyombo vya udongo, ili ionekane wazi kwamba nguvu hiyo kuu yatoka kwa Mungu wala si kwetu sisi wenyewe. \t ܐܝܬ ܠܢ ܕܝܢ ܤܝܡܬܐ ܗܕܐ ܒܡܐܢܐ ܕܚܨܦܐ ܕܪܒܘܬܐ ܕܚܝܠܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܬܗܘܐ ܘܠܐ ܡܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msijidanganye wenyewe kwa kusikiliza tu neno lake, bali litekelezeni kwa vitendo. \t ܗܘܘ ܕܝܢ ܥܒܘܕܐ ܕܡܠܬܐ ܘܠܐ ܫܡܘܥܐ ܒܠܚܘܕ ܘܠܐ ܬܛܥܘܢ ܢܦܫܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya mambo haya nitarudi. Nitaijenga tena ile nyumba ya Daudi iliyoanguka; nitayatengeneza magofu yake na kuijenga tena. \t ܕܡܢ ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܐܗܦܘܟ ܘܐܩܝܡ ܡܫܟܢܗ ܕܕܘܝܕ ܐܝܢܐ ܕܢܦܠ ܘܐܒܢܐ ܡܕܡ ܕܢܦܠ ܡܢܗ ܘܐܩܝܡܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Inuka, chukua mkeka wako utembee.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܩܘܡ ܫܩܘܠ ܥܪܤܟ ܘܗܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro, Yakobo na Yohane juu ya mlima mrefu peke yao. Huko, Yesu akageuka sura mbele yao, \t ܘܡܙܗܪ ܗܘܐ ܠܒܘܫܗ ܘܡܚܘܪ ܛܒ ܐܝܟ ܬܠܓܐ ܐܝܟܢܐ ܕܒܢܝ ܐܢܫܐ ܠܡܚܘܪܘ ܒܐܪܥܐ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mlichunge lile kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mlitunze si kwa kulazimika, bali kwa hiari kama atakavyo Mungu. Fanyeni kazi hiyo si kwa tamaa ya fedha, bali kwa moyo wenu wote. \t ܪܥܘ ܡܪܥܝܬܐ ܕܐܠܗܐ ܕܡܫܠܡܐ ܠܟܘܢ ܘܤܥܘܪܘ ܪܘܚܢܐܝܬ ܠܐ ܒܩܛܝܪܐ ܐܠܐ ܒܨܒܝܢܐ ܠܐ ܒܝܘܬܪܢܐ ܛܢܦܐ ܐܠܐ ܡܢ ܟܠܗ ܠܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sheria husababisha ghadhabu; lakini kama hakuna Sheria, haiwezekani kuivunja. \t ܢܡܘܤܐ ܓܝܪ ܡܥܒܕܢܐ ܗܘ ܕܪܘܓܙܐ ܟܪ ܕܠܝܬ ܓܝܪ ܢܡܘܤܐ ܐܦܠܐ ܥܒܪ ܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mzee wa kanisa anapaswa kuwa mtu asiye na hatia; aliye na mke mmoja tu, na watoto wake wanapaswa kuwa waumini, wasiojulikana kuwa wakorofi au wakaidi. \t ܐܝܢܐ ܕܕܠܐ ܪܫܝܢ ܗܘ ܘܗܘܐ ܒܥܠܐ ܕܚܕܐ ܐܢܬܬܐ ܘܐܝܬ ܠܗ ܒܢܝܐ ܡܗܝܡܢܐ ܕܠܐ ܡܨܚܝܢ ܘܠܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܕܠܐ ܫܘܥܒܕ ܒܐܤܘܛܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru Mungu, akaimega mikate, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu. Na wale samaki wawili pia akawagawia wote. \t ܘܢܤܒ ܗܢܘܢ ܚܡܫܐ ܠܚܡܝܢ ܘܬܪܝܢ ܢܘܢܝܢ ܘܚܪ ܒܫܡܝܐ ܘܒܪܟ ܘܩܨܐ ܠܚܡܐ ܘܝܗܒ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܢܤܝܡܘܢ ܠܗܘܢ ܘܗܢܘܢ ܬܪܝܢ ܢܘܢܝܢ ܦܠܓܘ ܠܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jumla ya waliokula ilikuwa wanaume wapatao elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܢܫܐ ܕܐܟܠܘ ܗܘܝܢ ܗܘܘ ܐܠܦܐ ܚܡܫܐ ܤܛܪ ܡܢ ܢܫܐ ܘܛܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usinywe maji tu, bali unywe divai kidogo kwa ajili ya tumbo lako, kwani unaugua mara kwa mara. \t ܘܡܟܝܠ ܡܝܐ ܠܐ ܬܫܬܐ ܐܠܐ ܚܡܪܐ ܩܠܝܠ ܗܘܝܬ ܫܬܐ ܡܛܠ ܐܤܛܘܡܟܟ ܘܡܛܠ ܟܘܪܗܢܝܟ ܐܡܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kichwa kimojawapo cha huyo mnyama kilionekana kama kilikwisha jeruhiwa vibaya sana, lakini jeraha hilo lilikuwa limepona. Dunia nzima ilishangazwa na huyo mnyama na kumfuata. \t ܘܚܕܐ ܡܢ ܩܪܩܦܬܗ ܐܝܟ ܦܥܝܥܬܐ ܠܡܘܬܐ ܘܡܚܘܬܐ ܕܡܘܬܗ ܐܬܐܤܝܬ ܘܐܬܕܡܪܬ ܟܠܗ ܐܪܥܐ ܒܬܪ ܚܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Na ikiwa mnawapenda tu wale wanaowapenda ninyi, je, mtapata tuzo gani? Hakuna! Kwa maana hata wenye dhambi huwapenda wale wanaowapenda wao. \t ܐܢ ܓܝܪ ܡܚܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܚܒܝܢ ܠܟܘܢ ܐܝܕܐ ܗܝ ܛܝܒܘܬܟܘܢ ܐܦ ܓܝܪ ܚܛܝܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܚܒܝܢ ܠܗܘܢ ܪܚܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaambia, \"Mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache. Kwa hivyo, mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܚܨܕܐ ܤܓܝ ܘܦܥܠܐ ܙܥܘܪܝܢ ܒܥܘ ܗܟܝܠ ܡܢ ܡܪܐ ܚܨܕܐ ܕܢܦܩ ܦܥܠܐ ܠܚܨܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wake wakamwambia, \"Ikiwa mambo ya mume na mkewe ni hivyo, ni afadhali kutooa kabisa.\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܢ ܗܟܢܐ ܐܝܬ ܥܕܠܝܐ ܒܝܢܝ ܓܒܪܐ ܠܐܢܬܬܐ ܠܐ ܦܩܚ ܠܡܤܒ ܐܢܬܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wewe lakini unapofunga, paka kichwa chako mafuta, nawa uso wako, \t ܐܢܬ ܕܝܢ ܡܐ ܕܨܐܡ ܐܢܬ ܐܫܝܓ ܐܦܝܟ ܘܡܫܘܚ ܪܫܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Imeandikwa katika Sheria yenu ya kwamba ushahidi wa watu wawili ni halali. \t ܘܒܢܡܘܤܟܘܢ ܕܝܢ ܟܬܝܒ ܕܤܗܕܘܬܐ ܕܬܪܝܢ ܓܒܪܝܢ ܫܪܝܪܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama hao watu wanaomwabudu Mungu wangekuwa wametakaswa dhambi zao kweli, hawangejisikia tena kuwa na dhambi, na dhabihu hizo zote zingekoma. \t ܐܠܘ ܓܝܪ ܓܡܪܝܢ ܗܘܘ ܟܒܪ ܕܝܢ ܐܬܬܢܝܚܘ ܡܢ ܩܘܪܒܢܝܗܘܢ ܡܛܠ ܕܠܐ ܡܟܝܠ ܛܪܝܐ ܗܘܬ ܠܗܘܢ ܬܐܪܬܗܘܢ ܒܚܛܗܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܚܕܐ ܙܒܢ ܐܬܕܟܝܘ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Filipo na Bartholomayo, Thoma na Mathayo aliyekuwa mtoza ushuru; Yakobo mwana wa Alfayo, na Thadayo; \t ܘܦܝܠܝܦܘܤ ܘܒܪ ܬܘܠܡܝ ܘܬܐܘܡܐ ܘܡܬܝ ܡܟܤܐ ܘܝܥܩܘܒ ܒܪ ܚܠܦܝ ܘܠܒܝ ܕܐܬܟܢܝ ܬܕܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu akawatuma waende kuhubiri Ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa. \t ܘܫܕܪ ܐܢܘܢ ܠܡܟܪܙܘ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܘܠܡܐܤܝܘ ܟܪܝܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kama ulimwengu ukiwachukia ninyi, kumbukeni kwamba umenichukia mimi kabla haujawachukia ninyi. \t ܘܐܢ ܥܠܡܐ ܤܢܐ ܠܟܘܢ ܕܥܘ ܕܩܕܡܝܟܘܢ ܠܝ ܤܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "la tano sardoniki, la sita akiki, la saba krisolito, la nane zabarijadi, la tisa topazi, la kumi krisopraso, la kumi na moja yasinto, na la kumi na mbili amethisto. \t ܘܕܚܡܫ ܤܪܕܘܢ ܘܛܦܪܐ ܘܕܫܬ ܤܪܕܘܢ ܘܕܫܒܥ ܟܐܦ ܕܗܒܐ ܘܕܬܡܢܐ ܒܪܘܠܐ ܘܕܬܫܥ ܛܘܦܢܕܝܘܢ ܘܕܥܤܪ ܟܪܘܤܦܪܤܐ ܕܚܕܥܤܪܐ ܝܘܟܢܬܘܤ ܕܬܪܬܥܤܪܐ ܐܡܘܬܤܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu huyo hakuwa na chochote cha kulipa; hivyo bwana wake aliamuru wauzwe, yeye, mke wake, watoto wake na vitu vyote alivyokuwa navyo, ili deni lilipwe. \t ܘܟܕ ܠܝܬ ܠܗ ܠܡܦܪܥ ܦܩܕ ܡܪܗ ܕܢܙܕܒܢ ܗܘ ܘܐܢܬܬܗ ܘܒܢܘܗܝ ܘܟܠ ܡܕܡ ܕܐܝܬ ܠܗ ܘܢܦܪܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mwana wa Matathia, mwana wa Amosi, mwana wa Nahumu, mwana wa Hesli, mwana wa Nagai, \t ܒܪ ܡܬܬܐ ܒܪ ܥܡܘܨ ܒܪ ܢܚܘܡ ܒܪ ܚܤܠܝ ܒܪ ܢܓܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa basi, ninyi pamoja na Baraza tumeni ujumbe kwa mkuu wa jeshi ili amlete Paulo kwenu mkijisingizia kwamba mnataka kupata habari kamili zaidi juu yake. Tuko tayari kumuua hata kabla hajafika karibu.\" \t ܘܗܫܐ ܒܥܘ ܐܢܬܘܢ ܘܪܫܐ ܕܟܢܘܫܬܐ ܡܢ ܟܠܝܪܟܐ ܕܢܝܬܝܘܗܝ ܠܘܬܟܘܢ ܐܝܟ ܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܬܒܨܘܢ ܫܪܝܪܐܝܬ ܤܘܥܪܢܗ ܘܚܢܢ ܡܛܝܒܝܢܢ ܕܢܩܛܠܝܘܗܝ ܥܕܠܐ ܢܡܛܐ ܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini tukiziungama dhambi zetu, basi Mungu ni mwaminifu na mwadilifu, naye atatusamehe dhambi zetu na kututakasa na uovu wote. \t ܐܢ ܕܝܢ ܡܘܕܝܢܢ ܒܚܛܗܝܢ ܡܗܝܡܢ ܗܘ ܘܙܕܝܩ ܕܢܫܒܘܩ ܠܢ ܚܛܗܝܢ ܘܢܕܟܝܢ ܡܢ ܟܠܗ ܥܘܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akasema kwa sauti kubwa, \"Mtu aliyeniamini, haniamini mimi tu, ila anamwamini pia yule aliyenituma. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܩܥܐ ܘܐܡܪ ܡܢ ܕܡܗܝܡܢ ܒܝ ܠܐ ܗܘܐ ܒܝ ܡܗܝܡܢ ܐܠܐ ܒܡܢ ܕܫܕܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Thoma mmoja wa wale kumi na wawili (aitwaye Pacha), hakuwa pamoja nao wakati Yesu alipokuja. \t ܬܐܘܡܐ ܕܝܢ ܚܕ ܡܢ ܬܪܥܤܪܬܐ ܗܘ ܕܡܬܐܡܪ ܬܐܡܐ ܠܐ ܗܘܐ ܬܡܢ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܟܕ ܐܬܐ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninakuandikia barua hii nikiwa na matumaini ya kuja kwako hivi karibuni. \t ܗܠܝܢ ܟܬܒ ܐܢܐ ܠܟ ܟܕ ܡܤܒܪ ܐܢܐ ܕܒܥܓܠ ܐܬܐ ܐܢܐ ܠܘܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ujuzi wetu si kamili, na kipaji chetu cha kutangaza neno la Mungu si kamili. \t ܩܠܝܠ ܗܘ ܓܝܪ ܡܢ ܤܓܝ ܝܕܥܝܢܢ ܘܩܠܝܠ ܡܢ ܤܓܝ ܡܬܢܒܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana katika kupambana na dhambi, ninyi hamjapigana mpaka kiasi cha kumwaga damu yenu. \t ܠܐ ܥܕܟܝܠ ܡܛܝܬܘܢ ܥܕܡܐ ܠܕܡܐ ܒܐܓܘܢܐ ܕܠܘܩܒܠ ܚܛܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokaribia zaidi na kuuona ule mji, Yesu aliulilia \t ܘܟܕ ܩܪܒ ܘܚܙܗ ܠܡܕܝܢܬܐ ܒܟܐ ܥܠܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikinilazimu kujivuna, basi, nitajivunia udhaifu wangu. \t ܐܢ ܠܡܫܬܒܗܪܘ ܘܠܐ ܒܟܘܪܗܢܝ ܐܫܬܒܗܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeyote asemaye kwamba yumo katika mwanga, lakini anamchukia ndugu yake, mtu huyo bado yumo gizani. \t ܡܢ ܕܐܡܪ ܗܟܝܠ ܕܐܝܬܘܗܝ ܒܢܘܗܪܐ ܘܤܢܐ ܠܐܚܘܗܝ ܒܚܫܘܟܐ ܐܝܬܘܗܝ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hao malaika kuondoka na kurudi mbinguni, wachungaji wakaambiana: \"Twendeni moja kwa moja mpaka Bethlehemu tukalione tukio hili Bwana alilotujulisha.\" \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܐܙܠܘ ܡܢ ܠܘܬܗܘܢ ܡܠܐܟܐ ܠܫܡܝܐ ܡܠܠܘ ܪܥܘܬܐ ܚܕ ܥܡ ܚܕ ܘܐܡܪܝܢ ܢܪܕܐ ܥܕܡܐ ܠܒܝܬ ܠܚܡ ܘܢܚܙܐ ܠܡܠܬܐ ܗܕܐ ܕܗܘܬ ܐܝܟ ܕܡܪܝܐ ܐܘܕܥ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ole wenu ninyi walimu wa Sheria, kwa sababu mmeuficha ule ufunguo wa mlango wa elimu; ninyi wenyewe hamkuingia na mmewazuia waliokuwa wanaingia wasiingie.\" \t ܘܝ ܠܟܘܢ ܤܦܪܐ ܕܫܩܠܬܘܢ ܩܠܝܕܐ ܕܝܕܥܬܐ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܥܠܬܘܢ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܥܐܠܝܢ ܟܠܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Saa tisa alasiri Yesu akalia kwa sauti kubwa, \"Eloi, Eloi, lema sabakthani?\" Maana yake, \"Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?\" \t ܘܒܬܫܥ ܫܥܝܢ ܩܥܐ ܝܫܘܥ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܘܐܡܪ ܐܝܠ ܐܝܠ ܠܡܢܐ ܫܒܩܬܢܝ ܕܐܝܬܝܗ ܐܠܗܝ ܐܠܗܝ ܠܡܢܐ ܫܒܩܬܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo wote yuko chini ya walezi na wadhamini mpaka wakati ule uliowekwa na baba yake. \t ܐܠܐ ܬܚܝܬ ܐܦܛܪܘܦܐ ܐܝܬܘܗܝ ܘܪܒܝ ܒܬܐ ܥܕܡܐ ܠܙܒܢܐ ܕܤܡ ܐܒܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawaambia mfano: \"Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye shamba lake lilizaa mavuno mengi. \t ܘܐܡܪ ܡܬܠܐ ܠܘܬܗܘܢ ܓܒܪܐ ܚܕ ܥܬܝܪܐ ܐܥܠܬ ܠܗ ܐܪܥܗ ܥܠܠܬܐ ܤܓܝܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "iache sadaka yako mbele ya madhabahu, nenda kwanza ukapatane na ndugu yako, ndipo urudi ukatoe sadaka yako. \t ܫܒܘܩ ܬܡܢ ܩܘܪܒܢܟ ܩܕܡ ܡܕܒܚܐ ܘܙܠ ܠܘܩܕܡ ܐܬܪܥܐ ܥܡ ܐܚܘܟ ܘܗܝܕܝܢ ܬܐ ܩܪܒ ܩܘܪܒܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika Ufalme wa Baba yangu.\" \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܕܠܐ ܐܫܬܐ ܡܢ ܗܫܐ ܡܢ ܗܢܐ ܝܠܕܐ ܕܓܦܬܐ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܐ ܕܒܗ ܐܫܬܝܘܗܝ ܥܡܟܘܢ ܚܕܬܐ ܒܡܠܟܘܬܗ ܕܐܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa vile Wayahudi walimfanya Aleksanda ajitokeze mbele, baadhi ya watu katika ule umati walidhani kuwa ndiye. Basi, Aleksanda aliwaashiria watu kwa mkono akitaka kujitetea mbele ya ule umati wa watu. \t ܥܡܐ ܕܝܢ ܕܝܗܘܕܝܐ ܕܐܝܬ ܗܘܘ ܬܡܢ ܐܩܝܡܘ ܡܢܗܘܢ ܠܓܒܪܐ ܝܗܘܕܝܐ ܕܫܡܗ ܐܠܟܤܢܕܪܘܤ ܘܟܕ ܩܡ ܐܢܝܦ ܐܝܕܗ ܘܨܒܐ ܗܘܐ ܕܢܦܘܩ ܪܘܚܐ ܠܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu aliadhibu miji ya Sodoma na Gomora, akaiteketeza kwa moto, akaifanya iwe mfano wa mambo yatakayowapata watu wasiomcha Mungu. \t ܘܟܕ ܠܡܕܝܢܬܐ ܕܤܕܘܡ ܘܕܥܡܘܪܐ ܐܘܩܕ ܘܒܗܦܘܟܝܐ ܚܝܒ ܐܢܝܢ ܟܕ ܬܚܘܝܬܐ ܠܪܫܝܥܐ ܕܥܬܝܕܝܢ ܕܢܗܘܘܢ ܤܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usiogope hata kidogo yale ambayo itakulazimu kuteseka. Sikiliza! Ibilisi anataka kuwajaribu kwa kuwatia baadhi yenu gerezani; nanyi mtapata dhiki kwa muda wa siku kumi. Muwe waaminifu hata mpaka kufa, nami nitawapeni taji ya uzima. \t ܒܡܕܡ ܠܐ ܬܕܚܠ ܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܥܬܝܕ ܐܢܬ ܠܡܚܫ ܗܐ ܥܬܝܕ ܐܟܠܩܪܨܐ ܕܢܪܡܐ ܡܢܟܘܢ ܒܒܝܬ ܚܒܘܫܝܐ ܕܬܬܢܤܘܢ ܘܢܗܘܐ ܠܟܘܢ ܐܘܠܨܢܐ ܝܘܡܝܢ ܥܤܪܐ ܗܘܘ ܡܗܝܡܢܐ ܥܕܡܐ ܠܡܘܬܐ ܘܐܬܠ ܠܟܘܢ ܟܠܝܠܐ ܕܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kumbukeni jambo hili: kama mwenye nyumba angejua siku mwizi atakapofika, angekesha, wala hangeiacha nyumba yake ivunjwe. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܕܥܘ ܕܐܠܘ ܝܕܥ ܗܘܐ ܡܪܐ ܒܝܬܐ ܒܐܝܕܐ ܡܛܪܬܐ ܐܬܐ ܓܢܒܐ ܡܬܬܥܝܪ ܗܘܐ ܘܠܐ ܫܒܩ ܗܘܐ ܕܢܬܦܠܫ ܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakaingia nyumbani, wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake; wakapiga magoti, wakamsujudia. Kisha wakafungua hazina zao, wakampa zawadi: dhahabu, ubani na manemane. \t ܘܥܠܘ ܠܒܝܬܐ ܘܚܙܐܘܗܝ ܠܛܠܝܐ ܥܡ ܡܪܝܡ ܐܡܗ ܘܢܦܠܘ ܤܓܕܘ ܠܗ ܘܦܬܚܘ ܤܝܡܬܗܘܢ ܘܩܪܒܘ ܠܗ ܩܘܪܒܢܐ ܕܗܒܐ ܘܡܘܪܐ ܘܠܒܘܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maria alikaa na Elisabeti kwa muda upatao miezi mitatu, halafu akarudi nyumbani kwake. \t ܩܘܝܬ ܕܝܢ ܡܪܝܡ ܠܘܬ ܐܠܝܫܒܥ ܐܝܟ ܝܪܚܐ ܬܠܬܐ ܘܗܦܟܬ ܠܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilipokuwa kwenu niliamua kutojua chochote kile isipokuwa tu kumjua Yesu Kristo; naam, Kristo aliyesulubiwa. \t ܘܠܐ ܕܢܬ ܢܦܫܝ ܒܝܢܬܟܘܢ ܐܝܟ ܕܡܕܡ ܝܕܥ ܐܢܐ ܐܠܐ ܐܢ ܠܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܦ ܠܗ ܟܕ ܙܩܝܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu amemfufua Bwana wetu Yesu Kristo ambaye ni Mchungaji Mkuu wa kondoo kwa sababu ya kumwaga damu yake iliyothibitisha agano la milele. \t ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܕܫܠܡܐ ܗܘ ܕܐܤܩ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܠܪܥܝܐ ܪܒܐ ܕܡܪܥܝܬܐ ܒܕܡܐ ܕܕܝܬܩܐ ܕܠܥܠܡ ܕܐܝܬܘܗܝ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkuu wa jeshi alimshika huyo kijana mkono, akampeleka mahali pa faragha, akamwuliza, \"Una nini cha kuniambia?\" \t ܘܐܚܕܗ ܒܐܝܕܗ ܟܠܝܪܟܐ ܠܥܠܝܡܐ ܘܢܓܕܗ ܠܚܕ ܓܒܐ ܘܡܫܐܠ ܗܘܐ ܠܗ ܕܡܢܐ ܐܝܬ ܠܟ ܕܬܐܡܪ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zipo lugha mbalimbali ulimwenguni, na hakuna hata mojawapo isiyo na maana. \t ܗܐ ܓܝܪ ܓܢܤܐ ܕܠܫܢܐ ܤܓܝܐܐ ܐܝܬ ܒܥܠܡܐ ܘܠܝܬ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܕܠܐ ܩܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao askari wakasokota taji ya miiba, wakamtia kichwani, wakamvika na joho la rangi ya zambarau. \t ܘܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܓܕܠܘ ܟܠܝܠܐ ܡܢ ܟܘܒܐ ܘܤܡܘ ܠܗ ܒܪܫܗ ܘܟܤܝܘܗܝ ܢܚܬܐ ܕܐܪܓܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwake yeye aliye peke yake Mungu, Mkombozi wetu, uwe utukufu, ukuu, nguvu na mamlaka kwa njia ya Kristo Bwana wetu, tangu zama zote, sasa na hata milele! Amina. \t ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܐܠܗܐ ܦܪܘܩܢ ܒܝܕ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܪܢ ܩܕܡ ܬܫܒܘܚܬܗ ܒܚܕܘܬܐ ܠܗ ܫܘܒܚܐ ܘܐܘܚܕܢܐ ܘܐܝܩܪܐ ܘܪܒܘܬܐ ܐܦ ܗܫܐ ܘܒܟܠܗܘܢ ܥܠܡܐ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na tukio hilo, wagonjwa wote katika kile kisiwa walikuja wakaponywa. \t ܘܟܕ ܗܘܬ ܗܕܐ ܐܦ ܫܪܟܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬ ܗܘܘ ܒܗ ܒܓܙܪܬܐ ܟܪܝܗܐ ܩܪܒܝܢ ܗܘܘ ܠܘܬܗ ܘܡܬܐܤܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nywele zake zilikuwa nyeupe kama pamba safi, kama theluji; macho yake yalimetameta kama moto; \t ܪܫܗ ܕܝܢ ܘܤܥܪܗ ܚܘܪ ܐܝܟ ܥܡܪܐ ܘܐܝܟ ܬܠܓܐ ܘܥܝܢܘܗܝ ܐܝܟ ܫܠܗܒܝܬܐ ܕܢܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akamwokoa katika taabu zake zote. Mungu alimjalia fadhili na hekima mbele ya Farao, mfalme wa Misri, hata Farao akamweka awe mkuu wa ile nchi na nyumba ya kifalme. \t ܘܦܪܩܗ ܗܘܐ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܐܘܠܨܢܘܗܝ ܘܝܗܒ ܠܗ ܛܝܒܘܬܐ ܘܚܟܡܬܐ ܩܕܡ ܦܪܥܘܢ ܡܠܟܐ ܕܡܨܪܝܢ ܘܐܩܝܡܗ ܪܫܐ ܥܠ ܡܨܪܝܢ ܘܥܠ ܒܝܬܗ ܟܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu, muwe na furaha mnapopatwa na majaribu mbalimbali, \t ܟܠ ܚܕܘܐ ܬܗܘܐ ܠܟܘܢ ܐܚܝ ܟܕ ܬܥܠܘܢ ܠܢܤܝܘܢܐ ܡܫܚܠܦܐ ܘܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikuwa mja mzito, na akapaaza sauti kwa maumivu na uchungu wa kujifungua mtoto. \t ܘܒܛܢܐ ܘܩܥܝܐ ܘܡܚܒܠܢ ܐܦ ܡܫܬܢܩܐ ܕܬܐܠܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakamjibu, \"Yesu wa Nazareti!\" Yesu akawaambia, \"Mimi ndiye.\" Msaliti Yuda alikuwa amesimama hapo pamoja nao. \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܝܫܘܥ ܢܨܪܝܐ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܢܐ ܐܢܐ ܩܐܡ ܗܘܐ ܕܝܢ ܐܦ ܝܗܘܕܐ ܡܫܠܡܢܐ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini huyo mama akasema, \"Sawa, Bwana, lakini hata mbwa walio chini ya meza hula makombo ya watoto.\" \t ܗܝ ܕܝܢ ܥܢܬ ܘܐܡܪܐ ܠܗ ܐܝܢ ܡܪܝ ܐܦ ܟܠܒܐ ܡܢ ܬܚܝܬ ܦܬܘܪܐ ܐܟܠܝܢ ܦܪܬܘܬܐ ܕܒܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yote yafanyike kwa heshima na kwa utaratibu. \t ܟܠܡܕܡ ܕܝܢ ܒܐܤܟܡܐ ܘܒܛܟܤܐ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walifurahi kumchukua Yesu katika mashua; na mara mashua ikawasili nchi kavu walipokuwa wanakwenda. \t ܘܨܒܘ ܗܘܘ ܕܢܩܒܠܘܢܝܗܝ ܒܤܦܝܢܬܐ ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܤܦܝܢܬܐ ܗܝ ܗܘܬ ܠܘܬ ܐܪܥܐ ܗܝ ܕܐܙܠܝܢ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Paulo, Silwano na Timotheo tunawaandikia ninyi jumuiya ya kanisa la Thesalonike, ambao ni watu wake Mungu Baba, na wa Bwana Yesu Kristo. \t ܦܘܠܘܤ ܘܤܠܘܢܘܤ ܘܛܝܡܬܐܤ ܠܥܕܬܐ ܕܬܤܠܘܢܝܩܝܐ ܕܒܐܠܗܐ ܐܒܐ ܘܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܛܝܒܘܬܐ ܥܡܟܘܢ ܘܫܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Mwanakondoo akavunja mhuri wa nne. Nikamsikia yule kiumbe hai wa nne akisema, \"Njoo!\" \t ܘܟܕ ܦܬܚ ܛܒܥܐ ܕܐܪܒܥܐ ܫܡܥܬ ܩܠܐ ܕܚܝܘܬܐ ܕܐܡܪܐ ܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya ndugu hao wote kufa, akafa pia yule mama. \t ܒܚܪܬܐ ܕܝܢ ܕܟܠܗܘܢ ܡܝܬܬ ܐܦ ܐܢܬܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Shughulikieni kwanza Ufalme wa Mungu, na hayo yote mtapewa kwa ziada. \t ܒܪܡ ܒܥܘ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܘܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܡܬܬܘܤܦܢ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwishowe akamtuma mwanawe huku akifikiri: Watamheshimu mwanangu. \t ܐܚܪܝܬ ܕܝܢ ܫܕܪ ܠܘܬܗܘܢ ܠܒܪܗ ܟܕ ܐܡܪ ܟܒܪ ܢܒܗܬܘܢ ܡܢ ܒܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipoingia ndani, hawakuona mwili wa Bwana Yesu. \t ܘܥܠܝܢ ܘܠܐ ܐܫܟܚܝܗܝ ܠܦܓܪܐ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo, Yesu akatoka nje, akamwona mtoza ushuru mmoja aitwaye Lawi, ameketi ofisini. Yesu akamwambia, \"Nifuate!\" \t ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܢܦܩ ܝܫܘܥ ܘܚܙܐ ܡܟܤܐ ܕܫܡܗ ܠܘܝ ܕܝܬܒ ܒܝܬ ܡܟܤܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܬܐ ܒܬܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana jana usiku malaika wa yule Mungu ambaye mimi ni wake na ambaye mimi ninamwabudu alinitokea, \t ܐܬܚܙܝ ܠܝ ܓܝܪ ܒܠܠܝܐ ܗܢܐ ܡܠܐܟܗ ܕܐܠܗܐ ܗܘ ܕܕܝܠܗ ܐܢܐ ܘܠܗ ܦܠܚ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeyote asiyempenda Bwana, na alaaniwe. MARANA THA--BWANA, njoo! \t ܡܢ ܕܠܐ ܪܚܡ ܠܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܢܗܘܐ ܚܪܡ ܡܪܢ ܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ninyi ndio mliobaki nami wakati wote wa majaribu yangu; \t ܐܢܬܘܢ ܐܢܘܢ ܕܝܢ ܕܟܬܪܬܘܢ ܠܘܬܝ ܒܢܤܝܘܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muda huo watu watatafuta kifo lakini hawatakipata; watatamani kufa lakini kifo kitawakimbia. \t ܘܒܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܢܒܥܘܢ ܒܢܝܢܫܐ ܠܡܘܬܐ ܘܠܐ ܢܫܟܚܘܢܝܗܝ ܘܢܬܪܓܪܓܘܢ ܠܡܡܬ ܘܢܥܪܘܩ ܡܘܬܐ ܡܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo nilianguka chini, nikasikia sauti ikiniambia: Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa? \t ܘܢܦܠܬ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܫܡܥܬ ܩܠܐ ܕܐܡܪ ܗܘܐ ܠܝ ܫܐܘܠ ܫܐܘܠ ܡܢܐ ܪܕܦ ܐܢܬ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "watatokea watu wasio na upendo moyoni, wasio na huruma, wachongezi, walafi na wakali; watachukia chochote kilicho chema; \t ܐܟܠܝ ܩܪܨܐ ܡܫܥܒܕܝ ܠܪܓܬܐ ܒܥܪܝܪܝܐ ܤܢܝܝ ܛܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nao mara wakaiacha mashua pamoja na baba yao, wakamfuata. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܡܚܕܐ ܫܒܩܘ ܠܐܠܦܐ ܘܠܐܒܘܗܘܢ ܘܐܙܠܘ ܒܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kati ya hao wafalme saba, watano wamekwisha angamia, mmoja anatawala bado, na yule mwingine bado hajafika; na atakapofika atabaki kwa muda mfupi. \t ܘܡܠܟܐ ܫܒܥܐ ܐܢܘܢ ܚܡܫܐ ܢܦܠܘ ܘܚܕ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘ ܐܚܪܢܐ ܠܐ ܥܕܟܝܠ ܐܬܐ ܘܡܐ ܕܐܬܐ ܩܠܝܠ ܝܗܝܒ ܠܗ ܠܡܟܬܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kondoo hao hawawezi kumfuata mgeni, bali watamkimbia kwa sababu hawaijui sauti yake.\" \t ܒܬܪ ܢܘܟܪܝܐ ܕܝܢ ܠܐ ܐܙܠܐ ܥܢܐ ܐܠܐ ܥܪܩܐ ܡܢܗ ܕܠܐ ܝܕܥܐ ܩܠܗ ܕܢܘܟܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi ni mashahidi wa tukio hilo, naye Roho Mtakatifu ambaye Mungu amewapa wale wanaomtii, anashuhudia pia tukio hilo.\" \t ܘܚܢܢ ܤܗܕܐ ܚܢܢ ܕܡܠܐ ܗܠܝܢ ܘܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܗܘ ܕܝܗܒ ܐܠܗܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܗܝܡܢܝܢ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana kama vile umeme unavyotokea ghafla na kuangaza anga upande mmoja hadi mwingine, ndivyo Mwana wa Mtu atakavyokuwa siku yake. \t ܐܝܟܢܐ ܓܝܪ ܕܒܪܩܐ ܒܪܩ ܡܢ ܫܡܝܐ ܘܟܠܗ ܬܚܝܬ ܫܡܝܐ ܡܢܗܪ ܗܟܢܐ ܢܗܘܐ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܒܝܘܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi, wapenzi wangu, endeleeni kujijenga kikamilifu katika imani yenu takatifu. Salini kwa nguvu ya Roho Mtakatifu, \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܚܒܝܒܝ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܝܠܟܘܢ ܩܕܝܫܬܐ ܐܬܒܢܘ ܡܢ ܕܪܝܫ ܒܪܘܚܐ ܩܕܝܫܐ ܟܕ ܡܨܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana waliimwaga damu ya watu wako na ya manabii, nawe umewapa damu wainywe; wamestahili hivyo!\" \t ܡܛܠ ܕܕܡܐ ܕܢܒܝܐ ܘܕܩܕܝܫܐ ܐܫܕܘ ܘܕܡܐ ܝܗܒܬ ܠܗܘܢ ܠܡܫܬܐ ܫܘܝܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Saa za mchana zilikwisha pita. Basi, wanafunzi wakamwendea Yesu, wakamwambia, \"Hapa ni nyikani, na sasa kunakuchwa. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܥܕܢܐ ܤܓܝܐܐ ܩܪܒܘ ܠܘܬܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܕܗܢܐ ܐܬܪܐ ܚܘܪܒܐ ܗܘ ܘܥܕܢܐ ܤܓܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nakwambia, ulipokuwa kijana ulizoea kujifunga mshipi na kwenda kokote ulikotaka. Lakini utakapokuwa mzee utanyosha mikono yako, na mtu mwingine atakufunga na kukupeleka usikopenda kwenda.\" \t ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܕܟܕ ܛܠܐ ܗܘܝܬ ܐܢܬ ܠܢܦܫܟ ܐܤܪ ܗܘܝܬ ܚܨܝܟ ܘܡܗܠܟ ܗܘܝܬ ܠܐܝܟܐ ܕܨܒܐ ܐܢܬ ܡܐ ܕܝܢ ܕܤܐܒܬ ܬܦܫܘܛ ܐܝܕܝܟ ܘܐܚܪܝܢ ܢܐܤܘܪ ܠܟ ܚܨܝܟ ܘܢܘܒܠܟ ܠܐܝܟܐ ܕܠܐ ܨܒܐ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu, wengi wenu msiwe walimu. Kama mjuavyo, sisi walimu tutapata hukumu kubwa zaidi kuliko wengine. \t ܠܐ ܤܓܝܐܐ ܡܠܦܢܐ ܢܗܘܘܢ ܒܟܘܢ ܐܚܝ ܐܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܕܕܝܢܐ ܝܬܝܪܐ ܚܝܒܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane aliwaambia watu habari zake, akasema kwa sauti, \"Huyu ndiye niliyemtaja wakati niliposema: Anakuja mtu mmoja baada yangu ambaye ni mkuu kuliko mimi, maana alikuwako kabla mimi sijazaliwa.\" \t ܝܘܚܢܢ ܤܗܕ ܥܠܘܗܝ ܘܩܥܐ ܘܐܡܪ ܗܢܘ ܗܘ ܕܐܡܪܬ ܕܒܬܪܝ ܐܬܐ ܘܗܘܐ ܠܗ ܩܕܡܝ ܡܛܠ ܕܩܕܡܝ ܗܘ ܡܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Amkeni, twendeni zetu. Tazameni, yule atakayenisaliti amekaribia.\" \t ܩܘܡܘ ܢܐܙܠ ܗܐ ܩܪܒ ܗܘ ܕܡܫܠܡ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara ukoma ukamwacha mtu huyo, akatakasika. \t ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܐܙܠ ܓܪܒܗ ܡܢܗ ܘܐܬܕܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati ningali ulimwenguni, mimi ni mwanga wa ulimwengu.\" \t ܟܡܐ ܕܒܥܠܡܐ ܐܢܐ ܢܘܗܪܗ ܐܢܐ ܕܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, mwenye shamba atafanya nini? Atakuja kuwaangamiza hao wakulima na kulikodisha hilo shamba la mizabibu kwa watu wengine. \t ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܢܥܒܕ ܡܪܐ ܟܪܡܐ ܢܐܬܐ ܢܘܒܕ ܠܗܢܘܢ ܦܠܚܐ ܘܢܬܠܝܘܗܝ ܟܪܡܐ ܠܐܚܪܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa saba, kukawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa. \t ܘܟܕ ܦܬܚ ܛܒܥܐ ܕܫܒܥܐ ܗܘܐ ܫܬܩܐ ܒܫܡܝܐ ܐܝܟ ܦܠܓܘܬ ܫܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nami, kwa upande wangu, ingawa kwa mwili niko mbali nanyi, hata hivyo kwa roho niko hapo pamoja nanyi: na hivyo, kama vile nipo hapo, nimekwisha mhukumu huyo aliyefanya jambo hilo la aibu. \t ܐܢܐ ܓܝܪ ܟܕ ܪܚܝܩ ܐܢܐ ܡܢܟܘܢ ܒܦܓܪ ܘܩܪܝܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܒܪܘܚ ܡܢ ܟܕܘ ܕܢܬ ܐܝܟ ܩܪܝܒܐ ܠܗܘ ܡܢ ܕܗܕܐ ܤܥܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnapaswa kuuona uvumilivu wa Bwana kuwa ni nafasi anayowapeni mpate kuokolewa, kama Paulo ndugu yetu mpenzi alivyowaandikia akitumia hekima aliyopewa na Mungu. \t ܘܠܡܓܪܬ ܪܘܚܗ ܕܡܪܝܐ ܦܘܪܩܢܐ ܬܚܫܒܘܢ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܐܚܘܢ ܚܒܝܒܐ ܦܘܠܘܤ ܐܝܟ ܚܟܡܬܐ ܕܐܬܝܗܒܬ ܠܗ ܟܬܒ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilipokuwa nanyi sikumsumbua mtu yeyote nilipohitaji fedha; ndugu waliotoka Makedonia waliniletea kila kitu nilichohitaji. Nilikuwa mwangalifu sana nisiwe mzigo kwa namna yoyote ile, na nitaendelea kufanya hivyo. \t ܘܟܕ ܐܬܝܬ ܨܐܕܝܟܘܢ ܘܚܤܪ ܠܝ ܠܐ ܝܩܪܬ ܥܠ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܤܢܝܩܘܬܝ ܓܝܪ ܡܠܝܘ ܐܚܐ ܕܐܬܘ ܡܢ ܡܩܕܘܢܝܐ ܘܒܟܠ ܡܕܡ ܢܛܪܬ ܢܦܫܝ ܘܢܛܪ ܐܢܐ ܕܠܐ ܐܩܪ ܥܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndio maana nakukumbusha ukiweke motomoto kile kipaji ulichopewa na Mungu wakati nilipokuwekea mikono yangu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܡܥܗܕ ܐܢܐ ܠܟ ܕܬܥܝܪ ܡܘܗܒܬܐ ܕܐܠܗܐ ܗܝ ܕܐܝܬ ܒܟ ܒܤܝܡ ܐܝܕܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana moyoni hutoka mawazo maovu yanayosababisha uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na kashfa. \t ܡܢ ܠܒܐ ܗܘ ܓܝܪ ܢܦܩܢ ܡܚܫܒܬܐ ܒܝܫܬܐ ܓܘܪܐ ܩܛܠܐ ܙܢܝܘܬܐ ܓܢܒܘܬܐ ܤܗܕܘܬ ܫܘܩܪܐ ܓܘܕܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nakwambia, hutatoka humo mpaka umemaliza kulipa senti ya mwisho. \t ܘܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܕܠܐ ܬܦܘܩ ܡܢ ܬܡܢ ܥܕܡܐ ܕܬܬܠ ܫܡܘܢܐ ܐܚܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mungu alitoa Sheria kwa njia ya Mose, lakini neema na kweli vimekuja kwa njia ya Kristo. \t ܡܛܠ ܕܢܡܘܤܐ ܒܝܕ ܡܘܫܐ ܐܬܝܗܒ ܫܪܪܐ ܕܝܢ ܘܛܝܒܘܬܐ ܒܝܕ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati uliopita mlikuwa na muda mrefu wa kufanya mambo wanayofanya watu wasiomjua Mungu. Mliishi maisha ya anasa, ubinafsi, ulevi, ugomvi, kunywa mno na ya ibada haramu za sanamu. \t ܤܦܩ ܓܝܪ ܙܒܢܐ ܗܘ ܕܥܒܪ ܕܦܠܚܬܘܢ ܒܗ ܨܒܝܢܐ ܕܚܢܦܐ ܒܐܤܘܛܘܬܐ ܘܒܪܘܝܘܬܐ ܘܒܨܚܢܘܬܐ ܘܒܙܡܪܐ ܘܒܦܘܠܚܢܐ ܕܫܐܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Bwana huwatazama kwa wema waadilifu na kuzisikiliza sala zao. Lakini huwapa kisogo watu watendao maovu.\" \t ܡܛܠ ܕܥܝܢܘܗܝ ܕܡܪܝܐ ܥܠ ܙܕܝܩܐ ܘܐܕܢܘܗܝ ܠܡܫܡܥ ܐܢܘܢ ܘܐܦܘܗܝ ܕܡܪܝܐ ܥܠ ܒܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Thoma (aitwaye Pacha) akawaambia wanafunzi wenzake, \"Twendeni nasi tukafe pamoja naye!\" \t ܐܡܪ ܬܐܘܡܐ ܕܡܬܐܡܪ ܬܐܡܐ ܠܬܠܡܝܕܐ ܚܒܪܘܗܝ ܢܐܙܠ ܐܦ ܚܢܢ ܢܡܘܬ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye ametufungulia njia mpya na yenye uzima kupitia lile pazia, yaani kwa njia ya mwili wake mwenyewe. \t ܘܐܘܪܚܐ ܕܚܝܐ ܕܚܕܬ ܠܢ ܗܫܐ ܒܐܦܝ ܬܪܥܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܒܤܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kuwa na kiasi katika elimu yenu, uvumilivu katika kuwa na kiasi, uchaji wa Mungu katika uvumilivu wenu, \t ܥܠ ܕܝܢ ܝܕܥܬܐ ܡܚܡܤܢܢܘܬܐ ܥܠ ܕܝܢ ܡܚܡܤܢܢܘܬܐ ܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܥܠ ܕܝܢ ܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܕܚܠܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, walifika Kafarnaumu. Na alipokuwa nyumbani, aliwauliza, \"Mlikuwa mnajadiliana nini njiani?\" \t ܘܐܬܘ ܠܟܦܪܢܚܘܡ ܘܟܕ ܥܠܘ ܠܒܝܬܐ ܡܫܐܠ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܡܢܐ ܡܬܚܫܒܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܒܐܘܪܚܐ ܒܝܢܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akapaaza sauti kubwa, akakata roho. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܩܥܐ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܘܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule jemadari aliposikia hayo, alimpasha habari mkuu wa jeshi akisema, \"Unataka kufanya nini? Mtu huyu ni raia wa Roma!\" \t ܘܟܕ ܫܡܥ ܩܢܛܪܘܢܐ ܩܪܒ ܠܘܬ ܟܠܝܪܟܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܢܐ ܥܒܕ ܐܢܬ ܗܢܐ ܓܝܪ ܓܒܪܐ ܪܗܘܡܝܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakauliza, \"Yuko wapi mtoto, Mfalme wa Wayahudi, aliyezaliwa? Tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki, tukaja kumwabudu.\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܐܝܟܘ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܕܐܬܝܠܕ ܚܙܝܢ ܓܝܪ ܟܘܟܒܗ ܒܡܕܢܚܐ ܘܐܬܝܢ ܠܡܤܓܕ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wa Yohane walipopata habari, walikwenda wakachukua mwili wake, wakauzika kaburini. \t ܘܫܡܥܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܬܘ ܫܩܠܘ ܫܠܕܗ ܘܤܡܘ ܒܒܝܬ ܩܒܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wape maagizo hayo na mafundisho hayo. \t ܗܠܝܢ ܐܠܦ ܘܦܩܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, mtu yeyote anayenikana mbele ya watu, naye atakanwa mbele ya malaika wa Mungu. \t ܐܝܢܐ ܕܝܢ ܕܟܦܪ ܒܝ ܩܕܡ ܒܢܝܢܫܐ ܢܬܟܦܪ ܒܗ ܩܕܡ ܡܠܐܟܘܗܝ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Namwomba Mungu aifunue mioyo yenu iweze kuuona mwanga wake, mpate kutambua lile tumaini alilowaitieni na utukufu mkuu wa zawadi alizowawekea watu wake, \t ܘܢܢܗܪܢ ܥܝܢܐ ܕܠܒܘܬܟܘܢ ܕܬܕܥܘܢ ܡܢܘ ܤܒܪܐ ܕܩܪܝܢܗ ܘܡܢܘ ܥܘܬܪܐ ܕܫܘܒܚܐ ܕܝܪܬܘܬܗ ܒܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo alitaka Timotheo aandamane naye safarini, kwa hiyo alimtahiri. Alifanya hivyo kwa sababu Wayahudi wote walioishi sehemu hizo walijua kwamba baba yake Timotheo alikuwa Mgiriki. \t ܠܗܢܐ ܨܒܐ ܗܘܐ ܦܘܠܘܤ ܕܢܕܒܪܝܘܗܝ ܥܡܗ ܘܢܤܒ ܓܙܪܗ ܡܛܠ ܝܗܘܕܝܐ ܕܐܝܬ ܗܘܘ ܒܐܬܪܐ ܝܕܥܝܢ ܗܘܘ ܓܝܪ ܟܠܗܘܢ ܠܐܒܘܗܝ ܕܐܪܡܝܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu anaweza kuwapeni ninyi zaidi ya yale mnayoyahitaji, mpate daima kuwa na kila kitu mnachohitaji, na hivyo mzidi kusaidia katika kila kazi njema. \t ܡܛܝܐ ܗܝ ܕܝܢ ܒܐܝܕܝ ܐܠܗܐ ܟܠ ܛܝܒܘ ܕܢܝܬܪ ܒܟܘܢ ܕܒܟܠܙܒܢ ܒܟܠܡܕܡ ܗܘ ܡܐ ܕܤܦܩ ܠܟܘܢ ܢܗܘܐ ܠܟܘܢ ܘܬܬܝܬܪܘܢ ܒܟܠ ܥܒܕ ܛܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawaamuru watu wakae chini. \t ܘܦܩܕ ܠܟܢܫܐ ܕܢܤܬܡܟܘܢ ܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa mtamstahi zaidi yule aliyevaa mavazi ya kuvutia na kumwambia: \"Keti hapa mahali pazuri,\" na kumwambia yule maskini: \"Wewe, simama huko,\" au \"Keti hapa sakafuni miguuni pangu,\" \t ܘܬܚܘܪܘܢ ܒܗܘ ܕܠܒܝܫ ܡܐܢܐ ܫܦܝܪܐ ܘܬܐܡܪܘܢ ܠܗ ܐܢܬ ܗܪܟܐ ܬܒ ܫܦܝܪ ܘܠܡܤܟܢܐ ܬܐܡܪܘܢ ܠܗ ܐܢܬ ܩܘܡ ܠܗܠ ܐܘ ܬܒ ܠܟ ܗܪܟܐ ܩܕܡ ܟܘܒܫܐ ܕܪܓܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye, akiwa anayajua mawazo yao, akawaambia, \"Ufalme wowote uliofarakana wenyewe, hauwezi kudumu; kadhalika, jamaa yeyote inayofarakana huangamia. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܕܝܕܥ ܗܘܐ ܡܚܫܒܬܗܘܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܟܠ ܡܠܟܘ ܕܬܬܦܠܓ ܥܠ ܢܦܫܗ ܬܚܪܒ ܘܒܝܬܐ ܕܥܠ ܩܢܘܡܗ ܡܬܦܠܓ ܢܦܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malkia wa kusini atatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, naye atakihukumu kwamba kina hatia. Maana yeye alisafiri kutoka mbali akaja kusikiliza maneno ya hekima ya Solomoni, na kumbe hapa kuna kikuu kuliko Solomoni. \t ܡܠܟܬܐ ܕܬܝܡܢܐ ܬܩܘܡ ܒܕܝܢܐ ܥܡ ܫܪܒܬܐ ܗܕܐ ܘܬܚܝܒܝܗ ܕܐܬܬ ܡܢ ܥܒܪܝܗ ܕܐܪܥܐ ܕܬܫܡܥ ܚܟܡܬܗ ܕܫܠܝܡܘܢ ܘܗܐ ܕܝܬܝܪ ܡܢ ܫܠܝܡܘܢ ܗܪܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Epafra, mwananchi mwenzenu na mtumishi wa Kristo Yesu anawasalimuni. Daima anawaombeeni ninyi kwa bidii ili mpate kusimama imara, mkomae na kuwa thabiti kabisa katika mambo yote anayotaka Mungu. \t ܫܐܠ ܒܫܠܡܟܘܢ ܐܦܦܪܐ ܗܘ ܕܡܢܟܘܢ ܥܒܕܐ ܕܡܫܝܚܐ ܟܕ ܒܟܠܙܒܢ ܥܡܠ ܚܠܦܝܟܘܢ ܒܨܠܘܬܐ ܕܬܩܘܡܘܢ ܓܡܝܪܐ ܘܡܫܡܠܝܐ ܒܟܠܗ ܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu huzaliwa kimwili kwa baba na mama, lakini huzaliwa kiroho kwa Roho. \t ܡܕܡ ܕܝܠܝܕ ܡܢ ܒܤܪܐ ܒܤܪܐ ܗܘ ܘܡܕܡ ܕܝܠܝܕ ܡܢ ܪܘܚܐ ܪܘܚܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo vya mwili wa Kristo? Je, mnadhani naweza kuchukua sehemu ya mwili wa Kristo na kuifanya kuwa sehemu ya mwili wa kahaba? Hata kidogo! \t ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܦܓܪܝܟܘܢ ܗܕܡܐ ܐܢܘܢ ܕܡܫܝܚܐ ܢܤܒ ܗܕܡܐ ܕܡܫܝܚܐ ܢܥܒܕܝܘܗܝ ܗܕܡܐ ܕܙܢܝܬܐ ܚܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za mbingu zitatikiswa. \t ܘܟܘܟܒܐ ܢܦܠܘܢ ܡܢ ܫܡܝܐ ܘܚܝܠܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܢܬܬܙܝܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo tuyazingatie daima mambo yenye kuleta amani, na yanayotusaidia kujengana. \t ܗܫܐ ܒܬܪ ܫܠܡܐ ܢܪܗܛ ܘܒܬܪ ܒܢܝܢܐ ܚܕ ܕܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yosefu akauchukua ule mwili akauzungushia sanda safi ya kitani, \t ܘܫܩܠܗ ܝܘܤܦ ܠܦܓܪܐ ܘܟܪܟܗ ܒܚܝܨܐ ܕܟܬܢܐ ܢܩܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi na Baba, tu mmoja.\" \t ܐܢܐ ܘܐܒܝ ܚܕ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tazameni sasa! Anawaonya hadharani, wala hakuna mtu anayemwambia hata neno. Je, yawezekana kuwa viongozi wametambua kweli kwamba huyu ndiye Kristo? \t ܘܗܐ ܓܠܝܐܝܬ ܡܡܠܠ ܘܡܕܡ ܠܐ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܕܠܡܐ ܝܕܥܘ ܩܫܝܫܝܢ ܕܗܢܘ ܫܪܝܪܐܝܬ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "daima katika sala zangu. Namwomba Mungu akipenda, anipatie nafasi nzuri ya kuja kwenu sasa. \t ܘܡܬܚܢܢ ܐܢܐ ܕܐܢ ܡܢ ܟܕܘ ܬܬܦܬܚ ܠܝ ܐܘܪܚܐ ܒܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܕܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilipokuwa jioni, Yesu na wanafunzi wake waliondoka mjini. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܪܡܫܐ ܢܦܩܘ ܠܒܪ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Filipo akaenda akamwambia Andrea, nao wawili wakaenda kumwambia Yesu. \t ܘܐܬܐ ܗܘ ܦܝܠܝܦܘܤ ܘܐܡܪ ܠܐܢܕܪܐܘܤ ܘܐܢܕܪܐܘܤ ܘܦܝܠܝܦܘܤ ܐܡܪܘ ܠܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnahitaji kuwa na uvumilivu, ili mweze kufanya anayotaka Mungu na kupokea kile alichoahidi. \t ܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܗܘ ܓܝܪ ܡܬܒܥܝܐ ܠܟܘܢ ܕܬܥܒܕܘܢ ܨܒܝܢܐ ܕܐܠܗܐ ܘܬܤܒܘܢ ܡܘܠܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watatokea manabii wengi wa uongo watakaowapotosha watu wengi. \t ܘܤܓܝܐܐ ܢܒܝܐ ܕܓܠܐ ܢܩܘܡܘܢ ܘܢܛܥܘܢ ܠܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, Mungu alimjibu nini? Alimwambia: \"Nimejiwekea elfu saba ambao hawakumwabudu Baali.\" \t ܘܐܬܐܡܪ ܠܗ ܒܓܠܝܢܐ ܕܗܐ ܫܒܩܬ ܠܢܦܫܝ ܫܒܥܐ ܐܠܦܝܢ ܓܒܪܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܥܠ ܒܘܪܟܝܗܘܢ ܠܐ ܒܪܟܘ ܘܠܐ ܤܓܕܘ ܠܒܥܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana aliagiza vivyo hivyo; wahubiri wa Habari Njema wapate riziki zao kutokana nayo. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܡܪܢ ܦܩܕ ܕܐܝܠܝܢ ܕܤܒܪܬܗ ܡܟܪܙܝܢ ܡܢ ܤܒܪܬܗ ܢܚܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ni rahisi zaidi mbingu na dunia kupita, kuliko hata herufi moja ya Sheria kufutwa. \t ܦܫܝܩ ܗܘ ܕܝܢ ܕܫܡܝܐ ܘܐܪܥܐ ܢܥܒܪܘܢ ܐܘ ܐܬܘܬܐ ܚܕܐ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܬܥܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana alimwambia Bwana wangu: keti upande wangu wa kulia, mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako. \t ܕܐܡܪ ܡܪܝܐ ܠܡܪܝ ܬܒ ܠܟ ܡܢ ܝܡܝܢܝ ܥܕܡܐ ܕܐܤܝܡ ܒܥܠܕܒܒܝܟ ܬܚܝܬ ܪܓܠܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "salini kila wakati \t ܘܡܨܠܝܢ ܕܠܐ ܫܠܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msifikiri kwamba Maandiko Matakatifu yamesema maneno ya bure, yanaposema: \"Roho ambaye Mungu amemweka ndani yetu ana wivu mkubwa.\" \t ܐܘ ܕܠܡܐ ܤܪܝܩܐܝܬ ܤܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܡܪ ܟܬܒܐ ܕܒܛܢܢܐ ܪܓܐ ܪܘܚܐ ܕܥܡܪܐ ܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana hata kama alisulubiwa kwa sababu ya udhaifu, lakini sasa anaishi kwa uwezo wa Mungu. Sisi pia tu dhaifu kwa kuungana naye lakini tutaishi naye kwa uwezo wa Mungu kwa ajili yenu. \t ܐܦܢ ܐܙܕܩܦ ܓܝܪ ܒܡܚܝܠܘܬܐ ܐܠܐ ܚܝ ܗܘ ܒܚܝܠܐ ܕܐܠܗܐ ܘܐܦ ܚܢܢ ܡܚܝܠܝܢܢ ܥܡܗ ܐܠܐ ܚܝܝܢ ܚܢܢ ܥܡܗ ܒܚܝܠܐ ܕܐܠܗܐ ܕܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Yesu akamwambia yule mwanamke, \"Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani.\" \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܝ ܐܢܬܬܐ ܗܝܡܢܘܬܟܝ ܐܚܝܬܟܝ ܙܠܝ ܒܫܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana mwili wangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji cha kweli. \t ܦܓܪܝ ܓܝܪ ܫܪܝܪܐܝܬ ܐܝܬܘܗܝ ܡܐܟܘܠܬܐ ܘܕܡܝ ܫܪܝܪܐܝܬ ܐܝܬܘܗܝ ܡܫܬܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Mose aliwaandikia amri hiyo kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܘܩܒܠ ܩܫܝܘܬ ܠܒܟܘܢ ܟܬܒ ܠܟܘܢ ܦܘܩܕܢܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mathalan: mwanamke aliyeolewa anafungwa na sheria muda wote mumewe anapokuw hai; lakini mumewe akifa, hiyo sheria haimtawali tena huyo mwanamke. \t ܐܝܟ ܐܢܬܬܐ ܕܐܤܝܪܐ ܗܝ ܒܒܥܠܗ ܟܡܐ ܕܚܝ ܒܢܡܘܤܐ ܐܢ ܕܝܢ ܡܝܬ ܒܥܠܗ ܐܬܚܪܪܬ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܕܒܥܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake, hao watu watatu wakiwa bado safarini, lakini karibu kufika Yopa, Petro alipanda juu ya paa la nyumba yapata saa sita mchana ili kusali. \t ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܟܕ ܗܢܘܢ ܪܕܝܢ ܒܐܘܪܚܐ ܘܩܪܝܒܝܢ ܠܡܕܝܢܬܐ ܤܠܩ ܫܡܥܘܢ ܠܐܓܪܐ ܕܢܨܠܐ ܒܫܬ ܫܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema Nimetubu, lazima umsamehe.\" \t ܘܐܢ ܫܒܥ ܙܒܢܝܢ ܒܝܘܡܐ ܢܤܟܠ ܒܟ ܘܫܒܥ ܙܒܢܝܢ ܒܝܘܡܐ ܢܬܦܢܐ ܠܘܬܟ ܘܢܐܡܪ ܕܬܐܒ ܐܢܐ ܫܒܘܩ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, wote ni wenye kipaji cha kuponya? Wote ni wenye kipaji cha kusema lugha ngeni? Je, wote hufafanua lugha? \t ܠܡܐ ܠܟܠܗܘܢ ܐܝܬ ܠܗܘܢ ܡܘܗܒܬܐ ܕܐܤܝܘܬܐ ܠܡܐ ܟܠܗܘܢ ܒܠܫܢܐ ܡܡܠܠܝܢ ܐܘ ܕܠܡܐ ܟܠܗܘܢ ܡܦܫܩܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nimewatuma mkavune mavuno ambayo hamkuyatolea jasho, wengine walifanya kazi, lakini ninyi mnafaidika kutokana na jasho lao.\" \t ܐܢܐ ܫܕܪܬܟܘܢ ܠܡܚܨܕ ܡܕܡ ܕܠܐ ܗܘܐ ܐܢܬܘܢ ܠܐܝܬܘܢ ܒܗ ܐܚܪܢܐ ܓܝܪ ܠܐܝܘ ܘܐܢܬܘܢ ܥܠܬܘܢ ܥܠ ܥܡܠܗܘܢ ܕܗܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikitenganishe.\" \t ܡܕܝܢ ܠܐ ܗܘܘ ܬܪܝܢ ܐܠܐ ܚܕ ܦܓܪ ܡܕܡ ܗܟܝܠ ܕܐܠܗܐ ܙܘܓ ܒܪܢܫܐ ܠܐ ܢܦܪܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Imeandikwa katika Sheria ya Mose: \"Usimfunge kinywa ng'ombe anapoliwata nafaka.\" Je, ndio kusema Mungu anajishughulisha na ng'ombe? \t ܟܬܝܒ ܓܝܪ ܒܗ ܒܢܡܘܤܐ ܕܡܘܫܐ ܕܠܐ ܬܒܠܘܡ ܬܘܪܐ ܕܡܕܪܟ ܠܡܐ ܥܠ ܬܘܪܐ ܒܛܝܠ ܠܗ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo, Yesu alikuwa akitembea katika Galilaya. Hakutaka kutembea mkoani Yudea kwa sababu viongozi wa Wayahudi walikuwa wanataka kumwua. \t ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܡܗܠܟ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܒܓܠܝܠܐ ܠܐ ܓܝܪ ܨܒܐ ܗܘܐ ܠܡܗܠܟܘ ܒܝܗܘܕ ܡܛܠ ܕܝܗܘܕܝܐ ܒܥܝܢ ܗܘܘ ܠܡܩܛܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.\" \t ܤܓܝܐܐ ܕܝܢ ܩܕܡܝܐ ܕܢܗܘܘܢ ܐܚܪܝܐ ܘܐܚܪܝܐ ܩܕܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nanyi mnaotumikiwa, watendeeni vivyo hivyo watumwa wenu, na acheni kutumia vitisho. Kumbukeni kwamba ninyi pia kama vile wao, mnaye Bwana yuleyule mbinguni, kwake cheo cha mtu si kitu. \t ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܡܪܝܐ ܗܟܢܐ ܗܘܝܬܘܢ ܥܒܕܝܢ ܠܥܒܕܝܟܘܢ ܗܘܝܬܘܢ ܫܒܩܝܢ ܠܗܘܢ ܤܟܠܘܬܐ ܡܛܠ ܕܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܦ ܡܪܟܘܢ ܕܝܠܟܘܢ ܐܝܬܘܗܝ ܒܫܡܝܐ ܘܡܤܒ ܒܐܦܐ ܠܝܬ ܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usiku uliofuata, Bwana alisimama karibu na Paulo, akamwambia, \"Jipe moyo! Umenishuhudia katika Yerusalemu, utafanya vivyo hivyo mjini Roma.\" \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܠܠܝܐ ܐܬܚܙܝ ܠܗ ܡܪܢ ܠܦܘܠܘܤ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܬܚܝܠ ܡܛܠ ܕܐܝܟ ܕܐܤܗܕܬ ܥܠܝ ܒܐܘܪܫܠܡ ܗܟܢܐ ܥܬܝܕ ܐܢܬ ܕܐܦ ܒܪܗܘܡܐ ܬܤܗܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawauliza, \"Mnazungumza nini huku mnatembea?\" Nao wakasimama kimya, nyuso zao wamezikunja kwa huzuni. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܐܢܝܢ ܡܠܐ ܗܠܝܢ ܕܡܡܠܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܚܕ ܥܡ ܚܕ ܟܕ ܡܗܠܟܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܟܡܝܪܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa utawala mmoja umegawanyika makundimakundi yanayopigana, utawala huo hauwezi kudumu. \t ܐܢ ܡܠܟܘܬܐ ܓܝܪ ܥܠ ܢܦܫܗ ܬܬܦܠܓ ܠܐ ܡܫܟܚܐ ܠܡܩܡ ܡܠܟܘܬܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu watakuja kutoka mashariki na magharibi, kutoka kaskazini na kusini, watakuja na kukaa kwenye karamu katika Ufalme wa Mungu. \t ܘܢܐܬܘܢ ܡܢ ܡܕܢܚܐ ܘܡܢ ܡܥܪܒܐ ܘܡܢ ܬܝܡܢܐ ܘܡܢ ܓܪܒܝܐ ܘܢܤܬܡܟܘܢ ܒܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipomsikia Paulo anasema juu ya jambo la kufufuka kwa wafu, wengine wao waliangua kicheko; lakini wengine walisema, \"Tunataka kukusikia tena juu ya jambo hili!\" \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܩܝܡܬܐ ܕܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܡܢܗܘܢ ܡܡܝܩܝܢ ܗܘܘ ܘܡܢܗܘܢ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܒܙܒܢ ܐܚܪܝܢ ܫܡܥܝܢܢ ܠܟ ܥܠ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akaongeza kusema: \"Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu.\" \t ܘܥܘܠܗܘܢ ܘܚܛܗܝܗܘܢ ܠܐ ܐܬܕܟܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulipokucha, Wayahudi walifanya kikao cha faragha. Wakala kiapo: \"Hatutakula wala kunywa mpaka tutakapokuwa tumekwisha muua Paulo.\" \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܨܦܪܐ ܐܬܟܢܫܘ ܗܘܘ ܐܢܫܝܢ ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܘܐܚܪܡܘ ܥܠܝܗܘܢ ܕܠܐ ܢܐܟܠܘܢ ܘܠܐ ܢܫܬܘܢ ܥܕܡܐ ܕܢܩܛܠܘܢܗ ܠܦܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambaye alijitoa mwenyewe kuwakomboa watu wote. Huo ulikuwa uthibitisho, wakati ufaao ulipowadia. \t ܗܘ ܕܝܗܒ ܢܦܫܗ ܦܘܪܩܢܐ ܚܠܦ ܟܠ ܐܢܫ ܤܗܕܘܬܐ ܕܐܬܬ ܒܙܒܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana tunamfahamu yule aliyesema, \"Mimi nitalipiza kisasi, mimi nitalipiza,\" na ambaye alisema pia, \"Bwana atawahukumu watu wake.\" \t ܝܕܥܝܢܢ ܠܗܘ ܕܐܡܪ ܕܕܝܠܝ ܗܝ ܬܒܥܬܐ ܘܐܢܐ ܐܦܪܘܥ ܘܬܘܒ ܕܢܕܘܢ ܡܪܝܐ ܠܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Kweli nawaambieni, Mose hakuwapeni mkate kutoka mbinguni; Baba yangu ndiye awapaye ninyi mkate halisi kutoka mbinguni. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܗܘܐ ܡܘܫܐ ܝܗܒ ܠܟܘܢ ܠܚܡܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܐܠܐ ܐܒܝ ܝܗܒ ܠܟܘܢ ܠܚܡܐ ܕܩܘܫܬܐ ܡܢ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Oneni huzuni, lieni na kuomboleza; kicheko chenu na kiwe kilio; na furaha yenu iwe huzuni kubwa. \t ܐܬܡܟܟܘ ܘܐܬܐܒܠܘ ܘܓܘܚܟܟܘܢ ܠܐܒܠܐ ܢܬܗܦܟ ܘܚܕܘܬܟܘܢ ܠܥܩܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msiwatawale kwa mabavu hao waliowekwa chini ya ulinzi wenu, bali muwe mfano kwa hilo kundi. \t ܠܐ ܐܝܟ ܡܪܝܐ ܕܡܪܥܝܬܐ ܐܠܐ ܐܝܟ ܕܬܗܘܘܢ ܠܗܘܢ ܕܡܘܬܐ ܫܦܝܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Upepo huvuma kuelekea upendako; waisikia sauti yake, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda. Ndivyo ilivyo kwa mtu aliyezaliwa kwa Roho.\" \t ܪܘܚܐ ܐܬܪ ܕܨܒܝܐ ܢܫܒܐ ܘܩܠܗ ܫܡܥ ܐܢܬ ܐܠܐ ܠܐ ܝܕܥ ܐܢܬ ܐܝܡܟܐ ܐܬܝܐ ܘܠܐܝܟܐ ܐܙܠܐ ܗܟܢܐ ܐܝܬܘܗܝ ܟܠܢܫ ܕܝܠܝܕ ܡܢ ܪܘܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili jambo lililonenwa na nabii litimie: \"Nitasema kwa mifano; nitawaambia mambo yaliyofichika tangu kuumbwa ulimwengu.\" \t ܐܝܟ ܕܢܬܡܠܐ ܡܕܡ ܕܐܬܐܡܪ ܒܝܕ ܢܒܝܐ ܕܐܡܪ ܐܦܬܚ ܦܘܡܝ ܒܡܬܠܐ ܘܐܒܥ ܟܤܝܬܐ ܕܡܢ ܩܕܡ ܬܪܡܝܬܗ ܕܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaombeni msinisababishe kuwa mkali wakati nitakapokuja, maana nina hakika naweza kuwa mkali kwa wote wale wanaotudhania kwamba tunaishi kidunia. \t ܒܥܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܡܢܟܘܢ ܕܠܐ ܡܐ ܕܐܬܝܬ ܐܬܐܠܨ ܒܬܘܟܠܢܐ ܕܐܝܬ ܠܝ ܕܐܫܝܚ ܐܝܟ ܕܡܬܪܥܐ ܐܢܐ ܥܠ ܐܢܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܚܫܒܝܢ ܠܢ ܕܐܝܟ ܕܒܒܤܪ ܡܗܠܟܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hawakuwa wamejaliwa watoto kwa vile Elisabeti alikuwa tasa, nao wote wawili walikuwa wazee sana. \t ܒܪܐ ܕܝܢ ܠܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܡܛܠ ܕܐܠܝܫܒܥ ܥܩܪܬܐ ܗܘܬ ܘܬܪܝܗܘܢ ܤܓܝܐܝ ܒܝܘܡܬܗܘܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa maana aliendelea kwa uhodari kuwashinda Wayahudi hadharani akithibitisha kwa Maandiko Matakatifu kuwa Yesu ni Kristo. \t ܬܩܝܦܐܝܬ ܓܝܪ ܕܪܫ ܗܘܐ ܠܘܩܒܠ ܝܗܘܕܝܐ ܩܕܡ ܟܢܫܐ ܟܕ ܡܚܘܐ ܗܘܐ ܡܢ ܟܬܒܐ ܥܠ ܝܫܘܥ ܕܡܫܝܚܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, tuseme nini, basi? Mnapokutana pamoja, mmoja aimbe wimbo, mwingine atoe mafundisho, mwingine awe na ufunuo kutoka kwa Mungu, mwingine atumie kipaji cha kusema kwa lugha ngeni na mwingine afafanue yanayosemwa. Yote yawe kwa ajili ya kulijenga kanisa. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܗܟܝܠ ܐܚܝ ܕܐܡܬܝ ܕܡܬܟܢܫܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐܝܢܐ ܡܢܟܘܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܡܙܡܘܪܐ ܢܐܡܪ ܘܐܝܢܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܝܘܠܦܢܐ ܘܐܝܢܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܓܠܝܢܐ ܘܐܝܢܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܠܫܢܐ ܘܐܝܢܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܦܘܫܩܐ ܟܠܗܝܢ ܠܒܢܝܢܐ ܢܗܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na Anasi na Kayafa walikuwa makuhani wakuu mjini Yerusalem. Wakati huo ndipo neno la Mungu lilipomjia Yohane, mwana wa Zakariya, kule jangwani. \t ܒܪܒܘܬ ܟܗܢܘܬܐ ܕܚܢܢ ܘܕܩܝܦܐ ܗܘܬ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܥܠ ܝܘܚܢܢ ܒܪ ܙܟܪܝܐ ܒܚܘܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, hata mimi niliye mtu chini ya mamlaka ya wengine, ninao askari chini yangu. Namwambia mmoja, Nenda! naye huenda; na mwingine, Njoo! naye huja; na mtumishi wangu, Fanya kitu hiki! naye hufanya.\" \t ܐܦ ܐܢܐ ܓܝܪ ܓܒܪܐ ܐܢܐ ܕܬܚܝܬ ܫܘܠܛܢܐ ܘܐܝܬ ܬܚܝܬ ܐܝܕܝ ܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܘܐܡܪ ܐܢܐ ܠܗܢܐ ܕܙܠ ܘܐܙܠ ܘܠܐܚܪܢܐ ܕܬܐ ܘܐܬܐ ܘܠܥܒܕܝ ܕܥܒܕ ܗܕܐ ܘܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe akatokea, akatembea pamoja nao. \t ܘܟܕ ܗܢܘܢ ܡܡܠܠܝܢ ܘܒܥܝܢ ܚܕ ܥܡ ܚܕ ܐܬܐ ܗܘ ܝܫܘܥ ܘܡܛܝ ܐܢܘܢ ܘܡܗܠܟ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikukuu hiyo ilipofikia katikati, Yesu naye alikwenda Hekaluni, akaanza kufundisha. \t ܟܕ ܕܝܢ ܦܠܓܘ ܝܘܡܬܐ ܕܥܕܥܕܐ ܤܠܩ ܝܫܘܥ ܠܗܝܟܠܐ ܘܡܠܦ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilipokuwa jioni wanafunzi wake waliteremka hadi ziwani, \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܪܡܫܐ ܢܚܬܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܠܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alifanya hivyo ili yale aliyosema nabii Isaya yatimie: \"Yeye mwenyewe ameondoa udhaifu wetu, ameyachukua magonjwa yetu.\" \t ܐܝܟ ܕܢܬܡܠܐ ܡܕܡ ܕܐܬܐܡܪ ܒܝܕ ܐܫܥܝܐ ܢܒܝܐ ܕܐܡܪ ܕܗܘ ܢܤܒ ܟܐܒܝܢ ܘܟܘܪܗܢܝܢ ܢܛܥܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mnampenda ingawaje hamjamwona, na mnamwamini ingawa hamumwoni sasa. Hivyo, mnafurahi kwa furaha tukufu isiyoelezeka, \t ܗܘ ܕܠܐ ܚܙܝܬܘܢܝܗܝ ܘܡܚܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܘܒܗܝܡܢܘܬܗ ܪܘܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܚܕܘܬܐ ܡܫܒܚܬܐ ܕܠܐ ܡܬܡܠܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mti usiozaa matunda mema utakatwa na kutupwa motoni. \t ܟܠ ܐܝܠܢܐ ܕܠܐ ܥܒܕ ܦܐܪܐ ܛܒܐ ܡܬܦܤܩ ܘܒܢܘܪܐ ܢܦܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akawaambia, \"Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia humo, mtakuta mwana punda amefungwa ambaye bado hajatumiwa na mtu. Mfungueni mkamlete. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘ ܠܩܪܝܬܐ ܗܝ ܕܠܩܘܒܠܢ ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܕܥܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܝܠܐ ܕܐܤܝܪ ܕܐܢܫ ܡܢ ܒܢܝܢܫܐ ܠܐ ܪܟܒܗ ܫܪܘ ܐܝܬܐܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nisalimieni Maria ambaye amefanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܡܪܝܐ ܐܝܕܐ ܕܤܓܝ ܠܐܝܬ ܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Dhahabu yenu na fedha vimeota kutu, na kutu hiyo itakuwa ushahidi dhidi yenu, nayo itakula miili yenu kama vile moto. Ninyi mmejilundikia mali katika siku hizi za mwisho! \t ܘܕܗܒܟܘܢ ܘܤܐܡܟܘܢ ܐܫܚܬ ܠܗ ܘܫܘܚܬܗܘܢ ܗܘܝܐ ܠܤܗܕܘܬܐ ܥܠܝܟܘܢ ܘܗܝ ܥܬܝܕܐ ܕܬܐܟܘܠ ܒܤܪܟܘܢ ܢܘܪܐ ܟܢܫܬܘܢ ܠܟܘܢ ܠܝܘܡܬܐ ܐܚܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote wamepotoka wote wamekosa; hakuna atendaye mema, hakuna hata mmoja. \t ܟܠܗܘܢ ܤܛܘ ܐܟܚܕܐ ܘܐܤܬܠܝܘ ܘܠܝܬ ܕܥܒܕ ܛܒܬܐ ܐܦܠܐ ܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini msimtendee mtu huyo kama adui, bali mwonyeni kama ndugu. \t ܘܠܐ ܐܝܟ ܒܥܠܕܒܒܐ ܬܐܚܕܘܢܗ ܐܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܡܪܬܝܢ ܠܗ ܐܝܟ ܕܠܐܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, akaushusha mwili huo kutoka msalabani, akauzungushia sanda ya kitani, akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa kwenye mwamba, ambalo halikuwa limetumika. \t ܘܐܚܬܗ ܘܟܪܟܗ ܒܚܝܨܐ ܕܟܬܢܐ ܘܤܡܗ ܒܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܢܩܝܪܐ ܗܘ ܕܠܐ ܐܢܫ ܥܕܟܝܠ ܐܬܬܤܝܡ ܗܘܐ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na mmoja wao akampiga upanga mtumishi wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio lake la kulia. \t ܘܡܚܐ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܠܥܒܕܗ ܕܪܒ ܟܗܢܐ ܘܢܤܒܗ ܐܕܢܗ ܕܝܡܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwake yeye ambaye kwa nguvu yake ifanyayo kazi ndani yetu, aweza kufanya mambo makuu zaidi ya yale tuwezayo kuomba au kufikiria; \t ܠܗܘ ܕܝܢ ܕܡܨܐ ܒܚܝܠܐ ܝܬܝܪ ܡܢ ܟܠ ܠܡܥܒܕ ܠܢ ܘܝܬܝܪ ܡܢ ܡܐ ܕܫܐܠܝܢܢ ܘܪܢܝܢܢ ܐܝܟ ܚܝܠܗ ܕܡܤܬܥܪ ܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yule afanyaye yanayostahili adhabu bila kujua, atapigwa kidogo. Aliyepewa vingi atatakiwa vingi; aliyekabidhiwa vingi zaidi atatakiwa kutoa vingi zaidi. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܠܐ ܝܕܥ ܘܥܒܕ ܡܕܡ ܕܫܘܐ ܠܡܚܘܬܐ ܢܒܠܥ ܡܚܘܬܐ ܙܥܘܪܝܬܐ ܟܠ ܓܝܪ ܕܐܬܝܗܒ ܠܗ ܤܓܝ ܤܓܝ ܢܬܬܒܥ ܡܢܗ ܘܠܗܘ ܕܐܓܥܠܘ ܠܗ ܤܓܝ ܝܬܝܪܐܝܬ ܢܬܒܥܘܢ ܒܐܝܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Viongozi wa Wayahudi wakasema wao kwa wao, \"Mtu huyu atakwenda wapi ambapo hatutaweza kumpata? Atakwenda kwa Wayahudi waliotawanyika kati ya Wagiriki, na kuwafundisha Wagiriki? \t ܐܡܪܝܢ ܝܗܘܕܝܐ ܒܢܦܫܗܘܢ ܠܐܝܟܐ ܥܬܝܕ ܗܢܐ ܠܡܐܙܠ ܕܚܢܢ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܚܢܢ ܠܗ ܠܡܐ ܟܝ ܠܐܬܪܘܬܐ ܕܥܡܡܐ ܥܬܝܕ ܕܢܐܙܠ ܘܢܠܦ ܠܚܢܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akaona kwa mbali mtini wenye majani mengi. Akauendea ili aone kama ulikuwa na tunda lolote. Alipoufikia, aliukuta bila tunda lolote ila majani matupu, kwa vile hayakuwa majira ya mtini kuzaa matunda. \t ܘܚܙܐ ܬܬܐ ܚܕܐ ܡܢ ܪܘܚܩܐ ܕܐܝܬ ܒܗ ܛܪܦܐ ܘܐܬܐ ܠܘܬܗ ܕܐܢ ܢܫܟܚ ܒܗ ܡܕܡ ܘܟܕ ܐܬܐ ܠܐ ܐܫܟܚ ܒܗ ܐܠܐ ܐܢ ܛܪܦܐ ܙܒܢܐ ܓܝܪ ܠܐ ܗܘܐ ܗܘܐ ܕܬܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tuliwapenda ninyi sana hata tukawa tayari kuwashirikisha si tu Habari Njema ya Mungu, bali pia na maisha yetu. Ndivyo mlivyokuwa wapenzi wetu! \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܚܢܢ ܡܚܒܒܝܢܢ ܘܡܤܘܚܝܢܢ ܠܡܬܠ ܠܟܘܢ ܠܐ ܒܠܚܘܕ ܤܒܪܬܗ ܕܐܠܗܐ ܐܠܐ ܐܦ ܢܦܫܢ ܡܛܠ ܕܚܒܝܒܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Martha alikuwa na dada yake aitwaye Maria; huyu aliketi karibu na Yesu akisikiliza mafundisho yake. \t ܘܐܝܬ ܗܘܬ ܠܗ ܚܬܐ ܕܫܡܗ ܡܪܝܡ ܘܐܬܬ ܝܬܒܬ ܠܗ ܠܘܬ ܪܓܠܘܗܝ ܕܡܪܢ ܘܫܡܥܐ ܗܘܬ ܡܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliwasikia, akasema, \"Watu wenye afya hawahitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa. Sikuja kuwaita watu wema, ila wenye dhambi. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܟܕ ܫܡܥ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܤܢܝܩܝܢ ܚܠܝܡܐ ܥܠ ܐܤܝܐ ܐܠܐ ܐܝܠܝܢ ܕܒܝܫܐܝܬ ܥܒܝܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi pia ni mtu niliye chini ya mamlaka, na ninao askari chini yangu. Namwambia mmoja, Nenda!, naye huenda; namwambia mwingine, Njoo! naye huja; na nikimwambia mtumishi wangu, Fanya hiki!, hufanya.\" \t ܐܦ ܐܢܐ ܓܝܪ ܓܒܪܐ ܐܢܐ ܕܡܫܥܒܕ ܐܢܐ ܬܚܝܬ ܫܘܠܛܢܐ ܘܐܝܬ ܬܚܝܬ ܐܝܕܝ ܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܘܐܡܪ ܐܢܐ ܠܗܢܐ ܕܙܠ ܘܐܙܠ ܘܠܐܚܪܢܐ ܕܬܐ ܘܐܬܐ ܘܠܥܒܕܝ ܥܒܕ ܗܕܐ ܘܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa anapita kando ya ziwa Galilaya, aliwaona wavuvi wawili: Simoni na Andrea ndugu yake wakivua samaki kwa wavu. \t ܘܟܕ ܡܗܠܟ ܚܕܪܝ ܝܡܐ ܕܓܠܝܠܐ ܚܙܐ ܠܫܡܥܘܢ ܘܠܐܢܕܪܐܘܤ ܐܚܘܗܝ ܕܪܡܝܢ ܡܨܝܕܬܐ ܒܝܡܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܓܝܪ ܨܝܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Kristo amekwisha fika, akiwa Kuhani Mkuu wa mambo yaliyo mema, ambayo sasa yamekwisha fika. Yeye anatoa huduma zake katika hema iliyo bora na kamilifu zaidi, isiyofanywa kwa mikono ya watu, yaani isiyo ya ulimwengu huu ulioumbwa. \t ܡܫܝܚܐ ܕܝܢ ܕܐܬܐ ܗܘܐ ܪܒܟܘܡܪܐ ܕܛܒܬܐ ܕܤܥܪ ܘܥܠ ܠܡܫܟܢܐ ܪܒܐ ܘܡܫܠܡܢܐ ܕܠܐ ܥܒܝܕ ܒܐܝܕܝܐ ܘܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܗܠܝܢ ܒܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tunavyo vipaji mbalimbali kufuatana na neema tuliyopewa. Mwenye kipaji cha unabii na akitumie kadiri ya imani yake. \t ܐܠܐ ܐܝܬ ܠܢ ܡܘܗܒܬܐ ܡܫܚܠܦܬܐ ܐܝܟ ܛܝܒܘܬܐ ܕܐܬܝܗܒܬ ܠܢ ܐܝܬ ܕܢܒܝܘܬܐ ܐܝܟ ܡܫܘܚܬܐ ܕܗܝܡܢܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru.\" \t ܘܬܕܥܘܢ ܫܪܪܐ ܘܗܘ ܫܪܪܐ ܢܚܪܪܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akatoka nje amevaa taji ya miiba na joho la rangi ya zambarau. Pilato akawaambia, \"Tazameni! Mtu mwenyewe ni huyo.\" \t ܘܢܦܩ ܝܫܘܥ ܠܒܪ ܟܕ ܐܝܬ ܥܠܘܗܝ ܟܠܝܠܐ ܕܟܘܒܐ ܘܢܚܬܐ ܕܐܪܓܘܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܦܝܠܛܘܤ ܗܐ ܓܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli, nawaambieni, anayeamini anao uzima wa milele. \t ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܡܢ ܕܡܗܝܡܢ ܒܝ ܐܝܬ ܠܗ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo ni lazima kuwatii wenye mamlaka, si tu kwa sababu ya kuogopa ghadhabu ya Mungu, bali pia kwa sababu dhamiri inadai hivyo. \t ܘܡܛܠ ܗܢܐ ܐܠܨܐ ܠܢ ܕܢܫܬܥܒܕ ܠܐ ܡܛܠ ܪܘܓܙܐ ܒܠܚܘܕ ܐܠܐ ܐܦ ܡܛܠ ܬܐܪܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, ili Mungu aonekane kwamba anao uhuru wa kuchagua, hata kabla wale ndugu hawajazaliwa na kabla hawajaweza kupambanua jema na baya, \t ܥܕܠܐ ܢܬܝܠܕܘܢ ܒܢܝܗ ܘܠܐ ܢܤܥܪܘܢ ܛܒܬܐ ܐܘ ܒܝܫܬܐ ܩܕܡܬ ܐܬܝܕܥܬ ܓܒܝܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܕܗܝ ܬܩܘܐ ܠܐ ܒܥܒܕܐ ܐܠܐ ܒܝܕ ܡܢ ܕܩܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi, mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watawaua kama wao wenyewe walivyouawa. \t ܘܐܬܝܗܒܬ ܠܟܠܚܕ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܐܤܛܠܐ ܚܘܪܬܐ ܘܐܬܐܡܪ ܕܢܬܬܢܝܚܘܢ ܥܕ ܥܕܢ ܙܒܢ ܙܥܘܪ ܥܕܡܐ ܕܡܫܬܡܠܝܢ ܐܦ ܟܢܘܬܗܘܢ ܘܐܚܝܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܥܬܝܕܝܢ ܠܡܬܩܛܠܘ ܐܝܟ ܕܐܦ ܗܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Huyu ndiye anayesemwa katika Maandiko Matakatifu: Tazama, hapa namtuma mjumbe wangu, asema Bwana, akutangulie na kukutayarishia njia yako. \t ܗܢܘ ܓܝܪ ܕܥܠܘܗܝ ܟܬܝܒ ܕܗܐ ܐܢܐ ܡܫܕܪ ܐܢܐ ܡܠܐܟܝ ܩܕܡ ܦܪܨܘܦܟ ܕܢܬܩܢ ܐܘܪܚܐ ܩܕܡܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, basi, muwe tayari kabisa kwa nia, na kukesha. Wekeni tumaini lenu lote katika baraka ile mtakayopewa wakati Yesu Kristo atakapoonekana! \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܚܙܘܩܘ ܚܨܐ ܕܬܪܥܝܬܟܘܢ ܘܐܬܬܥܝܪܘ ܓܡܝܪܐܝܬ ܘܤܒܪܘ ܥܠ ܚܕܘܬܐ ܕܐܬܝܐ ܠܟܘܢ ܒܓܠܝܢܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkuu wa jeshi alimwendea Paulo, akamtia nguvuni na kuamuru afungwe minyororo miwili. Kisha akauliza, \"Ni mtu gani huyu, na amefanya nini?\" \t ܘܩܪܒ ܠܘܬܗ ܟܠܝܪܟܐ ܘܐܚܕܗ ܘܦܩܕ ܕܢܐܤܪܘܢܗ ܒܬܪܬܝܢ ܫܫܠܢ ܘܡܫܐܠ ܗܘܐ ܥܠܘܗܝ ܕܡܢܘ ܘܡܢܐ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yasoni amewakaribisha nyumbani kwake. Wote wanafanya kinyume cha amri ya Kaisari wakisema eti Kuna mfalme mwingine aitwaye Yesu.\" \t ܘܡܩܒܠܢܗܘܢ ܗܢܘ ܐܝܤܘܢ ܘܟܠܗܘܢ ܗܠܝܢ ܠܘܩܒܠ ܦܘܩܕܢܘܗܝ ܕܩܤܪ ܩܝܡܝܢ ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܕܐܝܬ ܡܠܟܐ ܐܚܪܢܐ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akaenda tena mara ya pili akasali: \"Baba yangu, kama haiwezekani kikombe hiki kinipite bila mimi kukinywa, basi, mapenzi yako yafanyike.\" \t ܬܘܒ ܐܙܠ ܕܬܪܬܝܢ ܙܒܢܝܢ ܨܠܝ ܘܐܡܪ ܐܒܝ ܐܢ ܠܐ ܡܫܟܚ ܗܢܐ ܟܤܐ ܕܢܥܒܪ ܐܠܐ ܐܢ ܐܫܬܝܬܗ ܢܗܘܐ ܨܒܝܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndipo Wayahudi wakaanza kubishana kati yao: \t ܢܨܝܢ ܗܘܘ ܕܝܢ ܝܗܘܕܝܐ ܚܕ ܥܡ ܚܕ ܘܐܡܪܝܢ ܐܝܟܢܐ ܡܫܟܚ ܗܢܐ ܦܓܪܗ ܕܢܬܠ ܠܢ ܠܡܐܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilipofanya kazi kati yenu, mahitaji yangu yaligharimiwa na makanisa mengine. Kwa namna moja au nyingine niliwapokonya wao mali yao nipate kuwatumikia ninyi. \t ܘܥܕܬܐ ܐܚܪܢܝܬܐ ܚܠܨܬ ܘܢܤܒܬ ܢܦܩܬܐ ܠܬܫܡܫܬܐ ܕܝܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na ukoo wake mtu huyu, Mungu, kama alivyoahidi, amewapelekea watu wa Israeli Mwokozi, ndiye Yesu. \t ܡܢ ܙܪܥܗ ܕܗܢܐ ܐܩܝܡ ܐܠܗܐ ܠܐܝܤܪܝܠ ܐܝܟ ܡܐ ܕܐܫܬܘܕܝ ܠܝܫܘܥ ܦܪܘܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tubuni mkamrudie Mungu ili afute dhambi zenu. \t ܬܘܒܘ ܗܟܝܠ ܘܐܬܦܢܘ ܐܝܟܢܐ ܕܢܬܥܛܘܢ ܚܛܗܝܟܘܢ ܘܢܐܬܘܢ ܠܟܘܢ ܙܒܢܐ ܕܢܝܚܬܐ ܡܢ ܩܕܡ ܦܪܨܘܦܗ ܕܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hamuyaamini yale aliyoandika, mtawezaje basi, kuamini maneno yangu?\" \t ܘܐܢ ܠܟܬܒܘܗܝ ܕܗܘ ܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܝܟܢܐ ܠܡܠܝ ܕܝܠܝ ܬܗܝܡܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Habari ya jambo hilo ikasikika kwa lile kanisa la Yerusalemu. Hivyo wakamtuma Barnaba aende Antiokia. \t ܘܐܫܬܡܥܬ ܗܘܬ ܗܝ ܗܕܐ ܠܐܕܢܝܗܘܢ ܕܒܢܝ ܥܕܬܐ ܕܒܐܘܪܫܠܡ ܘܫܕܪܘ ܠܒܪܢܒܐ ܠܐܢܛܝܘܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika akalitupa Kuzimu, akaufunga mlango wa kuingilia huko na kuutia mhuri ili lisiweze tena kuyapotosha mataifa mpaka hapo miaka elfu moja itakapotimia. Lakini baada ya miaka hiyo ni lazima lifunguliwe tena, lakini kwa muda mfupi tu. \t ܘܐܪܡܝܗ ܒܬܗܘܡܐ ܘܐܚܕ ܘܛܒܥ ܠܥܠ ܡܢܗ ܕܠܐ ܬܘܒ ܢܛܥܐ ܠܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܝܗܝܒ ܠܡܫܪܝܗ ܩܠܝܠ ܙܒܢܐ 4 ܘܚܙܝܬ ܡܘܬܒܐ ܘܝܬܒܘ ܥܠܝܗܘܢ ܘܕܝܢܐ ܐܬܝܗܒ ܠܗܘܢ ܘܢܦܫܬܐ ܗܠܝܢ ܕܐܬܦܤܩ ܡܛܠ ܤܗܕܘܬܐ ܕܝܫܘܥ ܘܡܛܠ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܕܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܤܓܕܘ ܠܚܝܘܬܐ ܘܠܐ ܠܨܠܡܗ ܘܠܐ ܢܤܒܘ ܪܘܫܡܐ ܥܠ ܒܝܬ ܥܝܢܝܗܘܢ ܐܘ ܥܠ ܐܝܕܝܗܘܢ ܕܚܝܘ ܘܐܡܠܟܘ ܥܡ ܡܫܝܚܐ ܐܠܦ ܫܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usemi huu ni wa kuaminika, na tena unafaa kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuwaokoa wenye dhambi. Nami ni mkosefu zaidi kuliko hao wote, \t ܡܗܝܡܢܐ ܗܝ ܡܠܬܐ ܘܫܘܝܐ ܗܝ ܠܡܩܒܠܘܬܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܬܐ ܠܥܠܡܐ ܠܡܚܝܘ ܠܚܛܝܐ ܕܩܕܡܝܗܘܢ ܐܢܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vipaji vya kiroho ni vya namna nyingi, lakini Roho avitoaye ni mmoja. \t ܦܘܠܓܐ ܕܝܢ ܕܡܘܗܒܬܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܐܠܐ ܚܕܐ ܗܝ ܪܘܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliwatuma hao kumi na wawili na kuwapa maagizo haya: \"Msiende kwa watu wa mataifa mengine, wala msiingie katika mji wa Wasamaria. \t ܠܗܠܝܢ ܬܪܥܤܪ ܫܕܪ ܝܫܘܥ ܘܦܩܕ ܐܢܘܢ ܘܐܡܪ ܒܐܘܪܚܐ ܕܚܢܦܐ ܠܐ ܬܐܙܠܘܢ ܘܠܡܕܝܢܬܐ ܕܫܡܪܝܐ ܠܐ ܬܥܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tulifika katika mji wa Sirakusa, tukakaa hapo kwa siku tatu. \t ܘܐܬܝܢ ܠܤܪܩܘܤܐ ܡܕܝܢܬܐ ܘܩܘܝܢ ܬܡܢ ܝܘܡܬܐ ܬܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kwenu isiwe hivyo, ila yeyote anayetaka kuwa mkuu kati yenu sharti awe mtumishi wa wote; \t ܠܐ ܗܟܢܐ ܢܗܘܐ ܒܝܢܬܟܘܢ ܐܠܐ ܡܢ ܕܨܒܐ ܒܟܘܢ ܕܢܗܘܐ ܪܒܐ ܢܗܘܐ ܠܟܘܢ ܡܫܡܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Macho yao yatiwe giza wasiweze kuona. Migongo yao ipindike kwa taabu daima!\" \t ܢܚܫܟܢ ܥܝܢܝܗܘܢ ܕܠܐ ܢܚܙܘܢ ܘܚܨܗܘܢ ܒܟܠܙܒܢ ܢܗܘܐ ܟܦܝܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Haya nisemayo hayawahusu ninyi nyote. Mimi nawajua wale niliowachagua. Lakini lazima yatimie Maandiko Matakatifu yasemayo: Yule aliyeshiriki chakula changu amegeuka kunishambulia. \t ܠܐ ܗܘܐ ܥܠ ܟܠܟܘܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܓܝܪ ܠܐܝܠܝܢ ܕܓܒܝܬ ܐܠܐ ܕܟܬܒܐ ܢܫܠܡ ܕܗܘ ܕܐܟܠ ܥܡܝ ܠܚܡܐ ܐܪܝܡ ܥܠܝ ܥܩܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yule mhalifu mwingine akamkemea mwenzake akisema: \"Wewe humwogopi Mungu hata kidogo? Wewe umepata adhabu hiyohiyo. \t ܘܟܐܐ ܒܗ ܚܒܪܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܦ ܠܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܕܚܠ ܐܢܬ ܕܐܦ ܐܢܬ ܒܗ ܐܢܬ ܒܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kifo, ushindi wako uko wapi? Uwezo wako wa kuumiza uko wapi?\" \t ܐܝܟܘ ܥܘܩܤܟ ܡܘܬܐ ܐܘ ܐܝܟܐ ܗܝ ܙܟܘܬܟܝ ܫܝܘܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakika atampa madaraka juu ya mali yake yote. \t ܫܪܝܪܐܝܬ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܢܩܝܡܝܘܗܝ ܥܠ ܟܠܗ ܩܢܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku ya tatu kulikuwa na arusi mjini Kana, mkoani Galilaya. Mama yake Yesu alikuwapo, \t ܘܠܝܘܡܐ ܕܬܠܬܐ ܗܘܬ ܡܫܬܘܬܐ ܒܩܛܢܐ ܡܕܝܢܬܐ ܕܓܠܝܠܐ ܘܐܡܗ ܕܝܫܘܥ ܬܡܢ ܗܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walikutana pamoja na Anasi, Kayafa, Yohane, Aleksanda na wengine waliokuwa wa ukoo wa Kuhani Mkuu. \t ܘܐܦ ܚܢܢ ܪܒ ܟܗܢܐ ܘܩܝܦܐ ܘܝܘܚܢܢ ܘܐܠܟܤܢܕܪܘܤ ܘܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܡܢ ܫܪܒܬܐ ܕܪܒܝ ܟܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakawa wanaulizana, \"Ana maana gani anaposema: Bado kitambo kidogo? Hatuelewi anaongelea nini.\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܡܢܐ ܗܝ ܗܕܐ ܩܠܝܠ ܕܐܡܪ ܠܐ ܝܕܥܝܢܢ ܡܢܐ ܡܡܠܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara Safira akaanguka mbele ya miguu ya Petro, akafa. Wale vijana walipoingia, walimkuta amekwisha kufa; hivyo wakamtoa nje, wakamzika karibu na mume wake. \t ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܢܦܠܬ ܩܕܡ ܪܓܠܝܗܘܢ ܘܡܝܬܬ ܘܥܠܘ ܥܠܝܡܐ ܗܢܘܢ ܘܐܫܟܚܘܗ ܟܕ ܡܝܬܐ ܘܩܦܤܘ ܐܘܒܠܘ ܩܒܪܘܗ ܥܠ ܓܢܒ ܒܥܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Umati wa watu ulipozidi kuongezeka, Yesu akawaambia, \"Kizazi hiki ni kizazi kiovu. Kinataka ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ile ya Yona. \t ܘܟܕ ܡܬܟܢܫܝܢ ܗܘܘ ܟܢܫܐ ܫܪܝ ܠܡܐܡܪ ܫܪܒܬܐ ܗܕܐ ܒܝܫܬܐ ܐܬܐ ܒܥܝܐ ܘܐܬܐ ܠܐ ܬܬܝܗܒ ܠܗ ܐܠܐ ܐܬܗ ܕܝܘܢܢ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunasema mambo hayo kwa sababu tumesikia kwamba wako baadhi yenu ambao ni wavivu na ambao hawafanyi chochote, isipokuwa tu kujiingiza katika mambo ya watu wengine. \t ܫܡܥܝܢܢ ܓܝܪ ܕܐܝܬ ܒܟܘܢ ܐܢܫܐ ܕܒܝܫ ܒܝܫ ܡܗܠܟܝܢ ܘܡܕܡ ܠܐ ܦܠܚܝܢ ܐܠܐ ܐܢ ܤܪܝܩܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na, wanawake walioamini walirudishiwa wafu wao wakiwa wamefufuliwa. Baadhi yao walikataa kufunguliwa, wakateswa mpaka kufa ili wapate kufufuliwa na kuingia katika maisha bora zaidi. \t ܘܝܗܒܘ ܠܢܫܐ ܒܢܝܗܝܢ ܡܢ ܩܝܡܬܐ ܕܡܝܬܐ ܘܐܚܪܢܐ ܒܫܢܕܐ ܡܝܬܘ ܘܠܐ ܤܟܝܘ ܠܡܬܦܨܝܘ ܕܩܝܡܬܐ ܡܝܬܪܬܐ ܬܗܘܐ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Niliwaonya wote--Wayahudi kadhalika na watu wa mataifa, wamgeukie Mungu na kumwamini Bwana wetu Yesu. \t ܟܕ ܡܤܗܕ ܗܘܝܬ ܠܝܗܘܕܝܐ ܘܠܐܪܡܝܐ ܥܠ ܬܝܒܘܬܐ ܕܠܘܬ ܐܠܗܐ ܘܗܝܡܢܘܬܐ ܕܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakatoka katika sunagogi, wakaenda moja kwa moja hadi nyumbani kwa Simoni na Andrea; Yakobo na Yohane walikwenda pamoja nao. \t ܘܢܦܩܘ ܡܢ ܟܢܘܫܬܐ ܘܐܬܘ ܠܒܝܬܗ ܕܫܡܥܘܢ ܘܕܐܢܕܪܐܘܤ ܥܡ ܝܥܩܘܒ ܘܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu wanaikataa Habari Njema, Wayahudi wamekuwa adui wa Mungu, lakini kwa faida yenu nyinyi watu wa mataifa. Lakini, kwa kuwa waliteuliwa, bado ni rafiki wa Mungu kwa sababu ya baba zao. \t ܒܐܘܢܓܠܝܘܢ ܕܝܢ ܒܥܠܕܒܒܐ ܐܢܘܢ ܡܛܠܬܟܘܢ ܘܒܓܒܝܘܬܐ ܚܒܝܒܝܢ ܐܢܘܢ ܡܛܠ ܐܒܗܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu aliwaitieni jambo hili kwa njia ya Habari Njema tuliyowahubirieni; aliwaiteni mpate kupokea sehemu yenu katika utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܠܗܠܝܢ ܗܘ ܓܝܪ ܩܪܟܘܢ ܒܡܤܒܪܢܘܬܐ ܕܝܠܢ ܕܬܗܘܘܢ ܬܫܒܘܚܬܐ ܠܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndivyo basi, ninavyopiga mbio nikiwa na nia ya kushinda; ndivyo ninavyopigana, na si kama bondia anayetupa ngumi zake hewani. \t ܐܢܐ ܗܟܝܠ ܗܟܢܐ ܪܗܛ ܐܢܐ ܠܐ ܗܘܐ ܐܝܟ ܕܥܠ ܡܕܡ ܕܠܐ ܝܕܝܥ ܘܗܟܢܐ ܡܬܟܬܫ ܐܢܐ ܠܐ ܐܝܟ ܗܘ ܕܠܐܐܪ ܟܬܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Kweli nakwambia, usiku huu kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܕܒܗܢܐ ܠܠܝܐ ܩܕܡ ܕܢܩܪܐ ܬܪܢܓܠܐ ܬܠܬ ܙܒܢܝܢ ܬܟܦܘܪ ܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Twendeni katika miji mingine ya jirani nikahubiri huko pia, maana nimekuja kwa sababu hiyo.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܠܟܘ ܠܩܘܪܝܐ ܘܠܡܕܝܢܬܐ ܕܩܪܝܒܢ ܕܐܦ ܬܡܢ ܐܟܪܙ ܠܗܕܐ ܓܝܪ ܐܬܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana atakabidhiwa kwa watu wa mataifa nao watamtendea vibaya na kumtemea mate. \t ܢܫܬܠܡ ܓܝܪ ܠܥܡܡܐ ܘܢܒܙܚܘܢ ܒܗ ܘܢܪܩܘܢ ܒܐܦܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Fanyeni hivyo ili Bwana awape nyakati za kuburudika rohoni na kuwaletea yule Kristo aliyemteua ambaye ndiye Yesu. \t ܘܢܫܕܪ ܠܟܘܢ ܠܐܝܢܐ ܕܡܛܝܒ ܗܘܐ ܠܟܘܢ ܠܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikilizeni enyi wenye madharau, shangaeni mpotee! Kwa maana kitu ninachofanya sasa, nyakati zenu, ni kitu ambacho hamtakiamini hata kama mtu akiwaelezeni.\" \t ܕܚܙܘ ܡܒܤܪܢܐ ܘܬܬܡܗܘܢ ܘܬܬܚܒܠܘܢ ܕܥܒܕܐ ܥܒܕ ܐܢܐ ܒܝܘܡܝܟܘܢ ܐܝܢܐ ܕܠܐ ܬܗܝܡܢܘܢ ܐܢ ܐܢܫ ܡܫܬܥܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa wakimpeleka, walikutana na mtu mmoja, aitwaye Simoni wa Kurene, aliyekuwa anatoka shambani. Basi, walimkamata, wakamtwika ule msalaba auchukue nyuma ya Yesu. \t ܘܟܕ ܡܘܒܠܝܢ ܠܗ ܐܚܕܘ ܠܫܡܥܘܢ ܩܘܪܝܢܝܐ ܕܐܬܐ ܡܢ ܩܪܝܬܐ ܘܤܡܘ ܥܠܘܗܝ ܙܩܝܦܐ ܕܢܛܥܢ ܒܬܪܗ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akajibu, \"Yule nitakayempa kipande cha mkate nilichochovya katika sahani, ndiye.\" Basi, akatwaa kipande cha mkate, akakichovya katika sahani, akampa Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܗܘ ܗܘ ܕܨܒܥ ܐܢܐ ܠܚܡܐ ܝܗܒ ܐܢܐ ܠܗ ܘܨܒܥ ܝܫܘܥ ܠܚܡܐ ܘܝܗܒ ܠܝܗܘܕܐ ܒܪ ܫܡܥܘܢ ܤܟܪܝܘܛܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara yule aliyekabidhiwa talanta tano akafanya kazi nazo akapata faida talanta tano. \t ܐܙܠ ܕܝܢ ܗܘ ܕܢܤܒ ܚܡܫ ܟܟܪܝܢ ܐܬܬܓܪ ܒܗܝܢ ܘܝܬܪ ܚܡܫ ܐܚܪܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mama mmoja, mgonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili, alimfuata Yesu nyuma, akagusa pindo la vazi lake. \t ܘܗܐ ܐܢܬܬܐ ܕܪܕܐ ܗܘܐ ܕܡܗ ܫܢܝܢ ܬܪܬܥܤܪܐ ܐܬܬ ܡܢ ܒܤܬܪܗ ܘܩܪܒܬ ܠܩܪܢܐ ܕܠܒܘܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mapigano na magombano yote kati yenu yanatoka wapi? Hutoka katika tamaa zenu mbaya ambazo hupigana daima ndani yenu. \t ܡܢ ܐܝܟܐ ܐܝܬ ܒܟܘܢ ܩܪܒܐ ܘܡܨܘܬܐ ܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܪܓܝܓܬܐ ܕܡܩܪܒܢ ܒܗܕܡܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao ndio watu wa Israeli ambao Mungu aliwateua wawe watoto wake, akawashirikisha utukufu wake; aliagana nao, akawapa Sheria yake, imani ya kweli na ahadi zake. \t ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܕܕܝܠܗܘܢ ܗܘܬ ܤܝܡܬ ܒܢܝܐ ܘܬܫܒܘܚܬܐ ܘܩܝܡܐ ܘܢܡܘܤܐ ܘܬܫܡܫܬܐ ܕܒܗ ܘܡܘܠܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo, tangu niliposikia juu ya imani yenu kwa Bwana Yesu na mapendo yenu kwa watu wa Mungu, \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܦ ܐܢܐ ܗܐ ܡܢ ܕܫܡܥܬ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܕܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܚܘܒܟܘܢ ܕܠܘܬ ܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo wanafunzi wake hawakuelewa mambo hayo, lakini Yesu alipokwisha tukuzwa, ndipo walipokumbuka kwamba hayo yalikuwa yameandikwa juu yake, na kwamba watu walikuwa wamemtendea hivyo. \t ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܠܐ ܝܕܥܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܒܗܘ ܙܒܢܐ ܐܠܐ ܟܕ ܐܫܬܒܚ ܝܫܘܥ ܐܬܕܟܪܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܗܠܝܢ ܟܬܝܒܢ ܗܘܝ ܥܠܘܗܝ ܘܗܠܝܢ ܥܒܕܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Paulo alishuka chini, akainama, akamkumbatia na kusema, \"Msiwe na wasiwasi maana kuna uhai bado ndani yake.\" \t ܘܢܚܬ ܦܘܠܘܤ ܢܦܠ ܠܥܠ ܡܢܗ ܘܥܦܩܗ ܘܐܡܪ ܠܐ ܬܬܙܝܥܘܢ ܡܛܠ ܕܢܦܫܗ ܒܗ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Uwe mwangalifu basi mwanga ulio ndani yako usije ukawa giza. \t ܐܙܕܗܪ ܗܟܝܠ ܕܠܡܐ ܢܘܗܪܐ ܕܒܟ ܚܫܘܟܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi nyote ni watu mnaoishi katika mwanga, watu wa mchana. Sisi si watu wa usiku, wala wa giza. \t ܟܠܟܘܢ ܓܝܪ ܒܢܝ ܢܘܗܪܐ ܐܢܬܘܢ ܘܒܢܝ ܐܝܡܡܐ ܘܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܒܢܝ ܠܠܝܐ ܘܠܐ ܒܢܝ ܚܫܘܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikasikia idadi ya hao waliopigwa mhuri: Watu mia moja arobaini na nne elfu wa makabila yote ya watu wa Israeli. \t ܘܫܡܥܬ ܡܢܝܢܐ ܕܚܬܝܡܐ ܡܐܐ ܘܐܪܒܥܝܢ ܘܐܪܒܥܐ ܐܠܦܝܢ ܡܢ ܟܠ ܫܪܒܢ ܕܐܝܤܪܐܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Imeandikwa pia: Usimjaribu Bwana, Mungu wako.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܬܘܒ ܟܬܝܒ ܕܠܐ ܬܢܤܐ ܠܡܪܝܐ ܐܠܗܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo maneno ya nabii Yeremia yakatimia: \"Walizichukua sarafu thelathini za fedha, thamani ya yule ambaye watu wa Israeli walipanga bei, \t ܗܝܕܝܢ ܐܬܡܠܝ ܡܕܡ ܕܐܬܐܡܪ ܒܝܕ ܢܒܝܐ ܕܐܡܪ ܕܢܤܒܬ ܬܠܬܝܢ ܕܟܤܦܐ ܕܡܘܗܝ ܕܝܩܝܪܐ ܕܩܨܘ ܡܢ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, watu wa jamaa yake walipopata habari hiyo wakatoka kwenda kumchukua maana walikuwa wanasema kwamba amepatwa na wazimu. \t ܘܫܡܥܘ ܐܚܝܢܘܗܝ ܘܢܦܩܘ ܠܡܐܚܕܗ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܓܝܪ ܕܡܢ ܗܘܢܗ ܢܦܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Utakuja wakati ambapo watu hawatasikiliza mafundisho ya kweli, ila watafuata tamaa zao wenyewe na kujikusanyia walimu tele watakaowaambia mambo yale tu ambayo masikio yao yako tayari kusikia. \t ܢܗܘܐ ܓܝܪ ܙܒܢܐ ܕܠܝܘܠܦܢܐ ܚܠܝܡܐ ܠܐ ܢܫܬܡܥܘܢ ܐܠܐ ܐܝܟ ܪܓܝܓܬܗܘܢ ܢܤܓܘܢ ܠܢܦܫܗܘܢ ܡܠܦܢܐ ܒܚܘܬܚܬܐ ܕܡܫܡܥܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ningependa akae nami hapa anisaidie badala yako wakati niwapo kifungoni kwa sababu ya Habari Njema. \t ܨܒܐ ܗܘܝܬ ܓܝܪ ܕܠܘܬܝ ܐܚܕܝܘܗܝ ܕܢܗܘܐ ܡܫܡܫ ܠܝ ܚܠܦܝܟ ܒܐܤܘܪܐ ܕܐܘܢܓܠܝܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akaomba tena, mvua ikanyesha kutoka angani na nchi ikatoa mazao yake. \t ܘܬܘܒ ܨܠܝ ܘܫܡܝܐ ܝܗܒܘ ܡܛܪܐ ܘܐܪܥܐ ܝܗܒܬ ܦܐܪܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makuhani wakuu waliposikia habari hiyo, walifurahi, wakaahidi kumpa fedha. Basi, Yuda akaanza kutafuta nafasi ya kumsaliti Yesu. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܟܕ ܫܡܥܘ ܚܕܝܘ ܘܐܫܬܘܕܝܘ ܟܤܦܐ ܕܢܬܠܘܢ ܠܗ ܘܒܥܐ ܗܘܐ ܠܗ ܦܠܥܐ ܕܢܫܠܡܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "aifariji mioyo yenu na kuwaimarisheni ili mweze daima kutenda na kusema yaliyo mema. \t ܢܒܝܐ ܠܒܘܬܟܘܢ ܘܢܩܝܡ ܒܟܠ ܡܠܐ ܘܒܟܠ ܥܒܕ ܛܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "tusonge mbele! Hayo tutayafanya, Mungu akitujalia. \t ܐܢ ܡܪܝܐ ܡܦܤ ܢܥܒܕ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ujumbe ule mliousikia tangu mwanzo na ukae mioyoni mwenu. Kama ujumbe huo mliousikia tangu mwanzo ukikaa ndani yenu, basi, mtaishi daima katika umoja na Mwana na Baba. \t ܘܐܢܬܘܢ ܡܕܡ ܕܫܡܥܬܘܢ ܡܢ ܩܕܝܡ ܢܩܘܐ ܠܘܬܟܘܢ ܐܢ ܓܝܪ ܡܩܘܐ ܠܘܬܟܘܢ ܡܕܡ ܕܫܡܥܬܘܢ ܡܢ ܩܕܝܡ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܡܩܘܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܐܒܐ ܘܒܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mtu wa mataifa mengine ambaye hakutahiriwa akitimiza matakwa ya Sheria, hakika atafikiriwa kana kwamba ametahiriwa. \t ܐܢ ܗܘ ܕܝܢ ܕܥܘܪܠܘܬܐ ܬܛܪ ܦܘܩܕܢܗ ܕܢܡܘܤܐ ܠܐ ܗܐ ܥܘܪܠܘܬܐ ܡܬܚܫܒܐ ܠܗ ܓܙܘܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Aliwaokoa wengine, lakini kujiokoa mwenyewe hawezi! Eti yeye ni mfalme wa Wayahudi! Basi, sasa na ashuke msalabani, nasi tutamwamini. \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܐܚܪܢܐ ܐܚܝ ܢܦܫܗ ܠܐ ܡܫܟܚ ܠܡܚܝܘ ܐܢ ܡܠܟܗ ܗܘ ܕܐܝܤܪܝܠ ܢܚܘܬ ܗܫܐ ܡܢ ܙܩܝܦܐ ܘܢܗܝܡܢ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watakupondaponda wewe pamoja na watoto wako ndani ya kuta zako; hawatakuachia hata jiwe moja juu jingine, kwa sababu hukuutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa.\" \t ܘܢܤܚܦܘܢܟܝ ܘܠܒܢܝܟܝ ܒܓܘܟܝ ܘܠܐ ܢܫܒܩܘܢ ܒܟܝ ܟܐܦ ܥܠ ܟܐܦ ܚܠܦ ܕܠܐ ܝܕܥܬܝ ܙܒܢܐ ܕܤܘܥܪܢܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usemi huo ni wa kusadikika kabisa na unastahili kukubaliwa. \t ܡܗܝܡܢܐ ܗܝ ܡܠܬܐ ܘܫܘܝܐ ܗܝ ܠܡܩܒܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini watu waoga, wasioamini, wapotovu, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, mahali pao patakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto na kiberiti; hicho ndicho kifo cha pili.\" \t ܠܩܢܘܛܬܢܐ ܕܝܢ ܘܠܐ ܡܗܝܡܢܐ ܘܥܘܠܐ ܘܡܤܝܒܐ ܘܩܛܘܠܐ ܘܚܪܫܐ ܘܙܢܝܐ ܘܦܠܚܝ ܦܬܟܪܐ ܘܟܠܗܘܢ ܕܓܠܐ ܡܢܬܗܘܢ ܒܝܡܬܐ ܝܩܕܬܐ ܕܢܘܪܐ ܘܟܒܪܝܬܐ ܐܝܕܐ ܕܐܝܬܝܗ ܡܘܬܐ ܬܢܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote, wadogo na wakubwa, walimsikiliza kwa makini wakisema, \"Simoni ndiye ile nguvu ya kimungu inayoitwa Nguvu Kubwa.\" \t ܘܨܠܝܢ ܗܘܘ ܠܘܬܗ ܟܠܗܘܢ ܪܘܪܒܐ ܘܕܩܕܩܐ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܗܢܘ ܚܝܠܗ ܪܒܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Macho yao yakafunguliwa. Naye Yesu akawaonya kwa ukali: \"Msimwambie mtu yeyote jambo hili.\" \t ܘܡܚܕܐ ܐܬܦܬܚ ܥܝܢܝܗܘܢ ܘܟܐܐ ܒܗܘܢ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܚܙܘ ܠܐ ܐܢܫ ܢܕܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Petro akakana, \"Sijui, wala sielewi unayosema!\" Kisha Petro akaondoka, akaenda nje uani. Hapo jogoo akawika. \t ܗܘ ܕܝܢ ܟܦܪ ܘܐܡܪ ܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܡܢܐ ܐܡܪܐ ܐܢܬܝ ܘܢܦܩ ܠܒܪ ܠܤܦܐ ܘܩܪܐ ܬܪܢܓܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana hivyo viumbe navyo vitaokolewa kutoka katika utumwa wa uharibifu, vishiriki uhuru mtukufu wa watoto wa Mungu. \t ܕܐܦ ܗܝ ܒܪܝܬܐ ܬܬܚܪܪ ܡܢ ܥܒܕܘܬܐ ܕܚܒܠܐ ܒܚܪܘܪܐ ܕܬܫܒܘܚܬܐ ܕܒܢܝܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikaona mlima Sioni, na Mwanakondoo amesimama juu yake; pamoja naye walikuwa watu mia moja arobaini na nne elfu ambao juu ya paji za nyuso zao walikuwa wameandikwa jina la Mwanakondoo na jina la Baba yake. \t ܘܚܙܝܬ ܘܗܐ ܐܡܪܐ ܩܐܡ ܥܠ ܛܘܪܐ ܕܨܗܝܘܢ ܘܥܡܗ ܡܐܐ ܘܐܪܒܥܝܢ ܘܐܪܒܥܐ ܐܠܦܝܢ ܕܐܝܬ ܥܠܝܗܘܢ ܫܡܗ ܘܫܡܐ ܕܐܒܘܗܝ ܟܬܝܒ ܥܠ ܒܝܬ ܥܝܢܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena mwasema ati mtu akiapa kwa madhabahu si kitu; lakini akiapa kwa zawadi iliyowekwa juu ya madhabahu, kiapo hicho humshika. \t ܘܡܢ ܕܝܡܐ ܒܡܕܒܚܐ ܠܐ ܗܘܐ ܡܕܡ ܡܢ ܕܝܢ ܕܝܡܐ ܒܩܘܪܒܢܐ ܕܠܥܠ ܡܢܗ ܚܐܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nataka kusema hivi: nina huzuni kubwa na maumivu yasiyopimika moyoni mwangu \t ܕܟܪܝܘܬܐ ܗܝ ܠܝ ܪܒܬܐ ܘܟܐܒܐ ܕܡܢ ܠܒܝ ܠܐ ܫܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "alifutilia mbali ile hati ya deni iliyokuwa inatukabili na masharti yake, na kuifuta kabisa kwa kuipigilia msalabani. \t ܘܥܛܐ ܒܦܘܩܕܢܘܗܝ ܫܛܪ ܚܘܒܝܢ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܤܩܘܒܠܢ ܘܫܩܠܗ ܡܢ ܡܨܥܬܐ ܘܩܒܥܗ ܒܙܩܝܦܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawauliza saa mtoto alipopata nafuu; nao wakamwambia, \"Jana saa saba mchana, homa ilimwacha.\" \t ܘܫܐܠ ܐܢܘܢ ܒܐܝܢܐ ܥܕܢܐ ܐܬܚܠܡ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܬܡܠܝ ܒܫܒܥ ܫܥܝܢ ܫܒܩܬܗ ܐܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu walitupatia zawadi mbalimbali na wakati tulipoanza tena safari, walitia ndani ya meli masurufu tuliyohitaji. \t ܘܐܝܩܪܐ ܪܘܪܒܐ ܝܩܪܘܢ ܘܟܕ ܢܦܩܝܢ ܗܘܝܢ ܡܢ ܬܡܢ ܙܘܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nanyi, kadhalika muwe tayari, maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia.\" \t ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܗܟܝܠ ܗܘܘ ܡܛܝܒܐ ܕܒܗܝ ܫܥܬܐ ܕܠܐ ܤܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܬܐ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, siku wafu watakapofufuliwa, mwanamke huyo atakuwa mke wa nani? Alikuwa ameolewa na wote saba.\" \t ܒܩܝܡܬܐ ܗܟܝܠ ܕܐܝܢܐ ܡܢܗܘܢ ܬܗܘܐ ܐܢܬܬܐ ܫܒܥܬܝܗܘܢ ܓܝܪ ܢܤܒܘܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliahidi hapo kale kwa njia ya manabii wake watakatifu, \t ܐܝܟ ܕܡܠܠ ܒܦܘܡܐ ܕܢܒܝܘܗܝ ܩܕܝܫܐ ܕܡܢ ܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, waliwatia nguvuni na kwa kuwa usiku ulikuwa umekaribia, wakawaweka chini ya ulinzi mpaka kesho yake. \t ܘܐܪܡܝܘ ܥܠܝܗܘܢ ܐܝܕܝܐ ܘܢܛܪܘ ܐܢܘܢ ܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܡܛܠ ܕܩܪܒ ܗܘܐ ܠܗ ܪܡܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na alfajiri mwasema: Leo hali ya hewa itakuwa ya dhoruba, maana anga ni jekundu na tena mawingu yametanda! Basi, ninyi mnajua sana kusoma majira kwa kuangalia anga, lakini kutambua dalili za nyakati hizi hamjui. \t ܘܒܨܦܪܐ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܝܘܡܢܐ ܤܬܘܐ ܗܘ ܤܡܩܬ ܓܝܪ ܫܡܝܐ ܟܡܝܪܐܝܬ ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܦܪܨܘܦܐ ܕܫܡܝܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܬܒܩܘܢ ܐܬܘܬܐ ܕܙܒܢܐ ܗܢܐ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܬܦܪܫܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokwisha sema hayo, akawapulizia na kuwaambia, \"Pokeeni Roho Mtakatifu. \t ܘܟܕ ܐܡܪ ܗܠܝܢ ܢܦܚ ܒܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܩܒܠܘ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndivyo lilivyotimia lile neno lililosemwa kwa njia ya nabii Isaya: \t ܕܢܬܡܠܐ ܡܕܡ ܕܐܬܐܡܪ ܒܝܕ ܐܫܥܝܐ ܢܒܝܐ ܕܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, farijianeni kwa maneno haya. \t ܗܘܘ ܗܟܝܠ ܡܒܝܐܝܢ ܚܕ ܠܚܕ ܒܡܠܐ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Muwe macho, mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na shughuli za maisha haya. La sivyo, Siku ile itawajieni ghafla. \t ܐܙܕܗܪܘ ܕܝܢ ܒܢܦܫܟܘܢ ܕܠܐ ܡܬܘܡ ܢܐܩܪܘܢ ܠܒܘܬܟܘܢ ܒܐܤܘܛܘܬܐ ܘܒܪܘܝܘܬܐ ܘܒܨܦܬܐ ܕܥܠܡܐ ܘܡܢ ܫܠܝܐ ܢܐܬܐ ܥܠܝܟܘܢ ܝܘܡܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tulifanya hivyo si kwa kuwa hatuna haki ya kutaka msaada wenu, ila kwa sababu tunataka kuwapeni mfano. \t ܠܐ ܗܘܐ ܡܛܠ ܕܠܐ ܫܠܝܛ ܠܢ ܐܠܐ ܕܒܢܦܫܢ ܢܬܠ ܠܟܘܢ ܛܘܦܤܐ ܕܒܢ ܬܬܕܡܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndio maana nilimtuma Timotheo kwenu. Sikuweza kungoja zaidi, na hivyo nilimtuma nipate habari za imani yenu. Isije ikawa labda Mshawishi aliwajaribuni na kazi yote tuliyofanya miongoni mwenu imepotea bure! \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܦ ܐܢܐ ܠܐ ܚܡܤܢܬ ܥܕܡܐ ܕܫܕܪܬ ܕܐܕܥ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܕܕܠܡܐ ܢܢܤܝܟܘܢ ܡܢܤܝܢܐ ܘܢܗܘܐ ܥܡܠܢ ܤܪܝܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaambia, Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu, nami nitawapeni haki yenu. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܠܟܪܡܐ ܘܡܕܡ ܕܘܠܐ ܝܗܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanaubadili ukweli juu ya Mungu kwa uongo; wanaheshimu na kuabudu kiumbe badala ya Muumba mwenyewe, ambaye ndiye astahiliye sifa milele! Amina. \t ܘܚܠܦܘ ܫܪܪܗ ܕܐܠܗܐ ܒܟܕܒܘܬܐ ܘܕܚܠܘ ܘܫܡܫܘ ܠܒܪܝܬܐ ܛܒ ܡܢ ܕܠܒܪܘܝܗܝܢ ܕܠܗ ܬܫܒܚܢ ܘܒܘܪܟܢ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye hakufanywa kuwa kuhani kwa sheria na maagizo ya kibinadamu, bali kwa nguvu ya uhai ambao hauna mwisho. \t ܗܘ ܕܠܐ ܗܘܐ ܒܢܡܘܤܐ ܕܦܘܩܕܢܐ ܦܓܪܢܝܐ ܗܘܐ ܐܠܐ ܒܚܝܠܐ ܕܚܝܐ ܕܠܐ ܡܫܬܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo Yesu akawaita, akawaambia, \"Mnajua kwamba watawala wa mataifa hutawala watu wao kwa mabavu na wakuu hao huwamiliki watu wao. \t ܘܩܪܐ ܐܢܘܢ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܪܫܝܗܘܢ ܕܥܡܡܐ ܡܪܝܗܘܢ ܐܢܘܢ ܘܪܘܪܒܢܝܗܘܢ ܫܠܝܛܝܢ ܥܠܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maandiko yasema: \"Nani awezaye kuifahamu akili ya Bwana? Nani awezaye kumshauri?\" Lakini sisi tunayo akili ya Kristo. \t ܡܢܘ ܓܝܪ ܝܕܥ ܪܥܝܢܗ ܕܡܪܝܐ ܕܢܠܦܝܘܗܝ ܠܢ ܕܝܢ ܪܥܝܢܐ ܕܡܫܝܚܐ ܐܝܬ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walikasirika sana, maana hao mitume walikuwa wanawahubiria watu kwamba Yesu alifufuka, jambo ambalo linaonyesha wazi kwamba wafu watafufuka. \t ܟܕ ܡܬܚܡܬܝܢ ܗܘܘ ܥܠܝܗܘܢ ܕܡܠܦܝܢ ܠܥܡܐ ܘܡܟܪܙܝܢ ܒܡܫܝܚܐ ܥܠ ܩܝܡܬܐ ܕܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao wakawa wanajadiliana: \"Anasema hivyo kwa kuwa hatukuchukua mikate.\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܡܬܪܥܝܢ ܗܘܘ ܒܢܦܫܗܘܢ ܘܐܡܪܝܢ ܕܠܚܡܐ ܠܐ ܢܤܒܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kama mtu akikualika arusini, usiketi mahali pa heshima isije ikawa amealikwa mwingine mheshimiwa kuliko wewe; \t ܐܡܬܝ ܕܡܙܕܡܢ ܐܢܬ ܡܢ ܐܢܫ ܠܒܝܬ ܡܫܬܘܬܐ ܠܐ ܬܐܙܠ ܬܤܬܡܟ ܠܟ ܒܪܝܫ ܤܡܟܐ ܕܠܡܐ ܢܗܘܐ ܡܙܡܢ ܬܡܢ ܐܢܫ ܕܡܝܩܪ ܡܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kama hamwezi kufanya jambo dogo kama hilo, kwa nini kuwa na wasiwasi juu ya yale mengine? \t ܐܢ ܕܝܢ ܐܦ ܠܐ ܙܥܘܪܬܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢܐ ܥܠ ܫܪܟܐ ܝܨܦܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulipopambazuka, makuhani wakuu wote na wazee wa watu walifanya mashauri juu ya Yesu wapate kumwua. \t ܟܕ ܕܝܢ ܗܘܐ ܨܦܪܐ ܡܠܟܐ ܢܤܒܘ ܥܠ ܝܫܘܥ ܟܠܗܘܢ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܩܫܝܫܐ ܕܥܡܐ ܐܝܟ ܕܢܡܝܬܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kupitia Amfipoli na Apolonia, walisafiri mpaka Thesalonika ambako kulikuwa na sunagogi la Wayahudi. \t ܘܥܒܪܘ ܥܠ ܐܡܦܝܦܘܠܝܤ ܘܐܦܠܘܢܝܐ ܡܕܝܢܬܐ ܘܐܬܘ ܠܬܤܠܘܢܝܩܐ ܐܝܟܐ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܟܢܘܫܬܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Majeshi yao yaliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa yule anayepanda farasi. Ndege wote wakajishibisha kwa nyama zao. \t ܘܕܫܪܟܐ ܕܝܢ ܐܬܩܛܠܘ ܒܚܪܒܗ ܕܗܘ ܕܝܬܒ ܥܠ ܤܘܤܝܐ ܒܐܝܕܐ ܕܢܦܩܐ ܡܢ ܦܘܡܗ ܘܟܠܗ ܛܝܪܐ ܤܒܥܬ ܡܢ ܒܤܪܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni. \t ܘܠܐܝܕܐ ܡܕܝܢܬܐ ܕܥܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܡܩܒܠܝܢ ܠܟܘܢ ܠܥܤܘ ܡܕܡ ܕܡܬܬܤܝܡ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao wakamwabudu, wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kubwa: \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܤܓܕܘ ܠܗ ܘܗܦܟܘ ܠܐܘܪܫܠܡ ܒܚܕܘܬܐ ܪܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walikuwa na mikia na miiba kama ng'e, na kwa mikia hiyo, walikuwa na nguvu ya kuwadhuru watu kwa muda wa miezi mitano. \t ܘܐܝܬ ܠܗܘܢ ܕܘܢܒܝܬܐ ܐܝܟ ܕܡܘܬܐ ܕܥܩܪܒܐ ܘܥܘܩܤܐ ܕܝܢ ܒܕܘܢܒܝܬܗܘܢ ܘܫܘܠܛܢܗܘܢ ܠܡܗܪܘ ܠܒܢܝܢܫܐ ܝܪܚܐ ܚܡܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walitembea toka upande mmoja wa kisiwa mpaka Pafo upande wa pili, na huko walimkuta mchawi mmoja Myahudi aitwaye Baryesu ambaye alijisingizia kuwa nabii. \t ܘܟܕ ܐܬܟܪܟܘܗ ܠܟܠܗ ܓܙܪܬܐ ܥܕܡܐ ܠܦܦܘܤ ܡܕܝܢܬܐ ܐܫܟܚܘ ܓܒܪܐ ܚܕ ܚܪܫܐ ܝܗܘܕܝܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܢܒܝܐ ܕܓܠܐ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܒܪܫܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa wale waliooa ninayo amri, tena si yangu, ila ni ya Bwana: mke asiachane na mumewe; \t ܠܐܝܠܝܢ ܕܝܢ ܕܐܝܬ ܠܗܘܢ ܢܫܐ ܡܦܩܕ ܐܢܐ ܠܐ ܐܢܐ ܐܠܐ ܡܪܝ ܕܐܢܬܬܐ ܡܢ ܒܥܠܗ ܠܐ ܬܦܪܘܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakawaita wenzao waliokuwa katika mashua nyingine waje kuwasaidia. Wakaja, wakazijaza mashua zote mbili samaki, hata karibu zingezama. \t ܘܪܡܙܘ ܠܚܒܪܝܗܘܢ ܕܒܤܦܝܢܬܐ ܐܚܪܬܐ ܕܢܐܬܘܢ ܢܥܕܪܘܢ ܐܢܘܢ ܘܟܕ ܐܬܘ ܡܠܘ ܐܢܝܢ ܤܦܝܢܐ ܬܪܬܝܗܝܢ ܐܝܟ ܕܩܪܝܒܢ ܗܘܝ ܠܡܛܒܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Pepo wa namna hii hawezi kuondolewa ila kwa sala na kufunga.\" \t ܗܢܐ ܕܝܢ ܓܢܤܐ ܠܐ ܢܦܩ ܐܠܐ ܒܨܘܡܐ ܘܒܨܠܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa vile ninyi ni watu wa Mungu, basi uasherati, uchafu wowote ule au choyo visitajwe kamwe miongoni mwenu. \t ܙܢܝܘܬܐ ܕܝܢ ܘܟܠܗ ܛܢܦܘܬܐ ܘܥܠܘܒܘܬܐ ܐܦܠܐ ܡܫܬܡܗܘ ܬܫܬܡܗ ܒܝܢܬܟܘܢ ܐܝܟ ܕܝܐܐ ܠܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Adamu wa kwanza aliumbwa kwa udongo, alitoka ardhini; mtu wa pili alitoka mbinguni. \t ܒܪܢܫܐ ܩܕܡܝܐ ܥܦܪܢܐ ܕܡܢ ܐܪܥܐ ܒܪܢܫܐ ܕܬܪܝܢ ܡܪܝܐ ܡܢ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnamvumilia hata mtu anayewafanya ninyi watumwa, mtu mwenye kuwanyonya, mwenye kuwakandamiza, mwenye kuwadharau na kuwapiga usoni! \t ܘܡܬܕܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܢ ܕܡܫܥܒܕ ܠܟܘܢ ܘܠܡܢ ܕܐܟܠ ܠܟܘܢ ܘܠܡܢ ܕܢܤܒ ܡܢܟܘܢ ܘܠܡܢ ܕܡܬܪܝܡ ܥܠܝܟܘܢ ܘܠܡܢ ܕܡܚܐ ܠܟܘܢ ܥܠ ܐܦܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili achukue nafasi hii ya huduma ya kitume aliyoacha Yuda akaenda mahali pake mwenyewe.\" \t ܕܗܘ ܢܩܒܠ ܦܤܐ ܕܬܫܡܫܬܐ ܘܫܠܝܚܘܬܐ ܕܡܢܗ ܦܪܩ ܝܗܘܕܐ ܕܢܐܙܠ ܠܗ ܠܐܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waambie waachane na zile hadithi tupu na orodha ndefu za mababu, ambazo huleta tu ubishi, wala haviwajengi watu katika mpango ujulikanao kwa imani. \t ܘܠܐ ܢܬܪܡܘܢ ܠܫܘܥܝܬܐ ܘܠܬܫܥܝܬܐ ܕܫܪܒܬܐ ܕܤܟܐ ܠܝܬ ܠܗܘܢ ܗܠܝܢ ܕܚܪܝܢܐ ܗܘ ܥܒܕܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܘܠܐ ܒܢܝܢܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ingawa hawakumpata na hatia inayostahili auawe, walimwomba Pilato amhukumu auawe. \t ܘܟܕ ܠܐ ܐܫܟܚܘ ܥܠܬܐ ܕܡܘܬܐ ܡܕܡ ܫܐܠܘ ܡܢ ܦܝܠܛܘܤ ܕܢܩܛܠܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "naye tajiri anapaswa kufurahi anaposhushwa na Mungu. Maana tajiri atatoweka kama ua la porini. \t ܘܥܬܝܪܐ ܒܡܘܟܟܗ ܡܛܠ ܕܐܝܟ ܗܒܒܐ ܕܥܤܒܐ ܗܟܢܐ ܥܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hekalu likajaa moshi uliosababishwa na utukufu na nguvu ya Mungu, na hakuna mtu aliyeweza kuingia Hekaluni mpaka mwisho wa mabaa makubwa saba ya wale malaika saba. \t ܘܐܬܡܠܝ ܗܝܟܠܐ ܡܢ ܬܢܢܐ ܕܬܫܒܘܚܬܗ ܕܐܠܗܐ ܘܡܢ ܚܝܠܗ ܘܠܝܬ ܕܡܨܐ ܗܘܐ ܠܡܥܠ ܠܗܝܟܠܐ ܥܕܡܐ ܕܢܫܬܡܠܝܢ ܫܒܥ ܡܚܘܢ ܕܫܒܥܐ ܡܠܐܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nami nimefanywa kuwa mtumishi wa kanisa kufuatana na mpango wake Mungu ambao alinikabidhi kwa faida yenu. Mpango wenyewe ni kuutangaza kwa ukamilifu ujumbe wake, \t ܗܝ ܕܐܢܐ ܗܘܝܬ ܡܫܡܫܢܗ ܐܝܟ ܡܕܒܪܢܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܕܐܬܝܗܒܬ ܠܝ ܒܟܘܢ ܕܐܫܡܠܐ ܡܠܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "walikwisha onja wema wa neno la Mungu na nguvu za ulimwengu ujao, \t ܘܛܥܡܘ ܡܠܬܐ ܛܒܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܚܝܠܐ ܕܥܠܡܐ ܕܥܬܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, ninyi mmepatwa na mambo yaleyale yaliyoyapata makanisa ya Mungu kule Yudea, mambo yaliyowapata watu walio wake Kristo Yesu. Ninyi mlidhulumiwa na wananchi wenzenu kama vile wao walivyodhulumiwa na wenzao Wayahudi, \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܐܚܝ ܐܬܕܡܝܬܘܢ ܠܥܕܬܐ ܕܐܠܗܐ ܕܒܝܗܘܕ ܗܠܝܢ ܕܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܗܟܢ ܤܝܒܪܬܘܢ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܒܢܝ ܫܪܒܬܟܘܢ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܗܢܘܢ ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msisahau kuwakaribisha wageni; maana kwa kufanya hivyo watu wengine walipata kuwakaribisha malaika bila kujua. \t ܘܪܚܡܬܐ ܕܐܟܤܢܝܐ ܠܐ ܬܛܥܘܢ ܒܗܕܐ ܓܝܪ ܫܘܘ ܐܢܫܐ ܕܟܕ ܠܐ ܪܓܝܫܝܢ ܢܩܒܠܘܢ ܡܠܐܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hao wafuasi wawili wakawajulisha yale yaliyowapata njiani, na jinsi walivyomtambua katika kumega mkate. \t ܘܐܦ ܗܢܘܢ ܐܫܬܥܝܘ ܐܝܠܝܢ ܕܗܘܝ ܒܐܘܪܚܐ ܘܐܝܟܢܐ ܐܬܝܕܥ ܠܗܘܢ ܟܕ ܩܨܐ ܠܚܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana wenyeji wa Yerusalemu na wakuu wao hawakumtambua yeye kuwa Mwokozi. Wala hawakuelewa maneno ya manabii yanayosomwa kila Sabato. Hata hivyo, waliyafanya maneno ya manabii yatimie kwa kumhukumu Yesu adhabu ya kifo. \t ܗܠܝܢ ܓܝܪ ܥܡܘܪܐ ܕܐܘܪܫܠܡ ܘܪܫܢܝܗܘܢ ܠܐ ܐܪܓܫܘ ܒܗ ܐܦܠܐ ܒܟܬܒܐ ܕܢܒܝܐ ܕܡܬܩܪܝܢ ܒܟܠ ܫܒܐ ܐܠܐ ܕܢܘܗܝ ܘܫܠܡܘ ܗܠܝܢ ܕܟܬܝܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakati mnao huo mwanga uaminini ili mpate kuwa watu wa mwanga.\" Baada ya kusema maneno hayo, Yesu alikwenda zake na kujificha mbali nao. \t ܥܕ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܢܘܗܪܐ ܗܝܡܢܘ ܒܢܘܗܪܐ ܕܒܢܘܗܝ ܕܢܘܗܪܐ ܬܗܘܘܢ ܗܠܝܢ ܡܠܠ ܝܫܘܥ ܘܐܙܠ ܐܬܛܫܝ ܡܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo, wale watu walikuwa wanamngoja Zakariya huku wakishangaa juu ya kukawia kwake Hekaluni. \t ܥܡܐ ܕܝܢ ܩܐܡ ܗܘܐ ܘܡܤܟܐ ܠܙܟܪܝܐ ܘܬܡܝܗܝܢ ܗܘܘ ܥܠ ܬܘܚܪܬܗ ܕܒܗܝܟܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nisalimieni Apele ambaye uaminifu wake kwa Kristo umethibitishwa. Salamu zangu kwa wote walio nyumbani mwa Aristobulo. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܐܦܠܐ ܓܒܝܐ ܒܡܪܢ ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܒܢܝ ܒܝܬܗ ܕܐܪܤܛܒܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, ahadi ile ilikuwa kwa ajili yenu, kwa ajili ya watoto wenu, kwa ajili ya wote wanaokaa mbali; na kwa ajili ya kila mtu ambaye Bwana Mungu wetu atamwita kwake.\" \t ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܗܘܐ ܫܘܘܕܝܐ ܘܠܒܢܝܟܘܢ ܘܠܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܪܚܝܩܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܗܘ ܐܠܗܐ ܢܩܪܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakawa wanazungumza juu ya hayo yote yaliyotukia. \t ܘܗܢܘܢ ܡܡܠܠܝܢ ܗܘܘ ܚܕ ܥܡ ܚܕ ܥܠ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܕܓܕܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akawaambia, \"Na bado hamjaelewa?\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܝܟܘ ܠܐ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܡܤܬܟܠܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama watoto wa Mungu wenye utii, msikubali kamwe kufuata tena tamaa mbaya mlizokuwa nazo wakati mlipokuwa wajinga. \t ܐܝܟ ܒܢܝܐ ܡܫܬܡܥܢܐ ܘܠܐ ܬܫܬܘܬܦܘܢ ܬܘܒ ܠܪܓܝܓܬܟܘܢ ܩܕܡܝܬܐ ܐܝܠܝܢ ܕܪܓܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܕܠܐ ܒܝܕܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo yule ofisa alikuta meli moja ya Aleksandria iliyokuwa inakwenda Italia, na hivyo akatupandisha ndani. \t ܘܐܫܟܚ ܬܡܢ ܩܢܛܪܘܢܐ ܐܠܦܐ ܡܢ ܐܠܟܤܢܕܪܝܐ ܕܐܙܠܐ ܗܘܬ ܠܐܝܛܠܝܐ ܘܐܘܬܒܢ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zabibu zikakamuliwa ndani ya hilo shinikizo lililoko nje ya mji, na damu ikatoka katika shinikizo hilo mtiririko mrefu kiasi cha mita mia tatu na kina chake kiasi cha mita mia mbili. \t ܘܐܬܬܕܝܫܬ ܡܥܨܪܬܐ ܠܒܪ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ ܘܢܦܩ ܕܡܐ ܡܢ ܡܥܨܪܬܐ ܥܕܡܐ ܠܦܓܘܕܐ ܕܪܟܫܐ ܥܠ ܐܠܦ ܘܡܐܬܝܢ ܐܤܛܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sasa anayetenda mabaya na aendelee kutenda mabaya, na aliye mchafu aendelee kuwa mchafu. Mwenye kutenda mema na azidi kutenda mema, na aliye mtakatifu na azidi kuwa mtakatifu.\" \t ܘܕܡܥܘܠ ܬܘܒ ܢܥܘܠ ܘܕܨܥ ܬܘܒ ܢܨܛܥܨܥ ܘܙܕܝܩܐ ܬܘܒ ܢܥܒܕ ܙܕܝܩܘܬܐ ܘܩܕܝܫܐ ܬܘܒ ܢܬܩܕܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko tuliwakuta ndugu kadhaa ambao walituomba tukae nao kwa juma moja. Hivi ndivyo tulivyopata kufika Roma. \t ܘܐܫܟܚܢ ܬܡܢ ܐܚܐ ܘܒܥܘ ܡܢܢ ܘܗܘܝܢ ܠܘܬܗܘܢ ܝܘܡܬܐ ܫܒܥܐ ܘܗܝܕܝܢ ܐܙܠܢ ܠܪܗܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, kama mtu hawezi kujizuia basi, na aoe; maana ni afadhali zaidi kuoa kuliko kuwaka tamaa. \t ܐܢ ܠܐ ܕܝܢ ܡܤܝܒܪܝܢ ܢܙܕܘܓܘܢ ܦܩܚ ܓܝܪ ܠܡܤܒ ܐܢܬܬܐ ܛܒ ܡܢ ܕܠܡܐܩܕ ܒܪܓܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akisha watoa nje huwatangulia mbele nao kondoo humfuata, kwani wanaijua sauti yake. \t ܘܡܐ ܕܐܦܩ ܥܢܗ ܩܕܡܝܗ ܐܙܠ ܘܥܪܒܘܗܝ ܕܝܠܗ ܐܙܠܝܢ ܒܬܪܗ ܡܛܠ ܕܝܕܥܝܢ ܩܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, mkitaka kuona mfano wa subira na uvumilivu katika mateso, fikirini juu ya manabii ambao walinena kwa jina la Bwana. \t ܕܡܘܬܐ ܠܢܒܝܐ ܤܒܘ ܠܟܘܢ ܐܚܝ ܠܡܓܪܬ ܪܘܚܐ ܕܐܘܠܨܢܝܟܘܢ ܗܢܘܢ ܕܡܠܠܘ ܒܫܡܗ ܕܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaondoka pamoja na wanafunzi wake, akamfuata. \t ܘܩܡ ܝܫܘܥ ܘܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܙܠܘ ܒܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ndugu zangu wapenzi, simameni imara na thabiti. Endeleeni daima kuwa na bidii katika kazi ya Bwana, mkijua kwamba kazi mnayofanya katika utumishi wa Bwana haitapotea bure. \t ܡܟܝܠ ܐܚܝ ܘܚܒܝܒܝ ܗܘܘ ܡܫܪܪܝܢ ܘܠܐ ܬܗܘܘܢ ܡܬܙܝܥܝܢ ܐܠܐ ܗܘܘ ܡܬܝܬܪܝܢ ܒܟܠܙܒܢ ܒܥܒܕܗ ܕܡܪܝܐ ܟܕ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܥܡܠܟܘܢ ܠܐ ܗܘܐ ܤܪܝܩ ܒܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, unataka kuniua kama ulivyomuua yule Mmisri jana? \t ܕܠܡܐ ܠܡܩܛܠܢܝ ܒܥܐ ܐܢܬ ܐܝܟ ܕܩܛܠܬ ܐܬܡܠܝ ܠܡܨܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wazazi wake walisema hivyo kwa sababu waliwaogopa viongozi wa Wayahudi kwani viongozi hao walikuwa wamepatana ya kwamba mtu yeyote atakayekiri kwamba Yesu ni Kristo atafukuzwa nje ya sunagogi. \t ܗܠܝܢ ܐܡܪܘ ܐܒܗܘܗܝ ܡܛܠ ܕܕܚܠܝܢ ܗܘܘ ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܦܤܩܘ ܗܘܘ ܓܝܪ ܝܗܘܕܝܐ ܕܐܢ ܐܢܫ ܢܘܕܐ ܒܗ ܕܡܫܝܚܐ ܗܘ ܢܦܩܘܢܝܗܝ ܡܢ ܟܢܘܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo nilikutumia ujumbe bila kuchelewa, nawe umefanya vyema kuja. Sasa, sisi tuko mbele ya Mungu, kusikiliza chochote ambacho bwana amekuamuru kusema.\" \t ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܫܕܪܬ ܠܘܬܟ ܘܐܢܬ ܫܦܝܪ ܥܒܕܬ ܕܐܬܝܬ ܘܗܐ ܚܢܢ ܟܠܢ ܩܕܡܝܟ ܘܨܒܝܢܢ ܕܢܫܡܥ ܟܠ ܡܐ ܕܐܬܦܩܕ ܠܟ ܡܢ ܠܘܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Saa hiyohiyo alijitokeza mbele, akamshukuru Mungu, na akaeleza habari za huyo mtoto kwa watu wote waliokuwa wanatazamia ukombozi wa Yerusalemu. \t ܘܐܦ ܗܝ ܩܡܬ ܒܗ ܒܫܥܬܐ ܘܐܘܕܝܬ ܠܡܪܝܐ ܘܡܡܠܠܐ ܗܘܬ ܥܠܘܗܝ ܥܡ ܟܠܢܫ ܕܡܤܟܐ ܗܘܐ ܠܦܘܪܩܢܗ ܕܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Manabii wameandika: Watu wote watafundishwa na Mungu. Kila mtu anayemsikia Baba na kujifunza kutoka kwake, huja kwangu. \t ܟܬܝܒ ܓܝܪ ܒܢܒܝܐ ܕܢܗܘܘܢ ܟܠܗܘܢ ܡܠܦܐ ܕܐܠܗܐ ܟܠ ܡܢ ܕܫܡܥ ܗܟܝܠ ܡܢ ܐܒܐ ܘܝܠܦ ܡܢܗ ܐܬܐ ܠܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, alipowaona watu, makundi kwa makundi, aliwaonea huruma kwa sababu walikuwa hoi na wenye wasiwasi kama kondoo wasio na mchungaji. \t ܟܕ ܚܙܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܠܟܢܫܐ ܐܬܪܚܡ ܥܠܝܗܘܢ ܕܠܐܝܢ ܗܘܘ ܘܫܪܝܢ ܐܝܟ ܥܪܒܐ ܕܠܝܬ ܠܗܘܢ ܪܥܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa! \t ܘܕܐܝܬ ܠܗ ܐܕܢܐ ܢܫܡܥ ܡܢܐ ܪܘܚܐ ܡܡܠܠ ܠܥܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu aliye maskini anapaswa kufurahi wakati Mungu anapomkweza, \t ܢܫܬܒܗܪ ܕܝܢ ܐܚܐ ܡܟܝܟܐ ܒܪܘܡܪܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wakati umetimia, na Ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema!\" \t ܘܐܡܪ ܫܠܡ ܠܗ ܙܒܢܐ ܘܡܛܬ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܬܘܒܘ ܘܗܝܡܢܘ ܒܤܒܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mose alistaajabu sana kuona jambo hilo hata akasogea karibu ili achungulie; lakini alisikia sauti ya Bwana: \t ܘܟܕ ܚܙܐ ܡܘܫܐ ܐܬܕܡܪ ܒܚܙܘܐ ܘܟܕ ܐܬܩܪܒ ܕܢܚܙܐ ܐܡܪ ܠܗ ܡܪܝܐ ܒܩܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi twanena daima kama atakavyo Mungu kwani yeye alituona kwamba tunafaa, akatukabidhi hii Habari Njema. Si nia yetu kuwapendeza watu hata kidogo, bali twataka kumpendeza Mungu ambaye anajua mioyo yetu mpaka ndani. \t ܐܠܐ ܐܝܟ ܡܐ ܕܒܩܝܢܢ ܠܐܠܗܐ ܕܬܬܗܝܡܢ ܤܒܪܬܗ ܗܟܢܐ ܡܡܠܠܝܢܢ ܠܐ ܐܝܟ ܕܠܒܢܝ ܐܢܫܐ ܢܫܦܪ ܐܠܐ ܠܐܠܗܐ ܗܘ ܕܒܩܐ ܠܒܘܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikuwa akitazamia kuja kwa Ufalme wa Mungu. Ingawa alikuwa mmoja wa Baraza kuu la Wayahudi, hakuwa amekubaliana nao katika kitendo chao. \t ܗܢܐ ܠܐ ܫܠܡ ܗܘܐ ܠܨܒܝܢܗܘܢ ܘܠܤܘܥܪܢܗܘܢ ܘܡܤܟܐ ܗܘܐ ܠܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kwa maji hayo, yaani yale maji ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa. \t ܗܠܝܢ ܕܒܐܝܕܝܗܘܢ ܥܠܡܐ ܕܗܝܕܝܢ ܛܦ ܒܡܝܐ ܘܐܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani Abrahamu alimtii Mungu alipoitwa aende katika nchi ambayo Mungu angempa iwe yake. Ingawa hakujua alikokuwa anakwenda, Abrahamu alihama. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܐܒܪܗܡ ܟܕ ܐܬܩܪܝ ܐܫܬܡܥ ܕܢܦܘܩ ܠܐܬܪܐ ܗܘ ܕܥܬܝܕ ܗܘܐ ܕܢܤܒ ܠܝܪܬܘܬܐ ܘܢܦܩ ܟܕ ܠܐ ܝܕܥ ܗܘܐ ܠܐܝܟܐ ܐܙܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu anaweza kusema: \"Barua za Paulo ni kali na zenye maneno mazito, lakini yeye mwenyewe anapokuwa pamoja nasi ni mtu dhaifu, na hata anapoongea maneno yake ni kama si kitu.\" \t ܡܛܠ ܕܐܝܬ ܐܢܫܐ ܕܐܡܪܝܢ ܕܐܓܪܬܐ ܝܩܝܪܢ ܘܚܤܝܢܢ ܡܐܬܝܗ ܕܝܢ ܕܓܘܫܡܐ ܟܪܝܗ ܘܡܠܬܗ ܫܝܛܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu yetu mpenzi Tukiko, mfanyakazi mwaminifu na mtumishi mwenzetu katika kazi ya Bwana, atawapeni habari zangu zote. \t ܡܕܡ ܕܠܘܬܝ ܕܝܢ ܢܘܕܥܟܘܢ ܛܘܟܝܩܘܤ ܐܚܐ ܚܒܝܒܐ ܘܡܫܡܫܢܐ ܡܗܝܡܢܐ ܘܟܢܬܢ ܒܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, watu wakataka kumtia nguvuni, lakini hakuna mtu aliyethubutu kumkamata kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado. \t ܘܒܥܘ ܠܡܐܚܕܗ ܘܠܐ ܐܢܫ ܐܪܡܝ ܥܠܘܗܝ ܐܝܕܝܐ ܡܛܠ ܕܠܐ ܥܕܟܝܠ ܐܬܬ ܗܘܬ ܫܥܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Pilato akaamuru Yesu achukuliwe, apigwe viboko. \t ܗܝܕܝܢ ܦܝܠܛܘܤ ܢܓܕܗ ܠܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa sisi tumepanda mbegu ya kiroho kati yenu, je, ni jambo kubwa tukichuma kwenu faida ya kidunia? \t ܐܢ ܚܢܢ ܕܪܘܚܐ ܙܪܥܢ ܒܟܘܢ ܪܒܐ ܗܝ ܐܢ ܚܢܢ ܡܢܟܘܢ ܕܦܓܪܐ ܢܚܨܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hii haina maana kwamba yupo mtu aliyemwona Baba, isipokuwa yule aliyetoka kwa Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba. \t ܠܐ ܗܘܐ ܕܚܙܐ ܐܢܫ ܠܐܒܐ ܐܠܐ ܡܢ ܕܡܢ ܐܠܗܐ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘ ܗܘ ܚܙܐ ܠܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alimjalia Stefano neema tele, akampa nguvu nyingi hata akawa anatenda miujiza na maajabu kati ya watu. \t ܐܤܛܦܢܘܤ ܕܝܢ ܡܠܐ ܗܘܐ ܛܝܒܘܬܐ ܘܚܝܠܐ ܘܥܒܕ ܗܘܐ ܐܬܘܬܐ ܘܬܕܡܪܬܐ ܒܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika mbigili? La! \t ܡܢ ܦܐܪܝܗܘܢ ܕܝܢ ܬܕܥܘܢ ܐܢܘܢ ܠܡܐ ܠܩܛܝܢ ܡܢ ܟܘܒܐ ܥܢܒܐ ܐܘ ܡܢ ܩܘܪܛܒܐ ܬܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "bali mlikombolewa kwa damu tukufu ya Kristo, ambaye alikuwa kama mwana kondoo asiye na dosari wala doa. \t ܐܠܐ ܒܕܡܐ ܝܩܝܪܐ ܕܐܡܪܐ ܕܡܘܡܐ ܘܛܘܠܫܐ ܠܝܬ ܒܗ ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilipokuwa nao, mimi niliwaweka salama kwa nguvu ya jina lako ulilonipa. Mimi nimewalinda, wala hakuna hata mmoja wao aliyepotea, isipokuwa yule aliyelazimika kupotea ili Maandiko Matakatifu yapate kutimia. \t ܟܕ ܥܡܗܘܢ ܗܘܝܬ ܒܥܠܡܐ ܐܢܐ ܢܛܪ ܗܘܝܬ ܠܗܘܢ ܒܫܡܟ ܠܐܝܠܝܢ ܕܝܗܒܬ ܠܝ ܢܛܪܬ ܘܐܢܫ ܡܢܗܘܢ ܠܐ ܐܒܕ ܐܠܐ ܒܪܗ ܕܐܒܕܢܐ ܕܢܬܡܠܐ ܟܬܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tukimwacha tu watu wote watamwamini, nao Waroma watakuja kuliharibu Hekalu letu na taifa letu!\" \t ܘܐܢ ܫܒܩܝܢ ܚܢܢ ܠܗ ܗܟܢܐ ܟܠܗܘܢ ܐܢܫܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܒܗ ܘܐܬܝܢ ܪܗܘܡܝܐ ܫܩܠܝܢ ܐܬܪܢ ܘܥܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipofika karibu na Yerusalemu, katika mteremko wa mlima wa Mizeituni, umati wote na wanafunzi wake, wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona; \t ܘܟܕ ܩܪܒ ܠܡܚܬܬܐ ܕܛܘܪܐ ܕܒܝܬ ܙܝܬܐ ܫܪܝܘ ܟܠܗ ܟܢܫܐ ܕܬܠܡܝܕܐ ܚܕܝܢ ܘܡܫܒܚܝܢ ܠܐܠܗܐ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܥܠ ܟܠ ܚܝܠܐ ܕܚܙܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kama mtu hawezi kuongoza vema nyumba yake, atawezaje kulitunza kanisa la Mungu? \t ܐܢ ܓܝܪ ܒܝܬܐ ܕܢܦܫܗ ܠܐ ܝܕܥ ܕܢܕܒܪ ܫܦܝܪ ܐܝܟܢܐ ܡܫܟܚ ܥܕܬܗ ܕܐܠܗܐ ܕܢܕܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, viongozi wa Wayahudi wakasema, \"Je, atajiua? Mbona anasema: Niendako ninyi hamwezi kufika?\" \t ܐܡܪܝܢ ܝܗܘܕܝܐ ܠܡܐ ܟܝ ܢܦܫܗ ܩܛܠ ܕܐܡܪ ܕܐܝܟܐ ܕܐܢܐ ܐܙܠ ܐܢܐ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa akipanda, nyingine zilianguka njiani, ndege wakaja wakazila. \t ܘܟܕ ܙܪܥ ܐܝܬ ܕܢܦܠ ܥܠ ܝܕ ܐܘܪܚܐ ܘܐܬܬ ܦܪܚܬܐ ܘܐܟܠܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena Maandiko yasema: \"Jiwe hilo ni jiwe la kujikwaa, mwamba wa kuwaangusha watu.\" Watu hujikwaa kwa sababu hawauamini ule ujumbe; na ndivyo walivyopangiwa tangu mwanzo. \t ܟܐܦܐ ܗܘ ܕܬܘܩܠܬܐ ܘܐܒܢܐ ܕܟܫܠܐ ܘܡܬܬܩܠܝܢ ܒܗ ܒܕܠܐ ܡܬܛܦܝܤܝܢ ܠܡܠܬܐ ܕܠܗܕܐ ܤܝܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wakati Galio alipokuwa mkuu wa mkoa wa Akaya, Wayahudi walimvamia Paulo kwa pamoja na kumpeleka mahakamani. \t ܘܟܕ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܓܐܠܝܘܢ ܐܢܬܘܦܛܘܤ ܕܐܟܐܝܐ ܐܬܟܢܫܘ ܐܟܚܕܐ ܝܗܘܕܝܐ ܥܠ ܦܘܠܘܤ ܘܐܝܬܝܘܗܝ ܩܕܡ ܒܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye huliondoa ndani yangu kila tawi lisilozaa matunda, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi. \t ܟܠ ܫܒܫܬܐ ܕܒܝ ܦܐܪܐ ܠܐ ܝܗܒܐ ܫܩܠ ܠܗ ܘܐܝܕܐ ܕܝܗܒܐ ܦܐܪܐ ܡܕܟܐ ܠܗ ܕܦܐܪܐ ܤܓܝܐܐ ܬܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipoiona hiyo nyota, walifurahi mno. \t ܟܕ ܕܝܢ ܚܙܐܘܗܝ ܠܟܘܟܒܐ ܚܕܝܘ ܚܕܘܬܐ ܪܒܬܐ ܕܛܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa anakwenda Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani, na njiani akawaambia, \t ܥܬܝܕ ܗܘܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܕܢܤܩ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܕܒܪ ܠܬܪܥܤܪ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܒܝܢܘܗܝ ܘܠܗܘܢ ܒܐܘܪܚܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, chochote mfanyacho iwe ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu. \t ܐܢ ܐܟܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܟܝܠ ܘܐܢ ܫܬܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܐܢ ܡܕܡ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܟܠܡܕܡ ܠܬܫܒܘܚܬܐ ܕܐܠܗܐ ܗܘܝܬܘܢ ܥܒܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtakula na kunywa mezani pangu katika ufalme wangu, na mtaketi katika viti vya enzi kuyahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli. \t ܕܬܐܟܠܘܢ ܘܬܫܬܘܢ ܥܠ ܦܬܘܪܐ ܕܡܠܟܘܬܐ ܕܝܠܝ ܘܬܬܒܘܢ ܥܠ ܟܘܪܤܘܬܐ ܘܬܕܘܢܘܢ ܬܪܥܤܪ ܫܒܛܐ ܕܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Ibilisi akamchukua mpaka juu ya mlima mrefu, akamwonyesha falme zote za ulimwengu na fahari zake, \t ܬܘܒ ܕܒܪܗ ܐܟܠܩܪܨܐ ܠܛܘܪܐ ܕܛܒ ܪܡ ܘܚܘܝܗ ܟܠܗܝܢ ܡܠܟܘܬܐ ܕܥܠܡܐ ܘܫܘܒܚܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamjibu, \"Uturuhusu tuketi mmoja upande wako wa kulia na mwingine upande wako wa kushoto katika utukufu wa Ufalme wako.\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܗܒ ܠܢ ܕܚܕ ܢܬܒ ܡܢ ܝܡܝܢܟ ܘܚܕ ܡܢ ܤܡܠܟ ܒܫܘܒܚܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa nini basi, hukuiweka fedha yangu benki, nami ningeichukua pamoja na faida baada ya kurudi kwangu? \t ܠܡܢܐ ܠܐ ܝܗܒܬ ܟܤܦܝ ܥܠ ܦܬܘܪܐ ܘܐܢܐ ܐܬܐ ܗܘܝܬ ܬܒܥ ܠܗ ܥܡ ܪܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo nakubali kwa radhi udhaifu, madharau, taabu, udhalimu na mateso, kwa ajili ya Kristo; maana ninapokuwa dhaifu, ndipo ninapokuwa na nguvu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܨܒܐ ܐܢܐ ܒܟܘܪܗܢܐ ܒܨܥܪܐ ܒܐܘܠܨܢܐ ܒܪܕܘܦܝܐ ܒܚܒܘܫܝܐ ܕܥܠ ܐܦܝ ܡܫܝܚܐ ܐܡܬܝ ܕܟܪܝܗ ܐܢܐ ܓܝܪ ܗܝܕܝܢ ܗܘ ܚܝܠܬܢ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao pia wakaenda wakawaambia wenzao. Hata hivyo hawakuamini. \t ܘܗܢܘܢ ܐܙܠܘ ܐܡܪܘ ܠܫܪܟܐ ܐܦ ܠܐ ܠܗܢܘܢ ܗܝܡܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Pilato akawafungulia Baraba kutoka gerezani, lakini akamtoa Yesu asulubiwe. \t ܗܝܕܝܢ ܫܪܐ ܠܗܘܢ ܠܒܪ ܐܒܐ ܘܢܓܕ ܒܦܪܓܠܐ ܠܝܫܘܥ ܘܐܫܠܡܗ ܕܢܙܕܩܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini baadhi ya waumini waliotoka Kupro na Kurene, walikwenda Antiokia wakautangaza huo ujumbe kwa watu wa mataifa mengine wakiwahubiria ile Habari Njema juu ya Bwana Yesu. \t ܐܝܬ ܗܘܘ ܕܝܢ ܐܢܫܐ ܡܢܗܘܢ ܡܢ ܩܘܦܪܘܤ ܘܡܢ ܩܘܪܝܢܐ ܗܠܝܢ ܥܠܘ ܗܘܘ ܠܐܢܛܝܘܟܝ ܘܡܡܠܠܝܢ ܗܘܘ ܥܡ ܝܘܢܝܐ ܘܡܤܒܪܝܢ ܗܘܘ ܥܠ ܡܪܢ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza, lakini mtu atakayepoteza maisha yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya Habari Njema, atayaokoa. \t ܟܠ ܡܢ ܕܨܒܐ ܓܝܪ ܕܢܚܐ ܢܦܫܗ ܢܘܒܕܝܗ ܘܟܠ ܕܢܘܒܕ ܢܦܫܗ ܡܛܠܬܝ ܘܡܛܠ ܤܒܪܬܝ ܢܚܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Manabii wote, kuanzia Samweli na wale waliomfuata, walitangaza habari za mambo haya ambayo yamekuwa yakitendeka siku hizi. \t ܘܢܒܝܐ ܟܠܗܘܢ ܡܢ ܫܡܘܐܝܠ ܘܐܝܠܝܢ ܕܡܢ ܒܬܪܗ ܗܘܘ ܡܠܠܘ ܘܐܟܪܙܘ ܥܠ ܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye hakusema hivyo kwa hiari yake mwenyewe, bali kwa vile alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo, alibashiri kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa lao; \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܡܢ ܨܒܘܬ ܢܦܫܗ ܠܐ ܐܡܪ ܐܠܐ ܡܛܠ ܕܪܒ ܟܗܢܐ ܗܘܐ ܕܗܝ ܫܢܬܐ ܐܬܢܒܝ ܕܥܬܝܕ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܕܢܡܘܬ ܚܠܦ ܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.\" \t ܐܬܐ ܓܝܪ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܕܢܒܥܐ ܘܢܚܐ ܗܘ ܡܕܡ ܕܐܒܝܕ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu akasema, \"Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule aliyenituma.\" \t ܡܢ ܕܠܟܘܢ ܫܡܥ ܠܝ ܫܡܥ ܘܡܢ ܕܠܟܘܢ ܛܠܡ ܠܝ ܗܘ ܛܠܡ ܘܡܢ ܕܠܝ ܛܠܡ ܛܠܡ ܠܡܢ ܕܫܠܚܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Utazikunjakunja kama koti, nazo zitabadilishwa kama vazi. Lakini wewe ni yuleyule daima, na maisha yako hayatakoma.\" \t ܘܐܝܟ ܬܟܤܝܬܐ ܬܥܘܦ ܐܢܘܢ ܗܢܘܢ ܢܬܚܠܦܘܢ ܘܐܢܬ ܐܝܟ ܕܐܝܬܝܟ ܐܢܬ ܘܫܢܝܟ ܠܐ ܢܓܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hamwelewi kwamba kila kinachoingia kinywani huenda tumboni na baadaye hutupwa nje chooni? \t ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܡܕܡ ܕܥܐܠ ܠܦܘܡܐ ܠܟܪܤܐ ܗܘ ܐܙܠ ܘܡܢ ܬܡܢ ܒܬܕܟܝܬܐ ܡܫܬܕܐ ܠܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni kweli, popote ambapo hii Habari Njema itahubiriwa ulimwenguni, kitendo hiki alichofanya mama huyu kitatajwa kwa kumkumbuka yeye.\" \t ܘܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܝܟܐ ܕܬܬܟܪܙ ܤܒܪܬܝ ܗܕܐ ܒܟܠܗ ܥܠܡܐ ܢܬܡܠܠ ܐܦ ܡܕܡ ܕܥܒܕܬ ܗܕܐ ܠܕܘܟܪܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ni nani atakayeketi kulia au kushoto kwangu si wajibu wangu kupanga, bali nafasi hizo watapewa wale waliotayarishiwa.\" \t ܕܬܬܒܘܢ ܕܝܢ ܡܢ ܝܡܝܢܝ ܘܡܢ ܤܡܠܝ ܠܐ ܗܘܬ ܕܝܠܝ ܠܡܬܠ ܐܠܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܛܝܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, huyo ndugu yako dhaifu ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake, atapotea kwa sababu ya ujuzi wako. \t ܘܐܒܕ ܠܗ ܒܝܕܥܬܟ ܕܝܠܟ ܗܘ ܐܝܢܐ ܕܡܪܥ ܕܡܛܠܬܗ ܡܝܬ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akamwambia aende zake upesi na kumwonya vikali, \t ܘܟܐܐ ܒܗ ܘܐܦܩܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini atendaye dhambi ni wa Ibilisi, maana Ibilisi ametenda dhambi tangu mwanzo. Lakini Mwana wa Mungu alikuja duniani kuiharibu kazi ya Ibilisi. \t ܗܘ ܕܤܥܪ ܚܛܝܬܐ ܡܢ ܤܛܢܐ ܗܘ ܡܛܠ ܕܡܢ ܪܫܝܬܐ ܗܘ ܤܛܢܐ ܚܛܝܐ ܗܘ ܘܡܛܠ ܗܢܐ ܐܬܚܙܝ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܕܢܫܪܐ ܥܒܕܘܗܝ ܕܤܛܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini tangu sasa, Mwana wa Mtu atakuwa ameketi upande wa kulia wa Mungu Mwenyezi.\" \t ܡܢ ܗܫܐ ܢܗܘܐ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܝܬܒ ܡܢ ܝܡܝܢܐ ܕܚܝܠܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu akaendelea kusema: \"Taifa moja litapigana na taifa lingine, na ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine. \t ܢܩܘܡ ܓܝܪ ܥܡܐ ܥܠ ܥܡܐ ܘܡܠܟܘ ܥܠ ܡܠܟܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zaidi ya hayo, ninyi mnajua tumo katika wakati gani: sasa ndio wakati wa kuamka usingizini; naam, wokovu wetu u karibu zaidi sasa kuliko wakati ule tulipoanza kuamini. \t ܘܐܦ ܗܕܐ ܕܥܘ ܕܙܒܢܐ ܗܘ ܘܫܥܬܐ ܗܝ ܡܟܝܠ ܕܢܬܥܝܪ ܡܢ ܫܢܬܢ ܗܫܐ ܗܘ ܓܝܪ ܐܬܩܪܒܘ ܠܢ ܚܝܝܢ ܝܬܝܪ ܡܢ ܕܟܕ ܗܝܡܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafarisayo walikuja, wakaanza kujadiliana na Yesu. Kwa kumjaribu, wakamtaka awafanyie ishara kuonyesha anayo idhini kutoka mbinguni. \t ܘܢܦܩܘ ܦܪܝܫܐ ܘܫܪܝܘ ܠܡܒܥܐ ܥܡܗ ܘܫܐܠܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܐܬܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܟܕ ܡܢܤܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.\" \t ܘܤܪܝܩܐܝܬ ܕܚܠܝܢ ܠܝ ܟܕ ܡܠܦܝܢ ܝܘܠܦܢܐ ܕܦܘܩܕܢܐ ܕܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa vile sasa ninyi ni wana, Mungu amemtuma Roho wa Mwanae mioyoni mwenu, Roho ambaye hulia \"Aba,\" yaani \"Baba.\" \t ܘܕܐܝܬܝܟܘܢ ܕܝܢ ܒܢܝܐ ܫܕܪ ܐܠܗܐ ܪܘܚܐ ܕܒܪܗ ܠܠܒܘܬܟܘܢ ܗܝ ܕܩܪܝܐ ܐܒܐ ܐܒܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nyingine zilianguka penye mawe, na baada ya kuota zikanyauka kwa kukosa maji. \t ܘܐܚܪܢܐ ܢܦܠ ܥܠ ܫܘܥܐ ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܝܥܐ ܘܕܠܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܬܠܝܠܘܬܐ ܝܒܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje arusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika. \t ܘܫܕܪ ܠܥܒܕܘܗܝ ܕܢܩܪܘܢ ܠܡܙܡܢܐ ܠܡܫܬܘܬܐ ܘܠܐ ܨܒܘ ܠܡܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akaenda kijijini kwake. Huko akawa anawafundisha watu katika sunagogi hata wakashangaa, wakasema, \"Huyu amepata wapi hekima hii na maajabu? \t ܘܐܬܐ ܠܡܕܝܢܬܗ ܘܡܠܦ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܒܟܢܘܫܬܗܘܢ ܐܝܟܢܐ ܕܢܬܗܪܘܢ ܘܢܐܡܪܘܢ ܐܝܡܟܐ ܠܗ ܠܗܢܐ ܚܟܡܬܐ ܗܕܐ ܘܚܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye alituokoa, akatuita tuwe watu wake yeye mwenyewe, si kwa sababu ya matendo yetu wenyewe bali kwa sababu ya kusudi lake na neema yake. Alitujalia neema hiyo katika Kristo Yesu kabla mwanzo wa nyakati; \t ܗܘ ܕܐܚܝܢ ܘܩܪܢ ܒܩܪܝܢܐ ܩܕܝܫܐ ܠܘ ܐܝܟ ܥܒܕܝܢ ܐܠܐ ܐܝܟ ܨܒܝܢܗ ܘܛܝܒܘܬܗ ܗܝ ܕܐܬܝܗܒܬ ܠܢ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܢ ܩܕܡ ܙܒܢܐ ܕܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, katika mji ule kulikuwa na mama mmoja aliyekuwa anaishi maisha mabaya. Alipopata habari kwamba Yesu yuko nyumbani kwa huyo Mfarisayo, alichukua chupa ya alabasta yenye marashi. \t ܘܐܢܬܬܐ ܚܛܝܬܐ ܐܝܬ ܗܘܬ ܒܡܕܝܢܬܐ ܗܝ ܘܟܕ ܝܕܥܬ ܕܒܒܝܬܗ ܕܦܪܝܫܐ ܗܘ ܤܡܝܟ ܢܤܒܬ ܫܛܝܦܬܐ ܕܒܤܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu maana Roho huyo ni alama ya Mungu kwenu kwamba ninyi ni watu wake, na thibitisho kwamba siku itakuja ambapo Mungu atawakomboeni. \t ܘܠܐ ܬܗܘܘܢ ܡܥܝܩܝܢ ܠܪܘܚܐ ܩܕܝܫܬܐ ܕܐܠܗܐ ܕܐܬܚܬܡܬܘܢ ܒܗ ܠܝܘܡܐ ܕܦܘܪܩܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nawaandikieni, si kwa kuwa hamuujui ukweli, bali kwa sababu mnaujua; na pia mnajua kwamba uongo wowote haupatikani katika ukweli. \t ܠܐ ܟܬܒܬ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܠܫܪܪܐ ܐܠܐ ܕܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܘܕܟܠܗ ܕܓܠܘܬܐ ܠܐ ܗܘܬ ܡܢܗ ܡܢ ܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Yohane, niliyaona na kusikia mambo haya. Nilipokwisha sikia na kuona nikajitupa chini mbele ya miguu ya huyo malaika aliyenionyesha mambo hayo, nikataka kumwabudu. \t ܐܢܐ ܝܘܚܢܢ ܕܚܙܐ ܘܫܡܥ ܗܠܝܢ ܘܟܕ ܚܙܝܬ ܘܫܡܥܬ ܢܦܠܬ ܠܡܤܓܕ ܩܕܡ ܪܓܠܘܗܝ ܕܡܠܐܟܐ ܕܡܚܘܐ ܠܝ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini wasiwasi wa ulimwengu huu, anasa za mali na tamaa za kila namna huwaingia na kulisonga hilo neno, nao hawazai matunda. \t ܘܪܢܝܐ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܘܛܘܥܝܝ ܕܥܘܬܪܐ ܘܫܪܟܐ ܕܪܓܝܓܬܐ ܐܚܪܢܝܬܐ ܥܐܠܢ ܚܢܩܢ ܠܗ ܠܡܠܬܐ ܘܕܠܐ ܦܐܪܐ ܗܘܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama ukizaa matunda mwaka ujao, vema; la sivyo, basi utaweza kuukata.\" \t ܘܐܢ ܥܒܕܬ ܦܐܪܐ ܘܐܠܐ ܠܡܢܚܝ ܬܦܤܩܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huu ndio mwanga halisi, mwanga unaokuja ulimwenguni, na kuwaangazia watu wote. \t ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܓܝܪ ܢܘܗܪܐ ܕܫܪܪܐ ܕܡܢܗܪ ܠܟܠܢܫ ܕܐܬܐ ܠܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ole wenu viongozi vipofu! Ninyi mwasema ati mtu akiapa kwa Hekalu, kiapo hicho si kitu; lakini akiapa kwa dhahabu ya Hekalu, kiapo hicho kinamshika. \t ܘܝ ܠܟܘܢ ܢܓܘܕܐ ܤܡܝܐ ܕܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܡܢ ܕܝܡܐ ܒܗܝܟܠܐ ܠܐ ܗܘܐ ܡܕܡ ܡܢ ܕܝܢ ܕܝܡܐ ܒܕܗܒܐ ܕܒܗܝܟܠܐ ܚܐܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na hayo, mimi Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu kwa ajili yenu, namwomba Mungu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܢܐ ܦܘܠܘܤ ܐܤܝܪܐ ܐܢܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܥܠ ܐܦܝܟܘܢ ܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho; \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܢܗܘܐ ܐܢܫ ܒܩܐ ܢܦܫܗ ܘܗܝܕܝܢ ܐܟܠ ܡܢ ܠܚܡܐ ܗܢܐ ܘܫܬܐ ܡܢ ܟܤܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nitawaonyesheni yule ambaye ni lazima kumwogopa: mwogopeni yule ambaye baada ya kuua ana uwezo wa kumtupa mtu katika moto wa Jehanamu. Naam, ninawaambieni, mwogopeni huyo. \t ܐܚܘܝܟܘܢ ܕܝܢ ܡܢ ܡܢ ܬܕܚܠܘܢ ܡܢ ܗܘ ܕܡܢ ܒܬܪ ܕܩܛܠ ܫܠܝܛ ܠܡܪܡܝܘ ܒܓܗܢܐ ܐܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܡܢ ܗܢܐ ܕܚܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mimi niliye mfungwa kwa kuwa namtumikia Bwana, nawasihi muishi maisha yanayostahili wito mlioitiwa. \t ܒܥܐ ܐܢܐ ܗܟܝܠ ܡܢܟܘܢ ܐܢܐ ܐܤܝܪܐ ܒܡܪܢ ܕܬܗܠܟܘܢ ܐܝܟܢܐ ܕܝܐܐ ܠܩܪܝܢܐ ܕܐܬܩܪܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Petro alikuwa amesimama nje, karibu na mlango. Basi, huyo mwanafunzi mwingine aliyekuwa anajulikana kwa Kuhani Mkuu alitoka nje akasema na mjakazi, mngoja mlango, akamwingiza Petro ndani. \t ܫܡܥܘܢ ܕܝܢ ܩܐܡ ܗܘܐ ܠܒܪ ܠܘܬ ܬܪܥܐ ܘܢܦܩ ܗܘ ܬܠܡܝܕܐ ܐܚܪܢܐ ܕܝܕܥ ܗܘܐ ܠܗ ܪܒ ܟܗܢܐ ܘܐܡܪ ܠܢܛܪܬ ܬܪܥܐ ܘܐܥܠܗ ܠܫܡܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani hawa wote walipigana vita na wafalme, wakashinda. Walitenda mambo adili, wakapokea yale aliyoahidi Mungu. Walifunga vinywa vya simba, \t ܐܝܠܝܢ ܕܒܗܝܡܢܘܬܐ ܙܟܘ ܠܡܠܟܘܬܐ ܘܦܠܚܘ ܟܐܢܘܬܐ ܘܩܒܠܘ ܡܘܠܟܢܐ ܘܤܟܪܘ ܦܘܡܐ ܕܐܪܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na ndugu wa tatu vilevile. Mambo yakawa yaleyale kwa wote saba--wote walikufa bila kuacha watoto. \t ܘܕܬܠܬܐ ܬܘܒ ܢܤܒܗ ܘܗܟܘܬ ܘܐܦ ܫܒܥܬܝܗܘܢ ܘܡܝܬܘ ܘܠܐ ܫܒܩܘ ܒܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alijua bila kuambiwa na mtu kwamba wanafunzi wake walikuwa wananung'unika juu ya jambo hilo, akawauliza, \"Je, jambo hili linawafanya muwe na mashaka? \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܝܕܥ ܒܢܦܫܗ ܕܪܛܢܝܢ ܥܠ ܗܕܐ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܕܐ ܡܟܫܠܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Walimu wa Sheria na Mafarisayo wana mamlaka ya kufafanua Sheria ya Mose. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܥܠ ܟܘܪܤܝܐ ܕܡܘܫܐ ܝܬܒܘ ܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Rudi nyumbani ukaeleze yote Mungu aliyokutendea.\" Basi, yule mtu akaenda akitangaza kila mahali katika mji ule mambo yote Yesu aliyomtendea. \t ܗܦܘܟ ܠܒܝܬܟ ܘܐܫܬܥܐ ܡܕܡ ܕܥܒܕ ܠܟ ܐܠܗܐ ܘܐܙܠ ܘܡܟܪܙ ܗܘܐ ܒܟܠܗ ܡܕܝܢܬܐ ܡܕܡ ܕܥܒܕ ܠܗ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini anapaswa kuomba kwa imani bila mashaka yoyote. Mtu aliye na mashaka ni kama mawimbi ya bahari ambayo husukumwa na kutupwatupwa na upepo. \t ܢܫܐܠ ܕܝܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܟܕ ܠܐ ܡܬܦܠܓ ܗܘ ܓܝܪ ܕܡܬܦܠܓ ܕܡܐ ܠܓܠܠܐ ܕܝܡܐ ܕܫܓܫܐ ܠܗܘܢ ܪܘܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara tu Elisabeti aliposikia sauti ya Maria, mtoto mchanga tumboni mwake Elisabeti akaruka. Naye Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifiu, \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܫܡܥܬ ܐܠܝܫܒܥ ܫܠܡܗ ܕܡܪܝܡ ܕܨ ܥܘܠܐ ܒܟܪܤܗ ܘܐܬܡܠܝܬ ܐܠܝܫܒܥ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaambia, \"Nina huzuni kubwa moyoni hata karibu kufa. Kaeni hapa mkeshe.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܟܪܝܐ ܗܝ ܠܗ ܠܢܦܫܝ ܥܕܡܐ ܠܡܘܬܐ ܩܘܘ ܗܪܟܐ ܘܐܬܬܥܝܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alisema hayo alipokuwa akifundisha katika sunagogi kule Kafarnaumu. \t ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܒܟܢܘܫܬܐ ܟܕ ܡܠܦ ܒܟܦܪܢܚܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Salamu zangu kwa Herodiana, mwananchi mwenzangu; na kwa jamaa yote ya Narkisi iliyojiunga na Bwana. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܗܪܘܕܝܘܢ ܐܚܝܢܝ ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܒܢܝ ܒܝܬܗ ܕܢܪܩܤܘܤ ܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܒܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake, aliwaona Waisraeli wawili wakipigana, akajaribu kuwapatanisha, akisema: Ninyi ni ndugu; kwa nini basi, kutendeana vibaya ninyi kwa ninyi? \t ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܐܬܚܙܝ ܠܗܘܢ ܟܕ ܢܨܝܢ ܗܢܘܢ ܚܕ ܥܡ ܚܕ ܘܡܦܝܤ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܢܫܬܝܢܘܢ ܟܕ ܐܡܪ ܓܒܪܐ ܐܚܐ ܐܢܬܘܢ ܡܛܠ ܡܢܐ ܡܤܟܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܚܕ ܒܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakisema, \"Hakika Bwana amefufuka, amemtokea Simoni.\" \t ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܕܫܪܝܪܐܝܬ ܩܡ ܡܪܢ ܘܐܬܚܙܝ ܠܫܡܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na walipouona moshi wa moto ule uliouteketeza, wakalia kwa sauti: \"Hakujapata kuwako mji kama mji huu mkuu!\" \t ܘܒܟܐܘܗ ܟܕ ܚܙܝܢ ܬܢܢܐ ܕܝܩܕܢܗ ܘܐܡܪܝܢ ܡܢ ܗܝ ܕܕܡܝܐ ܠܡܕܝܢܬܐ ܪܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Petro akamjibu, \"Potelea mbali na fedha zako kwa vile unafikiri kwamba unaweza kununua karama ya Mungu kwa fedha! \t ܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܟܤܦܟ ܥܡܟ ܢܐܙܠ ܠܐܒܕܢܐ ܡܛܠ ܕܤܒܪܬ ܕܡܘܗܒܬܗ ܕܐܠܗܐ ܒܩܢܝܢ ܥܠܡܐ ܡܬܩܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuhusu wale wenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, waseme wawili au watatu, na wengine wayapime maneno yao. \t ܢܒܝܐ ܕܝܢ ܬܪܝܢ ܐܘ ܬܠܬܐ ܢܡܠܠܘܢ ܘܫܪܟܐ ܢܦܪܫܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yuko mwingine ambaye hutoa ushahidi juu yangu, nami najua kwamba yote anayosema juu yangu ni ya kweli. \t ܐܚܪܝܢ ܗܘ ܗܘ ܕܡܤܗܕ ܥܠܝ ܘܝܕܥ ܐܢܐ ܕܫܪܝܪܐ ܗܝ ܤܗܕܘܬܗ ܕܡܤܗܕ ܥܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akasema: \"Niko hapa, ee Mungu, tayari kufanya mapenzi yako.\" Hivyo Mungu alibatilisha dhabihu za zamani na mahali pake akaweka dhabihu nyingine moja. \t ܘܒܬܪܗ ܐܡܪ ܕܗܐ ܐܬܐ ܐܢܐ ܕܐܥܒܕ ܨܒܝܢܟ ܐܠܗܐ ܒܗܕܐ ܒܛܠ ܠܩܕܡܝܬܐ ܕܢܩܝܡ ܠܕܬܪܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika ingawa sisi ni wengi, tu mwili mmoja kwa kuungana na Kristo, na kila mmoja ni kiungo cha mwenzake. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܚܢܢ ܕܤܓܝܐܐ ܚܢܢ ܚܕ ܚܢܢ ܦܓܪ ܒܡܫܝܚܐ ܚܕ ܚܕ ܡܢܢ ܕܝܢ ܗܕܡܐ ܚܢܢ ܕܚܕܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wayahudi wanajua habari za maisha yangu tangu utoto, jinsi nilivyoishi tangu mwanzo kati ya taifa langu huko Yerusalemu. \t ܝܕܥܝܢ ܐܢܘܢ ܓܝܪ ܐܦ ܗܢܘܢ ܝܗܘܕܝܐ ܐܢ ܨܒܝܢ ܕܢܤܗܕܘܢ ܕܘܒܪܝ ܕܡܢ ܛܠܝܘܬܝ ܕܗܘܘ ܠܝ ܡܢ ܫܘܪܝܐ ܒܥܡܝ ܘܒܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo akawatazama watu waliokuwa wamemzunguka, akasema, \"Tazameni! Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu. \t ܘܚܪ ܒܐܝܠܝܢ ܕܝܬܒܝܢ ܠܘܬܗ ܘܐܡܪ ܗܐ ܐܡܝ ܘܗܐ ܐܚܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mafundisho juu ya ubatizo na kuwekewa mikono; ufufuo wa wafu na hukumu ya milele. \t ܘܠܝܘܠܦܢܐ ܕܡܥܡܘܕܝܬܐ ܘܕܤܝܡ ܐܝܕܐ ܘܠܩܝܡܬܐ ܕܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܘܠܕܝܢܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Priskila na Akula walipomsikia akiongea kwa uhodari ndani ya sunagogi, walimchukua kwao wakamfundisha hiyo Njia ya Mungu kwa usahihi zaidi. \t ܘܫܪܝ ܥܝܢ ܒܓܠܐ ܡܡܠܠ ܒܟܢܘܫܬܐ ܘܟܕ ܫܡܥܘܗܝ ܐܩܠܘܤ ܘܦܪܝܤܩܠܐ ܐܝܬܝܘܗܝ ܠܒܝܬܗܘܢ ܘܡܠܝܐܝܬ ܚܘܝܘܗܝ ܐܘܪܚܗ ܕܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alivukia tena upande wa pili wa ziwa kwa mashua. Umati mkubwa wa watu ukakusanyika mbele yake, naye akawa amesimama kando ya ziwa. \t ܘܟܕ ܥܒܪ ܝܫܘܥ ܒܤܦܝܢܬܐ ܠܗܘ ܥܒܪܐ ܬܘܒ ܐܬܟܢܫܘ ܥܠܘܗܝ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܟܕ ܐܝܬܘܗܝ ܥܠ ܝܕ ܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akamwambia, \"Nenda ukanawe katika bwawa la Siloamu.\" (maana ya jina hili ni \"aliyetumwa\"). Basi, huyo kipofu akaenda, akanawa, kisha akarudi akiwa anaona. \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܙܠ ܐܫܝܓ ܒܡܥܡܘܕܝܬܐ ܕܫܝܠܘܚܐ ܘܐܙܠ ܐܫܝܓ ܘܐܬܐ ܟܕ ܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipoanza tena safari yake, mtu mmoja alimjia mbio, akapiga magoti mbele yake, akamwuliza, \"Mwalimu mwema, nifanyeje ili niupate uzima wa milele?\" \t ܘܟܕ ܪܕܐ ܒܐܘܪܚܐ ܪܗܛ ܚܕ ܢܦܠ ܥܠ ܒܘܪܟܘܗܝ ܘܡܫܐܠ ܗܘܐ ܠܗ ܘܐܡܪ ܡܠܦܢܐ ܛܒܐ ܡܢܐ ܐܥܒܕ ܕܐܬܪ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini hawakupata ushahidi wowote, ingawa walikuja mashahidi wengi wa uongo. Mwishowe wakaja mashahidi wawili, \t ܘܠܐ ܐܫܟܚܘ ܘܐܬܘ ܤܓܝܐܐ ܤܗܕܐ ܕܫܘܩܪܐ ܐܚܪܝܬ ܕܝܢ ܩܪܒܘ ܬܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nanyi mkiyasoma maneno yangu mtaweza kujua jinsi ninavyoielewa siri hiyo ya Kristo.) \t ܐܝܟ ܡܐ ܕܡܫܟܚܝܬܘܢ ܟܕ ܩܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܤܬܟܠܘ ܝܕܥܬܝ ܕܒܐܪܙܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndani ya shuka hiyo kulikuwa na kila aina ya wanyama: wanyama wenye miguu minne, wanyama watambaao na ndege wa angani. \t ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܒܗ ܟܠܗܝܢ ܚܝܘܬܐ ܕܐܪܒܥܬ ܪܓܠܐ ܘܪܚܫܐ ܕܐܪܥܐ ܘܦܪܚܬܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara huyo mtu akapona, akachukua mkeka wake, akatembea. Jambo hili lilifanyika siku ya Sabato. \t ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܐܬܚܠܡ ܓܒܪܐ ܗܘ ܘܩܡ ܫܩܠ ܥܪܤܗ ܘܗܠܟ ܘܗܘ ܗܘ ܝܘܡܐ ܫܒܬܐ ܗܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa wanayo maswali ya kuuliza, wawaulize waume zao nyumbani, maana ni aibu kwa mwanamke kusema katika mikutano ya waumini. \t ܘܐܢ ܡܕܡ ܨܒܝܢ ܕܢܐܠܦܢ ܒܒܬܝܗܝܢ ܢܫܐܠܢ ܠܒܥܠܝܗܝܢ ܒܗܬܬܐ ܗܝ ܓܝܪ ܕܢܫܐ ܒܥܕܬܐ ܢܡܠܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni nani kati yenu kwa kuwa na wasiwasi anaweza kuongeza urefu wa maisha yake? \t ܐܝܢܐ ܕܝܢ ܡܢܟܘܢ ܟܕ ܝܨܦ ܡܫܟܚ ܠܡܘܤܦܘ ܥܠ ܩܘܡܬܗ ܐܡܬܐ ܚܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikasikia sauti ikiniambia: Petro amka, chinja, ule. \t ܘܫܡܥܬ ܗܘܝܬ ܩܠܐ ܕܐܡܪ ܗܘܐ ܠܝ ܫܡܥܘܢ ܩܘܡ ܟܘܤ ܘܐܟܘܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, aliwatuma wawili wa wasaidizi wake, Timotheo na Erasto, wamtangulie kwenda Makedonia, naye akabaki kwa muda huko Asia. \t ܘܫܕܪ ܗܘܐ ܬܪܝܢ ܐܢܫܝܢ ܡܢ ܗܢܘܢ ܕܡܫܡܫܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܠܡܩܕܘܢܝܐ ܠܛܝܡܬܐܘܤ ܘܠܐܪܤܛܘܤ ܗܘ ܕܝܢ ܩܘܝ ܙܒܢܐ ܒܐܤܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa wanakula, Yesu akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa wanafunzi wake akisema, \"Twaeni mle; huu ni mwili wangu.\" \t ܟܕ ܕܝܢ ܠܥܤܝܢ ܫܩܠ ܝܫܘܥ ܠܚܡܐ ܘܒܪܟ ܘܩܨܐ ܘܝܗܒ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܤܒܘ ܐܟܘܠܘ ܗܢܘ ܦܓܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata maumbile yenyewe huonyesha wazi kwamba kwa mwanamume kuwa na nywele ndefu ni aibu kwake mwenyewe; \t ܐܦܠܐ ܗܘ ܟܝܢܐ ܡܠܦ ܠܟܘܢ ܕܓܒܪܐ ܡܐ ܕܩܐܡ ܤܥܪܗ ܨܥܪܐ ܗܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, si haohao wanaolitukana hilo jina lenu zuri mlilopewa? \t ܠܐ ܗܐ ܗܢܘܢ ܡܓܕܦܝܢ ܥܠ ܫܡܐ ܛܒܐ ܕܐܬܩܪܝ ܥܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu, kila mmoja wenu basi, na abaki na Mungu kama alivyokuwa wakati alipoitwa. \t ܟܠܢܫ ܒܡܕܡ ܕܐܬܩܪܝ ܐܚܝ ܒܗ ܢܩܘܐ ܠܘܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa peke yake, baadhi ya wale waliomsikia walimwendea pamoja na wale kumi na wawili, wakamwuliza juu ya hiyo mifano. \t ܟܕ ܗܘܘ ܕܝܢ ܒܠܚܘܕܝܗܘܢ ܫܐܠܘܗܝ ܗܢܘܢ ܕܥܡܗ ܥܡ ܬܪܥܤܪܬܗ ܡܬܠܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyohiyo ninyi hulipa kodi; maana viongozi hao humtumikia Mungu ikiwa wanatimiza wajibu wao. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܦ ܟܤܦ ܪܫܐ ܝܗܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܫܡܫܢܐ ܐܢܘܢ ܓܝܪ ܕܐܠܗܐ ܕܥܠܝܗܝܢ ܕܗܠܝܢ ܩܝܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mti mwema huzaa matunda mema, na mti mbaya huzaa matunda mabaya. \t ܗܟܢܐ ܟܠ ܐܝܠܢܐ ܛܒܐ ܦܐܪܐ ܫܦܝܪܐ ܥܒܕ ܐܝܠܢܐ ܕܝܢ ܒܝܫܐ ܦܐܪܐ ܒܝܫܐ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wapeni wengine wanavyohitaji, nanyi mtapewa. Naam, mtapokea mikononi mwenu kipimo kilichojaa, kikashindiliwa na kusukwasukwa hata kumwagika. Kwa maana kipimo kilekile mnachotumia kwa wengine ndicho ambacho Mungu atatumia kwenu.\" \t ܗܒܘ ܘܡܬܝܗܒ ܠܟܘܢ ܒܟܝܠܬܐ ܛܒܬܐ ܘܪܩܝܥܬܐ ܘܡܫܦܥܬܐ ܢܪܡܘܢ ܒܥܘܒܝܟܘܢ ܒܗܝ ܓܝܪ ܟܝܠܬܐ ܕܡܟܝܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܬܬܟܝܠ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, Sheria inapingana na ahadi za Mungu? Hata kidogo! Maana, kama kungalitolewa sheria ambayo ingeweza kuwapa watu uzima, basi, tungeweza kukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya Sheria. \t ܢܡܘܤܐ ܗܟܝܠ ܤܩܘܒܠܐ ܗܘ ܕܡܘܠܟܢܐ ܕܐܠܗܐ ܚܤ ܐܠܘ ܓܝܪ ܐܬܝܗܒ ܗܘܐ ܢܡܘܤܐ ܐܝܢܐ ܕܡܫܟܚ ܗܘܐ ܠܡܚܝܘ ܫܪܝܪܐܝܬ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܗܘܝܐ ܗܘܬ ܙܕܝܩܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na katikati yake kulikuwa na kitu kama mtu, naye alikuwa amevaa kanzu ndefu na ukanda wa dhahabu kifuani. \t ܘܒܡܨܥܬܐ ܕܡܢܪܬܐ ܐܝܟ ܕܡܘܬܐ ܕܒܪܢܫܐ ܘܠܒܝܫ ܐܦܘܕܐ ܘܐܤܝܪ ܨܝܕ ܬܕܘܗܝ ܐܤܪܐ ܕܕܗܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya nyakati na majira yatakapotukia mambo haya. \t ܥܠ ܙܒܢܐ ܕܝܢ ܘܥܕܢܐ ܐܚܝ ܠܐ ܤܢܝܩܝܬܘܢ ܠܡܟܬܒ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuwa na huzuni jinsi atakavyo Mungu, husababisha badiliko la moyo, badiliko lenye kuleta wokovu; hivyo hakuna sababu ya kujuta. Lakini huzuni ya kidunia huleta kifo. \t ܟܪܝܘܬܐ ܓܝܪ ܕܡܛܠ ܐܠܗܐ ܬܘܬ ܢܦܫܐ ܥܒܕܐ ܕܠܐ ܗܦܟܐ ܘܡܦܢܝܐ ܠܚܝܐ ܟܪܝܘܬܐ ܕܝܢ ܕܥܠܡܐ ܡܘܬܐ ܗܘ ܥܒܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokwisha sema hayo, alikwenda ng'ambo ya kijito Kedroni, pamoja na wanafunzi wake. Mahali hapo palikuwa na bustani, naye Yesu akaingia humo pamoja na wanafunzi wake. \t ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܝܫܘܥ ܘܢܦܩ ܥܡ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܠܥܒܪܐ ܕܪܓܠܬܐ ܕܩܕܪܘܢ ܐܬܪ ܕܐܝܬ ܗܘܬ ܓܢܬܐ ܐܝܟܐ ܕܥܠ ܗܘ ܘܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ninyi mwaonaje juu ya Kristo? Je, ni mwana wa nani?\" Wakamjibu, \"Wa Daudi.\" \t ܘܐܡܪ ܡܢܐ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܠ ܡܫܝܚܐ ܒܪ ܡܢܘ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܒܪ ܕܘܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, kwa leo, kesho na kesho kutwa, ni lazima niendelee na safari yangu, kwa sababu si sawa nabii auawe nje ya Yerusalemu. \t ܒܪܡ ܘܠܐ ܠܝ ܕܝܘܡܢܐ ܘܡܚܪ ܐܤܥܘܪ ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܐܙܠ ܡܛܠ ܕܠܐ ܡܫܟܚܐ ܕܢܒܝܐ ܢܐܒܕ ܠܒܪ ܡܢ ܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na wala si kwa ajili yao tu, bali pia apate kuwaleta pamoja watoto wa Mungu waliotawanyika. \t ܘܠܐ ܒܠܚܘܕ ܚܠܦ ܥܡܐ ܐܠܐ ܕܐܦ ܒܢܝܐ ܕܐܠܗܐ ܕܡܒܕܪܝܢ ܢܟܢܫ ܠܚܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Shetani akamwingia Yuda aitwae Iskarioti, mmoja wa wale mitume kumi na wawili. \t ܥܠ ܗܘܐ ܕܝܢ ܤܛܢܐ ܒܝܗܘܕܐ ܕܡܬܩܪܐ ܤܟܪܝܘܛܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܡܢ ܡܢܝܢܐ ܕܬܪܥܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mji wenyewe ulikuwa wa mraba, upana na urefu wake sawa. Basi, malaika akaupima mji huo kwa kijiti chake: ulikuwa na urefu, upana na urefu wa kwenda juu, kama kilomita elfu mbili na mia nne. \t ܘܡܕܝܢܬܐ ܡܪܒܥܐܝܬ ܤܝܡܐ ܘܐܘܪܟܗ ܐܝܟ ܦܬܝܗ ܘܡܫܚܗ ܠܡܕܝܢܬܐ ܒܩܢܝܐ ܥܠ ܬܪܥܤܪ ܐܠܦܝܢ ܐܤܛܕܘܬܐ ܐܘܪܟܗ ܘܦܬܝܗ ܘܪܘܡܗ ܫܘܝܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Mungu anayejua mioyo ya watu, alithibitisha kwamba amewakubali kwa kuwapa nao Roho Mtakatifu kama alivyotupa sisi. \t ܘܐܠܗܐ ܕܝܕܥ ܕܒܠܒܘܬܐ ܐܤܗܕ ܥܠܝܗܘܢ ܘܝܗܒ ܠܗܘܢ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܐܝܟ ܕܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa wanasafiri kwa mashua, Yesu alishikwa na usingizi, akalala. Dhoruba kali ikaanza kuvuma, maji yakaanza kuingia ndani ya mashua, wakawa katika hatari. \t ܘܟܕ ܪܕܝܢ ܕܡܟ ܠܗ ܗܘ ܝܫܘܥ ܘܗܘܬ ܥܠܥܠܐ ܕܪܘܚܐ ܒܝܡܬܐ ܘܩܪܝܒܐ ܗܘܬ ܤܦܝܢܬܐ ܠܡܛܒܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Moyo wangu wamtukuza Bwana, roho yangu inafurahi kwa sababu ya Mungu Mwokozi wangu. \t ܘܚܕܝܬ ܪܘܚܝ ܒܐܠܗܐ ܡܚܝܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu waliokuwa wanapita mahali hapo walimtukana, wakitikisa vichwa vyao na kusema, \"Aha! Wewe mwenye kuvunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu! \t ܘܐܦ ܐܝܠܝܢ ܕܝܢ ܕܥܒܪܝܢ ܗܘܘ ܡܓܕܦܝܢ ܗܘܘ ܥܠܘܗܝ ܘܡܢܝܕܝܢ ܪܫܝܗܘܢ ܘܐܡܪܝܢ ܐܘܢ ܫܪܐ ܗܝܟܠܐ ܘܒܢܐ ܠܗ ܠܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Unaweza kusema: \"Chakula ni kwa ajili ya tumbo, na tumbo ni kwa ajili ya chakula.\" Sawa; lakini Mungu ataviharibu vyote viwili. Mwili wa mtu si kwa ajili ya uzinzi bali ni kwa ajili ya kumtumikia Bwana, naye Bwana ni kwa ajili ya mwili. \t ܡܐܟܘܠܬܐ ܕܟܪܤܐ ܘܟܪܤܐ ܕܡܐܟܘܠܬܐ ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܠܬܪܬܝܗܝܢ ܡܒܛܠ ܦܓܪܐ ܕܝܢ ܠܐ ܠܙܢܝܘܬܐ ܐܠܐ ܠܡܪܢ ܘܡܪܢ ܠܦܓܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao hawakuweza kumjibu swali hilo. \t ܘܠܐ ܐܫܟܚܘ ܠܡܬܠ ܠܗ ܦܬܓܡܐ ܥܠ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini nawaambieni, hata Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata kuvikwa vizuri kama ua mojawapo. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܕܐܦܠܐ ܫܠܝܡܘܢ ܒܟܠܗ ܫܘܒܚܗ ܐܬܟܤܝ ܐܝܟ ܚܕܐ ܡܢܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, nawaambieni, Siku ya hukumu watu watapaswa kujibu juu ya kila neno lisilofaa wanalosema. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܕܟܠ ܡܠܐ ܒܛܠܐ ܕܢܐܡܪܘܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܢܬܠܘܢ ܦܬܓܡܗ ܒܝܘܡܐ ܕܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nakushauri ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto upate kuwa tajiri kweli. Tena afadhali ununue pia vazi jeupe, uvae na kufunika aibu ya uchi wako. Nunua pia mafuta ukapake machoni pako upate kuona. \t ܡܠܟ ܐܢܐ ܠܟ ܕܬܙܒܢ ܡܢܝ ܕܗܒܐ ܕܒܚܝܪ ܡܢ ܢܘܪܐ ܕܬܥܬܪ ܘܡܐܢܐ ܚܘܪܐ ܠܡܬܥܛܦܘ ܘܠܐ ܬܬܓܠܐ ܒܗܬܬܐ ܕܥܪܛܠܝܘܬܟ ܘܫܝܦܐ ܟܚܘܠ ܕܬܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nitakuwa Baba yenu, nanyi mtakuwa watoto wangu, waume kwa wake, asema Bwana Mwenye Uwezo.\" \t ܘܐܗܘܐ ܠܟܘܢ ܠܐܒܐ ܘܐܢܬܘܢ ܬܗܘܘܢ ܠܝ ܠܒܢܝܐ ܘܠܒܢܬܐ ܐܡܪ ܡܪܝܐ ܕܟܠ ܐܚܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alikuwa sehemu ya nyuma ya mashua, amelala juu ya mto. Basi, wanafunzi wakamwamsha na kumwambia, \"Mwalimu, je, hujali kwamba sisi tunaangamia?\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܥܠ ܒܤܕܝܐ ܕܡܟ ܗܘܐ ܒܚܪܬܗ ܕܤܦܝܢܬܐ ܘܐܬܘ ܐܩܝܡܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܪܒܢ ܠܐ ܒܛܝܠ ܠܟ ܕܐܒܕܝܢ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo, mwisho utafika wakati ambapo Kristo atamkabidhi Mungu Baba Utawala, baada ya kufutilia mbali kila tawala na mamlaka na nguvu. \t ܘܗܝܕܝܢ ܬܗܘܐ ܚܪܬܐ ܡܐ ܕܡܫܠܡ ܡܠܟܘܬܐ ܠܐܠܗܐ ܐܒܐ ܡܐ ܕܒܛܠ ܟܠ ܪܝܫ ܘܟܠ ܫܘܠܛܢ ܘܟܠ ܚܝܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "vipofu wanaona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa na viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa Habari Njema. \t ܤܡܝܐ ܚܙܝܢ ܘܚܓܝܪܐ ܡܗܠܟܝܢ ܘܓܪܒܐ ܡܬܕܟܝܢ ܘܚܪܫܐ ܫܡܥܝܢ ܘܡܝܬܐ ܩܝܡܝܢ ܘܡܤܟܢܐ ܡܤܬܒܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnamo mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu aende kwenye mji uitwao Nazareti huko Galilaya, \t ܒܝܪܚܐ ܕܝܢ ܕܫܬܐ ܐܫܬܠܚ ܓܒܪܝܐܝܠ ܡܠܐܟܐ ܡܢ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܠܓܠܝܠܐ ܠܡܕܝܢܬܐ ܕܫܡܗ ܢܨܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usitutie katika majaribu, lakini utuokoe na yule Mwovu. is Baadhi ya makala za zamani zina; Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina. \t ܘܠܐ ܬܥܠܢ ܠܢܤܝܘܢܐ ܐܠܐ ܦܨܢ ܡܢ ܒܝܫܐ ܡܛܠ ܕܕܝܠܟ ܗܝ ܡܠܟܘܬܐ ܘܚܝܠܐ ܘܬܫܒܘܚܬܐ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akasema, \"Mfalme Agripa na wote mlioko hapa pamoja nasi! Hapa mbele yenu yuko mtu ambaye jumuiya yote ya Wayahudi hapa na kule Yerusalemu walinilalamikia wakipiga kelele kwamba hastahili kuishi tena. \t ܘܐܡܪ ܦܗܤܛܘܤ ܐܓܪܦܘܤ ܡܠܟܐ ܘܟܠܟܘܢ ܓܒܪܐ ܕܐܝܬܝܟܘܢ ܥܡܢ ܥܠ ܗܢܐ ܓܒܪܐ ܕܚܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܟܠܗ ܥܡܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܩܒܠܢܝ ܒܐܘܪܫܠܡ ܘܗܪܟܐ ܟܕ ܩܥܝܢ ܕܠܐ ܬܘܒ ܘܠܐ ܠܗܢܐ ܕܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ndiyo maana nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula na kinywaji mnavyohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu. Je, maisha ni chakula tu au zaidi? Na mwili, je, si zaidi ya mavazi? \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܠܐ ܬܐܨܦܘܢ ܠܢܦܫܟܘܢ ܡܢܐ ܬܐܟܠܘܢ ܘܡܢܐ ܬܫܬܘܢ ܘܠܐ ܠܦܓܪܟܘܢ ܡܢܐ ܬܠܒܫܘܢ ܠܐ ܗܐ ܢܦܫܐ ܝܬܝܪܐ ܡܢ ܤܝܒܪܬܐ ܘܦܓܪܐ ܡܢ ܠܒܘܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunafurahi kwamba sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu; kwa hiyo tunaomba mpate kuwa wakamilifu. \t ܚܕܝܢܢ ܕܝܢ ܡܐ ܕܚܢܢ ܟܪܝܗܝܢ ܘܐܢܬܘܢ ܚܝܠܬܢܝܢ ܗܕܐ ܓܝܪ ܐܦ ܡܨܠܝܢܢ ܕܐܢܬܘܢ ܬܬܓܡܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa ndugu, napenda kuwakumbusha ile Habari Njema niliyowahubirieni nanyi mkaipokea na kusimama imara ndani yake. \t ܡܘܕܥ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܐܚܝ ܐܘܢܓܠܝܘܢ ܕܤܒܪܬܟܘܢ ܘܩܒܠܬܘܢܝܗܝ ܘܩܡܬܘܢ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wewe, rafiki, unayewahukumu wale wanaofanya mambo kama hayo bali wewe pia unayafanya, je unadhani utaiepa hukumu ya Mungu? \t ܡܢܐ ܕܝܢ ܡܬܚܫܒ ܐܢܬ ܐܘ ܒܪܢܫܐ ܕܕܐܢ ܐܢܬ ܠܐܝܠܝܢ ܕܒܗܠܝܢ ܡܬܗܦܟܝܢ ܟܕ ܐܦ ܐܢܬ ܒܗܝܢ ܡܬܗܦܟ ܐܢܬ ܕܐܢܬ ܬܥܪܘܩ ܡܢ ܕܝܢܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawa anafundisha kila siku Hekaluni. Makuhani wakuu, walimu wa Sheria na viongozi wa watu walitaka kumwangamiza, \t ܘܗܘ ܡܠܦ ܗܘܐ ܟܠ ܝܘܡ ܒܗܝܟܠܐ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܕܝܢ ܘܤܦܪܐ ܘܩܫܝܫܐ ܕܥܡܐ ܒܥܝܢ ܗܘܘ ܠܡܘܒܕܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huwaahidi watu wengine eti watakuwa huru, kumbe wao wenyewe ni watumwa wa upotovu--maana mtu ni mtumwa wa chochote kile kinachomtawala. \t ܘܚܐܪܘܬܐ ܠܗܘܢ ܡܫܬܘܕܝܢ ܟܕ ܗܢܘܢ ܥܒܕܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܕܚܒܠܐ ܠܗܘ ܓܝܪ ܡܕܡ ܕܐܢܫ ܙܟܐ ܠܗ ܠܗܢܐ ܐܦ ܡܫܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kama ninafanya kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba si mimi ninayefanya hayo, bali ni ile dhambi iliyo ndani yangu. \t ܘܐܢ ܡܕܡ ܕܠܐ ܨܒܐ ܐܢܐ ܥܒܕ ܐܢܐ ܠܐ ܗܘܐ ܐܢܐ ܥܒܕ ܐܢܐ ܐܠܐ ܚܛܝܬܐ ܕܥܡܪܐ ܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu. Wanastahili shukrani; si tu kutoka kwangu, bali pia kutoka kwa makanisa yote ya watu wa mataifa mengine. \t ܕܗܢܘܢ ܗܠܝܢ ܚܠܦ ܢܦܫܝ ܨܘܪܝܗܘܢ ܝܗܒܘ ܘܠܐ ܗܘܐ ܐܢܐ ܒܠܚܘܕܝ ܡܘܕܐ ܐܢܐ ܠܗܘܢ ܐܠܐ ܐܦ ܟܠܗܝܢ ܥܕܬܐ ܕܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ikiwa ninawafukuza pepo kwa uwezo wa Mungu, basi jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu. \t ܐܢ ܕܝܢ ܒܨܒܥܐ ܕܐܠܗܐ ܡܦܩ ܐܢܐ ܕܝܘܐ ܩܪܒܬ ܠܗ ܥܠܝܟܘܢ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kuwatupa hao wabaya katika tanuru ya moto. Huko watalia na kusaga meno.\" \t ܘܢܪܡܘܢ ܐܢܘܢ ܒܐܬܘܢܐ ܕܢܘܪܐ ܬܡܢ ܢܗܘܐ ܒܟܝܐ ܘܚܘܪܩ ܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akapiga marufuku mtu yeyote kununua au kuuza kitu isipokuwa tu mtu aliyetiwa alama hiyo, yaani jina la yule mnyama au tarakimu ya jina hilo. \t ܕܠܐ ܐܢܫ ܢܙܒܢ ܐܘ ܢܙܒܢ ܬܘܒ ܐܠܐ ܐܝܢܐ ܕܐܝܬ ܥܠܘܗܝ ܪܘܫܡܐ ܕܫܡܐ ܕܚܝܘܬܐ ܐܘ ܡܢܝܢܐ ܕܫܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ni radhi kabisa kutumia nilicho nacho, na hata kujitolea mimi mwenyewe kabisa, kwa faida ya roho zenu. Je, mtanipenda kidogo ati kwa kuwa mimi nawapenda ninyi mno? \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܚܕܝܐܝܬ ܘܢܦܩܬܐ ܐܦܩ ܘܐܦ ܩܢܘܡܝ ܐܬܠ ܥܠ ܐܦܝ ܢܦܫܬܟܘܢ ܐܦܢ ܟܕ ܝܬܝܪܐܝܬ ܡܚܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܢܬܘܢ ܒܨܝܪܐܝܬ ܡܚܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo mfalme Agripa, mkuu wa mkoa, Bernike na wale wote waliokuwa pamoja nao, walisimama. \t ܘܩܡ ܠܗ ܡܠܟܐ ܘܗܓܡܘܢܐ ܘܒܪܢܝܩܐ ܘܐܝܠܝܢ ܕܝܬܒܝܢ ܗܘܘ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini kwa mwanamke kuwa na nywele ni heshima kwake; nywele zake ndefu amepewa ili zimfunike. \t ܘܐܢܬܬܐ ܡܐ ܕܡܪܒܝ ܤܥܪܗ ܬܫܒܘܚܬܐ ܗܝ ܠܗ ܡܛܠ ܕܤܥܪܗ ܚܠܦ ܬܟܤܝܬܐ ܗܘ ܐܬܝܗܒ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutahiriwa kwako kutakuwa na maana kama ukiitii Sheria. Lakini kama unaivunja Sheria, basi, ni afadhali ungalibaki bila kutahiriwa. \t ܓܙܘܪܬܐ ܓܝܪ ܡܗܢܝܐ ܐܢ ܢܡܘܤܐ ܬܓܡܘܪ ܐܢ ܬܥܒܪ ܠܟ ܕܝܢ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܓܙܘܪܬܟ ܗܘܬ ܠܗ ܥܘܪܠܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu. \t ܫܐܠܝܢ ܫܠܡܟܝ ܒܢܝܐ ܕܚܬܟܝ ܓܒܝܬܐ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, ingawa twasema namna hii, wapenzi wetu, tunalo tumaini kubwa juu ya hali yenu. Tunajua kwamba mmepokea baraka zile bora za wokovu wenu. \t ܡܦܝܤܝܢܢ ܕܝܢ ܥܠܝܟܘܢ ܐܚܝ ܐܝܠܝܢ ܕܫܦܝܪܢ ܘܩܪܝܒܢ ܠܚܝܐ ܐܦܢ ܗܟܢܐ ܡܡܠܠܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye aliingia Mahali Patakatifu mara moja tu, tena hakuwa amechukua damu ya mbuzi wala ng'ombe, bali aliingia kwa damu yake yeye mwenyewe, akatupatia ukombozi wa milele. \t ܘܠܐ ܥܠ ܒܕܡܐ ܕܨܦܪܝܐ ܘܕܥܓܠܐ ܐܠܐ ܒܕܡܐ ܕܢܦܫܗ ܥܠ ܚܕܐ ܙܒܢ ܠܒܝܬ ܡܩܕܫܐ ܘܐܫܟܚ ܦܘܪܩܢܐ ܕܠܥܠV"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makuhani wakuu wakamshtaki Yesu mambo mengi. \t ܘܐܟܠܝܢ ܗܘܘ ܩܪܨܘܗܝ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܒܤܓܝܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali: \"Baba yangu, kama inawezekana, aacha kikombe hiki cha mateso kinipite; lakini isiwe nitakavyo mimi, ila utakavyo wewe.\" \t ܘܦܪܩ ܩܠܝܠ ܘܢܦܠ ܥܠ ܐܦܘܗܝ ܘܡܨܠܐ ܗܘܐ ܘܐܡܪ ܐܒܝ ܐܢ ܡܫܟܚܐ ܢܥܒܪܢܝ ܟܤܐ ܗܢܐ ܒܪܡ ܠܐ ܐܝܟ ܕܐܢܐ ܨܒܐ ܐܢܐ ܐܠܐ ܐܝܟ ܕܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama sikio lingejisemea: \"Kwa vile mimi si jicho, basi mimi si mali ya mwili\", je, kwa hoja hiyo lingekoma kuwa sehemu ya mwili? La! \t ܘܐܢ ܬܐܡܪ ܐܕܢܐ ܥܠ ܕܠܐ ܗܘܝܬ ܥܝܢܐ ܠܐ ܗܘܝܬ ܡܢܗ ܡܢ ܦܓܪܐ ܠܘ ܡܛܠ ܗܕܐ ܠܝܬܝܗ ܡܢܗ ܡܢ ܦܓܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kisha wakaiasi imani yao! Haiwezekani kuwarudisha watubu tena, kwa sababu wanamsulubisha tena Mwana wa Mungu na kumwaibisha hadharani. \t ܕܬܘܒ ܢܚܛܘܢ ܕܡܢ ܕܪܝܫ ܢܬܚܕܬܘܢ ܠܬܝܒܘܬܐ ܘܡܢ ܕܪܝܫ ܢܙܩܦܘܢ ܠܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܘܢܨܥܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, acheni uongo. Kila mmoja anapaswa kumwambia mwenzake ukweli, maana kila mmoja wetu ni kiungo cha mwili wa Kristo. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܢܝܚܘ ܡܢܟܘܢ ܟܕܒܘܬܐ ܘܡܠܠܘ ܩܘܫܬܐ ܐܢܫ ܥܡ ܩܪܝܒܗ ܗܕܡܐ ܚܢܢ ܓܝܪ ܚܕ ܕܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alimwambia hivi: Wazao wako watapelekwa katika nchi inayotawaliwa na watu wengine, na huko watafanywa watumwa na kutendewa vibaya kwa muda wa miaka mia nne. \t ܘܡܠܠ ܗܘܐ ܥܡܗ ܐܠܗܐ ܟܕ ܐܡܪ ܠܗ ܕܢܗܘܐ ܙܪܥܟ ܬܘܬܒܐ ܒܐܪܥܐ ܢܘܟܪܝܬܐ ܘܢܫܥܒܕܘܢܝܗܝ ܘܢܒܐܫܘܢ ܠܗ ܐܪܒܥܡܐܐ ܫܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikilizeni! Ni mimi Paulo ninayesema nanyi! Kama mkikubali kutahiriwa, Kristo hatawafaidia chochote. \t ܗܐ ܐܢܐ ܦܘܠܘܤ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܢ ܬܬܓܙܪܘܢ ܡܫܝܚܐ ܡܕܡ ܠܐ ܡܗܢܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata mmoja wa manabii wao, ambaye naye pia ni Mkrete, alisema: \"Wakrete, husema uongo daima; ni kama wanyama wabaya, walafi na wavivu!\" \t ܐܡܪ ܐܢܫ ܡܢܗܘܢ ܢܒܝܐ ܕܝܠܗܘܢ ܕܒܢܝ ܩܪܛܐ ܒܟܠܙܒܢ ܕܓܠܝܢ ܐܢܘܢ ܚܝܘܬܐ ܒܝܫܬܐ ܘܟܪܤܬܐ ܒܛܝܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo baadhi ya Wayahudi wakamwambia huyo mtu aliyeponywa, \"Leo ni Sabato, si halali kubeba mkeka wako.\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܝܗܘܕܝܐ ܠܗܘ ܕܐܬܐܤܝ ܫܒܬܐ ܗܝ ܠܐ ܫܠܝܛ ܠܟ ܕܬܫܩܘܠ ܥܪܤܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, sikilizeni! Kweli kulikuwa na wajane wengi katika nchi ya Israeli nyakati za Eliya. Wakati huo mvua iliacha kunyesha kwa muda wa miaka mitatu na nusu; kukawa na njaa kubwa katika nchi yote. \t ܫܪܪܐ ܓܝܪ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܤܓܝ ܐܪܡܠܬܐ ܐܝܬ ܗܘܝ ܒܐܝܤܪܝܠ ܒܝܘܡܝ ܐܠܝܐ ܢܒܝܐ ܟܕ ܐܬܬܚܕܘ ܫܡܝܐ ܫܢܝܢ ܬܠܬ ܘܝܪܚܐ ܫܬܐ ܘܗܘܐ ܟܦܢܐ ܪܒܐ ܒܟܠܗ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je utamshukuru huyo mtumishi kwa sababu ametimiza aliyoamriwa? \t ܠܡܐ ܛܝܒܘܬܗ ܡܩܒܠ ܕܗܘ ܥܒܕܐ ܕܥܒܕ ܡܕܡ ܕܐܬܦܩܕ ܠܗ ܠܐ ܤܒܪ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake. Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni. \t ܝܘܫܝܐ ܐܘܠܕ ܠܝܘܟܢܝܐ ܘܠܐܚܘܗܝ ܒܓܠܘܬܐ ܕܒܒܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilikuwa yapata saa sita mchana, siku ya maandalio ya Pasaka. Pilato akawaambia Wayahudi, \"Tazameni, Mfalme wenu!\" \t ܘܥܪܘܒܬܐ ܗܘܬ ܕܦܨܚܐ ܘܐܝܬ ܗܘܝ ܐܝܟ ܫܥܐ ܫܬ ܘܐܡܪ ܠܝܗܘܕܝܐ ܗܐ ܡܠܟܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena aliwaambia, \"Popote mtakapokaribishwa nyumbani, kaeni humo mpaka mtakapoondoka mahali hapo. \t ܐܠܐ ܢܤܐܢܘܢ ܛܠܪܐ ܘܠܐ ܢܠܒܫܘܢ ܬܪܬܝܢ ܟܘܬܝܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ninajua hakika kwamba hakuna kitu kiwezacho kututenganisha na upendo wake: wala kifo, wala uhai; wala malaika, au nguvu nyingine za mbinguni; wala yanayotokea sasa, wala yatakayotokea baadaye; wala mamlaka; \t ܡܦܤ ܐܢܐ ܓܝܪ ܕܠܐ ܡܘܬܐ ܘܠܐ ܚܝܐ ܘܠܐ ܡܠܐܟܐ ܘܠܐ ܫܘܠܛܢܐ ܘܠܐ ܚܝܠܐ ܘܠܐ ܕܩܝܡܢ ܘܠܐ ܕܥܬܝܕܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nawaambieni, atamweka mtumishi huyo aisimamie mali yake yote. \t ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܢܩܝܡܝܘܗܝ ܥܠ ܟܠ ܕܐܝܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao ndio wale waliokataa kumtii Mungu alipowangoja kwa saburi wakati Noa alipokuwa anatayarisha ile safina. Ndani ya chombo hicho ni watu wachache tu, yaani watu wanane, waliookolewa majini, \t ܗܠܝܢ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܠܐ ܐܬܛܦܝܤ ܗܘܝ ܒܝܘܡܬܗ ܕܢܘܚ ܟܕ ܡܓܪܬ ܪܘܚܗ ܕܐܠܗܐ ܦܩܕܬ ܕܬܗܘܐ ܩܒܘܬܐ ܥܠ ܤܒܪܐ ܕܬܝܒܘܬܗܘܢ ܘܬܡܢܐ ܒܠܚܘܕ ܢܦܫܢ ܥܠܝܢ ܠܗ ܘܚܝܝ ܒܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Najua unakoishi: Wewe unaishi kwenye makao makuu ya Shetani! Lakini bado unashikilia jina langu; hukuikana imani yako kwangu hata siku zile Antipa shahidi wangu mwaminifu, alipouawa pale mahali anapoishi Shetani. \t ܝܕܥ ܐܢܐ ܐܝܟܐ ܥܡܪܬ ܐܬܪ ܕܟܘܪܤܝܗ ܕܤܛܢܐ ܘܐܚܝܕ ܐܢܬ ܒܫܡܝ ܘܒܗܝܡܢܘܬܝ ܠܐ ܟܦܪܬ ܘܒܝܘܡܬܐ ܐܬܚܪܝܬ ܘܤܗܕܐ ܕܝܠܝ ܡܗܝܡܢܐ ܡܛܠ ܕܟܠ ܤܗܕܐ ܕܝܠܝ ܡܗܝܡܢܐ ܐܝܢܐ ܕܡܢܟܘܢ ܐܬܩܛܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliandika kama tulivyoelezwa na wale walioyaona kwa macho yao tangu mwanzo, na waliotangaza ujumbe huo. \t ܐܝܟ ܡܕܡ ܕܐܫܠܡܘ ܠܢ ܗܢܘܢ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܗܘܘ ܚܙܝܐ ܘܡܫܡܫܢܐ ܕܝܠܗ ܕܡܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri wanaoteswa kwa sababu ya kufanya atakavyo Mungu, maana ufalme wa mbinguni ni wao. \t ܛܘܒܝܗܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܬܪܕܦܘ ܡܛܠ ܟܐܢܘܬܐ ܕܕܝܠܗܘܢ ܗܝ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakaenda mbio, wakamkuta Maria na Yosefu na yule mtoto mchanga amelazwa horini. \t ܘܐܬܘ ܡܤܪܗܒܐܝܬ ܘܐܫܟܚܘ ܠܡܪܝܡ ܘܠܝܘܤܦ ܘܠܥܘܠܐ ܕܤܝܡ ܒܐܘܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, huyu mnyama wa pili akafanya miujiza mikubwa hata akasababisha moto kutoka mbinguni ushuke duniani mbele ya watu. \t ܘܬܥܒܕ ܐܬܘܬܐ ܪܘܪܒܬܐ ܐܝܟܢܐ ܕܢܘܪܐ ܬܥܒܕ ܠܡܚܬ ܡܢ ܫܡܝܐ ܥܠ ܐܪܥܐ ܩܕܡ ܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo hili ni kwa wote, kwani hakuna tofauti kati ya Wayahudi na wasio Wayahudi; Bwana wa wote ni mmoja, naye ni mkarimu sana kwao wote wamwombao. \t ܘܒܗܕܐ ܠܐ ܦܪܫ ܠܐ ܠܝܗܘܕܝܐ ܘܠܐ ܠܐܪܡܝܐ ܚܕ ܗܘ ܓܝܪ ܡܪܝܐ ܕܟܠܗܘܢ ܕܥܬܝܪ ܒܟܠ ܕܩܪܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha babu zetu walilipokezana wao kwa wao mpaka wakati wa Yoshua, walipoinyakua ile nchi kutoka kwa mataifa ambayo Mungu aliyafukuza mbele yao. Hapo lilikaa mpaka nyakati za Daudi. \t ܘܠܗ ܠܗܢܐ ܡܫܟܢܐ ܐܦ ܡܥܠܘ ܐܥܠܘܗܝ ܐܒܗܬܢ ܥܡ ܝܫܘܥ ܠܐܪܥܐ ܕܝܗܒ ܠܗܘܢ ܐܠܗܐ ܝܘܪܬܢܐ ܡܢ ܥܡܡܐ ܗܢܘܢ ܕܫܕܐ ܡܢ ܩܕܡܝܗܘܢ ܘܐܬܝܒܠ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܘܗܝ ܕܕܘܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili yale aliyosema nabii Isaya yatimie: \t ܕܢܬܡܠܐ ܡܕܡ ܕܐܬܐܡܪ ܒܝܕ ܐܫܥܝܐ ܢܒܝܐ ܕܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akawauliza, \"Je, mwataka niwafungulieni Mfalme wa Wayahudi?\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܦܝܠܛܘܤ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܫܪܐ ܠܟܘܢ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kama mnavumilia maumivu ya mateso msiyostahili kwa sababu mwajua kwamba Mungu anataka hivyo, basi Mungu atawafadhili. \t ܠܗܠܝܢ ܓܝܪ ܐܝܬ ܠܗܘܢ ܛܝܒܘܬܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܛܠ ܬܐܪܬܐ ܫܦܝܪܬܐ ܡܤܝܒܪܝܢ ܥܩܬܐ ܕܐܬܝܢ ܥܠܝܗܘܢ ܒܥܘܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Humo wadudu wake hawafi, na moto hauzimiki. \t ܐܝܟܐ ܕܬܘܠܥܗܘܢ ܠܐ ܡܝܬܐ ܘܢܘܪܗܘܢ ܠܐ ܕܥܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakafika katika bustani iitwayo Gethsemane. Yesu akawaambia wanafunzi wake, \"Kaeni hapa wakati mimi nasali.\" \t ܘܐܬܘ ܠܕܘܟܬܐ ܐܝܕܐ ܕܡܬܩܪܝܐ ܓܕܤܡܢ ܘܐܡܪ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܬܒܘ ܗܪܟܐ ܥܕ ܡܨܠܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili, Watazame kweli, lakini wasione. Wasikie kweli, lakini wasielewe. La sivyo, wangemgeukia Mungu, naye angewasamehe.\" \t ܕܟܕ ܚܙܝܢ ܢܚܙܘܢ ܘܠܐ ܢܚܙܘܢ ܘܟܕ ܫܡܥܝܢ ܢܫܡܥܘܢ ܘܠܐ ܢܤܬܟܠܘܢ ܕܠܡܐ ܢܬܦܢܘܢ ܘܢܫܬܒܩܘܢ ܠܗܘܢ ܚܛܗܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu, nataka mjue kwamba mara nyingi nilikusudia kuwatembeleeni, lakini mpaka sasa nimezuiwa. Ningependa kupata mafanikio mema kati yenu kama nilivyopata kati ya watu wa mataifa mengine. \t ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܐܚܝ ܕܬܕܥܘܢ ܕܙܒܢܝܢ ܤܓܝܐܢ ܨܒܝܬ ܕܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܘܐܬܟܠܝܬ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܕܐܦ ܒܟܘܢ ܢܗܘܐ ܠܝ ܐܕܫܐ ܐܝܟ ܕܒܫܪܟܐ ܕܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mimi sikuona kuwa alikuwa ametenda chochote kibaya hata astahili kupewa adhabu ya kifo. Lakini, kwa vile Paulo mwenyewe alikata rufani kwa Kaisari, niliamua kumpeleka. \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܐܕܪܟܬ ܕܡܕܡ ܕܫܘܐ ܠܡܘܬܐ ܠܐ ܤܥܝܪ ܠܗ ܘܡܛܠ ܕܗܘ ܒܥܐ ܕܢܬܢܛܪ ܠܕܝܢܗ ܕܩܤܪ ܦܩܕܬ ܕܢܫܬܕܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nafanya haya yote kwa ajili ya Habari Njema, nipate kushiriki baraka zake. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܥܒܕ ܐܢܐ ܡܛܠ ܕܐܗܘܐ ܫܘܬܦܐ ܠܤܒܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo msiogope; ninyi mu wa thamani kuliko shomoro wengi. \t ܠܐ ܗܟܝܠ ܬܕܚܠܘܢ ܡܢ ܨܦܪܐ ܤܓܝܐܬܐ ܡܝܬܪܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mwana akiwapeni uhuru mtakuwa huru kweli. \t ܐܢ ܗܘ ܗܟܝܠ ܕܒܪܐ ܢܚܪܪܟܘܢ ܫܪܝܪܐܝܬ ܬܗܘܘܢ ܒܢܝ ܚܐܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vumilieni adhabu kwani ni mafundisho; Mungu huwatendea ninyi kama wanawe. Maana ni mwana gani asiyeadhibiwa na baba yake? \t ܤܝܒܪܘ ܗܟܝܠ ܡܪܕܘܬܐ ܡܛܠ ܕܐܝܟ ܕܠܘܬ ܒܢܝܐ ܤܥܪ ܨܐܕܝܟܘܢ ܐܠܗܐ ܐܝܢܘ ܓܝܪ ܒܪܐ ܕܠܐ ܪܕܐ ܠܗ ܐܒܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, Yesu akasema, \"Acha! Hii inatosha.\" Akaligusa sikio la mtu huyo akaliponya. \t ܥܢܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܟܕܘ ܥܕܡܐ ܠܗܕܐ ܘܩܪܒ ܠܐܕܢܗ ܕܗܘ ܕܒܠܥ ܘܐܤܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipomwona analia, na wale Wayahudi waliokuja pamoja naye wanalia pia, alijawa na huzuni na kufadhaika moyoni. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܟܕ ܚܙܗ ܕܒܟܝܐ ܘܠܝܗܘܕܝܐ ܗܢܘܢ ܕܐܬܘ ܥܡܗ ܕܒܟܝܢ ܐܬܥܙܙ ܒܪܘܚܗ ܘܐܙܝܥ ܢܦܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa basi jueni kwamba watu wenye kumwamini ndio walio watoto halisi wa Abrahamu. \t ܕܥܘ ܗܟܝܠ ܕܐܝܠܝܢ ܕܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܐܢܘܢ ܗܢܘܢ ܐܢܘܢ ܒܢܝܐ ܕܐܒܪܗܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, katika nchi ya Israeli nyakati za Elisha kulikuwa na wenye ukoma wengi. Hata hivyo, hakuna yeyote aliyetakaswa ila tu Naamani, mwenyeji wa Siria.\" \t ܘܤܓܝܐܐ ܓܪܒܐ ܐܝܬ ܗܘܘ ܒܝܬ ܐܝܤܪܝܠ ܒܝܘܡܝ ܐܠܝܫܥ ܢܒܝܐ ܘܚܕ ܡܢܗܘܢ ܠܐ ܐܬܕܟܝ ܐܠܐ ܐܢ ܢܥܡܢ ܐܪܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, basi, ombeni chochote mtakacho nanyi mtapewa. \t ܐܢ ܕܝܢ ܬܩܘܘܢ ܒܝ ܘܡܠܝ ܢܩܘܝܢ ܒܟܘܢ ܟܠ ܡܐ ܕܬܨܒܘܢ ܠܡܫܐܠ ܢܗܘܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kondoo wangu huisikia sauti yangu; mimi nawajua, nao hunifuata. \t ܥܪܒܐ ܕܝܠܝ ܩܠܝ ܫܡܥܝܢ ܘܐܢܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܠܗܘܢ ܘܗܢܘܢ ܐܬܝܢ ܒܬܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mtu yeyote anadhani kwamba yeye ni mjumbe wa Mungu au kwamba anacho kipaji cha Roho, na ajue kwamba haya ninayowaandikia ninyi ni amri ya Bwana. \t ܐܢ ܐܢܫ ܕܝܢ ܡܢܟܘܢ ܤܒܪ ܕܢܒܝܐ ܗܘ ܐܘ ܕܪܘܚܐ ܗܘ ܢܕܥ ܗܠܝܢ ܕܟܬܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܦܘܩܕܢܐ ܐܢܘܢ ܕܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, kama mjuavyo, anayeungana na kahaba huwa mwili mmoja naye--kama ilivyoandikwa: \"Nao wawili watakuwa mwili mmoja.\" \t ܐܘ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܡܢ ܕܢܩܦ ܠܙܢܝܬܐ ܚܕ ܗܘ ܦܓܪ ܐܡܝܪ ܓܝܪ ܕܢܗܘܘܢ ܬܪܝܗܘܢ ܚܕ ܦܓܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilikuwa vivyo hivyo kuhusu yule malaya Rahabu; yeye alikubaliwa kuwa mwadilifu kwa sababu aliwapokea wale wapelelezi na kuwasaidia waende zao kwa kupitia njia nyingine. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܪܚܒ ܙܢܝܬܐ ܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܥܒܕܐ ܐܙܕܕܩܬ ܕܩܒܠܬ ܠܓܫܘܫܐ ܘܒܐܘܪܚܐ ܐܚܪܬܐ ܐܦܩܬ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya Barnaba na Saulo kutekeleza shughuli zao, walitoka tena Yerusalemu wakamchukua Yohane aitwaye pia Marko. \t ܒܪܢܒܐ ܕܝܢ ܘܫܐܘܠ ܦܢܘ ܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܠܐܢܛܝܘܟܝ ܡܢ ܒܬܪ ܕܫܠܡܘ ܬܫܡܫܬܗܘܢ ܘܕܒܪܘ ܥܡܗܘܢ ܠܝܘܚܢܢ ܗܘ ܕܐܬܟܢܝ ܡܪܩܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Mafarisayo na walimu wa Sheria wakafika kutoka Yerusalemu, wakamwendea Yesu, wakamwuliza, \t ܗܝܕܝܢ ܩܪܒܘ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܦܪܝܫܐ ܘܤܦܪܐ ܕܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܘܐܡܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisemi mambo haya kwa ajili ya kumhukumu mtu; maana, kama nilivyokwisha sema, ninyi mko mioyoni mwetu, tufe pamoja, tuishi pamoja. \t ܠܐ ܗܘܐ ܠܡܚܝܒܘܬܟܘܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܩܕܡܬ ܓܝܪ ܐܡܪܬ ܕܒܠܒܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܡܬ ܐܟܚܕܐ ܘܠܡܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hamwezi kunywa kikombe cha Bwana na kikombe cha pepo; hamwezi kushiriki katika meza ya Bwana na katika meza ya pepo. \t ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܬܫܬܘܢ ܟܤܐ ܕܡܪܢ ܘܟܤܐ ܕܫܐܕܐ ܘܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܬܫܬܘܬܦܘܢ ܒܦܬܘܪܐ ܕܡܪܢ ܘܒܦܬܘܪܐ ܕܫܐܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena nawaambieni, wawili miongoni mwenu wakikubaliana hapa duniani kuhusu jambo lolote la kuomba, Baba yangu wa mbinguni atawafanyia jambo hilo. \t ܬܘܒ ܐܡܪܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܢ ܬܪܝܢ ܡܢܟܘܢ ܢܫܬܘܘܢ ܒܐܪܥܐ ܥܠ ܟܠ ܨܒܘ ܕܢܫܐܠܘܢ ܢܗܘܐ ܠܗܘܢ ܡܢ ܠܘܬ ܐܒܝ ܕܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atawatenganisha watu kama mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi. \t ܘܢܬܟܢܫܘܢ ܩܕܡܘܗܝ ܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܘܢܦܪܫ ܐܢܘܢ ܚܕ ܡܢ ܚܕ ܐܝܟ ܪܥܝܐ ܕܡܦܪܫ ܥܪܒܐ ܡܢ ܓܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kama mkono au mguu wako ukikukosesha, ukate na kuutupa mbali nawe. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima bila mkono au mguu, kuliko kutupwa katika moto wa milele ukiwa na mikono miwili na miguu yako miwili. \t ܐܢ ܕܝܢ ܐܝܕܟ ܐܘ ܪܓܠܟ ܡܟܫܠܐ ܠܟ ܦܤܘܩܝܗ ܘܫܕܝܗ ܡܢܟ ܛܒ ܗܘ ܠܟ ܕܬܥܘܠ ܠܚܝܐ ܟܕ ܚܓܝܤ ܐܢܬ ܐܘ ܟܕ ܦܫܝܓ ܘܠܐ ܟܕ ܐܝܬ ܠܟ ܬܪܬܝܢ ܐܝܕܝܢ ܐܘ ܬܪܬܝܢ ܪܓܠܝܢ ܬܦܠ ܒܢܘܪܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwake Mungu uwe utukufu katika kanisa na katika Kristo Yesu, nyakati zote, milele na milele! Amina. \t ܠܗ ܬܫܒܘܚܬܐ ܒܥܕܬܗ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܟܠܗܘܢ ܕܪܐ ܕܥܠܡܝ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Petro aliporudi Yerusalemu, wale Wayahudi waumini waliopendelea watu wa mataifa mengine watahiriwe, walimlaumu wakisema: \t ܘܟܕ ܤܠܩ ܫܡܥܘܢ ܠܐܘܪܫܠܡ ܕܝܢܝܢ ܗܘܘ ܥܡܗ ܗܢܘܢ ܕܡܢ ܓܙܘܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na hayo, wengi wa wafuasi wake walirudi nyuma wasiandamane naye tena. \t ܡܛܠ ܗܕܐ ܡܠܬܐ ܤܓܝܐܐ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܙܠܘ ܠܒܤܬܪܗܘܢ ܘܠܐ ܡܗܠܟܝܢ ܗܘܘ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, mtakapoona Chukizo Haribifu lililonenwa na nabii Danieli limesimama mahali patakatifu, (msomaji na atambue maana yake), \t ܡܐ ܕܝܢ ܕܚܙܝܬܘܢ ܐܬܐ ܛܢܦܬܐ ܕܚܘܪܒܐ ܕܐܬܐܡܪ ܒܕܢܝܐܝܠ ܢܒܝܐ ܕܩܝܡܐ ܒܕܘܟܬܐ ܩܕܝܫܬܐ ܗܘ ܕܩܪܐ ܢܤܬܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya. \t ܕܙܒܢܝܢ ܩܐܪܤܗܘܢ ܡܛܠ ܕܝܘܡܬܐ ܒܝܫܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na sasa naja kwako; simo tena ulimwenguni, lakini wao wamo ulimwenguni. Baba Mtakatifu! Kwa nguvu ya jina lako ulilonipa, tafadhali uwaweke salama ili wawe kitu kimoja kama sisi tulivyo mmoja. \t ܡܟܝܠ ܠܐ ܗܘܝܬ ܒܥܠܡܐ ܘܗܠܝܢ ܒܥܠܡܐ ܐܢܘܢ ܘܐܢܐ ܠܘܬܟ ܐܬܐ ܐܢܐ ܐܒܐ ܩܕܝܫܐ ܛܪ ܐܢܘܢ ܒܫܡܟ ܗܘ ܕܝܗܒܬ ܠܝ ܕܢܗܘܘܢ ܚܕ ܐܝܟܢܐ ܕܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, kuhusu vyakula vilivyotambikiwa sanamu, twajua kwamba sanamu si kitu duniani; twajua kwamba Mungu ni mmoja tu. \t ܥܠ ܡܐܟܘܠܬܐ ܗܟܝܠ ܕܕܒܚܐ ܕܦܬܟܪܐ ܝܕܥܝܢܢ ܕܠܐ ܗܘܐ ܡܕܡ ܗܘ ܦܬܟܪܐ ܒܥܠܡܐ ܘܕܠܝܬ ܐܠܗ ܐܚܪܝܢ ܐܠܐ ܐܢ ܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ibilisi, aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele. \t ܘܐܟܠܩܪܨܐ ܡܛܥܝܢܗܘܢ ܐܬܪܡܝ ܒܝܡܬܐ ܕܢܘܪܐ ܘܟܒܪܝܬܐ ܐܝܟܐ ܕܚܝܘܬܐ ܘܢܒܝܐ ܕܓܠܐ ܘܢܫܬܢܩܘܢ ܐܝܡܡܐ ܘܠܠܝܐ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maandiko Matakatifu yalionyesha kabla kwamba Mungu atawakubali watu wa mataifa kuwa waadilifu kwa njia ya imani. Hivyo Maandiko Matakatifu yalitangulia kumtangazia Abrahamu Habari Njema: \"Katika wewe mataifa yote yatabarikiwa.\" \t ܡܛܠ ܓܝܪ ܕܩܕܡ ܝܕܥ ܐܠܗܐ ܕܒܗܝܡܢܘܬܐ ܗܘ ܡܙܕܕܩܝܢ ܥܡܡܐ ܩܕܡ ܤܒܪ ܠܐܒܪܗܡ ܐܝܟ ܕܐܡܪ ܟܬܒܐ ܩܕܝܫܐ ܕܒܟ ܢܬܒܪܟܘܢ ܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawauliza, \"Yasemekanaje kwamba Kristo ni mwana wa Daudi? \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܐܝܟܢܐ ܐܡܪܝܢ ܤܦܪܐ ܥܠ ܡܫܝܚܐ ܕܒܪܗ ܗܘ ܕܕܘܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hizo zote ni kazi za Roho huyohuyo mmoja, ambaye humpa kila mtu kipaji tofauti, kama apendavyo mwenyewe. \t ܟܠܗܝܢ ܕܝܢ ܗܠܝܢ ܚܕܐ ܗܝ ܪܘܚܐ ܤܥܪܐ ܘܡܦܠܓܐ ܠܟܠܢܫ ܐܝܟ ܕܗܝ ܨܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja wao alikuwa Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu. Basi, yeye akawaambia, \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܢܝܩܕܡܘܤ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܗܘ ܕܐܬܐ ܗܘܐ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܒܠܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nilitoka kwa Baba, nikaja ulimwenguni; na sasa nauacha ulimwengu na kurudi kwa Baba.\" \t ܢܦܩܬ ܡܢ ܠܘܬ ܐܒܐ ܘܐܬܝܬ ܠܥܠܡܐ ܘܬܘܒ ܫܒܩ ܐܢܐ ܠܥܠܡܐ ܘܐܙܠ ܐܢܐ ܠܝ ܠܘܬ ܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawaambia, \"Mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari na Mungu yaliyo yake Mungu.\" Wakashangazwa sana naye. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܕܩܤܪ ܗܒܘ ܠܩܤܪ ܘܕܐܠܗܐ ܠܐܠܗܐ ܘܬܡܗܘ ܗܘܘ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea. \t ܘܡܢܬܐ ܡܢ ܪܫܟܘܢ ܠܐ ܬܐܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipendelea kusifiwa na watu kuliko kusifiwa na Mungu \t ܪܚܡܘ ܓܝܪ ܫܘܒܚܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܝܬܝܪ ܡܢ ܫܘܒܚܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mimi niwe ndani yao, nawe uwe ndani yangu; naomba wakamilishwe na kuwa kitu kimoja, ili ulimwengu upate kujua kwamba wewe ulinituma, na kwamba unawapenda wao kama unavyonipenda mimi. \t ܐܢܐ ܒܗܘܢ ܘܐܢܬ ܒܝ ܕܢܗܘܘܢ ܓܡܝܪܝܢ ܠܚܕ ܘܕܢܕܥ ܥܠܡܐ ܕܐܢܬ ܫܕܪܬܢܝ ܘܕܐܚܒܬ ܐܢܘܢ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܠܝ ܐܚܒܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pia alisema: \"Bwana, wewe uliumba dunia hapo mwanzo, mbingu ni kazi ya mikono yako. \t ܘܬܘܒ ܐܢܬ ܡܢ ܒܪܝܫܝܬ ܤܡܬ ܫܬܐܤܝܗ ܕܐܪܥܐ ܘܫܡܝܐ ܥܒܕ ܐܝܕܝܟ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na baba yangu aliye mbinguni atawafanyieni vivyo hivyo kama kila mmoja wenu hatamsamehe ndugu yake kwa moyo wake wote.\" \t ܘܪܓܙ ܡܪܗ ܘܐܫܠܡܗ ܠܡܢܓܕܢܐ ܥܕܡܐ ܕܢܦܪܘܥ ܟܠ ܡܕܡ ܕܚܝܒ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: \"Lazaro! Toka nje!\" \t ܘܟܕ ܐܡܪ ܗܠܝܢ ܩܥܐ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܠܥܙܪ ܬܐ ܠܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na pale karibu na mlango wa Hekalu uitwao \"Mlango Mzuri\", palikuwa na mtu mmoja, kiwete tangu kuzaliwa. Watu walimbeba huyo mtu kila siku na kumweka hapo ili aombe chochote kwa wale waliokuwa wakiingia Hekaluni. \t ܘܗܐ ܓܒܪܐ ܚܕ ܚܓܝܪܐ ܕܡܢ ܟܪܤ ܐܡܗ ܫܩܝܠܝܢ ܗܘܘ ܐܢܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܡܥܕܝܢ ܗܘܘ ܡܝܬܝܢ ܘܤܝܡܝܢ ܠܗ ܒܬܪܥܐ ܕܗܝܟܠܐ ܕܡܬܩܪܐ ܫܦܝܪܐ ܕܢܗܘܐ ܫܐܠ ܙܕܩܬܐ ܡܢ ܗܢܘܢ ܕܥܐܠܝܢ ܠܗܝܟܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakamwomba awaruhusu waguse tu pindo la vazi lake; wote waliomgusa walipona. \t ܘܐܫܬܘܕܥܘܗܝ ܐܢܫܐ ܕܐܬܪܐ ܗܘ ܘܫܕܪܘ ܠܟܠܗܝܢ ܩܘܪܝܐ ܕܚܕܪܝܗܘܢ ܘܩܪܒܘ ܠܗ ܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܒܝܫ ܒܝܫ ܥܒܝܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu.\" \t ܐܢ ܗܟܝܠ ܬܤܓܘܕ ܩܕܡܝ ܕܝܠܟ ܢܗܘܐ ܟܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndani yake zimefichika hazina zote za hekima na elimu. \t ܗܘ ܕܒܗ ܟܤܝܢ ܟܠܗܝܢ ܤܝܡܬܐ ܕܚܟܡܬܐ ܘܕܝܕܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote walikuwa wanalia; wakamwaga kwa kumkumbatia na kumbusu. \t ܘܗܘܬ ܒܟܬܐ ܪܒܬܐ ܒܟܠܗܘܢ ܘܥܦܩܘܗܝ ܘܡܢܫܩܝܢ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadaye, mtumishi huyo akasema: Bwana mambo yamefanyika kama ulivyoamuru, lakini bado iko nafasi. \t ܘܐܡܪ ܥܒܕܐ ܡܪܝ ܗܘܐ ܐܝܟ ܕܦܩܕܬ ܘܬܘܒ ܐܝܬ ܐܬܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ikiwa mtaumana na kutafunana kama wanyama, jihadharini msije mkaangamizana wenyewe kwa wenyewe! \t ܐܢ ܕܝܢ ܚܕ ܠܚܕ ܡܢܟܬܝܬܘܢ ܘܐܟܠܝܬܘܢ ܚܙܘ ܕܠܡܐ ܚܕ ܡܢ ܚܕ ܬܤܘܦܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ishini kama watu huru; lakini msiutumie uhuru wenu kuuficha ubaya, bali ishini kama watumishi wa Mungu. \t ܐܝܟ ܒܢܝ ܚܐܪܐ ܘܠܐ ܐܝܟ ܐܢܫܐ ܕܥܒܝܕܐ ܠܗܘܢ ܚܐܪܘܬܗܘܢ ܬܚܦܝܬܐ ܠܒܝܫܘܬܗܘܢ ܐܠܐ ܐܝܟ ܥܒܕܘܗܝ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo Petro alikuwa anaendelea kupiga hodi. Mwishowe walifungua mlango, wakamwona, wakashangaa. \t ܘܫܡܥܘܢ ܢܩܫ ܗܘܐ ܒܬܪܥܐ ܘܢܦܩܘ ܚܙܐܘܗܝ ܘܬܡܗܘ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sasa andika mambo haya unayoyaona, mambo yanayotukia sasa na yale yatakayotukia baadaye. \t ܟܬܘܒ ܗܟܝܠ ܡܐ ܕܚܙܝܬ ܘܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܝܢ ܘܥܬܝܕܢ ܠܡܗܘܐ ܒܬܪ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jumla tulikuwa watu mia mbili na sabini na sita katika meli. \t ܐܝܬܝܢ ܗܘܝܢ ܕܝܢ ܒܐܠܦܐ ܡܐܬܝܢ ܘܫܒܥܝܢ ܘܫܬ ܢܦܫܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ana maana gani anaposema: Mtanitafuta lakini hamtanipata, na mahali nitakapokuwa ninyi hamwezi kufika?\" \t ܡܢܐ ܗܝ ܗܕܐ ܡܠܬܐ ܕܐܡܪ ܕܬܒܥܘܢܢܝ ܘܠܐ ܬܫܟܚܘܢܢܝ ܘܐܝܟܐ ܕܐܢܐ ܐܝܬܝ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na nilipoanza tu kuongea, Roho Mtakatifu aliwashukia kama alivyotushukia sisi pale awali. \t ܘܟܕ ܐܩܦܬ ܗܘܝܬ ܬܡܢ ܠܡܡܠܠܘ ܐܓܢܬ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܥܠܝܗܘܢ ܐܝܟ ܡܐ ܕܥܠܝܢ ܡܢ ܩܕܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "hakuna tena wa kununua dhahabu yao, fedha, mawe ya thamani na lulu, kitani na nguo za rangi ya zambarau, hariri na nguo nyekundu; vyombo vya kila aina ya miti ya pekee, vyombo vya pembe za ndovu, vya miti ya thamani kubwa, vya shaba, chuma na marmari; \t ܡܘܒܠܐ ܕܕܗܒܐ ܘܕܤܐܡܐ ܘܕܟܐܦܐ ܝܩܝܪܬܐ ܘܕܡܪܓܢܝܬܐ ܘܕܒܘܨܐ ܘܕܐܪܓܘܢܐ ܘܫܐܪܝܐ ܕܙܚܘܪܝܬܐ ܘܟܠ ܩܝܤ ܕܒܤܡܐ ܘܟܠ ܡܐܢ ܕܫܢܐ ܘܟܠ ܡܐܢ ܕܩܝܤܐ ܝܩܝܪܐ ܘܢܚܫܐ ܘܦܪܙܠܐ ܘܫܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hao kumi na wawili walioteuliwa ndio hawa: Simoni (ambaye Yesu alimpa jina, Petro), \t ܘܫܡܝ ܠܫܡܥܘܢ ܫܡܐ ܟܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mpeni mateso na uchungu kadiri ya kujigamba kwake, na kuishi kwake kwa anasa. Maana anajisemea moyoni: Ninaketi hapa; mimi ni malkia. Mimi si mjane, wala sitapatwa na uchungu! \t ܥܠ ܡܕܡ ܕܫܒܚܬ ܢܦܫܗ ܘܐܫܬܥܠܝܬ ܕܐܝܟ ܗܟܢ ܫܘܢܩܐ ܘܐܒܠܐ ܡܛܠ ܕܒܠܒܗ ܐܡܪܐ ܕܝܬܒܐ ܐܢܐ ܡܠܟܬܐ ܘܐܪܡܠܬܐ ܠܝܬܝ ܘܐܒܠܐ ܠܐ ܐܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makuhani wakuu na walimu wa Sheria waliposikia hayo, walianza kutafuta njia ya kumwangamiza. Lakini walimwogopa kwa sababu umati wa watu ulishangazwa na mafundisho yake. \t ܘܫܡܥܘ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܤܦܪܐ ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܕܐܝܟܢܐ ܢܘܒܕܘܢܝܗܝ ܕܚܠܝܢ ܗܘܘ ܓܝܪ ܡܢܗ ܡܛܠ ܕܟܠܗ ܥܡܐ ܬܡܝܗܝܢ ܗܘܘ ܒܝܘܠܦܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nilipoona kuwa msimamo wao kuhusu ukweli wa Habari Njema haukuwa umenyooka, nikamwambia Kefa mbele ya watu wote: \"Ingawa wewe ni Myahudi, unaishi kama watu wa mataifa mengine na si kama Myahudi! Unawezaje, basi kujaribu kuwalazimisha watu wa mataifa mengine kuishi kama Wayahudi?\" \t ܘܟܕ ܚܙܝܬ ܕܠܐ ܐܙܠܝܢ ܬܪܝܨܐܝܬ ܒܫܪܪܗ ܕܐܘܢܓܠܝܘܢ ܐܡܪܬ ܠܟܐܦܐ ܠܥܝܢ ܟܠܗܘܢ ܐܢ ܐܢܬ ܕܝܗܘܕܝܐ ܐܢܬ ܐܪܡܐܝܬ ܚܝܐ ܐܢܬ ܘܠܐ ܝܗܘܕܐܝܬ ܐܝܟܢܐ ܐܠܨ ܐܢܬ ܠܥܡܡܐ ܕܝܗܘܕܐܝܬ ܢܚܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu hao ni kama chemchemi zilizokauka, kama mawingu yanayopeperushwa na tufani; makao yao waliyowekewa ni mahali pa giza kuu. \t ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܡܥܝܢܐ ܕܠܐ ܡܝܐ ܥܢܢܐ ܕܡܢ ܥܠܥܠܐ ܡܬܪܕܦܢ ܗܠܝܢ ܕܥܡܛܢܐ ܕܚܫܘܟܐ ܢܛܝܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakawashtaki kwa mahakimu wakisema, \"Watu hawa ni Wayahudi na wanafanya fujo katika mji wetu. \t ܘܩܪܒܘ ܐܢܘܢ ܠܐܤܛܪܛܓܐ ܘܠܪܫܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܕܗܠܝܢ ܐܢܫܐ ܡܕܠܚܝܢ ܠܗ ܠܡܕܝܢܬܢ ܡܛܠ ܕܝܗܘܕܝܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni kweli, kuna wengine papa hapa ambao hawatakufa kabla ya kuuona Ufalme wa Mungu.\" \t ܫܪܪܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܝܬ ܐܢܫܐ ܕܩܝܡܝܢ ܗܪܟܐ ܕܠܐ ܢܛܥܡܘܢ ܡܘܬܐ ܥܕܡܐ ܕܢܚܙܘܢ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maadamu kila kitu kitaharibiwa namna hiyo, je, ninyi mnapaswa kuwa watu wa namna gani? Mnapaswa kuishi kitakatifu na kumcha Mungu, \t ܟܕ ܗܟܝܠ ܗܠܝܢ ܟܠܗܘܢ ܡܫܬܪܝܢ ܕܐܝܟ ܐܝܠܝܢ ܙܕܩ ܠܟܘܢ ܕܬܗܘܘܢ ܒܗܘܦܟܝܟܘܢ ܩܕܝܫܐ ܘܒܕܚܠܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni hakika, kizazi hiki cha sasa hakitapita kabla ya hayo yote kutendeka. \t ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܬܥܒܪ ܫܪܒܬܐ ܗܕܐ ܥܕܡܐ ܕܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܢܗܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilipigwa viboko mara tatu, nilipigwa mawe mara moja; mara tatu nilivunjikiwa meli baharini, na humo nikakesha usiku kucha na kushinda mchana kutwa. \t ܬܠܬ ܙܒܢܝܢ ܒܫܒܛܐ ܐܬܢܓܕܬ ܚܕܐ ܙܒܢ ܐܬܪܓܡܬ ܬܠܬ ܙܒܢܝܢ ܗܘܝܬ ܢܘܘܓܐ ܐܝܡܡܐ ܘܠܠܝܐ ܕܠܐ ܤܦܝܢܬܐ ܒܝܡܐ ܗܘܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Petro alipomwona huyo akamwuliza Yesu, \"Bwana, na huyu je?\" \t ܠܗܢܐ ܟܕ ܚܙܐ ܟܐܦܐ ܐܡܪ ܠܝܫܘܥ ܡܪܝ ܘܗܢܐ ܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata kama viko vitu viitwavyo miungu duniani au mbinguni, na hata kama wako miungu na mabwana wengi, \t ܐܦܢ ܓܝܪ ܐܝܬ ܕܡܬܩܪܝܢ ܐܠܗܐ ܐܘ ܒܫܡܝܐ ܐܘ ܒܐܪܥܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܝܬ ܐܠܗܐ ܤܓܝܐܐ ܘܡܪܘܬܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi wake: \"Ni lazima Mwana wa Mtu apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wazee na makuhani wakuu na walimu wa Sheria. Atauawa na baada ya siku tatu atafufuka.\" \t ܘܫܪܝ ܗܘܐ ܠܡܠܦܘ ܐܢܘܢ ܕܥܬܝܕ ܗܘ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܕܢܚܫ ܤܓܝ ܘܕܢܤܬܠܐ ܡܢ ܩܫܝܫܐ ܘܡܢ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܡܢ ܤܦܪܐ ܘܢܬܩܛܠ ܘܠܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܢܩܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane alipokwisha fungwa gerezani, Yesu alikwenda Galilaya, akahubiri Habari Njema ya Mungu, akisema, \t ܒܬܪ ܕܐܫܬܠܡ ܕܝܢ ܝܘܚܢܢ ܐܬܐ ܠܗ ܝܫܘܥ ܠܓܠܝܠܐ ܘܡܟܪܙ ܗܘܐ ܤܒܪܬܐ ܕܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Yesu akawaambia wanafunzi wake, \"Kweli nawaambieni, itakuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܥܛܠܐ ܗܝ ܠܥܬܝܪܐ ܕܢܥܘܠ ܠܡܠܟܘܬ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, mtawala Herode, alipata habari za mambo yote yaliyokuwa yanatendeka, akawa na wasiwasi kwa vile walikuwa wakisema: \"Yohane amefufuka kutoka wafu!\" \t ܫܡܥ ܕܝܢ ܗܪܘܕܤ ܛܛܪܪܟܐ ܟܠܗܝܢ ܕܗܘܝܢ ܗܘܝ ܒܐܝܕܗ ܘܡܬܕܡܪ ܗܘܐ ܡܛܠ ܕܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܐܢܫܝܢ ܕܝܘܚܢܢ ܩܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "huyo amejaa majivuno na wala hajui chochote. Ni mtu wa kupenda ubishi na magombano juu ya maneno matupu, na hiyo husababisha wivu, ugomvi, matusi, shuku mbaya, \t ܗܢܐ ܡܬܪܝܡ ܟܕ ܡܕܡ ܠܐ ܝܕܥ ܐܠܐ ܟܪܝܗ ܒܕܪܫܐ ܘܒܒܥܬܐ ܕܡܠܐ ܕܡܢܗܝܢ ܗܘܐ ܚܤܡܐ ܘܚܪܝܢܐ ܘܓܘܕܦܐ ܘܡܤܡ ܒܪܥܝܢܐ ܒܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Chakula changu ni kufanya anachotaka yule aliyenituma na kuitimiza kazi yake. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܡܐܟܘܠܬܝ ܕܝܠܝ ܐܝܬܝܗ ܕܐܥܒܕ ܨܒܝܢܗ ܕܡܢ ܕܫܕܪܢܝ ܘܐܫܠܡܝܘܗܝ ܠܥܒܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tulipofika Roma, Paulo aliruhusiwa kukaa peke yake pamoja na askari mmoja wa kumlinda. \t ܘܥܠܢ ܠܪܗܘܡܐ ܘܐܦܤ ܩܢܛܪܘܢܐ ܠܦܘܠܘܤ ܕܢܫܪܐ ܐܝܟܐ ܕܨܒܐ ܥܡ ܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܗܘ ܕܢܛܪ ܗܘܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usiache kukitumia kile kipaji cha Kristo ndani yako ulichopewa kwa maneno ya manabii na kwa kuwekewa mikono na wazee. \t ܘܠܐ ܬܒܤܐ ܒܡܘܗܒܬܐ ܕܐܝܬ ܒܟ ܗܝ ܕܐܬܝܗܒܬ ܠܟ ܒܢܒܝܘܬܐ ܘܒܤܝܡ ܐܝܕܐ ܕܩܫܝܫܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu anataka ninyi muwe watakatifu na mjiepushe kabisa na maisha ya zinaa. \t ܗܢܘ ܓܝܪ ܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܩܕܝܫܘܬܟܘܢ ܘܕܬܗܘܘܢ ܦܪܝܩܝܢ ܡܢ ܟܠ ܙܢܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mfinyanzi anaweza kuutumia udongo apendavyo na kufinyanga vyungu viwili kwa udongo uleule; kimoja kwa matumizi ya heshima, na kingine kwa matumizi ya kawaida. \t ܐܘ ܠܐ ܫܠܝܛ ܦܚܪܐ ܥܠ ܛܝܢܗ ܕܡܢܗ ܡܢ ܓܒܝܠܬܐ ܢܥܒܕ ܡܐܢܐ ܚܕ ܠܐܝܩܪܐ ܘܚܕ ܠܨܥܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawauliza, \"Mnayo mikate mingapi? Nendeni mkatazame.\" Walipokwisha tazama, wakamwambia, \"Kuna mikate mitano na samaki wawili.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘ ܚܙܘ ܟܡܐ ܠܚܡܝܢ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܗܪܟܐ ܘܟܕ ܚܙܘ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܚܡܫܐ ܠܚܡܝܢ ܘܬܪܝܢ ܢܘܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi ya Mafarisayo wakasema, \"Mtu huyu hakutoka kwa Mungu, maana hashiki sheria ya Sabato.\" Lakini wengine wakasema, \"Mtu mwenye dhambi awezaje kufanya ishara za namna hii?\" Kukawa na mafarakano kati yao. \t ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܐܢܫܐ ܡܢ ܦܪܝܫܐ ܗܢܐ ܓܒܪܐ ܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܗܘ ܕܫܒܬܐ ܠܐ ܢܛܪ ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܐܝܟܢܐ ܡܫܟܚ ܓܒܪܐ ܚܛܝܐ ܗܠܝܢ ܐܬܘܬܐ ܠܡܥܒܕ ܘܦܠܓܘܬܐ ܐܝܬ ܗܘܬ ܒܝܢܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao ndio watu wanaosababisha mafarakano, watu wanaotawaliwa na tamaa zao za kidunia, watu wasio na Roho wa Mungu. \t ܗܠܝܢ ܐܝܬܝܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܦܪܫܝܢ ܢܦܫܢܝܐ ܕܪܘܚܐ ܠܝܬ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jumapili, alfajiri na mapema, wale wanawake walikwenda kaburini wakichukua yale manukato waliyotayarisha. \t ܒܚܕ ܒܫܒܐ ܕܝܢ ܒܫܦܪܐ ܥܕ ܚܫܘܟ ܐܬܝ ܠܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܘܐܝܬܝ ܗܪܘܡܐ ܗܠܝܢ ܕܛܝܒ ܗܘܝ ܘܐܝܬ ܗܘܝ ܥܡܗܝܢ ܢܫܐ ܐܚܪܢܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alifanya hivyo apate kuwatayarisha watu wote wa Mungu kwa ajili ya kazi ya huduma ya Kikristo ili kuujenga mwili wa Kristo, \t ܠܓܡܪܐ ܕܩܕܝܫܐ ܠܥܒܕܐ ܕܬܫܡܫܬܐ ܠܒܢܝܢܐ ܕܦܓܪܐ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kweli mimi mwenyewe niliamini kwamba ni wajibu wangu kufanya mambo mengi kulipinga jina la Yesu wa Nazareti. \t ܐܢܐ ܓܝܪ ܡܢ ܩܕܝܡ ܤܡܬ ܒܪܥܝܢܝ ܕܤܩܘܒܠܐ ܤܓܝܐܐ ܐܤܥܘܪ ܠܘܩܒܠ ܫܡܗ ܕܝܫܘܥ ܢܨܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Namshukuru Mungu kwamba sikumbatiza mtu yeyote miongoni mwenu isipokuwa tu Krispo na Gayo. \t ܡܘܕܐ ܐܢܐ ܠܐܠܗܝ ܕܠܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܠܐ ܐܥܡܕܬ ܐܠܐ ܠܟܪܝܤܦܘܤ ܘܠܓܐܝܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika.\" \t ܐܢܬܘܢ ܤܩܘ ܠܥܕܥܕܐ ܗܢܐ ܐܢܐ ܠܐ ܤܠܩ ܐܢܐ ܗܫܐ ܠܥܕܥܕܐ ܗܢܐ ܡܛܠ ܕܙܒܢܐ ܕܝܠܝ ܠܐ ܥܕܟܝܠ ܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nanyi pia watu wa mataifa mengine, mliusikia ujumbe wa kweli yaani Habari Njema iliyowaletea wokovu, mkamwamini Kristo; naye Mungu, ili kuonyesha kuwa ninyi ni wake, akawapiga mhuri kwa kuwapeni yule Roho Mtakatifu aliyetuahidia. \t ܕܐܦ ܐܢܬܘܢ ܒܗ ܫܡܥܬܘܢ ܡܠܬܐ ܕܩܘܫܬܐ ܕܐܝܬܝܗ ܤܒܪܬܐ ܕܚܝܝܟܘܢ ܘܒܗ ܗܝܡܢܬܘܢ ܘܐܬܚܬܡܬܘܢ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܕܡܠܝܟܐ ܗܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie Herode; hivyo wakarudi makwao kwa njia nyingine. \t ܘܐܬܚܙܝ ܠܗܘܢ ܒܚܠܡܐ ܕܠܐ ܢܗܦܟܘܢ ܠܘܬ ܗܪܘܕܤ ܘܒܐܘܪܚܐ ܐܚܪܬܐ ܐܙܠܘ ܠܐܬܪܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao wakamjibu, \"Baba yetu ni Abrahamu!\" Yesu akawaambia, \"Kama ninyi mngekuwa watoto wa Abrahamu, mngefanya kama alivyofanya Abrahamu, \t ܥܢܘ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܒܘܢ ܕܝܠܢ ܐܒܪܗܡ ܗܘ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܠܘ ܒܢܘܗܝ ܗܘܝܬܘܢ ܕܐܒܪܗܡ ܥܒܕܘܗܝ ܕܐܒܪܗܡ ܥܒܕܝܢ ܗܘܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa nje wataonekana kama watu wenye kumcha Mungu, lakini wataikana nguvu yake. Jiepushe kabisa na watu wa namna hiyo. \t ܕܐܝܬ ܠܗܘܢ ܐܤܟܡܐ ܕܕܚܠܬ ܐܠܗܐ ܘܡܢ ܚܝܠܗ ܪܚܝܩܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܗܟܢܐ ܐܢܘܢ ܕܚܘܩ ܐܢܘܢ ܡܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kwa dhabihu yake moja tu, amewafanya kuwa wakamilifu milele wale wanaotakaswa dhambi zao. \t ܒܚܕ ܓܝܪ ܩܘܪܒܢܐ ܓܡܪ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܬܩܕܫܝܢ ܒܗ ܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vitu vyote vya ulimwengu-tamaa mbaya za mwili, vitu wanavyoviona watu na kuvitamani, majivuno yasababishwayo na mali-vyote hivyo havitoki kwa Baba, bali vyatoka kwa ulimwengu. \t ܟܠ ܡܕܡ ܓܝܪ ܕܐܝܬ ܒܗ ܒܥܠܡܐ ܪܓܬܐ ܗܘ ܕܦܓܪܐ ܘܪܓܬܐ ܕܥܝܢܐ ܘܫܘܒܗܪܐ ܕܥܠܡܐ ܗܠܝܢ ܕܠܐ ܗܘܝ ܡܢ ܐܒܐ ܐܠܐ ܡܢܗ ܐܢܝܢ ܡܢ ܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akaniambia: Paulo usiogope! Ni lazima utasimama mbele ya Kaisari; naye Mungu, kwa wema wake, amekufadhili kwa kuwaokoa wote wanaosafiri nawe wasiangamie. \t ܘܐܡܪ ܠܝ ܠܐ ܬܕܚܠ ܦܘܠܐ ܥܬܝܕ ܗܘ ܠܟ ܠܡܩܡ ܩܕܡ ܩܤܪ ܘܗܐ ܝܗܒ ܠܟ ܐܠܗܐ ܡܘܗܒܬܐ ܠܟܠ ܕܪܕܝܢ ܥܡܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usimkemee mtu mzee, bali msihi kama vile angekuwa baba yako. Watendee vijana kama ndugu zako, \t ܒܩܫܝܫܐ ܠܐ ܬܓܥܘܪ ܐܠܐ ܐܦܝܤܝܗܝ ܐܝܟ ܕܠܐܒܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܛܠܝܢ ܐܝܟ ܕܠܐܚܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakazi wa nchi ya Gerase walishikwa na hofu kubwa. Kwa hiyo wakamwomba Yesu aondoke, aende zake. Hivyo Yesu alipanda tena mashua, akaondoka. \t ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗ ܟܠܗ ܟܢܫܐ ܕܓܕܪܝܐ ܕܢܐܙܠ ܠܗ ܡܢ ܠܘܬܗܘܢ ܡܛܠ ܕܕܚܠܬܐ ܪܒܬܐ ܐܚܕܬ ܐܢܘܢ ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܤܠܩ ܠܤܦܝܢܬܐ ܘܗܦܟ ܡܢ ܠܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mwaonaje?\" Wao wakamjibu, \"Anastahili kufa!\" \t ܡܢܐ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܢܘ ܘܐܡܪܝܢ ܚܝܒ ܗܘ ܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nakwambia, sisi twasema tunayoyajua na kushuhudia tuliyoyaona, lakini ninyi hamkubali ujumbe wetu. \t ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟ ܕܡܕܡ ܕܝܕܥܝܢ ܚܢܢ ܡܡܠܠܝܢ ܚܢܢ ܘܡܕܡ ܕܚܙܝܢ ܡܤܗܕܝܢ ܐܢܚܢܢ ܘܤܗܕܘܬܢ ܠܐ ܡܩܒܠܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu wetu ni mpole na mwenye huruma. Atasababisha pambazuko angavu la ukombozi litujie kutoka juu, \t ܒܪܚܡܐ ܕܚܢܢܐ ܕܐܠܗܢ ܕܒܗܘܢ ܢܤܥܪܢ ܕܢܚܐ ܡܢ ܪܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakawa wanatafuta wakati wa kufaa. Wakawahonga watu fulani wajisingizie kuwa wema, wakawatuma wamnase Yesu kwa maswali, na hivyo waweze kumtia nguvuni na kumpeleka kwa wakuu wa serikali. \t ܘܫܕܪܘ ܠܘܬܗ ܓܫܘܫܐ ܕܡܬܕܡܝܢ ܒܙܕܝܩܐ ܕܢܐܚܕܘܢܝܗܝ ܒܡܠܬܐ ܘܢܫܠܡܘܢܝܗܝ ܠܕܝܢܐ ܘܠܫܘܠܛܢܗ ܕܗܓܡܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu usiku, akaja akiwa amechukua mchanganyiko wa manemane na ubani kiasi cha kilo thelathini. \t ܘܐܬܐ ܐܦ ܢܝܩܕܡܘܤ ܗܘ ܕܐܬܐ ܗܘܐ ܡܢ ܩܕܝܡ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܒܠܠܝܐ ܘܐܝܬܝ ܥܡܗ ܚܘܢܛܬܐ ܕܡܘܪܐ ܘܕܥܠܘܝ ܐܝܟ ܡܐܐ ܠܝܛܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mwenye kuuzingatia ukweli huja kwenye mwanga, ili matendo yake yaonekane yametendwa kwa kumtii Mungu.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܥܒܕ ܫܪܪܐ ܐܬܐ ܠܘܬ ܢܘܗܪܐ ܕܢܬܝܕܥܘܢ ܥܒܕܘܗܝ ܕܒܐܠܗܐ ܥܒܝܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnasafiri baharini na nchi kavu ili kumpata mtu mmoja afuate dini yenu. Mnapompata, mnamfanya astahili maradufu kwenda katika moto wa Jehanamu kuliko ninyi wenyewe. \t ܘܝ ܠܟܘܢ ܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܕܡܬܟܪܟܝܢ ܐܢܬܘܢ ܝܡܐ ܘܝܒܫܐ ܕܬܥܒܕܘܢ ܚܕ ܓܝܘܪܐ ܘܡܐ ܕܗܘܐ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܒܪܗ ܕܓܗܢܐ ܐܥܦܐ ܥܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wanafunzi kumi na mmoja walikwenda Galilaya kwenye ule mlima aliowaagiza Yesu. \t ܬܠܡܝܕܐ ܕܝܢ ܚܕܥܤܪ ܐܙܠܘ ܠܓܠܝܠܐ ܠܛܘܪܐ ܐܝܟܐ ܕܘܥܕ ܐܢܘܢ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, inueni mikono yenu inayolegea na kuimarisha magoti yenu yaliyo dhaifu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܝܕܝܟܘܢ ܡܫܪܝܬܐ ܘܒܘܪܟܝܟܘܢ ܪܥܠܬܐ ܫܪܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hapo Pilato akamtia Yesu mikononi mwao ili asulubiwe. Basi, wakamchukua Yesu. \t ܗܝܕܝܢ ܐܫܠܡܗ ܠܗܘܢ ܕܢܙܩܦܘܢܝܗܝ ܘܕܒܪܘܗܝ ܠܝܫܘܥ ܘܐܦܩܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na Wagiriki kadhaa miongoni mwa watu waliokuwa wamefika Yerusalemu kuabudu wakati wa sikukuu hiyo. \t ܐܝܬ ܗܘܘ ܕܝܢ ܐܦ ܡܢ ܥܡܡܐ ܐܢܫܐ ܒܗܘܢ ܕܤܠܩܘ ܠܡܤܓܕ ܒܥܕܥܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wakati wa usiku wanafunzi wake walimchukua, wakamteremsha chini ndani ya kapu kubwa kwa kupitia nafasi iliyokuwako ukutani. \t ܗܝܕܝܢ ܤܡܘܗܝ ܬܠܡܝܕܐ ܒܐܤܦܪܝܕܐ ܘܫܒܘܗܝ ܡܢ ܫܘܪܐ ܒܠܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na hayo, tuseme nini zaidi? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, nani awezaye kutupinga? \t ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܢܐܡܪ ܥܠ ܗܠܝܢ ܐܢ ܐܠܗܐ ܚܠܦܝܢ ܡܢܘ ܕܠܩܘܒܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ninaandika barua hii nikiwa mbali, ili nitakapofika kwenu nisilazimike kuwa mkali kwenu kwa kutumia ule uwezo alionipa Bwana; naam, uwezo wa kujenga na si wa kubomoa. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܟܕ ܪܚܝܩ ܐܢܐ ܗܠܝܢ ܟܬܒ ܐܢܐ ܕܠܐ ܡܐ ܕܐܬܝܬ ܩܫܝܐܝܬ ܐܤܥܘܪ ܐܝܟ ܫܘܠܛܢܐ ܕܝܗܒ ܠܝ ܡܪܝ ܠܒܢܝܢܟܘܢ ܘܠܐ ܠܤܘܚܦܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yuda alimzaa Faresi na Zera (mama yao alikuwa Tamari), Faresi alimzaa Hesroni, Hesroni alimzaa Rami, \t ܝܗܘܕܐ ܐܘܠܕ ܠܦܪܨ ܘܠܙܪܚ ܡܢ ܬܡܪ ܦܪܨ ܐܘܠܕ ܠܚܨܪܘܢ ܚܨܪܘܢ ܐܘܠܕ ܠܐܪܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mama huyo alikuwa Mgiriki, mwenyeji wa Sirofoinike. Basi, akamwomba Yesu amtoe binti yake pepo mchafu. \t ܗܝ ܕܝܢ ܐܢܬܬܐ ܐܝܬܝܗ ܗܘܬ ܚܢܦܬܐ ܡܢ ܦܘܢܝܩܐ ܕܤܘܪܝܐ ܘܒܥܝܐ ܗܘܬ ܡܢܗ ܕܢܦܩ ܫܐܕܐ ܡܢ ܒܪܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mfalme Agripa, je, una imani na manabii? Najua kwamba unaamini.\" \t ܡܗܝܡܢ ܐܢܬ ܡܠܟܐ ܐܓܪܦܐ ܠܢܒܝܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܕܡܗܝܡܢ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku hiyohiyo, wawili kati ya wafuasi wake Yesu wakawa wanakwenda katika kijiji kimoja kiitwacho Emau, umbali wa kilomita kumi na moja kutoka Yerusalemu. \t ܘܗܐ ܬܪܝܢ ܡܢܗܘܢ ܒܗ ܒܝܘܡܐ ܐܙܠܝܢ ܗܘܘ ܠܩܪܝܬܐ ܕܫܡܗ ܥܡܐܘܤ ܘܦܪܝܩܐ ܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܐܤܛܕܘܬܐ ܫܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akaenda pamoja nao bustanini Gethsemane, akawaambia wanafunzi wake, \"Kaeni hapa nami niende pale mbele kusali.\" \t ܗܝܕܝܢ ܐܬܐ ܥܡܗܘܢ ܝܫܘܥ ܠܕܘܟܬܐ ܕܡܬܩܪܝܐ ܓܕܤܡܢ ܘܐܡܪ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܬܒܘ ܗܪܟܐ ܥܕ ܐܙܠ ܐܨܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadaye mwalimu mmoja wa Sheria alisimama akamwuliza akitaka kumtega, \"Mwalimu, nifanye nini ili nipate uzima wa milele?\" \t ܘܗܐ ܤܦܪܐ ܚܕ ܩܡ ܕܢܢܤܝܘܗܝ ܘܐܡܪ ܡܠܦܢܐ ܡܢܐ ܐܥܒܕ ܕܐܪܬ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Watu hawa wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi wenyewe tulivyompokea. Je, kuna yeyote atakayeweza kuwazuia wasibatizwe kwa maji?\" \t ܕܠܡܐ ܡܝܐ ܡܫܟܚ ܐܢܫ ܟܠܐ ܕܠܐ ܢܥܡܕܘܢ ܗܢܘܢ ܕܗܐ ܩܒܠܘ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܐܝܟ ܡܐ ܕܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaandikieni ninyi kina baba kwani mnamjua yeye ambaye amekuwako tangu mwanzo, Nawaandikieni ninyi vijana kwa sababu mmemshinda yule Mwovu. \t ܟܬܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܒܗܐ ܕܝܕܥܬܘܢܝܗܝ ܠܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܡܢ ܒܪܫܝܬ ܟܬܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܥܠܝܡܐ ܕܙܟܝܬܘܢܝܗܝ ܠܒܝܫܐ ܟܬܒܬ ܠܟܘܢ ܛܠܝܐ ܕܝܕܥܬܘܢ ܠܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na, ujumbe mliousikia tangu mwanzo ndio huu: Tunapaswa kupendana! \t ܕܗܢܘ ܦܘܩܕܢܐ ܕܫܡܥܬܘܢ ܡܢ ܩܕܝܡ ܕܬܚܒܘܢ ܚܕ ܠܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Nenda ukamwite mumeo uje naye hapa.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܙܠܝ ܩܪܝ ܠܒܥܠܟܝ ܘܬܝ ܠܗܪܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akakaa kimya. Kuhani Mkuu akamwambia, \"Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, twambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu!\" \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܫܬܝܩ ܗܘܐ ܘܥܢܐ ܪܒ ܟܗܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܘܡܐ ܐܢܐ ܠܟ ܒܐܠܗܐ ܚܝܐ ܕܬܐܡܪ ܠܢ ܐܢ ܐܢܬ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, mimi nakikabili kifo kila siku! Fahari niliyo nayo juu yenu katika kuungana na Kristo Yesu Bwana wetu inanifanya nitangaze jambo hili. \t ܝܡܐ ܐܢܐ ܒܫܘܒܗܪܟܘܢ ܐܚܝ ܕܐܝܬ ܠܝ ܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܟܠܝܘܡ ܡܐܬ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama vile watoto wachanga wanavyotamani maziwa, nanyi pia mnapaswa kuwa na hamu ya maziwa halisi ya kiroho, ili kwa nguvu yake mpate kukua na kukombolewa. \t ܘܗܘܘ ܐܝܟ ܝܠܘܕܐ ܫܒܪܐ ܘܐܬܪܓܪܓܘ ܠܗ ܠܡܠܬܐ ܐܝܟ ܕܠܚܠܒܐ ܢܩܕܐ ܘܪܘܚܢܐ ܕܒܗ ܬܬܪܒܘܢ ܠܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nina imani kubwa sana ninaposema nanyi; naona fahari kubwa juu yenu! Katika taabu zetu nimepata kitulizo kikubwa na kufurahi mno. \t ܦܪܗܤܝܐ ܤܓܝܐܬܐ ܐܝܬ ܠܝ ܠܘܬܟܘܢ ܘܤܓܝ ܐܝܬ ܠܝ ܒܟܘܢ ܫܘܒܗܪܐ ܘܡܠܐ ܐܢܐ ܒܘܝܐܐ ܘܤܘܓܐܐ ܡܬܝܬܪܐ ܒܝ ܚܕܘܬܐ ܒܟܠܗܘܢ ܐܘܠܨܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo, tulimsihi Tito aliyeianza kazi hiyo awasaidieni pia muitekeleze huduma hii ya upendo miongoni mwenu. \t ܕܚܢܢ ܢܒܥܐ ܡܢ ܛܛܘܤ ܕܐܝܟ ܕܫܪܝ ܗܟܢܐ ܢܫܠܡ ܒܟܘܢ ܐܦ ܛܝܒܘܬܐ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nyingine zilianguka kati ya miti ya miiba. Ile miti ya miiba ilipoota ikazisonga. \t ܘܐܚܪܢܐ ܢܦܠ ܒܝܬ ܟܘܒܐ ܘܝܥܘ ܥܡܗ ܟܘܒܐ ܘܚܢܩܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Wayahudi wakamzunguka, wakamwuliza, \"Utatuacha katika mashaka mpaka lini? Kama wewe ndiye Kristo, basi, tuambie wazi.\" \t ܘܚܕܪܘܗܝ ܝܗܘܕܝܐ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܥܕܡܐ ܠܐܡܬܝ ܢܤܒ ܐܢܬ ܢܦܫܢ ܐܢ ܐܢܬ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܐܡܪ ܠܢ ܓܠܝܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maiti zao zitabaki katika barabara za mji mkuu ambapo Bwana wao alisulubiwa; jina la kupanga la mji huo ni Sodoma au Misri. \t ܘܫܠܕܝܗܘܢ ܥܠ ܫܘܩܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܪܒܬܐ ܐܝܕܐ ܕܡܬܩܪܝܐ ܪܘܚܢܐܝܬ ܤܕܘܡ ܘܡܨܪܝܢ ܐܝܟܐ ܕܡܪܗܘܢ ܐܨܛܠܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, kama sisi tumeungana naye katika kufa kama yeye, vivyo hivyo tutaungana naye kwa kufufuliwa kutoka wafu kama yeye. \t ܐܢ ܓܝܪ ܐܟܚܕ ܐܬܢܨܒܢ ܥܡܗ ܒܕܡܘܬܐ ܕܡܘܬܗ ܗܟܢܐ ܐܦ ܒܩܝܡܬܗ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri yao wale wanaoosha mavazi yao, kwani watakuwa na haki ya kula tunda la mti wa uzima, na haki ya kuingia mjini kwa kupitia milango yake. \t ܛܘܒܝܗܘܢ ܠܕܥܒܕܝܢ ܦܘܩܕܢܘܗܝ ܢܗܘܐ ܫܘܠܛܢܗܘܢ ܥܠ ܩܝܤܐ ܕܚܝܐ ܘܒܬܪܥܐ ܢܥܠܘܢ ܠܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kamilisheni shughuli hiyo; na kama vile mlivyokuwa na hamu kubwa ya kusaidia, basi, fanyeni bidii vivyo hivyo, kadiri ya uwezo wenu, kuikamilisha. \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܫܠܡܘ ܒܥܒܕܐ ܗܘ ܡܕܡ ܕܨܒܝܬܘܢ ܕܐܝܟܢܐ ܕܗܘܐ ܠܟܘܢ ܤܘܘܚܐ ܠܡܨܒܐ ܗܟܢܐ ܒܥܒܕܐ ܬܫܠܡܘܢ ܡܢ ܡܐ ܕܐܝܬ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana akamwambia, \"Ninyi Mafarisayo huosha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa udhalimu na uovu. \t ܐܡܪ ܠܗ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܗܫܐ ܐܢܬܘܢ ܦܪܝܫܐ ܒܪܗ ܕܟܤܐ ܘܕܦܝܢܟܐ ܡܕܟܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܓܘ ܡܢܟܘܢ ܕܝܢ ܡܠܐ ܚܛܘܦܝܐ ܘܒܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Henoki, ambaye ni babu wa saba tangu Adamu, alibashiri hivi juu ya watu hawa: \"Sikilizeni! Bwana atakuja pamoja na maelfu ya malaika wake watakatifu \t ܐܬܢܒܝ ܕܝܢ ܐܦ ܠܗܠܝܢ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܕܫܒܥܐ ܡܢ ܐܕܡ ܚܢܘܟ ܟܕ ܐܡܪ ܕܗܐ ܡܪܝܐ ܐܬܐ ܒܪܒܘܬܐ ܕܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; cha maana ni kuwa kiumbe kipya. \t ܠܐ ܓܝܪ ܓܙܘܪܬܐ ܐܝܬܝܗ ܡܕܡ ܘܠܐ ܥܘܪܠܘܬܐ ܐܠܐ ܒܪܝܬܐ ܚܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "tukisingiziwa, tunajibu kwa adabu. Mpaka sasa tumetendewa kama uchafu wa dunia; na kwa kila mtu sisi ni takataka! \t ܡܨܚܝܢ ܠܢ ܘܒܥܝܢܢ ܡܢܗܘܢ ܐܝܟ ܢܦܬܐ ܕܥܠܡܐ ܗܘܝܢ ܘܟܘܦܪܐ ܕܟܠܢܫ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Udongo wenyewe huiwezesha mimea kukua na kuzaa matunda: kwanza huchipua jani changa, kisha suke, na mwishowe nafaka ndani ya suke. \t ܐܪܥܐ ܓܝܪ ܡܝܬܝܐ ܠܗ ܠܦܐܪܐ ܘܠܘܩܕܡ ܗܘܐ ܥܤܒܐ ܘܒܬܪܗ ܫܒܠܐ ܐܚܪܝܬ ܕܝܢ ܚܛܬܐ ܡܫܡܠܝܬܐ ܒܫܒܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi ni wapumbavu kwa ajili ya Kristo, lakini ninyi ni wenye busara katika kuungana na Kristo! Sisi ni dhaifu, ninyi ni wenye nguvu. Ninyi mnaheshimika, sisi tunadharauliwa. \t ܚܢܢ ܫܛܝܐ ܡܛܠ ܡܫܝܚܐ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܚܟܝܡܐ ܒܡܫܝܚܐ ܚܢܢ ܟܪܝܗܐ ܘܐܢܬܘܢ ܚܝܠܬܢܐ ܐܢܬܘܢ ܡܫܬܒܚܝܢ ܘܚܢܢ ܡܨܛܥܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Joka hilo liliburuta kwa mkia wake theluthi moja ya nyota za anga na kuzitupa duniani. Nalo lilisimama mbele ya huyo mama aliyekuwa karibu kujifungua mtoto, tayari kabisa kummeza mtoto, mara tu atakapozaliwa. \t ܘܕܘܢܒܗ ܓܪܫܐ ܠܬܘܠܬܐ ܕܟܘܟܒܐ ܕܒܫܡܝܐ ܘܐܪܡܝ ܐܢܘܢ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܬܢܝܢܐ ܩܐܡ ܗܘܐ ܩܕܡ ܐܢܬܬܐ ܕܥܬܝܕܐ ܕܬܐܠܕ ܕܡܐ ܕܝܠܕܬ ܢܐܟܠܝܘܗܝ ܠܒܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, tunawaombeni muwastahi wale wanaofanya kazi kati yenu, wale wanaowaongoza na kuwafundisheni kuhusu maisha ya Kikristo. \t ܒܥܝܢܢ ܕܝܢ ܡܢܟܘܢ ܐܚܝ ܕܗܘܝܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܐܝܢ ܒܟܘܢ ܘܩܝܡܝܢ ܒܐܦܝܟܘܢ ܒܡܪܢ ܘܡܠܦܝܢ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Si kwamba tunajaribu tena kujipendekeza kwenu, ila tunataka kuwapa ninyi sababu zetu za kuona fahari juu yenu, ili mpate kuwajibu wale wanaojivunia hali yao ya nje zaidi kuliko jinsi walivyo moyoni. \t ܠܐ ܗܘܐ ܬܘܒ ܢܦܫܢ ܡܫܒܚܝܢܢ ܠܟܘܢ ܐܠܐ ܥܠܬܐ ܗܘ ܝܗܒܝܢܢ ܠܟܘܢ ܕܗܘܝܬܘܢ ܡܫܬܒܗܪܝܢ ܒܢ ܠܘܬ ܗܢܘܢ ܕܒܐܦܐ ܗܘ ܡܫܬܒܗܪܝܢ ܘܠܐ ܒܠܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, mtawatambua kwa matendo yao. \t ܡܕܝܢ ܡܢ ܦܐܪܝܗܘܢ ܬܕܥܘܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mji ule mkuu ukapasuliwa sehemu tatu, nayo miji ya mataifa ikateketea. Babuloni, mji mkuu, haukusahauliwa na Mungu. Aliunywesha kikombe cha divai ya ghadhabu yake kuu. \t ܘܗܘܬ ܡܕܝܢܬܐ ܪܒܬܐ ܠܬܠܬ ܡܢܘܢ ܘܡܕܝܢܬܐ ܕܥܡܡܐ ܢܦܠܝ ܘܒܒܝܠ ܪܒܬܐ ܐܬܕܟܪܬ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܠܡܬܠ ܠܗ ܟܤܐ ܕܚܡܪܐ ܕܚܡܬܗ ܘܕܪܘܓܙܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yaani, badala ya kufanya lile jambo jema ninalotaka, nafanya lile baya nisilotaka. \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܠܛܒܬܐ ܕܨܒܐ ܐܢܐ ܕܐܥܒܕ ܥܒܕ ܐܢܐ ܐܠܐ ܒܝܫܬܐ ܕܠܐ ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܐܥܒܕ ܠܗ ܥܒܕ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sitafanya chochote bila kibali chako. Sipendi kukulazimisha unisaidie, kwani wema wako unapaswa kutokana na hiari yako wewe mwenyewe na si kwa kulazimika. \t ܒܠܥܕ ܡܠܟܟ ܕܝܢ ܠܐ ܨܒܝܬ ܡܕܡ ܠܡܥܒܕ ܕܠܐ ܐܝܟ ܕܒܩܛܝܪܐ ܬܗܘܐ ܛܒܬܟ ܐܠܐ ܒܨܒܝܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muda mrefu ulikuwa umepita, na hata siku ya kufunga ilikuwa imekwisha pita. Sasa ilikuwa hatari sana kusafiri kwa meli. Basi, Paulo aliwapa onyo: \t ܘܗܘܝܢ ܬܡܢ ܙܒܢܐ ܤܓܝܐܐ ܥܕܡܐ ܕܥܒܪ ܐܦ ܝܘܡܐ ܕܨܘܡܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܘܗܘܐ ܠܗ ܩܢܛܐ ܕܢܪܕܐ ܐܢܫ ܒܝܡܐ ܘܡܠܟ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܦܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mlikwisha sikia nikiwaambieni: Ninakwenda zangu, kisha nitarudi tena kwenu. Kama mngalinipenda mngalifurahi kwa sababu ninakwenda kwa Baba, maana yeye ni mkuu kuliko mimi. \t ܫܡܥܬܘܢ ܕܐܢܐ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܕܐܙܠ ܐܢܐ ܘܐܬܐ ܐܢܐ ܠܘܬܟܘܢ ܐܠܘ ܪܚܡܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܠܝ ܚܕܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܕܐܙܠ ܐܢܐ ܠܘܬ ܐܒܝ ܕܐܒܝ ܪܒ ܗܘ ܡܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambao ni siri aliyowaficha binadamu wote tangu milele, lakini sasa amewajulisha watu wake. \t ܐܪܙܐ ܗܘ ܕܡܟܤܝ ܗܘܐ ܡܢ ܥܠܡܐ ܘܡܢ ܕܪܐ ܗܫܐ ܕܝܢ ܐܬܓܠܝ ܠܩܕܝܫܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakauacha ule umati wa watu, wakamchukua Yesu katika mashua alimokuwa. Palikuwapo pia mashua nyingine hapo. \t ܘܫܒܩܘ ܠܟܢܫܐ ܘܕܒܪܘܗܝ ܟܕ ܒܤܦܝܢܬܐ ܗܘ ܘܤܦܝܢܐ ܐܚܪܢܝܬܐ ܐܝܬ ܗܘܝ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sioni aibu kutangaza Habari Njema; yenyewe ni nguvu ya Mungu inayowaokoa wote wanaoamini: Wayahudi kwanza, na wasio Wayahudi pia. \t ܠܐ ܓܝܪ ܒܗܬ ܐܢܐ ܒܗ ܒܐܘܢܓܠܝܘܢ ܡܛܠ ܕܚܝܠܐ ܗܘ ܕܐܠܗܐ ܠܚܝܐ ܕܟܠ ܕܡܗܝܡܢܝܢ ܒܗ ܐܢ ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܠܘܩܕܡ ܘܐܢ ܡܢ ܐܪܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Eti ikiwa waweza! Mambo yote yanawezekana kwa mtu aliye na imani.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢ ܡܫܟܚ ܐܢܬ ܕܬܗܝܡܢ ܟܠ ܡܕܡ ܡܫܟܚ ܕܢܗܘܐ ܠܡܢ ܕܡܗܝܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika akamjibu, \"Roho Mtakatifu atakushukia, na uwezo wake Mungu Mkuu utakujia kama kivuli; kwa sababu hiyo, mtoto atakayezaliwa ataitwa Mtakatifu, Mwana wa Mungu. \t ܥܢܐ ܡܠܐܟܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܬܐܬܐ ܘܚܝܠܗ ܕܥܠܝܐ ܢܓܢ ܥܠܝܟܝ ܡܛܠ ܗܢܐ ܗܘ ܕܡܬܝܠܕ ܒܟܝ ܩܕܝܫܐ ܗܘ ܘܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܢܬܩܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mkiwabagua watu, basi, mwatenda dhambi, nayo Sheria inawahukumu ninyi kuwa mna hatia. \t ܐܢ ܕܝܢ ܒܐܦܐ ܢܤܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܚܛܝܬܐ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܡܬܟܘܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܐܝܟ ܥܒܪܝ ܥܠ ܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mtu akajibu, \"Mheshimiwa, niambie yeye ni nani, ili nipate kumwamini.\" \t ܥܢܐ ܗܘ ܕܐܬܐܤܝ ܘܐܡܪ ܡܢܘ ܡܪܝ ܕܐܗܝܡܢ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Usimwambie mtu yeyote jambo hili, ila nenda ukajionyeshe kwa kuhani; kisha utoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama alivyoamuru Mose, iwe uthibitisho kwao kwamba umepona.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܟܕ ܢܦܩ ܫܪܝ ܗܘܐ ܡܟܪܙ ܤܓܝ ܘܐܛܒܗ ܠܡܠܬܐ ܐܝܟܢܐ ܕܠܐ ܢܫܟܚ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܓܠܝܐܝܬ ܕܢܥܘܠ ܠܡܕܝܢܬܐ ܐܠܐ ܠܒܪ ܗܘܐ ܒܐܬܪܐ ܚܘܪܒܐ ܘܐܬܝܢ ܗܘܘ ܠܘܬܗ ܡܢ ܟܠ ܕܘܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe na nia ya kuishi maisha ya utulivu, kila mmoja ashughulikie mambo yake mwenyewe na afanye kazi kwa mikono yake mwenyewe kama tulivyowaagiza pale awali. \t ܘܬܬܚܦܛܘܢ ܕܬܗܘܘܢ ܫܠܝܢ ܘܥܢܝܢ ܒܤܘܥܪܢܝܟܘܢ ܘܗܘܝܬܘܢ ܦܠܚܝܢ ܒܐܝܕܝܟܘܢ ܐܝܟܢܐ ܕܦܩܕܢܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo akawaambia, \"Nina huzuni kubwa moyoni hata karibu kufa. Kaeni hapa mkeshe pamoja nami.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܟܪܝܐ ܗܝ ܠܗ ܠܢܦܫܝ ܥܕܡܐ ܠܡܘܬܐ ܩܘܘ ܠܝ ܗܪܟܐ ܘܫܗܪܘ ܥܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tuko imara daima. Tunajua kwamba kuishi katika mwili huu tu ni kukaa mbali na Bwana. \t ܡܛܠ ܕܝܕܥܝܢܢ ܗܟܝܠ ܘܡܦܤܝܢܢ ܕܟܡܐ ܕܒܦܓܪܐ ܫܪܝܢܢ ܥܢܝܕܝܢܢ ܡܢ ܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anaporudi, huikuta ile nyumba imefagiwa na kupambwa. \t ܘܐܢ ܐܬܬ ܐܫܟܚܬܗ ܕܚܡܝܡ ܘܡܨܒܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wakati ulipotimia Mungu aitimize ahadi aliyompa Abrahamu, idadi ya wale watu kule Misri ilikwisha ongezeka na kuwa kubwa zaidi. \t ܘܟܕ ܡܛܝ ܗܘܐ ܙܒܢܐ ܕܡܕܡ ܕܐܫܬܘܕܝ ܗܘܐ ܒܡܘܡܬܐ ܐܠܗܐ ܠܐܒܪܗܡ ܤܓܝ ܗܘܐ ܥܡܐ ܘܬܩܦ ܒܡܨܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jioni, siku hiyohiyo, Yesu aliwaambia wanafunzi wake, \"Tuvuke ziwa, twende ng'ambo.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܒܗܘ ܝܘܡܐ ܒܪܡܫܐ ܢܥܒܪ ܠܢ ܠܥܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakamcheka kwa sababu walijua kwamba alikuwa amekufa. \t ܘܓܚܟܝܢ ܗܘܘ ܥܠܘܗܝ ܕܝܕܥܝܢ ܕܡܝܬܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, hata kama itawapasa kuteseka kwa sababu ya kutenda mema, basi, mna heri. Msimwogope mtu yeyote, wala msikubali kutiwa katika wasiwasi. \t ܘܐܢ ܗܘ ܕܬܚܫܘܢ ܥܠ ܐܦܝ ܟܐܢܘܬܐ ܛܘܒܝܟܘܢ ܘܠܐ ܬܕܚܠܘܢ ܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܕܚܠܝܢ ܠܟܘܢ ܘܠܐ ܬܫܬܓܫܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wamchao Mungu, walimzika Stefano na kumfanyia maombolezo makubwa. \t ܘܩܦܤܘ ܩܒܪܘܗܝ ܠܐܤܛܦܢܘܤ ܓܒܪܐ ܡܗܝܡܢܐ ܘܐܬܐܒܠܘ ܥܠܘܗܝ ܪܘܪܒܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wenyeji wa pale walipokiona kile kiumbe kinaning'inia kwenye mkono wake waliambiana, \"Bila shaka mtu huyu amekwisha ua mtu, na ingawa ameokoka kuangamia baharini, Haki haitamwacha aendelee kuishi!\" \t ܘܟܕ ܚܙܐܘܗ ܒܪܒܪܝܐ ܕܬܠܝܐ ܒܐܝܕܗ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܟܒܪ ܗܢܐ ܓܒܪܐ ܩܛܘܠܐ ܗܘ ܕܟܕ ܐܫܬܘܙܒ ܡܢ ܝܡܐ ܟܐܢܘܬܐ ܠܐ ܫܒܩܬܗ ܕܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Anania akajibu, \"Bwana, nimesikia habari za mtu huyu kutoka kwa watu wengi; nimesikia juu ya mabaya aliyowatendea watu wako huko Yerusalemu. \t ܘܐܡܪ ܚܢܢܝܐ ܡܪܝ ܫܡܥܬ ܡܢ ܤܓܝܐܐ ܥܠ ܓܒܪܐ ܗܢܐ ܕܟܡܐ ܒܝܫܬܐ ܐܤܒܠ ܠܩܕܝܫܝܟ ܒܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana hayo yote yanahangaikiwa na watu wasiomjua Mungu. Baba yenu wa mbinguni anajua kwamba mnahitaji vitu hivyo vyote. \t ܟܠܗܝܢ ܓܝܪ ܗܠܝܢ ܥܡܡܐ ܗܘ ܒܥܝܢ ܠܗܝܢ ܐܒܘܟܘܢ ܕܝܢ ܕܒܫܡܝܐ ܝܕܥ ܕܐܦ ܠܟܘܢ ܡܬܒܥܝܢ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akafika mtu mmoja, akawaambia, \"Wale watu mliowafunga gerezani, hivi sasa wamo Hekaluni, wanawafundisha watu.\" \t ܘܐܬܐ ܐܢܫ ܐܘܕܥ ܐܢܘܢ ܕܗܢܘܢ ܓܒܪܐ ܕܚܒܫܬܘܢ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܗܐ ܩܝܡܝܢ ܒܗܝܟܠܐ ܘܡܠܦܝܢ ܠܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe na ukarimu ninyi kwa ninyi bila kunung'unika. \t ܘܗܘܝܬܘܢ ܪܚܡܝܢ ܐܟܤܢܝܐ ܕܠܐ ܪܛܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zaidi ya hayo, lakini, kumbukeni kwamba hakuna mtu yeyote awezaye kufafanua mwenyewe unabii ulio katika Maandiko Matakatifu. \t ܟܕ ܗܕܐ ܠܘܩܕܡ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܟܠ ܢܒܝܘܬܐ ܫܪܝܐ ܕܟܬܒܐ ܕܝܠܗ ܠܐ ܗܘܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alitaka kuona Yesu alikuwa nani, lakini kwa sababu ya umati wa watu, na kwa vile alikuwa mfupi, hakufaulu. \t ܘܨܒܐ ܗܘܐ ܕܢܚܙܐ ܠܝܫܘܥ ܕܡܢܘ ܘܠܐ ܡܫܟܚ ܗܘܐ ܡܢ ܟܢܫܐ ܡܛܠ ܕܒܩܘܡܬܗ ܙܥܘܪ ܗܘܐ ܙܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Mungu aliye msingi wa matumaini, awajazeni furaha yote na amani kutokana na imani yenu; tumaini lenu lipate kuongezeka kwa nguvu ya Roho Mtakatifu. \t ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܕܤܒܪܐ ܢܡܠܝܟܘܢ ܟܠܗ ܚܕܘܬܐ ܘܫܠܡܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܬܬܝܬܪܘܢ ܒܤܒܪܗ ܒܚܝܠܐ ܕܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kwa wale walio nje ya Sheria, naishi kama wao, nje ya Sheria, ili niwapate hao walio nje ya Sheria. Hii haimaanishi kwamba mimi niko nje ya sheria ya Mungu, maana nabanwa na sheria ya Kristo. \t ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܢܡܘܤܐ ܠܝܬ ܠܗܘܢ ܗܘܝܬ ܐܝܟ ܕܠܐ ܢܡܘܤ ܟܕ ܠܐ ܐܝܬܝ ܠܐܠܗܐ ܕܠܐ ܢܡܘܤ ܐܠܐ ܒܢܡܘܤܗ ܕܡܫܝܚܐ ܕܐܦ ܠܗܢܘܢ ܕܕܠܐ ܢܡܘܤ ܐܢܘܢ ܐܬܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nimewaambieni mambo haya ili saa yake itakapofika mkumbuke kwamba niliwaambieni. \"Sikuwaambieni mambo haya tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi. \t ܗܠܝܢ ܡܠܠܬ ܥܡܟܘܢ ܕܡܐ ܕܐܬܐ ܥܕܢܗܝܢ ܬܥܗܕܘܢ ܐܢܝܢ ܕܐܢܐ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܡܢ ܩܕܝܡ ܠܐ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܕܥܡܟܘܢ ܗܘܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro alikuwa hapo akiota moto. Basi, wakamwuliza, \"Je, nawe pia si mmoja wa wanafunzi wake?\" Yeye akakana na kusema, \"Si mimi!\" \t ܘܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܩܐܡ ܗܘܐ ܘܫܚܢ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܡܐ ܐܦ ܐܢܬ ܚܕ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܢܬ ܘܗܘ ܟܦܪ ܘܐܡܪ ܠܐ ܗܘܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wale walinzi wakarudi kwa makuhani wakuu na Mafarisayo; nao wakawauliza, \"Kwa nini hamkumleta?\" \t ܘܐܬܘ ܕܚܫܐ ܗܢܘܢ ܠܘܬ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܦܪܝܫܐ ܘܐܡܪܘ ܠܗܘܢ ܟܗܢܐ ܠܡܢܐ ܠܐ ܐܝܬܝܬܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, niambieni, mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii. \t ܘܐܠܐ ܡܢܐ ܢܦܩܬܘܢ ܠܡܚܙܐ ܢܒܝܐ ܐܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܘܝܬܝܪ ܡܢ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnawezaje kujivuna? Ingekuwa afadhali kwenu kuomboleza, na huyo aliyefanya kitu hicho aondolewe miongoni mwenu. \t ܘܐܢܬܘܢ ܚܬܝܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܠܐ ܕܝܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܝܬܒܬܘܢ ܒܐܒܠܐ ܕܢܫܬܩܠ ܡܢ ܒܝܢܬܟܘܢ ܗܘ ܡܢ ܕܗܢܐ ܤܘܥܪܢܐ ܤܥܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayeniona mimi anamwona pia yule aliyenituma. \t ܘܡܢ ܕܠܝ ܚܙܐ ܚܙܐ ܠܡܢ ܕܫܕܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao walimu wa Sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu, wakasema, \"Ana Beelzebuli! Tena, anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo.\" \t ܘܤܦܪܐ ܐܝܠܝܢ ܕܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܢܚܬܘ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܒܥܠܙܒܘܒ ܐܝܬ ܒܗ ܘܒܪܫܐ ܕܕܝܘܐ ܡܦܩ ܕܝܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: \"Yeye hutoa kwa ukarimu, huwapa maskini, wema wahudumu milele.\" \t ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܒܕܪ ܘܝܗܒ ܠܡܤܟܢܐ ܘܙܕܝܩܘܬܗ ܩܝܡܐ ܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye atawatajirisha ninyi daima kwa kila kitu, ili watu wapate kumshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi zenu wanazozipokea kwa mikono yetu. \t ܕܒܟܠ ܡܕܡ ܬܥܬܪܘܢ ܒܟܠܗ ܦܫܝܛܘܬܐ ܕܗܝ ܓܡܪܐ ܒܐܝܕܢ ܬܘܕܝܬܐ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Chumvi ni nzuri, lakini ikipoteza ladha yake, itakolezwa na nini? Muwe na chumvi ndani yenu na kudumisha amani kati yenu.\" \t ܟܠ ܓܝܪ ܒܢܘܪܐ ܢܬܡܠܚ ܘܟܠ ܕܒܚܬܐ ܒܡܠܚܐ ܬܬܡܠܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Haya ninayowaandikieni, Mungu anajua; sisemi uongo. \t ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܕܟܬܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܗܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܕܠܐ ܡܟܕܒ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Niliwaandikia katika barua yangu msishirikiane na wazinzi. \t ܟܬܒܬ ܠܟܘܢ ܒܐܓܪܬܐ ܕܠܐ ܬܬܚܠܛܘܢ ܥܡ ܙܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "basi, ninyi na watu wote wa Israeli mnapaswa kujua kwamba mtu huyu anasimama mbele yenu leo, mzima kabisa, kwa nguvu ya jina lake Yesu wa Nazareti ambaye ninyi mlimsulubisha, lakini Mungu akamfufua kutoka wafu. \t ܗܕܐ ܬܬܝܕܥ ܠܟܘܢ ܘܠܟܠܗ ܥܡܐ ܕܐܝܤܪܝܠ ܕܒܫܡܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܢܨܪܝܐ ܗܘ ܕܐܢܬܘܢ ܙܩܦܬܘܢܝܗܝ ܗܘ ܕܐܩܝܡ ܐܠܗܐ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܒܗ ܒܗܘ ܗܐ ܩܐܡ ܗܢܐ ܩܕܡܝܟܘܢ ܟܕ ܚܠܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, Yesu aliingia Hekaluni, akaanza kuwafukuzia nje wafanyabiashara \t ܘܟܕ ܥܠ ܠܗܝܟܠܐ ܫܪܝ ܠܡܦܩܘ ܠܐܝܠܝܢ ܕܙܒܢܝܢ ܒܗ ܘܡܙܒܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala si hivyo viumbe peke yake, bali hata sisi tulio na huyo Roho, aliye wa kwanza wa zawadi za Mungu; sisi pia tunalalamika ndani yetu, tukitazamia kufanywa watoto wa Mungu, nazo nafsi zenu zikombolewe. \t ܘܠܐ ܒܠܚܘܕ ܗܢܝܢ ܐܠܐ ܐܦ ܚܢܢ ܕܐܝܬ ܒܢ ܪܫܝܬܐ ܕܪܘܚܐ ܡܬܬܢܚܝܢܢ ܒܢܦܫܢ ܘܡܤܟܝܢܢ ܠܤܝܡܬ ܒܢܝܐ ܘܠܦܘܪܩܢܐ ܕܦܓܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikukuu ya Wayahudi ya Pasaka ilikuwa karibu, na watu wengi walikwenda Yerusalemu ili wajitakase kabla ya sikukuu hiyo. \t ܩܪܝܒ ܗܘܐ ܕܝܢ ܦܨܚܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܘܤܠܩܘ ܤܓܝܐܐ ܡܢ ܩܘܪܝܐ ܠܐܘܪܫܠܡ ܩܕܡ ܥܕܥܕܐ ܕܢܕܟܘܢ ܢܦܫܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo kusema: Mungu, amekuwa akiupatanisha ulimwengu naye kwa njia ya Kristo, bila kutia maanani dhambi zao binadamu. Yeye ametupa ujumbe kuhusu kuwapatanisha watu naye. \t ܐܠܗܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܒܡܫܝܚܐ ܗܘ ܕܪܥܝ ܠܥܠܡܐ ܥܡ ܪܒܘܬܗ ܘܠܐ ܚܫܒ ܠܗܘܢ ܚܛܗܝܗܘܢ ܘܤܡ ܒܢ ܕܝܠܢ ܡܠܬܐ ܕܬܪܥܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na tukisema, Yalitoka kwa watu...\" (Waliogopa umati wa watu maana wote waliamini kwamba Yohane alikuwa kweli nabii.) \t ܘܥܢܘ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܝܫܘܥ ܠܐ ܝܕܥܝܢܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܦ ܠܐ ܐܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܒܐܝܢܐ ܫܘܠܛܢܐ ܗܠܝܢ ܥܒܕ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilikuwa siku mbili tu kabla ya sikukuu ya Pasaka na ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Makuhani wakuu na walimu wa Sheria walikuwa wakitafuta njia ya kumtia Yesu nguvuni kwa hila wamuue. \t ܒܬܪ ܕܝܢ ܬܪܝܢ ܝܘܡܝܢ ܗܘܐ ܗܘܐ ܦܨܚܐ ܕܦܛܝܪܐ ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܤܦܪܐ ܐܝܟܢܐ ܒܢܟܠܐ ܢܐܚܕܘܢ ܘܢܩܛܠܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, Mose hakuwapeni Sheria? Hata hivyo, hakuna hata mmoja wenu anayeishika Sheria. Kwa nini mnataka kuniua?\" \t ܠܐ ܗܘܐ ܡܘܫܐ ܝܗܒ ܠܟܘܢ ܢܡܘܤܐ ܘܠܐ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܢܛܪ ܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Neema na huruma na amani zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwana wa Baba, zitakuwa pamoja nasi katika ukweli na upendo. \t ܬܗܘܐ ܥܡܢ ܛܝܒܘܬܐ ܘܪܚܡܐ ܘܫܠܡܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܒܐ ܘܡܢ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܪܗ ܕܐܒܐ ܒܫܪܪܐ ܘܒܚܘܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo jogoo akawika mara ya pili. Basi, Petro akakumbuka jinsi Yesu alivyokuwa amemwambia: \"Kabla jogoo hajawika mara mbili, utanikana mara tatu.\" Petro akabubujika machozi. \t ܗܘ ܕܝܢ ܫܪܝ ܗܘܐ ܡܚܪܡ ܘܝܡܐ ܕܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܠܓܒܪܐ ܗܢܐ ܕܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nawaambieni, mtumishi si mkuu zaidi kuliko bwana wake, wala mtume si mkuu zaidi kuliko yule aliyemtuma. \t ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܝܬ ܥܒܕܐ ܕܪܒ ܡܢ ܡܪܗ ܘܠܐ ܫܠܝܚܐ ܕܪܒ ܡܢ ܡܢ ܕܫܕܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maadamu sasa, kwa kuutii ukweli, ninyi mmezitakasa roho zenu na kuwapenda wenzenu bila unafiki, basi, pendaneni kwa moyo wote. \t ܟܕ ܢܗܘܝܢ ܩܕܝܫܢ ܢܦܫܬܟܘܢ ܒܡܫܬܡܥܢܘܬܗ ܕܫܪܪܐ ܘܢܗܘܝܢ ܡܠܝܢ ܚܘܒܐ ܕܠܐ ܡܤܒ ܒܐܦܐ ܕܡܢ ܠܒܐ ܕܟܝܐ ܘܓܡܝܪܐ ܬܗܘܘܢ ܡܚܒܝܢ ܚܕ ܠܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kornelio akasema, \"Siku tatu zilizopita saa kama hii, saa tisa alasiri, nilikuwa nikisali chumbani mwangu. Ghafla, mtu aliyekuwa amevaa mavazi yenye kun'gaa alisimama mbele yangu, \t ܐܡܪ ܠܗ ܩܘܪܢܠܝܘܤ ܐܪܒܥܐ ܝܘܡܝܢ ܐܝܬ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܗܐ ܡܢ ܕܨܐܡ ܐܢܐ ܘܒܬܫܥ ܫܥܝܢ ܟܕ ܡܨܠܐ ܐܢܐ ܒܒܝܬܝ ܩܡ ܓܒܪܐ ܚܕ ܩܕܡܝ ܟܕ ܠܒܝܫ ܚܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Licha ya hayo, kati yetu na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wanaotaka kuja kwenu kutoka huku wasiweze, wala wanaotaka kutoka kwenu kuja kwetu wasiweze. \t ܘܥܡ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܗܘܬܐ ܪܒܬܐ ܤܝܡܐ ܒܝܢܝܢ ܘܠܟܘܢ ܕܐܝܠܝܢ ܕܨܒܝܢ ܡܟܐ ܕܢܥܒܪܘܢ ܠܘܬܟܘܢ ܠܐ ܢܫܟܚܘܢ ܘܐܦܠܐ ܕܡܢ ܬܡܢ ܢܥܒܪܘܢ ܠܘܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini akili zao zilipumbazwa. Mpaka leo hii lisomwapo Agano la Kale, kifuniko hicho bado kipo. Kifuniko hicho kitaondolewa tu mtu anapoungana na Kristo. \t ܐܠܐ ܐܬܥܘܪܘ ܒܡܕܥܝܗܘܢ ܥܕܡܐ ܓܝܪ ܠܝܘܡܢܐ ܐܡܬܝ ܕܕܝܬܩܐ ܥܬܝܩܬܐ ܡܬܩܪܝܐ ܗܝ ܗܝ ܬܚܦܝܬܐ ܩܝܡܐ ܥܠܝܗܘܢ ܘܠܐ ܡܬܓܠܝܐ ܕܒܡܫܝܚܐ ܗܘ ܡܬܒܛܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Juu ya msalaba Kristo aliwapokonya nguvu zao hao pepo watawala na wakuu; aliwafanya kuwa kitu cha fedheha hadharani kwa kuwaburuta kama mateka katika msafara wa ushindi wake. \t ܘܒܫܠܚ ܦܓܪܗ ܦܪܤܝ ܠܐܪܟܘܤ ܘܠܫܠܝܛܢܐ ܘܐܒܗܬ ܐܢܘܢ ܓܠܝܐܝܬ ܒܩܢܘܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao wakakaa kimya. Yesu akamshika huyo mgonjwa, akamponya, akamwacha aende zake. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܫܬܩܘ ܘܐܚܕܗ ܗܘ ܘܐܤܝܗ ܘܫܪܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, mambo yale yote yaliyowapata ninyi yamekuwa bure tu? Haiwezekani! \t ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܐܝܩܐ ܤܝܒܪܬܘܢ ܘܐܫܬܘܦ ܕܝܢ ܐܝܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, nilipokuwa njiani karibu kufika Damasko, yapata saa sita mchana, mwangu mkubwa kutoka mbinguni ulitokea ghafla ukaniangazia pande zote. \t ܘܟܕ ܐܙܠ ܗܘܝܬ ܘܫܪܝܬ ܡܡܛܐ ܐܢܐ ܠܕܪܡܤܘܩ ܒܦܠܓܗ ܕܝܘܡܐ ܡܢ ܬܚܝܬ ܫܠܝܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܐܙܠܓ ܥܠܝ ܢܘܗܪܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilikusudia kupita kwenu nikiwa safarini kwenda Makedonia, na wakati wa kurudi pia, ili nipate msaada wenu kwa safari yangu kwenda Yudea. \t ܘܐܥܒܪ ܥܠܝܟܘܢ ܠܡܩܕܘܢܝܐ ܘܬܘܒ ܡܢ ܡܩܕܘܢܝܐ ܠܘܬܟܘܢ ܐܬܐ ܘܐܢܬܘܢ ܬܠܘܘܢܢܝ ܠܝܗܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa namna hiyo, waliwachochea watu, wazee na walimu wa Sheria. Basi, wakamjia Stefano, wakamkamata na kumleta mbele ya Baraza kuu. \t ܘܫܓܫܘ ܠܥܡܐ ܘܠܩܫܝܫܐ ܘܠܤܦܪܐ ܘܐܬܘ ܘܩܡܘ ܥܠܘܗܝ ܘܚܛܦܘ ܐܝܬܝܘܗܝ ܠܡܨܥܬ ܟܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikuwa amefundishwa juu ya hiyo njia ya Bwana, na akiwa motomoto, aliongea juu ya habari za Yesu. Akafundisha kwa usahihi ingawa alikuwa amepata ubatizo wa Yohane tu. \t ܗܢܐ ܡܬܠܡܕ ܗܘܐ ܠܐܘܪܚܗ ܕܡܪܝܐ ܘܪܬܚ ܗܘܐ ܒܪܘܚ ܘܡܡܠܠ ܗܘܐ ܘܡܠܦ ܡܠܝܐܝܬ ܥܠ ܝܫܘܥ ܟܕ ܡܕܡ ܠܐ ܝܕܥ ܗܘܐ ܐܠܐ ܐܢ ܡܥܡܘܕܝܬܐ ܕܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya wote, akanitokea hata mimi, mimi niliyekuwa kama mtu aliyezaliwa kabla ya wakati. \t ܠܚܪܬܐ ܕܝܢ ܕܟܠܗܘܢ ܐܝܟ ܕܠܝܚܛܐ ܐܬܚܙܝ ܐܦ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndivyo ilivyo kuhusu ufufuo wa wafu. Kama vile mbegu, mwili huzikwa ardhini ukiwa katika hali ya kuharibika, lakini hufufuliwa katika hali ya kutoharibika. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܚܝܬ ܡܝܬܐ ܡܙܕܪܥܝܢ ܒܚܒܠܐ ܩܝܡܝܢ ܕܠܐ ܚܒܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika safari yao ya pili, Yosefu alijitambulisha kwa ndugu zake, na Farao akaifahamu jamaa ya Yosefu. \t ܘܟܕ ܐܙܠܘ ܕܬܪܬܝܢ ܙܒܢܝܢ ܐܘܕܥ ܝܘܤܦ ܢܦܫܗ ܠܐܚܘܗܝ ܘܐܬܝܕܥ ܠܦܪܥܘܢ ܛܘܗܡܗ ܕܝܘܤܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilipokuwa jioni, Yesu alifika pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܪܡܫܐ ܐܬܐ ܥܡ ܬܪܥܤܪܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hao dada wakatuma ujumbe huu kwa Yesu: \"Bwana, rafiki yako ni mgonjwa!\" \t ܘܫܕܪܝܢ ܬܪܬܝܗܝܢ ܐܚܘܬܗ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪܢ ܡܪܢ ܗܐ ܗܘ ܕܪܚܡ ܐܢܬ ܟܪܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia wanafunzi wake, \"Ninyi nyote mtakuwa na mashaka nami; maana Maandiko Matakatifu yasema: Nitampiga mchungaji nao kondoo watatawanyika. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܕܟܠܟܘܢ ܬܬܟܫܠܘܢ ܒܝ ܒܗܢܐ ܠܠܝܐ ܟܬܝܒ ܓܝܪ ܕܐܡܚܐ ܠܪܥܝܐ ܘܢܬܒܕܪܘܢ ܐܡܪܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, wapenzi wangu, msisahau kitu kimoja! Mbele ya Bwana, hakuna tofauti kati ya siku moja na miaka elfu; kwake yote ni mamoja. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܚܕܐ ܠܐ ܬܛܥܝܟܘܢ ܚܒܝܒܝ ܕܚܕ ܝܘܡܐ ܠܡܪܝܐ ܐܝܟ ܐܠܦ ܫܢܝܢ ܐܝܬܘܗܝ ܘܐܠܦ ܫܢܝܢ ܐܝܟ ܝܘܡܐ ܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini msingi thabiti uliowekwa na Mungu uko imara, na juu yake yameandikwa maneno haya: \"Bwana anawafahamu wale walio wake,\" na \"Kila asemaye yeye ni wa Bwana, ni lazima aachane na uovu.\" \t ܫܬܐܤܬܐ ܕܝܢ ܫܪܝܪܬܐ ܕܐܠܗܐ ܩܝܡܐ ܗܝ ܘܐܝܬ ܠܗ ܚܬܡܐ ܗܢܐ ܘܝܕܥ ܡܪܝܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܕܝܠܗ ܐܢܘܢ ܘܢܦܪܘܩ ܡܢ ܥܘܠܐ ܟܠ ܕܩܪܐ ܠܫܡܗ ܕܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akawaona wanafunzi wake wakitaabika kwa kupiga makasia, maana upepo ulikuwa unawapinga. Karibu na mapambazuko, Yesu aliwaendea akitembea juu ya maji. Alitaka kuwapita. \t ܘܚܙܐ ܐܢܘܢ ܕܡܫܬܢܩܝܢ ܟܕ ܪܕܝܢ ܪܘܚܐ ܓܝܪ ܠܘܩܒܠܗܘܢ ܗܘܬ ܘܒܡܛܪܬܐ ܪܒܝܥܝܬܐ ܕܠܠܝܐ ܐܬܐ ܠܘܬܗܘܢ ܝܫܘܥ ܟܕ ܡܗܠܟ ܥܠ ܡܝܐ ܘܨܒܐ ܗܘܐ ܕܢܥܒܪ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana nimemtuma Timetheo kwenu. Yeye ni mtoto wangu mpenzi na mwaminifu katika Bwana. Atawakumbusheni njia ninayofuata katika kuishi maisha ya Kikristo; njia ninayofundisha kila mahali katika makanisa yote. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܫܕܪܬ ܠܘܬܟܘܢ ܠܛܝܡܬܐܘܤ ܕܐܝܬܘܗܝ ܒܪܝ ܚܒܝܒܐ ܘܡܗܝܡܢܐ ܒܡܪܝܐ ܕܗܘ ܢܥܗܕܟܘܢ ܐܘܪܚܬܝ ܕܒܡܫܝܚܐ ܐܝܟ ܡܕܡ ܕܡܠܦ ܐܢܐ ܒܟܠܗܝܢ ܥܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alisema hayo kisha akabaki huko Galilaya. \t ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܘܦܫ ܠܗ ܒܓܠܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa pia na maskini mmoja jina lake Lazaro, aliyekuwa amejaa vidonda na alikuwa analazwa mlangoni pa nyumba ya huyo tajiri. \t ܘܡܤܟܢܐ ܚܕ ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܫܡܗ ܠܥܙܪ ܘܪܡܐ ܗܘܐ ܠܘܬ ܬܪܥܗ ܕܗܘ ܥܬܝܪܐ ܟܕ ܡܡܚܝ ܒܫܘܚܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na wewe, je? Wewe mwenyewe unajiita Myahudi; unaitumainia Sheria na kujivunia kuwa wa Mungu; \t ܐܢ ܐܢܬ ܕܝܢ ܕܝܗܘܕܝܐ ܡܬܩܪܐ ܐܢܬ ܘܡܬܬܢܝܚ ܐܢܬ ܥܠ ܢܡܘܤܐ ܘܡܫܬܒܗܪ ܐܢܬ ܒܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akasema: Kornelio! Sala yako na sadaka zako kwa maskini vimekubaliwa na Mungu. \t ܘܐܡܪ ܠܝ ܩܘܪܢܠܝܐ ܐܫܬܡܥܬ ܨܠܘܬܟ ܘܠܙܕܩܬܟ ܕܘܟܪܢܐ ܗܘܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti kubwa: \"Nani anayestahili kuvunja hiyo mihuri na kukifungua kitabu hicho?\" \t ܘܚܙܝܬ ܐܚܪܢܐ ܡܠܐܟܐ ܚܝܠܬܢܐ ܕܡܟܪܙ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܡܢ ܫܘܐ ܠܡܦܬܚ ܟܬܒܐ ܘܠܡܫܪܐ ܛܒܥܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, nilirudi Yerusalemu, na nilipokuwa nikisali Hekaluni, niliona maono. \t ܘܗܦܟܬ ܐܬܝܬ ܠܟܐ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܨܠܝܬ ܒܗܝܟܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Yesu akawaponya watu wengi waliokuwa na magonjwa mbalimbali; aliwafukuza pepo wengi, lakini hakuwaruhusu kusema kitu maana walikuwa wanamjua yeye ni nani. \t ܘܐܤܝ ܠܤܓܝܐܐ ܕܒܝܫܐܝܬ ܥܒܝܕܝܢ ܗܘܘ ܒܟܘܪܗܢܐ ܡܫܚܠܦܐ ܘܕܝܘܐ ܤܓܝܐܐ ܐܦܩ ܘܠܐ ܫܒܩ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܠܕܝܘܐ ܕܢܡܠܠܘܢ ܡܛܠ ܕܝܕܥܝܢ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule askari aliwachukua saa ileile ya usiku akawasafisha majeraha yao, kisha yeye na jamaa yake wakabatizwa papo hapo. \t ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܒܗ ܒܠܠܝܐ ܕܒܪ ܐܤܚܝ ܐܢܘܢ ܡܢ ܢܓܕܗܘܢ ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܥܡܕ ܗܘ ܘܒܢܝ ܒܝܬܗ ܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja ya Sabato, Yesu alikuwa anapita katika mashamba ya ngano. Walipokuwa wanatembea, wanafunzi wake wakaanza kukwanyua masuke ya ngano. \t ܘܗܘܐ ܕܟܕ ܐܙܠ ܝܫܘܥ ܒܫܒܬܐ ܒܝܬ ܙܪܥܐ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܡܗܠܟܝܢ ܗܘܘ ܘܡܠܓܝܢ ܫܒܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani kuta za mji wa Yeriko zilianguka watu wa Israeli walipokwisha zunguka kwa muda wa siku saba. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܫܘܪܝܗ ܕܐܝܪܝܚܘ ܢܦܠܘ ܡܢ ܕܐܬܟܪܟܘ ܫܒܥܐ ܝܘܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kwa sababu ya upendo, ni afadhali zaidi nikuombe. Nafanya hivi ingawa mimi ni Paulo, balozi wa Kristo Yesu, na sasa pia mfungwa kwa ajili yake. \t ܡܛܠ ܚܘܒܐ ܕܝܢ ܡܒܥܐ ܗܘ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟ ܐܢܐ ܦܘܠܘܤ ܕܐܝܬܝ ܤܒܐ ܐܝܟ ܕܝܕܥ ܐܢܬ ܗܫܐ ܕܝܢ ܐܦ ܐܤܝܪܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akuombaye mpe, na mtu akitaka kukukopa kitu usimnyime. \t ܡܢ ܕܫܐܠ ܠܟ ܗܒ ܠܗ ܘܡܢ ܕܨܒܐ ܕܢܐܙܦ ܡܢܟ ܠܐ ܬܟܠܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sadaka za kuteketezwa au za kuondoa dhambi hazikupendezi. \t ܘܝܩܕܐ ܫܠܡܐ ܕܚܠܦ ܚܛܗܐ ܠܐ ܫܐܠܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, tupilieni mbali mwenendo mchafu na tabia zote mbovu; jiwekeni chini ya Mungu na kupokea ule ujumbe uliopandwa mioyoni mwenu, ambao waweza kuziokoa nafsi zenu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܪܚܩܘ ܡܢܟܘܢ ܟܠܗ ܛܢܦܘܬܐ ܘܤܘܓܐܐ ܕܒܝܫܘܬܐ ܘܒܡܟܝܟܘܬܐ ܩܒܠܘ ܡܠܬܐ ܕܢܨܝܒܐ ܒܟܝܢܢ ܕܗܝ ܡܫܟܚܐ ܕܬܚܐ ܐܢܝܢ ܢܦܫܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama ukiwapa ndugu wote maagizo haya, utakuwa mtumishi mwema wa Kristo Yesu, ukijiendeleza kiroho kwa maneno ya imani na mafundisho ya kweli, ambayo wewe umeyafuata. \t ܗܠܝܢ ܐܢ ܬܗܘܐ ܡܠܦ ܠܐܚܝܟ ܡܫܡܫܢܐ ܛܒܐ ܬܗܘܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܟܕ ܡܬܪܒܐ ܐܢܬ ܒܡܠܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܘܒܝܘܠܦܢܐ ܛܒܐ ܕܝܠܝܦ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninayowaambieni sasa ni mawaidha, si amri. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܐܝܟ ܕܠܡܚܝܠܐ ܠܘ ܡܢ ܦܘܩܕܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja sheria ya Mungu. \t ܘܐܕܡ ܠܐ ܛܥܐ ܐܢܬܬܐ ܕܝܢ ܛܥܬ ܘܥܒܪܬ ܥܠ ܦܘܩܕܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msipeperushwe huku na huku kwa mafundisho tofauti ya kigeni. Neema ya Mungu ndiyo inayoimarisha roho zetu na wala si masharti juu ya chakula; masharti hayo hayakumsaidia kamwe mtu yeyote aliyeyafuata. \t ܠܝܘܠܦܢܐ ܢܘܟܪܝܐ ܘܡܫܚܠܦܐ ܠܐ ܬܬܕܒܪܘܢ ܫܦܝܪ ܗܘ ܓܝܪ ܕܒܛܝܒܘܬܐ ܢܫܪܪ ܠܒܘܬܢ ܘܠܐ ܒܡܐܟܠܬܐ ܡܛܠ ܕܠܐ ܐܬܥܕܪܘ ܐܝܠܝܢ ܕܗܠܟܘ ܒܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Fanya bidii kuja kabla ya majira ya baridi. Ebulo, Pude, Lino na Klaudia wanakusalimu; vilevile ndugu wengine wote. \t ܢܬܒܛܠ ܠܟ ܕܩܕܡ ܤܬܘܐ ܬܐܬܐ ܫܐܠ ܒܫܠܡܟ ܐܘܒܘܠܘܤ ܘܦܘܕܤ ܘܠܝܢܘܤ ܘܩܠܘܕܝܐ ܘܐܚܐ ܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Herode alimwogopa Yohane kwa maana alijua kwamba yeye ni mtu mwema na mtakatifu, na hivyo akamlinda. Herode alipenda kumsikiliza Yohane, ingawaje baada ya kumsikiliza, alifadhaika sana. \t ܗܪܘܕܤ ܓܝܪ ܕܚܠ ܗܘܐ ܡܢ ܝܘܚܢܢ ܥܠ ܕܝܕܥ ܗܘܐ ܕܓܒܪܐ ܗܘ ܙܕܝܩܐ ܘܩܕܝܫܐ ܘܡܢܛܪ ܗܘܐ ܠܗ ܘܤܓܝܐܬܐ ܫܡܥ ܗܘܐ ܠܗ ܘܥܒܕ ܘܒܤܝܡܐܝܬ ܫܡܥ ܗܘܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kwa vile watoto hao, kama awaitavyo, ni watu wenye mwili na damu, Yesu mwenyewe akawa kama wao na kushiriki ubinadamu wao. Alifanya hivyo ili kwa njia ya kifo chake amwangamize Ibilisi, ambaye ana mamlaka juu ya kifo, \t ܡܛܠ ܓܝܪ ܕܒܢܝܐ ܐܫܬܘܬܦܘ ܒܒܤܪܐ ܘܕܡܐ ܐܦ ܗܘ ܒܗ ܒܕܡܘܬܐ ܐܫܬܘܬܦ ܒܗܝܢ ܒܗܠܝܢ ܕܒܡܘܬܗ ܢܒܛܠ ܠܡܢ ܕܐܚܝܕ ܫܘܠܛܢܐ ܕܡܘܬܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܤܛܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kuhani Mkuu peke yake ndiye anayeingia katika lile hema la pili; naye hufanya hivyo mara moja tu kwa mwaka. Anapoingia ndani huwa amechukua damu ambayo anamtolea Mungu kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya dhambi ambazo watu wamezitenda bila wao wenyewe kujua. \t ܠܡܫܟܢܐ ܕܝܢ ܕܠܓܘ ܡܢܗ ܚܕܐ ܗܘ ܒܫܢܬܐ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܥܐܠ ܗܘܐ ܪܒܟܘܡܪܐ ܒܕܡܐ ܗܘ ܕܡܩܪܒ ܗܘܐ ܚܠܦ ܢܦܫܗ ܘܚܠܦ ܤܟܠܘܬܗ ܕܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja wa walimu wa Sheria akamwambia, \"Mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia.\" \t ܘܥܢܐ ܚܕ ܡܢ ܤܦܪܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܠܦܢܐ ܟܕ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܐܢܬ ܐܦ ܠܢ ܡܨܥܪ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mchinjeni ndama mnono; tule kusherehekea! \t ܘܐܝܬܘ ܩܛܘܠܘ ܬܘܪܐ ܕܦܛܡܐ ܘܢܐܟܘܠ ܘܢܬܒܤܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo ikawa kwamba aliugua, akafa. Watu wakauosha mwili wake, wakauzika katika chumba ghorofani. \t ܐܬܟܪܗܬ ܕܝܢ ܒܗܘܢ ܒܗܢܘܢ ܝܘܡܬܐ ܘܡܝܬܬ ܘܐܤܚܝܘܗ ܘܤܡܘܗ ܒܥܠܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wananchi wa Athene na wakazi wengine wa huko walikuwa wanatumia wakati wao wote kuhadithiana na kusikiliza habari mpyampya. \t ܐܬܢܝܐ ܕܝܢ ܟܠܗܘܢ ܘܐܝܠܝܢ ܕܐܬܝܢ ܠܬܡܢ ܢܘܟܪܝܐ ܥܠ ܡܕܡ ܐܚܪܝܢ ܠܐ ܒܛܝܠ ܠܗܘܢ ܐܠܐ ܠܡܐܡܪ ܘܠܡܫܡܥ ܡܕܡ ܚܕܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Eliudi alimzaa Eleazeri, Eleazeri alimzaa Mathani, Mathani alimzaa Yakobo, \t ܐܠܝܘܕ ܐܘܠܕ ܠܐܠܝܥܙܪ ܐܠܝܥܙܪ ܐܘܠܕ ܠܡܬܢ ܡܬܢ ܐܘܠܕ ܠܝܥܩܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaambia, \"Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala. Lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܟܬܝܒ ܗܘ ܕܒܝܬܝ ܒܝܬ ܨܠܘܬܐ ܢܬܩܪܐ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܥܒܕܬܘܢܝܗܝ ܡܥܪܬܐ ܕܠܤܛܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mimi ni mzabibu, nanyi ni matawi yake. Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo atazaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote. \t ܐܢܐ ܐܢܐ ܓܦܬܐ ܘܐܢܬܘܢ ܫܒܫܬܐ ܡܢ ܕܡܩܘܐ ܒܝ ܘܐܢܐ ܒܗ ܗܢܐ ܡܝܬܐ ܦܐܪܐ ܤܓܝܐܐ ܡܛܠ ܕܕܠܐ ܐܢܐ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܥܒܕ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena alijaribu kulikufuru Hekalu nasi tukamtia nguvuni. Kama ukimhoji wewe mwenyewe, utaweza kubainisha mambo haya yote tunayomshtaki kwayo.\" Tulitaka kumhukumu kufuatana na Sheria yetu. \t ܘܠܗܝܟܠܢ ܨܒܐ ܠܡܤܝܒܘ ܘܟܕ ܐܚܕܢܝܗܝ ܒܥܝܢ ܕܢܕܘܢܝܘܗܝ ܐܝܟ ܕܒܢܡܘܤܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawaambia wanafunzi wake, \"Twendeni tena Yudea!\" \t ܘܒܬܪܟܢ ܐܡܪ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܬܘ ܢܐܙܠ ܬܘܒ ܠܝܗܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama. \t ܘܟܕ ܐܦܩ ܠܟܢܫܐ ܥܠ ܐܚܕܗ ܒܐܝܕܗ ܘܩܡܬ ܛܠܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mmesikia kwamba ilisemwa: Mpende jirani yako na kumchukia adui yako. \t ܫܡܥܬܘܢ ܕܐܬܐܡܪ ܕܪܚܡ ܠܩܪܝܒܟ ܘܤܢܝ ܠܒܥܠܕܒܒܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mkavaa utu mpya. Huu unaendelea kurekebishwa na Mungu, Muumba wake, kadiri ya mfano wake, ili mpate kumjua Mungu kwa ukamilifu. \t ܘܠܒܫܘ ܚܕܬܐ ܕܡܬܚܕܬ ܒܝܕܥܬܐ ܒܕܡܘܬܐ ܕܒܪܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo kulikuwa na sikukuu ya Wayahudi, naye Yesu akaenda Yerusalemu. \t ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܗܘܐ ܥܕܥܕܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܘܤܠܩ ܝܫܘܥ ܠܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Labda utaniuliza: \"Ikiwa mambo yako hivyo, Mungu anawezaje kumlaumu mtu? Nani awezaye kuyapinga mapenzi yake?\" \t ܘܟܒܪ ܬܐܡܪ ܕܠܡܢܐ ܪܫܐ ܡܢܘ ܓܝܪ ܕܢܩܘܡ ܠܘܩܒܠ ܨܒܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa utukufu mkuu zaidi umechukua nafasi ya ule utukufu uliokuja hapo awali, ambao fahari yake imekwisha toweka. \t ܐܝܟ ܗܘ ܓܝܪ ܕܐܦܠܐ ܡܫܒܚܐ ܗܝ ܕܐܫܬܒܚܬ ܒܦܘܚܡܐ ܕܗܢܐ ܫܘܒܚܐ ܡܝܬܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu ambaye alisema, \"Mwanga na uangaze kutoka gizani,\" ndiye mwenye kuiangaza mioyo yetu, na kutupatia mwanga wa ujuzi wa utukufu wa Mungu uangazao katika uso wa Kristo. \t ܡܛܠ ܕܐܠܗܐ ܗܘ ܕܐܡܪ ܕܡܢ ܚܫܘܟܐ ܢܘܗܪܐ ܢܕܢܚ ܗܘ ܕܢܚ ܒܠܒܘܬܢ ܕܢܬܢܗܪ ܒܝܕܥܬܐ ܕܫܘܒܚܗ ܕܐܠܗܐ ܒܦܪܨܘܦܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko Yerusalemu kulikuwa na sikukuu ya Kutabaruku. Wakati huo ulikuwa wa baridi. \t ܗܘܐ ܕܝܢ ܥܐܕܐ ܕܚܘܕܬܐ ܒܐܘܪܫܠܡ ܘܤܬܘܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kila mtu anayekiri hadharani kwamba yeye ni wangu, mimi pia nitamkiri mbele ya Baba yangu aliye mbinguni. \t ܟܠܢܫ ܗܟܝܠ ܕܢܘܕܐ ܒܝ ܩܕܡ ܒܢܝܢܫܐ ܐܘܕܐ ܒܗ ܐܦ ܐܢܐ ܩܕܡ ܐܒܝ ܕܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Mose aliwaruhusu kuwaacha wake zenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܘܫܐ ܠܘܩܒܠ ܩܫܝܘܬ ܠܒܟܘܢ ܐܦܤ ܠܟܘܢ ܕܬܫܪܘܢ ܢܫܝܟܘܢ ܡܢ ܒܪܫܝܬ ܕܝܢ ܠܐ ܗܘܐ ܗܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwake yeye awezaye kuwalinda msije mkaanguka, na kuwaleta ninyi bila hatia mpaka mbele ya utukufu wake, \t ܠܗܘ ܕܝܢ ܕܡܫܟܚ ܕܢܢܛܪ ܠܢ ܕܠܐ ܫܘܪܥܬܐ ܘܕܠܐ ܟܘܬܡܐ ܘܢܩܝܡ ܕܠܐ ܡܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wakulima wakamkamata, wakampiga, wakamrudisha mikono mitupu. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܡܚܐܘܗܝ ܘܫܕܪܘܗܝ ܟܕ ܤܦܝܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nawaambieni kweli, mtakachofunga duniani kitafungwa mbinguni, na mtakachofungua duniani kitafunguliwa mbinguni. \t ܘܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܟܠ ܡܐ ܕܬܐܤܪܘܢ ܒܐܪܥܐ ܢܗܘܐ ܐܤܝܪ ܒܫܡܝܐ ܘܡܕܡ ܕܬܫܪܘܢ ܒܐܪܥܐ ܢܗܘܐ ܫܪܐ ܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alifanya hivyo, ili kwa neno lake, aliweke wakfu kwa Mungu, baada ya kulifanya safi kwa kuliosha katika maji, \t ܕܢܩܕܫܝܗ ܘܢܕܟܝܗ ܒܤܚܝܐ ܕܡܝܐ ܘܒܡܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mitume wakayakung'uta mavumbi yaliyokuwa katika miguu yao kama onyo, kisha wakaenda Ikonio. \t ܘܟܕ ܢܦܩܘ ܢܦܨܘ ܥܠܝܗܘܢ ܚܠܐ ܕܪܓܠܝܗܘܢ ܘܐܬܘ ܠܗܘܢ ܠܐܝܩܢܘܢ ܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akaja Mwana wa Mtu; anakula na kunywa, mkasema: Mwangalieni mlafi huyu na mlevi; rafiki ya watoza ushuru na wenye dhambi! \t ܐܬܐ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܐܟܠ ܘܫܬܐ ܘܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܐ ܓܒܪܐ ܐܟܘܠܐ ܘܫܬܐ ܚܡܪܐ ܘܪܚܡܐ ܕܡܟܤܐ ܘܕܚܛܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu, akamshika mkono wa kulia, akamwinua. Papo hapo miguu na magoti yake yakapata nguvu. \t ܘܐܚܕܗ ܒܐܝܕܗ ܕܝܡܝܢܐ ܘܐܩܝܡܗ ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܫܪ ܪܓܠܘܗܝ ܘܥܩܒܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Martha akamjibu, \"Najua kwamba atafufuka wakati wa ufufuo, siku ya mwisho.\" \t ܐܡܪܐ ܠܗ ܡܪܬܐ ܝܕܥܐܢܐ ܕܩܐܡ ܒܢܘܚܡܐ ܒܝܘܡܐ ܐܚܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakumruhusu mtu yeyote kupitia Hekaluni akichukua kitu. \t ܘܠܐ ܫܒܩ ܗܘܐ ܕܐܢܫ ܢܥܒܪ ܡܐܢܐ ܒܓܘ ܗܝܟܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi hamjui hata maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Ninyi ni kama ukungu unaotokea kwa muda mfupi tu na kutoweka tena. \t ܘܠܐ ܝܕܥܝܢ ܡܢܐ ܗܘܐ ܡܚܪ ܡܢܐ ܐܢܘܢ ܓܝܪ ܚܝܝܢ ܐܠܐ ܐܢ ܠܗܓܐ ܕܩܠܝܠ ܡܬܚܙܐ ܘܛܠܩ ܘܡܘܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu, mimi binafsi nina hakika kwamba ninyi pia mmejaa wema, elimu yote, na mnaweza kushauriana ninyi kwa ninyi. \t ܡܦܤ ܐܢܐ ܕܝܢ ܐܦ ܐܢܐ ܥܠܝܟܘܢ ܐܚܝ ܕܐܦ ܐܢܬܘܢ ܡܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܘ ܛܒܬܐ ܘܡܫܡܠܝܬܘܢ ܒܟܠܗ ܝܕܥܬܐ ܘܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܦ ܠܐܚܪܢܐ ܠܡܪܬܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakafika Yeriko, naye Yesu alipokuwa anatoka katika mji huo akiwa na wanafunzi wake pamoja na umati mkubwa wa watu, kipofu mwombaji aitwaye Bartimayo mwana wa Timayo alikuwa ameketi kando ya barabara. \t ܘܐܬܘ ܠܐܝܪܝܚܘ ܘܟܕ ܢܦܩ ܝܫܘܥ ܡܢ ܐܝܪܝܚܘ ܗܘ ܘܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܛܝܡܝ ܒܪ ܛܝܡܝ ܤܡܝܐ ܝܬܒ ܗܘܐ ܥܠ ܝܕ ܐܘܪܚܐ ܘܚܕܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zile zilizoanguka kwenye miti ya miiba ni watu wale wanaosikia lile neno, lakini muda si muda, wanapokwenda zao, husongwa na wasiwasi, mali na anasa za maisha, na hawazai matunda yakakomaa. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܢܦܠ ܒܝܬ ܟܘܒܐ ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܫܡܥܝܢ ܡܠܬܐ ܘܒܨܦܬܐ ܘܒܥܘܬܪܐ ܘܒܪܓܝܓܬܗ ܕܥܠܡܐ ܡܬܚܢܩܝܢ ܘܦܐܪܐ ܠܐ ܝܗܒܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmefika kwa Yesu ambaye ameratibisha agano jipya, na ambaye damu yake iliyomwagika inasema mambo mema zaidi kuliko ile ya Abeli. \t ܘܠܝܫܘܥ ܡܨܥܝܐ ܕܕܝܬܩܐ ܚܕܬܐ ܘܠܪܤܤ ܕܡܗ ܕܡܡܠܠ ܛܒ ܡܢ ܗܘ ܕܗܒܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji. \t ܟܦܢܬ ܓܝܪ ܘܠܐ ܝܗܒܬܘܢ ܠܝ ܠܡܐܟܠ ܘܨܗܝܬ ܘܠܐ ܐܫܩܝܬܘܢܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayemkaribisha nabii kwa sababu ni nabii, atapokea tuzo la nabii. Anayemkaribisha mtu mwema kwa sababu ni mtu mwema, atapokea tuzo la mtu mwema. \t ܘܟܠ ܕܡܫܩܐ ܠܚܕ ܡܢ ܗܠܝܢ ܙܥܘܪܐ ܟܤܐ ܕܩܪܝܪܐ ܒܠܚܘܕ ܒܫܡܐ ܕܬܠܡܝܕܐ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܢܘܒܕ ܐܓܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe. \t ܫܡܝܐ ܘܐܪܥܐ ܢܥܒܪܘܢ ܘܡܠܝ ܠܐ ܢܥܒܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, Yakobo alikwenda Misri ambako yeye na babu zetu wengine walikufa. \t ܘܢܚܬ ܝܥܩܘܒ ܠܡܨܪܝܢ ܘܡܝܬ ܬܡܢ ܗܘ ܘܐܒܗܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akajitupa chini mbele ya miguu ya Yesu huku akimshukuru. Huyo alikuwa Msamaria. \t ܘܢܦܠ ܥܠ ܐܦܘܗܝ ܩܕܡ ܪܓܠܘܗܝ ܕܝܫܘܥ ܟܕ ܡܘܕܐ ܠܗ ܘܗܘ ܗܢܐ ܫܡܪܝܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, tulipokuwa bado adui zake, Mungu alitupatanisha naye kwa kifo cha Mwanae. Na kwa vile sasa tumepatanishwa naye, ni dhahiri zaidi kwamba tutaokolewa kwa uzima wa Kristo. \t ܐܢ ܓܝܪ ܟܕ ܐܝܬܝܢ ܒܥܠܕܒܒܐ ܐܬܪܥܝ ܥܡܢ ܐܠܗܐ ܒܡܘܬܐ ܕܒܪܗ ܟܡܐ ܗܟܝܠ ܝܬܝܪܐܝܬ ܒܬܪܥܘܬܗ ܢܚܐ ܒܚܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Tubuni, maana Ufalme wa mbinguni umekaribia.\" \t ܘܐܡܪ ܬܘܒܘ ܩܪܒܬ ܠܗ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na sasa niko hapa nihukumiwe kwa sababu ninaitumainia ile ahadi ambayo Mungu aliwaahidia babu zetu. \t ܘܗܫܐ ܥܠ ܤܒܪܐ ܕܫܘܘܕܝܐ ܕܗܘܐ ܗܘܐ ܠܐܒܗܬܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܩܐܡ ܐܢܐ ܘܡܬܕܝܢ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mfalme akahuzunika sana, lakini kwa sababu ya kiapo chake, na kwa ajili ya wale wageni wake karamuni, hakutaka kumkatalia. \t ܘܟܪܝܬ ܠܗ ܤܓܝ ܠܡܠܟܐ ܡܛܠ ܕܝܢ ܡܘܡܬܐ ܘܡܛܠ ܤܡܝܟܐ ܠܐ ܨܒܐ ܕܢܓܠܙܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akamsihi Yesu asiwafukuze hao pepo katika nchi ile. \t ܘܒܥܐ ܗܘܐ ܡܢܗ ܤܓܝ ܕܠܐ ܢܫܕܪܝܘܗܝ ܠܒܪ ܡܢ ܐܬܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye akawaambia, \"Ninapaswa kuhubiri Habari Njema za Ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, maana nilitumwa kwa ajili hiyo.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܐܦ ܠܡܕܝܢܬܐ ܐܚܪܢܝܬܐ ܘܠܐ ܠܝ ܠܡܤܒܪܘ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܕܥܠ ܗܕܐ ܗܘ ܐܫܬܕܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hakuna hata mmoja wa wale waliokaa pale mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia hivyo. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܠܐ ܐܢܫ ܝܕܥ ܡܢ ܗܢܘܢ ܤܡܝܟܐ ܕܥܠ ܡܢܐ ܐܡܪ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu Yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote habari hiyo. \t ܗܘ ܕܝܢ ܟܐܐ ܒܗܘܢ ܘܙܗܪ ܐܢܘܢ ܕܗܕܐ ܠܐܢܫ ܠܐ ܢܐܡܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, Paulo aliwaacha, akatoka barazani. \t ܘܗܟܢܐ ܢܦܩ ܦܘܠܘܤ ܡܢ ܒܝܢܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, watu wote katika mji ule walitoka, wakamwendea Yesu; na walipomwona, wakamsihi aondoke katika nchi yao. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܕܪܥܝܢ ܗܘܘ ܥܪܩܘ ܘܐܙܠܘ ܠܡܕܝܢܬܐ ܘܚܘܝܘ ܟܠܡܕܡ ܕܗܘܐ ܘܕܗܢܘܢ ܕܝܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wafalme wa Dunia waliofanya uzinzi naye na kuishi naye maisha ya anasa wataomboleza na kulia wakati watakapoona moshi wa mji huo unaoteketea. \t ܘܢܒܟܘܢܗ ܘܢܪܩܕܘܢ ܥܠܝܗ ܡܠܟܝܗ ܕܐܪܥܐ ܗܢܘܢ ܕܙܢܝܘ ܥܡܗ ܘܐܫܬܥܠܝܘ ܡܐ ܕܚܙܝܢ ܬܢܢܐ ܕܝܩܕܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawaambia, \"Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu.\" \t ܐܬܬܥܝܪܘ ܘܨܠܘ ܕܠܐ ܬܥܠܘܢ ܠܢܤܝܘܢܐ ܪܘܚܐ ܨܒܝܐ ܘܡܛܝܒܐ ܐܠܐ ܦܓܪܐ ܟܪܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na hukumu yenyewe ndiyo hii: Mwanga umekuja ulimwenguni lakini watu wakapenda giza kuliko mwanga, kwani matendo yao ni maovu. \t ܗܢܘ ܕܝܢ ܕܝܢܐ ܕܢܘܗܪܐ ܐܬܐ ܠܥܠܡܐ ܘܐܚܒܘ ܒܢܝܢܫܐ ܠܚܫܘܟܐ ܝܬܝܪ ܡܢ ܕܠܢܘܗܪܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܓܝܪ ܥܒܕܝܗܘܢ ܒܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usiku unakwisha na mchana unakaribia. Basi, tutupilie mbali mambo yote ya giza, tukajitwalie silaha za mwanga. \t ܠܠܝܐ ܡܟܝܠ ܥܒܪ ܘܐܝܡܡܐ ܩܪܒ ܢܢܝܚ ܡܢܢ ܗܟܝܠ ܥܒܕܐ ܕܚܫܘܟܐ ܘܢܠܒܫ ܙܝܢܗ ܕܢܘܗܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa ziwa, wakaacha yote, wakamfuata. \t ܘܩܪܒܘ ܐܢܝܢ ܤܦܝܢܐ ܠܐܪܥܐ ܘܫܒܩܘ ܟܠ ܡܕܡ ܘܐܬܘ ܒܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ishara nyingine ikatokea mbinguni: joka kubwa jekundu na lenye pembe kumi na vichwa saba; na kila kichwa kilikuwa na taji. \t ܘܐܬܚܙܝܬ ܐܬܐ ܐܚܪܬܐ ܒܫܡܝܐ ܘܗܐ ܬܢܝܢܐ ܪܒܐ ܕܢܘܪܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܫܒܥܐ ܪܫܝܢ ܘܥܤܪ ܩܪܢܬܐ ܘܥܠ ܪܫܘܗܝ ܫܒܥܐ ܬܐܓܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alisimamishwa mbele ya mkuu wa mkoa. Basi, mkuu wa mkoa akamwuliza, \"Je, wewe ndiwe Mfalme wa Wayahudi?\" Yesu akamwambia, \"Wewe umesema.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܩܡ ܩܕܡ ܗܓܡܘܢܐ ܘܫܐܠܗ ܗܓܡܘܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢܬ ܗܘ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢܬ ܐܡܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, Paulo na Barnaba waliongea kwa uhodari zaidi, wakasema, \"Ilikuwa ni lazima neno la Mungu liwafikieni ninyi kwanza; lakini kwa kuwa mmelikataa na kujiona hamstahili uzima wa milele, basi, tunawaacheni na kuwaendea watu wa mataifa mengine. \t ܐܡܪ ܕܝܢ ܦܘܠܘܤ ܘܒܪܢܒܐ ܥܝܢ ܒܓܠܐ ܠܟܘܢ ܗܘ ܘܠܐ ܗܘܐ ܩܕܡܝܬ ܕܬܬܐܡܪ ܡܠܬܗ ܕܐܠܗܐ ܐܠܐ ܡܛܠ ܕܕܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܡܢܟܘܢ ܘܦܤܩܬܘܢ ܥܠ ܢܦܫܟܘܢ ܕܠܐ ܫܘܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܗܐ ܡܬܦܢܝܢܢ ܠܢ ܠܘܬ ܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini watapaswa kutoa hoja juu ya jambo hilo mbele yake Mungu aliye tayari kuwahukumu wazima na wafu! \t ܗܢܘܢ ܕܝܗܒܝܢ ܦܬܓܡܐ ܠܐܠܗܐ ܗܘ ܕܥܬܝܕ ܠܡܕܢ ܡܝܬܐ ܘܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala hakuna atakayeweza kusema, Uko hapa, au Uko pale. Kwa kweli Ufalme wa Mungu uko kati yenu.\" \t ܘܠܐ ܐܡܪܝܢ ܗܐ ܗܪܟܐ ܗܝ ܘܗܐ ܗܪ ܬܡܢ ܗܝ ܗܐ ܓܝܪ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܠܓܘ ܡܢܟܘܢ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika uvumilivu tunaopewa na Kristo. \t ܘܡܪܢ ܢܬܪܘܨ ܠܒܘܬܟܘܢ ܠܚܘܒܗ ܕܐܠܗܐ ܘܠܡܤܒܪܢܘܬܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana kama ilivyokuwa nyakati za Noa, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Mtu. \t ܐܝܟܢܐ ܕܝܢ ܕܝܘܡܝ ܢܘܚ ܗܟܢܐ ܬܗܘܐ ܡܐܬܝܬܗ ܕܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini achana na hadithi zile zisizo za kidini na ambazo hazina maana. Jizoeshe kuishi maisha ya uchaji wa Mungu. \t ܡܢ ܫܘܥܝܬܐ ܕܝܢ ܦܟܝܗܬܐ ܕܤܒܬܐ ܐܫܬܐܠ ܘܕܪܫ ܢܦܫܟ ܒܟܐܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko Yerusalemu, karibu na mlango uitwao Mlango wa Kondoo, kulikuwa na bwawa la maji liitwalo kwa Kiebrania Bethzatha, ambalo lilikuwa na baraza tano zenye matao. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܬܡܢ ܒܐܘܪܫܠܡ ܕܘܟܬܐ ܚܕܐ ܕܡܥܡܘܕܝܬܐ ܕܡܬܩܪܝܐ ܥܒܪܐܝܬ ܒܝܬ ܚܤܕܐ ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܒܗ ܚܡܫܐ ܐܤܛܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akawaambia, \"Haya, mchukueni ninyi wenyewe, mkamhukumu kufuatana na Sheria yenu.\" Wayahudi wakamjibu, \"Sisi hatuna mamlaka ya kumwua mtu yeyote.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܦܝܠܛܘܤ ܕܘܒܪܘܗܝ ܐܢܬܘܢ ܘܕܘܢܘܗܝ ܐܝܟ ܢܡܘܤܟܘܢ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܝܗܘܕܝܐ ܠܐ ܫܠܝܛ ܠܢ ܠܡܩܛܠ ܠܐܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?\" \t ܘܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢ ܗܝ ܐܡܝ ܘܡܢ ܐܢܘܢ ܐܚܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa nini, basi wewe wamhukumu ndugu yako? Nawe, kwa nini wamdharau ndugu yako? Sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. \t ܐܢܬ ܕܝܢ ܡܢܐ ܕܐܢ ܐܢܬ ܠܐܚܘܟ ܐܘ ܐܦ ܐܢܬ ܠܡܢܐ ܫܐܛ ܐܢܬ ܠܐܚܘܟ ܟܠܢ ܓܝܪ ܥܬܝܕܝܢܢ ܠܡܩܡ ܩܕܡ ܒܝܡ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na juu ya kumfufua kutoka wafu, asipate tena kurudi huko na kuoza, Mungu alisema hivi: Nitakupa baraka takatifu na za kweli nilizomwahidia Daudi. \t ܘܗܟܢܐ ܐܩܝܡܗ ܐܠܗܐ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܕܬܘܒ ܠܐ ܢܗܦܘܟ ܢܚܙܐ ܚܒܠܐ ܐܝܟ ܕܐܡܪ ܕܐܬܠ ܠܟܘܢ ܛܝܒܘܬܗ ܕܕܘܝܕ ܡܗܝܡܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mdalasini, viungo, ubani, manemane, udi, divai, mafuta, unga na ngano, ng'ombe na kondoo, farasi na magari ya kukokotwa, watumwa wao na hata maisha ya watu. \t ܘܩܘܢܝܡܘܢ ܘܒܤܡܐ ܘܡܘܪܘܢ ܘܠܒܘܢܬܐ ܘܚܡܪܐ ܘܡܫܚܐ ܘܤܡܝܕܐ ܘܥܪܒܐ ܘܪܟܫܐ ܘܡܪܟܒܬܐ ܘܦܓܪܐ ܘܢܦܫܬܐ ܕܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawageukia wanafunzi wake, akasema: \"Heri ninyi mlio maskini, maana Ufalme wa Mungu ni wenu. \t ܘܐܪܝܡ ܥܝܢܘܗܝ ܥܠ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܛܘܒܝܟܘܢ ܡܤܟܢܐ ܕܕܝܠܟܘܢ ܗܝ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwanza Mose aliwatangazia watu wote amri zote kama ilivyokuwa katika Sheria; kisha akachukua damu ya ndama pamoja na maji, na kwa kutumia majani ya mti uitwao husopo na pamba nyekundu, akakinyunyizia kile kitabu cha Sheria na hao watu wote. \t ܟܕ ܐܬܦܩܕ ܓܝܪ ܟܠܗ ܦܘܩܕܢܐ ܡܢ ܡܘܫܐ ܠܥܡܐ ܟܠܗ ܒܢܡܘܤܐ ܢܤܒ ܗܘܐ ܡܘܫܐ ܕܡܐ ܕܥܓܠܬܐ ܘܡܝܐ ܒܥܡܪܐ ܕܙܚܘܪܝܬܐ ܘܙܘܦܐ ܘܪܤ ܥܠ ܤܦܪܐ ܘܥܠ ܥܡܐ ܟܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawaambia, \"Bila shaka mtaniambia msemo huu: Mganga jiponye mwenyewe, na pia mtasema: Yote tuliyosikia umeyafanya kule Kafarnaumu, yafanye hapa pia katika kijiji chako.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܟܒܪ ܬܐܡܪܘܢ ܠܝ ܡܬܠܐ ܗܢܐ ܐܤܝܐ ܐܤܐ ܢܦܫܟ ܘܟܠ ܕܫܡܥܢ ܕܥܒܕܬ ܒܟܦܪܢܚܘܡ ܥܒܕ ܐܦ ܗܪܟܐ ܒܡܕܝܢܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kwa sababu ya wingi wa watu, hawakuweza kuingia ndani. Basi, wakapanda juu ya dari, wakaondoa vigae, wakamshusha huyo aliyepooza pamoja na kitanda chake, wakamweka mbele ya Yesu. \t ܘܟܕ ܠܐ ܐܫܟܚܘ ܕܐܝܟܢܐ ܢܥܠܘܢܝܗܝ ܡܛܠ ܤܘܓܐܐ ܕܥܡܐ ܤܠܩܘ ܠܗܘܢ ܠܐܓܪܐ ܘܫܒܘܗܝ ܥܡ ܥܪܤܗ ܡܢ ܬܛܠܝܠܐ ܠܡܨܥܬܐ ܩܕܡܘܗܝ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu. Alitaka kuonyesha ghadhabu yake na kujulisha uwezo wake, Basi, alikuwa na saburi sana, akiwavumilia wale ambao walikuwa lengo la ghadhabu yake, ambao walistahili kuangamizwa. \t ܐܢ ܕܝܢ ܨܒܐ ܐܠܗܐ ܕܢܚܘܐ ܪܘܓܙܗ ܘܢܘܕܥ ܚܝܠܗ ܐܝܬܝ ܒܤܘܓܐܐ ܕܡܓܪܬ ܪܘܚܗ ܪܘܓܙܐ ܥܠ ܡܐܢܐ ܕܪܘܓܙܐ ܕܓܡܝܪܝܢ ܠܐܒܕܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yale yatokayo kinywani hutoka moyoni, na hayo ndiyo yanayomtia mtu najisi. \t ܡܕܡ ܕܝܢ ܕܡܢ ܦܘܡܐ ܢܦܩ ܡܢ ܠܒܐ ܢܦܩ ܘܗܘܝܘ ܡܤܝܒ ܠܗ ܠܒܪܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, muwe macho mkikumbuka kwamba kwa muda wa miaka mitatu, usiku na mchana, sikuchoka kumwonya kila mmoja wenu kwa machozi. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܗܘܝܬܘܢ ܥܝܪܝܢ ܘܥܗܝܕܝܢ ܕܫܢܝܐ ܬܠܬ ܠܐ ܫܠܝܬ ܒܠܠܝܐ ܘܒܐܝܡܡܐ ܟܕ ܒܕܡܥܐ ܡܪܬܐ ܐܢܐ ܠܐܢܫ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu aliwakasirikia akina nani kwa miaka arobaini? Aliwakasirikia wale waliotenda dhambi, maiti zao zikatapakaa kule jangwani. \t ܘܒܐܝܠܝܢ ܡܐܢܬ ܠܗ ܐܪܒܥܝܢ ܫܢܝܢ ܐܠܐ ܒܗܢܘܢ ܕܚܛܘ ܘܓܪܡܝܗܘܢ ܢܦܠܘ ܒܡܕܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwani nimeshuka kutoka mbinguni si kwa ajili ya kufanya matakwa yangu, ila kutimiza matakwa ya yule aliyenituma. \t ܕܢܚܬܬ ܡܢ ܫܡܝܐ ܠܐ ܗܘܐ ܕܐܥܒܕ ܨܒܝܢܝ ܐܠܐ ܕܐܥܒܕ ܨܒܝܢܗ ܕܡܢ ܕܫܕܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sasa, mmekwisha kombolewa kutoka utumwa wa dhambi na mmekuwa watumishi wa Mungu; faida mliyo nayo sasa ni utakatifu, na matokeo yake ni uzima wa milele. \t ܘܗܫܐ ܕܐܬܚܪܪܬܘܢ ܡܢ ܚܛܝܬܐ ܘܗܘܝܬܘܢ ܥܒܕܐ ܠܐܠܗܐ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܦܐܪܐ ܩܕܝܫܐ ܕܚܪܬܗܘܢ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akawaambia, \"Msiogope! Nendeni mkawaambie ndugu zangu waende Galilaya, na huko wataniona.\" \t ܗܝܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܝܢ ܝܫܘܥ ܠܐ ܬܕܚܠܢ ܐܠܐ ܙܠܝܢ ܐܡܪܝܢ ܠܐܚܝ ܕܢܐܙܠܘܢ ܠܓܠܝܠܐ ܘܬܡܢ ܢܚܙܘܢܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wewe hukunionyesha ukarimu wako kwa kunipaka mafuta kichwani, lakini huyu mwanamke amefanya hivyo kwa kunipaka mafuta miguu yangu. \t ܐܢܬ ܡܫܚܐ ܠܪܫܝ ܠܐ ܡܫܚܬ ܗܕܐ ܕܝܢ ܒܡܫܚܐ ܕܒܤܡܐ ܪܓܠܝ ܡܫܚܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Baba yangu amenikabidhi vitu vyote. Hakuna amjuaye Mwana ila Baba, wala amjuaye Baba ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana atapenda kumjulisha. \t ܟܠ ܡܕܡ ܐܫܬܠܡ ܠܝ ܡܢ ܐܒܝ ܘܠܐ ܐܢܫ ܝܕܥ ܠܒܪܐ ܐܠܐ ܐܢ ܐܒܐ ܐܦ ܠܐ ܠܐܒܐ ܐܢܫ ܝܕܥ ܐܠܐ ܐܢ ܒܪܐ ܘܠܡܢ ܕܨܒܐ ܒܪܐ ܕܢܓܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Msiwahukumu wengine, msije nanyi mkahukumiwa na Mungu; \t ܠܐ ܬܕܘܢܘܢ ܕܠܐ ܬܬܕܝܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo ninyi nyote mtatawanyika kila mtu kwake, nami nitaachwa peke yangu. Kumbe, lakini mimi siko peke yangu, maana Baba yu pamoja nami. \t ܕܗܐ ܐܬܝܐ ܫܥܬܐ ܘܗܫܐ ܐܬܬ ܕܬܬܒܕܪܘܢ ܐܢܫ ܠܐܬܪܗ ܘܬܫܒܩܘܢܢܝ ܒܠܚܘܕܝ ܘܠܐ ܗܘܝܬ ܒܠܚܘܕܝ ܕܐܒܐ ܥܡܝ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga, nazo hazikuzaa nafaka. \t ܘܐܚܪܢܐ ܢܦܠ ܒܝܬ ܟܘܒܐ ܘܤܠܩܘ ܟܘܒܐ ܘܚܢܩܘܗܝ ܘܦܐܪܐ ܠܐ ܝܗܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na hizo ngurumo saba ziliposema, mimi nikataka kuandika. Lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni: \"Maneno ya ngurumo hizo saba ni siri; usiyaandike!\" \t ܘܟܕ ܡܠܠܘ ܫܒܥܐ ܪܥܡܝܢ ܡܛܝܒ ܗܘܝܬ ܠܡܟܬܒ ܘܫܡܥܬ ܩܠܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܫܒܥܐ ܕܐܡܪ ܚܬܘܡ ܗܘ ܡܐ ܕܡܠܠܘ ܫܒܥܐ ܪܥܡܝܢ ܘܠܐ ܬܟܬܒܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, Mwanakondoo akavunja mhuri wa pili. Nikamsikia yule kiumbe hai wa pili akisema, \"Njoo!\" \t ܘܟܕ ܦܬܚ ܛܒܥܐ ܕܬܪܝܢ ܫܡܥܬ ܠܚܝܘܬܐ ܕܬܪܬܝܢ ܕܐܡܪܐ ܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: \"Kwa hiyo, mwanamume atawaacha baba na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.\" \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܢܫܒܘܩ ܓܒܪܐ ܠܐܒܘܗܝ ܘܠܐܡܗ ܘܢܩܦ ܠܐܢܬܬܗ ܘܢܗܘܘܢ ܬܪܝܗܘܢ ܚܕ ܒܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo Maria Magdalene akaenda akawapa habari wale wanafunzi kuwa amemwona Bwana, na kwamba alikuwa amemwambia hivyo. \t ܗܝܕܝܢ ܐܬܬ ܡܪܝܡ ܡܓܕܠܝܬܐ ܘܤܒܪܬ ܠܬܠܡܝܕܐ ܕܚܙܬ ܠܡܪܢ ܘܕܗܠܝܢ ܐܡܪ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hii ndiyo amri aliyotupa Kristo: Anayempenda Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake. \t ܘܗܢܐ ܦܘܩܕܢܐ ܩܒܠܢ ܡܢܗ ܕܟܠ ܕܡܚܒ ܠܐܠܗܐ ܢܚܒ ܐܦ ܠܐܚܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakika nawaambieni, siku ile mji huo utapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Sodoma. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܤܕܘܡ ܢܗܘܐ ܢܝܚ ܒܝܘܡܐ ܗܘ ܐܘ ܠܡܕܝܢܬܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na mtu mmoja mwenye mkono uliopooza. Basi, watu wakamwuliza Yesu, \"Je, ni halali kumponya mtu siku ya Sabato?\" Walimwuliza hivyo wapate kisa cha kumshtaki. \t ܘܓܒܪܐ ܚܕ ܐܝܬ ܗܘܐ ܬܡܢ ܕܝܒܝܫܐ ܐܝܕܗ ܘܡܫܐܠܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܘܐܡܪܝܢ ܕܐܢ ܫܠܝܛ ܒܫܒܬܐ ܠܡܐܤܝܘ ܐܝܟ ܕܢܐܟܠܘܢ ܩܪܨܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika nanyi mtakapoona mambo hayo yakitendeka, jueni kwamba Mwana wa Mtu yuko karibu sana. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܡܐ ܕܚܙܝܬܘܢ ܗܠܝܢ ܕܗܘܝܢ ܕܥܘ ܕܩܪܝܒܐ ܗܝ ܥܠ ܬܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni dhahiri kwangu kwamba umejaa wivu mkali na mfungwa wa dhambi!\" \t ܒܟܒܕܐ ܓܝܪ ܡܪܝܪܬܐ ܘܒܩܛܪܐ ܕܥܘܠܐ ܚܙܐ ܐܢܐ ܕܐܝܬܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kadhalika nawaambieni, ndivyo watakavyofurahi malaika wa Mungu kwa sababu ya mwenye dhambi mmoja anayetubu.\" \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܗܟܢܐ ܬܗܘܐ ܚܕܘܬܐ ܩܕܡ ܡܠܐܟܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܥܠ ܚܕ ܚܛܝܐ ܕܬܐܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mimi ni Alfa na Omega,\" asema Bwana Mungu Mwenye Uwezo, aliyeko, aliyekuwako na anayekuja. \t ܐܢܐ ܐܠܦ ܘܬܘ ܐܡܪ ܡܪܝܐ ܐܠܗܐ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܘܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܘܐܬܐ ܗܘ ܕܐܚܝܕ ܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawaambia watu wote, \"Mtu yeyote akitaka kuwa mfuasi wangu, ni lazima ajikane nafsi yake, auchukue msalaba wake kila siku, anifuate. \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܩܕܡ ܟܠܢܫ ܡܢ ܕܨܒܐ ܕܢܐܬܐ ܒܬܪܝ ܢܟܦܘܪ ܒܢܦܫܗ ܘܢܫܩܘܠ ܙܩܝܦܗ ܟܠܝܘܡ ܘܢܐܬܐ ܒܬܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo malaika aliyesema hayo alipokwisha kwenda zake, Kornelio aliwaita watumishi wawili wa nyumbani na mmoja wa askari zake ambaye alikuwa mcha Mungu, \t ܘܟܕ ܐܙܠ ܠܗ ܡܠܐܟܐ ܕܡܠܠ ܥܡܗ ܩܪܐ ܬܪܝܢ ܡܢ ܒܢܝ ܒܝܬܗ ܘܦܠܚܐ ܚܕ ܕܕܚܠ ܠܐܠܗܐ ܐܝܢܐ ܕܡܬܕܢܐ ܗܘܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Paulo hakupendelea kumchukua Marko, ambaye awali aliwaacha kule Pamfulia na kukataa kushiriki katika kazi yao. \t ܦܘܠܘܤ ܕܝܢ ܠܐ ܨܒܐ ܗܘܐ ܕܢܕܒܪܗ ܥܡܗܘܢ ܡܛܠ ܕܫܒܩ ܗܘܐ ܐܢܘܢ ܟܕ ܗܢܘܢ ܒܦܡܦܘܠܝܐ ܘܠܐ ܐܙܠ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya. \t ܘܒܬܪ ܬܪܝܢ ܝܘܡܝܢ ܢܦܩ ܝܫܘܥ ܡܢ ܬܡܢ ܘܐܙܠ ܠܓܠܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tangu wakati huo Yesu alianza kuwajulisha waziwazi wanafunzi wake: \"Ni lazima mimi niende Yerusalemu, na huko nikapate mateso mengi yatakayosababishwa na wazee, makuhani wakuu na walimu wa Sheria. Nitauawa, na siku ya tatu nitafufuliwa.\" \t ܘܡܢ ܗܝܕܝܢ ܫܪܝ ܝܫܘܥ ܠܡܚܘܝܘ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܥܬܝܕ ܗܘ ܕܢܐܙܠ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܤܓܝ ܢܚܫ ܡܢ ܩܫܝܫܐ ܘܡܢ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܤܦܪܐ ܘܢܬܩܛܠ ܘܠܝܘܡܐ ܕܬܠܬܐ ܢܩܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyu mama amenimiminia marashi ili kunitayarisha kwa maziko. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܕܐܪܡܝܬ ܒܤܡܐ ܗܢܐ ܥܠ ܓܘܫܡܝ ܐܝܟ ܕܠܡܩܒܪܢܝ ܥܒܕܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wafanyabiashara wa dunia watalia na kumfanyia matanga, maana hakuna mtu anayenunua tena bidhaa zao; \t ܘܬܓܪܐ ܕܐܪܥܐ ܢܒܟܘܢ ܘܢܬܐܒܠܘܢ ܥܠܝܗ ܘܡܘܒܠܗܘܢ ܠܝܬ ܕܙܒܢ ܬܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunachoona sasa ni kama tu sura hafifu katika kioo, lakini hapo baadaye tutaona uso kwa uso. Sasa ninajua kiasi fulani tu, lakini hapo baadaye nitajua yote kikamilifu, kama vile Mungu anavyonijua mimi. \t ܗܫܐ ܐܝܟ ܕܒܡܚܙܝܬܐ ܚܙܝܢܢ ܒܦܠܐܬܐ ܗܝܕܝܢ ܕܝܢ ܐܦܝܢ ܠܘܩܒܠ ܐܦܝܢ ܗܫܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܩܠܝܠ ܡܢ ܤܓܝ ܗܝܕܝܢ ܕܝܢ ܐܕܥ ܐܝܟ ܡܐ ܕܐܬܝܕܥܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Enyi watumwa, watiini mabwana zenu hapa duniani kwa hofu na tetemeko; fanyeni hivyo kwa unyofu wa moyo kana kwamba mnamtumikia Kristo. \t ܥܒܕܐ ܐܫܬܡܥܘ ܠܡܪܝܟܘܢ ܕܒܒܤܪ ܒܕܚܠܬܐ ܘܒܪܬܝܬܐ ܘܒܦܫܝܛܘܬ ܠܒܐ ܐܝܟ ܕܠܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, mlipobatizwa mlizikwa pamoja na Kristo, na katika ubatizo, mlifufuliwa pia pamoja naye kwa imani yenu katika nguvu ya Mungu ambaye alimfufua Kristo kutoka wafu. \t ܘܐܬܩܒܪܬܘܢ ܥܡܗ ܒܡܥܡܘܕܝܬܐ ܘܒܗ ܩܡܬܘܢ ܥܡܗ ܕܗܝܡܢܬܘܢ ܒܚܝܠܐ ܕܐܠܗܐ ܕܐܩܝܡܗ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku tatu baada ya kufika mkoani, Festo alitoka Kaisarea, akaenda Yerusalemu. \t ܘܟܕ ܐܬܐ ܦܗܤܛܘܤ ܠܩܤܪܝܐ ܒܬܪ ܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܤܠܩ ܠܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "walitusihi sana wapewe nafasi ya kushiriki katika huduma hii ya kuwasaidia watu wa Mungu. \t ܒܥܘ ܡܢܢ ܒܒܥܘܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܕܢܫܬܘܬܦܘܢ ܒܛܝܒܘܬܐ ܕܬܫܡܫܬܐ ܕܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndipo mtakuwa na kulia na kusaga meno, wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka na Yakobo, na manabii wote wapo katika Ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mmetupwa nje! \t ܬܡܢ ܢܗܘܐ ܒܟܝܐ ܘܚܘܪܩ ܫܢܐ ܟܕ ܬܚܙܘܢ ܠܐܒܪܗܡ ܘܠܐܝܤܚܩ ܘܠܝܥܩܘܒ ܘܠܟܠܗܘܢ ܢܒܝܐ ܒܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܬܗܘܘܢ ܡܦܩܝܢ ܠܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zamani watu hawakujulishwa siri hiyo; lakini sasa Mungu amewajulisha mitume na manabii wake watakatifu kwa njia ya Roho. \t ܗܘ ܕܒܕܪܐ ܐܚܪܢܐ ܠܐ ܐܬܝܕܥ ܠܒܢܝܢܫܐ ܐܝܟ ܕܗܫܐ ܐܬܓܠܝ ܠܫܠܝܚܘܗܝ ܩܕܝܫܐ ܘܠܢܒܝܘܗܝ ܒܪܘܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutoka Mileto Paulo alituma ujumbe kwa wazee wa Efeso wakutane naye. \t ܘܡܢܗ ܡܢ ܡܝܠܝܛܘܤ ܫܕܪ ܐܝܬܝ ܠܩܫܝܫܐ ܕܥܕܬܐ ܕܐܦܤܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, kwa sasa nakwenda kuwahudumia watu wa Mungu kule Yerusalem. \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܐܙܠ ܐܢܐ ܠܐܘܪܫܠܡ ܕܐܫܡܫ ܠܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu zaidi ya arobaini ndio waliokula njama kufanya hivyo. \t ܗܘܝܢ ܗܘܘ ܕܝܢ ܗܢܘܢ ܕܐܩܝܡܘ ܒܡܘܡܬܐ ܗܢܐ ܩܝܡܐ ܝܬܝܪ ܡܢ ܐܪܒܥܝܢ ܓܒܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo wanaoabudu kweli, watamwabudu Baba kwa nguvu ya Roho; watu wanaomwabudu hivyo ndio Baba anaotaka. \t ܐܠܐ ܐܬܝܐ ܫܥܬܐ ܘܗܫܐ ܐܝܬܝܗ ܐܡܬܝ ܕܤܓܘܕܐ ܫܪܝܪܐ ܢܤܓܕܘܢ ܠܐܒܐ ܒܪܘܚܐ ܘܒܫܪܪܐ ܐܦ ܐܒܐ ܓܝܪ ܕܐܝܟ ܗܠܝܢ ܗܘ ܤܓܘܕܐ ܒܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa enzi wa Mungu, ili awainue wakati ufaao. \t ܐܬܡܟܟܘ ܗܟܝܠ ܬܚܝܬ ܐܝܕܗ ܬܩܝܦܬܐ ܕܐܠܗܐ ܕܗܝ ܬܪܝܡܟܘܢ ܒܙܒܢܐ ܕܙܕܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "makaburi yakafunguka na watu wengi wa Mungu waliokufa wakafufuliwa; \t ܘܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܐܬܦܬܚܘ ܘܦܓܪܐ ܤܓܝܐܐ ܕܩܕܝܫܐ ܕܫܟܝܒܝܢ ܗܘܘ ܩܡܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati nilipokuwa nikifanya hayo ndipo waliponikuta Hekaluni, nilipokuwa nimekwisha fanya ile ibada ya kujitakasa. Hakukuwako kundi la watu wala ghasia. \t ܘܐܫܟܚܘܢܝ ܗܠܝܢ ܒܗܝܟܠܐ ܟܕ ܡܕܟܝ ܐܢܐ ܠܐ ܥܡ ܟܢܫܐ ܐܦܠܐ ܒܫܓܘܫܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zile zilizoanguka penye mawe zinaonyesha watu wale ambao wanaposikia juu ya lile neno hulipokea kwa furaha. Hata hivyo, kama zile mbegu, watu hao hawana mizizi maana husadiki kwa kitambo tu, na wanapojaribiwa hukata tamaa. \t ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܕܥܠ ܫܘܥܐ ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܕܡܐ ܕܫܡܥܘ ܒܚܕܘܬܐ ܡܩܒܠܝܢ ܠܗ ܠܡܠܬܐ ܘܥܩܪܐ ܠܝܬ ܠܗܘܢ ܐܠܐ ܕܙܒܢܐ ܗܝ ܗܝܡܢܘܬܗܘܢ ܘܒܙܒܢ ܢܤܝܘܢܐ ܡܬܟܫܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika na yule aliyekabidhiwa talanta mbili akapata faida talanta mbili. \t ܘܗܟܘܬ ܐܦ ܗܘ ܕܬܪܬܝܢ ܐܬܬܓܪ ܬܪܬܝܢ ܐܚܪܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Apolo ni nani? na Paulo ni nani? Sisi ni watumishi tu ambao tuliwaleteeni ninyi imani. Kila mmoja wetu anafanya kazi aliyopewa na Bwana. \t ܡܢܘ ܓܝܪ ܦܘܠܘܤ ܐܘ ܡܢܘ ܐܦܠܘ ܐܠܐ ܡܫܡܫܢܐ ܕܒܐܝܕܝܗܘܢ ܗܝܡܢܬܘܢ ܘܐܢܫ ܐܢܫ ܐܝܟ ܕܝܗܒ ܠܗ ܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara alianza kuhubiri katika masunagogi kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu. \t ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܡܟܪܙ ܗܘܐ ܒܟܢܘܫܬܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܥܠ ܝܫܘܥ ܕܗܘܝܘ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini malaika akamwambia, \"Zakariya, usiogope, kwa maana sala yako imesikilizwa, na Elisabeti mkeo atakuzalia mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yohane. \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܠܐܟܐ ܠܐ ܬܕܚܠ ܙܟܪܝܐ ܡܛܠ ܕܐܫܬܡܥܬ ܨܠܘܬܟ ܘܐܢܬܬܟ ܐܠܝܫܒܥ ܬܐܠܕ ܠܟ ܒܪܐ ܘܬܩܪܐ ܫܡܗ ܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokikaribia kile kijiji walikokuwa wanakwenda, Yesu akafanya kana kwamba anaendelea na safari; \t ܘܩܪܒܘ ܗܘܘ ܠܩܪܝܬܐ ܗܝ ܕܐܙܠܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܘܗܘ ܡܤܒܪ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܐܝܟ ܕܠܕܘܟܐ ܪܚܝܩܐ ܐܙܠ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akamjibu, \"Mwalimu, hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܠܦܢܐ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܢܛܪܬ ܐܢܝܢ ܡܢ ܛܠܝܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamtazama, akampenda, akamwambia, \"Umepungukiwa na kitu kimoja: nenda ukauze vitu ulivyo navyo, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate.\" \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܚܪ ܒܗ ܘܐܚܒܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܚܕܐ ܚܤܝܪܐ ܠܟ ܙܠ ܙܒܢ ܟܠ ܡܕܡ ܕܐܝܬ ܠܟ ܘܗܒ ܠܡܤܟܢܐ ܘܬܗܘܐ ܠܟ ܤܝܡܬܐ ܒܫܡܝܐ ܘܤܒ ܨܠܝܒܐ ܘܬܐ ܒܬܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mwanamke akamjibu, \"Mheshimiwa, hakuna hata mmoja!\" Naye Yesu akamwambia, \"Wala mimi sikuhukumu. Nenda zako; na tangu sasa usitende dhambi tena.\" \t ܗܝ ܕܝܢ ܐܡܪܬ ܘܠܐ ܐܢܫ ܡܪܝܐ ܐܡܪ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܦܠܐ ܐܢܐ ܡܚܝܒ ܐܢܐ ܠܟܝ ܙܠܝ ܘܡܢ ܗܫܐ ܬܘܒ ܠܐ ܬܚܛܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Petro akamwambia, \"Enea, Yesu Kristo anakuponya. Amka utandike kitanda chako.\" Enea akaamka mara. \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܐܢܝܐ ܡܐܤܐ ܠܟ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܩܘܡ ܘܫܘܐ ܥܪܤܟ ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܩܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakasema kwa sauti kuu: \"Mwanakondoo aliyechinjwa anastahili kupokea uwezo, utajiri, hekima, nguvu, utukufu na sifa.\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܫܘܝܬ ܗܘ ܐܡܪܐ ܢܟܝܤܐ ܠܡܤܒ ܚܝܠܐ ܘܥܘܬܪܐ ܘܚܟܡܬܐ ܘܥܘܫܢܐ ܘܐܝܩܪܐ ܘܬܫܒܘܚܬܐ ܘܒܘܪܟܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi ni watoto wa baba yenu Ibilisi na mnataka tu kutekeleza tamaa za baba yenu. Yeye alikuwa muuaji tangu mwanzo; hana msimamo katika ukweli, kwani ukweli haumo ndani yake. Kila asemapo uongo, husema kutokana na hali yake ya maumbile, maana yeye ni mwongo na baba wa uongo. \t ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܐܒܐ ܐܟܠܩܪܨܐ ܐܝܬܝܟܘܢ ܘܪܓܬܗ ܕܐܒܘܟܘܢ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܥܒܕ ܗܘ ܕܡܢ ܒܪܫܝܬ ܩܛܠ ܐܢܫܐ ܗܘ ܘܒܫܪܪܐ ܠܐ ܩܐܡ ܡܛܠ ܕܫܪܪܐ ܠܝܬ ܒܗ ܐܡܬܝ ܕܡܡܠܠ ܟܕܒܘܬܐ ܡܢ ܕܝܠܗ ܗܘ ܡܡܠܠ ܡܛܠ ܕܕܓܠܐ ܗܘ ܐܦ ܐܒܘܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu akisema kwamba anampenda Mungu, hali anamchukia ndugu yake, huyo ni mwongo. Maana mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hamwoni. \t ܐܢ ܕܝܢ ܐܢܫ ܢܐܡܪ ܕܡܚܒ ܐܢܐ ܠܐܠܗܐ ܘܠܐܚܘܗܝ ܤܢܐ ܕܓܠܐ ܗܘ ܗܘ ܓܝܪ ܕܠܐܚܘܗܝ ܕܡܬܚܙܐ ܠܐ ܡܚܒ ܠܐܠܗܐ ܗܘ ܕܠܐ ܡܬܚܙܐ ܐܝܟܢܐ ܡܫܟܚ ܕܢܚܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tusimjaribu Bwana kama baadhi yao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka. \t ܘܠܐ ܢܢܤܐ ܠܡܫܝܚܐ ܐܝܟܢܐ ܕܡܢܗܘܢ ܢܤܝܘ ܘܐܘܒܕܘ ܐܢܘܢ ܚܘܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaambia wale waliokuwa wanauza njiwa, \"Ondoeni vitu hivi hapa. Msiifanye nyumba ya Baba yangu kuwa soko!\" \t ܘܠܗܢܘܢ ܕܡܙܒܢܝܢ ܝܘܢܐ ܐܡܪ ܫܩܘܠܘ ܗܠܝܢ ܡܟܐ ܘܠܐ ܬܥܒܕܘܢܗ ܠܒܝܬܗ ܕܐܒܝ ܒܝܬ ܬܐܓܘܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, jambo muhimu katika hayo tunayosema ni hili: sisi tunaye Kuhani Mkuu wa namna hiyo, ambaye anaketi upande wa kulia wa kiti cha enzi cha Mwenyezi Mungu mbinguni. \t ܪܝܫܐ ܕܝܢ ܕܟܠܗܝܢ ܐܝܬ ܠܢ ܪܒ ܟܘܡܪܐ ܐܝܢܐ ܕܝܬܒ ܡܢ ܝܡܝܢܐ ܕܟܘܪܤܝܐ ܕܪܒܘܬܐ ܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Moshi wa moto unaowatesa kupanda juu milele na milele. Watu hao waliomwabudu huyo mnyama na sanamu yake, na kutiwa alama ya jina lake, hawatakuwa na nafuu yoyote usiku na mchana.\" \t ܘܬܢܢܐ ܕܬܫܢܝܩܗܘܢ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܢܤܩ ܘܠܝܬ ܠܗܘܢ ܢܦܐܫܐ ܐܝܡܡܐ ܘܠܠܝܐ ܐܝܠܝܢ ܕܤܓܕܝܢ ܠܚܝܘܬܐ ܘܠܨܠܡܗ ܘܠܡܢ ܕܫܩܠ ܪܘܫܡܐ ܕܫܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini alipokuwa njiani karibu kufika Damasko, ghafla mwanga kutoka angani ulimwangazia pande zote. \t ܘܟܕ ܐܙܠ ܗܘܐ ܘܫܪܝ ܡܡܛܐ ܠܕܪܡܤܘܩ ܡܢ ܬܚܝܬ ܫܠܝܐ ܐܙܠܓ ܗܘܐ ܥܠܘܗܝ ܢܘܗܪܐ ܡܢ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao si wa ulimwengu, kama vile nami nisivyo wa ulimwengu. \t ܠܐ ܗܘܘ ܓܝܪ ܡܢ ܥܠܡܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܢܐ ܠܐ ܗܘܝܬ ܡܢ ܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini chakula kigumu ni kwa ajili ya watu waliokomaa, ambao wanaweza kubainisha mema na mabaya. \t ܕܓܡܝܪܐ ܗܝ ܕܝܢ ܡܐܟܘܠܬܐ ܫܪܝܪܬܐ ܐܝܠܝܢ ܕܡܛܠ ܕܡܕܪܫܝܢ ܐܬܢܦܩܘ ܪܓܫܝܗܘܢ ܠܡܦܪܫ ܛܒܬܐ ܘܒܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo mfalme akawaambia watumishi, Mfungeni miguu na mikono mkamtupe nje gizani; huko atalia na kusaga meno.\" \t ܗܝܕܝܢ ܐܡܪ ܡܠܟܐ ܠܡܫܡܫܢܐ ܐܤܘܪܘ ܐܝܕܘܗܝ ܘܪܓܠܘܗܝ ܘܐܦܩܘܗܝ ܠܚܫܘܟܐ ܒܪܝܐ ܬܡܢ ܢܗܘܐ ܒܟܝܐ ܘܚܘܪܩ ܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, mpate kujua upendo wa Kristo upitao elimu yote, mjazwe kabisa utimilifu wote wa Mungu. \t ܘܬܕܥܘܢ ܪܒܘܬܐ ܕܝܕܥܬܐ ܕܚܘܒܗ ܕܡܫܝܚܐ ܘܬܬܡܠܘܢ ܒܟܠܗ ܡܘܠܝܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayemwamini mwana wa Mungu anao ushahidi huo ndani yake; lakini asiyemwamini Mungu, anamfanya yeye kuwa mwongo, maana hakuamini ushahidi alioutoa Mungu juu ya Mwanae. \t ܟܠܡܢ ܕܡܗܝܡܢ ܒܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܐܝܬ ܠܗ ܗܕܐ ܤܗܕܘܬܐ ܒܢܦܫܗ ܟܠ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢ ܠܐܠܗܐ ܕܓܠܐ ܥܒܕܗ ܒܕܠܐ ܗܝܡܢ ܠܤܗܕܘܬܐ ܕܐܤܗܕ ܐܠܗܐ ܥܠ ܒܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huwadhulumu wajane huku wakisingizia kuwa wema kwa kusali sala ndefu. Hao watapata hukumu kali zaidi!\" \t ܗܢܘܢ ܕܐܟܠܝܢ ܒܬܐ ܕܐܪܡܠܬܐ ܒܥܠܬܐ ܕܡܘܪܟܝܢ ܨܠܘܬܗܘܢ ܗܢܘܢ ܢܩܒܠܘܢ ܕܝܢܐ ܝܬܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alikuwa bado anasema na umati wa watu wakati mama yake na ndugu zake walipofika na kusimama nje, wakitaka kusema naye. \t ܟܕ ܗܘ ܕܝܢ ܡܡܠܠ ܠܟܢܫܐ ܐܬܘ ܐܡܗ ܘܐܚܘܗܝ ܩܝܡܝܢ ܠܒܪ ܘܒܥܝܢ ܕܢܡܠܠܘܢ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kukaa muda mrefu bila kula chakula, Paulo alisimama kati yao, akasema, \"Waheshimiwa, ingalikuwa afadhali kama mngalinisikiliza na kuacha kusafiri kutoka Krete. Kama mngalifanya hivyo tungaliiepuka shida hii na hasara hizi zote. \t ܘܟܕ ܐܢܫ ܡܕܡ ܠܐ ܡܤܬܝܒܪ ܗܘܐ ܗܝܕܝܢ ܩܡ ܦܘܠܘܤ ܒܝܢܬܗܘܢ ܘܐܡܪ ܐܠܘ ܐܬܛܦܝܤܬܘܢ ܠܝ ܓܒܪܐ ܠܐ ܪܕܝܢ ܗܘܝܢ ܡܢ ܩܪܛܐ ܘܡܬܚܤܟܝܢ ܗܘܝܢ ܡܢ ܚܘܤܪܢܐ ܘܡܢ ܐܘܠܨܢܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wale wazee ishirini na wanne hujiangusha mbele ya huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi na kumwabudu huyo ambaye anaishi milele na milele; na huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi wakisema: \t ܢܦܠܘܢ ܥܤܪܝܢ ܘܐܪܒܥܐ ܩܫܝܫܝܢ ܩܕܡ ܡܢ ܕܝܬܒ ܥܠ ܟܘܪܤܝܐ ܘܢܤܓܕܘܢ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ ܠܡܢ ܕܚܝ ܘܢܪܡܘܢ ܟܠܝܠܝܗܘܢ ܩܕܡ ܟܘܪܤܝܐ ܟܕ ܐܡܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wa Ninewi watatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, na watashuhudia kwamba kizazi hiki kina hatia. Hao watu wa Ninewi walitubu kwa sababu ya mahubiri ya Yona; na hapa pana mkuu zaidi kuliko Yona! \t ܓܒܪܐ ܢܝܢܘܝܐ ܢܩܘܡܘܢ ܒܕܝܢܐ ܥܡ ܫܪܒܬܐ ܗܕܐ ܘܢܚܝܒܘܢܗ ܕܬܒܘ ܒܟܪܘܙܘܬܗ ܕܝܘܢܢ ܘܗܐ ܕܝܬܝܪ ܡܢ ܝܘܢܢ ܗܪܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akaja mtu mmoja mwenye ukoma, akamsujudia akisema, \"Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa!\" \t ܘܗܐ ܓܪܒܐ ܚܕ ܐܬܐ ܤܓܕ ܠܗ ܘܐܡܪ ܡܪܝ ܐܢ ܨܒܐ ܐܢܬ ܡܫܟܚ ܐܢܬ ܠܡܕܟܝܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliona mbingu zimefunguliwa na kitu kama shuka kubwa inateremshwa chini ikiwa imeshikwa pembe zake nne. \t ܘܚܙܐ ܫܡܝܐ ܟܕ ܦܬܝܚܝܢ ܘܡܐܢܐ ܚܕ ܟܕ ܐܤܝܪ ܒܐܪܒܥ ܩܪܢܢ ܘܕܡܐ ܗܘܐ ܠܟܬܢܐ ܪܒܐ ܘܫܐܒ ܗܘܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo mabaa yake yatampata kwa siku moja: ugonjwa, huzuni na njaa. Atachomwa moto, maana Bwana Mungu mwenye kumhukumu ni Mwenye Uwezo.\" \t ܡܛܠܗܢܐ ܒܚܕ ܝܘܡܐ ܢܐܬܝܢ ܥܠܝܗ ܡܚܘܬܐ ܡܘܬܐ ܘܐܒܠܐ ܘܟܦܢܐ ܘܒܢܘܪܐ ܬܐܩܕ ܡܛܠ ܕܚܝܠܬܢ ܡܪܝܐ ܕܕܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule Galilaya.\" \t ܐܠܐ ܡܐ ܕܩܡܬ ܩܕܡ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܠܓܠܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi ni miongoni mwa watu hao; mmeitwa muwe watu wake Yesu Kristo. \t ܕܐܦ ܐܢܬܘܢ ܡܢܗܘܢ ܐܢܬܘܢ ܩܪܝܐ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alikwenda tena kando ya ziwa. Umati wa watu ukamwendea, naye akaanza kuwafundisha. \t ܘܢܦܩ ܬܘܒ ܠܘܬ ܝܡܐ ܘܟܠܗ ܟܢܫܐ ܐܬܝܢ ܗܘܘ ܠܘܬܗ ܘܡܠܦ ܗܘܐ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa bado anasema, Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, akafika pamoja na umati wa watu wenye mapanga na marungu. Watu hao walikuwa wametumwa na makuhani wakuu, walimu wa Sheria na wazee. \t ܘܥܕ ܗܘ ܡܡܠܠ ܐܬܐ ܝܗܘܕܐ ܤܟܪܝܘܛܐ ܚܕ ܡܢ ܬܪܥܤܪ ܘܥܡܐ ܤܓܝܐܐ ܥܡ ܤܦܤܪܐ ܘܚܘܛܪܐ ܡܢ ܠܘܬ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܤܦܪܐ ܘܩܫܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hatukutafuta sifa kutoka kwa watu, wala kutoka kwenu, wala kutoka kwa mtu yeyote, \t ܘܠܐ ܒܥܝܢ ܫܘܒܚܐ ܡܢ ܒܢܝܢܫܐ ܠܐ ܡܢܟܘܢ ܘܠܐ ܡܢ ܐܚܪܢܐ ܟܕ ܡܫܟܚܝܢ ܗܘܝܢ ܝܩܝܪܐ ܠܡܗܘܐ ܐܝܟ ܫܠܝܚܐ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Sawa, mnaweza kuyatazama haya yote! Kweli nawaambieni, hakuna hata jiwe moja litakalosalia hapa juu ya lingine; kila kitu kitaharibiwa.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܗܐ ܚܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܬܫܬܒܩ ܗܪܟܐ ܟܐܦ ܥܠ ܟܐܦ ܕܠܐ ܬܤܬܬܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkipendana, watu wote watajua kwamba ninyi ni wanafunzi wangu.\" \t ܒܗܕܐ ܢܕܥ ܟܠ ܐܢܫ ܕܬܠܡܝܕܝ ܐܢܬܘܢ ܐܢ ܚܘܒܐ ܢܗܘܐ ܒܟܘܢ ܚܕ ܠܘܬ ܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akaona mashua mbili ukingoni mwa ziwa; wavuvi wenyewe walikuwa wametoka, wanaosha nyavu zao. \t ܚܙܐ ܤܦܝܢܐ ܬܪܬܝܢ ܕܩܝܡܢ ܥܠ ܓܢܒ ܝܡܬܐ ܘܨܝܕܐ ܕܤܠܩܘ ܡܢܗܝܢ ܘܡܫܝܓܝܢ ܡܨܝܕܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati tulipowafundisheni juu ya ukuu wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo, hatukutegemea hadithi tupu zisizo na msingi. Sisi tuliuona utukufu wake kwa macho yetu wenyewe. \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܟܕ ܒܬܪ ܡܬܠܐ ܕܥܒܝܕܝܢ ܒܐܘܡܢܘܬܐ ܐܙܠܝܢܢ ܐܘܕܥܢܟܘܢ ܚܝܠܗ ܘܡܐܬܝܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܠܐ ܟܕ ܚܙܝܐ ܗܘܝܢ ܕܪܒܘܬܐ ܕܝܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Roho ndiye atiaye uzima; binadamu peke yake hawezi. Maneno niliyowaambieni ni Roho, ni uzima. \t ܪܘܚܐ ܗܝ ܕܡܚܝܐ ܦܓܪܐ ܠܐ ܡܗܢܐ ܡܕܡ ܡܠܐ ܕܐܢܐ ܡܠܠܬ ܥܡܟܘܢ ܪܘܚܐ ܐܢܝܢ ܘܚܝܐ ܐܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa basi, ya nini kukawia zaidi? Simama ubatizwe na uondolewe dhambi zako kwa kuliungama jina lake. \t ܘܗܫܐ ܡܢܐ ܡܫܬܘܚܪ ܐܢܬ ܩܘܡ ܥܡܕ ܘܐܬܕܟܐ ܡܢ ܚܛܗܝܟ ܟܕ ܩܪܐ ܐܢܬ ܫܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, Yuda ambaye ndiye aliyemsaliti, alipoona kwamba wamekwisha mhukumu Yesu, akajuta, akawarudishia makuhani wakuu zile sarafu thelathini za fedha. \t ܗܝܕܝܢ ܝܗܘܕܐ ܡܫܠܡܢܐ ܟܕ ܚܙܐ ܕܐܬܚܝܒ ܝܫܘܥ ܐܬܬܘܝ ܘܐܙܠ ܐܗܦܟ ܗܠܝܢ ܬܠܬܝܢ ܕܟܤܦܐ ܠܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܠܩܫܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninayo machache dhidi yako: baadhi yenu ni wafuasi wa Balaamu aliyemfundisha Balaki kuwatega wana wa Israeli wale vyakula vilivyotambikiwa sanamu za kufanya uzinzi. \t ܐܠܐ ܐܝܬ ܠܝ ܥܠܝܟ ܙܥܘܪܝܬܐ ܕܐܝܬ ܠܟ ܬܡܢ ܕܐܚܝܕܝܢ ܡܠܦܢܘܬܐ ܕܒܠܥܡ ܗܘ ܕܐܠܦ ܠܒܠܩ ܕܢܪܡܐ ܟܫܠܐ ܩܕܡ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܠܡܐܟܠ ܕܒܚܝ ܦܬܟܪܐ ܘܠܡܙܢܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anathubutuje mmoja wenu kumshtaki ndugu muumini mbele ya mahakama ya watu wasiomjua Mungu badala ya kumshtaki mbele ya watu wa Mungu? \t ܡܡܪܚ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܟܕ ܐܝܬ ܠܗ ܕܝܢܐ ܥܡ ܐܚܘܗܝ ܕܢܕܘܢ ܩܕܡ ܥܘܠܐ ܘܠܐ ܩܕܡ ܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama, basi Demetrio na wafanyakazi wake wana mashtaka yao kuhusu watu hawa, yapo mahakama na wakuu wa mikoa; wanaweza kushtakiana huko. \t ܐܢ ܕܝܢ ܗܢܐ ܕܡܛܪܝܘܤ ܘܒܢܝ ܐܘܡܢܘܬܗ ܐܝܬ ܠܗܘܢ ܕܝܢܐ ܥܡ ܐܢܫ ܗܐ ܐܢܬܘܦܛܘܤ ܒܡܕܝܢܬܐ ܐܘܡܢܐ ܐܢܘܢ ܢܩܪܒܘܢ ܘܢܕܘܢܘܢ ܚܕ ܥܡ ܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko alimkuta mtu mmoja aitwaye Enea ambaye kwa muda wa miaka minane alikuwa amelala kitandani kwa sababu alikuwa amepooza. \t ܘܐܫܟܚ ܓܒܪܐ ܚܕ ܕܫܡܗ ܐܢܝܤ ܕܪܡܐ ܗܘܐ ܒܥܪܤܐ ܘܡܫܪܝ ܫܢܝܢ ܬܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Lakini ole wenu Mafarisayo, kwa sababu mnatoza watu zaka hata juu ya majani ya kukolezea chakula, mchicha na majani mengine, na huku hamjali juu ya haki na upendo kwa Mungu. Mambo haya iliwapasa muwe mmeyazingatia bila kuyasahau yale mengine. \t ܐܠܐ ܘܝ ܠܟܘܢ ܦܪܝܫܐ ܕܡܥܤܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܢܢܥܐ ܘܦܓܢܐ ܘܟܠ ܝܘܪܩ ܘܥܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܠ ܕܝܢܐ ܘܥܠ ܚܘܒܐ ܕܐܠܗܐ ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܘܠܐ ܗܘܐ ܕܬܥܒܕܘܢ ܘܗܠܝܢ ܠܐ ܬܫܒܩܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Wayahudi wengi waliokuwa wamefika kwa Maria walipoona kitendo hicho alichokifanya Yesu wakamwamini. \t ܘܤܓܝܐܐ ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܕܐܬܘ ܠܘܬ ܡܪܝܡ ܟܕ ܚܙܘ ܡܕܡ ܕܥܒܕ ܝܫܘܥ ܗܝܡܢܘ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na ukamilifu wake sisi tumepokea neema mfululizo. \t ܘܡܢ ܡܠܝܘܬܗ ܚܢܢ ܟܠܢ ܢܤܒܢ ܘܛܝܒܘܬܐ ܚܠܦ ܛܝܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Petro akamwambia, \"Sina fedha wala dhahabu lakini kile nilicho nacho nitakupa. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, tembea!\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܕܗܒܐ ܘܤܐܡܐ ܠܝܬ ܠܝ ܐܠܐ ܡܕܡ ܕܐܝܬ ܠܝ ܝܗܒ ܐܢܐ ܠܟ ܒܫܡܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܢܨܪܝܐ ܩܘܡ ܗܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo aliitwa na Tertulo akafungua mashtaka hivi: \"Mheshimiwa Felisi, uongozi wako bora umeleta amani kubwa na marekebisho ya lazima yanafanywa kwa manufaa ya taifa letu. \t ܘܟܕ ܐܬܩܪܝ ܐܩܦ ܗܘܐ ܛܪܛܠܘܤ ܡܩܛܪܓ ܠܗ ܘܐܡܪ ܒܤܘܓܐܐ ܕܫܝܢܐ ܥܡܪܝܢܢ ܡܛܠܬܟ ܘܬܩܢܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܗܘܝ ܠܥܡܐ ܗܢܐ ܒܫܩܠ ܛܥܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika akaniambia, \"Andika haya: Heri wale walioalikwa kwenye karamu ya arusi ya Mwanakondoo!\" Tena akaniambia, \"Hayo ni maneno ya kweli ya Mungu.\" \t ܘܐܡܪܘ ܠܝ ܟܬܘܒ ܛܘܒܝܗܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܚܫܡܝܬܐ ܕܡܫܬܘܬܗ ܕܐܡܪܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܩܪܝܐ ܘܐܡܪ ܠܝ ܗܠܝܢ ܡܠܐ ܕܫܪܝܪܢ ܕܐܠܗܐ ܐܝܬܝܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali. \t ܘܕܝܢܗܝܢ ܩܝܡ ܗܘ ܕܛܠܡ ܗܝܡܢܘܬܗܝܢ ܩܕܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana mimi ni mdogo kabisa miongoni mwa mitume na wala sistahili kuitwa mtume, kwa sababu nililidhulumu kanisa la Mungu. \t ܐܢܐ ܐܢܐ ܓܝܪ ܙܥܘܪܗܘܢ ܕܫܠܝܚܐ ܘܠܐ ܫܘܐ ܐܢܐ ܕܐܬܩܪܐ ܫܠܝܚܐ ܡܛܠ ܕܪܕܦܬ ܥܕܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siri yenyewe ni hii: kwa njia ya Habari Njema watu wa mataifa mengine wanapata sehemu yao pamoja na Wayahudi katika zile baraka za Mungu; wao ni viungo vya mwili uleule, na wanashiriki ahadi ileile aliyofanya Mungu kwa njia ya Kristo Yesu. \t ܕܢܗܘܘܢ ܥܡܡܐ ܒܢܝ ܝܪܬܘܬܗ ܘܫܘܬܦܐ ܕܦܓܪܗ ܘܕܡܘܠܟܢܐ ܕܐܬܝܗܒ ܒܗ ܒܝܕ ܐܘܢܓܠܝܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu akikulazimisha kubeba mzigo wake kilomita moja, ubebe kilomita mbili. \t ܡܢ ܕܡܫܚܪ ܠܟ ܡܝܠܐ ܚܕ ܙܠ ܥܡܗ ܬܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Badala yake, walitambua kwamba Mungu alikuwa amenituma kuhubiri Habari Njema kwa watu wa mataifa mengine kama vile Petro alivyokuwa ametumwa kuihubiri kwa Wayahudi. \t ܐܠܐ ܐܚܪܢܝܐܝܬ ܚܙܘ ܓܝܪ ܕܐܬܗܝܡܢܬ ܤܒܪܬܐ ܕܥܘܪܠܘܬܐ ܐܝܟ ܕܐܬܗܝܡܢ ܟܐܦܐ ܒܓܙܘܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana hao aliowachagua tangu mwanzo, ndio aliowateua wapate kufanana na Mwanae, ili Mwana awe wa kwanza miongoni mwa ndugu wengi. \t ܘܡܢ ܠܘܩܕܡ ܝܕܥ ܐܢܘܢ ܘܪܫܡ ܐܢܘܢ ܒܕܡܘܬܐ ܕܨܘܪܬܐ ܕܒܪܗ ܕܗܘ ܢܗܘܐ ܒܘܟܪܐ ܕܐܚܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninayo mengi ya kuwaambieni lakini sipendi kufanya hivyo kwa karatasi na wino; badala yake, natumaini kuwatembeleeni na kuzungumza nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ikamilike. \t ܟܕ ܤܓܝܐܬܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܝ ܠܡܟܬܒ ܠܟܘܢ ܠܐ ܒܥܝܬ ܕܒܝܕ ܟܪܛܝܤܐ ܘܕܝܘܬܐ ܐܠܐ ܡܤܒܪ ܐܢܐ ܕܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܘܦܘܡܐ ܠܘܬ ܦܘܡܐ ܢܡܠܠ ܕܚܕܘܬܐ ܕܝܠܢ ܬܗܘܐ ܡܫܡܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako na hapo ndipo utaona waziwazi kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichoko jichoni mwa ndugu yako. \t ܢܤܒ ܒܐܦܐ ܐܦܩ ܠܘܩܕܡ ܩܪܝܬܐ ܡܢ ܥܝܢܟ ܘܗܝܕܝܢ ܢܬܒܚܪ ܠܟ ܠܡܦܩܘ ܓܠܐ ܡܢ ܥܝܢܗ ܕܐܚܘܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesheni ili akija ghafla asije akawakuta mmelala. \t ܡܕܡ ܕܠܟܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܠܟܘܢ ܗܘ ܐܡܪ ܐܢܐ ܗܘܝܬܘܢ ܥܝܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mmekufa pamoja na Kristo na kukombolewa kutoka nguvu za pepo watawala wa ulimwengu. Kwa nini, basi, kuishi tena kama vile mngekuwa wa ulimwengu huu? Ya nini kuwekewa masharti: \t ܐܢ ܓܝܪ ܡܝܬܬܘܢ ܥܡ ܡܫܝܚܐ ܡܢ ܐܤܛܘܟܤܘܗܝ ܕܥܠܡܐ ܠܡܢܐ ܐܝܟ ܗܘ ܕܚܝܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܥܠܡܐ ܡܬܕܝܢܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Laiti mngenivumilia kidogo, hata kama mimi ni mjinga kiasi fulani! Naam, nivumilieni kidogo. \t ܐܫܬܘܦ ܕܝܢ ܡܤܝܒܪܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܠܝ ܩܠܝܠ ܕܐܡܠܠ ܦܟܝܗܐܝܬ ܐܠܐ ܐܦ ܡܤܝܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܘ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo mnathibitisha ninyi wenyewe kwamba ninyi ni watoto wa watu waliowaua manabii. \t ܡܕܝܢ ܡܤܗܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܠ ܢܦܫܟܘܢ ܕܒܢܝܐ ܐܢܬܘܢ ܕܗܢܘܢ ܕܩܛܠܘ ܠܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, dhambi isiitawale tena miili yenu ambayo hufa, na hivyo kuzitii tamaa zake. \t ܠܐ ܗܟܝܠ ܬܡܠܟ ܚܛܝܬܐ ܒܦܓܪܟܘܢ ܡܝܬܐ ܐܝܟ ܕܬܫܬܡܥܘܢ ܠܪܓܝܓܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama ninafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, watoto wenu huwafukuza kwa uwezo wa nani? Kwa sababu hiyo, wao ndio watakaowahukumu ninyi. \t ܘܐܢ ܐܢܐ ܒܒܥܠܙܒܘܒ ܡܦܩ ܐܢܐ ܕܝܘܐ ܒܢܝܟܘܢ ܒܡܢܐ ܡܦܩܝܢ ܡܛܠ ܗܢܐ ܗܢܘܢ ܢܗܘܘܢ ܠܟܘܢ ܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika na ninyi, kama ulimi wenu hausemi kitu chenye kueleweka, nani ataweza kufahamu mnayosema? Maneno yenu yatapotea hewani. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܐܢ ܬܐܡܪܘܢ ܡܠܬܐ ܒܠܫܢܐ ܘܠܐ ܬܗܘܐ ܡܦܫܩܐ ܐܝܟܢܐ ܡܬܝܕܥ ܡܕܡ ܕܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܘܝܬܘܢ ܠܟܘܢ ܐܝܟ ܗܘ ܕܥܡ ܐܐܪ ܡܡܠܠܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaamuru wasimwambie mtu juu ya jambo hilo. Lakini kadiri alivyowakataza, ndivyo walivyozidi kutangaza habari hiyo. \t ܘܝܬܝܪܐܝܬ ܡܬܕܡܪܝܢ ܗܘܘ ܘܐܡܪܝܢ ܕܟܠ ܡܕܡ ܫܦܝܪ ܥܒܕ ܠܚܪܫܐ ܥܒܕ ܕܢܫܡܥܘܢ ܘܕܠܐ ܡܡܠܠܝܢ ܕܢܡܠܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo, Yesu alipitia katika miji na vijiji akitangaza Habari Njema za Ufalme wa Mungu. Wale kumi na wawili waliandamana naye. \t ܘܗܘܐ ܡܢ ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܡܬܟܪܟ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܒܡܕܝܢܬܐ ܘܒܩܘܪܝܐ ܘܡܟܪܙ ܗܘܐ ܘܡܤܒܪ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܬܪܥܤܪܬܗ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Anania akaenda, akaingia katika hiyo nyumba. Kisha akaweka mikono yake juu ya Saulo, akasema, \"Ndugu Saulo, Bwana ambaye ndiye Yesu mwenyewe aliyekutokea ulipokuwa njiani kuja hapa, amenituma ili upate kuona tena na kujazwa Roho Mtakatifu.\" \t ܗܝܕܝܢ ܚܢܢܝܐ ܐܙܠ ܠܒܝܬܐ ܠܘܬܗ ܘܤܡ ܥܠܘܗܝ ܐܝܕܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܫܐܘܠ ܐܚܝ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܫܕܪܢܝ ܗܘ ܕܐܬܚܙܝ ܠܟ ܒܐܘܪܚܐ ܟܕ ܐܬܐ ܐܢܬ ܐܝܟ ܕܢܬܦܬܚܢ ܥܝܢܝܟ ܘܬܬܡܠܐ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yakobo, Kefa na Yohane, ambao waonekana kuwa viongozi wakuu, walitambua kwamba Mungu alinijalia neema hiyo, wakatushika sisi mkono, yaani Barnaba na mimi, iwe ishara ya ushirikiano. Sisi ilitupasa tukafanye kazi kati ya watu wa mataifa mengine, na wao kati ya Wayahudi. \t ܘܟܕ ܝܕܥܘ ܛܝܒܘܬܐ ܕܐܬܝܗܒܬ ܠܝ ܝܥܩܘܒ ܘܟܐܦܐ ܘܝܘܚܢܢ ܗܢܘܢ ܕܡܤܬܒܪܝܢ ܗܘܘ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܥܡܘܕܐ ܝܡܝܢܐ ܕܫܘܬܦܘܬܐ ܝܗܒܘ ܠܝ ܘܠܒܪܢܒܐ ܕܚܢܢ ܒܥܡܡܐ ܘܗܢܘܢ ܒܓܙܘܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena si hayo tu ila pia Rebeka naye alipata mapacha kwa baba mmoja, yaani Isaka, babu yetu. \t ܘܠܘ ܗܕܐ ܒܠܚܘܕ ܐܠܐ ܐܦ ܪܦܩܐ ܟܕ ܥܡ ܚܕ ܐܒܘܢ ܐܝܤܚܩ ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܫܘܬܦܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa mkono wangu mwenyewe naandika hivi: Salamu kutoka kwa Paulo! Hivi ndivyo ninavyotia sahihi kila barua; ndivyo ninavyoandika. \t ܫܠܡܐ ܒܟܬܒܬ ܐܝܕܝ ܐܢܐ ܦܘܠܘܤ ܟܬܒܬ ܕܐܝܬܘܗܝ ܐܬܐ ܕܒܟܠܗܝܢ ܐܓܪܬܝ ܗܟܢܐ ܟܬܒ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Si wote wanaoweza kulipokea fundisho hili, isipokuwa tu wale waliojaliwa na Mungu. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܟܠܢܫ ܤܦܩ ܠܗ ܠܡܠܬܐ ܗܕܐ ܐܠܐ ܡܢ ܕܝܗܝܒ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Uko uzuri wa jua, wa mwezi na wa nyota; hata nyota nazo huhitilafiana kwa uzuri. \t ܘܐܚܪܝܢ ܗܘ ܫܘܒܚܐ ܕܫܡܫܐ ܘܐܚܪܝܢ ܫܘܒܚܐ ܕܤܗܪܐ ܘܐܚܪܝܢ ܫܘܒܚܐ ܕܟܘܟܒܐ ܘܟܘܟܒܐ ܡܢ ܟܘܟܒܐ ܡܝܬܪ ܗܘ ܒܫܘܒܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kama mkono wako wa kulia unakukosesha, ukate ukautupe mbali. Afadhali zaidi kupoteza kiungo kimoja cha mwili, kuliko mwili wako wote uende katika moto wa Jehanamu. \t ܘܐܢ ܐܝܕܟ ܕܝܡܝܢܐ ܡܟܫܠܐ ܠܟ ܦܤܘܩ ܫܕܝܗ ܡܢܟ ܦܩܚ ܠܟ ܓܝܪ ܕܢܐܒܕ ܚܕ ܡܢ ܗܕܡܝܟ ܘܠܐ ܟܠܗ ܦܓܪܟ ܢܦܠ ܒܓܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, choyo, mabishano, mafarakano; \t ܦܘܠܚܢܐ ܕܦܬܟܪܐ ܚܪܫܘܬܐ ܒܥܠܕܒܒܘܬܐ ܚܪܝܢܐ ܛܢܢܐ ܚܡܬܐ ܥܨܝܢܐ ܦܠܓܘܬܐ ܤܕܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini nakusifu juu ya kitu kimoja: wewe unayachukia wanayoyatenda Wanikolai kama ninavyoyachukia mimi. \t ܐܠܐ ܗܕܐ ܐܝܬ ܠܟ ܕܤܢܝܬ ܥܒܕܐ ܕܢܐܩܘܠܝܛܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܢܐ ܤܢܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutokana na maagizo hayo, huyo askari aliwaweka katika chumba cha ndani kabisa cha gereza na kuifunga miguu yao kwenye nguzo. \t ܗܘ ܕܝܢ ܟܕ ܩܒܠ ܗܢܐ ܦܘܩܕܢܐ ܐܥܠ ܚܒܫ ܐܢܘܢ ܒܒܝܬܐ ܓܘܝܐ ܕܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܘܐܤܪ ܪܓܠܝܗܘܢ ܒܤܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakisema: \"Kama kweli wewe ni Mfalme wa Wayahudi, jiokoe mwenyewe.\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܢ ܐܢܬ ܗܘ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܐܚܐ ܢܦܫܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi hamjapata kumjua, lakini mimi namjua. Na, nikisema simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi. Mimi namjua na ninashika neno lake. \t ܘܠܐ ܝܕܥܬܘܢܝܗܝ ܐܢܐ ܕܝܢ ܝܕܥ ܐܢܐ ܠܗ ܘܐܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܠܗ ܗܘܐ ܐܢܐ ܠܝ ܟܕܒܐ ܐܟܘܬܟܘܢ ܐܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܠܗ ܘܡܠܬܗ ܢܛܪ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alifanya hivyo, ili mataifa hayo yapate kumfuata, na kama vile kwa kupapasapapasa, yapate kumfikia. Hata hivyo lakini, Mungu hayuko mbali na kila mmoja wetu. \t ܕܢܗܘܘܢ ܒܥܝܢ ܠܐܠܗܐ ܘܡܥܩܒܝܢ ܘܡܢ ܒܪܝܬܗ ܡܫܟܚܝܢ ܠܗ ܡܛܠ ܕܐܦ ܠܐ ܗܘܐ ܪܚܝܩ ܡܢ ܟܠ ܡܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kutoka kwa Bwana Yesu Kristo. \t ܛܝܒܘܬܐ ܥܡܟܘܢ ܘܫܠܡܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܒܐ ܘܡܢ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwake uwe uwezo milele! Amina. \t ܕܠܗ ܫܘܒܚܐ ܘܐܘܚܕܢܐ ܘܐܝܩܪܐ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama yasemavyo Maandiko: \"Alipopaa mbinguni juu kabisa, alichukua mateka; aliwapa watu zawadi.\" \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܡܝܪ ܕܤܠܩ ܠܡܪܘܡܐ ܘܫܒܐ ܫܒܝܬܐ ܘܝܗܒ ܡܘܗܒܬܐ ܠܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pamoja naye, tunamtuma ndugu mmoja ambaye sifa zake katika kueneza Habari Njema zimeenea katika makanisa yote. \t ܫܕܪܢ ܕܝܢ ܥܡܗ ܠܐܚܘܢ ܐܝܢܐ ܕܬܫܒܘܚܬܗ ܒܐܘܢܓܠܝܘܢ ܒܟܠܗܝܢ ܥܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wapumbavu wakawaambia wale wenye busara: Tupeni mafuta yenu kidogo maana taa zetu zinazimika. \t ܐܡܪܢ ܕܝܢ ܗܢܝܢ ܤܟܠܬܐ ܠܚܟܝܡܬܐ ܗܒܝܢ ܠܢ ܡܢ ܡܫܚܟܝܢ ܕܗܐ ܕܥܟܘ ܠܗܘܢ ܠܡܦܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, baadhi yao wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, wakampiga na kumwambia, \"Bashiri ni nani aliyekupiga!\" Hata watumishi wakamchukua, wakampiga makofi. \t ܘܫܪܝܘ ܐܢܫܝܢ ܪܩܝܢ ܒܦܪܨܘܦܗ ܘܡܚܦܝܢ ܐܦܘܗܝ ܘܡܩܦܚܝܢ ܠܗ ܘܐܡܪܝܢ ܐܬܢܒܐ ܘܕܚܫܐ ܡܚܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܥܠ ܦܟܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana tumesikia juu ya imani yenu katika Kristo Yesu na juu ya upendo wenu kwa watu wote wa Mungu. \t ܗܐ ܡܢ ܕܫܡܥܢ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܕܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܚܘܒܟܘܢ ܕܠܘܬ ܟܠܗܘܢ ܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kusudi, sasa kwa njia ya kanisa, wakuu na wenye enzi wa mbinguni wapate kuitambua hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi. \t ܕܒܝܕ ܥܕܬܐ ܬܬܝܕܥ ܚܟܡܬܗ ܕܐܠܗܐ ܡܠܝܬ ܦܘܪܫܢܐ ܠܐܪܟܘܤ ܘܠܫܘܠܛܢܐ ܕܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu mlio na huyo Roho. Nilipaswa kusema nanyi kama watu wa kidunia, kama watoto wachanga katika maisha ya Kikristo. \t ܘܐܢܐ ܐܚܝ ܠܐ ܐܫܟܚܬ ܕܐܡܠܠ ܥܡܟܘܢ ܐܝܟ ܕܥܡ ܪܘܚܢܐ ܐܠܐ ܐܝܟ ܕܥܡ ܦܓܪܢܐ ܘܐܝܟ ܕܠܝܠܘܕܐ ܒܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Roho Mtakatifu anatupa ushahidi wake. Kwanza anasema: \t ܤܗܕܐ ܠܢ ܕܝܢ ܐܦ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܕܐܡܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamtolea maneno mengi ya matusi. \t ܘܐܚܪܢܝܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܡܓܕܦܝܢ ܗܘܘ ܘܐܡܪܝܢ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Palipo na upendo hapana uoga; naam, upendo kamili hufukuza uoga wote. Basi, mtu mwenye uoga hajakamilika bado katika upendo, kwani uoga huhusikana na adhabu. \t ܕܚܠܬܐ ܒܚܘܒܐ ܠܝܬ ܐܠܐ ܚܘܒܐ ܡܫܡܠܝܐ ܠܒܪ ܫܕܐ ܠܗ ܠܕܚܠܬܐ ܡܛܠ ܕܕܚܠܬܐ ܒܩܢܛܐ ܐܝܬܝܗ ܗܘ ܕܝܢ ܕܕܚܠ ܠܐ ܡܫܡܠܝ ܒܚܘܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kama mwili wako wote una mwanga, bila kuwa na sehemu yoyote yenye giza, mwili huo utang'aa kikamilifu kama vile taa inavyokuangazia kwa mwanga wake.\" \t ܐܢ ܕܝܢ ܦܓܪܟ ܟܠܗ ܢܗܝܪ ܘܠܝܬ ܒܗ ܡܢܬܐ ܡܕܡ ܚܫܘܟܐ ܢܗܘܐ ܡܢܗܪ ܟܠܗ ܐܝܟ ܕܫܪܓܐ ܒܕܠܩܗ ܡܢܗܪ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Lakini huyo mtumishi akaondoka, akamkuta mmoja wa watumishi wenzake aliyekuwa na deni lake fedha denari mia moja. Akamkamata, akamkaba koo akisema, Lipa deni lako! \t ܢܦܩ ܕܝܢ ܥܒܕܐ ܗܘ ܘܐܫܟܚ ܠܚܕ ܡܢ ܟܢܘܬܗ ܕܚܝܒ ܗܘܐ ܠܗ ܕܝܢܪܐ ܡܐܐ ܘܐܚܕܗ ܘܚܢܩ ܗܘܐ ܠܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܗܒ ܠܝ ܡܕܡ ܕܚܝܒ ܐܢܬ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo, jambo hili lategemea imani, hivyo kwamba ahadi hiyo yatokana na neema ya Mungu, na kwamba ni hakika kuwa ahadi hiyo ni kwa ajili ya wote: si kwa wale tu wanaoishika Sheria, bali pia kwa wale waishio kwa imani kama Abrahamu. Yeye ni baba yetu sisi sote. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܒܛܝܒܘܬܐ ܢܙܕܕܩ ܘܢܗܘܐ ܫܪܝܪ ܡܘܠܟܢܐ ܠܟܠܗ ܙܪܥܗ ܠܐ ܠܐܝܢܐ ܕܡܢ ܢܡܘܤܐ ܗܘ ܒܠܚܘܕ ܐܠܐ ܐܦ ܠܐܝܢܐ ܕܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܗܘ ܕܐܒܪܗܡ ܕܐܝܬܘܗܝ ܐܒܐ ܕܟܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jiepushe na majadiliano ya kidunia na ya kipumbavu; kwani hayo huzidi kuwatenga watu mbali na Mungu. \t ܘܡܢ ܡܠܐ ܤܪܝܩܬܐ ܕܠܝܬ ܒܗܝܢ ܚܫܚܘ ܐܫܬܐܠ ܝܬܝܪܐܝܬ ܓܝܪ ܢܘܤܦܘܢ ܥܠ ܪܘܫܥܗܘܢ ܗܢܘܢ ܕܥܢܝܢ ܒܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nasema, \"kwa ajili ya dhamiri,\" si dhamiri yenu, bali dhamiri yake huyo aliyewaambieni. Mtaniuliza: \"Kwa nini uhuru wangu utegemee dhamiri ya mtu mwingine? \t ܬܐܪܬܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܐ ܗܘܐ ܕܝܠܟܘܢ ܐܠܐ ܕܗܘ ܕܐܡܪ ܠܡܢܐ ܓܝܪ ܚܐܪܘܬܝ ܡܬܕܝܢܐ ܡܢ ܬܐܪܬܐ ܕܐܚܪܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini lazima kwanza Habari Njema ihubiriwe kwa mataifa yote. \t ܠܘܩܕܡ ܕܝܢ ܥܬܝܕܐ ܕܬܬܟܪܙ ܤܒܪܬܝ ܒܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nakwambia simama, chukua mkeka wako uende nyumbani!\" \t ܠܟ ܐܡܪ ܐܢܐ ܩܘܡ ܫܩܘܠ ܥܪܤܟ ܘܙܠ ܠܒܝܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hao watu walipogundua kwamba Yesu na wanafunzi wake hawakuwapo mahali hapo, walipanda mashua, wakaenda Kafarnaumu wakimtafuta. \t ܘܟܕ ܚܙܐ ܗܘ ܟܢܫܐ ܕܠܐ ܗܘܐ ܬܡܢ ܝܫܘܥ ܐܦܠܐ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܤܠܩܘ ܠܗܠܝܢ ܐܠܦܐ ܘܐܬܘ ܠܟܦܪܢܚܘܡ ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܠܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Karibu wakati huohuo, mfalme Herode alianza kuwatesa baadhi ya Wakristo. \t ܒܗܘ ܕܝܢ ܙܒܢܐ ܐܪܡܝ ܗܘܐ ܐܝܕܝܐ ܥܠ ܐܢܫܝܢ ܕܒܥܕܬܐ ܐܝܟ ܕܢܒܐܫ ܠܗܘܢ ܗܪܘܕܤ ܡܠܟܐ ܗܘ ܕܡܬܟܢܐ ܗܘܐ ܐܓܪܦܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: \"Hakuna hata mmoja aliye mwadilifu! \t ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܠܝܬ ܟܐܢܐ ܐܦܠܐ ܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mlicho nacho sasa cha ziada kiwasaidie wale wanaohitaji, ili nao wakati watakapokuwa na ziada, wawasaidie ninyi katika mahitaji yenu, na hivyo kuwe na usawa. \t ܐܠܐ ܒܫܘܝܘܬܐ ܗܘܘ ܒܙܒܢܐ ܗܢܐ ܕܝܬܝܪܘܬܟܘܢ ܕܝܠܟܘܢ ܬܗܘܐ ܠܚܤܝܪܘܬܗܘܢ ܕܗܠܝܢ ܕܐܦ ܝܬܝܪܘܬܗܘܢ ܕܗܢܘܢ ܬܗܘܐ ܠܚܤܝܪܘܬܟܘܢ ܕܝܠܟܘܢ ܕܬܗܘܐ ܫܘܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa wakisafiri njiani, mtu mmoja akamwambia Yesu, \"Nitakufuata kokote utakakokwenda.\" \t ܘܟܕ ܐܙܠܝܢ ܒܐܘܪܚܐ ܐܡܪ ܠܗ ܐܢܫ ܐܬܐ ܒܬܪܟ ܠܐܬܪ ܕܐܙܠ ܐܢܬ ܡܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwake yeye uwe utukufu milele! Amina. \t ܕܠܗ ܫܘܒܚܐ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hamkuwalipa mishahara watumishi waliofanya kazi katika mashamba yenu. Sikilizeni malalamiko yao! Kilio cha hao wanaovuna mashamba yenu kimefika masikioni mwa Bwana, Mwenye Nguvu. \t ܗܐ ܐܓܪܐ ܕܦܥܠܐ ܕܚܨܕܘ ܐܪܥܬܟܘܢ ܗܘ ܕܛܠܡܬܘܢ ܩܥܐ ܘܓܥܬܐ ܕܚܨܘܕܐ ܠܐܕܢܘܗܝ ܕܡܪܝܐ ܨܒܐܘܬ ܥܠܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na mfuasi mmoja mwanamke mjini Yopa aitwaye Tabitha (kwa Kigiriki ni Dorka, maana yake, Paa). Huyo mwanamke alikuwa akitenda mema na kuwasaidia maskini daima. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܬܠܡܝܕܬܐ ܚܕܐ ܒܝܘܦܐ ܡܕܝܢܬܐ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܛܒܝܬܐ ܗܕܐ ܥܬܝܪܐ ܗܘܬ ܒܥܒܕܐ ܛܒܐ ܘܒܙܕܩܬܐ ܕܥܒܕܐ ܗܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ingawa sisi tukiwa mitume wa Kristo, tungeweza kudai mambo fulani kwenu. Lakini sisi tulikuwa Wapole kati yenu kama alivyo mama kwa watoto wake. \t ܐܠܐ ܗܘܝܢ ܒܝܢܬܟܘܢ ܡܟܝܟܐ ܘܐܝܟ ܡܪܒܝܢܝܬܐ ܕܡܚܒܒܐ ܒܢܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: \"Anayetaka kufurahia maisha, na kuona siku za fanaka, anapaswa kuacha kusema mabaya na kuacha kusema uongo. \t ܡܢ ܕܨܒܐ ܗܟܝܠ ܚܝܐ ܘܪܚܡ ܝܘܡܬܐ ܛܒܐ ܠܡܚܙܐ ܢܛܪ ܠܫܢܗ ܡܢ ܒܝܫܬܐ ܘܤܦܘܬܗ ܠܐ ܢܡܠܠܢ ܢܟܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, ndugu zetu, chagueni miongoni mwenu watu saba wenye sifa njema, waliojawa na Roho na wenye hekima; nasi tutawakabidhi jukumu hilo. \t ܒܨܘ ܗܟܝܠ ܐܚܝ ܘܓܒܘ ܫܒܥܐ ܓܒܪܝܢ ܡܢܟܘܢ ܕܐܝܬ ܥܠܝܗܘܢ ܤܗܕܘܬܐ ܘܡܠܝܢ ܪܘܚܗ ܕܡܪܝܐ ܘܚܟܡܬܐ ܘܢܩܝܡ ܐܢܘܢ ܥܠ ܗܕܐ ܨܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tuseme nini? Je, Mungu amekosa haki? Hata kidogo! \t ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܢܐܡܪ ܕܠܡܐ ܥܘܠܐ ܐܝܬ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܚܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hamjui kwamba katika uwanja wa michezo, ingawa wapiga mbio wote hukimbia, ni mmoja tu anayejinyakulia zawadi? \t ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܝܠܝܢ ܕܒܐܤܛܕܝܘܢ ܪܗܛܝܢ ܟܠܗܘܢ ܗܘ ܪܗܛܝܢ ܐܠܐ ܚܕ ܗܘ ܢܤܒ ܠܗ ܙܟܘܬܐ ܗܟܢܐ ܗܪܛܘ ܐܝܟ ܕܬܕܪܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri walio na huruma, maana watahurumiwa. \t ܛܘܒܝܗܘܢ ܠܡܪܚܡܢܐ ܕܥܠܝܗܘܢ ܢܗܘܘܢ ܪܚܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu hawawezi kuiharibu, wala wezi hawaingii wakaiba. \t ܐܠܐ ܤܝܡܘ ܠܟܘܢ ܤܝܡܬܐ ܒܫܡܝܐ ܐܝܟܐ ܕܠܐ ܤܤܐ ܘܠܐ ܐܟܠܐ ܡܚܒܠܝܢ ܘܐܝܟܐ ܕܓܢܒܐ ܠܐ ܦܠܫܝܢ ܘܠܐ ܓܢܒܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Mungu alimfufua huyo Yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo. \t ܠܗܢܐ ܝܫܘܥ ܐܩܝܡ ܐܠܗܐ ܘܚܢܢ ܟܠܢ ܤܗܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hekalu la Mungu lina uhusiano gani na sanamu za uongo? Maana sisi ni hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu mwenyewe alivyosema: \"Nitafanya makao yangu kwao, na kuishi kati yao; Nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.\" \t ܐܝܕܐ ܕܝܢ ܐܘܝܘܬܐ ܐܝܬ ܠܗܝܟܠܗ ܕܐܠܗܐ ܥܡ ܕܫܐܕܐ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܗܝܟܠܗ ܐܢܬܘܢ ܕܐܠܗܐ ܚܝܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܡܝܪ ܕܐܥܡܪ ܒܗܘܢ ܘܐܗܠܟ ܒܗܘܢ ܘܐܗܘܐ ܐܠܗܗܘܢ ܘܗܢܘܢ ܢܗܘܘܢ ܠܝ ܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaendelea kusema, \"Ni nani basi mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya watu wake, awape chakula kwa wakati wake? \t ܡܢܘ ܟܝ ܐܝܬܘܗܝ ܥܒܕܐ ܡܗܝܡܢܐ ܘܚܟܝܡܐ ܕܐܩܝܡܗ ܡܪܗ ܥܠ ܒܢܝ ܒܝܬܗ ܕܢܬܠ ܠܗܘܢ ܤܝܒܪܬܐ ܒܙܒܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana naweza kuthibitisha kwa niaba yao kwamba wanayo bidii ya kumtafuta Mungu; lakini bidii hiyo haikujengwa juu ya ujuzi wa kweli. \t ܡܤܗܕ ܐܢܐ ܓܝܪ ܥܠܝܗܘܢ ܕܛܢܢܐ ܕܐܠܗܐ ܐܝܬ ܒܗܘܢ ܐܠܐ ܠܘ ܒܝܕܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, pakumbuke pale ulipokuwa kabla ya kuanguka, ukayaache madhambi yako, na kufanya kama ulivyofanya pale awali. La sivyo, naja kwako na kukiondoa kinara chako mahali pake. \t ܐܬܕܟܪ ܡܢ ܐܝܟܐ ܢܦܩܬ ܘܥܒܕ ܥܒܕܐ ܩܕܡܝܐ ܘܐܢܕܝܢ ܠܐ ܐܬܐ ܐܢܐ ܥܠܝܟ ܘܡܙܝܥ ܐܢܐ ܡܢܪܬܟ ܐܠܐ ܬܬܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, mnadhani nilipopanga hivyo nimekuwa kama mtu asiye na msimamo? Je, mnadhani kwamba ninafanya uamuzi wangu kwa fikira za kibinadamu na kwamba nasema \"Ndiyo\" na \"Siyo\" papo hapo? \t ܗܕܐ ܗܟܝܠ ܕܐܬܪܥܝܬ ܠܡܐ ܐܝܟ ܡܤܪܗܒܐ ܐܬܪܥܝܬ ܐܘ ܕܠܡܐ ܕܒܤܪ ܐܢܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܬܪܥܐ ܐܢܐ ܡܛܠ ܕܘܠܐ ܗܘܐ ܕܢܗܘܐ ܒܗܝܢ ܐܝܢ ܐܝܢ ܘܠܐ ܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena nawaambieni, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni.\" \t ܬܘܒ ܕܝܢ ܐܡܪܢܐ ܠܟܘܢ ܕܕܠܝܠ ܗܘ ܠܓܡܠܐ ܠܡܥܠ ܒܚܪܘܪܐ ܕܡܚܛܐ ܐܘ ܥܬܝܪܐ ܕܢܥܘܠ ܠܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikaona pale katikati ya kiti cha enzi Mwana kondoo amesimama, akizungukwa kila upande na vile viumbe hai vinne, na wale wazee. Huyo Mwanakondoo alionekana kana kwamba amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba ambayo ni roho saba za Mungu zilizokuwa zimepelekwa kila mahali duniani. \t ܘܚܙܝܬ ܒܡܨܥܬ ܟܘܪܤܝܐ ܘܕܐܪܒܥ ܚܝܘܢ ܘܕܩܫܝܫܐ ܐܡܪܐ ܕܩܐܡ ܐܝܟ ܢܟܝܤܐ ܘܐܝܬ ܠܗ ܩܪܢܬܐ ܫܒܥ ܘܥܝܢܐ ܫܒܥ ܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܝܢ ܫܒܥ ܪܘܚܐ ܕܐܠܗܐ ܕܡܫܬܕܪܢ ܠܟܠܗ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu hawa hawakulewa kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi? \t ܠܐ ܓܝܪ ܐܝܟܢܐ ܕܐܢܬܘܢ ܤܒܪܝܢ ܗܠܝܢ ܪܘܝܢ ܕܗܐ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܬܠܬ ܐܢܝܢ ܫܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu najisi.\" \t ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܒܝܫܬܐ ܡܢ ܠܓܘ ܗܘ ܢܦܩܢ ܘܡܤܝܒܢ ܠܗ ܠܒܪܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wewe si mtumwa tena, bali mwana. Na ikiwa ni mwana, basi, wewe utapokea yote Mungu aliyowawekea watoto wake. \t ܡܟܝܠ ܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܥܒܕܐ ܐܠܐ ܒܢܝܐ ܘܐܢ ܒܢܝܐ ܐܦ ܝܪܬܐ ܕܐܠܗܐ ܒܝܕ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Palitengenezwa hema ambayo sehemu yake ya nje iliitwa Mahali Patakatifu. Humo mlikuwa na kinara cha taa, meza na mikate iliyotolewa kwa Mungu. \t ܡܫܟܢܐ ܓܝܪ ܩܕܡܝܐ ܕܐܬܥܒܕ ܐܝܬ ܗܘܐ ܒܗ ܡܢܪܬܐ ܘܦܬܘܪܐ ܘܠܚV ܐܦܐ ܘܡܬܩܪܐ ܗܘܐ ܒܝܬ ܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hayo, Yosefu, mwenyeji wa Armathaya, alimwomba Pilato ruhusa ya kuuchukua mwili wa Yesu. (Yosefu alikuwa mfuasi wa Yesu, lakini kwa siri, maana aliwaogopa viongozi wa Wayahudi). Basi, Pilato akamruhusu. Hivyo Yosefu alikwenda, akauondoa mwili wa Yesu. \t ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܝܘܤܦ ܗܘ ܕܡܢ ܪܡܬܐ ܒܥܐ ܡܢ ܦܝܠܛܘܤ ܡܛܠ ܕܬܠܡܝܕܐ ܗܘܐ ܕܝܫܘܥ ܘܡܛܫܐ ܗܘܐ ܡܢ ܕܚܠܬܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܕܢܫܩܘܠ ܦܓܪܗ ܕܝܫܘܥ ܘܐܦܤ ܦܝܠܛܘܤ ܘܐܬܐ ܘܫܩܠ ܦܓܪܗ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo ataiimarisha mioyo yenu, nanyi mtakuwa wakamilifu na watakatifu mbele ya Mungu na Baba yetu wakati Bwana wetu Yesu atakapokuja pamoja na wote walio wake. \t ܘܢܩܝܡ ܠܒܘܬܟܘܢ ܕܠܐ ܪܫܝܢ ܒܩܕܝܫܘܬܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܐܒܘܢ ܒܡܐܬܝܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܥܡ ܟܠܗܘܢ ܩܕܝܫܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliyajua mawazo yaliyokuwa mioyoni mwao; basi akamchukua mtoto mdogo akamweka karibu naye, \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܝܕܥ ܡܚܫܒܬܐ ܕܠܒܗܘܢ ܘܢܤܒ ܛܠܝܐ ܘܐܩܝܡܗ ܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu. \t ܘܤܓܝ ܟܐܐ ܗܘܐ ܒܗܘܢ ܕܠܐ ܢܓܠܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati mmoja ninyi hamkuwa watu wa Mungu, lakini sasa ninyi ni watu wake; wakati mmoja hamkupewa huruma ya Mungu, lakini sasa mmeipokea. \t ܐܝܠܝܢ ܕܡܢ ܩܕܝܡ ܠܐ ܚܫܝܒܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܥܡܐ ܗܫܐ ܕܝܢ ܥܡܐ ܕܐܠܗܐ ܐܦܠܐ ܪܚܡܐ ܐܝܬ ܗܘܘ ܥܠܝܟܘܢ ܗܫܐ ܕܝܢ ܐܫܬܦܥܘ ܥܠܝܟܘܢ ܪܚܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: Mwalimu. \t ܘܫܠܡܐ ܒܫܘܩܐ ܘܕܢܗܘܘܢ ܡܬܩܪܝܢ ܡܢ ܐܢܫܐ ܪܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Itakuwa kama ilivyotokea wakati wa Loti. Watu waliendelea kula na kunywa, kununua na kuuza, kupanda mbegu na kujenga. \t ܘܐܝܟܢܐ ܬܘܒ ܕܗܘܐ ܒܝܘܡܬܗ ܕܠܘܛ ܕܐܟܠܝܢ ܗܘܘ ܘܫܬܝܢ ܘܙܒܢܝܢ ܘܡܙܒܢܝܢ ܘܢܨܒܝܢ ܗܘܘ ܘܒܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengi katika ule umati wa watu walimwamini, wakasema, \"Je, Kristo akija atafanya ishara kubwa zaidi kuliko alizozifanya huyu?\" \t ܤܓܝܐܐ ܕܝܢ ܡܢ ܟܢܫܐ ܗܝܡܢܘ ܒܗ ܘܐܡܪܝܢ ܡܫܝܚܐ ܡܐ ܕܐܬܐ ܠܡܐ ܕܝܬܝܪܢ ܡܢ ܗܠܝܢ ܐܬܘܬܐ ܕܥܒܕ ܗܢܐ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakamwuliza, \"Huyo mtu aliyekwambia: Chukua mkeka wako, tembea, ni nani?\" \t ܘܫܐܠܘܗܝ ܡܢܘ ܗܢܐ ܓܒܪܐ ܕܐܡܪ ܠܟ ܕܫܩܘܠ ܥܪܤܟ ܘܗܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akaamuru washtaki wake waje mbele yako. \t ܘܦܩܕ ܠܩܛܪܓܢܘܗܝ ܕܢܐܬܘܢ ܠܘܬܟ ܘܡܫܟܚ ܐܢܬ ܟܕ ܡܫܐܠ ܐܢܬ ܠܗ ܕܬܐܠܦ ܡܢܗ ܥܠ ܟܠܗܝܢ ܗܠܝܢ ܕܡܩܛܪܓܝܢܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akamjibu mtu huyo, \"Mama yangu ni nani? Na ndugu zangu ni kina nani?\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܡܢ ܕܐܡܪ ܠܗ ܡܢ ܗܝ ܐܡܝ ܘܡܢ ܐܢܘܢ ܐܚܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanafunzi huyo akasogea karibu zaidi na Yesu, akamwuliza, \"Bwana, ni nani?\" \t ܘܢܦܠ ܗܘ ܬܠܡܝܕܐ ܥܠ ܚܕܝܗ ܕܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܪܝ ܡܢܘ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunawaandikia ninyi mambo mnayoweza kuyasoma na kuyaelewa. Ninatumaini kwamba mtaelewa vizuri kabisa, \t ܠܐ ܗܘܐ ܐܚܪܢܝܢ ܟܬܒܝܢܢ ܠܟܘܢ ܐܠܐ ܐܝܠܝܢ ܕܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܦ ܡܫܬܘܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܬܟܝܠ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܥܕܡܐ ܠܐܚܪܝܬܐ ܬܫܬܘܕܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, jicho haliwezi kuuambia mkono: \"Sikuhitaji wewe\", wala kichwa hakiwezi kuiambia miguu: \"Siwahitaji ninyi.\" \t ܠܐ ܡܫܟܚܐ ܥܝܢܐ ܕܬܐܡܪ ܠܐܝܕܐ ܕܠܐ ܡܬܒܥܝܐ ܐܢܬܝ ܠܝ ܐܦܠܐ ܪܫܐ ܡܫܟܚ ܕܢܐܡܪ ܠܪܓܠܐ ܕܠܐ ܡܬܒܥܝܢ ܐܢܬܝܢ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akamwambia Yesu \"Hata kama wote watakuwa na mashaka nawe na kukuacha, mimi sitakuacha kamwe.\" \t ܥܢܐ ܟܐܦܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܦܢ ܟܠܢܫ ܢܬܟܫܠ ܒܟ ܐܢܐ ܡܬܘܡ ܠܐ ܐܬܟܫܠ ܒܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana kumpenda Mungu ni kuzitii amri zake. Na, amri zake si ngumu, \t ܗܢܐ ܗܘ ܓܝܪ ܚܘܒܗ ܕܐܠܗܐ ܕܢܛܪ ܦܘܩܕܢܘܗܝ ܘܦܘܩܕܢܘܗܝ ܠܐ ܝܩܝܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaketi chini, akawaita wale kumi na wawili, akawaambia, \"Yeyote anayetaka kuwa wa kwanza lazima awe wa mwisho na kuwa mtumishi wa wote.\" \t ܘܝܬܒ ܝܫܘܥ ܘܩܪܐ ܠܬܪܥܤܪ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢ ܕܨܒܐ ܕܢܗܘܐ ܩܕܡܝܐ ܢܗܘܐ ܐܚܪܝܐ ܕܟܠ ܐܢܫ ܘܡܫܡܫܢܐ ܕܟܠ ܐܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu, umati mkubwa, walikuwa wamekusanyika nje wanasali wakati huo wa kufukiza ubani. \t ܘܟܠܗ ܟܢܫܐ ܕܥܡܐ ܡܨܠܐ ܗܘܐ ܠܒܪ ܒܥܕܢܐ ܕܒܤܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake, Yohane alimwona Yesu akimjia, akasema, \"Huyu ndiye Mwana-kondoo wa Mungu aondoaye dhambi ya ulimwengu! \t ܘܠܝܘܡܐ ܕܒܬܪܗ ܚܙܐ ܝܘܚܢܢ ܠܝܫܘܥ ܕܐܬܐ ܠܘܬܗ ܘܐܡܪ ܗܐ ܐܡܪܗ ܕܐܠܗܐ ܗܘ ܕܫܩܠ ܚܛܝܬܗ ܕܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nawahurumia watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu, wala hawana chakula. \t ܡܬܪܚܡ ܐܢܐ ܥܠ ܟܢܫܐ ܗܢܐ ܕܗܐ ܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܩܘܝܘ ܠܘܬܝ ܘܠܝܬ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܢܐܟܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kukatokea majadiliano kati ya wale wanafunzi kuhusu nani kati yao aliyekuwa mkuu zaidi. \t ܘܥܠܬ ܒܗܘܢ ܡܚܫܒܬܐ ܕܡܢܘ ܟܝ ܪܒ ܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hamkumbuki kwamba niliwaambieni haya yote wakati nilipokuwa pamoja nanyi? \t ܠܐ ܥܗܕܝܬܘܢ ܕܟܕ ܠܘܬܟܘܢ ܗܘܝܬ ܗܠܝܢ ܐܡܪܬ ܗܘܝܬ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, bila kupoteza wakati wako zaidi, tunakusihi kwa wema wako, usikilize taarifa yetu fupi. \t ܕܠܐ ܕܝܢ ܢܠܐܝܟ ܒܤܓܝܐܬܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟ ܕܬܫܡܥ ܠܡܟܝܟܘܬܢ ܒܦܤܝܩܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wayahudi wakamjibu, \"Hatukupigi mawe kwa ajili ya tendo jema, ila kwa sababu ya kukufuru! Maana wajifanya kuwa Mungu hali wewe ni binadamu tu.\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܝܗܘܕܝܐ ܠܐ ܗܘܐ ܡܛܠ ܥܒܕܐ ܫܦܝܪܐ ܪܓܡܝܢ ܚܢܢ ܠܟ ܐܠܐ ܡܛܠ ܕܡܓܕܦ ܐܢܬ ܘܟܕ ܐܝܬܝܟ ܒܪ ܐܢܫܐ ܥܒܕ ܐܢܬ ܢܦܫܟ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayefikiri kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa. \t ܐܢ ܐܢܫ ܕܝܢ ܤܒܪ ܕܝܕܥ ܡܕܡ ܠܐ ܥܕܟܝܠ ܡܕܡ ܝܕܥ ܐܝܟ ܡܐ ܕܘܠܐ ܠܗ ܠܡܕܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa tamaa yao mbaya watajipatia faida kwa kuwaambieni hadithi za uongo. Lakini kwa muda mrefu sasa Hakimu wao yu tayari, na Mwangamizi wao yu macho! \t ܘܒܥܠܘܒܘܬܐ ܘܒܡܠܐ ܕܒܕܝܐ ܢܬܬܓܪܘܢ ܒܟܘܢ ܗܠܝܢ ܕܕܝܢܗܘܢ ܡܢ ܩܕܝܡ ܠܐ ܒܛܠ ܘܐܒܕܢܗܘܢ ܠܐ ܢܐܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, tunajua kwa hakika kwamba mtu hawezi kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa kuitii Sheria, bali tu kwa kumwamini Yesu Kristo. Na sisi pia tumemwamini Yesu Kristo ili tupate kukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani yetu kwa Kristo, na si kwa kuitii Sheria. \t ܡܛܠ ܕܝܕܥܝܢܢ ܕܠܐ ܡܙܕܕܩ ܒܪܢܫܐ ܡܢ ܥܒܕܐ ܕܢܡܘܤܐ ܐܠܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܦ ܚܢܢ ܒܗ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܝܡܢܢ ܕܡܢ ܗܝܡܢܘܬܗ ܕܡܫܝܚܐ ܢܙܕܕܩ ܘܠܐ ܡܢ ܥܒܕܐ ܕܢܡܘܤܐ ܡܛܠ ܕܡܢ ܥܒܕܐ ܕܢܡܘܤܐ ܠܐ ܡܙܕܕܩ ܟܠ ܒܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wengine walikuwa wakaidi, wakakataa kuamini, wakaanza kuongea vibaya hadharani juu ya Njia ya Bwana. Hapo Paulo alivunja uhusiano nao, akawachukua pembeni wale wanafunzi wake, akawa anazungumza nao kila siku katika jumba la masomo la Turano. \t ܘܐܢܫܝܢ ܡܢܗܘܢ ܡܬܩܫܝܢ ܗܘܘ ܘܡܬܚܪܝܢ ܘܡܨܚܝܢ ܠܐܘܪܚܐ ܕܐܠܗܐ ܩܕܡ ܟܢܫܐ ܕܥܡܡܐ ܗܝܕܝܢ ܐܪܚܩ ܦܘܠܘܤ ܘܦܪܫ ܡܢܗܘܢ ܠܬܠܡܝܕܐ ܘܟܠܝܘܡ ܡܡܠܠ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܒܐܤܟܘܠܐ ܕܓܒܪܐ ܕܫܡܗ ܛܘܪܢܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, kwa kuwa alikufa--mara moja tu--dhambi haina nguvu tena juu yake; na sasa anaishi maisha yake katika umoja na Mungu. \t ܕܡܝܬ ܓܝܪ ܠܚܛܝܬܐ ܗܘ ܡܝܬ ܚܕܐ ܙܒܢ ܘܕܚܝ ܚܝ ܗܘ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, silaha tunazotumia katika vita vyetu si silaha za kidunia, ila ni nguvu za Mungu zenye kuharibu ngome zote. Tunaharibu hoja zote za uongo, \t ܙܝܢܐ ܓܝܪ ܕܦܠܚܘܬܢ ܠܐ ܗܘܐ ܕܒܤܪܐ ܐܠܐ ܕܚܝܠܐ ܕܐܠܗܐ ܘܒܗ ܟܒܫܝܢܢ ܚܤܢܐ ܡܪܝܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa namna hiyo, neno la Bwana lilizidi kuenea na kuwa na nguvu zaidi. \t ܘܗܟܢܐ ܒܚܝܠܐ ܪܒܐ ܬܩܦܐ ܗܘܬ ܘܤܓܝܐ ܗܝܡܢܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi sijitafutii utukufu wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye ni hakimu. \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܠܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܫܘܒܚܝ ܐܝܬ ܗܘ ܕܒܥܐ ܘܕܐܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanamke mmoja ambaye binti yake alikuwa na pepo, alisikia habari za Yesu. Basi, akaja akajitupa chini mbele ya miguu yake. \t ܡܚܕܐ ܓܝܪ ܫܡܥܬ ܐܢܬܬܐ ܚܕܐ ܡܛܠܬܗ ܕܐܝܬ ܗܘܬ ܠܒܪܬܗ ܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ ܘܐܬܬ ܢܦܠܬ ܩܕܡ ܪܓܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ukweli ni kwamba jambo hili ni lile alilosema nabii Yoeli: \t ܐܠܐ ܗܕܐ ܗܝ ܕܐܡܝܪܐ ܒܝܘܐܝܠ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnajenga makaburi ya manabii na kuyapamba makaburi ya watu wema. \t ܘܝ ܠܟܘܢ ܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܕܒܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܩܒܪܐ ܕܢܒܝܐ ܘܡܨܒܬܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܕܙܕܝܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Mimi ndimi mkate wa uzima. Anayekuja kwangu hataona njaa; anayeniamini hataona kiu kamwe. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܢܐ ܐܢܐ ܠܚܡܐ ܕܚܝܐ ܡܢ ܕܐܬܐ ܠܘܬܝ ܠܐ ܢܟܦܢ ܘܡܢ ܕܡܗܝܡܢ ܒܝ ܠܐ ܢܨܗܐ ܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, Mnayo macho na hamwoni? Mnayo masikio na hamsikii? Je, hamkumbuki \t ܘܥܝܢܐ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܘܠܐ ܚܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܐܕܢܐ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܘܠܐ ܫܡܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܠܐ ܥܗܕܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, habari tuliyoisikia kwake Yesu na tunayowahubirieni ndiyo hii: Mungu ni mwanga na hamna giza lolote ndani yake. \t ܘܗܕܐ ܗܝ ܤܒܪܬܐ ܕܫܡܥܢ ܡܢܗ ܘܡܤܒܪܝܢܢ ܠܟܘܢ ܕܐܠܗܐ ܢܘܗܪܐ ܗܘ ܘܚܫܘܟܐ ܟܠ ܟܠܗ ܠܝܬ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawaambia, \"Hivyo basi, kila mwalimu wa Sheria aliye mwanafunzi wa Ufalme wa mbinguni anafanana na mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܛܠ ܗܢܐ ܟܠ ܤܦܪܐ ܕܡܬܬܠܡܕ ܠܡܠܟܘܬ ܫܡܝܐ ܕܡܐ ܠܓܒܪܐ ܡܪܐ ܒܝܬܐ ܕܡܦܩ ܡܢ ܤܝܡܬܗ ܚܕܬܬܐ ܘܥܬܝܩܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akarudi tena, akawakuta wamelala. Macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi. Hawakujua la kumjibu. \t ܘܗܦܟ ܐܬܐ ܬܘܒ ܐܫܟܚ ܐܢܘܢ ܟܕ ܕܡܟܝܢ ܡܛܠ ܕܥܝܢܝܗܘܢ ܝܩܝܪܢ ܗܘܝ ܘܠܐ ܝܕܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢܐ ܢܐܡܪܘܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Twajua pia kwamba Mwana wa Mungu amekuja, akatupa elimu ili tumjue Mungu wa kweli; tuishi katika muungano na Mungu wa kweli--katika muungano na Mwanae, Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na huu ndio uzima wa milele. \t ܘܝܕܥܝܢܢ ܕܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܐܬܐ ܘܝܗܒ ܠܢ ܡܕܥܐ ܕܢܕܥ ܠܫܪܝܪܐ ܘܢܗܘܐ ܒܗ ܒܫܪܝܪܐ ܒܒܪܗ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܢܐ ܗܘ ܐܠܗܐ ܫܪܝܪܐ ܘܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mpokeeni kwa ajili ya Bwana kama iwapasavyo watu wa Mungu. Mpeni msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, maana yeye amekuwa mwema sana kwa watu wengi na kwangu pia. \t ܕܬܩܒܠܘܢܗ ܒܡܪܢ ܐܝܟ ܕܙܕܩ ܠܩܕܝܫܐ ܘܒܟܠ ܨܒܘ ܕܒܥܝܐ ܡܢܟܘܢ ܬܩܘܡܘܢ ܠܗ ܡܛܠ ܕܐܦ ܗܝ ܩܝܘܡܬܐ ܗܘܬ ܠܤܓܝܐܐ ܐܦ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hatimaye, nawatakeni muwe imara katika kuungana na Bwana na kwa msaada wa nguvu yake kuu. \t ܡܟܝܠ ܐܚܝ ܐܬܚܝܠܘ ܒܡܪܢ ܘܒܬܘܩܦܐ ܕܚܝܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane alivaa vazi lililoshonwa kwa manyoya ya ngamia, na ukanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܘܚܢܢ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܠܒܘܫܗ ܕܤܥܪܐ ܕܓܡܠܐ ܘܐܤܪ ܚܨܐ ܕܡܫܟܐ ܥܠ ܚܨܘܗܝ ܘܡܐܟܘܠܬܗ ܩܡܨܐ ܘܕܒܫܐ ܕܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pamoja na hayo, nitayarishie chumba kwani natumaini kwamba kwa sala zenu, Mungu atanijalia niwatembeleeni. \t ܒܚܕܐ ܕܝܢ ܐܦ ܛܝܒ ܠܝ ܒܝܬ ܡܫܪܝܐ ܡܤܒܪ ܐܢܐ ܓܝܪ ܕܒܨܠܘܬܟܘܢ ܡܬܝܗܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, bila kujali walichosema, Yesu akamwambia mkuu wa sunagogi, \"Usiogope, amini tu.\" \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܫܡܥ ܠܡܠܬܐ ܕܐܡܪܘ ܘܐܡܪ ܠܗܘ ܪܒ ܟܢܘܫܬܐ ܠܐ ܬܕܚܠ ܒܠܚܘܕ ܗܝܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Majina ya hao mitume kumi na wawili ni haya: wa kwanza ni Simoni aitwae Petro, na Andrea ndugu yake; Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohane ndugu yake; \t ܕܝܠܗܘܢ ܕܝܢ ܕܬܪܥܤܪ ܫܠܝܚܐ ܫܡܗܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܗܠܝܢ ܩܕܡܝܗܘܢ ܫܡܥܘܢ ܕܡܬܩܪܐ ܟܐܦܐ ܘܐܢܕܪܐܘܤ ܐܚܘܗܝ ܘܝܥܩܘܒ ܒܪ ܙܒܕܝ ܘܝܘܚܢܢ ܐܚܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mwalimu, ni amri ipi iliyo kuu katika Sheria ya Mose?\" \t ܡܠܦܢܐ ܐܝܢܐ ܦܘܩܕܢܐ ܪܒ ܒܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi yenu mlikuwa hivyo; lakini sasa mmeoshwa, mkafanywa watakatifu, na kupatanishwa na Mungu kwa jina la Bwana Yesu Kristo na kwa Roho wa Mungu wetu. \t ܘܗܠܝܢ ܐܝܬ ܗܘܝ ܒܐܢܫ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܐܠܐ ܤܚܝܬܘܢ ܘܐܬܩܕܫܬܘܢ ܘܐܙܕܕܩܬܘܢ ܒܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܒܪܘܚܗ ܕܐܠܗܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, kila aulaye mkate huo au kunywa kikombe cha Bwana bila kustahili, atakuwa na hatia dhidi ya mwili na damu ya Bwana. \t ܐܝܢܐ ܗܟܝܠ ܕܐܟܠ ܡܢ ܠܚܡܗ ܕܡܪܝܐ ܘܫܬܐ ܡܢ ܟܤܗ ܘܠܐ ܫܘܐ ܠܗ ܡܚܝܒ ܗܘ ܠܕܡܗ ܕܡܪܝܐ ܘܠܦܓܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakala wote, wakashiba; wakakusanya makombo ya chakula, wakajaza vikapu kumi na viwili. \t ܘܐܟܠܘ ܟܠܗܘܢ ܘܤܒܥܘ ܘܫܩܠܘ ܩܨܝܐ ܡܕܡ ܕܐܘܬܪܘ ܬܪܥܤܪ ܩܘܦܝܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliondoka hapo, na alipokuwa anakwenda, vipofu wawili walimfuata wakipiga kelele, \"Mwana wa Daudi, utuhurumie!\" \t ܘܟܕ ܥܒܪ ܝܫܘܥ ܡܢ ܬܡܢ ܕܒܩܘܗܝ ܤܡܝܐ ܬܪܝܢ ܕܩܥܝܢ ܘܐܡܪܝܢ ܐܬܪܚܡ ܥܠܝܢ ܒܪܗ ܕܕܘܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Eti yeye ni Kristo, Mfalme wa Israeli! Basi, na ashuke msalabani ili tuone na kuamini.\" Hata watu wale waliosulubiwa pamoja naye walimtukana. \t ܡܫܝܚܐ ܡܠܟܗ ܕܐܝܤܪܝܠ ܢܚܘܬ ܗܫܐ ܡܢ ܙܩܝܦܐ ܕܢܚܙܐ ܘܢܗܝܡܢ ܒܗ ܘܐܦ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܕܙܩܝܦܝܢ ܗܘܘ ܥܡܗ ܡܚܤܕܝܢ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, kwa neema yake Mungu, nimekuwa kama nilivyo. Na neema yake kwangu haikuwa bure. Mimi nimefanya kazi kuliko wote; si mimi hasa, ila ni neema ya Mungu ifanyayo kazi pamoja nami. \t ܒܛܝܒܘܬܗ ܕܝܢ ܕܐܠܗܐ ܐܝܬܝ ܡܕܡ ܕܐܝܬܝ ܘܛܝܒܘܬܗ ܕܒܝ ܠܐ ܗܘܬ ܤܪܝܩܐ ܐܠܐ ܝܬܝܪ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܠܐܝܬ ܠܐ ܐܢܐ ܐܠܐ ܛܝܒܘܬܗ ܕܥܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Paulo alisimama, akatoa ishara kwa mkono, akaanza kuongea: \"Wananchi wa Israeli na wengine wote mnaomcha Mungu, sikilizeni! \t ܘܩܡ ܦܘܠܘܤ ܘܐܢܝܦ ܐܝܕܗ ܘܐܡܪ ܓܒܪܐ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܘܐܝܠܝܢ ܕܕܚܠܝܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܫܡܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu Hekaluni na kuwahubiria juu ya Habari Njema, makuhani wakuu na walimu wa Sheria pamoja na wazee walifika, \t ܘܗܘܐ ܒܚܕ ܡܢ ܝܘܡܬܐ ܟܕ ܡܠܦ ܒܗܝܟܠܐ ܠܥܡܐ ܘܡܤܒܪ ܩܡܘ ܥܠܘܗܝ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܤܦܪܐ ܥܡ ܩܫܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, ndugu zangu, kama nikija kwenu na kusema nanyi kwa lugha ngeni itawafaa nini? Haitawafaa chochote, isipokuwa tu kama nitawaelezeni ufunuo wa Mungu au ujuzi fulani au ujumbe wa Mungu au mafundisho fulani. \t ܘܗܫܐ ܐܚܝ ܐܢ ܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܘܐܡܠܠ ܥܡܟܘܢ ܒܠܫܢܐ ܡܢܐ ܡܘܬܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܠܐ ܐܢ ܐܡܠܠ ܥܡܟܘܢ ܐܘ ܒܓܠܝܢܐ ܐܘ ܒܝܕܥܬܐ ܐܘ ܒܢܒܝܘܬܐ ܐܘ ܒܝܘܠܦܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, \"Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.\" \t ܘܟܕ ܐܬܐ ܠܗܝ ܕܘܟܬܐ ܝܫܘܥ ܚܙܝܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܤܬܪܗܒ ܚܘܬ ܙܟܝ ܝܘܡܢܐ ܓܝܪ ܘܠܐ ܕܒܒܝܬܟ ܐܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwizi huja kwa shabaha ya kuiba, kuua na kuharibu. Mimi nimekuja mpate kuwa na uzima--uzima kamili. \t ܓܢܒܐ ܠܐ ܐܬܐ ܐܠܐ ܕܢܓܢܘܒ ܘܕܢܩܛܘܠ ܘܕܢܘܒܕ ܐܢܐ ܐܬܝܬ ܕܚܝܐ ܢܗܘܘܢ ܠܗܘܢ ܘܡܕܡ ܕܝܬܝܪ ܢܗܘܐ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanamume hakutoka kwa mwanamke, ila mwanamke alitoka kwa mwanamume. \t ܠܐ ܓܝܪ ܐܝܬܘܗܝ ܓܒܪܐ ܡܢ ܐܢܬܬܐ ܐܠܐ ܐܢܬܬܐ ܡܢ ܓܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikiliza! Mimi nasimama mlangoni na kubisha hodi. Mtu akisikia sauti yangu na kufungua mlango, nitaingia nyumbani kwake na kula chakula pamoja naye, naye atakula pamoja nami. \t ܗܐ ܩܡܬ ܥܠ ܬܪܥܐ ܘܐܩܘܫ ܐܢ ܐܢܫ ܫܡܥ ܒܩܠܝ ܘܢܦܬܚ ܬܪܥܐ ܘܐܥܘܠ ܘܐܚܫܡ ܥܡܗ ܘܗܘ ܥܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa tumeonekana kuwa wendawazimu, hiyo ni kwa ajili ya Mungu; na ikiwa tunazo akili zetu timamu, hiyo ni kwa faida yenu. \t ܐܢ ܓܝܪ ܫܛܝܢܢ ܠܐܠܗܐ ܘܐܢ ܬܩܢܝܢܢ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikuja katika nchi yake mwenyewe, nao walio wake hawakumpokea. \t ܠܕܝܠܗ ܐܬܐ ܘܕܝܠܗ ܠܐ ܩܒܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakipiga kelele: \"Wananchi wa Israeli, msaada, msaada! Huyu ndiye yule mtu anayewafundisha watu kila mahali mambo yanayopinga watu wa Israeli, yanayopinga Sheria ya Mose na mahali hapa patakatifu. Hata sasa amewaingiza watu wa mataifa mengine Hekaluni na kupatia najisi mahali hapa patakatifu.\" \t ܟܕ ܡܒܓܢܝܢ ܘܐܡܪܝܢ ܓܒܪܐ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܥܕܪܘ ܗܢܐ ܗܘ ܓܒܪܐ ܕܠܘܩܒܠ ܥܡܐ ܕܝܠܢ ܡܠܦ ܒܟܠ ܕܘܟܐ ܘܠܘܩܒܠ ܢܡܘܤܐ ܘܠܘܩܒܠ ܐܬܪܐ ܗܢܐ ܘܐܦ ܠܐܪܡܝܐ ܐܥܠ ܠܗܝܟܠܐ ܘܤܝܒܗ ܠܐܬܪܐ ܗܢܐ ܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mwana wa Yese, mwana wa Obedi, mwana wa Boazi, mwana wa Salmoni, mwana wa Nashoni, \t ܒܪ ܐܝܫܝ ܒܪ ܥܘܒܝܕ ܒܪ ܒܥܙ ܒܪ ܤܠܡܘܢ ܒܪ ܢܚܫܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vilevile Mose aliinyunyizia damu ile hema na vyombo vya ibada. \t ܐܦ ܥܠ ܡܫܟܢܐ ܘܥܠ ܟܠܗܘܢ ܡܐܢܐ ܕܬܫܡܫܬܐ ܡܢܗ ܡܢ ܕܡܐ ܪܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye, kwa siku nyingi aliwatokea wale waliofuatana naye kutoka Galilaya mpaka Yerusalemu. Hao ndio walio sasa mashahidi wake kwa watu wa Israeli. \t ܘܐܬܚܙܝ ܝܘܡܬܐ ܤܓܝܐܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܤܠܩܘ ܥܡܗ ܡܢ ܓܠܝܠܐ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܗܢܘܢ ܐܢܘܢ ܗܫܐ ܤܗܕܘܗܝ ܠܘܬ ܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivi ndivyo upendo ulivyo: si kwamba sisi tulikuwa tumempenda Mungu kwanza, bali kwamba yeye alitupenda hata akamtuma Mwanae awe sadaka ya kutuondolea dhambi zetu. \t ܒܗܢܐ ܐܝܬܘܗܝ ܚܘܒܐ ܠܐ ܗܘܐ ܕܚܢܢ ܐܚܒܢ ܠܐܠܗܐ ܐܠܐ ܗܘ ܐܚܒܢ ܘܫܕܪ ܠܒܪܗ ܚܘܤܝܐ ܥܠ ܐܦܝ ܚܛܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, ninyi mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo: yeye, ingawa alikuwa na kila kitu, alijifanya maskini kwa ajili yenu, ili kutokana na umaskini wake, awatajirishe. \t ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܓܝܪ ܛܝܒܘܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܡܛܠܬܟܘܢ ܐܬܡܤܟܢ ܟܕ ܐܝܬܘܗܝ ܥܬܝܪܐ ܕܐܢܬܘܢ ܒܡܤܟܢܘܬܗ ܬܥܬܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na tangu sasa, jamaa ya watu watano itagawanyika; watatu dhidi ya wawili, na wawili dhidi ya watatu. \t ܡܢ ܗܫܐ ܓܝܪ ܢܗܘܘܢ ܚܡܫܐ ܒܒܝܬܐ ܚܕ ܕܦܠܝܓܝܢ ܬܠܬܐ ܥܠ ܬܪܝܢ ܘܬܪܝܢ ܥܠ ܬܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wengi walimwendea wakasema, \"Yohane hakufanya ishara yoyote. Lakini yale yote Yohane aliyosema juu ya mtu huyu ni kweli kabisa.\" \t ܘܐܬܘ ܐܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܠܘܬܗ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܕܝܘܚܢܢ ܐܦ ܠܐ ܚܕܐ ܐܬܐ ܥܒܕ ܟܠܡܕܡ ܕܝܢ ܕܐܡܪ ܝܘܚܢܢ ܥܠ ܓܒܪܐ ܗܢܐ ܫܪܝܪ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana kila aliye mtoto wa Mungu anaweza kuushinda ulimwengu. Hivi ndivyo tunavyoushinda ulimwengu: kwa imani yetu. \t ܡܛܠ ܕܟܠ ܕܝܠܝܕ ܡܢ ܐܠܗܐ ܙܟܐ ܠܗ ܠܥܠܡܐ ܘܗܕܐ ܗܝ ܙܟܘܬܐ ܕܙܟܬܗ ܠܥܠܡܐ ܗܝܡܢܘܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya Yesu kuingia katika mashua moja, iliyokuwa ya Simoni, alimtaka Simoni aisogeze majini, mbali kidogo na ukingo wa ziwa. Akaketi, akafundisha umati wa watu akiwa ndani ya mashua. \t ܘܚܕܐ ܡܢܗܝܢ ܕܫܡܥܘܢ ܗܘܬ ܟܐܦܐ ܘܤܠܩ ܝܫܘܥ ܝܬܒ ܒܗ ܘܐܡܪ ܕܢܕܒܪܘܢܗ ܩܠܝܠ ܡܢ ܝܒܫܐ ܠܡܝܐ ܘܝܬܒ ܗܘܐ ܘܡܠܦ ܡܢ ܤܦܝܢܬܐ ܠܟܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Furahini daima, \t ܗܘܘ ܚܕܝܢ ܒܟܠܙܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunaomba mtupe nafasi mioyoni mwenu! Hatujamkosea mtu yeyote, hatujamdhuru wala kumdanganya mtu yeyote. \t ܤܝܒܪܘܢ ܐܚܝܢ ܒܐܢܫ ܠܐ ܐܥܘܠܢ ܠܐܢܫ ܠܐ ܚܒܠܢ ܠܐܢܫ ܠܐ ܥܠܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na hivyo tunatazamia kupata baraka zile ambazo Mungu aliwawekea watu wake. Mungu amewawekeeni baraka hizo mbinguni ambako haziwezi kuoza au kuharibika au kufifia. \t ܘܠܝܪܬܘܬܐ ܕܠܐ ܡܬܚܒܠܐ ܘܠܐ ܡܬܛܢܦܐ ܘܠܐ ܚܡܝܐ ܗܝ ܕܡܛܝܒܐ ܠܟܘܢ ܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Pepo mchafu akifukuzwa kwa mtu fulani, huzururazurura jangwani akitafuta mahali pa kupumzikia. Asipopata, hujisemea: Nitarudi kwenye makao yangu nilikotoka. \t ܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ ܡܐ ܕܢܦܩܬ ܡܢ ܒܪ ܐܢܫܐ ܐܙܠܐ ܡܬܟܪܟܐ ܒܐܬܪܘܬܐ ܕܡܝܐ ܠܝܬ ܒܗܘܢ ܕܬܒܥܐ ܠܗ ܢܝܚܐ ܘܡܐ ܕܠܐ ܐܫܟܚܬ ܐܡܪܐ ܐܗܦܘܟ ܠܒܝܬܝ ܐܝܡܟܐ ܕܢܦܩܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wale wanawali wote wakaamka, wakazitayarisha taa zao. \t ܗܝܕܝܢ ܩܡ ܟܠܗܝܢ ܒܬܘܠܬܐ ܗܠܝܢ ܘܬܩܢ ܠܡܦܕܝܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nimewaambieni mambo haya ili mpate kuwa na amani katika kuungana nami. Ulimwenguni mtapata masumbuko; lakini jipeni moyo! Mimi nimeushinda ulimwengu!\" \t ܗܠܝܢ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܕܒܝ ܢܗܘܐ ܠܟܘܢ ܫܠܡܐ ܒܥܠܡܐ ܗܘܐ ܠܟܘܢ ܐܘܠܨܢܐ ܐܠܐ ܐܬܠܒܒܘ ܐܢܐ ܙܟܝܬܗ ܠܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: Amani iwe katika nyumba hii! \t ܘܠܐܝܢܐ ܒܝܬܐ ܕܥܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܘܩܕܡ ܐܡܪܘ ܫܠܡܐ ܠܒܝܬܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Sheria na maandishi ya manabii vilikuweko mpaka wakati wa Yohane mbatizaji. Tangu hapo, Ufalme wa Mungu unahubiriwa, na kila mmoja anauingia kwa nguvu. \t ܢܡܘܤܐ ܘܢܒܝܐ ܥܕܡܐ ܠܝܘܚܢܢ ܡܢ ܗܝܕܝܢ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܡܤܬܒܪܐ ܘܟܠ ܠܗ ܚܒܨ ܕܢܥܘܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, akajisikia mwilini mwake kwamba ameponywa ugonjwa wake. \t ܘܡܚܕܐ ܝܒܫܬ ܡܥܝܢܐ ܕܕܡܗ ܘܐܪܓܫܬ ܒܦܓܪܗ ܕܐܬܐܤܝܬ ܡܢ ܡܚܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, basi, ndugu zangu, ninyi ni watoto wa Mungu kutokana na ahadi yake kama alivyokuwa Isaka. \t ܚܢܢ ܕܝܢ ܐܚܝ ܐܝܟ ܐܝܤܚܩ ܒܢܝ ܡܘܠܟܢܐ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale watu walioshuhudia tukio hilo waliwaeleza hao jinsi yule mtu alivyoponywa. \t ܘܐܫܬܥܝܘ ܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܚܙܘ ܐܝܟܢܐ ܐܬܐܤܝ ܓܒܪܐ ܗܘ ܕܝܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Rebeka aliambiwa kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia yule wa nyuma. Hivyo uchaguzi wa Mungu unategemea jinsi anavyoita mwenyewe, na si matendo ya binadamu. \t ܐܬܐܡܪ ܓܝܪ ܕܩܫܝܫܐ ܢܗܘܐ ܥܒܕܐ ܠܙܥܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndivyo itakavyokuwa mwishoni mwa nyakati: malaika watatokea, watawatenganisha watu wabaya na watu wema, \t ܗܟܢܐ ܢܗܘܐ ܒܫܘܠܡܗ ܕܥܠܡܐ ܢܦܩܘܢ ܡܠܐܟܐ ܘܢܦܪܫܘܢ ܒܝܫܐ ܡܢ ܒܝܢܝ ܙܕܝܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kumbuka, basi, jinsi Mungu alivyo mwema na mkali. Yeye ni mkali kwa wale walioanguka, na ni mwema kwako wewe ikiwa utaendelea katika wema wake; la sivyo, nawe pia utakatwa. \t ܚܙܝ ܗܟܝܠ ܒܤܝܡܘܬܗ ܘܩܫܝܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܢܦܠܘ ܩܫܝܘܬܐ ܥܠܝܟ ܕܝܢ ܒܤܝܡܘܬܐ ܐܢ ܬܩܘܐ ܒܗ ܒܒܤܝܡܘܬܐ ܘܐܢ ܠܐ ܐܦ ܐܢܬ ܬܬܦܫܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu waliokuwa wanapita mahali hapo walimtukana wakitikisa vichwa vyao na kusema, \t ܐܝܠܝܢ ܕܝܢ ܕܥܒܪܝܢ ܗܘܘ ܡܓܕܦܝܢ ܗܘܘ ܥܠܘܗܝ ܘܡܢܝܕܝܢ ܪܫܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri wenye moyo safi, maana watamwona Mungu. \t ܛܘܒܝܗܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܕܟܝܢ ܒܠܒܗܘܢ ܕܗܢܘܢ ܢܚܙܘܢ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikapatikana nafasi, wakati wa sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode. Herode aliwafanyia karamu wazee wa baraza lake, majemadari na viongozi wa Galilaya. \t ܘܗܘܐ ܝܘܡܐ ܝܕܝܥܐ ܟܕ ܗܪܘܕܤ ܒܒܝܬ ܝܠܕܗ ܚܫܡܝܬܐ ܥܒܕ ܗܘܐ ܠܪܘܪܒܢܘܗܝ ܘܠܟܝܠܝܪܟܐ ܘܠܪܫܐ ܕܓܠܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akaniambia, \"Yametimia! Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Aliye na kiu nitampa kinywaji cha bure kutoka katika chemchemi ya maji ya uzima. \t ܘܐܡܪ ܠܝ ܗܘܝ ܐܢܐ ܐܠܦ ܘܐܢܐ ܬܘ ܪܝܫܝܬܐ ܘܫܘܠܡܐ ܠܕܨܗܐ ܐܢܐ ܐܬܠ ܡܢ ܥܝܢܐ ܕܡܝܐ ܚܝܐ ܡܓܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na, kila mfanyacho kwa neno au tendo, fanyeni vyote kwa jina la Bwana Yesu na kumshukuru Mungu Baba kwa njia yake. \t ܘܟܠ ܡܕܡ ܕܤܥܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܡܠܬܐ ܘܒܥܒܕܐ ܒܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܘܝܬܘܢ ܥܒܕܝܢ ܘܗܘܝܬܘܢ ܡܘܕܝܢ ܒܐܝܕܗ ܠܐܠܗܐ ܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, tunapaswa kushukuru Mungu daima kwa ajili yenu. Inafaa kwetu kufanya hivyo kwani imani yenu inakua sana na kupendana kwenu kunaongezeka sana. \t ܠܡܘܕܝܘ ܠܐܠܗܐ ܒܟܠܙܒܢ ܚܝܒܝܢܢ ܥܠܝܟܘܢ ܐܚܝ ܐܝܟ ܡܐ ܕܘܠܐ ܕܝܬܝܪܐܝܬ ܪܒܝܐ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܘܤܓܐ ܚܘܒܐ ܕܟܠܟܘܢ ܕܟܠܢܫ ܠܘܬ ܚܒܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nisalimieni Asunkrito, Flegoni, Herme Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܐܤܘܢܩܪܛܘܤ ܘܕܦܠܓܘܢ ܘܕܗܪܡܐ ܘܕܦܛܪܒܐ ܘܕܗܪܡܐ ܘܕܐܚܐ ܕܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani Henoki alichukuliwa na Mungu, asipate kufa. Hakuonekana tena kwa sababu Mungu alikuwa amemchukua. Maandiko yasema kwamba kabla ya kuchukuliwa kwake, yeye alikuwa amempendeza Mungu. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܐܫܬܢܝ ܚܢܘܟ ܘܡܘܬܐ ܠܐ ܛܥܡ ܘܠܐ ܐܫܬܟܚ ܡܛܠ ܕܫܢܝܗ ܐܠܗܐ ܡܢ ܩܕܡ ܕܢܫܢܝܘܗܝ ܓܝܪ ܗܘܬ ܥܠܘܗܝ ܤܗܕܘܬܐ ܕܫܦܪ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Meli ilitia nanga Kaisarea, naye Paulo akaenda Yerusalemu kulisalimia lile kanisa, kisha akaenda Antiokia. \t ܘܗܘ ܪܕܐ ܒܝܡܐ ܘܐܬܐ ܠܩܤܪܝܐ ܘܤܠܩ ܘܫܐܠ ܒܫܠܡܐ ܕܒܢܝ ܥܕܬܐ ܘܐܙܠ ܠܗ ܠܐܢܛܝܘܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ni lazima tutatupwa ufukoni mwa kisiwa fulani.\" \t ܒܪܡ ܠܓܙܪܬܐ ܚܕܐ ܐܝܬ ܠܢ ܕܢܫܬܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama hakuna ufufuo, je watu wale wanaobatizwa kwa ajili ya wafu wanatumainia kupata nini? Kama wafu hawafufuliwi, ya nini kubatizwa kwa ajili yao? \t ܘܐܠܐ ܡܢܐ ܢܥܒܕܘܢ ܗܢܘܢ ܕܥܡܕܝܢ ܚܠܦ ܡܝܬܐ ܐܢ ܡܝܬܐ ܠܐ ܩܝܡܝܢ ܡܢܐ ܥܡܕܝܢ ܚܠܦ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nawaambieni, wako wengine papahapa ambao hawatakufa kabla ya kumwona Mwana wa Mtu akija katika Ufalme wake.\" \t ܥܬܝܕ ܗܘ ܓܝܪ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܕܢܐܬܐ ܒܬܫܒܘܚܬܐ ܕܐܒܘܗܝ ܥܡ ܡܠܐܟܘܗܝ ܩܕܝܫܐ ܘܗܝܕܝܢ ܢܦܪܘܥ ܠܐܢܫ ܐܢܫ ܐܝܟ ܥܒܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Miili yao ililetwa mpaka Shekemu, ikazikwa katika kaburi Abrahamu alilonunua kutoka kwa kabila la Hamori kwa kiasi fulani cha fedha. \t ܘܐܫܬܢܝ ܠܫܟܝܡ ܘܐܬܬܤܝܡ ܒܩܒܪܐ ܕܙܒܢ ܗܘܐ ܐܒܪܗܡ ܒܟܤܦܐ ܡܢ ܒܢܝ ܚܡܘܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tunalo kundi hili kubwa la mashahidi mbele yetu. Kwa hiyo tuondoe kila kizuizi kinachotuzuia, na dhambi ile inayotung'ang'ania. Tupige mbio kwa uvumilivu katika mashindano yaliyowekwa mbele yetu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܦ ܚܢܢ ܕܐܝܬ ܠܢ ܗܠܝܢ ܟܠܗܘܢ ܤܗܕܐ ܕܐܝܟ ܥܢܢܐ ܚܕܝܪܝܢ ܠܢ ܢܫܕܐ ܡܢܢ ܟܠ ܝܘܩܪܝܢ ܐܦ ܚܛܝܬܐ ܕܒܟܠܙܒܢ ܡܛܝܒܐ ܗܝ ܠܢ ܘܒܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܢܪܗܛܝܘܗܝ ܠܐܓܘܢܐ ܗܢܐ ܕܤܝܡ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao wakamwambia, \"Tunayo mikate mitano tu na samaki wawili.\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܘ ܠܗ ܠܝܬ ܠܢ ܬܢܢ ܐܠܐ ܚܡܫ ܓܪܝܨܢ ܘܬܪܝܢ ܢܘܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni. \t ܘܫܒܚܘ ܘܢܦܩܘ ܠܛܘܪ ܙܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnajua jinsi tulivyodhulumiwa na kutukanwa kule Filipi kabla ya kufika kwenu Thesalonike. Ingawa kulikuwa na upinzani mwingi, Mungu wetu alitujalia uhodari wa kuwahubirieni Habari Njema yake. \t ܐܠܐ ܠܘܩܕܡ ܚܫܢܢ ܘܐܨܛܥܪܢܢ ܐܝܟ ܕܝܕܥܝܬܘܢ ܒܦܝܠܝܦܘܤ ܘܗܝܕܝܢ ܒܐܓܘܢܐ ܪܒܐ ܡܠܠܢ ܥܡܟܘܢ ܒܦܪܗܤܝܐ ܕܐܠܗܢ ܤܒܪܬܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunayo Mengi ya kusema juu ya jambo hili, lakini ni vigumu kuwaelezeni, kwa sababu ninyi si wepesi wa kuelewa. \t ܥܠܘܗܝ ܕܝܢ ܥܠ ܗܢܐ ܡܠܟܝܙܕܩ ܤܓܝܐܐ ܗܝ ܠܢ ܡܠܬܐ ܠܡܐܡܪܗ ܘܥܤܩܐ ܠܡܦܫܩܘܬܗ ܡܛܠ ܕܗܘܝܬܘܢ ܠܟܘܢ ܟܪܝܗܐ ܒܡܫܡܥܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakakaa muda wote Hekaluni wakimsifu Mungu. \t ܘܒܟܠܙܒܢ ܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܒܗܝܟܠܐ ܟܕ ܡܫܒܚܝܢ ܘܡܒܪܟܝܢ ܠܐܠܗܐ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, wale wanafunzi walienda wakafanya kama Yesu alivyowaagiza. \t ܘܐܙܠܘ ܬܠܡܝܕܐ ܘܥܒܕܘ ܐܝܟܢܐ ܕܦܩܕ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ukweli ni kwamba Kristo amefufuliwa kutoka wafu, limbuko lao wale waliolala katika kifo. \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܡܫܝܚܐ ܩܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܘܗܘܐ ܪܫܝܬܐ ܕܕܡܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama kiungo kimoja kinaumia viungo vyote huumia pamoja nacho. Kiungo kimoja kikisifiwa viungo vingine vyote hufurahi pamoja nacho. \t ܕܐܡܬܝ ܕܚܕ ܗܕܡ ܢܗܘܐ ܟܐܒ ܟܠܗܘܢ ܢܗܘܘܢ ܚܫܝܢ ܘܐܢ ܡܫܬܒܚ ܚܕ ܗܕܡ ܟܠܗܘܢ ܗܕܡܐ ܢܗܘܘܢ ܡܫܬܒܚܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Umekwisha mwona, naye ndiye anayesema nawe sasa.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܚܙܝܬܝܗܝ ܘܗܘ ܕܡܡܠܠ ܥܡܟ ܗܘܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akasema, \"Nitasikiliza kesi yako baada ya washtaki wako kufika.\" Kisha akaamuru Paulo awekwe chini ya ulinzi ndani ya ukumbi wa Herode. \t ܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥ ܐܢܐ ܠܟ ܡܐ ܕܐܬܘ ܩܛܓܪܢܝܟ ܘܦܩܕ ܕܢܛܪܘܢܗ ܒܦܪܛܘܪܝܢ ܕܗܪܘܕܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akasema, \"Ndiyo maana niliwaambieni kwamba hakuna awezaye kuja kwangu asipowezeshwa na Baba yangu.\" \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܐܢܫ ܡܫܟܚ ܕܢܐܬܐ ܠܘܬܝ ܐܠܐ ܝܗܝܒ ܠܗ ܡܢ ܐܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, Ondokeni mbele yangu enyi mliolaaniwa! Nendeni katika moto wa milele aliotayarishiwa Ibilisi na malaika wake. \t ܗܝܕܝܢ ܢܐܡܪ ܐܦ ܠܗܢܘܢ ܕܡܢ ܤܡܠܗ ܙܠܘ ܠܟܘܢ ܡܢܝ ܠܝܛܐ ܠܢܘܪܐ ܕܠܥܠܡ ܗܝ ܕܡܛܝܒܐ ܠܐܟܠܩܪܨܐ ܘܠܡܠܐܟܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana mtu yeyote ajaye na kumhubiri Yesu aliye tofauti na yule tuliyemhubiri, ninyi mwampokea kwa mikono miwili; au mnakubali roho au habari njema tofauti kabisa na ile mliyopokea kutoka kwetu! \t ܐܢ ܓܝܪ ܗܘ ܕܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܐܚܪܢܐ ܝܫܘܥ ܐܟܪܙ ܠܟܘܢ ܐܝܢܐ ܕܚܢܢ ܠܐ ܐܟܪܙܢ ܐܘ ܪܘܚܐ ܐܚܪܬܐ ܢܤܒܬܘܢ ܐܝܕܐ ܕܠܐ ܢܤܒܬܘܢ ܐܘ ܤܒܪܬܐ ܐܚܪܬܐ ܐܝܕܐ ܕܠܐ ܩܒܠܬܘܢ ܫܦܝܪ ܡܬܛܦܝܤܝܢ ܗܘܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa maana imeandikwa: Atawaamuru malaika wake wakulinde, \t ܟܬܝܒ ܓܝܪ ܕܠܡܠܐܟܘܗܝ ܢܦܩܕ ܥܠܝܟ ܕܢܢܛܪܘܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana mataifa yote yalileweshwa kwa divai kali ya uzinzi wake, nao wafalme wa dunia wamefanya uzinzi naye. Nao wafanyabiashara wa dunia wametajirika kutokana na anasa zake zisizo na kipimo.\" \t ܡܛܠ ܕܡܢ ܚܡܪܐ ܕܙܢܝܘܬܗ ܡܙܓܬ ܠܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܘܡܠܟܝܗ ܕܐܪܥܐ ܥܡܗ ܙܢܝܘ ܘܬܓܪܐ ܕܐܪܥܐ ܡܢ ܚܝܠܐ ܕܫܢܝܗ ܥܬܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote wa mji ule wakakusanyika nje ya mlango. \t ܘܡܕܝܢܬܐ ܟܠܗ ܟܢܝܫܐ ܗܘܬ ܥܠ ܬܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliondoka hapo, akaenda hadi wilaya ya Tiro. Huko aliingia katika nyumba moja na hakutaka mtu ajue; lakini hakuweza kujificha. \t ܡܢ ܬܡܢ ܩܡ ܝܫܘܥ ܘܐܬܐ ܠܬܚܘܡܐ ܕܨܘܪ ܘܕܨܝܕܢ ܘܥܠ ܠܒܝܬܐ ܚܕ ܘܠܐ ܨܒܐ ܗܘܐ ܕܐܢܫ ܢܕܥ ܒܗ ܘܠܐ ܐܫܟܚ ܕܢܛܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yuda alichukua kikosi cha askari na walinzi kutoka kwa makuhani wakuu na Mafarisayo, akaja nao bustanini wakiwa na taa, mienge na silaha. \t ܗܘ ܗܟܝܠ ܝܗܘܕܐ ܕܒܪ ܐܤܦܝܪ ܘܡܢ ܠܘܬ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܦܪܝܫܐ ܕܒܪ ܕܚܫܐ ܘܐܬܐ ܠܬܡܢ ܥܡ ܢܦܛܪܐ ܘܠܡܦܝܕܐ ܘܙܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, nitakifananisha kizazi hiki na kitu gani? Ni kama vijana waliokuwa wamekaa uwanjani, wakawa wakiambiana kikundi kimoja kwa kingine: \t ܠܡܢ ܕܝܢ ܐܕܡܝܗ ܠܫܪܒܬܐ ܗܕܐ ܕܡܝܐ ܠܛܠܝܐ ܕܝܬܒܝܢ ܒܫܘܩܐ ܘܩܥܝܢ ܠܚܒܪܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtu anaweza kuuliza: \"Wafu watafufuliwaje? Watakuwa na mwili wa namna gani wakati watakapokuja tena?\" \t ܢܐܡܪ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܕܐܝܟܢܐ ܩܝܡܝܢ ܡܝܬܐ ܘܒܐܝܢܐ ܦܓܪܐ ܐܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakampelekea Yesu huyo mwana punda. Wakatandika mavazi yao juu ya huyo mwana punda, na Yesu akaketi juu yake. \t ܘܐܝܬܝܘܗܝ ܠܥܝܠܐ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܘܐܪܡܝܘ ܥܠܘܗܝ ܡܐܢܝܗܘܢ ܘܪܟܒ ܥܠܘܗܝ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sasa sikilizeni ninyi mnaosema: \"Leo au kesho tutakwenda katika mji fulani na kukaa huko mwaka mzima tukifanya biashara na kupata faida.\" \t ܡܢܐ ܕܝܢ ܢܐܡܪ ܐܦ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܐܡܪܝܢ ܕܝܘܡܢܐ ܐܘ ܡܚܪ ܐܙܠܝܢܢ ܠܡܕܝܢܬܐ ܐܝܕܐ ܕܗܝ ܘܥܒܕܝܢܢ ܬܡܢ ܫܢܬܐ ܚܕܐ ܘܡܬܬܓܪܝܢܢ ܘܝܬܪܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vijana wakafika wakaufunika mwili wake, wakamtoa nje, wakamzika. \t ܘܩܡܘ ܐܝܠܝܢ ܕܥܠܝܡܝܢ ܒܗܘܢ ܘܟܢܫܘܗܝ ܘܐܦܩܘ ܩܒܪܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu ni mwaminifu; yeye aliwaita ninyi muwe na umoja na Mwanae Yesu Kristo Bwana wetu. \t ܡܗܝܡܢ ܗܘ ܐܠܗܐ ܕܒܐܝܕܗ ܐܬܩܪܝܬܘܢ ܠܫܘܬܦܘܬܐ ܕܒܪܗ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, kama Habari Njema tunayohubiri imefichika, imefichika tu kwa wale wanaopotea. \t ܘܐܢ ܕܝܢ ܡܟܤܝ ܗܘ ܐܘܢܓܠܝܘܢ ܕܝܠܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܒܕܝܢ ܗܘ ܡܟܤܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa malaika wa kanisa la Filadelfia andika hivi: \"Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aliye mtakatifu na wa kweli, ambaye anao ule ufunguo wa Daudi, na ambaye hufungua na hakuna mtu awezaye kufungua. \t ܘܠܡܠܐܟܐ ܕܥܕܬܐ ܕܦܝܠܕܠܦܝܐ ܟܬܘܒ ܗܟܢܐ ܐܡܪ ܩܕܝܫܐ ܫܪܝܪܐ ܗܘ ܕܐܝܬ ܠܗ ܩܠܝܕܐ ܕܕܘܝܕ ܐܝܢܐ ܕܦܬܚ ܘܠܝܬ ܕܐܚܕ ܘܐܚܕ ܘܠܝܬ ܕܦܬܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana wote walipomwona waliogopa sana. Mara Yesu akasema nao, \"Tulieni, ni mimi. Msiogope!\" \t ܟܠܗܘܢ ܓܝܪ ܚܙܐܘܗܝ ܘܕܚܠܘ ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܡܠܠ ܥܡܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܬܠܒܒܘ ܐܢܐ ܐܢܐ ܠܐ ܬܕܚܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Je, hamkusoma katika Maandiko Matakatifu kwamba Mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke, \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܩܪܝܬܘܢ ܕܗܘ ܕܥܒܕ ܡܢ ܒܪܫܝܬ ܕܟܪܐ ܘܢܩܒܬܐ ܥܒܕ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Chumvi ni nzuri; lakini ikipoteza ladha yake, itakolezwa na nini? \t ܫܦܝܪܐ ܗܝ ܡܠܚܐ ܐܢ ܕܝܢ ܐܦ ܡܠܚܐ ܬܦܟܗ ܒܡܢܐ ܬܬܡܠܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipofika huko na kuona jinsi Mungu alivyowaneemesha wale watu, alifurahi na kuwahimiza wote wadumu katika uaminifu wao kwa Bwana. \t ܘܟܕ ܐܬܐ ܠܬܡܢ ܘܚܙܐ ܛܝܒܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܚܕܝ ܘܒܥܐ ܗܘܐ ܡܢܗܘܢ ܕܒܟܠܗ ܠܒܗܘܢ ܢܗܘܘܢ ܢܩܝܦܝܢ ܠܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makundi makubwa ya watu yalimzunguka hata Yesu akapanda mashua, akaketi. Hao watu walisimama kwenye ukingo wa ziwa, \t ܘܐܬܟܢܫܘ ܠܘܬܗ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܐܝܟ ܕܢܤܩ ܢܬܒ ܠܗ ܒܐܠܦܐ ܘܟܠܗ ܟܢܫܐ ܩܐܡ ܗܘܐ ܥܠ ܤܦܪ ܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule msichana, naye akampelekea mama yake. \t ܘܐܝܬܝ ܪܫܗ ܒܦܝܢܟܐ ܘܐܬܝܗܒ ܠܛܠܝܬܐ ܘܐܝܬܝܬܗ ܠܐܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mji huo hauhitaji jua wala mwezi kuangazia, maana utukufu wa Mungu huuangazia, na taa yake ni yule Mwanakondoo. \t ܘܠܐܡܪܐ ܘܠܡܕܝܢܬܐ ܠܐ ܡܬܒܥܐ ܫܡܫܐ ܘܠܐ ܤܗܪܐ ܕܢܢܗܪܘܢ ܠܗ ܬܫܒܘܚܬܗ ܓܝܪ ܕܐܠܗܐ ܐܢܗܪܬܗ ܘܫܪܓܗ ܐܝܬܘܗܝ ܐܡܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulipokuwa jioni, Yesu akakaa mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܪܡܫܐ ܤܡܝܟ ܗܘܐ ܥܡ ܬܪܥܤܪ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini jambo la maana zaidi, tunataka kumpendeza, iwe tunaishi hapa duniani au huko. \t ܘܡܬܚܦܛܝܢܢ ܕܐܢ ܥܢܘܕܐ ܚܢܢ ܘܐܢ ܥܡܘܪܐ ܠܗ ܗܘܝܢ ܫܦܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akafanya vivyo hivyo na kikombe, baada ya chakula, akisema, \"Kikombe hiki ni agano jipya linalothibitishwa kwa damu yangu inayomwagika kwa ajili yenu. \t ܘܗܟܘܬ ܐܦ ܥܠ ܟܤܐ ܡܢ ܒܬܪ ܕܐܚܫܡܘ ܐܡܪ ܗܢܐ ܟܤܐ ܕܝܬܩܐ ܚܕܬܐ ܒܕܡܝ ܕܚܠܦܝܟܘܢ ܡܬܐܫܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana nasikia habari za imani yako kwa Bwana wetu Yesu na upendo wako kwa watu wote wa Mungu. \t ܗܐ ܡܢ ܕܫܡܥܬ ܗܝܡܢܘܬܟ ܘܚܘܒܐ ܕܐܝܬ ܠܟ ܠܘܬ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܘܠܘܬ ܟܠܗܘܢ ܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu. \t ܗܘ ܓܝܪ ܕܐܡܪ ܠܗ ܚܕܝ ܠܟ ܡܫܘܬܦ ܗܘ ܠܥܒܕܘܗܝ ܒܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ghafla, malaika wa Bwana akasimama karibu naye na mwanga ukaangaza kile chumba cha gereza. Malaika akamgusa akisema, \"Amka upesi!\" Mara ile minyororo ikaanguka kutoka katika mikono yake. \t ܡܠܐܟܐ ܕܡܪܝܐ ܩܡ ܠܥܠ ܡܢܗ ܘܢܘܗܪܐ ܐܙܠܓ ܒܟܠܗ ܒܝܬܐ ܘܕܩܪܗ ܒܓܒܗ ܘܐܩܝܡܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܩܘܡ ܥܓܠ ܘܢܦܠ ܫܫܠܬܐ ܡܢ ܐܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu Kristo alikuwa mzawa wa Daudi, mzawa wa Abrahamu. Hii ndiyo orodha ya ukoo wake: \t ܟܬܒܐ ܕܝܠܝܕܘܬܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܪܗ ܕܕܘܝܕ ܒܪܗ ܕܐܒܪܗܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kadhalika nanyi waume, katika kuishi na wake zenu mnapaswa kutambua kwamba wao ni dhaifu na hivyo muwatendee kwa heshima; maana nao pia watapokea pamoja nanyi zawadi ya uzima anayowapeni Mungu. Hapo ndipo sala zenu hazitakataliwa. \t ܘܐܢܬܘܢ ܓܒܪܐ ܗܟܢܐ ܥܡܪܘ ܥܡ ܢܫܝܟܘܢ ܒܝܕܥܬܐ ܘܐܝܟ ܕܠܡܐܢܐ ܡܚܝܠܐ ܒܐܝܩܪܐ ܐܚܘܕܘ ܐܢܝܢ ܡܛܠ ܕܐܦ ܗܢܝܢ ܥܡܟܘܢ ܝܪܬܢ ܡܘܗܒܬܐ ܕܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܕܠܐ ܬܗܘܘܢ ܡܬܬܩܠܝܢ ܒܨܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, jihadharini msije mkakataa kumsikiliza yeye ambaye anasema nanyi. Kama wale walikataa kumsikiliza yule aliyewaonya hapa duniani hawakuokoka, sisi tutawezaje kuokoka kama tukikataa kumsikiliza yule anayetuonya kutoka mbinguni? \t ܐܙܕܗܪܘ ܗܟܝܠ ܕܠܡܐ ܬܫܬܐܠܘܢ ܡܢ ܡܢ ܕܡܠܠ ܥܡܟܘܢ ܐܢ ܓܝܪ ܗܢܘܢ ܠܐ ܐܬܦܨܝܘ ܕܐܫܬܐܠܘ ܡܢ ܕܡܠܠ ܥܡܗܘܢ ܒܐܪܥܐ ܚܕ ܟܡܐ ܚܢܢ ܐܢ ܢܫܬܐܠ ܡܢ ܡܢ ܕܡܠܠ ܥܡܢ ܡܢ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vitu hivi ambavyo ni mfano tu wa mambo halisi ya mbinguni, vililazimika kutakaswa kwa namna hiyo. Lakini vitu vya mbinguni huhitaji dhabihu iliyo bora zaidi. \t ܐܢܢܩܐ ܗܝ ܓܝܪ ܕܗܠܝܢ ܕܕܡܘܬܐ ܐܢܝܢ ܕܫܡܝܢܝܬܐ ܒܗܠܝܢ ܡܬܕܟܝܢ ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܫܡܝܢܝܬܐ ܒܕܒܚܐ ܕܡܝܬܪܝܢ ܡܢ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hatutakuwa tena kama watoto, tukitupwa na kupeperushwa huko na huko kwa kila upepo wa mafundisho wanayozua watu wadanganyifu, ili wawapotoshe wengine kwa hila. \t ܘܠܐ ܢܗܘܐ ܝܠܘܕܐ ܕܡܙܕܥܙܥܝܢ ܘܡܫܬܢܝܢ ܠܟܠ ܪܘܚ ܕܝܘܠܦܢܐ ܢܟܝܠܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܗܢܘܢ ܕܒܚܪܥܘܬܗܘܢ ܡܨܛܢܥܝܢ ܕܢܛܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilipokuwa Damasko, mkuu wa mkoa, aliyekuwa chini ya mfalme Areta, alikuwa akiulinda mji wa Damasko ili apate kunikamata. \t ܒܕܪܡܤܘܩ ܪܒ ܚܝܠܐ ܕܐܪܛܘܤ ܡܠܟܐ ܢܛܪ ܗܘܐ ܡܕܝܢܬܐ ܕܕܪܡܘܤܩܝܐ ܠܡܐܚܕܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maneno mengine mengi, Petro alisisitiza na kuwahimiza watu akisema, \"Jiokoeni katika kizazi hiki kiovu.\" \t ܘܒܡܠܐ ܐܚܪܢܝܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܡܤܗܕ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܘܒܥܐ ܗܘܐ ܡܢܗܘܢ ܟܕ ܐܡܪ ܚܝܘ ܡܢ ܫܪܒܬܐ ܗܕܐ ܡܥܩܡܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Huko kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Anania, mtu mcha Mungu, mwenye kuitii Sheria yetu na aliyeheshimika sana mbele ya Wayahudi waliokuwa wanaishi Damasko. \t ܘܓܒܪܐ ܚܕ ܚܢܢܝܐ ܟܐܢܐ ܒܢܡܘܤܐ ܐܝܟ ܕܤܗܕܝܢ ܗܘܘ ܥܠܘܗܝ ܟܠܗܘܢ ܝܗܘܕܝܐ ܕܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye hutusikiliza kila tunapomwomba; na kwa vile tunajua kwamba yeye hutusikiliza kila tunapomwomba, twajua pia kwamba atupatia yote tunayomwomba. \t ܘܐܢ ܡܦܤܝܢܢ ܕܫܡܥ ܠܢ ܥܠ ܡܕܡ ܕܫܐܠܝܢܢ ܡܢܗ ܬܟܝܠܝܢܢ ܕܩܒܠܢ ܡܢ ܟܕܘ ܫܐܠܬܢ ܕܫܐܠܢ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani hata Sara aliamini kwamba Mungu hutimiza ahadi zake, kwa hiyo akajaliwa kuchukua mimba ingawaje alikuwa amepita umri. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܐܦ ܤܪܐ ܕܥܩܪܬܐ ܗܘܬ ܢܤܒܬ ܚܝܠܐ ܕܬܩܒܠ ܙܪܥܐ ܘܕܠܐ ܒܙܒܢܐ ܕܫܢܝܗ ܝܠܕܬ ܥܠ ܕܐܫܪܬ ܕܡܗܝܡܢ ܗܘ ܗܘ ܕܡܠܟ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati miaka elfu mia moja itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake. \t ܘܡܐ ܕܐܫܬܠܡ ܐܠܦ ܫܢܝܢ ܢܫܬܪܐ ܤܛܢܐ ܡܢ ܚܒܘܫܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Heri walio maskini rohoni, maana ufalme wa mbinguni ni wao. \t ܛܘܒܝܗܘܢ ܠܡܤܟܢܐ ܒܪܘܚ ܕܕܝܠܗܘܢ ܗܝ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ili tupate kuzuia jambo hili lisienee zaidi kati ya watu, tuwaonye wasiongee na mtu yeyote kwa jina la Yesu.\" \t ܐܠܐ ܕܠܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܢܦܘܩ ܒܥܡܐ ܛܒܐ ܗܢܐ ܢܬܠܚܡ ܠܗܘܢ ܕܬܘܒ ܠܐ ܢܡܠܠܘܢ ܒܫܡܐ ܗܢܐ ܠܐܢܫ ܡܢ ܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akamwambia, \"Ukweli ni kitu gani?\" Pilato alipokwisha sema hayo, aliwaendea tena Wayahudi nje, akawaambia, \"Mimi sioni hatia yoyote kwake. \t ܐܡܪ ܠܗ ܦܝܠܛܘܤ ܡܢܘ ܫܪܪܐ ܘܟܕ ܐܡܪ ܗܕܐ ܢܦܩ ܠܗ ܬܘܒ ܠܘܬ ܝܗܘܕܝܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢܐ ܐܦܠܐ ܚܕܐ ܥܠܬܐ ܡܫܟܚ ܐܢܐ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, tubu ubaya wako huu na umwombe Bwana naye anaweza kukusamehe fikira kama hizo. \t ܒܪܡ ܬܘܒ ܡܢ ܒܝܫܘܬܟ ܗܕܐ ܘܒܥܝ ܡܢ ܐܠܗܐ ܕܠܡܐ ܢܫܬܒܩ ܠܟ ܢܟܠܐ ܕܠܒܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikawa, Yesu alipokuwa katika mmojawapo wa miji ya huko, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamwona. Basi, mtu huyo akaanguka kifudifudi akamwomba Yesu: \"Mheshimiwa, ukitaka, waweza kunitakasa.\" \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܒܚܕܐ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ ܐܬܐ ܓܒܪܐ ܕܡܠܐ ܟܠܗ ܓܪܒܐ ܚܙܐ ܠܝܫܘܥ ܘܢܦܠ ܥܠ ܐܦܘܗܝ ܘܒܥܐ ܗܘܐ ܡܢܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܪܝ ܐܢ ܨܒܐ ܐܢܬ ܡܫܟܚ ܐܢܬ ܠܡܕܟܝܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mji huo uliadhibiwa kwani humo mlipatikana damu ya manabii, damu ya watu wa Mungu na damu ya watu wote waliouawa duniani. \t ܘܒܗ ܐܫܬܟܚ ܕܡܐ ܕܢܒܝܐ ܘܩܕܝܫܐ ܕܩܛܝܠܝܢ ܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Uzima wenu halisi ni Kristo, na wakati atakapotokea ndipo nanyi pia mtakapotokea pamoja naye katika utukufu. \t ܘܐܡܬܝ ܕܡܫܝܚܐ ܡܬܓܠܐ ܕܗܘܝܘ ܚܝܝܢ ܗܝܕܝܢ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܬܬܓܠܘܢ ܥܡܗ ܒܫܘܒܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa muda wa miezi mitatu Paulo alikuwa akienda katika sunagogi, akawa na majadiliano ya kuvutia sana juu ya Ufalme wa Mungu. \t ܘܥܠ ܗܘܐ ܦܘܠܘܤ ܠܟܢܘܫܬܐ ܘܡܡܠܠ ܗܘܐ ܥܝܢ ܒܓܠܐ ܝܪܚܐ ܬܠܬܐ ܘܡܦܝܤ ܗܘܐ ܥܠ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na si kwa tamaa mbaya kama watu wa mataifa mengine wasiomjua Mungu. \t ܘܠܐ ܒܚܫܐ ܕܪܓܬܐ ܐܝܟ ܫܪܟܐ ܕܥܡܡܐ ܗܢܘܢ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama kweli mngemwamini Mose, mngeniamini na mimi pia; maana Mose aliandika juu yangu. \t ܐܠܘ ܓܝܪ ܒܡܘܫܐ ܗܝܡܢܬܘܢ ܐܦ ܒܝ ܡܗܝܡܢܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܡܘܫܐ ܓܝܪ ܥܠܝ ܟܬܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawasihi sana mniombee ili Mungu anirudishe kwenu upesi iwezekanavyo. \t ܝܬܝܪܐܝܬ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟܘܢ ܕܬܥܒܕܘܢ ܗܕܐ ܕܒܥܓܠ ܐܬܦܢܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini wale ambao Mungu atawawezesha kushiriki ule wakati wa ufufuo, hawataoa wala kuolewa. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܕܠܗܘ ܥܠܡܐ ܫܘܘ ܘܠܩܝܡܬܐ ܕܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܠܐ ܢܤܒܝܢ ܢܫܐ ܘܐܦ ܠܐ ܢܫܐ ܗܘܝܢ ܠܓܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka elfu moja itimie.) Huu ndio ufufuo wa kwanza. \t ܘܗܕܐ ܗܝ ܩܝܡܬܐ ܩܕܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakashauriana jinsi ya kumtia Yesu nguvuni kwa hila wamuue. \t ܘܐܬܡܠܟܘ ܥܠ ܝܫܘܥ ܕܒܢܟܠܐ ܢܐܚܕܘܢܝܗܝ ܘܢܩܛܠܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafundisho hayo hupatikana katika Habari Njema ambayo mimi nimekabidhiwa niihubiri, Habari Njema ya Mungu mtukufu na mwenye heri. \t ܕܐܘܢܓܠܝܘܢ ܕܬܫܒܘܚܬܗ ܕܐܠܗܐ ܡܒܪܟܐ ܗܘ ܕܐܢܐ ܐܬܗܝܡܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mama akakimbilia jangwani, ambako Mungu alikuwa amemtayarishia mahali pa usalama ambapo angehifadhiwa kwa muda wa siku elfu moja mia mbili na sitini. \t ܘܐܢܬܬܐ ܥܪܩܬ ܠܚܘܪܒܐ ܐܬܪ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܬܡܢ ܕܘܟܬܐ ܕܡܛܝܒܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܕܢܬܪܤܘܢܗ ܝܘܡܝܢ ܐܠܦ ܘܡܐܬܝܢ ܘܫܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu Kristo ndiye aliyekuja kwa maji ya ubatizo wake na kwa damu ya kifo chake. Hakuja kwa maji tu, bali kwa maji na kwa damu. Naye Roho anashuhudia kwamba ni kweli, kwani Roho ni ukweli. \t ܗܢܘ ܕܐܬܐ ܒܝܕ ܡܝܐ ܘܕܡܐ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܠܐ ܗܘܐ ܒܡܝܐ ܒܠܚܘܕ ܐܠܐ ܒܡܝܐ ܘܕܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, malaika wa kwanza akaenda akamwaga bakuli lake juu ya nchi. Mara madonda mabaya na ya kuumiza sana yakawapata wote waliokuwa na alama ya yule mnyama, na wale walioiabudu sanamu yake. \t ܘܐܙܠ ܩܕܡܝܐ ܘܐܫܕ ܙܒܘܪܗ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܗܘܐ ܫܘܚܢܐ ܒܝܫܐ ܘܟܐܒܢܐ ܥܠ ܐܢܫܐ ܕܐܝܬ ܠܗܘܢ ܪܘܫܡܐ ܕܚܝܘܬܐ ܘܐܝܠܝܢ ܕܤܓܕܝܢ ܠܨܠܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri yake mtu anayesoma kitabu hiki; heri yao wale wanaosikiliza maneno ya ujumbe huu wa kinabii na kushika yaliyoandikwa humu, maana wakati umekaribia ambapo mambo haya yatatukia. \t ܛܘܒܘܗܝ ܠܡܢ ܕܩܪܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܫܡܥܝܢ ܡܠܐ ܕܢܒܝܘܬܐ ܗܕܐ ܘܢܛܪܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܟܬܝܒܢ ܒܗ ܙܒܢܐ ܓܝܪ ܩܪܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Daudi asema hivi juu ya furaha ya mtu ambaye Mungu amemkubali kuwa mwadilifu bila kuyajali matendo yake: \t ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܕܘܝܕ ܐܡܪ ܥܠ ܛܘܒܗ ܕܓܒܪܐ ܐܝܢܐ ܕܐܠܗܐ ܚܫܒ ܠܗ ܙܕܝܩܘܬܐ ܕܠܐ ܥܒܕܐ ܟܕ ܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnajua kwamba ugonjwa wangu ndio ulionipatia fursa ya kuwahubirieni Habari Njema kwa mara ya kwanza. \t ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܓܝܪ ܕܒܟܪܝܗܘܬ ܒܤܪܝ ܤܒܪܬܟܘܢ ܗܘܝܬ ܡܢ ܩܕܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikuona hekalu katika mji huo, maana Bwana Mungu Mwenye Uwezo na yule Mwanakondoo ndio Hekalu lake. \t ܘܗܝܟܠܐ ܠܐ ܚܙܝܬ ܒܗ ܡܪܝܐ ܓܝܪ ܐܠܗܐ ܐܚܝܕ ܟܠ ܗܘ ܐܝܬܘܗܝ ܗܝܟܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, siku wafu watakapofufuka mama huyo atakuwa mke wa nani miongoni mwa wale ndugu saba? Maana Wote saba walimwoa.\" \t ܒܩܝܡܬܐ ܗܟܝܠ ܠܐܝܢܐ ܡܢ ܗܠܝܢ ܫܒܥܐ ܬܗܘܐ ܐܢܬܬܐ ܟܠܗܘܢ ܓܝܪ ܢܤܒܘܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyu ndiye niliyesema juu yake: Baada yangu anakuja mtu mmoja aliye mkuu zaidi kuliko mimi, maana alikuwako kabla mimi sijazaliwa! \t ܗܢܘ ܕܐܢܐ ܐܡܪܬ ܥܠܘܗܝ ܕܒܬܪܝ ܐܬܐ ܓܒܪܐ ܘܗܘܐ ܠܗ ܩܕܡܝ ܡܛܠ ܕܩܕܡܝ ܗܘ ܡܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana kwa muda mrefu maneno ya Mose yamekuwa yakihubiriwa katika kila mji na kusomwa katika masunagogi yote kila siku ya Sabato.\" \t ܡܘܫܐ ܓܝܪ ܡܢ ܕܪܐ ܩܕܡܝܐ ܒܟܠ ܡܕܝܢܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܟܪܘܙܐ ܒܟܢܘܫܬܐ ܕܒܟܠ ܫܒܝܢ ܩܪܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu hakutuita tuishi maisha ya zinaa, bali tuishi katika utakatifu. \t ܠܐ ܓܝܪ ܩܪܟܘܢ ܐܠܗܐ ܠܛܢܦܘܬܐ ܐܠܐ ܠܩܕܝܫܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "awafanyie fadhili kwa kumleta Paulo Yerusalemu; walikuwa wamekula njama wamuue akiwa njiani. \t ܟܕ ܫܐܠܝܢ ܠܗ ܗܕܐ ܛܝܒܘܬܐ ܕܢܫܕܪ ܢܝܬܝܘܗܝ ܠܐܘܪܫܠܡ ܟܕ ܥܒܕܝܢ ܗܘܘ ܟܡܐܢܐ ܒܐܘܪܚܐ ܕܢܩܛܠܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye ni kichwa cha mwili wake, yaani kanisa; yeye ni chanzo cha uhai wa huo mwili. Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza aliyefufuliwa kutoka wafu, ili awe na nafasi ya kwanza katika vitu vyote. \t ܘܗܘܝܘ ܪܫܐ ܕܦܓܪܐ ܕܥܕܬܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܪܫܐ ܘܒܘܟܪܐ ܕܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܕܢܗܘܐ ܩܕܡܝ ܒܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mkuu wa sunagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo akawaambia wale watu walikusanyika pale, \"Mnazo siku sita za kufanya kazi. Basi, fikeni siku hizo mkaponywe magonjwa yenu; lakini msije siku ya Sabato.\" \t ܥܢܐ ܕܝܢ ܪܒ ܟܢܘܫܬܐ ܟܕ ܡܬܚܡܬ ܥܠ ܕܐܤܝ ܒܫܒܬܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܟܢܫܐ ܫܬܐ ܐܢܘܢ ܝܘܡܝܢ ܕܒܗܘܢ ܘܠܐ ܠܡܦܠܚ ܒܗܘܢ ܗܘܝܬܘܢ ܐܬܝܢ ܡܬܐܤܝܢ ܘܠܐ ܒܝܘܡܐ ܕܫܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye akawageukia, akawakemea akasema, \"Hamjui ni roho ya namna gani mliyo nayo; \t ܘܐܬܦܢܝ ܘܟܐܐ ܒܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܝܕܐ ܐܢܬܘܢ ܪܘܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Paulo, Silwano na Timotheo tunawaandikia ninyi jumuiya ya kanisa la Thesalonike, ambao ni watu wake Mungu Baba yetu na wa Bwana Yesu Kristo. \t ܦܘܠܘܤ ܘܤܠܘܢܘܤ ܘܛܝܡܬܐܘܤ ܠܥܕܬܐ ܕܬܤܠܘܢܝܩܝܐ ܕܒܐܠܗܐ ܐܒܘܢ ܘܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja ya Sabato, Yesu alikuwa anapita katika mashamba ya ngano, na wanafunzi wake wakaanza kukwanyua masuke ya ngano, wakaondoa punje zake kwa mikono, wakala. \t ܗܘܐ ܕܝܢ ܒܫܒܬܐ ܟܕ ܡܗܠܟ ܝܫܘܥ ܒܝܬ ܙܪܥܐ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܡܠܓܝܢ ܗܘܘ ܫܒܠܐ ܘܦܪܟܝܢ ܒܐܝܕܝܗܘܢ ܘܐܟܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kwamba ni lazima, kwa jina lake, mataifa yote kuanzia na Yerusalemu yahubiriwe juu ya kutubu na kusamehewa dhambi. \t ܘܕܢܬܟܪܙ ܒܫܡܗ ܬܝܒܘܬܐ ܠܫܘܒܩܢܐ ܕܚܛܗܐ ܒܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܘܫܘܪܝܐ ܢܗܘܐ ܡܢ ܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi, wapenzi wangu, mmekwisha jua jambo hili. Basi, muwe na tahadhari msije mkapotoshwa na makosa ya waasi, mkaanguka kutoka katika msimamo wenu imara. \t ܐܢܬܘܢ ܗܟܝܠ ܚܒܝܒܝ ܟܕ ܩܕܡܝܢ ܐܢܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܛܪܘ ܢܦܫܟܘܢ ܕܕܠܡܐ ܟܕ ܐܙܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܬܪ ܛܥܝܘܬܐ ܕܐܝܠܝܢ ܕܕܠܐ ܢܡܘܤ ܐܢܘܢ ܬܦܠܘܢ ܡܢ ܤܡܟܐ ܕܝܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Au je, hamjui kwamba watu wabaya hawataurithi Utawala wa Mungu? Msijidanganye! Watu wanaoishi maisha ya uasherati, wanaoabudu sanamu, wazinzi, au walawiti, \t ܐܘ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܥܘܠܐ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܠܐ ܝܪܬܝܢ ܠܐ ܬܛܥܘܢ ܠܐ ܙܢܝܐ ܘܠܐ ܦܠܚܝ ܦܬܟܪܐ ܘܠܐ ܓܝܪܐ ܘܠܐ ܡܚܒܠܐ ܘܠܐ ܫܟܒܝ ܥܡ ܕܟܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Martha aliposikia kwamba Yesu alikuwa anakuja, akaenda kumlaki; lakini Maria alibaki nyumbani. \t ܡܪܬܐ ܕܝܢ ܟܕ ܫܡܥܬ ܕܝܫܘܥ ܐܬܐ ܢܦܩܬ ܠܐܘܪܥܗ ܡܪܝܡ ܕܝܢ ܒܒܝܬܐ ܝܬܒܐ ܗܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipofika Salami walihubiri neno la Mungu katika masunagogi ya Kiyahudi. Yohane (Marko) alikuwa msaidizi wao. \t ܘܟܕ ܥܠܘ ܠܤܠܡܢܐ ܡܕܝܢܬܐ ܡܤܒܪܝܢ ܗܘܘ ܡܠܬܗ ܕܡܪܢ ܒܟܢܘܫܬܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܘܝܘܚܢܢ ܡܫܡܫ ܗܘܐ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote walikuwa wanakwenda Hekaluni asubuhi na mapema, wapate kumsikiliza. \t ܘܟܠܗ ܥܡܐ ܡܩܕܡܝܢ ܗܘܘ ܠܘܬܗ ܠܗܝܟܠܐ ܠܡܫܡܥ ܡܠܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mitume na wazee walifanya mkutano maalum wa kuchunguza jambo hilo. \t ܐܬܟܢܫܘ ܕܝܢ ܫܠܝܚܐ ܘܩܫܝܫܐ ܕܢܚܙܘܢ ܥܠ ܡܠܬܐ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tukiwa wafanyakazi pamoja na Mungu, tunawasihi msikubali ile neema mliyopokea kutoka kwa Mungu ipotee bure. \t ܘܐܝܟ ܡܥܕܪܢܐ ܒܥܝܢܢ ܡܢܟܘܢ ܕܠܐ ܬܤܬܪܩ ܒܟܘܢ ܛܝܒܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܕܩܒܠܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "hubiri huo ujumbe, sisitiza kuutangaza (iwe ni wakati wa kufaa au wakati usiofaa), karipia, onya na himiza watu ukiwafundisha kwa uvumilivu wote. \t ܐܟܪܙ ܡܠܬܐ ܘܩܘܡ ܒܚܦܝܛܘܬܐ ܒܙܒܢܐ ܘܕܠܐ ܙܒܢܐ ܐܟܤ ܘܟܘܢ ܒܟܠܗ ܡܓܪܬ ܪܘܚܐ ܘܝܘܠܦܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtoto akakua, akapata nguvu rohoni. Alikaa jangwani mpaka alipojionyesha rasmi kwa watu wa Israeli. \t ܛܠܝܐ ܕܝܢ ܪܒܐ ܗܘܐ ܘܡܬܚܝܠ ܒܪܘܚܐ ܘܒܚܘܪܒܐ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܐ ܕܬܚܘܝܬܗ ܕܠܘܬ ܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Msidhani ya kuwa nimekuja kutangua Sheria ya Mose na mafundisho ya manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha. \t ܠܐ ܬܤܒܪܘܢ ܕܐܬܝܬ ܕܐܫܪܐ ܢܡܘܤܐ ܐܘ ܢܒܝܐ ܠܐ ܐܬܝܬ ܕܐܫܪܐ ܐܠܐ ܕܐܡܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hivyo mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake.\" \t ܘܐܡܪ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܚܨܕܐ ܤܓܝ ܘܦܥܠܐ ܙܥܘܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, walikwenda kuwataka radhi na baada ya kuwatoa ndani waliwaomba watoke katika mji ule. \t ܘܐܬܘ ܠܘܬܗܘܢ ܘܒܥܘ ܡܢܗܘܢ ܕܢܦܩܘܢ ܘܢܫܢܘܢ ܠܗܘܢ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro alipokuwa anaingia, Kornelio alitoka nje kumlaki, akapiga magoti mbele yake na kuinama chini kabisa. \t ܘܟܕ ܥܐܠ ܫܡܥܘܢ ܐܪܥܗ ܩܘܪܢܠܝܘܤ ܘܢܦܠ ܤܓܕ ܠܪܓܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akaanza kuwaambia, \"Andiko hili mlilosikia likisomwa, limetimia leo.\" \t ܘܫܪܝ ܠܡܐܡܪ ܠܘܬܗܘܢ ܕܝܘܡܢܐ ܐܫܬܠܡ ܟܬܒܐ ܗܢܐ ܒܐܕܢܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na Roho Mtakatifu akamshukia akiwa na umbo kama la njiwa. Sauti ikasikika kutoka mbinguni: \"Wewe ndiwe Mwanangu mpendwa, nimependezwa nawe.\" \t ܘܢܚܬܬ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܥܠܘܗܝ ܒܕܡܘܬ ܓܘܫܡܐ ܕܝܘܢܐ ܘܩܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܐܡܪ ܐܢܬ ܗܘ ܒܪܝ ܚܒܝܒܐ ܕܒܟ ܐܨܛܒܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, siku ya Mikate Isiyotiwa chachu ikafika. Hiyo ndiyo siku ambayo mwana kondoo wa Pasaka huchinjwa. \t ܘܡܛܝ ܝܘܡܐ ܕܦܛܝܪܐ ܕܒܗ ܐܝܬ ܗܘܐ ܥܝܕܐ ܕܢܬܢܟܤ ܦܨܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nilipomwona tu, nilianguka mbele ya miguu yake kama maiti. Lakini yeye akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akasema, \"Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa mwisho. \t ܘܟܕ ܚܙܝܬܗ ܢܦܠܬ ܥܠ ܪܓܠܘܗܝ ܐܝܟ ܡܝܬܐ ܘܤܡ ܥܠܝ ܐܝܕܗ ܕܝܡܝܢܐ ܠܡܐܡܪ ܠܐ ܬܕܚܠ ܕܐܢܐ ܐܝܬܝ ܩܕܡܝܐ ܘܐܚܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akajibu, \"Je, saa za mchana si kumi na mbili? Basi, mtu akitembea mchana hawezi kujikwaa kwa kuwa anauona mwanga wa ulimwengu huu. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܠܐ ܬܪܬܥܤܪܐ ܫܥܝܢ ܐܝܬ ܒܝܘܡܐ ܘܐܢ ܐܢܫ ܡܗܠܟ ܒܐܝܡܡܐ ܠܐ ܡܬܬܩܠ ܡܛܠ ܕܚܙܐ ܢܘܗܪܗ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wakisha maliza kutangaza ujumbe huo, mnyama atokaye shimoni kuzimu atapigana nao, atawashinda na kuwaua. \t ܘܡܐ ܕܫܡܠܝܘ ܤܗܕܘܬܗܘܢ ܚܝܘܬܐ ܕܤܠܩܐ ܡܢ ܝܡܐ ܬܥܒܕ ܥܡܗܘܢ ܩܪܒܐ ܘܬܙܟܐ ܐܢܘܢ ܘܬܩܛܘܠ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kutoa hukumu juu ya binadamu wote, kuwahukumu wote kwa ajili ya matendo yao yote maovu waliyotenda na kwa ajili ya maneno yote mabaya ambayo watu waovu walimkashifu nayo.\" \t ܕܢܥܒܕ ܕܝܢܐ ܥܠ ܟܠ ܘܠܡܟܤܘ ܠܟܠ ܢܦܫܬܐ ܡܛܠ ܟܠܗܘܢ ܥܒܕܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܪܫܥܘ ܘܡܛܠ ܟܠܗܝܢ ܡܠܐ ܩܫܝܬܐ ܐܝܠܝܢ ܕܡܠܠܘ ܚܛܝܐ ܪܫܝܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, waheshimiwa, jipeni moyo! Maana ninamwamini Mungu kwamba itakuwa sawa kama nilivyoambiwa. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܬܠܒܒܘ ܓܒܪܐ ܡܗܝܡܢ ܐܢܐ ܓܝܪ ܒܐܠܗܐ ܕܗܟܢܐ ܗܘܐ ܐܝܟ ܡܐ ܕܐܬܡܠܠ ܥܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma. \t ܗܘܘ ܗܟܝܠ ܡܪܚܡܢܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܐܒܘܟܘܢ ܡܪܚܡܢܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu alijua unafiki wao, akawaambia, \"Mbona mnanijaribu? Nionyesheni sarafu.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܕܥ ܢܟܠܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܡܢܤܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ ܐܝܬܘ ܠܝ ܕܝܢܪܐ ܐܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akakana tena; mara jogoo akawika. \t ܘܬܘܒ ܟܦܪ ܫܡܥܘܢ ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܩܪܐ ܬܪܢܓܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: \"Bwana ameapa, wala hataigeuza nia yake: Wewe ni kuhani milele.\" \t ܗܢܘܢ ܓܝܪ ܕܠܐ ܡܘܡܬܐ ܗܘܘ ܟܘܡܪܐ ܗܢܐ ܕܝܢ ܒܡܘܡܬܐ ܐܝܟ ܕܐܡܪ ܠܗ ܒܝܕ ܕܘܝܕ ܕܝܡܐ ܡܪܝܐ ܘܠܐ ܢܕܓܠ ܕܐܢܬ ܗܘ ܟܘܡܪܐ ܠܥܠV ܒܕܡܘܬܗ ܕܡܠܟܝܙܕܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Abrahamu aliamini kwamba Mungu anaweza kuwafufua wafu: na kwa namna fulani kweli Abrahamu alimpata tena mwanae kutoka wafu. \t ܘܐܬܪܥܝ ܗܘܐ ܒܢܦܫܗ ܕܡܛܝܐ ܒܐܝܕܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܐܦ ܡܢ ܡܝܬܐ ܠܡܩܡܘ ܘܡܛܠ ܗܢܐ ܒܡܬܠܐ ܐܬܝܗܒ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnajua kwamba, kabla ya kuongoka kwenu, mlitawaliwa na kupotoshwa na sanamu tupu. \t ܕܚܢܦܐ ܗܘܝܬܘܢ ܘܠܦܬܟܪܐ ܐܝܠܝܢ ܕܠܝܬ ܠܗܘܢ ܩܠܐ ܕܠܐ ܦܘܪܫܢ ܡܬܕܒܪܝܢ ܗܘܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akaamuru wabatizwe kwa jina la Yesu Kristo. Kisha wakamwomba akae nao kwa siku chache. \t ܗܝܕܝܢ ܦܩܕ ܠܗܘܢ ܕܢܥܡܕܘܢ ܒܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܒܥܘ ܡܢܗ ܐܝܟ ܕܢܩܘܐ ܠܘܬܗܘܢ ܝܘܡܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yuda akamkaribia Yesu, akamwambia, \"Shikamoo, Mwalimu!\" Kisha akambusu. \t ܘܡܚܕܐ ܩܪܒ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܫܠܡ ܪܒܝ ܘܢܫܩܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nyota hiyo ikafungua shimo la Kuzimu, kukatoka moshi wa tanuru kubwa. Jua na anga vikatiwa giza kwa moshi huo wa Kuzimu. \t ܘܤܠܩ ܬܢܢܐ ܡܢ ܒܐܪܐ ܐܝܟ ܬܢܢܐ ܕܐܬܘܢܐ ܪܒܐ ܕܡܫܬܓܪ ܘܚܫܟ ܫܡܫܐ ܘܐܐܪ ܡܢ ܬܢܢܐ ܕܒܐܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kusema hayo aliuvunja mkutano. \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܫܪܐ ܠܟܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kuchukua nafasi za heshima katika karamu. \t ܘܪܝܫ ܡܘܬܒܐ ܒܟܢܘܫܬܐ ܘܪܝܫ ܤܡܟܐ ܒܚܫܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu wa pili akamwoa huyo mjane, naye pia akafa bila kuacha mtoto; na ndugu watatu hali kadhalika. \t ܘܕܬܪܝܢ ܢܤܒܗ ܘܡܝܬ ܟܕ ܐܦ ܠܐ ܗܘ ܫܒܩ ܙܪܥܐ ܘܕܬܠܬܐ ܗܟܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo nilikumbuka yale maneno Bwana aliyosema: Yohane alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu. \t ܘܐܬܕܟܪܬ ܡܠܬܗ ܕܡܪܢ ܕܐܡܪ ܗܘܐ ܕܝܘܚܢܢ ܐܥܡܕ ܒܡܝܐ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܬܥܡܕܘܢ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kutokana na shida iliyopo sasa nadhani ingefaa mtu abaki kama alivyo. \t ܘܤܒܪ ܐܢܐ ܕܗܕܐ ܫܦܝܪܐ ܡܛܠ ܐܢܢܩܐ ܕܙܒܢܐ ܕܦܩܚ ܠܗ ܠܒܪܢܫܐ ܕܗܟܢܐ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika, nawataka wanawake wawe wanyofu na wenye busara kuhusu mavazi yao; wavae sawasawa na si kwa urembo wa mitindo ya kusuka nywele, kujipamba kwa dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubwa, \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܢܫܐ ܒܐܤܟܡܐ ܢܟܦܐ ܕܠܒܘܫܐ ܒܬܚܡܨܬܐ ܘܒܢܟܦܘܬܐ ܢܗܘܐ ܬܨܒܝܬܗܝܢ ܠܐ ܒܓܕܘܠܐ ܘܒܕܗܒܐ ܐܘ ܒܡܪܓܢܝܬܐ ܐܘ ܒܢܚܬܐ ܫܦܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo palikuwa na bakuli limejaa siki. Basi, wakachovya sifongo katika hiyo siki, wakaitia juu ya ufito wa husopo, wakamwekea mdomoni. \t ܘܡܐܢܐ ܤܝܡ ܗܘܐ ܕܡܠܐ ܚܠܐ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܡܠܘ ܐܤܦܘܓܐ ܡܢ ܚܠܐ ܘܤܡܘ ܥܠ ܙܘܦܐ ܘܩܪܒܘ ܠܘܬ ܦܘܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye akamjibu: Kumbuka! Miaka yote nimekutumikia, sijavunja amri yako hata mara moja. Umenipa nini? Hujanipa hata mwana mbuzi mmoja nikafanye sherehe pamoja na rafiki zangu! \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܐܒܘܗܝ ܗܐ ܟܡܐ ܫܢܝܢ ܦܠܚ ܐܢܐ ܠܟ ܥܒܕܘܬܐ ܘܠܐ ܡܡܬܘܡ ܥܒܪܬ ܦܘܩܕܢܟ ܘܡܢ ܡܬܘܡ ܓܕܝܐ ܠܐ ܝܗܒܬ ܠܝ ܕܐܬܒܤܡ ܥܡ ܪܚܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akapanda tena ghorofani, akamega mkate, akala. Aliendelea kuhubiri kwa muda mrefu hadi alfajiri, halafu akaondoka. \t ܟܕ ܤܠܩ ܕܝܢ ܩܨܐ ܠܚܡܐ ܘܛܥܡ ܘܗܘܐ ܡܡܠܠ ܥܕܡܐ ܕܤܠܩ ܨܦܪܐ ܘܗܝܕܝܢ ܢܦܩ ܕܢܐܙܠ ܒܝܒܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa, alikasirika sana. Akaamuru watoto wote wa kiume mjini Bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe. Alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota. \t ܗܝܕܝܢ ܗܪܘܕܤ ܟܕ ܚܙܐ ܕܐܬܒܙܚ ܡܢ ܡܓܘܫܐ ܐܬܚܡܬ ܛܒ ܘܫܕܪ ܩܛܠ ܛܠܝܐ ܟܠܗܘܢ ܕܒܝܬ ܠܚܡ ܘܕܟܠܗܘܢ ܬܚܘܡܝܗ ܡܢ ܒܪ ܬܪܬܝܢ ܫܢܝܢ ܘܠܬܚܬ ܐܝܟ ܙܒܢܐ ܕܥܩܒ ܡܢ ܡܓܘܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lazima mzingatie yale mliyo nayo sasa mpaka nitakapokuja. \t ܗܘ ܗܟܝܠ ܕܐܝܬ ܠܟܘܢ ܐܚܘܕܘ ܥܕܡܐ ܕܐܬܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, wakasema, \"Mtu huyu anawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo.\" \t ܦܪܝܫܐ ܕܝܢ ܟܕ ܫܡܥܘ ܐܡܪܝܢ ܗܢܐ ܠܐ ܡܦܩ ܫܐܕܐ ܐܠܐ ܒܒܥܠܙܒܘܒ ܪܫܐ ܕܕܝܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "utii kwa wakuu wa mikoa ambao wameteuliwa naye kuwaadhibu wahalifu na kuwasifu watendao mema. \t ܘܠܕܝܢܐ ܡܛܠ ܕܡܢܗ ܡܫܬܕܪܝܢ ܠܬܒܥܬܐ ܕܡܤܟܠܢܐ ܘܠܬܫܒܘܚܬܐ ܕܥܒܕܝ ܛܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, msihukumu kabla ya wakati wake acheni mpaka Bwana atakapokuja. Yeye atayafichua mambo ya giza yaliyofichika, na kuonyesha wazi nia za mioyo ya watu. Ndipo kila mmoja atapata sifa anayostahili kutoka kwa Mungu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܠܐ ܡܢ ܩܕܡ ܙܒܢܐ ܬܗܘܘܢ ܕܝܢܝܢ ܥܕܡܐ ܕܢܐܬܐ ܡܪܝܐ ܗܘ ܕܡܢܗܪ ܟܤܝܬܗ ܕܚܫܘܟܐ ܘܓܠܐ ܡܚܫܒܬܗܘܢ ܕܠܒܘܬܐ ܘܗܝܕܝܢ ܢܗܘܐ ܫܘܒܚܐ ܠܐܢܫ ܐܢܫ ܡܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Vunjeni Hekalu hili, nami nitalijenga kwa siku tatu.\" \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܤܬܘܪܘ ܗܝܟܠܐ ܗܢܐ ܘܠܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܐܢܐ ܡܩܝܡ ܐܢܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikaona yule mnyama pamoja na mfalme wa dunia na askari wao wamekusanyika pamoja kusudi wapigane na yule aliyekuwa ameketi juu ya farasi, pamoja na jeshi lake. \t ܘܚܙܝܬ ܠܚܝܘܬܐ ܘܠܚܝܠܘܬܗ ܘܡܠܟܐ ܕܐܪܥܐ ܘܠܦܠܚܝܗܘܢ ܕܡܟܢܫܝܢ ܠܡܥܒܕ ܩܪܒܐ ܥܡ ܗܘ ܕܝܬܒ ܥܠ ܤܘܤܝܐ ܘܥܡ ܦܠܚܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Msijiwekee hazina hapa duniani ambako nondo na kutu huharibu, na wezi huingia na kuiba. \t ܠܐ ܬܤܝܡܘܢ ܠܟܘܢ ܤܝܡܬܐ ܒܐܪܥܐ ܐܬܪ ܕܤܤܐ ܘܐܟܠܐ ܡܚܒܠܝܢ ܘܐܝܟܐ ܕܓܢܒܐ ܦܠܫܝܢ ܘܓܢܒܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao akina Marko, Aristarko, Dema na Luka, wafanyakazi wenzangu, wanakusalimu. \t ܘܡܪܩܘܤ ܘܐܪܤܛܪܟܘܤ ܘܕܡܐ ܘܠܘܩܐ ܡܥܕܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikuwa akihubiri Ufalme wa Mungu na kufundisha juu ya Bwana Yesu Kristo kwa uhodari, bila kizuizi. \t ܘܡܟܪܙ ܗܘܐ ܥܠ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܘܡܠܦ ܗܘܐ ܥܝܢ ܒܓܠܐ ܥܠ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܠܐ ܟܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu kutoka sehemu zote za Yudea na wenyeji wote wa Yerusalemu walimwendea, wakaziungama dhambi zao, naye akawabatiza katika mto Yordani. \t ܘܢܦܩܐ ܗܘܬ ܠܘܬܗ ܟܠܗ ܟܘܪ ܕܝܗܘܕ ܘܟܠܗܘܢ ܒܢܝ ܐܘܪܫܠܡ ܘܡܥܡܕ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܒܝܘܪܕܢܢ ܟܕ ܡܘܕܝܢ ܒܚܛܗܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Myahudi wa kweli ni yule aliye Myahudi kwa ndani, yaani yule ambaye ametahiriwa moyoni. Hili ni jambo la Roho, na si jambo la maandishi ya Sheria. Mtu wa namna hiyo anapata sifa, si kutoka kwa watu, bali kutoka kwa Mungu. \t ܐܠܐ ܗܘ ܗܘ ܝܗܘܕܝܐ ܐܝܢܐ ܕܒܟܤܝܐ ܗܘ ܘܓܙܘܪܬܐ ܐܝܕܐ ܕܕܠܒܐ ܗܝ ܒܪܘܚ ܘܠܐ ܒܟܬܒܐ ܐܝܕܐ ܕܬܫܒܘܚܬܗ ܠܐ ܗܘܬ ܡܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܐܠܐ ܡܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambao walitokea wakiwa wenye utukufu, wakazungumza naye juu ya kifo chake ambacho angekikamilisha huko Yerusalemu. \t ܕܐܬܚܙܝܘ ܒܬܫܒܘܚܬܐ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܕܝܢ ܥܠ ܡܦܩܢܗ ܕܥܬܝܕ ܗܘܐ ܕܢܫܬܠܡ ܒܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kuwa nimewaambieni mambo hayo mmejaa huzuni mioyoni mwenu. \t ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܗܠܝܢ ܘܐܬܬ ܟܪܝܘܬܐ ܘܡܠܬ ܠܒܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninamshukuru Mungu ambaye ninamtumikia kwa dhamiri safi kama walivyofanya wazee wangu; namshukuru kila ninapokukumbuka daima katika sala zangu. \t ܡܘܕܐ ܐܢܐ ܠܐܠܗܐ ܗܘ ܕܠܗ ܡܫܡܫ ܐܢܐ ܡܢ ܐܒܗܬܝ ܒܬܐܪܬܐ ܕܟܝܬܐ ܕܐܡܝܢܐܝܬ ܡܬܕܟܪ ܐܢܐ ܠܟ ܒܨܠܘܬܝ ܕܠܠܝܐ ܘܕܐܝܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ikiwa utaoa hutakuwa umetenda dhambi; na msichana akiolewa hatakuwa ametenda dhambi. Hao watakaooana watapatwa na matatizo ya dunia hii, lakini mimi ningependa hayo yasiwapate ninyi. \t ܘܐܢ ܬܤܒ ܐܢܬܬܐ ܠܐ ܚܛܐ ܐܢܬ ܘܐܢ ܒܬܘܠܬܐ ܬܗܘܐ ܠܓܒܪܐ ܠܐ ܚܛܝܐ ܐܘܠܨܢܐ ܕܝܢ ܒܦܓܪ ܗܘܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܗܟܢܐ ܐܢܘܢ ܐܢܐ ܕܝܢ ܥܠܝܟܘܢ ܚܐܤ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kulikuwa na vipofu wawili wameketi kando ya njia, na waliposikia kwamba Yesu alikuwa anapitia hapo, walipaaza sauti: \"Mheshimiwa, Mwana wa Daudi, utuhurumie!\" \t ܘܗܐ ܤܡܝܐ ܬܪܝܢ ܝܬܒܝܢ ܗܘܘ ܥܠ ܝܕ ܐܘܪܚܐ ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܕܝܫܘܥ ܥܒܪ ܝܗܒܘ ܩܠܐ ܘܐܡܪܝܢ ܐܬܪܚܡ ܥܠܝܢ ܡܪܝ ܒܪܗ ܕܕܘܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika akawaambia, \"Msiogope! Nimewaleteeni habari njema ya furaha kuu kwa watu wote. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܠܐܟܐ ܠܐ ܬܕܚܠܘܢ ܗܐ ܓܝܪ ܡܤܒܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܚܕܘܬܐ ܪܒܬܐ ܕܬܗܘܐ ܠܟܠܗ ܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yoana, mke wa Kuza, mfanyakazi mkuu wa Herode; Susana na wengine kadhaa. Hao wanawake walikuwa wakiwatumikia kwa mali yao wenyewe. \t ܘܝܘܚܢ ܐܢܬܬ ܟܘܙܐ ܪܒܝܬܗ ܕܗܪܘܕܤ ܘܫܘܫܢ ܘܐܚܪܢܝܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܐܝܠܝܢ ܕܡܫܡܫܢ ܗܘܝ ܠܗܘܢ ܡܢ ܩܢܝܢܝܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kikundi chote kilikaa kimya, kikawasikiliza Barnaba na Paulo wakieleza miujiza na maajabu ambayo Mungu alitenda kwa mikono yao kati ya watu wa mataifa mengine. \t ܘܫܬܩܘ ܟܠܗ ܟܢܫܐ ܘܫܡܥܝܢ ܗܘܘ ܠܦܘܠܘܤ ܘܠܒܪܢܒܐ ܕܡܫܬܥܝܢ ܗܘܘ ܟܠ ܡܐ ܕܥܒܕ ܐܠܗܐ ܒܐܝܕܝܗܘܢ ܐܬܘܬܐ ܘܓܒܪܘܬܐ ܒܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tukiendelea kuvumilia, tutatawala pia pamoja naye. Tukimkana, naye pia atatukana. \t ܘܐܢ ܢܤܝܒܪ ܐܦ ܢܡܠܟ ܥܡܗ ܐܢ ܕܝܢ ܢܟܦܘܪ ܒܗ ܐܦ ܗܘ ܢܟܦܘܪ ܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mtu akawatuma tena watumishi wengine, wengi kuliko wa safari ya kwanza. Wale wakulima wakawatendea namna ileile. \t ܘܬܘܒ ܫܕܪ ܐܚܪܢܐ ܥܒܕܐ ܕܤܓܝܐܝܢ ܡܢ ܩܕܡܝܐ ܘܗܟܘܬ ܥܒܕܘ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana anachotaka Baba yangu ndicho hiki: kila amwonaye Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele; nami nitamfufua Siku ya mwisho.\" \t ܗܢܘ ܓܝܪ ܨܒܝܢܗ ܕܐܒܝ ܕܟܠ ܕܚܙܐ ܠܒܪܐ ܘܡܗܝܡܢ ܒܗ ܢܗܘܘܢ ܠܗ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܘܐܢܐ ܐܩܝܡܝܘܗܝ ܒܝܘܡܐ ܐܚܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nawaambieni, miongoni mwa watoto wote wa watu, hajatokea aliye mkuu kuliko Yohane mbatizaji. Hata hivyo, yule aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa mbinguni, ni mkubwa kuliko yeye. \t ܐܡܝܢ ܐܡܪܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܩܡ ܒܝܠܝܕܝ ܢܫܐ ܕܪܒ ܡܢ ܝܘܚܢܢ ܡܥܡܕܢܐ ܙܥܘܪܐ ܕܝܢ ܒܡܠܟܘܬ ܫܡܝܐ ܪܒ ܗܘ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye alituokoa katika nguvu ya giza, akatuleta salama katika ufalme wa Mwanae mpenzi, \t ܘܦܪܩܢ ܡܢ ܫܘܠܛܢܗ ܕܚܫܘܟܐ ܘܐܝܬܝܢ ܠܡܠܟܘܬܐ ܕܒܪܗ ܚܒܝܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Pilato aliposikia maneno hayo akamleta Yesu nje, akaketi juu ya kiti cha hukumu, mahali paitwapo: \"Sakafu ya Mawe\" (kwa Kiebrania, Gabatha). \t ܟܕ ܫܡܥ ܕܝܢ ܦܝܠܛܘܤ ܗܕܐ ܡܠܬܐ ܐܦܩܗ ܠܝܫܘܥ ܠܒܪ ܘܝܬܒ ܥܠ ܒܝܡ ܒܕܘܟܬܐ ܕܡܬܩܪܝܐ ܪܨܝܦܬܐ ܕܟܐܦܐ ܥܒܪܐܝܬ ܕܝܢ ܡܬܐܡܪܐ ܓܦܝܦܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo nitaweza kuiambia roho yangu: sasa unayo akiba ya matumizi kwa miaka na miaka. Ponda mali, ule, unywe na kufurahi. \t ܘܐܡܪ ܠܢܦܫܝ ܢܦܫܝ ܐܝܬ ܠܟܝ ܛܒܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܕܤܝܡܢ ܠܫܢܝܐ ܤܓܝܐܬܐ ܐܬܬܢܝܚܝ ܐܟܘܠܝ ܐܫܬܝ ܐܬܒܤܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walimtukuza Mungu, wakapendwa na watu wote. Kila siku Bwana aliwaongezea idadi ya watu waliokuwa wakiokolewa. \t ܡܫܒܚܝܢ ܗܘܘ ܠܐܠܗܐ ܟܕ ܝܗܝܒܝܢ ܒܪܚܡܐ ܩܕܡ ܟܠܗ ܥܡܐ ܘܡܪܢ ܡܘܤܦ ܗܘܐ ܟܠܝܘܡ ܠܐܝܠܝܢ ܕܚܐܝܢ ܒܥܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kinachoonekana kuwa ni upumbavu wa Mungu, kina busara zaidi kuliko hekima ya binadamu; na kinachoonekana kuwa ni udhaifu wa Mungu, kina nguvu zaidi kuliko nguvu za binadamu. \t ܡܛܠ ܕܫܛܝܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܚܟܝܡܐ ܗܝ ܡܢ ܒܢܝܢܫܐ ܘܟܪܝܗܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܚܝܠܬܢܝܐ ܗܝ ܡܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akawaambia, \"Haya, mnao walinzi; nendeni mkalinde kadiri mjuavyo.\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܙܠܘ ܐܙܕܗܪܘ ܒܩܒܪܐ ܘܚܬܡܘ ܟܐܦܐ ܗܝ ܥܡ ܩܤܛܘܢܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakati atakapokuja Siku ile kupokea utukufu kutoka kwa watu wake na heshima kutoka kwa wote wanaoamini. Ninyi pia mtakuwa miongoni mwao, kwani mmeuamini ule ujumbe tuliowaletea. \t ܡܐ ܕܐܬܐ ܕܢܫܬܒܚ ܒܩܕܝܫܘܗܝ ܘܢܚܘܐ ܬܕܡܪܬܗ ܒܡܗܝܡܢܘܗܝ ܕܬܬܗܝܡܢ ܤܗܕܘܬܢ ܕܥܠܝܟܘܢ ܒܗܘ ܝܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "waokoeni kwa kuwanyakua kutoka motoni; na kwa wengine muwe na huruma pamoja na hofu, lakini chukieni hata mavazi yao ambayo yamechafuliwa na tamaa zao mbaya. \t ܟܕ ܕܝܢ ܡܬܬܘܝܢ ܐܬܪܚܡܘ ܥܠܝܗܘܢ ܒܕܚܠܬܐ ܟܕ ܤܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܦ ܠܟܘܬܝܢܐ ܕܡܢ ܒܤܪܐ ܕܡܟܬܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tulipokwisha agana nao, tulipanda meli tukaenda moja kwa moja mpaka Kosi. Kesho yake tulifika Rodo, na kutoka huko tulikwenda Patara. \t ܘܦܪܫܢ ܡܢܗܘܢ ܘܪܕܝܢ ܬܪܝܨܐܝܬ ܠܩܘ ܓܙܪܬܐ ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܐܬܝܢ ܠܪܘܕܘܤ ܘܡܢ ܬܡܢ ܠܦܐܛܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nikaona mji mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka kwa Mungu mbinguni. Ulikuwa umetayarishwa vizuri kama bibi arusi aliyepambwa tayari kukutana na mumewe. \t ܘܠܡܕܝܢܬܐ ܩܕܝܫܬܐ ܐܘܪܫܠܡ ܚܕܬܐ ܚܙܝܬܗ ܕܢܚܬܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܡܢ ܨܝܕ ܐܠܗܐ ܕܡܛܝܒܐ ܐܝܟ ܟܠܬܐ ܡܨܒܬܬܐ ܠܒܥܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nikijishuhudia mimi mwenyewe, ushahidi wangu hauwezi kukubaliwa kuwa wa kweli. \t ܐܢ ܐܢܐ ܡܤܗܕ ܐܢܐ ܥܠ ܢܦܫܝ ܤܗܕܘܬܝ ܠܐ ܗܘܬ ܫܪܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikaona mbingu zimefunguliwa; na huko alikuwako farasi mmoja mweupe, na mpanda farasi wake aliitwa \"Mwaminifu\" na \"Kweli\". Huyo huhukumu na kupigana kwa ajili ya haki. \t ܘܚܙܝܬ ܫܡܝܐ ܕܦܬܝܚ ܘܗܐ ܤܘܤܝܐ ܚܘܪܐ ܘܕܝܬܒ ܥܠܘܗܝ ܡܬܩܪܐ ܡܗܝܡܢܐ ܘܫܪܝܪܐ ܘܒܟܐܢܘܬܐ ܕܐܢ ܘܡܩܪܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Amepatwa na mambo hayo tangu lini?\" Naye akamjibu, \"Tangu utoto wake. \t ܘܫܐܠ ܝܫܘܥ ܠܐܒܘܗܝ ܕܟܡܐ ܠܗ ܙܒܢܐ ܗܐ ܡܢ ܕܗܟܢܐ ܗܘ ܐܡܪ ܠܗ ܗܐ ܡܢ ܛܠܝܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi jihadharini. Mimi nimewaambieni mambo yote kabla hayajatokea. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܐܙܕܗܪܘ ܗܐ ܩܕܡܬ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܟܠ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, huyo baba akalia kwa sauti, \"Naamini! Lakini imani yangu haitoshi, nisaidie!\" \t ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܩܥܐ ܐܒܘܗܝ ܕܛܠܝܐ ܟܕ ܒܟܐ ܘܐܡܪ ܡܗܝܡܢ ܐܢܐ ܡܪܝ ܥܕܪ ܠܚܤܝܪܘܬ ܗܝܡܢܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nafahamu vizuri sana kwamba baada ya kuondoka kwangu mbwa mwitu wakali watawavamieni, na hawatakuwa na huruma kwa kundi hilo. \t ܐܢܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܕܡܢ ܒܬܪ ܕܐܙܠ ܐܢܐ ܢܥܠܘܢ ܥܡܟܘܢ ܕܐܒܐ ܬܩܝܦܐ ܕܠܐ ܚܝܤܝܢ ܥܠ ܡܪܥܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jiunge nao katika ibada ya kujitakasa, ukalipe na gharama zinazohusika, kisha wanyolewe nywele zao. Hivyo watu wote watatambua kwamba habari zile walizoambiwa juu yako hazina msingi wowote, na kwamba wewe binafsi bado unaishi kufuatana na maagizo ya Sheria za Mose. \t ܕܒܪ ܐܢܘܢ ܘܙܠ ܐܬܕܟܐ ܥܡܗܘܢ ܘܐܦܩ ܥܠܝܗܘܢ ܢܦܩܬܐ ܐܝܟ ܕܢܓܪܥܘܢ ܪܫܝܗܘܢ ܘܡܬܝܕܥܐ ܠܟܠܢܫ ܕܡܕܡ ܕܐܬܐܡܪ ܥܠܝܟ ܕܓܠ ܗܘ ܘܐܢܬ ܠܢܡܘܤܐ ܫܠܡ ܐܢܬ ܘܢܛܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo, na kwa ajili ya upendo uletwao na Roho, mniunge mkono kwa kuniombea kwa Mungu. \t ܒܥܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܡܢܟܘܢ ܐܚܝ ܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܒܚܘܒܐ ܕܪܘܚܐ ܕܬܥܡܠܘܢ ܥܡܝ ܒܨܠܘܬܐ ܕܚܠܦܝ ܠܘܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuhani Mkuu na baraza lote la wazee wanaweza kushuhudia jambo hilo. Kutoka kwao nilipokea barua walioandikiwa wale ndugu Wayahudi waliokuwa huko Damasko. Nilikwenda Damasko ili niwatie nguvuni watu hao na kuwaleta wamefungwa mpaka Yerusalemu ili waadhibiwe. \t ܐܝܟ ܡܐ ܕܤܗܕ ܥܠܝ ܪܒ ܟܗܢܐ ܘܟܠܗܘܢ ܩܫܝܫܐ ܕܡܢܗܘܢ ܩܒܠܬ ܐܓܪܬܐ ܕܐܙܠ ܠܘܬ ܐܚܐ ܕܒܕܪܡܤܘܩ ܕܐܦ ܠܗܢܘܢ ܕܐܝܬ ܗܘܘ ܬܡܢ ܐܝܬܐ ܐܢܘܢ ܠܐܘܪܫܠܡ ܟܕ ܐܤܝܪܝܢ ܘܢܩܒܠܘܢ ܡܤܡ ܒܪܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Sikiliza! Mimi naja kama mwizi! Heri mtu akeshaye na kuvaa nguo zake ili asije akaenda uchi huko na huko mbele ya watu.\" \t ܗܐ ܐܬܐ ܐܝܟ ܓܢܒܐ ܛܘܒܘܗܝ ܠܗܘ ܕܥܝܪ ܘܢܛܪ ܡܐܢܘܗܝ ܕܠܐ ܥܪܛܠ ܢܗܠܟ ܘܢܚܙܘܢ ܒܗܬܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Majeshi ya mbinguni yalimfuata yakiwa yamepanda farasi weupe na walikuwa wamevaa mavazi ya kitani, meupe na safi. \t ܘܚܝܠܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܢܩܝܦܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܥܠ ܪܟܫܐ ܚܘܪܐ ܘܠܒܝܫܝܢ ܒܘܨܐ ܚܘܪܐ ܘܕܟܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana Mungu wetu kweli ni moto mkali unaoteketeza. \t ܐܠܗܢ ܓܝܪ ܢܘܪܐ ܗܘ ܐܟܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, onyesheni kwa matendo kwamba mmetubu. Msianze sasa kusema: Sisi ni watoto wa Abrahamu. Nawaambieni hakika, Mungu anaweza kuyageuza mawe haya yawe watoto wa Abrahamu! \t ܥܒܕܘ ܗܟܝܠ ܦܐܪܐ ܕܫܘܝܢ ܠܬܝܒܘܬܐ ܘܠܐ ܬܫܪܘܢ ܠܡܐܡܪ ܒܢܦܫܟܘܢ ܕܐܒܐ ܐܝܬ ܠܢ ܐܒܪܗܡ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܕܡܢ ܗܠܝܢ ܟܐܦܐ ܡܫܟܚ ܐܠܗܐ ܠܡܩܡܘ ܒܢܝܐ ܠܐܒܪܗܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nashangaa kwamba muda mfupi tu umepita, nanyi mnamwasi yule aliyewaita kwa neema ya Kristo, mkafuata Habari Njema ya namna nyingine. \t ܡܬܕܡܪ ܐܢܐ ܐܝܟܢܐ ܒܥܓܠ ܡܬܗܦܟܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܡܫܝܚܐ ܗܘ ܕܩܪܟܘܢ ܒܛܝܒܘܬܗ ܠܐܚܪܬܐ ܤܒܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake. \t ܠܡܢ ܕܦܠܚ ܕܝܢ ܠܐ ܡܬܚܫܒ ܠܗ ܐܓܪܗ ܐܝܟ ܕܒܛܝܒܘ ܐܠܐ ܐܝܟ ܡܢ ܕܡܬܬܚܝܒ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wapumbavu ninyi! Je, aliyetengeneza nje si ndiye aliyetengeneza ndani pia? \t ܚܤܝܪܝ ܪܥܝܢܐ ܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܕܥܒܕ ܕܠܒܪ ܘܕܠܓܘ ܗܘ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakaenda, wakalilinda kaburi, wakatia mhuri juu ya lile jiwe na kuacha hapo askari walinzi. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܦܝܠܛܘܤ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܩܤܛܘܢܪܐ ܙܠܘ ܐܙܕܗܪܘ ܐܝܟܢܐ ܕܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama imeanzishwa na Mungu, siyo tu kwamba hamtaweza kuwashinda, bali mtajikuta mnapigana na Mungu.\" Basi, wakakubaliana naye. \t ܐܢ ܕܝܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܗܘ ܠܐ ܡܛܝܐ ܒܐܝܕܝܟܘܢ ܕܬܒܛܠܘܢܝܗܝ ܕܠܡܐ ܬܫܬܟܚܘܢ ܠܟܘܢ ܕܠܘܩܒܠ ܐܠܗܐ ܩܝܡܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi nyote mliobatizwa mkaungana na Kristo ni kama vile mmemvaa Kristo. \t ܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܒܡܫܝܚܐ ܥܡܕܬܘܢ ܠܡܫܝܚܐ ܠܒܫܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama nikicheleweshwa, basi, barua hii itakufahamisha mwenendo tunaopaswa kuwa nao katika nyumba ya Mungu, ambayo ni kanisa la Mungu aliye hai, na ambalo ni nguzo na msingi wa ukweli. \t ܘܐܢ ܗܘ ܕܝܢ ܕܡܘܚܪ ܐܢܐ ܕܬܕܥ ܐܝܟܢܐ ܘܠܐ ܠܡܬܗܦܟܘ ܒܒܝܬܗ ܕܐܠܗܐ ܕܐܝܬܝܗ ܥܕܬܐ ܕܐܠܗܐ ܚܝܐ ܥܡܘܕܐ ܘܫܬܐܤܬܐ ܕܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa nyumbani ameketi kula chakula, watoza ushuru wengi na wahalifu walikuja wakaketi pamoja naye na wanafunzi wake. \t ܘܟܕ ܤܡܝܟܝܢ ܒܒܝܬܐ ܐܬܘ ܡܟܤܐ ܘܚܛܝܐ ܤܓܝܐܐ ܐܤܬܡܟܘ ܥܡ ܝܫܘܥ ܘܥܡ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenye upendo huvumilia yote, huamini yote, na hustahimili yote. \t ܟܠ ܡܕܡ ܡܤܝܒܪ ܟܠܡܕܡ ܡܗܝܡܢ ܟܠ ܡܤܒܪ ܟܠ ܤܒܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Mungu, kwa huruma yake, ametukabidhi kazi hii na hivyo hatufi moyo. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܠܐ ܡܐܢܐ ܠܢ ܒܬܫܡܫܬܐ ܗܕܐ ܕܐܚܝܕܝܢܢ ܐܝܟ ܪܚܡܐ ܕܗܘܘ ܥܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kadhalika nawaambieni, ndivyo kutakavyokuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya kutubu kwa mwenye dhambi mmoja, kuliko kwa ajili ya watu tisini na tisa wanaojiona kuwa wema, wasiohitaji kutubu. \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܗܟܢܐ ܬܗܘܐ ܚܕܘܬܐ ܒܫܡܝܐ ܥܠ ܚܕ ܚܛܝܐ ܕܬܐܒ ܐܘ ܥܠ ܬܫܥܝܢ ܘܬܫܥܐ ܙܕܝܩܝܢ ܕܠܐ ܡܬܒܥܝܐ ܠܗܘܢ ܬܝܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana sisi, tukiwa Wayahudi au watu wa mataifa mengine, watumwa au watu huru, sote tumebatizwa kwa Roho mmoja katika mwili huo mmoja; na sote tukanyweshwa Roho huyo mmoja. \t ܐܦ ܚܢܢ ܓܝܪ ܟܠܢ ܒܚܕܐ ܪܘܚ ܠܚܕ ܦܓܪ ܥܡܕܢ ܐܢ ܝܗܘܕܝܐ ܘܐܢ ܐܪܡܝܐ ܘܐܢ ܥܒܕܐ ܘܐܢ ܒܢܝ ܚܐܪܐ ܘܟܠܢ ܚܕܐ ܪܘܚܐ ܐܫܬܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao wakamjibu, \"Wewe ulizaliwa na kulelewa katika dhambi; unawezaje kutufundisha sisi?\" Basi, wakamfukuzia mbali. \t ܥܢܘ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܢܬ ܟܠܟ ܒܚܛܗܐ ܐܬܝܠܕܬ ܘܐܢܬ ܡܠܦ ܐܢܬ ܠܢ ܘܐܦܩܘܗܝ ܠܒܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ni mkate wa uzima. \t ܐܢܐ ܐܢܐ ܠܚܡܐ ܕܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wa huko walipomtambua, wakaeneza habari pote katika sehemu hizo. Basi, wakamletea Yesu wagonjwa wote, \t ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗ ܕܢܩܪܒܘܢ ܐܦܢ ܠܟܢܦܐ ܒܠܚܘܕ ܕܠܒܘܫܗ ܘܐܝܠܝܢ ܕܩܪܒܘ ܐܬܐܤܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na wewe Kafarnaumu, je, utajikweza mpaka mbinguni? Utaporomoshwa mpaka Kuzimu! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwako ingalifanyika kule Sodoma, mji huo ungalikuwako mpaka hivi leo. \t ܘܐܢܬܝ ܟܦܪܢܚܘܡ ܗܝ ܕܥܕܡܐ ܠܫܡܝܐ ܐܬܬܪܝܡܬܝ ܥܕܡܐ ܠܫܝܘܠ ܬܬܚܬܝܢ ܕܐܠܘ ܒܤܕܘܡ ܗܘܘ ܚܝܠܐ ܐܝܠܝܢ ܕܗܘܘ ܒܟܝ ܩܝܡܐ ܗܘܬ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo umati mkubwa wa watu ulikusanyika tena, na hawakuwa na chakula. Basi, Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia, \t ܒܗܢܘܢ ܕܝܢ ܝܘܡܬܐ ܟܕ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܘܠܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܡܕܡ ܕܢܐܟܠܘܢ ܩܪܐ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi wenyewe mnajua kwamba mnapaswa kufuata mfano wetu. Sisi tulipokuwa nanyi hatukuwa wavivu; \t ܐܢܬܘܢ ܓܝܪ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܝܟܢܐ ܘܠܐ ܠܡܬܕܡܝܘ ܒܢ ܕܠܐ ܗܠܟܢ ܒܝܫ ܒܝܫ ܒܝܢܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeyote asikiaye ujumbe wa ufalme bila kuuelewa, ni kama zile mbegu zilizoanguka njiani; yule Mwovu huja na kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake. \t ܟܠ ܕܫܡܥ ܡܠܬܐ ܕܡܠܟܘܬܐ ܘܠܐ ܡܤܬܟܠ ܒܗ ܐܬܐ ܒܝܫܐ ܘܚܛܦ ܡܠܬܐ ܕܙܪܝܥܐ ܒܠܒܗ ܗܢܘ ܗܘ ܕܥܠ ܝܕ ܐܘܪܚܐ ܐܙܕܪܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Roho yake ikamrudia, akaamka mara. Yesu akaamuru wampe chakula. \t ܘܗܦܟܬ ܪܘܚܗ ܘܡܚܕܐ ܩܡܬ ܘܦܩܕ ܕܢܬܠܘܢ ܠܗ ܠܡܐܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mkuu wa mkoa alimwashiria Paulo aseme. Naye Paulo akasema, \"Nafurahi kujitetea mbele yako nikijua kwamba umekuwa hakimu wa taifa hili kwa miaka mingi. \t ܘܪܡܙ ܗܓܡܘܢܐ ܠܦܘܠܘܤ ܕܢܡܠܠ ܘܥܢܐ ܦܘܠܘܤ ܘܐܡܪ ܡܢ ܫܢܝܐ ܤܓܝܐܬܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܕܐܝܬܝܟ ܕܝܢܐ ܕܥܡܐ ܗܢܐ ܘܡܛܠ ܗܢܐ ܚܕܝܐܝܬ ܢܦܩ ܐܢܐ ܪܘܚܐ ܥܠ ܐܦܝ ܢܦܫܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mshukuruni Mungu Baba daima kwa ajili ya yote, kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܘܗܘܝܬܘܢ ܡܘܕܝܢ ܒܟܠܙܒܢ ܥܠ ܐܦܝ ܟܠܢܫ ܒܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܠܐܠܗܐ ܐܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama wangalikuwa wanaifikiria nchi walikotoka zamani, wangalipata nafasi ya kurudi huko. \t ܘܐܠܘ ܠܡܕܝܢܬܐ ܗܝ ܕܢܦܩܘ ܡܢܗ ܒܥܝܢ ܗܘܘ ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܙܒܢܐ ܕܬܘܒ ܢܗܦܟܘܢ ܢܐܙܠܘܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nanyi pia mnapaswa kuwa na subira; imarisheni mioyo yenu, maana siku ya kuja kwake Bwana inakaribia. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܐܓܪܘ ܪܘܚܟܘܢ ܘܠܒܘܬܟܘܢ ܫܪܪܘ ܩܪܒܬ ܠܗ ܓܝܪ ܡܐܬܝܬܗ ܕܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wakahuzunika sana, wakaanza kuuliza mmojammoja, \"Bwana! Je, ni mimi?\" \t ܘܟܪܝܬ ܠܗܘܢ ܛܒ ܘܫܪܝܘ ܠܡܐܡܪ ܠܗ ܚܕ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܠܡܐ ܐܢܐ ܡܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kusudi tusiwakwaze, nenda ziwani ukatupe ndoana; chukua samaki wa kwanza atakayenaswa, fungua kinywa chake, na ndani utakuta fedha taslimu ya zaka. Ichukue ukawape kwa ajili yangu na kwa ajili yako.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܡܢ ܢܘܟܪܝܐ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܡܕܝܢ ܒܢܝ ܚܐܪܐ ܐܢܘܢ ܒܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na kiongozi mmoja Myahudi, wa kikundi cha Mafarisayo, jina lake Nikodemo. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܬܡܢ ܚܕ ܓܒܪܐ ܡܢ ܦܪܝܫܐ ܢܝܩܕܡܘܤ ܫܡܗ ܗܘܐ ܐܪܟܘܢܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nauliza: je, Mungu amewakataa watu wake? Hata kidogo! Mini binafsi ni Mwisraeli mzawa wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini. \t ܐܠܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܠܡܐ ܕܚܩܗ ܐܠܗܐ ܠܥܡܗ ܚܤ ܐܦ ܐܢܐ ܓܝܪ ܡܢ ܐܝܤܪܝܠ ܐܢܐ ܡܢ ܙܪܥܗ ܕܐܒܪܗܡ ܡܢ ܫܪܒܬܐ ܕܒܢܝܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Imeandikwa: Utamwabudu Bwana Mungu wako, na utamtumikia yeye peke yake.\" \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܟܬܝܒ ܗܘ ܕܠܡܪܝܐ ܐܠܗܟ ܬܤܓܘܕ ܘܠܗ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܬܦܠܘܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Njoni mkafungue kinywa.\" Hakuna hata mmoja wao aliyethubutu kumwuliza: \"Wewe ni nani?\" Maana walijua alikuwa Bwana. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܬܘ ܐܫܬܪܘ ܐܢܫ ܕܝܢ ܡܢ ܬܠܡܝܕܐ ܠܐ ܡܡܪܚ ܗܘܐ ܕܢܫܐܠܝܘܗܝ ܕܡܢܘ ܕܝܕܥܝܢ ܗܘܘ ܕܡܪܢ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, ninyi sikilizeni maana ya mfano huo wa mpanzi. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܫܡܥܘ ܡܬܠܐ ܕܙܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuna mambo mengine mengi aliyofanya Yesu, ambayo kama yangeandikwa yote, moja baada ya lingine, nadhani hata ulimwengu wenyewe usingetosha kuviweka vitabu ambavyo vingeandikwa. \t ܐܝܬ ܕܝܢ ܐܦ ܐܚܪܢܝܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܕܥܒܕ ܝܫܘܥ ܐܝܠܝܢ ܕܐܠܘ ܚܕܐ ܚܕܐ ܡܬܟܬܒܢ ܗܘܝ ܐܦ ܠܐ ܗܘ ܥܠܡܐ ܐܝܟ ܕܤܒܪ ܐܢܐ ܤܦܩ ܗܘܐ ܠܟܬܒܐ ܕܡܬܟܬܒܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikamwona malaika mmoja amesimama katika jua. Akapaaza sauti na kuwaambia ndege wote waliokuwa wanaruka juu angani, \"Njoni! Kusanyikeni pamoja kwa karamu kuu ya Mungu. \t ܘܚܙܝܬ ܐܚܪܢܐ ܡܠܐܟܐ ܕܩܐܡ ܒܫܡܫܐ ܘܩܥܐ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܘܐܡܪ ܠܦܪܚܬܐ ܕܦܪܚܐ ܡܨܥܬ ܫܡܝܐ ܐܬܟܢܫܘ ܠܚܫܡܝܬܐ ܪܒܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowaondolea, hawasamehewi.\" \t ܐܢ ܬܫܒܩܘܢ ܚܛܗܐ ܠܐܢܫ ܢܫܬܒܩܘܢ ܠܗ ܘܐܢ ܬܐܚܕܘܢ ܕܐܢܫ ܐܚܝܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa anaingia katika kijiji kimoja, watu kumi wenye ukoma walikutana naye, wakasimama kwa mbali. \t ܘܟܕ ܩܪܝܒ ܠܡܥܠ ܠܩܪܝܬܐ ܚܕܐ ܐܪܥܘܗܝ ܥܤܪܐ ܐܢܫܝܢ ܓܪܒܐ ܘܩܡܘ ܡܢ ܪܘܚܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!\" \t ܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܐܕܢܐ ܢܫܡܥ ܡܢܐ ܪܘܚܐ ܡܡܠܠ ܠܥܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu, umati kwa umati, walimfuata; miongoni mwao wakiwemo wanawake waliokuwa wanaomboleza na kumlilia. \t ܘܐܬܐ ܗܘܐ ܒܬܪܗ ܤܘܓܐܐ ܕܥܡܐ ܘܢܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܡܪܩܕܢ ܗܘܝ ܘܐܠܝܢ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, wengi wataiacha imani yao, watasalitiana na kuchukiana. \t ܗܝܕܝܢ ܢܬܟܫܠܘܢ ܤܓܝܐܐ ܘܢܤܢܘܢ ܚܕ ܠܚܕ ܘܢܫܠܡܘܢ ܚܕ ܠܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Paulo alisimama mbele ya baraza la Areopago, akasema, \"Wananchi wa Athene! Ninaona kwamba ninyi, kwa vyovyote, ni watu wa dini sana. \t ܘܟܕ ܩܡ ܦܘܠܘܤ ܒܐܪܝܘܤ ܦܓܘܤ ܐܡܪ ܓܒܪܐ ܐܬܢܝܐ ܚܙܐ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܒܟܠܗܝܢ ܝܬܝܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܕܚܠܬ ܫܐܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika na wale waliosulubiwa pamoja naye wakamtukana. \t ܗܟܘܬ ܐܦ ܓܝܤܐ ܗܢܘܢ ܕܐܙܕܩܦܘ ܥܡܗ ܡܚܤܕܝܢ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika Sheria yetu Mose alituamuru mwanamke kama huyu apigwe mawe. Basi, wewe wasemaje?\" \t ܘܒܢܡܘܤܐ ܕܝܢ ܕܡܘܫܐ ܦܩܕ ܕܠܕܐܝܟ ܗܠܝܢ ܢܪܓܘܡ ܐܢܬ ܗܟܝܠ ܡܢܐ ܐܡܪ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena hawali kitu chochote kutoka sokoni mpaka wamekiosha kwanza. Kuna pia desturi nyingine walizopokea kama vile namna ya kuosha vikombe, sufuria na vyombo vya shaba. \t ܘܡܢ ܫܘܩܐ ܐܠܐ ܥܡܕܝܢ ܠܐ ܠܥܤܝܢ ܘܤܓܝܐܬܐ ܐܚܪܢܝܬܐ ܐܝܬ ܐܝܠܝܢ ܕܩܒܠܘ ܕܢܛܪܘܢ ܡܥܡܘܕܝܬܐ ܕܟܤܐ ܘܕܩܤܛܐ ܘܕܡܐܢܝ ܢܚܫܐ ܘܕܥܪܤܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na, ushahidi wenyewe ndio huu: Mungu alitupatia uzima wa milele, na uzima huo uko kwa Bwana. \t ܘܗܕܐ ܗܝ ܤܗܕܘܬܐ ܕܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܝܗܒ ܠܢ ܐܠܗܐ ܘܗܢܘܢ ܚܝܐ ܒܒܪܗ ܐܝܬܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wengi walitoa ushahidi wa uongo juu ya Yesu, lakini ushahidi wao haukupatana. \t ܟܕ ܤܓܝܐܐ ܓܝܪ ܡܤܗܕܝܢ ܗܘܘ ܥܠܘܗܝ ܠܐ ܫܘܝܢ ܗܘܝ ܤܗܕܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jitakaseni, mkatupe mbali chachu ya kale ili mpate kuwa donge jipya lisilotiwa chachu kama mnavyopaswa kuwa; maana, Kristo, Pasaka yetu, amekwisha tolewa tambiko. \t ܕܟܘ ܡܢܟܘܢ ܚܡܝܪܐ ܥܬܝܩܐ ܕܬܗܘܘܢ ܓܒܝܠܬܐ ܚܕܬܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܝܬܝܟܘܢ ܦܛܝܪܐ ܦܨܚܐ ܓܝܪ ܕܝܠܢ ܡܫܝܚܐ ܗܘ ܕܐܬܢܟܤ ܚܠܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ingawa walisema hivyo haikuwa rahisi kuwazuia wale watu wasiwatambikie. \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܡܢ ܡܚܤܢ ܟܠܘ ܠܥܡܐ ܕܐܢܫ ܠܐ ܢܕܒܚ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Kama nataka abaki mpaka nitakapokuja, yakuhusu nini? Wewe nifuate mimi.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢ ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܢܩܘܐ ܗܢܐ ܥܕܡܐ ܕܐܬܐ ܐܢܐ ܠܟ ܡܐ ܠܟ ܐܢܬ ܬܐ ܒܬܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Anayempokea mtoto kama huyu kwa jina langu, ananipokea mimi; na anayenipokea mimi, hanipokei mimi tu, bali anampokea yule aliyenituma.\" \t ܟܠ ܡܢ ܕܢܩܒܠ ܐܝܟ ܗܢܐ ܛܠܝܐ ܒܫܡܝ ܠܝ ܗܘ ܡܩܒܠ ܘܡܢ ܕܠܝ ܡܩܒܠ ܠܐ ܗܘܐ ܠܝ ܡܩܒܠ ܐܠܐ ܠܡܢ ܕܫܕܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mpaka hapa, wale watu walikuwa wanamsikiza, lakini aliposema maneno haya, walianza kusema kwa sauti kubwa, \"Mwondoe duniani! Mtu wa namna hiyo hastahili kuishi.\" \t ܘܟܕ ܫܡܥܘܗܝ ܠܦܘܠܘܤ ܥܕܡܐ ܠܗܕܐ ܡܠܬܐ ܐܪܝܡܘ ܩܠܗܘܢ ܘܩܥܘ ܢܫܬܩܠ ܡܢ ܐܪܥܐ ܐܝܢܐ ܕܗܟܢܐ ܗܘ ܠܐ ܓܝܪ ܘܠܐ ܠܗ ܠܡܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akamwambia, \"Msimkataze; kwani asiyepingana nanyi yuko upande wenu.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܠܐ ܬܟܠܘܢ ܡܢ ܓܝܪ ܕܠܐ ܗܘܐ ܠܘܩܒܠܟܘܢ ܚܠܦܝܟܘܢ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hamjasoma Maandiko haya? Jiwe walilokataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu la msingi. \t ܘܐܦܠܐ ܟܬܒܐ ܗܢܐ ܩܪܝܬܘܢ ܕܟܐܦܐ ܕܐܤܠܝܘ ܒܢܝܐ ܗܝ ܗܘܬ ܠܪܫܐ ܕܙܘܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kuwaaga watu alikwenda mlimani kusali. \t ܘܟܕ ܫܪܐ ܐܢܘܢ ܐܙܠ ܠܛܘܪܐ ܠܡܨܠܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena amempa mamlaka ya kuhukumu kwa sababu yeye ni Mwana wa Mtu. \t ܘܐܫܠܛܗ ܕܢܗܘܐ ܥܒܕ ܐܦ ܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine. \t ܘܠܐ ܬܘܒ ܐܡܪܚܘ ܠܡܫܐܠܘܬܗ ܥܠ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Daudi mwenyewe anamwita Kristo Bwana. Basi, Kristo atakuwaje mwanae?\" Umati wa watu ulikuwa ukimsikiliza kwa furaha. \t ܗܘ ܗܟܝܠ ܕܘܝܕ ܩܪܐ ܠܗ ܡܪܝ ܘܐܝܟܢܐ ܒܪܗ ܐܝܬܘܗܝ ܘܟܠܗ ܟܢܫܐ ܫܡܥ ܗܘܐ ܠܗ ܒܤܝܡܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Atakuwa mkuu mbele ya Bwana. Hatakunywa divai wala kileo, atajazwa Roho Mtakatifu tangu tumboni mwa mama yake. \t ܢܗܘܐ ܓܝܪ ܪܒ ܩܕܡ ܡܪܝܐ ܘܚܡܪܐ ܘܫܟܪܐ ܠܐ ܢܫܬܐ ܘܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܢܬܡܠܐ ܥܕ ܗܘ ܒܟܪܤܐ ܕܐܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kukaa huko kwa muda fulani, ndugu wa Antiokia waliwaaga wakiwatakia amani, kisha wakarudi kwa wale waliokuwa wamewatuma. \t ܘܟܕ ܗܘܘ ܬܡܢ ܙܒܢܐ ܫܪܘ ܐܢܘܢ ܐܚܐ ܒܫܠܡܐ ܠܘܬ ܫܠܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa basi, kulikuwa na utukufu katika huduma ile iliyoleta hukumu, ni wazi kwamba huduma ile iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu itakuwa na utukufu mkuu zaidi. \t ܐܢ ܓܝܪ ܠܬܫܡܫܬܐ ܕܚܘܝܒܐ ܗܘܐ ܫܘܒܚܐ ܚܕ ܟܡܐ ܬܬܝܬܪ ܬܫܡܫܬܐ ܕܙܕܝܩܘܬܐ ܒܫܘܒܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara kundi kubwa la jeshi la mbinguni likajiunga na huyo malaika, wakamsifu Mungu wakisema: \t ܘܡܢ ܫܠܝ ܐܬܚܙܝܘ ܥܡ ܡܠܐܟܐ ܚܝܠܘܬܐ ܤܓܝܐܐ ܕܫܡܝܐ ܟܕ ܡܫܒܚܝܢ ܠܐܠܗܐ ܘܐܡܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu iliyokuwa bora zaidi kuliko ile ya Kaini. Kwa imani yake alikubaliwa na Mungu kuwa mwadilifu; Mungu mwenyewe alizikubali sadaka zake. Kwa imani yake ingawa amekufa, bado ananena. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܩܪܒ ܗܒܝܠ ܕܒܚܬܐ ܕܡܝܬܪܐ ܛܒ ܡܢ ܕܩܐܝܢ ܠܐܠܗܐ ܘܡܛܠܬܗ ܗܘܬ ܥܠܘܗܝ ܤܗܕܘܬܐ ܕܟܐܢܐ ܗܘ ܘܤܗܕ ܥܠ ܩܘܪܒܢܗ ܐܠܗܐ ܘܡܛܠܬܗ ܐܦ ܟܕ ܡܝܝܬ ܡܡܠܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tulio imara katika imani tunapaswa kuwasaidia wale walio dhaifu wayakabili matatizo yao. Tusijipendelee sisi wenyewe tu. \t ܚܝܒܝܢܢ ܗܟܝܠ ܚܢܢ ܚܝܠܬܢܐ ܕܟܘܪܗܢܐ ܕܡܚܝܠܐ ܢܫܩܘܠ ܘܠܐ ܠܢܦܫܢ ܢܫܦܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nami nitawatuma mashahidi wangu wawili ili watangaze ujumbe wa Mungu kwa muda huo wa siku elfu moja mia mbili na sitini wakiwa wamevaa mavazi ya magunia.\" \t ܘܐܬܠ ܠܬܪܝܢ ܤܗܕܝ ܠܡܬܢܒܝܘ ܝܘܡܝܢ ܐܠܦ ܘܡܐܬܝܢ ܘܫܬܝܢ ܟܕ ܥܛܝܦܝܢ ܤܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wapumbavu walichukua taa zao, lakini hawakuchukua akiba ya mafuta. \t ܘܗܢܝܢ ܤܟܠܬܐ ܢܤܒ ܠܡܦܕܝܗܝܢ ܘܠܐ ܢܤܒ ܥܡܗܝܢ ܡܫܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi yao walikubali maneno yake, lakini wengine hawakuamini. \t ܘܐܢܫܝܢ ܡܢܗܘܢ ܡܬܛܦܝܤܝܢ ܗܘܘ ܠܡܠܘܗܝ ܘܐܚܪܢܐ ܠܐ ܡܬܛܦܝܤܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akasema, \"Sasa mlipata ubatizo wa namna gani?\" Wakamjibu, \"Ubatizo wa Yohane.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܘܒܡܢܐ ܥܡܕܬܘܢ ܐܡܪܝܢ ܒܡܥܡܘܕܝܬܗ ܕܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mke hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mumewe anayo; hali kadhalika naye mume, hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mkewe anayo. \t ܐܢܬܬܐ ܠܐ ܫܠܝܛܐ ܥܠ ܦܓܪܗ ܐܠܐ ܒܥܠܗ ܗܟܢܐ ܐܦ ܓܒܪܐ ܠܐ ܫܠܝܛ ܥܠ ܦܓܪܗ ܐܠܐ ܐܢܬܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nafurahi sana kwamba naweza kuwategemea ninyi kabisa katika kila jambo. \t ܚܕܐ ܐܢܐ ܕܒܟܠ ܡܕܡ ܬܟܝܠ ܐܢܐ ܥܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ubishi ulitokea kati ya baadhi ya wanafunzi wa Yohane na Myahudi mmoja kuhusu desturi za kutawadha. \t ܗܘܬ ܗܘܬ ܕܝܢ ܒܥܬܐ ܠܚܕ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܝܘܚܢܢ ܥܡ ܝܗܘܕܝܐ ܚܕ ܥܠ ܬܕܟܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu ni mmoja, naye atawakubali Wayahudi kuwa waadilifu kwa imani yao, na watu wa mataifa mengine pia kwa imani yao. \t ܡܛܠ ܕܚܕ ܗܘ ܐܠܗܐ ܕܡܙܕܩ ܓܙܘܪܬܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܐܦ ܥܘܪܠܘܬܐ ܒܗ ܒܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe waangalifu basi, na salini daima ili muweze kupata nguvu ya kupita salama katika mambo haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele ya Mwana wa Mtu.\" \t ܗܘܘ ܗܟܝܠ ܫܗܪܝܢ ܒܟܠܙܒܢ ܘܡܨܠܝܢ ܕܬܫܘܘܢ ܠܡܥܪܩ ܡܢ ܗܠܝܢ ܕܥܬܝܕܢ ܠܡܗܘܐ ܘܬܩܘܡܘܢ ܩܕܡ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma. \t ܠܐ ܡܫܟܚ ܐܢܐ ܡܕܡ ܡܢ ܨܒܘܬ ܢܦܫܝ ܠܡܥܒܕ ܐܠܐ ܐܝܟܢܐ ܕܫܡܥ ܐܢܐ ܕܐܢ ܐܢܐ ܘܕܝܢܝ ܟܐܝܢ ܗܘ ܠܐ ܓܝܪ ܒܥܐ ܐܢܐ ܨܒܝܢܝ ܐܠܐ ܨܒܝܢܗ ܕܡܢ ܕܫܕܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alisimama, akasema, \"Mwiteni.\" Basi, wakamwita huyo kipofu, wakamwambia, \"Jipe moyo! Simama, anakuita.\" \t ܘܩܡ ܝܫܘܥ ܘܦܩܕ ܕܢܩܪܘܢܝܗܝ ܘܩܪܐܘܗܝ ܠܤܡܝܐ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܬܠܒܒ ܩܘܡ ܩܪܐ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale watu waliokuwa wanamchunga Yesu, walimpiga na kumdhihaki. \t ܘܓܒܪܐ ܕܐܚܝܕܝܢ ܗܘܘ ܠܝܫܘܥ ܡܒܙܚܝܢ ܗܘܘ ܒܗ ܘܡܚܦܝܢ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakaketi makundimakundi ya watu mia moja na ya watu hamsini. \t ܘܐܤܬܡܟܘ ܤܡܟܝܢ ܤܡܟܝܢ ܕܡܐܐ ܡܐܐ ܘܕܚܡܫܝܢ ܚܡܫܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu mkuu huyo wa jeshi akaandika barua hivi: \t ܘܟܬܒ ܐܓܪܬܐ ܝܗܒ ܠܗܘܢ ܕܐܝܬ ܒܗ ܗܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo farijianeni na kusaidiana ninyi kwa ninyi kama mnavyofanya sasa. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܒܝܐܘ ܚܕ ܠܚܕ ܘܒܢܘ ܚܕ ܠܚܕ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܥܒܕܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata kama nimezidi katika kujivuna kwangu juu ya ule uwezo aliotupa--uwezo wa kuwajenga na sio wa kubomoa--hata hivyo sijutii hata kidogo. \t ܐܢ ܓܝܪ ܐܦ ܡܕܡ ܝܬܝܪ ܐܫܬܒܗܪ ܥܠ ܫܘܠܛܢܐ ܕܝܗܒ ܠܝ ܡܪܢ ܠܐ ܒܗܬ ܐܢܐ ܡܛܠ ܕܠܒܢܝܢܐ ܗܘ ܕܝܠܟܘܢ ܝܗܒ ܠܢ ܘܠܐ ܠܤܘܚܦܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hakumjua kamwe kimwili hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume. Naye Yosefu akampa jina Yesu. \t ܘܠܐ ܚܟܡܗ ܥܕܡܐ ܕܝܠܕܬܗ ܠܒܪܗ ܒܘܟܪܐ ܘܩܪܬ ܫܡܗ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wapenzi wangu, msilipize kisasi, bali mwachieni Mungu jambo hilo; maana Maandiko Matakatifu yasema: \"Kulipiza kisasi ni shauri langu; mimi nitalipiza asema Bwana.\" \t ܘܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܬܒܥܝܢ ܢܦܫܟܘܢ ܚܒܝܒܝ ܐܠܐ ܗܒܘ ܐܬܪܐ ܠܪܘܓܙܐ ܟܬܝܒ ܗܘ ܓܝܪ ܕܐܢ ܠܐ ܬܥܒܕ ܕܝܢܐ ܠܢܦܫܟ ܐܢܐ ܐܥܒܕ ܕܝܢܟ ܐܡܪ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda, \t ܐܬܐ ܕܝܢ ܫܡܥܘܢ ܒܬܪܗ ܘܥܠ ܠܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܘܚܙܐ ܟܬܢܐ ܟܕ ܤܝܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ombeni ili kukimbia kwenu kusiwe siku za baridi au siku ya Sabato! \t ܨܠܘ ܕܝܢ ܕܠܐ ܢܗܘܐ ܥܪܘܩܝܟܘܢ ܒܤܬܘܐ ܘܠܐ ܒܫܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana Kristo mwenyewe alikufa kwa ajili ya dhambi zenu; alikufa mara moja tu na ikatosha, mtu mwema kwa ajili ya waovu, ili awapeleke ninyi kwa Mungu. Aliuawa kimwili lakini akafanywa hai kiroho; \t ܡܛܠ ܕܐܦ ܡܫܝܚܐ ܚܕܐ ܙܒܢ ܡܝܬ ܚܠܦ ܚܛܗܝܢ ܙܕܝܩܐ ܚܠܦ ܚܛܝܐ ܕܢܩܪܒܟܘܢ ܠܐܠܗܐ ܘܡܝܬ ܒܦܓܪ ܘܚܝܐ ܒܪܘܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huko, wakiwa wanamtazama, akageuka sura, uso wake ukang'aa kama jua na mavazi yake yakawa meupe kama nuru. \t ܘܐܫܬܚܠܦ ܝܫܘܥ ܩܕܡܝܗܘܢ ܘܢܗܪ ܦܪܨܘܦܗ ܐܝܟ ܫܡܫܐ ܢܚܬܘܗܝ ܕܝܢ ܚܘܪܘ ܐܝܟ ܢܘܗܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa maana niliogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali. Wewe ni mtu ambaye huchukua yasiyo yako, na huchuma ambacho hukupanda. \t ܕܚܠܬ ܓܝܪ ܡܢܟ ܕܓܒܪܐ ܐܢܬ ܩܫܝܐ ܘܫܩܠ ܐܢܬ ܡܕܡ ܕܠܐ ܤܡܬ ܘܚܨܕ ܐܢܬ ܡܕܡ ܕܠܐ ܙܪܥܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Usinishike; sijakwenda bado juu kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie: nakwenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܠܐ ܬܬܩܪܒܝܢ ܠܝ ܠܐ ܓܝܪ ܥܕܟܝܠ ܤܠܩܬ ܠܘܬ ܐܒܝ ܙܠܝ ܕܝܢ ܠܘܬ ܐܚܝ ܘܐܡܪܝ ܠܗܘܢ ܤܠܩ ܐܢܐ ܠܘܬ ܐܒܝ ܘܐܒܘܟܘܢ ܘܐܠܗܝ ܘܐܠܗܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Imeandikwa: Mtu haishi kwa mkate tu.\" \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܟܬܝܒ ܗܘ ܕܠܐ ܗܘܐ ܒܠܚܡܐ ܒܠܚܘܕ ܚܝܐ ܒܪܢܫܐ ܐܠܐ ܒܟܠ ܦܬܓܡ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ikiwa wanitambua mimi kuwa mwenzako, mpokee tena kama vile ungenipokea mimi mwenyewe. \t ܐܢ ܗܟܝܠ ܐܝܬܝܟ ܠܝ ܫܘܬܦܐ ܩܒܠܝܗܝ ܐܝܟ ܕܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Kweli nawaambieni, mtu yeyote aliyeacha nyumba au mke au kaka au wazazi au watoto kwa ajili ya Ufalme wa Mungu, \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܝܬ ܐܢܫ ܕܫܒܩ ܒܬܐ ܐܘ ܐܒܗܐ ܐܘ ܐܚܐ ܐܘ ܐܢܬܬܐ ܐܘ ܒܢܝܐ ܡܛܠ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe na wema uleule kwa kila mtu. Msijitakie makuu, bali jishugulisheni na watu wadogo. Msijione kuwa wenye hekima sana. \t ܘܡܕܡ ܕܡܬܪܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܠ ܢܦܫܟܘܢ ܐܦ ܥܠ ܐܚܝܟܘܢ ܘܠܐ ܬܬܪܥܘܢ ܪܥܝܢܐ ܪܡܐ ܐܠܐ ܩܦܘ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܟܝܟܝܢ ܘܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܚܟܝܡܝܢ ܒܪܥܝܢ ܢܦܫܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Enyi watoto, watiini wazazi wenu Kikristo maana hili ni jambo jema. \t ܒܢܝܐ ܐܫܬܡܥܘ ܠܐܒܗܝܟܘܢ ܒܡܪܢ ܗܕܐ ܓܝܪ ܟܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kanisa liliwaaga, nao walipokuwa wanapitia Foinike na Samaria waliwaeleza watu jinsi mataifa mengine yalivyomgeukia Mungu. Habari hizo zikawafurahisha sana ndugu hao wote. \t ܘܠܘܝܬ ܫܕܪܬ ܐܢܘܢ ܥܕܬܐ ܘܪܕܝܢ ܗܘܘ ܒܟܠܗ ܦܘܢܝܩܐ ܘܐܦ ܒܝܬ ܫܡܪܝܐ ܟܕ ܡܫܬܥܝܢ ܗܘܘ ܥܠ ܦܘܢܝܐ ܕܥܡܡܐ ܘܥܒܕܝܢ ܗܘܘ ܚܕܘܬܐ ܪܒܬܐ ܠܟܠܗܘܢ ܐܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa ajili ya mafundisho mnayopokezana. Tena mnafanya mambo mengi ya namna hiyo.\" \t ܘܡܤܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܡܛܠ ܡܫܠܡܢܘܬܐ ܕܐܫܠܡܬܘܢ ܘܕܕܡܝܢ ܠܗܠܝܢ ܤܓܝܐܬܐ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kristo ndiye sadaka iondoayo dhambi zetu; wala si dhambi zetu sisi tu, bali pia dhambi za ulimwengu wote. \t ܗܘܝܘ ܓܝܪ ܚܘܤܝܐ ܕܥܠ ܐܦܝ ܚܛܗܝܢ ܘܠܘ ܚܠܦܝܢ ܕܝܠܢ ܒܠܚܘܕ ܐܠܐ ܐܦ ܚܠܦ ܟܠܗ ܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Na mimi nitawaulizeni swali: \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܫܐܠܟܘܢ ܐܦ ܐܢܐ ܡܠܬܐ ܘܐܡܪܘ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu aliondoka wilayani Tiro, akapitia Sidoni, akafika ziwa Galilaya kwa kupitia nchi ya Dekapoli. \t ܬܘܒ ܢܦܩ ܝܫܘܥ ܡܢ ܬܚܘܡܐ ܕܨܘܪ ܘܕܨܝܕܢ ܘܐܬܐ ܠܝܡܐ ܕܓܠܝܠܐ ܒܬܚܘܡܐ ܕܥܤܪܬ ܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ilikuwa kwa ajili yenu kwanza kwamba Mungu alimfufua mtumishi wake, alimtuma awabariki kwa kumfanya kila mmoja wenu aachane kabisa na maovu yake.\" \t ܠܟܘܢ ܡܢ ܩܕܝܡ ܐܩܝܡ ܘܫܕܪ ܐܠܗܐ ܠܒܪܗ ܟܕ ܡܒܪܟ ܠܟܘܢ ܐܢ ܬܬܦܢܘܢ ܘܬܬܘܒܘܢ ܡܢ ܒܝܫܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Maria alipofika mahali pale Yesu alipokuwa na kumwona, alipiga magoti, akamwabia, \"Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!\" \t ܗܝ ܕܝܢ ܡܪܝܡ ܟܕ ܐܬܬ ܐܝܟܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܘܚܙܬܗ ܢܦܠܬ ܥܠ ܪܓܠܘܗܝ ܘܐܡܪܐ ܠܗ ܐܠܘ ܬܢܢ ܗܘܝܬ ܡܪܝ ܠܐ ܡܐܬ ܗܘܐ ܐܚܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Tulimsikia mtu huyu akisema, Nitaliharibu Hekalu hili lililojengwa kwa mikono, na kwa siku tatu nitajenga lingine lisilojengwa kwa mikono.\" \t ܕܚܢܢ ܫܡܥܢܝܗܝ ܕܐܡܪ ܕܐܢܐ ܫܪܐ ܐܢܐ ܗܝܟܠܐ ܗܢܐ ܕܥܒܝܕ ܒܐܝܕܝܐ ܘܠܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܒܢܐ ܐܢܐ ܐܚܪܢܐ ܕܠܐ ܥܒܝܕ ܒܐܝܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu walikuwa wakichukua leso na nguo nyingine za kazi ambazo Paulo alikuwa amezitumia, wakazipeleka kwa wagonjwa, nao wakaponywa magonjwa yao; na wale waliokuwa na pepo wabaya wakatokwa na pepo hao. \t ܗܟܢܐ ܕܐܦ ܡܢ ܢܚܬܐ ܕܥܠ ܓܘܫܡܗ ܤܘܕܪܐ ܐܘ ܪܘܩܥܐ ܡܝܬܝܢ ܗܘܘ ܘܤܝܡܝܢ ܥܠ ܟܪܝܗܐ ܘܦܪܩܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗܘܢ ܟܘܪܗܢܐ ܘܐܦ ܫܐܕܐ ܢܦܩܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ndugu zangu, napenda kuwaambieni waziwazi juu ya mambo yaliyompata Daudi, babu yetu. Yeye alikufa, akazikwa, tena kaburi lake liko papa hapa petu mpaka leo. \t ܓܒܪܐ ܐܚܝܢ ܡܦܤ ܠܡܐܡܪ ܥܝܢ ܒܓܠܐ ܠܘܬܟܘܢ ܥܠ ܪܝܫ ܐܒܗܬܐ ܕܘܝܕ ܕܡܝܬ ܘܐܦ ܐܬܩܒܪ ܘܒܝܬ ܩܒܘܪܗ ܐܝܬܘܗܝ ܠܘܬܢ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza; \t ܡܢ ܕܨܒܐ ܓܝܪ ܕܢܚܐ ܢܦܫܗ ܢܘܒܕܝܗ ܘܡܢ ܕܢܘܒܕ ܢܦܫܗ ܡܛܠܬܝ ܢܫܟܚܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo alikuwa amekusudia kuendelea na safari kwa meli bila kupitia Efeso ili asikawie zaidi huko Asia. Alikuwa na haraka ya kufika Yerusalemu kwa sikukuu ya Pentekoste kama ingewezekana. \t ܦܤܝܩ ܗܘܐ ܠܗ ܓܝܪ ܠܦܘܠܘܤ ܕܢܥܒܪܝܗ ܠܐܦܤܘܤ ܕܠܡܐ ܢܫܬܘܚܪ ܠܗ ܬܡܢ ܡܛܠ ܕܡܤܪܗܒ ܗܘܐ ܕܐܢ ܡܫܟܚܐ ܝܘܡܐ ܕܦܢܛܩܘܤܛܐ ܒܐܘܪܫܠܡ ܢܥܒܕܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mimi ni mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo wake. \t ܐܢܐ ܐܢܐ ܪܥܝܐ ܛܒܐ ܪܥܝܐ ܛܒܐ ܢܦܫܗ ܤܐܡ ܚܠܦ ܥܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, jemadari na wale waliokuwa wakimlinda Yesu walipoona tetemeko la ardhi na yale mambo yaliyotukia, wakaogopa sana, wakasema, \"Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.\" \t ܩܢܛܪܘܢܐ ܕܝܢ ܘܕܥܡܗ ܕܢܛܪܝܢ ܗܘܘ ܠܝܫܘܥ ܟܕ ܚܙܘ ܙܘܥܐ ܘܐܝܠܝܢ ܕܗܘܝ ܕܚܠܘ ܛܒ ܘܐܡܪܘ ܫܪܝܪܐܝܬ ܗܢܐ ܒܪܗ ܗܘܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ninyi si wageni tena, wala si watu wa nje; ninyi ni raia pamoja na watu wa Mungu, na ni watu wa jamaa ya Mungu. \t ܡܟܝܠ ܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܐܟܤܢܝܐ ܘܠܐ ܬܘܬܒܐ ܐܠܐ ܒܢܝ ܡܕܝܢܬܐ ܕܩܕܝܫܐ ܘܒܢܝ ܒܝܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo, walimwendea Yesu wakamwambia, \"Mwalimu, tunataka utufanyie kitu tutakachokuomba.\" \t ܘܩܪܒܘ ܠܘܬܗ ܝܥܩܘܒ ܘܝܘܚܢܢ ܒܢܝ ܙܒܕܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܠܦܢܐ ܨܒܝܢ ܚܢܢ ܕܟܠ ܕܢܫܐܠ ܬܥܒܕ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Nenda, imani yako imekuponya.\" Mara huyo kipofu akaweza kuona, akamfuata Yesu njiani. \t ܘܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗ ܚܙܝ ܗܝܡܢܘܬܟ ܐܚܝܬܟ ܘܡܚܕܐ ܐܬܚܙܝ ܠܗ ܘܐܙܠ ܗܘܐ ܒܐܘܪܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipozidi kumwuliza, Yesu akainuka, akawaambia, \"Mtu asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza kumpiga jiwe.\" \t ܟܕ ܕܝܢ ܟܬܪܘ ܟܕ ܡܫܐܠܝܢ ܠܗ ܐܬܦܫܛ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܝܢܐ ܡܢܟܘܢ ܕܐܝܬܘܗܝ ܕܠܐ ܚܛܗ ܩܕܡܝܐ ܢܫܕܐ ܥܠܝܗ ܟܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo, mimi binafsi sikujulikana kwa jumuiya za Wakristo kule Yudea. \t ܘܠܐ ܝܕܥܢ ܗܘܝ ܠܝ ܒܐܦܝܢ ܥܕܬܐ ܕܒܝܗܘܕ ܗܠܝܢ ܕܒܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayetaka kuwa wa kwanza, sharti awe mtumishi wa wote. \t ܘܐܝܢܐ ܡܢܟܘܢ ܕܨܒܐ ܕܢܗܘܐ ܩܕܡܝܐ ܢܗܘܐ ܥܒܕܐ ܕܟܠܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanamke asiyefunika kichwa chake, afadhali anyoe nywele zake. Lakini ni aibu kwa mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa; basi, afadhali afunike kichwa chake. \t ܐܢ ܓܝܪ ܠܐ ܡܬܟܤܝܐ ܐܢܬܬܐ ܐܦ ܬܤܬܦܪ ܐܢ ܕܝܢ ܡܫܟܪ ܗܘ ܠܐܢܬܬܐ ܠܡܤܬܦܪܘ ܐܘ ܠܡܓܪܥ ܬܬܟܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana wakati huo kutakuwa na dhiki kuu ambayo haijapata kuwako tangu mwanzo wa ulimwengu mpaka leo, wala haitapata kutokea tena. \t ܢܗܘܐ ܓܝܪ ܗܝܕܝܢ ܐܘܠܨܢܐ ܪܒܐ ܐܝܢܐ ܕܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܪܫܝܬܗ ܕܥܠܡܐ ܘܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܘܠܐ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, \"Kama mkiyazingatia mafundisho yangu mtakuwa kweli wanafunzi wangu. \t ܘܐܡܪ ܝܫܘܥ ܠܗܢܘܢ ܝܗܘܕܝܐ ܕܗܝܡܢܘ ܒܗ ܐܢ ܐܢܬܘܢ ܬܟܬܪܘܢ ܒܡܠܬܝ ܫܪܝܪܐܝܬ ܬܠܡܝܕܝ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, jueni kwamba mtu yeyote anayeongozwa na Roho wa Mungu hawezi kusema: \"Yesu alaaniwe!\" Hali kadhalika, mtu yeyote hawezi kusema: \"Yesu ni Bwana,\" asipoongozwa na Roho Mtakatifu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܡܘܕܥ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܝܬ ܐܢܫ ܕܒܪܘܚܐ ܕܐܠܗܐ ܡܡܠܠ ܘܐܡܪ ܕܚܪܡ ܗܘ ܝܫܘܥ ܘܐܦܠܐ ܐܢܫ ܡܫܟܚ ܠܡܐܡܪ ܕܡܪܝܐ ܗܘ ܝܫܘܥ ܐܠܐ ܐܢ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Karibu na msalaba wake Yesu walikuwa wamesimama mama yake, na dada ya mama yake, Maria mke wa Kleopa, na Maria Magdalene. \t ܩܝܡܢ ܗܘܝ ܕܝܢ ܠܘܬ ܙܩܝܦܗ ܕܝܫܘܥ ܐܡܗ ܘܚܬܗ ܕܐܡܗ ܘܡܪܝܡ ܗܝ ܕܩܠܝܘܦܐ ܘܡܪܝܡ ܡܓܕܠܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akakaa huko mpaka Herode alipokufa. Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa njia ya nabii litimie: \"Nilimwita Mwanangu kutoka Misri.\" \t ܘܗܘܐ ܬܡܢ ܥܕܡܐ ܠܡܘܬܗ ܕܗܪܘܕܤ ܕܢܬܡܠܐ ܡܕܡ ܕܐܬܐܡܪ ܡܢ ܡܪܝܐ ܒܢܒܝܐ ܕܐܡܪ ܕܡܢ ܡܨܪܝܢ ܩܪܝܬ ܠܒܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena akauliza: \"Nitaulinganisha Ufalme wa Mungu na nini? \t ܬܘܒ ܐܡܪ ܝܫܘܥ ܠܡܢܐ ܐܕܡܝܗ ܠܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wakati utafika ambapo bwana harusi ataondolewa kati yao; wakati huo ndipo watakapofunga. \t ܢܐܬܘܢ ܕܝܢ ܝܘܡܬܐ ܕܡܐ ܕܐܫܬܩܠ ܡܢܗܘܢ ܚܬܢܐ ܗܝܕܝܢ ܢܨܘܡܘܢ ܒܗܘ ܝܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo akaja mmojawapo wa maofisa wa sunagogi, jina lake Yairo. Alipomwona Yesu, akajitupa mbele ya miguu yake, \t ܘܐܬܐ ܚܕ ܕܫܡܗ ܝܘܐܪܫ ܡܢ ܪܒܝ ܟܢܘܫܬܐ ܘܟܕ ܚܙܝܗܝ ܢܦܠ ܠܘܬ ܪܓܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nyuma ya pazia la pili, kulikuwa na hema iliyoitwa Mahali Patakatifu Kupita Pote. \t ܡܫܟܢܐ ܕܝܢ ܓܘܝܐ ܕܠܓܘ ܡܢ ܐܦܝ ܬܪܥܐ ܕܬܪܝܢ ܡܬܩܪܐ ܗܘܐ ܩܕܘܫ ܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Yeyote asiyejiunga nami, anapingana nami; na yeyote asiyekusanya pamoja nami, hutawanya. \t ܡܢ ܕܠܐ ܗܘܐ ܥܡܝ ܠܘܩܒܠܝ ܗܘ ܘܡܢ ܕܠܐ ܟܢܫ ܥܡܝ ܡܒܕܪܘ ܡܒܕܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ninyi ni mwanga wa ulimwengu! Mji uliojengwa juu ya mlima hauwezi kufichika. \t ܐܢܬܘܢ ܐܢܘܢ ܢܘܗܪܗ ܕܥܠܡܐ ܠܐ ܡܫܟܚܐ ܕܬܛܫܐ ܡܕܝܢܬܐ ܕܥܠ ܛܘܪܐ ܒܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu alikwenda nyumbani. Umati wa watu ukakusanyika tena, hata Yesu na wafuasi wake wasiweze kupata nafasi ya kula chakula. \t ܘܐܬܟܢܫܘ ܟܢܫܐ ܬܘܒ ܐܝܟܢܐ ܕܠܐ ܢܫܟܚܘܢ ܗܘܘ ܠܚܡܐ ܠܡܐܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye akasema, \"Hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܢܛܪܬ ܐܢܝܢ ܡܢ ܛܠܝܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Endeleeni kupendana kidugu. \t ܚܘܒܐ ܕܐܚܐ ܢܟܬܪ ܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo tuliamua kuwatembeleeni tena. Nami, Paulo, nilijaribu kuja kwenu zaidi ya mara moja, lakini Shetani alituzuia. \t ܘܨܒܝܢ ܕܢܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܐܢܐ ܦܘܠܘܤ ܚܕܐ ܙܒܢ ܘܬܪܬܝܢ ܘܥܘܟܢܝ ܤܛܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Walikuwepo pale wanaume wapatao elfu tano.) Basi, Yesu akawaambia wanafunzi wake, \"Waambieni watu waketi katika makundi ya watu hamsinihamsini.\" \t ܗܘܝܢ ܗܘܘ ܓܝܪ ܐܝܟ ܚܡܫܐ ܐܠܦܝܢ ܓܒܪܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܤܡܟܘ ܐܢܘܢ ܤܡܟܐ ܚܡܫܝܢ ܐܢܫܝܢ ܒܤܡܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliokusudiwa kuchukuliwa mateka lazima watatekwa; waliokusudiwa kuuawa kwa upanga lazima watauawa kwa upanga. Kutokana na hayo ni lazima watu wa Mungu wawe na uvumilivu na imani.\" \t ܡܢ ܕܒܫܒܝܐ ܡܘܒܠ ܒܫܒܝܐ ܐܙܠ ܘܐܝܢܐ ܕܒܚܪܒܐ ܩܛܠ ܒܚܪܒܐ ܢܬܩܛܠ ܗܪܟܐ ܗܝ ܗܝܡܢܘܬܐ ܘܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܕܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadaye alimtokea Yakobo kisha akawatokea mitume wote. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܐܬܚܙܝ ܠܝܥܩܘܒ ܘܒܬܪܗ ܠܫܠܝܚܐ ܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akaingia ndani, akawaambia, \"Mbona mnapiga kelele na kulia? Msichana hakufa, amelala tu.\" \t ܘܥܠ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܪܗܝܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܒܟܝܢ ܛܠܝܬܐ ܠܐ ܡܝܬܬ ܐܠܐ ܕܡܟܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini walipotazama, waliona jiwe limekwisha ondolewa. (Nalo lilikuwa kubwa mno.) \t ܘܚܪ ܚܙܝ ܕܡܥܓܠܐ ܗܝ ܟܐܦܐ ܪܒܐ ܗܘܬ ܓܝܪ ܛܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Nimesema na kila mtu daima hadharani. Kila mara nimefundisha katika masunagogi na Hekaluni, mahali wakutanikiapo Wayahudi wote; na wala sijasema chochote kwa siri. \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢܐ ܥܝܢ ܒܓܠܐ ܡܠܠܬ ܥܡ ܥܡܐ ܘܒܟܠܙܒܢ ܐܠܦܬ ܒܟܢܘܫܬܐ ܘܒܗܝܟܠܐ ܐܝܟܐ ܕܟܠܗܘܢ ܝܗܘܕܝܐ ܡܬܟܢܫܝܢ ܘܡܕܡ ܒܛܘܫܝܐ ܠܐ ܡܠܠܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wokovu haupatikani kwa mtu mwingine yeyote, kwa maana duniani pote, binadamu hawakupewa jina la mtu mwingine ambaye sisi tunaweza kuokolewa naye.\" \t ܘܠܝܬ ܒܐܢܫ ܐܚܪܝܢ ܦܘܪܩܢܐ ܠܐ ܓܝܪ ܐܝܬ ܫܡܐ ܐܚܪܢܐ ܬܚܝܬ ܫܡܝܐ ܕܐܬܝܗܒ ܠܒܢܝܢܫܐ ܕܒܗ ܘܠܐ ܠܡܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye alikuwa ameteuliwa na Mungu kabla ya ulimwengu kuumbwa, akafunuliwa siku hizi za mwisho kwa ajili yenu. \t ܗܘ ܕܡܩܕܡ ܗܘܐ ܦܪܝܫ ܠܗܕܐ ܡܢ ܩܕܡ ܬܪܡܝܬܗ ܕܥܠܡܐ ܘܐܬܓܠܝ ܒܐܚܪܝܬܗܘܢ ܕܙܒܢܐ ܡܛܠܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alifika nyumbani kwa Petro, akamkuta mama mkwe wa Petro amelala kitandani, ana homa kali. \t ܘܐܬܐ ܝܫܘܥ ܠܒܝܬܗ ܕܫܡܥܘܢ ܘܚܙܐ ܠܚܡܬܗ ܕܪܡܝܐ ܘܐܚܝܕܐ ܠܗ ܐܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Epuka ubishi wa kijinga na kipumbavu; wajua kwamba hayo huleta magomvi. \t ܚܪܝܢܐ ܤܟܠܐ ܐܝܠܝܢ ܕܕܠܐ ܡܪܕܘ ܐܢܘܢ ܐܫܬܐܠ ܡܢܗܘܢ ܝܕܥ ܐܢܬ ܓܝܪ ܕܬܟܬܘܫܐ ܡܘܠܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanaacha kumwabudu Mungu aishiye milele, na badala yake, wanaabudu sanamu zilizo mfano wa binadamu ambaye hufa, mfano wa wanyama, ndege, au wanyama watambaao. \t ܘܚܠܦܘ ܬܫܒܘܚܬܗ ܕܐܠܗܐ ܕܠܐ ܡܬܚܒܠ ܒܕܡܘܬܐ ܕܨܠܡܐ ܕܒܪܢܫܐ ܕܡܬܚܒܠ ܘܒܕܡܘܬܐ ܕܦܪܚܬܐ ܘܕܐܪܒܥܬ ܪܓܠܝܗ ܘܕܪܚܫܐ ܕܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu na Baba wa Bwana Yesu--jina lake litukuzwe milele--yeye anajua kwamba sisemi uongo. \t ܝܕܥ ܗܘ ܐܠܗܐ ܐܒܘܗܝ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܒܪܟܐ ܕܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܕܠܐ ܡܟܕܒ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akamfungua kutoka gerezani yule waliyemtaka, ambaye alikuwa ametiwa gerezani kwa sababu ya uasi na kuua; akamtoa Yesu kwao, wamfanyie walivyotaka. \t ܘܫܪܐ ܠܗܘܢ ܠܗܘ ܕܡܛܠ ܐܤܛܤܝܤ ܘܩܛܠܐ ܪܡܐ ܗܘܐ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܗܘ ܕܫܐܠܘ ܠܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܫܠܡ ܠܨܒܝܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Mimi ndimi ufufuo na uzima. Anayeniamini mimi hata kama anakufa, ataishi: \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢܐ ܐܢܐ ܢܘܚܡܐ ܘܚܝܐ ܡܢ ܕܡܗܝܡܢ ܒܝ ܐܦܢ ܢܡܘܬ ܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Asiyeyashika maneno yangu anaye wa kumhukumu: neno lile nililosema ni hakimu wake siku ya mwisho. \t ܡܢ ܕܛܠܡ ܠܝ ܘܠܐ ܡܩܒܠ ܡܠܝ ܐܝܬ ܡܢ ܕܕܐܢ ܠܗ ܡܠܬܐ ܕܡܠܠܬ ܗܝ ܕܝܢܐ ܠܗ ܒܝܘܡܐ ܐܚܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akawaeleza yote yaliyotukia, akawatuma Yopa. \t ܘܐܫܬܥܝ ܠܗܘܢ ܟܠܡܕܡ ܕܚܙܐ ܘܫܕܪ ܐܢܘܢ ܠܝܘܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nitawapeni mfano unaofaa kuonyesha alivyo yeyote yule anayekuja kwangu, akasikia maneno yangu na kuyatimiza: \t ܟܠ ܐܢܫ ܕܐܬܐ ܠܘܬܝ ܘܫܡܥ ܡܠܝ ܘܥܒܕ ܠܗܝܢ ܐܚܘܝܟܘܢ ܠܡܢܐ ܕܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akamkemea huyo pepo akisema: \"Nyamaza! Mtoke mtu huyu!\" Basi, huyo pepo baada ya kumwangusha yule mtu chini, akamtoka bila kumdhuru hata kidogo. \t ܘܟܐܐ ܒܗ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܤܟܘܪ ܦܘܡܟ ܘܦܘܩ ܡܢܗ ܘܫܕܝܗܝ ܫܐܕܐ ܒܡܨܥܬܐ ܘܢܦܩ ܡܢܗ ܟܕ ܠܐ ܤܪܚ ܒܗ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi. \t ܘܐܢ ܡܕܡ ܚܤܪܟ ܐܘ ܚܝܒ ܗܕܐ ܥܠܝ ܚܫܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mwalimu, Mose alituagiza hivi: Mtu akifa na kuacha mke bila mtoto, ndugu yake lazima amchukue huyo mama mjane amzalie watoto ndugu yake marehemu. \t ܡܠܦܢܐ ܡܘܫܐ ܟܬܒ ܠܢ ܕܐܢ ܡܐܬ ܐܚܘܗܝ ܕܐܢܫ ܘܫܒܩ ܐܢܬܬܐ ܘܒܢܝܐ ܠܐ ܫܒܩ ܢܤܒ ܐܚܘܗܝ ܐܢܬܬܗ ܘܢܩܝܡ ܙܪܥܐ ܠܐܚܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana, mtu aliyekufa, amenasuliwa kutoka katika nguvu ya dhambi. \t ܐܝܢܐ ܕܡܝܬ ܓܝܪ ܐܬܚܪܪ ܠܗ ܡܢ ܚܛܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama ilivyo, Mungu alizipanga sehemu hizo tofauti katika mwili kama alivyopenda. \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܐܠܗܐ ܤܡ ܟܠ ܚܕ ܚܕ ܡܢ ܗܕܡܐ ܒܦܓܪܐ ܐܝܟܢܐ ܕܗܘ ܨܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wanawake ambao wanajaribu daima kujifunza lakini hawawezi kuufikia ujuzi wa huo ukweli. \t ܕܒܟܠܙܒܢ ܝܠܦܢ ܘܡܡܬܘܡ ܠܝܕܥܬܐ ܕܫܪܪܐ ܠܡܐܬܐ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri ninyi mnaosikia njaa sasa, maana baadaye mtashiba. Heri ninyi mnaolia sasa, maana baadaye mtacheka kwa furaha. \t ܛܘܒܝܟܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܟܦܢܝܢ ܗܫܐ ܕܬܤܒܥܘܢ ܛܘܒܝܟܘܢ ܠܕܒܟܝܢ ܗܫܐ ܕܬܓܚܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa mnaweza kuona matokeo ya kuona huzuni jinsi Mungu atakavyo: ninyi mmepata kuwa sasa watu wenye jitihada, wenye hoja, mnashtuka na kuogopa, mna bidii na mko tayari kuona kwamba haki yatekelezwa. Ninyi mmethibitisha kwa kila njia kwamba hamna hatia kuhusu jambo hili. \t ܗܐ ܓܝܪ ܗܝ ܗܕܐ ܕܐܬܬܥܝܩܬܘܢ ܡܛܠ ܐܠܗܐ ܟܡܐ ܐܥܒܕܬ ܒܟܘܢ ܚܦܝܛܘܬܐ ܘܡܦܩ ܒܪܘܚܐ ܘܪܘܓܙܐ ܘܕܚܠܬܐ ܘܚܘܒܐ ܘܛܢܢܐ ܘܬܒܥܬܐ ܘܒܟܠܡܕܡ ܚܘܝܬܘܢ ܢܦܫܟܘܢ ܕܕܟܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܗ ܒܨܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye mwenyewe alizibeba dhambi zetu katika mwili wake juu ya msalaba, tupate kufa kuhusu dhambi, na kuishi kwa ajili ya uadilifu. Kwa majeraha yake, ninyi mmeponywa. \t ܘܫܩܠ ܚܛܗܝܢ ܟܠܗܘܢ ܘܐܤܩ ܐܢܘܢ ܒܦܓܪܗ ܠܨܠܝܒܐ ܕܟܕ ܡܝܬܝܢܢ ܠܚܛܝܬܐ ܒܙܕܝܩܘܬܐ ܕܝܠܗ ܢܚܐ ܒܫܘܡܬܗ ܓܝܪ ܐܬܐܤܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yopa si mbali sana na Luda; kwa hiyo wafuasi waliposikia kwamba Petro alikuwa Luda, wakawatuma watu wawili kwake na ujumbe: \"Njoo kwetu haraka iwezekanavyo.\" \t ܘܫܡܥܘ ܗܘܘ ܬܠܡܝܕܐ ܕܫܡܥܘܢ ܒܠܘܕ ܗܘ ܡܕܝܢܬܐ ܗܝ ܕܐܝܬܝܗ ܥܠ ܓܢܒ ܝܘܦܐ ܘܫܕܪܘ ܗܘܘ ܠܘܬܗ ܓܒܪܐ ܬܪܝܢ ܕܢܒܥܘܢ ܡܢܗ ܕܠܐ ܬܡܐܢ ܠܗ ܕܢܐܬܐ ܨܐܕܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku hiyo Yesu alipofanya tope na kumfumbua macho mtu huyo, ilikuwa siku ya Sabato. \t ܐܝܬܝܗ ܗܘܬ ܕܝܢ ܫܒܬܐ ܟܕ ܥܒܕ ܛܝܢܐ ܝܫܘܥ ܘܦܬܚ ܠܗ ܥܝܢܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote watawachukieni kwa sababu ya jina langu. \t ܘܬܗܘܘܢ ܤܢܝܐܝܢ ܡܢ ܟܠ ܐܢܫ ܡܛܠ ܫܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wale malaika saba wenye tarumbeta saba wakajiweka tayari kupiga mbiu ya mgambo. \t ܘܫܒܥܐ ܡܠܐܟܝܢ ܕܥܠܝܗܘܢ ܫܒܥܐ ܫܝܦܘܪܝܢ ܛܝܒܘ ܢܦܫܗܘܢ ܠܡܙܥܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, Mafarisayo wakaenda zao, wakashauriana jinsi ya kumnasa Yesu kwa maneno yake. \t ܗܝܕܝܢ ܐܙܠܘ ܦܪܝܫܐ ܢܤܒܘ ܡܠܟܐ ܕܐܝܟܢܐ ܢܨܘܕܘܢܝܗܝ ܒܡܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao wanafunzi walimsikia Yohane akisema maneno hayo, wakamfuata Yesu. \t ܘܫܡܥܘ ܬܪܝܗܘܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܟܕ ܐܡܪ ܘܐܙܠܘ ܠܗܘܢ ܒܬܪܗ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alimwambia: Ondoka katika nchi yako; waache watu wa ukoo wako; nenda katika nchi nitakayokuonyesha! \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܠܗ ܕܦܘܩ ܡܢ ܐܪܥܟ ܘܡܢ ܠܘܬ ܒܢܝ ܛܘܗܡܟ ܘܬܐ ܠܐܪܥܐ ܐܝܕܐ ܕܐܚܘܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Roho mwenyewe anajiunga na roho zetu na kuthibitisha kwamba sisi ni watoto wa Mungu. \t ܘܗܝ ܪܘܚܐ ܡܤܗܕܐ ܠܪܘܚܢ ܕܐܝܬܝܢ ܒܢܝܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa anatembea kando ya ziwa Galilaya, aliwaona ndugu wawili wavuvi; Simoni (aitwae Petro) na Andrea, ndugu yake; walikuwa wakivua samaki kwa nyavu ziwani. \t ܘܟܕ ܡܗܠܟ ܥܠ ܝܕ ܝܡܐ ܕܓܠܝܠܐ ܚܙܐ ܬܪܝܢ ܐܚܝܢ ܫܡܥܘܢ ܕܐܬܩܪܝ ܟܐܦܐ ܘܐܢܕܪܐܘܤ ܐܚܘܗܝ ܕܪܡܝܢ ܡܨܝܕܬܐ ܒܝܡܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܓܝܪ ܨܝܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu akisema kwamba anamjua, lakini hazitii amri zake, basi mtu huyo ni mwongo, na ukweli haumo ndani yake. \t ܗܘ ܓܝܪ ܕܐܡܪ ܕܝܕܥܬܗ ܘܦܘܩܕܢܘܗܝ ܠܐ ܢܛܪ ܕܓܠܐ ܗܘ ܘܫܪܪܐ ܠܝܬ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, Pilato aliwaendea nje, akasema, \"Mna mashtaka gani juu ya mtu huyu?\" \t ܢܦܩ ܕܝܢ ܦܝܠܛܘܤ ܠܒܪ ܠܘܬܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܡܐܟܠ ܩܪܨܐ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܥܠ ܓܒܪܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakakutana pamoja na wazee, na baada ya kushauriana, wakawapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha \t ܘܐܬܟܢܫܘ ܥܡ ܩܫܝܫܐ ܘܢܤܒܘ ܡܠܟܐ ܘܝܗܒܘ ܟܤܦܐ ܠܐ ܙܥܘܪ ܠܩܤܛܘܢܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watumishi wa yule mwenye shamba wakamwendea, wakamwambia, Mheshimiwa, bila shaka ulipanda mbegu nzuri katika shamba lako. Sasa magugu yametoka wapi? \t ܘܩܪܒܘ ܥܒܕܘܗܝ ܕܡܪܐ ܒܝܬܐ ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܡܪܢ ܠܐ ܗܐ ܙܪܥܐ ܛܒܐ ܙܪܥܬ ܒܩܪܝܬܟ ܡܢ ܐܝܡܟܐ ܐܝܬ ܒܗ ܙܝܙܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaita mara, nao wakamwacha baba yao Zebedayo katika mashua pamoja na wafanyakazi, wakamfuata. \t ܘܩܪܐ ܐܢܘܢ ܘܡܚܕܐ ܫܒܩܘ ܠܙܒܕܝ ܐܒܘܗܘܢ ܒܤܦܝܢܬܐ ܥܡ ܐܓܝܪܐ ܘܐܙܠܘ ܒܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akasema, \"Ee Yesu! Unikumbuke wakati utakapoingia katika ufalme wako.\" \t ܘܐܡܪ ܠܝܫܘܥ ܐܬܕܟܪܝܢܝ ܡܪܝ ܡܐ ܕܐܬܐ ܐܢܬ ܒܡܠܟܘܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini natumaini kwamba ninyi mnajua kuwa sisi hatukushindwa. \t ܡܤܒܪ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܬܕܥܘܢ ܕܚܢܢ ܠܐ ܗܘܝܢ ܡܤܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilitubidi kufanya sherehe na kufurahi, kwa sababu huyu ndugu yako alikuwa amekufa, kumbe yu mzima; alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana.\" \t ܠܡܒܤܡ ܕܝܢ ܘܠܐ ܗܘܐ ܠܢ ܘܠܡܚܕܐ ܕܗܢܐ ܐܚܘܟ ܡܝܬܐ ܗܘܐ ܘܚܝܐ ܘܐܒܝܕܐ ܗܘܐ ܘܐܫܬܟܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipotoka mashuani, mara watu wakamtambua Yesu. \t ܘܟܕ ܢܦܩܘ ܡܢ ܤܦܝܢܬܐ ܒܪ ܫܥܬܗ ܐܤܬܟܠܘܗܝ ܐܢܫܝ ܐܬܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Enyi wanafiki! Mnajua kutabiri hali ya hewa kwa kuangalia dunia na anga; kwa nini basi, hamwezi kujua maana ya nyakati hizi? \t ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܦܪܨܘܦܐ ܕܐܪܥܐ ܘܕܫܡܝܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܬܦܪܫܘܢ ܙܒܢܐ ܕܝܢ ܗܢܐ ܐܝܟܢܐ ܠܐ ܦܪܫܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye anayewaita ninyi atafanya hivyo kwani ni mwaminifu. \t ܡܗܝܡܢ ܗܘ ܡܢ ܕܩܪܟܘܢ ܕܗܘ ܢܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Mungu aliwaita wale aliokuwa amewateua; na hao aliowaita aliwakubali kuwa waadilifu; na hao aliowakubali kuwa waadilifu aliwashirikisha pia utukufu wake. \t ܠܐܝܠܝܢ ܕܝܢ ܕܩܕܡ ܪܫܡ ܠܗܘܢ ܩܪܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܩܪܐ ܠܗܘܢ ܙܕܩ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܙܕܩ ܠܗܘܢ ܫܒܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pamoja naye waliwasulubisha wanyang'anyi wawili, mmoja upande wake wa kulia na mwingine upande wake wa kushoto. \t ܘܙܩܦܘ ܥܡܗ ܬܪܝܢ ܠܤܛܝܐ ܚܕ ܡܢ ܝܡܝܢܗ ܘܚܕ ܡܢ ܤܡܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, mnapoomba hampati kwa sababu mnaomba kwa nia mbaya; mnaomba ili mpate kutosheleza tamaa zenu. \t ܫܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܠܐ ܢܤܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܛܠ ܕܒܝܫܐܝܬ ܫܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܝܟ ܕܬܬܪܤܘܢ ܪܓܝܓܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, pamoja na mawaidha mengine mengi, Yohane aliwahimiza watu akiwahubiria Habari Njema. \t ܐܦ ܐܚܪܢܝܬܐ ܕܝܢ ܤܓܝܐܬܐ ܡܠܦ ܗܘܐ ܘܡܤܒܪ ܠܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, ndani ya kapu kubwa, niliteremshwa nje kupitia katika nafasi ukutani, nikachopoka mikononi mwake. \t ܘܡܢ ܟܘܬܐ ܒܤܪܝܓܬܐ ܫܒܘܢܝ ܡܢ ܫܘܪܐ ܘܐܬܦܠܛܬ ܡܢ ܐܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninachokubali mbele yako ni hiki: Mimi ninamwabudu Mungu na wazee wetu nikiishi kufuatana na Njia ile ambayo wao wanaiita chama cha uzushi. Ninaamini mambo yote yaliyoandikwa katika vitabu vya Sheria na manabii. \t ܒܪܡ ܕܝܢ ܗܕܐ ܡܘܕܐ ܐܢܐ ܕܒܗ ܒܗܢܐ ܝܘܠܦܢܐ ܕܐܡܪܝܢ ܒܗ ܦܠܚ ܐܢܐ ܠܐܠܗܐ ܕܐܒܗܝ ܟܕ ܡܗܝܡܢ ܐܢܐ ܠܟܠܗܝܢ ܕܟܬܝܒܢ ܒܢܡܘܤܐ ܘܒܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Badala yake, tunajionyesha kuwa kweli watumishi wa Mungu kwa kila kitu: kwa uvumilivu mwingi wakati wa mateso, shida na taabu. \t ܐܠܐ ܒܟܠ ܡܕܡ ܢܚܘܐ ܢܦܫܢ ܕܡܫܡܫܢܐ ܚܢܢ ܕܐܠܗܐ ܒܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܒܐܘܠܨܢܐ ܒܐܢܢܩܤ ܒܚܒܘܫܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akafika Sukari, mji mmoja wa Samaria, karibu na shamba ambalo Yakobo alikuwa amempa mwanawe, Yosefu. \t ܘܐܬܐ ܠܡܕܝܢܬܐ ܕܫܡܪܝܐ ܕܡܬܩܪܝܐ ܫܟܪ ܥܠ ܓܢܒ ܩܪܝܬܐ ܕܝܗܒ ܗܘܐ ܝܥܩܘܒ ܠܝܘܤܦ ܒܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliposikia hayo akamwambia, \"Unatakiwa bado kufanya kitu kimoja: uza kila ulicho nacho, wagawie maskini, na hivyo utakuwa na hazina yako mbinguni; halafu njoo unifuate.\" \t ܟܕ ܫܡܥ ܕܝܢ ܗܠܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗ ܚܕܐ ܚܤܝܪܐ ܠܟ ܙܠ ܙܒܢ ܟܠ ܡܕܡ ܕܐܝܬ ܠܟ ܘܗܒ ܠܡܤܟܢܐ ܘܬܗܘܐ ܠܟ ܤܝܡܬܐ ܒܫܡܝܐ ܘܬܐ ܒܬܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana nyote mwaweza kutangaza ujumbe wa Mungu, mmoja baada ya mwingine, ili nyote mpate kujifunza na kutiwa moyo. \t ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܓܝܪ ܟܠܟܘܢ ܕܚܕ ܚܕ ܬܬܢܒܘܢ ܕܟܠܢܫ ܢܐܠܦ ܘܟܠܢܫ ܢܬܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wale waliosimama pale waliposikia hivyo wakasema, \"Anamwita Eliya.\" \t ܐܢܫܝܢ ܕܝܢ ܡܢ ܗܢܘܢ ܕܩܝܡܝܢ ܗܘܘ ܬܡܢ ܟܕ ܫܡܥܘ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܗܢܐ ܠܐܠܝܐ ܩܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnajua njia ya kwenda huko ninakokwenda.\" \t ܘܠܐܝܟܐ ܕܐܙܠ ܐܢܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܐܘܪܚܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana yeyote anayemkana Mwana, anamkana pia Baba; na yeyote anayemkubali Mwana, anampata Baba pia. \t ܘܗܘ ܕܟܦܪ ܒܒܪܐ ܐܦܠܐ ܒܐܒܐ ܡܗܝܡܢ ܡܢ ܕܡܘܕܐ ܒܒܪܐ ܐܦ ܒܐܒܐ ܡܘܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kusikia hayo Mose alikimbia, akaenda kukaa katika nchi ya Midiani na huko akapata watoto wawili. \t ܘܥܪܩ ܡܘܫܐ ܒܡܠܬܐ ܗܕܐ ܘܗܘܐ ܬܘܬܒܐ ܒܐܪܥܐ ܕܡܕܝܢ ܘܗܘܘ ܠܗ ܬܪܝܢ ܒܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kisha Mfalme atawaambia wale walio upande wake wa kulia, Njoni enyi mliobarikiwa na Baba yangu; pokeeni Ufalme mliotayarishiwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu. \t ܗܝܕܝܢ ܢܐܡܪ ܡܠܟܐ ܠܗܢܘܢ ܕܡܢ ܝܡܝܢܗ ܬܘ ܒܪܝܟܘܗܝ ܕܐܒܝ ܝܪܬܘ ܡܠܟܘܬܐ ܕܥܬܝܕܐ ܗܘܬ ܠܟܘܢ ܡܢ ܬܪܡܝܬܗ ܕܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kwa kuja kwake Kristo, Sheria imefikia kikomo chake, ili kila mtu anayeamini akubaliwe kuwa mwadilifu. \t ܤܟܗ ܓܝܪ ܕܢܡܘܤܐ ܡܫܝܚܐ ܗܘ ܠܟܐܢܘܬܐ ܠܟܠ ܕܡܗܝܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aristarko, ambaye yuko kifungoni pamoja nami, anawasalimuni; hali kadhalika Marko, binamu yake Barnaba, (mmekwisha pata maagizo juu yake; akifika kwenu mkaribisheni). \t ܫܐܠ ܒܫܠܡܟܘܢ ܐܪܤܛܪܟܘܤ ܫܒܝܐ ܕܥܡܝ ܘܡܪܩܘܤ ܒܪ ܕܕܗ ܕܒܪܢܒܐ ܗܘ ܕܐܬܦܩܕܬܘܢ ܥܠܘܗܝ ܕܐܢ ܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܬܩܒܠܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, mu wajinga kiasi hicho? Ninyi mlianza yote kwa msaada wa Roho je, mnataka sasa kumaliza kwa nguvu zenu wenyewe? \t ܗܟܢܐ ܤܟܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܫܪܝܬܘܢ ܒܪܘܚܐ ܘܗܫܐ ܒܒܤܪ ܡܫܠܡܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Paulo, mtume wa Yesu Kristo kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Yesu Kristo tumaini letu, \t ܦܘܠܘܤ ܫܠܝܚܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܦܘܩܕܢܐ ܕܐܠܗܐ ܡܚܝܢܢ ܘܕܡܫܝܚܐ ܝܫܘܥ ܤܒܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nami nitamwomba Baba naye atawapeni Msaidizi mwingine, atakayekaa nanyi milele. \t ܘܐܢܐ ܐܒܥܐ ܡܢ ܐܒܝ ܘܐܚܪܢܐ ܦܪܩܠܛܐ ܢܬܠ ܠܟܘܢ ܕܢܗܘܐ ܥܡܟܘܢ ܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakumbushe watu kuwastahi watawala na wenye mamlaka, kuwatii na kuwa tayari kwa kila namna kutenda mambo yote mema. \t ܘܗܘܝܬ ܡܥܗܕ ܠܗܘܢ ܕܠܪܫܐ ܘܠܫܠܝܛܢܐ ܢܫܬܡܥܘܢ ܘܢܫܬܥܒܕܘܢ ܘܕܢܗܘܘܢ ܥܬܝܕܝܢ ܠܟܠ ܥܒܕ ܛܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Enyi wakaidi wakuu! Mioyo na masikio yenu ni kama ya watu wa mataifa. Ninyi ni kama baba zenu. Siku zote mnampinga Roho Mtakatifu. \t ܐܘ ܩܫܝܝ ܩܕܠܐ ܘܕܠܐ ܓܙܝܪܝܢ ܒܠܒܗܘܢ ܘܒܡܫܡܥܬܗܘܢ ܐܢܬܘܢ ܒܟܠܙܒܢ ܠܘܩܒܠ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܩܝܡܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܝܟ ܐܒܗܝܟܘܢ ܐܦ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Umati mkubwa wa watu ukatandaza nguo zao barabarani, na watu wengine wakakata matawi ya miti wakayatandaza barabarani. \t ܘܤܘܓܐܐ ܕܟܢܫܐ ܡܫܘܝܢ ܗܘܘ ܡܐܢܝܗܘܢ ܒܐܘܪܚܐ ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܦܤܩܝܢ ܗܘܘ ܤܘܟܐ ܡܢ ܐܝܠܢܐ ܘܪܡܝܢ ܒܐܘܪܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipomtambua kuwa ndiye yule aliyekuwa anaombaomba karibu na ule \"Mlango Mzuri\" wa Hekalu, wakashangaa mno hata wasiweze kuelewa yaliyompata. \t ܘܐܫܬܘܕܥܘ ܕܗܘܝܘ ܗܘ ܚܕܘܪܐ ܕܝܬܒ ܗܘܐ ܟܠܝܘܡ ܘܫܐܠ ܙܕܩܬܐ ܥܠ ܬܪܥܐ ܕܡܬܩܪܐ ܫܦܝܪܐ ܘܐܬܡܠܝܘ ܬܡܗܐ ܘܕܘܡܪܐ ܥܠ ܡܕܡ ܕܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Apandaye katika tamaa za kidunia, atavuna humo uharibifu; lakini akipanda katika Roho, atavuna kutoka kwa Roho uzima wa milele. \t ܡܢ ܕܒܒܤܪ ܙܪܥ ܡܢ ܒܤܪܐ ܚܒܠܐ ܗܘ ܚܨܕ ܘܡܢ ܕܒܪܘܚ ܙܪܥ ܡܢ ܪܘܚܐ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܢܚܨܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi wake wakamjibu, \"Unaona jinsi watu wanavyokusonga; mbona wauliza nani aliyekugusa?\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܚܙܐ ܐܢܬ ܠܟܢܫܐ ܕܚܒܨܝܢ ܠܟ ܘܐܡܪ ܐܢܬ ܡܢܘ ܩܪܒ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni dhahiri kwamba Sheria haiwezi kumfanya mtu akubaliwe kuwa mwadilifu; maana Maandiko Matakatifu yasema: \"Mwadilifu kwa imani ataishi.\" \t ܕܠܐ ܕܝܢ ܡܙܕܕܩ ܐܢܫ ܒܢܡܘܤܐ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܗܕܐ ܓܠܝܐ ܗܝ ܡܛܠ ܕܟܬܝܒ ܕܙܕܝܩܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikuwa mzee wa karibu miaka mia moja, lakini imani yake haikufifia ingawa alijua kwamba mwili wake ulikuwa kama umekufa, na pia mkewe, Sara, alikuwa tasa. \t ܘܠܐ ܐܬܟܪܗ ܒܗܝܡܢܘܬܗ ܟܕ ܡܬܒܩܐ ܒܦܓܪܗ ܡܝܬܐ ܕܗܘܐ ܒܪ ܡܐܐ ܫܢܝܢ ܘܒܡܪܒܥܐ ܡܝܬܐ ܕܤܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo wa kuwasamehe watu dhambi duniani.\" Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, \"Inuka, chukua kitanda chako, uende nyumbani kwako.\" \t ܕܬܕܥܘܢ ܕܝܢ ܕܫܘܠܛܢܐ ܐܝܬ ܠܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܒܐܪܥܐ ܠܡܫܒܩ ܚܛܗܐ ܐܡܪ ܠܗܘ ܡܫܪܝܐ ܩܘܡ ܫܩܘܠ ܥܪܤܟ ܘܙܠ ܠܒܝܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana, nawaambieni, hakuna hata mmoja wa wale walioalikwa atakayeonja karamu yangu.\" \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܕܚܕ ܡܢ ܗܢܘܢ ܐܢܫܐ ܕܩܪܝܢ ܗܘܘ ܠܐ ܢܛܥܡܘܢ ܡܢ ܐܚܫܡܝܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Neno la Mungu ni hai na lina nguvu; ni kali zaidi kuliko upanga wenye makali kuwili. Hukata kabisa mpaka mahali ambapo moyo na roho hukutana, mpaka pale vikutanapo viungo vya mwili na mafuta. Neno hilo huchambua nia na fikira za mioyo ya watu. \t ܚܝܐ ܗܝ ܓܝܪ ܡܠܬܗ ܕܐܠܗܐ ܘܟܠ ܤܥܪܐ ܘܚܪܝܦܐ ܛܒ ܡܢ ܤܦܤܪܐ ܕܬܪܝܢ ܦܘܡܝܗ ܘܥܐܠܐ ܥܕܡܐ ܠܦܘܪܫܢܐ ܕܢܦܫܐ ܘܕܪܘܚܐ ܘܕܫܪܝܬܐ ܘܕܡܘܚܐ ܘܕܓܪܡܐ ܘܕܝܢܐ ܡܚܫܒܬܐ ܘܬܪܥܝܬܐ ܕܠܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Filipo akajiweka tayari, akaanza safari. Wakati huohuo kulikuwa na Mwethiopia mmoja, towashi, ambaye alikuwa anasafiri kuelekea nyumbani. Huyo mtu alikuwa ofisa maarufu wa hazina ya Kandake, malkia wa Ethiopia. Alikuwa amekwenda huko Yerusalemu kuabudu na wakati huo alikuwa anarudi akiwa amepanda gari la kukokotwa. \t ܘܩܡ ܐܙܠ ܘܐܪܥܗ ܡܗܝܡܢܐ ܚܕ ܕܐܬܐ ܗܘܐ ܡܢ ܟܘܫ ܫܠܝܛܐ ܕܩܢܕܩ ܡܠܟܬܐ ܕܟܘܫܝܐ ܘܗܘ ܫܠܝܛ ܗܘܐ ܥܠ ܟܠܗ ܓܙܗ ܘܐܬܐ ܗܘܐ ܕܢܤܓܘܕ ܒܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sababu ya kusema hivyo ni kwamba walikuwa wamemwona Trofimo mwenyeji, wa Efeso, akiwa pamoja na Paulo mjini, wakadhani kwamba Paulo alikuwa amemwingiza Hekaluni. \t ܩܕܡܘ ܗܘܘ ܓܝܪ ܚܙܘ ܥܡܗ ܠܛܪܘܦܝܡܤ ܐܦܤܝܐ ܒܡܕܝܢܬܐ ܘܤܒܪܝܢ ܗܘܘ ܕܥܡ ܦܘܠܘܤ ܥܠ ܠܗܝܟܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati wa kujifungua kwake Elisabeti ulifika, akajifungua mtoto wa kiume. \t ܐܠܝܫܒܥ ܕܝܢ ܗܘܐ ܗܘܐ ܠܗ ܙܒܢܐ ܕܬܐܠܕ ܘܝܠܕܬ ܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kwa upande wangu, ndugu zangu, kama bado ninahubiri kwamba kutahiriwa ni lazima, kwa nini basi, bado ninadhulumiwa? Kama ingalikuwa hivyo, mahubiri yangu juu ya msalaba wa Kristo yasingalileta aibu yoyote. \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܐܚܝ ܐܠܘ ܥܕܟܝܠ ܓܙܘܪܬܐ ܡܟܪܙ ܗܘܝܬ ܠܡܢܐ ܡܬܪܕܦ ܗܘܝܬ ܕܠܡܐ ܐܬܒܛܠ ܠܗ ܟܫܠܗ ܕܙܩܝܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Wewe umesema! Lakini nawaambieni, tangu sasa mtamwona Mwana wa Mtu ameketi upande wa kulia wa Mwenyezi, akija juu ya mawingu ya mbinguni.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܐܢܬ ܐܡܪܬ ܐܡܪܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܕܡܢ ܗܫܐ ܬܚܙܘܢܝܗܝ ܠܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܕܝܬܒ ܡܢ ܝܡܝܢܐ ܕܚܝܠܐ ܘܐܬܐ ܥܠ ܥܢܢܝ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamwuliza, \"Mwalimu, mambo hayo yatatokea lini? Na ni ishara gani zitakazoonyesha kwamba karibu mambo hayo yatokee?\" \t ܘܡܫܐܠܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܘܐܡܪܝܢ ܡܠܦܢܐ ܐܡܬܝ ܗܠܝܢ ܢܗܘܝܢ ܘܡܢܐ ܗܝ ܐܬܐ ܡܐ ܕܩܪܝܒܢ ܗܠܝܢ ܕܢܗܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi Yesu akawatuma wawili wa wanafunzi wake akiwaambia, \"Nendeni mjini, nanyi mtakutana na mtu anayebeba mtungi wa maji. Mfuateni \t ܘܫܕܪ ܬܪܝܢ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘ ܠܡܕܝܢܬܐ ܘܗܐ ܦܓܥ ܒܟܘܢ ܓܒܪܐ ܕܫܩܝܠ ܡܐܢܐ ܕܡܝܐ ܙܠܘ ܒܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Binadamu anaweza kuwafuga wanyama, na amefaulu kufuga viumbe vyote--wanyama wa mwituni, ndege, nyoka na viumbe vya baharini. \t ܟܠܗܘܢ ܓܝܪ ܟܝܢܐ ܕܚܝܘܬܐ ܘܕܦܪܚܬܐ ܘܪܚܫܐ ܕܝܡܐ ܘܕܝܒܫܐ ܡܫܬܥܒܕܝܢ ܠܟܝܢܐ ܕܐܢܫܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako. \t ܐܝܟܐ ܓܝܪ ܕܐܝܬܝܗ ܤܝܡܬܟܘܢ ܬܡܢ ܗܘ ܐܦ ܠܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana matokeo ya mwanga ni wema kamili, uadilifu na ukweli. \t ܦܐܪܘܗܝ ܓܝܪ ܕܢܘܗܪܐ ܒܟܠܗ ܐܢܘܢ ܛܒܘܬܐ ܘܙܕܝܩܘܬܐ ܘܩܘܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Umati wote wa watu ulishangaa ukasema, \"Je, huenda ikawa huyu ndiye Mwana wa Daudi?\" \t ܘܡܬܕܡܪܝܢ ܗܘܘ ܟܠܗܘܢ ܟܢܫܐ ܘܐܡܪܝܢ ܕܠܡܐ ܗܢܘ ܒܪܗ ܕܕܘܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alisema nao tena kwa kutumia mifano: \t ܘܥܢܐ ܬܘܒ ܝܫܘܥ ܒܡܬܠܐ ܘܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na mshtaka wake ulikuwa umeandikwa: \"Mfalme wa Wayahudi.\" \t ܘܟܬܝܒܐ ܗܘܬ ܥܠܬܐ ܕܡܘܬܗ ܒܟܬܒܐ ܗܢܐ ܗܘ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama hakuna ufufuo wa wafu, basi, Kristo naye hakufufuka; \t ܘܐܢ ܚܝܬ ܡܝܬܐ ܠܝܬ ܐܦܠܐ ܡܫܝܚܐ ܩܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama matumaini yetu katika Kristo yanahusu tu maisha haya ya sasa, basi, sisi ni watu wa kusikitikiwa zaidi kuliko wengine wote duniani. \t ܘܐܢ ܒܗܠܝܢ ܗܘ ܚܝܐ ܒܠܚܘܕ ܡܤܒܪܝܢܢ ܒܡܫܝܚܐ ܕܘܝܢܢ ܗܘ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "natumaini kufanya hivyo sasa. Ningependa kuwaoneni nikiwa safarini kwenda Spania na kupata msaada wenu kwa safari hiyo baada ya kufurahia kuwa kwa muda pamoja nanyi. \t ܡܐ ܕܐܙܠ ܐܢܐ ܠܐܤܦܢܝܐ ܡܤܒܪ ܐܢܐ ܕܐܬܐ ܘܐܚܙܝܟܘܢ ܘܐܢܬܘܢ ܬܠܘܘܢܢܝ ܠܬܡܢ ܡܐ ܕܩܠܝܠ ܡܢ ܤܓܝ ܐܬܒܤܡܬ ܒܚܙܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi nimekuja kwa mamlaka ya Baba yangu, lakini hamnipokei; bali mtu mwingine akija kwa mamlaka yake mwenyewe, mtampokea. \t ܐܢܐ ܐܬܝܬ ܒܫܡܗ ܕܐܒܝ ܘܠܐ ܡܩܒܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ ܘܐܢ ܐܚܪܝܢ ܢܐܬܐ ܒܫܡ ܢܦܫܗ ܠܗܘ ܬܩܒܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, dhambi zikisha ondolewa, hakutakuwa na haja tena ya kutoa dhabihu za kuondoa dhambi. \t ܐܝܟܐ ܕܝܢ ܕܐܝܬ ܫܘܒܩܢܐ ܕܚܛܗܐ ܠܐ ܡܬܒܥܐ ܩܘܪܒܢܐ ܕܚܠܦ ܚܛܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro alibisha mlango wa nje na mtumishi mmoja msichana aitwaye Roda, akaenda mlangoni kuitikia. \t ܘܢܩܫ ܒܬܪܥܐ ܕܕܪܬܐ ܘܢܦܩܬ ܕܬܥܢܝܘܗܝ ܛܠܝܬܐ ܕܫܡܗ ܪܘܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala msinung'unike kama baadhi yao walivyonung'unika, wakaangamizwa na Mwangamizi! \t ܘܐܦܠܐ ܬܪܛܢܘܢ ܐܝܟܢܐ ܕܡܢܗܘܢ ܪܛܢܘ ܘܐܒܕܘ ܒܐܝܕܝ ܡܚܒܠܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na ile milango kumi na miwili ilikuwa lulu kumi na mbili; kila mlango ulikuwa umetengenezwa kwa lulu moja. Barabara kuu ya mji ilikuwa imetengenezwa kwa dhahabu safi, angavu kama kioo. \t ܘܬܪܥܤܪ ܬܪܥܐ ܘܬܪܬܥܤܪܐ ܡܪܓܢܝܬܐ ܚܕܐ ܠܚܕܐ ܘܟܠܚܕ ܡܢ ܬܪܥܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܡܢ ܚܕܐ ܡܪܓܢܝܬܐ ܘܫܘܩܐ ܕܝܢ ܕܡܕܝܢܬܐ ܕܕܗܒܐ ܕܟܝܐ ܐܝܟ ܙܓܘܓܝܬܐ ܐܝܬ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akamwuliza mara ya tatu, \"Simoni mwana wa Yohane! Je, wanipenda?\" Hapo Petro akahuzunika kwa sababu alimwuliza mara ya tatu: \"Wanipenda?\" akamwambia, \"Bwana, wewe wajua yote; wewe wajua kwamba mimi nakupenda.\" Yesu akamwambia, \"Tunza kondoo wangu! \t ܐܡܪ ܠܗ ܕܬܠܬ ܙܒܢܝܢ ܫܡܥܘܢ ܒܪ ܝܘܢܐ ܪܚܡ ܐܢܬ ܠܝ ܘܟܪܝܬ ܠܗ ܠܟܐܦܐ ܕܐܡܪ ܠܗ ܕܬܠܬ ܙܒܢܝܢ ܕܪܚܡ ܐܢܬ ܠܝ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܪܝ ܟܠ ܡܕܡ ܐܢܬ ܚܟܡ ܐܢܬ ܐܢܬ ܝܕܥ ܐܢܬ ܕܪܚܡ ܐܢܐ ܠܟ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܪܥܝ ܠܝ ܢܩܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hoja yangu kwa wale wanaonipinga ndiyo hii: \t ܘܡܦܩ ܒܪܘܚܝ ܠܐܝܠܝܢ ܕܕܝܢܝܢ ܠܝ ܗܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mkiongozwa na Roho, basi, hamko tena chini ya Sheria. \t ܐܢ ܕܝܢ ܒܪܘܚܐ ܡܬܕܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܬܚܝܬ ܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hamwezi kula na kunywa nyumbani kwenu! Au je, mnalidharau kanisa la Mungu na kuwaaibisha hao wasio na kitu? Niwaambie nini? Niwasifu? La hasha! Si kuhusu jambo hili. \t ܕܠܡܐ ܒܬܐ ܠܝܬ ܠܟܘܢ ܕܬܐܟܠܘܢ ܘܬܫܬܘܢ ܐܘ ܒܥܕܬܗ ܕܐܠܗܐ ܒܤܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܡܒܗܬܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܝܬ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܐܡܪ ܠܟܘܢ ܐܫܒܚܟܘܢ ܒܗܕܐ ܠܐ ܡܫܒܚ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jihadharini wenyewe; lilindeni lile kundi ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi muwe walezi wake. Lichungeni kanisa la Mungu ambalo amejipatia kwa damu ya Mwanae. \t ܐܙܕܗܪܘ ܗܟܝܠ ܒܢܦܫܟܘܢ ܘܒܟܠܗ ܡܪܥܝܬܐ ܗܝ ܕܐܩܝܡܟܘܢ ܒܗ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܐܦܤܩܘܦܐ ܕܬܪܥܘܢ ܠܥܕܬܗ ܕܐܠܗܐ ܗܝ ܕܩܢܗ ܒܕܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mashua nyingine kutoka Tiberia zilifika mahali hapo watu walipokula ile mikate, Bwana alipokwisha mshukuru Mungu. \t ܐܬܝ ܗܘܝ ܕܝܢ ܐܠܦܐ ܐܚܪܢܝܬܐ ܡܢ ܛܒܪܝܘܤ ܥܠ ܓܢܒ ܕܘܟܬܐ ܗܝ ܕܐܟܠܘ ܒܗ ܠܚܡܐ ܟܕ ܒܪܟ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawauliza, \"Na ninyi je, mnasema mimi ni nani?\" Petro akamjibu, \"Wewe ndiwe Kristo.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܡܢܘ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܠܝ ܕܐܝܬܝ ܥܢܐ ܫܡܥܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢܬ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Salimianeni kwa ishara ya upendo. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܚܕ ܕܚܕ ܒܢܘܫܩܬܐ ܩܕܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanamke huyo alikuwa amekwisha sumbuka sana kuwaendea waganga wengi. Na ingawa alikuwa amekwisha tumia mali yake yote, hakupata nafuu bali hali yake ilizidi kuwa mbaya. \t ܐܝܕܐ ܕܤܓܝ ܤܒܠܬ ܡܢ ܐܤܘܬܐ ܤܓܝܐܐ ܘܐܦܩܬ ܟܠ ܡܕܡ ܕܐܝܬ ܠܗ ܘܡܕܡ ܠܐ ܐܬܥܕܪܬ ܐܠܐ ܐܦ ܝܬܝܪܐܝܬ ܐܬܐܠܨܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tajiri huyo akafikiri moyoni mwake: Nitafanyaje nami sina mahali pa kuhifadhia mavuno yangu? \t ܘܡܬܚܫܒ ܗܘܐ ܒܢܦܫܗ ܘܐܡܪ ܡܢܐ ܐܥܒܕ ܕܠܝܬ ܠܝ ܐܝܟܐ ܕܐܚܡܘܠ ܥܠܠܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wewe unawafundisha wengine; kwa nini hujifundishi wewe mwenyewe? Unawahubiria wengine wasiibe, lakini kumbe wewe mwenyewe unaiba. \t ܐܢܬ ܗܟܝܠ ܕܡܠܦ ܐܢܬ ܠܐܚܪܢܐ ܠܢܦܫܟ ܠܐ ܡܠܦ ܐܢܬ ܘܕܡܟܪܙ ܐܢܬ ܕܠܐ ܢܓܢܒܘܢ ܐܢܬ ܓܢܒ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, huyo pepo mchafu akamtikisatikisa mtu huyo, kisha akalia kwa sauti kubwa, akamtoka. \t ܘܫܕܬܗ ܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ ܘܩܥܬ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܘܢܦܩܬ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Mimi nayatoa maisha yangu kwa ajili yao. \t ܐܝܟܢܐ ܕܝܕܥ ܠܝ ܐܒܝ ܘܐܢܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܠܐܒܝ ܘܢܦܫܝ ܤܐܡ ܐܢܐ ܚܠܦ ܥܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu akamwambia yule mwanafunzi: \"Tazama, huyo ndiye mama yako.\" Na tangu saa ile huyo mwanafunzi alimchukua akae nyumbani kwake. \t ܘܐܡܪ ܠܬܠܡܝܕܐ ܗܘ ܗܐ ܐܡܟ ܘܡܢ ܗܝ ܫܥܬܐ ܕܒܪܗ ܬܠܡܝܕܐ ܗܘ ܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Pilato alipotambua kwamba hafanikiwi chochote na kwamba maasi yalikuwa yanaanza, alichukua maji, akanawa mikono mbele ya ule umati wa watu, akasema, \"Mimi sina lawama juu ya kifo cha mtu huyu; shauri lenu wenyewe.\" \t ܦܝܠܛܘܤ ܕܝܢ ܟܕ ܚܙܐ ܕܡܕܡ ܠܐ ܡܘܬܪ ܐܠܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܪܘܒܐ ܗܘܐ ܫܩܠ ܡܝܐ ܐܫܝܓ ܐܝܕܘܗܝ ܠܥܝܢ ܟܢܫܐ ܘܐܡܪ ܡܚܤܝ ܐܢܐ ܡܢ ܕܡܗ ܕܗܢܐ ܙܕܝܩܐ ܐܢܬܘܢ ܬܕܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, watamwombaje yeye ambaye hawamwamini? Tena, watamwaminije kama hawajapata kusikia habari zake? Na watasikiaje habari zake kama hakuna mhubiri? \t ܐܝܟܢܐ ܗܟܝܠ ܢܩܪܘܢ ܠܐܝܢܐ ܕܠܐ ܗܝܡܢܘ ܒܗ ܐܘ ܐܝܟܢܐ ܢܗܝܡܢܘܢ ܠܗܘ ܕܠܐ ܫܡܥܘܗܝ ܐܘ ܐܝܟܢܐ ܢܫܡܥܘܢ ܕܠܐ ܡܟܪܙܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na, kama vile Baba yangu alivyonikabidhi Ufalme, vivyo hivyo nami nitawakabidhi ninyi Ufalme. \t ܘܐܢܐ ܡܫܬܘܕܐ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܝܟ ܕܐܫܬܘܕܝ ܠܝ ܐܒܝ ܡܠܟܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja wao akakimbia, akachukua sifongo, akaichovya katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe. \t ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܪܗܛ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܘܫܩܠ ܐܤܦܘܓܐ ܘܡܠܗ ܚܠܐ ܘܤܡܗ ܒܩܢܝܐ ܘܡܫܩܐ ܗܘܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza, \"Kuna nini?\" \t ܘܫܡܥ ܩܠ ܟܢܫܐ ܕܥܒܪ ܘܡܫܐܠ ܗܘܐ ܕܡܢܘ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtukuzeni Kristo kama Bwana mioyoni mwenu. Muwe tayari kumjibu yeyote atakayewaulizeni juu ya matumaini yaliyo ndani yenu, \t ܐܠܐ ܩܕܫܘ ܒܠܒܘܬܟܘܢ ܠܡܪܝܐ ܡܫܝܚܐ ܘܗܘܝܬܘܢ ܡܛܝܒܝܢ ܠܡܦܩ ܒܪܘܚܐ ܠܟܠ ܕܬܒܥ ܠܟܘܢ ܡܠܬܐ ܥܠ ܤܒܪܐ ܕܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܒܡܟܝܟܘܬܐ ܘܒܕܚܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, hayo yote niliyosema juu ya Apolo na juu yangu, ni kielelezo kwenu: kutokana na mfano wangu mimi na Apolo nataka mwelewe maana ya msemo huu: \"Zingatieni yaliyoandikwa.\" Kati yenu pasiwe na mtu yeyote anayejivunia mtu mmoja na kumdharau mwingine. \t ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܐܚܝ ܡܛܠܬܟܘܢ ܗܘ ܤܡܬ ܥܠ ܦܪܨܘܦܐ ܕܝܠܝ ܘܕܐܦܠܘ ܕܒܢ ܬܐܠܦܘܢ ܕܠܐ ܬܬܪܥܘܢ ܝܬܝܪ ܡܢ ܡܐ ܕܟܬܝܒ ܘܐܢܫ ܥܠ ܚܒܪܗ ܠܐ ܢܬܪܝܡ ܡܛܠ ܐܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kama vile kifo kilivyoletwa duniani na mtu mmoja, vivyo hivyo nako kufufuka kutoka wafu kumesababishwa na mtu mmoja. \t ܘܐܝܟܢܐ ܕܒܝܕ ܒܪܢܫܐ ܗܘܐ ܡܘܬܐ ܗܟܢܐ ܐܦ ܒܝܕ ܒܪܢܫܐ ܗܘܝܐ ܚܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mbele yake Yesu palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa na ugonjwa wa kuvimba mwili. \t ܘܗܐ ܓܒܪܐ ܚܕ ܕܟܢܝܫ ܗܘܐ ܡܝܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܩܕܡܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wale malaika saba wenye mabaa saba wakatoka humo Hekaluni, wakiwa wamevaa nguo za kitani safi zenye kung'aa, na kanda za dhahabu vifuani mwao. \t ܘܢܦܩܘ ܫܒܥܐ ܡܠܐܟܝܢ ܡܢ ܗܝܟܠܐ ܗܢܘܢ ܕܐܝܬ ܥܠܝܗܘܢ ܫܒܥ ܡܚܘܢ ܟܕ ܠܒܝܫܝܢ ܟܬܢܐ ܕܟܝܐ ܘܢܗܝܪܐ ܘܐܤܝܪܝܢ ܥܠ ܚܕܝܝܗܘܢ ܐܤܪܐ ܕܕܗܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliwaambia watu hayo yote kwa mifano. Hakuwaambia chochote bila kutumia mifano, \t ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܡܠܠ ܝܫܘܥ ܒܦܠܐܬܐ ܠܟܢܫܐ ܘܕܠܐ ܦܠܐܬܐ ܠܐ ܡܡܠܠ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu wapenzi, sikilizeni! Mungu amechagua watu ambao ni maskini katika ulimwengu huu ili wapate kuwa matajiri katika imani na kupokea Utawala aliowaahidia wale wanaompenda. \t ܫܡܥܘ ܐܚܝ ܚܒܝܒܐ ܠܐ ܗܘܐ ܠܡܤܟܢܐ ܕܥܠܡܐ ܥܬܝܪܐ ܕܝܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܓܒܐ ܐܠܗܐ ܕܢܗܘܘܢ ܝܪܬܐ ܒܡܠܟܘܬܐ ܗܝ ܕܡܠܟ ܐܠܗܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܪܚܡܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akasema kwa sauti kubwa, \"Mcheni Mungu na kumtukuza! Maana saa imefika ya kutoa hukumu yake. Mwabuduni yeye aliyeumba mbingu na nchi, bahari na chemchemi za maji.\" \t ܠܡܐܡܪ ܒܩܠܐ ܪܒܐ ܕܚܠܘ ܡܢ ܐܠܗܐ ܘܗܒܘ ܠܗ ܬܫܒܘܚܬܐ ܡܛܠ ܕܐܬܬ ܫܥܬܐ ܕܕܝܢܗ ܘܤܓܘܕܘ ܠܕܥܒܕ ܫܡܝܐ ܘܐܪܥܐ ܘܝܡܐ ܘܥܝܢܬܐ ܕܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alisema hivyo, si kwa kuwa alijali chochote juu ya maskini, bali kwa sababu alikuwa mweka hazina, na kwa kuwa alikuwa mwizi, mara kwa mara aliiba kutoka katika hiyo hazina. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܐ ܗܘܐ ܡܛܠ ܕܥܠ ܡܤܟܢܐ ܒܛܝܠ ܗܘܐ ܠܗ ܐܠܐ ܡܛܠ ܕܓܢܒܐ ܗܘܐ ܘܓܠܘܤܩܡܐ ܠܘܬܗ ܗܘܐ ܘܡܕܡ ܕܢܦܠ ܗܘܐ ܒܗ ܗܘ ܛܥܝܢ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, Roho akanikumba, akaniongoza mpaka jangwani. Huko nikamwona mwanamke ameketi juu ya mnyama mwekundu. Mnyama huyo alikuwa ameandikwa kila mahali majina ya makufuru; alikuwa na vichwa saba na pembe kumi. \t ܘܐܦܩܢܝ ܠܚܘܪܒܐ ܒܪܘܚ ܘܚܙܝܬ ܐܢܬܬܐ ܕܝܬܒܐ ܥܠ ܚܝܘܬܐ ܤܘܡܩܬܐ ܕܡܠܝܐ ܫܡܗܐ ܕܓܘܕܦܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܪܫܐ ܫܒܥܐ ܩܪܢܬܐ ܕܝܢ ܥܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akamwekea mikono, na mara mwili wake ukawa wima tena, akawa anamtukuza Mungu. \t ܘܤܡ ܐܝܕܗ ܥܠܝܗ ܘܡܚܕܐ ܐܬܦܫܛܬ ܘܫܒܚܬ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vivyo hivyo, baada ya kula, akatwaa kikombe akasema: \"Hiki ni kikombe cha agano jipya linalothibitishwa kwa damu yangu. Fanyeni hivi, kila mnapokunywa, kwa kunikumbuka.\" \t ܗܟܢܐ ܡܢ ܒܬܪ ܕܐܚܫܡܘ ܐܦ ܟܤܐ ܝܗܒ ܘܐܡܪ ܗܢܐ ܟܤܐ ܐܝܬܘܗܝ ܕܝܬܩܐ ܚܕܬܐ ܒܕܡܝ ܗܟܢܐ ܗܘܝܬܘܢ ܥܒܕܝܢ ܟܠ ܐܡܬܝ ܕܫܬܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܕܘܟܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo, mtawala Herode alisikia sifa za Yesu. \t ܒܗܘ ܕܝܢ ܙܒܢܐ ܫܡܥ ܗܪܘܕܤ ܛܛܪܪܟܐ ܫܡܥܗ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Unakumbuka kwamba tangu utoto wako umeyajua Maandiko Matakatifu ambayo yaweza kukupatia hekima iletayo wokovu kwa njia ya imani kwa Kristo Yesu. \t ܘܕܡܢ ܛܠܝܘܬܟ ܤܦܪܐ ܩܕܝܫܐ ܝܠܝܦ ܐܢܬ ܕܡܫܟܚܝܢ ܕܢܚܟܡܘܢܟ ܠܚܝܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati walipokutana pamoja aliwaamuru hivi: \"Msiondoke Yerusalemu, bali ngojeeni ile zawadi aliyoahidi Baba, zawadi ambayo mlikwisha nisikia nikiongea juu yake. \t ܘܟܕ ܐܟܠ ܥܡܗܘܢ ܠܚܡܐ ܦܩܕ ܐܢܘܢ ܕܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܠܐ ܢܦܪܩܘܢ ܐܠܐ ܕܢܩܘܘܢ ܠܫܘܘܕܝܗ ܕܐܒܐ ܗܘ ܕܫܡܥܬܘܢ ܡܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alitujia, akachukua mkanda wa Paulo, akajifunga mikono na miguu, akasema \"Roho Mtakatifu asema hivi: Wayahudi kule Yerusalemu watamfunga namna hii mtu mwenye ukanda na kumtia mikononi mwa watu wa mataifa.\" \t ܘܥܠ ܠܘܬܢ ܘܫܩܠ ܥܪܩܬܐ ܕܚܨܘܗܝ ܕܦܘܠܘܤ ܘܐܤܪ ܪܓܠܐ ܕܢܦܫܗ ܘܐܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪ ܗܟܢܐ ܐܡܪ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܕܓܒܪܐ ܡܪܗ ܕܥܪܩܬܐ ܗܕܐ ܗܟܢܐ ܢܐܤܪܘܢܗ ܝܗܘܕܝܐ ܒܐܘܪܫܠܡ ܘܢܫܠܡܘܢܗ ܒܐܝܕܝ ܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mkinipenda mtazishika amri zangu. \t ܐܢ ܪܚܡܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ ܦܘܩܕܢܝ ܛܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo baba akakumbuka kwamba ilikuwa ni saa ileile ambapo Yesu alimwambia: \"Mwanao yu mzima.\" Basi, yeye akaamini pamoja na jamaa yake yote. \t ܘܝܕܥ ܐܒܘܗܝ ܕܒܗܝ ܫܥܬܐ ܕܒܗ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܕܒܪܟ ܚܝܐ ܘܗܝܡܢ ܗܘ ܘܒܝܬܗ ܟܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini ulimwengu unapaswa kujua kwamba nampenda Baba, na ndiyo maana nafanya kila kitu kama Baba alivyoniamuru. Simameni, tutoke hapa!\" \t ܐܠܐ ܕܢܕܥ ܥܠܡܐ ܕܪܚܡ ܐܢܐ ܠܐܒܝ ܘܐܝܟܢܐ ܕܦܩܕܢܝ ܐܒܝ ܗܟܘܬ ܥܒܕ ܐܢܐ ܩܘܡܘ ܢܐܙܠ ܡܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mimi nawaambieni, yeyote anayemkasirikia ndugu yake, lazima ahukumiwe. Anayemdharau ndugu yake atapelekwa mahakamani. Anayemwita ndugu yake: Pumbavu atastahili kuingia katika moto wa Jehanamu. \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܟܠ ܡܢ ܕܢܪܓܙ ܥܠ ܐܚܘܗܝ ܐܝܩܐ ܡܚܝܒ ܗܘ ܠܕܝܢܐ ܘܟܠ ܕܢܐܡܪ ܠܐܚܘܗܝ ܪܩܐ ܡܚܝܒ ܗܘ ܠܟܢܘܫܬܐ ܘܡܢ ܕܢܐܡܪ ܠܠܐ ܡܚܝܒ ܗܘ ܠܓܗܢܐ ܕܢܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, mnaweza kusikia na kujionea wenyewe mambo Paulo anayofanya, si tu hapa Efeso, ila pia kote katika Asia. Yeye amewashawishi na kuwageuza watu wakakubali kwamba miungu ile iliyotengenezwa na watu si miungu hata kidogo. \t ܘܐܦ ܐܢܬܘܢ ܫܡܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܚܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܠܐ ܗܘܐ ܒܠܚܘܕ ܠܒܢܝ ܐܦܤܘܤ ܐܠܐ ܐܦ ܠܤܘܓܐܐ ܕܟܠܗ ܐܤܝܐ ܐܦܝܤ ܗܢܐ ܦܘܠܘܤ ܘܐܗܦܟ ܟܕ ܐܡܪ ܕܠܘ ܐܠܗܐ ܐܢܘܢ ܗܢܘܢ ܕܒܐܝܕܝ ܒܢܝܢܫܐ ܡܬܥܒܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao wakasisitiza wakisema: \"Anawachochea watu kwa mafundisho yake katika nchi yote ya Yudea; alianza Galilaya, na sasa yuko hapa.\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܡܙܥܩܝܢ ܗܘܘ ܘܐܡܪܝܢ ܕܫܓܫܗ ܠܥܡܢ ܟܕ ܡܠܦ ܒܟܠܗ ܝܗܘܕ ܘܫܪܝ ܡܢ ܓܠܝܠܐ ܘܥܕܡܐ ܠܗܪܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Wanafiki ninyi! Nabii Isaya alitabiri ukweli juu yenu alipoandika: Watu hawa, asema Mungu, huniheshimu kwa maneno matupu, lakini mioyoni mwao wako mbali nami. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܫܦܝܪ ܐܬܢܒܝ ܥܠܝܟܘܢ ܐܫܥܝܐ ܢܒܝܐ ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܥܡܐ ܗܢܐ ܒܤܦܘܬܗ ܗܘ ܡܝܩܪ ܠܝ ܠܒܗܘܢ ܕܝܢ ܤܓܝ ܪܚܝܩ ܡܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo basi, anayedharau mafundisho hayo hamdharau mtu, bali amdharau Mungu mwenyewe anayewapeni Roho wake Mtakatifu. \t ܡܟܝܠ ܡܢ ܕܛܠܡ ܠܐ ܗܘܐ ܠܒܪܢܫܐ ܛܠܡ ܐܠܐ ܠܐܠܗܐ ܗܘ ܕܝܗܒ ܒܟܘܢ ܪܘܚܗ ܩܕܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume wa Yesu Kristo naandika. Mimi nimechaguliwa kuijenga imani ya wateule wa Mungu na kuwaongoza waufahamu ukweli wa dini yetu, \t ܦܘܠܘܤ ܥܒܕܗ ܕܐܠܗܐ ܘܫܠܝܚܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܓܒܝܐ ܕܐܠܗܐ ܘܝܕܥܬܐ ܕܫܪܪܐ ܕܒܕܚܠܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza; lakini atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu, atayaokoa. \t ܡܢ ܓܝܪ ܕܨܒܐ ܕܢܦܫܗ ܢܚܐ ܡܘܒܕ ܠܗ ܡܢ ܕܝܢ ܕܢܘܒܕ ܢܦܫܗ ܡܛܠܬܝ ܗܢܐ ܡܚܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, msiwe kama watoto katika fikira zenu. Kuhusu uovu muwe kama watoto wachanga lakini katika kufikiri ni lazima muwe kama watu waliokomaa. \t ܐܚܝ ܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܛܠܝܢ ܒܪܥܝܢܝܟܘܢ ܐܠܐ ܠܒܝܫܬܐ ܗܘܘ ܝܠܘܕܐ ܘܒܪܥܝܢܝܟܘܢ ܗܘܘ ܓܡܝܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mose alikuwa mwaminifu katika nyumba yote ya Bwana kama mtumishi, na alinena juu ya mambo ambayo Mungu atayasema hapo baadaye. \t ܘܡܘܫܐ ܐܝܟ ܥܒܕܐ ܐܬܗܝܡܢ ܒܒܝܬܐ ܟܠܗ ܠܤܗܕܘܬܐ ܕܐܝܠܝܢ ܕܥܬܝܕܢ ܗܘܝ ܠܡܬܡܠܠܘ ܒܐܝܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nimekuwa nikiwapeni daima mfano kwamba kwa kufanya kazi mithili hiyo tunapaswa kuwasaidia walio dhaifu, tukikumbuka maneno ya Bwana Yesu mwenyewe: Heri zaidi kutoa kuliko kupokea.\" \t ܘܟܠܡܕܡ ܚܘܝܬܟܘܢ ܕܗܟܢܐ ܘܠܐ ܠܡܠܐܐ ܘܠܡܐܨܦ ܕܐܝܠܝܢ ܕܟܪܝܗܝܢ ܘܠܡܥܗܕܘ ܡܠܘܗܝ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܛܠ ܕܗܘ ܐܡܪ ܕܛܘܒܘܗܝ ܠܐܝܢܐ ܕܝܗܒ ܝܬܝܪ ܡܢ ܐܝܢܐ ܕܢܤܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Umati ule wa watu ulishangaa sana ulipoona bubu wakiongea, waliokuwa wamelemaa wamepona, viwete wakitembea na vipofu wakiona; wakamsifu Mungu wa Israeli. \t ܐܝܟ ܕܢܬܕܡܪܘܢ ܟܢܫܐ ܗܢܘܢ ܕܚܙܝܢ ܚܪܫܐ ܕܡܡܠܠܝܢ ܘܦܫܝܓܐ ܕܡܬܚܠܡܝܢ ܘܚܓܝܪܐ ܕܡܗܠܟܝܢ ܘܤܡܝܐ ܕܚܙܝܢ ܘܫܒܚܘ ܠܐܠܗܐ ܕܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Petro akasisitiza, \"Hata kama ni lazima nife pamoja nawe, sitakuacha kamwe.\" Wanafunzi wote pia wakasema vivyo hivyo. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܐܡܪ ܗܘܐ ܕܐܢ ܢܗܘܐ ܠܝ ܠܡܡܬ ܥܡܟ ܠܐ ܐܟܦܘܪ ܒܟ ܡܪܝ ܘܐܟܘܬܗ ܐܦ ܟܠܗܘܢ ܐܡܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyu Roho ni dhamana ya kurithi yote yale Mungu aliyowaahidia watu wake, na jambo hili latuhakikishia kwamba Mungu atawakomboa kabisa wote walio wake. Tuusifu utukufu wake! \t ܗܝ ܕܐܝܬܝܗ ܪܗܒܘܢܐ ܕܝܪܬܘܬܢ ܠܦܘܪܩܢܐ ܕܐܝܠܝܢ ܕܚܐܝܢ ܘܠܫܘܒܚܐ ܕܐܝܩܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maandiko Matakatifu yasema: \"Niliamini, ndiyo maana nilinena.\" Nasi pia, tukiwa na moyo huohuo wa imani, tunaamini, na kwa sababu hiyo twanena. \t ܐܦ ܚܢܢ ܗܟܝܠ ܕܚܕܐ ܗܝ ܪܘܚܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܐܝܬ ܠܢ ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܗܝܡܢܬ ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܦ ܡܠܠܬ ܡܗܝܡܢܝܢܢ ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܦ ܡܡܠܠܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, amri hii ninayowaandikieni ni amri mpya, na ukweli wake unaonekana ndani ya Kristo na ndani yenu pia. Maana giza linatoweka, na mwanga wa ukweli umekwisha anza kuangaza. \t ܬܘܒ ܦܘܩܕܢܐ ܚܕܬܐ ܟܬܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܫܪܝܪܐ ܒܗ ܘܒܟܘܢ ܕܚܫܘܟܐ ܥܒܪ ܠܗ ܘܢܘܗܪܐ ܫܪܝܪܐ ܫܪܝ ܡܬܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mimi nikauliza: Nifanye nini Bwana? Naye Bwana akaniambia: Simama, nenda Damasko na huko utaambiwa yote ambayo umepangiwa kufanya. \t ܘܐܡܪܬ ܡܢܐ ܐܥܒܕ ܡܪܝ ܘܡܪܢ ܐܡܪ ܠܝ ܩܘܡ ܙܠ ܠܕܪܡܤܘܩ ܘܬܡܢ ܢܬܡܠܠ ܥܡܟ ܥܠ ܟܠ ܡܕܡ ܕܡܬܦܩܕ ܠܟ ܕܬܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mtu atendaye dhambi anavunja sheria ya Mungu, maana dhambi ni uvunjaji wa sheria. \t ܡܢ ܕܝܢ ܕܥܒܕ ܚܛܝܬܐ ܥܘܠܐ ܤܥܪ ܚܛܝܬܐ ܓܝܪ ܟܠܗ ܥܘܠܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Chukueni, kwa mfano, Wayahudi wenyewe: kwao, wenye kula vilivyotambikiwa madhabahuni waliungana na hiyo madhabahu. \t ܚܙܘ ܠܐܝܤܪܝܠ ܕܒܒܤܪ ܠܐ ܗܘܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܟܠܝܢ ܕܒܚܐ ܗܘܝܢ ܫܘܬܦܐ ܠܡܕܒܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wewe umekwenda kukaa na watu wasiotahiriwa na hata umekula pamoja nao! \t ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܕܠܘܬ ܐܢܫܐ ܥܘܪܠܐ ܥܠ ܘܠܥܤ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nawaambieni, manabii na watu wengi wema walitamani kuyaona yale mnayoyaona, wasiyaone, na kuyasikia yale mnayoyasikia, wasiyasikie. \t ܐܡܝܢ ܓܝܪ ܐܡܪܢܐ ܠܟܘܢ ܕܤܓܝܐܐ ܢܒܝܐ ܘܙܕܝܩܐ ܐܬܪܓܪܓܘ ܕܢܚܙܘܢ ܡܕܡ ܕܚܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܠܐ ܚܙܘ ܘܠܡܫܡܥ ܡܕܡ ܕܫܡܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܠܐ ܫܡܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, Mwovu huyo aliyefichika anafanya kazi sasa, lakini hataonekana mpaka yule anayemzuia aondolewe. \t ܐܪܙܐ ܓܝܪ ܕܥܘܠܐ ܡܢ ܟܕܘ ܫܪܝ ܠܡܬܚܦܛܘ ܒܠܚܘܕ ܐܢ ܗܘ ܡܐ ܕܗܫܐ ܐܚܝܕ ܢܫܬܩܠ ܡܢ ܡܨܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, sisi wenyewe tulisikia sauti hiyo kutoka mbinguni wakati tulipokuwa pamoja naye juu ya ule mlima mtakatifu. \t ܐܦ ܚܢܢ ܠܗ ܠܗܢܐ ܩܠܐ ܫܡܥܢܢ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܐܬܐ ܠܗ ܟܕ ܐܝܬܝܢ ܗܘܝܢ ܥܡܗ ܒܛܘܪܐ ܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kuwa Yuda alikuwa na wajibu wa kuutunza mfuko wa fedha, baadhi yao walidhani kwamba Yesu alikuwa amemwambia anunue vilivyohitajiwa kwa sikukuu, au kwamba alikuwa amemwambia akatoe chochote kwa maskini. \t ܐܢܫܝܢ ܓܝܪ ܤܒܪܘ ܡܛܠ ܕܓܠܘܤܩܡܐ ܨܐܕܘܗܝ ܗܘܐ ܕܝܗܘܕܐ ܕܡܦܩܕ ܦܩܕ ܠܗ ܕܢܙܒܢ ܡܕܡ ܕܡܬܒܥܐ ܠܥܕܥܕܐ ܐܘ ܕܢܬܠ ܡܕܡ ܠܡܤܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, tunaitumia imani kuibatilisha Sheria? Hata kidogo; bali tunaipa Sheria thamani yake kamili. \t ܠܡܐ ܗܟܝܠ ܢܡܘܤܐ ܗܘ ܡܒܛܠܝܢܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܚܤ ܐܠܐ ܢܡܘܤܐ ܗܘ ܡܩܝܡܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana, ikiwa Mungu hakuwahurumia Wayahudi ambao ni kama matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe? \t ܐܢ ܐܠܗܐ ܓܝܪ ܥܠ ܤܘܟܐ ܕܡܢ ܟܝܢܗܝܢ ܠܐ ܚܤ ܕܠܡܐ ܐܦܠܐ ܥܠܝܟ ܢܚܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wasalimu Priska na Akula, pamoja na jamaa ya Onesiforo. \t ܗܒ ܫܠܡܐ ܠܦܪܝܤܩܠܐ ܘܠܐܩܠܘܤ ܘܠܒܝܬܐ ܕܐܢܤܝܦܘܪܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni. \t ܘܐܢ ܬܫܐܠܘܢܢܝ ܒܫܡܝ ܐܢܐ ܥܒܕܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kuna vitu hivi viwili: ahadi na kiapo, ambavyo haviwezi kubadilika na wala juu ya hivyo Mungu hawezi kusema uongo. Kwa hiyo sisi tuliokimbilia usalama kwake, tunapewa moyo wa kushikilia imara tumaini lililowekwa mbele yetu. \t ܕܒܬܪܬܝܢ ܨܒܘܢ ܕܠܐ ܡܫܬܚܠܦܢ ܕܠܐ ܡܫܟܚ ܐܠܗܐ ܕܢܕܓܠ ܒܗܝܢ ܒܘܝܐܐ ܪܒܐ ܢܗܘܐ ܠܢ ܕܐܬܓܘܤܢ ܒܗ ܘܢܐܚܘܕ ܤܒܪܐ ܕܡܠܝܟ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akawaambia, \"Nitawaulizeni swali moja; mkinijibu, na pia nitawaambieni ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܫܐܠܟܘܢ ܐܦ ܐܢܐ ܡܠܬܐ ܚܕܐ ܕܬܐܡܪܘܢ ܠܝ ܘܐܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܒܐܝܢܐ ܫܘܠܛܢܐ ܗܠܝܢ ܥܒܕ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Tupeni wavu upande wa kulia wa mashua nanyi mtapata samaki.\" Basi, wakatupa wavu lakini sasa hawakuweza kuuvuta tena kwa wingi wa samaki. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܪܡܘ ܡܨܝܕܬܟܘܢ ܡܢ ܓܒܐ ܕܝܡܝܢܐ ܕܤܦܝܢܬܐ ܘܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܐܪܡܝܘ ܘܠܐ ܐܫܟܚܘ ܠܡܓܕܗ ܠܡܨܝܕܬܐ ܡܢ ܤܘܓܐܐ ܕܢܘܢܐ ܕܐܚܕܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kule Ikonio, mambo yalikuwa kama yalivyokuwa kule Antiokia; Paulo na Barnaba walikwenda katika sunagogi la Wayahudi wakaongea kwa uhodari hata Wayahudi wengi na Wagiriki wakawa waumini. \t ܘܐܬܘ ܘܥܠܘ ܠܗܘܢ ܠܟܢܘܫܬܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܘܗܟܢܐ ܡܠܠܘ ܥܡܗܘܢ ܐܝܟ ܕܢܗܝܡܢܘܢ ܤܓܝܐܐ ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܘܡܢ ܝܘܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wake zao wanapaswa pia kuwa na tabia njema, wasiowasengenya watu, wenye kiasi na waaminifu katika mambo yote. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܢܫܐ ܢܗܘܝܢ ܢܟܦܢ ܘܢܗܘܐ ܥܝܪ ܪܥܝܢܗܝܢ ܘܢܗܘܝܢ ܡܗܝܡܢܢ ܒܟܠ ܡܕܡ ܘܠܐ ܢܗܘܝܢ ܐܟܠܢ ܩܪܨܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya Sabato, karibu na mapambazuko ya siku ile ya Jumapili, Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikwenda kutazama lile kaburi. \t ܒܪܡܫܐ ܕܝܢ ܒܫܒܬܐ ܕܢܓܗ ܚܕ ܒܫܒܐ ܐܬܬ ܡܪܝܡ ܡܓܕܠܝܬܐ ܘܡܪܝܡ ܐܚܪܬܐ ܕܢܚܙܝܢ ܩܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Niliwaomba wanafunzi wako wamfukuze, lakini hawakuweza.\" \t ܘܒܥܝܬ ܡܢ ܬܠܡܝܕܝܟ ܕܢܦܩܘܢܝܗܝ ܘܠܐ ܐܫܟܚܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ila tu walikuwa na mabishano kadhaa pamoja naye kuhusu dini yao na kuhusu mtu mmoja aitwaye Yesu ambaye alikufa, lakini Paulo anashikilia kwamba yu hai. \t ܙܛܡܐ ܕܝܢ ܡܕܡ ܡܕܡ ܥܠ ܕܚܠܬܗܘܢ ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܠܘܬܗ ܘܥܠ ܝܫܘܥ ܐܢܫ ܕܡܝܬ ܗܘ ܕܐܡܪ ܗܘܐ ܦܘܠܘܤ ܕܚܝ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na akili zao zimo gizani. Wako mbali na uzima wa Mungu, kwa sababu ya upumbavu ulio ndani yao na ukaidi wao. \t ܘܚܫܘܟܝܢ ܒܡܕܥܝܗܘܢ ܘܢܘܟܪܝܝܢ ܐܢܘܢ ܡܢ ܚܝܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܡܛܠ ܕܠܝܬ ܒܗܘܢ ܝܕܥܬܐ ܘܡܛܠ ܥܘܝܪܘܬ ܠܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamwonyesha. Naye akawauliza, \"Sura na chapa hii ni ya nani?\" Wakamjibu, \"Ni ya Kaisari.\" \t ܘܐܝܬܝܘ ܠܗ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܡܢܘ ܨܠܡܐ ܗܢܐ ܘܟܬܒܐ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܘ ܕܩܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nawaambieni, anayeniamini atafanya mambo ninayofanya mimi; naam, atafanya hata makuu zaidi, maana nakwenda kwa Baba. \t ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܡܢ ܕܡܗܝܡܢ ܒܝ ܥܒܕܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܢܐ ܥܒܕ ܐܢܐ ܐܦ ܗܘ ܢܥܒܕ ܘܕܝܬܝܪܝܢ ܡܢ ܗܠܝܢ ܢܥܒܕ ܕܐܢܐ ܠܘܬ ܐܒܐ ܐܙܠ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Haya, utaachiwa mwenyewe nyumba yako. Naam, hakika nawaambieni, hamtaniona mpaka wakati utakapofika mseme: Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana.\" \t ܗܐ ܡܫܬܒܩ ܠܟܘܢ ܒܝܬܟܘܢ ܚܪܒܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܕܠܐ ܬܚܙܘܢܢܝ ܥܕܡܐ ܕܬܐܡܪܘܢ ܒܪܝܟ ܗܘ ܕܐܬܐ ܒܫܡܗ ܕܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akaenda pamoja nao. Alipokuwa karibu kufika nyumbani kwa yule jemadari Mroma, yule jemadari aliwatuma marafiki zake wamwambie Yesu: \"Bwana, usijisumbue zaidi, maana mimi sistahili uingie nyumbani mwangu. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܙܠ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܟܕ ܕܝܢ ܠܐ ܤܓܝ ܪܚܝܩ ܡܢ ܒܝܬܐ ܫܕܪ ܠܘܬܗ ܩܢܛܪܘܢܐ ܪܚܡܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܪܝ ܠܐ ܬܥܡܠ ܠܐ ܓܝܪ ܫܘܐ ܐܢܐ ܕܬܥܘܠ ܬܚܝܬ ܡܛܠܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanamke huyo alikuwa amevaa vazi la rangi ya zambarau na nyekundu; alikuwa amejipamba kwa dhahabu, mawe ya thamani na lulu. Mkononi mwake alishika kikombe cha dhahabu ambacho kilikuwa kimejaa machukizo na mambo machafu yanayoonyesha uzinzi wake. \t ܘܐܢܬܬܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܡܥܛܦܐ ܐܪܓܘܢܐ ܘܙܚܘܪܝܬܐ ܕܡܕܗܒܢ ܒܕܗܒܐ ܘܟܐܦܐ ܛܒܬܐ ܘܡܪܓܢܝܬܐ ܘܐܝܬ ܠܗ ܟܤܐ ܕܕܗܒܐ ܥܠ ܐܝܕܗ ܘܡܠܐ ܛܡܐܘܬܐ ܘܤܘܝܒܐ ܕܙܢܝܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Alidhani kwamba Waisraeli wenzake wangeelewa kwamba Mungu angemtumia yeye kuwakomboa, lakini hawakuelewa hivyo.) \t ܘܤܒܪ ܕܡܤܬܟܠܝܢ ܐܚܘܗܝ ܒܢܝ ܐܝܤܪܝܠ ܕܐܠܗܐ ܒܐܝܕܗ ܝܗܒ ܠܗܘܢ ܦܘܪܩܢܐ ܘܠܐ ܐܤܬܟܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naweza kushuhudia kwamba anafanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu na kwa ajili ya watu wa Laodikea na Hierapoli. \t ܤܗܕ ܐܢܐ ܓܝܪ ܥܠܘܗܝ ܕܛܢܢܐ ܤܓܝܐܐ ܐܝܬ ܠܗ ܚܠܦܝܟܘܢ ܘܚܠܦ ܗܢܘܢ ܕܒܠܕܝܩܝܐ ܘܕܒܐܝܪܦܘܠܝܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kuwapeni nafuu ninyi mnaoteseka, na sisi pia. Atafanya jambo hilo wakati Bwana atakapotokea kutoka mbinguni pamoja na malaika wake na wakuu \t ܘܠܟܘܢ ܕܡܬܐܠܨܝܬܘܢ ܢܚܐ ܥܡܢ ܒܓܠܝܢܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܡܢ ܫܡܝܐ ܥܡ ܚܝܠܐ ܕܡܠܐܟܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Njoni mkaitafune miili ya wafalme, ya majemadari, ya watu wenye nguvu, ya farasi na wapanda farasi wao; njoni mkaitafune miili ya watu wote: walio huru na watumwa, wadogo na wakubwa.\" \t ܕܬܐܟܠܘܢ ܒܤܪܐ ܕܡܠܟܐ ܘܒܤܪܐ ܕܪܫܝ ܐܠܦܐ ܘܒܤܪܐ ܕܥܫܝܢܐ ܘܒܤܪܐ ܕܪܟܫܐ ܘܕܐܝܠܝܢ ܕܝܬܒܝܢ ܥܠܝܗܘܢ ܘܒܤܪܐ ܕܚܐܪܐ ܘܕܥܒܕܐ ܘܕܙܥܘܪܐ ܘܕܪܘܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Niombeeni nami pia ili niongeapo Mungu anijalie cha kusema, niweze kuwajulisha watu fumbo la Habari Njema kwa uthabiti. \t ܐܦ ܥܠܝ ܕܬܬܝܗܒ ܠܝ ܡܠܬܐ ܒܡܦܬܚ ܦܘܡܝ ܕܥܝܢ ܒܓܠܐ ܐܟܪܙ ܐܪܙܐ ܕܤܒܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale walio wa Kristo wameisulubisha hali yao ya kidunia pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake. \t ܐܝܠܝܢ ܕܝܢ ܕܕܡܫܝܚܐ ܐܢܘܢ ܒܤܪܗܘܢ ܙܩܦܘ ܥܡ ܟܠܗܘܢ ܟܐܒܘܗܝ ܘܪܓܝܓܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninao ubatizo ambao inanipasa niupokee; jinsi gani ninavyohangaika mpaka ukamilike! \t ܘܡܥܡܘܕܝܬܐ ܐܝܬ ܠܝ ܕܐܥܡܕ ܘܤܓܝ ܐܠܝܨ ܐܢܐ ܥܕܡܐ ܕܬܫܬܡܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sasa ninawaombeni muwe na moyo; hakuna hata mmoja wenu atakayepoteza maisha yake; meli tu ndiyo itakayopotea. \t ܘܗܫܐ ܡܠܟ ܐܢܐ ܕܬܗܘܘܢ ܕܠܐ ܥܩܐ ܢܦܫܐ ܓܝܪ ܡܢܟܘܢ ܚܕܐ ܠܐ ܐܒܕܐ ܐܠܐ ܐܢ ܐܠܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kesheni, kwa maana hamjui siku atakayokuja Bwana wenu. \t ܐܬܬܥܝܪܘ ܗܟܝܠ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܐܝܕܐ ܫܥܬܐ ܐܬܐ ܡܪܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu walishuhudia tukio hilo wakaeleza wengine mambo yaliyompata huyo mtu aliyekuwa amepagawa na pepo na juu ya wale nguruwe. \t ܘܐܫܬܥܝܘ ܠܗܘܢ ܗܢܘܢ ܕܚܙܘ ܕܐܝܟܢܐ ܗܘܐ ܠܗܘ ܕܫܐܕܘܗܝ ܘܐܦ ܥܠ ܗܢܘܢ ܚܙܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tumewapigieni ngoma lakini hamkucheza; tumeimba nyimbo za huzuni lakini hamkulia! \t ܘܐܡܪܝܢ ܙܡܪܢ ܠܟܘܢ ܘܠܐ ܪܩܕܬܘܢ ܘܐܠܝܢ ܠܟܘܢ ܘܠܐ ܐܪܩܕܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Hamjui mnachoomba! Je, mnaweza kunywa kikombe nitakachokunywa, au kubatizwa kama nitakavyobatizwa?\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢܐ ܫܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܬܫܬܘܢ ܟܤܐ ܕܐܢܐ ܫܬܐ ܐܢܐ ܘܡܥܡܘܕܝܬܐ ܕܐܢܐ ܥܡܕ ܐܢܐ ܬܥܡܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sauti za vinubi za muziki, sauti za wapiga filimbi na tarumbeta hazitasikika tena ndani yako. Hakuna fundi wa namna yoyote ile atakayepatikana tena ndani yako; wala sauti ya jiwe la kusagia haitasikika tena ndani yako. \t ܘܩܠܐ ܕܩܝܬܪܐ ܘܕܫܝܦܘܪܐ ܘܕܙܢܝ ܙܡܪܐ ܘܕܡܙܥܘܩܐ ܠܐ ܢܫܬܡܥ ܒܟܝ ܬܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu. \t ܐܓܝܪܐ ܕܝܢ ܥܪܩ ܡܛܠ ܕܐܓܝܪܐ ܗܘ ܘܠܐ ܒܛܝܠ ܠܗ ܥܠ ܥܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, haikukupasa nawe kumhurumia mtumishi mwenzako kama nilivyokuhurumia? \t ܠܐ ܘܠܐ ܗܘܐ ܠܟ ܐܦ ܐܢܬ ܕܬܚܘܢ ܠܟܢܬܟ ܐܝܟܢܐ ܕܐܢܐ ܚܢܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "tukombolewe kutoka adui zetu, tupate kumtumikia bila hofu, \t ܕܢܬܦܪܩ ܡܢ ܐܝܕܐ ܕܒܥܠܕܒܒܝܢ ܘܕܠܐ ܕܚܠܐ ܢܦܠܘܚ ܩܕܡܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu. \t ܘܡܫܒܚܝܢ ܗܘܘ ܒܝ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku ile itakapofika mtajua kwamba mimi niko ndani ya Baba, nanyi mko ndani yangu, nami ndani yenu. \t ܒܗܘ ܝܘܡܐ ܬܕܥܘܢ ܕܐܢܐ ܒܐܒܝ ܘܐܢܬܘܢ ܒܝ ܐܢܬܘܢ ܘܐܢܐ ܒܟܘܢ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, wale walio wa mwisho watakuwa wa kwanza; na wale walio wa kwanza watakuwa wa mwisho.\" \t ܘܗܐ ܐܝܬ ܐܚܪܝܐ ܕܢܗܘܘܢ ܩܕܡܝܐ ܘܐܝܬ ܩܕܡܝܐ ܕܢܗܘܘܢ ܐܚܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Paulo mwenyewe ambaye naonekana kuwa mpole nikiwa pamoja nanyi, lakini mkali wakati nikiwa mbali nanyi, nawasihini kwa huruma na wema wake Kristo. \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܦܘܠܘܤ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟܘܢ ܒܢܝܚܘܬܗ ܘܒܡܟܝܟܘܬܗ ܕܡܫܝܚܐ ܕܐܦܢ ܒܐܦܝܢ ܡܟܝܟ ܐܢܐ ܠܘܬܟܘܢ ܐܠܐ ܟܕ ܪܚܝܩ ܐܢܐ ܬܟܝܠ ܐܢܐ ܥܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akasema, \"Ondoeni hilo jiwe!\" Martha, dada yake huyo aliyekufa, akamwambia, \"Bwana, amekwishaanza kunuka; amekaa kaburini siku nne!\" \t ܘܐܡܪ ܝܫܘܥ ܫܩܘܠܘ ܟܐܦܐ ܗܕܐ ܐܡܪܐ ܠܗ ܡܪܬܐ ܚܬܗ ܕܗܘ ܡܝܬܐ ܡܪܝ ܡܢ ܟܕܘ ܤܪܝ ܠܗ ܐܪܒܥܐ ܠܗ ܓܝܪ ܝܘܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, si hayo tu, bali tunafurahi pia katika taabu tukijua kwamba taabu huleta saburi, \t ܘܠܐ ܗܟܢܐ ܒܠܚܘܕ ܐܠܐ ܐܦ ܒܐܘܠܨܢܝܢ ܡܫܬܒܗܪܝܢܢ ܕܝܕܥܝܢܢ ܕܐܘܠܨܢܐ ܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܓܡܪ ܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeyote yule ambaye hatamsikiliza nabii huyo atatengwa mbali na watu wa Mungu na kuangamizwa. \t ܘܬܗܘܐ ܟܠ ܢܦܫܐ ܐܝܕܐ ܕܠܐ ܬܫܡܥ ܠܢܒܝܐ ܗܘ ܬܐܒܕ ܢܦܫܐ ܗܝ ܡܢ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wanawake walioandamana na Yesu kutoka Galilaya walimfuata Yosefu, wakaliona lile kaburi na jinsi mwili wake Yesu ulivyowekwa \t ܩܪܝܒܢ ܗܘܝ ܕܝܢ ܢܫܐ ܗܠܝܢ ܕܐܬܝ ܥܡܗ ܡܢ ܓܠܝܠܐ ܘܚܙܝܝܗܝ ܠܩܒܪܐ ܘܐܝܟܢܐ ܐܬܬܤܝܡ ܦܓܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu ambaye hula kila kitu asimdharau yule ambaye hawezi kula kila kitu; naye ambaye hula tu mboga za majani asimhukumu anayekula kila kitu, maana Mungu amemkubali. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܐܟܠ ܠܗܘ ܡܢ ܕܠܐ ܐܟܠ ܠܐ ܢܫܘܛ ܘܗܘ ܡܢ ܕܠܐ ܐܟܠ ܠܗܘ ܡܢ ܕܐܟܠ ܠܐ ܢܕܘܢ ܐܠܗܐ ܓܝܪ ܩܪܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wayahudi kadhaa wenye kupunga pepo wabaya, walisafiri huko na huko, wakijaribu kulitumia jina la Bwana Yesu kwa wale waliokuwa wamepagawa na pepo wabaya. Walikuwa wakisema: \"Ninawaamuru kwa jina la Yesu ambaye Paulo anamhubiri.\" \t ܨܒܘ ܗܘܘ ܕܝܢ ܐܦ ܐܢܫܐ ܝܗܘܕܝܐ ܐܝܠܝܢ ܕܡܬܟܪܟܝܢ ܗܘܘ ܘܡܘܡܝܢ ܥܠ ܫܐܕܐ ܕܢܘܡܘܢ ܒܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬ ܗܘܝ ܠܗܘܢ ܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ ܟܕ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܡܘܡܝܢܢ ܠܟܘܢ ܒܫܡܗ ܕܝܫܘܥ ܐܝܢܐ ܕܡܟܪܙ ܦܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye. \t ܟܠ ܒܐܝܕܗ ܗܘܐ ܘܒܠܥܕܘܗܝ ܐܦܠܐ ܚܕܐ ܗܘܬ ܡܕܡ ܕܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Sikiliza!\" Asema Yesu, \"Naja upesi, pamoja na tuzo nitakalompa kila mmoja kufuatana na matendo yake. \t ܗܐ ܐܬܐ ܐܢܐ ܡܚܕܐ ܘܐܓܪܝ ܥܡܝ ܘܐܬܠ ܠܟܠܢܫ ܐܝܟ ܥܒܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo, furahini enyi mbingu na vyote vilivyomo ndani yenu. Lakini, ole wenu nchi na bahari, maana Ibilisi amewajieni akiwa na ghadhabu kuu, kwa sababu anajua kwamba siku zake zilizobakia ni chache.\" \t ܡܛܠܗܢܐ ܫܡܝܐ ܐܬܦܨܚܘ ܘܐܝܠܝܢ ܕܒܗܘܢ ܫܪܝܢ ܘܝ ܠܐܪܥܐ ܘܠܝܡܐ ܥܠ ܕܢܚܬ ܐܟܠܩܪܨܐ ܠܘܬܗܘܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܚܡܬܐ ܪܒܬܐ ܟܕ ܝܕܥ ܕܩܠܝܠ ܙܒܢܐ ܐܝܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akakichukua, akala, wote wakimwona. \t ܘܢܤܒ ܐܟܠ ܠܥܢܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi niliihubiri kwenu Habari Njema ya Mungu bila kudai mshahara; nilijinyenyekeza ili nipate kuwakweza ninyi. Je, nilifanya vibaya? \t ܐܘ ܕܠܡܐ ܡܤܟܠܘ ܐܤܟܠܬ ܕܡܟܟܬ ܢܦܫܝ ܕܐܢܬܘܢ ܬܬܪܝܡܘܢ ܘܡܓܢ ܐܟܪܙܬ ܠܟܘܢ ܤܒܪܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa ninyi ni wa Kristo, basi ni wazawa wa Abrahamu, na mtapokea yale aliyoahidi Mungu. \t ܘܐܢ ܕܡܫܝܚܐ ܐܢܬܘܢ ܡܟܝܠ ܙܪܥܗ ܐܢܬܘܢ ܕܐܒܪܗܡ ܘܝܪܬܐ ܒܡܘܠܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha katika mkono wa kulia wa huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi, nikaona kitabu; nacho kilikuwa kimeandikwa ndani na nje na kufungwa na mihuri saba. \t ܘܚܙܝܬ ܥܠ ܝܡܝܢܗ ܕܗܘ ܕܝܬܒ ܥܠ ܟܘܪܤܝܐ ܟܬܒܐ ܕܪܫܝܡ ܡܢ ܠܓܘ ܘܡܢ ܠܒܪ ܘܛܒܝܥ ܛܒܥܐ ܫܒܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hatutaki kutumia mabavu juu ya imani yenu; ninyi mko imara katika imani yenu. Wajibu wetu ni kufanya kazi pamoja kwa ajili ya furaha yenu. \t ܠܐ ܗܘܐ ܡܛܠ ܕܡܪܝ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܚܢܢ ܐܠܐ ܡܥܕܪܢܐ ܚܢܢ ܕܚܕܘܬܟܘܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܗܘ ܓܝܪ ܩܝܡܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo pepo hao wakamtoka yule mtu, wakawaingia wale nguruwe, nao wakaporomoka kwenye ule mteremko mkali, wakatumbukia ziwani, wakazama majini. \t ܘܢܦܩܘ ܫܐܕܐ ܡܢ ܓܒܪܐ ܘܥܠܘ ܒܚܙܝܪܐ ܘܬܪܨܬ ܒܩܪܐ ܗܝ ܟܠܗ ܠܫܩܝܦܐ ܘܢܦܠܘ ܒܝܡܬܐ ܘܐܬܚܢܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, wote wakiwa wanautangaza ujumbe wa Mungu, akija mtu wa kawaida au asiyeamini, yote atakayosikia yatamhakikishia ubaya wake mwenyewe; yote atakayosikia yatamhukumu. \t ܘܐܢ ܟܠܟܘܢ ܬܗܘܘܢ ܡܬܢܒܝܢ ܘܢܥܘܠ ܠܘܬܟܘܢ ܗܕܝܘܛܐ ܐܘ ܡܢ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢ ܡܬܒܨܐ ܡܢ ܟܠܟܘܢ ܘܡܬܟܘܢ ܡܢ ܟܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msilipe ovu kwa ovu. Zingatieni mambo mema mbele ya wote. \t ܘܠܐ ܬܦܪܥܘܢ ܠܐܢܫ ܒܝܫܬܐ ܚܠܦ ܒܝܫܬܐ ܐܠܐ ܢܬܒܛܠ ܠܟܘܢ ܕܬܥܒܕܘܢ ܛܒܬܐ ܩܕܡ ܒܢܝܢܫܐ ܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku moja Yesu alikuwa anamfukuza pepo aliyemfanya mtu mmoja kuwa bubu. Basi, huyo pepo alipomtoka, yule mtu akaweza kuongea hata umati wa watu ukashangaa. \t ܘܟܕ ܡܦܩ ܫܐܕܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܚܪܫܐ ܗܘܐ ܕܟܕ ܢܦܩ ܗܘ ܫܐܕܐ ܡܠܠ ܗܘ ܚܪܫܐ ܘܐܬܕܡܪܘ ܟܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nawe utakuwa umepata baraka, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa. Maana Mungu atakupa tuzo lako wakati watu wema watakapofufuka.\" \t ܘܛܘܒܝܟ ܕܠܝܬ ܠܗܘܢ ܕܢܦܪܥܘܢܟ ܢܗܘܐ ܓܝܪ ܦܘܪܥܢܟ ܒܩܝܡܐ ܕܙܕܝܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo lile bora ulilokabidhiwa lilinde kwa nguvu ya Roho Mtakatifu anayeishi ndani yetu. \t ܓܘܥܠܢܐ ܛܒܐ ܛܪ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܗܝ ܕܥܡܪܬ ܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila kipaji chema na kila zawadi kamilifu hutoka mbinguni; hutoka kwa Baba, Muumba wa mianga, ambaye habadiliki wala hana alama yoyote ya ugeugeu. \t ܟܠ ܡܘܗܒܬܐ ܛܒܬܐ ܘܡܫܡܠܝܬܐ ܡܢ ܠܥܠ ܢܚܬܐ ܡܢ ܐܒܐ ܕܢܗܝܪܐ ܗܘ ܕܠܝܬ ܠܘܬܗ ܫܘܚܠܦܐ ܡܕܡ ܐܦܠܐ ܛܠܢܝܬܐ ܕܫܘܓܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msiwe waabudu sanamu kama baadhi yao walivyokuwa; kama yasemavyo Maandiko: \"Watu waliketi kula na kunywa, wakasimama kucheza.\" \t ܘܐܦܠܐ ܢܗܘܐ ܦܠܚܝ ܦܬܟܪܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܡܢܗܘܢ ܦܠܚܘ ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܝܬܒ ܥܡܐ ܠܡܐܟܠ ܘܠܡܫܬܐ ܘܩܡܘ ܠܡܫܬܥܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnajua kwamba mkijitolea ninyi wenyewe kama watumwa na kumtii fulani, mnakuwa kweli watumwa wake mtu huyo--au watumwa wa dhambi, na matokeo yake ni kifo, au wa utii, na matokeo yake ni kukubaliwa kuwa waadilifu. \t ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܠܡܢ ܕܡܛܝܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܢܦܫܟܘܢ ܕܬܫܬܡܥܘܢ ܠܗ ܠܥܒܕܘܬܐ ܕܝܠܗ ܐܢܬܘܢ ܥܒܕܐ ܕܗܘ ܕܡܫܬܡܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܐܢ ܠܚܛܝܬܐ ܘܐܢ ܠܡܫܡܥ ܐܕܢܐ ܕܟܐܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wapenzi wangu, tukiwa tumepewa ahadi hizi zote, na tujitakase na chochote kiwezacho kuchafua miili na roho zetu, tuwe watakatifu kabisa, na tuishi kwa kumcha Mungu. \t ܡܛܠ ܕܐܝܬ ܠܢ ܗܟܝܠ ܗܠܝܢ ܡܘܠܟܢܐ ܚܒܝܒܝ ܢܕܟܐ ܢܦܫܢ ܡܢ ܟܠܗ ܛܡܐܘܬܐ ܕܒܤܪܐ ܘܕܪܘܚܐ ܘܢܦܠܘܚ ܩܕܝܫܘܬܐ ܒܕܚܠܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nitafanya hivi: nitabomoa ghala zangu na kujenga kubwa zaidi, na humo nitahifadhi mavuno yangu yote na mali yangu. \t ܘܐܡܪ ܗܕܐ ܐܥܒܕ ܐܤܬܘܪ ܒܝܬ ܩܦܤܝ ܘܐܒܢܐ ܘܐܘܪܒ ܐܢܘܢ ܘܐܚܡܘܠ ܬܡܢ ܟܠܗ ܥܒܘܪܝ ܘܛܒܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Yosefu akanunua sanda ya kitani, akauteremsha chini huo mwili, akauzungushia sanda. Akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa mwambani, kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango. \t ܡܪܝܡ ܕܝܢ ܡܓܕܠܝܬܐ ܘܡܪܝܡ ܗܝ ܕܝܘܤܐ ܚܙܝ ܐܝܟܐ ܕܐܬܬܤܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia mfano mwingine: \"Ufalme wa mbinguni umefanana na chachu aliyotwaa mama mmoja, akaichanganya na unga pishi tatu, hata unga wote ukaumuka.\" \t ܐܚܪܢܐ ܡܬܠܐ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܡܝܐ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܠܚܡܝܪܐ ܗܘ ܕܫܩܠܬ ܐܢܬܬܐ ܛܡܪܬ ܒܬܠܬ ܤܐܝܢ ܕܩܡܚܐ ܥܕܡܐ ܕܟܠܗ ܚܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo wakamwambia, \"Je, husikii wanachosema?\" Yesu akawajibu, \"Naam, nasikia! Je hamjasoma Maandiko haya Matakatifu? Kwa vinywa vya watoto wadogo na wanyonyao unajipatia sifa kamilifu.\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܫܡܥ ܐܢܬ ܡܢܐ ܐܡܪܝܢ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܝܢ ܡܢ ܡܬܘܡ ܠܐ ܩܪܝܬܘܢ ܕܡܢ ܦܘܡܐ ܕܛܠܝܐ ܘܕܝܠܘܕܐ ܬܩܢܬ ܬܫܒܘܚܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mungu akamwambia: Mpumbavu wewe; leo usiku roho yako itachukuliwa. Na vitu vile vyote ulivyojilundikia vitakuwa vya nani?\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܕܝܢ ܐܠܗܐ ܚܤܝܪ ܪܥܝܢܐ ܒܗܢܐ ܠܠܝܐ ܢܦܫܟ ܬܒܥܝܢ ܠܗ ܡܢܟ ܘܗܠܝܢ ܕܛܝܒܬ ܠܡܢ ܢܗܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninayowaambieni ninyi, nawaambia wote: Kesheni!\" \t ܕܠܡܐ ܢܐܬܐ ܡܢ ܫܠܝܐ ܘܢܫܟܚܟܘܢ ܟܕ ܕܡܟܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akaja, akasimama karibu na miguu yake Yesu, akilia, na machozi yake yakamdondokea Yesu miguuni. Huyo mwanamke akaipangusa miguu ya Yesu kwa nywele zake. Kisha akaibusu na kuipaka yale marashi. \t ܘܩܡܬ ܒܤܬܪܗ ܠܘܬ ܪܓܠܘܗܝ ܘܒܟܝܐ ܗܘܬ ܘܫܪܝܬ ܒܕܡܥܝܗ ܡܨܒܥܐ ܪܓܠܘܗܝ ܘܒܤܥܪܐ ܕܪܫܗ ܡܫܘܝܢ ܠܗܝܢ ܘܡܢܫܩܐ ܗܘܬ ܪܓܠܘܗܝ ܘܡܫܚܐ ܒܤܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati Yesu alipokaribia Yeriko, kulikuwa na mtu mmoja kipofu ameketi njiani akiomba. \t ܘܟܕ ܩܪܝܒ ܠܐܝܪܝܚܘ ܤܡܝܐ ܚܕ ܝܬܒ ܗܘܐ ܥܠ ܝܕ ܐܘܪܚܐ ܘܚܕܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini kwamba Yesu ni Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mpate kuwa na uzima kwa nguvu ya jina lake. \t ܐܦ ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܕܟܬܝܒܢ ܕܬܗܝܡܢܘܢ ܕܝܫܘܥ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܘܡܐ ܕܗܝܡܢܬܘܢ ܢܗܘܘܢ ܠܟܘܢ ܒܫܡܗ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara msichana akasimama, akaanza kutembea. (Alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili.) Hapo watu wakashangaa kupita kiasi. \t ܘܦܩܕ ܐܢܘܢ ܤܓܝ ܕܠܐ ܐܢܫ ܢܕܥ ܗܕܐ ܘܐܡܪ ܕܢܬܠܘܢ ܠܗ ܠܡܠܥܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku ya mwisho ya sikukuu hiyo ilikuwa siku maalum. Yesu alisimama, akasema kwa sauti kubwa, \"Aliye na kiu na aje kwangu anywe. \t ܒܝܘܡܐ ܕܝܢ ܪܒܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܐܚܪܝܐ ܕܥܕܥܕܐ ܩܐܡ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܘܩܥܐ ܘܐܡܪ ܐܢ ܐܢܫ ܨܗܐ ܢܐܬܐ ܠܘܬܝ ܘܢܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ndugu, kwa nini mnafanya mambo hayo? Sisi pia ni binadamu kama ninyi. Na, tuko hapa kuwahubirieni Habari Njema, mpate kuziacha hizi sanamu tupu, mkamgeukie Mungu aliye hai, Mungu aliyeumba mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo. \t ܘܐܡܪܝܢ ܓܒܪܐ ܡܢܐ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܦ ܚܢܢ ܒܢܝܢܫܐ ܚܢܢ ܚܫܘܫܐ ܐܟܘܬܟܘܢ ܕܡܤܒܪܝܢܢ ܠܟܘܢ ܕܡܢ ܗܠܝܢ ܒܛܠܬܐ ܬܬܦܢܘܢ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܚܝܐ ܗܘ ܕܥܒܕ ܫܡܝܐ ܘܐܪܥܐ ܘܝܡܡܐ ܘܟܠ ܕܐܝܬ ܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walimfunga kitambaa usoni, wakawa wanamwuliza, \"Ni nani aliyekupiga? Hebu bashiri tuone!\" \t ܘܡܚܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܥܠ ܐܦܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܐܬܢܒܐ ܡܢܘ ܡܚܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kutokana na tofauti hii, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi. \t ܗܢܐ ܟܠܗ ܡܝܬܪܐ ܕܝܬܩܐ ܗܕܐ ܕܗܘܐ ܒܗ ܥܪܒܐ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata kidogo! Ingekuwa hivyo, Mungu angewezaje kuuhukumu ulimwengu? \t ܚܤ ܘܐܢ ܠܐ ܐܝܟܢܐ ܢܕܘܢ ܐܠܗܐ ܠܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo, mliponiita nimekuja bila kusita. Basi, nawaulizeni: kwa nini mmeniita?\" \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܥܬܝܕܐܝܬ ܐܬܝܬ ܟܕ ܫܕܪܬܘܢ ܒܬܪܝ ܒܪܡ ܡܫܐܠ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܡܛܠ ܡܢܐ ܫܕܪܬܘܢ ܒܬܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni akamjibu, \"Bwana, tumejitahidi kuvua samaki usiku kucha bila kupata kitu, lakini kwa kuwa umesema, nitatupa nyavu.\" \t ܥܢܐ ܫܡܥܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗ ܪܒܝ ܠܠܝܐ ܟܠܗ ܠܐܝܢ ܘܡܕܡ ܠܐ ܐܚܕܢ ܥܠ ܡܠܬܟ ܕܝܢ ܪܡܐ ܐܢܐ ܡܨܝܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ole wao! Watu hao wamefuata mwenendo uleule wa Kaini. Kwa ajili ya fedha, wamejiingiza katika mkosi uleule wa Baalamu. Wameasi kama Kora alivyoasi na wameangamizwa kama yeye alivyoangamizwa. \t ܘܝ ܠܗܘܢ ܕܒܐܘܪܚܗ ܕܩܐܝܢ ܐܙܠܘ ܘܒܬܪ ܛܥܝܘܬܗ ܕܒܠܥܡ ܒܐܓܪܐ ܐܫܬܪܚܘ ܘܒܥܨܝܝܘܬܗ ܕܩܘܪܚ ܐܒܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni kama Isaya alivyosema hapo awali: \"Kama Bwana Mwenye Nguvu asingalituachia baadhi ya watoto wa Israeli, tungalikwisha kuwa kama Sodoma, tungalikwisha kuwa ma Gomora.\" \t ܘܐܝܟ ܡܕܡ ܕܩܕܡ ܐܡܪ ܗܘ ܐܫܥܝܐ ܕܐܠܘ ܠܐ ܡܪܝܐ ܨܒܐܘܬ ܐܘܬܪ ܠܢ ܤܪܝܕܐ ܐܝܟ ܤܕܘܡ ܗܘܝܢ ܗܘܝܢ ܘܠܥܡܘܪܐ ܡܬܕܡܝܢ ܗܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunawaandikia ninyi mambo haya kusudi furaha yetu ikamilike. \t ܘܗܠܝܢ ܟܬܒܝܢܢ ܠܟܘܢ ܕܚܕܘܬܢ ܕܒܟܘܢ ܬܗܘܐ ܡܫܡܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipotukanwa yeye hakujibu kwa tukano; alipoteseka yeye hakutoa vitisho, bali aliyaweka matumaini yake kwa Mungu, hakimu mwenye haki. \t ܗܘ ܕܡܨܛܚܐ ܗܘܐ ܘܠܐ ܡܨܚܐ ܘܚܐܫ ܗܘܐ ܘܠܐ ܡܬܠܚܡ ܐܠܐ ܡܫܠܡ ܗܘܐ ܕܝܢܗ ܠܕܝܢܐ ܕܟܐܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana ingalikuwa hivyo, Kristo angalipaswa kuteswa mara nyingi tangu kuumbwa ulimwengu. Lakini sasa nyakati hizi zinapokaribia mwisho wake, yeye ametokea mara moja tu, kuondoa dhambi kwa kujitoa yeye mwenyewe dhabihu. \t ܘܐܢ ܠܐ ܚܝܒ ܗܘܐ ܕܙܒܢܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܢܚܫ ܡܢ ܫܘܪܝܗ ܕܥܠܡܐ ܗܫܐ ܕܝܢ ܒܚܪܬܗ ܕܥܠܡܐ ܚܕܐ ܗܘ ܙܒܢ ܩܪܒ ܢܦܫܗ ܒܕܒܝܚܘܬܗ ܕܢܒܛܠܝܗ ܠܚܛܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika mambo yote wewe mwenyewe unapaswa kuwa mfano wa matendo mema. Uwe mnyofu na uwe na uzito katika mafundisho yako. \t ܒܟܠܡܕܡ ܕܝܢ ܕܡܘܬܐ ܒܢܦܫܟ ܚܘܐ ܒܟܠ ܥܒܕܐ ܛܒܐ ܘܒܡܠܦܢܘܬܟ ܬܗܘܐ ܠܟ ܡܠܬܐ ܚܠܝܡܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninalo jukumu kwa watu wote, waliostaarabika na wasiostaarabika, wenye elimu na wasio na elimu. \t ܝܘܢܝܐ ܘܒܪܒܪܝܐ ܚܟܝܡܐ ܘܤܟܠܐ ܕܠܟܠܢܫ ܚܝܒ ܐܢܐ ܕܐܟܪܙ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo, vaeni silaha za Mungu ili siku ile itakapofika muweze kuyapinga mashambulio ya adui; na mkisha pigana mpaka mwisho, muwe bado thabiti. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܠܒܫܘ ܟܠܗ ܙܝܢܐ ܕܐܠܗܐ ܕܬܫܟܚܘܢ ܬܐܪܥܘܢ ܒܝܫܐ ܘܟܕ ܡܥܬܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܟܠܡܕܡ ܬܩܘܡܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipoingia tena ndani ya nyumba, wanafunzi wake walimwuliza juu ya jambo hilo. \t ܘܫܐܠܘܗܝ ܬܘܒ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܒܒܝܬܐ ܥܠ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo, nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako. \t ܐܡܪ ܠܗ ܡܪܗ ܐܝܘ ܥܒܕܐ ܛܒܐ ܘܡܗܝܡܢܐ ܥܠ ܩܠܝܠ ܡܗܝܡܢ ܗܘܝܬ ܥܠ ܤܓܝ ܐܩܝܡܟ ܥܘܠ ܠܚܕܘܬܗ ܕܡܪܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wajumbe wote wa lile Baraza waliposikia hayo, wakawaka hasira, hata wakaamua kuwaua. \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܗܘܘ ܗܠܝܢ ܡܠܐ ܡܬܓܘܙܠܝܢ ܗܘܘ ܒܪܘܓܙܐ ܘܡܬܚܫܒܝܢ ܗܘܘ ܠܡܩܛܠ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa maana Mwana wa Mtu hakuja kuyaangamiza maisha ya watu, bali kuyaokoa.\" Wakatoka, wakaenda kijiji kingine. \t ܒܪܗ ܓܝܪ ܕܐܢܫܐ ܠܐ ܐܬܐ ܠܡܘܒܕܘ ܢܦܫܬܐ ܐܠܐ ܠܡܚܝܘ ܘܐܙܠܘ ܠܗܘܢ ܠܩܪܝܬܐ ܐܚܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kumtuma kwako Artema au Tukiko, fanya bidii kuja Nikopoli unione, maana nimeamua kukaa huko wakati wa majira ya baridi. \t ܡܐ ܕܫܕܪܬ ܠܘܬܟ ܠܐܪܛܡܐ ܐܘ ܠܛܘܟܝܩܘܤ ܢܬܒܛܠ ܠܟ ܕܬܐܬܐ ܠܘܬܝ ܠܢܝܩܦܘܠܝܤ ܬܡܢ ܓܝܪ ܤܡܬ ܒܪܥܝܢܝ ܕܐܤܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, watu hao wasiomjua Mungu wanashangaa wanapoona kwamba hamwandamani nao tena katika hali ya kuishi vibaya, na hivyo wanawatukaneni. \t ܘܗܐ ܗܫܐ ܡܬܕܡܪܝܢ ܘܡܓܕܦܝܢ ܥܠܝܟܘܢ ܒܕܠܐ ܡܫܬܪܚܝܬܘܢ ܥܡܗܘܢ ܒܗܝ ܐܤܘܛܘܬܐ ܩܕܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akasema, \"Ni nani aliyenigusa?\" Wote wakasema kwamba hapakuwa na mtu aliyemgusa. Naye Petro akasema, \"Mwalimu, umati wa watu umekuzunguka na kukusonga!\" \t ܘܐܡܪ ܝܫܘܥ ܡܢܘ ܩܪܒ ܠܝ ܘܟܕ ܟܠܗܘܢ ܟܦܪܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܘܕܥܡܗ ܪܒܢ ܟܢܫܐ ܐܠܨܝܢ ܠܟ ܘܚܒܨܝܢ ܘܐܡܪ ܐܢܬ ܡܢܘ ܩܪܒ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku ya kwanza ya sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, wakati ambapo mwana kondoo wa Pasaka huchinjwa, wanafunzi wake walimwuliza, \"Wataka tukuandalie wapi karamu ya Pasaka?\" \t ܘܒܝܘܡܐ ܩܕܡܝܐ ܕܦܛܝܪܐ ܕܒܗ ܕܒܚܝܢ ܝܗܘܕܝܐ ܦܨܚܐ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܝܟܐ ܨܒܐ ܐܢܬ ܕܢܐܙܠ ܢܛܝܒ ܠܟ ܕܬܐܟܘܠ ܦܨܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kumpeleka kwanza kwa Anasi; Anasi alikuwa baba mkwe wa Kayafa ambaye alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo. \t ܘܐܝܬܝܘܗܝ ܠܘܬ ܚܢܢ ܠܘܩܕܡ ܡܛܠ ܕܚܡܘܗܝ ܗܘܐ ܕܩܝܦܐ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܪܒ ܟܗܢܐ ܕܫܢܬܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Fikirini juu ya mambo yaliyompata Yesu, jinsi alivyostahimili upinzani mkubwa kwa watu wenye dhambi. Basi, msife moyo, wala msikate tamaa. \t ܚܙܘ ܗܟܝܠ ܟܡܐ ܤܝܒܪ ܡܢ ܚܛܝܐ ܗܢܘܢ ܕܗܢܘܢ ܗܘܘ ܤܩܘܒܠܐ ܠܢܦܫܗܘܢ ܕܠܐ ܬܡܐܢ ܠܟܘܢ ܘܠܐ ܬܬܪܦܐ ܢܦܫܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu mmoja akamwuliza, \"Je, Mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?\" \t ܫܐܠܗ ܕܝܢ ܐܢܫ ܕܐܢ ܙܥܘܪܝܢ ܐܢܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܚܐܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyu Yohane ndiye anayesemwa katika Maandiko Matakatifu: Hapa ni mtumishi wangu, asema Bwana; ninamtuma akutangulie, akutayarishie njia.\" \t ܗܢܘ ܕܥܠܘܗܝ ܟܬܝܒ ܕܗܐ ܐܢܐ ܡܫܕܪ ܐܢܐ ܡܠܐܟܝ ܩܕܡ ܦܪܨܘܦܟ ܕܢܬܩܢ ܐܘܪܚܐ ܩܕܡܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na mkiwa na imani, chochote mtakachoomba katika sala, mtapata.\" \t ܘܟܠ ܡܕܡ ܕܬܫܐܠܘܢ ܒܨܠܘܬܐ ܘܬܗܝܡܢܘܢ ܬܤܒܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakampeleka Yesu kwa Kuhani Mkuu ambapo makuhani wakuu wote, wazee na walimu wa Sheria walikuwa wamekutanika. \t ܘܐܘܒܠܘܗܝ ܠܝܫܘܥ ܠܘܬ ܩܝܦܐ ܪܒ ܟܗܢܐ ܘܐܬܟܢܫܘ ܠܘܬܗ ܟܠܗܘܢ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܤܦܪܐ ܘܩܫܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara baada ya Paulo kuona ono hilo, tulijitayarisha kwenda Makedonia bila kukawia, tukiwa na hakika kwamba Mungu ametuita tuwapelekee Habari Njema. \t ܟܕ ܕܝܢ ܚܙܐ ܦܘܠܘܤ ܗܢܐ ܚܙܘܐ ܡܚܕܐ ܨܒܝܢ ܠܡܦܩ ܠܡܩܕܘܢܝܐ ܡܛܠ ܕܐܤܬܟܠܢ ܕܡܪܢ ܩܪܢ ܕܢܤܒܪ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafarisayo walipoona hayo, wakamwambia Yesu, \"Tazama, wanafunzi wako wanafanya jambo ambalo si halali siku ya Sabato.\" \t ܦܪܝܫܐ ܕܝܢ ܟܕ ܚܙܘ ܐܢܘܢ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܗܐ ܬܠܡܝܕܝܟ ܥܒܕܝܢ ܡܕܡ ܕܠܐ ܫܠܝܛ ܠܡܥܒܕ ܒܫܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Ilifanyika hivyo yapate kutimia maneno aliyosema Yesu kuonyesha atakufa kifo gani.) \t ܕܬܫܠܡ ܡܠܬܐ ܕܐܡܪ ܝܫܘܥ ܟܕ ܡܘܕܥ ܒܐܝܢܐ ܡܘܬܐ ܥܬܝܕ ܕܢܡܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Hata mimi sitawaambia ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܘܠܐ ܐܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܒܐܝܢܐ ܫܘܠܛܢܐ ܗܠܝܢ ܥܒܕ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu, maana watashibishwa. \t ܛܘܒܝܗܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܟܦܢܝܢ ܘܨܗܝܢ ܠܟܐܢܘܬܐ ܕܗܢܘܢ ܢܤܒܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika wa Bwana alimwambia Filipo, \"Jitayarishe uende kusini kupitia njia inayotoka Yerusalemu kwenda Gaza.\" (Njia hiyo hupita jangwani.) \t ܘܡܠܠ ܡܠܐܟܐ ܕܡܪܝܐ ܥܡ ܦܝܠܝܦܘܤ ܘܐܡܪ ܠܗ ܩܘܡ ܙܠ ܠܬܝܡܢܐ ܒܐܘܪܚܐ ܡܕܒܪܝܬܐ ܕܢܚܬܐ ܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܠܓܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtu anayeona shaka juu ya chakula anachokula, anahukumiwa kama akila, kwa sababu msimamo wa kitendo chake haumo katika imani. Na, chochote kisicho na msingi wake katika imani ni dhambi. \t ܐܝܢܐ ܓܝܪ ܕܡܬܦܠܓ ܘܐܟܠ ܐܬܚܝܒ ܠܗ ܡܛܠ ܕܠܘ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܟܠ ܡܕܡ ܓܝܪ ܕܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܚܛܝܬܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa twaukubali ushahidi wa binadamu, ushahidi wa Mungu una uzito zaidi; na huu ndio ushahidi alioutoa Mungu mwenyewe juu ya Mwanae. \t ܐܢ ܤܗܕܘܬܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܡܩܒܠܝܢܢ ܚܕ ܟܡܐ ܤܗܕܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܕܪܒܐ ܗܝ ܘܗܕܐ ܗܝ ܤܗܕܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܕܐܤܗܕ ܥܠ ܒܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maadamu hiyo \"Leo\" inayosemwa katika Maandiko bado inatuhusu sisi, mnapaswa kusaidiana daima, ili mtu yeyote miongoni mwenu asidanganywe na dhambi na kuwa mkaidi. \t ܐܠܐ ܒܥܘ ܡܢ ܢܦܫܟܘܢ ܟܠܗܘܢ ܝܘܡܬܐ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܐ ܕܡܬܩܪܐ ܝܘܡܢܐ ܕܠܐ ܢܬܩܫܐ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܒܛܥܝܘܬܐ ܕܚܛܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu. \t ܡܛܠ ܕܐܝܬ ܠܢ ܗܟܝܠ ܗܢܐ ܤܒܪܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܒܓܠܐ ܥܝܢ ܡܬܕܒܪܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, Maandiko yasema: \"Mungu ameweka vitu vyote chini ya miguu yake.\" Lakini, Maandiko yanaposema: \"Vitu vyote vimewekwa chini ya miguu yake avitawale\" ni dhahiri kwamba Mungu haingii katika kundi hilo la vitu, maana yeye ndiye anayeviweka vitu hivyo chini ya Kristo. \t ܟܠ ܓܝܪ ܫܥܒܕ ܬܚܝܬ ܪܓܠܘܗܝ ܡܐ ܕܐܡܪ ܕܝܢ ܕܟܠܡܕܡ ܡܫܬܥܒܕ ܠܗ ܝܕܝܥܐ ܕܤܛܪ ܡܢ ܗܘ ܕܫܥܒܕ ܠܗ ܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wakati utakuja ambapo mwenye nyumba atainuka na kufunga mlango. Ninyi mtasimama nje na kuanza kupiga hodi mkisema: Bwana, tufungulie mlango. Lakini yeye atawajibu: Sijui mmetoka wapi. \t ܡܢ ܫܥܬܐ ܕܢܩܘܡ ܡܪܐ ܒܝܬܐ ܘܢܐܚܘܕ ܬܪܥܐ ܘܬܗܘܘܢ ܩܝܡܝܢ ܠܒܪ ܘܢܩܫܝܢ ܒܬܪܥܐ ܘܬܫܪܘܢ ܠܡܐܡܪ ܡܪܢ ܡܪܢ ܦܬܚ ܠܢ ܘܢܥܢܐ ܗܘ ܘܢܐܡܪ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܝܡܟܐ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Agripa akamjibu Paulo, \"Kidogo tu utanifanya Mkristo!\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܐܓܪܦܘܤ ܒܩܠܝܠ ܡܕܡ ܡܦܝܤ ܐܢܬ ܠܝ ܕܐܗܘܐ ܟܪܤܛܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, wako watu wengi, hasa wale walioongoka kutoka dini ya Kiyahudi, ambao ni wakaidi, wanaowapotosha wengine kwa upumbavu wao. \t ܐܝܬ ܓܝܪ ܤܓܝܐܐ ܕܠܐ ܡܫܬܥܒܕܝܢ ܘܤܪܝܩܢ ܡܠܝܗܘܢ ܘܡܛܥܝܢ ܪܥܝܢܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܐܝܠܝܢ ܕܡܢ ܓܙܘܪܬܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu yeyote ambaye jina lake halikupatikana limeandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika ziwa la moto. \t ܘܐܝܢܐ ܕܠܐ ܐܫܬܟܚ ܕܪܫܝܡ ܒܟܬܒܐ ܕܚܝܐ ܐܬܪܡܝ ܒܝܡܬܐ ܕܢܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana tukiishi twaishi kwa ajili ya Bwana; tukifa, tunakufa kwa ajili ya Bwana. Basi, kama tukiishi au tukifa, sisi ni mali yake Bwana. \t ܡܛܠ ܕܐܢ ܚܐܝܢܢ ܠܡܪܢ ܚܐܝܢܢ ܘܐܢ ܡܝܬܝܢܢ ܠܡܪܢ ܗܘ ܡܝܬܝܢܢ ܘܐܢ ܚܝܝܢܢ ܗܟܝܠ ܘܐܢ ܡܝܬܝܢܢ ܕܡܪܢ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wapeni heshima kubwa na kuwapenda kwa sababu ya kazi wanayofanya. Muwe na amani kati yenu. \t ܕܗܘܘ ܚܫܝܒܝܢ ܠܟܘܢ ܒܚܘܒܐ ܝܬܝܪܐ ܘܡܛܠ ܥܒܕܗܘܢ ܐܫܬܝܢܘ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kuhusu huyu mtumishi asiye na faida, mtupeni nje gizani! Huko kutakuwa na kilio na kusaga meno. \t ܘܠܥܒܕܐ ܒܛܝܠܐ ܐܦܩܘܗܝ ܠܚܫܘܟܐ ܒܪܝܐ ܬܡܢ ܢܗܘܐ ܒܟܝܐ ܘܚܘܪܩ ܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, achana na madhambi yako. La sivyo, nitakuja kwako upesi na kupigana na watu hao kwa upanga utokao kinywani mwangu. \t ܬܘܒ ܗܟܝܠ ܘܐܢܕܝܢ ܠܐ ܐܬܐ ܐܢܐ ܥܠܝܟ ܡܚܕܐ ܘܐܩܪܒ ܥܡܗܘܢ ܒܚܪܒܐ ܕܦܘܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sasa namwendea yule aliyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: Unakwenda wapi? \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܐܙܠ ܐܢܐ ܠܘܬ ܡܢ ܕܫܕܪܢܝ ܘܠܐ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܡܫܐܠ ܠܝ ܠܐܝܟܐ ܐܙܠ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akawaita wadeni wa bwana wake, mmoja mmoja, akamwambia yule wa kwanza: Unadaiwa kiasi gani na bwana wangu? \t ܘܩܪܐ ܚܕ ܚܕ ܡܢ ܚܝܒܐ ܕܡܪܗ ܘܐܡܪ ܠܩܕܡܝܐ ܟܡܐ ܚܝܒ ܐܢܬ ܠܡܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakaanza kumsalimu, \"Shikamoo Mfalme wa Wayahudi!\" \t ܘܫܪܝܘ ܠܡܫܐܠ ܒܫܠܡܗ ܫܠܡ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo kusema, Mungu aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni upumbavu, ili awaaibishe wenye hekima; na aliyachagua yale ambayo ulimwengu huyaona ni dhaifu, ili awaaibishe wenye nguvu. \t ܐܠܐ ܓܒܐ ܐܠܗܐ ܠܤܟܠܘܗܝ ܕܥܠܡܐ ܕܢܒܗܬ ܠܚܟܝܡܐ ܘܓܒܐ ܟܪܝܗܘܗܝ ܕܥܠܡܐ ܕܢܒܗܬ ܠܚܝܠܬܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akauliza, \"Je, mlipopata kuwa waumini mlipokea Roho Mtakatifu?\" Nao wakamjibu, \"La! Hata kusikia kwamba kuna Roho Mtakatifu hatujasikia.\" \t ܕܐܢ ܩܒܠܬܘܢ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܡܢ ܕܗܝܡܢܬܘܢ ܥܢܘ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܘܐܦܠܐ ܐܢ ܐܝܬ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܫܡܝܥ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote waliomsikia walishangaa, wakasema, \"Je, mtu huyu si yuleyule aliyewaua wale waliokuwa wanaomba kwa jina hili kule Yerusalemu? Tena alikuja hapa akiwa na madhumuni ya kuwatia nguvuni watu hao na kuwapeleka kwa makuhani!\" \t ܘܬܡܝܗܝܢ ܗܘܘ ܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܫܡܥܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܠܐ ܗܘܐ ܗܢܐ ܗܘ ܕܪܕܦ ܗܘܐ ܠܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܩܪܝܢ ܗܘܘ ܠܫܡܐ ܗܢܐ ܒܐܘܪܫܠܡ ܐܦ ܠܗܪܟܐ ܥܠܝܗ ܥܠ ܗܕܐ ܡܫܕܪ ܗܘܐ ܐܝܟ ܕܢܐܤܘܪ ܢܘܒܠ ܐܢܘܢ ܠܪܒܝ ܟܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku chache baadaye, kulikuwa na mkutano wa waumini, karibu watu mia moja na ishirini. Petro alisimama mbele yao, \t ܘܒܗܘܢ ܒܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܩܡ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܡܨܥܬ ܬܠܡܝܕܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܬܡܢ ܟܢܫܐ ܕܐܢܫܐ ܐܝܟ ܡܐܐ ܘܥܤܪܝܢ ܘܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "udhalimu na mateso yangu. Unayajua mambo yaliyonipata huko Antiokia, Ikonio na Lustra. Nilivumilia udhalimu mkubwa mno! Lakini Bwana aliniokoa katika mambo hayo yote. \t ܘܒܬܪ ܪܕܝܦܘܬܝ ܘܒܬܪ ܚܫܝ ܘܝܕܥ ܐܢܬ ܐܝܠܝܢ ܤܝܒܪܬ ܒܐܢܛܝܟܝܐ ܘܒܐܝܩܢܘܢ ܘܒܠܘܤܛܪܐ ܐܝܕܐ ܪܕܝܦܘܬܐ ܤܝܒܪܬ ܘܡܢ ܟܠܗܝܢ ܦܨܝܢܝ ܡܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini naona kwamba kuna sheria nyingine inayofanya kazi mwilini mwangu, sheria ambayo inapingana na ile inayokubaliwa na akili yangu. Hiyo inanifanya niwe mtumwa wa sheria ya dhambi ifanyayo kazi mwilini mwangu. \t ܚܙܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܢܡܘܤܐ ܐܚܪܢܐ ܒܗܕܡܝ ܕܡܩܪܒ ܠܘܩܒܠ ܢܡܘܤܐ ܕܪܥܝܢܝ ܘܫܒܐ ܠܝ ܠܢܡܘܤܐ ܕܚܛܝܬܐ ܕܐܝܬ ܒܗܕܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye ni kama mtu anayeshika mikononi mwake chombo cha kupuria nafaka, aipure nafaka yake, akusanye ngano ghalani mwake, na makapi ayachome kwa moto usiozimika.\" \t ܗܘ ܕܐܚܝܕ ܪܦܫܐ ܒܐܝܕܗ ܘܡܕܟܐ ܐܕܪܘܗܝ ܘܚܛܐ ܟܢܫ ܠܐܘܨܪܘܗܝ ܘܬܒܢܐ ܢܘܩܕ ܒܢܘܪܐ ܕܠܐ ܕܥܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule jemadari aliposikia habari za Yesu, aliwatuma wazee fulani Wayahudi waende kumwomba aje amponye mtumishi wake. \t ܘܫܡܥ ܥܠ ܝܫܘܥ ܘܫܕܪ ܠܘܬܗ ܩܫܝܫܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܘܒܥܐ ܗܘܐ ܡܢܗ ܐܝܟ ܕܢܐܬܐ ܢܚܐ ܠܥܒܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala hakuna mtu awekaye divai mpya katika viriba vikuukuu. Akifanya hivyo, viriba hupasuka na divai ikamwagika, navyo viriba vikaharibika. Ila divai mpya hutiwa katika viriba vipya, na vyote viwili, viriba na divai, vikahifadhiwa salama.\" \t ܘܠܐ ܪܡܝܢ ܚܡܪܐ ܚܕܬܐ ܒܙܩܐ ܒܠܝܬܐ ܕܠܐ ܡܨܛܪܝܢ ܙܩܐ ܘܚܡܪܐ ܡܬܐܫܕ ܘܙܩܐ ܐܒܕܢ ܐܠܐ ܪܡܝܢ ܚܡܪܐ ܚܕܬܐ ܒܙܩܐ ܚܕܬܬܐ ܘܬܪܝܗܘܢ ܡܬܢܛܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wafalme wa dunia walijiweka tayari, na watawala walikutana pamoja, ili kumwasi Bwana na Kristo wake. \t ܩܡܘ ܡܠܟܐ ܕܐܪܥܐ ܘܫܠܝܛܢܐ ܘܐܬܡܠܟܘ ܐܟܚܕܐ ܥܠ ܡܪܝܐ ܘܥܠ ܡܫܝܚܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo basi, ndugu zangu, mnapaswa kuwa na hamu ya kutangaza ujumbe wa Mungu; lakini msimkataze mtu kusema kwa lugha ngeni. \t ܛܢܘ ܗܟܝܠ ܐܚܝ ܠܡܬܢܒܝܘ ܘܠܡܡܠܠܘ ܒܠܫܢܐ ܠܐ ܬܟܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, ombeni, nanyi mtapewa, tafuteni, nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa. \t ܐܦ ܐܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܫܐܠܘ ܘܢܬܝܗܒ ܠܟܘܢ ܒܥܘ ܘܬܫܟܚܘܢ ܩܘܫܘ ܘܢܬܦܬܚ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܢܫܒܘܩ ܓܒܪܐ ܠܐܒܘܗܝ ܘܠܐܡܗ ܘܢܩܦ ܠܐܢܬܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Niambieni, enyi mnaopenda kutawaliwa na sheria: Je, mnasikia isemavyo Sheria? \t ܐܡܪܘ ܠܝ ܐܢܬܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܨܒܝܢ ܕܢܗܘܘܢ ܬܚܝܬ ܢܡܘܤܐ ܠܗ ܠܢܡܘܤܐ ܠܐ ܫܡܥܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watumwa wote wanapaswa kuwaheshimu wakuu wao ili kusiwe na sababu ya watu kulitukana jina la Mungu na mafundisho yetu. \t ܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܬܚܝܬ ܢܝܪܐ ܕܥܒܕܘܬܐ ܠܡܪܝܗܘܢ ܒܟܠ ܐܝܩܪ ܢܐܚܕܘܢ ܕܠܐ ܢܗܘܐ ܫܡܗ ܕܐܠܗܐ ܘܝܘܠܦܢܗ ܡܬܓܕܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huwanyonya wajane huku wakijisingizia kusali sala ndefu. Siku ya hukumu watapata adhabu kali!\" \t ܗܢܘܢ ܕܐܟܠܝܢ ܒܬܐ ܕܐܪܡܠܬܐ ܒܥܠܬܐ ܕܡܘܪܟܝܢ ܨܠܘܬܗܘܢ ܗܢܘܢ ܢܩܒܠܘܢ ܕܝܢܐ ܝܬܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wanaosema mambo kama hayo, huonyesha wazi kwamba wanaitafuta nchi yao wenyewe. \t ܐܝܠܝܢ ܕܝܢ ܕܗܠܝܢ ܐܡܪܝܢ ܡܚܘܝܢ ܕܠܡܕܝܢܬܗܘܢ ܒܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akamwambia, \"Yuda! Je, unamsaliti Mwana wa Mtu kwa kumbusu?\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܝܗܘܕܐ ܒܢܘܫܩܬܐ ܡܫܠܡ ܐܢܬ ܠܗ ܠܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Petro akaanza kusema: \"Sasa nimetambua kwamba hakika Mungu hana ubaguzi. \t ܦܬܚ ܕܝܢ ܫܡܥܘܢ ܦܘܡܗ ܘܐܡܪ ܒܫܪܪܐ ܐܕܪܟܬ ܕܐܠܗܐ ܠܐ ܗܘܐ ܢܤܒ ܒܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii: \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܟܠܗ ܕܗܘܬ ܕܢܬܡܠܐ ܡܕܡ ܕܐܬܐܡܪ ܡܢ ܡܪܝܐ ܒܝܕ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msiwe kikwazo kwa Wayahudi au kwa Wagiriki au kwa kanisa la Mungu. \t ܕܠܐ ܬܘܩܠܐ ܗܘܘ ܠܝܗܘܕܝܐ ܘܠܐܪܡܝܐ ܘܠܥܕܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama huyo mwanamume akiamua kwa hiari moyoni mwake kutooa na kama anaweza kuzitawala tamaa zake na kuamua namna ya kufanya, basi, anafanya vizuri zaidi asipomwoa huyo mwenzake bikira. \t ܐܝܢܐ ܕܝܢ ܕܫܪܝܪܐܝܬ ܦܤܩ ܒܪܥܝܢܗ ܘܠܐ ܐܠܨܐ ܠܗ ܨܒܘܬܐ ܘܫܠܝܛ ܥܠ ܨܒܝܢܗ ܘܗܟܢܐ ܕܢ ܒܠܒܗ ܕܢܛܪ ܒܬܘܠܬܗ ܫܦܝܪ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakasema, \"Mose aliagiza mume kumpatia mkewe hati ya talaka na kumwacha.\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܡܪܝܢ ܡܘܫܐ ܐܦܤ ܠܢ ܕܢܟܬܘܒ ܟܬܒܐ ܕܫܘܒܩܢܐ ܘܢܫܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wewe na mimi tunastahili, maana haya ni malipo ya yale tuliyotenda. Lakini mtu huyu hakufanya chochote kibaya.\" \t ܘܚܢܢ ܟܐܢܐܝܬ ܐܝܟ ܕܫܘܝܢ ܗܘܝܢ ܓܝܪ ܘܐܝܟ ܕܥܒܕܢ ܐܬܦܪܥܢ ܗܢܐ ܕܝܢ ܡܕܡ ܕܤܢܐ ܠܐ ܥܒܝܕ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati mama anapojifungua huona huzuni kwa sababu saa ya maumivu imefika; lakini akisha jifungua hayakumbuki tena maumivu hayo kwa sababu ya furaha kwamba mtu amezaliwa duniani. \t ܐܢܬܬܐ ܡܐ ܕܝܠܕܐ ܟܪܝܐ ܠܗ ܕܡܛܐ ܝܘܡܐ ܕܡܘܠܕܗ ܡܐ ܕܝܠܕܬ ܕܝܢ ܒܪܐ ܠܐ ܥܗܕܐ ܐܘܠܨܢܗ ܡܛܠ ܚܕܘܬܐ ܕܐܬܝܠܕ ܒܪܢܫܐ ܒܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara akaongozwa na Roho kwenda jangwani, \t ܘܡܚܕܐ ܐܦܩܬܗ ܪܘܚܐ ܠܡܕܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Enyi kizazi cha nyoka! Mnawezaje kusema mambo mema hali ninyi ni waovu? Maana mtu husema kutokana na yale yaliyojaa moyoni. \t ܝܠܕܐ ܕܐܟܕܢܐ ܐܝܟܢܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܛܒܬܐ ܠܡܡܠܠܘ ܕܒܝܫܐ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܬܘܬܪܝ ܠܒܐ ܓܝܪ ܡܡܠܠ ܦܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nimekufanya ujulikane kwao na nitaendelea kufanya hivyo, ili upendo ulio nao kwangu uwe ndani yao, nami niwe ndani yao.\" \t ܘܐܘܕܥܬ ܐܢܘܢ ܫܡܟ ܘܡܘܕܥ ܐܢܐ ܕܚܘܒܐ ܗܘ ܕܐܚܒܬܢܝ ܢܗܘܐ ܒܗܘܢ ܘܐܢܐ ܐܗܘܐ ܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Nathanieli akamwuliza, \"Umepataje kunijua?\" Yesu akamwambia, \"Ulipokuwa chini ya mtini hata kabla Filipo hajakuita, nilikuona.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܢܬܢܝܐܝܠ ܡܢ ܐܝܡܟܐ ܝܕܥ ܐܢܬ ܠܝ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܥܕܠܐ ܢܩܪܝܟ ܦܝܠܝܦܘܤ ܟܕ ܬܚܝܬ ܬܬܐ ܐܢܬ ܚܙܝܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliendelea kukutana pamoja kila siku Hekaluni. Lakini wakati wa kumega mkate, walikutana katika nyumba zao na wakakishiriki chakula hicho kwa furaha na moyo mkunjufu. \t ܘܟܠܝܘܡ ܐܡܝܢܝܢ ܗܘܘ ܒܗܝܟܠܐ ܒܚܕܐ ܢܦܫ ܘܒܒܝܬܐ ܩܨܝܢ ܗܘܘ ܦܪܝܤܬܐ ܘܡܩܒܠܝܢ ܗܘܘ ܤܝܒܪܬܐ ܟܕ ܪܘܙܝܢ ܘܒܒܪܝܪܘܬܐ ܕܠܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja wa wale waliokuwa pamoja na Yesu akanyosha mkono, akauchomoa upanga wake, akampiga mtumishi wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio. \t ܘܗܐ ܚܕ ܡܢ ܗܢܘܢ ܕܥܡ ܝܫܘܥ ܐܘܫܛ ܐܝܕܗ ܘܫܡܛ ܤܦܤܪܐ ܘܡܚܝܗܝ ܠܥܒܕܗ ܕܪܒ ܟܗܢܐ ܘܫܩܠܗ ܐܕܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wengine ni kama wale walio njiani ambapo mbegu zilianguka. Hawa hulisikia hilo neno lakini mara Shetani huja na kuliondoa neno hilo lililopandwa ndani yao. \t ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܕܥܠ ܝܕ ܐܘܪܚܐ ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܕܡܙܕܪܥܐ ܒܗܘܢ ܡܠܬܐ ܘܡܐ ܕܫܡܥܘ ܡܚܕܐ ܐܬܐ ܤܛܢܐ ܘܫܩܠ ܠܗ ܠܡܠܬܐ ܕܙܪܝܥܐ ܒܠܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Kristo Yesu, Mwana wa Mungu, ambaye mimi, Silwano na Timotheo, tulimhubiri kwenu, hakuwa mtu wa \"Ndiyo\" na \"Siyo\"; bali yeye daima ni \"Ndiyo\" ya Mungu. \t ܒܪܗ ܓܝܪ ܕܐܠܗܐ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܘ ܕܒܐܝܕܢ ܐܬܟܪܙ ܠܟܘܢ ܒܝ ܘܒܤܠܘܢܘܤ ܘܒܛܝܡܬܐܘܤ ܠܐ ܗܘܐ ܐܝܢ ܘܠܐ ܐܠܐ ܐܝܢ ܗܘܐ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu watazirai kwa sababu ya uoga, wakitazamia mambo yatakayoupata ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa. \t ܘܙܘܥܐ ܕܡܦܩ ܢܦܫܬܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܡܢ ܕܚܠܬܐ ܕܡܕܡ ܕܥܬܝܕ ܠܡܐܬܐ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܢܬܬܙܝܥܘܢ ܚܝܠܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Acheni kulewa divai maana hiyo itawaangamiza, bali mjazwe Roho Mtakatifu. \t ܘܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܪܘܝܢ ܒܚܡܪܐ ܕܒܗ ܐܝܬ ܐܤܘܛܘܬܐ ܐܠܐ ܐܬܡܠܘ ܒܪܘܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa hiyo, jihadharini jinsi mnavyosikia; maana aliye na kitu ataongezewa, lakini yule asiye na kitu, hata kile anachodhani kuwa anacho, kitachukuliwa.\" \t ܚܙܘ ܐܝܟܢܐ ܫܡܥܬܘܢ ܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܓܝܪ ܢܬܝܗܒ ܠܗ ܘܡܢ ܕܠܝܬ ܠܗ ܐܦ ܗܘ ܕܤܒܪ ܕܐܝܬ ܠܗ ܢܫܬܩܠ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunawatakieni nyote neema ya Mungu. \t ܛܝܒܘܬܐ ܥܡ ܟܠܟܘܢ ܐܡܝܢ ܫܥܡܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nyingine zilianguka penye mawe pasipokuwa na udongo mwingi. Zikaota mara kwa kuwa udongo haukuwa na kina. \t ܘܐܚܪܢܐ ܢܦܠ ܥܠ ܫܘܥܐ ܐܝܟܐ ܕܠܝܬ ܗܘܐ ܡܕܪܐ ܤܓܝܐܐ ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܫܘܚ ܡܛܠ ܕܠܝܬ ܗܘܐ ܥܘܡܩܐ ܕܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo shikeni na kutekeleza chochote watakachowaambieni. Lakini msiyaige matendo yao, maana hawatekelezi yale wanayoyahubiri. \t ܟܠ ܡܕܡ ܗܟܝܠ ܕܢܐܡܪܘܢ ܠܟܘܢ ܕܬܛܪܘܢ ܛܪܘ ܘܥܒܕܘ ܐܝܟ ܥܒܕܝܗܘܢ ܕܝܢ ܠܐ ܬܥܒܕܘܢ ܐܡܪܝܢ ܓܝܪ ܘܠܐ ܥܒܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akasema, \"Kweli nawaambieni, kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au mama, au baba, au watoto au mashamba kwa ajili yangu na kwa ajili ya Habari Njema, \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܝܬ ܐܢܫ ܕܫܒܩ ܒܬܐ ܐܘ ܐܚܐ ܐܘ ܐܚܘܬܐ ܐܘ ܐܒܐ ܐܘ ܐܡܐ ܐܘ ܐܢܬܬܐ ܐܘ ܒܢܝܐ ܐܘ ܩܘܪܝܐ ܡܛܠܬܝ ܘܡܛܠ ܤܒܪܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tulipita kando yake polepole tukafika mahali paitwapo \"Bandari Nzuri\", karibu na mji wa Lasea. \t ܘܠܡܚܤܢ ܟܕ ܪܕܝܢܢ ܚܕܪܝܗ ܡܛܝܢ ܠܕܘܟܬܐ ܕܡܬܩܪܝܐ ܠܡܐܢܐ ܫܦܝܪܐ ܘܩܪܝܒܐ ܗܘܬ ܠܗ ܡܕܝܢܬܐ ܕܫܡܗ ܠܐܤܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini. \t ܐܠܐ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܕܚܙܝܬܘܢܢܝ ܘܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini walimwona akitembea juu ya maji, wakadhani ni mzimu, wakapiga yowe. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܚܙܐܘܗܝ ܕܡܗܠܟ ܥܠ ܡܝܐ ܘܤܒܪܘ ܠܗܘܢ ܕܚܙܘܐ ܗܘ ܕܓܠܐ ܘܩܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Hapa ni mtumishi wangu niliyemteua, mpendwa wangu anipendezaye moyoni. Nitaiweka Roho yangu juu yake, naye atatangaza hukumu yangu kwa mataifa yote. \t ܗܐ ܥܒܕܝ ܕܐܨܛܒܝܬ ܒܗ ܚܒܝܒܝ ܕܤܘܚܬ ܒܗ ܢܦܫܝ ܪܘܚܝ ܐܤܝܡ ܥܠܘܗܝ ܘܕܝܢܐ ܠܥܡܡܐ ܢܟܪܙ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili kwa neema yake tupate kukubaliwa kuwa waadilifu na kuupokea uzima wa milele tunaoutumainia. \t ܕܒܛܝܒܘܬܗ ܢܙܕܕܩ ܘܢܗܘܐ ܝܪܬܐ ܒܤܒܪܐ ܒܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Shabaha ya hawa kumi ni moja, na watampa yule mnyama nguvu na mamlaka yao yote. \t ܗܠܝܢ ܚܕ ܨܒܝܢܐ ܐܝܬ ܠܗܘܢ ܘܚܝܠܐ ܘܫܘܠܛܢܐ ܕܝܠܗܘܢ ܠܚܝܘܬܐ ܝܗܒܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Atamtangulia Bwana akiongozwa na nguvu na roho kama Eliya. Atawapatanisha kina baba na watoto wao; atawafanya wasiotii wawe na fikira za uadilifu, na hivyo amtayarishie Bwana watu wake.\" \t ܘܗܘ ܢܐܙܠ ܩܕܡܘܗܝ ܒܪܘܚܐ ܘܒܚܝܠܐ ܕܐܠܝܐ ܢܒܝܐ ܕܢܦܢܐ ܠܒܐ ܕܐܒܗܐ ܥܠ ܒܢܝܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܬܛܦܝܤܝܢ ܠܝܕܥܬܐ ܕܟܐܢܐ ܘܢܛܝܒ ܠܡܪܝܐ ܥܡܐ ܓܡܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtumwa hana makao ya kudumu nyumbani, lakini mwana anayo makao ya kudumu. \t ܘܥܒܕܐ ܠܐ ܡܩܘܐ ܠܥܠܡ ܒܒܝܬܐ ܒܪܐ ܕܝܢ ܠܥܠܡ ܡܩܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makuhani wakuu wakazichukua zile fedha, wakasema, \"Haifai kuziweka katika hazina ya Hekalu kwa maana ni fedha za damu.\" \t ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܕܝܢ ܫܩܠܘܗܝ ܠܟܤܦܐ ܘܐܡܪܘ ܠܐ ܫܠܝܛ ܕܢܪܡܝܘܗܝ ܒܝܬ ܩܘܪܒܢܐ ܡܛܠ ܕܛܝܡܝ ܕܡܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Furahini kuhusu jambo hilo, ijapokuwa sasa, kwa kitambo kidogo, itawabidi kuhuzunika kwa sababu ya majaribio mbalimbali mnayoteseka. \t ܕܒܗܘܢ ܬܚܕܘܢ ܠܥܠܡ ܐܦܢ ܒܗܢܐ ܙܒܢܐ ܩܠܝܠ ܡܬܬܥܝܩܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܢܤܝܘܢܐ ܡܫܚܠܦܐ ܕܥܕܝܢ ܥܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wazee wa Baraza waliposikia hayo, walighadhibika sana, wakamsagia meno kwa hasira. \t ܘܟܕ ܫܡܥܘ ܗܘܘ ܗܠܝܢ ܐܬܡܠܝܘ ܚܡܬܐ ܒܢܦܫܗܘܢ ܘܡܚܪܩܝܢ ܗܘܘ ܫܢܝܗܘܢ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, mbele ya Mungu Baba yetu, twakumbuka jinsi mnavyoonyesha imani yenu kwa matendo, jinsi upendo wenu unavyowawezesha kufanya kazi kwa bidii, na jinsi tumaini lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo lilivyo thabiti. \t ܘܥܗܕܝܢܢ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܐܒܐ ܥܒܕܐ ܕܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܘܥܡܠܐ ܕܚܘܒܟܘܢ ܘܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܕܤܒܪܟܘܢ ܕܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Roho wa Bwana yu juu yangu, kwani amenipaka mafuta niwahubirie maskini Habari Njema. Amenituma niwatangazie mateka watapata uhuru, vipofu watapata kuona tena; amenituma niwakomboe wanaoonewa, \t ܪܘܚܗ ܕܡܪܝܐ ܥܠܝ ܘܡܛܠ ܗܕܐ ܡܫܚܢܝ ܠܡܤܒܪܘ ܠܡܤܟܢܐ ܘܫܠܚܢܝ ܠܡܐܤܝܘ ܠܬܒܝܪܝ ܠܒܐ ܘܠܡܟܪܙܘ ܠܫܒܝܐ ܫܘܒܩܢܐ ܘܠܥܘܝܪܐ ܚܙܝܐ ܘܠܡܫܪܪܘ ܠܬܒܝܪܐ ܒܫܘܒܩܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakampa divai iliyochanganywa na manemane, lakini yeye akaikataa. \t ܘܝܗܒܘ ܠܗ ܠܡܫܬܐ ܚܡܪܐ ܕܚܠܝܛ ܒܗ ܡܘܪܐ ܗܘ ܕܝܢ ܠܐ ܢܤܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawauliza, \"Vijana, hamjapata samaki wowote sio?\" Wao wakamjibu, \"La! Hatujapata kitu.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܛܠܝܐ ܠܡܐ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܡܕܡ ܠܡܠܥܤ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kwa damu yake Kristo sisi tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa. Ndivyo ulivyo ukuu wa neema yake \t ܕܒܗ ܐܝܬ ܠܢ ܦܘܪܩܢܐ ܘܒܕܡܗ ܫܘܒܩܢܐ ܕܚܛܗܐ ܐܝܟ ܥܘܬܪܐ ܕܛܝܒܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nasema tena wazi: kila anayekubali kutahiriwa itambidi kuishika Sheria yote. \t ܡܤܗܕ ܐܢܐ ܕܝܢ ܬܘܒ ܠܟܠ ܒܪܢܫ ܕܡܬܓܙܪ ܕܚܝܒ ܗܘ ܕܟܠܗ ܢܡܘܤܐ ܢܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tangu Mungu alipoumba ulimwengu, uwezo wake wa milele na uungu wake, ingawa havionekani kwa macho, vinafahamika wazi. Watu wanaweza kuyajua mambo hayo kutokana na vitu hivyo alivyoumba Mungu. Kwa hiyo hawana njia yoyote ya kujitetea! \t ܟܤܝܬܗ ܓܝܪ ܕܐܠܗܐ ܡܢ ܬܪܡܝܬܗ ܕܥܠܡܐ ܠܒܪܝܬܗ ܒܤܘܟܠܐ ܡܬܚܙܝܢ ܘܚܝܠܗ ܘܐܠܗܘܬܗ ܕܠܥܠܡ ܕܢܗܘܘܢ ܕܠܐ ܡܦܩ ܒܪܘܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kule jangwani babu zetu walikuwa na lile hema lililoshuhudia kuweko kwa Mungu. Lilitengenezwa kama Mungu alivyomwambia Mose alifanye; nakala kamili ya kile alichoonyeshwa. \t ܗܐ ܡܫܟܢܐ ܕܤܗܕܘܬܐ ܕܐܒܗܬܢ ܒܡܕܒܪܐ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܐܝܟ ܡܐ ܕܦܩܕ ܗܘ ܕܡܠܠ ܥܡ ܡܘܫܐ ܠܡܥܒܕܗ ܒܕܡܘܬܐ ܕܚܘܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Tena mmesikia kuwa watu wa kale waliambiwa: Usivunje kiapo chako, bali ni lazima utimize kiapo chako kwa Bwana. \t ܬܘܒ ܫܡܥܬܘܢ ܕܐܬܐܡܪ ܠܩܕܡܝܐ ܕܠܐ ܬܕܓܠ ܒܡܘܡܬܟ ܬܫܠܡ ܕܝܢ ܠܡܪܝܐ ܡܘܡܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Saa ileile, Yesu akafurahi kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, akasema, \"Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa kuwa umewaficha wenye hekima na elimu mambo haya, ukawafumbulia wadogo. Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza.\" \t ܒܗ ܒܫܥܬܐ ܪܘܙ ܝܫܘܥ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܘܐܡܪ ܡܘܕܐ ܐܢܐ ܠܟ ܐܒܝ ܡܪܐ ܕܫܡܝܐ ܘܕܐܪܥܐ ܕܟܤܝܬ ܗܠܝܢ ܡܢ ܚܟܝܡܐ ܘܤܟܘܠܬܢܐ ܘܓܠܝܬ ܐܢܝܢ ܠܝܠܘܕܐ ܐܝܢ ܐܒܝ ܕܗܟܢܐ ܗܘܐ ܨܒܝܢܐ ܩܕܡܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, dhoruba kali ikaanza kuvuma, mawimbi yakaipiga ile mashua hata ikaanza kujaa maji. \t ܘܗܘܬ ܥܠܥܠܐ ܪܒܬܐ ܘܪܘܚܐ ܘܓܠܠܐ ܢܦܠܝܢ ܗܘܘ ܒܤܦܝܢܬܐ ܘܩܪܝܒܐ ܗܘܬ ܕܬܬܡܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akiwa katika uchungu mkubwa, alisali kwa bidii zaidi; na jasho likamtoka, kama matone ya damu, likatiririka mpaka chini. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܒܕܚܠܬܐ ܬܟܝܒܐܝܬ ܡܨܠܐ ܗܘܐ ܘܗܘܬ ܕܘܥܬܗ ܐܝܟ ܫܠܬܐ ܕܕܡܐ ܘܢܦܠ ܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yule aliyekabidhiwa talanta moja akaenda akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܢܤܒ ܚܕܐ ܐܙܠ ܚܦܪ ܒܐܪܥܐ ܘܛܫܝ ܟܤܦܐ ܕܡܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yule mtoza ushuru, akiwa amesimama kwa mbali bila hata kuinua macho yake mbinguni, ila tu akijipiga kifua kwa huzuni, alisema: Ee Mungu, unionee huruma mimi mwenye dhambi. \t ܗܘ ܕܝܢ ܡܟܤܐ ܩܐܡ ܗܘܐ ܡܢ ܪܘܚܩܐ ܘܠܐ ܨܒܐ ܗܘܐ ܐܦ ܠܐ ܥܝܢܘܗܝ ܢܪܝܡ ܠܫܡܝܐ ܐܠܐ ܛܪܦ ܗܘܐ ܥܠ ܚܕܝܗ ܘܐܡܪ ܐܠܗܐ ܚܘܢܝܢܝ ܠܚܛܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Aliyekwisha oga hana lazima ya kunawa isipokuwa miguu, maana amekwisha takata mwili wote. Ninyi mmetakata, lakini si nyote.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܗܘ ܕܤܚܐ ܠܐ ܤܢܝܩ ܐܠܐ ܪܓܠܘܗܝ ܒܠܚܘܕ ܢܫܝܓ ܟܠܗ ܓܝܪ ܕܟܐ ܗܘ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܟܠܟܘܢ ܕܟܝܐ ܐܢܬܘܢ ܐܠܐ ܠܐ ܟܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Hakuna mtu awezaye kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang'anya mali yake, isipokuwa kwanza amemfunga huyo mtu mwenye nguvu; hapo ndipo atakapoweza kumnyang'anya mali yake. \t ܠܐ ܐܢܫ ܡܫܟܚ ܕܢܥܘܠ ܠܒܝܬ ܚܤܝܢܐ ܘܢܚܛܘܦ ܡܐܢܘܗܝ ܐܠܐ ܐܢ ܠܘܩܕܡ ܠܚܤܝܢܐ ܢܐܤܘܪ ܘܗܝܕܝܢ ܒܝܬܗ ܢܒܘܙ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ikiwa ninajenga tena kile nilichokwisha bomoa, basi nahakikisha kwamba mimi ni mhalifu. \t ܐܢ ܓܝܪ ܠܐܝܠܝܢ ܕܤܬܪܬ ܬܘܒ ܠܗܝܢ ܒܢܐ ܐܢܐ ܚܘܝܬ ܥܠ ܢܦܫܝ ܕܥܒܪ ܥܠ ܦܘܩܕܢܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Mungu amethibitisha kwamba anatupenda, maana wakati tulipokuwa bado wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu. \t ܗܪܟܐ ܡܚܘܐ ܐܠܗܐ ܚܘܒܗ ܕܠܘܬܢ ܕܐܢ ܟܕ ܚܛܝܐ ܐܝܬܝܢ ܗܘܝܢ ܡܫܝܚܐ ܚܠܦܝܢ ܡܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Hapo nao watajibu, Bwana, ni lini tulikuona ukiwa na njaa au kiu, ukiwa mgeni au bila nguo, ukiwa mgonjwa au mfungwa, nasi hatukuja kukuhudumia? \t ܗܝܕܝܢ ܢܥܢܘܢ ܐܦ ܗܢܘܢ ܘܢܐܡܪܘܢ ܡܪܢ ܐܡܬܝ ܚܙܝܢܟ ܟܦܢܐ ܐܘ ܨܗܝܐ ܐܘ ܐܟܤܢܝܐ ܐܘ ܥܪܛܠܝܐ ܐܘ ܟܪܝܗܐ ܐܘ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܘܠܐ ܫܡܫܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mimi nawaambieni, wapendeni adui zenu na kuwaombea wale wanaowadhulumu ninyi \t ܐܢܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܚܒܘ ܠܒܥܠܕܒܒܝܟܘܢ ܘܒܪܟܘ ܠܡܢ ܕܠܐܛ ܠܟܘܢ ܘܥܒܕܘ ܕܫܦܝܪ ܠܡܢ ܕܤܢܐ ܠܟܘܢ ܘܨܠܘ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܕܒܪܝܢ ܠܟܘܢ ܒܩܛܝܪܐ ܘܪܕܦܝܢ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sisi ni wake Mungu. Mtu anayemjua Mungu hutusikiliza, mtu asiye wa Mungu hatusikilizi. Basi, kwa njia hiyo tunaweza kutambua tofauti kati ya Roho wa ukweli na roho wa uongo. \t ܚܢܢ ܕܝܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܚܢܢ ܘܗܘ ܕܝܕܥ ܠܐܠܗܐ ܫܡܥ ܠܢ ܘܗܘ ܕܠܐ ܐܝܬܘܗܝ ܡܢ ܐܠܗܐ ܠܐ ܫܡܥ ܠܢ ܒܗ ܒܗܕܐ ܡܤܬܟܠܝܢܢ ܠܪܘܚܐ ܕܫܪܪܐ ܘܠܪܘܚܐ ܕܡܛܥܝܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu, habari nilizopata kutoka kwa watu kadhaa wa jamaa ya Kloe, zaonyesha wazi kwamba kuna kutoelewana kati yenu. \t ܫܠܚܘ ܠܝ ܓܝܪ ܥܠܝܟܘܢ ܐܚܝ ܡܢ ܒܝܬ ܟܠܐܐ ܕܚܪܝܢܐ ܐܝܬ ܒܝܢܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini Msaidizi, Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, atawafundisheni kila kitu na kuwakumbusheni yote niliyowaambieni. \t ܗܘ ܕܝܢ ܦܪܩܠܛܐ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܗܘ ܕܡܫܕܪ ܐܒܝ ܒܫܡܝ ܗܘ ܢܠܦܟܘܢ ܟܠܡܕܡ ܘܗܘ ܢܥܗܕܟܘܢ ܟܠ ܡܐ ܕܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Kristo mwenyewe ametuletea amani kwa kuwafanya Wayahudi na watu wa mataifa mengine kuwa jamii moja. Kwa mwili wake yeye mwenyewe aliubomoa ule ukuta uliowatenganisha na kuwafanya maadui. \t ܗܘܝܘ ܓܝܪ ܫܝܢܢ ܗܘ ܕܥܒܕ ܬܪܬܝܗܝܢ ܚܕܐ ܘܫܪܐ ܤܝܓܐ ܕܩܐܡ ܗܘܐ ܒܡܨܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Petro akaanza kujilaani na kuapa akisema, \"Simjui mtu huyo!\" Mara jogoo akawika. \t ܘܐܬܕܟܪ ܟܐܦܐ ܡܠܬܐ ܕܝܫܘܥ ܕܐܡܪ ܠܗ ܕܩܕܡ ܕܢܩܪܐ ܬܪܢܓܠܐ ܬܠܬ ܙܒܢܝܢ ܬܟܦܘܪ ܒܝ ܘܢܦܩ ܠܒܪ ܒܟܐ ܡܪܝܪܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Daudi aliona kabla mambo yatakayofanywa na Mungu na hivyo akasema juu ya ufufuo wa Kristo wakati aliposema: Hakuachwa kuzimu, mwili wake haukuoza. \t ܘܩܕܡ ܚܙܐ ܘܡܠܠ ܥܠ ܩܝܡܬܗ ܕܡܫܝܚܐ ܕܠܐ ܐܫܬܒܩ ܒܫܝܘܠ ܐܦܠܐ ܦܓܪܗ ܚܙܐ ܚܒܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu waishi maisha adili, \t ܟܠ ܟܬܒ ܕܒܪܘܚܐ ܐܬܟܬܒ ܡܘܬܪܢܐ ܗܘ ܠܝܘܠܦܢܐ ܘܠܟܘܘܢܐ ܘܠܬܘܪܨܐ ܘܠܡܪܕܘܬܐ ܕܒܟܐܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikaona kitu kama bahari ya kioo, imechanganywa na moto. Nikawaona pia wale watu waliomshinda yule mnyama na sanamu yake na ambaye jina lake lilitajwa kwa ile tarakimu. Watu hao walikuwa wamesimama kando ya hiyo bahari ya kioo, wakiwa na vinubi walivyopewa na Mungu. \t ܘܚܙܝܬ ܐܝܟ ܝܡܐ ܕܙܓܘܓܝܬܐ ܕܦܬܝܟܐ ܒܢܘܪܐ ܘܠܕܙܟܘ ܡܢ ܚܝܘܬܐ ܘܡܢ ܨܠܡܗ ܘܡܢ ܡܢܝܢܐ ܕܫܡܗ ܕܩܝܡܝܢ ܠܥܠ ܡܢ ܝܡܐ ܕܙܓܘܓܝܬܐ ܘܐܝܬ ܥܠܝܗܘܢ ܩܝܬܪܘܗܝ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwishowe, baadhi ya watu wa mataifa mengine na Wayahudi, wakishirikiana na wakuu wao, waliazimu kuwatendea vibaya hao mitume na kuwapiga mawe. \t ܗܘܐ ܕܝܢ ܥܠܝܗܘܢ ܓܙܡܐ ܡܢ ܥܡܡܐ ܘܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܘܪܫܢܝܗܘܢ ܕܢܨܥܪܘܢ ܐܢܘܢ ܘܢܪܓܡܘܢ ܐܢܘܢ ܒܟܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana sisi ndio hao aliowaita, si tu kutoka miongoni mwa Wayahudi bali pia kutoka kwa watu wa mataifa mengine. \t ܕܐܝܬܝܢ ܚܢܢ ܩܪܝܐ ܠܐ ܗܘܐ ܒܠܚܘܕ ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܐܠܐ ܐܦ ܡܢ ܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa malaika wa kanisa la Laodikea andika hivi: \"Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aitwaye Amina. Yeye ni shahidi mwaminifu na wa kweli, ambaye ni chanzo cha viumbe vyote alivyoumba Mungu. \t ܘܠܡܠܐܟܐ ܕܥܕܬܐ ܕܠܐܝܕܝܩܝܐ ܟܬܘܒ ܗܟܢܐ ܐܡܪ ܐܡܝܢ ܤܗܕܐ ܡܗܝܡܢܐ ܘܫܪܝܪܐ ܘܪܫܝܬܐ ܕܒܪܝܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninachosema sasa si kile alichoniagiza Bwana; kuhusu jambo hili la kujivuna, nasema tu kama mtu mpumbavu. \t ܡܕܡ ܕܡܡܠܠ ܐܢܐ ܠܐ ܗܘܐ ܒܡܪܢ ܡܡܠܠ ܐܢܐ ܐܠܐ ܐܝܟ ܕܒܦܟܝܗܘܬܐ ܒܗܕܐ ܕܘܟܬܐ ܕܫܘܒܗܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waumini wengi walijitokeza wakakiri hadharani mambo waliyokuwa wametenda. \t ܘܤܓܝܐܐ ܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܗܝܡܢܘ ܐܬܝܢ ܗܘܘ ܘܡܫܬܥܝܢ ܤܟܠܘܬܗܘܢ ܘܡܘܕܝܢ ܒܡܕܡ ܕܥܒܕܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kila kilichofichwa kitafichuliwa, na kila kilichofunikwa kitafunuliwa. \t ܠܝܬ ܓܝܪ ܡܕܡ ܕܛܫܐ ܕܠܐ ܢܬܓܠܐ ܘܠܐ ܗܘܐ ܒܛܘܫܝܐ ܘܠܐ ܡܬܓܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Salimianeni kwa ishara ya upendo wa Kikristo. Nawatakieni amani ninyi mlio wake Kristo. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܚܕ ܕܚܕ ܒܢܘܫܩܬܐ ܩܕܝܫܬܐ ܫܠܡܐ ܥܡ ܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܒܡܫܝܚܐ ܐܢܘܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sasa, kwa vile mnamjua Mungu, au tuseme mnajulikana na Mungu, mnawezaje tena kurudi kwa wale pepo maskini na dhaifu hata kutaka kuwatumikia tena? \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܕܝܕܥܬܘܢ ܠܐܠܗܐ ܘܝܬܝܪܐܝܬ ܕܐܬܝܕܥܬܘܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܬܘܒ ܗܦܟܬܘܢ ܠܟܘܢ ܥܠ ܗܢܘܢ ܐܤܛܘܟܤܐ ܡܪܥܐ ܘܡܤܟܢܐ ܘܡܢ ܕܪܝܫ ܨܒܝܬܘܢ ܠܡܫܬܥܒܕܘ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Njoni, nanyi mtaona.\" Hao wanafunzi wakamfuata, wakaona mahali alipokuwa anakaa, wakashinda naye siku hiyo. Ilikuwa yapata saa kumi jioni. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܬܘ ܘܬܚܙܘܢ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܬܘ ܘܚܙܘ ܐܝܟܐ ܕܗܘܐ ܘܠܘܬܗ ܗܘܘ ܝܘܡܐ ܗܘ ܘܐܝܬ ܗܘܝ ܐܝܟ ܫܥܐ ܥܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yuda alipofika tu, alimwendea Yesu moja kwa moja, akasema, \"Mwalimu!\" Kisha akambusu. \t ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܩܪܒ ܘܐܡܪ ܠܗ ܪܒܝ ܪܒܝ ܘܢܫܩܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunalipokea jambo hili kwa furaha daima na kutoa shukrani nyingi kwako kila mahali. \t ܘܟܠܢ ܒܟܠ ܕܘܟ ܡܩܒܠܝܢܢ ܛܝܒܘܬܟ ܢܨܝܚܐ ܦܝܠܟܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu walipokuwa wanakwenda zao, wengine walimletea Yesu mtu mmoja aliyekuwa bubu kwa sababu alikuwa amepagawa na pepo. \t ܘܟܕ ܢܦܩ ܝܫܘܥ ܩܪܒܘ ܠܗ ܚܪܫܐ ܕܐܝܬ ܥܠܘܗܝ ܕܝܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wazee wetu walikula mana kule jangwani, kama yasemavyo Maandiko: Aliwalisha mkate kutoka mbinguni.\" \t ܐܒܗܝܢ ܡܢܢܐ ܐܟܠܘ ܒܡܕܒܪܐ ܐܝܟܢܐ ܕܟܬܝܒ ܕܠܚܡܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܝܗܒ ܠܗܘܢ ܠܡܐܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, umati huo ukamjibu, \"Sisi tunaambiwa na Sheria yetu kwamba Kristo atadumu milele. Wawezaje basi, kusema ati Mwana wa Mtu anapaswa kuinuliwa? Huyo Mwana wa Mtu ni nani?\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܟܢܫܐ ܚܢܢ ܫܡܥܢ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܕܡܫܝܚܐ ܠܥܠܡ ܡܩܘܐ ܐܝܟܢܐ ܐܡܪ ܐܢܬ ܕܥܬܝܕ ܗܘ ܕܢܬܬܪܝܡ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܡܢܘ ܗܢܐ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nanyi wenyewe mwaweza kushuhudia kuwa nilisema: Mimi siye Kristo, lakini nimetumwa ili nimtangulie! \t ܐܢܬܘܢ ܤܗܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ ܕܐܡܪܬ ܕܐܢܐ ܠܐ ܗܘܝܬ ܡܫܝܚܐ ܐܠܐ ܫܠܝܚܐ ܐܢܐ ܕܩܕܡܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala si mimi tu, bali hata Herode hakuona kosa lolote, kwa maana amemrudisha kwangu. Ni dhahiri kwamba mtu huyu hakufanya chochote kinachostahili adhabu ya kifo. \t ܐܠܐ ܐܦܠܐ ܗܪܘܕܤ ܫܕܪܬܗ ܓܝܪ ܠܘܬܗ ܘܗܐ ܠܐ ܡܕܡ ܕܫܘܐ ܠܡܘܬܐ ܤܥܝܪ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo akaja mtu mmoja aitwaye Yairo, ofisa wa sunagogi. Alijitupa miguuni pa Yesu, akamwomba aende nyumbani kwake, \t ܘܓܒܪܐ ܚܕ ܕܫܡܗ ܝܘܐܪܫ ܪܝܫ ܟܢܘܫܬܐ ܢܦܠ ܩܕܡ ܪܓܠܘܗܝ ܕܝܫܘܥ ܘܒܥܐ ܗܘܐ ܡܢܗ ܕܢܥܘܠ ܠܒܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamtenga na umati wa watu, akamtia vidole masikioni, akatema mate na kumgusa ulimi. \t ܘܢܓܕܗ ܡܢ ܟܢܫܐ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܘܐܪܡܝ ܨܒܥܬܗ ܒܐܕܢܘܗܝ ܘܪܩ ܘܩܪܒ ܠܠܫܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mtu mmoja akamwambia, \"Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka kusema nawe.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܕܝܢ ܐܢܫ ܗܐ ܐܡܟ ܘܐܚܝܟ ܩܝܡܝܢ ܠܒܪ ܘܒܥܝܢ ܕܢܡܠܠܘܢ ܥܡܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawauliza, \"Je, ninyi hamwelewi mfano huu? Mtawezaje basi, kuelewa mfano wowote? \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܠܡܬܠܐ ܗܢܐ ܘܐܝܟܢܐ ܟܠܗܘܢ ܡܬܠܐ ܬܕܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na mwenyeji wenu ninyi wawili atakuja na kukwambia: Mwachie huyu nafasi. Hapo utaaibika mbele ya wote na kulazimika kwenda kuchukua nafasi ya mwisho. \t ܘܢܐܬܐ ܗܘ ܡܢ ܕܠܟ ܘܠܗ ܩܪܐ ܘܢܐܡܪ ܠܟ ܕܗܒ ܕܘܟܬܐ ܠܗܢܐ ܘܬܒܗܬ ܟܕ ܩܐܡ ܐܢܬ ܘܐܚܕ ܐܢܬ ܕܘܟܬܐ ܐܚܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambao umeutayarisha mbele ya watu wote: \t ܗܘ ܕܛܝܒܬ ܒܦܪܨܘܦܐ ܕܟܠܗܝܢ ܐܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakawauliza hao wazazi, \"Je, huyu ndiye mtoto wenu ambaye ninyi mwasema alizaliwa kipofu? Sasa amepataje kuona?\" \t ܘܫܐܠܘ ܐܢܘܢ ܐܢ ܗܢܘ ܒܪܟܘܢ ܗܘ ܕܐܢܬܘܢ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܟܕ ܤܡܐ ܐܬܝܠܕ ܐܝܟܢܐ ܗܫܐ ܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwaosha wanafunzi wake miguu na kuipangusa kwa kile kitambaa alichojifungia. \t ܘܐܪܡܝ ܡܝܐ ܒܡܫܓܬܐ ܘܫܪܝ ܠܡܫܓܘ ܪܓܠܐ ܕܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܡܫܘܐ ܗܘܐ ܒܤܕܘܢܐ ܕܡܚܐ ܒܚܨܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Au, labda wewe wajifanya mkuu kuliko babu yetu Yakobo? Yeye alitupa sisi kisima hiki; na yeye mwenyewe, watoto wake na mifugo yake walikunywa maji ya kisima hiki.\" \t ܠܡܐ ܐܢܬ ܪܒ ܐܢܬ ܡܢ ܐܒܘܢ ܝܥܩܘܒ ܗܘ ܕܗܘ ܝܗܒ ܠܢ ܒܪܐ ܗܕܐ ܘܗܘ ܡܢܗ ܐܫܬܝ ܘܒܢܘܗܝ ܘܥܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nilikasirika, nikaapa: Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko.\" \t ܘܐܝܟ ܕܝܡܝܬ ܒܪܘܓܙܝ ܕܠܐ ܢܥܠܘܢ ܠܢܝܚܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini haliwaingii na kuwa na mizizi ndani yao; huendelea kulizingatia kwa kitambo tu, na wakati taabu au udhalimu vinapotokea kwa sababu ya hilo neno mara wanakata tamaa. \t ܘܠܝܬ ܠܗܘܢ ܥܩܪܐ ܒܢܦܫܗܘܢ ܐܠܐ ܕܙܒܢܐ ܐܢܘܢ ܘܡܐ ܕܗܘܐ ܐܘܠܨܢܐ ܐܘ ܪܕܘܦܝܐ ܡܛܠ ܡܠܬܐ ܥܓܠ ܡܬܟܫܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mlinunuliwa kwa bei kubwa. Kwa hiyo, itumieni miili yenu kwa ajili ya kumtukuza Mungu. \t ܐܙܕܒܢܬܘܢ ܓܝܪ ܒܕܡܝܐ ܗܘܝܬܘܢ ܗܟܝܠ ܡܫܒܚܝܢ ܠܐܠܗܐ ܒܦܓܪܟܘܢ ܘܒܪܘܚܟܘܢ ܗܢܘܢ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Iliyobakia ni afadhali kwenu kumsamehe mtu huyo na kumpa moyo ili asije akahuzunika mno na kukata tamaa kabisa. \t ܘܡܟܝܠ ܐܚܪܢܝܐܝܬ ܘܠܐ ܕܬܫܒܩܘܢ ܠܗ ܘܬܒܝܐܘܢܗ ܕܠܡܐ ܒܟܪܝܘܬܐ ܝܬܝܪܬܐ ܢܬܒܠܥ ܠܗ ܗܘ ܡܢ ܕܗܟܢܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana kundi kubwa la watu walimfuata wakipiga kelele, \"Muulie mbali!\" \t ܐܬܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܒܬܪܗ ܥܡܐ ܤܓܝܐܐ ܘܩܥܝܢ ܗܘܘ ܘܐܡܪܝܢ ܫܩܘܠܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa maana hakimwingii moyoni, ila tumboni, na baadaye hutolewa nje chooni?\" (Kwa kusema hivyo, Yesu alivihalalisha vyakula vyote.) \t ܕܠܐ ܗܘܐ ܠܠܒܗ ܥܐܠ ܐܠܐ ܠܟܪܤܗ ܘܡܫܬܕܐ ܒܬܕܟܝܬܐ ܕܡܕܟܝܐ ܟܠܗ ܡܐܟܘܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na hili ndilo agano nitakalofanya na watu wa Israeli siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu akilini mwao, na kuziandika mioyoni mwao. Mimi nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܕܝܬܩܐ ܕܐܬܠ ܠܒܝܬܐ ܕܒܝܬ ܐܝܤܪܝܠ ܒܬܪ ܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܐܡܪ ܡܪܝܐ ܐܬܠܝܘܗܝ ܠܢܡܘܤܝ ܒܡܕܥܝܗܘܢ ܘܥܠ ܠܒܘܬܗܘܢ ܐܟܬܒܝܘܗܝ ܘܐܗܘܐ ܠܗܘܢ ܐܢܐ ܐܠܗܐ ܘܗܢܘܢ ܢܗܘܘܢ ܠܝ ܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu amenichagua mimi niwe mtume na mwalimu kwa ajili ya kuhubiri Habari Njema, \t ܗܘ ܕܐܬܬܤܝܡܬ ܒܗ ܐܢܐ ܟܪܘܙܐ ܘܫܠܝܚܐ ܘܡܠܦܢܐ ܕܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "baadhi ya watu waliokuwa wamesimama hapo wakawauliza \"Kwa nini mnamfungua huyo mwana punda?\" \t ܐܢܫܝܢ ܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܩܝܡܝܢ ܐܡܪܘ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܫܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Adui aliyepanda yale magugu ni Ibilisi. Mavuno ni mwisho wa nyakati na wavunaji ni malaika. \t ܒܥܠܕܒܒܐ ܕܝܢ ܕܙܪܥ ܐܢܘܢ ܐܝܬܘܗܝ ܤܛܢܐ ܚܨܕܐ ܕܝܢ ܐܝܬܘܗܝ ܫܘܠܡܗ ܕܥܠܡܐ ܚܨܘܕܐ ܕܝܢ ܡܠܐܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kanisa lote linapokutana pamoja, na wote wakaanza kusema kwa lugha ngeni, kama wakija watu wa kawaida au wasioamini, je, hawatasema kwamba ninyi mna wazimu? \t ܐܢ ܗܘ ܗܟܝܠ ܕܬܬܟܢܫ ܟܠܗ ܥܕܬܐ ܘܟܠܗܘܢ ܒܠܫܢܐ ܢܡܠܠܘܢ ܘܢܥܠܘܢ ܗܕܝܘܛܐ ܐܘ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܠܐ ܐܡܪܝܢ ܕܗܠܝܢ ܫܢܘ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alfajiri na mapema Jumapili, kukiwa bado na giza, Maria Magdalene alikwenda kaburini, akaliona lile jiwe limeondolewa mlangoni pa kaburi. \t ܒܚܕ ܒܫܒܐ ܕܝܢ ܐܬܬ ܡܪܝܡ ܡܓܕܠܝܬܐ ܒܨܦܪܐ ܥܕ ܚܫܘܟ ܠܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܘܚܙܬ ܠܟܐܦܐ ܕܫܩܝܠܐ ܡܢ ܩܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwana ni mkuu zaidi kuliko malaika, kama vile jina alilopewa na Mungu ni kuu zaidi kuliko jina lao. \t ܘܗܢܐ ܟܠܗ ܝܪܒ ܡܢ ܡܠܐܟܐ ܐܝܟ ܡܐ ܕܡܝܬܪ ܫܡܐ ܕܝܪܬ ܡܢ ܕܝܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu; maana hekalu la Mungu ni takatifu, na hekalu hilo ni ninyi wenyewe. \t ܘܡܢ ܕܡܚܒܠ ܗܝܟܠܗ ܕܐܠܗܐ ܡܚܒܠ ܠܗ ܐܠܗܐ ܗܝܟܠܗ ܓܝܪ ܕܐܠܗܐ ܩܕܝܫ ܗܘ ܕܐܢܬܘܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, Yesu akawaambia wanafunzi wake, \"Haiwezekani kabisa kusitokee vikwazo vinavyosababisha dhambi; lakini ole wake mtu yule atakayevisababisha. \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܠܐ ܡܫܟܚܐ ܕܠܐ ܢܐܬܘܢ ܡܟܫܘܠܐ ܘܝ ܕܝܢ ܠܗܘ ܕܒܐܝܕܗ ܢܐܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu yeyote anayefundisha kinyume cha mambo haya, na ambaye hakubaliani na maneno ya kweli ya Bwana wetu Yesu Kristo na mafundisho ya dini, \t ܐܢ ܕܝܢ ܐܝܬ ܐܢܫ ܕܡܠܦ ܝܘܠܦܢܐ ܐܚܪܢܐ ܘܠܐ ܡܬܩܪܒ ܠܡܠܐ ܚܠܝܡܬܐ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܠܝܘܠܦܢܐ ܕܕܚܠܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naweza kushuhudia kwamba walikuwa wakarimu kadiri ya nguvu zao na hata zaidi. Kwa hiari yao wenyewe, \t ܤܗܕ ܐܢܐ ܓܝܪ ܕܐܝܟ ܚܝܠܗܘܢ ܘܝܬܝܪ ܡܢ ܚܝܠܗܘܢ ܒܨܒܝܢ ܢܦܫܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa njia yake mnaokolewa, ikiwa mnayazingatia maneno niliyowahubirieni, na kama kuamini kwenu hakukuwa bure. \t ܘܒܗ ܚܐܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܐܝܕܐ ܡܠܬܐ ܤܒܪܬܟܘܢ ܐܢ ܥܗܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܢ ܠܐ ܗܘܐ ܤܪܝܩܐܝܬ ܗܝܡܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akawauliza tena, \"Basi, sasa mwataka nifanye nini na mtu huyu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܦܝܠܛܘܤ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܥܒܕ ܠܗܢܐ ܕܩܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana; ameniangalia na kuniondolea aibu niliyokuwa nayo mbele ya watu.\" \t ܕܗܠܝܢ ܥܒܕ ܠܝ ܡܪܝܐ ܒܝܘܡܬܐ ܕܚܪ ܒܝ ܠܡܤܒ ܚܤܕܝ ܕܒܝܬ ܒܢܝ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana tunajua kwamba mpaka hivi sasa, viumbe vyote vinalia kwa maumivu kama ya kujifungua mtoto. \t ܝܕܥܝܢܢ ܓܝܪ ܕܟܠܗܝܢ ܒܪܝܬܐ ܡܬܬܢܚܢ ܘܡܚܒܠܢ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kukawa na furaha kubwa katika mji ule. \t ܘܚܕܘܬܐ ܪܒܬܐ ܗܘܬ ܒܗܝ ܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kujitetea, Paulo alisema, \"Mimi sikufanya kosa lolote kuhusu Sheria ya Wayahudi, wala kuhusu Hekalu, wala kumhusu Kaisari.\" \t ܘܟܕ ܦܘܠܘܤ ܢܦܩ ܗܘܐ ܪܘܚܐ ܕܠܐ ܐܤܟܠ ܡܕܡ ܠܐ ܒܢܡܘܤܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܘܠܐ ܒܗܝܟܠܐ ܘܠܐ ܒܩܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hao askari walimchukua Paulo kama walivyoamriwa; wakampeleka usiku uleule mpaka Antipatri. \t ܗܝܕܝܢ ܪܗܘܡܝܐ ܐܝܟ ܕܐܬܦܩܕܘ ܕܒܪܘܗܝ ܠܦܘܠܘܤ ܒܠܠܝܐ ܘܐܝܬܝܘܗܝ ܠܐܢܛܝܦܛܪܤ ܡܕܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Neema ya Bwana Yesu iwe nanyi. \t ܛܝܒܘܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܥܡܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama Kristo yumo ndani yenu, ingawa miili yenu itakufa kwa sababu ya dhambi, kwenu Roho ndiye uhai kwa sababu mmekubaliwa kuwa waadilifu. \t ܘܐܢ ܕܝܢ ܡܫܝܚܐ ܒܟܘܢ ܦܓܪܐ ܡܝܬ ܗܘ ܡܛܠ ܚܛܝܬܐ ܪܘܚܐ ܕܝܢ ܚܝܐ ܗܝ ܡܛܠ ܟܐܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kumhusu Mwana, Mungu alisema: \"Utawala wako ee Mungu, wadumu milele na milele! Wewe wawatawala watu wako kwa haki. \t ܥܠ ܒܪܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܕܟܘܪܤܝܟ ܕܝܠܟ ܐܠܗܐ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܫܒܛܐ ܦܫܝܛܐ ܫܒܛܐ ܕܡܠܟܘܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilikuwa kabla ya sikukuu ya Pasaka. Yesu alijua kwamba saa yake ya kuondoka ulimwenguni na kwenda kwa Baba ilikuwa imefika. Alikuwa amewapenda daima watu wake walioko duniani; naam, aliwapenda mpaka mwisho! \t ܩܕܡ ܕܝܢ ܥܐܕܐ ܕܦܨܚܐ ܝܕܥ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܕܡܛܬ ܫܥܬܐ ܕܢܫܢܐ ܡܢ ܗܢܐ ܥܠܡܐ ܠܘܬ ܐܒܘܗܝ ܘܐܚܒ ܠܕܝܠܗ ܕܒܗܢܐ ܥܠܡܐ ܘܥܕܡܐ ܠܚܪܬܐ ܐܚܒ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mwaniita Mwalimu na Bwana, nanyi mwasema vyema, kwa kuwa ndimi. \t ܐܢܬܘܢ ܩܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܝ ܪܒܢ ܘܡܪܢ ܘܫܦܝܪ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܝܬܝ ܓܝܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Yohane nayaandikia makanisa yaliyoko mkoani Asia. Nawatakieni neema na amani kutoka kwake yeye aliyeko, aliyekuwako na anayekuja; na kutoka kwa roho saba walio mbele ya kiti chake cha enzi, \t ܝܘܚܢܢ ܠܫܒܥ ܥܕܬܐ ܕܒܐܤܝܐ ܛܝܒܘܬܐ ܠܟܘܢ ܘܫܠܡܐ ܡܢ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܘܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܘܐܬܐ ܘܡܢ ܫܒܥ ܪܘܚܐ ܐܝܠܝܢ ܕܩܕܡ ܟܘܪܤܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akakana tena. Baadaye kidogo, watu waliokuwa wamesimama hapo wakamwambia Petro, \"Hakika wewe ni mmoja wao, maana wewe ni Mgalilaya.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܬܘܒ ܟܦܪ ܘܒܬܪ ܩܠܝܠ ܬܘܒ ܗܢܘܢ ܕܩܝܡܝܢ ܐܡܪܘ ܠܟܐܦܐ ܫܪܝܪܐܝܬ ܡܢܗܘܢ ܐܢܬ ܐܦ ܓܝܪ ܓܠܝܠܝܐ ܐܢܬ ܘܡܡܠܠܟ ܕܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Martha akamwambia Yesu, \"Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa! \t ܘܐܡܪܬ ܡܪܬܐ ܠܝܫܘܥ ܡܪܝ ܐܠܘ ܬܢܢ ܗܘܝܬ ܠܐ ܡܐܬ ܗܘܐ ܐܚܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ikiwa jicho lako ni bovu, mwili wako wote utakuwa katika giza. Basi, ikiwa mwanga ulioko ndani yako ni giza, basi, hilo ni giza la kutisha mno. \t ܐܢ ܕܝܢ ܥܝܢܟ ܬܗܘܐ ܒܝܫܐ ܟܠܗ ܦܓܪܟ ܚܫܘܟܐ ܢܗܘܐ ܐܢ ܗܟܝܠ ܢܘܗܪܐ ܕܒܟ ܚܫܘܟܐ ܗܘ ܚܫܘܟܟ ܟܡܐ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane akawajibu, \"Mimi ndiye yule ambaye nabii Isaya alisema habari zake: Sauti ya mtu imesikika jangwani: Nyoosheni njia ya Bwana.\" \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܩܠܐ ܕܩܪܐ ܒܡܕܒܪܐ ܕܐܫܘܘ ܐܘܪܚܗ ܕܡܪܝܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܡܪ ܐܫܥܝܐ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walikuwako pia wanawake waliotazama kwa mbali, miongoni mwao akiwa Maria toka mji wa Magdala, Salome, na Maria mama wa kina Yakobo mdogo na Yose. \t ܐܝܬ ܗܘܝ ܕܝܢ ܐܦ ܢܫܐ ܡܢ ܪܘܚܩܐ ܕܚܙܝܢ ܗܘܝ ܡܪܝܡ ܡܓܕܠܝܬܐ ܘܡܪܝܡ ܐܡܗ ܕܝܥܩܘܒ ܙܥܘܪܐ ܘܕܝܘܤܐ ܘܫܠܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Enyi vipofu! Ni kipi kilicho cha maana zaidi: ile zawadi, au madhabahu ambayo hufanya hiyo zawadi kuwa takatifu? \t ܤܟܠܐ ܘܥܘܝܪܐ ܡܢܐ ܪܒ ܩܘܪܒܢܐ ܐܘ ܡܕܒܚܐ ܕܡܩܕܫ ܠܩܘܪܒܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani, Abrahamu alimtoa mwanae Isaka sadaka wakati Mungu alipomjaribu. Huyo Abrahamu ndiye aliyekuwa amepokea ahadi ya Mungu, lakini, hata hivyo, alikubali kumtoa dhabihu mwanae wa pekee, \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܩܪܒ ܐܒܪܗܡ ܠܐܝܤܚܩ ܒܢܤܝܘܢܗ ܘܠܝܚܝܕܗ ܐܤܩ ܠܡܕܒܚܐ ܠܗܘ ܕܩܒܠ ܗܘܐ ܒܡܘܠܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana nawaambieni, sitaila tena hadi hapo itakapokamilika katika Ufalme wa Mungu.\" \t ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܕܡܟܝܠ ܠܐ ܐܟܠܝܘܗܝ ܥܕܡܐ ܕܢܫܠܡ ܒܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale watu walimchukua yule kijana nyumbani akiwa mzima kabisa, wakapata kitulizo kikubwa. \t ܘܕܒܪܘܗܝ ܠܥܠܝܡܐ ܟܕ ܚܝ ܘܚܕܝܘ ܒܗ ܪܘܪܒܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu, watamwona Mwana wa Mtu akija katika wingu, mwenye nguvu na utukufu mwingi. \t ܘܗܝܕܝܢ ܢܚܙܘܢܝܗܝ ܠܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܕܐܬܐ ܒܥܢܢܐ ܥܡ ܚܝܠܐ ܤܓܝܐܐ ܘܫܘܒܚܐ ܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mama akamwambia, \"Najua kwamba Masiha, aitwaye Kristo, anakuja. Atakapokuja atatujulisha kila kitu.\" \t ܐܡܪܐ ܠܗ ܐܢܬܬܐ ܗܝ ܝܕܥܐ ܐܢܐ ܕܡܫܝܚܐ ܐܬܐ ܘܡܐ ܕܐܬܐ ܗܘ ܡܠܦ ܠܢ ܟܠܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akasema, \"Waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie; maana Ufalme wa mbinguni ni wa watu walio kama watoto hawa.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܫܒܘܩܘ ܛܠܝܐ ܐܬܝܢ ܠܘܬܝ ܘܠܐ ܬܟܠܘܢ ܐܢܘܢ ܕܕܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܐܝܟ ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܐܝܬܝܗ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Miaka mia nne na hamsini ilipita, halafu akawapatia waamuzi wawaongoze mpaka wakati wa nabii Samweli. \t ܘܐܪܒܥ ܡܐܐ ܘܚܡܫܝܢ ܫܢܝܢ ܝܗܒ ܠܗܘܢ ܕܝܢܐ ܥܕܡܐ ܠܫܡܘܐܝܠ ܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamleta yule punda na mtoto wake, wakatandika nguo zao juu yao na Yesu akaketi juu yake. \t ܘܐܝܬܝܘ ܠܚܡܪܐ ܘܠܥܝܠܐ ܘܤܡܘ ܥܠ ܥܝܠܐ ܢܚܬܝܗܘܢ ܘܪܟܒ ܥܠܘܗܝ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Paulo akamwita mmoja wa askari, akamwambia, \"Mchukue kijana huyu kwa mkuu wa jeshi; ana kitu cha kumwambia.\" \t ܘܫܕܪ ܦܘܠܘܤ ܩܪܐ ܠܚܕ ܡܢ ܩܢܛܪܘܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܘܒܠ ܠܥܠܝܡܐ ܗܢܐ ܠܘܬ ܟܠܝܪܟܐ ܐܝܬ ܠܗ ܓܝܪ ܡܕܡ ܕܢܐܡܪ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Je, haikuandikwa katika Sheria yenu: Mimi nimesema, ninyi ni miungu? \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܠܐ ܗܘܐ ܗܟܢܐ ܟܬܝܒ ܒܢܡܘܤܟܘܢ ܕܐܢܐ ܐܡܪܬ ܕܐܠܗܐ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni Petro akajibu, \"Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.\" \t ܥܢܐ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܘܐܡܪ ܐܢܬ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kusema hivyo, Paulo alichukua mkate, akamshukuru Mungu mbele yao wote, akaumega, akaanza kula. \t ܘܟܕ ܗܠܝܢ ܐܡܪ ܢܤܒ ܠܚܡܐ ܘܫܒܚ ܠܐܠܗܐ ܩܕܡ ܟܠܗܘܢ ܘܩܨܐ ܘܐܩܦ ܠܡܐܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliendelea kumpiga mawe Stefano, huku akiwa anasali: \"Bwana Yesu, ipokee roho yangu!\" \t ܘܪܓܡܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܠܐܤܛܦܢܘܤ ܟܕ ܡܨܠܐ ܘܐܡܪ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܩܒܠ ܪܘܚܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wewe ni nani hata uthubutu kumhukumu mtumishi wa mwingine? Akisimama au akianguka ni shauri la Bwana wake; naam, atasimama imara, maana Bwana anaweza kumsimamisha. \t ܐܢܬ ܡܢ ܐܢܬ ܕܕܐܢ ܐܢܬ ܠܥܒܕܐ ܕܠܐ ܕܝܠܟ ܕܐܢ ܩܐܡ ܠܡܪܗ ܩܐܡ ܘܐܢ ܢܦܠ ܠܡܪܗ ܢܦܠ ܡܩܡ ܗܘ ܕܝܢ ܩܐܡ ܡܛܐ ܓܝܪ ܒܐܝܕܝ ܡܪܗ ܕܢܩܝܡܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jiepusheni kabisa na uzinzi. Dhambi nyingine zote hutendwa nje ya mwili lakini mzinzi hutenda dhambi dhidi ya mwili wake mwenyewe. \t ܥܪܘܩܘ ܡܢ ܙܢܝܘܬܐ ܟܠ ܚܛܝܬܐ ܕܢܥܒܕ ܒܪܢܫܐ ܠܒܪ ܡܢ ܦܓܪܗ ܗܝ ܡܢ ܕܡܙܢܐ ܕܝܢ ܒܦܓܪܗ ܗܘ ܚܛܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jua lilipochomoza, zikachomeka; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka. \t ܟܕ ܕܢܚ ܕܝܢ ܫܡܫܐ ܚܡܐ ܘܡܛܠ ܕܠܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܥܩܪܐ ܝܒܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Wayahudi wakaona wivu; wakawakodi wafidhuli sokoni, wakafanya kikundi na kuzusha fujo mjini kote. Wakaivamia nyumba ya Yasoni wakitumaini kuwapata humo Paulo na Sila ili wawalete hadharani. \t ܘܚܤܡܘ ܗܘܘ ܝܗܘܕܝܐ ܘܐܩܦܘ ܠܗܘܢ ܐܢܫܐ ܒܝܫܐ ܡܢ ܫܘܩܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܘܥܒܕܘ ܐܟܠܘܤ ܤܓܝܐܐ ܘܕܠܚܘ ܗܘܘ ܠܡܕܝܢܬܐ ܘܐܬܘ ܘܩܡܘ ܠܗܘܢ ܥܠ ܒܝܬܗ ܕܐܝܤܘܢ ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܕܢܦܩܘܢ ܐܢܘܢ ܡܢ ܬܡܢ ܘܢܫܠܡܘܢ ܐܢܘܢ ܠܐܟܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu asitafute faida yake mwenyewe, ila faida ya mwenzake. \t ܠܐ ܐܢܫ ܕܢܦܫܗ ܢܗܘܐ ܒܥܐ ܐܠܐ ܟܠܢܫ ܐܦ ܕܚܒܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena jambo hili ni dhahiri zaidi: kuhani mwingine anayefanana na Melkisedeki amekwisha tokea. \t ܘܝܬܝܪܐܝܬ ܬܘܒ ܝܕܝܥܐ ܒܗܝ ܕܐܡܪ ܕܒܕܡܘܬܗ ܕܡܠܟܝܙܕܩ ܩܐV ܟܘܡܪܐ ܐܚܪܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati wa mavuno, alimtuma mtumishi wake kwa wale wakulima akamletee sehemu ya mazao ya shamba lake. \t ܘܫܕܪ ܠܘܬ ܦܠܚܐ ܥܒܕܗ ܒܙܒܢܐ ܕܡܢ ܦܐܪܐ ܕܟܪܡܐ ܢܤܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akanyosha mkono wake, akamgusa na kusema, \"Nataka! Takasika.\" Mara huyo mtu akapona ukoma wake. \t ܘܦܫܛ ܐܝܕܗ ܝܫܘܥ ܩܪܒ ܠܗ ܘܐܡܪ ܨܒܐ ܐܢܐ ܐܬܕܟܐ ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܐܬܕܟܝ ܓܪܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siwapi ninyi amri, lakini nataka tu kuonyesha jinsi wengine walivyo na bidii ya kusaidia ili nipate kujua jinsi upendo wenu ulivyo wa kweli. \t ܠܐ ܗܘܐ ܡܦܩܕ ܦܩܕ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܠܐ ܒܚܦܝܛܘܬܐ ܕܚܒܪܝܟܘܢ ܫܪܪܐ ܕܚܘܒܟܘܢ ܡܢܤܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawajibu, \"Kwa nini nanyi mnapendelea mapokeo yenu wenyewe na hamuijali Sheria ya Mungu? \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܡܢܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܥܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܠ ܦܘܩܕܢܐ ܕܐܠܗܐ ܡܛܠ ܡܫܠܡܢܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usikubali kupokea mashtaka dhidi ya mzee yasipowakilishwa na mashahidi wawili au watatu. \t ܥܠ ܩܫܝܫܐ ܩܛܓܪܢܘܬܐ ܠܐ ܬܩܒܠ ܐܠܐ ܥܠ ܦܘܡ ܬܪܝܢ ܘܬܠܬܐ ܤܗܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alikufa kwa ajili ya watu wote, ili wanaoishi wasiishi kwa ajili yao wenyewe, bali kwa ajili yake yeye aliyekufa, akafufuliwa kwa ajili yao. \t ܘܚܠܦ ܟܠܢܫ ܗܘ ܡܝܬ ܕܐܝܠܝܢ ܕܚܝܝܢ ܠܐ ܠܢܦܫܗܘܢ ܢܚܘܢ ܐܠܐ ܠܗܘ ܐܝܢܐ ܕܥܠ ܐܦܝܗܘܢ ܡܝܬ ܘܩܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kukiwa bado mchana yatupasa kuendelea kufanya kazi za yule aliyenituma; maana usiku unakuja ambapo mtu hawezi kufanya kazi. \t ܠܝ ܘܠܐ ܠܡܥܒܕ ܥܒܕܐ ܕܡܢ ܕܫܕܪܢܝ ܥܕ ܐܝܡܡܐ ܗܘ ܐܬܐ ܠܠܝܐ ܕܐܢܫ ܠܐ ܡܫܟܚ ܠܡܦܠܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mkiingia katika mji wowote au kijiji, tafuteni humo mtu yeyote aliye tayari kuwakaribisheni, na kaeni naye mpaka mtakapoondoka mahali hapo. \t ܠܐܝܕܐ ܕܝܢ ܡܕܝܢܬܐ ܐܘ ܩܪܝܬܐ ܕܥܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܫܐܠܘ ܡܢܘ ܫܘܐ ܒܗ ܘܬܡܢ ܗܘܘ ܥܕܡܐ ܕܢܦܩܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliendelea kufanya hivyo kwa muda wa miaka miwili hata wakazi wote wa Asia, Wayahudi na watu wa mataifa mengine, wakaweza kusikia neno la Bwana. \t ܘܗܕܐ ܗܘܬ ܫܢܝܢ ܬܪܬܝܢ ܥܕܡܐ ܕܫܡܥܘ ܡܠܬܐ ܕܡܪܝܐ ܟܠܗܘܢ ܕܥܡܪܝܢ ܒܐܤܝܐ ܝܗܘܕܝܐ ܘܐܪܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama vile magugu yanavyokusanywa kuchomwa moto, ndivyo itakavyokuwa mwishoni mwa nyakati; \t ܐܝܟܢܐ ܗܟܝܠ ܕܡܬܓܒܝܢ ܙܝܙܢܐ ܘܝܩܕܝܢ ܒܢܘܪܐ ܗܟܢܐ ܢܗܘܐ ܒܫܘܠܡܗ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwasema: Kama sisi tungaliishi nyakati za wazee wetu hatungalishirikiana nao katika mauaji ya manabii! \t ܘܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܠܘ ܗܘܝܢ ܒܝܘܡܝ ܐܒܗܝܢ ܠܐ ܗܘܝܢ ܗܘܝܢ ܠܗܘܢ ܫܘܬܦܐ ܒܕܡܐ ܕܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msemo huu ni wa kweli: mtu akitaka kuwa kiongozi katika kanisa, huyo anatamani kazi nzuri. \t ܡܗܝܡܢܐ ܗܝ ܡܠܬܐ ܕܐܢ ܐܢܫ ܪܐܓ ܩܫܝܫܘܬܐ ܥܒܕܐ ܛܒܐ ܪܐܓ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuhusu jambo hili, basi, nawapeni shauri hili: inafaa kwenu kutekeleza sasa yale mliyoanza mwaka jana. Ninyi mlikuwa wa kwanza kuchukua hatua na kuamua kufanya hivyo. \t ܡܡܠܟ ܕܝܢ ܡܠܟ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܗܕܐ ܕܡܥܕܪܐ ܠܟܘܢ ܡܛܠ ܕܡܢ ܐܫܬܩܕܝ ܫܪܝܬܘܢ ܠܘ ܠܡܨܒܐ ܒܠܚܘܕ ܐܠܐ ܐܦ ܠܡܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakamjibu, \"Ni vya Kaisari.\" Yesu akawaambia, \"Basi, mpeni Kaisari vilivyo vyake Kaisari, na Mungu vilivyo vyake Mungu.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܗܒܘ ܗܟܝܠ ܕܩܤܪ ܠܩܤܪ ܘܕܐܠܗܐ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa anapanda mashuani, yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo akamwomba amruhusu kwenda naye. \t ܘܟܕ ܤܠܩ ܠܤܦܝܢܬܐ ܒܥܐ ܗܘܐ ܡܢܗ ܗܘ ܕܫܐܕܘܗܝ ܕܥܡܗ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipofika huko akawaambia, \"Salini, msije mkaingia katika kishawishi.\" \t ܘܟܕ ܡܛܝ ܠܕܘܟܬܐ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܨܠܘ ܕܠܐ ܬܥܠܘܢ ܠܢܤܝܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tuliendelea na safari yetu kutoka Tiro tukafika Tolemai ambapo tuliwasalimu ndugu zetu, tukakaa nao siku moja. \t ܚܢܢ ܕܝܢ ܪܕܝܢ ܡܢ ܨܘܪ ܘܐܬܝܢ ܠܥܟܘ ܡܕܝܢܬܐ ܘܝܗܒܢ ܫܠܡܐ ܠܐܚܐ ܕܬܡܢ ܘܫܪܝܢ ܨܐܕܝܗܘܢ ܝܘܡܐ ܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu wapenzi, msidanganyike! \t ܠܐ ܬܛܥܘܢ ܐܚܝ ܚܒܝܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Wayahudi wakaanza kunung'unika kwa kuwa alisema: \"Mimi ni mkate ulioshuka kutoka mbinguni.\" \t ܝܗܘܕܝܐ ܕܝܢ ܪܛܢܝܢ ܗܘܘ ܥܠܘܗܝ ܕܐܡܪ ܕܐܢܐ ܐܢܐ ܠܚܡܐ ܕܢܚܬܬ ܡܢ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayeadhimisha siku fulani anaadhimisha siku hiyo kwa ajili ya kumtukuza Mungu; naye anayekula chakula fulani anafanya hivyo kwa kumtukuza Bwana maana anamshukuru Mungu. Kadhalika naye anayeacha kula chakula fulani anafanya hivyo kwa ajili ya kumtukuza Bwana, naye pia anamshukuru Mungu. \t ܡܢ ܕܡܬܪܥܐ ܕܝܘܡܐ ܠܡܪܗ ܡܬܪܥܐ ܘܟܠ ܕܠܐ ܡܬܪܥܐ ܕܝܘܡܐ ܠܡܪܗ ܠܐ ܡܬܪܥܐ ܘܕܐܟܠ ܠܡܪܗ ܐܟܠ ܘܠܐܠܗܐ ܡܘܕܐ ܘܕܠܐ ܐܟܠ ܠܡܪܗ ܠܐ ܐܟܠ ܘܡܘܕܐ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܚܕܗ ܒܐܝܕܗ ܘܐܩܝܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini nina hoja moja juu yako: wewe unamvumilia yule mwanamke Yezabeli anayejiita nabii wa Mungu. Yeye huwafundisha na kuwapotosha watumishi wangu wafanye uzinzi na kula vyakula vilivyotambikiwa sanamu. \t ܐܠܐ ܐܝܬ ܠܝ ܥܠܝܟ ܤܓܝ ܕܫܒܩܬ ܠܐܢܬܬܟ ܐܝܙܒܠ ܗܝ ܕܐܡܪܐ ܥܠ ܢܦܫܗ ܕܢܒܝܬܐ ܗܝ ܘܡܠܦܐ ܘܡܛܥܝܐ ܠܥܒܕܝ ܠܡܙܢܝܘ ܘܡܐܟܠ ܕܒܚܝ ܦܬܟܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, huyo aliyeshuka hapa duniani, ndiye aliyepaa juu ya mbingu zote apate kuujaza ulimwengu. \t ܗܘ ܕܢܚܬ ܗܘܝܘ ܗܘ ܕܐܦ ܤܠܩ ܠܥܠ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܫܡܝܐ ܕܢܫܠܡ ܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nanyi wakuu, watendeeni watumwa wenu kwa uadilifu na haki, mkikumbuka kwamba nanyi pia mnaye Bwana mbinguni. \t ܡܪܝܐ ܥܒܕܘ ܫܘܝܘܬܐ ܘܟܐܢܘܬܐ ܠܘܬ ܥܒܕܝܟܘܢ ܘܗܘܝܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܕܐܦ ܠܟܘܢ ܐܝܬ ܗܘ ܡܪܐ ܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Oneni basi, jinsi Baba alivyotupenda mno hata tunaitwa watoto wa Mungu! Na kweli, ndivyo tulivyo. Ndiyo maana ulimwengu haututambui sisi, kwani haumjui Mungu. \t ܘܚܙܘ ܕܟܡܐ ܤܓܝ ܚܘܒܗ ܕܐܒܐ ܠܘܬܢ ܕܒܢܝܐ ܩܪܢ ܐܦ ܥܒܕܢ ܡܛܠ ܗܢܐ ܥܠܡܐ ܠܐ ܝܕܥ ܠܢ ܡܛܠ ܕܐܦܠܐ ܠܗ ܝܕܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunalo tumaini hilo kama nanga ya maisha yetu. Tumaini hilo ni imara na thabiti, nalo lapenya lile pazia la hekalu la mbinguni mpaka patakatifu ndani. \t ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܠܢ ܐܝܟ ܐܘܩܝܢܐ ܕܠܒܝܟ ܒܢܦܫܢ ܕܠܐ ܬܬܙܝܥ ܘܥܐܠ ܠܓܘ ܡܢ ܐܦܝ ܬܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni nani miongoni mwenu kwa kuwa na wasiwasi sana anaweza kuuongeza muda wa maisha yake? \t ܡܢܘ ܕܝܢ ܡܢܟܘܢ ܟܕ ܝܨܦ ܡܫܟܚ ܠܡܘܤܦܘ ܥܠ ܩܘܡܬܗ ܐܡܬܐ ܚܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu huyu mwanangu alikuwa amekufa, kumbe yu mzima alikuwa amepotea, lakini sasa amepatikana. Wakaanza kufanya sherehe. \t ܕܗܢܐ ܒܪܝ ܡܝܬܐ ܗܘܐ ܘܚܝܐ ܘܐܒܝܕܐ ܗܘܐ ܘܐܫܬܟܚ ܘܫܪܝܘ ܠܡܬܒܤܡܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninakuandikia wewe Tito, mwanangu wa kweli katika imani tunayoshiriki. Nakutakia neema na amani kutoka kwa Mungu Baba, na kutoka kwa Kristo Yesu, Mkombozi wetu. \t ܠܛܛܘܤ ܒܪܐ ܫܪܝܪܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܓܘܐ ܛܝܒܘܬܐ ܘܫܠܡܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܒܐ ܘܡܢ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܚܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akawaambia, \"Sauti hiyo haikutokea kwa ajili yangu mimi, ila kwa ajili yenu. \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܗܘܐ ܡܛܠܬܝ ܗܘܐ ܩܠܐ ܗܢܐ ܐܠܐ ܡܛܠܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, huyo msichana alimfuata Paulo na sisi, akipiga kelele na kusema, \"Hawa watu ni watumishi wa Mungu Mkuu. Wanawatangazieni njia ya wokovu.\" \t ܘܐܬܝܐ ܗܘܬ ܒܬܪ ܦܘܠܘܤ ܘܒܬܪܢ ܘܩܥܝܐ ܗܘܬ ܘܐܡܪܐ ܗܠܝܢ ܐܢܫܐ ܥܒܕܘܗܝ ܐܢܘܢ ܕܐܠܗܐ ܡܪܝܡܐ ܘܡܤܒܪܝܢ ܠܟܘܢ ܐܘܪܚܐ ܕܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu akamgeukia yule mwanamke na kumwambia Simoni, \"Unamwona huyu mwanamke, sivyo? Basi, mimi nilipoingia hapa nyumbani kwako hukunipa maji ya kunawa miguu yangu; lakini mwanamke huyu ameniosha miguu yangu kwa machozi yake na kunipangusa kwa nywele zake. \t ܘܐܬܦܢܝ ܠܘܬ ܗܝ ܐܢܬܬܐ ܘܐܡܪ ܠܫܡܥܘܢ ܚܙܐ ܐܢܬ ܐܢܬܬܐ ܗܕܐ ܠܒܝܬܟ ܥܠܬ ܡܝܐ ܠܪܓܠܝ ܠܐ ܝܗܒܬ ܗܕܐ ܕܝܢ ܒܕܡܥܝܗ ܪܓܠܝ ܨܒܥܬ ܘܒܤܥܪܗ ܫܘܝܬ ܐܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akajibu, \"Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܐܫܬܕܪܬ ܐܠܐ ܠܘܬ ܥܪܒܐ ܕܛܥܘ ܡܢ ܒܝܬ ܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, walipanga naye siku kamili ya kukutana, na wengi wakafika huko alikokuwa anakaa. Tangu asubuhi mpaka jioni Paulo aliwaeleza na kuwafafanulia juu ya Ufalme wa Mungu akijaribu kuwafanya wakubali habari juu ya Yesu kwa kutumia Sheria ya Mose na maandiko ya manabii. \t ܘܐܩܝܡܘ ܠܗ ܝܘܡܐ ܘܟܢܫܘ ܘܐܬܘ ܠܘܬܗ ܤܓܝܐܐ ܟܪ ܕܫܪܐ ܗܘܐ ܘܓܠܐ ܠܗܘܢ ܥܠ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܟܕ ܡܤܗܕ ܘܡܦܝܤ ܠܗܘܢ ܥܠ ܝܫܘܥ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܕܡܘܫܐ ܘܡܢ ܢܒܝܐ ܡܢ ܨܦܪܐ ܘܥܕܡܐ ܠܪܡܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Habari Njema inazidi kuzaa matunda na kuenea ulimwenguni kote kama vile ilivyofanya kwenu ninyi tangu siku ile mliposikia juu ya neema ya Mungu na kuitambua ilivyo kweli. \t ܗܝ ܕܐܬܟܪܙܬ ܠܟܘܢ ܐܝܟ ܕܐܦ ܠܟܠܗ ܥܠܡܐ ܘܪܒܝܐ ܘܝܗܒܐ ܦܐܪܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܒܟܘܢ ܡܢ ܝܘܡܐ ܕܫܡܥܬܘܢ ܘܐܫܬܘܕܥܬܘܢ ܛܝܒܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܒܩܘܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na miali ya moto, kuwaadhibu wale wanaomkataa Mungu na wale wasiotii Habari Njema ya Bwana wetu Yesu. \t ܡܐ ܕܥܒܕ ܬܒܥܬܐ ܒܓܘܙܠܐ ܕܢܘܪܐ ܡܢ ܗܢܘܢ ܕܠܐ ܝܕܥܘ ܠܐܠܗܐ ܘܡܢ ܗܢܘܢ ܕܠܐ ܐܫܬܘܕܥܘ ܠܤܒܪܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaita, akawaambia, \"Mnajua kwamba wale wanaofikiriwa kuwa watawala wa mataifa huwatawala watu wao kwa mabavu, na wakuu hao huwamiliki watu wao. \t ܘܩܪܐ ܐܢܘܢ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܝܠܝܢ ܕܡܤܬܒܪܝܢ ܪܫܐ ܕܥܡܡܐ ܡܪܝܗܘܢ ܐܢܘܢ ܘܪܘܪܒܢܝܗܘܢ ܫܠܝܛܝܢ ܥܠܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Shabaha yake ni kuthibitisha imani yenu. Hata dhahabu yenyewe ambayo huharibika, hujaribiwa kwa moto; hali kadhalika na imani yenu ambayo ni ya thamani zaidi kuliko dhahabu, ni lazima ijaribiwe ipate kuwa thabiti. Hapo mtapokea sifa na utukufu na heshima Siku ile Yesu Kristo atakapofunuliwa. \t ܐܝܟܢܐ ܕܒܘܚܪܢܐ ܕܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܢܬܚܙܐ ܕܡܝܬܪ ܡܢ ܕܗܒܐ ܤܢܝܢܐ ܕܐܬܒܩܝ ܒܢܘܪܐ ܠܬܫܒܘܚܬܐ ܘܠܐܝܩܪܐ ܘܠܩܘܠܤܐ ܒܓܠܝܢܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo huyo pepo alipaaza sauti, akamwangusha huyo mtoto chini, kisha akamtoka. Mtoto alionekana kama maiti, hata wengine walisema, \"Amekufa!\" \t ܘܩܥܐ ܫܐܕܐ ܗܘ ܤܓܝ ܘܫܚܩܗ ܘܢܦܩ ܘܗܘܐ ܐܝܟ ܡܝܬܐ ܐܝܟ ܕܤܓܝܐܐ ܢܐܡܪܘܢ ܕܡܝܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "au kuiba vitu vyao. Badala yake wanapaswa kuonyesha kwamba wao ni wema na waaminifu daima, ili, kwa matendo yao yote, wayapatie sifa njema mafundisho juu ya Mungu, Mwokozi wetu. \t ܘܠܐ ܗܘܘ ܓܢܒܝܢ ܐܠܐ ܢܚܘܘܢ ܫܪܪܗܘܢ ܛܒܐ ܒܟܠܡܕܡ ܕܢܨܒܬܘܢ ܒܟܠܡܕܡ ܝܘܠܦܢܗ ܕܐܠܗܐ ܡܚܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliona njaa, akatamani kupata chakula. Chakula kilipokuwa kinatayarishwa, alipatwa na usingizi mzito akaona maono. \t ܘܟܦܢ ܘܨܒܐ ܗܘܐ ܕܢܠܥܤ ܘܟܕ ܗܢܘܢ ܡܬܩܢܝܢ ܠܗ ܢܦܠ ܥܠܘܗܝ ܬܡܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa pamoja huko Galilaya, Yesu aliwaambia, \"Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa watu. \t ܟܕ ܡܬܗܦܟܝܢ ܕܝܢ ܒܓܠܝܠܐ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܥܬܝܕ ܗܘ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܕܢܫܬܠܡ ܒܐܝܕܝ ܒܢܝ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa wanakaribia Yerusalemu walifika Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni. Hapo aliwatuma wawili wa wanafunzi wake, \t ܘܟܕ ܩܪܒ ܠܐܘܪܫܠܡ ܥܠ ܓܢܒ ܒܝܬ ܦܓܐ ܘܒܝܬ ܥܢܝܐ ܠܘܬ ܛܘܪܐ ܕܙܝܬܐ ܫܕܪ ܬܪܝܢ ܡܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akaondoka usiku, akaenda Misri. \t ܝܘܤܦ ܕܝܢ ܩܡ ܫܩܠܗ ܠܛܠܝܐ ܘܠܐܡܗ ܒܠܠܝܐ ܘܥܪܩ ܠܡܨܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Petro alitoka, akaenda mbio hadi kaburini. Alipoinama kuchungulia ndani, akaiona tu ile sanda. Akarudi nyumbani huku akiwa anashangaa juu ya hayo yaliyotokea. \t ܫܡܥܘܢ ܕܝܢ ܩܡ ܘܪܗܛ ܠܩܒܪܐ ܘܐܕܝܩ ܚܙܐ ܟܬܢܐ ܕܤܝܡܝܢ ܒܠܚܘܕ ܘܐܙܠ ܟܕ ܡܬܕܡܪ ܒܢܦܫܗ ܥܠ ܡܕܡ ܕܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini msipowasamehe wengine, hata Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.\" \t ܐܢ ܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܫܒܩܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܦܠܐ ܐܒܘܟܘܢ ܕܒܫܡܝܐ ܢܫܒܘܩ ܠܟܘܢ ܤܟܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo akatoka nje, akalia sana. \t ܘܢܦܩ ܠܒܪ ܫܡܥܘܢ ܒܟܐ ܡܪܝܪܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na mara yule aliyekuwa kipofu akapata kuona, akamfuata Yesu akimtukuza Mungu. Watu wote walipoona hayo, wakamsifu Mungu. \t ܘܒܪ ܫܥܬܗ ܚܙܐ ܘܐܬܐ ܗܘܐ ܒܬܪܗ ܘܡܫܒܚ ܠܐܠܗܐ ܘܟܠܗ ܥܡܐ ܕܚܙܐ ܝܗܒ ܗܘܐ ܫܘܒܚܐ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipomwona Yesu akipita akasema, \"Tazameni! Huyu ndiye Mwana-kondoo wa Mungu.\" \t ܘܚܪ ܒܝܫܘܥ ܟܕ ܡܗܠܟ ܘܐܡܪ ܗܐ ܐܡܪܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini watu wakiwa wamelala, adui yake akaja akapanda magugu kati ya ngano, akaenda zake. \t ܘܟܕ ܕܡܟܘ ܐܢܫܐ ܐܬܐ ܒܥܠܕܒܒܗ ܘܙܪܥ ܙܝܙܢܐ ܒܝܢܬ ܚܛܐ ܘܐܙܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Visiwa vyote vikatoweka, nayo milima haikuonekena tena. \t ܘܟܠ ܓܙܪܬܐ ܥܪܩܬ ܘܛܘܪܐ ܠܐ ܐܫܬܟܚܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila wakati ninaposali nakukumbuka wewe Filemoni, na kumshukuru Mungu \t ܡܘܕܐ ܐܢܐ ܠܐܠܗܝ ܒܟܠܙܒܢ ܘܡܬܕܟܪ ܐܢܐ ܠܟ ܒܨܠܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnapoingia nyumbani wasalimuni wenyeji wake. \t ܘܡܐ ܕܥܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܒܝܬܐ ܫܐܠܘ ܫܠܡܗ ܕܒܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye atanitukuza mimi kwa kuwa atawaambieni yale atakayopata kutoka kwangu. \t ܘܗܘ ܢܫܒܚܢܝ ܡܛܠ ܕܡܢ ܕܝܠܝ ܢܤܒ ܘܢܚܘܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nafaka inapoiva, huyo mtu huanza kutumia mundu wake, maana wakati wa mavuno umefika.\" \t ܡܐ ܕܫܡܢ ܕܝܢ ܦܐܪܐ ܡܚܕܐ ܐܬܝܐ ܡܓܠܐ ܕܡܛܝ ܚܨܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawauliza, \"Mnayo mikate mingapi?\" Wakamjibu, \"Saba na visamaki vichache.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܟܡܐ ܠܚܡܝܢ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܫܒܥܐ ܘܩܠܝܠ ܢܘܢܐ ܕܩܕܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Aliye na masikio, basi, na asikie yale Roho anayoyaambia makanisa! \"Wale wanaoshinda hawataumizwa na kifo cha pili. \t ܕܐܝܬ ܠܗ ܐܕܢܐ ܢܫܡܥ ܡܢܐ ܪܘܚܐ ܡܡܠܠ ܠܥܕܬܐ ܕܐܝܢܐ ܕܙܟܐ ܠܐ ܢܗܪ ܡܢ ܡܘܬܐ ܬܢܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuna Bwana mmoja, imani moja na ubatizo mmoja; \t ܚܕ ܗܘ ܓܝܪ ܡܪܝܐ ܘܚܕܐ ܗܝܡܢܘܬܐ ܘܚܕܐ ܡܥܡܘܕܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna mtu aliyepata kwenda juu mbinguni isipokuwa Mwana wa Mtu ambaye ameshuka kutoka mbinguni. \t ܘܠܐ ܐܢܫ ܤܠܩ ܠܫܡܝܐ ܐܠܐ ܗܘ ܕܢܚܬ ܡܢ ܫܡܝܐ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alitazama kwa makini, akawaona matajiri walivyokuwa wanatia sadaka zao katika hazina ya Hekalu, \t ܚܪ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܒܥܬܝܪܐ ܐܝܠܝܢ ܕܪܡܝܢ ܗܘܘ ܒܝܬ ܓܙܐ ܩܘܪܒܢܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kulipokuchwa, huyo mwenye shamba alimwambia mtunza hazina wake, Waite wafanyakazi ukawalipe mshahara wao, ukianzia na wale walioajiriwa mwisho, na kumalizia na wale wa kwanza. \t ܟܕ ܗܘܐ ܕܝܢ ܪܡܫܐ ܐܡܪ ܡܪܐ ܟܪܡܐ ܠܪܒܝܬܗ ܩܪܝ ܦܥܠܐ ܘܗܒ ܠܗܘܢ ܐܓܪܗܘܢ ܘܫܪܐ ܡܢ ܐܚܪܝܐ ܘܥܕܡܐ ܠܩܕܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Je, sikukwambia kwamba ukiamini utaona utukufu wa Mungu?\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܠܐ ܐܡܪܬ ܠܟܝ ܕܐܢ ܬܗܝܡܢܝܢ ܬܚܙܝܢ ܫܘܒܚܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Mbona unaniuliza kuhusu jambo jema? Kuna mmoja tu aliye mwema. Ukitaka kuingia katika uzima, shika amri.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܡܢܐ ܩܪܐ ܐܢܬ ܠܝ ܛܒܐ ܠܝܬ ܛܒܐ ܐܠܐ ܐܢ ܚܕ ܐܠܗܐ ܐܢ ܕܝܢ ܨܒܐ ܐܢܬ ܕܬܥܘܠ ܠܚܝܐ ܛܪ ܦܘܩܕܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamwuliza, \"Alikufanyia nini? Alikufumbuaje macho yako?\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܬܘܒ ܡܢܐ ܥܒܕ ܠܟ ܐܝܟܢܐ ܦܬܚ ܠܟ ܥܝܢܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Krispo, mkuu wa sunagogi, alimwamini Bwana yeye pamoja na jamaa yake yote. Wakorintho wengi waliusikiliza ujumbe huo, wakaamini na kubatizwa. \t ܘܟܪܝܤܦܘܤ ܪܒ ܟܢܘܫܬܐ ܗܝܡܢ ܗܘܐ ܒܡܪܢ ܗܘ ܘܒܢܝ ܒܝܬܗ ܟܠܗܘܢ ܘܤܓܝܐܐ ܩܘܪܢܬܝܐ ܫܡܥܝܢ ܗܘܘ ܘܡܗܝܡܢܝܢ ܒܐܠܗܐ ܘܥܡܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika wa saba akapiga tarumbeta yake. Na sauti kuu zikasikika mbinguni zikisema, \"Sasa utawala juu ya ulimwengu ni wa Bwana wetu na Kristo wake. Naye atatawala milele na milele!\" \t ܘܡܠܐܟܐ ܕܫܒܥܐ ܙܥܩ ܘܗܘܘ ܩܠܐ ܪܘܪܒܐ ܒܫܡܝܐ ܕܐܡܪܝܢ ܗܘܬ ܡܠܟܘܬܗ ܕܥܠܡܐ ܕܐܠܗܢ ܘܕܡܫܝܚܗ ܘܐܡܠܟ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alijadiliana na Wayahudi na watu wengine waliomcha Mungu katika sunagogi; na kila siku alikuwa na majadiliano sokoni pamoja na wowote wale waliojitokeza. \t ܘܡܡܠܠ ܗܘܐ ܒܟܢܘܫܬܐ ܥܡ ܝܗܘܕܝܐ ܘܥܡ ܐܝܠܝܢ ܕܕܚܠܝܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܘܒܫܘܩܐ ܥܡ ܐܝܠܝܢ ܕܡܤܬܩܒܠܝܢ ܗܘܘ ܟܠܝܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jueni wazi kwamba mwasherati yeyote au mchafu au mfisadi, (ufisadi ni sawa na kuabudu sanamu), au mtu yeyote wa aina hiyo hataambulia chochote katika Utawala wa Kristo na wa Mungu. \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܕܟܠܢܫ ܕܐܝܬܘܗܝ ܙܢܝܐ ܐܘ ܛܢܦܐ ܐܘ ܥܠܘܒܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܦܠܚ ܦܬܟܪܐ ܠܝܬ ܠܗ ܝܪܬܘܬܐ ܒܡܠܟܘܬܗ ܕܡܫܝܚܐ ܘܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulipopambazuka, makuhani wakuu walifanya shauri pamoja na wazee, walimu wa Sheria na Baraza lote, wakamfunga Yesu pingu, wakampeleka na kumkabidhi kwa Pilato. \t ܘܡܚܕܐ ܒܨܦܪܐ ܥܒܕܘ ܡܠܟܐ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܥܡ ܩܫܝܫܐ ܘܥܡ ܤܦܪܐ ܘܥܡ ܟܠܗ ܟܢܘܫܬܐ ܘܐܤܪܘ ܠܝܫܘܥ ܘܐܘܒܠܘܗܝ ܘܐܫܠܡܘܗܝ ܠܦܝܠܛܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnapokwenda hubirini hivi: Ufalme wa mbinguni umekaribia. \t ܘܟܕ ܐܙܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܟܪܙܘ ܘܐܡܪܘ ܕܩܪܒܬ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha ishara kubwa ikaonekana mbinguni. Palikuwa hapo mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi chini ya miguu yake, na taji ya nyota kumi na mbili juu ya kichwa chake! \t ܘܐܬܐ ܪܒܬܐ ܐܬܚܙܝܬ ܒܫܡܝܐ ܐܢܬܬܐ ܕܥܛܝܦܐ ܫܡܫܐ ܘܤܗܪܐ ܬܚܝܬ ܪܓܠܝܗ ܘܟܠܝܠܐ ܕܟܘܟܒܐ ܬܪܥܤܪ ܥܠ ܪܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, huyo bwana alikasirika sana, akamtoa huyo mtumishi aadhibiwe mpaka hapo atakapolipa deni lote. \t ܗܟܢܐ ܢܥܒܕ ܠܟܘܢ ܐܒܝ ܕܒܫܡܝܐ ܐܠܐ ܬܫܒܩܘܢ ܐܢܫ ܠܐܚܘܗܝ ܡܢ ܠܒܟܘܢ ܤܟܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro alipokuwa akisema hayo, mara wingu likatokea na kuwafunika; na wingu hilo lilipowajia, wale wanafunzi waliogopa sana. \t ܘܟܕ ܐܡܪ ܗܠܝܢ ܗܘܬ ܥܢܢܐ ܘܐܛܠܬ ܥܠܝܗܘܢ ܘܕܚܠܘ ܟܕ ܚܙܘ ܠܡܘܫܐ ܘܠܐܠܝܐ ܕܥܠܘ ܒܥܢܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna mtu anayeelewa, wala anayemtafuta Mungu. \t ܘܠܐ ܕܡܤܬܟܠ ܘܠܐ ܕܒܥܐ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, wakati mtu amgeukiapo Bwana, kifuniko hicho huondolewa. \t ܘܐܡܬܝ ܕܐܢܫ ܡܢܗܘܢ ܢܬܦܢܐ ܠܘܬ ܡܪܝܐ ܡܫܬܩܠܐ ܡܢܗ ܬܚܦܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Lakini heri yenu ninyi, maana macho yenu yanaona na masikio yenu yanasikia. \t ܕܝܠܟܘܢ ܕܝܢ ܛܘܒܝܗܝܢ ܠܥܝܢܝܟܘܢ ܕܚܙܝܢ ܘܠܐܕܢܝܟܘܢ ܕܫܡܥܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, kama Mungu hulivika vizuri jani la shambani ambalo leo liko na kesho latupwa motoni, je, hatawafanyia ninyi zaidi? Enyi watu wenye imani haba! \t ܐܢ ܕܝܢ ܠܥܡܝܪܐ ܕܝܘܡܢܐ ܐܝܬܘܗܝ ܒܚܩܠܐ ܘܡܚܪ ܢܦܠ ܒܬܢܘܪܐ ܐܠܗܐ ܗܟܢܐ ܡܠܒܫ ܟܡܐ ܝܬܝܪ ܠܟܘܢ ܙܥܘܪܝ ܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa wanamwingiza ndani ya ngome, Paulo alimwomba mkuu wa jeshi akisema, \"Naweza kukwambia kitu?\" Yule mkuu wa jeshi akamjibu, \"Je unajua Kigiriki? \t ܘܟܕ ܡܛܝ ܠܡܥܠ ܠܡܫܪܝܬܐ ܗܘ ܦܘܠܘܤ ܐܡܪ ܠܟܠܝܪܟܐ ܐܢ ܡܦܤ ܐܢܬ ܠܝ ܐܡܠܠ ܥܡܟ ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܝܘܢܐܝܬ ܝܕܥ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamjibu, \"Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako.\" \t ܥܢܘ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܠܘ ܠܐ ܥܒܕ ܒܝܫܬܐ ܗܘܐ ܐܦܠܐ ܠܟ ܡܫܠܡܝܢ ܗܘܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata kama kwa watu wengine mimi si mtume, lakini walau kwenu ninyi mimi ni mtume. Ninyi ni uthibitisho wa mtume wangu kwa sababu ya kuungana kwenu na Bwana. \t ܘܐܢ ܠܐܚܪܢܐ ܠܐ ܗܘܝܬ ܫܠܝܚܐ ܐܠܐ ܠܟܘܢ ܐܝܬܝ ܘܚܬܡܐ ܕܫܠܝܚܘܬܝ ܐܢܬܘܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wale wengine wenye ubinafsi, wenye kukataa mambo ya haki na kufuata uovu, wataangukiwa na ghadhabu na hasira ya Mungu. \t ܐܝܠܝܢ ܕܝܢ ܕܥܨܝܢ ܘܠܐ ܡܬܛܦܝܤܝܢ ܠܫܪܪܐ ܐܠܐ ܠܥܘܠܐ ܡܬܛܦܝܤܝܢ ܢܦܪܘܥ ܐܢܘܢ ܪܘܓܙܐ ܘܚܡܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote wametenda dhambi na wametindikiwa utukufu wa Mungu. \t ܡܛܠ ܕܟܠܗܘܢ ܚܛܘ ܘܚܤܝܪܝܢ ܡܢ ܬܫܒܘܚܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika Ufalme wa Mungu.\" \t ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܬܘܒ ܠܐ ܐܫܬܐ ܡܢ ܝܠܕܐ ܕܓܦܬܐ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܐ ܗܘ ܕܒܗ ܐܫܬܝܘܗܝ ܚܕܬܐܝܬ ܒܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipomwona wakamwambia, \"Kila mtu anakutafuta.\" \t ܘܟܕ ܐܫܟܚܘܗܝ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܟܠܗܘܢ ܐܢܫܐ ܒܥܝܢ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nitakupa uwezo juu ya falme zote hizi na fahari zake, kwa maana nimepewa hivi vyote; nikitaka kumpa mtu ninaweza. \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܟܠܩܪܨܐ ܠܟ ܐܬܠ ܫܘܠܛܢܐ ܗܢܐ ܟܠܗ ܘܫܘܒܚܗ ܕܠܝ ܡܫܠܡ ܘܠܡܢ ܕܐܨܒܐ ܝܗܒ ܐܢܐ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye atakuwa mkuu na ataitwa Mwana wa Mungu Mkuu. Bwana Mungu atampa kiti cha mfalme Daudi, babu yake. \t ܗܢܐ ܢܗܘܐ ܪܒ ܘܒܪܗ ܕܥܠܝܐ ܢܬܩܪܐ ܘܢܬܠ ܠܗ ܡܪܝܐ ܐܠܗܐ ܟܘܪܤܝܗ ܕܕܘܝܕ ܐܒܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakawa wanaambiana, \"Nani atakayetuondolea lile jiwe mlangoni mwa kaburi?\" \t ܘܐܡܪܢ ܗܘܝ ܒܢܦܫܗܝܢ ܡܢ ܕܝܢ ܥܓܠ ܠܢ ܟܐܦܐ ܡܢ ܬܪܥܐ ܕܒܝܬ ܩܒܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sisi tunapaswa kuwasaidia watu hawa, ili nasi tupate kushiriki katika kazi yao kwa ajili ya ukweli. \t ܚܢܢ ܗܟܝܠ ܚܝܒܝܢܢ ܠܡܩܒܠܘ ܠܕܐܝܟ ܗܠܝܢ ܕܡܥܕܪܢܐ ܢܗܘܐ ܠܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu alijua mawazo yao, akamwambia yule mwenye mkono uliopooza, \"Inuka, simama katikati.\" Yule mtu akaenda akasimama katikati. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܕܥ ܡܚܫܒܬܗܘܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘ ܓܒܪܐ ܕܝܒܝܫܐ ܐܝܕܗ ܩܘܡ ܬܐ ܠܟ ܠܡܨܥܬ ܟܢܘܫܬܐ ܘܟܕ ܐܬܐ ܘܩܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi mwenyewe nitamwonyesha mengi yatakayomlazimu kuteswa kwa ajili ya jina langu.\" \t ܐܢܐ ܓܝܪ ܐܚܘܝܘܗܝ ܟܡܐ ܥܬܝܕ ܠܡܚܫ ܡܛܠ ܫܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana mpaka leo shamba hilo linaitwa Shamba la Damu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܬܩܪܝ ܐܓܘܪܤܐ ܗܘ ܩܪܝܬܐ ܕܕܡܐ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Paulo na Barnaba walibaki huko Antiokia kwa muda; wakafundisha na kuhubiri neno la Bwana, pamoja na watu wengine wengi. \t ܦܘܠܘܤ ܕܝܢ ܘܒܪܢܒܐ ܩܘܝܘ ܗܘܘ ܒܐܢܛܝܘܟܝ ܘܡܠܦܝܢ ܗܘܘ ܘܡܤܒܪܝܢ ܥܡ ܐܚܪܢܐ ܤܓܝܐܐ ܡܠܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtu yeyote asiyemkiri Kristo hivyo, hana huyo Roho atokaye kwa Mungu. Mtu huyo ana roho ambaye ni wa Adui wa Kristo; nanyi mlikwisha sikia kwamba anakuja, na sasa tayari amekwisha wasili ulimwenguni! \t ܘܟܠ ܪܘܚܐ ܕܠܐ ܡܘܕܝܐ ܕܝܫܘܥ ܐܬܐ ܒܒܤܪ ܠܝܬܝܗ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܠܐ ܗܕܐ ܡܢ ܡܫܝܚܐ ܗܝ ܕܓܠܐ ܗܘ ܕܫܡܥܬܘܢ ܕܐܬܐ ܘܗܫܐ ܒܥܠܡܐ ܐܝܬܘܗܝ ܡܢ ܟܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kitu kimoja tu ni muhimu. Maria amechagua kitu bora zaidi ambacho hakuna mtu atakayemnyag'anya.\" \t ܚܕܐ ܗܝ ܕܝܢ ܕܡܬܒܥܝܐ ܡܪܝܡ ܕܝܢ ܡܢܬܐ ܛܒܬܐ ܓܒܬ ܠܗ ܗܝ ܕܠܐ ܬܬܢܤܒ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnajua kwamba sisi tulimtendea kila mmoja wenu kama vile baba anavyowatendea watoto wake mwenyewe. \t ܐܝܟܢܐ ܕܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܡܢ ܚܕ ܚܕ ܡܢܟܘܢ ܐܝܟ ܐܒܐ ܡܢ ܒܢܘܗܝ ܒܥܝܢ ܗܘܝܢ ܘܡܠܝܢ ܗܘܝܢ ܒܠܒܟܘܢ ܘܡܤܗܕܝܢܢ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "sheria imewekwa kwa ajili ya waasherati, wafiraji, wanaowaiba watu, waongo, na wanaoapa uongo au wanaofanya chochote ambacho ni kinyume cha mafundisho ya kweli. \t ܘܠܙܢܝܐ ܘܠܫܟܒܝ ܥܡ ܕܟܪܐ ܘܠܓܢܒܝ ܒܢܝ ܚܐܪܐ ܘܠܕܓܠܐ ܘܠܥܒܪܝ ܥܠ ܡܘܡܬܐ ܘܠܟܠܡܕܡ ܕܐܝܬܘܗܝ ܤܩܘܒܠܐ ܠܝܘܠܦܢܐ ܚܠܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akasema, \"Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܫ ܩܪܒ ܠܝ ܐܢܐ ܓܝܪ ܝܕܥܬ ܕܚܝܠܐ ܢܦܩ ܡܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeyote asiyetenda mambo maadilifu, au asiyempenda ndugu yake, huyo si mtoto wa Mungu. Hiyo ndiyo tofauti iliyoko kati ya watoto wa Mungu na watoto wa Ibilisi. \t ܒܗܕܐ ܡܬܦܪܫܝܢ ܒܢܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܡܢ ܒܢܘܗܝ ܕܤܛܢܐ ܟܠ ܕܠܐ ܥܒܕ ܙܕܝܩܘܬܐ ܘܠܐ ܡܚܒ ܠܐܚܘܗܝ ܠܝܬܘܗܝ ܡܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena, Yesu akasema, \"Tuufananishe Utawala wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani? \t ܘܐܡܪ ܠܡܢܐ ܢܕܡܝܗ ܠܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܒܐܝܢܐ ܡܬܠܐ ܢܡܬܠܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliona jinsi wale walioalikwa walivyokuwa wanajichagulia nafasi za heshima, akawaambia mfano: \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܡܬܠܐ ܠܘܬ ܗܢܘܢ ܕܡܙܡܢܝܢ ܬܡܢ ܥܠ ܕܚܙܐ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܡܓܒܝܢ ܕܘܟܝܬܐ ܕܪܝܫ ܤܡܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini haumwingii na kuwa na mizizi ndani yake; huendelea kuuzingatia ujumbe huo kwa kitambo tu, na wakati taabu au udhalimu vinapotokea kwa sababu ya ujumbe huo, anakata tamaa mara. \t ܠܝܬ ܠܗ ܕܝܢ ܥܩܪܐ ܒܗ ܐܠܐ ܕܙܒܢܐ ܗܘ ܘܡܐ ܕܗܘܐ ܐܘܠܨܢܐ ܐܘ ܪܕܘܦܝܐ ܡܛܠ ܡܠܬܐ ܥܓܠ ܡܬܟܫܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Yesu akawaambia, \"Je, hamkusoma jambo hili katika Maandiko Matakatifu? Jiwe walilokataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu la msingi. Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu! \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܠܐ ܡܡܬܘܡ ܩܪܝܬܘܢ ܒܟܬܒܐ ܕܟܐܦܐ ܕܐܤܠܝܘ ܒܢܝܐ ܗܝ ܗܘܬ ܠܪܫܐ ܕܙܘܝܬܐ ܡܢ ܠܘܬ ܡܪܝܐ ܗܘܬ ܗܕܐ ܘܐܝܬܝܗ ܬܕܡܘܪܬܐ ܒܥܝܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha kifo na kuzimu vikatupwa ndani ya ziwa la moto. Ziwa hili la moto ndicho kifo cha pili. \t ܘܡܘܬܐ ܘܫܝܘܠ ܐܬܪܡܝܘ ܒܝܡܬܐ ܕܢܘܪܐ ܗܢܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܘܬܐ ܬܢܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Watu wa nyakati hizi huoa na kuolewa; \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܒܢܘܗܝ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܢܤܒܝܢ ܢܫܐ ܘܢܫܐ ܗܘܝܢ ܠܓܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwamba alimtokea Kefa, na baadaye aliwatokea wale kumi na wawili. \t ܘܐܬܚܙܝ ܠܟܐܦܐ ܘܒܬܪܗ ܠܬܪܥܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nasema ukweli mtupu; nimeungana na Kristo nami sisemi uongo. Dhamiri yangu ikiongozwa na Roho Mtakatifu inanithibitishia jambo hili pia. \t ܩܘܫܬܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܒܡܫܝܚܐ ܘܠܐ ܡܕܓܠ ܐܢܐ ܘܪܥܝܢܝ ܡܤܗܕ ܥܠܝ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokwisha waosha miguu na kuvaa tena vazi lake, aliketi mezani, akawaambia, \"Je, mmeelewa hayo niliyowatendeeni? \t ܟܕ ܕܝܢ ܐܫܝܓ ܪܓܠܝܗܘܢ ܫܩܠ ܢܚܬܘܗܝ ܘܐܤܬܡܟ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢܐ ܥܒܕܬ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara, Yesu akakutana nao, akawasalimu: \"Salamu.\" Hao wanawake wakamwendea, wakapiga magoti mbele yake, wakashika miguu yake. \t ܘܗܐ ܝܫܘܥ ܦܓܥ ܒܗܝܢ ܘܐܡܪ ܠܗܝܢ ܫܠܡ ܠܟܝܢ ܗܢܝܢ ܕܝܢ ܩܪܒ ܐܚܕ ܪܓܠܘܗܝ ܘܤܓܕܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, yule jemadari alipoona yaliyotukia akamsifu Mungu akisema: \"Hakika huyu alikuwa mtu mwema.\" \t ܟܕ ܚܙܐ ܕܝܢ ܩܢܛܪܘܢܐ ܡܕܡ ܕܗܘܐ ܫܒܚ ܠܐܠܗܐ ܘܐܡܪ ܫܪܝܪܐܝܬ ܗܢܐ ܓܒܪܐ ܙܕܝܩܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, yuko mgonjwa kati yenu? Anapaswa kuwaita wazee wa kanisa, nao watamwombea na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. \t ܘܐܢ ܟܪܝܗ ܢܩܪܐ ܠܩܫܝܫܐ ܕܥܕܬܐ ܘܢܨܠܘܢ ܥܠܘܗܝ ܘܢܡܫܚܘܢܗ ܡܫܚܐ ܒܫܡܗ ܕܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ujue pia kwamba hata Elisabeti, jamaa yako, naye amepata mimba ingawa ni mzee, na sasa ni mwezi wa sita kwake yeye ambaye watu walimfahamu kuwa tasa. \t ܘܗܐ ܐܠܝܫܒܥ ܐܚܝܢܬܟܝ ܐܦ ܗܝ ܒܛܢܐ ܒܪܐ ܒܤܝܒܘܬܗ ܘܗܢܐ ܝܪܚܐ ܕܫܬܐ ܠܗ ܠܗܝ ܕܡܬܩܪܝܐ ܥܩܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. Watu huitupilia mbali. Sikieni basi, kama mna masikio!\" \t ܠܐ ܠܐܪܥܐ ܘܠܐ ܠܙܒܠܐ ܐܙܠܐ ܠܒܪ ܫܕܝܢ ܠܗ ܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܐܕܢܐ ܕܢܫܡܥ ܢܫܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini habari za Yesu zilizidi kuenea kila mahali. Watu makundi mengi wakakusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. \t ܘܢܦܩ ܥܠܘܗܝ ܛܒܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܘܡܬܟܢܫ ܗܘܐ ܥܡܐ ܤܓܝܐܐ ܠܡܫܡܥ ܡܢܗ ܘܠܡܬܐܤܝܘ ܡܢ ܟܘܪܗܢܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafarisayo walipoona hayo, wakawaambia wanafunzi wake, \"Mbona mwalimu wenu anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?\" \t ܘܟܕ ܚܙܘ ܦܪܝܫܐ ܐܡܪܝܢ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܠܡܢܐ ܥܡ ܡܟܤܐ ܘܚܛܝܐ ܠܥܤ ܪܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini atakayekunywa maji nitakayompa mimi, hataona kiu milele. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji ya uzima na kumpatia uzima wa milele.\" \t ܟܠ ܕܝܢ ܕܢܫܬܐ ܡܢ ܡܝܐ ܕܐܢܐ ܐܬܠ ܠܗ ܠܐ ܢܨܗܐ ܠܥܠܡ ܐܠܐ ܡܝܐ ܗܢܘܢ ܕܝܗܒ ܐܢܐ ܠܗ ܢܗܘܘܢ ܒܗ ܡܥܝܢܐ ܕܡܝܐ ܕܢܒܥܝܢ ܠܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Heri mtu yule ambaye Bwana hataziweka dhambi zake katika kumbukumbu.\" \t ܘܛܘܒܘܗܝ ܠܓܒܪܐ ܕܠܐ ܢܚܫܘܒ ܠܗ ܐܠܗܐ ܚܛܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini baadhi yao wakasema, \"Je, huyu aliyemfumbua macho yule kipofu, hakuweza kumfanya Lazaro asife?\" \t ܐܢܫܝܢ ܕܝܢ ܡܢܗܘܢ ܐܡܪܘ ܠܐ ܡܫܟܚ ܗܘܐ ܗܢܐ ܕܦܬܚ ܥܝܢܘܗܝ ܕܗܘ ܤܡܝܐ ܢܥܒܕ ܕܐܦ ܗܢܐ ܠܐ ܢܡܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara macho yao yakafumbuliwa, wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao. \t ܘܡܚܕܐ ܐܬܦܬܚ ܥܝܢܝܗܘܢ ܘܐܫܬܘܕܥܘܗܝ ܘܗܘ ܐܫܬܩܠ ܠܗ ܡܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mmesikia kwamba ilisemwa: Jicho kwa jicho, jino kwa jino. \t ܫܡܥܬܘܢ ܕܐܬܐܡܪ ܕܥܝܢܐ ܚܠܦ ܥܝܢܐ ܘܫܢܐ ܚܠܦ ܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa Ibilisi. \t ܘܠܐ ܕܝܢ ܕܐܦ ܤܗܕܘܬܐ ܫܦܝܪܬܐ ܐܝܬ ܠܗ ܡܢ ܒܪܝܐ ܕܠܐ ܢܦܠ ܒܚܤܕܐ ܘܒܦܚܐ ܕܤܛܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, nataka mjue kwamba babu zetu wote walikuwa chini ya ulinzi wa lile wingu, na kwamba wote walivuka salama ile bahari. \t ܨܒܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܬܕܥܘܢ ܐܚܝ ܕܐܒܗܝܢ ܟܠܗܘܢ ܬܚܝܬ ܥܢܢܐ ܗܘܘ ܘܟܠܗܘܢ ܒܝܡܐ ܥܒܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kristo alikuwako kabla ya vitu vyote; kwa kuungana naye, vyote vyadumu mahali pake. \t ܘܗܘܝܘ ܕܡܢ ܩܕܡ ܟܠ ܘܟܠܡܕܡ ܒܗ ܩܐܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu ni ukweli mtupu; basi, kile tulichowaambia ninyi si jambo la \"Ndiyo\" na \"Siyo\". \t ܡܗܝܡܢ ܗܘ ܐܠܗܐ ܕܠܐ ܗܘܬ ܡܠܬܢ ܕܠܘܬܟܘܢ ܐܝܢ ܘܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga. \t ܘܐܚܪܢܐ ܢܦܠ ܒܝܬ ܟܘܒܐ ܘܤܠܩܘ ܟܘܒܐ ܘܚܢܩܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mwasema: Bado miezi minne tu, na wakati wa mavuno utafika! Lakini mimi nawaambieni, yatazameni mashamba; mazao yako tayari kuvunwa. \t ܠܐ ܐܢܬܘܢ ܐܡܪܝܢ ܕܒܬܪ ܐܪܒܥܐ ܝܪܚܝܢ ܐܬܐ ܚܨܕܐ ܗܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܪܝܡܘ ܥܝܢܝܟܘܢ ܘܚܙܘ ܐܪܥܬܐ ܕܚܘܪ ܘܡܛܝ ܠܚܨܕܐ ܡܢ ܟܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kutoka kwangu mimi Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, na mtume niliyeteuliwa na kuitwa kwa ajili ya kuhubiri Habari Njema ya Mungu. \t ܦܘܠܘܤ ܥܒܕܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܩܪܝܐ ܘܫܠܝܚܐ ܕܐܬܦܪܫ ܠܐܘܢܓܠܝܘܢ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ikiwa Daudi anamwita Kristo Bwana, anawezaje kuwa mwanawe?\" \t ܘܠܐ ܐܢܫ ܐܫܟܚ ܕܢܬܠ ܠܗ ܦܬܓܡܐ ܘܠܐ ܐܢܫ ܐܡܪܚ ܬܘܒ ܡܢ ܗܘ ܝܘܡܐ ܠܡܫܐܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale mitume walirudi, wakakusanyika mbele ya Yesu wakamwarifu yote waliyotenda na kufundisha. \t ܘܐܬܟܢܫܘ ܫܠܝܚܐ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܟܠ ܡܐ ܕܥܒܕܘ ܘܟܠ ܡܐ ܕܐܠܦܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena nasema: Mtu asinifikirie kuwa mpumbavu. Lakini kama mkifikiri hivyo, basi, nichukueni kama mpumbavu ili nami nipate kuwa na cha kujivunia angaa kidogo. \t ܬܘܒ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܡܐ ܐܢܫ ܢܤܒܪ ܥܠܝ ܐܝܟ ܕܤܟܠܐ ܐܢܐ ܘܐܢ ܠܐ ܐܦܢ ܐܝܟ ܤܟܠܐ ܩܒܠܘܢܝ ܕܐܦ ܐܢܐ ܩܠܝܠ ܐܫܬܒܗܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kuwa bwana arusi alikawia kuja, wale wanawali wote wote walisinzia, wakalala. \t ܟܕ ܐܘܚܪ ܕܝܢ ܚܬܢܐ ܢܡ ܟܠܗܝܢ ܘܕܡܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia huyo mtu aliyekuwa na mkono uliopooza, \"Njoo hapa katikati.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘ ܓܒܪܐ ܕܝܒܝܫܐ ܐܝܕܗ ܩܘܡ ܒܡܨܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, walimu wa Sheria na Mafarisayo wakamletea mwanamke mmoja aliyefumaniwa katika uzinzi. Wakamsimamisha katikati yao. \t ܐܝܬܝܘ ܕܝܢ ܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܠܐܢܬܬܐ ܕܐܬܬܚܕܬ ܒܓܘܪܐ ܘܟܕ ܐܩܝܡܘܗ ܒܡܨܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawatakia neema ya Mungu wote wanaompenda Bwana wetu Yesu Kristo kwa mapendo yasiyo na mwisho. \t ܛܝܒܘܬܐ ܥܡ ܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܚܒܝܢ ܠܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܠܐ ܚܒܠ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana damu ya fahali na mbuzi haiwezi kamwe kuondoa dhambi. \t ܠܐ ܓܝܪ ܡܫܟܚ ܕܡܐ ܕܬܘܪܐ ܘܕܨܦܪܝܐ ܠܡܕܟܝܘ ܚܛܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini kwa vile huyu mjane ananisumbua, nitamtetea; la sivyo ataendelea kufika hapa, na mwisho atanichosha kabisa!\" \t ܐܦܢ ܡܛܠ ܕܡܠܐܝܐ ܠܝ ܗܕܐ ܐܪܡܠܬܐ ܐܬܒܥܝܗ ܕܠܐ ܒܟܠ ܥܕܢ ܬܗܘܐ ܐܬܝܐ ܡܗܪܐ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "msidharau unabii. \t ܢܒܝܘܬܐ ܠܐ ܬܤܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pia wanawake kadhaa ambao Yesu alikuwa amewatoa pepo wabaya na kuwaponya magonjwa, waliandamana naye. Hao ndio akina Maria (aitwaye Magdalene), ambaye alitolewa pepo wabaya saba; \t ܘܢܫܐ ܗܠܝܢ ܕܐܬܐܤܝ ܡܢ ܟܘܪܗܢܐ ܘܡܢ ܪܘܚܐ ܒܝܫܬܐ ܡܪܝܡ ܕܡܬܩܪܝܐ ܡܓܕܠܝܬܐ ܗܝ ܕܫܒܥܐ ܫܐܕܝܢ ܢܦܩܘ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni lazima watu wetu wajifunze kuutumia wakati wao katika kutenda mema ili wasaidie katika mahitaji ya kweli, na maisha yao yawe ya kufaa. \t ܘܢܐܠܦܘܢ ܐܦ ܐܝܠܝܢ ܕܕܝܠܢ ܐܢܘܢ ܕܢܗܘܘܢ ܦܠܚܝܢ ܥܒܕܐ ܛܒܐ ܒܨܒܘܬܐ ܕܐܠܨܢ ܕܠܐ ܢܗܘܘܢ ܕܠܐ ܦܐܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, yeye alikwenda kwa Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. \t ܗܢܐ ܩܪܒ ܠܘܬ ܦܝܠܛܘܤ ܘܫܐܠ ܦܓܪܗ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, kutokana na bidii yenu ujumbe wa Bwana umesikika si tu huko Makedonia na Akaya, bali imani yenu kwa Mungu imeenea popote. Tena hatuhitaji kusema zaidi. \t ܡܢܟܘܢ ܓܝܪ ܐܫܬܡܥܬ ܡܠܬܗ ܕܡܪܢ ܠܐ ܒܠܚܘܕ ܒܡܩܕܘܢܝܐ ܘܒܐܟܐܝܐ ܐܠܐ ܒܟܠ ܐܬܪ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܕܒܐܠܗܐ ܐܫܬܡܥܬ ܐܝܟܢܐ ܕܠܐ ܢܤܬܢܩ ܕܢܐܡܪ ܥܠܝܟܘܢ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuhitaji kuambiwa chochote juu ya watu, maana aliyajua barabara mambo yote yaliyomo mioyoni mwao. \t ܘܠܐ ܤܢܝܩ ܗܘܐ ܕܐܢܫ ܢܤܗܕ ܠܗ ܥܠ ܟܠ ܒܪܢܫ ܗܘ ܓܝܪ ܝܕܥ ܗܘܐ ܡܢܐ ܐܝܬ ܒܒܪܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kristo alijitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba, ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu mbaya wa sasa. \t ܗܘ ܕܝܗܒ ܢܦܫܗ ܚܠܦ ܚܛܗܝܢ ܕܢܦܨܝܢ ܡܢ ܥܠܡܐ ܗܢܐ ܒܝܫܐ ܐܝܟ ܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܐܒܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mose alifundishwa mambo yote ya hekima ya Wamisri akawa mashuhuri kwa maneno na matendo. \t ܘܐܬܪܕܝ ܡܘܫܐ ܒܟܠܗ ܚܟܡܬܐ ܕܡܨܪܝܐ ܘܥܬܝܕ ܗܘܐ ܒܡܠܘܗܝ ܘܐܦ ܒܥܒܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mnaona kuna kizuizi chochote kile, kizuizi hicho kiko kwenu ninyi wenyewe, na si kwa upande wetu. \t ܠܐ ܐܠܝܨܝܬܘܢ ܒܢ ܐܠܝܨܝܬܘܢ ܕܝܢ ܒܪܚܡܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maandiko Matakatifu yesema hivi, \"Ujumbe huo wa Mungu uko karibu nawe, uko kinywani mwako na moyoni mwako\" nao ndio ile imani tunayoihubiri. \t ܐܠܐ ܡܢܐ ܐܡܪ ܩܪܝܒ ܗܘ ܠܟ ܦܬܓܡܐ ܠܦܘܡܟ ܘܠܠܒܟ ܗܕܐ ܗܝ ܡܠܬܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܕܡܟܪܙܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Daudi mwenyewe, hakupanda mpaka mbinguni; ila yeye alisema: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia, \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܕܘܝܕ ܤܠܩ ܠܫܡܝܐ ܡܛܠ ܕܗܘ ܐܡܪ ܕܐܡܪ ܡܪܝܐ ܠܡܪܝ ܬܒ ܠܟ ܡܢ ܝܡܝܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kuhusu malaika, Mungu alisema: \"Mungu awafanya malaika wake kuwa pepo, na watumishi wake kuwa ndimi za moto.\" \t ܥܠ ܡܠܐܟܐ ܕܝܢ ܗܟܢܐ ܐܡܪ ܕܥܒܕ ܡܠܐܟܘܗܝ ܪܘܚ ܘܡܫܡܫܢܘܗܝ ܢܘܪ ܝܩܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wewe mwanangu, uwe na nguvu katika neema tunayopata katika kuungana na Kristo Yesu. \t ܐܢܬ ܗܟܝܠ ܒܪܝ ܐܬܚܝܠ ܒܛܝܒܘܬܐ ܕܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafarisayo wakawaambia, \"Tazama! Kwa nini wanafanya jambo ambalo si halali kufanya wakati wa Sabato?\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܦܪܝܫܐ ܚܙܝ ܡܢܐ ܥܒܕܝܢ ܒܫܒܬܐ ܡܕܡ ܕܠܐ ܫܠܝܛ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao wakamtukana wakisema, \"Wewe ni mfuasi wake; sisi ni wafuasi wa Mose. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܨܚܝܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܢܬ ܗܘ ܬܠܡܝܕܗ ܕܗܘ ܚܢܢ ܓܝܪ ܬܠܡܝܕܐ ܚܢܢ ܕܡܘܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe imara katika imani na kumpinga, mkijua kwamba ndugu zenu pote duniani wanapatwa na mateso hayohayo. \t ܩܘܡܘ ܗܟܝܠ ܠܩܘܒܠܗ ܟܕ ܡܫܪܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܕܥܘ ܕܐܦ ܥܠ ܐܚܝܟܘܢ ܕܒܥܠܡܐ ܗܢܘܢ ܗܠܝܢ ܚܫܐ ܥܪܨܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Thoma akamwuliza, \"Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܬܐܘܡܐ ܡܪܢ ܠܐ ܝܕܥܝܢܢ ܠܐܝܟܐ ܐܙܠ ܐܢܬ ܘܐܝܟܢܐ ܡܫܟܚܝܢ ܚܢܢ ܐܘܪܚܐ ܠܡܕܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Amka! Imarisha chochote chema kilichokubakia kabla nacho hakijatoweka kabisa. Maana, mpaka sasa, sijayaona matendo yako kuwa ni makamilifu mbele ya Mungu wangu. \t ܘܗܘܝ ܥܝܪܐ ܘܩܝܡ ܕܫܪܟܐ ܕܐܝܠܝܢ ܕܥܬܝܕ ܗܘܝܬ ܠܡܡܬ ܠܐ ܓܝܪ ܐܫܟܚܬܟ ܕܡܫܡܠܝܢ ܥܒܕܝܟ ܩܕܡ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara nikachukuliwa na Roho. Kumbe, huko mbinguni kuna kiti cha enzi na juu yake ameketi mmoja. \t ܘܡܚܕܐ ܗܘܝܬ ܒܪܘܚ ܘܗܐ ܟܘܪܤܝܐ ܤܝܡ ܒܫܡܝܐ ܘܥܠ ܟܘܪܤܝܐ ܝܬܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wayahudi wakamwambia, \"Je, hatukusema kweli kwamba wewe ni Msamaria, na tena una pepo?\" \t ܥܢܘ ܝܗܘܕܝܐ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܠܐ ܫܦܝܪ ܐܡܪܝܢ ܐܢܚܢܢ ܕܫܡܪܝܐ ܐܢܬ ܘܕܝܘܐ ܐܝܬ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo, kila mtu alikuwa anapayuka; wengine hili na wengine lile, mpaka hata ule mkutano ukavurugika. Wengi hawakujua hata sababu ya kukutana kwao. \t ܟܢܫܐ ܕܝܢ ܕܐܝܬ ܗܘܘ ܒܬܐܛܪܘܢ ܛܒ ܫܓܝܫܝܢ ܗܘܘ ܘܐܚܪܢܐ ܐܚܪܢܝܬܐ ܩܥܝܢ ܗܘܘ ܤܓܝܐܐ ܓܝܪ ܡܢܗܘܢ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܗܘܘ ܡܛܠ ܡܢܐ ܐܬܟܢܫܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini tunapohukumiwa na Bwana, tunafunzwa tuwe na nidhamu, ili tusije tukahukumiwa pamoja na ulimwengu. \t ܟܕ ܡܬܕܝܢܝܢܢ ܕܝܢ ܡܢ ܡܪܢ ܡܬܪܕܝܘ ܡܬܪܕܝܢܢ ܕܠܐ ܥܡ ܥܠܡܐ ܢܬܚܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya hiyo sauti kusikika, Yesu alionekana akiwa peke yake. Wanafunzi walikaa kimya juu ya tukio hilo, na wakati ule hawakumwambia mtu yeyote mambo hayo waliyoyaona. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܩܠܐ ܐܫܬܟܚ ܝܫܘܥ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܘܗܢܘܢ ܫܬܩܘ ܘܠܐܢܫ ܠܐ ܐܡܪܘ ܒܗܢܘܢ ܝܘܡܬܐ ܡܕܡ ܕܚܙܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, kuhusu Sheria hiyo, mimi nimekufa; Sheria yenyewe iliniua, nipate kuishi kwa ajili ya Mungu. Mimi nimeuawa pamoja na Kristo msalabani, \t ܐܢܐ ܓܝܪ ܒܢܡܘܤܐ ܠܢܡܘܤܐ ܡܝܬܬ ܕܠܐܠܗܐ ܐܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamkamata, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamwua. \t ܘܐܚܕܘ ܐܦܩܘܗܝ ܠܒܪ ܡܢ ܟܪܡܐ ܘܩܛܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa namrudisha kwako, naye ni kama moyo wangu mimi mwenyewe. \t ܘܫܕܪܬܗ ܠܟ ܐܢܬ ܕܝܢ ܐܝܟ ܕܠܝܠܕܐ ܕܝܠܝ ܗܟܢܐ ܩܒܠܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mambo hayo yamekuwa mfano; mama hao wawili ni mfano wa maagano mawili; la kwanza ni lile lililofanyika mlimani Sinai, mwakilishi wake ni Hagari, na watoto wake wanazaliwa utumwani. \t ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܐܝܬܝܗܝܢ ܦܠܐܬܐ ܕܬܪܬܝܢ ܕܝܬܩܤ ܚܕܐ ܕܡܢ ܛܘܪ ܤܝܢܝ ܝܠܕܐ ܠܥܒܕܘܬܐ ܕܐܝܬܝܗ ܗܓܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeyote anayemkaribisha mtoto mmoja kama huyu kwa jina langu, ananikaribisha mimi. \t ܘܡܢ ܕܢܩܒܠ ܐܝܟ ܛܠܝܐ ܗܢܐ ܒܫܡܝ ܠܝ ܡܩܒܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato aliposikia hayo, akauliza, \"Je, mtu huyu ni mwenyeji wa Galilaya?\" \t ܦܝܠܛܘܤ ܕܝܢ ܟܕ ܫܡܥ ܫܡܐ ܕܓܠܝܠܐ ܫܐܠ ܕܐܢ ܓܒܪܐ ܗܘ ܓܠܝܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, huamini kwamba mimi niko ndani ya Baba, naye Baba yuko ndani yangu? Maneno ninayowaambieni nyote siyasemi kwa mamlaka yangu; Baba aliye ndani yangu anafanya kazi yake. \t ܠܐ ܡܗܝܡܢ ܐܢܬ ܕܐܢܐ ܒܐܒܝ ܘܐܒܝ ܒܝ ܡܠܐ ܐܝܠܝܢ ܕܐܢܐ ܡܡܠܠ ܐܢܐ ܡܢ ܢܦܫܝ ܠܐ ܡܡܠܠ ܐܢܐ ܐܒܝ ܕܝܢ ܕܒܝ ܥܡܪ ܗܘ ܥܒܕ ܥܒܕܐ ܗܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, maadam inahubiriwa kwamba Kristo amefufuliwa kutoka wafu, baadhi yenu wanawezaje kusema kwamba hakuna ufufuo wa wafu? \t ܐܢ ܕܝܢ ܡܫܝܚܐ ܡܬܟܪܙ ܕܩܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܐܝܟܢܐ ܐܝܬ ܒܟܘܢ ܐܢܫܐ ܕܐܡܪܝܢ ܠܝܬ ܚܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Asipowasikia hao, liambie kanisa. Na kama hatalisikia kanisa, na awe kwako kama watu wasiomjua Mungu na watoza ushuru. \t ܐܢ ܕܝܢ ܐܦ ܠܐ ܠܗܢܘܢ ܢܫܡܥ ܐܡܪ ܠܥܕܬܐ ܐܢ ܕܝܢ ܐܦ ܠܐ ܠܥܕܬܐ ܢܫܡܥ ܢܗܘܐ ܠܟ ܐܝܟ ܡܟܤܐ ܘܐܝܟ ܚܢܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnajua jinsi nilivyomtumikia Bwana kwa unyenyekevu wote, kwa machozi na matatizo yaliyonipata kutokana na mipango ya hila ya Wayahudi. \t ܟܕ ܦܠܚ ܐܢܐ ܠܐܠܗܐ ܒܡܟܝܟܘܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܘܒܕܡܥܐ ܘܒܢܤܝܘܢܐ ܐܝܠܝܢ ܕܥܕܝܢ ܗܘܘ ܥܠܝ ܒܢܟܠܝܗܘܢ ܕܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walifika Efeso na hapo Paulo aliwaacha Priskila na Akula, akaenda katika sunagogi, akajadiliana na Wayahudi. \t ܘܡܛܝܘ ܠܐܦܤܘܤ ܘܥܠ ܦܘܠܘܤ ܠܟܢܘܫܬܐ ܘܡܡܠܠ ܗܘܐ ܥܡ ܝܗܘܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawatazama, akawaambia, \"Kwa binadamu haiwezekani, lakini kwa Mungu si hivyo, maana kwa Mungu mambo yote huwezekana.\" \t ܚܪ ܕܝܢ ܒܗܘܢ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܘܬ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܗܕܐ ܠܐ ܡܫܟܚܐ ܐܠܐ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܟܠ ܡܕܡ ܓܝܪ ܡܫܟܚܐ ܠܘܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa njia ya imani, ninyi nyote mmekuwa watoto wa Mungu katika kuungana na Kristo. \t ܟܠܟܘܢ ܓܝܪ ܒܢܝܐ ܐܢܬܘܢ ܕܐܠܗܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "tunawaandikia ninyi mlio kanisa la Mungu huko Korintho. Ninyi mmefanywa watakatifu katika kuungana na Kristo Yesu, mkaitwa muwe watu wa Mungu, pamoja na watu wote popote wanaomwomba Bwana wetu Yesu Kristo aliye Bwana wao na wetu pia. \t ܠܥܕܬܐ ܕܐܠܗܐ ܕܒܩܘܪܢܬܘܤ ܩܪܝܐ ܘܩܕܝܫܐ ܕܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܩܕܫܝܢ ܘܠܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܩܪܝܢ ܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܟܠ ܐܬܪ ܕܝܠܗܘܢ ܘܕܝܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana yeye mwenyewe anawapenda ninyi, kwa sababu ninyi mmenipenda mimi na mmeamini kwamba nimetoka kwa Mungu. \t ܗܘ ܓܝܪ ܐܒܐ ܪܚܡ ܠܟܘܢ ܕܐܢܬܘܢ ܪܚܡܬܘܢܢܝ ܘܗܝܡܢܬܘܢ ܕܐܢܐ ܡܢ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܢܦܩܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kila mmoja na aupime vizuri mwenendo wake mwenyewe. Ukiwa mwema, basi, anaweza kuona fahari juu ya alichofanya bila kuwa na sababu ya kujilinganisha na mtu mwingine. \t ܐܠܐ ܐܢܫ ܥܒܕܗ ܢܗܘܐ ܒܩܐ ܘܗܝܕܝܢ ܒܝܢܘܗܝ ܠܢܦܫܗ ܢܗܘܐ ܫܘܒܗܪܗ ܘܠܐ ܒܐܚܪܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunajua vilevile kwamba kufuatana na Sheria, wana wa Lawi ambao ni makuhani, wanayo haki ya kuchukua sehemu ya kumi kutoka kwa watu, yaani ndugu zao, ingawaje nao ni watoto wa Abrahamu. \t ܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܡܢ ܒܢܝ ܠܘܝ ܕܡܩܒܠܝܢ ܗܘܘ ܟܘܡܪܘܬܐ ܦܘܩܕܢܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܢܡܘܤܐ ܕܢܤܒܘܢ ܡܥܤܪܐ ܡܢ ܥܡܐ ܗܢܘܢ ܡܢ ܐܚܝܗܘܢ ܟܕ ܐܦ ܗܢܘܢ ܡܢ ܚܨܗ ܕܐܒܪܗV ܢܦܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawaamuru wanafunzi wawaketishe watu wote makundimakundi penye nyasi. \t ܘܦܩܕ ܠܗܘܢ ܕܢܤܡܟܘܢ ܠܟܠܢܫ ܤܡܟܝܢ ܤܡܟܝܢ ܥܠ ܥܤܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akatwaa kikombe, akamshukuru Mungu, akawapa akisema, \"Nyweni nyote; \t ܘܫܩܠ ܟܤܐ ܘܐܘܕܝ ܘܝܗܒ ܠܗܘܢ ܘܐܡܪ ܤܒܘ ܐܫܬܘ ܡܢܗ ܟܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nzige wakatoka katika moshi huo, wakaingia duniani wakapewa nguvu kama ya ng'e. \t ܘܡܢ ܬܢܢܐ ܢܦܩܘ ܩܡܨܐ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܐܬܝܗܒ ܠܗܘܢ ܫܘܠܛܢܐ ܕܐܝܬ ܠܥܩܪܒܐ ܕܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zamani hamkumjua Mungu na hivyo mkatumikia miungu isiyo miungu kweli. \t ܗܝܕܝܢ ܓܝܪ ܟܕ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܠܐܠܗܐ ܦܠܚܬܘܢ ܠܗܢܘܢ ܕܡܢ ܟܝܢܗܘܢ ܠܐ ܗܘܘ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Nani aliyepata kuyajua mawazo ya Bwana? Nani awezaye kuwa mshauri wake? \t ܡܢܘ ܓܝܪ ܝܕܥ ܪܥܝܢܗ ܕܡܪܝܐ ܐܘ ܡܢܘ ܗܘܐ ܠܗ ܒܥܠ ܡܠܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa akiongea, Mfarisayo mmoja alimkaribisha chakula nyumbani kwake, naye akaenda, akaketi kula chakula. \t ܟܕ ܕܝܢ ܡܡܠܠ ܒܥܐ ܡܢܗ ܦܪܝܫܐ ܚܕ ܕܢܫܬܪܐ ܠܘܬܗ ܘܥܠ ܐܤܬܡܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nitarudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimemkosea Mungu, na nimekukosea wewe pia. \t ܐܩܘܡ ܐܙܠ ܠܘܬ ܐܒܝ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܒܝ ܚܛܝܬ ܒܫܡܝܐ ܘܩܕܡܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, \"Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu. Anayenifuata mimi hatembei kamwe gizani, bali atakuwa na mwanga wa uzima.\" \t ܬܘܒ ܕܝܢ ܡܠܠ ܥܡܗܘܢ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܐܢܐ ܐܢܐ ܢܘܗܪܗ ܕܥܠܡܐ ܡܢ ܕܒܬܪܝ ܐܬܐ ܠܐ ܢܗܠܟ ܒܚܫܘܟܐ ܐܠܐ ܢܫܟܚ ܠܗ ܢܘܗܪܐ ܕܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wamwulize: \"Je, wewe ni yule anayekuja, au tumngoje mwingine?\" \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢܬ ܗܘ ܗܘ ܕܐܬܐ ܐܘ ܠܐܚܪܝܢ ܗܘ ܡܤܟܝܢ ܐܢܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Furahini pamoja na wanaofurahi, lieni pamoja na wanaolia. \t ܚܕܘ ܥܡ ܕܚܕܝܢ ܘܒܟܘ ܥܡ ܕܒܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ni Yohane, ndugu yenu; na kwa kuungana na Kristo nashiriki pamoja nanyi katika kustahimili mateso yanayowapata wale walio wa Utawala wake. Mimi nilikuwa kisiwani Patmo kwa sababu ya kuhubiri ujumbe wa Mungu na ukweli wa Yesu. \t ܐܢܐ ܝܘܚܢܢ ܗܘ ܐܚܘܟܘܢ ܘܒܪ ܫܘܬܦܟܘܢ ܒܐܘܠܨܢܐ ܘܒܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܕܒܝܫܘܥ ܗܘܝܬ ܒܓܙܪܬܐ ܕܡܬܩܪܝܐ ܦܛܡܘܤ ܡܛܠ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܡܛܠ ܤܗܕܘܬܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akaanza kumtukana Mungu, kulitukana jina lake, makao yake, na wote wakaao mbinguni. \t ܘܦܬܚܬ ܦܘܡܗ ܠܡܓܕܦܘ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܕܬܓܕܦܝ ܒܫܡܐ ܘܒܡܫܪܝܐ ܕܐܝܠܝܢ ܕܫܪܝܢ ܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini simama sasa, uingie mjini na huko utaambiwa unachopaswa kufanya.\" \t ܐܠܐ ܩܘܡ ܥܘܠ ܠܡܕܝܢܬܐ ܘܬܡܢ ܢܬܡܠܠ ܥܡܟ ܥܠ ܡܐ ܕܘܠܐ ܠܟ ܠܡܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao watu walikuwa wametumwa na Mafarisayo. \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܕܐܫܬܕܪܘ ܡܢ ܦܪܝܫܐ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Petro akageuka, akamwona yule mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda, anafuata (Huyu mwanafunzi ndiye yule ambaye wakati wa chakula cha jioni, alikaa karibu sana na Yesu na kumwuliza: \"Bwana ni nani atakayekusaliti?\") \t ܘܐܬܦܢܝ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܘܚܙܐ ܠܬܠܡܝܕܐ ܗܘ ܕܪܚܡ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܕܐܬܐ ܒܬܪܗ ܗܘ ܕܢܦܠ ܗܘܐ ܒܚܫܡܝܬܐ ܥܠ ܚܕܝܗ ܕܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܡܪܝ ܡܢܘ ܡܫܠܡ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Mwanga bado uko nanyi kwa muda mfupi. Tembeeni mngali mnao huo mwanga ili giza lisiwapate; maana atembeaye gizani hajui aendako. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܩܠܝܠ ܐܚܪܝܢ ܙܒܢܐ ܢܘܗܪܐ ܥܡܟܘܢ ܗܘ ܗܠܟܘ ܥܕ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܢܘܗܪܐ ܕܠܐ ܚܫܘܟܐ ܢܕܪܟܟܘܢ ܘܡܢ ܕܡܗܠܟ ܒܚܫܘܟܐ ܠܐ ܝܕܥ ܠܐܝܟܐ ܐܙܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Twajua kwamba Sheria ni njema, kama ikitumiwa ipasavyo. \t ܝܕܥܝܢܢ ܕܝܢ ܕܢܡܘܤܐ ܫܦܝܪ ܗܘ ܐܢ ܐܢܫ ܐܟܘܬܗ ܕܢܡܘܤܐ ܢܬܕܒܪ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha. \t ܘܐܤܬܪܗܒ ܢܚܬ ܘܩܒܠܗ ܟܕ ܚܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu walijiunga kusikiliza kwa makini ule ujumbe wa Filipo na kuona ile miujiza aliyoifanya. \t ܘܟܕ ܫܡܥܝܢ ܗܘܘ ܡܠܬܗ ܒܢܝܢܫܐ ܕܬܡܢ ܨܝܬܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܘܡܬܛܦܝܤܝܢ ܗܘܘ ܠܟܠ ܕܐܡܪ ܗܘܐ ܕܚܙܝܢ ܗܘܘ ܐܬܘܬܐ ܕܥܒܕ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunamshukuru Mungu daima kwa ajili yenu ninyi nyote na kuwakumbukeni daima katika sala zetu. \t ܡܘܕܝܢܢ ܠܐܠܗܐ ܒܟܠܙܒܢ ܥܠ ܟܠܟܘܢ ܘܡܬܕܟܪܝܢܢ ܠܟܘܢ ܒܨܠܘܬܢ ܐܡܝܢܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili. Maana atamchukia mmoja na kumpenda huyo wa pili; au ataambatana na mmoja na kumdharau huyo mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali pamoja. \t ܠܐ ܐܢܫ ܡܫܟܚ ܠܬܪܝܢ ܡܪܘܢ ܠܡܦܠܚ ܐܘ ܓܝܪ ܠܚܕ ܢܤܢܐ ܘܠܐܚܪܢܐ ܢܪܚܡ ܐܘ ܠܚܕ ܢܝܩܪ ܘܠܐܚܪܢܐ ܢܫܘܛ ܠܐ ܡܫܟܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐܠܗܐ ܠܡܦܠܚ ܘܠܡܡܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na, kama mwanamke Mkristo anaye mume asiyeamini, na huyo mwanamume akakubali kuendelea kuishi naye, basi, asimpe talaka mumewe. \t ܘܐܢܬܬܐ ܐܝܕܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܒܥܠܐ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢ ܘܗܘ ܨܒܐ ܕܢܥܡܪ ܥܡܗ ܠܐ ܬܫܒܘܩ ܒܥܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bali, uzuri wenu unapaswa kutokana na hali ya ndani ya utu wa kweli, uzuri usioharibika wa wema na utulivu wa roho, ambao ni wa thamani kubwa mbele ya Mungu. \t ܐܠܐ ܐܨܛܒܬܝܢ ܒܒܪܢܫܐ ܟܤܝܐ ܕܠܒܐ ܒܪܘܚܐ ܡܟܝܟܬܐ ܕܠܐ ܡܬܚܒܠܐ ܨܒܬܐ ܕܡܝܬܪ ܩܕܡ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Anasi akampeleka Yesu akiwa amefungwa, kwa Kuhani Mkuu Kayafa. \t ܚܢܢ ܕܝܢ ܫܕܪ ܠܝܫܘܥ ܟܕ ܐܤܝܪ ܠܘܬ ܩܝܦܐ ܪܒ ܟܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo kusema, si kila anayeonekana kwa nje kuwa Myahudi ni Myahudi wa kweli, wala mtu hawi Myahudi wa kweli ati kwa kuwa ametahiriwa kimwili. \t ܠܐ ܗܘܐ ܓܝܪ ܡܢ ܕܒܓܠܝܐ ܗܘ ܗܘ ܝܗܘܕܝܐ ܐܦܠܐ ܐܝܕܐ ܕܡܬܚܙܝܐ ܒܒܤܪܐ ܓܙܘܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Abrahamu alisubiri kwa uvumilivu na hivyo alipokea kile alichoahidiwa na Mungu. \t ܘܗܟܢܐ ܐܓܪ ܪܘܚܗ ܘܩܒܠ ܡܘܠܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane alikuwa amevaa vazi lililofumwa kwa manyoya ya ngamia, na mkanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܘܚܢܢ ܠܒܝܫ ܗܘܐ ܠܒܘܫܐ ܕܤܥܪܐ ܕܓܡܠܐ ܘܐܤܝܪ ܗܘܐ ܥܪܩܬܐ ܕܡܫܟܐ ܒܚܨܘܗܝ ܘܡܐܟܘܠܬܗ ܐܝܬܝܗ ܗܘܬ ܩܡܨܐ ܘܕܒܫܐ ܕܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Mnaposali, semeni: Baba! Jina lako litukuzwe; Ufalme wako ufike. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܡܬܝ ܕܡܨܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܗܟܢܐ ܗܘܝܬܘܢ ܐܡܪܝܢ ܐܒܘܢ ܕܒܫܡܝܐ ܢܬܩܕܫ ܫܡܟ ܬܐܬܐ ܡܠܟܘܬܟ ܢܗܘܐ ܨܒܝܢܟ ܐܝܟ ܕܒܫܡܝܐ ܐܦ ܒܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Humo barazani mlikuwa na wagonjwa wengi wamekaa: vipofu, viwete na waliopooza. Walikuwa wakingojea maji yatibuliwe, \t ܘܒܗܠܝܢ ܪܡܝܢ ܗܘܘ ܥܡܐ ܤܓܝܐܐ ܕܟܪܝܗܐ ܘܤܡܝܐ ܘܚܓܝܤܐ ܘܝܒܝܫܐ ܘܡܤܟܝܢ ܗܘܘ ܠܙܘܥܐ ܕܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Kuhani Mkuu akamwuliza, \"Je, mambo haya ni kweli?\" \t ܘܫܐܠܗ ܪܒ ܟܗܢܐ ܕܐܢ ܗܘ ܕܗܠܝܢ ܗܟܢܐ ܐܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akajibu, \"Enyi kizazi kisicho na imani, kilichopotoka! Nitakaa nanyi mpaka lini? Nitawavumilia ninyi mpaka lini? Mleteni hapa huyo mtoto.\" \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܐܘܢ ܫܪܒܬܐ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܐ ܘܡܥܩܠܬܐ ܥܕܡܐ ܠܐܡܬܝ ܐܗܘܐ ܥܡܟܘܢ ܘܥܕܡܐ ܠܐܡܬܝ ܐܤܝܒܪܟܘܢ ܐܝܬܝܗܝ ܠܝ ܠܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha wakamtemea mate usoni, wakampiga makofi. Wengine wakiwa wanampiga makofi, \t ܗܝܕܝܢ ܪܩܘ ܒܐܦܘܗܝ ܘܡܩܦܚܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܡܚܝܢ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliposhuka kutoka mlimani, makundi mengi ya watu yalimfuata. \t ܟܕ ܢܚܬ ܕܝܢ ܡܢ ܛܘܪܐ ܢܩܦܘܗܝ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nikakichukua kitabu hicho kidogo kutoka mkononi mwa huyo malaika, nikakila; nacho kilikuwa kitamu kinywani mwangu kama asali, lakini nilipokimeza kikawa kichungu tumboni mwangu. \t ܘܢܤܒܬ ܠܟܬܒܘܢܐ ܡܢ ܐܝܕܗ ܕܡܠܐܟܐ ܘܐܟܠܬܗ ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܒܦܘܡܝ ܐܝܟ ܕܒܫܐ ܚܠܝܐ ܘܟܕ ܐܟܠܬܗ ܡܪܬ ܟܪܤܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Alisema hayo ili yapate kutimia yale aliyosema: \"Wale ulionipa sikumpoteza hata mmoja.\") \t ܕܬܫܠܡ ܡܠܬܐ ܕܐܡܪ ܕܐܝܠܝܢ ܕܝܗܒܬ ܠܝ ܠܐ ܐܘܒܕܬ ܡܢܗܘܢ ܐܦܠܐ ܚܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, wakati ule hamkunidharau wala kunikataa kwa sababu ya udhaifu wangu ingawa mlishawishiwa kufanya hivyo; lakini mlinipokea kama malaika wa Mungu, kama vile ningekuwa Kristo Yesu mwenyewe. \t ܘܢܤܝܘܢܐ ܕܒܤܪܝ ܠܐ ܫܛܬܘܢ ܘܠܐ ܢܕܬܘܢ ܐܠܐ ܐܝܟ ܕܠܡܠܐܟܐ ܕܐܠܗܐ ܩܒܠܬܘܢܢܝ ܘܐܝܟ ܕܠܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alimwua kwa upanga Yakobo ndugu yake Yohane. \t ܘܩܛܠ ܒܤܝܦܐ ܠܝܥܩܘܒ ܐܚܘܗܝ ܕܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, mmojawapo wa vile viumbe vinne akawapa hao malaika saba mabakuli ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, aishiye milele na milele. \t ܘܚܕܐ ܡܢ ܐܪܒܥ ܚܝܘܬܐ ܝܗܒܬ ܠܫܒܥܐ ܡܠܐܟܝܢ ܫܒܥ ܙܒܘܪܝܢ ܕܡܠܝܢ ܚܡܬܗ ܕܐܠܗܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܚܝܐ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, kuna faida gani mtu kuupata ulimwengu wote na kuyapoteza maisha yake? \t ܡܢܐ ܓܝܪ ܢܬܥܕܪ ܒܪܢܫܐ ܐܢ ܥܠܡܐ ܟܠܗ ܢܐܬܪ ܘܢܦܫܗ ܢܚܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, Hekima ya Mungu ilisema hivi: Nitawapelekea manabii na mitume, lakini watawaua baadhi yao, na kuwatesa wengine. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܦ ܚܟܡܬܐ ܕܐܠܗܐ ܐܡܪܬ ܕܗܐ ܐܢܐ ܐܫܕܪ ܠܗܘܢ ܢܒܝܐ ܘܫܠܝܚܐ ܡܢܗܘܢ ܢܪܕܦܘܢ ܘܢܩܛܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu alipokuwa bado anasema nao, mara akaja Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili. Pamoja naye walikuja watu wengi wenye mapanga na marungu ambao walitumwa na makuhani wakuu na wazee wa watu. \t ܘܥܕ ܗܘ ܡܡܠܠ ܗܐ ܝܗܘܕܐ ܡܫܠܡܢܐ ܚܕ ܡܢ ܬܪܥܤܪܬܐ ܐܬܐ ܘܟܢܫܐ ܥܡܗ ܤܓܝܐܐ ܥܡ ܤܦܤܪܐ ܘܚܘܛܪܐ ܡܢ ܠܘܬ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܩܫܝܫܐ ܕܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mapendo yenu na yawe bila unafiki wowote. Chukieni jambo lolote ovu, zingatieni jema. \t ܘܠܐ ܢܗܘܐ ܢܟܝܠ ܚܘܒܟܘܢ ܐܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܤܢܝܢ ܠܒܝܫܬܐ ܘܡܬܢܩܦܝܢ ܠܛܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kusudi muweze kufahamu pamoja na watu wote wa Mungu jinsi upendo wa Kristo ueneavyo kwa mapana na marefu, kwa kimo na kina. \t ܕܬܫܟܚܘܢ ܠܡܕܪܟܘ ܥܡ ܟܠܗܘܢ ܩܕܝܫܐ ܡܢܘ ܪܘܡܐ ܘܥܘܡܩܐ ܘܐܘܪܟܐ ܘܦܬܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu mwenye shamba la mizabibu, ambaye alitoka asubuhi na mapema kuwaajiri wafanyakazi katika shamba lake. \t ܕܡܝܐ ܓܝܪ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܠܓܒܪܐ ܡܪܐ ܒܝܬܐ ܕܢܦܩ ܒܨܦܪܐ ܕܢܐܓܘܪ ܦܥܠܐ ܠܟܪܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo pamoja na Yesu akauchomoa upanga wake, akampiga mtumishi wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio. \t ܚܕ ܕܝܢ ܡܢ ܗܢܘܢ ܕܩܝܡܝܢ ܫܡܛ ܤܝܦܐ ܘܡܚܝܗܝ ܠܥܒܕܗ ܕܪܒ ܟܗܢܐ ܘܫܩܠܗ ܐܕܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kama jicho lako la kulia linakukosesha, ling'oe ukalitupe mbali. Afadhali zaidi kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako, kuliko mwili wako wote kutupwa katika moto wa Jehanamu. \t ܐܢ ܕܝܢ ܥܝܢܟ ܕܝܡܝܢܐ ܡܟܫܠܐ ܠܟ ܚܨܝܗ ܘܫܕܝܗ ܡܢܟ ܦܩܚ ܠܟ ܓܝܪ ܕܢܐܒܕ ܚܕ ܗܕܡܟ ܘܠܐ ܟܠܗ ܦܓܪܟ ܢܦܠ ܒܓܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nia yetu ni kufanya vema, si tu mbele ya Bwana, lakini pia mbele ya watu. \t ܝܨܝܦܝܢܢ ܓܝܪ ܕܫܦܝܪܬܐ ܠܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܒܠܚܘܕ ܐܠܐ ܐܦ ܩܕܡ ܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati mmoja, Mafarisayo walimwuliza Yesu, \"Ufalme wa Mungu utakuja lini?\" Naye akawajibu, \"Ufalme wa Mungu hauji kwa namna itakayoweza kuonekana. \t ܘܟܕ ܫܐܠܘܗܝ ܠܝܫܘܥ ܡܢ ܦܪܝܫܐ ܐܡܬܝ ܐܬܝܐ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܐܬܝܐ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܒܢܛܘܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nisalimieni Trufena na Trufosa wanaofanya kazi katika utumishi wa Bwana, na rafiki yangu Persi ambaye amefanya mengi kwa ajili ya Bwana. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܛܪܘܦܢܐ ܘܕܛܪܘܦܤܐ ܕܠܐܝܝܢ ܒܡܪܢ ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܦܪܤܤ ܚܒܝܒܬܝ ܐܝܕܐ ܕܤܓܝ ܠܐܝܬ ܒܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipoona imani yao, akamwambia huyo mtu aliyepooza, \"Mwanangu, umesamehewa dhambi zako.\" \t ܟܕ ܚܙܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܗܝܡܢܘܬܗܘܢ ܐܡܪ ܠܗܘ ܡܫܪܝܐ ܒܪܝ ܫܒܝܩܝܢ ܠܟ ܚܛܗܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu huwakubali watu kuwa waadilifu kwa njia ya imani yao kwa Yesu Kristo; Mungu hufanya hivyo kwa wote wanaoamini; hakuna ubaguzi wowote. \t ܟܐܢܘܬܗ ܕܝܢ ܕܐܠܗܐ ܒܝܕ ܗܝܡܢܘܬܐ ܗܝ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܠܟܠܢܫ ܐܦ ܥܠ ܟܠܢܫ ܕܡܗܝܡܢ ܒܗ ܠܝܬ ܓܝܪ ܦܘܪܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale wachungaji walirudi makwao huku wakimtukuza na kumsifu Mungu kwa yote waliyokuwa wamesikia na kuona; yote yalikuwa kama walivyokuwa wameambiwa. \t ܘܗܦܟܘ ܪܥܘܬܐ ܗܢܘܢ ܟܕ ܡܫܒܚܝܢ ܘܡܗܠܠܝܢ ܠܐܠܗܐ ܥܠ ܟܠ ܕܚܙܘ ܘܫܡܥܘ ܐܝܟܢܐ ܕܐܬܡܠܠ ܥܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Watakapowapeleka ninyi mbele ya masunagogi na mbele ya wakuu na watawala msiwe na wasiwasi juu ya jinsi mtakavyojitetea au jinsi mtakavyosema. \t ܡܐ ܕܡܩܪܒܝܢ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܠܟܢܘܫܬܐ ܩܕܡ ܪܫܐ ܘܫܠܝܛܢܐ ܠܐ ܬܐܨܦܘܢ ܐܝܟܢܐ ܬܦܩܘܢ ܪܘܚܐ ܐܘ ܡܢܐ ܬܐܡܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadaye Yesu aliwatokea wanafunzi wawili akiwa na sura nyingine. Wanafunzi hao walikuwa wanakwenda shambani. \t ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܐܬܚܙܝ ܠܬܪܝܢ ܡܢܗܘܢ ܒܕܡܘܬܐ ܐܚܪܬܐ ܟܕ ܡܗܠܟܝܢ ܘܐܙܠܝܢ ܠܩܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo basi, imani inatokana na kuusikiliza ujumbe, na huo ujumbe unatokana na neno la Kristo. \t ܡܟܝܠ ܗܝܡܢܘܬܐ ܡܢ ܡܫܡܥ ܐܕܢܐ ܗܝ ܘܡܫܡܥ ܐܕܢܐ ܡܢ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, nikamwendea huyo malaika, nikamwambia anipe hicho kitabu kidogo. Naye akaniambia, \"Kichukue, ukile; kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali, lakini tumboni kitakuwa kichungu!\" \t ܘܐܙܠܬ ܠܘܬ ܡܠܐܟܐ ܟܕ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܗ ܠܡܬܠ ܠܝ ܠܟܬܒܘܢܐ ܘܐܡܪ ܠܝ ܤܒ ܘܐܟܘܠܝܗܝ ܘܢܡܪ ܠܟ ܟܪܤܟ ܐܠܐ ܒܦܘܡܟ ܢܗܘܐ ܐܝܟ ܕܒܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamtemea mate, wakauchukua ule mwanzi, wakampiga nao kichwani. \t ܘܪܩܘ ܒܦܪܨܘܦܗ ܘܫܩܠܘ ܩܢܝܐ ܘܡܚܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܥܠ ܪܫܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa basi, mtu hutahiriwa hata siku ya Sabato kusudi Sheria ya Mose isivunjwe, mbona mnanikasirikia kwa sababu nimemfanya mtu kuwa mzima kabisa siku ya Sabato? \t ܐܢ ܒܪܢܫܐ ܡܬܓܙܪ ܒܝܘܡܐ ܕܫܒܬܐ ܡܛܠ ܕܠܐ ܢܫܬܪܐ ܢܡܘܤܐ ܕܡܘܫܐ ܥܠܝ ܪܛܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܟܠܗ ܒܪܢܫܐ ܐܚܠܡܬ ܒܝܘܡܐ ܕܫܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenendo wenu ulikuwa mzuri! Nani, basi aliyewazuia kuuzingatia ukweli? \t ܫܦܝܪ ܪܗܛܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܡܢܘ ܕܘܕܟܘܢ ܕܠܫܪܪܐ ܠܐ ܬܬܛܦܝܤܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Chukueni kwa mfano habari za Abrahamu: yeye alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu. \t ܐܝܟܢܐ ܕܗܝܡܢ ܐܒܪܗܡ ܠܐܠܗܐ ܘܐܬܚܫܒܬ ܠܗ ܠܙܕܝܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nimekuwa kama mpumbavu, lakini, ninyi mmenilazimisha kuwa hivyo. Ninyi ndio mngalipaswa kunisifu. Maana, ingawa mimi si kitu, kwa vyovyote, mimi si mdogo zaidi kuliko hao \"mitume wakuu.\" \t ܗܐ ܗܘܝܬ ܚܤܝܪ ܪܥܝܢܐ ܒܫܘܒܗܪܝ ܕܐܢܬܘܢ ܐܠܨܬܘܢܢܝ ܚܝܒܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܓܝܪ ܕܐܢܬܘܢ ܬܤܗܕܘܢ ܥܠܝ ܡܛܠ ܕܠܐ ܒܨܪܬ ܡܕܡ ܡܢ ܫܠܝܚܐ ܐܝܠܝܢ ܕܛܒ ܡܝܬܪܝܢ ܘܐܦܢ ܠܐ ܗܘܝܬ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo akawaambia wale waliokuwa pale: Mnyang'anyeni hizo fedha, mkampe yule aliyepata faida mara kumi. \t ܘܠܗܢܘܢ ܕܩܝܡܝܢ ܩܕܡܘܗܝ ܐܡܪ ܤܒܘ ܡܢܗ ܡܢܝܐ ܘܗܒܘ ܠܗܘ ܕܐܝܬ ܠܘܬܗ ܥܤܪܐ ܡܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na anayeapa kwa Hekalu ameapa kwa hilo Hekalu na pia kwa yule akaaye ndani yake. \t ܘܡܢ ܕܝܡܐ ܒܗܝܟܠܐ ܝܡܐ ܒܗ ܘܒܡܢ ܕܥܡܪ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Shabaha yangu si kupata sifa kutoka kwa watu. \t ܫܘܒܚܐ ܡܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܠܐ ܢܤܒ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nataka kusema hivi: kila mmoja anasema chake: mmoja husema, \"Mimi ni wa Paulo,\" mwingine: \"Mimi ni wa Apolo,\" mwingine: \"Mimi ni wa Kefa,\" na mwingine: \"Mimi ni wa Kristo,\". \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܐܝܬ ܡܢܟܘܢ ܕܐܡܪ ܐܢܐ ܕܦܘܠܘܤ ܐܢܐ ܘܐܝܬ ܕܐܡܪ ܐܢܐ ܕܐܦܠܘ ܐܢܐ ܘܐܝܬ ܕܐܡܪ ܐܢܐ ܕܟܐܦܐ ܐܢܐ ܘܐܝܬ ܕܐܡܪ ܐܢܐ ܕܡܫܝܚܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, nitawapa uwezo uleule nilioupokea kwa Baba: yaani, watayatawala mataifa kwa fimbo ya chuma na kuyavunjavunja kama chombo cha udongo. \t ܠܡܪܥܐ ܐܢܘܢ ܒܫܒܛܐ ܕܦܪܙܠܐ ܘܐܝܟ ܡܐܢܝ ܦܚܪܐ ܬܫܚܩܘܢ ܗܟܢܐ ܓܝܪ ܘܐܢܐ ܢܤܒܬ ܡܢ ܐܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati mambo hayo yatakapoanza kutukia, simameni na kuinua vichwa vyenu juu, kwa maana ukombozi wenu umekaribia.\" \t ܡܐ ܕܝܢ ܕܫܪܝ ܗܠܝܢ ܕܢܗܘܝܢ ܐܬܠܒܒܘ ܘܐܪܝܡܘ ܪܫܝܟܘܢ ܡܛܠ ܕܩܪܒ ܠܗ ܦܘܪܩܢܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, \"Ana pepo mchafu.\") \t ܡܛܠ ܕܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܕܪܘܚܐ ܛܢܦܬܐ ܐܝܬ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kabla ya kutokea hayo yote, watawatieni nguvuni, watawatesa na kuwapelekeni katika masunagogi na kuwatia gerezani; mtapelekwa mbele ya wafalme na watawala kwa ajili ya jina langu. \t ܩܕܡ ܕܝܢ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܢܪܡܘܢ ܥܠܝܟܘܢ ܐܝܕܝܐ ܘܢܪܕܦܘܢܟܘܢ ܘܢܫܠܡܘܢܟܘܢ ܠܟܢܘܫܬܐ ܘܠܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܘܢܩܪܒܘܢܟܘܢ ܩܕܡ ܡܠܟܐ ܘܗܓܡܘܢܐ ܡܛܠ ܫܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakiwa bado katika hali ya kutosadiki kwa sababu ya furaha yao, na wakiwa wanastaajabu, akawauliza, \"Mnacho chakula chochote hapa?\" \t ܘܟܕ ܥܕܡܐ ܠܗܫܐ ܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܗܘܘ ܡܢ ܚܕܘܬܗܘܢ ܘܡܬܬܡܗܝܢ ܗܘܘ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܬܢܢ ܡܕܡ ܠܡܐܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mwana wa Enosi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, aliyekuwa wa Mungu. \t ܒܪ ܐܢܘܫ ܒܪ ܫܝܬ ܒܪ ܐܕܡ ܕܡܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yohane alijaribu kumzuia akisema, \"Je, wewe unakuja kwangu? Mimi hasa ndiye ninayehitaji kubatizwa nawe.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܘܚܢܢ ܟܠܐ ܗܘܐ ܠܗ ܘܐܡܪ ܐܢܐ ܤܢܝܩ ܐܢܐ ܕܡܢܟ ܐܬܥܡܕ ܘܐܢܬ ܠܘܬܝ ܐܬܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ibilisi alipokwishamjaribu kwa kila njia, akamwacha kwa muda. \t ܘܟܕ ܫܠܡ ܐܟܠܩܪܨܐ ܟܠܗܘܢ ܢܤܝܘܢܘܗܝ ܦܪܩ ܡܢ ܠܘܬܗ ܥܕ ܙܒܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nawaambieni, punje ya ngano hubaki punje tu isipokuwa ikianguka katika udongo na kufa. Kama ikifa, basi huzaa matunda mengi. \t ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܦܪܕܬܐ ܕܚܛܬܐ ܐܠܐ ܢܦܠܐ ܘܡܝܬܐ ܒܐܪܥܐ ܒܠܚܘܕܝܗ ܦܝܫܐ ܐܢ ܕܝܢ ܡܝܬܐ ܦܐܪܐ ܤܓܝܐܐ ܡܝܬܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamwita tena aliyekuwa kipofu, wakamwambia, \"Sema ukweli mbele ya Mungu! Sisi tunajua kwamba mtu huyu ni mwenye dhambi.\" \t ܘܩܪܐܘܗܝ ܠܓܒܪܐ ܕܬܪܬܝܢ ܙܒܢܝܢ ܠܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܤܡܝܐ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܫܒܚ ܠܐܠܗܐ ܚܢܢ ܓܝܪ ܝܕܥܝܢܢ ܕܗܢܐ ܓܒܪܐ ܚܛܝܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, waume wanapaswa kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. \t ܗܟܢܐ ܘܠܐ ܠܓܒܪܐ ܕܢܚܒܘܢ ܢܫܝܗܘܢ ܐܝܟ ܕܠܦܓܪܝܗܘܢ ܡܢ ܕܠܐܢܬܬܗ ܓܝܪ ܡܚܒ ܢܦܫܗ ܗܘ ܡܚܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Enyi watoto, watiini wazazi wenu daima maana hiyo humpendeza Bwana. \t ܒܢܝܐ ܐܫܬܡܥܘ ܠܐܒܗܝܟܘܢ ܒܟܠܡܕܡ ܗܟܢܐ ܓܝܪ ܫܦܝܪ ܩܕܡ ܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipowaona akawaambia, \"Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.\" Basi, ikawa walipokuwa wanakwenda, wakatakasika. \t ܘܟܕ ܚܙܐ ܐܢܘܢ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܙܠܘ ܚܘܘ ܢܦܫܟܘܢ ܠܟܗܢܐ ܘܟܕ ܐܙܠܝܢ ܐܬܕܟܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alitambua mawazo yao, akawauliza, \"Mnawaza nini mioyoni mwenu? \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܝܕܥ ܡܚܫܒܬܗܘܢ ܘܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܡܬܚܫܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܠܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: \"Mmegundua kwamba Bwana ni mwema.\" \t ܐܢ ܛܥܡܬܘܢ ܘܚܙܝܬܘܢ ܕܛܒ ܗܘ ܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Iwe iwavyo, ubora wa kazi ya kila mmoja utaonekana wakati Siku ile ya Kristo itakapoifichua. Maana, Siku hiyo itatokea na moto, na huo moto utaipima na kuonyesha ubora wake. \t ܥܒܕܐ ܕܟܠܢܫ ܡܬܓܠܐ ܝܘܡܐ ܓܝܪ ܗܘ ܓܠܐ ܠܗ ܡܛܠ ܕܒܢܘܪܐ ܡܬܓܠܐ ܘܥܒܕܗ ܕܟܠܢܫ ܐܝܟܢܐ ܐܝܬܘܗܝ ܢܘܪܐ ܬܦܪܫܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanzi uliopondeka hatauvunja, wala utambi ufukao moshi hatauzima, mpaka atakapoifanya hukumu ya haki itawale. \t ܩܢܝܐ ܪܥܝܥܐ ܠܐ ܢܬܒܪ ܘܫܪܓܐ ܕܡܛܦܛܦ ܠܐ ܢܕܥܟ ܥܕܡܐ ܕܢܦܩ ܕܝܢܐ ܠܙܟܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, ninawasihi kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo: pataneni nyote katika kila jambo msemalo; yasiweko mafarakano kati yenu; muwe na fikira moja na nia moja. \t ܒܥܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܡܢܟܘܢ ܐܚܝ ܒܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܬܗܘܐ ܚܕܐ ܡܠܬܐ ܠܟܠܟܘܢ ܘܠܐ ܢܗܘܝܢ ܒܟܘܢ ܦܠܓܘܬܐ ܐܠܐ ܬܗܘܘܢ ܓܡܝܪܝܢ ܒܚܕܐ ܬܪܥܝܬܐ ܘܒܚܕ ܪܥܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, malaika kutoka mbinguni, akamtokea ili kumtia moyo. \t ܘܐܬܚܙܝ ܠܗ ܡܠܐܟܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܡܚܝܠ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hatuna haki ya kula na kunywa? \t ܠܡܐ ܠܐ ܫܠܝܛ ܠܢ ܠܡܐܟܠ ܘܠܡܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nakwambia, mara tu niliposikia sauti yako, mtoto mchanga tumboni mwangu aliruka kwa furaha. \t ܗܐ ܓܝܪ ܟܕ ܢܦܠ ܩܠܐ ܕܫܠܡܟܝ ܒܐܕܢܝ ܒܚܕܘܬܐ ܪܒܬܐ ܕܨ ܥܘܠܐ ܒܟܪܤܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati mmoja ninyi pia mliishi kufuatana na mambo hayo, mlipotawaliwa nayo. \t ܘܒܗܠܝܢ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܗܠܟܬܘܢ ܡܢ ܩܕܝܡ ܟܕ ܡܬܗܦܟܝܢ ܗܘܝܬܘܢ ܒܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake, kabla ya mapambazuko, Yesu alitoka, akaenda mahali pa faragha kusali. \t ܘܒܨܦܪܐ ܩܕܡ ܩܡ ܛܒ ܘܐܙܠ ܠܐܬܪܐ ܚܘܪܒܐ ܘܬܡܢ ܡܨܠܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Muwe na hamu ya mambo ya huko juu, na siyo mambo ya hapa duniani. \t ܕܠܥܠ ܐܬܪܥܘ ܘܠܐ ܕܒܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vumilianeni na kusameheana iwapo mmoja wenu analo jambo lolote dhidi ya mwenzake. Mnapaswa kusameheana kama Bwana alivyowasamehe ninyi. \t ܘܗܘܝܬܘܢ ܡܤܝܒܪܝܢ ܚܕ ܠܚܕ ܘܫܒܩܝܢ ܚܕ ܠܚܕ ܘܐܢ ܐܝܬ ܠܐܢܫ ܥܠ ܚܒܪܗ ܪܘܥܡܐ ܐܝܟܢܐ ܕܡܫܝܚܐ ܫܒܩ ܠܟܘܢ ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܫܒܘܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnapaswa kuwa na mizizi ndani yake, kujijenga juu yake na kuwa imara katika imani yenu kama mlivyofundishwa. Muwe na shukrani tele. \t ܟܕ ܡܫܪܪܝܢ ܥܩܪܝܟܘܢ ܘܡܬܒܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܗ ܘܡܬܩܝܡܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܗܝ ܕܝܠܦܬܘܢ ܕܒܗ ܬܬܝܬܪܘܢ ܒܬܘܕܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini haukupita muda, upepo mkali uitwao \"Upepo wa Kaskazi\" ulianza kuvuma kutoka kisiwani. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܩܠܝܠ ܢܦܩ ܥܠܝܢ ܡܫܒܐ ܕܥܠܥܠܐ ܕܡܬܩܪܐ ܛܘܦܢܝܩܘܤ ܐܘܪܩܠܝܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Vilevile, mtuombee sisi pia ili Mungu atupe fursa ya kuuhubiri ujumbe wake kuhusu siri ya Kristo. Kwa ajili hiyo mimi niko sasa kifungoni. \t ܘܡܨܠܝܢ ܐܦ ܥܠܝܢ ܕܐܠܗܐ ܢܦܬܚ ܠܢ ܬܪܥܐ ܕܡܠܬܐ ܠܡܡܠܠܘ ܐܪܙܐ ܕܡܫܝܚܐ ܕܡܛܠܬܗ ܐܤܝܪ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akasema, \"Waketisheni watu.\" Palikuwa na nyasi tele mahali hapo. Basi, watu wakaketi, jumla yapata wanaume elfu tano. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܥܒܕܘ ܐܢܫܐ ܟܠܗܘܢ ܕܢܤܬܡܟܘܢ ܥܤܒܐ ܕܝܢ ܤܓܝ ܗܘܐ ܒܗ ܒܕܘܟܬܐ ܗܝ ܘܐܤܬܡܟܘ ܓܒܪܐ ܒܡܢܝܢܐ ܚܡܫܐ ܐܠܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mlimuua yule ambaye ni chanzo cha uzima. Lakini Mungu alimfufua, na sisi ni mashahidi wa tukio hilo. \t ܘܠܗܘ ܪܫܐ ܕܚܝܐ ܩܛܠܬܘܢ ܕܠܗ ܐܩܝܡ ܐܠܗܐ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܘܚܢܢ ܟܠܢ ܤܗܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naandika nikitumaini kwamba utanikubalia ombi langu; tena najua kwamba utafanya hata zaidi ya haya ninayokuomba. \t ܡܛܠ ܕܬܟܝܠ ܐܢܐ ܕܫܡܥ ܐܢܬ ܠܝ ܟܬܒܬ ܠܟ ܘܝܕܥ ܐܢܐ ܕܝܬܝܪ ܡܢ ܡܐ ܕܐܡܪ ܐܢܐ ܥܒܕ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tangu mwanzo Neno alikuwa na Mungu. \t ܗܢܐ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܒܪܫܝܬ ܠܘܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawaambia, \"Mnaposafiri msichukue chochote: msichukue fimbo, wala mkoba, wala chakula, wala fedha, wala hata koti la ziada. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܕܡ ܠܐ ܬܫܩܠܘܢ ܠܐܘܪܚܐ ܠܐ ܫܒܛܐ ܘܠܐ ܬܪܡܠܐ ܘܠܐ ܠܚܡܐ ܘܠܐ ܟܤܦܐ ܘܠܐ ܬܪܬܝܢ ܟܘܬܝܢܝܢ ܢܗܘܝܢ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na sasa imebakia tu kupewa tuzo la ushindi kwa maisha ya uadilifu, tuzo ambalo Bwana Hakimu wa haki, atanipa mimi Siku ile na wala si mimi tu, ila na wale wote wanaotazamia kwa upendo kutokea kwake. \t ܘܡܢ ܗܫܐ ܢܛܝܪ ܠܝ ܟܠܝܠܐ ܕܟܐܢܘܬܐ ܕܢܦܪܥܝܘܗܝ ܠܝ ܡܪܝ ܒܝܘܡܐ ܗܘ ܕܗܘܝܘ ܕܝܢܐ ܟܐܢܐ ܠܐ ܕܝܢ ܒܠܚܘܕ ܠܝ ܐܠܐ ܐܦ ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܚܒܘ ܠܓܠܝܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Bikira atachukua mimba, atamzaa mtoto wa kiume, naye ataitwa Emanueli\" (maana yake, \"Mungu yu pamoja nasi\"). \t ܕܗܐ ܒܬܘܠܬܐ ܬܒܛܢ ܘܬܐܠܕ ܒܪܐ ܘܢܩܪܘܢ ܫܡܗ ܥܡܢܘܐܝܠ ܕܡܬܬܪܓܡ ܥܡܢ ܐܠܗܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa hiyo nawaambieni, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wa mataifa mengine wenye kutoa matunda yake.\" \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܬܫܬܩܠ ܡܢܟܘܢ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܬܬܝܗܒ ܠܥܡܐ ܕܥܒܕ ܦܐܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaendelea kuwaambia watu mfano huu: \"Mtu mmoja alilima shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima; kisha akasafiri hadi nchi ya mbali, akakaa huko kwa muda mrefu. \t ܘܫܪܝ ܕܢܐܡܪ ܠܥܡܐ ܡܬܠܐ ܗܢܐ ܓܒܪܐ ܚܕ ܢܨܒ ܟܪܡܐ ܘܐܘܚܕܗ ܠܦܠܚܐ ܘܐܒܥܕ ܙܒܢܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo. \t ܐܢ ܐܢܫ ܕܝܢ ܠܐ ܝܕܥ ܠܐ ܢܕܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipofika kwa Yesu, walimsihi sana, wakasema: \"Huyu anastahili afanyiwe jambo hilo, \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܟܕ ܐܬܘ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܒܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗ ܒܛܝܠܐܝܬ ܘܐܡܪܝܢ ܫܘܐ ܗܘ ܕܬܥܒܕ ܠܗ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mlikibeba kibanda cha mungu Moloki, na sanamu ya nyota ya mungu wenu Refani. Sanamu mlizozifanya ndizo mlizoabudu. Kwa sababu hiyo nitakupeleka mateka mbali kupita Babuloni! \t ܐܠܐ ܫܩܠܬܘܢ ܡܫܟܢܗ ܕܡܠܟܘܡ ܘܟܘܟܒܗ ܕܐܠܗܐ ܕܪܦܢ ܕܡܘܬܐ ܕܥܒܕܬܘܢ ܕܬܗܘܘܢ ܤܓܕܝܢ ܠܗܝܢ ܐܫܢܝܟܘܢ ܠܗܠ ܡܢ ܒܒܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni akajibu, \"Tafadhali, niombeeni kwa Bwana lisije likanipata lolote kati ya hayo mliyosema.\" \t ܥܢܐ ܤܝܡܘܢ ܘܐܡܪ ܒܥܘ ܐܢܬܘܢ ܚܠܦܝ ܡܢ ܐܠܗܐ ܕܠܐ ܢܐܬܐ ܥܠܝ ܡܕܡ ܡܢ ܗܠܝܢ ܕܐܡܪܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana wafu watakapofufuka, hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika wa mbinguni. \t ܡܐ ܓܝܪ ܕܩܡܘ ܡܢ ܡܝܬܐ ܠܐ ܢܤܒܝܢ ܢܫܐ ܐܦ ܠܐ ܢܫܐ ܗܘܝܢ ܠܓܒܪܐ ܐܠܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܐܝܟ ܡܠܐܟܐ ܕܒܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, nataka kusema hivi: muda uliobaki ni mfupi. Na tangu sasa wale waliooa na waishi kama vile hawakuoa; \t ܘܗܕܐ ܐܡܪ ܐܢܐ ܐܚܝ ܕܙܒܢܐ ܡܟܝܠ ܐܙܕܠܗܙ ܠܗ ܕܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬ ܠܗܘܢ ܢܫܐ ܢܗܘܘܢ ܐܝܟ ܕܠܝܬ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Habari hii ya yahusu Neno la uzima lililokuwako tangu mwanzo. Sisi tumepata kulisikia na kuliona kwa macho yetu wenyewe; tulilitazama na kulishika kwa mikono yetu wenyewe. \t ܡܤܒܪܝܢܢ ܠܟܘܢ ܠܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܡܢ ܒܪܫܝܬ ܗܘ ܕܫܡܥܢ ܘܚܙܝܢܝܗܝ ܒܥܝܢܝܢ ܚܙܝܢ ܘܓܫܢ ܒܐܝܕܝܢ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܠܬܐ ܕܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu hao wanazungumza juu ya ziara yetu kwenu: jinsi mlivyotukaribisha, jinsi mlivyoziacha sanamu mkamgeukia Mungu aliye hai na wa kweli, \t ܗܢܘܢ ܓܝܪ ܡܫܬܥܝܢ ܐܝܢܐ ܡܥܠܢܐ ܗܘܐ ܠܢ ܠܘܬܟܘܢ ܘܐܝܟܢܐ ܐܬܦܢܝܬܘܢ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܡܢ ܕܚܠܬ ܦܬܟܪܐ ܕܬܦܠܚܘܢ ܠܐܠܗܐ ܚܝܐ ܘܫܪܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokwisha sema hayo, akawaonyesha mikono yake na ubavu wake. Basi, hao wanafunzi wakafurahi mno kumwona Bwana. \t ܗܕܐ ܐܡܪ ܘܚܘܝ ܐܢܘܢ ܐܝܕܘܗܝ ܘܤܛܪܗ ܘܚܕܝܘ ܬܠܡܝܕܐ ܕܚܙܘ ܠܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye yumo nyumbani kwa Simoni mtengenezaji wa ngozi ambaye nyumba yake iko karibu na bahari.\" \t ܗܐ ܫܪܐ ܒܒܝܬܗ ܕܫܡܥܘܢ ܒܘܪܤܝܐ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܥܠ ܝܕ ܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tuseme nini, basi? Je, sisi Wayahudi ni bora zaidi kuliko wengine? Hata kidogo! Kwa maana nimekwisha bainisha hapo mwanzoni kwamba Wayahudi na watu wa mataifa mengine wote wako chini ya utawala wa dhambi. \t ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܐܚܝܕܝܢܢ ܝܬܝܪܐ ܕܩܕܡܢ ܦܤܩܢ ܥܠ ܝܗܘܕܝܐ ܘܥܠ ܐܪܡܝܐ ܕܬܚܝܬ ܚܛܝܬܐ ܐܢܘܢ ܟܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Sasa, mimi nawatuma ninyi kama kondoo kati ya mbwa mwitu. Muwe na busara kama nyoka, na wapole kama njiwa. \t ܗܐ ܐܢܐ ܡܫܕܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܐܝܟ ܐܡܪܐ ܒܝܢܝ ܕܐܒܐ ܗܘܘ ܗܟܝܠ ܚܟܝܡܐ ܐܝܟ ܚܘܘܬܐ ܘܬܡܝܡܐ ܐܝܟ ܝܘܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kwa jina la Bwana, nawaonyeni: msiishi tena kama watu wasiomjua Mungu, ambao fikira zao zimekuwa upuuzi mtupu, \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܘܡܤܗܕ ܐܢܐ ܒܡܪܝܐ ܕܡܢ ܗܫܐ ܠܐ ܬܗܘܘܢ ܡܗܠܟܝܢ ܐܝܟ ܫܪܟܐ ܕܥܡܡܐ ܕܡܗܠܟܝܢ ܒܤܪܝܩܘܬ ܪܥܝܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mmoja wao aitwaye Agabo alisimama, na kwa uwezo wa Roho akabashiri kwamba kutakuwa na njaa kubwa katika nchi yote (Njaa hiyo ilitokea wakati Klaudio alipokuwa akitawala). \t ܘܩܡ ܚܕ ܡܢܗܘܢ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܐܓܒܘܤ ܘܐܘܕܥ ܐܢܘܢ ܒܪܘܚ ܕܟܦܢܐ ܪܒܐ ܗܘܐ ܒܟܠܗ ܐܪܥܐ ܘܗܘܐ ܟܦܢܐ ܗܢܐ ܒܝܘܡܝ ܩܠܘܕܝܘܤ ܩܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alitekeleza kile alichonuia, akatujulisha mpango wake uliofichika, ambao alikuwa ameazimia kuutekeleza kwa njia ya Kristo. \t ܘܐܘܕܥܢ ܐܪܙܐ ܕܨܒܝܢܗ ܗܘ ܕܩܕܡ ܗܘܐ ܤܡ ܕܢܤܥܘܪ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye hakutaka, bali alimtia gerezani mpaka hapo atakapolipa lile deni. \t ܗܘ ܕܝܢ ܠܐ ܨܒܐ ܐܠܐ ܐܙܠ ܐܪܡܝܗ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܥܕܡܐ ܕܢܬܠ ܠܗ ܡܐ ܕܚܝܒ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Agano la kwanza lilikuwa na taratibu zake za ibada na pia mahali patakatifu pa ibada palipojengwa na watu. \t ܒܩܕܡܝܬܐ ܕܝܢ ܐܝܬ ܗܘܐ ܒܗ ܦܘܩܕܐ ܕܬܫܡܫܬܐ ܘܒܝܬ ܩܘܕܫܐ ܥܠܡܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane, \t ܗܘܐ ܒܪܢܫܐ ܕܐܫܬܕܪ ܡܢ ܐܠܗܐ ܫܡܗ ܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siri ya nyota zile saba ulizoziona katika mkono wangu wa kulia, na siri ya vile vinara saba vya taa hii: zile nyota saba ni malaika wa makanisa; na vile vinara saba vya taa ni makanisa saba. \t ܐܪܙܐ ܕܫܒܥܐ ܟܘܟܒܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܚܙܝܬ ܥܠ ܝܡܝܢܝ ܘܫܒܥ ܡܢܪܬܐ ܫܒܥܐ ܟܘܟܒܝܢ ܡܠܐܟܐ ܕܫܒܥ ܥܕܬܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܘܡܢܪܬܐ ܫܒܥ ܕܕܗܒܐ ܐܝܠܝܢ ܕܚܙܝܬ ܫܒܥ ܐܢܝܢ ܥܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku hizo Yohane Mbatizaji alitokea, akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea: \t ܒܗܘܢ ܕܝܢ ܒܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܐܬܐ ܝܘܚܢܢ ܡܥܡܕܢܐ ܘܡܟܪܙ ܗܘܐ ܒܚܘܪܒܐ ܕܝܗܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, alipofika Galilaya, Wagalilaya wengi walimkaribisha. Maana nao pia walikuwa kwenye sikukuu ya Pasaka, wakayaona mambo yote Yesu aliyotenda huko Yerusalemu wakati wa sikukuu hiyo. \t ܟܕ ܕܝܢ ܐܬܐ ܠܓܠܝܠܐ ܩܒܠܘܗܝ ܓܠܝܠܝܐ ܕܚܙܘ ܐܬܘܬܐ ܟܠ ܕܥܒܕ ܒܐܘܪܫܠܡ ܒܥܕܥܕܐ ܐܬܘ ܗܘܘ ܓܝܪ ܘܐܦ ܗܢܘܢ ܠܥܕܥܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sisi sote ambao nyuso zetu hazikufunikwa, twaonyesha kama katika kioo, utukufu wa Bwana; tunabadilishwa tufanane zaidi na huo mfano wake kwa utukufu mwingi zaidi. Hiyo ni kazi yake Roho wa Bwana. \t ܚܢܢ ܕܝܢ ܟܠܢ ܒܐܦܐ ܓܠܝܬܐ ܬܫܒܘܚܬܗ ܕܡܪܝܐ ܐܝܟ ܕܒܡܚܙܝܬܐ ܚܙܝܢܢ ܘܠܗ ܠܕܡܘܬܐ ܡܫܬܚܠܦܝܢܢ ܡܢ ܫܘܒܚܐ ܠܫܘܒܚܐ ܐܝܟ ܕܡܢ ܡܪܝܐ ܪܘܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama alivyowaahidia wazee wetu Abrahamu na wazawa wake hata milele.\" \t ܐܝܟ ܕܡܠܠ ܥܡ ܐܒܗܝܢ ܥܡ ܐܒܪܗܡ ܘܥܡ ܙܪܥܗ ܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nahofu kwamba labda kazi niliyoifanya kwa ajili yenu imepotea bure! \t ܕܚܠ ܐܢܐ ܕܠܡܐ ܤܪܝܩܐܝܬ ܠܐܝܬ ܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini alipowaona Mafarisayo wengi na Masadukayo wanamjia ili awabatize, aliwaambia, \"Enyi kizazi cha nyoka! Ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu inayokuja? \t ܟܕ ܚܙܐ ܕܝܢ ܤܓܝܐܐ ܡܢ ܦܪܝܫܐ ܘܡܢ ܙܕܘܩܝܐ ܕܐܬܝܢ ܠܡܥܡܕ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܠܕܐ ܕܐܟܕܢܐ ܡܢܘ ܚܘܝܟܘܢ ܠܡܥܪܩ ܡܢ ܪܘܓܙܐ ܕܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hakuna chochote kilicho najisi kitakachoingia humo; wala mtu yeyote atendaye mambo ya kuchukiza au ya uongo hataingia humo. Ni wale tu walioandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo ndio watakaoingia ndani. \t ܘܠܐ ܢܗܘܐ ܬܡܢ ܟܠ ܛܡܐ ܘܕܥܒܕ ܡܤܝܒܘܬܐ ܘܕܓܠܘܬܐ ܐܠܐ ܐܢ ܐܝܠܝܢ ܕܟܬܝܒܢ ܒܟܬܒܗ ܕܐܡܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Naye aliyeona tukio hilo ametoa habari zake ili nanyi mpate kuamini. Na hayo aliyosema ni ukweli, tena yeye anajua kwamba anasema ukweli.) \t ܘܡܢ ܕܚܙܐ ܐܤܗܕ ܘܫܪܝܪܐ ܗܝ ܤܗܕܘܬܗ ܘܗܘ ܝܕܥ ܕܫܪܪܐ ܐܡܪ ܕܐܦ ܐܢܬܘܢ ܬܗܝܡܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hawajali kabisa kumcha Mungu.\" \t ܘܕܚܠܬܗ ܕܐܠܗܐ ܠܝܬ ܩܕܡ ܥܝܢܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwana wa Mtu atawatuma malaika wake wawakusanye kutoka katika Ufalme wake wale wote wenye kusababisha dhambi, na wote wenye kutenda maovu, \t ܢܫܕܪ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܡܠܐܟܘܗܝ ܘܢܓܒܘܢ ܡܢ ܡܠܟܘܬܗ ܟܠܗܘܢ ܡܟܫܘܠܐ ܘܟܠܗܘܢ ܥܒܕܝ ܥܘܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, kulizuka njaa kubwa katika nchi yote ya Misri na Kanaani, ikasababisha dhiki kubwa. Babu zetu hawakuweza kupata chakula chochote. \t ܘܗܘܐ ܟܦܢܐ ܘܐܘܠܨܢܐ ܪܒܐ ܒܟܠܗ ܡܨܪܝܢ ܘܒܐܪܥܐ ܕܟܢܥܢ ܘܠܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܠܡܤܒܥ ܠܐܒܗܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alisema hayo juu ya Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti; maana huyu alikuwa ndiye atakayemsaliti, ingawa alikuwa mmoja wa wale kumi na wawili. \t ܐܡܪ ܗܘܐ ܕܝܢ ܥܠ ܝܗܘܕܐ ܒܪ ܫܡܥܘܢ ܤܟܪܝܘܛܐ ܗܘ ܓܝܪ ܥܬܝܕ ܗܘܐ ܕܢܫܠܡܝܘܗܝ ܚܕ ܡܢ ܬܪܥܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani. \t ܟܕ ܕܝܢ ܐܙܠ ܦܪܤܝܢ ܗܘܘ ܡܐܢܝܗܘܢ ܒܐܘܪܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Habari ya tukio hili ilienea kila mahali huko Yopa, na watu wengi wakamwamini Bwana. \t ܘܐܬܝܕܥܬ ܗܕܐ ܒܟܠܗ ܡܕܝܢܬܐ ܘܤܓܝܐܐ ܗܝܡܢܘ ܒܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo zamani, Mungu alisema na babu zetu mara nyingi kwa namna nyingi kwa njia ya manabii, \t ܒܟܠ ܡܢܘܢ ܘܒܟܠ ܕܡܘܢ ܡܠܠ ܐܠܗܐ ܥܡ ܐܒܗܝܢ ܒܢܒܝܐ ܡܢ ܩܕܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikawaona watu wakubwa na wadogo, wamesimama mbele ya kiti cha enzi, na vitabu vikafunguliwa. Halafu kitabu kingine, yaani kitabu cha uzima, kikafunguliwa pia. Wafu wakahukumiwa kadiri ya matendo yao, kama ilivyoandikwa ndani ya vitabu hivyo. \t ܘܚܙܝܬ ܠܡܝܬܐ ܪܘܪܒܐ ܘܙܥܘܪܐ ܕܩܡܘ ܩܕܡ ܟܘܪܤܝܐ ܘܤܦܪܐ ܐܬܦܬܚܘ ܘܐܚܪܢܐ ܤܦܪܐ ܐܬܦܬܚ ܕܐܝܬܘܗܝ ܕܕܝܢܐ ܘܐܬܕܝܢܘ ܡܝܬܐ ܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܟܬܝܒܢ ܒܤܦܪܐ ܐܝܟ ܥܒܕܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Saa ilipotimia, Yesu akakaa kula chakula pamoja na mitume wake. \t ܘܟܕ ܗܘܐ ܥܕܢܐ ܐܬܐ ܝܫܘܥ ܐܤܬܡܟ ܘܬܪܥܤܪ ܫܠܝܚܐ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawaambieni kweli, kizazi hiki kitapata adhabu kwa sababu ya mambo haya. \t ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܢܐܬܝܢ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ ܥܠ ܫܪܒܬܐ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule kijana akamwambia, Sitaki! Lakini baadaye akabadili nia, akaenda kufanya kazi. \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܐ ܨܒܐ ܐܢܐ ܒܚܪܬܐ ܕܝܢ ܐܬܬܘܝ ܘܐܙܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakawa wanasema: \"Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!\" \t ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܒܪܝܟ ܗܘ ܡܠܟܐ ܕܐܬܐ ܒܫܡܗ ܕܡܪܝܐ ܫܠܡܐ ܒܫܡܝܐ ܘܫܘܒܚܐ ܒܡܪܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sithubutu kusema kitu kingine chochote isipokuwa tu kile ambacho Kristo Yesu amekifanya kwa kunitumia mimi ili watu wa mataifa wapate kutii. Amefanya hivyo kwa maneno na vitendo, \t ܠܐ ܓܝܪ ܡܡܪܚ ܐܢܐ ܕܐܡܪ ܡܕܡ ܕܠܐ ܤܥܪ ܒܐܝܕܝ ܡܫܝܚܐ ܠܡܫܡܥܐ ܕܥܡܡܐ ܒܡܠܬܐ ܘܒܥܒܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Na nilipoimega ile mikate saba na kuwapa watu elfu nne, mlikusanya makapu mangapi ya makombo?\" Wakamjibu, \"Saba.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܘܟܕ ܫܒܥܐ ܠܐܪܒܥܐ ܐܠܦܝܢ ܟܡܐ ܐܤܦܪܝܕܝܢ ܕܩܨܝܐ ܟܕ ܡܠܝܢ ܫܩܠܬܘܢ ܐܡܪܝܢ ܫܒܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni kifo. \t ܘܐܚܪܝܐ ܒܥܠܕܒܒܐ ܡܬܒܛܠ ܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usiwaandikishe wajane vijana, kwani kama tamaa zao za maumbile zikizidi kuwa na nguvu zaidi kuliko kujitolea kwao kwa Kristo watataka kuolewa tena, \t ܡܢ ܐܪܡܠܬܐ ܕܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܛܠܝܢ ܐܫܬܐܠ ܡܨܛܪܝܢ ܠܗܝܢ ܓܝܪ ܥܠ ܡܫܝܚܐ ܘܒܥܝܢ ܠܡܗܘܐ ܠܓܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wamepata habari zako kwamba umekuwa ukiwafundisha Wayahudi wanaoishi kati ya mataifa mengine kuwa wasiijali Sheria ya Mose, wasiwatahiri watoto wao na kwamba wasizifuate mila za Wayahudi. \t ܐܬܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܝܢ ܥܠܝܟ ܕܡܠܦ ܐܢܬ ܕܢܦܪܩܘܢ ܡܢ ܡܘܫܐ ܟܠܗܘܢ ܝܗܘܕܝܐ ܕܒܥܡܡܐ ܟܕ ܐܡܪ ܐܢܬ ܕܠܐ ܢܗܘܘܢ ܓܙܪܝܢ ܒܢܝܗܘܢ ܘܠܐ ܒܥܝܕܐ ܕܢܡܘܤܐ ܢܗܘܘܢ ܡܗܠܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi. \t ܘܐܢܐ ܒܕܚܠܬܐ ܤܓܝܐܬܐ ܘܒܪܬܝܬܐ ܗܘܝܬ ܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama mtu akiteseka kwa sababu ni Mkristo, basi asione aibu, bali amtukuze Mungu, kwa sababu mtu huyo anaitwa kwa jina la Kristo. \t ܐܢ ܕܝܢ ܚܐܫ ܐܝܟ ܟܪܤܛܝܢܐ ܠܐ ܢܒܗܬ ܐܠܐ ܢܫܒܚ ܠܐܠܗܐ ܒܗ ܒܗܢܐ ܫܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kukaa pale kwa muda, tulifunga mizigo yetu, tukaendelea na safari kwenda Yerusalemu. \t ܘܒܬܪ ܝܘܡܬܐ ܗܠܝܢ ܐܬܛܝܒܢ ܘܤܠܩܢ ܠܢ ܠܐܘܪܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni nani atakayeweza kuwadhuru ninyi kama mkizingatia kutenda mema? \t ܘܡܢܘ ܕܢܥܒܕ ܠܟܘܢ ܒܝܫܬܐ ܐܢ ܬܗܘܘܢ ܛܢܢܐ ܕܛܒܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye anayejisemea tu mwenyewe anatafuta sifa yake mwenyewe; lakini anayetafuta sifa ya yule aliyemtuma, huyo ni mwaminifu, na ndani yake hamna uovu wowote. \t ܡܢ ܕܡܢ ܨܒܘܬ ܪܥܝܢܗ ܡܡܠܠ ܫܘܒܚܐ ܠܢܦܫܗ ܒܥܐ ܗܘ ܕܝܢ ܕܫܘܒܚܐ ܕܡܢ ܕܫܕܪܗ ܒܥܐ ܫܪܝܪ ܗܘ ܘܥܘܠܐ ܒܠܒܗ ܠܐ ܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, katika maisha yetu yote tunakabiliwa na kifo daima kwa ajili ya Yesu, ili uzima wake Yesu udhihirike katika miili yetu inayokufa. \t ܐܢ ܚܢܢ ܓܝܪ ܚܝܐ ܠܡܘܬܐ ܡܫܬܠܡܝܢܢ ܡܛܠ ܝܫܘܥ ܗܟܢܐ ܐܦ ܚܝܘܗܝ ܕܝܫܘܥ ܢܬܓܠܘܢ ܒܦܓܪܢ ܗܢܐ ܕܡܐܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Simoni, Simoni! Sikiliza! Shetani alitaka kuwapepeta ninyi kama mtu anavyopepeta ngano. \t ܘܐܡܪ ܝܫܘܥ ܠܫܡܥܘܢ ܫܡܥܘܢ ܗܐ ܤܛܢܐ ܫܐܠ ܕܢܥܪܘܒܟܘܢ ܐܝܟ ܕܠܚܛܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake: \"Keti upande wangu wa kulia, mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako.\" \t ܠܡܢ ܕܝܢ ܡܢ ܡܠܐܟܐ ܡܡܬܘܡ ܐܡܪ ܕܬܒ ܡܢ ܝܡܝܢܝ ܥܕܡܐ ܕܐܤܝܡ ܒܥܠܕܒܒܝܟ ܟܘܒܫܐ ܬܚܝܬ ܪܓܠܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msichukue mfuko wa fedha, mkoba, wala viatu; msimsalimu mtu yeyote njiani. \t ܠܐ ܬܫܩܠܘܢ ܠܟܘܢ ܟܝܤܐ ܘܠܐ ܬܪܡܠܐ ܘܠܐ ܡܤܢܐ ܘܒܫܠܡܐ ܕܐܢܫ ܒܐܘܪܚܐ ܠܐ ܬܫܐܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana, kama watu wanautendea mti mbichi namna hiyo, itakuwaje kwa mti mkavu?\" \t ܕܐܢ ܒܩܝܤܐ ܪܛܝܒܐ ܗܠܝܢ ܥܒܕܝܢ ܒܝܒܝܫܐ ܡܢܐ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Roho na Bibiarusi waseme, \"Njoo!\" Kila mtu asikiaye hili, na aseme, \"Njoo!\" Kisha, yeyote aliye na kiu na aje; anayetaka maji ya uzima na apokee bila malipo yoyote. \t ܘܪܘܚܐ ܘܟܠܬܐ ܐܡܪܝܢ ܬܐ ܘܕܫܡܥ ܢܐܡܪ ܬܐ ܘܕܨܗܐ ܢܐܬܐ ܘܢܤܒ ܡܝܐ ܚܝܐ ܡܓܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Narudia: najua kwamba mtu huyo alinyakuliwa mpaka peponi. (Lakini sijui kama alikuwa huko kwa mwili au kwa roho; Mungu ajua.) \t ܘܝܕܥ ܐܢܐ ܠܗ ܠܗܢܐ ܒܪܢܫܐ ܐܢ ܒܦܓܪ ܕܝܢ ܘܐܢ ܕܠܐ ܦܓܪ ܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܐܠܗܐ ܗܘ ܝܕܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe malishoni kwenye mteremko wa mlima. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܬܡܢ ܠܘܬ ܛܘܪܐ ܒܩܪܐ ܪܒܬܐ ܕܚܙܝܪܐ ܕܪܥܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kumwondoa Saulo, Mungu alimteua Daudi kuwa mfalme wao. Mungu alionyesha kibali chake kwake akisema: Nimemwona Daudi mtoto wa Yese; ni mtu anayepatana na moyo wangu; mtu ambaye atatimiza yale yote ninayotaka kuyatenda. \t ܘܢܤܒܗ ܘܐܩܝܡ ܠܗܘܢ ܠܕܘܝܕ ܡܠܟܐ ܘܐܤܗܕ ܥܠܘܗܝ ܘܐܡܪ ܕܐܫܟܚܬ ܠܕܘܝܕ ܒܪܗ ܕܐܝܫܝ ܓܒܪܐ ܐܝܟ ܠܒܝ ܗܘ ܢܥܒܕ ܟܠܗܘܢ ܨܒܝܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana Mungu amewaweka chini ya nguvu ya upotovu, wauamini uongo. \t ܡܛܠܗܢܐ ܢܫܕܪ ܠܗܘܢ ܐܠܗܐ ܡܥܒܕܢܘܬܐ ܕܛܘܥܝܝ ܕܢܗܝܡܢܘܢ ܠܫܘܩܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, yeye anaweza daima kuwaokoa kabisa wote wanaomwendea Mungu kwa njia yake, maana yeye anaishi milele kuwaombea kwa Mungu. \t ܘܡܫܟܚ ܠܡܚܝܘ ܠܥܠV ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܬܩܪܒܝܢ ܒܐܝܕܗ ܠܐܠܗܐ ܚܝ ܗܘ ܓܝܪ ܒܟܠܙܒܢ ܘܡܤܩ ܨܠܘܬܐ ܚܠܦܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam, Mwana wa Mtu anakwenda zake kama Maandiko Matakatifu yasemavyo, lakini ole wake mtu yule atakayemsaliti Mwana wa Mtu! Ingalikuwa afadhali kwa mtu huyo kama hangalizaliwa.\" \t ܘܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܐܙܠ ܐܝܟܢܐ ܕܟܬܝܒ ܥܠܘܗܝ ܘܝ ܠܗ ܕܝܢ ܠܓܒܪܐ ܗܘ ܕܒܐܝܕܗ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܡܫܬܠܡ ܦܩܚ ܗܘܐ ܠܗ ܠܓܒܪܐ ܗܘ ܐܠܘ ܠܐ ܐܬܝܠܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wao wakamcheka. Basi, akawaondoa wote nje, akawachukua baba na mama ya huyo msichana na wale wanafunzi wake, wakaingia chumbani alimokuwa huyo msichana. \t ܘܓܚܟܝܢ ܗܘܘ ܥܠܘܗܝ ܗܘ ܕܝܢ ܐܦܩ ܠܟܠܗܘܢ ܘܕܒܪ ܠܐܒܘܗ ܕܛܠܝܬܐ ܘܠܐܡܗ ܘܠܗܢܘܢ ܕܥܡܗ ܘܥܠ ܠܐܝܟܐ ܕܪܡܝܐ ܗܘܬ ܛܠܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmoja wao alipoona kwamba ameponywa alirudi akimtukuza Mungu kwa sauti kubwa. \t ܚܕ ܕܝܢ ܡܢܗܘܢ ܟܕ ܚܙܐ ܕܐܬܕܟܝ ܗܦܟ ܠܗ ܘܒܩܠܐ ܪܡܐ ܡܫܒܚ ܗܘܐ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Matajiri wa yule msichana walipoona kwamba tumaini lao la kupata mali limekwisha, waliwakamata Paulo na Sila, wakawaburuta mpaka hadharani, mbele ya wakuu. \t ܘܟܕ ܚܙܘ ܡܪܝܗ ܕܢܦܩ ܠܗ ܡܢܗ ܤܒܪܐ ܕܬܐܓܘܪܬܗܘܢ ܐܚܕܘܗܝ ܠܦܘܠܘܤ ܘܠܫܝܠܐ ܘܢܓܕܘ ܐܝܬܝܘ ܐܢܘܢ ܠܫܘܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ndugu zangu, msishangae kama ulimwengu unawachukia ninyi. \t ܘܠܐ ܬܬܕܡܪܘܢ ܐܚܝ ܐܢ ܤܢܐ ܠܟܘܢ ܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mkiwakosesha ndugu zenu jinsi hiyo na kuzijeruhi dhamiri zao dhaifu, mtakuwa mmemkosea Kristo. \t ܘܐܢ ܗܟܢܐ ܡܤܟܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܐܚܝܟܘܢ ܘܡܩܦܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܬܐܪܬܗܘܢ ܡܪܥܬܐ ܒܡܫܝܚܐ ܗܘ ܡܤܟܠܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hao pepo wakamsihi, \"Utupeleke kwa hao nguruwe, tuwaingie.\" \t ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗ ܗܢܘܢ ܫܐܕܐ ܘܐܡܪܝܢ ܫܕܪܝܢ ܥܠ ܗܢܘܢ ܚܙܝܪܐ ܕܒܗܘܢ ܢܥܘܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndiyo maana hata lile agano la kwanza halikuwekwa bila damu kumwagwa. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܦܠܐ ܩܕܡܝܬܐ ܕܠܐ ܕܡܐ ܐܫܬܪܪܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunazidi kumwomba Mungu usiku na mchana kwa moyo wetu wote ili atupatie fursa ya kuwaoneni uso kwa uso ili tuweze kurekebisha chochote kilichopungua katika imani yenu. \t ܐܠܐ ܕܩܕܡ ܐܠܗܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܢܬܟܫܦ ܒܠܠܝܐ ܘܒܐܝܡܡܐ ܕܢܚܙܐ ܐܦܝܟܘܢ ܘܢܓܡܘܪ ܡܐ ܕܚܤܝܪܐ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tushikilie imara tumaini lile tunalokiri, maana Mungu aliyefanya ahadi zake ni mwaminifu. \t ܘܢܚܡܤܢ ܒܬܘܕܝܬܐ ܕܤܒܪܢ ܘܠܐ ܢܨܛܠܐ ܡܗܝܡܢ ܗܘ ܓܝܪ ܡܢ ܕܡܠܟ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akawaambia, \"Sabato iliwekwa kwa ajili ya binadamu na si binadamu kwa ajili ya Sabato! \t ܡܪܗ ܗܘ ܗܟܝܠ ܘܐܦ ܕܫܒܬܐ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, Kuhani Mkuu akararua mavazi yake, akasema, \"Amekufuru! Tuna haja gani tena ya mashahidi? Sasa mmesikia kufuru yake. \t ܗܝܕܝܢ ܪܒ ܟܗܢܐ ܨܪܝ ܡܐܢܘܗܝ ܘܐܡܪ ܗܐ ܓܕܦ ܡܢܐ ܡܟܝܠ ܡܬܒܥܝܢ ܠܢ ܤܗܕܐ ܗܐ ܗܫܐ ܫܡܥܬܘܢ ܓܘܕܦܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wa mataifa watatembea katika mwanga wake, na wafalme wa dunia watauletea utajiri wao. \t ܘܡܗܠܟܝܢ ܥܡܡܐ ܒܢܘܗܪܗ ܘܡܠܟܐ ܕܐܪܥܐ ܡܝܬܝܢ ܠܗ ܬܫܒܘܚܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hawataona tena njaa wala kiu; jua wala joto kali halitawachoma tena, \t ܠܐ ܢܟܦܢܘܢ ܘܠܐ ܢܨܗܘܢ ܘܫܡܫܐ ܥܠܝܗܘܢ ܠܐ ܢܦܠ ܘܠܐ ܟܠ ܫܘܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika wa Bwana akamtokea humo ndani, akasimama upande wa kulia wa madhabahu ya kufukizia ubani. \t ܘܐܬܚܙܝ ܠܗ ܠܙܟܪܝܐ ܡܠܐܟܐ ܕܡܪܝܐ ܕܩܐܡ ܡܢ ܝܡܝܢܐ ܕܡܕܒܚܐ ܕܒܤܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hao pepo wakamsihi, \"Ikiwa utatutoa, basi uturuhusu tuwaingie nguruwe wale.\" \t ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܫܐܕܐ ܒܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗ ܘܐܡܪܝܢ ܐܢ ܡܦܩ ܐܢܬ ܠܢ ܐܦܤ ܠܢ ܕܢܐܙܠ ܠܒܩܪܐ ܕܚܙܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana mkate wa Mungu ni yule ashukaye kutoka mbinguni na aupaye ulimwengu uzima.\" \t ܠܚܡܗ ܓܝܪ ܕܐܠܗܐ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘ ܕܢܚܬ ܡܢ ܫܡܝܐ ܘܝܗܒ ܚܝܐ ܠܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini walipokwisha mfunga ili wamchape viboko, Paulo alimwuliza jemadari mmoja aliyesimama hapo, \"Je, ni halali kwenu kumpiga viboko raia wa Roma kabla hajahukumiwa?\" \t ܘܟܕ ܡܬܚܘܗܝ ܒܥܪܩܐ ܐܡܪ ܗܘ ܦܘܠܘܤ ܠܩܢܛܪܘܢܐ ܕܩܐܡ ܗܘܐ ܥܠܘܗܝ ܡܦܤ ܠܟܘܢ ܕܠܓܒܪܐ ܪܗܘܡܝܐ ܕܠܐ ܡܚܝܒ ܕܬܢܓܕܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii: \t ܐܙܕܗܪܘ ܗܟܝܠ ܕܠܡܐ ܢܐܬܐ ܥܠܝܟܘܢ ܡܕܡ ܕܟܬܝܒ ܒܢܒܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama mama Mkristo anao wajane katika jamaa yake, yeye anapaswa kuwatunza na si kuliachilia kanisa mzigo huo, ili kanisa liweze kuwatunza wajane wale waliobaki peke yao kabisa. \t ܐܢ ܐܢܫ ܡܗܝܡܢܐ ܐܘ ܡܗܝܡܢܬܐ ܐܝܬ ܠܗܘܢ ܐܪܡܠܬܐ ܢܬܪܤܘܢ ܐܢܝܢ ܘܠܐ ܢܐܩܪܢ ܥܠ ܥܕܬܐ ܕܠܐܝܠܝܢ ܕܐܪܡܠܬܐ ܐܢܝܢ ܕܫܪܪܐ ܬܤܦܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawa anafanya hivyo kwa siku nyingi hata siku moja Paulo alikasirika, akamgeukia na kumwambia huyo pepo, \"Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke huyu!\" Mara huyo pepo akamtoka. \t ܘܗܟܢܐ ܥܒܕܐ ܗܘܬ ܝܘܡܬܐ ܤܓܝܐܐ ܘܐܬܬܦܝܪ ܦܘܠܘܤ ܘܐܡܪ ܠܗ ܠܪܘܚܐ ܗܝ ܦܩܕ ܐܢܐ ܠܟܝ ܒܫܡܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܬܦܩܝܢ ܡܢܗ ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܢܦܩܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila wakati wa sikukuu ya Pasaka, Pilato alikuwa na desturi ya kuwafungulia mfungwa mmoja waliyemtaka. \t ܡܥܕ ܗܘܐ ܕܝܢ ܒܟܠ ܥܐܕܐ ܠܡܫܪܐ ܠܗܘܢ ܐܤܝܪܐ ܚܕ ܐܝܢܐ ܕܫܐܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini sivyo; Maandiko Matakatifu yamekwisha sema kwamba ulimwengu wote upo chini ya utawala wa dhambi; na hivyo, kwa kumwamini Yesu Kristo, wenye kuamini watimiziwe ile ahadi. \t ܐܠܐ ܚܒܫ ܟܬܒܐ ܟܠܡܕܡ ܬܚܝܬ ܚܛܝܬܐ ܕܡܘܠܟܢܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܢܬܝܗܒ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܗܝܡܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri pamoja na watu wa kikundi cha Herode jinsi ya kumwangamiza Yesu. \t ܘܢܦܩܘ ܦܪܝܫܐ ܒܪ ܫܥܬܗ ܥܡ ܕܒܝܬ ܗܪܘܕܤ ܘܡܠܟܐ ܢܤܒܘ ܥܠܘܗܝ ܐܝܟܢܐ ܕܢܘܒܕܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usemi huu ni wa kweli: \"Ikiwa tulikufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye. \t ܡܗܝܡܢܐ ܗܝ ܡܠܬܐ ܐܢ ܓܝܪ ܡܝܬܢ ܥܡܗ ܐܦ ܥܡܗ ܢܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akamwona pia mama mmoja mjane akitumbukiza humo sarafu mbili ndogo. \t ܘܚܙܐ ܐܦ ܐܪܡܠܬܐ ܚܕܐ ܡܤܟܢܬܐ ܕܐܪܡܝܬ ܫܡܘܢܐ ܬܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msiambiane uongo, kwani ninyi mmekwisha vua ule utu wa kale pamoja na matendo yake yote, \t ܘܠܐ ܬܗܘܘܢ ܡܕܓܠܝܢ ܚܕ ܒܚܕ ܐܠܐ ܫܘܠܚܘܗܝ ܠܒܪܢܫܐ ܥܬܝܩܐ ܥܡ ܟܠܗܘܢ ܗܘܦܟܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hii ilikuwa mara ya tatu Yesu kuwatokea wanafunzi wake baada ya kufufuka kutoka wafu. \t ܗܕܐ ܕܬܠܬ ܙܒܢܝܢ ܐܬܚܙܝ ܝܫܘܥ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܟܕ ܩܡ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nimewaandikieni barua hii fupi kwa msaada wa Silwano, ndugu ambaye namjua na kumwamini. Nataka kuwapeni moyo na kushuhudia kwamba jambo hili ni neema ya Mungu kweli. Kaeni imara katika neema hiyo. \t ܗܠܝܢ ܙܥܘܪܝܬܐ ܐܝܟ ܕܤܒܪ ܐܢܐ ܟܬܒܬ ܠܟܘܢ ܒܝܕ ܤܠܘܢܘܤ ܐܚܐ ܡܗܝܡܢܐ ܘܡܦܤ ܐܢܐ ܘܤܗܕ ܐܢܐ ܕܗܕܐ ܗܝ ܛܝܒܘܬܐ ܫܪܝܪܬܐ ܕܐܠܗܐ ܗܕܐ ܕܩܝܡܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "unajiona kuwa mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa wale wasiokomaa bado. Unayo katika Sheria picha kamili ya elimu na ukweli. \t ܘܪܕܘܝܐ ܕܚܤܝܪܝ ܪܥܝܢܐ ܘܡܠܦܢܐ ܕܛܠܝܐ ܘܐܝܬ ܠܟ ܕܘܡܝܐ ܕܝܕܥܬܐ ܘܕܫܪܪܐ ܒܢܡܘܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, katika kuungana na Kristo, na kwa njia ya imani katika Kristo, sisi tunathubutu kumkaribia Mungu kwa uhodari. \t ܗܘ ܕܒܗ ܐܝܬ ܠܢ ܦܪܗܤܝܐ ܘܩܪܝܒܘܬܐ ܒܬܘܟܠܢܐ ܕܗܝܡܢܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyu Kuhani Mkuu wetu si mmoja ambaye hawezi kutuunga mkono katika unyonge wetu, ila ni Kuhani Mkuu ambaye alijaribiwa kama sisi kwa kila namna lakini hakutenda dhambi. \t ܠܐ ܓܝܪ ܐܝܬ ܠܢ ܪܒܟܘܡܪܐ ܕܠܐ ܡܨܐ ܕܢܚܫ ܥܡ ܟܪܝܗܘܬܢ ܐܠܐ ܕܡܢܤܝ ܒܟܠܡܕܡ ܐܟܘܬܢ ܤܛܪ ܡܢ ܚܛܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mafundisho yote ya manabii na sheria yalibashiri juu ya nyakati hizi. \t ܟܠܗܘܢ ܓܝܪ ܢܒܝܐ ܘܐܘܪܝܬܐ ܥܕܡܐ ܠܝܘܚܢܢ ܐܬܢܒܝܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yahusu sasa mambo yale mliyoandika: naam, ni vizuri kama mtu haoi; \t ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܟܬܒܬܘܢ ܠܝ ܕܝܢ ܫܦܝܪ ܗܘ ܠܓܒܪܐ ܕܠܐܢܬܬܐ ܠܐ ܢܬܩܪܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mwana wa Serugi, mwana wa Reu, mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa Sala, \t ܒܪ ܤܪܘܓ ܒܪ ܐܪܥܘ ܒܪ ܦܠܓ ܒܪ ܥܒܪ ܒܪ ܫܠܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa. \t ܠܝܬ ܕܝܢ ܡܕܡ ܕܟܤܐ ܕܠܐ ܢܬܓܠܐ ܘܠܐ ܕܡܛܫܝ ܕܠܐ ܢܬܝܕܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alikuwa ameketi karibu na sanduku la hazina. Akawa anatazama jinsi watu wengi walivyokuwa wakitoa fedha na kuzitia katika hazina ya Hekalu. Matajiri wengi walitoa fedha nyingi. \t ܘܟܕ ܝܬܒ ܝܫܘܥ ܠܘܩܒܠ ܒܝܬ ܓܙܐ ܚܐܪ ܗܘܐ ܐܝܟܢܐ ܟܢܫܐ ܪܡܝܢ ܥܘܪܦܢܐ ܒܝܬ ܓܙܐ ܘܤܓܝܐܐ ܥܬܝܪܐ ܪܡܝܢ ܗܘܘ ܤܓܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Azipokeaye amri zangu na kuzishika, yeye ndiye anipendaye. Naye anipendaye mimi atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.\" \t ܡܢ ܕܐܝܬ ܠܘܬܗ ܦܘܩܕܢܝ ܘܢܛܪ ܠܗܘܢ ܗܘ ܗܘ ܡܚܒ ܠܝ ܗܘ ܕܝܢ ܕܪܚܡ ܠܝ ܢܬܪܚܡ ܡܢ ܐܒܝ ܘܐܢܐ ܐܪܚܡܝܘܗܝ ܘܐܚܘܝܘܗܝ ܢܦܫܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wazee wanaowaongoza watu vizuri wanastahili kupata riziki maradufu, hasa wale wanaofanya bidii katika kuhubiri na kufundisha. \t ܩܫܝܫܐ ܐܝܠܝܢ ܕܫܦܝܪ ܡܬܕܒܪܝܢ ܠܐܝܩܪܐ ܥܦܝܦܐ ܢܫܘܘܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐܝܢ ܒܡܠܬܐ ܘܒܝܘܠܦܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilikuwa saa tatu asubuhi walipomsulubisha. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܫܥܐ ܬܠܬ ܟܕ ܙܩܦܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mtu aliyeponywa alikuwa na umri wa miaka zaidi ya arobaini. \t ܝܬܝܪ ܓܝܪ ܡܢ ܒܪ ܐܪܒܥܝܢ ܫܢܝܢ ܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܓܒܪܐ ܗܘ ܕܗܘܬ ܒܗ ܗܕܐ ܐܬܐ ܕܐܤܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, mtapata tuzo gani kwa kuwapenda tu wale wanaowapenda ninyi? Hakuna! Kwa maana hata watoza ushuru hufanya hivyo! \t ܐܢ ܓܝܪ ܡܚܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܚܒܝܢ ܠܟܘܢ ܡܢܐ ܐܓܪܐ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܠܐ ܗܐ ܐܦ ܡܟܤܐ ܗܝ ܗܕܐ ܥܒܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro, Yakobo na Yohane nduguye, akaenda nao peke yao juu ya mlima mrefu. \t ܘܒܬܪ ܫܬܐ ܝܘܡܝܢ ܕܒܪ ܝܫܘܥ ܠܟܐܦܐ ܘܠܝܥܩܘܒ ܘܠܝܘܚܢܢ ܐܚܘܗܝ ܘܐܤܩ ܐܢܘܢ ܠܛܘܪܐ ܪܡܐ ܒܠܚܘܕܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama nisingalikuja na kusema nao wasingalikuwa na hatia; lakini sasa hawawezi kujitetea kwamba hawana dhambi. \t ܐܠܘ ܐܢܐ ܠܐ ܐܬܝܬ ܡܠܠܬ ܥܡܗܘܢ ܠܝܬ ܗܘܬ ܠܗܘܢ ܚܛܝܬܐ ܗܫܐ ܕܝܢ ܠܝܬ ܠܗܘܢ ܥܠܬܐ ܥܠ ܐܦܝ ܚܛܝܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akasema, \"Sikilizeni mfano mwingine. Mtu mmoja mwenye nyumba alilima shamba la mizabibu; akalizungushia ukuta, akachimba kisima cha kusindikia divai, akajenga humo mnara pia. Kisha akalikodisha kwa wakulima, akasafiri kwenda nchi ya mbali. \t ܫܡܥܘ ܐܚܪܢܐ ܡܬܠܐ ܓܒܪܐ ܚܕ ܐܝܬ ܗܘܐ ܡܪܐ ܒܝܬܐ ܘܢܨܒ ܟܪܡܐ ܘܐܚܕܪܗ ܤܝܓܐ ܘܚܦܪ ܒܗ ܡܥܨܪܬܐ ܘܒܢܐ ܒܗ ܡܓܕܠܐ ܘܐܘܚܕܗ ܠܦܠܚܐ ܘܚܙܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo pazia la Hekalu likapasuka vipande viwili, toka juu mpaka chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka; \t ܘܡܚܕܐ ܐܦܝ ܬܪܥܐ ܕܗܝܟܠܐ ܐܨܛܪܝ ܠܬܪܝܢ ܡܢ ܠܥܠ ܥܕܡܐ ܠܬܚܬ ܘܐܪܥܐ ܐܬܬܙܝܥܬ ܘܟܐܦܐ ܐܨܛܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Matokeo yake ni kwamba wote wasioamini ukweli, ila wafurahia dhambi, watahukumiwa. \t ܘܢܬܕܝܢܘܢ ܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܗܝܡܢܘ ܒܩܘܫܬܐ ܐܠܐ ܐܨܛܒܝܘ ܒܥܘܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Ninyi mmetoka papa hapa chini, mimi nimetoka juu; ninyi ni wa ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu. \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܕܠܬܚܬ ܐܢܬܘܢ ܘܐܢܐ ܡܢ ܕܠܥܠ ܐܢܐ ܐܢܬܘܢ ܡܢ ܗܢܐ ܐܢܬܘܢ ܥܠܡܐ ܐܢܐ ܠܐ ܗܘܝܬ ܡܢ ܗܢܐ ܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye anawatakasa watu dhambi zao, naye pamoja na wale waliotakaswa, wote wanaye Baba mmoja. Ndiyo maana Yesu haoni aibu kuwaita hao ndugu zake; \t ܗܘ ܓܝܪ ܕܩܕܫ ܘܗܢܘܢ ܕܐܬܩܕܫܘ ܡܢ ܚܕ ܐܢܘܢ ܟܠܗܘܢ ܡܛܠ ܗܢܐ ܠܐ ܒܗܬ ܕܢܩܪܐ ܐܢܘܢ ܐܚܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama ardhi hiyo ikiota miti ya miiba na magugu, haina faida; karibu italaaniwa na Mungu na mwisho wake ni kuchomwa moto. \t ܐܢ ܗܘ ܕܝܢ ܕܬܦܩ ܩܘܪܛܒܐ ܘܕܪܕܪܐ ܗܘܝܐ ܠܗ ܡܤܠܝܬܐ ܘܠܐ ܪܚܝܩܐ ܡܢ ܠܘܛܬܐ ܐܠܐ ܚܪܬܗ ܝܩܕܢܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yuda alipokwisha pokea kipande hicho, Shetani akamwingia. Basi Yesu akamwambia, \"Unachotaka kufanya, kifanye haraka!\" \t ܘܒܬܪ ܠܚܡܐ ܗܝܕܝܢ ܐܬܥܠܠ ܒܗ ܤܛܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܡܕܡ ܕܥܒܕ ܐܢܬ ܥܒܕ ܒܥܓܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu waliendelea kula na kunywa, kuoa na kuolewa mpaka wakati ule Noa alipoingia katika safina. Gharika ikatokea na kuwaangamiza wote. \t ܕܐܟܠܝܢ ܗܘܘ ܘܫܬܝܢ ܘܢܤܒܝܢ ܢܫܐ ܘܝܗܒܝܢ ܠܓܒܪܐ ܥܕܡܐ ܠܝܘܡܐ ܕܥܠ ܢܘܚ ܠܟܘܝܠܐ ܘܐܬܐ ܛܘܦܢܐ ܘܐܘܒܕ ܠܟܠ ܐܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baba aliye hai alinituma, nami naishi kwa sababu yake; vivyo hivyo anilaye mimi ataishi pia kwa sababu yangu. \t ܐܝܟܢܐ ܕܫܕܪܢܝ ܐܒܐ ܚܝܐ ܘܐܢܐ ܚܝ ܐܢܐ ܡܛܠ ܐܒܐ ܘܡܢ ܕܢܐܟܠܢܝ ܐܦ ܗܘ ܢܚܐ ܡܛܠܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilichungulia ndani kwa makini nikaona wanyama wenye miguu minne, wanyama wa mwituni, wanyama watambaao na ndege wa angani. \t ܘܚܪܬ ܒܗ ܘܚܙܐ ܗܘܝܬ ܕܐܝܬ ܒܗ ܚܝܘܬܐ ܕܐܪܒܥܬ ܪܓܠܝܗܝܢ ܘܪܚܫܐ ܕܐܪܥܐ ܘܐܦ ܦܪܚܬܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Abrahamu alipewa ahadi, yeye pamoja na mzawa wake. Maandiko hayasemi: \"Na wazawa wake,\" yaani wengi, bali yasema, \"Na mzawa wake,\" yaani mmoja, naye ndiye Kristo. \t ܠܐܒܪܗܡ ܕܝܢ ܐܬܡܠܟ ܡܘܠܟܢܐ ܘܠܙܪܥܗ ܘܠܐ ܐܡܪ ܠܗ ܕܠܙܪܥܝܟ ܐܝܟ ܕܠܤܓܝܐܐ ܐܠܐ ܠܙܪܥܟ ܐܝܟ ܕܠܚܕ ܗܘ ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baba Mwema! Ulimwengu haukujui, lakini mimi nakujua. Hawa nao wanajua kwamba wewe ulinituma. \t ܐܒܝ ܟܐܢܐ ܘܥܠܡܐ ܠܐ ܝܕܥܟ ܐܢܐ ܕܝܢ ܝܕܥܬܟ ܘܗܢܘܢ ܝܕܥܘ ܕܐܢܬ ܫܕܪܬܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo mkuu wa walinzi wa Hekalu pamoja na watu wake walikwenda Hekaluni, akawaleta. Lakini hawakuwakamata kwa kutumia nguvu, maana waliogopa kwamba watu wangewapiga mawe. \t ܗܝܕܝܢ ܐܙܠܘ ܐܪܟܘܢܐ ܥܡ ܕܚܫܐ ܕܢܝܬܘܢ ܐܢܘܢ ܠܐ ܒܩܛܝܪܐ ܕܚܠܝܢ ܗܘܘ ܓܝܪ ܕܠܡܐ ܢܪܓܘܡ ܐܢܘܢ ܥܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ziwa likaanza kuchafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma. \t ܝܡܐ ܕܝܢ ܐܙܕܩܦ ܗܘܐ ܥܠܝܗܘܢ ܡܛܠ ܕܪܘܚܐ ܪܒܬܐ ܢܫܒܬ ܗܘܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, mkewe akiwa anajua, Anania akajiwekea sehemu ya fedha alizopata na ile sehemu nyingine akawakabidhi mitume. \t ܘܫܩܠ ܡܢ ܛܝܡܝܗ ܘܛܫܝ ܟܕ ܪܓܝܫܐ ܗܘܬ ܒܗ ܐܢܬܬܗ ܘܐܝܬܝ ܡܢܗ ܡܢ ܟܤܦܐ ܘܤܡ ܩܕܡ ܪܓܠܝܗܘܢ ܕܫܠܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kama mshtaki wako anakupeleka mahakamani, ingekuwa afadhali kwako kupatana naye mkiwa bado njiani, ili asije akakupeleka mbele ya hakimu, naye hakimu akakutoa kwa polisi, nao wakakutia ndani. \t ܡܐ ܓܝܪ ܕܐܙܠ ܐܢܬ ܥܡ ܒܥܠܕܝܢܟ ܠܘܬ ܐܪܟܘܢܐ ܥܕ ܒܐܘܪܚܐ ܐܢܬ ܗܒ ܬܐܓܘܪܬܐ ܘܬܬܦܪܩ ܡܢܗ ܕܠܡܐ ܢܘܒܠܟ ܠܘܬ ܕܝܢܐ ܘܕܝܢܐ ܢܫܠܡܟ ܠܓܒܝܐ ܘܓܒܝܐ ܢܪܡܝܟ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msiupende ulimwengu, wala chochote kilicho cha ulimwengu. Mtu anayeupenda ulimwengu, upendo wa Baba hauwezi kuwamo ndani yake. \t ܠܐ ܬܪܚܡܘܢ ܠܥܠܡܐ ܘܠܐ ܠܡܕܡ ܕܐܝܬ ܒܗ ܡܢ ܓܝܪ ܕܪܚܡ ܠܥܠܡܐ ܚܘܒܗ ܕܐܒܐ ܠܝܬ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Wayahudi walipoliona hilo kundi la watu walijaa wivu, wakapinga alichokuwa anasema Paulo na kumtukana. \t ܘܟܕ ܚܙܘ ܝܗܘܕܝܐ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܐܬܡܠܝܘ ܚܤܡܐ ܘܩܝܡܝܢ ܗܘܘ ܠܘܩܒܠ ܡܠܐ ܕܐܡܪ ܗܘܐ ܦܘܠܘܤ ܘܡܓܕܦܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mjane aliye na watoto au wajukuu, hao wanapaswa kujifunza kutimiza wajibu wao wa kidini kwa jamaa zao wenyewe na hivyo kuwalipa wazazi wao na wazee wao, kwani hilo ni jambo la kupendeza mbele ya Mungu. \t ܘܐܢ ܐܝܬ ܐܪܡܠܬܐ ܕܐܝܬ ܠܗ ܒܢܝܐ ܐܘ ܒܢܝ ܒܢܝܐ ܢܐܠܦܘܢ ܠܘܩܕܡ ܕܒܒܢܝ ܒܝܬܗܘܢ ܢܙܕܕܩܘܢ ܘܢܦܪܥܘܢ ܚܘܒܠܐ ܠܐܒܗܝܗܘܢ ܗܕܐ ܓܝܪ ܡܩܒܠܐ ܩܕܡ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kile kitambaa alichofungwa Yesu kichwani. Hicho kitambaa hakikuwekwa pamoja na hiyo sanda, bali kilikuwa kimekunjwa na kuwekwa mahali peke yake. \t ܘܤܘܕܪܐ ܗܘ ܕܚܙܝܩ ܗܘܐ ܒܪܫܗ ܠܐ ܥܡ ܟܬܢܐ ܐܠܐ ܟܕ ܟܪܝܟ ܘܤܝܡ ܠܤܛܪ ܒܚܕܐ ܕܘܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mimi nikasema: La, Bwana; maana chochote kilicho najisi au kichafu hakijapata kamwe kuingia kinywani mwangu. \t ܘܐܡܪܬ ܚܤ ܡܪܝ ܕܡܡܬܘܡ ܠܐ ܥܠ ܠܦܘܡܝ ܕܛܡܐ ܘܕܡܤܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato akatoka tena nje, akawaambia, \"Tazameni, namleta nje kwenu, mpate kujua kwamba mimi sikuona hatia yoyote kwake.\" \t ܘܢܦܩ ܦܝܠܛܘܤ ܬܘܒ ܠܒܪ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܐ ܡܦܩ ܐܢܐ ܠܗ ܠܟܘܢ ܠܒܪ ܕܬܕܥܘܢ ܕܠܐ ܡܫܟܚ ܐܢܐ ܒܬܪܗ ܐܦܠܐ ܚܕܐ ܥܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akawaambia, \"Mtu yeyote anayempokea mtoto huyu mdogo kwa jina langu, ananipokea mimi; na yeyote anayenipokea mimi, anampokea yule aliyenituma. Maana yule aliye mdogo kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkubwa kuliko wote.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢ ܕܡܩܒܠ ܛܠܝܐ ܐܝܟ ܗܢܐ ܒܫܡܝ ܠܝ ܗܘ ܡܩܒܠ ܘܡܢ ܕܠܝ ܡܩܒܠ ܡܩܒܠ ܠܡܢ ܕܫܕܪܢܝ ܐܝܢܐ ܓܝܪ ܕܙܥܘܪ ܒܟܠܟܘܢ ܗܢܐ ܢܗܘܐ ܪܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli, sisi kwa asili ni Wayahudi, na si watu wa mataifa mengine hao wenye dhambi! \t ܚܢܢ ܓܝܪ ܕܡܢ ܟܝܢܢ ܝܗܘܕܝܐ ܚܢܢ ܘܠܐ ܗܘܝܢ ܡܢ ܥܡܡܐ ܚܛܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "hata akaahidi kwa kiapo kumpa huyo msichana chochote atakachoomba. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܒܡܘܡܬܐ ܝܡܐ ܠܗ ܕܢܬܠ ܠܗ ܟܠܡܕܡ ܕܬܫܐܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, basi, bado lipo pumziko kwa watu wa Mungu kama kule kupumzika kwake Mungu siku ya saba. \t ܡܕܝܢ ܩܝܡ ܗܘ ܠܡܫܒܬܘ ܠܥܡܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nikasikia kitu kama sauti itokayo kwa vile viumbe hai vinne. Nayo ilisema, \"Kibaba kimoja cha unga wa ngano wa kiasi cha fedha dinari moja, na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja. Lakini usiharibu mafuta wala divai!\" \t ܘܫܡܥܬ ܩܠܐ ܡܢ ܒܝܬ ܚܝܘܬܐ ܕܐܡܪ ܩܒܐ ܕܚܛܐ ܒܕܝܢܪܐ ܘܬܠܬܐ ܩܒܝܢ ܕܤܥܪܐ ܒܕܝܢܪܐ ܘܠܚܡܪܐ ܘܠܡܫܚܐ ܠܐ ܬܗܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena wanaye mfalme anayewatawala, naye ndiye malaika wa kuzimu; jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kigiriki ni Apolioni, yaani mwangamizi. \t ܘܐܝܬ ܥܠܝܗܘܢ ܡܠܟܐ ܡܠܐܟܗ ܕܬܗܘܡܐ ܕܫܡܗ ܥܒܪܐܝܬ ܥܒܕܘ ܘܐܪܡܐܝܬ ܫܡܐ ܠܗ ܐܝܬ ܫܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jaribuni kujua yale yanayompendeza Bwana. \t ܘܗܘܝܬܘܢ ܦܪܫܝܢ ܡܢܐ ܫܦܝܪ ܩܕܡ ܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Loti aliishi miongoni mwa watu hao, na kwa siku nyingi moyo wake ulikuwa katika wasiwasi mkuu aliposikia matendo yao maovu. \t ܒܚܙܬܐ ܓܝܪ ܘܒܫܡܥܐ ܟܕ ܥܡܪ ܗܘܐ ܟܐܢܐ ܗܘ ܒܝܢܬܗܘܢ ܝܘܡ ܡܢ ܝܘܡ ܠܢܦܫܗ ܙܕܝܩܬܐ ܒܥܒܕܐ ܕܠܐ ܢܡܘܤ ܡܫܢܩ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa Timotheo amekwisha rudi, naye ametupa habari za kufurahisha kuhusu imani na upendo wenu. Ametuarifu kwamba mnatukumbuka daima, na kwamba mna hamu ya kutuona sisi kama nasi tulivyo na hamu ya kuwaoneni. \t ܗܫܐ ܕܝܢ ܡܢ ܕܐܬܐ ܠܘܬܢ ܛܝܡܬܐܘܤ ܡܢ ܨܐܕܝܟܘܢ ܘܤܒܪܢ ܥܠ ܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܘܥܠ ܚܘܒܟܘܢ ܘܕܐܝܬ ܠܘܬܟܘܢ ܥܘܗܕܢܢ ܛܒܐ ܒܟܠ ܥܕܢ ܘܤܘܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܚܙܝܢ ܐܝܟܢܐ ܕܐܦ ܚܢܢ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni ameeleza jinsi Mungu hapo awali alivyojishughulisha na watu wa mataifa mengine, akachagua baadhi yao wawe watu wake. \t ܫܡܥܘܢ ܐܫܬܥܝ ܠܟܘܢ ܐܝܟܢܐ ܫܪܝ ܐܠܗܐ ܠܡܓܒܐ ܡܢ ܥܡܡܐ ܥܡܐ ܠܫܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wawe na kiasi na safi, waangalie vizuri mambo ya nyumbani, na wawatii waume zao, ili ujumbe wa Mungu usije ukadharauliwa. \t ܘܢܗܘܝܢ ܢܟܦܢ ܘܩܕܝܫܢ ܘܢܗܘܝܢ ܝܨܦܢ ܫܦܝܪ ܕܒܬܝܗܝܢ ܘܡܫܬܥܒܕܢ ܠܒܥܠܝܗܝܢ ܕܠܐ ܐܢܫ ܢܓܕܦ ܥܠ ܡܠܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huohuo wanafunzi wake walikuwa wanamsihi Yesu: \"Mwalimu, ule chakula.\" \t ܘܒܝܢܬ ܗܠܝܢ ܒܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܪܒܢ ܠܥܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, \"Shetani anawezaje kumfukuza Shetani? \t ܘܩܪܐ ܐܢܘܢ ܝܫܘܥ ܘܒܡܬܠܐ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܝܟܢܐ ܡܫܟܚ ܤܛܢܐ ܠܤܛܢܐ ܠܡܦܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tunaweza kujivunia nini? Hakuna! Kwa nini? Je, kwa sababu ya kutimiza Sheria? La! Bali kwa sababu tunaamini. \t ܐܝܟܘ ܗܟܝܠ ܫܘܒܗܪܐ ܐܬܒܛܠ ܠܗ ܒܐܝܢܐ ܢܡܘܤܐ ܕܥܒܕܐ ܠܐ ܐܠܐ ܒܢܡܘܤܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini nchi ikamsaidia huyo mama: ikajifunua kama mdomo na kuyameza maji hayo yaliyotoka kinywani mwa hilo joka. \t ܘܥܕܪܬ ܐܪܥܐ ܠܐܢܬܬܐ ܘܦܬܚܬ ܐܪܥܐ ܦܘܡܗ ܘܒܠܥܬܗ ܠܢܗܪܐ ܗܘ ܕܐܪܡܝ ܬܢܝܢܐ ܡܢ ܦܘܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama kusudi langu lingalikuwa la kibinadamu tu, kule kupigana kwangu na wanyama wakali hapa Efeso kungalinifaa kitu gani? Kama wafu hawafufuki, basi, \"Tule na tunywe, maana kesho tutakufa.\" \t ܐܢ ܐܝܟ ܕܒܝܬ ܒܢܝܢܫܐ ܐܫܬܕܝܬ ܠܚܝܘܬܐ ܒܐܦܤܘܤ ܡܢܐ ܐܬܗܢܝܬ ܐܢ ܡܝܬܐ ܠܐ ܩܝܡܝܢ ܢܐܟܘܠ ܘܢܫܬܐ ܡܚܪ ܓܝܪ ܡܝܬܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo nawasihi: mwonyesheni kwamba mnampenda. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟܘܢ ܕܬܫܪܪܘܢ ܒܗ ܚܘܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama ukimhuzunisha ndugu yako kwa sababu ya chakula unachokula, basi mwenendo wako hauongozwi na mapendo. Usikubali hata kidogo chakula chako kiwe sababu ya kupotea kwa mtu mwingine ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake! \t ܐܢ ܕܝܢ ܡܛܠ ܡܐܟܘܠܬܐ ܡܥܝܩ ܐܢܬ ܠܐܚܘܟ ܠܐ ܗܘܐ ܒܚܘܒܐ ܡܗܠܟ ܐܢܬ ܠܐ ܬܘܒܕ ܒܡܐܟܘܠܬܟ ܠܗܘ ܕܡܛܠܬܗ ܡܝܬ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Siku hiyo, yeyote atakayekuwa juu ya paa asishuke nyumbani kuchukua mali yake. Kadhalika, naye atakayekuwa shambani asirudi nyuma. \t ܒܗܘ ܝܘܡܐ ܡܢ ܕܒܐܓܪܐ ܗܘ ܘܡܐܢܘܗܝ ܒܒܝܬܐ ܠܐ ܢܚܘܬ ܕܢܫܩܘܠ ܐܢܘܢ ܘܡܢ ܕܒܚܩܠܐ ܗܘ ܠܐ ܢܬܗܦܟ ܠܒܤܬܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku ya pili yake, walifika Kaisarea na huko Kornelio alikuwa anawangojea pamoja na jamaa na marafiki aliokuwa amewaalika. \t ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܥܠ ܠܩܤܪܝܐ ܩܘܪܢܠܝܘܤ ܕܝܢ ܡܩܘܐ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܟܕ ܡܟܢܫܝܢ ܠܗ ܟܠܗܘܢ ܒܢܝ ܛܘܗܡܗ ܘܐܦ ܪܚܡܐ ܚܒܝܒܐ ܕܐܝܬ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kufuatana na mpango wake mwenyewe Mungu alikwisha amua kwamba Yesu angetiwa mikononi mwenu; nanyi mkamuua kwa kuwaachia watu wabaya wamsulubishe. \t ܠܗܢܐ ܕܦܪܝܫ ܗܘܐ ܠܗ ܠܗܕܐ ܒܡܩܕܡܘܬ ܝܕܥܬܗ ܘܒܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܐܫܠܡܬܘܢܝܗܝ ܒܐܝܕܝ ܪܫܝܥܐ ܘܙܩܦܬܘܢ ܘܩܛܠܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jicho lako ni kama taa ya mwili wako; likiwa zima, mwili wako wote utakuwa katika mwanga. Jicho lako likiwa bovu, na mwili wako pia utakuwa katika giza. \t ܫܪܓܗ ܕܦܓܪܟ ܐܝܬܝܗ ܥܝܢܟ ܐܡܬܝ ܗܟܝܠ ܕܥܝܢܟ ܦܫܝܛܐ ܐܦ ܟܠܗ ܦܓܪܟ ܢܗܘܐ ܢܗܝܪ ܐܢ ܕܝܢ ܬܗܘܐ ܒܝܫܐ ܘܐܦ ܦܓܪܟ ܢܗܘܐ ܚܫܘܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini kama mtumishi mbaya akijisemea moyoni: Bwana wangu anakawia kurudi, \t ܐܢ ܕܝܢ ܢܐܡܪ ܥܒܕܐ ܗܘ ܒܝܫܐ ܒܠܒܗ ܕܡܪܝ ܡܘܚܪ ܠܡܐܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika Sheria ya Bwana imeandikwa: \"Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume atawekwa wakfu kwa Bwana.\" \t ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܒܢܡܘܤܐ ܕܡܪܝܐ ܕܟܠ ܕܟܪܐ ܦܬܚ ܡܪܒܥܐ ܩܕܝܫܐ ܕܡܪܝܐ ܢܬܩܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisiwa kimoja kiitwacho Kanda kilitukinga kidogo na ule upepo; na tulipopita kusini mwake tulifaulu, ingawa kwa shida, kuusalimisha ule mtumbwi wa meli. \t ܘܟܕ ܥܒܪܢ ܓܙܪܬܐ ܚܕܐ ܕܡܬܩܪܝܐ ܩܘܕܐ ܠܡܚܤܢ ܐܫܟܚܢ ܐܚܕܢ ܠܩܪܩܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakachukua matawi ya mitende, wakatoka kwenda kumlaki; wakapaaza sauti wakisema: \"Hosana! Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana. Abarikiwe mfalme wa Israeli.\" \t ܫܩܠܘ ܤܘܟܐ ܕܕܩܠܐ ܘܢܦܩܘ ܠܐܘܪܥܗ ܘܩܥܝܢ ܗܘܘ ܘܐܡܪܝܢ ܐܘܫܥܢܐ ܒܪܝܟ ܗܘ ܕܐܬܐ ܒܫܡܗ ܕܡܪܝܐ ܡܠܟܐ ܕܐܝܤܪܝܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, ni nani mwenye hekima na akili miongoni mwenu? Basi, aonyeshe jambo hilo kwa mwenendo wake mzuri na kwa matendo yake mema yanayofanyika kwa unyenyekevu na hekima. \t ܡܢܘ ܡܢܟܘܢ ܕܚܟܝܡ ܘܪܕܐ ܢܚܘܐ ܥܒܕܘܗܝ ܒܗܘܦܟܐ ܫܦܝܪܐ ܒܚܟܡܬܐ ܡܟܝܟܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na watalipwa mateso kwa mateso ambayo wameyasababisha. Furaha yao ni kufanya, tena mchana kabisa, chochote kinachotosheleza anasa zao za mwili. Hao ni fedheha na aibu tupu kwa jumuiya yenu wakati wanapojiunga nanyi katika karamu zenu, bali wakifurahia njia zao za udanganyifu. \t ܟܕ ܐܝܠܝܢ ܕܗܘܐ ܒܗܘܢ ܥܘܠܐ ܐܓܪܐ ܕܥܘܠܐ ܗܢܝܘܬܐ ܚܫܝܒ ܠܗܘܢ ܒܘܤܡܐ ܕܗܘܐ ܒܐܝܡܡܐ ܡܟܬܡܐ ܘܡܠܝܝ ܡܘܡܐ ܕܟܕ ܡܬܒܤܡܝܢ ܒܢܝܚܬܗܘܢ ܡܬܦܢܩܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Fikiri kwa makini juu ya hayo yote na kuyatekeleza kusudi maendeleo yako yaonekane na wote. \t ܒܗܠܝܢ ܐܬܗܓܐ ܘܒܗܝܢ ܗܘܝ ܕܬܬܝܕܥ ܠܟܠܢܫ ܕܠܩܕܡܝܟ ܐܬܐ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliye na kitu atapewa zaidi; asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.\" \t ܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܓܝܪ ܢܬܝܗܒ ܠܗ ܘܡܢ ܕܠܝܬ ܠܗ ܐܦ ܗܘ ܕܐܝܬ ܠܗ ܢܫܬܩܠ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakamjibu, \"Wengine wanasema kuwa wewe ni Yohane mbatizaji, wengine wanasema wewe ni Eliya, hali wengine wanasema kuwa wewe ni mmoja wa manabii wa kale ambaye amefufuka.\" \t ܥܢܘ ܘܐܡܪܝܢ ܠܗ ܕܝܘܚܢܢ ܡܥܡܕܢܐ ܘܐܚܪܢܐ ܕܐܠܝܐ ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܕܢܒܝܐ ܚܕ ܡܢ ܢܒܝܐ ܩܕܡܝܐ ܩܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Palikuwa na nabii mmoja mwanamke, mzee sana, jina lake Ana, binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa ameishi na mumewe kwa miaka saba tangu alipoolewa. \t ܘܚܢܐ ܕܝܢ ܢܒܝܬܐ ܒܪܬܗ ܕܦܢܘܐܝܠ ܡܢ ܫܒܛܐ ܕܐܫܝܪ ܐܦ ܗܝ ܩܫܝܫܬ ܒܝܘܡܬܗ ܗܘܬ ܘܫܒܥ ܫܢܝܢ ܥܡ ܒܥܠܗ ܚܝܬ ܡܢ ܒܬܘܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Ijazeni mitungi hiyo maji.\" Nao wakaijaza mpaka juu. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܡܠܘ ܐܢܝܢ ܡܝܐ ܠܐܓܢܐ ܘܡܠܘ ܐܢܝܢ ܥܕܡܐ ܠܥܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Habari zake zikaenea mahali pote katika mkoa ule. \t ܘܢܦܩ ܥܠܘܗܝ ܛܒܐ ܒܟܠܗ ܐܬܪܐ ܕܚܕܪܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naogopa, huenda nitakapokuja kwenu nitawakuta katika hali nisiyopenda, nami itanilazimu kuwa katika hali msiyoipenda. Naogopa huenda kukawa na ugomvi, wivu, uhasama, ubishi, masengenyano, kunong'ona, majivuno na fujo kati yenu. \t ܕܚܠ ܐܢܐ ܓܝܪ ܕܠܡܐ ܐܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܘܠܐ ܐܫܟܚܟܘܢ ܐܝܟ ܕܨܒܐ ܐܢܐ ܘܐܫܬܟܚ ܠܟܘܢ ܐܦ ܐܢܐ ܐܝܟ ܡܐ ܕܠܐ ܨܒܝܬܘܢ ܕܠܡܐ ܚܪܝܢܐ ܘܚܤܡܐ ܘܚܡܬܐ ܘܥܨܝܢܐ ܘܡܐܟܠ ܩܪܨܐ ܘܪܛܢܐ ܘܚܬܝܪܘܬܐ ܘܫܓܘܫܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akawaamuru wasiwaambie watu habari zake, \t ܘܟܐܐ ܒܗܘܢ ܕܠܐ ܢܓܠܘܢܝܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msikubali kuhukumiwa na mtu yeyote anayejitakia kuwa wa maana kwa sababu ya maono ya pekee na ambaye anasisitiza juu ya unyenyekevu wa uongo na ibada kwa malaika. Mtu wa namna hiyo amepumbazika kwa fikira danganifu za kidunia \t ܘܠܡܐ ܐܢܫ ܢܨܒܐ ܒܡܟܝܟܘܬ ܪܥܝܢܐ ܠܡܚܝܒܘܬܟܘܢ ܕܬܫܬܥܒܕܘܢ ܠܦܘܠܚܢܐ ܕܡܠܐܟܐ ܒܕܤܥܐ ܥܠ ܡܕܡ ܕܠܐ ܚܙܐ ܘܤܪܝܩܐܝܬ ܡܬܚܬܪ ܒܪܥܝܢܐ ܕܒܤܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wapenzi wangu, hii ni barua ya pili ninayowaandikia. Katika barua hizo mbili nimejaribu kufufua fikira safi akilini mwenu kwa kuwakumbusheni mambo haya. \t ܗܕܐ ܡܢ ܟܕܘ ܚܒܝܒܝ ܐܓܪܬܐ ܕܬܪܬܝܢ ܟܬܒ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܗܠܝܢ ܕܒܗܝܢ ܡܥܝܪ ܐܢܐ ܒܥܘܗܕܢܐ ܠܪܥܝܢܟܘܢ ܫܦܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "alituokoa. alituokoa si kwa sababu ya jambo lolote jema tulilotenda sisi, bali alituokoa kwa sababu ya huruma yake, kwa njia ya Roho Mtakatifu anayetujalia tuzaliwe upya na kuwa na maisha mapya kwa kutuosha kwa maji. \t ܠܐ ܒܥܒܕܐ ܕܙܕܝܩܘܬܐ ܕܥܒܕܢ ܐܠܐ ܒܪܚܡܘܗܝ ܕܝܠܗ ܐܚܝܢ ܒܤܚܬܐ ܕܡܘܠܕܐ ܕܡܢ ܕܪܝܫ ܘܒܚܘܕܬܐ ܕܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akaita kwa sauti: Baba Abrahamu, nionee huruma; umtume Lazaro angalau achovye ncha ya kidole chake katika maji, auburudishe ulimi wangu, maana ninateseka mno katika moto huu. \t ܘܩܪܐ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܘܐܡܪ ܐܒܝ ܐܒܪܗܡ ܐܬܪܚܡ ܥܠܝ ܘܫܕܪ ܠܠܥܙܪ ܕܢܨܒܘܥ ܪܝܫ ܨܒܥܗ ܒܡܝܐ ܘܢܪܛܒ ܠܝ ܠܫܢܝ ܕܗܐ ܡܫܬܢܩ ܐܢܐ ܒܫܠܗܒܝܬܐ ܗܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maria alikuwa amesimama nje ya kaburi, akilia. Huku akiwa bado analia, aliinama na kuchungulia kaburini, \t ܡܪܝܡ ܕܝܢ ܩܝܡܐ ܗܘܬ ܠܘܬ ܩܒܪܐ ܘܒܟܝܐ ܘܟܕ ܒܟܝܐ ܐܕܝܩܬ ܒܩܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliwaambia jambo hilo waziwazi. Basi, Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea. \t ܘܥܝܢ ܒܓܠܐ ܡܠܬܐ ܡܡܠܠ ܗܘܐ ܘܕܒܪܗ ܟܐܦܐ ܘܫܪܝ ܠܡܟܐܐ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana, viumbe viliwekwa katika hali ya kutojiweza kabisa, si kwa hiari yao, ila vilifanywa hivyo kwa mapenzi ya Mungu. Hata hivyo yapo matumaini, \t ܒܪܝܬܐ ܓܝܪ ܐܫܬܥܒܕܬ ܠܤܪܝܩܘܬܐ ܠܐ ܒܨܒܝܢܗ ܐܠܐ ܡܛܠ ܡܢ ܕܫܥܒܕܗ ܥܠ ܤܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Haya yote mnayoyaona--zitakuja siku ambapo hakuna hata jiwe moja litakalosalia juu ya lingine; kila kitu kitaharibiwa.\" \t ܗܠܝܢ ܕܚܙܝܢ ܐܢܬܘܢ ܢܐܬܘܢ ܝܘܡܬܐ ܕܒܗܘܢ ܠܐ ܬܫܬܒܩ ܟܐܦ ܥܠ ܟܐܦ ܕܠܐ ܬܤܬܬܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila upande ulikuwa na milango mitatu: upande wa mashariki, milango mitatu, kaskazini milango mitatu, kusini milango mitatu na magharibi milango mitatu. \t ܡܢ ܡܕܢܚܐ ܬܪܥܐ ܬܠܬܐ ܘܡܢ ܓܪܒܝܐ ܬܪܥܐ ܬܠܬܐ ܘܡܢ ܬܝܡܢܐ ܬܪܥܐ ܬܠܬܐ ܘܡܢ ܡܥܪܒܐ ܬܪܥܐ ܬܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, akawauliza, \"Je, ni halali siku ya Sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuua?\" Lakini wao hawakusema neno. \t ܐܡܪ ܕܝܢ ܐܦ ܠܗܘܢ ܫܠܝܛ ܒܫܒܬܐ ܠܡܥܒܕ ܕܛܒ ܐܘ ܕܒܝܫ ܢܦܫܐ ܠܡܚܝܘ ܐܘ ܠܡܘܒܕܘ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܫܬܝܩܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu hakupata kuoza. \t ܗܢܐ ܕܝܢ ܕܐܩܝܡ ܐܠܗܐ ܠܐ ܚܙܐ ܚܒܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mitume waliyachukua maneno hayo kama yasiyo na msingi, hivyo hawakuamini. \t ܘܐܬܚܙܝ ܒܥܝܢܝܗܘܢ ܡܠܐ ܗܠܝܢ ܐܝܟ ܫܢܝܬܐ ܘܠܐ ܗܝܡܢܘ ܐܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Au, nani aliyempa yeye kitu kwanza hata aweze kulipwa tena kitu hicho?\" \t ܘܡܢܘ ܩܕܡ ܝܗܒ ܠܗ ܘܟܢ ܢܤܒ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wanafunzi wake, kina Yohane na Yakobo, walipoona hayo, wakasema, \"Bwana, wataka tuamuru moto ushuke kutoka mbinguni uwateketeze?\" \t ܘܟܕ ܚܙܘ ܝܥܩܘܒ ܘܝܘܚܢܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܪܢ ܨܒܐ ܐܢܬ ܕܢܐܡܪ ܘܬܚܘܬ ܢܘܪܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܘܬܤܝܦ ܐܢܘܢ ܐܝܟ ܕܐܦ ܐܠܝܐ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakampelekea Yesu yule mwana punda. Kisha wakatandika mavazi yao juu yake wakampandisha Yesu. \t ܘܐܝܬܝܘܗܝ ܠܘܬ ܝܫܘܥ ܘܐܪܡܝܘ ܥܠ ܥܝܠܐ ܡܐܢܝܗܘܢ ܘܐܪܟܒܘܗܝ ܠܝܫܘܥ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakakaa pamoja na wale waumini kwa muda mrefu. \t ܘܙܒܢܐ ܤܓܝܐܐ ܗܘܘ ܬܡܢ ܠܘܬ ܬܠܡܝܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini nitabaki hapa Efeso mpaka siku ya Pentekoste. \t ܡܩܘܐ ܐܢܐ ܕܝܢ ܒܐܦܤܘܤ ܥܕܡܐ ܠܦܢܛܩܘܤܛܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, kumbukeni wakati mlipoitwa: wengi wenu hawakuwa wenye hekima hata kwa fikira za binadamu; wengi hawakuwa wenye nguvu au watu wa tabaka ya juu. \t ܚܙܘ ܓܝܪ ܐܦ ܩܪܝܬܟܘܢ ܐܚܝ ܕܠܐ ܤܓܝܐܝܢ ܒܟܘܢ ܚܟܝܡܐ ܒܒܤܪ ܘܠܐ ܤܓܝܐܝܢ ܒܟܘܢ ܚܝܠܬܢܐ ܘܠܐ ܤܓܝܐܝܢ ܒܟܘܢ ܒܢܝ ܛܘܗܡܐ ܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alikuwa akifundisha katika sunagogi moja siku ya Sabato. \t ܟܕ ܕܝܢ ܡܠܦ ܝܫܘܥ ܒܫܒܬܐ ܒܚܕܐ ܡܢ ܟܢܘܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mtu anapaswa kuwatii wenye mamlaka katika serikali; maana mamlaka yote hutoka kwa Mungu; nao wenye mamlaka wamewekwa na Mungu. \t ܟܠ ܢܦܫ ܠܫܘܠܛܢܐ ܕܪܒܘܬܐ ܬܫܬܥܒܕ ܠܝܬ ܓܝܪ ܫܘܠܛܢܐ ܕܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܗܘ ܘܐܝܠܝܢ ܫܘܠܛܢܐ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܗܘ ܦܩܝܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha nikatazama, nikasikia tai akiruka juu kabisa angani anasema kwa sauti kubwa, \"Ole, ole, ole kwa wanaoishi duniani wakati malaika watatu waliobaki watakapopiga tarumbeta zao!\" \t ܘܫܡܥܬ ܠܢܫܪܐ ܚܕ ܕܦܪܚ ܒܫܡܝܐ ܕܐܡܪ ܘܝ ܘܝ ܘܝ ܠܥܡܘܪܝܗ ܕܐܪܥܐ ܡܢ ܩܠܐ ܕܫܝܦܘܪܐ ܕܬܠܬܐ ܡܠܐܟܝܢ ܕܥܬܝܕܝܢ ܠܡܙܥܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, sisi hatumo miongoni mwa wale wanaorudi nyuma na kupotea, ila sisi tunaamini na tunaokolewa. \t ܚܢܢ ܕܝܢ ܠܐ ܗܘܝܢ ܕܩܘܛܥܐ ܕܡܘܒܠܐ ܠܐܒܕܢܐ ܐܠܐ ܕܗܝܡܢܘܬܐ ܕܡܩܢܝܐ ܠܢ ܢܦܫܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa nini wanafunzi wako hawajali mapokeo tuliyopokea kutoka kwa wazee wetu? Hawanawi mikono yao kama ipasavyo kabla ya kula!\" \t ܠܡܢܐ ܬܠܡܝܕܝܟ ܥܒܪܝܢ ܥܠ ܡܫܠܡܢܘܬܐ ܕܩܫܝܫܐ ܘܠܐ ܡܫܝܓܝܢ ܐܝܕܝܗܘܢ ܡܐ ܕܐܟܠܝܢ ܠܚܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wakapendelea kuwa na mfalme, na Mungu akawapa Saulo, mtoto wa Kishi wa kabila la Benyamini, awe mfalme wao kwa muda wa miaka arobaini. \t ܘܗܝܕܝܢ ܫܐܠܘ ܠܗܘܢ ܡܠܟܐ ܘܝܗܒ ܠܗܘܢ ܐܠܗܐ ܠܫܐܘܠ ܒܪ ܩܝܫ ܓܒܪܐ ܡܢ ܫܪܒܬܐ ܕܒܢܝܡܝܢ ܫܢܝܢ ܐܪܒܥܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena nitawaua wafuasi wake, ili makanisa yote yatambue kwamba mimi ndiye ninayechunguza mioyo na fikira za watu. \t ܘܠܒܢܝܗ ܐܩܛܘܠ ܒܡܘܬܐ ܘܝܕܥܢ ܟܠܗܝܢ ܥܕܬܐ ܕܐܢܐ ܐܢܐ ܒܨܐ ܟܘܠܝܬܐ ܘܠܒܐ ܘܐܬܠ ܠܟܘܢ ܠܟܠܢܫ ܐܝܟ ܥܒܕܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunamwomba Mungu, Baba yetu mwenyewe, na Bwana wetu Yesu atutayarishie njia ya kuja kwenu. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܠܗܐ ܐܒܘܢ ܘܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܢܬܪܘܨ ܐܘܪܚܢ ܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Wafalme wa mataifa huwatawala watu wao kwa mabavu, nao huitwa wafadhili wa watu. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܠܟܝܗܘܢ ܕܥܡܡܐ ܡܪܝܗܘܢ ܐܢܘܢ ܘܕܫܠܝܛܝܢ ܥܠܝܗܘܢ ܥܒܕܝ ܛܒܬܐ ܡܬܩܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye akawajibu, \"Kila mmea ambao Baba yangu aliye mbinguni hakuupanda, utang'olewa. \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܟܠ ܢܨܒܬܐ ܐܝܕܐ ܕܠܐ ܢܨܒܗ ܐܒܝ ܕܒܫܡܝܐ ܬܬܥܩܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sawa! Yalikatwa kwa sababu ya kukosa imani, bali wewe unasimama kwa imani yako. Lakini usijivune; ila uwe na tahadhari. \t ܫܦܝܪ ܗܠܝܢ ܡܛܠ ܕܠܐ ܗܝܡܢ ܐܬܦܫܚ ܐܢܬ ܕܝܢ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܩܡܬ ܠܐ ܬܬܪܝܡ ܒܪܥܝܢܟ ܐܠܐ ܕܚܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto. \t ܫܒܥܐ ܐܚܝܢ ܐܝܬ ܗܘܘ ܩܕܡܝܐ ܢܤܒ ܐܢܬܬܐ ܘܡܝܬ ܘܠܐ ܫܒܩ ܙܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mimi nikalia sana kwa sababu hakupatikana mtu aliyestahili kukifungua, au kukitazama ndani. \t ܘܒܟܐ ܗܘܝܬ ܤܓܝ ܡܛܠ ܕܠܝܬ ܕܐܫܬܟܚ ܕܫܘܐ ܠܡܦܬܚ ܠܟܬܒܐ ܘܠܡܫܪܐ ܛܒܥܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tuseme nini basi? Je, twendelee kubaki katika dhambi ili neema ya Mungu iongezeke? \t ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܢܐܡܪ ܢܩܘܐ ܒܗ ܒܚܛܝܬܐ ܕܛܝܒܘܬܐ ܬܬܝܬܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wayahudi walimkamata mtu huyu na karibu wangemuua kama nisingalifahamishwa kwamba yeye ni raia wa Roma na hivyo nikaenda pamoja na askari nikamwokoa. \t ܠܓܒܪܐ ܗܢܐ ܐܚܕܘ ܝܗܘܕܝܐ ܐܝܟ ܕܢܩܛܠܘܢܗ ܘܩܡܬ ܐܢܐ ܥܡ ܪܗܘܡܝܐ ܘܦܪܩܬܗ ܟܕ ܝܠܦܬ ܕܪܗܘܡܝܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaendelea kusema, \"Nawaambieni kweli, mtaona mbingu zinafunguka na malaika wa Mungu wakipanda na kushuka juu ya Mwana wa Mtu.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܡܢ ܗܫܐ ܬܚܙܘܢ ܫܡܝܐ ܕܦܬܝܚܝܢ ܘܡܠܐܟܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܟܕ ܤܠܩܝܢ ܘܢܚܬܝܢ ܠܘܬ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika akakichukua hicho chetezo, akakijaza moto wa madhabahuni akakitupa duniani. Kukawa na ngurumo, sauti, umeme na tetemeko la ardhi. \t ܘܢܤܒ ܡܠܐܟܐ ܠܦܝܪܡܐ ܘܡܠܝܗܝ ܡܢ ܢܘܪܐ ܕܥܠ ܡܕܒܚܐ ܘܐܪܡܝ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܗܘܘ ܪܥܡܐ ܘܩܠܐ ܘܒܪܩܐ ܘܢܘܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipoona kuwa kitendo hiki kiliwapendeza Wayahudi, aliendelea, akamkamata Petro. (Hiyo ilifanyika wakati wa sikukuu ya Mikate Isiyotiwa chachu.) \t ܘܟܕ ܚܙܐ ܕܫܦܪܬ ܗܕܐ ܠܝܗܘܕܝܐ ܐܘܤܦ ܗܘܐ ܠܡܐܚܕ ܐܦ ܠܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܘܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܝܘܡܬܐ ܕܦܛܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bado kidogo nao ulimwengu hautaniona tena, lakini ninyi mtaniona; na kwa kuwa mimi ni hai, nanyi pia mtakuwa hai. \t ܘܥܠܡܐ ܠܐ ܚܙܐ ܠܝ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܬܚܙܘܢܢܝ ܕܐܢܐ ܚܝ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܬܚܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati Herode alipokuwa mfalme wa Yudea, kulikuwa na kuhani mmoja jina lake Zakaria, wa kikundi cha Abia. Mke wake alikuwa anaitwa Elisabeti, naye alikuwa wa ukoo wa kuhani Aroni. \t ܗܘܐ ܒܝܘܡܬܗ ܕܗܪܘܕܤ ܡܠܟܐ ܕܝܗܘܕܐ ܟܗܢܐ ܚܕ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܙܟܪܝܐ ܡܢ ܬܫܡܫܬܐ ܕܒܝܬ ܐܒܝܐ ܘܐܢܬܬܗ ܡܢ ܒܢܬܗ ܕܐܗܪܘܢ ܫܡܗ ܗܘܐ ܐܠܝܫܒܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku ya Sabato iliyofuata, karibu kila mtu katika ule mji alikuja kusikiliza neno la Bwana. \t ܘܠܫܒܬܐ ܐܚܪܬܐ ܟܢܫܬ ܟܠܗ ܡܕܝܢܬܐ ܠܡܫܡܥ ܡܠܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Rafiki, ni nani aliyeniweka mimi mwamuzi au msuluhishi kati yenu?\" \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܓܒܪܐ ܡܢܘ ܐܩܝܡܢܝ ܥܠܝܟܘܢ ܕܝܢܐ ܘܡܦܠܓܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usiharakishe kumwekea mtu yeyote mikono kwa ajili ya kumtumikia Bwana. Usishiriki dhambi za wengine; jiweke katika hali safi. \t ܐܝܕܐ ܒܥܓܠ ܥܠ ܐܢܫ ܠܐ ܬܤܝܡ ܘܠܐ ܬܫܬܘܬܦ ܒܚܛܗܐ ܢܘܟܪܝܐ ܢܦܫܟ ܛܪ ܒܕܟܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tulipobatizwa tuliungana na kifo chake, tukazikwa pamoja naye, ili kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka wafu kwa kitendo kitukufu cha Baba, sisi pia tuweze kuishi maisha mapya. \t ܐܬܩܒܪܢ ܥܡܗ ܒܡܥܡܘܕܝܬܐ ܠܡܘܬܐ ܕܐܝܟܢܐ ܕܩܡ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܢ ܒܝܬ ܡܝܬܐ ܒܬܫܒܘܚܬܐ ܕܐܒܘܗܝ ܗܟܢܐ ܐܦ ܚܢܢ ܒܚܝܐ ܚܕܬܐ ܢܗܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, jiwekeni chini ya mamlaka yote ya kibinadamu, kwa ajili ya Bwana: utii kwa mfalme aliye mtawala mkuu, \t ܘܗܘܝܬܘܢ ܡܫܬܥܒܕܝܢ ܠܟܠܗܘܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܡܛܠ ܐܠܗܐ ܠܡܠܟܐ ܡܛܠ ܫܘܠܛܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni rahisi zaidi ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.\" \t ܦܫܝܩ ܗܘ ܠܓܡܠܐ ܕܢܥܘܠ ܒܚܪܘܪܐ ܕܡܚܛܐ ܐܘ ܥܬܝܪܐ ܠܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܠܡܥܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akatazama juu mbinguni, akapiga kite, akamwambia, \"Efatha,\" maana yake, \"Funguka.\" \t ܘܚܪ ܒܫܡܝܐ ܘܐܬܬܢܚ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܬܦܬܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Bwana wetu ambaye mambo hayo yote yanasemwa juu yake, alikuwa wa kabila lingine, na wala hakuna hata mmoja wa kabila lake aliyepata kutumikia madhabahuni akiwa kuhani. \t ܗܘ ܓܝܪ ܕܐܬܐܡܪ ܥܠܘܗܝ ܗܠܝܢ ܡܢ ܫܪܒܬܐ ܗܘ ܐܚܪܬܐ ܐܬܝܠܕ ܕܐܢܫ ܡܡܬܘV ܡܢܗ ܠܐ ܫܡܫ ܒܡܕܒܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wayahudi na watu walioongokea dini ya Kiyahudi; wengine wametoka Krete na Arabia. Sisi sote tunasikia wakisema kwa lugha zetu wenyewe mambo makuu ya Mungu.\" \t ܘܕܡܢ ܩܪܛܐ ܘܥܪܒܝܐ ܗܐ ܫܡܥܝܢ ܚܢܢ ܡܢܗܘܢ ܕܡܡܠܠܝܢ ܒܠܫܢܝܢ ܕܝܠܢ ܬܕܡܪܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe. \t ܫܡܥܬܘܢ ܕܐܬܐܡܪ ܠܩܕܡܝܐ ܠܐ ܬܩܛܘܠ ܘܟܠ ܕܢܩܛܘܠ ܡܚܝܒ ܗܘ ܠܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akamkatalia. Badala yake akamwambia, \"Nenda nyumbani kwa jamaa yako, ukawaambie mambo yote Bwana aliyokutendea na jinsi alivyokuonea huruma.\" \t ܘܠܐ ܫܒܩܗ ܐܠܐ ܐܡܪ ܠܗ ܙܠ ܠܒܝܬܟ ܠܘܬ ܐܢܫܝܟ ܘܐܫܬܥܐ ܠܗܘܢ ܡܕܡ ܕܥܒܕ ܠܟ ܡܪܝܐ ܘܕܐܬܪܚܡ ܥܠܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, watawala hawasababishi hofu kwa watu wema, ila kwa watu wabaya. Basi, wataka usimwogope mtu mwenye mamlaka? Fanya mema naye atakusifu; \t ܕܝܢܐ ܓܝܪ ܠܐ ܗܘܘ ܕܚܠܬܐ ܠܥܒܕܐ ܛܒܐ ܐܠܐ ܠܒܝܫܐ ܨܒܐ ܐܢܬ ܗܟܝܠ ܕܠܐ ܬܕܚܠ ܡܢ ܫܘܠܛܢܐ ܥܒܕ ܛܒܬܐ ܘܬܫܒܘܚܬܐ ܬܗܘܐ ܠܟ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa upande wetu, lakini, sisi tunatumaini kwamba kwa nguvu ya Roho tunakubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani. \t ܚܢܢ ܓܝܪ ܒܪܘܚܐ ܕܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܠܤܒܪܐ ܕܙܕܝܩܘܬܐ ܡܩܘܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wale wanaoshinda nitawafanya wawe minara katika Hekalu la Mungu wangu, na hawatatoka humo kamwe. Pia nitaandika juu yao jina la Mungu wangu na jina la mji wa Mungu wangu, yaani Yerusalemu mpya, mji ambao utashuka kutoka juu mbinguni kwa Mungu wangu. Tena nitaandika juu yao jina langu jipya. \t ܘܕܙܟܐ ܐܥܒܕܗ ܥܡܘܕܐ ܒܗܝܟܠܐ ܕܐܠܗܐ ܘܠܒܪ ܠܐ ܢܦܘܩ ܬܘܒ ܘܐܟܬܘܒ ܥܠܘܗܝ ܫܡܐ ܕܐܠܗܝ ܘܫܡܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܚܕܬܐ ܐܘܪܫܠܡ ܐܝܕܐ ܕܢܚܬܐ ܡܢ ܐܠܗܝ ܘܫܡܐ ܕܝܠܝ ܚܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini makuhani wakuu wakawachochea watu wamwombe Pilato awafungulie Baraba. \t ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܕܝܢ ܝܬܝܪܐܝܬ ܚܦܛܘ ܠܟܢܫܐ ܕܠܒܪ ܐܒܐ ܢܫܪܐ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika hali hii, hakuna tena tofauti kati ya Mgiriki na Myahudi, aliyetahiriwa na asiyetahiriwa, msomi na asiye msomi, mtumwa na mtu aliye huru. Kristo ni kila kitu, na yumo katika yote. \t ܟܪ ܕܠܝܬ ܝܗܘܕܝܐ ܘܐܪܡܝܐ ܘܠܐ ܓܙܘܪܬܐ ܘܥܘܪܠܘܬܐ ܘܠܐ ܝܘܢܝܐ ܘܒܪܒܪܝܐ ܘܠܐ ܥܒܕܐ ܘܒܪܚܐܪܐ ܐܠܐ ܟܠ ܘܒܟܠܢܫ ܡܫܝܚܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata nikihukumu, hukumu yangu ni ya haki kwa sababu mimi siko peke yangu; Baba aliyenituma yuko pamoja nami. \t ܘܐܢ ܕܐܢ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܝܢܝ ܫܪܝܪ ܗܘ ܡܛܠ ܕܠܐ ܗܘܝܬ ܒܠܚܘܕܝ ܐܠܐ ܐܢܐ ܘܐܒܝ ܕܫܕܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadhi ya watu waliosimama pale waliposikia hivyo, walisema, \"Sikiliza! Anamwita Eliya!\" \t ܘܐܢܫܝܢ ܕܫܡܥܘ ܡܢ ܗܢܘܢ ܕܩܝܡܝܢ ܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܠܐܠܝܐ ܩܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, msikubalie kitu mnachokiona kuwa kwenu ni kitu chema kidharauliwe. \t ܘܠܐ ܬܬܓܕܦ ܛܒܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Haya, twambie maoni yako. Je, ni halali au la, kulipa Kaisari?\" \t ܐܡܪ ܠܢ ܗܟܝܠ ܐܝܟܢܐ ܡܬܚܙܐ ܠܟ ܫܠܝܛ ܠܡܬܠ ܟܤܦ ܪܫܐ ܠܩܤܪ ܐܘ ܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Basi, watumishi wenzake walipoona jambo hilo walisikitika sana, wakaenda kumpasha habari bwana wao juu ya mambo hayo yaliyotukia. \t ܟܕ ܚܙܘ ܕܝܢ ܟܢܘܬܗܘܢ ܡܕܡ ܕܗܘܐ ܟܪܝܬ ܠܗܘܢ ܛܒ ܘܐܬܘ ܐܘܕܥܘ ܠܡܪܗܘܢ ܟܠ ܕܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wakatoka mjini, wakamwendea Yesu. \t ܘܢܦܩܘ ܐܢܫܐ ܡܢ ܡܕܝܢܬܐ ܘܐܬܝܢ ܗܘܘ ܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na wakati Mchungaji Mkuu atakapotokea, ninyi mtapokea taji ya utukufu isiyofifia. \t ܕܟܕ ܢܬܓܠܐ ܪܒ ܪܥܘܬܐ ܬܩܒܠܘܢ ܡܢܗ ܟܠܝܠܐ ܕܫܘܒܚܐ ܕܠܐ ܚܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu hakumpa hata sehemu moja ya nchi hii iwe mali yake; hata hivyo, alimwahidia kumpa nchi hii iwe yake na ya wazawa wake, ingawaje wakati huu hakuwa na mtoto. \t ܘܠܐ ܝܗܒ ܠܗ ܝܪܬܘܬܐ ܒܗ ܐܦ ܠܐ ܕܘܪܟܬܐ ܕܪܓܠܐ ܘܐܫܬܘܕܝ ܗܘܐ ܕܢܬܠܝܗ ܠܗ ܐܝܟ ܕܠܡܐܪܬܗ ܠܗ ܘܠܙܪܥܗ ܟܕ ܠܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akamwuliza, \"Jina lako nani?\" Yeye akajibu, \"Jina langu ni Jeshi\" --kwa sababu pepo wengi walikuwa wamempagaa. \t ܫܐܠܗ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܡܢ ܫܡܟ ܐܡܪ ܠܗ ܠܓܝܘܢ ܡܛܠ ܕܕܝܘܐ ܤܓܝܐܐ ܥܠܝܠܝܢ ܗܘܘ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye akawaambia, \"Je, hata ninyi hamwelewi? Je, hamwelewi kwamba kitu kinachomwingia mtu toka nje hakiwezi kumtia unajisi, \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܥܛܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܟܠ ܡܕܡ ܕܡܢ ܠܒܪ ܥܐܠ ܠܒܪ ܐܢܫܐ ܠܐ ܡܫܟܚ ܡܤܝܒ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; la sivyo ningalikwisha waambieni. Sasa nakwenda kuwatayarishieni nafasi. \t ܤܓܝܐܝܢ ܐܢܘܢ ܐܘܢܐ ܒܝܬ ܐܒܝ ܘܐܠܐ ܐܡܪ ܗܘܝܬ ܠܟܘܢ ܕܐܙܠ ܐܢܐ ܕܐܛܝܒ ܠܟܘܢ ܐܬܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Labda nitakaa kwenu kwa muda fulani, au huenda nitakaa pamoja nanyi wakati wote wa baridi, ili mpate kunisaidia niendelee na safari yangu kokote nitakakokwenda. \t ܘܟܒܪ ܐܦ ܠܘܬܟܘܢ ܐܩܘܐ ܐܘ ܐܤܬܐ ܠܘܬܟܘܢ ܕܐܢܬܘܢ ܬܠܘܘܢܢܝ ܠܐܬܪ ܕܐܙܠ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa wale wanaopotea, harufu hiyo ni kifo; lakini kwa wale wanaookolewa, harufu hiyo ni uhai. Nani basi, awezaye kushiriki katika kazi ya namna hiyo? \t ܠܐܝܠܝܢ ܕܪܝܚܐ ܕܡܘܬܐ ܠܡܘܬܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܪܝܚܐ ܕܚܝܐ ܠܚܝܐ ܘܠܗܠܝܢ ܡܢܘ ܢܫܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Myahudi mmoja aitwaye Apolo, mzaliwa wa Aleksandria, alifika Efeso. Alikuwa mtu mwenye ufasaha wa kuongea na mwenye ujuzi mkubwa wa Maandiko Matakatifu. \t ܘܓܒܪܐ ܚܕ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܐܦܠܘ ܝܗܘܕܝܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܗܘܐ ܛܘܗܡܗ ܡܢ ܐܠܟܤܢܕܪܝܐ ܘܪܕܐ ܗܘܐ ܒܡܠܬܐ ܘܡܕܩ ܗܘܐ ܒܟܬܒܐ ܐܬܐ ܠܐܦܤܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tulipanda meli tukatangulia kwenda Aso ambako tungemchukua Paulo. Ndivyo alivyopanga; maana alitaka kufika huko kwa kupitia nchi kavu. \t ܚܢܢ ܕܝܢ ܢܚܬܢ ܠܐܠܦܐ ܘܪܕܝܢ ܠܘܥܕܐ ܕܬܤܘܤ ܡܛܠ ܕܡܢ ܬܡܢ ܥܬܝܕܝܢ ܗܘܝܢ ܕܢܩܒܠܝܘܗܝ ܠܦܘܠܘܤ ܗܟܢܐ ܓܝܪ ܦܩܕ ܗܘܐ ܠܢ ܟܕ ܐܙܠ ܗܘܐ ܗܘ ܒܝܒܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Sikilizeni! Tunakwenda Yerusalemu, na huko Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na walimu wa Sheria, nao watamhukumu auawe na kumkabidhi kwa watu wa mataifa. \t ܕܗܐ ܤܠܩܝܢ ܚܢܢ ܠܐܘܪܫܠܡ ܘܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܡܫܬܠܡ ܠܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܠܤܦܪܐ ܘܢܚܝܒܘܢܝܗܝ ܠܡܘܬܐ ܘܢܫܠܡܘܢܝܗܝ ܠܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mitume walipogundua jambo hilo, walikimbilia Lustra na Derbe, miji ya Lukaonia, na katika sehemu za jirani, \t ܘܟܕ ܝܕܥܘ ܫܢܝܘ ܘܐܬܓܘܤܘ ܒܡܕܝܢܬܐ ܕܠܘܩܢܝܐ ܠܘܤܛܪܐ ܘܕܪܒܐ ܘܩܘܪܝܐ ܕܚܕܪܝܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(Yesu alimjua yule ambaye atamsaliti, ndiyo maana alisema: \"Ninyi mmetakata, lakini si nyote.\") \t ܝܕܥ ܗܘܐ ܓܝܪ ܝܫܘܥ ܠܗܘ ܕܡܫܠܡ ܠܗ ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܡܪ ܕܠܐ ܗܘܐ ܟܠܟܘܢ ܕܟܝܐ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi ni watu msio na uaminifu kama wazinzi. Je, hamjui kwamba kuwa rafiki wa ulimwengu ni kuwa adui wa Mungu? Yeyote anayetaka kuwa rafiki wa ulimwengu anajifanya adui wa Mungu. \t ܓܝܪܐ ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܪܚܡܬܗ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܒܥܠܕܒܒܘܬܐ ܗܝ ܕܐܠܗܐ ܐܝܢܐ ܗܟܝܠ ܕܨܒܐ ܕܢܗܘܐ ܪܚܡܐ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܒܥܠܕܒܒܐ ܗܘܐ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "waheshimu baba yako na mama yako; na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.\" \t ܘܝܩܪ ܠܐܒܘܟ ܘܠܐܡܟ ܘܬܚܒ ܠܩܪܝܒܟ ܐܝܟ ܢܦܫܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa? \t ܐܠܐ ܐܢ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܕܝܢܐ ܥܠ ܕܥܠܡܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܒܤܝܢ ܒܥܕܬܐ ܐܘܬܒܘ ܠܟܘܢ ܒܕܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tangu wakati huo Yesu alianza kuhubiri akisema, \"Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia!\" \t ܡܢ ܗܝܕܝܢ ܫܪܝ ܝܫܘܥ ܠܡܟܪܙܘ ܘܠܡܐܡܪ ܬܘܒܘ ܩܪܒܬ ܠܗ ܓܝܪ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Majaribu mliyokwisha pata ni ya kawaida kwa binadamu. Mungu ni mwaminifu, naye hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, ila pamoja na majaribu, yeye atawapeni pia nguvu ya kustahimili na njia ya kutoka humo salama. \t ܢܤܝܘܢܐ ܠܐ ܡܛܝܟܘܢ ܐܠܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܡܗܝܡܢ ܗܘ ܕܝܢ ܐܠܗܐ ܕܠܐ ܢܪܦܝܟܘܢ ܕܬܬܢܤܘܢ ܝܬܝܪ ܡܢ ܡܕܡ ܕܡܨܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܠܐ ܢܥܒܕ ܠܢܤܝܘܢܟܘܢ ܡܦܩܢܐ ܐܝܟܢܐ ܕܬܫܟܚܘܢ ܠܡܤܝܒܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, baada ya siku nane hao wanafunzi walikuwa tena pamoja mle ndani, na Thoma alikuwa pamoja nao. Milango ilikuwa imefungwa, lakini Yesu akaja, akasimama kati yao, akasema, \"Amani kwenu!\" \t ܘܒܬܪ ܬܡܢܝܐ ܝܘܡܝܢ ܬܘܒ ܠܓܘ ܗܘܘ ܬܠܡܝܕܐ ܘܬܐܘܡܐ ܥܡܗܘܢ ܘܐܬܐ ܝܫܘܥ ܟܕ ܐܚܝܕܝܢ ܬܪܥܐ ܩܡ ܒܡܨܥܬܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܫܠܡܐ ܥܡܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ninyi mnaonaje; mtu mmoja alikuwa na wana wawili. Akamwambia yule wa kwanza, Mwanangu, leo nenda ukafanye kazi katika shamba la mizabibu. \t ܡܢܐ ܕܝܢ ܡܬܚܙܐ ܠܟܘܢ ܓܒܪܐ ܚܕ ܐܝܬ ܗܘܘ ܠܗ ܒܢܝܐ ܬܪܝܢ ܘܩܪܒ ܠܘܬ ܩܕܡܝܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܒܪܝ ܙܠ ܝܘܡܢܐ ܦܠܘܚ ܒܟܪܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa chachu, iitwayo Pasaka, ilikuwa inakaribia. \t ܩܪܝܒ ܗܘܐ ܕܝܢ ܥܕܥܕܐ ܕܦܛܝܪܐ ܕܡܬܩܪܐ ܦܨܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wengi sana wakamjia wakiwaleta vilema, vipofu, viwete, bubu na wengine wengi waliokuwa wagonjwa, wakawaweka mbele ya miguu yake, naye Yesu akawaponya. \t ܘܩܪܒܘ ܠܘܬܗ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܕܐܝܬ ܗܘܘ ܥܡܗܘܢ ܚܓܝܪܐ ܘܤܡܝܐ ܘܚܪܫܐ ܘܦܫܝܓܐ ܘܐܚܪܢܐ ܤܓܝܐܐ ܘܐܪܡܝܘ ܐܢܘܢ ܠܘܬ ܪܓܠܘܗܝ ܕܝܫܘܥ ܘܐܤܝ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanamke mjane kweli, asiye na mtu wa kumsaidia, amemwekea Mungu tumaini lake na huendelea kusali na kumwomba msaada usiku na mchana. \t ܐܝܕܐ ܕܝܢ ܕܫܪܝܪܐܝܬ ܐܪܡܠܬܐ ܗܝ ܘܡܫܘܚܕܬܐ ܗܕܐ ܤܒܪܗ ܥܠ ܐܠܗܐ ܗܘ ܘܐܡܝܢܐ ܒܨܠܘܬܐ ܘܒܒܥܘܬܐ ܒܠܠܝܐ ܘܒܐܝܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yapata saa tisa mchana, aliona dhahiri katika maono malaika wa Mungu akiingia ndani na kumwambia, \"Kornelio!\" \t ܗܢܐ ܚܙܐ ܡܠܐܟܐ ܕܐܠܗܐ ܒܚܙܘܐ ܓܠܝܐܝܬ ܠܐܦܝ ܬܫܥ ܫܥܝܢ ܒܐܝܡܡܐ ܕܥܠ ܠܘܬܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܩܘܪܢܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hayo ndiyo asemayo katika barua zake zote anapozungumzia suala hilo. Yapo mambo kadhaa katika barua zake yaliyo magumu kuyaelewa, mambo ambayo watu wajinga, wasio na msimamo, huyapotosha kama wanavyopotosha sehemu nyingine za Maandiko Matakatifu. Hivyo wanasababisha maangamizi yao wenyewe. \t ܐܝܟܢܐ ܕܒܟܠܗܝܢ ܐܓܪܬܗ ܡܠܠ ܒܗܝܢ ܥܠ ܗܠܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܐܝܬ ܒܗܝܢ ܡܕܡ ܕܥܤܝܩ ܠܤܘܟܠܐ ܗܠܝܢ ܕܐܝܠܝܢ ܕܕܠܐ ܝܘܠܦܢܐ ܐܢܘܢ ܘܠܐ ܤܡܝܟܝܢ ܡܥܩܡܝܢ ܠܗܝܢ ܐܝܟ ܕܐܦ ܠܗܠܝܢ ܟܬܒܐ ܕܫܪܟܐ ܠܘܬ ܐܒܕܢܐ ܕܝܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipomaliza kutumia kila kitu, kukatokea njaa kali katika nchi ile, naye akaanza kuhangaika. \t ܘܟܕ ܓܡܪ ܟܠ ܡܕܡ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܗܘܐ ܟܦܢܐ ܪܒܐ ܒܐܬܪܐ ܗܘ ܘܫܪܝ ܚܤܪ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, mambo yatakuwaje? Ni dhahiri kuwa watapata habari kwamba umekwisha wasili hapa. \t ܡܛܠ ܗܟܝܠ ܕܡܫܬܡܥܐ ܗܝ ܠܗܘܢ ܕܐܬܝܬ ܠܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wala hatumikiwi kwa mikono ya watu kana kwamba anahitaji chochote kile, kwa maana yeye mwenyewe ndiye anayewapa watu uhai, anawawezesha kupumua na anawapa kila kitu. \t ܘܠܐ ܡܫܬܡܫ ܡܢ ܐܝܕܝ ܒܢܝܢܫܐ ܘܥܠ ܡܕܡ ܠܐ ܤܢܝܩ ܡܛܠ ܕܗܘ ܝܗܒ ܠܟܠܢܫ ܚܝܐ ܘܢܦܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenye kunena lugha ngeni hasemi na watu bali anasema na Mungu. Yeye hunena kwa nguvu ya Roho mambo yaliyofichika. \t ܡܢ ܕܡܡܠܠ ܓܝܪ ܒܠܫܢܐ ܠܐ ܗܘܐ ܠܒܢܝܢܫܐ ܡܡܠܠ ܐܠܐ ܠܐܠܗܐ ܠܐ ܓܝܪ ܐܢܫ ܫܡܥ ܡܕܡ ܕܡܡܠܠ ܐܠܐ ܒܪܘܚ ܐܪܙܐ ܡܡܠܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nikamwona huyo mwanamke amelewa damu ya watu wa Mungu, na damu ya watu waliouawa kwa sababu ya kumtangaza Yesu. Nilipomwona nilishangaa mno. \t ܘܚܙܝܬ ܐܢܬܬܐ ܕܪܘܝܐ ܡܢ ܕܡܐ ܕܩܕܝܫܐ ܘܡܢ ܕܡܐ ܕܤܗܕܘܗܝ ܕܝܫܘܥ ܘܐܬܕܡܪܬ ܕܘܡܪܐ ܪܒܐ ܟܕ ܚܙܝܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, yule aliyemwezesha Petro kuwa mtume kwa Wayahudi, ndiye aliyeniwezesha nami pia kuwa mtume kwa watu wa mataifa mengine. \t ܗܘ ܓܝܪ ܕܚܦܛ ܠܟܐܦܐ ܒܫܠܝܚܘܬܐ ܕܓܙܘܪܬܐ ܚܦܛ ܐܦ ܠܝ ܒܫܠܝܚܘܬܐ ܕܥܡܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao wakamwambia: Lakini Mheshimiwa, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi! \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܡܪܢ ܐܝܬ ܠܘܬܗ ܥܤܪܐ ܡܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waheshimu wanawake wajane walio wajane kweli. \t ܠܐܪܡܠܬܐ ܝܩܪ ܠܐܝܠܝܢ ܕܐܪܡܠܬܐ ܐܢܝܢ ܒܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Inafahamika wazi kwamba yeye alizaliwa katika kabila la Yuda ambalo Mose hakulitaja alipokuwa anasema juu ya makuhani. \t ܓܠܝܐ ܗܝ ܓܝܪ ܕܡܢ ܝܗܘܕܐ ܕܢܚ ܡܪܢ ܡܢ ܫܪܒܬܐ ܕܠܐ ܐܡܪ ܥܠܝܗ ܡܘܫܐ ܡܕV ܥܠ ܟܘܡܪܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Salamu zangu zimfikie Urbano, mfanyakazi mwenzangu katika utumishi wa Kristo; salamu zangu pia kwa rafiki yangu Staku. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܕܐܘܪܒܢܘܤ ܦܠܚܐ ܕܥܡܢ ܒܡܫܝܚܐ ܘܕܐܤܛܟܘܤ ܚܒܝܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo maneno aliyosema nabii Isaya yakatimia: \"Bwana, nani aliyeuamini ujumbe wetu? Na uwezo wa Bwana umedhihirishwa kwa nani?\" \t ܕܬܬܡܠܐ ܡܠܬܐ ܕܐܫܥܝܐ ܢܒܝܐ ܕܐܡܪ ܡܪܝ ܡܢܘ ܗܝܡܢ ܠܫܡܥܢ ܘܕܪܥܗ ܕܡܪܝܐ ܠܡܢ ܐܬܓܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule karani akafikiri: Bwana wangu amenifukuza kazi ya ukarani; nitafanya nini? Kwenda kulima siwezi; kwenda kuombaomba kama maskini ni aibu. \t ܐܡܪ ܗܘ ܪܒܝܬܐ ܒܢܦܫܗ ܡܢܐ ܐܥܒܕ ܕܡܪܝ ܫܩܠ ܠܗ ܡܢܝ ܪܒܬ ܒܝܬܘܬܐ ܕܐܚܦܘܪ ܠܐ ܡܫܟܚ ܐܢܐ ܘܠܡܚܕܪ ܒܗܬ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni. \t ܬܐܬܐ ܡܠܟܘܬܟ ܢܗܘܐ ܨܒܝܢܟ ܐܝܟܢܐ ܕܒܫܡܝܐ ܐܦ ܒܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akapaaza sauti kwa nguvu akisema, \"Umeanguka; Babuloni mkuu umeanguka! Sasa umekuwa makao ya mashetani na pepo wachafu; umekuwa makao ya ndege wachafu na wa kuchukiza mno. \t ܘܩܥܐ ܒܩܠܐ ܪܒܐ ܢܦܠܬ ܢܦܠܬ ܒܒܝܠ ܪܒܬܐ ܘܗܘܬ ܡܥܡܪܐ ܠܫܐܕܐ ܘܢܛܘܪܬܐ ܠܟܠ ܪܘܚܐ ܠܐ ܕܟܝܬܐ ܘܤܢܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mwendeeni Bwana! Yeye ndiye jiwe hai lililokataliwa na watu; lakini mbele ya Mungu ni jiwe teule, na la thamani kubwa. \t ܗܘ ܕܠܗ ܡܬܩܪܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܝܬܘܗܝ ܟܐܦܐ ܚܝܐ ܕܐܤܠܝܘܗܝ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܘܓܒܐ ܘܡܝܩܪ ܠܘܬ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walimu wa Sheria na makuhani wakuu walifahamu kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu, na hivyo walitaka kumkamata palepale, ila tu waliogopa watu. \t ܒܥܘ ܗܘܘ ܕܝܢ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܤܦܪܐ ܕܢܪܡܘܢ ܥܠܘܗܝ ܐܝܕܝܐ ܒܗܝ ܫܥܬܐ ܘܕܚܠܘ ܡܢ ܥܡܐ ܝܕܥܘ ܓܝܪ ܕܥܠܝܗܘܢ ܐܡܪ ܡܬܠܐ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wale wote waliompokea na kumwamini, hao aliwapa uwezo wa kuwa watoto wa Mungu. \t ܐܝܠܝܢ ܕܝܢ ܕܩܒܠܘܗܝ ܝܗܒ ܠܗܘܢ ܫܘܠܛܢܐ ܕܒܢܝܐ ܕܐܠܗܐ ܢܗܘܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܡܗܝܡܢܝܢ ܒܫܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tumsifu Mungu kwa sababu ya neema yake tukufu katika Mwanae mpenzi! \t ܕܢܫܬܒܚ ܫܘܒܚܐ ܕܛܝܒܘܬܗ ܗܘ ܕܐܫܦܥ ܥܠܝܢ ܒܝܕ ܚܒܝܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu hafanyi mambo kwa siri kama anataka kujulikana kwa watu. Maadam unafanya mambo haya, basi, jidhihirishe kwa ulimwengu.\" \t ܠܝܬ ܓܝܪ ܐܢܫ ܕܥܒܕ ܡܕܡ ܒܛܘܫܝܐ ܘܨܒܐ ܗܘ ܕܒܓܠܝܐ ܢܗܘܐ ܐܢ ܗܠܝܢ ܥܒܕ ܐܢܬ ܚܘܐ ܢܦܫܟ ܠܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akaenda mbele kidogo, akajitupa chini kifudifudi, akasali kwamba, kama ingewezekana, asiipitie saa hiyo ya mateso. \t ܘܩܪܒ ܩܠܝܠ ܘܢܦܠ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܡܨܠܐ ܗܘܐ ܕܐܢ ܡܫܟܚܐ ܬܥܒܪ ܡܢܗ ܫܥܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika wa sita akapiga tarumbeta yake. Nami nikasikia sauti moja kutoka katika pembe nne za madhabahu ya dhahabu iliyokuwa mbele ya Mungu. \t ܒܬܪ ܗܠܝܢ ܡܠܐܟܐ ܕܫܬܐ ܙܥܩ ܘܫܡܥܬ ܩܠܐ ܚܕ ܡܢ ܐܪܒܥ ܩܪܢܬܗ ܕܡܕܒܚܐ ܕܕܗܒܐ ܕܩܕܡ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siandiki mambo haya kwa ajili ya kuwaaibisha ninyi, bali kwa ajili ya kuwafundisheni watoto wangu wapenzi. \t ܠܐ ܗܘܐ ܐܝܟ ܕܐܒܗܬܟܘܢ ܟܬܒ ܐܢܐ ܗܠܝܢ ܐܠܐ ܐܝܟ ܕܠܒܢܝܐ ܚܒܝܒܐ ܡܪܬܐ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mkiingojea Siku ile ya Mungu na kuifanya ije upesi--Siku ambayo mbingu zitateketezwa kwa moto na kuharibiwa, na vitu vyake vya asili vitayeyushwa kwa joto. \t ܟܕ ܡܤܟܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܤܘܚܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܐܬܝܬܐ ܕܝܘܡܗ ܕܐܠܗܐ ܗܘ ܕܒܗ ܫܡܝܐ ܟܕ ܡܬܒܚܪܝܢ ܒܢܘܪܐ ܢܫܬܪܘܢ ܘܐܤܛܘܟܤܐ ܟܕ ܝܩܕܝܢ ܢܫܘܚܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini chakula hakiwezi kutupeleka karibu zaidi na Mungu. Tukiacha kukila hatupungukiwi kitu, tukikila hatuongezewi kitu. \t ܡܐܟܘܠܬܐ ܕܝܢ ܠܐ ܡܩܪܒܐ ܠܢ ܠܐܠܗܐ ܠܐ ܓܝܪ ܐܢ ܐܟܠܝܢܢ ܡܬܝܬܪܝܢܢ ܘܠܐ ܐܢ ܠܐ ܢܐܟܘܠ ܡܬܒܨܪܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule baba akamwambia mtoto wake wa pili vivyo hivyo, naye akamjibu, Naam baba! Lakini hakwenda kazini. \t ܘܩܪܒ ܠܘܬ ܐܚܪܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܗܟܘܬ ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܐܢܐ ܡܪܝ ܘܠܐ ܐܙܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, basi, kama asemavyo Roho Mtakatifu: \"Kama mkisikia sauti ya Mungu leo, \t ܡܛܠ ܕܐܡܪܬ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܕܝܘܡܢܐ ܐܢ ܒܩܠܗ ܬܫܡܥܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kusema hayo, akatema mate chini, akafanyiza tope, akampaka yule kipofu machoni, \t ܘܟܕ ܐܡܪ ܗܠܝܢ ܪܩ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܓܒܠ ܛܝܢܐ ܡܢ ܪܘܩܗ ܘܛܫ ܥܠ ܥܝܢܘܗܝ ܕܗܘ ܤܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipokuwa bado anawaza jambo hilo, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akamwambia, \"Yosefu, mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, maana amekuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. \t ܟܕ ܗܠܝܢ ܕܝܢ ܐܬܪܥܝ ܐܬܚܙܝ ܠܗ ܡܠܐܟܐ ܕܡܪܝܐ ܒܚܠܡܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܝܘܤܦ ܒܪܗ ܕܕܘܝܕ ܠܐ ܬܕܚܠ ܠܡܤܒ ܠܡܪܝܡ ܐܢܬܬܟ ܗܘ ܓܝܪ ܕܐܬܝܠܕ ܒܗ ܡܢ ܪܘܚܐ ܗܘ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini siku hizi za mwisho, amesema nasi kwa njia ya Mwanae. Yeye ndiye ambaye kwa njia yake Mungu aliumba ulimwengu na akamteua avimiliki vitu vyote. \t ܘܒܗܠܝܢ ܝܘܡܬܐ ܐܚܪܝܐ ܡܠܠ ܥܡܢ ܒܒܪܗ ܕܠܗ ܤܡ ܝܪܬܐ ܕܟܠܡܕܡ ܘܒܗ ܥܒܕ ܠܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa maana wakati huo Roho Mtakatifu atawafundisheni kile mnachopaswa kusema.\" \t ܪܘܚܐ ܓܝܪ ܕܩܘܕܫܐ ܢܠܦܟܘܢ ܒܗܝ ܫܥܬܐ ܡܕܡ ܕܘܠܐ ܕܬܐܡܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alipoapa: \"Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko,\" alikuwa anawasema akina nani? Alikuwa anasema juu ya hao walioasi. \t ܘܥܠ ܐܝܠܝܢ ܝܡܐ ܕܠܐ ܢܥܠܘܢ ܠܢܝܚܬܗ ܐܠܐ ܥܠ ܗܢܘܢ ܕܠܐ ܐܬܛܦܝܤܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane pia alikuwa akibatiza watu huko Ainoni, karibu na Salemu, maana huko kulikuwa na maji mengi. Watu walimwendea, naye akawabatiza. \t ܐܦ ܝܘܚܢܢ ܕܝܢ ܡܥܡܕ ܗܘܐ ܒܥܝܢ ܝܘܢ ܕܥܠ ܓܢܒ ܫܠܝܡ ܡܛܠ ܕܡܝܐ ܐܝܬ ܗܘܘ ܬܡܢ ܤܓܝܐܐ ܘܐܬܝܢ ܗܘܘ ܘܥܡܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waamuru watu walio matajiri katika mambo ya maisha ya sasa, wasijivune, wasiweke tumaini lao katika mali isiyoweza kutegemewa; bali wamtegemee Mungu, ambaye kwa ukarimu hutupatia vitu vyote tuvifurahie. \t ܠܥܬܝܪܐ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܦܩܕ ܕܠܐ ܢܬܪܝܡܘܢ ܒܪܥܝܢܝܗܘܢ ܘܠܐ ܢܬܬܟܠܘܢ ܥܠ ܥܘܬܪܐ ܕܠܝܬ ܥܠܘܗܝ ܬܘܟܠܢܐ ܐܠܐ ܥܠ ܐܠܗܐ ܚܝܐ ܗܘ ܕܝܗܒ ܠܢ ܟܠ ܥܬܝܪܐܝܬ ܠܢܝܚܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye alijibu, \"Mnataka kufanya nini? Mnataka kuvunja moyo wangu kwa machozi? Niko tayari siyo tu kutiwa ndani kule Yerusalemu, ila hata kufa kwa ajili ya Bwana Yesu.\" \t ܗܝܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܦܘܠܘܤ ܡܢܐ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܒܟܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܫܚܩܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܠܠܒܝ ܐܢܐ ܓܝܪ ܠܐ ܗܘܐ ܕܐܬܐܤܪ ܒܠܚܘܕ ܡܛܝܒ ܐܢܐ ܐܠܐ ܐܦ ܕܐܡܘܬ ܒܐܘܪܫܠܡ ܚܠܦ ܫܡܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Abrahamu alitahiriwa baadaye, na kutahiriwa huko kulikuwa alama iliyothibitisha kwamba Mungu alimkubali kuwa mwadilifu kwa sababu ya imani yake aliyokuwa nayo kabla ya kutahiriwa. Kwa hiyo, Abrahamu amekuwa baba wa wale wote ambao, ingawa hawakutahiriwa, wamemwamini Mungu, wakafanywa waadilifu. \t ܐܬܐ ܗܘ ܓܝܪ ܫܩܠܗ ܠܓܙܘܪܬܐ ܘܚܬܡܐ ܕܟܐܢܘܬܐ ܕܗܝܡܢܘܬܗ ܕܒܥܘܪܠܘܬܐ ܕܢܗܘܐ ܐܒܐ ܠܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܗܝܡܢܝܢ ܡܢ ܥܘܪܠܘܬܐ ܕܬܬܚܫܒ ܐܦ ܠܗܘܢ ܠܟܐܢܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kama kuna yeyote aliye na njaa, na ale nyumbani kwake, ili kukutana kwenu kusisababishe hukumu. Lakini, kuhusu yale mambo mengine, nitawapeni maelezo nitakapokuja. \t ܡܢ ܕܝܢ ܕܟܦܢ ܒܒܝܬܗ ܢܠܥܤ ܕܠܐ ܠܚܝܒܘܬܐ ܬܗܘܘܢ ܡܬܟܢܫܝܢ ܥܠ ܫܪܟܐ ܕܝܢ ܡܐ ܕܐܬܝܬ ܐܦܩܕܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, nawasihi muwe kama mimi, kwa vile hata mimi nimekuwa kama ninyi. Hamkunitendea ubaya wowote. \t ܗܘܘ ܐܟܘܬܝ ܡܛܠ ܕܐܦ ܐܢܐ ܐܟܘܬܟܘܢ ܗܘܝܬ ܐܚܝ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟܘܢ ܠܐ ܡܕܡ ܐܤܟܠܬܘܢ ܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watamkabidhi kwa watu wa mataifa mengine ili adhihakiwe, apigwe viboko na kusulubiwa; lakini siku ya tatu atafufuliwa.\" \t ܘܢܫܠܡܘܢܝܗܝ ܠܥܡܡܐ ܘܢܒܙܚܘܢ ܒܗ ܘܢܢܓܕܘܢܝܗܝ ܘܢܙܩܦܘܢܝܗܝ ܘܠܝܘܡܐ ܕܬܠܬܐ ܢܩܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akamchukua mtoto mdogo, akamsimamisha kati yao, akamku mbatia, halafu akawaambia, \t ܘܢܤܒ ܛܠܝܐ ܚܕ ܘܐܩܝܡܗ ܒܡܨܥܬܐ ܘܫܩܠܗ ܥܠ ܕܪܥܘܗܝ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakaiambia hiyo milima na hayo majabali, \"Tuangukieni, mkatufiche mbali na yeye aketiye juu ya kiti cha enzi, na mbali na ghadhabu ya Mwanakondoo! \t ܘܐܡܪܝܢ ܠܛܘܪܐ ܘܫܘܥܐ ܕܦܠܘ ܥܠܝܢ ܘܛܫܘ ܠܢ ܡܢ ܩܕܡ ܐܦܘܗܝ ܕܐܡܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Askari walipokwisha msulubisha Yesu, walizichukua nguo zake, wakazigawa mafungu manne, fungu moja kwa kila askari. Walichukua pia na kanzu yake; kanzu hiyo ilikuwa imefumwa kwa kipande kimoja tu, bila mshono. \t ܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܕܝܢ ܟܕ ܙܩܦܘܗܝ ܠܝܫܘܥ ܫܩܠܘ ܢܚܬܘܗܝ ܘܥܒܕܘ ܠܐܪܒܥ ܡܢܘܢ ܡܢܬܐ ܠܚܕ ܡܢ ܐܤܛܪܛܝܘܛܐ ܟܘܬܝܢܗ ܕܝܢ ܐܝܬܝܗ ܗܘܬ ܕܠܐ ܚܝܛܐ ܡܢ ܠܥܠ ܙܩܝܪܬܐ ܟܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu anayetupatia amani awafanye ninyi watakatifu kwa kila namna na kuzilinda nafsi zenu--roho, mioyo na miili yenu--mbali na hatia yoyote wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܗܘ ܕܝܢ ܐܠܗܐ ܕܫܠܡܐ ܢܩܕܫܟܘܢ ܓܡܝܪܐܝܬ ܠܟܠܟܘܢ ܘܟܠܗ ܪܘܚܟܘܢ ܘܢܦܫܟܘܢ ܘܦܓܪܟܘܢ ܢܢܛܪ ܕܠܐ ܪܫܝܢ ܠܡܐܬܝܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini yeye akawajibu, Nawaambieni kweli, siwajui ninyi.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܝܢ ܕܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܠܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Natumaini kukuona karibuni na hapo tutazungumza ana kwa ana. (G1-15) Nakutakia amani. Rafiki zako wanakusalimu. Wasalimu rafiki zetu wote kila mmoja binafsi. \t ܡܤܒܪ ܐܢܐ ܕܝܢ ܕܒܥܓܠ ܐܚܙܝܟ ܘܦܘܡܐ ܠܘܬ ܦܘܡܐ ܢܡܠܠܥ 1 : 51 ) ܫܠܡܐ ܢܗܘܐ ܥܡܟ ܫܐܠܝܢ ܫܠܡܟ ܪܚܡܐ ܫܐܠ ܫܠܡܐ ܕܪܚܡܐ ܕܟܠܢܫ ܒܫܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "hawana dhamiri, hawatimizi ahadi zao, hawana wema wala huruma kwa wengine. \t ܘܕܩܝܡܐ ܠܝܬ ܠܗܘܢ ܘܠܐ ܚܘܒܐ ܘܠܐ ܫܝܢܐ ܘܠܐ ܪܚܡܐ ܐܝܬ ܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tunajua kwamba tumekwisha pita kutoka katika kifo na kuingia katika uzima kwa sababu tunawapenda ndugu zetu. Mtu asiye na upendo hubaki katika kifo. \t ܚܢܢ ܝܕܥܝܢܢ ܕܫܢܝܢܢ ܡܢ ܡܘܬܐ ܠܚܝܐ ܒܗܕܐ ܕܡܚܒܝܢܢ ܠܐܚܝܢ ܗܘ ܕܠܐ ܡܚܒ ܠܐܚܘܗܝ ܡܩܘܐ ܒܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akawaambia makuhani wakuu, wakubwa wa walinzi wa Hekalu na wazee waliokuja kumkamata: \"Je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyang'anyi? \t ܘܐܡܪ ܝܫܘܥ ܠܗܢܘܢ ܕܐܬܘ ܥܠܘܗܝ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܩܫܝܫܐ ܘܪܒܝ ܚܝܠܐ ܕܗܝܟܠܐ ܐܝܟ ܕܥܠ ܠܤܛܝܐ ܢܦܩܬܘܢ ܥܠܝ ܒܤܝܦܐ ܘܒܚܘܛܪܐ ܕܬܐܚܕܘܢܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu si kama wao, yeye anaishi milele; ukuhani wake hauondoki kwake. \t ܗܢܐ ܕܝܢ ܡܛܠ ܕܠܥܠV ܩܝV ܠܐ ܥܒܪܐ ܟܘܡܪܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao wakamjibu, \"Atawaangamiza vibaya hao waovu, na lile shamba atawapa wakulima wengine ambao watampa sehemu ya mavuno wakati wa mavuno.\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܕܒܝܫ ܒܝܫ ܢܘܒܕ ܐܢܘܢ ܘܟܪܡܐ ܢܘܚܕ ܠܐܚܪܢܐ ܦܠܚܐ ܐܝܠܝܢ ܕܝܗܒܝܢ ܠܗ ܦܐܪܐ ܒܙܒܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa. \t ܐܒܗܝܟܘܢ ܐܟܠܘ ܡܢܢܐ ܒܡܕܒܪܐ ܘܡܝܬܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini uache ukumbi ulio nje ya Hekalu; usiupime, maana huo umekabidhiwa watu wa mataifa mengine, ambao wataukanyanga mji Mtakatifu kwa muda wa miezi arobaini na miwili. \t ܘܠܕܪܬܐ ܕܠܓܘ ܡܢ ܗܝܟܠܐ ܐܦܩ ܡܢ ܠܒܪ ܘܠܐ ܬܡܫܚܝܗ ܡܛܠ ܕܐܬܝܗܒܬ ܠܥܡܡܐ ܘܠܡܕܝܢܬܐ ܩܕܝܫܬܐ ܢܕܘܫܘܢ ܝܪܚܐ ܐܪܒܥܝܢ ܘܬܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Je, wewe ni mwalimu katika Israel na huyajui mambo haya? \t ܥܢܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢܬ ܗܘ ܡܠܦܢܗ ܕܐܝܤܪܝܠ ܘܗܠܝܢ ܠܐ ܝܕܥ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akasema, \"Lakini heri zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܗܘ ܛܘܒܝܗܘܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܫܡܥܘ ܡܠܬܗ ܕܐܠܗܐ ܘܢܛܪܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bali alipokuwa anaondoka, alisema, \"Mungu akipenda nitakuja kwenu tena.\" Akaondoka Efeso kwa meli. \t ܟܕ ܐܡܪ ܕܘܠܐ ܠܝ ܐܡܝܢܐܝܬ ܕܥܐܕܐ ܕܐܬܐ ܒܐܘܪܫܠܡ ܐܥܒܕܝܘܗܝ ܘܐܢ ܐܠܗܐ ܢܨܒܐ ܐܦܢܐ ܬܘܒ ܠܘܬܟܘܢ ܘܠܐܩܠܘܤ ܘܠܦܪܝܤܩܠܐ ܫܒܩ ܐܢܘܢ ܒܐܦܤܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ninalo ombi moja kwako kuhusu mwanangu Onesimo, ambaye ni mwanangu katika Kristo kwani nimekuwa baba yake nikiwa kifungoni. \t ܘܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟ ܥܠ ܒܪܝ ܐܝܢܐ ܕܝܠܕܬ ܒܐܤܘܪܝ ܐܢܤܝܡܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maneno ya laana na ya kusifia hutoka katika kinywa kimoja. Ndugu zangu, mambo haya hayapaswi kuwa hivyo. \t ܘܡܢܗ ܡܢ ܦܘܡܐ ܢܦܩܢ ܒܘܪܟܬܐ ܘܠܘܛܬܐ ܠܐ ܘܠܐ ܐܚܝ ܕܗܠܝܢ ܗܟܢܐ ܢܤܬܥܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nao watamdhihaki; watamtemea mate, watampiga mijeledi na kumwua. Na baada ya siku tatu atafufuka.\" \t ܘܢܒܙܚܘܢ ܒܗ ܘܢܢܓܕܘܢܝܗܝ ܘܢܪܩܘܢ ܒܐܦܘܗܝ ܘܢܩܛܠܘܢܝܗܝ ܘܠܝܘܡܐ ܕܬܠܬܐ ܢܩܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika akamwambia, \"Jifunge mshipi wako, vaa viatu vyako.\" Akafanya hivyo. Kisha huyo malaika akamwambia, \"Vaa koti lako, unifuate.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܠܐܟܐ ܐܤܘܪ ܚܨܝܟ ܘܤܐܢ ܛܠܪܝܟ ܘܥܒܕ ܗܟܢܐ ܘܬܘܒ ܐܡܪ ܠܗ ܐܬܥܛܦ ܬܟܤܝܬܟ ܘܬܐ ܒܬܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Idumea, ng'ambo ya mto Yordani, Tiro na Sidoni. Watu hao wengi walimwendea Yesu kwa sababu ya kusikia mambo mengi aliyokuwa ameyatenda. \t ܘܡܢ ܐܘܪܫܠܡ ܘܡܢ ܐܕܘܡ ܘܡܢ ܥܒܪܐ ܕܝܘܪܕܢܢ ܘܡܢ ܨܘܪ ܘܡܢ ܨܝܕܢ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܕܫܡܥܘ ܗܘܘ ܟܠ ܕܥܒܕ ܐܬܘ ܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ni nani hata mama wa Bwana wangu afike kwangu? \t ܐܝܡܟܐ ܠܝ ܗܕܐ ܕܐܡܗ ܕܡܪܝ ܬܐܬܐ ܠܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nawaambieni, anayeuzingatia ujumbe wangu hatakufa milele.\" \t ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܡܢ ܕܡܠܬܝ ܢܛܪ ܡܘܬܐ ܠܐ ܢܚܙܐ ܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamkamata, wakamchukua na kwenda naye nyumbani kwa Kuhani Mkuu. Petro akawa anamfuata nyuma kwa mbali. \t ܘܐܚܕܘ ܐܝܬܝܘܗܝ ܠܒܝܬܗ ܕܪܒ ܟܗܢܐ ܘܫܡܥܘܢ ܐܬܐ ܗܘܐ ܒܬܪܗ ܡܢ ܪܘܚܩܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mmewaita watu hawa hapa ingawaje hawakuikufuru nyumba ya mungu wala kumtukana mungu wetu wa kike. \t ܐܝܬܝܬܘܢ ܓܝܪ ܠܓܒܪܐ ܗܠܝܢ ܟܕ ܠܐ ܗܝܟܠܐ ܚܠܨܘ ܘܠܐ ܨܚܝܘ ܠܐܠܗܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo hili lilifanyika ili yale yaliyosemwa na nabii yatimie: \t ܗܕܐ ܕܝܢ ܕܗܘܬ ܕܢܬܡܠܐ ܡܕܡ ܕܐܬܐܡܪ ܒܝܕ ܢܒܝܐ ܕܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, wewe ulikuwa mtumwa wakati ulipoitwa? Sawa, usijali; lakini ukipata fursa ya kuwa huru, itumie. \t ܐܢ ܥܒܕܐ ܐܬܩܪܝܬ ܠܐ ܢܬܒܛܠ ܠܟ ܐܠܐ ܐܦܢ ܡܫܟܚ ܐܢܬ ܠܡܬܚܪܪܘ ܓܒܝ ܠܟ ܕܬܦܠܘܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika akanionyesha mto wa maji ya uzima maangavu kama kioo yakitoka kwenye kiti cha enzi cha Mungu na Mwanakondoo. \t ܘܚܘܝܢܝ ܢܗܪܐ ܕܡܝܐ ܚܝܐ ܕܟܝܐ ܐܦ ܢܗܝܪܐ ܐܝܟ ܓܠܝܕܐ ܘܢܦܩ ܡܢ ܟܘܪܤܝܗ ܕܐܠܗܐ ܘܕܐܡܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai ni jambo la kutisha mno! \t ܕܚܠܬܐ ܗܝ ܪܒܬܐ ܠܡܦܠ ܒܐܝܕܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kuwa Yesu Kristo alitimiza mapenzi ya Mungu, sisi tunatakaswa dhambi zetu kwa ile dhabihu ya mwili wake aliyotoa mara moja tu, ikatosha. \t ܒܗܢܐ ܓܝܪ ܨܒܝܢܗ ܐܬܩܕܫܢ ܒܩܘܪܒܢܐ ܕܦܓܪܗ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܚܕܐ ܙܒܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akajibu, \"Mimi sina pepo; mimi namheshimu Baba yangu, lakini ninyi hamniheshimu. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܠܝ ܕܝܘܐ ܠܐ ܐܝܬ ܐܠܐ ܠܐܒܝ ܡܝܩܪ ܐܢܐ ܘܐܢܬܘܢ ܡܨܥܪܝܢ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro aliwaashiria kwa mkono wakae kimya, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa gerezani. Kisha akawaambia watoe taarifa ya jambo hilo kwa Yakobo na wale ndugu wengine, halafu akatoka akaenda mahali pengine. \t ܘܡܢܝܦ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܐܝܕܗ ܐܝܟ ܕܢܫܬܩܘܢ ܠܗܘܢ ܘܥܠ ܘܐܫܬܥܝ ܠܗܘܢ ܐܝܟܢܐ ܡܪܝܐ ܐܦܩܗ ܡܢ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܫܬܥܘ ܗܠܝܢ ܠܝܥܩܘܒ ܘܠܐܚܝܢ ܘܢܦܩ ܐܙܠ ܠܗ ܠܐܬܪ ܐܚܪܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwenye kunena lugha ngeni anajijenga mwenyewe. Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, analijenga kanisa. \t ܕܡܡܠܠ ܒܠܫܢܐ ܢܦܫܗ ܗܘ ܒܢܐ ܘܕܡܬܢܒܐ ܥܕܬܐ ܒܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa ishara ya upendo. Salamu kwenu kutoka kwa makanisa yote ya Kristo. \t ܫܐܠܘ ܒܫܠܡܐ ܚܕ ܕܚܕ ܒܢܘܫܩܬܐ ܩܕܝܫܬܐ ܫܐܠܢ ܒܫܠܡܟܘܢ ܟܠܗܝܢ ܥܕܬܗ ܕܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi ndiye mwenye kumwonya na kumrudi yeyote ninayempenda. Kwa hiyo kaza moyo, achana na dhambi zako. \t ܐܢܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܪܚܡ ܐܢܐ ܡܟܤ ܐܢܐ ܘܪܕܐ ܐܢܐ ܛܢ ܗܟܝܠ ܘܬܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanamke huwa amefungwa na mumewe kwa muda wote mumewe aishipo. Lakini mumewe akifa, mama huyo yuko huru, na akipenda anaweza kuolewa na mtu yeyote, mradi tu iwe Kikristo. \t ܐܢܬܬܐ ܟܡܐ ܕܚܝ ܒܥܠܗ ܐܤܝܪܐ ܗܝ ܒܢܡܘܤܐ ܐܢ ܕܝܢ ܢܕܡܟ ܒܥܠܗ ܡܚܪܪܐ ܗܝ ܕܬܗܘܐ ܠܡܢ ܕܨܒܝܐ ܒܠܚܘܕ ܒܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Anayemwamini Mwana hahukumiwi; asiyemwamini amekwisha hukumiwa kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu. \t ܡܢ ܕܡܗܝܡܢ ܒܗ ܠܐ ܡܬܬܕܝܢ ܘܡܢ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢ ܡܢ ܟܕܘ ܕܝܢ ܗܘ ܕܠܐ ܗܝܡܢ ܒܫܡܗ ܕܝܚܝܕܝܐ ܒܪܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "huenda kuwachukua pepo wengine saba, wabaya kuliko yeye; na wote huja wakamwingia huyo mtu. Na hali ya mtu huyo sasa huwa mbaya kuliko hapo mwanzo. Ndivyo itakavyokuwa kwa watu hawa waovu.\" \t ܗܝܕܝܢ ܐܙܠܐ ܕܒܪܐ ܥܡܗ ܫܒܥ ܪܘܚܐ ܐܚܪܢܝܢ ܕܡܢܗ ܒܝܫܢ ܘܥܐܠܢ ܘܥܡܪܢ ܒܗ ܘܗܘܝܐ ܚܪܬܗ ܕܓܒܪܐ ܗܘ ܒܝܫܐ ܡܢ ܩܕܡܝܬܗ ܗܟܢܐ ܢܗܘܐ ܠܗ ܠܫܪܒܬܐ ܗܕܐ ܒܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wao wakamjibu, \"Jemadari Kornelio ambaye ni mtu mwema, mcha Mungu na mwenye kuheshimika mbele ya Wayahudi wote ametutuma. Aliambiwa na malaika mtakatifu akualike nyumbani kwake ili asikilize chochote ulicho nacho cha kusema.\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܓܒܪܐ ܚܕ ܕܫܡܗ ܩܘܪܢܠܝܘܤ ܩܢܛܪܘܢܐ ܟܐܢܐ ܕܕܚܠ ܡܢ ܐܠܗܐ ܘܡܤܗܕ ܥܠܘܗܝ ܟܠܗ ܥܡܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܐܬܐܡܪ ܠܗ ܒܚܙܘܐ ܡܢ ܡܠܐܟܐ ܩܕܝܫܐ ܕܢܫܕܪ ܢܥܠܟ ܠܒܝܬܗ ܘܢܫܡܥ ܡܠܬܐ ܡܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, tunawahimizeni muwaonye watu walio wavivu, muwatie moyo watu wanyonge, muwasaidie watu dhaifu, muwe na subira kwa wote. \t ܒܥܝܢܢ ܕܝܢ ܡܢܟܘܢ ܐܚܝ ܪܕܘ ܠܡܤܟܠܢܐ ܘܠܒܒܘ ܠܙܥܘܪܝ ܢܦܫܐ ܘܤܒܘ ܛܥܢܐ ܕܡܚܝܠܐ ܘܐܓܪܘ ܪܘܚܟܘܢ ܠܘܬ ܟܠܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, huyu si yule mwana wa seremala? Je, mama yake si anaitwa Maria, na ndugu zake si kina Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda? \t ܠܐ ܗܘܐ ܗܢܐ ܒܪܗ ܕܢܓܪܐ ܠܐ ܐܡܗ ܡܬܩܪܝܐ ܡܪܝܡ ܘܐܚܘܗܝ ܝܥܩܘܒ ܘܝܘܤܐ ܘܫܡܥܘܢ ܘܝܗܘܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni lazima yeye abaki huko mbinguni mpaka utakapofika wakati wa kurekebishwa vitu vyote, kama Mungu alivyosema kwa njia ya manabii wake watakatifu wa tangu zamani. \t ܕܠܗ ܘܠܐ ܠܫܡܝܐ ܕܢܩܒܠܘܢ ܥܕܡܐ ܠܡܘܠܝܐ ܕܙܒܢܐ ܕܟܠܗܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܡܠܠ ܐܠܗܐ ܒܦܘܡܐ ܕܢܒܝܘܗܝ ܩܕܝܫܐ ܕܡܢ ܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Au, wawezaje kumwambia ndugu yako, Ndugu, ngoja nikuondoe kibanzi jichoni mwako, wakati wewe mwenyewe unayo boriti jichoni mwako? \t ܐܘ ܐܝܟܢܐ ܐܡܪ ܐܢܬ ܠܐܚܘܟ ܫܒܘܩ ܐܦܩ ܓܠܐ ܡܢ ܥܝܢܟ ܘܗܐ ܩܪܝܬܐ ܒܥܝܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini fanyeni hivyo kwa upole na heshima. Muwe na dhamiri njema, kusudi mnapotukanwa, wale wanaosema ubaya juu ya mwenendo wenu mwema kama Wakristo, waone aibu. \t ܟܕ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܬܐܪܬܐ ܛܒܬܐ ܐܝܟܢܐ ܕܗܢܘܢ ܕܡܡܠܠܝܢ ܥܠܝܟܘܢ ܐܝܟ ܕܥܠ ܐܢܫܐ ܒܝܫܐ ܢܒܗܬܘܢ ܐܝܟ ܐܢܫܐ ܕܛܠܡܝܢ ܠܕܘܒܪܝܟܘܢ ܫܦܝܪܐ ܕܒܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninalowaambieni ninyi katika giza, lisemeni katika mwanga; na jambo mlilosikia likinong'onezwa, litangazeni hadharani. \t ܡܕܡ ܕܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܒܚܫܘܟܐ ܐܘܡܪܘܗܝ ܐܢܬܘܢ ܒܢܗܝܪܐ ܘܡܕܡ ܕܒܐܕܢܝܟܘܢ ܫܡܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܟܪܙܘ ܥܠ ܐܓܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hayuko hapa; amefufuka. Kumbukeni aliyowaambieni alipokuwa kule Galilaya: \t ܠܝܬܘܗܝ ܬܢܢ ܩܡ ܠܗ ܥܗܕܝܢ ܕܡܠܠ ܥܡܟܝܢ ܟܕ ܗܘ ܒܓܠܝܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanajidai kuwa wenye hekima, kumbe ni wapumbavu. \t ܘܟܕ ܤܒܪܝܢ ܒܢܦܫܗܘܢ ܕܚܟܝܡܝܢ ܐܢܘܢ ܫܛܘ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake, viongozi wa Wayahudi, wazee na walimu wa Sheria, walikusanyika pamoja huko Yerusalemu. \t ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܐܬܟܢܫܘ ܐܪܟܘܢܐ ܘܩܫܝܫܐ ܘܤܦܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Myahudi ana nini zaidi kuliko watu wengine? Au kutahiriwa kuna faida gani? \t ܡܢܐ ܗܝ ܗܟܝܠ ܝܬܝܪܘܬܗ ܕܝܗܘܕܝܐ ܐܘ ܡܢܐ ܝܘܬܪܢܗ ܕܓܙܘܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mnajua kwamba baada ya siku mbili tutakuwa na sikukuu ya Pasaka, na Mwana wa Mtu atatolewa ili asulubiwe.\" \t ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܒܬܪ ܬܪܝܢ ܝܘܡܝܢ ܗܘܐ ܦܨܚܐ ܘܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܡܫܬܠܡ ܕܢܙܕܩܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akaendelea kusema: \"Ni lazima Mwana wa Mtu apate mateso mengi na kukataliwa na wazee na makuhani wakuu na walimu wa Sheria; atauawa, lakini siku ya tatu atafufuliwa.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܕܥܬܝܕ ܗܘ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܕܤܓܝܐܬܐ ܢܚܫ ܘܕܢܤܬܠܐ ܡܢ ܩܫܝܫܐ ܘܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܤܦܪܐ ܘܢܩܛܠܘܢܝܗܝ ܘܠܝܘܡܐ ܕܬܠܬܐ ܢܩܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini ninyi hamuishi kufuatana na matakwa ya mwili, bali kufuatana na matakwa ya Roho, ikiwa Roho wa Mungu anaishi ndani yenu. Yeyote asiye na Roho wa Kristo, huyo si wake Kristo. \t ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܠܐ ܗܘܝܬܘܢ ܒܒܤܪ ܐܠܐ ܒܪܘܚ ܐܢ ܫܪܝܪܐܝܬ ܪܘܚܗ ܕܐܠܗܐ ܥܡܪܐ ܒܟܘܢ ܐܢ ܕܝܢ ܐܢܫ ܠܝܬ ܒܗ ܪܘܚܗ ܕܡܫܝܚܐ ܗܢܐ ܠܐ ܗܘܐ ܕܝܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, mlipata faida gani siku zile kutokana na mambo yale ambayo mnayaonea aibu sasa? Maana, matokeo ya mambo haya ni kifo! \t ܘܡܢܐ ܐܕܫܐ ܐܝܬ ܗܘܐ ܠܟܘܢ ܗܝܕܝܢ ܐܝܢܐ ܕܝܘܡܢܐ ܒܗܬܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܗ ܚܪܬܗ ܓܝܪ ܐܝܬܝܗ ܡܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo Wayahudi wakasema, \"Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arobaini na sita. Je, wewe utalijenga kwa siku tatu?\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܝܗܘܕܝܐ ܠܐܪܒܥܝܢ ܘܫܬ ܫܢܝܢ ܐܬܒܢܝ ܗܝܟܠܐ ܗܢܐ ܘܐܢܬ ܠܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܡܩܝܡ ܐܢܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "udugu katika uchaji wenu, na mapendo katika udugu wenu. \t ܥܠ ܕܝܢ ܕܚܠܬ ܐܠܗܐ ܪܚܡܬ ܐܚܘܬܐ ܥܠ ܕܝܢ ܪܚܡܬ ܐܚܘܬܐ ܚܘܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ni afadhali kuteseka kwa sababu ya kutenda mema, kama Mungu akipenda, kuliko kuteseka kwa sababu ya kutenda uovu. \t ܥܕܪܐ ܗܝ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܕܟܕ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܥܒܕܐ ܛܒܐ ܬܤܒܠܘܢ ܒܝܫܬܐ ܐܢ ܗܟܢܐ ܗܘ ܨܒܝܢܐ ܕܐܠܗܐ ܘܠܐ ܟܕ ܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܒܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kwa matumaini hayo sisi tumekombolewa; lakini tumaini halina maana ikiwa tunakiona kile tunachotumainia. Maana ni nani anayetumaini kile ambacho tayari anakiona? \t ܡܛܠ ܕܒܤܒܪܐ ܗܘ ܚܝܝܢ ܤܒܪܐ ܕܝܢ ܕܡܬܚܙܐ ܠܐ ܗܘܐ ܤܒܪܐ ܐܢ ܓܝܪ ܚܙܝܢܢ ܠܗ ܡܢܐ ܡܤܟܝܢܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule mtu aliyetokwa na wale pepo akamsihi aende pamoja naye. Lakini Yesu hakumruhusu, bali akamwambia, \t ܗܘ ܕܝܢ ܓܒܪܐ ܕܢܦܩܘ ܡܢܗ ܫܐܕܐ ܒܥܐ ܗܘܐ ܡܢܗ ܕܠܘܬܗ ܢܗܘܐ ܘܫܪܝܗܝ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "aliye asili ya jamaa zote duniani na mbinguni. \t ܗܘ ܕܡܢܗ ܡܫܬܡܗܐ ܟܠ ܐܒܗܘܬܐ ܕܒܫܡܝܐ ܘܒܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, pazia la Hekalu likapasuka vipande viwili toka juu mpaka chini. \t ܘܐܦܝ ܬܪܥܐ ܕܗܝܟܠܐ ܐܨܛܪܝ ܠܬܪܝܢ ܡܢ ܠܥܠ ܥܕܡܐ ܠܬܚܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sheria ilitokea, ikasababisha kuongezeka kwa uhalifu; lakini pale dhambi ilipoongezeka, neema iliongezeka zaidi. \t ܡܥܠܢܐ ܕܝܢ ܕܗܘܐ ܠܢܡܘܤܐ ܕܬܤܓܐ ܚܛܝܬܐ ܘܟܪ ܕܤܓܝܬ ܚܛܝܬܐ ܬܡܢ ܐܬܝܬܪܬ ܛܝܒܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini kwa wale walioitwa, Wayahudi kwa Wagiriki, Kristo ni nguvu ya Mungu na hekima ya Mungu. \t ܠܗܢܘܢ ܕܝܢ ܕܩܪܝܢ ܝܗܘܕܝܐ ܘܐܪܡܝܐ ܡܫܝܚܐ ܚܝܠܐ ܕܐܠܗܐ ܘܚܟܡܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msiwe watu wa kupenda fedha; toshekeni na vile vitu mlivyo navyo. Mungu mwenyewe amesema: \"Sitakuacha kamwe, wala sitakutupa.\" \t ܠܐ ܗܘܐ ܪܚܡ ܟܤܦܐ ܪܥܝܢܟܘܢ ܐܠܐ ܢܤܦܩ ܠܟܘܢ ܡܕܡ ܕܐܝܬ ܠܟܘܢ ܗܘ ܓܝܪ ܡܪܝܐ ܐܡܪ ܕܠܐ ܐܫܒܩܟ ܘܠܐ ܐܪܦܐ ܒܟ ܐܝܕܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni sasa nikijitetea mbele yenu!\" \t ܐܚܐ ܘܐܒܗܬܐ ܫܡܥܘ ܡܦܩ ܒܪܘܚ ܕܠܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwishowe hatukuweza kuvumilia zaidi. Basi, tuliamua kubaki kule Athene peke yetu, \t ܘܡܛܠ ܕܠܐ ܚܡܤܢܢ ܨܒܝܢ ܠܡܦܫ ܒܐܬܢܘܤ ܒܠܚܘܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sikiliza! Nitawapeleka kwako watu wa kundi lake Shetani, watu ambao hujisema kuwa ni Wayahudi, kumbe ni wadanganyifu. Naam, nitawapeleka kwako na kuwafanya wapige magoti mbele yako wapate kujua kwamba kweli nakupenda wewe. \t ܘܗܐ ܝܗܒ ܐܢܐ ܡܢ ܟܢܘܫܬܐ ܕܤܛܢܐ ܡܢ ܐܝܠܝܢ ܕܐܡܪܝܢ ܥܠ ܢܦܫܗܘܢ ܕܝܗܘܕܝܐ ܐܢܘܢ ܘܠܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܐܠܐ ܡܕܓܠܝܢ ܗܐ ܐܥܒܕ ܠܗܘܢ ܕܢܐܬܘܢ ܘܢܤܓܕܘܢ ܩܕܡ ܪܓܠܝܟ ܘܢܕܥܘܢ ܕܐܢܐ ܐܚܒܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sauti ya mtu imesikika jangwani: Mtayarishieni Bwana njia yake, nyoosheni mapito yake.\" \t ܩܠܐ ܕܩܪܐ ܒܡܕܒܪܐ ܛܝܒܘ ܐܘܪܚܗ ܕܡܪܝܐ ܘܐܫܘܘ ܫܒܝܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Neno la Bwana likaenea kila mahali katika sehemu ile. \t ܘܡܠܬܗ ܕܡܪܝܐ ܡܬܡܠܠܐ ܗܘܬ ܒܟܠܗ ܗܘ ܐܬܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika mji huohuo, kulikuwa pia na mama mmoja mjane, ambaye alimwendea huyo hakimu mara nyingi akimwomba amtetee apate haki yake kutoka kwa adui yake. \t ܐܪܡܠܬܐ ܕܝܢ ܚܕܐ ܐܝܬ ܗܘܬ ܒܡܕܝܢܬܐ ܗܝ ܘܐܬܝܐ ܗܘܬ ܠܘܬܗ ܘܐܡܪܐ ܬܒܥܝܢܝ ܡܢ ܒܥܠ ܕܝܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ole wenu ninyi mnaoshiba sasa, maana baadaye mtasikia njaa. Ole wenu ninyi mnaocheka kwa furaha sasa, maana baadaye mtaomboleza na kulia. \t ܘܝ ܠܟܘܢ ܤܒܥܐ ܕܬܟܦܢܘܢ ܘܝ ܠܟܘܢ ܠܕܓܚܟܝܢ ܗܫܐ ܕܬܒܟܘܢ ܘܬܬܐܒܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake: \"Wewe ni Mwanangu; Mimi leo nimekuwa Baba yako.\" Wala hakusema juu ya malaika yeyote: \"Mimi nitakuwa Baba yake, naye atakuwa Mwanangu.\" \t ܠܐܝܢܐ ܓܝܪ ܡܢ ܡܠܐܟܐ ܡܡܬܘܡ ܐܡܪ ܐܠܗܐ ܕܒܪܝ ܐܢܬ ܐܢܐ ܝܘܡܢܐ ܝܠܕܬܟ ܘܬܘܒ ܕܐܢܐ ܐܗܘܐ ܠܗ ܠܐܒܐ ܘܗܘ ܢܗܘܐ ܠܝ ܠܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati watu kwa maelfu walipokuwa wamekusanyika hata wakawa wanakanyagana, Yesu aliwaambia kwanza wanafunzi wake, \"Jihadharini na chachu ya Mafarisayo, yaani unafiki. \t ܘܟܕ ܐܬܟܢܫܘ ܪܒܘܬܐ ܕܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܐܝܟܢܐ ܕܢܕܝܫܘܢ ܚܕ ܠܚܕ ܫܪܝ ܝܫܘܥ ܠܡܐܡܪ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܠܘܩܕܡ ܐܙܕܗܪܘ ܒܢܦܫܟܘܢ ܡܢ ܚܡܝܪܐ ܕܦܪܝܫܐ ܕܐܝܬܘܗܝ ܡܤܒ ܒܐܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa njiani, walikutana na mtu mmoja aitwaye Simoni, mwenyeji wa Kurene. Yeye alikuwa baba wa Aleksanda na Rufo, na wakati huo alikuwa akitoka shambani. Basi, wakamlazimisha auchukue msalaba wa Yesu. \t ܘܫܚܪܘ ܚܕ ܕܥܒܪ ܗܘܐ ܫܡܥܘܢ ܩܘܪܝܢܝܐ ܕܐܬܐ ܗܘܐ ܡܢ ܩܪܝܬܐ ܐܒܘܗܝ ܕܐܠܟܤܢܕܪܘܤ ܘܕܪܘܦܘܤ ܕܢܫܩܘܠ ܙܩܝܦܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Bali ukialikwa kwenye karamu, keti mahali pa mwisho, ili mwenyeji wako atakapokuja akwambie: Rafiki, njoo hapa mbele, mahali pazuri zaidi. Hapo utakuwa umeheshimika mbele ya wote wanaoketi pamoja nawe. \t ܐܠܐ ܡܐ ܕܐܙܕܡܢܬ ܙܠ ܐܤܬܡܟ ܠܟ ܒܚܪܬܐ ܕܡܐ ܕܐܬܐ ܗܘ ܕܩܪܟ ܢܐܡܪ ܠܟ ܪܚܡܝ ܐܬܥܠܐ ܠܥܠ ܘܐܤܬܡܟ ܘܬܗܘܐ ܠܟ ܬܫܒܘܚܬܐ ܩܕܡ ܟܠܗܘܢ ܕܤܡܝܟܝܢ ܥܡܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"chachu kidogo tu huchachusha donge lote la unga!\" \t ܚܡܝܪܐ ܩܠܝܠ ܟܠܗ ܓܒܝܠܬܐ ܡܚܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana wasaidizi wanaofanya kazi yao vizuri hujipatia msimamo mzuri, na wanaweza kusema bila hofu juu ya imani yao katika Kristo Yesu. \t ܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܫܡܫܘ ܫܦܝܪ ܕܪܓܐ ܛܒܐ ܩܢܝܢ ܠܢܦܫܗܘܢ ܘܡܓܠܐ ܐܦܐ ܤܓܝܐܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yohane alidakia na kusema, \"Bwana, tumemwona mtu mmoja akitoa pepo kwa kulitumia jina lako nasi tukajaribu kumkataza kwa kuwa yeye si mmoja wetu.\" \t ܘܥܢܐ ܝܘܚܢܢ ܘܐܡܪ ܪܒܢ ܚܙܝܢ ܐܢܫ ܕܡܦܩ ܕܝܘܐ ܒܫܡܟ ܘܟܠܝܢܝܗܝ ܥܠ ܕܠܐ ܐܬܐ ܥܡܢ ܒܬܪܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Badala yake, kweli imekuwa mtindo ndugu kumpeleka ndugu yake mahakamani, tena mbele ya mahakimu wasioamini. \t ܐܠܐ ܐܚܐ ܥܡ ܐܚܘܗܝ ܡܬܕܝܢ ܘܬܘܒ ܩܕܡ ܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni kama mbegu ya haradali ambayo ni ndogo kuliko mbegu zote. \t ܐܝܟ ܦܪܕܬܐ ܗܝ ܕܚܪܕܠܐ ܗܝ ܕܡܐ ܕܐܙܕܪܥܬ ܒܐܪܥܐ ܙܥܘܪܝܐ ܗܝ ܡܢ ܟܠܗܘܢ ܙܪܥܘܢܐ ܕܥܠ ܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliondoka mahali hapo akaenda kukaa katika sehemu za Tiro na Sidoni. \t ܘܢܦܩ ܡܢ ܬܡܢ ܝܫܘܥ ܘܐܬܐ ܠܬܚܘܡܐ ܕܨܘܪ ܘܕܨܝܕܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Umenionyesha njia za kuufikia uzima, kuwako kwako kwanijaza furaha! \t ܓܠܝܬ ܠܝ ܐܘܪܚܐ ܕܚܝܐ ܬܡܠܝܢܝ ܒܤܝܡܘܬܐ ܥܡ ܦܪܨܘܦܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata mnamo saa kumi na moja jioni, akatoka tena; akakuta watu wengine wamesimama pale sokoni. Basi, akawauliza, Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi? \t ܘܠܐܦܝ ܚܕܥܤܪܐ ܫܥܝܢ ܢܦܩ ܘܐܫܟܚ ܐܚܪܢܐ ܕܩܝܡܝܢ ܘܒܛܝܠܝܢ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܩܝܡܝܢ ܐܢܬܘܢ ܝܘܡܐ ܟܠܗ ܘܒܛܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mlifuata mfano wetu, na kumwiga Bwana. Ingawa mliteswa sana, mliupokea ujumbe huo kwa furaha itokayo kwa Roho Mtakatifu. \t ܘܐܢܬܘܢ ܒܢ ܐܬܕܡܝܬܘܢ ܘܒܡܪܢ ܕܩܒܠܬܘܢ ܡܠܬܐ ܒܐܘܠܨܢܐ ܪܒܐ ܘܒܚܕܘܬܐ ܕܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walivutiwa sana naye kwa vile alikuwa amewashangaza kwa uchawi wake kwa muda mrefu. \t ܘܡܬܛܦܝܤܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܟܠܗܘܢ ܡܛܠ ܕܙܒܢܐ ܤܓܝܐܐ ܒܚܪܫܘܗܝ ܐܬܡܗ ܗܘܐ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akaendelea kusema, \"Ninyi mnajua kuepa kwa ujanja sheria ya Mungu kwa ajili ya kufuata mapokeo yenu. \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܫܦܝܪ ܛܠܡܝܢ ܐܢܬܘܢ ܦܘܩܕܢܐ ܕܐܠܗܐ ܕܬܩܝܡܘܢ ܡܫܠܡܢܘܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wengi walimfuata huko, naye akawaponya. \t ܘܐܬܘ ܒܬܪܗ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܘܐܤܝ ܐܢܘܢ ܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waambie wasimtukane mtu yeyote; bali waishi kwa amani na masikizano, wawe daima wapole kwa kila mtu. \t ܘܥܠ ܐܢܫ ܠܐ ܢܓܕܦܘܢ ܘܠܐ ܢܗܘܘܢ ܡܬܟܬܫܝܢ ܐܠܐ ܢܗܘܘܢ ܡܟܝܟܝܢ ܘܒܟܠܡܕܡ ܢܚܘܘܢ ܒܤܝܡܘܬܗܘܢ ܠܘܬ ܟܠܗܘܢ ܒܢܝܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akawaambia, \"Mtanipa kitu gani kama nikimkabidhi Yesu kwenu?\" Wakamhesabia sarafu thelathini za fedha; \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢܐ ܨܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܬܠ ܠܝ ܘܐܢܐ ܡܫܠܡ ܐܢܐ ܠܗ ܠܟܘܢ ܗܢܘܢ ܕܝܢ ܐܩܝܡܘ ܠܗ ܬܠܬܝܢ ܕܟܤܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akakana tena kwa kiapo: \"Simjui mtu huyo.\" \t ܘܬܘܒ ܟܦܪ ܒܡܘܡܬܐ ܕܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ ܠܗ ܠܓܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na kwamba wakati shahidi wako Stefano alipouawa, mimi binafsi nilikuwako pale nikakubaliana na kitendo hicho na kuyalinda makoti ya wale waliokuwa wanamuua. \t ܘܟܕ ܡܬܐܫܕ ܗܘܐ ܕܡܗ ܕܐܤܛܦܢܤ ܤܗܕܟ ܘܐܦ ܐܢܐ ܥܡܗܘܢ ܩܐܡ ܗܘܝܬ ܘܫܠܡ ܗܘܝܬ ܠܨܒܝܢܗܘܢ ܕܩܛܘܠܘܗܝ ܘܢܛܪ ܗܘܝܬ ܡܐܢܐ ܕܐܝܠܝܢ ܕܪܓܡܝܢ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wengine, wakimjaribu, wakamtaka afanye ishara kuonyesha kama alikuwa na idhini kutoka mbinguni. \t ܐܚܪܢܐ ܕܝܢ ܟܕ ܡܢܤܝܢ ܠܗ ܐܬܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܫܐܠܝܢ ܗܘܘ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waumini wote waliendelea kuwa kitu kimoja na mali zao waligawana pamoja. \t ܘܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܗܝܡܢܘ ܗܘܘ ܐܟܚܕܐ ܗܘܘ ܘܟܠܡܕܡ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܓܘܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alijua kwamba Mungu anaweza kuyatekeleza yale aliyoahidi. \t ܘܐܫܪ ܕܡܕܡ ܕܡܠܟ ܠܗ ܐܠܗܐ ܡܫܟܚ ܠܡܓܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika naye Kristo hakujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu, bali Mungu alimwambia: \"Wewe ni Mwanangu; mimi leo nimekuwa baba yako.\" \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܡܫܝܚܐ ܠܐ ܗܘܐ ܢܦܫܗ ܫܒܚ ܕܢܗܘܐ ܪܒ ܟܘܡܪܐ ܐܠܐ ܗܘ ܕܐܡܪ ܠܗ ܕܒܪܝ ܐܢܬ ܐܢܐ ܝܘܡܢܐ ܝܠܕܬܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni na wenzake wakaenda kumtafuta. \t ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܘܕܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni dhidi ya uasi na uovu wote wa binadamu ambao kwa njia zao mbaya wanaupinga ukweli usijulikane. \t ܡܬܓܠܐ ܗܘ ܓܝܪ ܪܘܓܙܗ ܕܐܠܗܐ ܡܢ ܫܡܝܐ ܥܠ ܟܠܗ ܥܘܠܗܘܢ ܘܪܘܫܥܗܘܢ ܕܒܢܝܢܫܐ ܗܢܘܢ ܕܩܘܫܬܐ ܒܥܘܠܐ ܐܚܝܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tukiwa bado katika hema hii ya duniani, tunalia kwa kukandamizwa; si kwamba tunataka kuuvua mwili huu wa kufa, ila tuna hamu ya kuvalishwa ule usiokufa, ili kile chenye kufa kimezwe kabisa na uhai. \t ܟܕ ܐܝܬܝܢ ܓܝܪ ܗܫܐ ܒܗܢܐ ܒܝܬܐ ܡܬܬܢܚܝܢܢ ܡܢ ܝܘܩܪܗ ܘܠܐ ܨܒܝܢܢ ܠܡܫܠܚܗ ܐܠܐ ܕܢܠܒܫ ܠܥܠ ܡܢܗ ܕܬܬܒܠܥ ܡܝܬܘܬܗ ܒܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Milango ya mji huo itakuwa wazi mchana wote; maana hakutakuwa na usiku humo. \t ܘܬܪܥܝܗ ܠܐ ܢܬܬܚܕܘܢ ܒܐܝܡܡܐ ܠܠܝܐ ܓܝܪ ܠܐ ܢܗܘܐ ܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kumbukeni niliyowaambieni: mtumishi si mkuu zaidi kuliko bwana wake. Ikiwa wamenitesa mimi, watawatesa na ninyi pia; kama wameshika neno langu, watalishika na lenu pia. \t ܥܗܕܘ ܡܠܬܐ ܕܐܢܐ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܕܠܝܬ ܥܒܕܐ ܕܪܒ ܡܢ ܡܪܗ ܐܢ ܠܝ ܪܕܦܘ ܐܦ ܠܟܘܢ ܢܪܕܦܘܢ ܘܐܢ ܡܠܬܝ ܢܛܪܘ ܐܦ ܕܝܠܟܘܢ ܢܛܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe apate uwezo wa kuzifafanua. \t ܘܗܘ ܕܡܡܠܠ ܒܠܫܢܐ ܢܨܠܐ ܕܢܦܫܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliona ni afadhali kuteseka pamoja na watu wa Mungu kuliko kufurahia raha ya dhambi kwa kitambo kidogo. \t ܘܓܒܐ ܠܗ ܕܒܐܘܠܨܢܐ ܥܡ ܥܡܗ ܕܐܠܗܐ ܢܗܘܐ ܘܠܐ ܕܙܒܢ ܙܥܘܪ ܢܬܒܤܡ ܒܚܛܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndivyo ilivyo kwa vyombo visivyo na uhai vyenye kutoa sauti kama vile filimbi au kinanda. Je, mtu anawezaje kuutambua wimbo unaochezwa kama vyombo hivyo havitoi sauti waziwazi vinapopigwa? \t ܐܦ ܨܒܘܬܐ ܓܝܪ ܐܝܠܝܢ ܕܠܝܬ ܒܗܝܢ ܢܦܫܐ ܘܝܗܒܢ ܩܠܐ ܐܢ ܐܒܘܒܐ ܘܐܢ ܩܝܬܪܐ ܐܢ ܦܘܪܫܢܐ ܠܐ ܥܒܕܢ ܒܝܬ ܩܝܢܬܐ ܠܚܒܪܬܗ ܐܝܟܢܐ ܡܬܝܕܥ ܡܕܡ ܕܡܙܕܡܪ ܐܘ ܡܕܡ ܕܡܬܢܩܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na watu wawili wakaonekana wakizungumza naye, nao ni Mose na Eliya, \t ܘܗܐ ܬܪܝܢ ܓܒܪܝܢ ܡܡܠܠܝܢ ܗܘܘ ܥܡܗ ܕܐܝܬܝܗܘܢ ܡܘܫܐ ܘܐܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ghafla, watu watatu waliokuwa wametumwa kwangu kutoka Kaisarea waliwasili kwenye nyumba niliyokuwa nakaa. \t ܘܒܗ ܒܫܥܬܐ ܬܠܬܐ ܓܒܪܝܢ ܕܐܫܬܕܪܘ ܠܘܬܝ ܡܢ ܩܘܪܢܠܝܘܤ ܡܢ ܩܤܪܝܐ ܐܬܘ ܘܩܡܘ ܥܠ ܬܪܥܐ ܕܕܪܬܐ ܕܫܪܐ ܗܘܝܬ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mbingu na dunia vitapita, lakini maneno yangu hayatapita. \t ܫܡܝܐ ܘܐܪܥܐ ܢܥܒܪܘܢ ܘܡܠܝ ܠܐ ܢܥܒܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na hapo wale waliokuwa pamoja naye mezani wakaulizana, \"Ni mtu wa namna gani huyu awezaye kusamehe dhambi?\" \t ܫܪܝܘ ܕܝܢ ܗܢܘܢ ܕܤܡܝܟܝܢ ܐܡܪܝܢ ܒܢܦܫܗܘܢ ܡܢܘ ܗܢܐ ܕܐܦ ܚܛܗܐ ܫܒܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kwa njia yake vitu vyote viliumbwa duniani na mbinguni, vitu vinavyoonekana na visivyoonekana: wenye enzi, watawala, wakuu na wenye mamlaka. Vyote viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake. \t ܘܒܗ ܐܬܒܪܝ ܟܠܡܕܡ ܕܒܫܡܝܐ ܘܒܐܪܥܐ ܟܠ ܕܡܬܚܙܐ ܘܟܠ ܕܠܐ ܡܬܚܙܐ ܐܢ ܡܘܬܒܐ ܘܐܢ ܡܪܘܬܐ ܘܐܢ ܐܪܟܘܤ ܘܐܢ ܫܘܠܛܢܐ ܟܠܡܕܡ ܒܐܝܕܗ ܘܒܗ ܐܬܒܪܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, watu kutoka Yerusalemu, kutoka mkoa wote wa Yudea na sehemu zote za kandokando ya mto Yordani, walimwendea, \t ܗܝܕܝܢ ܢܦܩܐ ܗܘܬ ܠܘܬܗ ܐܘܪܫܠܡ ܘܟܠܗ ܝܗܘܕ ܘܟܠܗ ܐܬܪܐ ܕܚܕܪܝ ܝܘܪܕܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe. \t ܫܡܝܐ ܘܐܪܥܐ ܢܥܒܪܘܢ ܘܡܠܝ ܠܐ ܢܥܒܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hasa kwa vile wewe mwenyewe ni mtaalamu wa desturi za Wayahudi na migogoro yao, ninakuomba basi unisikilize kwa uvumilivu. \t ܝܬܝܪܐܝܬ ܕܝܕܥ ܐܢܐ ܕܡܦܤ ܐܢܬ ܒܟܠܗܘܢ ܙܛܡܐ ܘܢܡܘܤܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܡܛܠ ܗܢܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܡܢܟ ܕܒܡܓܪܬ ܪܘܚܐ ܬܫܡܥܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila mmoja wetu anapaswa kumpendeza jirani yake kwa wema ili huyo apate kujijenga katika imani. \t ܐܠܐ ܐܢܫ ܡܢܢ ܠܩܪܝܒܗ ܢܫܦܪ ܒܛܒܬܐ ܐܝܟ ܕܠܒܢܝܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܬܪܝܨܐܝܬ ܐܡܪܬ ܗܕܐ ܥܒܕ ܘܬܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hawakuwapata na hivyo walimburuta Yasoni pamoja na ndugu wengine mpaka kwa wakuu wa mji, wakapiga kelele: \"Watu hawa wamekuwa wakivuruga dunia yote na sasa wako hapa mjini. \t ܘܟܕ ܠܐ ܐܫܟܚܘ ܐܢܘܢ ܬܡܢ ܓܪܘܗܝ ܗܘܘ ܠܐܝܤܘܢ ܘܠܐܚܐ ܕܐܝܬ ܗܘܘ ܬܡܢ ܘܐܝܬܝܘ ܐܢܘܢ ܠܘܬ ܪܫܐ ܕܡܕܝܢܬܐ ܟܕ ܩܥܝܢ ܗܘܘ ܕܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܕܠܟܠܗ ܐܪܥܐ ܕܠܚܘ ܘܗܐ ܬܘܒ ܠܗܪܟܐ ܐܬܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hali kadhalika, naye Roho anatusaidia katika udhaifu wetu. Maana hatujui inavyotupasa kuomba; lakini Roho mwenyewe anatuombea kwa Mungu kwa mlio wa huzuni usioelezeka. \t ܗܟܢܐ ܐܦ ܗܝ ܪܘܚܐ ܡܥܕܪܐ ܠܟܪܝܗܘܬܢ ܡܢܐ ܓܝܪ ܢܨܠܐ ܐܝܟ ܡܐ ܕܘܠܐ ܠܐ ܝܕܥܝܢܢ ܐܠܐ ܗܝ ܪܘܚܐ ܡܨܠܝܐ ܚܠܦܝܢ ܒܬܢܚܬܐ ܕܠܐ ܡܬܡܠܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jitahidi kupata kibali kamili mbele ya Mungu kama mfanyakazi ambaye haoni haya juu ya kazi yake, na ambaye hufundisha sawa ule ujumbe wa kweli. \t ܘܢܬܒܛܠ ܠܟ ܕܬܩܝܡ ܢܦܫܟ ܓܡܝܪܐܝܬ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܦܠܚܐ ܕܠܐ ܒܗܬܬܐ ܕܡܟܪܙ ܬܪܝܨܐܝܬ ܡܠܬܐ ܕܫܪܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wewe mama Mkristo, unawezaje kuwa na hakika kwamba hutaweza kumwokoa mume wako? Au wewe mume Mkristo, unawezaje kuwa na hakika kwamba hutaweza kumwokoa mkeo? \t ܡܢܐ ܓܝܪ ܝܕܥܐ ܐܢܬܝ ܐܢܬܬܐ ܐܢ ܠܒܥܠܟܝ ܬܚܝܢ ܐܘ ܐܢܬ ܓܒܪܐ ܝܕܥ ܐܢܬ ܐܢ ܠܐܢܬܬܟ ܬܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tunaye kuhani maarufu aliye na mamlaka juu ya nyumba ya Mungu. \t ܘܐܝܬ ܠܢ ܟܘܡܪܐ ܪܒܐ ܥܠ ܒܝܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati ule sauti ilitetemesha nchi, lakini sasa ameahidi: \"Nitatetemesha nchi tena, lakini si nchi tu bali pia mbingu.\" \t ܐܝܢܐ ܕܩܠܗ ܐܪܥܐ ܐܙܝܥ ܗܫܐ ܕܝܢ ܡܠܟ ܘܐܡܪ ܕܬܘܒ ܚܕܐ ܙܒܢ ܐܢܐ ܐܙܝܥ ܠܐ ܒܠܚܘܕ ܐܪܥܐ ܐܠܐ ܐܦ ܫܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Neno la Mungu likazidi kuenea na idadi ya waumini huko Yerusalemu ikaongezeka zaidi, na kundi kubwa la makuhani wakaipokea imani. \t ܘܡܠܬܗ ܕܐܠܗܐ ܪܒܝܐ ܗܘܬ ܘܤܓܐ ܗܘܐ ܡܢܝܢܐ ܕܬܠܡܝܕܐ ܒܐܘܪܫܠܡ ܛܒ ܘܥܡܐ ܤܓܝܐܐ ܡܢ ܝܗܘܕܝܐ ܡܫܬܡܥ ܗܘܐ ܠܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Bwana anatupatia tumaini kubwa juu yenu, na hatuna shaka kwamba mnafanya na mtaendelea kufanya yale tuliyowaambieni. \t ܬܟܝܠܝܢܢ ܕܝܢ ܥܠܝܟܘܢ ܒܡܪܢ ܕܡܕܡ ܕܡܦܩܕܝܢܢ ܠܟܘܢ ܥܒܕܬܘܢ ܐܦ ܥܒܕܝܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wale walio na imani wanabarikiwa pamoja na Abrahamu aliyeamini. \t ܡܕܝܢ ܡܗܝܡܢܐ ܗܘ ܡܬܒܪܟܝܢ ܒܐܒܪܗܡ ܡܗܝܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tujitahidi kushughulikiana kwa ajili ya kuongezeana bidii ya kupendana na kutenda mema. \t ܘܢܚܘܪ ܚܕ ܒܚܕ ܒܓܘܪܓܐ ܕܚܘܒܐ ܘܕܥܒܕܐ ܛܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi watu wa mataifa mengine, kwa asili ni kama tawi la mzeituni mwitu, lakini mmeondolewa huko, mkapandikizwa katika mzeituni bustanini mahali ambapo kwa asili si penu. Lakini, Wayahudi kwa asili ni kama mzeituni bustanini, na itakuwa jambo rahisi zaidi kwao kupandikizwa tena katika mti huohuo wao. \t ܐܢ ܓܝܪ ܐܢܬ ܕܡܢ ܙܝܬܐ ܐܢܬ ܕܒܪܐ ܗܘ ܕܒܟܝܢܟ ܐܬܦܫܚܬ ܘܕܠܐ ܒܟܝܢܟ ܐܬܛܥܡܬ ܒܙܝܬܐ ܛܒܐ ܟܡܐ ܗܟܝܠ ܗܢܘܢ ܐܢ ܢܬܛܥܡܘܢ ܒܙܝܬܐ ܕܟܝܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tuliwapeni moyo, tuliwafarijini na kuwahimiza ili mpate kuishi maisha yampendezayo Mungu ambaye aliwaiteni mshiriki Utawala na utukufu wake. \t ܕܬܗܠܟܘܢ ܐܝܟ ܕܝܐܐ ܠܐܠܗܐ ܗܘ ܕܩܪܟܘܢ ܠܡܠܟܘܬܗ ܘܠܫܘܒܚܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo ninajitahidi daima kuwa na dhamiri njema mbele ya Mungu na mbele ya watu. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܦ ܥܡܠ ܐܢܐ ܕܬܐܪܬܐ ܕܟܝܬܐ ܬܗܘܐ ܠܝ ܩܕܡ ܐܠܗܐ ܘܩܕܡ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܐܡܝܢܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa. \t ܠܡܢ ܓܝܪ ܕܐܝܬ ܠܗ ܢܬܝܗܒ ܠܗ ܘܢܬܬܘܤܦ ܠܗ ܘܗܘ ܕܝܢ ܕܠܝܬ ܠܗ ܘܐܦ ܗܘ ܕܐܝܬ ܠܗ ܢܫܬܩܠ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nimefanya kazi na kutaabika, nimekesha bila usingizi mara nyingi; nimekuwa na njaa na kiu; mara nyingi nimefunga na kukaa katika baridi bila nguo. \t ܒܥܡܠܐ ܘܒܠܐܘܬܐ ܒܫܗܪܐ ܤܓܝܐܐ ܒܟܦܢܐ ܘܒܨܗܝܐ ܒܨܘܡܐ ܤܓܝܐܐ ܒܥܪܝܐ ܘܒܥܪܛܠܝܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme aliyemwandalia mwanawe karamu ya arusi. \t ܐܬܕܡܝܬ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܠܓܒܪܐ ܡܠܟܐ ܕܥܒܕ ܡܫܬܘܬܐ ܠܒܪܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mngalipaswa kusema: \"Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile.\" \t ܚܠܦ ܕܢܐܡܪܘܢ ܕܐܢ ܡܪܝܐ ܢܨܒܐ ܘܢܚܐ ܥܒܕܝܢܢ ܗܕܐ ܐܘ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati huo Paulo alikwisha tambua kwamba sehemu moja ya wanabaraza wale ilikuwa ni Masadukayo na nyingine Mafarisayo. Basi, alipaaza sauti yake mbele ya Baraza: \"Ndugu zangu, mimi ni Mfarisayo, mwana wa Mfarisayo. Mimi nimeletwa mahakamani kwa kuwa ninatumaini kwamba wafu watafufuka.\" \t ܘܟܕ ܝܕܥ ܦܘܠܘܤ ܕܡܢܗ ܕܥܡܐ ܐܝܬܘܗܝ ܕܙܕܘܩܝܐ ܘܡܢܗ ܕܦܪܝܫܐ ܩܥܐ ܗܘܐ ܒܟܢܫܐ ܓܒܪܐ ܐܚܝ ܐܢܐ ܦܪܝܫܐ ܐܢܐ ܒܪ ܦܪܝܫܐ ܘܥܠ ܤܒܪܐ ܕܩܝܡܬܐ ܕܡܝܬܐ ܡܬܕܝܢ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni nyumba ya namna gani basi mnayoweza kunijengea, na ni mahali gani nitakapopumzika? Vitu hivi vyote ni mimi nimevifanya, au sivyo? \t ܠܐ ܗܐ ܐܝܕܐ ܕܝܠܝ ܥܒܕܬ ܗܠܝܢ ܟܠܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kuwaamuru, \"Msichukue chochote mnapokwenda isipokuwa fimbo tu. Msichukue mkate, wala mkoba, wala fedha kibindoni. \t ܘܦܩܕ ܐܢܘܢ ܕܠܐ ܢܫܩܠܘܢ ܡܕܡ ܠܐܘܪܚܐ ܐܠܐ ܐܢ ܫܒܛܐ ܒܠܚܘܕ ܠܐ ܬܪܡܠܐ ܘܠܐ ܠܚܡܐ ܘܠܐ ܢܚܫܐ ܒܟܝܤܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana kwa maneno yako, utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako, utahukumiwa kuwa na hatia.\" \t ܡܢ ܡܠܝܟ ܓܝܪ ܬܙܕܕܩ ܘܡܢ ܡܠܝܟ ܬܬܚܝܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnaona basi, kwamba mtu hukubaliwa kuwa mwadilifu kwa matendo yake na si kwa imani peke yake. \t ܚܙܐ ܐܢܬ ܕܡܢ ܥܒܕܐ ܡܙܕܕܩ ܒܪܢܫܐ ܘܠܐ ܗܘܐ ܡܢ ܗܝܡܢܘܬܐ ܒܠܚܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tumepigwa, tumetiwa gerezani na kuzomewa hadharani; tumefanya kazi tukachoka; tumekesha na kukaa bila kula. \t ܒܢܓܕܐ ܒܐܤܘܪܐ ܒܫܓܘܫܝܐ ܒܠܐܘܬܐ ܒܫܗܪܐ ܒܨܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kukawa na mtengano wa fikira kati yao. Walipokuwa wanakwenda zao, Paulo alisema jambo hili, \"Kweli ni sawa yale aliyoyanena Roho Mtakatifu kwa wazee wenu kwa njia ya nabii Isaya \t ܘܐܫܬܪܝܘ ܡܢ ܠܘܬܗ ܟܕ ܠܐ ܫܠܡܝܢ ܠܚܕܕܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܗܘ ܦܘܠܘܤ ܡܠܬܐ ܗܕܐ ܫܦܝܪ ܡܠܠ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܒܦܘܡ ܐܫܥܝܐ ܢܒܝܐ ܠܘܩܒܠ ܐܒܗܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kupigwa sana wakatiwa ndani, na askari wa gereza akaamriwa kuwaweka chini ya ulinzi mkali. \t ܘܟܕ ܢܓܕܘ ܐܢܘܢ ܤܓܝ ܐܪܡܝܘ ܐܢܘܢ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܘܦܩܕܘ ܠܢܛܪ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܕܢܛܪ ܐܢܘܢ ܙܗܝܪܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alifanya kama kwamba haoni nyakati zile watu walipokuwa wajinga. Lakini sasa, anaamuru watu wote kila mahali watubu. \t ܙܒܢܐ ܓܝܪ ܕܛܥܝܘܬܐ ܐܥܒܪ ܐܠܗܐ ܘܒܙܒܢܐ ܗܢܐ ܡܦܩܕ ܠܟܠܗܘܢ ܒܢܝܢܫܐ ܕܟܠ ܐܢܫ ܒܟܠ ܕܘܟܐ ܢܬܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu huibariki ardhi ambayo huipokea mvua inayoinyeshea mara kwa mara, na kuotesha mimea ya faida kwa mkulima. \t ܐܪܥܐ ܓܝܪ ܕܐܫܬܝܬ ܡܛܪܐ ܕܐܬܐ ܠܗ ܙܒܢܝܢ ܤܓܝܐܢ ܘܐܘܥܝܬ ܥܤܒܐ ܕܚܫܚ ܠܗܢܘܢ ܕܡܛܠܬܗܘܢ ܡܬܦܠܚܐ ܡܩܒܠܐ ܒܘܪܟܬܐ ܡܢ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, tuseme nini? Je, tutende dhambi ati kwa sababu hatuko chini ya Sheria bali chini ya neema? Hata kidogo! \t ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܢܚܛܐ ܕܠܐ ܗܘܝܢ ܬܚܝܬ ܢܡܘܤܐ ܐܠܐ ܬܚܝܬ ܛܝܒܘܬܐ ܚܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye alipomwona huyo mtu amelala hapo, akatambua kwamba alikuwa amekaa hapo kwa muda mrefu, akamwuliza, \"Je, wataka kupona?\" \t ܠܗܢܐ ܚܙܐ ܝܫܘܥ ܕܪܡܐ ܘܝܕܥ ܕܙܒܢܐ ܤܓܝܐܐ ܐܝܬ ܠܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܨܒܐ ܐܢܬ ܕܬܬܚܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu wote walipoona hayo, wakaanza kunung'unika wakisema, \"Amekwenda kukaa kwa mtu mwenye dhambi.\" \t ܟܕ ܚܙܘ ܕܝܢ ܟܠܗܘܢ ܪܛܢܝܢ ܗܘܘ ܘܐܡܪܝܢ ܕܠܘܬ ܓܒܪܐ ܚܛܝܐ ܥܠ ܫܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, yahusu ule mchango kwa ajili ya watu wa Mungu: fanyeni kama nilivyoyaagiza makanisa ya Galatia. \t ܥܠ ܡܕܡ ܕܝܢ ܕܡܬܟܢܫ ܠܩܕܝܫܐ ܐܝܟܢܐ ܕܦܩܕܬ ܠܥܕܬܐ ܕܓܠܛܝܐ ܗܟܢܐ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܥܒܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zaidi ya hayo hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo. \t ܘܫܪܪܗ ܠܢ ܒܡܘܡܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mnyama uliyemwona alikuwa hai hapo awali, lakini sasa amekufa. Hata hivyo, karibu sana atapanda kutoka shimoni kuzimu, lakini ataangamizwa. Wanaoishi duniani watashangaa; naam, watu wote ambao majina yao hayakupata kuandikwa katika kitabu cha uzima tangu mwanzo wa ulimwengu, watashangaa kumwona huyo mnyama ambaye hapo awali, aliishi, kisha akafa na sasa anatokea tena! \t ܚܝܘܬܐ ܕܚܙܝܬ ܐܝܬܝܗ ܗܘܬ ܘܠܝܬܝܗ ܥܬܝܕܐ ܕܬܤܩ ܡܢ ܝܡܐ ܘܠܐܒܕܢܐ ܐܙܠܐ ܘܢܬܕܡܪܘܢ ܥܡܪܝ ܥܠ ܐܪܥܐ ܗܢܘܢ ܕܠܐ ܟܬܝܒܝܢ ܫܡܗܝܗܘܢ ܒܤܦܪܐ ܕܚܝܐ ܡܢ ܬܪܡܝܬܗ ܕܥܠܡܐ ܕܚܙܝܢ ܚܝܘܬܐ ܕܐܝܬܝܗ ܗܘܬ ܘܠܝܬܝܗ ܘܩܪܒܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninawatakieni ninyi ndugu amani, upendo na imani kutoka kwa Mungu Baba na kutoka kwa Bwana Yesu Kristo. \t ܫܠܡܐ ܥܡ ܐܚܝܢ ܘܚܘܒܐ ܥܡ ܗܝܡܢܘܬܐ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܒܐ ܘܡܢ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siombi uwatoe ulimwenguni, bali naomba uwakinge na yule Mwovu. \t ܠܐ ܗܘܐ ܕܬܫܩܘܠ ܐܢܘܢ ܡܢ ܥܠܡܐ ܒܥܐ ܐܢܐ ܐܠܐ ܕܬܛܪ ܐܢܘܢ ܡܢ ܒܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo yule mwanafunzi aliyependwa na Yesu akamwambia Petro, \"Ni Bwana!\" Simoni Petro aliposikia ya kuwa ni Bwana, akajifunga vazi lake (maana hakuwa amelivaa), akarukia majini. \t ܘܐܡܪ ܬܠܡܝܕܐ ܗܘ ܕܪܚܡ ܗܘܐ ܠܗ ܝܫܘܥ ܠܟܐܦܐ ܗܢܐ ܡܪܢ ܗܘ ܫܡܥܘܢ ܕܝܢ ܟܕ ܫܡܥ ܕܡܪܢ ܗܘ ܢܤܒ ܟܘܬܝܢܗ ܡܚܐ ܒܚܨܘܗܝ ܡܛܠ ܕܥܪܛܠܝܐ ܗܘܐ ܘܫܕܐ ܢܦܫܗ ܒܝܡܐ ܕܢܐܬܐ ܠܘܬ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana sisi ni kama harufu nzuri ya ubani ambayo Kristo anamtolea Mungu, harufu nzuri inayofikia wote wanaookolewa na wanaopotea. \t ܪܝܚܐ ܚܢܢ ܓܝܪ ܒܤܝܡܐ ܒܡܫܝܚܐ ܠܐܠܗܐ ܒܐܝܠܝܢ ܕܚܐܝܢ ܘܒܐܝܠܝܢ ܕܐܒܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana nilikuwa na njaa nanyi mkanipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi mkanipa maji; nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha; \t ܟܦܢܬ ܓܝܪ ܘܝܗܒܬܘܢ ܠܝ ܠܡܐܟܠ ܘܨܗܝܬ ܘܐܫܩܝܬܘܢܢܝ ܐܟܤܢܝܐ ܗܘܝܬ ܘܟܢܫܬܘܢܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Miongoni mwa wale waliotusikiliza alikuwa mwanamke mmoja mcha Mungu aitwaye Ludia mwenyeji wa Thuatira, ambaye alikuwa mfanyabiashara ya nguo za kitani za rangi ya zambarau. Bwana aliufungua moyo wake hata akayapokea yale maneno Paulo aliyokuwa anasema. \t ܘܐܢܬܬܐ ܚܕܐ ܡܙܒܢܬ ܐܪܓܘܢܐ ܕܕܚܠܐ ܗܘܬ ܡܢ ܐܠܗܐ ܫܡܗ ܗܘܐ ܠܘܕܝܐ ܡܢ ܬܐܘܛܝܪܐ ܡܕܝܢܬܐ ܕܗܕܐ ܦܬܚ ܠܒܗ ܡܪܢ ܘܫܡܥܐ ܗܘܬ ܡܕܡ ܕܐܡܪ ܦܘܠܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hao wanafunzi wakarudi nyumbani. \t ܘܐܙܠܘ ܗܢܘܢ ܬܠܡܝܕܐ ܬܘܒ ܠܕܘܟܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Daudi anasema: \"Karamu zao na ziwe mtego wa kuwanasa, waanguke na kuadhibiwa. \t ܘܕܘܝܕ ܬܘܒ ܐܡܪ ܢܗܘܐ ܦܬܘܪܗܘܢ ܩܕܡܝܗܘܢ ܠܦܚܐ ܘܦܘܪܥܢܗܘܢ ܠܬܘܩܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini anayeingia kwa kupitia mlangoni, huyo ndiye mchungaji wa kondoo. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܥܐܠ ܡܢ ܬܪܥܐ ܪܥܝܐ ܗܘ ܕܥܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba. \t ܘܟܕ ܡܠܘ ܬܡܢܝܐ ܝܘܡܝܢ ܕܢܬܓܙܪ ܛܠܝܐ ܐܬܩܪܝ ܫܡܗ ܝܫܘܥ ܕܐܬܩܪܝ ܡܢ ܡܠܐܟܐ ܩܕܡ ܕܢܬܒܛܢ ܒܟܪܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika nyumba kubwa kuna mabakuli na vyombo vya kila namna: vingine ni vya fedha na dhahabu, vingine vya mbao na udongo, vingine ni vya matumizi ya pekee na vingine kwa ajili ya matumizi ya kawaida. \t ܒܒܝܬܐ ܕܝܢ ܪܒܐ ܠܐ ܗܘܐ ܡܐܢܐ ܕܕܗܒܐ ܒܠܚܘܕ ܐܘ ܕܤܐܡܐ ܐܝܬ ܒܗ ܐܠܐ ܐܦ ܕܩܝܤܐ ܐܦ ܕܦܚܪܐ ܡܢܗܘܢ ܠܐܝܩܪܐ ܘܡܢܗܘܢ ܠܨܥܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena jambo hili lasemwa pia: \"Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko.\" \t ܘܗܪܟܐ ܬܘܒ ܐܡܪ ܕܠܐ ܢܥܠܘܢ ܠܢܝܚܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kweli nawaambieni anayempokea yule ninayemtuma anaponipokea mimi; na anayenipokea mimi, anampokea yule aliyenituma.\" \t ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܡܢ ܕܡܩܒܠ ܠܡܢ ܕܡܫܕܪ ܐܢܐ ܠܝ ܡܩܒܠ ܘܡܢ ܕܠܝ ܡܩܒܠ ܡܩܒܠ ܠܡܢ ܕܫܕܪܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakamwuliza, \"Yeye yuko wapi?\" Naye akawajibu, \"Mimi sijui!\" \t ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܐܝܟܘ ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܠܐ ܝܕܥ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naam Baba, ndivyo ilivyokupendeza. \t ܐܝܢ ܐܒܝ ܕܗܟܢܐ ܗܘܐ ܨܒܝܢܐ ܩܕܡܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo baadhi ya Mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu, wakamwambia Yesu, \"Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!\" \t ܐܢܫܐ ܕܝܢ ܡܢ ܦܪܝܫܐ ܡܢ ܒܝܢܝ ܟܢܫܐ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܪܒܝ ܟܐܝ ܒܬܠܡܝܕܝܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Simoni (ambaye Yesu alimpa jina Petro) na Andrea ndugu yake, Yakobo na Yohane, Filipo na Bartholomayo, \t ܫܡܥܘܢ ܗܘ ܕܫܡܝ ܟܐܦܐ ܘܐܢܕܪܐܘܤ ܐܚܘܗܝ ܘܝܥܩܘܒ ܘܝܘܚܢܢ ܘܦܝܠܝܦܘܤ ܘܒܪ ܬܘܠܡܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wewe unapomsaidia maskini, fanya hivyo kwamba hata rafiki yako asijue ufanyalo. \t ܐܢܬ ܕܝܢ ܡܐ ܕܥܒܕ ܐܢܬ ܙܕܩܬܐ ܠܐ ܬܕܥ ܤܡܠܟ ܡܢܐ ܥܒܕܐ ܝܡܝܢܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na pale walipoambiwa: Ninyi si wangu hapo wataitwa: Watoto wa Mungu hai.\" \t ܢܗܘܐ ܓܝܪ ܒܕܘܟܬܐ ܟܪ ܕܡܬܩܪܝܢ ܗܘܘ ܠܐ ܥܡܝ ܬܡܢ ܢܬܩܪܘܢ ܒܢܝܐ ܠܐܠܗܐ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia huyo Mfarisayo, \"Simoni, ninacho kitu cha kukwambia.\" Naye Simoni akamwambia, \"Ndio Mwalimu, sema.\" Yesu akasema, \t ܥܢܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܡܕܡ ܐܝܬ ܠܝ ܕܐܡܪ ܠܟ ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܐܡܪ ܪܒܝ ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu aliwafunulia kwamba wakati walipokuwa wanasema juu ya hayo mambo ambayo ninyi mmekwisha sikia sasa kutoka kwa wale wajumbe waliowatangazieni Habari Njema kwa nguvu ya Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni, hiyo kazi yao haikuwa kwa faida yao wenyewe, bali kwa ajili yenu. Hayo ndiyo mambo ambayo hata malaika wangependa kuyafahamu. \t ܘܐܬܓܠܝ ܠܗܘܢ ܟܠ ܕܒܨܝܢ ܗܘܘ ܡܛܠ ܕܠܘ ܠܢܦܫܗܘܢ ܒܥܝܢ ܗܘܘ ܐܠܐ ܠܢ ܕܝܠܢ ܡܬܢܒܝܢ ܗܘܘ ܐܝܠܝܢ ܕܗܫܐ ܐܬܓܠܝ ܠܟܘܢ ܒܝܕ ܐܝܠܝܢ ܕܤܒܪܢܟܘܢ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܕܐܫܬܕܪ ܡܢ ܫܡܝܐ ܕܒܗܝܢ ܒܗܠܝܢ ܡܬܪܓܪܓܝܢ ܐܦ ܡܠܐܟܐ ܕܢܕܝܩܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu ameweka vitu vyote chini ya miguu yake, akamkabidhi kwa kanisa akiwa mkuu wa vitu vyote. \t ܘܫܥܒܕ ܟܠܡܕܡ ܬܚܝܬ ܪܓܠܘܗܝ ܘܠܗ ܕܐܝܬܘܗܝ ܠܥܠ ܡܢ ܟܠ ܝܗܒܗ ܪܫܐ ܠܥܕܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Wakati Mwana wa Mtu atakapokuja katika utukufu wake na malaika wote wakiwa pamoja naye, hapo ataketi juu ya kiti chake cha enzi kitukufu, \t ܡܐ ܕܐܬܐ ܕܝܢ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܒܫܘܒܚܗ ܘܟܠܗܘܢ ܡܠܐܟܘܗܝ ܩܕܝܫܐ ܥܡܗ ܗܝܕܝܢ ܢܬܒ ܥܠ ܬܪܢܘܤ ܕܫܘܒܚܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Petro akamwambia, \"Mbona mmekula njama kumjaribu Roho wa Bwana? Sikiliza! Wale watu waliokwenda kumzika mume wako, sasa wako mlangoni na watakuchukua wewe pia.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܡܛܠ ܕܐܫܬܘܝܬܘܢ ܠܡܢܤܝܘ ܪܘܚܗ ܕܡܪܝܐ ܗܐ ܪܓܠܝܗܘܢ ܕܩܒܘܪܘܗܝ ܕܒܥܠܟܝ ܒܬܪܥܐ ܘܗܢܘܢ ܢܦܩܘܢܟܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini huyo mtu akaenda, akaanza kueneza habari hiyo kila mahali na kusema mambo mengi hata Yesu hakuweza tena kuingia katika mji wowote waziwazi; ikamlazimu kukaa nje, mahali pa faragha. Hata hivyo, watu wakamwendea kutoka kila upande. \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܚܙܝ ܠܡܐ ܠܐܢܫ ܐܡܪ ܐܢܬ ܐܠܐ ܙܠ ܚܘܐ ܢܦܫܟ ܠܟܗܢܐ ܘܩܪܒ ܩܘܪܒܢܐ ܚܠܦ ܬܕܟܝܬܟ ܐܝܟܢܐ ܕܦܩܕ ܡܘܫܐ ܠܤܗܕܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Twaweza, basi, kusema kwamba Abrahamu alipotoa sehemu moja ya kumi, Lawi (ambaye watoto wake hupokea sehemu moja ya kumi) alitoa sehemu moja ya kumi pia. \t ܘܐܝܟ ܐܢܫ ܢܐܡܪ ܒܝܕ ܐܒܪܗV ܐܦ ܠܘܝ ܗܘ ܕܡܥܤܪܐ ܢܤܒ ܗܘܐ ܐܦ ܗܘ ܐܬܥܤܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha watu wakamletea Yesu watoto wadogo ili awawekee mikono na kuwaombea. Lakini wanafunzi wakawakemea. \t ܗܝܕܝܢ ܩܪܒܘ ܠܗ ܛܠܝܐ ܕܢܤܝܡ ܐܝܕܗ ܥܠܝܗܘܢ ܘܢܨܠܐ ܘܟܐܘ ܒܗܘܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msichukue mkoba wa kuombea njiani, wala koti la ziada, wala viatu, wala fimbo. Maana mfanyakazi anastahili riziki yake. \t ܘܠܐ ܬܪܡܠܐ ܠܐܘܪܚܐ ܘܠܐ ܬܪܬܝܢ ܟܘܬܝܢܝܢ ܘܠܐ ܡܤܢܐ ܘܠܐ ܫܒܛܐ ܫܘܐ ܗܘ ܓܝܪ ܦܥܠܐ ܤܝܒܪܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hawa watakwenda kwenye adhabu ya milele, lakini wale waadilifu watakwenda kwenye uzima wa milele.\" \t ܗܝܕܝܢ ܢܥܢܐ ܘܢܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܟܡܐ ܕܠܐ ܥܒܕܬܘܢ ܠܚܕ ܡܢ ܗܠܝܢ ܙܥܘܪܐ ܐܦ ܠܐ ܠܝ ܥܒܕܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "lakini sasa imefunuliwa kwetu kwa kuja kwake Mwokozi wetu Yesu Kristo. Yeye amekomesha nguvu za kifo, na kwa njia ya Habari Njema akadhihirisha uzima usio kufa. \t ܘܐܬܓܠܝܬ ܗܫܐ ܒܓܠܝܢܗ ܕܡܚܝܢܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܒܛܠ ܠܡܘܬܐ ܘܚܘܝ ܚܝܐ ܘܠܐ ܡܬܚܒܠܢܘܬܐ ܒܐܘܢܓܠܝܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini, kusudi mambo haya makuu niliyofunuliwa yasinifanye nilewe majivuno, nilipewa maumivu mwilini kama mwiba, mjumbe wa Shetani mwenye kunipiga nisijivune kupita kiasi. \t ܘܕܠܐ ܐܬܪܝܡ ܒܝܬܝܪܘܬܐ ܕܓܠܝܢܐ ܐܫܬܠܡ ܠܝ ܫܦܝܐ ܠܒܤܪܝ ܡܠܐܟܗ ܕܤܛܢܐ ܕܢܗܘܐ ܡܩܦܚ ܠܝ ܕܠܐ ܐܬܪܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na baada ya kula chakula, nguvu zake zikamrudia. Saulo alikaa siku chache pamoja na wafuasi huko Damasko. \t ܘܩܒܠ ܤܝܒܪܬܐ ܘܐܬܚܝܠ ܘܗܘܐ ܝܘܡܬܐ ܠܘܬ ܬܠܡܝܕܐ ܗܢܘܢ ܕܐܝܬ ܗܘܘ ܒܕܪܡܤܘܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "wakanywa pia kinywaji kilekile cha kiroho, maana walikunywa kutoka ule mwamba wa kiroho uliowafuata; mwamba huo ulikuwa Kristo mwenyewe. \t ܘܟܠܗܘܢ ܚܕ ܡܫܬܝܐ ܕܪܘܚܐ ܐܫܬܝܘ ܫܬܝܢ ܗܘܘ ܓܝܪ ܡܢ ܟܐܦܐ ܕܪܘܚܐ ܕܐܬܝܐ ܗܘܬ ܥܡܗܘܢ ܟܐܦܐ ܕܝܢ ܗܝ ܗܘ ܗܘܐ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yule aliyepanda na yule aliyemwagilia maji wote ni sawa, ingawa kila mmoja atapokea tuzo lake kufuatana na jitihada yake mwenyewe. \t ܡܢ ܕܢܨܒ ܕܝܢ ܘܡܢ ܕܡܫܩܐ ܚܕ ܐܢܘܢ ܘܐܢܫ ܐܝܟ ܥܡܠܗ ܐܓܪܗ ܡܩܒܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wazazi wetu hapa duniani walituadhibu kwa muda, kama wao wenyewe walivyoona kuwa vema; lakini Mungu anatuadhibu kwa ajili ya faida yetu wenyewe, tupate kuushiriki utakatifu wake. \t ܗܢܘܢ ܓܝܪ ܠܙܒܢ ܗܘ ܙܥܘܪ ܐܝܟ ܕܨܒܝܢ ܗܘܘ ܪܕܝܢ ܗܘܘ ܠܢ ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܠܥܘܕܪܢܢ ܕܢܫܬܘܬܦ ܠܩܕܝܫܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tumaini hilo haliwezi kutuhadaa, maana Mungu amekwisha miminia mioyoni mwetu upendo wake kwa njia ya Roho Mtakatifu aliyetujalia. \t ܤܒܪܐ ܕܝܢ ܠܐ ܡܒܗܬ ܡܛܠ ܕܚܘܒܗ ܕܐܠܗܐ ܡܫܦܥ ܥܠ ܠܒܘܬܢ ܒܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܕܐܬܝܗܒܬ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mtu akaenda, akawaambia viongozi wa Wayahudi kwamba Yesu ndiye aliyemponya. \t ܘܐܙܠ ܗܘ ܓܒܪܐ ܘܐܡܪ ܠܝܗܘܕܝܐ ܕܝܫܘܥ ܗܘ ܗܘ ܕܐܚܠܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi mwenyewe sikumfahamu, lakini nimekuja kubatiza kwa maji ili watu wa Israeli wapate kumjua.\" \t ܘܐܢܐ ܠܐ ܝܕܥ ܗܘܝܬ ܠܗ ܐܠܐ ܕܢܬܝܕܥ ܠܐܝܤܪܝܠ ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܬܝܬ ܐܢܐ ܕܒܡܝܐ ܐܥܡܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mpaka dakika hii, sisi tuna njaa na kiu, hatuna nguo, twapigwa makofi, hatuna malazi. \t ܥܕܡܐ ܠܗܕܐ ܫܥܬܐ ܟܦܢܝܢܢ ܘܨܗܝܢܢ ܘܥܪܛܠܝܝܢܢ ܘܡܬܩܦܚܝܢܢ ܘܒܝܬ ܩܝܡܐ ܠܝܬ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama ningetaka kujivuna singekuwa mpumbavu hata kidogo, maana ningekuwa nasema ukweli mtupu. Lakini sitajivuna; sipendi mtu anifikirie zaidi ya vile anavyoona na kusikia kutoka kwangu. \t ܐܢ ܐܨܒܐ ܓܝܪ ܕܐܫܬܒܗܪ ܠܐ ܗܘܐ ܐܢܐ ܫܛܝܐ ܫܪܪܐ ܗܘ ܓܝܪ ܐܡܪ ܐܢܐ ܚܐܤܢܐ ܕܝܢ ܕܠܡܐ ܐܢܫ ܢܬܪܥܐ ܥܠܝ ܝܬܝܪ ܡܢ ܡܐ ܕܚܙܐ ܠܝ ܘܕܫܡܥ ܡܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini amepataje kuona, hatujui; na wala hatumjui yule aliyemfumbua macho. Mwulizeni yeye mwenyewe; yeye ni mtu mzima, anaweza kujitetea mwenyewe.\" \t ܐܝܟܢܐ ܕܝܢ ܗܫܐ ܚܙܐ ܐܘ ܡܢܘ ܦܬܚ ܠܗ ܥܝܢܘܗܝ ܠܐ ܝܕܥܝܢܢ ܐܦ ܗܘ ܥܠ ܠܗ ܠܫܢܘܗܝ ܠܗ ܫܐܠܘ ܗܘ ܚܠܦ ܢܦܫܗ ܢܡܠܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mtu akijiona kuwa ni mtu mwenye dini, lakini hawezi kuutawala ulimi wake, dini yake haifai kitu, na anajidanganya mwenyewe. \t ܘܐܢ ܐܢܫ ܤܒܪ ܕܡܫܡܫ ܠܐܠܗܐ ܘܠܐ ܐܚܕ ܠܫܢܗ ܐܠܐ ܡܛܥܐ ܠܗ ܠܒܗ ܕܗܢܐ ܤܪܝܩܐ ܗܝ ܬܫܡܫܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini huyo mwanamke akamwambia, \"Wewe ni Myahudi; mimi ni mwanamke Msamaria! Unawezaje kuniomba maji?\" (Wayahudi hawakuwa na ushirikiano na Wasamaria katika matumizi ya vitu.) \t ܐܡܪܐ ܠܗ ܗܝ ܐܢܬܬܐ ܫܡܪܝܬܐ ܐܝܟܢܐ ܐܢܬ ܝܗܘܕܝܐ ܐܢܬ ܘܡܢܝ ܫܐܠ ܐܢܬ ܠܡܫܬܐ ܕܐܝܬܝ ܐܢܬܬܐ ܫܡܪܝܬܐ ܠܐ ܓܝܪ ܡܬܚܫܚܝܢ ܝܗܘܕܝܐ ܥܡ ܫܡܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wenyeji wa hapo walikuwa wema sana kwetu. Mvua ilikuwa inaanza kunyesha na kulikuwa na baridi, hivyo waliwasha moto, wakatukaribisha. \t ܘܒܪܒܪܝܐ ܕܥܡܪܝܢ ܗܘܘ ܒܗ ܪܚܡܐ ܤܓܝܐܐ ܚܘܝܘ ܠܘܬܢ ܘܐܘܚܕܘ ܢܘܪܐ ܘܩܪܐܘܢ ܠܟܠܢ ܕܢܫܚܢ ܡܛܠ ܡܛܪܐ ܤܓܝܐܐ ܘܩܘܪܫܐ ܕܐܝܬ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ikiwa kile kilichokuwa cha muda tu kilikuwa na utukufu wake, bila shaka kile chenye kudumu milele kitakuwa na utukufu mkuu zaidi. \t ܐܢ ܓܝܪ ܡܕܡ ܕܐܬܒܛܠ ܒܫܘܒܚܐ ܗܘܐ ܝܬܝܪܐܝܬ ܐܝܢܐ ܕܡܩܘܐ ܒܫܘܒܚܐ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayesema kitu, maneno yake na yawe kama maneno ya Mungu; anayetumika anapaswa kutumikia kwa nguvu anayojaliwa na Mungu, ili katika mambo yote, Mungu atukuzwe kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu na nguvu ni vyake milele na milele! Amina. \t ܟܠܡܢ ܕܡܡܠܠ ܐܝܟ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܢܡܠܠ ܘܟܠܡܢ ܕܡܫܡܫ ܐܝܟ ܕܡܢ ܚܝܠܐ ܗܘ ܕܐܠܗܐ ܝܗܒ ܠܗ ܕܒܟܠ ܕܥܒܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܢܫܬܒܚ ܐܠܗܐ ܒܝܕ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܗܘ ܕܕܝܠܗ ܗܝ ܬܫܒܘܚܬܐ ܘܐܝܩܪܐ ܠܥܠܡ ܥܠܡܝܢ ܐܡܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo watawaombea ninyi kwa moyo kwa sababu ya neema ya pekee aliyowajalieni Mungu. \t ܘܨܠܘܬܐ ܡܩܪܒܝܢ ܚܠܦܝܟܘܢ ܒܚܘܒܐ ܤܓܝܐܐ ܡܛܠ ܤܘܓܐܐ ܕܛܝܒܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܕܥܠܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waumini wa huko walijaribiwa sana kwa taabu; lakini furaha yao ilikuwa kubwa hivi hata wakawa wakarimu kupita kiasi, ingawaje walikuwa maskini sana. \t ܕܒܒܘܩܝܐ ܤܓܝܐܐ ܕܐܘܠܨܢܗܘܢ ܝܬܝܪܘܬܐ ܗܘܬ ܠܚܕܘܬܗܘܢ ܘܥܘܡܩܐ ܕܡܤܟܢܘܬܗܘܢ ܐܬܝܬܪ ܒܥܘܬܪܐ ܕܦܫܝܛܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kama mkikasirika, msikubali hasira yenu iwafanye mtende dhambi, na wala msikae na hasira kutwa nzima. \t ܪܓܙܘ ܘܠܐ ܬܚܛܘܢ ܘܫܡܫܐ ܥܠ ܪܘܓܙܟܘܢ ܠܐ ܢܥܪܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ole wenu, kwa kuwa mnajenga makaburi ya manabii wale ambao wazee wenu waliwaua. \t ܘܝ ܠܟܘܢ ܕܒܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܩܒܪܐ ܕܢܒܝܐ ܕܐܒܗܝܟܘܢ ܩܛܠܘ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akawaambia, \"Mwacheni; kwa nini mnamsumbua? Amenitendea jambo jema. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܫܘܒܩܘܗ ܡܢܐ ܡܗܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܗ ܥܒܕܐ ܫܦܝܪܐ ܥܒܕܬ ܠܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana Lawi hakuwa amezaliwa bado, bali ni kama alikuwa katika mwili wa baba yake, Abrahamu, wakati Melkisedeki alipokutana naye. \t ܥܕܟܝܠ ܓܝܪ ܒܚܨܗ ܗܘܐ ܕܐܒܘܗܝ ܟܕ ܐܪܥܗ ܠܡܠܟܝܙܕܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakapanda mashuani, na upepo ukatulia. \t ܘܟܕ ܤܠܩܘ ܠܐܠܦܐ ܫܠܝܬ ܪܘܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Rami alimzaa Aminadabu, Aminadabu alimzaa Nashoni, Nashoni alimzaa Salmoni, \t ܐܪܡ ܐܘܠܕ ܠܥܡܝܢܕܒ ܥܡܝܢܕܒ ܐܘܠܕ ܠܢܚܫܘܢ ܢܚܫܘܢ ܐܘܠܕ ܠܤܠܡܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au kwa watu?\" \t ܡܥܡܘܕܝܬܗ ܕܝܘܚܢܢ ܡܢ ܫܡܝܐ ܗܘܬ ܐܘ ܡܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika ni roho tu wanaomtumikia Mungu, na Mungu huwatuma wawasaidie wale watakaopokea wokovu. \t ܠܐ ܗܐ ܟܠܗܘܢ ܐܝܬܝܗܘܢ ܪܘܚܐ ܕܬܫܡܫܬܐ ܕܡܫܬܕܪܝܢ ܒܬܫܡܫܬܐ ܡܛܠ ܐܝܠܝܢ ܕܥܬܝܕܝܢ ܠܡܐܪܬ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wote wakavutiwa sana naye, wakastaajabia maneno mazuri aliyosema. Wakanena, \"Je, huyu si mwana wa Yosefu?\" \t ܘܤܗܕܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܟܠܗܘܢ ܘܡܬܕܡܪܝܢ ܗܘܘ ܒܡܠܐ ܕܛܝܒܘܬܐ ܕܢܦܩܢ ܗܘܝ ܡܢ ܦܘܡܗ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܠܐ ܗܘܐ ܗܢܐ ܒܪ ܝܘܤܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mama mmoja, mkwewe Simoni, alikuwa kitandani ana homa kali. Wakamwarifu Yesu mara alipowasili. \t ܘܚܡܬܗ ܕܫܡܥܘܢ ܪܡܝܐ ܗܘܬ ܒܐܫܬܐ ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܥܠܝܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa anaondoka mjini Yeriko, umati wa watu ulimfuata. \t ܘܟܕ ܢܦܩ ܝܫܘܥ ܡܢ ܐܝܪܝܚܘ ܐܬܐ ܗܘܐ ܒܬܪܗ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu waishio duniani watafurahia kifo cha hao wawili. Watafanya sherehe na kupelekeana zawadi maana manabii hawa wawili walikuwa wamewasumbua mno watu wa dunia. \t ܘܥܡܘܪܝܗ ܕܐܪܥܐ ܢܚܕܘܢ ܥܠܝܗܘܢ ܘܢܬܦܨܚܘܢ ܘܡܘܗܒܬܐ ܢܫܕܪܘܢ ܠܚܕܕܐ ܡܛܠ ܬܪܝܢ ܢܒܝܝܢ ܕܫܢܩܘ ܠܥܡܘܪܝܗ ܕܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Leteni hapa baadhi ya samaki mliovua.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܝܬܘ ܡܢ ܗܢܘܢ ܢܘܢܐ ܕܨܕܬܘܢ ܗܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "akajifungua mtoto wake wa kwanza wa kiume, akamvika nguo za kitoto, akamlaza horini kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni. \t ܘܝܠܕܬ ܒܪܗ ܒܘܟܪܐ ܘܟܪܟܬܗ ܒܥܙܪܘܪܐ ܘܐܪܡܝܬܗ ܒܐܘܪܝܐ ܡܛܠ ܕܠܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܘܟܬܐ ܐܝܟܐ ܕܫܪܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, sina haki ya kufanya na mali yangu nipendavyo? Je, unaona kijicho kwa kuwa mimi ni mwema?\" \t ܐܘ ܠܐ ܫܠܝܛ ܠܝ ܕܡܕܡ ܕܨܒܐ ܐܢܐ ܐܥܒܕ ܒܕܝܠܝ ܐܘ ܥܝܢܟ ܒܝܫܐ ܕܐܢܐ ܛܒ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, Umesamehewa dhambi, au kusema, Simama utembee? \t ܐܝܕܐ ܦܫܝܩܐ ܠܡܐܡܪ ܕܫܒܝܩܝܢ ܠܟ ܚܛܗܝܟ ܐܘ ܠܡܐܡܪ ܩܘܡ ܗܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale watu walikuwa wakitazamia kwamba angevimba au hapohapo angeanguka chini na kufa. Baada ya kungojea kwa muda mrefu bila kuona kwamba Paulo amepatwa na jambo lolote lisilo la kawaida, walibadilisha fikira zao juu yake, wakasema kuwa ni mungu. \t ܤܒܪܝܢ ܗܘܘ ܕܝܢ ܒܪܒܪܝܐ ܕܒܪ ܫܥܬܗ ܡܬܡܤܐ ܘܢܦܠ ܟܕ ܡܝܬ ܥܠ ܐܪܥܐ ܘܟܕ ܥܕܢܐ ܤܓܝܐܐ ܤܟܝܘ ܘܚܙܘ ܕܡܕܡ ܕܤܢܐ ܠܐ ܗܘܝܗܝ ܫܚܠܦܘ ܡܠܝܗܘܢ ܘܐܡܪܘ ܕܐܠܗܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini tunafikiri inafaa tusikie kutoka kwako mwenyewe mambo yaliyo kichwani mwako. Kwa maana tujualo sisi kuhusu hicho kikundi ni kwamba kinapingwa kila mahali.\" \t ܨܒܝܢܢ ܕܝܢ ܕܢܫܡܥ ܡܢܟ ܡܕܡ ܕܡܬܪܥܐ ܐܢܬ ܡܛܠ ܕܝܘܠܦܢܐ ܗܢܐ ܝܕܥܝܢܢ ܕܥܠ ܐܢܫ ܠܐ ܡܩܒܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Azori alimzaa Zadoki, Zadoki alimzaa Akimu, Akimu alimzaa Eliudi, \t ܥܙܘܪ ܐܘܠܕ ܠܙܕܘܩ ܙܕܘܩ ܐܘܠܕ ܠܐܟܝܢ ܐܟܝܢ ܐܘܠܕ ܠܐܠܝܘܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, baada ya Festo kuzungumza na washauri wake, akamwambia Paulo, \"Umekata rufani kwa Kaisari, basi, utakwenda kwa Kaisari.\" \t ܗܝܕܝܢ ܦܗܤܛܘܤ ܡܠܠ ܥܡ ܒܢܝ ܡܠܟܗ ܘܐܡܪ ܒܓܢ ܩܤܪ ܩܪܝܬ ܠܘܬ ܩܤܪ ܐܙܠ ܐܢܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hakuna upendo mkuu zaidi kuliko upendo wa mtu atoaye uhai wake kwa ajili ya rafiki zake. \t ܚܘܒܐ ܕܪܒ ܡܢ ܗܢܐ ܠܝܬ ܕܐܢܫ ܢܦܫܗ ܢܤܝܡ ܚܠܦ ܪܚܡܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawaambia watumishi wake: Karamu ya arusi iko tayari kweli, lakini walioalikwa hawakustahili. \t ܗܝܕܝܢ ܐܡܪ ܠܥܒܕܘܗܝ ܡܫܬܘܬܐ ܡܛܝܒܐ ܘܗܢܘܢ ܕܡܙܡܢܝܢ ܗܘܘ ܠܐ ܫܘܝܢ ܗܘܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo akawaambia wanafunzi wake, \"Mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache. \t ܒܥܘ ܗܟܝܠ ܡܢ ܡܪܐ ܚܨܕܐ ܕܢܦܩ ܦܥܠܐ ܠܚܨܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo, wengi wa viongozi wa Wayahudi walimwamini Yesu. Lakini kwa sababu ya Mafarisayo, hawakumkiri hadharani kwa kuogopa kwamba watatengwa na sunagogi. \t ܐܦ ܡܢ ܪܫܐ ܕܝܢ ܤܓܝܐܐ ܗܝܡܢܘ ܒܗ ܐܠܐ ܡܛܠ ܦܪܝܫܐ ܠܐ ܡܘܕܝܢ ܗܘܘ ܕܠܐ ܢܗܘܘܢ ܠܒܪ ܡܢ ܟܢܘܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, aliposhuka pwani, aliona umati mkubwa wa watu, akawaonea huruma, akawaponya wagonjwa wao. \t ܘܢܦܩ ܝܫܘܥ ܚܙܐ ܟܢܫܐ ܤܓܝܐܐ ܘܐܬܪܚܡ ܥܠܝܗܘܢ ܘܐܤܝ ܟܪܝܗܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu. \t ܠܐ ܗܟܝܠ ܒܐܝܕܝ ܡܢ ܕܨܒܐ ܘܠܐ ܒܐܝܕܝ ܡܢ ܕܪܗܛ ܐܠܐ ܒܐܝܕܝ ܐܠܗܐ ܡܪܚܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu ya kuihubiri Habari Njema mimi nateseka na nimefungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu haliwezi kufungwa minyororo, \t ܕܒܗ ܤܒܠ ܐܢܐ ܒܝܫܬܐ ܥܕܡܐ ܠܐܤܘܪܐ ܐܝܟ ܥܒܕ ܒܝܫܬܐ ܐܠܐ ܡܠܬܗ ܕܐܠܗܐ ܠܐ ܐܤܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliposikia hayo, alishangaa; halafu akauelekea ule umati wa watu uliokuwa unamfuata, akasema, \"Sijaona imani kubwa namna hii hata katika Israeli.\" \t ܟܕ ܫܡܥ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܗܠܝܢ ܐܬܕܡܪ ܒܗ ܘܐܬܦܢܝ ܘܐܡܪ ܠܟܢܫܐ ܕܐܬܐ ܒܬܪܗ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܐܦ ܠܐ ܒܝܬ ܐܝܤܪܝܠ ܐܫܟܚܬ ܐܝܟ ܗܕܐ ܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akamwambia Yesu, \"Mwalimu, ni vizuri sana kwamba tuko hapa. Basi, afadhali tujenge vibanda vitatu: kimoja chako, kimoja cha Mose na kimoja cha Eliya.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܟܐܦܐ ܪܒܝ ܫܦܝܪ ܗܘ ܠܢ ܕܗܪܟܐ ܢܗܘܐ ܘܢܥܒܕ ܬܠܬ ܡܛܠܝܢ ܠܟ ܚܕܐ ܘܠܡܘܫܐ ܚܕܐ ܘܠܐܠܝܐ ܚܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa imani wazazi wa Mose walimficha huyo mtoto kwa muda wa miezi mitatu baada ya kuzaliwa kwake. Walimwona kuwa ni mtoto mzuri, wala hawakuiogopa amri ya mfalme. \t ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܐܒܗܘܗܝ ܕܡܘܫܐ ܛܫܝܘܗܝ ܟܕ ܐܬܝܠܕ ܝܪܚܐ ܬܠܬܐ ܕܚܙܘ ܕܫܦܝܪ ܗܘܐ ܛܠܝܐ ܘܠܐ ܕܚܠܘ ܡܢ ܦܘܩܕܢܐ ܕܡܠܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakalia kwa sauti kubwa: \"Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu?\" \t ܘܩܥܘ ܒܩܠܐ ܪܒܐ ܘܐܡܪܝܢ ܥܕܡܐ ܠܐܡܬܝ ܡܪܝܐ ܩܕܝܫܐ ܘܫܪܝܪܐ ܠܐ ܕܝܢܬ ܘܬܒܥܬ ܕܡܢ ܡܢ ܥܡܘܪܝܗ ܕܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Siku ya tatu walimkuta Hekaluni kati ya walimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali. \t ܘܡܢ ܒܬܪ ܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܐܫܟܚܘܗܝ ܒܗܝܟܠܐ ܟܕ ܝܬܒ ܡܨܥܬ ܡܠܦܢܐ ܘܫܡܥ ܡܢܗܘܢ ܘܡܫܐܠ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliwaambia wanafunzi wake: \"Tajiri mmoja alikuwa na karani wake. Huyu karani alichongewa kwamba alitumia ovyo mali ya tajiri wake. \t ܘܐܡܪ ܡܬܠܐ ܠܘܬ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܓܒܪܐ ܚܕ ܐܝܬ ܗܘܐ ܥܬܝܪܐ ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܠܗ ܪܒܝܬܐ ܘܐܬܐܟܠܘ ܠܗ ܩܪܨܘܗܝ ܕܩܢܝܢܗ ܡܦܪܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile tumaini mliloitiwa na Mungu ni moja. \t ܕܬܗܘܘܢ ܒܚܕ ܦܓܪܐ ܘܒܚܕܐ ܪܘܚܐ ܐܝܟ ܡܐ ܕܐܬܩܪܝܬܘܢ ܒܚܕ ܤܒܪܐ ܕܩܪܝܢܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwanakondoo akaenda, akakitwaa hicho kitabu kutoka mkono wa kulia wa yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi. \t ܘܐܬܐ ܘܢܤܒ ܟܬܒܐ ܡܢ ܐܝܕܗ ܕܗܘ ܕܝܬܒ ܥܠ ܟܘܪܤܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mwongo ni nani? Ni yule anayekana kwamba Yesu ni Masiha. Mtu wa namna hiyo ni adui wa Kristo--anamkana Baba na Mwana. \t ܡܢܘ ܕܓܠܐ ܐܠܐ ܐܢ ܐܝܢܐ ܕܟܦܪ ܕܝܫܘܥ ܠܐ ܗܘܐ ܡܫܝܚܐ ܗܢܐ ܗܘ ܡܫܝܚܐ ܕܓܠܐ ܗܘ ܕܟܦܪ ܒܐܒܐ ܟܦܪ ܐܦ ܒܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, yeye ambaye Baba alimweka wakfu na kumtuma ulimwenguni, mnamwambia: Unakufuru, eti kwa sababu nilisema: Mimi ni Mwana wa Mungu? \t ܠܐܝܢܐ ܕܐܒܐ ܩܕܫܗ ܘܫܕܪܗ ܠܥܠܡܐ ܐܢܬܘܢ ܐܡܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܡܓܕܦ ܐܢܬ ܥܠ ܕܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܕܒܪܗ ܐܢܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Yesu akawaambia, \"Nawaulizeni, je, ni halali siku ya Sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuyaangamiza?\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܫܐܠܟܘܢ ܡܢܐ ܫܠܝܛ ܒܫܒܬܐ ܕܛܒ ܠܡܥܒܕ ܐܘ ܕܒܝܫ ܢܦܫܐ ܠܡܚܝܘ ܐܘ ܠܡܘܒܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mimi ni Myahudi, mzaliwa wa Tarso katika Kilikia. Lakini nililelewa papa hapa mjini Yerusalemu chini ya mkufunzi Gamalieli. Nilifundishwa kufuata kwa uthabiti Sheria ya wazee wetu. Nilijitolea kwa moyo wote kwa Mungu kama ninyi wenyewe mlivyo hivi leo. \t ܐܢܐ ܓܒܪܐ ܐܢܐ ܝܗܘܕܝܐ ܘܝܠܝܕ ܐܢܐ ܒܛܪܤܘܤ ܕܩܝܠܝܩܝܐ ܐܬܪܒܝܬ ܕܝܢ ܒܗܕܐ ܡܕܝܢܬܐ ܥܠ ܓܢܒ ܪܓܠܘܗܝ ܕܓܡܠܝܐܝܠ ܘܐܬܪܕܝܬ ܓܡܝܪܐܝܬ ܒܢܡܘܤܐ ܕܐܒܗܬܢ ܘܐܝܬܝ ܗܘܝܬ ܛܢܢܐ ܕܐܠܗܐ ܐܝܟ ܡܐ ܕܐܦ ܐܢܬܘܢ ܟܠܟܘܢ ܐܝܬܝܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu alipokuwa akipita alimwona mtu mmoja, kipofu tangu kuzaliwa. \t ܘܟܕ ܥܒܪ ܚܙܐ ܓܒܪܐ ܤܡܝܐ ܕܡܢ ܟܪܤ ܐܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huyo mtumishi akamwambia: Ndugu yako amerudi nyumbani, na baba yako amemchinjia ndama mnono kwa kuwa amempata akiwa salama salimini. \t ܐܡܪ ܠܗ ܐܚܘܟ ܐܬܐ ܘܩܛܠ ܐܒܘܟ ܬܘܪܐ ܕܦܛܡܐ ܕܟܕ ܚܠܝܡ ܐܩܒܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "amewashusha wenye nguvu kutoka vitu vyao vya enzi, akawakweza wanyenyekevu. \t ܤܚܦ ܬܩܝܦܐ ܡܢ ܟܘܪܤܘܬܐ ܘܐܪܝܡ ܡܟܝܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wewe hukunisalimu kwa kunibusu, lakini huyu mwanamke tangu nilipoingia hapa amekuwa akiibusu miguu yangu. \t ܐܢܬ ܠܐ ܢܫܩܬܢܝ ܗܕܐ ܕܝܢ ܗܐ ܡܢ ܕܥܠܬ ܠܐ ܫܠܝܬ ܪܓܠܝ ܠܡܢܫܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakati wa mchana, siku hizo, Yesu alikuwa akifundisha watu Hekaluni; lakini usiku alikuwa akienda katika mlima wa Mizeituni na kukaa huko. \t ܒܐܝܡܡܐ ܕܝܢ ܡܠܦ ܗܘܐ ܒܗܝܟܠܐ ܘܒܠܠܝܐ ܢܦܩ ܗܘܐ ܒܐܬ ܒܛܘܪܐ ܕܡܬܩܪܐ ܕܒܝܬ ܙܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Isiwe hivyo, ila tunaamini kwamba, sisi kama vile wao, tunaokolewa kwa njia ya neema ya Bwana Yesu.\" \t ܐܠܐ ܒܛܝܒܘܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܡܗܝܡܢܝܢܢ ܕܢܚܐ ܐܟܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Kwa malaika wa kanisa la Smurna andika hivi: \"Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye wa kwanza na wa mwisho, ambaye alikufa na akaishi tena. \t ܘܠܡܠܐܟܐ ܕܥܕܬܐ ܕܙܡܘܪܢܐ ܟܬܘܒ ܗܟܢܐ ܐܡܪ ܩܕܡܝܐ ܘܐܚܪܝܐ ܗܘ ܕܗܘܐ ܡܝܬܐ ܘܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope, basi, ninyi mna thamani zaidi kuliko shomoro wengi! \t ܕܝܠܟܘܢ ܕܝܢ ܐܦ ܡܢܐ ܕܤܥܪܐ ܕܪܫܟܘܢ ܟܠܗܝܢ ܡܢܝܢ ܐܢܝܢ ܠܐ ܗܟܝܠ ܬܕܚܠܘܢ ܕܡܢ ܤܘܓܐܐ ܕܨܦܪܐ ܡܝܬܪܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mfalme akamwuliza, Rafiki, umeingiaje hapa bila vazi la arusi? Lakini yeye akakaa kimya. \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܚܒܪܝ ܐܝܟܢܐ ܥܠܬ ܠܟܐ ܟܕ ܢܚܬܐ ܕܡܫܬܘܬܐ ܠܝܬ ܠܟ ܗܘ ܕܝܢ ܐܫܬܬܩ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, joka hilo likamkasirikia huyo mama, likajiondokea, likaenda kupigana na wazawa wengine wa huyo mama, yaani wote wanaotii amri za Mungu na kuuzingatia ukweli wa Yesu. \t ܘܪܓܙ ܬܢܝܢܐ ܥܠ ܐܢܬܬܐ ܘܐܙܠ ܠܡܥܒܕ ܩܪܒܐ ܥܡ ܫܪܟܐ ܕܙܪܥܗ ܗܠܝܢ ܕܢܛܪܝܢ ܦܘܩܕܢܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܘܐܝܬ ܠܗܘܢ ܤܗܕܘܬܗ ܕܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tunayo madhabahu ambayo wale wanaotumikia bado katika hema la Wayahudi, hawana haki ya kula vitu vyake. \t ܐܝܬ ܠܢ ܕܝܢ ܡܕܒܚܐ ܕܠܐ ܫܠܝܛ ܠܡܐܟܠ ܡܢܗ ܠܗܢܘܢ ܕܒܡܫܟܢܐ ܡܫܡܫܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo mama yake akawaambia watumishi, \"Lolote atakalowaambieni, fanyeni.\" \t ܐܡܪܐ ܐܡܗ ܠܡܫܡܫܢܐ ܡܕܡ ܕܐܡܪ ܠܟܘܢ ܥܒܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hekima ya namna hiyo haitoki juu mbinguni; hekima hiyo ni ya ulimwengu, na ya kidunia, tena ni ya kishetani. \t ܡܛܠ ܕܗܕܐ ܚܟܡܬܐ ܡܢ ܠܥܠ ܠܐ ܢܚܬܬ ܐܠܐ ܐܝܬܝܗ ܐܪܥܢܝܬܐ ܡܢ ܚܘܫܒܐ ܕܢܦܫܐ ܘܡܢ ܫܐܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu hao, kwa makusudi, husahau kwamba zamani Mungu alinena, nazo mbingu na nchi zikaumbwa. Dunia iliumbwa kutoka katika maji na kwa maji; \t ܛܥܝܐ ܠܗܘܢ ܓܝܪ ܗܕܐ ܟܕ ܨܒܝܢ ܕܫܡܝܐ ܐܝܬܝܗܘܢ ܗܘܘ ܡܢ ܩܕܝܡ ܘܐܪܥܐ ܡܢ ܡܝܐ ܘܒܝܕ ܡܝܐ ܩܡܬ ܒܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata hivyo nawaambieni, Siku ya hukumu, ninyi mtapata adhabu kubwa kuliko Tiro na Sidoni. \t ܒܪܡ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܝܢ ܕܠܨܘܪ ܘܠܨܝܕܢ ܢܗܘܐ ܢܝܚ ܒܝܘܡܐ ܕܕܝܢܐ ܐܘ ܠܟܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mtu akiwaambieni: \"Chakula hiki kimetambikiwa sanamu,\" basi, kwa ajili ya huyo aliyewaambieni hivyo na kwa ajili ya dhamiri, msile. \t ܐܢ ܐܢܫ ܕܝܢ ܢܐܡܪ ܠܟܘܢ ܕܗܢܐ ܕܕܒܝܚܐ ܗܘ ܠܐ ܬܐܟܠܘܢ ܡܛܠ ܗܘ ܕܐܡܪ ܠܟܘܢ ܘܡܛܠ ܬܐܪܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na Mungu alionyesha upendo wake kwetu kwa kumtuma Mwanae wa pekee ulimwenguni, ili tuwe na uzima kwa njia yake. \t ܒܗܕܐ ܐܬܝܕܥ ܚܘܒܗ ܕܐܠܗܐ ܕܠܘܬܢ ܕܠܒܪܗ ܝܚܝܕܝܐ ܫܕܪ ܐܠܗܐ ܠܥܠܡܐ ܕܢܚܐ ܒܐܝܕܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwamba atatuokoa mikononi mwa adui zetu na kutoka mikononi mwa wote wanaotuchukia. \t ܕܢܦܪܩܢ ܡܢ ܒܥܠܕܒܒܝܢ ܘܡܢ ܐܝܕܐ ܕܟܠܗܘܢ ܤܢܐܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo wakamwuliza, \"Basi, wewe ni nani? Je, wewe ni Eliya?\" Yohane akajibu, \"La, mimi siye.\" Wakamwuliza, \"Je, wewe ni yule nabii?\" Yohane akawajibu, \"La!\" \t ܘܫܐܠܘܗܝ ܬܘܒ ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܐܠܝܐ ܐܢܬ ܘܐܡܪ ܠܐ ܐܝܬܝ ܢܒܝܐ ܐܢܬ ܘܐܡܪ ܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wapenzi wangu, kama dhamiri yetu haina lawama juu yetu, basi, twaweza kuwa na uthabiti mbele ya Mungu, \t ܚܒܝܒܝ ܐܢ ܠܒܢ ܠܐ ܒܤܪ ܠܢ ܓܠܝܢ ܐܢܝܢ ܐܦܝܢ ܩܕܡ ܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, hao wajumbe wa Yohane walipokuwa wanakwenda zao, Yesu alianza kuyaambia makundi ya watu habari za Yohane: \"Mlikwenda kutazama nini kule jangwani? Je, mlitaka kuona mwanzi unaotikiswa na upepo? \t ܟܕ ܕܝܢ ܐܙܠܘ ܫܪܝ ܝܫܘܥ ܠܡܐܡܪ ܠܟܢܫܐ ܥܠ ܝܘܚܢܢ ܡܢܐ ܢܦܩܬܘܢ ܠܚܘܪܒܐ ܠܡܚܙܐ ܩܢܝܐ ܕܡܢ ܪܘܚܐ ܡܬܬܙܝܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hizi ni habari za mambo ambayo yalifunuliwa na Yesu Kristo. Mungu alimpa Kristo ufunuo huu ili awaonyeshe watumishi wake mambo ambayo yanapaswa kutukia karibuni. Kristo alimtuma malaika wake amjulishe Yohane, mtumishi wake, mambo hayo, \t ܓܠܝܢܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܝܗܒ ܠܗ ܐܠܗܐ ܠܡܚܘܝܘ ܠܥܒܕܘܗܝ ܡܐ ܕܝܗܝܒ ܠܡܗܘܐ ܒܥܓܠ ܘܫܘܕܥ ܟܕ ܫܠܚ ܒܝܕ ܡܠܐܟܗ ܠܥܒܕܗ ܝܘܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena tunayo sababu nyingine ya kumshukuru Mungu: tulipowaleteeni ujumbe wa Mungu, ninyi mliusikia mkaupokea, si kama vile ujumbe wa binadamu, bali kama ujumbe wa Mungu, na kweli ndivyo ulivyo. Maana Mungu anafanya kazi ndani yenu ninyi mnaoamini. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܐܦ ܚܢܢ ܡܘܕܝܢܢ ܐܡܝܢܐܝܬ ܠܐܠܗܐ ܕܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܕܩܒܠܬܘܢ ܡܢܢ ܠܐ ܗܘܐ ܐܝܟ ܡܠܬܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܩܒܠܬܘܢܗ ܐܠܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܝܬܝܗ ܫܪܝܪܐܝܬ ܡܠܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܗܝ ܒܥܒܕܐ ܡܤܬܥܪܐ ܒܟܘܢ ܒܐܝܠܝܢ ܕܡܗܝܡܢܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, asiyepingana nasi, yuko upande wetu. \t ܡܢ ܕܠܐ ܗܘܐ ܗܟܝܠ ܠܘܩܒܠܟܘܢ ܚܠܦܝܟܘܢ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ndugu, simameni imara na zingatieni yale mafundisho tuliyowafundisheni kwa mahubiri yetu na barua zetu. \t ܡܟܝܠ ܐܚܝ ܐܬܩܝܡܘ ܘܚܡܤܢܘ ܒܦܘܩܕܢܐ ܕܝܠܦܬܘܢ ܐܢ ܒܡܠܬܐ ܘܐܢ ܒܐܓܪܬܐ ܕܝܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ili nao watu wa mataifa mengine wapate kumtukuza Mungu kwa sababu ya huruma yake. Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: \"Kwa sababu hiyo, nitakusifu miongoni mwa watu wa mataifa. Nitaziimba sifa za jina lako.\" \t ܘܥܡܡܐ ܢܫܒܚܘܢ ܠܐܠܗܐ ܚܠܦ ܪܚܡܐ ܕܗܘܘ ܥܠܝܗܘܢ ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܐܘܕܐ ܠܟ ܒܥܡܡܐ ܘܠܫܡܟ ܐܙܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Baraba, ambaye alikuwa amefungwa pamoja na waasi wengine kwa kusababisha uasi na mauaji. \t ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܚܕ ܕܡܬܩܪܐ ܒܪ ܐܒܐ ܕܐܤܝܪ ܗܘܐ ܥܡ ܥܒܕܝ ܐܤܛܤܝܢ ܗܢܘܢ ܕܩܛܠܐ ܒܐܤܛܤܝܢ ܥܒܕܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ingawa kulikuwa na ndugu wengine wa uongo waliotaka atahiriwe. Watu hawa walijiingiza kwa ujanja na kupeleleza uhuru wetu tulio nao katika kuungana na Kristo Yesu, ili wapate kutufanya watumwa. \t ܡܛܠ ܕܝܢ ܐܚܐ ܕܓܠܐ ܕܥܠܘ ܥܠܝܢ ܕܢܓܫܘܢ ܚܐܪܘܬܐ ܕܐܝܬ ܠܢ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܐܝܟܢܐ ܕܢܫܥܒܕܘܢܢܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu na atuone sisi kuwa ni watumishi wa Kristo tuliokabidhiwa siri za mungu. \t ܗܟܢܐ ܗܘܝܢ ܚܫܝܒܝܢ ܠܟܘܢ ܐܝܟ ܡܫܡܫܢܐ ܕܡܫܝܚܐ ܘܪܒܝ ܒܬܐ ܕܐܪܙܘܗܝ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana ni lazima kila kiharibikacho kijivalie hali ya kutoharibika, mwili uwezao kufa ujivalie hali ya kutokufa. \t ܥܬܝܕ ܗܘ ܓܝܪ ܗܢܐ ܕܡܬܚܒܠ ܕܢܠܒܫ ܠܐ ܡܬܚܒܠܢܘܬܐ ܘܗܢܐ ܕܡܐܬ ܕܢܠܒܫ ܠܐ ܡܝܘܬܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa, Baba, nitukuze mbele yako kwa ule utukufu niliokuwa nao kabla ya kuumbwa ulimwengu. \t ܘܗܫܐ ܫܒܚܝܢܝ ܐܢܬ ܐܒܝ ܠܘܬܟ ܒܗܘ ܫܘܒܚܐ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܠܝ ܠܘܬܟ ܡܢ ܩܕܡ ܕܢܗܘܐ ܥܠܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watakieni baraka wale wanaowalaani, na waombeeni wale wanaowatendea vibaya. \t ܘܒܪܟܘ ܠܐܝܠܝܢ ܕܠܝܛܝܢ ܠܟܘܢ ܘܨܠܘ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܕܒܪܝܢ ܠܟܘܢ ܒܩܛܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayemwamini Mwana anao uzima wa milele; asiyemtii Mwana hatakuwa na uzima wa milele, bali ghadhabu ya Mungu hubaki juu yake.\" \t ܡܢ ܕܡܗܝܡܢ ܒܒܪܐ ܐܝܬ ܠܗ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܘܡܢ ܕܠܐ ܡܬܛܦܝܤ ܠܒܪܐ ܠܐ ܢܚܙܐ ܚܝܐ ܐܠܐ ܪܘܓܙܗ ܕܐܠܗܐ ܢܩܘܐ ܥܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Atakayeanguka juu ya jiwe hilo atavunjika vipandevipande; na likimwangukia mtu yeyote, litamponda.\" \t ܘܡܢ ܕܢܦܠ ܥܠ ܟܐܦܐ ܗܕܐ ܢܬܪܥܥ ܘܟܠ ܡܢ ܕܗܝ ܬܦܠ ܥܠܘܗܝ ܬܕܪܝܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, mkuu wa jeshi alimwendea Paulo, akamwambia, \"Niambie; je, wewe ni raia wa Roma?\" Paulo akamjibu, \"Naam.\" \t ܘܩܪܒ ܠܘܬܗ ܟܠܝܪܟܐ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܡܪ ܠܝ ܐܢܬ ܪܗܘܡܝܐ ܐܢܬ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nami najua kuwa amri yake huleta uzima wa milele. Basi, mimi nasema tu yale Baba aliyoniagiza niyaseme.\" \t ܘܝܕܥ ܐܢܐ ܕܦܘܩܕܢܗ ܚܝܐ ܐܢܘܢ ܕܠܥܠܡ ܐܝܠܝܢ ܗܟܝܠ ܕܡܡܠܠ ܐܢܐ ܐܝܟܢܐ ܕܐܡܪ ܠܝ ܐܒܝ ܗܟܢܐ ܡܡܠܠ ܐܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Tena, Ufalme wa mbinguni unafanana na wavu uliotupwa baharini, ukanasa samaki wa kila aina. \t ܬܘܒ ܕܡܝܐ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܠܡܨܝܕܬܐ ܕܢܦܠܬ ܒܝܡܐ ܘܡܢ ܟܠ ܓܢܤ ܟܢܫܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yakobo alimzaa Yosefu, aliyekuwa mume wake Maria, mama yake Yesu, aitwaye Kristo. \t ܝܥܩܘܒ ܐܘܠܕ ܠܝܘܤܦ ܓܒܪܗ ܕܡܪܝܡ ܕܡܢܗ ܐܬܝܠܕ ܝܫܘܥ ܕܡܬܩܪܐ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Toka huko tuling'oa nanga, tukazunguka na kufika Regio. Baada ya siku moja, upepo ulianza kuvuma kutoka kusini, na baada ya siku mbili tulifika bandari ya Potioli. \t ܘܡܢ ܬܡܢ ܐܬܟܪܟܢ ܘܡܢܥܢ ܠܪܓܝܘܢ ܡܕܝܢܬܐ ܘܒܬܪ ܝܘܡܐ ܚܕ ܢܫܒܬ ܠܢ ܪܘܚܐ ܕܬܝܡܢܐ ܘܠܬܪܝܢ ܝܘܡܝܢ ܐܬܝܢ ܠܦܘܛܝܐܠܤ ܡܕܝܢܬܐ ܕܐܝܛܠܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "upole na kuwa na kiasi. Hakuna Sheria inayoweza kupinga mambo hayo. \t ܡܟܝܟܘܬܐ ܡܤܝܒܪܢܘܬܐ ܥܠ ܗܠܝܢ ܢܡܘܤܐ ܠܐ ܤܝܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, watakapowapeleka ninyi mahakamani, msiwe na wasiwasi mtasema nini au namna gani; wakati utakapofika, mtapewa la kusema. \t ܐܡܬܝ ܕܝܢ ܕܢܫܠܡܘܢܟܘܢ ܠܐ ܬܐܨܦܘܢ ܐܝܟܢܐ ܐܘ ܡܢܐ ܬܡܠܠܘܢ ܡܬܝܗܒ ܠܟܘܢ ܓܝܪ ܒܗܝ ܫܥܬܐ ܡܐ ܕܬܡܠܠܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipokuwa bado wanaendelea na safari walifika mahali penye maji na huyo ofisa akasema, \"Mahali hapa pana maji; je, kuna chochote cha kunizuia nisibatizwe?\" \t ܘܟܕ ܗܢܘܢ ܐܙܠܝܢ ܒܐܘܪܚܐ ܡܛܝܘ ܗܘܘ ܠܕܘܟܬܐ ܚܕܐ ܕܐܝܬ ܒܗ ܡܝܐ ܘܐܡܪ ܗܘ ܡܗܝܡܢܐ ܗܐ ܡܝܐ ܡܢܐ ܗܝ ܟܠܝܬܐ ܕܐܥܡܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "hatukula chakula kwa mtu yeyote bila ya kumlipa. Tulifanya kazi kwa bidii na taabu mchana na usiku ili tusiwe mzigo kwa mtu yeyote kati yenu. \t ܐܦܠܐ ܠܚܡܐ ܕܡܓܢ ܐܟܠܢ ܡܢ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܐܠܐ ܒܥܡܠܐ ܘܒܠܐܘܬܐ ܒܠܠܝܐ ܘܒܐܝܡܡܐ ܦܠܚܝܢ ܗܘܝܢ ܕܥܠ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܠܐ ܢܐܩܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakamwambia, \"Hatujui mamlaka hayo yalitoka wapi.\" \t ܘܐܡܪܘ ܠܗ ܕܠܐ ܝܕܥܝܢܢ ܡܢ ܐܝܡܟܐ ܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawaonya wanafunzi wasimwambie mtu yeyote kwamba yeye ndiye Kristo. \t ܗܝܕܝܢ ܦܩܕ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܠܐܢܫ ܠܐ ܢܐܡܪܘܢ ܕܗܘܝܘ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "(G13-12) Watu wote wa Mungu huku wanawasalimuni. \t ܫܐܠܝܢ ܒܫܠܡܟܘܢ ܟܠܗܘܢ ܩܕܝܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi akawaita pamoja makuhani wakuu wote na walimu wa Sheria, akawauliza, \"Kristo atazaliwa wapi?\" \t ܘܟܢܫ ܟܠܗܘܢ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܤܦܪܐ ܕܥܡܐ ܘܡܫܐܠ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܕܐܝܟܐ ܡܬܝܠܕ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila Sabato alifanya majadiliano katika sunagogi akijaribu kuwavuta Wayahudi na Wagiriki. \t ܘܡܡܠܠ ܗܘܐ ܒܟܢܘܫܬܐ ܒܟܠ ܫܒܐ ܘܡܦܝܤ ܗܘܐ ܠܝܗܘܕܝܐ ܘܠܚܢܦܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "na kuita kwa sauti kubwa kama ya mngurumo wa simba. Alipopaaza sauti, ngurumo saba ziliitikia kwa kishindo. \t ܘܩܥܐ ܒܩܠܐ ܪܡܐ ܐܝܟ ܐܪܝܐ ܕܓܤܪ ܘܟܕ ܩܥܐ ܡܠܠܘ ܫܒܥܐ ܪܥܡܝܢ ܒܩܠܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wamejaa kila aina ya uovu, dhuluma, ulafi na ufisadi. Wamejaa wivu, uuaji, ugomvi, udanganyifu na nia mbaya; husengenya, \t ܟܕ ܡܠܝܢ ܟܠ ܥܘܠܘܬܐ ܘܙܢܝܘܬܐ ܘܡܪܝܪܘܬܐ ܘܒܝܫܘܬܐ ܘܥܠܘܒܘܬܐ ܘܚܤܡܐ ܘܩܛܠܐ ܘܚܪܝܢܐ ܘܢܟܠܐ ܘܡܚܫܒܬܐ ܒܝܫܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akasema, \"Baba, uwasamehe kwa maana hawajui wanalofanya.\" Kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura. \t ܗܘ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪ ܗܘܐ ܐܒܐ ܫܒܘܩ ܠܗܘܢ ܠܐ ܓܝܪ ܝܕܥܝܢ ܡܢܐ ܥܒܕܝܢ ܘܦܠܓܘ ܢܚܬܘܗܝ ܘܐܪܡܝܘ ܥܠܝܗܘܢ ܦܤܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jambo hili lilifanyika kusudi ile baraka aliyopewa Abrahamu iwashukie watu wa mataifa mengine kwa njia ya Kristo, na ili kwa imani, tumpokee yule Roho ambaye Mungu alituahidia. \t ܕܒܥܡܡܐ ܬܗܘܐ ܒܘܪܟܬܗ ܕܐܒܪܗܡ ܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܘܚܢܢ ܢܤܒ ܫܘܘܕܝܐ ܕܪܘܚܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mazoezi ya mwili yana faida yake, lakini mazoezi ya kiroho yana faida za kila namna, maana yanatuahidia uzima katika maisha ya sasa, na pia hayo yanayokuja. \t ܕܘܪܫܐ ܓܝܪ ܕܦܓܪܐ ܙܒܢܐ ܗܘ ܙܥܘܪܐ ܡܘܬܪ ܟܐܢܘܬܐ ܕܝܢ ܒܟܠ ܡܕܡ ܡܘܬܪܐ ܘܐܝܬ ܠܗ ܫܘܘܕܝܐ ܕܚܝܐ ܕܙܒܢܐ ܗܢܐ ܘܕܥܬܝܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, akaa ndani yangu, nami nakaa ndani yake. \t ܡܢ ܕܐܟܠ ܦܓܪܝ ܘܫܬܐ ܕܡܝ ܒܝ ܡܩܘܐ ܘܐܢܐ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Lakini ninyi jihadharini. Maana watu watawapelekeni mahakamani, na kuwapigeni katika masunagogi. Mtapelekwa mbele ya watawala na wafalme kwa sababu yangu ili mpate kunishuhudia kwao. \t ܚܙܘ ܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܢܦܫܟܘܢ ܢܫܠܡܘܢܟܘܢ ܓܝܪ ܠܕܝܢܐ ܘܒܟܢܘܫܬܗܘܢ ܬܬܢܓܕܘܢ ܘܩܕܡ ܡܠܟܐ ܘܗܓܡܘܢܐ ܬܩܘܡܘܢ ܡܛܠܬܝ ܠܤܗܕܘܬܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ahadi zile Mungu alizotoa kwa njia ya manabii ni kwa ajili yenu; na mnashiriki lile agano Mungu alilofanya na babu zenu, kama alivyomwambia Abrahamu: Kwa njia ya wazawa wako, jamaa zote za dunia zitabarikiwa. \t ܐܢܬܘܢ ܐܢܘܢ ܒܢܝܗܘܢ ܕܢܒܝܐ ܘܕܕܝܬܩܐ ܐܝܕܐ ܕܤܡ ܐܠܗܐ ܠܐܒܗܬܢ ܟܕ ܐܡܪ ܠܐܒܪܗܡ ܕܒܙܪܥܟ ܢܬܒܪܟܢ ܟܠܗܝܢ ܫܪܒܬܐ ܕܐܪܥܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye Mungu aliye chanzo cha amani hatakawia kumponda Shetani chini ya miguu yenu. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi. \t ܐܠܗܐ ܕܝܢ ܕܫܠܡܐ ܢܫܚܩܝܘܗܝ ܒܥܓܠ ܠܤܛܢܐ ܬܚܝܬ ܪܓܠܝܟܘܢ ܛܝܒܘܬܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܬܗܘܐ ܥܡܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Waliteua wazee katika kila kanisa kwa ajili ya waumini, na baada ya kusali na kufunga, wakawaweka chini ya ulinzi wa Bwana ambaye walikuwa wanamwamini. \t ܘܐܩܝܡܘ ܠܗܘܢ ܒܟܠ ܥܕܬܐ ܩܫܝܫܐ ܟܕ ܨܝܡܝܢ ܗܘܘ ܥܡܗܘܢ ܘܡܨܠܝܢ ܘܡܓܥܠܝܢ ܗܘܘ ܠܗܘܢ ܠܡܪܢ ܗܘ ܕܗܝܡܢܘ ܒܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Yakobo, mtumishi wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, nawaandikia ninyi, makabila kumi na mawili, yaliyotawanyika ulimwenguni! Salaam! \t ܝܥܩܘܒ ܥܒܕܗ ܕܐܠܗܐ ܘܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܠܬܪܬܥܤܪܐ ܫܪܒܢ ܕܙܪܝܥܢ ܒܥܡܡܐ ܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ni kama chachu aliyoitwaa mama mmoja na kuichanganya pamoja na unga debe moja kisha unga wote ukaumuka wote.\" \t ܕܡܝܐ ܠܚܡܝܪܐ ܕܢܤܒܬ ܐܢܬܬܐ ܛܡܪܬ ܒܩܡܚܐ ܕܬܠܬ ܤܐܝܢ ܥܕܡܐ ܕܟܠܗ ܚܡܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Makuhani wakuu pamoja na viongozi wa Wayahudi walimpa habari kuhusu mashtaka yaliyokuwa yanamkabili Paulo. Walimsihi Festo \t ܘܐܘܕܥܘܗܝ ܪܒܝ ܟܗܢܐ ܘܪܫܐ ܕܝܗܘܕܝܐ ܥܠ ܦܘܠܘܤ ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara, Yesu akawaamuru wanafunzi wake wapande mashua, wamtangulie ng'ambo ya ziwa wakati yeye anawaaga watu. \t ܘܡܚܕܐ ܐܠܨ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܢܤܩܘܢ ܠܤܦܝܢܬܐ ܘܢܐܙܠܘܢ ܩܕܡܘܗܝ ܠܥܒܪܐ ܥܕ ܫܪܐ ܗܘ ܠܟܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Lakini, tazameni! Yule atakayenisaliti yuko nami hapa mezani. \t ܒܪܡ ܗܐ ܐܝܕܗ ܕܡܫܠܡܢܝ ܥܠ ܦܬܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "kwa sababu mnapokea wokovu wa roho zenu ambao ni lengo la imani yenu. \t ܕܬܩܒܠܘܢ ܦܘܪܥܢܐ ܕܗܝܡܢܘܬܟܘܢ ܚܝܐ ܕܢܦܫܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha malaika mmoja mwenye nguvu sana akainua jiwe mfano wa jiwe kubwa la kusagia, akalitupa baharini akisema, \"Ndivyo, Babuloni atakavyotupwa na kupotea kabisa. \t ܘܫܩܠ ܚܕ ܡܢ ܡܠܐܟܐ ܚܝܠܬܢܐ ܟܐܦܐ ܪܒܬܐ ܐܝܟ ܪܚܝܐ ܘܐܪܡܝ ܒܝܡܐ ܘܐܡܪ ܗܟܢܐ ܒܚܐܦܐ ܬܫܬܕܐ ܒܒܝܠ ܡܕܝܢܬܐ ܪܒܬܐ ܘܠܐ ܬܫܟܚ ܬܘܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "ambao walimuua Bwana Yesu na manabii, wakatutesa na sisi pia. Watu hao wanamchukiza Mungu, tena ni adui za kila mtu! \t ܗܢܘܢ ܕܠܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܩܛܠܘ ܘܠܢܒܝܐ ܕܡܢܗܘܢ ܘܠܢ ܪܕܦܘ ܘܠܐܠܗܐ ܠܐ ܫܦܪܝܢ ܘܥܒܝܕܝܢ ܤܩܘܒܠܐ ܠܟܠܗܘܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Zakariya, baba yake mtoto, akajazwa Roho Mtakatifu, akatamka ujumbe wa Mungu: \t ܘܐܬܡܠܝ ܙܟܪܝܐ ܐܒܘܗܝ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܘܐܬܢܒܝ ܘܐܡܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanafunzi walipokuwa wamekwenda umbali wa kilomita tano au sita, walimwona Yesu akitembea juu ya maji, anakaribia mashua; wakaogopa sana. \t ܘܕܒܪܘ ܐܝܟ ܐܤܛܕܘܬܐ ܥܤܪܝܢ ܘܚܡܫܐ ܐܘ ܬܠܬܝܢ ܘܚܙܘ ܠܝܫܘܥ ܟܕ ܡܗܠܟ ܥܠ ܝܡܬܐ ܘܟܕ ܩܪܒ ܠܘܬ ܤܦܝܢܬܗܘܢ ܕܚܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wake wawatii waume zao kama kumtii Bwana. \t ܢܫܐ ܗܘܝܬܝܢ ܡܫܬܥܒܕܢ ܠܒܥܠܝܟܝܢ ܐܝܟ ܕܠܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini tuko imara na tungependelea hata kuyahama makao haya, tukahamie kwa Bwana. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܬܟܝܠܝܢܢ ܘܡܤܘܚܝܢܢ ܕܢܥܢܕ ܡܢ ܦܓܪܐ ܘܢܗܘܐ ܠܘܬ ܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nami mwenyewe nitawapelekeeni yule ambaye Baba aliahidi kumtuma, lakini ngojeni huku mjini mpaka mtakapopewa ile nguvu itokayo juu.\" \t ܘܐܢܐ ܐܫܕܪ ܥܠܝܟܘܢ ܡܘܠܟܢܐ ܕܐܒܝ ܐܢܬܘܢ ܕܝܢ ܩܘܘ ܒܐܘܪܫܠܡ ܡܕܝܢܬܐ ܥܕܡܐ ܕܬܠܒܫܘܢ ܚܝܠܐ ܡܢ ܪܘܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, tunapenda kuwapa habari juu ya neema ambazo Mungu ameyajalia makanisa ya Makedonia. \t ܡܘܕܥܝܢܢ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܐܚܝܢ ܛܝܒܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܕܐܬܝܗܒܬ ܒܥܕܬܐ ܕܡܩܕܘܢܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mimi Paulo, ambaye Mungu alitaka niwe mtume wa Kristo Yesu ili niutangaze ule uzima tulioahidiwa katika kuungana na Kristo Yesu, \t ܦܘܠܘܤ ܫܠܝܚܐ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܨܒܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܘܒܡܘܠܟܢܐ ܕܚܝܐ ܕܒܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kuhusu kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa kuitii Sheria, Mose aliandika hivi: \"Mtu yeyote anayetimiza matakwa ya Sheria ataishi.\" \t ܡܘܫܐ ܓܝܪ ܗܟܢܐ ܟܬܒ ܟܐܢܘܬܐ ܕܒܢܡܘܤܐ ܕܡܢ ܕܢܥܒܕ ܗܠܝܢ ܢܚܐ ܒܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Malaika wote wakasimama kukizunguka kiti cha enzi, wazee na vile viumbe hai vinne. Wakaanguka kifudifudi mbele ya kiti cha enzi, wakamwabudu Mungu, \t ܘܟܠܗܘܢ ܡܠܐܟܐ ܩܝܡܝܢ ܗܘܘ ܚܕܪܘܗܝ ܕܟܘܪܤܝܐ ܘܕܩܫܝܫܐ ܘܕܐܪܒܥ ܚܝܘܢ ܘܢܦܠܘ ܩܕܡ ܟܘܪܤܝܐ ܥܠ ܐܦܝܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, hamjui kwamba, licha ya kuhukumu mambo ya kawaida ya kila siku, tutawahukumu hata malaika? \t ܠܐ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܠܡܠܐܟܐ ܕܝܢܝܢܢ ܚܕ ܟܡܐ ܐܝܠܝܢ ܕܕܥܠܡܐ ܐܢܝܢ ܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, Yesu akawauliza wanafunzi wake, \"Wakati nilipowatuma bila mfuko wa fedha wala mkoba wala viatu, mlitindikiwa chochote?\" Wakajibu, \"La.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܟܕ ܫܕܪܬܟܘܢ ܕܠܐ ܟܝܤܐ ܘܕܠܐ ܬܪܡܠܐ ܘܡܤܢܐ ܠܡܐ ܚܤܪ ܠܟܘܢ ܡܕܡ ܐܡܪܝܢ ܠܗ ܘܠܐ ܡܕܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Msiwahukumu wengine, nanyi hamtahukumiwa; msiwalaumu wengine, nanyi hamtalaumiwa; wasameheni wengine, nanyi mtasamehewa. \t ܠܐ ܬܕܘܢܘܢ ܘܠܐ ܡܬܬܕܝܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܐ ܬܚܝܒܘܢ ܘܠܐ ܡܬܚܝܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܫܪܘ ܘܬܫܬܪܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa kweli huko kushtakiana tu wenyewe kwa wenyewe kwabainisha kwamba mmeshindwa kabisa! Je, haingekuwa jambo bora zaidi kwenu kudhulumiwa! Haingekuwa bora zaidi kwenu kunyang'anywa mali yenu? \t ܡܢ ܟܕܘ ܗܟܝܠ ܩܢܘܡܟܘܢ ܚܒܬܘܢ ܠܟܘܢ ܕܕܝܢܐ ܚܕ ܥܡ ܚܕ ܐܝܬ ܠܟܘܢ ܡܛܠ ܡܢܐ ܓܝܪ ܠܐ ܡܬܥܠܒܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܡܛܠ ܡܢܐ ܠܐ ܡܬܓܠܙܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka mbinguni ama kwa watu? Nijibuni.\" \t ܡܥܡܘܕܝܬܗ ܕܝܘܚܢܢ ܡܢ ܐܝܡܟܐ ܗܝ ܡܢ ܫܡܝܐ ܐܘ ܡܢ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܐܡܪܘ ܠܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "nakuamuru ushike maagizo yako na kuyatii kwa uaminifu mpaka Siku ile atakapotokea Bwana wetu Yesu Kristo. \t ܕܬܛܪܝܘܗܝ ܦܘܩܕܢܐ ܕܠܐ ܛܘܠܫܐ ܘܕܠܐ ܡܘܡܐ ܥܕܡܐ ܠܓܠܝܢܗ ܕܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Amueni wenyewe: Je, inafaa mwanamke kumwomba Mungu bila kuvaa kitu kichwani? \t ܕܘܢܘ ܒܝܢܝܟܘܢ ܠܢܦܫܟܘܢ ܝܐܐ ܠܐܢܬܬܐ ܕܟܕ ܓܠܐ ܪܫܗ ܬܨܠܐ ܠܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye anashika mkononi chombo cha kupuria nafaka, ili aipure nafaka yake; akusanye ngano ghalani, na makapi ayachome kwa moto usiozimika.\" \t ܗܘ ܕܪܦܫܐ ܒܐܝܕܗ ܘܡܕܟܐ ܐܕܪܘܗܝ ܘܚܛܐ ܟܢܫ ܠܐܘܨܪܘܗܝ ܘܬܒܢܐ ܡܘܩܕ ܒܢܘܪܐ ܕܠܐ ܕܥܟܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nawapeni hongera kwa sababu mnanikumbuka na kwa sababu mnayashikilia yale maagizo niliyowapeni. \t ܡܫܒܚ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܝܢ ܐܚܝ ܕܒܟܠ ܡܕܡ ܡܥܗܕ ܐܢܬܘܢ ܠܝ ܘܐܝܟܢܐ ܕܐܫܠܡܬ ܠܟܘܢ ܦܘܩܕܢܐ ܐܚܝܕܝܢ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ikiwa mnatuuliza leo juu ya kile kitendo chema alichofanyiwa yule mtu aliyekuwa kiwete na jinsi alivyopata kuwa mzima, \t ܐܢ ܚܢܢ ܝܘܡܢܐ ܡܬܕܝܢܝܢ ܚܢܢ ܡܢܟܘܢ ܥܠ ܫܦܝܪܬܐ ܕܗܘܬ ܠܒܪܢܫܐ ܟܪܝܗܐ ܕܒܡܢܐ ܗܢܐ ܐܬܐܤܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nzige hao hawakuruhusiwa kuwaua watu, ila kuwatesa tu kwa muda wa miezi mitano. Maumivu watakayosababisha ni kama maumivu yanayompata mtu wakati anapoumwa na ng'e. \t ܘܐܬܝܗܒ ܠܗܘܢ ܕܠܐ ܢܩܛܠܘܢ ܐܢܘܢ ܐܠܐ ܢܫܬܢܩܘܢ ܝܪܚܐ ܚܡܫܐ ܘܬܫܢܝܩܗܘܢ ܐܝܟ ܬܫܢܝܩܐ ܕܥܩܪܒܐ ܡܐ ܕܢܦܠܐ ܥܠ ܐܢܫ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na wale wazee ishirini na wanne, na vile viumbe hai vinne, wakajitupa chini, wakamwabudu Mungu aliyeketi juu ya kiti cha enzi wakisema, \"Amina! Asifiwe Mungu!\" \t ܘܢܦܠܘ ܥܤܪܝܢ ܘܐܪܒܥܐ ܩܫܝܫܝܢ ܘܐܪܒܥ ܚܝܘܢ ܘܤܓܕܘ ܠܐܠܗܢ ܕܝܬܒ ܥܠ ܟܘܪܤܝܐ ܘܐܡܪܝܢ ܐܡܝܢ ܗܠܠܘܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, ninyi wenyewe mnafahamu kwamba ziara yetu kwenu haikuwa bure. \t ܘܐܢܬܘܢ ܝܕܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܐܚܝ ܕܡܥܠܢܢ ܕܠܘܬܟܘܢ ܠܐ ܗܘܐ ܤܪܝܩܐܝܬ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha. \t ܘܬܡܝܗܝܢ ܗܘܘ ܒܝܘܠܦܢܗ ܕܡܫܠܛܐ ܗܘܬ ܡܠܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "sijaacha kamwe kumshukuru Mungu kwa ajili yenu. Ninawakumbuka katika sala zangu \t ܠܐ ܡܫܬܠܐ ܐܢܐ ܠܡܘܕܝܘ ܥܠ ܐܦܝܟܘܢ ܘܠܡܥܗܕܟܘܢ ܒܨܠܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara Yesu akawaamuru wanafunzi wake wapande mashua, wamtangulie kwenda Bethsaida, ng'ambo ya ziwa, wakati yeye anauaga umati wa watu. \t ܘܡܚܕܐ ܐܠܨ ܠܬܠܡܝܕܘܗܝ ܕܢܤܩܘܢ ܠܤܦܝܢܬܐ ܘܢܐܙܠܘܢ ܩܕܡܘܗܝ ܠܥܒܪܐ ܠܒܝܬ ܨܝܕܐ ܥܕ ܫܪܐ ܗܘ ܠܟܢܫܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Yeyote anayesema neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa; lakini anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa. \t ܘܟܠ ܕܢܐܡܪ ܡܠܬܐ ܥܠ ܒܪܗ ܕܐܢܫܐ ܢܫܬܒܩ ܠܗ ܡܢ ܕܥܠ ܪܘܚܐ ܕܝܢ ܕܩܘܕܫܐ ܢܓܕܦ ܠܐ ܢܫܬܒܩ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtume mtu Yopa akamwite mtu mmoja aitwaye Simoni, kwa jina lingine Petroi; yuko nyumbani kwa Simoni mtengenezaji wa ngozi karibu na bahari. \t ܒܪܡ ܫܕܪ ܠܝܘܦܐ ܡܕܝܢܬܐ ܘܐܝܬܐ ܠܫܡܥܘܢ ܕܡܬܩܪܐ ܟܐܦܐ ܗܐ ܫܪܐ ܒܒܝܬܗ ܕܫܡܥܘܢ ܒܘܪܤܝܐ ܕܥܠ ܝܕ ܝܡܐ ܘܗܘ ܢܐܬܐ ܢܡܠܠ ܥܡܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnyama huyo niliyemwona alikuwa kama chui; miguu yake ilikuwa kama ya dubu, na kinywa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu yake, kiti chake cha enzi na uwezo mkuu. \t ܘܚܝܘܬܐ ܗܝ ܕܚܙܝܬ ܕܡܘܬܐ ܗܘܬ ܕܢܡܪܐ ܘܪܓܠܝܗ ܐܝܟ ܕܕܒܐ ܘܦܘܡܗ ܐܝܟ ܕܐܪܝܘܬܐ ܘܝܗܒ ܠܗ ܬܢܝܢܐ ܚܝܠܗ ܘܟܘܪܤܝܗ ܘܫܘܠܛܢܐ ܪܒܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Wayahudi wakachukua mawe ili wamtupie. \t ܘܫܩܠܘ ܬܘܒ ܝܗܘܕܝܐ ܟܐܦܐ ܠܡܪܓܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha, Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, akaenda kwa makuhani wakuu, \t ܗܝܕܝܢ ܐܙܠ ܚܕ ܡܢ ܬܪܥܤܪ ܕܡܬܩܪܐ ܝܗܘܕܐ ܤܟܪܝܘܛܐ ܠܘܬ ܪܒܝ ܟܗܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msifikiri kwamba mimi nitawashtaki kwa Baba. Mose ambaye ninyi mmemtumainia ndiye atakayewashtaki. \t ܠܡܐ ܤܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܐܢܐ ܐܟܠ ܐܢܐ ܩܪܨܝܟܘܢ ܩܕܡ ܐܒܐ ܐܝܬܘܗܝ ܡܢ ܕܐܟܠ ܩܪܨܝܟܘܢ ܡܘܫܐ ܗܘ ܕܒܗ ܤܒܪܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika sherehe za sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode, binti ya Herodia alicheza mbele ya wageni. Herode alifurahiwa, \t ܟܕ ܗܘܐ ܕܝܢ ܒܝܬ ܝܠܕܗ ܕܗܪܘܕܤ ܪܩܕܬ ܒܪܬܗ ܕܗܪܘܕܝܐ ܩܕܡ ܤܡܝܟܐ ܘܫܦܪܬ ܠܗ ܠܗܪܘܕܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Halafu Paulo akamaliza na kusema, \"Jueni basi, kwamba ujumbe wa Mungu juu ya wokovu umepelekwa kwa watu wa mataifa. Wao watasikiliza!\" \t ܬܬܝܕܥ ܠܟܘܢ ܗܟܝܠ ܗܕܐ ܕܠܥܡܡܐ ܗܘ ܐܫܬܕܪ ܗܢܐ ܦܘܪܩܢܐ ܕܐܠܗܐ ܗܢܘܢ ܓܝܪ ܐܦ ܫܡܥܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipitia sehemu za nchi zile akiwatia watu moyo kwa maneno mengi. Halafu akafika Ugiriki. \t ܘܟܕ ܐܬܟܪܟ ܐܢܘܢ ܠܐܬܪܘܬܐ ܗܠܝܢ ܘܒܝܐ ܐܢܘܢ ܒܡܠܐ ܤܓܝܐܬܐ ܐܬܐ ܠܗ ܠܗܠܤ ܐܬܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yeye alituokoa katika hatari kubwa ya kifo, na anaendelea kutuokoa; sisi tumemwekea tumaini letu kwamba atatuokoa tena, \t ܗܘ ܕܡܢ ܡܘܬܐ ܚܤܝܢܐ ܦܪܩܢ ܘܬܘܒ ܡܤܒܪܝܢܢ ܕܦܪܩ ܠܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na uzima wa milele ndio huu: kukujua wewe uliye peke yako Mungu wa kweli, na kumjua Yesu Kristo uliyemtuma. \t ܗܠܝܢ ܐܢܘܢ ܕܝܢ ܚܝܐ ܕܠܥܠܡ ܕܢܕܥܘܢܟ ܕܐܢܬ ܐܢܬ ܐܠܗܐ ܕܫܪܪܐ ܒܠܚܘܕܝܟ ܘܡܢ ܕܫܕܪܬ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu hakumjibu neno. Basi, wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, \"Mwambie aende zake kwa maana anatufuatafuata akipiga kelele.\" \t ܗܘ ܕܝܢ ܠܐ ܦܢܝܗ ܦܬܓܡܐ ܘܩܪܒܘ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܒܥܘ ܡܢܗ ܘܐܡܪܝܢ ܫܪܝܗ ܕܩܥܝܐ ܒܬܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Watu wawili walikuwa wamemkopa mtu fedha: mmoja alikuwa amekopa dinari mia tano, na mwingine hamsini. \t ܬܪܝܢ ܚܝܒܐ ܐܝܬ ܗܘܘ ܠܚܕ ܡܪܐ ܚܘܒܐ ܚܕ ܚܝܒ ܗܘܐ ܕܝܢܪܐ ܚܡܫܡܐܐ ܘܐܚܪܢܐ ܕܝܢܪܐ ܚܡܫܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Askari wa gereza alipoamka na kuiona milango ya gereza imefunguliwa, alidhani kwamba wafungwa wote walikuwa wametoroka na hivyo akauchomoa upanga wake, akataka kujiua. \t ܘܟܕ ܐܬܬܥܝܪ ܢܛܪ ܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܘܚܙܐ ܕܦܬܝܚܝܢ ܬܪܥܐ ܕܒܝܬ ܐܤܝܪܐ ܢܤܒ ܤܦܤܪܐ ܘܒܥܐ ܕܢܩܛܘܠ ܢܦܫܗ ܡܛܠ ܕܤܒܪ ܗܘܐ ܕܥܪܩܘ ܠܗܘܢ ܐܤܝܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha akawaambia mfano: \"Angalieni mtini na miti mingine yote. \t ܘܐܡܪ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܡܬܠܐ ܚܙܘ ܠܬܬܐ ܘܠܟܠܗܘܢ ܐܝܠܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ilipokuwa jioni, walimletea watu wengi waliokuwa wamepagawa na pepo; naye, kwa kusema neno tu, akawafukuza hao pepo. Aliwaponya pia watu wote waliokuwa wagonjwa. \t ܟܕ ܗܘܐ ܕܝܢ ܪܡܫܐ ܩܪܒܘ ܩܕܡܘܗܝ ܕܝܘܢܐ ܤܓܝܐܐ ܘܐܦܩ ܕܝܘܝܗܘܢ ܒܡܠܬܐ ܘܠܟܠܗܘܢ ܐܝܠܝܢ ܕܒܝܫܐܝܬ ܥܒܝܕܝܢ ܗܘܘ ܐܤܝ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Watu walimletea Yesu watoto wadogo ili awawekee mikono yake. Wanafunzi walipowaona, wakawazuia kwa maneno makali. \t ܩܪܒܘ ܗܘܘ ܠܗ ܕܝܢ ܐܦ ܝܠܘܕܐ ܕܢܩܪܘܒ ܠܗܘܢ ܘܚܙܘ ܐܢܘܢ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܘܟܐܘ ܒܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walipigwa mawe, walipasuliwa vipandevipande, waliuawa kwa upanga. Walizungukazunguka wakiwa wamevaa ngozi za kondoo na ngozi za mbuzi, walikuwa watu maskini, walioteswa na kudhulumiwa. \t ܐܚܪܢܐ ܐܬܪܓܡܘ ܐܚܪܢܐ ܐܬܢܤܪܘ ܐܚܪܢܐ ܒܦܘܡܐ ܕܤܝܦܐ ܡܝܬܘ ܐܚܪܢܐ ܐܬܟܪܟܘ ܟܕ ܠܒܝܫܝܢ ܡܫܟܐ ܕܐܡܪܐ ܘܕܥܙܐ ܘܤܢܝܩܝܢ ܘܐܠܝܨܝܢ ܘܡܛܪܦܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Pilato alitaka kumwachilia Yesu, hivyo akasema nao tena; \t ܬܘܒ ܕܝܢ ܡܠܠ ܥܡܗܘܢ ܦܝܠܛܘܤ ܟܕ ܨܒܐ ܕܢܫܪܐ ܠܝܫܘܥ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mnapoona kwamba imeanza kuchipua majani, mwatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia. \t ܕܡܐ ܕܡܦܪܥܝܢ ܡܚܕܐ ܡܢܗܘܢ ܡܤܬܟܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܩܪܒ ܠܗ ܩܝܛܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tukisema kwamba tuna umoja naye, na papo hapo twaishi gizani, tutakuwa tumesema uongo kwa maneno na matendo. \t ܘܐܢ ܐܡܪܝܢܢ ܕܫܘܬܦܘܬܐ ܐܝܬ ܠܢ ܥܡܗ ܘܡܗܠܟܝܢܢ ܒܚܫܘܟܐ ܕܓܠܐ ܚܢܢ ܘܠܘ ܒܫܪܪܐ ܪܕܝܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hii ina maana kwamba ndani yetu kifo kinafanya kazi, lakini ndani yenu uhai unafanya kazi. \t ܗܫܐ ܡܘܬܐ ܒܢ ܡܬܚܦܛ ܘܚܝܐ ܒܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Huruma yake kwa watu wanaomcha hudumu kizazi hata kizazi. \t ܘܚܢܢܗ ܠܕܪܐ ܘܫܪܒܬܐ ܥܠ ܐܝܠܝܢ ܕܕܚܠܝܢ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Walikuwa pia na visamaki vichache. Yesu akavibariki, akaamuru vigawiwe watu vilevile. \t ܘܐܝܬ ܗܘܘ ܢܘܢܐ ܩܠܝܠ ܘܐܦ ܥܠܝܗܘܢ ܒܪܟ ܘܐܡܪ ܕܢܤܝܡܘܢ ܐܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Petro akaenda pamoja nao. Alipofika alipelekwa ghorofani katika kile chumba. Huko wajane wengi walimzunguka Petro wakilia na kumwonyesha makoti na nguo ambazo Dorka alikuwa akitengeneza wakati alipokuwa hai. \t ܘܩܡ ܫܡܥܘܢ ܐܙܠ ܥܡܗܘܢ ܘܟܕ ܐܬܐ ܐܤܩܘܗܝ ܠܥܠܝܬܐ ܘܟܢܫ ܩܡ ܠܗܝܢ ܚܕܪܘܗܝ ܟܠܗܝܢ ܐܪܡܠܬܐ ܟܕ ܒܟܝܢ ܘܡܚܘܝܢ ܠܗ ܟܘܬܝܢܝܬܐ ܘܡܪܛܘܛܐ ܗܠܝܢ ܕܝܗܒܐ ܗܘܬ ܠܗܝܢ ܛܒܝܬܐ ܟܕ ܚܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mungu alituahidia kwamba tutaweza kupata pumziko hilo alilosema. Basi, na tuogope ili yeyote kati yenu asije akashindwa kupata pumziko hilo. \t ܢܕܚܠ ܗܟܝܠ ܕܠܡܐ ܟܕ ܩܝܡ ܡܘܠܟܢܐ ܕܡܥܠܬܐ ܕܠܢܝܚܬܗ ܢܫܬܟܚ ܐܢܫ ܡܢܟܘܢ ܕܦܐܫ ܡܢ ܕܠܡܥܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisa chenyewe kilikuwa hiki: Masadukayo hushikilia kwamba wafu hawafufuki, hakuna malaika, na roho nazo hazipo. Lakini Mafarisayo husadiki hayo yote matatu. \t ܙܕܘܩܝܐ ܓܝܪ ܐܡܪܝܢ ܕܠܝܬ ܩܝܡܬܐ ܘܠܐ ܡܠܐܟܐ ܘܠܐ ܪܘܚܐ ܦܪܝܫܐ ܕܝܢ ܡܘܕܝܢ ܒܟܠܗܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini Yesu akawatazama, akawaambia, \"Maandiko haya Matakatifu yana maana gani basi? Jiwe walilokataa waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi! \t ܗܘ ܕܝܢ ܚܪ ܒܗܘܢ ܘܐܡܪ ܘܡܢܐ ܗܝ ܗܝ ܕܟܬܝܒܐ ܕܟܐܦܐ ܕܐܤܠܝܘ ܒܢܝܐ ܗܝ ܗܘܬ ܠܪܝܫ ܩܪܢܐ ܕܙܘܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake umati wa watu wale waliobaki upande wa pili wa ziwa walitambua kwamba kulikuwa na mashua moja tu pale, na Yesu hakuingia katika mashua pamoja na wanafunzi wake, ila wanafunzi hao walikuwa wamekwenda zao peke yao. \t ܘܠܝܘܡܐ ܕܒܬܪܗ ܗܘ ܟܢܫܐ ܕܩܐܡ ܗܘܐ ܒܥܒܪܐ ܕܝܡܐ ܚܙܘ ܕܤܦܝܢܬܐ ܐܚܪܬܐ ܠܝܬ ܗܘܐ ܬܡܢ ܐܠܐ ܐܢ ܗܝ ܕܤܠܩܘ ܠܗ ܬܠܡܝܕܐ ܘܕܠܐ ܥܠ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܝܫܘܥ ܥܡ ܬܠܡܝܕܘܗܝ ܠܤܦܝܢܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, kila aishiye katika muungano na Kristo hatendi dhambi; lakini kila mtu atendaye dhambi hakupata kamwe kumwona, wala kumjua Kristo. \t ܘܟܠ ܕܒܗ ܡܩܘܐ ܠܐ ܚܛܐ ܘܟܠ ܕܚܛܐ ܠܐ ܚܙܝܗܝ ܘܠܐ ܝܕܥܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alipoinama na kuchungulia ndani, aliona sanda, lakini hakuingia ndani. \t ܘܐܕܝܩ ܚܙܐ ܟܬܢܐ ܟܕ ܤܝܡܝܢ ܡܥܠ ܕܝܢ ܠܐ ܥܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, msiwe na wasiwasi juu ya kesho; kesho inayo yake. Matatizo ya siku moja yanawatosheni kwa siku hiyo. \t ܒܥܘ ܕܝܢ ܠܘܩܕܡ ܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ ܘܙܕܝܩܘܬܗ ܘܟܠܗܝܢ ܗܠܝܢ ܡܬܬܘܤܦܢ ܠܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Viongozi wa Wayahudi walikuwa wanamtafuta kwenye sikukuu hiyo; Wakauliza: \"Yuko wapi?\" \t ܝܗܘܕܝܐ ܕܝܢ ܒܥܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܒܥܕܥܕܐ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܐܝܟܘ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hata baada ya kufika Makedonia hatukuweza kupumzika. Kila upande tulikabiliwa na taabu: nje ugomvi; ndani hofu. \t ܐܦ ܡܢ ܕܐܬܝܢ ܓܝܪ ܠܡܩܕܘܢܝܐ ܐܦܠܐ ܚܕ ܢܝܚ ܗܘܐ ܠܦܓܪܢ ܐܠܐ ܒܟܠ ܡܕܡ ܐܬܐܠܨܢ ܡܢ ܠܒܪ ܩܪܒܐ ܘܡܢ ܠܓܘ ܕܚܠܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanaolala hulala usiku, na walevi hulewa usiku. \t ܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܕܡܟܝܢ ܒܠܠܝܐ ܗܘ ܕܡܟܝܢ ܘܐܝܠܝܢ ܕܪܘܝܢ ܒܠܠܝܐ ܗܘ ܪܘܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wanajua kwamba Sheria ya Mungu yasema kwamba watu wanaoishi mithili hiyo, wanastahili kifo. Zaidi ya hayo, siyo tu kwamba wanafanya mambo hayo wao wenyewe, bali hata huwapongeza wale wanaofanya mambo hayohayo. \t ܐܝܠܝܢ ܕܟܕ ܝܕܥܝܢ ܕܝܢܗ ܕܐܠܗܐ ܕܠܐܝܠܝܢ ܕܐܝܟ ܗܠܝܢ ܤܥܪܝܢ ܠܡܘܬܐ ܡܚܝܒ ܠܐ ܗܘܐ ܒܠܚܘܕ ܥܒܕܝܢ ܠܗܝܢ ܐܠܐ ܐܦ ܡܫܬܘܬܦܝܢ ܠܐܝܠܝܢ ܕܗܠܝܢ ܥܒܕܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Na katika lile sunagogi kulikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na roho ya pepo mchafu; akapiga ukelele wa kuziba masikio: \t ܘܐܝܬ ܗܘܐ ܒܟܢܘܫܬܐ ܓܒܪܐ ܕܐܝܬ ܗܘܐ ܒܗ ܪܘܚܐ ܕܫܐܕܐ ܛܢܦܐ ܘܙܥܩ ܒܩܠܐ ܪܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kesho yake askari wa miguu walirudi ngomeni, wakawaacha wale askari wapanda farasi waendelee na safari pamoja na Paulo. \t ܘܠܝܘܡܐ ܐܚܪܢܐ ܫܪܘ ܦܪܫܐ ܠܪܓܠܐ ܚܒܪܝܗܘܢ ܕܢܗܦܟܘܢ ܠܡܫܪܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hivyo, kufuatana na hii Habari Njema ninayohubiri, ndivyo itakavyokuwa wakati Mungu atakapohukumu mambo ya siri ya binadamu kwa njia ya Yesu Kristo. \t ܒܝܘܡܐ ܕܕܐܢ ܐܠܗܐ ܟܤܝܬܐ ܕܒܢܝܢܫܐ ܐܝܟ ܐܘܢܓܠܝܘܢ ܕܝܠܝ ܒܝܕ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Alisema hivyo kwa kuwa kulikuwa na watu wengi mno walikuwa wanafika hapo na kuondoka hata Yesu na wanafunzi wake hawakuweza kupata nafasi ya kula chakula. Basi, Yesu akawaambia, \"Twendeni peke yetu mahali pa faragha kula chakula, mkapumzike kidogo.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܬܘ ܠܟܘܢ ܢܐܙܠ ܠܕܒܪܐ ܒܠܚܘܕܝܢ ܘܐܬܬܢܝܚܘ ܩܠܝܠ ܐܝܬ ܗܘܘ ܓܝܪ ܤܓܝܐܐ ܕܐܙܠܝܢ ܘܐܬܝܢ ܘܠܝܬ ܗܘܐ ܠܗܘܢ ܐܬܪܐ ܐܦ ܠܐ ܠܡܐܟܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu mmoja mwenye ukoma alimwendea Yesu, akapiga magoti, akamwomba, \"Ukitaka, waweza kunitakasa!\" \t ܘܐܬܐ ܠܘܬܗ ܓܪܒܐ ܘܢܦܠ ܥܠ ܪܓܠܘܗܝ ܘܒܥܐ ܗܘܐ ܡܢܗ ܘܐܡܪ ܠܗ ܐܢ ܨܒܐ ܐܢܬ ܡܫܟܚ ܐܢܬ ܠܡܕܟܝܘܬܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nilisikia idadi ya majeshi wapanda farasi ilikuwa milioni mia mbili. \t ܘܡܢܝܢܐ ܕܚܝܠܘܬܐ ܕܦܪܫܐ ܬܪܬܝܢ ܪܒܘ ܪܒܘܢ ܫܡܥܬ ܡܢܝܢܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Karibu na mahali pale palikuwa na mashamba ya Publio, mkuu wa kile kisiwa. Publio alitukaribisha kirafiki, tukawa wageni wake kwa siku tatu. \t ܐܝܬ ܗܘܐ ܕܝܢ ܩܘܪܝܐ ܒܗ ܒܗܘ ܐܬܪܐ ܠܓܒܪܐ ܚܕ ܕܫܡܗ ܗܘܐ ܦܘܦܠܝܘܤ ܕܗܘ ܗܘܐ ܪܫܗ ܕܓܙܪܬܐ ܘܩܒܠܢ ܒܒܝܬܗ ܬܠܬܐ ܝܘܡܝܢ ܚܕܝܐܝܬ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Unataka nikufanyie nini?\" Naye akamjibu, \"Bwana, naomba nipate kuona tena.\" \t ܘܐܡܪ ܠܗ ܡܢܐ ܨܒܐ ܐܢܬ ܐܥܒܕ ܠܟ ܗܘ ܕܝܢ ܐܡܪ ܡܪܝ ܕܐܚܙܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akaenda mbio hadi kwa Petro na yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, akawaambia, \"Wamemwondoa Bwana kaburini, na wala hatujui walikomweka.\" \t ܘܪܗܛܬ ܐܬܬ ܠܘܬ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܘܠܘܬ ܗܘ ܬܠܡܝܕܐ ܐܚܪܢܐ ܕܪܚܡ ܗܘܐ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪܐ ܠܗܘܢ ܕܫܩܠܘܗܝ ܠܡܪܢ ܡܢ ܗܘ ܒܝܬ ܩܒܘܪܐ ܘܠܐ ܝܕܥܐ ܐܢܐ ܐܝܟܐ ܤܡܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana, nikisali kwa lugha ngeni roho yangu ndiyo inayosali, lakini akili yangu hubaki bure. \t ܐܢ ܗܘ ܓܝܪ ܕܗܘܝܬ ܡܨܠܐ ܒܠܫܢܐ ܪܘܚܝ ܗܘ ܡܨܠܝܐ ܡܕܥܝ ܕܝܢ ܕܠܐ ܦܐܪܝܢ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "hapo, walioko Yudea na wakimbilie milimani. \t ܗܝܕܝܢ ܐܝܠܝܢ ܕܒܝܗܘܕ ܐܢܘܢ ܢܥܪܩܘܢ ܠܛܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Utayafumbua macho yao na kuwawezesha watoke gizani na kuingia katika mwanga; watoke katika utawala wa Shetani, wamgeukie Mungu; ili kwa kuamini, wapate kusamehewa dhambi na kuchukua nafasi yao kati ya wale ambao wamepata kuwa watu wa Mungu. \t ܕܬܦܬܚ ܥܝܢܝܗܘܢ ܐܝܟ ܕܢܗܦܟܘܢ ܡܢ ܚܫܘܟܐ ܠܢܗܝܪܐ ܘܡܢ ܫܘܠܛܢܗ ܕܤܛܢܐ ܠܘܬ ܐܠܗܐ ܘܢܩܒܠܘܢ ܫܘܒܩܢ ܚܛܗܐ ܘܦܤܐ ܥܡ ܩܕܝܫܐ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܕܒܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonyesha kwa mara moja falme zote za ulimwengu. Huyo Shetani akamwambia, \t ܘܐܤܩܗ ܤܛܢܐ ܠܛܘܪܐ ܪܡܐ ܘܚܘܝܗ ܟܠܗܝܢ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܪܥܐ ܒܥܕܢܐ ܙܥܘܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baadaye, idadi ya wanafunzi ilipokuwa inazidi kuongezeka, kulitokea manung'uniko kati ya wanafunzi waliosema Kigiriki na wale waliosema Kiebrania. Wale waliosema Kigiriki walinung'unika kwamba wajane wao walikuwa wanasahauliwa katika ugawaji wa mahitaji ya kila siku. \t ܘܒܗܘܢ ܒܝܘܡܬܐ ܗܢܘܢ ܟܕ ܤܓܝܘ ܬܠܡܝܕܐ ܪܛܢܘ ܗܘܘ ܝܘܢܝܐ ܬܠܡܝܕܐ ܥܠ ܥܒܪܝܐ ܕܡܬܒܤܝܢ ܗܘܝ ܐܪܡܠܬܗܘܢ ܒܬܫܡܫܬܐ ܕܟܠܝܘܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ninyi mnaweza kushuhudia, na Mungu pia ni shahidi, jinsi mwenendo wetu kati yenu ninyi mnaoamini ulivyokuwa mzuri, mwadilifu na usio na lawama. \t ܐܢܬܘܢ ܤܗܕܝܢ ܘܐܠܗܐ ܐܝܟܢܐ ܐܟܪܙܢ ܠܟܘܢ ܤܒܪܬܗ ܕܐܠܗܐ ܕܟܝܐܝܬ ܘܟܐܢܐܝܬ ܘܕܠܐ ܪܫܝܢ ܗܘܝܢ ܠܘܬ ܟܠܗܘܢ ܡܗܝܡܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa sababu hiyo tunapaswa kuzingatia kwa makini zaidi yote tuliyosikia, ili tusije tukapotoshwa. \t ܡܛܠ ܗܢܐ ܚܝܒܝܢܢ ܕܝܬܝܪܐܝܬ ܢܗܘܐ ܙܗܝܪܝܢ ܒܡܕܡ ܕܫܡܥܢ ܕܠܐ ܢܦܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sasa twaweza kumshukuru Mungu wetu kwa ajili yenu. Tunamshukuru kwa furaha tuliyo nayo mbele yake kwa sababu yenu. \t ܐܝܕܐ ܓܝܪ ܬܘܕܝܬܐ ܡܫܟܚܝܢܢ ܠܡܦܪܥ ܚܠܦܝܟܘܢ ܠܐܠܗܐ ܥܠ ܟܠ ܚܕܘܬܐ ܕܚܕܝܢܢ ܡܛܠܬܟܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mama huyo akapewa mabawa mawili ya tai apate kuruka mbali sana na hilo joka, mpaka mahali, pake jangwani ambapo angehifadhiwa salama kwa muda wa miaka mitatu na nusu. \t ܘܐܬܝܗܒ ܠܐܢܬܬܐ ܬܪܝܢ ܓܦܝܢ ܕܢܫܪܐ ܪܒܐ ܕܬܦܪܚܝ ܠܚܘܪܒܐ ܠܕܘܟܬܗ ܠܡܬܬܪܤܝܘ ܬܡܢ ܥܕܢ ܥܕܢܝܢ ܘܦܠܓܘܬ ܥܕܢ ܡܢ ܩܕܡ ܐܦܘܗܝ ܕܚܘܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mara tu alipoamua kunifunulia Mwanae kusudi niihubiri Habari Njema yake kwa watu wa mataifa mengine, bila kutafuta maoni ya binadamu, \t ܕܢܓܠܐ ܒܪܗ ܒܝ ܕܐܤܒܪܝܘܗܝ ܒܥܡܡܐ ܒܪ ܫܥܬܗ ܠܐ ܓܠܝܬ ܠܒܤܪܐ ܘܠܕܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Usiku wa manane kukawa na kelele: Haya, haya! Bwana arusi anakuja; nendeni kumlaki. \t ܘܒܦܠܓܗ ܕܠܠܝܐ ܗܘܬ ܩܥܬܐ ܗܐ ܚܬܢܐ ܐܬܐ ܦܘܩܘ ܠܐܘܪܥܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "\"Mimi Klaudio Lusia ninakuandikia wewe Mheshimiwa Felisi, mkuu wa mkoa. Salamu! \t ܠܘܤܝܘܤ ܠܦܝܠܟܤ ܗܓܡܘܢܐ ܢܨܝܚܐ ܫܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya kuwaaga, alipanda mlimani peke yake kusali. Ilipokuwa jioni, yeye alikuwa huko peke yake, \t ܘܟܕ ܫܪܐ ܠܟܢܫܐ ܤܠܩ ܠܛܘܪܐ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܠܡܨܠܝܘ ܘܟܕ ܚܫܟܬ ܒܠܚܘܕܘܗܝ ܗܘܐ ܬܡܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu wa taifa lolote anayemcha Mungu na kutenda haki anapokelewa naye. \t ܐܠܐ ܒܟܠܗܘܢ ܥܡܡܐ ܐܝܢܐ ܕܕܚܠ ܡܢܗ ܘܦܠܚ ܟܐܢܘܬܐ ܡܩܒܠ ܗܘ ܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Abrahamu aliamini na kutumaini ingawa hali yenyewe ilikuwa bila matumaini, na hivyo amekuwa baba wa mataifa mengi kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: \"Wazao wako watakuwa wengi kama nyota!\" \t ܘܕܠܐ ܤܒܪܐ ܠܤܒܪܐ ܗܝܡܢ ܕܢܗܘܐ ܐܒܐ ܠܤܘܓܐܐ ܕܥܡܡܐ ܐܝܟ ܕܟܬܝܒ ܕܗܟܢܐ ܢܗܘܐ ܙܪܥܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana hakuna binadamu yeyote anayekubaliwa kuwa mwadilifu mbele yake Mungu kwa kuishika Sheria; kazi ya Sheria ni kumwonyesha tu mtu kwamba ametenda dhambi. \t ܡܛܠ ܕܡܢ ܥܒܕܘܗܝ ܕܢܡܘܤܐ ܠܐ ܡܙܕܕܩ ܟܠ ܒܤܪ ܩܕܡܘܗܝ ܡܢ ܢܡܘܤܐ ܓܝܪ ܐܬܝܕܥܬ ܚܛܝܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Baada ya ndugu zake kwenda kwenye sikukuu, Yesu naye alikwenda, lakini hakuenda kwa hadhara bali kwa siri. \t ܟܕ ܕܝܢ ܤܠܩܘ ܐܚܘܗܝ ܠܥܕܥܕܐ ܗܝܕܝܢ ܐܦ ܗܘ ܤܠܩ ܠܐ ܒܓܠܝܐ ܐܠܐ ܐܝܟ ܕܒܛܘܫܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana hii ni damu yangu inayothibitisha agano, damu inayomwagwa kwa ajili ya watu wengi ili kuwaondolea dhambi. \t ܗܢܘ ܕܡܝ ܕܕܝܬܩܐ ܚܕܬܐ ܕܚܠܦ ܤܓܝܐܐ ܡܬܐܫܕ ܠܫܘܒܩܢܐ ܕܚܛܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hivyo atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.\" \t ܘܢܡܠܟ ܥܠ ܒܝܬܗ ܕܝܥܩܘܒ ܠܥܠܡ ܘܠܡܠܟܘܬܗ ܤܘܦ ܠܐ ܢܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini wale watu walipojua alikokwenda, walimfuata. Yesu akawakaribisha akawazungumzia juu ya Ufalme wa Mungu, akawaponya wale waliohitaji kuponywa. \t ܟܢܫܐ ܕܝܢ ܟܕ ܝܕܥܘ ܐܙܠܘ ܒܬܪܗ ܘܩܒܠ ܐܢܘܢ ܘܡܡܠܠ ܗܘܐ ܥܡܗܘܢ ܥܠ ܡܠܟܘܬܐ ܕܐܠܗܐ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܤܢܝܩܝܢ ܗܘܘ ܥܠ ܐܤܝܘܬܐ ܡܐܤܐ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye atawajibu, Nawaambieni kweli, kila mlipokataa kumtendea mambo haya mmojawapo wa hawa wadogo, mlikataa kunitendea mimi. \t ܘܢܐܙܠܘܢ ܗܠܝܢ ܠܬܫܢܝܩܐ ܕܠܥܠܡ ܘܙܕܝܩܐ ܠܚܝܐ ܕܠܥܠܡ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Maana mapendo ya Kristo yanatumiliki sisi ambao tunatambua ya kwamba mtu mmoja tu amekufa kwa ajili ya wote, na hiyo ina maana kwamba wote wanashiriki kifo chake. \t ܚܘܒܗ ܓܝܪ ܕܡܫܝܚܐ ܐܠܨ ܠܢ ܕܪܢܝܢܢ ܗܕܐ ܕܚܕ ܚܠܦ ܟܠܢܫ ܡܝܬ ܡܕܝܢ ܟܠܢܫ ܡܝܬ ܠܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tunajua kwamba, katika mambo yote, Mungu hufanya kazi na kuifanikisha pamoja na wote wampendao, yaani wale aliowaita kufuatana na kusudi lake. \t ܝܕܥܝܢܢ ܕܝܢ ܕܐܝܠܝܢ ܕܡܚܒܝܢ ܠܐܠܗܐ ܒܟܠ ܡܕܡ ܡܥܕܪ ܠܗܘܢ ܠܛܒܬܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܩܕܡ ܤܡ ܕܢܗܘܘܢ ܩܪܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kila anayepaswa kunywa maziwa huyo ni mtoto bado, hajui uadilifu ni nini. \t ܟܠܢܫ ܕܝܢ ܕܡܐܟܘܠܬܗ ܚܠܒܐ ܗܘ ܠܐ ܡܦܤ ܒܡܠܬܐ ܕܟܐܢܘܬܐ ܡܛܠ ܕܫܒܪܐ ܗܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa hiyo, basi, Bwana anajua jinsi ya kuwaokoa katika majaribu watu wanaomcha Mungu, na jinsi ya kuwaweka waovu katika adhabu hadi Siku ile ya hukumu, \t ܝܕܥ ܗܘ ܡܪܝܐ ܕܢܦܪܘܩ ܡܢ ܐܘܠܨܢܐ ܠܐܝܠܝܢ ܕܕܚܠܝܢ ܠܗ ܠܥܘܠܐ ܕܝܢ ܠܝܘܡܐ ܕܕܝܢܐ ܟܕ ܡܫܬܢܩܝܢ ܢܛܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, wakawa wanamtafuta Yesu; nao walipokusanyika pamoja Hekaluni wakaulizana, \"Mwaonaje? Yaonekana kwamba haji kabisa kwenye sikukuu, au sivyo?\" \t ܘܒܥܝܢ ܗܘܘ ܠܗ ܠܝܫܘܥ ܘܐܡܪܝܢ ܗܘܘ ܚܕ ܠܚܕ ܒܗܝܟܠܐ ܡܢܐ ܤܒܪܝܢ ܐܢܬܘܢ ܕܠܐ ܐܬܐ ܠܥܕܥܕܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Katika kuungana naye, ninyi pia mnajengwa pamoja na wote wengine, muwe makao ya Mungu kwa njia ya Roho wake. \t ܟܕ ܐܦ ܐܢܬܘܢ ܒܗ ܡܬܒܢܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܥܡܪܐ ܕܐܠܗܐ ܒܪܘܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Kweli nawaambieni, Mwana hawezi kufanya kitu peke yake; anaweza tu kufanya kile anachomwona Baba akikifanya. Maana kile anachofanya Baba, Mwana hukifanya vilevile. \t ܥܢܐ ܕܝܢ ܝܫܘܥ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܡܝܢ ܐܡܝܢ ܐܡܪ ܐܢܐ ܠܟܘܢ ܕܠܐ ܡܫܟܚ ܒܪܐ ܥܒܕ ܡܕܡ ܡܢ ܨܒܘܬ ܢܦܫܗ ܐܠܐ ܡܕܡ ܕܚܙܐ ܠܐܒܐ ܕܥܒܕ ܐܝܠܝܢ ܓܝܪ ܕܐܒܐ ܥܒܕ ܗܠܝܢ ܐܦ ܒܪܐ ܐܟܘܬܗ ܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "theluthi moja ya viumbe vya baharini vikafa na theluthi moja ya meli zikaharibiwa. \t ܘܡܝܬ ܬܘܠܬܐ ܕܟܠ ܒܪܝܬܐ ܕܒܝܡܐ ܕܐܝܬ ܒܗ ܢܦܫܐ ܘܬܘܠܬܐ ܕܐܠܦܐ ܐܬܚܒܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Lakini mkiingia katika mji wowote, wasipowakaribisheni, tokeni; nanyi mpitapo katika barabara zao semeni: \t ܠܐܝܕܐ ܡܕܝܢܬܐ ܕܝܢ ܕܥܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܠܐ ܢܩܒܠܘܢܟܘܢ ܦܘܩܘ ܠܟܘܢ ܠܫܘܩܐ ܘܐܡܪܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hao hawaamini kwa sababu yule mungu wa ulimwengu huu amezitia giza akili zao wasipate kuuona wazi mwanga wa Habari Njema ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano kamili wa Mungu. \t ܐܝܠܝܢ ܕܐܠܗܗ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܥܘܪ ܡܕܥܝܗܘܢ ܥܠ ܕܠܐ ܡܗܝܡܢܝܢ ܕܠܐ ܢܕܢܚ ܠܗܘܢ ܢܘܗܪܗ ܕܐܘܢܓܠܝܘܢ ܕܫܘܒܚܗ ܕܡܫܝܚܐ ܕܗܘܝܘ ܕܡܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ole wenu walimu wa Sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnawanyonya wajane na kujisingizia kuwa watu wema kwa kusali sala ndefu. Kwa sababu hiyo mtapata adhabu kali. \t ܘܝ ܠܟܘܢ ܤܦܪܐ ܘܦܪܝܫܐ ܢܤܒܝ ܒܐܦܐ ܕܐܚܝܕܝܢ ܐܢܬܘܢ ܡܠܟܘܬܐ ܕܫܡܝܐ ܩܕܡ ܒܢܝ ܐܢܫܐ ܐܢܬܘܢ ܓܝܪ ܠܐ ܥܐܠܝܢ ܐܢܬܘܢ ܘܠܐܝܠܝܢ ܕܥܐܠܝܢ ܠܐ ܫܒܩܝܢ ܐܢܬܘܢ ܠܡܥܠ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo tunawaamuru na kuwaonya watu hao wawe na nidhamu na kufanya kazi ili wajipatie maslahi yao wenyewe. \t ܠܗܘܢ ܕܝܢ ܠܗܠܝܢ ܡܦܩܕܝܢܢ ܘܒܥܝܢܢ ܡܢܗܘܢ ܒܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܕܒܫܠܝܐ ܢܗܘܘܢ ܦܠܚܝܢ ܘܐܟܠܝܢ ܠܚܡܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama wazee wenu walivyokuwa wakati walipomwasi Mungu; kama walivyokuwa siku ile kule jangwani, \t ܠܐ ܬܩܫܘܢ ܠܒܘܬܟܘܢ ܠܡܪܓܙܘܬܗ ܐܝܟ ܡܡܪܡܪܢܐ ܘܐܝܟ ܝܘܡܐ ܕܢܤܝܘܢܐ ܕܒܡܕܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Viumbe vyote vinatazamia kwa hamu Mungu awadhihirishe watoto wake. \t ܟܠܗ ܓܝܪ ܒܪܝܬܐ ܡܤܒܪܐ ܘܡܤܟܝܐ ܠܓܠܝܢܐ ܕܒܢܘܗܝ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Petro akamwambia, \"Niambie! Je, kiasi hiki cha fedha ndicho mlichopata kwa kuuza lile shamba?\" Yeye akamjibu, \"Naam, ni kiasi hicho.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܫܡܥܘܢ ܐܡܪ ܠܝ ܐܢ ܒܗܠܝܢ ܕܡܝܐ ܙܒܢܬܘܢ ܩܪܝܬܐ ܗܝ ܕܝܢ ܐܡܪܬ ܐܝܢ ܒܗܠܝܢ ܕܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nimewaambieni haya sasa kabla hayajatokea, ili yatakapotokea mpate kuamini. \t ܘܗܫܐ ܗܐ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܥܕܠܐ ܢܗܘܐ ܕܡܐ ܕܗܘܐ ܬܗܝܡܢܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo, Petro, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akawaambia, \"Viongozi na wazee wa watu! \t ܗܝܕܝܢ ܫܡܥܘܢ ܟܐܦܐ ܐܬܡܠܝ ܪܘܚܐ ܕܩܘܕܫܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܐܪܟܘܢܘܗܝ ܕܥܡܐ ܘܩܫܝܫܐ ܕܒܝܬ ܐܝܤܪܝܠ ܫܡܥܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Jichunguzeni ninyi wenyewe mpate kujua kama kweli mnayo imani. Jichunguzeni ninyi wenyewe. Je, hamjui kwamba Kristo Yesu yumo ndani yenu? Kama sivyo, basi ninyi mmeshindwa. \t ܢܦܫܟܘܢ ܒܩܘ ܐܢ ܒܗ ܒܗܝܡܢܘܬܐ ܩܝܡܝܢ ܐܢܬܘܢ ܢܦܫܟܘܢ ܐܤܘ ܐܘ ܠܐ ܡܫܬܘܕܥܝܬܘܢ ܕܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ ܒܟܘܢ ܗܘ ܘܐܢ ܠܐ ܡܤܠܝܐ ܐܢܬܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, ninawaandikia ninyi nyote mlioko Roma ambao Mungu anawapenda, akawateua muwe watu wake. Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo. \t ܠܟܠܗܘܢ ܕܒܪܗܘܡܝ ܚܒܝܒܘܗܝ ܕܐܠܗܐ ܩܪܝܐ ܘܩܕܝܫܐ ܫܠܡܐ ܘܛܝܒܘܬܐ ܥܡܟܘܢ ܡܢ ܐܠܗܐ ܐܒܘܢ ܘܡܢ ܡܪܢ ܝܫܘܥ ܡܫܝܚܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Tena Maandiko yasema: \"Furahini, enyi watu wa mataifa; furahini pamoja na watu wake.\" \t ܘܬܘܒ ܐܡܪ ܐܬܒܤܡܘ ܥܡܡܐ ܥܡ ܥܡܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ombeni pia ili Mungu atuokoe na watu wapotovu na waovu, maana si wote wanaoamini ujumbe huu. \t ܘܕܢܬܦܨܐ ܡܢ ܒܢܝܢܫܐ ܒܝܫܐ ܘܥܢܬܐ ܠܘ ܓܝܪ ܕܟܠܢܫ ܗܝ ܗܝܡܢܘܬܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msijidanganye! Mtu yeyote miongoni mwenu akijidhania mwenye hekima mtindo wa kidunia, heri awe mjinga kusudi apate kuwa na hekima ya kweli. \t ܐܢܫ ܠܐ ܢܛܥܐ ܢܦܫܗ ܡܢ ܕܤܒܪ ܒܟܘܢ ܕܚܟܝܡ ܗܘ ܒܥܠܡܐ ܗܢܐ ܢܗܘܐ ܠܗ ܤܟܠܐ ܕܢܗܘܐ ܚܟܝܡܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Nimekwisha waambieni kwamba mimi ndiye. Basi, kama mnanitafuta mimi, waacheni hawa waende zao.\" \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܝܫܘܥ ܐܡܪܬ ܠܟܘܢ ܕܐܢܐ ܐܢܐ ܘܐܢ ܠܝ ܒܥܝܢ ܐܢܬܘܢ ܫܒܘܩܘ ܠܗܠܝܢ ܐܙܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mtu akikupeleka mahakamani kutaka kukuchukulia shati lako, mwache achukue pia koti lako. \t ܘܡܢ ܕܨܒܐ ܕܢܕܘܢ ܥܡܟ ܘܢܫܩܘܠ ܟܘܬܝܢܟ ܫܒܘܩ ܠܗ ܐܦ ܡܪܛܘܛܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu, tunataka kuwajulisheni taabu zilizotupata kule Asia; taabu hizo zilitulemea kupita kiasi, hata tukakata matumaini yote ya kuendelea kuishi. \t ܨܒܝܢܢ ܕܝܢ ܕܬܕܥܘܢ ܐܚܝܢ ܥܠ ܐܘܠܨܢܐ ܕܗܘܐ ܠܢ ܒܐܤܝܐ ܕܪܘܪܒܐܝܬ ܐܬܐܠܨܢ ܝܬܝܪ ܡܢ ܚܝܠܢ ܥܕܡܐ ܕܩܪܝܒܝܢ ܗܘܘ ܚܝܝܢ ܠܡܬܛܠܩܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kisha Masadukayo, ambao husema kwamba wafu hawafufuki, wakamjia Yesu, wakasema: \t ܩܪܒܘ ܕܝܢ ܐܢܫܝܢ ܡܢ ܙܕܘܩܝܐ ܗܢܘܢ ܕܐܡܪܝܢ ܕܩܝܡܬܐ ܠܝܬ ܘܫܐܠܘܗܝ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Msiwe wavivu, bali muwe kama wale wanaoamini na wenye uvumilivu na hivyo wanapokea yake aliyoahidi Mungu. \t ܘܕܠܐ ܬܬܩܛܥ ܠܟܘܢ ܐܠܐ ܕܬܗܘܘܢ ܡܡܪܝܢܐ ܠܗܢܘܢ ܕܒܗܝܡܢܘܬܐ ܘܒܢܓܝܪܘܬ ܪܘܚܐ ܗܘܘ ܝܪܬܐ ܕܡܘܠܟܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Aliye mkubwa miongoni mwenu ni lazima awe mtumishi wenu. \t ܗܘ ܕܝܢ ܕܪܒ ܒܟܘܢ ܢܗܘܐ ܠܟܘܢ ܡܫܡܫܢܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Hapo yakatimia Maandiko Matakatifu yanayosema, \"Aliwekwa kundi moja na waovu.\" \t ܘܫܠܡ ܟܬܒܐ ܕܐܡܪ ܕܥܡ ܥܘܠܐ ܐܬܚܫܒ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Yesu akamwuliza, \"Jina lako nani?\" Naye akajibu, \"Jina langu ni Jeshi, maana sisi tu wengi.\" \t ܘܫܐܠܗ ܐܝܟܢܐ ܫܡܟ ܐܡܪ ܠܗ ܠܓܝܘܢ ܫܡܢ ܡܛܠ ܕܤܓܝܐܐ ܚܢܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Badala yake, unapofanya karamu, waalike maskini, vilema viwete na vipofu, \t ܐܠܐ ܡܐ ܕܥܒܕ ܐܢܬ ܩܘܒܠܐ ܩܪܝ ܠܡܤܟܢܐ ܤܓܝܦܐ ܚܓܝܤܐ ܤܡܝܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Naye aliposikia hivyo, akainuka mara, akamwendea Yesu. \t ܘܡܪܝܡ ܟܕ ܫܡܥܬ ܩܡܬ ܥܓܠ ܘܐܬܝܐ ܗܘܬ ܠܘܬܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nanyi akina baba, msiwachukize watoto wenu ila waleeni katika nidhamu na mafundisho ya Kikristo. \t ܐܒܗܐ ܠܐ ܬܪܓܙܘܢ ܒܢܝܟܘܢ ܐܠܐ ܪܒܘ ܐܢܘܢ ܒܡܪܕܘܬܐ ܘܒܝܘܠܦܢܐ ܕܡܪܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "maana hawakuwa bado wameelewa maana ya ile mikate. Akili zao zilikuwa bado zimepumbazika. \t ܠܐ ܓܝܪ ܐܤܬܟܠܘ ܗܘܘ ܡܢ ܠܚܡܐ ܗܘ ܡܛܠ ܕܠܒܗܘܢ ܡܥܒܝ ܗܘܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, huyo mtumishi akapiga magoti mbele yake, akasema, Unisubiri nami nitakulipa deni lote. \t ܘܢܦܠ ܗܘ ܥܒܕܐ ܤܓܕ ܠܗ ܘܐܡܪ ܡܪܝ ܐܓܪ ܥܠܝ ܪܘܚܐ ܘܟܠ ܡܕܡ ܦܪܥ ܐܢܐ ܠܟ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Anayeapa kwa madhabahu ameapa kwa hiyo madhabahu, na kwa chochote kilichowekwa juu yake. \t ܡܢ ܕܝܡܐ ܗܟܝܠ ܒܡܕܒܚܐ ܝܡܐ ܒܗ ܘܒܟܠ ܡܐ ܕܐܝܬ ܠܥܠ ܡܢܗ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Mngoja mlango wa zizi humfungulia, na kondoo husikia sauti yake, naye huwaita kondoo wake kila mmoja kwa jina lake na kuwaongoza nje. \t ܘܠܗܢܐ ܢܛܪ ܬܪܥܐ ܦܬܚ ܠܗ ܬܪܥܐ ܘܥܢܐ ܫܡܥܐ ܩܠܗ ܘܥܪܒܘܗܝ ܩܪܐ ܒܫܡܗܝܗܘܢ ܘܡܦܩ ܠܗܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamwambia, \"Yeyote anayeshika jembe tayari kulima na huku anaangalia nyuma, hafai kwa Ufalme wa Mungu.\" \t ܐܡܪ ܠܗ ܝܫܘܥ ܠܐ ܐܢܫ ܪܡܐ ܐܝܕܗ ܥܠ ܚܪܒܐ ܕܦܕܢܐ ܘܚܐܪ ܠܒܤܬܪܗ ܘܚܫܚ ܠܡܠܟܘܬܗ ܕܐܠܗܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Akawajibu, \"Aliye na nguo mbili amgawie yule asiye na nguo; aliye na chakula afanye vivyo hivyo.\" \t ܥܢܐ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܬܪܬܝܢ ܟܘܬܝܢܝܢ ܢܬܠ ܠܡܢ ܕܠܝܬ ܠܗ ܘܡܢ ܕܐܝܬ ܠܗ ܤܝܒܪܬܐ ܗܟܢܐ ܢܥܒܕ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sheria ya Mose huwateua watu waliokuwa dhaifu kuwa makuhani wakuu; lakini ahadi ya Mungu aliyoifanya kwa kiapo na ambayo imefika baada ya sheria imemteua Mwana ambaye amefanywa mkamilifu milele. \t ܢܡܘܤܐ ܓܝܪ ܒܢܝܢܫܐ ܗܘ ܟܪܝܗܐ ܡܩܝV ܟܘܡܪܐ ܡܠܬܐ ܕܝܢ ܕܡܘܡܬܐ ܕܗܘܬ ܒܬܪ ܢܡܘܤܐ ܒܪܐ ܓܡܝܪܐ ܠܥܠV"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wafanya biashara waliotajirika kutokana na mji huo, watasimama mbali kwa sababu ya hofu ya mateso yake, watalalamika na kuomboleza, \t ܘܠܐ ܢܫܟܚܘܢ ܐܢܘܢ ܬܓܪܐ ܕܗܠܝܢ ܕܥܬܪܘ ܡܢܗ ܡܢ ܩܒܘܠ ܢܩܘܡܘܢ ܡܢ ܕܚܠܬܐ ܕܫܘܢܩܗ ܟܕ ܒܟܝܢ ܘܐܒܝܠܝܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kinachotakiwa kwa yeyote yule aliyekabidhiwa kazi ni kuwa mwaminifu. \t ܗܪܟܐ ܡܟܝܠ ܡܬܒܥܐ ܒܪܒܝ ܒܬܐ ܕܐܢܫ ܟܕ ܡܗܝܡܢ ܢܫܬܟܚ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu aliuita tena ule umati wa watu, akawaambia, \"Nisikilizeni nyote, mkaelewe. \t ܘܩܪܐ ܝܫܘܥ ܠܟܢܫܐ ܟܠܗ ܘܐܡܪ ܠܗܘܢ ܫܘܡܥܘܢܝ ܟܠܟܘܢ ܘܐܤܬܟܠܘ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Sisi tumepata kujua upendo ni nini, kwani Kristo aliyatoa maisha yake kwa ajili yetu. Nasi vilevile tunapaswa kuyatoa maisha yetu kwa ajili ya ndugu zetu. \t ܒܗܕܐ ܝܕܥܝܢܢ ܚܘܒܗ ܕܠܘܬܢ ܕܗܘ ܝܗܒ ܢܦܫܗ ܚܠܦܝܢ ܘܐܦ ܚܢܢ ܙܕܩ ܠܢ ܕܥܠ ܐܦܝ ܐܚܝܢ ܢܬܠ ܢܦܫܬܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Wale ndugu wakamsindikiza haraka aende pwani lakini Sila na Timotheo walibaki Berea. \t ܘܠܦܘܠܘܤ ܫܪܐܘܗܝ ܐܚܐ ܕܢܚܘܬ ܠܗ ܠܝܡܐ ܘܩܘܝ ܗܘܐ ܒܗ ܒܡܕܝܢܬܐ ܗܝ ܫܝܠܐ ܘܛܝܡܬܐܘܤ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akasema, \"Mimi nimekuja ulimwenguni kutoa hukumu, kusudi wasioona wapate kuona, na wale wanaoona wawe vipofu.\" \t ܘܐܡܪ ܝܫܘܥ ܠܕܝܢܗ ܕܥܠܡܐ ܗܢܐ ܐܬܝܬ ܕܐܝܠܝܢ ܕܠܐ ܚܙܝܢ ܢܚܙܘܢ ܘܐܝܠܝܢ ܕܚܙܝܢ ܢܤܡܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, Wayahudi wakashangaa na kusema \"Mtu huyu amepataje elimu naye hakusoma shuleni?\" \t ܘܡܬܕܡܪܝܢ ܗܘܘ ܝܗܘܕܝܐ ܘܐܡܪܝܢ ܐܝܟܢܐ ܝܕܥ ܗܢܐ ܤܦܪܐ ܟܕ ܠܐ ܝܠܦ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Nataka kusema nini, basi? Kwamba chakula kilichotambikiwa sanamu ni kitu zaidi ya chakula? Na hizo sanamu, je, ni kitu kweli zaidi ya sanamu? \t ܡܢܐ ܗܟܝܠ ܐܡܪ ܐܢܐ ܕܦܬܟܪܐ ܡܕܡ ܐܝܬܘܗܝ ܐܘ ܕܒܚܐ ܕܦܬܟܪܐ ܡܕܡ ܗܘ ܠܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Basi, akawaacha, akapanda tena mashua, akaanza safari kwenda ng'ambo ya pili ya ziwa. \t ܘܫܒܩ ܐܢܘܢ ܘܤܠܩ ܠܤܦܝܢܬܐ ܘܐܙܠܘ ܠܗܘ ܥܒܪܐ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Kumbukeni yaliyompata mke wa Loti. \t ܐܬܕܟܪܘ ܠܐܢܬܬܗ ܕܠܘܛ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akawaambia, \"Basi, inawezekanaje kwamba kwa nguvu ya Roho Mtakatifu Daudi anamwita yeye Bwana? Maana alisema: \t ܐܡܪ ܠܗܘܢ ܘܐܝܟܢܐ ܕܘܝܕ ܒܪܘܚ ܩܪܐ ܠܗ ܡܪܝܐ ܐܡܪ ܓܝܪ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Ndugu zangu, ninataka na kutazamia kwa moyo wangu wote hao wananchi wenzangu wakombolewe. Tena nawaombea kwa Mungu daima. \t ܐܚܝ ܨܒܝܢܐ ܕܠܒܝ ܘܒܥܘܬܝ ܕܠܘܬ ܐܠܗܐ ܚܠܦܝܗܘܢ ܕܢܚܘܢ"} {"url": "https://object.pouta.csc.fi/OPUS-bible-uedin/v1/moses/ss-syr.txt.zip", "collection": "bible", "source": "bible-uedin", "original_code": "ss - syr", "text": "Yesu akamjibu, \"Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa akili yako yote. \t ܝܫܘܥ ܕܝܢ ܐܡܪ ܠܗ ܕܬܪܚܡ ܠܡܪܝܐ ܐܠܗܟ ܡܢ ܟܠܗ ܠܒܟ ܘܡܢ ܟܠܗ ܢܦܫܟ ܘܡܢ ܟܠܗ ܚܝܠܟ ܘܡܢ ܟܠܗ ܪܥܝܢܟ"}